Professional Documents
Culture Documents
Penzi - Shemeji 11 20
Penzi - Shemeji 11 20
Penzi la Shemela
(11-----15)
PENZI LA SHEMEJI
SEHEMU YA 11
Enderea......
Tulipeana denda kwa muda wakati huo mimi nikapitisha mkono wangu kuelekea Irak na
kuanza kuchezea ule msitu wake wa solondo Shemeji alilainika sana nikaona nipate
japo kamoja tu ka afya kabla ya kulala,ila nilipoanza kumvua shemeji akanizuia "
Naomba kamoja peke yake" nilimnong'oneza " Hapana shem,we tuchezeane tu,si unajua
jamaa anasafiri kwa hiyo leo atataka mchezo mimi hapa natafuta nyege ili nikampe
kwa sababu yeye hajui kuniandaa" na yeye alinong'ona " Dah! Shem unaniumiza
jaman,sio sawa" nikalalamika " Sikia shem asubuh tukitoka kumpeleka airport tutarud
na nakuahid nitakupa mambo mazito sana, ngoja nikampe kimoja tu achoke asepe zake
atuachie nafasi ya kufaidi" akasema shem Sikuwa na namna ya kulikwepa hilo ikabidi
niendelee kumpa denda huku nikimchezea sehemu mbalimbali za mwili wake huku momi
nikisisimka vibaya sana kwa sababu nilikuwa naukumbuka ule utam wa shemeji
" Zimeshanipanda so acha nikampe cha fasta then tulale ili asije akashtukia"
akaniambia shem " Ila shem usimpe sana bana,me napata wivu bana, mpe kidogo tu af
me uje unipe saana" nilijikuta nikiongea ujinga utafikili mimi ndiye mmiliki halali
wa shemeji na si kaka " Usijal mpenzi" akasema Shem aliondoka na kuelekea chumbani
kwake na mimi nikazima kila kitu na kumwamsha yule beki tatu aje kufunga mlango.
Niliingia chumbani kwangu nikiwa na hali mbaya sana kwa sababu ya mchezo tuliokuwa
tunaucheza na shemeji.
Sikutaka kujiumiza sana hivyo niliweka cd ya mziki laini kisha nikaingia kulala.
Usingizi ulinipitia na tena siku hiyo nikaota nafanya mapenzi ila sikumbuki ni nani
niliyekuwa nafanya naye,nachokumbuka ni kuwa wakati nakalibia kumwaga nilishtuka
usingizini Ilikuwa kama saa kumi na moja adhuhuri na kuanzia wakati huo sikupata
tena usingizi nilikuwa nawaza jinsi nitakavyomshughulikia shemeji tukitoka Airport.
Saa kumi na mbili walikuja kuniamsha wao walikuwa wameshajiandaa tayali na mimi
nikavaa nguo haraka na kunawa uso safari ya kuelekea uwanja wa ndege ikaiva
Niliendesha mimi gari mpaka tulipomfikisha kaka,wakati wa kuagana shemeji
alijifanyisha kama mwenye majonzi mpaka kaka akaamini kuwa ameumia yeye kuondoka.
Baada ya kuhakikisha kaingia sehemu ya wanaosubiria ndege tuliondoka na gari kurudi
nyumbani " Shem leo nimekupania sana ujue usiku nimehalibu tena" nikamwambia
Alicheka sana mpaka nikaona aibu kumwambia vile " Usijal na endesha gari taratibu
tusije tukapata ajali kwa sababu ya kuwahi ukapewe utam,leo nitakupa vitu adimu"
akasema shemeji
Tulipofika nyumbani iliwa tayali kumeshapambazuka,shemeji alimpa binti wa kazi pesa
na kumtuma vitu mbali sana Baada ya yule binti kuondoka shemeji alinipeleka
chumbani kwake na kaka Kisha akanivua nguo zote na kisha na yeye akavua,kwa hamu
nilyokuwa nayo nikamvamia " Tuliea wewe kuku wa kienyeji,mambo mazuri hayataki
haraka,leo utakula mpaka ikukinai,subir upewe mambo ya pwani" aliongea kwa pozi
shemeji Mimi mashine ilizidi kupiga pushupp!
......
PENZI LA SHEMEJI
SEHEMU YA 12
Nilikuwa na papara sana kwa sababu mara ya kwanza shemeji kunionjesha ilikuwa
kwenye gari na tulikuwa tumejibana sana " Nimekwambia nataka nikupe mambo adimu
sana kuwa mpole kuku wangu,ndege ni wako manati ya nini?" alisema Shemeji Baada ya
kunivua nguo alinibeba mgongoni kuelekea bafuni na lilikuwa bafu la ndani kwa ndani
" Dah! Hizi raha zote anazipataga kaka kweli? Mbona ntanenepa mwaka huu"
nikamwambia Shemeji alicheka tu na kuniangalia,aliponifikisha bafuni alinilaza
kwenye sinki la kuogea Akavua nguo yake ya ndani kisha akaloweka sabuni kwenye
sinki na kufungulia maji.
Cha kushangaza maji yalitoka ya uvuguvugu tofauti na tuliyokuwa tukitumia bafu la
nje kuna kitu kingine nilikigundua pale bafuni,kulikuwa na harufu nzuri sana
utafikili pafyumu imepulizwa mule ndani. Alichukua ile chupi yake na kisha akaanza
kunisugua nayo taratibu sana sehemu mbalimbali za mwili. Nilihisi raha ya ajabu
utafikiili napaa, " Shem utaniua kwa raha zako jaman" nilijikuta naropoka
" Huu ndo mwanzo tu shemeji, hapa utafaidi sana ilimradi uwe mpole na wewe utoe
vitu adimu" akasema shemeji Aliendelea kuniosha taratibu kisha na yeye akazama
kwenye sinki na kisha akanipa ile chupi yake nimsugue sehemu mbalimbali za mwili
Nilipatwa na wakati mgumu sana kumsugua kiunoni na sehemu husika, Shemeji alikuwa
kajazia hipsi nzuri sana na zilizomtengenezea umbo zuri sana,kiuno chake kilikatika
na kuacha tumbo dogo sana kwa juu
Nilipokuwa nikisugua Min kabang shem alisisimkwa sana nikagundua eneo lile ndo la
majeruhi Nilipofika kwenyewe akawa analalamika na mimi nikaacha kumsugua " Huko ndo
kwenyewe shemeji pleaase sugua taratibu kuwe kusafi ili upate utam pakiwa safi"
akasema tena Nikaendelea kumsugua huku akilegea sana
Tulipomaliza kuogeshana shemeji aliniomba nibaki bafuni mpaka atakaponifata na mimi
sikupinga Alitoka na mimi nikabaki pale ndani nikiwa na furaha kubwa sana " Kaka
bora hata upate ajali huko ili nifaidi,hivi vitu vitam nitavipata wapi tena mimi
jaman ukirudi?" niliwaza Nilikuja kushtuliwa kutoka kwenye lindi la mawazo na
shemeji aliyekuja kunifata " Ukija kuwa mzoefu nitakuja kukupa hapahapa bafuni
style yake inaitwa Kitotatota ni taam balaa shemeji" alinambia Alinibeba tena
mgongoni kisha tukaingia chumbai kwake akinishushia kitandani
Nilikuta mabadiliko makubwa sana pale chumbani,kwanza harufu tam sana ya kuvutia
ilinukia Sijui ndo udi au pafyumu ila ile pafyumu iliongeza msisimko wa kimapenzi
kwetu sie Pia chumba kilikuwa na giza huku mishumaa yenye rangi nyekundu ikiwaka
taratibu kumbe shemeji alifunga vioo na kisha kuweka mapazia meusi yaliyozuia
mwanga kupenya ndani Kitanda kilitandikwa mahsuka meupe yaliyochorwa ua la love
katikati yake Kila kitu pale ndani kilivutia sana mpaka nikahisi naota vile Kwenye
droo kulikuwa na asali mbichi ambayo sikujua matumizi yake " Karibu katika
ulimwengu wa kimapenzi shemeji" alisema mke wa kaka Pale pale tukasikia kengele ya
geti la nje ikilia kutokea sebuleni Kila mmoja akashikwa na mstuko!
ITAENDELEA.....
PENZI LA SHEMEJI
SEHEMU YA 13
PENZI LA SHEMEJI
SEHEMU YA 14
Tulipumzika kwa muda tukipiga stor mbili tatu na muda huo shemeji alikuwa akiipaka
asali tena sehemu mbalimbali za mwili alizozitaka " Naona ukuku wa kienyeji umeanza
kukutoka sasa" alisema " Hivi nini maana ya kuku wa kienyeji?" ikabidi nimuulize "
Kuku wa kienyeji ni mtu mshamba wa kimapenzi hasahasa walitoka kijijini,ukienda
maeneo mengi ya watu wa vijijini mapenzi yao huwa yakishamba sana na hawa enjoy
saaana ndo maana tunawaita kuku wa kienyeji" akanijibu " Kwa hiyo hata madem wa
kijijini ni kuku wa kienyej?
Na wao ni watam?" nikauliza Pale pale shemeji akabadilika sura hakutaka tena
tuongelee habari ya kuku wa kienyeji " Kama kuku wa kienyeji ni watam mbona Janeth
hakuwa mtam kama shemeji? Atakuwa ananidanganya huyu yeye ni mtaam sana af sio wa
kienyeji" niliwaza mwenyewe Na muda ule ule shemeji akaanzisha mashambulizi kwa
ajili ya round ya pili Tulianza round ya pili kwa style tofaut na
mwanzo,alinipeleka kwenye kona ya kitanda kisha akakamatilia tendegu na kisha
nikaanza kushughulika
Nilimpa mambo mazito sana shemeji na kwake nilifurahia kwa sababu haikujalisha
alikuwa wapi? Mauno yake yalikuwa balaa " Hiyo ilikuwa kitendegu sasa tunaenda
kwenye kalichumbage" akaniambia shem baada ya kuachia ile ya kwanza Aligeuka kwenye
kitanda na kuweka kichwa chini muguu juu na mimi akanielekeza namna ya kufanya
kisha tukaendelea kupeana mambo Shemeji alikuwa mtam saana kias kwamba kuna kipindi
nilikuwa naongea lugha ambazo sizifaham mimi mwenyewe.
Tulimaliza round ya pili tukiwa hoi sana,kila mmoja alichoka kutokana na kutumia
muda mrefu sana kwenye hiyo round " Twende kuoga inabidi tukafungue biashara
tusipofungua kakako atakuja kuambiwa" akasema shemeji " Nibebe baby jaman"
nilishaanza kudeka tayali utafikili yule ni mke wangu Alinibeba tena mgongoni na
kunipeleka mpaka bafuni kisha akaniogesha kama kipindi kilichopita
Tuliporudi chumbani alinilaza kitandani na kunifuta maji mwilini taratibu kisha
akaanza kunipaka mafuta sehemu mbalimbali za mwili Baada ya hapo alitoa kwenye begi
suruali ya jeans mpya na ti-shirt nyeusi na kunipatia " Hizi nilizinunua kama
zawadi kwa kakako ila hajawahi kuziona nilipanga kumpa siku yake ya kuzaliwa ila
vaa baby wangu mambo uliyonipa ni mazito" akasema Alinivalisha zile nguo na
zilikuwa nzuri na za kisasa sana kisha akachukua pafyumu ya kaka na kunipulizia
kidogo Hakika nilipendeza sana mpaka mwenyewe nililiona hilo
Na yeye alitoa gauni fupi linaloacha mapaja yake wazi jekundu na kisha akavaaa na
yeye alipendeza pia sana Akaja na kunishika mkono tukaelekea kwenye kioo kikubwa
cha bafuni kujiangalia hakika tulipendeza " Nahisi tunapaswa kuwa mke na
mme,tunapendezeana sana shemeji,hakika unamzidi kakako mbali sana" akasema shemeji
Nilibaki kutabasam tu,nilishatejwa na penzi la shemeji sana hata sikuwaza athali
zake " Naomba kuuliza shemeji? Kwa kabila lenu kakako akifa si unaweza kunirithi?"
aliuliza Nilishtuka sana kusikia lile swali na kwa jinsi nilivyomfaham shemeji
alimaanisha kitu flani.......
PENZI LA SHEMEJI
SEHEMU YA 15
Nilishtuka kusikia shemeji akisema vile,nikajua kuna kitu anamaanisha " Una
maanisha nini shem?" nikamuuliza " Jaman! Ushapaniki tena? Sina maana mbaya wewe
niambie tu" akajibu " Swala la kurithi huwa sio lazima ila huwa linatolewa kama
shemeji atahitaj msaidizi atapewa ila halazimishwi" nikamjibu " Kwani shem
nikuulize hunipend jaman?"akauliza "
Yaani shem kwa mambo unayonipa nitakuwa mjinga sana kusema sikupendi" nikajibu "
Sasa nisikilize,mimi nataka tuoane kwa namna yeyote ile sitaki hizi raha
nizikose,akili kichwani,naomba usiniongeleshe mpaka utakapokubaliana na ombi lang"
akasema Tulitoka tukiwa kama mabubu pale ndani na kuingia kwenye gari kisha safari
ya kuelekea kazini ikiansa saa tano hiyo " Sioni umuhimu wa kunichunia shem bana"
nikamwambia "
Kama uko tayali niambie tuendelee kuongea"akajibu " Ok nambie niko tayali" nikasema
" Mimi nataka tuoane na kutengeneza familia" akasema " Lakin kumbuka wewe ni mke wa
kaka,itakuwaje?" nikamuuliza " Kwa namna yeyote ile tukiamua itawezekana," akajibu
" Ndo unipe mpango wako,lakin jamii itatuchukuliaje lihali wewe ni mke wa kaka?"
nikamuuliza " Huo uke unatoka wap? Ningekuwa nimeshazaa naye hapo sana lakin utasa
ule naupeleka wapi?" akajibu ila akawa ameongea kitu kipya na kigeni sana kwangu "
Utasa? Sijakwelewa" nikamwambia " Kwani hamjui kuwa kaka yenu tasa?" akaongea kwa
nyodo Ilibidi nipaki gari pembeni na jasho lilinitoka " Nieleze vizur nikuelewe
basi" nikamwambia " Ni hivi tuna miaka mingap kwenye ndoa na kakako?" akauliza "
Minne sasa" nikajibu " Hujiulizi kwa nini hakuna kutapika? Au japo kula limao?"
akasema " Tafadhal shem nieleze nielewe,hiyo inaweza kuwa mipango yenu bana"
nikamwambia "
Ni hivi baada ya mwaka bila mimba tuligombana sana na kakako mwishowe tukaenda
kupima na ikagunduliwa kuwa mbegu zake haziwezi kurutubisha zangu namaanisha hawezi
kumzalisha mtu" akajibu shemeji Nilipigwa na butwaa na kubaki na mshangao mkubwa
sana,niseme ukweli mpaka nikajikuta machozi yananitoka " Kaka yangu" niliongea kwa
upole " Sasa unalia nini? Mimi nimetumia akili badala ya
kwenda nje au kutafuta mtu baki nimekupa nafasi ndg ili uzao uishie hapa hapa"
akasema shemeji " Shem hili swala ni gumu kidogo,nnipe nafasi nifikirie kumbuka
yule ni kakangu jaman,dam moja na mimi" nikamjibu " Wewe hujielew,hii ni nafasi
itumie vizur bwege wewe,acha kuendelea kubaki wa kienyeji,hapa tumuondoe ili tule
raha" akasema " Una maana gani? Tumuue?" nikauliza " Ndo hivyo wewe unafikiri
nini?" akasema "
Siwezi kumuua kakangu kwani hatuwezi kuendelea hivi hivi bila kumuua?" nikauliza "
Nikipata mimba utakubali kumwambia kakako kuwa ni ya kwako? Hapa hakuna mjadala ni
kumuondoa" akasema " Siwezi kumuua kwni hatuwezi kwenda mbali na kumuacha na maisha
yake?" nikasema " Sikia acha ushamba,akiondoka itakuwa rahisi kukukubali unirithi
ila akiwepo itakuwa ngumu" akasema " Siwezi" nikajibu " Endesha gari
twende,nafikili hunijui" akasema Nilijalibu kumbembeleza wap? Alikuwa na hasira
sana......
PENZI LA SHEMEJI
SEHEMU YA 16
Siku ile nilijitahidi sana kupiga kazi ila sikuwa sawa kabisa kifikra kutokana na
maneno ya shemeji. Kuna kipindi nilikuwa nazubaa mpaka nashindwa kuwahudumia wateja
vizur mpaka shemeji akaanza kugomba " Wewe mzima kweli? Nafasi kama hii wangekuwa
wenzako wangeshaichangamkia na ndo pakutokea,wewe form four uliyefeli huna mbele
wala nyuma unalinga? Linga" aliongea kwa minajili ya kunishawishi shemeji
Nilimwangalia sana shemeji mpaka machozi yakaanza kunitokaalinishangaa sana "
Jun naomba uende nyumbani please hatuwezi kufanya kazi ukiwa katika hali kama hii"
akasema shemeji Nilikusanya kilicho changu na kisha safari ya kurudi nyumbani
ikaanza,niliondoka na gari kwa sababu shemeji hajui kuendesha vizur Nilipofika
njian mawazo yalinizidia sana nikajikuta nikipaki ile gari pembeni ya barabara na
kuanza kulia Ni kama malaika wa shetani na wale wa Mungu walikuwa wakishindaana
kunigombania Kwa sababu roho mbili zilikuwa zikishindana ndani ya kichwa
changu,moja ikiniambia nimuue kweli kaka na nibaki na zile mali zote na mke wake na
nyingine ikigoma "
Kumbuka huyu ndiye ndugu yako pekee katika tumbo la mama yako,ukimuua utamuumiza
sana mamako,kumbuka mlivyoishi kwa upendo tangu utoto wenu na pia kumbuka yeye ndo
amekuleta mjini kukusaidia,Jun mali zinatafutwa ila uhai hautafutwi achana na
mawazo ya yule shetani" hiyo ni roho ya kwanza ilivyoniambia "
Acha ushamba Jun,wewe pekee ndiye unayeweza kucheza hii katara vizur na ukashinda
utabaki milionea,kumbuka shemeji yako alivyo mtam,hakuna mwanamke kama yeye na pia
kumbuka kaka yako hazalishi,hizi mali zote na huyu mwanamke ni wa kwako changamka
wewe" nafsi ya pili ilinambia Nilihisi ninakoelekea ni kwenye kuchanganyikiwa kwa
sababu sikuwa nikijielewa pale nilipo.
Ndipo nikakata shaur la kwenda kunywa pombe kidogo ili japo nitoe mawazo kama
nilivyosikia watu wakisema ingawa sikuwa mlevi na sikuwahi kunywa pombe Wakati
najiandaa kuondoka simu yangu ya mkononi iliita kucheki ilikuwa namba ya kaka kwa
sababu alikuwa anatumia Airtel ambayo hata kule Dubai ilikuwa inafanya kazi " Dogo
vip? Mimi nimefika salama" alisema kaka " Tumshukuru mungu kaka hata sisi tuko
salama" niliongea kinyonge mpaka kaka akanishtukia " Vip dogo kuna tatizo? Mbona
unaongea kinyonge hivyo?" akasema kaka "
Hapana sema kichwa kinanigonga sana kaka nimeondoka naelekea nyumbani kupumzika"
nikamwambia " Pole sana mdogo wangu" akasema " Ahsante kaka" nikajibu " Sasa dogo
nafikili unajua ni kiasi gani nakupenda mdogo wangu,hapa nilipo kuna jamaangu mmoja
wa huku nimeingia naye ubia wa kibiashara amekubali kunipa vyombo vya umeme
nianzishe duka na mimi nimeona hili nikpe wewe kwa hiyo nikija na hivi vifaa
vitaenda kwenye duka lako nataka uwe kama mimi" akasema kaka Nilifurahi kwa kweli
kwa kile alichokiongea kaka "
Ahsante sana kaka ubalikiwe" nikasema " Usijali mdogo wangu ila nataka ukumbuke
always kwamba tuko wawili peke yetu tupendane sana,nakupenda sana mdogo wangu!
Chao! Baadae" akasema na kukata simu Maneno yale yalikuwa kama msumari wa moto
kwenye moyo wangu,nikaanza kulia upya.
ITANDELEA...
PENZI LA SHEMEJI
SEHEMU YA 17
PENZI LA SHEMEJI
SEHEMU YA 18
Bila kujua kama ule ni mtego niliendelea kushughulika juu ya kifua cha shemeji huku
akiendelea kulalamoka " Sikutegemea hili kabisa,yaan shemeji umefikia hatu ya
kunibaka mimi mke wa kaka yako?.....Lazima kakako anipe taraka,siwez kuvumilia aibu
hii" aliendelea kulalamika Sikusikilza maneno yake,niliendelea kushughulika
nikiamin yale anayoyasema ni kwa sababu raha zimemzidia. Baada ya kumaliza
niliangukia upande wa pili wa kitanda na kisha usingizi ukanipitia Shemeji yeye
aliamka na kisha akachukua ile kamera na kuizima kisha akaingia kitandani na
kulala.
Asubuh ya saa kumi na moja aliniamsha na kisha tukaendelea kushugulika na wakati
huo shemeji hakuonesha tena tofauti bali alionesha ushilikiano wa kutosha sana
Nilifurahia penzi la shemeji asubuh ile kwani tulifanya kwa muda mrefu sana mpaka
kila mmoja akatosheka. Kama kawaida yake alinibeb mpaka bafuni na kuniogesha kama
mtoto mdogo huku mimi ni kifurahia hali ile Baada ya kuoga mimi nilirudi kulala
huku shemeji akielekea kumsaidia binti wa kazi kuandaa kifungua kinuwa Niliamshwa
saa kumi na mbili na nusu hivi nikakuta mezani nikakuta shemeji ameandaa kifungua
kinywa kizito.
Nilipiga supu kwa fujo kwa sababu ya zile pombe nilizokunywa jana Kuna kitu
kilinichanganya sana pale mezani,yule binti wa kazi alikuwepo na alikuwa anaona
aibu sana Shemeji naye ni kama hakumuogpa kwani alikuwa akinilisha na kunikalia
apendavyo. Kwa sababu nilikuwa kama ng'ombe pale basi nilitulia tu na kuangalia
mchezo unavyoenda ila kwenye akili yangu nilishapanga kumkatalia shemeji swala la
kumuua kaka Baada ya chai tuliondoka na kuelekea kazini huku njia nzima tukiwa
kimya.
Nilishangaa kwa sababu shemeji hakuniuliza chochote ilihali mimi nilitegemea
aniulize uamuzi wangu. Tulipofika kazini tulipiga kazi bila tatizo huku mawasiliano
yetu yakiwa vizur ingawa hatukuulizana chochote. Mchana tulikula pamoja kama
wapenzi kama kawaida muda huo wote shemeji akinionesha upendo kama kawaida Jioni
baada ya kufika nyumbani ndipo timbwili lilipoanza rasmi Yule binti wa kazi
alipumzishwa kupika na shemeji akaniomba twende kupika pamoja " Nataka leo
nikupikie chakula cha kipwani ukiona,usije sema umewekewa limbwata sababu nyie
wabara hamchelew" akasema Tulielekea jikoni kwa pamoja na kupika wali nazi na
makorokocho kibao "
Shem umefikia wapi juu ya lile swala?" aliniuliza shemeji " Swala gan shem?"
nikajifanya kutoelewa " Kuhusu kumsaidia kakako na yeye apumzike?" akasema " Una
maana kumuua?" nikauliza " Ndiyo au unafikiria nini?" akasema " Siwez kumuua
kakangu,yule ni ndugu yangu nampenda sana na isitoshe ni dhambi kwa Mungu,kwenye
mauaji simo na ukimuua nitakugeuka na kukuripot" nikamjibu kwa kujiamin
Alichofanya ni kunishika mkono kisha akanivuta mpaka chumbani kwake Alinikalisha
kwenye kitanda kisha akaichukua deki na kuweka CD aliyoitoa kwenye mkoba wake Ile
cd ilipoanza kucheza nilitaman ardhi ipasuke Kumbe shem kuna kijana alikuja kazini
akampatia ile cd na kwenye kuifanyia editing na kutoa sehem ambazo zilionesha
ushiliki wake kwenye tukio na kuacha sehemu aliyoanza kulalamika nambaka mpaka
namaliza mambo Cd ilionesha nimembaka shemeji yangu! Nilihisi kizungizungu! "
Unashilikiana na mimi? Au hutaki?" aliniuliza
ITAENDELEA........
PENZI LA SHEMEJI
SEHEMU YA 19
PENZI LA SHEMEJI
SEHEMU YA 20
WhatsApp- 0768315707