Download as pdf or txt
Download as pdf or txt
You are on page 1of 4

MFUMO wa MadeniMIS

UTANGULIZI
Mfumo wa madeniMIS unamuhitaji mtumiaji kuingia kwa kutumia
username(check no na password ambayo unajitengenezea wewe mtumiaji
wakati wa kiujisajili.

Kila baada ya miezi mitatu(3) password itakuwa expired na ukiingia utapata


meseji kwa maandishi mekundu inayosema neno lako la siri limekwisha muda
wake ambapo itakubidi ubadili na kuweka password mpya

HATUA ZA KUTENGENEZA PASSWORD MPYA BAADA YA KU-


EXPIRE KWA MAAFISA ELIMU KATA NA WAKUU WA SHULE
Mratibu/Mkuu wa shule utafanya mawasiliano na IT wa wilaya ili aku reset
password yako. IT akishareset atakujulisha kwa meseji kisha utaingia na default
password ambayo ataitumia kila mtumiaji wa mfumo ambayo ni Secret@123
(herufi ya kwanza S lazima iwe kubwa).Ukishaingiza username na password kwa
mara ya kwanza mfumo utakuletea dialog yenye sehemu kuu tatu za kujaza
ambazo ni neon la siri la zamani ambapo utaingiza tena default Secret@123,neon
la siri jipya ambapo utaingiza neon lako mpya la siri ingawa unaweza ingiza
ambalo ulikua unatumia na sehemu ya mwisho ni nhakiki neon la siri jipya
ambapo utaingiza tena neon la siri jipya uliloingiza sehemu ya juu kisha bonyeza
badili na utapata meseji kuwa umefanikiwa kubadili neon la siri tayari utakua una
uwezo wa kuingia kwenye mfumo kwa kutumia neno jipya la siri kwa miezi mitatu
tena hivyo lihifadhi ili usisahau
Angalizo: Neno la siri lazima liwe na herufi kubwa,ndogo namba na special
character mfano Dickson@2021.
NAMNA MKUU WA SHULE ATAVYOM-RESET PASSWORD MWALIMU WAKE
BAADA YA KU-EXPIRE

Mkuu wa shule utaingia kwenye mfumo kawaida kisha utabonyeza watumiaji na


utaona list ya walimu wako wote waliojisajiri

Baada ya kuona jina mwalimu utabonyeza alama kufuri iliyopo kwenye jina au
kama walimu wapo wengi utamsearch(1) kisha utaona detail zake(2) na alama ya
kufuri utabonyeza kufuri(3)
Baada ya kubonyeza alama ya kufuri utaona dialog ya panga upya neno la siri
kisha utabonyeza ndiyo panga upya neno la siri utapata meseji ya umefanikiwa
kupanga upya neno la siri ndipo utamwelekeza mwalimu akaingie na default
password ileile ya Secret@123 nayeye pia itamletea dialog ya kuingiza neno la siri
la zamani na mpya mara mbili kama mkuu anavyoingiza baada ya IT kum-reset

Prepared by

Dickson J. Mbilinyi

IT – MWANGA DC

You might also like