Professional Documents
Culture Documents
Katiba Ya Kikundi Cha Wazalendodocx
Katiba Ya Kikundi Cha Wazalendodocx
Katiba Ya Kikundi Cha Wazalendodocx
KATIBA YA CHAMA
Jina la Kikundi ni Wazalendo Group (WAGRO)
Kikundi cha Wajasiriamali wadogo wadogo
1.0. UANACHAMA
Maana ya uanachama:- Mwanachama ni yule mtu aliye jiunga kwenye kikundi kwa hiari yake kwa
kukubaliana na taratibu pamoja na masharti ya kikundi. Idadi ya Wanachama ni (10)
4.0 UONGOZI
Kikundi kitakuwa na viongozi wafuatao:-
1. Mwenyekiti
2. Katibu
3. Mweka hazina.
AGENDA
1. Kufungua
2. Kusoma muhtasari wa kikao kilichopita 18/10/2021
3. Kupitisha katiba
4. Mengineyo
5. Kuchangua viongozi
6. Kusajili kikundi ngazi ya Wilaya
7. Ufunguzi wa akaunti.
8. Kufunga kikao
AGENDA NA. 01/2021 KUFUNGUA KIKAO
Mwenyekiti amefunga kikao mnamo Saa2:30 Asubuhi akiwaomba wajumbe wachangie mawazo
mbalimbali katika kikao.
………………………
Shikome Nyanda
M/KITI
KIKUNDI CHA WAZALENDO,
(WAGRO),
KITONGOJI KINONDONI,
KATA-KINONDONI,
KINONDONI.
MKURUGENZI MTENDAJI,
HALMASHAURI YA WILAYA,
S.L.P …..,
KINDONDONI.
K.K,
AFISA MTENDAJI,
KATA KINONDONI,
S.L.P ……,
KINONDONI.
……………………….. ……………….……..
EMMANUEL MALLYA SHIKOME NYANDA
KATIBU M/KITI
MUHTASARI WA KIKUNDI CHA KARAGWE TUINUANE
KIUCHUMI (KIKATUKI) KITONGOJI KAGURURU,
KATA KAYANGA, TAREHE 21/10/2021
WALIOHUDHURIA:-
NA. JINA KAMILI CHEO SAHIHI
1. SHIKOME NYANDA M/KITI
2. EMMANUEL MALLYA KATIBU
3. DENIS AVIT M/HAZINA
4. MATOKE MATOKE MJUMBE
5. EMMANUEL CONSTANTINE MJUMBE
6. MANINGU CHARLES MJUMBE
7. MJUMBE
8. MJUMBE
9. MJUMBE
10. MJUMBE