Professional Documents
Culture Documents
Katiba Ya Kikundi
Katiba Ya Kikundi
Katiba Ya Kikundi
2020
SEHEMU YA KWANZA
MAMBO YA AWALI
1
KATIBA
Jina la Katiba 1. Katiba hii itajulikana kama “Katiba ya Kikundi cha Umoja Wa
Wanaisimani”
Tafsiri ya Maneno 2 (1) Katika katiba hii, isipokuwa kama imefafanuliwa vinginevyo
katika sharti husika, maneno yafuatayo yatakuwa na maana kama
ifuatavyo:
“Kikundi” maana ya Kikundi cha Umoja Wa Wanaisimani;
“Mwanachama” maana yake ni mwanaisimani yeyote aishiye Mbeya na
Songwe na ambaye amekidhi masharti ya kuwa mwanachama wa kikundi
kwa mujibu wa Ibara ya 6 ya Katiba hii ;
(2) Katika katiba hii maneno yaliyotumika katika umoja yatakuwa na
maana ile ile yakitumika katika wingi na hivyo hivyo maneno
yaliyotumika katika wingi yatakuwa na maana ile ile yakitumika katika
umoja.
Jina, Anuani na 3. (1) Jina la Kikundi litakuwa “Kikundi cha Umoja Wa Wanaisimani”
Makao Makuu ya (2) Anuani ya Kikundi itakuwa xxx
(3) Ofisi na Makao Makuu ya Kikundi itakuwa xxx
Kikundi
SEHEMU YA PILI
DIRA, DHIMA NA MADHUMUNI YA KIKUNDI
Dira na Dhima ya 4. (1) Dira ya Kikundi ni “Kuwa Kikundi chenye faida na maslahi kwa
Kikundi ustawi wa wanachama kijamii na kiuchumi’’
(2) Dhima ya Kikundi ni “ Kuwawezesha wanachama kushirikiana na
kusaidia kuleta ustawi wa kijamii na kiuchumi kwa wanachama wake”
Lengo na Madhumuni ya 5. (1) Lengo kuu la Kikundi ni kuwa jukwaa la wanachama kujadili na
Kikundi kubadilishana mawazo na uzoefu na kusaidiana kutatua changamoto
mbalimbali za maisha.
(2) Bila kuathiri lengo tajwa hapo juu, madhumuni ya Kikundi
yatakuwa ni pamoja na:-
a) Kuwezesha wanachama kubadilishana taarifa mbalimbali
zinazoweza kusaidia maendeleo na ustawi wa wanachama;
b) Kuanzisha mfuko wa fedha utakaochangiwa na wanachama na
kutumika kutatua changamoto mbalimbali za wanachama kwa
2
KATIBA
SEHEMU YA TATU
MASUALA YANAYOHUSU UANACHAMA
Uanachama na sifa ya 6. (1) Uanachama wa kikundi utakuwa wazi kwa mtu yeyote ambaye
kuwa mwanachama anaishi Mbeya na Songwe na ni mwenyeji wa Isimani.
(2) Bila kuathiri matakwa ya Katiba hii, mtu yeyote anaetaka
kuwa mwanachama ni lazima:-
a) Awe anaishi Mikoa ya Mbeya na Songwe.
b) Awe na uwezo wa kulipa kiingilio, ada na michango mbalimbali
ya kikundi itakayokubalika na wanachama kwa mujibu wa Katiba
hii;
c) Awe tayari kushirikiana na wanachama wengine katika
kufanikisha lengo na madhumuni ya Kikundi; na
d) Awe tayari kusimamia na kutekeleza matakwa ya Katiba hii.
Utaratibu wa kujiunga 7. (a) Mtu yeyeto anayetaka kujiunga Uanachama atapaswa kutuma
Uanachama maombi kimaandishi kwa viongozi.
(b) Maombi ya uanachama yatajadiliwa endapo zaidi ya nusu ya
wanachama watamkubali, Mwenyekiti au Katibu wa Kikundi
. atamjulisha mhusika kuwa amekubaliwa kuwa mwanachama
kimaandishi.
(c) Mwombaji atapaswa kulipa kiingilio, ada na michango ambayo
kila mwanachama anatakiwa kulipa kwa mujibu wa katiba hii.
(d) Iwapo maombi ya Uanachama yatakataliwa, mwombaji atakuwa
na haki ya kuelezwa sababu ya kukataliwa kwake uanachama na
Mwenyekiti au Katibu kimaandishi
Haki za Mwanachama 8. Bila kuathiri matakwa ya Katiba, Mwanachama atakuwa na haki
zifuatazo:-
a) Kuchagua na kuchaguliwa kuwa kiongozi wa Kikundi;
3
KATIBA
4
KATIBA
5
KATIBA
SEHEMU YA NNE
MAPATO NA MATUMIZI YA KIKUNDI
Mapato na Mali za 14. (1) Bila kutahiri matakwa ya Katiba, Kikundi kitakuwa na vyanzo
Kikundi mbalimbali vya mapato ikiwa ni pamoja na:-
6
KATIBA
Matumizi ya fedha na 15. (1) Kikundi kitatumia fedha zake kama ifuatavyo:-
utoaji msaada a) Kumsaidia mwanachama atakayepata tatizo la msiba kwa kufiwa
na mke au mume; mtoto wake wa kumzaa; mama au baba mzazi;
na Mlezi wake. (Mwanachama iwapo atafiwa na wazazi (Baba au
Mama) au Walezi wake atapewa 200,000/= (Kikindi kitatoa Tsh
100,000/= na Kila Mwanachama atatakiwa kuchangia Tshs
5,000/= ili kutimiza 200,000/=.
NB: Pesa itakayo zidi itaingizwa katika mfuko wa kikundi.
b) Kumsaidia mwanachama atakaye ugua na kulazwa hospitali kwa
kipindi kisichopungua siku saba (7) (Mwanachama akiugua kwa
muda wa juma moja kila mwanachama atawajibika kuchangia
Tshs 2,000/= kwa ajili ya kwenda kumpa pole).
c) Iwapo mwanachama atafariki (Kikundi kitatoa pole ya Tshs
200,000/= kwa ndugu zake siku ya msiba);
d) Kuchangia shughuli za ndoa iwapo mwanachama anaoa au
kuolewa(Mwanachama akiwa na sherehe ya kuolewa/kuoa
atachangiwa kiasi cha Tshs 200,000/=(100,000/= itatoka katika
mfuko wa kikundi na 100,000/= itachangishwa kutoka kwa
wanachama) ambayo itawasilishwa na wawakilishi au
wanachama wote siku tukio Ukumbini); na
7
KATIBA
vya Kikundi kwa kuzingatia Katiba ya Kikundi kwa maslahi ya wanachama ambapo
mamlaka ya juu ya Uongozi na Usimamizi wa shughuli zote za Kikundi
yatakuwa mikononi mwa wanachama kupitia mikutano na vikao halali ya
Kikundi.
(2) Bila kuathiri matakwa ya Katiba hii, Kikundi kitakuwa na aina mbili
ya mikutano ambayo ni mkutano mkuu na mkutano maalum na kutakuwa
vikao vya kila mwezi.
Mkutano Mkuu wa 18. (1) Mkutano Mkuu wa Kikundi utafanyika mara moja kwa mwaka na
9
KATIBA
11
KATIBA
SEHEMU YA TANO
MAMBO YA JUMLA
Kukata rufaa 30. Kiongozi au mwanachama yeyote ana haki ya kukata rufaa dhidi ya
maamuzi yoyote kwa bodi ya kikundi ambaye maamuzi yake yatakuwa
ni ya mwisho.
Kuvunjika kwa 31. a) Kikundi kinaweza kuvunjika iwapo wanachama wataazimia
Kikundi na Hatima Kikundi kuvunjwa kwa Azimio la robo tatu (3/4) ya Wajumbe wote
katika Mkutano Mkuu;
ya Mali za kikundi
b) Kikundi kikivunjwa fedha au mali za kikundi zitagawanywa kwa
wanachama wote walio hai kwa kuzingatia hisa za kila mwanachama;
c) Iwapo kikundi kitakuwa kinadaiwa wakati wa kuvunja, basi kila
mwanachama atawajibika kulipa deni hilo kabla ya kuvunjwa kikundi.
Kushindwa kufanyika Endapo uchaguzi utashindwa kufanyika kwa sababu yoyote ile, Bodi ya
12
KATIBA
uchaguzi kwa mujibu kikundi itaongozi kikundi kwa muda wa mpito (muda usiozidi miezi
Kurekebisha Katiba 32. Katiba hii inaweza kufanyiwa marekebisho kwa maamuzi ya robo
tatu ya Wanachama katika Mkutano
Kuidhinishwa na 33. Katiba hii itakuwa halali na kuanza kutumika baada ya kupitishwa na
kuanza kutumika kwa kuungwa mkono na wanachama wasiopungua robo tatu ya wanachama
wote.
Katiba
MAJINA YA WANACHAMA
No JINA KAMILI NAMBA YA SIMU
:
1. TAUSI MSIGALA 0782470136
2. THOMAS MHONGOLE 0756200639
3 GENORTH SANGA 0754614632
4. JOSEPHAT MSAMBWA 0768036094
5. ADELINA JOSHUA 0675797608
6. SOPHIA KAMBILI 0755538347
7. GODFREY MSAMBWA 0769848217
8. GASPALINA SAMBALA 0758247409
9. JULIANA MAYEMBA 0756632873
10. JULIANA NYALUSI 0763465462
11. MICHAEL SHONI 0742038945
12. ANJELO KAVINDI 0754660202
12. VAILETI MWILASI 0752327144
14. MARY KIKOTI 0755059973
15. ANJELINA KASTORY
16. RAHEL LUOGA
17. EVER MSIGWA
18. SHUKURU WANDELAGE
19. JUSTINE SENGELE
20. SAMWELI SENGELE
21.
22.
23.
24.
25.
13