Professional Documents
Culture Documents
Aina Ya Watu
Aina Ya Watu
Mithali 16:4
“BWANA amefanya kila kitu kwa kusudi lake; Naam hata wabaya kwa
siku zake”
Lengo la somo: Somo hili lina lengo la kutusaidia au kumsaidia mtu ili
awe na uwezo wa kuishi kwa upendo wa dhati na kila mtu kwenye
maisha pasipo kujali udhaifu wake au hali yake ya maisha.
Mwanzo 1:27
Wafilipi 2:3
“Msitende neno lolote kwa kushindana wala kwa majivuno; bali kwa
unyenyekevu, kila mtu na amhesabu mwenziwe kuwa ni bora kuliko
nfsi yake”
Hakuna mtu ambaye hana udhaifu kwa sababu hiyo watu wote ambao
huja, unaokutana nao au kuambatana nao huwa na udhaifu fulani lakini
pia hukukuta nawe pia una udhaifu fulani ndani yako.
Kumbuka: Mtu yeyote yule aliye katika dunia hii huwa na thamani
kubwa sana, hata kama hautaona leo thamani yake ila ipo siku utajua
thamani yake hasa akiondoka kwenye mfumo wa maisha yako. Jifunze
kumheshimu kila mtu unayekutana naye kwa sababu haujui kesho yake.
Namna unavyomuona mtu leo inaweza kuwa sivyo atakavyokuwa
kesho. Hakikisha kila iitwapo leo unagusa maisha ya wtu kwa kadri
Roho Mtakatifu atakavyokuongoza.
Aina ya kwanza:
Aina ya pili:
Angalizo: Weka kwenye fikra zako, tumia hekima na akili ndani yako
katika kutekeleza ili usitengeneze chuki.
Mfano:
Aina ya tatu:
Mathayo 10:36
Mika 7:5-6
Aina ya Nne:
Isaya 6:1
“Katika mwaka ule alio kufa mfalme uzia nalimwona Bwana ameketi
katika kiti cha enzi, kilicho juu sana na kuinuliwa sana, na pindo za
vazi lake zikalijaza hekalu”
Uzia alikuwa kizuizi cha Isaya kuweza kumuona Mungu katika viwango
alichotakiwa kuona. Yawezekana pia katikati ya maisha yako wapo kina
uzia wanaosimama kama kizuizi cha wewe kumuona Bwana.s
Aina tano:
Aina ya sita
1 Samweli 18:1
Aina ya saba
Biblia inasema linda sana moyo wako, maana yake unatakiwa uwe na
makini na kinachoingia ndani au unachokiruhusu kuingia ndani ya moyo
wako ili kisije kuuharibu moyo wako.
Kutoka 6:9
Aina ya nane
Mfano wa 1
Luka 19:30-31
Yeremia 29:11
Mfano wa 2:
Kutoka 5:2
Kutoka 5:5-8
Kutoka 3:7-8
Mfano wa 4
1 Samweli 1:2
1 Samweli 1:6
Aina ya Tisa:
Mfano wa 1:
1 Wafalme 17:3-4
1 Wafalme 17:8-9
1 Wafalme 17:13-16
Mfano wa 2
2 Wafalme 4:8-12
2 Wafalme 4:16-17
Mfano wa 3
Yoshua 2:4
Jambo la pili: Rahabu alikuwa na imani ndani yake na imani ndani yake
aliidhihirisha kwa matendo.
Waebrania 11:31
Aina ya kumi
1 Wafalme 18:21
(b) Watu ambao hufikiri sana kisha hufanya maamuzi mara moja, watu
hawa baada ya kufanya maamuzi huwa hawana tabia ya kuangalia
nyuma au kubadili maamuzi yao yaani hawabadilishwi na mazingira
wanauhakika au kuona usahihi wa maamuzi yao (Watu wenye
msimamo)
Maamuzi/chaguo
Mfano 1
2 Wafalme 7:3-5
2 Wafalme 7:4a
2 Wafalme 7:4b
2 Wafalme 7:5
Danieli 3:16-18
Mfano wa 3
Marko 5:25-34
Ili ufanikiwe unahitaji watu sahihi kwenye maisha yako. ili ufanikiwe
zaidi unahitaji umakini katika kutengeneza marafiki wapya wenye
mitazamo mipya itakayokufungua fahamu zako ili uanze kuwaza
mawazo mapya ya kukufanikisha.
Contants: 0768226595
Aug 2019