Download as pdf or txt
Download as pdf or txt
You are on page 1of 32

Danguro kutoa

asali ya bure
‘Uhondo’ UK13-20
A NATION MEDIA GROUP PUBLICATION
SHINDANO LA
Kasisi asamehe aliyeiba gari UANDISHI WA
lake la Sh7 milioni UK 2 INSHA UK 11

Jumatatu, Aprili 13, 2015 • KSh30 • TSh500 • USh1000 •RFr300 www.swahilihub.com No. 18750

Mwanafunzi afa, 141 wajeruhiwa kufuatia hitilafu ya nguvu za umeme

MLIPUKO WAZUA
MAAFA CHUONI MMOJA wa wanafunzi wa Chuo Kikuu cha
Nairobi, Bewa la Kikuyu aliyejeruhiwa
kutokana na hofu iliyozuliwa na hitilafu
ya nguvu za umeme ahudumiwa katika
Hospitali ya Kitaifa ya Kenyatta jana.
Picha/BILLY MUTAI

Na WAANDISHI WETU
MWANAFUNZI mmoja alifariki na wengine 141 wakajeruhiwa
wakati mlipuko ulipotokea mapema alfajiri jana katika Chuo Kikuu
cha Nairobi (UoN), Bewa la Kikuyu, Bweni la Kimberly.
Wanafunzi walihofia kwamba mlipuko huo, uliotokana na hiti-
lafu za nguvu za umeme, ulikuwa shambulio la kigaidi, ambapo
baadhi yao walijaribu kujinusuru kwa kuruka kutoka ENDELEA UK 2

HASIRA, kuvunjika moyo na hoteli ili turauke mapema tuwe

Makurutu waliofika mafadhaiko ndiyo yaliyowa- Na JAMES NGUNJIRI kwenye lango la chuo kufikia
kumba makurutu waliofika jana saa moja asubuhi,” alisema An-
katika chuo cha mafunzo ya mambo hayakwenda walivyo- drew Kiriamana kutoka Igembe

Kiganjo wafurushwa
polisi cha Kiganjo mjini Nyeri, tarajia. Kaskazini, Meru.
baada ya kurejeshwa nyumbani. Masaa yalisonga, jua likazidi Makurutu hao walikuwa
Wengi walikuwa na matu- kuchoma, na mwishowe kundi wametoka Mombasa, Kisumu,
maini kuwa jua likichomoza la maafisa kutoka taasisi hiyo Kericho, Baringo, Isiolo, Nairobi

na maafisa wa polisi
Jumapili asubuhi litaangazia wakafika kuwafurusha kutoka na Meru.
mwanzo wa safari ambayo hati- uga wa chuo. Siku ya Jumamosi zaidi ya
maye ingeishia kwa wao kufuzu “Tulisafiri kutoka Nyeri Ju- makurutu 700
kama maafisa wa polisi, lakini mamosi alasiri na kulala katika w a l i a n d a m a n a ENDELEA UK 2 JOSEPH Boinnet
2 TAIFA LEO
Jumatatu, Aprili 13, 2015

Viongozi Garissa
Kasisi asamehe aliyeiba gari lake la Sh7m
.

wapewa saa 24
.

KASISI mmoja kutoka Ujerumani


ameandikia Mahakama akisema
amemsamehe mshukiwa mmoja
Na JAMES KARIUKI
hilo hutumika katika kueneza injili
na uwepo kwake katika mikono ya
polisi kumeathiri kazi yake.
alikamatwa alipojaribu kuwapa
polisi wa Rwanda wa Mpakani hongo
na akafikishwa mahakamani kujibu
kuratibu shughuli
aliyemwibia gari la Sh7milioni
lililopatikana nchini Rwanda.
Kasisi wa Kanisa la Holiness and
Bw Nieswand anasema pia kuwa
amekuwa akimwombea mshukiwa
hasa baada ya kugundua kuwa yuko
Kasisi aliripoti kupotea kwa
gari lake kwa polisi na uchunguzi
ukaanza lakini halikupatikana
mashtaka.
Mshukiwa huyo Zagabe Cikangafu,
mzaliwa wa Congo alihukumiwa
za Madrassah
na kesi nyingine kuhusu wizi wa
Repentance Bw Michael Nieswand
magari ya kifahari katika mahakama
kwani lilikuwa limeshavuka mpaka miaka sita gerezani kwa kujaribu A. HAJIR na D. OTIENO
anasema kulingana na imani yake wa Kenya na kuingia Uganda na kuwapa polisi Sh 56,000 ili apite
mbali mbali hapa nchini.
angependa kukutana na mshukiwa kisha nchi ya Demokrasia ya Congo. lakini jaribio lake halikufaulu. VIONGOZI wa kidini
Katika ombi lake, Kasisi Nieswand
Ezekiel Rotich ili kumsamehe Hapo lilipata kubadilishwa Wizi wa magari umekuwa mwingi katika Kaunti ya Garissa
ambaye huendesha radio ya Yesu
hadharani akiwa na ujumbe mmoja namabari za usajili na kisha katika siku za hivi karibuni na wamepewa makataa ya
ni Bwana na Makao ya Watoto
kwake kuwa haki na kweli ndio njia kuendeshwa hadi Rwanda kuelekea wingi wa wizi huo ukiwa magari ya saa 24 kuratibu mipango
huko Njoro anasema kuwa gari
ya maisha. Burundi lakini mwendeshaji kifahari. katika taasisi za mafunzo
ya Uislamu. Hii ni katika
juhudi za kuwapata wa-

Maafa Chuo
naounga mkono kundi
la kigaidi la Al-Shabaab
kwa mujibu wa kiongozi
kutoka eneo la kaskazini.
Akiongea na wana-
habari Jumamosi jioni
baada ya mkutano wa

cha Nairobi
siku nzima na viongozi
wa kidini, viongozi wa
kidini kutoka eneo la
Kaskazini Mashariki kwa
kuongozwa na Kiongozi
wa walio wengi Bungeni
Aden Duale walisema vi-
KUTOKA UK 1 “Nilisikia mayowe kutoka vyumba ongozi wa kidini watatoa
vya wanawake. Nilichofikiria kwa haraka orodha ya vyuo na shule
orofa ya sita na nyinginezo za juu. ni jinsi ya kujiokoa maisha yangu kwa za Kiislamu (Madrassah)
Aidha, wanafunzi zaidi walijeruhiwa kuwa mlipuko ulikuwa kama wa risasi,” na misikiti na viongozi
walipokanyagana wakijaribu kukwepa akasema. wao katika eneo hilo.
hatari kupitia mlangoni kutokana na idadi “Nilikuwa tayari kuvunjika mguu lakini
kubwa iliyokuwa ikitimka mbio kutoka nisife bila kujaribu kujinusuru,” akaongeza. ORODHA
bwenini kwa wakati mmoja. Mwanafunzi aliyefariki alitambuliwa kama Orodha ya wanafunzi
“Tungependa kuthibitisha kuwa mwa- Francis Maina, mwenye umri wa miaka 24, wote wanaosomea katika
nafunzi mmoja amefariki, na alikuwa NAIBU Chansela wa Chuo Kikuu cha Nairobi, Profesa Peter Mbithi
na inakisiwa kuwa alipata majeraha ya madrassah hayo pia ita-
mwanafunzi wa mwaka wa tatu aliyekuwa (kushoto) pamoja na afisa mkuu wa Hospitali ya Kitaifa ya Kenyatta, Lily
kichwa. tolewa, walisema.
akisomea Shahada ya Elimu. Koros (kati) wazungumza na wanahabari kuhusu mkasa uliozuka chuoni
Hata hivyo, mhudumu “Leo tumekutana na
Mwili wake umehifadhiwa humo, Bewa la Kikuyu, kufuatia hitilafuzu za nguvu za umeme jana.
katika mochari ya Chiromo Masheikh na tumeku-
katika hifadhi ya maiti ya Picha/BILLY MUTAI
alisema upasuaji utafanywa baliana kuwa wataanza
Chiromo,” akasema Naibu ili kubaini chanzo hasa cha mafunzo misikitini dhidi
Chansela wa chuo hicho Prof kwani walihofia wangefyatuliwa risasi hiyo Bi Lily Koros, alisema mwanafunzi
kufariki kwake. ya ugaidi na wameku-
Peter Mbithi. huko. Tukio hilo limeibua maswali kuhu- mmoja alihamishwa hadi Hospitali ya
Katibu wa Wizara ya Elimu bali kuratibu mipango ya
Hospitali ya Kenyatta su jinsi Wakenya wanavyoweza kujinusu- Aga Khan, na watatu wakahamishwa hadi
Belio Kipsang alifika katika mafunzo katika mashule
ilipokea wanafunzi 108, ambapo 98 wa- ru endapo watajipata katika mashambulio Nairobi Hospital.
Hospitali ya Kenyatta (KNH) kukagua hali hayo kupitia kwa
likuwa wa kiume na 10 wa kike, ingawa (tazama tahariri, Uk 10). Mkurugenzi wa Shirika la Kenya Power
ilivyokuwa. Baadhi ya wanafunzi walisema Baraza la Maimamu na
baadhi yao walikuwa wakiendelea kutibiwa Naibu Mwenyekiti wa chama cha wa- Ben Chumo, alikanusha ripoti za awali
wamekuwa wakiishi kwa hofu kwa muda Baraza Kuu la Waislamu
na kuruhusiwa kwenda nyumbani. nafunzi katika chuo hicho anayeondoka, kuwa mlipuko ulitokea kwenye trans-
wa wiki mbili sasa tangu tukio la Garissa nchini(Supkem),” alisema
Wanafunzi walihofia kuwa walikuwa Bi Irene Kendi aliambia ‘Taifa Leo’ kuwa foma. “Mlipuko ulitokana na kutumiwa
liliposhuhudiwa. Duale.
wamevamiwa na magaidi wa Al-Shabaab, mabweni mengi huwa hayana milango ya kwa kiasi kikubwa kwa nguvu za umeme,”
“Tumekuwa tukiishi kwa hofu na baadhi “Tunataka orodha ya
chini ya wiki mbili baada ya kundi hilo kutorokea au mahali pa kujificha wakati akasema, alipowatembelea wanafunzi
ya wanafunzi wamekuwa wakijitayarisha misikiti, madrassa na
kushambulia Chuo Kikuu cha Garissa na wa hali ya dharura kama ilivyoshuhudiwa chuoni humo na kuwataka kutulia.
kujikinga endapo shambulio litatokea,” wanafunzi wanaosomea
kuwaua watu 148, wakiwemo wanafunzi jana. “Sio tu mabweni bali pia maktaba.” Kinara wa Cord Raila Odinga aliliwaza
akasema Bw Innocent Ochieng, mwa- humo ili tuweze kujua
142. Kennedy Ouma, mwanafunzi wa Alisema bweni hilo lingekuwa na wanafunzi hao na kusema hiyo ni ishara
nafunzi wa mwaka wa kwanza aliyeruka mienendo ya vijana
mwaka wa tatu katika chuo hicho alipata milango ya kutorokea, wanafunzi ha- ya hofu kubwa inayokumba wananchi.
kutoka orofa ya nne. wetu,” alisema Mbunge
majeraha mguuni alipojaribu kuruka kuto- wangerukia madirishani au kufinyana ki-
Aliongeza kuwa wanafunzi wengi huyo wa Garissa.
ka dirishani katika orofa ya sita. asi cha kujeruhiwa wakati wa kisa hicho. Ripoti ya ISAAC ONGIRI, BERNARDINE MUTANU,
hawakutaka kutoroka kupitia mlangoni Aliongeza kuwa
Afisa Mkuu Mtendaji wa hospitali SAMUEL KARANJA na ELIZABETH MERAB
kulikuwa na haja ya
kuwarudisha wakimbizi
walioko katika kambi

Polisi wafurusha makurutu waliofika Kiganjo


ya Daadab Somalia kwa
muda wa miezi mitatu.
Alisema ripoti za kijasusi
zinaonyesha kuwa visa
vya kigaidi hupangwa
KUTOKA UK 1 uamuzi Mei 8. humo. Wamewataka wa-
Agizo la Rais Kenyatta majuzi lilifua- zazi kuripoti watoto wao
hadi ikulu mjini Nairobi wakitaka tia shambulio la kigaidi dhidi ya Chuo waliopotea mara moja
kuhutubiwa na rais, lakini hawaku- Kikuu cha Garissa Aprili 2. ili waweze kutafutwa
fanikiwa. Rais baadaye alilibatilisha na kua- waliko.
Agizo la Rais Uhuru Kenyatta giza usajili ufanywe upya, kutokana Huku hayo yakijiri,
kwamba wafike katika chuo hicho jana na shinikizo za mawakili na tume za baadhi ya wabunge wa
ili kuimarisha idadi ya maafisa wa us- kikatiba. mrengo wa Jubilee wali-
alama, liliwapa chembe ya matumaini Mamlaka Huru ya Usimamizi wa taka wenzao wa Kaskazini
baada ya usajili wa awali kubatilishwa Polisi (IPOA), Tume ya Utekelezaji wa Mashariki wadhihirishe
na Mahakama Kuu mwaka jana. Katiba (CIC), Chama cha Mawakili wamejitolea kukabiliana
Katika uamuzi wa aina yake, Jaji Kenya (LSK) na wataalamu wa masu- na ugaidi.
Isaac Lenaola alisema usajili huo ala ya usalama walitaja agizo la rais Wabunge hao wak-
wa Julai 14 uligubikwa na visa vya kama haramu. Hiyo jana, makurutu iwemo Njogu Barua
ulaji rushwa, matatizo na ukiukaji wa hao waliokuwa wamevunjika moyo (Gichugu), Mary Wambui
wazi wa Katiba. Ikitoa uamuzi wa walitishia kwenda mahakamani kusi- (Othaya), Ndung’u Geth-
kubatilisha usajili hiyo, mahakama mamisha zoezi jipya la usajili ambalo inji (Tetu), na wengine
vile vile iliagiza walipa ushuru kulipa limepangiwa kufanyika Aprili 20. waliwashutumu wenzao
Sh87 milioni kugharamia marudio ya Walianza kukata tamaa ilipofika saa kwa kuficha habari zina-
zoezi hilo. Kiwango hicho ni sawa na tano na hatimaye kuamua kuondoka zoweza kusaidia kukabil-
gharama ya kuwaajiri makurutu. walipokosa kupata taarifa zozote rasmi iana na ugaidi.
Makurutu 8,749 walioathirika na kutoka kwa usimamizi wa chuo hicho.
uamuzi wa korti, ambao walikuwa se- “Tulijaribu kuviziavizia langoni
hemu ya makurutu 10,000 kwa jumla, lakini tukafurushwa na walinzi. Wal-
walitarajiwa kujiunga na vyuo vya ma- ituambia tusionekana karibu na eneo
BAADHI ya vijana waliofika jana katika chuo cha mafunzo ya polisi funzo ya polisi mnamo Agosti lakini hilo, na kutulazimu kusonga mbali
cha Kiganjo mjini Nyeri kufuatia agizo la Rais Kenyatta Aprili 12, 2015, tarehe hiyo ilicheleweshwa kusubiri hadi kituo cha kibiashara cha Kiganjo Ukitaka kuwasiliana
waenda zao baada ya kufurushwa na maafisa wa usalama waliokuwa uamuzi wa korti. hapo karibu huku makurutu zaidi nasi kuhusu taarifa
eneo hilo. Picha/ JOSEPH Serikali iliweka ombi la rufaa na wakizidi kuwasili,” alisema mmoja wa yoyote, tumia anwani
Mahakama ya Rufaa ilitarajiwa itoe makurutu hao Daniel Kung’u. iliyo hapa juu.
TAIFA LEO
Jumatatu, Aprili 13, 2015 3

Kaimenyi
abuni sheria
tata ya elimu
NAIROBI Na OUMA WANZALA

ZAIDI ya walimu wakuu 30,000 wa shule na bodi za elimu za serikali za kaunti pamoja
za msingi na upili nchini sasa watakuwa na waziri.
wanasimamiwa moja kwa moja na Waziri Ajenti pia atahudumu kwa kipindi cha miaka
wa Elimu. isiyozidi mitano, ambapo kuna uwezekano wa
Siku ya Jumatano, Waziri wa Elimu Prof kuteuliwa tena kwa kipindi cha pili na cha tatu,
Jacob Kaimenyi (pichani) alichapisha kwenye ikiwa na maana kwamba anaweza kuwa mwal-
gazeti rasmi la serikali Sheria tata ya Elimu ya imu mkuu kwa miaka 15 pekee.
Msingi (Basic Education Regulations, 2014) hata Sheria hiyo pia inamzuia mtu yeyote kuhu-
baada ya kupata pingamizi kutoka kwa Tume ya dumu katika wadhifa huo kwa zaidi ya vipindi
Utekelezaji Katiba (CIC) na vyama vya walimu. viwili katika shule moja. Kwa hivyo, ina maana
Vyama vya walimu vya KNUT na KUPPET ya kwamba hakuna mwalimu mkuu atakayesi-
vilipinga mpango huo kwa kusema kwamba ni mamia shule moja kwa zaidi ya miaka kumi.
kinyume na katiba. Wanaostahili kuteuliwa kuwa maajenti wa
Kufuatia hatua hiyo, sasa ina maana kuwa Waziri wa Elimu katika shule ni lazima wawe
Prof Kaimenyi atakuwa na mamlaka ya kuwa- walimu wanaofundisha na waliosajiliwa na
teua walimu wakuu wa sasa katika shule kuwa Tume ya Kuajiri Walimu (TSC), au maafisa wa
maajenti wake. Pia atakuwa na mamlaka ya ku- ukaguzi wa shule au wasanifu wa elimu au mta-
wafuta kazi iwapo atahisi kwamba hawatekelezi laa au wakaguzi wake.
kazi zao inavyotakikana. Pia watatakiwa wawe wamehudumu kwa
Hii ni kwa sababu walimu wakuu watakuwa kipindi cha angalau miaka 20, wawe wameteuli-
maafisa wa kwanza watakaowajibika na atawa- wa kama wafundishaji wakuu na TSC na pia
tarajia kuwa wa mwanzo katika usomeshaji. wawe wamefanya kozi ya japo wiki sita kuhusu
Walimu wakuu pia ndio watakaotarajiwa ku- usimamizi katika elimu au mafunzo kama hayo
toa mwongozo na kuongoza kwa vitendo katika katika kipindi cha miaka mitatu iliyopita.
utekelezaji wa sera na mipango ya wizara katika “Iwapo mwalimu mkuu wa taasisi atasimam-
shule zao, na ndio watakaotarajiwa kuwa wa ishwa kazi au kufutwa kwa sababu yoyote na
mwanzo kupendekeza mambo ya kutekelezwa mwajiri wake, atakoma kuwa mwakilishi wa
waziri katika shule hiyo. Waziri mara moja
atamteua mtu mwengine kuchukua nafasi
yake,” zinasema kanuni za sheria hiyo iliyo-
chapishwa.
Wiki jana, mwenyekiti wa CIC, Bw Charles
Nyachae alimwandikia barua Prof Kaimenyi
dhidi ya kuchapisha kanuni hizo, kabla ya CIC,
afisi ya Mkuu wa Sheria na Tume ya Kupitia She-
ria hawajazitipitia kwa makini na kuona kama
zinakwenda sambamba na katiba au la.
Kwa upande wake, Katibu Mkuu wa KNUT
Bw Wildioon Sossion alionya kwamba huenda
chama chake kikachukua hatua za kisheria, ku-
rekebisha hali hiyo.
Sawa na Bw Nyachae, alisema waziri hakuwa-
shirikisha wadau kama inavyotakiwa na Katiba.

Magavana watafuta Wetang’ula awataka GEIVEIVE


Sh217m za mkutano Uhuru, Ruto wajiuzulu NJERI mwenye
umri wa miaka 20
kukumbwa na masham-
KISUMU Ranguma, mwanachama wa TRANS NZOIA bulizi ya kigaidi. anapamba ukurasa huu
kamati zote mbili, jana alise- “Iwapo wawili hao
ma kuwa walikuwa wakitafuta hawawezi kuongoza basi leo. Njeri ni mwanafunzi
MAGAVANA wanatafuta KIONGOZI wa Ford Kenya
Sh217 milioni za kuandaa ufadhili na kukagua mahali Moses Wetang’ula amem- wafanye la mno kujiuzulu katika Chuo Kikuu cha St
ambapo watakaohudhuria ili wawape nafasi watu wa-
mkutano wa pili kuhusu ug-
watalala.
taka Rais Uhuru Kenyatta
naoweza kuongoza nchi
Pauls University jijini Nai-
atuzi utakaofanyika Aprili 22, na naibu wake William
Kaunti ya Kisumu. Kulingana na Bw Ranguma,
Ruto kujiuzulu akisema vyema,” alisema katika robi. Uraibu wake ni ku-
Kulingana na afisi ya Habari kamati ya kitaifa inaongozwa
na Gavana wa Kwale Bw Salim wanaonekana wamele- mazishi ya Mzee Maurice soma, kuogelea, kutazama
na Mipango ya Baraza la Wamalwa Nang’ole mjini
Magavana, pesa hizo zitaku- Mvurya ambaye aliandaa mewa na changamoto za
usalama zinazokabili taifa. Kiminini. filamu, kusafiri na kusiki-
sanywa kutoka kaunti zote 47 mkutano wa kwanza.
“Makadirio yetu ni kwamba Akizungumza Trans Seneta huyo wa Bun- liza muziki.
na seneti, wizara na wahisani. Nzoia, Bw Wetang’ula goma alisema ofisi ya Rais Picha/ANTHONY OMUYA
Magavana pia wameunda kila kaunti inafaa kutoa Sh1 yafaa kuwajibikia maisha
milioni na seneti itoe Sh10 alisema wawili hao wa-
kamati mbili katika ngazi za natekeleza uongozi wa yaliyopotezwa katika
kitaifa na kaunti kuongoza milioni. Wengine tunaota- shambulizi la kigaidi dhidi
zamia kuwaomba ufadhili ni majaribio ambao umewe-
mipango ya kuandaa mku- ka maisha ya Wakenya ya Chuo Kikuu cha Garissa.
serikali ya kitaifa.”
tano huo. pabaya huku taifa likizidi -PHILIP BWAYO
Gavana wa Kisumu Jack -SILAS APOLLO
4 TAIFA LEO
Jumatatu, Aprili 13, 2015

HABARI MSETO

Wasomi
Mama ashangiliwa kwa kuchapa ‘mwizi’ wapanga
GITHURAI yake aliyonunua kwa Sh15,000 kabla
ya kumkamata na kuanza kumpiga.
Bi Kirimi alisema kuwa alifani-
jasho. Gharama ya maisha imepanda
kwa watu wote sio yeye (mshukiwa)
pekee,” akasema Bi Karimi.
naume huyo alijikokota kutoka ka-
tika eneo la mkasa huo huku baadhi
ya wakazi wakitaka apelekwe katika
kukarabati
NA KNA
WAKAZI wa mtaa wa Githurai 45
katika Kaunti ya Kiambu walimshan-
kiwa kumnasa mshukiwa kwa kuwa
alipitia mafunzo ya Karate alipokuwa
msichana baada ya kukamilisha
Wakazi wa mtaa huo walis-
hangazwa na ujasiri wa Bi Kirimi
huku baadhi ya watu wakiahidi ku-
kituo cha polisi na wengine wak-
ipendekeza ateketezwe kwa kujihusi-
sha na vitendo vya wizi.
shule
gilia mwanamke aliyempa kichapo elimu ya sekondari. jipatia mafunzo ya Karate na Taek- Hata hivyo, wasamaria wema wa-
mwizi aliyejaribu kumpokonya simu Alisema kuwa alijifunza Karate na wondo ili waweze kujilinda wana- liomba asamehewe kwa kuwa tayari BARINGO
yake kwa nguvu, Jumamosi jioni. Taekwondo baada ya kubaini kuwa pokabiliwa na hatari. alikuwa amepata kichapo ambacho
Rosemary Karimi alimzaba kuna visa vya uhalifu vilivyokithiri “Hata mimi nitahakikisha kuwa hatasahau maishani mwake. Wakazi
katika mtaa wa Githurai 45. mke wangu anapitia mafunzo hayo walimwachilia huru huku wakim- Na ERIC MATARA
makonde mwanamume huyo ali-
yemwibia simu, jambo lililowaacha “Simu yangu haijamaliza mwezi ili aweze kujikinga anapovamiwa au wonya kukoma kujihusisha na viten-
wakazi wa mtaa huo vinywa wazi. mmoja tangu inunuliwe, inasikitisha kukabiliwa na hatari,” akasema Tom do vya wizi ili kuepuka kuhatarisha WASOMI kutoka jamii
Bi Karimi alisema kuwa mwana- sana kwamba baadhi ya watu wana- Njeru, mkazi wa mtaa huo. maisha yake. mbalimbali katika Kaunti
mume huyo alijaribu kumwibia simu taka kujipatia vitu kwa urahisi bila Baada ya kupokea kichapo, mwa- ya Baringo jana walisema
kuwa watahakikisha kuwa
shule zilizofungwa kutokana
na ukosefu wa usalama ku-

Tamasha
AJALI fuatia msururu wa wizi wa
mifugo, zimekarabatiwa na
kufunguliwa tena.
Wasomi hao kutoka
jamii za Wapokot, Watu-
gen na Ilchamus walisema
kuwa elimu ndiyo itafufua

laibua hisia
matumaini miongoni mwa
vijana na hata kuleta amani
ya kudumu baina ya jamii
hizo tatu.
Kiongozi wa kanisa Julius
Akeno aliambia konga-
mano la wasomi lililokuwa
limeandaliwa na mtandao
wa Amani Katika Kaunti
ya Baringo, kuwa wizi wa
mifugo unatishia miradi ya
maendeleo katika kaunti
NAKURU Na MUNEENI MUTHUSI hiyo.
“Huku tukiendelea
MCHEZO wa kuigiza ujulikanao kama Mchezo wa kuigiza “The story of Olkai” kutafuta suluhisho la ku-
“Gonzirahi” katika siku ya sita ukumbini ambao uliwasilishwa na shule ya upili ya dumu kutokana na tatizo
Lohana katika tamasha za michezo ya kui- wavulana ya Sigalame-kanda ya Nzoia la ukosefu wa usalama, tut-
giza hapa Nakuru uliowasilishwa na Shule katika ukumbi wa Lohana ulileta swala akarabati shule zilizoteket-
ya Upili ya Malindi kutoka kanda ya Pwani la mgongano baina ya wanyama pori ezwa na wezi wa mifugo,”
ulizua mtafaruku mkubwa miongoni mwa na wenyeji na bila shaka kuzua maswali akasema Bw Akeno.
hadhira kutokana na maudhui yake am- chungu zima kwa hadhira. Wasomi hao, mion-
bayo wengi hawakuyatazamia. Mchezo huu ulionyesha jukwaani goni mwao wakiwa walimu,
Mchezo huu ambao uliandaliwa ka- tembo (ndovu) ikishambulia wenyeji wak- mawakili, madaktari, vion-
tika gereza la Gonzirahi ulishtua hadhira iwa wamesimama chini ya mti wakijificha gozi wa kidini na viongozi
kutokana na tabia za wakuu wa gereza mvua na kuwaacha wote wakiwa mizoga wa serikali walisema kuwa
kuwatuma mahabusu usiku kwenda kuiba mbugani. Tembo akashika njia akaenda wako tayari kufanya mazun-
benki na kuwaletea pesa na hiyo wanaona zake, hakuna aliemuuliza wala hakuna gumzo na wafugaji, machifu
eti ni haki yao. aliyejitokeza kutetea haki za hao waliuawa na viongozi waliochaguliwa
Mbarika ilipasuka pale kamishna wa na tembo bila sababu. kwa lengo la kukomesha
magereza alivyolitembelea gereza hilo na Vile vile hapo jukwaani hadhira ilish- wizi wa mifugo ili kuleta
kuomba kupewa orodha ya wafungwa tuliwa sana na kisa ambapo chui alivamia amani ya kudumu.
waliomo ndani ya gereza. watu wawili, babake mtu na Walimtaka Gavana Ben-
Mfungwa mmoja alikoseka- mtoto wake. Watu ukumbini jamin Cheboi kushirikiana
na ndani na kuzua maswali walishtushwa sana walipom- nao katika harakati za
chungu zima. wona chui amewarukia watu kutafuta amani ya kudumu
Wakati hilo likien- wale na kung’oa mzee mkono miongoni mwa jamii katika
dela, raia ambao walikuwa na kuanza kuutafuna polepole kaunti hiyo.
wamemkamata mfungwa kwa raha zake. POLISI wa trafiki aangalia basi lililohusika katika ajali katika barabara ya
Walisema kuwa baadhi
mmoja alipokuwa akiiba walishangaa Kijana Lepasi kuona babake amesham- Kisumu-Busia. Basi hilo lililokuwa limetoka Busia lilipoteza mwelekeo
ya maeneo yaliyoathiriwa
ni vipi mfungwa angepewa silaha hatari buliwa alichukua mkuki na kumchoma na kupinduka karibu na mzunguko. Watu wawili walipoteza maisha yao ni Lomoiwe (Mochongoi),
kama bunduki na kupata baraka kwenda huyo chui mara tatu na kumuua. katika ajali hiyo ya Jumamosi usiku. Picha/TOM OTIENO Kasiela (Arabal), Sirata na
kutekeleza mauaji wakati akiiba benki. Pokot.
Baada ya kufikishwa “mbele ya sheria”
huko gerezani, walipata makabiliano baina
ya kamishna wa gereza na afisa mkuu wa

Waanza kufurahia ‘uhuru’ kafyu kuondolewa


Gereza la Gonzirahi. Kisa hiki kilish-
tua umma na kujiuliza je pengine wizi
mwingine nchini unatokana na mahabusu
kutumwa na wakubwa wa gereza kuwaibia
pesa?
Vilevile, kulikuwa na mchezo mwingine maeneo ya nchi kavu Lamu. na shaka wanapotekeleza shughuli
NA KALUME KAZUNGU
wenye maudhui ya kushangaza. Mchezo MPEKETONI Bw Ndegwa aidha aliitaka seri- zao,” akasema Bw Ndegwa.
huu kwa anwani “87,422” uliowasilishwa tizwa na polisi wakati akitembea kali kuu kuhakikisha wanaongeza Bw Johnson Kamau, mkazi wa
na Shule ya Upili ya Wasichana ya St Georg- kupita saa kumi na mbili unusu jioni, idadi ya maafisa wa usalama Lamu ili Mpeketoni, alikiri kutosumbuliwa
es wakitokea kanda ya Metropolitan ulian- WAKAZI wa maeneo ya nchi kavu
kuashiria kuwa amri ya mahakama wakazi waendelee kufurahia uhuru wala kuulizwa maswali yoyote na
daliwa katika academia ya kijeshi ambapo ambayo sheria ya kutotoka nje ka-
ilianza kutekelezwa. wao bila kutatizwa. walinda usalama wakati akitembea
watoto wa wakuu wa kijeshi husomea. tika Kaunti ya Lamu ilikuwa bado
Wengi wa wakazi aidha walisema “Tumepigania kafyu kuondolewa usiku mjini humo kinyume na ilivy-
Katika mchezo huu, binti ya kamanda ikihudumu kwa zaidi ya miezi kumi,
wamekuwa wakishuhudia ongezeko Lamu na ninashukuru kwa hatua ya okuwa awali.
wa jeshi alipotea wakati walipokuwa na mwishoni mwa juma walianza kufu-
la doria za walinda usalama bara- mahakama kutoa uamuzi huo. Nina- “Hungeweza kuzurura njiani
wenzake wakichangisha pesa za kum- rahia uhuru wao wa kutembea usiku
barani hasa wanajeshi wa Kenya choisihi serikali ni kuhakikisha mai- kufikia saa kumi na mbili unusu
saidia mwenzao shuleni ambaye alihitaji baada ya Mahakama Kuu ya Malindi
(KDF) tangu amri hiyo kutolewa sha ya wananchi na mali vinalindwa. jioni. Tangu kutolewa kwa uamuzi
Sh87,422 kukamilisha karo yake. kufutilia mbali amri hiyo mnamo
mnamo Ijumaa. Isiwe kafyu imeondolewa ikawa ni na Mahakama Kuu ya Malindi Iju-
Vilevile kulikuwa na hadithi simulizi Ijumaa juma lililopita.
Kwenye mahojiano kwa njia ya mwanya wa serikali kulegeza kamba maa, hakuna mtu anasumbuliwa
kutoka shule ya upili ya wasichana ya Utafiti uliofanywa na Taifa Leo
simu jana, Mbunge wa Lamu Ma- katika kulinda maisha ya wananchi tena. Tunatembea masaa tutakayo,
Asumbi “The Software Developer” am- mwishoni mwa juma kwenye miji
gharibi, Julius Ndegwa, aliisifu hatua wetu. Doria za walinda usalama japo doria za walinda usalama ndio
bayo mbali na kutoa mafunzo mengi kwa mbalimbali ikiwemo Hindi, Mpeke-
ya mahakama ya kufutilia mbali ziongezwe barabarani, misituni, ma- nyingi barabarani na vitongojini,”
hadhira, hadithi hiyo iliyowasilishwa na toni, Kibaoni na Witu, ulibaini kuwa
kafyu iliyokuwa ikiendelezwa katika jini na viijijini ili wananchi wasiwe akasema Bw Kamau.
wasichana wawili wacheshi A Agola na Ja hakuna mkazi hata mmoja aliyeta-
Caroline iliwaacha watu hoi kwa kicheko.
TAIFA LEO
Jumatatu, Aprili 13, 2015 5
HABARI MSETO

Ruto akana zogo limezuka Jubilee Mtoto afariki


kutokana na
kipindupindu,
KILIFI babake apona
MTOTO wa mwaka moja
Na DANIEL OTIENO na nusu aliaga dunia huku
babake akinusurika kufua-
NAIBU wa Rais William Ruto na baadhi tia mkurupuko wa kipin-
ya viongozi katika muungano wa Jubilee, dupindu katika Kaunti ya
sasa wanapuuza mgogoro uliopo kati Mombasa.
ya vyama vya TNA na URP, na kudai Aidha, taharuki inaen-
kwamba mzozo huo umebuniwa na vyo- delea kutanda kufuatia
mbo vya habari. mkurupuko wa ugonjwa
Bw Ruto ambaye ni kiongozi wa chama huo ambao husambaa kwa
cha United Republican Party (URP) na kasi, kwa sasa watu wawili
baadhi ya wabunge wa chama cha TNA, wakiwa wamethibitishwa
walisema kwamba mvutano unaod- kuaga dunia Mombasa.
haniwa kuwepo kwenye muungano huo Hata hivyo, usimamizi
umebuniwa na watu wachache ambao wa Kaunti umetangaza
nia yao ni kuona kuwa muungano huo kuwa umeweka mikakati
unaotawala umevunjika. kabambe ya kukabiliana
Walisisitiza kuwa mambo yako shwari na ugonjwa huo hatari.
na kamwe hakuna kutoelewana. Babake marehemu am-
Lakini akizungumza katika eneo baye anaendelea kupokea
bunge la Mukuruwe-ini, kaunti ya Nyeri matibabu katika wodi
siku ya Jumamosi, Bw Ruto alisema, “Tu- maalum ya wagonjwa wa
lipounda serikali hii, lengo letu lilikuwa kipindupindu alionekana
kuwaunganisha Wakenya wote. Bado NAIBU Rais William Ruto, Gavana wa Nyeri Nderitu Gachagua na mbunge wa Othaya Mary Wambui waungana
kuimarika kiafya.
tuko katika njia hiyo na chochote am- na wacheza ngoma wakati wa ufunguzi wa taasisi ya Mukurweni Technical Training Institute, Nyeri mnamo
“Alikula omena (dagaa)
bacho wanahabari wanaandika, waache- Jumamosi. Picha/DPPS
katika hoteli moja Likoni,
ni waandike. Baada ya hapo tutatumia akaanza kuumwa na
kufadhili kampeni ya kushinikiza ku- (NYS) Bw Kiplimo Rugut kupitia ujumbe kuhusu utendakazi wake tangu iingie
makaratasi ya magazeti kufungia nyama tumbo akihara huku mwa-
pigwa kura ya kutokuwa na imani na Bi mfupi (SMS), jambo ambalo wanachama mamlakani miaka miwili kamili iliyo-
na tuendelee kuchapa kazi.” nawe akitapika. Baadaye
Waiguru. wa URP wanasemekana ku- pita, hasa kuhusu uwezo wake katika
Wiki iliyopita, wandani katika serikali tulimkimbiza hospitalini
Bi Kitany ni miongoni tolifurahia. kupambana na ufisadi.
ya Jubilee walidokeza kuhusu kuwepo lakini mwanawe alikuwa
mwa waliosimamishwa Baadhi ya viongozi wa TNA Lakini Bw Ruto alisema kwamba
kwa mvutano wa mamlaka, hasa kati ya ashafariki,” akasema jamaa
kazi kusubiri uchunguzi waliamini kuwa Bi Kitany serikali imejitolea katika kuendeleza
Waziri wa Ugatuzi, Anne Waiguru na Bi wa mgonjwa.
wa EACC. hangeweza kuchukua hatua malengo yake ya maendeleo na kwa
Marryane Keitanny. Kulingana na Fred
Hatua ya kutaka kama hiyo peke yake bila ya hivyo haitayumbishwa na mijadala
Ripoti iliyowasilishwa kwa Rais Uhuru Ogachi, wawili hao
kumwondoa Bi Waiguru usaidizi wa Bw Ruto, ikizin- inayoendeshwa na vyombo vya habari.
Kenyatta na Tume ya Maadili na Kupam- walionyesha dalili za
ilikuwa imeanzishwa gatiwa kuwa ni msaidizi wake “Sisi tuko imara kutimiza miradi ya
bana na Ufisadi (EACC) inadai kwamba kipindupindu.
kutokana na ukweli kwamba, aliseme- wa kibinafsi katika afisi yake. miundo msingi na elimu, ambayo ni
Bi Kitany alitumia Sh100 milioni zili- Wagonjwa wengi wa-
kana kumfuta kazi aliyekuwa mkuu wa Matamshi hayo pia yamejiri ka- muhimu katika ajenda ya maendeleo,”
zokuwa zimepangiwa shughuli muhimu, metibiwa katika hospitali
idara ya Huduma ya Vijana kwa Taifa tika wiki ambayo serikali imemulikwa alisema Bw Ruto.
kuu ya rufaa ya Pwani
kutokana na kuhara.
Akithibitisha hayo, Dkt

Washukiwa 9 wa ulanguzi wa dawa wazuiliwa wiki mbili Said Mohammed alisema


wagonjwa wanne kutoka
Likoni na Mishomoroni
Na KAZUNGU SAMUEL po wa tukio hilo katika eneo wanaendelea kupata mati-
KILIFI hilo ndiposa wakaweka mtego. babu katika hospitali hiyo.
“Maafisa wetu walikuwa Mkurupuko huo unajiri
mbili za madawa ya kulevya
wamepashwa taarifa na umma huku wakazi wakiendelea
MAAFISA wa usalama katika aina ya heroini yenye thamani
na ndiposa wakafika eneo hilo kukabiliana na uhaba
Kaunti ya Kilifi wanawazuilia ya Sh6.08 millioni.
na kupata gari hilo ambalo wa maji katika maeneo
wanaume tisa ambao walipa- Ingawa tisa hao walifikishwa
liliendana na lile ambalo mael- mbalimbali.
tikana wakijitayarisha kuin- mahakamani Ijumaa, walirud-
ezo yake yalikuwa yametolewa Kadhalika, kuna hatari
giza mihadarati kwenye boti ishwa katika seli za polisi kwa
na umma. Kufika hapo ndipo ya ugonjwa huo kusambaa
eneo la Mnarani. muda wa wiki mbili kufuatia
tukakuta kulikuwa na watu zaidi kwani wakazi wame-
Tisa hao walikamatwa Al- ombi la polisi ambao walisema
watano ndani na maafisa wetu salia wakitumia maji ya
hamisi iliyopita na kikosi maa- wanataka muda zaidi ili kuka-
wakawaamuru watoke nje,” visima huku mvua kubwa
lum cha maafisa wa usalama milisha uchunguzi wao. WASHUKIWA wa ulanguzi wa dawa walionaswa na akasema Bw Kanja. ikitarajiwa wakati wowote.
ambacho kilikuwa kikifuatilia Kulingana na kamanda maafisa wa Kaunti ya Mombasa wiki jana. Picha/K ODIT Aliongeza kwamba baada Haya yanajiri wiki
mienendo yao baada ya kupata mkuu wa polisi katika Kaunti
walikuwa katika gari dogo Aidha alisema kuwa maafisa ya maafisa hao kuanza ku- chache tu baada ya wizara
habari kutoka kwa wananchi. ya Kilifi Bw Douglas Kanja,
mwendo wa saa kumi na moja hao walikuwa wamepashwa piga sachi gari hilo ndipo wali- ya afya kutoa tahadhari
Kwenye tukio hilo, maafisa maafisa wa ujasusi kwanza
alfajiri eneo hilo la Mnarani. habari na umma kuhusu uwe- popata begi moja lililokuwa na dhidi ya mkurupuko huo.
hao wa polisi walinasa kilo walinasa jamaa watano ambao
madawa hayo. -WINNIE ATIENO

Uhaba wa pesa watishia kutatiza mabunge 3


HUENDA shughuli zikakwama Bw Nyamoko. hangaisha mabunge ya kaunti bila Leo ilifahamishwa kwamba Bunge
katika Mabunge ya Bomet, Migori Spika huyo alisema shida zao ya kuwepo kwa sababu za msingi hilo tayari limeshatumia Sh265
na Nyamira kutokana na uhaba wa zinatokana na kufeli kwa Wizara za kufanya hivyo. milioni ilizotengwa katika mwaka
fedha. ya Fedha kuwatengea fedha za “Ni kwa nini tume hizi haziwapi- huu wa fedha, na linahitaji pesa
Katika Bunge la Kaunti ya kuendesha shughuli zao. mii magavana kama kweli hakuna za kuliwezesha kuendelea na
Nyamira kwa mfano, Spika Joash Alitaja Sh250 milioni walizo- njama ya kutuaibisha sisi ambao shughuli zake hadi ifikapo mwisho
Nyamoko alisema watu wana- pokea kutoka kwa Msimamizi wa tuko kwenye mabunge ya kaunti?” wa Juni.
osambaza bidhaa na huduma Bajeti dhidi ya bajeti ya Sh575 akauliza Bw Nyamoko. Awali Bunge hilo lilikuwa lime-
pamoja na wafanyakazi na hata milioni kuwa “mzaha” na pesa Hali si tofauti katika Kaunti taka Sh336 milioni.
Wawakilishi wa Wadi (MCA) ha- ambazo haziwezi kusaidia katika ya Migori ambako Spika Gor- Wiki mbili zilizopita, Naibu
wajalipwa. shughuli muhimu za serikali hiyo don Ogolla, anasema mambo ni Gavana Stephen Mutai alilitaka
“Shughuli zetu huenda zikak- ya kaunti. magumu kwao. bunge la kaunti hiyo liombe pesa
wama wakati wowote. Tunadaiwa “Pesa hizi hata hazitoshi kuwa “Tunapewa Sh450 milioni lakini ili kuendeleza shughuli zake.
na watu wanaotuletea bidhaa mshahara wa wafanyakazi wetu mishahara na marupurupu yetu Bw Mutai alikataa pendekezo la
zaidi ya Sh30 milioni. Hata wale 67 na Wawakilishi wa Wadi 33,” pekee ni zaidi ya Sh370 milioni. Spika Geoffrey Kipng’etich kuwa
wanaotuletea vitabu, kalamu na alisema. Hii hutuacha na Sh80 milioni bunge hilo lifungwe hadi matatizo
bidhaa nyingine za kuandikia Alililaumu Baraza la Magavana kusimamia shughuli nyingine ya kifedha yatatuliwe.
wameacha kwa sababu hawajal- kwa madai ya kula njama na Msi- muhimu... kiasi ambacho ni ki- GAVANA wa Bomet Isaac Ruto
ipwa hata senti moja katika kipindi mamizi wa Bajeti pamoja na Tume dogo mno,” akasema Bw Ogolla. Ripoti za ELISHA OTIENO, HEN- ahutubia umati eneo la Kericho
cha miezi tisa iliyopita,” alisema ya Ugavi wa Rasilmali (CRA) ku- Kuhusu Kaunti ya Bomet, Taifa RY NYARORA, GEOFFREY RONO Ijumaa. Picha/TONNY OMONDI
6 TAIFA LEO
Jumatatu, Aprili 13, 2015

HABARI MSETO

Msiuze ardhi kiholela, Kuppet yataka chama Wito polisi


wahamishwe
Gavana aonya wakazi cha wazazi kifutwe
‘kwa kuingia
katika siasa’
sha kibinafsi kwa kisingizio cha kutetea
LAMU Na KALUME KAZUNGU UASIN GISHU wazazi.
Mwenyekiti huyo alipinga kutolea kwa
Kwenye mahojiano na Taifa Leo ada ya Sh2,000 kila mwaka kutoka kwa
VIONGOZI wa Kaunti ya Lamu wame- mjini Lamu Jumapili, Gavana Timamy
CHAMA cha walimu wa shule za
upili na vyuo vya kati KUPPET kinataka
kila shule kama ada ya chama hicho. NAKURU
watahadharisha wakulima wa eneo alisema kuna haja ya wakazi kuwa ma- “Sisi kama KUPPET tunapinga mpan-
linalonuiwa kuanzishwa mradi wa uongozi wa chama cha wazazi nchini go wa chama cha Bw Musau kukusanya
kini na pia kuepuka kuuza rasilimali BAADHI ya viongozi Nakuru
uzalishaji nishati ya makaa ya mawe la kuharamishwa. Sh2,000 kutoka kwa kila shule nchini
muhimu, ikiwemo ardhi, bila sababu wameitisha kuhamishwa kwa
Kwasasi dhidi ya kuuzia wageni ardhi Mwenyekiti wa kitaifa wa KUPPET kila mwaka, hiyo ni njama ya Bw Musau
za kimsingi. maafisa wakuu wa polisi eneo
zao kiholela. Bw Omboko Milemba alisema uongozi kufisidi wazazi nchini takribani Sh700
“Baadhi ya mabwenyenye wame- hilo kutokana na madai ya
Gavana wa Lamu, Issa Abdalla Ti- wa chama hicho hauna nia njema kwa milioni,” alisema
wasoma watu wetu na kujua kwamba ulegevu kazini na kujiingiza
mamy, Mbunge wa Lamu Mashariki, wazazi na sekta ya elimu kwa jumla. Bw Omboko alishangaa ni kwa nini
ni rahisi kuwarai na kutwaa ardhi zao katika siasa.
Ali Athman Shariff, Mwakilishi wa Akihutubu katika mkutano wa kila Musau amekwamilia kwa uongozi wa
kwa bei ya chini. Haya yanatokana tu Viongozi hao walishangaa
Wanawake wa Kaunti ya Lamu, Bi mwaka wa chama hicho tawi la Uasin- chama hicho tangu kianzishwe yapata
na tamaa. Hizi ni ardhi ambazo wak- sababu za polisi za kutom-
Shakila Abdalla na Chifu Mkuu wa Gishu, Bw Omboko alisema uongozi wa miaka 20 iliyopita.
izitunza vizuri watapata faida kubwa kamata Mbunge anayedaiwa
Lamu, Abdalla Shahasi, wameeleza chama hicho hauajibikii wazazi vilivyo. “Tunajua kwamba baada ya miaka
baadaye kama wenzao wa Kililana na kuongoza vijana na wachuuzi
wasiwasi wao jinsi wageni na hata ma- Bw Omboko alidai kuwa mwenyekiti minne kunakuwa na mabadiliko katika
Mashunduani ambao tayari wame- kushambulia maafisa wa Kaunti
tapeli wanavyovamia eneo la Kwasasi wa chama hicho Musau Ndunda ame- uongozi wa vyama vya wazazi, im-
fidiwa mamilioni baada ya ardhi za ya Nakuru na kuharibu gari lao.
kila kuchao na kuwarai wenyeji ku- kuwa kizingiti katika uhusiano kati ya ekuwaje sasa uongozi wa chama hiki
eneo la Bandari (LAPSSET) kutwaliwa Wakiongea mjini Elburgon
wauzia mashamba wanayonunua kwa wazazi na wadau wengine katika sekta umekuwa haufanyiwi marekebisho?”
kufanikisha mradi huo. Mjiepushe na wakati wa mazishi ya baba
bei ya chini. ya walimu. alisema.
tamaa,” akasema Dkt Timamy. mkwe wa Gavana wa Nakuru
Kulingana na Bw Omboko, Bw Nd- Na TITUS OMINDE
unda anatumia chama hicho kujinufai- Kinuthia Mbugua Jumamosi,
viongozi hao walionekana kush-
angazwa na kuharibiwa kwa
gari hilo lililokuwa limeeges-

Kabogo akejeli Waititu


hwa katika kituo cha polisi
cha Nakuru Central. Walisema
polisi hawakuchukua hatua
yoyote ingawa walikuwa wakita-
zama kilichokuwa kikiendelea.
Hakuna yeyote aliyekamtwa

zogo la makao ya kaunti


kutokana na kisa hicho.
Naibu wa Gavana Bw Joseph
Ruto alisema baadhi ya viongozi
wakuu wa polisi Nakuru wame-
kaa sana eneo hilo na akatoa
wito kwa Tume ya Kitaifa ya
Huduma za Polisi kuwaham-
ishia kwingine.
Aliungwa mkono na Baraza
la Wazee eneo la Bonde la Ufa
KIAMBU ambao walishutumu shambulizi
hilo walilolitaja kama mbinu
ya kuzua hofu kwa wawekezaji
NA ERIC WAINAINA katika kaunti hiyo.
Na WANJIRU MACHARIA
GAVANA wa Kiambu William
Kabogo amemcheka aliyekuwa
mbunge wa zamani wa Embakasi
Ferdinand Waititu kwa kutishia
Nitapambana
kumvua ugavana ikiwa hata-
badilisha makao makuu ya Thika na maadui
na kuyahamishia mjini Kiambu.
Bw Waititu alisema pia kodi zili-
zotozwa na kaunti hiyo ziko juu na
zangu - Ruto
kutaka zipunguzwe.
Akiongea wakati wa kutoa zawadi BOMET
katika Shule ya Msingi ya Githungu-
ri Township Jumamosi, Bw Kabogo GAVANA wa Bomet Isaac Ruto
alimtaja Bw Waititu kuwa mtu asiye ametishia kufika mahakamani
na ushawishi wowote kwake. kupinga kutimuliwa kwake
Alisema hakutishika kutokana na kutoka kwa Chama cha United
kuingia kwa Bw Waititu katika siasa Republican (URP) na mpango
za kaunti hiyo na kusema kabla ya wa kumwondoa kama gavana
kuzindua azma yake ya kuwania wa kaunti hiyo.
wadhifa wa mbunge wa Kabete, Wakati huo huo, Bw Ruto ali-
alikuwa amemwomba baraka. dhihaki wito wa Kaimu Katibu
“Kwangu mimi Waititu sio kitu. Mkuu wa URP Bw Fred Muteti
Mnajua huwa siongei mambo ya wa kumtaka kuondoka chama-
watu wengine lakini kuhusiana ni humo baada ya majibizano
na hili, endeni mkamuulize ikiwa ya kisiasa na sheria kati yake na
hakunipigia simu na kuniambia GAVANA wa Kiambu William Kabogo wakati wa mkutano wa kisiasa Narok, mwezi jana. Naibu Rais William Ruto.
mambo yake yalikuwa mabaya na Anayemwangalia akitabasamu (kulia) ni Gavana wa Narok Samuel Tunai. Bw Kabogo amemshutumu Alisema kuwa hawezi kujiun-
kwamba alikuwa akitafuta kitu mbunge wa zamani Ferdinand Waititu kwa kuingilia utawala wake. Picha/MAKTABA ga na chama kipya cha Jubilee
(kuwa mbunge wa Kabete). Alliance Party (JAP) ambacho
Wiki jana Bw Waititu alitisha Waititu katika siasa za kaunti hiyo wake. linalohusishwa nami ni ulaguzi wa Rais Kenyatta na Naibu Ruto
kuwa kama gavana huyo hangekuwa yangekuwa magumu. Kuteuliwa kwa Bw Waititu ku- dawa za kulevya, madai yasiyo ya wanasema watakitumia wakati
ametimiza matakwa hayo kufikia “Ukiniuliza nilienda wapi shule wania kiti cha Kabete kulikuwa kweli ambayo huchipuka wakati wa kutafuta kuchaguliwa tena
Julai, walikuwa wamekubaliana na ya upili na chuo kikuu ninaweza dharau kubwa, alidai Bw Kabogo. Al- wa uchaguzi. Niko tayari kujitetea mwaka wa 2017.
wawakilishi wa bunge waanzishe kukuambia na hata tuliosoma nao isema hatua hiyo ilionyesha Kaunti ikiwa nitashtakiwa kutokana nalo,” Bw Ruto alisema lazima URP
zoezi la kukusanya sahihi za wakazi na walimu wetu lakini ya Kiambu kama eneo alisema. ifuate katiba yake na sheria
wa humo kumwondoa mamlakani. baadhi ya watu hawawezi la kutupwa ‘takataka’ Alisema kaunti hiyo imepiga wakati wa kukabiliana na wa-
Bw Waititu alidai kuwa Bw Kabo- kufanya hivyo. Wanadai za kisiasa kutoka kaunti hatua za kimaendeleo na kuwapuz- nachama na viongozi inaowad-
go anaongoza kaunti hiyo kwa ujeuri kuwa tulisoma chuo ki- zingine. ilia mbali wabunge wanaodai kuwa hania kukiuka mwongozo wa
mwingi. moja Punjab. Hicho ni Bw Kabogo alisema kodi katika kaunti hiyo ziko juu na chama hicho.
Bw Kabogo alidai kuwa Bw Wai- kionjo tu kwani tufani alikuwa mwadilifu kuto- kwamba zinafaa kupunguzwa. “Sitaondoka URP kama
titu hakuwa na uwezo wa kuwa i njiani. Kama unataka kana na kwamba hana Bw Kabogo alisema kaunti hiyo wanavyotaka wakosoaji wangu.
gavana kwa kudai kuwa masomo kujua tabia za mtu, tafuta katika kesi yoyote mahakamani kuhusiana ilikuwa ikitegemea ushuru kuen- Wanatakiwa kujua kuwa ni-
yake ya juu yametiliwa shaka na mtandao wa Google na utapata kila na uadilifu wake. deleza miradi na mahitaji yake na tawasili mahakamani kuka-
kuonekana kudai kuwa atatia kitu,” alisema na kutaja jina la msi- “Sijawahi kushtakiwa kutokana kusema kuwa usimamizi wa kaunti biliana na mpango wa kutaka
juhudi kuhakikisha maisha ya Bw mamizi wa Chuo cha Punjab wakati na wizi wa ardhi au ufisadi. Suala hauwezekani bila kuokota ushuru. kuniondoa chamani na kama
gavana wa Bomet,” alisema.
Na GEOFFREY RONO
TAIFA LEO
Jumatatu, Aprili 13, 2015 7
HABARI ZA KAUNTI
Wanafunzi 3
wa Garissa
Mbunge apinga jeshi liondoke Somalia wazikwa kwa
huzuni vijijini
hao Somalia sio suluhu kwa tatizo ya jeshi letu kuondoka nchini
MOMBASA Na FAROUK MWABEGE la ukosefu wa usalama na ugaidi. Somalia,” akasema Bw Mwaura.
Aidha alidokeza kwamba hali Mbunge huyo mteule alieleza
ambapo kinara wa Cord, Bw Raila ya usalama humu nchini ilikuwa kuwa hakikisho la usalama humu
MBUNGE Maalumu wa Chama Odinga, amekuwa mstari wa mbele tata hata kabla ya jeshi la Kenya nchini linaweza kupatikana punde
cha Orange Democratic Movement katika kushinikiza serikali kuhusu kupelekwa nchini Somalia miaka tu taifa la Somalia litakapokuwa na POKOT
(ODM), Bw Isaac Mwaura swala hilo, huku akitaka usaidizi mitatu iliyopita. serikali imara.
ametofautiana na msimamo wa kutoka taifa la Marekani. “Muungano wa Cord tayari Aliongeza kuwa jambo la msingi
Muungano wa Cord wa kuitaka Akiongea na waandishi wa umetangaza msimamo wake kwa serikali ni kuhakikisha kuwa Na OSCAR KAKAI
serikali iondoe wanajeshi wake habari katika hoteli ya Forest Lodge ambao naunga mkono ila shingo inaweka mikakati kabambe ya
walio nchini Somalia. eneo la Diani, Bw Mwaura alisema upande kwani sio ukweli kuwa kuthibiti usalama katika maeneo VIONGOZI wa Kaunti ya Pokot
Tofauti hizo zimejiri wakati kuwa kuondolewa kwa wanajeshi taifa hili litakuwa salama baada yote ya mipakani. Magharibi wameitaka serikali
kupitia kwa wizara ya elimu ku-

Afa kabla
tolazimisha wanafunzi kujiunga
na vyuo ambavyo si chaguo lao.

KERO LA PIKIPIKI Akiongea jana kwenye mazishi


ya wanafunzi watatu wa kaunti
ambao waliaga dunia kwenye
shambulio la Chuo Kikuu cha
Garissa, walisema kuwa wa-

ya kutoa
nafunzi hao walikuwa wame-
kataa kujiunga nacho, lakini
serikali iwakalazimisha.
“Si vyema wanafunzi kulaz-
imishwa kujiunga na vyuo am-
bavyo hawataki. Wanafunzi hawa
walikuwa wamekataa kujiunga

ushahidi
na chuo hicho kutokana na uko-
sefu wa usalama,” alisema.
Mmoja alikaa nyumbani kwa
mwaka kwa hofu ya ukosefu wa
usalama, alisema mbunge wa
Pokot Kusini, Bw David Pkosing.
Wanafunzi hao, Evelyne
Cheyech, Mike Pkemoi Kimuria
na Phillemon Tarakaramoi wal-
EMBU Na CHARLES WANYORO izikwa Jumamosi katika maeneo
ya Chepareria, Seker na Lelan.
MWANAMUME mwenye Wakazi walisema wawili hao Viongozi waliitaka serikali ku-
umri wa miaka 25 aliyekuwa walionekana Ijumaa usiku wakiwa saidia kujenga vyuo vikuu katika
atoe ushahidi kuhusu katika eneo moja la burudani eneo hilo ili kusaidia wanafunzi
kuuawa kwa babake, wakiwa na wanawake wawili. wengi ambao wana kiu ya elimu.
mnamo Ijumaa alipatikana Bw Mbogo alikuwa ni fundi wa Waliapa kutafuta mbinu za
kupata fedha za kujenga vyuo
ameuawa kwa panga pamo- stima na alitoka eneo la Siakago
vikuu katika eneo hilo ikiwa seri-
ja na rafikiye ndani ya ny- huku Njue akitoka Manyatta. kali haitasikia kilio chao.
umba yao eneo la Majengo, Bi Micheni alisema kuwa polisi Naibu wa gavana Titus
Kaunti ya Embu. walipata nyaraka kutoka kwa Lotee alisema kuwa kiwango cha
Dennis Mbogo na Michael Bw Mbogo zilizoonyesha kuwa ujinga katika eneo hilo kiko juu
Mbogo Njue, ambaye ni dereva alikuwa anataka kufuatilia suala la na wao kama viongozi wanafan-
wa teksi, walipatikana wameuawa, urithi na malipo ya babake. ya juhudi kumaliza shida hiyo.
huku wakivuja damu katika kile Anashuku kwamba huenda kifo “Kiwango cha watu ambao
ambacho polisi wanasema huenda chake kina uhusiano mkubwa na hawajasoma bado kiko juu na
ni jaribio la kuficha ukweli kuhusu kile cha babake. tumehuzunika na ambao wame-
kifo cha babake Mbogo, aliyeuawa Alisema wauaji wa Bw Mbogo kufa wakitafuta elimu,” alisema.
mjini Embu mwaka uliopita. inaonekana walifanikiwa kuingia Kiongozi huyo alilaumu
Babake Mbogo, Charles Zachari- ndani ya nyumba hiyo kupitia maafisa wa usalama nchini kwa
ah aliyekuwa Sajini katika kitengo mlango wa nyuma. kuchelewa kufika maeneo ya mi-
cha polisi wa kulinda misitu “Mbogo alikuwa na ushahidi kasa mashambulio yanapotokea.
(KFS) katika Kaunti ya Kirinyaga, muhimu katika kesi ya kuuawa
aliuawa na mwili wake kutupwa kwa babake. Kesi hiyo inachun-
mtoni katika Tharaka-Nithi. guzwa na makao makuu ya CID
Kwa mujibu wa naibu wa ka-
mansa wa polisi wa Embu, Bi Terry
Mucheni, Bw Mbogo alikuwa
pamoja na polisi wa kukabiliana
na uhalifu wa kinyumbani,” Bi
Micheni alisema
Sh10b huishia
anatarajiwa kutoka ushahidi ma-
hakamani kuhusiana na mauaji
ya babake na alisemekana kuwa na
“Kutokana na uchunguzi wetu
wa kwanza, ni dhahiri kuwa waua-
ji hawakuingia kutumia mlango
katika ulevi
ushahidi muhimu kwenye kesi. wa mbele. Inaonekana watu hao
walifanya uchunguzi wao vyema NYERI
na kufahamu jinsi ya kumzuia

Barabara
Mbogo kutoa ushahidi wakati wa ZAIDI ya Sh10 bilioni hutumika kila
kesi mahakamani,“ akasema. mwaka katika kukata kiu ya pombe
WAKAZI wa Mtwapa wakishiriki na ushirikina, jana. Waliomba na dawa za kulevya, Mwenyekiti wa

kujengwa katika maandamano ya amani


kuhusu kuongezeka kwa ajali za
barabarani za bodaboda za pili-
matuta yajengwe katika maeneo
ya Majengo, Kanamai na Mtwapa
katika barabara kuu ya Mombasa-
Shirika la Kupambana na Matumizi
ya Mihadarati (NACADA), Bw John
Mututho alifichua jana.
piki zinazoaminika kusababishwa Malindi. Picha/KEVIN ODIT Alisema mbali na kwamba zaidi ya
SERIKALI ya Kaunti ya
Wakenya 2.2 milioni wamelemewa na
Bungoma imetenga Sh220
uraibu wa pombe na dawa za kulevya,

Kamanda awaonya wazazi


milioni kukarabati barabara
ulevi huo umechangia kwa kiwango
za mjini, kama njia ya
kikubwa kuvunjika kwa familia.
kuimarisha ukusanyaji
“Ulevi na dawa za kulevya sasa ni
mapato na utoaji huduma.
janaga nchini. Vijana wengi sasa ha-
Nazo Sh330 milioni
AFISA Mkuu wa Polisi wa eneo la halafu matokeo ni kama wawezi kudumu katika ajira wala kazi
zitaimarisha barabara
yoyote au hata kulea familia zao, kwa
katika wadi 45, huku Pwani ameonya wazazi watakaokosa Na LABAN ROBERT tulivyoshuhudia katika Chuo
sababu kila kukicha wamo ulevini,”
ikibainika kaunti ilipoteza kuripoti watoto wao waliopotea Kikuu cha Garissa. Kama una mtoto
visa vya uhalifu na watoto wao, akasema mwenyekiti.
mamilioni mwaka uliopita watakamatwa na kushtakiwa. aliyepotea unaombwa kuripoti mara
serikali itachukulia kuwa wazazi Bw Mututho alikuwa akizungumza
kutokana na njia za ushuru. Kamanda Robert Kitur jana moja katika kituo cha polisi”.
walikuwa wakijua mienendo yao. katika Kaunti ya Nyeri mnamo
Waziri wa Barabara alisema hakuna atakayefanya serikali Alionya waendeshaji wa Misikiti Jumamosi ambapo alisikitika kuwa
na Ujenzi, Bw Stephen kukomesha vita dhidi ya ugaidi. “Maeneo ya Pwani na Kaskazini inayotoa mafunzo mabaya badala ya wanawake wengi sasa wanaingilia
Nendela, jana lisema kuna Alikuwa akiongea katika eneo la Mashariki yanaongoza kwa vijana kutumiwa kuabudu Mungu. ulevi wa kupindukia.
mpango wa kuzindua Kwahola alipozindua gari la polisi la waliopotea. Wazazi wamefeli katika Bw Kitur alilaumu wazazi kwa “Hili ni tatizo kubwa kwa uchumi
maabara ya kisasa kwa kushika doria katika eneo hilo. kutekeleza wajibu wao. Wamo humu kutohakikisha watoto wanaenda wa nchi. Hakuna watu wa kufunzwa
gharama ya Sh20 milioni, ili lakini watoto wao wamo Somalia.
Aliwashauri wazazi kujua shuleni hali inayosababisha wengi kazi kwa sababu vijana wengi ni wa-
kufuatilia kwa karibu ubora Wewe ndiwe utakamatwa,” alionya.
wanachofanya watoto wao na kujiingiza katika matumizi ya dawa levi na hata hawana haja na kufanya
wa barabara zinazojengwa. Aliongeza: “Huwa wanapotea
kuonya kuwa iwapo hawataripoti za kulevya na mafunzo ya kigaidi. kazi,” akalalama.
Na BARNABAS BII
Na DANIEL OTIENO
8 TAIFA LEO
Jumatatu, Aprili 13, 2015

HABARI ZA KAUNTI

Wazee wa Kaya walaumu Wabunge


wapitisha
wanaowalaghai wanasiasa bajeti bila
marekebisho
MOMBASA ELDORET
NA BOZO JENJE
WAZEE wa Kaya wa Pwani bali wote huishi nyumbani. Na TITUS OMINDE
wameelezea masikitiko yao Bw Mwachiru alisema
kuhusu makundi ya wazee yeye si mzee wa Kaya ila ni ILI kuhakikisha kuwa fedha
wanaotumia jina la kikundi mfalme wa Mijikenda na kazi zote ambazo Kaunti ya Uasin
kuwalaghai wanasiasa. yake ni kuwatafutia wazee Gishu ilitengewa kwa bajeti ya
Mwenyekiti wa Wazee hao rasilmali kujiendeleza. mwaka wa 2014/2015 zimetu-
wa Kaya Pwani, Bw Abdalla “Mimi huwatafutia unga, mika, bunge limepitisha bajeti
Mnyenze na naibu wake, Bw mchele na maharagwe kwa ya ziada bila marekebisho.
Shaban Ndegwa, walisema manufaa yao kila baada ya Wabunge wa kaunti walipi-
ni masikitiko makubwa kwa miezi miwili na wakileta tisha kwa haraka bajeti hiyo
baadhi ya wazee wa kaya madai ya kuwa hao ndio ya zaidi ya Sh800 milioni
bandia kutumia utamaduni wazee, inachekesha sana,” kutoka kwa bajeti ya mwaka
wa Wapwani kuhadaa ili alisema Bw Mwachiru. wa 2014/2015 bila kufanyia
kujipatia pesa za bwerere. “Vile sasa naona, Wazee marekebisho.
“Kama Wazee wa Kaya, wameanza kutafuta vita kati Spika Isaac Terer alisema
tunalaani kitendo hicho cha yao na mimi, na kwa hakika hatua hiyo inalenga kuhakiki-
utapeli na tunawaonya wa- wao ndio wataumia kwani sha fedha ambazo zilitengewa
kora wanaodai ni Wazee wa mimi siwategemei kwa cho- miradi ya maendeleo hazirud-
Kaya wakome kabisa kuharibu chote,” akaongezea. ishwi kwa hazina ya kaunti
sifa zetu,” akaonya. Bw Mwachiru alisema kama ilivyokuwa mwaka jana
Bw Mnyenze alisema siku hizi watu wana uwezo ambapo takriban shilingi bil-
kwamba kamati yake wakuendeleza utamaduni ioni moja zilisalia kwa hazina.
imewakana wazee bandia kwenye boma zao na ku- “Katika bajeti ya 2014/2015
kwa sababu hakuna kati yao weza kutambulika kama kaunti haikutumia shilingi
amepitia miko kulingana na viongozi wa utamaduni. bilioni moja ambapo fedha
desturi na mila Wamijikenda. “Mimi na wenzangu hizo zilirudishwa kwa hazina,
Alidai baada ya kujisajili twatambulika na tunaendelea mwaka huu hatungependa hali
kwenye makundi, wazee hao mbele . Tatizo la wazee hawa kama hiyo kuridiwa ndiposa
bandia huenda kununua sare ni kwamba hawatambuli na wabunge waliidhinisha bajeti
za Mijikenda na kuzitumia yeyote. Yao ni kupiga kelele hii na kwa dharura bila kui-
mbele ya wanasiasa kwa vile na watabaki hivyo hivyo,” fanyia marekebisho” alisema.
wana kisomo. akasema Bw Akihutubu baada ya bunge
“Kwa kweli Mwachiru. kupitisha bajeti wakati wa kikao
ni wajanja. “Bw Mnyenze maalum, Bw Terer alisema se-
Hatuwabagui, na naibu wake ni hemu kubwa ya fedha itumika
lakini wana- viongozi waliotoka katika miundo msingi mion-
hadaa umma eneo la Digo na goni mwa miradi mingine.
kwa vile sisi Duruma kwa “Tunataka fedha hizi zitu-
wazee uwezo hivyo hawawezi mike kwa ujenzi wa hospitali,
wetu ni hafifu,” alieleza. kuwa viongozi wa makabila shule, barabara miongoni mwa
Bw Mnyenze alieleza sasa tisa ya jamii ya Wamijikenda. miradi mingine” alisema.
kuna haja ya kutekeleza “Katika uongozi wao, Spika aliwataka wabunge
mpango wa kuchuja Wazee watu wa eneo la Kaya za kuwasilisha mapendekezo ya
wa Kaya, ndipo wale wasiosta- Kilifi nafasi yao iko wapi? Sisi miradi ambayo wangependa
hili kupigwa marufuku. tunaomba wajitokeze wazi na ipewe umuhimu wa kwanza ili
“Tutaomba Serikali itusai- kutuelezea,” akauliza huku kuona fedha hizo zimenufaisha
die na tuwe na vibali vya akisema yeye anatambulika wananchi waliolengwa mashi-
kujitambulisha ili tuweze kimataifa na nchini. nani kwa mujibu wa ugatuzi.
kujitofautisha na Wazee wa Bw Mwachiru alieleza
Kaya bandia,” alisema.
Katibu wa Baraza la Wazee
wa Mijikenda (MKCEA), Bw
Shirika lake na la Malindi
District Cultural Association Kina mama
waungana
(MDCA) wanafanya kazi
Vincent Mwachiru, alipuuzil- pamoja kupitia kwa mkataba
ia mbali madai hayo akisema ambao hauhusishi kundi la NAIBU mwenyekiti wa Chama cha Wazee wa Kaya wa Mijikenda, Bw Shaban Ndegwa
kwa sasa hakuna Mzee wa
Kaya ambaye anaishi msituni
Mijikenda Kaya Elders lina-
loongozwa na Bw Mnyenze.
pamoja na wazee wengine akiwahutubia wanahabari. Wazee hao waelezea masikitiko yao
kuhusu makundi ya wazee bandia yanayowalaghai wanasiasa. Picha/MAKTABA kwa maombi
Kanisa lahimiza wataalamu Mbunge aonya Uhuru
NAIROBI
KUNDI la kina mama wa Kani-
ya kutoa shukrani kwa wanafunzi sa la PCEA Kangemi, Kaunti ya
NAROK wawili wa Chuo Kikuu cha Garissa Nairobi jana walifanya ibada
NYAMIRA NA HENRY NYARORA walionusurika mauaji ya kigaidi, ya maombi katika kanisa lao
MBUNGE wa Emurrua Dikirr, Bw Cynthia Cherotich na Darious Rono. kuombea usalama pamoja na
WATAALAMU kwenye nyanja matumaini ya maisha ya baadaye Johanna Ng’eno amemtaka Rais Uhuru Mbunge alimkosoa Rais kwa kuimarika kwa mashirika yote
mbalimbali wamehimizwa kujiunga kupitia njia ya kikanisa,” alisema. Kenyatta na Naibu wake William Ruto kupuuza tahadhari iliyotolewa ya serikali nchini.
na kikundi cha Kanisa la SDA cha Alikuwa akiongea wakati wa kufuzu kuchukua usukani kuhusu masuala ya na serikali ya Uingereza kuhusu Ibada hiyo iliongozwa na Kasisi
Lay Chaplaincy ili kuwahudumia na kwa wahudumu 33 katika kitengo cha usalama la sivyo huenda wakapoteza uwezekano wa mashambulio ya kigaidi Felix Muriithi aliye kiongozi wa
kuwashauri wenye dhiki na wasiokuwa Lay Chaplaincy cha Nyamira Central urais katika uchaguzi wa 2017. katika sehemu mbalimbali nchini. Parokia hiyo.
na matumaini katika jamii. mnamo Jumamosi. Alisema wawili hao huenda Aliwakashifu Waziri wa Usalama wa Ugaidi, ukosefu wa ajira,
Mkurugenzi wa kundi hilo wa tawi Meja David Makori wa kikosi cha wakakosa wadhifa huo kutokana na Ndani Joseph Nkaisserry na Inspekta pamoja na visa vingi vya
la mashariki mwa Kenya, Kasisi Paul wanahewa aliyekuwa mmoja wa Wakenya kukosa imani nao iwapo Mkuu wa Polisi Joseph Boinnet kwa ufisadi ni baadhi ya mambo
Chekwony, alisema wataalamu kama wataalamu, alikuwa kiongozi wa hawatatatua changamoto za kiusalama kutotoa kipaumbele kwa maafisa wa ambayo yaliangaziwa katika
hao hasa wenye taaluma ya matibabu gwaride ya heshima wakati wa sherehe ambazo zinaandama uongozi wao. polisi waliowaangamiza magaidi hao. maombi hayo.
na walimu ndio wanaohitajika utoa iliyohuduriwa na makakisi wa kanisa “Tunamtahadharisha Rais, sharti Katika hafla hiyo ya shukrani, Kasisi aliwaomba vijana wa-
ushauri kwa walioathiriwa kimawazo hilo John Nyatogo na Naftal Ondiba. akabiliane na changamoto ya mamia ya wakazi walishukuru wote kome kujihusisha na ulevi na
kufuatia hali mbalimbali. Meja alisema huduma ya kiusalama na kutoa hakikisho kwa waliohusika kuwanusuru mamia ya badala yake waingie kanisani
“Wagonjwa wengi kwenye hospitali waliohitimu katika kitengo cha Lay Wakenya kuhusu usalama wao. Kufeli wanafunzi chuoni humo: kufunzwa maadili mema.
na wanaoathiriwa na mikasa Chaplaincy inahitajika kwa wingi kwake katika swala hilo kutamfanya “Tunamshukuru Mola kumwokoa Naye Bi Sarah Wamaitha Njuki,
mbalimbali kama iliyowakumba katika hospitali, gerezani, makao kupoteza uongozi katika uchaguzi wa binti yetu, KDF, RECCE, Shirika mwenyekiti wa kikundi hicho,
wanafunzi wa Chuo Kikuu cha ya watoto, kwenye familia ambazo 2017,” akasema. la Msalaba Mwekundu, wakazi wa akawasihi wazazi wawashawi-
Garissa wanahitaji ushauri na kupewa zimekosa tumaini, shule na vyuo. Bw Ng’eno alikuwa akiongea katika Garissa, wanahabari na serikali,”. shi vijana kujiunga na kanisa.
Kanisa la AGC jana wakati wa sherehe Na RUTH MBULA Na PAUL WAWERU
TAIFA LEO
Jumatatu, Aprili 13, 2015 9
10 TAIFA LEO
Jumatatu, Aprili 13, 2015

Raia wafunzwe
Majanga yakabiliwe
kuhepa uvamizi kwa dharura ifaayo
T
UKIO la jana ambapo mwanafunzi
mmoja wa Chuo Kikuu cha Nairobi
alifariki na wenzake zaidi ya 130
kujeruhiwa kwa kuhofia shambulio la
kigaidi linafaa kufungua macho ya wananchi na
viongozi wa Kenya.
Tukio hilo linadhihirisha kuwa tumetilia
maanani masuala mengi tofauti kuhusu
mashambulio ya kigaidi bila kuzipa uzito hatua
zinazopaswa kuchukuliwa wakati shambulio
linapotokea.
Serikali na wadau wengine wa masuala ya
usalama wamekuwa wakishauri wananchi jinsi
ya kuzuia kutokea mashambulio na jinsi ya
kuimarishia usalama katika maeneo yetu ya kazi
na mahali tunakoishi.
Lakini si rahisi kusikia yeyote akitoa ushauri
kuhusu jinsi watu wanavyofaa kujificha,
kutoroka au kupigania maisha yao wakati
MAAFISA wa kikosi cha Recce wafika kukabili majambazi waliodaiwa kuingia katika makazi eneo la Muthangari, Nairobi. Picha/MAKTABA
wanaposhambuliwa.
Hivi majuzi kuna maafisa waliojaribu kutoa

M
mawaidha hayo, ingawa waliyatoa kwa njia ENGI yamesemwa kuhusi- hilo litafanywa mpaka lini?
ana na shambulizi la kigaidi Na BERNARDINE MUTANU Mwishoni mwa juma jana, ripoti
ambayo ilighadhabisha wengi.
katika Chuo Kikuu cha Gar- tulizopokea ni kwamba, serikali ilikuwa
Mawaidha hayo yalitolewa katika hifadhi ya issa ambapo wanafunzi 148 za kigaidi walichukua dakika chache imewapa maafisa wa Recce helikopta
maiti ya Chiromo ambapo jamaa na marafiki waliuawa kinyama. kuwamaliza magaidi hao na kuhitimisha mbili za kufanya operesheni.

M
shambulizi hilo lililowaacha wengi na
wa wanafunzi waliofariki katika Chuo Kikuu cha Tukiendelea kuomboleza na kutuma bona haikufanya hivyo kabla ya
jumbe za rambirambi kwa jamaa za majonzi makuu. kisa cha Garissa? Kumaanisha
Garissa walikuwa wanendelea kuomboleza. Kwa zaidi ya saa kumi, watu zaidi ya
wenda zao ulimwengu umeungana nasi kuwa hawangepata ndege hizo
Matamshi yaliyotolewa wakati huo pia 150 walikuwa wamepoteza maisha yao ikiwa habari kuhusiana na kudhalilishwa
wakati huu mgumu.
hayakuridhisha, na hivyo basi mawaidha Na ingawa serikali imeonekana mikononi mwa magaidi ilhali maafisa kwao hazingechapishwa magazetini na
hayo yakachukuliwa kwa wepesi. Katika kuchukua hatua ili kuimarisha hali waliofaa kukomesha mauaji hayo kupeperushwa kwa runinga na radio.
walikuwa barabarani kuelekea huko. Kwa nini serikali huwa inangoja mpaka
mataifa yaliyoendelea kiuchumi ambapo pia ya usalama nchini, inawezekana
mashambulio ya kigaidi hushuhudiwa, idara za kuwa inachukua hatua haba ikiwa AIBU hali inakuwa mbaya zaidi ili ichukue
imechelewa? hatua? Kama wazungu wasemavyo, ‘bora
usalama huwa zimejitwika jukumu la kuelimisha Hadithi zimesimuliwa kuhusiana na Na kutia chumvi juu ya kidonda, kuzuia kuliko kutibu’ ndivyo ninasema,
umma kuhusu hatua wanazofaa kuchukua jinsi baadhi ya wanafunzi wa chuo hicho Waziri wa Masuala ya Kigeni Amina bora kuchukua hatua mapema kuzuia
wanaposhambuliwa. walikumbana na mauti yao. Ripoti ya Mohammed alijulisha ulimwengu kuwa maafa kama hayo.
msichana mmoja ambaye aliuawa baada serikali ilikabiliana na hali hiyo kwa njia Inaonekana kuwa visa vya kigaidi
Kuna mataifa ambapo mitandao ya kijamii ya kufana sana.
ya saa saba tangu kutekwa kwa chuo vinavyoendelea kushuhudiwa sio funzo
hutumiwa kueneza video na arafa kuhusu Hatukatai, wanajeshi na maafisa kwa serikali kwa sababu tangu msururu
hicho na magaidi wa Al-Shabaab iliatua
hatua hizo, na hivi sasa baadhi ya Wakenya mioyo ya wengi. wengine wa usalama walifika mapema wa mashambulizi ulipoanza, ni mambo
wanatumia mawaidha hayo ya mataifa ya kigeni Huenda maisha ya msichana huyo lakini mbona tukapoteza idadi kubwa ya machache sana ambayo serikali imeweza
wananchi wasio na hatia namna hiyo? kufanikisha.
kujielimisha jinsi wanavyoweza kujinusuru. na baadhi ya wanafunzi wengine
yangenusuriwa ikiwa maafisa wa usalama Kufika mapema kwa Nkaissery na Boinett Serikali inafaa kuimarisha miundo
Aidha, itakuwa bora pia iwapo mijengo yote kulisaidia nini ila kuitia serikali aibu?
kutoka kundi la Recce wangefika mapema msingi hasa kuwanunulia maafisa wa
muhimu nchini itakuwa na milango au sehemu kidogo. Sitasita kusema kuwa, serikali imepiga usalama vifaa vya kuweza kukabiliana sio
zinazoweza kutumiwa kutoroka. Lakini Waziri wa Usalama wa Ndani hatua kukabiliana na hali ya ukosefu tu na ugaidi mbali pia majanga nchini.
Joseph Nkaissery na Inspekta Mkuu wa usalama nchini lakini ilifanya hivyo bmutanu@ke.nationmedia.com
wa Polisi Joseph Boinett, walichagua ikiwa imechelewa sana!
Ni Gazeti la Kampuni ya Nation Media Group Wakati mashambulizi yanapofanywa
kutangulia kwenda Garissa badala kutoa
Mkurugenzi Mkuu: LINUS GITAHI nchini imekuwa kawaida kwa viongozi
helikopta kwa maafisa hao wa usalama.
Kaimu Mkurugenzi wa Uhariri: TOM MSHINDI kuongea kwa ukali na kuoenekana
Na walipofika shuleni humo, maafisa
Mhariri Msimamizi: NICHOLAS MUEMA kuchukua hatua za harakaharaka lakini
hao walio na ujuzi mkubwa wa hali

Makurutu wa mwaka jana wapewe umuhimu


KWA zaidi ya siku tatu sasa wa NPSC Johnston Kavuludi miaka 28 huku waliohitimu
makurutu wa polisi waliofani- Na LEONARD ONYANGO aliambia Wakenya kuwa uchun- shahada ya digrii wakitakiwa
kiwa kuteuliwa kujiunga na guzi wa tume yake ulibainisha kuwa na umri usiozidi miaka 30.
huduma ya polisi mwaka jana ilibatilisha usajili wa makurutu kuwa visa vya ufisadi na udan- Hiyo ina maana kuwa
wamekuwa wakiandamana jiji- 10,000 kutokana na ushahidi ganyifu vilifanyika katika vi- makurutu waliokuwa na
ni Nairobi kulalamikia hatua ya kuwa visa vya ufisadi vilikum- tuo 36 kati ya 289 kote nchini. umri huo mwaka jana huenda
kubatilishwa kwa uteuzi wao. ba harakati hiyo baada ya Mam- Bw Kavuludi pia aliambia wasifanikiwe mwaka huu
Baadhi ya makurutu hao laka ya Kusimamia Utendakazi taifa kuwa vituo vilivyohusika kwa kuwa watakuwa wamepi-
wanalalama kuwa familia zao wa Polisi (IPOA) kuwasilisha katika ufisadi vilisajili maku- tisha miaka inayotakiwa.
zimepoteza rasilimali nyingi malalamishi mahakamani. rutu 1,215 kati ya 10,000. Hivyo basi NPSC ina-
kununua vifaa vilivyohitajika Mahakama Kuu pia iliagiza Kadhalika, mwenyekiti faa kuwapa kipaumbele
ili kujiunga na chuo cha ma- Tume ya Huduma kwa Polisi huyo wa NPSC alisema makurutu wa mwaka jana
funzo ya polisi cha Kiganjo (NPSC) kurudia shughuli hiyo kuwa makurutu waliodaiwa walioshiriki shughuli hiyo
kulingana na tangazo la hapo kwa njia ya uwazi. Hata hivyo, kuhusika katika ufisadi wa- katika vituo ambavyo haviku-
awali ambapo walifaa ku- shughuli hiyo ilicheleweshwa likuwa sawa na asilimia 12. kumbwa na visa vya ufisadi.
fika katika taasisi hiyo jana. baada ya Mwanasheria Mkuu Hiyo inamaanisha kuwa Aidha, watu waliofanikiwa
Vijana wengine wanasema Profesa Githu Muigai kuele- zaidi ya asilimia 80 ya maku- kusajiliwa mwaka jana na
kuwa walijiuzulu kazi zao za kea katika Mahakama ya rutu hao wa mwaka jana wamepitisha umri mwaka huu
hapo awali baada ya kusa- Rufaa akitaka uamuzi wa walisajiliwa bila kutoa hongo. waruhusiwe kushiriki shughuli
jiliwa kujiunga na huduma ya Mahakama Kuu ubatilishwe. Waliotakiwa kujiunga na hiyo kwa kuwa shughuli hiyo
polisi mnamo Julai 4, 2014. Kabla ya kutolewa kwa uamuzi BAADHI ya makurutu waliosajiliwa huduma ya polisi mwaka jana, ilifaa kufanyika mnamo 2014.
Mwaka jana, Mahakama Kuu wa Mahakama Kuu, mwenyekiti mwaka jana. Picha/A OMUYA walitakiwa kuwa na umri wa
TAIFA LEO
Jumatatu, Aprili 13, 2015 11
Barua zote kwa Mhariri lazima ziwe na jina kamili la mwandishi na anwani yake.
Zitumwe kwa: Mhariri, Taifa Leo, S.L.P. 49010, GPO 00100, Nairobi au
tumia simu kutuma barua yako isiyopungua maneno 100 kwa nambari 21603

Barua pepe kwa: taifa@ke.nationmedia.com

Tusikubali kunyanyaswa na Al-Shabaab


ilhali tunaweza kukabiliana nao vilivyo MAONI: GAVANA wa Man-
dera Ali Roba amesema
ujenzi wa ukuta katika
KUFIKIA sasa imebainika wazi
kuwa nchi yetu si salama. Sasa
Serikali hii ina mchezo mpaka wa Kenya na So-
malia ili kukabiliana na
tumlaumu nani kwa hilo? Ina- NINASHANGAA kwa nini mashambulizi ya kigaidi,
faa tuwajibike sisi wenyewe. imechukua muda mrefu kwa utaanza wakati wowote. Je,
Tusipuuze na kupuuzilia serikali kudai kuwa mashirika unakubaliana naye kwamba
mbali chochote tuambiwacho ya kifedha yanayotumiwa sana ukuta huo utasaidia ku-
kuhusu jinsi ya kuimarisha na jamii za Kisomali huhusika maliza mashambulizi haya?
usalama wetu sisi wenyewe. na ufadhili wa ugaidi. Huu ni
Tumepewa mashauri mengi utani mkubwa. Sidhani utasaidia
kuhusiana na hili ingawa ni chochote kwani ugaidi uko
Miaka hiyo yote mashirika ndani ya Kenya.
wachache wanaoyachukulia hayo yakihudumu serikali ili- NDEGWA, Samburu
kwa uzito wanapoendeleza kuwa wapi? Hii isiwe ni hatua
shughuli zao za kila siku. tu ya kufurahisha wananchi Hata kama hautasaidia
Wazembeao kazini hasa ilhali wafadhili wakubwa bado sana wacha tu ujengwe
katika idara za kiusalama wanaendeleza shughuli hizo tuone mambo yatakavy-
wawapishe watu walio tayari nchini. okuwa.
kuwahudumia wananchi. Wanaodai watafichua majina CHAO, mkoa wa Mashariki
Tusiingize siasa katika swala ya magaidi pia wangekuwa
hili kwa kuajiri wandani wa wamekamatwa tayari kufikia Kutawafanya maafisa
kisiasa katika vyeo muhimu wetu kwenye mpaka huo
sasa ili watoe habari zaidi. kuwa wazembe zaidi. Ni
vya kitaifa bali wenye taaluma Nina hakika mwanasiasa wa wapi ulimwengu huu ukuta
inayostahili. upinzani angedai kufahamu wa usalama umekuwa ndio
Kila mtu aitikie suala la ny- magaidi hivi sasa angekuwa kipaumbele.
umba kumi. Kuongeza idadi ya amekamatwa. SALIMU, Tiwi
polisi bila mafunzo maalumu IBRAHIM MALIK, Kericho
kuhusu namna ya kuwakabili Haumalizi lakini utapun-
magaidi ni kazi bure. guzi wa kina kabla kutekeleza
mpango wowote wa kutatua
Muungano wa Jubilee.
Ni muhimu jamii hiyo kuwa
chamani.
MWANAMAONI,
Jubilee itimize ahadi zake guza visa.
Shambulio la Garisa limen- MITHIKA IKIAO, Mwingi
inivunja moyo. Kama vijana ni matatizo. na umoja wakati huu ambapo Nairobi SERIKALI ya Jubilee inafaa
Ni matumaini yetu kuwa matayarisho ya uchaguzi Huko ni kupoteza pesa.
viongozi wa kesho basi kenya
utafiti ulifanywa, la sivyo tu- mkuu wa 2017 yanaendelea. Rais Uhuru afuate sheria kujikakamua kutimiza ahadi
ilizotoa kuhusu uimarishaji wa Agunda Lukio
ni nchi inayoishi leo tu. Sasa si
wakati wa kuelekezeana vidole taendelea kushuhudia mison- Si siri kuwa kila jamii ina- INGAWA ni kweli kuwa kilimo.
gamano au hata tukabiliwe na jiandaa kuwa chini ya mrengo tunakabiliwa na changamoto Tumesubiri sana na miaka Ndio, kwa kiasi. Lazima
vya lawama. tufanye lolote lile kujilinda.
Tuomboleze wenzetu lakini hali mbaya zaidi barabarani. mmoja. Hii ni suala iliyo wazi ya kiusalama nchini humu, miwili imepita ilhali hatuoni
LEONARD SIRO, Thika hata ingawa wengi wetu huta- haifai kwa serikali kuvunja mabadiliko makubwa tuliyo- JOSPHAT MANYANGE
tutafute suluhisho la kudumu
ka kuficha kwa msingi kuwa ni sheria kwa madai kuwa inataka tarajia. Wakulima wa mimea
ili kukomesha unyama huu
unaotekelezwa kila uchao.
URP ijirekebishe mapema uendelezaji wa ukabila. kutatua tatizo hilo. tofauti wanateseka kwa jinsi
La. Watapiga kombora
ukuta ubomoke. Pesa hizo
LENNOX WANJALA, Bungoma Viongozi wa chama hicho Rais Uhuru Kenyatta anafaa tofauti. zingewalipa vyema maafisa
CHAMA cha URP kinafaa
wakumbuke wanawakilisha kufikiria tena hatua yake ya Tuliweka matumaini wa usalama wasivutiwe na
kutatua mizozo iliyopo la sivyo
Tumpe muda Kidero kitahatarisha umoja wa jamii
wananchi, na hivyo basi kuagiza makurutu 10,000 makubwa kwa serikali hii na hongo za magaidi.
wasikize mahitaji ya wananchi kuelekea chuoni licha ya ku- itakuwa vibaya sana kama hata- LORDRICK MUHINDI
MTINDO mpya wa barabara za Rift Valley na hata umoja wa
kuhusu hatua zinazopigwa zuiwa na mahakama. mu yao ya uongozi itakamilika
ulioanzishwa na Gavana Evans Rais anafaa kuonyesha Iwapo hatua hiyo itatu-
bila kuwepo kwa mabadiliko.
Kidero katika barabara kadhaa mfano mwema kwa Wakenya Mradi mkubwa wa uny- faidi kama Wakenya safi
kabisa!
Wabunge
jijini Nairobi unaweza tu ku- WABUNGE wataacha lini kuonyesha kwa kutii mamlaka ya ma- unyizaji maji mashambani
faulu ikiwa Wakenya watakuwa utovu wa nidhamu hadharani? Tukio JOAN WANJIKU
hakama. bado unasubiriwa kufikia sasa.
na subira na kuukumbatia.
Kwa sasa kumezidi kuwepo
msongamano wa magari hata
mtakoma ambapo iliripotiwa Mbunge wa Nakuru
Mashariki David Gikaria alipiga maafisa
wa ulinzi wa kaunti hiyo ni ya kusonone-
Bila hilo hata wananchi na
viongozi wengine wataanza
Wadau waanohusika katika
sekta hii wanafaa kujikakamua
Pesa hizo wangelipa
polisi vizuri na kuleta

utundu maendeleo maeneo hayo


kudharau mahakama na hiyo na kupatia wakulima haki yao
katika barabara ambazo haziku- sha. Matukio haya yanafaa kukemewa ni hatari kwa utulivu na maen- maskini.
waliyosubiri sana.
lengwa na mpango huo. vikali na wahusika waonyeshwe mlango. deleo ya nchi. AGUNDA LUKIO
BOB NGETICH,
Mbali na hayo inafaa serikali MARTIN Wambua, Machakos CAREN Ochuodho, Nairobi Kacheliba
ya kaunti iwe ikifanya uchun- La. Magaidi tayari wako
ndani ya Kenya. Tutoe KDF
Somalia.
PATRICK RAMSEY

SHINDANO LA UANDISHI WA INSHA Utapunguza kwa kiwan-


go kikubwa sio kumaliza
kabisa. Itakuwa vigumu
magaidi kushambulia na
Thjnda maflfu kxa jntha wake Sh3,000 na shule yake itapata Mkumbo huu utakamilika Ijumaa tarehe
hili kwa kutuma insha kutoroka haraka mpakani.
Jf- xfxf ni mxbnbfunzi mcunifu nb Sh4,000. 03.04.2015 na mada mpya kutolewa. Ukuta utakuwa na nyaya
nyingi iwezekanavyo. za umeme utakaompiga
mxbndithi xb inthb zb kumfzfxb mbuf@ 3. Vigezo vya mitihani ya kitaifa na yeyote.
Jf- xfxf ni mxblimu uliуfmbkinikb MADA YA INSHA ZINGATIA YAFUATAYO sheria za KNEC zitatumika MAXIMILLIANO CHEGE
kbuikb kuonhozb xbnbfunzi kubndikb inthb (Intha zako jtjqunhuf ukurata mmoka 1. Insha iliyoandikwa kwa hati nadhifu kusahihisha na kutuza alama.
MJADALA WA LEO: Naibu
unutu) ya mwanafunzi itumwe pamoja na 4. Uamuzi wa majaji au jopo la Rais William Ruto alika-
thfthf nb ubduciri@
kuponi asilia. Nakala au kopi za mitihani ni wa mwisho. riri wito wake kwamba
Bbti- furtb уfnu imfxbdib kbuikb hbzfui lb kambi ya Daadab ifungwe,
Anejla jntha uehjhjsjthf ulxflj xa kuponi ya Taifa Leo haitakubalika. 5. Masharti yetu yatazingatiwa
Tbifb Lfo kipуb/ 2. Shule yoyote ya msingi kutokana kuwa baadhi ya
mfuhalj; ΗERI OVTV TΗARI KVLIKP kikamilifu. magaidi hutumia kambi
inaweza kushiriki shindano hizo kama maficho. Hata
TΗARI KANILI
Ηiki oi kiooko uu, kxb uioodo hivyo, mbunge wa Saboti
David Wafula asema hata
zbidi, pbub obkblb уb hbzfui Wakenya walengwe kwani
lb Tbifb lililosuuucitixb upуb/ Jinb lb mxbnbfunzi; __________________________________________ magaidi wanawatumia kwa
sababu hawapelelezwi
Jinb lb mxblimu xb inthb; ____________________________________ kama wageni. Je, kufunga
KUMBUKA kambi hiyo kuwe kipaum-
Thulf; _____________________________________________________ bele ilhali hata Wakenya
Mashindano yanayoendelea wanatumiwa na magaidi?
yanashirikisha shule za msingi Anxbni ____________________________________________________
pekee yake kwa sasa. Nbmcbri уb timu; ___________________________________________
KUWASILIANA
Bbrub-pfpf; ________________________________________________ Tutumie maoni yako kuhusu
Mshindi wa insha atatawazwa baada TAZANA; Kbub kuponi hii btilib nb uuumf pbmokb nb inthb/ Ηbuukucbli nbkblb bu kopi уb kuponi/ mjadala huu kwa nambari
ya kila wiki mbili. ya simu 21603 au barua pepe
Kxa Mharjrj, Thjndano la jntha kaujka Tajfa Lfo, TLQ 4:111-11111, Oajrobj/ Kfnуa Carua qfqf; uajfaAnaujon/do/kf taifa@ke.nationmedia.com na
Mshindi atatuzwa Sh3,000, mwalimu tutachapisha kesho baadhi ya
maoni tutakayopokea.
12 TAIFA LEO
Jumatatu, Aprili 13, 2015

Kiboko amtimua
polo akiwa uchi
alipokuwa akioga
MARK-FAST, THIKA
POLO wa eneo hili alitimka mbio akiwa uchi baada
ya kufukuzwa na kiboko akioga mtoni.
Kulingana na mdokezi wetu, jamaa alikuwa
na mazoea ya na kuoga mtoni akisema hange-
chota maji kwa mtungi. “Jamaa alikuwa akisema
kwamba hawezi kubeba mtungi wa maji na kupe-
leka nyumbani eti ni kazi ya wanawake,” akaeleza
mdokezi.
Siku ya kioja, ilikuwa mwendo wa saa nane
mchana alipokwenda kuoga kama alivyozoea lakini
hakujua kuwa kuna kiboko aliyemgoja. Punde tu
alipojipaka sabuni, alimuona kiboko akija kumkabili
mita moja tu kutoka mahali alipokuwa.
Yasemekana kuwa jamaa alitimka mbio
akiwa uchi wa mnyama kuokoa maisha yake.
“Ilimbidi ayaache mavazi yake na kukimbilia
usalama wake akiwa uchi wa mnyama,”akasimulia
mdokezi.
Na GRACE KARANJA

Uharibifu wa kuku Kinyozi aliyeacha


kunyoa na kuanza
umanamba afutwa

kondeni wazua vita K


VITA vikali vilizuka kati ya
wanawake wawili baada ya
akamrukia kwa hasira za mkizi.
“Wewe mwanamke umenizoea
kazi na mwajiriwe
SIAYA MJINI
INYOZI mjini humu alipigwa
kalamu na bosi wake baada
ya kuacha kunyoa na kuenda
kuku wa mmoja wao kuharibu sana. Yaani unathubutu kuachilia kufanya umanamba. Kinyozi huyu
mboga katika shamba la kuku wako ili waniharibie mboga ambaye ananyoa karibu na kituo cha
mwenzake. zangu na hata huwezi kuja kuni- magari alifutwa kazi asubuhi baada
Inasemekana kuwa wawili hao omba msamaha? Leo hii nitaku- ya kufungua. Aliacha kinyozi kikiwa
wamekuwa majirani wema kwa funza jinsi ya kuishi na majirani,” wazi kisha akaenda kuanza kufanya
miaka mingi. akafoka mama huyo. umanamba kwenye basi. Inasemeka-
Mmoja wa majirani hao ana- Mama huyo alianza kumsham- na kuwa alipoenda kufanya uman-
fanya kazi katika serikali ya bulia mwenzake kwa ngumi na amba, wateja wengi walimtafuta na
kaunti. Kwa upande wake, jirani mateke. kuondoka.
yake ni mama wa nyumbani Lakini mwenzake alionyesha Majirani walimwambia mdosi kuwa
ambaye hutegemea mumewe kwa ya kuwa hata yeye hakuwa ki- wateja zaidi ya kumi walikuja na
mahitaji yake. dogo kwani alimjibu vile vile. “ kukosa kuhudumiwa kisha wakaenda.
Mzozo uliozusha pigano lao Walipigana na kuangushana kwa Mwenye kinyozi alitikisa kichwa
ulisababishwa na mvua inayoen- matope majirani wakiwatazama alipomuona jamaa akipanga abiria
delea kunyesha eneo hili. kwa mshangao. Hakuna aliye- kwenye gari ilhali alitakiwa kuwa kwa
Mara tu mvua ilipoanza, jaribu kuwatenganisha,” akasema akinyoa.
mama anayefanya kazi na seri- mdokezi. Mdosi aliudhika sana aliposikia
kali ya kaunti aliandaa bustani na Hata hivyo, mwenyekiti wa ny- hivyo, ndipo akaamua kumfuta kazi
kupanda mboga. umba kumi alivutiwa na vurugu bila kumpa notisi.
Siku ya tukio, mama huyo hizo na kuingila kati. Na STEPHEN DIK
alirauka na kuelekea kazini. Mwenye kuku alilazimika
Mambo yalipasuka aliporejea KIMUNYU, Kiambu waliotekeleza kitendo hicho,” kuomba msamaha na hata kuku-
jioni na kupata mboga zake zi- akasema mdokezi. bali kufidia mboga zilizoharibiwa Kutemwa siku 3 kabla
likuwa zimeharibiwa na kuku. Mara tu alipoambiwa kwamba huku akiahidi kufungia kuku
Mara tu aliposhuhudia kili- huyo alianza kupiga kelele. “Huku wake ipasavyo. ya harusi kwaliza kimwana
ni wa jirani yake alimwendea
chokuwa kimetendeka, mama akitokwa na machozi, mama Na KIMANI wa NJUGUNA
mwenye kuku na bila kusita WESU, Taita.
huyo aliuliza ni kuku wa nani
KIPUSA wa hapa aliangua kilio baada
ya kutemwa na mchumba wake siku tatu

Chelewa chelewa ya jombi kumbe mwana si wake kabla ya harusi. Inasemekana kuwa jamaa
alimwambia kipusa huyo kwamba hangemuoa
kwa sababu aligundua kwamba hajui kujipon-
POLO wa eneo hili alishangaa Rafiki yake aliyekuwa akioga “Sioni haja yako ya kuja doa.
baada ya mpenzi wake wa muda GITHUMU,KANGARI alisikia kelele nje na akatoka kujua hapa kwangu kuleta balaa, Mwanadada huyo hakuamini aliyoambiwa
mrefu kumruka na kuolewa na aliyekuwa akikabiliana na mkewe. tangu tujuane miaka saba na jamaa huyo kwa sababu mipango ya harusi
jirani aliyekuwa rafiki yake. zake mashambani na jamaa akaa- Hapo ndipo wawili hao wal- sasa imekwisha ukiniahidi tu ilikuwa imekamilika. Lakini jamaa alimwambia
Penyenye zasema kwamba, mua kwenda kwa rafiki yake. ianza kupigiana kelele kila mmoja utanioa. Nikikwambia miaka kwamba alikuwa amevunjilia mbali mipango
wawili hao walikuwa wapenzi kwa Ajabu ni kwamba alipofika huko, akimuonya mwenzake dhidi ya yetu inasonga wewe husema ya harusi hadi wakati ambao atampata
muda wa miaka saba na tayari wa- alimpata mpenzi wake akiwa ame- kumkaribia msichana huyo. huna haraka. Basi nimem- mwanadada anayejua kujipodoa na
likuwa wanapanga kufunga pingu jifunga leso huku akiosha nyumba Mabishano makali yalianza pata aliye na haraka na akanioa, ” ndipo kidosho alishtuka na kuanza
za maisha. ya rafiki yake jambo ambalo hak- wakimpigania kipusa huyo na akamwambia jamaa. kilio.
Siku ya kutemwa, polo alimpigia uamini kamwe. mwanadada aliingilia kati ili Na GRACE KARANJA NA HOLINESS
simu kipusa wake na akamwambia Bila kumjulia hali alimuuliza ali- kuzuia balaa kati ya jamaa hao MWAMBI.
alikuwa amesafiri kuwaona jamaa chokuwa akifanya kwa rafiki yake. wawili.
Dondoo za Hapa na Pale ni visa vinavyojiri kila siku sehemu tofauti nchini na kimataifa. Tuma habari kwa dondoo@ke.nationmedia.com
TAIFA LEO
13

spoti
Jumatatu, Aprili 13, 2015

Uhondo wa

YALIYOMO
Ronaldo na

JAVIER
Messi kuwania
tena tuzo ya
Ballon d’Or
Uk 14

PASTORE Kijasho
chatarajiwa
PSG na Argentina safari ya
AFCON 2017
nchini Gabon
Uk 16-17

Umri wa wachezaji
unavyoiponza
Manchester City
Uk 17
14 TAIFA LEO
Jumatatu, Aprili 13, 2015

SOKA

Ronaldo na Messi wapigiwa


upato kuwania Ballon d’Or
K
ATIKA miaka ya karibuni akiwa ndiye mshambuliaji hatari funga mabaomatano katika mechi ushindani wa wawili hao, ni wazi
kumekuwa na ubishi JOHN ASHIHUNDU na MASHIRIKA anayeogopwa zaidi na mabeki. moja dhidi ya Granada. kwamba mmoja wao ndiye atakayet-
mkali miongoni mwa Mabeki wengi wamewahi kukiri Jui, nyota huyo alifunga bao moja waa tuzo hiyo.
wapenzi wa soka kuhusu kwamba heri kumkaba Messi kuliko katika ushindi wao wa 2-0 dhidi ya Tuzo ya mwaka uliopita iliwaju-
tuzo ya Bollon d’or. Bora Duniani maarufua kama Ballon Ronaldo. Rayo Vallecano na kufikisha mabao muisha wachezaji watatu ambao
Kwa mara nyingine, tuzo hiyo d’Or halifai kamwe. Mashabiki hao wanamtaja Messi 37 kwenye msimamo wa orodha ya Lionel Messi, Manuel Neuer na
itachukuliwa na mtetezi, Cristiano Mourinho anasema kuwa lengo la kuwa mchawi wa kandanda kuto- wafungaji La Liga akimuacha Messi Ronaldo ambaye aliibuka mshindi
Ronaldo au Lionel Messi aliyewahi soka linabadilika kutoka timu za soka kana na chenga zake za kutisha huku kwa mabao 33 kabla ya mechi za kwenye hafla iliyofanyika katika
kulitwaa mara nne. Ronaldo amelin- hadi kwa wachezaji binafsi. akiwa hodari kwa kupepeta hasa ana- mwishoni mwa wiki. jumba la Zurich Kongresshaus
yakua mara tatu. “Tuanaangazia mchezo wa mche- potumia mguu wake wa kushoto. Bao lake la juzi limem- Tuzo ya mungaji bao zuri la
Idadi ya mabao waliofunga kufikia zaji mmoja, pasi alizotoa na ame- Messi ni mfupi, lakini mwenye fanya raia huyo wa Ure- mwaka ilichukuliwa James
sasa inaonekana kuzidi kuwaweka kimbia kilomita ngapi uwanjani. chenga za maudhi mbali na kuwa na no kufikisha mabao 300 Rodriguez wa Colombia
mashabiki njia panda katika suala Pengine ulikimbia kilomita 11 na shabaha ya kulenga mabao wavuni. akiwa na Real Madrid ambaye alifunga bao hilo
zima la kujadili ni nani anaweza kut- mimi nilikimbia kilomita tisa, lakini Kadhalika ni mchezaji mzuri kwa na kushika nafasi ya Colombia ikicheza na Uru-
waa tuzo hiyo ya Mwanasoka Bora kilomita zangu zilikuwa muhimu kuokota mpira na ni nadra sana ku- tatu katika orodha ya guay wakati wa fainali za
mwaka huu. kushinda zako,’’alisema Mourinho. muona akipokonywa boli. wafungaji nyuma ya Kombe la Dunia za 2014.
Mjadala huu Mashabiki wakiwemo wa- Lakini wanaompigia debe Ronaldo, Alfredo Di Stefano Siku hiyo hiyo FIFA pia
umetokea wakati nasoka wastaafu wamekuwa nao wanadai nyota huyo ni mchezaji na Raul Gonzalez ka- itatangaza mshindi wa taji la
watu mbali wakitofautiana baadhi aliyekamilika na mwenye sifa zote tika historia ya klabu kocha bora wa kiume na kocha
m b a l i wakifikiri Messi ndiye mkali zinazomfaa mshambuliaji. hiyo ya Uhispania. bora wa kike wa mwaka.
mashuhuri ak- zaidi kuliko wengine, huku Kati ya mambo yanayopigiwa debe Kwa jinsi mambo
iwemo kocha wengine wakidai Ronaldo kumbeba Ronado ni pamoja na uw- yanavyozidi kuoneka-
Jose Mourinho ndiye mnoma. ezo wake wa kuokota mpira, mbio, na kuto-
wakidai tuzo Lakini sasa ni jambo la makombora makali, shabaha ya ku- kana
hiyo haina kusubiri na kuona kama si lenga mabao wavuni na pia mchezaji n a
maana baada ya kusikia nani ataibuka kid- asiyependa kushindwa.
kuendelea kun- edea katika kinyanganyiro Mashabiki wa Ronaldo wanadai
yakuliwa na nyota hicho chenye heshima ya kwamba ubora wa Messi unach-
hao wawili. kipekee duniani. angiwa na wakufunzi wengi waliopo
Mourinho Kwa wale wanaomuunga katika kikosi chake cha FC Barcelona,
a n a a m i n i mkono Messi wanasema lakini Ronaldo ni mchezaji anaye-
kwamba taji madai yao yanatokana pigana vikali bila kupewa usaidizi
la mche- na kukamilika kwake wa kutosha katika Real Madrid.
z a j i katika idara. Wanadai kwamba kama Ro-
Wanasema ana naldo angekuwa katika kikosi
uwezo wa kupep- cha Barcelona kinachojumui-
eta mpira atakavyo sha wakali kama Xavi Iniesta,
kuliko Ronaldo am- Luis Suarez, Neymar angekuwa
baye ni mzuri kwa mkali zaidi kuliko alivyo katika
kufunga. kikosi cha Madrid.
Wafuasi wa Messi Ronaldo na Messi kila mmoja ana
wanadai anafunga nafasi ya kutwaa tuzo hiyo.
hata akiwa katika nafasi Ronaldo amezidi kuchochea vita
isiyowezekana na zaidi ya tuzo hiyo baada ya kuendelea ku- MCHEZAJI Cris-
tiano Ronaldo wa
NYOTA Lionel Real Madrid.
messi wa Barce- Picha/MAKTABA
lona.
P i c h a /
MAKTABA

Butula Young Stars yalenga kuweka rekodi ya kipekee


kwenye mechi ya kwanza wakati Aidha mkufunzi huyo anasema
Na ISAAC MAKOKHA mwenzake, Mike Sewe akifanya kuwa walihitajika kuchukua muda
mambo kwenye mechi ya muon- mwingi viwanjani, akisema ingawa
TIMU ya soka eneo bunge la Butula, doano kwa kufunga yote mawili hali hiyo iliwagarimu wachezaji
Young Stars FC inazidi kushamiri kwenye dakika za, 35 na 45. wake uvumilivu, wakati walipohi-
kwenye Ligi ya Kaunti ya Busia. Kikosi hicho kimepiga kambi tajika kuwa viwanjani na vilevile
Timu hiyo ambayo inashiriki ligi kwa mazoezi makali katika uga kuwajibikia familia zao nyumbani.
hiyo kwa muhula wake wa tano Butula Polytechnic ambapo kinaen- Mandela anasema kuwa muda
tangu ilipoasisiwa mnamo 2010, delea kujiandaa kwa awamu ya nusu mwingi ambao walilazimika kuwa
imeashiria kuweka rekodi ya kipekee fainali ambazo zitaandaliwa mnamo viwanjani ilikua ni kuimarisha mch-
kwenye ligi ya msimu huu, kwa kuli- juma lijalo katika uwanja wa Busia ezo wa kikosi, ikizingatiwa kuwa wa-
weka eneo bunge hilo katika ramani Polytechnic Mjini Busia. likua wakiwajaribu wachezaji wapya
ya soka ya Kaunti kwenye historia ya Mkufunzi Hillary Odhiambo na ambao wanachezea timu hiyo kwa
kanda ya Magharibi. naibu wake, Peterson Mandela wa- mara ya kwanza msimu huu.
Kwenye mechi za robo fainali nadokeza kuwa vijana wao wamei- “Kwa vile timu imeendelea kukua,
ambazo ziliandaliwa katika uwanja marika vilivyo na kikosi kimo katika kuna haja ya kusajili wachezaji
wa Butula Polytechnic na St Mary’s, hali nzuri, hali ambayo itawaweka wapya kila msimu ili kujaza pengo
timu hiyo ilitawala uwanja baada ya pazuri kwenye msimu huu. ambalo linaachwa na nyota ambao
kushinda mechi zote mbili kwenye “Tumejaribu kufanya kila tuwe- wanaimarika na kupanda hadhi
kapu lake. zalo katika kuimarisha makali ya kuchezea timu nyinginezo mahiri
Kwenye mechi ya kwanza kikosi kikosi hiki, wakati tunapopania nchini,” anasema Mandela.
hicho kiliweza kuigaragaza timu ya kutwaa taji la msimu huu. Hii ili- Kikosi hicho kimekua na kibarua
eneo bunge la, Teso Kusini 1-0 kabla tufanya kuanza kujiandaa mapema cha kuwajaribu wachezaji watano
ya kuikomoa Bunyala FC 2-0 katika wakati tulipoitembeza timu yetu ambao wanajaza nafasi za nyota
mechi ya muondoano. kote mkoani kupimana nguvu na wawili walioondoka mnamo mwaka
Mshambuliaji matata Humphrey timu mahiri za kanda hii,” anasema jana, na pia kuongeza idadi ya akiba
Ochieng alifunga bao la ushindi Odhiambo. kwenye safu ya ushambuliaji.
KIkosi cha timu ya Butula Young Stars. PICHA/ISAAC MAKOKHA
TAIFA LEO
Jumatatu, Aprili 13, 2015 15

pepeta Kumbe Rojo alishiriki


mapenzi na kocha wake
na pwani UK 17

Timu ya Pwani inalenga


matokeo bora Machakos
wavulana ina Julius Shilingi, Samuel
Na ABDULRAHMAN SHERIF Karuri, Raymus Juma, Kilonzo mwan-

K
zia, Hendry Sofali, Shujaa Alex, Omar
IKOSI cha wachezaji 96 Dyza, Daniel Katana, Joseph Mburu
na maafisa 10 cha timu na Bratson Said.
za Pwani kimepania Timu ya netiboli ya wasichana
mwaka huu kufanya maa- ina Leila Mwatembo, Santa XCharo,
jabu kwenye Michezo ya Kitaifa ya Zeinab Ngare, Jemima Ngala, An-
Shule za Msingi yanayoanza rasmi zazi Masai, Salma Johnson, Chigogo
hivi leo Jumatatu katika Chuo cha Chigumba, Rehema Ali, Mitchel Ka-
Ualimu cha Machakos. zungu na Grace Wanjala.
Kikosi hicho kinahusisha wavu- Timu ya voliboli ya wavulana ina
lana na wasichana waliochaguliwa Dulu Bonaya, Karisa Kadenge, Sulei-
kutokana na walivyocheza kwenye man Juma, Ali Kombo, Rama Omari,
Michezo ya Shule za Msingi ya Mkoa Salim Hamis, Suleiman Munga,
wa Pwani yaliyomalizika katika Kanapaki Sulo, Sinajibu Mkare na
kiwanja cha Moi mjini Voi, Ijumaa Shabani Hamisi.
iliyopita. Timu ya voliboli wasichana: Neema
Kulingana na Katibu wa Chama Mwanyule, Annet Ngala, Peris Taura,
cha Michezo cha Shule za Msingi cha Zainabu Mgandi, Mwanaidi Salim,
Kenya (KPSSA) tawi la Pwani, Robert Mwaka Dzaphila, Judith Hamisi,
Makomere, timu zao za michezo saumu Saidi, Halima Msoud na Lena
ya kandanda, netiboli, voliboli na Masud.
mpira wa mikono zinatarajia kufanya Timu ya mpira wa mikono ya wa-
vyema katika michezo ya kitaifa ya vulana ina: Abdinoor Hassan, Wilson
mwaka huu. Mwanyoka, Andrew Mbashu, Jacob
“Tunakwenda Machakos tukiwa Moshe, Anthony Mwaligha, Fredrick
TIMU ya kaunti ya Mombasa ambayo ilishinda ubingwa wa eneo la Pwani. Picha/ABDULRAHMAN SHERIFF
na matumaini makubwa ya kufanya Kariuki, Hassan Munguti, Absalom
vyema kuliko mwaka uliopita kwani Andiva, Brian Chinando na Phedelix
walivyofanya bidii tangu kwenye Kilifi na Kwale hali Tana River na na wachezaji wanane kutoka timu
tumeshuhudia hali ya juu katika Metui.
michezo kutoka ngazi ya kaunti hadi Taita Taveta zimetoa mwanasoka iliyoibuka mabingwa ya Kilifi, sita wa
kila mchezo,” anasema Makomere Timu ya mpira wa mikono ya
ya mkoani na ndipo nina uhakika mmoja mmoja. Mombasa iliyomaliza nafasi ya pili,
alipokuwa akitoa orodha ya majina wasichana ina Mariam Mohamed,
klwa wanafunzi wetu kutambia timu Wachezaji wa soka ya wanaume ni wawili wa Kwale hali mmoja mmoja
ya wale waliofanikiwa kuchaguliwa Neema Nzai, Mercy Kariuki, Phele-
nyingine za nchini,” anasema ashid. Baya Kadenge, Jasho Sifa, Ngumbao kutoka Lamu na Taita Taveta.
kwenda Machakos. sha Mashaka, Clemence Mwae, Eliza
Kikosi cha timu ya soka ya wavu- Kitsao, Erick Baraka na David Sore Wachezaji hao ni Medza Mwachiro,
Mwenyekiti wa tawi hilo, Mbalo Mwakombe, Vivian Auma, Naomi
lana kinachonolewa na kocha Evans (Kilifi), Athamn Amadi, Madide Saidi, Fatuma Katana, Salama Ali, Mwaka
Rashid ambaye pia ni Naibu Randu, Mary Paul na Grace Mangale.
Owuor Akello, kina wachezaji sita Mwidadi Sheube, Ali Swaleh, Mwinyi Mboga, Rahab Magandi, Jefwa Sada-
Mwenyekiti wa kitaifa alisema Mombasa ilishinda taji la soka ya
kutoka timu iliyoshinda taji hilo ya Juma na Ali Rama (Mombasa). ka, Prisca Nuru, Rehema Mbaraka,
kwamba anafurahikiwa sana na jinsi wavulana, Kilifi ikashinda netiboli na
Kaunti ya Mombasa, watano kutoka Wengine ni Chigwe Bakari, Bakari Grace Kudunda, Grace Chigumba,
chipukizi wa Pwani walivyocheza mpira wa mikono kwa wavulana na
Issa, Mbwana Swaleh, Abukari Mo- Zawadi Tsuma, Hope Vuko, Kahindi
kwenye michezo yote na akawa na voliboli na soka kwa wasichana. Kwale
hamed na Mwaboa Ali (Kwale), nelly, Nelly Jonathan, Menal Abdat,
uhakika ya timu zake kutamba ilishinda voliboli ya wavulana na neti-
Collins Bwire (Taita Taveta), Ejema Catherine Aringo, Firdaus Genge na
kwenye michezo ya Machakos. boli ya wasichana hali wenyeji Taita
Ismail (Tana River). Mercy Kazungu.
“Sina budi kuwapongeza wanafun- Taveta wakaibuka na ushindi wa taji la
Timu ya soka ya wasichana iliyo Wachezaji wa timu ya netiboli ya
zi wasichana na wavuklana kwa jinsi mpira wa mikono kwa wasichana.

Mikadini wanadi jina lao kwa soka ya kuvutia


NI chipukizi ambao wanatamba Mikadini Youth inajivunia
kwa kutandaza kabumbu ya kuvutia Na CHARLES ONGADI chipukizi kama George ‘Best ‘
ndani na nje ya Pwani na hili lime- Odhiambo mwenye umri wa miaka
wafanya kuwavutia wafuasi wengi ofana sana, Mikadini Youth iliweza 12 anayemiliki safu ya kati, Harry
Pwani na Bara. kuonesha mbwembwe za aina yake Mwema aliyecheza katika safu ya
Mikadini Youth FC ya mtaa wa kwa kuzigaragaza bila huruma timu ulinzi.
Mikadini, Changamwe, Mombasa za Afrika Mashariki na kati katika Kocha Ogweno anaiambia Pepeta
imejaliwa kuwa na wachezaji wengi mechi za mchujo na hatimaye kut- na Pwani kwamba amewapandisha
chipukizi walio na vipawa adimu inga katika hatua ya fainali. ngazi baadhi ya wachezaji wake wal-
uwanjani. Ijapo vijana hawa walidondoshwa iokuwa katika kikosi kilichoshiriki
Ijapo hawakuweza kushiriki katika na timu ya Msimamo Youth ya Tan- fainali ya Afrika Mashariki mwaka
mashindano yaliyofana sana mwis- zania kwa kuchabangwa mabao 3-0 jana.
honi mwa mwaka jana ya Mombasa katika fainali lakini walidhihirishia Wachezaji hao ni kama Vincent
Amani Mashinani lakini kamwe hilo mashabiki waliojaa pomoni katika Wesonga, Kitavi Kitonga, Tonny
haliwatii tumbo joto. uwanja wa Memorial mjini Moshi Blair, Paul Nyawa , Nilly Simon na
Mwaka jana Mikadini Youth kwamba wanaelewa vyema soka. Felix Otieno.
ilikuwa miongoni mwa timu za “ Tulishindwa kutokana na KIKOSI cha chipukizi wa Mikadini Youth FC. Picha/CHARLES ONGADI Kutokana na jinsi wanavyoele-
vijana wenye umri chini ya miaka 13 kwamba wapinzani wetu wali- wana uwanjani ni dhihirisho tosha
wachezesha wachezaji waliozidi imeonekana kufanya mabadiliko Anthony Ogweno ambaye alikuwa
kutoka Pwani zilizowakilisha taifa kwamba Mikadini Youth huenda
umri hata hivyo tuling’angana nao makubwa katika kikosi chake kitaka- nchini Uarabuni kwa mafunzo zaidi
katika mashindano ya kila mwaka ikawa timu ya kwanza ya chipukizi
vivyo hivyo,” anasema naibu kocha choshiriki katika mashindano ya ya soka huenda kukawaongezea
ya Vijana Afrika Mashariki yaliyoan- kutoka Pwani kushinda taji la Vijana
Boniface Awiti. mwaka huu. nguvu na maarifa makubwa ya kuka-
daliwa mjini Moshi, Tanzania. Afrika Mashariki nchini Tanzania
Hata hivyo, Mikadini Youth Kurudi kwa mkufunzi wao mkuu bili upinzani.
Katika mashindano hayo yaliy- mwaka huu .
16 TAIFA LEO TAIFA LEO
17
UDAKU
Jumatatu, Aprili 13, 2015 Jumatatu, Aprili 13, 2015

MAKALA MAALUM
Wade akoseshwa usingizi
Danguro kutoa asali ya
Ni kijasho tu huku timu zikijiandaa bure kwa mashabiki
na aliyekuwa mkewe kwani
kamshtaki mahakamani
kwa mechi za kufuzu AFCON 2017
DAH! Ni taabu tu ka- akikunwa kichwa na
tika maisha ya mchezaji mahangaisho ya Funches
vikapu matata wa NBA, ambaye amempelekea
Dwayne Wade baada kutumia zaidi ya Sh908
ya aliyekuwa mke wake milioni tangu 2007
Siohvaughn Funches kugharamia kesi yao ya
kurejea mahakamani talaka.
Baada ya droo ya mechi za kufuzu kwa fainali za AFCON 2017 kufanyika juma lililopita. Sasa timu zimeanza kupasha misuli tena kumshtaki kuhusu
wanao.

moto zikilenga tiketi ya kwenda Gabon kwa kipute hicho, Mwandishi Geoffrey Anene anachambua makundi ya safari hiyo....
Masaibu
haya yan-
amkumba

D
Wade miezi
miwili tu
ROO ya mechi za kufuzu kwa AF-
baada ya
CON 2017 ilitangazwa Jumatano kuripotiwa
iliyopita. kwamba
Huku timu zikianza kupasha misuli ndoa
moto kabla ya mbio za kujiunga na yake kwa
wenyeji Gabon kuanza Juni 12, tunamulika mwigizaji
Gabriel Un-
kundi baada ya kundi kutofautisha mgombea na
ion haita-
abiria. Mataifa 13 yatafuzu moja kwa moja kwa mbuliki
kombe hilo. Vilevile, timu mbili bora zitaka- na jimbo
zomaliza za pili baada ya mechi zote kuchezwa la Miami
pia zitaelekea Libreville mwaka 2017. wanakoishi
kwa kuwa
BONDIA Manny Pacquiao akiwa na wanamitindo hawa-
Kundi A PICHA/HISANI jajiandiki-
Ni kundi linalojumuisha mabingwa wa 2004, sha tangu
Tunisia pamoja na Togo, Liberia na Djibouti. Kuna taarifa kwamba danguro moja, Sheri Ranch linalopa- walipoona
Miamba wa kundi hili ni “Carthage Eagles” tikana Las Vegas, Marekani limetoa ofa ya kingono kwa mwisho
ya Tunisia. Wameshiriki makala 12 mfululizo. mashabiki watakosafiri hadi jijini humo kushuhudia pambano wa mwaka
Togo nao wamefuzu kwa kombe hilo mara jana.
la kihisitoria kati ya manguli Floyd Mayweather na Manny Wade
nane. Liberia wamekuwa nje tangu mvamizi Pacquiao. ambaye ni
George Weah awasaidie kufuzu kwa AFCON Medani hiyo itakayokuwa ghali zaidi duniani ikitarajiwa mmoja wa
2002. Waliwahi kushiriki AFCON mwaka kuingiza zaidi ya Sh27 bilioni, imewavutia mashabiki wengi wanabas-
1996, mwaka moja baada ya Weah kutangazwa kutoka pembe zote za dunia ambao watasafiri kulishuhudiwa ketiboli
msakataji bora wa kabumbu duniani. Djibouti laivu. matajiri
hawajawahi kuingia AFCON. Licha ya kuwa na zaidi dun-
Hatua hiyo imeiweka vizuri kibiashara ndaguro hiyo am- iani na wa-
nyota Emmanuel Adebayor na mandugu Floyd bayo ili kuwavutia wateja wengi, imeamua kutoa ofa ambayo naolipwa
Ayité na Jonathan Ayité, Tunisia wanaonekana inahisi kuwa itashawishi idadi kubwa ya mashabiki kuizuru. mshahara
kuwa farasi pekee katika kundi hili. Kiungo KIPA wa Nigeria Vincent Enyeama akiokoa mpira kuingia langoni mwake kwenye mechi ya Kulingana na jarida la TMZ, Kwa kitita cha Sh9 milioni, kila mkubwa,
Wahbi Khazri na mshambuliaji Ahmed Akaïchi fainali za Kombe la Dunia dhidi ya Argentina mwaka jana nchini Brazil. Picha/MAKTABA shabiki atapewa tiketi mbili za kutizama pambano hilo huku amekuwa MWANAVIKAPU Dwayne Wade
ni baadhi ya mastaa wa Tunisia wanaotarajiwa pia nauli zao za ndege kulipiwa kwa wale wanaotoka nje ya na aliyekuwa mkewe Siohvaughn
kutesa. nao hawajakuwa na msimamo katika AFCON kutoka sare sita. Kenya na Congo zilizabwa
Marekani. Funches.
baada ya kukosa makala matatu mfululizo. Wal- 2-0 mara ya mwisho zilipokutana na Zambia
Kundi B ishiriki makala ya 2004, 2008 na 2010. mwaka 2009 na 2005, mtawalia. Zambia na
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) Umri umeanza kumpa kisogo tegemeo Guinea-Bissau hazijawahi kumenyana. Kenya
MSHAMBULIAJI wa Gabon Pierre Emerick Aubameyang (katikati) akitamba na mpira
ilishangaza wengi baada ya kuzoa nishani wao Stéphane Sessègnon (West Brom- haijakutana na Congo, lakini ina rekodi ya wakati wa mechi ya kombe la Afrika 2012 dhidi ya Morocco. Picha/MAKTABA
ya shaba katika AFCON 2015 ikiwa imefuzu wich). Sudan Kusini walipata uhuru 1-1 dhidi ya Guinea-Bissau. Kenya na Guinea-
kushiriki kombe hilo kama timu iliyokuwa
bora katika timu zilizomaliza mechi za
mchujo katika nafasi ya tatu. Angola, ambao
mwaka 2011. Vita vya wenyewe kwa
wenyewe miaka miwili sasa vitavu-
ruga jitihada zao.
Bissau zilikutana katika mechi za kufuzu kwa
AFCON 2012. Guinea-Bissau ililima Kenya 1-0
jijini Bissau mnamo Septemba 4, 2010 kabla ya
jijini Brazzaville kati ya Juni 12-14. Mechi kati
ya Zambia na Congo, ambao walishiriki AFCON
mwaka huu, huenda ziamue mshindi wa kundi
Kundi I
Kundi hili pia linajumuisha timu ambazo zime-
shiriki AFCON. Hata hivyo, mabingwa watetezi
Boateng kushtakiwa kwa Dah! kumbe Rojo alishiriki
pia wako kundi hili, wameshiriki
makala saba ya AFCON
tangu 1996.
Kundi D
Kundi hili linaonekana kuwa
kupata dozi ya 2-1 jijini Nairobi mwaka mmoja
baadaye. Kenya inayonolewa na Bobby William-
son itafungua kampeni yake dhidi ya Congo
hili. Kenya ilifuzu kwa AFCON mara ya mwisho
mwaka 2004 wakati mvamizi Dennis Oliech
alikuwa tegemeo. Nyota anayesifika sana wakati
Ivory Coast wanatarajiwa kupepea dhidi ya Su-
dan, Sierra Leone na Gabon. Kundi hili litakuwa
na ushindani mkubwa kwa sababu Gabon tayari
kumng’ata mama watoto mapenzi na kocha wa viungo
Walikosa mbio kati ya Burkina Faso huu katika Harambee Stars ni kiungo wa South- wamefuzu kama waandalizi. ALIYEKUWA mchumba wa omsaidia kumfungilia
ku- na Uganda. Hata hivyo, ampton, Victor Wanyama. beki wa Bayern Munich, mashataka Boateng kwa
Waganda wana fursa kubwa Kundi J Jerome Boateng kisura madai kuwa alimvamia
ya kurudi katika AFCON Kundi F Washikilizi wa nafasi ya kwanza barani Af- Sherin Senler anadaiwa na kumtandika pamoja na
baada ya miaka 37. Maga- Kundi hili linaonekana kuwa mbio ya farasi rika, Algeria watajilaumu wenyewe ikiwa kuwa anajipanga kwenda kumng’ata na kisha kum-
zeti nchini Uganda tayari watatu – Cape Verde, Morocco na Libya. Mechi mahakamani kumshtaki furusha kwenye jumba
ridhisha katika AF- watashindwa kujikatia tikiti mapema jinsi mpenzi wake huyo wa za- lao.
yametaja kundi hili kuwa baina ya timu hizi tatu huenda zitaamua ataka- walivyofanya kufika AFCON 2015. Ethiopia, Le-
CON 2013 na 2012 na kukosa “mboga”. Mkufunzi wa
mani kwa kumdhulumu. Gazeti hilo limeripoti
yeambulia tikiti hiyo moja. Sao Tome hawaja- sotho na Ushelisheli wanatarajiwa kuwa mswaki Uhusiano wa mapenzi kuwa Boateng na Sherin
makala ya mwaka huu. Licha ya Cranes, Micho Sredejovic wahi kushiriki dimba hili. Hawana uzoefu wa kwa Algeria. Lesotho na Ushelisheli wangali baina ya wawili hawa wamekuwa wakikorofi-
kuwa na talanta nyingi inayosakata ni baadhi ya walionuku- AFCON. Haitashangaza mshindi wa kundi hili mawindoni kufika AFCON. uliodumu kwa miaka oshana mara kwa mara
kabumbu nje ya nchi, Jamhuri ya liwa na magazeti hayo minane ulimalizika yapata kabla ya kuachana ka-
akiamuliwa na magoli watakayopata Sao Tome.
Afrika ya Kati haijafaulu kufika wakisema Uganda inasta- wiki sita zilizopita bisa kwa jumla baada ya
AFCON. Madagascar pia haijawahi Kundi K baada ya Boateng mchezaji huyo kumtupia
kufuzu kwa dimba hilo. DRC ina
hili kuwa miongoni mwa Kundi G Wapenzi wa mashabiki Sen- kumfurusha mwenzake virago nje.
mataifa 16 yatakayoshiriki Ni kundi ambalo lina miamba egal wanajivunia talanta nyingi katika jumba Katika kipindi hicho
nafasi kubwa ya kumaliza juu ya AFCON 2017. Burkina Faso wawili wa Afrika – Nigeria na ikiwa ni pamoja na washam- lake ambalo wa- ambacho wawili hao
kundi hili baada ya kupata moti- na Uganda zinashikilia nafasi Misri. Litakuwa na msisimko buliaji matata Sadio Mane, Dia- likuwa wakiishi walikuwa wapenzi,
sha kutoka AFCON 2015. ya 18 na 19 barani Afrika, mta- pamoja. walijaliwa kuwa-
wa aina yake kwani Nigeria fra Sakho, Biram Diouf, Demba
walia. Mechi baina yao huenda hawako tayari kukosa makala Kwa kumu- pata watoto wa kike
Kundi C Ba na Moussa Sow. Itabidi Niger, jibu wa gazeti mapacha Lamia Soley
ikamua nani kati yao atafuzu. mawili mfululizo nao mab- Namibia na Burundi wafanye
Mali wameshiriki Kombe la Af- Botswana wamefifia tangu ku-
la Bild, kic- wenye umri wa miaka
ingwa mara saba Misri wa- kazi ya ziada kunyamazisha huna huyo tayari minne ambao wanase-
rika mara tisa tangu libuniwe shiriki AFCON 2012. Ingawa natamani kukatiza masaibu Teranga Lions. amewatafuta mekana kuwa
mwaka 1957. Wamedumu Comoros waliwatatiza Kenya ya kukosa makala matatu mawakili wapo chini ya
kwenye ratiba ya AFCON katika mechi za kufuzu kwa BEKI Marcos Rojo wa Manchester United.
tangu 2008. Mali wali-
mfululizo. Licha ya kuzidiwa maarifa miaka ya Kundi L wa- himaya ya
AFCON 2015, itakuwa vigumu hivi karibuni, Misri ni kisiki katika jitihada za taka- baba yao.
maliza katika nafasi Mbio za kutwaa ubingwa wa kundi hili zi- BEKI wa Manchester United, uhusiano huo hadharani.
kwao kusimamisha Burkina mabingwa mara tatu Nigeria kufuzu. Misri im- naonekana kuwa kati ya Guinea na Malawi. Marcos Rojo ametajwa kwenye Magezeti ya Uingereza
ya 10 mwaka huu. Faso au Uganda ambao wame- ekuwa ikikanyaga Nigeria, na Tanzania ambao Guinea hata hivyo wana historia nzuri dhidi skendo ya kimapenzi ambayo yameripoti kwamba Rojo 25,
Equatorial Guinea kuwa wakiwaka moto. wanasaka kurudi AFCON tangu mwaka 1980. ya Malawi ikiwa ni pamoja na kuwapepeta 3-1 ilichipuka mwezi uliopita anayelipwa mshahara wa
wameshiriki
Chad wanawinda kufika AFCON kwa mara ya mwaka 2005 nyumbani na 2-1 mwaka 2009 baada ya mwanamke mmoja Sh27 milioni kila wiki kupitia
AFCON mara Kundi E kwanza kabisa. ugenini katika mechi za kufuzu kwa Kombe la kudai kwamba angeanika mawakili wake walimtishia
mbili (2012 na Kundi hili linajumuisha Dunia 2010. Zimbabwe na Swaziland ni abiria JEROME uhusiano wao hadharani baada Sarah kuwa wangepindua
2015). Mara
yote wamekuwa
mabingwa wa AFCON Zam- Kundi H katika kundi hili. Boateng na ya kugundua kwamba jamaa kesi ili imwegemee endapo
bia (2012) pamoja na Congo, Mabingwa mara nne Ghana wanajivunia nyota aliyekuwa alikuwa na familia. angeamua kufichua siri hiyo
wenyeji. Benin Kenya na Guinea-Bissau. Zambia Kocha wa mazoezi ya viungo kuwa alivunja amri ya sita na
wengi. Pia wana uzoefu wa miaka 23 katika Kundi M mchumba
wana asilimia kubwa ya kumaliza AFCON na kwa hivyo itakuwa miujiza wak- Mabingwa mara nne Cameroon na mabingwa Sarah Watson na Marcos Rojo mchezaji huyo.
wake Sherin
MSHAMBULIAJi matata wa wa kwanza. Wana historia nzuri dhidi ya ishindwa kudumisha rekodi hiyo. “Black Stars” wa 1996 Afrika Kusini walisikitisha katika walitajwa kuwa wahusika wa Sarah mwenye miaka 34,
Senegal Sadio Mane ambaye Senler. kesi hiyo baada ya mahakama ndiye aliyezua tetesi hizo
Congo, Kenya na Guinea-Bissau. Chipol- wamekuwa wakilima Msumbiji. Hata hivyo, AFCON ya mwaka huu. Watakuwa na kibarua
huchezea klabu ya Southamp- Picha/ kuu moja ya jijini London kua- baada ya kuliambia chombo
opolo wamekutana na Kenya mara Rwanda huwapa wakati mgumu. Mauritius ha- kigumu kung’ang’ania tikiti moja dhidi ya
ton nchini Uingereza. SHABIKI sugu wa timu ya taifa ya Ghana MAKTABA muru watajwe kufuatia mala- kimoja kwamba alikuwa ma-
34 tangu mwaka 1964. Wamezaba wajashiriki AFCON tangu 1974. pingamizi kutoka kwa Gambia na Mauritania,
Picha/MAKTABA akifuatilia mechi ya awali ya AFCON. lamishi ya mwanadada huyo kini kutibua siri hiyo alipokuja
Kenya mara 21, kushindwa saba na Picha/MAKTABA ambao hawajawahi kufuzu kwa dimba hili. kuwa alitishiwa maisha baada kubania kuwa Rojo alikuwa na
ya kudai kwamba angeweka familia na mtoto mmoja.
16 TAIFA LEO TAIFA LEO
17
UDAKU
Jumatatu, Aprili 13, 2015 Jumatatu, Aprili 13, 2015

MAKALA MAALUM
Wade akoseshwa usingizi
Danguro kutoa asali ya
Ni kijasho tu huku timu zikijiandaa bure kwa mashabiki
na aliyekuwa mkewe kwani
kamshtaki mahakamani
kwa mechi za kufuzu AFCON 2017
DAH! Ni taabu tu ka- akikunwa kichwa na
tika maisha ya mchezaji mahangaisho ya Funches
vikapu matata wa NBA, ambaye amempelekea
Dwayne Wade baada kutumia zaidi ya Sh908
ya aliyekuwa mke wake milioni tangu 2007
Siohvaughn Funches kugharamia kesi yao ya
kurejea mahakamani talaka.
Baada ya droo ya mechi za kufuzu kwa fainali za AFCON 2017 kufanyika juma lililopita. Sasa timu zimeanza kupasha misuli tena kumshtaki kuhusu
wanao.

moto zikilenga tiketi ya kwenda Gabon kwa kipute hicho, Mwandishi Geoffrey Anene anachambua makundi ya safari hiyo....
Masaibu
haya yan-
amkumba

D
Wade miezi
miwili tu
ROO ya mechi za kufuzu kwa AF-
baada ya
CON 2017 ilitangazwa Jumatano kuripotiwa
iliyopita. kwamba
Huku timu zikianza kupasha misuli ndoa
moto kabla ya mbio za kujiunga na yake kwa
wenyeji Gabon kuanza Juni 12, tunamulika mwigizaji
Gabriel Un-
kundi baada ya kundi kutofautisha mgombea na
ion haita-
abiria. Mataifa 13 yatafuzu moja kwa moja kwa mbuliki
kombe hilo. Vilevile, timu mbili bora zitaka- na jimbo
zomaliza za pili baada ya mechi zote kuchezwa la Miami
pia zitaelekea Libreville mwaka 2017. wanakoishi
kwa kuwa
BONDIA Manny Pacquiao akiwa na wanamitindo hawa-
Kundi A PICHA/HISANI jajiandiki-
Ni kundi linalojumuisha mabingwa wa 2004, sha tangu
Tunisia pamoja na Togo, Liberia na Djibouti. Kuna taarifa kwamba danguro moja, Sheri Ranch linalopa- walipoona
Miamba wa kundi hili ni “Carthage Eagles” tikana Las Vegas, Marekani limetoa ofa ya kingono kwa mwisho
ya Tunisia. Wameshiriki makala 12 mfululizo. mashabiki watakosafiri hadi jijini humo kushuhudia pambano wa mwaka
Togo nao wamefuzu kwa kombe hilo mara jana.
la kihisitoria kati ya manguli Floyd Mayweather na Manny Wade
nane. Liberia wamekuwa nje tangu mvamizi Pacquiao. ambaye ni
George Weah awasaidie kufuzu kwa AFCON Medani hiyo itakayokuwa ghali zaidi duniani ikitarajiwa mmoja wa
2002. Waliwahi kushiriki AFCON mwaka kuingiza zaidi ya Sh27 bilioni, imewavutia mashabiki wengi wanabas-
1996, mwaka moja baada ya Weah kutangazwa kutoka pembe zote za dunia ambao watasafiri kulishuhudiwa ketiboli
msakataji bora wa kabumbu duniani. Djibouti laivu. matajiri
hawajawahi kuingia AFCON. Licha ya kuwa na zaidi dun-
Hatua hiyo imeiweka vizuri kibiashara ndaguro hiyo am- iani na wa-
nyota Emmanuel Adebayor na mandugu Floyd bayo ili kuwavutia wateja wengi, imeamua kutoa ofa ambayo naolipwa
Ayité na Jonathan Ayité, Tunisia wanaonekana inahisi kuwa itashawishi idadi kubwa ya mashabiki kuizuru. mshahara
kuwa farasi pekee katika kundi hili. Kiungo KIPA wa Nigeria Vincent Enyeama akiokoa mpira kuingia langoni mwake kwenye mechi ya Kulingana na jarida la TMZ, Kwa kitita cha Sh9 milioni, kila mkubwa,
Wahbi Khazri na mshambuliaji Ahmed Akaïchi fainali za Kombe la Dunia dhidi ya Argentina mwaka jana nchini Brazil. Picha/MAKTABA shabiki atapewa tiketi mbili za kutizama pambano hilo huku amekuwa MWANAVIKAPU Dwayne Wade
ni baadhi ya mastaa wa Tunisia wanaotarajiwa pia nauli zao za ndege kulipiwa kwa wale wanaotoka nje ya na aliyekuwa mkewe Siohvaughn
kutesa. nao hawajakuwa na msimamo katika AFCON kutoka sare sita. Kenya na Congo zilizabwa
Marekani. Funches.
baada ya kukosa makala matatu mfululizo. Wal- 2-0 mara ya mwisho zilipokutana na Zambia
Kundi B ishiriki makala ya 2004, 2008 na 2010. mwaka 2009 na 2005, mtawalia. Zambia na
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) Umri umeanza kumpa kisogo tegemeo Guinea-Bissau hazijawahi kumenyana. Kenya
MSHAMBULIAJI wa Gabon Pierre Emerick Aubameyang (katikati) akitamba na mpira
ilishangaza wengi baada ya kuzoa nishani wao Stéphane Sessègnon (West Brom- haijakutana na Congo, lakini ina rekodi ya wakati wa mechi ya kombe la Afrika 2012 dhidi ya Morocco. Picha/MAKTABA
ya shaba katika AFCON 2015 ikiwa imefuzu wich). Sudan Kusini walipata uhuru 1-1 dhidi ya Guinea-Bissau. Kenya na Guinea-
kushiriki kombe hilo kama timu iliyokuwa
bora katika timu zilizomaliza mechi za
mchujo katika nafasi ya tatu. Angola, ambao
mwaka 2011. Vita vya wenyewe kwa
wenyewe miaka miwili sasa vitavu-
ruga jitihada zao.
Bissau zilikutana katika mechi za kufuzu kwa
AFCON 2012. Guinea-Bissau ililima Kenya 1-0
jijini Bissau mnamo Septemba 4, 2010 kabla ya
jijini Brazzaville kati ya Juni 12-14. Mechi kati
ya Zambia na Congo, ambao walishiriki AFCON
mwaka huu, huenda ziamue mshindi wa kundi
Kundi I
Kundi hili pia linajumuisha timu ambazo zime-
shiriki AFCON. Hata hivyo, mabingwa watetezi
Boateng kushtakiwa kwa Dah! kumbe Rojo alishiriki
pia wako kundi hili, wameshiriki
makala saba ya AFCON
tangu 1996.
Kundi D
Kundi hili linaonekana kuwa
kupata dozi ya 2-1 jijini Nairobi mwaka mmoja
baadaye. Kenya inayonolewa na Bobby William-
son itafungua kampeni yake dhidi ya Congo
hili. Kenya ilifuzu kwa AFCON mara ya mwisho
mwaka 2004 wakati mvamizi Dennis Oliech
alikuwa tegemeo. Nyota anayesifika sana wakati
Ivory Coast wanatarajiwa kupepea dhidi ya Su-
dan, Sierra Leone na Gabon. Kundi hili litakuwa
na ushindani mkubwa kwa sababu Gabon tayari
kumng’ata mama watoto mapenzi na kocha wa viungo
Walikosa mbio kati ya Burkina Faso huu katika Harambee Stars ni kiungo wa South- wamefuzu kama waandalizi. ALIYEKUWA mchumba wa omsaidia kumfungilia
ku- na Uganda. Hata hivyo, ampton, Victor Wanyama. beki wa Bayern Munich, mashataka Boateng kwa
Waganda wana fursa kubwa Kundi J Jerome Boateng kisura madai kuwa alimvamia
ya kurudi katika AFCON Kundi F Washikilizi wa nafasi ya kwanza barani Af- Sherin Senler anadaiwa na kumtandika pamoja na
baada ya miaka 37. Maga- Kundi hili linaonekana kuwa mbio ya farasi rika, Algeria watajilaumu wenyewe ikiwa kuwa anajipanga kwenda kumng’ata na kisha kum-
zeti nchini Uganda tayari watatu – Cape Verde, Morocco na Libya. Mechi mahakamani kumshtaki furusha kwenye jumba
ridhisha katika AF- watashindwa kujikatia tikiti mapema jinsi mpenzi wake huyo wa za- lao.
yametaja kundi hili kuwa baina ya timu hizi tatu huenda zitaamua ataka- walivyofanya kufika AFCON 2015. Ethiopia, Le-
CON 2013 na 2012 na kukosa “mboga”. Mkufunzi wa
mani kwa kumdhulumu. Gazeti hilo limeripoti
yeambulia tikiti hiyo moja. Sao Tome hawaja- sotho na Ushelisheli wanatarajiwa kuwa mswaki Uhusiano wa mapenzi kuwa Boateng na Sherin
makala ya mwaka huu. Licha ya Cranes, Micho Sredejovic wahi kushiriki dimba hili. Hawana uzoefu wa kwa Algeria. Lesotho na Ushelisheli wangali baina ya wawili hawa wamekuwa wakikorofi-
kuwa na talanta nyingi inayosakata ni baadhi ya walionuku- AFCON. Haitashangaza mshindi wa kundi hili mawindoni kufika AFCON. uliodumu kwa miaka oshana mara kwa mara
kabumbu nje ya nchi, Jamhuri ya liwa na magazeti hayo minane ulimalizika yapata kabla ya kuachana ka-
akiamuliwa na magoli watakayopata Sao Tome.
Afrika ya Kati haijafaulu kufika wakisema Uganda inasta- wiki sita zilizopita bisa kwa jumla baada ya
AFCON. Madagascar pia haijawahi Kundi K baada ya Boateng mchezaji huyo kumtupia
kufuzu kwa dimba hilo. DRC ina
hili kuwa miongoni mwa Kundi G Wapenzi wa mashabiki Sen- kumfurusha mwenzake virago nje.
mataifa 16 yatakayoshiriki Ni kundi ambalo lina miamba egal wanajivunia talanta nyingi katika jumba Katika kipindi hicho
nafasi kubwa ya kumaliza juu ya AFCON 2017. Burkina Faso wawili wa Afrika – Nigeria na ikiwa ni pamoja na washam- lake ambalo wa- ambacho wawili hao
kundi hili baada ya kupata moti- na Uganda zinashikilia nafasi Misri. Litakuwa na msisimko buliaji matata Sadio Mane, Dia- likuwa wakiishi walikuwa wapenzi,
sha kutoka AFCON 2015. ya 18 na 19 barani Afrika, mta- pamoja. walijaliwa kuwa-
wa aina yake kwani Nigeria fra Sakho, Biram Diouf, Demba
walia. Mechi baina yao huenda hawako tayari kukosa makala Kwa kumu- pata watoto wa kike
Kundi C Ba na Moussa Sow. Itabidi Niger, jibu wa gazeti mapacha Lamia Soley
ikamua nani kati yao atafuzu. mawili mfululizo nao mab- Namibia na Burundi wafanye
Mali wameshiriki Kombe la Af- Botswana wamefifia tangu ku-
la Bild, kic- wenye umri wa miaka
ingwa mara saba Misri wa- kazi ya ziada kunyamazisha huna huyo tayari minne ambao wanase-
rika mara tisa tangu libuniwe shiriki AFCON 2012. Ingawa natamani kukatiza masaibu Teranga Lions. amewatafuta mekana kuwa
mwaka 1957. Wamedumu Comoros waliwatatiza Kenya ya kukosa makala matatu mawakili wapo chini ya
kwenye ratiba ya AFCON katika mechi za kufuzu kwa BEKI Marcos Rojo wa Manchester United.
tangu 2008. Mali wali-
mfululizo. Licha ya kuzidiwa maarifa miaka ya Kundi L wa- himaya ya
AFCON 2015, itakuwa vigumu hivi karibuni, Misri ni kisiki katika jitihada za taka- baba yao.
maliza katika nafasi Mbio za kutwaa ubingwa wa kundi hili zi- BEKI wa Manchester United, uhusiano huo hadharani.
kwao kusimamisha Burkina mabingwa mara tatu Nigeria kufuzu. Misri im- naonekana kuwa kati ya Guinea na Malawi. Marcos Rojo ametajwa kwenye Magezeti ya Uingereza
ya 10 mwaka huu. Faso au Uganda ambao wame- ekuwa ikikanyaga Nigeria, na Tanzania ambao Guinea hata hivyo wana historia nzuri dhidi skendo ya kimapenzi ambayo yameripoti kwamba Rojo 25,
Equatorial Guinea kuwa wakiwaka moto. wanasaka kurudi AFCON tangu mwaka 1980. ya Malawi ikiwa ni pamoja na kuwapepeta 3-1 ilichipuka mwezi uliopita anayelipwa mshahara wa
wameshiriki
Chad wanawinda kufika AFCON kwa mara ya mwaka 2005 nyumbani na 2-1 mwaka 2009 baada ya mwanamke mmoja Sh27 milioni kila wiki kupitia
AFCON mara Kundi E kwanza kabisa. ugenini katika mechi za kufuzu kwa Kombe la kudai kwamba angeanika mawakili wake walimtishia
mbili (2012 na Kundi hili linajumuisha Dunia 2010. Zimbabwe na Swaziland ni abiria JEROME uhusiano wao hadharani baada Sarah kuwa wangepindua
2015). Mara
yote wamekuwa
mabingwa wa AFCON Zam- Kundi H katika kundi hili. Boateng na ya kugundua kwamba jamaa kesi ili imwegemee endapo
bia (2012) pamoja na Congo, Mabingwa mara nne Ghana wanajivunia nyota aliyekuwa alikuwa na familia. angeamua kufichua siri hiyo
wenyeji. Benin Kenya na Guinea-Bissau. Zambia Kocha wa mazoezi ya viungo kuwa alivunja amri ya sita na
wengi. Pia wana uzoefu wa miaka 23 katika Kundi M mchumba
wana asilimia kubwa ya kumaliza AFCON na kwa hivyo itakuwa miujiza wak- Mabingwa mara nne Cameroon na mabingwa Sarah Watson na Marcos Rojo mchezaji huyo.
wake Sherin
MSHAMBULIAJi matata wa wa kwanza. Wana historia nzuri dhidi ya ishindwa kudumisha rekodi hiyo. “Black Stars” wa 1996 Afrika Kusini walisikitisha katika walitajwa kuwa wahusika wa Sarah mwenye miaka 34,
Senegal Sadio Mane ambaye Senler. kesi hiyo baada ya mahakama ndiye aliyezua tetesi hizo
Congo, Kenya na Guinea-Bissau. Chipol- wamekuwa wakilima Msumbiji. Hata hivyo, AFCON ya mwaka huu. Watakuwa na kibarua
huchezea klabu ya Southamp- Picha/ kuu moja ya jijini London kua- baada ya kuliambia chombo
opolo wamekutana na Kenya mara Rwanda huwapa wakati mgumu. Mauritius ha- kigumu kung’ang’ania tikiti moja dhidi ya
ton nchini Uingereza. SHABIKI sugu wa timu ya taifa ya Ghana MAKTABA muru watajwe kufuatia mala- kimoja kwamba alikuwa ma-
34 tangu mwaka 1964. Wamezaba wajashiriki AFCON tangu 1974. pingamizi kutoka kwa Gambia na Mauritania,
Picha/MAKTABA akifuatilia mechi ya awali ya AFCON. lamishi ya mwanadada huyo kini kutibua siri hiyo alipokuja
Kenya mara 21, kushindwa saba na Picha/MAKTABA ambao hawajawahi kufuzu kwa dimba hili. kuwa alitishiwa maisha baada kubania kuwa Rojo alikuwa na
ya kudai kwamba angeweka familia na mtoto mmoja.
18 TAIFA LEO
Jumatatu, Aprili 13, 2015

PEPETA NA MASTAA

Umri mkubwa wa wachezaji


wa Man City utaigharimu taji
M
ANCHESTER CITY inakabiliwa
na hatari ya kutomaliza kam- Na CHRIS ADUNGO
peni za EPL msimu huu mion-
goni mwa timu nne-bora katika wa UEFA? Ingawa ni ukweli mchungu, City
kinyang’anyiro ambacho awali ina uwezo mkubwa wa kifedha kuwahak-
kilionekana kuwa cha ‘farasi’ wawili - ikishia nyota hao kwamba kukosa kuwakil-
Manuel Pellegrini na Jose Mourinho. ishwa kwao katika kipute hicho ni tukio la
Masaibu ya City katika kipute hicho yaliz- muda mfupi tu. Ili kuepuka aibu hiyo yote,
idishwa Jumatatu iliyopita na Crystal Palace City watalazimika kuvuna alama 18 katika
ambao waliwaadhibu kwa mabao 2-1 ugani mechi zote sita zilizosalia, nafuu zaidi ikiwa ni
Selhurst, jambo lililowaacha katika shinikizo kwamba watawaandaa West Ham United, As-
ya kung’ang’ania nafasi ya nne na Liverpool, ton Villa, QPR na Southampton ugani Etihad
Tottenham Hotspur na Southampton hasa kabla ya kumaliza udhia na Swansea City na
ikizingatiwa kwamba tayari Arsenal na Man- Spurs ugenini.
chester United zimejilinganua katika vita vya
kutoa upinzani mkubwa kwa Chelsea. WATEGEMEWA NI MZIGO
Katika kipindi cha majuma kadhaa yali- Ufanisi wa hivi majuzi unaojivuniwa na City
yopita, mantiki yote yaliwaelewesha wengi umetokana na ukwasi wa kipaji cha ‘nyani’ Joe
kwamba ngarambe ya kuwania ubingwa wa Hart, udhabiti wa nahodha Vincent Kompany,
taji la EPL msimu huu ilitawaliwa na City na ubunifu wa Yaya Toure na upekee wa kiufundi
Chelsea huku ‘punda’ wengine kufu ya Arse- unaomilikiwa na Aguero.
nal, United na Liverpool wakisalia kula vumbi Ingawa Hart amejikakamua kuendeleza
iliyotifuliwa nyuma yao na ‘farasi’ hao. fomu nzuri msimu huu, viwango vya Kom-
Hata hivyo, mabadiliko makubwa yame- pany na Toure vimeshuka baada ya kuuguza
tokea na kwa sasa kinachoongoza ajenda za majeraha kwa muda mrefu.
City ni kukamilisha ndani ya 4-bora ila hawa- Kudorora kwa fomu ya wawili hao kulishad-
idiwa katika mechi iliyomlazimisha Pellegrini NAHODHA wa Manchester City Vincent Kompany (chini) akimkabili straika James
na uhakika wa asilimia 100 kufaulu kwa hilo.
kuwalisha benchi dhidi ya Leicester City Wilson wa Manchester United kwenye mechi ya mkondo wa kwanza. PICHA/AFP
Ingawa City inajivunia alama saba zaidi
mbele ya Liverpool, vijana wa kocha Brendan Machi 4.
Rodgers wanatarajiwa kuliziba pengo hilo Ingawa City itayumbishwa zaidi baada ya SERA MBOVU ZA USAJILI wengi waliounga na kukamilisha kikosi cha
leo usiku watakaposhuka dimbani kuchuana kuondoka kwa Toure, kiungo huyo wa Ivory City ilitumia kima cha Sh28 bilioni chini ya kwanza kilichomenyana na Palace: Bacary
na Newcastle United katika moja ya mechi Coast amepoteza makali yake kwenye safu ukufunzi wa Mancini na Pellegrini tangu Mei Sagna (32), Demichelis (34), Kompany (29),
zinazotarajiwa kuamua afua yao - kufa ama ya kati licha ya kwamba alititiga nyavu za 2012 katika jitihada za kukisuka upya kikosi Gael Clichy (29), Toure (32), Silva (29), Fern-
kupona. Palace wiki jana. Wakati kama huu msimu hicho. andinho (30), Navas (29), Edin Dzeko (29).
Hapana shaka kwamba ushindi wa Liver- uliopita, Toure alikuwa na mabao 20 kapuni Ingawa hivyo, wengi wa sajili wao wame- Wakosoaji wa City wanahoji kwamba kikosi
pool katika mchuano huo utazidi kutoa shini- mwake baada ya mechi 35. Lakini baada ya kosa kuwika na kuridhisha matamanio ya kama hicho hakina kasi ya kukabili wepesi
kizo tele kwa City licha ya kwamba hali sawia michuano 23 msimu huu, nyota mashabiki pamoja na matarajio ya wa chipukizi wengi wanaokamilisha vikosi
na hiyo isingeyumkinika kufikirika majuma huyo amecheka na nyavu za wap- usimamizi. Pamoja na wachezaji pinzani katika EPL na huenda hatua ya ku-
kadhaa yaliyopita. Taswira ya EPL imebadil- inzani mara nane pekee. Ingawa hao ni Eliaquim Mangala (Sh4.5 wapa Palace kikosi hicho ikawatosa hatarini
ishwa pakubwa na msururu wa matokeo duni anazidi kuwa tishio kwa walinzi bilioni), Fernando (Sh1.7 bilioni), Mkurugenzi wa Soka na Afisa Mkuu Mtendaji
ambayo yalisajiliwa na City katika mechi zili- wa vikosi pinzani, Aguero ame- Wilfried Bony (Sh 3.5 bilioni), wa City Txiki Begiristain na Ferran Soriano
zowapatanisha na Liverpool, West Bromwich poteza makali yake tangu kupata Fernandinho (Sh4.2 bilioni), Ste- ambao waliwajibika kwa hilo. Kuna haja ya
Albion, Burnley na Palace. jeraha Desemba mwaka jana van Jovetic (Sh3.1 bilioni), Alvaro kukisuka upya kikosi hicho na hilo ni moja
kwenye mechi iliyowakutanisha Negredo (Sh2.8 bilioni), Jesus Navas (Sh2.1 kati ya malengo ya Pellegrini ambaye tayari
KUKOSA UEFA HAKUFIKIRIKI na Everton. bilioni), Martin Demichelis (Sh588 milioni), amewaelekezea jicho chipukizi wa Liverpool
Mabwanyenye wa Abu-Dhabi wanaomiliki Ni sadfa kwamba utepetevu wa City ume- Willy Caballero (Sh840 milioni) na Bruno na Everton; Raheem Sterling na Ross Barkley
City hawataki kuiona klabu hiyo ikishiriki tokea wakati ambapo ubutu wa mzawa huyo Zuculini (Sh420 milioni). mtawalia. Aidha kocha huyo anawaandama
uhondo wa UEFA pekee. Matamanio yao ni wa Argentina unashuhudiwa kikosini humo. City ilipokezwa faini ya Sh6.9 bilioni Jack Wilshere (Arsenal), Paul Pogba (Juventus)
kuwaona vijana wao wakidhibiti uhakika wa Ingawa mkwaju wake ulilamba mwamba dhi- na UEFA mwaka jana baada ya kupatikana na Kevin de Bruyne (Wolfsburg).
kuwania ubingwa wa taji hilo kila msimu. di ya Palace wiki jana, bao lake la na hatia ya kuenda kinyume na kanuni za
Ingawa Pellegrini hajashinikizwa kulipamba mwisho kwa City lilikuwa dhidi kifedha zinazoongoza uhamisho wa wache- PELLEGRINI ATATIMULIWA
kabati la City kwa kombe hilo katika misimu ya Barcelona na hajacheka zaji kutoka klabu moja hadi nyingine Wamiliki wa City wamefanikiwa kujenga
miwili ya kuwajibika kwake ugani Etihad, na nyavu kwa msururu wa (Financial Fair Play Rules). Adhabu hiyo Bewa la Etihad kama moja ya ishara zinazo-
hapana shaka kwamba hilo ni jambo linalo- mechi sita zilizopita. Baada ilihitaji kwamba wangalitumia tu kima anika wazi maazimio yao ya siku za usoni
tarajiwa hivi karibuni hasa ikizingatiwa wingi ya mechi 31 msimu huu, cha Sh6.9 bilioni kuwasajili wachezaji katika kukuza vipaji na talanta za vijana. In-
wa fedha zilizowekezwa na matajiri hao katika City imevuna ushindi ka- wapya msimu uliopita. gawa hivyo, ufanisi huo umekosa kusawiriwa
juhudi za kukisuka upya kikosi hicho. Katika tika michuano 18 pekee na ugani.
majaribio mawili ya kuwania UEFA, City im- wana pengo la alama tisa UMRI MKUBWA Baada ya kukosa kutetea kwa mafanikio
eshuhudiwa ikiyaaga mashindano hayo katika baina yao na Chelsea, idadi Wengi wa wahakiki wamenasibisha ubingwa wa taji la EPL, Mancini alifurushwa
awamu ya 16-Bora mikononi mwa Barcelona. sawia waliojivunia dhidi ya matokeo duni ya City na ‘uzee’ wa na nafasi yake kutwaliwa na mzawa wa
Hiyo ni ishara tosha kwamba bado klabu hiyo Mourinho msimu uliopita wachezaji wanaounga timu hiyo Chile, Pellegrini. Ingawa moja ya sera
haijakomaa kuchuana na magwiji wanaoka- katika wakati kama huu. hasa ikizingatiwa za City si kubadilisha makocha kila
milisha ramani ya mibabe wa bara Ulaya. umri mkubwa mara, huenda kufutwa kwa Pel-
Kupoteza mapato makubwa yatoka- w a legrini kusiepukike hasa ikizingatiwa
nayo na ufanisi katika kampeni wingi wa matarajio ya mashabiki kwa
za UEFA ni moja y a usimamizi wa klabu hiyo.
mapigo makubwa Ikiwa City itakosa kukamilisha
kwa kiasi cha fedha kampeni za EPL miongoni mwa
kilichowekezwa nne-bora hakuna uwezekano
na City licha ya wowote wa Pellegrini kuende-
kwamba kunashu- lea kuhudumu Etihad. Licha ya
sha hadhi ya nyota kwamba alishinda mataji ya EPL na
wengi katika kikosi hicho. Ingawa ku- Capital One msimu uliopita, shoka hilo bado
natazamiwa mabadiliko muhimu kikosini litampata Pellegrini endapo City itafuzu kwa
humo mwishoni mwa msimu huu, huenda dimba la UEFA hasa ikizingatiwa utepetevu
hali hiyo ikachochewa zaidi na ukweli huo mkubwa uliochangia kupoteza kwao alama
ambao pia utaathiri pakubwa mustakabali wa muhimu ambazo ziliwatosha kuwapiku Chel-
Pellegrini ambaye hadi sasa amezingirwa na sea uongozini. Huku tetesi za kutimuliwa kwa
tetesi za kufurushwa. Yaya Toure, 32, anaweza Pellegrini zikishika kasi, makocha Carlo Ance-
kuteua kuzielekeza huduma zake kwingineko lotti (Real Madrid), Pep Guardiola (Bayern Mu-
hasa ikizingatiwa kwamba anawindwa pa- YAYA Toure nich) na Jurgen Klopp (Borussia Dortmund)
kubwa na kocha wa Inter Milan, Roberto Man- wamehusishwa pakubwa na uwezekano wa
cini. Lakini je, hatima ya Sergio Aguero na kumrithi Mchile huyo hasa ikizingatiwa
David Silva ambao wanajivunia donge nono kwamba Diego Simeone aliyepigiwa upatu
baada ya kurefusha mikataba yao klabuni tayari amerefusha muda wa kuhudumu
humo itakuwa ipi baada ya kukosa uhondo kwake Atletico Madrid hadi 2020.
TAIFA LEO
Jumatatu, Aprili 13, 2015 19
RIADHA

Kirui kuwaongoza wenzake


kuzitimka Boston Marathon
W
IKI ijayo Wakenya watakuwa na marehemu Samuel Wanjiru.
mbioni kung’ang’ania taji la Na BERNARD ROTICH Ushindi ulimjia mwanariadha huyo
Boston Marathon ambayo ni mwaka wa 2008 aliposhiriki mbio za
moja ya Mbio Kuu Duniani. mwanariadha huyo imekuwa iking’aa City-Pier-City Loop na vile vile akawa
Mara kwa mara wanariadha huku akishiriki mbio ya Rotterdam Half mshindi kwenye mbio za Ras Al Khaimah
kutoka nchini wamekuwa waking’aa ka- Marathon mahali aliandikisha muda wa Half Marathon mwaka wa 2009.
tika mbio hizo huku wakibadilishana taji 59:15 ambayo ilikuwa muda wake bora Alipojaribu Marathon yake ya kwanza
ya mbio hizo na Waethiopia. mwaka wa 2009. ikiwa ni ile ya Rotterdam mwaka wa
Timu ya Kenya itajumuisha bingwa mara Mbio nyingine ni pamoja na Granollers 2009, alichukua nafasi ya nne na kuan-
tatu wa mbio za Amsterdam Marathon na Barcelona kilomita 21 ambayo al- dikisha muda wake bora wa 2:06:14.
Wilson Chebet, aliyekuwa bingwa mara iandikisha muda bora wa chini ya saa moja Mbio nyingine ambayo Makau
mbili katika mashindano ya Dunia Abel huko Rotterdam (59:33) nyuma ya Evans amewahi kushiriki ni pamoja na Rot-
Kirui na aliyekuwa bingwa wa marathon Cheruiyot na Patrick Makau. terdam Marathon mwaka wa 2010,
Patrick Makau. Mwaka uliofuatia, aliweza kuongoza mbio za Berlin Marathon mwaka wa
Wengine ambao wako kwenye timu Duncan Kibet na James Kwambai kwenye 2011 mahali aliweza kuvunja rekodi
hiyo ya wanaume ni pamoja na Wesley mbio za Rotterdam mahali aliandikisha ambayo ilikuwa ikishikiliwa na Haile
Korir, Bernard Kipyego na Frankline Chep- muda wa 2:04:26. Gebrselassie kutoka Ethiopia.
kwony. Chebet anatazamia kuongoza mwaka Mwanariadha huyo alichukua uon-
Upande wa kina dada kitajumuisha huu katika mbio hizo japo ushindani gozi wa mbio za Fukuoka Marathon
Caroline Kilel, Caroline Rotich, Sharon ni mkubwa kutoka kwa wanariadha wa mwaka uliopita na anatumai kufanya
Cherop, Joyce Jepkurui na Cynthia Limo Ethiopia. vyema mwaka huu katika mbio hizo.
ambaye anashiriki mbio za marathon kwa ABEL KIRUI
mara ya kwanza. PATRICK MAKAU Mwanariadha huyo kutoka eneo la
Kibarua kinachosubiri timu ya kina dada Ni mwanariadha kutoka eneo la Masha- Nandi na ambaye hufanya mazoe-
ni ile ya kutetea taji ambalo limekuwa lik- riki mwa Kenya na alikuwa mshikilizi wa zi huko Iten, amewahi kushinda
ishikiliwa na Rita Jeptoo ambaye alipigwa rekodi ya dunia kabla ya Wilson Kipsang taji ya marathon mara mbili
marafuku kwa miaka miwili kwa kutumia kuivunja. kwenye mashindano ya
dawa za kusisimua misuli. Makau ambaye alivunja rekodi ya mara- Dunia.
thon mwaka wa 2011, aliweza kushikilia Kirui alikuwa
WILSON CHEBET rekodi hiyo kwa miaka miwili tu kabla kwenye timu ambayo
Ni mwanariadha ambaye amekuwa ya mwenzake Wilson Kipsang kuivunja ilishiriki mashindano
akishiriki mbio za Amsterdam na hivyo huku rekodi hiyo ikivunjwa pia na Mkenya ya Dunia huko Ber-
kupata jina la utani ‘Mr Amsterdam’ kwa mwingine Dennis Kimetto. lin, Ujerumani ma-
sababu ya kushinda mara tatu mfululizo. Makau alianza kushiriki mbio mwaka hali alishinda dhahabu
Chebet ambaye ni mzaliwa wa Elgeiyo- wa 2001 baada ya kumaliza masomo yake huku akirudia ushindi
Marakwet, anafanya mazoezi mjini Eldoret katika Shule ya Upili ya Kyeni. huo mwaka wa 2011 huko Daegu,
na anashiriki mbio za Boston kwa mara Mshindano yake ya kwanza nje ya nchi Korea Kusini.
ya pili. ilikuwa ile ya IAAF World Road Running Mwaka wa 2012, Kirui alikuwa kwenye
Kulingana na mwanariadha huyo, maz- mahali aliweza kuchukua nafasi ya 26. timu iliyoshiriki mashindano ya Olimpiki
oezi yamekuwa shwari na anatumai wakati Mwaka uliofuatia aliweza kushiriki mbio za na aliweza kunyakua medali ya fedha nyu-
huu atafanya vyema na kunyakua taji hilo Ras Al Khaimah Half Marathon na akawa ma ya Stephen Kiprotich kutoka Uganda.
ambalo alikosa mwaka uliopita. kwenye nafasi ya pili baada ya kushindwa Kirui ambaye pia ni afisa wa utawala,
“Mazoezi yamekuwa shwari kabisa na amewahi kushinda mbio ya Vienna Mara-
ninatumai nitafanya vyema mwaka huu ili thon mwaka wa 2007 huku akiwa wa pili
niweze kupata dhahabu,” aeleza mshindi kwenye mbio za Berlin Marathon mwaka
huyo wa fedha katika mbio za mwaka uli- huo.
opita. ABEL Kirui
Tangu aanze kushiriki mbio, nyota ya Picha/AFP

Kipusa anayelenga kusakata kabumbu hadi ng’ambo ninaamini nitakuwa mwana- vya wachezaji chipukizi. Wama- Kwa sasa mabingwa
ANAFAHAMIKA sana na soka wa kike iliye na ujuzi na jumuisha wachezaji chipukizi hawa wanashriki ligi ya
mashabiki wa kandanda kutoka-
Na IGNATIUS OUNDO weledi wa kusakata kabumbu walio na umri wa miaka 10, 12 MYSA ambayo inaen-
na na weledi wake wa kusakata hadi nifike kiwango cha kitaifa hadi 16. delea kusakatwa uwan-
kabumbu ya hali ya juu. Bebs FC ya mtaani Babadogo, na hata kimataifa,” alisema Toka kuundwa kwake Math- jani mwa mwa shule ya
Mary Wairimu ambaye humi- msichana huyu aliweza kuwa kipusa huyo. are Cranes wameweza kucheza msingi ya Drive Inn
liki safu ya mashambilizi vyema moto wa kuotea mbali. Ali- Fauka ya hayo Wairimu ligi na vipute tofauti vya mi- Mathare, Nairobi. Am-
katika klabu ya Asec Junior ibuka mwanasoka bora kwenye anasema hatakata tamaa bali taani, Nairobi. Mwaka jana wal- bayo inashirikisha timu
kwa wachezaji chipukizi walio mashindano ya kabumbu ya atapigana kiume ili aifikie nyota itwaa taji la kipute cha Football zaidi ya 10 za wachezaji
na miaka 12, alianza kusakata kuwania kinyang’anyiro cha ki- yake ya uchezaji kandanda. For Hope ambacho kilisakatwa chipukizi wasiozidi
kandanda akiwa na umri wa pute cha Kangi, kilichoandaliwa Wairimu anasema kuwa licha uwanjani Kariobangi Grounds. miaka 12.
miaka 9 pekee. ugani mwa Babadogo grounds. ya kuwa na masaibu tele, ataen- Kipute hicho kilidhaminiwa na Ghetto Junior,
Warimu ni mwanafunzi wa Pia alichaguliwa kuwa chezaji delea kuchapa mazoezi makali Simon Mucheri. Flames Sportive, Metro
darasa la sita (6) katika shule aliyegunga magoli mengi baada ili aboreshe chezo wake kwa Kufuatia ubingwa huo Junior, Mathare North
ya msingi ya Genesis iliyoko ya kutia kimiani jumla ya ma- lengo la kuifikia nyota yake. Mathare Cranes waliweza kuza- Rangers,Soccer Masters
Huruma, Nairobi. bao 10 kwa mechi tano alizo Anamshukuru sana kocha wa wadiwa medali kwa kila mche- FC, Y oung Stars na
Nyota yake ya usakataji soka cheza. klabu ya Asec Junior , Joshua zaji, vyeti, kikombe na sare za Super Kids ni miongoni
imeshika mkondo mpya huku Kwa sasa kinda huyu hana Nzioki kwa kuendelea kulea kucheza kabumbu.Kwenye mwa timu zinazoshiriki
ikionekana kung’aa kila uchao. timu ya kuchezea kwani klabu kipawa chake. kinyang’anyiro hicho, Math- ligi hiyo ya MYSA.
Anasema hana budi ila kuen- ya Asec ambayo inakuza talanta Katika habari nyingine ni are Cranes walionesha makali Athletico Junior, Abuto
delea kuimarish kiwango cha yake ni ya wechezaji wa kiume. kwamba Mathare Cranes ni yao pale walipowanyanyasa Foundation, Home
mchezo wake kiwe juu ili siku Kwa hivyo yeye hutengwa kila miongoni mwa klabu za mi- wapinzani wao kisoka. Boyz, 07 Sports Upris-
moja achaguliwe kuichezea mara wakati timu hiyo inapo- taani ambazo hukuza talanta Ubingwaa huo ulichochoa ing FC na Excellent
timu ya kinadada ya Starlets. shiriki mazoezi na hata wana- za wanasoka chipukizi ambao kuinua na kujulikana kwa jina Team pia zinashiriki
Lakini hilo litatimia tu ikiwa pocheza mechi yoyote ile. wana ndoto ya kung’aa siku za la klabu ya Mathare Cranes. ligi hiyo.
kipusa huyu atatia bidii kwenye Anasema huko tayari kujiun- usoni. Kwani timu nyingi hushikwa Kwenye ligi hiyo
mazoezi ya kila mara na pia ga na timu yoyote ya kinadada Mathare Cranes ambayo na kibaridi wanapoghundua Mathare Cranes wa-
kupata kocha wa kumnoa ambayo ikubali ombi lake ili hunolewa na kocha David On- kuwa watachuana na Cranes nashikilia nafasi ya pili
makali. aendeleze kipawa chake. yango akisaidiwa na Bonface kwenye mechi yoyote ile iwe ni kwa alama saba wakiwa
Akiwa mchezaji wakutegem- “Ikiwa nitapata klabu nzuri Kiberenge ilibuniwa mwaka wa mechi ya ligi, vipute au mechi wameshuka dimbani KIPUSA stadi Mary Wairimu.
ewa katika ndani mwa klabu ya itakayo kubali njiunge nayo, 2006 kwa lengo la kulea vipaji ya kirafiki. mara tatu pekee. Picha/IGNATIUS OUNDO
20 TAIFA LEO
Jumatatu, Aprili 13, 2015

UHONDO JAGINA

AHMED MBARAK

MCHEZAJI wa kaunti ya Nakuru (jezi nyekundu) akipambana na mwenzake wa kaunti ya Bomet kwenye michezo ya
Udhamini ni
muhimu sana
shule za msingi eneo la Mau katika uwanja wa Kabarnet. Bomet ilishinda kwa mabao 2-1.
Picha/CHEBOITE KIGEN

2 3
kwa timu za
kandanda
UDHAMINI ni muhimu kwa mashindano hayo yatafufuliwa,
mchezo wowote ule kupata mkoa huu utapiga hatua kubwa
umaarufu na maendeleo. ya maendeleo,” akasema Mbarak.
Kwa klabu ama kwa timu za Anakumbusha juu ya wache-
taifa kufanya vyema kwenye ligi zaji wanaochezea klabu kubwa za
za hapa nchini ama mashindano Pwani ikiwemo Bandari na timu
na michezo ya kimataifa, lazima nyingine za Pwani zinazoshiriki
kupatikane wadhamini wa ligi za taifa ziwe na mipango
kusaidia kufanikisha matokeo maalum ya kuwapa mafunzo wa-
mazuri. nasoka wao juu ya nidhamu na
Soka ya Pwani imekuwa ik- kwa nini wanahitajika kucheza
iendelea kudorora kutokana na kwa ari ya kuzipenda timu zao.
ukosefu wa wadhamini kujitolea Mbarak pia anataka klabu
kusaidia klabu za mitaani ambazo ziwape mafunzo wachezaji juu
hazijiwezi kifedha na vifaa. ya kujiepusha na majanga yasiyo-
Ahmed Mbarak aliyewahi takikana kwa wachezaji ikiwemo
kuwa meneja wa timu iliyokuwa utumizi wa dawa za kulevya,
maarufu miaka ya kale ya Nyoka utafunaji mairungi na anasa
FC iliyokuwa na makao yake mtaa nyingine.
maarufu wa Mwenbe Tayari mjini “Nataka wanasoka wa wakati
Mombasa anasema ni wakati huu wafuate mifano ya wache-
ROBINSON Kamura (kushoto) wa Mathare United ABDALLAH Juma Kajumjum wa kaunti ya Mombas akimchenga huu timu zinahitaji udhamini zaji wa zamani ambao walikuwa
akiwania mpira dhidi ya Chrispinus Onyango wa mwenzake Hamadi Mutenzi wa Kwale kwenye michezo ya shule ili ziwe zenye kuopiga hatua ya na ratiba zao za kujizuia na aina
KCB wakati wa mechi ya Ligi Kuu ya KPL. za msingi eneo la Pwani katika uwanja wa Mpeketoni juzi. maendeleo. zozote za anasa hasa nyakati za
Picha/MARTIN MUKANGU Picha/KEVIN ODIT Mbarak aliyekuwa akijulikana karibu na kucheza mechi zao,”
kwa jina maarufu la Bin Abdaat anasema Mbarak aliyezitakia
anasema ni sharti wafanya bi- klabu za Pwani ushindi kwenye
ashara wenye uwezo mkoani ligi za taifa.

4 Pwani wajitolee kuzisaidia timu


za soka ili vijana wapate kucheza
na kuinua hali ya uchezaji wao.
Jagina huyo alisema ni huzuni
kubwa kwa hali ya soka kuter-
emka siku baada ya siku mkoani
“Ni muhimu sana kipindi hichi Pwani na hata sehemu nyingine
wadhamini wajitokeze kuzisaidia za Kenya kutokana n a maongozi
klabu ili vijana chipukizi wapate mbaya na mipango isiyoridhisha.
kuinua vipawa vya uchezaji wao Mbarak anasema bahati nzuri
ambapo pia klabu za Mkoa wa wakati huu wachezaji wa soka
Pwani zitafanikiwa kurudisha ha- wanalipwa lakini ni lazima
dhi ya soka na kuwa kama miaka wapewe mafunzo hasa na wana-
ya kale,” akasema Mbarak. soka wa zamani ambao walikuwa
Mbarak ambaye aliwahi kuwa wakicheza kwa ghera na ari ya
miongoni mwa wadhamini wal- kuzishindia timu zao.
iosaidia kwa kiwango kikubwa Anasemna anashindwa ni kwa
kuhakikisha wanasaidia klabu nini timu kama Bandari haiwezi
kuendeleza hali ya kandanda ya kuwika na kushinda mechi zao
vijana chipukizi na pia soka ya zote hasa kutokana na wache-
Pwani irudi kuimarika tena. zaji kuwa na kila kitu yakiwemo
Anapendekeza mashindano mishahara, marupurupu na
baina ya kaunti mbalimbali ya malipo mengi wanayopewa wak-
Mkoa wa Pwani yaanzishwe tena ishinda mechi.
kama ilivyokuwa hapo zamani “Wanasoka wa Bandari wana
kwani ilikuwa timu za mseto za bahati kubwa kwani klabu yao
wilayani zikitembeleana na kupi- inajimudu kifedha,” akasema
gania Kombe la Sunlight na ndio Mbarak.
ilikuwa rahisi kuchagua timu ya Na ABDULRAHMAN SHERIFF
mseto ya Pwani.
“Mashindano ya Sunlight yal-
ifana sana na hata klabu kubwa
MCHEZAJI Rachel Njogu wa USIU-A akipambana na somo wake Rachel Mazera wa chuo kikuu cha Daystar kwenye za Pwani zilikuwa zikiwapata
wanasoka wazuri kutoka sehemu
mechi ya Ligi Kuu ya Magongo ya wanawake uwanjani City Park, Nairobi Jumamosi. PICHA/MARTIN MUKANGU
za Kwale, Lamu, Malindi na
kwingineko na nina hakika kama
TAIFA LEO
Jumatatu, Aprili 13, 2015 21
HABARI ZA AFRIKA NA DUNIA

Ghasia dhidi ya raia wa kigeni


x

A. Kusini zajeruhi Waethiopia 2 Wafanyakazi


JOHANNESBURG, Afrika Kusini
RAIA wawili wa Ethiopia Na AFP USASI wa Zimbabwe
walipata majeraha mabaya ya
moto duka lao lilipochomwa Polisi walisema sababu ambayo
walia Mugabe
na umati katika kitongoji kimoja,
polisi walisema Jumamosi, huku
ghasia dhidi ya wahamiaji wa
imepelekea ghasia hizo za hivi
punde dhidi ya raia wa kigeni hai- hatimizi ahadi
julikani. HARARE, Zimbabwe
kigeni zikienea. Hata hivyo mizozo baina ya wa-
Wanaume hao walikuwa ndani ya TAKRIBAN wanachama
hamiaji na wakazi sio jambo geni 200 wa chama kikuu cha
duka katika kitongoji cha Umlazi, Afrika Kusini, huku wakazi maskini kutetea wafanyakazi, Juma-
kusini mwa mji wa Durban, lilipo- mara nyingi wakiwashutumu wage- mosi waliandamana hadi
shambuliwa kwa mabomu ya petroli ni kwa kuchukua nafasi zao za kazi. ofisi za serikali mjini Harare
Ijumaa usiku. Rais Jacob Zuma Ijumaa alishu- kumshinikiza Rais Robert
“Walipata majeraha mabaya ya tumu mashambulizi hayo, akisema Mugabe kufufua uchumi na
moto na wanatibiwa hospitalini,” “hakuna sababu yoyote ya ugumu kutimiza ahadi ya kampeni
msemaji wa polisi Thulani Zwane wa uchumi na kutoridhika na hali kwamba ataunda nafasi
alisema. ya maisha kunatoa ruhusa yoyote ya zaidi ya milioni mbili za
Watu watatu akiwemo raia wa ki- kuwashambulia raia wa kigeni”. kazi.
geni wameuawa katika ghasia baina Wafanyakazi hao wa
ya wakazi na raia wa kigeni ambazo WASIWASI chama cha Zimbabwe
zimekuwa zikiendelea katika maju- Alisema serikali “ina wasiwasi Congress of Trade Unions
ma mawili yaliyopita kwenye viton- mkubwa” kuhusu ghasia hizo. (ZCTU) pia walilalamikia
goji vilivyo kusini mwa Durban. Wakati huo huo, mfalme wa jamii pendekezo la kupunguzwa
Watu 17 wamekamatwa kuhu- ya Zulu Goodwill Zwelithini, am- kwa mishahara na nafasi
siana na mashambulizi hayo ya baye majuzi alishutumiwa vikali za kazi kwa watumishi wa
punde. kwa kudokeza kuwa wahamiaji
umma.
“Kuna taharuki kuu katika mae- Akiwahutubia wafan-
wafaa “kufunganya virago vyao na
neo yote husika, na polisi wam- yakazi hao, kiongozi wa
kuondoka” kutoka taifa hilo, ame-
emwagwa kuzuia ghasia zingine ZCTU George Nkiwane
kana kuwa matamshi yake yamep-
kutokea,” Zwane alisema. alisema serikali ya Mugabe
potoshwa. ya ZANU-PF lazima itimize
Katika taarifa iliyotolewa Ijumaa, ahadi zake za kampeni
VIBANDA mfalme huyo alisema mashambulizi
Ghasia hizo zilizuka wiki mbili zili- kuunda nafasi za kazi kwa
hayo dhidi ya wahamiaji wa kigeni sababu “hatujaona hata
zopita katika vitongoji vya Isipingo “kunalirudisha nyuma bara letu”. nafasi moja ambayo imeun-
na Chatsworth, ambako vibanda “Kusema eti watu wanaoiba wa- dwa”. Na AFP
vya kuuza mboga vya raia wa kigeni nafanya hivyo kwa agizo la mfalme
viliibwa na kuvunjwa. ni udanganyifu,” alisema mfalme
Sasa zimeenea hadi KwaMakhutha huyo, ambaye anaheshimiwa sana
na Umlazi, pia kusini mwa Durban,
na kupelekea maelfu ya raia hao wa
eneo la Durban lenye idadi kubwa
ya watu wa Zulu.
Shambulio la bomu
kigeni wanaolengwa – ambao wengi
ni Waafrika – kutoroka nyumbani.
Baadhi ya wageni wameanza ku-
kabili ghasia hizo, huku kundi moja
laua wanajeshi 5
Baadhi ya waliotoroka wanahi- likifanya maandamano yasiyo halali CAIRO, Misri
fadhiwa katika kumbi za kijamii mnamo Jumatano, yaliyovunjwa na WANAJESHI watano wal-
na mahema kwenye viwanja vya polisi waliotupa vitoa machozi. iuawa na wengine watatu
michezo. Ghasia za hivi punde dhidi ya kujeruhiwa jana katika
wageni zinakujia miezi michache shambulio la bomu dhidi
tu baada ya mashambulizi sawia ya gari lao katika eneo la

Shambulio kutokea katika kitongoji cha Soweto, Sinai, maafisa wa usalama

Washerehekea ushindi
kusini mwa Johannesburg. walisema.
Mnamo 2008, watu 62 waliuawa Bomu hilo lilikuwa

laua 35 Syria katika ghasia kama hizo kwenye


vitongoji mbalimbali vya Johannes- WAWINDAJI wa Malta waandamana kusherehekea matokeo ya kura
ya maoni kuhusu uwindaji jijini Rabat. Kura ya kuunga mkono uwindaji
limetegwa kando ya
barabara katika eneo hilo
la kaskazini la Peninsula
ya Sinai, ambalo ni ngome
ambapo ndege wanaovuka bahari ya Mediterranean huuawa kabla ya ya wanamgambo wa Ansar
BEIRUT, Syria kuzaana ilipita leo na kumaliza zoezi hilo. Waziri Mkuu wa Malta Joseph Beit al-Maqdis ambao
TAKRIBAN wananchi 35 wal- Muscat alisema kuwa msimu huo wa uwindaji utakuwa wazi karibuni. wanajihusisha na kundi la
iuawa Jumamosi wakati wa Picha/AFP Islamic State (IS).
makabiliano kati ya vikosi vya Afisa mmoja na wa-
serikali na waasi katika mji najeshi wanne waliuawa
mkuu wa kaskazini wa Aleppo, kwenye shambulizi hilo.
shirika moja linalofuatilia
mapigano hayo lilisema.
Syrian Observatory for Hu-
Wakimbizi Wasomali watoroka Yemen juu ya vita Na AFP

man Rights (SOHR) lilisema


waliouawa wanajumuisha MOGADISHU, Somalia kuwa wanaowasili pia wanajumuisha raia Papa aua mvulana, 13
wananchi 18– wawili wakiwa ni WAKIMBIZI wa Somalia walio nchini Na AFP wa Yemen.
LES AIGRETTES,
watoto – katika mashambulizi Yemen wameanza kurejea nchini mwao Wakimbizi kutoka Pembe ya Af-
ya angani yaliyotekelezwa Ufaransa
huku mapigano yakishika kasi katika Kwa mujibu wa shirika la Umoja wa rika walichangia karibu wakimbizi wote
na serikali dhidi ya Al-Maadi MVULANA mwenye umri
taifa hilo la Mashariki ya Kati, maafisa Mataifa linalowashughulikia wakimbizi, 250,000 waliosajiliwa nchini Yemen. wa miaka 13 jana alisham-
na Sheikh al-Lutfi, maeneo Puntland iko kaskazini mwa Somalia,
walisema Jumamosi. UNHCR, milolongo ya wakimbizi kutoka buliwa na kuuawa na papa
mawili yanayodhibitiwa na
waasi mashariki mwa Aleppo. Boti iliyokuwa imebeba wakimbizi 260, taifa hilo la Pembe ya Afrika kuelekea ambako umaskini umekithiri na wakazi katika pwani ya kisiwa cha
“Wananchi wengine saba wengi wao wakiwa wanawake, watoto na Yemen sasa imegeuka kutokana na ma- wanakumbana na madhara ya miaka La Reunion kwenye Bahari
waliuawa waasi walipotupa wakongwe, imekuwa ya hivi punde kuwa- pigano yanayoshuhudiwa Yemen baina mingi ya vita vya wenyewe chini kusini, Hindi, maafisa walisema,
makombora dhidi ya maeneo sili katika bandari ya Bossasso katika eneo ya wafuasi wa rais na wanamgambo wa lakini kwa kawaida ni eneo tulivu. hiki kikiwa kisa cha saba
yanayodhibitiwa na serikali, la Somalia linalojitawala la Puntland. Shia. Katika eneo la kusini, vikosi vya Mu- tangu 2011.
ikiwemo Suleimaniyah na “Takriban watu 420 waliwasili awali na “Katika siku 10 zilizopita, takriban ungano wa Afrika (AU) na serikali ya Papa huyo alirarua miguu
maeneo mengine,” lilisema tunatarajia wengine wengi zaidi,” alisema watu 900 wamevuka Ghuba ya Aden ku- Somalia vinaendelea kupambana na wa- na sehemu ya tumbo la
shirika hilo lenye makao yake mvulana huyo aliyekuwa
Abdulahi Hashi, naibu waziri wa ndani ingia Djibouti, Puntland na Somaliland,” namgambo wa Al-Shabaab wanaoshiriki-
Uingereza. Na AFP akiteleza kwenye mawimbi
wa Puntland. ilisema taarifa ya UNHCR, ikiongeza ana na Al-Qaeda. Na AFP
meupe. Na AFP
22 TAIFA LEO
Jumatatu, Aprili 13, 2015

HABARI ZA AFRIKA NA DUNIA

Kinara wa Brotherhood Watoto ambao


hawakuchanjwa
‘hawatatibiwa’
na wenzake kunyongwa
CAIRO, Misri
WATU 14 akiwemo kiongozi
SYDNEY, Australia
WAZIRI Mkuu Tony
Abbott amesema seri-
kali yake imebuni sera
ambapo watoto ambao
hawatapokea chanjo ha-
watakuwa wakitunzwa na
wa kundi la Muslim Broth- serikali.
erhood, Mohamed Badie Alisema kuwa sera hiyo
Jumamosi walihukumiwa inalenga kupambana na
adhabu ya kifo na mahaka- wazazi ambao wamekuwa
ma baada ya kupatikana na wakikosa kupeleka watoto
hatia ya kuzua ghasia na ku- wao hospitali kwa ajili ya
fanya maandamano kinyume chanjo.
cha sheria. Sera hiyo mpya in-
Wawili kati ya washukiwa afuatia huku kukiwa na
14 waliohukumiwa kifo mjadala mkali ambapo
wametoroka nchini humo baadhi ya wanaharakati
na huenda kesi dhidi yao na wazazi wakidai kuwa
zikasikilizwa tena endapo wa- chanjo hiyo ni hatari kwa
takamatwa. afya ya watoto wao.
Jaji Mohamed Nagy Shehata “Sera hiyo ni muhimu
pia alihukumu watu 23 kifungo katika kuhakikisha kuwa
cha maisha. watoto wetu wanakuwa
Kundi hilo lilishtakiwa kuto- salama,” akasema Abbott.
kana na madai ya kupanga nja- Kulingana na sheria ya
ma ya kusababisha ghasia jijini sasa, wazazi wanaopinga
Cairo baada ya jeshi kupindua chanjo, bado wananufaika
serikali ya Mohamed Morsi na malipo ya kutunza
mnamo Julai 2013. watoto.
Miongoni mwa waliohu- Na AFP
kumiwa kifungo cha maisha
gerezani ni Mohamed Soltan,
raia wa Amerika mwenye asili
ya Misri. Baba ya Soltan alikuwa
kati ya waliohukumiwa adhabu
ya kifo.
Kesi kuhusu
HUKUMU
mkasa kuanza
Amerika ilishutumu hukumu KIONGOZI wa Muslim Brotherhood Mohamed Badie akiwa mahakamani mwaka jana wakati wa kusikizwa kwa kesi dhidi SOMA, Uturuki
dhidi ya Soltan na kuagiza yake. Yeye pamoja na wenzake wengine 14 wamehukumiwa kifo. Picha/MAKTABA KESI dhidi ya washukiwa 45
aachiliwe huru mara moja. wa mkasa wa mwaka jana
“Amerika imeingiwa na wasi- wa maporomoko ya mgodi
ya kuhusika na mauaji ya vijana (Mufti) kabla ya kutoa hukumu bisha vifo vya zaidi ya waan-
wasi kuhusu afya ya Bw Soltan Na AFP wakati wa ghasia zilizozuka ya kifo. damanaji 100 na maafisa 10
wa madini ambapo watu 301
kwani amekuwa akinyanyaswa waliuawa itaanza kusikilizwa
kwa zaidi ya miezi 20 tangu ongezea. Julai 2013. Kulingana na sheria ya Misri, wa polisi. leo.
kukamatwa kwake,” akasema Uamuzi wa mahakama hiyo Shehata, alisoma kifungu mamlaka ya Mufti inaweza ku- Mohamed Soltan alipigwa Washukiwa hao wakiwemo
Josh Earnest, msemaji wa Ikulu unaweza kupingwa katika cha Koran kinachotaka wa- toa ushauri kwa mahakama. risasi mkononi kabla ya ku- meneja wanane wa kampuni
ya Amerika. mahakama ya rufaa ambayo naopatikana na hatia kukatwa Awali, upande wa mashtaka kamatwa na maafisa wa us- ya Soma Komur iliyokuwa
“Rais ana jukumu la kuanga- imekuwa ikibatilisha maamuzi mikono au miguu na hata ku- ulieleza mahakama kuwa wash- alama. ikisimamia mgodi huo,
lia maslahi ya raia wake walio ya awali ya mahakama mbalim- sulubishwa, kabla ya kusoma takiwa waliandaa maandamano wameshtakiwa kwa mauaji
katika mataifa ya kigeni na uba- bali. huku yake Jumamosi. ya mwezi mmoja kupinga hatua ya watu katika mkasa ambao
lozi wetu utahakikisha kuwa Tangu kupinduliwa kwa Katika hukumu za hapo awali ya jeshi kupindua serikali ya ulikuwa mbaya zaidi katika
Bw Soltan anarejea nyumbani Morsi, Misri imenyonga mtu Jaji Shehata alitafuta ushauri wa Morsi. historia ya nchi ya Uturuki.
Amerika akiwa salama,” aka- mmoja aliyepatikana na hatia mamlaka ya sheria ya kiislamu Maandamano hayo yalisaba- Kesi hizo zitasikilizwa
katika mahakama ya Akhisar
iliyoko takribani kilomita 50

Netanyahu afoka vikali


kutoka mji wa Soma, Maghar-
ibi mwa Uturuki.
Kesi hizo huenda zika-
chukua muda mrefu zaidi

kuhusu mkataba wa Iran


haswa ikizingatiwa kuwa
kuna zaidi ya walalamishi
400 na mashahidi 436.
Mkasa huo wa Mei 13, 2014
ulizua wasiwasi kuhusu us-
alama wa wanamigodi.
JERUSALEM, Israeli kihistoria’.
Na AFP
WAZIRI Mkuu Benjamin Netanyahu ameshu- “Mambo yote niliyoonya hapo awali
tumu mkataba kuhusu zana za kinyuklia baina ndiyo yamefanyika katika mazungumzo ya
ya mataifa yenye uwezo mkubwa wa kiuchumi Lausanne. Mkataba huo umepetia ruhusa taifa
duniani na nchi ya Iran huku akionya kuwa linaloongoza kwa visa vya kigaidi kuendelea
taifa hilo la Kiislamu haliaminiki.
Kulingana na mkataba huo, Iran itatakiwa
kutengeneza mabomu hatari ya nyuklia,”
akasema Netanyahu.
Waliotekwa
kupunguza shughuli zake za kutengeneza
mabomu ya nyuklia ili kuondolewa vikwazo
vya kiuchumi na mataifa hayo.
“Taifa la aina hiyo haliwezi kuaminiwa,”
akaongezea.
Mkataba huo ambao utakamilika Juni 30,
wauawa
Mkataba huo uliafikiwa Aprili 2 kufuatia huenda ukaruhusu Iran kuendelea kutengen- KABUL, Afghanistan
msururu wa mazungumzo mjini Lausanne, eza silaha za kinyuklia kwa kiwango fulani. MIILI ya wafanyakazi
Uswizi na sasa Israeli inasema kuwa maafi- Na AFP watano wa shirika la
kiano hayo ‘yalikuwa makosa makubwa ya kutoa misaada ilipatikana
Jumamosi huku ikiwa na
majeraha ya risasi, wiki

Mpiganaji wa Kiislamu atiwa kamba


chache baada ya kutekwa
nyara na watu wenye si-
laha Kusini mwa Afghani-
stan.
DHAKA, Bangladesh Sheria na Haki, Anisul Huq. Kamaruzzaman, ambaye Wafanyakazi hao wa
SERIKALI imemnyonga ali- Maafisa waliopata ma- ni miongoni mwa maafisa shirika la Save the Chil-
yekuwa kiongozi wa Kiisla- funzo ya kunyonga maha- wa ngazi za juu wa chama dren walitekwa nyara
mu baada ya kupatikana na busu walipelekwa nje ya cha Jamaat-e-Islami, alipa- katika eneo la Trinkot,
hatia ya kuongoza mauaji seli alipokuwa akizuiliwa tikana na hatia ya kuteka mkoani Uruzgan mnamo
ya 1971 wakati wa vita vya na kumnyonga kwa kamba nyara, kutesa na mauaji ya Machi 3, kulingana na
kupigania uhuru dhidi ya
Pakistan.
“Mohammad Kamaruzza-
kwa mujibu wa sheria za
Bangladesh. Mauaji yake
yalithibitishw na hakimu
maelfu ya watu alipokuwa
kiongozi wa kundi la waasi
waliokuwa wakiunga mko-
Mafuriko makubwa Gaza taarifa ya Umoja wa
Mataifa (UN).
Serikali ya Afghanistan
man alinyongwa Jumamosi pamoja na daktari wa seri- no majeshi ya Pakistan. MVULANA Mpalestina avuka barabara iliyofurika baada ya ilisema kuwa mauaji hayo
usiku,” akasema Waziri wa kali. Na AFP mvua kubwa kunyesha wiki jana mjini Gaza. Picha/AFP yalitekelezwa na kundi la
wapiganaji wa Taliban.
TAIFA LEO
Jumatatu, Aprili 13, 2015 23

Machi 21- Septemba


Aprili 20: Ni 24-Oktoba
siku ambayo 23: Ushirika
wataka au ulio nao na watu
wahitaji unaowaita marafiki
kujishughulisha na jambo zako utakutumbukiza
ambalo lina ugumu fulani. mashakani kwani hao
La kufanya ni kutafuta si watu wa kuaminika
mbinu zozote uzijuazo ili kuna mambo haramu
kulitimiza jambo hilo kwani wanayoendesha. Jitenge
litakuwa na furaha kwako. nao kabla hawajakuingiza
motoni.

Aprili 21-Mei
20: Ninaona Oktoba 24-
kuna jambo Novemba
ambalo 22: Ninaona
linakusumbua kuhusiana kuna bahati
na kazi yako na ni vyema inayokuelekea ya kupata
ujue hutaweza kulitatua kiasi kizuri cha pesa
hadi utakapojieleza vya ambazo unahitaji sana
kutosha kwa wahusika wakati huu kukwamua
wote. Ni kwa njia hiyo tu mambo yako yaliyokwama.
ambapo utaweza kufungua Kuwa macho usije
akili zao ili wakuelewe na ukaipoteza bahati hiyo.
kukusaidia.

Mei 21-Juni Desemba 22-


21: Leo ni siku Januari 20:
nzuri kwako Nakushauri
kushughulikia umuone
mambo ya mtaalamu wa nyota
familia au jamaa zako akushauri namna ya
ambao umeonekana kufanya kulinda maisha
kuwatupa kwa muda yako na pengine akupe
mrefu. Kumbuka kuwa kinga ya mikosi ya
hakuna mtu anayejiweza kimaisha kwako na kwa
na hata kama huwahitaji wanaokuhusu.
leo, kesho utawahitaji.

Juni 22- Januari 21-


Julai 22: Februari 19:
Umeshikwa Kama wafanya
na shughuli biashara,
za kibinafsi utajipata mapato yako
hivi kwamba siku nyingi yamepungua kwa kiasi
hujasafiri kupunga upepo kikubwa. Hata kama
ingawa mwili wako unayashughulikia
unahitaji sana kupumzika. barabara masuala ya
Huu ndio wakati bora wa kifedha mengine yahitaji
kutenga muda kiasi ili kushughulikiwa kwa ustadi.
kujipumzisha.

KULIA: kutenda jambo Fulani. Julai 23-Agosti


1. Mapato hasa ya shambani. 3. Enda juu juu ya maji bila ya November
22: Kuna 23-Desemba
4. Wingi wa “ubavu”. kuzama. uwezekano
7. Niambe. 4. Ufupisho wa kusema: 21: Unajaribu
kwamba leo kusahau makosa
8. Kamilisho la usemi: Ana “mama yangu”. kazi au shughuli zitakuwa
bidii kama -------. 6. Utaguria. uliyowatendea wengine
nyingi na zinaweza lakini nakuonya kuwa
9. Toa machozi na sauti 10. Kusafirishwa kutoka kukulemea. Hata hivyo,
inayoonyesha dhiki. ng’ambo moja hadi nyingine. hutafaulu kwani hutaweza
fanya kadiri ya uwezo kuondoa kinyongo walicho
12. Kamilisha: Ng’oa -------, 11. Geuko. wako usije ukahatarisha
yaani ondoka. 14. Afanya kutulia. nacho dhidi yako. Jambo
afya yako. Unashauriwa pekee la kufanya ili usahau
13. Udugu. 15. Kuwa. ikiwezekana ulale mapema
15. Kusalia. 18. Aina ya chakula ni kumwendea kila mmoja
kwani kazi ya kesho pia wao na kumuomba
16. Wakati nusu ya dunia kilichopikwa kwa mahindi inakungoja.
inapokosa mwanga wa jua. yaliyosagwa. msamaha..
17. Tunza na pia kumfunza 19. Jina ambalo siku hizi pia
mtoto mpaka awe mkubwa. humaanisha “hongo”.
Agosti 23-
20. Tendo la kusaliti nchi,
Septemba Februari 20-
serikali yako, n.k.
23: Umekuwa Machi 20:
21. Mambo yanayowezesha
KULIA: 13. Andama 23. Amina 6. Alisahau ukihangaika Jihadhari sana
uhai wa kiumbe uwepo.
1. Kiapo 15. Namwia CHINI: 10. Mahakama kimya kimya kila na watu utakaokutana nao
22. Aacha kabisa.
unapokumbwa na matatizo
FUMBO LA JANA

23. Ni deni. 4. Kuvua 16. Amkua 1. Kufa 11. Udaktari leo kwa sababu baadhi yao
ilhali kuna marafiki walio ni wajanja na ukiwategemea
7. Mfungo 17. Via 2. Aina 14. Mwavuli na uwezo wa kukusaidia.
CHINI: wanaweza kukupotosha.
8. Karai 20. Ajabu 3. Ogofya 15. Ngamia Tatizo lako ni kuwa Ukifaulu kuwaepuka
1. Za sakafuni huishia
9. Fua 21. Mwamba 4. Kukamia 18. Mali umeamua kuweka mambo mipango yako ya leo itatimia
ukingoni.
12. Menya 22. Adili 5. Viringwa 19. Mbwa yako mengi kuwa siri na kulingana na matarajio yako.
2. Pata au kuwa na tabia ya
kufa kikondoo unapokuwa
na shida.
24 TAIFA LEO
Jumatatu, Aprili 13, 2015

Jaribio ya KCPE 2015 SCIENCE


1. The following are methods of heat transfer A. The presence of air in the soil F A. Rectum
i. Convection B. The presence of living things in the soil B. Stomach
ii. Conduction C. The presence of humus in the soil C. Small intestines
iii. Radiation D. The presence of water in the soil D. Colon
In which method does heat travel in a
vacuum? 10. Which one of the following is the tube that 28. All the following are characteristics of
A. (i) and (ii) connects the kidney to urinary bladder? plants growing in dry areas EXCEPT
B. (i) only A. Bile duct A. flexible stems
C. (ii) and (iii) B. Sperm duct B. thick waxy cuticle
D. (iii) only C. Urethra E C. succulent stem
D. Ureter D. shedding of leaves
2. Which one of the following sexually
transmitted diseases is correctly matched with 11. The main reason for adding ash in a L 29. In order for a farmer to provide livestock
its causatives agent? compost manure is to____________ A. Lid opener with proteins, a farmer should give the animals
A. Syphilis Bacteria A. prevent leaching B. Coal tongs all the following EXCEPT?
B. Genital herpes protozoa B. speed up decomposition C. Nut cracker A. Clover
C. Gonorrhea fungi C. add extra nutrient D. Claw hammer B. Desmodium
D. Chancroid Virus D. make food for the micro-organisms C. Star grass
D. Lucern
3. Which one of the following factors does not 12. Which one of the following methods of
influence soil erosion? grazing involves the use of permanent fences? 20. The following are methods of separating 30. Use of excess fertilisers will mainly
A. The gradient of the land A. Paddocking mixtures pollute
B. The type of vegetation cover B. Stall feeding i. Picking A. soil
C. Mulching C. Tethering ii. Filtering B. air
D. Human activities D. Strip grazing iii. Decanting C. water
iv. Sieving D. soil and air
4. Which one of the following characteristics 13. The following factors cannot affect sinking
assists xerophytes to reflect sunlight and heat? and floating EXCEPT? Which two methods are suitable for separating 31. A patient was found with following signs
A. Succulent stem A. The origin of the object a mixture of water and sand? and symptoms.
B. Silvery hairs B. The size of the object A. (i) and (iii) i. Shivering followed by sweating
C. Thick cuticle C. The colour of the object B. (i) and (iv) ii. Aches in joints
D. Flexible stem D. The material of the object C. (ii) and (iii) iii. Mild diarrhea and vomiting
D. (ii) and (iv) The above disease can be prevented by the
5. The chart below shows the composition 14. The MOST convenient unit for measuring following ways EXCEPT
of different gases in the atmosphere? large quantities of mass is____________ 21. Which one of the following pairs consists A. drain any stagnant water in the compound
A. kilograms of a substance which have definite shape? B. destroy all empty tins around the compound
B. tonnes A. Water and spirit C. clear any vegetation around the compound
C. grams B. Ice and flour D. living in a well ventilated room
D. newtons C. Water vapour and smoke
C D D. Soil and milk 32. Which one of the following weather
15. Which one of the following materials is instruments can measure two aspect of
the MOST transparent? 22. Which one of the following does not weather?
A. Clear water transmit sound? A. Air thermometer
A B B. Clear glass A. Vaccum B. Hygrometer
C. Air B. Metal C. Windvane
D. Wood C. Hydrogen D. Raingauge
D. Water
16. The reason why a metallic sufuria floats 33. The following are characteristics of a
on water and a needle sinks is due to________ 23. Which one of these is a sign of good health certain blood vessel.
Which part of air shown above is used in the A. weight in crops? i. It allows substances to diffuse in and out
process of combustion? B. density A. Sport and streaks ii. Transport digested food from the ileum to
A. D C. mass B. Stunted growth all parts of the body
B. C D. shape C. Robusta growth iii. Found all over the body
C. B D. Wilting Which blood vessel is described above?
D. A 17. The diagram below was used by std. 5 A. Veins
pupils to investigate a certain aspect of soil? 24. The following are health effects of drug B. Capillaries
6. In which part of the alimentary canal does abuse. Which one is NOT? C. Arteries
food mix with bile juice? A. Addiction D. Arteries and veins
A. Stomach B. Lack of concentration
B. Duodenum C. Blackout 34. The chart below shows classification of
C. Ileum D. Rape vertebrates.
D. Colon
25. The diagram below shows a rain gauge
7. The process of providing the body VERTEBRATES
with foods necessary for growth and for
maintaining good health is called ________
A. nutrients
B. nutrition
C. balanced diet
D. vitamins

8. Which one of the following is NOT a


characteristic that prevents desert animals Mammals Birds Fish Amphibians Reptiles
from feeding on desert plants? Which soil sample was got from an antihill?
A. Sunken stomata A. B DolphinDog Dove Hen whale Shark
B. Needle –like leaves B. C Gecko Salamander Toad Lizard
C. Unpleasant taste C. A
D. Unpleasant smell D. None Which three animals are not correctly
grouped?
9. Std. 4 pupils set up an experiment shown 18. Which one of the following is NOT a The MAIN reason why the rain gauge is dug A. Dolphin, hen, lizard
below. straight fertilizer? 30cm under the ground is to___________ B. Hen, dove, salamander
A. prevent splashing of rain water C. Whale, gecko, toad
A. Ammonium sulphate B. reduce evaporation D. Shark, lizard, dove
B. Sodium nitrate C. make it firm
C. Ammonium nitrate D. to prevent rusting 35. After fertilization in a flower ,all the
Garden soil D. Diammonium phosphate following withers out EXCEPT
26. Which one of the following crops ONLY A. sepals
19. The illustration below shows a kind of a consists of flowering plants? B. anthers
lever in a certain class. A. Maize, sugarcane, cactus C. filament
B. Moss, cedar, pine D. petals
Which one of the following simple machines C. Sisal, mushroom, moulds
Lime water belongs to the same class of lever drawn D. Onion, fern, algae 36. Which one of the following animals is a
below? sea mammal?
27. In which part of the digestive system is
What were they demonstrating? most food absorbed? ENDELEA UK 21
TAIFA LEO
Jumatatu, Aprili 13, 2015 25

Jaribio ya KCPE 2015 SCIENCE


KUTOKA UK 20 B. surface area B. gases and liquids
A. Shark C. mass of the solid C. solids and liquids
B. Seal D. density of the solid D. liquids only
C. Bat
D. Alligator 42. Which one of the following chambers of 47. The following are components of soil
the heart is most muscular? EXCEPT?
37. Which one of the following methods helps
to control tsetsefly? A. Left ventricle A. Water
B. Right ventricle B. Humus
A. Spraying C. Right auricle C. Living organisms
B. Dipping D. Left auricle D. Inorganic matter
C. Rotational grazing
D. Clearing bushes 43. Which one of the following minerals helps 48. Which one of the following is the coldest
in clotting of blood? planet?
38. Which one of the following plants grows in
areas where soil lacks nitrogen? A. Calcium A. Mercury
B. Potassium B. Venus
A. Flax C. Iron C. Neptune
B. Moss D. Copper D. Mars
C. Venus fly trap
D. Euglena 44. The temperature at which a substance 49. Which one of the following plants has the
evaporates is the same temperature at which male and female parts located on the same
39. The following are factors that affect the substance_________________ plant?
melting, which factor need not to be the same?
A. condenses A. Maize
A. Humidity B. freezes B. Wheat
B. Amount of heat C. cools C. Pawpaw
C. The quantity of substance D. expands D. Mango
D. Time
45. Which one of the following shows 50. Which one of the following physical
40. The following are parts of a female industrial use of water? changes occur in both boys and girls?
reproductive systems .Which one is correctly A. Hips broaden
matched with its function? A. Swimming B. Increase in height and weight
B. Skiing C. Breasts enlargement
A. Ovary fertilization takes place C. Surfing D. Voice breaks and deepens
B. Oviduct ovulation takes place D. Making pulps
C. Uterus where the zygote develops
D. Vagina production of female sex cells 46. Convection is the process by which heat is
transferred through ________________
41. Pressure in solids depends on the ______ A. solids only
A. depth of the solid

Mwoano wa lugha ya Kiswahili na Teknolojia


KATIKA kujadili mwoano na ma- Prof Moham- wa istilahi huru za say- zidi kuchipuka kila kuchao. Hili litasaidia kuwafikia watu
tumizi ya Kiswahili katika Sayansi med Hyder, aliuliza ansi na teknolojia. Wasomi wanasema kuwa Kenya wengi na kuongeza ufahamu wao
na Teknolojia, jambo la kwanza ni ikiwa kulikuwa na Kwa mantiki hii, inaweza kuongeza kasi ya msam- wa masuala ya uzazi. Aghalabu
kufahamu kuwa masuala ya kite- uwezekano wa kuan- kuna viwango vinne bao wa Kiswahili katika maeneo hili litasaidia katika kupunguza
knolojia katika Afrika Mashariki dika tasnifu kuhusu vya teknolojia ambavyo ya vijijini ikiwa itafuata njia uwepo wa matatizo ya uzazi kama
yaliletwa na Wazungu. masula ya kite- vimezua mdahalo huo: iliyowekwa na Tanzania, ambapo magonjwa ya zinaa, kusambaa kwa
Wadadisi wa masuala ya kihis- knolojia kwa lugha kwanza ni teknolojia maafisa wa kilimo wa nyanjani virusi vya HIV kati ya matatizo
toria wanasema kuwa Waafrika ya Kiswahili (ka- ya uzalishaji (shughuli ndio walihusika pakubwa katika mengine yanayohusiana na uzazi.
walijipata watumiaji wa teknolojia tika miaka ya sabini). mbalimbali za kilimo kuwashinikiza wakulima kuhusu Matumizi ya istilahi huru am-
ya Kizungu kupitia mwingilio wao Msomi huyo alikuwa hadi viwandani), pili umuhimu wa kutumia Kiswahili bazo zinarejelea afya, hasa katika
kitamaduni na kisiasa. miongoni mwa wapin- ni teknolojia ya afya ya katika shughuli zao za kilimo za matangazo ya vyombo vya habari
Mwingiliano huo uliiwezesha zani wa awali ambao akina mama na watoto kila siku. yanaweza kuimarisha utatuzi wa
lugha ya Kiingereza kuwa kiini hawakuamini kuwa Na WANDERI KAMAU (masuala ya afya), tatu Mchango wa vyombo vya habari matatizo hayo hata katika viwango
kikuu cha maenezi ya teknolojia, Kiswahili kingejisi- kuna teknolojia ya ambao ikiwa utaendelea kuwepo vya shule za msingi na upili,
hasa katika nchi za Kenya, Tanza- mamia kwa hadhi vifa - au teknolojia ya ni mfano wa kipindi cha “Mkuli- ambako wanafunzi wengi wame-
nia na Uganda. kama lugha ya kimataifa, kama Ki- kijeshi. Kiwango cha mwisho cha ma Bora” ambacho kimekuwa kuwa wakikabiliwa na matatizo ya
Kijerumani pia kilitumiwa katika ingereza, Kijerumani au Kifaransa. teknolojia hiyo ni teknolojia ya kikipeperushwa na idhaa nyingi za kujiingiza katika masuala ya ngono
maenezi hayo, hasa mwishoni mwa Kizungumkuti hicho ndicho mawasiliano. redio pamoja hata na runinga. kabla ya umri ufaao.
Vita Vikuu vya Kwanza vya Dunia kinachoandama swali la ikiwa Kwa kurejelea viwango hivyo, Kwa mantiki hiyo basi, ni dha-
(hasa katika nchi ya Tanganyika, serikali za nchi za kanda ya Afrika wadadisi wanaeleza kuwa Kiswa- MAPENDEKEZO hiri kuwa mgawiko wa kiteknolojia
Burundi na Rwanda). Mashariki zimejitayarisha kuweke- hili kingali hakijakubalika kabisa Katika kuimarisha Kiswahili katika ambao Kiswahili kinapaswa ku-
Kama lugha ya kiutawala, Kiswa- za katika mikakati ya kukukifanya kama chombo cha uendelezaji wa uwanja wa afya ya uzazi, map- ushughulikia kikamilifu ni mpana
hili kilinufaika pakubwa kutokana Kiswahili kuwa na mwonekano wa kilimo cha kisasa katika maeneo ya endekezo yanayotolewa ni kuwa sana, na hauwezi kuangaziwa kwa
na sera zilizowekwa na watawala kukubali matumizi ya istilahi huru vijijini. taasisi za ukuzaji Kiswahili nchini makala kama haya pekee.
wa Kizungu; lakini kilibaki kime- za Sayansi na Teknolojia. Hata hivyo, mpenyo wa vituo kama Chama cha Kiswahili cha Hata hivyo, changamoto kuu ni
dumaa katika maendeleo yake vya habari, hasa redio za masafa Kitaifa (CHAKITA), wataalamu kwa wadau husika kujituma na ku-
kama lugha ya kielimu. HURU ya FM, kumetajwa kama njia moja binafsi pamoja na wasomi katika hakikisha kuwa ukuaji wa teknolo-
Katika kurejelea mwingiliano Kwa sasa, Kiswahili ndicho lugha ambayo huenda Kiswahili kikai- taasisi mbalimbali wanapaswa jia umeandamana na uwepo wa
wa lugha katika suala la Sayansi na ya pekee katika kanda hii ambacho marika kwayo kama lugha asilia kujitwika jukumu la kuhakikisha istilahi huru za utambuzi wake.
Teknolojia, msomi mmoja kutoka kinaweza kujisimamia kama lugha inayodhibiti shughuli za kilimo, kuwa Kiswahili kina istilahi za akamau@ke.nationmedia.com
Chuo Kikuu cha Nairobi, huru inayoweza kukubali uwepo hasa teknolojia mpya ambazo zina- kutosha zinazorejelea sekta hiyo.
26 TAIFA LEO
Jumatatu, Aprili 13, 2015

Mikiki TAMBUA
JIBU LA JANA
MCHONGOANO

Cleophas Lagat, Mboch wenu ana sura


Gavana wa Nandi mbaya mpaka akikata
vitunguu zinalia!

CHEMSHA BONGO Uko na miguu big


naskia kila kidole ina
slippers yake!
1.Levy Mwanawasa aliongoza nchi gani?
5.Timu ya Asante Kotoko inacheza ligi ya Eti chali yako ni msix
2.Jiji la Abuja linapatikana nchi gani? nchi gani barani Afrika? pack hadi akifinya ugali
Wamtambua maji inadrain inabaki
3.Taja waziri wa Ardhi wa Kenya 6. Mwaka ambao Misri ilipata uhuru. unga!
huyu?
4.Ni spika wa seneti Kenya Ndiye waziri wa utalii Wewe kwenu ni mbali
ukienda kununua
mboga sokoni unarudi
na kupata zenu
6.1922 3.Charity Ngilu zilishamea!

5.Ghana 2.Nigeria Babako ni mjinga


naskia alifail maswali za
4.Ekwe Ethuro 1.Zambia census!

Wewe ni mwizi tu sana


hadi nikikupatia simu

HEKAHEKA SHULENI yangu unarudisha bila


menu ya Mpesa!
Ati sistako ni mfupi yeye
hubeba noti ya 100
kama mabati!

First born wenu ana


kisogo ingine kubwa
hadi Museveni anadai
side moja iko Uganda!

Aunty yako amenona


tu sana siku ataruka juu
ataenda straight to hell!

Wewe ni mrefu, ukikula


nyama choma inafika
kwa tumbo ikiwa mtura!

Sistako mugly mpaka


alipewa banana na
monkey!

Wewe brotherako ni
mweusi akishika chupa
ya fanta inageuka coke

WANAFUNZI wa shule ya msingi ya Kids Star


Huruma walala shuleni mwao. Tutumie mchongoano wako kwa
Picha/ANTHONY OMUYA nambari ya simu ya 21603 au
Ukitaka picha za shule yenu zichapishwe barua pepe taifafeatures@ke.n
kwenye ukurasa huu, wasiliana nasi kupitia: ationmedia.com ukianza na jina
aomuya@ke.nationmedia.com au 0720403018 ‘mchongoano’. Tutachapisha kesho
baadhi ya maoni mtakayotutumia.

VITENDAWILI NA METHALI SALAMU


1. Mhuni wa ulimwengu.
BUNI
2. Mkanda mrefu wafka mpaka pwani.
3. Mke wangu mfupi, lakini huvaa nguo nyingi.
ROBERT GAKUYA kutoka Kaunti ya Nyeri. Salamu zangu zifikie mke wangu Jane Wanjiru,
Mama Muringi akiwa Gachami Othaya na familia ya Ngoima wakiwa Karatina.

4. Mlango wa nyumba yangu uko juu. Niite KATEMBE WA MADASTi (John Junior) nikiwa Ndauni. Salamu za dhati ziwafikie
5. Mlima mkubwa wapandwa kuanzia juu. MAAGIZO Mercy Mbithe, Janet Munywoki, Joshua (bro) Kyalo, Saraphine, Angel De Maria(Patrick),
6. Mlimani sipandi. Tengeneza majina kutokana na herufi Kimindu Obed, Suarez, Kilonjo, Lucy Waithereru, Musumbi, Stephen Mutua bila kusahau
zilizo kwenye mduara. Musimbizo,Winy Mutanu na Joseph Nyamai.
Tumia herufi angalau mara moja
NI COSMAS IKOJO Shabiki wa Taifa Leo nikiwa NANGILI. Salamu zangu ziwafikie Mwembe

METHALI M
Juma wa Nabusakali, Justus Ekisa Barasa wa Nangili, Tito Etyang, Isaack Kirwa wa Turbo,
Dismas Majune wa Kilima Natwana na wasomaji wote wa Taifa Leo na Taifa Jumapili.

1.............. hauawi. 4. Mkata hana


..............
K W JUDICASTER MWENDE Mutuku akiwa Kambu. Salamu kwa Peter akiwa Amos na David wa
Mombasa, Wafula wa Moi University, Walimu wote wa Molemuni. Msanii Big G. Katunge
2. Mkamatwa na
ngozi.............. 5. ......................mgomb
I na Asumphter wote wa Kambu.

3. Mkamia maji
a kupalilia.
6. Mkono moja
J U VICTOR NDANYO wa Lugari. Salamu zangu ziwaendee baba Chesteki Ndanyo, Dancan
Ndanyo, Kevin Ndanyo akiwa Nairobi, Mamangu Everline Ndanyo na wenyeji wote wa
.............. ................. A Lugari. Ujumbe: Dunia chungu kufa utatamani.

4. Shimo la mchwa Hapa ni MUSYOKI MWANGA wa Kinyambu. Salamu nazipeperusha kwa Bibi yangu, watoto
Sherina na Mweu, wakiwa Ngokolani, Joseph Nyamai, Musimbizo, Ayubu Muroki, Kadogo,
Vitendawili

3. Hindi
MAJIBU ya

Mboya wa Pambo hotel bila kumsahau Simba Chai hotel Kinyambu. Ujumbe: Akili ni
4.kinyongo
6. Maji ngombe 3.hayanywi.
MAJIBU

2. Njia 6.hauchinji 2. ndiye mwizi.


Methali

5. Sima (ugali) nguo , 1. Mjumbe


1. Inzi 5.Mke ni MAJIBU: Tutumie salamu zako kwa nambari ya simu ya 21603 au barua pepe taifafeatures@ke.nationmedia.c
om, ukianza na jina ‘salamu’. Tutachapisha kesho baadhi ya salamu zenu mtakazotutumia.

Tuma mchango wako kwenye sehemu yoyote ya MIKIKI kupitia SMS kwa nambari 6003 au barua pepe kwa taifafeatures@nation.co.ke ukianza na jina la sehemu unayochangia
TAIFA LEO
Jumatatu, Aprili 13, 2015 27

Kwani mpenzi wa
Anakesha kwa mke mwingine NIMEOLEWA na mwanamume sina mpenzi. Sasa nampigia simu hakupendi na anataka kuku-
kwanza aliniroga?
NILIACHANA na mwanamke aliyekuwa
mpenzi wangu kwa miaka minne na
wa kabila tofauti na langu na tuna anapuuza. Nishauri. tumia tu kwani angekupenda kufikia sasa bado ananiandama. Tangu

Nampenda sana watoto wawili. Lakini ameshikana


na mwanamke waliyesoma naye
na anasema atamuoa. Mara nyingi
Kupitia SMS

Kama alikushawishi kwa simu


hangekuacha na kuoa mwan-
amke mwingine. Ni heri utafute
anayekujali na ambaye yuko tayari
wakati huo kila msichana tunayeshika-
na tunakosana baada ya muda mfupi.
Kwani mwanamke huyo aliniroga?
mume wangu akitoka kazini huwa analala kwake
hadi asubuhi. Ninaumwa sana
tu na ukakubali labda aliona wewe
ni mtu wa kufuata mkondo kama
kuishi nawe. Kupitia SMS

maji na akaamua kwamba humfai. Nina 2, nimechanganyikiwa Inaonekana wewe ndiye mwenye tatizo
lakini wivu wake
moyoni, tafadhali nishauri.
Kupitia SMS Umeharibu mambo zaidi kuwa NINA umri wa miaka 22 na nime- kwani ulimuacha huyo na wengine wote
kuanza kumpigia simu kama zaa watoto wawili na wanaume unaoshikana nao wanakuacha. Hakuna

hauvumiliki katu! Inaonekana mume wako


ameamua kuoa mke wa pili
upende usipende na hata huenda
kwamba unajipendekeza kwake.
Msahau.
tofauti. Ni karibu mwaka mmoja
sasa sijapata asali kwani sitaki ku-
aliyekuroga bali umejiroga mwenyewe.
Jichunguze ujue kasoro uliyonayo kisha
ujirekebishe.
tendwa tena. Lakini huyu mume
NIMEOLEWA na nampenda akakuacha. Ni juu yako ujiulize Alinitema nilipopata mimba
kwa dhati mume wangu.
Lakini ananichukiza kwa
iwapo uko tayari kuishi na mke-
mwenza. Ukiona huwezi, jitenge yake, sasa ataka turudiane
wa pili akiniona na mtu anahisi
uchungu ilhali ana mpenzi wake. Naishi mbali na sasa
wivu wake. Kila nikipigiwa
simu anasema ni mpango
naye na uendelee na maisha yako
bora tu awajibike katika malezi ya
NINA mtoto wa mwaka mmoja
ambaye baba yake alimkataa
Sijui nifanye nini?
Kupitia SMS nimegundua mke
wa kando, nikivaa vizuri
anadai nataka kuvutia wa-
watoto wenu. alipogundua nina mimba kisha
akaoa mwanamke mwingine. Sasa
Ni muhimu kwamba unajaribu wangu ana ‘wa kando’
kujiepusha na uhusiano mwingine
naume. Nifanyeje? anataka tuendelee na uhusiano HUJAMBO Shangazi? Nimeoa na
wa kuharibu wakati na ningekush-
Kupitia SMS ninaishi mbali na mke wangu. Sasa
Nilimkubali kwa kukosa tu wetu. Nishauri. auri uendelee hivyo kwani mambo
nimegundua ana wapenzi wa kando.
KUNA mwanamume aliyenipigia Kupitia SMS mengine si ya lazima. Pili, mtu
Kuna wanaume na pia Nipe ushauri.
simu juzi na kunishawishi tuwe ambaye tayari mmeachana hafai
wanawake wenye wivu Inaonekana mwanamume huyo Kupitia SMS
wapenzi. Nilikubali kwa sababu kutawala maisha yako wala usim-
uliokiuka mipaka kama
ruhusu.
huo wala si mumeo pekee. Kama una ushahidi wa kutosha kuhusu
Jaribu kumuelewa na kum-
hakikishia kila mara kuwa Mke wangu ana wivu sana jambo hilo, itakuwa hatari kuende-
lea kuishi na mtu kama huyo kwani
unampenda. Ukipigiwa simu anaweza kukuambukiza magonjwa.
pia unaweza kumuonyesha
anayekupigia na akitaka wa-
hataki niongee na mwingine Mume wangu hana
ujuzi wa chumbani
zungumze. Kuhusu mavazi, NINA mke na tuna watoto wawili.
mwambie ni yeye unayevalia Tatizo ni kwamba mke wangu ana
wala si wanaume wengine. wivu sana na hapendi kabisa kuona
nikizungumza na wanawake wengine. MIMI ni mwanamke na nimeolewa.
Ninamtunza vizuri na nampa chochote Ninampenda sana mume wangu lakini
hana ujuzi wowote wa masuala ya
Nilimtema sasa namtaka anachotaka. Tatizo ni nini?
chumbani. Nimejaribu kumfunza lakini
KUNA mwanamume Kupitia SMS
wapi!. Nifanye nini?
tuliyependana sana lakini
Wivu ni hali ya kawaida katika uhu- Kupitia SMS
ikafika wakati roho yangu
ikamchukia na tumeten- siano lakini kuna watu wanaokuwa na
wivu kupita kiasi. Mtu hawezi kuacha Ni kweli ujuzi wa hali ya juu unahitajika
gana kwa miaka miwili.
katika kutekeleza ipasavyo shughuli hizo

Vipi baada ya miaka mitatu Mke wa rafiki ashinda


Sasa namtamani sana na kuzungumza na wengine kwa sababu
ameoa ama ameolewa. Jaribu kuzun- na ni watu wachache sana walio nao.
sitaki mwanaume mwingine
gumza na mkeo umhakikishie kuwa ni Inawezekana kuwa mwenzio hashiki
yeyote isipokuwa yeye tu.
yeye tu unayempenda wala huna haja mambo kwa haraka kwa hivyo usimhar-

amekataa kunifungulia moyo? kunifuata miezi 8 sasa


Nifanyaje nini ili nimpate?
na wanawake wengine. akishe. Endelea kumfunza tu hatua kwa
Kupitia SMS
hatua na hatimaye ataweza.
Iwapo unajua namna ya
kumpata mtafute umwam-
bie umebadili msimamo
wako na kuwa sasa uko
tayari kuwa naye. Usiwe na
matumaini makubwa kwani
inawezekana awe tayari
amepata mwingine.

Anapiga kelele sana


wakati wa shughuli
NINA mwanamke mpenzi wangu
ambaye tunapendana sana. Hata
hivyo wakati wa shughuli yeye
hupiga kelele sana. Anasema
huwa anafurahia lakini mimi
huona aibu kwani kelele hizo
husikika na walio karibu. Nifan-
yeje?
Kupitia SMS

Hilo ni jambo ambalo mnaweza


kushirikiana katika kulishu-
ghulikia na kulitatua. Mnaweza
kukubaliana kufanya mazoezi ya
mara kwa mara ambapo anafaa
kujaribu awezavyo kujizuia kabi-
sa kutoa kelele hizo na hatimaye
atazoea.

Kama unalo swali lolote unalohitaji


ushauri, tuma kwa kwa nambari
ya simu ya 21603 ukianza na neno
SHANGAZI.
Kila ujumbe unagharimu Sh10.
28 TAIFA LEO
Jumatatu, Aprili 13, 2015

Kusherehekea Maisha Mema Kusherehekea Maisha Menengai High School


Tunatangaza kifo cha Marion Wambui Wahuga wa
Lower Kabete kilichotokea Jumanne Aprili 7, 2015.
Tunasikitika kutangaza kifo cha Phillip
Mkewe marehemu Samuel Wahuga Njoroge. Musungu kilichotokea Aprili 4, 2015.

Mamake Grace W. Wanjaiya, marehemu John Njoroge


Alikuwa katibu mkuu wa wa awali wa
Chama cha Walimu tawi la Trans-Nzoia
Tangazo la Kifo na Mazishi
Tunasikitika kutangaza kifo cha Hannah Wambui Maingi
(J.P), Jane Nduta Njoroge, Danson Muriithi, Simon na Katibu wa Kanisa la Friends Elgon awali mwalimu katika Shule ya Upili ya Menengai
Kairu na David Mungai. East(QUAKERS). kilichotokea katika Hospitali ya Nairobi Hospital
Mama mkwe James Wanjaiya, marehemu Lucy Muriithi 8/4/2015
na Jeniffer Mungai, Nyanyake Sam Wahuga, Marion Mwanawe marehemu Rael na Zephania
Wanjaiya miongoni mwa wengine. Alikuwa na vitukuu Musungu wa Sirisia. Mumewe Zipporah Mkewe Geoffrey maingi Kamau (Kiamunyi Eden Estate ,
wengi. Musungu na babake Serah na marehemu Nakuru). Mamake Catherine wamaitha wa (D.T Dobie),
marehemu Stanley Kamau Grace Wanjiku (KMTC
Msafara utaondoka hifadhi ya Hospitali ya kimisheni Opany, Eldad na Lydia, Elizabeth na Muranga), Willie Ngige (Chuo Kikuu cha Multi Media),
ya P.C.E.A Kikuyu Jumatano Aprili 15, 2015 saa tatu Dkt Burudi, Dinah na Jude, Andrew Faith Watiiri (Shule ya Wasichana ya Bahati). Bintiye
asubuhi kwa ibada yamazishi katika Kanisa la A.C.K
St. Paul’s Mother saa tano asubuhi. Mazishi yatafanywa
na Metrine, Jane na Austin, Sammy na marehemu Wille Ngige Njoroge na Grace Wanjiku
Dotty, Mary, Suzy na Martin, Dan na Ngige. Mkaza mwanawe marehemu Stanley Kamau
baadaye katika kijiji cha Wabuga Lower Kabete. Wairiri na Ruth Kamau. Dadake Njoroge (Kibichiku),
Stella, Amy na Jeff, Manasseh na Carol. Njaga (Thika), Mwihaki (Chura), Ngugi (Kikuyu), Kamau
Nduguye Norah, marehemu Samson,
Jamaa na marafiki wanakutana nyumbani kwake
Lower Kabete saa kumi na mbili jioni kwa maombi na Marion Wambui marehemu Rachel, marehemu Sarah,
(Veteran), Wanjiku (BBK), Nyoro (Kibichiku), Kimotho
(Kingeero), Ragui (Nairobi), Murima (Dubai), Kamau
(Nairobi) na Wambui (Ongata Rongai). Shangazi na
matayarisho ya mazishi.
Wahuga Elizabeth, marehemu Damaris, David,
Rose na Ruth. Mkwewe marehemu Philip W. Musungu
nyanya wa wengi.
Hannah Wambui
Norah na Reuben Wekunda, Shemejiye Mipango ya mazishi inaendelea nyumbani kwake
Mungu na atukuzwe.
marehemu Timothy, marehemu Rachel, marehemu Dinah, marehemu Kiamunyi Eden Estate Nakuru na Kibichiku Lower
Kabete kila siku. Msafara utaondoka Hospitali ya
Maingi
David, Margaret, Joseph Wekunda na Roslyn. Babuye 25na alikuwa na kitukuu Nakuru War Memorial Jumanne Aprili 14, 2015 saa tatu asubuhi kwa ibada ya mazishi nyumbani
mmoja. kwake Kiamunyi Eden Estate Nakuru.

Tangazo la Kifo na Mazishi Ibada ya itafanywa Elgon East Friends, Kitale Aprili 16, 2015 na mazishi
itafanywa Jumamosi April1 18, 2015 nyumbani kwake Kiminini, Ploti nambari Pumzika kwa amani mke, mama, shangazi na nyanya,.
Umepigana vita vyema na kumaliza mwendo na kuilinda imani.
336 kata ya Ndalu, eneo bunge la Tongaren.
Jamaa na marafiki wanakutana kila siku kuanzia saa kumi na moja jioni Railway
Club Nairobi na nyumbani kwake Ndalu kwa mipango ya mazishi. Kutakuwa na
mchango wa kugharamia mazishi Jumanne Aprili 14, 2015 maeneo hayo. Kwa Tangazo la Kifo na Mazishi
msaada wasiliana na familia. Tunatangaza kifo cha Margaret Pamela
Orwa mkewe Prof Walgio Ogweno
Papa, enda salama. Orwa wa Chuo Kikuu cha Kabianga.

Bintiye marehemu Nicholas na Dorcas


Olielo. Mamake Jean Banda, Anna
Orwa na Ted Orwa. Dadake James
Wizara ya Masuala ya Afrika Mashariki, Biashara na Rimba, Kesia, Monica, Alice, Jennifer na
Utalii Risper miongoni mwa wengine. Mkaza
mwanawe marehemu Kiliopa na Priscilla
Tangazo la Kifo na Mazishi Orwa. Mama mkwe Gilbert Banda wa
Tunakubali mapenzi y Mungu kutangaza kifo Benki ya I&M Bank miongoni mwa
cha Delilla Wangu Karugi mfanyikazi katika wengine. Shemejiye Mariam Wachara,
Mama Jane Edaya Akenga Wizara ya Masuala ya Afrika Mashariki,
Biashara na Utalii awali wa Makao Makuu
Beldina Wakiaga, Prof. Theodora Ayot,
(1928-2015) Marren Ojode, marehemu Prof. Daniel
y Polisi, Nairobi. Katete Orwa na marehemu Michael
Familia ya marehemu Mzee Rueben Ating’a Akenga kutoka Ebubayi, Esiembero,
Kaunti ya Vihiga inatangaza kifo cha ghafla cha Mama Jane Edaya Akenga. Bintiye Carey Francis Karugi na Gladys
Orwa. Nyanyake Terrence Banda, Daniel
Katete na Nyotiato Ngere. Shangaziye
Margaret Pamela
Bintiye marehemu Gershom Mwasiachi marehemu Jerida Ng’onyelle. Mamake
Wangeci Karugi wa kijiji cha Nguguini
Kaunti ya Kirinyaga. Mkewe Samwel Kimani
marehemu Balozi Pamela Mboya, Sammy, Orwa
James, Erick, David na Chifu Wakiaga,
marehemu Erastus Akenga, marehemu Micah Musumba, marehemu Solomon Martha wa kijiji cha Kibiciku - Lower Kabete.
Mamake Erick Ngugi Kimani wa Shule ya Philip, Elaine, Erena na James Ayot, Caroline, Steve,Thomas na Eddy Ojode, Justice
Akenga, marehemu Moa Akenga; Desma Naomi, Prof. Teresa Akenga (Naibu
Chansela-Chuo cha Eldoret), Elizabeth Ating’a na Nelly. Mama mkwe Christine. Marion Preparatory. Dadake marehemu Maureen Odero, Susan Kidero, Luke na Tom Mboya, Maureen, Ochieng, Dan,
Dadake Peninah, Inis, Desi, Teresia na Lidese. Nyanyake Rueben, Edith, marehemu Jesee Mutugi, Gabriel Wanjohi, Jamlick Zaddock, Nelson, Patrick, Asha na Junior Orwa na James Otieno. Binamuye Dkt.
Peter, Preston, Paul, Sarah, Everlyn, Stella Otieno, Ating’a, Wellington, Jenipher, Wachira, Sophia Muthoni, Timothy Muriuki Elly, Omondi na Okola Ogutu na Dkt Jorry Odede.
Grace, Claire, Prince, Alfred, Jared, Ruth, Abisolom, Jemimah, Grace alikuwa na na Charles Githinji.
vitukuu wengi. Jamaa na marafiki wanakutana kila siku nyumbani kwake Jamhuri nyumban
Jamaa na marafiki wanakutana nyumbani nambari 5/F. kutakuwa na mchango Jumanne Aprili 14, All Saints Cathedral
Jamaa n marafiki wanakutana kila siku saa kumi na mbili jioni hadi saa mbili katika kwa mumewe kijiji ch Kibiciku, Lower Kabete
Kanisa la P.C.E.A kijiji cha Embakasi, Hoteli
Delilla Wangu kuanzia saa kumi na moja jioni. Ibada ya mazishi itafanywa All Saints Cathedral
Jumanne Aprili 21, 2015 saa nane mchana. Atazikwa Ijumaa Aprili 24, 2015 katika
Chuo kikuu cha Eldoret Bewa la Mjini kwa matayarisho ya mazishi. Mchango
utafanywa Aprili 14, 2015 katika Hoteli ya Sirikwa kuanzia saa kumi na moja jioni. Antonnios mkabala na Cardinal Otunga Plaza
katika Jumba la Ebony Tom Mboya Street
Karugi kijiji cha Kamasengre Luanda, Kisiwani Rusinga.
Msafara utaondoka hifadhi ya hospitali ya mafunzo ya Moi Ijumaa 17 Aprili 2015
mkabala na KCB kuanzia saa kumi na moja
kw ibada ya mazishi katika kanisa la Ebubayi Church of God. Mazishi yatafanywa
na nusu hadi saa mbili kwa matayarsho ya mazishi. Msafara utaondoka hifadhi ya Chuo
Jumapili 19, 2015, kijiji cha Esiembero, Kaunti ya Vihiga.
Kikuu cha Kenyatta Jumatano Aprili 15, 2015 saa mbili asubuhi kwa iabda na mazishi
Nimepigana vita vyema, nimemaliza mwendo na imani kuilinda
katika kijiji cha Nguguini - Kaunti ya Kirinyaga. Afisi ya Mwanasheria Mkuu
(II Tim 4:7) Delilla, ulipigana vita vyema, umemaliza mwendo na imani umeilinda. Idara ya Haki
Litukuzwe jina la Mungu. Amina

Tangazo la Kifo na Mazishi


Mwaka mmoja/Shukrani

Tangazo la Kifo na Mazishi

Morris Mutwiri Kirima (Muts)


Mutwiri, imekuwa mwaka mmoja tangu ulipotuacha. Ukarimu wako, uzuri na
John Ng’ang’a Kiburu upendo wako zimetusaidia kuendelea maishani na kutufariji. Bi. Linet Andia Magwilu
Kuzaliwa 02/10/1974 - Kufa: 07/04/2015
Born 1964 - Died 07/04/2015
Tungependa kutuma risala za rambi rambi kwa familia na marafiki wa John Ng’ang’a Kiburu
Tunasikitika kutangaza kifo cha ghafla cha Linet Andia Magwilu awali wa afisi ya
ambaye aliaga dunia Jumanne April 7, 2015 katika Hospitali ya Guru Nanak.
Umekoswa sana na watoto wako na mkeo- Maha Mwari, Akil Kirima, Eric Mwanasheria Mkuu baada ya kuugua kwa muda mfupi.
Baguma na Gloria Musinguzi, wazazi wako Joseph Kirima Mbui na Loise Mwari
Mwanawe marehemu Kiburu Muchiri na Rosemary Wairimu. MumeweGrace Wambui Kirima, ndugu na dada zako Grace Kinanu Kirima, Makena Kirima, Paul Gitonga Bintiye Bw na Bi Michael Manase Manyola Magwilu.Mamake Tito Wells. Dadake Maurice,
Ng’ang’a. Kirima, Anthony Kinyua Kirima na shemejio Mario Rusconi. Wapwao Ntinyari, Christine, Joyce, Levi, Kennedy, Benjamin, Sophia,Alex, Patrick, Elijah, Larry,Alice, Naomi,
Mwari, Ella, Rocco na wajomba wako, binamu jamaa na marafiki. Omondi, Edwin, Charity, Stacy, Irine. Mjukuu wa marehemu mchungaji Alfayo Magwilu
Babake Mercy Muthoni Njoroge, Caroline Wairimu Ng’ang’a na Florence Nyambura wa Gwihutsa na marehemu Levi Onduko. Mpwawe Ombura, Mbededo, Okode, Kavela,
Shule ya Wasichana ya Gathirimu.
Tunashukuru, familia, jamaa na marafiki na wafanyikazi wenza waliosimama nasi Rachael, Munubi, Ambuso, Imali, Stephen Magwilu, marehemu Anno na Kayongo.
Nduguye Lucy Nyambura, Joseph Muchiri, Scola Njoki Kaba, Winnie Muthoni Wainaina wa wakati huo mgumu na kutusaidia. Maombi yenu, kutuzuru na jumbe za kutufariji
Elite Academy, Agnes Mweru Ngugi, George Mugo na John Njuguna. Ndugu wa kambo wa na upendo zilitusaidia sana. Jamaa na marafiki watakuwa na mchango Jumanne Aprili 14, 2015 kuanzia saa kumi na
Wanjiku Njuguna, Nyambura Kimanji, Muchiri Mburu na Muthoni Ng’ang’a. moja na nusu katika Jumba la AGRHO orofa ya pili ukumbi mkubwa (Chumba Nambari
5) MOI AVENUE kuangaliana na GILL HOUSE.
Mkwewe Margaret Muthoni Ngethe wa Kigumo Gatina. Baba mkwe Robin Njoroge wa
Jungle Nuts Thika. Babuye Victor Ng’ang’a na Anilov Kanyingi Njoroge. Tunamshukuru Mungu kwa wakati aliotupa kushiriki nawe. Tunakupenda Mutwiri,
Msafara utaondoka Chuo Kikuu cha Kenyatta Alhamisi Aprili 16, 2015 kwa ibada
na mpaka tutakapopatana tena,pumzika kwa amani.
Msafara utaondoka hifadhi ya Montezuma na Monalisa Jumanne Aprili 14, 2015 kwa ibada ya mazishi Friends Church Centre - Maringo saa nne asubuhi na mazishi baadaye
na mazishi nyumbani kwa babake Komothai, kata ya Kigumo kijiji cha Hurligham kuanzia nyumbani Kamukuywa Scheme, Kaunti ya Bungoma Ijumaa Aprili 18, 2015 kuanzia saa
Kifo huacha uchungu mwingi ambao hauwezi kupona,
saa sita adhuhuri. tatu asubuhi.
Upendo huacha kumbukumbu hakuna anayeweza kuiba.
Mungu aipumzishe roho yake kwa amani milele.
TAIFA LEO
Jumatatu, Aprili 13, 2015 29
Tangazo la Kifo na Mazishi Tangazo la Kifo Tangazo la Kifo na Mazishi
Tunasikitika kutangaza kifo cha Antony Tunasikitika kutangaza kifo cha Stephen Kiagiri
Tunasikitika kutangaza kifo cha dada katika Yesu Macharia wa kijiji cha Nguku, Kigumo. Mumewe Jacinta
Kamau Itimu wa Wizara ya Kilimo, Ufugaji Margaret Atieno Ogwang’ kilichotokea Aprili 7, 2015. Nyambura, babake Emma Wanjiku, Beatrice na John
na Samaki Kerugoya, ktokana na ajali mbaya Mkewe marehemu Collins Ogwang Olonde (awali Karanja, Kenneth na Teresa Macharia, Julius na Pep
wa- Airtouch Cooling Systems) wa kijiji cha Majeng Mirara na marehemu Harrison Irungu. Mwanawe
ya barabarani. – Yimbo, Bondo, Kaunti ya Siaya . Bintiye marehemu marehemu Gitimu Mirara na marehemu Karimu
Naftali na Yuniah Aloo wa Usenge - Yimbo. Mkaza Gitimu wa kijiji cha Nguku. Nduguye Wanjiru Mbethe,
mwanawe Mary Olonde na marehemu Elijah na Rose Waithira Runge na marehemu Julius Harris Mirara.
Mwanawe marehemu Peter Itimu na Ndugu wa kambo wa Mbugua Gitimu, marehemu
Akeyo Olonde wa Got-Ramogi, Yimbo. Mamake Patrick
Christine Wamuhu. Mumewe Lilian Beth Omondi – Paddy (Colmag Holdings Ltd),Victor Olonde Njuguna Gitimu, marehemu Kahonge Gitimu, Ruth
Wangai, Nduguye Jane Njoki Njau, Anne (Afisi ya Ardhi Mombasa), Japheth Ogweyi - Jeff (Nbi), Muitungu, Emily Wanjiru, Wamaingi Chege, Mary
Beatrice Akoth (Nbi), Goretty Olonde (NAS,JKIA). Maina. Mkwewe marehemu Harrison Ngumi na Joyce
Wanjiru Mbiyu na Raphael Muchiri, mkwewe Dadake Fredrick Orobi, Zipporah Ochung’, Apollo Wanjiku wa Mukangu. Shemejiye Njambi, Ben, Waithiki,
Jerome Kahiu na Mary Njeri Kahiu wa Kagwa, marehemu Eliud Ouma na marehemu Gaddy Kamau na Faith. Babuye Wambui, Nyambura Anne,
Aloo. Mpwawe Peres Owiti na marehemu Sussana Nyambura Immaculate, Steve, Andrew, Joe, Kiagiri,
Gatundu.Mjombake Godfrey Mugwe, Anam Obaha, Alexander Midiwo, Anam Owiti na Zawadi. Mjomba na binamu wa wengi.
Margaret Gachiku, Christine Wanjiku, Hanningtone Owiti. Shemejiye Asher Olonde, Pastor Jamaa na marafiki wanakutana kila siku katika Hoteli ya
Moses Muiruri, Virginia Wanja, Bradon Tom Olonde (Mombasa), Oganga Olonde, marehemu Mercury –Tom Mboya, Hoteli ya County Park mkabala
Itimu, Mitchelle Wanjiku Mbiyu, Alex Itimu, Antony Kamau Jeniffer Afwamba, marehemu Ibrahim Olonde, Dorina, na Luthuli Avenue (Chama cha Kijamii cha Mwirutiri),

Mitchelle Wanjiku Muchiri na Cynthia Njeri.


David Okumu, Dedan Ogello, Evans Olonde, Silvia, Milly
Kagwa, Pamela, Jane Ogello, Sarah Olonde, Rose Odero,
nyumbani kwake –Murera Sisal na Nguku kwa
maombina matayarisho ya mazishi. Msafara utaondoka Stephen Kiagiri
Itimu Mary Odhiambo, Juma Odot, Grace Midiwo. Mpwawe KU saa mbili asubuhi Jumamosi Aprili 18, 2015 na
Jamaa na marafiki wanakutana kila siku
nyumbani kwa wazazi wake kijiji cha
James Ochieng, Walter Oduor, Arthur Ochieng, Jane
Adiedo, Jael Awino, Joyce Adongo, Magdaline Juma, Arthur Margaret Atieno kuelekea nyumbani kwake Nguku, Kigumo, Kaunti ya
Murang’a kwa ibada ya mazishi na mazishi siku hiyo.
Macharia
Kiambaa, Kaunti ya Kiambu kwa maombi na mipango ya mazishi. Msafara Ongoma, OJ Owiti, na marehemu Phillip Midiwo, Dorcas
utaondoka Hifadhi ya Hospitali ya Nazareth Jumanne Aprili 14, 2015 saa tatu na
Omondo na Margaret Ondijo miongoni mwa wengine.
Shangaziye Geoffrey Haggai, Martha, Rosa, Ken, Clinton,
Ogwang’ “Mpaka tutakapokutana tena, pumzika kwa amani milele.”

nusu asubuhi. Mazishi yatafuatia katika kijiji cha Kiambaa. Allan, Akinyi, Jones, Sharon Byama, Irene, Susan, Teddy, Kuzaliwa Januari 1, 1953
Freddy, Hellen, Vyonne, Mandela, Anjeline, Winnie, Lilly, Kufa: Aprili 7, 2015
Eunice, Nancy. Mama mkwe Shine Ninjama, Linah Dzame,
Mikononi mwa Mungu unapumzika, mioyoni mwetu utasalia daima. Fred Ochieng, Antony Waweru nyanyake Wayne Collins, Jabari Collin, Hailey, Margaret Mali. Nyawana wa
marehemu Se Jos na Janet Chimerah wa Kwale, Faisal na Grace Mwangome wa Taita, Francis na Janice Waweru
Pumzika kwa amani Antony. wa Kiambu, Peter na marehemu Janet Onyango wa Alego - Boro.

Jamaa na marafiki wanakutana kila siku nyumbani kwake Majengo na Jumba la Finance Orofa ya tano chumba
nambari – 5430. Mchango utafanywa Jumaanne Aprili 14 All Saints Cathedral, Nairobi kuanzia saa kumi na
Tangazo la Kifo na Mazishi
Tangazo la Kifo na Mazishi moja jioni. Mwili utaondolewa hifadhi ya Star , Kisumu, Aprili 17,2015 kwa ibada katika Kanisa la ACK All
Saints Memorial, Majengo. Mazishi yatafanywa Jumamosi Aprili 18, 2015 nyumbani kwake kijiji cha Majengo ,
Tunasikitika kutangaza kifo cha Washington Yimbo, Bondo, Kaunti ya Siaya.
Owalla Aluga, awali wa afisi ya mwanasheria
mkuu kilichotokea Aprili 1, 2015. “Nimepigana vita vyema, nimeamliza mwendo na imani nimeilinda.”
Tim 2, 4:7”
Mwanawe marehemu Shadrack na Leonora
Aluga wa kijiji cha Nyakach Kajimbo Kawere.
Mumewe Hilda Owalla. Babake Nelly
Owalla – kutoka Eden Ltd., Peter Owalla –
Tangazo la Kifo na Mazishi
Tunakubali mapenzi ya Mungu na kutangaza kifo cha
mfanyibiashara na marehemu Leonora Owalla.
Duncan Ngatia Weru wa Kanisa la P.C.E.A Tumaini
Baba mkwe Esther Obura –Hospitali ya
Ruai Pesbitari ya Mashariki Presbytary kilichotokea
Kenyatta. Babuye Elsie Awuonda, Alex Owalla,
Aprili 7, 2015.
Angel Anyango na Allan Obura miongoni mwa
wengine.
Mkwewe Mzee James Owuor na Paulina Mwanawe marehemu Nancy Njoki Weru. Mumewe
Owuor wa Kano Kolwa. Nduguye marehemu Rose Mugure Ngatia. Nduguye marehemu Nyaguthii,
Tinda, marehemu Osongo na marehemu marehemu Wanjira, marehemu Augustine Nduhiu,
Obura, Haggai Nyangweso miongoni mwa marehemu Peter Macharia. Babake Eunice Wamuiyu
wengine. Shemejiye Penina, Grace, kina Irungu, Juliet Njoki (M.U.C), Denis Weru (Ruthagati
Andango, Sango, Onyango, Ochollo, marehemu High School). Baba mkwe wa Peter Irungu (Petmos
Opany, marehemu Omondi, John Owuor, Enterprises). Babuye Brian Maina na Tessy Gathoni. Patrick Nyaboga Ng’ate
Omittis, Walter na Benter miongoni mwa Washington Owalla Jamaa na marafiki wanakutana nyumbani kwake
wengine.
Mjomba na binamu wa wengi. Aluga Kamulu kila siku kuanzia saa kumi na moja jioni na
katika kanisa la P.C.E.A Kayole kuanzia saa moja
Kwa huzuni tunatangaza kifo cha Patrick Nyaboga Ng’ate, 38, aliyefariki nyumbani
kwake Riverside Drive Jumatano Aprili 8, 2015.
Harambee itafanywa Aprili 15, Garden Square jioni kwa maombi na kutayarisha mazishi. Mwili
kuanzia saa kumi na moja asubuhi. Ni kifungua mimba wa Aloys na marehemu Rosemary Ng’ate, Mumewe
utaondolewa hifadhi ya maiti ya K.U Jumatano Aprili
Mazishi yatafanywa Aprili 25, 2015 katika kijiji cha Nyakach Kajimbo Kawere. 15 2015 saa moja na nusu asubuhi. Ibada ya wavu Duncan Ngatia Immaculate, babake Isaiah na Moraa Ng’ate, Kakake Isabella na Lewis, Mjukuu
wa Bonface Oira, marehemu Agnes Nyanchama, marehemu John Matta Okora
Kwa habari zaidi wasiliana na Nelly – 0726-245-142 itafanyika Kanisa la P.C.E.A Kianjogu na kufuatiwa na
mazishi nyumbani kwake Tarafa ya Mathira Mashariki, Weru na Salome Okora, shemejiye Patrick na Elizabeth Odera, George na Wahu,
Kijiji cha Kianjogu, Kaunti ya Nyeri. mjombake Christian, Jeremiah na Jason.
Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi. Amina. Mkutano wa kupanga mazishi itafanyika leo Jumatatu Aprili 13, 2015 katika kanisa
la All Saints Cathedral kuanzia saa kumi na moja na nusu jioni.

Tangazo la Kifo na Mazishi Harambee itafanyika kesho jumanne Aprili 14, 2015 katika kanisa la All Saints
Cathedral kuanzia saa kumi na moja na nusu jioni.

Ibada ya wavu itafanyika Jumatano Aprili, 15, 2015 katika kanisa la Consolata
Shrine, Westlands saa nane.

Patrick atazikwa Nyamataro, Kisii Ijumaa Aprili 17, 2015.

Usaidizi wa kifedha upitie Mpesa Paybill LIPA na MPESA - Business No. 415205
Account No. Pato

Kusherehekea Maisha Mema


Tunasikitika kutangaza kifo cha mume wa
Susan, kilichotokea Jumanne Aprili 7, 2015
baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Prof. George Eshiwani Babake Mercy na Muriithi Wanjau, James na


Edith Wanjohi, Lucy Kiiru, Kenneth na Grace
Tunasikitika kutangaza kifo cha ghafla cha Prof. George Eshiwani, EBS aliyetuacha katika Hospitali ya Aga-khan
Kisumu Aprili 4, 2015. Alikuwa mwenyekiti wa baraza la Chuo Kikuu cha Technical Kenya, Chansela wa Chuo Kikuu Ndirangu.
cha Mt. Kenya na awali Naibu Chansela wa Chuo Kikuu cha Kenyatta.
Babuye Ashley, Hillary, Tumaini, Priscilla,
Mwanawe marehemu Samwel Aloyo na Dorika Aloyo wa Ebukambuli Mulwanda, wilayani Kwhisero. Mumewe Wamuyu na Jason.
Rabecca na Doris. Babake Tom, Barry, Blanc, Lorna Sammy, Clarance, Juniour, Rooney, Harry na Dorika.
Jamaa na marafiki wanakutana nyumbani
Nduguye Edwin Luchemo,Beatrice Amunga, Howard Aloyo, marehemu Jim, Margaret Malau, marehemu Augustine, Nanyuki na Kanisa la P.C.E.A Loresho kuanzia
David Aloyo (Shule ya Wasichana ya Bunyore) na Flora Aloyo (Mwalimu Mkuu Shule ya Wasichana ya Kisumu girl. saa kumi na mbili na nusu kila siku.
Mjombake Pamela, Joyce, Fred Weche, Sarah, Amunga, Pesah na Gift Amukhoye miongonimwa wengine.

Msafara utaondoka hifadhi ya Hospitali ya Aga-khan Alhamisi 16/4/2015 saa nne asubuhi na kufuatwa na ibada ya Ibada ya mazishi itafanywa Ijumaa Aprili17,
mazishi katika Kanisa la St. Stephens ACK, Mulwandwa. Ibada ya mazishi itafanywa Aprili 18, 2015 katika Shule ya 2015 kanisa la P.C.E.A Nanyuki saa nne
Msingi ya Mulwandwa na mazishi baadaye nyumbani kwake siku hiyo Ebukambuli, kijiji cha Ebuluma.
asubuhi. Mazishi yatafanywa baadaye nyumbani Mwalimu Geoffrey Kiiru
Kutakuwa na harambee kugharamia mazishi ikiongozwa na Seneta Gideon Moi, wa Kaunti ya Baringo Aprili 14. kwake Nturukuma karibu na Kenya Fibre.
2015 United Kenya Club kuanzia saa kumi na moja jioni na wote mmekaribishwa. Wanjohi
Mawasiliano na mchango kwa Francis Atwoli, EBS, MBS, mwenyekiti wa kamati za rufaa za mazishi na katibu mkuu Mikononi mwa Mungu unapumzika
wa COTU (K) au afisizake jumba la Solidarity , Digo Road, Gikomba. mioynimwetu utasalia daima.forever
Yohana 14:1-4
30 TAIFA LEO
Jumatatu, Aprili 13, 2015

Tangazo la Kifo na Mazishi


Tunatangaza kifo cha Jethro Mwangi Mugo wa Kata
ya Kahuhia Kaunti ya Muranga. Mwanawe marehemu
SPOTI
Gideon Mugo Kagika na Rahelo Nduta Mugo.
Mumewe Margret Wanjiru Jethro. Babake Rechael
Nduta Ndwiga, Eunice Kabura Muroki, Susan Wambui,

Mulinge awataka
Charity Gituto Mugomati, marehemu Gideon Mugo,
Joan Nyambura Gitere, Cyrus Mwangi, Lilian Murugi,
David Kagika, Solomon Mugi wa Highland Valuers -
Nrb na Nelson Iruku wa Sirnel Electrical Nyamakima.
Nduguye marehemu Susan Wanjiku Njindo, marehemu

vijana wajikaze
Nelson Iruku, marehemu Joan Makanga marehemu
Booker Macharia, Barnabus Kagika, Godfrey Thuita,
Esther Waithira na David Karugo, marehemu Lilian
Wamunga. Mjombake Mhe K.S.N Matiba, alikuwa na
wajukuu na vitukuu wenie. Baba mkwe Agnes Mugi,
Loise Iruku na wengine. Jamaa na marafiki wanakutana
Hoteli ya Millennium 2000 Nyamakima na nyumbani KOCHA wa voliboli, Sammy
Mulinge amesema kuwa vijana Na JOHN KIMWERE
kwa mwanawe Membly Estate Ruiruna nyumbani
kwake kijiji cha Mukangu kata ya Kahuhia. Ibada ya Jethro Mwangi wa timu za taifa watalazimika
Rwanda pamoja na Mkenya
mazishi yatafanywa Jumamosi 18/04/2015 katika
Kanisa la A.C.K St Paul’s Ithiki Parokia ya Mukangu Mugo kujikaza kisabuni ili kumaliza
mwenzake, Paul Bitok.
na mazishi baadaye karibu na kanisa hilo. katika nafasi mbili za kwanza
kwenye voliboli ya ufuk- Wanaume wa Kenya wa-
weni Kanda ya tano ili kufuzu naendelea kushiriki mechi za
kucheza michezo ya Afrika kuteua timu za taifa katika fuo
Tangazo la Kifo na Mazishi (AAG) mwaka huu. za hoteli ya Sun Palm Beach,
Watamu.
Tunasikitika kutangaza kifo cha mwalimu Charles Aidha, alidokeza kuwa Kenya
Gitau wa Embul bul Ngong kilichotokea Jumatatu inatarajia kibarua kikali dhidi Kambi hiyo imevutia jumla
Aprili 6, 2015 katika Hospitali Kuu ya Kenyatta. ya wapinzani wao wa Misri, ya wanadhoruba wanane wa-
Rwanda na Burundi. “Bila napopigania kuteuliwa mion-
Mwanawe marehemu Gitau Gituga na marehemu
shaka nina imani wanaume goni mwa wachezaji wanne
Naomi Muthoni, Gitau wa Ongata Rongai. bora. Idadi hiyo inajumuisha,
Mumewe Mwalimu Joyce Gitau wa Shule ya Msingi wetu wanafahamu kazi iliyo
ya Kerarapon. Babake Evans Ng’ang’a, Gibson mbele yao kwenye kampeni za Silas Makiso (KDF), Ibrahim
Gitau, Elizabeth Muthoni, Naomi Saberu, Jackson kusaka tikiti hizo,” alisema. Oduor (Magereza), Bernard
Gitau na wajukuu sita. Nduguye Hannah Nduta Mechi za kutafuta tikiti za Musumba(GSU), John Ndugu
Kihiu, william Muchene, Gideon Mwaura na Phylis
kufuzu kushiriki mashindano (Italia), Donald Mucheke
Wanjiku King’ori.
hayo zitafanyika Dar es Sa- (Magereza Mombasa), Evans
laam, Tanzania mwishoni mwa Bera, James Mwaniki na Elijah
Jamaa na marafiki wanakutana kila sikunyumbani
kwake Embul bul kuanzia saa kumi na mbili jioni wiki hii. Mulinge hufundisha Bosire wote wa Kenya Airways Alex Kariuki wa GSU akabili Evans Bera wa Posta
kwa maombi na mipango ya mazishi. voliboli ya kulipwa nchini (KQ). Kenya katika mechi ya awali. Picha/MAKTABA
Msafara utaondoka hifadhi ya Umash Jumatano
Aprili 15, 2015 saa tatu asubuhi. Ibada ya mazishi Mwalimu Charles

Gor Mahia wapokea


itafanywa katika Kanisa Katoliki la Mary Mother
Embulbul kuanzia saa tano asubuhi. Mazishi Gitau
yatafanywa siku hiyo nyumbani kwake.

Mwaka mmoja
Mwaka mmoja umetimia tangu ulipotuacha.

boflo ya Good Bread


Tunashukuru Mungu kwa miaka tuliyoishi na wewe.

Tunakusherehekea kwa jinsi ulikuwa kwa kila mmoja


wetu.

Kama familia tulijaliwa kupata upendo wa Mungu


kupitia kwa maisha yako. Upendo wako mwingi
tungali tunahuhisi mioyoni mwetu. Ingawa
ulienda ungali nguzo ya maisha yetu katika
chochote ukifanyacho kila siku kuishi kwa kufuata Na CHRIS ADUNGO
ulichotufunza.
MABINGWA watetezi wa taji la Ligi Kuu
Pumzika kwa amani Nyar Mangare, mke, mama,
dada, Dani, mama mkwe, shangazi na rafiki.
(KPL), Gor Mahia, wametia sahihi mkata-
ba mpya na kampuni ya kutengeneza
Tunakukumbuka.
Mama Josephine mikate ya Good Bread katika jitihada za
kutafuta suluhisho kwa nyingi za changa-
Mwishowe ndugu, furahi na ufanywe kuwa
wote farijiwa, ishi kwa amanina upendo wa Atieno Anyango moto za kifedha ambazo zimekikabili
Mungu na amani iwe nawe.
Wakorintho 2, 13:11
(Nyar Japuonj) kikosi hicho hivi karibuni.
Katika mpango huo mpya, Good Bread
itatengeneza mikate itakayopakiwa kwenye ka-
ratasi zilizo na nembo ya Gor Mahia na klabu
Tangazo la Kifo na Mazishi hiyo itapokezwa shilingi moja kwa kila mkate
Tunatangaza kifo cha Joseah Kipyegon Mutai wa utakaouzwa na kampuni hiyo.
Kijiji cha Sombicho, Lokesheni ya Kaitui Kaunti
ya Kericho. Akithibitisha hayo, Naibu wa Katibu Mkuu
wa K’Ogalo, Ronald Ngala alisema kwamba
Mwanawe marehemu Mathayo na marehemu mradi huo utazinduliwa kirasmi hii leo na
Leah Temuge. Mpwa wa Ezekiel Sawe Temuge unalenga kuchangisha fedha zitakazorahisisha
na Esther Temuge. Mumewe Martha Mutai,
Babake Judy, Evans, Titus na Ezra. Nduguye Alice, uendeshaji wa shughuli za klabu hiyo ambayo
Joseph, Esther, Recho, Ruth, David, Jonathan, ilisalia kutegemea michango ya harambee,
marehemu Priscilla, Caroline na Daniel. ruzuku za wahisani, fadhili za mashabiki na
Mkazamwana wa marehemu Stephen Keter na
Rebecca. Shemejiye Ann, Nancy, Sharon, Jackline,
mikopo ya KPL.
Elizabeth, marehemu Naomy, Beatrice, Ezekiel, Ingawa hivyo, wafalme hao wa Kenya wali-
Isaac, Solomon na Benjamin. Binamuye Daniel, banduliwa nje ya dimba hilo na miamba hao
Jackson, Samwel, Jonah, marehemu David, wa Brazzaville kwa jumla ya mabao 2-0.
Rebecca, Mariko, Martha, Lilly, Joseah na Betty.
Baba mkwe wa Monica na Daisy. “Tumetia sahihi kandarasi mpya na Good
Bread ili kuchangisha fedha zitakazoiende-
Babu wa wengi sha klabu kwa miezi kadhaa ijayo. Mikate
Jamaa na marafiki wanakutana kila siku
hiyo tayari inauzika kwa sana na tunawasihi
nyumbani kwake Sombicho kwa maombi na
marayarisho ya mazishi.
Joseah Kipyegon mashabiki wetu kuinunua kwa fujo ili kuima-
Mwili utaondolewa hifadhi ya maiti ya Siloam leo
Mutai risha mapato yatakayovunwa kapuni mwetu,”
alisema Ngala.
saa nne asubuhi na kupelekwa kwa maombi katika kanisa la Kiptugumo SDA. Mazishi itafanyika
kesho Jumanne Aprili 14, 2015 kuanzia saa nne asubuhi nyumbani kwake Sombicho. Gor Mahia walisalia bila mdhamini baada
ya kujiondoa kwa kampuni ya maziwa ya Tuzo
Joseah, ulikuwa mwanga na nguvu katika familia yetu! ambayo ilifadhili utengenezaji wa jezi zao
Mioyoni mwetu utaishi daima. mwaka jana. Akielezea matumaini yake ka-
tika mkataba mpya baina ya K’Ogalo na Good
Bread, aliyekuwa Afisa Mkuu Mtendaji wa
Najitayarisha kwenda, je Gor Mahia, Omondi Aduda alisema kwamba
aliuasisi mradi huo ili kuhamasisha vijana wa
najitayarisha vipi? kocha Frank Nuttal kuutetea kwa mafanikio
ubingwa wao.
“Ni fahari kubwa kuona kwamba ndoto
Naweka kando mizigo na dhambi zangu niliyoianzisha katika enzi zangu hatimaye
imetimia. Ni matumaini yangu kwamba
na nazidi kuwa mwepesi kupaa. mashabiki ambao wamesalia waaminifu kwa
Gor Mahia watajitokeza kula mikate hiyo kwa
wingi hasa katika jiji la Kisumu ambako tunaji- MECHI ya awali baina ya Gor Mahia na Bandari katika Ligi Kuu
vunia wingi wa wafuasi,” alisema Aduda. Picha/CHRIS OMOLLO

Willie May Ford Smith • Inter Milan yawinda nyota wa City Samir Nasri, Yaya Toure na James Milner •
TAIFA LEO
Jumatatu, Aprili 13, 2015 31
SPOTI

Tutazidi kuwekea presha


Saints kuzidisha Chelsea, Wenger achemka
mbio za UEFA
KOCHA Ronald Koeman BURNLEY, Uingereza
anaamini vita vya ku-
maliza Ligi Kuu ya Uinge- ARSENAL imesimama wima, in-
reza katika nafasi ya tano gawa tunahitaji kudumisha msi-
vitaendelea hadi mwisho mamo huo ili kuwa na matumaini
wa msimu. ya kuwafikia viongozi wa Ligi
Koeman na klabu yake Kuu ya Uingereza, Chelsea.
ya Southampton walis- Hayo ni matamshi ya kocha Ar-
alimu amri ya kumaliza sene Wenger baada ya Arsenal kusa-
ndani ya nne-bora baada jili ushindi wake wa nane mfululizo
ya kulimwa hivi majuzi na kwa kulaza wenyeji Burnley 1-0 hii
Everton. ikiwa ni mara ya kwanza klabu hiyo
Ushindi mbichi wa kufanya hivyo tangu kunyakua
Saints wa 2-0 dhidi ya Hull ubingwa wa ligi hiyo msimu 2003-
umewapandisha kutoka 2004.
nafasi ya saba hadi tano, Chelsea walikuwa na pointi nne
pointi mbili mbele ya mbele ya Arsenal kabla ya kucheza
Liverpool na Tottenham dhidi ya QPR jana. Huku mechi
wote waking’ang’ania tikiti kati ya Arsenal na Chelsea ikinukia
ya kushiriki Ligi ya Uropa mnamo Aprili 26, vijana wa Wenger
msimu ujao. wameanza kujitokeza kama ma-
Liverpool wana nafasi ya hasimu wakuu wa Chelsea baada ya
kuwavuka Southampton kufagia pointi 24 kutoka mechi zao
tena leo watakapocheza nane za mwisho. Hata hivyo, Wenger
dhidi ya Newcastle, lakini ameshikilia kwamba ni lazima klabu
Koeman amesisistiza kuwa yake izidi kupepea na kuomba Chel-
mbio hizo ni za klabu tatu. sea iteleze ndiposa kombe hilo liweze
“Ni vita vinavyohusisha kuenda Emirates.
Liverpool, Tottenham na “Hakuna kilichobadilika. Ni lazi-
Southampton,” alisema. ma tuendelee kushinda kwa sababu
“Sikuamini macho yangu presha inatoka kwa Manchester
wakati Tottenham wal- United na Manchester City nyuma
ipoteza dhidi ya Aston Villa yetu,” aliongeza.
leo (Jumamosi). Tunafa- “Nadhani tumeshinda mechi
hamu ni vigumu kumaliza 15 kati ya 17 za mwisho ambazo
mbele ya Liverpool na tumecheza kwa hivyo tumesimama
Tottenham, lakini ushindi tisti. Matokeo haya mazuri yana-
huu unafanya tukaribie tokana na wachezaji wetu kupona
kutimiza lengo letu.” majeraha. Tunalenga kumaliza
Southampton, ambayo msimu kwa nguvu.”
Mkenya Victor Wanyama Bao hilo la tisa msimu huu la
husakatia, ilipata ush- Aaron Ramsey liliwezesha Arsenal
KOCHA wa Arsenal Arsene Wenger
indi huo kupitia penalti ya atoa maagizo kwa vijana wake katika kuzoa alama tatu dhidi ya Burnley,
James Ward-Prowse na mechi dhidi ya Burnley uwanjani Turf ambao walionesha ujasiri.
kombora la Graziano Pelle. Moor Jumamosi. Picha/AFP

Real yakaribia Barca ligini


UONGOZI wa klabu ya Barcelona umekatwa na MADRID, Uhispania
mahasimu wao wa jadi Real Madrid hadi pointi
mbili baada ya vijana hao wa Luis Enrique ku- maini. “Tulikaribiana kwa nguvu katika kipindi
kabwa na Seville 2-2 nao vijana wa Vicente del cha pili, timu zote zikipata nafasi kadhaa, lakini
Bosque wakapiga Eibar 3-0, Jumamosi. hakuna aliyekuwa juu. Tulifanya kosa lingine na
Dhidi ya wenyeji Seville, Barca waliongoza tukaishia kujuta.” Sare hiyo imefanya uongozi
2-0 kupitia mabao ya Lionel Messi na Neymar wa Barca kupunguzwa hadi pointi mbili zik-
katika dakika 30 za mwanzo. Lakini, makosa isalia mechi saba baada ya wavamizi wa Real
katika safu ya ulinzi kutoka kwa kipa Claudio Madrid, Cristiano Ronaldo, Javier Hernandez
Bravo na beki Gerard Pique yalifanya timu hizo na Jesé Rodríguez kuzamisha Eibar 3-0.
kugawana pointi kipenga cha mwisho kilipolia. Sevilla, ambao hawajashindwa mechi 33
Barca walinusia ushindi wao wa 10 mfululizo mfululizo nyumbani, wamewekea presha Atleti-
katika mashindano yote kabla ya kuteleza. co Madrid baada ya mabingwa hao watetezi
Kosa la kipa kutoka Chile, Bravo liliwapa Seville wa La Liga pia kutoka sare ya 2-2 na Malaga.
matumaini baada ya David Banega kuwaa- Ronaldo sasa amefunga mabao 301 katika
dhibu katika dakika ya 38. Seville, ambao ni Ligi Kuu ya Uhispania na analenga rekodi ya
mabingwa hao wa Ligi ya Uropa, walibahatika Raul Gonzalez
tena kutokana na masihara ya Pique, mvamizi Baada ya mechi hizo za wikendi, Barca,
Jose Antonio Reyes akitumia fursa hiyo kum- Real Madrid na Atletico Madrid wanaelekeza
megea pasi Kevin Gameiro, ambaye alimalizia macho yao kwa mechi za robo-fainali za Ligi
shambulizi hilo kufanya mambo kuwa 2-2. ya Mabingwa Ulaya zitakazosakatakwa kesho
“Tulicheza vizuri na kuwatatiza Seville katika na Jumatano. Matokeo: Real Madrid 3 Eibar 0,
kipindi cha kwanza,” Enrique alisema. “Inaai- Malaga 2 Atletico Madrid 2, Sevilla 2 Barcelona
bisha kuwa tulifungwa katika dakika chache, 2, Almeria 3 Granada 0, Celta Vigo 6 Rayo Val-
WANASOKA wa Real Madrid Cristiano Ronaldo, Karim Benzema na James Rodrigu- ambazo tulipoteza udhibiti na kuwapa matu- lecano 1.
ez washerehekea bao katika mechi ya awali. Picha/MAKTABA

• Kuna tetesi kuwa Man United itamkabidhi Robin van Persie Sh700m akubali kuhama Old Trafford mwisho wa msimu •
32 TAIFA LEO

spoti
Jumatatu, Aprili 13, 2015

TAIFA LEO La Liga: Real


wakaribia
Barcelona
UK 31

MASHABIKI wa Gor Mahia


na AFC Leopards wajumuika
jijini Nairobi baada ya mechi ya Na GEOFFREY ANENE
msimu uliopita. Picha/MAKTABA
REKODI ya viongozi Gor Mahia kuto-
dondosha pointi katika Ligi Kuu ya
Kenya (KPL) ilifikia kikomo baada ya
kukabwa na mahasimu wao wa jadi
AFC Leopards 1-1 katika gozi kali la
‘mashemeji’ ugani Nyayo jana.
Chenga safi kutoka pembeni kulia ziliacha
safu ya ulinzi ya Ingwe hoi baada ya kiungo
Ali Abondo, ambaye anaongoza ufungaji ka-
tika klabu hiyo, kumalizia chenga hizo kwa
bao safi.
Pande zote zilipoteza nafasi kadhaa safi
katika dakika kumi za mwisho za kipindi cha
kwanza ikiwa ni pamoja na shuti la Meddie
Kagere na Michael Olunga kujaa nje kwa up-
ande wa Gor na Austine Ikenna na Emmanuel
Ngama kukosa kulenga goli la Gor.
Baada ya kuenda mapumzikoni bao moja
chini, Leopards walirudi kipindi cha pili
na nia ya kupata kitu katika mechi hiyo na
wakafanikiwa kupata bao la mapema kupitia
mvamizi Jacob Keli. Keli alisukuma kimiani
bao rahisi baada ya kipa Boniface Oluoch
kushindwa kujinyanyua haraka.
Kocha Frank Nuttal alikiri kuwa Gor ilipote-
za nafasi nyingi katika vipindi vyote viwili.
“Tulikuwa na nafasi nyingi na hata nahisi
tulinyimwa penalti moja katika kipindi cha
pili. Nilitarajia mechi kuwa ngumu, lakini
nimefurahishwa na jinsi tulivyocheza,” al-
isema Nuttal.
Kocha Zdravko Logarusic pia alifurahia
kuokota pointi moja kutoka mechi hiyo.
Kufuatia sare hiyo, Gor Mahia ambayo ni
timu pekee ambayo haijashindwa, ilisalia
kileleni kwa alama 13 kutoka kwa mechi tano.
Wako alama moja mbele ya Western Stima am-
bao wamecheza mechi sita. Nayo Ingwe iliruka
hadi nafasi ya saba kwa alama tisa kutoka kwa
mechi sita.

MASHEMEJI
NGUVU SAWA

You might also like