lililorutubishwa, hutengeneza chakula cha Samaki wafugwao hula chakula cha ziada. asili ambacho ni nafuu na hupunguza Chakula hiki hutengenezwa kwa kutumia gharama za uzalishaji. Ili kufuga kwa tija na mchanganyiko wa malighafi mbalimbali JAMHURI YA MUUNGANO WA kupata mavuno makubwa, inashauriwa kama dagaa, pumba, mashudu, madini na TANZANIA mfugaji atumie chakula bora cha ziada. vitamini. Malighafi hizi zina virutubisho Ubora wa chakula ni pamoja na uwepo wa muhimu kwa ajili ya ukuaji mzuri wa WIZARA YA MIFUGO NA UVUVI virutubisho muhimu na urahisi wa samaki. Virutubisho hivi ni protini, wanga, kumenge’nywa na samaki. mafuta, madini na vitamini. IDARA YA UKUZAJI VIUMBE MAJI 3.1. Kiwango cha malighafi katika chakula cha samaki Chakula cha ziada cha samaki huweza CHAKULA CHA SAMAKI kutengenezwa na mfugaji mwenyewe au kutoka viwandani. Iwapo mfugaji, mathalani anataka kutengeneza kilogramu 50 za chakula cha samaki, anashauriwa changanya: bwawa lililo rutubishwa 1. Dagaa au soya: 7 kg; 2. Mashudu ya alizeti, 21.04 kg; 2. Chakula cha asili. 3. Pumba za mahindi 14.60 kg; Kwa kawaida, samaki hula chakula cha asili 4. Unga wa muhogo 7.20 kg; kinachozalishwa kwenye bwawa baada ya 5. madini na vitamin 0.16 kg. kurutubishwa. i. tengeneza sehemu ya kutunzia mbolea Aidha, mfugaji anaweza kutumia chakula (uwigo) ndani ya bwawa upande maji kilichotengenezwa viwandani. Chakula hiki yanapoingilia kwa kutumia fito na hupatikana katika aina tatu kulingana na kuziimarisha kwa kamba; umri wa samaki (starter, grower na finisher). ii. weka mbolea ya samadi ya wanyama Chakula cha samaki wazazi na vifaranga kama ng`ombe, mbuzi, kondoo, sungura, huwa na kiwango kikubwa cha protini ili bata, kuku na mboji; kuwafanya watotoe vifaranga vingi na iii. Hakikisha uwigo una mbolea wakati wote vyenye ubora. ili kuwezesha maji kuwa ya kijani kwa kuzalisha vijimea (algae); 3. Namna ya kuandaa chakula cha samaki iv. Pima ukijani kwa kutumbukiza kiganja cha 1. changanya malighafi ulizonazo kwa mkono mpaka usawa wa kiwiko na ukione uwiano ulioanishwa; 1. UTANGULIZI kwa uhafifu. Kiganja kikionekana waziwazi, 2. saga mchanganyiko huo hadi ilainike; Chakula bora cha samaki ni hitaji muhimu ni kiashirio kuwa mbolea haitoshi au katika ukuaji wa samaki. Matumizi ya kinyume chake. vi. Rekodi kiwango kilicholiwa kwa siku kwa 40487 Dodoma ajili ya kumbukumbu. Simu: +255 (0)769220212 Nukushi: +255 (0)2861908 5. Muda na jinsi ya kulisha samaki E-mail: daq@uvuvi.go.tz i. lisha samaki wako asubuhi kati ya saa 3.00 hadi saa 4.00 na jioni kati ya saa 10:00 hadi saa 11:00 kwa kuwa ni muda ambao bwawa lina joto na mwanga wa 3. unaweza kuweka chakula cha samaki wastani; kwenye mfumo wa punje (pellets) kwa ii. tumia eneo moja la bwawa kuwalisha kutumia mashine ya kusaga nyama au ya samaki kila siku ili kuwazoesha na kutengenezea tambi; kuwafanya wale chakula kingi. 4. anika chakula kwenye jua la wastani; baada ya kukauka, vunja vunja punje za ZINGATIA: Uchaguzi mzuri wa chakula chakula vipande vidogo vidogo kwa bora cha samaki, uhifadhi na ulishaji kwa kuzingatia umri wa samaki; kuzingatia kanuni huchangia kwa kiasi 5. hifadhi chakula kikavu kwenye mifuko safi kikubwa kuleta mafanikio. na salama, weka juu ya chanja kuepusha kuvunda kutokana unyevunyevu unaosababisha kuvu (fungus).
Kwa maelezo zaidi kuhusu chakula cha
samaki, wasiliana kupitia: 4. Ulishaji wa samaki i. chunguza ubora wa maji na tabia ya KATIBU MKUU (UVUVI), samaki iwapo wamechangamka; WIZARA YA MIFUGO NA UVUVI, ii. chunguza dalili za uwepo wa magonjwa; S.L.P 2847, iii. iwapo joto la maji limeshuka isivyo 40487 DODOMA kawaida au kuna dalili za ugonjwa Simu: +255 26 2322612 punguza kiasi cha kulisha kwa kuwa Nukushi: +255 (0)2861908 watakula kiasi kidogo; E-mail: ps@uvuvi.go.tz iv. iwapo kiasi cha ulaji wa samaki umepungua, usiwalishe siku inayofiata; Kwa ufafanuzi zaidi wasiliana nasi kupitia: v. Kama wanakula kwa kugombania, ongeza chakula mpaka watakapo acha Idara ya Ukuzaji Viumbe Maji, kugombea. Wizara ya Mifugo na Uvuvi, S.L.P 2847,