Download as doc, pdf, or txt
Download as doc, pdf, or txt
You are on page 1of 1

Somo:. Nguvu ya Mfungo wa Kibiblia.

Mathayo 6: 16-18
"Tena mfungapo" maneno haya yanaonyesha kuwa
Wakristo wanapaswa kufunga. Mfungo si hiari ingawa
lazima ufanyike katika namna ya kuwa na Nia sahihi ili
kupata matokeo Bora.
Mambo matatu ya kuangalia.
1. Mfungo wenye kusudi
Mathayo 6:16a; 2 Mambo ya Nyakati 20:1-4; Nehemia
1:2-4; Esta4: 1-3, 16.
2. Mwonekano wa Mfungo usiyo sahihi
Luka 18:11,12. Isaya 58:1-7. Zekaria 7: 4-6
3. Nguvu itokanayo na mtazamo sahihi katika Mfungo.
Mathayo 6: 17,18; 17:19-21; Yona 3:5-10; matendo 13:
1-5, 6-12.

Hitimisho. Mfungo uliofanywa katika mtazamo sahihi au


Kwa namna sahihi Unao nguvu ya kufungua milango
iliyofungwa, na KUONDOA matatizo sugu yaliyodumu
Kwa muda mrefu.

You might also like