Download as pdf or txt
Download as pdf or txt
You are on page 1of 8

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

OFISI YA RAIS – TAMISEMI

Namba za simu S SHULE YA SEKONDARI KABANGA,


Mkuu wa shule +255752999906 S S.L.P 86,
Makamu Mkuu wa Shule +255754234509 N NGARA.
E-Mail: brwezaula372@gmail.com
…………….

Mzazi/Mlezi wa Mwanafunzi…………………
…………………………………………………
S.L.P…………………………………………...
………………………………………………....

YAH ; MAELEKEZO YA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO SHULE YA SEKONDARI


KABANGA, HALMASHAURI YA NGARA
MKOA WA KAGERA MWAKA 2018/19

1. Nafurahi kukutaarifu kuwa mwanao amechaguliwa kujiunga na kidato cha Tano


katika shule hii mwaka …………… tahasusi ya………….. Shule ya Sekondari Kabanga
ipo umbali wa Kilometa 26, Kusini mwa mji wa Ngara. Nauli ni shilingi 2000/= mpaka shuleni
Muhula wa masomo unaanza tarehe ……………….,,,,,,, Hivyo mwanafunzi anatakiwa kuripoti shuleni
tarehe ………………… Mwisho wa kuripoti ni ………………

2. Mambo muhimu ya kuzingatia;-


2.1 Sare ya shule
a) Sare ya shule hii ni sketi mbili(02) za rangi ya brown mshono wa Linda box pana mbele na nyuma na
mashati 02 meupe mikono mirefu kwa wasichana
b) Kwa wavulana suruali 2 za rangi ya brown zenye malinda mawili kulia na kushoto na turn up chini na
isiwe ya kubana, mashati 2 meupe mikono mirefu
c) Rangi ya hijab[kijuba] ifanane na sare ya shule
d) Sare ya michezo kwa shule hii ni jersey ya bluu T-shirt na bukta kwa wasichana na wavulana.
e) Viatu vya shule ni vyeusi vya dawa vya kufunga na kamba vyenye visigino vifupi.
f) Soksi jozi mbili nyeupe kwa wasichana na nyeusi kwa wavulana
g) Mkanda wa kuvalia suruali ni mweusi wa ngozi.
h) Sweta rangi brown yanye mistari myeupe shingoni na mikononi
i) Nguo za kushindia [shamba dress]
 ni skirt 2 za rangi ya brown nyepesi kwa wasichana na suruali 2 za bluu kwa wavulana
 T- shirt 1 inapatikana shuleni kwa gharama ya 15,000/=
j) Tai 2 za rangi ya Brown (zinapatikana shuleni)
k) Truck suit pea moja ya rangi ya bluu.

NB: Ili kuepuka wanafunzi kushona mishono isiyoendana na sare za shule, tunapendekeza mwanafunzi
ashonee sare zake hapa shuleni.
2.2 Ada na michango ya shule.
a) Ada ya shule kwa mwaka ni shilingi 70,000.00 kwa mwanafunzi wa bweni. Unaweza kulipa shilingi
35,000.00 kwa muhula au kulipa ada yote kwa mara moja.
b) Michango inayotakiwa kulipwa na kila mzazi ni;-
i) Shiligi 20,000/= kwa ajili ya ukarabati wa samani
ii) Shilingi 6,000/= kwa ajili ya kitambulisho na picha
iii) Shilingi 20,000/= kwa ajili ya taaluma
iv) Shilingi 30,000/= kwa ajili ya kuwalipa wapishi, walinzi na vibarua wengine.
v) Shilingi 2,000/= nembo ya shule
vi) Shilingi 20,000/=kwa ajili ya huduma ya kwanza
vii) Shilingi 30,000/= utengenezaji wa uzio wa shule
viii) Fedha ya tahadhari 5,000/= [haitarejeshwa]
Fedha hizo zilipwe kwenye Akaunti ya shule Na. 3211200046 katika Benki ya NMB Account name;
Kabanga secondary school capitation Grant [tafadhari andika jina la mwanafunzi kwenye pay in slip]
C] Mahitaji muhimu ambayo mwanafunzi anapaswa kuleta shuleni ni;-
i) Ream ya karatasi 1 A4
ii) Vitabu vya masomo ya tahasusi husika
iii) Dissecting kit kwa wanafunzi wanaosoma Biolojia zinapatikana shuleni
iv) Scientific calculator zinapatikana shuleni
v) Godoro kwa ft 2 ½ X 6
vi) Mashuka pair 2 ya rangi Ya pink, blanket 1, Foronya1, chandarua1
vii) Vyombo vya chakula[sahani, bakuli, kijiko na kikombe]
viii) Ndoo mbili LITA 20 zenye mifuniko
Kotama1, Jembe 1, Reki 1, mfagio 1 wa ndani [plastic bloom] na mfagio wa nje 1(chelewa )

3. SHERIA NA KANUNI ZA SHULE


Sheria za shule zinatungwa kufuatana na maadili ya Taifa letu. Lengo ni kutoa mwongozo na msaada kwa
mwanafunzi ambaye anatarajiwa awe raia na mzalendo wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.
Shule imepewa jukumu la kulea na kuelimisha vijana ili baadae wawe raia wema wa Taifa hili. Shartmwanafunzi
kufuata kanuni na sheria za shule.

Zifuatazo ni sheria za shule na kila mwanafunzi anatakiwa aziheshimu na kuzizingatia ipasavyo:-


1. Mwanafunzi sharti awaheshimu walimu na wafanyakazi wote wa shule ambao ni walezi wake. Ajiepushe na lugha
chafu, utovu wa nidhamu kwa walezi hawa. Inampasa mwanafunzi kusimama sawa anapomwona mwalimu au
mfanyakazi na mgeni yeyote yule ambaye anamzidi umri na kumwamkia ipasavyo.
2. Ni kosa kubwa kwa mwanafunzi kukataa kufanya kazi za shule, au adhabu ya mwalimu au kiongozi yeyote yule
wa wanafunzi aliyechaguliwa kwa mujibu wa sheria.
3. Kila mwanafunzi ni lazima ahudhurie vipindi vyote vya darasani na nje alivyopangiwa kwa wakati uliopangwa. Ni
kosa kubwa kukosa vipindi bila sababu maalum.
4. Ni marufuku mwanafunzi kutoka nje ya mipaka ya shule isipokuwa kwa kibali maalum cha Mkuu wa shule. Kila
mwanafunzi atawajibika kufahamu mipaka ya shule na kuzingatia kikamilifu maelezo juu ya kuwepo ndani na nje
ya mipaka ya shule wakati wote wa uanafunzi wako katika shule hii.
5. Kila mwanafunzi atalazimika kuzingati ratiba ya siku nzima na kuitekeleza “Daily Routine”.
6. Kila mwanafunzi analazimika kuvaa sare ya shule wakati wote.
7. Kila mwanafunzi atalazimika kuhudhuria maandalio ya jioni (Preparation)
8. Wanafunzi hawaruhusiwi kutembelea sehemu zifuatazo isipokuwa kwa kibali maalum:-
Chumba cha Walimu
Ofisi za shule
Maabara
Jikoni
Nyumba za Walimu na Wafanyakazi wasio Walimu
9. Ni marufuku kwa Mwanafunzi kutemblelea sehemu zifuatazo:-
Vilabu vya pombe
Majumba ya starehe
Majumba ya kufikia wageni
10. Ni marufuku kwa mwanafunzi kuvaa kofia, viatu vya ghorofa, na mapambo mengine pamoja na sare.
11. Ni wajibu wa kila mwanafunzi kufanya usafi wa mazingira pamoja na usafi wake binfsi. Nywele ndefu
haziruhusiwi hivyo ni wajibu wa kila mwanafunzi kuhakikisha kuwa nywele zake ni fupi
12. Ni kosa kwa mwanafunzi kutumia lugha mbaya kwa mwanafunzi mwenzake, kwa mwalimu au watu wengine.
13. Yafuatayo ni makosa ambayo yanaweza kusababisha mwanafunzi kufukuzwa shule :-

i) Wizi
ii) Kutohudhuria masomo kwa zaidi ya siku 90 bila taarifa/ utoro
iii) Kugoma na kuhamasisha mgomo
iv) Kutoa lugha chafu kwa wanafunzi wenzake, walimu/ walezi na jamii kwa ujumla
v) Kupigana mwanafunzi kwa mwanafunzi, kumpiga mwalimu au mtu yeyote yule
vi) Kusuka nywele kwa mtindo usiokubalika. Wanafunzi wote wanatakiwa kuwa na nywele fupi
wakati wote wawapo shuleni
vii) Kufuga ndevu.
viii) Ulevi au unywaji wa pombe na matumizi ya madawa ya kulevya na Uvutaji wa sigara.
ix) Uasherati, uhusiano wa jinsi moja, kuoa au kuolewa.
x) Kushiriki matendo ya uharifu, siasa na matendo yoyote yale yanayovunja sheria za nchi.
xi) Kusababisha mimba au kumpa mimba msichana
xii) Kutembelea majumba ya starehe na nyumba za kulala wageni
xiii) Kumiliki, kukutwa au kutumia simu ya mkononi shuleni
xiv) Kudharau Bendera ya Taifa
xv) Kufanya jaribio lolote la kujiua, kutishia kujiua kama kunywa sumu n.k.
xvi) Uharibifu wa mali ya Umma kwa makusudi.
xvii) Kukataa adhabu kwa makusudi

PICHA ZA WANAFUNZI ZIKIONESHA SARE ZA SHULE KWA WANAFUNZI WA KIKE


SHULE YA SEKONDARI KABANGA

FOMU YA KUANDIKISHWA – SHULE.

(Ijazwe kwa herufi kubwa na irejeshwe kwa Mkuu wa Shule).

1. Jina Kamili:……………………………………………………………………………………………
Tarehe ya Kuzaliwa:…………………………….Wilaya:…………………….Mkoa:…………….
Taifa:………………………Dini:RC/Anglican/Lutheran/Muslim/Pentecoste/n.k……………….
Shule ya Sekondari unayotoka…………………………………………………………………….

2. Jina Kamili la Baba/Mama/Mlezi:…………………………………………………………………


Anwani yake:……………………………………………………………………………………….
Kazi ya Baba/Mama/Mlezi:……………………………………………………………………….
Namba ya Simu:…………………………………………………………………………………..
3. Taarifa za watu/ndugu/jamaa ambao wanaweza kuja kumuona mwanafunzi wakati anapokuwa shuleni.
i.
- JINA …………………………………………………………….
PICHA - UHUSIANO NA MWANAFUNZI…………………………………
- NA.YA SIMU …………………………………………………………

ii.
- JINA …………………………………………………………….
PICHA - UHUSIANO NA MWANAFUNZI…………………………………
- NA.YA SIMU …………………………………………………………

4. Ahadi ya Mwanafunzi.
(a) Mimi:……………………………………………………….nimeyasoma na kuyaelewa maelekezo yote
ambayo ni pamoja na sheria na kanuni za shule na nimekubali kuingia kidato cha TANO katika shule
ya Sekondari Kabanga kuanzia tarehe………………. hadi nitakapomaliza kidato cha sita.
(b) Kwa hiyo naahidi kwamba:-
(i). Nitazitii sheria zote za shule na kutimiza mambo yote muhimu yaliyotajwa
(ii). Sitashiriki katika vitendo vya hujuma wala vitendo ambavyo vitakuwa kinyume na uongozi wa
serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania
(iii). Nitatunza mali ya Umma ambayo ni pamoja na majengo,samani,vitabu n.k
Tarehe:………………………………………….. Sahihi ya Mwanafunzi:………………………….

5. Ahadi ya Mzazi/Mlezi

Mimi:……………………………………………………….ambaye ni Mzai/Mlezi wa
Mwanafunzi:……………………………………………………………………………
Ninaahidi kwamba:-
1. Nitashirikiana na uongozi wa Shule,Walimu na Watumishi wasio walimu katika kuhakikisha,mwanangu anatii
sheria na kanuni za Shule ya Sekondari Kabanga. Iwapo atashindwa,kutii sheria hizo,nitalazimika
kukubaliana na adhabu itakayotolewa na uongozi wa shule.

2. Nitafanya kila niwezalo kumwezesha mwanangu,kusoma kwa kulipa ada na michango mingine kama
ilivyoelekezwa na shule.

3. Tarehe:…………………………………………
4. Sahihi:……………………………………………………..Namba ya Simu:……………………………

NB: MAVAZI YASIYO SARE YA SHULE, PASI YA UMEME NA HEATER, HAVITAKIWI SHULENI.
TAFADHALI ZINGATIA HILO.

KARIBU SANA KATIKA SHULE HII

PROJESTUS KATURA

MKUU WA SHULE
NGARA DISTRICT COUNCIL
KABANGA SECONDARY SCHOOL

MEDICAL EXAMINATION FORM

To be completed by Medical Officer in respect of Kabanga Secondary School Student (Entrant).


1. Full name of student………………………………………………………………………
2. Sex……………………………. Age:………………………………………………………
3. HGB Test:…………………………………………………………………………………..
4. Stool:………………………………………………………………………………………..
5. Urine Micro:…………………………………………………………………………………
6. T.B Test:…………………………………………………………………………………….
7. Eye Examination:………………………………………………………………………….
8. E.N.T:………………………………………………………………………………………..
9. Chest:………………………………………………………………………………………..
10. Abdomen:…………………………………………………………………………………..

ADDITIONAL INFORMATION.

Physical Defects or impairment,Infections,Chronic,or Hereditary(family) disease.


……………………………………………………………………………………………………………………………
……………………………………………………………………………………………………………………………
……………………………………………………………………………………………………………………………
…………………………………………………………………………………………………………………..
I certify that I have examined the above student and consider that * he/she is physically/not physically fit
for further studies.

NAME:……………………………………………………………SIGNATURE:…………………………….

DATE:……………………………………………..

OFFICIAL STAMP.
SHULE YA SEKONDARI KABANGA
ORODHA YA VITABU KWA WANAFUNZI WA KIDATO CHA TANO
Kwa sababu mwanafunzi anakuja shuleni kwa lengo kuu la kusoma, shule imeazimia kuwataarifu wazazi/walezi
ambao watoto wao wanajiunga na shule hii katika kidato cha tano kuwanunulia vitabu kulingana na tahasusi
(Combination) zao. Ifuatayo ni orodha ya vitabu vilivyopendekezwa, mzazi anaweza kununua idadi ya vitabu
kulingana na uwezo wake kiuchumi.Hivi vitabu ni vya mwanafuzi mwenyewe :-
SOMO JINA LA KITABU MWANDISHI TOLEO
1. A- Level Chemistry E.N Ramsden 4th Edition
CHEMISTRY 2. Physical Chemistry Mark Daniel
3. Inorganic Chemistry Mzumbe Books Project Part I and Part II
BIOLOGY 1. Biological Science R. Soper 3rd Edtion
2. New Understanding P.O Green and Nelson 4th Edition
Biology Thomas
1. Mastering Adv.level. Kato, A. 2nd Edition
HISTORY PP 1.
2. Oxford advanced Oxford 1st Edition
learners History
3. History Part II alive Zisti, K
1. Monkhouse (physical Monkhouse
GEOGRAPHY Geography)
2. Geography an David Waugh
Integrated
1. Kiswahili 1, Nadharia Masuko Christopher
KISWAHILI ya lugha, kidato cha
5&6
2. Kiswahili 2, Nadharia
ya Fasihi. Kidato cha
5 & 6.
3. Tafsiri na ukalimani Pr. Mansoko
1. Introduction to Dr. H. O. Dihenga
Agromechanics
2. Soil Science G. Lombin
AGRICULTURE 3. Farm Mechanization U.G.N. Anazodo
4. Weeds Science I.O Akobundu
5. Animal Health G.I. Onuora
ENGLISH LANGUAGE 1. Advance English James John (Oxford 1st Edition
Language Form 5 &6 Univ.Press)

BAM 1. Pure and Applied C.J Tranter


Mathematics
2. Advanced Math 1 C.W Celia
GENERAL STUDIES 1. General Studies Notes Nyambari C. Nyangwine,
Godfrey R. Bukaagire and
Stephen O. Maluka-2009
2. General Studies Civic Education Teachers
Supplementary Book Association (CETA) –
for A-Level and 2010
Colleges

You might also like