Professional Documents
Culture Documents
Fomu-Ya-Mkopo Wa Biashara - Kkkt-Final Saccos
Fomu-Ya-Mkopo Wa Biashara - Kkkt-Final Saccos
Fomu-Ya-Mkopo Wa Biashara - Kkkt-Final Saccos
FOMU YA MKOPO
1. MAELEZO BINAFSI
Jina la mwombaji …..…………………………………………………………………...................
Umri…………… Namba ya Uanachama………..……Jinsia ……………………....................
Tarehe ya kujaza fomu……………………………………. ……………….…………...................
Simu ya kiganjani ……………..........………...…………../…………………….………………....
Ndoa: Sina ndoa/Nina ndoa/Mjane/Mgane.
Makazi: Nyumba/Shamba/Kiwanja Namba………..........................…………………......
Mtaa/Kitongoji. ………………………………………………..……...........................
Kata ya …………………………………………………………….……………...............
Wilaya ya …………………………………………….…………………………...............
Mkoa wa …………………………………………….…………………………................
Shughuli yangu kuu ya kiuchumi ni:………….………..…………………………………...............
2. MICHANGO YA MWANACHAMA.
Kiasi cha Akiba ya Mwanachama alizochangia TSh……….……………………........................
(kwa maneno) ………………………………………………..….……..………………………..............
Hisa TSh ……......…....…..… (kwa maneno)…................……………………...…………..........
Amana TSh……...........…..… (kwa maneno)…………................………………..…………………
2. Mwanachama hataruhusiwa kupunguza kiasi cha akiba alizonazo kulipa deni lake .
3.2. Marejesho yatakayocheleweshwa kuanzia siku thelathini na moja (31) hadi mia na
hadi siku mia tatu sitini na tano(365) adhabu ni asilimia hamsini (50%)
5. Endapo chama kitatumia nguvu za ziada kukusanya deni lililopitiliza muda wake
(kwa mfano kwa kutumia majembe auction mart au kampuni nyingine yoyote) mkopaji
atapaswa kulipa kampuni husika asilimia kumi (10%) ya deni analodaiwa.
MKOPAJI……………................................ SACCOS…………....…………………..…..……
2
(a) Mshahara (kabla ya kodi na makato mengine) TSh …………………… kwa mwezi.
(d) Ufugaji (mifugo aina zote, samaki, ndege aina zote) TSh. ……………………………..……
kwa msimu ambao ni mwezi/miezi………………..
(e) Uvuvi (mtoni, ziwani, bwawani, baharini) TSh ……………………………………. kwa siku/
juma/mwezi
(g) Mengineyo (pensheni, gawio, ruzuku, masurufu, posho, riba, kodi ya pango, ada,
ushuru, sadaka) TSh ……….................…. kwa siku/juma/mwezi/msimu ambao ni
mwezi/miezi……….
Maelezo niliyotoa katika kifungu cha 6 hapo juu ni sahihi kwa kadri nijuavyo na kuwa
sijazuia au kupotosha kwa namna yoyote taarifa niliyotoa.
Kama ushahidi wa kukubaliana na yote niliyoandika naweka saini yangu ya kuandika leo
tarehe
…….. mwezi …….. mwaka ……… na kutolewa hapa ................... (taja Mji/Manispaa/Jiji)
8. MALI ZA MWANACHAMA.
i. SHAMBA:
ii. NYUMBA:
Mahali ilipo………………………............……….. Ukubwa wa nyumba …………................…..
…………………………………………………………………………………………………………………
…………..………………………………………………………....................................................….
9.DHAMANA:
Naweka Akiba / Amana na mali tajwa hapo juu kama dhamana katika Chama na iwapo
kwa hali ye yote nitashindwa kurejesha mkopo huo kama nilivyoahidi kwenye mkataba
wa marejesho, natamka kwa ridhaa yangu mwenyewe Uongozi wa Chama kutumia Akiba/
Amana na mali zangu kurejesha kiasi cha mkopo ambao haujarejeshwa pamoja na Riba
na gharama nyingine zitakazosababishwa na mkopo huo.
MKOPAJI:
Jina Kamili .......……………………………………… Namba ya Uanachama .....................….……..
10.TAMKO LA WADHAMINI.
i. MUHIMU YA KUZINGATIA.
Iwapo unamdhamini Mwanachama anayekopa mara mbili ya Akiba zake wewe
kama mdhamini utatoa dhamana ya (25%) robo ya mkopo wote pamoja na Riba.
ii.MDHAMINI WA KWANZA:
Na endapo atashindwa kabisa kurejesha mkopo huo kwa wakati, mimi naahidi kulipa
Mkopo, Riba na gharama nyingine zitakazojitokeza kama ilivyoainishwa kwenye kipengele
(i) hapo juu, kupitia Akiba zangu. Jumla ya Akiba zangu TSh………………….………..………….
Mkopo ninaodaiwa ni TSh…………….....................………
Simu……........………............................…
Mimi………………………………………………………………...ambaye ni ……….…………………..
wa muombaji wa mkopo aliyetajwa katika kifungu cha 1 (Maelezo Binafsi) hapo juu,
nimeridhia, nimekubaliana na kuthibitisha kuwa maelezo yote yaliyojazwa kwenye fomu hii
ni ya kweli tupu na iwapo mwombaji atapatiwa mkopo alioomba mimi binafsi nitawajibika
kisheria iwapo Mkopo na Riba havitalipwa kwa wakati au kwa namna yoyote mwombaji wa
mkopo atakaidi au atazembea au atapuuza kutii, kufuata na kuzingatia Sheria, Kanuni
na Taratibu zote zinazohusu mikopo na kuwa sitazuia, sitapinga au kuzorotesha juhudi
za kufuatilia marejesho ya mkopo husika.
Simu……………………….……../……………………..............
SAINI: ……………………………………………………….
MHURI:………………………………..……………………
TAREHE:……………………………………………………
………..…………………………………………………………………………………….........................
………………………………………………………………………………………………........................
………………………………………………………………………………………………........................
………………………………………………………………………………………………........................
…………………………………………………………………………………………………………………..
…………………………………………………………………………………………………………………..
…………………………………………………………………………………………………………………..
…………………………………………………………………………………………..........................….
…………………………………………………………………………………………………………………..
…………………………………………………………………………………………………………………..
………………………………………………………………………………………………………………..…
………………………………………………………………………………………………………...............
MKOPAJI………………………......................…… SACCOS……………………........……….
7
Utakaolipwa kwa kipindi cha miezi ..… kuanzia mwezi …….…......... mwaka…….........……
..………………………………………………………………...........................…………….……………
1.Jina………………….……………………………………..……M/Kiti Saini…………………….…….
Tarehe………………….…………………….
Tarehe……………………………………….……
Tarehe…………………………………………
10. Mkopo kuanzia 5mil. kuendelea utaweka dhamana ya Mali isiyohamishika na kujaza
fomu ya kiapo Mahakamani.
14. Wanachama wasumbufu / wasioweka Akiba mara kwa mara hawatapata Mkopo.