Professional Documents
Culture Documents
Umiliki Kiwanja
Umiliki Kiwanja
S.L.P…………
SENGEREMA
Mkurugenzi Mtendaji
S.L.P 175
SENGEREMA
KK
SLP 422
SENGEREMA
Ndugu,
Ninaomba kumilikishwa kiwanja tajwa No…………………… kilichopo eneo la mnadani nilichonunua kwa
Ndugu…………………………….. tarehe ………………….. mbele ya Uongozi wa Mtaa wa Mnadani na mashahidi
kama inavyoonyesha kwenye kiambatisho. Majina ya kiwanja hicho yanasomeka …………………………………
mpaka sasa.
Hivyo naomba sasa kumilikishwa kiwanja hicho kwa majina PAULINA EMMANUEL MPIWA, niko tayari
kufuata maelekezo na taratibu husika kuweza kukamilisha suala hili.
…………………………………………