Professional Documents
Culture Documents
Blasio - Duka La Spea Za Bajaj Na Pikipiki - Business - Plan 1 Draft
Blasio - Duka La Spea Za Bajaj Na Pikipiki - Business - Plan 1 Draft
Blasio - Duka La Spea Za Bajaj Na Pikipiki - Business - Plan 1 Draft
Business Plan
0scar Blasio
Mmiliki
Mkolani - MWZ
1
YALIYOMO
2
1 Muhtasari Mkuu
Blasio Auto Spare Parts ni duka la Vipuri vya Pikipiki litakalofunguliwa ndani ya eneo la Mkolani -
Mwanza
Lengo la kufungua duka hili ni kutoa huduma bora ya uuzaji wa Vipuri vya Pikipiki aina zote katika
eneo hili, vile vile lengo jingine ni kuiingizia familia kipato zaidi.
Biashara:
Duka hili linamilikiwa na Bw.Oscar Blasio. Madhumuni makubwa ya kufungua duka hili ni kuboresha
zaidi kipato badala ya kutegemea shughuli alizokuwa nazo awali.
Bidhaa:
Atauza Vipuri mbalimbali za ‘tri-cycle Kama Bajaj TVS, na Pikipiki aina Boxer,Sanlg,
TVS,Fekon,Hajoue.Na ili kufanya muonekano wa duka upendeze na kuvutia makundi ya bidhaa hizi
yatapangwa kwa ustadi mkubwa.
Soko:
Soko la Vipuri vya Pikipiki nchini Tanzania hasa mijini ni kubwa na limekuwa na watu wengi wa
matabaka yote hasa la kati na juu ambao ndio wamiliki na watumiaji wa vyombo hivi vya moto.
Ingawa yapo maduka makubwa ya Vipuri vya Pikipiki Jumla na rejareja (Auto Spare Parts - Wholesale
mall) lakini bado idadi yake ni ndogo sana ukilinganisha na uhitaji uliopo.
Mikakati na Utekelezaji:
Upekee wa Blasio Auto Spare Parts ni eneo duka litakapokuwa, Mkolani eneo ambalo linafikika na
watu wengi kiurahisi hususani watumiaji wa vyombo hivi.Mkakati huu wa masoko utalenga zaidi
katika huduma nzuri kwa wateja pamoja na uwekaji bango kubwa juu ya duka litakalokuwa na
maandishi juu“Blasio Auto Spare Parts”.
1.3 SULUHISHO
[Suluhisho ni kuongeza na kuboresha huduma katika Maduka ya Biashara ya kuuza Vipuri vya Pikipiki
ilikuboresha upatikanaji wake na ili kuwarahishia watumiaji wa bidhaa hizi muhimu waliopo katika
eneo la Mkolani na viunga vyake.
3
1.4 VITU VYA KUFANYA
[Je! Ni hatua gani kuu ambazo nitahitaji kuchukua ili kufanikiwa?]
Kuhakikisha mandhari ya duka kwa ujumla inakuwa ya kuvutia kwa kufanya usafi na kupanga
bidhaa katika mpangilio mzuri.
Kubana matumizi kwa kukwepa gharama zisizo kuwa za lazima ikiwa ni pamoja na Mmiliki
wenyewe kutokujilipa mshahara kwa kipindi cha miezi 6 tangu kuanzishwa biashara ili faida
irudi kuukuza mtaji maradufu ndani ya muda mfupi.
Kuhakikisha bidhaa zote za vipuri zinazotoka haraka haraka zinakuwepo dukani japo kila aina
kidogo kidogo hata kama jambo hili litalazimu kufanya manunuzi kila mara hasa kipindi
ambacho mtaji bado upo chini.
Kutafiti mapungufu yaliyopo katika biashara hii hususani kupitia wafanyabiashara wanaouza
bidhaa hizi za vipuri vya Pikipiki kwa rejareja waliopo maeneo haya na maeneo jirani.
Kupanga na kuzingatia muda maalumu wa kutoa huduma (muda wa kazi).
Kuongeza bidhaa nyingine zinazoendana na soko la Spare Parts na ambazo zitahitajika na
wateja wa eneo hili.
Kufanyia kazi maoni ya kila mteja wetu.
Kutoa huduma bora ikiwemo lugha nzuri ya biashara.
Kulipa wafanyakazi/vibarua kwa wakati.
Kuweka nidhamu ya fedha katika mapato na matumizi.
Kuwa na vibali ,leseni ya biashara kutoka mamlaka husika.
2.1 TaarifayaMisheni
[Taarifa hii ya misheni inapaswa kuhusiana na timu ya kazi]
Kwa kadiri biashara itakavyo ongezeka, nguvu kazi zaidi kwa maana ya wafanyakazi
watahitajika ambapo nitaweza kutoa ajira kwa mkataba wa muda maalum kwa malipo ya
mwezi (Mshahara).
Ili kuboresha utaratibu huu wa ajira itaandaliwa mikataba wa ajira ya muda maalumu
(mikataba wa kazi) utakaosainiwa na mfanyakazi /wafanyakazi kabla ya kuanza kazi.
2.2 Usimamizi&TimuKazi
[Nani anayefanya kazi hii na mimi] [Nani ninayehitaji kumuajiri?]
4
[Una uzoefu wowote katika biashara hii?]
Kwa sasa bado ninaongeza ujuzi kupitia watu wanao fanya biashara kama hii na kupitia mwongozo
wa biashara hii ya Duka la Vipuri vya Pikipiki.
[Ni nini utafanya timu ya kazi ifanikiwe kufanya biashara yako kufaulu?
5
2.3.2 Ufanisi wa Operesheni
Lengo lingine ni kuwa na muda maalumu kufanya matangazo ya biashara hii,ndani na nje ya eneo la
Mkolani
Na utoaji huduma endelevu kufungua mapema zaidi na kuchelewa kufunga na ikiwezekana kufanya
kazi hata siku za sikukuu ili kuwapa wateja uhakika zaidi wa kupata huduma zetu.
Kuweka mazingira rafiki kwa wateja wanaofika kuhudumiwa Dukani ikiwemo kuhakikisha pana
maegesho Parking) kwa ajili ya wateja wanaofika wakiwa na vyombo vyao vya usafiri.
6
3 Bidhaa & Huduma.
Bidhaazitakazouzwa.
Cam shafts GN
Tyresza tri- Cycle (Bajaj)
Tyres za Bodaboda
Rim za boxer size 18,17
Tubes size 16,17,18
Rim
Rim za Bajaj
Piston
Wiring
Indicator
Dashboard
Sterling
Taa ya mbele
Site mirror
Taa ya nyuma
Switch ya funguo
Switch ya taa yambele
Switch ya indicator
Clutch cable
Clutch plate
Clutch cent
Battery N9, NS
Accelator cable
Bulb za indicator
Bulb za taa ya nyuma
Bulb ya taa ya mbele
Bulb ya dashboard
Oils series za shock up za boxer & TVS
Oils series za gear level
Oils series za spoket
Bearings za mbele na nyuma
Plugs
Ring piston
Piston ring
Gasket overall
Kick
Kiti
Shaft ya kick
Shaft ya spoket
Shaft ya gear level
Engine coil
7
Magnet coil
Spoket full
Spoket single
Hub ya spoket ya nyuma
Hub ya brake
Brake pads
Pushrods
Stick brake
Tank
Mafuta ya brake
Bearings kifua
Stand kubwa
Stand ndogo
Spring break
Spring ya stand kubwa
Spring ya stand ndogo
Maji ya battery
Horn
Timing chain & adjust
Fuel pipes
Bumper za battery
Fuse box
Fuse
Uzi wa moto
Cylinder head GN
Mkasi GN
Nali
Bolt nuts
End claft
Master brake GN
Koki ya mafuta
Case ya nyuma GN
Air cleaner
Msumari tairi ya nyuma
Msumari tairi ya mbele
8
4 Uchambuzi wa soko
4.2 Wateja
Walengwa wakuu ni wamiliki na madereva wa vyombo hivi vya Pikipiki waliopo Mwanza
[Je! Biashara yangu na suluhisho ninalotoa ni bora kuliko za washindani waliopo katika eneo
hili?]………………………………………………………………(Ndiyo/Hapana)
Kwa kupokea taarifa kupitia wateja nitakao wahudumia nitaweza kubaini mahitaji yao na
kufanyia kazi mapungufu hayo ili kutoa huduma zilizo bora zaidi ya washindani kibiashara
waliopo .
9
JEDWALI: MLINGANYO WA UBORA WA HUDUMA KATIKA USHINDANI WA KIBIASHARA.
BIDHAA
BEI
UBORA
MACHAGUO
HUDUMA
KUAMINIKA
MAPUNGUFU
UTAALAMU
SIFA
MAHALI
MUONEKANO
NJIA ZA UUZAJI
SERA ZA MIKOPO
MATANGAZO
NEMBO
10
[Gharama ipoje kupata hao wateja?]
Kutumia mitandao ya kijamii gharama yake ni kutumia huduma ya internet lakini pia kufanya
malipo ya ‘sponsored ads’ pale inapohitajika ambapo gharama ya chinini usd 5 (tshs 12’000/-
) kwasiku 5.(kwa maelekezo zaidi Mshauri wa kibiashara – 0656325757)
Pia watakao tumia bidhaa zetu wataokoa muda wao kwa sababu Blasio Auto Spare Parts,
Tutaweza kumfikia mteja alipo kwa haraka mara tu anapohitaji huduma na bidhaa zetu ndani
ya eneo la Sido.
11
6 Mpango wa fedha & Makadirio
6.1 Gharama za Kuanzisha na Ufadhili
Gharama zote za kuanza biashara hii zitatokana na vyanzo vyangu BINAFSI VYA MAPATO.
12
RIM 17’ TVS & BM MBELE 40000
RIM 17’ TVS & BM NYUMA 45000
TYRE GN NYUMA 45000
TYRE GN MBELE 40000
RIM TVS MBELE 65000
RIM TVS NYUMA 60000
RIM BM MBELE 60000
RIM BM NYUMA 55000
TUBE SIZE 16 MBELE 40000
TUBE SIZE 16 NYUMA 45000
RIM BAJAJI 70000
PISTON GN 150 5500
PISTON GN 125 5000
PISTON BM 9500
PISTON TVS 10000
WIRING GN 8000
WIRING BM 10000
WIRING TVS 15000
DASH BOARD GN 12000
DASH BOARD TVS 18000
DASH BOARD BM 18000
13
14
Gharamazakuanzia
Gharamazalazima
LESENI/SHERIA NA VIBALI
MANUNUZI YA AWALI YA BIDHAA ZOTE JUMLA
MANUNUZI MENGINEYO
BANGO LENYE JINA LA BIASHARA
MSHAHARA WA MFANYAKAZI
CHAGA ZA KUPANGIA BIDHAA
SHOWCASE DISPLAY CABINET
KODI YA FRAME @MWEZI_________ XMIEZI _____
MAREKEBISHO YA FRAME
MENGINEYO
Jumlayagharamazalazima
Kadirio la gharamazamwezi
kodi
Vyakutumia
Mishahara / Posho
Gharamayawastaniyakilamwezi
x Idadiyamiezi:
GharamaJumlayaMwezi
GharamazaKuanzishajumla
15