Professional Documents
Culture Documents
TF 13:04:2015
TF 13:04:2015
asali ya bure
‘Uhondo’ UK13-20
A NATION MEDIA GROUP PUBLICATION
SHINDANO LA
Kasisi asamehe aliyeiba gari UANDISHI WA
lake la Sh7 milioni UK 2 INSHA UK 11
Jumatatu, Aprili 13, 2015 • KSh30 • TSh500 • USh1000 •RFr300 www.swahilihub.com No. 18750
MLIPUKO WAZUA
MAAFA CHUONI MMOJA wa wanafunzi wa Chuo Kikuu cha
Nairobi, Bewa la Kikuyu aliyejeruhiwa
kutokana na hofu iliyozuliwa na hitilafu
ya nguvu za umeme ahudumiwa katika
Hospitali ya Kitaifa ya Kenyatta jana.
Picha/BILLY MUTAI
Na WAANDISHI WETU
MWANAFUNZI mmoja alifariki na wengine 141 wakajeruhiwa
wakati mlipuko ulipotokea mapema alfajiri jana katika Chuo Kikuu
cha Nairobi (UoN), Bewa la Kikuyu, Bweni la Kimberly.
Wanafunzi walihofia kwamba mlipuko huo, uliotokana na hiti-
lafu za nguvu za umeme, ulikuwa shambulio la kigaidi, ambapo
baadhi yao walijaribu kujinusuru kwa kuruka kutoka ENDELEA UK 2
Makurutu waliofika mafadhaiko ndiyo yaliyowa- Na JAMES NGUNJIRI kwenye lango la chuo kufikia
kumba makurutu waliofika jana saa moja asubuhi,” alisema An-
katika chuo cha mafunzo ya mambo hayakwenda walivyo- drew Kiriamana kutoka Igembe
Kiganjo wafurushwa
polisi cha Kiganjo mjini Nyeri, tarajia. Kaskazini, Meru.
baada ya kurejeshwa nyumbani. Masaa yalisonga, jua likazidi Makurutu hao walikuwa
Wengi walikuwa na matu- kuchoma, na mwishowe kundi wametoka Mombasa, Kisumu,
maini kuwa jua likichomoza la maafisa kutoka taasisi hiyo Kericho, Baringo, Isiolo, Nairobi
na maafisa wa polisi
Jumapili asubuhi litaangazia wakafika kuwafurusha kutoka na Meru.
mwanzo wa safari ambayo hati- uga wa chuo. Siku ya Jumamosi zaidi ya
maye ingeishia kwa wao kufuzu “Tulisafiri kutoka Nyeri Ju- makurutu 700
kama maafisa wa polisi, lakini mamosi alasiri na kulala katika w a l i a n d a m a n a ENDELEA UK 2 JOSEPH Boinnet
2 TAIFA LEO
Jumatatu, Aprili 13, 2015
Viongozi Garissa
Kasisi asamehe aliyeiba gari lake la Sh7m
.
wapewa saa 24
.
Maafa Chuo
naounga mkono kundi
la kigaidi la Al-Shabaab
kwa mujibu wa kiongozi
kutoka eneo la kaskazini.
Akiongea na wana-
habari Jumamosi jioni
baada ya mkutano wa
cha Nairobi
siku nzima na viongozi
wa kidini, viongozi wa
kidini kutoka eneo la
Kaskazini Mashariki kwa
kuongozwa na Kiongozi
wa walio wengi Bungeni
Aden Duale walisema vi-
KUTOKA UK 1 “Nilisikia mayowe kutoka vyumba ongozi wa kidini watatoa
vya wanawake. Nilichofikiria kwa haraka orodha ya vyuo na shule
orofa ya sita na nyinginezo za juu. ni jinsi ya kujiokoa maisha yangu kwa za Kiislamu (Madrassah)
Aidha, wanafunzi zaidi walijeruhiwa kuwa mlipuko ulikuwa kama wa risasi,” na misikiti na viongozi
walipokanyagana wakijaribu kukwepa akasema. wao katika eneo hilo.
hatari kupitia mlangoni kutokana na idadi “Nilikuwa tayari kuvunjika mguu lakini
kubwa iliyokuwa ikitimka mbio kutoka nisife bila kujaribu kujinusuru,” akaongeza. ORODHA
bwenini kwa wakati mmoja. Mwanafunzi aliyefariki alitambuliwa kama Orodha ya wanafunzi
“Tungependa kuthibitisha kuwa mwa- Francis Maina, mwenye umri wa miaka 24, wote wanaosomea katika
nafunzi mmoja amefariki, na alikuwa NAIBU Chansela wa Chuo Kikuu cha Nairobi, Profesa Peter Mbithi
na inakisiwa kuwa alipata majeraha ya madrassah hayo pia ita-
mwanafunzi wa mwaka wa tatu aliyekuwa (kushoto) pamoja na afisa mkuu wa Hospitali ya Kitaifa ya Kenyatta, Lily
kichwa. tolewa, walisema.
akisomea Shahada ya Elimu. Koros (kati) wazungumza na wanahabari kuhusu mkasa uliozuka chuoni
Hata hivyo, mhudumu “Leo tumekutana na
Mwili wake umehifadhiwa humo, Bewa la Kikuyu, kufuatia hitilafuzu za nguvu za umeme jana.
katika mochari ya Chiromo Masheikh na tumeku-
katika hifadhi ya maiti ya Picha/BILLY MUTAI
alisema upasuaji utafanywa baliana kuwa wataanza
Chiromo,” akasema Naibu ili kubaini chanzo hasa cha mafunzo misikitini dhidi
Chansela wa chuo hicho Prof kwani walihofia wangefyatuliwa risasi hiyo Bi Lily Koros, alisema mwanafunzi
kufariki kwake. ya ugaidi na wameku-
Peter Mbithi. huko. Tukio hilo limeibua maswali kuhu- mmoja alihamishwa hadi Hospitali ya
Katibu wa Wizara ya Elimu bali kuratibu mipango ya
Hospitali ya Kenyatta su jinsi Wakenya wanavyoweza kujinusu- Aga Khan, na watatu wakahamishwa hadi
Belio Kipsang alifika katika mafunzo katika mashule
ilipokea wanafunzi 108, ambapo 98 wa- ru endapo watajipata katika mashambulio Nairobi Hospital.
Hospitali ya Kenyatta (KNH) kukagua hali hayo kupitia kwa
likuwa wa kiume na 10 wa kike, ingawa (tazama tahariri, Uk 10). Mkurugenzi wa Shirika la Kenya Power
ilivyokuwa. Baadhi ya wanafunzi walisema Baraza la Maimamu na
baadhi yao walikuwa wakiendelea kutibiwa Naibu Mwenyekiti wa chama cha wa- Ben Chumo, alikanusha ripoti za awali
wamekuwa wakiishi kwa hofu kwa muda Baraza Kuu la Waislamu
na kuruhusiwa kwenda nyumbani. nafunzi katika chuo hicho anayeondoka, kuwa mlipuko ulitokea kwenye trans-
wa wiki mbili sasa tangu tukio la Garissa nchini(Supkem),” alisema
Wanafunzi walihofia kuwa walikuwa Bi Irene Kendi aliambia ‘Taifa Leo’ kuwa foma. “Mlipuko ulitokana na kutumiwa
liliposhuhudiwa. Duale.
wamevamiwa na magaidi wa Al-Shabaab, mabweni mengi huwa hayana milango ya kwa kiasi kikubwa kwa nguvu za umeme,”
“Tumekuwa tukiishi kwa hofu na baadhi “Tunataka orodha ya
chini ya wiki mbili baada ya kundi hilo kutorokea au mahali pa kujificha wakati akasema, alipowatembelea wanafunzi
ya wanafunzi wamekuwa wakijitayarisha misikiti, madrassa na
kushambulia Chuo Kikuu cha Garissa na wa hali ya dharura kama ilivyoshuhudiwa chuoni humo na kuwataka kutulia.
kujikinga endapo shambulio litatokea,” wanafunzi wanaosomea
kuwaua watu 148, wakiwemo wanafunzi jana. “Sio tu mabweni bali pia maktaba.” Kinara wa Cord Raila Odinga aliliwaza
akasema Bw Innocent Ochieng, mwa- humo ili tuweze kujua
142. Kennedy Ouma, mwanafunzi wa Alisema bweni hilo lingekuwa na wanafunzi hao na kusema hiyo ni ishara
nafunzi wa mwaka wa kwanza aliyeruka mienendo ya vijana
mwaka wa tatu katika chuo hicho alipata milango ya kutorokea, wanafunzi ha- ya hofu kubwa inayokumba wananchi.
kutoka orofa ya nne. wetu,” alisema Mbunge
majeraha mguuni alipojaribu kuruka kuto- wangerukia madirishani au kufinyana ki-
Aliongeza kuwa wanafunzi wengi huyo wa Garissa.
ka dirishani katika orofa ya sita. asi cha kujeruhiwa wakati wa kisa hicho. Ripoti ya ISAAC ONGIRI, BERNARDINE MUTANU,
hawakutaka kutoroka kupitia mlangoni Aliongeza kuwa
Afisa Mkuu Mtendaji wa hospitali SAMUEL KARANJA na ELIZABETH MERAB
kulikuwa na haja ya
kuwarudisha wakimbizi
walioko katika kambi
Kaimenyi
abuni sheria
tata ya elimu
NAIROBI Na OUMA WANZALA
ZAIDI ya walimu wakuu 30,000 wa shule na bodi za elimu za serikali za kaunti pamoja
za msingi na upili nchini sasa watakuwa na waziri.
wanasimamiwa moja kwa moja na Waziri Ajenti pia atahudumu kwa kipindi cha miaka
wa Elimu. isiyozidi mitano, ambapo kuna uwezekano wa
Siku ya Jumatano, Waziri wa Elimu Prof kuteuliwa tena kwa kipindi cha pili na cha tatu,
Jacob Kaimenyi (pichani) alichapisha kwenye ikiwa na maana kwamba anaweza kuwa mwal-
gazeti rasmi la serikali Sheria tata ya Elimu ya imu mkuu kwa miaka 15 pekee.
Msingi (Basic Education Regulations, 2014) hata Sheria hiyo pia inamzuia mtu yeyote kuhu-
baada ya kupata pingamizi kutoka kwa Tume ya dumu katika wadhifa huo kwa zaidi ya vipindi
Utekelezaji Katiba (CIC) na vyama vya walimu. viwili katika shule moja. Kwa hivyo, ina maana
Vyama vya walimu vya KNUT na KUPPET ya kwamba hakuna mwalimu mkuu atakayesi-
vilipinga mpango huo kwa kusema kwamba ni mamia shule moja kwa zaidi ya miaka kumi.
kinyume na katiba. Wanaostahili kuteuliwa kuwa maajenti wa
Kufuatia hatua hiyo, sasa ina maana kuwa Waziri wa Elimu katika shule ni lazima wawe
Prof Kaimenyi atakuwa na mamlaka ya kuwa- walimu wanaofundisha na waliosajiliwa na
teua walimu wakuu wa sasa katika shule kuwa Tume ya Kuajiri Walimu (TSC), au maafisa wa
maajenti wake. Pia atakuwa na mamlaka ya ku- ukaguzi wa shule au wasanifu wa elimu au mta-
wafuta kazi iwapo atahisi kwamba hawatekelezi laa au wakaguzi wake.
kazi zao inavyotakikana. Pia watatakiwa wawe wamehudumu kwa
Hii ni kwa sababu walimu wakuu watakuwa kipindi cha angalau miaka 20, wawe wameteuli-
maafisa wa kwanza watakaowajibika na atawa- wa kama wafundishaji wakuu na TSC na pia
tarajia kuwa wa mwanzo katika usomeshaji. wawe wamefanya kozi ya japo wiki sita kuhusu
Walimu wakuu pia ndio watakaotarajiwa ku- usimamizi katika elimu au mafunzo kama hayo
toa mwongozo na kuongoza kwa vitendo katika katika kipindi cha miaka mitatu iliyopita.
utekelezaji wa sera na mipango ya wizara katika “Iwapo mwalimu mkuu wa taasisi atasimam-
shule zao, na ndio watakaotarajiwa kuwa wa ishwa kazi au kufutwa kwa sababu yoyote na
mwanzo kupendekeza mambo ya kutekelezwa mwajiri wake, atakoma kuwa mwakilishi wa
waziri katika shule hiyo. Waziri mara moja
atamteua mtu mwengine kuchukua nafasi
yake,” zinasema kanuni za sheria hiyo iliyo-
chapishwa.
Wiki jana, mwenyekiti wa CIC, Bw Charles
Nyachae alimwandikia barua Prof Kaimenyi
dhidi ya kuchapisha kanuni hizo, kabla ya CIC,
afisi ya Mkuu wa Sheria na Tume ya Kupitia She-
ria hawajazitipitia kwa makini na kuona kama
zinakwenda sambamba na katiba au la.
Kwa upande wake, Katibu Mkuu wa KNUT
Bw Wildioon Sossion alionya kwamba huenda
chama chake kikachukua hatua za kisheria, ku-
rekebisha hali hiyo.
Sawa na Bw Nyachae, alisema waziri hakuwa-
shirikisha wadau kama inavyotakiwa na Katiba.
HABARI MSETO
Wasomi
Mama ashangiliwa kwa kuchapa ‘mwizi’ wapanga
GITHURAI yake aliyonunua kwa Sh15,000 kabla
ya kumkamata na kuanza kumpiga.
Bi Kirimi alisema kuwa alifani-
jasho. Gharama ya maisha imepanda
kwa watu wote sio yeye (mshukiwa)
pekee,” akasema Bi Karimi.
naume huyo alijikokota kutoka ka-
tika eneo la mkasa huo huku baadhi
ya wakazi wakitaka apelekwe katika
kukarabati
NA KNA
WAKAZI wa mtaa wa Githurai 45
katika Kaunti ya Kiambu walimshan-
kiwa kumnasa mshukiwa kwa kuwa
alipitia mafunzo ya Karate alipokuwa
msichana baada ya kukamilisha
Wakazi wa mtaa huo walis-
hangazwa na ujasiri wa Bi Kirimi
huku baadhi ya watu wakiahidi ku-
kituo cha polisi na wengine wak-
ipendekeza ateketezwe kwa kujihusi-
sha na vitendo vya wizi.
shule
gilia mwanamke aliyempa kichapo elimu ya sekondari. jipatia mafunzo ya Karate na Taek- Hata hivyo, wasamaria wema wa-
mwizi aliyejaribu kumpokonya simu Alisema kuwa alijifunza Karate na wondo ili waweze kujilinda wana- liomba asamehewe kwa kuwa tayari BARINGO
yake kwa nguvu, Jumamosi jioni. Taekwondo baada ya kubaini kuwa pokabiliwa na hatari. alikuwa amepata kichapo ambacho
Rosemary Karimi alimzaba kuna visa vya uhalifu vilivyokithiri “Hata mimi nitahakikisha kuwa hatasahau maishani mwake. Wakazi
katika mtaa wa Githurai 45. mke wangu anapitia mafunzo hayo walimwachilia huru huku wakim- Na ERIC MATARA
makonde mwanamume huyo ali-
yemwibia simu, jambo lililowaacha “Simu yangu haijamaliza mwezi ili aweze kujikinga anapovamiwa au wonya kukoma kujihusisha na viten-
wakazi wa mtaa huo vinywa wazi. mmoja tangu inunuliwe, inasikitisha kukabiliwa na hatari,” akasema Tom do vya wizi ili kuepuka kuhatarisha WASOMI kutoka jamii
Bi Karimi alisema kuwa mwana- sana kwamba baadhi ya watu wana- Njeru, mkazi wa mtaa huo. maisha yake. mbalimbali katika Kaunti
mume huyo alijaribu kumwibia simu taka kujipatia vitu kwa urahisi bila Baada ya kupokea kichapo, mwa- ya Baringo jana walisema
kuwa watahakikisha kuwa
shule zilizofungwa kutokana
na ukosefu wa usalama ku-
Tamasha
AJALI fuatia msururu wa wizi wa
mifugo, zimekarabatiwa na
kufunguliwa tena.
Wasomi hao kutoka
jamii za Wapokot, Watu-
gen na Ilchamus walisema
kuwa elimu ndiyo itafufua
laibua hisia
matumaini miongoni mwa
vijana na hata kuleta amani
ya kudumu baina ya jamii
hizo tatu.
Kiongozi wa kanisa Julius
Akeno aliambia konga-
mano la wasomi lililokuwa
limeandaliwa na mtandao
wa Amani Katika Kaunti
ya Baringo, kuwa wizi wa
mifugo unatishia miradi ya
maendeleo katika kaunti
NAKURU Na MUNEENI MUTHUSI hiyo.
“Huku tukiendelea
MCHEZO wa kuigiza ujulikanao kama Mchezo wa kuigiza “The story of Olkai” kutafuta suluhisho la ku-
“Gonzirahi” katika siku ya sita ukumbini ambao uliwasilishwa na shule ya upili ya dumu kutokana na tatizo
Lohana katika tamasha za michezo ya kui- wavulana ya Sigalame-kanda ya Nzoia la ukosefu wa usalama, tut-
giza hapa Nakuru uliowasilishwa na Shule katika ukumbi wa Lohana ulileta swala akarabati shule zilizoteket-
ya Upili ya Malindi kutoka kanda ya Pwani la mgongano baina ya wanyama pori ezwa na wezi wa mifugo,”
ulizua mtafaruku mkubwa miongoni mwa na wenyeji na bila shaka kuzua maswali akasema Bw Akeno.
hadhira kutokana na maudhui yake am- chungu zima kwa hadhira. Wasomi hao, mion-
bayo wengi hawakuyatazamia. Mchezo huu ulionyesha jukwaani goni mwao wakiwa walimu,
Mchezo huu ambao uliandaliwa ka- tembo (ndovu) ikishambulia wenyeji wak- mawakili, madaktari, vion-
tika gereza la Gonzirahi ulishtua hadhira iwa wamesimama chini ya mti wakijificha gozi wa kidini na viongozi
kutokana na tabia za wakuu wa gereza mvua na kuwaacha wote wakiwa mizoga wa serikali walisema kuwa
kuwatuma mahabusu usiku kwenda kuiba mbugani. Tembo akashika njia akaenda wako tayari kufanya mazun-
benki na kuwaletea pesa na hiyo wanaona zake, hakuna aliemuuliza wala hakuna gumzo na wafugaji, machifu
eti ni haki yao. aliyejitokeza kutetea haki za hao waliuawa na viongozi waliochaguliwa
Mbarika ilipasuka pale kamishna wa na tembo bila sababu. kwa lengo la kukomesha
magereza alivyolitembelea gereza hilo na Vile vile hapo jukwaani hadhira ilish- wizi wa mifugo ili kuleta
kuomba kupewa orodha ya wafungwa tuliwa sana na kisa ambapo chui alivamia amani ya kudumu.
waliomo ndani ya gereza. watu wawili, babake mtu na Walimtaka Gavana Ben-
Mfungwa mmoja alikoseka- mtoto wake. Watu ukumbini jamin Cheboi kushirikiana
na ndani na kuzua maswali walishtushwa sana walipom- nao katika harakati za
chungu zima. wona chui amewarukia watu kutafuta amani ya kudumu
Wakati hilo likien- wale na kung’oa mzee mkono miongoni mwa jamii katika
dela, raia ambao walikuwa na kuanza kuutafuna polepole kaunti hiyo.
wamemkamata mfungwa kwa raha zake. POLISI wa trafiki aangalia basi lililohusika katika ajali katika barabara ya
Walisema kuwa baadhi
mmoja alipokuwa akiiba walishangaa Kijana Lepasi kuona babake amesham- Kisumu-Busia. Basi hilo lililokuwa limetoka Busia lilipoteza mwelekeo
ya maeneo yaliyoathiriwa
ni vipi mfungwa angepewa silaha hatari buliwa alichukua mkuki na kumchoma na kupinduka karibu na mzunguko. Watu wawili walipoteza maisha yao ni Lomoiwe (Mochongoi),
kama bunduki na kupata baraka kwenda huyo chui mara tatu na kumuua. katika ajali hiyo ya Jumamosi usiku. Picha/TOM OTIENO Kasiela (Arabal), Sirata na
kutekeleza mauaji wakati akiiba benki. Pokot.
Baada ya kufikishwa “mbele ya sheria”
huko gerezani, walipata makabiliano baina
ya kamishna wa gereza na afisa mkuu wa
HABARI MSETO
Afa kabla
tolazimisha wanafunzi kujiunga
na vyuo ambavyo si chaguo lao.
ya kutoa
nafunzi hao walikuwa wame-
kataa kujiunga nacho, lakini
serikali iwakalazimisha.
“Si vyema wanafunzi kulaz-
imishwa kujiunga na vyuo am-
bavyo hawataki. Wanafunzi hawa
walikuwa wamekataa kujiunga
ushahidi
na chuo hicho kutokana na uko-
sefu wa usalama,” alisema.
Mmoja alikaa nyumbani kwa
mwaka kwa hofu ya ukosefu wa
usalama, alisema mbunge wa
Pokot Kusini, Bw David Pkosing.
Wanafunzi hao, Evelyne
Cheyech, Mike Pkemoi Kimuria
na Phillemon Tarakaramoi wal-
EMBU Na CHARLES WANYORO izikwa Jumamosi katika maeneo
ya Chepareria, Seker na Lelan.
MWANAMUME mwenye Wakazi walisema wawili hao Viongozi waliitaka serikali ku-
umri wa miaka 25 aliyekuwa walionekana Ijumaa usiku wakiwa saidia kujenga vyuo vikuu katika
atoe ushahidi kuhusu katika eneo moja la burudani eneo hilo ili kusaidia wanafunzi
kuuawa kwa babake, wakiwa na wanawake wawili. wengi ambao wana kiu ya elimu.
mnamo Ijumaa alipatikana Bw Mbogo alikuwa ni fundi wa Waliapa kutafuta mbinu za
kupata fedha za kujenga vyuo
ameuawa kwa panga pamo- stima na alitoka eneo la Siakago
vikuu katika eneo hilo ikiwa seri-
ja na rafikiye ndani ya ny- huku Njue akitoka Manyatta. kali haitasikia kilio chao.
umba yao eneo la Majengo, Bi Micheni alisema kuwa polisi Naibu wa gavana Titus
Kaunti ya Embu. walipata nyaraka kutoka kwa Lotee alisema kuwa kiwango cha
Dennis Mbogo na Michael Bw Mbogo zilizoonyesha kuwa ujinga katika eneo hilo kiko juu
Mbogo Njue, ambaye ni dereva alikuwa anataka kufuatilia suala la na wao kama viongozi wanafan-
wa teksi, walipatikana wameuawa, urithi na malipo ya babake. ya juhudi kumaliza shida hiyo.
huku wakivuja damu katika kile Anashuku kwamba huenda kifo “Kiwango cha watu ambao
ambacho polisi wanasema huenda chake kina uhusiano mkubwa na hawajasoma bado kiko juu na
ni jaribio la kuficha ukweli kuhusu kile cha babake. tumehuzunika na ambao wame-
kifo cha babake Mbogo, aliyeuawa Alisema wauaji wa Bw Mbogo kufa wakitafuta elimu,” alisema.
mjini Embu mwaka uliopita. inaonekana walifanikiwa kuingia Kiongozi huyo alilaumu
Babake Mbogo, Charles Zachari- ndani ya nyumba hiyo kupitia maafisa wa usalama nchini kwa
ah aliyekuwa Sajini katika kitengo mlango wa nyuma. kuchelewa kufika maeneo ya mi-
cha polisi wa kulinda misitu “Mbogo alikuwa na ushahidi kasa mashambulio yanapotokea.
(KFS) katika Kaunti ya Kirinyaga, muhimu katika kesi ya kuuawa
aliuawa na mwili wake kutupwa kwa babake. Kesi hiyo inachun-
mtoni katika Tharaka-Nithi. guzwa na makao makuu ya CID
Kwa mujibu wa naibu wa ka-
mansa wa polisi wa Embu, Bi Terry
Mucheni, Bw Mbogo alikuwa
pamoja na polisi wa kukabiliana
na uhalifu wa kinyumbani,” Bi
Micheni alisema
Sh10b huishia
anatarajiwa kutoka ushahidi ma-
hakamani kuhusiana na mauaji
ya babake na alisemekana kuwa na
“Kutokana na uchunguzi wetu
wa kwanza, ni dhahiri kuwa waua-
ji hawakuingia kutumia mlango
katika ulevi
ushahidi muhimu kwenye kesi. wa mbele. Inaonekana watu hao
walifanya uchunguzi wao vyema NYERI
na kufahamu jinsi ya kumzuia
Barabara
Mbogo kutoa ushahidi wakati wa ZAIDI ya Sh10 bilioni hutumika kila
kesi mahakamani,“ akasema. mwaka katika kukata kiu ya pombe
WAKAZI wa Mtwapa wakishiriki na ushirikina, jana. Waliomba na dawa za kulevya, Mwenyekiti wa
HABARI ZA KAUNTI
Raia wafunzwe
Majanga yakabiliwe
kuhepa uvamizi kwa dharura ifaayo
T
UKIO la jana ambapo mwanafunzi
mmoja wa Chuo Kikuu cha Nairobi
alifariki na wenzake zaidi ya 130
kujeruhiwa kwa kuhofia shambulio la
kigaidi linafaa kufungua macho ya wananchi na
viongozi wa Kenya.
Tukio hilo linadhihirisha kuwa tumetilia
maanani masuala mengi tofauti kuhusu
mashambulio ya kigaidi bila kuzipa uzito hatua
zinazopaswa kuchukuliwa wakati shambulio
linapotokea.
Serikali na wadau wengine wa masuala ya
usalama wamekuwa wakishauri wananchi jinsi
ya kuzuia kutokea mashambulio na jinsi ya
kuimarishia usalama katika maeneo yetu ya kazi
na mahali tunakoishi.
Lakini si rahisi kusikia yeyote akitoa ushauri
kuhusu jinsi watu wanavyofaa kujificha,
kutoroka au kupigania maisha yao wakati
MAAFISA wa kikosi cha Recce wafika kukabili majambazi waliodaiwa kuingia katika makazi eneo la Muthangari, Nairobi. Picha/MAKTABA
wanaposhambuliwa.
Hivi majuzi kuna maafisa waliojaribu kutoa
M
mawaidha hayo, ingawa waliyatoa kwa njia ENGI yamesemwa kuhusi- hilo litafanywa mpaka lini?
ana na shambulizi la kigaidi Na BERNARDINE MUTANU Mwishoni mwa juma jana, ripoti
ambayo ilighadhabisha wengi.
katika Chuo Kikuu cha Gar- tulizopokea ni kwamba, serikali ilikuwa
Mawaidha hayo yalitolewa katika hifadhi ya issa ambapo wanafunzi 148 za kigaidi walichukua dakika chache imewapa maafisa wa Recce helikopta
maiti ya Chiromo ambapo jamaa na marafiki waliuawa kinyama. kuwamaliza magaidi hao na kuhitimisha mbili za kufanya operesheni.
M
shambulizi hilo lililowaacha wengi na
wa wanafunzi waliofariki katika Chuo Kikuu cha Tukiendelea kuomboleza na kutuma bona haikufanya hivyo kabla ya
jumbe za rambirambi kwa jamaa za majonzi makuu. kisa cha Garissa? Kumaanisha
Garissa walikuwa wanendelea kuomboleza. Kwa zaidi ya saa kumi, watu zaidi ya
wenda zao ulimwengu umeungana nasi kuwa hawangepata ndege hizo
Matamshi yaliyotolewa wakati huo pia 150 walikuwa wamepoteza maisha yao ikiwa habari kuhusiana na kudhalilishwa
wakati huu mgumu.
hayakuridhisha, na hivyo basi mawaidha Na ingawa serikali imeonekana mikononi mwa magaidi ilhali maafisa kwao hazingechapishwa magazetini na
hayo yakachukuliwa kwa wepesi. Katika kuchukua hatua ili kuimarisha hali waliofaa kukomesha mauaji hayo kupeperushwa kwa runinga na radio.
walikuwa barabarani kuelekea huko. Kwa nini serikali huwa inangoja mpaka
mataifa yaliyoendelea kiuchumi ambapo pia ya usalama nchini, inawezekana
mashambulio ya kigaidi hushuhudiwa, idara za kuwa inachukua hatua haba ikiwa AIBU hali inakuwa mbaya zaidi ili ichukue
imechelewa? hatua? Kama wazungu wasemavyo, ‘bora
usalama huwa zimejitwika jukumu la kuelimisha Hadithi zimesimuliwa kuhusiana na Na kutia chumvi juu ya kidonda, kuzuia kuliko kutibu’ ndivyo ninasema,
umma kuhusu hatua wanazofaa kuchukua jinsi baadhi ya wanafunzi wa chuo hicho Waziri wa Masuala ya Kigeni Amina bora kuchukua hatua mapema kuzuia
wanaposhambuliwa. walikumbana na mauti yao. Ripoti ya Mohammed alijulisha ulimwengu kuwa maafa kama hayo.
msichana mmoja ambaye aliuawa baada serikali ilikabiliana na hali hiyo kwa njia Inaonekana kuwa visa vya kigaidi
Kuna mataifa ambapo mitandao ya kijamii ya kufana sana.
ya saa saba tangu kutekwa kwa chuo vinavyoendelea kushuhudiwa sio funzo
hutumiwa kueneza video na arafa kuhusu Hatukatai, wanajeshi na maafisa kwa serikali kwa sababu tangu msururu
hicho na magaidi wa Al-Shabaab iliatua
hatua hizo, na hivi sasa baadhi ya Wakenya mioyo ya wengi. wengine wa usalama walifika mapema wa mashambulizi ulipoanza, ni mambo
wanatumia mawaidha hayo ya mataifa ya kigeni Huenda maisha ya msichana huyo lakini mbona tukapoteza idadi kubwa ya machache sana ambayo serikali imeweza
wananchi wasio na hatia namna hiyo? kufanikisha.
kujielimisha jinsi wanavyoweza kujinusuru. na baadhi ya wanafunzi wengine
yangenusuriwa ikiwa maafisa wa usalama Kufika mapema kwa Nkaissery na Boinett Serikali inafaa kuimarisha miundo
Aidha, itakuwa bora pia iwapo mijengo yote kulisaidia nini ila kuitia serikali aibu?
kutoka kundi la Recce wangefika mapema msingi hasa kuwanunulia maafisa wa
muhimu nchini itakuwa na milango au sehemu kidogo. Sitasita kusema kuwa, serikali imepiga usalama vifaa vya kuweza kukabiliana sio
zinazoweza kutumiwa kutoroka. Lakini Waziri wa Usalama wa Ndani hatua kukabiliana na hali ya ukosefu tu na ugaidi mbali pia majanga nchini.
Joseph Nkaissery na Inspekta Mkuu wa usalama nchini lakini ilifanya hivyo bmutanu@ke.nationmedia.com
wa Polisi Joseph Boinett, walichagua ikiwa imechelewa sana!
Ni Gazeti la Kampuni ya Nation Media Group Wakati mashambulizi yanapofanywa
kutangulia kwenda Garissa badala kutoa
Mkurugenzi Mkuu: LINUS GITAHI nchini imekuwa kawaida kwa viongozi
helikopta kwa maafisa hao wa usalama.
Kaimu Mkurugenzi wa Uhariri: TOM MSHINDI kuongea kwa ukali na kuoenekana
Na walipofika shuleni humo, maafisa
Mhariri Msimamizi: NICHOLAS MUEMA kuchukua hatua za harakaharaka lakini
hao walio na ujuzi mkubwa wa hali
Kiboko amtimua
polo akiwa uchi
alipokuwa akioga
MARK-FAST, THIKA
POLO wa eneo hili alitimka mbio akiwa uchi baada
ya kufukuzwa na kiboko akioga mtoni.
Kulingana na mdokezi wetu, jamaa alikuwa
na mazoea ya na kuoga mtoni akisema hange-
chota maji kwa mtungi. “Jamaa alikuwa akisema
kwamba hawezi kubeba mtungi wa maji na kupe-
leka nyumbani eti ni kazi ya wanawake,” akaeleza
mdokezi.
Siku ya kioja, ilikuwa mwendo wa saa nane
mchana alipokwenda kuoga kama alivyozoea lakini
hakujua kuwa kuna kiboko aliyemgoja. Punde tu
alipojipaka sabuni, alimuona kiboko akija kumkabili
mita moja tu kutoka mahali alipokuwa.
Yasemekana kuwa jamaa alitimka mbio
akiwa uchi wa mnyama kuokoa maisha yake.
“Ilimbidi ayaache mavazi yake na kukimbilia
usalama wake akiwa uchi wa mnyama,”akasimulia
mdokezi.
Na GRACE KARANJA
Chelewa chelewa ya jombi kumbe mwana si wake kabla ya harusi. Inasemekana kuwa jamaa
alimwambia kipusa huyo kwamba hangemuoa
kwa sababu aligundua kwamba hajui kujipon-
POLO wa eneo hili alishangaa Rafiki yake aliyekuwa akioga “Sioni haja yako ya kuja doa.
baada ya mpenzi wake wa muda GITHUMU,KANGARI alisikia kelele nje na akatoka kujua hapa kwangu kuleta balaa, Mwanadada huyo hakuamini aliyoambiwa
mrefu kumruka na kuolewa na aliyekuwa akikabiliana na mkewe. tangu tujuane miaka saba na jamaa huyo kwa sababu mipango ya harusi
jirani aliyekuwa rafiki yake. zake mashambani na jamaa akaa- Hapo ndipo wawili hao wal- sasa imekwisha ukiniahidi tu ilikuwa imekamilika. Lakini jamaa alimwambia
Penyenye zasema kwamba, mua kwenda kwa rafiki yake. ianza kupigiana kelele kila mmoja utanioa. Nikikwambia miaka kwamba alikuwa amevunjilia mbali mipango
wawili hao walikuwa wapenzi kwa Ajabu ni kwamba alipofika huko, akimuonya mwenzake dhidi ya yetu inasonga wewe husema ya harusi hadi wakati ambao atampata
muda wa miaka saba na tayari wa- alimpata mpenzi wake akiwa ame- kumkaribia msichana huyo. huna haraka. Basi nimem- mwanadada anayejua kujipodoa na
likuwa wanapanga kufunga pingu jifunga leso huku akiosha nyumba Mabishano makali yalianza pata aliye na haraka na akanioa, ” ndipo kidosho alishtuka na kuanza
za maisha. ya rafiki yake jambo ambalo hak- wakimpigania kipusa huyo na akamwambia jamaa. kilio.
Siku ya kutemwa, polo alimpigia uamini kamwe. mwanadada aliingilia kati ili Na GRACE KARANJA NA HOLINESS
simu kipusa wake na akamwambia Bila kumjulia hali alimuuliza ali- kuzuia balaa kati ya jamaa hao MWAMBI.
alikuwa amesafiri kuwaona jamaa chokuwa akifanya kwa rafiki yake. wawili.
Dondoo za Hapa na Pale ni visa vinavyojiri kila siku sehemu tofauti nchini na kimataifa. Tuma habari kwa dondoo@ke.nationmedia.com
TAIFA LEO
13
spoti
Jumatatu, Aprili 13, 2015
Uhondo wa
YALIYOMO
Ronaldo na
JAVIER
Messi kuwania
tena tuzo ya
Ballon d’Or
Uk 14
PASTORE Kijasho
chatarajiwa
PSG na Argentina safari ya
AFCON 2017
nchini Gabon
Uk 16-17
Umri wa wachezaji
unavyoiponza
Manchester City
Uk 17
14 TAIFA LEO
Jumatatu, Aprili 13, 2015
SOKA
K
zia, Hendry Sofali, Shujaa Alex, Omar
IKOSI cha wachezaji 96 Dyza, Daniel Katana, Joseph Mburu
na maafisa 10 cha timu na Bratson Said.
za Pwani kimepania Timu ya netiboli ya wasichana
mwaka huu kufanya maa- ina Leila Mwatembo, Santa XCharo,
jabu kwenye Michezo ya Kitaifa ya Zeinab Ngare, Jemima Ngala, An-
Shule za Msingi yanayoanza rasmi zazi Masai, Salma Johnson, Chigogo
hivi leo Jumatatu katika Chuo cha Chigumba, Rehema Ali, Mitchel Ka-
Ualimu cha Machakos. zungu na Grace Wanjala.
Kikosi hicho kinahusisha wavu- Timu ya voliboli ya wavulana ina
lana na wasichana waliochaguliwa Dulu Bonaya, Karisa Kadenge, Sulei-
kutokana na walivyocheza kwenye man Juma, Ali Kombo, Rama Omari,
Michezo ya Shule za Msingi ya Mkoa Salim Hamis, Suleiman Munga,
wa Pwani yaliyomalizika katika Kanapaki Sulo, Sinajibu Mkare na
kiwanja cha Moi mjini Voi, Ijumaa Shabani Hamisi.
iliyopita. Timu ya voliboli wasichana: Neema
Kulingana na Katibu wa Chama Mwanyule, Annet Ngala, Peris Taura,
cha Michezo cha Shule za Msingi cha Zainabu Mgandi, Mwanaidi Salim,
Kenya (KPSSA) tawi la Pwani, Robert Mwaka Dzaphila, Judith Hamisi,
Makomere, timu zao za michezo saumu Saidi, Halima Msoud na Lena
ya kandanda, netiboli, voliboli na Masud.
mpira wa mikono zinatarajia kufanya Timu ya mpira wa mikono ya wa-
vyema katika michezo ya kitaifa ya vulana ina: Abdinoor Hassan, Wilson
mwaka huu. Mwanyoka, Andrew Mbashu, Jacob
“Tunakwenda Machakos tukiwa Moshe, Anthony Mwaligha, Fredrick
TIMU ya kaunti ya Mombasa ambayo ilishinda ubingwa wa eneo la Pwani. Picha/ABDULRAHMAN SHERIFF
na matumaini makubwa ya kufanya Kariuki, Hassan Munguti, Absalom
vyema kuliko mwaka uliopita kwani Andiva, Brian Chinando na Phedelix
walivyofanya bidii tangu kwenye Kilifi na Kwale hali Tana River na na wachezaji wanane kutoka timu
tumeshuhudia hali ya juu katika Metui.
michezo kutoka ngazi ya kaunti hadi Taita Taveta zimetoa mwanasoka iliyoibuka mabingwa ya Kilifi, sita wa
kila mchezo,” anasema Makomere Timu ya mpira wa mikono ya
ya mkoani na ndipo nina uhakika mmoja mmoja. Mombasa iliyomaliza nafasi ya pili,
alipokuwa akitoa orodha ya majina wasichana ina Mariam Mohamed,
klwa wanafunzi wetu kutambia timu Wachezaji wa soka ya wanaume ni wawili wa Kwale hali mmoja mmoja
ya wale waliofanikiwa kuchaguliwa Neema Nzai, Mercy Kariuki, Phele-
nyingine za nchini,” anasema ashid. Baya Kadenge, Jasho Sifa, Ngumbao kutoka Lamu na Taita Taveta.
kwenda Machakos. sha Mashaka, Clemence Mwae, Eliza
Kikosi cha timu ya soka ya wavu- Kitsao, Erick Baraka na David Sore Wachezaji hao ni Medza Mwachiro,
Mwenyekiti wa tawi hilo, Mbalo Mwakombe, Vivian Auma, Naomi
lana kinachonolewa na kocha Evans (Kilifi), Athamn Amadi, Madide Saidi, Fatuma Katana, Salama Ali, Mwaka
Rashid ambaye pia ni Naibu Randu, Mary Paul na Grace Mangale.
Owuor Akello, kina wachezaji sita Mwidadi Sheube, Ali Swaleh, Mwinyi Mboga, Rahab Magandi, Jefwa Sada-
Mwenyekiti wa kitaifa alisema Mombasa ilishinda taji la soka ya
kutoka timu iliyoshinda taji hilo ya Juma na Ali Rama (Mombasa). ka, Prisca Nuru, Rehema Mbaraka,
kwamba anafurahikiwa sana na jinsi wavulana, Kilifi ikashinda netiboli na
Kaunti ya Mombasa, watano kutoka Wengine ni Chigwe Bakari, Bakari Grace Kudunda, Grace Chigumba,
chipukizi wa Pwani walivyocheza mpira wa mikono kwa wavulana na
Issa, Mbwana Swaleh, Abukari Mo- Zawadi Tsuma, Hope Vuko, Kahindi
kwenye michezo yote na akawa na voliboli na soka kwa wasichana. Kwale
hamed na Mwaboa Ali (Kwale), nelly, Nelly Jonathan, Menal Abdat,
uhakika ya timu zake kutamba ilishinda voliboli ya wavulana na neti-
Collins Bwire (Taita Taveta), Ejema Catherine Aringo, Firdaus Genge na
kwenye michezo ya Machakos. boli ya wasichana hali wenyeji Taita
Ismail (Tana River). Mercy Kazungu.
“Sina budi kuwapongeza wanafun- Taveta wakaibuka na ushindi wa taji la
Timu ya soka ya wasichana iliyo Wachezaji wa timu ya netiboli ya
zi wasichana na wavuklana kwa jinsi mpira wa mikono kwa wasichana.
MAKALA MAALUM
Wade akoseshwa usingizi
Danguro kutoa asali ya
Ni kijasho tu huku timu zikijiandaa bure kwa mashabiki
na aliyekuwa mkewe kwani
kamshtaki mahakamani
kwa mechi za kufuzu AFCON 2017
DAH! Ni taabu tu ka- akikunwa kichwa na
tika maisha ya mchezaji mahangaisho ya Funches
vikapu matata wa NBA, ambaye amempelekea
Dwayne Wade baada kutumia zaidi ya Sh908
ya aliyekuwa mke wake milioni tangu 2007
Siohvaughn Funches kugharamia kesi yao ya
kurejea mahakamani talaka.
Baada ya droo ya mechi za kufuzu kwa fainali za AFCON 2017 kufanyika juma lililopita. Sasa timu zimeanza kupasha misuli tena kumshtaki kuhusu
wanao.
moto zikilenga tiketi ya kwenda Gabon kwa kipute hicho, Mwandishi Geoffrey Anene anachambua makundi ya safari hiyo....
Masaibu
haya yan-
amkumba
D
Wade miezi
miwili tu
ROO ya mechi za kufuzu kwa AF-
baada ya
CON 2017 ilitangazwa Jumatano kuripotiwa
iliyopita. kwamba
Huku timu zikianza kupasha misuli ndoa
moto kabla ya mbio za kujiunga na yake kwa
wenyeji Gabon kuanza Juni 12, tunamulika mwigizaji
Gabriel Un-
kundi baada ya kundi kutofautisha mgombea na
ion haita-
abiria. Mataifa 13 yatafuzu moja kwa moja kwa mbuliki
kombe hilo. Vilevile, timu mbili bora zitaka- na jimbo
zomaliza za pili baada ya mechi zote kuchezwa la Miami
pia zitaelekea Libreville mwaka 2017. wanakoishi
kwa kuwa
BONDIA Manny Pacquiao akiwa na wanamitindo hawa-
Kundi A PICHA/HISANI jajiandiki-
Ni kundi linalojumuisha mabingwa wa 2004, sha tangu
Tunisia pamoja na Togo, Liberia na Djibouti. Kuna taarifa kwamba danguro moja, Sheri Ranch linalopa- walipoona
Miamba wa kundi hili ni “Carthage Eagles” tikana Las Vegas, Marekani limetoa ofa ya kingono kwa mwisho
ya Tunisia. Wameshiriki makala 12 mfululizo. mashabiki watakosafiri hadi jijini humo kushuhudia pambano wa mwaka
Togo nao wamefuzu kwa kombe hilo mara jana.
la kihisitoria kati ya manguli Floyd Mayweather na Manny Wade
nane. Liberia wamekuwa nje tangu mvamizi Pacquiao. ambaye ni
George Weah awasaidie kufuzu kwa AFCON Medani hiyo itakayokuwa ghali zaidi duniani ikitarajiwa mmoja wa
2002. Waliwahi kushiriki AFCON mwaka kuingiza zaidi ya Sh27 bilioni, imewavutia mashabiki wengi wanabas-
1996, mwaka moja baada ya Weah kutangazwa kutoka pembe zote za dunia ambao watasafiri kulishuhudiwa ketiboli
msakataji bora wa kabumbu duniani. Djibouti laivu. matajiri
hawajawahi kuingia AFCON. Licha ya kuwa na zaidi dun-
Hatua hiyo imeiweka vizuri kibiashara ndaguro hiyo am- iani na wa-
nyota Emmanuel Adebayor na mandugu Floyd bayo ili kuwavutia wateja wengi, imeamua kutoa ofa ambayo naolipwa
Ayité na Jonathan Ayité, Tunisia wanaonekana inahisi kuwa itashawishi idadi kubwa ya mashabiki kuizuru. mshahara
kuwa farasi pekee katika kundi hili. Kiungo KIPA wa Nigeria Vincent Enyeama akiokoa mpira kuingia langoni mwake kwenye mechi ya Kulingana na jarida la TMZ, Kwa kitita cha Sh9 milioni, kila mkubwa,
Wahbi Khazri na mshambuliaji Ahmed Akaïchi fainali za Kombe la Dunia dhidi ya Argentina mwaka jana nchini Brazil. Picha/MAKTABA shabiki atapewa tiketi mbili za kutizama pambano hilo huku amekuwa MWANAVIKAPU Dwayne Wade
ni baadhi ya mastaa wa Tunisia wanaotarajiwa pia nauli zao za ndege kulipiwa kwa wale wanaotoka nje ya na aliyekuwa mkewe Siohvaughn
kutesa. nao hawajakuwa na msimamo katika AFCON kutoka sare sita. Kenya na Congo zilizabwa
Marekani. Funches.
baada ya kukosa makala matatu mfululizo. Wal- 2-0 mara ya mwisho zilipokutana na Zambia
Kundi B ishiriki makala ya 2004, 2008 na 2010. mwaka 2009 na 2005, mtawalia. Zambia na
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) Umri umeanza kumpa kisogo tegemeo Guinea-Bissau hazijawahi kumenyana. Kenya
MSHAMBULIAJI wa Gabon Pierre Emerick Aubameyang (katikati) akitamba na mpira
ilishangaza wengi baada ya kuzoa nishani wao Stéphane Sessègnon (West Brom- haijakutana na Congo, lakini ina rekodi ya wakati wa mechi ya kombe la Afrika 2012 dhidi ya Morocco. Picha/MAKTABA
ya shaba katika AFCON 2015 ikiwa imefuzu wich). Sudan Kusini walipata uhuru 1-1 dhidi ya Guinea-Bissau. Kenya na Guinea-
kushiriki kombe hilo kama timu iliyokuwa
bora katika timu zilizomaliza mechi za
mchujo katika nafasi ya tatu. Angola, ambao
mwaka 2011. Vita vya wenyewe kwa
wenyewe miaka miwili sasa vitavu-
ruga jitihada zao.
Bissau zilikutana katika mechi za kufuzu kwa
AFCON 2012. Guinea-Bissau ililima Kenya 1-0
jijini Bissau mnamo Septemba 4, 2010 kabla ya
jijini Brazzaville kati ya Juni 12-14. Mechi kati
ya Zambia na Congo, ambao walishiriki AFCON
mwaka huu, huenda ziamue mshindi wa kundi
Kundi I
Kundi hili pia linajumuisha timu ambazo zime-
shiriki AFCON. Hata hivyo, mabingwa watetezi
Boateng kushtakiwa kwa Dah! kumbe Rojo alishiriki
pia wako kundi hili, wameshiriki
makala saba ya AFCON
tangu 1996.
Kundi D
Kundi hili linaonekana kuwa
kupata dozi ya 2-1 jijini Nairobi mwaka mmoja
baadaye. Kenya inayonolewa na Bobby William-
son itafungua kampeni yake dhidi ya Congo
hili. Kenya ilifuzu kwa AFCON mara ya mwisho
mwaka 2004 wakati mvamizi Dennis Oliech
alikuwa tegemeo. Nyota anayesifika sana wakati
Ivory Coast wanatarajiwa kupepea dhidi ya Su-
dan, Sierra Leone na Gabon. Kundi hili litakuwa
na ushindani mkubwa kwa sababu Gabon tayari
kumng’ata mama watoto mapenzi na kocha wa viungo
Walikosa mbio kati ya Burkina Faso huu katika Harambee Stars ni kiungo wa South- wamefuzu kama waandalizi. ALIYEKUWA mchumba wa omsaidia kumfungilia
ku- na Uganda. Hata hivyo, ampton, Victor Wanyama. beki wa Bayern Munich, mashataka Boateng kwa
Waganda wana fursa kubwa Kundi J Jerome Boateng kisura madai kuwa alimvamia
ya kurudi katika AFCON Kundi F Washikilizi wa nafasi ya kwanza barani Af- Sherin Senler anadaiwa na kumtandika pamoja na
baada ya miaka 37. Maga- Kundi hili linaonekana kuwa mbio ya farasi rika, Algeria watajilaumu wenyewe ikiwa kuwa anajipanga kwenda kumng’ata na kisha kum-
zeti nchini Uganda tayari watatu – Cape Verde, Morocco na Libya. Mechi mahakamani kumshtaki furusha kwenye jumba
ridhisha katika AF- watashindwa kujikatia tikiti mapema jinsi mpenzi wake huyo wa za- lao.
yametaja kundi hili kuwa baina ya timu hizi tatu huenda zitaamua ataka- walivyofanya kufika AFCON 2015. Ethiopia, Le-
CON 2013 na 2012 na kukosa “mboga”. Mkufunzi wa
mani kwa kumdhulumu. Gazeti hilo limeripoti
yeambulia tikiti hiyo moja. Sao Tome hawaja- sotho na Ushelisheli wanatarajiwa kuwa mswaki Uhusiano wa mapenzi kuwa Boateng na Sherin
makala ya mwaka huu. Licha ya Cranes, Micho Sredejovic wahi kushiriki dimba hili. Hawana uzoefu wa kwa Algeria. Lesotho na Ushelisheli wangali baina ya wawili hawa wamekuwa wakikorofi-
kuwa na talanta nyingi inayosakata ni baadhi ya walionuku- AFCON. Haitashangaza mshindi wa kundi hili mawindoni kufika AFCON. uliodumu kwa miaka oshana mara kwa mara
kabumbu nje ya nchi, Jamhuri ya liwa na magazeti hayo minane ulimalizika yapata kabla ya kuachana ka-
akiamuliwa na magoli watakayopata Sao Tome.
Afrika ya Kati haijafaulu kufika wakisema Uganda inasta- wiki sita zilizopita bisa kwa jumla baada ya
AFCON. Madagascar pia haijawahi Kundi K baada ya Boateng mchezaji huyo kumtupia
kufuzu kwa dimba hilo. DRC ina
hili kuwa miongoni mwa Kundi G Wapenzi wa mashabiki Sen- kumfurusha mwenzake virago nje.
mataifa 16 yatakayoshiriki Ni kundi ambalo lina miamba egal wanajivunia talanta nyingi katika jumba Katika kipindi hicho
nafasi kubwa ya kumaliza juu ya AFCON 2017. Burkina Faso wawili wa Afrika – Nigeria na ikiwa ni pamoja na washam- lake ambalo wa- ambacho wawili hao
kundi hili baada ya kupata moti- na Uganda zinashikilia nafasi Misri. Litakuwa na msisimko buliaji matata Sadio Mane, Dia- likuwa wakiishi walikuwa wapenzi,
sha kutoka AFCON 2015. ya 18 na 19 barani Afrika, mta- pamoja. walijaliwa kuwa-
wa aina yake kwani Nigeria fra Sakho, Biram Diouf, Demba
walia. Mechi baina yao huenda hawako tayari kukosa makala Kwa kumu- pata watoto wa kike
Kundi C Ba na Moussa Sow. Itabidi Niger, jibu wa gazeti mapacha Lamia Soley
ikamua nani kati yao atafuzu. mawili mfululizo nao mab- Namibia na Burundi wafanye
Mali wameshiriki Kombe la Af- Botswana wamefifia tangu ku-
la Bild, kic- wenye umri wa miaka
ingwa mara saba Misri wa- kazi ya ziada kunyamazisha huna huyo tayari minne ambao wanase-
rika mara tisa tangu libuniwe shiriki AFCON 2012. Ingawa natamani kukatiza masaibu Teranga Lions. amewatafuta mekana kuwa
mwaka 1957. Wamedumu Comoros waliwatatiza Kenya ya kukosa makala matatu mawakili wapo chini ya
kwenye ratiba ya AFCON katika mechi za kufuzu kwa BEKI Marcos Rojo wa Manchester United.
tangu 2008. Mali wali-
mfululizo. Licha ya kuzidiwa maarifa miaka ya Kundi L wa- himaya ya
AFCON 2015, itakuwa vigumu hivi karibuni, Misri ni kisiki katika jitihada za taka- baba yao.
maliza katika nafasi Mbio za kutwaa ubingwa wa kundi hili zi- BEKI wa Manchester United, uhusiano huo hadharani.
kwao kusimamisha Burkina mabingwa mara tatu Nigeria kufuzu. Misri im- naonekana kuwa kati ya Guinea na Malawi. Marcos Rojo ametajwa kwenye Magezeti ya Uingereza
ya 10 mwaka huu. Faso au Uganda ambao wame- ekuwa ikikanyaga Nigeria, na Tanzania ambao Guinea hata hivyo wana historia nzuri dhidi skendo ya kimapenzi ambayo yameripoti kwamba Rojo 25,
Equatorial Guinea kuwa wakiwaka moto. wanasaka kurudi AFCON tangu mwaka 1980. ya Malawi ikiwa ni pamoja na kuwapepeta 3-1 ilichipuka mwezi uliopita anayelipwa mshahara wa
wameshiriki
Chad wanawinda kufika AFCON kwa mara ya mwaka 2005 nyumbani na 2-1 mwaka 2009 baada ya mwanamke mmoja Sh27 milioni kila wiki kupitia
AFCON mara Kundi E kwanza kabisa. ugenini katika mechi za kufuzu kwa Kombe la kudai kwamba angeanika mawakili wake walimtishia
mbili (2012 na Kundi hili linajumuisha Dunia 2010. Zimbabwe na Swaziland ni abiria JEROME uhusiano wao hadharani baada Sarah kuwa wangepindua
2015). Mara
yote wamekuwa
mabingwa wa AFCON Zam- Kundi H katika kundi hili. Boateng na ya kugundua kwamba jamaa kesi ili imwegemee endapo
bia (2012) pamoja na Congo, Mabingwa mara nne Ghana wanajivunia nyota aliyekuwa alikuwa na familia. angeamua kufichua siri hiyo
wenyeji. Benin Kenya na Guinea-Bissau. Zambia Kocha wa mazoezi ya viungo kuwa alivunja amri ya sita na
wengi. Pia wana uzoefu wa miaka 23 katika Kundi M mchumba
wana asilimia kubwa ya kumaliza AFCON na kwa hivyo itakuwa miujiza wak- Mabingwa mara nne Cameroon na mabingwa Sarah Watson na Marcos Rojo mchezaji huyo.
wake Sherin
MSHAMBULIAJi matata wa wa kwanza. Wana historia nzuri dhidi ya ishindwa kudumisha rekodi hiyo. “Black Stars” wa 1996 Afrika Kusini walisikitisha katika walitajwa kuwa wahusika wa Sarah mwenye miaka 34,
Senegal Sadio Mane ambaye Senler. kesi hiyo baada ya mahakama ndiye aliyezua tetesi hizo
Congo, Kenya na Guinea-Bissau. Chipol- wamekuwa wakilima Msumbiji. Hata hivyo, AFCON ya mwaka huu. Watakuwa na kibarua
huchezea klabu ya Southamp- Picha/ kuu moja ya jijini London kua- baada ya kuliambia chombo
opolo wamekutana na Kenya mara Rwanda huwapa wakati mgumu. Mauritius ha- kigumu kung’ang’ania tikiti moja dhidi ya
ton nchini Uingereza. SHABIKI sugu wa timu ya taifa ya Ghana MAKTABA muru watajwe kufuatia mala- kimoja kwamba alikuwa ma-
34 tangu mwaka 1964. Wamezaba wajashiriki AFCON tangu 1974. pingamizi kutoka kwa Gambia na Mauritania,
Picha/MAKTABA akifuatilia mechi ya awali ya AFCON. lamishi ya mwanadada huyo kini kutibua siri hiyo alipokuja
Kenya mara 21, kushindwa saba na Picha/MAKTABA ambao hawajawahi kufuzu kwa dimba hili. kuwa alitishiwa maisha baada kubania kuwa Rojo alikuwa na
ya kudai kwamba angeweka familia na mtoto mmoja.
16 TAIFA LEO TAIFA LEO
17
UDAKU
Jumatatu, Aprili 13, 2015 Jumatatu, Aprili 13, 2015
MAKALA MAALUM
Wade akoseshwa usingizi
Danguro kutoa asali ya
Ni kijasho tu huku timu zikijiandaa bure kwa mashabiki
na aliyekuwa mkewe kwani
kamshtaki mahakamani
kwa mechi za kufuzu AFCON 2017
DAH! Ni taabu tu ka- akikunwa kichwa na
tika maisha ya mchezaji mahangaisho ya Funches
vikapu matata wa NBA, ambaye amempelekea
Dwayne Wade baada kutumia zaidi ya Sh908
ya aliyekuwa mke wake milioni tangu 2007
Siohvaughn Funches kugharamia kesi yao ya
kurejea mahakamani talaka.
Baada ya droo ya mechi za kufuzu kwa fainali za AFCON 2017 kufanyika juma lililopita. Sasa timu zimeanza kupasha misuli tena kumshtaki kuhusu
wanao.
moto zikilenga tiketi ya kwenda Gabon kwa kipute hicho, Mwandishi Geoffrey Anene anachambua makundi ya safari hiyo....
Masaibu
haya yan-
amkumba
D
Wade miezi
miwili tu
ROO ya mechi za kufuzu kwa AF-
baada ya
CON 2017 ilitangazwa Jumatano kuripotiwa
iliyopita. kwamba
Huku timu zikianza kupasha misuli ndoa
moto kabla ya mbio za kujiunga na yake kwa
wenyeji Gabon kuanza Juni 12, tunamulika mwigizaji
Gabriel Un-
kundi baada ya kundi kutofautisha mgombea na
ion haita-
abiria. Mataifa 13 yatafuzu moja kwa moja kwa mbuliki
kombe hilo. Vilevile, timu mbili bora zitaka- na jimbo
zomaliza za pili baada ya mechi zote kuchezwa la Miami
pia zitaelekea Libreville mwaka 2017. wanakoishi
kwa kuwa
BONDIA Manny Pacquiao akiwa na wanamitindo hawa-
Kundi A PICHA/HISANI jajiandiki-
Ni kundi linalojumuisha mabingwa wa 2004, sha tangu
Tunisia pamoja na Togo, Liberia na Djibouti. Kuna taarifa kwamba danguro moja, Sheri Ranch linalopa- walipoona
Miamba wa kundi hili ni “Carthage Eagles” tikana Las Vegas, Marekani limetoa ofa ya kingono kwa mwisho
ya Tunisia. Wameshiriki makala 12 mfululizo. mashabiki watakosafiri hadi jijini humo kushuhudia pambano wa mwaka
Togo nao wamefuzu kwa kombe hilo mara jana.
la kihisitoria kati ya manguli Floyd Mayweather na Manny Wade
nane. Liberia wamekuwa nje tangu mvamizi Pacquiao. ambaye ni
George Weah awasaidie kufuzu kwa AFCON Medani hiyo itakayokuwa ghali zaidi duniani ikitarajiwa mmoja wa
2002. Waliwahi kushiriki AFCON mwaka kuingiza zaidi ya Sh27 bilioni, imewavutia mashabiki wengi wanabas-
1996, mwaka moja baada ya Weah kutangazwa kutoka pembe zote za dunia ambao watasafiri kulishuhudiwa ketiboli
msakataji bora wa kabumbu duniani. Djibouti laivu. matajiri
hawajawahi kuingia AFCON. Licha ya kuwa na zaidi dun-
Hatua hiyo imeiweka vizuri kibiashara ndaguro hiyo am- iani na wa-
nyota Emmanuel Adebayor na mandugu Floyd bayo ili kuwavutia wateja wengi, imeamua kutoa ofa ambayo naolipwa
Ayité na Jonathan Ayité, Tunisia wanaonekana inahisi kuwa itashawishi idadi kubwa ya mashabiki kuizuru. mshahara
kuwa farasi pekee katika kundi hili. Kiungo KIPA wa Nigeria Vincent Enyeama akiokoa mpira kuingia langoni mwake kwenye mechi ya Kulingana na jarida la TMZ, Kwa kitita cha Sh9 milioni, kila mkubwa,
Wahbi Khazri na mshambuliaji Ahmed Akaïchi fainali za Kombe la Dunia dhidi ya Argentina mwaka jana nchini Brazil. Picha/MAKTABA shabiki atapewa tiketi mbili za kutizama pambano hilo huku amekuwa MWANAVIKAPU Dwayne Wade
ni baadhi ya mastaa wa Tunisia wanaotarajiwa pia nauli zao za ndege kulipiwa kwa wale wanaotoka nje ya na aliyekuwa mkewe Siohvaughn
kutesa. nao hawajakuwa na msimamo katika AFCON kutoka sare sita. Kenya na Congo zilizabwa
Marekani. Funches.
baada ya kukosa makala matatu mfululizo. Wal- 2-0 mara ya mwisho zilipokutana na Zambia
Kundi B ishiriki makala ya 2004, 2008 na 2010. mwaka 2009 na 2005, mtawalia. Zambia na
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) Umri umeanza kumpa kisogo tegemeo Guinea-Bissau hazijawahi kumenyana. Kenya
MSHAMBULIAJI wa Gabon Pierre Emerick Aubameyang (katikati) akitamba na mpira
ilishangaza wengi baada ya kuzoa nishani wao Stéphane Sessègnon (West Brom- haijakutana na Congo, lakini ina rekodi ya wakati wa mechi ya kombe la Afrika 2012 dhidi ya Morocco. Picha/MAKTABA
ya shaba katika AFCON 2015 ikiwa imefuzu wich). Sudan Kusini walipata uhuru 1-1 dhidi ya Guinea-Bissau. Kenya na Guinea-
kushiriki kombe hilo kama timu iliyokuwa
bora katika timu zilizomaliza mechi za
mchujo katika nafasi ya tatu. Angola, ambao
mwaka 2011. Vita vya wenyewe kwa
wenyewe miaka miwili sasa vitavu-
ruga jitihada zao.
Bissau zilikutana katika mechi za kufuzu kwa
AFCON 2012. Guinea-Bissau ililima Kenya 1-0
jijini Bissau mnamo Septemba 4, 2010 kabla ya
jijini Brazzaville kati ya Juni 12-14. Mechi kati
ya Zambia na Congo, ambao walishiriki AFCON
mwaka huu, huenda ziamue mshindi wa kundi
Kundi I
Kundi hili pia linajumuisha timu ambazo zime-
shiriki AFCON. Hata hivyo, mabingwa watetezi
Boateng kushtakiwa kwa Dah! kumbe Rojo alishiriki
pia wako kundi hili, wameshiriki
makala saba ya AFCON
tangu 1996.
Kundi D
Kundi hili linaonekana kuwa
kupata dozi ya 2-1 jijini Nairobi mwaka mmoja
baadaye. Kenya inayonolewa na Bobby William-
son itafungua kampeni yake dhidi ya Congo
hili. Kenya ilifuzu kwa AFCON mara ya mwisho
mwaka 2004 wakati mvamizi Dennis Oliech
alikuwa tegemeo. Nyota anayesifika sana wakati
Ivory Coast wanatarajiwa kupepea dhidi ya Su-
dan, Sierra Leone na Gabon. Kundi hili litakuwa
na ushindani mkubwa kwa sababu Gabon tayari
kumng’ata mama watoto mapenzi na kocha wa viungo
Walikosa mbio kati ya Burkina Faso huu katika Harambee Stars ni kiungo wa South- wamefuzu kama waandalizi. ALIYEKUWA mchumba wa omsaidia kumfungilia
ku- na Uganda. Hata hivyo, ampton, Victor Wanyama. beki wa Bayern Munich, mashataka Boateng kwa
Waganda wana fursa kubwa Kundi J Jerome Boateng kisura madai kuwa alimvamia
ya kurudi katika AFCON Kundi F Washikilizi wa nafasi ya kwanza barani Af- Sherin Senler anadaiwa na kumtandika pamoja na
baada ya miaka 37. Maga- Kundi hili linaonekana kuwa mbio ya farasi rika, Algeria watajilaumu wenyewe ikiwa kuwa anajipanga kwenda kumng’ata na kisha kum-
zeti nchini Uganda tayari watatu – Cape Verde, Morocco na Libya. Mechi mahakamani kumshtaki furusha kwenye jumba
ridhisha katika AF- watashindwa kujikatia tikiti mapema jinsi mpenzi wake huyo wa za- lao.
yametaja kundi hili kuwa baina ya timu hizi tatu huenda zitaamua ataka- walivyofanya kufika AFCON 2015. Ethiopia, Le-
CON 2013 na 2012 na kukosa “mboga”. Mkufunzi wa
mani kwa kumdhulumu. Gazeti hilo limeripoti
yeambulia tikiti hiyo moja. Sao Tome hawaja- sotho na Ushelisheli wanatarajiwa kuwa mswaki Uhusiano wa mapenzi kuwa Boateng na Sherin
makala ya mwaka huu. Licha ya Cranes, Micho Sredejovic wahi kushiriki dimba hili. Hawana uzoefu wa kwa Algeria. Lesotho na Ushelisheli wangali baina ya wawili hawa wamekuwa wakikorofi-
kuwa na talanta nyingi inayosakata ni baadhi ya walionuku- AFCON. Haitashangaza mshindi wa kundi hili mawindoni kufika AFCON. uliodumu kwa miaka oshana mara kwa mara
kabumbu nje ya nchi, Jamhuri ya liwa na magazeti hayo minane ulimalizika yapata kabla ya kuachana ka-
akiamuliwa na magoli watakayopata Sao Tome.
Afrika ya Kati haijafaulu kufika wakisema Uganda inasta- wiki sita zilizopita bisa kwa jumla baada ya
AFCON. Madagascar pia haijawahi Kundi K baada ya Boateng mchezaji huyo kumtupia
kufuzu kwa dimba hilo. DRC ina
hili kuwa miongoni mwa Kundi G Wapenzi wa mashabiki Sen- kumfurusha mwenzake virago nje.
mataifa 16 yatakayoshiriki Ni kundi ambalo lina miamba egal wanajivunia talanta nyingi katika jumba Katika kipindi hicho
nafasi kubwa ya kumaliza juu ya AFCON 2017. Burkina Faso wawili wa Afrika – Nigeria na ikiwa ni pamoja na washam- lake ambalo wa- ambacho wawili hao
kundi hili baada ya kupata moti- na Uganda zinashikilia nafasi Misri. Litakuwa na msisimko buliaji matata Sadio Mane, Dia- likuwa wakiishi walikuwa wapenzi,
sha kutoka AFCON 2015. ya 18 na 19 barani Afrika, mta- pamoja. walijaliwa kuwa-
wa aina yake kwani Nigeria fra Sakho, Biram Diouf, Demba
walia. Mechi baina yao huenda hawako tayari kukosa makala Kwa kumu- pata watoto wa kike
Kundi C Ba na Moussa Sow. Itabidi Niger, jibu wa gazeti mapacha Lamia Soley
ikamua nani kati yao atafuzu. mawili mfululizo nao mab- Namibia na Burundi wafanye
Mali wameshiriki Kombe la Af- Botswana wamefifia tangu ku-
la Bild, kic- wenye umri wa miaka
ingwa mara saba Misri wa- kazi ya ziada kunyamazisha huna huyo tayari minne ambao wanase-
rika mara tisa tangu libuniwe shiriki AFCON 2012. Ingawa natamani kukatiza masaibu Teranga Lions. amewatafuta mekana kuwa
mwaka 1957. Wamedumu Comoros waliwatatiza Kenya ya kukosa makala matatu mawakili wapo chini ya
kwenye ratiba ya AFCON katika mechi za kufuzu kwa BEKI Marcos Rojo wa Manchester United.
tangu 2008. Mali wali-
mfululizo. Licha ya kuzidiwa maarifa miaka ya Kundi L wa- himaya ya
AFCON 2015, itakuwa vigumu hivi karibuni, Misri ni kisiki katika jitihada za taka- baba yao.
maliza katika nafasi Mbio za kutwaa ubingwa wa kundi hili zi- BEKI wa Manchester United, uhusiano huo hadharani.
kwao kusimamisha Burkina mabingwa mara tatu Nigeria kufuzu. Misri im- naonekana kuwa kati ya Guinea na Malawi. Marcos Rojo ametajwa kwenye Magezeti ya Uingereza
ya 10 mwaka huu. Faso au Uganda ambao wame- ekuwa ikikanyaga Nigeria, na Tanzania ambao Guinea hata hivyo wana historia nzuri dhidi skendo ya kimapenzi ambayo yameripoti kwamba Rojo 25,
Equatorial Guinea kuwa wakiwaka moto. wanasaka kurudi AFCON tangu mwaka 1980. ya Malawi ikiwa ni pamoja na kuwapepeta 3-1 ilichipuka mwezi uliopita anayelipwa mshahara wa
wameshiriki
Chad wanawinda kufika AFCON kwa mara ya mwaka 2005 nyumbani na 2-1 mwaka 2009 baada ya mwanamke mmoja Sh27 milioni kila wiki kupitia
AFCON mara Kundi E kwanza kabisa. ugenini katika mechi za kufuzu kwa Kombe la kudai kwamba angeanika mawakili wake walimtishia
mbili (2012 na Kundi hili linajumuisha Dunia 2010. Zimbabwe na Swaziland ni abiria JEROME uhusiano wao hadharani baada Sarah kuwa wangepindua
2015). Mara
yote wamekuwa
mabingwa wa AFCON Zam- Kundi H katika kundi hili. Boateng na ya kugundua kwamba jamaa kesi ili imwegemee endapo
bia (2012) pamoja na Congo, Mabingwa mara nne Ghana wanajivunia nyota aliyekuwa alikuwa na familia. angeamua kufichua siri hiyo
wenyeji. Benin Kenya na Guinea-Bissau. Zambia Kocha wa mazoezi ya viungo kuwa alivunja amri ya sita na
wengi. Pia wana uzoefu wa miaka 23 katika Kundi M mchumba
wana asilimia kubwa ya kumaliza AFCON na kwa hivyo itakuwa miujiza wak- Mabingwa mara nne Cameroon na mabingwa Sarah Watson na Marcos Rojo mchezaji huyo.
wake Sherin
MSHAMBULIAJi matata wa wa kwanza. Wana historia nzuri dhidi ya ishindwa kudumisha rekodi hiyo. “Black Stars” wa 1996 Afrika Kusini walisikitisha katika walitajwa kuwa wahusika wa Sarah mwenye miaka 34,
Senegal Sadio Mane ambaye Senler. kesi hiyo baada ya mahakama ndiye aliyezua tetesi hizo
Congo, Kenya na Guinea-Bissau. Chipol- wamekuwa wakilima Msumbiji. Hata hivyo, AFCON ya mwaka huu. Watakuwa na kibarua
huchezea klabu ya Southamp- Picha/ kuu moja ya jijini London kua- baada ya kuliambia chombo
opolo wamekutana na Kenya mara Rwanda huwapa wakati mgumu. Mauritius ha- kigumu kung’ang’ania tikiti moja dhidi ya
ton nchini Uingereza. SHABIKI sugu wa timu ya taifa ya Ghana MAKTABA muru watajwe kufuatia mala- kimoja kwamba alikuwa ma-
34 tangu mwaka 1964. Wamezaba wajashiriki AFCON tangu 1974. pingamizi kutoka kwa Gambia na Mauritania,
Picha/MAKTABA akifuatilia mechi ya awali ya AFCON. lamishi ya mwanadada huyo kini kutibua siri hiyo alipokuja
Kenya mara 21, kushindwa saba na Picha/MAKTABA ambao hawajawahi kufuzu kwa dimba hili. kuwa alitishiwa maisha baada kubania kuwa Rojo alikuwa na
ya kudai kwamba angeweka familia na mtoto mmoja.
18 TAIFA LEO
Jumatatu, Aprili 13, 2015
PEPETA NA MASTAA
Kipusa anayelenga kusakata kabumbu hadi ng’ambo ninaamini nitakuwa mwana- vya wachezaji chipukizi. Wama- Kwa sasa mabingwa
ANAFAHAMIKA sana na soka wa kike iliye na ujuzi na jumuisha wachezaji chipukizi hawa wanashriki ligi ya
mashabiki wa kandanda kutoka-
Na IGNATIUS OUNDO weledi wa kusakata kabumbu walio na umri wa miaka 10, 12 MYSA ambayo inaen-
na na weledi wake wa kusakata hadi nifike kiwango cha kitaifa hadi 16. delea kusakatwa uwan-
kabumbu ya hali ya juu. Bebs FC ya mtaani Babadogo, na hata kimataifa,” alisema Toka kuundwa kwake Math- jani mwa mwa shule ya
Mary Wairimu ambaye humi- msichana huyu aliweza kuwa kipusa huyo. are Cranes wameweza kucheza msingi ya Drive Inn
liki safu ya mashambilizi vyema moto wa kuotea mbali. Ali- Fauka ya hayo Wairimu ligi na vipute tofauti vya mi- Mathare, Nairobi. Am-
katika klabu ya Asec Junior ibuka mwanasoka bora kwenye anasema hatakata tamaa bali taani, Nairobi. Mwaka jana wal- bayo inashirikisha timu
kwa wachezaji chipukizi walio mashindano ya kabumbu ya atapigana kiume ili aifikie nyota itwaa taji la kipute cha Football zaidi ya 10 za wachezaji
na miaka 12, alianza kusakata kuwania kinyang’anyiro cha ki- yake ya uchezaji kandanda. For Hope ambacho kilisakatwa chipukizi wasiozidi
kandanda akiwa na umri wa pute cha Kangi, kilichoandaliwa Wairimu anasema kuwa licha uwanjani Kariobangi Grounds. miaka 12.
miaka 9 pekee. ugani mwa Babadogo grounds. ya kuwa na masaibu tele, ataen- Kipute hicho kilidhaminiwa na Ghetto Junior,
Warimu ni mwanafunzi wa Pia alichaguliwa kuwa chezaji delea kuchapa mazoezi makali Simon Mucheri. Flames Sportive, Metro
darasa la sita (6) katika shule aliyegunga magoli mengi baada ili aboreshe chezo wake kwa Kufuatia ubingwa huo Junior, Mathare North
ya msingi ya Genesis iliyoko ya kutia kimiani jumla ya ma- lengo la kuifikia nyota yake. Mathare Cranes waliweza kuza- Rangers,Soccer Masters
Huruma, Nairobi. bao 10 kwa mechi tano alizo Anamshukuru sana kocha wa wadiwa medali kwa kila mche- FC, Y oung Stars na
Nyota yake ya usakataji soka cheza. klabu ya Asec Junior , Joshua zaji, vyeti, kikombe na sare za Super Kids ni miongoni
imeshika mkondo mpya huku Kwa sasa kinda huyu hana Nzioki kwa kuendelea kulea kucheza kabumbu.Kwenye mwa timu zinazoshiriki
ikionekana kung’aa kila uchao. timu ya kuchezea kwani klabu kipawa chake. kinyang’anyiro hicho, Math- ligi hiyo ya MYSA.
Anasema hana budi ila kuen- ya Asec ambayo inakuza talanta Katika habari nyingine ni are Cranes walionesha makali Athletico Junior, Abuto
delea kuimarish kiwango cha yake ni ya wechezaji wa kiume. kwamba Mathare Cranes ni yao pale walipowanyanyasa Foundation, Home
mchezo wake kiwe juu ili siku Kwa hivyo yeye hutengwa kila miongoni mwa klabu za mi- wapinzani wao kisoka. Boyz, 07 Sports Upris-
moja achaguliwe kuichezea mara wakati timu hiyo inapo- taani ambazo hukuza talanta Ubingwaa huo ulichochoa ing FC na Excellent
timu ya kinadada ya Starlets. shiriki mazoezi na hata wana- za wanasoka chipukizi ambao kuinua na kujulikana kwa jina Team pia zinashiriki
Lakini hilo litatimia tu ikiwa pocheza mechi yoyote ile. wana ndoto ya kung’aa siku za la klabu ya Mathare Cranes. ligi hiyo.
kipusa huyu atatia bidii kwenye Anasema huko tayari kujiun- usoni. Kwani timu nyingi hushikwa Kwenye ligi hiyo
mazoezi ya kila mara na pia ga na timu yoyote ya kinadada Mathare Cranes ambayo na kibaridi wanapoghundua Mathare Cranes wa-
kupata kocha wa kumnoa ambayo ikubali ombi lake ili hunolewa na kocha David On- kuwa watachuana na Cranes nashikilia nafasi ya pili
makali. aendeleze kipawa chake. yango akisaidiwa na Bonface kwenye mechi yoyote ile iwe ni kwa alama saba wakiwa
Akiwa mchezaji wakutegem- “Ikiwa nitapata klabu nzuri Kiberenge ilibuniwa mwaka wa mechi ya ligi, vipute au mechi wameshuka dimbani KIPUSA stadi Mary Wairimu.
ewa katika ndani mwa klabu ya itakayo kubali njiunge nayo, 2006 kwa lengo la kulea vipaji ya kirafiki. mara tatu pekee. Picha/IGNATIUS OUNDO
20 TAIFA LEO
Jumatatu, Aprili 13, 2015
UHONDO JAGINA
AHMED MBARAK
MCHEZAJI wa kaunti ya Nakuru (jezi nyekundu) akipambana na mwenzake wa kaunti ya Bomet kwenye michezo ya
Udhamini ni
muhimu sana
shule za msingi eneo la Mau katika uwanja wa Kabarnet. Bomet ilishinda kwa mabao 2-1.
Picha/CHEBOITE KIGEN
2 3
kwa timu za
kandanda
UDHAMINI ni muhimu kwa mashindano hayo yatafufuliwa,
mchezo wowote ule kupata mkoa huu utapiga hatua kubwa
umaarufu na maendeleo. ya maendeleo,” akasema Mbarak.
Kwa klabu ama kwa timu za Anakumbusha juu ya wache-
taifa kufanya vyema kwenye ligi zaji wanaochezea klabu kubwa za
za hapa nchini ama mashindano Pwani ikiwemo Bandari na timu
na michezo ya kimataifa, lazima nyingine za Pwani zinazoshiriki
kupatikane wadhamini wa ligi za taifa ziwe na mipango
kusaidia kufanikisha matokeo maalum ya kuwapa mafunzo wa-
mazuri. nasoka wao juu ya nidhamu na
Soka ya Pwani imekuwa ik- kwa nini wanahitajika kucheza
iendelea kudorora kutokana na kwa ari ya kuzipenda timu zao.
ukosefu wa wadhamini kujitolea Mbarak pia anataka klabu
kusaidia klabu za mitaani ambazo ziwape mafunzo wachezaji juu
hazijiwezi kifedha na vifaa. ya kujiepusha na majanga yasiyo-
Ahmed Mbarak aliyewahi takikana kwa wachezaji ikiwemo
kuwa meneja wa timu iliyokuwa utumizi wa dawa za kulevya,
maarufu miaka ya kale ya Nyoka utafunaji mairungi na anasa
FC iliyokuwa na makao yake mtaa nyingine.
maarufu wa Mwenbe Tayari mjini “Nataka wanasoka wa wakati
Mombasa anasema ni wakati huu wafuate mifano ya wache-
ROBINSON Kamura (kushoto) wa Mathare United ABDALLAH Juma Kajumjum wa kaunti ya Mombas akimchenga huu timu zinahitaji udhamini zaji wa zamani ambao walikuwa
akiwania mpira dhidi ya Chrispinus Onyango wa mwenzake Hamadi Mutenzi wa Kwale kwenye michezo ya shule ili ziwe zenye kuopiga hatua ya na ratiba zao za kujizuia na aina
KCB wakati wa mechi ya Ligi Kuu ya KPL. za msingi eneo la Pwani katika uwanja wa Mpeketoni juzi. maendeleo. zozote za anasa hasa nyakati za
Picha/MARTIN MUKANGU Picha/KEVIN ODIT Mbarak aliyekuwa akijulikana karibu na kucheza mechi zao,”
kwa jina maarufu la Bin Abdaat anasema Mbarak aliyezitakia
anasema ni sharti wafanya bi- klabu za Pwani ushindi kwenye
ashara wenye uwezo mkoani ligi za taifa.
Washerehekea ushindi
kusini mwa Johannesburg. walisema.
Mnamo 2008, watu 62 waliuawa Bomu hilo lilikuwa
Aprili 21-Mei
20: Ninaona Oktoba 24-
kuna jambo Novemba
ambalo 22: Ninaona
linakusumbua kuhusiana kuna bahati
na kazi yako na ni vyema inayokuelekea ya kupata
ujue hutaweza kulitatua kiasi kizuri cha pesa
hadi utakapojieleza vya ambazo unahitaji sana
kutosha kwa wahusika wakati huu kukwamua
wote. Ni kwa njia hiyo tu mambo yako yaliyokwama.
ambapo utaweza kufungua Kuwa macho usije
akili zao ili wakuelewe na ukaipoteza bahati hiyo.
kukusaidia.
23. Ni deni. 4. Kuvua 16. Amkua 1. Kufa 11. Udaktari leo kwa sababu baadhi yao
ilhali kuna marafiki walio ni wajanja na ukiwategemea
7. Mfungo 17. Via 2. Aina 14. Mwavuli na uwezo wa kukusaidia.
CHINI: wanaweza kukupotosha.
8. Karai 20. Ajabu 3. Ogofya 15. Ngamia Tatizo lako ni kuwa Ukifaulu kuwaepuka
1. Za sakafuni huishia
9. Fua 21. Mwamba 4. Kukamia 18. Mali umeamua kuweka mambo mipango yako ya leo itatimia
ukingoni.
12. Menya 22. Adili 5. Viringwa 19. Mbwa yako mengi kuwa siri na kulingana na matarajio yako.
2. Pata au kuwa na tabia ya
kufa kikondoo unapokuwa
na shida.
24 TAIFA LEO
Jumatatu, Aprili 13, 2015
Mikiki TAMBUA
JIBU LA JANA
MCHONGOANO
Wewe brotherako ni
mweusi akishika chupa
ya fanta inageuka coke
4. Mlango wa nyumba yangu uko juu. Niite KATEMBE WA MADASTi (John Junior) nikiwa Ndauni. Salamu za dhati ziwafikie
5. Mlima mkubwa wapandwa kuanzia juu. MAAGIZO Mercy Mbithe, Janet Munywoki, Joshua (bro) Kyalo, Saraphine, Angel De Maria(Patrick),
6. Mlimani sipandi. Tengeneza majina kutokana na herufi Kimindu Obed, Suarez, Kilonjo, Lucy Waithereru, Musumbi, Stephen Mutua bila kusahau
zilizo kwenye mduara. Musimbizo,Winy Mutanu na Joseph Nyamai.
Tumia herufi angalau mara moja
NI COSMAS IKOJO Shabiki wa Taifa Leo nikiwa NANGILI. Salamu zangu ziwafikie Mwembe
METHALI M
Juma wa Nabusakali, Justus Ekisa Barasa wa Nangili, Tito Etyang, Isaack Kirwa wa Turbo,
Dismas Majune wa Kilima Natwana na wasomaji wote wa Taifa Leo na Taifa Jumapili.
3. Mkamia maji
a kupalilia.
6. Mkono moja
J U VICTOR NDANYO wa Lugari. Salamu zangu ziwaendee baba Chesteki Ndanyo, Dancan
Ndanyo, Kevin Ndanyo akiwa Nairobi, Mamangu Everline Ndanyo na wenyeji wote wa
.............. ................. A Lugari. Ujumbe: Dunia chungu kufa utatamani.
4. Shimo la mchwa Hapa ni MUSYOKI MWANGA wa Kinyambu. Salamu nazipeperusha kwa Bibi yangu, watoto
Sherina na Mweu, wakiwa Ngokolani, Joseph Nyamai, Musimbizo, Ayubu Muroki, Kadogo,
Vitendawili
3. Hindi
MAJIBU ya
Mboya wa Pambo hotel bila kumsahau Simba Chai hotel Kinyambu. Ujumbe: Akili ni
4.kinyongo
6. Maji ngombe 3.hayanywi.
MAJIBU
Tuma mchango wako kwenye sehemu yoyote ya MIKIKI kupitia SMS kwa nambari 6003 au barua pepe kwa taifafeatures@nation.co.ke ukianza na jina la sehemu unayochangia
TAIFA LEO
Jumatatu, Aprili 13, 2015 27
Kwani mpenzi wa
Anakesha kwa mke mwingine NIMEOLEWA na mwanamume sina mpenzi. Sasa nampigia simu hakupendi na anataka kuku-
kwanza aliniroga?
NILIACHANA na mwanamke aliyekuwa
mpenzi wangu kwa miaka minne na
wa kabila tofauti na langu na tuna anapuuza. Nishauri. tumia tu kwani angekupenda kufikia sasa bado ananiandama. Tangu
maji na akaamua kwamba humfai. Nina 2, nimechanganyikiwa Inaonekana wewe ndiye mwenye tatizo
lakini wivu wake
moyoni, tafadhali nishauri.
Kupitia SMS Umeharibu mambo zaidi kuwa NINA umri wa miaka 22 na nime- kwani ulimuacha huyo na wengine wote
kuanza kumpigia simu kama zaa watoto wawili na wanaume unaoshikana nao wanakuacha. Hakuna
Tangazo la Kifo na Mazishi Ibada ya itafanywa Elgon East Friends, Kitale Aprili 16, 2015 na mazishi
itafanywa Jumamosi April1 18, 2015 nyumbani kwake Kiminini, Ploti nambari Pumzika kwa amani mke, mama, shangazi na nyanya,.
Umepigana vita vyema na kumaliza mwendo na kuilinda imani.
336 kata ya Ndalu, eneo bunge la Tongaren.
Jamaa na marafiki wanakutana kila siku kuanzia saa kumi na moja jioni Railway
Club Nairobi na nyumbani kwake Ndalu kwa mipango ya mazishi. Kutakuwa na
mchango wa kugharamia mazishi Jumanne Aprili 14, 2015 maeneo hayo. Kwa Tangazo la Kifo na Mazishi
msaada wasiliana na familia. Tunatangaza kifo cha Margaret Pamela
Orwa mkewe Prof Walgio Ogweno
Papa, enda salama. Orwa wa Chuo Kikuu cha Kabianga.
nusu asubuhi. Mazishi yatafuatia katika kijiji cha Kiambaa. Allan, Akinyi, Jones, Sharon Byama, Irene, Susan, Teddy, Kuzaliwa Januari 1, 1953
Freddy, Hellen, Vyonne, Mandela, Anjeline, Winnie, Lilly, Kufa: Aprili 7, 2015
Eunice, Nancy. Mama mkwe Shine Ninjama, Linah Dzame,
Mikononi mwa Mungu unapumzika, mioyoni mwetu utasalia daima. Fred Ochieng, Antony Waweru nyanyake Wayne Collins, Jabari Collin, Hailey, Margaret Mali. Nyawana wa
marehemu Se Jos na Janet Chimerah wa Kwale, Faisal na Grace Mwangome wa Taita, Francis na Janice Waweru
Pumzika kwa amani Antony. wa Kiambu, Peter na marehemu Janet Onyango wa Alego - Boro.
Jamaa na marafiki wanakutana kila siku nyumbani kwake Majengo na Jumba la Finance Orofa ya tano chumba
nambari – 5430. Mchango utafanywa Jumaanne Aprili 14 All Saints Cathedral, Nairobi kuanzia saa kumi na
Tangazo la Kifo na Mazishi
Tangazo la Kifo na Mazishi moja jioni. Mwili utaondolewa hifadhi ya Star , Kisumu, Aprili 17,2015 kwa ibada katika Kanisa la ACK All
Saints Memorial, Majengo. Mazishi yatafanywa Jumamosi Aprili 18, 2015 nyumbani kwake kijiji cha Majengo ,
Tunasikitika kutangaza kifo cha Washington Yimbo, Bondo, Kaunti ya Siaya.
Owalla Aluga, awali wa afisi ya mwanasheria
mkuu kilichotokea Aprili 1, 2015. “Nimepigana vita vyema, nimeamliza mwendo na imani nimeilinda.”
Tim 2, 4:7”
Mwanawe marehemu Shadrack na Leonora
Aluga wa kijiji cha Nyakach Kajimbo Kawere.
Mumewe Hilda Owalla. Babake Nelly
Owalla – kutoka Eden Ltd., Peter Owalla –
Tangazo la Kifo na Mazishi
Tunakubali mapenzi ya Mungu na kutangaza kifo cha
mfanyibiashara na marehemu Leonora Owalla.
Duncan Ngatia Weru wa Kanisa la P.C.E.A Tumaini
Baba mkwe Esther Obura –Hospitali ya
Ruai Pesbitari ya Mashariki Presbytary kilichotokea
Kenyatta. Babuye Elsie Awuonda, Alex Owalla,
Aprili 7, 2015.
Angel Anyango na Allan Obura miongoni mwa
wengine.
Mkwewe Mzee James Owuor na Paulina Mwanawe marehemu Nancy Njoki Weru. Mumewe
Owuor wa Kano Kolwa. Nduguye marehemu Rose Mugure Ngatia. Nduguye marehemu Nyaguthii,
Tinda, marehemu Osongo na marehemu marehemu Wanjira, marehemu Augustine Nduhiu,
Obura, Haggai Nyangweso miongoni mwa marehemu Peter Macharia. Babake Eunice Wamuiyu
wengine. Shemejiye Penina, Grace, kina Irungu, Juliet Njoki (M.U.C), Denis Weru (Ruthagati
Andango, Sango, Onyango, Ochollo, marehemu High School). Baba mkwe wa Peter Irungu (Petmos
Opany, marehemu Omondi, John Owuor, Enterprises). Babuye Brian Maina na Tessy Gathoni. Patrick Nyaboga Ng’ate
Omittis, Walter na Benter miongoni mwa Washington Owalla Jamaa na marafiki wanakutana nyumbani kwake
wengine.
Mjomba na binamu wa wengi. Aluga Kamulu kila siku kuanzia saa kumi na moja jioni na
katika kanisa la P.C.E.A Kayole kuanzia saa moja
Kwa huzuni tunatangaza kifo cha Patrick Nyaboga Ng’ate, 38, aliyefariki nyumbani
kwake Riverside Drive Jumatano Aprili 8, 2015.
Harambee itafanywa Aprili 15, Garden Square jioni kwa maombi na kutayarisha mazishi. Mwili
kuanzia saa kumi na moja asubuhi. Ni kifungua mimba wa Aloys na marehemu Rosemary Ng’ate, Mumewe
utaondolewa hifadhi ya maiti ya K.U Jumatano Aprili
Mazishi yatafanywa Aprili 25, 2015 katika kijiji cha Nyakach Kajimbo Kawere. 15 2015 saa moja na nusu asubuhi. Ibada ya wavu Duncan Ngatia Immaculate, babake Isaiah na Moraa Ng’ate, Kakake Isabella na Lewis, Mjukuu
wa Bonface Oira, marehemu Agnes Nyanchama, marehemu John Matta Okora
Kwa habari zaidi wasiliana na Nelly – 0726-245-142 itafanyika Kanisa la P.C.E.A Kianjogu na kufuatiwa na
mazishi nyumbani kwake Tarafa ya Mathira Mashariki, Weru na Salome Okora, shemejiye Patrick na Elizabeth Odera, George na Wahu,
Kijiji cha Kianjogu, Kaunti ya Nyeri. mjombake Christian, Jeremiah na Jason.
Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi. Amina. Mkutano wa kupanga mazishi itafanyika leo Jumatatu Aprili 13, 2015 katika kanisa
la All Saints Cathedral kuanzia saa kumi na moja na nusu jioni.
Tangazo la Kifo na Mazishi Harambee itafanyika kesho jumanne Aprili 14, 2015 katika kanisa la All Saints
Cathedral kuanzia saa kumi na moja na nusu jioni.
Ibada ya wavu itafanyika Jumatano Aprili, 15, 2015 katika kanisa la Consolata
Shrine, Westlands saa nane.
Usaidizi wa kifedha upitie Mpesa Paybill LIPA na MPESA - Business No. 415205
Account No. Pato
Msafara utaondoka hifadhi ya Hospitali ya Aga-khan Alhamisi 16/4/2015 saa nne asubuhi na kufuatwa na ibada ya Ibada ya mazishi itafanywa Ijumaa Aprili17,
mazishi katika Kanisa la St. Stephens ACK, Mulwandwa. Ibada ya mazishi itafanywa Aprili 18, 2015 katika Shule ya 2015 kanisa la P.C.E.A Nanyuki saa nne
Msingi ya Mulwandwa na mazishi baadaye nyumbani kwake siku hiyo Ebukambuli, kijiji cha Ebuluma.
asubuhi. Mazishi yatafanywa baadaye nyumbani Mwalimu Geoffrey Kiiru
Kutakuwa na harambee kugharamia mazishi ikiongozwa na Seneta Gideon Moi, wa Kaunti ya Baringo Aprili 14. kwake Nturukuma karibu na Kenya Fibre.
2015 United Kenya Club kuanzia saa kumi na moja jioni na wote mmekaribishwa. Wanjohi
Mawasiliano na mchango kwa Francis Atwoli, EBS, MBS, mwenyekiti wa kamati za rufaa za mazishi na katibu mkuu Mikononi mwa Mungu unapumzika
wa COTU (K) au afisizake jumba la Solidarity , Digo Road, Gikomba. mioynimwetu utasalia daima.forever
Yohana 14:1-4
30 TAIFA LEO
Jumatatu, Aprili 13, 2015
Mulinge awataka
Charity Gituto Mugomati, marehemu Gideon Mugo,
Joan Nyambura Gitere, Cyrus Mwangi, Lilian Murugi,
David Kagika, Solomon Mugi wa Highland Valuers -
Nrb na Nelson Iruku wa Sirnel Electrical Nyamakima.
Nduguye marehemu Susan Wanjiku Njindo, marehemu
vijana wajikaze
Nelson Iruku, marehemu Joan Makanga marehemu
Booker Macharia, Barnabus Kagika, Godfrey Thuita,
Esther Waithira na David Karugo, marehemu Lilian
Wamunga. Mjombake Mhe K.S.N Matiba, alikuwa na
wajukuu na vitukuu wenie. Baba mkwe Agnes Mugi,
Loise Iruku na wengine. Jamaa na marafiki wanakutana
Hoteli ya Millennium 2000 Nyamakima na nyumbani KOCHA wa voliboli, Sammy
Mulinge amesema kuwa vijana Na JOHN KIMWERE
kwa mwanawe Membly Estate Ruiruna nyumbani
kwake kijiji cha Mukangu kata ya Kahuhia. Ibada ya Jethro Mwangi wa timu za taifa watalazimika
Rwanda pamoja na Mkenya
mazishi yatafanywa Jumamosi 18/04/2015 katika
Kanisa la A.C.K St Paul’s Ithiki Parokia ya Mukangu Mugo kujikaza kisabuni ili kumaliza
mwenzake, Paul Bitok.
na mazishi baadaye karibu na kanisa hilo. katika nafasi mbili za kwanza
kwenye voliboli ya ufuk- Wanaume wa Kenya wa-
weni Kanda ya tano ili kufuzu naendelea kushiriki mechi za
kucheza michezo ya Afrika kuteua timu za taifa katika fuo
Tangazo la Kifo na Mazishi (AAG) mwaka huu. za hoteli ya Sun Palm Beach,
Watamu.
Tunasikitika kutangaza kifo cha mwalimu Charles Aidha, alidokeza kuwa Kenya
Gitau wa Embul bul Ngong kilichotokea Jumatatu inatarajia kibarua kikali dhidi Kambi hiyo imevutia jumla
Aprili 6, 2015 katika Hospitali Kuu ya Kenyatta. ya wapinzani wao wa Misri, ya wanadhoruba wanane wa-
Rwanda na Burundi. “Bila napopigania kuteuliwa mion-
Mwanawe marehemu Gitau Gituga na marehemu
shaka nina imani wanaume goni mwa wachezaji wanne
Naomi Muthoni, Gitau wa Ongata Rongai. bora. Idadi hiyo inajumuisha,
Mumewe Mwalimu Joyce Gitau wa Shule ya Msingi wetu wanafahamu kazi iliyo
ya Kerarapon. Babake Evans Ng’ang’a, Gibson mbele yao kwenye kampeni za Silas Makiso (KDF), Ibrahim
Gitau, Elizabeth Muthoni, Naomi Saberu, Jackson kusaka tikiti hizo,” alisema. Oduor (Magereza), Bernard
Gitau na wajukuu sita. Nduguye Hannah Nduta Mechi za kutafuta tikiti za Musumba(GSU), John Ndugu
Kihiu, william Muchene, Gideon Mwaura na Phylis
kufuzu kushiriki mashindano (Italia), Donald Mucheke
Wanjiku King’ori.
hayo zitafanyika Dar es Sa- (Magereza Mombasa), Evans
laam, Tanzania mwishoni mwa Bera, James Mwaniki na Elijah
Jamaa na marafiki wanakutana kila sikunyumbani
kwake Embul bul kuanzia saa kumi na mbili jioni wiki hii. Mulinge hufundisha Bosire wote wa Kenya Airways Alex Kariuki wa GSU akabili Evans Bera wa Posta
kwa maombi na mipango ya mazishi. voliboli ya kulipwa nchini (KQ). Kenya katika mechi ya awali. Picha/MAKTABA
Msafara utaondoka hifadhi ya Umash Jumatano
Aprili 15, 2015 saa tatu asubuhi. Ibada ya mazishi Mwalimu Charles
Mwaka mmoja
Mwaka mmoja umetimia tangu ulipotuacha.
Willie May Ford Smith • Inter Milan yawinda nyota wa City Samir Nasri, Yaya Toure na James Milner •
TAIFA LEO
Jumatatu, Aprili 13, 2015 31
SPOTI
• Kuna tetesi kuwa Man United itamkabidhi Robin van Persie Sh700m akubali kuhama Old Trafford mwisho wa msimu •
32 TAIFA LEO
spoti
Jumatatu, Aprili 13, 2015
MASHEMEJI
NGUVU SAWA