Download as pdf or txt
Download as pdf or txt
You are on page 1of 2

Gharama za #Ufugaji wa #Kuku 100 aina ya #Kuroiler Bandani

mpaka watakapoanza kutaga (miezi mitano) PLAN B


A. Miundombinu
1. Ujenzi wa #Banda 1,500,000/=
2. Vyombo vya Chakula na Maji 250,000/=
3. #Vifaranga vya siku moja 250,000/=
JUMLA 2,000,000/=

B. Uendeshaji (siku ya kwanza – miezi 5)


1. Chakula 1000kg @450/= 450,000/=
(Mwezi wa kwanza wape #ChickStarter chakula special, baada ya
hapo nunua #Broiler Concentrate Bag 25kg = 30,000/= Uchanganye
na #Pumba za Mahindi 75kg @200/= 15,000/= utapata chakula cha
100kg kwa 45,000/= sawa na 450/= kwa kilo, mwezi wa tano tumia
#Layers Concetrate kwa mchanganyiko huohuo
2. Madawa, Chanjo, Virutubisho na Ushauri 300,000/=
3. Usafirishaji, Dharula na Mengineyo 300,000/=
4. Posho (Msaidizi na Mmiliki) 500,000/=
5. Umeme na Maji 200,000/=
JUMLA 1,300,000/=

C. Hesabu
Tufanye katika #kuku mia wamekufa #kuku 20 na umebaki na #kuku
80, #majogoo 20 na #mitetea 60 utapunguza #majogoo 10 ubaki na 10
tu kwaajili ya mbegu, #tetea mmoja wa #kuroiler #anataka wastani wa
#mayai 4 kwa wiki x wiki 4 za mwezi ni #mayai 16 x kuku 60 =
mayai 960 kwa mwezi ambayo ni #tray 32 uza kwa 15,000/= utapata
480,000/=
D. Uendeshaji #Kuku 70 (kwa mwezi )
1. Chakula 273kg @ 450/= 122,850/=
(#Kuku mmoja anakula 130gram kwa siku x kuku 70 x siku 30 =
273,000 gram)
2. Madawa, Chanjo, Virutubisho na Ushauri 30,000/=
3. Usafiri, Dharula na Mengineyo 30,000/=
4. Posho Msaidizi na mmiliki 100,000/=
5. Maji 10,000/=
JUMLA 202,250/=

Tukichukua mauzo ya #mayai 480,000/= tutoe na matumizi ya mwezi


202,250/= inabaki 277,750

N.B Haya ni makadirio tuu, baada ya #wafugaji wengi kutaka


kujua. Gharama halisi zinaweza kupanda ama kushuka
kulingana na mazingira mradi ulipo kama kuna #mfugaji au
mdau mwenye uzoefu zaidi au mawazo tofauti anaweza
kutusaidia kucomment hapa

You might also like