Professional Documents
Culture Documents
Kiswahili. Assignment
Kiswahili. Assignment
Kwa kawaida nadharia ya taaluma moja hufuma kwa mitazamo mingi. Nadharia ya tafsirini
mfumo wa mitazamo mitatu ambazo huchangiana kwa kusafiri maana ya tafsiri, kubainisha
vikwazo na kutoa mwongozo wa utaratibu wa kutafsiri. Mitazamo mikuu iliyotambulika ni:
Isimu- linganishi
Katika tafsiri isimu ni taaluma ya kisayansi inayozingatia lugha kama mfumo wa sauti, ambao
huwasilisha maana, huku ikitawaliwa na sharia za kisarufi.
Mwanzilishi wa nadharia hii ni catford(1965). Anahimili nadharia yake kwa hoja nne
Catford na wenzake wanasisitiza kuwa tunapotafsiri tunalinganisha sarufi za lugha mbili. Wana-
nadharia hawa, huwa hivyo wanazingatia tafsiri kwa mitazamo ya isimu-linganishi. Kulingana
na mtazamo huu, ufanisi wa tafsiri unategemea msomi aliyemiliki lugha mbili. Kimatamshi na
kimaandishi.
Kwa mujibu wa catford, daraj nne za umilisi wa lugha huhusika na ambazo ni nanga nne za
tafsiri:
i) Grafolojia
ii) Fonolojia
iii) Leksia
iv) Sarufi
i) Grafolojia
a) Kiarabu- kirubi
1950-mcml
b) 2021-mmxxi
Taafsiri fonolojia huwakilisha sauti na ruwaza za sauti za lugha chasili kwa zile linganifu za
lugha pokezi. Matumizi ya tafsiri fonolojia hujitokeza katika utohozi wa mikono kama:
Kingereza------------kiswahili
a) radio redio
b) television televisheni
mageuko ya sauti hulenga kuridhisha kanuni husika huashiria tofauti za muundo wa leksia za
kingereza za Kiswahili
ii) leksia
ni mfumo wa maneno yenye maana ya kimsingi ya lugha moja. Mfumo wa maana za kimsingi
pamoja na kimaumbo ambazo huwakilisha maana hizo zote huitwa leksia. Tafsiria leksia ni
uwakilishi wa maana za kimsingi za lugha poleni. Zingatia uwakilishi wa kitaliki
kiingereza
a course in translation is of great help to all language students
Kiswahili
Kozi in tafsiri ni yenye manufaa mengi to wanafunzi lugha wote
iii) Sarufi
Tafsiri sarufi hata hivyo inarejelea maneno ambazo hutumika kwa kuunda sentesi bila yenyewe
kubeba maana za kimsingi. Hizi ni tafsiri kama
Kiingereza
A course in translation is of great help to all language students
Kiswahili
Course of translation is yenye great help kwa language students wote
Ya kimuundo
Tafsiri hizi zina manufaa kwa mwanafunzi kwa kuzingatia viwango tofauti vya isimu, na hapo
kumulika vipengele vya lugha ambavyo havina budi kuchunguzwa kwingineko, utaratibu
mahususi unaweza kufaa taaluma za leskografia, pedolojia ya lugha na bila shaka isimu
linganishi yenyewe
Tafsiri hizi zina manufaa kwa mwanafunzi kwa kuzingatia viwango tofauti vya isimu ,na hapo
kumulika vipengele vya lugha ambavyo havina budi kuchunguzwa kwingineko,utaratibu
mahususi unaweza kufaa taaluma za leskografia,pepedagojia ya lugha na bila shaka isimu-
linganishi yenyewe.
Utaratibu uliopemdekezwa ,hata hivyo,una matatizo kwa tafsiri.tunapotafsiri hatufuati hatua hizi
ila tunakabili matini kamilifu na kutafsiri maana yake sio yale maneno.
Tukitafsiri maneno yenyewe,kama vile nadharia inapendekeza kutokuwemo kwa matatizo kama
ukosefu wa visawe,utata wa maana upotovu wa maana na mahali katika tafsiri.wasomi
watambua umuhimun mkubwa wa nadharia ya isimu linganishi ,hususamchango wa catford
mwenyewe.nadharia hii inawakilisha jaribio la kwanza la kufafanua sayansi ya tafsiri,mtazamo
wake ,hata hivyo unamkuza sana mtafsiri kwa kumfunga na viwango vya muundo wa
lugha.inafaa nadharia impe mtafsiri uhuru Zaidi wa kutafsiri maana mtazamo uliojaribu kufanya
hivyo ni wa isimu jamii.
2.isimu jamii
Katika tafsiri isimu jamii ni taaluma inayofuma maarifa na haja za sosholojia kwa zile za
isimu.Kwa kawaida,taaluma hii hujaribu kufafanua uwiano wa mahusiano ja kijamii na
matumizi ya lugha .Isimu jamii katika tafsiri yazingatia sana umuhimu wa utamaduni kwa
utekelezi wa tafsiri.Miongoni mwa waasisi wake mashuhuri ni mtaaluma Eugene Nido(1974).
Nido na wenzake wamejenga nadhalia yao kufuatia matatizo ya tafsiri za biblia.Matatizo haya
yaletwa na vikwazo vya wingi wa lugha,tamaduni,waadishi na wasomaji.
Utamaduni mali
Utamaduni watu
Utamaduni dini
Utamaduni lugha
i. Utamaduni ekolojia
Tafsiri ya sentensi ifuatazo lahitaji ujuzi ya majira ya anga;mfano people living in the cold
climates experience four seasons in the year;spring ,summer,winter and autumn.
ii.utamaduni mali
ni jumla ya vitu vilivyoundwa na jamii buzana,kwa minajili ya urahisi wa kazi na maisha kwa
jumla.Hivi ni vitu kama vile mavazi vyakula,magari,majengo.utamaduni maliunajujenga
kutokana na utamaduni ekolojia na pia kudhihirisha maendeleo kiteknolojia.
iii.utamaduni watu
iv.utamaduni dini
v.utamaduni lugha unabainika kwa matini amilifu na tanzu za fasihi andishi,fasihi simuliziz
pamoja na matumizi ya aina mbalimbali ya semi teule ya nadharia za fasihi huzingatia fasihi
kama kielelezo cha tajriba ya kijamii.Nafasi ya tajriba za jamii hujtokeza katika semi teule
kama vile methali lingaisha maudhui ya semi
a.kiingereza
b.kiswahili
Mawsiliano hayana budi kuamilisha leksia kwa njia mwafaka mtafsiri anapotafuta visawe
Zaidi,huanza kwa kufikiria maana za leksia.Leksia ni kimuli bora Zaidi cha utamaduni kuliko
vipengele vingine vya lugha.Mifumo ya leksia hukua kupitia ujenzi wa Nyanja mbalimbali za
utamanduni.kutokana na nafasi kubwa ya utamaduni katika matumizi ya lugha ,mtafsiri hana
budi kuzikabili tamaduni za lugha zote mbili,na kuvidhabiti vipengele vyote vya leksia ya kila
lugha inayohusika.
Nadharia hii inasisitiza kuwa maneno ni ishara za sifa Fulani za kitamaduni .Kwa hivyo maana
na matumizi ya maneno hutegemea tajriba mwelekeo na falsafa za wenye lugha.
Mtazamo wa isimu jamii katika tafsiri umefanikiwa kutoa uhuru Zaidi kwa mtafsiri.udhaifu
wake umo katika kule kulemewa kwa utamaduni.
Nadharia za tafsiri inahitaji kusonga mbele na kutoo uhuru Zaidi kufikiria mitindo na mikitadha
ya mawasiliano.Mitazamo uliofikiria jambo hili Zaidi ya mawasiliano.
Ni utaratibu wa kuhamisha ujumbe kutoka kwa mwasilishi hadi kwa mdokezi.indgawa kuna
mitazamo mingi ya nadharia ya mawasiliano tafsiri hurejelea mitazamo mingi ya naharia ya
mawasiliano,tafsiri mtazamo wa kitamaduni kulingana na mtazamo huu,utaratibu wa
mawasiliano hutuma vigezo vitano vya kimsingi.
Mwasilishi
Mdokezi
Ujumbe
Chombo
Vikwazo
a.mwasilishi
b.mpokezi
c.ujumbe
d.chombo
e.vikwazo
f.matarajio ya mpokezi.
Mawasiliano katika tafsiri ni mtazamo fasirivu Zaidi uliojaribu kukosoa mitazamo ya kiisimu.
Mtazamo huu,kwa hivyo haujisimamii ila umerejelea nadharia za kiisimu na kutoa mapendekezo
ya kuboresha tafsiri.mapendezo hayo hupewa hadhi ya nadharia.
Lawama kubwa inayotolewa ni kule kutegemea muundo wa utamaduni wa lugha cha asili.
Mtafsiri ajifunzga Zaidi na miundo na mitindo ya lugha chasili.tena ajaribu kuwakilisha maana
kwa kuvejelea Zaidi mikitadha ya lugha chasili.
Tafsiri yajijenga katika utamaduni wa lugha chasili yaani,kiini cha uhalisia wa maana ni sura za
utamaduni wa lugha chasiri.
Kwa jumla tafsiri mawasiliano yashuku kule kulemewa katika suva za muundo,mitindo na
utamaduni wa lugha chasili.
Kwa hivyo,hiki ndikyo chanzo cha upotovu wa maana kwa vile upotovu wa maana huletwa na
utamaduni..Nadharia za kiisimu kwa hivyo,hazina uwezo wa kufasiri maana.Badala yake
zzaonekana kama zamwelekeza mtafsiri kubadikisha maana ,ili tuweze kutafsiri maana,twahitaji
kubaini ujumbe ujumbena dhamiva ya mwandishi ,kishake tuwasilishe ujumbe huo katika tafsiri
kwa kurejelea tajiviba ya msomaji wa tafsiri.
ii.Hamna visawe vya kudumu maana ya maneno hudumu katika hali ya mabadiliko.
Ni muhimu kuchunguza hali halisis ya mawasiliano ili kuepsusha hatari ya upotovu ya maana
ya kimiliki ufanikivuu wa tafsiri.
Tafsiri itakuwa imefanikiwa ikifikia kuwa kiwakilishi halisi cha ujumbe wa matini chasili.
Upunguvu wake mkubwa Zaidi mnoumo kwa kule kupuuza umuhimu wa msingi ya sarufi na
utamaduni.ukweli in kuwa uhalisia wa ujumbe mara nyingi hutegema falsafa za lugha na
utamaduni.
Sawia mitazamo mingine kwa hivyo ,tafsiri mawasiliano in amchango wake pia na lawama
zake.Ili umnufaishe mtasiri unafaa kutumia pamoja na mitazamo ya kiisimu kwa kuzama katika
nadharia zote tunapatana na mbinu toshelevu Zaidi za kukabli vikwazo vya tafsiri.
Kw ajumla,kila kitu moja ya mitazamo mitatu ya nadharia ya tafsiri ina mihimili yake na pia
upungufu.Mwelekeo wenye busara utakuwa wa kutambua mchango wa kila mtazamo,kwa
madhumni ya kushirikisha katika tafsiri zetu.isitoshe kila mtazamo umemilikia mbinu za
kukabili maadhui ya vikwazo vya tafsiri.
Muhtasari
Kila mtazamo una mchango na pia udhaifu.mitazamo yote kwa hivyo inafaa kutumika kwa
kutavatibu tafsiri kulingana na aina ya matini.
Mitazamo tofauti ya nadharia ya tafsiri yaafiki uwa mtafsiri anakumbwa na vikwazo vingi.
Mtafsiri afaa kujihadhali na vikwazo hivi ili atafakari njia za kuvikumbali leo tujaribu vikwazo
vikuu vya tafsiri.
Malengo ya somo
Kupendekeza masuluhisho
Shabaha ya tafsiri ni kuhifadhi ,maan ana mguso wa matini chasiri.manna ni dhana nzito inazo-
jumuisha ujumbe,dhamiva na mtindoo wa mwandishi chasili.
Tafsiri ,hata hivyo mava nyingi hulaumiwa kwa upungufu wake kuliko kusifiwa kwa mafanikio
yake.lawama kubwa Zaidi ya tafsiri ni upotovu wa maana.
Upotovu wa maana huletwa na vikwazo vya tafsiri.kikwazo ni kigezo chochote ambacho
hutatiza ufanikivu wa kazi mahususi.
Tofauti za tamaduni
Kisw-nimevunjika mkono
Matini hizi zaonyesha tofauti mbili,kwanza maana za kiingereza zimebainishwa Zaidi ya zile za
Kiswahili.pale ambapo kiingereza kina leksi mbili’arm’ na ‘hand’ au atumia arm kwa maana ya
mkono.pili kuna ukinzano wa mwelekeo wa dhana ya kuumia.kauli ya Kiswahili yyashiria kuwa
mtu kamili ameumia sio mkon tu,ilivyo katika usemi wa kiingereza.
Alimwoa nduguye.
Kiingereza kiswahili
Kulingana na mifano hizi,ni wazi kuwa upatano wa kisarufi hugusa viungo vingi vya sentensi za
Kiswahili lakini kitenzi pekee katika zile za kiingereza.pamoja na tofauti za kisarufi kila lugha
ina semi teule kama vile mafumbo,methali,vitendawili,nahau na tamathali za usemi.
Semi za lugha hujumuika katika uwanja wa maana ambatano.Maana ambatano hutumika pale
ambapo matini hufasiriwa mzimamzima bila kuchanganua maana zinazojumuika matumizi ya
maana ambatano ni kaida ya mizungumzo ya kawaida.lugha ianpo angaliwa hivi pia huitwa
mtindo ya lugha.
Swali
Bainisha viwango vya ukinzano wa sarufi kwa kulinganisha matumizi ya lugha mbili.
Pia huitwa sasiliza lugha.dhana ya sasili hunusika iwapo matumizi ya mitindo ya lugha
hulingana na mahitaji ya taaluma bayana,kama vile isimu fasihi,sharia,matibabu na uhadisi.sajili
vilevile hueleza sura bainifu za muktadha pana wa mawasiliano na mfungano wa kijamii.Baadhi
ya mikitadha pana ani mazungumzo ya biashara na mafuma ya dini.
i.uteuzi wa msamiati
muundo wa sentensi unahusu sharia za usarifu na ukabalifu nayo maumbo hueleza mahusiano ya
vishanzi vya tungo moja.
a.isitilanii
b.majina ya kudumu na unukuzi
d. ruwaza za maumbo
a)istilahi ni maneno ya kiufundi yaani maneno zenye maana maalum mintarafu somo au taaluma
bayana.huenda pia maneno haya yakawakilisha maana dhamia kulingana na sasili yake.Tatizo la
istilahi hutokea pale ambapo mojawapo ya lugha mbili in sajili nyingi Zaidi kutegemea
maendeleo ya elimu na teknolojia.Huenda pia sajili moja,hasa za sayansi imestawi kadri kubwa
Zaidi katika lugha chasili tofauiti na lugha pelezi.Hiki ni kusema kuwa maana zake
zimebainishwa kiwango kikubwa.
Hali kadhalika ,istilahi huwa nyingi kuliko zile za lugha isiyofikia kiwango sawa.
Lexical –leksia
Langue-sarufi mingi
Zingatia kuwa neno sarufi tayari ni mkopo kutoka kiarabu,ishara ya kuwa maelezo ya Kiswahili
yanatumia istilahi kutoka lugha tofauti.hali hii inazua shida Zaidi kwa matni yenye mtazamo
wakihistoria.Pamoja na tatizo la istilahi sasili za sayansi sawa na ile za sharia hubeba tatizo la
maumbo ya sentensi.
Isitoshe matini nyingi za kisheria zilizoandikwa kwa kiingeraza, hutumia mkopo sisisi kutoka
kifaransa. Fikiria makini kama:
Kenya is born a defacto and a multiparty state.
Kwa jumla hii ni kanuni ya tafsiri za matini, taalamu, n ahata taarifa za habari ni majina
maalaum.
b. majina maalum ni majiina ya kudumu kama yale yanayoita watu, wanyama, mahali,
mandahari za nchi, mito, milima. Majina hayo hutofautishwa kisarufi na yale ya kawaida. Jina la
kawaida linafuata sharia za kisarufi, hasa zile za maumbo na mageuzi ya maneno. Jina maalum
halibaniwi na vikwazo vya muundo wa sarufi. Badala yake, usemi huzingatia misumo ya maana.
Kinadharia kwa hivyo , majina maalum yamo nje ya sharia za sarufi. Nogana maelezo ya kisimu
kama yale ya kunkuni za umoja- wingi kwa hivyo ni mahali kutafsiri majina haya. Kuna tafsiri
ambazo tayari hutumiwa. Ishara ya kuwa tafsiri kama hizo tayari zimekubaliwa na jamii ya lugha
dokezi. Tafsiri hizi ni kama: Jesus-Yesu
Joseph-yusufu
Lucy- lucia
Mary- maria
Ingawa majina ya kudumu yamo nje za kanuni za sarufi yenywe, utohozi wa majina haya
umefuata sharia Fulani za mfumo wa sauti. Kila sauti ya J(j), kwa mfano hugeuka kuwa (y).huku
kunaitwa kudhoofu kwa sauti . la muhimu Zaidi ni kuwa kila jina la Kiswahili linafungwa kwa
sauti ya vokali, na muundo wa maneno umefululiza sauti za konsonanti vokali(kv). Hii ni kanuni
muhimu ya masomo ya mfumo wa sauti za Kiswahili.
Zingatia- vokali mbili zilizofululiza nithili ya tamati mwa maria na lucia, hutambuliwa kuwa
sauti mseto: hutamkwa kwa muda sawa na ule wa vokali moja sahili.
Hata kama jina limetoholewa huna ruhusa ya kulitafsiri iwapo mwenyeji huitwa kwa ile za
kigeni. Mhusika akiwa lucy, kwa mfano atabaki lucy na sio lucia.
Kuandamana na majina ya kudumu kwa majina za masharika haya kwa kawaida huwa mkururo
wa maneno yanayofasili asili au jukumu la shirika . mtafsiri hana mbinu nyingine ya kuwakilisha
majina haya ila kuwa tafsiri sisisi.
Mara mingi tafsiri hiyo huambatanishwa akionimu ya lugha chasili ili maana itambulike kwa
urahisi.
Miambatanisho kama hii ina lengo la kurahisisha mawasiliano lakini kwa kufanya hivyo,
inapuza kipengele kimoja cha muundo na womilifu huu wa sarufi ya Kiswahili. Wamilifu huu
wahusu kielezi kihusishi kinavyorejelea mahali.
Lugha ya kingereza inasalia mahitaji kama haya kwa rowaza za shahada katika kiingereza ina
ubanifu wa kilekea, kionetiki na kipragramatiki. Swala la kipragramatiki linahusika kwa wingi
katika lugha ya mafumbu.
c. mafumbo na semi za lugha mara nyingi hutumiwa kwa makusudi ya kushadidi ujumbe Fulani.
Hivi ni kusema kuwa msomaji ana hiari za kutumia lugha nyepesi za kawaida lakini akihiari
kuamilisha ile nzito. Tulivyoona hapo awali lugha ya mafumbo ni msemo kutoka lugha mbili
hata kutoka lugha moja, inazuu ukinzano. Nahau hizi zina ukinzano, ingawa zote hurejelea maan
aya kufa:
kila moja ya semi hizi inadhamiria lengo fulanni. Lengo hilo laweza kuwa arifa halisi, kuonyesha
huzuni n ahata mzana. Lengo bayana huenda na mguso wake. Mtafsiri anahitaji kubaini mguso
wa kauli mahususi ili aepushe upotovu wa maana.
Waandishi wengi wamezungumzia matumizi ya methali kila lugha ina methali ambazo hunakidi
tajiribu ya kitamaduni au kijamii ya wenyeji. Kwa vile tasiriba ya binadamu ina ulinganifu wa
kiwango Fulani, baadhi ya maana za methali hulingana licha ya misemo hioy kutumia maneno
tofauti.