1. Onyesha kwa tafsili “ubantu” wa Kiswahili [alama 20]
2. Tathmini sera ya lugha nchini Kenya baada ya uhuru. [alama 20] 3. Jadili kauli kwamba Kiswahili ni lugha ya kimataifa kwa kurejelea mifano mwafaka [alama 20] 4. Fafanua mchango wa wanasheria katika kukuza na kuendeleza Kiswahili nchini Kenya. [alama 20] 5. “Ingawa Afrika ina lugha nyingi zenye wasemaji wengi kama vile Igbo, Hausa, Amharic, Kiarabu miongoni mwa lugha nyingine, Kiswahili kinafaa zaidi kuchaguliwa kuwa lingua Franka ya bara hili – Chimerah 1998. Jadili kauli hii [alama 20]