Download as pdf or txt
Download as pdf or txt
You are on page 1of 2

ELCT NORTHERN DIOCESE

SAVINGS AND CREDIT COOPERATIVE SOCIETY


Reg. No. KLR 483
P. O. BOX 7779, MOSHI. TEL: 027 2751233, 0784-612520, 0769-116854 & 0767-341405

Website; www.elctndsaccos@org.com. e-mail; elctndsaccos@ymail.com

FOMU YA KUOMBA UANACHAMA

• MAELEZO BINAFSI YA MWOMBAJI


1.Mhe/Dr/Bw/Bi/Bibi/Mch/Mwj/Mwl
Jina kamili…….....................................................................…… Jinsia……………
2.Namba ya kitambulisho………………………… Tarehe ya kuzaliwa…………………..

Mahaliunapoishi:
Eneo la kuzaliwa…………………………. Kijiji………………………. Wilaya…………………
Mkoa………………………………. Eneo unaloishi kwa sasa Mtaa…..................…..
Eneo linalofahamika……….....................................................................……………
Wilaya…..........………………………..........… Mkoa ……..……………………………………
Sanduku la barua……………... Simu…..……………………….&…………………………..
Jina la Mjumbe wa Nyumba Kumi………………………………………………………………
Jina la Mwenyekiti wa Mtaa……….……………………………….…Simu……………………

Warithi wako ni:-


• Jina………………………………………......………….. Uhusiano………..…………………
Namba ya kitambulisho ............………….......................................……….
Mtaa…….....………Wilaya………………………………… Mkoa…………………..
Sanduku la Barua……………………………. Simu………………………………..
Shughuli/Kazi………………………………………………………………………….

• Jina………………………………………......………….. Uhusiano………..…………………
Namba ya kitambulisho ............………….......................................……….
Mtaa…….....………Wilaya………………………………… Mkoa…………………..
Sanduku la Barua……………………………. Simu………………………………..
Shughuli/Kazi………………………………………………………………………….
1

FOMU YA MKOPO KKKT KUOMBA UANACHAMA.indd 1 10/31/19 1:32 PM


B.UDHAMINI:-
Jina Kamili…..…………………………………………………………….. Jinsia …….………
Uhusiano na Mwomba Uanachama ………………….…………….…………………………

Mahalianapoishi:-
Mtaa…………….…………….. Kijiji…………………………….Kata ….………………………
Tarafa……………………………Wilaya ……………………… Mkoa……….…..…..………..
Sanduku la Barua…………………Simu……………………………&………………..………
Namba ya Uanachama…………..… Sahihi ya Mdhamini……………………………………

C.MASHARTI YA UANACHAMA
• Hisa moja ni TSh. 5,000/-
• Mwanachama mpya anatakiwa anunue angalau Hisa 4 za kuanzia na aendelee
kununua Hisa hadi zifikie 50 (zenye thamani yaTSh. 250,000/=)
• Mwanachama atapaswa kuweka Akiba kila mwezi (mara kwa mara)
• Mkopo utaanza kutolewa baada ya miezi mitatu baadaya kujiunga kwenye
Chama cha Ushirika.
• Marejesho ya mkopo ya tafanyika pamoja na uwekaji wa Akiba kila mwezi.
• Adhabu ya 1%, 30%, 50%, 100% kwa wote watakao chelewesha Marejesho.
Kiwango cha adhabu kitazingatia muda waucheleweshaji.
• Mwanachama atakuwa na hiari ya kukatisha Uanachama wake kwa kutoa
taarifa ya maandishi ya siku sitini (kufuatana na Sheria ya Ushirika) ndipo
apewe haki zake na kusitisha Uanachama.
• Pia Mwanachama anapaswa kusoma na Masharti ya Chama na Sera ya
SACCOS.

D. UTHIBITISHO:
Mimi …………………………………………………..…………… natamka kwamba
maelezo yote niliyotoa ni sahihi na kweli kwa kadiri ninavyofahamu na kwamba
nimesoma na kuelewa masharti ya Uanachamawa ELCT ND – SACCOS na kwamba
nimeyakubali na nitayazingatia na kuyatekeleza.

Sahihi………………………….....................…… Tarehe…….....................………………

E. KWA MATUMIZI YA OFISI TU.


• Tarehe ya kurudisha Fomu……………………………………………………..…………….
• Tarehe na namba ya Stakabadhi ya Malipo ya Kiingilio na Hisa……...…………………
• Watendaji wa Ofisi wamempokea leo tarehe…………………………………………………
• Mch/Bw/Bibi/Bi…………………………………………………………………………….....
• Nambari ya Uanachama iliyotolewa ni…………………………………..…………………

………………………………… …………………………………….
2

FOMU YA MKOPO KKKT KUOMBA UANACHAMA.indd 2 10/31/19 1:32 PM

You might also like