Professional Documents
Culture Documents
FX Kwa Kiswahili
FX Kwa Kiswahili
unabadili sarafu moja toka sarafu nyingine. Mfano kama ukitoka Tanzania
unatumia TSH ukaenda Kenya ambapo wanatumia KSH itakubidi ubadilishe
sarafu yako ya kitanzania kwenda katika saafu ya kikenya. Kwa zoezi hilo
unakuwa umeshafanya FOREX.
Je, hii biashara ina muhimu wowote kwako? Jibu linategemea wewe unahitaji nini
1. Kama unataka soko ambalo halilali.
2. Kama unataka fursa ya kufanya biashara mda wowote katika siku.
3. Kama unataka kutengeneza kiasi kikubwa cha pesa.
Basi nadhani FOREX ni mahala sahihi kwa hayo yote
NB: Kama utaweza tengeneza kiasi kikubwa cha pesa ndani ya mda mfupi, pia
unaweza kupoteza kiwango cha fedha ndani ya mda mfupi huohuo
Watu gani wanaokuwepo/wanaoshiriki katika hii biashara?
1. Benki kuu (Central banks)
2. Serikali (Government)
3. Umoja wa wawekezaji(investment coorperation)
4. Wafanyabiashara wa duniani kote(businessies worldwide)
5 Wafanyabiashara wadogo(Retail trader)
FAIDA ZA FOREX
1. Una uwezo wa kufanaya biashara sehemu yeyote ulipo
2. Unaweza kutoa faida hela zako mda wowote ndani ya siku za wiki.
3. Sheria rahisi.
4. Inapatikana masaa 24
5. Uwiano mzuri kwa kiasi kidogo unaweza ingiza faida kubwa. (Leverage)
6. Upatikanaji wa FAIDA kubwa na kwa haraka.
HASARA ZA FOREX
1. Upatikanaji wa HASARA kubwa na kwa muda mfupi.
2. Hii sio biashara ambayo kila mtu anaweza kuifanya.
Kwa miaka kadhaa mpaka sasa, kumekuwa na list kubwa ya watu wakiingia katia
hii platform ya forex na ndoto kubwa ni kupata uhurru wa kifedha na kukua
kiuchumi kutokana na hadithi/myths za kutamanishwa kupitia mitandao au jamaa
zao wa karibu.
Sasa hapa naenda kukusimulia baadhi ya hadithi hizo ambazo zipo sana vichwani
mwetu au tunaendelea kuzisikia kupitia platform hii ya forex;
HADITHI YA KWANZA
KUWEPO KWA NJIA(STRATEGY) BORA KUPITA NYINGINE.
Watu wengi wamekuwa wakijikita kutafuta njia ambayo itawetengenezea hela kwa
100%. Ukimuuliza mtu yeyote mpya anaejifunza forex kama kuna siri ambayo
watu waliofanikiwa katika forex wanatumia, asilimia kubwa ya majibu yao
watakwambia NDIO.
Watu wengi wanafikiri traders waliofanikiwa wanatengeneza hela kila siku kupitia
njia/strategy fulani iliyo tukufu au nzuri kushinda zote. Kitu ambacho sio kweli.
Hata traders waliofanikiwa huwa wanapoteza 30% ya trades zao kila mwezi. tatizo
ni kuwa trades wapya wanazichukia na kuzitupa trades zao zilizowaingizia hasara.
Lakini traders waliofanikiwa hukubari kupoteza katika siku tatu na wanabaki na
msimamo katika mpango kazi/plan kwani mara nyingi huwa ni long term trades na
hata wanavokutana na hasara mwanzoni huamini baada ya ule mda watakuja
kupata faida yao.
HADITHI YA TATU
UNAWEZA KUTENGENEZA HELA KWA KUCLICK TU BUTTON
Hili ni jambo tunalolisikia sana kwa wenzetu na kufanya watu wengi waingie
katika forex wakidhani ni kitu rahisi sana kwa kubonyeza tu button unapata fedha.
Asilimia 80 ya watu wanaojiunga katika forex hupoteza mitaji yao yote ndani ya
miezi mi3 ya mwanzo kwa kukosa maarifa na kutofanya mazoezi ya vitendo mara
kwa mara katika hii biashara.
Forex ni kama fani nyingine. Inahitaji kusoma, kufanya majaribia, kuifatilia kwa
karibu na kw juhudi ndipo uje utengeneze hela. imenichukua zaidi ya miezi 6
kujifunza kuanzia february mpaka september mpaka kuja kuanza kutengeneza
faida.
HADITHI YA NNE.
UNAHITAJI NJIA/STRATEGY YA KISASA ZAIDI ILI UTENGENEZE
FEDHA KIURAHISI.
Hii ni hadithi ambayo ipo kwa traders walio wengi, wakiamini unahitaji njia fulani
ambayo ni bora kuliko zote, indicators bora au muunganiko wa indicators nyingi ili
uwe accurate.
Hata pale unapokuja kuwapatia njia rahisi wanaona kama ni upuuzi mtupu na
kuidharau. wanaamini njia iliyocomplicated ni njia bora kuupita zote. lakini
kiuhalisia traders wengi waliofanikiwa wanatrade kwa njia rahisi sana na wengine
hawatumii kabisa hata indicators.
Lakini nataka kukambia ubora wa strategy upo mikononi mwa mtu husika
atakaemake commitment na hio strategy. unaweza kuwapa watu wawili strategy
moja kisha mmoja akachoma akaunti na mwingine akafanikiwa kupitia hio
strategy.
Hii ni kwa sababu kila mtu anatrade na kuona vitu tofauti. kwa hio sio njia gani ni
nzuri bali ni jinsi gani utaichukua hio njia na kuiwekea mkazo ndipo
utakapofanikiwa.
1. SCALPER
Huyu ni mfanyabiashara anaekuwa katika soko kwa mda mfupi sana. Mara nyingi
anaingia na kutoka katika trade na dakika kadhaa tu. Kivutia kikubwa kwa trader
wa aina hii huona faida au hasara ndani ya mda mfupi tu. Msingi mkubwa wa
scalper ni kuwa na uwezo wa kufikiri haraka na kuweza kumantain pressure.
Kulingana na mda mfupi wa fursa scalper huamua aingie katika hio fursa au aache.
2. DAY TRADER
Huyu ni trader ni yule ambae huingia katika trade siku husika na kutoka katika
trade siku hio hio.Tofauti na scalper, yeye huingia katika trade na kuisubiri ndani
ya dakika 30 au saa. Uzuri wa kuwa day trader ni mda wa kutosha wa kufanya
zako analysis. mara nyingi huwa na mda maalum wa kuingia katika trades zake.
Na mda ukifika wanasubiri fursa ijitengeneze na kuingiza trades zao, hutumia
dakika 30, saa moja mpaka saa 4 timeframe kufanya analysis zao.
3. SWING TRADER
hawa ni traders wanaofanya biashara kila siku.... kwa kua kila siku kunakuwa na
nafasi za mtiririko/swings katika soko. ukitokea mtririko wa kupanda wanapanda
nao.. ukitokea wa kushuka wanashuka nao. Hawa wanafocus sana katika kuangalia
mtiririko wenye asili ya uimara zaidi. na mara nyingi hutokea katika kufunguliwa
kwa soko la london (London open) na New York open.Hawa wanafanana sana na
day trader huwa wanaingia na kutoka katika soko ndani ya siku husika
4. POSITION TRADER
Hawa huingia katika trade kwa siku kadhaa au week. Hii ni aina nzuri kwa wale
ambao hawana mda wa kuangalia chart kila siku.
Hawa pia tunaambiwa ni traders ambao wanachukua profit sana ukizingatia
wanakua kwenye market kwa mda mrefu hivo kuchukua faida ya week au mwezi.
Hivyo aina hii ni kwa wale wenye mitaji mikubwa
1. BASE CURRENCY
Hiki ni kiini msingi katika kununua au kuuza katika forex. kama utabuy USD/JPY
Hii ni kumaanisha unanunua dola ya kimarekani na wakati huohuo unauza yen ya
kijapani.
2. QUOTE CURRENCY
Hii ni ile sarafu ya pili katika pair ya sarafu husika unapofanya trade. Mfano
USD/JPY, JPY ndio quote currency.
3. LONG/BULLISH
Hii ni termonology ambayo unasikia watu wakiiongelea. kama imepatikana
opportunity ya kulong/bullish hapa maana yake NUNUA. Bull ni aina za mnyama
ambae anakula majani hivo candlestick zake nyingi zinakuwa zikiwakilishwa na
rangi ya kijani. Huyu mnyama akitaka kukudhuru huinamisha kichwa chini na
anakunyanyua kwa kukuchota kukupeleka juu. Hivyo katika Forex hapa
inamaanisha soko linatoka chini linapanda juu.
4. SHORT/BEARISH
Kama imepatikana opportunity ya kushort/bearish hapa maana yake UZA.. Bear ni
aina ya mnyama ambae anakula nyama, hivo candlestick yake huwakilishwa na
rangi nyekundu. Huyu mnyama anavyokudhuru huruka juu kisha hukushusha
chini. Hii katika forex inamaanisha soko linatoka juu kushuka chini.
5. PIP (PERCENTAGE IN POINT)
Hiki i kiasi cha thamani kinachocheza kulingana na mzunguko wa sarafu husika
katika biashara. Huanza kuhesabiwa kutoka desimali ya nne katika pair mfano
thamani ya USD/CHF ni 1.1379, thamani hii ikimove toka 1.13*79* mpaka
1.13*80* hapo inakuwa ni 1 pip
Isipokuwa kwa pair inazohusisha sarafu ya YEN nafasi za decimal zitakuwa tatu
na sio nne kama pair nyingine. Mfano USD/JPY=1.137 hivo pip unaanza kuhesabu
kwenye 7
6. LOT SIZE
Hii ni thamani inayotumika kugundua faida au hasara.
standard lot size 1.00=$10 kwa pip moja
min lot size 0.10=$1 kwa pip moja
micro lot size 0.01=10 cent kwa pip moja
1. MARKET ORDER
Hii ni pale unapogundua tu katika soko kuna fursa ya kuuza/kununa kisha
unabonyeza kitufe cha kununa/kuuza wakati huo na kuingia katika soko.
2. BUY STOP
Ukifanya analysis katika soko utagundua kuna fursa fulani inatokea katika soko.
Au imeonesha dalili za kutokea. Lakini sio mda wote utakuwa katika kioo chako
cha kompyuta. Hivo unaweka pending order ya kununua kama price itafika eneo
fulani. Hivo utaweza kuendelea na shughuli zako kisha price ikifika pale itajinunua
na kukuingiza kwenye market.
3. SELL STOP.
Kama maelezo yalivyo katika buy stop hii pia ni hivyo hivyo.. isipokuwa hapa
unaweka oda kama price itashuka basi ijiuze na kukuingiza kwenye market ikifika
point fulaniii.
5.AINA ZA KUFANYA BIASHARA.
Katika forex kuna aina tatu za kufanya biashara, hapa nitazielezea mbili za msingi
ambazo wewe ungependa kuchagua ni ipi itakuwa nzuri kwako. Japo mimi
ningependekeza mtumie aina yangu ambayo kiupande wangu nimeiona anaweza
kumudu mtu yeyote. Siwaaminishi kwamba ni rahisi lakini nina imani mtu yeyote
anaweza kuimudu.
1. Fundamental Analysis
Huu ni ufanyaji wa biashara kwa kuliangalia soko kulingana na shughuli za
kiuchumi,kisiasa na kijamii ambazo hupelekea kuleta madhara katika suala zima la
demand and supply
2. Technical Analysis
Ni somo ya kucheza kwa thamani ya sarafu, kwa lugha nyingine hii ni sawa na
chati.
Katika fundamental kikubwa kinachoangaliwa ni news lakini katika technical
analysis kinachoangaliwa ni historia ya price ilifanya nini na huwa ina tabia ya
kufanya nini. hivyo NEWS pekee ndio kitu ambacho hakiheshimu chart kwani
pindi inavotokea haifuati kanuni za chart.
Hapa chini nimekuwekea NEWS zenye madhara makubwa pia.
2. ENGULFING.
Hii hutokea pale ambapo candle ya pili imeizidi umbo na pin candlestick ya nyuma
katika eneo la RESISTANCE au SUPPORT. Tazama picha hapo chini na maelezo
yake.
3. HARAMI.
Hii hutokea ambapo candle ya kwanza imezidi umbo na candle inayofuata mbele
yake. Tazama picha hapo chini na maelezo yake
6. SHOOTING STAR.
Hii ni candle inayokuwa peke yake inayoashiria kugeuka soko kwenda kuuza,
hutokea eneo la RESISTANCE. Tazama picha hapo chini na maelezo yake
7. INVERTED HAMMER.
Hii pia ni candle inayokuwa peke yake inayoashiria kugeuka kwa soko kwenda
kununua inapokuwa imetokea/imejitengeneza eneo la SUPPORT. Tazama picha
hapo chini na maelezo yake
8. HAMMER.
Hii ni candle inayokuwa peke yake ikiashiria kugeuka kwa soko kwenda kuuza
inapokuwa imetokea katika eneo la RESISTANCE. Tazama picha hapo chini na
maelezo yake
9. HANGING MAN.
Hii ni candle inayokuwa peke yake ikiashiria kugeuka kwa soko kwenda kuuza
inapokuwa imetokea katika eneo la RESISTANCE. Tazama picha hapo chini na
maelezo yake
CONTINUATION.
Huu ni msamiati unaotumika kuelezea kuwa bei inaendelea na Trend yake lakini
kwa viashiria maalum kama kusita katika eneo Fulani au kurudi nyuma kidogo
kabla haijandelea.
Mfano
1. Kwenye downtrend ikaconsolidate then ikaendelea na kushuka.
2. Kwenye downtrend ikapanda juu kasha ikaendelea tena kushuka.
MARKET SWINGS.
Hii ni pale ambapo market ya inapanda na kushuka bila kujali hio trends ni ya
kushuka au ya kupanda. Pale unapoona price imepanda ile inaitwa UP SWINGS,
Na pale price imeshuka tunaita DOWN SWING. SWING hutokea katika trends
zote, Kwani soko limekaa kwa mtindo wa wave. Linapanda na kushuka bila kujali
trends ni ya wapi kinachotofautiana ni kuwa haishuki na kupanda kwa kiwango
sawa.
TRENDLINES
Hii ni mistari ambayo huchorwa kukutanisha vilele ambavyo vimetengenezwa na
UPSWINGS, au mashimo yaliotengenezwa na DOWNSWINGS, Kukusaidia kujua
hio trends inaenda wapi.
Unahitaji kimo cha chini cha vilele viwili ili kugundua DOWNTREND. Na
unahitaji kima cha chini cha mashimo mawili ili kugundua UPTREND.