DIBAJI

You might also like

Download as docx, pdf, or txt
Download as docx, pdf, or txt
You are on page 1of 12

DIBAJI

Wazo la biashara ya ufugaji wa kuku wa mayai katika kata ya kimandolu mtaa wa kijenge juu
Arusha mjini. Ni wazo ambalo limebebwa na mambo yafuatayo;

Utawala; katika utawala wazo langu lina utawala mzuri, kukabiliana na hali ya soko, kukabiliana
na washindani katika biashara na ubora wa bidhaa ambao utanifanya niwe na soko zuri. Pia
kutangaza biashara ili nipate soko kubwa, eneo la biashara ni lenye utulivu na lenye wahitaji.

Mpango wa fedha; chanzo cha mradi wangu kinategemea marafiki nilionao ambao wataweza
kunichangia kwa hali na mali pia wawekezaji, mfano KAKUTE naamini wakinishika mkono
nitafanikiwa Zaidi katika biashara.

Bajeti ya mradi ni kama ifuatayo jumla kuu ya chakula kwa miezi sit ani 2,275,000/=, vifaranga
200 ni 500,000/= gharama za dawa kwa miezi sit ani 150,000/= gharama nyinginezo ni
1,310,000/= katika mradi wangu wa ufugaji itagarimu kiasi cha 4,235,000/=.

Vihatarisho vya biashara inaweza kuwa ni magonjwa hivyo nitajitahidi kufuata ushauri wa
wataalamu na tiba kwa wakati ili nipate mavuno bora.

Utoaji huduma nitahakikisha namjali mteja katika hali zote na lugha nzuri ili kuwavuta wateja
wengi Zaidi.

1.0 WAZO LA BIASHARA


Wazo la biahara ni kuwa mfugaji wa kuku wa mayai ya kisasa. Lengo ni kuwa na wastani wa
kuku mia mbili (200). Maono yangu ni kuwa msambazaji wa mayai katika eneo la kijenge juu na
maeneo ya jirani endapo soko litakuwa nategemea kuwa msambazaji bora wa mayai katika jiji
la Arusha. Biashara yangu ya ufugaji wa kuku, natarajia kutoa huduma kisasa kuendanan na
technolojia ambayo inazidi kukuwa siku hadi siku.

Katika biashara yangu nitajitahidi kutoa huduma nzuri na kuwa na uzalishaji wa mayai na nyama
kwa viwango vya juu ili kuwaridhisha wateja. Nitajitenga mahusiano mazuri kwa wateja kama
vile kutumia lugha nzuri wakati wa mazungumzo na mteja, kumjali mteja Pamoja na kusikiliza
maoni ya wateja jinsi ya kuboresha huduma.
Katika wazo langu la biashara wateja wangu ni wat una makundi mbalimbali kama vile mahoteli,
migahawa, maduka mbalimbali ya jumla na rejareja Pamoja na mwananchi mmojammoja.
Katika biahsra yangu nitajitahidi kuitangaza biashara kwa upana Zaidi ili kuoata wateja wengi
Zaidi Pamoja na kutambulika sehemu mbalimbali.

Mradi wangu wa biashara utafanyika nyumbani kwetu kata ya kimandolu mtaa wa kijenge juu
Arusha mjini kwasababu kuna eneo ambalo linatosha kufanyia biashara yangu ya ufugaji w
kuku.

Malengo yangu katika ndani yam waka mmoja ni kupata wateja zidi katika biashara ili kukuza
biashara wigo wangu wa kibiashara, malengo yangu nikujitangaza Zaidi kibiashara nikiamini
kuwa biashara ni matangazo. Biashara yangu kadri itakavyokuwa inashamiri ndivyo
nitakavyokuwa ninaajiri wafanyakazi. Pia lengo langu ningependa kuona watu wengine
wanafaidika ma mradi wangu wa biashara kama kupata ajira.

Katika biashara yangu kuna mambo ambayo yatanisaidia katika kufanikiwa kibiashar. Mambo
hayo ni kama; kuzalisha bidhaa bora (mayai) Pamoja na kuitngaza biashara yangu. Pia mimi
binafsi nita itangaza biashara yangu kwa njia mbalimbali kama vile mitandao ya kijamii,
vipeperushi na radio, ili biashara yangu iweze kutambulika Zaidi Pamoja na kupata wateja wengi
Zaidi.

1.1 Malengo ya biashara


Malengo yangu ni Pamoja na kukuza mtaji na kuhakikisha kuwa biashara inakuwa na
kutenegeneza faida. Kadhalika ni kuhakikisha kuwa ninakuwa mfanyabiashara bora wa kuku wa
mayai katika mji wa Arusha na viunga vyake na ikiwezekana mikoa ya jirani.

1.2 Tasnia ya biashara


Biashara hii ya ufugaji wa kuku imekua ikikua kw kasi sana kipindi cha hivi karibuni hasa kwa
vijana na watu wa umri wa kati. Hii imetokana na ongezeko la matumizi ya mayai katika vibanzi
hasa kwa watu wa umri mbalimbali hivyo kurahisisha uzalishaji na uuzaji wa kuku na mayai
bora.
1.3 Sera ya nchi
Sera ya nchi kwa wajasiriamali yam waka 2013 inatoa fursa kwa wajasiriamali kufanya biashara
katika mazingira mazuri ikiwa ni Pamoja na kutoa fursa kwa wajasiriamali kufanya biashara
katika mazingira mazuri ikiwa ni Pamoja na kutoa fursa kwa wahusika kupata mikopo katika
mifuko mbalimbali Pamoja na taasisi za kifedha. Pia serikali kupitia sera ya kilimo kwanza
mwaka 2014 ilitoa fursa kubwa sana kwa wakulima na wafugaji katika kukuza mitaji kwa
kuwekewa ruzuku katika pembejeo na zana za ufugaji. Pia usajili na upatikanaji wa leseni kupitia
taasisi mbalimbali za serikali umerahisishwa na mjasiriamali anaweza kupatiwa huduma ndani
ya muda mchace. Kadhalika biashara hii itaongozwa na uwajibikaji na uwazi ikiwa ni Pamoja na
utendaji kazi wa kiwango cha juu.

1.4 Uzoefu wa mjasiriamali


Mimi kama mjasiriamali nina uzoefu katika biashara ya ufugaji wa kuku hasa ikizingatiwa baadhi
ya marafiki wangu wa karibu wanafanya biashara hii na pia nimehudhuria mafunzo ya
ujasiriamali ikiwemo semina iliyoandaliwa na KAKUTE hivyo nimeongeza uwezo wa namna ya
kusimamia biashara yangu Pamoja na fedha. Kadhalika uzoefu mwingine utaendelea kuimarika
kadri bishaara itkavyokuwa na kupanuka na uhitaji wa wateja wangu

1.5 Tathimini Ya Nguvu, Fursa, Udhaifu Na Tishio


NGUVU UDHAIFU
 Napenda biashara yangu  Mtaji ni mdogo
 Ninajua wateja  Ukosefu wa vitendea kazi
 Nauza kwa njia ya kusambaza kwa  Kukosa eneo la kufugia
watja wang una ninapofugia
 Bidhaa bora/ zinaubora mzuri

FURSA TISHIO
 Ongezeko la watu wenye kuhitaji  Washindani kuongezeka
wa kuku na mayai  Gharama za ufugaji na madawa
 Sera ya nchi kuimiza ujasiriamali kupanda
 Uwezo wa kuajiri kwa sababu ya  Magonjwa
uhaba wa ajira kwa sekta za serikali
 Uwepo wa mikopo na taasisi za
fedha
 Uwepo wa teknolojia ya simu ili
kuwasiliana na wateja
 Malighafi na madawa kupatikanan
ndani ya nchi

2.0 MASOKO
Katika biashara yangu ya ufugaji wa kuku wa mayai ya kisasa, ninalenga watu na makundi
mbalimbali watakao tumia bidhaa yangu bila kujali jinsia, umri, kabila, rangi. Soko langu la
biashara litalenga hasa makindi yafuatayo; maduka mbalimbali ya jumla na rejareja, migahawa,
mahotelini Pamoja na wateja binafsi.

2.1 Soko linalolengwa


Katika biashara hii ya ufugaji wa kuku soko linalolengwa ni la wateja kutoka ndani ya nchi na
hususani mji wa Arusha. Walengwa wakuu ni mahotel, vibanda vya vibanzi na mtu mmoja
mmoja. Hii itarahisisha uuzaji wa bidhaa na ikiwezekana mauzo yanaweza kuongezeka hadi nje
ya Arusha.

2.2 Mbinu zinazotumika kufikisha bidhaa kwa wateja


Kadhalika mbinu zitakazotuika kufikisha bidhaa kwa wateja ni Pamoja na kuwa na duka la
manunuzi eneo la kijenge juu lakini pia kutoa taarifa za bidhaa zangu kupitia mitandao ya
kijamii. Pia vyombo vya Habari kama radio na televisheni vinaweza kutumika ili taarifa za
biashara yangu kuweza kuwafikia hata wasio na computer mpakato wala simu zakiganjani.

2.3 Mbinu inayotumika kupanga bei


Mbinu itakavyotumika kupanga bei ni Pamoja na kulinganisha bei ya kununulia bidhaa Pamoja
na ongezeko la thamani. Kadhalika ni vyema kudadisi na kujua bidhaa na bei zake kama
inavyofanyika na wafanyabiashara wengnine. Muhimu ni Pamoja na kuona bei ninavyotumia
kununulia ili niweze kupata faida.
2.4 Namna ya kutangaza biashara
Biashara yangu nitaitangaza kwa kupitia vipeperushi kwa kuwa ni mpya itanihitaji kuifanya
itambulike na kupitia mitandao ya kijamii kama facebook, Instagram na tweeter.

2.5 Washindani katika biashara


Biashara ya ufugaji wa kuku inachangamoto mbalimbali ikiwemo ni Pamoja na ushndani.
Ushindani katika biashara hii ni Pamoja na uwepo wa magonjwa katika vipindi tofauti vya
mwaka, Pamoja na uwepo wa masoko na wafanyakazi wadogo kwa wakubwa wanaofanya
biashara ya ufugaji wa kuku.

3.0 MENEJIMENTI NA UTAWALA


Mwanzilishi na mmiliki wa biashara hii ni mr FADHILI JOHN MWAMPANDA lakini pia sitokuwa
mwenyewe katika biashara hii nitasaidianan na watu wa karibu ambao ni wazoefu kwenye
biashara hii na kwakua mimi nitakua chou kuna kijana atakua mwanagalizi akishirikiana na
mama yangu kwa mda nitakapokuwa chuoni.

3.1 Ujasiriamali wa biashara (ubia, mtu binafsi au kampuni)


Kutokana na biashara hii kuwa ya binafsi na nitahitaji kumuajiri mtu au watu wenye uzoefu
katika ufugaji wa kuku, nitalazimika kusajili biashara yang una kupata leseni au kibali cha
kufanya biashara hiyo.

3.2 Jinsi ya usimamizi wa biashara


Biashara hii ni ya binafsi ila itabidi kuwa nauongozi ambao tutashauriana katika kukuza
biashara na kufanya mauzo na uhifadhi wa fedha. Mimi nitabaki kama mshauri na msimamizi
mkuu wa biashara hii ikiwa ni Pamoja na kufanya manununzi ya bidhaa katika duka langu.

4.0 MPANGO WA FEDHA


Vyanzo vya fedha Pamoja na gharama za uendeshaji wa mradi

4.1 Marafiki
Katika wazo langu la biashara ili kufanikiwa nahitaji fedha kwa ajili ya kuendesha mradi wangu
wa ufugaji wa kuku. Ninategemea kuwezeshwa na marafiki mbalimbali ambao watanishika
mkono kwa njia moja au nyingine.
4.2 Wawekezaji
Pia nategemea wawekezaji ambao watanishika mkono ili kufanikisha wazo angu la biashara.
Wawekezaji kama KAKUTE naamini wakinishika mkono nitafanikiwa kuanzisha biashara yangu.

4.3 bajeti ya kufanikisha wazo langu la biashara


Hapa tutahitaji vifaranga 200

Kifaranga mmoja ni 2500/= jumla ya vifaranga 200 ni 500,000/=

5.0 BAJETI YA CHAKULA CHA KULISHA KUKU 200

5.1 Mwezi wa kwanza


Watatumia mfuko 1 na nusu wa chicks mash (starter) ambao mfuko mmoja ni 50,000/= jumla
watatumia 75,000/= kwa mwezi.

5.2 Mwezi wa pili


Watatumia mifuko 3 na nusu wa chiks mash (starter) ambao mfuko mmoja ni 50,000/= jumla
watatumia 175,000/= kwa mwezi

5.3 Mwezi wa tatu


Watatumia mifuko 4 na nusu wa broiler ambao mfuko mmoja ni 50,000/= jumla watatumia
225,000/= kwa mwezi.

5.4 Mwezi wa nne


Watatumia mifuko 12 ya broiler kipindi hiki watakuwa wanaanza kutaga ambao mfuko mmoja
ni 50,000/= jumla watatumia 600,000/= kwa mwezi

5.6 Mwezi wa tano


Watatumia mifuko 12 ya broiler ambao mfuko mkoja ni 50,000/= jumla watatumia 600,000/=
kwa mwezi

5.7 Mwezi wa sita


Watatumia mifuko 12 ya broiler ambao mfuko mmoja ni 50,000/= jumla watatumia 600,000/=
kwa mwezi.
JUMLA KUU YA CHAKULA KWA MIEZI SITA NI 2,275,000/=

5.8 Gharama za dawa


Kuku 200 watatumia kiasi cha laki moja na nusu (150,000/=) kwa kipindi cha miezi sita

5.9 Gharama nyinginezo


Banda la kuku 1,000,000/=

Vifaa vya kulishia kuku 100,000/=

Gunia la mkaa 50,000/=

Umeme 60,000/=

Usafiri 50,000/=

Mfuko 1 wa ziada wa chakula 50,000/=

JUMLA NI 1,310,000/=

 Katika mradi wangu wa ufugaji wa kuku wa mayai ya kisasa ni shilingi za kitanzania


4,235,000/=

6.0 VIHATARISHI VYA BIASHARA


Katika wazo langu la biashara yangu kunavihatarishi mbalimbali ambavyo mfugaji asipokuwa
makini vinaweza kutokea kama

Mlipuko wa magonjwa

Kuku wa kisasa wanahitaji uangalizi mkubwa ili waweze kuwa katika ubora. Magonjwa hayo ni
kideri, mafua n.k

Hivyo basi kama mfugaji ili uweze kukabili changamoto hii ninahitaji kufuata hatua zote za
utoaji wa chanjo mbalimbali ili kuwalinda kuku na magonjwa kulingana na washauri na
wataalamu wa ufugaji wa kuku (Veterinary Officer)
7.1 Aina ya vihatarishi na fursa za kibiashara
Kuna vihatarishi vingi vinaweza vikakabili biashara yangu, yakiwemo magonjwa, wizi, ukosefu
wa madawa n.k. hali kadhalika kuna fursa mbalimbali zinazojitokeza kama ukuaji wa uwekezaji
wa mahoteli ambapo ndio wateja wakubwa wa bidhaa zangu.

7.2 Mbinu za kukwepa au kuondoa vihatarishi


Nitakwepa vihatarishi vinavyonikabili kwa kuzingatia kanuni na taratibu za ufugaji bora ili
kuhakikisha kwamba Napata matokeo chanya, kwa kuzingatia hayo nitakua nimeondoa
vihatarishi kwa kiasi kikubwa.

7.3 Kalenda ya matukio katika biashara


MEI

JULAI

SEPTEMBA

NOVEMBA

DISEMBA
JUNI

AGOSTI

OCTOBA
UTEKELEZAJI

Kuhudhuria mafunzo 
Kutambua wazo la 

biashara
Utafiti wa masoko  
Kutengeneza 

mchanganuo wa
biashara
Kurasimisha/ 

kuandikisha jina la
biashara
Kutafuta mtaji wa 

kuanza biashara
Kuanza biashara ya 

majaribio
Kutafuta mkopo wa
kukuza biashara
Kuendesha na kukuza
biashara
KALENDA AU RATIBA YA UFUGAJI WA KUKU WA MAYAI
YA KISASA
Katika wazo langu la ufugaji wa kuku nitahakikisha nafuata ratiba au kalenda ambayo nitakuwa
nimejipangia ili kuku wangu wawe katika ubora unaohitajika. Ratiba hii itajumuisha aina ya
chakula kulingana na umri wa kuku kama ifuatavyo;

Mwezi wa kwanza hadi mwezi wa tatu katika ufugaji


Mwezi wa kwanza katika ufugaji wa kuku, kama mfugaji ninatakiwa kuwa makini mno na
uangalizi wa hali ya juu kwa vifaranga. Kipindi hiki vifaranga hawa wanahitaji kupata chanjo na
kinga mbalimbali. Katika mwezi huu watahitaji kula chakula aina ya chicks Mash (Starter) kwa
ajili ya ukuaji bora wa vifaranga hao.

Mwezi wanne hadi mwezi wa sita katika ufugaji


Kuku wkifikisha muda huu hapa wanahitaji kupata chakula kwa wingi kwasababu kuanzia mwezi
wan ne wanaanza kutaga, hivyo basi watahitaji kula chakula aina ya broiler ili kupata mazao
bora ya mayai pia miezi hii nirahisi kuwfuga tofauti na miezi ya mwaznzoni kwa kuwa kuanzia
mwezi wa wan ne wamekuwa wameshakomaa.

Kuku hawa wanataga kwa kipindi cha miaka miwili hivyo basi ni vizuri kuleta zao linguine baada
ya kipindi cha miaka miwili.

7.5 Mchanganuo wa bei ya bidhaa


Bei ya kuzalisha
Katika wazo langu la biashara ya ufugaji wa kuku wa mayai ya kisasa wastani wa kuku 200 jumla
ya uzalishaji ni 3,435,000/=

Bei ya kununulia bidhaa (Mayai)


Kulingana na bei za uzalishaji wa kuku wa mayai ya kisasa (200). Bei ya bidhaa yangu ya mayai
ya kisasa ni 250/= kwa yai moja hivyo basi tray moja ya mayai ni 7500=
Soko
Kulingana na bei ya bidhaa yangu ya mayai, wateja wang una wananchi kwa ujumla wanauwezo
wa kununua bidhaa yangu ya mayai kwa kiasi kikubwa. Hivyo basi kulingana na kipato cha
wateja wangu walio wengi bei hiyo ni Rafiki kwao.

7.6 Mapato na matumizi katika wazo langu la biashara

MAPAT MATUMIZI
O
SIKU IDADI KIASI Chakula Umeme Usafiri Dawa Matangazo
YA
MAYAI
SIKU YA 180 45,000/= 20,000/ 400/= 2000/= …………….. ……………..
KWANZA =
WIKI 1260 315,000/= 85,800/ 2800/= 15,000/= …………….. ……………...
=
MWEZI 5040 1,260,000/= 2,800/= 11,200/= 60,000/= 20,000/= 50,000/=

MWAKA 60480 15,120,000/= 11,200/ 1,340,400/= 720,000/ 240,000/ 600,000/=


= = =
JUMLA KUU YA MAPATO KWA MWEZI NI JUMLA KUU YA MATUMIZI KWA MWEZI NI 741,200/=
1,260,000/=

Wastani wa faida kwa mwezi ni 518,800=

7.7 Viambatanishi
Wasifu wangu mimi ni mwanafunzi wa JRIIT ninasoma masomo ya biashara (Diploma in
business Administration) mwaka wa tau, uzoefu nilionao nilishawahi kujishugulisha kwenye
biashra hii kwa muda mfupi, kwenyew biashara yangu nitakuwa na TIN, leseni ya biashara, bima
ya biashar na kadi ya ujairiamali.

7.8 wasifu wa wafanyakazi


Mfanayakazi awe mtu mwenye uzoefu wa kufuga kuku kwa muda wa miaka miwili na awe mjuzi
wa jinsi ya kutumia madawa, awe mtu mwenye lugha nzuri kwa wateja. Mtu anaejali mud ana
uwezo wakufanya kazi hata kukiwa na shinikizo. Awe na uwezo wakutafuta taarifa za soko kila
wakati ili kufikia malengo yakibiashara. Awe mtu mwaminifu ambaye ana uwezo wakutunza
kumbukumbuku za mapato na matumizi kila wakati.

MAKADIRIO YA MTIRIRIKO WA FEDHA


  Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec
Fedha ya kuanzia                        
- - - - - - - - -
2,000,00 2,553,50 4,507,00 6,460,30 5,614,00 4,767,50 3,921,00 3,074,30 2,228,00 1,381,50
  0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 -535,000 311,500
Fedha inayoingia                        
Fedha kutoka kwenye 2,800,00 2,800,00 2,800,00 2,800,00 2,800,00 2,800,00 2,800,00 2,800,00 2,800,00
mauzo       0 0 0 0 0 0 0 0 0
2,000,00
Kuuza Kuku                       0
Jumla ya fedha
itakayoingia                        
2,800,00 2,800,00 2,800,00 2,800,00 2,800,00 2,800,00 2,800,00 2,800,00 4,800,00
  - - - 0 0 0 0 0 0 0 0 0
Fedha inayotoka                        
shughuli                        
2,600,00
Gharama za awali 0                      
1,385,00 1,385,00 1,385,00 1,385,00 1,385,00 1,385,00 1,385,00 1,385,00 1,385,00 1,385,00 1,385,00 1,385,00
Gharama za mauzo 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0
Gharama za uwekezaji                        
Mishahara 100,000 100,000 100,000 100,000 100,000 100,000 100,000 100,000 100,000 100,000 100,000 100,000
Gharama zisizobadilika 60,000 60,000 60,000 60,000 60,000 60,000 60,000 60,000 60,000 60,000 60,000 60,000
Kodi 50,000 50,000 50,000 50,000 50,000 50,000 50,000 50,000 50,000 50,000 50,000 50,000
Kodi ya mapato 138,500 138,500 138,500 138,500 138,500 138,500 138,500 138,500 138,500 138,500 138,500 138,500
Matengenezo                        
Dharura                        
shughuli za kifedha                        
Malipo ya mikopo 200,000 200,000 200,000 200,000 200,000 200,000 200,000 200,000 200,000 200,000 200,000 200,000
Malipo ya migao                        
4,553,50 1,953,50 1,953,50 1,953,50 1,953,50 1,953,50 1,953,50 1,953,50 1,953,50 1,953,50 1,953,50 2,453,50
Jumla ya fedha inayotoka 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0
                         
- - - - - - - - -
2,553,50 4,507,00 6,460,00 5,614,00 4,767,50 3,921,50 3,074,50 2,228,00 1,381,50 2,658,00
Mzunguko wa fedha 0 0 0 0 0 0 0 0 0 -535,000 -311,500 0
                         
fedha ya kufanyia
biashara                        

Maelezo
Fedha ya kufanyia biashara Mzunguko wa fedha + fedha ya kuanzia

Mzunguko wa fedha Jumla ya fedha inayoingia

Fedha inayoingia Kiwango cha fedha kinachoingia kwenye biashara

Fedha inayotoka Jumla ya fedha inayotoka kwenye biashara

Financial projection USD

Year 0 Year 01 Year 02 Year 03


Pre-operating cost/Investment 1,170,000 4,235,000
Operations
Revenues 27,200,000 34,320,000 41,184,000
Cost of goods sold 16,620,000 18,282,000 21,938,400
Gross margin 10,580,000 16,038,000 19,245,600
% 39% 47% 47%
Operating expenses 3,620,000 2,520,000 2,520,000
EBITDA 6,960,000 13,518,000 16,725,600
Interest 400,000 400,000 400,000
Depreciation 220,000 220,000 220,000
Taxes 1,902,000 3,869,400 4,831,620
Net income 4,438,000 9,028,600 11,273,920

Add back depreciation 220,000 220,000 220,000


Minus principle payment - - -
Net cash flow operations 4,658,000 9,248,600 11,493,920
Net cash flow 423,000 9,248,600 11,493,920

Unleveraged cash flow -1,170,000 423,000 9,248,600 11,493,920


Project IRR (unleveraged) -1,170,000

You might also like