Professional Documents
Culture Documents
01 Kiswahili
01 Kiswahili
KISWAHILI
BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
KISWAHILI
Kimechapishwa na
Baraza la Mitihani la Tanzania,
S.L.P. 2624,
Dar es Salaam, Tanzania.
ii
YALIYOMO
DIBAJI ................................................................................................................. IV
1.0 UTANGULIZI ................................................................................................1
2.0 UCHAMBUZI WA MAJIBU YA WATAHINIWA .............................................1
2.1 SEHEMU A: SARUFI ......................................................................................1
2.2 SEHEMU B: LUGHA YA KIFASIHI ...................................................................19
2.3 SEHEMU C: UFAHAMU ................................................................................29
2.4 SEHEMU D: USHAIRI...................................................................................39
2.5 SEHEMU E: UTUNGAJI ................................................................................45
3.0 HITIMISHO .................................................................................................46
4.0 MAONI NA MAPENDEKEZO .....................................................................48
KIAMBATISHO A ................................................................................................49
iii
DIBAJI
iv
Aidha, Baraza la Mitihani la Tanzania lina imani kuwa endapo maoni
yaliyotolewa yatafanyiwa kazi ipasavyo, ujuzi na maarifa watakayopata
wanafunzi wanaohitimu elimu ya msingi vitaongezeka na hatimaye kiwango cha
ufaulu katika Mtihani wa Kumaliza Elimu ya Msingi kitaongezeka pia.
v
vi
1.0 UTANGULIZI
1
Majibu ya watahiniwa
3
Majibu ya watahiniwa
Chaguo A B C D* E Wasiojibu Mengine
Idadi ya
86,702 216,379 96,050 394,268 46,404 2,427 2,523
watahiniwa
Asilimia ya
10.26 25.61 11.37 46.67 5.49 0.29 0.3
watahiniwa
4
Majibu ya watahiniwa
5
Majibu ya watahiniwa
Chaguo A B C* D E Wasiojibu Mengine
Idadi ya
117,640 182,789 399,380 51,234 87,293 3,507 2,910
watahiniwa
Asilimia ya
13.93 21.64 47.28 6.06 10.33 0.42 0.34
watahiniwa
6
Majibu ya watahiniwa
Chaguo A B C D* E Wasiojibu Mengine
Idadi ya
152,787 133,451 94,744 337,812 119,710 3,191 3,058
watahiniwa
Asilimia ya
18.09 15.8 11.22 39.99 14.17 0.38 0.36
watahiniwa
7
Swali lililenga kupima uwezo wa watahiniwa kutumia sarufi ya lugha. Swali
hili ni miongoni mwa maswali yaliyojibiwa kwa usahihi na idadi kubwa ya
watahiniwa katika mtihani huu ambapo 77.77 ya watahiniwa ndio
waliochagua jibu sahihi yaani B “jinsi ya.” Uchaguzi wa kipotoshi C “jinsia
ya” unaonesha kuwa watahiniwa hawakuwa na ujuzi wa kuelewa tofauti
iliyopo kati ya “jinsi ya” ikiwa na maana “namna ya” na “jinsia ya” maana
yake ikiwa ni hali ya kuwa mume au mke. Aidha uchaguzi wa vipotoshi A
“ibara ya” D “ilhali ya” na E “aina ya” kwa asilimia 13.83 unaonesha kuwa
watahiniwa walishindwa kuelewa maana ya maneno hayo na jinsi
yasivyoweza kuikamilisha sentensi iliyotolewa.
Majibu ya watahiniwa
Chaguo A B C D* E Wasiojibu Mengine
Idadi ya
70,687 87,495 55,231 416,752 208,026 3,515 3,047
watahiniwa
Asilimia ya
8.37 10.36 6.54 49.33 24.63 0.42 0.36
watahiniwa
8
asilimia 25.27 ulidhihirisha kuwa baadhi ya watahiniwa walikuwa hawajui
msamiati sahihi unaoelezea sehemu inayotumika kuwaogeshea ng’ombe ili
kuwaepusha na magonjwa kwani Mto, Bwawa na Ziwani ni sehemu zenye
maji na huenda ng’ombe wangeweza kuogeshewa lakini hazina dawa
maalum kwa ajili ya kuwaogesha na kuwaepusha na magonjwa. Uchaguzi
wa kipotoshi E “Joshi” ambacho sio jibu sahihi kikiwa na maana ya sehemu
ya mbele au tanga la mbele la chombo kinachosafiri ndani ya maji ulitokana
na kuvutiwa tu kwa watahiniwa kutokana na athari za kimatamshi.
Majibu ya watahiniwa
Chaguo A* B C D E Wasiojibu Mengine
Idadi ya
571,409 54,177 55,294 50,746 107,616 2,653 2,858
watahiniwa
Asilimia ya
67.64 6.41 6.55 6.01 12.74 0.31 0.34
watahiniwa
9
hiyo wakaviona vipotoshi venye maneno “Mamboga” na “machumvi” kuwa
jibu sahihi wakati maneno hayo hayana umoja na wingi. Uteuzi wa kipotoshi
E unaonesha jinsi watahiniwa hao 107,616 sawa na asilimia 12.74
wasivyokuwa na ujuzi wa kutosha kuhusu wingi wa nomino “Chumvi” ambao
unabakia kuwa “chumvi” kwa umoja na wingi. Hali hii inadhihirisha kuwa
watahiniwa wengi hudhani kuwa ni lazima kila nomino kuwa na umbo
mahususi lioneshalo wingi.
Majibu ya watahiniwa
Chaguo A B* C D E Wasiojibu Mengine
Idadi ya
41,959 272,066 260,189 227,862 37,189 2,664 2,824
watahiniwa
Asilimia ya
4.97 32.21 30.8 26.97 4.4 0.32 0.33
watahiniwa
Swali la 11: Sentensi ipi kati ya hizi ipo katika hali timilifu?
A. Mheshimiwa Rais anahutubia mkutano
B. Mheshimiwa Rais alihutubia mkutano
C. Mheshimiwa Rais atahutubia mkutano
D. Mheshimiwa Rais amehutubia mkutano
E. Mheshimiwa Rais alikuwa anahutubia mkutano.
Majibu ya watahiniwa
Chaguo A B C D* E Wasiojibu Mengine
Idadi ya
299,649 88,311 66,092 241,306 142,887 3,293 3,215
watahiniwa
Asilimia ya
35.47 10.45 7.82 28.57 16.91 0.39 0.38
watahiniwa
11
Swali la 12: Neno lipi ni tofauti na maneno mengine kati ya yafuatayo?
A. Maji
B. Maziwa
C. Soda
D. Juisi
E. Samli.
Majibu ya watahiniwa
Chaguo A B C D E* Wasiojibu Mengine
Idadi ya
88,955 78,139 38,787 28,707 604,472 2,327 3,366
watahiniwa
Asilimia ya
10.53 9.25 4.59 3.4 71.56 0.28 0.4
watahiniwa
12
E. kama hicho.
Majibu ya watahiniwa
Chaguo A B C D E* Wasiojibu Mengine
Idadi ya
40,158 79,487 133,888 36,987 548,722 2,455 3,056
watahiniwa
Asilimia ya
4.75 9.41 15.85 4.38 64.96 0.29 0.36
watahiniwa
Swali la 14: “Tunda huachwa mpaka likauke.” Sentensi hiyo ikiwa katika hali
ya ukanushi itakuwa ipi kati ya zifuatazo?
A. Tunda haliachwi mpaka likauke
B. Tunda haliachi mpaka likauke
C. Tunda halikuachwa mpaka likauke
D. Tunda halitaachwa mpaka likauke
E. Tunda halijaachwa mpaka likauke.
Majibu ya watahiniwa
Chaguo A* B C D E Wasiojibu Mengine
Idadi ya
471,327 63,801 100,445 145,850 57,034 3,408 2,888
watahiniwa
Asilimia ya
55.79 7.55 11.89 17.27 6.75 0.4 0.34
watahiniwa
13
Swali lililenga kupima uwezo wa mtahiniwa katika kutambua hali mbalimbali
zinazojitokeza katika sentensi. Asilimia 55.79 ya watahiniwa walichagua jibu
A “Tunda haliachwi mpaka likauke” ambalo ndilo jibu sahihi. Watahiniwa
145,850 sawa na asilimia 17.27 walichagua kipotoshi D “Tunda halitaachwa
mpaka likauke” ambacho si jibu sahihi na huenda walifanya hivyo kwa
sababu walidhani kuwa ili kuonesha hali ya ukanushi ni lazima iwe katika
wakati ujao jambo ambalo sio sahihi. Uteuzi wa vipotoshi B, C na E kwa
asilimia 26.19 inaonesha wazi kuwa watahiniwa husika hawakuwa na ujuzi
wa hali mbalimbali zinazojitokeza katika sentensi. Aidha, watahiniwa hao
hawakuweza kuona kuwa sentensi “Tunda huachwa mpaka likauke” ilikuwa
katika wakati wa mazoea hivyo hata jibu sahihi hupaswa kuwa katika wakati
huo huo wa mazoea.
Majibu ya watahiniwa
Chaguo A B* C D E Wasiojibu Mengine
Idadi ya
111,847 370,963 258,799 52,724 44,562 3,126 2,732
watahiniwa
Asilimia ya
13.24 43.91 30.64 6.24 5.28 0.37 0.32
watahiniwa
14
Swali lililenga kupima uwezo wa mtahiniwa katika utumizi wa lugha.
Watahiniwa 370,963 sawa na asilimia 43.91 walichagua B “Mkutano
uliahirishwa” ambalo ndilo jibu sahihi. Watahiniwa 311,523, sawa na asilimia
36.88 walichagua kati ya kipotoshi C “Mkutano ulihairishwa” na kipotoshi D
“Mkutano uliharishwa” ambavyo sio majibu sahihi jambo linaloonesha kuwa
walikosa maarifa ya semantiki ya Kiswahili. Watahiniwa hao walivutiwa na
neno “hairishwa” na “harishwa” bila kutambua kuwa kisarufi hayakuwa
maneno sahihi. Athari za kimatamshi zinaweza pia kuwa zilichangia kwa
watahiniwa waliochagua kipotoshi A “uliairishwa” na E “Ulihairisha” badala
ya “Uliahirishwa.”
Majibu ya watahiniwa
Chaguo A B C D E* Wasiojibu Mengine
Idadi ya
103,861 139,911 311,664 116,491 164,282 5,789 2,755
watahiniwa
Asilimia ya
12.29 16.56 36.89 13.79 19.45 0.69 0.33
watahiniwa
Swali la 17: Joshua yuko jikoni anapaa samaki. Neno “anapaa” kama
lilivyotumika katika sentensi hii lina maana ipi?
A. Kuwapaka samaki chumvi
B. Kuondoa magamba ya samaki
C. Kuondoa mifupa katika samaki
D. Kukausha samaki kwa moto
E. Kuwakata samaki vipande vipande.
Majibu ya watahiniwa
Chaguo A B* C D E Wasiojibu Mengine
Idadi ya
78,395 394,909 45,588 274,397 46,572 2,340 2,552
watahiniwa
Asilimia ya
9.28 46.75 5.4 32.48 5.51 0.28 0.3
watahiniwa
Majibu ya watahiniwa
Chaguo A* B C D E Wasiojibu Mengine
Idadi ya
470,470 109,924 61,338 77,125 119,297 4,072 2,527
watahiniwa
Asilimia ya
55.69 13.01 7.26 9.13 14.12 0.48 0.3
watahiniwa
17
C. Theluji
D. Ukungu
E. Angaza
Majibu ya watahiniwa
Chaguo A B* C D E Wasiojibu Mengine
Idadi ya
184,999 242,924 153,338 104,114 152,024 4,688 2,666
watahiniwa
Asilimia ya
21.9 28.76 18.15 12.32 18 0.55 0.32
watahiniwa
18
Majibu ya watahiniwa
Chaguo A B C* D E Wasiojibu Mengine
Idadi ya
104,410 66,577 412,314 174,084 81,272 2,893 3,203
watahiniwa
Asilimia ya
12.36 7.88 48.81 20.61 9.62 0.34 0.38
watahiniwa
19
Majibu ya watahiniwa
Chaguo A* B C D E Wasiojibu Mengine
Idadi ya
531,352 151,088 67,837 45,568 42,330 3,583 2,995
watahiniwa
Asilimia ya
62.9 17.89 8.03 5.39 5.01 0.42 0.35
watahiniwa
20
Majibu ya watahiniwa
Chaguo A* B C D* E Wasiojibu Mengine
Idadi ya
485,482 108,277 63,433 126,139 55,445 2,801 3,176
watahiniwa
Asilimia ya
57.47 12.82 7.51 14.93 6.56 0.33 0.38
watahiniwa
21
Majibu ya watahiniwa
Chaguo A B C* D E Wasiojibu Mengine
Idadi ya
192,645 91,149 368,544 99,386 84,901 5,040 3,088
watahiniwa
Asilimia ya
22.8 10.79 43.63 11.77 10.05 0.6 0.37
watahiniwa
22
Majibu ya watahiniwa
Chaguo A B* C D E Wasiojibu Mengine
Idadi ya
79,597 410,027 102,204 114,055 132,241 3,448 3,181
watahiniwa
Asilimia ya
9.42 48.54 12.1 13.5 15.65 0.41 0.38
watahiniwa
Majibu ya watahiniwa
Chaguo A B C D E* Wasiojibu Mengine
Idadi ya
164,129 155,108 220,617 84,378 213,460 3,739 3,322
watahiniwa
Asilimia ya
19.43 18.36 26.12 9.99 25.27 0.44 0.39
watahiniwa
23
Swali lililenga kupima uwezo wa watahiniwa kuhusu matumizi ya semi
katika lugha ya Kiswahili. Asilimia 25.27 ya watahiniwa walichagua jibu E
“kuwa na tabia ya majivuno” ambalo ni jibu sahihi. Uteuzi wa vipotoshi kati
ya A, B, C na D kwa asilimia 73.9 unaonesha ni kwa kwa kiasi gani
watahiniwa hawakuwa na ujuzi wa kutosha kuhusu semi mbalimbali za
Kiswahili. Kwa mfano “kupata mafanikio makubwa” msemo unaoendana
na hali hiyo ni “Kula uhondo kunataka matendo,” “Kukabidhiwa madaraka
makubwa” nao huweza kuendana na nahau isemayo “Kuua tembo kwa
ubua” yaani kufanikiwa jambo kwa urahisi bila ya kutarajia. Vipotoshi
vingine kama “Kuwa na hali ya hasira au hali ya huzuni” vina mfanano
uoneshao kuwa mtu hana raha, hivyo vyote hivyo visingefaa kuwa jibu
sahihi la nahau “amevimba kichwa” ambayo maana yake ni kuwa na
majivuno.
Swali la 26: “Kitanda usichokilalia hujui kunguni wake.” Methali ipi kati ya
zifuatazo ina maana sawa na hiyo?
A. Pema usipopema ukipema si pema tena
B. Kizuri hakikosi ila
C. Mtu siri kusema na moyo wake
D. Nyumba usiyoilala ndani hujui ila yake
E. Pilipili usiyoila yakuwashia nini.
Majibu ya watahiniwa
Chaguo A B C D* E Wasiojibu Mengine
Idadi ya
96,096 80,122 73,449 375,725 212,474 3,701 3,186
watahiniwa
Asilimia ya
11.38 9.48 8.69 44.48 25.15 0.44 0.38
watahiniwa
24
Swali lililenga kupima uelewa wa mtahiniwa kuhusu kutambua maana ya
methali aliyopewa. Asilimia 44.48 ya watahiniwa walichagua D “Nyumba
usiyoilala ndani hujui ila yake,” ambalo ndilo jibu sahihi. Watahiniwa
212,474 sawa na asilimia 25.15 waliochagua E “Pilipili usiyoila
yakuwashia nini” hawakuwa na uelewa wa methali hiyo na walishindwa
kutambua kuwa maneno “ya kuwashia nini” yakiwa na maana “usiyaingilie
mambo yasiyokuhusu” katika ukamilishaji wa methali hiyo hayana maana
sawa na maneno ya methali iliyoulizwa “hujui kunguni wake.” yakiwa na
maana kwamba huwezi kukisia uzito wa jambo ambalo halijakufika.
Majibu ya watahiniwa
Chaguo A B C D E* Wasiojibu Mengine
Idadi ya
109,407 107,793 159,392 133,366 327,579 3,878 3,338
watahiniwa
Asilimia ya
12.95 12.76 18.87 15.79 38.78 0.46 0.4
watahiniwa
Swali la 28: “Bwana mkubwa amelala ndani lakini ndevu zipo nje
zapepea.” Jibu sahihi la kitendawili hiki ni lipi?
A. Ulezi
B. Mpunga
26
C. Ngano
D. Mahindi
E. Mtama.
Majibu ya watahiniwa
Chaguo A B C D* E Wasiojibu Mengine
Idadi ya
32,459 40,138 33,954 706,152 26,903 2,429 2,718
watahiniwa
Asilimia ya
3.84 4.75 4.02 83.59 3.18 0.29 0.32
watahiniwa
27
Majibu ya watahiniwa
Chaguo A B C* D E Wasiojibu Mengine
Idadi ya
64,692 273,929 196,878 179,499 120,354 6,505 2,896
watahiniwa
Asilimia ya
7.66 32.43 23.31 21.25 14.25 0.77 0.34
watahiniwa
28
Majibu ya watahiniwa
Chaguo A B C D E* Wasiojibu Mengine
Idadi ya
72,095 484,582 79,651 85,162 115,799 4,412 3,052
watahiniwa
Asilimia ya
8.53 57.36 9.43 10.08 13.71 0.52 0.36
watahiniwa
30
Majibu ya watahiniwa
Chaguo A B* C D E Wasiojibu Mengine
Idadi ya
56,401 678,082 38,598 34,293 32,064 2,568 2,747
watahiniwa
Asilimia ya
6.68 80.27 4.57 4.06 3.8 0.3 0.33
watahiniwa
Swali la 32: Wakulima wengi kama ilivyoelezwa katika habari hii hulima
kilimo kinachotegemea nini?
A. Mito
B. Umwagiliaji
C. Mvua
D. Mabwawa
31
E. Maziwa.
Majibu ya watahiniwa
Chaguo A B C* D E Wasiojibu Mengine
Idadi ya
61,052 247,974 467,394 31,721 30,503 3,345 2,764
watahiniwa
Asilimia ya
7.23 29.35 55.33 3.76 3.61 0.4 0.33
watahiniwa
Majibu ya watahiniwa
32
Swali lilikuwa linapima ufahamu wa kusoma kwa makini kifungu cha
habari na kutambua mambo muhimu yaliyoelezwa. Asilimia 65.94 ya
watahiniwa waliofanya mtihani waliweza kujibu swali hili kwa usahihi kwa
kuchagua jibu A “Kima” kwa sababu aya ya kwanza ilikuwa inajitosheleza
kueleza wanyama wote wanaoishi majini. Watahiniwa waliochagua
vipotoshi B, “Mamba” C, “Nyangumi,” D “Kasa” na E, “Samaki” walikuwa
asilimia 33.26, watahiniwa hao walikosa ujuzi wa kusoma kwa makini na
kupata ufahamu kutoka katika kifungu walichopewa. Aidha watahiniwa
hao walishindwa kutambua kuwa katika orodha hiyo ya viumbe ina sifa
moja inayofanana ambayo ni kuishi majini isipokuwa Kima ambaye ni
jamii ya nyani na tumbili na huishi nchi kavu.
Majibu ya watahiniwa
Chaguo A* B C D E Wasiojibu Mengine
Idadi ya
269,117 124,299 81,753 75,141 286,743 4,823 2,877
watahiniwa
Asilimia ya
31.86 14.71 9.68 8.9 33.94 0.57 0.34
watahiniwa
33
kubwa ya kilimo cha umwagiliaji ni uvunaji ulio wa uhakika. Asilimia 33.94
ya watahiniwa walichagua kipotoshi E “Kinalimika majira yoyote”
ambacho sio jibu sahihi kwa sababu habari hiyo haikueleza kuhusu kilimo
kinacholimika majira yote. Uteuzi wa vipotoshi B na C unaonesha kuwa
watahiniwa walipotoshwa na dhana ya uhitaji wa maji mengi katika kilimo
cha umwagiliaji. Aidha uteuzi wa kipotoshi D unaonesha uelewa mdogo
wa usomaji wa habari kwa vile suala la mazao kupata magonjwa
halikuelezwa kabisa katika habari waliyopewa.
Swali la 35: Neno “siha” kama lilivyotumika katika kifungu hiki cha habari
lina maana gani?
A. Afya njema
B. Sifa njema
C. Maisha mema
D. Tabia njema
E. Kinywa safi.
Majibu ya watahiniwa
Chaguo A* B C D E Wasiojibu Mengine
Idadi ya
522,011 96,416 102,676 58,783 60,369 2,027 2,471
watahiniwa
Asilimia ya
61.79 11.41 12.15 6.96 7.15 0.24 0.29
watahiniwa
34
neno “siha” ambalo linahusu afya. Aidha, uteuzi wa vipotoshi C “Maisha
mema,” D “Tabia njema” na E “Kinywa safi” unaonesha kuwa watahiniwa
walikosa maarifa ya kuwawezesha kufahamu maana za misamiati na
hasa ikizingatiwa kuwa maneno hayo yanahusiana ingawa yana maana
tofauti.
Majibu ya watahiniwa
Chaguo A B C D* E Wasiojibu Mengine
Idadi ya
32,740 42,344 60,330 677,250 27,632 2,289 2,168
watahiniwa
Asilimia ya
3.88 5.01 7.14 80.17 3.27 0.27 0.26
watahiniwa
35
Swali la 37: Ni kwanini mtunzi wa habari hii anashauri watu kunywa maji
safi na salama?
A. Ili kuondokana na kiu
B. Ili kulinda vinywa vyetu
C. Ili kuburudisha mwili
D. Ili kuondokana na kichocho
E. Ili kulinda afya zetu.
Majibu ya watahiniwa
Chaguo A B C D E* Wasiojibu Mengine
Idadi ya
48,792 54,616 49,117 72,858 612,145 4,027 3,198
watahiniwa
Asilimia ya
5.78 6.47 5.81 8.62 72.46 0.48 0.38
watahiniwa
36
Swali la 38: Neno “maskani” kama lilivyotumika katika kifungu cha habari
lina maana gani?
A. Nyumba
B. Makao
C. Maisha
D. Mahitaji
E. Shughuli.
Majibu ya watahiniwa
Chaguo A B* C D E Wasiojibu Mengine
Idadi ya 141,329
193,176 381,999 60,204 61,284 3,745 3,016
watahiniwa
Asilimia ya
22.87 45.22 16.73 7.13 7.25 0.44 0.36
watahiniwa
Swali la 39: Kichwa cha habari kinachofaa kwa kifungu hiki ni kipi?
A. Hewa ni muhimu
B. Maji ni uhai
37
C. Maji salama
D. Hewa na chakula
E. Siha bora.
Majibu ya watahiniwa
Chaguo A B* C D E Wasiojibu Mengine
Idadi ya
88,750 459,468 83,227 104,644 102,109 3,573 2,982
watahiniwa
Asilimia ya
10.51 54.39 9.85 12.39 12.09 0.42 0.35
watahiniwa
Majibu ya watahiniwa
Chaguo A B C D E* Wasiojibu Mengine
Idadi ya
177,815 144,645 204,834 205,294 103,698 5,178 3,289
watahiniwa
Asilimia ya
21.05 17.12 24.25 24.3 12.28 0.61 0.39
watahiniwa
38
Swali lilikuwa linampima mtahiniwa kuhusu uelewa wa maudhui au
ujumbe wa habari kwa ujumla. Asilimia 12.28 walijibu swali kwa usahihi
kwa kubaini methali inayoendana na habari waliyoisoma ambayo ni E
“Alisifuye jua limemwangaza.” Methali hii ina maana kuwa anayetoa
maelezo ya kina kuhusu jambo fulani ni yule anayejua faida za kitu fulani
au jambo hilo. Mwandishi wa habari hii anasifu umuhimu wa maji kwa
kuwa anajua faida mbalimbali za maji. Asilimia 21.05 ya watahiniwa
walichagua kipotoshi A, “Mpanda ovyo ndiye mla ovyo” yenye maana
kuwa usipokuwa makini katika kufanya jambo hutopata mafanikio.
Uchaguzi huo unaonesha kuwa watahiniwa hao hawakuelewa maudhui
ya habari waliyoisoma kwani methali hiyo haihusiani kabisa na umuhimu
wa maji. Asilimia 17.12 ya watahiniwa walichagua kipotoshi B,
“Ahangaikaye hupata” methali yenye maana kuwa mtu anayepata taabu
wakati wa kufanya jambo fulani mwishowe hupata mafanikio, maana hii ni
tofauti na maudhui ya kifungu cha habari hii. Aidha, asilimia 24.25
walichagua kipotoshi C “Maji hufuata mkondo” ambayo ni methali yenye
maana kuwa kila jambo hufuata taratibu na kanuni zake. Hali kadhalika,
asilimia 24.3 walichagua kipotoshi D “Maji yakimwagika hayazoleki”
methali yenye maana ya kuwa jambo likiharibika halirekebishiki. Kwa
ujumla uchambuzi wa swali hili unaonesha wazi kuwa watahiniwa hawana
maarifa ya kutosha kuhusu maana za methali kwani methali walizochagua
kuwa ni jibu hazihusiani kabisa na kifungu cha habari walichopewa.
Majibu ya watahiniwa
Chaguo A B C* D E Wasiojibu Mengine
Idadi ya
153,483 194,805 352,715 67,492 68,949 4,275 3,034
watahiniwa
Asilimia ya
18.17 23.06 41.75 7.99 8.16 0.51 0.36
watahiniwa
Majibu ya watahiniwa
Chaguo A* B C D E Wasiojibu Mengine
Idadi ya
581,933 67,427 66,862 62,999 58,749 3,312 3,471
watahiniwa
Asilimia ya
68.89 7.98 7.91 7.46 6.95 0.39 0.41
watahiniwa
Swali la 43: Neno “johari” kama lilivyotumiwa na mtunzi lina maana gani?
A. Kitu kilicho dhahiri
B. Kitu chenye dhamana
C. Kitu cha thamani
D. Kitu cha matamanio
E. Kitu cha kujivunia.
41
Majibu ya watahiniwa
Chaguo A B C* D E Wasiojibu Mengine
Idadi ya
92,800 101,570 344,881 123,087 174,594 4,619 3,202
watahiniwa
Asilimia ya
10.99 12.02 40.83 14.57 20.67 0.55 0.38
watahiniwa
42
Majibu ya watahiniwa
Chaguo A B* C D E Wasiojibu Mengine
Idadi ya
150,364 193,315 106,530 281,195 105,134 4,977 3,238
watahiniwa
Asilimia ya
17.8 22.88 12.61 33.29 12.45 0.59 0.38
watahiniwa
Swali la 45: Vina vya kati na vya mwisho katika ubeti wa tatu ni vipi?
A. Ko na Ke
B. U na Ke
C. Du na Ke
D. Ri na Ni
E. Ki na Ke.
Majibu ya watahiniwa
Chaguo A* B C D E Wasiojibu Mengine
Idadi ya
489,035 103,262 87,583 107,893 49,382 4,373 3,225
watahiniwa
Asilimia ya
57.89 12.22 10.37 12.77 5.85 0.52 0.38
watahiniwa
43
Swali lilikuwa linapima maarifa ya mtahiniwa kuhusu kanuni za utunzi wa
shairi. Asilimia 57.89 ya watahiniwa walijibu swali kwa usahihi kwa
kuchagua jibu A ‘ko’ na ‘ke’ kwa kuwa walikuwa na maarifa ya kutosha
kuhusu mbinu za utunzi wa mashairi kama vina vya kati na vya mwisho.
Asilimia 41.21 ya watahiniwa waliochagua vipotoshi kati ya B, C, D na E
walikosa ujuzi wa kuvijua vina vya kati na vya mwisho katika ubeti wa tatu
wa shairi hili kwa kuwa hawana ujuzi wa kutosha kuhusu kanuni za utunzi
wa mashairi.
Majibu ya watahiniwa
Chaguo A B C D E* Wasiojibu Mengine
Idadi ya
193,078 218,657 142,832 95,286 185,862 5,178 3,860
watahiniwa
Asilimia ya
22.86 25.88 16.91 11.28 22 0.61 0.46
watahiniwa
44
chake. Watahiniwa waliochagua kipotoshi A “Raha haiji ila baada ya tabu”
ni asilimia 22.86, watahiniwa hawa walishindwa kuelewa kuwa maana ya
methali hiyo ni kuwa huwezi kupata raha mpaka usumbuke au utaabike
sana, kipotoshi B “Mkataa pema pabaya panamwita” kilichaguliwa na
asilimia 25.88, watahiniwa hawa walishindwa kuelewa maana ya methali
hiyo ambayo ni anayekataa jambo zuri baya linamngoja. Aidha, kipotoshi
C “Ukikosa shukuru kupata kuna mungu” kilichaguliwa na asilimia 16.91,
ambayo ni methali yenye maana ya kuwa ukosapo kitu mshukuru mungu
kwani ndiye mwenye uwezo wa kutoa, hivyo usiwe na tabia ya
kulalamika. Asilimia 11.28 walichagua kipotoshi D, “Fimbo ya mbali haiui
nyoka” ambayo ni methali yenye maana kuwa huwezi kufanikisha jambo
kwa kutegemea kitu kilicho mbali nawe. Vipotoshi A–D vina maana
ambayo ni tofauti na maudhui ya shairi.
45
Majibu ya watahiniwa
Swali Jibu sahihi Idadi ya Asimilia ya % wasiojibu % mengine % Jibu E
watahiniwa watahiniwa
47 B 347,166 41.1 0.41 0.37 3.52
48 D 300,283 35.55 0.35 0.4 3.39
49 C 295,995 35.04 0.34 0.35 3.78
50 A 513,711 60.81 0.26 0.32 3.8
3.0 HITIMISHO
46
lakini pia yapo yaliyojibiwa vizuri na Idadi kubwa ya watahiniwa. Kwa
upande wa maswali yaliyojibiwa vibaya ni kama vile, swali la 16 kutoka
mada ya Sarufi ambapo ni asilimia 19.45 tu ya watahiniwa ndio walioweza
kuchagua jibu sahihi. Pia swali la 30 kutoka mada ya Lugha ya Kifasihi
lilijibiwa kwa usahihi na asilimia ndogo (13.71). Vile vile ufaulu mdogo
ulijitokeza katika swali la 40 lililotoka katika mada ya Ufahamu, idadi ya
watahiniwa waliojibu swali hilo kwa usahihi ni asilima 12.28 tu. Aidha, kwa
upande wa maswali yaliyojibiwa vizuri na watahiniwa ni swali la 28 kutoka
katika mada ya Lugha ya Kifasihi, ambapo asilimia 83.59 waliweza
kuchagua jibu sahihi. Maswali mawili kutoka katika mada ya Ufahamu pia
yalijibiwa vizuri yaani swali la 31 ambalo lilijibiwa vizuri na asilimia 80.27
na swali la 36 lililojibiwa vizuri na asilimia 80.17. Uchambuzi wa ufaulu
wa watahiniwa kwa kila mada katika somo la Kiswahili umewasilishwa
katika Kiambatisho A.
47
4.0 MAONI NA MAPENDEKEZO
48
KIAMBATISHO A
50