Professional Documents
Culture Documents
Aina Za Maneno
Aina Za Maneno
Nomino (N)
Aina
Nomino za Pekee
Ambazo hutaja kitu kwa kutumia jina lake/ambazo hutambulisha upekee wa kitu hicho.
Nomono za Kawaida/Jumla
Majina ya jumla ya viumbe/vitu vinavyoonyesha umbile la jinsi moja k.m. mtu, gari, kalamu, n.k.
Nomino za Jamii
Majina ya makundi ya viumbe au vitu k.m. bunge, jamii, halaiki, bunda n.k.
Nomino za Wingi
Majina ya vitu vitokeavyo kwa wingi japo kimsingi hazina umoja au wingi k.m. maji, mate, maziwa, mahubiri,
marashi, mchanga, ngeu, poda, unga, n.k.
Nomino za Dhahania
Majina ya viumbe au mambo ya kudhani/yasiyoweza kugusika k.m. k.m ujinga, werevu, malaika, shetani, amani,
imani, roho, wazo, dhana, n.k.
Vitenzi vyenye kiambishi awali ku ambavyo huweza pia kutumika kama nomino k.m. Kucheza kwake
kunaudhi.
Huonyesha hali ya kumiliki. Huundwa kwa muungano wa nomino ya kawaida na kivumishi kimilikishi
Nomino ambatano
VITENZI
Aina za Vitenzi
Kitenzi halisi
Aina za vitenzi
Ni kitenzi kinachoeleza tendo kuu katika sentensi. Kwa kawaida kitenzi kitaitwa kikuu kama kinaandanmana na
kingine kisaidizi katika sentensi
Ngali, Kuwa,Taka,pasa,bidi,huenda,kuja,weza,kwisha,stahili,wahi,maliza,
Tanbihi
Vitenzi vikuu huandamana na vtenzi visaidizi kutoa dhana zifuatazo:
Njeo/wakati-Alikuwa akilima.
Vitenzi Sambamba
Hutumika kutoa maelezo kuhusu tendo moja maalum kwa uwazi zaidi.
Tanbihi:
Kijalizo ni neno au kirai ambacho hufuata kitenzi kishirikishi na ambacho huelezea zaidi kuhusu kiima au
yambwa
Aina
Muundo wa Vitenzi
Kwa kuzingatia muundo wa vitenzi, tunaweza kuweka vitenzi katika aina zifuatazo:
-nya- kunya - kutoa mabaki ya chakula toka tumboni k.m mtoto amekunya
-nywa- kunywa - kutia kinywaji kama vile maji au maziwa mdomoni k.m ninakunywa uji
Hivi ni vitenzi vyenye asili kutoka kwa lugha nyingine badala ya Kibantu. Baadhi ya lugha hizo ni Kiarabu, Kizungu,
Kireno, Kihispania n.k. Vitenzi hivi havifuatilii muundo wa kawaida wa vitenzi vya Kiswahili ambavyo huishia kwa
sauti -a. Badala yake, vitenzi hivi huishia kwa sauti nyingine kama vile -e, i, -o, na u
Hivi ni vitenzi vyenye asili ya Kibantu na ambavyo huishia kwa sauti -a. Kitengo hiki hujumuisha asilimia kubwa zaidi
ya vitenzi vya Kiswahili
VIVUMISHI
Kivumishi ni neno ambalo hutoa maelezo zaidi kuhusu nomino au kiwakilishi cha nomino.
AINA ZA VIVUMISHI
Vivumishi Vimilikishi
Vivumishi hivi hutumika kuonyesha nomino inamiliki nyingine. Mizizi ya vivumishi hivi huundwa kulingana na nafsi
mbalimbali ( -angu, -ako, -ake, -etu, -enu, -ao).
Hutueleza zaidi kuhusu kiasi, au idadi ya nomino. Kuna aina mbili za vivumishi vya idadi.
a) Idadi Kamili
b) Idadi Isiyodhihirika
huelezea kiasi cha nomino kwa ujumla, bila kutaja idadi kamili
Vivumishi Visisitizi
k.m: yuyu huyu, wawa hawa, kiki hiki, papo hapo, mumu humu,
Vivumishi Viulizi
Vivumishi Virejeshi
Hivi ni vivumishi ambavyo hurejelea nomino. Vivumishi hivi vinaweza kuwa vivumishi vya O-rejeshi au
vivumishi viashiria vinapotumika kurejelea nomino.
Vivumishi vya KI- ya Mfanano hutumika kulinganisha sifa ya nomino na hali au tabia nyingine. Vivumishi hivi
hutanguliwa na nomino, kiunganishi cha A-unganifu na huchukua kiungo KI.
Vivumishi hivi hutuelezea zaidi kuhusu nomino kwa kuonyesha kitu kinachomiliki nomino hiyo. Huundwa kwa
kuambatanisha kiambishi cha nafsi/ngeli pamoja na kiambishi -a cha a-unganifu, kisha nomino
iii) Nafasi katika orodha- Maria ni mtoto wa nne katika familia yao.
Kila mojawapo huwa na maana yake mahsusi na huwa na upatanisho wake maalum wa kisarufi kulingana na ngeli
ya nomino inayovumishwa.
VIWAKILISHI
Viwakilishi vya Nomino ni maneno yanayotumika badala ya nomino. Kiwakilishi hakiwezi kuambatanishwa na
nomino inayorejelewa.
Aina za Viwakilishi
Viwakilishi hivi hutumika kwa niaba ya nafsi kwa umoja na kwa wingi.
Viwakilishi Viashiria
Viwakilishi viashiria (vionyeshi) hutumika badala ya nomino kwa kutumia kuonyesha nomino inayorejelewa bila
kuitaja.
Viwakilishi Visisitizi
k.m: yuyu huyu, wawa hawa, kiki hiki, papo hapo, mumu humu,
Vyekundu vimehamisha
Warembo wamewasili.
b) Idadi Isiyodhihirika- huelezea kiasi cha nomino kwa ujumla, bila kutaja idadi kamili
Viwakilishi Viulizi
• Zipi zimepotea?
Viwakilishi Vimilikishi
Lake limekucha.
Huwakilishi nomino kwa kutaja kinachomiliki nomino hiyo. Huundwa kwa kuambatanisha kiambishi cha nafsi/ngeli
pamoja na kiambishi -a cha a-unganifu, kisha nomino nyingine
Za watoto zitahifadhiwa.
Kila mojawapo huwa na maana yake mahsusi na huwa na upatanisho wake maalum wa kisarufi kulingana na ngeli
ya nomino inayorejelewa
VIELEZI (E)
Vielezi ni maneno yanayotoa habari zaidi kuhusu kitendo kilivyofanyika. Pia vielezi hutoa habari zaidi
kuhusu hali, vivumishi au vielezi vingine.
Aina za Vielezi
Vielezi vya mahali hutoa habari kuhusu mahali ambapo kitendo kilifanyika. Aghalabu vielezi hivi huundwa kwa
kutumia jina la mahali au kwa kuongeza kiungo -NI mwishoni mwa neno linaloashiria mahali.
a) Idadi Kamili
Vielezi vya Idadi Kamili hutaja idadi kamili ya mara ngapi kitendo kilifanyika.
Daktari alimwagiza mama huyo achukue dawa mara tatu kwa siku na arudi hospitalini siku mbili kwa mwezi
b) Idadi Isiyodhihirika
Vielezi vya Idadi Isiyodhirika huelezea kiasi ambacho kitendo kilifanyika bila kutaja kiasi kamili
Vielezi hivi havitokani na maneno mengine. Kwa kawaida huwa ni vielezi tu.
Huelezea jinsi au namna kitendo kinavyofanyika. Kitendo kinaweza kufanyika kwa namna mbalimbali.
Hivyo basi kuna aina mbalimbali za vielezi vya namna:
a) Vielezi vya Namna Halisi
Hutufahamisha jinsi kitendo kinavyofanyika kwa kutumia maneno halisi (bila kuambatanishwa na maneno mengine
au viambishi vingine).
Hutufahamisha hali ambayo kitendo kilifanyika. Vielezi hivi hujihusisha na tabia ya kitu/mtendaji wa kitendo
Hutoa habari kuhusu kifaa, ala au mbinu iliyotumiwa kufanya kitendo fulani
k.m: kwa kisu, kwa jembe, kwa meno, kwa moto, kwa maji
Mzee huyo alimpiga mke wake kwa bakora kabla ya kuchoma nguo zake kwa makaa
d) Vielezi Vikariri
Husisitiza kitendo kinavyofanyika kwa kutaja kielezi kinachorejelewa mara mbili mfululizo.
f) Vielezi Viigizi
Vielezi hivi huigiza sauti au mlio wa kitu, kitendo kitendo kilipofanyika kwa kutumia tanakali za sauti
Vielezi hivi hutumika kuelezea kielezi kingine. Hivyo basi, hutanguliwa na kielezi badala ya kitendo
Viunganishi (U)
Aina
Na, aidha (pia), isitoshe, kadhalika (pia)), tena, mbali na, fauka ya (zaidi ya),
walakini (lakini), bali (lakini), ijapokuwa (hata kama), ingawa (hata kama),
Ilhali, licha ya, Kuonyesha masharti, budi (lazima), lazima, sharti, ikiwa (kama), bidi,
Vya sababu
Kwa, kwa sababu, maadamu (kwa kuwa), madhali (kwa kuwa),kwa vile/maana, kwa ajili/minajili ya ,mintaarafu
(kutokana na)
Au, ama,wala
laiti (kama)
lau (kama)
mradi (bora)
bighairi (bila ya kujali) k.m.Minghairi vitu vilivyo kwenye kabati vinginevyo unaweza kuvichukua.
labda (pengine)
VIHUSISHI (H)
Aina
Mahali
Wakati
Sababu
Ala
A-unganifu
Huleta dhana ya
Ulinganisho
Kiwango
Vya hali
VIHISISHI (I)
Maneno yanayotoa hisia za moyoni.
a) furaha
b) hasira
c) majuto
d) huzuni/huruma
e) kuitikia
f) mshangao/mshtuko
g) kubeza
h) kusisitiza
Hata
i) kutakia heri
inshallah