Download as pdf or txt
Download as pdf or txt
You are on page 1of 309

AGANO JIPYA

FAHIRISI (Bonyeza juu ya Sura utakayo. Jina la Kitabu ni sawa na Sura 1)

Mathayo 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16 17 18 19 20 21 22 23 24 25 26 27 28

Marko 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16

Luka 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16 17 18 19 20 21 22 23 24

Yohana 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16 17 18 19 20 21

Matendo 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16 17 18 19 20 21 22 23 24 25 26 27 28

Warumi 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16

1 Wakorintho 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16

2 Wakorintho 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13

Wagalatia 2 3 4 5 6

Waefeso 2 3 4 5 6

Wafilipi 2 3 4

Wakolosai 2 3 4

1 Wathesalonike 2 3 4 5

2 Wathesalonike 2 3

1 Timotheo 2 3 4 5 6

2 Timotheo 2 3 4

Tito 2 3

Filemoni

Waebrania 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13

Yakobo 2 3 4 5

1 Petro 2 3 4 5

2 Petro 2 3

1 Yohana 2 3 4 5

2 Yohana

3 Yohana

Yuda

Ufunuo 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16 17 18 19 20 21 22
MATHAYO
Utangulizi
Mathayo alikuwa mtoza ushuru ambaye Bwana Yesu alimwita awe mwanafunzi wake mwanzoni kabisa wa
huduma yake ya hadharani. Kwa hiyo mambo mengi anayoyaelezea aliyashuhudia kwa macho yake mwenyewe.
Anaanza kwa kueleza kwa kirefu kuhusu kuzaliwa kwa Yesu na Bikira Maria, kubatizwa kwake na kujaribiwa
kwake nyikani. Yesu alikuja akihubiri juu ya Ufalme wa Mungu ambao ni wa kila mtu anayetaka kupata uzima wa
milele. Mtu anaingia katika Ufalme huu kwa kutubu dhambi na kumwamini Yesu. Mathayo ameyagawa
mafundisho ya Yesu katika sehemu kubwa tano: Maadili, Kueneza Habari Njema, Mifano, Ushirika na kuja kwa
Ufalme wa Mungu. Sehemu ya Mwisho ya Injili ya Mathayo inaeleza juu ya kufa na kufufuka kwa Yesu, na agizo
alilotoa kwa wote wanaomwamini kueneza Habari Njema ulimwenguni kote.

Wazo Kuu
Shabaha kuu ya Mathayo katika kuandika Injili hii, ilikuwa ni kuonyesha kwamba Bwana Yesu anakamilisha
ahadi aliyoitoa Mungu katika Agano la Kale. Kwa sababu hii, Bwana Yesu anatambulishwa kuwa ni mwana wa
Mfalme Daudi na pia mzao wa Abrahamu (1:1). Kadhalika Mathayo anatumia mifano mingi kutoka katika unabii
uliotolewa na manabii wa Agano la Kale, kueleza maisha ya Bwana Yesu ambaye alikuja kuwa Mwokozi wa
Wayahudi (1:21), wa watu Mataifa mengine (4:13-16) na hatimaye Mwokozi wa ulimwengu wote (28:19). Maadili
yawapasayo watu wanaoingia katika Ufalme wa Mungu yanaelezwa katika Mahubiri ya Mlimani (Sura 5-7),
ambapo wana wa Mungu wanaagizwa kukataa kufuata maadili ya dunia hii na kutafuta kwanza Ufalme wa
Mungu na haki yake, ndipo hayo mengineyo watakapozidishiwa. (6:33).

Mgawanyo
1 Maisha na huduma ya Bwana Yesu (1:1-4:25)
2 Mahubiri ya Mlimani (5:1-7:29)
3 Mafundisho, Mifano na Mazungumzo (8:1-18:35)
4 Safari ya kwenda Yerusalemu na maonyo ya mwisho (19:1-23:39)
5 Unabii kuhusu mambo yajayo (24:1-25:46)
6 Kufa na kufufuka kwa Bwana Yesu (26:1-28:20).

1
MATHAYO
Ukoo Wa Yesu Kristo 16Yakobo akamzaa Yosefu ambaye
1 Habari za ukoo wa Yesu Kristo mwana wa
Daudi, mwana wa Abrahamu:
alikuwa mumewe Maria,
mama yake Yesu, aitwaye Kristo b.
2Abrahamu akamzaa Isaki,
Isaki akamzaa Yakobo, 17Hivyo,
kulikuwapo na jumla ya vizazi kumi
Yakobo akamzaa Yuda na ndugu zake. na vinne tangu Abrahamu mpaka Daudi, vizazi
3Yuda akamzaa Peresi na Zera
kumi na vinne tangu Daudi hadi wakati wa
ambao mama yao alikuwa Tamari. uhamisho wa Babeli na vizazi kumi na vinne
Peresi akamzaa Esroni, tangu wakati wa uhamisho wa Babeli hadi
Esroni akamzaa Aramu, Kristo.
4Aramu akamzaa Aminadabu,
Aminadabu akamzaa Nashoni, Kuzaliwa Kwa Yesu Kristo
Nashoni akamzaa Salmoni, 18Basi Kuzaliwa kwake Yesu Kristo
5Salmoni akamzaa Boazi
kulikuwa hivi: Maria mama yake alikuwa
na mama yake Salmoni ameposwa na Yosefu, lakini kabla
alikuwa Rahabu. hawajakutana kimwili, Maria alionekana ana
Boazi akamzaa Obedi, mimba kwa uweza wa Roho Mtakatifu. 19Kwa
ambaye mama yake alikuwa Ruthi. kuwa Yosefu, mwanaume aliyekuwa amemposa
Obedi akamzaa Yese, alikuwa mtu mwadilifu, hakutaka kumwaibisha
6Yese akamzaa Daudi Maria hadharani, aliazimu kumwacha kwa siri.
ambaye alikuwa mfalme. 20Lakini mara alipoazimu kufanya jambo
hili, malaika wa Bwana akamtokea katika ndoto
Daudi akamzaa Solomoni ambaye na kusema., “Yosefu mwana wa Daudi,
mama yake ni yule aliyekuwa mke usiogope kumchukua Maria awe mke wako,
wa Uria. kwa maana mimba aliyo nayo ni kwa uweza wa
7Solomoni akamzaa Rehoboamu, Roho Mtakatifu. 21Naye atamzaa mwana , nawe
Rehoboamu akamzaa Abiya, utamwita jina lake Yesu, kwa maana yeye ndiye
Abiya akamzaa Asa, atakayewaokoa watu wake kutoka katika
8Asa akamzaa Yehoshafati, dhambi zao.”
Yehoshafati akamzaa Yoramu 22Haya yote yametukia ili kutimiza lile
a, Yoramu akamzaa Uzia,
Bwana alilokuwa amenena kupitia nabii,
9Uzia akamzaa Yothamu, akisema: 23“Tazama, bikira atachukua mimba,
Yothamu akamzaa Ahazi, naye atamzaa mwana, nao watamwita jina lake
Ahazi akamzaa Hezekia, Imanueli,’’ maana yake, “Mungu pamoja nasi.’’
10Hezekia akamzaa Manase, 24Yosefu alipoamka kutoka usingizini,
Manase akamzaa Amoni, akafanya kama vile alivyoagizwa na malaika wa
Amoni akamzaa Yosia, Bwana, akamchukua Maria kuwa mke wake
11wakati wa uhamisho wa Babeli, Yosia 25Lakini hawakukutana kimwili mpaka Maria
alimzaa Yekonia na ndugu zake. alipojifungua mwanawe kifungua mimba
akamwita jina lake Yesu.
12Na baada ya uhamisho wa Babeli,
Yekonia alimzaa Shealtieli, Wataalamu Wa Nyota Wafika Kumwona
Shealtieli akamzaa Zerubabeli, Mtoto Yesu
13Zerubabeli akamzaa Abiudi,
Abiudi akamzaa Eliakimu,
2 Baada ya Yesu kuzaliwa katika mji wa
Bethlehemu huko Uyahudi, wakati wa utawala
Eliakimu akamzaa Azori, wa mfalme Herode, wataalamu wa mambo ya
14Azori akamzaa Zadoki, nyota kutoka Mashariki walifika Yerusalemu
2wakiuliza, “Yuko wapi huyo aliyezaliwa mfalme
Zadoki akamzaa Akimu, wa Wayahudi? Kwa maana tumeona nyota yake
Akimu akamzaa Eliudi, ikitokea mashariki, nasi
15Eliudi akamzaa Eliezari, tumekuja kumwabudu.’’
Eliezari akamzaa Matani,
Matani akamzaa Yakobo,
b16 Kristo maana yake Masiya, yaani, Mpakwa (aliyetiwa)Mafuta
a8 Yoramu ndiye Yehoramu
2
MATHAYO
3Mfalme Herode aliposikia jambo hili wataalamu wa nyota wamemshinda kwa akili,
aliingiwa na hofu sana pamoja na watu wote wa alikasirika sana, naye akatoa amri ya kuwaua
Yerusalemu. 4Herode akawaita pamoja watoto wote wa kiume wenye umri wa miaka
makuhani wakuu na waandishi wa watu, miwili kurudi chini katika mji wa Bethlehemu na
akawauliza ni mahali gani ambapo Kristo sehemu zote za jirani, kufuatana na ule muda
angezaliwa. 5Nao wakamwambia, “Katika alioambiwa na wale wataalamu wa nyota.
17Ndipo lile lililonenwa na nabii Yeremia
Uyahudi, kwa maana hivyo ndivyo ilivyoandikwa
na nabii: lilipotimia.
6 ‘ ‘‘Nawe, Bethlehemu, katika nchi ya Yuda, 18 “Sauti ilisikika huko Rama,
wewe si mdogo miongoni mwa kilio cha huzuni na maombolezo
watawala wa Yuda, makuu, Raheli akilia kwa ajili ya wanawe,
kwa maana kutoka kwako atakuja mtawala akikataa kufarijiwa, kwa
atakayekuwa mchungaji wa watu sababu hawako tena.’’
wangu Israeli.’ ’’
Kurudi Kutoka Misri
7Ndipo Herode akawaita wale wataalamu 19Baada ya Herode kufa, malaika wa
wa nyota kwa siri na kutaka kujua kutoka kwao Bwana akamtokea Yosefu katika ndoto huko
uhakika kamili wa wakati ile nyota ilipoonekana. Misri 20na kusema, “Ondoka, mchukue mtoto na
8Kisha akawatuma waende Bethlehemu mama mwende, mrudi katika nchi ya Israeli kwa
akiwaambia, “Nendeni mkamtafute kwa bidii sababu wale waliokuwa wanatafuta uhai wa
huyo mtoto. Nanyi mara mumwonapo, mniletee mtoto wamekufa.
habari ili na mimi niweze kwenda kumwabudu.’’ 21 Basi Yosefu, akaondoka akamchukua
9Baada ya kumsikia mfalme, wale mtoto na mama yake wakaenda mpaka nchi ya
wataalamu wa nyota wakaenda zao, nayo ile Israeli. 22Lakini aliposikia kwamba Arkelao
nyota waliyoiona mashariki ikawatangulia, nao alikuwa anatawala huko Uyahudi mahali pa
wakaifuata mpaka iliposimama mahali pale Herode baba yake, aliogopa kwenda huko.
alipokuwa mtoto. 10Walipoiona ile nyota Naye akiisha kuonywa katika ndoto, akaenda
wakajawa na furaha kubwa mno. 11Walipoingia zake sehemu za Galilaya, 23akaenda, akaishi
ndani ya ile nyumba, wakamwona mtoto pamoja katika mji ulioitwa Nazareti, hivyo likawa
na Maria mama yake, wakamsujudu na limetimia lile lililonenwa na manabii, “Ataitwa
kumwabudu yule mtoto Yesu. Ndipo Mnazarayo.”
wakafungua hazina zao, wakamtolea zawadi za
dhahabu, uvumba na manemane. 12Nao Yohana Mbatizaji Atayarisha Njia
wakiisha kuonywa katika ndoto wasirudi kwa 3 Siku hizo Yohana Mbatizaji alikuja akihubiri katika
Herode, wakarudi kwenda katika nchi yao kwa 2
nyika ya Uyahudi, akisema, “Tubuni, kwa maana
njia nyingine. Ufalme wa Mbinguni u karibu.” 3Huyu ndiye yule
aliyenenwa habari
Yosefu, Maria Na Mtoto Yesu Wakimbilia zake na nabii Isaya aliposema,
Misri
13Walipokwisha kwenda zao, malaika wa ‘‘Sauti ya mtu yule aliaye huko nyikani,
Bwana akamtokea Yosefu katika ndoto ‘Tayarisheni njia kwa ajili ya Bwana,
akamwambia, “Ondoka, mchukue mtoto na yanyosheni mapito yake.’ ’’
4Basi Yohana alivaa vazi lililotengenezwa
mama yake mkimbilie Misri. Kaeni huko mpaka
nitakapowaambia, kwa maana Herode anataka kwa singa za ngamia akiwa na mkanda wa
kumtafuta huyu mtoto ili amwue.’’ ngozi kiunoni mwake, chakula chake kilikuwa
14 Kisha Yosefu akaondoka, akamchukua nzige na asali ya mwitu. 5Watu walimwendea
mtoto na mama wakati wa usiku, nao wakaenda kutoka Yerusalemu, Uyahudi yote na nchi zote
Misri 15ambako walikaa mpaka Herode za kando kando ya mto Yordani. 6Nao
alipokufa. Hili lilikuwa, ili litimie lile lililonenwa na wakaziungama dhambi zao, akawabatiza katika
Bwana kwa kinywa cha nabii kusema, “Kutoka Mto Yordani.
Misri nilimwita mwanangu” 7Lakini alipowaona Mafarisayo na
16Herode alipong’amua kwamba wale

3
MATHAYO
Masadukayo wengi wakija ili kubatizwa, 6akamwambia, “Kama Wewe ndiye Mwana wa
aliwaambia, ‘‘Ninyi watoto wa nyoka! Ni nani Mungu jitupe chini, kwa kuwa imeandikwa,
aliyewaonya kuikimbia ghadhabu inayokuja?
8Basi zaeni matunda yastahiliyo toba. 9Wala ‘ “Atakuagizia malaika zake,
msijidhanie mnaweza kujiambia, ‘Sisi tunaye nao watakuchukua mikononi mwao
Abrahamu, baba yetu, kwa maana nawaambia ili usije ukajikwaa mguu wako kwenye
kuwa Mungu anaweza kumuinulia Abrahamu jiwe.’ ’’
watoto kutoka katika mawe haya. 10Hata sasa
shoka limekwisha kuwekwa tayari kwenye mizizi 7Yesu akamjibu, “Pia imeandikwa:
ya mti. Kila mti usiozaa matunda mazuri, ‘Usimjaribu Bwana Mungu wako.’ ’’
hukatwa na kutupwa motoni. 8Kwa mara nyingine, ibilisi akamchukua
11“Mimi nawabatiza kwa maji kwa ajili ya Yesu mpaka kwenye kilele cha mlima mrefu na
toba. Lakini nyuma yangu anakuja Yeye aliye na kumwonyesha falme zote za dunia na fahari
uwezo kuliko mimi, ambaye sistahili hata zake, 9kisha akamwambia, “Nitakupa hivi vyote
kuchukua viatu vyake. Yeye atawabatiza kwa a kama ukinisujudia na kuniabudu.’’
10Yesu akamwambia, “Ondoka mbele
Roho Mtakatifu na kwa moto. 12Chombo chake
cha kupuria kiko mkononi mwake, naye yangu, Shetani! Kwa maana imeandikwa,
atasafisha sakafu yake ya kupuria, akiikusanya ‘Utamwabudu Bwana Mungu wako, nawe
ngano yake ghalani na kuyachoma makapi kwa utamtumikia Yeye peke yake.’ ’’
moto usiozimika.” 11Ndipo ibilisi akamwacha, nao malaika
wakaja na kumtumikia.
Yesu Abatizwa
13Kisha Yesu akaja kutoka Galilaya mpaka Yesu Aanza Kuhubiri
12Yesu aliposikia kwamba Yohana Mbatizaji
mto Yordani ili Yohana ambatize. 14 Lakini
Yohana akajitahidi kumzuia, akimwambia, “Mimi alikuwa ametiwa gerezani, alirudi Galilaya.
ninahitaji kubatizwa na Wewe, nawe waja 13Akaondoka Nazareti akaenda kuishi
kwangu nikubatize?’’ Kapernaumu ulioko karibu na bahari, katika
15Lakini Yesu akamjibu, “Kubali hivi sasa,
mipaka ya nchi ya Zabuloni na ya Naftali, 14ili
kwa maana ndivyo itupasavyo kwa njia hii kutimiza unabii wa nabii Isaya, kama
kuitimiza haki yote.’’ Hivyo Yohana akakubali. alivyosema:
16Naye Yesu alipokwisha kubatizwa, mara
15“Nchi ya Zabuloni na nchi ya Naftali,
alipotoka ndani ya maji, ghafula mbingu
zikamfungukia, akamwona Roho wa Mungu kwenye njia ya kuelekea baharini,
akishuka kama hua na kutulia juu yake. 17Nayo ng'ambo ya Yordani,
sauti kutoka mbinguni ikasema, “Huyu ni Galilaya ya watu Mataifa,
16watu wale waliokaa gizani
Mwanangu mpendwa, ambaye ninapendezwa
sana naye.’’ wameona nuru kuu
nao wale waliokaa katika nchi ya uvuli
Kujaribiwa Kwa Yesu wa mauti,
4 Kisha Yesu akaongozwa na Roho nuru imewazukia.’’
Mtakatifu kuingia nyikani ili akajaribiwe na Ibilisi.
2Baada ya kufunga siku arobaini mchana na usiku, 17Tangu wakati huo, Yesu alianza kuhubiri
hatimaye akaona njaa. 3Mjaribu akamjia na akisema: “Tubuni, kwa maana Ufalme wa
kumwambia, “Kama Wewe ndiye Mwana wa Mungu,
amuru mawe haya yawe Mbinguni umekaribia.’’
mikate.’’
4Lakini Yesu akajibu, “Imeandikwa, ‘Mtu Yesu Awaita Wanafunzi Wake wa Kwanza
18Wakati Yesu alipokuwa anatembea kando
haishi kwa mkate tu, ila kwa kila neno litokalo
katika kinywa cha Mungu.’ ’’ ya bahari ya Galilaya aliwaona ndugu wawili,
5Ndipo ibilisi akamchukua Yesu mpaka mji Simoni aitwaye Petro na Andrea ndugu yake.
mtakatifu wa Yerusalemu na kumweka juu ya Walikuwa wakizitupa nyavu zao baharini kwa
mnara mrefu mwembamba wa hekalu, maana wao walikuwa wavuvi. 19Yesu
akawaambia, “Njooni, nifuateni, nami
a11 “Kwa” hapa ina maana “ndani ya, katika 20
nitawafanya muwe wavuvi wa watu.’’ Mara
4
MATHAYO
wakaziacha nyavu zao, wakamfuata. 13‘‘Ninyi ni chumvi ya ulimwengu. Lakini
21Alipoendelea mbele kutoka pale,
chumvi ikipoteza ladha yake, yawezaje
akawaona ndugu wengine wawili, Yakobo kurudishiwa ladha yake tena ? Haifai tena kwa
mwana wa Zebedayo na Yohana nduguye, kitu cho chote, ila kutupwa nje ikanyagwe na
wakiwa wamekaa kwenye mashua pamoja na watu.
baba yao Zebedayo wakiziandaa nyavu zao. 14‘‘Ninyi ni nuru ya ulimwengu. Mji uliojengwa
Yesu akawaita. 22Nao mara wakaziacha nyavu kilimani hauwezi kufichika. 15Wala watu
zao, pamoja na baba yao, wakamfuata. hawawashi taa na kuifunika kwa bakuli. Badala
yake, huiweka kwenye kinara chake, nayo hutoa
Yesu Ahubiri Na Kuponya Wagonjwa mwanga kwa kila mtu aliyemo ndani ya ile
23Yesu akapita katika Galilaya yote, nyumba. 16Vivyo hivyo, nuru yenu iangaze mbele
akifundisha katika masinagogi yao, akihubiri ya watu, ili wapate kuona matendo yenu mema
Habari Njema za Ufalme wa Mungu, akiponya wamtukuze Baba yenu aliye mbinguni.
kila ugonjwa na kila aina ya maradhi miongoni
mwa watu.. 24Kwa hiyo sifa zake zikaenea Kutimiza Sheria
sehemu zote za Shamu, nao watu wakamletea 17 “Msidhani kwamba nimekuja kuondoa
wote waliokuwa na magonjwa mbalimbali na Torati au Manabii, sikuja kuondoa bali kutimiza.
maumivu, waliopagawa na pepo, wenye kifafa 18Kwa maana,amin, nawaambia, mpaka mbingu
na waliopooza, naye akawaponya. 25Makutano na dunia zitakapopita, hakuna hata herufi moja
makubwa ya watu yakawa yanamjia kutoka ndogo wala nukta itakayopotea kwa namna yo
Galilaya, Dekapoli, Yerusalemu, Uyahudi na yote kutoka kwenye Torati mpaka kila kitu kiwe
kutoka ng'ambo ya Mto Yordani. kimetimia. 19Kwa hiyo, ye yote atakayevunja
mojawapo ya amri ndogo kuliko zote ya amri
Sifa za Aliyebariki hizi, naye akawafundisha wengine kufanya
5 Basi Yesu alipoona makutano, alipanda
mlimani akaketi chini, nao wanafunzi
hivyo, ataitwa mdogo kabisa katika Ufalme wa
Mbinguni, lakini ye yote azitendaye na
wake wakamjia. 2Ndipo akaanza kuwafundisha, kuzifundisha hizi amri ataitwa mkuu katika
akisema: Ufalme ya Mbinguni. 20Kwa maana nawaambia,
haki yenu isipozidi haki ya waandishi wa sheria
3 “Wana heri walio masikini wa roho, maana na Mafarisayo, kamwe hamtaingia katika
hao Ufalme wa Mbinguni ni wao. Ufalme wa Mbinguni.
4Wana heri wale wanaohuzunika,
maana hao watafarijiwa. Kuhusu Hasira
5Wana heri walio wapole, 21“Mmesikia walivyoambiwa watu wa
maana hao watairithi nchi. zamani kwamba, ‘Usiue, ye yote atakayeua
6Wana heri wenye njaa na kiu ya
atapasiwa hukumu.’ 22Lakini mimi nawaambia
haki, maana hao watatoshelezwa. kwamba, ye yote atakayemkasirikia ndugu yake
7Wana heri wenye huruma, wa kiume au wa kike, atapasiwa hukumu. Tena,
maana hao watapata rehema. ye yote atakayemwambia ndugu yake wa kiume
8Wana heri walio na moyo safi,
au wa kike, ‘Raca’ a , yaani kumdharau na
maana hao watamwona Mungu. kumdhihaki, atapasiwa kufanyiwa baraza. Lakini
9Wana heri walio wapatanishi, ye yote atakayesema ‘We mpumbavu ulaaniwe!’
maana hao wataitwa wana wa Mungu. Atapasiwa hukumu ya moto wa jehanam.
10Wana heri wanaoteswa kwa sababu ya 23“Kwa hiyo, kama unatoa sadaka yako
haki, maana hao Ufalme wa Mbinguni ni wao. madhabahuni, ukakumbuka kuwa ndugu yako
ana kitu dhidi yako, 24iache sadaka yako hapo
11Mna heri ninyi watu watakapowashutumu hapo, mbele ya madhabahu, uende kwanza
na kuwatesa na kunena dhidi yenu mabaya ya
aina zote kwa uongo kwa ajili yangu. 12Furahini
na kushangilia kwa maana thawabu yenu ni kuu.

a22 ‘Raca’ ni neno la Kiaramu ambalo maana yake ni


Chumvi na Nuru dharau na dhihaka ya hali ya juu.

5
MATHAYO
ukapatane na ndugu yako wa kiume au wa kike, kuchukua shati lako, mwachie achukue na koti
kisha urudi na ukatoe sadaka yako. pia. 41Kama mtu akikulazimisha kwenda
25“Patana na mshtaki wako upesi wakati kilometa moja, nenda naye kilometa mbili.
uwapo njiani pamoja naye kwenda 42Mpe yeye akuombaye, wala usimgeuzie
mahakamani, ili mshtaki wako asije akakutia kisogo yeye atakaye kukukopa.’’
mikononi mwa hakimu, naye hakimu akakutia
mikononi mwa walinzi, nawe ukatupwa Upendo Kwa Adui
gerezani. 26Amin, nakuambia, hutatoka humo 43‘‘Mmesikia kwamba ilinenwa, ‘Mpende
mpaka umelipa hadi senti ya mwisho” jirani yako na umchukie adui yako.’ 44Lakini
mimi ninawaambia : Wapendeni adui zenu na
Kuhusu Uzinzi
27“Mmesikia kwamba ilinenwa, ‘Usizini'. waombeeni wanaowatesa ninyi, 45ili mpate
kuwa watoto wa Baba yenu aliye mbinguni. Kwa
28Lakini mimi nawaambia: kwamba ye yote maana Yeye huwaangazia jua lake watu waovu
amtazamaye mwanamke kwa kumtamani, na watu wema, naye huwanyeshea mvua
amekwisha kuzini naye moyoni mwake. 29Jicho wenye haki na wasio haki. 46Kama mkiwapenda
lako la kuume likikufanya utende dhambi, ling'oe wale wanaowapenda tu, mtapata thawabu gani?
ulitupe mbali. Ni afadhali kwako kupoteza Je, hata watoza ushuru hawafanyi hivyo?
kiungo kimoja cha mwili wako kuliko mwili wako 47Nanyi kama mkiwasalimu ndugu zenu tu, je,
mzima utupwe jehanam. 30Kama mkono wako mnafanya nini zaidi ya wengine? Je, hata watu
wa kuume ukikufanya utende dhambi, ukate wasiomjua Mungu, hawafanyi hivyo? 48Kwa
uutupe mbali. Ni afadhali kwako kupoteza hiyo iweni wakamilifu kama Baba yenu wa
kiungo kimoja cha mwili wako kuliko mwili wako mbinguni alivyo mkamilifu.’’
mzima utupwe jehanam.
Kuwapa Wahitaji
Kuhusu Talaka
31‘‘Pia ilinenwa kwamba, ‘Mtu ye yote
6 ‘‘Angalieni msitende wema wenu mbele ya watu
ili wawaone. Kwa maana mkifanya hivyo, hamna
amwachaye mkewe na ampe hati ya talaka.’ thawabu kutoka kwa Baba yenu
32Lakini mimi nawaambia, ye yote amwachaye aliye mbinguni.
mkewe isipokuwa kwa kosa la uasherati, 2‘‘Hivyo mnapowapa wahitaji, msipige
amfanya mkewe kuwa mzinzi. Na ye yote panda mbele yenu kama wafanyavyo wanafiki
amwoaye yule mwanamke aliyeachwa azini.’’ katika masinagogi na mitaani, ili wasifiwe na
watu. Amin, amin nawaambia wao wamekwisha
Kuhusu Kuapa kupokea thawabu yao. 3Lakini ninyi mtoapo
33“Tena mmesikia walivyoambiwa watu wa sadaka, fanyeni kwa siri, hata mkono wako wa
zamani kwamba, ‘Usiape kwa uongo, bali kushoto usijue mkono wako wa kuume
timizeni, nadhiri zile ulizofanya kwa Bwana’ unachofanya, 4ili sadaka yako iwe ni siri. Ndipo
34Lakini mimi nawaambia,’’Msiape kabisa, ama Baba yako wa mbinguni, Yeye aonaye sirini
kwa mbingu, kwa kuwa ni kiti cha enzi cha atakupa thawabu kwa wazi.
Mungu, 35au kwa nchi, kwa kuwa ndipo mahali
pake pa kuwekea miguu, au kwa Yerusalemu, Kuhusu Maombi
kwa kuwa ndio mji wa Mfalme Mkuu. 36Nanyi 5“Nanyi msalipo, msiwe kama wanafiki,
msiape kwa vichwa vyenu kwa kuwa hamwezi maana wao hupenda kusali wakiwa
kuufanya hata unywele mmoja kuwa mweupe wamesimama katika masinagogi na kando ya
au mweusi. 37‘Ndiyo,’ yenu iwe ‘Ndiyo’ na barabara ili waonekane na watu. Amin, amin
‘Hapana’, yenu iwe ‘Hapana.’ Lo lote zaidi ya hili nawaambieni, wao wamekwisha kupata
latoka kwa yule mwovu.’’ thawabu yao. 6Lakini wewe unaposali, ingia
chumbani mwako, funga mlango na umwombe
Kuhusu Kulipiza Kisasi Baba yako aliye sirini. Naye Baba yako aonaye
38“Mmesikia kwamba ilinenwa, ‘Jicho kwa sirini atakupa thawabu yako. 7“Nanyi mnaposali
jicho na jino kwa jino.’ 39Lakini mimi nawaambia, msiseme maneno kama wafanyavyo watu
msishindane na mtu mwovu. Lakini kama mtu wasiomjua Mungu. Kwa maana wao hudhani
akikupiga kwenye shavu la kuume, mgeuzie na la kwamba watasikiwa kwa sababu ya wingi wa
pili pia, 40Kama mtu akitaka kukushtaki na maneno yao. 8Msiwe kama wao, kwa sababu
6
MATHAYO
Baba yenu anajua kile mnachohitaji kabla namna gani ! ”
hamjamwomba.’’
9‘‘Hivi basi, ndivyo iwapasavyo kuomba : Mungu Na Mali
24‘‘Hakuna mtu ye yote awezaye
“Baba yetu uliye mbinguni,
kuwatumikia mabwana wawili, kwa kuwa ama
Jina lako litukuzwe.
10Ufalme wako uje.
atamchukia huyu na kumpenda yule mwingine,
au atashikamana sana na huyu na kumdharau
Mapenzi yako yafanyike hapa huyu mwingine. Ninyi hamwezi kumtumikia
duniani kama huko mbinguni.
11Utupatie leo riziki zetu za kila siku. Mungu na mali a.’’
12Utusamehe deni zetu, Msiwe Na Wasiwasi
kama sisi nasi tulivyokwisha 25‘‘Kwa hiyo nawaambia, msiwe na
kuwasamehe wadeni wetu. wasiwasi kuhusu maisha yenu: mtakula nini au
13 Usitutie majaribuni, mtakunywa nini, au kuhusu miili yenu, mtavaa
bali utuokoe kutoka kwa yule mwovu, nini. Je, maisha si zaidi ya chakula na mwili
kwa kuwa Ufalme ni Wako na nguvu zaidi ya mavazi? 26Waangalieni ndege wa
na utukufu hata milele. Amen.” angani, wao hawapandi wala hawavuni au
kuweka ghalani, lakini Baba yenu wa mbinguni
14Kwa kuwa kama mkiwasamehe watu wengine huwalisha hao. Je, ninyi si wa thamani zaidi
wanapowakosea, Baba yenu wa mbinguni kuliko hao ndege? 27Ni nani miongoni mwenu
atawasamehe pia na ninyi. 15Lakini ambaye kwa kujitaabisha kwake aweza
msipowasamehe watu wengine makosa yao, kujiongezea hata saa moja zaidi katika maisha
wala Baba yenu hatawasamehe ninyi makosa yake au kuongeza dhiraa moja b kwenye kimo
yenu. chake ?
28‘‘Nanyi kwa nini kujitaabisha kwa ajili ya
Kuhusu Kufunga mavazi? Fikirini maua ya shambani yameavyo.
16“Mnapofunga, msiwe wenye huzuni kama Hayafanyi kazi wala hayafumi. 29 Lakini
wafanyavyo wanafiki. Maana wao hukunja nawaambia, hata mfalme Solomoni katika fahari
nyuso zao ili kuwaonyesha wengine kwamba yake yote hakuvikwa kama mojawapo ya hayo
wamefunga. Amin, amin nawaambia wao maua. 30 Lakini ikiwa Mungu anayavika hivi
wamekwisha kupata thawabu yao kamilifu. majani ya shambani, ambayo leo yapo na kesho
17Lakini mnapofunga, jipakeni mafuta kichwani yanatupwa motoni, je, hatawavika ninyi vizuri
na kunawa nyuso zenu 18ili kufunga kwenu zaidi, enyi wa imani haba? 31Kwa hiyo msiwe
kusionekane na watu wengine ila Baba yenu na wasiwasi, mkisema, ‘Tutakula nini?’ Au
aliye sirini, naye Baba yenu aonaye sirini ‘Tutakunywa nini?’ Au ‘Tutavaa nini?’ 32Kwa
atawapa thawabu yenu kwa wazi.” maana watu wasiomjua Mungu ndio
wanaoshindania hayo, lakini Baba yenu wa
Akiba Ya Mbinguni mbinguni anafahamu kwamba mnahitaji hayo
19“Msijiwekee hazina duniani, mahali yote. 33Lakini utafuteni kwanza Ufalme wa
ambapo nondo na kutu huharibu, nao wevi Mungu na haki yake na haya yote
huvunja na kuiba. 20Lakini jiwekeeni hazina mtaongezewa. 34Kwa hiyo msiwe na wasi wasi
mbinguni, mahali ambapo nondo na kutu kuhusu kesho, kwa sababu kesho itajitaabikia
haviharibu, wala wevi hawavunji na kuiba. yenyewe. Yatosha kwa siku masumbufu yake.’’
21Kwa sababu mahali akiba yako ilipo, hapo
ndipo pia moyo wako utakapokuwa.’’ Kuwahukumu Wengine
7 “Usihukumu ili usije ukahukumiwa. 2Kwa maana
Jicho Ni Taa Ya Mwili kwa jinsi ile unavyowahukumu wengine, ndivyo
utakavyohukumiwa na kwa kipimo kile utakachotoa
22‘‘Jicho ni taa ya mwili. Kama jicho lako ni ndicho utakachopokea.
nyofu, mwili wako wote utakuwa na nuru.
23Lakini kama jicho lako ni ovu, mwili wako wote
a24 Mali hapa ina maana ya ‘Mammon,’ ambalo ni neno
utajawa na giza. Kwa hiyo basi, kama nuru la Kiaramu
iliyomo ndani yako ikiwa giza, hilo ni giza kuu au kwa Kiyunani ‘‘Mamona’’ maana yake mali, utajiri
b27 Dhiraa moja ni sawa na sentimita 45
7
MATHAYO
3‘‘Kwa nini unatazama kibanzi kidogo
kilichomo kwenye jicho la ndugu yako na wala Mwanafunzi Wa Kweli
21“Si kila mtu aniambiaye, ‘Bwana, Bwana,’
huoni boriti iliyoko kwenye jicho lako? 4Au
unawezaje kumwambia ndugu yako, ‘Acha nitoe atakayeingia katika Ufalme wa Mbinguni bali ni
kibanzi kwenye jicho lako wakati kuna boriti yeye afanyaye mapenzi ya Baba yangu aliye
kwenye jicho lako mwenyewe ?’ 5Ewe mnafiki, mbinguni. 22Wengi wataniambia siku ile,
toa kwanza boriti kwenye jicho lako mwenyewe, ‘Bwana, Bwana, hatukutoa unabii kwa jina lako
nawe ndipo utakapoona wazi ili kuondoa kibanzi na kwa jina lako kutoa pepo na kufanya miujiza
kilichoko kwenye jicho la ndugu yako. mingi? 23Ndipo nitakapowaambia wazi,
6‘‘Msiwape mbwa vitu vilivyo vitakatifu, wala `’Sikuwajua kamwe. Ondokeni kwangu, ninyi
msitupie nguruwe lulu zenu. Kama mkifanya watenda maovu!’
hivyo, watazikanyaga kanyaga na kisha
watawageukia na kuwararua vipande vipande. ” Msikiaji Na Mtendaji
24‘‘Kwa hiyo kila mtu ayasikiaye haya
Omba, Tafuta, Bisha maneno yangu na kuyatenda, ni kama mtu
7“Ombeni nanyi mtapewa, tafuteni nanyi mwenye busara aliyejenga nyumba yake
mtapata, bisheni nanyi mtafunguliwa mlango. kwenye mwamba. 25Mvua ikanyesha, mafuriko
8Kwa maana kila aombaye hupewa, naye yakaja na upepo ukavuma ukaipiga hiyo
atafutaye huona, naye abishaye hufunguliwa nyumba, lakini haikuanguka kwa sababu msingi
mlango. wake ulikuwa kwenye mwamba. 26Naye kila
9‘‘Au ni nani miongoni mwenu ambaye anayesikia haya maneno yangu wala
mwanawe akimwomba mkate atampa jiwe? asiyatende, ni kama mtu mjinga aliyejenga
10Au mwanawe akimwomba samaki atampa nyumba yake kwenye mchanga. 27Mvua
nyoka? 11Ikiwa ninyi basi mlio waovu mnajua ikanyesha, mafuriko yakaja, nao upepo
jinsi ya kuwapa watoto wenu vitu vizuri, si zaidi ukavuma ukaipiga hiyo nyumba, nayo
sana Baba yenu aliye mbinguni atawapa vitu ikaanguka kwa kishindo kikubwa.’’
vizuri wale wamwombao ? 12Kwa hiyo cho 28Yesu
chote ambacho mngetaka mtendewe na watu, alipomaliza kusema maneno haya,
ninyi nanyi watendeeni vivyo hivyo. Kwa kuwa makutano ya watu wakashangazwa sana na
hii ndiyo Torati na Manabii.’’ mafundisho yake, 29kwa sababu alifundisha
kama yeye aliye na mamlaka, wala si kama
Njia Nyembamba Na Njia Pana walimu wao wa sheria.
13‘‘Ingieni kwa kupitia mlango mwembamba,
kwa maana lango ni pana na njia ni pana Yesu Amtakasa Mwenye Ukoma
ielekeayo upotevuni, nao ni wengi waingiao kwa 8 Yesu aliposhuka kutoka mlimani, makutano
kupitia lango hilo. 14Lakini mlango ni makubwa ya watu yakamfuata.
mwembamba na njia ni finyo ielekayo kwenye 2Mtu mmoja mwenye ukoma akaja na kupiga
uzima, nao ni wachache tu waionao.’’ magoti mbele yake akasema, “Bwana, kama
ukitaka, unaweza kunitakasa.’’
Mti na Tunda lake 3Yesu akanyoosha mkono wake akamgusa,
15“Jihadharini na manabii wa uongo, akamwambia, “Nataka, takasika!’’ Mara yule
wanaowajia wakiwa wamevaa mavazi ya mtu akatakasika ukoma wake. 4Kisha Yesu
kondoo, lakini ndani wao ni mbwa mwitu akamwambia, “Hakikisha humwambii mtu ye
wakali.16Mtawatambua kwa matunda yao. Je, yote. Lakini nenda, ukajionyeshe kwa kuhani na
watu huchuma zabibu kwenye miiba au tini utoe sadaka aliyoamuru Mose, iwe ushuhuda
kwenye michongoma? 17Vivyo hivyo, mti kwao kwamba umepona.’’
mwema huzaa matunda mazuri na mti mbaya
huzaa matunda mabaya. 18Mti mwema hauwezi Yesu Amponya Mtumishi Wa Jemadari
kuzaa matunda mabaya wala mti mbaya 5Yesu alipoingia Kapernaumu, jemadari
hauwezi kuzaa matunda mazuri. 19Kila mti mmoja alimjia, kumwomba msaada, 6akisema,
usiozaa matunda mazuri hukatwa na kutupwa “Bwana, mtumishi wangu amelala nyumbani
motoni. 20Hivyo, kwa matunda yao, amepooza, tena ana maumivu makali ya
mtawatambua.’’ kutisha.’’
8
MATHAYO
7Yesu akamwambia, “Nitakuja na 22Lakini
Yesu akamwambia, “Nifuate, nawe
kumponya.’’ waache wafu wazike wafu wao.’’
8 Lakini yule jemadari akamwambia,
“Bwana, mimi sistahili Wewe uingie chini ya dari Yesu Atuliza Dhoruba
yangu. lakini sema neno tu, naye mtumishi 23Naye alipoingia kwenye chombo,
wangu atapona. 9Kwa kuwa mimi nami niko wanafunzi wake wakamfuata. 24Ghafula
chini ya mamlaka, nikiwa na askari chini yangu. kukainuka dhoruba kali baharini hata chombo
Nikimwambia huyu ‘Nenda,’ naye huenda, na kikaanza kufunikwa na mawimbi, lakini Yesu
mwingine nikimwambia, ‘Njoo’, huja. Nami alikuwa amelala usingizi. 25Wanafunzi wake
nikimwambia mtumishi wangu, ‘Fanya hivi,’ wakamwendea na kumwamsha, wakisema,
hufanya.’’ “Bwana, tuokoe! Tunazama!’’
10Yesu aliposikia maneno haya, 26Naye Yesu akawaambia, ‘Kwa nini
akashangaa, akawaambia wale waliomfuata, mnaogopa, enyi wa imani haba?’ Kisha
“Amin, amin nawaambia, hata katika Israeli akaondoka na kukemea dhoroba na mawimbi,
sijaona imani kubwa namna hii. 11Ninawaambia nako kukawa shwari kuu.
kwamba wengi watatoka mashariki na magharibi 27Wale watu wakashangaa, wakisema, “Ni
nao wataketi karamuni pamoja na Abrahamu, mtu wa namna gani huyu? Hata upepo na
Isaki na Yakobo katika Ufalme wa Mbinguni. mawimbi vinamtii!.
12Lakini warithi wa ufalme watatupwa katika
giza la nje, ambako kutakuwa na kulia na Wawili Wenye Pepo Waponywa
kusaga meno.’’ 28Walipofika ng'ambo katika nchi ya
13Kisha Yesu akamwambia yule jemadari, Wagerasi, watu wawili waliopagawa na pepo
“Nenda na iwe kwako sawasawa na imani wakitoka makaburini walikutana naye. Watu
yako.” Naye yule mtumishi akapona saa ile ile. hawa walikuwa wakali mno kiasi kwamba
hakuna mtu aliyeweza kupita njia ile.
Yesu Aponya Wengi 29Wakapiga kelele, “Una nini nasi, Mwana wa
14Yesu alipoingia nyumbani kwa Petro, Mungu? Umekuja hapa kututesa kabla ya
alimkuta mama mkwe wake Petro amelala wakati ulioamuriwa?’’
30Mbali kidogo kutoka pale walipokuwa,
kitandani akiwa ana homa. 15Akamgusa mkono
kulikuwa na kundi kubwa la nguruwe wakilisha.
wake na homa ikamtoka, naye akainuka na 31Wale pepo wakamsihi Yesu, “Ukitutoa humu,
kuanza kumhudumia. 16Jioni ile, wakamletea turuhusu tuende kwenye lile kundi la nguruwe.’’
watu wengi waliopagawa na pepo, naye 32Akawaambia, “Nendeni!’’ Hivyo wakatoka
akawatoa wale pepo kwa neno lake, na kuponya na kuwaingia wale nguruwe, nalo kundi lote
wagonjwa wote. 17Haya yalifanyika ili litimie lile likatelemka mbio gengeni, likaingia bahari na
lililonenwa kwa kinywa cha nabii Isaya kwamba: kufa ndani ya maji. 33Wale waliokuwa
wakiwachunga hao nguruwe wakakimbia
“Mwenyewe alitwaa udhaifu wetu wakaingia mjini, wakaeleza yote kuhusu yale
na alichukua magonjwa yetu.’’ yaliyowatokea wale waliokuwa wamepagawa na
pepo. 34 Kisha watu wote wa mji huo wakatoka
Gharama ya Kumfuata Yesu kwenda kukutana na Yesu. Nao walipomwona
18Yesu alipoona makutano mengi wakamsihi aondoke kwenye nchi yao.
wamemzunguka, aliwaamuru wanafunzi wake
wavuke mpaka ng'ambo. 19 Kisha mwalimu Yesu Amponya Mtu Aliyepooza
mmoja wa sheria akamjia Yesu na kumwambia,
“Mwalimu, mimi nitakufuata po pote uendako.’’
9 Yesu akaingia kwenye chombo,
2
akavuka na
kufika katika mji wa kwao. Wakati huo huo
20Naye Yesu akamwambia, “Mbweha wana wakamletea mtu aliyepooza, akiwa
mashimo, nao ndege wa angani wana viota amelazwa kwenye kitanda. Yesu alipoona imani
vyao, lakini Mwana wa Adamu hana mahali pa yao, alimwambia yule mtu aliyepooza,
kulaza kichwa chake.’’ ‘‘Mwanangu, jipe moyo mkuu, dhambi zako
21Mwanafunzi mwingine akamwambia, zimesamehewa.’’
“Bwana, niruhusu kwanza nikamzike baba 3Kwa ajili ya jambo hili, baadhi ya walimu
yangu.”
9
MATHAYO
wa sheria wakasema mioyoni mwao, ‘‘Huyu mtu Navyo viriba vitaharibika, lakini divai mpya
anakufuru!’’ huwekwa kwenye viriba vipya na hivyo divai na
4Lakini Yesu akiyafahamu mawazo yao, viriba huwa salama.’’
akawaambia, ‘‘Kwa nini mnawaza maovu
mioyoni mwenu? 5 Kwa kuwa ni lipi lililo rahisi: Msichana Afufuliwa Na Mwanamke Aponywa
kusema, ‘Dhambi zako zimesamehewa,’ au 18 Wakati Yesu akiwa anawaambia mambo

kusema, ‘Simama, utembee?’ 6Lakini, ili mpate haya, mara akaingia kiongozi wa sinagogi
kujua kwamba Mwana wa Adamu anayo akapiga magoti mbele yake, akimwambia, ‘‘Binti
mamlaka duniani kusamehe dhambi,'' Ndipo yangu amekufa sasa hivi, lakini uje uweke
akamwambia yule aliyepooza, “Simama, chukua mkono wako juu yake naye atakuwa hai.’’
kitanda chako na uende nyumbani kwako.’’ 19Yesu akaondoka akafuatana naye, wanafunzi
7Yule mtu akasimama, akaenda nyumbani wake pia wakaandamana naye.
20Wakati huo huo mwanamke mmoja
kwake. 8Makutano walipoyaona haya, wakajawa
na hofu ya Mungu, wakamtukuza Mungu ambaye alikuwa na ugonjwa wa kutokwa damu
ambaye alikuwa ametoa mamlaka kama hii kwa kwa muda wa miaka kumi na miwili, akaja
wanadamu. nyuma ya Yesu akagusa upindo wa vazi lake,
21kwa maana alisema moyoni mwake, “Kama
Kuitwa Kwa Mathayo nikigusa tu vazi lake, nitaponywa.’’
9Yesu alipokuwa akienda kutoka huko, 22Yesu akageuka, naye alipomwona
alimwona mtu mmoja jina lake Mathayo akiwa akamwambia, “Binti, jipe moyo mkuu, imani
ameketi forodhani mahali pa kutozea ushuru. yako imekuponya.’’ Naye yule mwanamke
Yesu akamwambia, “Nifuate.’’ Mathayo akapona kuanzia saa ile ile.
akaondoka, akamfuata.
10 Wakati Yesu alipokuwa ameketi Yesu Amfufua Binti Wa Kiongozi
chakulani ndani ya nyumba, watoza ushuru Wa Sinagogi.
wengi na wenye dhambi wakaja kula pamoja 23Yesu alipofika nyumbani kwa yule
naye na wanafunzi wake.11Mafarisayo kiongozi wa sinagogi na kuwaona waombolezaji
walipoona mambo haya, wakawauliza wakipiga filimbi za maombolezo na watu wengi
wanafunzi Wake, “Kwa nini Mwalimu wenu wakipiga kelele, 24akawaambia, “Ondokeni!
anakula na watoza ushuru na ‘wenye dhambi’?’’ Kwa maana binti huyu hakufa, bali amelala.’’
12Lakini Yesu aliposikia hayo, akawaambia,
Wakamcheka kwa dhihaka. 25Lakini watu
“Watu wenye afya hawahitaji tabibu, lakini wale walipokwisha kutolewa nje, akaingia mle ndani
walio wagonjwa ndio wanaohitaji tabibu. na kumshika yule binti mkono, naye akaamka.
13Nendeni mkajifunze maana ya maneno haya, 26Habari hizi zikaenea katika maeneo yale yote.
‘Nataka rehema, wala si dhabihu.’ Kwa maana
sikuja kuwaita wenye haki, bali wenye dhambi.’’ Yesu Awaponya Vipofu
27Yesu alipokuwa akiondoka mahali pale,
Yesu Aulizwa Kuhusu Kufunga vipofu wawili wakamfuata, wakipiga kelele kwa
14Wanafunzi wa Yohana Mbatizaji wakaja nguvu na kusema, “Mwana wa Daudi,
na kumwuliza Yesu, “Imekuwaje kwamba sisi na tuhurumie!’’
Mafarisayo tunafunga, lakini wanafunzi wako 28Alipoingia mle nyumbani wale vipofu
hawafungi?’’ wakamjia. Akawauliza, “Mnaamini kwamba
15Yesu akawajibu, “Je, wageni wa bwana – ninaweza kufanya jambo hili?”
arusi waweza kuomboleza wakati angali pamoja Wakamjibu, “Ndio Bwana.’’
nao? Wakati utafika ambapo bwana arusi 29Ndipo Yesu akagusa macho yao na
ataondolewa kwao, hapo ndipo watakapofunga. kusema, “Iwe kwenu sawasawa na
16“Hakuna mtu anayeshonea kiraka kipya mnavyoamini.’’ 30Macho yao yakafunguka.
kwenye nguo kuukuu, kwa maana kile kiraka Yesu akawaonya vikali, akisema, “Angalieni mtu
kitachanika kutoka kwenye hiyo nguo na ye yote asijue kuhusu jambo hili.’’ 31Lakini wao
kuchanika kwake kutakuwa kubaya zaidi ya wakaenda na kueneza habari zake katika eneo
hapo mwanzo. 17Wala watu hawaweki divai lile lote.
mpya kwenye viriba vikuukuu. Kama wakifanya
hivyo, viriba vitapasuka na divai itamwagika. Yesu Amponya Mtu Bubu

10
MATHAYO
32Walipokuwa wanatoka, mtu mmoja mtakachoingia, tafuteni humo mtu anayestahili,
aliyekuwa amepagawa na pepo na ambaye nanyi kaeni kwake mpaka mtakapoondoka.
12Mkiingia kwenye nyumba, itakieni amani.
hakuweza kuongea aliletwa kwa Yesu. 33Yule
13Kama nyumba hiyo inastahili, amani yenu na
pepo alipotolewa, yule mtu aliyekuwa bubu
akaongea. Ule umati wa watu ukastaajabu na iwe juu yake, la sivyo, amani yenu na iwarudie
kusema, “Jambo kama hili kamwe halijapata ninyi. 14Kama mtu ye yote hatawakaribisha
kuonekana katika Israeli.” ninyi, wala kusikiliza maneno yenu, kungu’uteni
34Lakini Mafarisayo wakasema, “Huyo mavumbi kutoka kwenye miguu yenu
anatoa pepo kwa uwezo wa mkuu wa pepo.’’ mtakapokuwa mnatoka kwenye nyumba hiyo au
mji huo. 15Amin, amin nawaambia, itavumilika
Watenda Kazi Ni Wachache zaidi miji ya Sodoma na Gomora katika hukumu
35Yesu akazunguka katika miji yote na vijiji kuliko mji huo.
vyote, akifundisha katika masinagogi yao ,
akihubiri Habari Njema za Ufalme na kuponya Mateso Yanayokuja
kila ugonjwa na kila aina ya maradhi miongoni 16“Tazama, ninawatuma kama kondoo
mwa watu. 36Alipoona makutano aliwahurumia katikati ya mbwa mwitu. Kwa hiyo mwe werevu
kwa sababu walikuwa wanasumbuka na bila kama nyoka na wapole kama hua.
msaada, kama kondoo wasio na mchungaji. 17“Jihadharini na wanadamu, kwa maana
37Ndipo akawaambia wanafunzi wake, “Mavuno watawapeleka katika mabaraza yao na
ni mengi lakini watenda kazi ni wachache, kuwapiga kwenye masinagogi yao, 18nanyi
38Kwa hiyo mwombeni Bwana wa mavuno, ili mtaburutwa mbele ya watawala na
apeleke watenda kazi katika shamba lake la wafalme kwa ajili Yangu, ili kuwa ushuhuda
mavuno.’’ kwao na mbele ya watu Mataifa. 19Lakini
watakapowapeleka humo, msisumbuke
Yesu Awatuma Wale Kumi Na Wawili kufikirifikiri mtakalosema, kwa maana mtapewa
10 Ndipo Yesu akawaita wanafunzi wake kumi la kusema wakati huo. 20Kwa sababu si ninyi
mtakaokuwa mkinena, bali ni Roho wa Baba
na wawili, akawapa mamlaka juu ya pepo
wachafu kuwatoa na kuponya kila yenu atakayekuwa akinena kupitia kwenu.
ugonjwa na maradhi ya kila aina. 21“Ndugu atamsaliti ndugu yake ili auawe
2Haya ndiyo majina ya hao wanafunzi kumi na baba atamsaliti mtoto wake, watoto wataasi
na wawili: 3wa kwanza, Simon, aitwaye Petro na dhidi ya wazazi wao na kuwafanya wauawe.
22Nanyi mtachukiwa na watu wote kwa ajili ya
Andrea nduguye, Yakobo mwana wa Zebedayo
na Yohana nduguye, Filipo na Bartholomayo, Jina langu. Lakini yeye atakayevumilia hadi
Tomaso na Mathayo mtoza ushuru, Yakobo mwisho ataokoka. 23Wakiwatesa katika mji
mwana wa Alfayo na Thadayo, 4 Simoni mmoja, kimbilieni mji mwingine.Amin, amin
Mkananayo na Yuda Iskariote aliyemsaliti Yesu. nawaambia, hamtamaliza miji yote ya Israeli
kabla Mwana wa Adamu hajaja.
Kutumwa Kwa Wale Kumi Na Wawili 24 “Mwanafunzi hawezi kumzidi mwalimu
5Hawa kumi na wawili, Yesu aliwatuma wake wala mtumishi hamzidi bwana wake.
akawaagiza, “Msiende miongoni mwa watu 25Yatosha mwanafunzi kuwa kama mwalimu
Mataifa wala msiingie mji wo wote wa wake na mtumishi kuwa kama bwana wake.
Wasamaria. 6Lakini afadhali mshike njia Ikiwa mkuu wa nyumba ameitwa Beelzebuli a,
kuwaendea kondoo wa nyumba ya Israeli je, si zaidi sana wale wa nyumbani mwake
waliopotea. 7Wakati mnapokwenda, hubirini mwenyewe!
mkisema, ‘Ufalme wa Mbinguni umekaribia.’
8Ponyeni wagonjwa, fufueni wafu, takaseni Anayestahili Kuogopwa
wenye ukoma, toeni pepo wachafu. Mmepata 26“Kwa hiyo msiwaogope hao, kwa maana
bure, toeni bure. 9Msichukue dhahabu, wala hakuna kilichofichika ambacho hakitafunuliwa,
fedha, wala shaba kwenye vifuko vyenu. wala hakuna siri ambayo haitajulikana.
10Msichukue mkoba wa safari, wala kanzu mbili, 27Ninalowaambia gizani, ninyi lisemeni mchana
wala jozi ya pili ya viatu, wala fimbo, kwa maana peupe na lile mnalosikia likinong'onwa,
mtenda kazi anastahili posho yake.
11“Mji wo wote au kijiji cho chote a25 ‘‘Beelizebubu’’ au kwa Kiyunani Beezebub au Beelzebub
yaani, Beelzebuli maana yake mkuu wa pepo
11
MATHAYO
masikioni mwenu, lihubirini kwenye paa la
nyumba. 28Msiwaogope wale wauao mwili lakini
11 Baada ya Yesu kumaliza kutoa maagizo kwa
wale wanafunzi wake kumi na wawili, aliondoka
hawawezi kuua roho afadhali mwogopeni yeye hapo akaenda kufundisha na
awezaye kuiangamiza roho na mwili katika kuhubiri katika miji yao.
jehanam b. 29Je, shomoro wawili hawauzwi kwa 2Yohana Mbatizaji aliposikia akiwa gerezani
senti mbili tu? Lakini hakuna hata mmoja wao mambo ambayo Kristo a alikuwa akiyafanya,
atakayeanguka pasipo Baba yenu kujua.. 30Hata aliwatuma wanafunzi wake 3ili wakamwulize,
nywele za vichwa vyenu zote zimehesabiwa. “Wewe ndiye yule aliyekuwa aje, au tumngojee
31Hivyo msiogope, kwa maana ninyi ni wa mwingine?’’
thamani kubwa zaidi kuliko shomoro wengi. 4Yesu akajibu, “Rudini mkamwarifu Yohana
32“Kila mtu atakayenikiri mbele ya watu,
yale mnayosikia na kuyaona: 5 Vipofu wanapata
mimi nami nitamkiri yeye mbele za Baba yangu kuona, viwete wanatembea, wenye ukoma
aliye mbinguni. 33Lakini ye yote atakayenikana wanatakaswa, viziwi wanasikia, wafu
mimi mbele ya watu, mimi nami nitamkana wanafufuliwa na maskini wanahubiriwa habari
mbele ya Baba yangu aliye mbinguni.’’ njema. 6Ana heri mtu yule asiyechukizwa kwa
ajili yangu”
Sikuleta Amani, Bali Upanga 7Wale wanafunzi wa Yohana walipokuwa
34“Msidhani kwamba nimekuja kuleta amani wanaondoka, Yesu akaanza kusema na
duniani. Sikuja kuleta amani bali upanga. makutano kuhusu Yohana Mbatizaji.
35Kwa maana nimekuja Akawauliza, “Mlipokwenda kule nyikani,
kumfitini mtu na babaye, mlikwenda kuona nini? Unyasi ukiyumbishwa na
binti na mamaye, upepo? 8Kama sivyo, mlitoka kwenda kuona
mkwe na mama mkwe wake. nini basi? Mtu aliyevaa mavazi mazuri.? Hasha,
36Nao adui za mtu watakuwa ni wale watu wale wanaovaa nguo nzuri wako katika
wa nyumbani kwake. majumba ya wafalme. 9Basi mlitoka kwenda
kuona nini? Je, ni kumwona nabii? Naam,
37‘‘Ye yote ampendaye baba yake au mama
nawaambia, yeye ni zaidi ya nabii. 10Huyo ndiye
yake kuliko anavyonipenda mimi, hastahili kuwa ambaye habari zake zimeandikwa:
wangu. Ye yote ampendaye mwanawe au binti
yake kuliko anavyonipenda Mimi, hastahili kuwa ‘‘ ‘Tazama namtuma mjumbe mbele yako,
wangu. 38 Tena ye yote asiyeuchukua msalaba atakayetengeneza njia mbele yako.’
wake na kunifuata, hastahili kuwa Wangu.
39Ayang’ang’aniaye maisha yake atayapoteza, 11Amin, nawaambia, miongoni mwa watu
lakini yeye atakayeyatoa maisha yake kwa ajili waliozaliwa na wanawake, hajatokea mtu aliye
yangu atayaona.” mkuu zaidi ya Yohana Mbatizaji, lakini aliye
mdogo kabisa katika Ufalme wa Mbinguni, ni
Watakaopokea Thawabu mkuu kuliko Yohana. 12Tangu siku za Yohana
40“Mtu ye yote atakayewapokea ninyi Mbatizaji hadi sasa, Ufalme wa Mungu
atakuwa amenipokea mimi na ye yote hupatikana kwa nguvu, nao wenye nguvu
atakayenipokea mimi atakuwa amempokea wauteka. 13Kwa maana manabii wote na Torati
Yeye aliyenituma. 41Mtu ye yote anayempokea vilitabiri mpaka wakati wa Yohana. 14Kama mko
nabii kwa kuwa ni nabii, atapokea thawabu ya tayari kukubali hilo, yeye Yohana ndiye yule
nabii na mtu anayempokea mwenye haki kwa Eliya ambaye manabii walikuwa wamesema
kuwa ni mwenye haki, atapokea thawabu ya angekuja. 15 Yeye aliye na sikio na
mwenye haki. 42 Kama ye yote akimpa hata asikie.16“Lakini kizazi hiki nikifananishe na
kikombe cha maji mmoja wa hawa wadogo kwa nini?’’ Kinafanana na watoto waliokaa sokoni
kuwa ni mwanafunzi wangu, amin, wakiwaita wenzao na kuwaambia,
ninawaambia, hataikosa thawabu yake.’’
17 “ ‘Tuliwapigia filimbi,
Yesu na Yohana Mbatizaji lakini hamkucheza,
tuliwaimbia nyimbo za msiba
b28 Jehanum au Kiyunani’’ ‘‘Gehena’’ maana yake
kuzimu, yaani, motoni a2 Kristo yaani Masiya maana yake Mpakwa (Aliyetiwa) Mafuta.

12
MATHAYO
lakini hamkuomboleza.’ Bwana Wa Sabato

18Kwa maana Yohana Mbatizaji alikuja hali wala


12 Wakati huo Yesu alipitia kwenye mashamba
ya ngano siku ya sabato.
hanywi, nao wanasema, ‘Yeye ana pepo.’ Wanafunzi wake walikuwa na njaa, wakaanza
19Mwana wa Adamu alikuja akila na kunywa, kuvunja masuke ya ngano na kuyala. 2Lakini
nao wanasema, ‘Tazama, mlafi na mlevi, rafiki Mafarisayo walipoona jambo hili,
wa watoza ushuru na wenye dhambi!’ Lakini wakamwambia, “Tazama! Wanafunzi wako
hekima huthibitishwa kwa haki ya matendo wanafanya jambo lisilo halali siku ya Sabato.’’
yake.’’ 3Yesu akawajibu, “Je, hamjasoma
alichofanya Daudi na wenzake walipokuwa na
Ole Wa Miji Isiyotubu njaa? 4 Aliingia katika nyumba ya Mungu akala
20Ndipo Yesu akaanza kuilaumu miji mikate iliyowekwa wakfu, yeye na wenzake,
ambamo alifanya miujiza yake mingi kuliko jambo ambalo halikuwa halali kwao kufanya,
kwingine, kwa maana watu wake hawakutubu. isipokuwa makuhani peke yao. 5Au hamjasoma
21 “Ole wako, Korazini! Ole wako Bethsaida! katika Torati kwamba siku ya Sabato makuhani
Kwa maana kama miujiza iliyofanyika kwenu, huvunja sheria ya Sabato Hekaluni lakini
ingelifanyika Tiro na Sidoni, miji hiyo ingekuwa hawahesabiwi kuwa na hatia? 6Nawaambia
imetubu tangu zamani kwa kuvaa magunia na wazi kwamba, Yeye aliye mkuu kuliko Hekalu
kujipaka majivu. 22Lakini nawaambia, yupo hapa. 7Kama mngelikuwa mmejua maana
itavumilika zaidi kwa Tiro na Sidoni katika siku ya maneno haya, ‘Ninataka rehema, wala si
ya hukumu, kuliko kwenu, 23Nawe dhabihu,’ msingeliwalaumu watu wasio na hatia,
Kapernaumu,je, utainuliwa hadi mbinguni? La 8kwa maana Mwana wa Adamu ndiye Bwana
hasha, utashushwa pande za chini sana b . wa Sabato.’’
Miujiza iliyofanyika kwako ingefanyika huko
Sodoma, mji huo ungalikuwapo hadi leo. 24 Yesu Anamponya Mtu Aliyepooza Mkono
Lakini nakuambia kwamba, itavumilika zaidi kwa 9Yesu akaondoka mahali hapo, akaingia
Sodoma katika siku ile ya hukumu kuliko wewe. katika sinagogi lao, 10huko alikuwepo mtu
aliyepooza mkono. Wakitafuta sababu ya
Hakuna Amjuaye Baba Ila Mwana kumshtaki Yesu, wakamwuliza, “Je, ni halali
25Wakati huo Yesu alisema, “Ninakuhimidi kuponya siku ya
Baba, Bwana wa mbingu na nchi, kwa kuwa Sabato?’’
umewaficha mambo haya wenye hekima na 11Yesu akawaambia, “Ni nani miongoni
wenye elimu, nawe ukawafunulia watoto mwenu, mwenye kondoo wake ambaye huyo
wachanga. 26Naam, Baba, kwa kuwa hivyo kondoo akitumbukia shimoni siku ya Sabato
ndivyo ilivyokupendeza. hatamtoa? 12Mtu ana thamani kubwa kiasi
27“Nimekabidhiwa vitu vyote na Baba kuliko kondoo. Kwa hiyo ni halali kutenda mema
yangu: hakuna mtu amjuaye Mwana ila Baba, siku ya Sabato.’’
wala hakuna amjuaye Baba ila Mwana na ye 13Ndipo akamwambia yule mtu, ‘‘Nyoosha
yote ambaye Mwana anapenda kumdhihirisha mkono wako.’’ Akaunyoosha, nao ukaponywa
Baba kwake.’’ ukawa mzima kama ule mwingine. 14Lakini
Mafarisayo wakatoka nje wakafanya shauri
Yesu Awaita Waliolemewa Na Mizigo baya juu yake jinsi watakavyoweza kumwua
28“Njooni kwangu, ninyi nyote mnaotaabika Yesu.
na kulemewa na mizigo, nami nitawapumzisha.
29Jifungeni nira yangu, mjifunze kutoka kwangu, Mtumishi Aliyechaguliwa Na Mungu
kwa maana mimi ni mpole na mnyenyekevu wa 15Lakini Yesu alipoyatambua mawazo yao,
moyo, nanyi mtapata raha nafsini mwenu. akaondoka mahali hapo. Watu wengi
30Kwa maana nira yangu ni laini na mzigo wakamfuata, naye akawaponya wote,
wangu ni mwepesi.’’ 16akiwakataza wasiseme yeye ni nani. 17Hii
ilikuwa ili litimie lile neno lililonenwa kwa kinywa
cha nabii Isaya, kusema :
b23 Pande za chini sana hapa ina maana ya neno la
Kiyunani Hades au kwa Kiyahudi Sheol, yaani, Kuzimu.

13
MATHAYO
18‘‘Tazama mtumishi wangu niliyemchagua, Mwana wa Adamu atasamehewa, lakini ye yote
mpendwa wangu, ninayependezwa anenaye neno dhidi ya Roho Mtakatifu
naye. hatasamehewa, iwe katika ulimwengu huu au
Nitaweka Roho yangu juu yake, katika ulimwengu ujao.’
naye atatangaza haki kwa mataifa.
19Hatagombana wala hatapiga kelele, Mti Na Matunda Yake
wala hakuna atakayesikia sauti yake njiani. 33‘‘Ufanye mti kuwa mzuri nayo matunda
20Mwanzi uliopondeka hatauvunja,
yake yatakuwa mazuri, au ufanye mti kuwa
utambi unaofuka moshi hatauzima, mbaya na matunda yake yatakuwa mabaya,
mpaka atakapoifanya haki ishinde. kwa maana mti hutambulikana kwa matunda
21“Katika jina lake mataifa wataweka yake. 34Enyi uzao wa nyoka! Mnawezaje
tumaini lao.’’ kunena mambo mema, wakati ninyi ni waovu?
Kwa maana kinywa cha mtu huyanena yale
Yesu Na Beelzebuli yaliyoujaza moyo wake. 35 Mtu mwema hutoa
22Kisha wakamletea mtu aliyekuwa yaliyo mema kutoka katika hazina ya mambo
amepagawa na pepo, naye ni kipofu na bubu, mema yaliyohifadhiwa ndani yake, naye mtu
Yesu akamponya, hata akaweza kusema na mwovu hutoa yaliyo maovu kutoka katika hazina
kuona. 23Watu wote wakashangaa na kusema, ya mambo maovu yaliyohifadhiwa ndani yake.
“Je, yawezekana huyu ndiye Mwana wa 36Lakini nawaambia, katika siku ya hukumu
Daudi?’’ watu watatoa hesabu kuhusu kila neno lisilo
24Lakini Mafarisayo waliposikia jambo hili
maana walilonena. 37Kwa maana kwa maneno
wakasema, “Mtu huyu anatoa pepo wachafu yako utahesabiwa haki na kwa maneno yako
kwa uwezo wa Beelzebuli a, mkuu wa pepo utahukumiwa.”
wachafu.’’
25Yesu alijua walichokuwa wakiwaza, Ishara Ya Yona
akawaambia, ‘‘Kila ufalme ukigawanyika dhidi 38Kisha baadhi ya Mafarisayo na walimu wa
yake wenyewe huangamia. Hali kadhalika kila sheria wakamwambia, “Mwalimu, tunataka
mji au watu wa nyumba moja iliyogawanyika kuona ishara kutoka kwako.’’
dhidi yake yenyewe haiwezi kusimama. 26Kama 39Lakini Yeye akawajibu, ‘‘Kizazi kiovu na
Shetani akimtoa Shetani, atakuwa cha uzinzi kinaomba ishara! Lakini hakitapewa
amegawanyika yeye mwenyewe. Basi ufalme ishara yo yote isipokuwa ile ishara ya nabii
wake utawezaje kusimama? 27Nami kama Yona. 40Kwa maana kama vile Yona alivyokuwa
natoa pepo wachafu kwa nguvu za Beelzebuli ndani ya tumbo la nyangumi c kwa muda wa
b, watu wenu je, wao hutoa pepo wachafu kwa
siku tatu mchana na usiku, vivyo hivyo Mwana
uwezo wa nani? Hivyo basi, wao ndio wa Adamu atakuwa katika moyo wa nchi siku
watakaowahukumu. 28Lakini kama Mimi ninatoa tatu, mchana na usiku. 41Siku ya hukumu watu
pepo wachafu kwa Roho wa Mungu, basi wa Ninawi watasimama pamoja na kizazi hiki na
Ufalme wa Mungu umekuja juu yenu. kukihukumu, kwa maana wao walitubu katika
29“Au tena, mtu awezaje kuingia katika kuhubiri kwa Yona na tazama hapa yupo yeye
nyumba ya mtu mwenye nguvu na kuteka nyara aliye mkuu kuliko Yona. 42Malkia wa Kusini
mali zake asipomfunga kwanza yule mwenye atasimama wakati wa hukumu na kukihukumu
nguvu? Akiisha mfunga, ndipo hakika anaweza kizazi hiki, kwa kuwa yeye alikuja kutoka miisho
kuteka nyara mali zake. ya dunia ili kuisikiliza hekima ya Solomoni na
30“Mtu asiyekuwa pamoja nami yu kinyume hapa yupo aliye mkuu kuliko Solomoni.’’
nami na mtu ambaye hakusanyi pamoja nami,
Mafundisho Kuhusu Pepo Mchafu
hutawanya. 31Kwa hiyo nawaambia, kila dhambi
43 “Pepo mchafu amtokapo mtu, hutanga-
na kufuru watu watasamehewa, lakini mtu
atakayemkufuru Roho Mtakatifu hatasamehewa. tanga katika sehemu zisizo na maji akitafuta
32“Mtu ye yote atakayesema neno dhidi ya mahali pa kupumzika, lakini hapati. 44Ndipo
husema, ‘Nitarudi kwenye ile nyumba yangu
nilikotoka,’ Naye arudipo huikuta ile nyumba
a24 Beelizebuli au Beelizebubu maana yake: mkuu wa
pepo wachafu. ikiwa tupu, imefagiliwa na kupangwa vizuri.
b27 Beelzebul au Beelizebubu maana yake mkuu wa
pepo wachafu. c40 Nyangumi ni samaki mkubwa sana
14
MATHAYO
45Kisha huenda na kuwaleta pepo wachafu atanyang'anywa. 13Hii ndiyo sababu nasema
wengine saba, wabaya zaidi kuliko yeye, nao nao kwa mifano:
huingia na kuishi humo. Nayo hali ya mwisho ya
mtu yule huwa mbaya zaidi kuliko ile ya kwanza. ‘‘Ingawa wanatazama, hawaoni,
Ndivyo itakavyokuwa kwa kizazi hiki cha uovu.’’ wanasikiliza, lakini hawasikii, wala
hawaelewi.
Mama Na Ndugu Zake Yesu
46Wakati alipokuwa akali anazungumza na 14Kwao unatimia ule unabii wa Isaya aliposema:
makutano, mama Yake na ndugu Zake ‘‘ ‘Hakika mtasikiliza lakini hamtaelewa,
walisimama nje wakitaka kuongea naye. na pia mtatazama lakini hamtaona.
47Ndipo mtu mmoja akamwambia, “Tazama 15Kwa maana mioyo ya watu hawa
mama Yako na ndugu Zako wamesimama nje, imekuwa mizito,
wanataka kuongea na Wewe.’’ hawasikii kwa masikio yao, na
48Lakini Yeye akamjibu na kumwambia yule wamefumba macho yao.
mtu, “Mama yangu ni nani, nao ndugu zangu ni Wasije wakaona kwa macho yao,
nani?’’ 49Akiwanyoshea mkono wanafunzi wakasikia kwa masikio yao,
Wake, akasema, “Hawa hapa ndio mama Yangu wakaelewa kwa mioyo yao,
nao ndugu Zangu! 50Kwa maana ye yote wakageuka, nami nikawaponya.’
afanyaye mapenzi ya Baba Yangu wa mbinguni,
16“Lakini heri macho yenu, kwa sababu
ndiye ndugu Yangu, dada Yangu na mama
yangu.’’ yanaona na heri masikio yenu kwa sababu
yanasikia. 17Amin, nawaambia, manabii wengi
Mfano Wa Mpanzi na wenye haki walitamani kuona yale
13 Siku iyo hiyo Yesu akatoka nje ya mnayoyaona, nao hawakuyaona na kusikia yale
mnayosikia lakini hawakuyasikia.’’
nyumba akaketi kando ya bahari. 2Umati
mkubwa mno wa watu ukakusanyika Maelezo Ya Mfano Wa Mbegu
kumzunguka hata ikabidi aingie katika chombo 18“Sikilizeni basi maana ya ule mfano wa
na kuketi humo, nao watu wote wakawa
wamesimama ukingoni mwa bahari. 3Ndipo mpanzi: 19Mtu ye yote anaposikia neno la
akawaambia mambo mengi kwa mifano, Ufalme, naye asilielewe, yule mwovu huja na
akisema: “Mpanzi alitoka kwenda kupanda kunyakua kile kilichopandwa moyoni mwake, hii
mbegu zake. 4Alipokuwa akipanda, baadhi ndiyo ile mbegu iliyopandwa kando ya njia.
zikaanguka kando ya njia, ndege wakaja na 20Ile mbegu iliyopandwa kwenye sehemu yenye
kuzila. 5Nyingine zikaanguka sehemu yenye mawe ni mtu yule ambaye hulisikia neno na
mawe, ambapo hapana udongo mwingi. Zikaota
haraka kwa sababu udongo ulikuwa hauna kina. mara hulipokea kwa furaha. 21Lakini kwa kuwa
6Lakini jua lilipozidi, mimea hiyo ilinyauka na hana mizizi yenye kina ndani yake, lile neno
kukauka kwa sababu mizizi yake haikuwa na hukaa kwa muda mfupi. Inapotokea dhiki au
mateso kwa ajili ya hilo neno, yeye mara
kina. 7Mbegu nyingine zilianguka katikati ya
miiba, miiba hiyo ikakua ikazisonga. 8Mbegu huchukizwa. 22 Ile mbegu iliyopandwa katika
nyingine zilianguka kwenye udongo mzuri miiba ni yule mtu alisikiaye neno, lakini
ambapo zilitoa mazao, nyingine mara mia moja, masumbufu ya dunia na vishawishi vya mali
nyingine mara sitini na nyingine mara thelathini. hulisonga lile neno na kulifanya lisizae matunda.
9Yeye mwenye masikio ya kusikia na asikie.’’ 23Lakini ile mbegu iliyopandwa kwenye udongo
mzuri ni yule mtu ambaye hulisikia neno na
Sababu Ya Kufundisha Kwa Mifano kulielewa. Naye hakika hutoa matunda, akizaa
10Wanafunzi wake wakamwendea mara mia, au mara sitini, au mara thelathini ya
wakamwuliza, “Kwa nini unasema na watu kwa mbegu iliyopandwa.’’
mifano?’’ 11Akawajibu, “Ninyi mmepewa Mfano Wa Magugu
kuzifahamu siri za Ufalme wa Mbinguni, lakini
24Yesu akawaambia mfano mwingine,
wao sivyo. 12Kwa maana yule aliye na kitu
atapewa zaidi, naye atakuwa navyo tele, lakini akasema: ‘‘Ufalme wa Mbinguni unaweza
yule asiye na kitu, hata kile alichonacho kufananishwa na mtu aliyepanda mbegu nzuri
katika shamba lake. 25Lakini wakati kila mtu
15
MATHAYO
alipokuwa amelala, adui yake akaja na kupanda 37Akawaambia, “Aliyepanda mbegu nzuri ni
magugu katikati ya ngano, akaenda zake. Mwana wa Adamu. 38Shamba ni ulimwengu na
26Ngano ilipoota na kutoa masuke, magugu mbegu nzuri ni wana wa Ufalme. Magugu ni
nayo yakatokea. wana wa yule mwovu. 39Yule adui aliyepanda
27“Watumishi wa yule mwenye shamba magugu ni Ibilisi . Mavuno ni mwisho wa dunia,
wakamjia na kumwambia, ‘Bwana, si tulipanda nao wavunaji ni malaika.
mbegu nzuri shambani mwako? Basi, magugu 40‘‘Kama vile magugu yang’olewavyo na
yametoka wapi ? kuchomwa motoni, ndivyo itakavyokuwa wakati
28Akawajibu, ‘Adui ndiye aliyefanya jambo
wa mwisho wa dunia. 41Mwana wa Adamu
hili.’ Wale watumishi wakamwuliza, ‘Je, unataka atawatuma malaika zake, nao watakusanya
twende tukayang'oe? ” kutoka katika Ufalme wake kila kitu
29Lakini akasema, ‘Hapana, msiyang'oe, kinachosababisha dhambi na watenda maovu
kwa maana wakati mking’oa magugu mnaweza wote. 42Nao watawatupa katika tanuru la moto
mkang'oa na ngano pamoja nayo. 30Acheni ambako kutakuwa na kilio na kusaga meno.
43Ndipo wenye haki watang'aa kama jua katika
ngano na magugu vikue vyote pamoja mpaka
wakati wa mavuno. Wakati huo nitawaambia Ufalme wa Baba yao. Yeye aliye na masikio , na
wavunaji, wayakusanye magugu kwanza, asikie.
wayafunge matita matita ili yachomwe moto,
kisha wakusanye ngano na kuileta ghalani Mfano Wa Hazina Iliyofichwa na Lulu
mwangu.’ ’’ 44‘‘Ufalme wa Mbinguni unafanana na
hazina iliyofichwa shambani, ambayo mtu
Mfano Wa Mbegu ya Haradali mmoja alipoiona akaificha tena. Kisha katika
31Akawaambia mfano mwingine, akasema, furaha yake, akaenda akauza vyote alivyokuwa
“Ufalme wa Mbinguni ni kama punje ya haradali, navyo, akalinunua lile shamba.’’
ambayo mtu aliichukua akaipanda shambani 45‘‘Tena, Ufalme wa Mbinguni unafanana
mwake. 32Ingawa mbegu hiyo ni ndogo kuliko na mfanyi biashara aliyekuwa akitafuta lulu safi.
mbegu zote, lakini inapokua ni mmea mkubwa 46Alipoipata lulu moja ya thamani kubwa,
kuliko yote ya bustanini, nao huwa mti mkubwa, alikwenda akauza vyote alivyokuwa navyo
hata ndege wa angani huja na kutengeneza akainunua.
viota katika matawi yake.’’
Mfano Wa Wavu
Mfano Wa Chachu 47“Tena, Ufalme wa Mbinguni ni kama wavu
33Akawaambia mfano mwingine, ‘‘Ufalme wa kuvulia samaki uliotupwa baharini ukavua
wa Mbinguni unafanana na chachu ambayo samaki wa kila aina. 48Ulipojaa, wavuvi
mwanamke aliichukua akaichanganya katika wakavuta pwani, wakaketi na kukusanya
vipimo vitatu vya unga mpaka wote ukaumuka.’’ samaki wazuri kuwaweka kwenye vyombo safi,
lakini wale samaki wabaya wakawatupa. 49Hivi
Sababu Ya Yesu Kutumia Mifano ndivyo itakavyokuwa wakati wa mwisho wa
34Yesu alinena mambo haya yote kwa dunia. Malaika watakuja na kuwatenganisha
makutano kwa mifano. Wala pasipo mfano watu waovu na watu wenye haki. 50Nao
hakuwaambia lo lote. 35Hii ilikuwa ili kutimiza lile watawatupa hao waovu katika tanuru la moto
lililonenwa kwa vinywa vya manabii kusema: ambako kutakuwa na kilio na kusaga meno.
51Yesu akauliza, ‘‘Je, mmeyaelewa
‘‘Nitakifungua kinywa changu niseme nao haya yote?''
kwa mifano, Wakamjibu, ‘‘Ndiyo.’’
nitahubiri mambo yaliyofichika tangu 52Akawaambia, ‘‘Basi kila mwalimu wa
kuumbwa kwa misingi ya ulimwengu.’’ sheria aliyefundishwa elimu ya Ufalme wa
Mbinguni ni kama mwenye nyumba anayetoa
Ufafanuzi Wa Mfano Wa Magugu kutoka katika ghala yake mali mpya na mali ya
36Kisha Yesu akaagana na makutano, zamani.’’
akaingia nyumbani. Wanafunzi wake wakamjia
wakamwambia, ‘‘Tueleze maana ya ule mfano Yesu Akataliwa Nazareti
wa magugu shambani.’’ 53Yesu alipomaliza kutoa mifano hii,
16
MATHAYO
akaondoka. 54Alipofika mjini kwao, kupitia nchi kavu, kutoka mijini. 14Yesu alipofika
akawafundisha watu katika sinagogi lao. Nao kando ya bahari aliona makutano makubwa ya
wakastaajabu, wakauliza, ‘‘Mtu huyu amepata watu, akawahurumia na akawaponya wagonjwa
wapi hekima hii na uwezo huu wa kufanya wao.
miujiza?” 55‘‘Huyu si yule mwana wa seremala? 15Ilipofika jioni, wanafunzi wake wakamjia
Mama yake si yeye aitwaye Maria, nao ndugu wakamwambia, “Mahali hapa ni nyikani, na
zake ni Yakobo, Yosefu, Simoni na Yuda? muda sasa umekwisha, waage makutano ili
56Nao dada zake wote hawako hapa pamoja
waende zao vijijini wakajinunulie chakula.’’
nasi? Mtu huyu amepata wapi basi mambo haya 16Yesu akawaambia, “Hakuna sababu ya
yote?’’ 57Wakachukizwa naye. wao kuondoka. Ninyi wapeni chakula.’’
Lakini Yesu akawaambia, “Nabii hakosi 17Wakamjibu, “Tuna mikate mitano na
heshima isipokuwa katika nchi yake na samaki wawili tu.’’
nyumbani kwake.’’ 18Akawaambia, “Nileteeni hivyo vitu hapa.’’
58Naye hakufanya miujiza mingi huko kwa 19Akaagiza makutano wakae chini kwenye
sababu ya kutokuamini kwao. nyasi. Akaichukua ile mikate mitano na wale
samaki wawili, akainua macho yake akatazama
Yohana Mbatizaji Akatwa Kichwa mbinguni, akavibariki na kuimega ile mikate,
14 Wakati huo, mfalme Herode aliyekuwa
2
mtawala
kisha akawapa wanafunzi wake hiyo mikate na
hao samaki,wanafunzi wakawagawia makutano.
alisikia habari kuhusu sifa za Yesu, akawaambia 20Wote wakala, wakatosheka, nao wanafunzi
watumishi wake, “Huyu ni
Yohana Mbatizaji, amefufuka kutoka kwa wafu! wake wakakusanya vipande vilivyosalia,
Hiyo ndiyo sababu nguvu za kutenda miujiza wakajaza vikapu kumi na viwili. 21Idadi ya wale
zinafanya kazi ndani yake.’’ watu waliokula walikuwa wanaume 5,000, bila
3Herode alikuwa amemkamata Yohana kuhesabu wanawake na watoto.
akamfunga na kumweka gerezani kwa sababu
ya Herodia, mke wa Filipo, ndugu yake, 4kwa Yesu Atembea Juu Ya Maji
kuwa Yohana alikuwa amemwambia Herode 22MaraYesu akawaambia wanafunzi wake
kwamba, “Si halali kwako kuwa na huyo waingie kwenye chombo watangulie kwenda
mwanamke.’’ 5 Herode alitaka sana kumwua ng'ambo ya pili ya bahari, wakati Yeye
Yohana, lakini akiogopa watu kwa maana anawaaga wale makutano. 23Baada ya
walimtambua kuwa ni nabii. kuwaaga, akaenda zake mlimani peke yake
6Katika siku ya kuadhimisha sikukuu ya kuomba. Jioni ilipofika, Yesu alikuwa huko peke
kuzaliwa kwa Herode, binti wa Herodia alicheza Yake. 24Wakati huo kile chombo kilikuwa
mbele ya watu waliohudhuria akamfurahisha kimeshafika mbali kutoka nchi kavu
sana Herode 7kiasi kwamba aliahidi kwa kiapo kikisukwasukwa na mawimbi kwa sababu upepo
kumpa huyo binti lo lote atakaloomba. 8Yeye ulikuwa wa mbisho.
akiwa amefundishwa na mama yake, huyo binti 25Wakati wa zamu ya nne ya usiku a, Yesu
akasema, “Nipatie kichwa cha Yohana Mbatizaji akawaendea wanafunzi wake akiwa anatembea
kwenye sinia.’’ 9Mfalme akasikitika, lakini kwa juu ya maji. 26Wanafunzi wake walipomwona
ajili ya kile kiapo alichoapa mbele ya wageni, akitembea juu ya maji, waliingiwa na hofu kuu,
akaamuru kwamba apatiwe ombi lake. 10Hivyo wakasema, ‘‘Ni mzimu.’’ Wakapiga yowe kwa
akaagiza Yohana Mbatizaji akatwe kichwa mle kuogopa.
27Lakini mara Yesu akasema nao,
gerezani. 11Kichwa chake kikaletwa kwenye
sinia, akapewa yule binti, naye akampelekea akawaambia, “Jipeni moyo! Ni Mimi, msiogope.’’
28Petro akamjibu, ‘‘Bwana, ikiwa ni Wewe,
mama yake. 12Wanafunzi wa Yohana wakaja na
kuuchukua mwili wake kwenda kuuzika. Kisha niambie nije kwako nikitembea juu ya
wakaenda wakamwambia Yesu. maji.’’ 29Yesu akamwambia, “Njoo.’’
Basi Petro akatoka kwenyen chombo,
Yesu Alisha Watu Elfu Tano akatembea juu ya maji kumwelekea Yesu.
13Yesu aliposikia haya yaliyokuwa 30Lakini alipoona upepo mkali aliingiwa na hofu,
yametukia, aliondoka kwa chombo akaenda naye akaanza kuzama, huku akipiga kelele,
mahali pasipo na watu ili awe peke yake. Lakini “Bwana, niokoe!’’
watu walipopata habari, wakamfuata kwa miguu
a25 “Zamu ya nne ya usiku’’ ni kati ya saa 9 na saa 12 alfajiri
17
MATHAYO
31Mara Yesu akanyosha mkono Wake na yangu wa mbinguni hakulipanda, litang'olewa.
kumshika, akamwambia, “Wewe mwenye imani 14Waacheni, wao ni viongozi vipofu,
haba, kwa nini uliona shaka?’’ wanaoongoza vipofu. Kama kipofu
32Nao walipoingia ndani ya chombo, upepo akimwongoza kipofu mwenzake, wote wawili
ukakoma. 33Ndipo wote waliokuwamo ndani ya watatumbukia shimoni.’’
15Petro akasema, “Tuelezee maana ya huu
kile chombo wakamwabudu Yesu wakisema,
“Hakika, Wewe ndiwe Mwana wa Mungu.’’ mfano.’’
16Yesu akawauliza, “Je, bado ninyi
Yesu Awaponya Wagonjwa Genesareti hamfahamu? Je, hamfahamu 17kwamba cho
34Walipokwisha kuvuka, wakafika nchi ya
chote kiingiacho kinywani huenda tumboni na
Genesareti. 35Watu wa eneo lile hatimaye hutolewa nje na kuwa uchafu?
walipomtambua Yesu, walipeleka habari 18Lakini kitokacho kinywani hutoka moyoni, na
sehemu zote za jirani. Watu wakawaletea hiki ndicho kimtiacho mtu unajisi. 19Kwa maana
wagonjwa wao wote 36wakamsihi awaruhusu ndani ya moyo hutoka mawazo mabaya, uuaji,
wagonjwa waguse tu pindo la vazi Lake, nao uzinzi, uasherati, wizi, ushahidi wa uongo na
wote waliomgusa, wakaponywa. masingizio. 20Haya ndiyo yamtiayo mtu unajisi,
lakini kula bila kunawa mikono hakumtii mtu
Mapokeo Ya Wazee unajisi.”
15 Ndipo baadhi ya Mafarisayo na walimu wa Imani ya Mwanamke Mkananayo
sheria wakamjia Yesu kutoka Yerusalemu na 21Yesu aliondoka mahali pale akaenda
kumwuliza, 2“Mbona wanafunzi wako wanakiuka
mapokeo ya wazee waliopita? Kwa maana wao sehemu za Tiro na Sidoni. 22 Mwanamke mmoja
hawanawi mikono yao kabla Mkananayo aliyeishi jirani na sehemu hizo akaja
ya kula!’’ kwake, akilia, akasema, “Nihurumie,Ee Bwana,
3 Yesu akawajibu, “Mbona ninyi mnavunja Mwana wa Daudi, binti yangu amepagawa na
amri ya Mungu kwa ajili ya mapokeo yenu? pepo na anateseka sana.’’
4Kwa maana Mungu alisema, ‘Waheshimu baba 23Lakini Yesu hakumjibu neno. Hivyo
yako na mama yako’ na ‘Ye yote amtukanaye wanafunzi wake wakamwendea na kumsihi
baba yake au mama yake, na auawe.’ 5Lakini sana, wakisema, “Mwambie aende zake, kwa
ninyi mwafundisha kwamba mtu akimwambia maana anaendelea kutupigia kelele.’’
baba yake au mama yake, ‘Kile ambacho 24Yesu akajibu, “Nimetumwa tu kwa ajili ya
ningeweza kukusaidia kimewekwa wakfu kwa kondoo wa Israeli waliopotea.’’
Mungu,’ basi hana tena sababu ya kumsaidia 25Lakini yule mwanamke akaja, akapiga
baba yake. 6Basi kwa ajili ya mafundisho yenu magoti mbele ya Yesu, akasema, ‘‘Bwana,
mnavunja amri ya Mungu. 7 Ninyi wanafiki! nisaidie!’’
Isaya alikuwa sawa alipotabiri juu yenu kwamba: 26Yesu akajibu, ‘‘Si haki kuchukua chakula
cha watoto na kuwatupia mbwa.’’
8“ ‘Watu hawa huniheshimu kwa midomo 27Yule mwanamke akajibu, “Ndiyo, Bwana,
yao, lakini mioyo yao iko mbali nami. lakini hata mbwa hula makombo yanayoanguka
9Kuniabudu kwao ni bure, kutoka kwenye meza za bwana zao.’’
nayo mafundisho yao ni maagizo 28 Ndipo Yesu akamwambia, “Mwanamke,
ya wanadamu tu.’ ’’ imani yako ni kubwa! Iwe kwako kama
unavyotaka.’’Naye binti yake akapona tangu
Vitu Vitiavyo Unajisi saa ile ile.
10Yesu akaita ule umati wa watu
akawaambia, “Sikilizeni na mwelewe: Yesu Aponya Watu Wengi
11kinachomfanya mtu kuwa najisi mbele za 29Yesu akaondoka na kwenda kando ya
Mungu si kile kiingiacho kinywani mwake, bali ni bahari ya Galilaya. Kisha akapanda mlimani,
kile kitokacho kinywani mwake.’’ akaketi huko. 30Umati mkubwa wa watu
12Kisha wanafunzi wake wakamjia na wakamjia, wakiwaleta vilema, vipofu,viwete,
kumwuliza, Je, unajua kwamba Mafarisayo bubu na wengine wengi, wakawaweka miguuni
walichukizwa sana waliposikia yale uliyosema?’’ pake, naye akawaponya.31Hao watu
13Akawajibu, “Kila pando ambalo Baba wakashangaa walipoona bubu wakisema,
18
MATHAYO
vilema wakipona, viwete wakitembea na vipofu mikate. 6Yesu akawaambia, “Jihadharini,
wakiona, wakamtukuza Mungu wa Israeli. jilindeni na chachu ya Mafarisayo na ya
Masadukayo.’’
Yesu Alisha Watu Elfu Nne 7Wakajadiliana wao kwa wao, wakisema,
32Kisha Yesu akawaita wanafunzi wake “Ni kwa sababu hatukuleta mikate.’’
akawaambia, “Ninahurumia huu umati wa watu, 8Yesu, akitambua mazungumzo yao,
kwa sababu sasa wamekuwa pamoja nami kwa akasema, “Enyi wa imani haba! Mbona
muda wa siku tatu na hawana cho chote cha mnajadiliana miongoni mwenu kuhusu
chakula, nami sipendi kuwaaga wakiwa na njaa kutokuwa na mikate? 9Je, bado tu hamwelewi?
wasije wakazimia njiani.” Je,hamkumbuki ile mikate mitano iliyolisha watu
33Wanafunzi wake wakasema, ‘‘Tutapata 5,000 na ni idadi ya vikapu vingapi vya mabaki
wapi mikate ya kutosha kuwalisha umati huu wa mlivyokusanya? 10Au ile mikate saba iliyolisha
watu mkubwa namna hii, nasi tuko nyikani?’’ watu 4,000 na ni idadi ya vikapu vingapi vya
34Yesu akawauliza, “Mnayo mikate 11Inakuwaje
mabaki mlivyokusanya?
mingapi?’’ mnashindwa kuelewa kwamba nilikuwa sisemi
Wakamjibu, ‘‘Tunayo mikate saba na nanyi habari za mikate? Jilindeni na chachu ya
visamaki vichache.” Mafarisayo na Masadukayo.” 12Ndipo
35Yesu akawaambia ule umati wa watu wakaelewa kwamba alikuwa hasemi juu ya
waketi chini. 36Kisha akachukua ile mikate saba chachu ya kutengeneza mikate, bali juu ya
na wale samaki, naye akiisha kumshukuru mafundisho ya Mafarisayo na Masadukayo.
Mungu, akavimega na kuwapa wanafunzi wake,
Petro Amkiri Yesu Kuwa Ni Mwana Wa
nao wakawapa ule umati wa watu. 37Wote
wakala na kushiba. Baadaye wanafunzi Mungu
wakakusanya vipande vilivyosalia, wakajaza 13 Basi Yesu alipofika katika eneo la

vikapu saba. 38Idadi ya watu walikuwa Kaisaria Filipi, akawauliza wanafunzi wake,
wanaume 4,000, bila kuhesabu wanawake na “Watu husema Mwana wa Adamu ni nani?”
14Wakamjibu, “Baadhi ya watu husema ni
watoto. 39Baada ya kuaga ule umati wa watu,
Yesu aliingia chomboni akaenda sehemu za Yohana Mbatizaji, wengine husema ni Eliya na
bado wengine husema, ni Yeremia au
Magadani a.
mmojawapo wa manabii.’’
Mafarisayo Wadai Ishara 15Akawauliza, ‘‘Je, ninyi, mnasema mimi ni

16 Mafarisayo na Masadukayo wakamjia Yesu nani?’’


16Simoni Petro akamjibu, “Wewe ndiwe
na kumjaribu kwa kumwomba
awaonyeshe ishara kutoka mbinguni. Kristo a, Mwana wa Mungu aliye hai.’’
2Akawajibu akawaambia, “Ifikapo jioni, 17Naye Yesu akamwambia, ‘‘Heri wewe,
mnasema, ‘Hali ya hewa itakuwa nzuri, kwa Simoni mwana wa Yona, kwa maana hili
kuwa anga ni nyekundu,’ 3nanyi wakati wa halikufunuliwa kwako na mwanadamu, bali na
asubuhi mnasema, ‘Leo kutakuwa na dhoruba, Baba yangu aliye mbinguni. 18 ‘‘Nami
kwa sababu anga ni nyekundu na mawingu nakuambia, wewe ndiwe Petro na juu ya
yametanda.’ Mnajua jinsi ya kupambanua kule mwamba huu nitalijenga kanisa langu, hata
kuonekana kwa anga, lakini hamwezi malango ya kuzimu hayataweza kulishinda.
kupambanua dalili za nyakati. 4Kizazi cha 19Nitakupa funguo za Ufalme wa Mbinguni na lo
waovu na cha zinaa hutafuta ishara ya majira, lote utakalolifunga duniani litakuwa limefungwa
lakini hakitapewa ishara yo yote isipokuwa Mbinguni, lo lote utakalofungua duniani litakuwa
ishara ya Yona.” Yesu akawaacha, akaenda limefunguliwa mbinguni.’’ 20Kisha akawakataza
zake. wanafunzi wake wasimwambie mtu ye yote
kwamba Yeye ndiye Kristo.
Chachu Ya Mafarisayo Na Masadukayo
5Wanafunzi wake walipofika ng’ambo ya pili Yesu Anatabiri Juu Ya Kifo Chake
ya bahari, walikuwa wamesahau kuchukua
a16 Kristo maana yake Masiya, yaani,
a39 Magadani hapa inamaanisha Magdala. Mpakwa (Aliyetiwa)Mafuta.’’

19
MATHAYO
21Tangu wakati huo Yesu alianza macho yao, hawakumwona mtu mwingine ye
kuwaeleza wanafunzi wake kwamba hana budi yote isipokuwa Yesu .
kwenda Yerusalemu na kupata mateso mengi 9Walipokuwa wakishuka kutoka mlimani,
kwa mikono ya wazee, wakuu wa makuhani na Yesu akawaagiza, ‘‘Msimwambie mtu ye yote
walimu wa sheria na kwamba itampasa auawe maono haya mpaka Mwana wa Adamu
na siku ya tatu atafufulika. atakapofufuka kutoka kwa wafu.’’
22Petro akamchukua kando akaanza 10Wale wanafunzi wakamwuliza, “Kwa nini
kumkemea, akisema, “Mungu apishie hayo basi walimu wa sheria wanasema kwamba
mbali! Jambo hili kamwe halitakupata!!’’ lazima Eliya aje kwanza?’’
23 Lakini Yesu akageuka na kumwambia 11Yesu akawajibu, ‘‘Ni kweli, Eliya lazima
Petro , “Rudi nyuma yangu, Shetani! Wewe ni aje kwanza naye atatengeneza mambo yote.
kikwazo kwangu. Moyo wako hauwazi yaliyo ya 12Lakini nawaambia, Eliya amekwisha kuja, nao
Mungu, bali ya wanadamu.’’ hawakumtambua, bali walimtendea kila kitu
24Ndipo Yesu akawaambia wanafunzi wake, walichotaka. Vivyo hivyo Mwana wa Adamu pia
“Mtu ye yote akitaka kunifuata, ni lazima ajikane atateswa mikononi mwao.’ ” 13Ndipo wale
mwenyewe na auchukue msalaba wake, wanafunzi wakaelewa kuwa alikuwa
anifuate. 25Kwa maana ye yote anayetaka anazungumza nao habari za Yohana Mbatizaji.
kuyaokoa maisha yake atayapoteza, lakini ye
yote atakayeyapoteza maisha yake kwa ajili Yesu Amponya Kijana Mwenye Pepo
14Walipofika penye umati wa watu, mtu
yangu atayapata. 26Kwa maana itamfaidia nini
mtu kuupata ulimwengu wote, lakini mmoja akamjia Yesu na kupiga magoti mbele
akayapoteza maisha yake? Au mtu atatoa nini yake, akasema, 15“Bwana, mhurumie
badala ya maisha yake? 27Kwa maana Mwana mwanangu. Yeye ana kifafa na anateseka sana.
wa Adamu atakuja katika utukufu wa Baba yake Mara kwa mara huanguka kwenye moto au
pamoja na malaika zake, naye ndipo kwenye maji. 16Nilimleta kwa wanafunzi wako
atakapomlipa kila mtu kwa kadiri ya matendo lakini hawakuweza kumponya.’’
yake. 28Nawaambia kweli, baadhi yenu hapa 17Yesu akajibu, “Enyi kizazi kisichoamini na
hawataonja mauti kabla ya kumwona Mwana wa kilichopotoka, nitakaa nanyi hata lini, nami
Adamu akija katika Ufalme wake.’’ nitawavumilia hadi lini? Mleteni kijana hapa
kwangu.’’ 18Yesu akamkemea yule pepo
Yesu Abadilika Sura Mlimani mchafu, akamtoka yule kijana, naye akapona
17 Siku sita baada ya jambo hili,Yesu
akawachukua Petro, Yakobo na Yohana
saa ile ile
19Kisha wanafunzi wakamwendea Yesu
ndugu yake Yakobo, na kuwaleta mpaka juu ya wakati ambapo hakuna watu, wakamwuliza,
mlima mrefu mahali pasipo na watu. 2Wakiwa “Kwa nini sisi hatukuweza kumtoa?”
huko, Yesu alibadilika sura mbele yao. Uso 20Akawajibu, ‘‘Kwa sababu ya imani yenu
wake ukang'aa kama jua na nguo zake zikawa
na weupe wa kuumiza macho. 3Ghafula ndogo. Ninawaambia kweli, mkiwa na imani
wakawatokea mbele yao Mose kama punje ndogo ya haradali, mtauambia
na Eliya, wakizungumza na Yesu. mlima huu, ‘Ondoka hapa uende pale’ nao
4Ndipo Petro akamwambia Yesu, ‘‘Bwana, utaondoka. Wala hakutakuwa na jambo
ni vema sisi tukae hapa. Ukitaka, nitafanya lisilowezekana kwenu.’’ 21 ‘‘Lakini hali kama hii
vibanda vitatu: kimoja chako, kingine cha Mose haitoki ila kwa kuomba na kufunga.’’
na kingine cha Eliya.’’ 22Siku moja walipokuwa pamoja huko
5Petro alipokuwa angali ananena, ghafula, Galilaya, Yesu akawaambia, “Mwana wa
wingu linalong'aa likawafunika na sauti ikatoka Adamu anakwenda kutiwa mikononi mwa watu.
23Nao watamwua na siku ya tatu atafufuka.’’
kwenye hilo wingu ikisema, ‘‘Huyu ni mwanangu
mpendwa, ninayependezwa naye sana, Wanafunzi wakahuzunika sana.
msikilizeni Yeye.’’
6Wale Yesu Na Petro Watoa Kodi Ya Hekalu
wanafunzi, waliposikia haya,
24Baada ya Yesu na wanafunzi wake kufika
wakaanguka chini kifudifudi, wakajawa na hofu.
7Lakini Yesu akaja na kuwagusa, akawaambia, Kapernaumu, wakusanyaji wa kodi ya Hekalu
“Inukeni na wala msiogope.’’ 8Walipoinua
20
MATHAYO
wakamjia Petro na kumwuliza, “Je, Mwalimu
wenu halipi kodi ya Hekalu a?’’ Mfano Wa Kondoo Aliyepotea
25Petro akajibu, “Ndiyo, Yeye hulipa.” Petro 10 ‘‘Angalia ili usimdharau mmojawapo wa
aliporudi nyumbani, Yesu akawa wa kwanza hawa wadogo, kwa maana nawaambia, malaika
kulizungumzia, akamwuliza, “Unaonaje wao mbinguni daima wanauona uso wa Baba
Simoni?’’ Wafalme wa dunia hupokea ushuru na yangu aliye mbinguni.’’ 11Kwa maana Mwana
kodi kutoka kwa nani? Je, ni kutoka kwa watoto wa Adamu alikuja kuokoa kile kilichopotea.
wao au kutoka kwa watu wengine?” 12“Mwaonaje? Ikiwa mtu anao kondoo mia
26Petro akamjibu, “Kutoka kwa watu moja na mmoja wao akapotea, hatawaacha
wengine.’’ Yesu akamwambia, “Kwa hiyo watoto wale tisini na tisa vilimani na kwenda kumtafuta
wao wamesamehewa. 27 Lakini ili tusije huyo mmoja aliyepotea? 13Naye akisha mpata,
tukawaudhi, nenda baharini ukatupe ndoana. amin, nawaambia, hufurahi zaidi kwa ajili ya
Mchukue samaki wa kwanza utakayemvua, huyo kondoo mmoja kuliko wale tisini na tisa
fungua kinywa chake nawe utakuta humo fedha, ambao hawakupotea. 14Vivyo hivyo, Baba yenu
ichukue ukalipe kodi yako na yangu.” wa mbinguni hapendi hata mmojawapo wa
hawa wadogo apotee.’’
Aliye Mkuu Katika Ufalme Wa Mbinguni
18 Wakati huo, wanafunzi wakamjia Yesu na
Ndugu Yako Akikukosea
15“Kama
kumwuliza “Je, nani aliye mkuu ndugu yako akikukosea, nenda
kuliko wote katika Ufalme wa Mbinguni?” ukamwonyeshe kosa lake, kati yenu ninyi wawili
2Yesu akamwita mtoto mdogo na peke yenu. Kama akikusikiliza, utakuwa
3
kumsimamisha katikati yao. Naye akasema: umempata tena ndugu yako. 16Lakini kama
‘‘Amin, nawaambia, msipoongoka na kuwa hatakusikiliza, nenda na mtu mwingine mmoja
kama watoto wadogo, kamwe hamtaingia katika au wawili ili kila neno lithibitishwe na ushahidi
Ufalme wa Mbinguni. 4Kwa hiyo mtu yeyote wa mashahidi wawili au watatu. 17Kama
ajinyenyekezaye kama huyu mtoto, ndiye aliye akikataa kuwasikiliza hao, liambie kanisa, naye
mkuu kuliko wote katika Ufalme wa Mbinguni. kama akikataa hata kulisikiliza kanisa, basi
5“Ye yote amkaribishaye mtoto mdogo mtendeeni mtu huyo kama vile ambavyo
kama huyu kwa jina langu, anikaribisha mimi. mngemtendea asiyeamini.
18“Amin, nawaambieni, lo lote
Kujaribiwa Ili Kutenda Dhambi mtakalolifunga duniani litakuwa limefungwa
6Lakini kama mtu ye yote anamsababisha mbinguni na lo lote mtakalolifungua duniani
mmojawapo wa hawa wadogo wanaoniamini litakuwa limefunguliwa mbinguni.
atende dhambi, ingekuwa bora kwake afungiwe 19“Tena nawaambia, ikiwa wawili wenu
jiwe kubwa la kusagia shingoni mwake na watakubaliana duniani kuhusu jambo lo lote
kutoswa katika kilindi cha bahari. watakaloomba, watafanyiwa na Baba yangu
7“Ole wa ulimwengu kwa sababu ya yale aliye mbinguni. 20Kwa kuwa wanapokusanyika
mambo yanayosababisha watu kutenda dhambi! pamoja watu wawili au watatu kwa jina langu,
Mambo hayo lazima yawepo, lakini ole wake mimi niko papo hapo pamoja nao.”
mtu yule ambaye huyasababisha. 8Ikiwa mkono
Kusamehe
wako au mguu wako unakusababisha utende
21Ndipo Petro akamjia Yesu na kumwuliza,
dhambi, ukate na uutupe mbali. Ni afadhali
kwako kuingia katika uzima ukiwa huna mkono “Bwana, ndugu yangu anikosee mara ngapi
mmoja au mguu mmoja, kuliko kuwa na mikono nami nimsamehe? Je, hata mara saba?”
miwili au miguu miwili na kutupwa katika moto 22 Yesu akamjibu, ‘‘Sikuambii hata mara
wa milele. 9Nalo jicho lako kama saba, bali hata saba mara sabini.’’
linakusababisha utende dhambi ling'oe, ulitupe
mbali. Ni afadhali kwako kuingia katika uzima Mfano Wa Mtumishi Asiyesamehe
ukiwa na jicho moja, kuliko kuwa na macho 23‘‘Kwa hiyo Ufalme wa Mbinguni unaweza
mawili lakini ukatupwa katika moto wa jehanam. kufananishwa na mfalme aliyetaka kufanya
hesabu zake za fedha na watumishi wake.
a24 Kodi ya hekalu hapa ilikuwa “didrachmas,’’ yaani drakamu 24Alipoanza kufanya hesabu zake, mtu mmoja
mbili ambazo ni sawa na nusu shekeli.

21
MATHAYO
a, 4Akawajibu, “Je, hamkusoma kwamba hapo
aliyekuwa anadaiwa talanta 10,000 aliletwa
25
kwake. Kwa kuwa alikuwa hawezi kulipa deni mwanzo Mwumba aliwaumba mtu mume na
hilo, bwana wake akaamuru kwamba auzwe, mtu mke. 5Naye akasema, ‘Kwa sababu hii mtu
yeye, mkewe, watoto wake na vyote alivyokuwa atamwacha baba yake na mama yake naye
navyo, ili lile deni lipate kulipwa. ataambatana na mkewe na hao wawili
26‘‘Yule mtumishi akampigia magoti, watakuwa mwili mmoja?’ 6 Hivyo si wawili tena,
akamsihi yule bwana akisema, `Naomba bali ni mwili mmoja. Kwa hiyo kile
univumilie, nami nitakulipa deni lako lote.’’ alichokiunganisha Mungu, mwanadamu
27Yule bwana wa huyo mtumishi akamwonea asikitenganishe.’’
huruma, akafuta deni lake lote, akamwacha 7Wakamwuliza, “Kwa nini basi Mose
aende zake. aliagiza mtu kumpa mkewe hati ya talaka na
28“Lakini yule mtumishi alipokuwa anatoka kumwacha?’’
nje, akakutana na mtumishi mwenzake 8Yesu akawajibu, “Mose aliwaruhusu
aliyekuwa amemkopesha dinari mia moja b. kuwaacha wake zenu kwa sababu ya ugumu wa
Akamkamata, akamkaba koo akimwambia, mioyo yenu. Lakini tangu mwanzo haikuwa
‘Nilipe kile ninachokudai!’ hivyo. 9Mimi nawaambia, ye yote amwachaye
29“Yule mtumishi mwenzake akapiga magoti mkewe isipokuwa kwa sababu ya uasherati
akamsihi akisema, ‘Naomba univumilie, nami naye akaoa mke mwingine, anazini.” Naye
nitakulipa deni lako lote.’ amwoaye yule mwanamke aliyeachwa pia
30“Lakini akakataa. Badala yake, alienda anazini.”
akamtupa gerezani hata atakapolipa hilo deni. 10Wanafunzi wake wakamwambia, “Kama
31”Watumishi wenzake walipoona haya hali ndiyo hii kati ya mume na mke, ni afadhali
yaliyotukia wakaudhika sana, nao wakaenda na mtu asioe!’’
kumwambia bwana wao kila kitu kilichokuwa 11Yesu akawaambia, ‘‘Si watu wote
kimetukia. wanaoweza kupokea neno hili, isipokuwa wale
32“Yule bwana akamwita yule mtumishi
tu waliojaliwa na Mungu 12Kwa maana wengine
akamwambia, ‘Wewe mtumishi mwovu! Mimi ni matoashi kwa sababu wamezaliwa hivyo,
nilikusamehe deni lako lote uliponisihi. 33Je, wengine wamefanywa matoashi na wanadamu
haikukupasa kumhurumia mtumishi mwenzako na wengine wamejifanya matoashi kwa ajili ya
kama mimi nilivyokuhurumia wewe?’ 34Kwa Ufalme wa Mbinguni. Yeye awezaye kulipokea
hasira yule bwana wake akamtia yule mtumishi neno hili na alipokee.’’
mikononi mwa askari wa gereza ili ateswe
mpaka atakapolipa yote aliyokuwa anadaiwa. Yesu Awabariki Watoto Wadogo
35“Hivi ndivyo Baba yangu wa mbinguni 13Kisha watoto wadogo wakaletwa kwa
atakavyomfanyia kila mmoja wenu ikiwa Yesu ili aweke mikono yake juu yao na
hatamsamehe kutoka moyoni kila mmoja ndugu awaombee. Lakini wanafunzi wake
yake aliyemkosea.’’ wakawakemea wale waliowaleta.
14Yesu akasema, “Waacheni watoto
Yesu Afundisha Kuhusu Talaka wadogo waje kwangu, wala msiwazuie, kwa
19 Yesu alipomaliza kusema maneno haya,
aliondoka Galilaya, akaenda sehemu za
maana Ufalme wa Mbinguni ni wa wale walio
kama hawa. 15Naye akaweka mikono yake juu
Uyahudi, ng'ambo ya Mto Yordani. 2Umati yao, akaondoka huko.
mkubwa wa watu ukamfuata, naye
akawaponya huko. Kijana Tajiri
3Baadhi ya Mafarisayo wakamjia ili 16Mtu mmoja akamjia Yesu na kumwuliza,,
kumjaribu wakamwuliza, “Ni halali mtu “Mwalimu mwema, nifanye jambo gani jema ili
kumwacha mke wake kwa sababu yo yote?’’ nipate uzima wa milele?”
17Yesu akamjibu, “Mbona unaniita mimi
mwema? Hakuna aliye mwema ila Mmoja tu,
a24 Talanta moja ilikuwa sawa na mshahara wa kibarua wa ndiye Mungu: Lakini ukitaka kuingia uzimani,
miaka kumi na mitano. zitii amri.”
b28 Dinari moja ilikuwa kama mshahara wa kibarua wa siku moja.

22
MATHAYO
18Yule mtu akamwuliza,’’Amri zipi?’’
ujira wa dinari moja a kwa siku, akawapeleka
Yesu akamjibu, ‘‘Usiue, usizini, usiibe, kwenye shamba lake la mizabibu.
usishuhudie uongo, 19waheshimu baba yako na 3“Mnamo saa tatu akatoka tena, akawakuta
mama yako na umpende jirani yako kama nafsi wengine wamesimama sokoni bila kazi.
yako.’’ 4Akawaambia, ‘Ninyi nanyi nendeni mkafanye
20Yule kijana akasema, ‘‘Hizi zote kazi katika shamba langu la mizabibu, nami
nimezishika. Je, bado nimepungukiwa na nini?’’ nitawalipa cho chote kilicho haki yenu.’ 5Kwa
21Yesu akamwambia, ‘‘Kama ukitaka kuwa hiyo wakaenda.
mkamilifu, nenda, kauze vitu vyote ulivyo navyo ‘‘Akatoka tena mnamo saa sita na pia saa
na hizo fedha uwape maskini, nawe utakuwa na tisa akafanya vivyo hivyo. 6Mnamo saa kumi na
hazina mbinguni. Kisha njoo, unifuate.’’ moja akatoka tena akawakuta wengine bado
22Yule kijana aliposikia hayo, akaenda zake wamesimama bila kazi. Akawauliza, ‘Kwa nini
kwa huzuni, kwa sababu alikuwa na mali nyingi. mmesimama hapa kutwa nzima pasipo kufanya
kazi?’
Hatari Za Utajiri 7Wakamjibu, ‘Ni kwa sababu hakuna ye
23Ndipo Yesu akawaambia wanafunzi wake, yote aliyetuajiri.’
“Amin, amin nawaambia, itakuwa vigumu kwa Akawaambia, ‘Ninyi nanyi nendeni
mtu tajiri kuingia katika Ufalme wa Mbinguni. mkafanye kazi katika shamba langu la
24Tena nawaambia, ni rahisi zaidi kwa ngamia mizabibu.’
kupita kwenye tundu la sindano kuliko mtu tajiri 8“Ilipofika jioni, yule mwenye shamba la
kuingia katika Ufalme wa Mungu.’’ mizabibu akamwambia msimamizi,‘Waite hao
25Wanafunzi wake waliposikia haya, vibarua na uwalipe ujira wao, ukianzia na wale
walishangaa sana na kuuliza, “Ni nani basi walioajiriwa mwisho na kuishia na wale
awezaye kuokoka?’’ walioajiriwa kwanza.’
26Lakini Yesu akawatazama, akawaambia, 9Wale vibarua walioajiriwa mnamo saa kumi
“Kwa mwanadamu jambo hili haliwezekani, na moja, wakaja na kila mmoja wao akapokea
lakini kwa Mungu mambo yote yanawezekana.’’ dinari moja. 10Hivyo wale walioajiriwa kwanza
27Ndipo Petro akamjibu, ‘‘Tazama, sisi
walipofika, walidhani watalipwa zaidi. Lakini kila
tumeacha kila kitu na kukufuata, tutapata nini mmoja wao pia alipokea dinari moja.
basi?’’ 11Walipoipokea, wakaanza kulalamika dhidi ya
28Yesu akawaambia, “Amin, amin yule mwenye shamba, 12wakisema,‘Hawa watu
nawaambia , wakati wa kufanywa upya vitu walioajiriwa mwisho wamefanya kazi kwa muda
vyote, wakati mwana wa Adamu atakapoketi wa saa moja tu, nawe umewafanya sawa na sisi
kwenye kiti chake cha utukufu cha enzi, ninyi ambao tumestahimili taabu na joto lote la
mliomfuata pia mtaketi katika viti vya enzi kumi mchana kutwa?’
na viwili, mkiyahukumu makabila kumi na mawili 13“Yule mwenye shamba akamjibu mmoja
ya Israeli. 29Kila mmoja aliyeacha nyumba au wao, ‘Rafiki, sijakudhulumu. Je, hukukubaliana
ndugu zake wa kiume au wa kike au baba au nami kwa ujira wa kawaida wa dinari moja?
mama au watoto au mashamba kwa ajili Yangu, 14Chukua ujira wako na uende. Mimi nimeamua
atapokea mara mia zaidi ya hayo na ataurithi kumlipa huyu mtu aliyeajiriwa mwisho kama
uzima wa milele. 30Lakini wengi walio wa nilivyokupa wewe. 15Je, sina haki yangu kufanya
kwanza watakuwa wa mwisho nao walio wa kile nitakacho na mali yangu mwenyewe ? Au
mwisho watakuwa wa kwanza.’’ unaona wivu kwa kuwa nimekuwa mkarimu?’
16‘‘Vivyo hivyo, wa mwisho watakuwa wa
Mfano Wa Wafanyakazi Katika Shamba La kwanza na wa kwanza watakuwa wa mwisho.’’
Mizabibu
20 “Kwa maana Ufalme wa Mbinguni
unafanana na mtu mwenye shamba aliyetoka
Yesu Atabiri Tena Kuhusu Kifo Chake
17BasiYesu alipokuwa anapanda kwenda
alfajiri ili kwenda kuajiri vibarua kufanya kazi Yerusalemu, aliwachukua kando wale
katika shamba lake la mizabibu 2Baada ya wanafunzi wake kumi na wawili na kuwaambia,
kukubaliana na hao vibarua kuwalipa
a2 Dinari moja ilikuwa mshahara wa kibarua wa siku moja.

23
MATHAYO
18‘‘Tazameni, tunapanda kwenda Yerusalemu, Daudi, uturehemu.’’
naye Mwana wa Adamu atatiwa mikononi mwa 32Yesu akasimama na kuwaita, akawauliza,
viongozi wa makuhani na walimu wa sheria, nao “Mnataka niwafanyie nini?’’
33Wakamjibu, “Bwana, tunataka kuona.’’
watamhukumu kifo 19na kumtia mikononi mwa
watu Mataifa ili wamdhihaki na kumpiga mijeledi 34Yesu akawahurumia na kuwagusa macho
na kumsulibisha msalabani, naye siku ya tatu yao. Mara macho yao yakapata kuona, nao
atafufuka!’’ wakamfuata.

Ombi La Mama Yake Yakobo na Yohana Yesu Anaingia Yerusalemu Kwa Shangwe
20Kisha mama yao wana wa Zebedayo
akamjia Yesu pamoja na wanawe, naye akiwa
21 Walipokuwa wanakaribia Yerusalemu,
wakafika Bethfage katika Mlima wa Mizeituni,
amepiga magoti mbele yake, akamwomba Yesu ndipo Yesu akawatuma wanafunzi wake wawili,
2akiwaambia, “Ingieni katika kijiji kilichoko mbele
amfanyie upendeleo.
21Yesu akamwuliza, “Unataka nini?’’ yenu, nanyi mtakuta punda amefungwa na
mwanapunda pamoja naye. Wafungueni na
Akajibu, “Tafadhali, wape wanangu hawa, mniletee. 3Kama mtu ye yote akiwasemesha lo
mmoja aketi upande wako wa kuume na lote, mwambieni, ‘Bwana ana
mwingine upande wako wa kushoto katika haja nao, naye atawaruhusu mwalete mara.
Ufalme wako.’’ 4Haya yalitukia ili litimie lile lililonenwa na
22Yesu akawaambia, “Ninyi hamjui nabii, akisema:
mnaloomba. Je,ninyi mnaweza kunywea
kikombe nitakachonywea mimi?’’ 5‘‘Mwambieni Binti Sayuni,
Wakajibu, “Tunaweza.’’ ‘Tazama, mfalme wako anakuja kwako,
23Yesu akawaambia, “Kwa kweli kikombe ni mnyenyekevu, naye amepanda punda,
changu mtakinywea, lakini kuketi upande wangu juu ya mwanapunda, mtoto wa punda.’
wa kuume au wa kushoto, si langu mimi
kuwapa. Nafasi hizo ni za wale ambao kwa ajili 6Wale wanafunzi wakaenda, wakafanya
yao zimeandaliwa na Baba yangu.’’ kama vile Yesu alivyokuwa amewaagiza.
24 Wale wanafunzi wengine kumi 7Wakamleta yule punda na mwanapunda, nao
waliposikia haya, waliwakasirikia hao ndugu wakatandika mavazi yao juu ya hao punda na
wawili. 25Lakini Yesu akawaita wote pamoja na Yesu akaketi juu yake. 8Umati mkubwa wa watu
kuwaambia, “Mnafahamu kuwa watawala wa wakatandika nguo zao barabarani na wengine
watu wasiomjua Mungu huwatawala kwa nguvu, wakakata matawi kutoka kwenye miti
nao wenye vyeo huonyesha mamlaka yao. wakayatandika barabarani. 9Ule umati wa watu
26Isiwe hivyo kwenu. Badala yake, ye yote
uliomtangulia na ule uliomfuata ukapiga kelele
anayetaka kuwa mkuu miongoni mwenu hana ukisema,
budi kuwa mtumishi wenu, 27Naye anayetaka
kuwa wa kwanza miongoni mwenu ni lazima “Hosana Mwana wa Daudi!’’
awe mtumwa wenu, 28 kama vile ambavyo “Amebarikiwa Yeye ajaye kwa Jina la
Mwana wa Adamu hakuja ili kutumikiwa, bali Bwana!’’
kutumika na kuutoa uhai wake uwe fidia kwa ajili “Hosana juu mbinguni!’’
ya wengi’’
10Yesu alipoingia Yerusalemu, mji wote
Yesu Awaponya Vipofu Wawili ukataharuki, watu wakauliza, “Huyu ni nani?’’
29Wakati Yesu na wanafunzi wake 11Ule umati wa watu ukajibu, “Huyu ni Yesu,
walipokuwa wakiondoka Yeriko, umati mkubwa yule nabii kutoka Nazareti katika Galilaya.’’
wa watu ulimfuata. 30Vipofu wawili walikuwa
wameketi kando ya barabara. Waliposikia Yesu Atakasa Hekalu
kwamba Yesu alikuwa anapita, wakapiga kelele 12Yesu akaingia katika eneo la hekalu na
wakisema, “Bwana, Mwana wa Daudi, kuwafukuza wote waliokuwa wakinunua na
uturehemu!’’ kuuza vitu hekaluni, akazipindua meza za watu
31Ule umati wa watu ukawakemea na
waliokuwa wakibadilisha fedha na viti vya wale
kuwaambia wanyamaze, lakini wao wakazidi
kupaza sauti wakisema, “Bwana, Mwana wa waliokuwa wakiuza njiwa. 13Akawaambia,
24
MATHAYO
“Imeandikwa, ‘Nyumba yangu itaitwa nyumba ya ‘Mbona basi hamkumwamini?’ 26Lakini
sala,’ lakini ninyi mmeifanya kuwa pango la tukisema, ‘Ulitoka kwa wanadamu’,
wanyang'anyi.’’ tunawaogopa hawa watu, maana wote
14Vipofu na vilema wakamwendea kule wanamtambua Yohana kuwa ni nabii.’’
27Kwa hiyo wakamjibu Yesu, ‘‘Sisi hatujui.’’
hekaluni, naye akawaponya. 15Lakini viongozi
wa makuhani na walimu wa sheria walipoona Ndipo akawaambia, ‘‘Wala mimi
mambo ya ajabu aliyofanya na kuwasikia watoto sitawaambia ni kwa mamlaka gani ninatenda
wakishangilia katika eneo la hekalu wakisema, mambo haya.’’
“Hosana Mwana wa Daudi, walikasirika,
wakamwuliza Yesu, Mfano Wa Wana Wawili
16“Je, unasikia hayo hawa wanayosema?’’ 28 “Lakini mwaonaje? Mtu mmoja alikuwa
Akawajibu, na wana wawili. Akamwendea yule wa kwanza
“Naam, kwani hamkusoma, akamwambia, ‘Mwanangu, nenda ukafanye kazi
kwenye shamba la mizabibu leo.’
‘‘ ‘Kutoka katika vinywa vya watoto 29“Yule mwanawe akamjibu ‘Mimi
wachanga sitakwenda’, baadaye akabadili mawazo yake
na wale wanaonyonya umeamuru sifa akaenda.
kamili?’ ’’ 30“Kisha yule baba akamwendea yule
mwanawe mwingine akamwambia vile vile.
17Akawaacha, akatoka nje ya mji, akaenda Yeye akajibu, ‘Nitakwenda baba,’ lakini
hadi Bethania, akalala huko. hakwenda.
31“Ni yupi kati yao hao wawili aliyetimiza
Mtini Wanyauka kile alichotaka baba yake?’’
18Asubuhi na mapema, Yesu alipokuwa Wakamjibu, “Ni yule wa kwanza.’’
akirudi mjini, alikuwa na njaa. 19Akiuona mtini Yesu akawaambia, “Amin, amin
kando ya barabara, akaukaribia lakini hakupata nawaambia, watoza ushuru na makahaba
tunda lo lote ila majani. Ndipo akauambia, wanawatangulia kuingia katika Ufalme wa
“Wewe na usizae matunda tena kamwe!” Papo Mungu. 32Kwa maana Yohana alikuja kwenu
hapo ule mtini ukanyauka. kuwaonyesha njia ya haki, lakini hakumsadiki,
20Wanafunzi wake walipoona jambo hili lakini watoza ushuru na makahaba
wakashangaa, wakamwuliza, “Imekuwaje mtini wakamsadiki. Nanyi hata mlipoona hayo,
huu kunyauka ghafula?’’ baadaye hamkutubu na kumsadiki.’’
21 Yesu akawajibu, “Amin, amin
nawaambia, kama mkiwa na imani wala msiwe Mfano Wa Wapangaji Waovu
na shaka, si kwamba mtaweza kufanya tu yale 33“Sikilizenimfano mwingine: Kulikuwa na
yaliyofanyika kwa huu mtini, bali hata mtu mmoja mwenye shamba ambaye alipanda
mkiuambia huu mlima, ‘Ng'oka, ukatupwe mizabibu. Akajenga ukuta kulizunguka,
baharini,’ nalo litafanyika. 22Lo lote akatengeneza shinikizo ndani yake na akajenga
mtakaloomba katika kusali, mkiamini, mtapokea. mnara wa ulinzi. Kisha akalikodisha hilo
shamba la mizabibu kwa wakulima fulani, naye
Wahoji Kuhusu Mamlaka Ya Yesu akaondoka akasafiri kwenda nchi nyingine.
23Yesu 34“Wakati wa mavuno ulipokaribia, akawatuma
alipoingia hekaluni, viongozi wa
makuhani na wazee wa watu wakamjia watumishi wake kwa hao wakulima
alipokuwa anafundisha na kusema, “Unafanya waliopangishwa ili kukusanya matunda yake.
mambo haya kwa mamlaka gani, naye ni nani 35‘‘Wale wapangaji wakawakamata wale
aliyekupa mamlaka hayo?’’ watumishi, wakampiga mmoja, wakamwua
24 Yesu akawajibu, “Nami nitawauliza swali mwingine na yule wa tatu wakampiga mawe.
moja. Kama mkinijibu, mimi nitawaambia ni kwa 36Kisha akawatuma kwao watumishi wengine,
mamlaka gani ninafanya mambo haya. wengi kuliko wale wa kwanza, nao wale
25Ubatizo wa Yohana, ulitoka wapi? Je, ulitoka
wapangaji wakawatendea vile vile. 37‘‘Mwisho
mbinguni au kwa wanadamu?’’ wa yote, akamtuma mwanawe kwao, akisema,
Wakaanza kuhojiana wao kwa wao na ‘Watamheshimu mwanangu.’
kusema, ‘‘Tukisema ulitoka mbinguni atatuuliza, 38‘‘Lakini wale wapangaji walipomwona

25
MATHAYO
mwanawe, wakaambiana wao kwa wao, ‘Huyu ‘Karamu ya arusi imeshakuwa tayari, lakini wale
ndiye mrithi. Njoni na tumwue ili tuchukue urithi niliowaalika hawakustahili kuja. 9Kwa hiyo
wake.’ 39Hivyo wakamchukua, wakamtupa nje nendeni katika njia panda mkamwalike
ya shamba la mizabibu, wakamwua. karamuni ye yote mtakayemwona’ 10Wale
40“Kwa hiyo, huyo mwenye shamba, watumishi wakaenda barabarani
atakapokuja atawafanyia nini hao wakulima?’’ wakawakusanya watu wote waliowaona, wema
41Wakamjibu, “Kwa huzuni kuu na wabaya. Ukumbi wa arusi ukajaa wageni.
atawaangamiza kabisa hao wadhalimu na 11“Lakini mfalme alipoingia ndani ili
kulipangisha shamba lake kwa wakulima kuwaona wageni, akamwona mle mtu mmoja
wengine ambao watampatia fungu lake la ambaye hakuwa amevaa vazi la arusi. 12
matunda wakati wa mavuno.’’ Mfalme akamwuliza, ‘Rafiki, uliingiaje humu bila
42Yesu akawaambia, “Je, hamjasoma katika vazi la arusi?’ Yule mtu hakuwa na la kusema.
maandiko kwamba: 13Ndipo mfalme akawaambia watumishi
wake, ‘Mfungeni mikono na miguu mkamtupe
“Lile jiwe walilolikataa waashi nje, kwenye giza. Huko kutakuwa na kilio na
limekuwa jiwe kuu la pembeni, kusaga meno.’
Bwana ndiye aliyefanya jambo hili, 14Kwa maana walioitwa ni wengi, lakini
nalo ni la ajabu machoni petu?’ walioteuliwa ni wachache.’’
43‘‘Kwa hiyo ninawaambia, Ufalme wa Kulipa Kodi kwa Kaisari
Mungu utaondolewa kwenu na watapewa watu 15Ndipo Mafarisayo wakatoka nje
wengine wawezao kuzaa matunda yake.’’ wakaandaa mpango wa kumtega Yesu katika
44“Yeye aangukaye kwenye jiwe hili atavunjika
maneno yake. 16Wakatuma wanafunzi wao
vipande vipande, lakini yule litakayemwangukia kwake pamoja na Maherode, wakisema,
atasagika sagika kabisa. ‘‘Mwalimu, tunajua kwamba wewe ni mtu
45Viongozi wa Makuhani na Mafarisayo mwadilifu na unafundisha njia ya Mungu katika
waliposikia mifano ya Yesu, walitambua kuwa kweli bila kuonyesha tofauti kwa mtu wala
alikuwa akiwasema wao. 46Wakatafuta njia ya upendeleo. 17Tuambie basi, Wewe unaonaje?
kumkamata lakini wakaogopa ule umati wa watu Ni halali kulipa kodi kwa Kaisari au la?’’
kwa kuwa wao walimwona Yesu kuwa ni nabii. 18Lakini Yesu akijua makusudi yao mabaya
akawaambia, ” Enyi wanafiki, kwa nini
Mfano Wa Karamu Ya Arusi mnajaribu kunitega ? 19Nionyesheni hiyo sarafu
22 Yesu2 akasema nao tena kwa mifano, inayotumika kwa kulipia kodi. ” Wakamletea
dinari. 20 Naye akawauliza, ”Sura hii na
akawaambia, “Ufalme wa Mbinguni unaweza
kufananishwa na mfalme mmoja aliyemwandalia maandishi haya ni vya nani ?”
mwanawe karamu ya arusi. 3Akawatuma 21Wakamjibu, ‘‘Ni vya Kaisari.’’
watumishi wake kuwaita wale waliokuwa Basi Yesu akawaambia, ‘‘Mpeni Kaisari
wamealikwa karamuni, lakini
kilicho cha Kaisari, naye Mungu mpeni kilicho
wakakataa kuja.
4‘‘Kisha akawatuma watumishi wengine cha Mungu.’’
22Waliposikia hili, wakashangaa. Hivyo
akisema, ‘Waambieni wale walioalikwa kwamba
wakamwacha, wakaenda zao.
karamu iko tayari kwa ajili yenu, nimekwisha
kuchinja mafahali wangu na vinono. Karibuni Ndoa Na Ufufuo
|akaenda shambani mwake, mwingine akaenda 23Siku
kwenye biashara yake. hiyo hiyo Masadukayo, wale
5 “Lakini hawakuzingatia, wakaenda zao, wasemao kwamba hakuna ufufuo wa wafu,
huyu shambani mwake na mwingine kwenye wakamjia Yesu na kumwuliza swali, wakisema,
24‘‘Mwalimu, Mose alisema, ‘Kama mtu akifa
biashara zake. 6Wengine wao wakawakamata
wale watumishi wake wakawatenda vibaya na bila kuwa na watoto, ndugu yake amwoe huyo
kuwaua. 7“Yule mfalme akakasirika sana, mjane ili ampatie watoto huyo nduguye
akapeleka jeshi lake likawaangamiza wale aliyekufa. 25Basi palikuwa na ndugu saba
wauaji na kuuteketeza mji wao kwa moto. miongoni mwetu. Yule wa kwanza akaoa mke,
8“Kisha akawaambia watumishi wake, naye akafa na kwa kuwa hakuwa na watoto,
akamwachia nduguye yule mjane. 26Ikatokea
26
MATHAYO
vivyo hivyo kwa yule ndugu wa pili na wa tatu, aliyeweza kumjibu Yesu neno. Tena tangu siku
hadi wote saba. 27Hatimaye, yule mwanamke hiyo hakuna aliyethubutu kumwuliza tena
naye akafa. 28Sasa basi, siku ile ya ufufuo, yeye maswali.
atakuwa mke wa nani miongoni mwa wale
ndugu saba, kwa kuwa wote walikuwa Yesu Awashutumu Walimu Wa Sheria Na
wamemwoa huyo mwanamke?” Mafarisayo
29Yesu akawajibu, “Mwapotoka kwa sababu
23 Kisha Yesu akauambia ule umati wa watu
hamjui maandiko wala uweza wa Mungu. pamoja na wanafunzi wake:
30Wakati wa ufufuo watu hawataoa wala 2“Walimu wa sheria na Mafarisayo wameketi
kuolewa, bali watakuwa kama malaika wa katika kiti cha Mose, 3hivyo inawapasa kuwatii
Mungu mbinguni. 31Lakini kuhusu ufufuo wa na kufanya kila kitu wanachowaambia. Lakini
wafu, hamjasoma kile Mungu alichowaambia msifuate yale wanayotenda, kwa sababu
kwamba, 32 ‘Mimi ni Mungu wa Abrahamu, hawatendi yale wanayohubiri. 4Wao hufunga
Mungu wa Isaki na Mungu wa Yakobo?’ Yeye si mizigo mikubwa na kuiweka mabegani mwa
Mungu wa wafu bali ni Mungu wa walio hai.’’ watu, lakini wao wenyewe hawako radhi hata
33Ule umati wa watu uliposikia hayo, kuinua kidole ili kuisogeza.
ulishangaa sana kwa mafundisho yake. 5“Wao hufanya mambo yao yote ili
waonekane na watu. Vikasha vya ngozi vyenye
Amri Kuu Kuliko Zote maandiko ya sheria na kurefusha matamvua ya
34Mafarisayo waliposikia kwamba Yesu mavazi yao, 6wanapenda kukaa viti vya sehemu
alikuwa amewanyamazisha Masadukayo, za heshima karamuni na vile viti maalum sana
Mafarisayo wakakusanyika pamoja. 35Mmoja katika masinagogi, 7hupenda kusalimiwa
wao, mtaalam wa sheria, akamwuliza swali ili masokoni kutaka watu wawaite ‘Rabi a’.
kumjaribu, akisema, 36 “Mwalimu, ni amri ipi 8“Lakini ninyi msiitwe ‘Rabi’ kwa sababu
katika Torati iliyo kuu kuliko zote?’’ mnaye Bwana mmoja na ninyi nyote ni ndugu.
37 Yesu akamjibu, “‘Mpende Bwana Mungu 9Nanyi msimwite mtu ye yote ‘Baba’ hapa
wako kwa moyo wako wote na kwa roho yako duniani kwa maana mnaye Baba mmoja, naye
yote na kwa akili zako zote.’ 38Hii ndio amri iliyo yuko mbinguni. 10Wala msiitwe ‘mwalimu’ kwa
kuu, tena ni ya kwanza. 39Nayo ya pili ni kama maana mnaye mwalimu mmoja tu, ndiye Kristo.
hiyo, nayo ni hii: ‘Mpende jirani yako kama nafsi 11Yeye aliye mkuu kuliko ninyi nyote miongoni
yako.’ 40Amri hizi mbili ndizo msingi wa Torati mwenu atakuwa mtumishi wenu. 12Kwa kuwa
na manabii.’ ’’ ye yote anayejikweza atashushwa, na ye yote
anayejinyenyekeza atakwezwa.
Swali Kuhusu Mwana wa Daudi 13“Lakini ole wenu, walimu wa sheria na
41Wakati Mafarisayo wakiwa Mafarisayo, wanafiki! Kwa maana mnawafungia
wamekusanyika pamoja, Yesu akawauliza, watu milango ya Ufalme wa Mbinguni. Ninyi
42“Mnaonaje kuhusu Kristo a? Yeye ni mwana wenyewe hamuingii humo, nao wale wanaotaka
wa nani?” kuingia mnawazuia. 14 “Ole wenu walimu wa
Wakamjibu, “Yeye ni mwana wa Daudi.’’ sheria na Mafarisayo, enyi wanafiki! Mnakula
43Akawaambia, “Inakuwaje basi kwamba
katika nyumba za wajane, nanyi kwa kujifanya
Daudi akinena kwa Roho, anamwita Kristo kuwa wema, mnasali sala ndefu. Kwa hiyo
‘Bwana,’ kwa maana asema, adhabu yenu itakuwa kubwa zaidi.’’
15“Ole wenu walimu wa sheria na
44“ ‘Bwana Mungu alimwambia Bwana wangu:
Mafarisayo, wanafiki! Ninyi mnasafiri baharini na
keti wewe mkono wangu wa kuume, nchi kavu ili kumfanya mtu mmoja ageuke na
hadi nitakapowaweka adui zako chini kuwafuata ninyi, lakini baada ya kumpata,
ya miguu yako.’ mnamfanya mwana wa jehanamu mara mbili
kuliko ninyi!
45“Kama basi Daudi anamwita yeye ‘Bwana,’ 16“Ole wenu, viongozi vipofu! Ninyi

awezaje kuwa mwanae?’’ 46Hakuna mtu mwasema, ‘Mtu akiapa kwa hekalu, kiapo hicho
si kitu, lakini mtu akiapa kwa dhahabu ya
a42 Kristo maana yake Masiya ,yaani Mpakwa(Aliyetiwa) Mafuta.’’
a7 Rabi maana yake bwana, mwalimu

27
MATHAYO
hekalu, amefungwa kwa kiapo chake.’ 17Ninyi katika masinagogi yenu na wengine
vipofu wapumbavu! Ni kipi kilicho kikuu zaidi, ile mtawafuatia kutoka mji mmoja hadi mji
dhahabu au lile hekalu ambalo ndilo linaloifanya mwingine. 35Hivyo ile damu ya wenye haki wote
hiyo dhahabu kuwa takatifu? 18Pia mnasema, iliyomwagwa hapa duniani, tangu damu ya
‘Mtu akiapa kwa madhabahu, si kitu, lakini mtu Abeli, ambaye alikuwa hana hatia, hadi damu
akiapa kwa sadaka iliyo juu ya madhabahu, ya Zekaria mwana wa Barakia, mliyemwua kati
amefungwa kwa kiapo chake?’ 19Ninyi vipofu! Ni ya Patakatifu na madhabahu, itawajia juu yenu.
kipi kikuu zaidi, ile sadaka, au ile madhabahu 36Amin, nawaambieni, haya yote yatakuja juu
ambayo ndiyo inayoifanya hiyo sadaka kuwa ya kizazi hiki.’’
takatifu? 20 Kwa hiyo, mtu aapaye kwa
madhabahu, huapa kwa hiyo madhabahu na Yesu Aililia Yerusalemu
vitu vyote vilivyo juu yake. 21Naye mtu aapaye 37“Ee Yerusalemu, mnaowaua manabii na
kwa hekalu, huapa kwa hilo hekalu na kwa huyo kuwapiga mawe wale waliotumwa kwenu! Mara
akaaye ndani yake. 22Naye aapaye kwa ngapi nimetamani kuwakusanya watoto wako,
mbingu, huapa kwa kiti cha enzi cha Mungu na kama vile kuku akusanyavyo vifaranga vyake
kwa Yeye aketiye juu ya kiti hicho. chini ya mbawa zake, lakini hukutaka!
23“Ole wenu walimu wa sheria na 38Tazama nyumba yako imeachwa tupu na
Mafarisayo, ninyi wanafiki! Kwa maana mnatoa ukiwa. 39Kwa maana nawaambia, hamtaniona
zaka ya mnanaa, bizari na jira, lakini mmeacha tena mpaka siku ile mtakaposema,
mambo makuu zaidi ya sheria, yaani, haki, ‘Amebarikiwa Yeye ajaye kwa Jina la Bwana.”
huruma na uaminifu. Haya imewapasa
kuyafanya bila kusahau hayo mengine. 24Ninyi Kubomolewa Kwa Hekalu Kwatabiriwa
viongozi vipofu, mnachuja kiroboto lakini
mnameza ngamia!
24 Yesu akatoka hekaluni na alipokuwa
akienda zake, wanafunzi wake wakamwendea ili
25“Ole wenu, walimu wa sheria na kumwonyesha majengo ya hekalu. 2Ndipo Yesu
Mafarisayo, ninyi wanafiki! Kwa maana akawauliza, “Je, mnayaona haya yote? Amin, amin
nawaambia, hakuna hata jiwe moja hapa
mnasafisha nje ya kikombe na kisahani, lakini litakalobaki juu ya jingine,
ndani mmejaa unyang’anyi na kutokuwa na kila moja litabomolewa.”
kiasi. 26Enyi Mafarisayo vipofu! Safisheni
kwanza ndani ya kikombe na sahani, ndipo nje Ishara Za Nyakati Za Mwisho
patakuwa safi. 3Yesu alipokuwa ameketi kwenye Mlima wa
27“Ole wenu, walimu wa sheria na
Mizeituni, wanafunzi wake wakamjia mahali
Mafarisayo, ninyi wanafiki! Mnafanana na pasipo na watu, wakamwuliza, “Tuambie,
makaburi yaliyopakwa chokaa, ambayo mambo haya yatatukia lini, nayo ni nini dalili za
yanapendeza kwa nje lakini ndani yamejaa kuja kwako na za mwisho wa dunia?
mifupa ya wafu na kila aina ya uchafu. 28Vivyo 4Yesu akawajibu, “Angalieni, mtu
hivyo, kwa nje ninyi mnaonekana kwa watu 5
asiwadanganye. Kwa maana wengi watakuja
kuwa wenye haki, lakini kwa ndani mmejaa kwa jina langu wakidai, ‘Mimi ndiye Kristo, nao
unafiki na uovu.
29“Ole wenu, walimu wa sheria na
watawadanganya wengi. 6Mtasikia habari za
vita na matetesi ya vita,angalieni msitishike,
Mafarisayo, ninyi wanafiki! Mnajenga makaburi kwa maana haya hayana budi kutukia, lakini ule
ya manabii na kuyapamba makaburi ya wenye mwisho bado. 7Taifa litainuka dhidi ya taifa na
haki. 30Nanyi mwasema, ‘Kama tungaliishi ufalme dhidi ya ufalme. Kutakuwa na njaa na
wakati wa baba zetu, tusingalikuwa tumeshiriki matetemeko ya ardhi sehemu mbalimbali.
katika kumwaga damu ya manabii!” 31Hivyo 8Haya yote yatakuwa ndio mwanzo wa utungu.
mnajishuhudia wenyewe kwamba ninyi ni wana 9“Ndipo mtasalitiwa, ili mteswe na kuuawa,
wa wale waliowaua manabii. 32Haya basi, nanyi mtachukiwa na mataifa yote kwa ajili yangu.
kijazeni kipimo cha dhambi ya baba zenu! 10Wakati huo, wengi wataacha imani yao, nao
33“Ninyi nyoka, ninyi uzao wa nyoka wenye
watasalitiana kila mmoja na mwenzake na
sumu! Mtaiepukaje hukumu ya jehanam? 34Kwa kuchukiana. 11Watatokea manabii wengi wa
sababu hii tazama nawapelekea manabii na
wenye hekima na walimu. Baadhi yao mtawaua uongo, nao watawadanganya watu wengi. 12Kwa
na kuwasulibisha, wengine mtawapiga mijeledi sababu ya kuongezeka kwa uovu upendo
28
MATHAYO
wa watu wengi utapoa, 13Lakini yule watawakusanya wateule wake kutoka pande
atakayevumilia hadi mwisho ndiye zote nne za dunia, kutoka mwisho mmoja wa
atakayeokoka. 14Injili ya Ufalme itahubiriwa mbingu hadi mwisho mwingine.
ulimwenguni pote, kuwa ushuhuda kwa mataifa 32‘‘Jifunzeni kutokana na mtini. Matawi yake
yote. Ndipo ule mwisho utakapokuja. yanapoanza kuwa laini na kuchipua majani,
15Hivyo mtakapoona lile ‘Chukizo la fahamuni kwamba kiangazi kimekaribia. 33Hata
Uharibifu’ lililonenwa na nabii Danieli hivyo, mwonapo mambo hayo, jueni kwamba yu
limesimama mahali patakatifu, asomaye na karibu malangoni. 34 Amin, amin nawaambia,
afahamu, 16Basi wale walioko Uyahudi kizazi hiki hakitapita hadi mambo haya yote
wakimbilie milimani. 17Ye yote aliyeko juu ya yawe yametimia. 35 Mbingu na dunia zitapita,
paa la nyumba asishuke ili kuchukua cho chote lakini maneno yangu hayatapita kamwe. ”
kutoka ndani ya nyumba. 18Yeye aliye
shambani na asirudi nyumbani kwenda Hakuna Ajuaye Siku Wala Saa
36“Hakuna ajuaye siku wala saa, hata malaika
kuchukua vazi lake. 19Ole wa wenye mimba na
wenye watoto wachanga siku hizo! 20Ombeni ili mbinguni hawajui wala Mwana, ila Baba peke
kukimbia kwenu kusiwe wakati wa baridi au siku yake. 37Kama ilivyokuwa wakati wa Noa, ndivyo
ya Sabato. 21 Kwa maana wakati huo kutakuwa itakavyokuwa kuja kwake Mwana wa Adamu.
38Kwa maana siku zile kabla ya gharika, watu
na dhiki kuu ambayo haijapata kuwako tangu
mwanzo wa dunia mpaka sasa, wala walikuwa wakila na kunywa, wakioa na kuolewa,
haitakuwako tena. 22Kama siku hizo mpaka siku ile Noa alipoingia kwenye safina,
39nao hawakujua lo lote mpaka gharika ilipokuja
zisingelifupizwa, hakuna hata mtu mmoja
ambaye angeliokoka, lakini kwa ajili ya wateule ikawakumba wote. Hivyo ndivyo itakavyokuwa
siku hizo zitafupizwa. 23Wakati huo kama mtu atakapokuja Mwana wa Adamu. 40“Watu wawili
ye yote akiwaambia, ‘Tazama, huyu hapa ni watakuwa shambani, mmoja atatwaliwa, mwingine
Kristo! Au ‘Kristo yuko kule!’ Msisadiki. 24Kwa ataachwa. 41Wanawake wawili watakuwa
maana watatokea makristo wa uongo na wanasaga pamoja, mmoja atatwaliwa, mwingine
manabii wa uongo na kufanya ishara kubwa na ataachwa.
miujiza mingi ili kuwapotosha, hata ikiwezekana 42“Kwa hiyo kesheni, kwa maana hamjui ni
wale wateule hasa. 25Angalieni, nimetangulia siku gani atakapokuja Bwana wenu. 43“Lakini
kuwaambia mapema. fahamuni hili kwamba: Kama mwenye nyumba
26“Kwa hiyo mtu ye yote akiwaambia, ‘Yule angelijua ni wakati gani wa usiku ambao mwivi
kule nyikani,’ msiende huko. Au akisema, ‘Yuko anakuja, angelikesha na asingeliiacha nyumba
kwenye chumba,’ msisadiki. 27Kwa maana yake kuvunjwa. 44Kwa hiyo ninyi pia hamna
kama vile umeme utokeavyo mashariki na budi kuwa tayari, kwa sababu Mwana wa
kuonekana hata magharibi, ndivyo itakavyokuwa Adamu atakuja saa msiyotazamia.”
kuja kwake Mwana wa Adamu. 28Kwa maana
po pote ulipo mzoga, huko ndiko wakusanyikapo Mfano Wa Mtumishi Mwaminifu
tai. 45“Ni nani basi aliye mtumishi mwaminifu na
mwenye busara ambaye bwana wake
Kuja Kwa Mwana Wa Adamu amemweka kusimamia watumishi wengine
29‘‘Mara baada ya dhiki ya siku zile, katika nyumba yake, ili awape chakula chao
kwa wakati muafaka? 46Heri mtumishi yule
jua litatiwa giza, ambaye bwana wake atakapokuja atamkuta
nao mwezi hautatoa nuru yake, akifanya hivyo. 47 Amin, amin nawaambia,
nazo nyota zitaanguka kutoka angani atamweka mtumishi huyo kuwa msimamizi wa
na nguvu za anga zitatikisika.’ mali yake yote. 48“Lakini kama huyo mtumishi ni
mwovu naye akasema moyoni mwake, ‘Bwana
30‘‘Ndipoitakapotokea ishara ya Mwana wa wangu atakawia muda mrefu,’ 49naye kisha
Adamu angani na makabila yote ya dunia akaanza kuwapiga watumishi wenzake na kula
yataomboleza.. Nao watamwona Mwana wa
na kunywa pamoja na walevi, 50bwana wa
Adamu akija juu ya mawingu ya angani, katika
mtumishi huyo atakuja siku ambayo mtumishi
uwezo na utukufu mkuu. 31Naye atawatuma huyo hamtazamii na saa ile ambayo haijui.
malaika zake kwa sauti kuu ya tarumbeta, nao 51Atamkata huyo mtumishi vipande vipande na

29
MATHAYO
kumweka katika sehemu moja pamoja na aliyepewa talanta mbili akafanya vivyo hivyo,
wanafiki, mahali ambako kutakuwa ni kulia na akapata nyingine mbili zaidi. 18Lakini yule
kusaga meno.” mtumishi aliyekuwa amepokea talanta
moja,alikwenda akachimba shimo ardhini na
Mfano Wa Wanawali Kumi kuificha ile fedha ya bwana wake.
25 “Wakati huo, Ufalme wa Mbinguni
utakuwa kama wanawali kumi waliochukua
19“Baada ya muda mrefu yule bwana wa
wale watumishi akarudi na kufanya hesabu nao.
taa zao na kwenda kumlaki bwana arusi. 2 Watano 20Yule mtumishi aliyepokea talanta tano
wao walikuwa wapumbavu na watano walikuwa akaja,akaleta nyingine tano zaidi. Akasema,
wenye busara. 3Wale wapumbavu walichukua ‘Bwana uliweka kwenye uangalizi wangu talanta
taa zao lakini hawakuchukua mafuta ya akiba,
4lakini wale wenye busara walichukua taa zao na tano. Tazama, nimepata faida talanta tano
zaidi.’
mafuta ya akiba kwenye vyombo. 5Bwana arusi
alipokawia 21 “Bwana wake akamwambia, ‘Umefanya
kuja wale wanawali wote wakasinzia na kulala. vizuri sana, mtumishi mwema na mwaminifu!
6“Usiku wa manane pakawa na kelele: Umekuwa mwaminifu kwa vitu vichache,
‘Tazameni, huyu hapa bwana arusi! Tokeni nje nitakuweka kuwa msimamizi wa vitu vingi. Njoo
mkamlaki!’ ushiriki katika furaha ya bwana wako!”
7“Ndipo wale wanawali wote wakaamka na 22“Yule mwenye talanta mbili naye akaja.

kuzitengeneza taa zao. 8Wale wapumbavu Akasema, `Bwana, uliweka kwenye uangalizi
wakawaambia wale wenye busara, ‘Tupatieni wangu talanta mbili. Tazama nimepata hapa
mafuta yenu kidogo, taa zetu zinazimika.’ talanta mbili zaidi.’
9“Lakini wale wenye busara wakawajibu, 23 Bwana wake akajibu, ‘Umefanya vizuri
‘Sivyo, hayatutoshi sisi na ninyi pia. Afadhali sana, mtumishi mwema na mwaminifu,
mwende kwa wauzao mkajinunulie mafuta yenu. umekuwa mwaminifu kwa vitu vichache,
10“Nao walipokuwa wakienda kununua nitakuweka kuwa msimamizi wa vitu vingi. Njoo
mafuta, bwana arusi akafika. Wale wanawali ushiriki katika furaha ya bwana wako.’
24“Kisha yule mtumishi aliyepokea talanta
waliokuwa tayari, wakaingia ndani pamoja naye
kwenye karamu ya arusi na mlango ukafungwa. moja akaja, akasema, ‘Bwana, nilijua kwamba
11“Baadaye wale wanawali wengine nao wewe ni mtu mgumu, unayevuna mahali
wakaja, wakaita, ‘Bwana! Bwana! Tufungulie usipopanda na kukusanya mahali usipotawanya
mlango!’ mbegu. 25Kwa hiyo niliogopa, nikaenda,
12“Lakini yeye bwana arusi akawajibu, nikaificha talanta yako ardhini. Tazama, hii hapa
‘Amin, amin nawaambia, siwajui ninyi!’ ile iliyo mali yako.’
13“Kwa hiyo kesheni, kwa sababu hamjui 26“Bwana wake akajibu, ‘Wewe mtumishi

siku wala saa.’’ mwovu na mvivu! Ulijua kwamba ninavuna mahali


nisipopanda na kukusanya mahali nisipotawanya
Mfano wa Watumishi Watatu Walioachiwa mbegu. 27Vema basi, ingekupasa kuweka fedha
Talanta yangu kwa watoa riba, nirudipo, nichukue ile iliyo
14“Tena, Ufalme wa Mbinguni ni kama mtu yangu na faida yake?
28‘‘ ‘Basi mnyang'anyeni hiyo talanta
anayetaka kusafiri, akawaita watumishi wake na
kuweka mali yake kwenye uangalizi wao. 15Mmoja mkampe yule mwenye talanta kumi.’ 29Kwa
akampa talanta tano a mwingine talanta mbili b na maana kila mtu mwenye kitu ataongezewa,
naye atakuwa navyo tele. Lakini kwa mtu yule
mwingine talanta moja c, kila mmoja alipewa kwa
asiye na kitu, hata kile alicho nacho
kadiri ya uwezo wake. Kisha yeye akasafiri.
16“Yule aliyepewa talanta tano akaenda mara atanyang'anywa.30“Nanyi mtupeni huyo
mtumishi asiyefaa nje, kwenye giza, mahali
moja akafanya nazo biashara akapata talanta
ambako kutakuwa na kilio na kusaga meno.’ ’’
nyingine tano zaidi. 17Yule
a15 Talanta tano ilikuwa na mshahara wa kibarua wa miaka 75 b15
Kondoo Na Mbuzi
Talanta mbili ilikuwa sawa na mshahara wa kibarua wa miaka 31“Mwana wa Adamu atakapokuja katika
30
c15 Talanta moja ilikuwa zaidi ya mshahara wa kibarua wa utukufu wake na malaika wote watakatifu
miaka kumi na mitano. pamoja naye, ndipo atakapoketi juu ya kiti cha
enzi cha utukufu wake. 32Mataifa yote
30
MATHAYO
watakusanyika mbele zake, naye atawatenga 3 Basi viongozi wa makuhani na wazee wa
kama mchungaji anavyotenga kondoo na mbuzi. watu wakakusanyika katika jumba la utawala la
33Atawaweka kondoo upande wake wa kuume kuhani mkuu, jina lake Kayafa. 4Wakafanya
na mbuzi upande wake wa kushoto. shauri ili kumkamata Yesu kwa siri na kumwua.
34“Ndipo Mfalme atawaambia wale walioko 5Lakini wakasema, “Isiwe wakati wa sikukuu, la
upande wake wa kuume, ‘Njoni, ninyi sivyo kutakuwa na ghasia miongoni mwa watu.”
mliobarikiwa na Baba yangu, urithini Ufalme
ulioandaliwa kwa ajili yenu tangu kuumbwa kwa Yesu Anapakwa Mafuta Huko Bethania
ulimwengu. 35Kwa maana nilikuwa na njaa 6 Wakati Yesu akiwa Bethania nyumbani
mkanipa chakula, nilikuwa na kiu mwa Simoni aliyekuwa na ukoma, 7mwanamke
mkaninywesha, nilikuwa mgeni mkanikaribisha, mmoja alimjia akiwa na chupa ya marmar yenye
36nilikuwa uchi mkanivika, nilikuwa mgonjwa
manukato ya thamani kubwa, akayamimina
mkanitunza, nami nilikuwa kifungoni mkaja kichwani mwa Yesu alipokuwa ameketi mezani
kunitembelea.’ kula chakula.
37“Ndipo wale wenye haki watakapomjibu 8Lakini wanafunzi wake walipoona hayo
wakisema, ‘Bwana, ni lini tulikuona una njaa wakakasirika, wakasema, “Kwa nini ubadhirifu
tukakulisha au ukiwa na kiu tukakunywesha? huu wote? 9Manukato haya yangeliuzwa kwa
38Lini tulikuona ukiwa mgeni tukakukaribisha au bei kubwa na fedha hizo wakapewa maskini.’’
ukiwa uchi tukakuvika? 39Tena ni lini tulikuona 10Yesu akijua jambo hili, akawaambia,
ukiwa mgonjwa tukakutunza au ukiwa kifungoni “Mbona mnamsumbua huyu mwanamke? Yeye
tukakutembelea?’ amenitendea jambo zuri sana. 11Maskini
40“Naye Mfalme atawajibu, ‘Amin, amin mtakuwa nao siku zote, lakini mimi hamtakuwa
ninawaambia, kwa jinsi mlimvyotendea nami siku zote. 12Alipomiminia haya manukato
mmojawapo wa hawa ndugu Zangu walio kwenye mwili amefanya hivyo ili kuniandaa kwa
wadogo, mlinitendea Mimi.’ ajili ya maziko yangu. 13Ninawaambia kweli,
41 “Kisha atawaambia wale walio upande
mahali po pote habari njema itakapohubiriwa
Wake wa kushoto, ‘Ondokeni kwangu, ninyi ulimwenguni mwote, jambo hili alilofanya
mliolaaniwa, nendeni kwenye moto wa milele litatajwa pia, kwa ukumbusho wake.’’
alioandaliwa kwa ajili ya ibilisi na malaika zake.
42Kwa maana nilikuwa na njaa hamkunipa Yuda Akubali Kumsaliti Yesu
chakula, nilikuwa na kiu hamkuninywesha, 14Kisha mmojawapo wa wale kumi na
43nilikuwa mgeni nanyi hamkunikaribisha, wawili, yeye aitwaye Yuda Iskariote, alikwenda
nilikuwa uchi hamkunivika, nilikuwa mgonjwa kwa viongozi wa makuhani 15na kuuliza,
hamkunitunza na nilikuwa gerezani nanyi “Mtanipa nini nikimtia Yesu mikononi mwenu?
hamkuja kunitembelea.’ Wakamlipa vipande thelathini vya fedha.
44“Ndipo wao pia watajibu, ‘Bwana ni lini 16Tangu wakati huo Yuda akawa anatafuta
tulikuona ukiwa na njaa au kiu, au ukiwa mgeni wasaa mzuri wa kumsaliti Yesu.
au uchi , au ukiwa mgonjwa na kifungoni na
hatukukuhudumia?’ Yesu Ala Pasaka Pamoja Na Wanafunzi
45“Naye atawajibu, ‘Amin, amin nawaambia, 17Siku ya kwanza ya Sikukuu ya Mikate
kwa jinsi ambavyo hamkumtendea mmojawapo Isiyotiwa Chachu wanafunzi walimjia Yesu
wa hawa ndugu zangu walio wadogo, wakamwuliza, ‘‘Unataka tuandae wapi kwa ajili
hamkunitendea mimi.’ yako ili kuila Pasaka?’’
46“Ndipo hawa watakapoingia kwenye 18Akajibu, ‘‘Nendeni kwa mtu fulani huko
adhabu ya milele, lakini wale wenye haki mjini mkamwambie, ‘Mwalimu asema hivi: saa
wataingia katika uzima wa milele.’’ yangu imekaribia, nitaiadhimisha Pasaka
pamoja na wanafunzi wangu katika nyumba
Shauri Baya La Kumwua Yesu yako.’ ’’ 19Hivyo wanafunzi wakafanya kama vile
26 Yesu alipomaliza kusema hayo yote, Yesu, alivyokuwa amewaelekeza, nao
akawaambia wanafunzi wake, 2“Mnajua kwamba baada wakaandaa Pasaka.
ya siku mbili itakuwa Pasaka, naye Mwana wa 20Ilipofika jioni, Yesu alikuwa ameketi
Adamu atasalitiwa ili
asulibiwe.’’ mezani pamoja na wale kumi na wawili. 21Nao
walipokuwa wakila, Yesu akasema, “Amin, amin
31
MATHAYO
nawaambia, mmoja wenu atanisaliti.’’ wake mpaka kwenye bustani iitwayo
22Wakahuzunika sana, wakaanza Gethsemane, akawaambia, “Kaeni hapa wakati
kumwambia mmoja mmoja, ‘‘Je, ni mimi ninakwenda kule kuomba.’’ 37Akamchukua
Bwana?’’ Petro pamoja na wale wana wawili wa
23Yesu akawaambia, ‘‘Yule aliyechovya Zebedayo, naye akaanza kuhuzunika na
mkono wake katika bakuli pamoja nami, ndiye kufadhaika. 38Kisha Yesu akawaambia, “Moyo
atakayenisaliti. 24Mwana wa Adamu yu aenda wangu umejawa na huzuni kiasi cha kufa. Kaeni
kama alivyoandikiwa. Lakini ole wake mtu yule hapa na mkeshe pamoja nami.’’
amsalitie Mwana wa Adamu. Ingeliwakuwa bora 39Akaenda mbele kidogo, akaanguka
kwake kama asingalizaliwa ! ” kifudifudi akaomba, akisema, “Baba yangu,
25Kisha Yuda, yule aliyemsaliti akasema, kama inawezekana, kikombe hiki na kiniepuke,
‘‘Kweli si mimi, Rabi?’’ lakini si kama nitakavyo mimi bali kama
Yesu akajibu, ‘‘Naam, wewe mwenyewe utakavyo Wewe.’’
umesema.’’ 40Kisha akarudi kwa wanafunzi wake na
kuwakuta wamelala. Akamwuliza Petro, “Je,
Kuanzishwa Kwa Meza ya Bwana ninyi wanaume, hamkuweza kukesha pamoja
26Walipokuwa wanakula, Yesu akachukua nami kwa saa moja? 41‘‘Kesheni na mwombe,
mkate, akashukuru, akaumega, akawapa msije mkaanguka majaribuni. Hakika roho iko
wanafunzi wake akisema, ‘‘Twaeni, mle, huu radhi lakini mwili ni dhaifu.’’
ndio mwili wangu.’’ 42Akaenda tena mara ya pili na kuomba, “Baba
27Kisha akachukua kikombe, akashukuru, yangu, kama ikiwezekani kikombe hiki kiniepuke
akawapa akisema, ‘‘Kunyweni nyote katika nisikinywe, mapenzi yako yafanyike.’’
43Aliporudi, akawakuta tena wamelala kwa
kikombe hiki. 28Hii ndiyo damu yangu ya agano,
ile imwagikayo kwa ajili ya wengi kwa ondoleo la sababu macho yao yalikuwa mazito. 44Hivyo
dhambi. 29 Lakini ninawaambia, tangu sasa akawaacha akaenda zake tena mara ya tatu na
sitakunywa tena kutoka katika uzao huu wa kuomba akisema maneno yale yale.
mzabibu, mpaka siku ile nitakapokunywa mpya 45Kisha akarudi kwa wanafunzi wake
pamoja nanyi katika Ufalme wa Baba yangu.’’ akawaambia, ‘‘Bado mmelala na kupumzika?
30Walipokwisha kuimba wimbo, wakatoka Tazameni, saa imefika ambapo Mwana wa
kwenda mlima wa Mizeituni. Adamu hana budi kutiwa mikononi mwa wenye
dhambi. 46Inukeni, twendeni zetu ! Huyu hapa
Yesu Atabiri Petro Kumkana yule anisalitiye! ”
31Kisha Yesu akawaambia, “Usiku wa leo
ninyi nyote mtaniacha, kwa maana imeandikwa: Yesu Akamatwa
47Alipokuwa bado anasema, Yuda,
“ ‘Nitampiga mchungaji, mmojawapo wa wale Kumi na Wawili, akafika,
nao kondoo wa hilo akiwa amefuatana na umati mkubwa wa watu
kundi watatawanyika.’ wenye panga na marungu waliokuwa wametumwa
na viongozi wa makuhani na wazee wa watu.
32Lakini baada ya mimi kufufuka, nitawatangulia 48Basi msaliti alikuwa amewapa hao watu ishara
kwenda Galilaya.’’ kwamba: ‘‘Yeye nitakayembusu ndiye,
33Petro akajibu “Hata kama wote 49
mkamateni.’’ Mara akamjia Yesu na kumsalimu,
watakuacha, kamwe mimi sitakuacha.’’ “Salaam, Rabi!’’ Akambusu.
34 Yesu akajibu, “Amin, amin ninakuambia, 50Yesu akamwambia, “Rafiki, fanya kile
usiku huu huu, kabla jogoo hajawika, utanikana ulichokuja kufanya hapa.
mara tatu.’’ Kisha wale watu wakasogea mbele,
35Lakini Petro akasema, ‘‘Hata kama itabidi wakamkamata Yesu. 51Ghafula mmoja wa wale
kufa pamoja na Wewe, kamwe sitakukana.’’ Nao waliokuwa na Yesu alipoona hivyo, akaushika
wanafunzi wengine wote wakasema vivyo hivyo. upanga wake, akauchomoa na kumpiga
mtumishi wa Kuhani Mkuu, akamkata sikio.
52Ndipo Yesu akamwambia, “Rudisha
Yesu Anaomba Gethsemane
upanga wako mahali pake, kwa maana wote
36Kisha Yesu akaenda pamoja na wanafunzi
watumiao upanga watakufa kwa upanga. 53Je,
32
MATHAYO
unadhani siwezi kumwomba Baba yangu naye Petro Amkana Bwana Yesu
mara moja akaniletea zaidi ya majeshi kumi na 69Wakati huu Petro alikuwa amekaa nje
mawili ya malaika? 54Lakini je, maandiko uani. Mtumishi mmoja wa kike akamjia na
yatatimiaje yale yasemayo kwamba ni lazima kumwambia, “Wewe pia ulikuwa pamoja na
itokee hivi?” Yesu wa Galilaya.’’
55Wakati huo Yesu akawaambia ule umati 70Lakini Petro akakana mbele yao wote
wa watu, “Mmetoka na panga na marungu kuja akisema, “Sijui hilo usemalo.’’
kunikamata kama vile mimi ni mnyang’anyi? 71Alipotoka nje kufika kwenye lango,
Siku kwa siku niliketi hekaluni nikifundisha, mtumishi mwingine wa kike alimwona,
mbona hamkunikamata? 56Lakini haya yote akawaambia watu waliokuwapo, “Huyu mtu
yametukia ili maandiko ya manabii yapate alikuwa pamoja na Yesu Mnazareti.’’
kutimia.” Ndipo wanafunzi wake wote 72 Akakana tena kwa kiapo akisema, “Mimi
wakamwacha na kukimbia. simjui huyo!’’
73Baada ya muda mfupi wale waliokuwa
Yesu Mbele Ya Kuhani Mkuu wamesimama pale wakamwendea Petro
57Wale waliokuwa wamemkamata Yesu wakamwambia, “Hakika wewe ni mmoja wao
wakampeleka kwa Kayafa, Kuhani Mkuu, mahali kwa maana ile namna yako ya kusema ni kama
ambapo walimu wa sheria pamoja na wazee yao.”
74Ndipo Petro akaanza kujilaani na
walikuwa wamekusanyika. 58Lakini Petro
akamfuata kwa mbali mpaka uani kwa Kuhani kuwaapia, Mimi simjui mtu huyo!’’
Mkuu. Akaingia ndani akaketi pamoja na walinzi Papo hapo jogoo akawika. 75Ndipo Petro
ili aone litakalotukia. akakumbuka lile neno alilokuwa amesema Yesu
59Basi viongozi wa wazee, makuhani na “Kabla jogoo hajawika utanikana mara tatu.’’
baraza lote wakatafuta ushahidi wa uongo dhidi Akaenda nje, akalia sana.
ya Yesu ili wapate kumua. 60Lakini hawakupata
jambo lo lote, ingawa mashahidi wengi wa Yesu Aletwa Mbele Ya Pilato
uongo walijitokeza.
Hatimaye wakajitokeza mashahidi wawili wa
27 Asubuhi na mapema, viongozi wa
makuhani wote na wazee wa watu wakafanya
uongo 61na kusema : “Huyu mtu alisema, ‘Nina shauri pamoja dhidi ya Yesu ili kumwua.
2Wakamfunga, wakampeleka na kumkabidhi kwa
weza kulivunja hekalu la Mungu na kulijenga Pilato, ambaye alikuwa
tena kwa siku tatu .’ ’’ mtawala.
62Kisha Kuhani Mkuu akasimama na
kumwambia Yesu, “Je, wewe hutajibu? Ni Yuda Ajinyonga
ushahidi wa namna gani hawa watu wauletao 3Yuda, ambaye ndiye aliyekuwa amemsaliti
dhidi yako?” 63Lakini Yesu alikuwa kimya. Yesu, alipoona kuwa Yesu amehukumiwa,
Ndipo Kuhani Mkuu akamwambia, akajuta na akarudisha vile vipande thelathini
“Nakuapisha mbele za Mungu aliye hai, tuambie vya fedha alivyopewa na viongozi wa makuhani
ikiwa wewe ndiwe Kristo, Mwana wa Mungu.” na wazee wa watu. 4Akasema, “Nimetenda
64Yesu akajibu, “Wewe umenena. Lakini
dhambi, kwa maana nimeisaliti damu isiyo na
ninawaambia nyote, Tangu sasa mtamwona hatia.”
Mwana wa Adamu akiwa ameketi mkono wa 5Basi Yuda akavitupa vile vipande vya
kuume wa Mungu Mwenye Nguvu na akija juu fedha ndani ya hekalu akaondoka akaenda na
ya mawingu ya mbinguni.’’ kujinyonga.
65Ndipo Kuhani Mkuu akararua nguo zake 6Wale makuhani wakuu wakazichukua zile
na kusema, “Amekufuru! Kwa nini tunahitaji fedha wakasema, ‘‘Si halali kuchanganya fedha
ushahidi zaidi? Tazama, sasa ninyi mmesikia hizi na sadaka kwa sababu hizi ni fedha zenye
hayo makufuru. 66 Uamuzi wenu ni nini?” damu.’’ 7 Kwa hiyo baada ya kushauriana,
Wakajibu, ‘‘Anastahili kufa ” waliamua kuvitumia kununulia shamba la
67Kisha wakamtemea mate usoni na
mfinyanzi, liwe mahali pa kuzikia wageni. 8 Hii
wengine wakampiga ngumi. Wengine walimpiga ndiyo sababu lile shamba likaitwa, ‘Shamba la
makofi 68na kusema, “Tutabirie, wewe Kristo! Ni Damu’ hadi leo. 9Ndipo likatimia lile lililonenwa
nani aliyekupiga?” na nabii Yeremia kwamba, ‘‘Walichukua vile
33
MATHAYO
vipande thelathini vya fedha, thamani
aliyopangiwa na watu wa Israeli, 10wakanunulia Askari Wamdhihaki Yesu
shamba la mfinyanzi, kama vile Bwana 27Kisha askari wa mtawala wakampeleka
alivyoniagiza.’’ Yesu kwenye Praitorio a na wakakusanya kikosi
Yesu Mbele Ya Pilato kizima cha askari kumzunguka. 28 Wakamvua
11Wakati Yesu akiwa amesimama mbele ya nguo Zake na kumvika vazi la rangi nyekundu,
kisha 29wakasokota taji ya miiba wakaiweka
mtawala, mtawala akamwuliza, “Wewe ndiye
mfalme wa Wayahudi?’’ kichwani pake. Wakamwekea fimbo katika
Yesu akasema, “Wewe wasema hivyo.’’ mkono wake wa kuume, wakapiga magoti
12Lakini viongozi wa makuhani na wazee mbele zake na kumdhihaki wakisema “Salaam,
mfalme wa Wayahudi!’’ 30Wakamtemea mate,
walipomshtaki, hakujibu neno. 13Ndipo Pilato wakachukua ile fimbo wakampiga kichwani tena
akamwuliza, “Je, husikii ni mambo mangapi na tena. 31Baada ya kumdhihaki, wakamvua lile
wanayokushtaki nayo?’’ 14Lakini Yesu vazi , wakamvika tena nguo Zake. Kisha
hakumjibu hata kwa shtaka moja,kiasi kwamba wakampeleka ili kumsulibisha.
mtawala alishangaa sana.
15Basi ilikuwa ni desturi ya mtawala Yesu Asulibishwa
kumfungua mfungwa mmoja atakayechaguliwa na 32Walipokuwa wakienda, wakakutana na
umati wa watu wakati wa sikukuu. 16Wakati huo mtu mmoja kutoka Kirene, jina lake Simoni, nao
alikuwapo mfungwa mmoja mwenye sifa mbaya, wakamlazimisha kuubeba ule msalaba.
33Wakafika mahali paitwapo Golgotha, (ambayo
aliyeitwa Baraba. 17Hivyo umati wa watu
walipokusanyika, Pilato akawauliza, “Mnataka maana yake ni, Mahali pa Fuvu la Kichwa),
34wakampa Yesu divai iliyochanganywa na
niwafungulie nani, Baraba au Yesu Yeye aitwaye
Kristo?’’ 18Kwa kuwa alitambua Yesu alikuwa nyongo ili anywe, lakini alipoionja, akakataa
amekabidhiwa kwake kwa ajili ya wivu. kuinywa. 35Walipokwisha kumsulibisha
19Pilato akiwa ameketi kwenye kiti cha wakagawana mavazi Yake kwa kuyapigia kura,
hukumu, mkewe akampelekea ujumbe huu: ‘‘ ili litimie lile neno lililonenwa na nabii, ‘Waligawa
Usiwe na jambo lo lote juu ya huyu Mtu asiye na nguo zangu miongoni mwao na vazi langu
hatia, kwa kuwa leo nimeteseka sana katika wakalipigia kura. 36Kisha wakaketi,
ndoto kwa sababu Yake.” 37
wakamchunga. Juu ya kichwa chake, kwenye
20Lakini viongozi wa makuhani na wazee msalaba, wakaandika shtaka lake: ‘HUYU NI
wakaushawishi ule umati wa watu kwamba YESU, MFALME WA WAYAHUDI.’
waombe Baraba afunguliwe na Yesu auawe. 38Wanyang'anyi wawili walisulibiwa pamoja
21 Mtawala akawauliza tena, “Ni yupi kati ya naye, mmoja kuume Kwake na mwingine
hawa wawili mnayetaka niwafungulie?” kushoto Kwake. 39Watu waliokuwa wakipita
Wakajibu, “Baraba’’ njiani wakamvurumishia matukano huku
22Pilato akawaambia, “Basi nifanye nini na
wakatikisa vichwa vyao 40na kusema, “Wewe
huyu Yesu aitwaye Kristo?’’ ambaye utalivunja hekalu na kulijenga kwa siku
Wakajibu wote , “Msulibishe!’’ tatu, jiokoe mwenyewe basi! Kama Wewe ni
23Pilato akauliza, “Kwa nini? Amefanya Mwana wa Mungu, shuka kutoka msalabani.’’
kosa gani?’’ 41Vivyo hivyo, viongozi wa , makuhani,
Lakini wao wakazidi kupiga kelele, walimu wa sheria na wazee wakamdhihaki
“Msulibishe.’’ wakisema, 42 “Aliwaokoa wengine, lakini hawezi
24Pilato alipoona kwamba hawezi kufanya
kujiokoa mwenyewe!. Yeye ni Mfalme wa Israeli!
lo lote, lakini badala yake ghasia zilikuwa Ashuke sasa kutoka msalabani, tutamwamini.
zinaanza, akachukua maji, akanawa mikono 43Anamwamini Mungu, basi Mungu na amwokoe
yake mbele ya ule umati wa watu, akasema. sasa kama anamtaka, kwa maana alisema, ‘Mimi
“Sina hatia juu ya damu ya mtu huyu. Hili ni
ni Mwana wa Mungu.’ ’’ 44Hata
jukumu lenu!”
25Watu wote wakajibu, ‘‘Damu yake na iwe
juu yetu na juu ya watoto wetu!’’ a27Praitoria maana yake makao makuu ya mtawala. Jumba la
26Basi akawafungulia Baraba, na baada ya kifalme lilokuwa linakaliwa na Pontio Pilato huko
Yerusalemu, palipokuwa na kiti cha hukumu
kumchapa Yesu mijeledi, akamtoa ili asulibiwe.
34
MATHAYO
wale wanyang'anyi waliosulibiwa pamoja naye Walinzi Pale Kaburini
wakamtukana vivyo hivyo. 62Kesho yake, yaani siku iliyofuata ile ya
Maandalizi ya Sabato, viongozi wa makuhani na
Kifo Cha Yesu Mafarisayo wakamwendea Pilato 63na kusema,
45Tangu saa sita hadi saa tisa giza lilifunika “Bwana, tumekumbuka kwamba yule
nchi yote. 46Ilipofika saa tisa Yesu akapaza mdanganyifu kabla hajafa alisema, ‘Baada ya
sauti akalia, “Eloi, Eloi lama sabakthani?’’ siku tatu nitafufuka.’ 64Kwa hiyo uamuru kaburi
Maana yake, “Mungu wangu, Mungu wangu, lilindwe kwa uthabiti mpaka baada ya siku tatu.
mbona umeniacha?’’ La sivyo, wanafunzi wake wanaweza kuja
47Baadhi ya wale watu waliokuwa kuuiba mwili wake na kuwaambia watu kwamba
wamesimama pale waliposikia haya, wakasema amefufuka kutoka kwa wafu. Udanganyifu huu
‘‘Anamwita Eliya,’’ wa mwisho utakuwa mbaya kuliko ule wa
48Ghafula mmoja wao akaenda mbio na kwanza.”
kuleta sifongo akaichovya kwenye siki, 65Pilato akawaambia, “Ninyi mnao askari
akaiweka kwenye mwanzi akampa Yesu ili Walinzi. Nendeni, liwekeeni ulinzi kadiri
anywe. 49Wengine wakasema, “Mwacheni na mwezavyo”. 66Kwa hiyo wakaenda na walinzi ili
tuone kama Eliya atakuja kumwokoa.’’ kulilinda kaburi kwa uthabiti, wakatia mhuri
50Yesu alipolia tena kwa sauti kuu, akakata kwenye lile jiwe na kuweka ulinzi.
roho.
51Wakati huo huo pazia la hekalu Yesu Afufuka
likachanika vipande viwili, kuanzia juu hadi chini.
Dunia ikatetemeka na miamba ikapasuka.
28 Baada ya Sabato, alfajiri mapema siku ya
kwanza ya juma, Maria Magdalene na yule Maria
52Makaburi yakafunguka na miili ya watakatifu mwingine walikwenda kulitazama
waliokuwa wamekufa ikafufuka. 53Wakatoka kaburi.
makaburini na baada ya Yesu kufufuka waliingia 2Ghafula pakawa na tetemeko kubwa la
kwenye Mji Mtakatifu na kuwatokea watu wengi. ardhi, kwa sababu malaika wa Bwana alishuka
54Basi yule jemadari na wale waliokuwa kutoka mbinguni akaenda penye kaburi
pamoja naye wakimlinda Yesu walipoona lile akalivingirisha lile jiwe na kulikalia. 3Sura ya
tetemeko na yale yote yaliyokuwa yametukia, huyo malaika ilikuwa kama umeme na mavazi
wakaogopa wakasema, “Hakika huyu alikuwa ni yake yalikuwa meupe kama theluji. 4Wale
Mwana wa Mungu!’’ walinzi wa kaburi walimwogopa sana,
55Walikuwako wanawake huko, wakiangalia wakatetemeka hata wakawa kama wafu.
kwa mbali. Hawa walikuwa wamemfuata Yesu 5Yule malaika akawaambia wale wanawake,
tangu Galilaya ili kushughulika na mahitaji yake. “Msiogope.kwa maana ninajua kuwa mnamtafuta
56Miongoni mwao walikuwapo Maria Yesu aliyesulibiwa. 6Hayupo hapa, kwa kuwa
Magdalena, Maria mama yake Yakobo na amefufuka, kama vile alivyosema. Njoni
Yosefu na mama yao wana wa Zebedayo. mpatazame mahali alipokuwa amelazwa. 7Kisha
nendeni upesi mkawaambie wanafunzi Wake
Maziko Ya Yesu kwamba, ‘Amefufuka kutoka kwa wafu, naye
57Ilipofika jioni, alifika mtu mmoja tajiri awatangulia kwenda Galilaya. Huko ndiko
kutoka Arimathea aitwaye Yosefu, ambaye pia mtakakomwona. Sasa nimekwisha kuwaambia.”
alikuwa mwanafunzi wa Yesu. 58Akamwendea 8Hivyo wale wanawake wakaondoka pale
Pilato, kumwomba mwili wa Yesu. Pilato kaburini, wakiwa wamejawa na hofu lakini
akaamuru apewe. 59Yosefu akauchukua mwili wenye furaha nyingi, wakaenda mbio ili
wa Yesu, akauviringishia nguo ya kitani safi kuwaeleza wanafunzi Wake habari hizo.
9Ghafula Yesu akakutana nao, akasema,
nyeupe 60 na kuuzika kwenye kaburi lake
mwenyewe jipya alilokuwa amelichonga kwenye “Salaam!” Wale wanawake wakamkaribia
mwamba. 61Maria Magdalene na yule Maria wakaishika miguu Yake, wakamwabudu.
10Ndipo Yesu akawaambia, “Msiogope.
mwingine walikuwapo mahali pale, wakiwa
wameketi mkabala na kaburi. Kisha Nendeni mkawaambie ndugu zangu waende
akavingirisha jiwe kubwa mlangoni mwa kaburi Galilaya, ndiko watakakoniona.’’
na akaenda zake.
Taarifa Ya Walinzi

35
MATHAYO
11Wakati wale wanawake wakiwa njiani
wakienda, baadhi ya wale askari waliokuwa
wakilinda kaburi walienda mjini na kuwaeleza
viongozi wa makuhani kila kitu kilichokuwa
kimetukia. 12Baada ya viongozi wa makuhani
kukutana na wazee na kutunga hila, waliwapa
wale askari kiasi kikubwa cha fedha
13wakiwaambia, “Inawapasa mseme,
‘Wanafunzi Wake walikuja wakati wa usiku na
kumwiba sisi tulipokuwa tumelala.’ 14Kama
habari hizi zikimfikia mtawala, sisi
tutamwondolea mashaka nanyi hamtapata tatizo
lo lote. 15Kwa hiyo wale askari wakazipokea
hizo fedha nao wakafanya kama
walivyoelekezwa. Habari hii imeenea miongoni
mwa Wayahudi mpaka leo.

Yesu Awatuma Wanafunzi Wake


16Basi wale wanafunzi kumi na mmoja
wakaenda hadi Galilaya kwenye ule mlima
ambao Yesu alikuwa amewaagiza.
17Walipomwona, wakamwabudu, lakini baadhi

yao wakaona shaka. 18Yesu akawajia na


kusema, “Nimepewa mamlaka yote mbinguni na
duniani. 19Kwa sababu hii, enendeni
ulimwenguni mkawafanye mataifa yote kuwa
wanafunzi, mkiwabatiza kwa Jina la Baba na la
Mwana na la Roho Mtakatifu, 20nanyi
wafundisheni kuyashika mambo yote
niliyowaamuru ninyi. Hakika Mimi niko pamoja
nanyi sikuzote, hadi mwisho wa nyakati.’’ Amen.

36
MARKO
Utangulizi:
Marko ambaye aliitwa Yohana Marko alifuatana na Mtume Paulo katika safari zake za kitume.Huyu ndiye
anayetajwa na mababa wa kanisa Papiass, Irenio na Klement wa Aleksandria kuwa mshirika wa karibu sana wa
Mtume Petro.Uhusiano huu wa karibu na Petro umeonyeshwa katika(1Pet..5:13), pale ambapo Petro anamtaja
Marko kama “mwanawe.” Hatimaye aliishi Rumi ambako aliandika kumbukumbu za Mtume Petro. Kwa hiyo Injili ya
Marko inawakilisha maneno ya mtu aliyeshuhudia kwa macho yake mwenyewe juu ya maisha ya Yesu yanayoelezwa
katika Injili hii.

Yohana Marko ni mtoto wa Maria ambaye nyumbani kwao kulikuwa Yerusalemu, ambako kunaonekana kuwa
kituo kikuu cha Ukristo (Mdo. 12: 12). Marko alisafiri na Barnaba ambaye ni mjomba wake mpendwa (Mdo. 4:36 -37 )
kwenda Antiokia ya Syria(Mdo 12:25) ambako walifuatana na Paulo kwenye safari yake ya kwanza ya kitume.Marko
hata hivyo aliwaacha Barnaba na Paulo huko Kipro na kurudi Yerusalemu (Mdo 13:13). Baadaye Barnaba na Marko
walielekea Kipro wakati Paulo akienda Asia.
Miaka kumi baadaye ( 60 B.K) Marko alikuwa pamoja na Paulo huko Rumi (2Tim.4:11; Kol.4:10.)

Shabaha ya Marko ilikuwa ni kukusanya pamoja ujumbe wote wa Injili. Kwa sababu hii, Injili ya Marko inakazia
zaidi matendo ya Yesu kuliko maneno Yake. Pia Injili hii inatumia nafasi kubwa kueleza matukio ya juma la mwisho la
maisha ya Bwana Yesu. Marko anaanza kwa kueleza habari za huduma ya Bwana Yesu hadharani na juu ya
kuhubiri Kwake kuhusu Habari Njema ya Ufalme wa Mungu. Kisha anatoa unabii wazi kuhusu matazamio ya kifo cha
Bwana Yesu (Mk. 8:31;9:31;10:33-34,45). Hatimaye anaeleza jinsi Bwana Yesu alivyosulibiwa msalabani kwa ajili ya
dhambi za ulimwengu, kufufuka Kwake kutoka kwa wafu, kuonekana Kwake na wanafunzi Wake baada ya kufufuka,
maneno na maagizo Yake ya mwisho na kupaa Kwake kwenda mbinguni.

Tarehe
Inawezekana ni katika wakati huu wa uhai wa Petro, au muda mfupi tu baada ya kifo chake (55-65 B.K.), ambao
Marko aliandika Injili hii yenye kuchukua jina lake.

Wazo Kuu
Marko anamdhihirisha Bwana Yesu kuwa ni Mtumishi wa Mungu, Mtu wa vitendo, aliyekuja kutimiza mapenzi ya
Mungu. Marko anaonyesha waziwazi huduma ya Yesu na utendaji Wake wa miujiza, uponyaji Wake, mamlaka Yake
juu ya pepo wachafu na nguvu Zake, Bwana Yesu alithibitishwa kuwa si mtumishi wa kawaida bali kwamba kwa
hakika alikuwa Mwana wa Mungu. Ufufuo wa Yesu ulithibitisha yale yote aliyotenda na sasa tunangojea kurudi
Kwake kwa utukufu, kutoka mbinguni. Marko aliandika Injili hii ili pia kuwatia moyo Wakristo walioishi Rumi wakati wa
mateso.

Mgawanyo
• Yohana Mbatizaji na ubatizo wa Bwana Yesu (1:1-13)
• Huduma ya Yesu Galilaya (1:14-9:50)
• Safari ya kwenda Yerusalemu na kuingia mjini (10:1-11:25[26])
• Matatizo mjini Yerusalemu (11:27-12:44)
• Unabii kuhusu mambo yajayo (13:1 -37)
• Kufa kwa Yesu na kufufuka kwake. (14:1-16:8[9-20]).
MARKO
Mahubiri Ya Yohana Mbatizaji na kuiamini Habari Njema.’’
1 Mwanzo wa Injili ya Yesu Kristo, Mwana wa
Mungu. Yesu Awaita Wanafunzi Wanne
16Yesu alipokuwa akitembea kando-kando ya
2Kama ilivyoandikwa katika nabii Isaya, Bahari ya Galilaya alimwona Simoni na Andrea
nduguye wakizitupa nyavu zao baharini, kwa
‘‘Tazama, namtuma mjumbe Wangu mbele kuwa hawa wawili walikuwa wavuvi. 17Yesu
yako, yeye akawaambia, “Njoni nifuateni, nami nitawafanya
atakayeitengeneza njia yako.’’ kuwa wavuvi wa watu.’’ 18Mara wakaacha nyavu
3‘‘Sauti ya mtu aliaye nyikani. zao, wakamfuata Yesu.
‘Itengenezeni njia ya Bwana, yanyosheni 19Alipokwenda mbele kidogo, akamwona
mapito Yake.’ ’’ Yakobo mwana wa Zebedayo na Yohana
‘Itengenezeni njia ya Bwana, nduguye, wakiwa kwenye mashua yao
yanyoosheni mapito yake.’ ’’ wakizitengeneza nyavu zao. 20Papo hapo
akawaita, nao wakamwacha Zebedayo baba yao
4Yohana alikuja, akibatiza huko nyikani, akihubiri kwenye mashua pamoja na watumishi wa
ubatizo wa toba kwa ajili ya ondoleo la dhambi. kuajiriwa, nao wakamfuata Yesu.
5Watu kutoka Uyahudi wote na sehemu zote za
Yerusalemu walikuwa wakimwendea, naye Yesu Amtoa Pepo Mchafu
akawabatiza katika mto Yordani, wakitubu dhambi 21Wakaenda mpaka Kapernaumu. Ilipofika
zao. 6Yohana alivaa mavazi yaliyotengenezwa siku ya Sabato, mara Yesu akaingia kwenye
kwa singa za ngamia na mkanda wa ngozi kiunoni sinagogi akaanza kufundisha. 22Watu
mwake. Chakula chake kilikuwa nzige na asali ya wakashangaa sana mafundisho yake, kwa maana
mwitu. 7Naye alihubiri akisema, “Baada yangu aliwafundisha kama Yeye aliye na mamlaka, wala
atakuja Yeye aliye na uwezo kuliko mimi, ambaye si kama walimu wa sheria. 23Wakati huo huo,
sistahili hata kuinama na kulegeza ukanda wa palikuwa na mtu kwenye sinagogi lao aliyekuwa
viatu vyake. 8Mimi nawabatiza kwa maji, lakini amepagawa na pepo mchafu, 24naye alikuwa
Yeye atawabatiza kwa Roho Mtakatifu.’’ akapiga kelele akisema, “Tuna nini nawe, Yesu
wa Nazarethi? Je, umekuja kutuangamiza?
Ubatizo Wa Yesu Nakujua Wewe ni nani, Wewe ndiwe Mtakatifu wa
9Wakati huo Yesu akaja kutoka Nazareti ya Mungu!”
Galilaya, naye akabatizwa na Yohana katika Mto 25Lakini Yesu akamkemea, akamwambia,
Yordani. 10Yesu alipokuwa akitoka ndani ya maji, “Nyamaza kimya! Nawe Umtoke!’’ 26 Yule pepo
aliona mbingu zikifunguka na Roho akishuka juu mchafu akamtikisa-tikisa sana huyo mtu kwa
Yake kama huwa. 11Nayo sauti kutoka mbinguni nguvu akipiga kelele kwa sauti kubwa, kasha
ikasema, “Wewe ndiwe Mwanangu, mpendwa akamtoka.
Wangu, ambaye nimependezwa Nawe.’’ 27Watu wote wakashangaa, hata kuulizana
wao kwa wao, “Haya ni mambo gani? Ni
Majaribu Ya Yesu mafundisho mapya, tena yenye mamlaka!
12Wakati huo huo, Roho akamwongoza Yesu Anaamuru hata pepo wachafu nao wanamtii!’’
28Sifa Zake zikaanza kuenea kwa upesi katika
kwenda nyikani, 13naye akawa huko nyikani kwa
muda wa siku arobaini, akijaribiwa na Shetani. eneo lote la karibu na Galilaya.
Alikaa na wanyama wa mwituni na malaika
wakimhudumia. Yesu Amponya Mama Mkwe Wa Simoni
29Mara walipotoka katika sinagogi,
Yesu Aanza Kuhubiri walikwenda pamoja na Yakobo na Yohana hadi
14Baada ya Yohana kukamatwa na kutiwa nyumbani kwa Simoni na Andrea. 30Mama mkwe
gerezani, Yesu aliingia Galilaya akaanza kuhubiri wake Simoni alikuwa kitandani, ana homa, nao
Habari Njema za Mungu, 15akisema, “Wakati wakamweleza Yesu habari zake. 31 Hivyo Yesu
umewadia, Ufalme wa Mungu umekaribia. Tubuni akamwendea, akamshika mkono na kumwinua.
2
MARKO
Hivyo homa ikamwacha, naye akaanza amerudi nyumbani. 2Hivyo watu wengi
kuwahudumia. wakakusanyika hata hapakubaki nafasi yo yote
hata mlangoni! Naye akawahubiria neno. 3Ndipo
Yesu Aponya Wengi baadhi ya watu wakaja wakamletea Yesu mtu
32Jioni ile baada ya jua kutua, watu aliyepooza, akiwa amebebwa na watu wanne.
wakamletea Yesu wagonjwa wote na 4Kwa kuwa walikuwa hawawezi kumfikisha kwa
waliopagawa na pepo wachafu. 33Mji wote Yesu kwa ajili ya umati wa watu, walitoboa tundu
ukakusanyika mbele ya nyumba hiyo. 34 Yesu kwenye paa mahali pale alipokuwa Yesu,
akawaponya watu wengi waliokuwa na magonjwa wakamshusha yule aliyepooza kwa kitanda.
5Yesu alipoona imani yao, alimwambia yule
ya aina mbalimbali. Akawatoa pepo wachafu
wengi, lakini hakuwaacha hao pepo wachafu aliyepooza, ‘‘Mwanangu, dhambi zako
waseme kwa sababu walimjua kuwa Yeye ni nani. zimesamehewa. ”
6Basi baadhi ya walimu wa sheria waliokuwa
Yesu Aondoka Kapernaumu Na Kwenda wameketi huko wakawaza mioyoni mwao, 7‘‘Kwa
Galilaya nini mtu huyu anasema hivi? Huyu anakufuru! Ni
35Mapema sana alfajiri kulipokuwa bado nani awezaye kusamehe dhambi isipokuwa
kungali giza, Yesu akamka, akaondoka, akaenda Mungu peke Yake?
mahali pa faragha,ili kuomba. 36Simoni na 8Mara moja Yesu akatambua kile
wenzake wakaenda kumtafuta, 37nao walichokuwa wanawaza mioyoni mwao, naye
walipomwona, wakamwambia, “Kila mtu akawaambia, ”Kwa nini mnawaza hivyo mioyoni
anakutafuta!” mwenu? 9Ni jambo gani lililo rahisi, kumwambia
38Yesu akawajibu, “Twendeni mahali pengine huyu aliyepooza, ‘‘Umesamehewa dhambi zako,
kwenye vijiji vya jirani, ili niweze kuhubiri huko au kusema, ‘Inuka, uchukue kitanda chako
nako, kwa sababu hicho ndicho nilichokuja uende?’ 10Lakini ili mpate kujua ya kwamba
kukifanya. 39Kwa hiyo akazunguka Galilaya kote, Mwana wa Adamu anao uwezo duniani wa
akihubiri katika masinagogi yao na kutoa pepo kusamehe dhambi,” Yesu akamwambia yule
wachafu. aliyepooza, 11‘‘Nakuambia, inuka, chukua kitanda
Yesu Amtakasa Mwenye Ukoma chako uende nyumbani kwako.” 12Yule mtu
aliyekuwa amepooza akainuka, akachukua
40Mtu mmoja mwenye ukoma alimjia
kitanda chake akatembea machoni pao wote!
akamwomba akipiga magoti akamwambia Yesu, Jambo hili likawashangaza wote, wakamtukuza
“Ukitaka, waweza kunitakasa.” Mungu, wakisema, ‘‘Hatujapata kuona jambo
41Yesu akiwa amejawa na huruma, akanyosha kama hili kamwe!”
mkono Wake akamgusa, akamwambia, “Nataka
takasika!” 42Mara ukoma ukamtoka, naye Yesu Amwita Lawi (Mathayo)
13Yesu akaenda tena kando -kando ya bahari
akatakasika. 43Baada ya Yesu kumwonya vikali,
ya Galilaya. Umati mkubwa wa watu ukamfuata,
akamruhusu aende zake 44akimwambia, “Hakikisha
humwambii mtu ye yote habari hizi, bali nenda naye akaanza kuwafundisha. 14Alipokuwa
ukajionyeshe kwa kuhani na ukatoe sadaka kwa ajili akitembea, akamwona Lawi mwana wa Alfayo
ya kutakasika kwako kama alivyoamuru Mose kuwa ameketi forodhani mahali pa kukusanyia kodi,
akamwambia, ‘‘Nifuate.” Lawi akaondoka,
ushuhuda kwao.” 45Lakini yule mtu akaenda
akamfuata Yesu.
akaanza kutangaza habari za kuponywa kwake 15Yesu alipokuwa akila chakula nyumbani
waziwazi. Kwa hiyo Yesu hakuweza tena kuingia
katika miji waziwazi isipokuwa alikaa sehemu zisizo mwa Lawi, watoza ushuru wengi pamoja na
na watu. Lakini bado watu wakamfuata huko kutoka wenye dhambi walikuwa wakila pamoja naye na
kila upande. wanafunzi Wake, kwa maana kulikuwa na watu
wengi waliokuwa wakimfuata. 16Baadhi ya walimu
Yesu Amponya Mtu Aliyepooza wa sheria na Mafarisayo walipomwona akila
2 Baada ya siku kadhaa Yesu alirudi
Kapernaumu, watu wakasikia kwamba
pamoja na watoza ushuru na wenye dhambi,
wakawauliza wanafunzi Wake, ‘‘Mbona Yesu
3
MARKO
anakula pamoja na watoza ushuru na wenye
dhambi?”.
3 Yesu akaingia tena ndani ya sinagogi na huko
palikuwa na mtu mwenye mkono uliopooza.
17Yesu aliposikia haya akawaambia, “Walio 2Wakawa wanamwangalia ili waone kama
wazima hawahitaji tabibu, bali walio wagonjwa. atamponya siku ya Sabato wapate sababu ya
Sikuja kuwaita wenye haki, bali wenye dhambi.” kumshtaki. 3Yesu akamwambia yule mwenye
mkono uliopooza, ‘‘Njoo hapa mbele.”
Yesu Aulizwa Kuhusu Kufunga 4Kisha Yesu akawauliza, ‘‘Je ni lipi lililo halali
18Basi wanafunzi wa Yohana pamoja na siku ya Sabato, kufanya jema au baya ”, kuokoa
Mafarisayo walikuwa wakifunga. Baadhi ya watu maisha au kuua?” Lakini wao wakanyamaza
wakamjia Yesu na kumwuliza, “Mbona wanafunzi kimya.
wa Yohana na wa Mafarisayo hufunga lakini 5Yesu akawatazama pande zote kwa hasira,
wanafunzi Wako hawafungi?” akahuzunika sana kwa ajili ya ugumu wa mioyo
19Yesu akawajibu, “Wageni wa bwana arusi yao. Akamwambia yule mtu mwenye mkono
wawezaje kufunga wakati bwana arusi akiwa uliopooza, ‘‘Nyosha mkono wako.’’ Akaunyosha,
pamoja nao? Maadam bwana arusi yuko pamoja nao ukapona kabisa! 6Kisha Mafarisayo wakatoka
nao, hawawezi kufunga. 20Lakini wakati utakuja nje, mara wakaanza kufanya shauri la kumwua
ambapo bwana arusi ataondolewa kwao, siku hiyo Yesu wakiwa na kundi la wafuasi wa Herode.
ndipo watakapofunga.
21 ‘‘Hakuna mtu ashonaye kiraka cha nguo Umati Wa Watu Wamfuata Yesu
mpya kwenye nguo iliyochakaa. Akifanya hivyo, 7Yesu pamoja na wanafunzi Wake
kile kiraka kipya kilichoshonewa kwenye nguo wakaondoka huko wakaenda baharini, nao umati
iliyochakaa huondoka, nayo ile nguo huchanika mkubwa wa watu kutoka Galilaya ukamfuata.
8Waliposikia mambo yote aliyokuwa akiyafanya,
zaidi. 22Wala hakuna mtu awekaye divai mpya
kwenye viriba vikuukuu. Akifanya hivyo, ile divai umati mkubwa wa watu ukamjia kutoka Uyahudi,
mpya itavipasua hivyo viriba, kwa hiyo divai Yerusalemu, Idumaya, Ng’ambo ya Yordani
itamwagika na viriba vitaharibika. Divai mpya pamoja na wale wa sehemu za karibu na Tiro na
huwekwa kwenye viriba vipya.” Sidoni. 9Kwa sababu ya umati mkubwa wa watu,
aliwaambia wanafunzi Wake waweke tayari
Bwana Wa Sabato mashua ndogo kwa ajili Yake, ili kuwazuia watu
23Siku moja ya Sabato, Yesu pamoja na kumsonga. 10Kwa kuwa alikuwa amewaponya
wanafunzi Wake, walikuwa wakipita katikati ya wagonjwa wengi, wale wenye magonjwa walikuwa
mashamba ya nafaka. Walipokuwa wakipita wanasukamana ili wapate kumgusa. 11Kila mara
wanafunzi Wake wakaanza kuvunja masuke. pepo wachafu walipomwona, walianguka chini
24Mafarisayo wakamwambia, “Tazama, mbona mbele Yake na kupiga kelele wakisema, “Wewe
wanafanya jambo ambalo si halali kufanywa siku ndiwe Mwana wa Mungu.” 12Lakini aliwaonya
ya Sabato?” wasimseme Yeye ni nani.
25Yesu akawajibu, Je, hamjasoma kamwe
alivyofanya Daudi wakati yeye na wenzake Yesu Achagua Mitume Kumi Na Wawili
walipokuwa na njaa na uhitaji wa chakula? 13Yesu akapanda mlimani na kuwaita wale
26Daudi aliingia katika nyumba ya Mungu wakati aliowataka, nao wakamjia. 14Akawachagua kumi
Abiathari akiwa kuhani mkuu, akaila ile mikate ya na wawili ambao pia aliwaita mitume, ili wapate
Wonyesho, ambayo ilikuwa hairuhusiwi mtu ye kuwa pamoja naye na ili apate kuwatuma kwenda
yote kuila isipokuwa makuhani, naye akawapa kuhubiri 15na kuwa na mamlaka ya kutoa pepo
wenzake.” wachafu. 16Hawa ndio wale kumi na wawili
27Kisha Yesu akawaambia, ‘‘Sabato ilifanyika aliowachagua: Simoni (ambaye alimwita Petro),
kwa ajili ya mwanadamu, lakini si mwanadamu 17Yakobo mwana wa Zebedayo na Yohana
kwa ajili ya Sabato. 28Hivyo, Mwana wa Adamu nduguye (ambao aliwaita Boanerge, maana yake
ndiye Bwana wa Sabato.” Wana wa Ngurumo), 18Andrea, Filipo,
Bartholomayo, Mathayo, Thomaso, Yakobo,
Yesu Amponya Mtu Mwenye Mkono Uliopooza mwana wa Alfayo, Thadayo, Simoni Mkananayo
4
MARKO
na 19Yuda Iskariote, ambaye ndiye aliyemsaliti Mfano Wa Mpanzi
Yesu.
4 Yesu akaanza kufundisha tena kando ya
Yesu Na Beelzebuli bahari. Umati wa watu uliokuwa
20Ndipo Yesu aliporudi nyumbani, umati wa
umemkusanyikia kumzunguka ulikuwa mkubwa
kiasi kwamba ilimbidi Yesu aingie kwenye
watu ukakusanyika tena, kiasi kwamba Yeye na mashua iliyokuwa baharini na kuketi humo.
wanafunzi Wake hawakuweza kula chakula. 2Akawafundisha mambo mengi kwa mifano, naye
21Ndugu Zake walipopata habari wakaja ili katika mafundisho yake akasema: 3‘‘Sikilizeni!
kumchukua kwa maana watu walikuwa wakisema, Mpanzi alitoka kwenda kupanda mbegu zake.
“Amerukwa na akili.” 4Alipokuwa akipanda, mbegu nyingine zilianguka
22Walimu wa sheria waliotelemka kutoka kando ya njia, ndege wakaja na wakazila.
5Nyingine zilianguka kwenye ardhi yenye
Yerusalemu walisema, “Amepagawa na
Beelzebuli! Kwa kutumia mkuu wa pepo wachafu, mwamba ambako hakukuwa na udongo wa
anatoa pepo wachafu.” kutosha. Zikaota haraka, kwa kuwa udongo
23Basi Yesu akawaita na kuzungumza nao ulikuwa haba. 6Jua lilipozidi, mimea ikanyauka na
kukauka kwa kuwa mizizi yake ilikuwa haina kina.
kwa mifano akasema: “Shetani awezaje kumtoa 7Mbegu nyingine zilianguka kwenye miiba, miiba
Shetani? 24Kama ufalme ukigawanyika wenyewe hiyo ikakua ikaisonga hiyo mimea hivyo haikutoa
kwa wenyewe, ufalme huo hauwezi kusimama. mazao. 8Mbegu nyingine zilianguka kwenye
25Nayo nyumba kama ikigawanyika yenyewe kwa udongo mzuri, zikaota vizuri na kukua, zikatoa
yenyewe, nyumba hiyo haiwezi kusimama. mazao, moja thelathini, nyingine sitini na nyingine
26Naye Shetani kama akijipinga mwenyewe akiwa mia moja.”
amegawanyika, hawezi kusimama bali mwisho 9Kisha Yesu akasema, “Mwenye masikio ya
wake umewadia. 27Hakuna mtu ye yote awezaye kusikia na asikie.”
kuingia kwenye nyumba ya mtu mwenye nguvu na
kuteka nyara mali zake asipomfunga kwanza yule Sababu Za Mifano
mwenye nguvu, ndipo awezapo kuteka nyara. 10Alipokuwa peke Yake, wale waliokuwepo
28‘‘Amin, amin nawaambia, dhambi zote na
pamoja na wanafunzi wake kumi na wawili,
makufuru yote ya wanadamu watasamehewa. wakamwuliza kuhusu mifano Yake. 11Naye
29Lakini ye yote anayemkufuru Roho Mtakatifu
akawaambia, ” Ninyi mmepewa kujua siri ya
hatasamehewa kamwe, atakuwa na hatia ya Ufalme wa Mungu, lakini kwa wale walioko nje,
dhambi ya milele”.
30Yesu alisema hivi kwa sababu walikuwa kila kitu husemwa kwao kwa mifano 12 ili,
wanasema, “Ana pepo mchafu.” ‘Daima waone lakini wasitambue,
daima wasikie lakini wasielewe.
Mama Na Ndugu Zake Yesu Wasije wakageuka,
31Kisha wakaja ndugu zake Yesu pamoja na wakatubu na kusamehewa.’ ’’
mama yake. Wakiwa wamesimama nje,
wakamtuma mtu kumwita. 32 Umati wa watu Yesu Afafanua Maana Ya Mfano Wa Mbegu
ulikuwa umeketi kumzunguka wakamwambia, 13Kisha Yesu akawauliza, “Hamwelewi
“Mama Yako na ndugu Zako wako nje, maana ya mfano huu? Basi mtaelewaje mifano
wanakutafuta.” mingine? 14Yule mpanzi hupanda neno. 15Hawa
33Akawauliza, ‘‘Mama yangu na ndugu zangu
ndio wale walio kando ya njia, ambako neno
ni nani?’’ lilipandwa. Walisikiapo neno, Shetani huja mara
34Kisha akawatazama wale watu waliokuwa na kulichukua lile neno lililopandwa ndani yao.
wameketi kumzunguka pande zote, akasema, 16Nazo hizi ni zile mbegu zilizoanguka kwenye
‘‘Hawa ndio mama zangu na ndugu zangu. 35Mtu udongo wenye miamba, wanapolisikia neno, mara
ye yote anayetenda mapenzi ya Mungu huyo hulipokea kwa furaha. 17Basi kwa kuwa hawana
ndiye ndugu yangu, dada Yangu na mama mizizi, hudumu kwa muda mfupi tu, kisha dhiki au
Yangu.’’ mateso yanapoinuka kwa ajili ya lile neno, wao
5
MARKO
mara huiacha imani. 18Lakini wengine, kama mifano. Lakini alipokuwa na wanafunzi Wake,
mbegu iliyopandwa kwenye miiba, hulisikia lile aliwafafanulia kila kitu.
neno, 19lakini masumbufu ya maisha haya,
udanganyifu wa mali na tamaa ya mambo Yesu Atuliza Dhoruba
mengine huja na kulisonga lile neno na kulifanya 35Siku hiyo, ilipokaribia jioni, aliwaambia

lisizae. 20Wengine, kama mbegu iliyopandwa wanafunzi Wake, “Tuvuke na twende mpaka
kwenye udongo mzuri, hulisikia lile neno, ng’ambo.’’ 36Wakiuacha ule umati wa watu
wakalipokea na kutoa mazao: Wengine thelathini, nyuma, walimchukua vile vile kama alivyokuwa
wengine sitini na wengine mara mia moja ya ile kwenye mashua. Palikuwa pia na mashua
iliyopandwa.” nyingine nyingi pamoja naye. 37Kukawa na
dhoruba kali, nayo mawimbi yakaipiga ile mashua
Mfano Wa Taa hata ikawa karibu kujaa maji. 38 Wanafunzi Wake
21Akawaambia, “Je, taa huwashwa na wakamwamsha, wakamwambia, “Mwalimu, hujali
kufunikwa chini ya kikapu au mvunguni mwa kama tunazama?”
kitanda? Je, haiwashwi na kuwekwa juu ya kinara 39Akaamka, akaukemea ule upepo,
chake? 22Kwa kuwa hakuna kilichofichika akayaambia yale mawimbi, “Uwe kimya! Tulia!”
ambacho hakitafunuliwa, wala hakuna jambo lo Ule upepo ukatulia, kukawa shwari kabisa.
lote la siri ambalo halitaletwa nuruni. 23Mwenye 40Yesu akawaambia wanafunzi Wake, “Kwa
masikio ya kusikia na asikie.” nini mnaogopa hivyo? Je, bado hamna imani?”
24Naye akawaambia, “Iweni waangalifu na 41Nao wakawa wameogopa sana,
yale mnayosikia. Kipimo mnachotumia kuwapimia wakaulizana,‘‘Ni nani huyu ambaye hata upepo na
wengine ndicho kitakachotumiwa kuwapimia ninyi, mawimbi vinamtii?”
hata na zaidi. 25Kwa maana aliye na kitu
ataongezewa na yeye asiye na kitu hata kile Yesu Amponya Mtu Mwenye Pepo
alicho nacho atanyang’anywa.”
5 Wakafika upande wa pili wa bahari
Mfano Wa Mbegu Inayoota wakaingia katika nchi ya Wagerasi. 2Yesu
alipotoka kwenye mashua, mara mtu mmoja
26Pia akawaambia, “Ufalme wa Mungu mwenye pepo mchafu akatoka makaburini
unafanana na mtu apandaye mbegu shambani. akakutana naye. 3Mtu huyu aliishi makaburini,
27Akiisha kuzipanda, usiku hulala na mchana wala hakuna aliyeweza kumzuia hata kwa
kumfunga minyororo, 4kwa kuwa mara kwa mara
huamka, nazo mbegu huota na kukua pasipo yeye alikuwa amefungwa kwa minyororo mikononi na
kujua inavyokua. 28Udongo huifanya iote kuwa miguuni, akaikata hiyo minyororo na kuzivunja zile
mche, halafu suke, kisha nafaka kamili kwenye pingu miguuni mwake. Hapakuwa na mtu ye yote
aliyekuwa na nguvu za kumzuia. 5Usiku na
suke. 29Lakini nafaka inapokuwa imekomaa, mara mchana alikuwa makaburini na milimani, akipiga
mkulima huingia shambani na mundu wa kuvunia kelele na kujikatakata kwa mawe.
maana mavuno yamekuwa tayari.” 6Alipomwona Yesu kwa mbali, alimkimbilia

Mfano Wa Mbegu Ya Haradali akapiga magoti mbele Yake. 7Akapiga kelele kwa
30Akawaambia tena, ``Tuufananishe Ufalme nguvu akisema, ”Una nini nami, Yesu Mwana wa
Mungu Aliye Juu? Ninakuapisha kwa Mungu,
wa Mungu na nini? Au tutumie mfano gani ili usinitese! ” 8Kwa kuwa Yesu alikuwa
kuueleza? 31Uko kama punje ya haradali, ambayo amemwambia,‘‘Mtoke mtu huyu wewe pepo
ni mbegu ndogo sana kuliko mbegu zote mchafu!”
zinazopandwa ardhini. 32Lakini ikishaota, hukua 9Yesu akamwuliza, ‘‘Jina lako ni nani?’’
ikawa mmea mkubwa kuliko yote katika bustani, Akamjibu, ‘‘Jina langu ni Legionia, kwa kuwa
ikawa na matawi makubwa hata ndege wa angani tuko wengi. ” 10Akamwomba sana Yesu
kujenga viota kwenye matawi yake.” asiwapeleke nje ya nchi ile.
33Kwa mifano mingine mingi kama hii Yesu
alinena nao neno Lake, kwa kadiri walivyoweza
a9 Legioni hapa maana yake ni Jeshi.
kulisikiza. 34Hakusema nao neno lo lote pasipo
6
MARKO
11Kundi kubwa la nguruwe lilikuwa karibu Lake,28maana alisema moyoni mwake, “Kama
likilisha kando ya kilima. 12Wale pepo wakamsihi nikiweza kuligusa vazi Lake tu, nitapona.” 29Mara
Yesu wakisema, ‘‘Tuamuru twende kwenye wale kutoka damu kwake kukakoma, naye akajisikia
nguruwe, turuhusu tuwaingie.” 13Basi Yesu mwilini mwake amepona kabisa.
30Ghafula Yesu akatambua kuwa nguvu
akawaruhusu, nao wale pepo wakatoka
wakawaingia hao nguruwe. Lile kundi lilikuwa na zimemtoka. Akaugeukia ule umati wa watu na
nguruwe wapata 2,000, likatelemkia kasi gengeni kuuliza, “Ni nani aliyenigusa?”
nao wakazama baharini. 31 Wanafunzi Wake wakamjibu, “Unaona jinsi
14Wale waliokuwa wakichunga hao nguruwe umati wa watu unavyokusonga, wawezaje kuuliza,
wakakimbilia mjini na vijijini kueleza yaliyotukia. ‘Ni nani aliyenigusa?’ ’’
Watu wakatoka kwenda kuona hayo yaliyokuwa 32Lakini Yesu akaangalia pande zote ili aone
yametukia. 15Walipofika kwa Yesu, wakamwona ni nani aliyemgusa. 33Yule mwanamke, akijua
yule mtu aliyekuwa amepagawa na pepo wachafu kilichomtokea, akaja, akaanguka miguuni pake
Legioni, akiwa ameketi hapo, amevaa nguo na pia akitetemeka kwa hofu, akamweleza ukweli wote.
akiwa na akili zake timamu. Wakaogopa. 16Wale 34Yesu akamwambia, ‘‘Binti, imani yako
walioyaona mambo haya wakawaeleza watu imekuponya. Nenda kwa amani, upone kabisa
wengine yaliyomtokea yule aliyekuwa na pepo ugonjwa wako. ”
wachafu na lile kundi la nguruwe. 17Basi watu
wakaanza kumwomba Yesu aondoke katika nchi Yesu Amfufua Binti Yairo
yao. 35Alipokuwa bado anaongea, watu wakafika
18Yesu alipokuwa anaingia kwenye mashua, kutoka nyumbani kwa Yairo wakamwambia, “Binti
yule mtu aliyekuwa amepagawa na pepo wachafu yako amekufa. Kwa nini kuendelea kumsumbua
akamsihi Yesu waende pamoja. 19Yesu Mwalimu?’’
36Kwa kusikia hayo waliyosema, Yesu
hakumruhusu, bali alimwambia, ‘‘Nenda nyumbani
kwa jamaa yako ukawaeleze mambo makuu akamwambia huyo kiongozi wa sinagogi,
aliyokutendea Bwana na jinsi alivyokuhurumia.” “Usiogope. Amini tu.”
20Yule mtu akaenda zake akaanza kutangaza 37Hakumruhusu mtu mwingine ye yote
katika Dekapoli jinsi Yesu alivyomtendea, nao amfuate isipokuwa Petro, Yakobo na Yohana
watu wote wakastaajabu. nduguye Yakobo. 38Walipofika nyumbani kwa
yule kiongozi wa sinagogi, Yesu akaona ghasia,
Mwanamke Aponywa watu wakilia na kuomboleza kwa sauti kubwa.
21Yesu alipokwisha kuvuka tena na kufika 39Alipokwisha kuingia ndani, akawaambia, “Kwa
ng’ambo, umati mkubwa wa watu ukamzunguka, nini mnafanya ghasia na kulia? Mtoto hajafa bali
Yeye akiwa kando ya bahari. 22Kisha mmoja wa amelala tu.” 40Wale watu wakamcheka kwa
viongozi wa sinagogi aliyeitwa Yairo, akafika pale, dharau.
naye alipomwona Yesu akapiga magoti miguuni Lakini Yeye akawatoa wote nje, akawachukua
pake, 23akamsihi akisema, “Binti yangu mdogo ni baba na mama wa yule mtoto pamoja na wale
mgonjwa mahututi. Tafadhali njoo uweke mikono wanafunzi aliokuwa nao. Wakaingia ndani mpaka
Yako juu yake ili apate kupona na kuishi.” 24Hivyo pale alipokuwa yule mtoto. 41 Akamshika mtoto
Yesu akaongozana naye. mkono akamwambia, ‘‘Talitha, Cumib.” (Maana
Umati mkubwa wa watu ukamfuata, watu yake, ‘‘Msichana ninakuambia amka!”) 42Mara
wakawa wanamsonga. 25Hapo palikuwa na yule msichana akasimama, akaanza kutembea.
mwanamke aliyekuwa amesumbuliwa na tatizo la Alikuwa na umri wa miaka kumi na miwili.
kutokwa damu kwa miaka kumi na miwili. Walipoona haya, wakastaajabu sana. 43 Yesu
26Mwanamke huyu alikuwa ameteseka sana kwa
akawaagiza kwa ukali wasimweleze mtu ye yote
mikono ya matabibu wengi na kutumia kila kitu jambo hili, naye akawaambia wampe yule
alichokuwa nacho lakini badala ya kupona hali msichana chakula.
yake ilizidi kuwa mbaya. 27Alikuwa amesikia
habari za Yesu naye akaja kwa nyuma yake b41 ‘Talitha Cumi’ ni lugha ya Kiaramu ambayo maana yake
kwenye umati wa watu, akaligusa vazi ni “Msichana amka!”
7
MARKO
kazi ndani Yake! ”.
Nabii Hana Heshima Kwao 15Wengine wakasema, ‘‘Yeye ni Eliya.”

6 Yesu akaondoka huko na kwenda mji wa kwao, Nao wengine wakasema, ‘‘Yeye ni nabii,
kama mmojawapo wa wale manabii wa zamani.”
akiwa amefuatana na wanafunzi Wake. 2Ilipofika 16Lakini Herode aliposikia habari hizi,
siku ya Sabato, akaanza kufundisha katika
sinagogi na wengi waliomsikia akasema, ‘‘Huyo ni Yohana Mbatizaji, niliyemkata
wakashangaa. kichwa, amefufuka!’’
Wakauliza, “Mtu huyu ameyapata wapi 17Kwa kuwa Herode alikuwa ameagiza
mambo haya yote?. Tazama ni hekima ya namna kwamba Yohana Mbatizaji akamatwe, afungwe na
gani hii aliyopewa? Tazama matendo ya miujiza kutiwa gerezani. Alifanya hivi kwa sababu ya
ayafanyayo kwa mikono Yake! 3Huyu si yule Herodia, mke wa Filipo ndugu yake, ambaye
seremala, mtoto wa Maria? Nao ndugu zake si alikuwa amemwoa. 18Yohana alikuwa
Yakobo, Yose, Yuda na Simoni? Dada zake wote amemwambia Herode, “Si halali wewe kumwoa
si tuko nao hapa petu?” Nao wakachukizwa sana mke wa ndugu yako.” 19Kwa hiyo Herodia alikuwa
kwa ajili Yake wakakataa kumwamini. amemwekea Yohana kinyongo akataka kumwua.
4Yesu akawaambia, “Nabii hakosi heshima
Lakini hakuweza, 20kwa sababu Herode
isipokuwa katika mji wake mwenyewe na alimwogopa Yohana akijua kwamba ni mtu
miongoni mwa jamaa na ndugu zake.” mwenye haki na mtakatifu, akawa anamlinda.
5Hakufanya miujiza yo yote huko isipokuwa Herode alifadhaika sana alipomsikia Yohana,
kuweka mikono Yake juu ya wagonjwa wachache lakini bado alipenda kumsikiliza.
na kuwaponya. 6Naye akashangazwa sana kwa 21Hatimaye Herodia alipata wasaa aliokuwa
jinsi wasivyokuwa na imani. akiutafuta. Mfalme Herode wakati wa Sikukuu
yake ya kuzaliwa alifanya karamu kubwa,
Yesu Awatuma Wale Kumi Na Wawili akawaalika maafisa wake wakuu, majemadari wa
Kisha Yesu akawa anakwenda huku na huko jeshi na watu mashuhuri wa Galilaya. 22Binti yake
kutoka kijiji kimoja hadi kingine akifundisha. Herodia alipoingia na kucheza, akamfurahisha
7Akawaita wale kumi na wawili, akawatuma wawili Herode pamoja na wageni wake walioalikwa
wawili na kuwapa mamlaka juu ya pepo wachafu chakulani.
wawatoe. Mfalme Herode akamwambia yule binti,
8Akawaagiza wasichukue cho chote kwa ajili “Niombe kitu cho chote utakacho, nami nitakupa.”
ya safari isipokuwa fimbo tu. Wasichukue mkate, 23Tena akamwahidi kwa kiapo akamwambia,
wala mkoba, wala fedha kwenye mikanda yao, “Cho chote utakachoomba nitakupa, hata kama ni
9bali wavae viatu, lakini wasivae nguo ya ziada. nusu ya ufalme wangu.”
10Akawaambia, “Mkiingia kwenye nyumba yo 24Yule binti akatoka nje akaenda kumwuliza
yote, kaeni humo hadi mtakapoondoka katika mji mama yake, “Niombe nini?”
huo. 11Kama mahali po pote hawatawakaribisha Mama yake akajibu, “Omba kichwa cha
wala kuwasikiliza, mtakapoondoka huko, Yohana Mbatizaji.”
kung’uteni mavumbi yaliyoko miguuni mwenu, ili 25Yule binti akarudi haraka kwa mfalme
kuwa ushuhuda dhidi yao.” akamwambia, “Nataka unipe sasa hivi kichwa cha
12Kwa hiyo wakatoka na kuhubiri kwamba Yohana Mbatizaji kwenye sinia.’’
inawapasa watu watubu, waache dhambi. 26Mfalme akasikitika sana, lakini kwa sababu
13Wakatoa pepo wachafu wengi, wakawapaka alikuwa ameapa mbele ya wageni wake hakutaka
wagonjwa wengi mafuta na kuwaponya. kumkatalia. 27Mara mfalme akatuma askari
mmojawapo wa walinzi wake kukileta kichwa cha
Yohana Mbatizaji Akatwa Kichwa Yohana. Akaenda na kumkata Yohana kichwa
14Mfalme Herode akasikia habari hizi, kwa humo gerezani, 28 akakileta kichwa chake kwenye
maana Jina la Yesu lilikuwa limejulikana kila sinia na kumpa yule msichana, naye yule
mahali. Watu wengine walikuwa wakisema, msichana akampa mama yake. 29Wanafunzi
‘‘Yohana Mbatizaji amefufuka kutoka kwa wafu wake walipopata habari hizi, wakaja kuuchukua
ndiyo maana uwezo wa kutenda miujiza unafanya mwili wake, wakauzika kaburini.
8
MARKO
Yesu Atembea Juu Ya Maji
Yesu Awalisha Watu 5,000 45Mara Yesu akawataka wanafunzi Wake
30Wale wanafunzi wa Yesu wakamkusanyikia waingie kwenye mashua watangulie kwenda
na kumpa taarifa ya mambo yote waliyokuwa Bethsaida, wakati Yeye anauaga ule umati wa
wamefanya na kufundisha. 31Basi kwa kuwa watu watu. 46 Baada ya kuwaaga wale watu, akaenda
wengi mno walikuwa wakija na kutoka, hata mlimani kuomba.
wakawa hawana nafasi ya kula, Yesu 47Ilipofika jioni, ile mashua ilikuwa imefika
akawaambia wanafunzi Wake, “Twendeni peke katikati ya bahari na Yesu alikuwa peke yake
yetu mahali pa faragha, mpate kupumzika.” katika nchi kavu. 48Akawaona wanafunzi Wake
32Hivyo wakaondoka kwa mashua peke yao wanahangaika na kupiga makasia kwa nguvu,
wakaenda mahali pa faragha pasipo na watu. kwa sababu upepo ulikuwa wa mbisho.Karibu na
33Lakini watu wengi waliowaona wakiondoka, mapambazuko, Yesu akawaendea wanafunzi
wakawatambua, nao wakawatangulia haraka kwa Wake, akitembea juu ya maji. Alikuwa karibu
miguu kutoka katika miji yote nao wakatangulia kuwapita, 49lakini walipomwona akitembea juu ya
kufika. 34Yesu alipofika nchi kavu na kuuona huo maji, wakadhani ni mzimu, wakapiga yowe, 50kwa
umati wa watu, aliwaonea huruma kwa maana sababu wote walipomwona waliogopa.
walikuwa kama kondoo wasiokuwa na mchungaji. Mara Yesu akasema nao, akawaambia,
Kwa hiyo akaanza kuwafundisha mambo mengi. “Jipeni moyo! Ni Mimi, msiogope!” 51Akapanda
35Mchana ulipokuwa umeendelea sana, kwenye mashua yao na ule upepo ukakoma!
wanafunzi Wake wakamwendea, wakamwambia, Wakashangaa kabisa. 52Kwa kuwa walikuwa
“Mahali hapa ni mbali na pasipo na watu, nazo hawajaelewa kuhusu ile mikate, mioyo yao ilikuwa
saa zimekwenda sana. 36Waage watu ili waweze migumu.
kwenda sehemu za mashambani na vijiji vya 53Walipokwisha kuvuka, wakafika Genezareti,
jirani, wakajinunulie chakula. wakatia nanga. 54Mara waliposhuka kutoka katika
37Lakini Yesu akawajibu, “Wapeni ninyi
mashua yao, watu wakamtambua Yesu,
chakula.’’ 55wakaenda katika vijiji vyote upesi, wakawabeba
Wakamwambia, “Je, twende tukanunue
wagonjwa kwenye mikeka ili kuwapeleka mahali
mikate ya dinari 200a ili tuwape watu hawa wale?’’
38Akawauliza, “Kuna mikate mingapi? po pote waliposikia kuwa Yesu yupo. 56Kila
mahali Yesu alipokwenda, iwe vijijini, mijini na
Nendeni mkaangalie.’’ mashambani, watu waliwaweka wagonjwa wao
Walipokwisha kuona wakarudi, masokoni, wakamwomba awaruhusu hao
wakamwambia, “Kuna mikate mitano na samaki wagonjwa waguse japo upindo wa vazi Lake. Nao
wawili.’’ wote waliomgusa, waliponywa.
39Kisha Yesu akawaamuru wawaketishe watu
makundi makundi kwenye majani, 40 nao wakaketi Kilicho Safi Na Kilicho Najisi
kwenye makundi ya watu mia mia na wengine Mafarisayo na baadhi ya walimu wa sheria
hamsini hamsini. 41Yesu akaichukua ile mikate 7 waliokuwa wametoka Yerusalemu
mitano na wale samaki wawili akatazama 2
wakakusanyika mbele ya Yesu. Wakawaona
mbinguni, akashukuru, kisha akaimega ile mikate, baadhi ya wanafunzi Wake wakila chakula kwa
akawapa wanafunzi Wake ili wawagawie wale mikono iliyo najisi, yaani, bila kunawa kama
watu wote. Pia akawagawia wote wale samaki ilivyotakiwa na sheria ya dini ya Wayahudi. 3Kwa
wawili. 42Watu wote wakala, wakashiba. kuwa Mafarisayo na Wayahudi wote hawali
43Wanafunzi Wake wakakusanya vipande chakula pasipo kunawa kwa kufuata desturi za
vilivyosalia vya mikate na samaki, wakajaza wazee wao. 4Wanapotoka sokoni hawawezi kula
vikapu kumi na viwili. 44Idadi ya wanaume pasipo kunawa. Pia kuna desturi nyingine nyingi
waliokula walikuwa 5,000. wanazofuata kama vile jinsi ya kuosha vikombe,
vyungu na vyombo vya shaba.

a37 Dinari 200 – dinari moja ilikuwa sawa na mshahara wa kibarua


kwa siku.Hivyo dinari 200 ni sawa na mshahara wa siku 200.
9
MARKO
5Kwa hiyo wale Mafarisayo na walimu wa
sheria wakamwuliza Yesu, “Mbona wanafunzi Imani Ya Mwanamke Msirofoinike
wako hawafuati desturi za wazee wetu na badala 24Ndipo Yesu akaondoka hapo akaenda
yake wanakula kwa mikono najisi?’’ sehemu za Tiro. Akaingia katika nyumba moja,
6Yesu akawajibu, “Nabii Isaya alisema ukweli naye hakutaka mtu ye yote ajue kwamba yuko
alipotabiri juu yenu, ninyi wanafiki, kama humo. Lakini hakuweza kujificha. 25Lakini
ilivyoandikwa: mwanamke mmoja ambaye binti yake mdogo
alikuwa na pepo mchafu, akaja na kumpigia
“ ‘Watu hawa wananiheshimu kwa midomo magoti miguuni pake. 26Basi huyo mwanamke
yao, hakuwa Myahudi, bali wa asili ya Kisirofoinikea.
lakini mioyoni mwao wako mbali nami. Akamsihi Yesu amtoe binti yake huyo pepo
7Huniabudu bure, mchafu.
wakifundisha mapokeo ya wanadamu.’ ’’ 27Yesu akamwambia, “Waache watoto
washibe kwanza, kwa maana si vema kuchukua
8Ninyi mmeziacha amri za Mungu na kushika chakula cha watoto na kuwatupia mbwa.’’
desturi za watu.’’ 28Lakini yule mwanamke akamjibu, “Bwana,
9Naye akawaambia, “Ninyi mnayo njia nzuri ya hata mbwa walio chini ya meza hula makombo ya
kukataa amri za Mungu ili mpate kuzishika desturi chakula cha watoto.’’
zenu! 10Kwa mfano, Mose alisema, ‘Waheshimu 29Ndipo Yesu akamjibu, “Kwa sababu ya jibu
baba yako na mama yako’ na ‘Ye yote lako, endenda zako nyumbani, yule pepo machafu
amtukanaye baba yake au mama yake auawe.’ amemtoka binti yako.”
11Lakini ninyi mwasema mtu akimwambia baba 30Akaenda zake nyumbani akamkuta binti
yake au mama yake kuwa, “Msaada ambao yake amelala kitandani, yule pepo mchafu akiwa
ningekupa ni Korbani,” yaani, umetengwa kama amemtoka.
sadaka kwa Mungu, 12basi hawajibiki tena
kumsaidia baba yake au mama yake. 13Kwa njia Yesu Amponya Mtu Aliyekuwa Kiziwi Na Bubu
hiyo ninyi mnabatilisha neno la Mungu kwa 31Kisha Yesu akaondoka sehemu za Tiro,
taratibu zenu mlizojiwekea. Nanyi mnafanya akapita katikati ya Sidoni, hadi Bahari ya Galilaya
mambo mengi ya jinsi hiyo.” na kuingia eneo la Dekapoli. 32 Huko, watu
14Yesu akaita tena ule umati wa watu wakamletea Yesu mtu mmoja kiziwi, ambaye pia
akawaambia, “Nisikilizeni, kila mmoja wenu na alikuwa na kigugumizi, wakamwomba awekee
mwelewe jambo hili. 15Hakuna kitu mkono Wake juu ya huyo mtu na amponye.
kinachomwingia mtu kimtiacho unajisi, lakini kile 33Baada ya Yesu akampeleka yule kiziwi
kimtokacho ndicho kimtiacho unajisi. 16Kama mtu kando mbali na watu, Yesu akatia vidole vyake
ye yote ana masikio ya kusikia na asikie.” masikioni mwa yule mtu. Kisha akatema mate na
17Akiisha kuuacha ule umati wa watu na kuugusa ulimi wa yule mtu. 34Ndipo Yesu
kuingia ndani, wanafunzi Wake wakamwuliza akatazama mbinguni, akavuta hewa ndani kwa
maana ya mfano ule. 18Akawajibu, “Hata nanyi nguvu akamwambia, “Efatha!” yaani, “Funguka!”
35Mara masikio yake yakafunguka na ulimi wake
hamwelewi? Hamtambui kwamba kitu
19
kimwingiacho mtu hakimtii unajisi? Mtu akila kitu ukaachiwa akaanza kuongea sawasawa.
hakiingii moyoni mwake bali tumboni na baadaye 36Yesu akawaamuru wasimwambie mtu ye
hutolewa nje ya mwili wake. (Kwa kusema hivi, yote habari hizi. Lakini kadiri alivyowazuia, ndivyo
Yesu alivihalalisha vyakula vyote kuwa ni safi.”) walivyozidi kutangaza kwa bidii. 37Walistaajabu
20Akaendelea kusema, “Kile kimtokacho mtu
mno. Wakasema, “Amefanya mambo yote vizuri
ndicho kimtiacho unajisi. 21Kwa maana kutoka mno! Amewawezesha viziwi wasikie na bubu
ndani ya moyo wa mtu hutoka: Mawazo mabaya, waseme!”
uasherati, 22wizi, uuaji, uzinzi, tamaa mbaya,
uovu, udanganyifu, ufisadi, wivu,matukano, kiburi
na upumbavu. 23Maovu haya yote hutoka ndani ya a26 “Asili ya Kisirofoinike” ni watu waliokuwa na asili ya Kifoinike
mtu nayo ndiyo yamtiayo mtu unajisi.’’ lakini kutoka Syria ili kuwatofautisha na Wafoinike wa Libya.
10
MARKO
Yesu Alisha Watu 4000 vingapi vilivyojaa vya masazo?’’
8 Katika siku hizo, umati mkubwa wa watu
ulikusanyika tena. Kwa kuwa walikuwa hawana
Wakamjibu, “Kumi na viwili.’’
20‘‘Je ? nilipomega ile mikate saba kuwalisha
chakula, Yesu akawaita wanafunzi wake watu 4,000, mlikusanya vikapu vingapi vilivyojaa
akawaambia, 2‘‘Ninauhurumia huu umati wa watu, vya masazo?’’
kwa sababu sasa wamekuwa nami kwa muda wa Wakamjibu, “Saba.’’
siku tatu na hawana chakula. 3 Nikiwaaga waende 21Ndipo akawaambia, Akawauliza, ‘‘Je, bado
nyumbani bila kula, watazimia njiani kwa sababu
baadhi yao wametoka mbali. .’’ tu hamwelewi?’’
4Wanafunzi wake wakamjibu, ‘‘Lakini hapa
Yesu Amponya Kipofu Huko Bethsaida
nyikani tutapata wapi mikate ya kutosha
kuwalisha?’’ 22Wakafika Bethsaida na baadhi ya watu
5Yesu akawauliza, “Mna mikate wakamleta mtu mmoja kipofu mmoja wakamsihi
mingapi?” Wakajibu, “Tuna mikate saba.” Yesu amguse. 23Yesu akamshika mkono huyo
6Akawaambia watu waketi chini. Akiisha kipofu akampeleka nje ya kijiji. Baada ya
kuichukua mikate saba na kushukuru, akaimega kuyatemea mate macho ya yule kipofu na
na kuwapa wanafunzi wake ili wawagawie watu. kumwekea mikono, Yesu akamwuliza, ‘‘Unaona
Wanafunzi wake wakafanya hivyo. 7Walikuwa pia cho chote?’’
24 Yule kipofu akaangalia, akasema, ‘‘Ninaona
na visamaki vichache, Yesu akavibariki,
akawaamuru wanafunzi wake wawagawie watu. watu, wanaonekana kama miti inayotembea.’’
8Wale watu walikula na kutosheka, baadaye 25 Yesu akamwekea tena mikono machoni.
wanafunzi wakakusanya vipande vilivyosalia Kisha macho yake yakafunguka, kuona kwake
wakajaza vikapu saba. 9Watu waliokula walikuwa kukarejea kuona kila kitu kwa udhahiri. 26Yesu
wapata 4000. Akiisha kuwaaga, 10aliingia kwenye akamwaga aende nyumbani kwake, akimwambia,
mashua pamoja na wanafunzi wake akaenda ‘‘Hata kijijini usiingie. ”
sehemu za Dalmanutha.
11 Mafarisayo wakaja, wakaanza kumhoji Petro Amkiri Yesu Kuwa Ndiye Kristo
27Yesu na wanafunzi wake wakaondoka
Yesu. Ili kumtega, wakamwomba awaonyeshe
ishara kutoka mbinguni. 12Akahuzunika moyoni, kwenda katika vijiji vya Kaisaria Filipi. Walipokuwa
akawaambia, “Kwa nini kizazi hiki kinataka njiani Yesu akawauliza, “Watu husema mimi ni
ishara? Amin, nawaambieni, hakitapewa ishara yo nani?’’
28Wakamjibu, ‘‘Baadhi husema wewe ni
yote.’’ 13Kisha akawaacha, akarudi kwenye
mashua, akavuka hadi ng'ambo . Yohana Mbatizaji, wengine husema ni Eliya na
wengine husema wewe ni mmojawapo wa
Chachu Ya Mafarisayo Na Ya Herode manabii.’’
14Wanafunzi walikuwa wamesahau kuleta 29Akawauliza, ‘‘Je, ninyi, mnasema mimi ni
mikate ya kutosha. Walikuwa na mkate mmoja tu nani?’’
kwenye mashua. 15Yesu akawaonya: ‘‘Jihadharini Petro akajibu, “Wewe ndiye Kristo.’’
30Akawaonya wasimwambie mtu ye yote
na chachu ya Mafarisayo na ya Herode.’’
16Wakaanza kujadiliana wao kwa wao habari zake.
wakasema, ‘‘Anasema hivi kwa kuwa hatukuleta
mikate.’’ Yesu Atabiri Juu Ya Kifo Chake
17Yesu 31 Ndipo akaanza kuwafundisha wanafunzi
akifahamu majadiliano yao,
akawauliza: ‘‘Mbona mnazungumzia kuhusu wake kuwa Mwana wa Adamu atapata mateso
kutokuwa na mikate? Bado hamtambui wala mengi na kukataliwa na wazee, viongozi wa
kuelewa? Je, mbona mioyo yenu ni migumu kiasi makuhani, na walimu wa sheria na kwamba
hicho? 18Mna macho lakini mnashindwa kuona, atauawa na baada ya siku tatu atafufuka.
32Aliyasema haya wazi wazi, ndipo Petro
mna masikio lakini mnashindwa kusikia? Je,
hamkumbuki? 19Nilipoimega ilemikate mitano akamchukua kando akaanza kumkemea.
kuwalisha watu elfu tano, mlikusanya vikapu
11
MARKO
33Lakini Yesu alipogeuka na kuwaangalia yake nini.
wanafunzi wake, akamkemea Petro, akasema, 11Wakamwuliza, “Kwa nini walimu wa sheria
“Rudi nyuma yangu Shetani! Wewe huwazi yaliyo husema kwamba ni lazima Eliya aje kwanza?’’
ya Mungu bali ya wanadamu.’’ 12Yesu akawajibu, “Ni kweli, Eliya yuaja
34Ndipo akauita ule umati wa watu pamoja na kwanza, ili kurudisha upya mambo yote. Mbona
wanafunzi wake, akasema, “Mtu ye yote akitaka basi imeandikwa kwamba Mwana wa Adamu ni
kunifuata, ni lazima ajikane mwenyewe, auchukue lazima ateseke sana na kudharauliwa? 13Lakini
msalaba wake, anifuate. 35Kwa maana mtu yeyote ninawaambia, Eliya amekwisha kuja nao
anayetaka kuiokoa nafsi ataipoteza, lakini yeye wakamtendea walivyopenda, kama ilivyoandikwa
ayapotezaye maisha yake kwa ajili yangu na kwa kumhusu yeye.’’
ajili ya Injili ataiokoa. 36Mtu atafaidiwa nini kama
akiupata ulimwengu wote lakini akaipoteza nafsi Kuponywa Kwa Mvulana Mwenye Pepo Mchafu
yake? 37Au mtu atatoa nini apate tena maisha
14Walipowafikia wale wanafunzi wengine,
yake? 38Mtu ye yote anayenionea aibu mimi na
maneno yangu katika kizazi hiki cha uzinzi na cha wakawakuta wamezungukwa na umati mkubwa
dhambi, Mwana wa Adamu, atamwonea aibu wakati wa watu na baadhi ya walimu wa sheria
nitakapokuja katika utukufu wa Baba yake pamoja wakibishana nao. 15Mara wale watu walipomwona
na malaika watakatifu.’’ Yesu, wakastaajabu sana, wakamkimbilia, ili
kumsalimu.
9 Yesu akaendelea kuwaambia, ‘‘Amin, amin 16Akawauliza wanafunzi Wake, “Mnabishana
nawaambia, kuna watu waliosimama hapa ambao nao kuhusu nini?’’
hawataonja mauti kabla ya kuuona Ufalme
17Mtu mmoja miongoni mwa ule umati wa
wa Mungu ukija katika nguvu.’’
watu akajibu, “Mwalimu, nilimleta kwako
Yesu Ageuka Sura mwanangu ambaye ana pepo mchafu ambaye
2Baada ya siku sita, Yesu akawachukua ana mfanya asiweze kuongea. 18 Kila mara huyo
petro, Yakobo na Yohana akawapeleka juu ya pepo mchafu ampagaapo mwanangu,
mlima mrefu, mahali walipokuwa faraghani. Huko, humwangusha chini na kumfanya atokwe povu
Yesu akageuka sura mbele yao. 3Mavazi Yake mdomoni na kusaga meno, kisha mwili wake
yakawa na weupe wa kuzima macho, meupe hukauka. Niliwaomba wanafunzi wako wamtoe
kuliko ambavyo mtu ye yote duniani angaliweza huyo pepo mchafu, lakini hawakuweza.’’
19Yesu akawaambia, “Enyi kizazi kisicho na
kuyang’arisha. 4Mose na Eliya wakawatokea,
wakawa wanazungumza na Yesu. imani! Nitakuwa pamoja nanyi mpaka lini?
5Petro akamwambia Yesu, ‘‘Mwalimu, ni vizuri Nitachukuliana nanyi mpaka lini? Mleteni huyo
sisi tukae hapa. Turuhusu tujenge vibanda vitatu : mvulana kwangu.”
Kimoja chako, kimoja cha Mose na kingine cha 20Nao wakamleta yule mvulana. Yule pepo

Eliya.” 6Petro hakujua aseme nini kwa maana mchafu alipomwona Yesu, mara akamtia yule
yeye na wenzake walikuwa wameogopa sana. mvulana kifafa, akaanguka, akagaagaa chini huku
7 Ndipo pakatokea wingu, likawafunika, nayo akitokwa na povu kinywani.
21Yesu akamwuliza baba yake, “Mwanao
sauti kutoka katika lile wingu ikasema, “Huyu ni
Mwanangu, nimpendaye, msikilizeni Yeye.’’ amekuwa akitokewa na hali hii tangu lini?’’
8Mara walipotazama huku na huku, Akamjibu, “Tangu utoto wake. 22Mara kwa
hawakuona tena mtu mwingine ye yote pamoja mara huyo pepo mchafu amekuwa akimwangusha
nao isipokuwa Yesu. kwenye moto au kwenye maji ili kumwangamiza.
9Walipokuwa wakishuka kutoka mlimani, Lakini kama unaweza kufanya jambo lo lote,
Yesu akawakataza wasimwambie mtu ye yote tafadhali tuhurumie utusaidie.’’
23Yesu akamwambia, “Kama ukiweza kuamini,
mambo waliyoona, mpaka Mwana wa Adamu
atakapofufuka kutoka kwa wafu. 10Wakalihifadhi yote yawezekana kwake yeye aaminiye.’’ 24Mara
jambo hilo wao wenyewe, lakini wakawa baba yake yule mvulana akapiga kelele akisema,
wanajiuliza ‘‘huku kufufuka kwa wafu’’ maana “Ninaamini. Nisaidie kutokuamini kwangu!’’ 25Yesu
alipoona kwamba umati wa watu
12
MARKO
unakusanyika pamoja mbio, akamkemea yule yote atendaye miujiza kwa Jina Langu ambaye
pepo mchafu, akimwambia, ‘‘Wewe pepo bubu na baada ya kitambo kidogo aweza kunena lo lote
kiziwi, nakuamuru umtoke wala usimwingie tena!” baya dhidi Yangu. 40Kwa maana ye yote asiye
26Yule pepo mchafu akiisha kupiga kelele,
kinyume chetu yuko upande wetu. 41Amin, amin
akamtia kifafa kwa nguvu, akamtoka. Yule nawaambia, ye yote awapaye ninyi kikombe cha
mvulana alikuwa kama maiti, hivyo watu wengi maji kwa Jina Langu kwa sababu ni mali ya Kristo,
wakasema, ‘‘Amekufa.’’ 27Lakini Yesu akamshika hakika hataikosa thawabu yake.”
mkono akamwinua, naye akasimama.
28Baada ya Yesu kuingia ndani ya nyumba, Kusababisha Kutenda dhambi
wanafunzi Wake wakamwuliza wakiwa peke yao, 42“Kama mtu ye yote akimsababisha
‘‘Mbona sisi hatukuweza kumtoa huyo pepo mmojawapo wa wadogo hawa wanaoniamini
mchafu?’’ kutenda dhambi, ingekuwa afadhali mtu huyo
29Yesu akawajibu, ‘‘Hali hii haiwezi kutoka afungiwe shingoni mwake jiwe kubwa la kusagia
isipokuwa kwa kuomba na kufunga.’’ na kutoswa baharini. 43Kama mkono wako
ukikusababisha kutenda dhambi, ukate. Ni
Yesu Atabiri Tena Kifo Chake Na Ufufuo afadhali kuingia katika uzima ukiwa na mkono
30Wakaondoka huko, wakapitia Galilaya. mmoja kuliko kuwa na mikono miwili ukaingia
Yesu hakutaka mtu ye yote afahamu mahali jehanam mahali ambako moto hauzimiki.
walipo 31kwa maana alikuwa anawafundisha [44Mahali ambako funza wake hawafi wala moto
wanafunzi Wake. Akawaambia, “Mwana wa wake hauzimiki.] 45Kama mguu wako
Adamu atasalitiwa na kutiwa mikononi mwa watu ukikusababisha kutenda dhambi, ukate. Ni
nao watamwua, naye siku tatu baada ya kuuawa afadhali kuingia katika uzima ukiwa kilema kuliko
atafufuka.’’ 32Lakini wao hawakuelewa kile kuwa na miguu miwili ukaingia jehanam mahali
alichokuwa akisema nao waliogopa kumwuliza. ambako moto hauzimiki. [46Mahali ambako funza
Mabishano Kuhusu Aliye Mkuu Zaidi Wote wake hawafi wala moto hauzimiki.] 47Nalo jicho
33Basi wakafika Kapernaumu na baada ya lako litakusababisha kutenda dhambi, ling’oe. Ni
afadhali kuwa chongo ukaingia katika Ufalme wa
kuingia nyumbani akawauliza, “Mlikuwa Mungu kuliko kuwa na macho mawili na ukatupwa
mnabishana nini kule njiani?’’ 34Lakini jehanam. 48Mahali ambako
hawakumjibu, kwa sababu njiani walikuwa
wakibishana kuhusu nani miongoni mwa “ ‘funza wake hawafi, wala
aliyekuwa mkuu zaidi ya wote. moto hauzimiki.’
35Akaketi, akawaita wote kumi na wawili
49Kila mmoja atatiwa chumvi kwa moto.
akawaambia: ‘Kama mtu ye yote akitaka kuwa wa
kwanza hana budi kuwa wa mwisho na mtumishi 50“Chumvi ni nzuri, lakini ikipoteza ladha yake
wa wote.’ utaifanyaje ili iweze kukolea tena? Mwe na chumvi
36Kisha akamchukua mtoto mdogo ndani yenu, mkaishi kwa amani, kila mmoja na
akamsimamisha katikati yao, akamkumbatia, mwenzake.”
akawaambia, 37“Mtu ye yote amkaribishaye
mmoja wa hawa watoto wadogo, kwa Jina Langu Mafundisho Kuhusu Talaka
anikaribisha Mimi. Naye ananikaribishaye Mimi, 10 Yesu akaondoka huko akavuka Mto wa
Yordani, akaenda sehemu ya Uyahudi.
amkaribisha Baba yangu aliyenituma.”
Umati mkubwa wa watu ukamjia tena na kama
Ye Yote Asiye Kinyume Nasi Yuko Upande ilivyokuwa desturi Yake akawafundisha.
Wetu 2Baadhi ya Mafarisayo wakaja ili kumjaribu
38Yohana akamwambia, “Mwalimu, kwa kumwuliza, “Je, ni halali mtu kumwacha mke
tumemwona mtu akitoa pepo wachafu kwa Jina wake?”
3Yesu akawajibu, “Je, Mose aliwaamuru nini?”
Lako nasi tukamkataza kwa sababu yeye si
mmoja wetu.’’ 4Wakajibu, “Mose aliruhusu kwamba mume
39Yesu akasema, “Msimkataze, hakuna ye anaweza kumwandikia mkewe hati ya talaka na
13
MARKO
kumwacha.” mali nyingi.
5Yesu akawaambia, “Mose aliwaandikia 23Yesu akatazama pande zote, akawaambia
sheria hiyo kwa sababu ya ugumu wa mioyo yenu. wanafunzi Wake, “Itakuwa vigumu sana kwa
6Lakini tangu mwanzo wa uumbaji, ‘Mungu wenye mali kuingia kwenye Ufalme wa Mungu!’’
24Wanafunzi Wake wakashangazwa sana na
aliwaumba mume na mke. 7Kwa sababu hii
mwanaume atamwacha baba yake na mama yake maneno hayo. Lakini Yesu akawaambia tena,
na kuambatana na mkewe na hao wawili, “Wanangu, tazama jinsi ilivyo vigumu kwa wale
watakuwa mwili mmoja.’ 8Kwa hiyo hawatakuwa wanaotumainia mali kuingia katika Ufalme wa
wawili tena bali mwili mmoja. 9Basi, Mungu. 25Ni rahisi zaidi kwa ngamia kupita
alichokiunganisha Mungu, mwanadamu kwenye tundu la sindano kuliko tajiria kuingia
asikitenganishe” katika Ufalme wa Mungu.’’
10Walipokuwa tena ndani ya nyumba, 26Wanafunzi Wake wakashangaa mno.
wanafunzi Wake wakamwuliza kuhusu jambo hili. Wakaulizana wao kwa wao, “Ni nani basi awezaye
11Akawajibu, “Mtu ye yote anayemwacha mkewe kuokolewa?’’
27Yesu akawatazama, akawaambia, “Kwa
na kuoa mke mwingine, azini naye. 12Naye
mwanamke anayemwacha mumewe na kuolewa mwanadamu hili haliwezekani, lakini kwa Mungu
na mume mwingine, anazini pia.” sivyo. Yote kwa Mungu yanawezekana.’’
28Petro akaanza kumwambia, “Tazama,
Yesu Anawabariki Watoto Wadogo tumeacha kila kitu na kukufuata Wewe!”
13Watu walikuwa wakimletea Yesu watoto 29Yesu akasema, “Amin, nawaambia, hakuna
wadogo ili awaguse lakini wanafunzi Wake mtu ye yote aliyeacha nyumba, ndugu waume,au
wakawakemea. 14Yesu alipoona yaliyokuwa ndugu wake, mama, baba, watoto au mashamba
yakitukia akachukizwa, akawaambia wanafunzi kwa ajili Yangu na kwa ajili ya Injili, 30ambaye
Wake, “Waacheni watoto wadogo waje kwangu, hatalipwa mara mia katika ulimwengu huu,
wala msiwazuie, kwa maana Ufalme wa Mungu ni nyumba, ndugu waume, ndugu wake, mama,
wa watu kama hawa. 15 Amin, amin nawaambia, baba, watoto, mashamba pamoja na mateso kisha
mtu ye yote asiyeukubali Ufalme wa Mungu kama uzima wa milele katika ulimwengu ujao. 31Lakini
mtoto mdogo, hatauingia kamwe.” 16Akawachukua wengi walio wa kwanza watakuwa wa mwisho na
watoto mikononi mwake, akawakumbatia, akaweka wa mwisho watakuwa wa kwanza.’’
mikono Yake juu yao, akawabariki.”
Yesu Atabiri Mara Ya Tatu Kufa Na Kufufuka
Kijana Tajiri Kwake
17Yesu alipokuwa anaondoka, mtu mmoja 32Walikuwa njiani wakipanda kwenda
akamkimbilia, akapiga magoti mbele Yake, Yerusalemu na Yesu alikuwa ametangulia.
akamwuliza, “Mwalimu mwema, nifanye nini ili Wanafunzi Wake walishangaa, nao watu
niurithi uzima wa milele?’’ waliowafuata walijawa na hofu. Yesu
18Yesu akamwambia, “Mbona unaniita akawachukua tena wale wanafunzi Wake kumi na
mwema? Hakuna aliye mwema isipokuwa Mungu wawili kando na kuwaambia yatakayompata.
peke Yake. 19Unazijua amri: ‘Usiue, Usizini, 33Akasema, “Tunapanda kwenda Yerusalemu, na
Usiibe, Usishuhudie uongo, usidanganye, Mwana wa Adamu atasalitiwa kwa viongozi wa
waheshimu baba yako na mama yako.’ ’’ makuhani na walimu wa sheria. Wao
20Akamjibu, “Mwalimu, amri hizi zote watamhukumu kifo na kumtia mikononi mwa kwa
nimezishika tangu nikiwa mtoto.’’ watu Mataifa, 34ambao watamdhihaki,
21Yesu akamtazama na kumpenda, watamtemea mate, watampiga na kumwua. Siku
akamwambia, “Umepungukiwa na kitu kimoja, tatu baada ya kifo Chake atafufuka.”
nenda ukauze kila kitu ulicho nacho uwape
maskini hizo fedha, nawe utakuwa na hazina Ombi La Yakobo Na Yohana
mbinguni. Kisha njoo, unifuate.”
22Yule mtu aliposikia hayo, akasikitika sana,
akaondoka kwa huzuni kwa sababu alikuwa na a24Tajiri hapa ina maana wale wanaotumainia mali
14
MARKO
35Kisha 51Yesu akamwuliza, “Unataka nikufanyie
Yakobo na Yohana, wana wa
Zebedayo, wakaja mbele alikokuwa na nini?”
kumwambia, “Mwalimu, tunataka utufanyie lo lote Yule kipofu akajibu, “Mwalimu, nataka kuona.”
tutakalokuomba.” 52Yesu akamwambia, “Nenda zako, imani yako
36Naye akawaambia, “Je, mwataka imekuponya.” Mara akapata kuona,
niwafanyie jambo gani?” akamfuata Yesu njiani.
37Wakamwambia, “Tupe kukaa mmoja
upande Wako wa kuume na mwingine upande Yesu Aingia Yerusalemu Kwa Shangwe
wako wa kushoto katika utukufu Wako.”
38Lakini Yesu akawaambia, “Hamjui
11 Walipokaribia Yerusalemu, wakafika
Bethfage na Bethania katika Mlima wa Mizeituni,
mnaloliomba. Je, mnaweza kukinywea kikombe Yesu akawatuma wawili wa wanafunzi Wake,
ninyweacho Mimi, au kubatizwa ubatizo 2akiwaambia, “Nendeni kwenye kijiji kilichoko
nibatizwao Mimi?” mbele yenu na mara mwingiapo kijijini, mtakuta
39Wakajibu, “Tunaweza.” mwana punda amefungwa, ambaye hajapandwa
Kisha Yesu akawaambia, “Kikombe na mtu ye yote. Mfungueni, mkamlete hapa.
3Kama mtu ye yote akiwauliza, ‘Mbona
nikinyweacho mtakinywea na ubatizo nibatizwao mnamfungua?’ Mwambieni, ‘Bwana anamhitaji
mtabatizwa, 40lakini kuketi mkono wangu wa na atamrudisha hapa baada ya muda
kuume au wa kushoto si juu Yangu mimi kuwapa. mfupi.’ ”
Nafasi hizi ni kwa ajili ya wale walioandaliwa.” 4Wakaenda, wakamkuta mwana punda
41Wale wanafunzi wengine kumi waliposikia amefungwa kando ya barabara, karibu na mlango
hayo wakaanza kuwakasirikia Yakobo na Yohana. wa nyumba. 5Walipokuwa wanamfungua, watu
42Yesu akawaita wanafunzi Wake pamoja waliokuwa wamesimama karibu wakawauliza,
akawaambia, “Mnafahamu kuwa watawala wa “Mna maana gani mnapomfungua huyo mwana
watu Mataifa huwatawala watu kwa nguvu, nao punda?” 6Wakawajibu kama vile Yesu alivyokuwa
wenye vyeo huwaonyesha mamlaka yao. 43Lakini amewaagiza, nao wale watu wakawaruhusu.
sivyo kwenu. Badala yake ye yete anayetaka 7Kisha wakamleta huyo mwana punda kwa Yesu
kuwa mkuu miongoni mwenu hana budi kuwa na kutandika mavazi yao juu yake, naye
mtumishi wenu 44na ye yote anayetaka kuwa wa akampanda. 8Watu wengi wakatandaza mavazi
kwanza, hana budi kuwa mtumwa wa wote. yao barabarani na wengine wakatandaza matawi
45Kwa kuwa hata Mwana wa Adamu hakuja
waliyokuwa wamekata mashambani. 9Kisha wale
kutumikiwa, bali kutumika na kuutoa uhai Wake waliokuwa wametangulia mbele na wale
kuwa ukombozi kwa ajili ya wengi.” waliokuwa wakifuata nyuma wakapaza sauti,
wakisema,
Yesu Amponya Kipofu Bartimayo
46Kisha wakafika Yeriko. Wakati Yesu na “Hosana!
wanafunzi Wake alipokuwa akiondoka mjini
pamoja na umati mkubwa wa watu, kipofu mmoja, Amebarikiwa Yeye ajaye kwa Jina la Bwana!
jina lake Bartimayo, mwana wa Timayo, alikuwa
ameketi kando ya njia akiomba msaada. 10Umebarikiwa Ufalme unaokuja wa
47Aliposikia kuwa ni Yesu wa Nazareti aliyekuwa
baba yetu Daudi!
anapita, akaanza kupaza sauti akisema, “Yesu,
Mwana wa Daudi, unihurumie!” Hosana kwake Yeye Aliye Juu!”
48Watu wengi wakamkemea, wakamwambia
akae kimya, lakini yeye akazidi kupaza sauti 11Yesu akaingia Yerusalemu na kwenda
akisema, “Mwana wa Daudi, unihurumie!” hekaluni. Akaangalia kila kitu kilichokuwemo,
49Yesu akasimama na kusema, “Mwiteni.”
lakini kwa kuwa ilishakuwa jioni, akaenda Zake
Hivyo wakamwita yule mtu kipofu Bethania pamoja na wale kumi na wawili.
wakamwambia, “Jipe moyo! Inuka, anakuita.”
50Akiwa analivua lile joho lake, alisimama na Yesu Alaani Mtini Usiozaa
kumwendea Yesu.
15
MARKO
12Kesho yake walipokuwa wakitoka Bethania, msiposamehe, wala Baba yenu aliye mbinguni
Yesu alikuwa na njaa. 13 Alipouona mtini kwa hatawasamehe ninyi makosa yenu.’’
mbali, akaenda ili aone kama ulikuwa na
matunda. Alipoufikia, akakuta una majani tu, kwa Wauliza Kuhusu Mamlaka Ya Yesu.
27Wakafika tena Yerusalemu, wakati Yesu
kuwa hayakuwa majira ya tini. 14Yesu akauambia
ule mti, ‘‘Tangu leo mtu ye yote na asile matunda akitembea hekaluni, viongozi wa makuhani,
kutoka kwako tena.’’ Wanafunzi Wake walimsikia walimu wa sheria pamoja na wazee wakamjia.
akisema hayo. 28Wakamwuliza, “Unafanya mambo haya kwa
mamlaka gani? Naye ni nani aliyekupa mamlaka
Yesu Atakasa Hekaluni ya kufanya hayo?”
15Walipofika Yerusalemu, Yesu akaingia 29Yesu akawajibu, ‘‘Nitawauliza swali mmoja.
hekaluni akaanza kuwafukuza wale waliokuwa Nijibuni, nami pia nitawaeleza ni kwa mamlaka gani
wananunua na kuuza humo ndani. Akapindua ninafanya mambo haya. 30 Niambieni, ubatizo wa
meza za wale waliokuwa wakibadilisha fedha na Yohana ulitoka mbinguni au kwa wanadamu? ”
viti vya wale waliokuwa wakiuza njiwa, 16Wala 31Wakasemezana wao kwa wao, wakisema, ‘‘Kama
hakumruhusu mtu ye yote kuchukua bidhaa tukisema, ‘ulitoka mbinguni,’ atatuuliza, ‘Mbona
kupitia ukumbi wa hekalu. 17Naye alipokuwa hamkumwamini?’ 32Lakini tukisema, ‘ulitoka kwa
akiwafundisha, akasema, “Je, haikuandikwa wanadamu,’ ’’ waliwaogopa watu kwa sababu kila
kuwa: mtu aliamini kwamba Yohana
Mbatizaji alikuwa kweli nabii.
“ ‘Nyumba Yangu itaitwa nyumba ya sala kwa 33Kwa hiyo wakamjibu Yesu, “Hatujui.’’
mataifa yote?’ Naye Yesu akawaambia, ”Wala Mimi pia
sitawaambia ni kwa mamlaka gani ninafanya
Lakini ninyi mmeifanya kuwa ‘pango la mambo haya. ”
wanyang’anyi.’ ”
18Viongozi wa makuhani na walimu wa sheria Mfano Wa Wapangaji Waovu
wakapata habari hizi, nao wakaanza kutafuta njia
ya kumwua, kwa kuwa walikuwa wakimwogopa, 12 Yesu akaanza kusema nao kwa mifano,
kwa sababu umati wote wa watu walikuwa akawaambia: ‘‘Mtu mmoja alipanda shamba la
mizabibu. Akajenga ukuta kulizunguka, akachimba
wanashangazwa mafundisho Yake. shimo ndani yake kwa ajili ya shinikizo la
19Ilipofika jioni, Yesu na wanafunzi Wake kusindikia divai, akajenga mnara wa ulinzi.
wakatoka nje ya mji. Akalikodisha shamba hilo kwa wakulima, kisha
akasafiri kwenda nchi nyingine. 2 Wakati wa
Mtini Ulionyauka mavuno ulipofika, mwenye shamba akamtuma
20Asubuhi yake, walipokuwa wakipita, mtumishi wake kwa hao wakulima ili kuchukua
sehemu yake ya mavuno kutoka kwa hao
wakauona ule mtini umenyauka kutoka juu hadi
wapangaji. 3Lakini wale wakulima walimkamata
kwenye mizizi yake. 21Petro akakumbuka na yule mtumishi, wakampiga, wakamfukuza mikono
kumwambia Yesu, “Mwalimu, tazama! Ule mtini mitupu. 4 Kisha yule mwenye shamba akamtuma
ulioulaani umenyauka!’’ mtumishi mwingine kwao, wale wakulima
22Yesu akawajibu akawaambia, “Mwaminini
wakampiga kichwani na kumfanyia mambo ya
Mungu. 23Amin, amin nawaambia, mtu ye yote aibu. 5Kisha akatuma mtumishi mwingine, huyu
atakayeuambia mlima huu ‘Ng’oka ukatupwe wakamwua. Akatuma wengine wengi, baadhi yao
baharini,’ wala asione shaka moyoni mwake, bali wale wakulima wakawapiga na wengine
aamini kwamba hayo asemayo yametukia, wakawaua.
yatakuwa yake. 24Kwa sababu hiyo nawaambia, 6‘‘Mwenye shamba alikuwa amebakiwa na
yo yote myaombayo mkisali, aminini ya kwamba mmoja wa kumtuma, huyu ni mwanawe
mmeyapokea nayo yatakuwa yenu. 25Nanyi kila mpendwa. Hatimaye akamtuma akisema,
msimamapo kusali, sameheni, mkiwa na neno na ‘Watamheshimu mwanangu.’
mtu ili na Baba yenu aliye mbinguni awasamehe 7‘‘Lakini wale wapangaji wakasemezana wao
na ninyi makosa yenu. 26Lakini kama ninyi
16
MARKO
kwa wao, wakisema, ‘Huyu ndiye mrithi, njoni saba. Yule wa kwanza akaoa na akafa pasipo
tumwue, nao urithi utakuwa wetu.’ 8Hivyo kuwa na mtoto ye yote. 21Wa pili akamwoa yule
wakamkamata, wakamwua na kumtupa nje ya lile mjane, lakini naye akafa bila kuacha mtoto ye
shamba la mizabibu. yote. Ikawa vivyo hivyo kwa yule wa tatu.
9 “Mnadhani yule mwenye shamba atafanya 22Hakuna hata mmojawapo wa hao ndugu wote

nini? Atakuja na kuwaua hao wapangaji, kisha saba aliyeacha mtoto. Hatimaye naye yule
atawapa wapangaji wengine hilo shamba la mwanamke akafa. 23Kwa hiyo wakati wa ufufuo,
watakapofufuka wote, huyo atakuwa mke wa nani
mizabibu. 10Je, hamjasoma maandiko haya:
maana aliolewa na ndugu wote saba?”
“ ‘Jiwe lile walilolikataa waashi 24Yesu akawajibu, “Je, hampotoki kwa
limekuwa jiwe kuu la pembeni, sababu hamjui maandiko wala uweza wa Mungu?
11Bwana amefanya jambo hili, 25Wafu watakapofufuka, hawataoa wala kuolewa,
nalo ni ajabu machoni petu?’ ” watakuwa kama malaika wa mbinguni. 26Basi
kuhusu ufufuo wa wafu: Je, hamjasoma katika
12Walipotambua
kuwa amesema mfano huu kitabu cha Mose jinsi Mungu alivyosema na Mose
kwa ajili yao wakataka kumkamata, lakini kutoka katika kile kichaka akisema, ‘Mimi, ni
wakaogopa ule umati wa watu. Wakamwacha Mungu wa Abrahamu na Mungu wa Isaki na
wakaondoka, wakaenda zao. Mungu wa Yakobo?’ 27Mungu si Mungu wa wafu,
bali ni Mungu wa walio hai. Kwa hiyo mmekosea
Swali Kuhusu Kulipa Kodi kabisa.”
13Baadaye wakawatuma baadhi ya
Mafarisayo na Maherode ili kuja kumtega Yesu Amri Iliyo Kuu
katika yale anayosema. 14Wakamjia, 28Mwalimu mmoja wa sheria akaja
wakamwambia, “Mwalimu, tunajua ya kuwa Wewe akawasikia wakijadiliana. Akiona kwamba Yesu
ni mtu mwadilifu. Wewe huyumbishwi na amewajibu vema, naye akamwuliza, “Katika amri
wanadamu, kwa kuwa hujali kwamba wao ni nani. zote, ni ipi iliyo kuu?”
Lakini Wewe hulifundisha neno la Mungu 29Yesu akajibu, “Amri iliyo kuu ndiyo hii,
sawasawa na kweli. Je, ni haki kumlipa Kaisari ‘Sikiza Ee Israeli, Bwana Mungu wetu, Bwana
kodi au la? 15Je, tulipe kodi au tusilipe?” ndiye mmoja. 30Mpende Bwana Mungu wako kwa
Lakini Yesu alijua unafiki wao. Akawauliza moyo wako wote, kwa roho yako yote, kwa akili
“Mbona mnajaribu kunitega? Nileteeni hiyo dinaria zako zote na kwa nguvu zako zote.’ 31Ya pili
niione.” 16 Wakamletea hiyo sarafu. Naye ndiyo hii: ‘Mpende jirani yako kama nafsi yako.’
akawauliza, “Picha hii ni ya nani na maandishi Hakuna amri nyingine iliyo kuu kuliko hizi.”
haya ni ya nani?” 32 Yule mwalimu wa sheria akamwambia
Wakamjibu, “Ni ya Kaisari.” Yesu, “Mwalimu, umejibu vema kwamba Mungu ni
17Ndipo Yesu akawaambia, “Mpeni Kaisari mmoja wala hakuna mwingine ila Yeye.
kilicho cha Kaisari na kilicho cha Mungu mpeni 33Kumpenda Mungu kwa moyo wote na kwa akili
Mungu.” zote na kwa nguvu zote na kumpenda jirani kama
Nao wakamstaajabia sana. mtu anavyojipenda mwenyewe ni bora zaidi kuliko
kutoa sadaka ya kuteketezwa na dhabihu.”
Ndoa Wakati Wa Ufufuo 34Yesu alipoona kwamba amejibu kwa
18KishaMasadukayo, wale wasemao kuwa busara, akamwambia, “Wewe hauko mbali na
hakuna ufufuo wakamjia Yesu, 19wakasema, Ufalme wa Mungu.” Tangu wakati huo, hakuna
“Mwalimu, Mose alituandikia kuwa kama ndugu mtu ye yote aliyethubutu kumwuliza maswali tena.
wa mtu akifa na kumwacha mkewe bila mtoto,
Kristo Ni Mwana Wa Nani?
basi ndugu yake atamwoa huyo mjane ili amzalie
35Wakati Yesu alipokuwa akifundisha
ndugu yake watoto. 20Basi walikuwapo ndugu
hekaluni, akauliza, “Imekuwaje walimu wa sheria
wanasema kwamba Kristo ni Mwana wa Daudi?
a15Dinari ni sarafu ya fedha iliyokuwa inatumik a wakati huo,
36Kwa maana Daudi mwenyewe akinena kwa
sawa na mshahara wa kibarua wa siku moja
17
MARKO
kuongozwa na Roho Mtakatifu alisema: Mizeituni mkabala na hekalu, Petro, Yakobo,
Yohana na Andrea wakamwuliza faraghani,
“ ‘BWANA alimwambia Bwana wangu: 4“Tafadhali tuambie, mambo haya yatatukia lini?
Keti mkono wangu wa kuume, Nayo ni nini ishara ya wakati hayo yote
hadi nitakapowaweka adui zako yanapokaribia kutimia?’’
chini ya miguu yako.’ ’’ 5Yesu akawaambia: “Jihadharini mtu ye yote
asiwadanganye. 6Wengi watakuja kwa Jina Langu
37Kwa hiyo Daudi mwenyewe anamwita ‘Bwana’, wakidai, ‘Mimi ndiye’, nao watawadanganya
awezaje basi Yeye kuwa mwanawe?” Ule umati wengi. 7Msikiapo habari za vita na uvumi juu ya
wote wa watu wakamsikiliza kwa furaha. vita, msiwe na hofu. Mambo haya hayana budi
kutukia, lakini ule mwisho bado. 8Taifa litainuka
Yesu Awatahadharisha Watu Kuhusu Walimu
dhidi ya taifa na ufalme dhidi ya ufalme. Kutakuwa
Wa Sheria na matetemeko sehemu mbalimbali na njaa. Huu
38Alipokuwa akifundisha, Yesu alisema, ndio mwanzo wa utungu.
“Jihadharini na walimu wa sheria. Wao hupenda
kutembea wakiwa wamevaa mavazi marefu na Mateso Yatabiriwa
kusalimiwa kwa heshima masokoni. 39Pia wao 9“Lakini ninyi jihadharini. Kwa maana
hupenda kukaa viti vya mbele katika masinagogi watawapeleka mahakamani na kuwapiga mijeledi
na kupewa nafasi za heshima katika karamu. katika masinagogi. Mtashtakiwa mbele ya
40Wao hula nyumba za wajane na ili waonekane watawala na wafalme kwa ajili Yangu, ili kuwa
kuwa wema wanasali sala ndefu. Watapata ushuhuda kwao. 10Nayo Habari Njema lazima
hukumu iliyo kuu sana.” ihubiriwe kwanza kwa mataifa yote kabla ule
mwisho haujaja. 11Mtakapokamatwa na
Sadaka Ya Mjane kushtakiwa, msisumbuke kuhusu mtakalosema.
41Kisha Yesu akaketi mkabala na sehemu Semeni tu lo lote mtakalopewa wakati huo, kwa
sadaka zilikokuwa zinawekwa na kuangalia umati kuwa si ninyi msemao bali ni Roho Mtakatifu.
wa watu wakati wakitoa fedha zao kwenye hazina 12“Ndugu atamsaliti ndugu yake ili auawe,
ya hekalu. Matajiri wengi wakaweka kiasi kikubwa baba atamsaliti mwawe. Watoto watawaasi
cha fedha. 42Lakini mjane mmoja maskini akaja wazazi wao na kusababisha wauawe. 13Watu
na kuweka sarafu mbili ndogo za shaba zenye wote watawachukia kwa ajili ya Jina Langu,lakini
thamani ya senti mbili.’’ atakayevumilia hata mwisho ataokoka.
43Yesu akawaita wanafunzi Wake
akawaambia, “Amin, amin nawaambia,, huyu Chukizo La Uharibifu
mjane maskini ametoa zaidi katika hazina kuliko 14“Mtakapoona chukizo la uharibifu limesimama

wengine wote. 44Wengine wote wametoa mahali pasipolipasa (asomaye na afahamu), basi
kutokana na ziada ya mali zao, lakini huyu mjane wale walioko Uyahudi na wakimbilie milimani.
15Yeye aliyeko juu ya dari ya nyumba asishuke au
kutokana na umaskini wake, ametoa kila kitu
alichokuwa nacho, hata kile alichohitaji ili kuishi.” kuingia ndani ili kuchukua kitu cho chote. 16Aliye
shambani asirudi nyumbani kuchukua vazi lake. 17
Dalili Za Siku Za Mwisho Ole wao wenye mimba na wale wanaonyonyesha
watoto siku hizo! 18Ombeni mambo haya yasitokee
13 Wakati Yesu alipokuwa akitoka hekaluni,
mmojawapo wa wanafunzi Wake wakati wa baridi. 19Kwa maana siku hizo itakuwako
akamwambia, “Mwalimu!,Tazama jinsi mawe haya dhiki kuu ambayo haijapata kuwako tangu mwanzo
yalivyo makubwa na majengo haya yalivyo wa uumbaji, hapo Mungu alipoumba ulimwengu
mazuri!’’ mpaka leo na wala haitakuwako tena kamwe.
2Ndipo Yesu akajibu akasema, ‘‘Je, unayaona 20Kama Bwana asingelifupiza siku hizo, kamwe

majengo haya yalivyo makubwa? Hakuna hata asingeliokoka mtu ye yote, lakini kwa ajili ya
jiwe moja litakalobaki juu ya jingine, yote wateule, wale aliowachagua, amezifupiza siku hizo.
21“Wakati huo mtu ye yote akiwaambia, ‘Tazama,
yatabomolewa.’’
3Yesu alipokuwa ameketi kwenye Mlima wa Kristo
18
MARKO
huyu hapa!’ au, ‘Tazama, yuko kule,’ msiamini. ‘Kesheni.’ ”
22Kwa maana watatokea makristo wa uongo na
manabii wa uongo nao watafanya ishara na Shauri La Kumwua Yesu
maajabu ili kuwapotosha, ikiwezekana hata wale
wateule. 23Hivyo jihadharini, nimekwisha
14 Zilikuwa zimebaki siku mbili tu kabla ya
Sikukuu ya Pasaka na Sikukuu ya Mikate Isiyotiwa
kuwaambia mambo haya yote mapema kabla Chachu. Viongozi wa makuhani na walimu wa
hayajatukia.” sheria walikuwa wakitafuta njia ya kumkamata
Yesu kwa hila na kumwua, 2kwa kuwa walisema,
Kuja Kwa Mwana Wa Adamu “Tusilifanye jambo hili wakati wa Sikukuu, maana
watu wanaweza wakafanya
24“Lakini katika siku hizo, baada ya hiyo dhiki, ghasia.’’
“ ‘jua litatiwa giza Yesu Kupakwa Mafuta Huko Bethania
na mwezi hautatoa nuru yake, 3Yesu alipokuwa huko Bethania nyumbani
25nyota zitaanguka kutoka angani,
kwa Simoni aliyekuwa na ukoma, wakati
nazo nguvu za anga zitatikisika.’ alipokuwa ameketi mezani akila chakula cha jioni,
mwanamke mmoja aliingia akiwa na chupa ya
26“Ndipo watu wote watakapomwona Mwana marmar yenye manukato ya nardoa safi ya
wa Adamu akija mawinguni kwa nguvu nyingi na thamani kubwa. Akaivunja hiyo chupa, akamiminia
utukufu. 27Naye atawatuma malaika Wake hayo manukato kichwani mwa Yesu.
wawakusanye wateule Wake kutoka pande zote 4Baadhi ya watu waliokuwapo pale walikuwa
nne za dunia, kutoka miisho ya dunia hadi miisho wakisemezana wao kwa wao, ‘‘Kwa nini ubadhirifu
ya mbingu. huu wa manukato? 5Mafuta haya yangeweza
kuuzwa kwa zaidi ya dinari 300b na fedha hizo
Somo Kuhusu Mtini wakapewa maskini.’’ Wakamkemea vikali huyo
28“Basi jifunzeni somo hili kutokana na mtini: mwanamke.
Mara mwonapo matawi yake yakishipua na kutoa 6Lakini Yesu akawaambia, ‘‘Kwa nini
majani, mnajua kwamba wakati wa kiangazi mnamsumbua? Mwacheni! Amenitendea jambo la
umekaribia. 29 Vivyo hivyo, myaonapo mambo kupendeza. 7Maskini mnao pamoja nanyi siku
haya yakitukia, tambueni kwamba Kristo yu karibu zote na mnaweza kuwasaidia wakati wo wote
malangoni. 30Amin, amin nawaambia, kizazi hiki mnaotaka. Lakini Mimi hamko nami daima. 8Huyu
hakitapita hadi mambo haya yote yametukia. mwanamke amenitendea lile aliloweza. Ameutia
31Mbingu na nchi zitapita, lakini maneno Yangu
mwili wangu manukato kuniandaa kwa maziko
hayatapita kamwe. Yangu. 9Amin, amin nawaambia, mahali po pote
duniani ambapo Injili itahubiriwa, jambo hili
Hakuna Ajuaye Siku Wala Saa
alilotenda huyu mwanamke litatajwa kwa
32‘‘Lakini kwa habari ya siku ile na saa ukumbusho wake. ”
hakuna ye yote ajuaye,hata malaika walioko
mbinguni wala hata Mwana hajui, ila Baba peke Yuda Akubali Kumsaliti Yesu
Yake. 33Jiharadharini! Kesheni! Kwa maana 10Kisha Yuda Iskariote, mmoja wa wale
hamjui wakati ule utakapowadia. 34Ni kama mtu wanafunzi kumi na wawili wa Bwana Yesu,
anayesafiri akiiacha nyumba yake na kuwaachia akaenda kwa viongozi wa makuhani ili kumsaliti
watumishi wake kuiangalia, kila mtu na kazi yake, Yesu kwao. 11Walifurahi sana kusikia jambo hili
kisha akamwambia yule bawabu aliye mlangoni na wakaahidi kumpa fedha. Hivyo yeye akawa
akeshe. anatafuta wasaa mzuri wa kumtia Yesu mikononi
35“Basi kesheni kwa sababu hamjui ni lini
mwao.
mwenye nyumba atakaporudi, iwapo ni jioni, au
kwamba ni usiku wa manane, au alfajiri awikapo a3 Nardo ni aina ya manukato yaliyokuwa yanatengenezwa
jogoo, au wakati wa mapambazuko. 36Kama akija kutokana na mimea yenye mizizi inayotoa harufu nzuri.
b5 Dinari 300 ni sawa na mshahara wa kibarua kwa siku 300. Dinari
ghafula, asije akawakuta mmelala. 37Lile moja ilikuwa sawa na mshahara wa kibarua wa siku moja.
ninalowaambia ninyi, nawaambia watu wote:
19
MARKO
Yesu Atabiri Kuwa Petro Atamkana
Yesu Ala Pasaka Na Wanafunzi Wake 27Yesu akawaambia, “Ninyi nyote mtaniacha,
12Siku ya kwanza ya Sikukuu ya Mikate kwa maana imeandikwa:
Isiyotiwa Chachu, siku ambayo kwa desturi
kondoo wa Pasaka huchinjwa, wanafunzi wa Yesu ‘Nitampiga mchungaji,
wakamwuliza, “Unataka tuende wapi ili nao kondoo watatawanyika.’
tukuandalie mahali pa kula Pasaka?”
13Basi akawatuma wawili miongoni mwa 28Lakini baada ya kufufuka, nitawatangulia
wanafunzi Wake, akawaambia, “Nendeni mjini, kwenda Galilaya.”
huko mtakutana na mwanamume amebeba 29Petro akasema, “Hata kama wengine wote
mtungi wa maji. Mfuateni. 14Mwambieni mwenye watakuacha, mimi sitakuacha.’’
nyumba ile atakayoingia, ‘Mwalimu anauliza, kiko 30 Yesu akamwambia, “Amin, nakwambia,
wapi chumba changu kwa ajili ya wageni ambamo leo, usiku huu huu, kabla jogoo hajawika mara
nitakula Pasaka pamoja na wanafunzi Wangu?’ mbili, utanikana mara tatu.’’
15Atawaonyesha chumba kikubwa ghorofani, 31 Lakini Petro akasisitiza akasema, ‘‘Hata
kilichopambwa tena kilicho tayari. Tuandalieni kama inanipasa kufa pamoja nawe, sitakukana.’’
humo.” Nao wale wanafunzi wengine wote wakasema
16 Wale wanafunzi wakaondoka na kwenda vivyo hivyo.
mjini, nao wakakuta kila kitu kama alivyowaambia.
Hivyo wakaandaa chakula cha Pasaka. Yesu Akiomba Bustanini Gethsemane
17Ilipofika jioni, Yesu akaja pamoja na wale 32Wakaenda mahali paitwapo Gethsemane,

wanafunzi wake kumi na wawili. 18 Walipokwisha Yesu akawaambia wanafunzi wake, “Kaeni hapa
kuketi kwenye nafasi zao, wakati wakila Yesu wakati ninakwenda kule kuomba.’’ 33Kisha
akawaambia, ‘‘Amin, nawaambia, mmoja wenu akawachukua pamoja naye Petro, Yakobo na
atanisaliti, yaani, yeye anayekula pamoja nami.’’ Yohana. Naye akaanza kuhuzunika sana na
19Wakaanza kuhuzunika na kumwambia kutaabika. 34Akawaambia, “Moyo wangu umejawa
mmoja baada ya mwingine, “Je, ni mimi Bwana?” na huzuni kiasi cha kufa. Kaeni hapa na mkeshe.”
20Akawajibu, “Ni mmoja miongoni mwenu 35Akaenda mbele kidogo, akajitupa chini
ninyi kumi na wawili, yule anayechovya mkate kifudifudi akaomba akisema, kama ikiwezekana
kwenye bakuli pamoja nami. 21Kwa kuwa Mwana saa hiyo ya mateso imwepuke. 36Akasema,
wa Adamu yu aenda Zake kama vile “Abac, Baba, mambo yote yawezekana Kwako.
alivyoandikiwa. Lakini ole wake mtu yule Niondolee kikombe hiki, lakini si kama nitakavyo
amsalitiye Mwana wa Adamu! Ingelikuwa heri Mimi, bali mapenzi Yako yatimizwe.’’
kama asingelizaliwa.” 37Akarudi kwa wanafunzi Wake akawakuta
wamelala, naye akamwambia Petro, “Simoni,
Kuanzishwa Kwa MezaYa Bwana umelala? Je, hukuweza kukesha hata kwa saa
22Walipokuwa wakila, Yesu akachukua mkate, moja? 38Kesheni na kuomba msije mkaingia
akashukuru, akaumega na kuwapa wanafunzi Wake majaribuni. Roho iko radhi lakini mwili ni dhaifu.’’
akisema, “Kuleni, huu ndio mwili Wangu.’’ 39Akaenda tena kuomba akisema maneno
23Kisha akachukua kikombe, akashukuru,
yale yale. 40Aliporudi kwa wanafunzi Wake,
akawapa wanafunzi Wake, wote wakanywa akawakuta tena wamelala, kwa sababu macho
kutoka humo. yao yalikuwa mazito. Nao hawakujua la
24Akawaambia, “Hii ndiyo damu yangu ya kumwambia.
41Akaja mara ya tatu, akawaambia, ‘‘Bado
agano, imwagikayo kwa ajili ya wengi. 25Amin
nawaambia, sitakunywa tena uzao wa mzabibu mmelala na kupumzika? Imetosha! Saa imewadia.
mpaka siku ile nitakapokunywa mpya katika Tazama, Mwana wa Adamu anasalitiwa mikononi
Ufalme wa Mungu.’’
26Walipokwisha kuimba wimbo, wakatoka
wakaenda kwenye Mlima wa Mizeituni.
c36 Aba ni neno la Kiaramu ambalo maana yake ni baba.Ni mtoto
wa kuzaa tu ndiye ambaye angeweza kulitumia kwa baba yake
20
MARKO
mwa wenye dhambi. 42Amkeni
! Twendeni zetu ! tulimsikia akisema, ‘Mimi nitalibomoa hekalu hili
Tazameni, msaliti Wangu yu aja!” lililojengwa na wanadamu na katika siku tatu
nitajenga jingine ambalo halikujengwa na
Yesu Akamatwa wanadamu.’ ’’ 59Lakini hata hivyo, ushahidi wao
43Yesu alipokuwa bado anazungumza, Yuda, haukukubaliana.
mmoja wa wale wanafunzi kumi na wawili, 60Kuhani Mkuu akasimama mbele ya hilo
akatokea akiwa pamoja na umati wa watu wenye Baraza akamwuliza Yesu, “Je, Wewe huwezi
panga na marungu, waliokuwa wametumwa na kujibu mashtaka haya ambayo watu hawa
viongozi makuhani, walimu wa sheria na wazee. wameleta juu Yako?” 61 Lakini Yesu akakaa
44Basi Yuda, yule msaliti, alikuwa amewapa kimya, hakusema neno lo lote.
ishara wale watu kuwa: “Yule nitakayembusu, Kuhani Mkuu akamwuliza tena, “Je, Wewe
ndiye, mkamateni na mchukueni akiwa chini ya ndiwe Kristo, Mwana wa Mungu Mbarikiwa?”
ulinzi.’’ 45Kwa hiyo Yuda alipofika, akamwendea 62Yesu akajibu, “Mimi ndimi, nanyi mtamwona
Yesu akamwambia, “Rabi’’ d na kumbusu. 46Wale Mwana wa Adamu ameketi mkono wa kuume wa
watu wakamkamata Yesu, wakamweka chini ya Mungu Mwenye Nguvu, akija na mawingu ya
ulinzi. 47Ndipo mmoja wa wale waliokuwa mbinguni.”
63Kuhani Mkuu akararua mavazi yake,
wamesimama karibu akachomoa upanga wake na
kumpiga mtumishi wa Kuhani Mkuu, akamkata akasema, “Tuna haja gani tena ya mashahidi
sikio. zaidi? 64 Ninyi mmemsikia hayo makufuru.
48Kisha Yesu akawaambia, “Mmekuja mkiwa Uamuzi wenu ni nini?”
na panga na marungu kana kwamba Mimi ni Wote wakamhukumu kwamba anastahili kifo.
mnyang’anyi ? 49Siku zote nilikuwa pamoja nanyi 65Kisha baadhi ya watu wakaanza kumtemea
nikifundisha hekaluni, wala hamkunikamata. mate, wakamfunga kitambaa machoni,
Lakini maandiko na yatimie.” 50Ndipo wanafunzi wakampiga kwa ngumi na kumwambia, “Tabiri ni
Wake wote wakamwacha, wakakimbia. nani aliyekupiga!’’ Walinzi wakamchukua na
51Kijana mmoja, ambaye hakuwa amevaa kitu kumpiga makofi.
isipokuwa alijitanda nguo ya kitani, alikuwa
akimfuata Yesu. Wakamkamata, 52akakimbia Petro Amkana Yesu
uchi, akaliacha vazi lake. 66Petro alipokuwa bado yuko chini kwenye ua
wa jumba la kifalme tazama akaja mmoja wa
Yesu Mbele Ya Baraza watumishi wa kike wa Kuhani Mkuu.
53Wakampeleka Yesu kwa Kuhani Mkuu, nao 67Alipomwona Petro akiota moto, akamtazama
viongozi wa makuhani, wazee na walimu wa sana, akamwambia,
sheria wakakusanyika pamoja. 54Petro akamfuata “Wewe pia ulikuwa pamoja na Yesu
kwa mbali, mpaka kwenye ua wa Kuhani Mkuu. Mnazareti.”
Huko akaketi pamoja na walinzi, akiota moto. 68Lakini Petro akakana, akasema, “Sijui wala
55Viongozi wa makuhani na wajumbe wote sielewi unalosema.” Naye akaondoka kuelekea
wa Barazae walikuwa wanatafuta ushahidi dhidi kwenye njia ya kuingilia.
ya Yesu ili wapate kumwua, lakini hawakupata. 69Yule mtumishi wa kike alipomwona hapo
56Wengi wakatoa ushahidi wa uongo dhidi Yake, mahali, akawaambia tena wale waliokuwa
lakini maelezo yao hayakukubaliana. wamesimama hapo, “Huyu mtu ni mmoja wao.’’
57Ndipo wengine wakasimama wakatoa 70Lakini Petro akakana tena.
Baada ya muda kidogo wale waliokuwa
ushahidi wa uongo dhidi Yake, wakisema, 58‘‘Sisi wamesimama hapo karibu na Petro
wakamwambia, ‘‘Hakika wewe ni mmoja wao, kwa
d45 “Rabi” hapa ni neno la Kiebrenia ambalo maana yake ni daktari, maana wewe pia ni Mgalilaya!’’ 71Petro akaanza
mwalimu, au Bwana.Walikuwa na madaraja matatu: La chini
kabisa “rab” (bwana), la pili “rabbi” (bwana wangu), la juu kulaani na kuapa, akawaambia, ‘‘Simjui huyu mtu
kabisa (mkuu wangu,bwana wangu) mnayemsema habari Zake.’’
e55 Baraza hapa ina maana ya Sanhedrin ambalo lilikuwa 72Papo hapo jogoo akawika mara ya pili.
ndilo baraza la juu kabisa la uatawala la
Kiyahudi,lililoundwa na wazee 70 pamoja na Kuhani Mkuu Ndipo Petro akakumbuka lile neno Yesu alilokuwa
21
MARKO
amemwambia, “Kabla jogoo hajawika mara mbili, ukumbi wa ndani wa jumba la kifalme, ndio
utanikana mara tatu.’’ Akalia sana. Praitoriaa, wakakusanya kikosi kizima cha
maaskari. 17Wakamvalisha Yesu joho la
Yesu Mbele Ya Pilato zambarau, wakasokota taji ya miiba, wakamvisha
15 Asubuhi na mapema, viongozi wa makuhani, kichwani. 18Wakaanza kumsalimu kwa dhihaka,
pamoja na wazee, walimu wa sheria na Baraza “Salamu, Mfalme wa Wayahudi!’’ 19Wakampiga
lote, wakafikia uamuzi. kwa fimbo ya mwanzi tena na tena kichwani na
Wakamfunga Yesu, wakamchukua na kumkabidhi kumtemea mate. Wakapiga magoti mbele Yake
kwa Pilato. wakasujudia kwa kumdhihaki. 20Walipokwisha
2Pilato akamwuliza, “Je, Wewe ndiye Mfalme
kumdhihaki, wakamvua lile joho la zambarau,
wa Wayahudi?” wakamvika zile nguo Zake mwenyewe. Kisha
Yesu akajibu,” Wewe umesema.” wakamtoa nje ili wakamsulibishe.
3Viongozi wa makuhani wakamshtaki kwa
mambo mengi. 4Pilato akamwuliza tena, “Je, huna Kusulibiwa Kwa Yesu
la kujibu? Tazama ni mashtaka mangapi 21Mtu mmoja kutoka Kirene, jina lake Simoni,
wanayaleta juu yako.’’ baba yao Aleksanda na Rufo, alikuwa anapita
5Lakini Yesu hakuendelea kujibu, hivyo Pilato zake kuingia mjini kutoka shamba,
akashangaa. wakamlazimisha aubebe ule msalaba wa Yesu.
22Kisha wakampeleka Yesu mpaka mahali
Pilato Amtoa Yesu Ili Akasulibiwe palipoitwa Golgota, (ambayo, maana yake ni
6Ilikuwa desturi wakati wa Sikukuu ya Pasaka Mahali pa Fuvu la Kichwa). 23Nao wakampa divai
kumfungulia mfungwa ye yote ambaye watu ilichanganywa na manemane, lakini hakuiinywa.
24Basi wakamsulibisha, nazo nguo Zake
wangemtaka. 7Wakati huo, mtu mmoja aitwaye
Baraba alikuwa amefungwa gerezani pamoja na wakagawana miongoni mwao kwa kuzipigia kura
waasi wengine waliokuwa wamesababisha mauaji ili kuamua ni nini kila mtu atakachochukua.
wakati wa maasi yaliyotokea dhidi ya Serikali.8Ule 25Ilikuwa yapata saa tatu asubuhi
umati wa watu ukamjia Pilato na kumwomba walipomsulibisha. 26Tangazo likaandikwa la
awafanyie kama ilivyokuwa desturi yake. mashtaka dhidi Yake lenye maneno haya:
9 Pilato akawauliza, “Mnataka niwafungulie
“MFALME WA WAYAHUDI.” 27Pamoja naye
huyu Mfalme wa Wayahudi?’’ 10Kwa maana yeye walisulibiwa wanyag’anyi wawili mmoja upande
alitambua kuwa viongozi wa makuhani walikuwa Wake wa kuume na mwingine upande wa
wamemtia Yesu mikononi mwake kwa ajili ya kushoto. 28Nayo maandiko yakatimizwa, yale
wivu. 11Lakini viongozi wa makuhani yasemayo, “Alihesabiwa pamoja na watenda
wakauchochea ule uamati wa watu wamwombe dhambi.” 29Watu waliokuwa wakipita karibu
awafungulie Baraba badala Yake. wakamtukana na kutikisa vichwa vyao kwa mzaha
12Pilato akawauliza tena, “Basi mnataka wakisema, “Aha! Wewe ambaye ungelibomoa
nifanye nini na huyu mtu mnayemwita Mfalme wa hekalu na kulijenga kwa siku tatu, 30basi ujiokoe
Wayahudi?’’ mwenyewe na ushuke kutoka msalabani.”
13Wakapiga kelele, “Msulibishe!’’ 31Vivyo hivyo viongozi wa makuhani pamoja
14Akawauliza, “Kwa nini? Amefanya kosa na walimu wa sheria wakamdhihaki miongoni
gani?’’ mwao wakisema, “Yeye aliwaokoa wengine, lakini
Lakini wao wakapiga kelele kwa nguvu zaidi, hawezi kujiokoa mwenyewe! 32Basi huyu Kristo,
wakisema, ‘‘Msulibishe!’’ huyu Mfalme wa Wayahudi, ashuke sasa kutoka
15 Pilato akitaka kuuridhisha ule umati wa msalabani, ili tupate kuona na kuamini.” Wale
watu, akawafungulia Baraba, naye baada ya waliosulibiwa pamoja naye pia wakamtukana.
kuamuru Yesu achapwe mijeledi, akamtoa ili
asulibishwe.

Maaskari Wamdhihaki Yesu a16 Praitoria maana yake makao makuu ya mtawala. Jumba la
kifalme lilokuwa linakaliwa na Pontio Pilato huko
16Maaskari wakampeleka Yesu hadi kwenye Yerusalemu, palipokuwa na kiti cha hukumu
22
MARKO
Kifo Cha Yesu Msalabani
33Ilipofika saa sita, giza lilifunika nchi yote Kufufuka Kwa Yesu
mpaka saa tisa. 34Mnamo saa tisa Yesu akalia 16 Sabato ilipomalizika, Maria Magdalene,
Maria mama yake Yakobo na Salome walinunua
kwa sauti kuu, akasema, ‘‘Eloi, Eloi lama
Sabakthani?’’ Maana yake, “Mungu Wangu, manukato ili wakaupake mwili wa Yesu. 2Asubuhi
Mungu Wangu, mbona umeniacha?’’ na mapema, siku ya kwanza ya juma, mara tu
35Baadhi ya watu waliokuwa wamesimama baada ya kuchomoza jua walikwenda kaburini.
3Njiani wakawa wanaulizana wao kwa wao, “Ni nani
karibu waliposikia maneno hayo, wakasema, atakayetuvingirishia lile
‘‘Msikieni anamwita Eliya.’’ jiwe kutoka kwenye ingilio la kaburi?’’
36Mtu mmoja akaenda mbio, akachovya 4Lakini walipotazama, wakaona lile jiwe,
sifongo kwenye siki, akaiweka kwenye mwanzi, ambalo lilikuwa kubwa sana, limekwisha
akampa Yesu ili anywe akisema, “Basi mwacheni, kuvingirishwa kutoka pale penye ingilio la kaburi.
hebu tuone kama Eliya atakuja kumshusha kutoka 5Walipokuwa wakiingia mle kaburini, wakamwona
hapo msalabani’’ kijana mmoja aliyevaa joho jeupe akiwa ameketi
37Kisha Yesu akatoa sauti kuu, akakata roho.
upande wa kuume, nao wakastaajabu.
38Pazia la hekalu likachanika vipande viwili 6Yule malaika akawaambia, “Msistaajabu.
kuanzia juu hadi chini. 39Basi yule jemadari, Mnamtafuta Yesu Mnazareti aliyesulibiwa.
aliyekuwa amesimama hapo mbele ya msalaba Amefufuka! Hayuko hapa. Patazameni mahali
wa Yesu, aliposikia ile sauti Yake na kuona jinsi walipomlaza. 7Lakini nendeni mkawaambie
alivyokata roho, akasema, “Hakika mtu huyu wanafunzi Wake pamoja na Petro, kwamba
alikuwa Mwana wa Mungu!’’ ‘Anawatangulia kwenda Galilaya, huko ndiko
40Walikuwapo pia wanawake waliokuwa mtakakomwona, kama alivyowaambia.’ ”
wakiangalia kwa mbali, ambao miongoni mwao 8Hivyo wakatoka wakakimbia kutoka mle
alikuwa Maria Magdalene, Maria mama yao kaburini, kwani hofu kuu na mshangao ulikuwa
Yakobo mdogo na Yose, pia na Salome. 41Hawa umewapata, nao hawakumwambia mtu ye yote
walifuatana na Yesu na kumhudumia alipokuwa neno lo lote.
Galilaya. Pia walikuwapo wanawake wengine
wengi waliokuwa wamekuja pamoja naye Yesu Anamtokea Maria Magdalene
Yerusalemu. 9Yesu alipofufuka alfajiri na mapema siku ya
kwanza ya juma alimtokea kwanza Maria
Maziko Ya Yesu Magdalene, yule ambaye alikuwa amemtoa pepo
42Ilipofika jioni, kwa kuwa ilikuwa Siku ya
wachafu saba. 10Maria akaenda akawaambia
Maandalizo, siku moja kabla ya Sabato, 43Yosefu wale waliokuwa wakifuatana na Yesu, ambao
wa Arimathaya mtu aliyeheshimiwa katika Baraza, walikuwa wanaomboleza na kulia. 11Lakini
ambaye yeye mwenyewe alikuwa anautarajia waliposikia kwamba Yesu yu hai na kwamba
Ufalme wa Mungu, akamwendea Pilato kwa ujasiri Maria alikuwa amemwona, hawakusadiki.
na kumwomba huo mwili wa Yesu. 44Pilato
alikuwa akijiuliza kama Yesu alikuwa amekwisha Yesu Awatokea Wanafunzi Wawili
kufa. Akamwita yule jemadari, akamwuliza iwapo 12Baadaye Yesu akawatokea wawili miongoni
Yesu alikuwa amekwisha kufa. 45Baada ya kupata mwa wanafunzi Wake walipokuwa wakienda
habari kutoka kwa yule jemadari kwamba kweli shambani akiwa katika sura nyingine. 13Nao
amekwisha kufa, Pilato akampa Yosefu ruhusa ya wakarudi na kuwaambia wenzao. Lakini
kuuchukua huo mwili. 46Hivyo Yosefu akanunua hawakuwasadiki wao pia.
kitambaa cha kitani safi, akaushusha mwili wa
Yesu kutoka msalabani, akauviringishia kile Yesu Awaagiza Wale Wanafunzi Kumi Na
kitambaa cha kitani na akamweka ndani ya kaburi Mmoja
lililochongwa kwenye mwamba. Kisha 14 Baadaye Yesu akawatokea wale wanafunzi
akalivingirisha jiwe kwenye ingilio la kaburi. Wake kumi na mmoja, walipokuwa wakila
47Maria Magdalene na Maria mamaye Yose
chakula. Akawakemea kwa kutokuamini kwao na
walipaona mahali pale alipolazwa.
23
MARKO
kwa ugumu wa mioyo yao kwa sababu
hawakuwasadiki wale waliomwona baada ya
kufufuka.
15Akawaambia, “Enendeni ulimwenguni
mwote, mkaihubiri Injili kwa kila kiumbe. 16Ye yote
aaminiye na kubatizwa ataokoka. Lakini ye yote
asiyeamini atahukumiwa. 17“Nazo ishara hizi
zitafuatana na wale waaminio: Kwa Jina Langu
watatoa pepo wachafu, watasema kwa lugha
mpya, 18watashika nyoka kwa mikono yao na
hata wakinywa kitu cho chote cha kuua,
hakitawadhuru kamwe, wataweka mikono yao juu
ya wagonjwa, nao watapona.”

Yesu Apaa Kwenda Mbinguni


19Baada ya Bwana Yesu kusema nao,
alichukuliwa juu mbinguni na kuketi mkono wa
kuume wa Mungu. 20Kisha wanafunzi Wake
wakatoka, wakahubiri kila mahali, naye Bwana
akatenda kazi pamoja nao na kulithibitisha neno
Lake kwa ishara zilizofuatana nalo.Amen.

24
LUKA
Utangulizi
Luka alikuwa tabibu aliyefuatana na Mtume Paulo katika safari zake za kitume. Injili hii ndiyo ndefu kuliko
zote. Aliandika kwa msomi mmoja wa Kiyunani aliyeitwa Theofilo (1:3).Utangulizi wa Injili ya Luka na Matendo ya
Mitume zinaunganisha vitabu hivi viwili pamoja .Vyote vinaandikiwa mtu mmoja , yaani, Theofilo, ambaye maana
ya jina lake ni “mpenzi wa Mungu.” Utangulizi wa Matendo unarejea juu ya “mambo yale ya kwanza “kuhusiana
na yale Yesu aliyoanza kufanya na kufundisha.”
Utambulisho wa Luka kama mwandishi unaonekana katika Mdo.16:10 anapotumia neno “tulijiandaa,”
linaloashiria kwamba alikuwa akishirikiana na Paulo katika safari zake za kitume na kuandika habari za shughuli
zake na matukio yote.Lugha na mtindo wa uandishi wa Injili ya Luka na Matendo unaonyesha kuwa yeye ni mtu
mtaalamu mwenye uwezo mkubwa wa kuandika kwa ufasaha, aliye na elimu ya juu, mwenye asili na mtazamo
wa Kiyunani.
Kuna uwezekano mkubwa kwamba Luka alikuwa Mmataifa kutoka Antiokia ya Syria aliyeokoka, ambaye
aliungana na Paulo huko Troa katika safari yake ya pili ya kitume. Wakati Paulo akiwa kifungoni sehemu
mbalimbali, si kwamba Luka alishughulika na kuhubiri tu, bali pia alitumia muda mwingi kujifunza na kuchunguza
kwa undani maisha ya Kristo. Ingawa kuna kazi nyingine nyingi kuhusu Kristo, Luka alitaka kutoa mpangilio na
mtiririko wa matukio kama mwana historia ambaye alikuwa na habari za kina na mwenye uwezo wa kuandika na
kutoa habari za kuaminika alizozipata kwa wale walioona kwa macho yao wenyewe.
Shabaha yake ilikuwa ni kudhihirisha kwamba Yesu alikuwa Mungu na pia mwanadamu aliyeleta mapinduzi
katika historia, “aliyekuja kutafuta na kuokoa kile kilichopotea(19:10).” Kwa sababu hii, Luka alichambua ushahidi
wake kwa uangalifu na kutoa tarehe maalum kwa matukio anayoyaandika. Anaanza kwa kuelezea juu ya
kuzaliwa kwa Yesu na Bikira Maria, akitoa maelezo ya ndani ambayo hayapo katika Injili nyingine. Huduma ya
Yesu inaelezwa, ikifuatiwa na maelezo marefu kuhusu safari ya Yesu kwenda Yerusalemu. Baada ya kifo cha
Yesu, kufufuka kutoka kwa wafu na kupaa Kwake mbinguni, wanafunzi wanabaki wakingoja ahadi ya Baba,
yaani, kujazwa nguvu ya Roho Mtakatifu kutoka mbinguni.

Wazo Kuu
Luka anaeleza asili na kusudi la Injili hii (1:3).Anamdhihirisha Yesu kuwa ni Mungu-Mwanadamu ambaye asili
ya ubinadamu anaotajwa nao unaanzia kwa Adamu kwani Yeye anatajwa kama mwana wa Daudi(3:23-38). Yesu
ndiye mwanadamu aliye kamili kabisa katika historia, naye Luka anamthibitisha kuwa ndiye anayewezesha
mambo yote kuwepo kwa kuwa ana Uungu mmoja na Mungu Baba Yake. Yesu ni mkuu kuliko wanadamu wote
kwa kuwa Yeye alikuwa Mungu-Mwanadamu, yaani, Mungu aliyefanyika mwili, akafanyika mwanadamu
mkamilifu na asiye na damu ya Adamu ya anguko. Mafundisho Yake, matendo Yake, miujiza Yake, hata kifo
Chake na kufufuka Kwake kutoka kwa wafu kulidhihirisha Uungu Wake. Kwa sababu hii inatupasa kumwamini na
kumpokea ili awe Mwokozi na Bwana wetu.

Mwandishi
Luka tabibu. Luka anatajwa hasa na Paulo katika Kol. 4:14 na katika Flm.1:24 wakati Paulo akiwa
amefungwa huko Rumi (ona pia 2Tim.4:11). Mtazamo wa ushahidi wa kitabibu katika 8:43 unamthibitisha Luka
kuwa ndiye yule “tabibu mpenzi” katika Kol.4: 14.

Tarehe
Huenda Injili hii iliandikwa kama 60 B.K.
Mgawanyo
• Kuzaliwa kwa Yesu na ujana wake (1:1-2:52)
• Kubatizwa na kujaribiwa kwa Yesu (3:14-4:13)
• Huduma ya Yesu Galilaya (4:14-9:50)
• Safari ya Yesu kwenda Yerusalemu (9:51-19:27)
• Huduma ya Yesu Yerusalemu (19:28-20:47)
• Unabii kuhusu mambo yajayo (21:1-38)
• Kifo cha Yesu na kufufuka kwake (22:1-24:53)

1
LUKA
1 Kwa kuwa, watu wengi wamekaa ili
kuandika habari za mambo yaliyotukia katikati
nimetumwa kwako ili nikuambie habari hizi
njema. 20Basi sasa kwa kuwa hujaamini
yetu, 2kama vile yalivyokabidhiwa kwetu na wale maneno yangu ambayo yatatimizwa kwa wakati
ambao walikuwa mashahidi walioona na wake, utakuwa bubu hadi siku ile mambo haya
watumishi wa Bwana, 3mimi nami baada ya yatakapotukia.”
kuchunguza kila kitu kwa uangalifu kuanzia 21Wakati huo watu walikuwa wanamngojea
mwanzo, niliamua kukuandikia habari za
mambo hayo ewe mtukufu Theofilo, 4ili upate Zekaria nje huku wakishangaa kukawia kwake
kujua ule ukweli kuhusu yale uliyofundishwa. mle hekaluni. Alipotoka akawa hawezi kusema
nao, wao wakatambua kuwa ameona maono
Kuzaliwa Kwa Yohana Mbatizaji Kwatabiriwa ndani ya hekalu. Lakini kwa kuwa alikuwa bubu,
5Wakati wa Herode mfalme wa Uyahudi aliendelea akawaashiria kwa mikono.
23Muda wake wa kuhudumu hekaluni
palikuwa na kuhani mmoja jina lake Zekaria,
ambaye aliyekuwa wa ukoo wa kikuhani wa ulipomalizika, akarudi nyumbani kwake.
Abiya. Elizabeti mkewe alikuwa pia mzao wa 24Baada ya muda si mrefu Elizabeti mkewe
Aroni. 6Zekaria na Elizabeti mkewe wote akapata mimba, naye akajitenga kwa miezi
walikuwa watu wanyofu mbele za Mungu, mitano.
wakizishika amri zote za Bwana na maagizo 25akasema, “Hili ndilo Bwana alilonitendea
yote bila lawama. 7Lakini walikuwa hawana aliponiangalia kwa upendeleo na kuniondolea
watoto, kwa sababu Elizabeti alikuwa tasa, nao aibu yangu mbele ya watu.”
wote wawili walikuwa wazee sana.
8Siku moja Zekaria ilipokuwa zamu ya Kuzaliwa Kwa Yesu Kwatabiriwa
26Mwezi wa sita baada ya Elizabeti kupata
kikundi chake, yeye akifanya kazi ya ukuhani
hekaluni mbele za Mungu, 9alichaguliwa kwa mimba, Mungu alimtuma malaika Gabrieli
kura kwa kufuata desturi za ukuhani, kuingia aende Galilaya katika mji wa Nazareti, 27 kwa
hekaluni mwa Bwana ili kufukiza uvumba. 10Nao mwanamwali bikira aliyekuwa ameposwa na
wakati wa kufukiza uvumba ulipowadia, wale mtu mmoja jina lake Yosefu wa nyumba ya
wote waliokuwa wamekusanyika ili kuabudu Daudi. Jina la huyu mwanamwali bikira ni Maria.
28Naye malaika akaja kwake akamwambia:
walikuwa nje wakiomba.
11Ndipo malaika wa Bwana akamtokea “Salamu, wewe uliyebarikiwa, Bwana yu pamoja
Zekaria, akiwa amesimama upande wa kuume nawe!”
29 Maria akafadhaishwa sana na maneno
wa madhabahu ya kufukizia uvumba. 12Zekaria
alipomwona huyo malaika, akafadhaika sana haya, akajiuliza moyoni, “Salamu hii ni ya
akajawa na hofu. 13Lakini malaika namna gani?” 30Ndipo malaika akamwambia,
akamwambia, “Usiogope, Zekaria, kwa maana “Usiogope, Maria, umepata upendeleo kwa
Mungu amesikia maombi yako. Mkeo Elizabeti Mungu. 31Tazama, utachukua mimba, nawe
atakuzalia mtoto wa kiume, nawe utamwita jina utamzaa mtoto mwanamume na utamwita jina
lake Yohana. 14Yeye atakuwa furaha na lake Yesu. 32Yeye atakuwa mkuu, naye ataitwa
shangwe kwako, nao watu wengi watashangilia Mwana wa Aliye Juu. Bwana Mungu atampa kiti
kwa sababu ya kuzaliwa kwake. 15Kwa kuwa cha enzi cha Daudi baba yake. 33Ataimiliki
atakuwa mkuu mbele za Bwana, kamwe nyumba ya Yakobo milele na ufalme Wake
hataonja mvinyo wala kinywaji cho chote cha hautakuwa na mwisho.”
kulevya, naye atajazwa Roho Mtakatifu hata 34Maria akamwuliza huyo malaika,
kabla ya kuzaliwa kwake. 16Naye atawavuta “Maadam mimi ni bikira, jambo hili
watu wengi warudi kwa Bwana Mungu wao. litawezekanaje?”
17Nao waasi warejee katika hekima ya wenye 35Malaika akamjibu, “Roho Mtakatifu
haki na kuliweka tayari taifa lililoandaliwa kwa atakujilia juu yako, nazo nguvu Zake Yeye Aliye
ajili ya Bwana. Juu zitakufunika kama kivuli, kwa hiyo mtoto
18Zekaria akamwuliza malaika, “Jambo hilo atakayezaliwa atakuwa mtakatifu, naye ataitwa
linawezekanaje? Mimi ni mzee na mke wangu Mwana wa Mungu. 36Tazama, jamaa yako
pia ana umri mkubwa.” Elizabeti amechukua mimba katika uzee wake
19Malaika akamjibu, akamwambia, “Mimi ni na huu ni mwezi wake wa sita, yeye aliyeitwa
Gabrieli, nisimamaye mbele za Mungu, nami tasa. 37Kwa maana kwa Mungu hakuna
lisilowezekana.”
2
LUKA
38Maria akasema, “Tazama, mimi ni mtumisi
wa Bwana na iwe kwangu kama ulivyosema.” Kuzaliwa Kwa Yohana Mbatizaji
Kisha malaika akaondoka akamwacha. 57Ulipowadia wakati wa Elizabeti kujifungua,

alizaa mtoto mwanaume. 58Majirani zake na jamii


Mariamu Aenda Kumtembelea Elizabeti zake wakasikia jinsi Bwana alivyomfanyia rehema
39Wakati huo Maria akajiandaa kuu, nao wakafurahi pamoja naye.
akaharakisha kwenda katika mji mmoja kwenye 59Siku ya nane wakaja kumtahiri motto,
vilima ya Uyahudi. 40Akaingia nyumbani kwa wakataka kumpa yule mtoto jina la Zekaria baba
Zekaria na kumsalimu Elizabeti. 41Naye yake. 60Lakini mama yake akakataa na kusema,
Elizabeti aliposikia salamu ya Maria, mtoto “Hapana! Jina lake ataitwa Yohana.”
aliyekuwa tumboni mwake akaruka. Elizabeti 61Wakamwambia, “Hakuna mtu ye yote
akajazwa na Roho Mtakatifu, 42akapaza sauti katika jamaa yako mwenye jina kama hilo.”
kwa nguvu akasema, “Umebarikiwa wewe 62Basi wakamfanyia Zekaria baba yake
miongoni mwa wanawake, naye mtoto ishara ili kujua kwamba yeye angependa kumpa
utakayemzaa amebarikiwa. 43Lakini ni kwa nini mtoto jina gani. 63Akaomba wampe kibao cha
mimi nimepata upendeleo kiasi hiki, hata mama kuandikia na kwa mshangao wa kila mtu
wa Bwana wangu afike kwangu? 44Mara tu akaandika: “Jina lake ni Yohana.” 64Papo hapo
niliposikia sauti ya salamu yako, mtoto aliyeko kinywa chake kikafunguliwa na ulimi wake
tumboni mwangu aliruka kwa furaha. ukaachiwa, akawa anaongea akimsifu Mungu.
45Amebarikiwa yeye aliye amini kwamba lile 65Majirani wote wakajawa na hofu ya Mungu na
Bwana alilomwambia litatimizwa.” katika nchi yote ya vilima ya Uyahudi watu
walikuwa wakinena juu ya mambo haya yote.
Wimbo Wa Maria Wa Sifa 66Kila aliyesikia habari hizi alishangaa akauliza,
46Naye Maria akasema: “Je, mtoto huyu atakuwa mtu wa namna gani?”
Maana mkono wa Bwana ulikuwa pamoja naye.
“Moyo wangu wamwadhimisha Bwana,
47nayo roho yangu inamfurahia Mungu Mwokozi Unabii Wa Zekaria
wangu, 67Zekaria, baba yake, akajazwa na Roho
48kwa kuwa ameangalia kwa fadhili unyonge Mtakatifu, naye akatoa unabii akisema:
wa mtumishi wake,
hakika tangu sasa vizazi vyote 68“Ahimidiwe Bwana, Mungu wa Israeli,
vitaniita mbarikiwa, kwa kuwa amewajilia Watu wake na
49kwa maana, Yeye Mwenye Nguvu, kuwakomboa.
amenitendea mambo ya ajabu, 69Naye ametusimamishia pembea ya wokovu
Mtakatifu ndilo Jjina Lake. katika nyumba ya Daudi mtumishi Wake,
50Rehema Zake huwaendea wale 70kama alivyonena kwa vinywa vya
wamchao, kutoka kizazi hadi kizazi. manabii wake watakatifu
51Kwa kuwa ametenda mambo ya ajabu tangu zamani,
kwa mkono Wake, 71kwamba atatuokoa kutoka kwa adui
amewatawanya wale wenye kiburi ndani ya zetu na kutoka mikononi mwao wote
mioyo yao. watuchukiao,
52Amewashusha watawala toka kwenye 72ili kuonyesha rehema kwa baba zetu
viti vyao vya enzi, na kukumbuka agano lake takatifu,
lakini amewainua wanyenyekevu. 73kiapo alichomwapia baba yetu Abrahamu:
53Amewashibisha wenye njaa kwa vitu vizuri 74kutuokoa kutoka mkononi mwa adui zetu,
na matajiri amewafukuza mikono mitupu. tupate kumtumikia Yeye pasipo hofu
54Amemsaidia mtumishi Wake Israeli, 75katika utakatifu na haki mbele
amekumbuka ahadi Yake ya kumrehemu Zake, siku zetu zote.
55kama alivyowaahidi baba zetu
Abrahamu na uzao wake milele.” 76Nawe mtoto wangu, utaitwa nabii wa Aliye

56Maria akakaa na Elizabeti karibu miezi


mitatu, kisha akarudi nyumbani kwake.
a69 “Pembe” hapa ina maanisha “nguvu.”
3
LUKA
Juu, 13Ghafula
pakawa na jeshi kubwa la
kwa kuwa utamtangulia Bwana na kuandaa mbinguni pamoja na huyo malaika wakimsifu
njia kwa ajili Yake, Mungu wakisema,
77kuwajulisha watu Wake juu ya wokovu
utakaopatikana kwa kusamehewa dhambi 14“Atukuzwe Mungu juu mbinguni na
zao, duniani iwe amani kwa watu
78kwa ajili ya wingi wa rehema za Mungu aliowaridhia.”
wetu, nuru itokayo juu itatuzukia
79ili kuwaangazia wale waishio gizani 15Hao malaika walipokwisha kuondoka na
na katika uvuli wa mauti, kwenda zao mbinguni, wale wachungaji
kuiongoza miguu yetu katika njia ya amani.” wakasemezana wao kwa wao wakisema,
“Twendeni Bethlehemu tukaone mambo haya
80Yule mtoto akakua na kuongezeka nguvu ya ajabu yaliyotukia, ambayo Bwana
katika roho, akaishi nyikani hadi siku ile ametuambia habari zake.”
alipojionyesha hadharani kwa Waisraeli. 16Hivyo wakaenda haraka Bethlehemu,
wakawakuta Maria na Yosefu na yule mtoto
Kuzaliwa Kwa Yesu mchanga akiwa amelala katika hori la kulia
2 SikuwatuzilewoteKaisari Augusto alitoa amri kwamba
waandikishwe katika ulimwengu wa
ng’ombe. 17Walipomwona yule
wakawaeleza yale waliyokuwa wameambiwa
mtoto,

Kirumi. 2(Orodha hii ndiyo ya kwanza iliyofanyika kuhusu huyu mtoto. 18Nao wote waliosikia
wakati Krenio alipokuwa mtawala wa Shamua). habari hizi wakastaajabia yale waliyoambiwa na
3Kila mtu alikwenda
wale wachungaji wa kondoo. 19Lakini Maria
kuandikishwa katika mji wake alikozaliwa. akayaweka mambo haya yote moyoni mwake
4Hivyo Yosefu akapanda kutoka mji wa
na kuyatafakari. 20Wale wachungaji wakarudi,
Nazareti ulioko Galilaya kwenda Uyahudi, huku wakimtukuza Mungu na kumsifu kwa ajili
mpaka Bethlehemu mji wa Daudi, kwa sababu ya mambo yote waliyokuwa wameambiwa na
yeye alikuwa wa ukoo na wa nyumba ya Daudi. kuyaona.
5Alikwenda huko kujiandikisha pamoja na Maria, 21Hata zilipotimia siku nane, ulikuwa ndio
ambaye alikuwa amemposa naye alikuwa mja wakati wa kumtahiri mtoto, akaitwa Yesu, jina
mzito. 6Wakiwa Bethlehemu, wakati wa Maria alilokuwa amepewa na malaika kabla
wa kujifungua ukawa umetimia, 7naye akamzaa hajatungwa mimba.
mwanawe, kifungua mimba. Akamfunika nguo
za kitoto na kumlaza katika hori ya kulia Yesu Apelekwa Hekaluni
ng’ombe, kwa sababu hapakuwa na nafasi 22Ulipotimia wakati wa utakaso wake Maria,
katika nyumba ya wageni. kwa mujibu wa Sheria ya Mose, Yosefu na
Maria walimpeleka mtoto Yerusalemu, ili
Wachungaji Na Malaika kumweka wakfu kwa Bwana 23(kama
8Katika eneo lile walikuwako wachungaji ilivyoandikwa katika Sheria ya Bwana kwamba,
waliokuwa wakikaa mashambani, wakilinda “Kila mtoto wa kiume kifungua mimba atawekwa
makundi yao ya kondoo usiku. 9Ghafula tazama, wakfu kwa Bwana”), 24pia kutoa dhabihu
malaika wa Bwana akawatokea, nao utukufu wa kulingana na yale yaliyonenwa, katika Sheria ya
Bwana ukawang’aria kotekote, wakaingiwa na Bwana: “Hua wawili au makinda mawili ya
hofu. 10Lakini malaika akawaambia: “Msiogope. njiwa.”
Kwa maana tazama nawaletea habari njema za 25Basi alikuwako huko Yerusalemu mtu
furaha itakayokuwa kwa watu wote. 11Leo katika mmoja jina lake Simeoni, ambaye alikuwa
mji wa Daudi kwa ajili yenu amezaliwa Mwokozi, mwenye haki na mcha Mungu, akitarajia faraja
ndiye Kristo Bwana. 12Hii ndiyo itakayokuwa ya Israeli na Roho Mtakatifu alikuwa juu yake.
26Roho Mtakatifu alikuwa amemfunulia kuwa
ishara kwenu: Mtamkuta mtoto mchanga
amefunikwa nguo za kitoto na kulazwa katika hatakufa kabla hajamwona Kristob wa Bwana.
hori ya kulia ng’ombe.” 27Simeoni akiwa ameongozwa na Roho

b26 “Kristo ni neno la Kiyunani, yaani, Masiya maana


a2Shamu hapa ina maanisha Syria yake Mpakwa (Aliyetiwa) Mafuta.
4
LUKA
Mtakatifu, alikwenda hekaluni. Wazazi walipokuwa wakirudi nyumbani, Yesu alibaki
walipomleta mtoto Yesu ili kumfanyia kama Yerusalemu lakini hawakutambua. 44Wao
ilivyokuwa desturi ya Sheria, 28ndipo Simeoni wakidhani kuwa yuko miongoni mwa wasafiri,
akampokea mtoto mikononi mwake walienda mwendo wa kutwa nzima. Ndipo
na kumsifu Mungu, akisema: wakaanza kumtafuta miongoni mwa jamaa zao na
marafiki. 45Walipomkosa walirudi Yerusalemu ili
29“Bwana Mungu Mwenyezi, kama ulivyoahidi,
kumtafuta. 46Baada ya siku tatu wakamkuta ndani
sasa wamruhusu mtumishi wako ya hekalu, akiwa ameketi katikati ya walimu wa
aende zake kwa amani. Sheria, akiwasikiliza na kuwauliza maswali.
30Kwa maana macho yangu yameuona 47Wote waliomsikia walistaajabishwa na uwezo
wokovu Wako, Wake mkubwa wa kuelewa na majibu aliyoyatoa.
31ulioweka tayari machoni pa watu wote, 48Yosefu na Maria mama yake walipomwona
32nuru kwa ajili ya ufunuo kwa watu Mataifa
walishangaa. Mama Yake akamwuliza,
na kwa ajilin ya utukufu kwa watu wako “Mwanangu, mbona umetufanyia hivi? Tazama,
Israeli.” mimi na baba yako tumekuwa tukikutafuta kwa
wasiwasi mkubwa kila mahali.’’
33Naye Yosefu na mama yake mtoto 49Yesu akawaambia, “Kwa nini kunitafuta?
wakastaajabu kwa yale yaliyokuwa yamesemwa Hamkujua kwamba imenipasa kuwa katika
kumhusu huyo mtoto. 34Kisha Simeoni nyumba ya Baba Yangu?”
akawabariki, akamwambia Maria mama yake, 50Lakini wao hawakuelewa maana ya lile
“Mtoto huyu amewekwa kwa makusudi ya alilowaambia.
kuanguka na kuinuka kwa wengi katika Israeli. 51Ndipo akashuka pamoja nao hadi
Atakuwa ishara ambayo watu watanena dhidi Nazareti, naye alikuwa mtii kwao. Lakini Mama
yake, 35 ili mawazo ya mioyo mingi yadhihirike Yake akayaweka moyoni mwake mambo haya
na upanga utauchoma moyo wako. yote. 52Naye Yesu akakua katika hekima na
36Tena alikuwako hekaluni nabii mmoja kimo, akimpendeza Mungu na wanadamu.
mwanamke mzee sana, jina lake Ana binti
Fanueli, wa kabila la Asheri. Alikuwa mzee Yohana Mbatizaji Aanza Kuhubiri
sana, naye alikuwa ameolewa na kuishi na
mume kwa miaka saba tu, kisha mumewe
3 Katika mwaka wa kumi na tano wa
utawala wa Kaisari Tiberio, Pontio Pilato alikuwa
akafa. 37Hivyo alikuwa mjane na umri wake mtawala wa Uyahudi. Herode alikuwa mfalme wa
ulikuwa miaka thamanini na minne. Yeye Galilaya na Filipo ndugu yake alikuwa mfalme
hakuondoka humo hekaluni usiku wala mchana wa Iturea na nchi ya Trakoniti. Naye Lisania
bali alikuwa akimwabudu Mungu, akifunga na alikuwa mfalme wa Abilene. 2Anasi na Kayafa
walikuwa makuhani wakuu. Wakati huo ndipo
kuomba. 38Wakati uo huo, Ana alikuja akaanza neno la Mungu likamjia Yohana, mwana wa
kusifu akimshukuru Mungu na kusema habari za Zekaria huko nyikani. 3Akaenda katika nchi yote
huyo mtoto kwa watu wote waliokuwa kandokando ya Mto Yordani, akihubiri ubatizo wa
wakitarajia ukombozi wa Yerusalemu. toba kwa ajili ya msamaha wa dhambi. 4Kama
39Yosefu na Maria walipokuwa ilivyoandikwa katika kitabu
wamekamilisha mambo yote yaliyotakiwa na cha nabii Isaya:
Sheria ya Bwana, walirudi mjini kwao Nazareti
huko Galilaya. 40Naye mtoto Yesu akakua na “Sauti ya mtu aliyae nyikani,
kuongezeka nguvu akiwa amejaa hekima na ‘Itengenezeni njia ya Bwana,
neema ya Mungu ilikuwa juu Yake. yanyosheni mapito Yake,
5kila bonde litajazwa,
Kijana Yesu Hekaluni kila mlima na kilima kitasawazishwa.
41Kila mwaka Yosefu na Maria mama yake Njia zilizopinda zitanyooshwa,
Yesu walikuwa na desturi ya kwenda zilizoparuza zitasawazishwa
Yerusalemu kwa ajili ya Sikukuu ya Pasaka. 6na watu wote watauona Wokovu wa
42Yesu alipokuwa na umri wa miaka kumi na Mungu.’ ”
miwili, walipanda kwenda kwenye Sikukuu hiyo
kama ilivyokuwa desturi. 43Baada ya Sikukuu 7Yohana akauambia ule umati wa watu
kumalizika, wakati Yosefu na Maria mama Yake
5
LUKA
uliokuwa unakuja ili kubatizwa naye, “Enyi uzao Ukoo Wa Bwana Yesu
wa nyoka! Ni nani aliyewaonya mwikimbie 23Yesu alikuwa na umri wa miaka thelathini
ghadhabu ijayo? 8Zaeni matunda yafananayo alipoanza huduma Yake. Alikuwa akidhaniwa
na toba yenu. Wala msianze kusema mioyoni kuwa mwana wa Yosefu,
mwenu kuwa ninyi ni uzao wa Abrahamu. Kwa
maana nawaambia, Mungu anaweza Yosefu alikuwa mwana wa Eli, 24Eli
kumwinulia Abrahamu watoto kutoka katika alikuwa mwana wa Mathati,
mawe haya. 9Hata sasa shoka limekwisha Mathati alikuwa mwana wa Lawi,
wekwa tayari kwenye shina la kila mti, basi kila Lawi alikuwa mwana Melki, Melki
mti usiozaa matunda mazuri hukatwa na alikuwa mwana wa Yanai,
kutupwa motoni.” Yanai alikuwa mwana wa Yosefu,
10Ule umati wa watu ukamwuliza, 25Yosefu alikuwa mwana wa Matathia,
“Inatupasa tufanyeje basi?” Matathia alikuwa mwana wa Amosi,
11Yohana akawaambia, “Aliye na kanzu Amosi alikuwa mwana wa Nahumu,
mbili amgawie asiye nayo, naye aliye na Nahumu alikuwa mwana wa Esli, Esli
chakula na afanye vivyo hivyo.” alikuwa mwana wa Nagai, 26Nagai
12Watoza ushuru nao wakaja ili wabatizwe, alikuwa mwana wa Maathi, Maathi
wakamwuliza, “Bwana na sisi inatupasa alikuwa mwana wa Matathia,
tufanyeje?” Matathia alikuwa mwana Semeini,
13Akawaambia, “Msichukue zaidi ya Semeini alikuwa mwana wa Yoseki,
kiwango mlichopangiwa.” Yoseki alikuwa mwana wa Yoda,
14Askari nao wakamwuliza, “Je, nasi 27Yoda alikuwa mwana wa Yoanani,
inatupasa tufanye nini?” Yoanani alikuwa mwana wa Resa, Resa
Akawaambia, “Msimdhulumu mtu wala alikuwa mwana wa Zerubabeli,
msimshtaki mtu kwa uongo, bali mridhike na Zerubabeli alikuwa mwana wa
mishahara yenu.” Shealtieli, Shealtieli alikuwa mwana wa
15Watu walikuwa na matazamio makubwa. Neri, 28Neri alikuwa mwana wa Melki,
Wakawa wanajiuliza mioyoni mwao iwapo Melki alikuwa mwana wa Adi, Adi
Yohana angeweza kuwa ndiye Kristo. 16Yohana alikuwa mwana wa Kosamu,
akawajibu akawaambia, ‘‘Mimi nawabatiza kwa Kosamu alikuwa mwana wa Elmadamu,
majia Lakini atakuja aliye na nguvu kuliko mimi Elmadamu alikuwa mwana wa Eri,
ambaye sistahili hata kufungua kamba ya viatu 29Eri alikuwa mwana wa Yoshua, Yoshua
vyake. Yeye atawabatiza kwa Roho Mtakatifu na alikuwa mwana wa Eliezeri, Eliezeri
kwa moto. 17Pepeto lake liko mkononi, tayari alikuwa mwana wa Yorimu, Yorimu
kusafisha sakafu yake ya kupuria na kuikusanya alikuwa mwana wa Mathati, Mathati
ngano ghalani, lakini makapi atayateketeza kwa alikuwa mwana wa Lawi, 30Lawi
moto usiozimika.” 18Basi, kwa maonyo mengine alikuwa mwana wa Simeoni, Simeoni
mengi Yohana aliwahubiri watu Habari Njema. alikuwa mwana wa Yuda, Yuda
19Lakini Yohana alipomkemea Mfalme alikuwa mwana wa Yosefu, Yosefu
Herode kuhusu uhusiano wake na Herodia mke alikuwa mwana wa Yonamu,
wa ndugu yake na maovu mengine aliyokuwa Yonamu alikuwa mwana wa Eliakimu,
amefanya, 20Herode akijumlisha haya yote, Eliakimu alikuwa mwana wa Melea,
akamfunga Yohana gerezani. 31Melea alikuwa mwana ma Mena, Mena
alikuwa mwana wa Matatha, Matatha
Kubatizwa Kwa Bwana Yesu alikuwa mwana wa Nathani, Nathani
21Baada ya watu wote kubatizwa, Yesu
alikuwa mwana wa Daudi, 32Daudi
naye akabatizwa. Naye alipokuwa akiomba, alikuwa mwana wa Yese, Yese
mbingu zilifunguka. 22Roho Mtakatifu akashuka alikuwa mwana wa Obedi, Obedi
juu Yake kwa umbo kama la hua na sauti ikaja alikuwa mwana wa Boazi, Boazi
kutoka mbinguni ikisema: “Wewe ni Mwanangu alikuwa mwana wa Salmoni,
mpendwa wangu, ninayependezwa nawe sana.” Salmoni alikuwa mwana wa Nashoni,
33Nashoni alikuwa mwana wa Aminadabu,
Aminadabu alikuwa mwana wa Aramu,
a16 “Kwa maji” hapa tafsiri nyingine zinasema “ndani ya maji”
6
LUKA
Aramu alikuwa mwana wa Hesroni, mwembamba wa hekalu, akamwambia, “Kama
Hesroni alikuwa mwana wa Peresi, Wewe ndiwe Mwana wa Mungu, jitupe chini
Peresi alikuwa mwana wa Yuda,
34Yuda alikuwa mwana wa Yakobo, kutoka hapa, 10kwa maana imeandikwa:
Yakobo alikuwa mwana wa Isaki, “ ‘Atakuagizia malaika zake wakulinde,
11nao watakuchukua mikononi mwao
Isaki alikuwa mwana wa Abrahamu,
Abrahamu alikuwa mwana wa Tera, usije ukajikwaa mguu wako katika jiwe.’ ”
Tera alikuwa mwana wa Nahori,
35Nahori alikuwa mwana wa Serugi, 12Yesu akamjibu, “Imesemwa, ‘Usimjaribu
Serugi alikuwa mwana wa Reu, Bwana Mungu wako.’ ”
Reu alikuwa mwana wa Pelegi, 13Ibilisi alipomaliza kila jaribu, akamwacha
Pelegi alikuwa mwana wa Eberi, Yesu mpaka wakati mwingine ufaao.
Eberi alikuwa mwana wa Sala,
36Sala alikuwa mwana wa Kenani, Mwanzo Wa Huduma Ya Galilaya
Kenani alikuwa mwana wa Arfaksadi, 14Kisha Yesu akarudi mpaka Galilaya, akiwa
Arfaksadi alikuwa mwana wa Shemu, amejaa nguvu za Roho Mtakatifu, nazo habari
Shemu alikuwa mwana wa Noa, Noa Zake zikaenea katika sehemu zote za nchi za
alikuwa mwana wa Lameki, kandokando. 15Akaanza kufundisha kwenye
37Lameki alikuwa mwana wa Methusela, masinagogi yao na kila mmoja akamsifu.
Methusela alikuwa mwana wa Enoki,
Enoki alikuwa mwana wa Yaredi, Kukataliwa Kwa Yesu
Yaredi alikuwa mwana wa Mahalaleli, 16Yesu akaenda Nazareti, hapo alipolelewa
Mahalaleli alikuwa mwana wa Kenani, na siku ya Sabato alikwenda katika sinagogi
38Kenani alikuwa mwana wa Enoshi, kama ilivyokuwa desturi Yake. Akasimama ili
Enoshi alikuwa mwana wa Sethi, asome, 17naye akapewa kitabu cha nabii Isaya,
Sethi alikuwa mwana wa Adamu, akakifungua na kukuta mahali palipoandikwa:
Adamu alikuwa mwana wa Mungu.
18‘‘Roho wa Bwana yu juu Yangu,
Yesu Ajaribiwa Na Shetani kwa sababu amenitia mafuta
4 Yesu, akiwa amejaa Roho Mtakatifu, akarudi
kuwaletea maskini habari njema.
Amenituma kuwatangazia wafungwa
kutoka Yordani akaongozwa na Roho Mtakatifu hadi
jangwani, 2mahali ambako kwa siku arobaini alikuwa
kufunguliwa kwao na
akijaribiwa na Ibilisi. Kwa siku zote hizo hakula cho vipofu kupata kuona tena,
chote, hivyo kuwaweka huru wanaoonewa
baada ya muda huo akaona njaa. 19na kutangaza mwaka wa Bwana uliokubalika.”
3Ibilisi akamwambia, “Ikiwa Wewe ni Mwana
wa Mungu, amuru jiwe hili liwe mkate.” 20Kisha akakifunga kitabu, akamrudishia
4Yesu akajibu akamwambia, “Imeandikwa: mtumishi na akaketi. Watu wote waliokuwamo
‘Mtu haishi kwa mkate tu, bali kwa kila neno la katika sinagogi wakamkazia macho. 21Ndipo
Mungu.’ ” akaanza kwa kuwaambia, “Leo maandiko haya
5Ibilisi akampeleka hadi juu ya mlima mrefu yametimia mkiwa mnasikia.”
akamwonyesha milki zote za dunia kwa mara 22Wote waliokuwako wakamsifu na
moja. 6Akamwambia, “Nitakupa mamlaka juu ya kuyastaajabia maneno Yake yaliyojaa neema,
milki hizi na fahari zake zote, kwa maana wakaulizana, “Je, huyu si mwana wa Yosefu?”
zimekabidhiwa mikononi mwangu nami 23Yesu akawaambia, “Bila shaka mtatumia
ninaweza kumpa ye yote ninayetaka. 7Hivyo mithali hii, ‘Tabibu, jiponye mwenyewe! Nanyi
ikiwa utanisujudia na kuniabudu, vyote vitakuwa mtasema, ‘Mambo yale tuliyosikia kwamba
vyako.” uliyafanya huko Kapernaumu, yafanye na hapa
8Yesu akamjibu, “Imeandikwa: ‘Mwabudu kwenye mji Wako.’ “
Bwana Mungu wako na umtumikie Yeye peke 24Yesu akasema, Amin, nawaambia,
yake.’ ” hakuna nabii anayekubalika kwenye mji wake
9Kisha Ibilisi akampeleka mpaka mwenyewe. 25Lakini ukweli ni kwamba palikuwa
Yerusalemu, akamweka juu ya mnara mrefu na wajane wengi katika Israeli wakati wa Eliya,
7
LUKA
mbingu zilipofungwa kwa miaka mitatu na miezi watu wengi, nao walipokuwa wakitoka wakapiga
sita pakawa na njaa kuu katika nchi nzima. kelele wakisema: “Wewe ni Mwana wa Mungu!”
26Lakini Eliya hakutumwa hata kwa mmoja wao,
Lakini Yesu akawakemea na kuwazuia
bali kwa mjane mmoja wa Sarepta katika nchi wasiseme, kwa maana walimjua kuwa Yeye ni
ya Sidoni. 27Pia palikuwa na wengi wenye Kristo.
ukoma katika Israeli katika siku za nabii Elisha, 42Kesho yake, kulipopambazuka, Yesu
lakini hakuna hata mmoja wao aliyetakaswa, alikwenda mahali pa faragha. Watu wengi
isipokuwa Naamani mtu wa Shamua.” wakawa wanamtafuta kila mahali, nao
28Watu wote katika sinagogi waliposikia walipomwona wakajaribu kumzuia asiondoke.
maneno haya, wakakasirika sana. 43Lakini Yeye akawaambia, “Imenipasa kuhubiri
29Wakasimama, wakamtoa nje ya mji, Habari Njema za Ufalme wa Mungu katika miji
wakamchukua hadi kwenye kilele cha mlima mingine pia, kwa maana kwa kusudi hili
mahali ambapo mji huo ulikuwa umejemgwa, ili nilitumwa.” 44Naye aliendelea kuhubiri katika
wamtupe chini kutoka kwenye mtelemko mkali. masinagogi ya Uyahudi.
30Lakini Yeye akapita papo hapo katikati ya huo
umati wa watu akaenda Zake. Kuitwa Kwa Wanafunzi Wa Kwanza

Yesu Atoa Pepo Mchafu 5 Siku moja Yesu alipokuwa amesimama


karibu na Ziwa la Genesareti, watu wengi
31Kisha akashuka kwenda Kapernaumu, mji
wakiwa wanasongana kumzunguka ili wapate
wa Galilaya na katika za siku za Sabato akawa kusikia neno la Mungu, 2akaona mashua mbili
anafundisha. 32Wakashangazwa sana na ukiongoni mwa ziwa, zikiwa zimeachwa hapo na
mafundisho Yake, maana maneno Yake wavuvi waliokuwa wanaosha nyavu zao.
3Akaingia katika mojawapo ya hizo mashua
yalikuwa na mamlaka.
33Ndani ya sinagogi palikuwa na mtu ambayo ilikuwa ya Simoni, akamwomba
aisogeze ndani ya maji kidogo kutoka pwani.
aliyekuwa amepagawa na pepo mchafu, Kisha akaketi na kufundisha watu akiwa mle
akapiga kelele kwa nguvu akisema, 34 “Tuache! ndani ya mashua.
Tuna nini nawe Yesu wa Nazareti? Je, umekuja 4Alipomaliza kunena, akamwambia Simoni,
kutuangamiza? Ninakujua Wewe ni nani. Wewe “Sasa peleka mashua hadi kilindini kisha
ni Mtakatifu wa Mungu.” mshushe nyavu zenu mkavue samaki.”
35Basi Yesu akamkemea yule pepo mchafu, 5Simoni akamjibu, “Bwana, tumefanya kazi
akisema, “Nyamaza na umtoke!’’ Yule pepo ya kuchosha usiku kucha na hatukuvua cho
mchafu akamwangusha chini yule mtu mbele chote. Lakini, kwa neno lako nitazishusha
yao wote, akatoka pasipo kumdhuru. 36Watu nyavu.”
wote wakashangaa wakaambiana, ‘‘Mafundisho 6Nao walipozishusha nyavu zao, wakavua
haya ni ya namna gani? Kwa mamlaka na samaki wengi sana, nyavu zao zikajaa zikaanza
nguvu, anawaamuru pepo wachafu, nao kukatika. 7Wakawaashiria wavuvi wenzao
wanatoka!” 37 Habari Zake zikaanza kuenea kila kwenye ile mashua nyingine ili waje kuwasaidia.
mahali katika sehemu ile. Wakaja, wakajaza mashua zote mbili samaki
hata zikaanza kuzama.
Yesu Awaponya Wengi 8Simoni Petro alipoona haya yaliyotukia
38Yesu akatoka kwenye sinagogi akaenda alianguka miguuni mwa Yesu na kumwambia,
nyumbani kwa Simoni. Basi huko alimkuta “Bwana, ondoka kwangu, mimi ni mtu mwenye
mkwewe Simoni ana homa kali, nao dhambi!” 9Kwa kuwa yeye na wavuvi wenzake
wakamwomba Yesu amsaidie. 39Hivyo Yesu walikuwa wameshangazwa sana na wingi wa
akamwinamia na kukemea ile homa, nayo samaki waliokuwa wamepata, 10vivyo hivyo
ikamwacha. Akaamka saa ile ile akaanza wenzake Simoni, yaani, Yakobo na Yohana,
kuwahudumia. wana wa Zebedayo walishangazwa pia.
40Jua lilipokuwa linatua, watu wote Ndipo Yesu akamwambia Simoni,
waliokuwa na wagonjwa wenye maradhi “Usiogope, tangu sasa utakuwa mvuvi wa
mbalimbali wakawaleta kwa Yesu, naye watu.” 11Hivyo wakasogeza mashua zao mpaka
akaweka mikono Yake juu ya kila mgonjwa, ufuoni mwa bahari, wakaacha kila kitu na
akawaponya. 41Pepo wachafu pia wakawatoka kumfuata Yesu.
a27 Shamu hapa inamaanisha Syria
8
LUKA
mkeka wako uende nyumbani kwako.” 25Mara
Yesu Amtakasa Mwenye Ukoma yule mtu aliyekuwa amepooza akasimama
12Ikawa siku moja Yesu alipokuwa katika mbele yao wote, akachukua mkeka wake
mji frulani, mtu mmoja mwenye ukoma mwili akaenda zake nyumbani, huku akimtukuza
mzima akamjia. Alipomwona Yesu, alianguka Mungu. 26Kila mmoja akashangaa na
chini mpaka uso wake ukagusa ardhi na kumsihi kumtukuza Mungu. Wakajawa na hofu ya
akisema, “Bwana, ukitaka waweza kunitakasa.” Mungu, wakasema, “Leo tumeona mambo ya
13Yesu akanyosha mkono Wake akamgusa ajabu.”
yule mtu, akamwambia, “Nataka, takasika!”
Naye mara ukoma ukapona. Yesu Amwita Lawi
14Yesu akamwagiza akisema, “Usimwambie 27Baada ya haya Yesu alitoka na kumwona
mtu ye yote, bali nenda ukajionyeshe kwa mtoza ushuru mmoja jina lake Lawi akiwa
kuhani na ukatoe dhabihu alizoagiza Mose ili amekaa forodhani, mahali pake pa kukusanyia
kuwa ushuhuda kwao.” kodi, akamwambia, “Nifuate.” 28Naye Lawi
15Lakini habari zake Yesu zikazidi sana akaacha kila kitu, akaondoka, akamfuata.
kuenea kotekote kuliko wakati mwingine wo 29Kisha Lawi akamfanyia Yesu karamu
wote, makutano makubwa ya watu yalikuwa kubwa nyumbani kwake, nao umati mkubwa wa
yakikusanyika ili kumsikiliza na kuponywa watoza ushuru na watu wengine walikuwa
magonjwa yao. 16Lakini mara kwa mara Yesu wakila pamoja nao. 30Lakini Mafarisayo na
alijitenga nao ili kwenda mahali pa faragha walimu wa sheria ambao walikuwa wa
kuomba. madhehebu yao wakawalalamikia wanafunzi wa
Yesu, wakisema, “Mbona mnakula na kunywa
Yesu Amponya Mwenye Kupooza pamoja na watoza ushuru na wenye dhambi?”
17Siku moja Yesu alipokuwa akifundisha, 31Yesu akawajibu, “Wenye afya hawahitaji
Mafarisayo na walimu wa sheria, waliokuwa tabibu, bali walio wagonjwa. 32Sikuja kuwaita
wametoka kila kijiji cha Galilaya na kutoka wenye haki bali wenye dhambi wapate kutubu.”
Uyahudi na Yerusalemu, walikuwa wameketi
huko. Nao uweza wa Bwana ulikuwa juu Yake Yesu Aulizwa Kuhusu Kufunga
kuponya wagonjwa. 18Wakaja watu 33Wakamwambia Yesu, “Wanafunzi wa
wamembeba mgonjwa aliyepooza kwenye Yohana na wa Mafarisayo mara kwa mara
mkeka. Wakajaribu kumwingiza ndani ili hufunga na kuomba, lakini wanafunzi Wako
wamweke mbele ya Yesu. 19Walipokuwa wanaendelea kula na kunywa.”
hawawezi kufanya hivyo kwa sababu ya umati 34Yesu akawajibu, “Je, mnaweza
wa watu, wakapanda juu ya paa, wakaondoa kuwafanya wageni wa bwana arusi kufunga
baadhi ya vigae, wakapata nafasi ya wakati akiwa pamoja nao? 35Lakini wakati
kumtelemsha yule mgonjwa kwa mkeka wake utafika ambapo bwana arusi ataondolewa kwao,
katikati ya ule umati pale pale mbele ya Yesu. ndipo watakapofunga.”
20Yesu alipoiona imani yao, akamwambia 36Yesu akawapa mfano huu, akawaambia:
yule mgonjwa, “Rafiki, dhambi zako “Hakuna mtu achanaye kiraka kutoka kwenye
zimesamehewa.” nguo mpya na kukishonea kwenye nguo
21Mafarisayo na wale walimu wa sheria kuukuu. Akifanya hivyo atakuwa amechana
wakaanza kuuliza, “Ni nani mtu huyu nguo mpya na kile kiraka hakitaendana na ile
anayesema maneno ya makufuru? Ni nani nguo kuukuu. 37Hakuna mtu awekaye divai
awezaye kusamehe dhambi isipokuwa Mungu mpya kwenye viriba vikuukuu. Akifanya hivyo,
peke Yake?” hiyo divai mpya itapasua hivyo viriba nayo yote
22Yesu akijua mawazo yao akawauliza, itamwagika. 38Divai mpya lazima iwekwe
“Kwa nini mnawaza haya mioyoni mwenu? 23Je, kwenye viriba vipya. 39Wala hakuna mtu
ni lipi lililo rahisi zaidi, kumwambia huyu, anayependelea divai mpya baada ya kunywa
‘Umesamehewa dhambi zako,’ au kusema, divai ya zamani, husema, ‘Ile ya zamani ni nzuri
‘Simama uende?’ 24Lakini ili mpate kujua ya zaidi.’ ’’
kuwa Mwana wa Adamu anayo mamlaka
duniani ya kusamehe dhambi,” Akamwambia Bwana Wa Sabato
yule aliyepooza, “Nakuambia, Simama, chukua
9
LUKA
6 Ikawa siku moja ya Sababo Yesu alikuwa
akipita katika mashamba ya nafaka, wanafunzi
penye uwanja tambarare. Hapo palikuwa na
idadi kubwa ya wanafunzi Wake na umati
Wake wakawa wakivunja masuke ya nafaka, mkubwa wa watu kutoka sehemu zote za
wakayafikicha kwa mikono yao na kula punje zake. Uyahudi, Yerusalemu na kutoka pwani ya Tiro
2Baadhi ya Mafarisayo wakawauliza, “Mbona
mnafanya mambo na Sidoni, 18waliokuwa wamekuja kumsikiliza
ambayo ni kinyume na sheria siku ya Sabato?” na kuponywa magonjwa yao. Wale waliokuwa
3Yesu akawajibu, “Je, ninyi hamkusoma wakiteswa na pepo wachafu akawaponya.
19Watu wote walikuwa wanajitahidi kumgusa
jinsi alivyofanya Daudi wakati yeye na wenzake
kwa sababu nguvu zilikuwa zikimtoka na
walipokuwa na njaa? 4Aliingia ndani ya nyumba
kuwaponya wote.
ya Mungu, akaichukua ile mikate ya Wonyesho
20Akawatazama wanafunzi wake akasema:
ambayo huliwa na makuhani peke yao. Naye pia
akawapa wenzake wakala!” 5Yesu akawaambia, “Mmebarikiwa ninyi mlio maskini,
“Mwana wa Adamu ndiye Bwana wa Sabato.” kwa sababu Ufalme wa Mbingini
6Ikawa siku nyingine ya Sabato Yesu ni wenu.
21Mmebarikiwa ninyi mlio na njaa sasa,
aliingia ndani ya sinagogi akawa anafundisha,
huko palikuwa na mtu ambaye mkono wake wa kwa sababu mtashibishwa.
Mmebarikiwa ninyi mnaolia sasa,
kuume ulikuwa umepooza. 7Mafarisayo na
kwa sababu mtacheka.
walimu wa sheria walikuwa wakitafuta sababu 22Mmebarikiwa ninyi watu watakapowachukia,
ya kumshtaki Yesu, hivyo wakawa
wanamwangalia kwa karibu ili waone kama watakapowatenga na kuwatukana
ataponya katika siku ya Sabato. 8Lakini Yesu na kulikataa jina lenu kama neno
alijua mawazo yao, hivyo akamwambia yule ovu, kwa ajili ya Mwana wa Adamu.
mwenye mkono uliopooza, “Ondoka.” Hivyo yule
23Furahini na kurukaruka kwa shangwe kwa
mtu akaondoka, akasimama mbele yao wote.
9Ndipo Yesu akawaambia wale walimu wa sababu thawabu yenu ni kubwa mbinguni, kwa
sheria na Mafarisayo, akisema, “Nawauliza kuwa hivyo ndivyo baba zao walivyowatenda
ninyi, ni lipi lililo halali siku ya Sabato, kutenda manabii.
mema au kutenda mabaya? Kuokoa maisha au 24‘‘Lakini ole wenu ninyi mlio matajiri,
kuyaangamiza?”
10 Akawatazama watu wote waliokuwepo, kwa sababu mmekwisha kupata
kisha akamwambia yule aliyepooza mkono, faraja yenu.
25Ole wenu ninyi mlioshiba sasa,
“Nyosha mkono wako!” Akaunyosha na mkono
wake ukawa tena mzima kabisa. 11Wale wakuu maana mtaona njaa.
wakakasirika sana, wakashauriana wao kwa Ole wenu ninyi mnaocheka sasa,
wao, ni nini watakachomtendea Yesu. maana mtaomboleza na kulia.
26Ole wenu watu watakapowasifu,
Yesu Achagua Mitume Kumi Na Wawili kwani ndivyo baba zao walivyowasifu
12Ikawa katika siku hizo Yesu alikwenda manabii wa uongo.”
mlimani kuomba, akakesha usiku kucha
13Kulipopambazuka Wapendeni Adui Zenu
akimwomba Mungu.
27“Lakini nawaambia wale wanaonisikia,
akawaita wanafunzi Wake, naye akachagua
kumi na wawili, ambao pia aliwaita mitume: wapendeni adui zenu. Watendeeni mema
14Simoni aliyemwita Petro, Andrea nduguye, wanaowachukia. 28Wabarikini wale
Yakobo, Yohana, Filipo, Bartholomayo, wanaowalaani, waombeeni wale wanao
15Mathayo, Thomasi. Yakobo mwana wa Alfayo, watendea mabaya. 29Kama mtu akikupiga
Simoni aliyeitwa Zelote, 16Yuda mwana wa shavu moja mgeuzie na la pili. Mtu
akikunyang’anya koti lako, usimzuie kuchukua
Yakobo na Yuda Iskariote, ambaye ndiye
aliyemsaliti Yesu. joho pia. 30Mpe kila akuombaye na kama mtu
akichukua mali yako usitake akurudishie.
Yesu Aponya Wengi 31Watendeeni wengine kama ambavyo
17Akashuka pamoja nao akasimama mahali mngetaka wawatendee ninyi.
32“Kama mkiwapenda tu wale

10
LUKA
wanaowapenda, mwapata sifa gani? Hata wenye Mjenzi Mwenye Busara Na Mpumbavu
dhambi huwapenda wale wawapendao. 33Tena 46“Kwa nini mnaniita, ‘Bwana, Bwana,’
mkiwatendea mema wale tu wanaowatendea ninyi nanyi hamfanyi ninayowaambia?
mema mwapata sifa gani? Hata “wenye dhambi” 47Nitawaonyesha jinsi alivyo mtu yule
hufanya vivyo hivyo. 34Tena mnapowakopesha anayekuja kwangu na kusikia maneno Yangu
wale tu mnaotegemea wawalipe, mwapata sifa na kuyatenda. 48Yeye ni kama mtu anayejenga
gani? Hata “wenye dhambi” huwakopesha wenye nyumba, akachimba chini sana na kuweka
dhambi wenzao wakitarajia kulipwa mali yao yote. msingi kwenye mwamba. Mafuriko yalipokuja,
35 Lakini wapendeni adui zenu, watendeeni maji ya ghafula yakaipiga ile nyumba lakini
mema, wakopesheni bila kutegemea kurudishiwa haikutikisika, kwa sababu ilikuwa imejengwa
mlichokopesha. Ndipo thawabu yenu itakapokuwa vizuri juu ya mwamba. 49Lakini yeye ayasikiaye
kubwa, nanyi mtakuwa wana wa Aliye Juu, kwa maneno Yangu na asiyatende ni kama mtu
sababu Yeye ni mwema kwa watu wasio na aliyejenga nyumba juu ya mchanga bila kuweka
shukrani na waovu. 36Iweni na huruma, kama
msingi. Mafuriko yalipoikumba nyumba ile,
ikaanguka mara na kubomoka kabisa.”
Baba yenu alivyo na huruma.
Yesu Amponya Mtumishi Wa Jemadari
Kuwahukumu Wengine
37“Msihukumu, nanyi hamtahukumiwa.
7yoteBaada ya Yesu kumaliza kusema haya
watu wakiwa wanamsikiliza, akaingia
Msilaumu, nanyi hamtalaumiwa. Sameheni, Kapernaumu. 2Mtumishi wa jemadari mmoja wa
nanyi mtasamehewa. 38Wapeni watu vitu, nanyi Kirumi, ambaye bwana wake alimthamini sana,
mtapewa. Kipimo cha kujaa na kushindiliwa na alikuwa mgonjwa sana karibu ya kufa.
3Jemadari huyo aliposikia habari za Yesu,
kusukwasukwa hata kumwagika, ndicho watu
watakachowapa vifuani mwenu. Kwa kuwa aliwatuma wazee wa Kiyahudi Kwake,
wakamwomba aje kumponya mtumishi wa huyo
kipimo kile kile mpimacho, ndicho
jemadari. 4Wale wazee walipofika kwa Yesu,
mtakachopimiwa.” wakamsihi sana amsaidie yule jemadari
39Pia akawapa mfano akasema, “Je, kipofu wakisema, “Mtu huyu anastahili Wewe umfanyie
aweza kumwongoza kipofu? Je, wote wawili jambo hili, 5kwa sababu analipenda taifa letu
hawatatumbukia shimoni? 40 Mwanafunzi tena ametujengea sinagogi.” 6Hivyo Yesu
hamzidi mwalimu wake, ila yule aliyehitimu akaongozana nao,
aweza kuwa kama mwalimu wake. lakini alipokuwa hayuko mbali na nyumbani,
41“Mbona unatazama kibanzi kilichoko yule jemadari akatuma rafiki zake kumwambia
ndani ya jicho la mwenzako nawe huoni boriti Yesu, “Bwana, usijisumbue kwani mimi sistahili
iliyoko ndani ya jicho lako? 42Utawezaje Wewe kuingia chini ya dari yangu. 7Ndiyo
kumwambia ndugu yako, ‘Ndugu yangu, niache maana sikujiona ninastahili hata kuja kwako.
nikitoe hicho kibanzi kilichoko ndani ya jicho Lakini sema neno tu, naye mtumishi wangu
lako’, wakati wewe mwenyewe huoni boriti atapona. 8Kwa kuwa mimi mwenyewe ni mtu
iliyoko ndani ya jicho lako? Ewe mnafiki, ondoa niliyewekwa chini ya mamlaka, nikiwa na askari
kwanza boriti ndani ya jicho lako, ndipo chini yangu. Nikimwambia huyu, ‘Nenda,’ yeye
utakapoweza kuona dhahiri jinsi ya kuondoa huenda na huyu, ‘Njoo,’ yeye huja.
kibanzi kilichoko ndani ya jicho la ndugu yako. Nikimwambia mtumishi wangu, ‘Fanya hili,’ yeye
43“Hakuna mti mzuri uzaao matunda hufanya.”
mabaya wala hakuna mti mbaya uzaao matunda 9Yesu aliposikia maneno haya alimshangaa

mazuri. 44Kila mti hujulikana kwa matunda yake. sana, akaugeukia ule umati wa watu uliokuwa
unamfuata, akawaambia, “Sijaona imani kubwa
Kwa maana watu hawachumi tini kwenye miiba
namna hii hata katika Israeli.” 10Nao wale watu
wala zabibu kwenye michongoma. 45Vivyo hivyo waliokuwa wametumwa kwa Yesu waliporudi
mtu mwema hutoa mambo mema kutoka nyumbani walimkuta yule mtumishi amepona.
kwenye hazina ya moyo wake, naye mtu mwovu
hutoa mambo mabaya kutoka kwenye hazina ya Yesu Amfufua Mwana Wa Mjane
moyo wake. Kwa kuwa mtu hunena kwa kinywa 11Baadaye kidogo, Yesu alikwenda katika
chake yale yaliyoujaza moyo wake. mji mmoja ulioitwa Naini. Nao wanafunzi Wake
11
LUKA
na umati mkubwa wa watu walikwenda pamoja
naye. 12Alipokaribia lango la mji, alikutana na “Tazama, namtuma mjumbe wangu
watu waliokuwa wamebeba maiti wakitoka nje akutangulie, atakayeandaa njia mbele
ya mji. Huyu aliyekufa alikuwa mwana pekee wa yako.”
mwanamke mjane. Umati mkubwa wa watu wa 28Nawaambia, miongoni mwa wale waliozaliwa
mji ule ulikuwa pamoja na huyo mwanamke. na mwanamke hakuna aliye mkuu kuliko
13Bwana Yesu alipomwona yule mjane, moyo Yohana, lakini yeye aliye mdogo kabisa katika
Wake ulimhurumia, akamwambia, “Usilie.” Ufalme wa Mungu ni mkuu kuliko Yohana.”
14Kisha akasogea mbele akaligusa lile (29Watu wote hata watoza ushuru
jeneza na wale waliokuwa wamelibeba waliposikia maneno ya Yesu, walikubali
wakasimama kimya. Akasema, “Kijana, kwamba mpango wa Mungu ni mwema, maana
nakuambia inuka.” 15Yule aliyekuwa amekufa walikuwa wamebatizwa na Yohana. 30Lakini
akaketi akaanza kuongea, naye Yesu Mafarisayo na wataalamu wa sheria walikataa
akamkabidhi kwa mama yake. mpango wa Mungu kwao kwa kutokukubali
16Watu wote wakajawa na hofu ya Mungu, kubatizwa na Yohana.)
nao wakamtukuza Mungu wakisema, “Nabii 31Yesu akawauliza, “Niwafananishe na nini
mkuu ametokea miongoni mwetu, Mungu watu wa kizazi hiki? Wanafanana na nini?
amekuja kuwakomboa watu Wake.” 17Habari 32Wao ni kama watoto waliokaa sokoni
hizi za mambo aliyofanya Yesu zikaenea wakiitana wao kwa wao wakisema:
Uyahudi wote na sehemu zote za jirani.
“ ‘Tuliwapigia filimbi,
Yesu Na Yohana Mbatizaji lakini hamkucheza,
18Wanafunzi wa Yohana Mbatizaji tuliwaimbia nyimbo za
wakamweleza Yohana mambo haya yote. Hivyo maombolezo, lakini hamkulia.’
Yohana akawaita wanafunzi wake wawili 19na
33Kwa maana Yohana Mbatizaji alikuwa hali
kuwatuma kwa Bwana ili kumwuliza, “Je, Wewe
ndiye yule ajaye, au tumtazamie mwingine?’” mkate wala hanywi divai, ninyi mkasema, ‘Ana
20Wale watu walipofika kwa Yesu pepo mchafu,’ 34Mwana wa Adamu alikuja akila
wakamwambia, ‘‘Yohana Mbatizaji ametutuma na kunywa, nanyi mnasema: ‘Mtazameni huyu
tukuulize, ‘Je, Wewe ndiye yule ajaye au mlafi na mlevi, rafiki wa watoza ushuru na
tumtazamie mwingine?’ ’’ wenye dhambi.’ 35Nayo hekima imethibitishwa
21Wakati huo huo, Yesu aliwaponya wengi kuwa kweli na watoto wake wote.”
waliokuwa na magonjwa, maradhi na pepo
wachafu, pia akawafungua vipofu wengi macho Yesu Apakwa Mafuta Na Mwanamke Mwenye
wakaona. 22Hivyo akawajibu wale wajumbe, Dhambi
“Rudini mkamwambie Yohana yote mliyoyaona 36Basi Farisayo mmoja alimwalika Yesu
na kuyasikia. Vipofu wanaona, viwete nyumbani kwake kwa chakula. Hivyo Yesu
wanatembea, wenye ukoma wanatakaswa, akaenda nyumbani mwa yule Farisayo na kukaa
viziwi wanasikia, wafu wanafufuliwa na maskini katika nafasi Yake mezani. 37Naye mwanamke
wahubiriwa Habari Njema. 23Amebarikiwa mtu mmoja kwenye ule mji, ambaye alikuwa mwenye
yule asiyechukizwa nami.” dhambi, alipojua kwamba Yesu alikuwa akila
24Wanafunzi wa Yohana walipoondoka, Yesu chakula nyumbani kwa yule Farisayo, akaleta
akaanza kuuambia ule umati wa watu kuhusu chupa ya marmar yenye manukato. 38Yule
Yohana: “Mlipokwenda nyikani mlikwenda kuona mwanamke akiwa amesimama nyuma ya miguu
nini? Je, ni unyasi ukipeperushwa na upepo? ya Yesu alilia. Akailowanisha miguu yake kwa
25Kama sivyo, mlikwenda kuona nini basi? Mtu machozi yake, kisha akaifuta kwa nywele zake
aliyevaa mavazi ya fahari? La hasha, watu akaibusu na kuimiminia manukato.
39Yule Farisayo aliyemwalika Yesu alipoona
wanaovaa mavazi ya fahari na kuishi maisha ya
anasa hukaa katika majumba ya kifalme. 26Lakini yanayotendeka, akawaza moyoni mwake,
mlikwenda kuona nini? Mlikwenda kumwona “Kama huyu mtu angekuwa nabii, angejua
nabii? Naam! Nawaambia, tena zaidi ya nabii. kwamba ni nani anayemgusa na kwamba yeye
27Huyu ndiye ambaye habari zake zimeandikwa: ni mwanamke wa namna gani na ya kuwa huyu
mwanamke ni mwenye dhambi.”
12
LUKA
40Yesu akanena akamwambia, “Simoni, mfano huu: 5‘‘Mpanzi alitoka kwenda kusia
nina jambo la kukuambia.” mbegu zake. Alipokuwa akitawanya mbegu,
Simoni akajibu, “Mwalimu Sema.” nyingine zilianguka kando ya njia,
41“Palikuwa na mtu mmoja aliyewakopesha zikakanyagwa-kanyagwa na ndege wa angani
watu wawili fedha: Mmoja alidaiwa dinari 500a wakazila. 6Mbegu nyingine zilianguka penye
na mwingine dinari hamsini. 42Wote wawili miamba, nazo zilipoota, hiyo mimea ikakauka
walipokuwa hawawezi kulipa, aliyafuta madeni kwa kukosa unyevu. 7Nazo mbegu nyingine
yao wote wawili. Sasa ni yupi kati yao zilianguka kwenye miiba, ile miiba ikakua
atakayempenda yule aliyewasamehe zaidi?” pamoja nazo na kusonga hiyo mimea ikafa.
43Simoni akajibu, “Nadhani ni yule 8Mbegu nyingine zilianguka penye udongo
aliyesamehewa deni kubwa zaidi.” mzuri. Zikaota na kuzaa mara mia zaidi ya
Naye Yesu akamwambia, “Umehukumu kwa mbegu alizopanda.”
sahihi.” Baada ya kusema haya, Yesu akapaza
44Kisha akamgeukia yule mwanamke sauti akasema, “Mwenye masikio ya kusikia na
akamwambia Simoni, “Je, unamwona asikie.”
mwanamke huyu? Niliingia nyumbani mwako, 9Wanafunzi Wake wakamuliza maana ya
hukunipa maji ya kunawa miguu yangu, lakini mfano huu. 10 Naye akasema, “Ninyi mmejaliwa
huyu ameninawisha miguu kwa machozi yake kufahamu siri za Ufalme wa Mungu, lakini kwa
na kunifuta kwa nywele zake. 45Hukunisalimu wengine nazungumza kwa mifano,
kwa busu, lakini huyu mwanamke hajaacha
kuibusu miguu yangu tangu nilipoingia. ‘Ili ingawa wanaona, wasione,
46Hukunipaka mafuta kichwani mwangu, lakini Ingawa wanasikia, wasielewe.’ ’’
yeye ameipaka miguu yangu manukato. 47Kwa
11“Maana ya mfano huu ni hii: Mbegu ni
hiyo, nakuambia, dhambi zake zilizokuwa nyingi
zimesamehewa, kwani ameonyesha upendo neno la Mungu. 12Zile zilizoanguka kando ya
mwingi. Lakini yule aliyesamehewa kidogo, njia, ni wale ambao husikia neno na ibilisi huja
hupenda kidogo.” na kuliondoa kutoka mioyoni mwao, ili wasije
48Kisha akamwambia yule mwanamke,
wakaamini na kuokoka. 13Zile za kwenye
“Dhambi zako simesamehewa.” mwamba ni wale ambao hulipokea neno kwa
49Lakini wale waliokuwa wameketi pamoja furaha wanapolisikia, lakini hawana mizizi.
naye chakulani wakaanza kusemezana wao Wanaamini kwa kitambo klidogo, lakini wakati
kwa wao, “Huyu ni nani ambaye hata wa kujaribiwa huiacha imani. 14Zile mbegu
anasamehe dhambi?” zilizoanguka kwenye miiba ni mfano wa wale
50Yesu akamwambia yule mwanamke, wanaosikia, lakini wanapoendelea husongwa na
“Imani yako imekuokoa, nenda kwa amani.” masumbufu ya maisha haya, utajiri na anasa,
nao hawakui. 15Lakini zile mbegu kwenye
Mfano Wa Mpanzi udongo mzuri ni mfano wa wale ambao hulisikia
8 Baada ya haya Yesu alikwenda akawa
anazunguka katika miji na vijiji akihubiri Habari
neno la Mungu na kulishika kwa moyo mnyofu
na wa utii, nao kwa kuvumilia kwingi huzaa
Njema za Ufalme wa Mungu. Wale matunda.
wanafunzi Wake kumi na wawili walikuwa
pamoja naye, 2pia baadhi ya wanawake Mfano Wa Taa
waliokuwa wametolewa pepo wachafu na 16 “Hakuna mtu awashaye taa na kuificha
kuponywa magonjwa miongoni mwao alikuwepo
Maria Magdalene, aliyetolewa pepo wachafu ndani ya gudulia au kuiweka mvunguni mwa
saba, 3 Yoana mkewe Kuza, msimamizi wa kitanda. Badala yake, huiweka juu ya kinara, ili
nyumba ya watu wa nyumbani mwa Herode, wale waingiao ndani waone mwanga. 17Kwa
Susana na wengine wengi waliokuwa maana hakuna jambo lo lote lililofichika ambalo
wakimhudumia kwa mali zao. halitafichuliwa, wala lo lote lililositirika ambalo
4 Wakati umati mkubwa wa watu ulipokuwa halitajulikana na kuwekwa wazi. 18Kwa hiyo,
ukija kwa Yesu kutoka mji hadi mji, akawaambia iweni waangalifu mnavyosikia. Kwa maana ye
yote aliye na kitu atazidishiwa na ye yote asiye
a41 Dinari 500 ni sawa na mshahara wa kibarua wa siku 500. nacho, hata kile anachodhani anacho
Kwani mshahara wa kibarua ulikuwa dinari moja kwa siku. atanyang’anywa.’’
13
LUKA
32Palikuwa na kundi kubwa la nguruwe
Ndugu Za Yesu Na Mama Yake
19Wakati mmoja mama yake Yesu na ndugu
hapo karibu wakilisha kandokando ya kilima.
Wale pepo wachafu wakamsihi Yesu
zake walikuja kumwona, lakini hawakuweza awaruhusu wawaingie hao nguruwe, naye
kumfikia kwa sababu ya msongamano wa watu. 33Wale
20Mtu mmoja akamwambia, “Mama Yako na akawaruhusu. pepo wachafu
walipomtoka yule mtu, wakawaingia wale
ndugu Zako wako nje wanataka kukuona.” nguruwe, nalo kundi lote likatelemkia gengeni
21Yesu akamjibu, “Mama Yangu na ndugu
likatumbukia ziwani na kuzama.
Zangu ni wale wote wanaolisikia neno la Mungu 34 Wale watu waliokuwa wakichunga lile
na kulitii.” kundi la nguruwe walipoona yaliyotukia,
wakakimbia, wakaeneza habari hizi mjini na
Yesu Atuliza Dhoruba
22Siku moja Yesu alipanda ndani ya mashua mashambani. 35Nao watu wakatoka kwenda
kujionea wenyewe yaliyotukia. Walipofika hapo
pamoja na wanafunzi Wake, akawaambia, alipokuwa Yesu wakamkuta yule mtu aliyetokwa
“Twendeni tuvuke mpaka ng’ambo ya ziwa.” na pepo wachafu amekaa karibu na Yesu,
23Hivyo wakaondoka, akalala usingizi. Dhoruba
akiwa amevaa nguo na mwenye akili timamu!
kali ikatokea mle ziwani, hata mashua ikawa Wakaogopa sana. 36Wale walioona mambo
inajaa maji, nao walikuwa katika hatari kubwa. hayo wakawaeleza wenzao jinsi yule mtu
24Wanafunzi Wake wakamwendea na
aliyekuwa amepagawa na pepo wachafu
kumwamsha, wakipiga kelele, wakisema, alivyoponywa. 37Ndipo watu wote wa nchi ile ya
‘‘Bwana, Bwana, tunaangamia!”
Wagerasi wakamwomba Yesu aondoke kwao,
Yeye akaamka akaukemea ule upepo na kwa sababu walikuwa wamejawa na hofu. Basi
yale mawimbi, vikakoma, pakawa shwari.
25Akawauliza wanafunzi Wake, “Imani yenu iko
akaingia katika mashua akaondoka Zake.
38Yule mtu aliyetokwa na pepo wachafu
wapi?”
akamsihi Yesu afuatane naye, lakini Yesu
Kwa woga na mshangao wakaulizana,
“Huyu ni mtu wa namna gani ambaye anaamuru akamwaga, akamwambia: 39‘‘Rudi nyumbani
ukawaeleze mambo makuu Mungu
hata upepo na maji navyo vikamtii?”
aliyokutendea.” Kwa hiyo yule mtu akaenda,
Yesu Amponya Mtu Mwenye Pepo Mchafu akatangaza katika mji wote mambo makuu
Yesu aliyomtendea.
26Basi wakafika katika nchi ya Wagerasi,
ambayo iko upande wa pili wa ziwa kutoka Msichana Afufuliwa Na Mwanamke Aponywa
Galilaya, 27Yesu aliposhuka katika mashua na 40Basi Yesu aliporudi, umati mkubwa wa
kukanyaga pwani, alikutana na mtu mmoja wa watu ukampokea kwa furaha, kwani walikuwa
mji ule aliyekuwa amepagawa na pepo mchafu, wakimngojea. 41Kisha mtu mmoja jina lake
naye kwa muda mrefu alikuwa havai nguo wala Yairo, kiongozi wa sinagogi, akaja na kuanguka
kuishi nyumbaini, bali makaburini. miguuni mwa Yesu, akimwomba afike nyumbani
28Alipomwona Yesu alipiga kelele, akajitupa
kwake, 42kwa kuwa binti yake wa pekee,
chini mbele Yake na kusema kwa sauti kuu, mwenye umri wa miaka kumi na miwili, alikuwa
“Nina nini nawe, Yesu Mwana wa Mungu Aliye anakufa.
Juu? Nakuomba, usinitese!’’ 29Wakati huo Yesu Yesu alipokuwa akienda, umati wa watu
alikuwa amemwamuru yule pepo mchafu ukamsonga sana. 43Katika umati huo alikuwepo
amtoke huyo mtu. Mara nyingi huyo pepo mwanamke mmoja aliyekuwa anatokwa damu
mchafu alimpagaa na hata alipofungwa kwa kwa muda wa miaka kumi na miwili, tena
minyororo mikono na miguu na kuwekwa chini alikuwa amegharimia yote aliyokuwa nayo kwa
ya ulinzi alikata hiyo minyororo na kupelekwa na ajili ya matibabu wala hakuna ye yote aliyeweza
huyo pepo mchafu kwenda nyikani.
30Yesu akamwuliza, “Jina lako ni nani?”
kumponya. 44Huyo mwanamke akaja kwa
nyuma na kugusa upindo wa vazi la Yesu, mara
Akamjibu, “Legioni”, maana yake, “Jeshi,” kutokwa damu kwake kukakoma.
kwa kuwa alikuwa ameingiwa na pepo wachafu 45Yesu akauliza, “Ni nani aliyenigusa?”
wengi mno. 31Wale pepo wachafu wakamsihi
sana asiwaamru kwenda shimonia.
a31 “Shimoni” hapa ina maana ya ‘shimo lisilo na mwisho,’ yaani, kuzimu hasa makao ya pepo wachafu.
14
LUKA
Watu wote walipokana, Petro akasema, Habari Njema na kuponya wagonjwa kila
“Bwana, huu umati wa watu unakusonga na mahali.
kukusukuma kila upande.” 7Basi Herode mtawala wa Galilaya akasikia
46Lakini Yesu akasema, “Kuna mtu habari za yote yaliyotendeka, naye akafadhaika
aliyenigusa, kwa maana nimetambua kuwa kwa kuwa baadhi ya watu walikuwa wakisema,
nguvu zimenitoka.” “Yohana Mbatizaji amefufuka.” 8Wengine
47Yule mwanamke alipofahamu ya kuwa wakasema, “Eliya ametutokea” na wengine
hawezi kuendelea kujificha, alikuja akitetemeka, wakasema kwamba, “Mmoja wa manabii wa
akaanguka miguuni mwa Yesu, akaeleza mbele kale amefufuka.” 9Herode akasema, “Yohana
ya watu wote kwa nini alimgusa na jinsi nilimkata kichwa. Lakini ni nani basi huyu
alivyoponywa mara. 48Basi Yesu akamwambia, ambaye ninasikia habari Zake kuhusu mambo
“Binti, imani yako imekuponya. Nenda kwa kama haya?”. Akatamani sana kumwona.
amani.”
49Yesu alipokuwa bado anasema, akaja Yesu Awalisha Watu 5,000
mtumishi kutoka nyumbani kwa Yairo, yule 10Wale mitume Wake waliporudi,
kiongozi wa sinagogi, kumwambia, “Binti yako wakamweleza Yesu yote waliyofanya.
amekwisha kufa. Usiendelee kumsumbua Akawachukua akaenda nao faraghani mpaka
Mwalimu.’’ mji mmoja uitwao Bethsaida. 11Lakini umati wa
50Yesu aliposikia jambo hili, akamwambia watu ulipofahamu alikokwenda, wakamfuata.
Yairo, “Usiogope, amini tu, naye binti yako Akawakaribisha na kunena nao kuhusu Ufalme
atapona.” wa Mungu na kuwaponya wale wote waliokuwa
51Walipofika nyumbani kwa Yairo, wanahitaji uponyaji.
hakumruhusu mtu ye yote aingie ndani pamoja 12Ilipokaribia jioni, wale mitume kumi na
naye isipokuwa Petro, Yakobo na Yohana, baba wawili wakamjia Yesu na kumwambia, “Uage
na mama wa yule binti. 52Wakati ule ule watu umati huu wa watu waondoke ili waweze
wote walikuwa wakilia na kuomboleza kwa ajili kwenda kwenye vijiji vya karibu na sehemu za
ya huyo binti. Yesu akawaambia, “Acheni kulia. jirani, ili kupata chakula na mahali pa kulala kwa
Huyu binti hajafa ila amelala.” maana hapa tuko nyikani.”
53 Wao wakamcheka kwa dharau, wakijua 13 Yesu akawajibu, “Ninyi wapeni chakula.”
kuwa amekwisha kufa. 54Yesu akamshika yule Wao wakasema, “Hatuna zaidi ya mikate
mitano na samaki wawili, labda tuende
binti mkono na kuita, “Binti, amka!” 55Roho yake
ikamrudia, naye akainuka mara. Akaamuru tukanunue chakula cha kuwatosha watu wote
apewe kitu cho chote cha kula. 56Wazazi wake hawa.” 14Kwa kuwa walikuwako wanaume
wakastaajabu sana, lakini Yesu akawakataza wapatao 5,000.
wasimwambie mtu ye yote juu ya yale Yesu akawaambia wanafunzi Wake,
yaliyotukia. “Waketisheni katika makundi ya watu hamsini
hamsini.” 15Wakafanya hivyo, wakawaketisha
Yesu Awatuma Wale Kumi Na Wawili wote. 16Yesu akaichukua ile mikate mitano na
9 Yesu akiisha kuwaita wale kumi na wawili wale samaki wawili, akatazama mbinguni,
akavibariki na kuvimega, kisha akawapa
pamoja, aliwapa mamalaka na uwezo wa kutoa
pepo wachafu wote na kuponya magonjwa wanafunzi wake waugawie ule umati wa watu.
17Wote wakala, wakashiba. Nao wanafunzi
yote, 2 kisha akawatuma waende wakahubiri
Ufalme wa Mungu na kuponya wagonjwa. wakakusanya vipande vilivyobaki, vikajaa
3Akawaagiza akisema, “Msichukue cho chote vikapu kumi na viwili.
safarini, wala fimbo, wala mkoba, wala chakula,
wala fedha, wala msichukue kanzu ya ziada. Petro Amkiri Bwana Yesu Kuwa Ndiye Kristo
4Katika nyumba yo yote mwingiayo, kaeni 18Wakati mmoja, Yesu alipokuwa akiomba
humo hadi mtakapoondoka katika mji huo. faraghani, nao wanafunzi Wake wakiwa pamoja
5Kama watu wasipowakaribisha, mnapoondoka
naye, akawauliza, “Watu husema mimi ni nani?”
katika mji wao, kung’uteni mavumbi miguuni 19Wakamjibu, “Wengine husema Wewe ni
mwenu kuwa ushuhuda dhidi yao.’’ 6Hivyo
wale wanafunzi wakaondoka wakaenda Yohana Mbatizaji, wengine husema ni Eliya na
kutoka kijiji hadi kijiji, wakihubiri wengine husema, Wewe ni mmoja wa nabii wa
kale aliyefufuka kutoka kwa wafu.”
15
LUKA
20Kisha akawauliza, “Je, ninyi mnasema kwa wakati huo hawakumwambia mtu ye yote
Mimi ni nani?” yale waliyokuwa wameyaona.
Petro akajibu, “Wewe ndiwe Kristo wa
Mungu.” Kuponywa Kwa Kijana Mwenye Pepo Mchafu
21Yesu akawakataza wasimwambie mtu ye 37Kesho yake, waliposhuka kutoka mlimani,

yote jambo hilo. 22Yesu akasema, “Imempasa alikutana na umati mkubwa wa watu. 38Mtu
Mwana wa Adamu kupata mateso mengi na mmoja miongoni mwa ule umati wa watu
kukataliwa na wazee, viongozi wa makuhani na ukapiga kelele, akasema, “Mwalimu, naomba
walimu wa sheria, naye atauawa na siku ya tatu umwangalie mwanangu, ndiye mtoto wangu wa
atafufuka.” pekee. 39 Mara kwa mara pepo mchafu
23Kisha akawaambia wote, “Ye yote humpagaa na kumfanya apige kelele, kisha
anayetaka kunifuata ni lazima ajikane humwangusha na kumtia kifafa akatokwa na
mwenyewe, achukue msalaba wake kila siku na povu kinywani. Huyo pepo chafu anamtesa
anifuate. 24Kwa maana ye yote sana na hamwachii ila mara chache.
40Niliwaomba wanafunzi Wako wamtoe huyo
atakayekuyaponya maisha yake atayapoteza,
lakini ye yote atakayepoteza maisha yake kwa pepo mchafu lakini hawakuweza.”
ajili Yangu atayaokoa. 25Je, itamfaidia nini mtu 41Yesu akajibu akawaambia, “Enyi kizazi
kuupata ulimwengu wote, lakini akayapoteza kisichoamini na kilichopotoka, nitakaa nanyi na
maisha yake? 26Kama mtu ye yote akinionea kuwavumilia mpaka lini? Mlete mwanao hapa.”
42Hata yule mtoto alipokuwa akija, yule
aibu Mimi na maneno Yangu, Mwana wa Adamu
atamwonea aibu mtu huyo atakapokuja katika pepo mchafu akamwangusha, akamtia kifafa.
utukufu Wake na katika utukufu wa Baba na wa Lakini Yesu akamkemea yule pepo mchafu
malaika watakatifu. 27Amin, amin nawaambia, amtoke, akamponya yule mtoto, akamrudisha
wako baadhi ya watu waliosimama hapa ambao kwa baba yake. 43Watu wote wakastaajabia
hawataonja mauti mpaka watakapouona Ufalme uweza mkuu wa Mungu.
wa Mungu.’’ Wakati bado watu wanastaajabia hayo yote
aliyokuwa akiyafanya Yesu, Yeye akawaambia
Bwana Yesu Abadilika Sura wanafunzi Wake: 44“Sikilizeni kwa bidii haya
28 Yapata siku nane baada ya Yesu kusema nitakayowaambia sasa: “Mwana wa Adamu
hayo, aliwachukua Petro, Yakobo na Yohana atasalitiwa na kutiwa mikononi mwa watu.”
akaenda nao mlimani kuomba. 29Alipokuwa 45Lakini wao hawakuelewa alimaanisha nini.
akiomba, mwonekano wa sura yake ukabadilika, Maana ya maneno hayo ilifichika kwao, hivyo
mavazi Yake yakameta-meta kama mwanga wa hawakuyaelewa, nao wakaogopa kumwuliza
umeme wa radi. 30Ghafula wakawaona watu maana yake.
wawili, Mose na Eliya wakizungumza naye.
31Walionekana katika utukufu wakizungumza na Ni Nani Atakayekuwa Mkubwa Kuliko Wote
46Kukazuka mabishano miongoni mwa
Yesu kuhusu kifo Chake ambacho kingetokea
huko Yerusalemu. 32Petro na wenzake wanafunzi kuhusu ni nani miongoni mwao
waliokuwa wamelala usingizi mzito walipoamka, atakayekuwa mkuu kuliko wote. 47Lakini Yesu
wakaona utukufu wa Yesu na wale watu wawili akayatambua mawazo yao, akamchukua mtoto
waliokuwa wamesimama pamoja naye. 33Mose mdogo, akamsimamisha kando Yake. 48Kisha
na Eliya, walipokuwa wanaondoka, Petro akawaambia, “Ye yote atakayemkaribisha mtoto
akamwambia Yesu, “Bwana, ni vizuri tukae huyu mdogo kwa Jina langu, atakuwa
hapa! Tutajenga vibanda vitatu, kimoja Chako, amenikaribisha Mimi na ye yote
kingine cha Mose na kingine cha Eliya.” Lakini atakayenikaribisha Mimi, atakuwa
Petro alikuwa hajui asemacho. amemkaribisha Yeye aliyenituma, kwa maana
34Alipokuwa bado anazungumza, pakatokea yeye aliye mdogo miongoni mwenu, ndiye aliye
wingu likawafunika, nao wakaogopa walipoingia mkuu kuliko wote.”
mle kwenye wingu. 35 Sauti ikatoka kwenye lile 49Yohana akasema, “Bwana, tumemwona
wingu ikisema, “Huyu ni Mwanangu mpendwa mtu akitoa pepo wachafu kwa Jina lako
Wangu, msikilizeni Yeye.” 36Baada ya Sauti hiyo tukamzuia, kwa sababu yeye si mmoja wetu.”
kusema, walimkuta Yesu akiwa peke Yake. Wale 50Yesu akasema, “Msimzuie, kwa sababu
wanafunzi wakalihifadhi jambo hili wala ye yote ambaye si kinyume nanyi, yu upande
16
LUKA
wenu.” yake, la sivyo itawarudia. 7Kaeni katika nyumba
hiyo, mkila na kunywa kile watakachowapa, kwa
Yesu Akataliwa Samaria sababu kila mtenda kazi anastahili malipo yake.
51Wakati ulipokaribia wa Yeye kuchukuliwa Msihamehame kutoka nyumba hadi nyumba.
mbinguni, alikaza uso Wake kwenda 8“Mkienda katika mji na watu wake
Yerusalemu. 52Akatuma watu wamtangulie, nao wakawakaribisha, kuleni cho chote kiwekwacho
wakaenda katika kijiji kimoja cha Samaria mbele yenu, 9waponyeni wagonjwa waliomo na
kumwandalia kila kitu, 53lakini watu wa kijiji kile waambieni: ‘Ufalme wa Mungu umekaribia.’
hawakumkaribisha kwa sababu alikuwa 10Lakini mkiingia katika mji, nao
anakwenda Zake Yerusalemu. 54Wanafunzi hawakuwakaribisha, tokeni mwende katika
Wake, yaani, Yakobo na Yohana walipoona barabara zake mkaseme: 11 ‘Hata mavumbi ya
hayo, wakasema: “Bwana, unataka tuagize mji wenu yaliyoshikamana na miguu yetu,
moto kutoka mbinguni ili uwaangamize?” tunayakung’uta dhidi yenu. Lakini mjue kwamba
55Yesu akageuka na kuwakemea, 56nao
Ufalme wa Mungu umekaribia.’ 12Ninawaambia,
wakaenda kijiji kingine. hukumu ya Mungu katika Sodoma itavumilika
zaidi kuliko ya mji ule.
Gharama Ya Kumfuata Yesu
57Walipokuwa njiani wakienda, mtu mmoja Ole Wa Miji Isiyotubu
akamwambia Yesu, “Nitakufuata ko kote 13“Ole wako Korazini! Ole wake Bethsaida!
uendako.” Kwa kuwa miujiza iliyofanyika kwako
58Yesu akamjibu, “Mbweha wana mapango ingefanyika Tiro na Sidoni, ingekuwa imetubu
na ndege wa angani wana viota, lakini Mwana zamani, kwa kuvaa magunia na kujipaka majivu.
14Lakini itavumilika zaidi Tiro na Sidoni katika
wa Adamu hana mahali pa kulaza kichwa
Chake.” hukumu kuliko kwenu. 15Nawe, Kapernaumu,
59Yesu akamwambia mtu mwingine, je, utainuliwa hadi mbinguni? La hasha,
“Nifuate.” utashushwa mpaka kuzimu.”
Mtu huyo akamjibu, “Bwana, niache kwanza 16“Yeye awasikilizaye ninyi, anisikiliza Mimi,
nikamzike baba yangu.” naye awakataaye ninyi, amenikataa Mimi. Lakini
60Yesu akamwambia, “Waache wafu yeye anikataaye Mimi amkataa Yeye
wawazike wafu wao, bali wewe nenda aliyenituma.”
ukautangaze Ufalme wa Mungu.” 17Wale sabini na wawili wakarudi kwa
61Mtu mwingine akamwambia, “Bwana, furaha na kusema, “Bwana, hata pepo wachafu
nitakufuata lakini naomba kwanza nikaage wanatutii kwa Jina Lako.”
jamaa yangu.” 18Yesu akawaambia, “Nilimwona Shetani
62Yesu akamwambia, “Mtu ye yote atiaye akianguka kutoka mbinguni kama umeme wa
mkono wake kulima, kisha akatazama nyuma, radi. 19Tazama nimewapa mamlaka ya
hafai kwa Ufalme wa Mungu.” kukanyaga nyoka na ng’e na juu ya nguvu zote
za adui, wala hakuna kitu cho chote
Yesu Awatuma Wale Sabini Na Wawili kitakachowadhuru kwa namna yo yote. 20Basi
10 Baada ya hayo, Yesu akawachagua wengine msifurahi kwa kuwa pepo wachafu wanawatii,
sabini na wawili, akawatuma wawili wawili katika kila bali furahini kwa kuwa majina yenu
mji na kila sehemu yameandikwa mbinguni.”
aliyokusudia kwenda Yeye mwenyewe.
2Akawaambia, “Mavuno ni mengi, lakini Yesu Anashangilia
watenda kazi ni wachache. Kwa hiyo mwombeni 21Saa ileile, Yesu akashangilia katika Roho
Bwana wa mavuno, awapeleke watenda kazi Mtakatifu akasema, “Nakushukuru Baba, Bwana
katika shamba lake. 3Haya, nendeni. wa mbingu na nchi, kwa sababu mambo haya
Ninawatuma kama kondoo katikati ya mbwa umewaficha wenye hekima na wenye akili,
mwitu. 4Msichukue mkoba wala mfuko, wala nawe umewafunulia watoto wadogo. Naam,
viatu na msimsalimu mtu ye yote njiani. Baba, kwa kuwa hayo ndiyo yaliyokuwa
5“Mkiingia katika nyumba yo yote kwanza mapenzi Yako.
semeni, ‘Amani iwe kwenu.’ 6Kama kuna mtu 22“Vitu vyote vimekabidhiwa mikononi
wa amani humo, basi amani yenu itakuwa juu Mwangu na Baba. Wala hakuna amjuaye
17
LUKA
Mwana ila Baba, wala amjuaye Baba ila Mwana 36 “Ni yupi basi miongoni mwa hawa watatu,
na ye yote ambaye Mwana apenda kumfunulia.” wewe unadhani ni jirani yake yule mtu
23Basi Yesu akawageukia wanafunzi Wake aliyeangukia mikononi mwa wanyang’anyi?”
akanena nao faraghani, akawaambia, 37Yule mtaalam wa sheria akajibu, “Ni yule
“Yamebarikiwa macho yanayoona yale mambo aliyemhurumia.”
mnayoyaona. 24Kwa maana nawaambia, Ndipo Yesu akamwambia, “Nenda,
manabii wengi na wafalme walitamani kuona ukafanye vivyo hivyo.”
mnayoyaona, lakini hawakuyaona, pia kusikia
mnayoyasikia, lakini hawakuyasikia.” Yesu Awatembelea Martha Na Maria
38Ikawa Yesu na wanafunzi Wake
Mfano Wa Msamaria Mwema walipokuwa wakienda Yerusalemu, akaingia
25Wakati huo mtaalam mmoja wa sheria kwenye kijiji kimoja ambapo mwanamke mmoja
alisimama ili kumjaribu Yesu, akamwuliza, aliyeitwa Martha alimkaribisha nyumbani kwake.
“Mwalimu, nifanye nini ili nipate kurithi uzima wa 39Martha alikuwa na mdogo wake aliyeitwa
milele?” Maria, ambaye yeye aliketi chini miguuni mwa
26Yesu akamjibu, “Imeandikwaje katika Yesu akisikiliza yale aliyokuwa akisema.
Torati? Kwani unasoma nini humo?” 40Lakini Martha alikuwa akihangaika na
27Akajibu, “ ‘Mpende Bwana Mungu wako maandalizi yote yaliyokuwa yafanyike. Martha
kwa moyo wako wote, kwa roho yako yote, kwa akaja kwa Yesu na kumwuliza, “Bwana, hujali
nguvu zako zote na kwa akili zako zote, tena kwamba ndugu yangu ameniachia kazi zote
mpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe? Basi mwambie anisaidie.”
mwenyewe.’ ” 41Lakini Bwana akamjibu, “Martha,Martha,
28Yesu akamwambia, “Umejibu vema. mbona unasumbuka na kuhangaika na mengi?
Fanya hivyo nawe utaishi.” 42Lakini kunahitajika kitu kimoja tu. Maria
29Lakini yule mtaalam wa sheria akitaka amechagua kile kilicho bora, wala hakuna mtu
kuonyesha kuwa mwenye haki, akamwuliza atakayemwondolea.”
Yesu, “Jirani yangu ni nani?”
30Yesu akamjibu akasema, “Mtu mmoja Yesu Afundisha Wanafunzi Wake Kuomba
alikuwa akitelemka kutoka Yerusalemu kwenda
Yeriko, naye akaangukia mikononi mwa
11 Siku moja, Yesu alikuwa mahali fulani akiomba.
Alipomaliza kuomba, mmoja wa wanafunzi Wake
wanyang’anyi, wakampiga, wakaondoka, akamwambia, “Bwana,
31
wakamwacha karibu ya kufa. Kwa bahati nzuri tufundishe kuomba, kama vile Yohana
kuhani mmoja alikuwa anapitia njia ile, alivyowafundisha wanafunzi wake.”
alipomwona huyo mtu, akapita upande 2Akawaambia, “Mnapoomba, semeni hivi :
mwingine wa barabara, akamwacha hapo hapo.
32Vivyo hivyo Mlawi mmoja naye alipofika “ ‘Baba yetu uliye mbinguni,
mahali pale, alimwona, akapita upande Jina Lako litukuzwe,
mwingine wa barabara, akamwcha hapo hapo. Ufalme Wako uje.
33‘‘Lakini Msamaria mmoja aliyekuwa akisafiri 3Utupatie kila siku riziki zetu.
kupitia njia hiyo alipomwona, alimhurumia, 4Utusamehe dhambi zetu,
34akamwendea, akasafisha majeraha yake kwa kwa kuwa na sisi huwasamehe
divai na mafuta, kisha akayafunga. Ndipo wote wanaotukosea.
akampandisha kwenye punda wake akamleta Wala usitutie majaribuni, bali utuokoe
mpaka kwenye nyumba ya kulala wageni na kutoka kwa yule mwovu.’ ’’
kumtunza. 35Kesho yake, yule Msamaria
5Kisha akawaambia, “Ni nani miongoni
akachukua dinari mbili a akampa yule mwenye
nyumba ya wageni na kusema, ‘Mtunze, nami mwenu mwenye rafiki yake, naye akamwendea
nirudipo nitakulipa gharama yo yote ya ziada usiku wa manane na kumwambia, ‘Rafiki,
uliyotumia kwa ajili yake. nikopeshe mikate mitatu. 6Kwa sababu rafiki
yangu amekuja kutoka safarini, nami sina kitu
cha kumpa.’
7“Kisha yule aliyeko ndani amjibu,
a35 Dinari mbili ni sawa na mshahara wa kibarua wa siku 2. ‘Usinisumbue. Mlango umefungwa, nami na
Kwani mshahara wa kibarua ulikuwa dinari moja kwa siku.
18
LUKA
watoto wangu tumelala. Siwezi kuamka nikupe Kurudi Kwa Pepo Mchafu
cho chote.’ 8Nawaambia, ingawa huyo mtu 24“Pepo mchafu amtokapo mtu,
hataamka na kumpa hiyo mikate kwa sababu ni huzungukazunguka sehemu zisizo na maji
rafiki yake, lakini kwa sababu ya kuendelea akitafuta mahali pa kupumzika, lakini asipopata
kwake kuomba, ataamka na kumpa kiasi mahali po pote husema, ‘Nitarudi kwenye
anachohitaji. nyumba yangu nilikotoka.’ 25 Arudipo na kuikuta
9Kwa hiyo nawaambia, “Ombeni nanyi ile nyumba imefagiliwa na kupambwa vizuri,
mtapewa, tafuteni nanyi mtapata, bisheni, nanyi 26ndipo huenda na kuchukua pepo wachafu
mtafunguliwa mlango. 10Kwa kuwa kila wengine saba wabaya kuliko yeye mwenyewe,
aombaye hupewa, naye kila atafutaye hupata na huingia na kukaa humo. Nayo hali ya mwisho ya
kila abishaye hufunguliwa mlango. yule mtu huwa ni mbaya kuliko ile ya kwanza.’’
11Je, kuna ye yote miongoni mwenu, 27Ikawa Yesu alipokuwa akisema hayo,
ambaye mtoto wake akimwomba samaki, mwanamke mmoja katikati ya ule umati wa watu
atampa nyoka badala ya samaki? 12Au mtoto akapaza sauti akasema, “Limebarikiwa tumbo
akimwomba yai atampa ng’e? 13 Basi ikiwa ninyi lililokuzaa na matiti uliyonyonya!”
28Yesu akajibu, “Wamebarikiwa zaidi wale
mlio waovu, mnajua kuwapa watoto wenu vitu
vizuri, si zaidi sana Baba yenu wa mbinguni wanaolisikia neno la Mungu na kulitii.”
atawapa Roho Mtakatifu wale wamwombao?”
Ishara Ya Yona
Yesu Na Beelzebuli 29Umati wa watu ulipokuwa unazidi
14Basi Yesu alikuwa anamtoa pepo mchafu kuongezeka, Yesu akaendelea kufundisha
kutoka kwa mtu aliyekuwa bubu. Yule pepo akisema, “Hiki ni kizazi kiovu. Kinatafuta ishara
mchafu alipomtoka yule mtu aliyekuwa bubu, lakini hakitapewa ishara yo yote isipokuwa ile ya
akaanza kuongea, nao umati wa watu Yona. 30Kwa maana kama vile Yona alivyokuwa
ukashangaa. 15Lakini wengine wakasema, ishara kwa watu wa Ninawi, ndivyo Mwana wa
“Anatoa pepo wachafu kwa uwezo wa Adamu atakavyokuwa ishara kwa kizazi cha
Beelzebuli, yule mkuu wa pepo wachafu wote.” sasa. 31 Siku ya hukumu, Malkia wa Kusini
16Wengine ili kumjaribu wakataka awaonyeshe
atainuka pamoja na watu wa kizazi hiki
ishara kutoka mbinguni. akiwahukumu kwa sababu yeye alisafiri kutoka
17Yesu akijua mawazo yao, akawaambia, mbali kuja kusikiliza hekima ya Solomoni. Lakini
“Kila ufalme ukigawanyika dhidi yake wenyewe sasa, Yeye aliye mkuu kuliko Solomoni yuko
huangamia, nayo nyumba iliyogawanyika dhidi hapa. 32Siku ile ya hukumu, watu wa Ninawi
yake yenyewe huanguka. 18Kama Shetani watasimama pamoja na kizazi hiki na
amegawanyika mwenyewe ufalme wake kukihukumu kwa sababu wao walitubu
utasimamaje? Nawaambia haya kwa sababu walipomsikia Yona akihubiri. Lakini sasa, Yeye
ninyi mnadai ya kuwa Mimi ninatoa pepo aliye mkuu kuliko Yona yuko hapa.
wachafu kwa uwezo wa Beelzebuli. 19Kama
Mimi ninatoa pepo wachafu kwa nguvu za Taa Ya Mwili
Beelzebuli, wafuasi wenu je, wao hutoa pepo 33“Hakuna mtu ye yote awashaye taa na
wachafu kwa uwezo wa nani? Hivyo basi, wao kuiweka mahali palipofichika au kuifunikia chini
watakuwa mahakimu wenu. 20 Lakini ikiwa ya bakuli. Badala yake huiweka juu ya kinara
ninatoa pepo wachafu kwa kidole cha Mungu, chake, ili watu wote wanaoingia waone nuru.
basi Ufalme wa Mungu umewajia. 34Jicho lako ni taa ya mwili wako. Kama jicho
21“Mtu mwenye nguvu aliyejifunga silaha, lako ni zima, mwili wako wote umejaa nuru.
anapoilinda nyumba yake, mali yake iko salama. Lakini kama jicho ni bovu, mwili wako wote
22Lakini mtu mwenye nguvu zaidi kuliko yeye umejaa giza. 35Kwa hiyo, hakikisha kwamba
amshambuliapo na kumshinda, humnyang’anya nuru iliyoko ndani yako isiwe giza. 36Basi ikiwa
silaha zake zote alizozitegemea na kuchukua mwili wako wote umejaa nuru, bila sehemu yake
nyara. yo yote kuwa gizani, basi utakuwa na nuru
23 “Mtu ye yote ambaye hayuko pamoja kama vile taa ikuangazavyo kwa nuru yake.’’
nami, yu kinyume changu na mtu ye yote
asiyekusanya pamoja nami, hutapanya. Yesu Awashutumu Mafarisayo Na
Wanasheria

19
LUKA
37Yesu alipomaliza kuzungumza, Farisayo kumsonga kwa maswali, 54wakivizia kumkamata
mmoja alimkaribisha nyumbani kwake kwa kwa kitu atakachosema ili wamshtaki.
chakula. Yesu akaingia na kuketi katika sehemu
Yake mezani. 38Yule Farisayo akashangaa Maonyo Dhidi Ya Unafiki
kwamba Yesu hakunawa kwanza kabla ya kula.
39Ndipo Bwana akamwambia, “Enyi
12 Wakati huo, umati mkubwa wa watu
kwa maelfu, walipokuwa
Mafarisayo, mnasafisha kikombe na sahani kwa wamekusanyika, hata wakawa wanakanyagana,
nje, lakini ndani mmejaa choyo na uovu. 40Enyi Yesu akaanza kuzungumza kwanza na
wapumbavu! Hamjui kuwa Yeye aliyetengeneza wanafunzi Wake, akawaambia: “Jihadharini na
chachu ya Mafarisayo, yaani, unafiki wao.
nje ndiye aliyetengeneza na ndani pia? 41 Basi 2‘‘Hakuna jambo lo lote lililositirika ambalo
toeni sadaka vile mlivyo navyo na tazama, vitu halitafunuliwa au lililofichwa ambalo
vyote vitakuwa safi kwenu. halitajulikana. 3 Kwa hiyo, lo lote mlilosema
42“Lakini ole wenu, Mafarisayo, kwa maana
gizani litasikiwa nuruni na kile mlichonong’ona
mnampa Mungu zaka za mnanaa, mchicha na masikioni mkiwa kwenye vyumba vya ndani,
kila aina ya mboga, lakini mnapuza haki na kitatangazwa juu ya paa.
upendo wa Mungu. Iliwapasa kutoa matoleo 4 “Nawaambieni rariki zangu, msiwaogope
hayo, wala msisahau kufanya hayo mengine. wale wauao mwili na baada ya hilo hawawezi
43“Ole wenu Mafarisayo, kwa sababu ninyi
kufanya lo lote zaidi. 5Lakini nitawaambia nani
mnapenda kuketi viti vya mbele katika wa kumwogopa: ‘‘Mwogopeni yule ambaye
masinagogi na kusalimiwa kwa heshima baada ya kuua mwili, ana mamlaka ya
masokoni. kuwatupa motoni. Naam, nawaambia
44“Ole wenu, kwa sababu ninyi ni kama 6
mwogopeni huyo! Mnajua kwamba shomoro
makaburi yasiyokuwa na alama, ambayo watu watano huuzwa kwa senti mbili? Lakini Mungu
huyakanyaga pasipo kujua.” hamsahau hata mmoja wao. 7Naam, hata idadi
45Mtaalam mmoja wa sheria akamjibu,
ya nywele za vichwa vyenu zimehesabiwa. Kwa
akasema, “Mwalimu, unaposema mambo haya, hiyo msiogope, ninyi ni wa thamani kuliko
unatutukana na sisi pia.” mashomoro wengi.
46Yesu akamjibu, “Nanyi wataalam wa 8“Ninawaambia kwamba, ye yote
sheria, ole wenu, kwa sababu mnawatwika watu atakayenikiri mbele ya watu, Mwana wa Adamu
mizigo mizito ambayo hawawezi kubeba, wala naye atamkiri mbele za malaika wa Mungu.
ninyi wenyewe hamwinui hata kidole kimoja 9Lakini yeye atakayenikana mbele ya watu,
kuwasaidia. Mwana wa Adamu naye atamkana mbele ya
47“Ole wenu, kwa sababu ninyi malaika wa Mungu. 10Naye kila atakaye nena
mnawajengea makaburi manabii waliouawa na neno baya dhidi ya Mwana wa Adamu
baba zenu. 48Hivyo ninyi ni mashahidi na atasamehewa, lakini ye yote atakayemkufuru
mnathibitisha kile baba zenu walichofanya, wao Roho Mtakatifu hatasamehewa.
waliwaua manabii, nanyi mnawatengenezea 11‘‘Watakapowapeleka katika masinagogi
makaburi. 49Kwa sababu ya jambo hili, Mungu mbele ya watawala na wenye mamlaka, msiwe
katika hekima Yake alisema, ‘Tazama, nitatuma na wasiwasi kuhusu namna mtakavyojitetea au
kwao manabii na mitume, nao watawauwa mtakavyosema: 12Kwa maana Roho Mtakatifu
baadhi yao na wengine watawatesa.’ 50Kwa atawafundisha wakati uo huo mnachopaswa
hiyo kizazi hiki kitawajibika kwa ajili ya damu ile kusema.”
ya manabii iliyomwagwa tangu kuwekwa misingi
ya ulimwengu, 51tangu damu ya Abeli mpaka Mfaano Wa Tajiri Mpumbavu
damu ya Zekaria, aliyeuawa kati ya madhabahu 13Mtu mmoja katika umati wa watu
na mahali patakatifu. Naam, nawaambia, kizazi akamwambia Yesu, “Mwalimu, mwambie ndugu
hiki kitawajibika kwa haya yote. yangu tugawane naye urithi wetu.”
52“Ole wenu ninyi wataalam wa sheria, kwa 14Lakini Yesu akamwambia, “Rafiki, ni nani
sababu mmeuondoa ufunguo wa maarifa. Ninyi aliyeniweka Mimi kuwa hakimu wenu au
wenyewe hamkuingia na wale waliokuwa msuluhishi juu yenu?” 15Ndipo Yesu
wanaingia mkawazuia.’’ akawaambia, “Jihadharini! Jilindeni na aina zote
53Yesu alipoondoka huko, walimu wa sheria za choyo. Kwa maana maisha ya mtu
na Mafarisayo wakaanza kumpinga vikali na
20
LUKA
hayatokani na wingi wa mali alizo nazo.” mifuko isiyochakaa, mkajiwekee hazina
16Kisha akawaambia mfano huu: “Shamba mbinguni isiyokwisha, mahali ambapo mwivi
la mtu mmoja tajiri lilizaa sana. 17Akawaza hakaribii wala nondo haharibu. 34Kwa maana
moyoni mwake, ‘Nifanye nini? Sina mahali pa hazina yako ilipo, ndipo na moyo wako
kuhifadhi mavuno yangu.’ utakapokuwa pia.
18“Ndipo huyo tajiri akasema, ‘Nitafanya
hivi: Nitabomoa ghala zangu za nafaka na Kukesha
kujenga nyingine kubwa zaidi na huko 35‘‘Iweni tayari mkiwa mmevikwa kwa ajili
nitayahifadhi mavuno yangu yote na vitu ya huduma na taa zenu zikiwa zinawaka,
vyangu. 19 Nami nitaiambia nafsi yangu, ‘Nafsi, 36kama watumishi wanaomngojea bwana wao
unavyo vitu vingi vizuri ulivyojiwekea miaka arudi kutoka kewnye karamu ya arusini, ili ajapo
mingi. Pumzika, ule, unywe, ufurahi.’ ’’ na kugonga mlango waweze kumfungulia mara.
20“Lakini Mungu akamwambia, ‘Mpumbavu 37Heri wale watumishi ambao bwana wao
wewe! Usiku huu huu uhai wako unatakiwa. atakapokuja atawakuta wakiwa wanakesha.
Sasa hivyo vitu ulivyojiwekea akiba vitakuwa Amin, nawaambia, atajifunga mkanda wake na
vya nani?’ kuwaketisha ili wale, naye atakuja na
21“Hivyo ndivyo ilivyo kwa wale kuwahudumia. 38Itakuwa heri kwa watumwa
wanaojiwekea vitu lakini hawajitajirishi kwa hao ikiwa bwana wao atakapokuja atawakuta
Mungu.’’ wamekesha hata kama atakuja mnamo usiku
wa manane, au karibu na mapambazuko.
Msiwe Na Wasiwasi 39Lakini fahamuni jambo hili kwamba: Kama
22Kisha Yesu akawaambia wanafunzi mwenye nyumba angalijua ni saa ipi mwivi
Wake: “Kwa hiyo ninawaambia, msisumbukie atakapo kuja, asingaliacha nyumba yake
maisha yenu, kwamba mtakula nini, au miili kuvunjwa. 40Ninyi nanyi imewapasa kuwa tayari
yenu kwamba mtavaa nini. 23 Maisha ni zaidi ya saa zote, kwa maana Mwana wa Adamu
chakula na mwili ni zaidi ya mavazi. 24Fikirini atakuja saa ambayo hamumtarajii.”
ndege! Wao hawapandi wala hawavuni, hawana
ghala wala po pote pa kuhifadhi nafaka, lakini Mtumishi Mwaminifu Na Asiye Mwaminifu
Mungu huwalisha. Ninyi ni bora kuliko ndege! 41Ndipo Petro akamwuliza, “Bwana, mfano
25Ni nani miongoni mwenu ambaye kwa huu unatuambia sisi peke yetu au watu wote?”
kusumbuka anaweza kujiongeza maisha yake 42Yesu akamjibu, “Ni yupi basi wakili
hata kwa saa moja? 26Kama hamwezi kufanya mwaminifu na mwenye busara ambaye bwana
jambo dogo kama hilo, kwa nini basi wake atamfanya msimamizi juu ya nyumba yake
kuyasumbukia hayo mengine? yote, naye awape watumishi wengine chakula
27“Angalieni maua jinsi yameavyo: chao wakati unaofaa? 43Itakuwa ni furaha kwa
Hayafumi wala hayasokoti, lakini ninawaambia, mtumishi yule ambaye bwana wake atakaporudi
hata Solomoni katika fahari yake yote, atamkuta akifanya hivyo. 44Amin nawaambia,
hakuvikwa vizuri kama mojawapo ya hayo. atampa mamlaka juu ya vyote alivyo navyo.
28Basi ikiwa Mungu huyavika hivi majani ya 45Lakini ikiwa yule mtumishi atawaza moyoni
shambani ambayo leo yapo kesho yanatupwa mwake, ‘Bwana wangu anakawia kurudi,’ akaanza
motoni, si zaidi sana atawavika ninyi enyi wa kuwapiga wale watumishi wa kiume na wa kike na
imani haba! 29Wala msisumbuke mioyoni kula na kunywa na kulewa, 46bwana wake yule
mwenu mtakula nini au mtakunywa nini. Msiwe mtumwa atakuja siku asiyodhani, na saa
na wasiwasi juu ya haya. 30Watu wasiomjua asiyoijua. Huyo bwana wake atamkata vipande
Mungu husumbuka sana kuhusu vitu hivi vyote. vipande na kumwekea fungu lake pamoja na wale
Naye Baba yenu wa mbinguni anajua kuwa wasio waaminifu.
mnavihitaji. 31Bali utafuteni Ufalme wa Mungu 47“Yule mtumishi anayefahamu vema
na vitu hivyo vyote atawapatia pia. mapenzi ya bwana wake na asijiandae wala
kufanya kama apendavyo bwana wake,
Utajiri Wa Mbinguni atapigwa kwa mapigo mengi. 48Lakini ye yote
32 ‘‘Msiogope enyi kundi dogo, kwa maana ambaye hakujua laini akafanya yale yastahilio
Baba yenu ameona vema kuwapa ninyi Ufalme. kupigwa atapigwa kidogo.Ye yote aliyepewa vitu
33Uzeni mali zenu mkawape maskini. Jifanyieni vingi, atadaiwa vingi na ye yote aliyekabidhiwa
21
LUKA
vingi kwake vitatakiwa vingi. 6Kisha Yesu akawaambia mfano huu: “Mtu
mmoja alikuwa na mtini uliopandwa katika
Sikuleta Amani Bali Mafarakano shamba lake la mizabibu, akaja ili kutafuta tini
49“Nimekuja kuleta moto duniani, laiti kama kwenye mti huo, lakini hakupata hata moja.
7Hivyo akamwambia mtunza shamba: ‘Tazama,
ungekuwa tayari umewashwa! 50Lakini ninao
ubatizo ambao lazima nibatizwe, nayo dhiki kwa muda wa miaka mitatu sasa nimekuwa
Yangu ni kuu mpaka ubatizo huo ukamilike! nikija kutafuta matunda kwenye mtini huu, nami
51Mnadhani nimekuja kuleta amani duniani? La, sikupata hata moja. Ukate! Kwa nini uendelee
nawaamba sivyo, nimekuja kuleta mafarakano. kuharibu ardhi?’
52Kuanzia sasa, kutakuwa na watu watano 8Yule mtunza shamba akamjibu, “ ‘Bwana,
katika nyumba moja, watatu dhidi ya wawili na uache tena kwa mwaka mmoja zaidi, nami
wawili dhidi ya watatu. 53Watafarakana baba nitaupalilia na kuuwekea mbolea. 9Kama ukizaa
dhidi ya mwanawe na mwana dhidi ya babaye, matunda mwaka ujao, vema, la sivyo ukate.’ ”
mama dhidi ya bintiye na binti dhidi ya mamaye,
mama mkwe dhidi ya mkwewe. Naye mkwe Yesu Amponya Mwanamke Kilema Siku Ya
dhidi ya mama mkwe wake.” Sabato
10Basi Yesu alikuwa akifundisha katika
Kutambua Majira
sinagogi mojawapo siku ya Sabato. 11Wakati uo
54Pia Yesu akauambia ule umati wa watu,
huo akaja mwanamke mmoja aliyekuwa na pepo
“Mwonapo wingu likitokea magharibi, mara mchafu, naye alikuwa amepinda mgongo kwa
mwasema, ‘Mvua itanyesha,’ nayo hunyesha. muda wa miaka kumi na minane, wala alikuwa
55Nanyi mwonapo upepo wa kusini ukivuma, hawezi kunyoka wima. 12Yesu alipomwona,
ninyi husema, ‘Kutakuwa na joto’ na huwa hivyo. akamwita akamwambia, “Mwanamke, uwe huru,
56Enyi wanafiki! Mnajua jinsi ya kutambua umepona ugonjwa wako.” 13Yesu alipomwekea
kuonekana kwa dunia na anga. Inakuwaje basi mikono Yake, mara akasimama wima akaanza
kwamba mnashindwa kutambua wakati huu wa kumtukuza Mungu.
sasa? 14Lakini mkuu wa sinagogi, akakasirika kwa
57“Kwa nini hamwamui wenyewe lililo haki?
sababu Yesu alikuwa ameponya mtu siku ya
58Uwapo njiani na adui yako kwenda kwa Sabato. Kwa hiyo mkuu wa sinagogi
hakimu, jitahidi kupatana naye mkiwa njiani. La akaendelea kuuambia ule umati wa watu, “Kuna
sivyo, atakupeleka kwa hakimu, naye hakimu siku sita ambazo watu wanapaswa kufanya
atakukabidhi kwa afisa, naye afisa atakutupa kazi, katika siku hizo, njoni mponywe, lakini si
gerezani. 59Nawaambia, hautatoka humo hadi kuja kuponywa siku ya Sabato.”
ulipe senti ya mwisho.’’ 15Lakini Bwana akamjibu, “Enyi wanafiki!
Je, kila mmoja wenu humfungulii ng’ombe wake
Tubu La Sivyo Utaangamia. au punda wake kutoka zizini akampeleka
13 Wakati huo huo, kulikuwa na watu kumnywesha maji siku ya Sabato? 16Je, huyu
mwanamke, ambaye ni binti wa Abrahamu,
waliomwambia Yesu habari za Wagalilaya
ambao Pilato aliwaua na damu ya hao watu aliyeteswa na Shetani akiwa amemfunga kwa
akaichanganya na dhabihu yao waliyokuwa miaka yote hii kumi na minane, hakustahili
wanatoa 2 Yesu akawauliza, “Mnadhani kufunguliwa kutoka katika kifungo hicho siku ya
kwamba hawa Wagalilaya ambao walikufa kifo Sabato?”
cha namna hiyo wao walikuwa na dhambi 17Aliposema haya, wapinzani Wake
kuwazidi Wagalilaya wengine wote? 3La hasha! wakaaibika, lakini watu wakafurahi kwa ajili ya
Ninyi nanyi msipotubu, mtaangamia vivyo
mambo ya ajabu aliyoyafanya.
hivyo. 4Au wale watu kumi na wanane waliokufa
walipoangukiwa na mnara huko Siloamu, Mfano Wa Punje Ya Haradali
mnadhani wao walikuwa waovu kuliko watu
wote waliokuwa wanaishi Yerusalemu? 18Kisha Yesu akauliza, “Ufalme wa Mungu
5Nawaambia, la hasha! Ninyi nanyi msipotubu,
unafanana na nini? Nitaufananisha na nini?
wote mtaangamia vivyo hivyo.” 19Umefanana na punje ya haradali ambayo ni
ndogo sana, ambayo mtu aliichukua na
Mfano Wa Mti Usiozaa Matunda kuipanda katika shamba lake. Nayo ikakua,
ikawa mti na ndege wa angani wakatengeneza
22
LUKA
viota vyao kwenye matawi yake.” uwauaye manabii na kuwapiga mawe wale
waliotumwa kwako! Mara ngapi nimetamani
Mfano Wa Chachu kuwakusanya watoto wako pamoja kama kuku
20Yesu akauliza tena, “Nitaufananisha akusanyavyo vifaranga vyake chini ya mbawa
Ufalme wa Mungu na nini? Unafanana na zake, lakini hamkutaka! 35Tazama nyumba yenu
chachu ambayo mwanamke aliichukua na inaachwa ukiwa, ninawaambia hamtaniona tena
kuichanganya kwenye vipimo vitatu vya unga mpaka wakati ule mtakaposema, “Amebarikiwa
hadi wote ukawa umeumuka.” Yeye ajaye katika Jina la Bwana.’ ”

Mlango Mwembamba Yesu Nyumbani Mwa Farisayo


22Yesu akapita katika miji na vijiji
akifundisha wakati akisafiri kwenda Yerusalemu.
23Mtu mmoja akamwuliza, “Bwana, ni watu 14 Ikawa siku moja Yesu alipokuwa
amekwenda kula chakula kwa mmoja wa viongozi
wachache tu watakaookolewa?” wa Mafarisayo siku ya Sabato, watu walikuwa
24Yesu akawaambia, “Jitahidini kuingia kwa
wakimchunguza kwa bidii. 2Papo hapo mbele Yake
kupitia mlango mwembamba, kwa maana, palikuwa na mtu mmoja mwenye ugonjwa wa
nawaambia, wengi watajaribu kuingia lakini kuvimba mwili. 3Yesu akawauliza wale Mafarisayo
na walimu wa sheria, “Je, ni halali kuponya watu
hawataweza. 25Wakati mwenye nyumba siku ya Sabato au la?” 4Wakakaa kimya. Hivyo
atakapoondoka na kufunga mlango, mtasimama Yesu akamshika yule mgonjwa mkono na
nje mkigonga mlango na kusema, ‘Bwana, kumponya, akamruhusu
utufungulie mlango.’ aende zake.
“Lakini yeye atawajibu, ‘Siwajua ninyi wala 5Kisha akawauliza, “Kama mmoja wenu
mtokako.’ angekuwa na mtoto au ng’ombe wake
26“Ndipo mtamjibu, ‘Tulikula na kunywa aliyetumbukia katika kisima siku ya Sabato, je,
pamoja nawe, tena ulifundisha katika barabara hamtamvuta mara moja na kumtoa?” 6Nao
zetu.’ hawakuwa na la kusema.
27“Lakini Yeye atawajibu, ‘Siwajui ninyi wala
mtokako. Ondokeni kwangu ninyi watenda Unyenyekevu Na Ukarimu
maovu!’ 7Alipoona jinsi wageni walivyokuwa
28“Ndipo kutakuwako kilio na kusaga meno, wanachagua mahali pa heshima wakati wa kula,
mtakapomwona Abrahamu, Isaki na Yakobo na akawaambia mfano huu: 8‘‘Mtu akikualika
manabii wote wakiwa katika Ufalme wa Mungu, arusini, usikae mahali pa mgeni wa heshima
lakini ninyi mkiwa mmetupwa nje. 29Watu kwa kuwa inawezekana amealikwa mtu
watakuja kutoka mashariki na magharibi, mheshimiwa kuliko wewe. 9Kama mkifanya
kaskazini na kusini, nao wataketi kwenye hivyo yule aliyewaalika ninyi wawili atakuja na
sehemu walizoandaliwa karamuni katika Ufalme kukuambia, ‘Mpishe huyu mtu kiti chako.’ Ndipo
wa Mungu. 30Tazama wako walio wa mwiho kwa aibu utalazimika kukaa katika nafasi ya
watakaokuwa wa kwanza, nao wa kwanza chini kabisa. 10 Badala yake, unapoalikwa,
watakaokuwa wa mwsho.” chagua nafasi ya chini, ili yule mwenyeji wako
atakapokuona atakuja na kukuambia, ‘Rafiki
Yesu Aomboleza Kwa Ajili Ya Yerusalemu yangu, nenda kwenye nafasi iliyo bora zaidi.’
31Wakati huo huo baadhi ya Mafarisayo Kwa jinsi hii utakuwa umepewa heshima mbele
wakamwendea Yesu na kumwambia, “Ondoka ya wageni wenzako wote. 11Kwa maana kila
hapa uende mahali pengine kwa maana Herode mtu ajikwezaye atashushwa, naye ajishushaye
anataka kukuua.” atakwezwa.”
32Yesu akawajibu, “Nendeni mkamwambie 12Kisha Yesu akamwambia yule
yule mbweha, ‘Ninafukuza pepo wachafu na aliyewaalika, “Uandaapo karamu ya chakula
kuponya wagonjwa leo na kesho, nami siku ya cha mchana au cha jioni, usialike rafiki zako au
tatu nitaikamilisha kazi Yangu. 33Sina budi ndugu zako au jamaa zako au majirani zako
kuendelea na safari yangu leo, kesho na kesho walio matajiri tu, ukifanya hivyo, wao nao
kutwa, kwa maana haiwezekani nabii kufa wanaweza kukualika kwao, nawe ukawa
mahali pengine isipokuwa Yerusalemu. umelipwa kile ulichofanya na kupata thawabu
34“Ewe Yerusalemu, Yerusalemu, wewe
yako. 13Bali ufanyapo karamu, waalike maskini,
23
LUKA
vilema na vipofu, 14nawe utabarikiwa kwa fedha za kutosha kukamilisha? 29La sivyo,
sababu hawa hawana uwezo wa kukulipa. akiisha kuweka msingi naye akiwa hana uwezo
Mungu atakulipa wakati wa ufufuo wa wenye wa kuikamilisha, wote waionao wataanza
haki.” kumdhihaki, 30Wakisema, ‘Mtu huyu alianza
kujenga lakini hakuweza kukamilisha.’
Mfano Wa Karamu Kuu 31“Au ni mfalme gani atokaye kwenda
15Mmoja wa wale waliokuwa pamoja naye kupigana vita na mfalme mwingine, ambaye
mezani aliposikia hivi akamwambia Yesu, hakai chini kwanza na kufikiri iwapo akiwa na
“Amebarikiwa mtu yule atakayekula katika jeshi la watu elfu kumi ataweza kupigana na
karamu ya Ufalme wa Mungu!” yule anayekuja na jeshi la watu elfu ishirini?
16Yesu akamjibu, “Mtu mmoja alikuwa 32Kama hawezi, basi wakati yule mwingine
anaandaa karamu kubwa, akaalika watu wengi. akiwa bado yuko mbali, yeye hutuma ujumbe
17Wakati wa karamu ulipofika akamtuma wa watu na kuomba masharti ya amani. 33Vivyo
mtumishi wake akawaambie wale walioalikwa, hivyo, ye yote miongoni mwenu ambaye hawezi
‘Karibuni, kila kitu ni tayari sasa.’ kuacha vyote alivyo navyo, hawezi kuwa
18“Lakini wote, kila mmoja, wakaanza kutoa mwanafunzi Wangu.
udhuru: Wa kwanza akasema, ‘Nimenunua
shamba, lazima niende kuliona. Tafadhali niwie Chumvi Isiyofaa
radhi.’ 34‘‘Chumvi ni kitu kizuri, lakini chumvi ikiwa
19“Mwingine akasema, ‘Ndipo tu nimenunua imepoteza ladha yake, inawezaje kurudishiwa
jozi tano za ng’ombe wa kulimia, nami tena ladha yake? 35Haifai ardhi wala kwa lundo
ninakwenda kuwajaribu, tafadhali niwie radhi.’ la mbolea, bali hutupwa nje.
20Naye mwingine akasema, ‘Nimeoa mke, kwa “Mwenye masikio ya kusikia na asikie.”
hiyo siwezi kuja.’
21 ‘‘Yule mtumishi akarudi, akampa bwana Mfano Wa Kondoo Aliyepotea
wake taarifa. Ndipo yule mwenye nyumba
akakasirika, akamwagiza yule mtumishi wake
15 Basi watoza ushuru na wenye dhambi wote
walikuwa wanakusanyika ili wapate kumsikiliza
akisema, ‘Nenda upesi kwenye mitaa na Yesu. 2Lakini Mafarisayo na
vichochoro vya mjini uwalete maskini, vilema, walimu wa sheria wakanung’unika wakisema,
vipofu na viwete.’ “Huyu mtu anawakaribisha wenye dhambi na
22“Yule mtumishi akamwambia, ‘Bwana, kula nao.”
3Ndipo Yesu akawaambia mfano huu:
yale uliyoniagiza nimefanya, lakini bado ipo
nafasi’ 4“Ikiwa mmoja wenu ana kondoo mia moja naye
23“Ndipo yule bwana akamwambia mtumishi akapoteza mmoja wao, je, hawaachi wale tisini
wake, ‘Nenda kwenye barabara na vijia vilivyoko na tisa nyikani na kwenda kumtafuta huyo
nje ya mji na uwalazimishe watu waingie ili aliyepotea mpaka ampate? 5Naye akiisha
nyumba yangu ipate kujaa. 24Kwa maana kumpata, kwa furaha humbeba mabegani
nawaambia, hakuna hata mmoja wa wale mwake 6na kwenda nyumbani. Kisha huwaita
walioalikwa atakayeionja karamu yangu.’ ” rafiki zake na majirani na kuwaambia, ‘Furahini
pamoja nami, nimempata kondoo wangu
Gharama Ya Kuwa Mwanafunzi
aliyepotea.’ 7Nawaambieni, vivyo hivyo
25Umati mkubwa wa watu ulikuwa ukisafiri
kutakuwa na furaha zaidi mbinguni kwa sababu
pamoja na Yesu, naye akageuka, akawaambia, ya mwenye dhambi mmoja atubuye, kuliko kwa
26‘‘Mtu ye yote anayekuja kwangu hawezi kuwa wenye haki tisini na tisa ambao hawana haja ya
mwanafunzi wangu kama hatanipenda mimi kutubu.”
zaidi ya baba yake na mama yake, mke wake
na watoto, ndugu zake na dada zake, naam, Mfano Wa Sarafu Iliyopotea
hata maisha yake mwenyewe. 27Ye yote 8“Au ikiwa mwanamke ana sarafu za fedha
asiyeuchukua msalaba wake na kunifuata kumi, naye akapoteza moja, je, hawashi taa na
hawezi kuwa mwanafunzi wangu. kufagia nyumba na kuitafuta kwa bidii mpaka
28‘‘Ni nani miongoni mwenu ambaye kama aipate? 9 Naye akisha kuipata, huwaita rafiki
anataka kujenga nyumba, hakai kwanza chini na zake na majirani na kuwaambia, ‘Furahini
kufanya makisio ya gharama aone kama ana pamoja nami, nimeipata ile sarafu yangu ya
24
LUKA
fedha iliyopotea.’10Vivyo hivyo, nawaambia, salama na mzima.’
kuna furaha mbele ya malaika wa Mungu juu ya 28Yule mwana mkubwa akakasirika,
mwenye dhambi mmoja atubuye.” akakataa kuingia ndani. Basi baba yake akatoka
nje na kumbembeleza. 29 Lakini yeye akamjibu
Mfano Wa Mwana Mpotevu baba yake, ‘Tazama! Miaka yote hii
11Yesu akaendelea kusema: “Kulikuwa na nimekutumikia na hata siku moja sijaacha kutii
mtu mmoja aliyekuwa na wana wawili. 12Yule amri zako, lakini hujanipa hata mwana mbuzi ili
mdogo akamwambia baba yake, ‘Baba, nipe nifurahi na rafiki zangu. 30Lakini huyu mwanao
urithi wangu.’ Hivyo akawagawia wanawe mali ambaye ametapanya mali yako kwa makahaba
yake. aliporudi nyumbani, wewe umemchinjia ndama
13‘‘Baada ya muda mfupi, yule mdogo aliyenona!’
akakusanya vitu vyote alivyokwa navyo, 31“Baba yake akamjibu, “ ‘Mwanangu,
akaenda nchi ya mbali na huko akaitapanya umekuwa nami sikuzote na vyote nilivyo navyo
mali yake kwa maisha ya anasa. 14Baada ya ni vyako. 32Lakini ilitubidi tufurahi na kushangilia
kutumia kila kitu alichokuwa nacho, kukawa na kwa sababu huyu mdogo wako alikuwa
njaa kali katika nchi ile yote, naye akawa hana amekufa na sasa yu hai, alikuwa amepotea
cho chote. 15Kwa hiyo akaenda akaajiriwa na naye amepatikana.’ ”
mwenyeji mmoja wa nchi ile ambaye alimpeleka
shambani kwake kulisha nguruwe. 16Akatamani Mfano Wa Msimamizi Mjanja
kujishibisha kwa maganda waliyokula wale
nguruwe, wala hakuna mtu aliyempa cho chote.
16 Yesu akawaambia wanafunzi Wake, “Palikuwa
na tajiri mmoja na msimamizi wake. Ilisemekana
17‘‘Lakini alipozingatia moyoni mwake, kwamba huyo msimamizi
akasema, ‘Ni watumishi wangapi walioajiriwa na alikuwa anatumia vibaya mali ya tajiri yake.
baba yangu ambao wana chakula cha 2Hivyo huyo tajiri akamwita na kumwuliza, ‘Ni
kuwatosha na kusaza, bali mimi hapa nakufa mambo gani haya ninayoyasikia kukuhusu? Toa
kwa njaa! 18Nitaondoka na kurudi kwa baba taarifa ya usimamizi wako, kwa sababu huwezi
yangu na kumwambia, ‘Baba, nimetenda kuendelea kuwa msimamizi.’
dhambi mbele za Mungu na mbele yako. 3“Yule msimamizi akawaza moyoni mwake,
19Sistahili tena kuitwa mwanao, nifanye kama
‘Nitafanya nini sasa? Bwana wangu ananiondoa
mmoja wa watumishi wako.’ 20Basi akaondoka, katika kazi yangu. Sina nguvu za kulima, nami
akaenda kwa baba yake. ninaona aibu kuombaomba. 4Najua
“Lakini alipokuwa bado yuko mbali, baba nitakalofanya ili nikiachishwa kazi yangu hapa,
yake akamwona, moyo wake ukajawa na watu wanikaribishe nyumbani kwao.’
huruma. Akamkimbilia mwanawe, 5‘‘Kwa hiyo akawaita wadeni wote wa
akamkumbatia na kumbusu. bwana wake, mmoja mmoja. Akamwuliza wa
21“Yule mtoto akamwambia baba yake, kwanza, ‘Deni lako kwa bwana wangu ni kiasi
‘Baba, nimekosa mbele za Mungu na mbele gani?’
yako. Sistahili kuitwa mwanao tena.’ 6“Akajibu, ‘Galoni 500a za mafuta ya
22“Lakini baba yake akawaambia watumishi, mizeituni.’
‘Leteni upesi joho lililo bora sana, mkamvike “Msimamizi akamwambia, ‘Chukua hati ya
pete kidoleni mwake na viatu miguuni mwake. deni lako, ibadilishe upesi, uandike galoni 400.’
23Leteni ndama aliyenona, mkamchinje ili tuwe 7“Kisha akamwuliza wa pili, ‘Wewe deni
na karamu, tule na kufurahi. 24Kwa maana huyu lako ni kiasi gani?’
mwanangu alikuwa amekufa na sasa yu hai “Akajibu, ‘Vipimo mia mojab vya ngano.’ “Yule
tena, alikuwa amepotea na sasa amepatikana!’ msimamizi akamwambia, ‘Chukua hati
Nao wakaanza kufanya tafrija. yako, andika vipimo themanini!’
25“Wakati huo, yule mwana mkubwa alikuwa 8“Yule bwana akamsifu yule msimamizi kwa
shambani. Alipokaribia nyumbani, akasikia sauti jinsi alivyotumia ujanja. Kwa maana watu wa
ya nyimbo na watu wakicheza. 26Akamwita mmoja dunia hii wana ujanja zaidi wanapojishughulisha
wa watumishi na kumwuliza, ‘Kuna nini?’ na mambo ya dunia kuliko watu wa nuru.
27Akamwambia, ‘Mdogo wako amekuja, naye
baba yako amemchinja ndama aliyenona kwa a6 Galoni 500 hapa ni sawa na lita 2,500.Galoni moja ni kama
sababu mwanawe amerudi nyumbani akiwa lita 5
b7 Vipimo 100 ni kama magunia 100
25
LUKA
9Nawaambia tumieni mali ya dunia kujipatia 23Kule kuzimu alipokuwa akiteseka, alitazama
marafiki, ili itakapokwisha mkaribishwe katika juu, akamwona Abrahamu kwa mbali, naye
makao ya milele. Lazaro alikuwa karibu yake. 24Hivyo yule tajiri
10“Ye yote aliye mwaminifu katika mambo
akamwita, ‘Baba Abrahamu, nihurumie na
madogo, pia ni mwaminifu hata katika mambo umtume Lazaro achovye ncha ya kidole chake
makubwa, naye mtu ambaye si mwaminifu ndani ya maji aupoze ulimi wangu, kwa sababu
katika mambo madogo pia si mwaminifu katika nina maumivu makuu kwenye moto huu.’
mambo makubwa. 11Ikiwa hamkuwa waaminifu 25“Lakini Abrahamu akamjibu, ‘Mwanangu,
katika mali ya udhalimu, ni nani kumbuka kwamba wakati wa uhai wako ulipata
atakayewaaminia mali ya kweli? 12Nanyi kama mambo mazuri, lakini Lazaro alipata mambo
hamkuwa waaminifu na mali ya mtu mwingine, mabaya. Lakini sasa anafarijiwa hapa na wewe
ni nani atakayewapa iliyo yenu wenyewe? uko katika maumivu makuu. 26Zaidi ya hayo kati
13“Hakuna mtumishi awezaye kuwatumikia yetu na ninyi huko, kumewekwa shimo kubwa,
mabwana wawili. Ama atamchukia mmoja na ili wale wanaotaka kutoka huku kuja huko
kumpenda mwingine au atamheshimu mmoja na wasiweze, wala mtu ye yote asiweze kuvuka
kumdharau mwingine. Hamwezi kumtumikia kutoka huko kuja kwetu.’
Mungu pamoja na malia.” 27“Akasema, ‘Basi, nakuomba, umtume
14Mafarisayo, ambao walikuwa wapenda Lazaro aende nyumbani kwa baba yangu,
fedha, waliyasikia hayo yote na wakamcheka 28maana ninao ndugu watano. Awaonye, ili

kwa dharau. 15 Yesu akawaambia, “Ninyi wasije nao wakafika mahali hapa pa mateso.
29 “Abrahamu akamjibu, ‘Ndugu zako wana
mnajifanya kuwa wenye haki mbele za
wanadamu, lakini Mungu anaijua mioyo yenu. Mose na Manabii, wawasikilize hao.’
Kwa maana vile vitu ambavyo wanadamu 30“ ‘Yule tajiri akasema, ‘Hapana, baba
wanavithamini sana, kwa Mungu ni machukizo. Abrahamu, lakini mtu kutoka kwa wafu
akiwaendea, watatubu.’
Sheria Na Ufalme Wa Mungu 31“Abrahamu akamwambia, ‘Kama
16‘‘Torati na manabii vilitumiwa mpaka kuja wasipowasikiliza Mose na manabii, hawataweza
kwa Yohana Mbatizaji. Tangu wakati huo habari kushawishiwa hata kama atafufuka mtu kutoka
njema za Ufalme wa Mungu zinahubiriwa na kila kwa wafu.’ ”
mmoja hujiingiza kwa nguvu. 17Lakini ni rahisi
zaidi mbingu na nchi kupita kuliko hata herufi Yesu Afundisha Kuhusu Majaribu, Dhambi
moja kuondoka katika Sheria. Na Imani
18“Mtu ye yote ampaye mkewe talaka na
kumwoa mwanamke mwingine azini, naye
17 Yesu akawaambia wanafunzi Wake,
“Mambo yasababishayo watu watende dhambi
mwanaume amwoaye mwanamke aliyetalikiwa hayana budi kutukia. Lakini ole wake mtu yule
azini. anayeyasababisha. 2Ingekuwa heri kama mtu
huyo angefungiwa jiwe zito la kusagia shingoni na
kutoswa baharini kuliko kumfanya mmoja wa hawa
Tajiri Na Lazaro wadogo atende dhambi. 3Kwa
19‘‘Palikuwa na mtu mmoja tajiri aliyevaa hiyo, jilindeni.
nguo za rangi ya zambarau na kitani safi, “Kama ndugu yako akikukosea mwonye,
ambaye aliishi kwa anasa, kila siku. 20Hapo naye akitubu, msamehe. 4Kama akikukosea
penye mlango wake aliishi maskini mmoja, jina mara saba kwa siku moja na mara saba kwa
lake Lazaro, mwenye vidonda mwili mzima. siku moja akaja kwako akisema, ‘Ninatubu’,
21Huyo Lazaro alitamani kujishibisha kwa msamehe.”
makombo yaliyoanguka kutoka mezani kwa yule
tajiri. Hata mbwa walikuwa wakija na kulamba Imani
vidonda vyake. 5Wanafunzi Wake wakamwambia Bwana,
22‘‘Wakati ukafika yule maskini akafa, nao “Tuongezee imani.”
malaika wakamchukua akae pamoja na 6Yesu akawajibu, “Kama mngekuwa na
Abrahamu. Yule tajiri naye akafa na akazikwa. imani ndogo kama punje ya haradali,
mngeweza kuuambia mti huu wa mkuyu,
a13 Neno “Mali” hapa ni neno linalotokana na neno la ‘Ng’oka ukaote baharini,’ Nao ungewatii.
Kiyunani “mammon” linalotokana na Kiaramu, ‘mamon,
mamona,’ yaani, ‘mali, utajiri.’
26
LUKA
kukataliwa na kizazi hiki.
Wajibu Wa Mtumishi 26‘‘Kama ilivyokuwa siku za Noa, ndivyo
7“Ikiwa mmoja wenu ana mtumishi itakavyokuwa katika siku za Mwana wa Adamu.
anayelima shambani au anayechunga kondoo, 27Wakati huo wa Noa watu walikuwa wakila,
je, mtumishi huyo arudipo atamwambia, ‘Karibu wakinywa, wakioa na kuolewa mpaka siku ile
hapa keti ule chakula?’ 8Je, badala yake, Noa alipoingia katika safina, gharika ikaja na
hutamwambia, ‘Niandalie chakula, nile, jifunge kuwaangamiza wote.
unitumikie ninapokula na kunywa, baadaye 28 ‘‘Ndivyo ilivyokuwa katika siku za Lutu:
waweza kula na kunywa?’ 9Je, huyo mtu Watu walikuwa wakila na kuinywa, wakinunua
utamshukuru mtumishi huyo kwa kutimiza yale na kuuza, wakilima na kujenga. 29Lakini siku ile
aliyoamriwa? 10Vivyo hivyo nanyi mkiisha Lutu alipoondoka Sodoma, ikanyesha mvua ya
kufanya mliyoagizwa, semeni, ‘Sisi tu watumishi moto na kiberiti kutoka mbinguni
tusiostahili, tumefanya tu yale tuliyopaswa ukawaangamiza wote.
kufanya.’ ’’ 30‘‘Hivyo ndivyo itakavyokuwa siku ile

Mwana wa Adamu atakapofunuliwa. 31Siku


Yesu Atakasa Wakoma Kumi hiyo, mtu ye yote aliyeko kwenye dari ya
11Yesu alipokuwa njiani akienda nyumba yake, vitu vyake vikiwa ndani ya hiyo
Yerusalemu, alipitia mpakani mwa Samaria na nyumba asishuke kuvichukua. Vivyo hivyo mtu
Galilaya. 12Alipokuwa akiingia kwenye kijiji aliyeko shambani asirudi nyumbani kuchukua
kimoja, watu kumi waliokuwa na ukoma cho chote. 32Mkumbukeni mke wa Lutu! 33 Mtu
wakakutana naye. Wakasimama mbali, ye yote anayejaribu kuyaokoa maisha yake
13wakapaza sauti, wakasema, “Yesu, Bwana, atayapoteza na ye yote atakayeyapoteza
tuhurumie!’’ maisha yake atayaokoa. 34 Nawaambia, usiku
14Alipowaona akawaambia, “Nendeni huo watu wawili watakuwa wamelala kitanda
mkajionyeshe kwa makuhani.” Nao walipokuwa kimoja, mmoja atachukuliwa, mwingine
njiani wakienda, wakatakasika. ataachwa. 35Wanawake wawili watakuwa
15Mmoja wao alipoona kwamba amepona, wanasaga nafaka pamoja, mmoja atachukuliwa
akarudi kwa Yesu, akimsifu Mungu kwa sauti na mwingine ataachwa.” 36Wanaume wawili
kuu. 16Akajitupa miguuni mwa Yesu watakuwa wanafanya kazi pamoja shambani,
akamshukuru. Yeye alikuwa Msamaria. mmoja atachukuliwa na mwingine ataachwa.”
17Yesu akauliza, “Je,hawakuponywa wote 37Kisha wakamwuliza, “Haya yatatukia wapi
kumi? Wako wapi wale wengine tisa? 18Hakuna Bwana?”
hata mmoja aliyeonekana kurudi ili kumshukuru Akawaambia, “Pale ulipo mzoga, ndipo tai
Mungu isipokuwa huyu mgeni?” 19 Yesu watakapokusanyika.”
akamwambia, “Inuka na uende zako, imani yako
imekuponya.” Mfano Wa Mjane Asiyekata Tamaa

Kuja Kwa Ufalme Wa Mungu


18 Kisha Yesu akawapa wanafunzi W ake
mfano ili kuwaonyesha kuwa yawapasa kuomba
20Yesu alipoulizwa na Mafarisayo Ufalme pasipo kukata tamaa. 2Akawaambia, “Katika mji
wa Mungu utakuja lini, Yeye akawajibu, “Ufalme mmoja alikuwapo hakimu ambaye
wa Mungu hauji kwa kuchunguza kwa bidii, hakumwogopa Mungu wala kumjali mtu. 3Katika
21wala watu hawatasema, ‘Huu hapa’ au ‘Ule mji huo alikuwako mjane mmoja ambaye
alikuwa akija kwake mara kwa mara
kule,’ kwa maana Ufalme wa Mungu umo ndani akimwomba, ‘Tafadhali nipatie haki kati yangu
yenu.” na adui yangu.’
22Kisha Yesu akawaambia wanafunzi Wake, 4“Kwa muda mrefu yule hakimu alikataa.
“Wakati utafika ambapo mtatamani kuiona moja ya Lakini hatimaye akasema moyoni mwake,
siku ya Mwana wa Adamu, lakini hamtaiona. ‘Japokuwa simwogopi Mungu wala simjali
23Watu watawaambia, ‘Yule kule!’ Au, ‘Huyu
mwanadamu, 5lakini kwa kuwa huyu mjane
hapa!’ Msiwakimbilie. 24Kwa maana Mwana wa ananisumbuasumbua, nitahakikisha amepata
Adamu katika siku Yake atakuwa kama umeme haki yake ili asiendelee kunichosha kwa kunijia
wa radi, umulikao katika anga kuanzia mwisho mara kwa mara!’ ”
mmoja hadi mwingine. 25Lakini kwanza itampasa 6Bwana akasema, “Sikilizeni asemavyo
kuteseka katika mambo mengi na
27
LUKA
7Je, 22Yesu aliposikia haya, akamwambia,
huyu hakimu dhalimu. Mungu
hatawatendea haki wateule Wake wanaomlilia “Bado kuna jambo moja ulilopungukiwa. Nenda
mchana na usiku? Je, atakawia kuwasaidia? ukauze kila kitu ulicho nacho, uwape maskini,
8Ninawaambia, atawapatia haki upesi. Lakini je, nawe utakuwa na hazina mbinguni. Kisha njoo,
Mwana wa Adamu atakapokuja ataikuta imani unifuate.”
duniani?” 23Aliposikia jambo hili, alisikitika sana kwa
maana alikuwa mtu mwenye mali nyingi. 24
Mfano Wa Farisayo Na Mtoza Ushuru Yesu akamtazama akasema, “Tazama ni jinsi
9Yesu akatoa mfano huu kwa wale gani ilivyo vigumu kwa tajiri kuingia katika
waliojiona kuwa wao ni wenye haki na Ufalme wa Mungu! 25Hakika ni rahisi zaidi kwa
kuwadharau wengine. 10“Watu wawili ngamia kupita katika tundu la sindano kuliko
walikwenda hekaluni kusali, mmoja wao alikuwa tajiri kuingia katika Ufalme wa Mungu.”
Farisayo na mwingine alikuwa mtoza ushuru. 26Wale waliosikia haya wakauliza, “Kama ni
11Yule Farisayo, akiwa amesimama peke yake, vigumu hivyo, ni nani basi awezaye kuokoka?”
akasali hivi: ‘Mungu, ninakushukuru kwa sababu 27Yesu akajibu, “Yasiyowezekana kwa
mimi si kama watu wengine: Wanyang’anyi, wanadamu kwa Mungu yawezekana.”
wadhalimu, wazinzi, wala kama huyu mtoza 28Ndipo Petro akasema, “Tazama,
ushuru. 12Mimi nafunga mara mbili kwa juma, tumeacha vyote tulivyokuwanavyo tukakufuata!”
natoa sehemu ya kumi ya mapato yangu.’
13‘‘Lakini yule mtoza ushuru akasimama 29Yesu akajibu, “Amin nawaambia, hakuna
mbali, hakuthubutu hata kuinua uso wake hata mmoja aliyeacha nyumba yake, au mke,
kutazama mbinguni, bali alijipiga piga kifuani na au ndugu, au wazazi au watoto kwa ajili ya
kusema: ‘Mungu, nihurumie, mimi mwenye Ufalme wa Mungu 30 ambaye hatapewa mara
dhambi.’ nyingi zaidi ya hivyo katika maisha haya na
14“Nawaambia, huyu mtoza ushuru alirudi hatimaye kupata uzima wa milele ujao.’’
nyumbani akiwa amehesabiwa haki mbele za
Mungu zaidi ya yule Farisayo. Kwa maana ye Yesu Kwa Mara Ya Tatu Atabiri Kifo Chake
yote ajikwezaye atashushwa na ye yote 31Yesu akawachukua wale wanafunzi Wake
ajishushaye atakwezwa.” kumi na wawili kando na kuwaambia,
“Tunapanda kwenda Yerusalemu na kila kitu
Yesu Awabariki Watoto Wadogo kilichoandikwa na manabii kumhusu Mwana wa
15Watu walikuwa wakimletea Yesu pia Adamu kitatimizwa. 32Kwa kuwa atatiwa
watoto wachanga ili awaguse. Wanafunzi Wake mikononi mwa watu wasiomjua Mungu, nao
walipoona hivyo, wakawakemea. 16Lakini Yesu watamdhihaki, watamtukana na kumtemea
akawaita wale watoto waje kwake, akasema, mate, watampiga mijeledi na kumwua. 33Siku ya
“Waacheni watoto wadogo waje kwangu, wala tatu atafufuka.”
msiwazuie, kwa maana Ufalme wa Mungu ni wa 34 Wanafunzi Wake hawakuelewa mambo
watu walio kama hawa watoto. 17Amin, haya, kwa kuwa maana yake ilikuwa imefichika
nawaambia, ye yote ambaye hataupokea kwao, nao hawakujua Yesu alikuwa
Ufalme wa Mungu kama mtoto mdogo, anazungumzia nini.
hatauingia kamwe.”
Yesu Amponya Kipofu Karibu Na Yeriko
Mtawala Tajiri 35Yesu alipokuwa anakaribia Yeriko, kipofu
18Mtawala mmoja akamwuliza Yesu, mmoja alikuwa ameketi kando ya njia akiomba
“Mwalimu mwema, nifanye nini ili niurithi uzima msaada. 36Kipofu huyo aliposikia umati wa watu
wa milele?” ukipita, akauliza, “Kuna nini?” 37Wakamwambia,
19Yesu akamjibu, “Mbona unaniita mwema? “Yesu wa Nazareti anapita.”
Hakuna mtu ye yote aliye mwema ila Mungu 38Akapaza sauti, akasema, “Yesu, Mwana
peke Yake. 20Unazifahamu amri: ‘Usizini, usiue, wa Daudi, unirehemu!”
usiibe, usishuhudie uongo, waheshimu baba 39Wale waliokuwa wametangulia mbele
yako na mama yako.’ ” wakamkemea wakamwambia akae kimya.
21 Akajibu, “Amri zote hizi nimezishika tangu Lakini yeye akapaza sauti zaidi, “Mwana wa
ujana wangu.” Daudi, unirehemu!”
28
LUKA
40Yesu akasimama, akawaamuru huyo mtu fedha. Akawaambia, ‘Fanyeni biashara na fedha
aletwe kwake. Alipokaribia, Yesu akamwuliza, hizi mpaka nitakaporudi.’
41“Unataka nikufanyie nini?” 14“Lakini raia wa nchi yake walimchukia
Akajibu, “Bwana, nataka kuona.” wakapeleka ujumbe na kusema, ‘Hatutaki huyu
42 Yesu akamwambia, “Basi upate kuona, mtu awe mfalme wetu.’
15“Hata hivyo alirudi akiwa amekwisha
imani yako imekuponya.” 43Akapata kuona saa
ile ile, akamfuata Yesu, huku akimsifu Mungu. kupokea mamalaka ya ufalme, akawaita wale
Watu wote walipoona mambo hayo, nao watumishi wake aliokuwa amewaachia fedha, ili
wakamsifu Mungu. afahamu ni faida kiasi gani kila mmoja wao
aliyopata kwa kufanya biashiara.
Zakayo Mtoza Ushuru 16“Wa kwanza akaja na kusema, ‘Bwana,

19 Yesu akaingia Yeriko, naye alikuwa


kutokana na fedha uliyoniachia nimepata faida
mara kumi zaidi.’
anapita katikati ya huo mji. 2 Tazama, palikuwa 17“Yule bwana akamjibu, ‘Umefanya vizuri
na mtu mmoja mkuu wa watoza ushuru naye
alikuwa tajiri, jina lake Zakayo. 3Yeye alikuwa mtumishi mwema! Kwa sababu umekuwa
akijitahidi kumwona Yesu ni mtu wa namna mwaminifu katika wajibu mdogo sana, nakupa
gani. Lakini kutokana na umati mkubwa wa mamlaka juu ya miji kumi.’
watu hakuweza kwa sababu alikuwa mfupi wa 18 “Wa pili naye akaja, akasema, ‘Bwana,
kimo. 4Kwa hiyo akatangulia mbio mbele ya fedha yako imeleta faida mara tano zaidi.’
umati wa watu akapanda juu ya mkuyu ili 19“Bwana wake akajibu, ‘Nakupa mamlaka
amwone Yesu, kwa sababu angeipitia
njia ile. juu ya miji mitano.’
5Yesu alipofika pale chini ya huo mkuyu, 20“Kisha akaja yule mtumishi mwingine

akatazama juu, akamwambia, “Zakayo, shuka akasema, ‘Bwana, hii hapa fedha yako.
upesi, kwa maana leo nitakuwa mgeni nyumbani Niliitunza vizuri kwenye kitambaa.
21Nilikuogopa, kwa sababu wewe ni mtu
kwako!” 6Hivyo Zakayo akashuka upesi,
akamkaribisha Yesu nyumbani kwake kwa mgumu. Unachukua ambapo hukuweka kitu na
furaha kubwa. unavuna mahali ambapo hukupanda kitu.’
7Watu 22“Bwana wake akamjibu, ‘Nitakuhukumu
wote walioona, wakaanza
kunung’unika wakisema, “Amekwenda kuwa kwa maneno yako mwenyewe, wewe mtumishi
mgeni wa ‘mtu mwenye dhambi.’ ” mwovu! Kama ulifahamu kwamba mimi ni mtu
8Lakini Zakayo akasimama na kumwambia mgumu, nichukuaye mahali ambapo sikuweka
kitu na kuvuna mahali ambapo sikupanda,
Bwana, “Tazama, Bwana! Sasa hivi nusu ya 23kwa nini basi hukuweka fedha zangu kwa
mali yangu ninawapa maskini, nami kama
nimemdhulumu mtu ye yote kitu cho chote, watoa riba ili nitakaporudi, nichukue iliyo yangu
nitamrudishia mara nne ya hicho kiwango.” na riba yake?’
9Ndipo Yesu akamwambia, “Leo, wokovu 24“Ndipo akawaambia wale waliokuwa

umeingia nyumbani humu kwa sababu, huyu wamesimama karibu, ‘Mnyang’anyeni fungu
lake la fedha mkampe yule mwenye kumi.’
naye, ni mwana wa Abrahamu. 10Kwa maana 25“Wakamwambia, ‘Bwana, mbona tayari
Mwana wa Adamu amekuja kutafuta na kuokoa
kile kilichopotea.” anayo mafungu kumi?’
26“Akawajibu, ‘Nawaambia kwamba, kila
Mfano Wa Fedha aliye na kitu, ataongezewa, naye yule
11Walipokuwa wanasikiliza haya, Yesu asiyetumia alicho nacho atanyang’anywa hata
akaendelea kuwaambia mfano, kwa sababu kile alicho nacho, 27lakini wale adui zangu
alikuwa anakaribia Yerusalemu na watu ambao hawakutaka mimi niwe mfalme juu yao,
walikuwa wakidhani ya kuwa Ufalme wa Mungu waleteni hapa mkawaue mbele yangu.’ ”
ulikuwa unakuja saa iyo hiyo. 12Hivyo Yesu Aingia Yerusalemu Kwa Ushindi
akawaambia: “Mtu mmoja mwenye cheo
28Baada ya Yesu kusema haya, alitangulia
kikubwa, alisafiri kwenda nchi ya mbali ili
akapokee madaraka ya kuwa mfalme, kisha kupanda kwenda Yerusalemu. 29Naye alipokaribia
arudi. 13Hivyo akawaita kumi miongoni mwa Bethfage na Bethania kwenye Mlima uitwao wa
watumishi wake akawapa kila mmoja fungu la Mizeituni, aliwatuma wanafunzi Wake wawili
akawaambia, 30“Nendeni katika
29
LUKA
kijiji kile kilicho mbele yenu, mtakapokuwa kuwafukuza wale waliokuwa wakiuza vitu humo.
mnaingia kijijini, mtamkuta mwana-punda 46Naye akaawaambia, “Imeandikwa, ‘Nyumba
ambaye hajapandwa na mtu bado, akiwa Yangu itakuwa nyumba ya sala, lakini ninyi
amefungwa hapo. Mfungueni, mumlete hapa. mmeifanya kuwa pango la wanyang’anyi.’ ”
31Kama mtu akiwauliza, ‘Mbona mnamfungua?’ 47Kila siku alikuwa akifundisha hekaluni.
Mwambieni, ‘Bwana anamhitaji.’ ” Lakini viongzi wa makuhani, walimu wa sheria
32Wale waliotumwa wakaenda, wakakuta na viongozi wa watu walikuwa wakitafuta njia ili
kila kitu kama vile Yesu alivyokuwa kumwua. 48Lakini hawakupata nafasi kwa
amewaambia. 33Walipokuwa wanamfungua yule sababu watu wote walimfuata wakiyasikiliza
mwana-punda, wenyewe wakawauliza, “Mbona maneno Yake kwa usikivu mwingi.
mnamfungua huyo mwana-punda?”
34Wale wanafunzi wakajibu, “Bwana Wahoji Kuhusu Mamlaka Ya Yesu
anamhitaji.”
35Wakamleta kwa Yesu, nao baada ya 20 Siku moja, Yesu alipokuwa akifundisha watu
hekaluni na kuhubiri habari njema, viongozi wa
kutandika mavazi yao juu ya huyo mwana- makuhani, walimu wa sheria, pamoja na wazee
punda, wakampandisha Yesu juu yake. wakamjia. 2Wakamwuliza, “Tuambie, unafanya
36Alipokuwa akienda akiwa amempanda, watu mambo haya kwa mamlaka
wakatandaza nguo zao barabarani. gani? Ni nani aliyekupa mamlaka haya?”
37Alipokaribia 3Akawajibu, “Nami nitawauliza swali. 4Je,
mahali yanapoanzia
matelemko ya Mlima wa Mizeituni, umati wote ubatizo wa Yohana ulitoka mbinguni au kwa
wa wafuasi Wake wakaanza kumsifu Mungu wanadamu?”
kwa furaha kwa sauti kuu kwa ajili ya matendo 5Wakasemezana wao kwa wao wakisema,
yote ya miujiza waliyoyaona. “Kama tukisema, ulitoka mbinguni, atatuuliza,
‘Mbona hamkumwamini?’ 6Lakini tukisema,
38Wakasema:
ulitoka kwa ‘wanadamu’, watu wote watatupiga
mawe kwa sababu wanaamini kwamba Yohana
“Amebarikiwa Mfalme ajaye kwa Jina la alikuwa nabii.”
7Basi wakajibu, “Hatujui ulikotoka.”
Bwana!”
8Yesu akawaambia, “Wala mimi
“Amani mbinguni na Utukufu Kwake sitawaambia ni kwa mamlaka gani ninafanya
Aliye Juu.” mambo haya.”
39Baadhi ya Mafarisayo waliokuwemo Mfano Wa Wapangaji Waovu
miongoni mwa ule umati wa watu 9 Akaendelea kuwaambia watu mfano huu:
wakamwambia, “Mwalimu, waamuru wanafunzi “Mtu mmoja alipanda shamba lake la mizabibu,
Wako wanyamaze.” akalikodisha kwa wakulima fulani, kisha
40 Yesu akawajibu, “Nawaambia ninyi, kama akasafiri kwa muda mrefu. 10Wakati wa mavuno
hawa wakinyamaza, mawe yatapiga kelele.” akamtuma mtumishi wake kwa hao wakulima
aliowakodishia ili wampatie sehemu ya mavuno
Yesu Anaulilia Mji Wa Yerusalemu ya shamba la mizabibu. Lakini wale wakulima
41Alipokaribia Yerusalemu na kuuona mji, waliokodisha wakampiga na kumfukuza mikono
aliulilia, 42akisema, “Laiti ungalijua hata wewe mitupu. 11Akamtuma mtimishi mwingine, huyo
leo yale ambayo yangeleta amani, lakini sasa naye wakampiga, wakamfanyia mambo ya aibu
yamefichika machoni pako. 43Hakika siku na kumfukuza. 12Bado akamtuma na mwingine
zinakujia, ambazo adui zako watakuzingira, wa tatu, huyu pia wakamjeruhi na kumtupa nje
watakuzunguka pande zote na kukuzuilia ndani. ya shamba.
44Watakuponda chini, wewe na watoto walioko 13“Basi yule mwenye shamba la mizabibu
ndani ya kuta zako. Nao hawataacha hata jiwe akasema, ‘Nifanye nini? Nitamtuma mwanangu
moja juu ya jingine, kwa sababu hukutambua mpendwa, huenda yeye watamheshimu.’
wakati wa kujiliwa kwako.” 14“Lakini wale wakulima waliokodisha
shamba walipomwona wakasemezana wao kwa
Yesu Atakasa Hekaluni
wao na kusema, ‘Huyu ndiye mrithi, basi na
45Ndipo akaingia hekaluni akaanza tumwue ili urithi uwe wetu.’ 15Kwa hiyo
30
LUKA
wakamtoa nje ya shamba la mizaibu, inampasa amwoa huyo mjane ili amzalie ndugu
wakamwua.” yake watoto. 29Basi walikuwepo ndugu saba,
“Sasa basi yule mwenye shamba la wa kwanza akaoa, akafa bila kuzaa mtoto.
mizabibu atawafanyia nini wakulima hawa 30Kisha yule wa pili akamwoa huyo mjane, naye
waliokodisha shamba? 16Atakuja na kuwaua kafa bila mototo. 31Naye wa tatu pia, vivyo hivyo
hao wapangaji na kuwapa wapangaji wengine ndugu wote saba wakawa wamemwoa huyo
hilo shamba la mizabibu.” mwanamke na wote wakafa pasipo kupata
Watu waliposikia hayo wakasema, “Mungu mtoto. 32Mwishowe, huyo mwanamke mjane
apishie mbali jambo hili lisitokee!” naye akafa. 33Sasa basi, siku ya ufufuo huyo
17Lakini Yesu akawakazia macho akasema, mwanamke atakuwa mke wa nani? Maana
“Basi ni nini maana ya yale yaliyoandikwa: aliolewa na ndugu wote saba.’’
34Yesu akawajibu, “Katika maisha haya
“ ‘Jiwe lile walilolikataa waashi, watu huoa na kuolewa. 35Lakini wale ambao
limekuwa jiwe kuu la pembeni?’ wamehesabiwa kwamba wanastahili kupata
nafasi katika ulimwengu ule na katika ufufuo wa
18Kila mtu aangukaye juu ya jiwe hilo atavunjika wafu, hawaoi wala hawaolewi. 36Hawa
vipande vipande na ye yote litakayemwangukia hawawezi kufa tena, kwa maana wao ni kama
litamsagasaga awe unga.” malaika. Wao ni watoto wa Mungu, kwa sababu
19Walimu wa sheria na viongozi wa ni watoto wa ufufuo. 37Hata Mose alidhihirisha
makuhani wakatafuta njia ya kumkamata mara kuwa wafu wanafufuka, kwa habari ya kile
moja kwa sababu walifahamu kwamba ametoa kichaka kilichokuwa kikiwaka moto bila
mfano huo kwa ajili yao. Lakini waliwaogopa keteketea, alipomwita Bwana ‘Mungu wa
watu. Abrahamu, Mungu wa Isaki na Mungu wa
Yakobo.’ 38Yeye Mungu si Mungu wa wafu bali
Kumlipa Kaisari Kodi wa walio hai, kwa kuwa Kwake wote ni hai.”
20Kwa hiyo wakawa wanamchunguza na 39Baadhi ya walimu wa sheria wakasema,
kutuma wapelelezi waliojifanya kuwa waaminifu “Mwalimu, umesema sawasawa kabisa!”
ili wapate kumtega kwa maneno asemayo ili 40Baada ya hayo hakuna mtu aliyethubutu
wamtie katika uwezo na mamlaka ya mtawala. kumwuliza maswali zaid..
21Hivyo wale wapelelezi wakamwuliza,
“Mwalimu, tunajua unasema na kufundisha Kristo Ni Mwana Wa Nani?
yaliyo kweli wala humpendelei mtu, bali 41Kisha Yesu akawaambia, “Imekuwaje
wafundisha njia ya Mungu kwa kufuata ukweli. basi wao husema Kristo ni Mwana wa Daudi?
22Je, ni halali sisi kumlipa Kaisari kodi au la?” 42Daudi mwenyewe anasema katika Kitabu cha
23Lakini Yesu akatambua hila yao, kwa hiyo Zaburi,
akawaambia, “Kwa nini ninyi mnanijaribu?”
24Nionyesheni dinari. Je, picha hii na maandishi ‘ “BWANA alimwambia Bwana wangu:
haya yaliyoko juu yake ni ya nani?” “Keti mkono wangu wa kuume
25Wakamjibu, “Ni ya Kaisari.” 43mpaka niwaweke adui
Akawaambia, “Basi mpeni Kaisari kilicho zako chini ya miguu yako.’ ”
cha Kaisari na Mungu mpeni kilicho cha
Mungu.” 44Ikiwa Daudi anamwita Yeye ‘Bwana,’ basi,
26Wakashindwa kumkamata kwa yale atakuwaje Mwanawe?”
aliyokuwa amesema hadharani. Nao
wakashangazwa mno na majibu Yake, Yesu Awashutumu Walimu Wa Sheria
wakanyamaza kimya. 45Wakati watu wote walipokuwa
wanamsikiliza, Yesu akawaambia wanafunzi
Ufufuo Na Ndoa
Wake, 46 “Jihadharini na walimu wa sheria. Wao
27Baadhi ya Masadukayo, wale wasemao
hupenda kutembea wakiwa wamevaa majoho
kwamba hakuna ufufuo wa wafu, wakamjia marefu na kusalimiwa kwa heshima masokoni.
Yesu na kumwuliza, 28“Mwalimu, Mose Hukaa kwenye viti maalum katika masinagogi na
alituandikia kwamba kama ndugu wa mtu akifa kukaa kwenye sehemu za wageni wa heshima
na kuacha mkewe bila mtoto, basi huyo mtu katika karamu. 47Wanakula nyumba za
31
LUKA
wajane na ili waonekane mbele ya watu husali ya mashtaka. 15Kwa maana nitawapa maneno
sala ndefu. Watu kama hawa watapata hukumu na hekima ambayo hakuna hata adui yenu
iliyo kuu. mmoja atakayeweza kushindana nayo wala
kuipinga. 16Mtasalitiwa hata na wazazi, ndugu,
Sadaka Ya Mjane jamaa na marafiki na baadhi yenu watawaua.

21
17Mtachukiwa na watu wote kwa ajili ya Jina
Yesu alipoinua macho yake, aliwaona
langu. 18Lakini hapatakuwa na unywele mmoja
matajiri wakiweka sadaka zao kwenye sanduku
la hazina ya hekalu. 2Akamwona pia mwanamke wa kichwa chenu utakaoangamia. 19Kwa
mmoja mjane maskini, akiweka humo sarafu kuvumilia mtaokoa roho zenu.
mbili za shaba. 3 Yesu akasema, “Amin, amin
nawaambia, huyu mjane maskini ameweka Kuharibiwa Kwa Yerusalemu Kwatabiriwa
humo sadaka kubwa zaidi kuliko wengine 20“Mtakapoona mji wa Yerusalemu
wote. 4Hawa watu wengine wote wametoa umezungukwa na majeshi, basi fahamuni
sadaka kwa Mungu kutokana na wingi wa mali
zao, lakini huyu mjane ametoa kutokana na kwamba kuharibiwa kwake kumekaribia.
umaskini wake vyote alivyokuwa 21Wakati huo, wale walio Uyahudi wakimbilie
navyo kwa ajili ya maisha yake.” milimani, walio mjini Yerusalemu watoke humo
na wale walioko mashambani wasiingie mjini.
Dalili Za Siku Za Mwisho 22Kwa sababu huu utakuwa ni wakati wa
5Baadhi ya wanafunzi Wake wakawa adhabu ili kutimiza yaliyoandikwa. 23Ole wao
wanamwonyesha jinsi hekalu lilivyopambwa kwa wenye mimba na watakaoukuwa
mawe mazuri na kwa vitu vilivyotolewa kuwa wananyonyesha katika siku hizo! Kutakuwa na
sadaka kwa Mungu. Lakini Yesu akawaambia, dhiki kuu katika nchi na ghadhabu juu ya hawa
6“Kuhusu haya mnayoyaona hapa saa, wakati watu 24Wataanguka kwa makali ya upanga,
utafika ambapo hakuna jiwe moja litakalosalia wengine watachukuliwa kuwa mateka katika
juu ya jiwe jingine, kila moja litabomolewa.” mataifa yote, nao Yerusalemu utakanyagwa na
watu Mataifa mpaka muda wa hao watu Mataifa
7Wakamwuliza, “Mwalimu, mambo haya utimie.
yatatukia lini? Ni dalili gani zitaonyesha kwamba
yanakaribia kutendeka?” Kuja Kwa Mwana Wa Adamu
8Yesu 25“Kutakuwa na ishara katika jua, mwezi na
akawajibu, “Jihadharini msije
mkadanganywa. Maana wengi watakuja kwa nyota. Hapa duniani, mataifa yatakuwa katika
Jina langu, wakidai kwamba, ‘Mimi ndiye,’ nao dhiki na fadhaa kutokana na ngurumo na
‘Wakati umekaribia.’ Msiwafuate. 9Lakini misukosuko ya bahari. 26Watu watazimia roho
msikiapo habari za vita na machafuko, kutokana na hofu kuu na kuyaona yale mambo
msiogope. Kwa maana hayo ni lazima yatokee yanayotokea duniani, kwa maana nguvu za vitu
kwanza, ila ule mwisho hautakuja wakati huo.” vya angani zitatikisika. 27Wakati huo ndipo
10Kisha akawaambia: “Taifa litainuka dhidi watakapomwona Mwana wa Adamu akija
ya taifa jingine na ufalme mmoja dhidi ya ufalme mawinguni pamoja na uweza na utukufu mkuu.
28Mambo haya yatakapoanza kutendeka,
mwingie. 11Kutakuwa na matetemeko ya ardhi
katika sehemu mbalimbali, njaa kali na simameni na mkaviinue vichwa vyenu, kwa
magonjwa ya kuambukiza. Kutakuwa na sababu ukombozi wenu umekaribia.”
29Akawaambia mfano huu: “Uangalieni mtini
matukio ya kutisha na ishara kuu kutoka
mbinguni. na miti mingine yote. 30Unapochipua majani, ninyi
wenyewe mnaweza kuona na kutambua ya kuwa
Mateso wakati wa kiangazi umekaribia. 31Vivyo hivyo,
12“Lakini kabla yote hayajatokea, mnapoyaona mambo haya yakitukia, mwajua
watawakamata ninyi na kuwatesa. Watawatia kwamba Ufalme wa Mungu umekaribia.
mikononi mwa wakuu wa masinagogi na 32“Amin, amin nawaambia, kizazi hiki
kufungwa magerezani; nayi mtapelekwa mbele hakika hakitapita hadi mambo haya yote
ya wafalme na watawala kwa ajili ya Jina langu. yatimie. 33Mbingu na nchi zitapita, lakini
13Hii itawapa nafasi ya kushuhudia. 14 Lakini maneno Yangu hayatapita kamwe.”
msiwe na wasiwasi kwamba mtasema nini kabla
Siku Ya Mwisho Itakuja Ghafula
32
LUKA
34“Jihadharini mioyo yenu isije ikalemewa na
anasa, ulevi na fadhaa za maisha haya, nayo siku Kuanzishwa Kwa Meza Ya Bwana
ile ikawakuta ninyi bila kutazamia kama vile mtego 14Wakati ulipowadia, Yesu akaketi mezani
unasavyo. 35Kwa maana kama vile mtego pamoja na wanafunzi Wake. 15Kisha
unasavyo, ndivyo siku hiyo itakavyowapata akawaambia, “Nimetamani sana kuila Pasaka
wanadamu wote waishio katika uso wa dunia yote. hii pamoja nanyi kabla ya kuteswa Kwangu.
36Kesheni daima na mwombe ili mweze kuokoka 16Kwa maana, nawaambia, sitaila tena Pasaka
na yale yote yatakayotokea na kusimama mbele mpaka itakapotimizwa katika Ufalme wa
ya Mwana wa Adamu.” Mungu.”
37Kila siku Yesu alikuwa akifundisha 17Akiisha kukichukua kikombe, akashukuru,
hekaluni na jioni ilipofika, alikwenda Zake akasema, “Chukueni hiki mnywe wote. 18Kwa
kwenye Mlima wa Mizeituni na kukaa huko usiku maana, nawaambia kwamba, tangu sasa
kucha. 38Nao watu wote walikuja asubuhi na sitakunywa tena divai hadi Ufalme wa Mungu
mapema hekaluni ili kumsikiliza. utakapokuja.”
19Kisha akachukua mkate, akashukuru,
Yuda Akubali Kumsaliti Yesu akaumega, akawapa akisema, “Huu ni mwili
22 Wakati huu Sikukuu ya Mikate Isiyotiwa
Wangu unaotolewa kwa ajili yenu, fanyeni hivi
kwa ukumbusho Wangu.”
Chachu, iitwayo Pasaka, ilikuwa imekaribia. 20Vivyo hivyo baada ya kula, akachukua kile
2Viongozi wa makuhani na walimu wa sheria
walikuwa wanatafuta njia ya kumwua Yesu, kwa kikombe akasema, “Kikombe hiki ni agano jipya
sababu waliwaogopa watu. 3Shetani katika damu Yangu, imwagikayo kwa ajili yenu.
21Lakini mkono wake huyo atakaenisaliti uko hapa
akamwingia Yuda, aliyeitwa Iskariote, mmoja wa
wale Kumi na Wawili. 4Yuda akaenda kwa mezani pamoja nami. 22Mwana wa Adamu
viongozi wa makuhani na kwa maafisa wa anakwenda Zake kama ilivyokusudiwa, lakini ole
walinzi wa hekalu kuzungumza nao jinsi
ambavyo angeweza kumsaliti Yesu. Wakafurahi wake mtu huyo atakayenisaliti.” 23 Wakaanza
na wakakubaliana kumpa fedha. 6Naye kuulizana wao kwa wao, ni nani miongoni mwetu
akakubali, akaanza kutafuta wasaa mzuri wa anayeweza kufanya jambo hilo?
kumsaliti Yesu kwao wakati ambapo hakuna
umati wa watu. Mabishano Kuhusu Ukuu
24Pia yakazuka mabishano katikati ya
Maandalizi Ya Pasaka wanafunzi kwamba ni nani anayeonekana kuwa
7Basi ikawadia siku ya Mikate Isiyotiwa mkuu wa wote miongoni mwao. 25Yesu
Chachu, siku ambayo Mwana-Kondoo wa akawaambia, “Wafalme na watu wakuu
Pasaka huchinjwa. 8Hivyo Yesu akawatuma wasiomjua Mungu huwatawala watu wao kwa
Petro na Yohana, akisema, “Nendeni nguvu na wenye mamlaka juu yao huitwa
mkatuandalie chakula cha Pasaka ili tuweze ‘Wafadhili.’ 26Lakini ninyi msifanane nao. Bali
kuila.” yeye aliye mkuu kuliko wote miongoni mwenu,
9Wakamwuliza, “Unataka tukuandalie wapi inampasa kuwa kama yeye aliye mdogo wa
Pasaka?” wote, naye atawalaye na awe kama yeye
10Yesu akawaambia, “Sikilizeni, ahudumuye. 27Kwani ni nani aliye mkuu? Ni
mtakapokuwa mmeingia mjini, mtakutana na yule aketiye mezani au ni yule ahudumiaye? Si
mwanaume mmoja aliyebeba mtungi wa maji, ni yule aliyekaa mezani? Lakini Mimi niko
mfuateni mpaka kwenye nyumba atakayoingia, miongoni mwenu kama yule ahudumiaye.
11nanyi mwambieni mwenye nyumba, ‘Mwalimu 28“Ninyi mmekuwa pamoja nami katika majaribu
anauliza, kiko wapi chumba cha wageni, Yangu. 29Nami kama Baba Yangu alivyonipa
ambamo mimi na wanafunzi Wangu tutakula ufalme, kadhalika mimi nami ninawapa ninyi,
Pasaka?’ 12Atawaonyesha chumba kikubwa 30ili mpate kula na kunywa mezani pangu katika
ghorofani, ambacho kina samani zote kikiwa karamu ya Ufalme Wangu na kukaa katika viti
kimepambwa vizuri. Tuandalieni humo.” vya enzi, mkihukumu makabila kumi na mawili
13Wakaenda, wakakuta kila kitu kama Yesu ya Israeli.
alivyokuwa amewaambia. Kwa hiyo wakaandaa
Pasaka. Yesu Atabiri Kuwa Petro Atamkana
31Yesu akasema, “Simoni, Simoni, sikiliza,

33
LUKA
Shetani ameomba kuwapepeta ninyi wote kama wa wale Wanafunzi Kumi na Wawili.
ngano. 32Lakini nimekuombea wewe Simoni ili Akamkaribia Yesu ili ambusu. 48Lakini Yesu
imani yako isishindwe, nawe ukiisha kunirudia, akamwambia, “Yuda, je, unamsaliti Mwana wa
uwaimarishe ndugu zako.” Adamu kwa busu?”
33Petro akajibu, “Bwana, niko tayari kwenda 49Wafuasi wa Yesu walipoona yale
pamoja nawe gerezani na hata kifoni.” yaliyokuwa yanakaribia kutokea, wakasema,
34 Yesu akamjibu, “Ninakwambia Petro, “Bwana, tutumie panga zetu?” 50Mmoja wao
kabla jogoo hajawika usiku huu wa leo, akampiga mtumishi wa Kuhani Mkuu kwa
utanikana mara tatu kwamba hunijui Mimi.” upanga, akamkata sikio la kuume.
51Lakini Yesu akasema, “Acheni!” Akaligusa
Mfuko, Mkoba Na Upanga lile sikio la yule mtu na kumponya.
35Kisha Yesu akawauliza, “Nilipowatuma 52Kisha Yesu akawaambia viongozi wa
bila mfuko, wala mkoba, wala viatu, makuhani, maafisa wa walinzi wa hekalu na
mlipungukiwa na kitu cho chote?” wazee waliokuwa wamekuja, “Mmekuja na
Wakajibu, “La, hatukupungukiwa na kitu cho panga na marungu, kana kwamba Mimi ni
chote.” mnyang’anyi? 53Siku kwa siku nilikuwa pamoja
36Akawaambia, “Lakini sasa, aliye na mfuko nanyi hekaluni lakini hamkunikamata. Lakini hii
na auchukue na aliye na mkoba vivyo hivyo. ni saa yenu, wakati giza linatawala!”
Naye asiye na upanga, auze joho lake anunue
mmoja. 37Kwa sababu, nawaambia, andiko hili Petro Amkana Yesu
lazima litimizwe juu Yangu, kwamba, 54Kisha wakamkamata Yesu, wakamchukua
“Alihesabiwa pamoja na wahalifu, kwa kweli wakaenda naye mpaka nyumbani kwa Kuhani
yaliyoandikwa kunihusu Mimi hayana budi Mkuu. Lakini Petro akafuata kwa mbali.
kutimizwa.” 55Walipokwisha kuwasha moto katikati ya ua na
38Wanafunzi Wake wakamwambia, “Bwana, kuketi pamoja, Petro naye akaketi pamoja nao.
tazama hapa kuna panga mbili.” 56Mtumishi wa kike mmoja akamwona Petro
Akawajibu, “Inatosha.” ameketi pale kwenye mwanga wa moto.
Akamwangalia kwa uangalifu na kusema, “Huyu
Yesu Aomba Kwenye Mlima Wa Mizeituni mtu pia alikuwa pamoja na Yesu!”
39Yesu akatoka akaenda kwenye Mlima wa 57Lakini Petro akakana akasema, “Ewe
Mizeituni kama ilivyokuwa kawaida Yake, nao mwanamke, hata simjui!!”
wanafunzi Wake wakamfuata. 40Walipofika 58Baadaye kidogo mtu mwingine, kwa
huko, akawaambia wanafunzi Wake, “Ombeni kumwona Petro, akasema, “Wewe pia ni mmoja
msije mkaangukia majaribuni.” 41Akajitenga wao!”
nao, kama umbali wa kutupa jiwe, akapiga 59Baada ya muda wa kama saa moja hivi,
magoti, akaomba, 42akisema, “Baba, kama ni mtu mwingine akazidi kusisitiza, “Kwa hakika
mapenzi Yako, niondolee kikombe hiki, lakini si huyu mtu naye alikuwa pamoja na Yesu, kwa
kama Mimi nipendavyo, bali mapenzi Yako maana yeye pia ni Mgalilaya.”
yatendeke.” 43Malaika kutoka mbinguni 60Petro akajibu, “Wewe mtu, mimi sijui
akamtokea, akamtia nguvu. 44Naye akiwa katika unalosema!” Wakati uo huo, akiwa bado
maumivu makuu, akaomba kwa bidii, nalo jasho anazungumza, jogoo akawika. 61Naye Bwana
Lake likawa kama matone ya damu akageuka akamtazama Petro. Ndipo Petro
yakidondoka ardhini. akakumbuka yale maneno ambayo Bwana
45 Baada ya kuomba, akawarudia alimwambia, “Kabla jogoo hajawika leo,
wanafunzi Wake akawakuta wamelala, wakiwa utanikana mara tatu.” 62Akatoka nje, akalia
wamechoka kutokana na huzuni. 46Naye sana.
akawauliza, “Mbona mmelala? Amkeni mwombe
ili msiangukie majaribuni.” Walinzi Wamdhihaki Yesu Na Kumpiga
63Wale watu waliokuwa wanamlinda Yesu
Yesu Akamatwa wakaanza kumdhihaki na kumpiga.
47Wakati Yesu alipokuwa bado 64Wakamfunga kitambaa machoni na
anazungumza, umati mkubwa wa watu ukaja, kumwuliza, “Tabiri!” Tuambie ni nani
ukiongozwa na Yuda, ambaye alikuwa mmoja
aliyekupiga?” 65Wakaendelea kumtukana kwa
34
LUKA
matusi mengi. wakitoa mashtaka yao kwa nguvu sana.
11Herode na maaskari wake wakamdhihaki
Yesu Apelekwa Mbele Ya Baraza Yesu na kumfanyia mzaha. Wakamvika vazi
66 Kulipopambazuka barazaa la wazee wa zuri sana, wakamrudisha kwa Pilato. 12 Siku
watu, viongozi wa makuhani na walimu wa hiyo, Herode na Pilato wakawa marafiki, kabla
sheria, wakakutana pamoja, naye Yesu ya jambo hili walikuwa na uadui kati yao.
akaletwa mbele yao. 67Wakamwambia, “Kama
Wewe ndiye Kristo, tuambie.” Yesu Ahukumiwa Kifo
Yesu akawajibu, “Hata nikiwaambia 13Basi Pilato akawaita pamoja viongozi wa
hamtaamini. 68Nami nikiwauliza swali, makuhani, viongozi wengine na watu,
69
hamtanijibu. Lakini kuanzia sasa, Mwana wa 14akawaambia, “Ninyi mlimleta huyu mtu
Adamu ataketi mkono wa kuume wa Mungu kwangu kuwa ni mtu anayewachochea watu ili
Mwenye Nguvu.” waasi. Nimemhoji mbele yenu nami nimeona
70Wote wakauliza, “Wewe basi ndiwe hakuna msingi wo wote wa mashtaka yenu dhidi
Mwana wa Mungu?” Yake. 15Wala Herode hakumwona na kosa lo
Yeye akawajibu, “Ninyi mmesema kwamba lote, ndiyo sababu amemrudisha kwetu. Kama
Mimi ndiye.” mnavyoona, mtu huyu hakufanya jambo lo lote
71Kisha wakasema, “Kwani tunahitaji linalostahili kifo. 16Kwa hiyo nitaamuru apigwe
ushahidi gani zaidi? Tumesikia wenyewe kutoka mijeledi na kumwachia.” (17Kwa kuwa ilikuwa
kinywani Mwake.” lazima kuwafungulia mfungwa mmoja wakati wa
Sikukuu).
Yesu Apelekwa Kwa Pilato 18Ndipo watu wote wakapiga kelele kwa

23 Kisha umati wote wa watu wakainuka na pamoja, “Mwondoe mtu huyo! Tufungulie
Baraba!” (19 Baraba alikuwa amefungwa
kumpeleka Yesu kwa Pilato. 2Nao wakaanza
kumshtaki wakisema: “Tumemwona huyu mtu gerezani kwa sababu ya maasi yaliyokuwa
akipotosha taifa letu, akiwazuia watu wasilipe yametokea mjini na kwa ajili ya mauaji).
kodi kwa Kaisari na kujiita kuwa Yeye 20Pilato akitaka kumwachilia Yesu,
ni Kristo, mfalme.” akasema nao tena. 21Lakini wao wakaendelea
3Basi Pilato akamwuliza Yesu, “Wewe ndiye kupiga kelele wakisema, “Msulibishe!
mfalme wa Wayahudi?” Msulibishe! Msulibishe!”
Yesu akajibu, “Wewe wasema.” 22Kwa mara ya tatu Pilato akawaambia,
4Pilato akawaambia viongozi wa makuhani “Kwani amefanya kosa gani huyu mtu? Sikuona
na watu wote waliokuwapo, “Sioni sababu ya Kwake sababu yo yote inayostahili adhabu ya
kutosha kumshtaki mtu huyu!” kifo. Kwa hiyo nitaamuru apigwe mijeledi na
5Lakini wao wakakazana kusema, kisha nitamwachia.”
“Anawachochea watu kwa mafundisho Yake 23Lakini watu wakazidi kupiga kelele kwa
katika Uyahudi yote, tangu Galilaya alikoanzia, nguvu wakidai kwamba Yesu asulibiwe. Hivyo,
hadi sehemu hii!” kelele zao zikashinda. 24Kwa hiyo Pilato akatoa
hukumu kwamba madai yao yatimizwe.
Yesu Apelekwa Kwa Herode 25Akamfungua yule mtu aliyekuwa amefungwa
6Pilato aliposikia hayo akauliza, ‘Huyu mtu
gerezani kwa kuhusika katika uasi dhidi ya
ni Mgalilaya?” 7Alipofahamu kwamba Yesu serikali na mauaji. Akamkabidhi Yesu mikononi
alikuwa chini ya mamlaka ya Herode, mwao, wamfanyie watakavyo.
akampeleka kwa Herode, ambaye wakati huo
alikuwa pia Yerusalemu. Kusulibiwa Kwa Yesu
8Herode alipomwona Yesu alifurahi sana, 26Walipokuwa wakienda naye,
kwa sababu kwa muda mrefu alikuwa amesikia wakamkamata mtu mmoja aitwaye Simoni
mambo mengi kumhusu Yeye. Pia alitarajia mweyeji wa Kirene, aliyekuwa anatoka
kumwona akifanya miujiza kadha wa kadha. shambani. Wakambebesha msalaba,
9Pilato akamwuliza maswali mengi, lakini Yesu
wakamlazimisha auchukue nyuma ya Yesu.
hakumjibu lo lote. 10Wakati huo viongozi wa 27Idadi kubwa ya watu wakamfuata Yesu,
makuhani na walimu wa sheria walikuwepo wakiwamo wanawake waliokuwa wakimlilia na
a66 Baraza hapa maana yake “Sanhedrin”
kumwombolezea. 28Yesu akawageukia,
35
LUKA
akawaambia, “Enyi binti za Yerusalemu, likachanika vipande viwili. 46Yesu akapaza sauti
msinililie Mimi bali jililieni ninyi wenyewe na Yake akasema, “Baba, mikononi mwako
watoto wanu. 29Kwa maana wakati utafika naikabidhi roho Yangu.” Baada ya kusema
mtakaposema, ‘Wamebarikiwa wanawake tasa, haya, akakata roho.
ambao matumbo yao hayakuzaa wala matiti yao 47Yule jemadari alipoona yaliyotukia,
hayakunyonyesha!’ akamsifu Mungu akasema, “Hakika, mtu huyu
alikuwa mwenye haki.” 48Watu wote waliokuwa
30“Ndipo wataiambia milima,
wamekusanyika hapo kushuhudia tukio hili
‘Tuangukieni’ na vilima, ‘Tufunikeni!’ walipoyaona hayo, wakapigapiga vifua vyao
31Kwa
kwa huzuni na kwenda zao. 49Lakini wale wote
maana kama wamefanya hivi kwa mti waliomfahamu, pamoja na wale wanawake
mbichi, kwa mti mkavu itakuwaje?” waliokuwa wamemfuata kutoka Galilaya,
32Watu wengine wawili wahalifu walisimama kwa mbali wakiyatazama mambo
walipelekwa pamoja na Yesu ili wakasulibiwe. haya.
33Walipofika mahali paitwapo “Fuvu La Kichwa,”
hapo ndipo walipomsulibisha Yesu pamoja na Maziko Ya Yesu
hao wahalifu, mmoja upande Wake wa kuume 50Basi kulikuwa na mtu mmoja mwema na
na mwingine upande Wake wa kushoto. 34Yesu mwenye haki jina lake Yosefu.Yeye alikuwa
akasema, “Baba, wasamehe, kwa maana mjube wa Barazab la Wayahudi, 51 lakini yeye
hawajui walitendalo!” Wakagawana nguo Zake hakuwa amekubaliana na maamuzi na vitendo
kwa kupiga kura. vya viongozi wenzake. Huyu alikuwa mweyeji
35Watu wakasimama hapo wakimwangalia, wa Arimathaya huko Uyahudi, naye alikuwa
nao viongozi wa Wayahudi wakamdhihaki unaungojea Ufalme wa Mungu kwa matarajio
wakisema, “Aliokoa wengine! Ajiokoe makubwa. 52Yosefu alikwenda kwa Pilato
mwenyewe basi, kama Yeye ndiye Kristo wa akaomba apewe mwili wa Yesu. 53Akaushusha
Mungu, Mteule wake.” kutoka msalabani, akauzungushia kitani safi na
36Askari nao wakaja, wakamdhihaki, kuuweka katika kaburi lililochongwa kwenye
wakamletea siki ili anywe. 37Nao mwamba, ambalo lilikuwa hajazikiwa mtu
wakamwambia, “Kama Wewe ni Mfalme wa mwingine ye yote. 54Ilikuwa siku ya Maandalio,
Wayahudi, jiokoe mwenyewe.” nayo Sabato ilikuwa karibu kuanza.
38Maandishi haya yaliwekwa kwenye 55Wale wanawake waliokuwa wamekuja
msalaba juu ya kichwa Chake: “HUYU NDIYE pamoja na Yesu wakimfuata kutoka
MFALME WA WAYAHUDI.” Galilaya,wakamfuata Yosefu, wakaliona kaburi
39Mmoja wa wale wahalifu waliosulibiwa
na jinsi mwili wa Yesu ulivyolazwa. 56Kisha
pamoja naye akamtukana, akasema: “Wewe si wakarudi nyumbani, wakaandaa manukato na
ndiye Kristo? Jiokoe ili utuokoe na sisi.” marhamu ya kuupaka huo mwili. Lakini
40Lakini yule mhalifu mwingine akamkemea wakapumzika siku ya Sabato kama
mwenzake, akasema, “Je, wewe humwogopi ilivyoamriwa.
Mungu, wakati uko kwenye adhabu hiyo hiyo?
41Sisi tumehukumiwa kwa haki kwa kuwa Kufufuka Kwa Yesu
tunapata tunayostahili kwa ajili ya matendo yetu. Mnamo siku ya kwanza ya juma, alfajiri
Lakini huyu mtu hajafanya kosa lo lote.” 24 na mapema, wale wanawake
42Kisha akasema, “Bwana Yesu, walichukua yale manukato waliyokuwa
unikumbuke utakapokuja katika Ufalme Wako.” wameyaandaa na kwenda kaburini. 2Wakakuta
43Yesu akamjibu, “Amin, nakuambia, leo hii lile jiwe limefingirishwa kutoka kwenye kaburi,
3lakini walipoingia ndani, hawakuuona mwili wa
utakuwa pamoja nami Paradisoa”
Bwana Yesu. 4Walipokuwa wanashangaa juu
Kifo Cha Yesu ya jambo hili, ghafula watu wawili waliokuwa
44Ilikuwa kama saa sita mchana, kukawa na wamevaa mavazi yanayong’aa kama umeme
giza katika nchi yote mpaka saa tisa, 45kwa
sababu jua liliacha kutoa nuru. Pazia la hekalu
b50 Baraza hapa ina maana ya Sanhedrin ambalo lilikuwa
ndilo baraza la juu kabisa la uatawala la
a43 Paradiso maana yake bustani nzuri , hapa ina maana Kiyahudi,lililoundwa na wazee 70 pamoja na Kuhani Mkuu
mahali zinapokwenda roho za wacha Mungu, yaani, watakatifu
36
LUKA
wa radi, wakasimama karibu nao. 5Wale alfajiri, 23lakini hawakuukuta mwili Wake.
wanawake, wakiwa na hofu, wakainamisha nyuso Walirudi wakasema wameona maono ya
zao mpaka chini. Lakini wale watu wakawaambia, malaika ambao waliwaambia kwamba Yesu yu
“Kwa nini mnamtafuta aliye hai miongoni mwa hai. 24Kisha baadhi ya wenzetu walikwenda
wafu? 6Hayuko hapa, amefufuka! Kumbukeni kaburini wakalikuta kama vile wale wanawake
alivyowaambia alipokuwa bado yuko pamoja nanyi walivyosema, lakini Yeye hawakumwona.”
25Yesu akawaambia, “Ninyi ni wajinga kiasi
huko Galilaya kwamba: 7‘Ilikuwa lazima Mwana
gani, nanyi ni wazito mioyoni mwenu kuamini
wa Adamu atiwe mikononi mwa watu wenye
dhambi, waovu, asulibiwe na siku ya tatu afufuke.’ mambo yote yaliyonenwa na manabii! 26Je,
haikumpasa Kristo kuteswa kwa njia hiyo na
” 8Ndipo wakayakumbuka maneno ya Yesu.
kisha aingie katika utukufu Wake?” 27Naye
9Waliporudi kutoka huko kaburini, akianzia na Mose na manabii wote,
wakawaeleza wale wanafunzi kumi na mmoja akawafafanulia jinsi maandiko yalivyosema
pamoja na wengine wote mambo haya yote. kumhusu Yeye.
10Basi hawa walikuwa Maria Magdalene, Yoana 28Nao wakakaribia kile kijiji walichokuwa
na Maria mama yake Yakobo, pamoja na wakienda, Yesu akawa kama anaendelea
wengine waliofuatana nao. 11Lakini wale mbele. 29Lakini wao wakamsihi sana akae nao,
waliosikia hawakuwasadiki hao wanawake, kwa wakisema, “Kaa hapa nasi, kwa maana sasa ni
sababu maneno yao yalionekana kama upuzi. jioni na usiku unaingia.’’ Basi akaingia ndani
12Petro, hata hivyo, akainuka na kukimbilia kule kukaa nao.
30Alipokuwa mezani pamoja nao,
kaburini. Alipoinama kuchungulia, akaona vile
vitambaa vya kitani, ila hakuona kitu kingine. akachukua mkate, akashukuru, akaumega,
Naye akaenda zake akijiuliza nini kilichotokea. akaanza kuwagawia. 31Ndipo macho yao
yakafumbuliwa, nao wakamtambua, naye
Njiani Kwenda Emau akatoweka machoni pao. Hawakumwona tena.
13Ikawa siku iyo hiyo, wanafunzi wawili wa 32Wakaulizana wao kwa wao, “Je, mioyo yetu
Yesu walikuwa njiani wakienda kijiji cha Emau, haikuwakawaka kwa furaha ndani yetu
yapata maili sabaa kutoka Yerusalemu. alipokuwa anazungumza nasi njiani na
14Walikuwa wakizungumza wao kwa wao kutufafanulia Maandiko?”
kuhusu mambo yote yaliyotukia. 15Walipokuwa 33Wakaondoka mara, wakarudi Yerusalemu.
wakizungumza na kujadiliana, Yesu mwenyewe Wakawakuta wale wanafunzi kumi na mmoja na
akaja akatembea pamoja nao, 16lakini macho wale waliokuwa pamoja nao, wamekusanyika
yao yakazuiliwa wasimtambue. 34wakisema, “Ni kweli Bwana amefufuka, naye
17Akawauliza, “Ni mambo gani haya
amemtokea Simoni.” 35Kisha wale wanafunzi
mnayozungumza wakati mnatembea?” wawili wakaeleza yaliyotukia njiani na jinsi
Wakasimama, nyuso zao zikionyesha walivyomtambua Yesu alipoumega mkate.
huzuni. 18Mmoja wao, aliyeitwa Kleopa,
akamwuliza, “Je, Wewe ndiye peke yako mgeni Yesu Awatokea Wanafunzi Wake
huku Yerusalemu ambaye hufahamu mambo 36 Wakati walipokuwa bado wanazungumza
yaliyotukia humo siku hizi?” hayo, Yesu mwenyewe akasimama katikati yao
19Akawauliza, “Mambo gani?” akasema, “Amani iwe nanyi.”
Wakamjibu, “Mambo ya Yesu wa Nazareti. 37Wakashtuka na kuogopa wakidhani
Yeye alikuwa nabii, mwenye uwezo mkuu katika kwamba wameona mzuka. 38 Lakini Yesu
maneno Yake na matendo Yake, mbele za
akawauliza, “Kwa nini mnaogopa? Kwa nini
Mungu na mbele ya wanadamu wote.
20Viongozi wa makuhani na viongozi wetu mna shaka mioyoni mwenu? 39Tazameni
mikono Yangu na miguu Yangu, mwone kuwa ni
walimtoa ahukumiwe kufa, nao wakamsulibisha. mimi hasa. Niguseni mwone, kwa maana mzuka
21Lakini tulikuwa tumetegemea kwamba Yeye
hauna nyama na mifupa, kama mnionavyo
ndiye angeliikomboa Israeli. Zaidi ya hayo, leo ni kuwa nayo.’’
siku ya tatu tangu mambo haya yatokee. 40Aliposema haya, akawaonyesha mikono
22Isitoshe, baadhi ya wanawake katika kundi
na miguuu Yake. 41Wakashindwa kuamini kwa
letu wametushtusha. Walikwenda kaburini leo ajili ya furaha na mshangao waliokuwa nao.
Akawauliza, “Mna chakula cho chote hapa?”
a13 Maili saba ni kama kilomita 11.2
37
LUKA
42Wakampa kipande cha samaki aliyeokwa,
43nayeakakichukua na kukila mbele yao.
44Akawaambia, “Haya ndiyo yale
niliyowaambia nilipokuwa bado niko pamoja
nanyi, kwamba yote yaliyoandikwa kunihusu
Mimi katika Torati ya Mose, manabii na Zaburi
hayana budi kutimizwa.”
45Ndipo akafungua fahamu zao ili waweze
kuyaelewa Maandiko. 46Akawaambia, “Haya
ndiyo yaliyoandikwa: Kristo atateswa na siku ya
tatu atafufuka kutoka kwa wafu. 47Toba na
msamaha wa dhambi utatangazwa kupitia Jina
Lake, kuanzia Yerusalemu. 48Ninyi ni mashahidi
wa mambo haya.

Kuahadiwa Kwa Roho Mtakatifu


49 Tazama nawaletea juu yenu ahadi ya
Baba Yangu, lakini kaeni humu Yerusalemu
mpaka mtakapovikwa uwezo utokao juu.”

Kupaa Kwa Yesu Mbinguni


50Akiisha kuwaongoza mpaka kwenye
viunga vya Bethania, akainua mikono Yake juu
na kuwabariki. 51Alipokuwa anawabariki,
akawaacha, akachukuliwa mbinguni. 52Kisha
wakamwabudu na kurudi Yerusalemu wakiwa
wamejawa na furaha kuu. 53Nao wakadumu
ndani ya hekalu wakimtukuza Mungu. Amen.

38
YOHANA
Utangulizi
Miongoni mwa Injili zote nne, Injili ya Yohana ni ya aina ya pekee.Ingawa kwa ujumla inaonyesha maisha ya
Yesu na huduma Yake, iko tofauti sana katika mpangilio na mfumo ukilinganisha na zile nyingine tatu.Injili hii
haina mifano, ina miujiza miwili tu iliyoandikwa katika zile Injili nyigine zinazofanana (Mathayo, Marko na Luka) na
mingine mitano ambayo ni Yohana peke yake anayeieleza.
Mtume Yohana aliandika Injili hii miaka mingi baada ya kufa na kufufuka kwa Yesu. Kusudi la kuiandika
ilikuwa kwamba wale wanaoisoma wamwamini Yesu Kristo na kwa njia hiyo wapate uzima wa milele (Yohana
20:31). Yohana anaanza na utangulizi wa pekee ambao haumo katika Injili nyingine. Anaeleza juu ya kuwapo
kwa Yesu pamoja na Baba kabla ya kitu cho chote kuumbwa. Kwa njia hii anaonyesha wazi kwamba Yesu
hakuwa tu mwanadamu wa pekee bali ana asili ya Mungu. Katika Injili hii tunapata habari za baadhi ya miujiza ya
Yesu na mafundisho Yake ambayo hayakutajwa katika Injili nyingine. Sehemu kubwa (Yohana 14-17 ) inaeleza
mafundisho ambayo Yesu aliwapa wanafunzi wake kabla ya kifo chake. Sehemu maalumu inaeleza jinsi Yesu
alivyojidhihirisha kwa wanafunzi wake baada ya kufa na kufufuka kwake.

Wazo Kuu
Injili ya Yohana inatilia mkazo zaidi Uungu wa Kristo. Pia inatueleza kwa undani zaidi ishara ambazo Injili
nyingine zinaziita miujiza, ili msomaji aweze kuamini kwamba Yesu ndiye Kristo, Mwana wa Mungu na kwamba
kwa kuamini apate uzima wa milele.(20;30-31).Zile ishara ambazo mwandishi anazielezea zinatoa uthibitisho wa
uweza wa Yesu Kristo wa kiungu na maana hasa ya maisha Yake pale ambapo mwanadamu hana uwezo.Neno
“amini” linaonekana mara tisini na nane.Yesu anatambulishwa kama NENO katika Injili hii, pia anaitwa Nuru,
Kweli, Upendo, Mchungaji Mwema, Mlango, Ufufuo na Uzima, Mkate wa Mbinguni na majina mengine.
Ule ukweli kwamba Yesu ni Mwana wa Mungu umerudiwa mara kwa mara. Wakati huo huo ubinadamu wa
Yesu unaonyeshwa katika hali Zake za kuchoka, kuhuzunika, kulia, nk
Mwandishi
Yohana ndiye mwandishi wa Injili hii,kwani huyu ndiye yule mwanafunzi mpendwa (13:23) aliyekuwa na Yesu
kila mahali na ambaye ndiye aliyeegama kifuani mwa Yesu wakati wa chakula cha mwisho na wanafunzi
Wake.Matukio ya Yohana kuwa na upendo na uhusiano wa karibu sana na Yesu umetajwa mara nyingi.Huyu
ndiye Yohana mwana wa Zebedayo.Yohana alikuwa Mgalilaya mvuvi (Mk.1:19-20.) Yesu alipomwita. Yohana na
Yakobo nduguye waliungana na Andrea na Petro katika uanafunzi wa Yesu. Mama yake Yohana alikuwa Salome
dada yake Maria mamaye Yesu (ona Mat.27:56; Mk.15:40; Yh.29:25)

Tarehe
Karibu na mwisho wa karne ya kwanza kama 90 B.K.

Mahali
Nyumbani kwa Yohana kulikuwa Efeso na ambako ndiko alikozikwa. Kwa hiyo kuna uwezekano mkubwa
kwamba Injli hii iliandikiwa Efeso.

Mgawanyo
• Mwanzo unaonyesha kuwa Yesu ni Mungu (1:1-14)
• Huduma ya Yesu kabla ya kwenda Galilaya (1:15-4:54)
• Huduma ya Yesu huko Galilaya na upinzani uliomkabili huko Yerusalemu (5:1-10:42)
• Kufufuliwa kwa Lazaro (11:1-57)
• Kukamilishwa kwa huduma ya Bwana Yesu (12:1-13:38)
• Mafundisho ya mwisho ya Bwana Yesu (14:1-17:26)
• Kufa kwa Yesu na kufufuka kwake (18:1-20:10)
• Kuonekana kwa Yesu baada ya kufufuka (20:11-21:25)

1
YOHANA
Neno Alifanyika Mwili Yeye akajibu, “Hapana, mimi
1 Hapo mwanzo, alikuwako Neno. Huyo Neno
alikuwa pamoja na Mungu, naye Neno alikuwa
siye.’’ ‘‘Je, wewe ni yule Nabii?’’
Akajibu, “Hapana.’’
Mungu. 2Tangu mwanzo huyo 22Ndipo wakasema, ‘‘Basi tuambie wewe ni
Neno alikuwa pamoja na Mungu. nani ili tupate jibu la kuwapelekea wale
3Vitu vyote viliumbwa kwa Yeye, wala waliotutuma. Wewe wasemaje juu yako
pasipo Yeye hakuna cho chote kilichoumbwa mwenyewe?’’
ambacho kimeumbwa. 4Ndani Yake ndimo 23Akawajibu kwa maneno ya Nabii Isaya,
ulimokuwa uzima na huo uzima ulikuwa nuru ya akisema, ‘‘Mimi ni sauti ya mtu aliaye nyikani,
watu. 5Nuru hung’aa gizani nalo giza ‘Inyosheni njia ya Bwana.’ ’’
halikuishinda. 24Basi walikuwa wametumwa watu kutoka
6Alikuja mtu mmoja aliyetumwa kutoka kwa
kwa Mafarisayo 25wakamwuliza, ‘‘Kama wewe
Mungu, jina lake Yohana. 7Alikuja kama shahidi si Kristo, wala si Eliya na wala si yule Nabii, kwa
apate kuishuhudia hiyo nuru, ili kwa kupitia yeye nini basi unabatiza?’’
26Yohana akawajibu, “Mimi ninabatiza kwa
watu wote waweze kuamini. 8Yeye mwenyewe
hakuwa ile nuru, bali alikuja kuishuhudia hiyo majib, lakini katikati yenu yupo mtu msiyemjua.
nuru. 9Nuru halisi, imwangaziayo kila mtu 27Yeye ajaye baada yangu, sistahili hata
ilikuwa inakuja ulimwenguni. kufungua kamba ya viatu vyake.’’
10Alikuwepo ulimwenguni na ingawa 28Mambo haya yote yalitukia huko
ulimwengu uliumbwa kwa Yeye, Bethania, ng'ambo ya Mto Yordani, mahali
haukumtambua. 11 Alikuja kwa walio Wake, Yohana alipokuwa akibatiza.
lakini wao hawakumpokea. 12Bali wote
waliompokea, aliwapa uwezo wa kufanyika Yesu Mwana Kondoo Wa Mungu
watoto wa Mungu, ndio wale waliaminio Jina 29Siku iliyofuata, Yohana alimwona Yesu
Lake. 13Hawa watoto wamezaliwa si kwa damu akimjia akasema, “Tazama, Mwana Kondoo wa
wala kwa mapenzi ya mwili au kwa mapenzi ya Mungu aichukuaye dhambi ya ulimwengu!
mtu, bali kwa mapenzi ya Mungu. 30Huyu ndiye Yule niliyewaambia ya kwamba,
14Neno alifanyika mwili, akakaa miongoni ‘Yuaja mtu nyuma yangu ambaye ni mkuu
mwetu, nasi takauona utukufu Wake, utukufu kuliko mimi kwa maana alikuwapo kabla yangu.’
kama wa Mwana pekee atokaye kwa Baba, 31Mimi mwenyewe sikumfahamu, lakini sababu
amejaa neema na kweli. ya kuja nikibatiza kwa maji ni ili Yeye apate
15Yohana alishuhudia habari Zake, akapiga kufunuliwa kwa Israeli.’’
kelele akisema, “Huyu ndiye yule niliyewaambia 32Kisha Yohana akatoa ushuhuda huu:
kwamba, ‘Yeye ajaye baada yangu ni mkuu “Nilimwona Roho akishuka kutoka mbinguni
kuliko mimi, kwa kuwa alikuwako kabla yangu.’ ’’ kama hua, akakaa juu Yake. 33Mimi
16Kutokana na ukamilifu Wake, sisi sote
nisingemtambua, lakini Yeye aliyenituma
tumepokea neema juu ya neema. 17Kwa kuwa nibatize kwa maji alikuwa ameniambia, ‘Yule
torati ilitolewa kwa mkono wa Mose, lakini mtu utakayemwona Roho akimshukia na kukaa
neema na kweli imekuja kupitia Yesu Kristo. juu Yake, huyo ndiye atakayebatiza kwa Roho
18Hakuna mtu ye yote aliyemwona Mungu Mtakatifu.’ 34Mimi mwenyewe nimeona jambo
wakati wo wote, ila ni Mungu Mwana pekee, hili na ninashuhudia kuwa huyu ndiye Mwana
aliye kifuani mwa Baba ndiye ambaye wa Mungu.’’
amemdhihirisha.
Wanafunzi Wa Kwanza Wa Yesu
Ushuhuda Wa Yohana Mbatizaji 35Siku iliyofuata, Yohana alikuwako huko
19Huu ndio ushuhuda wa Yohana wakati tena pamoja na wanafunzi wake wawili.
Wayahudi walipotuma makuhani na Walawi 36Alipomwona Yesu akipita, akasema,
kutoka Yerusalemu kumwuliza, “Wewe ni nani?” “Tazama, Mwana Kondoo wa Mungu!’’
20Yohana alikiri waziwazi pasipo kuficha 37Wale wanafunzi wawili walipomsikia
akasema, “Mimi si Kristoa.’’ Yohana akisema haya, wakamfuata Yesu.
21 Wakamwuliza, “Wewe ni nani basi? Je, 38Yesu akageuka, akawaona wakimfuata
wewe ni Eliya?’’ akawauliza, “Mnataka nini?’’

a20 Kristo, yaani, Masiya- maana yake Mpakwa (Aliyetiwa)Mafuta b26 “Kwa maji” hapa tafsiri zingine zinasema “ndani ya maji”
2
YOHANA
Wakamwambia, “Rabi,’’ (maana yake
Mwalimu), “Unaishi wapi?’’
2 SikuKanaya tatu kulikuwa na arusi katika mji wa
ya Galilaya, naye mama yake Yesu
39Yesu akawajibu, “Njoni, nanyi mtapaona!’’
alikuwako huko. 2Yesu pamoja na wanafunzi
Hivyo wakaenda na kupaona mahali wake walikuwa wamealikwa arusini pia. 3Divai
alipokuwa anaishi, wakakaa naye siku ile, kwa ilipokwisha, mama yake Yesu
kuwa ilikuwa yapata saa kumi. akamwambia, “Wameishiwa na divai.”
40Andrea nduguye Simoni Petro, alikuwa 4Yesu akamwambia, ‘‘Mwanamke, nina nini
mmoja wa wale wawili waliosikia yale Yohana nawe? Saa Yangu haijawadia.’’
aliyokuwa amesema, naye ndiye aliyemfuata 5Mama Yake akawaambia wale watumishi,
Yesu. 41Kitu cha kwanza Andrea alichofanya ni ‘‘Lo lote atakalowaambia, fanyeni.’’
kumtafuta Simoni nduguye na kumwambia, 6Basi ilikuwapo huko mitungi sita
“Tumemwona Masiya” (yaani, Kristo). 42Naye iliyotengenezwa kwa mawe kwa ajili ya
akamleta kwa Yesu. kujitakasa kwa desturi ya Kiyahudi, kila mtungi
Yesu akamwangalia na kusema, “Wewe ni ungeweza kuchukua vipipa viwili au vitatua.
Simoni mwana wa Yohana, utaitwa Kefa’’ 7Yesu akawaambia wale watumishi, “Ijazeni

(ambalo limetafsiriwa Petroc). hiyo mitungi maji.’’ Nao wakaijaza ile mitungi
mpaka juu.
Yesu Awaita Filipo Na Nathanaeli 8Kisha akawaambia, “Sasa choteni hayo
43Siku iliyofuata Yesu aliamua kwenda maji kidogo, mpelekeeni mkuu wa meza.’’
Galilaya. Akamkuta Filipo, akamwambia, Hivyo wakachota, wakampelekea. 9Yule
“Nifuate.” mkuu wa meza akayaonja yale maji ambayo
44Basi Filipo alikuwa mwenyeji wa yalikuwa yamebadilika kuwa divai. Hakujua
Bethsaida, mji alikotoka Andrea na Petro. divai hiyo ilikotoka ingawa wale watumishi
45Filipo naye akamkuta Nathanaeli na waliochota yale maji wao walifahamu. Basi
kumwambia, “Tumemwona Yeye ambaye Mose akamwita bwana arusi kando 10akamwambia,
aliandika habari Zake katika Torati na ambaye “Watu wote hutoa kwanza divai nzuri, kisha
pia manabii waliandika kumhusu, yaani, Yesu huleta ile divai hafifu wageni wakisha kunywa
wa Nazareti, mwana wa Yosefu.” vya kutosha, lakini wewe umeiweka ile nzuri
46Nathanaeli akauliza, ‘‘Nazareti! Je, kitu kupita zote mpaka sasa.”
cho chote chema chaweza kutoka Nazareti?” 11Huu, ndio uliokuwa muujiza wa kwanza
Filipo akamwambia, “Njoo uone.” Yesu aliofanya huko Kana ya Galilaya. Hivyo
47Yesu alipomwona Nathanaeli anakaribia, Yesu alidhihirisha utukufu Wake na wanafunzi
akanena habari zake akasema, “Tazama huyu wake wakamwamini.
ni Mwisraeli kweli kweli, hana hila ndani yake.’’
48Nathanaeli akamwuliza, Yesu Atakasa Hekalu
“Umenifahamuje?” 12 Baada ya hayo, Yesu pamoja na mama
Yesu akamjibu, “Nilikuona ulipokuwa bado Yake, ndugu Zake na wanafunzi Wake,
uko chini ya mtini, kabla hata Filipo hajakuita.’’ walishuka mpaka Kapernaumu wakakaa huko
49Nathanaeli akamwambia, ‘‘Mwalimu, siku chache.
Wewe ni Mwana wa Mungu! Wewe ni Mfalme 13Ilipokaribia wakati wa Pasaka ya
wa Israeli!’’ Wayahudi, Yesu alipanda kwenda Yerusalemu.
50Yesu akamwambia, “Unaamini kwa kuwa 14Huko hekaluni aliwakuta watu wakiuza
nilikuambia nilikuona ulipokuwa bado uko chini ng'ombe, kondoo na njiwa. Nao wabadilisha
ya mtini? Basi utaona mambo makuu zaidi fedha wakiwa wameketi kwenye meza zao.
kuliko hilo.’’ 51Ndipo akawaambia, “Amin, amin 15Akatengeneza mjeledi kutokana na kamba,
nawaambia, ninyi mtaona mbingu ikifunguka na akawafukuza wote kutoka kwenye eneo la
malaika wa Mungu wakipanda na kushuka juu hekalu pamoja na kondoo na ng'ombe.
ya Mwana wa Adamu.’’ Akazipindua meza za wale waliokuwa
wakibadilisha fedha na kuzimwaga fedha zao.
Arusi Huko Kana 16Akawaambia wale waliokuwa wakiuza njiwa,
“Waondoeni hapa! Mnathubutuje kuifanya

c42 Petro kwa Kiyunani au Kefa kwa Kiaramu maana yake a6 Kipipa kimoja kidogo chenye ujazo wa lita 40.Hivyo
ni kipande cha mwamba kila mtungi ulikuwa na ujazo wa 80 au 120
3
YOHANA
nyumba ya Baba yangu kuwa mahali pa unausikia lakini huwezi ukafahamu utokako
biashara?’’ wala uendako. Ndivyo ilivyo kwa kila mtu
17Wanafunzi wake wakakumbuka kuwa aliyezaliwa na Roho.’’
imeandikwa: “Wivu wa nyumba Yako utanila.’’ 9Nikodemo akamwuliza, ‘‘Mambo haya
18Ndipo Wayahudi wakamwuliza, “Unaweza yanawezekanaje?’’
kutuonyesha ishara gani ili kuthibitisha mamlaka 10Yesu akamwambia, ‘‘Wewe ni mwalimu
uliyo nayo ya kufanya mambo haya?’’ mashuhuri wa Waisraeli, nawe huelewi mambo
19Yesu akawajibu, “Libomoeni hili hekalu, haya? 11Amin, amin, ninakwambia, sisi
nami nitalijenga tena kwa siku tatu!’’ tunazungumza lile tunalolijua na tunashuhudia
20Wale Wayahudi wakamjibu, “Hekalu hili lile tuliloliona. Lakini ninyi watu hamkubali
lilijengwa kwa muda wa miaka arobaini na sita, ushuhuda wetu. 12 Nimewaambia mambo ya
nawe wasema utalijenga kwa siku tatu?’’ duniani, nanyi hamkuniamini, mtaniaminije basi
21Lakini Yeye, ‘hekalu’ alilozungumzia ni mwili nitakapowaambia mambo ya mbinguni?
13Hakuna mtu ye yote aliyekwenda mbinguni
Wake. 22Baada ya kufufuka kutoka kwa wafu,
wanafunzi Wake wakakumbuka yale aliyokuwa isipokuwa Yeye aliyeshuka kutoka mbinguni,
amesema. Ndipo wakayaamini Maandiko na yaani, Mwana wa Adamu. 14Kama vile Mose
yale maneno Yesu aliyokuwa amesema. alivyomwinua yule nyoka kule jangwani, vivyo
23Ikawa Yesu alipokuwa Yerusalemu hivyo Mwana wa Adamu hana budi kuinuliwa
kwenye Sikukuu ya Pasaka, watu wengi waliona juu. 15Ili kila mtu amwaminiye awe na uzima wa
ishara na miujiza alizokuwa akifanya, milele.
wakamwamini. 24Lakini Yesu hakujiaminisha 16‘‘Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda
kwao kwa sababu aliwajua wanadamu wote. ulimwengu hata akamtoa Mwanawe wa pekee,
25Hakuhitaji ushuhuda wa mtu ye yote kuhusu ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na
mtu kwa kuwa alijua yote yaliyokuwa moyoni uzima wa milele. 17Kwa maana Mungu
mwa mtu. hakumtuma Mwanawe kuuhukumu ulimwengu,
bali kwa Yeye ulimwengu upate kuokolewa.
Nikodemo Amwendea Yesu Usiku 18Ye yote amwaminiye hahukumiwi, lakini

3 Basi palikuwa na mtu mmoja Farisayo, jina asiyeamini amekwisha kuhukumiwa, kwa
sababu hakumwamini Mwana pekee wa Mungu.
lake Nikodemo, mmoja wa Baraza la Wayahudia 19Hii ndiyo hukumu kwamba: Nuru imekuja
lililotawala. 2Huyu alimjia Yesu usiku ulimwenguni, nao watu wakapenda giza kuliko
akamwambia, “Rabi, tunajua kuwa Wewe ni
mwalimu uliyetumwa na Mungu, kwa maana nuru kwa sababu matendo yao ni maovu. 20Kwa
hakuna mtu awezaye kufanya miujiza hii kuwa kila atendaye maovu huchukia nuru, wala
uifanyayo Wewe, kama Mungu hayuko pamoja haji kwenye nuru ili matendo yake maovu
naye.’’ yasifichuliwe. 21Lakini wale watendao yaliyo
3Yesu akamjibu, “Amin, amin nakuambia, mema huja kwenye nuru, kusudi ionekane wazi
mtu hawezi kuuona Ufalme wa Mungu kwamba matendo yao yametendeka katika
asipozaliwa mara ya pili.’’ Mungu.’’
4Nikodemo akauliza, “Awezeje mtu kuzaliwa
wakati akiwa mzee?” ‘‘Hakika hawezi kuingia Ushuhuda Wa Yohana Mbatizaji Kuhusu
mara ya pili kwenye tumbo la mama yake ili Yesu
azaliwe!” 22Baada ya haya, Yesu na wanafunzi wake
5Yesu akamwambia, ‘‘Amin, amin walikwenda katika nchi ya Uyahudi, nao wakakaa
nakuambia, hakuna mtu ye yote anayeweza huko kwa muda na kubatiza. 23Yohana naye
kuingia katika Ufalme wa Mungu isipokuwa alikuwa akibatiza huko Ainoni karibu na Salimu
amezaliwa kwa maji na kwa Roho. 6Mwili huzaa kwa sababu huko kulikuwa na maji tele. Watu
mwili, lakini Roho huzaa roho. 7Kwa hiyo wazima wakamjia huko ili kubatizwa. 24(Hii ilikuwa
usishangae ninapokuambia huna budi ‘kuzaliwa kabla Yohana hajatiwa gerezani). 25Mashindano
mara ya pili’. 8Upepo huvuma po pote yakazuka kati ya baadhi ya wanafunzi wa Yohana
upendapo. Mvumo wake na Myahudi mmoja kuhusu suala la desturi ya
kunawa. 26Wakamwendea Yohana
a1 Baraza la Wayahudi, yaani “Sanhedrin” lilikuwa ndilo baraza wakamwambia, “Rabi, yule mtu aliyekuwa pamoja
la juu kabisa la utawala ambalo lilikuwa na wazee 70 pamoja nawe nga'mbo ya
na Kuhani Mkuu.
4
YOHANA
pili ya Mto Yordani, yule uliyeshuhudia habari uniombe nikupe maji ya kunywa?’’ Wayahudi
zake, sasa anabatiza na kila mtu anamwendea!” walikuwa hawashirikiani kabisa na Wasamaria.
27Yohana akawajibu, “Hakuna mtu ye yote 10Yesu akajibu akamwambia, ‘‘Kama
awezaye kupata kitu cho chote isipokuwa kile tu ungelijua karama ya Mungu, naye ni nani
alichopewa kutoka mbinguni. 28Ninyi wenyewe anayekuambia, Nipe maji ninywe, wewe
ni mashahidi wangu kwamba nilisema, ‘Mimi si ungelimwomba Yeye, naye angelikupa maji
Kristo, ila nimetumwa nimtangulie’. 29Bibi arusi yaliyo hai.’’
ni wa bwana arusi. Lakini rafiki yake bwana 11Yule mwanamke akamjibu, “Bwana,
arusi anayesimama karibu naye na kusikiliza Wewe huna chombo cha kutekea maji na kisima
kutoka kwake, hufurahi sana aisikiapo sauti ya hiki ni kirefu. Hayo maji ya uzima utayapata
bwana arusi. Kwa sababu hii furaha yangu wapi? 12Kwani Wewe ni mkuu kuliko baba yetu
imekamilika. 30Yeye hana budi kuwa mkuu zaidi Yakobo ambaye alitupatia kisima hiki, ambacho
na mimi nizidi kuwa mdogo.’’ yeye pamoja na watoto wake na mifugo yake
walikitumia?’’
Yeye Aliyetoka Mbinguni 13Yesu akamjibu, “Kila mtu anayekunywa
31“Yeye ajaye kutoka juu yu juu ya yote,
maji ya kisima hiki, ataona kiu tena. 14Lakini ye
yeye aliye wa duniani ni wa dunia, naye yote anywaye maji nitakayompa, hataona kiu
huzungumza mambo ya duniani. Yeye aliyekuja kamwe. Maji nitakayompa yatakuwa ndani yake
kutoka mbinguni, yu juu ya yote. 32Yeye chemchemi ya maji yakibubujika uzima wa
hushuhudia yale aliyoyaona na kuyasikia, lakini milele.’’
hakuna ye yote anayekubali ushuhuda Wake. 15Yule mwanamke akamwambia, “Bwana,
33Lakini ye yote anayekubali huo ushuhuda tafadhali nipe maji hayo ili nisipate kiu tena na
anathibitisha kwamba, Mungu ni kweli. 34Yeye wala nisije tena hapa kuteka maji!'’
16Yesu akamjibu, “Nenda ukamwite
aliyetumwa na Mungu husema maneno ya
Mungu, kwa kuwa Mungu humtoa Roho pasipo mumeo, uje naye hapa.’’
17Yule mwanamke akajibu, “Sina mume.’’
kipimo. 35Baba anampenda Mwana, naye
ametia vitu vyote mikononi Mwake. 36Ye yote Yesu akamwambia, “Umesema kweli kuwa
anayemwamini Mwana ana uzima wa milele, huna mume. 18Kwa maana umeshakuwa na
lakini yeye asiyemwamini Mwana hatauona wanaume watano na mwanamume unayeishi
uzima, bali ghadhabu ya Mungu itakuwa juu naye sasa si mume wako!’’
yake.’’ 19Yule mwanamke akasema, “Bwana,
naona bila shaka Wewe ni nabii. 20Baba zetu
Yesu Azungumza Na Mwanamke Msamaria waliabudu kwenye mlima huu, lakini ninyi
4 Mafarisayo wakasikia kwamba Yesu alikuwa Wayahudi mnasema ni lazima tukaabudu huko
Yerusalemu.’’
anapata na kubatiza wanafunzi wengi zaidi kuliko
21Yesu akamjibu, “Mwanamke, niamini,
Yohana, 2ingawa kwa kweli si Yesu mwenyewe
aliyekuwa akibatiza, ila ni wanafunzi Wake. wakati unakuja ambapo hamtamwabudu Baba
3Bwana alipojua mambo haya, katika mlima huu, wala huko Yerusalemu.
aliondoka Uyahudi akarudi tena Galilaya. 4Wakati 22Ninyi Wasamaria mnaabudu msichokijua. Sisi
huo ilimbidi apitie Samaria. 5Akafika Wayahudi tunamwabudu Mungu tunayemjua
kwenye mji mmoja wa Samaria uitwao Sikari, kwa sababu wokovu unatoka kwa Wayahudi.
karibu na lile shamba ambalo Yakobo alimpa 23Lakini saa yaja, tena ipo, ambapo wale
mwanawe Yosefu. 6Huko ndiko kulikokuwa na waabuduo halisi, watamwabudu Baba katika
kile kisima cha Yakobo. Naye Yesu alikuwa roho na kweli. Watu wanaoabudu namna hii,
amechoka kwa kuwa alikuwa ametoka safarini. ndio Baba anawatafuta. 24Mungu ni Roho na
Akaketi karibu na hicho kisima. Ilikuwa yapata wote wanaomwabudu imewapasa kumwabudu
saa sita mchana. katika roho na kweli.’’
7 Mwanamke mmoja Msamaria akaja kuteka 25Yule mwanamke akamwambia,
maji, Yesu akamwambia, “Naomba maji “Ninafahamu kwamba Masiya, aitwaye Kristo,
ninywe.’’ 8(Wakati huo wanafunzi Wake anakuja. Yeye akija, atatueleza mambo yote.’’
walikuwa wamekwenda mjini kununua chakula.) 26Yesu akamwambia, “Mimi
9Yule mwanamke akamjibu, ‘‘Wewe ni ninayezungumza nawe, ndiye Masiya.’’
Myahudi na mimi ni Msamaria. Yawezekanaje 27Wakati huo wanafunzi wake wakarudi,

5
YOHANA
wakashangaa sana kumwona akizungumza na kwenye hiyo Sikukuu.
mwanamke. Lakini hakuna aliyemwuliza, 46HivyoYesu akaja tena mpaka Kana ya
“Unataka nini kwake?’’ Au “Kwa nini Galilaya, kule alikokuwa amebadili maji kuwa
unazungumza naye?’’ divai. Huko kulikuwako na mtu mmoja afisa wa
28Yule mwanamke akaacha mtungi wake, kifalme, ambaye mwanawe alikuwa mgonjwa
akarudi mjini akawaambia watu, 29“Njoni huko Kapernaumu. 47Huyo mtu aliposikia
mkamwone mtu aliyeniambia kila kitu kwamba Yesu alikuwa amewasili Galilaya
nilichotenda! Je, yawezekana huyu ndiye kutoka Uyahudi, alimwendea na kumwomba ili
Masiya?’’ 30Basi wakamiminika watu kutoka aje kumponya mwanawe, aliyekuwa mgonjwa
mjini wakamwendea Yesu. karibu ya kufa.
31Wakati huo wanafunzi wake walikuwa 48Yesu akamwambia, “Ninyi watu msipoona
wakimsihi, “Rabi, kula angalau cho chote.’’ ishara na miujiza kamwe hamtaamini.’’
32Lakini Yeye akawajibu, “Mimi ninacho 49Yule afisa wa kifalme akamwambia,
chakula ambacho ninyi hamkifahamu.’’ “Bwana, tafadhali shuka kabla mwanangu
33Basi wanafunzi wakaanza kuulizana, hajafa.’’
“Kuna mtu ambaye amemletea chakula?’’ 50Yesu akamjibu, “Enenda zako, mwanao
34Lakini Yesu akawajibu, “Chakula changu ni yu hai.’’
kufanya mapenzi ya Mungu ambaye amenituma Yule afisa akaamini yale maneno Yesu
na kuikamilisha kazi yake. 35Je, ninyi hamsemi, aliyomwambia, akaondoka akaenda zake.
51Alipokuwa bado yuko njiani, akakutana na
‘Bado miezi minne tuvune?’ Inueni macho yenu
myaangalie mashamba jinsi mazao yalivyo watumishi wake wakamwambia kwamba
tayari kuvunwa! 36Mvunaji tayari anapokea mwanawe yu mzima. 52 Akawauliza saa
mshahara wake, naye anakusanya mazao kwa ambayo alianza kupata nafuu. Wakamwambia,
ajili ya uzima wa milele.Ili yeye apandaye na “Jana yapata saa saba, homa ilimwacha.’’
yeye avunae wafurahi pamoja. 37Hivyo kule 53 Ndipo baba wa huyo mtoto akakumbuka
kusema, ‘Mmoja hupanda na mwingine huvuna,’ kuwa huo ndio wakati ambapo Yesu alikuwa
ni kweli kabisa. 38Niliwatuma mkavune mazao amemwambia, “Mwanao yu hai.’’ Kwa hiyo
ambayo hamkupanda, wengine walifanya kazi yeye, pamoja na wote wa nyumbani mwake
ngumu, nanyi mmevuna faida ya taabu yao.’’ wakamwamini Yesu.
54Hii ilikuwa ishara ya pili ambayo Yesu
Wasamaria Wengi Waamini alifanya aliporudi Galilaya kutoka Uyahudi.
39Wasamaria wengi kutoka katika mji ule
wakamwamini Yesu kwa sababu ya ushuhuda Yesu Amponya Mtu Penye Bwawa La
wa yule mwanamke alipowaambia kwamba, Bethzatha
“Ameniambia kila jambo nililotenda.’’ 40Hivyo
wale Wasamaria walipomjia, wakamsihi akae 5 Baada ya haya, kulikuwa na Sikukuu ya
Wayahudi, naye Yesu akapanda kwenda
kwao. Naye akakaa huko siku mbili. 41Kwa Yerusalemu. 2Huko Yerusalemu, karibu na
sababu ya neno Lake, watu wengi wakaamini. mlango uitwao Mlango wa Kondoo, palikuwa na
42Wakamwambia yule mwanamke, “Sasa
bwawa moja lililoitwa kwa Kiebrania Bethzathaa,
tunaamini, wala si kwa sababu ya maneno yako ambalo lilikuwa limezungukwa na kumbi tano.
tu, bali kwa kuwa tumemsikia sisi wenyewe. 3Hapa palikuwa na idadi kubwa ya wasiojiweza,
Tumejua hakika kweli ya kwamba huyu ndiye yaani, vipofu, viwete, na waliopooza,
Kristo, Mwokozi wa ulimwengu.’’ wakingojea maji yatibuliwe, [4kwa maana
malaika alikuwa akishuka wakati fulani,
Yesu Amponya Mwana Wa Afisa akayatibua maji na yule aliyekuwa wa kwanza
kuingia ndani baada ya maji kutibuliwa alipona
43Bada ya zile siku mbili, Yesu aliondoka
ugonjwa wo wote aliokuwa nao.] 5Mtu mmoja
kwenda Galilaya. 44(Basi Yesu mwenyewe alikuwako huko ambaye alikuwa ameugua kwa
alikuwa amesema kwamba nabii hapati heshima miaka thelathini na minane. 6Yesu alipomwona
katika nchi yake mwenyewe.) 45Alipofika
Galilaya, Wagalilaya walimkaribisha, kwani a2 Bethzatha ni neno la Kiebrania,ambalo maana yanke ni
walikuwa wameona yale aliyoyatenda huko nyumba ya “mizeituni”Mahali pengine limetajwa kama
Yerusalemu wakati wa Sikukuu ya Pasaka. Kwa Bethesda kwa Kiaramu,yaani, nyumba ya “huruma” na
maana wao pia walikuwa wamehudhuria pengine kama Bethsaida,yaani,nyumba ya “uvuvi.”
6
YOHANA
akiwa amelala hapo, naye akijua kuwa kuwapa uzima, vivyo hivyo Mwana huwapa
amekuwako hapo kwa muda mrefu, uzima wale anaopenda. 22Wala Baba
akamwambia, “Je, wataka kuponywa?’’ hamhukumu mtu ye yote, lakini hukumu yote
7Yule mgonjwa akamjibu, “Bwana, mimi amempa Mwana, 23ili wote wamheshimu
sina mtu wa kuniingiza bwawani maji Mwana kama vile wanavyomheshimu Baba. Ye
yanapotibuliwa. Nami ninapotaka kutumbukia yote asiyemheshimu Mwana, hamheshimu
bwawani, mtu mwingine huingia kabla yangu.’’ Baba aliyemtuma.
8Yesu akamwambia, “Simama, chukua 24‘‘Amin, amin, ninawaambia, ye yote
mkeka wako na uende.’’ 9Mara yule mtu anayesikia maneno Yangu na kumwamini Yeye
akapona, akachukua mkeka wake, akaanza aliyenituma, anao uzima wa milele, naye
kutembea. hatahukumiwa, bali amepita kutoka mautini, na
Basi siku hiyo ilikuwa siku ya Sabato. 10Kwa kuingia uzimani. 25Amin, amin, nawaambia, saa
hiyo Wayahudi wakamwambia yule mtu yaja, nayo saa ipo, wafu watakapoisikia sauti ya
aliyeponywa, “Leo ni Sabato, ni kinyume cha Mwana wa Mungu, nao watakaoisikia watakuwa
sheria wewe kubeba mkeka wako.’’ hai. 26Kama vile Baba alivyo na uzima ndani
11Yeye akawajibu, “Yule mtu aliyeniponya Yake, vivyo hivyo amempa Mwana kuwa na
aliniambia, ‘Chukua mkeka wako na uende.’ ’’ uzima ndani Yake. 27Naye amempa Mwanawe
12Wakamwuliza, “Ni mtu gani huyo mamlaka ya kuhukumu kwa kuwa Yeye ni
aliyekuambia uchukue mkeka wako uende?’’ Mwana wa Adamu.
13Basi yule mtu aliyeponywa hakufahamu ni 28“Msishangae kusikia haya, kwa maana
nani aliyemponya, kwa sababu Yesu alikuwa saa inakuja ambapo wale walio makaburini
amejiondoa katika ule umati wa watu uliokuwa wataisikia sauti Yake. 29Nao watatoka nje, wale
hapo. waliotenda mema watafufuka wapate uzima na
14Baadaye Yesu akamkuta yule mtu wale waliotenda maovu, watafufuka
aliyemponya ndani ya hekaluni na kumwambia, wahukumiwe.
“Tazama umeponywa, usitenda dhambi tena. La
sivyo, lisije likakupata jambo baya zaidi.’’ 15Yule Shuhuda Kuhusu Yesu
mtu akaenda, akawaambia wale Wayahudi 30Mimi siwezi kufanya jambo lo lote peke
kuwa ni Yesu aliyemponya. Yangu. Ninavyosikia ndivyo ninavyohukumu,
nayo hukumu Yangu ni ya haki kwa kuwa
Uzima Kupitia Mwana sitafuti kufanya mapenzi Yangu mwenyewe, bali
16Kwa hiyo Wayahudi wakaanza mapenzi Yake Yeye aliyenituma.’’
kumsumbua, kwa sababu alikuwa anafanya 31“Kama ningejishuhudia Mimi mwenyewe,

mambo kama hayo siku ya Sabato. 17Yesu ushuhuda Wangu si kweli. 32Lakini yuko
akawajibu, “Baba yangu anafanya kazi yake mwingine anishuhudiaye na ninajua kwamba
daima hata siku hii ya leo, nami pia ninafanya ushuhuda Wake ni wa kweli.
33“Mlituma wajumbe kwa Yohana, naye
kazi.’’ 18Maneno haya yaliwaudhi sana viongozi
wa Wayahudi. Wakajaribu kila njia wapate jinsi akashuhudia juu ya kweli. 34Si kwamba
ya kumwua, kwani si kwamba alivunja Sabato naukubali ushuhuda wa mwanadamu, la, bali
tu, bali alikuwa akimwita Mungu Baba Yake, ninalitaja hili kusudi ninyi mpate kuokolewa.
hivyo kujifanya sawa na Mungu. 35Yohana alikuwa taa iliyowaka na kutoa nuru,
nanyi kwa muda mlichagua kuifurahia nuru
Mamlaka Ya Mwana Wa Mungu yake.
19Yesu akawaambia, Amin, amin 36“Lakini ninao ushuhuda mkuu zaidi kuliko
nawaambia, Mwana hawezi kufanya jambo lo wa Yohana. Kazi zile nizifanyazo, zinashuhudia
lote peke yake, Yeye aweza tu kufanya lile juu yangu, zile ambazo Baba amenituma
analomwona Baba yake akifanya, kwa maana lo nizikamilishe, naam, ishara hizi ninazofanya,
lote afanyalo Baba, Mwana pia hufanya hivyo zinashuhudia kuwa Baba ndiye aliyenituma.
37Naye Baba mwenyewe ameshuhudia juu
hivyo. 20Baba ampenda Mwana na
kumwonyesha yale ambayo Yeye Baba Yangu. Hamjapata kamwe kuisikia sauti Yake
mwenyewe anayafanya, naye atamwonyesha wala kuona umbo Lake, 38wala hamna neno
kazi kuu kuliko hizi ili mpate kushangaa. Lake ndani yenu, kwa sababu hamkumwamini
21Hakika kama vile Baba awafufuavyo wafu na Yeye aliyetumwa naye. 39Ninyi mnachunguza
7
YOHANA
Maandiko mkidhani ya kuwa ndani yake mna 12Watu wote walipokwisha kula na kushiba,
uzima wa milele, maandiko haya ndiyo akawaambia wanafunzi wake, “Kusanyeni vipande
yanayonishuhudia Mimi. 40Lakini mnakataa kuja vilivyobaki vya ile mikate, kisipotee cho chote.’’
Kwangu ili mpate uzima. 13Hivyo wakavikusanya wakajaza vikapu kumi na
41“Mimi sitafuti kutukuzwa na wanadamu.
viwili kwa vipande vilivyobaki vya ile mikate
42Lakini ninajua kwamba hamna upendo wa mitano na samaki wale wawili wadogo.
14Baada ya watu kuona mwujiza ule Yesu
Mungu mioyoni mwenu. 43Mimi nimekuja kwa
Jina la Baba Yangu, nanyi hamnipokei, lakini aliofanya, walianza kusema, “Hakika huyu ndiye
mtu mwingine akija kwa jina lake mwenyewe, Nabii ajaye ulimwenguni!’’ 15 Yesu akijua
mtampokea. 44Ninyi mwawezaje kuamini ikiwa kwamba walitaka kuja kumfanya awe mfalme
mnapeana utukufu ninyi kwa ninyi, lakini hamna wao, kwa nguvu, akajitenga nao akaenda
bidii kupata utukufu utokao kwa Mungu? milimani peke Yake.
45“Lakini msidhani kuwa mimi nitawashtaki
mbele za Baba, mshtaki wenu ni Mose, ambaye Yesu Atembea Juu Ya Maji
16Ilipofika jioni, wanafunzi wake walitelemka
mmemwekea tumaini lenu. 46 Kama
mngelimwamini Mose, mngeliniamini na Mimi kwenda baharini. 17Wakaingia kwenye mashua,
kwa maana aliandika habari Zangu. 47Lakini wakaanza kuvuka bahari kwenda Kapernaumu.
ikiwa hamwamini aliyoandika Mose, mtaaminije Wakati huu kulikuwa tayari giza na Yesu alikuwa
ninayoyasema?’’ hajajumuika nao. 18Bahari ikachafuka kwa sababu
upepo mkali ulikuwa unavuma. 19Wanafunzi
Yesu Alisha Watu 5,000 walipokuwa wamekwenda mwendo wa karibu
6 Baada ya haya, Yesu alikwenda ng'ambo ya maili tatu au nneb, walimwona Yesu akitembea
juu ya maji akikaribia mashua, wakaogopa sana.
Bahari ya Galilaya, ambayo pia huitwa Bahari ya 20Lakini Yesu akawaambia, “Ni mimi, msiogope.’’
Tiberia. 2Umati mkubwa wa watu uliendelea
21Ndipo kwa furaha wakamkaribisha kwenye
kumfuata, kwa sababu waliona ishara nyingi za
miujiza alizofanya kwa wagonjwa. 3Kisha Yesu mashua, na mara wakafika walikokuwa
akapanda mlimani akaketi huko pamoja na wanakwenda.
wanafunzi Wake.
4Pasaka ya Wayahudi ilikuwa imekaribia. Watu Wanamtafuta Yesu
5Yesu alipotazama na kuuona ule umati 22Siku iliyofuata, wale watu waliokuwa
mkubwa wa watu ukimjia, akamwambia Filipo, wamebaki ng'ambo ya pili waliona kwamba
“Tutanunua wapi mikate ili watu hawa wale?” palikuwepo na mashua moja tu na kwamba
6Aliuliza swali hili kumpima, kwa maana Yesu hakuwa ameondoka pamoja na wanafunzi
alishajua la kufanya. Wake, ila walikuwa wameondoka peke yao.
7Filipo akamjibu, “Hata fedha kiasi cha 23Lakini zikaja mashua nyingine kutoka Tiberia
dinari mia mbilia, hazitoshi kununua mikate ya zikafika karibu na mahali pale walipokula mikate
kuwapa watu hawa kila mtu apate kidogo.’’ baada ya Yesu kumshukuru Mungu. 24Mara
8Mmoja wa wanafunzi wake, aitwaye
wale watu wakatambua kwamba Yesu
Andrea, ndugu yake Simoni Petro, hakuwepo hapo, wala wanafunzi wake.
9
akamwambia, “Hapa kuna mvulana mmoja Wakaingia kwenye mashua hizo, wakaenda
mwenye mikate mitano ya shayiri na samaki Kapernaumu ili kumtafuta Yesu.
wawili wadogo. Lakini hivi vitatosha nini kwa
umati wote huu?’’ Yesu Ni Mkate Wa Uzima
10Yesu akasema, “Waketisheni watu chini.’’ 25Walipomkuta Yesu ng'ambo ya bahari
Palikuwa na majani mengi katika eneo lile, nao wakamwuliza, “Rabi, umefika lini huku?’’
watu wakaketi, palikuwa na wanaume 5,000. 26Yesu akawajibu, “Amin, amin nawaambia,
11Ndipo Yesu akachukua ile mikate, ninyi hamnitafuti kwa kuwa mliona ishara na
akamshukuru Mungu na kuwagawia wale watu miujiza, bali kwa sababu mlikula ile mikate
waliokuwa wamekaa kwa kiasi walichohitaji. mkashiba. 27Msishughulikie chakula
Akafanya vivyo hivyo na wale samaki. Kila mtu kiharibikacho, bali chakula kidumucho hata
akapata kadri alivyotaka. uzima wa milele, ambacho Mwana wa Adamu

a7 Dinari 200 ni sawa na mshahara wa kibarua wa siku


200.Mshahara wa kibarua ulikuwa dinari moja kwa siku b19 Maili tatu au nne ni kama kilomita 5 au 6
8
YOHANA
atawapa. Yeye ndiye ambaye Mungu Baba 49Baba zenu walikula mana jangwani, lakini
amemtia muhuri.’’ wakafa. 50Lakini hapa kuna mkate utokao
28Ndipo wakamwuliza, “Tufanye nini ili mbinguni, ambao mtu ye yote akiula, hatakufa.
tupate kuitenda kazi ya Mungu?” 51Mimi ni mkate wa uzima ule uliotoka
29Yesu akawajibu, “Kazi ya Mungu ndiyo hii:
mbinguni. Mtu ye yote akiula mkate huu, ataishi
Mwaminini Yeye aliyetumwa Naye.’’ milele. Mkate huu ni mwili wangu, ambao
30Hivyo wakamwuliza, “Utafanya ishara gani nitautoa kwa ajili ya uzima wa ulimwengu.’’
ya mwujiza, ili tuione tukuamini? Utafanya 52Ndipo Wayahudi wakaanza kuhojiana
jambo gani? 31Baba zetu walikula mana vikali wao kwa wao wakisema, “Mtu huyu
jangwani, kama ilivyoandikwa, ‘Aliwapa mikate awezaje kutupatia mwili wake tuule?’’
kutoka mbinguni ili wale.’ ’’ 53Hivyo Yesu akawaambia, “Amin, amin,
32Yesu akawaambia, “Amin, amin, nawaambia, msipoula mwili wa Mwana wa
nawaambia, si Mose aliyewapa mikate kutoka Adamu na kuinywa damu Yake, hamna uzima
mbinguni, bali Baba Yangu ndiye anawapa ndani yenu. 54Mtu ye yote aulaye mwili wangu
mkate wa kweli kutoka mbinguni. 33Kwa maana na kunywa damu yangu, anao uzima wa milele.
mkate wa Mungu ni yule ashukaye kutoka Nami nitamfufua siku ya mwisho. 55Kwa maana
mbinguni na kuupa ulimwengu uzima.’’ mwili wangu ni chakula cha kweli na damu
34Wakamwambia, “Bwana, kuanzia sasa
yangu ni kinywaji cha kweli. 56Ye yote alaye
tupatie huo mkate sikuzote.’’ mwili wangu na kunywa damu yangu, atakaa
35Yesu akawaambia, “Mimi ndimi mkate wa
ndani yangu nami nitakaa ndani yake. 57 Kama
uzima. Yeye ajaye Kwangu, hataona njaa vile Baba aliye hai alivyonituma Mimi, na kama
kamwe na yeye aniaminiye, hataona kiu kamwe. nami ninavyoishi kwa sababu ya Baba, hivyo
36Lakini kama nilivyowaambia, mmeniona lakini
anilaye mimi ataishi kwa sababu yangu. 58Huu
bado hamwamini. 37Wale wote anipao Baba ndio mkate ushukao kutoka mbinguni, si kama
watakuja Kwangu na ye yote ajaye Kwangu, ule mkate baba zenu waliokula nao wakafa.
sitamfukuzia nje kamwe. 38 Kwa kuwa Lakini yeye aulaye mkate huu ataishi milele.’’
59Yesu alisema maneno haya alipokuwa
nimeshuka kutoka mbinguni si ili kufanya
mapenzi Wangu, bali mapenzi yake Yeye akifundisha katika sinagogi huko Kapernaumu.
aliyenituma. 39Haya ndiyo mapenzi yake Yeye
aliyenituma, kwamba, nisimpoteze hata mmoja Wafuasi Wengi Wamwacha Yesu
wa wale alionipa, bali niwafufue siku ya mwisho. 60Wengi wa wafuasi Wake waliposikia
40Kwa maana mapenzi ya Baba yangu ni jambo hili wakasema, “Mafundisho haya ni
kwamba kila mmoja amtazamaye, Mwana na magumu. Ni nani awezaye kuyapokea?’’
kumwamini awe na uzima wa milele, nami 61Yesu alipojua kwamba wafuasi Wake
nitawafufua siku ya mwisho.’’ wananung’unika kuhusu mafundisho Yake,
41 Wayahudi wakaanza kunung'unika kwa akawaambia, “Je, jambo hili limewaudhi?
kuwa alisema, “Mimi ndimi mkate ulioshuka 62Ingekuwaje basi kama mngemwona Mwana
kutoka mbinguni.’’ 42Wakasema, “Huyu si Yesu, wa Adamu akipaa kwenda Zake huko alipokuwa
mwana wa Yosefu, ambaye baba yake na kwanza? 63Roho ndiye atiaye uzima, mwili
mama yake tunawajua? Anawezaje basi sasa haufai kitu. Maneno haya niliyowaambia ni
kusema, ‘’Nimeshuka kutoka mbinguni?’’ Roho tena ni uzima. 64Lakini baadhi yenu
43Hivyo Yesu akawaambia, “Acheni hamwamini.’’ Kwa maana Yesu alifahamu tangu
44
kunung'unikiana ninyi kwa ninyi. Hakuna mtu mwanzo wale ambao hawangemwamini
awezaye kuja kwangu kama asipovutwa na Baba miongoni mwao na yule ambaye angemsaliti.
aliyenituma, nami nitamfufua siku ya mwisho. 65Akaendelea kusema, ‘‘Hii ndiyo sababu
45Imeandikwa katika manabii, ‘Wote niliwaambia kwamba hakuna mtu awezaye kuja
watafundishwa na Mungu.’ Ye yote amsikilizaye kwangu isipokuwa amejaliwa na Baba Yangu.’’
66Tangu wakati huo wafuasi Wake wengi
Baba na kujifunza kutoka Kwake, huyo huja
Kwangu. 46Hakuna mtu ye yote aliyemwona Baba wakarejea nyuma wakaacha kumfuata.
67 Hivyo Yesu akawauliza wale wanafunzi
isipokuwa Yeye atokaye kwa Mungu, Yeye ndiye
peke yake aliyemwona Baba. 47Amin, amin, Wake kumi na wawili, ‘‘Je, ninyi pia mnataka
nawambia, yeye anayeamini anao uzima wa kuondoka?’’
68Simoni Petro akamjibu, ‘‘Bwana, tuondoke
milele. 48Mimi ni mkate wa uzima.
9
YOHANA
twende kwa nani? Wewe unayo maneno ya amepataje kujua mambo haya bila
uzima wa milele. 69Tunaamini na kujua kuwa kufundishwa?’’
Wewe ndiwe Kristoc Mwana wa Mungu aliye 16Ndipo Yesu akawajibu, “Mafundisho Yangu
hai.’’ si Yangu mwenyewe, bali yanatoka kwake Yeye
70Ndipo Yesu akajibu, ‘‘Je, sikuwachagua
aliyenituma. 17Mtu ye yote akipenda kufanya
ninyi kumi na wawili? Lakini mmoja wenu ni mapenzi ya Mungu, atajua kama mafundisho
ibilisi.’’ 71(Hapa alikuwa anasema juu ya Yuda, Yangu yanatoka kwa Mungu au ninasema kwa
mwana wa Simoni Iskariote. Ingawa alikuwa ajili yangu mwenyewe. 18Wale wanenao kwa ajili
mmoja wa wale kumi na wawili, ndiye ambaye yao wenyewe hufanya hivyo kwa kutaka utukufu
baadaye angemsaliti Yesu.)
wao wenyewe. Lakini Yeye atafutaye utukufu wa
Kutokuamini Kwa Ndugu Zake Yesu yule aliyemtuma ni wa kweli, wala hakuna uongo

7sehemu
Baada ya mambo haya, Yesu alikwenda
mbalimbali za Galilaya. Hakutaka
ndani yake. 19Je, Mose hakuwapa ninyi sheria?
Lakini hakuna hata mmoja wenu anayeishika hiyo
sheria. Kwa nini mnataka kuniua?’’
kwenda Uyahudi kwa sababu Wayahudi huko
walitaka kumwua. 2Sikukuu ya Vibanda ya 20Ule umati wa watu ukamjibu, “Wewe una
Wayahudi ilikuwa imekaribia. 3Hivyo ndugu zake pepo mchafu! Ni nani anayetaka kukuua?’’
Yesu wakamwambia, “Ondoka hapa uende 21Yesu akawajibu, “Nimefanya muujiza
Uyahudi ili wanafunzi Wako wapate kuona
miujiza unayofanya. 4 Mtu anayetaka kujulikana mmoja na nyote mkastaajabu. 22Lakini kwa
hafanyi mambo yake kwa siri. Kama unafanya kuwa Mose aliwaamuru tohara (ingawa kwa
mambo haya jionyeshe kwa ulimwengu.’’ 5Hata kweli haikutoka kwa Mose bali kwa baba zenu
ndugu zake mwenyewe hawakumwamini. 6Yesu wakuu,) mnamtahiri mtoto hata siku ya Sabato.
akawaambia, “Wakati wangu bado 23Ikiwa mtoto aweza kutahiriwa siku ya Sabato
haujawadia, lakini wakati wenu upo sikuzote. kusudi sheria ya Mose isivunjwe, kwa nini
7Ulimwengu hauwezi kuwachukia ninyi, lakini mnanikasirikia kwa kumponya mtu mzima siku
unanichukia Mimi kwa sababu ninawashuhudia ya Sabato? 24Acheni kuhukumu mambo kwa
kwamba matendo yao ni maovu. 8Ninyi nendeni jinsi mnavyoona tu, bali hukumuni kwa haki.’’
kwenye Sikukuu, lakini mimi sitahudhuria
Sikukuu hii kwa sababu wakati wangu Je, Yesu Ndiye Kristo?
25Ndipo baadhi ya watu wa Yerusalemu
haujawadia.’’ 9Akiisha kusema hayo, akabaki
Galilaya. wakawa wanasema, “Tazameni, huyu si yule
mtu wanayetaka kumwua? 26Mbona yuko hapa
Yesu Kwenye Sikukuu Ya Vibanda anazungumza hadharani na wala hawamwambii
10Lakini ndugu zake walipokwisha neno lo lote? Je, inawezekana viongozi
kuondoka kwenda kwenye Sikukuu, Yeye pia wanafahamu kuwa huyu ndiye Kristo?
27Tunafahamu huyu mtu anakotoka, lakini
alikwenda lakini kwa siri. 11Wayahudi walikuwa
wakimtafuta huko kwenye Sikukuu na kuulizana, Kristo atakapokuja, hakuna ye yote atakayejua
“Yuko wapi huyu Mtu?’’ atokako.’’
12Kulikuwa 28Ndipo Yesu, akaendelea kufundisha
na minong'ono iliyoenea
kumhusu Yesu katika umati wa watu, wakati hekaluni, akisema, ‘‘Ninyi mnanifahamu na
wengine wakisema, “Ni Mtu mwema,’’ wengine kujua nitokako. Mimi sikuja kwa ajili Yangu
walikuwa wakisema, “La, Yeye anawadanganya mwenyewe, bali Yeye aliyenituma ni wa kweli
watu.’’ 13Lakini hakuna mtu ye yote aliyemsema na ninyi hamumjui. 29 Mimi namjua kwa kuwa
waziwazi kumhusu kwa sababu ya kuwaogopa nimetoka Kwake, naye ndiye aliyenituma.’’
Wayahudi. 30Ndipo wakatafuta kumkamata, lakini
hakuna mtu ye yote aliyethubutu kumshika kwa
Yesu Afundisha Kwenye Sikukuu. sababu saa yake ilikuwa bado haijawadia.
14Ilipokaribia katikati ya Sikukuu, Yesu 31Nao watu wengi wakamwamini, wakasema,
alipanda kwenda hekaluni na kuanza “Je, Kristo atakapokuja, atafanya miujiza mikuu
kufundisha. 15Wayahudi wakastaajabia zaidi kuliko aliyoifanya Mtu huyu?’’
mafundisho Yake wakasema, “Mtu huyu
Maaskari Wanatumwa Kumkamata Yesu
c69 Kristo maana yake Masiya, yaani, Mpakwa (Aliyetiwa) Mafuta 32Mafarisayo wakasikia watu wakinong’ona
10
YOHANA
mambo kama hayo kuhusu Yesu, ndipo wao wasiojua Sheria ya Mose, wamelaaniwa.’’
pamoja na viongozi wa makuhani, wakatuma 50Ndipo Nikodemo, yule aliyekuwa
walinzi wa hekalu waende kumkamata. amemwendea Yesu siku moja usiku, ambaye
33 Yesu akasema, “Mimi bado niko pamoja alikuwa mmoja wao akauliza, 51“Je, sheria zetu
nanyi kwa kitambo kidogo, kisha nitarudi Kwake zinaturuhusu kumhukumu mtu kabla ya
Yeye aliyenituma. 34Mtanitafuta, lakini kumsikiliza na kufahamu alilotenda?’’
hamtaniona, nami niliko, ninyi hamwezi kuja.’’ 52Wakamjibu, “Je, wewe pia unatoka
35Wayahudi wakaulizana wao kwa wao, Galilaya? Chunguza nawe utaona kwamba
“Huyu mtu anataka kwenda wapi ambako hakuna nabii atokae Galilaya!’’ [53Kisha
hatuwezi kumfuata? Je, anataka kwenda kwa wakaondoka, kila mtu akarudi nyumbani kwake].
Wayunani ambako baadhi ya watu wetu
wametawanyikia, akawafundishe Wayunani? Mwanamke Aliyefumaniwa Akizini
36Yeye ana maana gani anaposema, 8 Lakini Yesu akaenda katika Mlima wa Mizeituni.
‘Mtanitafuta lakini hamtaniona na huko 2Alfajiri na mapema Yesu akaja tenahekaluni, watu
nitakapokuwa ninyi hamwezi kuja?’ ’’ wote wakakusanyika,
akakaa akaanza kuwafundisha. 3Walimu wa
Mito Ya Maji Ya Uzima sheria na Mafarisayo wakamleta mwanamke
37Siku ile ya mwisho ya Sikukuu, siku ile mmoja aliyefumaniwa akizini. Wakamsimamisha
kuu, wakati Yesu akiwa amesimama huko, katikati ya umati wa watu wote. 4Wakamwambia
akapaza sauti Yake akasema, “Kama mtu ye Yesu, “Mwalimu, huyu mwanamke amekutwa
yote anaona kiu na aje Kwangu anywe. 38Ye akizini. 5Katika sheria, Mose alituamuru
yote aniaminiye Mimi, kama maandiko kuwapiga kwa mawe wanawake wa namna hii,
yasemavyo, vijito vya maji ya uzima vitatiririka mpaka wafe. Sasa Wewe wasemaje?’’
6Walimwuliza swali hili kama mtego ili wapate
ndani mwake.’’ 39Yesu aliposema haya
alimaanisha Roho Mtakatifu ambaye wote sababu ya kumshtaki.
waliomwamini wangempokea, kwani mpaka Lakini Yesu akainama akaanza kuandika
wakati huo, Roho alikuwa hajatolewa, kwa kuwa ardhini kwa kidole Chake. 7Walipoendelea
Yesu alikuwa bado hajatukuzwa. kumwulizauliza akainuka, akawaambia, “Kama
kuna mtu ye yote miongoni mwenu ambaye
Mgawanyiko Miongoni Mwa watu. hana dhambi na awe wa kwanza kumtupia
40Waliposikia maneno hayo, baadhi ya watu jiwe.’’ 8Akainama tena na kuandika ardhini.
miongoni mwa ule umati wakasema, “Hakika 9Waliposikia haya, wakaanza kuondoka
huyu ndiye yule Nabii.’’ mmoja mmoja, wakianzia wazee, hadi Yesu
41Wengine wakasema, “Huyu ndiye Kristo!’’ akabaki peke Yake na yule mwanamke akiwa
Lakini wengine wakauliza, “Je, Kristo kwao ni amesimama mbele Yake. 10Yesu akainuka na
Galilaya? 42Je, Maandiko hayasemi kwamba kumwambia, “Wako wapi wale waliokuwa
Kristo atakuja kutoka katika jamaa ya Daudi na wanakuhukumu kuwa mwenye hatia?’’
kutoka Bethlehemu, mji alioishi Daudi?’’ 43Kwa 11Yule mwanamke akajibu, “Hakuna hata
hiyo watu wakagawanyika kwa ajili ya Yesu. mmoja Bwana.’’
44Baadhi yao walitaka kumkamata, lakini Yesu akamwambia, “Hata Mimi
hakuna aliyethubutu kumgusa. sikuhukumu. Nenda zako, kuanzia sasa
usitende dhambi tena.’’
Kutokuamini Kwa Viongozi Wa Wayahudi
45Hatimaye wale walinzi wa hekalu wakarudi Yesu Nuru Ya Ulimwengu
kwa viongozi wa makuhani na Mafarisayo 12Kisha Yesu akasema nao tena
waliokuwa wamewatuma ili kumkamata Yesu, akawaambia, “Mimi ni nuru ya ulimwengu. Mtu
wakaulizwa, “Mbona hamkumkamata?’’ ye yote akinifuata hatatembea gizani kamwe,
46Wale walinzi wakajibu, “Kamwe hajanena bali atakuwa na nuru ya uzima.”
mtu ye yote kama Yeye anenavyo.’’ 13 Mafarisayo wakamwambia, “Ushuhuda
47Mafarisayo wakajibu, “Je, nanyi pia Wako haukubaliki kwa kuwa unajishuhudia
mmedanganyika? 48Je, kuna kiongozi ye yote mwenyewe.’’
14Yesu akawajibu, “Hata kama najishuhudia
au mmoja wa Mafarisayo ambaye
49 mwenyewe, ushuhuda Wangu ni kweli kwa
amemwamini? Lakini huu umati wa watu
11
YOHANA
sababu najua nilikotoka na ninakokwenda. haya wakamwamini.
Lakini ninyi hamjui nilikotoka wala
15
ninakokwenda. Ninyi mnahukumu kwa kufuata Wanafunzi Wa Kweli
vipimo vya kibinadamu, Mimi simhukumu mtu ye 31Kisha Yesu akawaambia wale Wayahudi
yote. 16Lakini hata kama nikihukumu, hukumu waliomwamini, “Kama mkidumu katika maneno
zangu ni sahihi kwa sababu sitoi hukumu yangu, Yangu, mtakuwa wanafunzi wangu kweli kweli.
bali Mimi pamoja na Baba aliyenituma. 32Ndipo mtaijua kweli nayo kweli itawaweka
17Imeandikwa katika Sheria yenu kwamba, huru.’’
ushahidi wa watu wawili ni thabiti. 18Mimi 33Wao wakamjibu, “Sisi tu wazao wa
najishuhudia mwenyewe, naye Baba Abrahamu, nasi hatujawa watumwa wa mtu ye
aliyenituma hunishuhudia’’. yote. Wawezaje kusema kwamba tutawekwa
19Ndipo wakamwuliza, “Huyo Baba yako huru?’’
yuko wapi?” 34Yesu akajibu, ‘‘Amin, amin, nawaambia,
Yesu akawajibu, “Ninyi hamnifahamu Mimi kila atendaye dhambi ni mtumwa wa dhambi.
ni nani, wala hamumfahamu Baba yangu. Kama 35Mtumwa hakai nyumbani anakotumika
mngenifahamu Mimi, mngemfahamu pia na sikuzote, lakini mwana hukaa nyumbani daima.
Baba Yangu.” 20Yesu alisema maneno haya 36Hivyo Mwana akiwaweka huru mtakuwa huru
alipokuwa akifundisha katika chumba cha kweli kweli. 37Ninajua ya kuwa ninyi ni wazao
hazina hekaluni. Lakini hakuna mtu wa Abrahamu, lakini mnatafuta wasaa wa
aliyemkamata kwa kuwa saa Yake ilikuwa kuniua kwa sababu ndani yenu hamna nafasi ya
haijawadia. Yesu akasema, ‘Niendako Mimi neno Langu. 38Ninasema yale niliyoyaona
ninyi hamwezi kufika.’ mbele za Baba yangu, nanyi inawapa kufanya
yale mliyosikia kutoka kwa baba yenu.’’
Yesu Atabiri Kifo chake Mwenyewe
21 Yesu akawaambia tena, “Ninaenda Yesu Na Abrahamu
zangu, nanyi mtanitafuta, lakini mtakufa katika 39Wakajibu, ‘‘Baba yetu ni Abrahamu.’’
dhambi zenu. Niendako ninyi hamwezi kuja.’’ Yesu akawaambia, ‘‘Kama mngekuwa
22Ndipo wale Wayahudi wakasema, “Je, wazao wa Abrahamu mngefanya mambo yale
atajiua? Je, hii ndiyo sababu amesema, aliyofanya Abrahamu. 40Lakini sasa ninyi
‘Niendako Mimi ninyi hamwezi kuja?’ mnatafuta kuniua, mtu ambaye nimewaambia
23Akawaambia, ‘‘Ninyi mmetoka chini, mimi kweli ile niliyosikia kutoka kwa Mungu, Abrahamu
nimetoka juu. Ninyi ni wa ulimwengu huu, mimi hakufanya jambo la namna hii. 41Ninyi mnafanya
si wa ulimwengu huu. 24Niliwaambia kuwa mambo afanyayo baba yenu’’.
mtakufa katika dhambi zenu, kwa maana Wakamjibu, ‘‘Sisi si watoto wa haramu,
msipoamini ya kwamba ‘Mimi Ndiye,’ mtakufa tunaye Baba mmoja ndiye Mungu.’’
katika dhambi zenu.’’ 42Yesu akawaambia, ‘‘Kama Mungu
25Wakamwuliza, “Wewe ni nani?’’
angekuwa Baba yenu, mngenipenda, kwa
Naye Yesu akawajibu, ‘‘Mimi ndiye yule maana nilitoka kwa Mungu na sasa niko hapa.
ambaye nimekuwa nikiwaambia tangu mwanzo. Sikuja kwa ajili Yangu mwenyewe, ila Yeye
26Nina mambo mengi ya kusema juu yenu na 43
alinituma. Kwa nini hamwelewi
mengi ya kuwahukumu. Lakini Yeye aliyenituma ninayowaambia? Ni kwa sababu hamwezi
ni wa kweli, nami nanena na ulimwengu kusikia nisemacho. 44Ninyi ni watoto wa baba
niliyoyasikia kutoka Kwake’’ yenu Ibilisi, nanyi mnataka kutimiza matakwa ya
27Hawakuelewa kuwa alikuwa akiwaambia juu
baba yenu. Yeye alikuwa mwuaji tangu
ya Baba Yake wa Mbinguni. 28Kisha Yesu mwanzo, wala hakushikana na kweli maana
akawaambia, “Mtakapokwisha kumwinua juu hamna kweli ndani yake. Asemapo uongo
Mwana wa Adamu, ndipo mtakapojua kuwa, ‘Mimi husema yaliyo yake mwenyewe kwa maana
ndiye Yule niliyesema na kwamba Mimi sitendi yeye ni mwongo na baba wa huo uongo.
45Lakini kwa sababu nimewaambia kweli
jambo lo lote peke Yangu bali ninasema yale tu
ambayo Baba Yangu amenifundisha. 29Yeye hamkuniamini! 46 Je, kuna ye yote miongoni
aliyenituma yu pamoja nami, hajaniacha, kwa mwenu awezaye kunithibitisha kuwa mwenye
kuwa sikuzote nafanya mapenzi Yake.’’ 30Wengi dhambi? Kama nawaambia yaliyo kweli, mbona
waliomsikia Yesu akisema maneno hamniamini? 47Yeye atokaye kwa Mungu
12
YOHANA
husikia kile Mungu asemacho. Sababu ya ninyi ardhini, akatengeneza tope kwa mate na
kutosikia ni kwa kuwa hamtokani na Mungu.’’ kumpaka yule mtu kipofu machoni. 7Kisha
akamwambia, “Nenda ukanawe katika bwawa la
Maelezo Ya Yesu Kuhusu Yeye Mwenyewe Siloamu.” (Siloamu, maana yake ni aliyetumwa.)
48Wayahudi wakamjibu Yesu, “Je, hatuko Ndipo yule kipofu akaenda, akanawa, naye
sahihi tunaposema ya kwamba Wewe ni akarudi akiwa anaona.
Msamaria na ya kwamba una pepo mchafu?” 8Majirani zake na wale wote waliokuwa
49Yesu akawajibu, “Mimi sina pepo mchafu, wamemwona hapo awali akiombaomba
bali ninamheshimu Baba Yangu, nanyi wakaanza kuuliza, “Je, huyu si yule aliyekuwa
mnanidharau. 50Lakini Mimi sitafuti utukufu akiketi akiombaomba?” 9Wengine wakasema,
Wangu mwenyewe, bali yuko anayetaka “Ndiye.”
kunitukuza, naye ndiye mwamuzi. 51Amin, amin, Wengine wakasema, “Siye, bali
nawaambia, mtu ye yote akilitii Neno Langu wamefanana.’’
hataona mauti milele.’’ Lakini yeye akawaambia, “Mimi ndiye’’.
52Ndipo Wayahudi wakamwambia, ‘‘Sasa 10Wakamwuliza, “Basi macho yako
tumejua kwamba una pepo mchafu. Ikiwa yalifumbuliwaje?’’
Abrahamu alikufa na vivyo hivyo manabii, nawe 11Yeye akawajibu, “Yule mtu aitwaye Yesu
unasema ‘Mtu akitii Neno Langu hatakufa?’ alitengeneza tope, akanipaka machoni mwangu,
53Je, Wewe ni mkuu kuliko baba yetu Abrahamu naye akaniambia nenda ukanawe katika Bwawa
ambaye alikufa na manabii ambao nao pia la Siloamu, ndipo nikanawa nami nikapata
walikufa? Hivi Wewe unajifanya kuwa nani?’’ kuona!’’
54Yesu akawajibu, “Kama nikijitukuza 12Wale wakamwuliza, “Yeye huyo mtu yuko
utukufu wangu hauna maana. Baba yangu, huyo wapi?’’
ambaye ninyi mnadai kuwa ni Mungu wenu, Akawajibu, “Sijui.’’
ndiye anitukuzaye Mimi. 55Ingawa hamkumjua,
Mimi ninamjua. Kama ningesema simjui, Mafarisayo Wachunguza Kuponywa Kwa
ningekuwa mwongo kama ninyi, lakini Mimi Kipofu
ninamjua na ninalitii Neno Lake. 56Baba yenu 13Wakamleta kwa Mafarisayo yule mtu
Abrahamu alishangilia kwamba angaliiona siku aliyekuwa kipofu hapo awali. 14Basi siku hiyo
Yangu, naye akaiona na akafurahi.’’ Yesu alipotengeneza tope na kuyafungua
57Wayahudi wakamwambia, “Wewe macho ya huyo mtu ilikuwa Sabato.
hujatimiza hata miaka hamsini, Wewe wasema 15Mafarisayo nao wakaanza kumwuliza
umemwona Abrahamu?’’ alivyopata kuponywa. Naye akawaambia,
58Yesu akawaambia, ‘‘Amin, amin, “Alinipaka tope kwenye macho yangu, nikanawa
nawaambia, kabla Abrahamu hajakuwako, ‘Mimi na sasa ninaona.’’
niko.’ ’’ 59Ndipo wakaokota mawe ili kumpiga, 16Baadhi ya Mafarisayo wakasema, ‘‘Huyu
lakini Yesu akajificha, naye akatoka hekaluni. mtu hatoki kwa Mungu, kwa sababu hashiki
Sabato.’’
Yesu Amponya Mtu Aliyezaliwa Kipofu Lakini wengine wakasema, “Awezaje mtu
9 Yesu alipokuwa akipita, akamwona mtu mwenye dhambi kufanya miujiza kama hii?’’
Wakagawanyika.
aliyekuwa kipofu tangu kuzaliwa.
2Wanafunzi Wake wakamwuliza, “Rabi, ni nani 17Hivyo wakamwambia tena yule mtu
aliyetenda dhambi, ni huyu mtu au wazazi wake aliyekuwa kipofu, “Wewe ndiwe uliyefunguliwa
hata azaliwe kipofu?’’ macho, wasemaje kuhusu mtu huyo?’’ Maana
3Yesu akawajibu, “Huyu mtu wala wazazi macho yako ndiyo yaliyofunguliwa.
wake hawakutenda dhambi. Alizaliwa kipofu ili Yeye akawajibu, “Yeye ni nabii.’’
kazi za Mungu zidhihirishwe katika maisha yake. 18Wale Wayahudi hawakuamini ya kuwa mtu
4Yanipasa kuzifanya kazi zake Yeye aliyenituma huyo alikuwa kipofu, akapata kuona, mpaka
wakati bado ni mchana, kwa kuwa usiku waja walipowaita wazazi wake. 19Wakawauliza, “Je,
ambapo hakuna mtu awezaye kufanya kazi. huyu ni mtoto wenu, ambaye mnasema alizaliwa
5Wakati niko ulimwenguni, Mimi ni nuru ya kipofu? Imekuwaje basi sasa anaona?’’
ulimwengu.’’ 20Wazazi wake wakajibu, “Tunajua ya kuwa
6Baada ya kusema haya, akatema mate huyu ni mtoto wetu na ya kuwa alizaliwa kipofu.
13
YOHANA
21Lakini sisi hatujui ni kwa jinsi gani kwamba humu kwa ajili ya kuhukumu, ili wale walio
sasa anaona, wala hatujui ni nani aliyemfungua vipofu wapate kuona, nao wale wanaoona,
macho yake. Mwulizeni, yeye ni mtu mzima na wawe vipofu.’’
anaweza kujieleza mwenyewe.’’ 22Wazazi wake 40Baadhi ya Mafarisayo waliokuwa karibu
walisema hivi kwa sababu waliwaogopa naye wakamsikia na kumwambia, “Je, kweli sisi
Wayahudi kwani walikuwa wamekubaliana kuwa ni vipofu?’’
mtu ye yote atakayemkiri Yesu kuwa ndiye 41 Yesu akawajibu, “Kama mngekuwa
Kristo atafukuzwa kutoka katika sinagogi. 23Kwa vipofu kweli, msingekuwa na hatia ya dhambi,
hiyo wazazi wake wakasema, “Yeye ni mtu lakini kwa kuwa mnasema, ‘Tunaona,’ basi mna
mzima. Mwulizeni.’’ hatia.’’
24Hivyo kwa mara ya pili wakamwita yule
aliyekuwa kipofu, nao wakamwambia, “Mpe Mchungaji Mwema
Mungu utukufu! Sisi tunafahamu kuwa mtu huyu
aliyekuponya ni mwenye dhambi.’’
10 “Amin, amin, nawaambia, yeye asiyeingia
katika zizi la kondoo kwa kupitia kwenye lango,
25Akawajibu, “Mimi sijui kama Yeye ni lakini akwea kuingia ndani
mwenye dhambi. Lakini jambo moja ninalojua, kwa njia nyingine, ni mwivi na mnyang'anyi.
nilikuwa kipofu na sasa ninaona.’’ 2Yeye anayeingia kwa kupitia kwenye lango
26Wakamwuliza, “Alikufanyia nini? ndiye mchungaji wa kondoo. 3Mlinzi
Aliyafumbuaje macho yako?’’ humfungulia lango na kondoo huisikia sauti
27Akawajibu, “Tayari nimekwisha yake. Huwaita kondoo wake kwa majina yao na
kuwaambia, nanyi hamtaki kunisikiza. Mbona kuwatoa nje ya zizi. 4 Akiisha kuwatoa wote nje,
mnataka kusikia tena? Je, ninyi nanyi mnataka hutangulia mbele yao na kondoo humfuata kwa
kuwa wanafunzi Wake?’’ kuwa wanaijua sauti yake. 5Lakini kondoo
28Ndipo wakamtukana na kusema, “Wewe hawatamfuata mgeni bali watamkimbia, kwa
ndiwe mwanafunzi Wake, Sisi ni wanafunzi wa sababu hawaijui sauti ya mgeni.’’ 6Yesu alitumia
Mose. 29Tunajua kwamba Mungu alisema na mfano huu, lakini wao hawakuelewa hayo
Mose, lakini kwa habari ya mtu huyu hatujui aliyokuwa akiwaambia.
atokako.’’ 7Kwa hiyo Yesu akasema nao tena
30Yule mtu akawajibu, ‘‘Hili ni jambo la akawaambia, “Amin, amin, nawaambia, Mimi
ajabu! Hamjui anakotoka, naye amenifungua ndimi lango la kondoo. 8Wote walionitangulia ni
macho yangu! 31 Tunajua ya kuwa Mungu wevi na wanyang'anyi, lakini kondoo
hawasikilizi wenye dhambi, lakini huwasikiliza hawakuwasikia. 9Mimi ndimi lango, ye yote
wote wanaomcha na kumtii. 32 Tangu kuumbwa anayeingia zizini kwa kupitia Kwangu ataokoka,
kwa ulimwengu hatujasikia kwamba mtu ataingia na kutoka, naye atapata malisho.
10Mwivi huja ili aibe, kuua na kuangamiza. Mimi
amemponya ye yote aliyekuwa kipofu. 33Kama
huyu mtu hakutoka kwa Mungu, asingeweza nimekuja ili wapate uzima kisha wawe nao tele.
kufanya lo lote.’’ 11‘‘Mimi ndimi Mchungaji Mwema.
34Wao wakamjibu, ‘‘Wewe ulizaliwa katika Mchungaji Mwema huutoa uhai Wake kwa ajili
dhambi kabisa, nawe unajaribu kutufundisha?’’ ya kondoo. 12Mtu wa kuajiriwa ambaye kondoo
Wakamfukuzia nje. si mali yake, amwonapo mbwa mwitu anakuja,
hukimbia na kuwaacha kondoo na mbwa mwitu
Upofu Wa Kiroho hulishambulia kundi na kulitawanya. 13Yeye
35Yesu aliposikia kuwa wamemfukuzia nje hukimbia kwa sababu ameajiriwa wala hawajali
yule mtu aliyemfumbua macho, alimkuta kondoo.
akamwuliza, “Je, unamwamini Mwana wa 14‘‘Mimi ndimi Mchungaji Mwema:
Adamu?’’ Ninawajua kondoo Wangu nao kondoo Wangu
36Yule mtu akamjibu, “Yeye ni nani ili nipate
wananijua. 15Kama vile Baba anavyonijua Mimi,
kumwamini, niambie ili nipate kumwamini.’’ nami ninavyomjua Baba, nami nautoa uhai
37Yesu akamjibu, “Umekwisha kumwona,
Wangu kwa ajili ya kondoo. 16Ninao kondoo
naye anayezungumza nawe Ndiye.’’
38 Yule mtu akasema, “Bwana, naamini.’’ wengine ambao si wa zizi hili, inanipasa
kuwaleta, nao wataisikia sauti yangu, hivyo
Naye akamwabudu. patakuwa na kundi moja na mchungaji mmoja.
39Yesu akasema, “Nimekuja ulimwenguni 17Baba Yangu ananipenda kwa kuwa ninautoa

14
YOHANA
uhai wangu ili niupate tena. 18Hakuna mtu hamniamini Mimi ziaminini hizo kazi, ili mpate
aniondoleaye uhai wangu, bali ninautoa kwa kujua na kuelewa kwamba Baba yu ndani
hiari yangu mwenyewe. Ninao uwezo wa kuutoa Yangu, nami ndani Yake.’’ 39Ndipo wakajaribu
uhai wangu na pia ninao uwezo wa kuutwaa kumkamata kwa mara nyingine, lakini
tena. Amri hii nimepewa na Baba yangu.’’ akaponyoka kutoka mikononi mwao.
19Kwa maneno haya Wayahudi 40Akaenda tena ng'ambo ya Mto Yordani
20
waligawanyika. Wengi wao wakasema, “Huyu mpaka mahali pale ambapo Yohana alikuwa
amepagawa na pepo mchafu, naye akibatiza hapo awali, naye akakaa huko. 41Watu
amechanganyikiwa.’’ wengi wakamjia, nao wakawa wakisema, ‘‘Yohana
21Wengine wakasema, “Haya si maneno ya
hakufanya mwujiza wo wote, lakini kila jambo
mtu mwenye pepo mchafu. Je, pepo mchafu alilosema kumhusu huyu Mtu ni kweli.’’ 42Nao
aweza kufungua macho ya kipofu?’’
wengi wakamwamini Yesu huko.
Yesu Akataliwa Na Wayahudi Kifo Cha Lazaro
22Wakati huo ulikuwa Sikukuu ya kuwekwa
wakfu hekalu, nao ulikuwa wakati wa majira ya
baridi. 23Naye Yesu alikuwa akitembea ndani ya
11 Basi mtu mmoja jina lake Lazaro alikuwa
mgonjwa. Yeye alikuwa akiishi Bethania kijiji cha
hekalu katika ukumbi wa Solomoni. 24Wayahudi Maria na Martha dada zake. 2Huyu Maria, ambaye
wakamkusanyikia wakamwuliza, “Utatuweka Lazaro kaka yake alikuwa mgonjwa, ndiye yule
katika hali ya mashaka mpaka lini? Kama Wewe ambaye alimpaka Bwana mafuta na kuifuta miguu
Yake kwa nywele zake. 3Hivyo hawa dada wawili
ndiye Kristo tuambie waziwazi.’’ walituma ujumbe kwa Yesu kumwambia, “Bwana,
25Yesu akawajibu, “Nimewaambia, lakini yule umpendaye ni
hamwamini. Mambo ninayoyatenda kwa jina la mgonjwa.’’
Baba yangu yananishuhudia. 26Lakini 4Lakini Yesu aliposikia hayo, akasema,
hamwamini, kwa sababu ninyi si wa kundi la ‘‘Ugonjwa huu hautaleta mauti bali umetokea ili
kondoo Wangu. 27Kondoo Wangu huisikia sauti kudhihirisha utukufu wa Mungu, ili Mwana wa
Yangu nami nawajua, nao hunifuata, 28nami Mungu apate atukuzwe kutokana na ugonjwa
ninawapa uzima wa milele, hawataangamia huu.’’ 5Pamoja na hivyo, ingawa Yesu
kamwe wala hakuna mtu atakayewapokonya aliwapenda Martha, Maria na Lazaro ndugu
kutoka katika mikono Yangu. 29Baba Yangu yao, 6baada ya kusikia kwamba Lazaro ni
aliyenipa hawa ni Mkuu kuliko wote na hakuna mgonjwa, aliendelea kukawia huko alikokuwa
awezaye kuwapokonya kutoka mikononi kwa siku mbili zaidi.
Mwake. 30Mimi na Baba Yangu tu Umoja.’’ 7Ndipo akawaambia wanafunzi Wake,
31Kwa mara nyingine Wayahudi wakainua “Haya na turudi Uyahudi.’’
8Wanafunzi Wake wakamwambia, “Rabi,
mawe ili wampige nayo, 32lakini Yesu
akawaambia, “Nimewaonyesha miujuza mingi Wayahudi walikuwa wanataka kukupiga mawe,
mikubwa kutoka kwa Baba Yangu. Ni ipi katika nawe unataka kurudi huko?’’
hiyo mnataka kunipiga mawe?” 9Yesu akawajibu, “Si kuna saa kumi na
33Wayahudi wakamjibu, “Hutukupigi mawe mbili za mchana katika siku moja? Wala
kwa sababu ya mambo mema uliyotenda, bali ni watembeao mchana hawawezi kujikwaa kwa
kwa kuwa umekufuru. Wewe ingawa ni maana wanaona nuru ya ulimwengu huu.
mwanadamu unajifanya kuwa Mungu.’’ 10Lakini wale watembeao usiku hujikwaa kwa
34 Yesu akawajibu, ‘‘Je, haikuandikwa sababu hakuna nuru ndani yao.’’
katika Torati ya kwamba, ‘Nimesema kuwa, 11Baada ya kusema haya, Yesu
ninyi ndinyi miungu?’ 35Kama aliwaita ‘miungu’, akawaambia, “Rafiki yetu Lazaro amelala, lakini
wale ambao neno la Mungu liliwafikia, nayo nakwenda kumwamsha.’’
Maandiko hayawezi kutanguka. 36Je, 12Wanafunzi wakamwambia, “Bwana, kama
mwawezaje kusema kwamba, Yule ambaye amelala usingizi ataamka.’’ 13Hata hivyo, Yesu
Baba amemweka wakfu na kumtuma alikuwa anazungumzia kuwa Lazaro amekufa,
ulimwenguni anakufuru kwa sababu nilisema lakini wanafunzi wake hawakuelewa, walidhani
‘Mimi ni Mwana wa Mungu?’ 37Ikiwa sifanyi kazi kwamba anasema Lazaro amelala usingizi tu.
za Baba Yangu, basi msiniamini, 38lakini ikiwa 14Kwa hiyo Yesu akawaambia waziwazi,
nazifanya kazi za Mungu, hata kama
“Lazaro amekufa. 15Hata hivyo nafurahi kwa
15
YOHANA
kuwa sikuwepo huko kabla ya Lazaro kufa, ili Yesu alisikia uchungu moyoni, akafadhaika
mpate kuamini. Lakini sasa twendeni kwake.’’ sana. 34Akauliza, “Mmemweka wapi?’’
16Thomasi aliyeitwa Pacha akawaambia Wakamwambia, “Bwana, njoo upaone.’’
35Yesu akalia machozi.
wanafunzi wenzake, “Sisi nasi twendeni tukafe
pamoja naye.’’ 36Ndipo Wayahudi wakasema, “Tazama
jinsi alivyompenda Lazaro!’’
Yesu Ndiye Ufufuo Na Uzima 37Lakini wengine wakasema, “Je, yule
17Yesu alipowasili huko alikuta Lazaro aliyefungua macho ya kipofu, hakuweza
amekwisha kuwako kaburini siku nne. 18Basi kumfanya na huyu asife?’’
Bethania ulikuwa karibu na Yerusalemu umbali
wakaribu wa maili mbilia, 19 Wayahudi wengi Yesu Amfufua Lazaro
walikuwa wamekuja kuwafariji Martha na Maria 38Yesu kwa mara nyingine akiwa
kwa ajili ya kufiwa na ndugu yao. 20 Martha amefadhaika sana, akafika penye kaburi. Hilo
aliposikia kwambaYesu anakuja, alitoka kwend kaburi lilikuwa pango ambalo jiwe lilikuwa
kumlaki,ila Maria alibaki nyumbani. limewekwa penye ingilio lake. 39 Yesu
21Martha akamwambia Yesu, ‘‘Bwana, akasema, “Liondoeni hilo jiwe.’’ Martha ndugu
kama ungalikuwa hapa, ndugu yangu yake yule aliyekuwa amekufa akasema,
hangalikufa. 22Lakini sasa ninajua kuwa cho “Lakini Bwana, wakati huu atakuwa
chote utakachomwomba Mungu, atakupa.’’ ananuka kwani amekwisha kuwako kaburini
23Yesu akamwambia, ‘‘Ndugu yako siku nne’’.
atafufuka.’’ 40Yesu akamwambia, “Sikukuambia
24Martha akamjibu, ‘‘Ninajua ya kuwa kwamba kama ukiamini utauona utukufu wa
atafufuka wakati wa ufufuo wa wafu siku ya Mungu?’’
mwisho.’’ 41Kwa hiyo wakaliondoa lile jiwe kutoka
25Yesu akamwambia, “Mimi ndiye huo penye kaburi. Yesu akainua macho Yake juu
ufufuo na uzima. Yeye aniaminiye Mimi, hata akasema, “Baba, ninakushukuru kwa kuwa
akifa atakuwa anaishi 26na ye yote aishiye na wanisikia. 42Ninajua ya kuwa Wewe hunisikia
kuniamini hatakufa kabisa hata milele. Je, sikuzote, lakini nimesema haya kwa ajili ya
unasadiki haya?’’ umati huu uliosimama hapa, ili wapate kuamini
27Martha akamwambia, “Ndiyo Bwana, ya kuwa Wewe umenituma.’’
ninaamini ya kuwa Wewe ndiwe Kristo, Mwana 43Baada ya kusema haya, Yesu akapaaza
wa Mungu, Yeye ajaye ulimwenguni.’’ sauti Yake akaita, ‘‘Lazaro, njoo huku!’’ 44Yule
aliyekuwa amekufa akatoka nje, mikono yake
Yesu Alia na miguu yake ikiwa imeviringishiwa vitambaa
28Baada ya kusema haya Martha vya kitani na leso usoni pake.
alikwenda, akamwita Maria dada yake faraghani Yesu akawaambia, “Mfungueni, mwacheni
na kumwambia, “Mwalimu yuko hapa anakuita.’’ aende zake.’’
29Maria aliposikia hivyo, akaondoka upesi
Shauri La Kumwua Yesu
akaenda mpaka alipokuwa Yesu. 30 Yesu
45Hivyo Wayahudi wengi waliokuwa
alikuwa hajaingia kijijini, bali alikuwa bado yuko
mahali pale alipokutana na Martha. 31Wale wamekuja kumfariji Maria, walipoona yale Yesu
Wayahudi waliokuwa pamoja na Maria aliyoyatenda wakamwamini. 46Lakini baadhi yao
nyumbani wakimfariji walipoona ameondoka wakaenda kwa Mafarisayo na kuwaambia
haraka na kutoka nje, walimfuata wakidhani ya mambo Yesu aliyoyafanya. 47 Kwa hiyo
kwamba alikuwa anakwenda kule kaburini kulilia viongozi wa makuhani na Mafarisayo wakaita
huko. mkutano wa baraza, wakaulizana,
32Maria alipofika mahali pale Yesu “Tufanyeje? Huyu mtu anafanya ishara
alipokuwa, alipiga magoti miguuni Pake na nyingi. 48Kama tukimwacha aendelee hivi, kila
kusema, “Bwana, kama ungalikuwa hapa, mtu atamwamini, nao Warumi watakuja na
ndugu yangu hangalikufa.’’ kupaharibu mahali petu patakatifu na taifa letu.’’
33Yesu alipomwona Maria akilia na wale 49Mmoja wao, aliyeitwa Kayafa, ambaye
Wayahudi waliokuja pamoja naye pia wakilia, alikuwa Kuhani Mkuu mwaka huo akasema,
“Ninyi hamjui kitu cho chote! 50Hamjui kwamba
a18 Maili mbili ni kama kilomita tatu.
16
YOHANA
ni afadhali mtu mmoja afe kwa ajili ya watu, 7Yesu akasema, “Mwacheni. Aliyanunua
kuliko taifa lote liangamie?’’ manukato hayo ili ayaweke kwa ajili ya siku ya
51Hakusema haya kutokana na mawazo maziko Yangu. 8Maskini mnao siku zote lakini
yake mwenyewe bali kama Kuhani Mkuu mwaka mimi hamko pamoja nami siku zote.”
huo, alitabiri kuwa Yesu angelikufa kwa ajili ya
Wayahudi, 52wala si kwa ajili ya Wayahudi peke Shauri La kumwua Lazaro
yao, bali pia kwa ajili ya watoto wa Mungu 9Umati mkubwa wa Wayahudi walipojua
waliotawanyika, ili kuwaleta pamoja na kwamba Yesu alikuwa huko Bethania, walikuja si
kuwafanya wawe wamoja. 53Hivyo tangu siku tu kwa ajili ya Yesu, lakini pia kumwona Lazaro
hiyo wakawa wanafanya mipango ili wamwue ambaye Yesu alikuwa amemfufua.10Kwa hiyo
Yesu. viongozi wa makuhani wakafanya mpango wa
54Kwa hiyo Yesu akawa hatembei kumwua Lazaro pia, 11kwa kuwa kutokana na
hadharani miongoni mwa Wayahudi, bali habari za kufufuliwa kwake Wayahudi wengi
alijitenga akaenda sehemu iliyo karibu na walikuwa wanamwendea Yesu na kumwamini.
jangwa kwenye kijiji kiitwacho Efraimu. Akakaa
huko na wanafunzi Wake. Kuingia KwaYesu Yerusalemu Kwa Ushindi.
55Basi Pasaka ya Wayahudi ilipokuwa 12Siku iliyofuata umati mkubwa uolikuwa
imekaribia, watu wengi walitoka vijijini wakaenda umekuja kwenye Sikukuu walisikia kwamba Yesu
Yerusalemu kabla ya Pasaka ili wakajitakase. angekuja Yerusalemu. 13 Basi wakachukua
56Watu wakawa wanamtafuta Yesu, nao matawi ya mitende wakatoka kwenda kumlaki,
waliposimama kwenye eneo la hekalu huku wakipaza sauti wakisema,
waliulizana, Je, Mtu huyu hatakuja kamwe
kwenye Sikukuu? 57Viongozi wa makuhani na “Hosana!
Mafarisayo walikuwa wametoa amri kuwa ye Amebarikiwa Yeye ajaye kwa Jina
yote atakayejua mahali Yesu aliko, lazima atoe la Bwana!
taarifa ili wapate kumkamata. Amebarikiwa Mfalme wa Israeli!’’

Maria Ampaka Yesu Mafuta Huko Bethania 14Yesu akamkuta mwana-punda akampanda,

12 Siku sita kabla ya Pasaka, Yesu alikwenda kama ilivyoandikwa,


Bethania mahali ambako Lazaro aliyekuwa
amefufuliwa na Yesu alikuwa 15“Usiogope, Ewe binti Sayuni,
anaishi. 2Wakaandaa karamu kwa heshima ya tazama, Mfalme wako anakuja,
Yesu. Martha akawahudumia wakati Lazaro amepanda mwana-punda!’’
alikuwa miongoni mwa waliokaa mezani pamoja
na Yesu. 3Kisha Maria akachukua chupa ya 16Wanafunzi wake Yesu mwanzoni
painti mojaa yenye manukato ya nardob safi ya hawakuelewa mambo haya, lakini Yesu
thamani kubwa akayamimina miguuni mwa alipotukuzwa, ndipo walipokumbuka kuwa
Yesu na kuifuta kwa nywele zake. Nyumba mambo haya yalikuwa yameandikwa kwa ajili
nzima ikajaa harufu nzuri ya manukato. Yake na alitendewa Yeye.
4Ndipo Yuda Iskariote mwana wa Simoni, 17Wale waliokuwepo wakati Yesu
mmoja wa wale wanafunzi ambaye ndiye alipomwita Lazaro kutoka kaburini na kumfufua
atakayemsaliti Yesu, akasema, 5“Kwa nini kutoka kwa wafu, walindelea kushuhudia. 18Ni
manukato haya hayakuuzwa kwa dinari 300 c na kwa sababu pia walikuwa wamesikia kwamba
fedha hizo wakapewa maskini?” 6Yuda alisema alikuwa ametenda mwujiza huu ndiyo maana
hivi si kwa kuwa aliwajali maskini, bali kwa kuwa umati wa watu ukaenda kumlaki. 19Hivyo
alikuwa mwivi, kwa kwani ndiye aliyekuwa Mafarisayo walipoona hayo wakaambiana,
akitunza mfuko wa fedha akawa anaiba kile “Mnaona, hamwezi kufanya lo lote. Angalieni,
kilichowekwa humo. ulimwengu wote unamfuata Yeye!’’

Yesu Anatabiri Kifo Chake


a3 Painti moja hapa ni kama nusu lita 20Basi palikuwapo Wayunani fulani
b3 Nardo ni aina ya manukato yaliyokuwa anatengenezwa
kutokana na mimea yenye mizizi inayotoa harufu nzuri. miongoni mwa wale waliokuwa wamekwenda
c5 Dinari 300 ni sawa na mshahara wa kibarua wa siku 300,
yaani, mshahara wa kibarua ulikuwa dinari moja kwa siku
kuabudu wakati wa Sikukuu. 21Hawa wakamjia
17
YOHANA
Filipo, ambaye alikuwa mwenyeji wa Bethsaida “Bwana, ni nani aliyesadiki ujumbe wetu
huko Galilaya, wakiwa na ombi, wakamwambia, na mkono wa Bwana amefunuliwa
“Tungependa kumwona Yesu.’’ 22Filipo akaenda nani?
akamweleza Andrea, nao wote wawili
wakamwambia Yesu. 39 Kwa hivyo hawakuamini, kwa sababu
23Yesu akawajibu, “Saa imewadia ya Isaya anasema mahali pengine:
Mwana wa Adamu kutukuzwa. 24Amin, amin, 40‘‘Amewafanya vipofu
nawaambia, mbegu ya ngano isipoanguka
ardhini na kufa, hubakia kama mbegu peke na kuifanya mioyo yao kuwa migumu,
yake. Lakini ikifa huzaa mbegu nyingi. 25Mtu ye ili wasiweze kuona kwa macho yao,
yote anayependa maisha yake atayapoteza, wala kuelewa kwa mioyo yao,
naye ayachukiaye maisha yake katika wasije wakageuka, nami nikawaponya.”
ulimwengu huu atayaokoa hata uzima wa milele.
26Mtu ye yote akinitumikia lazima anifuate, nami 41Isaya alisema haya alipoona utukufu wa
mahali nilipo ndipo mtumishi wangu Yesu na kunena habari Zake.
atakapokuwa. Mtu akinitumikia, Baba Yangu 42Lakini wengi miongoni mwa viongozi wa
atamheshimu. Wayahudi walimwamini, lakini kwa sababu ya
27“Sasa roho yangu imefadhaika sana. Mafarisayo hawakukiri waziwazi kwa maana
Niseme nini? ‘Baba, niokoe na saa hii.’ Lakini, ni waliogopa kufukuzwa katika masinagogi. 43Wao
kwa kusudi hili nimeufikia wakati huu. 28Baba, walipenda sifa za wanadamu kuliko sifa
litukuze Jina Lako.’’ zitokazo kwa Mungu.
Ndipo ikaja sauti kutoka mbinguni,
“Nimelitukuza, nami nitalitukuza tena.’’ 29Ule Amwaminiye Yesu Hatabaki Gizani
umati wa watu uliokuwa mahali pale uliisikia nao 44Yesu akapaza sauti akasema, “Ye yote
ukasema, “Hiyo ni sauti ya radi”, wengine aniaminiye, haniamini Mimi peke Yangu, bali
wakasema, “Malaika ameongea naye.’’ Yeye aliyenituma. 45Ye yote anionaye Mimi,
30Yesu akawaambia, “Sauti hii imesikika,
amemwona Yeye aliyenituma. 46Mimi nimekuja
kwa faida yenu, wala si kwa faida Yangu. kama nuru ulimwenguni, ili kwamba kila mtu
31Sasa ni saa ya hukumu kwa ajili ya ulimwengu aniaminiye asibaki gizani.
huu, sasa mkuu wa ulimwengu huu atatupwa 47“Mimi simhukumu mtu ye yote anayesikia
nje. 32Lakini Mimi, nikiinuliwa kutoka katika nchi, maneno Yangu na asiyatii, kwa maana sikuja
nitawavuta watu wote waje Kwangu’’. 33Yesu kuuhukumu ulimwengu, bali kuuokoa. 48 Yuko
aliyasema haya akionyesha ni kifo gani amhukumuye yeye anikataaye Mimi na
atakachokufa. kutokuyapokea maneno Yangu, yaani, yale
34Ule umati wa watu ukapiga kelele maneno niliyosema yenyewe yatamhukumu
ukasema, ‘‘Tumesikia kwamba ‘Kristo adumu siku ya mwisho. 49Kwa maana sisemi kwa ajili
milele, Wewe wawezaje kusema, ‘Mwana wa Yangu mwenyewe, bali Baba aliyenituma
Adamu hana budi kuinuliwa juu’? Huyu ‘Mwana aliniamuru ni nini cha kusema na jinsi ya
wa Adamu ni nani’?’’ kukisema. 50Nami ninajua amri Zake huongoza
35Ndipo Yesu akawaambia, ‘‘Bado kitambo hadi kwenye uzima wa milele. Hivyo lo lote
kidogo nuru ingalipo pamoja nanyi. Enendeni nisemalo, ndilo lile Baba aliloniambia niseme.”
maadam mna nuru, msije mkakumbwa na giza.
Mtu anayetembea gizani hajui anakokwenda. Yesu Awanawisha Wanafunzi Wake Miguu
36Wekeni tumaini lenu katika nuru hiyo ili mpate
kuwa wana wa nuru’’. Baada ya kusema haya,
13 Ilikuwa mara tu kabla ya Sikukuu ya Pasaka.
Yesu alijua ya kuwa wakati Wake wa kuondoka
Yesu aliondoka, akajificha wasimwone. ulimwenguni ili kurudi kwa
Baba umewadia. Alikuwa amewapenda watu
Wayahudi Waendelea Kutokuamini Wake waliokuwa ulimwenguni, naam,
37Hata baada ya Yesu kufanya miujiza hii aliwapenda hadi kipimo cha mwisho.
2Wakati alipokuwa akila chakula cha jioni na
yote mbele yao, bado hawakumwamini. 38Hii
ilikuwa ili kutimiza lile neno la nabii Isaya wanafunzi Wake, ibilisi alikuwa amekwisha kutia
lililosema: ndani ya moyo wa Yuda Iskariote, mwana wa
Simoni, wazo la kumsaliti Yesu. 3Yesu akijua ya
18
YOHANA
kwamba Baba ameweka vitu vyote chini ya 21Baada ya kusema haya, Yesu alifadhaika
mamlaka Yake na kwamba Yeye alitoka kwa sana moyoni, akasema, ‘‘Amin, amin,
Mungu na alikuwa anarudi kwa Mungu, 4hivyo nawaambia, mmoja wenu atanisaliti.’’
aliondoka chakulani, akavua vazi Lake la nje, 22 Wanafunzi Wake wakatazamana bila
akajifunga kitambaa kiunoni. 5Kisha akamimina kujua kuwa alikuwa anamsema nani. 23Mmoja
maji kwenye sinia na kuanza kuwanawisha wa wanafunzi Wake, ambaye Yesu alimpenda
wanafunzi Wake miguu na kuikausha kwa kile sana alikuwa ameegama kifuana mwa Yesu.
kitambaa alichokuwa amejifunga kiunoni. 24Simoni Petro akampungia mkono yule
6Alipomfikia Simoni Petro, Petro mwanafunzi akamwambia, ‘‘Mwulize
akamwambia, ‘‘Bwana, je, Wewe utaninawisha anamaanisha ni nani.’’
mimi miguu?’’ 25Yule mwanafunzi akiwa amemwegemea
7Yesu akamjibu, ‘‘Hivi sasa hutambui lile Yesu akamwuliza, ‘‘Bwana tuambie ni nani?’’
ninalofanya, lakini baadaye utaelewa’’. 26Yesu akajibu, ‘‘Ni yule nitakayempa hiki
8Petro akamwambia, ‘‘La, Wewe kipande cha mkate baada ya kukichovya
hutaninawisha miguu kamwe’’. kwenye bakuli.’’ Hivyo baada ya kukichovya kile
Yesu akamjibu, ‘‘Kama nisipokunawisha, kipande cha mkate, akampa Yuda, mwana wa
wewe huna sehemu nami’’. Simoni Iskariote. 27Mara tu baada ya kukipokea
9Ndipo Simoni Petro akajibu, ‘‘Usininawishe kile kipande cha mkate, Shetani akamwingia.
miguu peke yake, bali pamoja na mikono na Yesu akamwambia Yuda, ‘‘Lile unalotaka
kichwa pia!’’ kulitenda litende haraka.’’ 28Hakuna hata mmoja
10Yesu akamjibu, ‘‘Mtu aliyekwisha kuoga wa wale waliokuwa ameketi nao chakulani
anahitaji kunawa miguu tu, kwani mwili wake aliyeelewa kwa nini Yesu alimwambia hivyo.
wote ni safi. Ninyi ni safi, ingawa si kila mmoja 29Kwa kuwa Yuda alikuwa mtunza fedha,
wenu.’’ 11Kwa kuwa Yeye alijua ni nani ambaye wengine walifikiri Yesu alikuwa amemwambia
angemsaliti, ndiyo sababu akasema, ‘Si kila akanunue vitu vilivyohitajika kwa ajili ya
mmoja aliyekuwa safi.’ Sikukuu, au kuwapa maskini cho chote. 30Mara
12Alipomaliza kuwanawisha miguu yao, tu baada ya kupokea ule mkate, Yuda akatoka
alivaa tena mavazi Yake, akarudi alikokuwa nje. Wakati huo ulikuwa ni usiku.
ameketi, akawauliza, ‘‘Je, mmeelewa
13
nililowafanyia? Ninyi mnaniita Mimi ‘Mwalimu’ Yesu Atabiri Petro Kumkana
na ‘Bwana’, hii ni sawa, maana ndivyo nilivyo. 31Baada ya Yuda kutoka nje, Yesu
14Kwa hiyo, ikiwa Mimi niliye Bwana wenu na akasema, ‘‘Sasa Mwana wa Adamu
Mwalimu wenu nimewanawisha ninyi miguu, pia ametukuzwa, naye Mungu ametukuzwa ndani
hamna budi kunawishana miguu ninyi kwa ninyi. Yake. 32Ikiwa Mungu ametukuzwa ndani ya
15Mimi nimewawekea kielelezo kwamba Mwana, Mungu atamtukuza Mwana ndani Yake
imewapasa kutenda kama vile nilivyowatendea mwenyewe naye atamtukuza mara.
ninyi. 16Amin, amin, nawaambia, mtumishi si 33 ‘‘Watoto wangu, Mimi bado niko pamoja
mkuu kuliko bwana wake, wala anayetumwa si nanyi kwa kitambo kidogo. Mtanifafuta na kama
mkuu kuliko yule aliyemtuma. 17Sasa kwa kuwa vile nilivyowaambia Wayahudi, vivyo hivyo sasa
mmejua mambo haya, heri yenu ninyi kama nawaambia na ninyi. Niendako, ninyi hamwezi
mkiyatenda. kuja.
18‘‘Sisemi kuhusu ninyi nyote. Ninawajua 34‘‘Amri mpya nawapa: Mpendane kama
wale niliowachagua. Lakini ni ili maandiko Mimi nilivyowapenda ninyi, vivyo hivyo nanyi
yapate kutimia, ‘Yeye aliyekula chakula changu, mpendane. 35Kama mkipendana ninyi kwa
ameinua kisigino chake dhidi yangu.’ ninyi, kwa njia hii, watu wote watajua kuwa ninyi
19‘‘Ninawaambia mambo haya kabla ni wanafunzi Wangu’’
hayajatukia, ili yatakapotukia mpate kuamini ya 36Simoni Petro akamwuliza, “Bwana,
kuwa Mimi ndiye. 20Amin, amin, nawaambia, ye unakwenda wapi?’’
yote anayempokea yule niliyemtuma, anipokea Yesu akamjibu, ‘‘Ninakokwenda huwezi
Mimi, naye anipokeaye Mimi ampokea Yeye kunifuata sasa, lakini utanifuata baadaye.’’
aliyenituma Mimi.” 37Petro akamwuliza tena, “Bwana, kwa nini
siwezi kukufuata sasa? Mimi niko tayari kuutoa
Yesu Anatabiri Kusalitiwa Kwake uhai wangu kwa ajili Yako.’’
19
YOHANA
38Yesu akamjibu, ‘‘Je, ni kweli uko tayari kitambo kidogo ulimwengu hautaniona tena, ila
kuutoa uhai wako kwa ajili Yangu? Amin, amin, ninyi mtaniona, kwa kuwa Mimi ni hai, ninyi
nakuambia, kabla jogoo hajawika, utanikana nanyi mtakuwa hai. 20Wakati huo mtajua ya
mara tatu.’’ kuwa Mimi niko ndani ya Baba na ninyi mko
ndani Yangu na Mimi niko ndani yenu. 21 Ye
Yesu Ndiye Njia Ya Kwenda Kwa Baba yote mwenye amri Zangu na kuzishika ndiye
14 Yesu akawaambia, “Msifadhaike
mioyoni mwenu, mnamwamini Mungu, niaminini
anipendaye, naye anipendaye atapendwa na
Baba Yangu, nami nitampenda na kujidhihirisha
na Mimi pia. 2Nyumbani mwa Baba Yangu kuna kwake.’’
makao mengi. Kama sivyo, ningeliwaambia. 22Ndipo Yuda, siyo Iskariote, akamwambia,
Nakwenda kuwaandalia makao. 3Nami nikienda ‘‘Bwana, itakuwaje kwamba utajidhihirisha
na kuwaandalia makao, nitarudi tena na kwetu na si kwa ulimwengu?’’
kuwachukua mkae pamoja nami, ili mahali 23Yesu akamjibu, ‘‘Mtu ye yote akinipenda
nilipo, nanyi mpate kuwepo.
4Ninyi mnajua njia ya kufika ninakokwenda.’’ atalishika Neno Langu na Baba Yangu
5Thomasi akamwambia, “Bwana, sisi hatujui atampenda, Nasi tutakuja kwake na kufanya
unakokwenda, tutaijuaje njia?’’ makao Yetu kwake. 24Mtu ye yote asiyenipenda
6Yesu akawaambia, “Mimi ndimi njia na hayashiki maneno Yangu na maneno
kweli na uzima. Mtu hawezi kuja kwa Baba niliyowapa si Yangu bali ni ya Baba aliyenituma.
25“Nimewaambia mambo haya yote wakati
isipokuwa kwa kupitia Kwangu. 7Kama
mngenijua Mimi, mngemjua na Baba pia. Tangu nikiwa bado niko pamoja nanyi. 26Lakini huyo
sasa mnamjua Baba Yangu tena mmemwona. Msaidizi, yaani, huyo Roho Mtakatifu, ambaye
8Filipo akamwambia, ‘‘Bwana, tuonyeshe Baba atamtuma kwenu kwa Jina Langu,
Baba yako yatosha.’’ atawafundisha mambo yote na kuwakumbusha
9Yesu akamjibu, “Filipo, nimekaa nanyi yote niliyowaambia. 27Amani nawaachia, amani
muda huu wote hata usinijue? Mtu ye yote yangu nawapa, amani hii niwapayo si kama ile
aliyeniona Mimi, amemwona Baba. Sasa ulimwengu utoayo. Msifadhaike mioyoni
wawezaje kusema, ‘Tuonyeshe Baba?’ 10Je, mwenu, wala msiogope.
28‘‘Mlinisikia nikisema, ‘Ninakwenda Zangu,
huamini ya kuwa Mimi niko ndani ya Baba, naye
Baba yuko ndani Yangu? Maneno lakini nitarudi tena.’ Kama kweli mngelinipenda
ninayowaambia siyasemi kwa ajili Yangu mngelifurahi kwa kuwa nakwenda kwa Baba,
mwenyewe, bali Baba akaaye ndani Yangu kwani Baba ni mkuu kuliko Mimi. 29
ndiye atendaye hizi kazi. 11Nisadiki Mimi Nimewaambia mambo haya kabla hayajatukia,
kwamba niko ndani ya Baba na Baba yuko ili yatakapotukia mpate kuamini. 30Sitasema
ndani Yangu, la sivyo, niaminini kwa sababu ya nanyi zaidi, kwa sababu yule mkuu wa
zile kazi nizitendazo. 12Amin, amin, nawaambia, ulimwengu huu anakuja, naye hana kitu
ye yote aniaminiye Mimi, kazi nizifanyazo yeye Kwangu, 31lakini ulimwengu upate kujua kuwa
atazifanya, naam na kubwa kuliko hizi ninampenda Baba, nami hufanya vile vile kama
atazifanya, kwa sababu Mimi ninakwenda kwa Baba alivyoniamuru.
Baba. 13Nanyi mkiomba lo lote kwa Jina Langu, ‘‘Haya inukeni twendeni zetu.
hilo nitalifanya, ili Baba apate kutukuzwa katika
Mwana. 14Kama mkiniomba lo lote kwa Jina Yesu Mzabibu Wa Kweli
Langu nitalifanya.’’ 15 ‘‘Mimi ndimi mzabibu wa kweli na Baba Yangu
ndiye mkulima. 2Kila tawi ndani Yangu lisilozaa
Yesu Ahaidi Roho Mtakatifu matunda, Baba Yangu hulikata,
15‘‘Kama mnanipenda, mtazishika amri nalo kila tawi lizaalo, Yeye hulipogolea ili lipate
Zangu. 16Nami nitamwomba Baba, naye atawapa kuzaa matunda zaidi. 3Ninyi mmekwisha kuwa
safi kwa sababu ya lile neno nililonena nanyi.
Msaidizi mwingine akae nanyi milele. 17Huyo 4Kaeni ndani Yangu, nami nikae ndani yenu.
ndiye Roho wa kweli ambaye ulimwengu hauwezi
kumpokea, kwa sababu haumwoni wala haumjui. Kama vile tawi lisivyoweza kuzaa matunda
Ninyi mnamjua kwa kuwa yuko pamoja nanyi naye lisipokaa ndani ya mzabibu, vivyo hivyo ninyi
msipokaa ndani Yangu hamwezi kuzaa
anakaa ndani yenu. 18Sitawaacha ninyi yatima,
matunda.
naja kwenu. 19Bado 5‘‘Mimi ni mzabibu, ninyi ni matawi. Akaaye

20
YOHANA
ndani Yangu, nami ndani yake, huyo huzaa Baba Yangu. 24Kama sikuwa nimefanya miujiza
sana, maana pasipo Mimi ninyi hamwezi ambayo haijapata kufanywa na mtu mwingine
kufanya jambo lo lote. 6 Mtu ye yote asipokaa ye yote, wasingalikuwa na hatia ya dhambi.
ndani Yangu, hutupwa nje kama tawi na Lakini sasa wameiona miujiza hii na bado
kunyauka. Matawi kama hayo hukusanywa na wakatuchukia Mimi na Baba Yangu. 25Lakini hii
kutupwa motoni, yakateketea. 7Ninyi mkikaa ni kutimiza lile neno lililoandikwa kwenye Torati
ndani Yangu na maneno Yangu yakikaa ndani kwamba ‘Walinichukia pasipo sababu.’
yenu, ombeni lo lote mtakalo, nanyi 26‘‘Lakini atakapokuja huyo Msaidizi
mtatendewa. 8Kwa hiyo Baba Yangu nitakayemtuma kwenu kutoka kwa Baba, yaani,
hutukuzwa, kwa vile mzaavyo matunda mengi, huyo Roho wa kweli atokaye kwa Baba, Yeye
nanyi mtakuwa wanafunzi Wangu. atanishuhudia Mimi. 27Ninyi nanyi itawapasa
9“Kama vile Baba alivyonipenda Mimi, hivyo kushuhudia kwa sababu mmekuwa pamoja
ndivyo Mimi nilivyowapenda ninyi. Basi kaeni Nami tangu mwanzo.
katika pendo Langu. 10 Mkizishika amri Zangu
mtakaa katika pendo Langu, kama Mimi 16 “Nimewaambia2 mambo haya yote ili msije
nilivyozishika amri za Baba Yangu na kukaa mkaiacha imani. Watawatenga na masinagogi.
katika pendo Lake. 11Nimewaambia mambo Naam, saa yaja ambayo mtu ye
haya ili furaha Yangu iwe ndani yenu na furaha yote atakayewaua atadhani kwa kufanya hivyo
yenu iwe kamili. 12Amri Yangu ndiyo hii: anamtumikia Mungu. 3Nao watawatenda haya
Mpendane kama Mimi nilivyowapenda ninyi. kwa sababu hawamjui Baba wala Mimi. 4Lakini
13Hakuna mtu mwenye upendo mkuu kuliko nimewaambia ninyi mambo haya, ili saa hiyo
huu, mtu kuutoa uhai wake kwa ajili ya rafiki ikiwadia mpate kumkumbuka ya kuwa nilikuwa
zake. 14Ninyi ni rafiki Zangu mkifanya nimewaambia. Sikuwaambia mambo haya
tangu mwanzo kwa sababu nilikuwa pamoja
ninayowaamuru. 15Siwaiti ninyi watumishi tena, nanyi.
kwa sababu watumishi hawajui bwana wao
analofanya, bali nimewaita ninyi rafiki, kwa Kazi Ya Roho Mtakatifu
maana nimewajulisha mambo yote niliyoyasikia 5“Sasa Mimi ninakwenda Kwake Yeye
kutoka kwa Baba Yangu. 16Si ninyi aliyenituma, lakini hakuna hata aniulizaye,
mlionichagua, bali Mimi ndiye niliyewachagua
‘Unakwenda wapi?’ 6Kwa sababu nimewaambia
ninyi na kuwaweka mwende mkazae matunda
mambo haya, mioyo yenu imejawa na huzuni.
na matunda yenu yapate kudumu, ili lo lote 7Lakini amin nawaambia, yafaa Mimi niondoke
mtakalomwomba Baba katika Jina Langu,
kwa kuwa nisipoondoka, huyo Msaidizi hatakuja
awape. 17Amri Yangu ndiyo hii, Mpendane.
kwenu, lakini nikienda nitamtuma kwenu. 8Naye
Ulimwengu Wawachukia Wanafunzi atakapokuja, atauthibitishia ulimwengu kuhusu
18‘‘Kama ulimwengu ukiwachukia ninyi, dhambi, haki na hukumu. 9Kwa habari ya
kumbukeni kwamba ulinichukia Mimi kabla dhambi, kwa sababu hawaniamini Mimi, 10kwa
yenu. 19Kama mngekuwa wa ulimwengu, habari ya haki, kwa sababu ninakwenda kwa
ulimwengu ungeliwapenda kama vile Baba, nanyi hamtaniona tena, 11kwa habari ya
unavyowapenda walio wake. Kwa sababu ninyi hukumu, kwa sababu yule mkuu wa ulimwengu
si wa ulimwengu, lakini Mimi nimewachagua huu amekwisha kuhukumiwa.
kutoka katika ulimwengu, hii ndiyo sababu 12“Bado ninayo mambo mengi ya
ulimwengu unawachukia. 20‘Kumbukeni lile kuwaambia, lakini hamwezi kuyastahimili sasa.
neno nililowaambia, ‘Hakuna mtumishi aliye 13Atakapokuja huyo Roho wa kweli
mkuu kuliko bwana wake.’ Kama wamenitesa atawaongoza awatie katika kweli yote. Yeye
Mimi, nanyi pia watawatesa, kama wamelishika hatanena kwa ajili Yake mwenyewe, bali
neno langu, watalishika na neno lenu pia. atanena yale yote atakayosikia, naye
21Watawatendea ninyi haya yote kwa ajili ya
atawaonyesha mambo yajayo. 14Atanitukuza
Jina Langu, kwa sababu hawamjui Yeye Mimi, kwa maana atayachukua yaliyo Yangu na
aliyenituma. 22Kama sikuja na kusema nao kuwajulisha ninyi. 15Vyote alivyo navyo Baba ni
wasingalikuwa na hatia ya dhambi. Lakini sasa vyangu. Ndiyo maana nimesema Roho
hawana udhuru kwa ajili ya dhambi zao. 23Ye atachukua yaliyo Yangu na kuwajulisha ninyi.
yote anayenichukia Mimi, anamchukia pia na
21
YOHANA
Huzuni Itageuka Kuwa Furaha 32Saa inakuja, naam, imekwisha kuwadia,
16“Bado kitambo kidogo nanyi hamtaniona mtakapotawanyika kila mmoja kwenda
na tena bado kitambo kidogo nanyi mtaniona.’’ nyumbani kwake na kuniacha peke Yangu.
17Baadhi ya wanafunzi wakaulizana, “Ana Lakini Mimi si peke Yangu kwa sababu Baba yu
maana gani asemapo, ‘Bado kitambo kidogo pamoja nami. 33Nimewaambia mambo haya, ili
nanyi hamtaniona na tena bado kitambo kidogo mpate kuwa na amani mkiwa ndani Yangu.
nanyi mtaniona? Naye ana maana gani Ulimwenguni mtapata dhiki. Lakini jipeni moyo,
asemapo, ‘Kwa sababu ninakwenda kwa Baba?’ kwa maana Mimi nimeushinda ulimwengu.’’
’’ 18Wakaendelea kuulizana, “Ana maana gani
asemapo, ‘Kitambo kidogo?’ Hatuelewi hilo Yesu Awaombea Wanafunzi Wake
analosema.’’
19Yesu
17 Baada ya Yesu kusema haya, alitazama
akatambua kuwa walitaka kuelekea mbinguni akawaombea na
kumwuliza juu ya hilo, hivyo akawaambia, ‘‘Je, kusema :
mnaulizana nina maana gani niliposema, ‘Bado
kitambo kidogo nanyi hamtaniona na tena bado “Baba, saa imewadia, umtukuze
kitambo kidogo nanyi mtaniona?’ 20Amin, amin, Mwanao, ili Mwanao apate kukutukuza
nawaambia, ninyi mtalia na kuomboleza, lakini Wewe. 2 Kwa kuwa umempa mamlaka juu
ulimwengu utafurahi. Ninyi mtahuzunika, lakini ya wote wenye mwili ili awape uzima wa
huzuni yenu itageuka kuwa furaha. milele wale uliompa. 3Nao uzima wa milele
21Mwanamke anapokuwa na utungu wa kuzaa ndio huu, wakujue Wewe uliye Mungu wa
huwa na maumivu kwa sababu saa yake pekee, wa kweli na Yesu Kristo uliyemtuma.
imewadia. Lakini mtoto akiisha kuzaliwa, yule 4Nimekutukuza Wewe duniani kwa kuitimiza
mwanamke husahau maumivu hayo kwa ile kazi uliyonipa niifanye. 5Hivyo sasa,
sababu ya furaha ya kuzaliwa mtoto Baba, unitukuze mbele Zako kwa ule
ulimwenguni. 22Hivyo ninyi mna maumivu sasa, utukufu niliokuwa nao pamoja na Wewe
lakini nitawaona tena, nayo mioyo yenu itafurahi kabla ulimwengu haujakuwako.
na furaha yenu hakuna awaondoleaye. 23 Katika 6‘‘Nimewajulisha Jina Lako wale
siku hiyo hamtaniuliza neno lo lote. Amin, amin, ulionipa kutoka katika ulimwengu. Walikuwa
nawaambia, kama mkimwomba Baba jambo lo Wako, ukanipa Mimi, nao wamelitii Neno
lote kwa Jina Langu, Yeye atawapa. 24Mpaka Lako. 7Sasa wamejua ya kuwa vyote
sasa hamjaomba jambo lo lote kwa Jina Langu. ulivyonipa vimetoka Kwako, 8kwa kuwa
Ombeni nanyi mtapewa, ili furaha yenu ipate maneno yale ulionipa nimewapa wao, nao
kuwa kamili.’’ wameyapokea na kujua kwamba kweli
nimetoka Kwako, nao wameamini kuwa
Amani Kwa Wanafunzi Wewe ulinituma. 9Ninawaombea wao.Mimi
25“Nimewaambia mambo haya kwa siuombei ulimwengu, bali nawaombea wale
mafumbo. Saa yaja ambapo sitazungumza ulionipa kwa sababu wao ni Wako. 10Wote
nanyi tena kwa mafumbo bali nitawaeleza walio Wangu ni Wako na walio Wako ni
waziwazi kuhusu Baba. 26Siku hiyo mtaomba Wangu, nami nimetukuzwa ndani yao.
kwa Jina Langu. Wala sitawaambia kwamba 11Mimi sasa simo tena ulimwenguni, lakini
nitamwomba Baba kwa ajili yenu, 27kwa maana wao bado wamo ulimwenguni, nami naja
Baba mwenyewe anawapenda, kwa sababu Kwako. Baba Mtakatifu, uwalinde kwa
mmenipenda Mimi na mmeamini kwamba uweza wa Jina Lako ulilonipa, ili wawe na
nimetoka kwa Mungu. 28Nilitoka kwa Baba na umoja kama sisi tulivyo wamoja.
kuja ulimwenguni, sasa naondoka ulimwenguni 12Nilipokuwa pamoja nao, niliwalinda,
na kurudi kwa Baba.’’ wakawa salama kwa lile Jina ulilonipa.
29Ndipo wanafunzi Wake wakasema, “Sasa Hakuna hata mmoja aliyepotea, isipokuwa
unazungumza waziwazi, wala si kwa mafumbo. yule aliyekusudiwa, ili Maandiko yapate
30Sasa tumejua kwamba Wewe unajua mambo kutimia.
yote, wala hakuna haja ya mtu kukuuliza 13‘‘Lakini sasa naja Kwako, nami
maswali. Kwa jambo hili tunaamini kwamba ninasema mambo haya wakati bado nikiwa
ulitoka kwa Mungu.’’ ulimwenguni, ili wawe na furaha Yangu
31Yesu akawajibu, ‘‘Je, sasa mnaamini?
kamili ndani yao. 14Nimewapa Neno Lako,
22
YOHANA
nao ulimwengu umewachukia kwa kuwa Mafarisayo, wakiwa wamechukua taa, mienge
wao si wa ulimwengu kama Mimi nisivyo wa na silaha.
ulimwengu huu. 15Siombi kwamba 4Yesu akijua yale yote yatakayompata,
uwaondoe ulimwenguni, bali uwalinde na akajitokeza mbele yao akawauliza, ‘‘Mnamtafuta
yule mwovu. 16Wao si wa ulimwengu huu, nani?’’
kama vile Mimi nisivyo wa ulimwengu. 5Wao wakamjibu, ‘‘Yesu wa Nazareti.’’
17Uwatakase kwa ile kweli, Neno Lako ndilo
Yesu akawajibu, “Mimi ndiye.’’ Yuda, yule
kweli. 18Kama vile ulivyonituma Mimi aliyemsaliti alikuwa amesimama pamoja nao.
ulimwenguni, nami nawatuma vivyo hivyo. 6Yesu alipowaambia, ‘Mimi ndiye,’ walirudi
19Kwa ajili yao najiweka wakfu ili wao nao nyuma na kuanguka chini!
wapate kutakaswa katika ile kweli. 7Akawauliza tena, ‘‘Mnamtafuta nani?’’
Nao wakamjibu, ‘‘Yesu wa Nazareti.’’
Yesu Awaombea Wote Wamwaminio 8Yesu akawaambia, ‘‘Nimekwisha
20“Siwaombei hawa peke yao, bali kuwaambia kuwa, Mimi ndiye, kwa hiyo kama
nawaombea pia wale wote watakaoniamini mnanitafuta Mimi waacheni hawa watu waende
kupitia neno lao 21ili wawe na umoja kama zao.’’ 9Hii ilikuwa ili litimie lile neno alilosema,
vile Wewe Baba ulivyo ndani Yangu na Mimi ‘‘Sikumpoteza hata mmoja miongoni mwa wale
nilivyo ndani Yako, wao nao wawe ndani ulionipa.’’
yetu, ili ulimwengu upate kuamini ya kuwa 10Simoni Petro aliyekuwa na upanga
Wewe ndiye uliyenituma Mimi. 22Utukufu ule akaufuta na kumkata sikio la kuume mtumishi
ulionipa nimewapa wao, ili wawe na umoja wa Kuhani Mkuu. Jina la mtumishi huyo aliitwa
kama Sisi tulivyo wamoja. 23 Mimi ndani Malko.
11Yesu akamwambia Petro, ‘‘Rudisha
Yako na Wewe ndani Yangu, ili wawe
wamekamilika katika umoja na ulimwengu upanga wako kwenye ala yake. Je, hainipasi
upate kujua ya kuwa umenituma, nami kukinywea kikombe alichonipa Baba?’’
nimewapenda wao kama unavyonipenda
Mimi. Yesu Mbele Ya Kuhani Mkuu
24“Baba, shauku Yangu ni kwamba, 12Hivyo wale maaskari wakiwa pamoja na
wale ulionipa wawe pamoja nami pale nilipo, majemadari wao na maafisa wa Wayahudi,
ili waweze kuuona utukufu Wangu,yaani, wakamkamata Yesu na kumfunga. 13Kwanza
utukufu ule ulionipa kwa kuwa ulinipenda wakampeleka kwa Anasi, mkwewe Kayafa,
hata kabla ya kuwekwa misingi ya aliyekuwa Kuhani Mkuu mwaka ule. 14Kayafa
ulimwengu. ndiye aliyekuwa amewashauri Wayahudi
25“Baba Mwenye Haki, ingawa kwamba imempasa mtu mmoja kufa kwa ajili ya
ulimwengu haukujui, Mimi ninakujua, nao watu.
wanajua ya kuwa umenituma.
26Nimekufanya Jina Lako lijulikane kwao Petro Anamkana Yesu
nami nitaendelea kufanya lijulikane, ili 15Simoni Petro pamoja na mwanafunzi
kwamba upendo ule unaonipenda Mimi uwe mwingine walikuwa wakimfuata Yesu. Huyu
ndani yao na Mimi mwenyewe nipate kuwa mwanafunzi mwingine alikuwa anafahamika
ndani yao.’’ kwa Kuhani Mkuu, hivyo aliingia ndani ya
ukumbi pamoja na Yesu. 16Lakini Petro
Yesu Akamatwa alisimama nje karibu na lango, ndipo yule
18wanafunzi
Yesu alipomaliza kuomba, akaondoka na
Wake wakavuka Bonde la Kidroni.
mwanafunzi mwingine akazungumza na
msichana aliyekuwa analinda lango,
Upande wa pili palikuwa na bustani, akamruhusu Petro aingie ndani.
Yeye na wanafunzi Wake wakaingia humo. 17 Yule msichana akamwuliza Petro, ‘‘Je,
2Basi Yuda, yule aliyemsaliti alipafahamu
wewe pia si mmoja wa wanafunzi wa mtu
mahali hapo kwani Yesu alikuwa akikutana huyu?’’
humo na wanafunzi Wake mara kwa mara. Petro akajibu, “Mimi sio.’’
3Hivyo Yuda akaja bustanini, akiongoza kikosi 18Wale watumishi na maaskari walikuwa
cha maaskari wa Kirumi na baadhi ya maafisa wamesimama wakiota moto wa makaa kwa
kutoka kwa viongozi wa makuhani na sababu palikuwa na baridi, Petro naye alikuwa
23
YOHANA
amesimama pamoja nao akiota moto. 30Wao wakamjibu, ‘‘Kama huyu Mtu
hakuwa mhalifu tusingemleta kwako.’’
Kuhani Mkuu Amhoji Yesu 31Pilato akawaambia, “Basi mchukueni ninyi
19Wakati huo Kuhani Mkuu akawa mkamhukumu kwa kufuata sheria zenu.’’
anamwuliza Yesu kuhusu wanafunzi Wake na Wayahudi wakamjibu, ‘‘Sisi haturuhusiwi
mafundisho Yake. kutoa hukumu ya kifo kwa mtu ye yote.’’
20Yesu akamjibu, “Nimekuwa nikizungumza 32Walisema hivyo ili yale maneno aliyosema
waziwazi mbele ya watu wote. Sikuzote Yesu kuhusu kifo atakachokufa yapate kutimia.
nimefundisha katika masinagogi na hekaluni 33 Kwa hiyo Pilato akaingia ndani akamwita
mahali ambapo Wayahudi wote hukusanyika. Yesu, akamwuliza, ‘‘Wewe ndiye mfalme wa
Sikusema jambo lo lote kwa siri. 21 Mbona Wayahudi?’’
unaniuliza Mimi maswali? Waulize wale 34Yesu akamjibu, ‘‘Je, unauliza swali hili
walionisikia yale niliyowambia. Wao wanajua kutokana na mawazo yako mwenyewe au
niliyosema.’’ uliambiwa na watu kunihusu Mimi?’’
22Alipomaliza kusema hayo, mmoja wa 35Pilato akamjibu, ‘‘Mimi si Myahudi, ama
maaskari aliyekuwa amesimama karibu naye, sivyo? Taifa lako mwenyewe na viongozi wa
akampiga Yesu kofi usoni, kisha akasema, “Je, makuhani wamekukabidhi kwangu. Umefanya
hivyo ndivyo unavyomjibu Kuhani Mkuu?’’ kosa gani?’’
23Yesu akamjibu akasema, “Kama 36Yesu akajibu, ‘‘Ufalme Wangu si wa
nimesema jambo baya, shuhudia huo ubaya ulimwengu huu. Ufalme Wangu ungekuwa wa
niliousema. Lakini kama nimesema yaliyo kweli, ulimwengu huu wafuasi Wangu wangenipigania
mbona umenipiga?’’ 24Ndipo Anasi akampeleka ili nisitiwe mikononi mwa Wayahudi. Lakini
Yesu kwa Kuhani Mkuu Kayafa, akiwa bado kama ilivyo Ufalme Wangu hautoki hapa
amefungwa. ulimwenguni.’’
37Pilato akamwuliza, “Kwa hiyo Wewe ni
Petro Amkana Yesu Tena mfalme?’’ Yesu akajibu, “Wewe wasema
25Wakati huo Simoni Petro alikuwa kwamba mimi ni mfalme. Kwa kusudi hili
amesimama akiota moto. Baadhi ya wale nilizaliwa na kwa ajili ya hili nilikuja ulimwenguni
waliokuwepo wakamwuliza, “Je, wewe si mmoja ili niishuhudie kweli. Mtu ye yote aliye wa kweli
wa wanafunzi Wake?’’ husikia sauti yangu.’’
Petro akakana, akasema, “Mimi sio.’’ 38Pilato akamwuliza Yesu, “Kweli ni nini?’’
26Mmoja wa watumishi wa Kuhani Mkuu,
Baada ya kusema haya Pilato akaenda nje tena
ndugu yake yule mtu ambaye Petro alikuwa akawaambia wale viongozi wa Wayahudi
amemkata sikio, akamwuliza, “Je, mimi waliomshtaki Yesu, “Sioni kosa lo lote alilotenda
sikukuona kule bustanini ukiwa na Yesu?’’ Mtu huyu. 39Lakini ninyi mna desturi yenu
27Kwa mara nyingine tena Petro akakana, naye kwamba wakati wa Pasaka nimwachie huru
jogoo akawika wakati uo huo. mfungwa mmoja mnayemtaka. Je, mnataka
niwafungulie huyu ‘Mfalme wa Wayahudi?’ ’’
Yesu Apelekwa Kwa Pilato 40Wao wakapiga kelele wakisema, “Si huyu
28Ndipo Wayahudi wakamchukua Yesu mtu bali tufungulie Baraba!’’ Basi Baraba
kutoka kwa Kayafa na kumpeleka kwenye alikuwa mnyang'anyi.
jumba la kifalme la mtawala wa Kirumia. Wakati
Yesu Ahukumiwa Kusulibiwa
huo ilikuwa ni alfajiri, ili kuepuka kuwa najisi kwa
taratibu za ibada, Wayahudi hawakuingia ndani
kwa sababu ya sheria za Kiyahudi.
19 Ndipo Pilato 2akamtoa Yesu akaamuru apigwe
mijeledi. Askari wakasokota taji ya miiba
Wangehesabiwa kuwa najisi kama wangeingia wakamvika Yesu kichwani.
nyumbani mwa mtu asiye Myahudi na Wakamvalisha joho la zambarau. 3Wakawa
wasingeruhusiwa kushiriki katika Sikukuu ya wanapanda pale alipo tena na tena, wakisema,
Pasaka. 29Hivyo Pilato akatoka nje walikokuwa “Salamu! Mfalme wa Wayahudi!’’ Huku
akawauliza, ‘‘Mmeleta mashtaka gani kumhusu wakimpiga makofi usoni.
Mtu huyu?’’ 4Pilato akatoka tena nje akawaambia wale
waliokusanyika, “Tazameni, namkabidhi Yesu
a28 Jumba la kifalme la mtawala wa Kirumi lilikuwa kwenu kuwajulisha kwamba mimi sikumwona
linaitwa “Praitorio”
24
YOHANA
ana hatia.’’ 5Kwa hiyo Yesu akatoka nje akiwa Kichwa,’ au ambapo kwa Kiebrania ni Golgotha.
amevaa ile taji ya miiba na lile vazi la zambarau. 18Hapo ndipo walipomsulibisha. Pamoja naye
Pilato akawaambia, “Tazameni, huyu hapa huyo walisulibisha watu wengine wawili, mmoja
mtu!’’ upande wa kushoto na mwingine upande wa
6Wale viongozi wa makuhani na maafisa kuume wa Yesu.
walipomwona, wakapiga kelele wakisema, 19Pilato akaamuru tangazo liandikwe na
“Msulibishe! Msulibishe!’’ liwekwe juu kwenye msalaba wa Yesu: “YESU
Pilato akawaambia, “Mchukueni ninyi WA NAZARETI, MFALME WA WAYAHUDI.’’
mkamsulibishe, mimi sioni hatia juu yake.’’ 20Kwa kuwa mahali hapo aliposulibiwa palikuwa
7Wayahudi wakamjibu, ‘‘Sisi tunayo sheria karibu na mjini, Wayahudi wengi walisoma
na kutokana na sheria hiyo, hana budi kufa kwa maandishi haya yaliyokuwa yameandikwa kwa
sababu Yeye alijiita Mwana wa Mungu.’’ lugha za Kiebrania, Kiyunani na Kilatini.
8Pilato aliposikia haya, akaogopa zaidi. 21Viongozi wa makuhani wa Wayahudi
9Akaingia tena ukumbini akamwuliza Yesu, wakapinga, wakamwambia Pilato, “Usiandike,
“Wewe umetoka wapi?’’ Lakini Yesu hakumjibu. ‘Mfalme wa Wayahudi,’ bali andika kwamba,
10Pilato akamwambia, “Wewe unakataa Mtu huyu alisema, Mimi ni Mfalme wa
kuongea na mimi?’’ Hujui ya kuwa nina Wayahudi.’’
mamlaka ya kukuachia huru au kukusulibisha?’’ 22Pilato akawajibu, “Nilichokwisha
11Ndipo Yesu akamwambia, “Wewe kuandika, nimeandika!’’
hungekuwa na mamlaka yo yote juu Yangu
kama hungepewa kutoka juu. Kwa hiyo yeye Mavazi Ya Yesu Yagawanywa
aliyenitia mikononi mwako ana hatia ya dhambi 23Maaskari walipokwisha kumsulibisha Yesu,
iliyo kubwa zaidi.’’ walichukua nguo Zake wakazigawa mafungu
12Tangu wakati huo, Pilato akajitahidi manne, kila askari fungu lake. Ila walikubaliana
kutafuta njia ya kumfungua Yesu, lakini wasilichane lile vazi Lake kwa maana lilikuwa
Wayahudi wakazidi kupiga kelele wakisema, halina mshono bali limefumwa tangu juu hadi
“Ukimwachia huyu mtu, wewe si rafiki wa chini. 24Wakaambiana, “Tusilichane ila tulipigie
Kaisari. Mtu ye yote anayedai kuwa mfalme kura ili kuamua ni nani alichukue.’’
anampinga Kaisari.’’ Hili lilitukia ili Maandiko yapate kutimizwa
13Pilato aliposikia maneno haya akamtoa yale aliyosema,
Yesu nje tena akaketi katika kiti chake cha
hukumu, mahali palipoitwa Sakafu ya Jiwe, kwa “Waligawana nguo zangu na
Kiebrania paliitwa Gabathaa. 14Basi ilikuwa siku mavazi yangu wakayapigia kura.’’
ya Maandalio ya Pasaka, yapata kama saa sita
hivi. Hayo ndiyo waliyoyafanya wale maaskari.
Pilato akawaambia Wayahudi, “Huyu hapa 25Wakati huo huo karibu na msalaba wa
Mfalme wenu!’’ Yesu walikuwa wamesimama: Maria mama
15Wao wakapiga kelele, “Mwondoe! yake, Maria dada wa mamaye, yaani, mke wa
Mwondoe! Msulibishe!’’ Klopa na Maria Magdalene. 26Yesu alipomwona
Pilato akawauliza, “Je, nimsulibishe Mfalme mama Yake mahali pale pamoja na yule
wenu?’’ mwanafunzi aliyempenda wamesimama karibu,
Wale viongozi wa makuhani wakamjibu, akamwambia mama Yake, “Mwanamke, huyo
“Sisi hatuna mfalme mwingine ila Kaisari.’’ hapo ndiye mwanao,” 27Kisha akamwambia
16Ndipo Pilato akamkabidhi Yesu kwao ili yule mwanafunzi, “Nawe huyo hapo ndiye
wamsulibishe. mama yako.’’ Tangu wakati huo yule
mwanafunzi akamchukua mama yake Yesu
Kusulibiwa Kwa Yesu nyumbani kwake.
Kwa hiyo maaskari wakamchukua Yesu.
17Yesu akiwa ameubeba msalaba Wake, Kifo Cha Yesu
akatoka kuelekea mahali palipoitwa, ‘Fuvu la 28Baada ya haya, Yesu hali akijua kuwa
mambo yote yamemalizika, alisema ili kutimiza
a13 Gabatha ni neno la Kiebrania ambalo maana yake ni “sakafu Maandiko, “Naona kiu.’’ 29Hapo palikuwa na
ya jiwe “, mahali pa wazi, palipoinuliwa ambako palitumika bakuli lililojaa siki. Kwa hiyo wakachovya
kama mahakama
25
YOHANA
sifongo kwenye hiyo siki, wakaiweka kwenye Kufufuka Kwa Yesu
ufito wa mti wa hisopo, wakampelekea Alfajiri na mapema siku ya kwanza ya
mdomoni. 30Baada ya kuionja hiyo siki, Yesu 20 juma, kulipokuwa kungali giza bado,
akasema, “Imekwisha.’’ Akainamisha kichwa Maria Magdalene alikwenda kaburini na kukuta
chake, akakata roho. lile jiwe limeondolewa penye ingilio. 2 Hivyo
akaja kwa Simoni Petro pamoja na yule
Yesu Achomwa Mkuki Ubavuni mwanafunzi mwingine ambaye Yesu alimpenda
31Kwa kuwa ilikuwa siku ya Maandalio ya akikimbia na kusema, “Wamemwondoa Bwana
Pasaka, Wayahudi hawakutaka miili ibaki kaburini na hatujui walikomweka!”
msalabani siku ya Sabato, hasa kwa kuwa hiyo 3Petro na yule mwanafunzi mwingine
Sabato ingekuwa Sikukuu. Wakamwomba Pilato wakaondoka mara kuelekea kaburini. 4Wote
aamuru miguu ya wale waliosulibiwa ivunjwe ili wawili walikuwa wanakimbia, lakini yule
wafe haraka miili iondolewe kwenye misalaba.
32Kwa hiyo maaskari wakaenda wakavunja
mwanafunzi mwingine akakimbia mbio zaidi
kuliko Petro, akatangulia kufika kaburini.
miguu ya mtu wa kwanza aliyesulibiwa pamoja 5Alipofika, akainama na kuchungulia mle
na Yesu na yule mwingine pia. 33Lakini kaburini, akaona vile vitambaa vya kitani
walipomkaribia Yesu, wakaona ya kuwa vilivyokuwa sanda mle ndani, lakini hakuingia.
amekwisha kufa, hivyo hawakuvunja miguu 6Ndipo Simoni Petro akaja, akimfuata nyuma
Yake. 34Badala yake mmoja wa wale maaskari akaenda moja kwa moja hadi ndani ya kaburi.
akamchoma mkuki ubavuni na mara pakatoka Naye akaona vile vitambaa vya ile sanda vikiwa
damu na maji. 35Mtu aliyeona mambo hayo pale chini 7na kile kitambaa kilichokuwa
ndiye aliyetoa ushuhuda, nao ushuhuda wake ni kichwani mwa Yesu. Kitambaa hicho kilikuwa
kweli. Anajua kuwa anasema kweli, naye kimekunjwa mahali pa peke yake, mbali na vile
anashuhudia ili pia nanyi mpate kuamini. 36Kwa vitambaa vya kitani vya ile sanda. 8Kisha yule
maana mambo haya yalitukia ili Maandiko mwanafunzi aliyetangulia kufika kaburini naye
yapate kutimia, yale yasemayo, “Hakuna hata akaingia ndani, akaona, akaamini, 9(kwa kuwa
mfupa Wake mmoja utakaovunjwa.’’ 37Tena mpaka wakati huo walikuwa bado hawajaelewa
Maandiko mengine yanasema, “Watamtazama yale maandiko kwamba ilikuwa lazima Yesu
Yeye waliyemchoma kwa mkuki.’’ afufuke kutoka kwa wafu.)
10Kisha hao wanafunzi wakaondoka
Maziko Ya Yesu. wakarudi nyumbani kwao.
38Baada ya mambo haya, Yosefu wa
Arimathaya, aliyekuwa mfuasi wa Yesu, ingawa Yesu Anamtokea Maria Magdalene
kwa siri kwa sababu ya kuwaogopa Wayahudi, 11Lakini Maria Magdalene akasimama nje
alimwomba Pilato ruhusa ili kuuchukua mwili wa ya kaburi akilia. Alipokuwa akilia, akainama,
Yesu. Pilato alimruhusu, hivyo akaja, kuchungulia mle kaburini, 12naye akaona
akauchukua. 39Naye Nikodemo, yule ambaye malaika wawili wamevaa mavazi meupe,
kwanza alimwendea Yesu usiku, akaja, akaleta wameketi pale mwili wa Yesu ulipokuwa
mchanganyiko wa manemane na manukato, umelazwa, mmoja upande wa kichwani na
yenye uzito wa zaidi ya kilo thelathinib. mwingine upande wa miguuni.
40Wakauchukua 13Wakamwuliza Maria, ‘‘Mwanamke, mbona
mwili wa Yesu,
wakauviringishia sanda ya kitani safi pamoja na unalia?’’
yale manukato, kama ilivyokuwa desturi ya Akawaambia, “Nalia kwa kuwa
Wayahudi. 41Basi palikuwa na bustani karibu na wamemchukua Bwana wangu na sijui
mahali pale aliposulibiwa, nako ndani ya ile walikomweka.’’ 14Baada ya kusema hayo,
bustani palikuwa na kaburi jipya, ambalo akageuka, akamwona Yesu amesimama, lakini
hajazikiwa mtu bado. 42Kwa hiyo, kwa kuwa hakumtambua.
15Yesu akamwambia, ‘‘Mwanamke, mbona
ilikuwa siku ya Wayahudi ya Maandalio, nalo
kaburi hilo lilikuwa karibu, wakamzika Yesu unalia? Unamtafuta nani?’’
humo. Maria akidhani ya kuwa aliyekuwa
anaongea naye ni mtunza bustani, kwa hiyo
akamwambia, ‘‘Bwana, kama ni wewe
b39 Zaidi ya kilo 30 hapa tafsiri nyingine zinasema “ratli 100 umemchukua, tafadhali nionyeshe ulikomweka,
na nyingine ratli 75,” ambazo ni kama kilo 34
26
YOHANA
nami nitamchukua.’’ 29Yesuakamwambia, “Umeamini kwa kuwa
16Yesu akamwita, ‘‘Maria!’’
umeniona? Wamebarikiwa wale ambao
Ndipo Maria akamgeukia Yesu na kusema hawajaona lakini wameamini.’’
naye kwa Kiebrania, ‘‘Rabboni!’’ (maana yake
Mwalimu.) Kusudi La Kitabu Hiki
17Yesu akamwambia, ‘‘Usinishike, kwa 30Yesu alifanya miujiza mingine mingi
maana sijapaa kwenda kwa Baba. Lakini nenda mbele za wanafunzi Wake, ambayo
kwa ndugu zangu ukawaambie, ‘Ninapaa haikuandikwa katika kitabu hiki. 31 Lakini haya
kwenda kwa Baba yangu ambaye ni Baba yenu, yameandikwa ili mweze kuamini ya kuwa Yesu
kwa Mungu wangu ambaye ni Mungu wenu.’ ’’ ndiye Kristoa, Mwana wa Mungu na kwa
18Kwa hiyo Maria Magdalene akaenda kumwamini mpate uzima katika Jina Lake.
kuwatangazia wanafunzi wa Yesu akisema,
‘‘Nimemwona Bwana!’’ Naye akawaambia Yesu Awatokea Wanafunzi Saba
kwamba amemweleza mambo hayo yote. 21 Baada ya haya Yesu akawatokea tena
wanafunzi Wake kando ya Bahari ya Tiberia.
Yesu Awatokea Wanafunzi Wake
Yeye alijionyesha kwao hivi: 2Simoni Petro,
19Ikawa jioni ya ile siku ya kwanza ya juma, Thomasi aitwaye Didimasi, yaani Pacha,
wanafunzi Wake walipokuwa pamoja, milango Nathanaeli wa Kana ya Galilaya, wana wa
ikiwa imefungwa kwa kuwaogopa Wayahudi, Zebedayo na wanafunzi wengine wawili
Yesu aliwatokea, akasimama katikati yao, walikuwa pamoja. 3Simoni Petro akawaambia
wenzake, “Mimi nakwenda kuvua samaki.’’ Nao
akasema, “Amani iwe nanyi.’’ 20Baada ya wakamwambia, ‘‘Tutakwenda pamoja nawe.’’
kusema haya, akawaonyesha mikono Yake na Wakatoka, wakaingia ndani ya mashua, lakini
ubavu Wake. Wanafunzi Wake wakafurahi sana usiku ule hawakupata cho chote.
walipomwona Bwana. 4Mara baada ya kupambazuka, Yesu
21Yesu akawaambia tena, “Amani iwe akasimama ufuoni, lakini wanafunzi
nanyi! Kama vile Baba alivyonituma Mimi, Mimi hawakumtambua kwamba alikuwa Yesu.
nami nawatuma ninyi.’’ 22Naye alipokwisha 5Yesu akawaambia, “Wanangu, je, mna
kusema haya, akawavuvia, akawaambia, samaki wo wote?’’
“Pokeeni Roho Mtakatifu. 23Mkimwondolea mtu Wakamjibu, “La.’’
ye yote dhambi zake, zitaondolewa na ye yote 6Akawaambia, “Shusheni nyavu upande wa
mtakayemfungia dhambi zake, zitafungiwa.’’ kuume wa mashua yenu nanyi mtapata
samaki.’’ Wakashusha nyavu na tazama
Yesu Anamtokea Thomasi wakapata samaki wengi mno hata wakashindwa
24Lakini Thomasi, aliyeitwa Didimasi, yaani, kuvutia zile nyavu zilizojaa samaki ndani ya
Pacha, mmoja wa wale kumi na wawili, hakuwa mashua.
pamoja nao Yesu alipokuja. 25Hivyo wale 7Yule mwanafunzi aliyependwa na Yesu
wanafunzi wengine wakamwambia, akamwambia Petro, “Huyu ni Bwana!’’ Simoni
‘’Tumemwona Bwana.’’ Petro aliposikia haya, akajifunga nguo yake kwa
Lakini yeye akawaambia, ‘‘Nisipoona zile kuwa alikuwa uchi, naye akajitosa baharini.
alama za misumari mikononi mwake na kuweka 8Wale wanafunzi wengine wakaja kwa ile
kidole changu kwenye hizo alama za misumari mashua huku wakikokota ule wavu uliyojaa
na mkono wangu ubavuni Mwake, sitaamini.’’ samaki, maana hawakuwa mbali na nchi kavu,
26Baada ya siku nane, wanafunzi Wake ilikuwa yapata dhiraa 200 a. 9Walipofika pwani,
walikuwa tena pamoja ndani ya nyumba, naye wakaona moto wa makaa na samaki wakiokwa
Thomasi alikuwa pamoja nao. Ndipo Yesu akaja juu yake na mikate.
milango ikiwa imefungwa na kusimama katikati 10Yesu akawaambia, “Leteni baadhi ya hao
yao akasema, “Amani iwe nanyi.’’ 27Kisha samaki mliovua sasa hivi.’’
akamwambia Thomasi, “Weka kidole chako 11Simoni Petro akapanda kwenye mashua
hapa na uone mikono Yangu, nyosha mkono na kuukokota ule wavu pwani. Ulikuwa umejaa
wako uguse ubavuni Mwangu. Usiwe na shaka, samaki wakubwa 153. Ingawa samaki walikuwa
bali uamini tu.’’
28Thomasi akamwambia, “Bwana wangu na a31 Kristo maana yake Masiya,yaani, Mpakwa (Aliyetiwa)
Mungu wangu!’’ Mafuta a8 Dhiraa 200 ni kama mita 90
27
YOHANA
wengi kiasi hicho, ule wavu haukuchanika. tu kwamba, “Ikiwa nataka aishi mpaka
12Yesu akawaambia, “Njoni mpate kifungua nitakaporudi, inakuhusu nini?’’
kinywa.’’ Hakuna hata mmoja wao aliyethubutu 24Huyu ndiye yule mwanafunzi
kumwuliza, ‘‘Wewe ni nani?” Kwa sababu anayeshuhudia mambo haya na ndiye ambaye
walijua ya kuwa ni Bwana. 13Yesu akaja, ameandika habari hizi. Nasi tunajua ya kuwa
akachukua ule mkate, akawapa na vivyo hivyo ushuhuda wake ni kweli.
akawagawia pia wale samaki. 14Hii ilikuwa mara 25Lakini kuna mambo mengine mengi
ya tatu Yesu kuwatokea wanafunzi Wake tangu ambayo Yesu alifanya, kama yote
afufuke kutoka kwa wafu. yangeliandikwa, nadhani hata ulimwengu wote
usingekuwa na nafasi ya kutosha kuweka vitabu
Yesu Amwuliza Petro Kama Anampenda vyote ambavyo vingeandikwa. Amen.
15Walipokwisha kula, Yesu akamwuliza
Simoni Petro, “Je, Simoni mwana wa Yohana,
unanipenda kweli kuliko hawa?’’
Yeye akamjibu, “Ndiyo, Bwana Wewe
unajua ya kuwa ninakupenda.’’
Yesu akamwambia, “Lisha wana-kondoo
Wangu.’’
16Yesu akamwambia tena, “Simoni, mwana
wa Yohana, wanipenda?’’
Petro akamjibu, “Ndiyo Bwana, Wewe
unajua ya kuwa ninakupenda.’’
Yesu akamwambia, “Chunga kondoo
Zangu.’’
17Kwa mara ya tatu Yesu akamwuliza Petro,
“Simoni mwana wa Yohana, unanipenda?’’
Petro akahuzunika sana kwa kuwa Yesu
alimwuliza mara ya tatu, ‘Unanipenda?’
Akamjibu, “Bwana, Wewe unajua yote, unajua
ya kuwa ninakupenda.’’
Yesu akamwambia, “Lisha kondoo Zangu.
18Amin, amin, nakuambia, ulipokuwa kijana
ulivaa na kwenda unakotaka, lakini
utakapokuwa mzee utanyosha mikono yako na
mtu mwingine atakuvika na kukupeleka
usipotaka kwenda.’’ 19Yesu alisema haya ili
kuashiria ni kifo cha aina gani Petro
atakachomtukuza nacho Mungu. Kisha Yesu
akamwambia Petro, “Nifuate!’’
20Petro akageuka akamwona yule
mwanafunzi aliyependwa na Yesu akiwafuata.
(Huyu ndiye yule mwanafunzi aliyeegema
kifuani mwa Yesu walipokula naye chakula cha
mwisho na kuuliza, ‘Bwana, ni nani
atakayekusaliti?’) 21Petro alipomwona huyo
mwanafunzi, akamwuliza Yesu, “Bwana na huyu
je?’’
22Yesu akamjibu, “Ikiwa nataka aishi mpaka
nitakaporudi, inakuhusu nini? Wewe inakupasa
unifuate!’’ 23Kwa sababu ya maneno haya ya
Yesu, uvumi ukaenea miongoni mwa ndugu
kwamba huyu mwanafunzi hangekufa. Lakini
Yesu hakusema kuwa hangekufa. Yeye alisema
28
Matendo ya Mitume
Utangulizi
Kitabu cha Matendo ya Mitume kinatoa historia ya msingi ya kuenea kwa Ukristo katika miongo mitatu mara baada ya
kifo na kufufuka kwa Yesu Kristo. Ingawa kuna injili nne zinazoelezea juu ya maisha ya Yesu Kristo, kuna kitabu kimoja tu
katika Agano Jipya kinachofuatilia kupanuka kwa kanisa la kwanza. Kitabu hiki cha Matendo kimeelezewa kama egemeo la
Agano Jipya. Kitabu hiki ni moja ya vitabu viwili vinavyokubaliwa kuwa mwandishi ni Theoflo.Kitabu cha kwanza ambacho ni
Injili ya Luka, kinamfahamisha msomaji kuhusu maisha na kazi ya Kristo. Kitabu hiki cha pili kinajihusisha na huduma ya
wafuasi wa Kristo. Kusudi la mwandishi ni kutoa maelezo juu ya kuanza kwa ukristo na jinsi Mungu alivyodhihirisha nafsi
Yake mwenyewe katika mwili wa Yesu Kristo kwa kupitia Kanisa.Luka anajaribu kuonyesha hali ambayo Kanisa la
kwanza lilikabiliwa nayo wakati wa kuenea kwake katika utawala wa Rumi.
Umahiri wake wa historia unamsaidia kutumia misamiati sahihi kwa maafisa wa Kirumi katika kitabu chake chote
ambacho kinatambuliwa kama kazi ya utafiti wa msomi au ya ujuzi wa binafsi.Kutokana na hilo, mwandishi anahesabiwa
kama mwana historia aliye sahihi zaidi.
Po pote ambako elimu ya mambo ya kale au uhakika wa uandishi unapopatikana kitabu hiki cha Matendo kimeonekana
kuwa chanzo muhimu cha kumbukumbu.
Luka anathibitisha katika kitabu hiki kwamba kazi ambayo Bwana Yesu aliianzisha alipokuwa duniani anaendelea
kuifanya katika kanisa lake kwa njia ya Roho Mtakatifu. Katika kuenea kwa Ukristo, mkazo mkubwa umewekwa kwa Roho
Mtakatifu katika kitabu chote. Ingawa wanafunzi wa Yesu wanatajwa katika sura za mwanzoni, wengi wa wale Kumi na
Wawili hawatajwi tena baadaye. Petro ndiye anayeonekana sana wakati wa kuanza kwa kanisa huko Yerusalemu, naye
anakuwa kimya hadi wakati wa baraza huko Yerusalemu. Kama vile kituo cha Ukristo kilivyohama kwenda Antiokia, Paulo
alijitokeza kama kiongozi mkuu, hivyo sehemu ya mwisho ya kitabu hiki imetoa nafasi kubwa kwa Paulo na utume wake.
Kitabu kinaishia ghafula na Paulo kama mfungwa anayehubiri Habari Njema (Injili) huko Rumi.
Ujumbe wa kanisa la kwanza umepewa umuhimu mkubwa katika kitabu cha Matendo. Anaanza kwa kueleza jinsi
wanafunzi wa Yesu walivyojazwa na nguvu za Roho Mtakatifu wa Mungu, wakaanza kuhubiri kwa ujasiri na watu 3,000
wakaokolewa kwa siku moja (2:41). Kisha anaeleza maisha ya Kanisa la Yerusalemu, kuenezwa kwa Injili Samaria,
matendo ya mtume Petro na kuteswa kwa waamini wa kwanza. Baada ya hapo anaeleza juu ya kazi ya mtume Paulo
miongoni mwa watu wa mataifa mengine (ambao si Waisraeli). Anaeleza kwa kirefu kuhusu safari tatu za Mtume Paulo
kueneza injili na anamalizia na safari ya Paulo huko Rumi.

Wazo Kuu
Kitabu cha Matendo ya Mitume kiliandikwa kwa madhumuni ya kueleza jinsi Injili ilivyoenezwa kutoka kwa Wayahudi na
kuwafikia watu wa mataifa mengine (1:8). Habari Njema kuhusu kufa na kufufuka kwa Yesu ilikuwa ndiyo kiini cha msingi
wa imani ya Ukristo. Imani hii isingeweza kuzuiliwa ikae katika sehemu moja tu ya dunia, bali ilikusudiwa na Mungu iwafikie
watu wote duniani. Kwa sababu hii Mungu aliwawezesha watu Wake kuieneza Injili kila mahali kwa njia ya Roho Mtakatifu
ambaye aliwatia nguvu, Mungu mwenyewe akitenda kazi pamoja nao akilithibitisha lile Neno kwa ishara, miujiza na
maajabu mengi.
Kule kuenea kwa Kanisa kutoka kwa Wayahudi kwenda kwa mataifa mengine, kulisababisha shinikizo kutoka kwa
Wayahudi walioamini kutaka watu wa mataifa mengine wafuate mapokeo ya Kiyahudi, kitu kilichopelekea kufanyika kwa
baraza huko Yerusalemu (Mdo.15). Hili baraza liliamua kuweka msimamo kwamba watu Mataifa wasilazimishwe kufuata
mapokeo wala desturi za Kiyahudi. Hivyo uamuzi ulikuwa (Mdo15:28-29) “Kwa maana imempendeza Roho Mtakatifu na sisi
tusiwatwike mzigo wo wote mkubwa zaidi ya mambo haya yafuatayo ambayo ni ya lazima: Kwamba mjiepushe na kitu cho
chote kilichotolewa sadaka kwa sanamu, kunywa damu, nyama ya wanyama walionyongwa na mjiepushe na uasherati.
Mkiyaepuka mambo haya mtakuwa mmefanya vyema.” Uwezo wa Mungu juu ya vitu vyote unadhihirika kwa jinsi Injili
inavyowabadilisha watu wasioamini wakawa watu wapya na jinsi Roho Mtakatifu alivyowaimarisha Wakristo wakastahimili
wakati wa mateso. Ingawa wengi walipoteza maisha yao ( hata Petro na Paulo walikufa wakiitetea Injili), lakini walipata
ushindi wa kweli na uzima wa milele ndani ya Yesu Kristo.

Mwandishi
Luka
Tarehe
Kama 63 B.K.

Mgawanyo
• Kanisa la kwanza (1:1-5:42). • Mkutano wa Yerusalemu (15:1-41).
• Mateso na kuenea kwa Injili (6 :1-9:31). • Safari ya pili ya Paulo kueneza Injili (16:1-18:22).
• Matendo ya Petro (9:32-12:25). • Safari ya tatu ya Paulo kueneza Injili (18:23-21:14).
• Safari ya kwanza ya Paulo kueneza Injili • Kukamatwa kwa Paulo na safari yake kwenda
(13:1-14:28). Rumi (21:15-28:31).

1
Matendo ya Mitume
Ahadi Ya Roho Mtakatifu walikuwa: Petro, Yohana, Yakobo, Andrea,
1 Katika kitabu changu cha kwanza
Filipo, Thomasi, Bartholomayo, Mathayo,
Yakobo mwana wa Alfayo, Simoni Zeloteb na
nilikuandikia mpendwa Theofilo, kuhusu mambo
yote Yesu aliyofanya na kufundisha tangu Yuda mwana wa Yakobo. 14Hawa wote
mwanzo, 2 hadi siku ile alipochukuliwa waliungana pamoja katika maombi. Pamoja nao
kwenda mbinguni, baada ya kuwapa maelekezo walikuwapo wanawake kadha wa kadha na
kwa njia Roho Mtakatifu wale mitume Maria mama Yake Yesu pamoja na ndugu Zake
aliowachagua. 3Baada ya mateso Yake, Yesu.
alijionyesha kwao na kuwathibitishia kwa njia 15Katika siku hizo Petro akasimama katikati
nyingi kwamba yeye yu hai. Katika muda wa ya waamini, (jumla yao wote walikuwa watu
siku arobaini baada ya kufufuka kwake
aliwatokea na kunena kuhusu Ufalme wa wapatao 120,) akasema, 16“Ndugu zangu, ilibidi
Mungu. 4Wakati mmoja alipokuwa pamoja nao, maandiko yatimie yale ambayo Roho Mtakatifu
aliwapa amri hii, “Msitoke humu Yerusalemu, alitabiri kupitia kwa Daudi kumhusu Yuda
bali ingojeni ahadi ya Baba, ambayo mmenisikia aliyewaongoza wale waliomkamata Yesu.
17Yuda alikuwa mmoja wetu, kwa maana na
nikisema habari Zake. 5Yohana aliwabatiza kwa
maji, lakini baada ya siku hizi chache yeye alichaguliwa ashiriki katika huduma hii.’’
mtabatizwa kwa Roho Mtakatifu.’’ 18 (Basi Yuda alinunua shamba kwa zile
fedha za uovu alizopata, akiwa huko shambani
Kupaa Kwa Yesu Kwenda Mbinguni akaanguka, akapasuka na matumbo yote
6Mitume walipokuwa wamekusanyika yakatoka nje. 19Kila mtu huko Yerusalemu
pamoja, wakamwuliza Yesu, “Bwana, je, huu akasikia habari hizi, kwa hiyo wakapaita mahali
ndio wakati wa kuwarudishia Israeli ufalme?’’ hapo kwa lugha yao, Akeldama, yaani, Shamba
7Yesu akawaambia, “Si juu yenu kujua la Damu.)
nyakati na majira ambayo Baba ameyaweka 20“Kama vile ilivyoandikwa katika kitabu cha

katika mamlaka Yake mwenyewe. 8Lakini Zaburi,


mtapokea nguvu akiisha kuwajilia juu yenu “ ‘Mahali pake na pawe ukiwa
Roho Mtakatifu, nanyi mtakuwa mashahidi wala asiwepo mtu atakayekaa humo
Wangu katika Yerusalemu, Uyahudi kote na na mtu mwingine aichukue nafasi yake.’
Samaria, hadi miisho ya dunia.’’
9Baada ya kusema mambo haya, Mathiya Achaguliwa
walipokuwa wanatazama, akachukuliwa juu 21Kwa hiyo inatubidi tumchague mtu
mbinguni mbele ya macho yao na wingu mwingine miongoni mwa wale ambao
likampokea wasimwone tena. wamekuwa pamoja nasi wakati wote Bwana
10Walipokuwa bado wakikaza macho yao Yesu alipoingia na kutoka katikati yenu,
kuelekea juu alipokuwa akienda Zake Mbinguni, 22kuanzia ubatizo wa Yohana mpaka siku
tazama ghafula, wanaume wawili waliovaa aliyochukuliwa kutoka kwetu kwenda Mbinguni.
mavazi meupe wakasimama karibu nao, Kwa kuwa mmoja wao inabidi awe shahidi
11wakasema, “Enyi watu wa Galilaya, mbona pamoja nasi wa ufufuo Wake.”
23Wakapendekeza majina ya watu wawili:
mnasimama mkitazama juu mbinguni?Huyu
Yesu aliyechukuliwa kutoka kwenu kwenda Yosefu, aitwaye Barsaba (ambaye pia
Mbinguni, atarudi tena jinsi iyo hiyo mliyomwona alijulikana kama Yusto) na Mathiya. 24Kisha
akienda Zake Mbinguni.’’ wakaomba, wakasema, “Bwana, Wewe waujua
moyo wa kila mtu. Tuonyeshe ni yupi kati ya
Mathiya Achaguliwa Badala Ya Yuda hawa wawili uliyemchagua 25ili achukue nafasi
12Ndipo waliporudi Yerusalemu kutoka ya huduma ya utume ambayo Yuda aliacha ili
Mlima wa Mizeituni, uliokuwa karibu na aende mahali pake mwenyewe.’’ 26Kisha
Yerusalemu, umbali wa mwendo wa Sabato a
wakawapigia kura, nayo kura ikamwangukia
13
kutoka mjini. Walipowasili mjini Yerusalemu, Mathiya, naye akaongezwa kwenye wale
walikwenda ghorofani kwenye chumba mitume kumi na mmoja.
walichokuwa wakiishi. Wale waliokuwepo

a12 Mwendo wa Sabato hapa ina maana umbali wa kama b13 Zelote hapa ina maana alikuwa mwanachama wa
kilomita 1.1,yaani, (mita 1,100) Wazelote, ambacho kilikuwa kikundi cha kizalendo cha
Kiyahudi cha kupinga jeuri ya Warumi.
2
Matendo ya Mitume
Kushuka Kwa Roho Mtakatifu na ishara duniani chini,
2 Ilipowadia siku ya Pentekoste, walikuwa wote moto na mvuke wa moshi
mnene. 20Jua litakuwa giza
mahali pamoja. 2 Ghafula sauti kama mvumo na mwezi utakuwa mwekundu kama damu,
mkubwa wa upepo uliotoka mbinguni, ukaijaza kabla ya kuja siku ile kuu ya Bwana iliyo
nyumba yote walimokuwa wameketi. 3Zikatokea
ndimi kama za moto zilizogawanyika na kukaa tukufu.
21Lakini ye yote atakayeliita jina la
juu ya kila mmoja wao. 4Wote wakajazwa na
Roho Mtakatifu, wakaanza kunena kwa lugha Bwana, ataokolewa.’
nyingine, kama Roho
alivyowajalia. 22“Enyi Waisraeli, sikilizeni maneno haya
5Basi walikuwepo Yerusalemu Wayahudi nisemayo: Yesu wa Nazareti alikuwa mtu
wanaomcha Mungu kutoka kila taifa chini ya aliyethibitishwa kwenu na Mungu kwa miujiza,
mbingu. 6Waliposikia sauti hii, umati wa watu maajabu na ishara, ambayo Mungu alitenda
ulikusanyika pamoja wakistaajabu, kwa sababu miongoni mwenu kwa kupitia yeye, kama ninyi
kila mmoja wao aliwasikia wakisema kwa lugha wenyewe mjuavyo. 23Huyu mtu akiisha
yake mwenyewe. 7Wakiwa wameshangaa na kutolewa kwa shauri la Mungu lililokusudiwa
kustaajabu wakauliza, “Je, hawa wote kwa kujua kwake Mungu tangu zamani, ninyi,
wanaozungumza si Wagalilaya? 8Imekuwaje basi kwa mikono ya watu wabaya, mlimwua kwa
kila mmoja wetu anawasikia wakinena kwa lugha kumgongemea msalabani. 24Lakini Mungu
yake ya kuzaliwa? 9Warparathi, Wamedi, alimfufua kutoka kwa wafu akamwondolea
Waelami, wakazi wa Mesopotamia, Uyahudini, uchungu wa mauti, kwa sababu haikuwezekana
Kapadokia, Ponto na Asia, 10Frigia, Pamfilia, Misri yeye kushikiliwa na nguvu za mauti. 25Kwa
na pande za Libya karibu na Kirene na wageni maana Daudi asema kumhusu yeye:
kutoka Rumi, 11 (Wayahudi na waongofu, Wakrete
na Waarabu sote tunawasikia watu hawa ‘‘ ‘Nalimwona Bwana mbele yangu
wakisema katika lugha zetu wenyewe, mambo siku zote.
makuu ya ajabu ya Mungu.’’ 12Wakiwa Kwa sababu yuko mkono wangu wa
wameshangaa na kufadhaika wakaulizana, “Ni nini kuume,
maana ya mambo haya?’’ sitatikisika.
13Lakini wengine wakawadhihaki 26Kwa hiyo moyo wangu unafurahia na
wakasema, “Hawa wamelewa mvinyo!’’ ulimi wangu unashangilia,
mwili wangu nao utaishi kwa tumaini.
Petro Ahutubia Umati 27Kwa maana hutaniacha kaburini,
14Ndipo Petro akasimama pamoja na wale wala hutamwacha aliye Mtakatifu
mitume kumi na moja, akainua sauti yake na wako kuona uharibifu.
kuhutubia ule umati wa watu, akasema: 28Umenionyesha njia za uzima,
“Wayahudi wenzangu na ninyi nyote mkaao utanijaza na furaha mbele zako.’
Yerusalemu, jueni jambo hili mkanisikilize.
15Hakika watu hawa hawakulewa kama 29“Ndugu zangu Waisraeli, nataka
mnavyodhania, kwa kuwa sasa ni saa tatu niwaambie kwa uhakika kwamba baba yetu
asubuhi! 16Hawa hawakulewa, ila jambo hili ni Daudi alikufa na kuzikwa, nalo kaburi lake lipo
lile lililotabiriwa na nabii Yoeli akisema, hapa mpaka leo. 30Lakini alikuwa nabii na alijua
ya kuwa Mungu alikuwa amemwahidi kwa kiapo
17“ ‘Katika siku za mwisho, asema Bwana, kwamba angemweka mmoja wa wazao wake
nitamimina Roho wangu juu ya wote penye kiti chake cha enzi. 31Daudi akiona
wenye mwili. mambo yaliyoko mbele, akanena juu ya
Wana wenu na binti zetu watatabiri, kufufuka kwa Kristo, kwamba hakuachwa
vijana wenu wataona maono kaburini, wala mwili wake haukuona uharibifu.
na wazee wenu wataota ndoto. 32Mungu alimfufua huyu Yesu na sisi sote ni
18Hata juu ya watumishi
mashahidi wa jambo hilo. 33“Basi ikiwa yeye
wangu nitamwaga Roho ametukuzwa kwa mkono wa kuume wa Mungu,
wangu, nao watatabiri”. amepokea kutoka kwa Baba ahadi ya Roho
19Nami nitaonyesha maajabu mbinguni juu Mtakatifu, naye amemimina kile mnachoona
3
Matendo ya Mitume
sasa na kusikia. 34Kwa kuwa Daudi hakupaa yapata saa tisa alasiri. 2Basi palikuwa na mtu
kwenda mbinguni, lakini anasema, mmoja aliyekuwa kiwete tangu kuzaliwa.
Alichukuliwa na kuwekwa kwenye lango la hekalu
‘‘ ‘BWANA alimwambia Bwana wangu: Kaa liitwalo Zuri, kila siku ili aombe msaada kwa watu
wewe upande wangu wa kuume, wanaoingia hekaluni. 3Huyu mtu akiwaona Petro
35mpaka nitakapowafanya adui zako na Yohana wakikaribia kuingia hekaluni,
kuwa chini ya miguu yako.’ ’’ aliwaomba wampe sadaka. 4Wakamkazia macho,
kisha Petro akamwambia, ‘‘Tutazame sisi.’’ 5Hivyo
36“Kwa hiyo Israeli wote na wajue jambo hili yule mtu akawatazama, akitazamia kupata kitu
kwa uhakika kwamba: Mungu amemfanya huyu kutoka kwao.
Yesu, ambaye ninyi mlimsulibisha, kuwa Bwana 6 Ndipo Petro akamwambia, ‘‘Sina fedha
na Kristo.’’ wala dhahabu, lakini kile nilicho nacho ndicho
nikupacho. Kwa jina la Yesu wa Nazareti
Ongezeko La Waamini simama, uende.’’ 7Petro akamshika yule mtu
37Watu waliposikia maneno haya kwa mkono wa kuume akamwinua, mara nyayo
yakawachoma mioyo yao, wakawauliza Petro na zake na vifundo vya miguu yake vikapata
wale mitume wengine, “Ndugu zetu tufanye nguvu. 8Akaruka juu na kusimama, akaanza
nini?’’ kutembea. Kisha akaingia Hekaluni pamoja na
38Petro akawajibu, “Tubuni, mkabatizwe kila Petro na Yohana, huku akitembea na
mmoja wenu abatizwe kwa jina la Yesu Kristo, ili kurukaruka na kumsifu Mungu. 9Watu wote
mpate kusamehewa dhambi zenu. nanyi walipomwona akitembea na kumsifu Mungu,
mtapokea kipawa cha Roho Mtakatifu. 39Kwa 10wakamtambua kuwa ni yule mtu aliyekuwa
kuwa ahadi hii ni kwa ajili yenu na watoto wenu akiketi nje ya hekalu penye lango liitwalo Zuri
na kwa wale wote walio mbali na kila mtu akiomba msaada, nao wakajawa na mshangao,
ambaye Bwana Mungu wetu atamwita amjie.’’ wakastaajabu juu ya yale yaliyomtukia.
40Petro akawaonya kwa maneno mengine
mengi na kuwasihi akisema, “Jiepusheni na Petro Anashuhudia Kuwa Yesu Anaponya
11Yule mtu kiwete aliyeponywa alipokuwa
kizazi hiki kilichopotoka.’’ 41Wale wote
waliopokea ujumbe wa Petro kwa furaha akiambatana na Petro na Yohana, watu wote
wakabatizwa na siku ile waliongezeka watu walishangaa mno, wakaja wanawakimbilia
wapatao 3,000. mpaka kwenye ukumbi wa Solomoni. 12Petro
alipoona watu wamekusanyika akawaambia,
Ushirika Wa Waamini “Enyi waume wa Israeli, kwa nini mnastaajabu
42Nao wakawa wanadumu katika kuhusu jambo hili? Mbona mnatukazia macho
mafundisho ya mitume, katika ushirika, katika kwa mshangao kana kwamba ni kwa uwezo
wetu au utakatifu wetu tumefanya mtu huyu
kumega mkate na katika kusali. 43Kila mtu
akaingiwa na hofu ya Mungu, nayo miujiza mingi kutembea? 13Mungu wa Abrahamu na Isaki na
Yakobo, Mungu wa baba zetu amemtukuza
na ishara zikafanywa na mitume. 44Walioamini Mwanawe Yesu ambaye ninyi mlimtoa
wote walikuwa mahali pamoja nao, walikuwa na ahukumiwe kifo na mkamkana mbele ya Pilato
kila kitu shirika. 45Waliuza mali zao na vitu ingawa Yeye alikuwa ameamua kumwachia
walivyokuwa navyo, wakamgawia kila mtu kwa aende zake. 14Ninyi mlimkataa huyo Mtakatifu
kadiri alivyokuwa anahitaji. 46Siku zote kwa na Mwenye Haki mkaomba mpewe yule mwuaji.
moyo mmoja walikutana ndani ya ukumbi wa 15Hivyo mkamwua aliye chanzo cha uzima,
hekalu, wakimega mkate nyumba kwa nyumba, lakini Mungu akamfufua kutoka kwa wafu. Sisi
wakila chakula chao kwa furaha na moyo tu mashahidi wa mambo haya. 16Kwa imani
mweupe, 47wakimsifu Mungu na kuwapendeza katika Jina la Yesu, huyu mtu mnayemwona na
watu wote. Kila siku Bwana akaliongeza kanisa kumfahamu limemtia nguvu. Ni kwa Jina la
kwa wale watu waliokuwa wakiokolewa. Yesu na imani ile itokayo Kwake ambayo
imemponya kabisa huyu mtu, kama ninyi wote
Petro Amponya Mlemavu Kwa Jina La Yesu mnavyoona.
3 Siku moja Petro na Yohana walikuwa
wanapanda kwenda hekaluni kusali
17‘‘Sasa, Ndugu zangu, najua ya kuwa ninyi
mlitenda bila kujua, kama walivyofanya viongozi
4
Matendo ya Mitume
wenu. 18Lakini
kwa njia hii Mungu alitimiza kile 9kama leo tukihojiwa kwa habari ya mambo
ambacho alikuwa ametabiri kwa vinywa vya mema aliyotendewa yule kiwete na kuulizwa
manabii Wake wote, kwamba Kristo atateswa. jinsi alivyoponywa, 10ijulikane kwenu nyote na
19Tubuni basi mkamgeukie Mungu, ili dhambi
kwa watu wote wa Israeli kwamba: Ni kwa Jina
zenu zifutwe, ili zipate kuja nyakati za la Yesu Kristo wa Nazareti, ambaye ninyi
kuburudishwa kwa kuwepo kwake Bwana. mlimsulibisha lakini Mungu akamfufua kutoka
20Kwamba apate kumtuma Kristo, ambaye
kwa wafu, kwa uwezo wa Yesu, kwamba mtu
amewekwa kwa ajili yenu, yaani Yesu, huyu anasimama mbele yenu akiwa mzima
21ambaye ilimpasa mbingu zimpokee mpaka
kabisa. 11Huyu Yesu ndiye
wakati wa kufanywa upya kila kitu, kama Mungu
alivyosema kwa vinywa vya manabii wake wote ‘lile jiwe ambalo ninyi wajenzi mlilikataa,
watakatifu kabla ya mwanzo wa ulimwengu. ambalo limekuwa jiwe kuu la pembeni.’
22Kwa maana Mose alisema, ‘Bwana Mungu
wenu atawainulia nabii kama mimi kutoka 12Wala hakuna wokovu katika mwingine awaye
miongoni mwa ndugu zenu, itawapasa kumtii yote, kwa maana hakuna Jina jingine chini ya
huyo kwa kila jambo atakalowaambia. 23Mtu ye mbingu walilopewa wanadamu litupasalo sisi
yote ambaye hatamsikiliza huyo nabii, kuokolewa kwalo.’’
atakataliwa mbali kabisa na watu wake.’
24‘‘Naam, manabii wote tangu Samweli na Ujasiri Wa Petro Na Yohana Washangaza
wale waliofuata baada yake, wote walionena Watu
13Wale viongozi na wazee walipoona ujasiri
walitabiri kuhusu siku hizi. 25Ninyi ndio wana wa
manabii na wa agano ambayo Mungu alifanya wa Petro na Yohana na kujua ya kuwa walikuwa
baba zenu, akimwambia Abrahamu, ‘Katika watu wa kawaida, wasio na elimu, walishangaa
wewe, jamaa zote za duniani watabarikiwa.’ sana, wakatambua kwamba hawa watu
26Mungu alipomfufua Mwanawe Yesu, alimtuma walikuwa na Yesu. 14 Lakini kwa kuwa walikuwa
kwenu kwanza, ili awabariki kwa kumgeuza kila wanamwona yule kiwete aliyeponywa
mmoja wenu kutoka katika njia yake mbaya.’’ amesimama pale pamoja nao, hawakuweza
kusema lo lote kuwapinga. 15Wakawaamuru
Petro Na Yohana Mbele Ya Barazaa watoke nje ya baraza wakati wakisemezana
4 Wakati Petro na Yohana walipokuwa
wakisema na watu, makuhani, mkuu wa walinzi
jambo hilo wao kwa wao. 16Wakaulizana,
“Tuwafanyie nini watu hawa? Hatuwezi
wa hekalu na Masudakayo wakawajia wakiwa kukanusha mwujiza huu mkubwa walioufanya
2wamekasirika sana kwa sababu hao mitume ambao ni dhahiri kwa kila mtu Yerusalemu.
walikuwa wanawafundisha watu na kuhubiri 17Lakini ili kuzuia jambo hili lisiendelee kuenea
kwamba katika Yesu kuna ufufuo wa wafu. 3 zaidi miongoni mwa watu, ni lazima tuwaonye
Wakawakamata Petro na Yohana na kuwatia watu hawa ili wasiseme tena na mtu ye yote
gerezani mpaka kesho yake kwa kuwa ilikuwa
jioni. 4Lakini wengi wale waliosikia lile neno kwa Jina la Yesu.’’ 18Kisha wakawaita tena
waliamini, idadi yao ilikuwa yapata ndani na kuwaamuru wasiseme wala
wanaume 5,000. kufundisha kamwe kwa hili Jina la Yesu.
5Siku ya pili yake viongozi wa Kiyahudi,
wazee na waandishi wa sheria wakakusanyika Imetupasa Kumtii Mungu Kuliko Wanadamu
19Lakini Petro na Yohana wakajibu, “Amueni ninyi
Yerusalemu, 6walikuwepo Kuhani Mkuu Anasi,
Kayafa, Yohana, Iskanda na wengi wa jamaa ya wenyewe iwapo ni haki mbele za Mungu kuwatii
Kuhani Mkuu. 7Wakiisha kuwasimamisha Petro ninyi kuliko Mungu. 20Lakini sisi hatuwezi kuacha
na Yohana katikati yao, wakawauliza, “Ni kwa kusema yale tuliyoyaona na kuyasikia.’’ 21Baada
uwezo gani au kwa jina la nani mmefanya jambo ya vitisho vingi, wakawaacha waende zao.
hili?” Hawakuona njia yo yote ya kuwaadhibu, kwa
8Petro akiwa amejaa Roho Mtakatifu sababu ya watu, kwa kuwa watu wote walikuwa
akajibu, “Enyi watawala na wazee wa watu, wakimsifu Mungu kwa kile kilichokuwa kimetukia.
22Kwa kuwa umri wa yule mtu aliyekuwa

a Baraza hapa ina maana “Sanhedrin”, ambalo ndilo lililokuwa


ameponywa kwa mwujiza
baraza la juu kabisa la utawla la Kiyahudi, lililokuwa na wazee ulikuwa zaidi ya miaka arobaini.
70 pamoja na Kuhani Mkuu.
5
Matendo ya Mitume
Maombi Ya Waamin akaleta hizo fedha alizopata na kuziweka
23Mara Petro na Yohana waliopoachiliwa, miguuni pa mitume.
walirudi kwa waamini wenzao wakawaeleza
waliyoambiwa na makuhani wakuu na wazee. Anania Na Safira
24Watu hao waliposikia hayo, wakainua sauti
zao wakamwomba Mungu kwa pamoja
5 Lakini mtu mmoja jina lake Anania pamoja na
mkewe Safira waliuza kiwanja. 2 Mkewe akijua
wakasema, “Bwana Mwenyezi, uliyeumba kikamilifu alificha sehemu ya fedha alizopata,
mbingu na nchi na bahari na kila vitu vyote akaleta kiasi kilichobaki na kukiweka
vilivyomo, 25Wewe ulisema kwa Roho Mtakatifu miguuni mwa mitume.
kupitia kwa kinywa cha baba yetu Daudi, 3Petro akamwuliza, “Anania, mbona
mtumishi Wako, ukasema: Shetani ameujaza moyo wako ili kumwambia
uongo Roho Mtakatifu, ukaficha sehemu ya
“ ‘Mbona mataifa wanaghadhibika, fedha ulizopata kutokana na kiwanja? 4Je, kabla
na mataifa yanawaza ubatili? hujauza hicho kiwanja si kilikuwa mali yako?
6Wafalme wa dunia wamejipanga
Hata baada ya kukiuza, fedha ulizopata si
na watawala wanakusanyika pamoja dhidi zilikuwa kwenye uwezo wako? Kwa nini basi
ya Bwana umewaza hila hii moyoni mwako kufanya jambo
na dhidi ya Kristo wake.’ kama hili? Wewe hukumwambia uongo
mwanadamu bali Mungu.’’
27Ni kweli Herode na Pontio Pilato pamoja na 5 Anania aliposikia maneno haya
watu Mataifa na Waisraeli, walikusanyika katika akaanguka chini na kufa. Hofu kuu ikawapata
mji huu dhidi ya Mwanao Yesu uliyemtia mafuta. wote waliosikia jambo lililokuwa limetukia.
28Wao wakafanya yale ambayo uweza wako na 6Vijana wakaja, wakaufunga mwili wake,
mapenzi yako yalikuwa yamekusudia yatokee wakamchukua nje kumzika.
tangu zamani. 29Sasa, Bwana angalia vitisho 7 Saa tatu baadaye mkewe Anania
vyao na utuwezeshe sisi watumishi Wako akaingia, naye hana habari ya mambo
kulinena neno Lako kwa ujasiri mkuu. 30Nyosha yaliyotukia. 8Petro akamwuliza, “Niambie, je,
mkono Wako ili kuponya wagonjwa na kutenda mliuza kiwanja kwa thamani hii?” Akajibu,
ishara na miujiza kwa Jina la Mwanao Mtakatifu “Ndiyo, tuliuza kwa thamani hiyo.’’
Yesu.’’ 9Ndipo Petro akamwambia, “Imekuwaje
31Walipokwisha kuomba, mahali pale mkakubaliana kumjaribu Roho Mtakatifu wa
walipokuwa wamekutanika pakatikiswa, nao Bwana? Tazama! Nyayo za vijana waliomzika
wote wakajazwa na Roho Mtakatifu, wakanena mumeo iko mlangoni, wewe nawe
neno la Mungu kwa ujasiri. watakuchukua nje.’’
10Saa ile ile akaanguka chini miguuni
Walioamini Washirikiana Mali Zao mwake na kufa, wale vijana waliingia,
32Wale walioamini wote walikuwa na moyo wakamkuta amekufa, wakamchukua wakamzika
mmoja na nia moja. Wala hakuna hata mmoja kando ya mumewe. 11Hofu kuu ikalipata kanisa
aliyesema cho chote alichokuwa nacho ni mali lote pamoja na watu wote waliosikia juu ya
yake mwenyewe, lakini walishirikiana kila kitu matukio haya.
walichokuwa nacho. 33Mitume wakatoa
ushuhuda wa kufufuka kwa Bwana Yesu kwa Mitume Waponya Wengi
nguvu nyingi na neema ya Mungu ilikuwa juu 12Mitume wakafanya ishara nyingi na miujiza
yao wote. 34Wala hapakuwepo mtu ye yote miongoni mwa watu. Nao wale wote walioamini
miongoni mwao aliyekuwa mhitaji, kwa sababu walikuwa wakikusanyika katika ukumbi wa
mara kwa mara wale waliokuwa na mashamba Solomoni kwa nia moja. 13Hakuna mtu mwingine
na nyumba waliviuza, wakaleta thamani ya vitu aliyethubutu kuambatana nao ijapokuwa
vilivyouzwa, 35wakaiweka miguuni kwa wale waliheshimiwa sana na watu. 14Lakini walioamini
mitume, kila mtu akagawiwa kadiri ya mahitaji wengi wakaongezeka kwa Bwana, idadi kubwa ya
yake. wanaume na wanawake. 15Hata wakawa
36Yosefu, Mlawi kutoka Kipro, ambaye wanawaleta wagonjwa na kuwalaza kwenye
mitume walimwita Barnaba, maana yake Mwana magodoro na kwenye vitanda barabarani ili
yamkini Petro akipita kivuli chake
wa Faraja, 37aliuza shamba alilokuwa nalo,
6
Matendo ya Mitume
kiwaguse baadhi yao. 16Pia watu dhambi. 32Nasi tu mashahidi wa mambo haya,
wakakusanyika kutoka katika miji iliyokuwa vivyo hivyo na Roho Mtakatifu ambaye na
karibu na Yerusalemu, wakileta wagonjwa na Mungu amewapa wale wanaomtii.’’
watu walioteswa na pepo wachafu, hao wote 33Wale wajumbe wa baraza la wazee
wakaponywa. waliposikia haya, walijawa na ghadhabu,
wakataka kuwaua wale mitume. 34Lakini
Mitume Washtakiwa Farisayo mmoja, jina lake Gamalieli, aliyekuwa
17Kisha Kuhani Mkuu na wenzake wote
mwalimu wa sheria, aliyeheshimiwa na watu
waliokuwa pamoja naye, (ambao ni wa kundi la wote, akasimama mbele ya baraza akaamuru
Masadukayo,) wakiwa wamejawa na wivu, wale mitume watolewe nje kwa muda. 35Ndipo
18wakawakamata mitume na kuwatia gerezani.
alipowaambia wajumbe wa baraza, “Enyi watu
19Lakini wakati wa usiku malaika wa Bwana wa Israeli, fikirini kwa uangalifu yale mnayotaka
akaja akafungua milango ya gereza akawatoa kuwatendea watu hawa. 36Kwa maana wakati
nje akawaambia, 20 “Nendeni, mkasimame uliopita aliinuka mtu mmoja jina lake Theuda
hekaluni mkawaambie watu maneno yote ya ambaye alijidai kuwa yeye ni mtu maarufu,
uzima huu mpya.’’ akapata wafuasi wapatao 400 walioambatana
21Waliposikia haya wakaenda hekaluni naye. Lakini aliuawa na wafuasi wake wote
alfajiri wakaendelea kufundisha watu. wakatawanyika na kupotea. 37Baada yake
Kuhani Mkuu na wale waliokuwa pamoja alitokea Yuda Mgalilaya wakati ule wa
nao walipowasili, alikusanya baraza na wazee kuandikwa orodha ya watu akaongoza kundi la
wote wa Israeli wakatuma wale mitume waletwe watu kuasi. Yeye naye aliuawa, nao wafuasi
kutoka gerezani. 22Lakini wale walinzi wa wake wakatawanyika. 38Kwa hiyo, kwa shauri
hekalu walipokwenda gerezani hawakuwakuta hili, nawashauri habari ya jambo hili, jiepusheni
wale mitume mle. Kwa hiyo wakarudi na kutoa na watu hawa. Waacheni waende zao! Kwa
habari. 23Wakasema, “Tumekuta milango ya maana kama kusudi lao na shughuli yao
gereza imefungwa sawasawa na maaskari wa imetokana na mwanadamu haitafanikiwa.
gereza wamesimama nje ya mlango, lakini 39Lakini ikiwa imetoka kwa Mungu hamtaweza
tulipofungua milango hakuwepo mtu ye yote kuwazuia watu hawa, badala yake mtajikuta
ndani.’’ 24Basi mkuu wa walinzi wa hekalu, mnapigana dhidi ya Mungu”
viongozi na makuhani waliposikia haya, 40Wakapokea ushauri wa Gamalieli.
wakafadhaika na kushangaa sana kwa ajili yao Wakawaita mitume ndani, wakaamuru
kwamba jambo hili litakuwaje. wachapwe mijeledi, kisha wakawaagiza
25Ndipo mtu mmoja akaja akawaambia, wasinene tena kwa jina la Yesu, nao
“Tazameni watu wale mliowatia gerezani wako wakawaachia waende zao.
41Wale mitume walitoka nje ya baraza,
hekaluni wakiwafundisha watu.’’ 26Ndipo yule
mkuu wa walinzi wa hekalu wakaenda pamoja wakiwa wamejaa furaha kwa sababu
na maaskari wakawaleta wale mitume, lakini bila wamehesabiwa kustahili kupata aibu kwa ajili ya
ghasia kwa sababu waliogopa kupigwa mawe jina la Yesu. 42Hawakuacha kufundisha na
na watu. kuhubiri habari njema kwamba Yesu ndiye
27Wakiisha kuwaleta hao mitume Kristo kila siku hekaluni na nyumba kwa
wakawaamuru kusimama mbele ya baraza. nyumba.
Kuhani Mkuu akawahoji. 28“Tuliwaonya kwa
nguvu msifundishe kwa jina hili, lakini ninyi Saba Wachaguliwa Kuhudumia
mmeijaza Yerusalemu yote mafundisho yenu na
tena mmekusudia kuleta damu ya mtu huyu juu 6 Basi ikawa katika siku hizo, wakati idadi ya
yetu.’’ wanafunzi ilipokuwa ikiongezeka sana palitokea
29Petro na wale mitume wengine wakajibu, manung’uniko kati ya Wayahudi wa Kiyunani,
dhidi ya Waebrania kwa sababu wajane wao
“Imetupasa kumtii Mungu kuliko wanadamu.
30Mungu wa baba zetu aliyemfufua Yesu
walisahaulika katika mgawanyo wa chakula wa
kila siku. 2Wale mitume kumi na wawili
ambaye ninyi mlimwua kwa kumtundika kwenye
wakakusanya wanafunzi wote pamoja,
msalaba. 31 Mungu alimtukuza akamweka wakasema, “Haitakuwa vema sisi kuacha
mkono wake wa kuume kuwa kiongozi na huduma ya neno la Mungu ili kutumika mezani.
Mwokozi ili awape Israeli toba na msamaha wa 3Kwa hiyo ndugu, chagueni watu saba miongoni

7
Matendo ya Mitume
mwenu, watu wenye sifa njema, waliojawa na Mesopotamia, kabla hajaishi Harani,
Roho Mtakatifu na hekima, ambao tunaweza 3akamwambia, ‘Ondoka katika nchi yako na
kuwakabidhi kazi hii, 4wakati sisi tutatumia kutoka kwa jamii yako uende katika nchi
muda wetu mrefu kuomba na kulihudumia lile nitakayokuonyesha.’
neno.’’ 4“Hivyo aliondoka katika nchi ya Wakaldayo
5Yale waliyosema yakawapendeza watu akaenda kukaa Harani. Baada ya kifo cha baba
wote, nao wakawachagua Stefano, mtu yake, Mungu akamtoa huko akamleta katika
aliyejawa na imani na Roho Mtakatifu pamoja na nchi hii ambayo mnaishi sasa. 5Mungu
Filipo, Prokoro, Nikanori, Timoni, Parmena na hakumpa urithi wo wote katika nchi hii,
Nikolao mwongofu wa kutoka Antiokia. hakumpa hata mahali pa kuweka wayo mmoja.
6Wakawaleta watu hawa mbele ya mitume, nao Bali Mungu alimwahidi kuwa yeye na uzao wake
wakawaombea na kuwawekea mikono juu yao. baada yake wangeirithi hii nchi, ingawa wakati
7Neno la Mungu likazidi kuenea, idadi ya huo Ibrahimu hakuwa na mtoto. 6Mungu
wanafunzi ikazidi kuongezeka sana katika akasema naye hivi, ‘Wazao wako watakuwa
Yerusalemu hata makuhani wengi wageni kwenye nchi ambayo si yao, nao
wakamwamini Yesu. watafanywa watumwa na kutendewa vibaya
miaka 400.’ 7Mungu akasema, ‘Lakini mimi
Kukamatwa Kwa Stefano nitaliadhibu taifa lile watakalolitumikia kama
8Stefano, akiwa amejawa na neema na watumwa na baadaye watatoka katika nchi hiyo
nguvu za Mungu, alifanya ishara na miujiza na kuniabudu mahali hapa.’ 8Ndipo akampa
9
mikubwa miongoni mwa watu. Lakini baadhi ya Abrahamu agano la tohara. Naye Abrahamu
watu wa sinagogi lililoitwa la ‘Watu Huru,’ (kama akamzaa Isaki na kumtahiri siku ya nane baada
lilivyokuwa linaitwa), la Wakirene, Waiskanderia ya kuzaliwa kwake. Baadaye Isaki akamzaa
na wengine kutoka Kilikia na Asia, wakasimama Yakobo, naye Yakobo akawazaa wale wazee
10
na kujadiliana na Stefano. Lakini hawakuweza wetu wakuu kumi na wawili.
kushindana na hekima na Roho ambaye kwayo 9“Kwa sababu wazee wetu wakuu
alisema. walimwonea wivu Yosefu ndugu yao,
11 Ndipo wakawashawishi watu fulani kwa walimwuza kama mtumwa huko Misri. Lakini
siri ili waseme, “Tumemsikia Stefano akisema Mungu alikuwa pamoja naye. 10Akamwokoa
maneno ya kufuru dhidi ya Mose na dhidi ya kutoka katika mateso yote yaliyompata, tena
Mungu.’’ akampa kibali na hekima aliposimama mbele ya
Farao, Mfalme wa Misri, ambaye alimweka
Stefano Afikishwa Mbele ya Baraza kuwa mtawala juu ya Misri na juu ya jumba lote
12Wakawachochea watu, wazee na waalimu la kifalme.
wa sheria nao wakamkamata Stefano 11“Basi kukawa na njaa katika nchi yote ya
wakamfikisha mbele ya baraza. 13Wakaweka Misri na Kanaani, ikasababisha dhiki kubwa,
mashahidi wa uongo ambao walishuhudia nao baba zetu wakawa hawana chakula.
wakisema, “Mtu huyu kamwe haachi kusema 12Lakini Yakobo aliposikia kwamba kuna nafaka
dhidi ya mahali hapa patakatifu na dhidi ya huko Misri, aliwatuma baba zetu, wakaenda
torati. 14 Kwa maana tumemsikia akisema huko kwa mara yao ya kwanza.
kwamba huyu Yesu wa Nazareti atapaharibu 13Walipokwenda mara ya pili, Yosefu
mahali patakatifu na kubadili desturi zote alijitambulisha kwa ndugu zake, nao ndugu
tulizopewa na Mose.’’ zake Yosefu wakajulishwa kwa Farao. 14 Ndipo
15Watu wote waliokuwa wameketi katika Yosefu akatuma wamlete Yakobo baba yake
baraza wakimkazia macho Stefano, wakaona kutoka Misri pamoja na jamaa yake yote, jumla
uso wake unang’aa kama uso wa malaika. yao walikuwa watu sabini na watano. 15 Hivyo
Yakobo akaenda Misri ambako yeye na baba
Hotuba ya Stefano zetu walifia. 16Miili yao ilirudishwa Shekemu na
7 Ndipo kuhani mkuu alimwuliza Stefano, “Je, kuzikwa katika kaburi ambalo Abrahamu
mashtaka haya ni ya kweli?” alinunua kutoka kwa wana wa Hamori kwa kiasi
2Stefano akajibu, “Ndugu zangu na baba Fulani cha fedha.
zangu, nisikilizeni! Mungu wa utukufu alimtokea 17“Lakini wakati ulipokuwa unakaribia wa
baba yetu Abrahamu, alipokuwa bado yuko kutimizwa kwa ile ahadi ambayo Mungu alikuwa
8
Matendo ya Mitume
amempa Abrahamu, watu wetu walizidi na wao, kwa njia ya yule malaika aliyemtokea
kuongezeka. 18 Ndipo mfalme mwingine ambaye katika kile kichaka. 36Aliwaongoza wana wa
hakujua lo lote kuhusu Yosefu, akatawala Misri. Israeli kutoka Misri, baada ya kufanya ishara na
19Huyu mfalme akawatendea watu wetu kwa hila maajabu mengi huko Misri, katika bahari ya
na kuwatesa baba zetu kwa kuwalazimisha Shamu na katika jangwa kwa muda wa miaka
wawatupe watoto wao wachanga ili wafe. arobaini.
20 “Wakati huo Mose alizaliwa, naye alikuwa 37“Huyu ndiye yule Mose aliyewaambia
mtoto mzuri sana machoni pa Mungu. Waisraeli, ‘Mungu atawainulia nabii kutoka
Akalelewa nyumbani kwa wazazi wake kwa miongoni mwa ndugu zenu.’ 38Huyu ndiye yule
muda wa miezi mitatu. 21 Waliposhindwa Mose aliyekuwa katika kusanyiko huko jangwani
kumficha zaidi, wakamweka nje mtoni na binti pamoja na baba zetu na yule malaika aliyesema
Farao akamchukua akamtunza kama mtoto naye kwenye Mlima Sinai pamoja na baba zetu,
22
wake mwenyewe. Mose akafundishwa hekima naye akapokea maneno yaliyo hai ili atupatie.
yote ya Wamisri, akawa mtu hodari kwa maneno 39“Lakini baba zetu walikataa kumtii Mose,
na matendo. badala yake wakamkataa na kuielekeza mioyo
23“Mose alipokuwa na umri wa miaka
yao Misri tena. 40Wakamwambia Aroni,
arobaini aliamua kuwatembelea ndugu zake “Tufanyie miungu watakaotuongoza, kwa
Waisraeli. 24Aliona mmoja wao akionewa na maana mtu huyu Mose aliyetutoa Misri hatujui
Mmisri, akamtetea yule aliyeonewa, akampiga yaliyompata.’ 41Huu ndio wakati
yule Mmisri akamwua kulipiza kisasi. Mose 25 walipotengeneza sanamu katika umbo la
alidhani wangeelewa kwamba Mungu akimtumia ndama, wakailetea sadaka kufanya
ili kuwaokoa, lakini wao hawakuelewa. Siku 26 maadhimisho kwa ajili ya kile kitu
iliyofuata Mose aliwakuta Waisraeli wawili walichotengeneza kwa mikono yao wenyewe.
wakigombana, akajaribu kuwapatanisha kwa 42Ndipo Mungu akageuka, akawaacha waabudu
kuwaambia, ‘Enyi watu, ninyi ni ndugu, mbona jeshi lote la mbinguni kama ilivyoandikwa katika
mnataka kuumizana?’ kitabu cha manabii:
27“Lakini yule mtu aliyekuwa akimwonea
mwenzake akamsukuma Mose kando, “ ‘Je, mlinitolea Mimi dhabihu na sadaka
akamwuliza, ‘Ni nani alikuweka uwe mtawala na kwa kipindi cha miaka arobaini kule
28
mwamuzi juu yetu? Je, unataka kuniua kama jangwani, enyi nyumba ya Israeli?
43La, ninyi mlichukua hema ya Moleki
ulivyomwua yule Mmisri jana?’ 29Mose
aliposikia maneno haya, alikimbilia huko Midiani na ya mungu wenu Refani,
alikokaa kama mgeni, naye akapata. watoto vinyago mlivyotengeneza ili kuviabudu. Kwa
wawili wa kiume. hiyo nitawapeleka mbali kuliko Babeli.’ 44“Baba
30“Basi baada ya miaka arobaini kupita, zetu walikuwa na ile Hema ya Ushuhuda
malaika wa Mungu akamtokea Mose jangwani huko jangwani. Lilikuwa limetengenezwa
karibu na Mlima Sinai katika kichaka kilichokuwa kama Mungu alivyokuwa amemwelekeza
kinawaka moto. 31Alipoona mambo haya, Mose, kulingana na kielelezo alichoona.
45Baba zetu wakiisha kulipokea hema kwa
alishangaa yale maono. Aliposogea ili aangalie
kwa karibu, akaisikia sauti ya Bwana, ikisema: kupokezana wakiongozwa na Yoshua katika
32 ‘Mimi ndimi Mungu wa baba zako, Mungu wa milki ya nchi kutoka kwa yale mataifa ambayo
Abrahamu, Isaki na Yakobo.’ Mose alitetemeka Mungu aliyafukuza mbele yao. Ilidumu mpaka
kwa hofu na hakuthubutu kutazama. wakati wa Daudi, 46 ambaye alipendwa na
33“Ndipo Bwana akamwambia, ‘Vua viatu Mungu, naye akaomba atafute maskani katika
vyako kwa maana hapo uliposimama ni mahali nyumba ya Yakobo. 47Lakini ilikuwa
patakatifu. 34 Hakika nimeona mateso ya watu Solomoni ndiye aliyemjengea Mungu
wangu huko Misri. Nimesikia kilio chao cha nyumba.
uchungu, nami nimeshuka ili niwaokoe. Basi 48“Hata hivyo Mungu Aliye Mkuu sana hakai
sasa njoo, nami nitakutuma Misri.’ kwenye nyumba zilizojengwa kwa mikono na
35“Huyu ndiye Mose yule waliyemkataa wanadamu. Kama nabii alivyosema:
wakisema, ‘Ni nani aliyekufanya uwe mtawala
49‘‘ ‘Mbingu ni kiti changu cha Enzi
na mwamuzi juu yetu?’ Alikuwa ametumwa na
Mungu mwenyewe kuwa mtawala na mkombozi na dunia ni mahali pa kuweka miguu yangu.

9
Matendo ya Mitume
Mtanijengea nyumba ya namna gani?” 5Filipo akateremkia mji mmoja wa Samaria
asema Bwana. akawahubiria habari za Kristo. 6Watu
Au mahali pangu pa kupumzikia walipomsikia Filipo na kuona ishara na miujiza
patakuwa wapi? aliyofanya, wakasikiliza kwa bidii yale
50Je, mikono yangu haikuumba vitu hivi vyote?’ aliyosema. 7Pepo wachafu wakawa wakiwatoka
watu wengi, huku wakipiga kelele na wengi
51“Ninyi watu wenye shingo ngumu, wasio waliopooza na viwete, wakaponywa. 8Hivyo
tahiriwa mioyo wala masikio, daima hamwachi pakawa na furaha kuu katika mji huo.
kumpinga Roho Mtakatifu, kama walivyofanya
baba zetu. 52Je, kuna nabii gani ambaye baba Simoni Mchawi
zetu hawakumtesa? Waliwaua wale waliotabiri 9Basi mtu mmoja jina lake Simoni alikuwa
habari za kuja kwake yule Mwenye Haki, nanyi amefanya uchawi kwa muda mrefu katika mji
sasa mmekuwa wasaliti wake na wauaji. 53Ninyi huo akishangaza watu wote wa Samaria.
ndio mlipokea sheria zilizoletwa kwenu na Alijitapa kwamba yeye ni mtu mkuu, 10watu
malaika, lakini hamkuzitii.’’ wote wakubwa kwa wadogo wakamsikiliza na
kumaka wakisema “Mtu huyu ndiye ile nguvu ya
Stefano Apigwa Mawe kiungu ijulikanayo kama ‘Uweza Mkuu’.”
54Waliposikia haya wakaghadhibika, 11Wakamfuata kwa sababu kwa muda mrefu

wakamsagia Stefano meno. 55Lakini yeye alikuwa amewashangaza kwa uchawi wake.
12Lakini watu walipomwamini Filipo akihubiri
Stefano akiwa amejazwa Roho Mtakatifu,
alikaza macho mbinguni, akaona utukufu wa habari njema ya ufalme wa Mungu na jina la
Mungu, naye Yesu akiwa amesimama mkono Yesu Kristo, wakabatizwa wanaume na
wa kuume wa Mungu. 56Akasema, “Tazameni! wanawake. 13Simoni naye akaamini na
Naona mbingu zimefunguka na Mwana wa akabatizwa. Akamfuata Filipo kila mahali,
Adamu amesimama upande wa kuume wa akistaajabishwa na ishara kuu na miujiza
Mungu.’’ aliyoiona.
57Lakini wao wakapiga kelele kwa sauti 14Basi mitume waliokuwa Yerusalemu
kubwa, wakaziba masikio yao, wakamrukia kwa waliposikia kuwa Samaria walipokea neno la
nia moja. 58Wakamtupa nje ya mji, wakampiga Mungu, wakawatuma Petro na Yohana waende
kwa mawe. Nao mashahidi wakaweka nguo zao huko. 15Nao walipofika wakawaombea ili
miguuni mwa kijana mmoja aitwae Sauli. wampokee Roho Mtakatifu, 16kwa sababu Roho
59Walipokuwa wakimpiga mawe, Stefano Mtakatifu alikuwa bado hajawashukia hata
aliomba, “Bwana Yesu, pokea roho yangu” mmoja ila wamebatizwa tu katika jina la Bwana
60Kisha akapiga magoti, akalia kwa sauti kubwa Yesu. 17Ndipo Petro na Yohana wakaweka
akasema, “Bwana usiwahesabie dhambi hii.’’ mikono yao juu ya wale waliobatizwa, nao
Baada ya kusema haya, akalala. wakapokea Roho Mtakatifu.
8 Naye Sauli alikuwepo pale akipendezwa na
kuuawa kwa Stefano.
18 Simoni alipoona kuwa watu wanapokea
Roho Mtakatifu mitume walipoweka mikono juu
yao, akawapa fedha 19akisema, “Nipeni na mimi
Kanisa Lateswa Na Kutawanyika uwezo huu ili kila mtu nitakayeweka mikono
Siku ile kukatukia mateso makuu dhidi ya yangu juu yake apate kupokea Roho Mtakatifu.”
kanisa huko Yerusalemu, waamini wote 20Petro akamjibu, “Fedha yako na iangamie
isipokuwa mitume wakatawanyika, wakakimbilia pamoja nawe, kwa sababu ulidhani unaweza
Uyahudi na Samaria. 2Watu wacha Mungu kununua karama ya Mungu kwa fedha! 21Wewe
wakamzika Stefano na kumwombelezea sana. huna sehemu wala fungu katika huduma hii kwa
3Lakini kwa habari ya Sauli alikuwa analiharibu kuwa moyo wako si mnyofu mbele za Mungu.
22Kwa hiyo tubia uovu huu wako na umwombe
kanisa, akiingia nyumba kwa nyumba,
akiwaburuta wanawake, wanaume na kuwatia Mungu, ili yamkini aweze kusamehe mawazo
gerezani. uliyo nayo moyoni mwako. 23 Kwa maana
ninaona kwamba wewe umejawa na uchungu
Filipo Ahubiri Injili Samaria na ni mfungwa wa dhambi,”
4Kwa hiyo wale waliotawanyika wakalihubiri 24Ndipo Simoni akajibu, “Niombeeni kwa
neno la Mungu kila mahali walipokwenda. Bwana, ili hayo mliyosema lo lote lisinitukie.”
10
Matendo ya Mitume
25Nao walipokwisha kutoa ushuhuda na Mungu).” 38Naye akaamuru lile gari
kuhubiri neno la Bwana, wakarudi Yerusalemu lisimamishwe. Wakatelemka kwenye maji wote
wakihubiri injili katika vijiji vingi vya Samaria. wawili, yule towashi na Filipo, naye akambatiza.
39Nao walipopanda kutoka kwenye maji,
Filipo Na Towashi wa Kushi ghafula Roho wa Bwana akamnyakua Filipo,
26Basi Malaika wa Bwana akamwambia naye towashi hakumwona tena, lakini akaenda
Filipo, “Nenda upande wa kusini kwenye ile zake akifurahi. 40Filipo akajikuta yuko Azoto,
barabara itokayo Yerusalemu kuelekea Gaza akasafiri akihubiri injili katika miji yote mpaka
ambayo ni jangwa.” 27Hivyo akaondoka na alipofika Kaisaria.
kwenda. Akiwa njiani akakutana na Towashi wa
Kushi, aliyekuwa afisa mkuu, mwenye mamlaka Kuongoka Kwa Sauli
juu ya hazina zote za Kandake, Malkia wa
Kushi. Huyu Towashi alikuwa amekwenda 9 Wakati ule ule, Sauli alikuwa bado
anazidisha vitisho vya kuua wanafunzi wa
Yerusalemu ili kuabudu, 28naye akiwa njiani Bwana, akamwendea Kuhani Mkuu, 2naye
kurudi nyumbani alikuwa ameketi garini mwake akamwomba Kuhani Mkuu ampe barua ya
akisoma kitabu cha nabii Isaya. 29Roho kwenda kwenye masinagogi huko Dameski, ili
Mtakatifu akamwambia Filipo, “Nenda kwenye akimkuta mtu ye yote wa “Njia Ile”, akiwa
mwanaume au mwanamke, aweze kuwafunga
lile gari ukae karibu na ushikamane nalo.’’
30Ndipo Filipo akakimbilia na kumsikia yule na kuwaleta Yerusalemu. 3Basi katika safari
yake, alipokuwa akikaribia Dameski, ghafula
mtu anasoma kitabu cha nabii Isaya. Filipo nuru kutoka mbinguni ikamwangaza kote kote.
akamwuliza, “Je, yanakuelea hayo usemayo?” 4Akaanguka chini, akasikia sauti ikimwambia,
31Yule towashi akasema, “Nitawezaje “Sauli, Sauli, mbona unanitesa?”
kuelewa mtu asiponifafanulia?” Hivyo 5Sauli akajibu, “U nani wewe, Bwana?”
akamkaribisha Filipo ili apande na kuketi pamoja Ile sauti ikajibu, “Mimi ni Yesu unayemtesa”.
naye. 6“Sasa inuka uingie mjini, nawe utaambiwa
32Huyu Towashi alikuwa anasoma fungu hili yakupasayo kutenda.”
la maandiko: 7Watu wale waliokuwa wakisafiri pamoja na
Sauli wakasimama bila kuwa na la kusema, kwa
“Aliongozwa kama kondoo aendae sababu walisikia sauti lakini hawakumwona
machinjoni, aliyekuwa akizungumza. 8Sauli akainuka kutoka
kama mwana-kondoo anyamazavyo pale chini na alipojaribu kufungua macho yake
mbele yake yeye akamtaye hakuweza kuona kitu cho chote. Basi
manyoya, wakamshika mkono wakamwongoza mpaka
hivyo hakukifungua kinywa chake. Dameski. 9Naye kwa muda wa siku tatu alikuwa
33Katika kufedheheshwa kwake alinyimwa haki
kipofu naye hakula wala kunywa cho chote.
yake. 10Huko Dameski alikuwepo mwanafunzi
Nani awezaye kueleza juu ya kizazi chake? mmoja jina lake Anania. Bwana alimwita katika
Kwa maana maisha yake yameondolewa maono, “Anania!”
kutoka duniani.’’ akajibu, “Mimi hapa Bwana.”
11Bwana akamwambia, “Ondoka uende
34Yule Towashi akamwuliza Filipo, katika barabara iitwayo Nyofu ukaulize katika
“Tafadhali niambie, nabii huyu anena kwa habari nyumba ya Yuda mtu kutoka Tarso, jina lake
zake mwenyewe au habari za mtu mwingine?” Sauli wakati huu anaomba, 12katika maono
35Ndipo Filipo akaanza kutumia fungu lile la amemwona mtu aitwaye Anania akija na
maandiko akamweleza habari njema za Yesu. kuweka mikono juu yake ili apate kuona tena.”
13Anania akajibu, “Bwana, nimesikia kutoka
36Walipokuwa wakiendelea na safari kwa watu wengi habari nyingi kuhusu mtu huyu
wakafika mahali palipokuwa na maji, yule na madhara yote aliyowatendea watakatifu
towashi akamwambia Filipo, “Tazama, hapa wako huko Yerusalemu. 14Naye amekuja hapa
kuna maji. Kitu gani kitanizuia nisibatizwe?” Dameski akiwa na mamlaka kutoka kwa
(37Filipo akamwambia, “Kama ukiamini kwa viongozi wa makuhani ili awakamate wote
moyo wako wote unaweza kubatizwa.” Akajibu, wanaotaja jina lako.”
“Naamini kuwa Yesu Kristo ni Mwana wa
11
Matendo ya Mitume
15Lakini Bwana akamwambia Anania, 31Ndipo kanisa katika Uyahudi wote,
“Nenda! Mtu huyu ni chombo changu kiteule Galilaya na Samaria likafurahia wakati wa
nilichokichagua apate kulichukua jina langu kwa amani. Likatiwa nguvu na likaendelea kudumu
watu Mataifa na wafalme wao na mbele ya watu katika kumcha Bwana na kwa faraja ya Roho
wa Israeli. 16 Nami nitamwonyesha jinsi Mtakatifu, idadi yake ikazidi kuongezeka.
impasavyo kuteseka kwa ajili ya jina langu.”
17Kisha Anania akaenda, akaingia mle Kuponywa Kwa Ainea
nyumbani. Akaweka mikono yake juu ya Sauli 32 Petro alipokuwa akisafiri sehemu mbali
akasema, “Ndugu Sauli, Bwana Yesu mbali alikwenda kuwatembelea watakatifu
aliyekutokea njiani amenituma kwako ili upate walioishi huko Lida. 33Huko alimkuta mtu mmoja
kuona tena na ujazwe Roho Mtakatifu.” aitwaye Ainea, ambaye alikuwa amepooza na kwa
18Ghafula vitu kama magamba vikaanguka muda wa maika minane alikuwa hajaondoka
kutoka machoni mwa Sauli, akapata kuona tena. kitandani. 34Petro akamwambia, “Ainea, Yesu
Akasimama, akabatizwa. 19 Kisha akala Kristo anakuponya, inuka utandike kitanda chako.”
chakula, akapata nguvu tena. Sauli akakaa siku Mara Ainea akainuka. 35Watu wote wa Lida na
kadhaa pamoja na wanafunzi huko Dameski. Sharoni walipomwona Ainea akitembea
wakamgeukia Bwana.
Sauli Ahubiri Dameski
20Papo hapo akaanza kuhubiri kwenye Petro Amfufua Dorkasi
masinagogi kwamba “Yesu Kristo ni mwana wa 36Huko Yafa palikuwa na mwanafunzi jina
Mungu” 21Watu wote waliomsikia Sauli lake Tabitha ambalo kwa Kiyunani ni Dorkasi,
walishangaa na kuuliza, “Huyu si yule mtu maana ya paa. Huyu alikuwa mkarimu sana,
aliyesababisha maangamizi makuu miongoni akitenda mema na kuwasaidia maskini.
mwa watu waliolitaja jina hili na si amekuja hapa 37Wakati huo akaugua akafa, wakiisha kuuosha
kwa kusudi la kuwakamata na kuwapeleka mwili wake wakauweka katika chumba cha
wakiwa wamefungwa mbele ya viongozi wa ghorofani. 38Kwa kuwa Yafa hapakuwa mbali
makuhani?” 22Sauli akazidi kuwa na nguvu na sana na Lida, wanafunzi waliposikia kwamba
kuwashangaza Wayahudi walioishi Dameski Petro yuko huko waliwatuma watu wawili kwake
kwa kuthibitisha kuwa Yesu ndiye Mesiya. ili kumwomba, “Tafadhali njoo huku pasipo
23Baada ya siku nyingi kupita, Wayahudi kukawia.”
39Kwa hiyo Petro akainuka akaenda nao,
walifanya shauri kumwua Sauli. 24Lakini shauri
lao likajulikana kwa Sauli. Wayahudi walikuwa naye alipowasili, wakampeleka hadi kwenye
wakilinda malango yote ya mjini, mchana na chumba cha ghorofani alipokuwa amelazwa.
usiku ili wapate kumwua. 25Lakini wafuasi wake Wajane wengi walisimama karibu naye wakilia
wakamchukua usiku wakamshusha kwa kapu na kuonyesha majoho na nguo nyingine
kupitia mahali penye nafasi ukutani. ambazo Dorkasi alikuwa amewashonea
alipokuwa pamoja nao.
Sauli Huko Yerusalemu 40 Petro akawatoa wote nje ya kile chumba,
26Sauli alipofika Yerusalemu akajaribu kisha akapiga magoti akaomba, akaugeukia ule
kujiunga na wanafunzi lakini wote walimwogopa, mwili akasema, “Tabitha, inuka.” Akafumbua
kwa maana hawakuamini kwamba kweli naye macho yake na alipomwona Petro, akaketi.
41Petro akamshika mkono akamwinua, ndipo
alikuwa mwanafunzi. 27Lakini Barnaba
akamchukua, akampeleka kwa wale mitume, akawaita wale watakatifu na wajane
akawaeleza jinsi Sauli akiwa njiani alivyomwona akawakabidhi kwao akiwa hai. 42Habari hizi
Bwana na jinsi Bwana alivyosema naye na jinsi zikajulikana sehemu zote za Yafa na watu
alivyohubiri kwa ujasiri kwa jina la Yesu huko wengi wakamwamini Bwana. 43Petro akakaa
Dameski. 28Kwa hiyo Sauli akakaa nao Yafa kwa siku nyingi akiishi na Simoni
akishirikiana nao na akihubiri wazi wazi kwa jina mtengenezaji ngozi.
laYesu kila mahali huko Yerusalemu. 29Alinena
na kuhojiana na Wayahudi wenye asili ya Mungu Ajibu Maombi Ya Kornelio
Kiyunani lakini wao walijaribu kumwua. 30Wale Kornelio Amwita Petro
ndugu walipopata habari wakampeleka hadi
Kaisaria, wakamsafirisha kwenda Tarso.

12
Matendo ya Mitume
10 Katika mji wa Kaisaria palikuwa na mtu
jina lake Kornelio, ambaye alikuwa jemadari
19WakatiPetro akiwa anafikiria juu ya yale
maono, Roho Mtakatifu akamwambia, “Simoni,
wa kile kilichojulikana kama kikosi cha Kiitalia. wako watu watatu wanaokutafuta. 20Ondoka na
2Yeye alikuwa mcha Mungu pamoja na wote wa ushuke, usisite kwenda nao kwa kuwa mimi
nyumbani mwake, aliwapa watu sadaka nyingi nimewatuma.”
na kumwomba Mungu daima. 3Siku moja 21Petro akashuka na kuwaambia wale watu
alasiri, yapata saa tisa, aliona maono wazi
wazi malaika wa Mungu akimjia na waliokuwa wametumwa kutoka kwa Kornelio,
kumwambia, “Kornelio!” “Mimi ndiye mnayenitafuta. Mmekuja kwa
4Kornelio akamkazia macho kwa hofu sababu gani?”
akasema, “Kuna nini, Bwana?” 22Wale watu wakamjibu, “Tumetumwa na
Malaika akamwambia, “Sala zako na Kamanda Kornelio ambaye ni mtu mwema
sadaka zako kwa wahitaji zimefika juu na kuwa anayemcha Mungu na kusifiwa na Wayahudi
ukumbusho mbele za Mungu. 5Sasa tuma watu wote. Yeye ameagizwa na malaika wa Mungu
waende Yafa wakamwite mtu mmoja jina lake akukaribishe nyumbani kwake, ili asikilize
Simoni aitwaye Petro. 6Yeye anaishi na Simoni maneno utakayomwambia.” 23Basi Petro
mtengenezaji ngozi ambaye nyumba yake iko akawakaribisha wakafuatana naye ndani
kando ya bahari.” akawapa pa kulala. Kesho yake aliondoka na
7Yule malaika aliyekuwa akizungumza naye kwenda pamoja na baadhi ya ndugu kutoka
alipoondoka, Kornelio akawaita watumishi wake Yafa.
wawili pamoja na askari mmoja mcha Mungu
aliyekuwa mmoja wa wale waliomtumikia. Petro Nyumbani Mwa Kornelio
8Akawaambia mambo yote yaliyotukia, kisha 24Siku iliyofuata wakawasili Kaisaria. Kornelio

akawatuma waende Yafa. alikuwa akiwangoja pamoja na jamaa yake na


marafiki zake wa karibu. 25Petro alipokuwa
Maono Ya Petro akiingia ndani, Kornelio alikuja kumlaki,
9Siku ya pili yake, walipokuwa akaanguka miguuni pake kwa heshima. 26Lakini
wameukaribia mji, wakati wa adhuhuri, Petro Petro akamwinua akamwambia, “Simama, mimi ni
alipanda juu ghorofani kuomba. 10Alipokuwa mwanadamu tu.”
27Petro alipokuwa akizungumza naye
akiomba akaona njaa, akatamani kupata
chakula. Lakini wakati walipokuwa wakiandaa akaingia ndani na kukuta watu wengi
akalala usingizi mzito sana. 11 Akaona mbingu wamekusanyika. 28Akawaambia, “Mnajua
zimefunguka na kitu kama nguo kubwa kabisa kwamba ni kinyume cha sheria yetu
ikishushwa kwa ncha zake nne. 12Ndani yake Myahudi kuchangamana na mtu Mmataifa au
walikuwepo aina zote za wanyama wenye kumtembelea. Lakini Mungu amenionyesha
miguu minne, nao watambaao na ndege wa kwamba nisimwite mtu ye yote kuwa najisi au
angani. 13Ndipo sauti ikamwambia “Petro, asiye safi. 29Ndiyo sababu ulipotuma niitwe
ondoka, uchinje na ule.” nilikuja bila kupinga lo lote. Basi sasa naomba
14Petro akajibu, “La Bwana! Sijakula kamwe unieleze kwa nini umeniita?”
kitu cho chote kilicho najisi.” 30Kornelio akajibu, “Siku nne zilizopita,
15Ile sauti ikasema naye tena mara ya pili, nilikuwa nyumbani nikisali saa kama hii, saa tisa
“Usikiite najisi kitu cho chote alichokitakasa alasiri. Ghafula mtu mwenye nguo za
Bwana.” kumetameta akasimama mbele yangu,
16Jambo hili likatukia mara tatu na ghafula 31akasema, ‘Kornelio, maombi yako yamefikiwa
ile nguo ikarudishwa mbinguni. na sadaka zako zimekumbukwa mbele za
17Wakati Petro akiwa bado anajiuliza Mungu’. 32Basi tuma watu waende Yafa
kuhusu maana ya maono haya, wale watu wakaulize mtu mmoja Simoni aitwaye Petro,
waliokuwa wametumwa na Kornelio wakauliza yeye ni mgeni katika nyumba ya Simoni
nyumba ya Simoni mtengenezaji ngozi wakawa mtengenezaji ngozi, ambaye nyumba yake iko
wamesimama mbele ya lango. 18Wakabisha kando ya bahari.’ 33Nilituma watu kwako mara
hodi na kuuliza kama Simoni aliyeitwa Petro moja, nawe umefanya vema kuja. Basi sasa sisi
alikuwa anaishi hapo. sote tuko hapa mbele za Mungu kuyasikiliza
yote ambayo Bwana amekuamuru kutuambia”.

13
Matendo ya Mitume
Hotuba Ya Petro wakamshutumu, 3wakisema, “Kwa nini
34“Ndipo Petro akafumbua kinywa chake ulikwenda kwa watu wasiotahiriwa na kula
akasema, “Mungu hana upendeleo, 35Lakini pamoja nao?”
4Ndipo Petro akaanza kuwaeleza kuhusu
katika kila taifa ,kila mtu amchaye na kutenda
yaliyo haki hukubaliwa naye. 36Ninyi mnajua ule mambo yote yalivyotokea hatua kwa hatua
ujumbe uliotumwa kwa Israeli, ukitangaza habari akisema, 5“Nilikuwa katika mji wa Yafa
njema ya amani kwa Yesu Kristo. Yeye ni nikiomba, nami katika usingizi mzito nikaona
Bwana wa wote. 37Mnajua yale yaliyotukia maono. Kulikuwa na kitu kama nguo kubwa
katika Uyahudi wote kuanzia Galilaya baada ya ikishuka kutoka mbinguni, ikishushwa kwa ncha
mahubiri ya Yohana Mbatizaji: 38Jinsi Mungu zake nne, nayo ikanikaribia. 6 Nilipoangalia
alivyomtia Yesu wa Nazareti mafuta katika Roho ndani yake kwa karibu niliona wanyama wenye
Mtakatifu na jinsi alivyokwenda huku na huko miguu minne, wanyama wa mwitu, watambaao
akitenda mema na kuponya wote waliokuwa na ndege wa angani. 7Ndipo nikasikia sauti
wameonewa na nguvu za Shetani, kwa sababu ikiniambia ‘Petro, ondoka uchinje ule’.
Mungu alikuwa pamoja naye. 8“Nikajibu, ‘La hasha Bwana! Kitu cho chote
39‘‘Sisi ni mashahidi wa mambo yote kilicho najisi hakijaingia kinywani mwangu’.
aliyoyafanya katika Uyahudi na Yerusalemu. 9“Sauti ikasema kutoka mbinguni mara ya
Wakamwua kwa kumtundika msalabani. pili, ‘Usikiite najisi kitu cho chote Mungu
40Lakini Mungu alimfufua kutoka kwa wafu siku alichokitakasa.’ 10Jambo hili lilitokea mara tatu,
ya tatu na akamwezesha kuonekana na watu. ndipo kile kitu kikavutwa tena mbinguni.
41Hakuonekana kwa watu wote, lakini kwetu sisi 11“Wakati ule ule watu watatu, waliokuwa
tuliochaguliwa na Mungu kuwa mashahidi, wametumwa kutoka Kaisaria waliwasili katika
ambao tulikula na kunywa naye baada ya nyumba niliyokuwa nikikaa. 12Roho Mtakatifu
kufufuka kwake kutoka kwa wafu. 42 Naye akaniambia niende nao bila kuwa na ubaguzi
alituamuru kuhubiri kwa watu wote na kati yao na sisi. Hawa ndugu sita pia
kushuhudia kwamba yeye ndiye aliyetiwa walifuatana nami, nasi tukaingia nyumbani mwa
mafuta na Mungu kuwa hakimu wa walio hai na huyo Kornelio. 13 Akatuambia jinsi alivyoona
wafu. 43 Manabii wote walishuhudia juu yake malaika aliyekuwa amesimama katika nyumba
kwamba kila mtu amwaminiye hupokea yake na kusema, ‘Tuma watu waende Yafa
msamaha wa dhambi katika jina lake.” wakamlete Simoni aitwaye Petro. 14Yeye
atakupa ujumbe ambao kwa huo wewe na wa
Mataifa Wapokea Roho Mtakatifu nyumbani mwako wote mtaokoka.’
44 Wakati Petro akiwa anasema maneno 15“Nami nilipoanza kusema, Roho Mtakatifu
hayo, Roho Mtakatifu aliwashukia wote akashuka juu yao kama vile alivyotushukia sisi
waliokuwa wakisikiliza ule ujumbe. 45Wale wa hapo mwanzo. 16Nami nikakumbuka neno la
tohara waliomini waliokuwa wamekuja pamoja Bwana alivyosema, ‘Yohana alibatiza kwa maji,
na Petro walishangaa kuona kuwa kipawa cha lakini ninyi mtabatizwa katika Roho Mtakatifu.’
Roho Mtakatifu kimemwagwa juu ya watu 17Basi ikiwa Mungu aliwapa hawa watu kipawa
Mataifa. 46Kwa kuwa waliwasikia wakinena kwa kile kile alichotupa sisi tuliomwamini Bwana
lugha mpya na kumwadhimisha Mungu. Yesu, mimi ni nani hata nifikirie kuwa
Ndipo Petro akasema, 47“Je, kuna mtu ye ningeweza kumpinga Mungu?”
yote anayeweza kuzuia watu hawa wasibatizwe 18 Waliposikia haya hawakuwa na la
kwa maji? Wamempokea Roho Mtakatifu kama kupinga zaidi. Nao wakamwadhimisha Mungu
sisi tulivyompokea.” 48Kwa hiyo akaamuru wakisema, “Basi, Mungu amewapa hata watu
wabatizwe kwa jina la Yesu Kristo. Wakamsihi Mataifa toba iletayo uzima wa milele.”
Petro akae nao kwa siku chache.
Kanisa Huko Antiokia
Petro Aeleza Alivyotumwa Kwa Watu Mataifa 19Basi wale waliotawanyika kwa ajili ya
Mitume na ndugu walioamini mateso yaliyotokana na kifo cha Stefano,
11 waliokuwa huko Uyahudi wakasikia wakasafiri hadi Foinike na Kipro na Antiokia.
kuwa watu Mataifa nao wamepokea neno la Nao hawakusema neno na mtu ye yote
Mungu. 2 Hivyo Petro alipopanda Yerusalemu, isipokuwa Wayahudi. 20Lakini baadhi yao
wale wa tohara waliokuwa wameamini walikuwapo watu wa Kipro na Kirene, ambao
14
Matendo ya Mitume
walipokuja Antiokia walinena na Wayunani pia wakilinda penye lango la gereza. 7Ghafula
wakimhubiri Bwana Yesu. 21Mkono wa Bwana malaika wa Bwana akatokea na nuru ikamulika
ulikuwa pamoja nao, nayo idadi kubwa ya watu mle ndani ya gereza. Yule malaika akampiga
wakaamini na kumgeukia Bwana. Petro ubavuni na kumwamsha, akisema,
22Habari hizi zilipofika masikioni mwa “Ondoka upesi!” Mara ile minyororo ikaanguka
kanisa huko Yerusalemu, wakamtuma Barnaba kutoka mikononi mwa Petro.
aende Antiokia. 23 Alipofika na kuona 8 Yule malaika akamwambia, “Vaa nguo
madhihirisho ya neema ya Mungu, akafurahi na zako na viatu vyako.” Petro akafanya hivyo.
kuwatia moyo waendelee kuwa waaminifu kwa Kisha akamwambia, “Jifunge vazi lako na
24
Bwana kwa mioyo yao yote. Barnaba alikuwa unifuate.” 9Petro alitoka mle gerezani akiwa
mtu mwema, aliyejaa Roho Mtakatifu, mwenye amefuatana na yule malaika. Hakujua wakati
imani, nayo idadi kubwa ya watu wakaongezeka huo kuwa yailyokuwa yakitukia yalikuwa kweli.
kwa Bwana. Alidhani kuwa anaona maono. 10Wakapita lindo
25 Kisha Barnaba akaenda Tarso kumtafuta
la kwanza na la pili, ndipo wakafika kwenye
Sauli, 26naye alipompata akamleta Antiokia. lango la chuma linaloelekea mjini. Lango
Hivyo kwa mwaka mzima Barnaba na Sauli likawafungukia lenyewe, nao wakapita hapo
wakakutana na kanisa na kufundisha idadi wakatoka nje. Baada ya kutembea umbali wa
kubwa ya watu. Ilikuwa ni katika kanisa la barabara moja, ghafula yule malaika
Antiokia kwa mara ya kwanza wanafunzi akamwacha Petro.
waliitwa ‘Wakristo.’ 11Ndipo Petro akarudiwa na fahamu,
27Wakati huo manabii walishuka toka akasema, “Sasa ninajua bila shaka yo yote
28
Yerusalemu hadi Antiokia. Mmoja wao, jina kuwa Bwana amemtuma malaika wake na
lake Agabo, akasimama akatabiri kwa uweza wa kuniokoa kutoka katika makucha ya Herode
Roho Mtakatifu kwamba njaa kubwa itaenea Agripa na kutoka katika matazamio yote ya
ulimwengu nzima. Njaa hiyo ilitokea wakati wa Wayahudi.’’
utawala wa Klaudio. 29Mitume wakaamua 12Mara Petro alipotambua hili alikwenda
kwamba kila mtu, kulingana na uwezo wake alio nyumbani kwa Maria, mama yake Yohana
nao, atoe msaada kwa ajili ya ndugu wanaoishi aliyeitwa pia Marko, ambako watu wengi
Uyahudi. 30 Wakafanya hivyo, misaada yao walikuwa wamekutana kwa maombi. 13Petro
ikapelekwa kwa wazee kwa mikono ya Barnaba alipobisha hodi kwenye lango la nje, mtumishi
na Sauli. wa kike jina lake Roda, akaja kumfungulia.
14Alipoitambua sauti ya Petro, alifurahi mno
Yakobo Auawa, Petro Atiwa Gerezani akarudi bila kufungua na kuwaeleza kwamba,
12 Ilikuwa wakati kama huu Mfalme Herode “Petro yuko langoni!”
15Wakamwambia yule mtumishi wa kike,
Agripa aliwakamata baadhi ya watu wa kanisa.
2Akaamuru Yakobo, ndugu
“Umerukwa na akili.” Alipozidi kusisitiza kuwa ni
yake Yohana, auawe kwa upanga. 3Alipoona kweli, wakasema, “Lazima awe ni malaika
jambo hilo limewapendeza Wayahudi, wake.”
akaendelea, akamkamata pia Petro. Hii ilitokea 16Lakini Petro aliendelea kugonga langoni,
wakati wa Sikukuu ya Mikate Isiyotiwa Chachu. nao walipofungua lango na kumwona Petro,
4Baada ya kumkamata alimtia gerezani, chini ya
walistaajabu sana. 17Yeye akawaashiria kwa
ulinzi wa vikundi vinne vya askari, vyenye askari mkono wake wanyamaze kimya, akawaeleza
wanne kila kimoja. Herode alikuwa amekusudia jinsi Bwana alivyomtoa gerezani. Naye
kumtoa na kumfanyia mashtaka mbele ya watu akaongeza kusema, “Waelezeni Yakobo na
baada ya Pasaka. ndugu wengine habari hizi.” Kisha akaondoka
5Kwa hiyo Petro akawekwa gerezani, lakini akaenda sehemu nyingine.
kanisa lilikuwa likimwombea kwa Mungu kwa 18Kulipokucha kukawa na fadhaa kubwa
bidii. miongoni mwa wale maaskari kuhusu
6Usiku ule kabla ya siku ambayo Herode
yaliyomtukia Petro. 19Baada ya Herode
Agripa alikuwa amekusudia kumtoa na kuamuru atafutwe kila mahali na bila kumpata,
kumfanyia mashtaka Petro alikuwa amelala kati aliwahoji wale askari walinzi kisha akatoa amri
ya askari wawili, akiwa amefungwa kwa wauawe. Basi Herode Agripa akatoka Uyahudi
minyororo miwili. Nao walinzi wa zamu walikuwa akaenda Kaisaria, akakaa huko kwa muda.
15
Matendo ya Mitume
akitaka kusikia neno la Mungu. 8Lakini Elima
Kifo Cha Herode Agripa yule mchawi (hii ndiyo maana ya jina lake,)
20Basi Herode Agripa alikuwa aliwapinga Barnaba na Sauli na kujaribu
amekasirishwa sana na watu wa Tiro na Sidoni. kumpotosha yule mkuu wa kile kisiwa aiache
Hivyo watu wa miji hiyo miwili wakaungana imani. 9Ndipo Sauli, ambaye pia aliitwa Paulo,
pamoja wakatafuta kukutana naye. Wakiisha akiwa amejawa na Roho Mtakatifu, akamkazia
kuungwa mkono na Blasto, mtumishi maalum macho yule Elima mchawi, 10 akamwambia,
wa Mfalme Herode Agripa aliyeaminika, “Ewe mwana wa ibilisi, wewe ni adui wa kila
wakaomba mapatano ya amani maana nchi zao kilicho haki! Umejaa kila aina ya udanganyifu na
zilitegemea nchi ya huyo mfalme kwa mahitaji ulaghai. Je, hutaacha kuzipotosha njia za
yao ya chakula. Bwana zilizonyooka? 11Nawe sasa sikiliza,
21Katika siku iliyochaguliwa Herode Agripa mkono wa Bwana u dhidi yako. Utakuwa kipofu,
akavaa mavazi yake ya kifalme, akaketi kwenye wala hutaona jua kwa muda.
kiti chake cha enzi na kuwahutubia watu. Mara ukungu na giza vikamfunika, naye
22Watu waliokuwa wamekusanyika wakapiga akaenda huko na huko akitafuta mtu wa
kelele, wakisema, “Hii si sauti ya mwanadamu, kumshika mkono ili amwonyeshe njia. 12Yule
bali ni ya Mungu.” 23Ghafula, kwa kuwa Herode mkuu wa kile kisiwa alipoona yaliyotukia,
Agripa hakumpa Mungu utukufu, malaika akaamini kwa sababu alistaajabishwa na
akampiga, akaliwa na chango akafa. mafundisho kuhusu Bwana.
24Lakini neno la Mungu likaendelea mbele
na kuenea, nao wengi wakaambatana nalo. Paulo Na Barnaba Huko Antiokia Ya Pisidia
25Barnaba na Sauli walipomaliza ile huduma 13Kisha Paulo na wenzanke wakasafiri toka
yao iliyowapeleka, wakarudi Yerusalemu wakiwa Pafo wakafika Perge huko Pamfilia. Lakini,
pamoja na Yohana aitwaye Marko. Yohana Marko akawaacha huko akarejea
Yerusalemu. 14Kutoka Perge wakaendelea hadi
Safari Ya Kwanza Ya Paulo ya Kitume Antiokia ya Pisidia. Siku ya Sabato wakaingia
Barnaba Na Sauli Wanatumwa
ndani ya sinagogi wakaketi. 15Baada ya
13 Katika kanisa huko Antiokia ya Shamu
walikuwako manabii na walimu, yaani:
kusomwa Torati na vitabu vya manabii, viongozi
wa lile sinagogi wakawatumia ujumbe
Barnaba, Simeoni aitwaye Nigeri, Luko Mkirene, wakisema, “Ndugu, kama mna neno la
Manaeni aliyekuwa amelelewa pamoja na kuwasaidia watu hawa, tafadhali lisemeni.”
mfalme Herode Agripa na Sauli. 2Walipokuwa 16Paulo akasimama akawapungia mkono
wakimwabudu Bwana na kufunga, Roho na kusema, “Enyi wanaume wa Israeli na ninyi
Mtakatifu akasema, “Nitengeeni Sauli na nyote mnaomcha Mungu. 17Mungu wa watu
Barnaba kwa kazi ile maalumu niliyowaitia.” hawa wa Israeli aliwachagua baba zetu,
3Ndipo baada ya kufunga na kuomba, akawafanya kustawi walipokuwa huko Misri,
wakawawekea mikono yao. kwa uwezo mwingi akawaongoza na kuwatoa
katika nchi ile. 18Kwa muda wa miaka arobaini
Barnaba Na Sauli Waenda Kipro alivumilia matendo yao walipokuwa jangwani.
4Hivyo, wakiwa wametumwa na Roho 19Naye baada ya kuyaangamiza mataifa saba
Mtakatifu, wakashuka kwenda Seleukia na waliokuwa wakiishi katika nchi ya Kanaani,
kutoka huko wakasafiri baharini mpaka kisiwa akawapa Waisraeli nchi yao iwe urithi wao.
20Haya yote yalichukua kama muda wa miaka
cha Kipro. 5Walipowasili katika mji wa Salami,
wakahubiri neno la Mungu katika sinagogi la 450.
Wayahudi. Pia walikuwa na Yohana Marko “Baada ya haya, Mungu akawapa waamuzi
kuwa msaidizi wao. mpaka wakati wa nabii Samweli. 21Ndipo watu
6Walipokwisha kupita katika nchi zote hizo wakaomba wapewe mfalme, naye Mungu
wakafika Pafo, ambapo walikutana na Myahudi akawapa Sauli mwana wa Kishi wa kabila la
mmoja mchawi aliyekuwa nabii wa uongo, jina Benyamini, aliyetawala kwa miaka arobaini.
lake Bar-Yesu. 7Mtu huyu alikuwa pamoja na 22Baada ya kumwondoa Sauli katika ufalme,
Sergio Paulo, mtu mwenye hekima aliyekuwa akawainulia Daudi kuwa mfalme wao. Ambaye
msaidizi wa mwakilishi wa mtawala wa kile pia alimshuhudia, akisema, ‘Nimemwona Daudi
kisiwa, Serigio Paulo akawaita Sauli na Barnaba mwana wa Yese, mtu anayeupendeza moyo
16
Matendo ya Mitume
wangu, atakayetimiza mapenzi yangu yote.’ 38“Kwa hiyo ndugu zangu, nataka ninyi mjue
23“Kutoka katika uzao wa mtu huyu, Mungu
kwamba kwa kupitia huyu Yesu msamaha wa
amewaletea Israeli Mwokozi Yesu, kama dhambi unatangazwa kwenu. 39Kwa kumpitia
24
alivyoahidi. Kabla ya kuja kwa Yesu, Yohana yeye, kila mtu amwaminiye anahesabiwa haki kwa
alihubiri toba na ubatizo kwa watu wote wa kila kitu ambacho asingeweza kuhesabiwa haki
25
Israeli. Yohana alipokuwa anakamilisha kazi kwa sheria ya Mose. 40Kwa hiyo jihadharini ili yale
yake, alisema: ‘Ninyi mnadhani mimi ni nani? waliyosema manabii yasiwapate:
Mimi si yeye. La hasha, lakini yeye yuaja baada
yangu, ambaye mimi sistahili kufungua kamba 41“ ‘Angalieni, enye wenye dhihaka!
ya viatu vya miguu yake?’ Mkastaajabu, mkaangamie,
26“Ndugu zangu, wana wa Abrahamu nanyi kwa maana nitatenda jambo wakati wenu
mnaomcha Mungu, ujumbe wa huu wokovu ni ambalo hamtasadiki
kwa ajili yetu. 27 Kwa sababu wakaao hata kama mtu akiwaambia.’ ’’
Yerusalumu na viongozi wao hawakumtambua
wala kuelewa maneno ya manabii yasomwayo 42Paulo na Barnaba walipokuwa wakitoka
kila Sabato, bali waliyatimiza maneno hayo kwa nje ya sinagogi, watu wakamwomba
kumhukumu yeye. 28Ijapokuwa hawakupata wazungumze tena mambo hayo Sabato
sababu yo yote ya kumhukumu kifo, nyingine inayofuata. 43Baada ya kusanyiko la
walimwomba Pilato aamuru auawe. Sinagogi kutawanyika, wengi wa Wayahudi na
29Walipokwisha kufanya yale yote waongofu wa dini ya Kiyahudi wakawafuata
yaliyoandikwa kumhusu, walimshusha kutoka Paulo na Barnaba, nao wakazungumza na
msalabani na kumzika kaburini. 30Lakini Mungu kuwahimiza wadumu katika neema ya Mungu.
31 44Sabato iliyofuata karibu watu wote wa mji
alimfufua kutoka katika wafu. Naye kwa siku
nyingi akawatokea wale waliokuwa pamoja ule walikuja kusikiliza neno la Mungu. 45Lakini
kuanzia Galilaya hadi Yerusalemu. Nao sasa Wayahudi walipoona ule umati mkubwa wa
wamekuwa mashahidi wake kwa watu wetu. watu walijawa na wivu na kunena maneno ya
32“Nasi tunawaletea habari njema kwamba kashfa kuhusu yale Paulo aliyokuwa akisema.
46Ndipo Paulo na Barnaba wakawajibu kwa
yale Mungu aliyowaahidi baba zetu 33sasa
ameyatimiza kwetu, sisi watoto wao kwa ujasiri, wakisema, “Ilitupasa kunena nanyi neno
kumfufua Yesu, kama ilivyoandikwa katika la Mungu kwanza. Lakini kwa kuwa mmelikataa,
Zaburi ya pili, mkajihukumu wenyewe kuwa hamstahili uzima
wa milele, sasa tunawageukia watu Mataifa.
“ ‘Wewe ni mwanangu, 47Kwa maana hili ndilo Bwana alilotuamuru:
leo nimekuzaa.’
“ ‘Nimewafanya ninyi kuwa nuru kwa
34Kwa kuwa Mungu alimfufua kutoka kwa wafu watu Mataifa,
asioze kamwe, alitamka maneno haya: ili mpate kuuleta wokovu hadi miisho ya
dunia.’ ”
“ ‘Nitakupa wewe baraka takatifu zilizo za
hakika 48Watu Mataifa waliposikia haya wakafurahi
nilizomwahidi Daudi.’ na kulitukuza neno la Bwana, nao wote
waliokuwa wamekusudiwa uzima wa milele
35Kama ilivyosemwa mahali pengine katika wakaamini.
Zaburi, 49Neno la Bwana likaenea katika eneo lile

lote. 50Lakini Wayahudi wakawachochea


“Hutamwacha Mtakatifu wako aone wanawake wenye kumcha Mungu, wenye vyeo
uharibifu.’ pamoja na watu maarufu katika mji,
wakachochea mateso dhidi ya Paulo na
36“Kwa maana Daudi akiisha kulitumikia Barnaba na kuwafukuza kutoka kwenye eneo
kusudi la Mungu katika kizazi chake, akalala, lao. 51Hivyo Paulo na Barnaba wakakung’uta
akazikwa pamoja na baba zake na mwili wake mavumbi kutoka kwenye miguu yao ili
37
ukaoza. Lakini yule ambaye Mungu alimfufua kuwapinga, nao wakaenda Ikonio. 52Wanafunzi
kutoka kwa wafu hakuona uharibifu. wakajawa na furaha na Roho Mtakatifu.
17
Matendo ya Mitume
kitu kilicho ndani yake. 16Zamani aliwaachia
Paulo Na Barnaba Huko Ikonio
watu waishi walivyotaka. 17Lakini hakuacha
14 Huko Ikonio Paulo na Barnaba waliingia pamoja kuwaonyesha watu uwepo wake: Ameonyesha
katika sinagogi la Wayahudi kama kawaida yao. Huko wema kwa kuwanyeshea mvua toka mbinguni
wakahubiri kwa uwezo na kuwapa mazao kwa majira yake, naye
mkubwa kiasi kwamba Wayahudi pamoja na amewapatia chakula tele na kuijaza mioyo yenu
watu Mataifa wakaamini. 2Lakini wale Wayahudi na furaha”. 18Hata kwa maneno haya yote,
walikataa kuamini, wakawachochea watu ilikuwa vigumu kuuzuia ule umati wa watu
Mataifa, wakatia chuki ndani ya mioyo yao dhidi kuwatolea dhabihu.
ya wale walioamini. 3Hivyo Paulo na Barnaba 19Ndipo wakaja baadhi ya Wayahudi kutoka
wakakaa huko kwa muda wa kutosha wakihubiri Antiokia na Ikonio wakawashawishi wale watu,
kwa ujasiri juu ya Bwana, ambaye alithibitisha wakampiga Paulo kwa mawe, wakamburuta
ujumbe wa neema yake kwa kuwawezesha hadi nje ya mji, wakidhani amekufa. 20Lakini
kufanya ishara na miujiza. 4Lakini watu wa mji baada ya wanafunzi kukusanyika akainuka na
ule waligawanyika, wengine wakakubaliana na kurudi mjini. Kesho yake yeye na Barnaba
Wayahudi na wengine na mitume. 5Watu wakaondoka kwenda Derbe.
Mataifa na Wayahudi wakajiunga na baadhi ya
viongozi, wakafanya mpango wa kuwatendea Paulo Na Barbara Warudi Antiokia Huko
mitume mabaya na kuwapiga mawe.6Lakini Syria
mitume walipopata habari hizi wakakimbilia 21Baada ya kuhubiri habari njema katika mji
Listra na Derbe, miji ya Likaonia na sehemu huo wa Derbe na kupata wanafunzi wengi,
zilizopakana nayo. 7Huko wakaendelea kuhubiri walirudi Listra, kisha wakaenda Ikonio na
habari njema. Antiokia, 22wakiwaimarisha wanafunzi na
kuwatia moyo waendelee kudumu katika imani.
Paulo Na Barnaba Huko Listra Wakawaonya wakisema, “Imetupasa kuingia
8Katika mji wa Listra, alikuweko kiwete, katika Ufalme wa Mungu kwa kupitia katika
ambaye alikuwa amelemaa tangu kuzaliwa na taabu nyingi.” 23Nao baada ya kuwawekea
hakuwa ametembea kamwe. 9Alimsikiliza Paulo wazee katika kila kanisa, kwa kufunga na
alipokuwa akihubiri. Paulo alipomtazama kuomba ambaye wamemwamini wakawakabidhi
kwa Bwana waliyemwamini kwa maombi na
akaona ana imani ya kuponywa. 10 Paulo
akapaza sauti, “Simama kwa miguu yako!” Mara kufunga. 24Kisha wakapitia Pisidia wakafika
yule mtu akasimama upesi akaanza kutembea! Pamfilia. 25Baada ya kuhubiri neno la Mungu
11Ule umati wa watu ulipoona yale huko Perga, wakateremkia Atalia.
yaliyokuwa yamefanywa na Paulo, wakapiga 26Kutoka Atalia huko wakasafiri baharini
kelele kwa lugha yao ya Kilikaonia wakasema, kwa merikebu wakarudi mpaka Antiokia,
“Miungu imetushukia katika umbo la binadamu!” ambako walikuwa wamesifiwa kwa ajili ya
12Wakamwita Barnaba Zeu na Paulo neema ya Mungu kutokana na ile kazi
wakamwita Herme kwa kuwa ndiye aliyekuwa waliokuwa wamekamilisha. 27Walipowasili
msemaji mkuu. 13Kuhani wa Zeu, ambaye Antiokia wakaliita kanisa pamoja na kutoa
hekalu lake lilikuwa nje kidogo tu ya mji, akaleta taarifa ya yale yote Mungu aliyokuwa ametenda
mafahali na mashada ya maua penye lango la kwa kupitia kwao na jinsi alivyokuwa amefungua
mji kwa sababu yeye pamoja na ule umati wa mlango wa imani kwa ajili ya watu Mataifa.
watu walitaka kuwatolea dhabihu. 28Nao wakakaa huko pamoja na wanafunzi kwa
14Lakini Mitume Paulo na Barnaba muda mrefu.
waliposikia na kuona mambo haya waliyotaka
kufanya, wakararua nguo zao, wakawaendea Baraza Huko Yerusalemu
wale watu kwa haraka, wakawapigia kelele, 15 Baadhi ya watu wakashuka Antiokia
wakisema, 15“Enyi watu, kwa nini mnafanya kutoka Uyahudi, nao wakawa
mambo haya? Sisi ni wanadamu tu kama ninyi! wanawafundisha ndugu waliomini kwamba,
“Isipokuwa mmetahiriwa kufuatana na desturi
Tunawaletea habari njema, tukiwaambia aliyofundisha Mose, hamwezi kuokoka.” 2Baada ya
kwamba mgeuke mtoke katika mambo haya Paulo na Barnaba kutokukubaliana kukawa
yasiyofaa mmwelekee Mungu aliye hai, na mabishano makali na watu hawa, Paulo na
aliyeziumba mbingu na nchi na bahari na kila
18
Matendo ya Mitume
Barnaba na baadhi ya wengine miongoni mwao
wakachaguliwa kuingia Yerusalemu ili 19“Kwa hiyo uamuzi wangu ni kwamba,
kujadiliana jambo hili na mitume na wazee. tusiwasumbue watu Mataifa wanaomgeukia
3Hivyo wakasafirishwa na kanisa, wakiwa njiani
Mungu kwa desturi zetu, 20badala yake,
wakapitia Samaria wakawaeleza jinsi watu tuwaandikie kwamba wajiepushe tu na vitu
Mataifa walivyoongoka. Habari hizi zikaleta vilivyotiwa unajisi na uasherati na wasile nyama
furaha kubwa kwa ndugu wote. 4Walipofika za wanyama walionyongwa au kunywa damu.
Yerusalemu, walipokelewa na kanisa na mitume 21Kwa maana katika kila mji kwa vizazi
pamoja na wazee ambao waliwaarifu kila kitu vilivyopita, Mose amekuwa na wale
Mungu alichokuwa amefanya pamoja nao. wanaotangaza sheria yake kwa kuwa imekuwa
5Ndipo baadhi ya walioamini wa ikisomwa kwa sauti kubwa katika masinagogi
madhehebu ya Mafarisayo wakasimama na kila Sabato.”
kusema, “Hao watu Mataifa lazima watahiriwe
na waagizwe kuzitii sheria za Mose”. Barua Kwa watu Mataifa Waaminio
6Mitume na wazee wakukutana pamoja ili 22Mitume na wazee pamoja na kanisa lote,
7
kufikiri jambo hili. Baada ya majadiliano mengi, wakaamua kuwachagua baadhi ya watu wao
Petro akasimama na kusema, “Ndugu zangu, wenyewe na kuwatuma Antiokia pamoja na
mnajua kwamba siku za kwanza Mungu Paulo na Barnaba. Wakamchagua Yuda
alinichagua ili kwa midomo yangu watu Mataifa aitwaye Barnaba na Sila, watu wawili ambao
wapate kusikia ujumbe wa injili na kuamini. walikuwa viongozi miongoni mwa ndugu.
8Mungu, yeye ajuae mioyo, alionyesha kwamba
23Wakatumwa na barua ifuatayo:
anawakubali kwa kuwapa Roho Mtakatifu kama
vile alivyotupa sisi. 9Mungu hakutofautisha kati Sisi Mitume na wazee, ndugu zenu,
yetu na wao, bali alitakasa mioyo yao kwa
imani. 10Sasa basi, mbona mnataka kumjaribu Kwa wale ndugu Mataifa walioamini walioko
Mungu kwa kuweka kongwa shingoni mwa Antiokia, Shamu na Kilikia :
wanafunzi ambalo baba zetu wala sisi
hatukuweza kulibeba? 11Lakini sisi tunaamini ya Salamu.
kuwa tunaokolewa kwa neema ya Bwana Yesu
Kristo, kama wao wanavyookolewa.” 24Tumesikia kwamba kuna baadhi ya
12Kusanyiko lote likakaa kimya, watu waliokuja huko kutoka kwetu bila
wakawasikiliza Paulo na Barnaba wakieleza jinsi ruhusa yetu na kuwasumbua,
Mungu alivyowatumia kutenda ishara na wakiwataabisha mawazo yenu. 25Hivyo
maajabu kwa watu Mataifa. 13Walipomaliza tumekubaliana wote kuwachagua baadhi ya
kunena, Yakobo akasema, “Ndugu zangu, watu na kuwatuma kwenu pamoja na
14
nisikilizeni. Simoni amekwisha kutueleza jinsi wapendwa wetu Barnaba na Paulo, 26watu
Mungu, kwa mara ya kwanza alivyoonyesha ambao wamehatarisha maisha yao kwa ajili
kuhusika kwa kujichagulia watu kutoka katika ya Bwana wetu Yesu Kristo. 27Kwa hiyo
15
watu Mataifa kwa ajili ya jina lake. Maneno ya tunawatuma Yuda na Sila, kuthibitisha
manabii yanakubaliana na jambo hili, kama maneno ya mdomo mambo haya
ilivyoandikwa: tunayowaandikia. 28Kwa maana
16“ ‘Baada ya mambo haya nitarudi, imempendeza Roho Mtakatifu na sisi
tusiwatwike mzigo wo wote mkubwa zaidi
nami nitajenga upya nyumba ya ya mambo haya yafuatayo ambayo ni ya
Daudi, iliyoanguka. lazima: 29Kwamba mjiepushe na kitu cho
Nitajenga tena magofu yake chote kilichotolewa sadaka kwa sanamu,
na kuisimamisha, kunywa damu, nyama ya wanyama
17ili wanadamu wengine wote wapate walionyongwa na mjiepushe na uasherati.
kumtafuta Bwana, Mkiyaepuka mambo haya mtakuwa
hata wale watu Mataifa wote ambao mmefanya vyema.
wanaitwa kwa jina langu,
asema Bwana, afanyaye mambo haya’ Kwaherini.”
18tangu zamani.

19
Matendo ya Mitume
30Hivyo wakaagwa, wakashuka kwenda neno huko Asia. 7Walipofika kwenye mpaka wa
Antiokia. Baada ya kulikusanya kanisa pamoja, Misia, wakajaribu kuingia Bithinia lakini Roho
wakawapa ile barua. 31Nao hao watu wakiisha wa Yesu hakuwaruhusu. 8Kwa hiyo wakapita
kuisoma, wakafurahishwa sana kwa ujumbe wake Misia, wakafika Troa. 9Wakati wa usiku Paulo
wa kutia moyo. 32Yuda na Sila, ambao wenyewe akaona maono, mtu wa Makedonia amesimama
walikuwa manabii wakanena maneno mengi ya akimsihi, “Vuka uje huku Makedonia
kuwatia moyo na kuwajenga katika imani wale ukatusaidie.” 10Baada ya Paulo kuona maono
ndugu walioamini. 33Baada ya kukaa huko haya, mara tulijiandaa kuondoka kwenda
Antiokia kwa muda, wakaagwa kwa amani na wale Makedonia tukiwa tumesadiki kwa sababu
ndugu ili waende kwa wale waliowatuma. (34Lakini tuliona kwa hakika kwamba Mungu ametuita
Sila bado akaendelea kukaa huko.) 35Lakini Paulo kuhubiri habari njema huko.
na Barnaba walibaki Antiokia ambako wao pamoja
na wengine wengi waliwafundisha na kuhubiri Kuongoka Kwa Lidia
neno la Bwana. 11Tukasafiri kwa njia ya bahari kutoka Troa
na kwenda moja kwa moja kwa Samothrake,
Safari Ya Pili ya Paulo ya Kitume (15:41 – kesho yake tukafika Neapoli. 12Kutoka huko
18:22) tukasafiri hadi Filipi, mji mkuu wa Makedonia
Paulo Na Barnaba Wagawanyika sehemu walipokuwa wanakaa Warumi, nasi
36Baada ya siku kadhaa, Paulo alimwambia tukakaa kwenye mji huo kwa siku kadhaa.
Barnaba, “Turudi tukawatembelee ndugu katika 13Siku ya Sabato tukaenda nje ya lango la
miji yote ambamo tulihubiri neno la Bwana tuone mji kando ya mto, mahali ambapo tulitarajia
jinsi wanavyoendelea.” 37Barnaba alitaka tungepata mahali pa kufanyia maombi.
wamchukue Yohana aitwae Marko waende Tukaketi, tukaanza kuongea na baadhi ya
naye. 38Lakini Paulo aliona si vyema kwa wanawake waliokuwa wamekusanyika huko.
sababu aliwahi kuwaacha walipokuwa huko 14Mmoja wa wale wanawake waliotusikiliza
Pamfilia, hakutaka kuendelea kufanya kazi nao. aliitwa Lidia, mfanya biashara wa nguo za
39Pakatokea kutokukubaliana kati ya Paulo na zambarau, mwenyeji wa mji wa Thiatira,
Barnaba kuhusu jambo hili, hivyo aliyekuwa mcha Mungu. Bwana akaufungua
wakagawanyika. Barnaba akamchukua Yohana moyo wake akaupokea ujumbe wa Paulo.
Marko wakasafiri baharini kwenda Kipro. 15Basi alipokwisha kubatizwa yeye na watu wa
40Lakini Paulo akamchagua Sila na akaondoka
nyumbani mwake, alitukaribisha nyumbani
baada ya ndugu kuwatakia neema ya Bwana. mwake akisema, “Kama mmeona kweli mimi
41Akapitia Shamu na Kilikia, akiimarisha nimemwamini Bwana, karibuni mkae nyumbani
makanisa ya huko. mwangu.’’ Naye akatushawishi.
Timotheo Aungana Na Paulo Na Sila Paulo Na Sila Watiwa Gerezani
16 Paulo akafika Derbe na kisha Listra, ambako 16Siku moja, tulipokuwa tukienda mahali pa
kulikuwa na mwanafunzi mmoja jina lake kusalia, tulikutana na mtumwa mmoja wa kike
Timotheo, ambaye mama yake ambaye alikuwa na pepo wa uaguzi naye
alikuwa Myahudi, aliyeamini, lakini baba yake alikuwa amewapatia mabwana zake mapato
alikuwa Myunani. 2Alikuwa amesafiri sana na makubwa ya fedha kwa ubashiri. 17Huyu
wale waliokuwa wameamini huko Listra na mtumwa wa kike alikuwa akimfuata Paulo na
Ikonio. 3Paulo alitaka Timotheo afuatane naye, sisi akipiga kelele, “Watu hawa ni watumishi wa
akamchukua na akaamuru atahiriwe kwa Mungu Aliye Juu Sana, wao wanawatangazieni
sababu ya Wayahudi waliokuwa wanaishi eneo njia ya wokovu.” 18Akaendelea kufanya hivi kwa
lile kwa maana wote walimjua baba yake ni siku nyingi, lakini Paulo akiwa ameudhika sana,
Myunani. 4Walipokuwa wakienda mji kwa mji, akageuka na kumwambia yule pepo,
wakawa wanawapa yale maamuzi yaliyokuwa “Ninakuamuru katika jina la Yesu Kristo,
yametolewa. 5 Hivyo makanisa yakawa imara umtoke!” Yule pepo akamtoka saa ile ile.
katika imani na kuongezeka kiidadi kila siku. 19Basi mabwana wa yule mtumwa wa kike
6Paulo pamoja na wenzake wakasafiri
walipoona kuwa tumaini lao la kuendelea
sehemu za Firigia na Galatia, wakiwa kujipatia fedha limetoweka, wakawakamata
wamekatazwa na Roho Mtakatifu wasihubiri Paulo na Sila wakawaburuta mpaka sokoni
20
Matendo ya Mitume
mbele ya viongozi wa mji. 20Baada ya “Wametupiga hadharani bila kutufanyia
kuwafikisha mbele ya mahakimu wakawashtaki mashtaka na kutuhoji, nao wakatutupa
wakisema, “Hawa watu wanaleta ghasia katika gerezani, hata ingawa sisi ni raia wa Rumi. Nao
21
mji wetu, nao ni Wayahudi. Wanafundisha sasa wanataka kututoa gerezani kwa siri? Kweli
desturi ambazo sisi raia wa Kirumi hatuwezi hapana! Wao na waje wenyewe watutoe humu
kuzikubali au kuzitimiza.” gerezani.”
22Umati wa watu waliokuwepo wakajiunga 38Wale maafisa wakarudi na kuwaambia
katika kuwashambulia na wale mahakimu wale mahakimu maneno haya, wakaogopa sana
wakawaamuru wavuliwe nguo zao wakatoa amri walipofahamu kuwa Paulo na Sila ni raia wa
Paulo na Sila wachapwe viboko. 23Baada ya Rumi. 39Kwa hiyo wakaja wakawaomba
kuchapwa sana wakatupwa gerezani na msamaha, wakawatoa gerezani, wakawaomba
kumwagiza mkuu wa gereza awalinde kikamilifu, waondoke katika ule mji. 40Baada ya Paulo na
24kwa kufuata maelekezo haya, yule mkuu wa
Sila kutoka gerezani walikwenda nyumbani kwa
gereza akawaweka katika chumba cha ndani Lidia, ambapo walikutana na wale ndugu
sana mle gerezani na akawafunga miguu yao walioamini, wakawatia moyo, ndipo
kwa minyororo. wakaondoka.
25Ilipokaribia usiku wa manane, Paulo na
Sila walikuwa wakiomba na kuimba nyimbo za Ghasia Huko Thesalonike
kumsifu Mungu, nao wafungwa wengine 17 Wakasafiri kupitia Amfipoli na Apolonia wakafika
walikuwa wakiwasikiliza. 26Ghafla pakatokea Thesalonike, ambako kulikuwa na sinagogi la
tetemeko kubwa la ardhi, hata msingi wa gereza Wayahudi. 2Kama desturi yake
ukatikisika. Mara milango ya gereza ikafunguka Paulo aliingia ndani ya sinagogi na kwa muda
na ile minyororo iliyowafunga kila mmoja wa majuma matatu akawa anahojiana nao
ikafunguka. 27Yule mkuu wa gereza alipoamka kutoka kwenye Maandiko 3akidhihirisha wazi na
na kuona milango ya gereza iko wazi, kuthibitisha kwamba ilikuwa lazima Kristo
akachomoa upanga wake akataka kujiua, ateswe na afufuke kutoka kwa wafu, akasema,
akidhani ya kuwa wafungwa wote wametoroka. “Huyu Yesu ninayewaambia habari zake, ndiye
28Lakini Paulo akapiga kelele kwa sauti kubwa, Kristo.” 4Baadhi ya Wayahudi wakasadiki,
akasema, “Usijidhuru kwa maana sisi sote tuko wakaungana na Paulo na Sila, wakiwepo idadi
hapa!” kubwa ya Wayunani waliomcha Mungu na
29Yule askari wa gereza akaagiza taa wengi wa wanawake mashuhuri.
ziletwe, akaingia ndani ya kile chumba cha 5Lakini Wayahudi ambao hawakuwa
gereza, akapiga magoti akitetemeka mbele ya wameamini wakawa na wivu, wakawakodi watu
30
Paulo na Sila. Kisha akawaleta nje akisema, ovyo, wafisadi kutoka sokoni, wakakutanisha
“Bwana zangu, nifanye nini ili nipata kuokoka?” umati wa watu, wakaanzisha ghasia mjini.
31 Wakamjibu, “Mwamini Bwana Yesu Wakaenda mbio nyumbani kwa Yasoni
Kristo, nawe utaokoka, pamoja na wa nyumbani wakiwatafuta Pualo na Sila ili kuwaleta nje
mwako.” 32 Wakamwaambia neno la Bwana penye ule umati wa watu. 6Lakini walipowakosa
yeye pamoja na wote waliokuwako nyumbani wakamburuta Yasoni na ndugu wengine mbele
33
mwake. Wakati ule ule yule mkuu wa gereza ya maafisa wa mji, wakipiga kelele: “Watu hawa
ni wale walioupindua ulimwengu wamekuja
akawachukua akawaosha majeraha yao, kisha
akabatizwa yeye pamoja na wote waliokuwa huku nako, 7naye Yasoni amewakaribisha
nyumbani mwake bila kuchelewa. nyumbani mwake. Hawa wote wanaasi amri za
34Akawapandisha nyumbani mwake Kaisari wakisema yuko mfalme mwingine
akawaandalia meza mbele yao, yeye pamoja na aitwaye Yesu. 8Waliposikia haya, ule umati wa
wa nyumbani mwake wote wakafurahi sana kwa watu na maafisa wa mji wakaongeza ghasia.
kuwa amemwamini Mungu. 9Nao baada ya kuchukua dhamana kwa ajili ya
35Kulipopambazuka wale mahakimu Yasoni na wenzake wakawaacha waende zao.
wakawatuma maafisa wao kwa mkuu wa gereza
wakiwa na agizo linalosema, “wafungue wale Paulo Na Sila Huko Beroya
watu, waache waende zao.” 36 “Mahakimu 10Usiku ule ule, wale ndugu walioamini
wametuma niwaache huru, kwa hiyo tokeni.” wakawapeleka Paulo na Sila waende zao
37Lakini Paulo akawaambia wale maafisa, Beroya. Walipowasili huko wakaenda kwenye
21
Matendo ya Mitume
sinagogi la Wayahudi. 11Hawa Wayahudi wa yaliyojengwa kwa mikono ya wanadamu. 25Wala
Beroya walikuwa waungwana zaidi kuliko wale hatumikiwi na mikono ya wanadamu kana
wa Thesalonike, 12Wayahudi wengi wakaamini kwamba anahitaji cho chote, kwa sababu Yeye
pamoja na wanawake na wanaume wa Kigiriki mwenyewe ndiye awapaye watu wote uhai na
wa tabaka la juu. pumzi na vitu vyote. 26 Kutoka kwa mtu mmoja,
13Lakini wale Wayahudi wa Thesalonike yeye aliumba mataifa yote ya wanadamu ili
waliposikia kuwa Paulo anahubiri neno la waikalie dunia yote, naye akaweka nyakati za
Mungu huko Beroya, wakaenda huko nako kuishi. 27Mungu alifanya hivyo ili wanadamu
wakishawishi watu na kuwachochea. 14Ndipo wamtafute na huenda wakamfikia ingawa kwa
wale ndugu wa Beroya mara moja kupapasa – papasa ijapokuwa kwa kweli hakai
wakamsafirisha Paulo aende zake pwani, lakini mbali na kila mmoja wetu. 28‘Kwa kuwa katika
Sila na Timotheo wakabaki Beroya. 15Wale Yeye tunaishi, tunatembea na kuwa na uzima
waliomsindikiza Paulo wakaenda naye mpaka wetu’. Kama baadhi ya mashairi yenu
Athene, kisha wakarudi Beroya wakiwa na yalivyosema, ‘Sisi ni watoto wake’
maagizo kutoka kwa Paulo kuhusu Sila na 29“Kwa kuwa sisi ni watoto wa Mungu,
Timotheo kwamba wamfuate upesi haitupasi kudhani kuwa Uungu ni kama sanamu
iwezekanavyo. ya dhahabu au ya fedha au ya jiwe
iliyotengenezwa kwa ubunifu na ustadi wa
Paulo Huko Athene mwanadamu. 30Zamani wakati wa ujinga,
16Wakati Paulo akiwasubiri huko Athene, Mungu alijifanya kama haoni, lakini sasa
alisumbuka sana moyoni mwake kuona kwamba anawaamuru watu wote kila mahali watubu.
mji umejaa sanamu. 17Hivyo akahojiana kila 31Kwa kuwa ameweka siku ambayo
siku na Wayahudi pamoja na wacha Mungu atauhukumu ulimwengu kwa haki akimtumia
kwenye sinagogi na pia sokoni kwa wale mtu aliyemchagua, kwake huyo
waliokutana naye huko. 18Kisha baadhi ya amewahakikishia watu wote kwa kumfufua Yeye
Waepikureo na Wastoiko wenye elimu ya juu kutoka kwa wafu.’’
32Waliposikia habari za ufufufo wa wafu,
sana wakakutana naye. Baadhi yao wakasema,
“Je, huyu mpayukaji anajaribu kusema nini?” baadhi yao wakadhihaki, lakini wengine
Wengine wakasema, “Inaonekana anasema wakasema, “Tunataka kukusikia tena
habari za miungu ya kigeni.” Walisema haya 33
ukizungumza juu ya jambo hili.” Kwa hiyo
kwa sababu Paulo alikuwa anahubiri habari Paulo akaondoka katikati yao. 34Lakini baadhi
njema kuhusu Yesu na ufufuo wa wafu. 19Hivyo yao wakaungana naye wakaamini. Kati yao
wakamchukua na kumleta kwenye mkutano wa alikuwepo Dionisio, Mwareopago na mwanamke
Areopago, walikomwambia, “Je, tunaweza kujua mmoja aliyeitwa Damari na wengine wengi.
mafundisho haya mapya unayofundisha ni nini?
20Wewe unaleta mambo mapya masikioni Paulo Huko Korintho
mwetu, hivyo tungetaka kujua maana yake ni
nini?” 21(Waathene na wageni wote walioishi
18 Baada ya haya, Paulo akaondoka
Athene akaenda Korintho. 2Huko akakutana
humo hawakutumia muda wao kufanya cho na Myahudi mmoja jina lake Akila, mwenyeji wa
chote kingine isipokuwa kueleza au kusikia Ponto, ambaye alikuwa amewasili karibuni
jambo jipya). kutoka Italia pamoja na mkewe Prisila, kwa
22Ndipo Paulo akasimama katikati ya sababu Mfalme Klaudio alikuwa ameamuru
Wayahudi wote waondoke Rumi. Paulo
Areopago akasema, “Enyi watu wa Athene!
akaenda kuwaona. 3Naye kwa kuwa alikuwa
Ninaona kwamba katika kila jambo ninyi ni watu mtengeneza mahema kama wao, akakaa na
wa dini sana. 23Kwa kuwa nilipokuwa nikitembea kufanya kazi pamoja nao. 4Kila Sabato Paulo
mjini na kuangalia kwa bidii vitu vyenu vya alikuwa akihojiana nao akijitahidi kuwavuta
kuabudiwa, niliona huko madhabahu moja Wayahudi na Wayunani.
iliyoandikwa: KWA MUNGU ASIYEJULIKANA. 5Sila na Timotheo walipowasili kutoka
Basi sasa kile ambacho mmekuwa mkikiabudu
kama kisichojulikana, ndicho ninachowahubiria. Mekodonia, walimkuta Paulo akiwa amejitolea
24“Mungu aliyeumba dunia na vyote muda wake wote katika kuhubiri, akiwashuhudia
Wayahudi kwamba Yesu ndiye Kristo.
vilivyomo ndani yake, Yeye ndiye Bwana wa 6Wayahudi walipompinga Paulo na kukufuru,
mbingu na nchi, hakai katika mahekalu
22
Matendo ya Mitume
yeye aliyakung’uta mavazi yake, akawaambia, akiondoka, akaahidi, “Nitarudi kama Mungu
“Damu yenu na iwe juu ya vichwa vyenu! Mimi akipenda.” Kisha akasafiri kwa njia ya bahari
sina hatia, nimetimiza wajibu wangu. Kuanzia kutoka Efeso. 22Alitia nanga Kaisaria kwenda
sasa nitawaendea watu Mataifa” Yerusalemu na kulisalimu kanisa, kisha
7Kisha akaondoka mle kwenye sinagogi, akaenda Antiokia.
akaenda nyumbani kwa mtu mmoja jina lake 23Baada ya kukaa huko kwa muda,
Tito Yusto, aliyekuwa mcha Mungu. Nyumba akaondoka na kwenda kutoka sehemu moja
8
yake ilikuwa jirani na Sinagogi. Kiongozi wa hadi nyingine huko Galatia na Frigia,
hilo sinagogi, aliyeitwa Krispo, akamwamini akiwaimarisha wanafunzi wote.
Bwana pamoja na wote wa nyumbani mwake,
nao Wakorintho wengi waliomsikia Paulo Huduma Ya Apolo Huko Efeso Na Korintho
wakaamini na kubatizwa. 24Basi akaja Efeso Myahudi mmoja, jina
9Usiku mmoja Bwana akamwambia Paulo lake Apolo, mwenyeji wa Aleksandria. Yeye
katika maono, “Usiogope, lakini endelea kusema alikuwa mtu mwenye uwezo mkubwa wa
10
wala usinyamaze, kwa maana mimi niko kunena, pia alikuwa hodari katika maandiko.
pamoja nawe, wala hakuna mtu ye yote 25Alikuwa amefundishwa katika njia ya Bwana,
atakayeweza kukushambulia ili kukudhuru, kwa naye alikuwa na bidii katika roho, naye
kuwa kuna wengi katika mji huu ambao ni watu alifundisha kwa usahihi juu ya Yesu, ingawa
wangu.’’ 11Hivyo Paulo akakaa huko kwa muda alijua tu ubatizo wa Yohana. 26Apolo alianza
wa mwaka mmoja na nusu, akifundisha neno la kunena kwa ujasiri mkubwa katika sinagogi,
Mungu miongoni mwao. Lakini Prisila na Akila walipomsikia
12Lakini wakati Galio alipokuwa msaidizi wa walimchukua kando na kumweleza njia ya
mwakilishi wa mtawala huko Akaya, Wayahudi Mungu kwa ufasaha zaidi.
waliungana kumshambulia Paulo, 27Naye Apolo alipotaka kwenda Akaya,
wakamkamata na kumpeleka mahakamani. ndugu wa Efeso walimtia moyo wakampa barua
13Wakamshitaki wakisema, “Mtu huyu ya kumtambulisha kwa ndugu wa huko.
anawashawishi watu wamwabudu Mungu Alipofika huko aliwasaidia sana wale watu
kinyume cha sheria.” ambao kwa neema ya Mungu walikuwa
14Mara Paulo alipotaka kujitetea, Galio wameamini, 28kwa maana kwa uwezo mkubwa
akawaambia Wayahudi, “Kama ninyi Wayahudi aliwakanusha hadharani Wayahudi, waliokuwa
mlikuwa mkilalamika kuhusu makosa makubwa wakipinga akionyesha kwa njia ya maandiko
ya uhalifu ingekuwa haki kwangu kuwasikiliza. kwamba Yesu ndiye Kristo.
15Lakini kwa kuwa linahusu maneno, majina na
sheria yenu, amueni ninyi wenyewe. Mimi Paulo Huko Efeso
sitakuwa mwamuzi wa mambo haya.’’
16Akawafukuza kutoka mahakamani. 17Ndipo
19 Wakati Apolo akiwa huko Korintho, Paulo
alisafiri sehemu za bara, akafika Efeso. Huko
wote wakamkamata Sosthene, kiongozi wa akawakuta wanafunzi kadhaa,
2akawauliza, “Je, mlipokea Roho Mtakatifu
sinagogi, wakampiga mbele ya mahakama,
lakini Galio hakujali hata mojawapo ya mambo mlipoamini?”
haya. Wakajibu, “Hapana, hata hatukusikia kuwa
kuna Roho Mtakatifu.” 3Ndipo Paulo
Paulo Arudi Antiokia akawauliza, “Je, mlibatizwa kwa ubatizo gani?”
18 Baada ya kukaa huko Korintho kwa Wakajibu, “Kwa ubatizo wa Yohana.”
4Paulo akasema, “Ubatizo wa Yohana
muda, Paulo akaagana na wale ndugu
walioamini akasafiri kwa njia ya bahari kwenda ulikuwa wa toba, aliwaambia watu wamwamini
Shamu akiwa amefuatana na Prisila na Akila. yeye atakayekuja baada yake, yaani, Yesu.”
Walipofika Kenkrea Paulo alinyoa nywele zake 5Waliposikia haya, wakabatizwa katika jina la
kwa kuwa alikuwa ameweka nadhiri. Yesu. 6Paulo alipoweka mikono yake juu yao,
19Walipofika Efeso Paulo aliwaacha Prisila na Roho Mtakatifu akawashukia, nao wakanena
Akila huko, lakini kwanza yeye mwenyewe kwa lugha mpya na kutabiri. 7Idadi yao ilikuwa
akaingia kwenye sinagogi akawa anajadiliana wapata wanaume kumi na wawili.
20 8Paulo akaingia katika sinagogi na kunena
na Wayahudi. Walipomwomba akae nao kwa
humo kwa ujasiri kwa muda wa miezi mitatu,
muda mrefu zaidi hakukubali, 21lakini alipokuwa
23
Matendo ya Mitume
akawa na majadiliano ya kuwafanya watu kupitia Makedonia na Akaya. Akasema, “Baada
waamini mambo yanayohusu Ufalme wa ya kufika huko, yanipasa pia kwenda Rumi.”
9
Mungu. Lakini baadhi yao kwa ukaidi 22Hivyo akatuma wasaidizi wake wawili,
walipokataa kuamini na kukashifu ujumbe wake Timotheo na Erasto, waende Makedonia, wakati
mbele ya umati wa watu, Paulo aliachana nao, yeye mwenyewe alibaki kwa muda kidogo huko
akawachukua wanafunzi na kuhojiana nao kila Asia.
siku katika darasa la mtu mmoja aitwaye Tirano. 23Wakati huo huo pakatokea dhiki kubwa
10Jambo hili likaendelea kwa muda wa miaka
kwa sababu ya Njia ile ya Bwana. 24Mtu mmoja
miwili, kiasi kwamba Wayahudi na Wayunani jina lake Demetrio mfua fedha aliyekuwa
wote walioishi huko Asia wakawa wamesikia akitengeneza vihekalu vya fedha vya Artemi na
neno la Bwana. kuwapatia mafundi wake biashara kubwa,
25aliwaita pamoja watu wengine waliofanya kazi
Wana Wa Skewa Wajaribu Kutoa Pepo
ya ufundi kama yake na kusema, “Enyi watu,
Mchafu mnajua ya kuwa utajiri wetu unatokana na
11Mungu akafanya miujiza mingi isiyo ya
biashara hii? 26Pia ninyi mmeona na kusikia
kawaida kwa mkono wa Paulo, 12kwamba leso jinsi ambavyo si huku Efeso peke yake lakini ni
au vitambaa vilivyokuwa vimegusa mwili wa karibu Asia yote huyu Paulo amewashawishi na
Paulo viliwekwa juu ya wagonjwa, nao kuvuta idadi kubwa ya watu kwa kusema kuwa
wakapona magonjwa yao na pepo wachafu miungu iliyotengenezwa na watu si miungu.
wakawatoka. 27Kwa hiyo kuna hatari si kwa kazi yetu
13Basi baadhi ya Wayahudi wenye
kudharauliwa tu, bali pia hata hekalu la mungu
kutangatanga huku na huko wakitoa pepo mke Artemi, aliye mkuu, anayeabudiwa Asia
wachafu wakajaribu kutumia jina la Yesu juu ya yote na ulimwengu wote, litakuwa
wale wenye pepo, walikuwa wakisema, “Kwa limepokonywa fahari yake ya kiungu.”
jina la Yesu, yule anayehubiriwa na Paulo, 28Waliposikia maneno haya,
nakuamuru utoke.” 14 Palikuwa na wana saba wakaghadhabika wakaanza kupiga kelele,
wa mtu mmoja Myahudi jina lake Skewa, “Artemi wa Waefeso ni mkuu!” 29 Mara mji wote
aliyekuwa kiongozi wa makuhani, ambao ukajaa ghasia, watu wakakimbilia katika ukumbi
walikuwa wanafanya hivyo. 15 Lakini pepo wa michezo kama mtu mmoja, wakawakamata
mchafu akawajibu, “Yesu namjua na Paulo pia Gayo na Aristarko, watu wa Makedonia
16
namjua, lakini ninyi ni nani?” Kisha yule mtu waliokuwa wakisafiri pamoja na Paulo. 30 Paulo
aliyekuwa na pepo mchafu akawarukia, akataka kuingia katikati ya umati wa watu lakini
akawashambulia vikali, akawashinda nguvu wanafunzi hawakumruhusu. 31Hata baadhi ya
wote, wakatoka ndani ya ile nyumba wakikimbia viongozi wa sehemu ile, waliokuwa rafiki zake
wakiwa uchi na wenye majeraha. Paulo, wakatuma watu wakitamani asiingie
17Habari hii ikajulikana na Wayahudi wote katika ule ukumbi.
na Wayunani waliokaa Efeso, hofu ikawajaa 32Baadhi ya watu walikuwa wakilia hivi na
wote, nalo jina la Bwana Yesu likaheshimiwa wengine vile. Idadi kubwa ya watu hawakujua
sana. 18Wengi wa wale waliokuwa wameamini hata ni kwa nini walikuwa wamekusanyika huko.
wakati huu wakaja na kutubu kuhusu matendo 33Wayahudi wakamsimamisha Aleksanda
19
yao maovu waziwazi. Idadi kubwa ya wale mbele na baadhi ya watu kwenye ule umati
waliofanya mambo ya uganga wakaleta vitabu wakampa maelekezo. 34Lakini walitambua
vyao na kuviteketeza kwa moto hadharani. kwamba alikuwa Myahudi, wote wakapiga
Walipofanya hesabu ya thamani ya vitabu kelele kwa sauti moja kwa karibu muda wa saa
vilivyoteketezwa ilikuwa drakamu 50,000a za mbili, wakisema, “Artemi wa Efeso ni mkuu!”
20
fedha. Hivyo neno la Bwana likaenea sana na 35Baadaye karani wa mji akaunyamazisha
kuwa na nguvu. ule umati wa watu na kusema, “Enyi watu wa
Efeso, je, ulimwengu wote haujui ya kuwa mji
Ghasia Huko Efeso wa Efeso ndio unaotunza hekalu la Artemi aliye
21Baada ya mambo haya kutukia, Paulo mkuu na ile sanamu yake iliyoanguka kutoka
akakusudia rohoni kwenda Yerusalemu kwa mbinguni? 36Kwa hiyo, kwa kuwa mambo haya
hayakanushiki, inawapasa mnyamaze na wala
a19 Drakamu ilikuwa ni sarafu ya fedha, thamani yake sawa
na mshahara wa siku moja.
msifanye lo lote kwa haraka. 37Kwa kuwa
24
Matendo ya Mitume
mmewaleta hawa watu hapa, ingawa hawajaiba uzima wake bado umo ndani yake.” 11Kisha
hekaluni wala kumkufuru huyu mungu wetu wa Paulo akapanda tena ghorofani, akamega
kike. 38Basi, ikiwa Demetrio na mafundi mkate na kula. Baada ya kuongea mpaka
wenzake wana jambo zito dhidi ya mtu ye yote, mapambazuko, akaondoka. 12Watu
mahakama ziko wazi na wasaidizi wa mwakilishi wakamrudisha yule kijana nyumbani akiwa hai
wa mtawala wapo. Wanaweza kufungua nao wakafarijika sana.
mashtaka. 39Lakini kama kuna jambo jingine lo
lote zaidi mnalotaka kulileta, itabidi lisuluhishwe Paulo Awaaga Wazee Wa Efeso
katika kusanyiko halali. 40 Kama ilivyo sasa, 13Tuliingia melini tukasafiri kwa njia ya
tuko hatarini kushtakiwa kwa kufanya ghasia bahari mpaka Aso ambako ndiko tungempakia
kwa sababu ya tukio la leo. Kwa kuwa hakuna Paulo, ndivyo alivyopanga maana alitaka kufika
sababu tutakayoweza kutoa kuhalalisha huko kupitia nchi kavu. 14 Alipotukuta huko Aso,
41
msukosuko huu.” Baada ya kusema haya tulimpakia melini tukasafiri wote mpaka Mitilene.
akavunja mkutano. 15Kutoka huko tuliendelea kwa njia ya bahari na
kesho yake tukafika mahali panapokabili Kio.
Paulo Apita Makedonia Na Uyunani Siku iliyofuata tukavuka kwenda Samo na kesho
20 Baada ya kumalizika kwa zile ghasia, yake tukawasili Mileto. 16Paulo alikuwa
ameamua tusipitie Efeso ili asitumie muda
Paulo aliwaita wanafunzi pamoja akawatia
moyo, akawaaga, akaanza safari kwenda mwingi huko sehemu za Asia, kwa sababu
alikuwa anatamani kufika Yerusalemu kama
Makedonia. 2Alipita katika sehemu zote, ikiwezekana kabla ya siku ya Pentekoste.
akinena na watu maneno mengi ya kuwatia 17Paulo akiwa Mileto, akatuma ujumbe
moyo, ndipo hatimaye akawasili Uyunani,
3ambako alikaa kwa muda wa miezi mitatu. kwenda Efeso kuwaita wazeee wa kanisa waje
Alipokuwa anakaribia kuanza safari kwa njia ya wakutane naye. 18Walipofika akawaambia,
bahari kwenda Shamu, kwa sababu Wayahudi “Ninyi wenyewe mnajua jinsi nilivyoishi katikati
walikuwa wamefanya shauri baya dhidi yake, yenu muda wote tangu siku ya kwanza
hivyo aliamua kurudi kwa kupitia njia ya nilipokanyaga hapa Asia. 19Nilimtumikia Bwana
Makedonia. 4Paulo alikuwa amefuatana na kwa unyenyekevu wote na kwa machozi
Sopatro mwana wa Piro, Mberoya, Aristarko na nikivumilia taabu na mapingamizi yaliyonipata
Sekundo kutoka Thesalonike na Gayo, mtu wa
Derbe, Timotheo pamoja na Tikiko na Trofimo kutokana na hila za Wayahudi. 20Mnajua
kutoka sehemu ya Asia. 5Hawa watu kwamba sikusita kuhubiri jambo lo lote ambalo
walitutangulia wakaenda kutungojea Troa. lingekuwa la kuwafaa ninyi lakini nilifundisha
6Lakini sisi tukasafiri kwa njia ya bahari kwa siku hadharani na nyumba kwa nyumba. 21Kama
tano kutoka Filipi baada ya siku za Siku kuu ya nilivyowashuhudia Wayahudi na Wayunani
Mikate Isiyotiwa Chachu, nasi tukaungana na kwamba inawapasa kumgeukia Mungu kwa
wengine huko Troa, ambako tulikaa kwa siku kutubu dhambi na kumwamini Bwana wetu
saba. Yesu Kristo.
22“Nami sasa nimesukumwa na Roho
Eutiko Afufuliwa Huko Troa ninakwenda Yerusalemu wala sijui ni nini
7Siku ya kwanza ya juma tulikutana pamoja kitakachonipata huko. 23Ila ninachojua tu ni
kwa ajili ya kumega mkate. Paulo akaongea na kwamba Roho Mtakatifu amenionya kuwa
watu, naye kwa kuwa alikuwa amekusudia vifungo na mateso vinaningoja. 24Lakini
kuondoka kesho yake, aliendelea kuongea siyahesabu maisha yangu kuwa ya thamani
mpaka usiku wa manane. 8Kwenye chumba cha kwangu, kama kuyamaliza mashindano na
ghorofani walikokuwa wamekutania kilikuwa na kukamilisha ile kazi Bwana Yesu aliyonipa,
9
taa nyingi. Kijana mmoja jina lake Eutiko, yaani, kazi ya kuishuhudia injili ya neema ya
aliyekuwa amekaa dirishani, wakati Paulo Mungu.
alipokuwa akiendelea kuhubiri kwa muda mrefu, 25“Nami sasa najua ya kuwa hakuna hata
alipatwa na usingizi mzito, akaanguka kutoka mmoja miongoni mwenu ninyi ambaye
ghorofa ya tatu, wakamwinua akiwa amekufa. nimemhubiria Ufalme wa Mungu katika kwenda
10Paulo akashuka chini, akajitupa juu ya yule kwangu huko na huko, atakayeniona uso tena.
kijana na kumkumbatia, akasema, “Msishtuke, 26Kwa hiyo nawaambieni leo hii kwamba sina

hatia ya damu ya mtu awaye yote. 27Kwa kuwa


25
Matendo ya Mitume
sikusita kuwatangazia mapenzi yote ya Mungu. magoti pale pwani tukaomba. 6 Baada ya
28Jilindeni nafsi zenu na mlilinde lile kundi lote kuagana, tulipanda melini, nao wakarudi
ambalo Roho Mtakatifu amewaweka ninyi kuwa majumbani mwao.
waangalizi wake. Lichungeni kanisa lake Mungu 7Tukaendelea na safari yetu toka Tiro
alilolinunua kwa damu yake mwenyewe. tukafika Tolemai, tukawasalimu wanafunzi wa
29Najua kwamba baada ya kuondoka, mbwa
huko tukakaa nao kwa siku moja. 8Siku
mwitu wakali watakuja katikati yenu ambao iliyofuata tukaondoka, tukafika Kaisaria. Huko
hawatalihurumia kundi. 30Hata kutoka miongoni tukaenda nyumbani kwa Mwinjilisti mmoja jina
mwenu wenyewe watainuka watu na kupotosha lake Filipo, aliyekuwa mmoja wa wale watu
kweli ili wawavute wanafunzi wawafuate. saba waliochaguliwa kule Yerusalemu, tukakaa
31Hivyo jilindeni! Kumbukeni kwamba kwa kwake. 9Filipo alikuwa na binti wanne mabikira
miaka mitatu sikuacha kamwe kuwaonya, kila ambao walikuwa wanatoa unabii.
mmoja kwa machozi usiku na mchana. 10Baada ya kukaa kwa siku kadhaa,
32“Sasa nawakabidhi kwa Mungu na kwa akatelemka nabii mmoja kutoka Uyahudi jina
neno la neema yake, linaloweza kuwajenga na lake Agabo. 11Alipotufikia akachukua mshipi wa
kuwapa ninyi urithi miongoni mwa wote ambao Paulo akajifunga, akautumia kufunga mikono na
wametakaswa. 33Sikutamani fedha wala miguu yake mwenyewe akasema, “Roho
dhahabu wala nguo ya mtu ye yote. Ninyi 34 Mtakatifu anasema: ‘Hivi ndivyo Wayahudi wa
wenyewe mnajua kwamba mikono yangu hii Yerusalemu watakavyomfunga mwenye mshipi
imetumika kwa mahitaji yangu na ya wale huu na kumkabidhi kwa watu Mataifa.’ ”
12Tuliposika maneno haya sisi na ndugu
waliokuwa pamoja nami. 35Katika kila jambo
nililofanya, nimewaonyesha kwamba kwa njia hii wengine tukamsihi Paulo asiende Yerusalemu.
ya kufanya kazi kwa bidii imetupasa kuwasaidia 13Lakini Paulo akajibu, “Kwa nini mnalia na
wadhaifu, mkikumbuka maneno ya Bwana Yesu kunivunja moyo? Mimi niko tayari si kufungwa
mwenyewe jinsi alivyosema, ‘Ni baraka zaidi, tu, bali hata kufa huko Yerusalemu kwa ajili ya
kutoa kuliko kupokea.’ ” jina la Bwana Yesu.” 14Alipokuwa hashawishiki,
36Paulo alipomaliza kusema haya akapiga tukaacha kumsihi, tukasema, “Mapenzi ya
magoti pamoja nao wote akaomba. Wote 37 Bwana na yatendeke.”
wakalia, wakamkumbatia Paulo na kumbusu, 15Baada ya haya, tukajiandaa, tukaondoka
38Kilichowahuzunisha zaidi ni kwa sababu ya kwenda Yerusalemu. 16Baadhi ya wanafunzi
yale maneno aliyosema kwamba kamwe kutoka Kaisaria wakafuatana nasi na kutupeleka
hawatauona uso wake tena. Wakaenda naye nyumbani kwa Mnasoni, ambaye tungekaa
mpaka kwenye meli. kwake. Yeye alikuwa mtu wa Kipro, mmoja wa
wanafunzi wa zamani.
Safari Ya Tatu Ya Paulo
Paulo Aenda Yerusalemu Paulo Awasili Yerusalemu
21 Tulipokwisha kujitenga nao na kuanza safari 17Tulipofika Yerusalemu
18
wakatukaribisha kwa furaha. Kesho yake
ndugu
kwa njia ya bahari moja kwa moja mpaka Kosi.
Siku ya pili yake tukafika Pualo pamoja na wengine wetu tulikwenda
Rodo na kutoka huko tukaenda Patara. 2Hapo kumwona Yakobo na wazee wote wa kanisa
tukapata meli iliyokuwa inavuka kwenda Foinike walikuwepo. 19Baada ya kuwasalimu, Paulo
tukapanda tukasafiri nayo. 3Tulipokiona kisiwa akatoa taarifa kamili ya mambo yote ambayo
cha Kipro, tukakizunguka tukakiacha upande Mungu alikuwa amefanya miongoni mwa watu
weti wa kushoto, tukasafiri mpaka Shamu, Mataifa kwa kupitia huduma yake.
tukatia nanga katika bandari ya Tiro ambapo 20Baada ya kusikia mambo haya
meli yetu ilikuwa ipakue shehena yake. 4Baada wakamwadhimisha Mungu. Ndipo
ya kuwatafuta wanafunzi wa huko, tukakaa nao wakamwambia Paulo, “Ndugu, unaona, kuna
kwa siku saba. Wale wanafunzi wakiongozwa elfu nyingi za Wayahudi walioamini, nao wote
na Roho walimwambia Paulo asiende wana bidii kwa ajili ya sheria. 21Lakini
Yerusalemu. 5Lakini muda wetu ulipokwisha, wameambiwa habari zako kwamba unafundisha
tukaondoka tukaendelea na safari yetu. Wale Wayahudi wote waishio miongoni mwa watu
wanafunzi pamoja na wake zao na watoto Mataifa kumkataa Mose na kwamba
walitusindikiza hadi nje ya mji. Wote tukapiga unawaambia wasiwatahiri watoto wao wala
26
Matendo ya Mitume
kufuata desturi. 22Sasa tufanyeje? Bila shaka wakisema lile. Yule jemadari alipoona kuwa
hawezi kupata hakika ya habari kwa sababu ya
watasikia kwamba umekuja Yerusalemu. 23Kwa
zile kelele, akaamuru Paulo apelekwe katika
hiyo fanya lile tunalokuambia. Tunao watu wane
ngome ya jeshi. 35Paulo alipofika penye ngazi,
hapa ambao wameweka nadhiri. 24Jiunge na
ilibidi maaskari wambebe juu juu kwa sababu
watu hawa, mfanye utaratibu wa ibada ya
kujitakasa pamoja nao na ulipe gharama ili fujo za ule umati wa watu zilikuwa kubwa. 36Ule
wanyoe nywele zao. Kwa njia hii kila mtu umati ulikuwa ukifuata uliendelea kupiga kelele
atafahamu ya kuwa mabo waliyosikia si ya kweli wakisema, “Mwondoe huyu!”
na kwamba wewe unaishika sheria. 25Lakini
Paulo Anajitetea
kuhusu wale watu Mataifa waliomini
37Mara tu Paulo alipokaribia kuingizwa
tumewaandikia uamuzi wetu kwamba wajitenge
na kitu cho chote kilichotolewa sadaka kwa kwenye ngome ya jeshi, akamwambia yule
sanamu na damu au kula nyama ya mnyama jemadari, “Je, naweza kukuambia jambo moja?”
aliyeuawa kwa kunyongwa, tena wajitenge na Yule jemadari akamjibu, “Je, unajua
uasherati.” Kiyunani?”
26Ndipo kesho yake Paulo akawachukua 38Je, wewe si yule Mmisri ambaye siku hizi
wale watu na akajitakasa pamoja nao. Akaingia za karibuni alianzisha uasi akaongoza kundi la
ndani ya hekalu ili akatoe taarifa ya tarehe magaidi elfu nne wenye silaha jangwani?”
ambayo siku zao za utakaso zingemalizika na 39Paulo akajibu, “Mimi ni Myahudi, mzaliwa
sadaka ingetolewa kwa ajili ya kila mmoja wao. wa Tarso, huko Kilikia, raia wa mji usiokuwa wa
kawaida. Tafadhali niruhusu nizungumze na
Paulo Akamatwa hawa watu.”
27Zile siku saba zilipokaribia kumalizika, 40 Akiisha kupata ruhusa ya yule jemadari,
baadhi ya Wayahudi kutoka sehemu za Asia Paulo akasimama penye ngazi akawapungia
waliokuwa wamemwona Paulo ndani ya hekalu, watu mkono ili wanyamaze. Wote
wakachochea umati wote wa watu wakamkamata. waliponyamaza kimya, Paulo akazungumza nao
28Wakapiga kelele wakasema, “Waisraeli kwa lugha ya Kiebrania, akasema:
wenzetu, tusaidieni! Huyu ndiye yule mtu
anayefundisha kila mtu na kila mahali dhidi ya Ushuhuda Wa Paulo Kwa Wayahudi Wa
watu wetu, sheria zetu na hata hekalu hili. Zaidi ya Yerusalemu
hayo amewaleta Wayunani ndani ya hekalu na 22 “Ndugu zangu na baba zangu, sikilizeni
kupanajisi mahali hapa patakatifu.” 29(Walikuwa utetezi wangu.”
wamemwona Trofimo, mwenyeji wa Efeso, akiwa 2Waliposikia akisema kwa lugha ya
mjini pamoja na Pualo wakadhani kuwa Paulo Kiebrania, wakanyamaza kimya kabisa.
alikuwa amemwingiza Hekaluni.) Ndipo Paulo akasema, 3“Mimi ni Myahudi,
30Mji wote ukataharuki, watu wakaja niliyezaliwa Tarso huko Kilikia, lakini nimelelewa
wakikimbia kutoka pande zote wakamkamata hapa penye mji huu, miguuni mwa Gamalieli.
Paulo, wakamburuta kutoka mle hekaluni. Nilifundishwa kikamilifu katika sheria ya baba
31
Milango ya hekalu ikafungwa. Walipokuwa zetu, nikiwa mwenye juhudi kwa ajili ya Mungu
wakitaka kumwua, habari zikamfikia jemadari kama kila mmoja wenu alivyo leo. 4Niliwatesa
wa jeshi la askari wa Kirumi kwamba mji wa watu wa Njia hii hadi kufa, nikiwakamata,
Yerusalemu wote ulikuwa katika machafuko. waume kwa wake na kuwatupa gerezani.
32Mara yule jemadari akachukua maafisa 5Kama kuhani mkuu na baraza zima la wazee
wengine wa jeshi pamoja na maaskari wanavyoweza kushuhudia kuhusu mimi. Hata
wakakimbilia kwenye ile ghasia, wale watu nilipokea barua kutoka kwao kwenda kwa wale
waliokuwa wakifanya ghasia walipomwona yule wa Dameski, nami nikaenda huko ili kuwaleta
jemadari na askari wakija, wakaacha kumpiga watu hawa Yerusalemu kama wafungwa ili
Paulo. waadhibiwe.
33Yule jemadari akaja, kumkamata Paulo
akaamuru afungwe kwa minyororo miwili. Paulo Aeleza Juu ya Kuongoka Kwake
Akauliza yeye ni nani na alikuwa amefanya nini. 6“Nilipokuwa njiani kuelekea Dameski,
34Baadhi ya watu katika ule umati wakapiga yapata saa sita mchana, ghafula nuru kubwa
kelele, hawa wakisema hili na wengine kutoka mbinguni ikanimulika kote kote.
27
Matendo ya Mitume
7Nikaanguka chini, nikasikia sauti ikiniambia, mavazi yao huku wakirusha mavumbi juu
‘Sauli, Sauli, Mbona unanitesa?’ hewani, 24yule jemadari akaamuru Paulo
8Nikajibu, “ ‘Wewe ni nani Bwana?’
aingizwe kwenye ngome. Akaelekeza kwamba
Naye akaniambia, “ ‘Mimi ni Yesu wa achapwe viboko na aulizwe ili kujua kwa nini
9
Nazareti unayenitesa.’ Basi wale watu watu walikuwa wanampigia kelele namna hiyo.
waliokuwa pamoja nami waliiona ile nuru, lakini 25Lakini walipokwisha kumfunga kwa kamba za
hawakuisikia ile sauti ya yule aliyekuwa akisema ngozi ili wamchape viboko, Paulo akamwambia
nami. kiongozi wa maaskari aliyekuwa amesimama
10Nikauliza, “ ‘Nifanye nini Bwana?’
pale karibu naye, “Je, ni halali kwenu kwa
Naye Bwana akaniambia, “ ‘Inuka uingie mujibu wa sheria kumchapa mtu ambaye ni raia
Dameski, huko utaambiwa mambo yote wa Rumi hata kabla hajapatikana na hatia?”
yakupasayo kufanya.’ 11 Kwa kuwa nilikuwa 26Yule askari aliposikia maneno haya,
siwezi kuona mng’ao wa ile nuru, wenzangu alimwendea yule jemadari na kumwambia,
wakanishika mkono wakaniongoza kuingia “Unataka kufanya nini? Kwa maana huyu mtu ni
Dameski. raia wa Rumi.”
12“Mtu mmoja Mcha Mungu, jina lake 27Yule jemadari akaja akamwuliza Pualo,
Anania alikuja kuniona, aliyeshika sana sheria “Niambie, wewe ni raia wa Rumi?”
zetu, na ambaye aliheshimiwa sana na Paulo akajibu, “Naam, hakika ndiyo.”
Wayahudi waliokuwa wakiishi huko Dameski, 28Ndipo yule jemadari akasema, “Mimi
13alisimama karibu nami akasema, ‘Ndugu ilinigharimu kiasi kikubwa cha fedha kupata
Sauli, upate kuona tena!’ saa ile ile nikapata uraia wangu.”
kuona tena, nami nikaweza kumwona. Paulo akasema “Lakini mimi ni raia wa
14“Akasema, ‘Mungu wa baba zetu Rumi kwa kuzaliwa.”
amekuchagua wewe ili ujue mapenzi yake, 29Mara wale waliokuwa wanataka kumhoji
umwone yeye Aliye Mwenye Haki na upate wakajiondoa haraka na yule jemadari akaingiwa
kusikia maneno kutoka kinywani mwake. 15Kwa na hofu, alipotambua ya kuwa amemfunga
kuwa utakuwa shahidi wake kwa watu kuhusu Paulo, ambaye ni raia wa Rumi kwa minyororo.
kile ulichokiona na kukisikia. 16 Sasa basi,
mbona unakawia? Inuka, ukabatizwe na dhambi Paulo Apelekwa Mbele Ya Baraza
zako zikasafishwe, ukiliita jina lake.’ 30Kesho yake, kwa kuwa yule Jemadari
alitaka kujua hakika kwa nini Paulo alikuwa
Paulo Atumwa Kwa Watu Mataifa anashutumiwa na Wayahudi, alimfungua na
17“Baada ya kurudi Yerusalemu, wakati kuwaagiza viongozi wa makuhani na baraza
nikiwa ninaomba hekaluni, nilipatwa na usingizi lote likutane. Kisha akamleta Paulo
mzito 18nikamwona Yesu akiniambia, akamsimamisha mbele yao.
‘Harakisha utoke Yerusalemu upesi, maana
hawataukubali ushuhuda wako kunihusu mimi.’
23 Paulo akawakazia macho wale wajumbe
wa baraza, akasema, “Ndugu zangu, nimetimiza
19“Nami nikasema, ‘Bwana, wao wenyewe wajibu wangu kwa Mungu
wanajua jinsi nilivyokwenda kwenye kila kwa dhamiri safi kabisa hadi leo.” 2Kwa ajili ya
sinagogi ili kuwatia gerezani na kuwapiga wale jambo hili Kuhani Mkuu Anania akaamuru wale
waliokuamini. 20Wakati damu ya shahidi wako waliokuwa karibu na Paulo wampige kofi
Stefano ilipomwagwa, mimi mwenyewe nilikuwa kinywani. 3Ndipo Paulo akamwambia, “Mungu
nimesimama kando, nikikubaliana na kitendo atakupiga wewe, ewe ukuta uliopakwa chokaa!
hicho na kutunza mavazi ya wale waliomwua’. Wewe umeketi hapo ili kunihukumu kwa mujibu
21Ndipo Bwana akaniambia, ‘Nenda, kwa wa sheria, lakini wewe mwenyewe unakiuka
maana nitakutuma mbali, kwa watu Mataifa.’ ” sheria kwa kuamuru kwamba nipigwe kinyume
cha sheria!”
Paulo Na Jemadari Wa Kirumi 4Wale watu waliokuwa wamesimama karibu
22Ule umati wa watu wakamsikiliza Paulo na Paulo wakamwambia, “Je, wewe wathubutu
mpaka aliposema neno hilo, ndipo wakapaza kumtukuna Kuhani Mkuu wa Mungu?”
sauti zao na kupiga kelele wakisema, 5Paulo akajibu, “Ndugu zangu, sikujua
“Mwondoeni duniani, hafai kuishi!” kwamba yeye alikuwa Kuhani Mkuu. Kwa
23Wakati walipokuwa wakipiga na kutupa maana imeandikwa, ‘Usimnene mabaya
28
Matendo ya Mitume
kiongozi wa watu wako.’ ” mkono, akampeleka kando na kumwuliza,
6Paulo alipotambua ya kuwa baadhi yao “Unataka kuniambia nini?”
walikuwa Masadukayo na wengine ni 20Yule kijana akasema, “Wayahudi
Mafarisayo, akapaza sauti kwenye baraza, wamekubaliana wakuombe umpeleke Paulo
“Ndugu zangu, mimi ni Farisayo, mwana kwenye baraza lao kesho kwa kisingizio
Farisayo. Hapa nimeshtakiwa kuhusu tumaini kwamba wanataka kufanya uchunguzi wa kina
7
langu katika ufufuo wa wafu.” Aliposema haya, wa shauri lake. 21 Lakini usishawishiwe nao kwa
farakano likaanza kati ya Mafarisayo na maana zaidi ya watu arobaini wanamvizia.
Masadukayo na baraza lote likagawanyika. Wamejifunga kwa kiapo kwamba hawatakula
8(Kwa maana Masadukayo wanasema kwamba wala kunywa mpaka wamemwua Paulo. Sasa
hakuna ufufuo, wala hakuna malaika au roho, wako tayari, wanangoja idhini yako kwa ajili ya
lakini Mafarisayo wanaamini haya yote.) ombi lao.”
9Kukawa na ghasia kubwa, nao baadhi ya 22Yule jemadari akamruhusu yule kijana
walimu wa sheria ambao ni Mafarisayo, aende na akamwonya, akisema, “Usimwambie
wakasimama wakapinga kwa nguvu wakisema, mtu ye yote kwamba umenieleza habari hizi.’’
“Hatuoni kosa lo lote la mtu huyu! Huenda ikawa
roho au malaika amezungumza naye” 10Ugomvi Paulo Ahamishiwa Kaisaria
ukawa mkubwa kiasi kwamba yule jemadari 23Kisha yule jemadari akawaita wakuu wake
akahofu kuwa wangemrarua Paulo vipande wawili wa maaskari akawaambia, “Jiandaeni
vipande, akaamuru vikosi vya askari vishuke na kuondoka saa tatu usiku huu kuelekea Kaisaria
kumwondoa Paulo katikati yao kwa nguvu na pamoja na askari 200, wapanda farasi 70 na watu
kumleta ndani ya ngome ya jeshi. 200 wenye mikuki. 24Pia tayarisheni na farasi
11Usiku uliofuata, Bwana akasimama karibu watakaotumiwa na Paulo, mumpeleke salama
naye akamwambia, “Jipe moyo! Kama vile mpaka kwa mtawala Feliksi.”
ulivyonishuhudia hapa Yerusalemu, hivyo 25Kisha akaandika barua kwa Feliksi kama
imekupasa kunishuhudia huko Rumi pia.” ifuatavyo:

Hila Za Kumwua Paulo 26Klaudio Lisia,


12Kulipopambazuka Wayahudi wakafanya
shauri pamoja na kujifunga kwa kiapo kwamba Kwa Mtawala, Mtukufu Feliksi, Salaam.
hawatakula wala kunywa mpaka wamemwua
27Mtu
Paulo. 13Waliofanya mpango huo walikuwa zaidi huyu alikamatwa na Wayahudi
ya watu arobaini. 14Wakawaendea viongozi wa wakakaribia kumwua, lakini nikaja na vikosi
makuhani na wazee na kusema, “Tumejifunga vyangu vya maaskari nikamwokoa kwa
pamoja kwa kiapo kwamba hatutakula wala kuwa nilipata habari kwamba yeye ni raia
kunywa mpaka tumemwua Paulo. 15Hivyo basi, wa Rumi. 28Nilitaka kujua kwa nini walikuwa
wewe pamoja na baraza, inawapasa mumjulishe wanamshutumu, hivyo nikamleta mbele ya
kwa jemadari ili amteremshe Paulo kwenu, baraza lao. 29Ndipo nikaona kuwa alikuwa
mjifanye kama mnataka kufanya uchunguzi wa anashutumiwa kwa mambo yanayohusu
kina zaidi wa shauri lake. Nasi tuko tayari sheria yao, lakini hakuwa ameshtakiwa kwa
kumwua kabla hajafika hapa.” jambo lo lote linalostahili kifo au kifungo.
16Lakini mtoto wa dada yake Paulo 30Nilipoarifiwa kuwa kulikuwa na shauri
aliposikia juu ya shauri hilo baya, alikwenda kule baya dhidi ya mtu huyu, nilimtuma kwako
kwenye ngome ya askari na kumweleza Paulo. mara, nikiwaagiza washtaki wake pia
17Ndipo Paulo akamwita mmoja wa wakuu waeleze mbele yako mashtaka yao dhidi
wa maaskari akamwambia, “Mpeleke huyu yake.
kijana kwa jemadari, analo jambo la
31Hivyo
kumweleza.” 18Hivyo yule mkuu wa maaskari maaskari, kwa kufuata maelekezo
akampeleka yule kijana kwa jemadari waliyopewa, wakamchukua Paulo wakati wa usiku
akamwambia, “Paulo, yule mfungwa aliniita na na kumleta mpaka Antipatri. 32 Kesho yake
kuniomba nimlete huyu kijana kwako, kwa wakawaacha wale wapanda farasi waendelee na
sababu ana neno la kukueleza.” safari wakiwa na Paulo, wakati wao walirudi
19Yule jemadari akamshika yule kijana
kwenye ngome ya maaskari. 33Walipofika
29
Matendo ya Mitume
Kaisaria kumpa mtawala ile barua, walimkabidhi mahali pengine po pote mjini. 13Wala hawawezi
pia Paulo kwake. 34Mtawala alipokwisha kabisa kukuthibitishia mashtaka haya
kuisoma ile barua alimwuliza Paulo kwamba wanayonishtaki kwayo. 14 Lakini, ninakubali
alikuwa mtu wa jimbo gani. Alipojua kuwa kwamba mimi namwabudu Mungu wa baba zetu
anatoka Kilikia, 35alisema, “Nitasikiliza shauri mfuasi wa ‘Njia’ ile ambayo wao wanaiita
lako washtaki wako watakapofika hapa.” Kisha dhehebu. Ninaamini kila kitu kinachokubaliana
akaamuru Paulo awekwe chini ya ulinzi kwenye na Sheria na kile kilichoandikwa katika Manabii,
jumba la kifalme la Herode. 15nami ninalo tumaini kwa Mungu, ambalo hata
wao wenyewe wanalikubali kwamba kutakuwa
Mbele Ya Feliksi Huko Kaisaria na ufufuo wa wafu, kwa wote wenye haki na
24 Baada ya siku tano, Kuhani Mkuu Anania wasio na haki. 16Kwa hiyo ninajitahidi siku zote
kuwa na dhamiri safi mbele za Mungu na mbele
akashuka akiwa amefuatana na baadhi ya wazee
pamoja na mwanasheria za wanadamu.
mmoja aitwaye Tertulo, nao wakaleta mashtaka 17 “Basi, baada ya kutokuwapo kwa miaka
yao dhidi ya Paulo mbele ya mtawala. Paulo 2 mingi nilikuja Yerusalemu ili kuwaletea watu
alipoitwa aingie ndani, Tertulo akaanza kutoa wangu msaada kwa ajili ya maskini na kutoa
mashtaka akisema, “Mtukufu Feliksi, kwa muda dhabihu. 18Nilikuwa nimeshatakaswa kwa
mrefu tumefurahia amani na matengenezo taratibu za kiibada waliponikuta hekaluni
mengi mazuri yamefanywa kwa ajili ya watu nikifanya mambo haya. Hapakuwa na umati wa
hawa kwa sababu ya upeo wako wa kuona watu, pamoja nami wala aliyehusika kwenye
3
mambo ya mbele. Wakati wote na kila mahali, fujo yo yote. 19Lakini kulikuwa na baadhi ya
kwa namna yo yote, mtukufu sana Feliksi, Wayahudi kutoka Asia, ambao wangelazimika
tumeyapokea mambo haya yote kwa shukrani wawepo hapa mbele yako ili watoe mashtaka
nyingi. 4Lakini nisije nikakuchosha zaidi, kama wanalo jambo lo lote dhidi yangu. 20Au,
ningekuomba kwa hisani yako utusikilize kwa watu hawa walioko hapa waseme ni uhalifu gani
kifupi. walioniona nao waliponisimamisha mbele ya
5“Tumemwona mtu huyu kuwa ni baraza, 21isipokuwa ni kuhusu jambo hili moja
msumbufu, anayechochea ghasia miongoni nililopiga kelele mbele yao kwamba, ‘Mimi
mwa Wayahudi duniani pote. Yeye ndiye nashtakiwa mbele yako leo kwa sababu ya
kiongozi wa dhehebu la Wanazareyo 6na hata ufufuo wa wafu.’ ”
amejaribu kulinajisi hekalu, hivyo tukamkamata 22 Basi Feliksi ambaye alikuwa anafahamu
tukataka kumhukumu kufuatana na sheria zetu. vizuri habari za Njia ile, akaahirisha shauri lile
7Lakini jemadari Lisia, alitujia na nguvu nyingi kwa maelezo yake akisema, “Wakati jemadari
akamwondoa mikononi mwetu, akiwaamuru 8 Lisia atakapoteremka huku, nitaamua shauri
washtaki wake waje mbele yako: ili kwa lako.” 23 Ndipo akaamuru mkuu wa maaskari
kumchunguza wewe mwenyewe unaweza kujua amweke chini ya ulinzi lakini ampe uhuru na
kutoka kwake mambo yote yale tunayomshtaki kuwaruhusu rafiki zake wamhudumie.
kwayo.” 24Baada ya siku kadhaa Feliksi alipokuja
9Pia wale Wayahudi wakaunga mkono pamoja na Drusila mkewe, ambaye alikuwa
wakithibitisha kuwa mashtaka yote haya ni Myahudi, alituma aitiwe Paulo na kumsikiliza
kweli. alipokuwa akinena juu ya imani katika Yesu
Kristo. 25Naye Paulo alipokuwa akinena juu ya
Paulo Ajitetea Mbele Ya Feliksi haki kuwa na kiasi na juu ya hukumu ijayo,
10Mtawala Feliksi alipompungia Paulo Feliksi aliingiwa na hofu na kusema, “Hiyo
mkono ili ajitetee, yeye akajibu, “Najua kwamba yatosha sasa! Waweza kuondoka.
wewe umekuwa hakimu katika taifa hili kwa Nitakapokuwa na wasaa nitakuita.” 26Wakati
miaka mingi, hivyo natoa utetezi wangu kwa huo huo Feliksi alitazamia kwamba Paulo
furaha. 11Unaweza kuhakikisha kwa urahisi angempatia rushwa. Hivyo akawa anamwita
kuwa hazijapita zaidi ya siku kumi na mbili tangu mara kwa mara na kuzungumza naye.
nilipopanda kwenda Yerusalemu kuabudu. 27 Baada ya miaka miwili kupita, Porkio
12Hawa wanaonishtaki hawakunikuta Festo akaingia kwenye utawala mahali pa
nikibishana na mtu ye yote hekaluni au Feliksi, lakini kwa kuwa Feliksi alitaka
kuchochea umati wa watu katika sinagogi au kuwapendeza Wayahudi, akamwacha Paulo
30
Matendo ya Mitume
gerezani. Festo. 14Kwa kuwa walikuwa wakae huko
Kaisaria kwa siku nyingi, Festo alijadili shauri la
Paulo Mbele Ya Festo Paulo na mfalme, akisema, “Kuna mtu mmoja
25 Siku tatu baada ya Festo kuwasili
hapa ambaye Feliksi alimwacha gerezani.
15Nilipokuwa huko Yerusalemu, viongozi wa
Kaisaria kuchukua wajibu wake mpya, alipanda
kwenda Yerusalemu, 2ambako viongozi wa makuhani na wazee wa Wayahudi walinijulisha
makuhani na viongozi wa Wayahudi walikuja habari zake na wakaomba hukumu dhidi yake.
mbele yake na kuleta mashtaka yao dhidi ya 16“Lakini mimi nikawaambia kwamba si
Paulo. 3Wakamsihi sana Festo, kama desturi ya Kirumi kumtoa mtu ye yote auwawe
upendeleo kwao, aamuru Paulo ahamishiwe kabla mshtakiwa kuonana nao uso kwa uso na
Yerusalemu, kwa kuwa walikuwa wanaandaa washtaki wake, naye awe amepewa nafasi ya
kumvizia ili wamwue akiwa njiani. 4Festo kujitetea kuhusu mashtaka anayoshutumiwa.
akawajibu, “Paulo amezuiliwa huko Kaisaria, 17Hivyo walipokutana hapa, sikukawia, lakini
nami mwenyewe ninakwenda huko hivi karibuni.
5Baadhi ya viongozi wenu wafuatane nami na kesho yake niliitisha baraza, nikaketi penye kiti
kutoa mashtaka dhidi ya mtu huyo huko, kama changu cha hukumu, nikaagiza huyo mtu
amekosa jambo lo lote.” aletwe. 18Washtaki wake waliposimama,
6Baada ya Festo kukaa miongoni mwao hawakushtaki kwa uhalifu wo wote niliokuwa
kwa karibu siku nane au kumi, akashuka ninatarajia. 19Badala yake walikuwa na
kwenda Kaisaria na siku iliyofuata akaitisha vipengele fulani vya kutokukubaliana naye
mahakama, akaketi penye kiti chake cha kuhusu dini yao na juu ya mtu mmoja aitwaye
hukumu, akaamuru Paulo aletwe mbele yake. Yesu, ambaye alikufa, lakini yeye Paulo alidai
7Paulo alipotokea, wale Wayahudi waliokuwa kwamba yu hai. 20 Kwa kuwa sikujua jinsi ya
wameteremka toka Yerusalemu wakasimama kupeleleza jambo hili, nilimwuliza kama
wakiwa wamemzunguka, wakileta mashtaka angependa kwenda Yerusalemu na kuhojiwa
mengi mazito dhidi yake ambayo hawakuweza huko kuhusu mashtaka haya. 21Lakini Paulo
kuyathibitisha. alipoomba afadhiliwe ili rufaa yake isikilizwe na
8Ndipo Paulo akajitetea, akasema, “Mimi Mfalme Agusto, nilimwamuru alindwe mpaka
sikufanya jambo lo lote kinyumbe cha sheria ya nitakapoweza kumpeleka kwa Kaisaria.”
Wayahudi au dhidi ya hekalu au kinyume cha 22Ndipo Agripa akamwambia Festo,
Kaisari.” “Ningependa kumsikiliza mtu huyo mimi
9Festo, akitaka kuwapendeza Wayahudi, mwenyewe.”
akamwuliza Paulo, “Je, ungependa kwenda Yeye akajibu, “Kesho utamsikia.”
Yerusalemu na kukabili mashtaka mbele yangu
huko?” Paulo Aletwa Mbele ya Agripa
10Paulo akasema, “Mimi sasa nimesimama 23Siku iliyofuata Agripa na Bernike walifika
mbele ya mahakama ya Kaisari, ambako ndiko kwa fahari kubwa wakaingia katika ukumbi wa
ninakostahili kushtakiwa. Kama vile wewe mahakama, pamoja na majemadari wa jeshi na
mwenyewe ujuavyo vema kabisa sijawatendea watu mashuhuri wa mji. Ndipo kwa amri ya
Wayahudi kosa lo lote. 11 Basi kama mimi nina Festo, Paulo akaletwa ndani. 24Festo akasema,
hatia ya kutenda kosa lo lote linalostahili kifo, “Mfalme Agripa, nanyi nyote mlio hapa pamoja
sikatai kufa. Lakini kama mashtaka yaliyoletwa nasi, mnamwona mtu huyu! Jumuiya yote ya
dhidi yangu na hawa Wayahudi si kweli, hakuna Kiyahudi wamenilalamikia kuhusu mtu huyu
ye yote aliye na haki ya kunikabidhi mikononi huko Yerusalemu na hapa Kaisaria, wakipiga
mwao. Naomba rufaa kwa Kaisari!” kelele kwamba haimpasi kuendelea kuishi.
12Baada ya Festo kufanya shauri pamoja na 25Sikuona kwamba ametenda jambo lo lote
baraza lake, akatangaza, “Wewe umeomba linalostahili kifo, ila kwa kuwa alikuwa ameomba
rufaa kwa Kaisari, nako kwa Kaisari utakwenda!” rufaa yake kwa Mfalme, niliamua kumpeleka
Rumi. 26Lakini mimi sina kitu maalum cha
kumwandikia mtukufu kumhusu mtu huyu. Kwa
Festo Aomba Ushauri Kwa Agripa
hiyo nimemleta mbele yenu ninyi nyote, hasa
13Baada ya siku kadhaa Mfalme Agripa na
mbele yako, wewe Mfalme Agripa, ili kutokana
Bernike wakapanda kuja Kaisaria kumsalimu na matokeo ya uchunguzi huu, niweze kupata
kitu cha kuandika. 27Kwa kuwa naona hakuna
31
Matendo ya Mitume
sababu ya kumpeleka mfungwa bila kuainisha Sauli, mbona unanitesa? Ni vigumu kwako
mashtaka dhidi yake. kuupiga teke mchokoo.’
15“Nikauliza, ‘Ni nani wewe, Bwana?’
Paulo Ajitetea Mbele ya Agripa Naye Bwana akajibu, “ ‘Ni Mimi Yesu
26 Ndipo Agripa akamwambia Paulo, “Unayo unayenitesa. 16Lakini sasa inuka usimame, kwa
ruhusa kujitetea.” miguu yako, kwa sababu nimekutokea kwa
Hivyo Paulo akawapungia kwa mkono kusudi hili ili kukuweka utumike na kushuhudia
wake, akaanza kujitetea, akasema:- 2“Mfalme juu ya mambo ambayo umeyaona na yale
Agripa, najiona kuwa na heri kusimama mbele nitakayokutokea kwayo. 17Nitakuokoa kutoka
yako leo ninapojitetea kuhusu mashtaka yote ya kwa watu wako na watu Mataifa ambao
3
Wayahudi, hasa kwa sababu unajua vema ninakutuma kwao, 18uyafungue macho yao ili
desturi zote za Kiyahudi na ya kuwa wewe wageuke kutoka gizani waingie nuruni na
unajua kwa undani mila na maswala ya kutoka kwenye nguvu za shetani, wamgeukie
mabishano. Kwa hiyo, nakusihi unisikilize kwa Mungu ili wapate msamaha wa dhambi na
uvumilivu. sehemu miongoni mwa wale waliotakaswa kwa
4“Wayahudi wote wanajua jinsi nilivyoishi kuniamini Mimi.’
tangu nilipokuwa mtoto, kuanzia mwanzo wa 19“Hivyo basi, Mfalme Agripa, sikuacha
maisha yangu katika nchi yangu na pia huko kuyatii yale maono yaliyotoka mbinguni, 20bali
Yerusalemu. 5Wao wamefahamu kwa muda niliyatangaza kwanza kwa wale wa Dameski,
mrefu na wanaweza kushuhudia kama kisha Yerusalemu na katika vijiji vyote vya
wakipenda, kutokana na misimamo mikali sana Uyahudi na pia kwa watu Mataifa, kwamba
ya dhehebu letu kwenye dini yetu niliishi nikiwa inawapasa kutubu na kumgeukia Mungu na
Farisayo. 6Nami sasa ni kwa sababu ya tumaini kuthibitisha toba yao kwa matendo yao. 21Ni
langu katika kile ambacho Mungu aliwaahidi kwa sababu hii Wayahudi walinikamata
baba zetu, ninashtakiwa leo. 7Hii ndiyo ahadi nilipokuwa hekaluni, wakataka kuniua. 22Hadi
ambayo makabila yetu kumi na mawili leo nimepata msaada kutoka kwa Mungu na
yanatarajia kuiona ikitimizwa wanapomtumikia hivyo nasimama hapa nikishuhudia wakubwa na
Mungu kwa bidii mchana na usiku. 8Kwa nini ye wadogo, bila kusema cho chote zaidi ya yale
yote miongoni mwenu afikiri kwamba ni jambo ambayo manabii na Mose walisema yatatukia:
lisilosadikika Mungu kufufua watu? 23kwamba Kristo atateswa na kwamba Yeye
9“Mimi pia nilikuwa nimeshawishika kwamba atakuwa wa kwanza kufufuka kutoka kwa wafu,
imenipasa kufanya yote yale yaliyowezekana atatangaza nuru kwa watu wake na kwa watu
10
kupinga jina la Yesu wa Nazareti. Nami hayo Mataifa”.
ndiyo nilivyofanya huko Yerusalemu. Kwa
mamlaka ya viongozi wa makuhani, niliwatia Paulo Aeleza Juu Ya Kuhubiri Kwake
wengi wa watakatifu gerezani na walipokuwa 24 Paulo alipokuwa akifanya utetezi huu,
wakiuawa, nilipiga kura yangu kuunga mkono. Festo akasema kwa sauti kubwa, “Paulo, wewe
11Mara nyingi nilikwenda kutoka sinagogi moja umerukwa na akili! Kusoma kwingi kunakufanya
hadi jingine nikiamuru waadhibiwe, nami uwe kichaa!”
nilijaribu kuwalazimisha wakufuru. Katika 25Lakini Paulo akajibu, “Mimi sijarukwa na
shauku yangu dhidi yao, hata nilikwenda miji ya akili, mtukufu sana Festo, bali nanena kweli
kigeni ili kuwatesa. nikiwa na akili zangu timamu. 26Naam, Mfalme
anajua kuhusu mambo haya yote, nami nasema
Paulo Aeleza Kuhusu Kuongoka Kwake naye kwa uhuru. Kwa sababu nina hakika
12 “Siku moja nilipokuwa katika mojawapo ya kwamba hakuna hata mojawapo ya mambo
safari hizi nikiwa ninakwenda Dameski, nilikiwa na haya asilolijua, kwa kuwa hayakufanyika
agizo kutoka kwa kiongozi wa makuhani. 13Ilikuwa mafichoni. 27Mfalme Agripa, Je, unaamimi
yapata adhuhuri, Ee, Mfalme, nilipokuwa njiani, manabii? Najua kuwa unaamini.”
niliona nuru kutoka mbinguni kali kuliko jua, 28Agripa akamwambia Paulo, “Je,
iking’aa kunizunguka pande zote mimi na wale unanishawishi kwa haraka namna hii niwe
niliokuwa pamoja nao. 14Wote tulipokuwa Mkristo?”
tumeanguka chini, nikasikia sauti ikisema nami 29Paulo akasema, “Ikiwa ni kwa haraka au
kwa lugha ya Kiebrania, ‘Sauli, la, namwomba Mungu, si wewe peke yako bali
32
Matendo ya Mitume
pia wale wote wanaonisikiliza leo, wawe kama bandari iliyoko katika kisiwa cha Krete ikikabili
mimi nilivyo, isipokuwa minyororo hii.” upande wa kusini-magharibi na kaskazini-
30Baada ya kusema hayo, Mfalme akainuka magharibi.
pamoja na mtawala na Bernike nao wale
waliokuwa wameketi pamoja nao, 31 wakati Dhoruba Baharini
walipokuwa wakiondoka, wakaambiana “Mtu 13Upepo mtulivu ulipoanza kuvuma toka
huyu hafanyi jambo lo lote linalostahili kufa au kusini, wakadhani kuwa wangeweza kufikia lengo
kufungwa.” lao, hivyo wakang’oa nanga na kusafiri wakipita
32Agripa akamwambia Festo, “Mtu huyu kando kando ya pwani ya kisiwa cha Krete.
angeweza kuachwa huru kama hangekuwa 14Lakini baada ya muda mfupi ikavuma tufani
amekata rufaa kwa Kaisari.” kubwa iitwayo “Eurakilo” toka kisiwa cha Krete.
15Meli ikapigwa na dhoruba na haikuweza
Paulo Asafiri kwa Njia ya Bahari Kwenda
kushindana na ule upepo, tukarudishwa baharini
Rumi
upepo ulikokuwa unaelekea. 16Hatimaye tukisafiri
27 Ilipoamuliwa kwamba tungesafiri kwa
njia ya bahari twenda Italia, Paulo na wafungwa
kupita chini ya kisiwa kidogo kiitwacho Kauda,
ambapo kwa kuwa tulikuwa tumekingiwa upepo
wengine wakakabidhiwa kwa askari mmoja jina na hicho kisiwa, tuliweza kwa shida kuifunga
lake Juliasi, ambaye alikuwa wa kikosi cha
2
walinzi wa Kaisari Agusto. Tulipanda meli mashua ya kuokolea watu. 17Watu walipokwisha
iliyotoka Adramitio, iliyokuwa inakaribia kuivuta mashua hiyo na kuiingiza katika meli,
kusafiri kwenda kwenye bandari zilizopo pwani waliifunga kwa kamba chini ya meli yenyewe ili
ya Asia, tukaanza safari yetu tukiwa pamoja na
kuzishikanisha pamoja. Wakiogopa kupelekwa
Aristarko, Mmakedonia kutoka Thesalonike.
3Kesho yake tukatia nanga Sidoni, naye kwenye mchanga karibu na pwani ya Sirti,
wakashusha matanga wakaiacha meli isukumwe
Juliasi akamfanyia wema Paulo, akamruhusu
aende kwa rafiki zake ili wampatie mahitaji yake. na huo upepo. 18Tulikuwa tunapigwa na dhoruba
4Kutoka huko tukaingia baharini tena na tukapita kwa nguvu kiasi kwamba kesho yake walianza
upande wa chini wa kisiwa cha Kipro kwa kutupa shehena toka melini, 19siku ya tatu kwa
sababu upepo ulikuwa wa mbisho. 5 Baada ya mikono yao wenyewe, wakatupa vyombo vya meli
sisi kuvuka bahari iliyoko upande wa Kilikia na baharini. 20Kulipokuwa hakuna kuonekana kwa
Pamfilia, tukafika Mira huko Likia. 6Huko yule jua wala nyota kwa siku nyingi, nayo dhoruba
jemadari akapata meli ya Aleksandria ikielekea ikiwa inaendelea kuwa kali, hatimaye tulikata
kabisa tamaa ya kuokoka.
Italia, akatupandisha humo. 7Tukasafiri polepole
21Baada ya watu kukaa siku nyingi bila kula
kwa siku nyingi na kwa shida, hatimaye tukafika
karibu na Nido. Kwa kuwa upepo wa mbisho, chakula, Paulo akasimama katikati yao
ulituzuia tusiweze kushika mwelekeo wa nia akasema, “Enyi watu, iliwapasa kunisikiliza na
yetu, tukapita chini ya Krete mkabala na kuacha kusafiri baharini kutoka Krete, ndipo
Salmone. 8Tukaambaa – ambaa na pwani, kwa ninyi mngekuwa mmejinusuru na uharibifu huu
shida tukafika sehemu moja iitwayo Bandari na hasara hii. 23Jana usiku, malaika wa Mungu
Nzuri, karibu na mji wa Lasea. yule ambaye mimi ni wake na ambaye
9Muda mwingi ulikuwa umepotea na kusafiri ninamwabudu alisimama karibu nami, 24naye
baharini kulikuwa hatari kwa sababu wakati huu akasema, ‘Paulo usiogope, kwa kuwa ni lazima
ulikuwa baada ya siku za kufunga. Hivyo Paulo usimame mbele ya mfalme, naye Mungu
amewapa salama wote wanaosafiri pamoja
akawaonya, akasema, 10“Mabwana, naona
kuwa hii safari ni yenye maafa na ya kuleta nawe. 25Hivyo jipeni moyo, enyi watu, kwa kuwa
hasara kubwa kwa meli na shehena, pia kwa ninamwamini Mungu kwamba yatakuwa kama
maisha yetu.” 11Lakini badala ya yule askari vile alivyoniambia.’ 26Lakini hata hivyo meli yetu
kusikiliza yale Paulo aliyosema, akafuata zaidi itakwama kwenye kisiwa fulani.”
27Usiku wa kumi na nne, ulipofika,
ushauri wa nahodha na mwenye meli. 12Kwa
kuwa ile bandari ilikuwa haifai kukaa wakati wa tulipokuwa bado tunasukumwa na upepo katika
majira ya baridi, wengi wakashauri kwamba bahari ya Adria, ilipokuwa yapata usiku wa
tuendelee na safari wakitarajia kufika Foinike na manane, mabaharia wakahisi kwamba walikuwa
kukaa huko kwa majira ya baridi. Hii ilikuwa
33
Matendo ya Mitume
wanakaribia nchi kavu. 28Kwa hiyo wakapima na kutoroka. 43Lakini yule jemadari akitaka
kina cha maji na kukuta kilikuwa pima ishirinia, kuokoa maisha ya Paulo, akawazuia maaskari
baada ya kuendelea mbele kidogo wakapima wasitekeleze mpango wao. Akaamuru wale
tena wakapata kina cha pima kumi na tanob. wanaoweza kuogelea wajitupe baharini kwanza,
29Wakiogopa kwamba meli yetu ingegonga waogelee mpaka nchi kavu. 44Waliosalia
kwenye miamba, wakashusha nanga nne za wangefika nchi kavu kwa kutumia mbao au
nyuma ya meli, wakawa wanaomba vipande vya meli iliyovunjika, hivyo ikatimia,
kupambazuke. 30Katika jaribio la kutoroka kwamba wote wakaokoka na kufika nchi kavu
kutoka kwenye meli, mabaharia wakashusha salama.
mashua ya kuokolea watu baharini, wakijifanya
kwamba wanakwenda kushusha nanga za Paulo Kisiwani Malta
omoc. 31Ndipo Paulo akamwambia yule 28tukafahamu
Baada ya kufika nchi kavu salama, ndipo
jemadari na maaskari, “Hawa watu wasipobaki kwamba jina la kile kisiwa ni Malta.
2Wenyeji wa kile kisiwa hicho
katika meli, hamtaweza kuokoka.” 32Hivyo basi
wale maaskari wakakata kamba zilizoshikilia ile wakatufanyia ukarimu usio wa kawaida.
mashua ya kuokolea watu kwenye meli Waliwasha moto na kutukaribisha sisi sote kwa
wakaicha ianguke humo baharini. sababu mvua ilikuwa inanyesha na ni baridi.
33Kabla ya mapambazuko, Paulo akawasihi 3Paulo alikuwa amekusanya mzigo wa kuni na
watu wote wale chakula akisema, “Leo ni siku alipokuwa anaweka kwenye moto, kwa ajili ya
ya kumi na nne mmekuwa katika wasiwasi joto, nyoka mwenye sumu akatoka humo na
mkiwa mmefunga na bila kula cho chote. 34Kwa kujisokotea mkononi mwake. 4Wale wenyeji wa
hiyo nawasihi mle chakula, kwa maana kile kisiwa walipomwona yule nyoka akining’inia
itawasaidia ili mweze kuishi. Kwa kuwa hakuna mkononi mwa Paulo, wakaambiana, “Huyu mtu
hata mmoja wenu atakayepoteza unywele lazima awe ni mwuaji, ingawa ameokoka kutoka
mmoja kutoka kichwani mwake.” 35Baada ya baharini, haki haijamwacha aishi.” 5Lakini Paulo
kusema maneno haya, Paulo akachukua mkate, akamkung’utia yule nyoka ndani ya moto wala
akamshukuru Mungu mbele yao wote, yeye hakupata madhara yo yote. 6Watu
akaumega akaanza kula. 36Ndipo wote walikuwa wanangoja avimbe au aanguke
wakatiwa moyo, wakaanza kula chakula. ghafula na kufa. Lakini baada ya kungoja kwa
37Ndani ya meli tulikuwa jumla ya watu 276.
muda mrefu na kuona hakuna cho chote kisicho
38Baada ya watu wote kula chakula cha cha kawaida kilichomtokea, wakabadili mawazo
kutosha, wakapunguza uzito wa meli kwa yao na kuanza kusema kwamba yeye ni Mungu.
kutupa ngano baharini. 7Basi karibu na sehemu ile, palikuwa na
39Kulipopambazuka, mabaharia shamba kubwa la mtu mmoja kiongozi wa kile
hawakuitambua ile nchi, lakini waliona ghuba kisiwa, aliyeitwa Publio, ambaye alitupokea
yenye ufuko wa mchanga ambako waliamua akatuhudumia kwa ukarimu mkubwa kwa muda
kuipweleza meli kama ingewezekana. 40Kwa wa siku tatu. 8Baba yake Publio alikuwa
hiyo wakatupa nanga zote na kuziacha baharini, mgonjwa kitandani, akiwa anaumwa homa na
wakati huo huo wakalegeza kamba zilizokuwa kuhara damu. Paulo akaingia ndani ili kumwona
zikishikilia usukani wa meli, kisha wakatweka na baada ya maombi, akaweka mikono juu yake
tanga la mbele lishike upepo na kuisukuma meli na kumponya. 9Jambo hili lilipotukia, watu wote
kuelekea pwani. 41Lakini wakafika mahali wa kisiwa kile waliokuwa wagonjwa wakaja, nao
ambapo bahari mbili zinakutana, wakaipweleza wakaponywa. 10Wakatupa heshima nyingi, nasi
meli ufuoni, omo ikakwama sana, ikawa haiwezi tulipokuwa tayari kusafiri kwa njia ya bahari,
kuondolewa, lakini sehemu ya shetrid ikavunjika wakapakia melini vitu vyote tulivyokuwa
vipande vipande kwa kule kupiga kwa mawimbi tunavihitaji.
yenye nguvu.
42Wale maaskari wakapanga kuwaua wale Paulo Anawasili Rumi
wafungwa ili kuzuia hata mmoja wao asiogelee 11Miezimitatu baadaye tukaanza safari kwa
meli iliyokuwa imetia nanga kwenye kisiwa
a28 Pima 20 ni kama mita 40.
b28 Pima 15 ni kama mita 30 hicho kwa ajili ya majira ya baridi. Hii ilikuwa
c30 Omo hapa maana yake ni sehemu ya mbele ya meli ambayo meli ya Aleksandria yenye alama ya miungu
pia huitwa gubeti.
d41 Shetri – sehemu ya nyuma ya meli ambayo pia huitwa tezi.
pacha waitwao Kasta na Poluksi.12Kituo chetu
34
Matendo ya Mitume
cha kwanza kilikuwa Sirakusa na tukakaa huko hamtaelewa,
13
siku tatu, Kisha tukang’oa nanga tukafika kweli mtatazama, lakini hamtaona,’’
27kwa kuwa mioyo ya watu hawa imekuwa
Regio siku iliyofuata, upepo mkali wa kusi
ukavuma, na siku ya pili yake tukafika Puteoli. migumu,
14Huko tukawakuta ndugu, nasi tukakaribishwa na masikio yao ni mazito kusikia,
tukae nao kwa siku saba. Hivyo tukaendelea na nao wamefumba macho yao.
15
safari mpaka Rumi. Ndugu wa huko Rumi Wasije wakaona kwa macho yao,
waliposikia habari zetu, walikuja mpaka Soko la na kusikiliza kwa masikio yao,
Apio na mahali paitwapo ‘Mikahawa Mitatu’ wakaelewa kwa mioyo yao na kugeuka,
kutulaki. Paulo alipowaona, alimshukuru Mungu nami nikawaponya.’
akatiwa moyo. 16 Tulipofika Rumi, Paulo
28‘‘Basi na ijulikane kwenu kwamba, huu
aliruhusiwa kuishi peke yake akiwa na askari wa
kumlinda. wokovu wa Mungu umepelekwa kwa watu
Mataifa, nao watasikiliza.” 29Naye akiisha
Paulo Ahubiri Rumi Chini Ya Ulinzi kusema maneno haya, Wayahudi wakaondoka
17Siku tatu baadaye Paulo akawaita pamoja wakiwa na hoja nyingi miongoni mwao.
viongozi wa Kiyahudi. Walipokwisha 30Kwa miaka miwili mizima Paulo alikaa
kukusanyika akawaambia, “Ndugu zangu, huko kwenye nyumba yake mwenyewe
ingawa sikufanya jambo lo lote dhidi ya watu aliyokuwa amepanga. Akawakaribisha wote
wetu au dhidi ya desturi za baba zetu, lakini waliokwenda kumwona. 31Akihubiri Ufalme wa
nilikamatwa huko Yerusalemu nikakabidhiwa Mungu na kufundisha mambo yale yaliyomhusu
kwa Warumi. 18Wao walipokwisha kunihoji, Bwana Yesu Kristo, kwa ujasiri wote na bila
wakataka kuniachia huru kwa sababu kizuizi cho chote.
hawakuona kosa lo lote nililolifanya linalostahili
adhabu ya kifo. 19Lakini Wayahudi walipopinga
uamuzi huo, nililazimika kukata rufaa kwa
Mfalme, ingawa sikuwa na lalamiko lo lote juu
ya taifa langu, 20basi ili niseme nanyi, kwa kuwa
ni kwa ajili ya tumaini la Israeli nimefungwa kwa
minyororo.”
21Wakamjibu, “Hatujapokea barua zo zote
kutoka Uyahudi zinazokuhusu, wala hapana
ndugu ye yote aliyekuja hapa ambaye ametoa
taarifa au kuzungumza jambo lo lote baya juu
yako. 22Lakini tungependa kusikia kutoka kwako
unalofikiri kwa sababu tunajua kwamba kila
mahali watu wanazungumza mabaya kuhusu
jamii hii.”
23Baada ya kupanga siku ya kuonana naye,
watu wengi wakaja kuanzia asubuhi hadi jioni
akawaeleza na kutangaza kuhusu Ufalme wa
Mungu akijaribu kuwahadithia juu ya Yesu
kutoka katika Sheria ya Mose na kutoka
Manabii. 24Baadhi wakasadiki kwa yale
aliyosema, lakini wengine hawakuamini. 25Hivyo
hawakukubaliana, nao walipokuwa
wanaondoka, Paulo akatoa kauli moja zaidi:
“Roho Mtakatifu alinena kweli na baba zenu
aliposema mambo yale yaliyomhusu Bwana
Yesu kwa kinywa cha Isaya kwamba,
26“ ‘Nenda kwa watu hawa na useme,
‘‘Kweli mtasikiliza lakini kamwe
35
Warumi
Utangulizi
Waraka huu Paulo aliwaandikia watakatifu huko Rumi. Huu ni mmoja wa nyaraka za kina sana katika Agano
Jipya.
Kwa kuwa Paulo alikuwa amepanga kuzuru Rumi na kwenda mpaka Hispania (15:24,28,32),akiwa
amezuiliwa katika mipango yake ya awali (1:13; 15:22), yawezekana aliandika waraka huu kwa kusudi la
kujitambulisha kwa kanisa la Rumi kwa ajili ya maandalizi ya safari yake na pia ili kueleza kwa muhtasari msingi
wa mafundisho yake.
Kwa sababu hii, waraka huu umepangwa vizuri kuliko nyaraka zake nyingine. Kwa njia hii anawahubiria Injili
kama alivyo itambua. Anaanza kwa kueleza kwamba wanadamu wote wametenda dhambi na kupungukiwa na
utukufu wa Mungu. Kwa hiyo Wayahudi na hata watu Mataifa hawawezi kudai haki mbele za Mungu kwa sababu
dhambi zao zinafuta haki hiyo. Lakini Mungu, kwa neema Yake, alituhesabia haki tuliyopoteza. Yeye alitupenda
hata wakati tulipokuwa wenye dhambi (5:8). Kwa njia hii ya kuhesabiwa haki na Mungu katika Mwanawe,
tunaweza kuwa washindi katika maisha ya Kikristo. Kisha Paulo anaeleza nafasi ya Wayahudi katika mpango wa
Mungu (9-11). Anamalizia waraka wake kwa kutoa maonyo kadha wa kadha kuhusu maadili.

Wazo Kuu
Haki aliyo nayo Mungu kuwahukumu wanadamu na mpango wa Mungu kuwapatia wanadamu haki ya
wokovu inayopatikana bure kwa neema kwa njia ya imani, ambayo ndiyo kiini cha waraka huu. Mungu
anadhihirishwa kuwa ni Mkuu, Mtakatifu na Mwenye haki, atawalaye ulimwengu wote na asiyeweza kulegeza
amri Zake kwa sababu zinafuata asili Yake ya Kimungu. Lakini kwa kufuatana na sheria Yake, aliandaa mpango
wa kuwaokoa Wayahudi pamoja na watu Mataifa. Ili kutimiza mpango Wake wa WOKOVU, alimtuma Mwanawe
Yesu Kristo kutoka mbinguni, aje duniani kwa ajili ya dhambi za wanadamu. Mtu ye yote anayemwamini Yesu
ataokolewa (10:9) na kupewa uwezo wa kushinda dhambi maishani mwake. Hakuna kitu cho chote kiwezacho
kumtenga Mungu na mtu anayemwamini Kristo na upendo wa Mungu(8:38,39).

Tarehe
Paulo aliuandika waraka huu kama 57 B.K. wakati wa kumalizia safari yake ya tatu ya kueneza Injili
alipokuwa anatazamia kuzuru Yerusalemu na hatimaye kwenda Rumi.

Mahali
Korintho ambako alikaa miezi mitatu au Filipi(Mdo.20:3 )

Mgawanyo
• Utangulizi (1:1-17)
• Watu wote hawana haki (1:18 – 3:20 )
• Haki ipatikanayo kwa kumwamini Kristo (3:21-5:21)
• Kushinda Dhambi kwa uwezo wa Kristo (6:1-8:39)
• Mpango wa Mungu kwa Israeli (9:1-11:36)
• Misingi ya Maisha ya Kikristo (12:1-15:13)
• Mawaidha ya Mwisho (15:14 -16:27).

1
Warumi
1 Paulo, mtumishi wa Kristo Yesu, aliyeitwa kuwa itokayo kwa Mungu imedhihirishwa, haki ile iliyo
kwa njia ya imani hadi imani. Kama
mtume na kutengwa kwa ajili ya Injili ya Mungu,
2Injili ambayo Mungu alitangulia ilivyoandikwa: ‘‘Mwenye haki ataishi kwa imani.’’
kuiahidi kwa vinywa vya manabii Wake katika
maandiko matakatifu, 3yaani, Injili inayomhusu Ghadhabu Ya Mungu Kwa Wanadamu
Mwanawe, Yeye ambaye kwa uzao wa mwili 18Ghadhabu ya Mungu imedhihirishwa
alikuwa mzao wa Daudi 4na ambaye kwa uwezo kutoka mbinguni dhidi ya uasi wote na uovu wa
wa Roho wa utakatifu alidhihirishwa kuwa wanadamu ambao huipinga kweli kwa uovu
Mwana wa Mungu kwa ufufuo Wake kutoka kwa wao, 19kwa maana yote yanayoweza kujulikana
wafu, yaani, Yesu Kristo Bwana wetu. 5Ambaye kumhusu Mungu ni dhahiri kwao, kwa sababu
kwa kupitia Kwake na kwa ajili ya Jina Lake, Mungu mwenyewe ameliweka wazi kwao.
tumepokea neema na utume ili kuwaita watu 20Kwa maana tangu kuumbwa kwa ulimwengu,
miongoni mwa watu wote wasiomjua Mungu, asili ya Mungu asiyeonekana kwa macho, yaani,
waje kwenye utii utokanao na imani. 6Ninyi uwezo Wake wa milele na asili Yake ya Uungu,
nyote pia mko miongoni mwa watu walioitwa ili umeonekana waziwazi ukitambuliwa kutokana
mpate kuwa mali ya Kristo Yesu. na yale aliyoyafanya ili wanadamu wasiwe na
udhuru.
7Kwa wote walioko Rumi wapendwao na 21Kwa maana ingawa walimjua Mungu,
Mungu na kuitwa kuwa watakatifu: hawakumtukuza Yeye kama ndiye Mungu wala
hawakumshukuru, bali fikira zao zimekuwa batili
Neema na amani itokayo kwa Mungu Baba na mioyo yao ya ujinga ikatiwa giza. 22Ingawa
yetu na kwa Bwana wetu Yesu Kristo iwe nanyi. wakijidai kuwa wenye hekima, wakawa wajinga
23na kubadili utukufu wa Mungu aishiye milele
Maombi Na Shukrani kwa sanamu zilizofanywa zifanane na
8Kwanza kabisa, namshukuru Mungu mwanadamu ambaye hufa, ndege, wanyama na
wangu kwa njia ya Yesu Kristo kwa ajili yenu viumbe vitambaavyo.
nyote, kwa sababu imani yenu inatangazwa 24Kwa hiyo, Mungu akawaacha wazifuate
duniani kote. 9Kwa maana Mungu tamaa mbaya za mioyo yao katika uasherati,
ninayemtumikia kwa moyo wangu wote katika hata wakavunjiana heshima miili yao wao kwa
kuhubiri Injili ya Mwanawe, ni shahidi Yangu wao. 25Kwa sababu waliibadili kweli ya Mungu
jinsi ninavyowakumbuka 10katika maombi yangu kuwa uongo, wakaabudu na kutumikia kiumbe
sikuzote, nami ninaomba kwamba hatimaye badala ya Mwumba, ahimidiwaye milele! Amen.
sasa kwa mapenzi ya Mungu, njia ipate 26Kwa sababu hii, Mungu aliwaacha
kufunguliwa kwa ajili yangu ili nipate kuja wavunjiane heshima kwa kufuata tamaa zao za
kwenu. aibu. Hata wanawake wao wakabadili matumizi
11Ninatamani sana kuwaona ili nipate ya asili ya miili yao wakaitumia isivyokusudiwa.
kuweka juu yenu karama za rohoni ili mwe 27Vivyo hivyo wanaume pia wakiacha matumizi
imara, 12au zaidi, ninyi pamoja nami tuweze ya asili ya wanawake wakawakiana tamaa wao
kutiana moyo katika imani sisi kwa sisi. 13 kwa wao. Wanaume wakafanyiana matendo ya
Ndugu zangu, napenda mfahamu kwamba mara aibu na wanaume wengine nao wakapata katika
nyingi nimekusudia kuja kwenu, (ingawa mpaka maisha yao adhabu iliyowastahili kwa ajili ya
sasa nimezuiliwa), ili nipate kuvuna mavuno upotovu wao.
miongoni mwenu kama nilivyovuna miongoni 28Nao kwa kuwa walikataa kumkubali
mwa watu wengine wasiomjua Mungu. Mungu, Yeye akawaacha wafuate akili zao za
14Mimi ni mdeni kwa Wayunani na wasio upotovu, watende mambo yale yasiyostahili
Wayunani, kwa wenye hekima na wasio na kutendwa. 29 Wakiwa wamejawa na udhalimu
hekima. 15Ndiyo sababu ninatamani sana wa kila namna, uasherati, uovu, tamaa mbaya
kuihubiri Injili kwenu pia ninyi mlioko Rumi. na hila. Wamejawa na husuda, uuaji, ugomvi,
16Mimi siionei haya Injili ya Kristo kwa udanganyifu, hadaa na nia mbaya. Wao pia ni
maana ni uweza wa Mungu uletao wokovu kwa wasengenyaji, 30wasingiziaji, wanaomchukia
kila aaminiye, kwanza kwa Myahudi na kwa Mungu, wajeuri, wenye kiburi na majivuno,
Myunani pia. 17Kwa maana katika Injili haki wenye hila, wasiotii wazazi wao, 31wajinga,
2
Warumi
wasioamini, wasio na huruma na wakatili. sheria limeandikwa kwenye mioyo yao, ambayo
32Ingawa wanafahamu sheria ya haki ya Mungu pia dhamiri zao zikiwashuhudia, nayo mawazo
kwamba watu wanaofanya mambo kama hayo yao yenye kupingana yatawashtaki au
wanastahili mauti, si kwamba wanaendelea kuwatetea). 16Hili litatukia siku hiyo Mungu
kutenda hayo tu, bali pia wanakubaliana na wale atakapozihukumu siri za mioyo ya wanadamu
wanaoyatenda. kwa njia ya Yesu Kristo, kama isemavyo Injili
yangu.
Hukumu Ya Mungu

2 Kwa hiyo huna udhuru wo wote, wewe mtu Wayahudi Na Torati


17Tazama, wewe ukiwa unaitwa Myahudi na
uwaye yote, utoaye hukumu kwa mwingine, kuitegemea torati na kujisifia uhusiano wako na
kwa maana katika jambo lo lote
unalowahukumu wengine, unajihukumu wewe Mungu, 18kama unajua mapenzi ya Mungu na
mwenyewe kwa sababu wewe unayehukumu kukubali lililo bora kwa sababu umefundishwa na
unafanya mambo yayo hayo. 2Basi tunajua hiyo sheria, 19kama unatambua kuwa wewe ni
kwamba hukumu ya Mungu dhidi ya wale kiongozi wa vipofu, na mwanga kwa wale walio
wafanyao mambo kama hayo ni ya kweli. 3Hivyo gizani, 20mkufunzi wa wajinga na mwalimu wa
wewe mwanadamu, utoapo hukumu juu yao na watoto wachanga, kwa kuwa una maarifa ya kweli
bado unafanya mambo yale yale, unadhani katika hiyo sheria, 21basi wewe, uwafundishaye
utaepuka hukumu ya Mungu? 4Au waudharau wengine, mbona hujifunzi mwenyewe? Wewe
wingi wa wema, ustahimili na uvumilivu Wake, uhubiriye kwamba mtu asiibe, wewe mwenyewe
bila kujua kuwa wema wa Mungu wakuelekeza waiba? 22Wewe usemaye mtu asizini, wewe
kwenye toba ? mwenyewe wazini? Wewe uchukiaye miungu ya
5Lakini kwa sababu ya ukaidi wenu na sanamu, wafanya jambo la kumchukiza katika
mioyo yenu isiyotaka kutubu, unajiwekea akiba mahekalu? 23Wewe ujivuniaye sheria,
ya ghadhabu dhidi yenu wenyewe kwa siku ile wamwaibisha Mungu kwa kuvunja sheria?
ya ghadhabu ya Mungu, wakati hukumu Yake 24Kama ilivyoandikwa, ‘‘Kwa ajili yenu ninyi, Jina
ya haki itakapodhihirishwa. 6Kwa maana Mungu la Mungu linatukanwa miongoni mwa watu
atamlipa kila mtu sawasawa na matendo yake. Mataifa.”
7Wale ambao kwa kuvumilia katika kutenda 25Kutahiriwa kuna thamani ikiwa unatii
mema hutafuta utukufu, heshima na maisha sheria, lakini kama unavunja sheria, kutahiriwa
yasiyoharibika, Mungu atawapa uzima wa kwako kumekuwa kutokutahiriwa. 26Hivyo, ikiwa
milele. 8Lakini kwa wale watafutao mambo yao wale wasiotahiriwa wanatimiza mambo ambayo
wenyewe na wale wanaokataa kweli na sheria inataka, je, kutokutahiriwa kwao
kuzifuata njia mbaya, kutakuwa na ghadhabu na hakutahesabiwa kuwa sawa na kutahiriwa?
hasira ya Mungu. 9Kutakuwa na taabu na dhiki 27Ndipo wale ambao kimwili hawakutahiriwa
kwa kila mmoja atendaye maovu, Myahudi lakini wanaitii sheria watawahukumu ninyi
kwanza na Myunani pia, 10bali utukufu, heshima Wayahudi, ambao mmetahiriwa na kuijua sana
na amani kwa ajili ya kila mmoja atendaye sheria ya Mungu lakini mwaivunja.
mema, kwa Myahudi kwanza, kisha kwa watu 28 Kwa maana mtu si Myahudi kwa vile
Mataifa. 11Kwa maana Mungu hana upendeleo. alivyo kwa nje, wala tohara ya kweli si kitu cha
12Watu wote waliotenda dhambi pasipo
nje au cha kimwili. 29Lakini mtu ni Myahudi
sheria wataangamia pasipo sheria, nao wote alivyo ndani na tohara ya kweli ni jambo la
wale waliotenda dhambi chini ya sheria rohoni, ni la kiroho, wala si la kimwili. Mtu wa
watahukumiwa kwa sheria. 13Kwa maana si namna hiyo hapokei sifa kutoka kwa wanadamu
wale wanaoisikia sheria ambao ni wenye haki bali kwa Mungu.
mbele za Mungu, bali ni wale wanaoitii sheria
ndio watakaohesabiwa haki. 14(Naam, wakati Uaminifu Wa Mungu
wa watu Mataifa, ambao hawana sheria,
wanapofanya kwa asili mambo yatakiwayo na
3 Basi kuna faida gani kuwa Myahudi? Au kuna
thamani gani katika tohara? 2Kuna faida kubwa
sheria, wao ni sheria kwa nafsi zao wenyewe, kwa kila njia maana wamekabidhiwa lile neno
hata ingawa hawana sheria. 15 Wao la Mungu hasa.
wanaonyesha kwamba lile linalotakiwa na 3Ingekuwaje kama wengine hawakuwa na

3
Warumi
imani? Je, kutokuamini kwao kungebatilisha matendo ya sheria, kwa maana sheria
uaminifu wa Mungu? 4La hasha! Mungu na hutufanya tuitambue dhambi.
aonekane mwenye haki na kila mwanadamu
kuwa mwongo, kama ilivyoandikwa : Haki Kwa Njia Ya Imani
21Lakini sasa, haki itokayo kwa Mungu
‘‘Ili uweze kujulikana kuwa na haki katika imedhihirishwa pasipo sheria, ambayo Torati na
maneno yako, Manabii wanaishuhudia. 22Haki hii itokayo kwa
nawe ukashinde katika hukumu.’’ Mungu hupatikana kwa Yesu Kristo kwa wote
wamwaminio. Kwa maana hapo hakuna tofauti,
5Ikiwa uovu wetu unathibitisha haki ya 23kwa kuwa wote wametenda dhambi na
Mungu waziwazi, tuseme nini basi? Je, Mungu kupungukiwa na utukufu wa Mungu,
kuileta ghadhabu Yake juu yetu ni kwamba 24wanahesabiwa haki bure kwa neema Yake
Yeye si mwenye haki? (Nanena kibinadamu.) kwa njia ya ukombozi ulio katika Kristo Yesu.
6La hasha! Kama hivyo ndivyo ilivyo, Mungu 25Yeye ambaye Mungu alimtoa awe dhabihu ya
angehukumuje ulimwengu? 7Mtu aweza kuuliza, upatanisho kwa njia ya imani katika damu Yake.
‘‘Kama uongo wangu unasaidia kuonyesha kweli Alifanya hivi ili kuonyesha haki Yake, kwa
ya Mungu na kuzidisha utukufu Wake, kwa nini sababu kwa ustahimili Wake aliziachilia zile
basi mimi nahukumiwa kuwa mwenye dhambi?’’ dhambi zilizotangulia kufanywa. 26Alifanya hivyo
8Nasi kwa nini tusiseme, kama wengine ili kuonyesha haki Yake wakati huu, ili Yeye awe
wanavyotusingizia kuwa tunasema, ‘‘Tutende mwenye haki na mwenye kumhesabia haki yule
maovu ili mema yapate kuja?” Wao wanastahili anayemwamini Yesu.
hukumu yao.
Umuhimu Wa Kuwa Na Imani
Wote Wametenda Dhambi 27Basi, kujivuna kuko wapi? Kumewekwa
9Tusemeje basi? Je, sisi ni bora kuliko wao? mbali. Kwa sheria gani? Je, ni kwa ile ya
La hasha! Kwa maana tumekwisha kuhakikisha matendo? La hasha, bali kwa ile sheria ya
kwa vyo vyote kwamba Wayahudi na watu imani. 28Kwa maana twaona kwamba
Mataifa wote wako chini ya nguvu ya dhambi. mwanadamu huhesabiwa haki kwa njia ya imani
10Kama ilivyoandikwa: wala si kwa matendo ya sheria. 29 Je, Mungu ni
Mungu wa Wayahudi peke yao? Je, Yeye si
‘‘Hakuna mwenye haki, hakuna hata mmoja. Mungu wa watu Mataifa pia? Naam, Yeye ni
11Hakuna hata mmoja mwenye ufahamu,
Mungu wa watu Mataifa pia. 30Basi kwa kuwa
hakuna hata mmoja amtafutaye Mungu. tuna Mungu mmoja tu, atawahesabia haki wale
12Wote wamegeukia mbali,
waliotahiriwa kwa imani na wale wasiotahiriwa
wote kwa pamoja hawafai, kwa imani iyo hiyo. 31 Je, basi, ni kwamba
hakuna atendaye mema, tunaibatilisha sheria kwa imani hii? La, hasha!
naam, hata mmoja.’’ Badala yake tunaithibitisha sheria.
13“Makoo yao ni makaburi wazi,
kwa ndimi zao hufanya udanganyifu.’’ Abrahamu Ahesabiwa Haki Kwa Imani
Sumu ya nyoka iko midomoni mwao.
14“Vinywa vyao vimejaa laana na uchungu.’’
4 Tuseme nini basi, kuhusu Abrahamu baba
yetu kwa jinsi ya mwili, yeye alipataje kujua jambo
15“Miguu yao ina haraka kumwaga damu,
hili ? 2Kwa maana ikiwa Abrahamu alihesabiwa
16 maangamizi na taabu viko katika njia zao, haki kwa matendo, basi, anacho kitu cha kujivunia,
17wala njia ya amani hawaijui.’’ lakini si mbele za Mungu. 3Kwa maana Maandiko
yasemaje? ‘‘Abrahamu alimwamini Mungu na
18 “Hakuna hofu ya Mungu machoni pao.’’ ikahesabiwa kwake
kuwa haki.’’
19Basi tunajua ya kwamba cho chote sheria 4Basi mtu afanyapo kazi, mshahara wake
inachosema, inawaambia wale walio chini ya hauhesabiwi kwake kuwa ni zawadi, bali ni haki
sheria ili kila kinywa kinyamazishwe na yake anayostahili. 5Lakini kwa mtu ambaye
ulimwengu wote uwajibike kwa Mungu. 20Kwa hafanyi kazi na anamtumaini Mungu, Yeye
hiyo hakuna binadamu hata mmoja ambaye huwahesabia waovu haki, imani yake
atakayehesabiwa haki mbele za Mungu kwa
4
Warumi
inahesabiwa kuwa haki. 6Daudi
pia alisema Abrahamu akaamini atakuwa, ‘‘Baba wa mataifa
vivyo hivyo anenapo juu ya baraka za mtu mengi,’’ kama alivyoahidiwa kwamba, ‘‘Uzao
ambaye Mungu humhesabia haki pasipo wako utakuwa mwingi mno.’’ 19Abrahamu
matendo: hakuwa dhaifu katika imani hata alipofikiri juu ya
mwili wake, ambao ulikuwa kama uliokufa,
7‘‘Wamebarikiwa wale ambao kwani umri wake ulikuwa unakaribia miaka mia
uovu wao umesamehewa moja, au alipofikiiri juu ya ufu wa tumbo la Sara.
20Lakini Abrahamu hakusitasita kwa
na ambao dhambi zao zimefutwa.
8Amebarikiwa mtu yule kutokuamini ahadi ya Mungu, bali alitiwa nguvu
ambaye Mungu hamhesabii dhambi zake.’’ katika imani yake na kumpa Mungu utukufu,
21akiwa na hakika kabisa kwamba Mungu
Haki Kabla Ya Tohara alikuwa na uwezo wa kutimiza lile aliloahidi.
9Je, 22Hii ndio sababu, “ilihesabiwa kwake kuwa
huku kubarikiwa ni kwa wale
waliotahiriwa peke yao, au pia na kwa wale haki.” 23Maneno haya, “Ilihesabiwa kwake kuwa
wasiotahiriwa? Tunasema, ‘‘Imani ya Abrahamu haki,” hayakuandikwa kwa ajili yake peke yake,
24bali kwa ajili yetu sisi pia, ambao Mungu
ilihesabiwa kwake kuwa haki.’’ 10Je, ni lini basi
ilipohesabiwa kwake haki? Je, ilikuwa kabla au atatupa haki, kwa ajili yetu tunaomwamini Yeye
baada ya kutahiriwa kwake? Haikuwa baada, ila aliyemfufua Yesu Bwana wetu kutoka kwa wafu.
25Alitolewa afe kwa ajili ya dhambi zetu, naye
kabla hajatahiriwa. 11Alipewa ishara ya tohara
kuwa muhuri wa haki aliyokuwa nayo kwa imani alifufuka kwa ajili yetu ili tuhesabiwe haki.
hata alipokuwa bado hajatahiriwa. Kusudi
lilikuwa kumfanya baba wa wote wale waaminio Matokeo Ya Kuhesabiwa Haki
pasipo kutahiriwa na ambao wamehesabiwa
haki. 12Vivyo hivyo awe baba wa wale
5 Kwa hiyo, kwa kuwa tumekwisha
kuhesabiwa haki kwa imani, tuna amani na
waliotahiriwa ambao si kwamba wametahiriwa Mungu kwa njia ya Bwana wetu Yesu Kristo,
tu, bali pia wanafuata mfano wa imani ambayo 2ambaye kwa kupitia Kwake tumepata kwa njia
Baba yetu Abrahamu alikuwa nayo kabla ya ya imani kuifikia neema hii ambayo ndani yake
kutahiriwa. sasa tunasimama, nasi twafurahia katika
tumaini letu la kushiriki utukufu wa Mungu. 3Si
Ahadi Ya Mungu Hufahamika Kwa Imani hivyo tu, bali twafurahi pia katika mateso, kwa
13Kwa maana ile ahadi kwamba angeurithi sababu tunajua kuwa mateso huleta saburi,
4nayo saburi huleta uthabiti wa moyo na uthabiti
ulimwengu haikuja kwa Abrahamu au kwa
wazao wake kwa njia ya sheria bali kwa njia ya wa moyo huleta tumaini, 5wala tumaini
halitukatishi tamaa, kwa sababu Mungu
haki ipatikanayo kwa imani. 14Kwa maana ikiwa amekwisha kumimina pendo Lake mioyoni
wale waishio kwa sheria ndio warithi, imani mwetu kwa njia ya Roho Mtakatifu ambaye
haina thamani na ahadi haifai kitu, 15kwa ametupatia.
sababu sheria huleta ghadhabu. Mahali ambapo 6Kwa maana hata tulipokuwa dhaifu, wakati
hakuna sheria hakuna makosa. ulipowadia, Kristo alikufa kwa ajili yetu sisi
16Kwa hiyo, ahadi huja kwa njia ya imani, ili
wenye dhambi. 7Hakika, ni vigumu mtu ye yote
iwe ni kwa neema na itolewe kwa wazao wa kufa kwa ajili ya mwenye haki, ingawa
Abrahamu, si kwa wale walio wa sheria peke inawezekana mtu akathubutu kufa kwa ajili ya
yao bali pia kwa wale walio wa imani ya mtu mwema. 8Lakini Mungu anaudhihirisha
Abrahamu. Yeye ndiye baba yetu sisi sote. upendo Wake kwetu kwamba: Tulipokuwa
17Kama ilivyoandikwa: ‘‘Nimekufanya wewe tungali wenye dhambi, Kristo alikufa kwa ajili
kuwa baba wa mataifa mengi.’’ Yeye ni baba yetu.
yetu mbele za Mungu ambaye alimwamini, 9Basi, kwa kuwa sasa tumehesabiwa haki
Mungu awapaye ahadi waliokufa na kuvitaja vile kwa damu Yake, si zaidi sana tutaokolewa
vitu ambavyo haviko kana kwamba vimekwisha kutoka katika ghadhabu ya Mungu kwa Yeye!
kuwako. 10Kwa kuwa kama tulipokuwa adui wa Mungu
tulipatanishwa naye kwa njia ya kifo cha
Mfano Wa Imani Ya Abrahamu Mwanawe, si zaidi sana tukiisha kupatanishwa,
18Akitarajia yasiyoweza kutarajiwa,
5
Warumi
tutaokolewa kwa uzima Wake. 11Lakini zaidi ya dhambi ili neema ipate kuongezeka? 2La hasha!
hayo, pia tunafurahi katika Mungu kwa njia ya Sisi tuliyoifia dhambi, tutawezaje kuendelea
Bwana wetu Yesu Kristo, ambaye kwa kupitia kuishi tena katika dhambi? 3Au hamjui ya kuwa
Kwake tumepata upatanisho. sisi sote tuliobatizwa katika Kristo Yesu
tulibatizwa katika mauti Yake? 4Kwa hiyo
Adamu Alileta Kifo, Yesu Ameleta Uzima tulizikwa pamoja naye kwa njia ya ubatizo katika
12Kwa hiyo kama vile dhambi ilivyoingia mauti, ili kama vile Kristo alivyofufuka kutoka
ulimwenguni kupitia kwa mtu mmoja na kupitia kwa wafu kwa utukufu wa Baba, vivyo hivyo sisi
dhambi hii, mauti ikawafikia watu wote, kwa nasi pia tupate kuenenda katika upya wa uzima.
5Kwa maana ikiwa tumeungana naye katika
sababu wote wamefanya dhambi. 13Kwa maana
kabla sheria haijatolewa, dhambi ilikuwepo mauti Yake, bila shaka tutaungana naye katika
ulimwenguni. Lakini dhambi haihesabiwi wakati ufufuo Wake. 6Kwa maana twajua kwamba utu
hakuna sheria. 14Hata hivyo, tangu wakati wa wetu wa kale ulisulibiwa pamoja naye ili ule
Adamu hadi wakati wa Mose, mauti ilitawala mwili wa dhambi upate kuangamizwa, nasi
watu wote hata wale ambao hawakuvunja amri tusiendelee kuwa tena watumwa wa dhambi.
kama alivyofanya Adamu, ambaye alikuwa 7Kwa maana mtu ye yote aliyekufa amewekwa
mfano wa yule atakayekuja. huru mbali na dhambi.
15 Lakini ile karama iliyotolewa haikuwa 8Basi ikiwa tulikufa pamoja na Kristo,

kama lile kosa. Kwa maana ikiwa watu wengi tunaamini kwamba pia tutaishi pamoja naye.
9Kwa maana tunajua kwamba Kristo, akiisha
walikufa kwa sababu ya kosa la mtu mmoja,
zaidi sana neema ya Mungu na ile karama kufufuka kutoka kwa wafu, hatakufa tena, mauti
iliyokuja kwa neema ya mtu mmoja, yaani, Yesu haina tena mamlaka juu Yake. 10Kifo alichokufa,
Kristo, imezidi kuwa nyingi kwa ajili ya wengi. aliifia dhambi mara moja tu, lakini uzima alio
16Tena, ile karama ya Mungu si kama matokeo nao anamwishia Mungu.
11Vivyo hivyo, jihesabuni wafu katika
ya ile dhambi. Hukumu ilikuja kwa njia ya mtu
dhambi lakini mlio hai kwa Mungu katika Kristo
mmoja ikaleta adhabu, bali karama ya neema ya
Mungu ilikuja kwa njia ya makosa mengi, ikaleta Yesu. 12 Kwa hiyo, msiruhusu dhambi itawale
ndani ya miili yenu, ipatikanayo na kufa, ili
kuhesabiwa haki. 17Kwa maana ikiwa kutokana
kuwafanya mzitii tamaa mbaya. 13Wala msivitoe
na kosa la mtu mmoja, mauti ilitawala kupitia
viungo vya miili yenu vitumike kama vyombo
huyo mtu mmoja, zaidi sana wale wanaopokea vya uovu vya kutenda dhambi, bali jitoeni kwa
wingi wa neema ya Mungu na karama Yake ya Mungu, kama watu waliotolewa kutoka mautini
kuhesabiwa haki, watatawala katika uzima kwa kuingia uzimani. Nanyi vitoeni viungo vya miili
njia ya huyo mtu mmoja, yaani, Yesu Kristo. yenu Kwake kama vyombo vya haki. 14Kwa
18Kwa hiyo, kama vile kosa la mtu mmoja maana dhambi haitakuwa na mamlaka juu
lilivyoleta hukumu kwa watu wote, vivyo hivyo yenu, kwa sababu hampo chini ya sheria, bali
pia kwa tendo la mtu mmoja la haki huleta chini ya neema.
kuhesabiwa haki kule kuletako uzima kwa wote.
19Kwa maana kama vile kwa kutokutii yule mtu Watumwa Wa Haki
mmoja wengi walifanywa wenye dhambi, vivyo 15Ni nini basi? Je, tutende dhambi kwa kuwa
hivyo kwa kutii kwa mtu mmoja wengi hatuko chini ya sheria bali chini ya neema? La,
watafanywa wenye haki. hasha! 16Je, hamjui kwamba mnapojitoa kwa mtu
20Zaidi ya hayo, sheria ilikuja, ili uvunjaji wa ye yote kama watumwa watiifu, ninyi ni watumwa
sheria uongezeke. Lakini dhambi ilipoongezeka, wa yule mnayemtii, aidha watumwa wa dhambi,
neema iliongezeka zaidi. 21Ili kwamba kama vile ambayo matokeo yake ni mauti, au wa utii ambao
dhambi ilivyotawala kwa njia ya mauti, vivyo matokeo yake ni haki? 17Lakini Mungu
hivyo neema iweze kutawala kwa njia ya ashukuriwe kwa kuwa ninyi ambao kwanza
kuhesabiwa haki hata uzima wa milele katika mlikuwa watumwa wa dhambi, mmekuwa watii
Yesu Kristo Bwana wetu. kutoka moyoni kwa mafundisho mliyopewa,
18Nanyi, mkiisha kuwekwa huru mbali na dhambi,
Kufa Na Kufufuka Pamoja Na Kristo mmekuwa watumwa wa haki.
19Ninasema kwa namna ya kibinadamu kwa
6 Tuseme nini basi? Je, tuendelee kutenda
6
Warumi
sababu ya mipaka yenu ya hali ya asili. Kama yangu kila aina ya tamaa. Kwa maana pasipo
vile kwanza mlivyokuwa mmevitoa viungo vya sheria, dhambi imekufa. 9Wakati fulani nilikuwa
miili yenu kama watumwa wa mambo machafu hai pasipo sheria, lakini amri ilipokuja, dhambi
na uovu uliokuwa ukiongezeka zaidi na zaidi, ikawa hai, nami nikafa. 10Nikaona kwamba ile
hivyo sasa vitoeni viungo vya miili yenu vitumike amri iliyokusudiwa kuleta uzima, ilileta mauti.
kwa ajili ya haki ambayo matokeo yake ni 11Kwa maana dhambi kwa kupata nafasi katika
utakatifu. 20Mlipokuwa watumwa wa dhambi, amri, ilinidanganya na kwa kupitia hiyo amri,
mlikuwa hamtawaliwi na haki. 21Lakini mlipata ikaniua. 12 Hivyo basi, sheria yenyewe ni takatifu
faida gani kwa mambo hayo ambayo sasa na amri ni takatifu na ya haki, tena ni njema.
mnayaonea aibu? Mwisho wa mambo hayo ni 13Je, kile kilicho chema basi kilikuwa mauti
mauti. 22Lakini sasa kwa kuwa mmewekwa huru kwangu? La, hasha! Lakini ili dhambi itambuliwe
mbali na dhambi na mmekuwa watumwa wa kuwa ni dhambi, ilileta mauti ndani yangu kupitia
Mungu, faida mnayopata ni utakatifu, ambao kile kilichokuwa chema, ili kwa njia ya amri
mwisho wake ni uzima wa milele. 23Kwa maana dhambi izidi kuwa mbaya kupita kiasi.
mshahara wa dhambi ni mauti, bali karama ya
Mungu ni uzima wa milele katika Kristo Yesu Mgongano Wa Ndani
Bwana wetu. 14Kwa maana tunajua kwamba sheria ni ya
kiroho, lakini mimi ni wa kimwili nikiwa
Hatufungwi Tena Na Sheria nimeuzwa kwenye utumwa wa dhambi.
7 Ndugu zangu, (sasa ninasema na wale
15Sielewi nitendalo, kwa maana lile ninalotaka
kulitenda, silitendi, lakini ninatenda lile
wanaoijua sheria.) Je, hamjui ya kwamba sheria
ina mamlaka tu juu ya mtu wakati akiwa hai? ninalolichukia. 16Basi kama ninatenda lile
2Kwa mfano, mwanamke aliyeolewa nisilotaka kutenda, ni kwamba ninakubali kuwa
amefungwa kwa mumewe wakati akiwa hai, sheria ni njema. 17Lakini, kwa kweli si mimi tena
lakini yule mume akifa, yule mwanamke nitendaye lile nisilotaka bali ni ile dhambi ikaayo
amefunguliwa kutoka katika sheria ya ndoa. ndani yangu. 18Kwa maana ninafahamu
3Hivyo basi, kama huyo mwanamke ataolewa
kwamba hakuna jema lo lote likaalo ndani
na mwanaume mwingine wakati mumewe akiwa yangu, yaani, katika asili yangu ya dhambi. Kwa
bado yuko hai, ataitwa mzinzi. Lakini kama
mumewe akifa, mwanamke huyo hafungwi tena kuwa nina shauku ya kutenda lililo jema, lakini
na sheria ya ndoa, naye akiolewa na mtu siwezi kulitenda. 19Sitendi lile jema nitakalo
mwingine haitwi mzinzi. kutenda bali lile baya nisilolitaka, ndilo
4Vivyo hivyo, ndugu zangu, ninyi mmeifia nitendalo. 20Basi kama ninatenda lile nisilotaka
sheria kwa njia ya mwili wa Kristo, ili mweze kutenda, si mimi tena nifanyaye hivyo, bali ni ile
kuwa mali ya mwingine, Yeye ambaye alifufuka dhambi ikaayo ndani yangu.
kutoka kwa wafu, ili kwamba tupate kuzaa 21Hivyo naiona sheria ikitenda kazi.
matunda kwa Mungu. 5Kwa maana tulipokuwa Ninapotaka kutenda jema, jambo baya liko papo
tunatawaliwa na asili ya dhambi, tamaa za hapo. 22Kwa maana katika utu wangu wa ndani
dhambi zilizochochewa na sheria zilikuwa naifurahia sheria ya Mungu. 23Lakini ninaona
zikitenda kazi katika miili yetu, hivyo tulizaa kuna sheria nyingine inayotenda kazi katika
matunda ya mauti. 6Lakini sasa, kwa kufia kile viungo vya mwili wangu inayopigana vita dhidi
kilichokuwa kimetufunga kwanza, tumewekwa ya ile sheria ya akili yangu.Sheria hii inanifanya
huru kutoka katika sheria ili tutumike katika njia mateka wa ile sheria ya dhambi inayofanya kazi
mpya ya Roho, wala si katika njia ya zamani ya katika viungo vya mwili wangu. 24Ole wangu,
sheria iliyoandikwa. mimi maskini! Ni nani atakayeniokoa na mwili
Sheria Na Dhambi huu wa mauti? 25Ashukuriwe Mungu kwa njia ya
7Tuseme nini basi? Kwamba sheria ni Yesu Kristo Bwana wetu!
dhambi? La, hasha ! Lakini, ni kwa sababu ya Hivyo basi, mimi mwenyewe kwa akili zangu
sheria nisingekuwa nimeijua dhambi. ni mtumwa wa sheria ya Mungu, lakini katika asili
Nisingekuwa nimejua kutamani ni nini kama ya dhambi ni mtumwa wa sheria ya dhambi.
sheria haikusema, “Usitamani.” 8Lakini dhambi
kwa kupata nafasi katika amri, hii ikazaa ndani Maisha Katika Roho

7
Warumi

8 Kwa hiyo, sasa hakuna hukumu ya


adhabu kwa wale walio ndani ya Kristo Yesu,
sisi ni watoto, basi tu warithi, warithi wa Mungu,
warithio pamoja na Kristo, naam, tukiteswa
wale ambao hawaenendi kwa kuufuata mwili pamoja Naye tupate pia kutukuzwa pamoja
bali kwa kufuata Roho. 2Kwa sababu sheria Naye.
ya Roho wa uzima katika Kristo Yesu imeniweka
huru mbali na sheria ya dhambi na mauti. 3Kwa Utukufu Ujao
maana kile ambacho sheria haikuwa na 18 Nayahesabu mateso yetu ya wakati huu
uwezo wa kufanya, kwa vile ilivyokuwa
dhaifu katika mwili, Mungu kwa kumtuma kuwa si kitu kulinganisha na utukufu
Mwanawe mwenyewe kwa mfano wa utakaodhihirishwa kwetu. 19Kwa maana viumbe
mwanadamu mwenye mwili ulio wa dhambi na vyote vinangoja kwa shauku kudhihirishwa kwa
kwa ajili ya dhambi, Yeye aliihukumu dhambi watoto wa Mungu. 20Kwa kuwa viumbe vyote
katika mwili, 4ili kwamba haki ipatikanayo kwa viliwekwa chini ya ubatili, si kwa chaguo lao, bali
sheria itimizwe ndani yetu sisi, ambao kwa mapenzi Yake Yeye aliyevitiisha katika
hatuenendi kwa kuufuata mwili bali kwa kufuata tumaini, 21Ili kwamba viumbe vyote vipate
Roho. kuwekwa huru kutoka katika utumwa wa
5Kwa maana wale wanaoishi kwa kuufuata kuharibika na kupewa uhuru wa utukufu wa
mwili huziweka nia zao katika vitu vya mwili, watoto wa Mungu.
lakini wale wanaoishi kwa kufuata Roho, 22Kwa maana twajua ya kuwa viumbe vyote
huziweka nia zao katika mambo ya Roho. 6Kwa vimekuwa vikilia kwa uchungu kama utungu wa
maana kuwa na nia ya mwili ni mauti, bali kuwa wakati wa mwanamke kuzaa hata sasa. 23Wala
na nia inayoongozwa na Roho ni uzima na si hivyo viumbe peke yao, bali hata sisi ambao
amani. 7Kwa kuwa ile nia ya mwili ni uadui na ndio matunda ya kwanza ya Roho, kwa ndani
Mungu, kwa maana haiitii sheria ya Mungu, tunalia kwa uchungu tukisubiri kwa shauku
wala haiwezi kuitii. 8Wale wanaotawaliwa na kufanywa wana wa Mungu, yaani, ukombozi wa
mwili, hawawezi kumpendeza Mungu. miili yetu. 24Kwa kuwa tuliokolewa kwa tumaini
9Lakini ninyi, hamtawaliwi na mwili, bali na hili. Lakini kama kinachotumainiwa kikionekana
Roho, ikiwa Roho wa Mungu anakaa ndani hakiwi tumaini tena. Je, kuna mtu anayetumaini
yenu. Mtu ye yote ambaye hana Roho wa kupata kitu alichonacho tayari? 25Lakini
Kristo, yeye si wa Kristo. 10Lakini kama Kristo tunapotumaini kupata kitu ambacho hatuna,
anakaa ndani yenu, miili yenu imekufa kwa basi twakingojea kwa saburi.
26Vivyo hivyo, Roho hutusaidia katika
sababu ya dhambi, lakini roho zenu zi hai kwa
sababu ya haki. 11 Nanyi ikiwa Roho wa Mungu udhaifu wetu, kwa sababu hatujui kuomba
aliyemfufua Yesu kutoka kwa wafu anakaa ipasavyo, lakini Roho mwenyewe hutuombea
ndani yenu, Yeye aliyemfufua Kristo Yesu kwa uchungu kusikoweza kutamkwa. 27Naye
kutoka kwa wafu ataihuisha pia miili yenu Mungu aichunguzaye mioyo, anaijua nia ya
ambayo hufa, kwa njia ya Roho Wake akaaye Roho, kwa sababu Roho huwaombea
ndani yenu. watakatifu sawasawa na mapenzi ya Mungu.
12Kwa hiyo ndugu zangu, sisi tu wadeni, si
Tunashinda Na Zaidi Ya Kushinda
wa mwili, ili tuishi kwa kuufuata mwili, 13kwa 28Nasi tunajua ya kuwa katika mambo yote
maana mkiishi kwa kuufuata mwili, mtakufa,
lakini kama mkiyaua matendo ya mwili kwa Mungu hutenda kazi pamoja na wote
Roho, mtaishi. 14Kwa kuwa wote wampendao, katika kuwapatia mema, yaani,
wanaoongozwa na Roho wa Mungu hao ndio wale walioitwa kwa kusudi Lake. 29Maana wale
watoto wa Mungu. 15Kwa maana hamkupokea Mungu aliowajua tangu mwanzo, pia
roho ya utumwa iwaleteayo tena hofu, bali aliwachagua tangu mwanzo, wapate kufanana
mlipokea roho ya kufanywa wana, ambaye kwa na mfano wa Mwanawe, ili Yeye awe mzaliwa
Yeye twalia, ‘‘Abba,a yaani, Baba,’’ 16Roho wa kwanza miongoni mwa ndugu wengi. 30Nao
mwenyewe hushuhudia pamoja na roho zetu ya wale Mungu aliotangulia kuwachagua, akawaita,
wale aliowaita pia akawahesabia haki, nao wale
kwamba sisi tu watoto wa Mungu. 17Basi ikiwa aliowahesabia haki, pia akawatukuza.
a15 “Abba” ni neno la Kiaramu ambalo maana yake “Baba,”
neno ambalo lingetumiwa na mtoto kwa yule aliyemzaa. Upendo Wa Mungu

8
Warumi
31Tuseme 7Wala si tu kwamba kwa sababu wamezaliwa
nini basi kuhusu haya? Ikiwa
Mungu yuko upande wetu, ni nani awezaye na wazao wa Abrahamu ni watoto wake, lakini
kuwa kinyume chetu? 32Ikiwa Mungu ahadi ya Mungu kwa Abrahamu ilikuwa: “Watoto
hakumhurumia Mwanawe, bali alimtoa kwa ajili wako watahesabiwa katika uzao wa Isaki.’’ 8Hii
yetu sote, atakosaje basi kutupatia vitu vyote ina maana kwamba, si watoto waliozaliwa
kwa ukarimu pamoja Naye? 33Ni nani kimwili walio watoto wa Mungu, bali ni watoto
wa ahadi wanaohesabiwa kuwa uzao wa
atakayewashtaki wale ambao Mungu
amewachagua? Ni Mungu mwenyewe ndiye Abrahamu. 9 Kwa maana ahadi yenyewe
mwenye kuwahesabia haki. 34Ni nani basi ilisema, “Nitakurudia tena wakati kama huu,
naye Sara atapata mtoto wa kiume.’’
atakayewahukumia adhabu? Kristo Yesu ndiye 10Wala si hivyo tu, bali pia watoto aliowazaa
aliyekufa, naam, zaidi ya hayo, ndiye aliyefufuka
kutoka kwa wafu, yuko mkono wa kuume wa Rebeka walikuwa na baba huyo huyo mmoja,
Mungu, naye ndiye anayetuombea. 35Ni nani yaani, baba yetu Isaki. 11Lakini, hata kabla hao
atakayetutenga na upendo wa Kristo? Je, ni mapacha hawajazaliwa au kufanya jambo lo
shida au taabu au mateso au njaa au uchi au lote jema au baya, ili kwamba kusudi la Mungu
hatari au upanga? 36Kama ilivyoandikwa : la kuchagua lipate kusimama, 12si kwa
matendo, bali kwa Yeye mwenye kuita, Rebeka
‘‘Kwa ajili yako tunauawa mchana kutwa, aliambiwa, “Mkubwa atamtumikia mdogo.’’
tumehesabiwa kama kondoo 13Kama vile ilivyoandikwa, “Nimempenda
wa kuchinjwa.’’ Yakobo, lakini Esau nimemchukia.’’
37Lakini katika mambo haya yote tunashinda, Mungu Hana Upendeleo
naam na zaidi ya kushinda, kwa Yeye 14Tuseme nini basi? Je, Mungu ni dhalimu?
aliyetupenda. 38Kwa maana nimekwisha kujua La, hasha! 15Kwa maana Mungu alimwambia
kwa hakika ya kuwa wala mauti, wala uzima, Mose,
wala malaika, wala wenye mamlaka, wala “Nitamrehemu yeye nimrehemuye,
yaliyopo, wala yatakayokuja, wala wenye nami nitamhurumia yeye
uwezo, 39wala yaliyo juu, wala yaliyo chini, wala nimhurumiaye.’’
kiumbe kingine cho chote kitakachoweza
16Kwa hiyo haitegemei kutaka kwa mwanadamu
kututenga na upendo wa Mungu ulio katika
Kristo Yesu Bwana wetu. au jitihada, bali hutegemea huruma ya Mungu.
17Kwa maana Maandiko yamwambia Farao,
Kuteuliwa Kwa Israeli Na Mungu. “Nilikuinua kwa kusudi hili, ili kwamba nipate
9 Ninasema kweli katika Kristo, wala sisemi kuonyesha uweza Wangu juu yako na ili Jina
Langu lipate kutangazwa duniani pote.’’
uongo, dhamiri yangu inanishuhudia katika 18Kwa hiyo basi, Mungu humhurumia yeye
Roho Mtakatifu. 2Nina huzuni kuu na
atakaye kumhurumia na humfanya mgumu
uchungu usiokoma moyoni mwangu. 3Kwa Yeye atakayekumfanya mgumu.
maana ningetamani hata mimi nilaaniwe na 19Basi mtaniambia, ‘‘Kama ni hivyo, kwa
kutengwa na Kristo kwa ajili ya ndugu zangu
hasa, wale walio wa kabila langu kwa jinsi ya nini basi bado Mungu anatulaumu? Kwa maana
mwili, 4yaani, watu wa Israeli, ambao ndio ni nani awezaye kupinga mapenzi Yake?’’
wenye kule kufanywa wana, ule utukufu wa 20Lakini, Ewe mwanadamu, u nani wewe
Mungu, yale maagano, kule kupokea sheria, ushindane na Mungu? ‘‘Je, kilichoumbwa
ibada ya kwenye hekalu na zile ahadi. 5 Wao ni chaweza kumwambia yeye aliyekiumba, ‘Kwa
wa uzao wa mababa wakuu wa kwanza, ambao
kutoka kwao Kristo alikuja kwa jinsi ya mwili nini umeniumba hivi?’ ’’ 21Je, mfinyanzi hana
kama mwanadamu,Yeye ambaye ni Mungu haki ya kufinyanga kutoka katika bonge moja
aliye juu ya vyote, mwenye kuhimidiwa milele! vyombo vya udongo vingine kwa matumizi ya
Amen. heshima na vingine kwa matumizi ya kawaida?
6 Si kwamba Neno la Mungu limeshindwa. 22Iweje basi, kama Mungu kwa kutaka
Kwa maana si kila Mwisraeli ambaye ni wa uzao kuonyesha ghadhabu Yake na kufanya uweza
utokanao na Israeli ni Mwisraeli halisi. Wake ujulikane, amevumilia kwa uvumilivu
mwingi vile vyombo vya ghadhabu
9
Warumi
vilivyoandaliwa kwa uharibifu? 23Iweje
basi, “Tazama naweka katika Sayuni
kama Yeye alitenda hivi ili kufanya wingi wa jiwe la kukwaza
utukufu Wake ujulikane kwa vile vyombo vya na mwamba wa kuwaangusha,
rehema Yake, alivyotangulia kuvitengeneza kwa ye yote atakayemwamini hataaibika
ajili ya utukufu Wake, 24yaani pamoja na sisi, kamwe.’’
ambao pia alituita, si kutoka kwa Wayahudi
peke yao, bali pia kutoka kwa watu Mataifa? 10 Ndugu zangu, shauku ya moyo wangu na
maombi yangu kwa Mungu ni kwa ajili ya
Yote Yalitabiriwa Katika Maandiko Waisraeli, kwamba waokolewe. 2Kwa
25Kama vile Mungu asemavyo katika maana ninaweza nikashuhudia wazi kwamba
Hosea: wao wanajuhudi kubwa kwa ajili ya Mungu,
lakini juhudi yao haina maarifa. 3 Kwa kuwa
“Nitawaita ‘watu Wangu’ wale ambao si hawakuijua haki itokayo kwa Mungu, wakatafuta
watu Wangu, kuweka haki yao wenyewe, hawakujitia chini ya
nami nitamwita ‘mpenzi Wangu’ yeye haki ya Mungu. 4Kwa maana Kristo ni ukomo
ambaye si mpenzi Wangu,’’ wa sheria ili kuwe na haki kwa kila mtu
aaminiye.
26tena,
‘‘Itakuwa hasa mahali Wokovu Ni Kwa Ajili Ya Wote
pale walipoambiwa, 5Mose anaandika kuhusu haki ile itokanayo
‘Ninyi si Watu wangu,’ na sheria, kwamba, ‘‘Mtu atendaye mambo
wao wataitwa watoto wa Mungu aliye hai.’ ’’ hayo ataishi kwa hayo.’’ 6 Lakini ile haki
itokanayo na imani husema hivi : ‘‘Usiseme
27Isaya anapiga kelele kuhusu Israeli: moyoni mwako, ‘Ni nani atakayepanda
mbinguni?’ ’’ (yaani, ili kumleta Kristo chini) 7‘‘au
‘‘Ingawa idadi ya wana wa Israeli ni wengi ‘Ni nani atashuka kwenda kuzimu?’ ’’ (yaani
kama mchanga ulioko pwani ya bahari, kumleta Kristo kutoka kwa wafu.) 8Lakini andiko
ni mabaki yao tu watakaookolewa. lasemaje ? ‘‘Lile neno li karibu nawe, li kinywani
28Kwa kuwa Bwana ataitekeleza mwako na moyoni mwako,’’ yaani, ni lile neno la
hukumu Yake duniani kwa haraka na kwa imani tunalolihubiri. 9Kwa sababu kama ukikiri
ukamilifu.’’ kwa kinywa chako kwamba ‘‘Yesu ni Bwana.’’
na kuamini moyoni mwako kwamba Mungu
29Ni kama vile alivyotabiri Isaya akisema: alimfufua kutoka kwa wafu, utaokoka. 10Kwa
maana kwa moyo mtu huamini na hivyo
‘‘Kama Bwana wa majeshia kuhesabiwa haki, tena kwa kinywa mtu hukiri na
asingetuachia uzao, hivyo kupata wokovu. 11Kama yasemavyo
tungalikuwa kama Sodoma, Maandiko, ‘‘Ye yote amwaminiye
tungalikuwa kama Gomora.’’ hatatahayarika.’’ 12 Kwa maana hakuna tofauti
kati ya Myahudi na Myunani, Yeye ni Bwana wa
Kutokuamini Kwa Israeli wote, mwenye utajiri kwa wote wamwitao.
30Kwa hiyo tuseme nini basi? 13Kwa maana, “Kila mtu atakayeliitia Jina la
Kwamba watu
Mataifa ambao hawakutafuta haki, wamepata Bwana, ataokoka.’’
14Lakini
haki ile iliyo kwa njia ya imani. 31Lakini Israeli, watamwitaje Yeye ambaye
ambao walijitahidi kupata haki kwa njia ya hawajamwamini? Nao watawezaje kumwamini
sheria, hawakuipata. 32Kwa nini? Kwa sababu Yeye ambaye hawajamsikia? Tena
watamsikiaje bila mtu kuwahubiria? 15 Nao
hawakuitafuta kwa njia ya imani bali kwa njia ya
matendo. Wakajikwaa kwenye lile “jiwe la watahubirije wasipopelekwa? Kama
kukwaza.” 33Kama ilivyoandikwa, ilivyaoandikwa, “Ni mizuri mno miguu ya hao
wanaohubiri Injili ya amani na kuleta habari ya
mema!’’
16Lakini si wote waliotii Habari Njema. Kwa
a29 “Bwana wa majeshi hapa ni neno “Bwana wa Sabaothi”
lililotafsiriwa kutoka kwenye lugha ya Kiebrania (pia Isa. 1:9 maana Isaya asema, ‘‘Bwana, ni nani aliyeamini
na Yakobo 5:4)
10
Warumi
ujumbe wetu?’’ 17Basi, imani chanzo chake ni
kusikia na kusikia huja kwa Neno la Kristo. “Mungu aliwapa bumbuazi la mioyo,
18Lakini nauliza, Je, wao hawakusikia? Naam, macho ili wasiweze kuona
wamesikia, kwa maana : na masikio ili wasiweze
kusikia, hadi leo.’’
‘‘Sauti yao imeenea duniani kote,
nayo maneno yao yamefika hadi 9Naye Daudi anasema:
miisho ya ulimwengu.’’
“Karamu zao na ziwe tanzi na mtego
19Nami nauliza tena, Je, Waisraeli wa kuwanasa,
hawakuelewa?’’ Kwanza, Mose asema, kitu cha kuwakwaza waanguke
na adhabu kwao.
‘‘Nitawafanya mwe na wivu 10Macho yao yatiwe giza ili wasiweze kuona,
kwa watu wale ambao si taifa. nayo migongo yao iinamishwe daima.’’
Nitawakasirisha kwa taifa la watu
wasio na ufahamu.’’ Matawi Yaliyopandikizwa
11Hivyo nauliza tena, je, Waisraeli
20Naye Isaya kwa ujasiri mwingi anasema, walijikwaa ili waanguke na kuangamia kabisa?
La, hasha! Lakini kwa sababu ya makosa yao,
‘‘Watu wale waliokuwa hawanitafuti, wokovu umewafikia watu Mataifa, ili kuwafanya
wamenipata, Waisraeli waone wivu. 12Basi ikiwa kujikwaa
nimejidhihirisha kwa watu wale kwao kumekuwa utajiri mkubwa kwa
waliokuwa hawaniulizii.’’ ulimwengu, tena kama kuangamia kwao
kumeleta utajiri kwa watu Mataifa, kurudishwa
21Lakini kuhusu Israeli anasema, kwao kutaleta utajiri mkuu zaidi.
13Sasa ninasema nanyi watu Mataifa.
“Mchana kutwa nimewanyoshea watu Maadam mimi ni mtume kwa watu Mataifa,
wakaidi na wasiotii mikono Yangu.’’ naitukuza huduma yangu 14ili kuwafanya watu
wangu waone wivu na hivyo kuwaokoa baadhi
Mabaki Ya Israeli
yao. 15Kwa kuwa ikiwa kukataliwa kwao ni
11 Basi nauliza, je, Mungu amewakataa kupatanishwa kwa ulimwengu, kukubaliwa kwao
si kutakuwa ni uhai baada ya kufa? 16Kama
watu Wake? La, hasha! Mimi mwenyewe
ni Mwisraeli, tena uzao wa Abrahamu kutoka sehemu ya donge la unga uliotolewa kuwa
kabila la Benyamini. 2Mungu hajawakataa watu limbuko ni mtakatifu, basi unga wote ni
Wake, ambao Yeye aliwajua tangu mwanzo. mtakatifu, nalo shina kama ni takatifu, vivyo
Je, hamjui yale maandiko yasemayo kuhusu hivyo na matawi nayo.
Eliya, jinsi alivyomlalamikia Mungu kuhusu 17 Lakini kama baadhi ya matawi yalikatwa,
Israeli? 3Alisema, ‘‘Bwana, wamewaua nawe chipukizi la mzeituni mwitu ukapandikizwa
manabii Wako na kuzibomoa madhabahu mahali pao ili kushiriki unono pamoja na matawi
Zako, nimebaki mimi peke yangu, nao wanataka
mengine kutoka katika shina la mzeituni, 18 basi
kuniua?’’ 4Je, Mungu alimjibuje? ‘‘Nimejibakizia
watu elfu saba ambao hawajapiga magoti usijivune juu ya hayo matawi. Kama ukijivuna,
kumbuka jambo hili. Si wewe unayelishikilia
kumwabudu Baali.’’ 5Vivyo hivyo pia, sasa wapo
mabaki waliochaguliwa kwa neema ya shina, bali ni shina linalokushikilia wewe. 19Basi
Mungu. 6Lakini ikiwa wamechaguliwa kwa utasema, ‘‘Matawi yale yalikatwa ili nipate
neema, si tena kwa msingi wa matendo. Kama kupandikizwa katika hilo shina.’’ 20Hii ni kweli.
ingekuwa kwa matendo, Matawi hayo yalikatwa kwa sababu ya
neema isingekuwa neema tena. kutokuamini kwake, lakini wewe umesimama tu
7Tuseme nini basi? Kile kitu ambacho Israeli kwa sababu ya imani. Kwa hiyo usijivune, bali
alikitafuta kwa bidii hakukipata. Lakini simama kwa kuogopa.21Kwa maana kama
waliochaguliwa walikipata. Waliobaki walifanywa Mungu hakuyahurumia matawi ya asili, wala
hatakuhurumia wewe.
wagumu, 8kama ilivyoandikwa: 22Angalia basi wema na ukali wa Mungu:

11
Warumi
Kwa wale walioanguka, ukali, bali kwako wewe viko Kwake na kwa ajili Yake.
wema wa Mungu, kama utadumu katika wema Utukufu ni Wake milele. Amen.
Wake. La sivyo, nawe utakatiliwa mbali. 23Wao
nao wasipodumu katika kutokuamini kwao, Maisha Mapya Katika Kristo
watapandikizwa tena kwenye shina, kwa maana
Mungu anao uwezo wa kuwapandikiza tena
12 Kwa hiyo, ndugu zangu, nawasihi kwa rehema
Zake Mungu, itoeni miili yenu iwe dhabihu iliyo hai,
kwenye hilo shina. 24 Ikiwa wewe ulikatwa takatifu na inayompendeza
kutoka katika kile ambacho kwa asili ni mzeituni Mungu, hii ndiyo ibada yenu yenye maana.
mwitu na kupandikizwa kinyume cha asili 2Msifuatishe tena mfano wa ulimwengu huu,
kwenye mzeituni uliopandwa, si rahisi zaidi bali mgeuze kwa kufanywa upya nia zenu.
matawi haya ya asili kupandikizwa tena kwenye Ndipo mtaweza kuonja na kuhakikisha ni nini
shina lake la mzeituni! mapenzi ya Mungu yaliyo mema,
yanayopendeza machoni Pake na ukamilifu.
Israeli Wote Wataokolewa 3Kwa ajili ya neema niliyopewa nawaambia
25Ndugu zangu, ili msije mkajidai kuwa kila mmoja miongoni mwenu, asijidhinie kuwa
wenye hekima kuliko mlivyo, nataka mfahamu bora kuliko impasavyo, bali afikiri kwa busara
siri hii: Ugumu umewapata Israeli kwa sehemu kwa kulingana na kipimo cha imani Mungu
hadi idadi ya watu Mataifa watakaoingia itimie. aliyompa. 4Kama vile katika mwili mmoja tulivyo
26Hivyo Israeli wote wataokolewa kama na viungo vingi, navyo viungo vyote havina kazi
ilivyoandikwa: moja, 5vivyo hivyo na sisi tulio wengi, tu mwili
‘‘Mkombozi atakuja kutoka Sayuni, mmoja katika Kristo, nasi kila mmoja ni kiungo
ataondoa kutokumcha Mungu cha mwenzake. 6Tuna karama zilizotofautiana
katika Yakobo. kila mmoja kutokana na neema tuliyopewa.
27Hili ndilo agano Langu
Kama ni unabii na tutoe unabii kwa kadiri ya
nao nitakapoziondoa dhambi zao.’’ imani. 7 Kama ni kuhudumu na tuhudumu,
28Kwa mwenye kufundisha na afundishe, 8kama ni
habari ya Injili, wao ni adui wa kutia moyo na atie moyo, kama ni kuchangia
Mungu kwa ajili yenu, lakini kuhusu kule kwa ajili ya mahitaji ya wengine na atoe kwa
kuteuliwa kwao ni wapendwa, kwa ajili ya ukarimu, kama ni uongozi na aongoze kwa bidii,
mababa zao wa zamani, 29 kwa maana kama ni kuhurumia wengine na afanye hivyo
akishawapa watu karama haziondoi, wala wito kwa furaha.
Wake. 30Kama vile ninyi wakati fulani
mlivyokuwa waasi kwa Mungu lakini sasa Alama Za Mkristo Wa Kweli
mmepata rehema kwa sababu ya kutokutii 9Upendo lazima usiwe wa unafiki. Chukieni
kwao, 31hivyo nao Waisraeli wamekuwa waasi lililo ovu, shikamaneni na lililo jema.
ili kwamba wao nao sasa waweze kupata 10Pendaneni ninyi kwa ninyi kwa upendo wa
rehema kwa ajili ya rehema za Mungu kwenu. kidugu. Waheshimuni na kuwatanguliza
32Kwa maana Mungu amewafunga wanadamu wengine. 11Msiwe wavivu, bali mwe na bidii
wote kwenye kuasi ili apate kuwarehemu wote. katika roho mkimtumikia Bwana.12Iweni na
furaha katika tumaini, katika dhiki iweni na
Wimbo Wa Shukrani saburi, dumuni katika maombi. 13Changieni
33Tazama jinsi kilivyo kina cha utajiri wa hekima katika mahitaji ya watakatifu, wakaribisheni
na maarifa ya Mungu! wageni.
Tazama jinsi ambavyo hukumu Zake, 14Wabarikini wale wanaowatesa, barikini
hazichunguziki na ambavyo njia Zake wala msilaani. 15Furahini pamoja na wenye
zisivyotafutikana!
34‘‘Ni nani aliyeijua nia ya Bwana? kufurahi, lieni pamoja na wale waliao. 16Kaeni
kwa amani ninyi kwa ninyi. Msijivune, bali mwe
Au ni nani ambaye amekuwa mshauri tayari kushirikiana na wanyonge. Wala msiwe
Wake?’’ watu wenye kujivuna kwamba mnajua kila kitu.
35‘‘Au ni nani aliyempa cho 17Msimlipe mtu ye yote ovu kwa ovu.
chote ili arudishiwe? Jitahidini ili mtende yaliyo mema machoni pa
36Kwa maana vitu vyote vyatoka Kwake,
watu wote. 18Kama ikiwezekana, kwa upande
12
Warumi
wenu kaeni kwa amani na watu wote. ndio utimilifu wa sheria.
19Wapendwa, msilipize kisasi, bali ipisheni 11Nanyi fanyeni hivi, mkiuutambua wakati
ghadhabu ya Mungu, maana imeandikwa: tulio nao. Saa ya kuamka kutoka usingizini
“Kisasi ni juu Yangu, Mimi nitalipa, asema imewadia, kwa maana sasa wokovu wetu
umekaribia zaidi kuliko hapo kwanza
Bwana.” 20Badala yake:
tulipoamini. 12Usiku umeendelea sana,
“adui yako akiwa na njaa, mpe chakula, mapambazuko yamekaribia. Kwa hiyo tuyaweke
akiwa na kiu, mnyweshe. kando matendo ya giza na tuvae silaha za nuru.
Maana ukifanya hivyo, utampalia makaa ya 13Basi na tuenende kwa adabu kama
moto yanayowaka kichwani pake. inavyopasa wakati wa mchana, si kwa kufanya
karamu za ulafi na ulevi, si kwa ufisadi na
21Usishindwe na ubaya, bali uushindeni ubaya
uasherati, si kwa ugomvi na wivu. 14Bali jivikeni
kwa wema. Bwana Yesu Kristo, wala msifikiri jinsi
mtakavyotimiza tamaa za miili yenu yenye asili
Kutii Mamlaka ya dhambi.
13maana
Kila mtu na atii mamlaka inayotawala, kwa
hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu,
Msiwahukumu Wengine
nazo mamlaka zilizopo zimewekwa
na Mungu. 2Kwa hiyo yeye anayeasi dhidi ya
14 Mkaribisheni yeye ambaye imani yake ni
dhaifu, lakini si kwa kugombana na kubishana
mamlaka inayotawala anaasi dhidi ya kile
kilichowekwa na Mungu, nao wale wafanyao juu ya mawazo yake. 2Mtu mmoja imani yake
inamruhusu kula kila kitu, lakini mwingine
hivyo watajiletea hukumu juu yao wenyewe. ambaye imani yake ni dhaifu, hula mboga tu.
3Kwa kuwa watawala hawawatishi watu wale 3Yeye alaye kila kitu asimdharau yeye
wanaotenda mema bali wale wanaotenda asiyekula. Wala yeye asiyekula kila kitu
mabaya. Je, wataka usimwogope mwenye asimhukumu yule alaye kila kitu, kwa maana
mamlaka? Basi tenda lile lililo jema naye Mungu amemkubali. 4Wewe ni nani hata
atakusifu. 4Kwa maana mwenye mamlaka ni umhukumu mtumishi wa mtu mwingine? Kwa
mtumishi wa Mungu kwa ajili ya mema. Lakini bwana wake tu anasimama au kuanguka. Naye
kama ukitenda mabaya, basi ogopa, kwa kuwa atasimama kwa sababu Bwana anaweza
hauinui upanga bila sababu. Yeye ni mtumishi kumsimamisha.
wa Mungu, mjumbe wa Mungu wa kutekeleza 5 Mtu mmoja anaitukuza siku fulani kuwa ni
adhabu juu ya watenda mabaya. 5Kwa hiyo ni bora kuliko nyingine na mwingine anaona kuwa
lazima kutii wenye mamlaka, si kwa sababu ya siku zote ni sawa. Basi kila mmoja awe na
kuogopa adhabu iwezayo kutolewa, bali pia kwa hakika na yale anayoamini. 6Yeye anayehesabu
ajili ya dhamiri. siku moja kuwa takatifu kuliko nyingine, hufanya
6Kwa sababu hii mnalipa kodi, kwa maana hivyo kwa kumheshimu Bwana. Naye alaye
watawala ni watumishi wa Mungu, ambao nyama hula kwa Bwana, kwa maana
hutumia muda wao wote kutawala. 7Mlipeni kila humshukuru Mungu, naye akataaye kula nyama
mtu kile mnachodaiwa. Kama mnadaiwa kodi hufanya hivyo kwa Bwana na humshukuru
lipeni kodi, kama ni ushuru, lipeni ushuru, Mungu. 7 Kwa kuwa hakuna hata mmoja wetu
astahiliye hofu, mhofu, astahiliye heshima, anayeishi kwa ajili yake mwenyewe, wala
mheshimu. hakuna hata mmoja wetu afaye kwa ajili yake
mwenyewe. 8Kama tunaishi, tunaishi kwa
Kupendana Kila Mmoja Na Mwingine. Bwana, nasi pia tukifa twafa kwa Bwana. Kwa
8Msidaiwe kitu na mtu ye yote, isipokuwa hiyo basi, kama tukiishi au kama tukifa, sisi ni
kupendana, kwa maana yeye ampendaye mali ya Bwana.
9Kwani kwa sababu hii hasa, Kristo alikufa
mwenzake, ameitimiza sheria. 9Kwa kuwa amri
hizi zisemazo, “Usizini,” “usiue,” “usiibe,” na akawa hai tena kusudi apate kuwa Bwana
“usitamani” na amri nyingine zote, zinajumlishwa wa wote, yaani, waliokufa na walio hai. 10Basi
katika amri hii moja: ‘‘Mpende jirani yako kama kwa nini wewe wamhukumu ndugu yako? Au
nafsi yako.’’ 10 Upendo haumfanyii jirani jambo kwa nini wewe unamdharau ndugu yako? Kwa
baya. Kwa hiyo upendo kuwa sote tutasimama mbele ya kiti cha Mungu
13
Warumi
cha hukumu. 11Kwa kuwa imeandikwa: kumpendeza jirani yake kwa mambo mema, ili
kumjenga katika imani. 3Kwa maana hata Kristo
‘‘ ‘Kama niishivyo,’ asema Bwana, hakujipendeza mwenyewe, bali kama
‘Kila goti litapigwa mbele Zangu ilivyoandikwa: “Matukano yao wale
na kila ulimi utamkiri Mungu.’ ’’ wanaokutukana wewe yalinipata mimi.’’ Kwa 4
maana kila kitu kilichoandikwa zamani,
12Hivyo basi kila mmoja wetu atatoa habari zake kiliandikwa kutufundisha, ili kwamba kwa saburi
mwenyewe kwa Mungu. na faraja tunayopata katika Maandiko tuwe na
tumaini.
Usimfanye Ndugu Yako Ajikwae 5 Mungu atoaye saburi na faraja, awajalie
13Kwa hiyo na tusiendelee kuhukumiana: ninyi roho ya umoja miongoni mwenu
Badala yake mtu asiweke kamwe kikwazo au mnapomfuata Kristo Yesu, 6ili kwa moyo mmoja
kizuizi katika njia ya mwingine. 14Ninajua tena mpate kumtukuza Mungu aliye Baba wa Bwana
nimehakikishiwa sana katika Bwana Yesu wetu Yesu Kristo.
kwamba hakuna kitu cho chote ambacho ni
najisi kwa asili yake. Lakini kama mtu anakiona Injili Sawa Kwa Wayahudi Na Kwa watu
kitu kuwa ni najisi, basi kwake huyo kitu hicho ni Mataifa
najisi. 15Kama ndugu yako anahuzunishwa kwa 7Karibishaneni ninyi kwa ninyi kama Kristo
sababu ya kile unachokula, basi huenendi tena alivyowakaribisha ninyi ili kumletea Mungu
katika upendo. Usiruhusu kile unachokula kiwe utukufu. 8Kwa maana nawaambia kwamba,
sababu ya kumwangamiza ndugu yako ambaye Kristo amekuwa mtumishi kwa wale
Kristo alikufa kwa ajili yake. 16Usiruhusu kile waliotahiriwa ili kuonyesha kweli ya Mungu na
ambacho unakiona kuwa chema kisemwe kuwa kuthibitisha zile ahadi walizopewa baba zetu wa
ni kiovu. 17Kwa maana Ufalme wa Mungu si zamani, 9pia ili watu Mataifa wamtukuze Mungu
kula na kunywa, bali ni haki, amani na furaha kwa rehema Zake. Kama ilivyoandikwa:
katika Roho Mtakatifu. 18Kwa sababu mtu ye
yote anayemtumikia Kristo kwa jinsi hii, “Kwa hiyo nitakutukuza katikati ya
anampendeza Mungu na kukubaliwa na watu Mataifa,
wanadamu. nitaliimbia sifa Jina Lako.’’
19Kwa hiyo na tufanye bidii kutafuta yale
yaletayo amani na kujengana sisi kwa sisi. 10Tena yasema,
20Usiiharibu kazi ya Mungu kwa ajili ya chakula.
Hakika vyakula vyote ni safi, lakini ni kosa kula ‘‘Enyi watu Mataifa, furahini pamoja na watu
kitu cho chote kinachomsababisha ndugu yako wa Mungu.’’
11Tena,
ajikwae. 21Ni afadhali kutokula nyama wala
kunywa divai au kufanya jambo lingine lo lote ‘‘Mhimidini Bwana, ninyi watu wote Mataifa
litakalomsababisha ndugu yako ajikwae. na kumwimbia sifa, enyi mataifa yote.’’
22 Je, wewe unayo imani ? Ile imani uliyo
nayo, uwe nayo nafsini mwako mbele za 12Tena, Isaya anasema,
Mungu. Heri mtu yule asiye na sababu ya
kujihukumu nafsi yake kwa ajili ya kile “Shina la Yese litachipuka,
anachokifanya. 23Lakini kama mtu ana shaka Yeye atakayeinuka ili kutawala juu
kuhusu kile anachokula, asile hicho kitu, kwa ya mataifa,
sababu hakula kwa imani. Kwa kuwa cho chote watu Mataifa watamtumaini.’’
kinachofanywa pasipo imani ni dhambi.
13Mungu wa tumaini awajaze ninyi furaha
Usijipendeze Mwenyewe, Bali Wapendeze yote na amani katika kumwamini, ili mpate
Wengine kujawa na tumaini tele kwa nguvu ya Roho
15 Sisi tulio na nguvu, hatuna budi Mtakatifu.
kuchukuliana na kushindwa kwa wale walio dhaifu
wala si kujipendeza nafsi zetu Paulo Mhudumu Wa Watu Mataifa
wenyewe. 2Kila mmoja wetu inampasa 14Ndugu zangu, mimi mwenyewe ninasadiki

14
Warumi
kwamba mmejaa wema, ufahamu wote, tena kazi hii na kuhakikisha kuwa wamepokea kila
mnaweza kufudishana ninyi kwa ninyi. kitu kilichokusanywa, nitapitia kwenu nikiwa
15Nimewaandikia kwa ujasiri vipengele kadha
njiani kwenda Hispania. 29Ninajua kwamba
wa kadha katika waraka huu kama nitakapokuja kwenu, nitakuja na wingi wa
kuwakumbusha tena kwa habari ya ile neema baraka za Kristo.
Mungu aliyonipa, 16ili kuwa mhudumu wa Kristo 30Basi, ndugu zangu, nawasihi kwa Jina la
Yesu kwa watu Mataifa nikiwa na huduma ya Bwana wetu Yesu Kristo na kwa upendo wa
kikuhani ya kutangaza Injili ya Mungu, ili watu Roho Mtakatifu, kujiunga nami katika taabu
Mataifa wapate kuwa dhabihu inayokubaliwa na zangu mkiniombea kwa Mungu. 31Ombeni ili
Mungu, iliyotakaswa na Roho Mtakatifu. nipate kuokolewa mikononi mwa wale
17Kwa hiyo ninajisifu katika Kristo Yesu, wasioamini walioko Uyahudi na kwamba
utumishi wangu upate kukubaliwa na watakatifu
kwenye utumishi wangu kwa Mungu. 18Kwa
maana sitathubutu kusema kitu cho chote zaidi wa huko Yerusalemu, 32ili kwa mapenzi ya
ya kile ambacho Kristo amefanya kwa kunitumia Mungu niweze kuja kwenu kwa furaha, nami
mimi katika kuwaongoza watu Mataifa wamtiii niburudishwe pamoja nanyi. 33Mungu wa amani
Mungu kwa yale niliyosema na kufanya, 19 kwa na awe pamoja nanyi nyote. Amen.
nguvu za ishara na miujiza, kwa uweza wa Salamu Kwa Watu Binafsi
Roho wa Mungu, ili kuanzia Yerusalemu hadi
maeneo yote ya kandokando yake, mpaka Iliriko
nimekwisha kuihubiri Injili ya Kristo kwa
16 Napenda kumtambulisha kwenu dada yetu
Foibe, mtumishi katika kanisa la Kenkrea. 2Naomba
ukamilifu. 20Hivyo ni nia yangu kuhubiri Habari mpokeeni katika Bwana ipasavyo watakatifu na
Njema, si pale ambapo Kristo amekwisha kumpa msaada wo wote atakaohitaji kutoka kwenu,
kujulikana, ili nisije nikajenga juu ya msingi wa kwa maana yeye amekuwa msaada kwa watu
wengi, mimi nikiwa
mtu mwingine. 21Lakini kama ilivyoandikwa:
miongoni mwao.
“Wale ambao hawajahubiriwa habari Zake
wataona, 3Wasalimuni Prisilaa na Akila, watumishi
nao wale ambao hawajazisikia wenzangu katika Kristo Yesu. 4Wao
watafahamu.’’ walihatirisha maisha yao kwa ajili yangu
wala si mimi tu ninayewashukuru bali pia
Paulo Apanga Kwenda Rumi makanisa yote ya watu Mataifa.
22Hii ndiyo sababu nimezuiliwa mara nyingi 5Lisalimuni pia kanisa linalokutana nyumbani
nisiweze kuja kwenu. mwao.
23Lakini sasa kwa kuwa hakuna nafasi zaidi Msalimuni rafiki yangu Epaineto, aliyekuwa mtu
kwa ajili yangu katika sehemu hii, ninatamani wa kwanza kumwamini Kristo huko Asia.
kuja kwenu kama ambavyo nimekuwa na
6Msalimuni Maria, aliyefanya kazi kwa bidii kwa
shauku kwa miaka mingi, 24nimekusudia
kufanya hivyo nitakapokuwa njiani kwenda ajili yenu.
Hispania. Natarajia kuwaona katika safari yangu 7Wasalimuni Androniko na Yunia, jamaa zangu
na kusafirishwa nanyi mpaka huko, baada ya ambao wamekuwa gerezani pamoja nami.
kufurahia ushirika wenu kwa kitambo kidogo. Wao ni maarufu miongoni mwa mitume,
25Sasa, niko njiani kuelekea Yerusalemu kwa nao walimjua Kristo kabla yangu.
8Msalimuni Ampliato, yeye nimpendaye katika
ajili ya kuwahudumia watakatifu huko. 26Kwa
Bwana.
kuwa imewapendeza watu wa Makedonia na 9Msalimuni Urbano, mtenda kazi mwenzetu
Akaya kufanya changizo kwa ajili ya maskini
walioko miongoni mwa watakatifu huko katika Kristo, pamoja na rafiki yangu
mpendwa Stakisi.
Yerusalemu. 27 Imewapendeza kufanya hivyo, 10Msalimuni Apele aliyejaribiwa na akaithibitisha
naam, kwani ni wadeni wao. Kwa maana ikiwa
watu Mataifa wameshiriki baraka za rohoni za imani yake katika Kristo. Wasalimuni wote
Wayahudi, wao ni wadeni wa Wayahudi, ili walio nyumbani mwa Aristobulo.
Wayahudi nao washiriki baraka zao za mambo
a3 Prisila ni jina ambalo kwa Kiyunani ni Priska.Hivyo
ya mwilini. 28Kwa hiyo baada ya kukamilisha tafsiri nyingine zimemwita Priska.
15
Warumi
11Msalimuni ndugu yangu Herodioni na wote Yesu Kristo utukufu una Yeye milele na milele.
walio nyumbani mwa Narkisi walio katika Amen.
Bwana.
12Wasalimuni Trifaina na Trifosa, wale wanawake
wanaofanya kazi kwa bidii katika Bwana.
Msalimuni rafiki yangu mpendwa Persisi,
mwanamke mwingine aliyefanya kazi kwa bidii
katika Bwana.
13Msalimuni Rufo, mteule katika Bwana pamoja
na mama yake, ambaye amekuwa mama
kwangu pia.
14Wasalimuni Asinkrito, Flegoni, Herme, Patroba,
Herma na ndugu wote walio pamoja nao.
15Wasalimuni Filologo, Yulia, Nerea na dada
yake, Olimpa na watakatifu wote walio
pamoja nao.
16Salimianeni ninyi kwa ninyi kwa busu takatifu.
Makanisa yote ya Kristo yanawasalimu.

letao matengano na kuweka vikwazo mbele yenu


dhidi ya mafundisho mliyojifunza. 18Kwa maana
watu kama hao hawamtumikii Bwana Kristo, bali
wanatumikia tamaa zao wenyewe. Kwa kutumia mi
nimejawa na furaha tele kwa ajili yenu. Lakini nataka
mwe na hekima katika mambo mema na bila hatia
katika mambo maovu.
20Mungu wa amani atamponda Shetani chini ya
miguu yenu upesi.
Neema ya Bwana wetu Yesu iwe pamoja nanyi.
Amen.
21Timotheo, mtenda kazi mwenzangu
anawasalimu. Vivyo hivyo Lukio, Yasoni, Sosipatro
na ndugu zangu.
22Mimi, Tertio, niliyemwandishi wa waraka huu
nawasalimu katika Bwana.
23Gayo, ambaye ni mwenyeji wangu na wa
kanisa lote anawasalimu.
Erasto, mweka hazina wa mji huu, pamoja na
Kwarto ndugu yetu pia wanawasalimu.
24Neema ya Bwana wetu Yesu Kristo iwe pamoja
nanyi nyote. Amen.

Maneno Ya Mwisho Ya Kumsifu Mungu


25Sasa atukuzwe Yeye awezaye kuwafanya
ninyi imara kwa Injili yangu na kuhubiriwa kwa Yesu
Kristo, kutokana na kufunuliwa siri zilizofichika tangu
zamani za kale. 26Lakini siri ambayo sasa
imefunuliwa na kujulikana kupitia maandiko ya
kinabii kutokana na amri ya Mungu wa milele, ili
mataifa yote yaweze kumwamini na kumtii 27Mungu
aliye pekee mwenye hekima, ambaye kwa njia ya
16
Warumi

17
Warumi

18
1Wakorinto
Utangulizi
Wakati wa huduma ya Paulo ya muda mrefu huko Efeso, Paulo alituma waraka huu kama itikio la habari
alizopata kutoka vyanzo mbalimbali kuhusu hali iliyokuwa inaendelea katika kanisa la Korintho na pia kama
kujibu barua ya kutoka katika kanisa hilo iliyokuwa inaomba ushauri.
Korintho ulikuwa mji uliojengwa pwani ya Bahari ya Mediterania. Huu mji ulikuwa umejengwa kando ya bahari
na ulineemeka kwa kuwa na ukiritimba wa biashara. Kama kituo kikuu cha biashara cha wakati huo ulitajirika
sana.Nyakati za Paulo ulikuwa koloni la Kirumi, ukiwavutia wakazi wa mataifa mbalimbali, wakiwemo Warumi,
Wayunani na Wayahudi kutoka sehemu zinazoizunguka Bahari ya Mediterania. Mchanganyiko huu wa wakazi
ulisababisha kuharibika na kumomonyoka kwa hali ya maadili. Hali hii iliwashangaza hata wapagani. Kutokana
na hali kama hii si ajabu kwamba hata kanisa la Korintho lilikabiliwa na matatizo mengi.
Paulo alikuwa ameanzisha kanisa katika mji wa Korintho huko Uyunani katika safari yake ya pili ya kitume,
yamkini ilikuwa wakati wa majira ya kipupwe mwaka 50 B.K. (Mdo.18:11) na kukaa huko kwa muda wa mwaka
mmoja na nusu.Ni katika wakati huu ndipo alipoanzisha kanisa hili. Aliondoka Korintho huenda majira ya vuli ya
52 B.K., akifuatana na Prisila na Akila kwenda Efeso na kutoka huko alikwenda Palestina (Mdo.18:22). Lakini
mambo yalikuwa mabaya sana baada ya yeye kuondoka. Aliona ni muhimu awaandikie kuhusu matatizo mengi
yaliyojitokeza kama haya yafuatayo: Walikataa kuwa yeye si mtume, walishiriki Meza ya Bwana isivyostahili,
walibishana juu ya kula nyama zilizotolewa kafara kwa sanamu, walikuwa wakishtakiana mahakamani, walishiriki
maisha ya uasherati, walikataa ukweli kuhusu ufufuo, walibishana juu ya ndoa na mengine mengi. Paulo aliona
ana wajibu wa kushughulikia hali hiyo ili kanisa la Korintho lisije likaporomoka. Anaposhughulikia matatizo haya
moja moja, Paulo anafafanua misingi ya mafundisho ya Kikristo juu ya imani.

Wazo Kuu
Katika barua hii, kusudi kubwa la Paulo lilikuwa ni kusahihisha makosa dhahiri yaliyokuwamo katika kanisa la
Korintho. Alionyesha umuhimu wa kuishi kama iwapasavyo watu wanaomwamini Kristo. Haitoshi kusema
kwamba mtu ni mkristo tu, bali ni lazima mwenendo wa mkristo ufanane na ule wa Kristo. Kutokufanya hivyo ni
kumwaibisha Kristo na kanisa Lake. Paulo pia anasisitiza kwamba Kristo anatosheleza haja zote za wale
wanaomwamini. Mtu akiwa ndani ya Kristo anakuwa kiumbe kipya na anafanywa kuwa safi, yaani, mtakatifu.

Mwandishi
Mwandishi ni Paulo.

Tarehe
Waraka huu umeandikwa 55 B.K.

Mgawanyo:
• Salamu za Paulo (1:1-9)
• Tatizo la mgawanyiko katika kanisa (1:10 – 4:21)
• Tatizo la zinaa katika kanisa (5:1-13)
• Tatizo la kushtakiana mahakamani (6:1-11)
• Tatizo la uasherati (6:12-20)
• Tatizo juu ya ndoa (7:1-40)
• Matatizo kuhusu ibada ya sanamu (8:1-11:1)
• Matatizo katika ibada (11:2-14:40)
• Matatizo kuhusu ufufuo wa wafu (15:1-58)
• Mawaidha ya mwisho (16:1-24)

1
1 Wakorinto
Salamu maana Kristo hakunituma ili kubatiza bali
1 Paulo, aliyeitwa kwa mapenzi ya Mungu kuwa kuhubiri Injili na nifanye hivyo si kwa kutumia
maneno ya hekima ya kibinadamu ya
mtume wa Yesu Kristo na Sosthene
ndugu yetu, kushawishi, ili msalaba wa Kristo usije ukakosa
nguvu yake.
2 Kwa Kanisa la Mungu lililoko Korintho,
kwa wale waliotakaswa katika Kristo Yesu, Kristo Hekima Na Nguvu Ya Mungu
walioitwa kuwa watakatifu, pamoja na wale wote 18Kwa maana ujumbe wa msalaba kwa wale
ambao kila mahali wanaliitia Jina la Kristo Yesu wanaopotea ni upuzi, lakini kwetu sisi
Bwana wetu, aliye Bwana wao na wetu pia: tunaookolewa ni nguvu ya Mungu. 19Kwa maana
imeandikwa:
3Neema na amani itokayo kwa Mungu Baba
yetu na kwa Bwana Yesu Kristo iwe nanyi. “Nitaiharibu hekima ya wenye hekima na
kuzibatilisha akili za wenye akili.”
Shukrani
4 Ninamshukuru Mungu sikuzote kwa ajili 20Yuko wapi mwenye hekima? Yuko wapi
yenu kwa sababu ya neema Yake mlioyopewa msomi? Yuko wapi mwanafalsafa wa nyakati
katika Kristo Yesu. 5Kwa kuwa katika Kristo hizi? Je, Mungu hakufanya hekima ya
mmetajirishwa kwa kila hali, katika kusema ulimwengu huu kuwa umpumbavu? 21Kwa kuwa
kwenu na katika maarifa yenu yote, 6kwa katika hekima ya Mungu, ulimwengu kwa
sababu ushuhuda wetu kumhusu Yesu hekima yake haukumjua Yeye, ilimpendeza
ulithibitishwa ndani yenu. 7Kwa hiyo Mungu kuwaokoa wale waaminio kwa upuzi wa
hamkupungukiwa na karama yo yote ya kiroho lile neno lililohubiriwa. 22Wayahudi wanataka
wakati mnangoja kwa shauku kudhihirishwa kwa miujiza na Wayunani wanatafuta hekima,
23lakini sisi tunamhubiri Kristo aliyesulibiwa,
Bwana wetu Yesu Kristo. 8Yeye atawafanya
imara mpaka mwisho, ili msiwe na hatia siku ile ambaye kwa Wayahudi ni kitu cha kukwaza na
ya Bwana wetu Yesu Kristo. 9Mungu ni kwa Wayunani ni upuzi. 24Lakini kwa wale
mwaminifu ambaye mmeitwa naye ili mwe na ambao Mungu amewaita, yaani, Wayahudi na
ushirika na Mwanawe, Yesu Kristo Bwana wetu. Wayunani, Kristo ni nguvu na hekima ya
Mungu. 25Kwa maana upumbavu wa Mungu
Mgawanyiko Ndani Ya Kanisa una hekima zaidi kuliko hekima ya wanadamu,
10Nawasihi ndugu zangu, katika Jina la nao udhaifu wa Mungu una nguvu kuliko nguvu
Bwana wetu Yesu Kristo, kwamba mpatane nia ya wanadamu.
zenu ninyi kwa ninyi, ili pasiwepo na matengano 26Ndugu zangu, kumbukeni mlivyokuwa
katikati yenu na kwamba mwe na umoja mlipoitwa. Kwa kipimo cha kibinadamu, si wengi
kikamilifu katika nia na katika kusudi. 11Kwa wenu mliokuwa na hekima. Si wengi waliokuwa
maana ndugu zangu, nimepata habari kutoka na nguvu, si wengi waliozaliwa katika jamaa
kwa baadhi ya watu wa nyumbani mwa Kloe zenye vyeo. 27Lakini Mungu alichagua vitu
kwamba kuna magomvi katikati yenu. 12Maana vipumbavu vya ulimwenguni ili aviaibishe
yangu ni kwamba: Kila mmoja wenu husema, vyenye hekima, Mungu alichagua vitu dhaifu
“Mimi ni wa Paulo,” mwingine, “Mimi ni wa vya ulimwengu ili aviaibishe vyenye nguvu.
28Alivichagua vitu vya chini na
Apolo,” mwingine “Mimi ni wa Kefa” na
mwingine “Mimi ni wa Kristo”. vinavyodharauliwa vya dunia hii, vitu ambavyo
13Je, Kristo amegawanyika? Je, Paulo haviko, ili avibatilishe vile vilivyoko, 29ili mtu ye
ndiye aliyesulibishwa kwa ajili yenu? Je, yote asijisifu mbele za Mungu. 30Mungu ndiye
mlibatizwa kwa jina la Paulo? 14Namshukuru chanzo cha uzima wenu katika Kristo Yesu,
Mungu kwamba sikumbatiza mtu ye yote aliyefanyika kwetu hekima itokayo kwa Mungu
miongoni mwenu isipokuwa Krispo na Gayo. 15 na haki na utakaso na ukombozi, 31ili kama
Kwa hiyo hakuna mtu ye yote miongoni mwenu ilivyoandikwa: “Yeye ajisifuye na ajisifu katika
anayeweza kusema kwamba alibatizwa kwa jina Bwana.”
langu. 16 (Naam, niliwabatiza pia watu wa
Kumtangaza Kristo Aliyesulibiwa
nyumbani mwa Stefana. Lakini zaidi ya hao sijui
kama nilimbatiza mtu mwingine ye yote.) 17Kwa
2
1Wakorinto
2 Ndugu zangu nilipokuja kwenu, sikuja na maneno hatambuliwi na mtu ye yote.
16“Kwa maana ni nani aliyejua nia ya
ya ushawishi wala hekima ya hali ya juu nilipowahubiria
siri za Mungu. 2Kwa kuwa Bwana ili apate kumfundisha?”
niliamua kutokujua kitu cho chote wakati nikiwa
nanyi isipokuwa Yesu Kristo, naye amesulibiwa Lakini sisi tunayo nia ya Kristo.
msalabani. 3 Mimi nilikuja kwenu nikiwa dhaifu
na mwenye hofu na kwa kutetemeka sana. Kuhusu Mgawanyiko Katika Kanisa.
4Kuhubiri kwangu na ujumbe wangu haukuwa
na hekima na maneno ya kuwashawishi watu,
3 Ndugu zangu, mimi sikuweza kusema
nanyi kama watu wa kiroho, bali kama watu
bali kwa madhihirisho ya nguvu za Roho wa mwilini, kama watoto wachanga katika Kristo.
Mtakatifu 5ili imani yenu isiwe imejengwa katika 2Naliwanywesha maziwa, wala si chakula
hekima ya wanadamu bali katika nguvu za kigumu, kwa kuwa hamkuwa tayari kwa hicho
Mungu. chakula kigumu. Naam, hata sasa hamkiwezi.
3Kwa maana ninyi bado ni watu wa mwilini. Kwa
Hekima Ya Kweli Itokayo Kwa Mungu kuwa bado kuna wivu na magombano miongoni
mwenu, je, ninyi si watu wa mwilini, nanyi
6Lakini miongoni mwa watu waliokomaa mnaenenda kwa jinsi ya kibinadamu? 4Kwa
twanena hekima, wala si hekima ya ulimwengu maana mmoja anaposema, “Mimi ni wa Paulo,”
huu au ya watawala wa dunia hii wanaobatilika. mwingine, “Mimi ni wa Apolo”, je, ninyi si
7Sisi tunanena hekima ya Mungu ambayo ni siri, wanadamu wa kawaida?
5Kwani, Apolo ni nani? Naye Paulo ni nani?
tena iliyofichika kwa wanadamu, ambayo Mungu
Ni watumishi tu ambao kwa kupitia wao
aliikusudia kabla ulimwengu kuwepo, kwa ajili ya
mliamini. 6Mimi nilipanda mbegu, Apolo akatia
utukufu wetu. 8Hakuna hata mtawala mmoja wa
maji, lakini Mungu ndiye aliyekuza. 7Hivyo
nyakati zetu aliyeelewa jambo hili. Kwa maana mwenye kupanda mbegu na mwenye kutia maji
kama wangelielewa, wasingemsulibisha Bwana si kitu, bali Mungu peke Yake ndiye akuzaye.
wa utukufu. 9Lakini ni kama ilivyoandikwa: 8Apandaye mbegu ni sawa na yule atiaye maji.
Kila mmoja atalipwa kulingana na kazi yake.
“Lile jambo ambalo jicho halijapata kuona, 9Sisi ni watenda kazi pamoja na Mungu, ninyi ni
sikio halijapata kusikia, shamba la Mungu, ni jengo la Mungu.
wala halikuingia moyoni 10Kwa neema Mungu aliyonipa, niliweka
lile Mungu alilowaandalia wale msingi kama mjenzi stadi na mtu mwingine
wampendao.” anajenga juu ya huo msingi. Lakini kila mmoja
inampasa awe mwangalifu jinsi anavyojenga juu
10Lakini mambo haya Mungu ametufunulia kwa yake. 11 Kwa maana hakuna mtu ye yote
njia ya Roho Wake. awezaye kuweka msingi mwingine wo wote
Roho huchunguza kila kitu, hata mambo ya isipokuwa ule uliokwisha kuwekwa, ambao ni
ndani sana ya Mungu. 11 Kwa maana ni nani Yesu Kristo. 12Kama mtu ye yote akijenga juu
anayejua mawazo ya mtu isipokuwa roho iliyo ya msingi huu kwa kutumia dhahabu, fedha,
ndani ya huyo mtu? Vivyo hivyo hakuna mtu mawe ya thamani, miti, majani au nyasi, 13 kazi
ajuaye mawazo ya Mungu isipokuwa Roho wa yake itaonekana kuwa ikoje, kwa kuwa siku ile
Mungu. 12Basi hatukupokea roho ya dunia bali itaidhihirisha kazi yake. Itadhihirishwa kwa
Roho yule atokaye kwa Mungu, ili tuweze moto, nao moto utapima ubora wa kazi ya kila
kuelewa kile kipawa ambacho Mungu mtu. 14Kama kile alichojenga kitabaki, atapokea
ametupatia bure. 13Haya ndiyo tusemayo, si thawabu. 15Kama kazi ya mtu itateketea,
kwa maneno tuliyofundishwa kwa hekima ya atapata hasara, ila yeye mwenyewe
wanadamu bali kwa maneno tuliyofundishwa na ataokolewa, lakini kama mtu aliyenusurika
Roho, tukifafanua kweli za kiroho kwa wale watu kwenye moto.
wa kiroho. 14Mtu ambaye hana Roho wa Mungu 16Je, hamjui ya kwamba ninyi ni hekalu la
hawezi kupokea mambo yatokayo kwa Roho wa Mungu na kwamba Roho wa Mungu anakaa
Mungu, kwa kuwa ni upuzi kwake, naye hawezi ndani yenu? 17Kama mtu ye yote akiliharibu
kuyaelewa kwa sababu hayo yanaeleweka tu hekalu la Mungu, Mungu atamwangamiza mtu
kwa jinsi ya rohoni. 15Mtu wa kiroho hutambua huyo, Kwa maana hekalu la Mungu ni takatifu,
mambo yote, lakini yeye mwenyewe
3
1Wakorinto
ambalo ndilo ninyi. wajinga, lakini ninyi mna hekima ndani ya
18Msijidanganye. Kama mtu ye yote Kristo. Sisi tu dhaifu, lakini ninyi mna nguvu.
miongoni mwenu akidhani kuwa ana hekima Tunadharauliwa, lakini ninyi mnaheshimiwa.
11Mpaka saa hii tuna njaa na kiu, tu uchi,
kwa viwango vya dunia hii, inampasa awe
mjinga ili apate kuwa na hekima. 19Kwa maana tumepigwa na hatuna makao. 12Tunafanya kazi
hekima ya ulimwengu huu ni upuzi mbele za kwa bidii kwa mikono yetu wenyewe.
Mungu. Kama ilivyoandikwa: “Mungu huwanasa Tunapolaaniwa, tunabariki, tunapoteswa
wenye hekima katika hila yao,” 20Tena, “Bwana 13
twastahimili, tunaposingiziwa, tunajibu kwa
anajua kwamba mawazo ya wenye hekima ni upole. Mpaka sasa tumekuwa kama takataka ya
ubatili.” 21Hivyo basi, mtu asijivune kuhusu dunia na uchafu wa ulimwengu hadi leo.
wanadamu! Kwa kuwa vitu vyote ni vyenu, 14Siwaandikii mambo haya, ili kuwaaibisha,
22ikiwa ni Paulo au Apolo au Kefa au dunia au bali ili kuwaonya, kama wanangu wapendwa.
uzima au mauti, au wakati uliopo au wakati ujao, 15Hata kama mnao walimu 10,000 katika Kristo,
haya yote ni yenu 23na ninyi ni wa Kristo, naye lakini hamna baba wengi. Mimi nilikuwa baba
Kristo ni wa Mungu. yenu katika Kristo Yesu kwa kuwaletea Injili.
16Basi nawasihi mwige mfano wangu. 17Kwa
Mawakili Wa Siri Za Mungu
sababu hii ninamtuma Timotheo, mwanangu
4 Basi, watu na watuhesabu sisi kuwa tu mpendwa na mwaminifu katika Bwana. Yeye
atawakumbusha kuhusu maisha yangu katika
watumishi wa Kristo na mawakili wa siri za
Mungu. 2Zaidi ya hayo, litakiwalo ni mawakili Kristo ambayo yanakubaliana na mafundisho
yangu ninayofundisha kila mahali kwenye kila
waonekane kuwa waaminifu. 3Lakini kwangu
mimi ni jambo dogo sana kwamba nihukumiwe kanisa.
na ninyi au na mahakama yo yote ya 18Baadhi yenu mmekuwa na majivuno
kibinadamu. Hata mimi mwenyewe sijihukumu. mkidhani kuwa sitafika kwenu. 19Lakini kama
4Dhamiri yangu ni safi, lakini hilo halinifanyi
Bwana akipenda, nitafika kwenu mapema, nami
nisiwe na hatia. Bwana ndiye anihukumuye. nitapenda kujua, si tu kile wanachosema hawa
5Kwa hiyo msihukumu jambo lo lote kabla ya
watu wenye kiburi, bali pia kujua nguvu yao.
wakati wake, ngojeni mpaka Bwana 20Kwa kuwa Ufalme wa Mungu si maneno
atakapokuja. Yeye atayaleta nuruni mambo yale
yaliyofichwa gizani na kuweka wazi nia za matupu tu bali ni nguvu. 21Ninyi amueni. Je, nije
mioyo ya wanadamu. Wakati huo kila mmoja kwenu na fimbo, au nije kwa upendo na kwa
atapokea sifa anayostahili kutoka kwa Mungu. roho ya upole?
6Basi ndugu zangu, mambo haya
nimeyafanya kuwa mfano wa mimi binafsi na Mwasherati Atengwe
Apolo kwa faida yenu, ili mweze kujifunza
kutoka kwetu maana ya ule usemi usemao,
5 Kuna habari za kweli kwamba miongoni
mwenu kuna uasherati ambao haujatokea hata
“Msivuke zaidi ya yale yaliyoandikwa.” Hivyo miongoni mwa watu wasiomjua Mungu: kwamba
hamtajivunia mtu fulani na kumdharau mtu awe na mke wa baba yake. 2Nanyi
mwingine. 7 Kwa maana ni nani aliyekufanya mwajivuna! Je, haiwapasi kuhuzunika na
wewe kuwa tofauti na mwingine? Ni nini ulicho kumtenga mtu huyo aliyefanya mambo hayo na
nacho ambacho hukupokea? Nawe kama ushirika wenu? 3Hata kama siko pamoja nanyi
ulipokea, kwa nini unajivuna kama vile katika mwili, niko nanyi katika roho. Nami
hukupokea? nimekwisha kumhukumu mtu huyo aliyetenda
jambo hili, kama vile ningekuwapo.
8Sasa tayari mnayo yale yote mnayohitaji! 4Mnapokutana katika Jina la Bwana wetu Yesu
Tayari mmekwisha kuwa matajiri! Mmekuwa nami nikiwepo pamoja nanyi katika roho na
wafalme, tena bila sisi! Laiti mngekuwa wafalme uweza wa Bwana Yesu ukiwepo, 5mkabidhini
kweli ili na sisi tupate kuwa wafalme pamoja mtu huyu kwa Shetani, ili asili ya dhambi
nanyi! 9Kwa maana ninaona kwamba Mungu iangamizwe lakini roho yake iokolewe katika
ametuweka sisi mitume katika nafasi ya mwisho siku ya Bwana.
6Majivuno yenu si mazuri. Je, hamjui ya
kabisa, kama watu waliohukumiwa kufa, kwa
sababu tumefanywa kuwa maonyesho kwa kwamba chachu kidogo huchachusha donge
ulimwengu wote, kwa malaika na kwa zima la unga? 7Ondoeni chachu ya kale ili
mpate kuwa donge jipya, kama vile mlivyo
wanadamu pia. 10Kwa ajili ya Kristo sisi ni
4
1Wakorinto
hamkutiwa chachu. Kwa maana Kristo, Mwana- kwangu,” lakini sitatawaliwa na kitu cho chote.
Kondoo wetu wa Pasaka amekwisha tolewa 13“Chakula ni kwa ajili ya tumbo na tumbo ni
kuwa dhabihu. 8Kwa hiyo, tusiiadhimishe kwa ajili ya chakula,” lakini Mungu
sikukuu hii, kwa chachu ya zamani, chachu ya ataviangamiza vyote viwili. Mwili wa
nia mbaya na uovu, bali kwa mkate usiotiwa mwanadamu haukuumbwa kwa ajili ya zinaa
chachu, mkate wa weupe wa moyo na kweli. bali kwa ajili ya Bwana na Bwana kwa ajili ya
9Niliwaandikia katika waraka wangu kuwa mwili. 14Naye Mungu aliyemfufua Bwana kutoka
kwa wafu atatufufua sisi pia kwa uweza Wake.
msishirikiane na wazinzi. 10Sina maana 15Je, hamjui kwamba miili yenu ni viungo vya
kwamba msishirikiane na wazinzi wa ulimwengu
huu, au wenye tamaa mbaya, wanyang’anyi au Kristo? Je, nichukue viungo vya mwili wa Kristo
waabudu sanamu. Kwa kufanya hivyo na kuviunganisha na mwili wa kahaba? La
ingewabidi mtoke humu ulimwenguni. 11Lakini hasha! 16 Hamjui kwamba aliyeungwa na
sasa nawaandikia kwamba msishirikiane na mtu kahaba anakuwa mwili mmoja naye? Kwa kuwa
ye yote anayejiita ndugu lakini akiwa ni mzinzi, imenenwa, “Hao wawili watakuwa mwili mmoja.”
17Lakini mtu uliyeungwa na Bwana anakuwa
au mwenye tamaa mbaya, mwabudu sanamu
au msingiziaji, mlevi au mdhalimu. Mtu kama roho moja naye.
huyo hata msile naye. 18Ikimbieni zinaa. Dhambi nyingine zote
12Yanihusu nini kuwahukumu wale watu walio atendazo mtu ziko nje ya mwili wake, lakini yeye
nje ya kanisa? Je, si mnapaswa kuwahumu hao aziniye hutenda dhambi ndani ya mwili wake
walio ndani ya kanisa? 13 Mungu atawahukumu mwenyewe. 19Je, hamjui ya kwamba miili yenu
hao walio nje ya kanisa. “Ninyi mwondoeni huyo ni hekalu la Roho Mtakatifu, akaaye ndani yenu,
mtu mwovu miongoni mwenu.” ambaye mmepewa na Mungu? Ninyi si mali
yenu wenyewe, 20kwa maana mmenunuliwa
Kushtakiana Miongoni Mwa Waamini. kwa gharama. Kwa hiyo mtukuzeni Mungu
6 Kama mtu ye yote wa kwenu ana ugomvi na katika miili yenu na katika roho zenu ambazo ni
mali ya Mungu.
mwenzake, anathubutuje kuupeleka kwa
wasiomcha Mungu ili kuamuliwa badala ya
kuupeleka kwa watakatifu? 2Je, hamjui kwamba Kuhusu Ndoa
watakatifu watauhukumu ulimwengu? Nanyi Basi kuhusu mambo yale mliyoniandikia:
kama mtauhukumu ulimwengu, je, hamwezi 7 Ni vema mwanaume asimguse
kuamua mambo madogo madogo? 3Hamjui 2
mwanamke. Lakini ili kuepuka zinaa, kila
kwamba tutawahukumu malaika? Je, si zaidi mwanaume na awe na mke wake mwenyewe
mambo ya maisha haya? 4Kwa hiyo kama kuna na kila mwanamke awe na mume wake
ugomvi miongoni mwenu kuhusu mambo kama mwenyewe. 3Mume atimize wajibu wake wa
haya ninyi mwachagua watu ambao hata ndoa kwa mkewe,naye vivyo hivyo mke kwa
hawaheshimiwi katika kanisa kuwa waamuzi? mumewe. 4 Mwanamke hana mamlaka juu ya
5Nasema hivi ili mwone aibu. Je, inawezekana mwili wake bali mumewe, wala mume hana
kuwa miongoni mwenu hakuna mtu mwenye mamlaka juu ya mwili wake bali mkewe.
hekima ya kutosha kuamua ugomvi kati ya 5Msinyimane, isipokuwa mmekubaliana kufanya
ndugu mmoja na mwenzake? 6Badala yake hivyo kwa muda fulani ili mweze kujitoa kwa
ndugu mmoja anampeleka mwenzake maombi, kisha mrudiane tena ili Shetani asije
mahakamani, tena mbele ya watu wasioamini! akapata nafasi ya kuwajaribu kwa sababu ya
7 Ukweli ni kwamba huko kuwa na kutokuwa na kiasi. 6Nasema haya kama ushauri
mashtaka dhidi ya mwingine miongoni mwenu na si amri. 7Laiti watu wangekuwa kama mimi
tayari ni kushindwa. Kwa nini msikubali nilivyo. Lakini kila mtu amepewa kipawa chake
kutendewa mabaya? Kwa nini msikubali kutoka kwa Mungu, mmoja ana kipawa cha
kunyang’anywa? 8Badala yake, ninyi wenyewe namna hii na mwingine ana cha namna ile.
mwadanganya na kutenda mabaya, tena 8Kwa wale wasiooa na kwa wajane,
mwawatendea ndugu zenu. ingekuwa vizuri wabaki kama mimi nilivyo.
9Lakini kama hawawezi kujizuia, basi waoe na
Dhambi Za Zinaa kuolewa, kwa maana ni afadhali kuoa au
12 ‘‘Vitu vyote ni halali kwangu,’’ lakini si vitu kuolewa kuliko kuwaka tamaa.
vyote vyenye faida, “Vitu vyote ni halali 10Kwa wale waliooana nawapa amri, (si

5
1Wakorinto
mimi ila ni Bwana): Mke asimwache mumewe. hujatenda dhambi na kama bikira akiolewa,
11Lakini kama akimwacha, ni lazima akae bila hajatenda dhambi. Lakini wale wanaooa
kuolewa, ama sivyo apatane tena na mumewe. watakabiliana na matatizo mengi katika maisha
Wala mume asimpe mkewe talaka. haya, nami nataka kuwazuilia hayo.
12Lakini kwa wengine nasema, (si Bwana ila 29 Lakini ndugu zangu, nina maana
ni mimi): Kama ndugu ana mke asiyeamini, kwamba muda uliobaki ni mfupi. Tangu sasa
naye huyo mke anakubali kuishi pamoja naye, wale waliooa waishi kama wasio na wake 30nao
basi asimwache. 13Naye mwanamke aaminiye wanaoomboleza, kama ambao hawaombolezi,
kama ameolewa na mwanaume asiyeamini na wenye furaha kama wasiokuwa nayo, wale
huyo mume anakubali kuishi naye, basi huyo wanaonunua, kama vile vitu walivyonunua si
mwanamke asimwache. 14Kwa maana huyo mali yao, 31nao wale wanaoshughulika na vitu
mume asiyeamini anatakaswa kupitia mkewe, vya dunia hii, kama ambao hawahusiki navyo.
naye mke asiyeamini anatakaswa kupitia Kwa maana dunia hii kama tunavyoiona sasa
mumewe. Kama isingalikuwa hivyo watoto wenu inapita.
wangalikuwa si safi, lakini ilivyo sasa wao ni 32Ningetaka msiwe na masumbufu.
watakafifu. 15Lakini kama yule asiyeamini Mwanaume ambaye hajaoa anajishughulisha na
akijitenga, basi afanye hivyo. Katika hali kama mambo ya Bwana, yaani, jinsi ya kumpendeza
hiyo mwanamke au mwanaume aaminiye Bwana. 33Lakini mwanaume aliyeoa
hafungwi, kwa sababu Mungu ametuita tuishi anajishughulisha na mambo ya dunia, yaani,
kwa amani. 16Wewe mke, unajuaje kama jinsi ya kumfurahisha mkewe, 34Pia kuna tofauti
utamwokoa mumeo? Au wewe mume unajuaje kati ya mwanamke aliyeolewa na msichana
kama utamwokoa mkeo? bikira. Mwanamke asiyeolewa hujishughulisha
na mambo ya Bwana ili awe mtakatifu kimwili na
Kuishi Kama Alivyoagiza Bwana kiroho, lakini yule aliyeolewa hujishughulisha na
17Lakini kila mtu na aishi maisha mambo ya dunia, jinsi atakavyoweza
aliyopangiwa na Bwana, yale Mungu aliyokuitia. kumfurahisha mumewe. 35Ninasema haya kwa
Hii ni sheria yangu kwa makanisa yote. 18Je, faida yenu, sio ili kuwawekea kizuizi cho chote,
mtu alikuwa ametahiriwa alipoitwa? Asijifanye bali mpate kuishi kwa jinsi ilivyo vema bila
asiyetahiriwa. Je, mtu alikuwa hajatahiriwa kuvutwa pengine katika kujitoa kwenu kwa
alipoitwa? Asitahiriwe. 19Kutahiriwa au Bwana.
kutotahiriwa si kitu. Lakini kuzitii amri za Mungu 36Kama mtu ye yote anadhani kwamba
ndilo jambo muhimu. 20Basi kila mmoja wenu na hamtendei ilivyo sawa mwanamwali ambaye
abaki katika hali aliyoitwa nayo. 21Je, wewe amemposa, naye akiwa umri wake unazidi
ulipoitwa ulikuwa mtumwa? Jambo hilo kuendelea na mtu huyo anajisikia kwamba
lisikusumbue. Hata kama unaweza kupata inampasa kuoa, afanye kama atakavyo. Yeye
uhuru, tumia nafasi uliyo nayo sasa kuliko hatendi dhambi. Yawapasa waoane. 37Lakini
wakati mwingine wo wote. 22Kwa maana ye kama mwanaume ambaye ameshaamua
yote aliyeitwa katika Bwana kama mtumwa yeye moyoni mwake kutokuoa bila kulazimishwa na
ni mtu huru kwa Bwana, kama vile ye yote mtu ye yote, kama anaweza kujitawala kabisa,
aliyekuwa huru alipoitwa yeye ni mtumwa wa basi anafanya vema kutokumwoa huyo
Kristo. 23Mlinunuliwa kwa gharama, ili msiwe mwanamwali. 38 Hivyo basi, yeye mwanaume
watumwa wa wanadamu. 24 Ndugu zangu, amwoaye huyo mwanamwali afanya vema,
kama kila mtu alivyoitwa, akae katika wito wake lakini yeye asiyemwoa afanya vema zaidi.
alioitiwa na Mungu. 39Mwanamke aliyeolewa amefungwa na
sheria maadam mumewe yu hai. Lakini kama
Wajane na Wasiolewa. mumewe akifa, basi mwanamke huyo yuko huru
25Basi, kuhusu wale walio bikira, mimi sina kuolewa na mume mwingine ampendaye, lakini
amri kutoka kwa Bwana, lakini mimi natoa lazima tu awe katika Bwana. 40Lakini kwa
shauri kama mtu ambaye ni mwaminifu kwa uamuzi wangu, naona kuwa angekuwa na
rehema za Bwana. 26Kwa sababu ya shida furaha zaidi akibaki alivyo. Nami nadhani pia
iliyoko, naona ni vema mkibaki kama mlivyo. nina Roho wa Mungu.
27Je, umeolewa? Basi usitake talaka. Je,
Chakula Kilichotolewa Sadaka Kwa Sanamu.
hujaoa? Usitafute mke. 28Lakini kama ukioa,
6
1Wakorinto
8 Sasa kuhusu chakula kilichotolewa sadaka
na kunywa? 5Je, hatuna haki ya kusafiri na mke
anayeamini, kama wanavyofanya mitume
kwa sanamu, tunajua kwamba ‘sisi sote tuna ujuzi.’
Lakini ‘ujuzi’ hujivuna, bali wengine na ndugu zake Bwana na Kefa? 6Au ni
upendo hujenga. 2Mtu ye yote anayedhani mimi na Barnaba tu ambao tunalazimika
kwamba anajua kitu, hajui kama impasavyo kufanya kazi ili tuweze kupata mahitaji yetu?
kujua. 3Lakini mtu ampendaye Mungu, 7 Ni askari yupi aendae vitani wakati wo
hujulikana Naye. wote kwa gharama zake mwenyewe? Ni
4Hivyo basi, kuhusu kula chakula mkulima gani apandaye shamba la mizabibu na
kilichotolewa sadaka kwa sanamu, tunajua asile matunda yake? Ni nani achungaye kundi
kwamba ‘sanamu si kitu cho chote kabisa na asipate maziwa yake hata kidogo? 8Je,
duniani na kwamba kuna Mungu mmoja tu.’ nasema mambo haya katika mtazamo wa
5Kwa maana hata kama wapo hao wanaoitwa kibinadamu tu? Je, sheria haisemi yayo hayo?
‘miungu’ kama ni mbinguni au duniani, (kama 9Kwa maana imeandikwa katika sheria ya
ilivyo kweli wapo ‘miungu’ wengi na ‘mabwana’ Mose? “Usimfunge ng’ombe kinywa apurapo
wengi). 6Lakini kwetu sisi yuko Mungu mmoja, nafaka.” Je, Mungu hapa anahusika na
aliye Baba, ambaye vitu vyote vyatoka Kwake ng’ombe? 10Je, Mungu hasemi haya hasa kwa
na kwa ajili Yake sisi twaishi na kuna Bwana ajili yetu? Hakika yameandikwa kwa ajili yetu,
mmoja tu, Yesu Kristo, ambaye kwa Yeye vitu kwa sababu mtu anapolima na mwingine
vyote vimekuwepo na kwa Yeye sisi tunaishi. akapura nafaka, wote wanapaswa kufanya
7Lakini si wote wanaojua jambo hili. Baadhi hivyo wakiwa na tumaini la kushiriki mavuno.
11Je, ikiwa sisi tulipanda mbegu ya kiroho
ya watu bado wamezoea kufikiria kuwa sanamu
ni halisi hivyo wanapokula chakula kama hicho miongoni mwenu, Je, itakuwa ni jambo kubwa
wanadhani kimetolewa sadaka kwa sanamu na iwapo tutavuna vitu vya mwili kutoka kwenu?
kwa kuwa dhamiri yao ni dhaifu, inatiwa unajisi. 12Kama wengine wanahaki ya kupata msaada
8Lakini chakula hakituleti karibu na Mungu wala kutoka kwenu, sisi je, isingepasa tuwe na haki
hatupotezi cho chote tusipokula, wala hiyo hata zaidi?
hatuongezi cho chote kama tukila. Lakini sisi hatukutumia haki hii. Kinyume
9 Lakini angalieni jinsi tunavyotumia uhuru chake, tunavumilia kila kitu ili tusije tukazuia injili
wetu usije ukawa kikwazo kwao walio dhaifu ya Kristo. 13Je, hamjui kwamba, watu wafanyao
katika imani. 10Kwa maana kama mtu ye yote kazi hekaluni hupata chakula chao kutoka
mwenye dhamiri dhaifu akiwaona ninyi wenye hekaluni, nao wale wahudumiao madhabahuni
ujuzi mkila katika hekalu la sanamu, je, si hushiriki kile kitolewacho madhabahuni?
14Vivyo hivyo, Bwana ameagiza kwamba wale
atatiwa moyo kula chakula kilichotolewa sadaka
kwa sanamu? 11Kwa njia hiyo, huyo ndugu wanaohubiri injili wapate mahitaji yao kutokana
mwenye dhamiri dhaifu, ambaye Kristo alikufa na injili. 15Lakini sijatumia hata mojawapo ya
kwa ajili yake, ataangamia kwa sababu ya ujuzi haki hizi. Nami siandiki haya nikitumaini
wenu. 12Mnapotenda dhambi dhidi ya ndugu kwamba mtanifanyia mambo hayo. Heri nife
zenu kwa njia hii na kujeruhi dhamiri zao zilizo kuliko mtu ye yote kuninyima huku kujisifu
dhaifu, mnamkosea Kristo. 13Kwa hiyo, kama kwangu. 16Lakini ninapohubiri injili siwezi
kile ninachokula kitamfanya ndugu yangu kujisifu maana ninalazimika kuhubiri. Ole wangu
aanguke katika dhambi, sitakula nyama kamwe nisipoihubiri Injili! 17Nikihubiri kwa hiyari ninayo
nchi idumupo, nisije nikamfanya ndugu yangu thawabu, lakini kama si kwa hiyari, ni kwamba
aanguke. ikiwa nalazimika kufanya hivyo, basi
ninachofanya ni kutekeleza tu uwakili
Haki Za Mtume niliowekewa. 18Basi je, thawabu yangu ni nini?
9 Je, mimi si huru? Je, mimi si mtume? Je, mimi Twawabu yangu ni hii: ni kwamba katika
kuhubiri Injili nitoe bila gharama, nisije nikatumia
sikumwona Yesu, Bwana wetu? Je, ninyi si matunda
ya kazi yangu katika Bwana? vibaya ule uwezo wangu nilio nao katika Injili.
2Hata kama mimi si mtume kwa wengine, hakika 19Ingawa mimi ni huru, wala si mtumwa wa
mimi ni mtume kwenu, kwa maana ninyi ni mtu ye yote, nimejifanya kuwa mtumwa wa kila
chapa ya utume wangu katika Bwana. mtu, ili niweze kuwavuta wengi zaidi. 20Kwa
3Huu ndio utetezi wangu kwa hao Wayahudi, nilikuwa kama Myahudi, ili niwapate
Wayahudi. Kwa watu wale walio chini ya sheria,
wanaokaa kunihukumu. 4Je, hatuna haki ya kula
7
1Wakorinto
nilikuwa kama aliye chini ya sheria, (ingawa mifano kwa wengine, nayo yaliandikwa ili
mimi siko chini ya sheria), ili niweze kuwapata yatuonye sisi ambao mwisho wa nyakati
wale walio chini ya sheria. 21Kwa watu wasio na umetufikia. 12Hivyo, yeye ajidhaniaye
sheria nilikuwa kama asiye na sheria, (ingawa amesimama, aangalie asianguke. 13Hakuna
siko huru mbali na sheria ya Mungu, bali niko jaribu lo lote lililowapata ambalo si la kawaida
chini ya sheria ya Kristo,) ili niweze kuwapata kwa wanadamu. Naye Mungu ni mwaminifu
wale wasio na sheria. 22Kwa walio dhaifu ambaye hataruhusu mjaribiwe kupita
nilikuwa dhaifu, ili niweze kuwapata walio mnavyoweza. Lakini mnapojaribiwa atawapa
dhaifu. Nimekuwa mtu wa hali zote kwa watu njia ya kutokea ili mweze kustahimili.
wote ili kwa njia ye yote niweze kuwaokoa
baadhi yao. 23Nafanya haya yote kwa ajili ya Karamu za Sanamu na Meza ya Bwana
Injili, ili nipate kushiriki baraka zake. 14Kwa hiyo wapenzi wangu, zikimbieni
24Je, hamjui kwamba katika mashindano ya
ibada za sanamu. 15Nasema nanyi kama na
mbio wote wanaoshindana hukimbia, lakini ni watu wenye ufahamu, amueni wenyewe kuhusu
mmoja wao tu apewaye tuzo? Kwa hiyo kimbieni haya niyasemayo. 16Je, kikombe cha baraka
katika mashindano kwa jinsi ambavyo mtapata ambacho tunakibariki, si ushirika katika damu
tuzo. 25Kila mmoja anayeshiriki katika ya Kristo? Mkate tuumegao, si ushirika wa mwili
mashindano hufanya mazoezi makali. Wao wa Kristo? 17(Kwa kuwa mkate ni mmoja, sisi
hufanya hivyo ili wapokee taji isiyodumu, lakini tulio wengi tu mwili mmoja, kwa kuwa wote
sisi tunafanya hivyo ili kupata taji idumuyo twashiriki mkate mmoja)
milele. 26Kwa hiyo mimi sikimbii kama mtu 18Waangalieni watu wa Israeli: Je, wale
akimbiaye bila lengo, sipigani kama mtu wote walao dhabihu si ni wale watendao kazi
anayepiga hewa, 27la, bali nautesa mwili wangu madhabahuni? 19Je, nina maana kwamba
na kuutumikisha ili nikishawahubiria wengine, kafara iliyotolewa kwa sanamu ni kitu chenye
mimi nisiwe mtu wa kukataliwa. maana yo yote? Au kwamba sanamu ni kitu
chenye maana yo yote? 20La hasha! Lakini
Onyo Kutoka Historia Ya Waisraeli. kafara za watu wasiomjua Mungu hutolewa kwa
mashetani, wala si kwa Mungu. Nami sitaki ninyi
10 Zaidi ya hayo ndugu zangu, sitaki mkose
mwe na ushirika na mashetani. 21 Hamwezi
kufahamu ukweli huu kwamba baba zetu walikuwa
wote chini ya wingu na kunywa katika kikombe cha Bwana na cha
kwamba wote walipita katikati ya bahari. 2Wote mashetani pia. Hamwezi kuwa na sehemu
wakabatizwa kuwa wa Mose ndani ya lile wingu katika meza ya Bwana na katika meza ya
na ndani ya ile bahari. 3Wote walikula chakula mashetani. 22Je, tunataka kuamsha wivu wa
kile cha roho, 4na wote wakanywa kile kinywaji Bwana? Je, sisi tuna nguvu kuliko Yeye?
cha roho, kwa maana walikunywa kutoka katika
ule mwamba wa roho uliofuatana nao, ule Fanyeni Yote Kwa Utukufu wa Mungu
mwamba ulikuwa Kristo. 5Lakini Mungu 23“Vitu vyote ni halali,” lakini si vitu vyote
hakupendezwa na wengi wao, kwa hiyo miili yao vilivyo na faida. ‘‘Vitu vyote ni halali,’’ lakini si
ilitapakaa jangwani. vyote vinavyojenga. 24Mtu ye yote asitafute
6Basi mambo haya yalitokea kama mfano ili yaliyo yake mwenyewe, bali kila mtu atafute
kutuonya tusiweke mioyo yetu katika mambo yale yanayowafaa wengine.
maovu kama wao walivyofanya. 7Msiwe 25Kuleni cho chote kinachouzwa sokoni,
waabudu sanamu, kama baadhi yao bila kuuliza swali lo lote kwa ajili ya dhamiri.
walivyokuwa, kama ilivyoandikwa, “Watu 26Kwa maana, “Dunia na vyote vilivyomo ni mali
walikaa chini wakala na kunywa, kisha ya Bwana.”
wakainuka kucheza na kufanya karamu za ulevi 27Kama ukikaribishwa chakula na mtu
na ulafi.” 8Wala tusifanye uzinzi kama baadhi asiyeamini nawe ukikubali kwenda, kula kila kitu
yao walivyofanya, wakafa watu 23,000 kwa siku kitakachowekwa mbele yako bila kuuliza
moja. 9Wala tusimjaribu Bwana, kama baadhi maswali kwa ajili ya dhamiri. 28Lakini kama mtu
yao walivyofanya, wakafa kwa kuumwa na ye yote akikuambia, “Hiki kimetolewa kafara
nyoka. 10Msinung’unike kama baadhi yao kwa sanamu,” basi usikile kwa ajili ya huyo
walivyofanya, wakaangamizwa na mharabu. aliyekuambia na kwa ajili ya dhamiri. 29Nina
11Mambo haya yote yaliwapata wao ili yawe maana dhamiri ya huyo aliyekuambia, wala si
8
1Wakorinto
kwa ajili ya dhamiri yako. Lakini kwa nini uhuru kufunika kichwa chake? 14Je, maumbile ya asili
wangu uhukumiwe na dhamiri ya mtu hayatufundishi kuwa ni aibu kwa mwanaume
mwingine? 30Kama nikila kwa shukrani, kwa nini kuwa na nywele ndefu? 15Lakini mwanamke
nashutumiwa kwa kile ambacho kwa hicho akiwa na nywele ndefu ni utukufu kwake. Kwa
ninamshukuru Mungu? maana mwanamke amepewa nywele ndefu ili
31Basi, lo lote mfanyalo, kama ni kula au kumfunika. 16Kama mtu anataka kubishana juu
kunywa, fanyeni yote kwa utukufu wa Mungu. ya jambo hili, sisi wala makanisa ya Mungu
32Msiwe kikwazo kwa mtu ye yote, kwa hatutambui desturi nyingine.
Wayahudi au kwa Wayunani, au kwa Kanisa la
33kama Matumizi Mabaya ya Meza ya Bwana
Mungu, mimi ninavyojaribu
17Basi katika maagizo yafuatayo, siwezi
kumpendeza kila mtu kwa kila namna. Kwa
maana sitafuti mema kwa ajili yangu mwenyewe kuwasifu, kwa sababu mkutanikapo si kwa ajili
bali mema kwa ajili ya faida ya wengi, ili waweze ya faida bali kwa hasara. 18Kwanza,
kuokolewa. mnapokutana kama kanisa, nasikia kwamba
kuna mgawanyiko miongoni mwenu, nami kwa

11 NiigeniKristo. mimi kama nami ninavyomwiga kiasi fulani nasadiki kuwa ndivyo ilivyo. 19Bila
shaka lazima pawe na tofauti miongoni mwenu
ili kuonyesha ni nani anayekubaliwa na Mungu.
Utaratibu katika kuabudu 20Mkutanikapo pamoja si chakula cha Bwana
2Ninawasifu kwa kuwa mnanikumbuka
mnachokula, 21kwa kuwa mnapokula, kila
katika kila jambo na kwa kushika mafundisho mmoja wenu anakula bila kuwangoja wengine,
niliyowapa.
3Lakini napenda mfahamu kwamba kichwa
huyu hukaa njaa na mwingine analewa. 22Je,
hamna nyumbani kwenu ambako mnaweza kula
cha kila mwanaume ni Kristo, na kichwa cha na kunywa? Au mnalidharau kanisa la Mungu
mwanamke ni mwanaume, nacho kichwa cha na kuwadhalilisha wale wasio na kitu?
Kristo ni Mungu. 4Kila mwanaume anayeomba Niwaambie nini? Je, niwasifu juu ya jambo hili?
au kutoa unabii akiwa amefunika kichwa chake, La, hasha!
anakiaibisha kichwa chake. 5Lakini kila
mwanamke anayeomba au kutoa unabii pasipo Kuanzishwa Kwa Meza Ya Bwana
kufunika kichwa chake, anakiaibisha kichwa 23Kwa maana mimi nilipokea kutoka kwa
chake, kwani ni sawa na yeye aliyenyoa nywele. Bwana yale niliyowapa ninyi, kwamba Bwana
6Kama mwanamke hatajifunika kichwa chake, Yesu, usiku ule alipotolewa, alitwaa mkate,
basi inampasa kunyoa nywele zake. Lakini 24naye akiisha kushukuru, akaumega, akasema
kama ni aibu kwa mwanamke kunyoa nywele “Huu ndio mwili Wangu, ambao ni kwa ajili
zake, basi afunike kichwa chake. 7Mwanaume yenu. Fanyeni hivi kwa ukumbusho Wangu.”
haimpasi kufunika kichwa chake kwa kuwa yeye 25Vivi hivi baada ya kula, akakitwaa kikombe,
ni mfano wa Mungu na utukufu wa Mungu, lakini akisema, “Kikombe hiki ni agano jipya katika
mwanamke ni utukufu wa mwanaume. 8Kwa damu Yangu. Fanyeni hivi kila mnywapo kwa
maana mwanaume hakutoka katika mwanamke, ukumbusho Wangu.” 26Maana kila mlapo mkate
bali mwanamke alitoka kwa mwanaume. 9Wala huu na kunywea kikombe hiki, mnatangaza
mwanaume hakuumbwa kwa ajili ya mauti ya Bwana mpaka ajapo.
mwanamke, bali mwanamke kwa ajili ya
mwanaume. 10Kwa sababu hii na kwa sababu Kushiriki Meza Ya Bwana Isivyostahili
ya malaika, mwanamke inampasa awe na 27Kwa hiyo, mtu ye yote alaye mkate huo
ishara ya mamlaka iliyo juu yake. au kukinywea kikombe hicho cha Bwana
11Lakini katika Bwana, mwanamke isivyostahili, atakuwa na hatia ya dhambi juu ya
hajitegemei pasipo mwanaume na mwanaume mwili na damu ya Bwana. 28Inampasa mtu
hajitegemei pasipo mwanamke. 12Kama vile ajichunguze mwenyewe, kabla ya kula mkate na
mwanamke alivyoumbwa kutoka kwa kukinywea kikombe. 29Kwa maana mtu ye yote
mwanaume, vivyo hivyo mwanaume huzaliwa alaye na kunywa pasipo kuutambua mwili wa
na mwanamke. Lakini vitu vyote vyatoka kwa Bwana, anajiletea hukumu juu yake mwenyewe.
Mungu. 13Hukumuni ninyi wenyewe: Je, inafaa 30Hii ndiyo sababu wengi miongoni mwenu ni
kwa mwanamke kumwomba Mungu bila wagonjwa na dhaifu na wengine wenu hata
9
1Wakorinto
wamekufa. 31Lakini kama tungejipambanua jicho, basi mimi si la mwili,” hiyo isingefanya hilo
wenyewe tusingehukumiwa. sikio lisiwe sehemu ya mwili. 17Kama mwili wote
32Tunapohukumiwa na Bwana, tunaadabishwa ungelikuwa jicho, kusikia kungekuwa wapi? Au
ili tusije tukahukumiwa pamoja na ulimwengu. kama mwili wote ungelikuwa sikio, kunusa
33Kwa hiyo, ndugu zangu, mkutanikapo kungekuwa wapi? 18Lakini kama ilivyo, Mungu
pamoja ili kula, mngojane. 34 Kama mtu akiwa ameweka viungo katika mwili, kila kimoja kama
na njaa, ale nyumbani kwake ili mkutanapo alivyopenda. 19Kama vyote vingekuwa kiungo
pamoja msije mkahukumiwa. kimoja, mwili ungekuwa wapi? 20Kama ulivyo,
Nami nitakapokuja nitawapa maelekezo kuna viungo vingi, lakini mwili ni mmoja.
zaidi. 21Jicho haliwezi kuuambia mkono, “Sina
haja nawe!” Wala kichwa hakiwezi kuiambia
Karama Za Rohoni miguu, “Sina haja na ninyi!” 22Lakini badala
12 Basi ndugu zangu, kuhusu karama za rohoni, yake, vile viungo vya mwili vinavyoonekana
sitaki mkose kufahamu. kuwa dhaifu, ndivyo ambavyo ni vya muhimu
2Mnajua kwamba mlipokuwa hammjui Mungu, sana. 23Navyo vile viungo vya mwili
mlishawishika na kupotoshwa na sanamu tunavyoviona havina heshima, ndivyo tunavipa
zisizonena. 3Kwa hiyo nataka mfahamu ya kuwa heshima maalum. Vile viungo vya mwili
hakuna mtu anayeongozwa na Roho wa Mungu ambavyo havina uzuri, tunavipa heshima ya
anayeweza kusema, “Yesu na alaaniwe.” Pia pekee. 24Wakati vile viungo vyenye uzuri
hakuna mtu awezaye kusema, “Yesu ni Bwana,” havihitaji utunzaji wa pekee. Lakini Mungu
isipokuwa ameongozwa na Roho Mtakatifu. ameviweka pamoja viungo vya mwili na akavipa
4Basi kuna aina mbali mbali za karama, heshima zaidi vile vilivyopungukiwa, 25ili pasiwe
lakini Roho ni yule yule. 5Pia kuna huduma za na mafarakano katika mwili, bali viungo vyote
aina mbali mbali, lakini Bwana ni yule yule. vihudumiane usawa kila kimoja na mwenzake.
6Kisha kuna tofauti za kutenda kazi, lakini ni 26Kama kiungo kimoja kikiumia, viungo vyote
Mungu yule yule atendaye kazi zote kwa watu huumia pamoja nacho, kama kiungo kimoja
wote. kikipewa heshima, viungo vyote hufurahi
7Basi kila mmoja hupewa ufunuo wa Roho pamoja nacho.
27Sasa ninyi ni mwili wa Kristo na kila
kwa faida ya wote. 8Maana mtu mmoja kwa
Roho hupewa neno la hekima na mwingine mmoja wenu ni kiungo. 28Mungu ameweka
neno la maarifa kwa Roho huyo huyo. 9Mtu katika kanisa, kwanza mitume, pili manabii, tatu
mwingine imani kwa huyo Roho na mwingine walimu, kisha watenda miujiza, pia karama za
kuponya, karama za masaidiano, karama za
karama za kuponya. 10Kwa mwingine matendo
ya miujiza, kwa mwingine unabii kwa mwingine maongozi, aina mbalimbali za lugha. 29 Je, wote
kupambanua roho, kwa mwingine aina mbali ni mitume? Je, wote ni manabii? Je, wote ni
mbali za lugha, kwa mwingine tafsiri za lugha. walimu? Je, wote wanafanya miujiza? 30Je,
11Haya yote hufanywa na huyo huyo Roho wote wana karama ya kuponya? Je, wote
mmoja, Roho naye humgawia kila mtu, kama hunena kwa lugha mpya? Je, wote wanatafsiri?
31Basi tamanini sana karama zilizo kuu.
apendavyo mwenyewe.
Nami nitawaonyesha njia iliyo bora zaidi.
Mwili Mmoja, Wenye Viungo Vingi
12Kama vile mwili ulivyo mmoja nao una Karama ya Upendo
viungo vingi, navyo viungo vyote vya mwili
ingawa ni vingi, ni mwili mmoja, vivyo hivyo na
13 Hata kama nitasema kwa lugha za
wanadamu na za malaika, kama sina upendo,
Kristo. 13Kwa maana katika Roho mmoja wote nimekuwa kengele inayolialia au toazi livumalo.
2Ningekuwa na karama ya unabii na kujua siri
tulibatizwa katika mwili mmoja, kama ni
Wayahudi au Wayunani, kama ni watumwa au zote na maarifa yote, hata kama nina imani kiasi
watu huru, nasi sote tulinyweshwa Roho mmoja. cha kuweza kuhamisha milima, kama sina
14 Basi mwili si kiungo kimoja, bali ni viungo upendo, mimi si kitu. 3Kama nikitoa mali yote
niliyo nayo na kama nikijitolea mwili wangu
vingi. 15Kama mguu ungesema, “Kwa kuwa uchomwe moto, kama sina upendo,
mimi si mkono basi mimi si wa mwili,” hiyo hainifaidii kitu.
isingefanya huo mguu usiwe sehemu ya mwili. 4Upendo huvumilia, upendo hufadhili,
16Na kama sikio lingesema, “Kwa kuwa mimi si

10
1Wakorinto
upendo hauoni wivu, hauna majivuno. Upendo shaka ziko sauti nyingi ulimwenguni, wala
hauna kiburi. 5Haukosi kuwa na adabu. Upendo hakuna isiyo na maana. 11Basi kama sielewi
hautafuti mambo yake, haukasiriki upesi, maana ya hiyo sauti, nitakuwa mgeni kwa yule
hauweki kumbukumbu ya mabaya. 6Upendo msemaji, naye atakuwa mgeni kwangu. 12Vivyo
haufurahii mabaya bali hufurahi pamoja na hivyo na ninyi. Kwa kuwa mnatamani kuwa na
kweli. 7Upendo huvumilia yote, huamini yote, karama za rohoni, jitahidini kuzidi sana katika
hutumaini yote, hustahimili yote. karama kwa ajili ya kulijenga kanisa.
8Upendo haushindwi kamwe. Lakini 13Kwa sababu hii, yeye anenaye kwa lugha
ukiwepo unabii, utakoma, zikiwepo lugha na aombe kwamba apate kutafsiri kile
zitakoma, yakiwepo maarifa yatapita. 9Kwa anachonena. 14Kwa maana nikiomba kwa
maana tunafahamu kwa sehemu na tunatoa lugha, roho yangu inaomba, lakini akili yangu
unabii kwa sehemu. 10Lakini ukamilifu haina matunda. 15Nifanyeje basi? Nitaomba
utakapokuja, yale yasiyo kamili yatatoweka. kwa roho, lakini nitaomba kwa akili yangu pia.
11Nilipokuwa mtoto, nilisema kama mtoto, Nitaimba kwa roho na nitaimba kwa akili yangu
niliwaza kama mtoto, nilifikiri kama mtoto. pia. 16Ikiwa unabariki kwa roho, mtu mwingine
Nilipokuwa mtu mzima niliacha mambo ya atakayejikuta katikati ya hao wasiojua,
kitoto. 12Kwa maana sasa tunaona taswira atawezaje kusema ‘amen’ katika kushukuru
kama ya kwenye kioo, lakini wakati huo tutaona kwako, wakati haelewi unachosema?
17Mnaweza kuwa mnatoa shukrani kweli, sawa,
wazi. Sasa nafahamu kwa sehemu, wakati huo
nitafahamu kikamilifu, kama vile mimi lakini huyo mtu mwingine hajengeki.
ninavyofahamika kikamilifu. 18Namshukuru Mungu kwamba mimi
13Basi sasa, yanadumu mambo haya
nanena kwa lugha kuliko ninyi nyote. 19Lakini
matatu: Imani, tumaini na upendo. Lakini lililo ndani ya kanisa ni afadhali niseme maneno
kuu miongoni mwa haya matatu ni upendo. matano ya kueleweka kwa akili ili niwafundishe
wengine kuliko kusema maneno 10,000 kwa
Karama Za Unabii Na Lugha lugha.
14 Fuateni upendo na kutaka sana karama 20Ndugu zangu, msiwe kama watoto katika
kufikiri kwenu, afadhali kuhusu uovu mwe kama
za roho, hasa karama ya unabii. 2Kwa maana mtu
ye yote anayesema watoto wachanga, lakini katika kufikiri kwenu,
kwa lugha, hasemi na wanadamu bali anasema mwe watu wazima. 21Katika sheria imeandikwa
na Mungu. Kwa kuwa hakuna mtu ye yote kwamba:
anayemwelewa, kwani anasema mambo ya siri
kwa Roho. 3Lakini anayetoa unabii anasema na ‘‘Kwa kupitia watu wenye lugha ngeni na
watu akiwajenga, kuwatia moyo na kuwafariji. kupitia midomo ya watu wageni,
4Anenaye kwa lugha hujijenga mwenyewe, bali nitasema na watu hawa,
atoaye unabii hulijenga kanisa. 5Ningependa lakini hata hivyo
kila mmoja wenu anene kwa lugha mpya, lakini hawatanisikiliza,” asema Bwana.
ningependa zaidi nyote mtoe unabii. Kwa kuwa
22Basi kunena lugha mpya, ni ishara si kwa
yeye atoaye unabii ni mkuu kuliko anenaye kwa
lugha, isipokuwa kama kuna mtu wa kutafsiri, ili watu waaminio, bali kwa ajili ya wasioamini,
kanisa zima lipate kujengwa. wakati unabii si kwa ajili ya wasioamini, bali kwa
6Sasa ndugu zangu, kama nikija kwenu ajili ya waaminio. 23Kwa hiyo kama kanisa lote
nikasema kwa lugha mpya nitawafaidia nini likikutana na kila mmoja akanena kwa lugha,
kama sikuwaletea ufunuo au neno la maarifa au kisha wakaingia wageni wasiomini, je,
unabii au mafundisho? 7Hata vitu visivyo na hawatasema kwamba wote mna wazimu?
24Lakini kama mtu asiyeamini au asiyeelewa
uhai vitoapo sauti, kama vile filimbi au kinubi,
mtu atajuaje ni wimbo gani unaoimbwa wakati kila mtu anatoa unabii, ataaminishwa na
kusipokuwa na tofauti ya upigaji? 8Tena kama watu wote kuwa yeye ni mwenye dhambi na
tarumbeta haitoi sauti inayoeleweka, ni nani kuhukumiwa na wote, 25nazo siri za moyo wake
atakayejiandaa kwa ajili ya vita? 9Vivyo hivyo na zitawekwa wazi. Kwa hiyo ataanguka chini na
ninyi, kama mkinena maneno yasiyoeleweka kumwabudu Mungu akikiri, “Kweli Mungu yuko
katika akili, mtu atajuaje mnalosema? Kwa katikati yenu!”
maana mtakuwa mnasema hewani tu. 10Bila
11
1Wakorinto
Kumwabudu Mungu Kwa Utaratibu kuwa alizikwa na alifufuka siku ya tatu, 5na
26Basi tuseme nini, ndugu zangu? kwamba alimtokea Kefa, kisha akawatokea
Mnapokutana pamoja, mmoja atakuwa na wale kumi na wawili. 6Baadaye akawatokea
wimbo, mwingine neno la mafundisho, mwingine wale ndugu waamini zaidi ya 500 kwa pamoja,
ufunuo kutoka kwa Mungu, mwingine ataongea ambao wengi wao bado wako hai, ingawa
lugha mpya na mwingine atatafsiri hiyo lugha. wengine wamelala. 7Ndipo akamtokea Yakobo
Mambo yote yatendeke kwa ajili ya kujenga na kisha mitume wote. 8Mwisho wa wote,
kanisa. 27Kama mtu ye yote akinena kwa lugha, akanitokea mimi pia, ambaye ni kama
basi waseme watu wawili au watatu si zaidi, aliyezaliwa si kwa wakati wake.
mmoja baada ya mwingine na lazima awepo 9Kwa maana mimi ndiye mdogo kuliko
mtu wa kutafsiri. 28Lakini kama hakuna mtu ye mitume wote, nisiyestahili kuitwa mtume, kwa
yote wa kutafsiri, hao watu na wanyamaze sababu nililitesa kanisa la Mungu. 10Lakini kwa
kimya kanisani na wanene na nafsi zao neema ya Mungu nimekuwa hivi nilivyo na
wenyewe na Mungu. neema yake kwangu haikuwa kitu bure. Bali
29Manabii wawili au watatu wanene na nilizidi sana kufanya kazi kuliko mitume wote
wengine wapime yale yasemwayo. 30Kama mtu lakini haikuwa mimi, bali ni ile neema ya Mungu
ye yote aliyeketi karibu, akipata ufunuo, basi iliyokuwa pamoja nami. 11 Hivyo basi, kama
yule wa kwanza na anyamaze. 31Kwa maana ilikuwa ni mimi au ni wao hili ndilo tulihubirilo na
wote mnaweza kutoa unabii mmoja baada ya hili ndilo mliaminilo.
mwingine ili kila mtu apate kufundishwa na
kutiwa moyo. 32Roho za manabii zinawatii Ufufuo wa Wafu
manabii. 33 Kwa maana Mungu si Mungu wa 12Basi kama tumehubiri ya kwamba Kristo
machafuko bali ni wa amani. alifufuka kutoka kwa wafu, mbona baadhi yenu
Kama ilivyo katika makusanyiko yote ya mnasema hakuna ufufuo wa wafu? 13Lakini
watakatifu, 34wanawake wanapaswa kuwa kama hakuna ufufuo wa wafu, basi hata Kristo
kimya kanisani. Hawaruhusiwi kusema, bali hakufufuka. 14Tena ikiwa Kristo hakufufuka
wanyenyekee kama sheria isemavyo. 35Kama kutoka kwa wafu, kuhuburi kwetu kumekuwa ni
wakitaka kuuliza kuhusu jambo lo lote, bure na imani yenu ni batili. 15Zaidi ya hayo,
wawaulize waume zao nyumbani. Kwa maana ni twaonekana basi kuwa mashahidi wa uongo wa
aibu kwa mwanamke kuzungumza kanisani. Mungu, kwa sababu tumeshuhudia kumhusu
36Je, neno la Mungu lilianzia kwenu? Au ni Mungu kwamba alimfufua Kristo kutoka kwa
ninyi tu ambao neno la Mungu limewafikia? wafu, lakini hilo haliwezi kuwa kweli, kama wafu
37Kama mtu ye yote akidhani kwamba yeye ni hawafufuliwi. 16 Kwa kuwa kama wafu
nabii, au ana karama za rohoni, basi na akubali hawafufuliwi, basi hata Kristo hajafufuka.
kwamba haya ninayoandika ni agizo kutoka kwa 17Tena kama Kristo hajafufuka, imani yenu ni
Bwana. 38Kama mtu akipuuza jambo hili yeye batili, nanyi bado mko katika dhambi zenu.
mwenyewe atapuuzwa. 18Hivyo basi wote waliolala katika Krito
39Kwa hiyo ndugu zangu, takeni sana kutoa wamepotea. 19Ikiwa tumaini letu ndani ya Kristo
unabii na msikataze watu kusema kwa lugha. ni kwa ajili ya maisha haya tu, sisi tunastahili
40Lakini kila kitu kitendeke kwa heshima na kwa kuhurumiwa kuliko watu wengine wote duniani.
utaratibu. 20 Lakini kweli Kristo amefufuka kutoka kwa
wafu, tunda la kwanza la wale wote waliolala.
Kufufuka kwa Kristo 21Kwa maana kama vile mauti ilivyokuja kwa
15 Basi ndugu zangu nataka
niwakumbushe kuhusu Injili niliyowahubiria,
njia ya mtu mmoja, vivyo hivyo, ufufuo wa wafu
mkaipokea na ambayo katika hiyo mmesimama. umekuja kwa njia ya mtu mmoja. 22Kwa maana
2Kwa Injili hii mnaokolewa mkishikilia kwa uthabiti kama vile katika Adamu watu wote wanakufa,
neno nililowahubiria vivyo hivyo katika Kristo wote watafanywa hai.
ninyi. La sivyo, mmeamini katika ubatili. 23Lakini kila mmoja kwa wakati wake: Kristo,
3Kwa maana yale niliyopokea ndiyo tunda la kwanza la ufufuo, kisha, wale walio
niliyowapa ninyi, kama yenye umuhimu wa wake atakapokuja. 24Ndipo mwisho utafika,
kwanza: Kwamba Kristo alikufa kwa ajili ya wakati atakapomkabidhi Mungu Baba Ufalme,
dhambi zetu, kama yasemayo Maandiko, 4ya akiisha angamiza kila utawala na kila mamlaka
na nguvu. 25Kwa maana lazima Kristo atawale
12
1Wakorinto
mpaka awe amewaweka adui zake wote chini ufufuo wa wafu. Ule mwili wa kuharibika
ya miguu yake. 26Adui wa mwisho uliopandwa utafufuliwa usioharibika,
43unapadwa katika aibu, unafufuliwa katika
atakayeangamizwa ni mauti. 27”Kwa maana
Mungu ameweka vitu vyote chini ya miguu utukufu, unapandwa katika udhaifu, unafufuliwa
yake.” Lakini isemapo kwamba, ‘‘Vitu vyote katika nguvu, 44unapandwa mwili wa asili,
vimewekwa chini Yake,” ni wazi kwamba Mungu unafufuliwa mwili wa kiroho.
aliyetiisha vitu vyote chini ya Kristo hayumo Kama kuna mwili wa asili, basi kuna mwili
miongoni mwa hivyo vilivyotiishwa. wa kiroho pia. 45Kwa hiyo imeandikwa, “Mtu wa
28Atakapokuwa amekwisha kutiisha vitu vyote kwanza Adamu alifanyika kiumbe hai,” Adamu
chini ya Mwana, ndipo Mwana mwenyewe wa mwisho, Yeye ni roho iletayo uzima. 46Lakini
atatiishwa chini yake Yeye aliyetiisha vitu vyote, si ule wa kiroho uliotangulia, bali ni ule wa asili,
ili Mungu awe yote katika yote. kisha ule wa kiroho. 47Mtu wa kwanza aliumbwa
29Basi kama hakuna ufufuo, watafanyaje kwa mavumbi ya ardhini, mtu wa pili alitoka
wale wabatizwao kwa ajili ya wafu? Kama wafu mbinguni. 48Kama vile alivyokuwa yule wa
hawafufuliwi kamwe, mbona watu wanabatizwa ardhini, ndivyo walivyo wale walio wa ardhi na
kwa ajili yao? 30Nasi kwa upande wetu kwa nini kwa vile alivyo mtu yule aliyetoka mbinguni,
tunajitayarisha kila saa? 31Kama majivuno ndivyo walivyo wale walio wa mbinguni. 49Kama
yangu kwa ajili yenu katika Kristo Yesu Bwana vile tulivyochukua mfano wa mtu wa yule mtu
wetu ni kweli, ndugu zangu, ninakufa kila siku. wa ardhini, ndivyo tutakavyochukua mfano wa
32Kama kwa tumaini la kibinadamu tu nilipigana yule mtu aliyetoka mbinguni.
50 Ndugu zangu nisemalo ni hili: nyama na
na wanyama wakali huko Efeso, ningekuwa
nimepata faida gani kwa jambo hilo? Kama wafu damu haviwezi kuurithi Ufalme wa Mungu, wala
hawafufuliwi, kuharibika kurithi kutokuharibika. 51Sikilizeni,
nawaambia siri: Sote hatutalala, lakini sote
“Sisi na tule na kunywa,
tutabadilishwa 52ghafla, kufumba na kufumbua,
wa kuwa kesho tutakufa.” parapanda ya mwisho itakapolia. Kwa kuwa
parapanda italia, nao wafu watafufuliwa na miili
33Msidanganyike, “Ushirika na watu wabaya isiyoharibika, nasi tutabadilishwa. 53Kwa maana
huharibu tabia njema.” 34Zindukeni mwe na akili mwili huu wa kuharibika lazima uvae
kama iwapasavyo, msitende dhambi tena, kwa kutokuharibika, nao huu wa kufa lazima uvae
maana watu wengine hawamjui Mungu. kutokufa. 54 Kwa hiyo, mwili huu wa kuharibika
Nasema mambo haya ili mwone aibu. utakapovaa kutokuharibika, nao huu mwili wa
kufa utakapovaa kutokufa, ndipo lile neno
Mwili Wa Ufufuo lililoandikwa litakapotimia: “Mauti imemezwa
35Lakini mtu anaweza kuuliza, “Wafu kwa kushinda.”
wafufuliwaje? Watakuwa na mwili wa namna
55“Kuko wapi Ewe mauti kushinda kwako?
gani?” 36Ninyi wapumbavu! Mpandacho hakiwi
hai kama hakikufa. 37Mpandapo, hampandi Uko wapi Ewe mauti uchungu wako?”
mwili ule unaoutegemewa utakaokuwako, bali
56Uchungu wa mauti ni dhambi na nguvu ya
mwapanda mbegu tupu, pengine ya ngano au
ya kitu kingine. 38Lakini Mungu huipa hiyo dhambi ni sheria. 57Lakini ashukuriwe Mungu,
mbegu umbo kama alivyokusudia mwenyewe na Yeye atupaye ushindi kwa njia ya Bwana wetu
kila aina ya mbegu huipa umbo lake. 39Kwa Yesu Kristo.
58Kwa hiyo, wapenzi, simameni imara,
maana nyama zote si za aina moja. Binadamu
wana nyama ya aina moja, wanyama wana aina msitikisike, mzidi sana katika kuitenda kazi ya
nyingine, kadhalika ndege na samaki wana Bwana, kwa maana mnajua ya kuwa, juhudi
nyama tofauti. 40Pia kuna miili ya mbinguni na yenu si bure katika Bwana.
miili ya duniani, lakini uzuri wa ile miili ya
mbinguni ni wa aina moja na uzuri wa ile miili ya Changizo Kwa Ajili Ya Watakatifu
duniani ni wa aina nyingine. 41Jua lina fahari ya 16 Basi kuhusu changizo kwa ajili ya watakatifu.
aina moja, mwezi nao una fahari yake na nyota Kama nilivyoyaagiza makanisa ya Galatia, fanyeni
pia, nazo nyota hutofautiana katika fahari. vivyo hivyo. 2Siku
42Hivyo ndivyo itakavyokuwa wakati wa ya kwanza ya kila juma, kila mmoja wenu

13
1Wakorinto
atenge kiasi cha fedha, kulingana na mapato Prisila, pamoja na kanisa lililoko nyumbani kwao
yake na fedha hizo aziweke akiba ili wanawasalimu katika Bwana. 20Pia ndugu wote
nitakapokuja pasiwe na lazima ya kufanya walioko hapa wanawasalimu. Salimianeni kwa
mchango. 3Kwa hiyo nitakapowasili, nitawapa busu takatifu.
wale mtakaowachagua barua za 21Mimi Paulo, naandika salamu hizi kwa
kuwatambulisha, ili kuwatuma wapeleke sadaka mkono wangu mwenyewe.
zenu huko Yerusalemu. 4Kama ikionekana ni 22 Kama mtu ye yote hampendi Bwana
vema na mimi niende, basi hao watu Yesu Kristo na alaaniwe. “Maran-atha.” Bwana
watafuatana nami. wetu, yu aja!
23Neema ya Bwana Yesu iwe nanyi.
Mahitaji Binafsi 24 Upendo wangu uwe nanyi nyote katika
5Baada ya kupitia Makedonia, nitakuja Kristo Yesu. Amen.
kwenu; Maana ninakusudia kupitia Makedonia.
6Huenda nitakaa nanyi kwa muda, au hata
kukaa nanyi kipindi chote cha baridi, ili mweze
kunisaidia katika safari zangu, po pote
niendapo. 7Kwa maana sitaki niwaone sasa na
kupita tu, natarajia kuwa nanyi kwa muda wa
kutosha, kama Bwana akipenda. 8Lakini nitakaa
Efeso mpaka wakati wa Pentekoste, 9kwa
maana mlango mkubwa umefunguliwa kwangu
kufanya kazi yenye matunda, nako huko kuna
adui wengi.
10Ikiwa Timotheo atakuja kwenu,
mkaribisheni, hakikisheni kwamba hana hofu yo
yote akiwa nanyi, kwa sababu anafanya kazi ya
Bwana, kama mimi nifanyavyo. 11Basi asiwepo
mtu atakayekataa kumpokea. Msafirisheni kwa
amani ili aweze kunijia tena. Namtarajia yeye
pamoja na hao ndugu.
12Basi kwa habari za ndugu yetu Apolo,
nimemsihi kwa bidii aje kwenu pamoja na hao
ndugu. Kamwe alikuwa hapendi kuja sasa, lakini
atakuja apatapo nafasi.

Maneno Ya Mwisho
13Kesheni, simameni imara katika imani,
iweni mashujaa na hodari. 14Fanyeni kila kitu
katika upendo.
15Ninyi mnajua kwamba watu wa nyumbani
mwa Stefana ndio waliokuwa wa kwanza
kuamini katika Akaya, nao wamejitoa kwa ajili ya
kuwahudumia watakatifu. 16Nawasihi mjitie
katika kuwahudumia watu kama hawa na kila
mmoja aingiaye kwenye kazi na kuifanya kwa
bidii. 17Nilifurahi Stefana, Fortunato na Akaiko
walipofika, kwa sababu hawa wamenipatia yale
niliyopungukiwa kutoka kwenu. 18Kwa kuwa
waliiburudisha roho yangu na yenu pia, watu
kama hawa, wanastahili kutambuliwa.

Salamu za Mwisho
19Makanisa ya Asia wanawasalimu. Akila na

14
2Wakorinto
Utangulizi
Ingawa inaonekana kwamba waraka wa kwanza wa Paulo kwa Wakorintho uliwasaidia wakristo wa Korintho,
lakini bado kulikuwa na mambo mengine ya kurekebisha kwani haukumaliza matatizo yote. Bado kulikuwa na
mivutano na mashindano yaliyokuwa yakiendelea ndani ya kanisa la Korintho. Walimu wa uongo walikuwa
wamejiingiza ndani ya kanisa wakiwa wanapinga na hata kushambulia uadilifu wa Paulo mwenyewe na mamlaka
yake kama mtume.Wengine katika kanisa hawakutaka kutubu. Hivyo Paulo akisukumwa na upendo na kuhusika
kwake, aliamua kutokurudi huko hadi tabia zao zibadilike.
Paulo akiwa na wasiwasi na kanisa la Korintho, alitoka Efeso akaenda Troa, ambapo alivunjika moyo kwa
kutokupata habari zo zote kutoka Korintho(2:12 – 13). Paulo alipofika Makedonia aliburudishwa na Timotheo
alipomletea habari nzuri kwamba uamsho ulikuwa umeanza katika kanisa la Korintho.
Huu ndio wakati Paulo alipoandika waraka wake wa pili. Katika waraka huu Paulo anaeleza hisia zake,
wajibu, shauku na majukumu katika hali ya majadiliano katika ushirika wa Wakorintho wenyewe na mashambulizi
yaliyokuwa yameelekezwa kwake binafsi kama mtume. Katika kushughulikia matatizo hayo, katika waraka huu
wa pili Paulo alitaka kuthibitisha mamlaka yake. Kulikuwa na mashaka makubwa katika kanisa hilo kumhusu,
japokuwa hatuelewi ni kwa nini. Lakini Paulo anaandika kwa uchungu mkubwa, kuthibitisha mamlaka yake kama
mtume. Anajaribu pia kushughulikia masuala ya kiutekelezaji hasa kuhusu kusaidia waamini wasiojiweza walioko
sehemu nyingine.

Wazo Kuu
Katika barua hii Paulo anaonyesha jinsi tunavyoweza kupata ushindi katika mateso. Barua hii ni ya binafsi.
Inaandikwa na mtu aliyekosewa sana na watu aliowapenda sana. Paulo anapoorodhesha mambo aliyoyapitia
katika maisha yake kama mtumishi wa Kristo, tunaona jinsi neema ya Mungu inavyotenda kazi, ikileta mema
kutoka katika mateso. Shetani anafanya bidii kujaribu kuiharibu kazi ya Mungu lakini Mungu ni mshindi na
anawainua wale wanaomtegemea.

Mwandishi
Paulo

Mahali
Paulo aliandika waraka huu akiwa Makedonia baada ya kumaliza huduma yake ya miaka miwili huko Efeso.

Tarehe
Waraka huu unaotambuliwa kama 2Wakorinthio inaonekana uliandikwa miezi michache tu baada ya ule wa
kwanza, yamkini kabla tu ya kuanza kwa majira ya baridi katika mwaka 55 B.K.

Mgawanyo
• Salamu na utambulisho (1:1-9)
• Mashindano ya makundi ndani ya kanisa (1:10 - 4::21)
• Uasherati, kushtakiana, usafi katika mwili (5:1- 6:20)
• Ndoa na useja ( 7:1- 40)
• Haki za Mkristo na wajibu wake (8:1-11:1)
• Mkristo katika ibada ya hadhara (11:2 - 34)
• Nafasi na umuhimu wa karama za Roho (12:1-14 :40).
• Ufufuo – msingi wa Imani ya Kikristo (15:1- 58)
• Hitimisho (16:1- 24)

1
2 Wakorinto
Salamu kuelewa kwa ukamilifu ili mweze kujivuna kwa
1 Barua hii ni kutoka kwangu mimi, Paulo, ajili yetu, kama na sisi tutakavyojivuna kwa ajili
yenu katika siku ya Bwana Yesu.
mtume wa Kristo Yesu kwa mapenzi ya
Mungu na Timotheo ndugu yetu, 15 Kwa kuwa nilikuwa na uhakika wa
mambo haya, nilitaka nije kwenu kwanza, ili
Kwa kanisa la Mungu lililoko Korintho, mpate upendeleo mara mbili. 16Nilipanga
pamoja na watakatifu wote walioko Akaya yote: kuwatembelea nikiwa safarini kwenda
Makedonia na kurudi tena kwenu nikitoka
2Neema na amani kutoka kwa Mungu Baba Makedonia, ili mnisafirishe katika safari yangu
yetu na Bwana Yesu Kristo iwe nanyi. ya kwenda Uyahudi. 17Nilipopanga jambo hili,
je, nilikuwa kigeugeu ? Au ninafanya mipango
Mungu Wa Faraja Yote yangu kidunia, ili niseme, “Ndiyo, ndiyo’’ na
3Ahimidiwe Mungu na Baba wa Bwana wetu “Siyo, siyo’’ wakati huo huo ?
Yesu Kristo, Baba wa huruma na Mungu wa 18Hakika kama Mungu alivyo mwaminifu,
faraja yote. 4Yeye atufarijiye katika taabu zetu maneno yetu kwenu hayajawa “Ndiyo na Siyo’’.
zote, ili tuweze kuwafariji wale walio katika 19Kwa kuwa Mwana wa Mungu Yesu Kristo,
taabu yo yote kwa faraja ambayo sisi wenyewe ambaye tulimhubiri kwenu mimi, Silvano na
tumepokea kutoka kwa Mungu. 5Kama vile Timotheo, hakuwa ‘‘Ndiyo’’ na ‘‘Siyo’’, bali katika
mateso ya Kristo yanavyotitirika ndani ya Yeye sikuzote ni “Ndiyo’’. 20 Kwa maana ahadi
maisha yetu, hivyo ndivyo faraja yetu zote za Mungu zilizo katika Kristo ni “Ndiyo”.
inavyofurika kwa njia ya Kristo. 6Kama Kwa sababu hii ni katika Yeye tunasema
tunataabika, ni kwa ajili ya faraja na wokovu “Amen” kwa utukufu wa Mungu. 21Basi ni
wenu, kama tukifarijiwa, ni kwa ajili ya faraja Mungu atufanyaye sisi pamoja nanyi kusimama
yenu, iwaleteayo saburi ya mateso yale yale imara katika Kristo. Ametutia mafuta 22kwa
yanayotupata. 7Nalo tumaini letu kwenu ni kututia muhuri Wake na kutupa Roho wake
thabiti, kwa sababu tunajua kwamba kama vile mioyoni mwetu kuwa rehani kwa ajili ya
mnavyoshiriki mateso yetu, ndivyo pia kututhibitishia kile kijacho.
mnavyoshiriki katika faraja yetu. 23Mungu ni shahidi yangu kwamba ilikuwa
8Ndugu wapendwa, hatutaki msijue kuhusu ni kwa kuwahurumia sikurudi Korintho. 24Si
zile taabu tulizopata huko Asia. Kwa maana kwamba tunatawala imani yenu, bali twatenda
tulilemewa na mizigo sana kiasi cha kushindwa kazi pamoja nanyi kwa ajili ya furaha yenu, kwa
kuvumilia, kwamba hata tulikata tamaa kuishi. sababu ni kwa imani mwasimama imara.
9Kwa kweli, mioyoni mwetu tulihisi tumekabiliwa
na hukumu ya kifo, ili tusijitegemee sisi
2 Hivyo nilikusudia moyoni mwangu
nisifanye ziara nyingine yenye kuwaumiza ninyi.
wenyenye bali tumtegemee Mungu afufuaye 2Kwa kuwa kama nikiwahuzunisha ninyi, ni nani
wafu. 10 Yeye aliyetuokoa kwenye hatari kubwa aliyebaki wa kunifurahisha isipokuwa ninyi
ya kifo ataendelea kutuokoa. Kwake Yeye ambao nimewahuzunisha? 3Niliandika hivyo
tumeweka tumaini letu kwamba atatuokoa tena. kama nilivyofanya, ili nikija nisihuzunishwe na
11Kama vile mlivyoungana kusaidiana nasi wale watu ambao wangenifanya nifurahi. Nina
imani na ninyi nyote, kwamba wote
katika maombi, hivyo wengi watatoa shukrani
ningeshiriki furaha yangu. 4 Kwa maana
kwa niaba yetu kwa ajili ya baraka tulizopata niliwaandikia katika dhiki kubwa na kutaabika
kwa maombi ya wengi. sana moyoni tena kwa machozi mengi, shabaha
yangu si ili niwasababishe mhuzunike bali
Paulo Ahairisha Ziara kuwaonyesha kina cha upendo wangu kwenu.
12Basi haya ndiyo majivuno yetu: Dhamiri
yetu inatushuhudia kwamba tumeenenda katika Msamaha Kwa Mwenye Dhambi
ulimwengu na hasa katika uhusiano wetu na ninyi, 5Basi ikiwa mtu ye yote amesababisha
katika utakatifu na uaminifu utokao kwa Mungu. huzuni, kwa kiasi fulani hakunihuzunisha mimi
Hatukufanya hivyo kwa hekima ya kidunia bali kwa kama alivyowahuzunisha ninyi nyote, ili
neema ya Mungu. 13Kwa maana hatuwaandikii nisiifanye kali kupita kiasi. 6Adhabu hii
mambo ambayo hamwezi kusoma au kuyaelewa. aliyopewa na wengi inamtosha. 7 Basi sasa
Natumaini kwamba, 14kama vile mlivyotuelewa badala yake, inawapasa kumsamehe na
kwa sehemu, mtakuja
2
2Wakorinto
kumfariji, ili asigubikwe na huzuni kupita kiasi. kwa kuwa andiko huua bali Roho hutia uzima.
8Kwa hiyo, nawasihi, mpate kuuthibitisha tena

upendo wenu kwa ajili yake. 9Sababu ya Utukufu Wa Agano Jipya


kuwaandikia ni kuona kama mngeweza 7Basi ikiwa ile huduma iliyoleta mauti, ile
kushinda hilo jaribio na kutii katika kila jambo. iliyoandikwa kwa herufi juu ya jiwe ilikuja kwa
10Kama ninyi mkimsamehe mtu ye yote, mimi utukufu hata ikawa Waisraeli hawawezi
pia nimemsamehe. Kile nilichosamehe, kama kuutazama uso wa Mose kwa sababu ya ule
kulikuwa na kitu cho chote cha kusamehe, utukufu wake, ingawa ulikuwa ni wa kufifia, 8je,
nimekwisha kusamehe mbele ya Kristo kwa ajili huduma ya Roho haitakuwa na utukufu zaidi?
yenu. 11 Ili Shetani asitushinde. Kwa maana 9Ikiwa huduma ile iwahukumuyo wanadamu ina
hatuachi kuzijua hila zake. utukufu, si itakuwa ya utukufu zaidi ile huduma
iletayo haki? 10Kwa maana kile kilichokuwa na
Wasiwasi Wa Paulo Huko Troa utukufu sasa hakina utukufu ukilinganisha na
12Basi nilipofika Troa kuhubiri Injili ya Kristo huu utukufu uzidio sana wa Agano Jipya.
na kukuta kwamba Bwana alikuwa 11Ikiwa kile kilichokuwa kinafifia kilikuja kwa
13
amenifungulia mlango, bado nilikuwa sina utukufu, si zaidi sana ya utukufu wa kile
utulivu akilini mwangu kwa sababu sikumkuta kinachodumu?
ndugu yangu Tito huko. Hivyo niliagana nao 12Kwa hiyo, kwa kuwa tunalo tumaini hili,
nikaenda Makedonia. tuna ujasiri sana. 13Sisi si kama Mose, ambaye
14Lakini Mungu ashukuriwe, Yeye ambaye
ilimpasa kuweka utaji ili kufunika uso wake
sikuzote hutufanya tuandamane kwa ushindi Waisraeli wasiuone ule mng'ao ulivyokuwa juu
tukiwa ndani ya Kristo. Naye kwa kutupitia sisi yake wakati ukififia na hatimaye kutoweka.
hueneza kila mahali kama harufu nzuri ya 14Lakini akili zao zilitiwa upumbavu, kwa maana
kumjua Yeye. 15 Kwa maana sisi kwa Mungu ni mpaka leo utaji ule ule hufunika wakati Agano la
harufu nzuri ya manukato ya Kristo miongoni Kale lisomwapo.Huo utaji haujaondolewa kwa
mwa wale wanaookolewa. 16Kwa wale maana ni katika Kristo peke Yake unaondolewa.
15Hata leo, torati ya Mose isomwapo, utaji
wanaopotea sisi ni harufu ya mauti, lakini kwa
wale wanaookolewa sisi ni harufu nzuri iletayo hufunika mioyo yao. 16 Lakini wakati wo wote
uzima. Ni nani basi awezaye kazi hiyo? mtu anapomgeukia Bwana, “utaji
17Tofauti na watu wengine wengi, sisi unaondolewa.’’ 17 Basi Bwana ndiye Roho.
hatuchuuzi neno la Mungu kwa ajili ya kupata Mahali alipo Roho wa Bwana hapo pana uhuru.
faida. Kinyume chake, katika Kristo tunalisema 18Nasi sote, tukiwa na nyuso zisizotiwa utaji
neno la Mungu kwa unyofu, kama watu tunaakisi utukufu wa Bwana, kama kwenye
tuliotumwa kutoka kwa Mungu. kioo. Nasi tunabadilishwa ili tufanane naye, toka
utukufu hadi utukufu mkuu zaidi, utokao kwa
Wahudumu Wa Agano Jipya Bwana, ambaye ndiye Roho.
3 Je, tunaanza kujisifu wenyewe tena? Au
tunahitaji kupata barua za utambulisho kwenu
Hazina Ya Mbinguni Kwenye Vyombo Vya
Udongo
au kutoka kwenu, kama watu wengine? 2Ninyi
wenyewe ndio barua yetu iliyoandikwa katika
mioyo yetu, inayojulikana na kusomwa na kila
4 Kwa hiyo, kwa kuwa tuna huduma hii kwa
rehema za Mungu, hatukati tamaa.
mtu. 3Nanyi mwadhihirisha wazi kwamba ninyi 2Tumekataa mambo ya siri na ya aibu, wala
ni barua itokayo kwa Kristo, matokeo ya hatufuati njia za udanganyifu, tukichanganya
huduma yetu, ambayo haikuandikwa kwa wino
bali kwa Roho wa Mungu aliye hai, si katika Neno la Mungu na uongo. Kinyume cha hayo
vibao vya mawe, bali katika vibao ambavyo ni kwa kudhihirisha kweli waziwazi na
mioyo ya wanadamu. kujitambulisha wenyewe kwenye dhamiri ya kila
4Hili ndilo tumaini tulilo nalo mbele za mtu mbele za Mungu. 3Hata nayo Injili yetu
Mungu kwa njia ya Kristo. 5Si kwamba sisi kama imetiwa utaji, ni kwa wale tu wanaopotea.
4Kwa habari yao, mungu wa dunia hii
tunafikiri kuwa tunaweza kufanya jambo lo lote
wenyewe, lakini nguvu yetu inatoka kwa Mungu. amepofusha akili za wasioamini, ili wasione
6Yeye ndiye aliyetufanya sisi kuwa wahudumu nuru ya Injili ya utukufu wa Kristo, aliye sura ya
wa Agano Jipya, si wa andiko bali wa Roho, Mungu. 5Kwa maana hatujihubiri sisi wenyewe
ila tunamhubiri Yesu Kristo kuwa ni Bwana na
3
2Wakorinto
sisi ni watumishi wenu kwa ajili ya Yesu. 6Kwa aliyetufanya kwa ajili ya jambo ilo hilo naye
kuwa Mungu, Yeye aliyesema, ‘‘Nuru na ing’ae ametupa Roho Mtakatifu kuwa amana,
gizani,’’ ameifanya nuru Yake ing’ae mioyoni akituahidia kile kijacho.
mwetu ili kutupatia nuru ya maarifa ya utukufu 6Kwa hiyo sikuzote tunalo tumaini, hata
wa Mungu katika uso wa Kristo. ingawa tunajua kwamba wakati tukiwa katika
7Lakini tunayo hazina hii katika vyombo vya mwili huu, tuko mbali na Bwana, 7kwa maana
udongo, ili ijulikane wazi kwamba uwezo huu wa twaenenda kwa imani wala si kwa kuona.
ajabu unatoka kwa Mungu wala si kwetu. 8Naam, tunalo tumaini na ingekuwa bora zaidi
8Twataabika kila upande, lakini hatuangamizwi,
kuuacha mwili huu na kwenda kukaa na Bwana.
twaona wasiwasi lakini hatukati tamaa, 9Kwa hiyo, kama tuko katika mwili huu au tuko
9twateswa lakini hatuachwi, twatupwa chini
mbali nao, lengo letu ni kumpendeza Bwana.
lakini hatupondwi. 10Sikuzote twachukua katika 10Kwa kuwa sisi sote tutasimama mbele ya kiti
mwili kufa Kwake Yesu ili kwamba uzima wa cha hukumu cha Kristo, ili kila mmoja apate
Yesu uweze kudhihirika katika miili yetu. 11Kwa kulipwa kwa ajili ya yale ambayo yametendwa
maana sisi tulio hai sikuzote tumetolewa tufe katika mwili wake, yakiwa mema au mabaya.
kwa ajili ya Yesu, ili kwamba uzima wake upate
kudhihirishwa katika mwili wetu upatikanayo na Huduma Ya Upatanisho
mauti. 12Hivyo basi, mauti inatenda kazi ndani 11Basi, kwa kuwa tunajua kumcha Bwana,
yetu, bali uzima unatenda kazi ndani yenu. tunajitahidi kuwavuta wengine, lakini Mungu
13Imeandikwa, ‘‘Niliamini, kwa hiyo anatufahamu dhahiri, nami natumaini kwamba tu
nimesema.’’ Kwa roho yule yule wa imani pia dhahiri katika dhamiri zenu pia. 12Sio kwamba
tuliamini na hivyo tukasema, 14 kwa sababu tunajaribu kujistahilisha kwenu tena, lakini
tunajua kwamba Yeye aliyemfufua Bwana Yesu tunataka kuwapa nafasi ili mwone fahari juu yetu
kutoka kwa wafu atatufufua pia na sisi pamoja mweze kuwajibu hao wanaoona fahari juu ya
na Yesu na kutuleta sisi pamoja nanyi mbele mambo yanayoonekana badala ya mambo yaliyo
Zake. 15Haya yote ni kwa faida yenu, ili kwamba moyoni. 13Kama tumerukwa na akili, ni kwa ajili ya
neema ile inavyowafikia watu wengi zaidi na Mungu, kama tuna akili timamu ni kwa ajili yenu.
zaidi, ipate kusababisha shukrani nyingi kwa 14Kwa kuwa upendo wa Kristo unatutia nguvu,
utukufu wa Mungu. kwa sababu tunasadiki kuwa mmoja alikufa kwa
16Kwa hiyo, hatukati tamaa. Ingawa utu
ajili ya wote, kwa hiyo wote walikufa. 15 Naye
wetu wa nje unachakaa, utu wetu wa ndani alikufa kwa ajili ya watu wote, ili kwamba wote
unafanywa upya siku kwa siku. 17Kwa maana wanaoishi wasiishi tena kwa ajili ya nafsi zao
dhiki yetu nyepesi iliyo ya kitambo wenyewe, bali kwa ajili Yake Yeye aliyekufa na
inatutayarisha kwa ajili ya utukufu wa milele kufufuka tena kwa ajili yao.
16Hivyo tangu sasa hatumwangalii mtu ye
uzidio kuwa mwingi kupita kiasi, 18kwa sababu
hatuangalii yale yanayoweza kuonekana bali yote kwa mtazamo wa kibinadamu, ingawa wakati
yale yasiyoweza kuonekana, kwa maana yale fulani tulimwangalia Kristo kwa namna ya
yanayoweza kuonekana ni ya kitambo tu, bali kibinadamu, hatumwangalii tena kwa jinsi hiyo.
yale yasiyoweza kuonekana ni ya milele. 17Kwa hiyo kama mtu akiwa ndani ya Kristo,
amekuwa kiumbe kipya, ya kale yamepita,
Makao Yetu Ya Mbinguni tazama, yamekuwa mapya. 18Haya yote
5 Kwa maana twajua kwamba kama hema yanatokana na Mungu, ambaye ametupatanisha
sisi na nafsi yake kwa njia ya Yesu Kristo na
yetu ya dunia tunayoishi ikiharibiwa, tunalo
jengo kutoka kwa Mungu, nyumba kutupatia sisi huduma ya upatanisho: 19Kwamba
isiyojengwa kwa mikono ya wanadamu. 2Kwa Mungu alikuwa ndani ya Kristo akiupatanisha
maana katika hema hii twalia kwa uchungu, ulimwengu na nafsi Yake mwenyewe, akiwa
tukitamani kuvikwa makao yetu ya mbinguni, hawahesabii watu dhambi zao. Naye
3kwa kuwa tukiisha kuvikwa hatutaonekana tena ametukabidhi sisi ujumbe huu wa upatanisho.
kuwa uchi. 4Kwa kuwa tukiwa bado katika hema 20Kwa hiyo sisi ni mabalozi wa Kristo, kana
hii twalia kwa uchungu na kulemewa, kwa kwamba Mungu anawasihi kwa kupitia vinywa
sababu hatutaki kuvuliwa bali kuvikwa makao vyetu, nasi twawaomba sana ninyi kwa niaba ya
yetu ya mbinguni ili kwamba kile kipatikanacho
Kristo, mpatanishwe na Mungu. 21Kwa maana
na mauti kimezwe na uzima. 5Basi Mungu ndiye
Mungu alimfanya Yeye asiyekuwa na dhambi
4
2Wakorinto
kuwa dhambi kwa ajili yetu, ili sisi tupate katikati yao, nami nitakuwa Mungu wao, nao
kufanywa haki ya Mungu katika Yeye. watakuwa watu wangu.’’
6 Kama watenda kazi pamoja na Mungu,
17‘‘Kwa hiyo tokeni miongoni
tunawasihi msipokee neema ya Mungu
bure bila sababu . 2Kwa maana asema: mwao, mkatengwe nao,
asema Bwana.
“Wakati uliokubalika nilikusikia, Msiguse kitu cho chote kilicho najisi,
siku ya wokovu nilikusaidia.’’ Nami nitawakaribisha.’’
18‘‘Mimi nitakuwa Baba kwenu,
Tazama, wakati uliokubalika ndio huu, siku ya nanyi mtakuwa wanangu na binti zangu,
wokovu ndiyo sasa.’’ asema Bwana Mwenyezi.’’

Taabu Za Paulo
3Hatuweki kitu cha kukwaza katika njia ya
7 Wapenzi, kwa kuwa tunazo ahadi hizi, basi
na tujitakase nafsi zetu kutokana na kila kitu kitiacho
mtu ye yote, ili huduma yetu isionekane kuwa na mwili na roho unajisi, tukitimiza
lawama, 4bali kama watumishi wa Mungu utakatifu kwa kumcha Mungu.
tuonyeshe kwa kila njia saburi nyingi katika
dhiki, katika misiba, katika shida, 5katika Furaha Ya Paulo
kupigwa, katika kufungwa gerezani na katika 2Tupatieni nafasi mioyoni mwenu.
ghasia, katika kazi ngumu, katika kukesha na Hatujamkosea mtu ye yote, hatujampotosha
katika njaa, 6katika utakatifu, katika ufahamu, mtu ye yote, wala hatujamdhulumu mtu ye yote.
katika uvumilivu, katika utu wema, katika Roho 3Sisemi haya ili kuwahukumu, kwa kuwa
Mtakatifu na upendo wa kweli, 7katika maneno nilisema mwanzo, kwamba ninyi mko mioyoni
ya kweli na katika nguvu za Mungu, kwa silaha mwetu hata kwa kufa pamoja au kuishi pamoja.
za haki za mkono wa kuume na za mkono za 4Mara nyingi najivuna kwa ajili yenu, naona
kushoto, 8katika utukufu na katika kudharauliwa, fahari juu yenu, nimejawa na faraja, nina furaha
katika sifa mbaya na katika sifa nzuri, kama kupita kiasi katika mateso yetu yote.
5Kwa maana hata tulipoingia Makedonia,
wadanganyaji lakini tukiwa wakweli 9tukiwa
maarufu lakini tukihesabiwa kama tusiojulikana, miili yetu haikuwa na raha. Tulisumbuliwa kila
tukiwa kama wanaokufa lakini tunaishi, upande, kwa nje kulikuwa na mapigano na
tukipigwa lakini hatuuawi, 10kama wenye huzuni mioyoni mwetu tulikuwa na hofu. 6Bali Mungu,
lakini sikuzote tukifurahi, tukionekana maskini Yeye awafarijie wenye huzuni, alitufariji kwa
lakini tukitajirisha wengi, tukiwa kama wasio na kufika kwake Tito, 7lakini si kule kuja kwa Tito
kitu lakini tukiwa na vitu vyote. tu, bali pia kwa faraja mliyompa. Alitueleza jinsi
11Tumesema nanyi wazi, enyi Wakorintho
mlivyomwonea shauku, huzuni yenu kubwa na
na kuwafungulieni mioyo yetu wazi kabisa. juhudi yenu kwa ajili yangu, ili kwamba furaha
12Sisi hatujizuii kuwapenda, bali ninyi mmeuzuia yangu ipate kuwa kubwa kuliko wakati wo wote.
upendo wenu kwetu. 13Sasa nasema, kama na 8Hata kama niliwahuzunisha kwa barua
watoto wangu: Ninyi pia yangu, sijutii. Ingawa nilijuta kwa muda mfupi,
ifungueni mioyo yenu kabisa. kwa kuwa najua kwamba barua yangu
iliwaumiza, lakini ni kwa kitambo tu, 9Lakini
Msifungiwe Nira Pamoja Na Wasioamini sasa nina furaha, si kwa sababu mlihuzunika,
14Msifungiwe nira pamoja na watu bali kwa kuwa huzuni hiyo iliwafanya mtubu.
wasioamini, kwa jinsi isivyo sawasawa, kwa Kwa maana mlihuzunishwa kama Mungu
maana pana uhusiano gani kati ya haki na alivyokusudia watu wahuzunike na hivyo sisi
uovu? Au kuna ushirika gani kati ya nuru na hatukuwadhuru kwa njia yo yote. 10Kwa maana
giza? 15Kuna mapatano gani kati ya Kristo na huzuni ya kimungu huleta toba iletayo wokovu
Belialia? Yeye aaminiye ana sehemu gani na na wala haina majuto. Lakini huzuni ya kidunia
yeye asiyeamini? 16Kuna mapatano gani kati ya husababisha mauti. 11Tazameni jinsi huzuni hii
hekalu la Mungu na sanamu? Kwa kuwa sisi tu ya kimungu ilivyoleta faida kutokana na huzuni
hekalu la Mungu aliye hai. Kama Mungu hii: bidii mliyo nayo, juhudi mliyofanya kujitetea,
alivyosema : ‘‘Nitakaa pamoja nao na kutembea uchungu wenu, hofu yenu, upendo wenu,
shauku yenu na jinsi mlivyokuwa tayari kutoa
a15 Beliali hapa ina maana ya “uovu”, “kutokumcha Mungu”
5
2Wakorinto
adhabu inayostahili. Kwa kila njia mmethibitisha ikamilisheni kazi hii kwa shauku kama
kuwa hamna hatia katika jambo hilo. 12Hivyo mlivyoanza, jitoleeni kulingana na uwezo wenu.
ingawa niliwaandikia, haikuwa kwa sababu ya 12Kwa kuwa kama nia ya kutoa ipo, kitolewacho
huyo aliyekosa au huyo aliyekosewa. Lakini kinakubalika kulingana na kile mtu alicho nacho,
nilitaka ninyi wenyewe mwone, mbele za wala si kwa kile ambacho hana.
Mungu, jinsi mlivyojitoa kwa ajili yetu. 13Kwa ajili 13Nia yetu si kwamba wengine wasaidike
ya haya tumefarijika. wakati ninyi mnateseka, bali pawe na uwiano.
Zaidi ya kule sisi kutiwa moyo, tulifurahi 14Kwa wakati huu wingi wa vitu mlivyonavyo
sana kumwona Tito alivyo na furaha, kwa usaidie kutosheleza mahitaji yao, ili wakati wao
sababu roho yake imeburudishwa na ninyi wakiwa na wingi wa vitu, nao wapate
nyote. 14Nilikuwa nimewasifu ninyi kwake, nanyi kutosheleza mahitaji yenu. 15Ndipo patakuwa
hamkuniaibisha. Lakini kila kitu tulichowaambia na usawa, kama maandiko yanavyosema,
ninyi, kilikuwa kweli, hivyo kule kijisifu kwetu ‘‘Aliyekusanya kwa wingi, hakubakiza kitu, wala
kwa Tito kuwahusu ninyi kumethibitishwa kuwa aliyekusanya kidogo hakupungukiwa.’’
kweli pia. 15Upendo wake kwenu unaongezeka
sana anapokumbuka jinsi mlivyokuwa watii na Tito Atumwa Korintho
kumpokea kwa hofu na kutetemeka. 16Nafurahi 16Ninamshukuru Mungu ambaye amemtia
kwamba ninaweza kuwatumaini ninyi kabisa. Tito moyo wa kuwajali ninyi kama mimi
ninavyowajali. 17Si kwamba Tito amekubali tu
Kutoa Kwa Ukarimu ombi letu, bali anakuja kwenu akiwa na shauku
Basi sasa ndugu, nataka ninyi mjue kuliko wakati mwingine, tena kwa hiari yake
8 kuhusu ile neema ambayo Mungu mwenyewe. 18 Nasi tunamtuma pamoja naye
amewapa makanisa ya Makedonia. 2Pamoja na ndugu ambaye anasifiwa na makanisa yote kwa
majaribu makali na taabu walizopata, furaha huduma yake ya kuhubiri Injili. 19Zaidi ya hayo,
waliyokuwa nayo ilikuwa kubwa, ingawa alichaguliwa na makanisa ili asafiri pamoja nasi
walikuwa maskini kupindukia, kwa upande wao tulipokuwa tunatoa huduma hii ya ukarimu kwa
walifurika kwa wingi wa ukarimu. 3 Kwa maana ajili ya utukufu wa Bwana mwenyewe ili
nashuhudia kwamba wao walitoa kwa kadiri kuonyesha hisani yetu. 20Tunataka kuepuka
wawezavyo, hata na zaidi ya uwezo wao, kwa lawana yo yote kuhusu jinsi tunavyosimamia
hiari yao wenyewe, 4wakitusihi kwa bidii matoleo haya ya ukarimu. 21Kwa kuwa
wapewe fursa ya kushiriki katika huduma hii ya tunakusudia kufanya kile kilicho haki si machoni
kuwasaidia watakatifu. 5Wala hawakufanya mwa Bwana peke yake, bali pia machoni mwa
tulivyotazamia, bali walijitoa wao wenyewe kwa watu wengine.
Bwana kwanza na ndipo wakajitoa kwa ajili yetu, 22Pamoja nao, tunamtuma ndugu yetu
kufuatana na mapenzi ya Mungu. 6Kwa hiyo ambaye mara kwa mara ametuthibitishia kwa
tulimsihi Tito, kwa kuwa ndiye aliyeanzisha njia nyingi kwamba ana shauku, naam, zaidi
jambo hili, akamilishe tendo hili la neema kwa sana sasa kwa sababu analo tumaini kuu
upande wenu. 7Lakini kama vile mlivyo mbele kwenu. 23Kwa habari ya Tito, yeye ni
sana katika yote: Katika imani, katika usemi, mwenzangu na mtenda kazi pamoja nami
katika maarifa, katika uaminifu wote na katika miongoni mwenu. Kwa habari za ndugu zetu,
upendo wenu kwetu sisi, vivyo hivyo tunataka wao ni wawakilishi wa makanisa, utukufu wa
pia mzidi katika neema hii ya kutoa. Kristo. 24Kwa hiyo waonyesheni wazi hawa
8Siwaamrishi, lakini nataka kujaribu unyofu ndugu uthibitisho wa upendo wenu na sababu
wa upendo wenu kwa kuulinganisha na bidii ya inayotufanya tujivune kwa ajili yenu, mbele ya
wengine. 9Kwa maana mnajua neema ya makanisa ,ili yapate kuona.
Bwana wetu Yesu Kristo, kwamba ingawa
alikuwa tajiri, kwa ajili yenu alikubali kuwa Wasaidieni Wakristo Wenzenu
maskini, ili kwa umaskini Wake ninyi mpate
kuwa matajiri.
9 Hakuna sababu ya mimi kuwaandikia
kuhusu huduma hii itolewayo kwa ajili ya
10Ushauri wangu kuhusu lile lililo bora watakatifu. 2Kwa kuwa ninajua mlivyo na
kwenu juu ya jambo hili ni huu: Mwaka uliopita shauku ya kusaidia, nami nimekuwa nikijivuna
kwa ajili ya jambo hilo kwa watu wa Makedonia,
ninyi mlikuwa wa kwanza si tu kutoa lakini pia nikiwaambia kuwa ninyi wa Akaya mmekuwa
mlikuwa na shauku ya kufanya hivyo. 11Sasa
6
2Wakorinto
tayari kutoa tangu mwaka jana na shauku yenu 10 na upole wa Kristo, mimi niliye “mwoga”
imewachochea wengi wao katika kutoa. 3Lakini ninapokuwa pamoja nanyi ana kwa ana, lakini mwenye
ujasiri nikiwa mbali nanyi!
sasa nawatuma hawa ndugu ili kujivuna kwetu 2Nawaomba
kuhusu mchango wenu kusiwe maneno matupu, nitakapokuja kwenu nisiwe na
bali mpate kuwa tayari kama nilivyosema ujasiri dhidi ya watu fulani kama ninavyotazamia
kwa wale wanaodhani kwamba tunaishi kwa
mngekuwa tayari. 4Kwa maana kama nikija na kufuata namna ya ulimwengu huu. 3Ingawa
Mmakedonia ye yote na kuwakuta hamjawa tunaishi duniani lakini hatupigani vita kama
tayari, tutaona aibu kusema cho chote juu yenu
ulimwengu ufanyavyo. 4Silaha za vita vyetu si
katika matoleo. 5 Kwa hivyo niliona ni muhimu za mwili, Bali zina uwezo katika Mungu hata
niwahimize hawa ndugu watangulie kuja huko kuangusha ngome. 5Tukiangusha mawazo na
kwenu kabla yangu, wafanye mipango ya hayo kila kitu kilichoinuka, kijiinuacho juu ya elimu ya
matoleo ya ukarimu mliyokuwa mmeahidi, ili Mungu na tukiteka nyara kila fikira ipate kumtii
yawe tayari kama matoleo ya hiari wala si kama Kristo, 6tena tukiwa tayari kuadhibu kila tendo la
ya kutozwa kwa nguvu. kutokutii, kutii kwenu kutakapokamilika.
7Angalieni yale yaliyo machoni penu. Kama
Kupanda Kwa Ukarimu
6Kumbukeni mtu ye yote anaamini kuwa yeye ni mali ya
kwamba: Ye yote apandaye Kristo, basi kumbuka kuwa kama ulivyo wa
kwa uchache pia atavuna kwa uchache, naye Kristo, vivyo hivyo na sisi ndivyo tulivyo. 8Basi
apandaye kwa ukarimu pia atavuna kwa hata kama nikijisifu zaidi kidogo kuhusu
ukarimu. 7Kila mtu atoe kama anavyokusudia mamlaka tuliyo nayo, ambayo Mungu alitupa ili
moyoni mwake, si kwa uchoyo au kwa kuwajenga wala si ya kuwabomoa, mimi
kulazimishwa, kwa maana Mungu humpenda sitaionea haya. 9Sitaki nionekane kama
yeye atoaye kwa moyo mkunjufu. 8Naye Mungu ninayejaribu kuwatisha kwa nyaraka zangu.
aweza kuwapa kila baraka kwa wingi, ili katika 10Kwa maana wanasema, “Nyaraka zake ni
mambo yote kila wakati, mwe na kila kitu nzito na zenye nguvu, lakini akiwepo kwa mwili
mnachohitaji, ili mweze kushiriki kwa wingi ni dhaifu na kuzungumza kwake ni kwa
katika kila kazi njema. 9Kama ilivyoandikwa: kudharauliwa.’’ 11Watu kama hao wajue ya
“Ametawanya huwapa maskini, kuwa, yale tusemayo kwa barua tukiwa hatupo
pamoja nanyi, ndivyo tulivyo na ndivyo
haki yake yadumu milele.’’ tutakavyofanya tutakapokuwa pamoja nanyi.
12Hatuthubutu kujiweka kwenye kundi moja
10Yeye ampaye mpanzi mbegu kwa ajili ya
kupanda na mkate kuwa chakula, atawapa na au kujilinganisha na hao wanaojitukuza
kuzidisha mbegu zenu za kupanda na kuongeza wenyewe kuwa wao ni wa maana sana.
Wanapojipima na kujilinganisha wenyewe kwa
mavuno ya haki yenu. 11Mtatajirishwa kwa kila wenyewe, wanaonyesha ya kuwa hawana
namna ili mpate kuwa wakarimu kila wakati,
busara. 13Lakini sisi hatujajivuna kupita kiasi,
ambako kwa kupitia kwetu, ukarimu wenu
utamletea Mungu shukrani. bali majivuno yetu yatakuwa katika mipaka ile
12Huduma hii mnayofanya si tu kwa ajili ya
Mungu aliyotuwekea, mipaka ambayo inawafikia
hata nanyi. 14Kwa maana hatukuwa tunavuka
kukidhi mahitaji ya watakatifu, bali huzidi sana
mipaka tunapowajumlisha katika mipaka yetu,
kwa shukrani nyingi apewazo Mungu. 13Kwa kwa sababu tulikuwa wa kwanza kuwaletea Injili
sababu ya huduma ambayo mmejithibitisha
ya Kristo. 15Hatujivuni kupita kiasi, hii ina
wenyewe, watu watamtukuza Mungu kwa ajili ya
utii ufuatanao na ukiri wenu wa Injili ya Kristo na maana katika taabu ya watu wengine, lakini
kwa ukarimu wenu wa kushiriki pamoja nao na tumaini letu ni kwamba imani yenu inavyozidi
kukua, eneo letu la utendaji wetu miongoni
pia wengine wote. 14Nao katika maombi yao
kwenu mioyo yao itawaonea shauku kwa mwenu litapanuka sana, 16ili tuweze kuhubiri
sababu ya neema ipitayo kiasi mliyopewa na Injili sehemu zilizo mbali nanyi na nchi yenu.
Kwa maana hatutaki kujisifu kwa ajili ya kazi
Mungu. 15Ashukuriwe Mungu kwa karama Yake
ambayo imekwisha kufanyika tayari katika eneo
isiyoelezeka.
la mtu mwingine. 17Lakini, ‘‘Yeye ajisifuye ajisifu
Paulo Atetea Huduma Yake katika Bwana.’’ 18Kwa maana si yeye ajisifuye
Basi, mimi Paulo ninawasihi kwa unyenyekevu

7
2Wakorinto
mwenyewe akubaliwaye, bali yeye ambaye kwamba mimi ni mjinga. Lakini hata kama
Bwana humsifu. mkinidhania hivyo, basi nipokeeni kama mjinga
ili nipate kujisifu kidogo. 17Ninayosema
Paulo Na Mitume Wa Uongo kuhusiana na huku kujisifu kwa kujiamini, sisemi

11 Laiti mngechukuliana nami kidogo


kama vile ambavyo Bwana angesema, bali
kama mjinga. 18Kwa kuwa wengi wanajisifu
katika upumbuvu wangu! Naam, kama vile ulimwengu ufanyavyo, mimi nami
chukulianeni nami. 2Ninawaonea wivu, wivu wa nitajisifu. 19Ninyi mwachukuliana na wajinga
kimungu, kwa kuwa mimi niliwaposea mume
mmoja, ili niwalete kwa Kristo kama mabikira kwa sababu mna hekima sana! 20Kweli ni
safi. 3Lakini nina hofu kuwa, kama vile Eva kwamba mnachukuliana na mtu akiwatia
alivyodanganywa kwa ujanja wa yule nyoka, utumwani au akiwatumia kwa ajili ya kupata
mawazo yenu yasije yakapotoshwa, mkauacha faida au akiwanyang’anya au akijitukuza
unyofu na usafi wa upendo wenu kwa Kristo. mwenyewe au akiwadanganya. 21Kwa aibu
4Kwa sababu kama mtu akija na kuwahubiria
inanipasa niseme kwamba sisi tulikuwa dhaifu
Yesu mwingine ambaye si yule tuliyemhubiri, au sana kwa jambo hilo!
kama mkipokea roho mwingine ambaye si yule Lakini cho chote ambacho mtu mwingine ye
mliyempokea, au injili tofauti na ile mliyoikubali,
yote angethubutu kujisifia, nanena kama mjinga,
ninyi mnaitii kwa urahisi. 5Lakini sidhani ya kuwa
mimi ni dhalili sana kuliko hao ‘‘mitume wakuu'’. nami nathubutu kujisifu juu ya hilo. 22Je, wao ni
6Inawezekana mimi nikawa si mnenaji hodari, Waebrania ? Mimi pia ni Mwebrania. Je, wao ni
lakini ni hodari katika elimu. Jambo hili Waisraeli ? Mimi pia ni Mwisraeli. Je, wao ni
tumelifanya liwe dhahiri kwenu kwa njia zote. wazao wa Abrahamu ? Mimi pia ni mzao wa
7Je, nilitenda dhambi kwa kujishusha ili Abrahamu. 23Je, wao ni watumishi wa Kristo ?
kuwainua ninyi kwa kuwahubiria Injili ya Mungu Nanena kiwazimu, mimi ni zaidi yao: Nimefanya
pasipo malipo ? 8Niliyanyang’anya makanisa kazi kwa bidii kuliko wao, nimefungwa gerezani
mengine kwa kupokea misaada kutoka kwao ili mara kwa mara, nimechapwa mijeledi sana,
niweze kuwahudumia ninyi. 9 Nami nilipokuwa nimekabiliwa na mauti mara nyingi. 24Mara tano
pamoja nanyi, nikipungukiwa na cho chote, nimechapwa viboko arobaini kasoro kimoja na
sikuwa mzigo kwa mtu ye yote, kwa maana Wayahudi. 25Mara tatu nalichapwa kwa fimbo,
ndugu waliotoka Makedonia walinipatia mahitaji mara moja nalipigwa kwa mawe, mara tatu
yangu. Kwa hiyo nilijizuia kuwa mzigo kwenu nimevunjikiwa na meli, nimekaa kilindini usiku
kwa njia yo yote, nami nitaendelea kujizuia. kucha na mchana kutwa. 26Katika safari za
10Kwa hakika kama vile kweli ya Kristo ilivyo mara kwa mara, hatari za kwenye mito, hatari
ndani yangu, hakuna mtu ye yote katika Akaya za wanyang'anyi, hatari kutoka kwa watu wangu
nzima atakayenizuia kujivunia jambo hili. 11Kwa wenyewe, hatari kutoka kwa watu Mataifa,
nini? Je, ni kwa sababu siwapendi? Mungu hatari mijini, hatari nyikani, hatari baharini,
hatari kutoka kwa ndugu wa uongo.
anajua ya kuwa nawapenda! 12Nami 27Nimekuwa katika kazi ngumu na taabu, katika
nitaendelea kufanya lile ninalofanya sasa ili
nisiwape nafasi wale ambao wanatafuta nafasi kukesha mara nyingi, ninajua kukaa njaa na
ya kuhesabiwa kuwa sawa na sisi katika mambo kuona kiu, nimekaa mara nyingi bila chakula,
wanayojisifia. nimesikia baridi na kuwa uchi. 28Zaidi ya hayo
13Watu kama hao ni mitume wa uongo, ni yote, nakabiliwa na mzigo wa wajibu wangu kwa
wafanyikazi wadanganyifu, wanaojigeuza makanisa yote. 29 Je, ni nani aliye dhaifu, nami
waonekane kama mitume wa Kristo. 14Wala hii nisijisikie dhaifu? Je, nani aliyekwazwa, nami
si ajabu, kwa kuwa hata Shetani mwenyewe nisiudhike?
hujigeuza aonekane kama malaika wa nuru. 30Kama ni lazima nijisifu, basi nitajisifia yale
15Kwa hiyo basi si ajabu, kama watumishi wa mambo yanayoonyesha udhaifu wangu.
31Mungu na Baba wa Bwana Yesu, Yeye
Shetani nao hujigeuza ilil waonekane kama
watumishi wa haki. Mwisho wao utakuwa sawa ambaye anahimidiwa milele, anajua ya kuwa
na matendo yao yanavyostahili. mimi sisemi uongo. 32Huko Dameski, mtawala
aliyekuwa chini ya Mfalme Areta aliulinda mji wa
Paulo Anajivunia Mateso Yake Dameski ili kunikamata. 33Lakini nilishushwa
16Nasema tena, mtu ye yote asidhani kwa kapu kubwa kupitia katika dirisha ukutani
nikatoroka kutoka mikononi mwake.
8
2Wakorinto
kutumia kila kitu nilicho nacho kwa ajili yenu,
Maono Ya Paulo Na Mwiba Aliokuwa Nao hata mwili wangu pia. Hata ingawa inaonekana
ninavyozidi kuwapenda, ndivyo upendo wenu
12 Yanipasa nijisifu, ingawa haifaidii kitu. Nitaenda
kwangu unavyopungua.16Iwe iwavyo, kwa vyo
kwenye maono na ufunuo kutoka kwa Bwana.
2Namjua mtu mmoja katika vyote vile mimi sikuwalemea. Lakini kwa mimi
Kristo ambaye miaka kumi na minne iliyopita kuwa mwerevu naliwapata. 17Je, nilijipatia faida
alichukuliwa juu hadi mbingu ya tatu. Kama ni kwa kumtumia mtu ye yote niliyemtuma kwenu?
katika mwili au nje ya mwili, sijui, Mungu ajua. 18Nilimshawishi Tito aje kwenu, nami nilimtuma
3Nami najua ya kwamba mtu huyu, kwamba ni
pamoja na ndugu yetu. Je, Tito aliwatumia ninyi
katika mwili au nje ya mwili mimi sijui, lakini ili kujipatia faida? Je, hatuenendi kwa Roho
Mungu ajua, 4alinyakuliwa hadi Paradisoa. Huko mmoja ? Je, hatuchukui hatua zile zile ?
alisikia mambo yasiyoelezeka, mambo ambayo 19Je, mmekuwa mkifikiri kwamba sisi
binadamu hana ruhusa ya kuyasimulia. tunajaribu kujitetea mbele yenu ? Sisi tumekuwa
5Nitajisifu kwa ajili ya mtu kama huyo, lakini tukinena mbele za Mungu kama wale walio
sitajisifu kuhusu mimi mwenyewe ila mimi katika Kristo na cho chote tufanyacho, ndugu
nitajisifia udhaifu wangu. 6Hata kama wapendwa ni kwa ajili ya kuwatia nguvu. 20Kwa
ningependa kujisifu, sitakuwa mjinga, kwa kuwa nina hofu ya kwamba nitakapokuja
maana nitakuwa nasema kweli. Lakini najizuia, naweza kuwakuta nisivyotaka, nanyi mkanikuta
ili mtu ye yote asije akaniona mimi kuwa bora msivyotaka, nina hofu kwamba panaweza kuwa
zaidi kuliko ninavyoonekana katika yale na ugomvi, wivu, gadhabu, fitina, masingizio,
ninayotenda na kusema. masengenyo, majivuno na machafuko. 21Nina
7Ili kunizuia nisijivune kwa sababu ya
hofu kwamba nitakapokuja tena kwenu, Mungu
ufunuo huu mkuu, nilipewa mwiba katika mwili wangu atanidhili mbele yenu, nami
wangu, mjumbe wa Shetani, ili anitese. 8 Kwa nitasikitishwa na wengi waliotenda dhambi huko
habari ya jambo hili nilimsihi Bwana mara tatu nyuma na wala hawajatubia uchafu wao, yaani,
aniondolee mwiba huu. 9Lakini aliniambia, uasherati na ufisadi walioufanya.
“Neema yangu inakutosha, kwa kuwa uweza
wangu hukamilika katika udhaifu.” Kwa hiyo Maonyo Ya Mwisho Na Salamu
nitajisifu kwa furaha zaidi kuhusu udhaifu Hii ndiyo mara ya tatu nikija kwenu.
wangu, ili uweza wa Kristo ukae juu yangu. 10Hii 13 “Shitaka lo lote lazima lithibitishwe na
ndiyo sababu, kwa ajili ya Kristo, nafurahia mashahidi wawili au watatu.’’ 2Nimekwisha
udhaifu, katika kutukanwa, katika taabu, katika kuwaonya nilipokuwa pamoja nanyi mara ya pili.
mateso na katika shida, kwa maana ninapokuwa Sasa narudia wakati sipo, kwamba nikija tena
dhaifu, ndipo nina nguvu. sitawahurumia wale waliokuwa wametenda
dhambi hapo awali na wengine wote, 3kwa
Wasiwasi Wa Paulo Kwa Wakorintho kuwa mnadai uthibitisho kwamba Kristo
11Nimekuwa mjinga, lakini ninyi anazungumza kwa kunitumia mimi. Yeye si
mmenilazimisha niwe hivyo. Kwa kuwa ilinipasa dhaifu katika kushughulika nanyi, bali ana
kusifiwa na ninyi, kwa sababu mimi si dhalili nguvu katikati yenu. 4Kwa kuwa alisulibiwa
kuliko wale mitume “walio bora” ingawa mimi si katika udhaifu, lakini anaishi kwa nguvu za
kitu. 12Mambo yanayomtambulisha mtume wa Mungu. Vivyo hivyo, sisi tu dhaifu katika Yeye,
kweli, yaani, ishara, miujiza na maajabu, lakini katika kuwashughulikia ninyi tutaishi
yalifanywa miongoni mwenu kwa saburi nyingi. pamoja Naye kwa nguvu za Mungu.
13Je, ninyi ni kitu gani mlichopungukiwa kuliko 5Jichunguzeni wenyewe mwone kama
makanisa mengine, ila tu kwamba mimi sikuwa mnaishi katika imani. Jipimeni wenyewe. Je,
mzigo kwenu? Nisameheni kwa kosa hili! hamtambui ya kuwa Yesu Kristo Yesu yumo
14Sasa niko tayari kuja kwenu kwa mara hii ndani yenu? Kama sivyo, basi, mmeshindwa
ya tatu, nami sitawalemea, kwa sababu sitahitaji kufikia kipimo hicho! 6Natumaini mtaona kuwa
cho chote chenu, ila ninawahitaji ninyi, kwa sisi hatukushindwa. 7Lakini tunamwomba
kuwa hata hivyo watoto hawaweki akiba kwa ajili Mungu msije mkatenda kosa lo lote, si ili sisi
ya wazazi wao, bali wazazi huweka akiba kwa tuonekane kuwa tumeshinda hilo jaribio, bali ili
ajili ya watoto wao. 15Hivyo nitafurahi ninyi mtende lililo haki, hata kama tutaonekana
a4 Paradiso hapa ina maana Mbinguni
kuwa tumeshindwa. 8Kwa maana hatuwezi
9
2Wakorinto
kufanya lo lote kinyume na kweli, bali
kuithibitisha kweli tu. 9Tunafurahi wakati wo
wote sisi tunapokuwa dhaifu, lakini ninyi mkawa
na nguvu. Nayo maombi yetu ni kwamba mpate
kuwa wakamilifu. 10Hii ndiyo sababu
ninawaandikia mambo haya wakati sipo, ili nikija
nisiwe mkali katika kutumia mamlaka yangu,
mamlaka Bwana aliyonipa ya kuwajenga ninyi
wala si ya kuwabomoa.

Salamu Za Mwisho
11Hatimaye, ndugu zangu, kwaherini. Iweni
wakamilifu, mkafarijike, nieni pamoja, kaeni kwa
amani, naye Mungu wa upendo na amani
atakuwa pamoja nanyi.
12Salimianeni ninyi kwa ninyi kwa busu
takatifu. 13Watakatifu wote wanawasalimu.
14Neema ya Bwana Yesu Kristo na upendo
wa Mungu na ushirika wa Roho Mtakatifu ukae
nanyi nyote. Amen.

10
WAGALATIA
Utangulizi
Nadharia ya Galatia ya kaskazini inaeleza kuwa Paulo aliandika waraka huu kwa makanisa aliyoanzisha
katika safari yake ya pili na ya tatu ya kitume(Mdo.16:6 0; 18: 23).
Paulo alikuwa amewahubiria watu wa Galatia katika safari yake ya kwanza ya kueneza Injili (Matendo 13:14-
14:23). Baada ya yeye kuondoka, kikundi cha Wayahudi walioamini walifika, wakaanza kusisitiza kwamba ni
lazima watu Mataifa walioamini watimize kwanza sheria za Mose ili wapate kuokoka. Paulo anaandika kupinga
mafundisho hayo kwa kuonyesha jinsi ambavyo Abrahamu, ambaye aliishi miaka 400 kabla ya sheria ya Mose
kutolewa, alivyookolewa kwa imani. Anaonyesha kwamba, kama vile ambavyo sheria haiwezi kumwokoa mtu,
hakuna mtu anayeweza kuwa mkamilifu kwa kujitahidi kwa uwezo wake mwenyewe katika kutimiza sheria. Paulo
anakazia hoja hiyo kwa kuthibitisha jinsi ambavyo yeye mwenyewe ni mtume wa Kristo na kwa kutoa mafundisho
kuhusu jinsi mkristo anavyopaswa kuishi.

Wazo kuu
Paulo anatetea kwa bidii kweli ya Injili ambayo kiini chake ni kwamba, ‘Mtu anaokolewa kwa neema ya
Mungu kwa kumwamini Kristo.’ Mtu anayeongeza cho chote katika ukweli huu anapotosha kweli ya Mungu. (1:7).
Tunahesabiwa haki mbele za Mungu kwa njia ya imani (2:16) na tunakuwa watoto wa Mungu (watoto wa
Abrahamu) kwa njia iyo hiyo, yaani, kwa imani (3:7) . Kwa kuwa Kristo anatuweka huru, basi tusimruhusu mtu ye
yote aturudishe kwenye mawazo ya kudhania kuwa matendo ya sheria yanatosha kutupatia wokovu. Kama watu
waliookolewa kwa neema, tuna wajibu wa kuishi maisha yanayolingana na imani yetu. Hii ina maana kwamba
inatupasa kumtii Roho Mtakatifu (5:16) na kumpenda jirani kama tunavyojipenda wenyewe ( 5:14).Paulo
anafanya masahihisho ya injili iliyohubiriwa na Wakristo wa Kiyahudi waliosisitiza kwamba ni lazima Wakristo wa
watu Mataifa wafuate taratibu fulani fulani za Kiyahudi za Agano la Kale hasa kutahiriwa.Mtume Paulo
anaonyesha kwamba kanuni ya mtu kuokolewa ni kwa njia ya imani katika Yesu Kristo.

Tarehe
Tarehe ya makisio inaweza ikawa kati ya 53 na 57B.K., kufuatana na nadharia hiyo ya Galatia ya Kaskazini.
Lakini nadharia ya Galatia ya Kusini inaufanya waraka huu uwe umeandikwa kati ya 48 na 49 B.K. mara tu baada
ya lile baraza lililokaa Yerusalemu (Mdo.15.) Kufuatana na nadharia hii ya Galatia ya Kusini, makanisa Paulo
anayosema nayo ni yale ya Antiokia ya Pisidia, Ikonio, Listra, na Deribe, ambayo ni makanisa katika sehemu ya
kusini mwa Galatia Paulo aliyoyaanzisha katika safari yake ya kwanza ya ( Mdo.13 -14 ) kuitume.
Ikiwa nadharia hii ya Galatia ya Kusini itakubalika ,basi waraka huu utakuwa ndio wa awali kabisa kuandikwa
na Paulo.Unaeleza juu ya upungufu wa rejea za baraza la Yerusalemu ambalo lilifanyika ili kushughulikia tatizo
Paulo analokabiliana nalo katika waraka huu, yaani, uhusiano kati ya sheria za dini ya Kiyahudi na imani katika
Kristo.

Mahali
Waraka huu uliandikwa toka Rumi.

Mgawanyo
• Paulo atetea Injili na mamlaka yake ya mtume (1:1-2:21)
• Kuwekwa huru kutokana na sheria (3:1-24)
• Ukuu wa Injili juu ya sheria (3:25-4:31)
• Uhuru wa Mkristo (5:1-26)
• Mawaidha kuhusu mwenendo wa Mkristo (6:1-18).

1
WAGALATIA
Salamu watu Mataifa. Mimi sikushauriana na
Paulo, mtume, si mtume wa wanadamu
aliyetumwa na mwanadamu, bali na Yesu Kristo
1 mwanadamu ye yote, 17wala sikupanda kwenda
Yerusalemu kwa hao waliokuwa mitume kabla
na Mungu Baba aliyemfufua Yesu kutoka kwa yangu, bali nilikwenda mara moja Arabuni na
wafu 2na ndugu wote walio pamoja nami, kisha nikarudi Dameski.
Kwa makanisa ya Galatia: 18Kisha baada ya miaka mitatu nilipanda
kwenda Yerusalemu kuonana na Kefa na nilikaa
3Neema iwe nanyi na amani kutoka kwa naye siku kumi na tano. 19Lakini sikuwaona
Mungu Baba yetu na kwa Bwana wetu Yesu mitume wengine wo wote isipokuwa Yakobo,
Kristo, 4aliyejitoa kwa ajili ya dhambi zetu ili ndugu yake Bwana. 20Nawahakikishia mbele za
apate kutuokoa kutoka katika ulimwengu huu Mungu kuwa ninayowaandikia si uongo.
21Baadaye nilikwenda sehemu za Syria a na
mbaya, sawasawa na
mapenzi yake Yeye aliye Mungu na Baba yetu. Kilikia. 22 Lakini mimi binafsi sikujulikana kwa
5Utukufu una Yeye milele na milele. Amen. makanisa ya huko Uyahudi yaliyo katika Kristo.
23Wao walisikia habari tu kwamba, “Mtu yule
Hakuna Injili Nyingine ambaye hapo kwanza alikuwa akitutesa sasa
6Nashangaa kwamba mnamwacha upesi anahubiri imani ile ile aliyokuwa akitaka
hivyo Yeye aliyewaita kwa neema ya Kristo na kuiangamiza.” 24Kwa hiyo wakamtukuza Mungu
kuifuata injili nyingine, 7ambayo kwa kweli si injili kwa sababu yangu.
kamwe, ila kwa dhahiri kuna watu Paulo Akubaliwa Na Mitume
wanaowachanganya na wanaotaka kuipotosha
Injili ya Kristo. 8Lakini hata ikiwa sisi au malaika
atokaye mbinguni akihubiri injili nyingine tofauti
2 Kisha, baada ya miaka kumi na minne,
nilipanda tena kwenda Yerusalemu pamoja
na ile tuliyowahubiria sisi, basi huyo mtu na na Barnaba, nikamchukua na Tito ili awe
alaaniwe! 9 Kama vile tulivyokwisha kusema pamoja nami. 2Nilikwenda kwa sababu
kabla, sasa nasema tena, ikiwa mtu ye yote nilikuwa nimefunuliwa na Mungu, kwamba
atawahubiria injili kinyume na ile mliyoipokea na nikawaeleze kwa faragha wale walioonekana
alaaniwe milele! kuwa viongozi, ile Injili ninayohubiri kwa watu
Mataifa. Nilifanya hivyo kwa kuhofia kwamba
10Je, sasa mimi ninatafuta kukubaliwa na nisije nikawa nilikuwa ninakimbia au nilikimbia
wanadamu au kukubaliwa na Mungu? Au bure. 3Lakini hata Tito ambaye alikuwa
nataka kuwapendeza wanadamu? Kama Myunani, hakulazimika kutahiriwa. 4 Lakini kwa
ningekuwa najaribu kuwapendeza wanadamu, sababu ya ndugu wa uongo ambao walijiingiza
nisingekuwa mtumishi wa Kristo. kwa siri katikati yetu ili kupepeleza uhuru wetu
tulio nao katika Kristo Yesu, wapate kututia
Paulo Aitwa Na Mungu utumwani, 5hatukukubaliana nao hata dakika
11Ndugu zangu, nataka mjue kwamba Injili moja, ili kwamba ukweli wa Injili ubaki nanyi.
6Kwa habari ya wale waliokuwa wakubaliwe
niliyowahubiria haikutokana na wanadamu.
12Kwa maana mimi sikuipokea hiyo Injili kutoka kuwa viongozi (kwangu mimi sikujali vyeo vyao,
maana Mungu hana upendeleo), wale watu
kwa mwanadamu, wala sikufundishwa na mtu,
bali niliipata kwa ufunuo kutoka kwa Yesu hawakuniongezea cho chote. 7Badala yake
Kristo. walitambua kwamba nilikuwa nimekabidhiwa kazi
13Ninyi mmekwisha kusikia juu ya maisha ya kuhubiri Iinjili kwa watu Mataifa kama vile Petro
yangu ya zamani nilipokuwa katika dini ya alivyokabidhiwa kuhubiri Injili kwa Wayahudi.
8Kwa maana, Mungu aliyekuwa akitenda kazi
Kiyahudi, jinsi nilivyolitesa Kanisa la Mungu kwa
nguvu na kujaribu kuliangamiza. 14Nami katika huduma ya Petro kama mtume kwa
niliendelea sana katika dini ya Kiyahudi kuliko Wayahudi, ndiye pia aliyekuwa anatenda kazi
Wayahudi wengi wa rika yangu maana nilikuwa katika huduma yangu kama mtume kwa watu
na bidii kubwa katika desturi za baba zangu. Mataifa. 9Basi, Yakobo, Kefa na Yohana,
15Lakini ilipompendeza Mungu, aliyenitenga walionekana kama nguzo za kanisa, walitupa
tangu tumboni mwa mama yangu na kuniita kwa mkono wa shirika, mimi na Barnaba walipotambua
neema yake, 16alimdhihirisha Mwanawe ile neema niliyopewa. Wakakubali
kwangu, ili nipate kumhubiri miongoni mwa
a21 Syria hapa ina maana ya Shamu
2
WAGALATIA
kwamba sisi tuende kwa watu Mataifa na wao
waende kwa Wayahudi. 10Walichotuomba ni
3 Ninyi Wagalatia wajinga! Ni nani
aliyewaloga? Yesu Kristo aliwekwa wazi mbele
kwamba tuendelee kuwakumbuka maskini, yenu kwamba amesulibiwa. 2Nataka nijifunze
jambo ambalo ndilo nililokuwa na shauku ya neno moja kutoka kwenu: Je, mlipokea Roho wa
kulifanya. Mungu kwa kushika sheria, au kwa kuyaamini
yale mliyosikia? 3Je, ninyi ni wajinga kiasi hicho?
Paulo Ampinga Petro Huko Antiokia Baada ya kuanza kwa Roho, je, sasa mwataka
11Lakini Petro alipofika Antiokia, mimi kukamilishwa katika mwili? 4Je, mlipata mateso
kiasi hicho bure? Ni kama kweli yalikuwa bure?
nilimpinga ana kwa ana kwa sababu alikuwa 5Je, Mungu huwapa Roho Wake na kufanya
amekosea kwa wazi. 12Kabla baadhi ya watu miujiza katikati yenu kwa sababu mnatii sheria,
waliotoka kwa Yakobo hawajafika, alikuwa akila au kwa sababu mnaamini kile
pamoja na watu Mataifa. Lakini hao watu mlichosikia?
walipofika alianza kujiondoa na kujitenga na 6Kama vile Abrahamu, ‘‘Yeye alimwamini
watu Mataifa kwa sababu aliwaogopa wale wa Mungu ikahesabiwa kwake kuwa haki.’’ 7Hivyo
kundi la tohara. 13Pia Wayahudi wengine basi mjue kwamba wale wanaomwamini Mungu
waliungana naye katika unafiki huu, hata hao ndio watoto wa Abrahamu. 8Maandiko
Barnaba naye akapotoshwa na unafiki wao. yakitabiri kwamba Mungu angewahesabia haki
14Nilipoona kwamba hawatendi sawasawa
watu Mataifa kwa imani, alitangulia kumtangazia
na kweli ya Injili, nilimwambia Petro mbele ya Abrahamu Injili akisema kwamba, “Kwa kupitia
wote, “Wewe ni Myahudi, nawe unaishi kama kwako mataifa yote yatabarikiwa.” 9Kwa sababu
mtu Mataifa na wala si kama Myahudi. hii, wale wote wanaoamini wanabarikiwa
Imekuwaje basi, mnawalazimisha watu Mataifa pamoja na Abrahamu, mtu wa imani.
kufuata desturi za Kiyahudi?
Sheria Na Laana
Wayahudi Na Watu Mataifa Wanaokolewa 10Kwa maana wote wanaotumainia
Kwa Imani matendo ya sheria, wako chini ya laana, kwa
15 ‘‘Sisi wenyewe ni Wayahudi wa kuzaliwa kuwa imeandikwa, “Amelaani mtu yule
na si watu wenye dhambi kama watu Mataifa, asiyeshika na kutii mambo yote yaliyoandikwa
16lakini tunajua ya kwamba mtu hahesabiwi haki katika kitabu cha sheria.’’ 11Basi ni dhahiri
kwa matendo ya sheria bali kwa njia ya imani kwamba hakuna mtu ye yote anayehesabiwa
katika Yesu Kristo. Nasi tumemwamini Kristo haki mbele za Mungu kwa sheria, kwa maana,
Yesu ili tupate kuhesabiwa haki kwa njia ya “Mwenye haki ataishi kwa imani”. 12Lakini
imani katika Kristo, wala si kwa matendo ya sheria haitegemei imani, kinyume chake, “Ye
sheria. yote atendaye matendo ya sheria ataishi kwa
17“Lakini ikiwa katika jitihada yetu ya
sheria.” 13Kristo alitukomboa kutoka katika
kuhesabiwa haki katika Kristo, sisi tumeonekana laana ya sheria kwa kufanyika laana kwa ajili
dhahiri kwamba ni wenye dhambi, je, ina maana yetu, kwa maana imeandikwa, “Amelaaniwa
kwamba Kristo amekuwa mtumishi wa dhambi? yeye aangikwaye juu ya mti.” 14Alitukomboa ili
La hasha! 18Lakini ikiwa mimi ninajenga tena kwamba baraka aliyopewa Abrahamu ipate
kile ambacho nimekwisha kukibomoa, basi kuwafikia watu Mataifa kwa njia ya Kristo Yesu,
ninaonyesha kwamba mimi ni mkosaji. 19Kwa ili kwa imani tupate kupokea ile ahadi ya Roho.
maana mimi kwa njia ya sheria, nimeifia sheria
ili nipate kuishi kwa ajili ya Mungu. Sheria Na Ahadi
20Nimesulibiwa pamoja na Kristo, wala si mimi 15Ndugu zangu, nataka nitoe mfano kutoka
tena ninayeishi bali Kristo ndiye aishiye ndani katika maisha ya kila siku. Kama vile hakuna
yangu. Uhai nilio nao sasa katika mwili, ninaishi mtu awezaye kutangua au kuongeza kitu katika
kwa imani ya Mwana wa Mungu, aliyenipenda agano la mtu ambalo limekwisha kuthibitishwa,
na kujitoa kwa ajili yangu. 21Siibatilishi neema vivyo hivyo kwa hali kama hii. 16Ahadi zilinenwa
ya Mungu, kwa maana kama haki ingeweza kwa Abrahamu na kwa mzao wake. Maandiko
kupatikana kwa njia ya sheria, basi Kristo alikufa hayasemi, “Kwa wazao,” likimaanisha watu
bure!’’ wengi, bali “Ni kwa mzao wako”, yaani, mtu
Imani Au Kushika Sheria mmoja, ndiye Kristo. 17Ninachotaka kusema ni
3
WAGALATIA
kwamba, sheria, ambayo ilitolewa miaka 430 Mungu. 6Kwa sababu ninyi ni watoto wa Mungu,
baadaye, haitangui agano lililothibitishwa na Mungu amemtuma Roho wa Mwanawe mioyoni
Mungu ili kulibatilisha. 18 Kwa maana kama mwetu, anayelia, “Abbaa! Yaani, Baba.” 7Kwa
urithi hupatikana kwa sheria, basi hautegemei hiyo, wewe si mtumwa tena, bali ni mtoto, nawe
tena ahadi, lakini Mungu kwa neema Yake ikiwa ni mtoto, basi wewe pia ni mrithi, mrithi wa
alimpa Abrahamu urithi kwa njia ya ahadi. Mungu.

Kusudi La Sheria Paulo Awakemea Wagalatia


19Kwa nini basi iwepo sheria? Sheria 8Zamani, mlipokuwa hamumjui Mungu,
iliwekwa kwa sababu ya makosa mpaka mlikuwa mkitumikia viumbe ambavyo kwa asili
atakapokuja yule mzao wa Abrahamu, ambaye si Mungu. 9 Lakini sasa kwa kuwa mmemjua
alitajwa katika ile ahadi. Sheria iliamuriwa na Mungu, au zaidi kujulikana na Mungu,
malaika kwa mkono wa mpatanishi. 20Basi inakuwaje mnarejea tena katika zile kanuni za
mpatanishi huhusisha zaidi ya upande mmoja, kwanza zenye udhaifu na upungufu ambazo
lakini Mungu ni mmoja. mnataka ziwafanye tena watumwa?
21Je, basi, sheria inapingana na ahadi za 10Mnaadhimisha siku maalum, miezi, nyakati na

Mungu? La hasha! Kwa maana kama sheria miaka! 11Nina hofu juu yenu, kwamba kazi
iliyotolewa ingeweza kuwapa watu uzima, basi niliyofanya kwa ajili yenu inaweza kuwa
haki ingepatikana kwa njia ya sheria. 22Lakini nimejitaabisha bure.
Maandiko yamefanya vitu vyote vifungwe chini 12Ndugu zangu, nawasihi mwe kama mimi,
ya nguvu ya dhambi, ili yale yaliyoahidiwa kwa kwa sababu mimi nimekuwa kama ninyi.
njia ya imani katika Yesu Kristo yapate kupewa Hamkunitendea jambo lo lote baya. 13Ninyi
wale wanaoamini. mwajua kwamba ni kwa ajili ya udhaifu wangu
23Kabla imani haijaja tulikuwa tumewekwa
niliwahubiria injili, 14ingawa hali yangu iliwatia
chini ya sheria, tumefungwa mpaka ile imani majaribuni, hamkunidharau wala kunidhihaki,
ifunuliwe. 24Hivyo, sheria ilikuwa kiongozi bali mlinikaribisha kama malaika wa Mungu,
kutufikisha kwa Kristo, ili tupate tuhesabiwa haki kama vile Kristo Yesu. 15Ile hali ya furaha
kwa imani. 25Lakini sasa kwa kuwa ile imani mliyokuwa nayo imekwenda wapi ? Naweza
imekuja, hatusimamiwi tena na sheria. kushuhudia kwamba, kama ingewezekana
mngeng’oa macho yenu na kunipa mimi. 16Je,
Watoto Wa Mungu sasa nimekuwa adui yenu kwa kuwaambia
26Kwa maana ninyi nyote mmekuwa watoto kweli?
wa Mungu katika Kristo Yesu kwa njia ya imani. 17Hao wana shauku ya kuwapata lakini si
27Kwa maana wote mliobatizwa ndani ya Kristo, kwa kusudi zuri. Wanachotaka ni kuwatenga
mmemvaa Kristo. 28Wala hakuna tena Myahudi mbali nasi, ili ninyi mpate kuwaonea wao
au Myunani, mtumwa au mtu huru, mwanaume shauku. 18Ni vizuri wakati wote kuwa na shauku
wala mwanamke, maana nyote mmekuwa kwa ajili ya kusudi nzuri, si wakati nikiwa
wamoja ndani ya Kristo Yesu. 29 Nanyi mkiwa ni pamoja nanyi tu. 19 Watoto wangu wapendwa,
mali ya Kristo, basi ninyi ni wa uzao wa ambao kwa mara nyingine ninawaonea utungu,
Abrahamu na warithi sawasawa na ile ahadi. ninatamani kwamba Kristo aumbike ndani yenu.
4mrithi
Lile nisemalo ni kwamba wakati wote
akiwa bado ni mtoto, hana tofauti na
20Natamani kama ningekuwa pamoja nanyi
sasa, pengine ningebadilisha sauti yangu. Kwa
mtumwa, ingawa ndiye mmiliki wa mali yote. maana nina wasiwasi kwa ajili yenu.
2Yeye huwa yuko chini ya uangalizi wa walezi
na wadhamini mpaka ufike wakati uliowekwa na Mfano Wa Hajiri Na Sara
baba yake. 3Vivyo hivyo na sisi, tulipokuwa 21Niambieni, ninyi mnaotaka kuwa chini ya
bado watoto wadogo, tulikuwa utumwani chini sheria, je, hamjui sheria inavyosema? 22Kwa
ya taratibu za kawaida za ulimwengu. 4Lakini maana imeandikwa kwamba Abrahamu alikuwa
ulipowadia utimilifu wa wakati, Mungu alimtuma na wana wawili, mmoja wa mwanamke mtumwa
Mwanawe, ambaye alizaliwa na mwanamke,
amezaliwa chini ya sheria, 5kusudi awakomboe na wa pili wa mwanamke huru. 23Lakini, mtoto
wale waliokuwa chini ya sheria, ili tupate wa mwanamke mtumwa alizaliwa kwa mapenzi
kupokea zile haki kamili za kufanywa watoto wa
a6 “Abba” hapa ni neno la Kiaramu ambalo maana yake ni
“baba”ambalo lingeweza kutumiwa tu na mtoto a kuzaa.
4
WAGALATIA
ya mwili na yule mwingine wa mwanamke huru katika Bwana kwa habari yenu kwamba
alizaliwa kutokana na ahadi ya Mungu. hamtakuwa na msimamo mwingine. Mtu awaye
24 Mambo haya yanaweza kuchukuliwa yote anayewachanganya anastahili adhabu.
11Lakini ndugu zangu, kama mimi bado
kama mfano. Kwa maana hao wanawake wawili
ni mfano wa maagano mawili: Agano la kwanza, ninahubiri kuhusu kutahiriwa, kwa nini basi bado
ni lile lililofanyika katika mlima wa Sinai, lizaalo niteswe na Wayahudi? Ukweli kwamba bado
watoto wa utumwa. Hili ndilo huyo Hajiri. 25Basi wananitesa, ni ushahidi kwamba bado
ninahubiri wokovu kupitia msalaba wa Kristo
Hajiri anawakilisha mlima Sinai ulioko Arabuni
na unafanana na Yerusalemu ya sasa ambayo peke yake. 12Laiti hao wanaowavuruga
iko utumwani pamoja na watoto wake. 26Lakini wangejihasi wao wenyewe!
13 Ndugu zangu, ninyi mliitwa ili mwe huru,
Yerusalemu wa juu ni huru, nayo ndiye mama
hivyo msitumie uhuru wenu kama fursa ya
yetu. 27Kwa maana imeandikwa: kufuata tamaa za mwili, bali tumikianeni ninyi
“Furahi, wewe uliyetasa kwa ninyi kwa upendo. 14Kwa maana sheria
wewe usiyezaa, yote hukamilika katika amri moja: “Mpende jirani
paza sauti, imba kwa furaha, yako kama nafsi yako.” 15Kama mkiumana na
wewe usiyepatwa na utungu, kutafunana, angalieni, msije mkaangamizana.
kwa maana watoto wa mwanamke
aliyeachwa ni wengi Maisha Ya Kiroho
kuliko watoto wa yule aliye na mume.’’ 16Kwa hiyo nasema, enendeni kwa Roho,
wala hamtazitimiza kamwe tamaa za mwili.
28Basi, sisi ndugu zangu, ni kama Isaki, tu 17Kwa maana mwili hutamani yale yaliyo
watoto wa ahadi. 29Lakini, kama vile ilivyokuwa kinyume na Roho, nayo Roho hutamani yale
siku zile yule aliyezaliwa kwa mwili yaliyo kinyume na mwili. Roho na mwili
alivyomchokoza yule aliyezaliwa kwa Roho, hupingana na kwa sababu hiyo hamwezi
ndivyo ilivyo hata sasa. 30Lakini maandiko kufanya mnayotaka. 18Lakini kama mkiongozwa
yasemaje? “Mwondoe mwanamke mtumwa na Roho, hamko chini ya sheria.
pamoja na mwanawe, kwa sababu mwana wa 19 Basi matendo ya mwili ni dhahiri nayo ni
mtumwa kamwe hatarithi pamoja na mwana wa haya: Uasherati, uchafu, ufisadi, 20kuabudu
aliye huru.” 31Kwa hiyo ndugu zangu, sisi si sanamu, uchawi, uadui, ugomvi, wivu, hasira,
wana wa mwanamke mtumwa bali wa yule aliye fitina, faraka, uzushi, 21husuda, ulevi, ulafi na
huru. mambo mengine yanayofanana na hayo.
Nawaonya, kama nilivyokwisha kuwaonya
Uhuru Ndani Ya Kristo kabla, kwamba watu watendao mambo kama
5 Kristo alitupa uhuru, akataka tubaki huru. Hivyo hayo, hawataurithi Ufalme wa Mungu.
22Lakini tunda la Roho ni upendo, furaha,
simameni imara wala msikubali
tena kulemewa na kongwa la utumwa. amani, uvumilivu, utu wema, fadhili, uaminifu,
2Sikilizeni! Mimi Paulo nawaambieni 23upole, kiasi. Katika mambo kama haya
kwamba kama mkikubali kutahiriwa, basi Kristo hakuna sheria. 24Wote walio wa Kristo Yesu
hatawafaidia cho chote. 3Namshuhudia tena kila wameusulibisha mwili pamoja na tamaa zake.
mtu anayekubali kutahiriwa kwamba inampasa 25Kwa kuwa tunaishi kwa Roho, basi na
kushika sheria yote. 4 Ninyi mnaotafuta tuenende kwa Roho. 26Tusijisifu bure,
kuhesabiwa haki kwa njia ya sheria mmetengwa tukichokozana na kuoneana wivu.
na Kristo, mko mbali na neema ya Mungu. 5Kwa
maana, kwa njia ya Roho kwa imani, tunangojea Chukulianeni Mizigo
kwa shauku tumaini la haki. 6Kwa maana ndani
ya Kristo, kutahiriwa au kutotahiriwa hakuleti
6 Ndugu zangu, kama mtu akipatikana na
dhambi fulani, basi ninyi mlio wa rohoni, mrejezeni
tofauti, bali lililo muhimu ni imani itendayo kazi upya mtu huyo kwa roho ya upole. Lakini
kwa njia ya upendo. jihadharini, ili ninyi wenyewe msije mkajaribiwa.
2Chukulianeni mizigo ninyi kwa ninyi, nanyi kwa
7Mlikuwa mkipiga mbio vizuri, ni nani
njia hii mtatimiza sheria ya Kristo. 3Kama mtu ye
aliyewazuia msiitii kweli? 8Ushawishi wa namna yote akijiona kuwa yeye ni
hiyo hakutokani na yule anayewaita. 9 Chachu bora na kumbe sivyo, basi mtu huyo
kidogo kuchachua donge zima. 10Nina hakika
5
WAGALATIA
anajidanganya mwenyewe. 4Lakini kila mtu na
aipime kazi yake mwenyewe, ndipo aweze
kujisifu, bila kujilinganisha na mtu mwingine.
5Kwa maana, kila mtu atauchukua mzigo wake

mwenyewe. 6Basi, yeye afundishwaye katika


neno na amshirikishe mwalimu wake mema
yote.
7Msidanganyike, Mungu hadhihakiwi. Kwa
kuwa kile apandacho mtu ndicho atakachovuna.
8Apandaye kwa mwili, katika mwili wake,
atavuna uharibifu, lakini yeye apandaye katika
Roho, katika Roho atavuna uzima wa milele.
9Hivyo, tusichoke katika kutenda mema, kwa
kuwa tutavuna kwa wakati wake tusipokata
tamaa. 10Kwa hiyo, kadiri tupatavyo nafasi na
tuwatendee watu wote mema, hasa wale wa
jamaa ya waaminio.

Si Kutahiriwa Bali Kiumbe Kipya


11Angalieni ni herufi gani kubwa nitumiazo
ninapowaandikia kwa mkono wangu
mwenyewe!
12Wale wanaotaka kuonekana wazuri kwa
mambo ya mwili wanaotaka wawalazimishe
kutahiriwa, sababu pekee ya kufanya hivyo ni
kuepuka kuteswa kwa ajili ya msalaba wa
Kristo. 13Hata wale waliotahiriwa wenyewe
hawaitii sheria, lakini wanataka ninyi mtahiriwe
ili wapate kujivuna kwa habari ya miili yenu.
14Mungu apishie mbali nisije nikajivunia kitu cho
chote isipokuwa msalaba wa Bwana wetu Yesu
Kristo, ambaye kwa Yeye ulimwengu
umesulibiwa kwangu, nami nimesulibiwa kwa
ulimwengu. 15 Kwa maana katika Kristo Yesu
kutahiriwa au kutokutahiriwa si kitu, bali kule
kuwa kiumbe kipya ni kila kitu! 16Amani na
rehema viwe na wote wanaofuata kanuni hii na
juu ya Israeli wa Mungu.
17Hatimaye, tangu sasa mtu ye yote
asinitaabishe, kwa maana nachukua katika mwili
wangu chapa Zake Yesu.
18Ndugu zangu, neema ya Bwana wetu
Yesu Kristo ikae pamoja na roho zenu. Amen.

6
WAEFESO
Utangulizi
Paulo aliandika waraka huu akiwa gerezani huko Rumi ili kuwatia moyo waamini wa Asia.Unaposoma kwa
uangalifu waraka huu, ingawa Paulo alifungwa huko Kaisaria, utaona kwamba waraka huu uliandikwa kutoka
Rumi ambako Paulo alikuwa na uhuru wa kuhubiri Injili (Mdo.28).Waraka huu ulikuwa kama mwongozo
uliokusudiwa kwa makanisa kadhaa.Katika maandiko mengine ya zamani neno “huko Efeso” halipo. Zaidi ya
hayo, kwenye waraka huu hakuna salamu za watu binafsi, wala hakuna matatizo maalum au hali maalum ya
kanisa la mahali pamoja inayotajwa. Pia mafundisho yaliyomo ni yenye upana mkubwa.Ingawa kanisa la Efeso
ambako Paulo alihudumu kwa zaidi ya miaka miwili linajumuishwa humo, ni wazi kwamba waraka huu
ulikusudiwa kwa makundi mengine ya kanisa kwa ujumla katika eneo hilo la kijeografia la Efeso, yaani, makanisa
ya jirani.
Katika waraka huu, Paulo anapotaja “Kanisa” ana maana ya “Kanisa la po pote.” Anaeleza kwamba Kanisa
limeanzishwa na Mungu, akiwaelezea mpango wa Mungu wa tangu awali wa kuwaokoa watu Wake kwa njia ya
Kristo. Mpango huu ulikuwako hata kabla ya ulimwengu kuumbwa. Kwa wakati huu, wote wanaomwamini Kristo
wanaokolewa kwa neema. Mwenendo wa mwamini uko kinyume kabisa na ule wa maisha ya kale, akionyesha
maisha ya kiroho kama “maisha katika ulimwengu wa roho”. Ingawa inawapasa watu wa Mungu kupigana vita
kali na nguvu za Shetani (6:12), kanisa linashinda na hatimaye uovu unashindwa.Sisi tunaomwamini Kristo ni
viungo vya mwili Wake, yaani, Kanisa, kwa hiyo tunao uwezo wa kushinda.
Katika sehemu ya mwisho ya waraka huu, Paulo anaeleza juu ya maisha yanayowapasa wakristo kuhusu:
Ndoa, tabia, mwenendo, wazazi na watoto wao pia watumishi na mabwana zao.

Wazo Kuu
Kiini cha ujumbe wa waraka huu ni kwamba: Mpango wa Mungu wa milele wa kuuokoa ulimwengu
unatimizwa kwa njia ya Kristo katika mwili Wake, yaani, Kanisa Lake. Mtu anapoamini, anakuwa ndani ya Kristo
na anapata wokovu na kuwa salama. Mungu aliandaa wokovu huu tangu milele na amempa kila aaminiye
mambo yote anayohitaji katika maisha yake ili aweze kusimama, ila ni wajibu wake kupokea mambo hayo
aliyowekewa tayari. Paulo anamalizia kwa kufafanua mambo ambayo Mungu amewaandalia wale wamwaminio,
kusudi waweze kumshinda Shetani anapowashambulia na baada ya mapambano wawe na ushindi wa kudumu.

Mwandishi
Mwandishi wa waraka huu ni Paulo (1:1).

Tarehe
Waraka huu uliandikwa 60 B.K.wakati wa kifungo cha Paulo cha miaka miwili.

Mahali
Rumi.

Mgawanyo
• Mpango wa Mungu na wokovu wa wote wamwaminio (1:1-2:22)
• Siri ya Injili (3:1-21)
• Maisha ya mkristo duniani (4:1-5:21)
• Jinsi wakristo wapaswavyo kuhusiana (5:22-6:9)
• Kupigana na uovu (6:10-24)

1
WAEFESO
awajalieni ninyi roho ya hekima na ya ufunuo, ili
Salamu mpate kumjua zaidi. 18 Ninaomba pia kwamba
1 Paulo, mtume wa Kristo Yesu, kwa mapenzi
ya Mungu,
macho ya mioyo yenu yatiwe nuru ili mpate
kujua tumaini mliloitiwa, utajiri wa urithi wa
utukufu Wake kwa watakatifu 19na uweza Wake
Kwa watakatifu walioko Efeso walio mkuu usiolinganishwa kwa ajili yetu sisi
waaminifu katika Kristo Yesu. tuaminio. Uweza huo unaofanya kazi ndani
yetu, ni sawa na ile nguvu kuu mno 20ambayo
2Neema na amani itokayo kwa Mungu Baba aliitumia alipomfufua Kristo kutoka kwa wafu,
yetu na kwa Bwana wetu Yesu Kristo iwe nanyi. akamketisha mkono Wake wa kuume katika
mbingu, 21juu sana kuliko falme zote na
Baraka Za Kiroho Zitokazo Kwa Kristo mamlaka, enzi na milki na juu ya kila jina
3Ahimidiwe Mungu na Baba wa Bwana wetu litajwalo, si katika ulimwengu huu tu, bali na
Yesu Kristo aliyetubariki sisi kwa baraka zote za katika ule ujao pia. 22Naye Mungu ameweka
rohoni, katika ulimwengu wa roho ndani ya vitu vyote viwe chini ya miguu Yake na
Kristo. 4 Kwa maana alituchagua katika Yeye amemfanya Yeye awe kichwa cha vitu vyote
kabla ya kuumbwa ulimwengu ili tuwe watakatifu kwa ajili ya Kanisa, 23ambalo ndilo mwili Wake,
na bila lawama mbele Zake. 5Kwa upendo ukamilifu Wake Yeye aliye yote katika yote.
alitangulia kutuchagua tuwe wanawe kwa njia ya
Yesu Kristo kwa furaha Yake na mapenzi Yake Tumefanywa Kuwa Hai Ndani Ya Kristo
mwenyewe. 6Kwa hiyo tunamsifu Mungu kwa
huruma zake kuu alizotumiminia kwa sababu 2 Kwa habari zenu, mlikuwa wafu katika
sisi ni wa Mwanae Mpendwa. 7 Katika Yeye makosa na dhambi zenu, 2ambazo
tunao ukombozi kwa njia ya damu Yake, yaani, mlizitenda mlipofuatisha namna ya ulimwengu
msamaha wa dhambi, sawasawa na wingi wa huu na za yule mtawala wa ufalme wa anga, yule
roho atendaye kazi ndani ya wale wasiotii. 3Sisi
neema Yake 8aliyotumiminia kwa wingi, kwa sote pia tuliishi katikati yao hapo zamani,
hekima yote na maarifa yote. 9Naye alitujulisha tukifuata tamaa za mwili na mawazo yake. Nasi
siri ya mapenzi Yake sawasawa na uradhi wa kwa asili tulikuwa wana wa ghadhabu, kama mtu
mapenzi Yake, ambayo alikusudia katika Kristo, mwingine ye yote. 4Lakini Mungu, kwa
10ili yapate kutimizwa katika wakati mkalimifu upendo Wake mwingi kwetu sisi, ambaye ni
utakapowadia, yaani, kuvitia vitu vyote vya mwingi wa rehema, 5hata tulipokuwa wafu kwa
mbinguni na vya duniani pamoja chini ya ajili ya makosa yetu, alitufanya tuwe hai pamoja
kiongozi mmoja, ndiye Krsto. na Kristo Yesu, yaani, mmeokolewa kwa
11Katika Kristo sisi nasi tumepata urithi, neema. 6Mungu alitufufua pamoja na Kristo na
tukiisha kuchaguliwa sawasawa na kusudi la kutuketisha pamoja naye katika ulimwengu wa
Mungu, Yeye ambaye hufanya mambo yote roho katika Kristo Yesu, 7ili katika ule ulimwengu
kulingana na mapenzi Yake. 12 Ili kwamba, sisi ujao apate kuonyesha wingi wa neema Yake
tuliokuwa wa kwanza kuweka tumaini katika isiyopimika, iliyodhihirishwa kwetu kwa wema
Kristo, tupate kuishi kwa sifa ya utukufu Wake. Wake ndani ya Kristo Yesu. 8Kwa maana
13Ninyi pia mliingia ndani ya Kristo mliposikia mmeokolewa kwa neema, kwa njia ya imani,
wala hii si kwa matendo yenu mema. Hii ni
Neno la kweli, Injili ya wokovu wenu. Mkiisha zawadi kutoka kwa Mungu, 9si kwa matendo, mtu
kuamini, ndani yake mlitiwa mhuri, kwa yule
awaye yote asije akajisifu. 10 Kwa maana sisi ni
Roho Mtakatifu wa ahadi mliyeahidiwa, 14yeye kazi ya mikono ya Mungu, tulioumbwa katika
ndiye amana ya urithi wetu hadi ukombozi wa Kristo Yesu, ili tupate kutenda matendo mema,
milki yake kuwa sifa ya utukufu Wake. ambayo Mungu alitangulia kuyaandaa
tupate kuishi katika hayo.
Shukrani Na Maombi
15 Kwa sababu hii tangu niliposikia juu ya Wamoja Katika Kristo
imani yenu katika Bwana Yesu na upendo wenu 11Kwa hiyo kumbukeni kwamba ninyi ambao
kwa watakatifu wote, 16sijaacha kumshukuru hapo awali mlikuwa watu Mataifa kwa kuzaliwa
Mungu kwa ajili yenu, nikiwakumbuka katika mlioitwa, “Wasiotahiriwa” na wale wanaojiita
maombi yangu. 17Nazidi kumwomba Mungu wa “Waliotahiriwa,” yaani, tohara (ifanyikayo katika
Bwana wetu Yesu Kristo, Baba wa utukufu,
2
WAEFESO
mwili kwa mikono ya wanadamu), 12kumbukeni vya mwili mmoja na washiriki pamoja wa ahadi
kwamba wakati ule mlikuwa hamna Kristo, katika Kristo Yesu.
mkiwa wageni katika jumuiya ya watu wa 7Nimekuwa mtumishi wa Injili hii kwa
Mungu, yaani, Israeli na wageni katika lile agano kipawa cha neema ya Mungu niliyopewa kwa
la ahadi, mliishi duniani mkiwa hamna tumaini nguvu Yake itendayo kazi. 8Ingawa mimi ni
wala Mungu. 13Lakini sasa katika Kristo Yesu, mdogo kuliko aliye mdogo kabisa miongoni
ninyi ambao hapo kwanza mlikuwa mbali na mwa watakatifu wote, nilipewa neema hii ili
Mungu, sasa mmeletwa karibu kwa njia ya niwahubirie watu Mataifa kuhusu utajiri
damu ya Kristo. usiopimika ulio ndani ya Kristo na 9kuweka wazi
14Kwa maana Yeye mwenyewe ndiye amani kwa kila mtu jinsi ile siri iliyokuwa imefichwa
yetu, aliyetufanya sisi tuliokuwa wawili, yaani, kwa nyakati zote katika Mungu aliyeumba vitu
Wayahudi na watu Mataifa tuwe wamoja kwa vyote. 10Ili kwa njia ya Kanisa, hekima yote ya
kuvunja kizuizi na kubomoa ule ukuta wa uadui Mungu ipate kujulikana kwa watawala na wenye
uliokuwa kati yetu. 15Kwa kuibatilisha ile sheria mamlaka katika ulimwengu wa roho,
pamoja na amri zake na maagizo yake alipoutoa 11sawasawa na kusudi Lake la milele katika
mwili wake, ili apate kufanya ndani yake mtu Kristo Yesu Bwana wetu. 12 Yeye ambaye ndani
mmoja mpya badala ya hao wawili, hivyo Yake na kwa njia ya imani katika Yeye tuweze
akifanya amani, 16naye katika mwili huu mmoja kumkaribia Mungu kwa ujasiri na kwa uhuru.
awapatanishe wote wawili na Mungu kwa kupitia 13Kwa hiyo, nawaomba msikate tamaa kwa
msalaba, ambao kwa huo aliangamiza uadui sababu ya mateso yangu kwa ajili yenu, hayo ni
wao. 17Alikuja na kuhubiri amani kwenu ninyi utukufu wenu.
mliokuwa mbali na pia akahubiri amani kwao
waliokuwa karibu. 18Kwa maana kwa kupitia Maombi Ya Paulo Kwa Waefeso
Kwake, sisi sote tunaweza kumkaribia Baba 14Kwa sababu hii nampigia Baba magoti,
katika Roho mmoja. 15ambaye kwa Yeye ubaba wote wa kila jamaa
19Hivyo basi, ninyi sasa si wageni tena wala za mbinguni na za duniani unaitwa.
wapitaji, bali mmekuwa wenyeji pamoja na 16Namwomba Mungu awaimarishe kwa kuwatia
watakatifu na pia jamaa wa nyumbani Mwake nguvu mioyo yenu kwa njia ya Roho Wake kwa
Mungu. 20Mmejengwa juu ya msingi wa mitume kadri ya utajiri wa utukufu Wake, 17ili kwamba,
na manabii, naye Kristo Yesu mwenyewe ndiye Kristo apate kukaa mioyoni mwenu kwa njia ya
jiwe kuu la pembeni. 21Ndani Yake jengo lote imani. Nami ninaomba kwamba ninyi mkiwa
limeshikamanishwa pamoja na kusimamishwa ili wenye mizizi tena imara katika upendo, 18mwe
kuwa hekalu takatifu katika Bwana. 22Katika na uwezo wa kufahamu pamoja na watakatifu
Yeye ninyi nanyi mnajengwa pamoja ili mpate jinsi ulivyo upana na urefu na kimo na kina
kuwa makao ambayo Mungu anaishi ndani yake upendo wa Kristo 19na kujua upendo huu
kwa njia ya Roho Wake. kwamba unapita fahamu, ili mpate kujazwa na
kufikia kipimo cha ukamilifu wa Mungu.
Huduma ya Paulo kwa Watu Mataifa 20Basi kwa Yeye awezaye kutenda mambo
3 Kwa sababu hii, mimi Paulo, nimekuwa ya ajabu yasiyopimika kuliko yote tuyaombayo
mfungwa wa Kristo Yesu kwa ajili yenu au tuyawazayo, kwa kadiri ya uweza Wake ule
ninyi watu Mataifa. utendao kazi ndani yetu, 21Yeye atukuzwe
2Kwa hakika mmekwisha kusikia kuhusu ile katika kanisa na katika Kristo Yesu kwa vizazi
huduma ya neema ya Mungu niliyopewa kwa vyote, milele na milele. Amen.
ajili yenu 3na jinsi ile siri ilivyodhihirishwa
kwangu kwa njia ya ufunuo, kama Umoja Katika Mwili Wa Kristo
nilivyotangulia kuandika kwa kifupi. 4Kwa 4 Basi, mimi niliye mfungwa wa Bwana, nawasihi
kusoma haya, basi mtaweza kuelewa ufahamu mwenende kama inavyostahili wito wenu mlioitiwa.
2Iweni wanyenyekevu
wangu katika siri ya Kristo. 5Siri hii
haikudhihirishwa kwa wanadamu katika vizazi kabisa na wapole, mkiwa wavumilivu,
vingine kama vile sasa ilivyodhihirishwa na mkichukuliana kwa upendo. 3Jitahidini
Roho kwa mitume na manabii watakatifu wa kudumisha umoja wa Roho katika kifungo cha
Mungu. 6Siri hii ni kwamba, kwa njia ya Injili, amani. 4Kuna mwili mmoja na Roho mmoja,
watu Mataifa ni warithi pamoja na Israeli, viungo
kama vile mlivyoitwa katika tumaini moja. 5Tena
3
WAEFESO
kuna Bwana mmoja, imani moja, ubatizo mmoja, 20Lakini ninyi, hivyo sivyo mlivyomjifunza
6Mungu mmoja ambaye ni Baba wa wote, aliye 21Kama
Kristo. hivyo ndivyo ilivyo, ninyi
juu ya yote, katika yote na ndani ya yote. mmemsikia, tena mmefundishwa naye, vile
kweli ilivyo katika Yesu. 22Mlifundishwa kuuvua
7Lakini
kila mmoja wetu amepewa neema mwenendo wenu wa zamani, utu wenu wa kale,
kwa kadiri ya kipimo cha kipawa cha Kristo. ulioharibiwa na tamaa zake za udanganyifu.
8Kwa hiyo husema, 23Mfanywe upya roho ya nia zenu, 24mkajivike
utu mpya, ulioumbwa sawa sawa na mfano wa
“Alipopaa juu, Mungu katika haki yote na utakatifu.
aliteka mateka
akawapa wanadamu vipawa.” Kanuni Za Maisha Mapya
25Kwa hiyo kila mmoja wenu avue uongo na
9(Asemapo “Alipaa juu,” maana yake nini kuambiana kweli mtu na jirani yake, kwa maana
isipokuwa ni kusema pia kwamba Kristo sisi sote tu viungo vya mwili mmoja.
alishuka pande za chini sana za duniaa? 10Yeye 26Mkikasirika, msitende dhambi, wala jua

aliyeshuka ndiye aliyepaa juu sanab, kupita lisichwe mkiwa bado mmekasirika, 27wala
mbingu zote, ili apate kuvijaza vitu vyote. msimpe ibilisi nafasi. 28Yeye ambaye amekuwa
11Yeye ndiye aliyeweka wengine kuwa mitume, akiiba, asiibe tena, lakini mtu wa namna hiyo
wengine kuwa manabii, wengine kuwa wainjilisti, lazima ajishughulishe, tena afanye kitu kifaacho
wengine kuwa wachungaji na wengine kuwa kwa mikono yake mwenyewe, ili awe na kitu cha
walimu, 12kwa kusudi la kuwakamilisha kuwagawia wahitaji.
watakatifu kwa ajili ya kazi za huduma, ili 29Maneno mabaya yasitoke vinywani
kwamba mwili wa Kristo upate kujengwa. mwenu, bali yale yafaayo kwa ajili ya kuwajenga
13mpaka sote tutakapoufikia umoja katika imani wengine kulingana na mahitaji yao, ili yawafae
na katika kumjua sana Mwana wa Mungu na wale wasikiao. 30Wala msimhuzunishe Roho
kuwa watu wazima kwa kufikia kipimo cha Mtakatifu wa Mungu, ambaye kwa huyo mlitiwa
ukamilifu wa Kristo. muhuri kwa ajili ya siku ya ukombozi. 31Ondoeni
14Ili tusiwe tena watoto wachanga, kabisa uchungu, ghadhabu, hasira, makelele na
tukitupwatupwa huku na huku na kuchukuliwa masingizio pamoja na kila aina ya uovu. 32
na kila upepo wa mafundisho kwa hila za watu, Iweni wafadhili na wenye kuhurumiana ninyi
kwa ujanja, kwa kufuata njia zao za kwa ninyi, mkisameheana, kama vile naye
udanganyifu. 15Badala yake, tukiambiana kweli Mungu katika Kristo alivyowasamehe ninyi.
kwa upendo, katika mambo yote tutakua, hata
tumfikie Yeye aliye kichwa, yaani, Kristo. Kuenenda Nuruni
16Kutoka Kwake, mwili wote huunganishwa na 5 Kwa hiyo, mfuateni Mungu kama watoto
kushikamanishwa pamoja kwa msaada wa kila wapendwao, 2Mkiishi maisha ya upendo, kama vile
kiungo, hukua na kujijenga wenyewe katika Kristo alivyotupenda sisi akajitoa kwa ajili yetu kuwa
sadaka yenye harufu nzuri na
upendo, wakati kila kiungo kinafanya kazi yake. dhabihu kwa Mungu.
3Lakini uasherati, usitajwe miongoni
Maisha Ya Zamani Na Maisha Mapya
17Hivyo nawaambia hivi, nami nasisitiza mwenu, wala uchafu wa aina yo yote, wala
tamaa, kwa sababu mambo haya hayastahili
katika Bwana kwamba, msiishi tena kama watu
Mataifa waishivyo, katika ubatili wa mawazo miongoni mwa watakatifu. 4Wala pasiwepo
mazungumzo machafu ya aibu, au maneno ya
yao. 18Watu hao akili zao zimetiwa giza na upuzi au mzaha, ambayo hayafai, badala yake
wametengwa mbali na uzima wa Mungu kwa
sababu ya ujinga wao na ugumu wa mioyo yao. mshukuruni Mungu. 5Kwa habari ya mambo
19Wakiisha kufa ganzi, wamejitia katika mambo haya mjue hakika kwamba: Mwasherati, wala
mtu mwovu, wala mwenye tamaa mbaya, mtu
ya ufisadi na kupendelea kila aina ya uchafu, kama huyo ni mwabudu sanamu, ambaye
wakiendelea kutamani zaidi. kamwe hataurithi Ufalme wa Kristo na wa
Mungu. 6Mtu ye yote na asiwadanganye kwa
maneno matupu, kwa kuwa hasira ya Mungu
a9 Pande za chini sana za dunia hapa maana yake ni sheol huwaka kwa sababu ya mambo kama haya juu
kwa Kiebrania, yaani, kuzimu
b10 Juu sana hapa ina maana mbingu za mbingu
4
WAEFESO
ya wale wasiomtii. 7Kwa hiyo, msishirikiane nao. mwanaume atamwacha baba yake na mama
8Kwa maana zamani ninyi mlikuwa giza, lakini yake, naye ataambatana na mkewe na hawa
sasa ninyi ni nuru katika Bwana. Enendeni kama wawili watakuwa mwili mmoja.” 32Siri hii ni
watoto wa nuru 9(kwa kuwa tunda la nuru kubwa, bali mimi nanena kuhusu Kristo na
hupatikana katika wema wote, haki na kweli,) Kanisa. 33Hata hivyo, kila mmoja wenu
10nanyi tafuteni yale yanayompendeza Bwana.
ampende mkewe kama anavyoipenda nafsi
11Msishiriki matendo ya giza yasiyofaa, bali
yake mwenyewe, naye mke lazima amheshimu
yafichueni. 12 Kwa maana ni aibu hata kutaja mumewe.
mambo yale ambayo wasiotii wanayafanya
sirini. 13Lakini kila kitu kilichowekwa nuruni, Mafundisho Kuhusu Watoto Na Wazazi
huonekana, 14kwa kuwa nuru ndiyo hufanya kila 6 Ninyi watoto, watiini wazazi wenu katika Bwana,
kitu kionekane. Hii ndiyo sababu imesemekana: kwa kuwa hili ni jema.
2“Waheshimu baba yako na mama yako,” hii
“Amka, wewe uliyelala, ndio amri ya kwanza yenye ahadi, 3“upate
ufufuke kutoka katika wafu, baraka na uishi siku nyingi duniani.”
naye Kristo atakuangazia.” 4Ninyi akina baba, msiwachokoze watoto
wenu, bali waleeni kwa nidhamu na mafundisho
15Kwa hiyo iweni waangalifu jinsi ya Bwana.
mnavyoenenda, si kama watu wasio na hekima,
bali kama wenye hekima, 16mkiukomboa wakati, Mafundisho Kuhusu Watumwa Na Mabwana
kwa sababu nyakati hizi ni za uovu. 17Kwa hiyo 5 Ninyi watumwa, watiini hao walio
msiwe wajinga, bali mpate kujua nini yaliyo mabwana zenu hapa duniani kwa heshima na
mapenzi ya Bwana. 18Pia msilewe kwa mvivyo, kwa kutetemeka na kwa moyo mmoja, kama
ambamo ndani yake mna upotovu, bali mjazwe vile mnavyomtii Kristo. 6 Watiini, si tu wakati
Roho. 19Msemezane ninyi kwa ninyi kwa zaburi, wakiwaona ili mpate upendeleo wao, bali
nyimbo na tenzi za rohoni, mkimwimbia na mtumike kama watumwa wa Kristo, mkifanya
kumsifu Bwana mioyoni mwenu, 20sikuzote mapenzi ya Mungu kwa moyo. 7Tumikeni kwa
mkimshukuru Mungu Baba katika Jina la Bwana moyo wote, kama vile mnamtumikia Bwana na
wetu Yesu Kristo kwa kila jambo. si wanadamu. 8Mkijua kwamba Bwana atampa
21Nyenyekeaneni ninyi kwa ninyi kwa kila mtu thawabu kwa lo lote jema alilotenda,
heshima kwa ajili ya Kristo. kama yeye ni mtumwa au ni mtu huru.
9Nanyi mabwana, watendeeni watumwa
Mafundisho Kuhusu Wake Na Waume wenu kwa jinsi iyo hiyo. Msiwatishe, kwa kuwa
22Ninyi wake, watiini waume zenu kama mnajua ya kwamba Yeye aliye Bwana wenu na
kumtii Bwana. 23Kwa maana mume ni kichwa Bwana wao yuko mbinguni, naye hana
cha mkewe kama vile Kristo alivyo kichwa cha upendeleo.
Kanisa,ambalo ni mwili wake, naye Kristo ni
Mwokozi wake. 24Basi, kama vile Kanisa Silaha Za Mungu
linavyomtii Kristo, vivyo hivyo na wake nao 10Hatimaye, mzidi kuwa hodari katika
imewapasa kuwatii waume zao kwa kila jambo. Bwana na katika uweza wa nguvu Zake.
25 Ninyi waume, wapendeni wake zenu, 11Vaeni silaha zote za Mungu ili kwamba
kama vile Kristo alivyolipenda Kanisa akajitoa mweze kuzipinga hila za Shetani. 12Kwa maana
kwa ajili yake 26kusudi alifanye takatifu, kushindana kwetu si juu ya nyama na damu,
akilitakasa kwa kuliosha kwa maji katika Neno bali dhidi ya falme, mamlaka, dhidi ya wakuu wa
lake, 27apate kujiletea Kanisa tukufu lisilo na giza na majeshi ya pepo wabaya katika
doa wala kunyanzi au waa lo lote, bali takatifu ulimwengu wa roho. 13Kwa hiyo vaeni silaha
lisilo na hatia. 28Vivyo hivyo imewapasa waume zote za Mungu ili mweze kushindana siku ya
kuwapenda wake zao kama miili yao wenyewe. uovu itakapokuja nanyi mkiisha kufanya yote,
Ampendaye mkewe hujipenda mwenyewe. simameni imara. 14Kwa hiyo simameni imara
29Hakuna mtu anayeuchukia mwili wake mkiwa mmejifunga kweli kiunoni na kuvaa dirii
mwenyewe, bali huulisha na kuutunza vizuri, ya haki kifuani, 15nayo miguu yenu ifungiwe
kama Kristo anavyolitunza Kanisa Lake. 30Sisi utayari tuupatao kwa Injili ya amani. 16Zaidi ya
tu viungo vya mwili Wake. 31“Kwa sababu hii, haya yote, twaeni ngao ya imani, ambayo kwa
5
WAEFESO
hiyo mtaweza kuizima mishale yote yenye moto
ya yule mwovu. 17Vaeni chapeo ya wokovu na
mchukue upanga wa Roho, ambao ni Neno la
Mungu. 18 Mkiomba kwa Roho sikuzote katika
sala zote na maombi, mkikesha kila wakati
mkiwaombea watakatifu wote.
19Niombeeni na mimi pia, ili kila
nifuanguapo kinywa changu, nipewe maneno ya
kusema, niweze kutangaza siri ya Injili kwa
ujasiri, 20ambayo mimi ni balozi wake katika
vifungo. Ombeni kwamba nipate kuhubiri kwa
ujasiri kama inipasavyo.

Salamu Za Mwisho
21Tikiko aliye ndugu mpendwa na mtumishi
mwaminifu katika Bwana, atawaambia kila kitu ili
pia mpate kujua hali yangu na kile ninachofanya
sasa. 22Ninamtuma kwenu kwa ajili ya kusudi
hili hasa, ili mpate kujua hali zetu na kuwatia
moyo.
23Amani iwe kwa ndugu na pendo pamoja
na imani kutoka kwa Mungu Baba na Bwana
Yesu Kristo. 24Neema iwe na wote wampendao
Bwana wetu Yesu Kristo kwa pendo wa dhati.
Amen.

6
Wafilipi
Utangulizi
Wafilipi umehesabiwa kama mojawapo ya zile nyaraka nne za Paulo za gerezani, ulioandikwa muda mfupi tu
baada ya ule wa Waefeso ,Wakolosai na Filemoni.
Paulo aliandika waraka huu akiwa gerezani huko Rumi. Kwa kutambua kuzuiliwa kwa Paulo kanisa la Filipi
lilimpelekea Paulo msaada kwa mkono wa Epafrodito (4:18). Akitaka kuwashukuru rafiki zake wapendwa
waliokuwa wamempelekea msaada huo kwa ajili ya mahitaji yake, anaanza kwa kuwashukuru kwa msaada wao,
pia anatumia nafasi hiyo kueleza juu ya hali yake, kuwatia Wafilipi moyo na kuwataka kusimama imara,
akiwahimiza wawe na unyenyekevu kama aliokuwa nao Kristo na wawe na umoja.Paulo anawasifu Timotheo na
Epafrodito kwa kanisa la Filipi. Paulo haachi kueleza jinsi alivyokuwa na imani nao, Kisha anawaeleza juu ya
matatizo anayopata huko Rumi.
Hajui mwisho wa shauri lake utakavyokuwa. Lakini hata kama atauawa yeye atafurahi akiwa na Kristo. Kama
ataendelea kuishi, atazidi kumtumikia Mungu kwa uwezo wake wote. Anawaagiza wakatae kabisa mafundisho ya
uongo. Waamini wote wanaambiwa wawe na malengo ya juu kabisa katika maisha yao ya Kikristo kwa maana
Mungu atawapa mahitaji yao yote katika maisha haya. Paulo anawakazia kufurahi nyakati zote.

Wazo Kuu
Katika waraka huu wa binafsi, Paulo anasisitiza juu ya furaha. Kila mtu aliyempokea Kristo anapaswa kuwa
na furaha kwa sababu anapendwa na Mungu, Kristo amekufa kwa ajili yake na Mungu anamtimizia mahitaji yake
yote katika maisha haya. Paulo anasisitiza kuwa wasijisumbue kwa ajili ya jambo lo lote ila katika kila jambo kwa
kusali, kuomba na kushukuru. Haja zote zijulikane na Mungu (4:16). Hatimaye anamalizia kuwakumbusha kuwa
Mungu atawajaza na kila wanachohitaji kwa kadiri ya utajiri Wake (4:19). Hii haina maana kwamba wakristo
hawatapata shida. Kama ikibidi, hatuna budi kufuata mfano wa unyenyekevu wa Kristo ambaye alimtii Mungu,
akakubali hata kufa msalabani. Sisi ni raia wa mbinguni (3:20) na hatuna budi kuishi kwa kutambua jambo hili.

Mahali
Gerezani huko Rumi

Tarehe
Waraka huu uliandikwa 61 B.K.

Mwandishi
Mwandishi wa waraka huu ni Mtume Paulo.

Mgawanyo
• Paulo na matatizo yake huko Rumi (1:1-30)
• Mfano wa utii wa Yesu (2:1- 30)
• Mafundisho kuhusu mwenendo wa mkristo (3:1-21)
• Amani ya Mungu na jinsi Mungu anavyowatimizia waamini mahitaji yao (4:1-23).

1
Wafilipi
Kristo kutokana na tamaa zao wenyewe wala si
Salamu kwa moyo mweupe bali wanakusudia kuongeza
mateso yangu katika huku kufungwa kwangu.
1 Paulo na Timotheo, watumishi wa Kristo Yesu, 18Lakini inadhuru nini? Jambo la muhimu ni
kwamba kwa kila njia, ikiwa ni kwa nia mbaya
Kwa watakatifu wote katika Kristo Yesu au njema Kristo anahubiriwa. Nami kwa ajili ya
walioko Filipi, pamoja na maaskofu na jambo hilo ninafurahi.
mashemasi: Naam, nami nitaendelea kufurahi, 19kwa
maana ninajua kwamba kwa maombi yenu na
2Neema na amani itokayo kwa Mungu Baba kwa msaada unaotolewa na Roho wa Yesu
yetu na kwa Bwana wetu Yesu Kristo iwe nanyi. Kristo, yale yaliyonipata mimi yatageuka kuwa
wokovu wangu. 20Ninatarajia kwa shauku
Shukrani Na Maombi kubwa na kutumaini kwamba sitaaibika kwa njia
3Ninamshukuru Mungu wangu kila yo yote, bali nitakuwa na ujasiri wa kutosha ili
niwakumbukapo ninyi. 4Katika maombi yangu sasa kama wakati mwingine wo wote, Kristo
yote daima nimekuwa nikiwaombea ninyi nyote atatukuzwa katika mwili wangu, ikiwa ni kwa
kwa furaha, 5kwa sababu ya kushiriki kwenu kuishi au kwa kufa. 21 Kwa maana kwangu
katika kueneza Injili, tangu siku ya kwanza hadi mimi, kuishi ni Kristo na kufa ni faida. 22Kama
leo, 6nina hakika kwamba, Yeye aliyeianza kazi nitaendelea kuishi katika mwili, hii ni kwa ajili ya
njema mioyoni mwenu, ataiendeleza na matunda ya kazi. Lakini sijui nichague lipi? Mimi
kuikamilisha hata siku ya Kristo Yesu. sijui! 23Ninavutwa kati ya mambo mawili:
7 Ni haki na ni wajibu wangu kufikiri hivi juu Ninatamani kuondoka nikakae pamoja na
yenu nyote, kwa sababu ninyi mko moyoni Kristo, jambo hilo ni bora zaidi. 24Lakini kwa
mwangu, ikiwa nimefungwa au nikiwa ninaitetea sababu yenu ni muhimu zaidi mimi nikiendelea
na kuithibitisha Injili, ninyi nyote mnashiriki kuishi katika mwili. 25Kwa kuwa nina matumaini
neema ya Mungu pamoja nami. 8Mungu ni haya, ninajua kwamba nitaendelea kuwapo na
shahidi yangu, jinsi ninavyowaonea shauku ninyi kuwa pamoja nanyi nyote, ili mpate kukua na
nyote kwa huruma ya Kristo Yesu. kuwa na furaha katika imani. 26Ili kwamba
9Haya ndiyo maombi yangu kwamba furaha yenu iwe nyingi katika Kristo Yesu kwa
upendo wenu uongezeke zaidi na zaidi katika ajili yangu kwa kule kuja kwangu kwenu tena.
maarifa na ufahamu wote, 10ili mpate kutambua
yale yaliyo mema, mkawe safi, wasio na hatia Kuenenda Ipasavyo Injili
27 Lakini lo lote litakalotukia, mwenende
hadi siku ya Kristo, 11mkiwa mmejawa na
matunda ya haki yapatikanayo kwa njia ya Yesu kama ipasavyo Injili ya Kristo, ili kwamba nikija
Kristo, kwa utukufu na sifa za Mungu. na kuwaona au nikiwa sipo, nipate kusikia haya
juu yenu: Kuwa mnasimama imara katika roho
Kufungwa Kwa Paulo Kwaieneza Injili moja, mkiishindania imani ya Injili kwa umoja,
12Basi, ndugu zangu, nataka mjue kwamba 28wala msitishwe na wale wanaowapinga. Hii ni
mambo yale yaliyonipata kwa kweli yamesaidia ishara kwao kuwa wataangamia, lakini ninyi
sana kueneza Injili. 13Matokeo yake ni kwamba mtaokolewa na hii ni kazi ya Mungu. 29Kwa
imejulikana wazi kwa walinzi wote wa jumba la maana mmepewa kwa ajili ya Kristo, si
kifalme na kwa wengine wote kuwa nimefungwa kumwamini tu, bali pia kuteswa kwa ajili yake,
kwa ajili ya Kristo. 14Kwa sababu ya vifungo 30kwa kuwa mnashiriki mashindano yale yale
vyangu, ndugu wengi katika Bwana wametiwa mliyoyaona nikiwa nayo na ambayo hata sasa
moyo kuhubiri neno la Mungu kwa ujasiri zaidi mnasikia kuwa bado ninayo .
na bila woga.
15 Ni kweli kwamba wengine wanaomhubiri Kuiga Unyenyekevu Wa Kristo
Kristo kutokana na wivu na kwa kutaka
kushindana, lakini wengine wanamhubiri Kristo
2 Kama kukiwa na jambo lo lote la kutia moyo,
kukiwako faraja yo yote katika upendo, kukiwa
kwa nia njema. 16Hawa wa mwisho wanamhubiri na ushirika wo wote katika Roho, kukiwa na
Kristo kwa moyo wa upendo, wakifahamu kwamba wema wo wote na huruma, 2basi ikamilisheni
nimo humu gerezani kwa ajili ya kuitetea Injili. furaha yangu kwa kuwa na nia
17Hao wa kwanza wanamtangaza kama hiyo, mkiwa na upendo huo huo, wenye

2
Wafilipi
roho moja na kusudi moja. 3Msitende jambo lo Timotheo hivi karibuni aje kwenu, ili nipate
lote kwa nia ya kujitukuza, bali kwa kufarijika moyo nitakapopata habari zenu.
unyenyekevu, kila mtu akimhesabu mwingine 20Sina mtu mwingine kama yeye ambaye
bora kuliko nafsi yake. 4Kila mmoja wenu ataangalia hali yenu kwa halisi. 21 Kwa maana
asiangalie mambo yake mwenyewe tu, bali pia kila mmoja anajishughulisha zaidi na mambo
ajishughulishe kwa faida ya wengine. yake mwenyewe wala si yale ya Yesu Kristo.
5Tuweni na nia ile ile aliyokuwa nayo Kristo 22Lakini ninyi wenyewe mnajua jinsi Timotheo
Yesu. alivyojithibitisha mwenyewe, kwa maana
amefanya kazi ya Injili pamoja nami kama vile
6Yeye ingawa alikuwa sawa na Mungu,
mwana kwa baba yake. 23Kwa hiyo, ninatumaini
hakuona kule kuwa sawa na Mungu ni kitu kumtuma kwenu upesi mara nitakapojua
cha kushikamana nacho, mambo yangu yatakavyokuwa. 24Nami
7bali alijifanya si kitu,
mwenyewe ninatumaini katika Bwana kwamba
akajifanya sawa na mtumwa, nitakuja kwenu hivi karibuni.
akazaliwa katika umbo la mwanadamu.
8Naye akiwa na umbo la mwanadamu, Paulo Amsifu Epafrodito
alijinyenyekeza hata mauti, naam, mauti ya 25Lakini nadhani ni muhimu kumtuma tena
msalaba! kwenu Epafrodito, ndugu yangu na mtenda kazi
9Kwa hiyo, Mungu alimtukuza sana pamoja nami, aliye askari mwenzangu, ambaye
na kumpa Jina lililo kuu kuliko kila jina, pia ni mjumbe wenu mliyemtuma ili ashughulike
10ili kwa Jina la Yesu, kila goti lipigwe,
na mahitaji yangu. 26Kwa maana amekuwa
la vitu vya mbinguni, vya duniani na vya akiwaonea sana shauku ninyi nyote, akiwa na
chini ya nchi wasiwasi kwa kuwa mlisikia kwamba alikuwa
11na kila ulimi ukiri ya kwamba YESU mgonjwa. 27Kweli alikuwa mgonjwa, tena karibu
KRISTO NI BWANA, ya kufa. Lakini Mungu alimhurumia, wala si
kwa utukufu wa Mungu Baba. yeye tu, bali hata na mimi alinihurumia,
nisipatwe na huzuni juu ya huzuni. 28Kwa hiyo
Ng'aeni Kama Mianga Katika Ulimwengu mimi ninafanya bidii kumtuma kwenu ili
12 Kwa hiyo, wapenzi wangu, kama vile mtakapomwona kwa mara nyingine, mpate
ambavyo mmekuwa mkitii sikuzote, si tu wakati kufurahi, nami wasiwasi wangu upungue. 29Kwa
nikiwa pamoja nanyi, bali sasa zaidi sana hiyo mpokeeni katika Bwana kwa furaha kubwa,
nisipokuwapo. Utimizeni wokovu wenu kwa nanyi wapeni heshima watu kama hawa, 30kwa
kuogopa na kutetemeka, 13kwa maana Mungu sababu alikaribia kufa kwa ajili ya kazi ya Kristo,
ndiye atendaye kazi ndani yenu, kutaka kwenu akihatirisha maisha yake ili aweze kunipa
na kutenda kwenu kwa kulitimiza kusudi Lake msaada ambao ninyi hamkuweza kunipa.
jema.
14Fanyeni mambo yote bila kunung’unika Hakuna Tumaini Katika Mwili
wala kushindana, 15ili msiwe na lawama wala 3 Hatimaye, ndugu zangu, furahini katika Bwana!
hatia, bali mwe wana wa Mungu wasio na Mimi kuwaandikia mambo yale yale hakuniudhi, kwa
kasoro katika kizazi chenye ukaidi na maana ni kinga kwa ajili
kilichopotoka, ambacho ndani yake ninyi yenu.
mnang’aa kama mianga ulimwenguni. 2Jihadharini na mbwa, wale watenda
16Mkilishika neno la uzima, ili nipate kuona maovu, jihadharini na wale wajikatao miili yao,
fahari siku ya Kristo kwamba sikupiga mbio wala wasemao ili kuokoka ni lazima kutahiriwa. 3Kwa
kujitaabisha bure. 17Lakini hata kama maana sisi ndio tulio tohara, sisi tumwabuduo
nikimiminwa kama sadaka ya kinywaji kwenye Mungu katika Roho, tunaona fahari katika Kristo
dhabihu na huduma itokayo katika imani yenu, Yesu, ambao hatuweki tumaini letu katika mwili,
mimi ninafurahi na kushangilia pamoja nanyi 4ingawa mimi mwenyewe ninazo sababu za
nyote. 18Vivyo hivyo, ninyi nanyi imewapasa kuutumainia mwili.
kufurahi na kushangilia pamoja nami. Kama mtu ye yote akidhani anazo sababu
za kuutumainia mwili, mimi zaidi. 5Nilitahiriwa
Paulo Amsifu Timotheo siku ya nane, mimi ni Mwisraeli wa kabila la
19Nina tumaini katika Bwana Yesu kumtuma Benyamini, Mwebrania wa Waebrania. Kwa
3
Wafilipi
habari ya sheria, ni Farisayo, 6kwa habari za furaha yangu na taji yangu, hivi ndivyo
juhudi, nilikuwa nalitesa kanisa, kuhusu haki iwapasavyo kusimama imara katika Bwana,
ipatikanayo kwa sheria, mimi nilikuwa sina hatia. ninyi wapenzi wangu.
7Lakini mambo yale yaliyokuwa faida
kwangu, sasa nayahesabu kuwa hasara kwa Mausia
2 Nawasihi Euodia na Sintike wawe na nia
ajili ya Kristo. 8Zaidi ya hayo, nayahesabu
mambo yote kuwa hasara tupu nikiyangalinisha moja katika Bwana. 3Naam, nawasihi ninyi pia,
na faida kubwa ipitayo kiasi ya kumjua Kristo wenzi wangu waaminifu, wasaidieni hawa
Yesu Bwana wangu, ambaye kwa ajili Yake wanawake, kwa sababu walijitaabisha katika
nimepata hasara ya mambo yote, nikiyahesabu kazi ya Injili pamoja nami bega kwa bega,
kuwa kama mavi ili nimpate Kristo, 9nami wakiwa pamoja na Klementi na watenda kazi
nionekane mbele Zake nisiwe na haki yangu wenzangu ambao majina yao yameandikwa
mwenyewe ipatikanayo kwa sheria, bali ile katika kitabu cha uzima.
ipatikanayo kwa imani katika Kristo, haki ile 4Furahini katika Bwana sikuzote, tena
itokayo kwa Mungu kwa njia ya imani. 10Nataka nasema furahini! 5 Upole wenu na ujulikane na
nimjue Kristo na uweza wa kufufuka Kwake na watu wote. Bwana yu karibu. 6Msijisumbue kwa
ushirika wa mateso Yake, ili nifanane naye jambo lo lote, bali katika kila jambo kwa kuomba
katika mauti Yake, 11ili kwa njia yo yote niweze na kusihi pamoja na kushukuru, haja zenu na
kufikia ufufuo wa wafu. zijulikane na Mungu. 7Nayo amani ya Mungu,
inayopita fahamu zote, itawalinda mioyo yenu
Kukaza Mwendo Ili Kufikia Lengo na nia zenu katika Kristo Yesu.
12Si kwamba nimekwisha kufikia, au 8Hatimaye, ndugu zangu, mambo yote
kwamba nimekwisha kuwa mkamilifu, la hasha! yaliyo ya kweli, yo yote yaliyo na sifa njema, yo
Bali nakaza mwendo ili nipate kile ambacho kwa yote yaliyo ya haki, yo yote yaliyo safi, yo yote
ajili yake, nimeshikwa na Kristo Yesu. 13Ndugu ya kupendeza, yo yote yenye staha, ukiwako
zangu, sijihesabu kuwa nimekwisha kushika. uzuri wo wote, pakiwepo cho chote
Lakini ninafanya jambo moja: Ninasahau kinachostahili kusifiwa, tafakarini mambo hayo.
mambo yale yaliyopita, nakaza mwendo kufikia 9Mambo yote mliyojifunza au kuyapokea au
yale yaliyo mbele. 14Nakaza mwendo nifikie ile kuyasikia kutoka kwangu, au kuyaona kwangu,
alama ya ushindi iliyowekwa ili nipate tuzo ya yatendeni hayo. Naye Mungu wa amani
mwito mkuu wa Mungu ambao nimeitiwa huko atakuwa pamoja nanyi.
juu mbinugni katika Kristo Yesu.
15Hivyo sisi sote tuliokuwa kiroho tuwaze Shukrani Kwa Matoleo Yenu
jambo hili, hata mkiwaza mengine katika jambo 10Nina furaha kubwa katika Bwana kwamba
lo lote, Mungu ataliweka wazi hilo nalo. 16Lakini hatimaye mmeanza upya kushughulika tena na
na tushike sana lile ambalo tumekwisha kulifikia. maisha yangu. Kweli mmekuwa mkinifikiria
17Ndugu zangu, kwa pamoja fuateni mfano lakini mlikuwa hamjapata nafasi ya kufanya
wangu na kuwatazama wale wanaofuata hivyo. 11Sisemi hivyo kwa vile nina mahitaji, la!
kielelezo tulichowawekea. 18Kwa maana, kama Kwa maana nimejifunza kuridhika katika hali yo
nilivyokwisha kuwaambia mara nyingi kabla, yote. 12Ninajua kupungukiwa, pia ninajua kuwa
nami sasa nasema tena hata kwa machozi, na vingi. Nimejifunza siri ya kuridhika katika kila
watu wengi wanaishi kama adui wa msalaba wa hali, wakati wa kushiba na wakati wa kuona
Kristo. 19Mwisho wa watu hao ni uangamivu, njaa, wakati wa kuwa na vingi na wakati wa
Mungu wao ni tumbo na utukufu wao ni aibu na kupungukiwa. 13Naweza kuyafanya mambo
mawazo yao yamo katika mambo ya dunia.
20Lakini wenyeji wetu uko mbinguni. Nasi yote katika Yeye anitiaye nguvu.
14 Lakini, mlifanya vema kushiriki nami katika
tunamngoja kwa shauku Mwokozi kutoka huko,
yaani, Bwana Yesu Kristo, 21atakayebadili mwili taabu zangu. 15Zaidi ya hayo, ninyi Wafilipi
wetu wa unyonge, ili upate kufanana na mwili mnajua kwamba siku za kwanza nilipoanza
Wake wa utukufu, kwa uweza ule ambao kwa kuhubiri Injili, nilipoondoka Makedonia, hakuna
huo aweza hata kuvitiisha vitu vyote chini Yake. kanisa jingine lililoshiriki nami katika masuala ya

4 Kwa hiyo, ndugu zangu, ninaowapenda kutoa na kupokea isipokuwa ninyi. 16Kwa maana
hata nilipokuwa huko Thesalonike, mliniletea
na ambao ninawaonea shauku, ninyi mlio msaada kwa ajili ya mahitaji yangu

4
Wafilipi
zaidi ya mara moja. 17Si kwamba natafuta sana
yale matoleo, bali natafuta sana ile faida
itakayozidi sana kwa upande wenu. 18Nimelipwa
kikamilfu hata na zaidi, nimetoshelezwa kabisa,
sasa kwa kuwa nimepokea kutoka kwa Epafrodito
vile vitu mlivyonitumia, sadaka yenye harufu nzuri,
dhabihu inayokubalika na ya kumpendeza Mungu.
19Naye Mungu wangu atawajaza ninyi kila
mnachohitaji kwa kadiri ya utajiri Wake katika
utukufu ndani ya Kristo Yesu.
20Mungu wetu aliye Baba yetu apewe
utukufu milele na milele. Amen.

Salamu Za Mwisho
21 Msalamuni kila mtakatifu katika Kristo
Yesu. Ndugu walioko pamoja nami
wanawasalimu. 22Watakatifu wote
wanawasalimu, hasa wale watu wa nyumbani
mwa Kaisari wanawasalimu.
23Neema ya Bwana Yesu Kristo iwe pamoja
na roho zenu. Amen.

5
WAKOLOSAI
Utangulizi
Wakolosai umeitwa waraka pacha wa Waefeso.Zikiwa zimendikwa wakati mmoja, yale yaliyomo yanafanana
sana.Timotheo alishirikiana na Paulo huko Rumi katika kuandika nyaraka hizi mbili wakati Paulo akiwa
mfungwa.Hivyo Wakolosai ni mojawapo ya nyaraka za gerezani. Tikiko ndiye aliyepeleka waraka huu huko
Kolosai.
Mji wa Kolosai ulikuwa umejengwa kama kilomita 160 (maili 100 ) kutoka Efeso kwenye bonde la Lika karibu
na Hierapoli na Laodikia (4:13). Kwa kadiri ionekanavyo Paulo alikuwa hajautembelea mji huo wa Kolosai (2:1) ,
ila mji huu ulihubiriwa Injili wakati Paulo akiwa Efeso (Mdo. 19:10) na Epafra (1:7),Timotheo au watu wengine.
Hivyo Paulo alipata kuwafahamu waamini hawa akiwa Efeso katika safari yake ya pili ya kueneza Injili na sasa
alikuwa na wasiwasi kwa sababu alisikia kuwa mafundisho ya Unostiki yaliyokuwa yanasema kwamba kila kitu ni
kibaya lakini roho ni njema, yalikuwa yameingia katika kanisa hilo. Mafundisho haya yalikuwa yanaufanya ujumbe
wa Injili kuelekea mahali pa hatari. Mambo yaliyokuwa yakiwasumbua Wakolosai yalikuwa ni mchanganyiko wa
elimu ya nyota, uchawi na mafundisho hayo ya Unostiki ambayo yalisema kuwa Kristo alikuwa sawasawa na
malaika. Paulo aliwaandikia kuwathibitishia kuwa Kristo ni Mungu na kwamba anao ukamilifu wa Mungu wa
milele (2:9). Ndipo anawapa mafundisho kuhusu maisha yampasayo mkristo.

Wazo kuu
Katika barua hii muhimu ya Paulo tunapewa maelezo kamili yaliyoandikwa kwa ufasaha na kwa uangalifu
kuhusu Uungu wa Kristo na utukufu Wake. Kristo ni Mungu wa vyote na mtu ye yote anayemwamini Kristo
anakuwa na vitu vyote ndani Yake. Paulo anawaonya waamini wasiyumbishwe na elimu wala hekima kwa
kufuata mapokeo ya wanadamu (2:8). Anatoa mafundisho kuhusu maisha yampasayo mkristo, akisisitiza kuwa
wakristo kama mwili mmoja wanaomtegemea Kristo aliye Kichwa wanapewa nguvu, amani na furaha na Mungu.

Mahali
Waraka huu uliandikwa kutoka Rumi.

Tarehe
Uliandikwa kama 60 B.K.

Mwandishi
Paulo

Mgawanyo
• Salamu na shukrani za Paulo (1:1- 8)
• Yesu Kristo na waamini (1:9 - 2:7)
• Hatari kuhusu mafundisho ya uongo (2:8 - 23)
• Mafundisho kuhusu maisha ya kikristo (3:1- 4:1)
• Maagizo kuhusu kuomba na mausia ya mwisho (4:2-18).

1
WAKOLOSAI
nchi viliumbwa, vile vitu vinavyoonekana na vile
Salamu visivyoonekana, kama ni viti vya enzi au falme, au
1 Paulo, mtume wa Kristo Yesu kwa mapenzi ya
wenye mamlaka au watawala, vitu vyote
viliumbwa na Yeye na kwa ajili Yake. 17Yeye
Mungu na Timotheo ndugu
yetu. alikuwapo kabla ya vitu vyote na katika Yeye vitu
vyote vinashikamana pamoja. 18Yeye ndiye
2Kwa ndugu watakatifu na waaminifu katika kichwa cha mwili, yaani, Kanisa, naye ni wa
Kristo, waishio Kolosai: mwanzo na mzaliwa wa kwanza kutoka kwa wafu,
ili Yeye awe mkuu katika vitu vyote. 19Kwa kuwa
Neema iwe nanyi na amani itokayo kwa ilimpendeza Mungu kwamba ukamilifu Wake wote
Mungu Baba yetu. wa kimungu uwe ndani Yake 20na kwa njia ya
Mwanawe aweze kuvipatanisha vitu vyote na
Shukrani Na Maombi Yeye mwenyewe, ikiwa ni vitu vilivyoko duniani au
3Sikuzote tunamshukuru Mungu, Baba wa vilivyoko mbinguni, kwa kufanya amani kwa damu
Bwana wetu Yesu Kristo, tunapowaombea ninyi, Yake iliyomwagika msalabani.
4kwa sababu tumesikia juu ya imani yenu katika 21Hapo kwanza ninyi mlikuwa mmetengana
Kristo Yesu na juu ya upendo wenu mlio nao na Mungu na mlikuwa adui Zake katika nia zenu
kwa watakatifu wote, 5 imani na upendo ule kwa sababu ya mwenendo wenu mbaya.
utokao katika tumaini mlilowekewa akiba 22Lakini sasa Mungu amewapatanisha ninyi
mbinguni na ambalo mmesikia habari zake kwa njia ya mwili wa Kristo kwa kupitia mauti, ili
katika neno la kweli, yaani, ile Injili iliyowafikia awalete mbele Zake mkiwa watakatifu, bila
ninyi. 6Duniani kote Injili hii inazaa matunda na dosari wala lawama, 23mradi tu kwamba
kuenea kama ilivyokuwa kwenu tangu siku ile mtaendelea kuwa waaminifu, mkiwa
mlipoisikia na kuielewa neema ya Mungu katika mmefanywa imara na thabiti katika imani,
kweli yote. 7Mlijifunza habari zake kutoka kwa pasipo kuliacha tumaini lililoahidiwa na Injili ile
Epafra, mtumishi mwenzenu mpendwa, yeye mliyosikia, hii ndiyo ile Injili mliyoisikia na
aliye mhudumu mwaminifu wa Kristo kwa ajili ambayo imehubiriwa kwa kila kiumbe chini ya
yetu, 8ambaye pia ametuambia kuhusu upendo mbingu na ambayo mimi Paulo, nimekuwa
wenu katika Roho. mtumwa wake.
9Kwa sababu hii, tangu siku ile tuliposikia
habari zenu, hatukukoma kuomba kwa ajili yenu Taabu Ya Paulo Kwa Ajili ya Kanisa
na kumsihi Mungu awajaze ninyi na maarifa ya 24Sasa nafurahia kule kuteseka kwangu
mapenzi Yake katika hekima yote ya kiroho na kwa ajili yenu na katika mwili wangu ninatimiliza
ufahamu. 10Nasi tunaomba haya ili mpate kuishi yale yaliyopungua katika mateso ya Kristo kwa
maisha yanayostahili mbele za Bwana ili mpate ajili ya mwili wake, ambao ni Kanisa. 25Mimi
kumpendeza kwa kila namna: Mkizaa matunda nimekuwa mtumishi wa Kanisa kwa wajibu
kwa kila kazi njema, mkikuwa katika kumjua alionipa Mungu ili kuwaletea ninyi neno la
Bwana. 11Mkiwa mmetiwa nguvu kwa uwezo Mungu kwa ukamilifu. 26Siri hii ilikuwa
wote kwa kadiri ya nguvu ya utukufu Wake, ili imefichika kwa karne nyingi na vizazi vingi,
mpate kuwa na wingi wa saburi na uvumilivu, lakini sasa imefunuliwa kwa watakatifu. 27Kwao,
nanyi kwa furaha 12mkimshukuru Baba, ambaye Mungu amechagua kujulisha miongoni mwa
amewastahilisha kushiriki katika urithi wa watu Mataifa utukufu wa utajiri wa siri hii,
watakatifu katika ufalme wa nuru. 13Kwa maana ambayo ni Kristo ndani yenu, tumaini la utukufu.
alituokoa kutoka katika ufalme wa giza na 28Yeye Kristo ndiye tunayemtangaza,
kutuingiza katika ufalme wa Mwana Wake tukimwonya kila mtu na kumfundisha kila mtu
mpendwa, 14ambaye katika Yeye tunao kwa hekima yote ili tuweze kumleta kila mmoja
ukombozi kwa njia ya damu yake, yaani, akiwa amekamilika katika Kristo. 29Kwa ajili ya
msamaha wa dhambi. jambo hili, ninajitaabisha, nikijitahidi kwa kadiri
ya nguvu zile ambazo kwa uwezo mwingi
Ukuu Wa Kristo hutenda kazi ndani yangu.
15Yeye ni mfano wa Mungu asiyeonekana,
2 Kwa kuwa nataka mjue jinsi ninavyojitaabisha
mzaliwa wa kwanza wa viumbe vyote. 16Kwa kwa ajili yenu na kwa ajili
Yeye vitu vyote vilivyoko mbinguni na juu ya ya wale walioko Laodikia na kwa ajili ya wote

2
WAKOLOSAI
wale ambao hawajapata kuniona mimi binafsi. asiwaondolee thawabu yenu, akisisitiza
2Kusudi langu ni kuwa watiwe moyo na kumnyenyekea yeye na kuabudu malaika,
kuunganishwa katika upendo, ili wapate kujua akidumu katika maono yake, akijivuna bila
ulivyo utajiri wa ufahamu kamili, waijue siri ya sababu katika mawazo ya kibinadamu, 19wala
Mungu, yaani, Kristo mwenyewe, 3 ambaye hakishiki kwa uthabiti Kichwa, ambaye kutoka
ndani Yake kumefichwa hazina yote ya hekima Kwake mwili wote unalishwa na
na maarifa. 4Nawaambia mambo haya ili mtu ye kushikamanishwa pamoja kwa viungo na
yote asiwadanganye kwa maneno ya mishipa, ambao hukua kwa ukuaji utokao kwa
kuwashawishi. 5Kwa maana ingawa mimi siko Mungu.
pamoja nanyi kimwili, lakini niko pamoja nanyi
kiroho, nami nafurahi kuuona utaratibu wenu na Maonyo Dhidi Ya Walimu Wa Uongo
uthabiti wa imani yenu katika Kristo. 20Kwa kuwa mlikufa pamoja na Kristo,
mkayaacha yale mafundisho ya msingi ya
Ukamilifu Wa Maisha Katika Kristo ulimwengu huu, kwa nini bado mnaishi kama
6Hivyo basi, kama vile mlivyompokea Kristo vile ninyi ni wa ulimwengu? Kwa nini mnajitia
Yesu kuwa Bwana, endeleeni kukaa ndani chini ya amri? 21“Msishike! Msionje! Msiguse?”
Yake. 7Mwe na mizizi, mkiwa mmejengwa ndani 22Haya yote mwisho wake ni kuharibika
Yake, mkiimarishwa katika imani kama yanapotumiwa, kwa sababu hayo msingi wake
mlivyofundishwa na kufurika kwa wingi wa ni katika maagizo na mafundisho ya wanadamu.
shukrani. 23Kwa kweli amri kama hizo huonekana kama
8Angalieni mtu ye yote asiwafanye ninyi
zina hekima, katika namna za ibada
mateka kwa elimu batili na madanganyo matupu walizojitungia wenyewe, unyenyekevu wa
yanayotegemea mapokeo ya wanadamu na uongo na kuutawala mwili kwa ukali, lakini
mafundisho ya ulimwengu ambayo siyo ya hayafai kitu katika kuzuia tamaa za mwili.
Kristo.
9Maana ukamilifu wote wa uungu umo ndani Kanuni Za Kuishi Maisha Matakatifu
ya Kristo katika umbile la mwili wa kibinadamu,
10nanyi mmepewa ukamilifu ndani ya Kristo,
3 Basi, kwa kuwa mmefufuliwa pamoja na
Kristo, yatafuteni yaliyo juu, Kristo aliko, ameketi
ambaye Yeye ndiye mkuu juu ya kila enzi na kila mkono wa kuume wa Mungu. 2Yafikirini mambo
mamlaka. 11Katika Kristo pia mlitahiriwa kwa yaliyo juu, wala si ya duniani. 3Kwa maana ninyi
mlikufa, nao uhai wenu sasa umefichwa pamoja
kutengwa mbali na asili ya dhambi, si kwa tohara
na Kristo katika Mungu. 4Wakati Kristo
inayofanywa kwa mikono ya wanadamu bali kwa atakapotokea Yeye aliye na uzima wenu ndipo
ile tohara iliyofanywa na Kristo, 12mkiwa nanyi mtakapotokea pamoja
mmezikwa pamoja naye katika ubatizo na naye katika utukufu.
kufufuliwa pamoja naye kwa kuuamini uweza wa 5Kwa hiyo, kiueni kabisa cho chote kilicho
Mungu aliyemfufua kutoka kwa wafu. ndani yenu cha asili ya kidunia: Yaani, uasherati,
13Mlipokuwa wafu katika dhambi zenu na
uchafu, tamaa mbaya, mawazo mabaya na
kutokutahiriwa katika asili yenu ya dhambi, kutamani, ambayo ndiyo ibada ya sanamu. 6Kwa
Mungu aliwafanya mwe hai pamoja na Kristo. sababu ya mambo haya, ghadhabu ya Mungu
Alitusamehe dhambi zetu zote, 14akiisha kuifuta inakuja. 7 Ninyi pia zamani mlienenda katika
ile hati yenye mashtaka yaliyokuwa yanatukabili
pamoja na amri zake, aliiondoa isiwepo tena, mambo haya mlipoishi maisha hayo. 8Lakini sasa
akiigongomea kwenye msalaba Wake. 15Mungu yawekeni mbali nanyi mambo kama haya yote,
yaani : Hasira, ghadhabu, uovu, masingizio na
akiisha kuzivua enzi na mamlaka, alizifanya
kuwa kitu cha fedheha hadharani kwa lugha chafu kutoka midomoni mwenu.
9Msiambiane uongo kwa maana mmevua kabisa
kuziburuta kwa ujasiri, akizishangilia katika
msalaba wa Kristo. utu wenu wa kale pamoja na matendo yake
16Kwa hiyo mtu asiwahukumu ninyi kuhusu 10nanyi mmevaa utu mpya unaofanywa upya

vyakula au vinywaji, au kuhusu kuadhimisha katika ufahamu sawasawa na mfano wa Mwumba


sikukuu za dini, au Sikukuu za Mwandamo wa wake. 11Hapa hakuna Myunani wala Myahudi,
mwezi au Siku ya Sabato. 17Hizi zilikuwa kivuli aliyetahiriwa wala asiyetahiriwa, asiyestaarabika
cha mambo ambayo yangekuja, lakini ile iliyo wala aliyestaarabika, mtumwa wala mtu huru, bali
halisi imo ndani ya Kristo. 18Mtu ye yote
3
WAKOLOSAI
Kristo ni yote na ndani ya wote. wa kunena, ili tupate kuitangaza siri ya Kristo,
12Kwa hiyo, kwa kuwa ninyi mmekuwa ambayo kwa ajili yake pia mimi nimefungwa.
4Ombeni ili nipate kuitangaza Injili kwa udhahiri
wateule wa Mungu, watakatifu, wapendwa,
jivikeni moyo wa huruma, utu wema, kama ipasavyo kunena. 5Iweni na hekima jinsi
unyenyekevu, upole na uvumilivu. 13Vumilianeni mnavyoenenda mbele yao wale walio nje,
na kusameheana. Mtu akiwa na lalamiko lo lote mkiutumia vizuri wakati wenu. 6 Maneno yenu
dhidi ya mwenzake, sameheaneni kama vile yawe yamejaa neema siku zote, yanayofaa, ili
Bwana alivyowasamehe ninyi. 14 Zaidi ya mjue jinsi iwapasavyo na inavyofaa kumjibu kila
maadili haya yote jivikeni upendo, ambao ndio mtu.
unaofunga kila kitu pamoja katika amani
kamilifu. Salamu Za Mwisho
15Amani ya Kristo na itawale mioyoni 7Tikiko atawaambia habari zangu zote.
mwenu, kwa kuwa ninyi kama viungo vya mwili Yeye ni ndugu mpendwa, mtenda kazi
mmoja mmeitiwa amani. Tena iweni watu wa mwaminifu na mtumishi mwenzangu katika
shukrani. 16Neno la Kristo na lidumu kwa wingi Bwana. 8Nimemtuma kwenu kwa madhumuni
ndani yenu, mkifundishana na kuonyana katika haya ili kwamba mpate kufahamu hali yetu na
hekima yote, mkimwimbia Mungu zaburi, pia awatie moyo. 9Anakuja pamoja na Onesmo,
nyimbo na tenzi za rohoni huku mkiwa na ndugu yetu mpendwa na mwaminifu, ambaye ni
shukrani mioyoni mwenu. 17Lo lote mfanyalo, mmoja wenu. Watawaambia mambo yote
ikiwa ni kwa neno au kwa tendo, fanyeni yote yanayotendeka hapa kwetu.
katika Jina la Bwana Yesu, mkimshukuru Mungu 10Aristarko aliye mfungwa pamoja nami
Baba katika Yeye. anawasalimu, vivyo hivyo Marko, binamu yake
Barnaba. (Mmeshapata maagizo yanayomhusu,
Kanuni Katika Madaraka Ya Nyumbani akija kwenu, mpokeeni). 11Yesu, yeye aitwaye
18Ninyi wake, watiini waume zenu, kama Yusto, pia anawasalimu. Hawa peke yao, ndio
inavyostahili katika Bwana. Wayahudi miongoni mwa watenda kazi
19Ninyi waume, wapendeni wake zenu, wala wenzangu kwa ajili ya Ufalme wa Mungu, nao
msiwe na uchungu dhidi yao. wamekuwa faraja kwangu. 12Epafra, ambaye ni
20Enyi watoto, watiini wazazi wenu katika mmoja wenu na mtumishi wa Kristo Yesu,
mambo yote, kwa maana hivi ndivyo anawasalimu. Yeye sikuzote anawaombea kwa
inavyompendeza Bwana. bidii kwamba msimame imara katika mapenzi
21Ninyi akina baba msiwachokoze watoto yote ya Mungu mkiwa wakamilifu na thabiti.
13Ninashuhudia kwa ajili yake kwamba
wenu, wasije wakakata tamaa.
22Ninyi watumwa, watiini mabwana zenu wa anafanya kazi kwa bidii kwa ajili yenu na kwa
hapa duniani katika mambo yote. Fanyeni hivyo ajili ya ndugu wa Laodikia na Hierapoli. 14Rafiki
si wakiwepo tu, bali mkimwogopa Mungu, wala yetu mpenzi Luka, yaani, yule tabibu, pamoja na
si kwa kutafuta upendeleo wao wakati Dema, wanawasalimu. 15 Wasalimuni ndugu
wanapowaonaa. 23Lo lote mfanyalo, fanyeni wote wa Laodikia na pia Nimfa pamoja na
kwa moyo kama watu wanaomtumikia Bwana kanisa linalokutana katika nyumba yake.
na si wanadamu. 24Kwa kuwa mnajua kwamba 16Baada ya barua hii kusomwa kwenu,
mtapokea urithi wenu kutoka kwa Bwana kuwa hakikisheni kwamba inasomwa pia katika kanisa
thawabu yenu. 25Ye yote atendaye mabaya la Walaodikia. Nanyi pia msome barua
atalipwa kwa ajili ya mabaya yake, wala hakuna inayotoka Laodikia.
upendeleo. 17Mwambieni Arkipo hivi: “Hakikisha kuwa

4 Ninyi mabwana, watendeeni watumwa wenu unakamilisha ile huduma uliyopokea katika
Bwana.”
yaliyo haki na yanayostahili mkitambua ya
kwamba ninyi pia mnaye Bwana 18Mimi, Paulo, naandika salamu hizi kwa
mbinguni. mkono wangu mwenyewe. Kumbukeni
minyororo yangu. Neema iwe nanyi. Amen.
Maagizo Zaidi.
2Dumuni sana katika maombi, mkikesha
katika hayo pamoja na kushukuru. 3Pia
tuombeeni na sisi ili Mungu atufungulie mlango
4
1WATHESALONIKE
Utangulizi
Waraka huu ni mojawapo ya nyaraka za awali kabisa za Paulo. Kutoka Filipi, Paulo katika safari yake ya pili
ya kitume, alitembelea mji wa Thesalonike, ambao ulikuwa bandari iliyokuwa kituo cha biashara. Hapa kwenye
mji huu Paulo alihudumu kwa majuma matatu, akihudumu katika sinagogi la Wayahudi, akithibitisha Maandiko
(Agano la Kale), kwamba Yesu ndiye Kristo. Baadhi ya Wayahudi na Wayunani wakaamini, lakini akalazimika
kuondoka huko haraka kwa sababu ya mateso yaliyozuka humo (Matendo 17:1-9) kwa kuwa upinzani ulikuwa
mkubwa. Akiwa njiani akaelekea Athene na Korintho alitembelea Beroya (Mdo. 17).
Timotheo, ambaye alikuwa ametumwa kurudi Thesalonike (3:1–5), baadaye alimletea Pauo taarifa kuhusu
hali ilivyo huko Thesalonike. Paulo anawasifu Wathesalonike kwa tabia yao ya ujasiri nyakati za mateso. Pia
anaongezea mafundisho yake ya kwanza kuhusu matatizo ya waamini, hasa watu Mataifa ambao hawakuwa na
msingi wa Kiyahudi, uliokuwa unakabili maisha ya Ukristo.
Baada ya kufika Athene na hatimaye Korintho, Paulo alipata habari kutoka kwa Timotheo kuwa pamoja na
mateso yaliyokuwepo, waamini wa Thesalonike walikuwa wamesimama imara. Kwa hiyo Paulo aliandika barua
hii ili kuwatia moyo na kuwafariji waamini ambao walikuwa wachanga katika Kristo. Aliwaandikia pia kuiimarisha
imani yao katika misingi ya mafundisho ya kanisa kuhusu Mungu, Roho Mtakatifu na Kristo, maisha yampasayo
mkristo na pia kuhusu kurudi kwa Yesu mara ya pili. Yaelekea waamini hawa walikuwa na wasiwasi kwamba
wakristo wenzao waliokwisha kufa, wasingeweza kuufikia ufufuo wa wafu. Hivyo Paulo anawaandikia
kuwahakikishia kwamba waliokufa wakiwa wanamwamini Kristo watafufuka kwanza (4:16).

Wazo Kuu
Paulo anaandika ili kuwathibitishia waamini wachanga katika mafundisho ya msingi aliyokuwa
amewafundisha, anawatia moyo kudumu katika utakatifu, nao wale wanaoteswa kuwahakikishia kwamba Mungu
yu pamoja nasi na ametuahidi ushindi. Ushindi wa mwisho utapatikana Kristo atakaporudi, wakati Bwana
mwenyewe atakaposhuka kutoka mbinguni na kutukusanya Kwake tuwe naye milele (4:17) . Tukitambua haya,
inatupasa kuvumilia mateso na kuishi maisha yasiyo na lawama, yaani, maisha matakatifu ya kumcha Mungu.

Tarehe
Waraka huu uliandikwa 51 B.K. wakati wa safari yake ya pili.

Mahali
Korintho.

Mgawanyo
• Shukrani za Paulo kwa ajili ya Wathesalonike (1:1-10)
• Huduma ya Paulo katika kanisa (2:1-16)
• Maelezo ya matukio tangu kuondoka Thesalonike (2:7-3:13)
• Mahusia kuhusu mwenendo na maisha ya kumcha Mungu (4:1-12)
• Kurudi kwa Yesu mara ya pili (4:13-5:11)
• Maagizo ya mwisho (5:12-22)
• Hitimisho(5:23-28)

1
1WATHESALONIKE
maonyo yetu hayakutokana na hila wala nia
Salamu mbaya au udanganyifu. 4Kinyume chake,
tulinena kama watu tuliokubaliwa na Mungu
1 Paulo, Silvano na Timotheo, tukakabidhiwa Injili. Sisi hatujaribu
kwa kanisa la Wathesalonike, ninyi mlio kuwapendeza wanadamu bali kumpendeza
ndani ya Mungu Baba yetu na ndani ya Bwana Mungu, Yeye ayachunguzaye mawazo ya ndani
Yesu Kristo: sana ya mioyo yetu. 5Kama mjuavyo na Mungu
akiwa shahidi yetu hatukuja kwenu kwa maneno
Neema iwe kwenu na amani itokayo kwa ya kujipendekeza au maneno yasiyo ya kweli
Mungu Baba yetu na Bwana Yesu Kristo. kwa ajili ya kuficha tamaa mbaya. 6Wala
hatukuwa tunatafuta sifa kutoka kwa
Shukrani Kwa Ajili Ya Imani Ya wanadamu, si kutoka kwenu au kwa mtu
Wathesalonike mwingine awaye yote.
2 Sikuzote tunamshukuru Mungu kwa ajili Kama mitume wa Kristo tungaliweza kuwa
yenu ninyi nyote, tukiwataja kwenye maombi mzigo kwenu, 7lakini tulikuwa wapole katikati
yetu daima. 3Tunaikumbuka daima kazi yenu ya yenu kama mama anayewatunza watoto wake
imani mbele za Mungu aliye Baba yetu, taabu wadogo. 8Tuliwapenda sana kiasi kwamba
yenu katika upendo na saburi yenu ya tumaini tulifurahia kushirikiana nanyi, si Injili ya Mungu
katika Bwana wetu Yesu Kristo. tu, bali hata maisha yetu, kwa sababu mlikuwa
4Ndugu zetu mpendwao na Mungu, kwa
wa thamani mno kwetu. 9Ndugu zetu,
kuwa tunajua kwamba Mungu amewachagua, mnakumbuka juhudi yetu na taabu yetu,
5kwa maana ujumbe wetu wa Injili haukuja tulifanya kazi usiku na mchana, ili tusimlemee
kwenu kwa maneno matupu bali pia mtu ye yote wa kwenu wakati tulipokuwa
ulidhihirishwa katika nguvu, katika Roho tunawahubiria Injili ya Mungu.
Mtakatifu, tena ukiwa na uthibitisho kamili, kama 10Ninyi wenyewe ni mashahidi na Mungu
vile ninyi wenyewe mnavyojua jinsi pia, jinsi tulivyokuwa watakatifu, wenye haki na
tulivyoenenda katikati yenu kwa ajili yenu. 6Ninyi wasio na lawama miongoni mwenu ninyi
mkawa wafuasi wetu na wa Bwana, ingawa mlioamini. 11Maana mnajua kwamba
mlipata mateso mengi, mlilipokea lile Neno kwa tuliwatendea kila mmoja wenu kama vile baba
furaha katika Roho Mtakatifu. 7Hivyo ninyi awatendeavyo watoto wake mwenyewe:
mkawa kielelezo kwa waamini wote katika 12tuliwatia moyo, tuliwafariji na kuwahimiza

Makedonia na Akaya. 8Kwa maana kutoka kuishi maisha yampendezayo Mungu,


kwenu Neno la Mungu limesikika, si katika anayewaita katika Ufalme na utukufu Wake.
Makedonia na Akaya tu, bali pia imani yenu 13Nasi pia tunamshukuru Mungu bila
katika Mungu imejulikana kila mahali kiasi kukoma kwa sababu mlipolipokea neno la
kwamba hatuna haja ya kusema lo lote kwa Mungu mlilosikia kutoka kwetu, hamkulipokea
habari yake. 9Kwa maana watu wa maeneo kama neno la wanadamu, bali mlilipokea kama
hayo wenyewe wanaeleza jinsi mlivyotupokea lilivyo hasa, neno la Mungu, litendalo kazi ndani
na jinsi mlivyomgeukia Mungu mkaacha yenu ninyi mnaoamini. 14Kwa maana ninyi
sanamu, ili kumtumikia Mungu aliye hai na wa ndugu zetu, mlifanyika wafuasi wa makanisa ya
kweli 10na ili kumngojea Mwanawe kutoka Mungu yaliyoko ndani ya Kristo Yesu katika
mbinguni, ambaye Mungu alimfufua kutoka kwa Uyahudi. Mlipata mateso yale yale kutoka kwa
wafu, yaani, Yesu, Yeye aliyetuokoa kutoka watu wenu wenyewe kama vile makanisa hayo
katika ghadhabu inayokuja. yalivyoteswa na Wayahudi, 15wale waliomwua
Bwana Yesu na manabii, nasi wakatufukuza
Huduma Ya Paulo Huko Thesalonike pia. Watu hao walimchukiza Mungu na tena ni
2 mnajua
Ndugu zangu, kwa kuwa ninyi wenyewe
ya kwamba kuja kwetu kwenu
adui wa watu wote, 16 wakijitahidi kutuzuia
tusizungumze na watu Mataifa ili kwamba
hakukuwa bure, 2kama vile mjuavyo, tulikuwa wapate kuokolewa. Kwa njia hii wanazidi
tumeteswa na kutukanwa huko Filipi, lakini hata kujilundikia dhambi zao ili kufikia upeo. Lakini
hivyo, kwa msaada wa Mungu wetu, tulikuwa na hatimaye ghadhabu ya Mungu imewafikia.
ujasiri wa kuwaambia Injili ya Mungu ingawa
kulikuwa na upinzani mkubwa. 3Kwa maana
2
1WATHESALONIKE
Paulo Atamani Kuwaona Wathesalonike awaimarishe mioyo yenu katika utakatifu ili
17 Lakini ndugu zetu, tulipotenganishwa msiwe na lawama, mbele za Mungu wetu aliye
nanyi kwa kitambo kidogo, (ingawa kutengana Baba yetu wakati wa kuja kwake Bwana Yesu
huko kulikuwa kwa mwili tu, si kwa moyo), pamoja na watakatifu wote.
tulizidi kuwa na shauku kubwa kuwaona uso
kwa uso. 18 Maana tulitaka kuja kwenu, hasa Maisha Yanayompendeza Mungu
mimi Paulo, nilitaka kuja tena na tena, lakini
Shetani akatuzuia. 19Kwa maana tumaini letu ni
4 Hatimaye, ndugu, tuliwaomba na kuwasihi
katika Bwana Yesu kwamba, kama
nini, au furaha yetu au taji yetu ya kujisifia mbele mlivyojifunza kutoka kwetu jinsi iwapasavyo
kuishi ili kumpendeza Mungu, kama vile
za Bwana Yesu Kristo wakati wa kuja Kwake? mnavyoishi, imewapasa mzidi sana kufanya
Je, si ninyi? 20Naam, Ninyi ndio fahari yetu na hivyo. 2Kwa kuwa mnajua ni maagizo gani
furaha yetu. tuliyowapa kwa mamlaka ya Bwana Yesu.
3 Kwa maana haya ndiyo mapenzi ya
Timotheo Atumwa Kwenda Thesalonike Mungu ninyi mwe watakatifu, ili kwamba
3 Kwa hivyo tulipokuwa hatuwezi kuvumilia mjiepushe na uasherati, 4ili kwamba kila mmoja
wenu ajifunze kuutawala mwili wake mwenyewe
zaidi, tuliamua tubaki Athene peke yetu,
2tukamtuma Timotheo ambaye ni ndugu yetu na katika utakatifu na heshima, 5si kwa tamaa
mtumishi mwezetu wa Mungu katika kuieneza mbaya kama watu Mataifa wasiomjua Mungu.
Injili ya Kristo, aje kuwaimarisha na kuwatia 6Katika jambo hili mtu asimkosee ndugu yake
moyo katika imani yenu, 3ili mtu ye yote wala kumlaghai. Kwa kuwa Bwana ni mlipiza
asifadhaishwe na mateso haya. Mnajua vema kisasi katika mambo haya yote, kama vile
kwamba tumewekewa hayo mateso. 4Kwa tulivyokwisha kuwaambia mapema na
kweli, tulipokuwa pamoja nanyi tuliwaambia kuwaonya vikali. 7Kwa maana Mungu hakutuitia
mara kwa mara kwamba tutateswa na imekuwa
hivyo kama mjuavyo: 5Kwa sababu hii uchafu, bali utakatifu. 8Kwa hiyo, mtu ye yote
nilipokuwa siwezi kuvumilia zaidi, nilimtuma mtu anayekataa mafundisho haya hamkatai
ili nipate habari za imani yenu. Niliogopa mwanadamu, bali anamkataa Mungu
kwamba kwa njia fulani yule mjaribu asiwe anayewapa ninyi Roho Wake Mtakatifu.
amewajaribu, nasi tukawa tumejitaabisha bure. 9Sasa kuhusu upendano wa ndugu hamna
haja mtu ye yote kuwaandikia, kwa maana ninyi
Taarifa Ya Timotheo Ya Kutia Moyo wenyewe mmefundishwa na Mungu kupendana.
6Lakini sasa Timotheo ndiyo tu amerejea 10Nanyi kwa kweli mnawapenda ndugu wote
kwetu kutoka kwenu na ameleta habari njema katika Makedonia nzima. Lakini ndugu,
kuhusu imani yenu na upendo wenu. tunawasihi mzidi sana kuwapenda.
Ametuambia kwamba sikuzote mnatukumbuka 11Jitahidini kuishi maisha ya utulivu, kila
kwa wema na kwamba mna shauku ya kutuona mtu akijishughulisha na mambo yake
kama vile sisi tulivyo na shauku ya kuwaona mwenyewe na kufanya kazi kwa mikono yake,
ninyi. 7Kwa hiyo, ndugu zetu, katika dhiki na kama vile tulivyowaagiza, 12ili maisha yenu ya
mateso yetu yote tumefarijika kwa sababu ya
kila siku yajipatie heshima kutoka kwa watu
imani yenu. 8Kwa maana sasa kwa hakika walio nje, ili msimtegemee mtu ye yote.
tunaishi kwa kuwa ninyi mmesimama imara
katika Bwana. 9Je, tutawezaje kumshukuru Kuja Kwake Bwana
Mungu kiasi cha kutosha kwa ajili yenu, 13Lakini ndugu, hatutaki msijue kuhusu
kutokana na furaha tuliyo nayo mbele za Mungu wale waliolala mauti, ili msihuzunike kama watu
wetu kwa sababu yenu? 10Usiku na mchana wengine wasiokuwa na tumaini. 14Kwa kuwa
tunaomba kwa bidii ili tupate kuwaona tena na tunaamini kwamba Yesu alikufa na kufufuka,
kujaliza kile kilichopungua katika imani yenu. hata hivyo, Mungu kwa njia ya Yesu atawafufua
11Basi Mungu wetu na Baba yetu
pamoja naye wale waliolala mauti. 15Kulingana
Mwenyewe na Bwana wetu Yesu atengeneze na neno la Mungu mwenyewe tunawaambia
njia ya sisi kuja kwenu. 12Bwana na auongeze kwamba, sisi ambao bado tuko hai, tutakaobaki
upendo wenu na kuuzidisha kati ya ninyi kwa hadi kuja Kwake Bwana, hakika
ninyi na kwa wengine wote, kama vile tulivyo na hatutawatangulia wale waliolala mauti. 16Kwa
upendo mwingi kwenu. 13Tunamwomba Mungu maana Bwana mwenyewe atashuka toka
3
1WATHESALONIKE
mbinguni, akitoa amri kwa sauti kuu pamoja na maana haya ndiyo mapenzi ya Mungu kwa ajili
sauti ya malaika mkuu na sauti ya tarumbeta ya yenu katika Kristo Yesu.
Mungu, nao wale waliolala mauti wakiwa 19Msiuzime moto wa Roho Mtakatifu,
wanamwamini Kristo watafufuka kwanza. 20msiyadharau maneno ya nabii. 21Jaribuni kila
17Baada ya hilo sisi tulio hai bado, tuliosalia,
kitu. Yashikeni yaliyo mema. 22Jiepusheni na
tutanyakuliwa pamoja nao katika mawingu ili uovu wa kila namna.
kumlaki Bwana hewani, hivyo tutakuwa pamoja 23Mungu mwenyewe, Mungu wa amani,
na Bwana milele. 18Kwa hiyo farijianeni kwa awatakase ninyi kabisa, roho zenu, nafsi zenu na miili
maneno haya. yenu, nanyi mhifadhiwe kikamilifu bila kuwa na lawama
katika Bwana wetu Yesu Kristo. 24Yeye aliyewaita ni
Mwe Tayari Kwa Siku Ya Bwana mwaminifu naye
5 Basi, ndugu, kwa habari ya nyakati na atafanya hayo.
majira hatuna haja ya kuwaandikia, 2kwa kuwa 25Ndugu, 26
mnajua vema kwamba siku ya Bwana itakuja tuombeeni. Wasalimuni ndugu
kama mwivi ajapo usiku. 3Wakati watu wote kwa busu takatifu.27Nawaagizeni mbele
wanaposema, “Kuna amani na salama,” za Bwana mhakikishekuwa ndugu wote
maangamizi huwajia ghafla kama vile utungu wanasomewa barua hii.
umjiavyo mwanamke mwenye mimba wala
28Neema ya Bwana wetu Yesu Kristo iwe
hawatatoroka.
4Bali ninyi, ndugu, hamko gizani hata nanyi. Amen.
kwamba siku ile iwakute ghafula kama mwivi.
5Ninyi nyote ni wana wa nuru na wana wa
mchana. Sisi si wana wa giza wala wa usiku.
6Kwa hiyo basi, tusilale kama watu wengine
walalavyo, bali tukeshe na kuwa na kiasi. 7Kwa
kuwa wote walalao hulala usiku na wale
walewao hulewa usiku. 8Lakini kwa kuwa sisi ni
wana wa mchana, basi tuwe na kiasi, tukijivika
imani na upendo kama dirii kifuani na tumaini
letu la wokovu kama chapeo. 9Kwa maana
Mungu hakutuita ili tupate ghadhabu bali tupate
wokovu kwa njia ya Bwana wetu Yesu Kristo.
10Yeye alikufa kwa ajili yetu ili kwamba kama
tuko macho au tukiwa tumelala tupate kuishi
pamoja Naye. 11Kwa hiyo farijianeni na
kujengana, kama vile mnavyofanya sasa.

Maagizo Ya Mwisho, Salamu Na Kuwatakia


Heri
12Sasa tunawaomba, ndugu, waheshimuni
wale wanaofanya kazi kwa bidii miongoni
mwenu, wale ambao wana mamlaka juu yenu
katika Bwana na ambao wanawaonya.
13Mkawajali sana katika upendo kwa ajili ya kazi

yao. Iweni na amani ninyi kwa ninyi. 14Nasi


twawasihi, ndugu, waonyeni wale wavivu,
watieni moyo waoga, wasaidieni wanyonge na
iweni na uvumilivu na kila mtu. 15Angalieni kuwa
mtu asilipe ovu kwa ovu, bali sikuzote tafuteni
kutendeana mema
ninyi kwa ninyi na kwa watu wote.
16Furahini siku zote, 17ombeni pasipo

kukoma, 18shukuruni kwa kila jambo, kwa


4
1WATHESALONIKE

5
2WATHESALONIKE
Utangulizi
Waraka huu wa pili wa Paulo uliandikwa miezi michache tu baada ya ule wa kwanza. Baadhi ya watu
walikuwa wamemwelewa vibaya Paulo au waraka mwingine wa bandia uliosemekana kuwa ulitoka kwa Paulo
ulikuwa umewafadhaisha Wathesalonike kuhusu kuja kwa Yesu mara ya pili. Yawezekana kwamba mateso
waliyoendelea kuyapata pia yaliwafadhaisha.
Paulo anaandika waraka huu ili kuwakumbusha yale aliyokuwa ametangulia kuwafundisha akiwahakikishia
waamini kuwa Kristo atarudi kuwafariji wamwaminio na kuwaadhibu wale wanaowatesa wao (1:7,8). Anawaambia
kwamba siku ya Bwana, yaani, siku ya hukumu, haitawafikia mara moja, bali itatanguliwa na matukio mbalimbali
(2:3). Wakifahamu kuwa hakika Kristo atarudi, waamini inawapasa kuishi maisha matakatifu yasiyo na lawama.

Wazo Kuu
Katika waraka huu mfupi, ushindi wa Mungu juu ya uovu unasisitizwa. Ingawa waamini wanaweza kupata
mateso sasa, lakini Mungu amewaandalia faraja na thawabu. Lakini wale wanaomkataa Mungu watapata dhiki na
watahukumiwa. Paulo pia anasisitiza umuhimu wa kuishi maisha yanayomtukuza Mungu. Baadhi ya watu wa
Thesalonike walikuwa wameacha kufanya kazi kwa kuamini kwamba Kristo angerudi upesi. Jambo hili
halimtukuzi Mungu na Paulo alisema kuwa mtu ye yote asiyefanya kazi, wala asile. (3:10).

Mgawanyo
• Faraja kutokana na kurudi kwa Kristo (1:1-12)
• Matukio kabla ya kuja kwa siku ya Bwana (2:1-12)
• Maagizo zaidi na maonyo (2:13-3:5)
• Mausia ya kikristo na salamu kuwatakia heri (3:6-18).

1
2WATHESALONIKE
kwetu, isemayo kwamba siku ya Bwana

1 Paulo, Silvano na Timotheo,


Kwa kanisa la Wathesalonike mlio katika
imekwisha kuwako. 3Mtu ye yote na
asiwadanganye kwa namna yo yote kwa maana
siku ile haitakuja mpaka uasi utokee kwanza na
Mungu Baba yetu na Bwana Yesu Kristo: yule mtu wa kuasi adhihirishwe, yule ambaye
amehukumiwa kuangamizwa kabisa. 4 Yeye
2Neema na amani itokayo kwa Mungu Baba atapingana na kujitukuza juu ya kila kitu
na Bwana Yesu Kristo iwe nanyi. kiitwacho Mungu au kinachoabudiwa, ili
kujiweka juu katika hekalu la Mungu,
Shukrani Na Maombi akijitangaza mwenyewe kuwa ndiye Mungu.
3Ndugu, imetubidi kumshukuru Mungu kwa 5Je, hamkumbuki ya kwamba nilipokuwa
ajili yenu sikuzote, kama ulivyo wajibu wetu, kwa pamoja nanyi niliwaambia mambo haya? 6Nanyi
sababu imani yenu inakua zaidi na zaidi na sasa mnajua kinachomzuia, ili kwamba apate
upendo wa kila mmoja wenu alio nao kwa kudhihirishwa wakati wake utakapowadia.
mwenzake unazidi kuongezeka. 4Ndiyo sababu 7Maana ile nguvu ya siri ya uasi tayari inatenda
miongoni mwa makanisa ya Mungu, tunajivuna kazi, lakini yule anayeizuia ataendelea kufanya
kuhusu saburi yenu na imani mliyo nayo katika hivyo mpaka atakapoondolewa. 8Hapo ndipo
mateso yote na dhiki mnazostahimili. yule mwasi atafunuliwa, ambaye Bwana Yesu
5Haya yote ni uthibitisho kwamba hukumu atamteketeza kwa pumzi ya kinywa Chake na
ya Mungu ni ya haki na kwa sababu hiyo ninyi kumwangamiza kabisa kwa ufunuo wa kuja
mtahesabiwa kwamba mtastahili Ufalme wa Kwake. 9Kuja kwa yule mwasi kutaonekana
Mungu, ambao ninyi mnateswa kwa ajili Yake. kana kwamba ni kutenda kazi kwake Shetani
6Mungu ni mwenye haki: Yeye atawalipa ambaye hutumia nguvu zote, ishara, maajabu
ya uongo 10na kila aina ya udanganyifu kwa
mateso wale wawatesao ninyi 7na kuwapa ninyi
wale wanaoangamia kwa sababu walikataa
mnaoteseka raha pamoja na sisi, wakati Bwana
Yesu atakapodhihirishwa kutoka mbinguni kuipenda kweli wapate kuokolewa. 11Kwa
katika mwali wa moto pamoja na malaika wake sababu hii, Mungu ameruhusu watawaliwe na
nguvu ya udanganyifu, ili waendelee kuamini
wenye nguvu. 8Atawaadhibu wale wasiomjua uongo 12na hivyo wote wahukumiwe ambao
Mungu na ambao hawakuitii Injili ya Bwana wetu hawakuamini ule ukweli bali wamefurahia uovu.
Yesu. 9Wataadhibiwa kwa uangamivu wa milele
na kutengwa na uso wa Bwana na utukufu wa Simameni Imara
uweza Wake, 10siku hiyo atakapokuja 13Lakini imetupasa sisi kumshukuru Mungu
kutukuzwa katika watakatifu wake na daima kwa ajili yenu, ndugu mpendwao na
kustaajabiwa miongoni mwa wote walioamini. Bwana, kwa sababu Mungu aliwachagua ninyi
Ninyi pia mtakuwa miongoni mwa hawa kwa tangu mwanzo ili mwokolewe kwa kutakaswa na
sababu mliamini ushuhuda wetu kwenu. Roho na kwa kuiamini katika kweli. 14Kwa
11Kwa sababu hii, tunawaombea ninyi bila kusudi hili Mungu aliwaita kwa njia ya kuhubiri
kukoma, ili kwamba Mungu apate kuwahesabu kwetu Injili, ili kwamba mpate kushiriki katika
kuwa mnastahili wito Wake na kwamba kwa utukufu wa Bwana Yesu Kristo. 15Hivyo basi,
uwezo Wake apate kutimiza kila kusudi lenu ndugu wapendwa, simameni imara na myashike
jema na kila tendo linaloongozwa na imani yenu. sana yale mafundisho tuliyowapa ikiwa ni kwa
12Tunaomba hivi ili Jina la Bwana wetu Yesu maneno ya kinywa au kwa barua.
lipate kutukuzwa ndani yenu, nanyi ndani Yake, 16Bwana wetu Yesu Kristo mwenyewe na
kulingana na neema ya Mungu wetu na Bwana Mungu Baba yetu, aliyetupenda na kwa neema
Yesu Kristo. Yake akatupatia faraja ya milele na tumaini
jema, 17awafariji mioyo yenu na kuwaimarisha
Yule Mtu Wa Kuasi katika kila neno na tendo jema.
2 Ndugu, kuhusu kuja Kwake Bwana wetu Yesu Ombi La Kuhitaji Maombi
Kristo na kukusanyika kwetu pamoja mbele Zake,
tunawasihi, 2msiyumbishwe kwa urahisi wala 3 Hatimaye, ndugu, tuombeeni ili kwamba Neno
la Bwana lipate kuenea kwa haraka
msitiwe wasiwasi na roho wala neno au barua
inayosemekana kuwa imetoka na kuheshimiwa kila mahali, kama vile

2
2WATHESALONIKE
ilivyokuwa kwa upande wenu. 2Ombeni pia ili
kwamba tupate kuokolewa kutokana na watu
waovu na wabaya, kwa maana si kila mmoja
ana imani. 3Lakini Bwana ni mwaminifu, naye
atawaimarisha ninyi na kuwalinda kutokana na
yule mwovu. 4Nasi tuna tumaini katika Bwana
ya kuwa mnafanya na mtaendelea kufanya yale
tuliyowaagiza. 5Bwana aiongoze mioyo yenu
katika upendo wa Mungu na katika saburi ya
Kristo.

Onyo Dhidi Ya Uvivu


6Ndugu, tunawaagiza katika Jina la Bwana
Yesu Kristo, jitengeni na kila ndugu ambaye ni
mvivu na ambaye haishi kufuatana na maagizo
tuliyowapa. 7Maana ninyi wenyewe mnajua jinsi
iwapasavyo kufuata mfano wetu. Sisi hatukuwa
wavivu tulipokuwa pamoja nanyi, 8wala hatukula
chakula cha mtu ye yote pasipo kukilipia. Badala
yake tulifanya kazi kwa bidii usiku na mchana, ili
tusimlemee mtu ye yote miongoni mwenu.
9Tulifanya hivi, si kwa sababu hatukuwa na haki
ya kupata msaada kama huo, lakini ili kusudi
tujifanye sisi wenyewe kuwa kielelezo.” 10Kwa
maana hata tulipokuwa pamoja nanyi, tuliwapa
amri ili kwamba: ‘‘Mtu ye yote asiyetaka kufanya
kazi, wala asile.’’
11Kwa kuwa tunasikia kwamba baadhi ya
watu miongoni mwenu ni wavivu. Hawafanyi
kazi bali hujishughulisha na mambo ya wengine.
12Basi watu kama hao tunawaagiza na
kuwaonya katika Jina la Bwana Yesu Kristo
wafanye kazi kwa utulivu na kujipatia mahitaji ya
maisha yao wao wenyewe. 13Kwa upande
wenu, ndugu, ninyi kamwe msichoke katika
kutenda mema.
14Ikiwa mtu ye yote hayatii maagizo yetu
yaliyoko katika barua hii, mwangalieni sana mtu
huyo. Msishirikiane naye, ili kwamba apate
kuona aibu. 15Lakini msimhesabu kuwa adui,
bali mwonyeni kama ndugu.

Salamu Za Mwisho
16Basi, Bwana wa amani mwenyewe
awapeni amani nyakati zote na kwa kila njia.
Bwana awe nanyi nyote.
17Mimi, Paulo, ninaandika salamu hizi kwa
mkono wangu mwenyewe. Hii ndio alama ya
utambulisho katika barua zangu zote. Hivi
ndivyo niandikavyo.
18 Neema ya Bwana wetu Yesu Kristo iwe
nanyi nyote. Amen.

3
1TIMOTHEO
Utangulizi
Waraka wa Kwanza, wa Pili kwa Timotheo na wa Tito kwa kawaida hutambuliwa kama nyaraka za Kichungaji
zilizoandikwa na Paulo. Paulo aliandika waraka huu karibu na kufa kwake. Alimwandikia Timotheo msaidizi wake,
ambaye alikuwa amemwacha huko Efeso kusahihisha matatizo kadhaa katika kanisa hilo. Wakati huu kulikuwa
na matatizo kuhusu mafundisho ya Kikristo, mwenendo wa kanisa, uongozi wa kanisa na mambo kadha wa
kadha kuhusu mwenendo uwapasao waamini. Paulo aliandika ili kumpa Timotheo maagizo kuhusu mambo haya
kusudi kanisa lifanye kazi yake vema. Aliandika pia kumtia moyo Timotheo asichoke katika maisha yake ya
kikristo, bali aishi maisha ya ukamilifu kwa utukufu wa Mungu. Pia anatoa masharti maalumu kuhusu viongozi wa
kanisa. Muda mfupi tu baada ya hili alikamatwa na kurudishwa tena Rumi kama mfungwa, ambako ndiko
alikoandikia Waraka wa pili kwa Timotheo.
Timotheo alizaliwa huko Listra akiwa na baba Myunani na mama Myahudi (ambaye alimfundisha Maandiko
tangu utoto). Paulo alipofika Listra katika safari yake ya pili ya kitume (Mdo.16:1-3), alimchagua Timotheo
ambaye alishirikiana na Paulo hadi mwisho wa huduma yake. Timotheo mwenyewe alifungwa lakini hatimaye
aliachiwa huru (Ebr.13:23).
Waraka wa kwanza kwa Timotheo uko katika mfumo wa mazungumzo ambayo ni ya kibinafsi sana. Paulo
anamwelekeza Timotheo kuhusu sifa na wajibu wa viongozi mbalimbali katika kanisa.Pia anatoa mwongozo kwa
Timotheo katika wajibu wake wa kichungaji, akimwagaliza majukumu, pamoja na yale yampasayo kama “ mtu wa
Mungu”(6:11)

Wazo kuu
Jambo kuu katika waraka huu ni umuhimu wa kuwa na imani sahihi, mwenendo mnyofu na uadilifu. Paulo
anakazia kwamba waamini inawapasa kuifahamu kweli na kuitetea dhidi ya mafundisho ya uongo
yanayojitokeza. Pia hawana budi kuishi maisha yanayofanana ya mafundisho hayo ili Shetani asipate nafasi
kuwateka watu wa Mungu. Kadhalika anatia mkazo umuhimu wa kuwa na viongozi wa kanisa waliojitoa, wenye
sifa zote na pia wenye moyo safi.

Tarehe
Nyaraka hizi ziliandikwa baada ya kifungo cha kwanza cha Paulo huko Rumi ambacho kinandikwa kwenye
kitabu cha Matendo (Mdo.28), huenda kati ya 63 – 65 B.K. Kwa kuwa vitabu vya Agano Jipya havitoi habari za
mfululizo za muendelezo wa Ukristo baada ya wakati huu, nukuu za Nyaraka hizi za Kichungaji zinatoa msingi
kwa ajili ya kufuatilia mwenendo wa Paulo. Huenda Paulo aliachiwa kati ya 60 au 61 B.K. na kuyatembelea tena
makanisa ya Asia. Akiwa njiani kwenda Makedonia, Paulo alimwacha Timotheo huko Efeso (1:3). Paulo alielekea
Krete, ambako alihudumu kwa muda mfupi, kisha akawaacha waamini chini ya uongozi wa Tito (Tit.1:5) wakati
yeye akielekea Dalmatia.

Mahali
Waraka wa kwanza kwa Timotheo huko Efeso na ule wa Tito huko Krete zimeandikwa na Paulo akiwa
safarini, huenda akiwa Makedonia.

Mgawanyo
• Maonyo kuhusu mafundisho ya uongo (1:1-20)
• Mafundisho kuhusu maombi (2:1-15)
• Sifa zinazowapasa waangalizi na wazee wa kanisa (3:1-16)
• Maonyo na huduma (4:1- 5:25)
• Huduma ya kikristo na maagizo kwa Timotheo (6:1-21)

1
1TIMOTHEO
kukubalika, usemao kwamba: Kristo Yesu
Salamu alikuja ulimwenguni kuokoa wenye dhambi,
1 Paulo, mtume wa Kristo Yesu kwa amri ya
ambao mimi ndiye niliye mbaya kuliko wote.
16Lakini kwa sababu hiyo nilipata rehema, ili
Mungu Mwokozi wetu na ya Kristo Yesu
tumaini letu. kwamba katika mimi niliyekuwa mwenye
dhambi kuliko wote, Kristo Yesu apate
2Kwa Timotheo, mwanangu mwaminifu kuonyesha uvumilivu wake usio na kikomo,
katika imani: niwe kielelezo kwa wale watakaomwamini
wapate uzima wa milele. 17Basi, Mfalme wa
Neema, rehema na amani kutoka kwa milele, asiye na mwisho, asiyeonekana, aliye
Mungu Baba na kwa Kristo Yesu Bwana wetu. Mungu pekee, apewe heshima na utukufu
milele na milele. Amen.
Maonyo Dhidi Ya Walimu Wa Uongo 18Mwanangu Timotheo, ninakupa agizo hili,
3Kama nilivyokusihi kuendelea kubaki kwa kadiri ya maneno ya unabii yaliyosemwa
Efeso, wakati nilipokwenda Makedonia, ili kukuhusu, ili kwa kuyafuata upate kupigana vile
kwamba upate kuwaagiza watu wasiendelee vita vizuri, 19ukiishikilia imani na dhamiri njema
kufundisha mafundisho ya uongo 4wala wasitoe ambayo wengine wamevikataa na hivyo,
muda wao kwa hadithi za kubuniwa na orodha wakaangamia kwa habari ya imani yao.
zisizo na mwisho za majina ya vizazi ambazo 20Miongoni mwao wako Himenayo na
huchochea mabishano badala ya mpango wa Aleksanda, ambao nimemkabidhi Shetani ili
kimungu utokanao na imani. 5Kusudi la maagizo wafundishwe wasije wakakufuru.
haya ni upendo, utokao katika moyo safi,
dhamiri njema na imani ya kweli. 6Watu wengine Maagizo Kuhusu Kuabudu
wamepotoka kutoka katika haya na kugeukia
majadiliano yasiyo na maana kwa kuwa, 2 Awali ya yote, nasihi, kwanza kabisa,
7wanataka kuwa walimu wa sheria, lakini naagiza kwamba dua, sala, maombezi na shukrani
zifanyike kwa ajili ya watu wote: 2kwa ajili ya
hawajui mambo yale wanayosema wala hayo wafalme na wale wote wenye mamlaka, ili tupate
wanayoyatumainia kwa uthabiti. kuishi kwa amani na utulivu, katika uchaji wote wa
8Tunajua kwamba sheria ni njema ikiwa
Mungu na utakatifu. 3Jambo hili ni jema tena
inatumika kwa halali kama ilivyokusudiwa. linapendeza machoni pa Mungu Mwokozi wetu
9Lakini tunajua ya kuwa sheria si kwa ajili ya 4anayetaka watu wote waokolewe na wafikie

wenye haki, bali kwa ajili ya wavunja sheria na kuijua kweli. 5 Kwa maana kuna Mungu mmoja na
waasi, kwa ajili ya wasiomcha Mungu na wenye mpatanishi mmoja kati ya Mungu na wanadamu,
dhambi, wasio watakatifu na wanaokufuru, kwa yaani, mwanadamu Kristo Yesu, 6aliyejitoa
wale wawauao baba zao au mama zao, kwa mwenyewe kuwa ukombozi kwa ajili ya
wanadamu wote, jambo hili lilishuhudiwa kwa
wauaji, 10kwa wazinzi, walawiti, wauza watu,
wakati wake. 7Nami kwa kusudi hili nimewekwa
kwa waongo, waapao kwa uongo na cho chote niwe mhubiri na mtume, (nasema kweli katika
kingine kilicho kinyume na mafundisho ya kweli, Kristo wala sisemi uwongo,) mwalimu wa watu
11ambayo yanakubaliana na Injili ya utukufu wa Mataifa katika imani
Mungu anayehimidiwa, ambayo mimi Paulo na kweli.
nimewekea amana. 8Nataka kila mahali wanaume wasali
wakiinua mikono mitakatifu pasipo hasira wala
Neema Ya Mungu Kwa Paulo kugombana.
12Namshukuru Kristo Yesu Bwana wetu, 9Vivyo hivyo nataka wanawake wajipambe
aliyenitia nguvu, kwa sababu aliniona kwa adabu na kwa heshima katika mavazi
mwaminifu, akaniteua kwa kazi yake. 13 Ingawa yanayostahili, si kwa kusuka nywele, kuvalia
wakati fulani nilikuwa mwenye kukufuru, mtesaji dhahabu, lulu au mavazi ya gharama kubwa,
na mwenye jeuri. Lakini nilipata rehema kwa 10bali kwa matendo mazuri kama iwapasavyo
sababu nilitenda hivyo kwa kutokujua na wanawake wanaokiri kuwa wanamcha Mungu.
kutokuamini kwangu. 14Neema ya Bwana wetu 11Mwanamke na ajifunze kwa utulivu na
ilimiminwa juu yangu kwa wingi, ikiambatana na kwa utii wote. 12Simpi mwanamke ruhusa ya
imani na upendo ulio katika Kristo Yesu. kufundisha au kuwa na mamlaka juu ya
15Msemo huu ni wa kweli na unaostahili

2
1TIMOTHEO
mwanaume. Mwanamke inampasa kukaa hai, lililo nguzo na msingi wa kweli. 16Bila shaka
kimya. 13Kwa maana Adamu aliumbwa kwanza, yo yote, siri ya utauwa ni kubwa:
kisha Eva. 14Wala si Adamu aliyedanganywa,
bali ni mwanamke aliyedanganywa akawa Alidhihirishwa katika mwili wa kibinadamu,
mkosaji. 15Lakini mwanamke ataokolewa kwa alithibitishwa kuwa na haki katika Roho,
kuzaa kwake kama wakiendelea kudumu katika akaonekana na malaika,
imani, upendo na utakatifu, pamoja na kuwa na akahubiriwa miongoni mwa
kiasi. mataifa, akaaminiwa ulimwenguni,
akachukuliwa juu katika utukufu.
Sifa Za Waangalizi

3 Hili ni neno kweli, kwamba mtu akitamani Maagizo Kwa Timotheo

kazi ya askofu, atamani kazi nzuri. 2Basi, 4 Roho asema waziwazi kwamba katika siku
imempasa askofu awe mtu asiye na lawama, za mwisho baadhi ya watu wataiacha imani
mume wa mke mmoja, mwenye kiasi, na kufuata roho zidanganyazo na mafundisho
anayejitawala, anayeheshimika, mkarimu, ya mashetani. 2Mafundisho kama hayo huja kwa
ajuaye kufundisha. 3Asiwe mlevi, wala mkali kupitia kwa waongo ambao ni wanafiki hali
bali awe mpole, asiwe mgomvi wala mpenda dhamiri zao zikiungua kwa kuchomwa na moto.
3Wao huwakataza watu wasioe na kuwaagiza
fedha. 4Lazima aweze kuisimamia nyumba
yake mwenyewe vizuri na kuhakikisha kwamba wajiepushe na vyakula fulani, ambavyo Mungu
watoto wake wanamtii na kuwa na heshima kwa aliviumba ili vipokewe kwa shukrani na wale
kila njia. 5 (Kwa maana kama mtu hajui jinsi ya wanaoamini na kuijua kweli. 4Kwa maana kila
kusimamia nyumba yake mwenyewe atawezaje kitu alichokiumba Mungu ni chema, wala hakuna
kitu cho chote cha kukataliwa kama kikipokewa
kuliangalia kanisa la Mungu?) 6Asiwe mtu
aliyeongoka karibuni asije akajivuna na kwa shukrani, 5kwa sababu kimetakaswa kwa
kuangukia kwenye hukumu ile ile ya Shetani. neno la Mungu
7Inampasa pia awe na sifa njema kwa watu na kwa kuomba.
walio nje, ili asije akalaumiwa na kuanguka
kwenye mtego wa ibilisi. Mtumishi Mwema Wa Yesu Kristo
6Kama ukiwakumbusha ndugu mambo
Sifa Za Mashemasi haya, utakuwa mtumishi mwema wa Kristo
8Vivyo hivyo, mashemasi nao wawe watu Yesu, uliyelelewa katika kweli ya imani na yale
wanaostahili heshima, wasiwe wenye kauli mbili mafundisho mazuri uliyoyafuata.
au wenye kujifurahisha kwa mvinyo, wala 7Usijishughulishe kamwe na hadithi za kipagani

wanaotamani faida isiyo halali. 9Inawapasa na masimulizi ya uongo ya wanawake wazee,


kushikamana sana na ile siri ya imani kwa badala yake, jizoeze kuwa mtauwa. 8Kwa
dhamiri safi. 10Ni lazima wapimwe kwanza, maana mazoezi ya mwili yanafaida kwa
kisha kama hakuna neno dhidi yao, basi na sehemu, lakini utauwa una faida katika mambo
waruhusiwe kuhudumu kama mashemasi. yote, yaani, unayo ahadi ya uzima wa sasa na
11Vivyo hivyo wake zao wawe wanawake ya ule ujao.
9Hili ni neno la kuaminiwa tena lastahili
wanaostahili heshima, wasiozungumza maneno
ya kuwadhuru wengine, bali wawe na kiasi na kukubaliwa kabisa, 10(nasi kwa ajili ya hili
waaminifu katika kila jambo. tunajitaabisha na kujitahidi), kwamba tumeweka
12Shemasi awe mume wa mke mmoja na tumaini letu kwa Mungu aliye hai, ambaye ni
inampasa aweze kusimamia watoto wake na Mwokozi wa watu wote, hasa wale waaminio.
11Mambo haya yaagize na kuyafundisha.
watu wa nyumbani mwake vema. 13Wale 12Mtu ye yote asikudharau kwa kuwa wewe ni
ambao wamehudumu vema katika huduma ya
ushemasi hujipatia msimamo bora na ujasiri kijana, bali uwe kielelezo kizuri kwa waaminio
mkubwa katika imani yao ndani ya Kristo Yesu. katika usemi, mwenendo, upendo, imani na
14Ingawa ninatarajia kuja kwako hivi usafi. 13Fanya bidii kusoma Maandiko
karibuni, ninakuandikia maagizo haya sasa ili hadharani, kuhubiri na kufundisha, mpaka
kwamba, 15kama nikikawia, utajua jinsi nitakapokuja. 14Usiache kutumia kipawa kilicho
iwapasavyo watu kuenenda katika nyumba ya ndani yako, ambacho ulipewa kwa neno la
Mungu, ambayo ndiyo kanisa la Mungu aliye unabii wakati wazee walipokuwekea mikono.

3
1TIMOTHEO
15Uwe na bidii katika mambo haya, jitolee wasimamie nyumba zao, wasije wakampa adui
kwa ajili ya mambo hayo kikamilifu, ili kila mtu nafasi ya kutushutumu. 15Kwa maana kwa kweli
aone kuendelea kwako. 16Jilinde sana nafsi wajane wengine wamepotoka ili kumfuata
yako na mafundisho yako. Dumu katika hayo, Shetani.
kwa maana kwa kufanya hivyo utajiokoa wewe 16Lakini kama mwanamke ye yote aaminiye
mwenyewe pamoja na wale wanaokusikia. anao wajane katika jamaa yake, inampasa
awasaidie wala si kuwaacha wakililemea
Maagizo Kuhusu Wajane, Wazee Na kanisa, ili kanisa liweze kuwasaidia wale ambao
Watumwa ni wajane kweli kweli.
5 Usimkemee mzee kwa ukali bali umwonye kama
Wazee Wa Kanisa
vile angekuwa ni baba yako.
Uwatendee vijana kama vile ndugu zako, 17Wazee wa kanisa wanaoongoza shughuli
2wanawake wazee uwatendee kama mama za kanisa vizuri wanastahili heshima mara mbili,
zako na wanawake vijana kama dada zako, hasa wale ambao kazi yao ni kuhubiri na
katika usafi wote. kufundisha. 18Kwa maana Maandiko husema,
3Waheshimu wanawake wajane ambao ni “Usimfunge ng’ombe kinywa apurapo nafaka,”
wajane kweli kweli. 4Kama mjane ana watoto tena, “Mfanyakazi anastahili mshahara wake.”
19Usiendekeze mashtaka dhidi ya mzee ila yawe
ama wajukuu, hawa inawapasa awali ya yote
wajifunze kutimiza wajibu wao wa kumcha yameletwa na mashahidi wawili au watatu. 20Wale
Mungu katika matendo, kuwatunza wale wa wanaodumu katika dhambi uwakemee hadharani,
jamaa zao wenyewe ili wawarudishie wema ule ili wengine wapate kuogopa.
wazazi wao waliowatendea, kwa kuwa hivi 21 Ninakuagiza mbele za Mungu na mbele za
ndivyo impendazavyo Mungu. 5Mwanamke Kristo Yesu na mbele za malaika wateule, shika
ambaye ni mjane kweli kweli, yaani, yeye maagizo haya pasipo ubaguzi wala upendeleo.
aliyebaki peke yake huweka tumaini lake kwa 22Usiwe na haraka kumwekea mtu mikono
Mungu naye hudumu katika maombi usiku na wala usishiriki dhambi za watu wengine. Jilinde
mchana akimwomba Mungu ili amsaidie. 6Lakini nafsi yako uwe safi.
mjane aishiye kwa anasa, amekufa, ingawa 23Acha kunywa maji peke yake, tumia divai
anaishi. 7Wape watu maagizo haya pia, ili kidogo kwa sababu ya tumbo lako na maumivu
asiwepo ye yote wa kulaumiwa. 8Kama mtu yako ya mara kwa mara.
hawatunzi wale wa jamaa yake, hasa wale wa 24Dhambi za watu wengine ni dhahiri nazo
nyumbani mwake mwenyewe, ameikana imani, zinawatangulia kwenda hukumuni na dhambi za
tena ni mbaya kuliko yeye asiyeamini. watu wengine zinawafuata nyuma yao. 25Vivyo
9Mjane ye yote asiwekwe kwenye orodha ya hivyo, matendo mema yako dhahiri na hata yale
wajane isipokuwa awe ametimiza umri wa miaka ambayo si mema hayawezi kufichika.
sitini na ambaye alikuwa mke wa mume mmoja,
10awe ameshuhudiwa kwa matendo yake Watumwa
mema, aliyewalea watoto wake vizuri, aliye
mkarimu, aliyewanawisha watakatifu miguu,
6 Wale wote walio chini ya kongwa la
utumwa inawapasa kuwahesabu mabwana
aliyewasaidia wenye shida na aliyejitolea kwa zao kuwa wanastahili heshima yote, ili jina la
ajili ya matendo mema ya kila namna. Mungu lisitukanwe wala mafundisho yetu. 2Wale
11Lakini kwa habari za wajane vijana watumwa ambao wana mabwana waaminio,
usiwaweke kwenye orodha hiyo, maana tamaa haiwapasi kupunguza heshima yao kwa sababu
wao ni ndugu, badala yake, wawatumikie hata
zao za kimaumbile zikizidi kule kujitoa kwao kwa vizuri zaidi, kwa sababu wale wanaonufaika na
Kristo, watataka kuolewa tena. 12Nao kwa njia huduma yao ni waaminio,
hiyo watajiletea hukumu kwa kukiuka ahadi yao ambao ni wapenzi wao.
ya kwanza. 13 Zaidi ya hayo, wajane kama hao
huwa na tabia ya uvivu wakizurura nyumba kwa Mafundisho Ya Uongo Na Utajiri Wa Kweli
nyumba, wala hawawi wavivu tu, bali pia huwa 3Ikiwamtu ye yote atafundisha mafundisho
wasengenyaji, wajiingizao katika mambo mapotofu wala hakubaliani na mafundisho
yasiyowahusu na kusema mambo manyofu ya Bwana wetu Yesu Kristo na yale ya
yasiyowapasa kusema. 14 Hivyo nawashauri utauwa, huyo amejivuna wala hajui kitu cho
wajane vijana waolewe, wazae watoto na
4
1TIMOTHEO
chote. 4Yeye ni mgonjwa aliyejaa tamaa ya watajipatia uzima, yaani, ule uzima ambao ni wa
mabishano na ugomvi ambayo matokeo yake ni kweli.
wivu na mapigano, maneno ya ukorofi, shuku
mbaya 5na kuzozana kusikokoma kati ya watu Maelekezo Ya Binafsi Na Maombi Ya Baraka
walioharibika akili zao, walioikosa kweli na 20Timotheo, linda kile kilichowekwa amana
ambao hudhani kwamba utauwa ni njia ya kwako. Epuka majadiliano yasiyo ya utauwa na
kupata faida. mabishano ambayo kwa uongo huitwa elimu,
6Lakini utauwa na kuridhika ni faida kubwa. 21ambayo wengine kwa kujidai kuwa nayo
7Kwa kuwa hatukuja humu duniani na kitu cho wameiacha imani.
chote, wala hatuwezi kutoka humu na kitu. Neema iwe nanyi. Amen.
8Lakini kama tuna chakula na mavazi,

tutaridhika navyo. 9Lakini wale watu


wanaotamani kuwa na mali kwa haraka haraka
huanguka kwenye majaribu na wamenaswa na
tamaa nyingi za kipumbavu, zenye kudhuru,
zinazowazamisha watu katika uharibifu na
maangamizi. 10Kwa maana kupenda fedha
ndiyo shina moja la maovu ya kila namna.
Baadhi ya watu wakitamani fedha, wameiacha
amani na kujichoma wenyewe kwa maumivu
mengi.

Vitu Vizuri Vya Imani


11Lakini wewe, mtu wa Mungu, yakimbie
mambo haya yote. Fuata haki, utauwa, imani,
upendo, saburi na upole. 12Pigana vile vita
vizuri vya imani. Shika uzima wa milele ambao
ndio ulioitiwa ulipokiri ule ukiri mzuri mbele ya
mashahidi wengi. 13Nakuagiza mbele za Mungu
avipaye vitu vyote uhai na mbele za Kristo Yesu
ambaye alipokuwa anashuhudia mbele ya
Pontio Pilato alikiri ukiri mzuri, 14uishike amri hii
bila dosari wala lawama mpaka kuja kwake
Bwana wetu Yesu Kristo, 15ambaye Mungu
atamleta kwa wakati wake mwenyewe, Yeye
ahimidiwaye, aliye peke yake Mtawala, Mfalme
wa wafalme na Bwana wa mabwana. 16Yeye
peke yake hapatikani na mauti, ambaye anakaa
katika nuru isiyoweza kukaribiwa, ambaye
hakuna mwanadamu aliyemwona wala awezaye
kumwona. Heshima na uweza una Yeye milele.
Amen.
17Waagize wale ambao ni matajiri wa
ulimwengu huu waache kujivuna, wala
wasiweke tumaini lao katika mali ambayo si ya
hakika, bali waweke tumaini lao katika Mungu
ambaye hutupatia vitu vyote kwa wingi ili
tuvifurahie. 18Waagize watende mema, wawe
matajiri katika matendo mema, pia wawe
wakarimu na walio tayari kushiriki mali zao na
wengine. 19 Kwa njia hii watajiwekea hazina
kama msingi kwa ajili ya wakati ujao na hivyo
5
2Timotheo
Utangulizi
Paulo alikuwa amefungwa tena huko Rumi chini ya utawala wa Nero. Pengine huu ulikuwa waraka wa
mwisho kabisa wa Paulo. Baada ya kuandika waraka wake wa kwanza kwa Timotheo msaidizi wake, huenda
akiwa Makedonia, inaelekea Paulo alikamatwa aidha akiwa Troa au Nikopili (Tit.3:12) na kurudishwa gerezani
huko Rumi.
Katika waraka huu inakuwa kama vile Paulo anahisi fursa zake za kuhubiri Injili zinakaribia kikomo (4:6 – 8).
Ndani ya waraka huu wa binafsi Paulo anaeleza hisia zake za ndani kabisa. Anamkumbusha Timotheo kwamba
hata kama maisha yake hapa duniani yatakoma, Mungu alikuwa amemwandalia maisha ya milele (1:10-12).
Paulo pia anakumbusha juu ya uaminifu wa Mungu ambaye amemwongoza katika maisha yake yote. Anagusia
juu ya nyakati za hatari ambazo zingekuja, siku za taabu ambazo watu wataiacha kweli na kupenda anasa kuliko
kummpenda Mungu(3:1-8).
Wakati huu Paulo alikuwa mpweke na alitamani sana Timotheo aje aungane naye (4:9, 21). Anajitahidi
kumtia Timotheo moyo na kumwimarisha kwa ajili ya kazi kubwa aliyokabidhiwa. Paulo anatamani kumwona
Timotheo tena, akimwomba amletee vile vitabu vya ngozi alivyokuwa ameviacha Troa.
Anamwagiza Timotheo asimame imara katika mateso yajayo na kuilinda imani iliyo nyofu.

Wazo kuu
Barua hii inazungumzia hasa kuhusu uweza wa Mungu juu ya vitu vyote. Ingawa mateso yanakuja na
yataendelea kuongezeka, Mungu anatawala. Kwa hiyo wote wamwaminio haiwapasi kuogopa kitu cho chote.
Paulo anatoa ushuhuda wa imani yake, akieleza jinsi alivyopigana vita kwa ajili ya kweli na jinsi atakavyopewa
thawabu siku ya mwisho (4:6-8).
Tarehe
Waraka huu uliandikwa kati ya 66 – 67 B.K. wakati wa utawala wa Nero.

Mahali
Rumi.

Mgawanyo
• Shukrani za Paulo kwa ajili ya Timotheo (1:1-5)
• Maagizo ya Paulo kwa Timotheo (1:6-2:2)
• Sifa za mtumishi mwaminifu (2:3-26 )
• Mateso yajayo (3:1-17)
• Maneno ya mwisho(4:1-22).

1
2Timotheo
16Bwana akawahurumie watu wa nyumbani
Salamu mwa Onesiforo, kwa sababu aliniburudisha
1 Paulo mtume wa Kristo Yesu kwa mapenzi ya mara kwa mara wala hakuonea aibu minyororo
Mungu, kulingana na ile ahadi yangu. 17Badala yake, alipokuwa Rumi,
ya uzima uliomo ndani ya Kristo Yesu. alinitafuta kwa bidii mpaka akanipata. 18Bwana
na amjalie kupata rehema kutoka kwa Bwana
2Kwa Timotheo, mwanangu mpendwa: siku ile! Nawe unajua vema jinsi alivyonisaidia
huko Efeso.
Neema, rehema na amani kutoka kwa
Mungu Baba na kwa Kristo Yesu Bwana wetu. Askari Mwema Wa Kristo Yesu

Shukrani Na Kutiwa Moyo 2 Basi, wewe mwanangu, uwe hodari katika


3Ninamshukuru Mungu, ninayemtumikia neema iliyo ndani ya Kristo Yesu. 2Nayo
mambo yale uliyonisikia nikiyasema mbele ya
kwa dhamiri safi, kama walivyofanya baba mashahidi wengi, uwakabidhi watu waaminifu
zangu, ninapokukumbuka usiku na mchana watakaoweza kuwafundisha watu wengine vile
katika maombi yangu. 4Nikiyakumbuka machozi vile. 3Vumilia taabu pamoja nasi kama askari
yako, ninatamani sana kukuona ili nipate kujawa mwema wa Kristo Yesu. 4Hakuna askari ye yote
na furaha. 5Nimekuwa nikiikumbuka imani yako ambaye akiwa vitani hujishughulisha na mambo
ya kweli, waliokuwa nayo bibi yako Loisi na ya kawaida ya maisha haya kwa sababu nia
mama yako Eunike na ambayo mimi nina sadiki yake ni kumpendeza yule aliyemwandika awe
sasa wewe nawe unayo. 6Kwa sababu hii askari. 5 Vivyo hivyo, yeye ashindanaye katika
michezo hawezi kupewa tuzo ya ushindi
nakukumbusha uchochee ile karama ya Mungu, asiposhindana kulingana na kanuni za
iliyowekwa ndani yako nilipokuwekea mikono
mashindano.6Mkulima mwenye bidii ya kazi
yangu. 7Maana Mungu hakutupa roho ya woga, ndiye anayestahili kuwa wa kwanza kupata
bali roho ya nguvu, ya upendo na ya moyo wa fungu la mavuno.7Fikiri sana kuhusu haya
kiasi. nisemayo, kwa maana Mungu atakupa ufahamu
8Kwa hiyo usione haya kushuhudia kuhusu
katika mambo hayo yote.
Bwana wetu, wala usinionee haya mimi niliye 8Mkumbuke Yesu Kristo, aliyefufuka kutoka
mfungwa kwa ajili Yake, bali uishiriki pamoja kwa wafu, Yeye aliye wa uzao wa Daudi. Hii
nami taabu ya Injili kwa kadiri ya nguvu ya
ndiyo Injili yangu, 9ambayo kwayo ninateseka
Mungu, 9ambaye alituokoa na kutuita katika hata kufikia hatua ya kufungwa minyororo kama
mwito mtakatifu, si kwa kadiri ya matendo yetu
mhalifu. Lakini neno la Mungu halifungwi. 10Kwa
mema bali kwa sababu ya kusudi Lake
mwenyewe na neema Yake. Neema hii tulipewa hiyo ninavumilia mambo yote kwa ajili ya
katika Kristo Yesu kabla ya kuwako kwa wateule wa Mungu, kusudi wao nao wapate
wokovu ulio katika Kristo Yesu, pamoja na
ulimwengu. 10Lakini sasa imefunuliwa kwa utukufu wa milele.
kudhihirishwa Kwake Mwokozi wetu, Kristo 11Hili ni neno la kuaminiwa:
Yesu, ambaye amebatilisha mauti na kuleta
uzima na kutokufa kwa njia ya Injili. 11Nami Kwa maana kama tumekufa pamoja naye,
nimewekwa kuwa mhubiri, mtume na mwalimu tutaishi pia pamoja naye.
wa Injili hii. 12Hii ndiyo sababu ninateseka 12Kama tukistahimili,
namna hii, lakini sioni haya kwa maana pia tutatawala pamoja
ninamjua Yeye niliyemwamini na kusadiki ya naye. Kama tukimkana Yeye,
kuwa anaweza kukilinda kile nilichokiweka naye atatukana sisi.
amana Kwake hadi siku ile. 13Kama tusipoamini,
13Shika kwa uthabiti kielelezo cha
Yeye hudumu kuwa mwaminifu, kwa
mafundisho yenye uzima yale uliyoyasikia maana hawezi kujikana mwenyewe.
kwangu pamoja na imani na upendo katika
Kristo Yesu. 14Ilinde ile amana uliyokabidhiwa Mfanyakazi Aliyekubaliwa na Mungu
kwa Roho Mtakatifu akaaye ndani yetu. 14Endelea
15Unajua ya kuwa watu wote katika Asia
kuwakumbusha mambo haya
ukiwaonya mbele za Bwana waache
wameniacha, miongoni mwao wamo Filego na kushindana kwa maneno ambayo hayana faida
Hermogene.
2
2Timotheo
yo yote bali huwaangamiza tu wale wanaoyasikia. Mungu. Jiepushe na watu wa namna hiyo.
15Jitahidi kujionyesha kwa Mungu kuwa 6Miongoni mwao wamo wale wajiingizao
umekubaliwa na Yeye, mtenda kazi asiye na katika nyumba za watu na kuwachukua mateka
sababu ya kuona aibu, ukilitumia kwa usahihi wanawake wajinga, waliolemewa na dhambi
neno la kweli. 16Jiepushe na maneno mabaya, zao na kuyumbishwa na aina zote za tamaa
yasiyo na maana, yasiyo ya utauwa, kwa maana mbaya. 7 Wakijifunza sikuzote lakini kamwe
hayo huzidi kuwatosa watu katika kukosa heshima wasiweze kufikia ujuzi wa kweli. 8Kama vile
kwa Mungu. 17Mafundisho yao yataenea kama Yane na Yambre walivyopingana na Mose,
kidonda kinachooza. Miongoni mwao wamo vivyo hivyo watu hawa hupingana na ile kweli.
Himenayo na Fileto 18ambao wameiacha kweli, Hawa ni watu wenye akili zilizopotoka, ambao
wakisema kwamba ufufuo wa wafu umekwisha wamekataliwa kwa mambo ya imani. 9Lakini
kuwako na kupotosha baadhi ya watu. 19Lakini hawataendelea sana, kwa sababu upumbavu
msingi wa Mungu ulio mathubuti umesimama wao utakuwa dhahiri kwa watu wote, kama
ukiwa na muhuri wenye maandishi haya: ‘‘Bwana ulivyokuwa dhahiri upumbavu wa hao watu
anawajua walio wake’’ tena, ‘‘Kila alitajaye jina la wawili.
Bwana auche uovu.’’
20Katika nyumba kubwa kuna vyombo si Paulo Amwagiza Timotheo
vya dhahabu na fedha tu, bali pia vimo vyombo 10Lakini wewe umeyajua mafundisho yangu,
vya miti na vya udongo, vingine kwa matumizi mwenendo, makusudi, imani, uvumilivu, upendo,
maalum na vingine kwa matumizi ya kawaida. ustahimilivu, 11mateso na taabu. Yaani, yale
21Basi ikiwa mtu amejitakasa na kujitenga na mambo yote yaliyonipata huko Antiokia, Ikonio na
hayo niliyoyataja, atakuwa chombo maalum, Listra, mateso yote niliyostahimili, lakini Bwana
kilichotengwa na ambacho kinamfaa mwenye aliniokoa katika hayo yote. 12Naam, ye yote
nyumba, kikiwa tayari kwa kila kazi njema. anayetaka kuishi maisha ya utauwa ndani ya
22Zikimbie tamaa mbaya za ujana, ufuate
Kristo Yesu atateswa. 13Lakini watu waovu na
haki, imani, upendo na amani pamoja na wale wadanganyaji watazidi kuwa waovu,
wamwitao Bwana kwa moyo safi. 23Jiepushe na wakidanganya na kudanganyika. 14Bali wewe,
mabishano ya kipumbavu na yasiyo na maana, udumu katika yale uliyojifunza na kuyaamini kwa
kwa kuwa wajua ya kwamba hayo huzaa uthabiti, ukitambua ya kuwa ulijifunza hayo kutoka
magomvi. 24Tena haimpasi mtumishi wa Bwana kwa nani 15na jinsi ambavyo tangu utoto
kuwa mgomvi, bali inampasa awe mwema kwa umeyajua Maandiko matakatifu, ambayo
kila mtu, awezaye kufundisha, tena mvumilivu. yanaweza kukuhekimisha upate wokovu kwa njia
25Inampasa kuwaonya kwa upole wale ya imani katika Kristo Yesu. 16Kila andiko,
wanaopingana naye, kwa matumaini kwamba lililovuviwa na Mungu lafaa kwa mafundisho, kwa
Mungu atawajalia kutubu na kuijua kweli, 26ili kuwaonya watu makosa yao, kuwaongoza na
fahamu zao ziwarudie tena, nao waponyoke kuwafundisha katika haki 17ili mtu wa Mungu awe
katika mtego wa Shetani ambaye amewateka kamili, amekamilishwa apate kutenda kila kazi
wapate kufanya mapenzi yake. njema.

Hatari Za Siku Za Mwisho Maagizo Ya Mwisho


3 Lakini yakupasa ufahamu jambo hili,
kwamba siku za mwisho kutakuwa na nyakati
4 Nakuagiza mbele za Mungu na mbele za
Kristo Yesu, atakayewahukumu watu walio hai
za hatari. 2Kwa maana watu watakuwa wenye na waliokufa wakati wa kuja Kwake na ufalme
kujipenda wenyewe, wenye kupenda fedha, Wake kwamba: 2Uhubiri Neno, uwe tayari
wenye kujisifu, wenye kiburi, wenye wakati ufaao na wakati usiofaa, karipia, kemea
kumkufuru Mungu, wasiotii wazazi wao, wasio na kuonya kwa uvumilivu wote na kwa
na shukrani, wasio watakatifu, 3wasio na mafundisho mazuri.3Maana wakati utakuja watu
upendo, wasiopenda kupatanishwa, watakapokataa kuyakubali mafundisho yenye
wasingiziaji, wasiozuia tamaa zao, wakatili, uzima, badala yake, ili kutimiza tamaa zao
wasiopenda mema, 4wasaliti, wakaidi, waliojaa wenyewe watajikusanyia idadi kubwa ya walimu
majivuno, wapendao anasa zaidi kuliko wapate kuwaambia yale ambayo masikio yao
kumpenda Mungu. 5Wakiwa na mfano wa yanayowasha yanatamani kuyasikia.
utauwa kwa nje lakini wakizikana nguvu za 4Watakataa kusikiliza kweli na kuzigeukia

3
2Timotheo
hadithi za uongo. 5Kwa habari yako wewe,
vumilia mateso, fanya kazi ya mhubiri wa Injili,
timiza wajibu wote wa huduma yako.
6Kwa maana mimi sasa ni tayari kumiminwa
kama sadaka ya kinywaji, nayo saa yangu ya
kuondoka imetimia. 7Nimevipiga vita vizuri,
mashindano nimeyamaliza, imani nimelinda.
8Sasa nimewekewa taji ya haki ambayo Bwana,
mwamuzi wa haki, atanitunukia siku ile, wala si
mimi tu, bali pia wote ambao wamengoja kwa
shauku kuja Kwake.

Maombi Ya Binafsi
9Jitahidi kuja kwangu upesi 10kwa sababu
Dema, kwa kuupenda ulimwengu, ameniacha
na amekwenda Thesalonike. Kreske
amekwenda Galatia na Tito amekwenda
Dalmatia. 11Ni Luka peke yake ndiye aliye hapa
pamoja nami. Mtafute Marko uje naye kwa
sababu ananifaa sana katika huduma yangu.
12Nimemtuma Tikiko Efeso. 13Utakapokuja,
niletee lile joho nililoliacha kwa Karpo huko Troa
na vile vitabu vyangu, hasa vile vya ngozi.
14Aleksanda, yule mfua chuma alinitendea
ubaya mkubwa. Mungu atamlipa kwa ajili ya
yale aliyotenda. 15Wewe pia ujihadhari naye
kwa sababu aliyapinga sana maneno yetu.
16Katika utetezi wangu wa mara ya kwanza,
hakuna hata mmoja aliyeniunga mkono, bali kila
mmoja aliniacha. Namwomba Mungu
wasihesabiwe hatia kwa jambo hilo. Lakini 17
Bwana alisimama upande wangu akanitia
nguvu, ili kwa kunipitia mimi lile Neno lihubiriwe
kwa ukamilifu, watu wote Mataifa wapate
kulisikia. Mimi niliokolewa kutoka katika kinywa
cha simba. 18Bwana ataniokoa katika kila
shambulio baya na kunileta salama katika
Ufalme Wake wa mbinguni. Atukuzwe Yeye
milele na milele. Amen.

Salamu Za Mwisho
19Wasalimu Prisila, Akila na wote wa
nyumbani kwa Onesiforo. 20Erasto alibaki
Korintho. Nami nikamwacha Trofimo huko Mileto
akiwa mgonjwa. 21Jitahidi ufike huku kabla ya
majira ya baridi. Eubulo anakusalimu, vivyo
hivyo Pude, Lino, Klaudia na ndugu wote.
22Bwana awe pamoja na roho yako. Neema
iwe pamoja nanyi. Amen.

4
Tito

Utangulizi
Waraka huu aliandikiwa Tito mmoja wa wafuasi wa Paulo muda mfupi tu baada ya Paulo kumwachia wajibu
wa kuangalia na kuimarisha kanisa huko Krete. Tito alikuwa na wajibu wa kuwaweka wazee wa kanisa,
kuwasimika na kuwafundisha kushika misingi ya imani ya Kikristo. Inaonekana kwamba Paulo alikuwa Korintho
akiwa njiani kwenda Nikopoli huko Akaya (3:12).Waraka huu umeandikwa baada ya kuachiwa kutoka gerezani
Rumi mara ya kwanza, huenda kati ya 63B.K. na 65 B.K.
Waraka huu unaonyesha kuwa kanisa huko Krete halikuwa na mpangilio na kwamba lilikuwa na washirika
waliohitaji maelekezo mahsusi. Ilimbidi Paulo aeleze kwa kina kuhusu sifa za wazee wa kanisa na pia kutoa
mafundisho kadha wa kadha kwa waamini wengine pia. Katika mafundisho hayo, Paulo anagusia juu ya matatizo
yanayowapata watumishi wa Mungu na jinsi matatizo hayo yanavyoweza kutatuliwa.
Tito alikuwa mshirika wa Paulo kwa karibu muda wa miaka kumi na mitano.Akiwa mwongofu Mmataifa
kutoka Antiokia na kama mwamini asiyetahiriwa, alifuatana na Paulo na Barnaba kwenda kwenye baraza la
Yerusalemu (Gal.2:1-3 ). Aliendelea kusafiri na Paulo ( ona 2Kor.2:12 – 13:7;5 – 7:13-14; 8:3,16-17),hivyo Paulo
akawa amemwacha huko Krete.

Wazo Kuu
Mkazo wa barua hii ni kuhusu umuhimu wa kuishi maisha matakatifu katika Kristo katikati ya uovu ulioko
duniani. Ingawa katika maisha yetu duniani tunazungukwa na uovu na chuki, hatuna budi maisha yetu kuwa
kielelezo jinsi neema ya Mungu inavyotupatia ushindi. Maisha kama hayo yataleta matokeo mema. Paulo
anarudia mara kwa mara kusisitiza juu ya kudumisha matendo mema. Maneno matupu hayawezi kufanya lo lote,
inatubidi tuishi maisha yenye matendo mema.
Katika waraka huu, Mtume Paulo anakaribia sana kuweka ukiri wa imani katika uandishi wake wote.Vidokezo
muhimu vya MAFUNDISHO (THEOLOGIA) ya Agano Jipya vinaonekana katika waraka huu.

Mgawanyo
• Salamu (1:1-4)2
• Sifa za wazee wa kanisa (1:5-16) 3
• Maelezo ya jumla kuhusu waamini (2:1-15)4
• Maagizo kuhusu maisha yawapasayo wakristo (3:1-15).

1
Tito
wapate kuwa wazima katika imani, 14ili
Salamu wasiendelee kuangalia hadithi za Kiyahudi au
1 Paulo, mtumishi wa Mungu na mtume wa Yesu
maagizo ya wale watu wanaoikataa kweli.
15Kwa wale walio safi, kila kitu ni safi kwao.
Kristo kwa ajili ya imani ya wateule wa Mungu na
ujuzi wa kweli ile iletayo uchaji wa Lakini kwa wale waliopotoka na wasioamini,
Mungu, 2imani na ujuzi ulioko katika tumaini la hakuna cho chote kilicho safi. Kwa kweli nia zao
uzima wa milele ambao Mungu,asiyesema na dhamiri zao zimepotoka. 16Wanadai kumjua
uongo, aliahidi hata kabla ya kuwekwa misingi Mungu, lakini kwa matendo yao wanamkana.
ya ulimwengu, 3Naye kwa wakati Wake Hao watu ni chukizo, wasiotii, wasiofaa kwa
aliouweka alilidhihirisha neno Lake kwa njia ya jambo lo lote jema.
mahubiri ambayo mimi nimewekewa amana kwa
amri ya Mungu Mwokozi wetu. Fundisha Mafundisho Manyofu
Lakini kwa habari yako wewe, inakupasa
4Kwa Tito, mwanangu mwaminifu katika 2 kufundisha kulingana na mafundisho
imani tunayoshiriki sote. yenye uzima. 2Wafundishe wazee kuwa na
kiasi, wastahivu, wenye busara na wanyofu
Neema iwe kwako na amani itokayo kwa katika imani, upendo na saburi.
Mungu Baba na kwa Kristo Yesu Mwokozi wetu. 3Vivyo hivyo wafundishe wanawake wazee
kuwa na mwenendo wa unyenyekevu
unaostahili utakatifu, wala wasiwe wasingiziaji
Kazi Ya Tito Huko Krete
au walevi, bali wafundishe yale yaliyo mema, 4ili
5Sababu ya mimi kukuacha huko Krete ni ili waweze kuwafundisha wanawake vijana kuwa
uweke kwenye utaratibu mambo yale yaliyosalia na kiasi, wawapende waume zao na
na kuwaweka wazee wa kanisa katika kila mji, kuwapenda watoto wao, 5wawe waaminifu,
kama nilivyokuagiza. 6Mzee wa kanisa asiwe na watakatifu, wakitunza vema nyumba zao,
lawama, awe mume wa mke mmoja, mtu wema, watiifu kwa waume zao, ili mtu ye yote
ambaye watoto wake ni waaminio na wala asije akalikufuru neno la Mungu.
6Vivyo hivyo, sisitiza vijana kuwa na kiasi.
hawashtakiwi kwa ufisadi. 7Kwa kuwa askofu,
kama wakili wa Mungu, imempasa kuwa mtu 7Katika kila jambo wewe mwenyewe uwe
asiye na lawama, asiwe mwenye majivuno au kielelezo cha matendo mema na katika
mwepesi wa hasira, wala mlevi, wala asiwe mtu mafundisho yako uonyeshe unyofu, utaratibu,
mwenye tamaa ya mapato yasiyo ya halali. 8Bali ukweli 8 na maneno yenye uzima, yale ambayo
awe mkarimu, anayependa mema, mwenye hayawezi kulaumiwa, hata wale wenye
kiasi, mwenye haki, mwadilifu, mnyofu, kukupinga watahayari, wakose neno lo lote
mtakatifu na mwenye kuitawala nafsi yake. baya la kusema juu yetu.
9Inampasa alishike kwa uthabiti lile neno la 9Wafundishe watumwa kuwatii mabwana
imani kama lilivyofundishwa, kusudi aweze zao katika kila jambo, wakijitahidi kuwapendeza
kuwafundisha wengine kwa mafundisho wala wasijibizane nao, 10wala wasiwaibie, bali
manyofu na kuwakanusha wale wanaopingana watumwa waonyeshe kuwa wanaweza
nayo. kuaminika kabisa, ili kwamba kwa kila namna
wayafanye mafundisho ya Mungu Mwokozi
Walimu Wa Uongo wetu kuwa ya kupendeza.
10Kwa maana wako wengi wasiotii, wenye 11Kwa maana neema ya Mungu iwaokoayo
maneno yasiyo na maana, hasa wale wa kikundi wanadamu wote imefunuliwa. 12Nayo
cha tohara. 11Hao ni lazima wanyamazishwe, yatufundisha kukataa ubaya na tamaa za
kwa sababu wanaharibu watu wa nyumba nzima kidunia, ili tupate kuishi maisha ya kiasi, ya haki
wakifundisha mambo yasiyowapasa kufundisha. na ya kumcha Mungu, katika ulimwengu huu wa
Wanafanya hivyo kwa ajili ya kujipatia mapato sasa, huku 13tukilitazamia tumaini lenye baraka
ya udanganyifu. 12Hata mmojawapo wa manabii na ufunuo wa utukufu wa Mungu wetu Mkuu na
wao mwenyewe amesema: ‘‘Wakrete ni waongo Mwokozi wetu Yesu Kristo, 14Yeye ndiye
sikuzote, wanyama wabaya, walafi, wavivu.’’ aliyejitoa nafsi Yake kwa ajili yetu ili atukomboe
13Ushuhuda huu ni kweli. Kwa hiyo, uwakemee kutoka katika uovu wote na kujisafishia watu
kwa ukali kuwa mali Yake Mwenyewe, yaani, wale walio
2
Tito
na bidii katika kutenda mema. matunda.
15Basi wewe fundisha mambo haya, onya 15Wote walio pamoja nami wanakusalimu.
na karipia kwa mamlaka yote. Mtu ye yote Wasalimu wale wanaotupenda katika imani.
asikudharau. Neema iwe nanyi nyote. Amen.
Kutenda Mema
3 Wakumbushe watu kuwanyenyekea
watawala na kuwatii wenye mamlaka, wawe
tayari kutenda kila lililo jema. 2Wasimnenee
mtu ye yote mabaya, wasiwe wagomvi, bali
wawe wapole, wakionyesha
unyenyekevu kwa watu wote.
3Maana sisi wenyewe wakati fulani tulikuwa
wajinga, wasiotii, tukiwa watumwa wa tamaa
mbaya na anasa za kila aina. Tuliishi katika
uovu na wivu, tukichukiwa na kuchukiana sisi
kwa sisi. 4Lakini wema na upendo wa Mungu
Mwokozi wetu ulipofunuliwa, 5 alituokoa, si kwa
sababu ya matendo ya haki tuliyotenda, bali kwa
sababu ya rehema Zake. Alituokoa kwa
kutuosha, kwa kuzaliwa mara ya pili na kwa
kufanywa wapya kwa njia ya Roho Mtakatifu,
6ambaye Mungu alitumiminia kwa wingi kwa njia

ya Yesu Kristo Mwokozi wetu, 7ili kwamba,


tukiisha kuhesabiwa haki kwa neema Yake,
tupate kuwa warithi tukiwa na tumaini la uzima
wa milele. 8 Hili ni neno la kuaminiwa. Nami
nataka uyasisitize mambo haya, ili wale ambao
wamemwamini Mungu wapate kuwa waangalifu
kujitoa kwa ajili ya kutenda mema wakati wote.
Mambo haya ni mazuri tena ya manufaa kwa
kila mtu.
9Lakini jiepushe na maswali ya kipuzi,
mambo ya koo, mabishano na ugomvi kuhusu
sheria, kwa sababu haya hayana faida tena ni
ubatili. 10Mtu anayesababisha mafarakano,
mwonye mara ya kwanza, kisha mwonye mara
ya pili. Baada ya hapo, usihusike naye tena.
11Kwa kuwa unajua kwamba mtu kama huyo
amepotoka na tena ni mwenye dhambi. Yeye
amejihukumu mwenyewe.

Maneno Ya Mwisho Na Kumtamkia Baraka


12Mara nitakapomtuma Artema au Tikiko
kwako, jitahidi kuja unione huko Nikopoli, kwa
sababu nimeamua kukaa huko wakati wa majira
ya baridi. 13 Fanya kila uwezalo uwasafirishe
Zena, yule mwanasheria na Apolo na uhakikishe
kwamba wana kila kitu wanachohitaji. 14Watu
wetu hawana budi kujifunza kujitoa kutenda
mema, ili waweze kuwasaidia watu wenye
mahitaji ya lazima ya kila siku, wasije wakaishi
maisha yasiyokuwa na
3
Filemoni
Utangulizi
Waraka huu mfupi uliandikwa na Paulo kutoka Rumi nao umeainishwa na ule wa Waefeso, Wakolosai na
Wafilipi kama mojawapo ya nyaraka zake za gerezani. Ameandikiwa Filemoni, kwa Afia mwanamke mkristo, (
huenda alikuwa mkewe Filemoni ), kwa Arkipo (Kol.4:17) na kwa kanisa lililokuwa likikusanyika nyumbani kwa
Filemoni.
Bila shaka Onesmo alikuwa ametoroka kutoka kwa Filemoni huko Kolosai kwenda Rumi, ambako aliongoka
na kushirikiana na Paulo. Kama mtumwa, alikuwa mali ya Filemoni kisheria. Zaidi ya hayo inawezekana Onesmo
alikuwa anadaiwa vitu fulani fulani na Filemoni.
Kwa barua hii Paulo anamtuma Onesmo kwa Filemoni, akisisitiza kwamba mwenendo wa kikristo ungepaswa
utawale katika uhusiano wao. Paulo anaomba msamaha kwa ajili ya Onesmo, akiomba akubaliwe kama ndugu
mkristo. Ombi hilo limeandikwa kwa maarifa na waraka huu umepangwa kwa namna ambayo ungejenga
kusikilizana, kushawishi nia na kuamsha hisia.

Mwandishi
Mwandishi waraka huu ni Mtume Paulo.

Tarehe
Huu ni mojawapo wa waraka wa gerezani

Mgawanyo
• Salamu (1:1- 3)
• Kuhusika kwa Paulo na upendo (1:4 – 7)
• Paulo kumwombea Onesmo (1:8 – 22)
• Kuagana (1:23 – 25)

1
Filemoni
Salamu nipate faida kwako katika Bwana, uuburudisha
1Paulo, mfungwa wa Kristo Yesu, pamoja moyo wangu katika Kristo. 21Nikiwa na hakika
na Timotheo ndugu yetu, ya utii wako, nakuandikia, nikijua kwamba
utafanya hata zaidi ya yale nisemayo.
Kwa Filemoni rafiki yetu mpendwa na 22Jambo moja zaidi: Niandalie chumba cha
mtenda kazi mwenzetu, 2kwa dada yetu wageni, kwa kuwa nataraji kurudishwa kwenu
mpendwa Afia, kwa Arkipo askari mwenzetu na kama jibu la maombi yenu.
kwa kanisa lile likutanalo nyumbani mwako:
Salamu Za Mwisho Na Dua Ya Kuwatakia
3Neema iwe nanyi na amani itokayo kwa Heri
Mungu Baba yetu na Bwana Yesu Kristo. 23 Epafra, aliye mfungwa mwenzangu
katika Kristo Yesu, anakusalimu. 24Vivyo hivyo
Shukrani Na Maombi Marko, Aristarko, Dema na Luka, watenda kazi
4Sikuzote ninamshukuru Mungu wenzangu wanakusalimu.
25Neema ya Bwana Yesu Kristo iwe pamoja
ninapokukumbuka katika maombi yangu, 5kwa
sababu ninasikia juu ya imani yako katika na roho zenu. Amen.
Bwana Yesu na upendo wako kwa watakatifu
wote. 6Naomba utiwe nguvu katika kuishuhudia
imani yako, ili upate kuwa na ufahamu mkamilifu
juu ya kila kitu chema tulicho nacho ndani ya
Kristo. 7Upendo wako umenifurahisha mno na
kunitia moyo, kwa sababu wewe ndugu,
umeiburudisha mioyo ya watakatifu.

Maombi Ya Paulo Ya Kumtetea Onesmo


8Hata hivyo, ingawa katika Kristo ningeweza
kuwa na ujasiri na kukuagiza yale yakupasayo
kutenda, 9lakini ninakuomba kwa upendo, mimi
Paulo, mzee na pia sasa nikiwa mfungwa wa
Kristo Yesu, 10nakuomba kwa ajili ya mwanangu
Onesmo, aliyefanyika mwanangu nilipokuwa
kwenye minyororo. 11Mwanzoni alikuwa hakufai,
lakini sasa anakufaa sana wewe na mimi pia.
12Namtuma kwako, yeye aliye moyo wangu
hasa.13Ningependa nikae naye ili ashike nafasi
yako ya kunisaidia wakati huu nikiwa kifungoni
kwa ajili ya Injili. 14Lakini sikutaka kufanya lo
lote bila idhini yako, ili wema wo wote uufanyao
usiwe wa lazima, bali wa hiari. 15Huenda
sababu ya yeye kutengwa nawe kwa kitambo
kidogo ni ili uwe naye daima. 16Si kama
mtumwa, bali bora kuliko mtumwa, kama ndugu
mpendwa. Yeye ni mpendwa sana kwangu na
hata kwako zaidi, yeye kama mwanadamu na
kama ndugu katika Bwana.
17Hivyo kama unanihesabu mimi kuwa
mshirika wako, mkaribishe kama vile
ungenikaribisha mimi mwenyewe. 18Kama
amekukosea lo lote au kama unamdai cho
chote, nidai mimi. 19Mimi Paulo, ninaandika
waraka huu kwa mkono wangu mwenyewe,
mimi nitalipa. Si kwamba ninakudai hata nafsi
yako mwenyewe. 20Ndugu yangu, natamani
2
WAEBRANIA
Utangulizi
Mwandishi wa waraka huu hajitambulishi lakini bila shaka alikuwa anajulikana vema na wale walioupokea.
Kumekuwa na mawazo mbalilmbali aidha wengine wakimhusisha Paulo, Barnaba au Apolo, lakini uandishi wake
unafanana sana na ule wa Mtume Paulo. Ingawa mwandishi hafahamiki wazi, bila shaka alikuwa mtu mwenye
ufahamu mkubwa katika Agano la Kale, ambaye ni Myahudi na aliyekuwa rafiki wa Timotheo. Anaonyesha
umahiri mkubwa wa usomi na uandishi kama ule wa waandishi wengine wa Agano Jipya.Mwandishi
anamwonyesha Yesu kuwa ndiye ukamilifu wa ufunuo wa Mungu kupitia kwa manabii.Ufunuo huu wa ki- Uungu
katika ubinadamu wa Yesu Kristo ni wa hali ya juu kwa viwango vyote katika hali zote.

Wazo kuu
Kiini cha Waebrania ni mamlaka ya juu kabisa na uwezo wa Yesu Kristo kama Mdhihirishaji na Mjumbe wa
neema ya Mungu. Katika kitabu hiki majina ya heshima zaidi ya ishirini yametumika yakimtaja Yesu Kristo.
Neno kuu la ufunguo ni pale mwandishi anapomwonyesha Yesu kuwa ndiye ukamilifu wa ufunuo ulionenwa
kwanza na Mungu kisha na manabii Wake. Ufunuo huu wa Mungu katika mwanadamu Yesu Kristo ndio wa juu
kabisa unaomwonyesha Yesu Kristo kuwa ndiye amfunuaye Mungu, tena Yeye ndiye Mjumbe wa Neema ya
Mungu.Yesu anaonekana katika huduma ya Kuhani-Mfalme.
Mara nyingi onyo limetolewa kwamba msomaji asiudharau wala kuukataa Wokovu Mkuu uliotolewa kwa njia
ya Yesu Kristo. Uwezekano mkubwa ni kwamba waraka huu ulielekezwa kwa wakristo Wayahudi huko Palestina
au Rumi, ambao walikuwa wanajaribiwa kugeukia dini ya Kiyahudi au kuifanya Injili iwe yenye mfumo wa dini hiyo
ya Kiyahudi.
Mwandishi
Kumekuwako na mawazo yanayotofautiana miongoni mwa viongozi wa Kanisa la kwanza.
Wengine wanamhusisha Paulo, wengine Barnaba au Apolona uandishi wa waraka huu, lakini wazo lililo bora
sana ni lile la Origen, ambaye alisema kwamba, “Iwe ni nani aliyeandika waraka huu, Mungu peke Yake ndiye
anayemjua.” Ingawa waraka hauna jina la mwandishi, una ushahidi mwingi kwamba ni mtu kwenye kizazi pili cha
Wakristo, aliyekuwa na ujuzi mkubwa wa Agano la Kale.
Tarehe
Inaelekea ni kwenye mwisho wa miaka ya 60 B.K. katika karne ya kwanza, yaani, muda mfupi tu kabla ya
kuharibiwa kwa Yerusalemu 70 B.K. Katika kipindi hiki hofu ya mateso ilikuwa kubwa kwa kanisa huko
Rumi.Wakati huo hali ya mateso ilikuwa ya kutia hofu kwa kanisa huko Rumi.

Mahali
Waraka huu uliandikwa kutoka Rumi.

Mgawanyo:
• Mnenaji bora kwa ajili ya Mungu (1:1 - 4:13)
• Mwombezi au Kuhani aliye bora (4:14 - 7:28)
• Agano na Dhabihu iliyo bora (8:1- 10: 18)
• Agizo la kuitunza na kuilinda imani (11:1-12:29)
• Mwisho :Kanuni za maisha ya Kikristo (13:1-17)
• Kuhitaji maombi (13:18-19)
• Hitimisho (13:20–21)
• Maelezo ya binafsi (13:22-23)
• Salamu(13:24-25) -

1
WAEBRANIA
12Utazikunja-kunja kama joho,
Mwana Ni Mkuu Kuliko Malaika kama vazi zitachakaa.
1 Zamani Mungu alisema na baba zetu kwa Bali Wewe hubadiliki,
wala miaka Yako kamwe haitakoma.”
njia ya manabii mara nyingi na kwa njia
mbalimbali, 2lakini katika siku hizi za mwisho 13Je,
amesema nasi kwa njia ya Mwanawe, ambaye ni kwa malaika yupi ambaye Mungu
amemweka kuwa mrithi wa vitu vyote, ambaye amepata kumwambia wakati wo wote,
kwa Yeye aliuumba ulimwengu. 3Mwana ni
mng’ao wa utukufu wa Mungu na mfano halisi “Wewe keti mkono Wangu wa kuume
wa nafsi Yake, akivihifadhi vitu vyote kwa neno mpaka nitakapowaweka adui Zako
Lake lenye uweza. Akiisha kufanya utakaso kwa
ajili ya dhambi aliketi mkono wa kuume wa Ukuu chini ya nyayo Zako? ”
huko mbinguni. 4Kwa hiyo alifanyika bora kuliko
malaika kama Jina alilorithi lilivyo bora kuliko 14Je, malaika wote si roho watumikao
lao. waliotumwa kuwahudumia wale watakaorithi
5Kwa maana ni malaika yupi ambaye wakati wokovu?
wo wote Mungu alipata kumwambia,
Wokovu Mkuu
“Wewe ni Mwanangu,
leo Mimi nimekuzaa?”
2 Kwa hiyo, imetupasa kuwa waangalifu
sana kuhusu kile tulichosikia, ili tusije
tukakiacha. 2Kwa kuwa ujumbe ulionenwa na
Au tena, malaika ulikuwa imara na kila uasi na kutokutii
kulipata adhabu ya haki, 3je, sisi tutapaje
“Mimi nitakuwa Baba Yake, kutapona kama tusipojali wokovu mkuu namna
naye atakuwa Mwanangu?” hii? Wokovu huu, ambao mwanzo ulitangazwa
6Tena, Mungu amletapo mzaliwa Wake wa
na Bwana, kisha ukathibitishwa kwetu na wale
waliomsikia. 4Pia Mungu aliushuhudia kwa
kwanza ulimwenguni, husema, ishara, maajabu na kwa miujiza mbalimbali na
karama za Roho Mtakatifu alizozigawa
“Malaika wote wa Mungu na wamsujudu” kulingana na mapenzi Yake.

7Anenapo kuhusu malaika husema, Yesu Alifananishwa Na Ndugu Zake


5Mungu hakuuweka ulimwengu ujao ambao
“Huwafanya malaika Zake kuwa upepo, tunanena habari zake chini ya malaika. 6Lakini
watumishi Wake kuwa miali ya moto.” kuna mahali mtu fulani ameshuhudia akisema:
8Lakini kwa habari za Mwana asema, “Mwanadamu ni kitu gani hata umfikirie,
mwana wa adamu ni nani hata umjali?
“Kiti chako cha enzi, Ee Mungu, 7Umemfanya kuwa chini kidogo kuliko malaika.
kitadumu milele na milele, Umemvika taji ya utukufu na heshima,
nayo haki itakuwa fimbo ya utawala ya 8nawe umeweka vitu vyote chini ya
Ufalme Wako. miguu yake.”
9Umependa haki na kuchukia uovu,
kwa hiyo Mungu, Mungu wako, amekuweka Kwa kuweka vitu vyote chini yake, Mungu
juu ya wenzako hakuacha kitu cho chote ambacho hakukiweka
kwa kukupaka mafuta ya furaha.” chini ya mwanadamu. Lakini kwa sasa, hatuoni
kwamba kila kitu kiko chini yake. 9Lakini
10Pia asema, twamwona Yesu, aliyefanywa chini kidogo
kuliko malaika, sasa akiwa amevikwa taji ya
“Hapo mwanzo, Ee Bwana, uliweka misingi utukufu na heshima kwa sababu alistahimili
ya dunia, mauti, ili kwamba kwa neema ya Mungu apate
nazo mbingu ni kazi ya mikono Yako. kuonja mauti kwa ajili ya kila mtu.
11Hizo zitaangamia, lakini Wewe utadumu, 10Ili kuwaleta wana wengi katika utukufu,
zote zitachakaa kama vazi. ilimpendeza Mungu, kwa ajili Yake na kwa
2
WAEBRANIA
kupitia Yeye kila kitu kilichopo, kumkamilisha na ujasiri wetu na katika tumaini tunalojivunia.
mwanzilishi wa wokovu wao kwa njia ya mateso.
11Yeye awafanyaye watu kuwa watakatifu na Onyo Dhidi Ya Kutokuamini.
wale ambao hufanywa watakatifu, wote hutoka 7Kwa hiyo, kama Roho Mtakatifu asemavyo,
katika jamaa moja. Hivyo Yesu haoni aibu
“Leo, kama mkiisikia sauti yake,
kuwaita ndugu Zake. 12Yeye husema, 8msifanye mioyo yenu migumu,
kama mlivyofanya katika uasi,
“Nitalitangaza Jina Lako kwa ndugu Zangu, wakati ule wa kujaribiwa jangwani,
9pale baba zenu waliponijaribu na kunipima
mbele ya kusanyiko nitaimba sifa Zako.”
ingawa kwa miaka arobaini walikuwa
13Tena, wameona matendo Yangu.
10Hiyo ndiyo sababu nilikasirikia kizazi kile,
“Nitaweka tumaini langu Kwake.’’ nami nikasema, ‘Siku zote mioyo yao
hupotoka,
Tena anasema, nao hawajazijua njia Zangu’.
11Hivyo nikaapa kwa hasira Yangu,
“Niko hapa, mimi pamoja na watoto Mungu ‘kamwe hawataininga rahani Mwangu.’ ”
alionipa”
12Ndugu zangu, angalieni, asiwepo
14Basi kwa kuwa watoto wana nyama na miongoni mwenu mtu mwenye moyo mwovu
damu, Yeye pia alishiriki katika ubinadamu wao, usioamini, unaojitenga na Mungu aliye hai.
ili kwa kifo chake, apate kumwangamiza huyo 13Lakini mtiane moyo kila siku mtu na
mwenye nguvu za mauti, yaani, Shetani, 15na mwenzake, maadam iitwapo ‘leo’, ili asiwepo
kuwaweka huru wale waliokuwa utumwani hata mmoja wenu mwenye kufanywa mgumu
maisha yao yote kwa sababu ya kuogopa mauti. kwa udanganyifu wa dhambi. 14Kwa kuwa
16Kwa kuwa ni dhahiri kwamba hakuja kusaidia
tumekuwa washiriki wa Kristo, kama
malaika, bali uzao wa Abrahamu. 17Kwa sababu tukishikamana tu kwa uthabiti na tumaini letu la
hii ilibidi afanane na ndugu Zake kwa kila hali, ili kwanza hadi mwisho. 15Kama ilivyonenwa:
apate kuwa Kuhani Mkuu mwenye huruma na
mwaminifu katika kumtumikia Mungu, ili pia “Leo, kama mtaisikia sauti Yake,
apate kufanya upatanisho kwa ajili ya dhambi za msifanye mioyo yenu migumu
watu. 18Kwa kuwa Yeye mwenyewe aliteswa kama mlivyofanya wakati wa kuasi.”
alipojaribiwa, aweza kuwasaidia wale
wanaojaribiwa. 16Basini nani wale waliosikia lakini bado
wakaasi? Je, si wale wote waliotoka Misri
Yesu Ni Mkuu Kuliko Mose. wakiongozwa na Mose? 17Lakini ni nani
3 Kwa hiyo ndugu watakatifu, mnaoshiriki aliowakasirikia miaka arobaini? Je, si wale
waliofanya dhambi ambao miili yao ilianguka
mwito wa mbinguni, mtafakarini Yesu, mtume
na Kuhani Mkuu wa ukiri wetu. 2Alikuwa jangwani? 18Nao ni nani ambao Mungu aliapa
mwaminifu kwa Yeye aliyemweka, kama vile kuwa kamwe hawataingia rahani Mwake
Mose alivyokuwa mwaminifu katika nyumba isipokuwa ni wale waliokataa kutii? 19 Hivyo
yote ya Mungu. 3Yesu ameonekana anastahili tunaona kwamba hawakuweza kuingia kwa
heshima kubwa kuliko Mose, kama vile mjenzi sababu ya kutokuamini kwao.
wa nyumba alivyo wa heshima kubwa kuliko
nyumba yenyewe. 4Kwa kuwa kila nyumba Pumziko Lile Mungu Aliloahidi
hujengwa na mtu fulani, lakini Mungu ni mjenzi
wa kila kitu. 5Basi Mose kama mtumishi alikuwa 4 Kwa hiyo, kwa kuwa bado ahadi ya kuingia
rahani iko wazi, tujihadhari ili hata mmoja wenu
mwaminifu katika nyumba yote ya Mungu,
akishuhudia kwa yale ambayo yangetamkwa asije akaikosa. 2Kwa maana sisi pia tumesikia
baadaye. 6Lakini Kristo Yeye ni mwaminifu Injili iliyohubiriwa kwetu, kama nao walivyosikia,
kama Mwana katika nyumba ya Mungu, sisi ndio lakini ujumbe ule waliousikia haukuwa na
maana kwao, kwa sababu wale waliousikia
nyumba Yake, kama tutashikamana sana
hawakuuchanganya na imani. 3Sasa
3
WAEBRANIA
sisi ambao tumeamini tunaingia katika ile raha, alijaribiwa kwa kila namna, kama vile sisi
kama vile Mungu alivyosema, tujaribiwavyo, lakini Yeye hakutenda dhambi. 16
Basi na tukikaribie kiti cha rehema kwa ujasiri, ili
“Hivyo natangaza kwa kiapo katika tupewe rehema na kupata neema ya kutusaidia
hasira Yangu, wakati wa mahitaji.
‘Kamwe hawataingia rahani Mwangu.’ ”
5 Kwa maana kila Kuhani Mkuu
Lakini kazi Yake ilikamilika tangu kuumbwa kwa anayechaguliwa miongoni mwa wanadamu
anawekwa kuwawakilisha kwa mambo
ulimwengu. 4Kwa maana mahali fulani yanayomhusu Mungu, ili apate kutoa matoleo
amezungumza kuhusu siku ya saba, akisema: na dhabihu kwa ajili ya dhambi. 2Kwa kuwa
“Katika siku ya saba Mungu alipumzika katika yeye mwenyewe ni dhaifu, aweza
kazi Zake zote” 5Tena hapo juu asema, “Kamwe kuwachukulia kwa upole wale wasiojua na
hawataingia rahani Mwangu.” kupotoka. 3Hii ndiyo sababu inawapasa kutoa
6Kwa hiyo kwa kuwa inabaki kuwa wazi kwa dhabihu kwa ajili ya dhambi zake mwenyewe na
vivyo hivyo kwa ajili ya dhambi za watu.
ajili ya wengine kuingia, nao wale wa kwanza 4Hakuna anayejitwalia heshima hii
waliopokea Injili walishindwa kuingia kwa mwenyewe, ni lazima aitwe na Mungu, kama
sababu ya kutokutii, 7kwa hiyo Mungu ameweka vile Aroni alivyoitwa. 5Pia Kristo hakujitwalia
siku nyingine akisema, “Leo,” akisema kwa utukufu Yeye mwenyewe wa kuwa Kuhani
kinywa cha Daudi baadaye sana, kwa maneno Mkuu, bali Mungu alimwambia,
yalitangulia kunenwa:
“Wewe ni Mwanangu,
“Leo, kama mkiisikia sauti Yake, Mimi leo nimekuzaa.
msifanye migumu mioyo yenu.”
6Pia mahali pengine asema,
8Kwa maana kama Yoshua alikuwa amewapa
raha, Mungu hangelisema tena baadaye kuhusu “Wewe ndiwe kuhani milele,
siku nyingine. 9Kwa hiyo basi, imebaki raha ya kwa mfano wa Melkzedeki”
Sabato kwa ajili ya watu wa Mungu, 10kwa kuwa
7Katika siku za maisha ya Yesu hapa
kila mmoja aingiaye katika raha ya Mungu pia
hupumzika kutoka kazi zake mwenyewe, kama duniani, alimtolea maombi na dua pamoja na
vile naye Mungu alivyopumzika kutoka katika kulia sana na machozi, Yeye awezaye
kazi Zake. 11Basi na tufanye bidii kuingia katika kumwokoa na mauti, naye Mungu akamsikia
raha hiyo, ili kwamba asiwepo ye yote kwa sababu ya kutii Kwake kwa unyenyekevu.
8Ingawa alikuwa Mwana, alijifunza utii kutokana
atakayeanguka kwa kufuata mfano wao wa
kutokutii. na mateso aliyoyapata, 9akiisha kukamilishwa,
12Kwa maana Neno la Mungu li hai tena lina akawa chanzo cha wokovu wa milele kwa wote
nguvu tena lina makali kuliko upanga uwao wote wanaomtii, 10 naye amewekwa na Mungu kuwa
wenye makali kuwili, tena linachoma hata Kuhani Mkuu kwa mfano wa Melkizedeki.
kuzigawanya nafsi na roho, viungo na mafuta
yaliyo ndani yake, tena li jepesi kuyatambua Onyo Kuhusu Kuanguka.
mawazo na makusudi ya moyo. 13Wala hakuna 11Tunayo mengi ya kusema kuhusu habari
kiumbe cho chote kilichofichika machoni pa ukuhani huu, lakini ni vigumu kuyaeleza, kwa
Mungu. Kila kitu kimefunuliwa na kiko wazi sababu ninyi ni wazito wa kuelewa. 12Kwa
machoni pake Yeye ambaye Kwake tutatoa hakika, ingawa mpaka wakati huu ingewapasa
hesabu. kuwa walimu, lakini bado mnahitaji mtu wa
kuwafundisha, tena hatua za awali za kweli ya
Yesu Kristo Kuhani Mkuu Kuliko Wote Neno la Mungu. Mnahitaji maziwa, wala si
14Kwa kuwa tunaye Kuhani Mkuu kuliko chakula kigumu, 13kwa maana ye yote aishiye
wote ambaye ameingia mbinguni, Yesu Mwana kwa kunywa maziwa bado yeye ni mtoto
wa Mungu, basi na tushikamane sana kwa mchanga, hana ujuzi katika mafundisho kuhusu
uthabiti na ule ukiri wa imani yetu. 15Kwa kuwa neno la haki. 14Lakini chakula kigumu ni kwa
hatuna Kuhani Mkuu anaweza kuchukuliana na ajili ya watu wazima, ambao kwa kujizoeza
sisi katika udhaifu wetu, kwani Yeye mwenyewe
4
WAEBRANIA
wamejifunza kupambanua kati ya mema na udhahiri zaidi kwa warithi wa ile ahadi ile asili ya
mabaya. kutokubadilika kwa ahadi Yake, aliithitibisha
kwa kiapo. 18Mungu alifanya hivyo, ili kwa vitu
Hatari Ya Kuanguka viwili visivyobadilika, yaani ahadi Yake na kiapo
6awali
Kwa hiyo, tukiachana na mafundisho yale ya
kuhusu Kristo na tusonge mbele ili tufikie
Chake, ambavyo kwa hivyo Mungu hawezi
kusema uongo, sisi ambao tumemkimbilia, tuwe
utimilifu, si kuweka tena msingi wa na moyo mkuu kulishika lile tumaini lililowekwa
mafundisho ya kuzitubia kazi zisizo na uhai na mbele yetu. 19Tunalo tumaini hili lililo kama
imani katika Mungu, yaani, 2mafundisho kuhusu nanga ya roho, lililo imara na thabiti. Tumaini hili
mabatizo, kuwekea watu mikono, ufufuo wa huingia katika patakatifu palipo nyuma ya pazia,
wafu na hukumu ya milele. 3Mungu akitujalia 20mahali ambapo, Yesu mtangulizi wetu aliingia
tutafanya hivyo. kwa niaba yetu. Yeye amekuwa Kuhani Mkuu
4Kwa kuwa ni vigumu kuwarejeza tena milele, kwa mfano wa Melkizedeki.
katika toba wale ambao wakati fulani
walishapata nuru, ambao walishaonja kipawa Kuhani Melkizedeki
cha mbinguni, ambao wamekwisha kushiriki
katika Roho Mtakatifu. 5wale ambao wameonja
7 Kwa kuwa huyu Melkizedeki alikuwa mfalme
wa Salemu na Kuhani wa Mungu aliye juu,
uzuri wa Neno la Mungu na nguvu za wakati aliyekutana na Abrahamu akirudi
ujao, 6kisha wakaanguka, kwa kuwa kwa nafsi katika kuwashinda hao wafalme, naye
zao wanamsulibisha Mwana wa Mungu mara ya Melkizedeki akambariki, 2ambaye Abrahamu
pili na kumfedhehi hadharani. alimpa “sehemu moja ya kumi a” ya kila kitu.
7 Ardhi ile ipokeayo mvua inyeshayo juu Kwanza, jina hilo Melkizedeki maana yake,
yake mara kwa mara hutoa mazao “Mfalme wa haki,” pia “Mfalme wa Salemu”
yanayowanufaisha wale ambao kwa ajili yao maana yake “Mfalme wa amani.” 3Hana Baba
yalimwa, nayo nchi hiyo hupokea baraka kutoka wala mama, hana ukoo, hana mwanzo wala
kwa Mungu. 8Lakini ardhi ile ikizaa miiba na mwisho wa siku zake, kama Mwana wa Mungu,
mibaruti haina thamani na iko hatarini yeye adumu kuhani milele.
kulaaniwa. Mwisho wake ni kuchomwa moto. 4Tazama jinsi alivyokuwa mkuu! Hata
9Ingawa tunasema hivi, ndugu zangu Abrahamu, baba yetu mkuu, alimpa moja ya kumi
wapendwa, kwa upande wenu tuna hakika ya ya nyara zake. 5Basi sheria inawaagiza wana wa
mambo mema zaidi, mambo yale yahusuyo Lawi wale ambao hufanyika makuhani hupokea
wokovu. 10Mungu si dhalimu, hataisahau kazi sehemu moja ya kumi kutoka watu ambao ni
yenu na upendo ule mlioonyesha kwa ajili Yake ndugu zao, ingawa wao ni wazao wa Abrahamu.
katika kuwahudumia watakatifu na kama vile 6Huyu Melkizedeki, ingawa hakufuatia ukoo wake
mnavyoendelea kuwahudumia. 11Nasi twataka kutoka kwa Lawi, lakini alipokea moja ya kumi
kila mmoja wenu aonyeshe bidii iyo hiyo ili kutoka kwa Abrahamu na kumbariki yeye
mpate kujua uhakika kamili wa lile tumaini
aliyekuwa na zile ahadi. 7Wala hakuna shaka
mpaka mwisho, 12ili msije mkawa wavivu, bali
kwamba mdogo hubarikiwa na aliye mkuu kuliko
mpate kuwaiga wale ambao kwa imani na saburi
hurithi zile ahadi. yeye. 8Kwa upande mmoja, sehemu moja ya kumi
hupokelewa na wale ambao hupatikana na kufa,
Uhakika Wa Ahadi Ya Mungu lakini kwa upande mwingine hupokelewa na Yeye
13Mungu alipompa Abrahamu ahadi Yake, ambaye hushuhudiwa kuwa yu hai. 9Mtu anaweza
kwa kuwa hakuwepo mwingine aliyekuwa mkuu hata kusema kwamba Lawi, ambaye hupokea
kuliko Yeye ambaye angeweza kuapa kwa jina sehemu moja ya kumi alitoa hiyo sehemu moja ya
lake, aliapa kwa nafsi Yake, 14akisema, “Hakika kumi kupitia kwa Abrahamu, 10kwa sababu
nitakubariki na kukupa wazao wengi.” 15Naye Melkizedeki alipokutana na Abrahamu, Lawi
baada ya kungoja kwa saburi, Abrahamu alikuwa bado katika viuno vya baba yake wa
alipokea kile kilichoahidiwa. zamani, yaani, alikuwa hajazaliwa.
16 Wanadamu huapa kwa yeye aliye mkuu
kuliko wao, nacho kiapo hicho huthibitisha kile Yesu Mfano Wa Melkizedeki.
kilichosemwa na kumaliza mabishano yote.
17Kwa njia hii, Mungu alipotaka kuonyesha kwa a2 Sehemu moja ya kumi mahali pengine huitwa fungu la kumi au
zaka. Hii moja ya kumi ya pato hutolewa kwa Mungu
5
WAEBRANIA
11Kama ukamilifu ungeweza kupatikana kwa mwenyewe, kisha kwa ajili ya dhambi za watu
njia ya ukuhani wa Walawi (kwa kuwa katika wengine kama wale makuhani wakuu wengine.
msingi huo sheria ilitolewa kwa watu) kwa nini basi Yeye alitoa dhabihu kwa ajili ya dhambi zao
imekuwapo haja ya kuja kuhani mwingine, kwa mara moja tu, alipojitoa Mwenyewe. 28Kwa
mfano wa Melkizedeki, wala si kwa mfano wa kuwa sheria huwaweka makuhani wakuu watu
Aroni? 12 Kwa kuwa yanapotokea mabadiliko ya ambao ni dhaifu, lakini lile neno la kiapo,
ukuhani, pia lazima yawepo mabadiliko ya sheria. lililokuja baada ya sheria, lilimweka Mwana,
13Yeye ambaye ndiye anayesemwa katika mambo
ambaye amefanywa kuwa mkamilifu milele.
haya, alikuwa wa kabila jingine na hakuna mtu wa
kabila hilo aliyekuwa amehudumu katika Kuhani Mkuu Wa Agano Jipya
madhabahu. 14Kwa maana ni dhahiri kwamba Basi jambo tunalotaka kulisema ni hili:
Bwana wetu alitoka katika uzao wa Yuda, tena 8 Tunaye Kuhani Mkuu ambaye ameketi
kuhusu kabila hilo Mose hakusema lo lote kwa mkono wa kuume wa kiti cha enzi cha Ukuu
habari za ukuhani. 15Tena hayo tuliyosema yako mbinguni, 2 Yeye ahudumuye katika patakatifu,
wazi zaidi kama akitokea kuhani mwingine kama pa hema la kweli lililowekwa na Bwana, wala si
Melkizedeki, 16Yeye ambaye amefanyika kuhani si mwanadamu.
kwa misingi ya sheria kama ilivyokuwa kwa baba 3Kila kuhani mkuu huwekwa ili atoe sadaka
zake, bali kwa misingi ya uwezo wa uzima na dhabihu. Vivyo hivyo ilikuwa jambo muhimu
usioharibika. 17Kwa maana imeshuhudiwa kwa huyu Kuhani naye awe na kitu cha kutoa.
kwamba: 4Kama angelikuwa duniani, hangelikuwa kuhani,
kwa sababu tayari wapo watu watoao sadaka
“Wewe ndiye kuhani milele, kwa
kama ilivyoelekezwa na sheria. 5Wanahudumu
mfano wa melkizedeki.”
katika patakatifu palipo mfano na kivuli cha ile
18Kwa iliyoko mbinguni. Hii ndiyo sababu Mose alionywa
upande mmoja, kubatilishwa kwa ile
alipokaribia kujenga hema, akiambiwa: “Hakikisha
amri ya mwanzo isiyofaa. 19(kwa maana sheria kuwa unafanya kila kitu sawasawa na kile
haikufanya kitu cho chote kuwa kikamilifu), kwa
kielelezo ulichoonyeshwa kule mlimani.” 6Lakini
upande mwingine, tumeletewa tumaini lililo bora
zaidi ambalo kwalo linatuleta karibu na Mungu. huduma Yesu aliyopewa ni bora zaidi kuliko yao
20Nalo tumaini hilo halikutolewa pasipo kama vile lile agano ambalo Yeye ni mjumbe
wake lilivyo bora zaidi kuliko lile la zamani, nalo
kiapo. Wengine walikuwa makuhani pasipo
limewekewa misingi juu ya ahadi zilizo bora zaidi.
kiapo cho chote, 21lakini Yesu alikuwa Kuhani
kwa kiapo wakati Mungu alipomwambia: 7Kwa maana kama hapakuwa na kasoro
katika lile agano la kwanza, pasingekuwa na
“Bwana ameapa haja ya kutafuta nafasi kwa ajili ya jingine.
naye hatabadili nia Yake: 8Lakini Mungu aliona kosa kwa watu naye
‘Wewe ndiwe Kuhani milele.’ ” akasema:
22Kwa ajili ya kiapo hiki, Yesu amekuwa “Siku zinakuja, asema Bwana,
mdhamini wa agano lililo bora zaidi. nitakapofanya agano jipya
23Basi pamekuwepo na makuhani wengi wa na nyumba ya Israeli
aina hiyo, kwa kuwa kifo kiliwazuia kuendelea na nyumba ya Yuda.
9Agano hili halitakuwa kama lile
na huduma yao ya ukuhani, 24lakini kwa sababu
Yesu aishi milele, anao ukuhani wa kudumu. nililofanya na baba
25Kwa hiyo anaweza kuwaokoa kabisa wale zao nilipowashika mkono
wanaomjia Mungu kupitia Kwake, kwa sababu ili kuwatoa katika nchi ya Misri,
Yeye adumu daima kuomba kwa ajili yao. kwa kuwa hawakuendelea kuwa
26Kwa kuwa ilitupasa tuwe na Kuhani Mkuu waaminifu katika agano Langu,
wa namna hii, yaani, aliye mtakatifu, asiye na nami nikawaacha,
lawama, asiye na dosari, aliyetengwa na wenye asema
10
Bwana. Baada ya siku zile, hili ndilo agano
dhambi na kuinuliwa juu ya mbingu. 27Yeye
hahitaji kutoa dhabihu siku kwa siku kwa ajili ya nitakalofanya na nyumba ya Israeli,
dhambi, kwanza kwa ajili ya dhambi Zake asema Bwana,
6
WAEBRANIA
‘Nitaweka sheria zangu katika nia zao zilishughulika tu na vyakula na vinywaji pamoja
na kuziandika katika mioyo yao. na taratibu mbalimbali za kunawa kwa nje,
Nitakuwa Mungu wao, kanuni kwa ajili mwili zilizowekwa hadi wakati
nao watakuwa watu Wangu. utimie wa matengenezo mapya.
11Mtu hatamfundisha tena jirani yake,
wala mtu hatamfundisha ndugu Damu Ya Kristo.
yake, akisema, ‘Mjue Bwana,’ 11Kristo alipokuja akiwa Kuhani Mkuu wa
kwa sababu wote watanijua Mimi, mambo mema ambayo tayari yameshawasili,
tangu aliye mdogo wa wote hadi aliye alipitia kwenye hema iliyo kuu zaidi na bora
mkuu sana. zaidi, ambayo haikujengwa kwa mikono ya
12Kwa kuwa nitasamehe uovu wao, binadamu, hii ni kusema, ambayo si sehemu ya
wala sitazikumbuka dhambi zao tena!” uumbaji huu. 12Hakuingia kwa njia ya damu ya
mbuzi na ya ndama, lakini aliingia Patakatifu pa
13Kwa kuliita agano hili “Jipya” Mungu Patakatifu mara moja tu kwa damu yake
amefanya lile agano la kwanza kuwa kuukuu, mwenyewe, akiisha kupata ukombozi wa milele.
nacho kitu kinachoanza kuchakaa na kuwa 13Damu ya mbuzi na ya mafahali na majivu ya
kikuukuu kiko karibu kitatoweka. mitamba vilivyonyunyiziwa wale waliokuwa
najisi kwa taratibu za kiibada viliiwatakasa hata
Ibada Katika Hema La Kidunia kuwaondolea uchafu wa nje. 14 Basi si zaidi
9zakeBasiza kuabudu
agano lile la kwanza lilikuwa na kanuni sana damu ya Kristo, ambaye kwa Roho wa
na pia patakatifu pake pa kidunia. milele alijitoa nafsi Yake kwa Mungu kuwa
2Hema lilitengenezwa, katika sadaka isiyo na waa kutusafisha dhamiri zetu,
sehemu yake ya kwanza kulikuwa na kinara cha kutokana na matendo yaletayo mauti, ili tupate
taa, meza na mikate iliyowekwa wakfu, hii kumtumikia Mungu aliye hai!
sehemu iliitwa Mahali Patakatifu. 3Nyuma ya 15Kwa sababu hii Kristo ni mjumbe wa
pazia la pili, palikuwa na sehemu iliyoitwa agano jipya, ili kwamba wale walioitwa waweze
Patakatifu pa Patakatifu, 4ambako ndiko kupokea ile ahadi ya urithi wa milele, Yeye
kulikokuwa na ile madhabahu ya dhahabu ya alikufa awe ukombozi wao kutoka katika dhambi
kufukizia uvumba na lile sanduku la agano walizozitenda chini ya agano la kwanza.
lililofunikwa dhahabu. Sanduku hili lilikuwa na 16Kwa habari ya wosia, ni muhimu
gudulia la dhahabu lenye ile mana, ile fimbo ya kuthibitisha kifo cha yule aliyeufanya, 17kwa
Aroni iliyochipuka na vile vibao vya mawe vya sababu wosia huwa na nguvu tu wakati mtu
agano. 5 Juu ya lile sanduku kulikuwa na akishakufa, kamwe hauwezi kutumika wakati
makerubi ya utukufu yakitilia kivuli kile kifuniko yule aliyeuandika akiwa bado yuko hai. 18Hii
ambacho ndicho kiti cha rehema. Lakini ndiyo sababu hata lile agano la kwanza
hatuwezi kueleza vitu hivi kwa undani sasa. halikuweza kutekelezwa pasipo damu. 19Wakati
6Basi viti hivi vilikuwa vimepangwa, kwamba
Mose alipotangaza kila amri kwa watu wote,
makuhani wakiingia daima katika sehemu ya alichukua damu ya ndama na ya mbuzi, pamoja
kwanza ya hema ili kufanya taratibu zao za na maji, sufu nyekundu na matawi ya mti wa
ibada, 7lakini ni kuhani mkuu peke yake ndiye hisopo, akanyunyuzia kile kitabu na watu wote.
20Akisema, “Hii ndiyo damu ya agano, ambalo
aliyeingia ndani ya sehemu ya pili ya hema, tena
hii alikuwa mara moja tu kwa mwaka, lakini si Mungu amewaamuru kulitii.” 21Vivyo hivyo
bila kuchukua damu ambayo angetoa kwa ajili alinyunyizia damu hiyo kwenye lile hema
yake mwenyewe na kwa ajili ya watu waliotenda pamoja na kila kifaa kilichotumika ndani yake
dhambi bila kukusudia. 8Kwa njia hii, Roho kwa taratibu za ibada. 22Kwa kweli sheria hudai
Mtakatifu alikuwa anaonyesha kwamba kwamba, karibu kila kitu kitakaswe kwa damu,
maadam ile hema ya kwanza ilikuwa bado wala pasipo kumwaga damu, hakuna msamaha
imesimama, njia ya kuingia Patakatifu pa wa dhambi.
23Kwa hiyo, ilikuwa muhimu kwa nakala za
Patakafifu ilikuwa bado haijafunguliwa. 9Huu
ulikuwa mfano kwa ajili ya wakati wa sasa, vitu vile vya mbinguni vitakaswe kwa dhabihu
kuonyesha kwamba sadaka na dhabihu hizi, lakini vitu halisi vya mbinguni vilihitaji
zilizokuwa zikitolewa hazikuweza kusafisha dhabihu bora kuliko hizi. 24 Kwa maana Kristo
dhamiri ya mtu anayeabudu. 10Lakini hizi hakuingia kwenye patakatifu palipofanywa kwa
7
WAEBRANIA
mikono ya mwanadamu, ambao ni mfano wa watakatifu kwa njia ya sadaka ya mwili wa Yesu
kile kilicho halisi. Yeye aliingia mbinguni Kristo alioutoa mara moja tu.
penyewe, ili sasa aonekane mbele za Mungu 11Kila kuhani husimama siku kwa siku
kwa ajili yetu. 25Wala hakuingia mbinguni ili akifanya huduma yake ya ibada na kutoa tena
apate kujitoa Mwenyewe mara kwa mara, kama na tena dhabihu zile zile ambazo haziwezi
vile kuhani mkuu aingiavyo Patakatifu pa kamwe kuondoa dhambi. 12Lakini huyu kuhani
Patakatifu kila mwaka kwa damu ambayo si akiisha kutoa dhabihu moja kwa ajili ya dhambi
yake mwenyewe. 26Ingelikuwa hivyo, kwa wakati wote, aliketi mkono wa kuume wa
ingelimpasa Kristo kuteswa mara nyingi tangu Mungu. 13Tangu wakati huo anangoja mpaka
kuumbwa kwa ulimwengu. Lakini sasa adui zake wawekwe chini ya miguu yake, 14kwa
ametokea mara moja tu katika mwisho wa sababu kwa dhabihu moja amewafanya kuwa
nyakati aindoe dhambi kwa kujitoa mwenyewe wakamilifu milele wale wote wanaotakaswa.
kuwa dhabihu. 27Kama vile mwandamu 15Pia Roho Mtakatifu anatushuhudia
alivyowekewa kufa mara moja tu na baada ya kuhusu jambo hili. Kwanza anasema,
kufa akabili hukumu, 28 vivyo hivyo Kristo
16“Hili ndilo agano nitakalofanya nao baada
alitolewa mara moja tu kuwa dhabihu ili
azichukue dhambi za watu wengi, naye atakuja ya siku hizo, asema Bwana.
mara ya pili, si ili kuchukua dhambi, bali Nitaziweka sheria zangu mioyoni mwao,
kuwaletea wokovu wale wanaomngoja kwa na kuziandika katika nia zao.”
shauku.
17Kisha aongeza kusema:
Dhabihu Ya Kristo Ni Mara Moja Tu
10 Kwa kuwa Torati ni kivuli tu cha mambo mema “Dhambi zao na kutokutii
kwao sitakumbuka tena.”
yajayo, wala si uhalisi wa mambo yenyewe. Kwa
sababu hii, haiwezekani
kamwe kwa njia ya dhabihu zitolewazo mwaka 18Basi haya yakiisha kusamehewa, hakuna tena
hadi mwaka, kuwakamilisha wale wanaokaribia dhabihu yo yote inayotolewa kwa ajili ya
ili kuabudu. 2Kama dhabihu hizo zingeweza dhambi.
kuwakamilisha, hazingeendelea kutolewa tena,
kwa kuwa hao waabuduo wangekuwa Wito Wa Kuvumilia
wametakaswa mara moja tu, wala wasingejiona 19Kwa hiyo, ndugu zangu, kwa kuwa tunao
tena kuwa na dhambi. 3Lakini zile dhabihu ujasiri wa kupaingia Patakatifu pa Patakatifu
zilikuwa ukumbusho wa dhambi kila mwaka, kwa damu ya Yesu, 20 kwa njia mpya iliyo hai
4kwa sababu haiwezekani damu ya mafahali na
tuliyofunguliwa kwa ajili yetu kupitia kwenye lile
mbuzi kuondoa dhambi. pazia, yaani, mwili Wake, 21basi kwa kuwa
5Kwa hiyo, Kristo alipokuja duniani alisema, tunaye kuhani mkuu juu ya nyumba ya Mungu,
22sisi na tumkaribie Mungu kwa moyo mnyofu
“Dhabihu na sadaka hukuzitaka, kwa imani timilifu, mioyo yetu ikiwa
bali mwili uliniandalia, imenyunyizwa damu ya Kisto na kuwa safi
6sadaka za kuteketezwa na za kutokana na dhamiri mbaya nayo miili yetu ikiwa
dhambi hukupendezwa nazo. imeoshwa kwa maji safi. 23Tushike kwa uthabiti
7Ndipo niliposema, ‘Tazama niko hapa, lile tumaini la ukiri wetu bila kuyumba–yumba,
kama nilivyoandikiwa katika kitabu, kwa maana Yeye aliyeahidi ni mwaminifu.
Nimekuja kufanya mapenzi 24Tuangaliane na kuhimizana sisi kwa sisi
Yako, Ee Mungu.’ ” katika upendo na katika kutenda mema. 25Wala
tusiache kukutana pamoja, kama wengine
8Kwanza alisema, “Dhabihu na sadaka, sadaka walivyo na desturi ya kukutana, tuhimizane sisi
za kuteketezwa na za dhambi hukuzitaka, wala kwa sisi kadri tuonavyo siku ile inakaribia.
hukupendezwa nazo” (ingawa sheria iliagiza 26Kama tukiendelea kutenda dhambi kwa
zitolewe). 9Kisha akasema “Tazama niko hapa, makusudi baada ya kupokea ufahamu wa ile
nimekuja kuyafanya mapenzi Yako.” Aondoa lile kweli, hakubaki tena dhabihu kwa ajili ya
agano la kwanza ili kuimarisha la pili. 10Katika dhambi. 27Lakini kinachobaki ni kungoja kwa
mapenzi hayo sisi tumetakaswa na kufanywa hofu hukumu ya moto uwakao
8
WAEBRANIA
utakaowaangamiza adui za Mungu. 28 Ye yote 5Kwa imani Enoki alitwaliwa kutoka katika
aliyeikataa sheria ya Mose alikufa pasipo maisha haya, kiasi kwamba hakuonja mauti.
huruma kwa ushahidi wa watu wawili au watatu. Hakuonekana, kwa sababu Mungu alikuwa
29Je, mnadhani ni adhabu kali kiasi gani amemchukua. Kwa kuwa kabla hajatwaliwa
anayostahili kupewa mtu aliyemkanyaga Mwana alikuwa ameshuhudiwa kuwa ni mtu
wa Mungu chini ya nyao zake, yeye aliyeifanya aliyempendeza Mungu. 6Lakini pasipo imani
damu ya agano iliyomtakasa kuwa kitu najisi na haiwezekani kumpendeza Mungu, kwa maana
kumtendea maovu Roho wa neema? 30Kwa ye yote anayemjia Mungu lazima aamini
kuwa tunamjua Yeye aliyesema, “Kulipiza kisasi kwamba Yeye yuko na ya kuwa huwapa
ni juu Yangu, Mimi nitalipiza.” Tena asema, thawabu wale wamtafutao kwa bidii.
“Bwana atawahukumu watu Wake.” 31Ni jambo 7Kwa imani, Noa alipoonywa na Mungu
la kutisha kuanguka mikononi mwa Mungu aliye kuhusu mambo ambayo hayajaonekana bado,
hai. kwa kumcha Mungu alitengeneza safina ili
32Kumbukeni siku zile za kwanza, ambazo kuokoa jamaa yake. Kwa imani yake
mkiisha kutiwa nuru mlistahimili mashindano aliuhukumu ulimwengu na akawa mrithi wa haki
makali ya maumivu. 33Wakati mwingine ipatikanayo kwa imani.
mlitukanwa na kuteswa hadharani, wakati
mwingine mlikuwa radhi kuungana na wale Imani Ya Abrahamu
waliofanyiwa hivyo. 34Mliwahurumia wale 8Kwa imani Abrahamu, alipoitwa aende
waliokuwa kifungoni, mkikubali kwa furaha mahali ambapo Mungu angempa baadaye kuwa
kunyang’anganywa mali zenu kwa urithi, alitii na akaenda, ingawa hakujua
maana mlijua kwamba mnayo mali iliyo bora anakokwenda. 9 Kwa imani alifanya maskani
zaidi idumuyo. yake katika nchi ya ahadi kama mgeni katika
35Kwa hiyo msilitupe tumaini lenu, kwa nchi ya kigeni, akaishi katika mahema, kama
maana lina thawabu kubwa mno. 36Inawapasa Isaki na Yakobo walivyofanya, waliokuwa pia
kuvumilia ili mkiisha kufanya mapenzi ya Mungu warithi pamoja naye wa ahadi ile ile. 10Kwa
mpate kile alichoahidi. 37Kwa kuwa bado maana alikuwa akiutazamia mji wenye misingi
kitambo kidogo tu, ya kudumu ambao mwenye kuubuni na
kuujenga ni Mungu.
“Yeye ajaye atakuja wala hatakawia, 38Lakini 11 Kwa imani Abrahamu, ingawa alikuwa
mwenye haki Wangu ataishi kwa imani. mzee wa umri, naye Sara mwenyewe aliyekuwa
Lakini kama akisita-sita sina furaha naye.” tasa, alipokea uwezo wa kuwa baba kwa
sababu alimhesabu Mungu aliyemwahidi kuwa
39Lakini sisi hatumo miongoni mwa hao mwaminifu na kwamba angelitimiza ahadi Yake.
wanaosita na kuangamia, bali tuko miongoni 12Hivyo kutokana na huyu huyu ambaye
mwa hao wenye imani na hivyo tunaokolewa. alikuwa sawa na mfu, wakazaliwa wazao wengi
kama nyota za mbinguni na kama mchanga wa
Maana Ya Imani pwani usiohesabika.
11 Basi imani ni kuwa na hakika ya mambo 13Watu hawa wote wakafa katika imani bila
kuzipokea zile ahadi, lakini waliziona kwa mbali
yatarajiwayo, ni udhahiri wa mambo
yasiyoonekana. 2Naam, kwa imani baba na kuzishangilia. Nao walikubali kwamba
zetu wa kale walishuhudiwa. walikuwa wageni na wasiokuwa na maskani
3Kwa imani tunafahamu kwamba ulimwengu hapa duniani. 14Watu wasemao mambo kama
uliumbwa kwa neno la Mungu, vitu vyote haya, wanaonyesha wazi kwamba wanatafuta
vinavyoonekana viliumbwa kwa vitu nchi yao wenyewe. 15Kwa kweli kama
visivyoonekana. wangekuwa wanafikiri kuhusu nchi waliyoiacha,
wangalipata nafasi ya kurudi huko. 16 Lakini
Mfano Wa Abeli, Enoki Na Noa badala yake wanatamani nchi iliyo bora zaidi,
4 Kwa imani Abeli alimtolea Mungu dhabihu yaani, nchi ya mbinguni. Kwa hiyo Mungu haoni
bora zaidi kuliko Kaini. Kwa imani alishuhudiwa aibu kuitwa Mungu wao, kwa kuwa amekwisha
kuwa mwenye haki, Mungu mwenyewe kuandalia mji kwa ajili yao.
akazishuhudia sadaka zake. Kwa imani bado 17Kwa imani Abrahamu, alipojaribiwa na
ananena ingawa amekufa. Mungu, alimtoa Isaki kuwa dhabihu. Yeye
9
WAEBRANIA
aliyekuwa amezipokea ahadi za Mungu alikuwa Yeftha, Daudi, Samweli na manabii, 33ambao
tayari kumtoa mwanawe, aliyekuwa mwanawe kwa imani walishinda milki za wafalme,
pekee awe dhabihu. 18Ingawa Mungu alikuwa walitekeleza haki, walipokea ahadi za Mungu,
amemwambia Abrahamu, “Uzao wako walifunga vinywa vya simba, 34walizima makali
utahesabiwa kwa njia ya Isaki,’’ 19 Abrahamu ya miali ya moto, waliepuka kuuawa kwa
alihesabu kuwa Mungu angaliweza kumfufua upanga, udhaifu wao ukageuka kuwa nguvu,
Isaki kutoka kwa wafu na kwa kusema kwa walikuwa hodari vitani wakayashinda majeshi ya
mfano alimpata tena Isaki kutoka kwa wafu. wageni na kuyafukuza. 35Wanawake walipokea
20Kwa imani Isaki alimbariki Yakobo na watu wao waliokuwa wamekufa wakafufuliwa.
Esau kuhusu maisha yao ya baadaye. Lakini wengine waliteswa nao wakakataa
21Kwa imani Yakobo alipokuwa anakufa, kufunguliwa, ili wapate ufufuo ulio bora zaidi.
36Wengine walidhihakiwa na kupigwa, hata
alimbariki kila mmoja wa mtoto wa Yosefu,
akamwabudu Mungu akiwa ameegemea juu ya walifungwa minyonyoro na kutiwa gerezani.
kichwa cha fimbo yake. 37Walipigwa kwa mawe, walipasuliwa vipande
22Kwa imani, Yosefu alipokaribia mwisho viwili kwa msumemo, waliuawa kwa upanga,
wa maisha yake, alinena habari za kutoka kwa walizunguka-zunguka wakiwa wamevaa ngozi
wana wa Israeli huko Misri na akatoa maagizo za kondoo na mbuzi, wakiwa maskini, waliteswa
kuhusu mifupa yake. na kutendwa mabaya, 38watu ambao
ulimwengu haukustahili kuwa nao. Walizunguka
Imani Ya Mose majangwani na milimani, katika mapango na
23Kwa imani, wazazi wa Mose walimficha katika mahandaki ardhini.
kwa miezi mitatu baada ya kuzaliwa, kwa 39Hawa wote walishuhudiwa vema kwa
sababu waliona kuwa si mtoto wa kawaida, wala sababu ya imani yao, lakini hakuna hata mmoja
hawakuiogopa amri ya mfalme. wao aliyepokea yale yaliyoahidiwa. 40Kwa kuwa
24Kwa imani, Mose alipokuwa mtu mzima,
Mungu alikuwa ametangulia kutuwekea kitu
alikataa kuitwa mwana wa binti Farao. kilicho bora zaidi ili tu kwamba wao
25Akachagua kupata mateso pamoja na watu wasikamilishwe pasipo sisi.
wa Mungu kuliko kujifurahisha kwa anasa za
Mungu Huwaadibisha Wanawe
dhambi kwa kitambo kidogo tu. 26Aliona
kushutumiwa kwa ajili ya Kristo ni utajiri mkubwa 12 Kwa sababu hii, kwa kuwa tumezungukwa
zaidi kuliko hazina za Misri, maana alikuwa na wingu kubwa namna hii la mashahidi, basi na tuweke
anatazamia kupata thawabu baadaye. 27Kwa kando kila kitu
imani Mose aliondoka Misri bila kuogopa kinachotuzuia na ile dhambi inayotuzinga kwa
ghadhabu ya mfalme, alivumilia kwa sababu urahisi, nasi tupige mbio kwa saburi katika yale
alimwona Yeye asiyeonekana kwa macho. mashindano yaliyowekwa kwa ajili yetu. 2 Basi
28Kwa imani akaadhimisha Pasaka na na tumtazame sana Yesu mwanzilishi na
kunyunyiza damu, ili yule mwenye mkamilishaji wa imani yetu, Yeye ambaye kwa
kuwaangamiza wazaliwa wa kwanza asiwaguse ajili ya furaha iliyowekwa mbele Yake alistahimili
wazaliwa wa Israeli. msalaba, bila kujali aibu ya huo msalaba, naye
ameketi mkono wa kuume wa Mungu.
Imani Ya Mashujaa Wengine Wa Israeli 3Mtafakarini sana Yeye aliyestahimili upinzani
29Kwa imani, watu walivuka Bahari ya mkuu namna hii kutoka kwa watu wenye
Shamu kama vile juu ya nchi kavu, lakini dhambi, ili kwamba msije mkachoka na kukata
Wamisri walipojaribu kufanya hivyo, walitoswa tamaa.
ndani ya maji. 4Katika kushindana kwenu dhidi ya dhambi,
30Kwa imani kuta za Yeriko zilianguka, bado hamjapigana kiasi cha kumwaga damu
baada ya watu kuzizunguka kwa siku saba. yenu. 5Nanyi mmesahau yale maneno ya
31Kwa imani, Rahabu, yule kahaba, kuwaonya yanayowataja ninyi kuwa wana,
hakuangamizwa pamoja na wale waliomwasi yakisema,
Mungu, kwa kuwa aliwakaribisha wale
wapelelezi. “Mwanangu, usidharau kuadibishwa
32Basi niseme nini zaidi? Sina wakati wa na Bwana
kusema habari za Gideoni, Baraka, Samsoni, wala usikate tamaa,

10
WAEBRANIA
6kwa sababu Bwana huwaadibisha kutisha kiasi kwamba Mose alisema,
wale awapendao “Ninatetemeka kwa hofu.”
na humwadhibu kila mmoja anayemkubali 22Lakini ninyi mmeufikia Mlima wa Sayuni,
Yerusalemu ya mbinguni, mji wa Mungu aliye hai.
kuwa mtoto Wake.” Mmefika penye kusanyiko kubwa la malaika
maelfu kwa maelfu wasiohesabika
7Vumilieni taabu kwa ajili ya kufunzwa 23
wanaoshangilia, kwenye kanisa la wazaliwa wa
adabu. Mungu anawatendea ninyi kama watoto kwanza wa Mungu, ambao majina yao
Wake, kwa maana ni mtoto yupi asiyeadibishwa yameandikwa mbinguni. Mmekuja kwa Mungu,
na mzazi wake? 8Kama hakuna kuadibishwa mhukumu wa watu wote, kwenye roho za wenye
(ambalo ni fungu la watoto wote), basi ninyi ni haki waliokamilishwa, 24kwa Yesu mjumbe wa
watoto wa haramu wala si watoto halali. 9Tena, agano jipya na kwa damu iliyonyunyuzwa ile
sisi sote tunao baba wa kimwili, waliotuadibisha inenayo mambo mema kuliko damu ya Abeli.
nasi tukawaheshimu kwa ajili ya hilo. Je, si 25Angalieni, msije mkamkataa yeye
inatupasa kujinyenyekeza zaidi kwa Baba wa anenaye. Ikiwa wao hawakuepuka adhabu
roho zetu ili tuishi? 10Baba zetu walituadibisha walipomkataa yeye aliyewaonya hapa duniani,
kwa kitambo kidogo kama wao wenyewe sisi je, tutaokokaje tusimpomsikiliza Yeye
walivyoona vema, lakini Mungu hutuadibisha anayetuonya kutoka mbinguni? 26Wakati ule
kwa faida yetu ili tupate kushiriki utakatifu Wake. sauti Yake ilitetemesha dunia, lakini sasa
11Kuadibishwa wakati wo wote hakuonekani ameahidi, “Kwa mara moja tena nitatetemesha
kuwa kitu cha kufurahisha bali chenye maumivu si nchi tu bali na mbingu pia.”
kinapotekelezwa. Lakini baadaye huzaa 27Maneno haya, “Kwa mara moja tena”
matunda ya haki na amani kwa wale yanaonyesha kuondoshwa kwa vile vitu
waliofunzwa nayo. vinavyoweza kuondoshwa, yaani, vile vitu
12Kwa hiyo itieni nguvu mikono yenu iliyo vilivyoumbwa ili kusudi vibaki vile tu visivyoweza
dhaifu na magoti yenu yaliyolegea. kutetemeshwa.
13Sawazisheni mapito ya miguu yenu, ili kitu 28Kwa hiyo, kwa kuwa tunapokea ufalme ule
kilicho kiwete kisidhoofishwe bali kiponywe. ambao hauwezi kutetemeshwa, basi na tuwe na
shukrani na hivyo tumwabudu Mungu kwa namna
Onyo Dhidi Ya Kuikataa Neema Ya Mungu.
inavyompendeza, kwa unyenyekevu na uchaji,
14Tafuteni kwa bidii kuwa na amani na watu
29kwa kuwa “Mungu wetu ni moto ulao.”
wote na huo utakatifu, ambao bila kuwa nao,
Huduma Inayompendeza Mungu
hakuna mtu atakayemwona Bwana. 15Angalieni
sana mtu ye yote asiikose neema ya Mungu na 13 Upendo wa kidugu na udumu.
kwamba shina la uchungu lisije likachipuka na 2Msisahau kuwakaribisha wageni, kwa
kuwasumbua na watu wengi wakatiwa unajisi kuwa kwa kufanya hivyo, watu wengine
kwa hilo. 16 Angalieni miongoni mwenu asiwepo waliwakaribisha malaika pasipo kujua.
mwasherati au mtu asiyemcha Mungu kama 3Wakumbukeni wale waliofungwa gerezani
Esau, ambaye kwa ajili ya mlo mmoja aliuza kama vile nanyi mmefungwa pamoja nao, pia
haki ya uzaliwa wake wa kwanza. 17Mnajua wakumbukeni wale wanaotendwa vibaya, kama
kwamba baadaye kama mnavyofahamu, vile ni ninyi wenyewe mnateswa.
alipotaka kurithi ile baraka, alikataliwa, maana 4Ndoa na iheshimiwe na watu wote, nayo
hakupata nafasi ya kutubu, ingawa aliitafuta kwa malazi yawe safi, kwa kuwa Mungu
machozi. atawahukumu wazinzi na waasherati wote.
18Hamjaufikia mlima ule uwezao kuguswa 5Yalindeni maisha yenu msiwe na tabia ya
na ambao unawaka moto, wala kwenye giza, kupenda fedha, bali mridhike na vile mlivyo
utusitusi na dhoruba, 19kwenye mlio wa navyo, kwa sababu Mungu amesema,
tarumbeta, au kwenye sauti isemayo maneno ya
kutisha kiasi ambacho wale walioisikia waliomba “Kamwe sitakuacha
wasiambiwe neno jingine zaidi, 20kwa sababu wala sitakupungukia.”
wasingeliweza kustahimili neno lile lililoamriwa: 6Kwa hiyo tunaweza kusema kwa ujasiri,
“Hata kama mnyama atagusa mlima huu,
atapigwa mawe.” 21Waliyoyaona yalikuwa ya
11
WAEBRANIA
“Bwana ni msaada wangu, sitaogopa, Maneno Ya Mwisho Na Salamu
mwanadamu atanitenda nini?” 22Ndugu zangu, nawasihi mchukuliane na
maneno yangu ya maonyo, kwa kuwa
7Wakumbukeni viongozi wenu, wale nimewaandikia waraka mfupi tu.
waliowaambia neno la Mungu. Angalieni 23Nataka ninyi mjue kwamba ndugu yetu
matokeo ya mwenendo wa maisha yao mkaiige Timotheo amefunguliwa kutoka gerezani. Akifika
imani yao. 8 Yesu Kristo ni Yeye yule jana, leo mapema, nitakuja pamoja naye kuwaona.
na hata milele. 24Wasalimuni viongozi wenu wote na
9Msichukuliwe na kila aina ya mafundisho ya watakatifu wote. Wale wa kutoka Italia
kigeni. Ni vema mioyo yenu iimarishwe kwa wanawasalimu.
neema, wala si kwa sheria kuhusu utaratibu wa 25Neema iwe nanyi nyote. Amen.
vyakula, ambavyo havina faida kwa wale
wanaozishika. 10Sisi tunayo madhabahu ambayo
wale wanaohudumu katika hema hawana haki ya
kula vile vitu vilivyowekwa juu yake.
11Kuhani mkuu huchukua damu ya
wanyama na kuiingiza Patakatifu pa Patakatifu,
kama sadaka ya dhambi, lakini miili ya hao
wanyama huteketezwa nje ya kambi. 12Vivyo
hivyo Yesu naye aliteswa nje ya lango la mji ili
awatakase watu kwa damu Yake mwenyewe.
13Kwa hiyo basi na tumwendee nje ya kambi,
tukiichukua aibu aliyobeba. 14Kwa kuwa hapa
hatuna mji udumuo, bali tunautafuta ule ujao.
15Basi kwa njia Yake, tuzidi kumtolea
Mungu dhabihu ya sifa, yaani, matunda ya
midomo inayolikiri Jina Lake. 16Msiache kutenda
mema na kushirikiana vile mlivyo navyo, kwa
kuwa dhabihu kama hizo ndizo zinazompendeza
Mungu.
17Watiini viongozi wenu na kujinyenyekeza
chini ya mamlaka yao. Kwa maana wao
wanakesha kwa ajili yenu kama watu
watakaopaswa kutoa hesabu. Watiini ili kwamba
wafanye kazi yao kwa furaha, wala si kama
mzigo, maana hiyo haitakuwa na faida kwenu.
18Tuombeeni. Tuna hakika kuwa tunayo
dhamiri safi na shauku ya kuishi kwa uadilifu
kwa kila njia. 19Ninawasihi zaidi mniombee ili
nipate kurudishwa kwenu upesi.

Maombi Ya Kuwatakia Baraka


20Basi Mungu wa amani, ambaye kwa damu
ya agano la milele alimleta tena kutoka kwa
wafu Bwana wetu Yesu, yule Mchungaji Mkuu
wa kondoo, 21awafanye ninyi wakamilifu mkiwa
mmekamilishwa katika kila jambo jema ili mpate
kutenda mapenzi Yake, ili atende ndani yetu kile
kinachompendeza machoni Pake, kwa njia ya
Yesu Kristo, ambaye utukufu una Yeye milele na
milele. Amen.

12
Yakobo
Utangulizi
Waraka wa Yakobo unaweza ukawa mojawapo ya nyaraka za kwanza kabisa katika Agano Jipya, huenda
wakati mmoja na ule wa Paulo kwa Wagalatia. Waraka huu uliandikiwa kwa Wakristo wa Kiyahudi wa Utawanyiko
waliokuwa katika hali ya ugeni huko Ponto, Galatia, Kapadokia, Asia na Bithinia ili kuwapatia mawaidha kuhusu
jinsi inavyopasa kuishi kama waamini wakidhihirishwa na matendo mema na imani itendayo kazi.. Barua hii ina
methali nyingi fupi fupi zinazosaidia kuweka wazi yale mafundisho ya Bwana Yesu ya Mlimani. Matatizo
yanayozungumziwa ni matatizo yaliyokuwa yakiwasumbua waamini.

Tunasoma juu ya kiburi, ubaguzi, choyo, tamaa, unafiki, kupenda anasa na kusengenya. Yakobo anaandika
kusahihisha makosa haya kwa kuonyesha kwamba imani pasipo matendo imekufa (2:26). Hii ina maana kuwa
kusema tu kwamba unaamini hakutoshi. Imani halisi huambatana na matendo.

Wazo kuu
Yakobo anasisitiza umuhimu wa mkristo kuishi maisha yanayodhihirisha hali yake ya ndani. Hapo ndipo
ulimwengu utapata kujua jinsi Injili iwezavyo kubadili maisha ya watu. Kama mtu anajiita mkristo lakini maisha
yake ni sawasawa na ya mtu asiyeamini, atakuwa hajapata faida yo yote, nao watu wanaomwona pia watakuwa
hawajasaidika cho chote. Ukweli ni kwamba Injili hubadilisha maisha. Kama tukijitoa kwa Kristo tutaona kwamba,
kwa sababu ya imani yetu, matendo hai yaliyo mema na yenye upendo yatatiririka na kuwabariki wengine.

Tarehe
Waraka huu unawezekana ukawa umeandikwa wakati mmoja na ule wa Wagalatia kama 48 B.K.

Mwandishi
Yakobo ambaye kwenye Injili ametambuliwa kuwa ndugu wa kunyonya wa Yesu (Mk.6:3)

Mgawanyo
• Maisha ya imani ya kweli (1:1-27)
• Matarajio ya watu wasioamini kwa Wakristo (2:1-13)
• Imani ya kweli na matendo (2:14-26)
• Kuhusu kuutawala ulimi (3:1-18)
• Mwenendo upasao (4:1-17)
• Matajiri wakemewa (5:1-6)
• Mawaidha ya mwisho (5:7-20).

1
Yakobo
1 Yakobo, mtumwa wa Mungu na wa Bwana Yesu
Kristo,
wala kivuli cha kugeuka-geuka. 18Kwa mapenzi
Yake mwenyewe alituzaa kwa Neno la kweli,
kusudi tuwe kama mazao ya kwanza katika
Kwa makabila kumi na mawili viumbe Vyake vyote.
yaliyotawanyika ulimwenguni, salamu.
Kusikia Na Kutenda
Imani Na Hekima 19Ndugu zangu wapendwa, fahamuni jambo
2 Ndugu zangu, hesabuni kuwa ni furaha hili: Kila mtu awe mwepesi wa kusikia, lakini
tupu mnapopatwa na majaribu mbalimbali, 3kwa asiwe mwepesi wa kusema wala wa kukasirika.
20Kwa maana hasira ya mwanadamu haitendi
sababu mnajua ya kuwa kujaribiwa kwa imani
yenu huleta saburi. 4Saburi na iwe na kazi haki ya Mungu. 21Kwa hiyo, ondoleeni mbali
timilifu, ili mpate kuwa wakamilifu, uchafu wote na uovu ambao umezidi kuwa
mmekamilishwa, bila kupungukiwa na kitu cho mwingi, mkalipokee kwa unyenyekevu lile Neno
chote. 5Kama mtu ye yote miongoni mwenu lililopandwa ndani yenu ambalo laweza kuokoa
amepungukiwa na hekima na amwombe Mungu, nafsi zenu.
Yeye awapaye watu wote kwa ukarimu wala 22Basi iweni watendaji wa Neno wala msiwe
hana kinyongo, naye atapewa. 6Lakini wasikiaji tu, huku mkijidanganya nafsi zenu.
anapoomba, lazima aamini wala asiwe na 23Kwa maana kama mtu ni msikiaji tu wa Neno
shaka, kwa sababu mtu aliye na shaka ni kama wala hatendi kile linachosema, yeye ni kama
wimbi la bahari, lililochukuliwa na upepo na mtu ajitazamaye uso wake kwenye kioo 24na
kutupwa huku na huku. 7Mtu kama huyo baada ya kujiona alivyo, huenda zake na mara
asidhani ya kuwa atapata kitu cho chote kutoka husahau jinsi alivyo. 25Lakini yeye anayeangalia
kwa Bwana. 8Yeye ni mtu mwenye nia mbili, kwa bidii katika sheria kamilifu, ile iletayo uhuru,
mwenye kusitasita katika njia zake zote. naye akaendelea kufanya hivyo bila kusahau
alichosikia, bali akalitenda, atabarikiwa katika
Umaskini Na Utajiri kile anachofanya.
9Ndugu asiye na cheo kikubwa yampasa 26Kama mtu akidhani ya kuwa anayo dini

ajivunie hali hiyo maana ametukuzwa. 10Lakini lakini hauzuii ulimi wake kwa hatamu, bali
yeye aliye tajiri yampasa asijivunie hali hiyo hujidanganya moyoni mwake, dini yake mtu
maana ameshushwa, kwa sababu atatoweka huyo haifai kitu. 27Dini iliyo safi, isiyo na uchafu,
kama ua la shambani. 11Kwa maana jua kali inayokubalika mbele za Mungu Baba yetu,
lenye kuchoma huchomoza na kuliuunguza, ndiyo hii: Kuwasaidia yatima na wajane katika
likayakausha majani na ua lake likapukutika nao dhiki zao na kujilinda usitiwe madoa na dunia.
uzuri wake huharibika. Vivyo hivyo tajiri naye
atanyauka akiwa anaendelea na shughuli zake. Onyo Kuhusu Upendeleo

Kujaribiwa 2yaNdugu zangu, kama waaminio katika imani


Bwana wetu Yesu Kristo, Bwana wa utukufu,
12Heri mtu anayevumilia wakati wa msiwe na upendeleo kwa watu.
majaribu, kwa sababu akiisha kushinda hilo 2Kwa maana kama akija mtu katika kusanyiko
jaribio atapewa taji ya uzima Mungu lenu akiwa amevaa pete ya dhahabu na mavazi
aliyowaahidia wale wampendao. mazuri, pia akaingia mtu maskini mwenye
13Mtu anapojaribiwa asiseme, ‘‘Ninajaribiwa mavazi yaliyochakaa, 3nanyi mkampa heshima
na Mungu’’ kwa maana Mungu hawezi yule aliyevaa mavazi mazuri na kumwambia,
kujaribiwa na maovu wala Yeye hamjaribu mtu ‘‘Keti hapa mahali pazuri,’’ lakini yule maskini
ye yote. 14 Lakini kila mtu hujaribiwa wakati mkamwambia, ‘‘Wewe simama pale,’’ au ‘‘Keti
anapovutwa na kudanganywa na tamaa zake hapa sakafuni, karibu na miguu yangu,’’ 4je,
mwenyewe. 15Basi ile tamaa akiisha kuchukua hamjawabagua na kuwa mahakimu mioyoni
mimba, huzaa dhambi, ile dhambi ikikomaa, mwenu mkihukumu kwa mawazo yenu maovu?
huzaa mauti. 5Ndugu zangu, sikilizeni: Je, Mungu
16Ndugu zangu, msidanganyike. 17Kila hakuwachagua wale walio maskini machoni pa
kitolewacho kilicho chema na kilicho kamili, ulimwengu kuwa matajiri katika imani na kuurithi
hutoka juu, hushuka kutoka kwa Baba wa Ufalme aliowaahidi wale wampendao? 6Lakini
mianga, ambaye Kwake hakuna kubadilika, ninyi mmemdharau yule aliye maskini. Je, hao
2
Yakobo
matajiri si ndio wanaowadhulumu na alipowapokea wale wapelelezi na kuwaambia
kuwapeleka mahakamani? 7Je, si wao waende njia nyingine? 26Kama vile ambavyo
wanaolikufuru Jina lile lililo bora sana mliloitiwa? mwili pasipo roho umekufa, kadhalika nayo
8Kama kweli mnaitimiza ile sheria ya kifalme imani pasipo matendo imekufa.
inayopatikana katika Maandiko isemayo,
‘‘Mpende jirani yako kama unavyoipenda nafsi Kuufuga Ulimi
yako,’’ mnafanya vema. 9 Lakini kama mnakuwa
na upendeleo kwa watu, mnatenda dhambi na
3 Ndugu zangu, msiwe walimu wengi, kwa maana
mnafahamu kwamba sisi tufundishao
sheria inawahukumu kuwa ninyi ni wakosaji.
10Kwa maana mtu ye yote anayeishika sheria tutahukumiwa vikali zaidi. 2Sisi sote tunajikwaa katika
mambo mengi. Ikiwa mtu ye yote hakosei kamwe
yote lakini akajikwaa katika kipengele kimoja tu, katika yale anayosema, yeye ni mkamilifu, naye
ana hatia ya kuivunja sheria yote. 11Kwa anaweza kuuzuia pia na
sababu Yeye aliyesema, ‘‘Usizini,’’ alisema pia, mwili wake wote.
‘‘Usiue.’’ Basi kama huzini lakini unaua, 3Tunapotia lijamu kwenye vinywa vya farasi
umekuwa mvunjaji wa sheria yote. ni ili kuwafanya watutii, hivyo tunaweza
12Hivyo semeni na kutenda kama watu
kuigeuza miili yao yote. 4Au angalia pia meli,
watakaohukumiwa kwa sheria ile iletayo uhuru. ingawa ni kubwa sana, nazo huchukuliwa na
13Kwa kuwa hukumu itakuwa haina huruma kwa upepo mkali, lakini hugeuzwa kwa usukani
mtu ye yote asiyekuwa na huruma. Huruma mdogo sana, ko kote anakotaka nahodha.
huishinda hukumu. 5Vivyo hivyo ulimi ni kiungo kidogo sana katika
mwili, lakini hujivuna majivuno makuu. Fikirini
Imani Na Matendo jinsi moto mdogo unavyoweza kuteketeza msitu
14 Ndugu zangu, yafaa nini ikiwa mtu atadai
mkubwa! 6Ulimi pia ni moto, ndio ulimwengu wa
kuwa anayo imani lakini hana matendo? Je, uovu katika ya viungo vya mwili wetu. Ulimi
imani kama hiyo yaweza kumwokoa? 15Ikiwa huutia mwili wote wa mtu unajisi na kuuwasha
ndugu yako au dada hana mavazi wala chakula, moto mfumo mzima wa maisha yake, nao
16mmoja wenu akamwambia, ‘‘Enenda zako wenyewe huchomwa moto wa jehanam.
kwa amani, ukaote moto na kushiba,’’ pasipo 7Kwa maana kila aina ya mnyama na
kumpatia yale mahitaji ya mwili aliyopungukiwa, ndege, wanyama watambaao na wanyama wa
yafaa nini ? 17Vivyo hivyo, imani peke yake kila aina, ndege, nyoka na viumbe vya baharini
kama haikuimbatana na matendo, imekufa. wanaweza kufugwa na vimekwisha kufugwa na
18Lakini mtu mwingine atasema, ‘‘Wewe binadamu, 8lakini hakuna mtu awezaye kuufuga
unayo imani, mimi ninayo matendo.’’ ulimi. Ni uovu usiotulia, umejaa sumu iletayo
Nionyeshe imani yako pasipo matendo nami mauti.
nitakuonyesha imani yangu kwa matendo. 9Kwa ulimi tunamhimidi Bwana, yaani, Baba
19Unaamini kwamba kuna Mungu mmoja. yetu na kwa huo twawalaani watu walioumbwa
Vema! Hata mashetani yanaamini hivyo na kwa mfano wa Mungu. 10Katika kinywa hicho
kutetemeka. hicho hutoka baraka na laana. Ndugu zangu,
20 Je, wataka kujua, wewe mwanadamu
haistahili kuwa hivyo. 11 Je, chemchemi yaweza
usiye kitu, kwamba imani bila matendo haifai kutoa katika tundu moja maji matamu na maji ya
kitu? 21Je, Abrahamu baba yetu hakuhesabiwa chumvi? 12Je, ndugu zangu, mtini waweza
haki kwa kile alichotenda, alipomtoa mwanawe kuzaa zeituni, au mzabibu kuzaa tini? Wala
Isaki madhabahuni? 22Unaona jinsi ambavyo chemchemi ya maji ya chumvi haiwezi kutoa
imani yake na matendo yake vilikuwa vinatenda maji matamu.
kazi pamoja, nayo imani yake ikakamilishwa na
kile alichotenda. 23Kwa njia hiyo yakatimizwa Aina Mbili Za Hekima
yale Maandiko yasemayo, ‘‘Abrahamu 13Ni nani aliye na hekima na ufahamu
alimwamini Mungu, ikahesabiwa kwake kuwa miongoni mwenu? Basi na aionyeshe hiyo kwa
haki,’’ naye akaitwa rafiki wa Mungu. 24Mnaona maisha yake mema na kwa matendo yake
ya kwamba mtu huhesabiwa haki kwa yale yaliyotendwa kwa unyenyekevu utokanao na
anayotenda wala si kwa imani peke yake. hekima. 14Lakini ikiwa mna wivu na ni wenye
25Vivyo hivyo, hata Rahabu, yule kahaba,
chuki na ugomvi mioyoni mwenu, msijisifu kwa
hakuhesabiwa haki kwa yale aliyotenda
ajili ya hayo wala msiikatae kweli. 15Hekima ya
3
Yakobo
namna hiyo haishuki kutoka mbinguni bali ni ya basi huishiki sheria bali umekuwa hakimu wa
kidunia, ya tabia ya kibinadamu wala si ya kuihukumu hiyo sheria. 12Yuko Mtoa–Sheria
kiroho bali ni ya Shetani. 16 Kwa maana mmoja tu na Yeye peke Yake ndiye Hakimu.
panapokuwa na wivu na ugomvi ndipo penye Yeye awezaye kuokoa na kuangamiza. Lakini
machafuko na uovu wa kila namna. wewe ni nani hata umhukumu jirani yako?
17Lakini hekima itokayo mbinguni kwanza ni
safi, kisha inapenda amani, ya upole, iliyo tayari Kujivuna Kwa Ajili Ya Kesho
kusikiliza maneno ya watu wengine, yenye 13Basi sikilizeni ninyi msemao, ‘‘Leo au
unyenyekevu, iliyojaa huruma na matunda kesho tutakwenda katika mji huu ama ule tukae
mema, isiyopendelea mtu, tena ya kweli. humo mwaka mmoja, tufanye biashara na
18Mavuno ya haki hupandwa katika amani na kupata faida.’’ 14Lakini hamjui hata litakalotukia
wale wafanyao amani. kesho. Maisha yenu ni nini? Ninyi ni ukungu
ambao huonekana kwa kitambo kidogo kisha
Jinyenyekezeni Kwa Mungu hutoweka. 15Badala yake, inawapasa kusema,
‘‘Kama Bwana akipenda, tutaishi na kufanya hili

4 Ni kitu gani kinachosababisha mapigano na


ugomvi miongoni mwenu? Je, haya hayatokani na
ama lile.’’ 16Kama ilivyo sasa, mnajisifu na
kujigamba. Kujisifu kwa namna hiyo ni kubaya.
17Basi mtu ye yote anayejua jema limpasalo
tamaa zenu zinazoshindana ndani yenu?
2Mnatamani lakini hampati, kwa hiyo mwaua. kutenda, lakini asilitende, mtu huyo anatenda
Mwatamani kupata lakini hampati vile dhambi.
mnavyotaka, kwa hiyo mnajitia katika magomvi
na mapigano. Mmepungukiwa kwa sababu Onyo Kwa Matajiri
hamumwombi Mungu. 3Mnapoomba hampati
kwa sababu mnaomba kwa nia mbaya, ili mpate

tamaa zenu.
kuvitumia hivyo mtakavyopata kwa

4Ninyi wanaume na wanawake wanzinzi,


5 Basi sikilizeni, ninyi matajiri, lieni na
kuomboleza kwa ajili ya hali mbaya sana
hamjui ya kwamba urafiki na dunia ni uadui na inayowajia. 2Utajiri wenu umeoza na mavazi
Mungu? Kwa hiyo mtu ye yote anayetaka kuwa yenu yameliwa na nondo. 3Dhahabu yenu na
fedha yenu vimeliwa na kutu. Kutu yake
rafiki wa dunia hufanyika adui wa Mungu. 5Au itashuhudia dhidi yenu nayo itaila miili yenu
mwadhani kwamba maandiko yanasema bure kama vile moto. Mmejiwekea hazina kwa ajili ya
kuwa, huyo Roho ambaye Mungu amemweka siku za mwisho. 4Angalieni! Ule ujira wa vibarua
ndani yetu hututamani kiasi cha kuona wivu? waliolima mashamba yenu mliouzuia kwa hila
6Lakini Yeye hutupatia neema zaidi. Hii ndiyo unapiga kelele dhidi yenu na vilio vya wavunaji
vimefika masikioni mwa Bwana wa majeshia.
sababu Maandiko husema: 5Mmeishi duniani kwa anasa na kwa starehe,
mmejinenepesha kama vile katika siku ya
‘‘Mungu huwapinga wenye kiburi, karamu. 6Mmewahukumu na kuwauwa watu
lakini huwapa wanyenyekevu neema.’’ wenye haki , ambao walikuwa hawapingani
nanyi.
7Basi mtiini Mungu. Mpingeni Shetani, naye
atawakimbia. 8Mkaribieni Mungu, naye Uvumilivu Katika Mateso
atawakaribia ninyi. Itakaseni mikono yenu, ninyi 7Kwa hiyo, ndugu zangu, vumilieni hadi kuja
wenye dhambi na kuisafisha mioyo yenu, ninyi Kwake Bwana. Angalieni jinsi mkulima
wenye nia mbili. 9Huzunikeni, ombolezeni na angojavyo ardhi itoe mavuno yake yaliyo ya
kulia. Kicheko chenu na kigeuzwe kuwa thamani na jinsi anavyovumilia kwa ajili ya
kuombeleza na furaha yenu kuwa huzuni. kupata mvua za kwanza na za mwisho. 8Ninyi
10Jinyenyekezeni mbele za Bwana, naye nanyi vumilieni tena simameni imara, kwa
atawainua. sababu kuja kwa Bwana kumekaribia. 9Ndugu
zangu, msinung'unikiane msije mkahukumiwa.
Onyo Kuhusu Kuhukumu Wengine Hakimu amesimama mlangoni!
11 Ndugu, msineneane mabaya ninyi kwa
ninyi. Mtu ye yote anayesema mabaya dhidi ya
ndugu yake au kumhukumu anasema dhidi ya a4 Bwana wa majeshi hapa ni neno la Kiebrania, Bwana
sheria na kuihukumu. Unapoihukumu sheria, wa Sabaoth pia kwenye (Rum. 9:29, Isa. 1:9)

4
Yakobo
10Ndugu zangu, waangalieni manabii
walionena kwa Jina la Bwana, ili kuwa mfano wa
uvumilivu katika kukabiliana na mateso. 11Kama
mnavyojua, tunawahesabu kuwa wamebarikiwa
wale waliovumilia. Mmesikia habari za uvumilivu
wake Ayubu na mmeona kile ambacho hatimaye
Bwana alimtendea. Bwana ni mwingi wa huruma
naye aliyejaa rehema.
12Zaidi ya yote, ndugu zangu, msiape, ama
kwa mbingu, au kwa dunia au kwa kitu kingine
cho chote. ‘‘Ndiyo’’ yenu na iwe ndiyo na
‘‘Hapana’’ yenu, iwe hapana, la sivyo
mtahukumiwa.

Maombi Ya Imani
13Je, mtu ye yote miongoni mwenu
amepatwa na taabu? Basi inampasa aombe. Je,
kuna ye yote mwenye furaha? Basi na aimbe
nyimbo za kusifu. 14Je, kuna ye yote miongoni
mwenu aliye mgonjwa? Basi inampasa awaite
wazee wa kanisa wamwombee na kumpaka
mafuta kwa Jina la Bwana. 15Kule kuomba kwa
imani kutamwokoa huyo mgonjwa, naye Bwana
atamwinua na kama ametenda dhambi,
atasamehewa. 16Kwa hiyo ungamianeni
makosa yenu ninyi kwa ninyi na kuombeana ili
mpate kuponywa. Maombi ya mwenye haki
yana nguvu tena yanafaa sana.
17Eliya alikuwa mwanadamu kama sisi.
Akaomba kwa bidii kwamba mvua isinyeshe
nayo haikunyesha juu ya nchi kwa muda wa
miaka mitatu na miezi sita. 18Kisha akaomba
tena, mbingu zikatoa mvua nayo ardhi ikatoa
mazao yake.
19Ndugu zangu, ye yote miongoni mwenu
akipotoka na kuicha kweli, naye akarejezwa na
mtu mwingine, 20hamna budi kujua kwamba ye
yote amrejezaye mwenye dhambi kutoka katika
upotovu wake, ataiokoa roho ya huyo mwenye
dhambi kutoka katika mauti na kusitiri wingi wa
dhambi.

5
Yakobo

6
1Petro
Utangulizi
Petro ni mmoja wa wale wanafunzi kumi na wawili wa Yesu ambaye aliyaandikia makanisa ya sehemu ya
kaskazini ya Asia Ndogo waraka huu muda mfupi kabla ya kufa kwake. Petro anapotumia neno “Babeli” (5:3),
alikuwa akimaanisha Rumi, maadam hatuna ushahidi wo wote unaoonyesha kwamba alikuwa Babeli huko
Eufrati. Ule ukweli kwamba Yohana Marko (1Petro 5:14) alikuwa huko Rumi pamoja na Paulo wakati kama huu
unatoa uwezekano mkubwa zaidi kuwa mwandishi alikuwa Rumi wakati anauandika waraka huu.
Waraka huu unaonyesha kwamba waamini walikuwa wanakabiliwa na dhiki na mateso. Shabaha yake
ilikuwa kuwafariji waamini waliokuwa wakiishi Asia, kwani ni katika kipindi hiki cha miaka ya sitini utawala wa
Rumi chini ya Nero ulipobadili hali yake ya uvumilivu na kuanza mateso huko Rumi. Kutokana na mapokeo, Petro
na Paulo waliuawa huko Rumi mnamo mwishoni mwa miaka hiyo ya sitini kwa sababu ya kukataa kuikana imani.
Petro anaonyesha kwamba mateso ni sehemu ya maisha ya Kikristo na kwamba Mungu ameandaa thawabu
zisizoharibika kwa wote wamwaminio. Kwa kuwa kuenea kwa mateso kutoka kwa serikali ya Rumi hayakuenea
pote hadi mwishoni mwa karne ya kwanza chini ya utawala wa Domitia, inaonekana kwamba mateso ya waamini
waliyokuwa wanapata ni kutoka kwenye mazingira yao ya kipagani. Kwa wale waliokuwa wanafikiria kurudia
imani yao ya Kiyahudi ili kuepuka mateso, anawaambia kuwa sasa kanisa ndilo ukuhani wa kifalme, taifa takatifu,
watu ambao ni milki Yake Mungu (2:9). Kwa hiyo mawazo ya kurejea imani ya Kiyahudi yalikuwa hayana faida yo
yote. Kisha Petro anatoa mfano wa Kristo na jinsi alivyopata mateso na kuwakumbusha waamini kuwa wao pia
hawana budi kupata mateso. Mwisho, Petro anatoa maagizo kwa vikundi mbalimbali vya wakristo.

Wazo Kuu
Kiini kikuu cha waraka huu ni mateso, neno ambalo limetajwa mara kumi na sita na ushindi utakaopatikana
baada ya mateso. Wakristo wa kwanza walipata mateso mengi. Wengi wao waliuawa kwa ajili ya imani yao.
Lakini waraka huu unatuonyesha kwamba hata kama tutauawa kwa ajili ya imani, tushikilie imani yetu. Mungu
anafahamu yote yanayotendeka na katika mpango Wake wa milele hatimaye mambo yote yatakamilika kwa
utukufu Wake.Katika elimu kumhusu Kristo, mateso ya Kristo yamerudiwa mara kwa mara. Mwandishi
anaonyesha tumaini la wakati wa mwisho kama kitu cha kumtia moyo mwamini katika mateso. Wakristo
wanaoishi katika ulimwengu wenye uadui hawana budi kuteswa kama Kristo alivyo teswa na kuruhusu neema ya
Mungu kukuzwa maishani mwao. Wajibu wetu ni kumtegemea Mungu sikuzote, tukitambua kwamba hapa
duniani sisi ni wapitaji na wasafiri na yakwamba maskani yetu ni mbinguni.

Mwandishi
Petro.

Tarehe
Waraka huu uliandikwa kama 63 B.K.

Mahali
Inaonekana Petro alikuwa Rumi wakati anaandika waraka huu.

Mgawanyo
• Utukufu wa wokovu wa Kristo (1:1-25)
• Utii wa mkristo (2:1-10) Mfano wa mateso ya Kristo (2:11-25)
• Maisha yampasayo mkristo nyumbani kwake na hapa duniani (3:1-17)
• Mateso na mfano wa Kristo (3:18-4:19)
• Huduma ya kikristo na mawaidha ya mwisho (5:1-14)

1
1Petro
Mwito Wa Kuishi Maisha Matakatifu
Salamu 13Kwa hiyo, vifungeni viuno vya nia zenu, mwe na
kiasi, mkitumainia kikamilifu ile neema mtakayopewa,
1 Petro, mtume wa Yesu Kristo, Yesu Kristo atakapodhihirishwa. 14Kama watoto
Kwa wateule wa Mungu, wageni katika watiifu, msifuate tamaa zenu mbaya za kwanza za
ulimwengu, waliotawanyika kote katika Ponto, wakati wa ujinga. 15Bali kama Yeye aliyewaita alivyo
Galatia, Kapadokia, Asia na Bithinia. mtakatifu, ninyi nanyi iweni watakatifu katika
2Ninawaandikia ninyi ambao mlichaguliwa tangu mwenendo wenu wote, 16kwa maana imeandikwa:
mwanzo na Mungu Baba kulingana na “Mtakuwa watakatifu, kwa kuwa Mimi ni mtakatifu.”
alivyotangulia kuwajua, kwa kazi ya utakaso wa 17Nanyi kama mnamwita “Baba,” Yeye
Roho, katika utii na kunyunyizwa damu ya Yesu ahukumuye kila mtu kulingana na matendo yake
Kristo: pasipo upendeleo, enendeni kwa hofu ya kumcha
Mungu wakati wenu wa kukaa hapa duniani kama
Neema iwe nanyi na amani iongezwe wageni. 18Kwa maana mnafahamu kwamba
kwenu. mlikombolewa kutoka katika mwenendo wenu usiofaa
ambao mliurithi kutoka kwa baba zenu, si kwa vitu
Tumaini Lenye Uzima viharibikavyo, yaani, kwa fedha na dhahabu, 19bali
3Ahimidiwe Mungu, Baba wa Bwana wetu kwa damu ya thamani ya Kristo, kama ile ya Mwana-
Yesu Kristo! Kwa rehema zake kuu ametufzaa Kondoo asiye na dosari wala doa. 20Yeye aliwekewa
sisi mara ya pili katika tumaini lenye uzima kwa hayo kabla ya kuwekwa kwa misingi ya ulimwengu,
kufufuka kwa Yesu Kristo kutoka kwa wafu 4ili lakini akadhihirishwa katika siku hizi za mwisho kwa
tuupate urithi usioharibika, usio na uchafu, ule ajili yenu, 21ambaye kwa Yeye mmemwamini Mungu
usionyauka, uliotunzwa mbinguni kwa ajili yenu. aliyemfufua kutoka kwa wafu akampa utukufu, ili imani
5Nanyi, mnalindwa na nguvu za Mungu kwa njia yenu na tumaini lenu liwe kwa Mungu.
ya imani hadi uje ule wokovu ulio tayari 22Basi kwa kuwa mmejitakasa nafsi zenu kwa
kufunuliwa nyakati za mwisho. 6Katika hili kuitii ile kweli kwa njia ya Roho kwa kuwapenda ndugu
mnafurahi sana, ingawa sasa kwa kitambo zenu kwa upendo wa kweli, pendaneni kwa dhati
kidogo, ikiwa ni lazima, mmehuzunishwa kwa kutoka moyoni. 23Kwa maana mmezaliwa upya, si
majaribu ya namna nyingi, 7ili kwamba uhalisi kwa mbegu ile iharibikayo, bali kwa ile isiyoharibika,
wa imani yenu, yenye thamani kuliko dhahabu, kwa neno la Mungu lililo hai na linalodumu hata milele.
ingwa hupotea, yenyewe hujaribiwa kw moto, ili 24Maana,
ionekane kuwa katika sifa, heshima na utukufu,
Yesu Kristo atakapodhihirishwa. 8Ambaye “Mwili wote ni kama majani
ingawa hamjamwona, mnampenda, tena ingawa na utukufu wote wa binadamu ni kama ua
sasa hamumwoni, mnamwani na kujawa na la majani, kama ua la majani,
furaha isiyoneneka yenye utukufu usioelezeka. majani hunyauka na ua lake
9Maana mnaupokea wokovu wa roho zenu, hupukutika, 25 lakini neno la Mungu ladumu
ambao ndio lengo la imani yenu. milele.”
10Kwa habari ya wokovu huu, wale manabii
walosema kuhusu neema ambayo ingewajia Hili ndilo neno lililohubiriwa kwenu.
ninyi, walitafuta kwa bidii na kwa uangalifu
Jiwe Lililo Hai Na Watu Waliochaguliwa
mkubwa, 11wakijaribu kujua ni wakati upi na
katika mazingira gani ambayo ndani yao Roho 2 Kwa hiyo, wekeni mbali nanyi uovu wote na udanganyifu
wa Kristo aliyokuwa akionyesha alipotabiri wote, unafiki, wivu na masingizio ya kila namna. 2Kama
kuhusu mateso ya Kristo na utukufu ule ambao watoto wachanga, waliozaliwa
sasa, yatamanini maziwa ya kiroho yasiyoghoshiwa, ili
ungefuata. 12Mitume walidhihirishiwa kwamba
walikuwa hawajihudumii wao wenyewe, bali kwa hayo mpate kuukulia wokovu, 3ikiwa kweli
walihudumu kwa ajili yenu katika mambo hayo mmeonja ya kwamba Bwana ni mwema.
4Mwendeeni Yeye aliye Jiwe lililo hai, lililokataliwa
ambayo sasa yamehubiriwa kwenu na wale
waliowahubiri ninyi Injili kwa Roho Mtakatifu na wanadamu bali kwa Mungu ni teule na la thamani
aliyetumwa kutoka mbinguni. Mambo ambayo Kwake. 5Ninyi nanyi, kama mawe yaliyo hai,
hata malaika wanatamani kuyafahamu. mmejengwa kuwa nyumba ya Roho, mpate kuwa
ukuhani mtakatifu, mkitoa dhabihu za kiroho
2
1Petro
zinazokubaliwa na Mungu kwa njia ya Yesu
Mfano Wa Mateso Ya Kristo
Kristo. 6Kwa maana Maandiko yasema:
18Ninyi watumwa, watiini mabwana zenu kwa
“Tazama, naweka katika Sayuni, heshima yote, si wale mabwana walio wema na
jiwe la pembeni, teule lenye wapole peke yao, bali pia wale walio wakali. 19Kwa
thamani maana ni jambo la sifa kama mtu akivumilia
na kila amwaminiye hataaibika.” anapoteswa kwa uonevu kwa ajili ya kumkumbuka
Mungu. 20Kwani ni faida gani kwa mtu kustahimili
7Kwenu ninyi mnaoamini, Yeye ni wa thamani. anapopigwa kwa sababu ya makosa yake? Lakini
Lakini kwao wasioamini, kama mkiteswa kwa sababu ya kutenda mema, nanyi
mkastahimili, hili ni jambo la sifa mbele za Mungu.
“Jiwe lile walilolikataa waashi 21Kwa kuwa ninyi mliitwa kwa ajili ya hayo, kwa
limekuwa jiwe kuu la pembeni,” sababu Kristo naye aliteswa kwa ajili yenu, akiwaachia
kielelezo, ili mzifuate nyayo zake.
8tena,
22“Yeye hakutenda dhambi,
“Jiwe lenye kuwafanya watu wajikwae, wala udanganyifu haukuonekana
mwamba wa kuwafanya waanguke.” kinywani mwake.

Wanajikwaa kwa sababu hawakutii lile neno, 23Yeye alipotukanwa, hakurudisha matukano,
kama walivyowekewa tangu zamani. alipoteswa, hakutishia, bali alijikabidhi kwa Yeye
9Lakini ninyi ni taifa teule, ukuhani wa kifalme, ahukumuye kwa haki. 24Yeye mwenyewe alizichukua
taifa takatifu la Mungu, mlioitwa ili kutangaza sifa dhambi zetu katika mwili wake, juu ya mti, ili
Zake Yeye aliyewaita kutoka gizani mkaingie kwamba,tukiwa wafu kwa mambo ya dhambi, tupate
katika nuru Yake ya ajabu. 10Mwanzo ninyi kuishi katika haki. Kwa kupigwa kwake, ninyi
mlikuwa si taifa, lakini sasa ninyi ni taifa la Mungu. mmeponywa. 25Kwa maana mlikuwa mmepotea kama
Mwanzo mlikuwa hamkupata rehema, lakini sansa kondoo, lakini sasa mmerudi kwa Mchungaji na Mlinzi
mmepata rehema. wa roho zenu.
11Wapenzi, ninawasihi, mkiwa kama wageni
na wapitaji hapa ulimwenguni, epukeni tamaa Mafundisho Kwa Wake Na Waume
mbaya za mwili ambazo hupigana vita na roho
zenu. 12Mwe na mwenendo mzuri mbele ya
3 Kadhalika ninyi wake, watiini waume zenu, ili
kama wako wasioamini lile Neno, wapate kuvutwa
watu wasiomjua Mungu, ili kama wanawasema na mwenendo wa wake zao pasipo neno, 2kwa kuuona
kuwa ninyi ni watenda mabaya, wayaone utakatifu na uchaji wa Mungu katika maisha yenu.
matenddo yenu mema wamtukuze Mungu siku 3Kujipamba kwenu kusiwe kwa nje tu, kama vile
atakapokuja kuhukumu. kusuka nywele, kuvalia vitu vilivyofanyizwa kwa
dhahabu na kwa mavazi. 4Badala yake kujipamba
Kuwatii Wenye Mamlaka kwenu kuwe katika utu wenu wa ndani, kwa uzuri
13Tiini kila mamlaka iliyowekwa na usioharibika, wa roho ya upole na utulivu, ambako ni
wanadamu kwa ajili ya Bwana: Mfalme akiwa kwa thamani sana machoni pa Mungu. 5 Kwa kuwa hivi
ndivyo walivyokuwa wakijipamba wanawake
ndiye aliye na mamlaka ya juu zaidi, 14pamoja watakatifu wa zamani, waliomtumaini Mungu. Wao
na maafisa aliowaweka.Kwa kuwa mfalme walikuwa ni watiifu kwa waume zao, 6kama Sara
amewatuma ili kuwaadhibu wale wanaokosa na alivyomtii mumewe Abrahamu, akamwita ‘bwana.’
kuwasifu wale watendao mema. 15Kwa maana Ninyi ni watoto wa Sara kama mkitenda yaliyo mema
ni mapenzi ya Mungu kwamba kwa kutenda na bila kuogopa jambo lo lote.
mema mnyamazishe maneno ya kijinga ya watu 7Vivyo hivyo ninyi waume, kaeni na wake zenu
wapumbavu. 16Mkiishi kama watu huru, lakini kwa akili, nanyi wapeni heshima mkitambua ya kuwa
msitumie uhuru wenu kama kisingizio cha wao ni wenzi walio dhaifu na kama warithi pamoja
kutenda uovu, bali ishini kama watumishi wa nanyi wa kipawa cha thamani cha uzima, ili kusiwepo
Mungu. 17Mheshimuni kila mtu. Wapendeni na cho chote cha kuzuia maombi yenu.
jamaa ya waaminio. Mcheni Mungu. Mpeni
heshima mfalme.

3
1Petro
Kuteseka Kwa Kutenda Mema wa kuume wa Mungu pamoja na malaika, mamlaka na
8Hatimaye, ninyi nyote iweni na nia moja, nguvu zote vikiwa vimetiishwa chini yake.
wenye kuhurumiana, mkipendana kama ndugu,
wasikitivu na wanyenyekevu. 9Msilipe ovu kwa Kuishi Kwa Ajili Ya Mungu
ovu, au jeuri kwa jeuri, bali barikini, kwa maana
hili ndilo mliloitiwa ili mpate kurithi baraka. 4 Kwa hiyo, kwa kuwa Kristo aliteswa katika mwili
10Kwa maana, Wake, ninyi nanyi jivikeni nia iyo hiyo kwa maana
mtu aliyekwisha kuteswa katiaka mwili ameachana
“Ye yote apendaye uzima na dhambi. 2Matokeo yake, maisha yake yaliyobaki ya
kuishi hapa duniani, haishi tena kwa kufuata tamaa
na kuona siku njema, mbaya za wanadamu, bali anaishi kwa kufuata
basi auzuie ulimi wake usinene mabaya mapenzi ya Mungu. 3Maana wakati uliopita
na midomo yake isiseme hila. mmekwisha kutumia muda wa kutosha katika maisha
11Mtu huyo lazima aache ubaya, yenu mkifanya yale ambayo watu wasiomjua Mungu
akatende mema, hupenda kutenda, wakiishi katika uasherati, tamaa
mbaya, ulevi, karamu a ulafi, za ulevi na ngoma
atafute amani na kuifuatilia sana. 12Kwa
maana macho ya Bwana huwaelekea mbaya na ibada za sanamu ambazo ni chukizo. 4Wao
wenye haki, huona kuwa ni ajabu ninyi kutokujiingiza tena pamoja
nao katika huo wingi wa ufisadi, nao huwatukana
na masikio yake husikiliza maombi yao,
ninyi. 5Lakini itawapasa wao kutoa hesabu mbele
bali uso wa Bwana ni dhidi yao watendao Zake Yeye aliye tayari kuwahukumu walio hai na
maovu.” waliokufa. 6Kwa kuwa hii ndiyo sababu Injili ilihubiriwa
hata kwa wale waliokufa, ili kwamba wahukumiwe
Kuvumilia Mateso sawasawa na wanadamu wengine katika mwili, lakini
13Basi, ni nani atakayewadhuru mkiwa wenye katika roho waishi sawasawa na Mungu aishivyo.
bidii katika kutenda mema? 14Lakini mmebarikiwa
Kuja Kwa Kristo Kumekaribia
nata kama ikiwalazimu kuteseka kwa ajili ya haki. 7Mwisho wa mambo yote umekaribia. Kwa hiyo
Msiogope vitisho vyao wala msiwe na wasiwasi,
15bali mtakaseni Kristo kuwa Bwana mioyoni iweni na akili pia mwe na kiasi mkikesha katika
mwenu. Sikuzote mwe tayari kumjibu mtu ye yote kuomba.8Zaidi ya yote, dumuni katika upendo kwa
atakayewauliza kuhusu tumaini lililomo ndani maana upendo husitiri wingi wa dhambi. 9Iweni
yenu. Lakini fanyeni hivyo kwa upole na kwa wakarimu kila mtu na mwenzake pasipo
heshima. 16Mkizitunza dhamiri zenu ziwe safi, ili manung’uniko. 10Kila mmoja na atumie kipawa cho
wale wasemao mabaya dhidi ya mwenendo wenu chote alichopewa kuwahudumia wengine, kama
mzuri katika Kristo, waaibike wa ajili ya masingizio mawakili waaminifu wa neema mbalimbali za Mungu.
11Ye yote asemaye hana budi kusema kama mtu
yao. 17Kwa maana ni afadhali kupata mateso kwa
asemaye maneno ya Mungu mwenyewe. Ye yote
ajili ya kutenda mema kama kuteseka huko ndiyo
ahudumuye maneno hana budi kuhudumu kwa nguvu
mapenzi ya Mungu, kuliko kuteseka kwa kutenda zile apewazo na Mungu, ili Mungu apate kutukuzwa
maovu. 18Kwa kuwa Kristo naye aliteswa mara katika mambo yote kwa njia ya Yesu Kristo. Utukufu
moja tu, mwenye haki kwa ajili ya wasio na haki, ili na uweza una Yeye milele na milele. Amen.
awalete ninyi kwa Mungu. Mwili wake ukauawa,
lakini akafanywa hai katika Roho, 19 ambayo kwa Kuteseka Kwa Kuwa Ni Mkristo
12Wapenzi, msione ajabu katika yale mateso
hiyo alikwenda na kuzihubiria roho zilizokuwa
kifungoni. 20 Roho hizo ambazo zamani hazikutii, yanayotukia miongoni mwenu, kana kwamba ni kitu
wakati ule uvumilivu wa Mungu ulipokuwa kigeni kinachowapata. 13Bali furahini kuwa mnashiriki
ukingoja katika siku za Noa, wakati wa kujenga katika mateso ya Kristo, ili kwamba mpate kufurahi
safina, ambako watu wachache tu, yaani, watu zaidi na kushangilia wakati utukufu wake
wanane waliokolewa wasiangamie kwa gharika. 21 utakapofunuliwa. 14Kama mkilaumiwa kwa ajili ya Jina
Nayo maji hayo ni kielelezo cha ubatizo ambao la Kristo, mmebarikiwa, kwa sababu Roho wa utukufu,
yaani, Roho wa utukufu, ambaye ndiye Roho wa
sasa unawaokoa ninyi pia, si kwa kuondoa uchafu
kwenye mwili, bali kama ahadi ya dhamiri safi kwa Mungu, anakaa juu yenu. 15Lakini asiwepo mtu ye
Mungu, kwa njia ya ufufuo wa Yesu Kristo, yote miongoni mwenu anayeteswa kwa kuwa ni
22ambaye ameingia mbinguni na amekaa mkono mwuaji, au mwivi, au mhalifu au anayejishughulisha

4
1Petro
na mambo ya watu wengine, ili kuingia katika utukufu Wake wa milele ndani ya Kristo,
16
kuwagombanisha. Lakini kama mtu ye yote Yeye mwenyewe atawatengeneza upya, atawasaidia,
akiteseka kwa kuwa ni Mkristo, asihesabu atawatia nguvu na kuwathibitisha. 11Uweza una Yeye
jambo hilo kuwa ni aibu, bali amtukuze Mungu milele na milele. Amen.
kwa sababu ameitwa kwa Jina hilo. 17Kwa
Salamu Za Mwisho
maana wakati umewadia wa hukumu kuanza
12Kwa msaada wa Silvano, yeye ambaye
katika nyumba ya Mungu. Basi kama ikianza
kwetu sisi, mwisho wa hao wasiotii Injili ya ninamhesabu kuwa ndugu mwaminifu, nimewaandikia
Mungu utakuwaje? 18Basi, waraka huu mfupi ili kuwatia moyo na kushuhudia
kwamba hii ni neema halisi ya Mungu. Simameni
“Ikiwa ni vigumu kwa mwenye haki kuokoka, imara katika neema hiyo.
itakuwaje kwa mtu asiyemcha Mungu 13 Kanisa lililoko Babeli, lililochaguliwa pamoja
na mwenye dhambi?” nanyi wanawasalimu, vivyo hivyo mwanangu Marko
anawasalimu. 14Salimianeni kwa busu la upendo.
19Kwa hiyo, wale wanaoteswa sawasawa Amani iwe nanyi nyote mlio katika Kristo. Amen.
na mapenzi ya Mungu, wajikabidhi kwa
Mwumba wao aliye mwaminifu huku wakizidi
kutenda mema.

Kulichunga Kundi La Mungu

5 Kwa wazee waliomo miongoni mwenu,


nawasihi mimi nikiwa mzee mwenzenu, shahidi
wa mateso ya Kristo na mshiriki katika utukufu
utakaofunuliwa, 2lichungeni kundi la Mungu
mlilokabidhiwa, mkitumika kama waangalizi,
si kwa kulazimishwa bali kwa hiari, kama Mungu
anavyowataka mwe, si kwa tamaa ya fedha, bali
mlio na bidii katika kutumika. 3Msijifanye
mabwana juu ya wale walio chini ya uangalizi
wenu, bali iweni vielelezo kwa hilo kundi.
4Naye Mchungaji Mkuu
atakapodhihirishwa mtapokea taji ya utukufu
isiyoharibika.
5Vivyo hivyo ninyi mlio vijana hamna budi
kuwatii wazee. Nanyi nyote imewapasa kujivika
unyenyekevu katika kuhudumiana, kila mtu na
mwenzake, kwa kuwa,

“Mungu huwapinga wenye kiburi


bali huwapa wanyenyekevu neema.”
6Basi, nyenyekeeni chini ya mkono wa Mungu
ulio hodari, ili awakweze kwa wakati Wake.
7Mtwikeni Yeye fadhaa zenu zote kwa maana
hujishughulisha sana na mambo yenu.
8 Mwe na kiasi na kukesha, maana adui
yenu Ibilisi, kama simba angurumaye
huzungukazunguka akitafuta mtu ili apate
kummeza. 9Mpingeni huyo mkiwa thabiti katika
imani, mkijua ya kwamba mateso yayo hayo
yanawapata ndugu zenu pote duniani.
10Nanyi mkiisha kuteswa kwa kitambo
kidogo, Mungu wa neema yote aliyewaita
5
2Petro
Utangulizi
Barua hii iliandikwa muda mfupi tu kabla ya kifo cha Petro na inagusia matatizo ambayo aliona yangebaki
baada ya kifo chake. Anawahimiza waamini waendelee kukua kiroho wakiitambua kweli iliyomo katika Injili ya
Kristo. Kweli hii haitokani na hadithi za kale bali inatokana na mambo yaliyoonekana kwa macho. Anawaonya
kuhusu walimu wa uongo ambao wangetukuza mawazo yao wenyewe badala ya mafundisho ya kweli ya Neno la
Mungu. Hatimaye anakumbusha kwamba Kristo atakuja siku moja kuangamiza hali ya asili ya ulimwengu huu na
kwa sababu hii hatuna sababu ya kuung'ang'ania sana.

Wazo Kuu
Waraka wa Pili wa Petro unakaza juu ya umuhimu wa kusimama imara wakati ambapo kuna mafundisho
mengi ya kupotosha. Kiini kikuu cha waraka huu ni “maarifa”, yaani, kupata ujuzi na “kujua”, neno ambalo
limetajwa mara kumi na sita. Hatari inayowakabili hawa wasomaji sasa haikuwa mateso kama ilivyokuwa wakati
waraka wa kwanza ulipoandikwa, bali upotovu kuhusu tumaini la mambo ya mwisho, uliokuwa ukitangazwa na
walimu wa uongo na watenda maovu waliokuwa wamejiingiza ndani ya kanisa. Watu wa dunia wanajitahidi
kuiharibu kazi ya Mungu lakini sisi tunaoamini hatuna budi kuepuka majaribu yote, tuishi maisha ya kumcha
Mungu, tuamini la kweli, tuvumilie mateso, tumwamini Mungu na kungojea kurudi Kwake Kristo.

Mwandishi
Yale maneno ya ufunguzi yenyewe yanamtambulisha kuwa mwandishi wa waraka huu ni “Simoni Petro,
mtumishi na mtume wa Yesu Kristo.” Maadam kuna ushahidi kutoka nje ya kanisa la kwanza kuuhesabia waraka
huu kuwa umeandikwa na Mtume Petro, wasomi wengine wametia shaka uhalisi wa uandishi kuwa wa Petro kwa
msingi kwamba ile tofauti ya mtindo wa uandishi wa nyaraka hizi mbili, kutajwa kwa Paulo (3:15–16) na ule
mfafanuo kati ya 2Petro na Yuda.
Lakini, hata hivyo, kuna ushahidi wa ndani unaoashiria kuwa Petro ndiye mwandishi. Kule kutambulisha
mwandishi kama “Simoni Petro” kunaelekea kuwa halisi kwa kuwa kama angekuwa ni mtu anyejifanya angetumia
“Petro” ili aweze kufuata mtriririko wa waraka wa kwanza.Ule uandishi wa kibinafsi na msamiati unalinganishwa
na maisha na mahubiri ya Petro.Ile jinsi ya kusema na yale mawazo yaliyomo vina mfanano mkubwa kati ya hizi
nyaraka mbili zinazohesabiwa kuwa za Petro.

Tarehe
Waraka huu uliandikwa kati ya 65 na 68 B.K., muda mfupi tu kabla ya kifo cha Petro, nao unaandikiwa wasomaji
wale wale ambao Petro alikuwa akiwatia moyo katika waraka wa kwanza.

Mahali
Uwezekano mkubwa ni kwamba waraka huu mwandishi alikuwa Rumi wakati wa kuuandika.

Mgawanyo
• Namna ya kukua kiroho (1:1-21)
• Maonyo kuhusu walimu wa uongo (2:1-22)
• Maagizo juu ya kuja kwake Kristo mara ya pili (3:1-18).

1
2Petro
mambo haya sikuzote.
Salamu 16Tulipowafundisha juu ya uweza na kuja

1 Simoni Petro mtumishi na mtume wa Yesu kwa Bwana wetu Yesu Kristo, hatukufuata
hadithi zilizotungwa kwa werevu, bali
Kristo,
tulishuhudia kwa macho yetu utukufu wake.
Kwa wale ambao kwa njia ya haki ya Mungu 17Maana alipewa heshima na utukufu kutoka
wetu na Yesu Kristo mmepokea imani iliyo na kwa Mungu Baba sauti ilipomjia katika Utukufu
thamani kama yetu: Mkuu ikisema, ‘‘Huyu ni Mwanangu, mpendwa
Wangu, ninayependezwa naye'',
2neema na amani iwe kwenu kwa wingi 18Sisi wenyewe tuliisikia sauti hii ambayo ilitoka
katika kumjua Mungu na Yesu Bwana wetu. mbinguni, wakati tulipokuwa pamoja Naye
kwenye ule mlima mtakatifu.
Wito Wa Mkristo Na Uteule 19Nasi tunalo pia neno la hakika zaidi la
3Uweza Wake wa uungu umetupatia unabii, ambalo mtafanya vema mkiliangalia kwa
mambo yote tunayohitaji kwa ajili ya uzima na bidii, kama vile nuru inayong’aa gizani, hadi
uchaji wa Mungu, kwa kumjua Yeye aliyetuita kupambazuka na nyota ya asubuhi itokee
kwa utukufu Wake na wema Wake mwenyewe. mioyoni mwenu. 20Awali ya yote, yawapasa
4Kwa sababu hiyo, ametukirimia ahadi Zake kuu mjue kwamba hakuna unabii katika Maandiko
na za thamani kupitia mambo haya, ili kwa uliofasiriwa kama apendavyo mtu mwenyewe.
kupitia hayo mpate kuokoka na upotovu ulioko 21Kwa maana unabii haukuja kamwe kwa
duniani kwa sababu ya tamaa mbaya. mapenzi ya mwanadamu, bali watu walinena
5 Kwa sababu hii, jitahidini sana katika imani yaliyotoka kwa Mungu wakiongozwa na Roho
yenu kuongeza wema na katika wema wenu Mtakatifu.
maarifa, 6katika maarifa yenu kiasi; katika kiasi,
Manabii Wa Uongo Na Adhabu Yao
saburi, katika saburi yenu, utauwa, 7katika
utauwa wenu upendano wa kidugu, katika
upendano wa kidugu, upendo. 8Kwa maana
2 Lakini pia waliinuka manabii wa uongo
miongoni mwa watu, kama vile
haya yakiwa kwenu kwa wingi, nayo yakizidi watakavyokuwako walimu wa uongo miongoni
kuongezeka yanawafanya kuwa wenye bidii na mwenu, ambao kwa siri, wataingiza mafundisho
wenye kuzaa matunda katika kumjua Bwana yasiyopatana na kweli hata kumkana Bwana wa
wetu Yesu Kristo. 9 Kwa kuwa mtu asiyekuwa pekee aliyewanunua na kujiletea juu yao
na mambo haya haoni mbali, pia ni kipofu, naye maangamizi ya haraka. 2Hata hivyo, wengi
amesahau kule kutakaswa kwa dhambi zake za watafuata njia zao za ufisadi ambao kwa ajili
zamani. yao njia ya kweli itatukanwa. 3Nao katika tamaa
10Kwa hiyo, ndugu zangu, fanyeni bidii zaidi yao watajipatia faida kwenu kwa maneno ya
madanganyo waliyotunga wenyewe. Lakini
kuuthibitisha wito wenu na uteule wenu, kwa hukumu imekwisha kutangazwa dhidi yao tangu
maana mkifanya hivyo, hamtajikwaa kamwe. zamani, ambayo haikawii wala ungamivu wao
11Kwa njia hii, mtajaliwa kwa ukarimu mwingi haujalala usingizi.
kuingia katika Ufalme wa milele wa Bwana na 4Kwa maana kama Mungu hakuwasamehe
Mwokozi wetu Yesu Kristo. malaika walipotenda dhambi, bali aliwatupa
kuzimu a, katika vifungo vya giza wakae humo
Unabii Wa Maandiko
mpaka ije hukumu, 5kama hakuusamehe
12Hivyo nitawakumbusha mambo haya
ulimwengu wa kale alipoleta gharika juu ya watu
sikuzote, hata ingawa mnayajua na wale wasiomcha Mungu, akamhifadhi Noa,
yamethibitishwa katika kweli mliyo nayo. mhubiri wa haki, pamoja na watu wengine saba,
13Naona ni vema kuwaamsha kwa 6kama aliihukumu miji ya Sodoma na Gomora
kuwakumbusha mambo haya wakati wote kwa kuiteketeza kwa moto ikawa majivu na
niwapo katika hema hili ambalo ni mwili wangu. kuifanya kuwa kielelezo kwa wote ambao
14Kwa sababu najua ya kwamba karibuni
nitaliweka kando, kama vile Bwana wetu Yesu
a4 “Kuzimu” linatokana na neno la Kiyunani “Tartarus”
Kristo alivyoliweka wazi kwangu. 15Nami ambalo maana yake “chini sana, mahali pa mateso kwa
nitafanya kila juhudi kuona kwamba baada ya watu waliopotea”
kuondoka kwangu mtaweza kuyakumbuka
2
2Petro
hawatamcha Mungu 7na kama alimwokoa Loti, wakanaswa tena na kushindwa, hali yao ya
mtu mwenye haki, ambaye alihuzunishwa na mwisho ni mbaya zaidi kuliko ile ya kwanza.
maisha machafu ya watu wapotovu 8(kwa 21Ingelikuwa afadhali kwao kama wasingeliijua
sababu yale matendo mapotovu aliyoyaona na kamwe njia ya haki, kuliko kuijua kisha
kuyasikia huyo mtu mwenye haki alipoishi wakaiacha ile amri takatifu waliyokabidhiwa.
miongoni mwao yalimhuzunisha siku baada ya 22Imetukia kwao sawasawa na ile mithali ya
siku), 9 ikiwa hivyo ndivyo, basi Bwana anajua kweli isemayo, “Mbwa ameyarudia matapishi
jinsi ya kuwaokoa wacha Mungu kutoka katika yake mwenyewe,’’ tena nyingine yasema,
majaribu na kuwaweka waasi katika adhabu “Nguruwe aliyeoshwa amerudi kugaa-gaa
hadi siku ya hukumu. 10Hii ni hakika hasa kwa matopeni.’’
wale wanaofuata tamaa mbaya za mwili na
kudharau mamlaka. Ahadi Ya Kuja Kwa Bwana
Kwa ushupavu na kwa kiburi watu hawa
hawaogopi kunena mabaya dhidi ya viumbe vya
3 Wapenzi, huu ndio waraka wa pili
ninaowaandikia. Katika nyaraka hizi mbili
mbinguni, 11lakini hata malaika, ingawa wana ninajaribu kuziamsha nia zenu safi kwa
nguvu na uwezo zaidi, hawaleti mashtaka dhidi kuwakumbusha kwamba, 2nataka ninyi
mkumbuke maneno yaliyosemwa zamani na
ya viumbe kama hao mbele za Bwana. 12Lakini manabii watakatifu na ile amri ya Bwana na
watu hawa hukufuru katika mambo Mwokozi mliyopewa kwa kupitia kwa mitume
wasiyoyafahamu. Wao ni kama wanyama wasio wenu.
na akili, viumbe wanaotawaliwa na hisia za 3Kwanza kabisa ni lazima mfahamu ya
mwili, waliozaliwa ili wakamatwe na kuchinjwa. kwamba siku za mwisho watakuja watu wenye
Wao husingizia wasiyoyafahamu na wanyama dhihaka wakidhihaki na kuzifuata tamaa zao
hao watakapoangamizwa, hawa nao mbaya. 4na kusema, “Iko wapi ile ahadi ya kuja
wataangamizwa pia. Kwake? Tangu baba zetu walipokufa, kila kitu
13Watalipwa madhara kwa ajili ya madhara kinaendelea kama kilivyokuwa tangu mwanzo
waliyowatendea wengine. Huhesabu kuwa ni wa kuumbwa.’’ 5Wao kwa makusudi hupuza
anasa kufanya karamu za ulevi na ulafi wakati ukweli huu, ya kwamba kwa neno la Mungu
wa mchana. Wao ni mawaa na dosari katika mbingu zilikuwepo tangu zamani nayo dunia
karamu zenu wakijifurahisha kwa ulevi na ulafi ilifanyizwa kutoka ndani ya maji na kwa hayo
katika anasa zao wanaposhiriki katika karamu maji, 6ulimwengu wa wakati ule uligharikishwa
zenu. 14Wakiwa na macho yaliyojaa uzinzi, na kuangamia. 7Lakini kwa neno lilo hilo mbingu
hawaachi kutenda dhambi. Huwashawishi wale za sasa na dunia, zimewekwa akiba kwa ajili ya
wasio imara, wao ni hodari kwa kutamani, wana moto, zikihifadhiwa hadi siku ile ya hukumu na
wa laana! 15Wameiacha njia iliyonyoka, ya kuangamizwa kwa watu wasiomcha Mungu.
wakapotoka na kuifuata njia ya Balaamu mwana 8Lakini wapenzi, msisahau neno hili,
wa Beori aliyependa mshahara wa uovu. kwamba kwa Bwana, siku moja ni kama miaka
16Lakini Balaamu kwa ajili ya uovu wake,
elfu na miaka elfu ni kama siku moja. 9 Bwana
alikemewa na punda, mnyama asiyejua hakawii kuitimiza ahadi Yake kama watu
kusema, akaongea akitumia sauti ya wengine wanavyodhani kukawia, bali Yeye
mwanadamu na kuzuia wazimu wa huyo nabii. anawavumilia, maana hataki mtu ye yote
17Watu hawa ni chemchemi zisizo na maji aangamie, bali kila mmoja afikilie toba.
na ukungu upeperushwao na tufani, ambao giza 10Lakini siku ya Bwana itakuja kama mwivi.
nene limewekwa tayari kwa ajili yao. 18Kwa Ndipo mbingu zitatoweka kwa kishindo kikuu na
maana wao hunena maneno makuu mno ya vitu vya asili vitateketezwa kwa moto, nayo
upumbavu na kwa tamaa mbaya za uasherati dunia na kila kitu kilichomo ndani yake
huwashawishi watu ambao ndipo tu kitaunguzwa.
wamejiondoa miongoni mwa wale wanaoishi 11Kwa kuwa vitu vyote vitayeyuka hivyo,
katika ufisadi. 19Huwaahidi uhuru hao ninyi je, imewapasa kuwa watu wa namna gani?
waliowanasa, wakati wao wenyewe ni watumwa Inawapasa kuishi maisha matakatifu na ya
wa ufisadi. Kwa maana mtu ni mtumwa wa kitu kumcha Mungu, 12 mkingojea na kuhimiza kuja
cho chote kinachomtawala. 20Kwa kuwa kama kwa hiyo siku ya Mungu, ambayo siku hiyo
wameukimbia upotovu wa dunia kwa kumjua mbingu zitachomwa moto na kutoweka na vitu
Bwana wetu na Mwokozi Yesu Kristo, kisha
3
2Petro
vya asili vitayeyuka kwa moto. 13Lakini
kufuatana na ahadi Yake, sisi tunatazamia kwa
furaha mbingu mpya na dunia mpya, ambayo
haki hukaa ndani yake.
14Kwa sababu hii, wapenzi, kwa kuwa
mnatazamia kwa furaha mambo haya, fanyeni
bidii ili awakute katika amani, bila mawaa wala
dosari. 15Nanyi hesabuni uvumilivu wa Bwana
kuwa ni wokovu, kama vile ndugu yetu mpenzi
Paulo alivyowaandikia kwa hekima ile aliyopewa
na Mungu. 16Huandika vivyo hivyo katika
nyaraka zake zote akizungumzia ndani yake
mambo haya. Katika nyaraka zake kuna mambo
mengine ambayo ni vigumu kuyaelewa, ambayo
watu wajinga na wasio thabiti huyapotosha kwa
maangamizi yao wenyewe, kama wapotoshavyo
pia Maandiko mengine.
17Basi, ninyi wapenzi, kwa kuwa
mmekwisha kujua mambo haya, jilindeni msije
mkachukuliwa na kosa la watu hao waasi na
kuanguka kutoka kwenye uthabiti wenu. 18Bali
kueni katika neema na katika kumjua Bwana na
Mwokozi wetu Yesu Kristo. Utukufu una Yeye
sasa na milele! Amen.

4
1Yohana
Utangulizi
Yale yaliyomo katika waraka huu, mfano uandishi wake na ile misamiati iliyotumika vinakubaliana na lile
hitimisho kwamba nyaraka hizi ziliandikiwa wasomaji wale wale wa Injili ya Yohana. Waraka huu wa Kwanza
unakuwa kama ufupisho unaowawazia wasomaji kwamba tayari wanaijua Injili ya Yohana na unawahakikishia juu
ya imani yao katika Kristo. Waraka huu unaonyesha kuwa wasomaji walikuwa wanakabiliwa na upotovu wa imani
ya Unostiki, ambao ulikuja kuwa tatizo kubwa zaidi katika karne ya pili. Unostiki ulikuwa na mafundisho
yasemayo kwamba vitu vyote ni viovu lakini roho tu ndiyo nzuri.

Wazo Kuu
Katika ujumbe wa Injili, Yohana anaonyesha wazi kuwa Yesu ni Mungu aliyefanyika mwili na hivyo kupinga
kabisa ile dhana kwamba Kristo aliwaziwa tu kama aliyekuwa na mwili, eti kwamba Yeye alikuwa roho. Pia
iliondolea mbali yale mafundisho yaliyomwelezea Yesu kama vitu viwili, kwamba wakati fulani alikuwa anafanyika
mwanadamu na wakati mwingine anakuwa Mungu.

Mwandishi
Waraka wa Kwanza, wa Pili na wa Tatu wa Yohana tangu mwanzo kabisa zimeonekana kuwa mwandishi ni
mtume Yohana ambaye pia ndiye mwandishi wa Injili ya Yohana ,yaani, mojawapo ya zile Injili nne. Huyu ndiye
yule mwanafunzi aliyekuwa anapendwa ambaye aliegama kifuani mwa Yesu wakati wa chakula cha mwisho na
wanafunzi Wake.

Tarehe
Vitabu vyote hivi vinne, yawezekana vimeandikwa wakati mmoja, huenda kati ya 85-96 BK.

Mgawanyo
• Utangulizi (1:1-4)
• Umuhimu wa nuru katika ushirika (1:5-2:29)
• Upendo sharti uenee katika maisha (3:1-4:21)
• Imani na kuona kwa hakika (5:1-21)

1
1Yohana

Neno La Uzima Amri Mpya


1 Tunawajulisha lile lilokuwako tangu mwanzo,
7Wapenzi, siwaandikii ninyi amri mpya bali
ile ya zamani, ambayo mmekuwa nayo tangu
lile tulilosikia,ambalo tumeliona kwa macho yetu,
ambalo tumelitazama na mwanzo. Amri hii ya zamani ni lile neno
kuligusa kwa mikono yetu, kuhusu Neno la mlilosikia. 8Lakini ninawaandikia amri mpya,
Uzima, 2Uzima huo ulidhihirishwa, nasi yaani, lile neno lililo kweli ndani yake na ndani
tumeuona na kuushuhudia, nasi yenu, kwa sababu giza linapita na ile nuru ya
twawatangazieni uzima wa milele, ambao kweli tayari inang’aa.
ulikuwa pamoja na Baba, nao ukadhihirishwa 9Ye yote anayesema yumo nuruni lakini
kwetu. 3Twawatangazia lile tuliloliona na anamchukia ndugu yake bado yuko gizani.
kulisikia ili kwamba nanyi mwe na ushirika nasi 10Yeye ampendaye ndugu yake anakaa nuruni,
na ushirika wetu hasa ni pamoja na Baba na wala hakuna kitu cho chote ndani yake cha
Mwanawe Yesu Kristo. 4Tunaandika mambo kumkwaza. 11Lakini ye yote amchukiaye ndugu
haya ili furaha yetu ipate kuwa timilifu. yake yuko gizani na anaenenda gizani, wala
hajui anakokwenda, kwa sababu giza
Kutembea Nuruni limempofusha macho.
5Huu ndio ujumbe tuliosikia kutoka Kwake
12Nawaandikia ninyi, watoto wadogo,
na kuwatangazia ninyi, kwamba Mungi ni nuru
na ndani yake hamna giza lo lote. 6Kama kwa sababu dhambi zenu zimesamehewa
tukisema kwamba twashirikiana naye huku kwa ajili ya Jina Lake.
13Nawaandikika ninyi, akina baba,
tukienda gizani, wasema uongo,wala hatutendi
lililo kweli. 7Lakini tikienenda nuruni, kama Yeye kwa sababu mmemjua Yeye aliye tangu
alivyo nuruni, twashirikiana sisi kwa sisi na mwanzo.
damu yake Yesu, Mwana Wake yatusafisha Nawaandikia ninyi vijana
dhambi yote. kwa sababu mmemshinda yule
8Kama tukisema kwamba hatuna dhambi, mwovu. Nawaandikia ninyi watoto wadogo,
twajidanganya wenyewe wala kweli haimo ndani kwa sababu mmejua Baba.
14Nawaandikia ninyi akina baba,
yetu. 9Kama tukiziungama dhambi zetu, Yeye ni
mwaminifu na wa haki, atatusamehe dhambi kwa sababu mmejua Yeye aliye
zetu na kutusafisha toka kwenye udhalimu wote. tangu mwanzo.
10Kama tukisema hatukutenda dhambi, Nawaandikia ninyi, vijana,
twamfanya Yeye kuwa mwongo na Neno Lake kwa sababu mna nguvu na neno
halimo ndani yetu. la Mungu linakaa ndani yenu,
nanyi mmeshinda yule mwovu.
Kristo Mwombezi Wetu
2 Watoto wangu wapendwa, nawaandikieni haya Msiupende Ulimwengu
15Msiupende ulimwengu wala mambo
ili msitende dhambi. Lakini kama mtu ye yote
akitenda dhambi, tunaye Mwombezi yaliyoko ulimwenguni. Kama mtu ye yote
kwa Baba, Yesu Kristo Mwenye haki. 2Yeye akiupenda ulimwengu, kumpenda Baba hakumo
ndiye dhabihu ya upatanisho kwa ajili ya dhambi ndani yake. 16Kwa maana kila kitu kilichomo
zetu, wala si kwa ajili ya dhambi zetu tu, bali pia ulimwenguni, yaani, tamaa ya mwili, tamaa ya
kwa ajili ya dhambi za ulimwengu wote. macho na kiburi cha uzima, havitokani na Baba
3Basi katika hili twajua ya kuwa tumemjua
bali hutokana na ulimwengu. 17Nao ulimwengu
kama tunazishika amri Zake. 4Mtu ye yote unapita, pamoja na tamaa zake, bali yeye
asemaye kuwa, “Ninamjua” lakini hazishiki amri afanyaye mapenzi ya Mungu adumu milele.
Zake, ni mwongo, wala ndani ya mtu huyo
hamna kweli. 5Lakini kama mtu ye yote analitii Onyo Dhidi Ya Mpinga Kristo.
Neno Lake, upendo wa Mungu umekamilika 18Watoto wadogo, huu ni wakati wa
ndani yake kweli kweli .Katika hili twajua kuwa mwisho! Kama mlivyosikia kwamba mpinga
tumo ndani yake. 6Ye yote anayesema anakaa Kristo anakuja, hivyo basi wapinga Kristo wengi
ndani Yake hana budi kuenenda kama Yesu wamekwisha kuja. Kutokana na hili twajua
alivyoenenda.
kwamba huu ni wakati wa mwisho. 19Walitoka
2
1Yohana
kwetu, lakini hawakuwa wa kwetu hasa. Kwa atendaye dhambi hakumwona Yeye wala
maana kama wangelikuwa wa kwetu, hakumtambua.
wangelikaa pamoja nasi, lakini kutoka kwao 7Watoto wadogo, mtu ye yote na
kulionyesha kwamba hakuna hata mmoja wao asiwadanganye. Kila mtu atendaye haki ana
aliyekuwa wa kwetu. haki, kama Yeye alivyo na haki. 8Yeye atendaye
20Lakini ninyi mmetiwa mafuta na Yeye
dhambi ni wa Ibilisi, kwa sababu Ibilisi amekuwa
Aliye Mtakatifu, nanyi nyote mnaijua kweli. akitenda dhambi tangu mwanzo. Kwa kusudi hili
21Siwaandikii kwa sababu hamjui kweli, bali kwa Mwana wa Mungu alidhihirishwa ili aziangamize
sababu mnaijua, nanyi mnajua hakuna uongo kazi za Ibilisi. 9Ye yote aliyezaliwa na Mungu
utokao katika kweli. 22Je, mwongo ni nani? hatendi dhambi, kwa sababu uzao wa Mungu
Mwongo ni mtu yule asemaye kwamba Yesu si wakaa ndani yake, wala hawezi kutenda dhambi
Kristo. Mtu wa namna hiyo ndiye mpinga Kristo, kwa sababu amezaliwa na Mungu. 10Kwa jinsi
yaani, yeye humkana Baba na Mwana. hii tunaweza kujua dhahiri watoto wa Mungu na
23Hakuna ye yote amkanaye Mwana aliye na watoto wa Ibilisi nao. Ye yote asiyetenda haki
Baba. Ye yote anayemkubali Mwana anaye na hatokani na Mungu, wala yeye asiyempenda
Baba pia. ndugu yake.
24Hakikisheni kwamba lile mlilosikia tangu
mwanzo linakaa ndani yenu. Kama lile mlilosikia Mpendane Ninyi Kwa Ninyi.
tangu mwanzo linakaa ndani yenu, ninyi ninyi 11Hili ndilo neno mlilolisikia tangu mwanzo,
mtakaa ndani ya Mwana na ndani ya Baba. 25Hii kwamba imetupasa tupendane sisi kwa sisi.
ndiyo ahadi yake kwetu, yaani, uzima wa milele. 12Msiwe kama Kaini aliyekuwa wa yule mwovu
26Ninawaandikia mambo haya kuhusu wale akamwua ndugu yake. Basi kwa nini alimwua?
watu ambao wanajaribu kuwapotosha. 27Kwa Ni kwa sababu matendo yake Kaini yalikuwa
habari yenu ninyi, upako ule mlioupata kutoka mabaya na ya ndugu yake yalikuwa ya haki.
13Ndugu zangu, ninyi msistaajabu kama
Kwake unakaa ndani yenu, wala ninyi hamna
haja ya mtu ye yote kuwafundisha. Lakini kama ulimwengu ukiwachukia. 14Sisi tunajua ya
vile upako Wake unavyowafundisha kuhusu kwamba tumepita kutoka mautini kuingia
mambo yote nayo ni kweli wala si uongo, basi uzimani, kwa sababu tunawapenda ndugu. Kila
kama ulivyowafundisha kaeni ndani Yake. asiyempenda ndugu yake akaa mautini. 15Ye
yote amchukiaye ndugu yake ni mwuaji, nanyi
Watoto Wa Mungu mwajua ya kwamba mwuaji hana uzima wa
28Sasa basi, watoto wadogo, kaeni ndani milele ndani yake.
16Kwa namna hii twaweza kulijua pendo la
Yake, ili atakapofunuliwa, tuwe na ujasiri, wala
tusiaibike mbele zake wakati wa kuja kwake. Mungu, kwa sababu Yesu Kristo aliutoa uhai
29Kama mkijua kuwa Yeye ni mwenye haki, Wake kwa ajili yetu. Nasi imetupasa kuutoa uhai
mwajua kwamba kila atendaye haki amezaliwa kwa ajili ya hao ndugu. 17Ikiwa mtu anavyo vitu
na Yeye. vya ulimwengu huu na akamwona ndugu yake
3 Oneni ni pendo kuu namna gani alilotupa
Baba, kwamba sisi tuitwe watoto wa Mungu!
ni mhitaji lakini asimhurumie, upendo wa Mungu
wakaaje ndani ya mtu huyo? 18Watoto wangu
Nasi ndivyo tulivyo. Sababu kwa nini ulimwengu wadogo, tusipende kwa maneno au kwa ulimi
haututambui, ni kwa kuwa haukumtambua bali kwa tendo na katika kweli. 19Basi hivi
Yeye. 2Wapenzi, sasa tu watoto wa Mungu, ndivyo tutakavyoweza kujua ya kuwa sisi tu wa
lakini bado haijadhihirika tutakavyokuwa, kweli na hivyo twaithibitisha mioyo yetu mbele
lakini twajua ya kwamba, Yeye
atakapodhihirishwa, tutafanana naye, kwa za Mungu 20kila mara mioyo yetu
maana tutamwona kama alivyo. 3Kila mmoja inapotuhukumu. Kwa maana Mungu ni mkuu
mwenye matumaini haya katika Yeye kuliko mioyo yetu, naye anajua kila kitu.
hujitakasa, kama vile Yeye alivyo mtakatifu. 21 Wapenzi, kama mioyo yetu haituhukumu,
4Kila mtu atendaye dhambi afanya uasi, tunao ujasiri mbele za Mungu. 22Lo lote
kwa kuwa dhambi ni uasi. 5Lakini mwajua ya tuombalo, twalipokea kutoka Kwake, kwa
kuwa Yeye alidhihirishwa ili aziondoe dhambi, sababu tumezitii amri Zake na kutenda yale
wala ndani Yake hamna dhambi. 6Kila mtu yanayompendeza. 23 Hii ndiyo amri Yake,
akaaye ndani yake hatendi dhambi. Kila mtu kwamba tuliamini Jina la Mwanawe, Yesu Kristo
na kupendana sisi kwa sisi kama Yeye
3
1Yohana
alivyotuamuru. 24Wale wote wanaozishika amri upendo wa Mungu alio nao kwa ajili yetu.
Zake hukaa ndani Yake na Yeye ndani yao. Hivi Mungu ni Upendo. Kila akaaye katika upendo
ndivyo tunavyojua kwamba anakaa ndani yetu. hukaa ndani ya Mungu na Mungu hukaa ndani
Nasi twajua hili kwa njia ya Roho yule yake. 17Kwa njia hii, upendo hukamilishwa
aliyetupatia. miongoni mwetu ili tupate kuwa na ujasiri katika
siku ya hukumu, kwa sababu kama alivyo
Zijaribuni Hizo Roho ndivyo tulivyo sisi katika ulimwengu huu.
Wapenzi, msiamini kila roho,bali zijaribuni 18Katika upendo hakuna hofu. Lakini upendo
4 hizo roho mwone kama zimetoka kwa ulio kamili huitupa nje hofu, kwa sababu hofu
Mungu, kwa sababu manabii wengi wa uongo inahusika na adhabu. Kila mwenye hofu
wametokea ulimwenguni. 2Hivi ndivyo hakukamilika katika upendo. 19Twampenda
mnavyoweza kutambua Roho wa Mungu: Kila Yeye kwa sababu Yeye alitupenda kwanza.
roho inayokubali kwamba Yesu Kristo amekuja 20Ikiwa mtu atasema,”Nampenda Mungu”, lakini
katika mwili yatoka kwa Mungu. 3Lakini kila roho anamchukia ndugu yake, yeye ni mwongo. Kwa
ambayo haimkubali Yesu haitoki kwa Mungu. Hii maana kila mtu asiyempenda ndugu yake
ndiyo roho ya mpinga Kristo, ambayo mmesikia ambaye amemwona, atampendaje Mungu
kwamba inakuja na sasa tayari iko ulimwenguni. ambaye hajamwona? Naye ametupa amri hii:
4Watoto wadogo, ninyi mmetokana na Ye yote anayempenda Mungu lazima pia
Mungu, nanyi mmewashinda kwa sababu Yeye ampende ndugu yake.
aliye ndani yenu ni mkuu kuliko yeye aliye katika
ulimwengu. 5Wao wanatokana na ulimwengu na Imani Katika Mwana Wa Mungu Huushinda
kwa hiyo hunena yaliyo ya ulimwengu, hivyo Ulimwengu
ulimwengu huwasikia.6 Sisi twatokana na
Mungu na ye yote anayemjua Mungu
5 Kila mtu anayeamini kwamba Yesu ndiye
Kristo amezaliwa na Mungu na ye yote
hutusikiliza, lakini asiyetokana na Mungu ampendaye Baba humpenda pia mtoto
hatusikilizi. Hivi ndivyo tunavyoweza kutambua aliyezaliwa naye. 2Hivi ndivyo tunavyojua
Roho wa Kweli na roho ya upotovu. kwamba tunawapenda watoto wa Mungu, kwa
kumpenda Mungu na kuzitii amri Zake. 3Kwa
Mungu Ni Upendo kuwa huu ndio upendo wa Mungu, kwamba
7Wapenzi na tupendane, kwa kuwa upendo tuzitii amri Zake. Nazo amri Zake si nzito. 4Kwa
maana kila aliyezaliwa na Mungu huushinda
watoka kwa Mungu. Kila apendaye amezaliwa ulimwengu. Huku ndiko kuushinda kuushindako
na Mungu naye anamjua Mungu.8Yeye ulimwengu, yaani, hiyo imani yetu. 5Ni nani yule
asiyependa hamjui Mungu, kwa sababu Mungu aushindaye ulimwengu? Ni yule aaminiye
ni upendo. 9Hivi ndivyo Mungu alivyoonyesha kwamba Yesu ni Mwana wa Mungu.
upendo Wake kwetu, kwa sababu Mungu
alimtuma Mwanawe wa pekee ulimwenguni, ili Ushuhuda Kuhusu Mwana Wa Mungu
tupate uzima kwa Yeye. 10Huu ndio upendo, si 6Huyu ndiye aliyekuja kwa maji na damu,
kwamba tulimpenda Mungu, bali Yeye yaani, Yesu Kristo. Hakuja kwa maji peke yake,
alitupenda, akamtuma Mwanawe, ili Yeye awe bali kwa maji na damu. Naye Roho ndiye
dhabihu ya kipatanisho kwa ajili ya dhambi zetu. ashuhudiaye, kwa sababu Roho ndiye kweli. 7Kwa
11Wapenzi, kama Mungu alitupenda sisi hivi,
maana wako watatu washuhudiao mbinguni:Hao
imetupasa na sisi kupendana. 12Hakuna mtu ye ni Baba, Neno na Roho Mtakatifu, nao hawa
yote aliyemwona Mungu wakati wo wote. Kama watatu ni wamoja. 8Pia wako mashahidi watatu
tukipendana, Mungu anakaa ndani yetu na duniani, yaani, Roho, Maji na Damu, wote hawa
upendo Wake umekamilika ndani yetu.
13Tunajua kwamba twakaa ndani Yake na
watatu wanakubaliana katilka umoja. 9Kama
tunaukubali ushuhuda wa wanadamu, basi
Yeye ndani yetu, kwa sababu ametupatia sisi ushuhuda wa Mungu ni mkuu zaidi, kwa kuwa huu
sehemu ya Roho Wake. 14Nasi tumeona na ndio ushuhuda wa Mungu kwamba
kushuhudia kwamba Baba amemtuma amemshuhudia Mwanawe. 10Kila mtu
Mwanawe ili awe Mwokozi wa ulimwengu. 15Kila amwaminiye Mwana wa Mungu anao ushuhuda
akiriye kwamba Yesu ni Mwana wa Mungu, ndani mwake.Kila mtu asiyemwamini Mungu
Mungu hukaa ndani yake, naye ndani ya amemfanya Yeye kuwa mwongo, kwa sababu
Mungu. 16Hivyo nasi twajua na kuutumainia
4
1Yohana
hakuamini ushuhuda Mungu alioutoa kuhusu
Mwanawe. 11Huu ndio ushuhuda kwamba,
Mungu ametupa uzima wa milele, nao huo
uzima umo katika Mwanawe. 12Aliye naye
Mwana wa Mungu anao uzima,yeye asiye na
Mwana wa Mungu hana uzima.

Maneno Ya Mwisho
13Nawaandikia mambo haya ninyi
mnaoliamini Jina la Mwana wa Mungu ili mpate
kujua ya kuwa mnao uzima wa milele. 14Huu
ndio ujasiri tulio nao ndani Yake, kama tukiomba
kitu sawasawa na mapenzi Yake, atusikia.
15Nasi kama tunajua ya kuwa atusikia, lo lote
tuombalo, tunajua ya kwamba tumekwisha
kupata zile haja tulizomwomba.
16Kama mtu akimwona ndugu yake
anatenda dhambi isiyo ya mauti, inampasa
aombe, naye Mungu atampa uzima mtu
huyo,yaani, kwa wale ambao dhambi yao si ya
mauti. Iko dhambi ya mauti, sisemi kwamba
utaomba kwa ajili ya hiyo. 17Jambo lo lote lisilo
la haki ni dhambi, lakini iko dhambi isiyo ya
mauti.
18Tunajua ya kuwa yeye aliyezaliwa na
Mungu hatendi dhambi, bali aliyezaliwa na
Mungu hujilinda wala yule mwovu hawezi
kumdhuru. 19Sisi twajua kuwa tu watoto wa
Mungu na ya kwamba ulimwengu wote uko chini
ya utawala wa yule mwovu.20Nasi twajua ya
kwamba Mwana wa Mungu amekuja, naye
ametupa sisi akili ili tupate kumjua Yeye aliye
Kweli. Nasi tumo ndani Yake Yeye aliye Kweli,
yaani, ndani ya Yesu Kristo Mwanawe. Yeye
ndiye Mungu wa kweli na uzima wa milele.
21Watoto wadogo,jilindeni na sanamu.
Amen.

5
2Yohana
Utangulizi
Waraka wa pili wa Yohana umeandikwa kwa “Bibi mteule (Siria na watoto wake)”, ambao unaweza kuwa
unamhusu mtu binafsi na jamaa yake, au kuna uwezekano kabisa kwamba unalihusu kanisa. Msisitizo
umewekwa katika umuhimu wa imani kwamba Yesu ni Mwana wa Mungu katika umbo la mwanadamu na
kwamba waamini wanaosoma inawapasa kudumu katika pendo la Mungu na kukataa mafundisho potofu ya
imani.
Yohana pia aliandika kuwaonya ili waweze kutambua walimu wa uongo wanaosafiri huku na huko, wao
wasije wakawaunga mkono na kuwasaidia. Yaani mtu ye yote asije akachangia kwenye kueneza mafundisho ya
uongo badala ya yale ya kweli.

Wazo Kuu
Mwenendo wa waamini na kuwaonya hao waamini dhidi ya wadanganyaji jinsi wanavyodanganya.

Mwandishi
Yohana, yule mwanafunzi mpenzi aliyeegama kifuani mwa Yesu wakati wa chakula cha mwisho na
wanafunzi Wake.

Tarehe
Waraka huu uliandikwa 90 B.K.

Mahali
Efeso.

Mgawanyo
• Salamu (1:1 - 3)
• Ushauri na maonyo (1:4 - 11)
• Hitimisho (1:12 - 13)

1
2Yohana
mlivyosikia tangu mwanzo, kwamba mwenende
Salamu katika upendo.
1Mzee, 7Wadanganyifu wengi, wasiokubali kwamba
Yesu Kristo amekuja katika mwili, wametokea
Kwa bibi mteule na watoto wake, ulimwenguni. Mtu wa namna hiyo ni
niwapendao katika kweli, wala si mimi tu, bali na mdanganyifu na mpinga Kristo. 8Jiangalieni
wale wote waijuao kweli, 2kwa sababu ya ile msije mkapoteza kile mlichokitenda, bali mpate
kweli ikaayo ndani yetu na ambayo itaendelea kupewa thawabu kamilifu. 9Mtu ye yote
kukaa nasi milele. asiyedumu katika mafundisho ya Kristo, bali
akayaacha, yeye hana Mungu. Ye yote
3Neema, rehema na amani itokayo kwa anayedumu katika mafundisho ana Baba na
Mungu Baba na kwa Yesu Kristo, Mwanawe Mwana pia. 10Msimpokee mtu ye yote
Baba, itakuwa pamoja nasi katika kweli na anayewajia ambaye hawaletei mafundisho
upendo. haya, wala msimkaribishe nyumbani kwenu.
11Ye yote amkaribishaye mtu wa namna hiyo
Kweli Na Upendo anashiriki katika matendo maovu ya mtu huyo.
4Imenipa furaha kuu kuona baadhi ya
watoto wako wanaenenda katika kweli, kama Salamu Za Mwisho
vile Baba alivyotuagiza.5 Sasa, bibi mpendwa, 12Ingawa ninayo mengi ya kuwaandikia,
nakuomba, si kwamba ninakuandikia amri lakini sitaki kutumia karatasi na wino. Badala
mpya, bali ile tuliyokuwa nayo tangu mwanzo. yake, nataraji kuja kwenu na kuongea nanyi ana
Sisi na tupendane kila mmoja na mwenzake. kwa ana, ili furaha yetu ipate kuwa timilifu.
6Hili ndilo pendo, kwamba tuenende sawasawa
na amri Zake. Hii ndiyo amri Yake kama vile 13Watoto wa dada yako mteule
wanakusalimu. Amen.

2
2Yohana

3
3Yohana
Utangulizi
Waraka wa tatu wa Yohana anaandikiwa Gayo, ambaye yawezekana alikuwa na wajibu wa kichungaji au
inawezekana alikuwa kiongozi muhimu katika kanisa. Anaelekezwa kuwasaidia na kuwahudumia wale wanaokuja
kama wajumbe wa Mungu. Pia anapewa onyo kuhusu Deotrefe, juu ya tabia yake ya kukosa ushirikiano. Yohana
anaeleza tarajio lake la kuja na kushughulikia tatizo hili yeye mwenyewe.

Wazo Kuu
Wajibu wa binafsi kuhusu watumishi wa kweli na wa uongo.

Tarehe
Waraka huu uliandikwa 90 B.K.

Mahali
Efeso.

Mgawanyiko
• Salamu (1:1- 4)
• Kutiwa moyo kwa Gayo (1: 5 – 8)
• Kukemewa kwa Deotrefe (1: 9 – 10)
• Kusifiwa kwa Demetrio (1: 11 – 12)
• Hitimisho (1:13 – 15)

1
3Yohana
Wasalimu hao rafiki zetu walioko huko, kila
Salamu mmoja kwa jina lake.
1Mzee,

Kwa Gayo mpenzi, nimpendaye katika


kweli.

Gayo Anasifiwa Kwa Ajili Ya Ukarimu Wake


2Mpenzi, naomba ufanikiwe katika mambo
yote na kuwa na afya yako kama vile roho yako
ifanikiwavyo. 3Ilinifurahisha sana baadhi ya
ndugu walipokuja na kutueleza juu ya uaminifu
wako katika kweli na jinsi unavyoendelea
kuenenda katika hiyo kweli. 4Sina furaha kubwa
kuliko hii, kusikia kwamba watoto wangu
wanaenenda katika kweli.
5Mpenzi, wewe ni mwaminifu kwa yale
unayowatendea ndugu, ingawa wao ni wageni
kwako. 6Wameshuhudia kuhusu upendo wako
mbele ya kanisa. Utafanya vema ukiwasafirisha
kama inavyostahili kwa Mungu. 7Ilikuwa ni kwa
ajili ya hilo Jina waliondoka, bila kukubali
kupokea msaada wo wote kutoka kwa watu
wasioamini. 8Kwa hiyo imetupasa sisi
kuonyesha ukarimu kwa watu kama hao ili
tuweze kutenda kazi pamoja kwa ajili ya kweli.

Deotrefe Na Demetrio
9Nililiandikiakanisa, lakini Deotrefe yeye
apendaye kujifanya wa kwanza, hakubali
mamlaka yetu. 10Hivyo kama nikija,
nitakumbuka matendo yake atendayo,
akitusingizia kwa maneno ya hila. Wala
hatosheki na hayo anayotusingizia,bali pia
hukataa kuwakaribisha ndugu na hata huwazuia
wale walio tayari kufanya hivyo na kuwafukuza
watoke kanisani.
11 Mpenzi, usiige lile lililo baya bali lile lililo
jema. Ye yote atendaye mema atoka kwa
Mungu, atendaye mabaya hakumwona Mungu.

Salamu Za Mwisho
12Kila mtu ameshuhudia mema kuhusu
Demetrio, vivyo hivyo hata na hiyo kweli
yenyewe. Sisi pia twashuhudia mema juu yake,
nanyi mwajua kwamba ushuhuda wetu ni kweli.
13Ninayo mambo mengi ya kukuandikia,
lakini sipendi kuandika kwa kalamu na wino.
14Badala yake, nataraji kukuona upesi, nasi
tutaongea pamoja ana kwa ana.

Amani iwe kwako. Rafiki zetu walioko hapa


wanakusalimu.
2
3Yohana

3
Yuda
Utangulizi
Mwandishi wa waraka huu ametambuliwa kuwa ni Yuda, ambaye alikuwa nduguye Yakobo. Yakobo
aliyekuwa msimamizi wa baraza la Yerusalemu na ambaye ndiye mwandishi wa waraka wa Yakobo. Yeye
alikuwa ndugu wa Yesu wa kuzaliwa na Maria (Mk.6:3). Mfanano wa yaliyomo na yale yaliyomo kwenye Waraka
wa pili wa Petro yanaashiria kuwa Yuda alikuwa amehamasishwa na ujumbe wa Petro. Katika (Yuda 1:3)
anaonyesha kuwa alikusudia kuandika kuhusu wokovu wao lakini sasa anabadili nasaha zake kuelekea kwenye
mwelekeo wa kukemea mtazamo wa watu fulani wenye tabia mbaya waliokuwa wanazunguka miongoni mwao
wakiwa wanapotosha neema ya Mungu.

Tarehe
Tarehe ya kuandikwa kwa waraka huu inaweza ikawa kati ya mwaka 65 - 70 B.K., au kama miaka kumi
baadaye. Kama waraka huu uliandikiwa Wakristo wa Kiyahudi huko Palestina, tarehe ya awali inakubalika zaidi.

Wazo Kuu
Yuda anasisitiza umuhimu wa kuishindania imani. Upotovu, yaani, uzushi, ni lazima uonyeshwe wazi
kwamba si kweli. Anaonya kwamba hukumu ya Mungu itakuja juu ya wale wanaopotoka katika imani kama vile
ilivyokuja juu ya Kaini, Kora na Balaamu.
Mgawanyo
• Utangulizi (1:1- 4)
• Maonyo dhidi ya uongo (1: 5 -16)
• Marudi na hitimisho (1:17- 25)

1
Yuda
Kaini, wamekimbilia faida katika kosa la
Salamu Baalamu na kuangamia katika uasi wa Kora.
1Yuda, mtumwa wa Yesu Kisto nduguye 12Watu hawa ni dosari katika karamu zenu
Yakobo, za upendo, wakila pamoja nanyi bila hofu,
wakijilisha pasipo hofu. Wao ni mawingu
Kwa wale walioitwa, wapendwa katika yasiyokuwa na maji, yakichukuliwa na upepo,
Mungu Baba na kuhifadhiwa salama miti isiyo na matunda wakati wa mapuputiko
ndani ya Yesu Kristo: ambayo hunyauka iliyokufa mara mbili na
kung’olewa kabisa. 13 Wao ni mawimbi makali
2Rehema, amani na upendo viwe kwenu ya bahari, yakitoa povu la aibu yao wenyewe, ni
kwa wingi. nyota zipoteazo, ambao weusi wa giza ndio
akiba yao waliowekewa milele.
Dhambi Na Hukumu Ya Watu Wasiomcha 14Enoki, mtu wa saba kuanzia Adamu alitoa
Mungu unabii kuhusu watu hawa, akisema, “Tazama,
3Wapenzi, ingawa nilikuwa ninatamani sana Bwana anakuja pamoja na maelfu kwa maelfu
kuwaandikia kuhusu wokovu ambao tunaushiriki ya watakatifu Wake, ili kumhukumu kila mmoja
sisi sote, niliona imenipasa kuwaandikia na na kuwapatiliza wote wasiomcha Mungu kwa
kuwasihi kwamba mwishindanie imani matendo yao yote ya uasi waliyoyatenda,
iliyokabidhiwa watakatifu mara moja tu. 4Kwa pamoja na maneno yote ya kuchukiza ambayo
kuwa kuna watu waliojipenyeza kwa siri katikati wenye dhambi wamesema dhidi Yake.” 16Watu
yenu, watu walioandikiwa tangu zamani hukumu hawa ni wenye kunung’unika na wenye kutafuta
hii, waovu, wapotoshao neema ya Mungu wetu makosa, wao hufuata tamaa zao mbaya, hujisifu
kuwa ufisadi wakimkana Yeye aliye Bwana wetu kwa maneno makuu kuhusu wao wenyewe na
wa pekee, Bwana Yesu Kristo. kuwasifu mno watu wenye vyeo kwa ajili ya
kujipatia faida.
Hukumu Kwa Walimu Wa Uongo
5Ingawa Maonyo Na Mausia
mmekwisha kujua haya yote,
17Lakini ninyi wapenzi, kumbukeni yale
nataka niwakumbushe kuwa Bwana akiisha
kuwaokoa watu Wake kutoka Misri, baadaye Mitume wa Bwana Yesu Kristo waliyotangulia
aliwaangamiza wale ambao hawakuamini. 6Nao kusema. 18Kwa kuwa waliwaambia, “Siku za
malaika ambao hawakulinda nafasi zao, lakini mwisho kutakuwa na watu wenye kudhihaki
wakayaacha makao yaliyokuwa yao hasa, hawa watakaofuata tamaa zao wenyewe za upotovu.”
19Hawa ndio watu wanaowagawa ninyi,
amewaweka katika giza, wakiwa wamefungwa
kwa minyororo ya milele kwa ajili ya hukumu wafuatao tamaa zao za asili wala hawana Roho.
20Lakini ninyi wapenzi, jijengeni katika imani
siku ile kuu. 7Vivyo hivyo, Sodoma na Gomora
na pia ile miji iliyokuwa kando-kando, ambayo yenu iliyo takatifu sana tena ombeni katika Roho
kwa jinsi moja na hao, walijifurahisha kwa Mtakatifu. 21Jilindeni katika upendo wa Mungu
uasherati na kufuata tamaa za mwili zisizo za mkitazamia kwa furaha rehema ya Bwana wetu
asili, waliwekwa wawe mfano kwa kuadhibiwa Yesu Kristo ili awalete katika uzima wa milele.
22Wahurumieni wengine wale wenye shaka,
katika moto wa milele.
8Vivyo hivyo hawa waotao ndoto huutia 23wengine waokoeni kwa kuwanyakua kutoka
mwili unajisi, hukataa kuwa chini ya mamlaka na kwenye moto, nao wengine wahurumieni mkiwa
kunena mabaya juu ya wenye mamlaka. 9Lakini na hofu mkichukia hata vazi lenye mawaa na
hata Malaika Mkuu Mikaeli alipokuwa kutiwa unajisi na mwili.
anashindana na ibilisi juu ya mwili wa Mose,
Dua Ya Kutakia Heri
hakuthubutu kumlaumu, bali alimwambia,
24Kwake Yeye awezaye kuwalinda
“Bwana na akukemee!” 10 Lakini watu hawa
hunena mabaya dhidi ya mambo msianguke na kuwaleta ninyi mbele za utukufu
wasiyoyafahamu na katika mambo yale Wake mkuu bila dosari kwa furaha ipitayo kiasi,
wanayoyafahamu kwa hisia kama wanyama 25Yeye Mungu pekee, Mwokozi wetu kwa Yesu
wasio na akili, hayo ndiyo hasa Kristo Bwana wetu, utukufu, ukuu, uweza na
yanayowaharibu. mamlaka vina Yeye tangu milele, sasa na hata
11Ole wao! Kwa kuwa wanaifuata njia ya milele! Amen.
2
Yuda

3
Yuda

4
Ufunuo wa Yohana
Utangulizi:
Kitabu hiki kinaanza, “Ufunuo wa Yesu Kristo aliopewa na Mungu… “ kikionyesha kuwa Yesu Kristo ndiye
mhusika mkuu katika kitabu hiki. Tangu mwanzo kuonekana kwa Kristo ndiko kunakotawala. Hivyo Ufunuo huu ni
wa Yesu Kristo aliopewa na Mungu, japo kitabu kimechukua jina la mwandishi, “Ufunuo wa Yohana”, ukweli ni
kwamba haumzungumzii Yohana kwa undani wala haumfunui yeye, bali Yesu Kristo. Yesu ndiye Mwana Kondoo
ambaye ameleta ukombozi. Yeye ndiye atakayehukumu na hatimaye atashinda kabisa uovu, ili ufalme wa milele
ulio bora kabisa usimamishwe.
Kuna sehemu kubwa tatu katika kitabu hiki chenye mambo mengi muhimu. Sehemu ya kwanza ni maono ya
Yesu Kristo, (sura ya 1). Sehemu ya pili inahusu habari za makanisa, yaani, barua zinazoandikwa kwa makanisa
saba yaliyoko Asia (sura ya 2-3). Sehemu ya tatu inahusu maono mbalimbali juu ya maisha na mateso ya watu
wa Mungu, kushindwa kwa uovu, kuja kwa Kristo mara ya pili, hukumu ya mwisho, utawala wa miaka elfu moja
na maisha ya mbinguni ( sura ya 4-22). Sehemu kubwa ya maono hayo inahusu maafa yatakayoipata dunia
ambapo ghadhabu ya Mwana- Kondoo, yaani, Yesu, inaonyeshwa. Katika maono haya yamo pia maono kuhusu
watu wa Mungu walioteswa na kuuawa ambao sasa wako mbinguni. Maono yanafikia kilele kwenye vita baina ya
yule kahaba Babeli na ushindi wa Neno la Mungu ambaye ni Mfalme wa wafalme na Bwana wa mabwana
(19:16). Yeye amekuja kuangamiza kazi za Shetani (uovu) na kuandaa karamu kwa wale wamwaminio. Ndipo
yanafuata maono kuhusu hukumu na utukufu na maneno ya mwisho, ‘Amen, na uje Bwana Yesu’ (22:20).
Mstari wa ufunguo wa kitabu hiki ni (1:19 “Basi andika mambo uliyoyaona, yaliyoko na yale yatakayotukia
baada ya haya.” Kikiwa na lugha ya kiufunuo, yaani, matumizi ya mifano na majina ya kubuniwa ambayo si halisi,
lugha ya mfano, ndoto, maono, matumizi makubwa ya tarakimu na viumbe vya mbinguni. Tumaini kwa wale
wanaoteswa katika nyakati zile za kukata tamaa.

Wazo Kuu
Kitabu hiki chenye utukufu kinamwonyesha Yesu ambaye mwanzo alidharauliwa, Mwana-Kondoo
aliyechinjwa kwa ajili ya dhambi za ulimwengu, akichukua utawala wa historia nyakati za mwisho na akileta
ushindi wa milele kwa kuangamiza uovu na kuleta utawala wa haki milele na milele. Mkristo katika kitabu hiki
anapata uhakika wa tumaini lake kwamba: siku moja mambo yote yatakuwa mema na Mungu atatawala juu ya
yote. Machozi yatafutwa, kifo, huzuni, majonzi na uchungu vitakoma milele’’ (21:4). Huu ni ujumbe wa kutia moyo
kwa waamini wote, wakati wote.

Mwandishi
Yale yaliyomo kwenye kitabu hiki na ushahidi wa nje unaonyesha kwamba mwandishi ni mtu aliyekuwa na
nafasi muhimu ya uongozi katika makanisa ya Asia. Mwandishi wa kitabu hiki ni Yohana, ‘‘Mimi Yohana, ndugu
yenu ninayeshiriki pamoja nanyi mateso katika Yesu… ‘’, (1:9-10), ambaye ametajwa mahali pengi (1:1, 4, 9:
21:2 na 22:8). Huyu ndiye aliyeandika pia Injili pamoja na nyaraka zote tatu, ambaye ndiye yule anayetajwa kama
mwanafunzi aliyependwa na ambaye aliegama kifuani mwa Yesu wakati wa chakula cha mwisho kati ya Yesu na
wanafunzi Wake.

Tarehe
Kitabu hiki kimeandikwa 96 B.K.

Mahali
Kisiwa cha Patmo karibu na pwani ya Uyunani (Greece).

Mgawanyo • Maono kuhusu vita ya duniani na


• Mwanzo wa maono (1:1-20) mbinguni (12:1-14:20)
• Barua saba kwa Makanisa (2:1-3:22) • Mabakuli saba ya hukumu (15:1-16:21)
• Maono kuhusu Mungu na • Hukumu juu ya Kahaba Babeli ( 17:1-19:21)
Mwana-Kondoo (4:1-5:14) • Mwisho wa nyakati na wakati ujao ( 20:1-22:21)
• Lakiri saba za hukumu (6:1-8:5)
• Tarumbeta saba za hukumu (8:6-11:19)

1
Ufunuo wa Yohana
11ikisema, “Andika kwenye kitabu haya yote
Utangulizi Na Salamu unayoyaona, kisha ukipeleke kwa makanisa
1 Ufunuo wa Yesu Kristo aliopewa na
Mungu ili awaonyeshe watumishi Wake mambo
saba, yaani: Efeso, Smirna, Pergamo, Thiatira,
Sardi, Filadelfia na Laodikia.’’
yatakayotukia karibuni. Alijulisha mambo 12Ndipo nikageuka ili nione ni sauti ya nani
haya kwa kumtuma malaika Wake kwa Yohana iliyokuwa ikisema nami. Nami nilipogeuka,
mtumishi Wake, 2ambaye ameshuhudia kuhusu nikaona vinara saba vya taa vya dhahabu,
kila kitu alichoona, yaani, Neno la Mungu na 13katikati ya vile vinara vya taa, nikaona mtu
ushuhuda wa Yesu Kristo. 3Amebarikiwa kama Mwana wa Adamu, amevaa joho refu na
yeye asomaye maneno ya unabii huu na pia
wamebarikiwa wale wanaoyasikia na kuyatia mkanda wa dhahabu umefungwa kifuani
moyoni yale yaliyoandikwa humo, kwa mwake. 14Kichwa chake na nywele zake
sababu wakati umekaribia. zilikuwa nyeupe kama sufu, nyeupe kama
theluji, nayo macho yake yalikuwa kama mwali
Salamu Kwa Makanisa Saba wa moto. 15 Nyayo zake zilikuwa kama shaba
4Yohana, iliyosuguliwa sana, kama vile imesafishwa
katika tanuru ya moto, nayo sauti yake ilikuwa
kwa makanisa saba yaliyoko Asia: kama sauti ya maji mengi. 16 Katika mkono
wake wa kuume alishikilia nyota saba na
Neema na amani kutoka kwa Yeye aliyeko, kinywani mwake ulitoka upanga wenye makali
aliyekuwako na atakayekuja na kutoka kwa wale kuwili. Uso wake kama jua kali linalong’aa kwa
Roho saba walioko mbele ya kiti Chake cha enzi nguvu zake zote.
5na kwa Yesu Kristo ambaye ni shahidi 17 Nilipomwona, nilianguka miguuni pake
mwaminifu, aliye mzaliwa wa kwanza kutoka kama aliyekufa. Ndipo akaweka mkono wake
kwa wafu, ambaye Yeye ndiye mtawala wa wa kuume juu yangu na kusema, “Usiogope,
wafalme wa dunia. Mimi ni wa Kwanza na wa Mwisho. 18Mimi ni
Yeye aliye hai, niliyekuwa nimekufa na tazama,
Kwake Yeye aliyetupenda na ambaye ni hai milele na milele! Nami ninazo funguo za
ametuweka huru kutoka katika dhambi zetu kwa mauti na kuzimua. 19Basi andika mambo
damu Yake, 6akatufanya sisi kuwa ufalme na uliyoyaona, yaliyopo na yale yatakayotukia
makuhani, tumtumikie Mungu Wake ambaye ni baada ya haya. 20Kuhusu siri ya zile nyota saba
Baba yake. Utukufu na uwezo vina Yeye milele ulizoziona katika mkono Wangu wa kuume na
na milele! Amen. vile vinara saba vya taa vya dhahabu ni hii: zile
nyota saba ni malaika wa yale makanisa saba,
7Tazama! Anakuja na mawingu navyo vile vinara saba ni hayo makanisa saba.
na kila jicho litamwona,
hata wale waliomchoma mkuki, Kwa Kanisa Lililoko Efeso
na mataifa yote ulimwenguni
yataomboleza kwa sababu yake. 2 ‘‘Kwa malaika wa kanisa lililoko Efeso andika:
Naam ndivyo itakavyokuwa! Amen.
Haya ndiyo maneno ya yule aliyezishika
8‘‘Mimi ni Alfa na Omega,’’ asema Bwana zile nyota saba katika mkono wake wa
Mungu, ‘‘Aliyeko, aliyekuwako na atakayekuja, kuume, na ambaye hutembea katikati ya
Mwenyezi.’’ vile vinara saba vya taa vya dhahabu.
2‘‘Nayajua matendo yako, bidii yako na
Maono Ya Kristo saburi yako. Najua kuwa huwezi
9Mimi Yohana, ndugu yenu ninayeshiriki kuvumiliana na watu waovu na ya kwamba
pamoja nanyi mateso katika Yesu na katika umewajaribu wale wanaojifanya kuwa
ufalme na uvumilivu katika saburi, nilikuwa mitume na kumbe sio, nawe umewatambua
katika kisiwa kiitwacho Patmo kwa ajili ya neno
la Mungu na ushuhuda wa Yesu. 10Nilikuwa
katika Roho siku ya Bwana, nikasikia sauti a18 “Kuzimu” hapa linatokana na neno la Kiyunani “Hades” au
kubwa kama ya tarumbeta nyuma yangu “Tartarus”, yaani, mahali pa mateso kwa ajili ya waliopotea.

2
Ufunuo wa Yohana
kuwa ni waongo. 3Nami
najua umevumilia Balaamu, yule aliyemfundisha Balaki
na kustahimili taabu kwa ajili ya Jina langu, kuwashawishi Waisraeli watende dhambi
wala hukuchoka. kwa kula vitu vilivyotolewa dhabihu kwa
4Lakini nina neno juu yako: umeuacha sanamu na kufanya uasherati. 15Vivyo
upendo wako wa kwanza. 5Kumbuka basi ni hivyo unao wale wayashikao mafundisho ya
wapi ulikoanguka! Tubu na ukafanye Wanikolai. 16Basi tubuni! ama sivyo,
matendo yale ya kwanza. Kama usipotubu, nitakuja kwako upesi na kupigana na watu
nitakuja kwako na kukiondoa kinara chako hao kwa upanga wa kinywa changu.
cha taa kutoka mahali pake. 6Lakini una 17Yeye aliye na sikio na asikie yale
jambo hili kwa upande wako: unayachukia ambayo Roho anayaambia makanisa. Yeye
matendo ya Wanikolai, ambayo nami ashindaye nitampa baadhi ya ile mana
nayachukia. iliyofichwa, nami nitampa yeye jiwe jeupe
7Yeye aliye na sikio na asikie yale ambalo juu yake limeandikwa jina jipya
ambayo Roho ayaambia makanisa. Yeye asilolijua mtu, isipokuwa yule anayelipokea.
atakayeshinda, nitampa haki ya kula
Kwa Kanisa Lililoko Thiatira
matunda ya mti wa uzima, ambao uko
18‘‘Kwa malaika wa kanisa lililoko Thiatira
katika paradisoa ya Mungu.
andika :
Kwa Kanisa Liliko Smirna
8‘‘Kwa malaika wa kanisa lililoko Smirna andika: Haya ndiyo maneno ya Mwana wa
Mungu, ambaye macho yake ni kama mwali
Haya ndiyo maneno yake Yeye aliye wa wa moto na ambaye miguu yake ni kama
Kwanza na wa Mwisho, aliyekufa kisha shaba iliyosuguliwa sana. 19Nayajua
akafufuka. 9Naijua dhiki yako na umaskini matendo yako, upendo wako, imani yako,
wako, lakini wewe ni tajiri! Nayajua huduma na saburi yako na kwamba
masingizio ya wale wasemao kuwa ni matendo yako ya sasa yamezidi yale ya
Wayahudi lakini sio, wao ni sinagogi la kwanza.
Shetani. 10Usiogope mateso 20Lakini nina neno dhidi yako:
yatakayokupata. Nakuambia Shetani unamvumilia yule mwanamke Yezebeli
atawatia baadhi yenu gerezani ili ambaye anajiita nabii, lakini anawafundisha
kuwajaribu, nanyi mtapata dhiki kwa muda na kuwapotosha watumishi wangu ili
wa siku kumi. Uwe mwaminifu, hata kufa, wafanye uasherati na kula vyakula
nami nitakupa taji ya uzima. vilivyotolewa kafara kwa sanamu.
11Yeye aliye na sikio na asikie yale 21Nimempa muda ili atubie uasherati wake,
ambayo Roho anayaambia makanisa. Yeye lakini hataki. 22Kwa hiyo nitamtupa kwenye
ashindaye hatadhuriwa na mauti ya pili. kitanda cha mateso, nami nitawafanya hao
wanaozini naye kupata mateso makali
Kwa Kanisa Lililoko Pergamo wasipotubia njia zake. 23Nami nitawaua
12‘‘Kwa malaika wa Kanisa lililoko Pergamo
watoto wake. Nayo makanisa yote yatajua
andika: kwamba Mimi ndiye nichunguzaye mioyo na
nia za watu na kwamba nitamlipa kila
Haya ndiyo maneno yake Yeye aliye na mmoja wenu kwa kadiri ya matendo yake.
upanga wenye makali kuwili. 13Ninajua 24Basi nawaambia ninyi wengine mlioko
unakoishi, ni kule ambako Shetani ana kiti Thiatira, ninyi ambao hamyafuati
chake cha enzi. Lakini umelishika jina langu. mafundisho ya Yezebeli, wala hamkujifunza
Wala hukuikana imani yako kwangu hata hayo wengine wanayoyaita mambo ya
katika siku za shahidi wangu mwaminifu ndani sana ya Shetani (sitaweka mzigo
Antipa, ambaye aliuawa katika mji wenu, mwingine wo wote juu yenu): 25Lakini
ambako ndiko anakokaa Shetani. shikeni sana mlicho nacho, mpaka
14 Lakini nina mambo machache dhidi nitakapokuja.
yako: unao watu wafuatao mafundisho ya 26Atakayeshinda na kutenda mapenzi
Yangu mpaka mwisho, nitampa mamlaka
a7 Paradiso hapa ina maana ya bustani, yaani,shamba dogo la juu ya mataifa.
miti izaayo matunda.
3
Ufunuo wa Yohana
waongo, waje wapige magoti miguuni pako,
27‘Atawatawala kwa fimbo ya chuma, nao watajua ya kwamba nimekupenda.
atawavunja vipande vipande kama 10Kwa kuwa umelishika neno la saburi
chombo cha udongo, Yangu nitakulinda hata utoke katika saa ya
kujaribiwa inayokuja ulimwenguni pote ili
kama vile mimi nilivyopokea mamlaka kuwajaribu wote wakaao duniani.
kutoka kwa Baba yangu. 28Yeye ashindaye 11Ninakuja upesi. Shika sana ulicho
nitampa ile nyota ya asubuhi. 29Yeye aliye nacho, ili mtu asije akaichukua taji yako.
na sikio na asikie yale ambayo Roho 12Yeye ashindaye nitamfanya kuwa nguzo
anayaambia makanisa. katika hekalu la Mungu wangu, wala
hatatoka humo kamwe. Nitaandika juu yake
Kwa Kanisa Lililoko Sardi Jina la Mungu wangu na jina la mji wa
3 ‘‘Kwa malaika wa Kanisa lililoko Sardi andika:
Mungu wangu, yaani, Yerusalemu mpya,
ambao unashuka kutoka mbinguni kwa
Mungu wangu. Nami pia nitaandika juu
Haya ndiyo maneno Yake Yeye aliye na yake Jina langu jipya. 13Yeye aliye na sikio
zile Roho saba za Mungu na zile nyota na asikie yale ambayo Roho anayaambia
saba. Nayajua matendo yako, kwamba una makanisa.
sifa ya kuwa hai, lakini umekufa. 2Amka!
Nawe uyaimarishe yale yaliyo karibu kufa, Kwa Kanisa Lililoko Laodikia
kwa maana sikuona kwamba kazi zako 14‘‘Kwa malaika wa kanisa lililoko Laodikia
zimekamilika machoni pa Mungu wangu. andika :
3Kumbuka basi yale uliyoyapokea na
kuyasikia, yatii na ukatubu. Lakini Haya ndiyo maneno Yake Yeye aliye
usipoamka, nitakuja kama mwivi wala Amen, shahidi mwaminifu na wa kweli,
hutajua saa nitakayokuja kwako. mtawala wa uumbaji wote wa Mungu. 15
4Lakini bado una watu wachache katika Nayajua matendo yako, ya kwamba wewe
Sardi ambao hawajayachafua mavazi yao. si baridi wala si moto. Afadhali ungelikuwa
Wao wataenda pamoja nami, wakiwa baridi au moto. 16 Hivyo kwa kuwa u
wamevaa mavazi meupe, kwa maana uvuguvugu, kwamba wewe si baridi wala si
wanastahili. 5Yeye ashindaye atavikwa vazi moto, nitakutapika utoke kinywani Mwangu.
jeupe kama wao, nami sitafuta jina lake 17Kwa maana unasema, ‘Mimi ni tajiri,
kutoka katika kitabu cha uzima, bali nitalikiri nimefanikiwa, wala sihitaji kitu cho chote.’
jina lake mbele za Baba yangu na mbele za Hujui ya kwamba wewe ni mnyonge, wa
malaika Wake. 6Yeye aliye na sikio na asikie kuhurumiwa, masikini, kipofu, tena uliye
yale ambayo Roho anayaambia makanisa. uchi. 18Kwa hiyo nakushauri ununue kutoka
Kwangu dhahabu iliyosafishwa kwa moto ili
Kwa Kanisa Lililoko Filadelfia upate kuwa tajiri na mavazi meupe ili
7‘‘Kwa malaika wa kanisa lililoko Filadelfia uyavae, upate kuficha aibu ya uchi wako na
andika : mafuta ya kupaka macho yako ili upate
kuona .
Haya ndiyo maneno Yake Yeye aliye 19Wale niwapendao, ninawakemea na
mtakatifu na wa kweli, Yeye aliye na kuwaadibisha. Hivyo uwe na bidii ukatubu.
ufunguo wa Daudi. Anachokifungua hakuna 20Tazama, nasimama mlangoni nabisha.
awezaye kukifunga, wala anachokifunga
Kama mtu ye yote akisikia sauti Yangu na
hakuna awezaye kukifungua. 8Nayajua kufungua mlango, nitaingia ndani na kula
matendo yako. Tazama, nimeweka mbele pamoja naye,naye pamoja nami.
yako mlango uliofunguliwa, wala hakuna 21Yeye ashindaye nitampa haki ya kuketi
awezaye kuufunga. Ninajua kwamba una pamoja Nami kwenye kiti Changu cha enzi,
nguvu kidogo lakini umelishika neno Langu kama vile Mimi nilivyoshinda nikaketi pamoja
wala hukulikana Jina langu. 9Nitawafanya na Baba Yangu kwenye kiti Chake cha enzi.
wale wa sinagogi la Shetani, wale ambao 22Yeya aliye na sikio na asikie yale ambayo
husema kuwa ni Wayahudi lakini sio, bali ni Roho anayaambia makanisa.’’

4
Ufunuo wa Yohana
Wewe umestahili kupokea utukufu
Kiti Cha Enzi Kilichoko Mbinguni na heshima na uweza,
4 Baada ya mambo hayo nilitazama, nami kwa maana ndiwe uliyeviumba vitu vyote
na kwa mapenzi Yako viliumbwa
nikaona mbele yangu mlango uliowazi na vimekuwako.’’
mbinguni. Nayo ile sauti niliyokuwa nimeisikia
hapo kwanza ikisema nami kama tarumbeta
ikasema, “Njoo panda huku nami nitakuonyesha Kitabu Na Mwana-Kondoo
yale ambayo hayana budi kutokea baada ya
haya.’’ 2Ghafula nilikuwa katika Roho, hapo
5 Kisha nikaona katika mkono Wake wa
kuume yule aliyeketi kwenye kile kiti cha enzi,
mbele yangu kilikuwapo kiti cha enzi mbinguni, kitabu kilichoandikwa ndani na upande wa
kikiwa kimekaliwa na mtu mmoja. 3Yeye nyuma kikiwa kimefungwa kwa lakiri saba.
aliyekuwa amekikalia alikuwa anaonekana 2Nami nikamwona malaika mwenye nguvu
kama yaspi na akiki. Kukizunguka kile kiti cha akitangaza kwa sauti kuu, akisema, “Ni nani
enzi palikuwa na upinde wa mvua ulioonekana anayestahili kuzivunja hizo lakiri na kukifungua
kama zumaridi. 4 Pia kukizunguka hicho kiti cha hicho kitabu?” 3Lakini hapakuwa na ye yote
enzi palikuwa na viti ishirini na vinne na juu ya mbinguni wala duniani au chini ya dunia
hivyo viti walikuwa wameketi wazee ishirini na aliyeweza kukifungua hicho kitabu wala hata
wanne, waliovaa majoho meupe, wakiwa na taji kutazama ndani yake. 4Nikalia sana sana kwa
za dhahabu vichwani mwao. 5Kwenye kile kiti sababu hakuonekana ye yote aliyestashili
cha enzi palikuwa panatoka miali ya umeme wa kukifungua hicho kitabu wala kutazama ndani
radi, ngurumo na sauti za radi. Mbele ya hicho yake. 5Kisha, mmoja wa wale wazee
kiti cha enzi, palikuwa na taa saba zilizokuwa akaniambia, “Usilie! Tazama, Simba wa kabila la
zinawaka. Hizi ndizo Roho saba za Mungu. 6Pia Yuda, wa uzao wa Daudi, ameshinda, ili
mbele ya hicho kiti cha enzi palikuwa na kile kwamba aweze kukifungua hicho kitabu na
kilichoonekana kama bahari ya kioo, iliyokuwa kuvunja hizo lakiri zake saba.’’
angavu kama jiwe lisilo na rangi yo yote 6 Ndipo nikaona kati ya kile kiti cha enzi na
ling’aalo sana. wale viumbe wenye uhai wanne na miongoni
Katikati, kukizunguka kile kiti cha enzi, mwa wale wazee, Mwana-Kondoo amesimama,
kulikuwa na viumbe wanne wenye uhai, wakiwa akiwa kama amechinjwa. Alikuwa na pembe
wamejawa na macho mbele na nyuma. 7Huyo saba na macho saba, ambazo ndizo zile Roho
kiumbe wa kwanza mwenye uhai alikuwa kama saba za Mungu zilizotumwa duniani pote. 7Huyo
simba, wa pili alikuwa kama ng'ombe dume, wa Mwana-Kondoo akaja na kukitwaa kile kitabu
tatu alikuwa na uso kama wa mwanadamu na kutoka kwenye mkono wa kuume wa yule
wa nne alikuwa kama tai anayeruka. 8Kila aliyeketi kwenye kile kiti cha enzi. 8Alipokwisha
mmoja wa hawa viumbe wenye uhai wanne, kukitwaa kile kitabu, wale viumbe wenye uhai
alikuwa na mabawa sita na kujawa na macho wanne pamoja na wale wazee ishirini na wanne
pande zote, hadi chini ya mabawa. Usiku na wakaanguka mbele ya yule Mwana-Kondoo.
mchana hawakuacha kusema: Kila mmoja wao alikuwa na kinubi, nao
walikuwa wameshika mabakuli ya dhahabu
‘‘Mtakatifu, Mtakatifu, Mtakatifu, yaliyojaa uvumba, ambayo ni maombi ya
ni Bwana Mungu Mwenyezi, watakatifu. 9Nao wakaimba wimbo mpya
aliyekuwako, aliyeko na atakayekuja.’’ wakisema:
9Kila mara viumbe hao wenye uhai wanne “Wewe unastahili kukitwaa kitabu
walipomtukuza, kumheshimu na kumshukuru na kuzivunja lakiri zake,
Yeye aliyeketi kwenye kile kiti cha enzi, tena kwa sababu ulichinjwa
aishie milele na milele, 10 wale wazee ishirini na na kwa damu Yako ukamnunulia
wanne huanguka mbele Zake Yeye aliyeketi Mungu watu
kwenye kile kiti cha enzi na kumwabudu Yeye kutoka katika kila kabila, kila lugha,
aliye hai milele na milele. Wao huziweka taji zao kila jamaa na kila taifa.
mbele ya hicho kiti cha enzi wakisema, 10Wewe umewafanya hawa wawe ufalme na
makuhani wa kumtumikia Mungu wetu,
11“Bwana wetu na Mungu wetu, nao watamiliki katika dunia.’’
5
Ufunuo wa Yohana
11Nami nikatazama, nikasikia sauti za kibarua wa siku moja a. Lakini usiharibu mafuta
malaika wengi wakiwa wamekizunguka kile kiti ya zeituni wala divai!’’
cha enzi, pamoja na wale viumbe wenye uhai 7Alipovunja ile lakiri ya nne, nikasikia sauti
wanne na wale wazee ishirini na wanne, idadi ya yule kiumbe wa nne mwenye uhai ikisema,
yao ilikuwa kumi elfu mara kumi elfu na maelfu ‘‘Njoo!’’ 8Nikatazama na hapo mbele yangu
12
ya maelfu. Nao wakiimba kwa sauti kuu, alikuwepo farasi mwenye rangi ya kijivujivu!
wakisema: Yeye aliyempanda huyo farasi aliitwa Mauti,
naye Kuzimub alikuwa akifuatana naye, nao
‘‘Anastahili Mwana-Kondoo, Yeye wakapewa mamlaka juu ya robo ya dunia, kuua
aliyechinjwa, kwa upanga, njaa, tauni na kwa wanyama
kupokea uweza na utajiri na hekima wakali wa dunia.
na nguvu 9Alipoivunja ile lakiri ya tano, nikaona chini
na heshima na utukufu na sifa!’’ ya madhabahu, roho za wale waliouawa kwa
ajili ya Neno la Mungu na kwa ajili ya ushuhuda
13Kisha nikasikia kila kiumbe mbinguni na
walioutunza. 10Wakalia kwa sauti kuu,
duniani, chini ya nchi na baharini na vyote wakisema, ‘‘Hata lini, Ee Bwana Mwenyezi,
vilivyomo ndani yake vikiimba: uliye Mtakatifu na Mwaminifu, kutokuwahukumu
na kulipiza kisasi juu ya watu waishio duniani
‘‘Sifa na heshima na utukufu na uweza ni kwa ajili ya damu yetu?’’ 11Kisha kila mmoja
vyake Yeye aketiye juu ya hicho kiti wao akapewa joho jeupe, nao wakaambiwa
cha enzi na kwa Mwana-Kondoo, wangoje kwa muda kidogo zaidi, mpaka idadi ya
milele na milele!” ndugu zao na watumishi wenzao watakaouawa
kama wao walivyouawa, itakapotimia.
14Wale viumbe wenye uhai wanne wakasema, 12Nikaangalia, Naye alipokuwa akiivunja ile
“Amen!’’ Nao wale wazee ishirini na wanne lakiri ya sita, pakatokea tetemeko kuu la nchi na
wakaanguka kifudifudi wakaabudu. jua likawa jeusi kama nguo ya gunia
iliyotengenezwa kwa singa za mbuzi, mwezi
Mwana- Kondoo Avunja Lakiri Saba wote ukawa mwekundu kama damu. 13Nyota
Kisha nikamwona Mwana-Kondoo zilizo angani zikaanguka ardhini kama vile
6 akivunja ile lakiri ya kwanza miongoni matunda ya mtini yasiyokomaa yaangukavyo
mwa zile saba. Ndipo nikasikia mmoja wa wale wakati mti wake unapotikiswa na upepo mkali.
viumbe wenye uhai wanne akisema kwa sauti 14Anga ikatoweka kama vile karatasi
2
kama ya radi: “Njoo!’’ Nikatazama na hapo isokotwavyo na kila mlima na kila kisiwa
mbele yangu alikuwepo farasi mweupe! Yeye kikaondolewa mahali pake.
aliyempanda alikuwa na upindi, naye akapewa 15Ndipo wafalme wa duniani, wakuu wote,
taji, akampanda akatoka akishinda ili apate majemadari, matajiri, wenye nguvu na kila mtu,
kushinda. mtumwa na mtu huru, wakajificha katika
3Alipoivunja ile lakiri ya pili, nikamsikia yule mapango na kwenye miamba ya milima.
kiumbe mwenye uhai wa pili akisema, “Njoo!’’ 16Wakaiita milima na miamba wakisema,
4Ndipo akatokea farasi mwingine wa rangi “Tuangukieni, mkatufiche na uso Wake Yeye
nyekundu. Yeye aliyempanda akapewa uwezo aketiye kwenye kiti cha enzi na mkatuepushe na
wa kuondoa amani duniani na kuwafanya watu ghadhabu ya Mwana-Kondoo, 17kwa maana
wauane. Yeye akapewa upanga mkubwa. siku ile kuu ya ghadhabu yao imewadia.Je, ni
5Alipoivunja ile lakiri ya tatu, nikamsikia yule nani awezaye kusimama?’’
kiumbe wa tatu mwenye uhai akisema, “Njoo!’’
Nikatazama na mbele yangu alikuwepo farasi Wale Wasraeli 144,000 Watiwa Muhuri
mweusi! Yeye aliyempanda alikuwa na mizani
6
7 Baada ya haya nikaona malaika wanne wakiwa
wamesimama katika pembe nne
mkononi mwake. Ndipo nikasikia kile
kilichokuwa kama sauti katikati ya wale viumbe za dunia, wakizuia hizo pepo nne za dunia, ili
wanne wenye uhai ikisema, “Kipimo kimoja cha
ngano kwa mshahara wa kibarua wa siku moja.
a6 Mshahara wa kibarua wa siku moja ulikuwa sawa na
Vipimo vitatu vya shayiri kwa mshahara wa dinari moja.
b7 Kuzimu hapa ni neno linalotokana na neno la
Kiyunani “Hades” au kwa Kiebrania “Sheol”
6
Ufunuo wa Yohana
kwamba pasiwe na upepo utakaovuma juu ya Amen!’’
nchi au juu ya bahari au juu ya mti wo wote.
2Nikaona malaika mwingine akipanda kutoka 13Kisha mmoja wa wale wazee ishirini na
maawio ya jua akiwa na muhuri wa Mungu aliye wanne akaniuliza, ‘‘Ni nani hawa waliovaa
hai. Akawaita kwa sauti kubwa wale malaika mavazi meupe, nao wametoka wapi?’’
wanne waliokuwa wamepewa mamlaka ya 14Nikamjibu, “Bwana, wewe wajua.’’
kuidhuru nchi na bahari, akisema, 3“Msiidhuru Naye akasema, “Hawa ni wale waliotoka
nchi wala bahari, wala miti, hadi tuwe tumetia katika ile dhiki kuu, nao wamefua mavazi yao
alama kwenye vipaji vya nyuso za watumishi wa katika damu ya Mwana-Kondoo na kuyafanya
Mungu wetu.’’ 4Ndipo nikasikia idadi ya wale meupe kabisa. 15Kwa hiyo,
waliowekewa alama, yaani, watu 144,000
kutoka katika makabila yote ya Israeli. “wako mbele ya kiti cha enzi cha Mungu
na kumtumikia usiku na mchana katika
5Kutoka kabila la Yuda 12,000, Hekalu Lake,
kabila la Reubeni 12,000, naye aketiye katika kile kiti cha enzi
kabila la Gadi 12,000, atakaa pamoja nao na kuwalinda.
6kabila la Asheri 12,000, 16Kamwe hawataona njaa wala kiu
kabila la Naftali 12,000, tena. Jua halitawapiga
kabila la Manase 12,000, wala joto lo lote liunguzalo.
7kabila la Simeoni 12,000, 17Kwa maana Mwana-Kondoo aliyeko katikati
kabila la Lawi 12,000, ya kile kiti cha enzi atakuwa Mchungaji
kabila la Isakari 12,000, wao,
8kabila la Zabuloni 12,000, naye atawaongoza kwenda kwenye
kabila la Yosefu 12,000 chemchemi za maji yaliyo hai.
na kabila la Benyamini 12,000. Naye Mungu atafuta kila chozi kutoka
katika macho yao.’’
Umati Mkubwa Wa Watu Kutoka Mataifa yote
9Baada ya haya nikatazama na hapo mbele Lakiri Ya Saba Na Chetezo Cha Dhahabu
yangu palikuwa na umati mkubwa wa watu 8 Mwana-Kondoo alipoivunja ile lakiri ya saba,
ambao hakuna ye yote awezaye kuuhesabu. pakawa kimya mbinguni kwa muda
Kutoka kila taifa, kila kabila, kila jamaa na kila wa nusu saa.
lugha, wamesimama mbele ya kile kiti cha enzi 2Nami nikawaona wale malaika saba
na mbele ya Mwana-Kondoo. Walikuwa wanaosimama mbele za Mungu, nao wakapewa
wamevaa mavazi meupe na wakiwa wameshika tarumbeta saba.
matawi ya mitende mikononi mwao. 10Nao 3Malaika mwingine aliyekuwa na chetezo
walikuwa wakipiga kelele kwa sauti kubwa cha dhahabu, akaja na kusimama mbele ya
wakisema: madhabahu. Akapewa uvumba mwingi ili autoe
pamoja na maombi ya Watakatifu wote, juu ya
“Wokovu una Mungu wetu, ile madhabahu ya dhahabu iliyoko mbele ya kile
Yeye aketiye kwenye kiti cha enzi kiti cha enzi. 4 Ule moshi wa uvumba pamoja na
na Mwana-Kondoo!’’ yale maombi ya watakatifu, vikapanda juu
mbele za Mungu, kutoka mkononi mwa huyo
11Nao malaika wote walikuwa wamesimama malaika. 5Kisha yule malaika akachukua kile
kukizunguka kile kiti cha enzi na wale wazee chetezo, akakijaza moto kutoka kwenye ile
ishirini na wanne na wale viumbe wanne wenye madhabahu, akautupa juu ya dunia. Pakatokea
uhai. Wakaanguka kifudifudi mbele ya hicho kiti sauti za radi, ngurumo, umeme wa radi na
cha enzi na kumwabudu Mungu, 12wakisema: tetemeko la nchi.

‘‘Amen! TARUMBETA SABA


Sifa na utukufu Tarumbeta Ya Kwanza
na hekima na shukrani na heshima 6Basi wale malaika saba waliokuwa na zile
na uweza na nguvu tarumbeta saba wakajiandaa kuzipiga.
viwe kwa Mungu wetu milele na milele, 7Malaika wa kwanza akaipiga tarumbeta

7
Ufunuo wa Yohana
yake, pakatokea mvua ya mawe na moto kwenye vipaji vya nyuso zao. 5 Wakaruhusiwa
uliochanganyika na damu, vikatupwa kwa nguvu kuwatesa kwa muda wa miezi mitano, lakini
juu ya nchi na theluthi ya dunia ikateketea, wasiwaue. Uchungu wa kuuma kwao ulikuwa
theluthi ya miti ikateketea na majani yote kama ule wa mtu aumwapo na nge. 6Katika siku
mabichi yakateketea. hizo watu watatafuta kifo lakini hawatakiona,
watatamani kufa, lakini kifo kitawakimbia.
Tarumbeta Ya Pili 7Wale nzige walikuwa na umbo kama la
8Malaika wa pili akaipiga tarumbeta yake na farasi waliotayarishwa kwa ajili ya vita. Kwenye
kitu kama mlima mkubwa unaowaka moto vichwa vyao kulikuwa na kitu kama taji za
kikatupwa baharini. Theluthi ya bahari ikawa dhahabu na nyuso zao zilikuwa kama za
damu, 9theluthi ya viumbe vyenye uhai viishivyo binadamu. 8Walikuwa na nywele kama za
baharini vikafa na theluthi ya meli zikaharibiwa. wanawake na meno yao yalikuwa kama ya
simba. 9Walikuwa na dirii kama za chuma na
Tarumbeta Ya Tatu sauti za mabawa yao zilikuwa kama ngurumo
10Malaika wa tatu akaipiga tarumbeta yake za magari mengi ya farasi wanaokimbilia vitani.
10Walikuwa na mikia yenye miiba ya kuumia
na nyota kubwa iliyokuwa ikiwaka kama taa,
ikaanguka toka angani, ikaangukia theluthi ya kama nge. Nguvu yao ya kutesa watu kwa huo
mito na chemchemi za maji. Nyota hiyo 11 muda wa miezi mitano ilikuwa katika hiyo mikia
inaitwa “Uchungu.’’ Theluthi ya maji yakawa yao. 11Walikuwa na malaika kutoka kwenye hilo
machungu na watu wengi wakafa kutokana na shimo lisilo na mwisho kama mfalme wao,
maji hayo kwa maana yalikuwa machungu. ambaye jina lake kwa Kiebrania ni Abadonib na
kwa Kiyunani ni Apolioni.
Tarumbeta Ya Nne 12Ole ya kwanza imepita, bado nyingine
12Kisha malaika wa nne akaipiga tarumbeta mbili zinakuja.
yake na theluthi ya jua, theluthi ya mwezi na
theluthi ya nyota, zikapigwa. Kwa hiyo theluthi Tarumbeta Ya Sita
moja ya mwanga ikawa giza. Theluthi ya 13Malaika wa sita akaipiga tarumbeta yake,
mchana ikawa haina mwanga na pia theluthi ya nami nikasikia sauti ikitoka katika zile pembe
usiku. nne za madhabahu ya dhahabu iliyoko mbele
13Nilipokuwa tena nikitazama, nikamsikia tai za Mungu. 14Ile sauti ikamwambia yule malaika
mmoja akipiga kelele kwa sauti kuu wakati wa sita mwenye tarumbeta, “Wafungulie wale
akiruka katikati ya mbingu, akisema, “Ole, Ole, malaika wanne waliofungwa kwenye ule mto
Ole, wa watu waishio duniani, kwa sababu ya mkubwa Eufrati.’’ 15Basi wale malaika wanne
tarumbeta ambazo malaika wengine watatu wakafunguliwa ambao walikuwa wamewekwa
wanakaribia kuzipiga.’’ tayari kwa ajili ya saa hiyo na siku hiyo na
mwezi huo na mwaka huo ili wawaue theluthi ya
Tarumbeta Ya Tano wanadamu. 16Idadi ya majeshi wapandao farasi
9 Malaika wa tano akaipiga tarumbeta yake, nami ilikuwa 200,000,000.
17Hivi ndivyo nilivyowaona hao farasi na
nikaona nyota iliyokuwa imeanguka toka angani hadi
ardhini. Nyota hiyo ilipewa wapanda farasi katika maono yangu: Wapanda
ufunguo wa shimo lisilo na mwishoa. farasi walivaa dirii vifuani zenye rangi ya moto
2Alipolifungua hilo shimo lisilo na mwisho, moshi na yakuti samawi na kiberiti. Vichwa vya hao
ukapanda kutoka humo kama moshi wa tanuru farasi vilikuwa kama vichwa vya simba. Moto,
kubwa sana. Jua na anga vikatiwa giza na ule moshi na kiberiti vilitoka vinywani mwao.
18Theluthi ya wanadamu wakauawa kwa maafa
moshi uliotoka katika hilo shimo lisilokuwa na
mwisho. 3Ndipo katika ule moshi wakatoka hayo matatu, yaani, huo moto, moshi na kiberiti,
nzige wakaenda juu ya nchi, nao wakapewa vilivyotoka kwenye vinywa vya hao farasi.
nguvu kama zile za nge wa duniani. 19Nguvu za hao farasi zilikuwa katika vinywa
4Wakaambiwa wasidhuru majani ya nchi, wala vyao na kwenye mikia yao, kwa sababu mikia
mmea wala mti wo wote, bali wawadhuru tu
wale watu ambao hawana alama ya Mungu 11
b Kiebrania Abadoni na kwa Kiyunani Apolioni maana
yake “Mharabu,” yaani, yeye aharibuye.
a1 Shimo lisilo na mwisho, yaani, “Abyss”maana yake
kuzimu (makao ya pepo wachafu.)
8
Ufunuo wa Yohana
yao ilikuwa kama nyoka. yenye vichwa ambayo nikakila. Kilikuwa kitamu kama asali kinywani
waliitumia kuwadhuru watu. mwangu, lakini baada ya kukila, tumbo langu
20Wanadamu waliosalia, ambao likatiwa uchungu. 11Kisha nikaambiwa,
hawakuuawa katika maafa hayo, bado walikataa “Imekupasa kutoa unabii tena kuhusu makabila
kutubu na kuacha kumwabudu shetani na vitu mengi, mataifa, lugha na wafalme.’’
walivyotengeneza kwa mikono yao wenyewe,
yaani, sanamu za dhahabu, za fedha, za shaba, Mashahidi Wawili
za mawe na za miti, ambazo haziwezi kuona,
kusikia wala kutembea. 21Wala hawakutubu na
11 Ndipo nikapewa mwanzi wa kupimia
kuacha matendo yao ya uuaji, uchawi, uasherati ulio kama fimbo, nikaambiwa, “Nenda ukapime
Hekalu la Mungu pamoja na madhabahu,
wala wizi wao.
nawe uwahesabu wale waabuduo humo. 2Lakini
Malaika Mwenye Kitabu Kidogo usiupime ua wa nje wa Hekalu, uache, kwa
sababu ua huo wamepewa watu Mataifa. Hao
10 Kisha nikamwona malaika mwingine wataukanyagakanyaga mji mtakatifu kwa muda
wa miezi arobaini na miwili. 3Nami nitawapa
mwenye nguvu akishuka kutoka mbinguni.
Alikuwa amevikwa wingu na upinde wa mvua mashahidi wangu wawili uwezo, nao watoe
juu ya kichwa chake. Uso wake uling'aa unabii kwa muda wa siku 1,260, wakiwa
kama jua na miguu yake ilikuwa kama nguzo za wamevaa nguo za gunia.’’ 4Hawa ndio ile
moto. 2Mkononi mwake alikuwa ameshika mizeituni miwili na vile vinara viwili vya taa
kitabu kidogo kilichokuwa kimefunguliwa. visimamavyo mbele za Bwana wa dunia yote.
Akauweka mguu wake wa kuume juu ya 5 Kama mtu ye yote akitaka kuwadhuru, moto
bahari na mguu wake wa kushoto akauweka hutoka vinywani mwao na kuwateketeza adui
juu ya nchi kavu. 3Naye akapiga kelele kwa zao. Hivi ndivyo mtu ye yote atakayetaka
sauti kuu kama simba anayenguruma. kuwadhuru atakavyokufa. 6Watu hawa wanao
Alipopiga kelele, zile radi saba zikatoa ngurumo uwezo wa kufunga anga ili mvua isinyeshe
zake. 4Nazo zile radi saba zilipotoa ngurumo, wakati wote watakapokuwa wanatoa unabii
nilitaka kuanza kuandika, lakini nikasikia sauti wao. Nao watakuwa na uwezo wa kuyabadili
kutoka mbinguni ikisema, “Yatie muhuri hayo maji kuwa damu na kuipiga dunia kwa kila aina
yaliyosemwa na hizo radi ya mapigo mara kwa mara kama watakavyo.
saba na usiyaandike.’’ 7 Basi watakapokuwa wamemaliza
5Kisha yule malaika niliyekuwa nimemwona ushuhuda wao, yule mnyama atokaye katika lile
akiwa amesimama juu ya bahari na juu ya nchi shimo lisilo na mwisho atapigana nao vita,
kavu akainua mkono wake wa kuume kuelekea atawashinda na kuwaua. 8 Maiti zao zitabaki
mbinguni. 6Naye akaapa kwa Jina la Mungu katika barabara ya mji mkubwa, ambao kwa
aishiye milele na milele, aliyeumba mbingu na fumbo unaitwa Sodoma na Misri, ambapo pia
vyote vilivyomo, dunia na vyote viijazavyo, Bwana wao alisulibiwa. 9Kwa muda wa siku tatu
pamoja na bahari na vyote vilivyomo ndani na nusu, watu wa kila kabila, jamaa, lugha na
yake, akasema, ‘‘Hakuna kungoja tena. Lakini 7 taifa wataziangalia hizo maiti zao na
katika siku zile ambazo huyo malaika wa saba hawataruhusu wazikwe. 10Watu waishio duniani
atakapokaribia kuipiga hiyo tarumbeta yake, siri watazitazama kwa furaha maiti za hao manabii
ya Mungu itatimizwa, kama vile wawili na kushangilia kwa kupeana zawadi kwa
alivyowatangazia watumishi wake manabii.’’ sababu hao manabii waliwatesa watu waishio
8Ndipo ile sauti niliyokuwa nimeisikia kutoka duniani.
mbinguni ikasema nami tena ikaniambia, 11Lakini baada ya zile siku tatu na nusu,
‘‘Nenda, chukua kile kitabu kilichofunguliwa pumzi ya uhai kutoka kwa Mungu ikawaingia,
kilichoko mkononi mwa yule malaika nao wakasimama kwa miguu yao na wote
aliyesimama juu ya bahari na juu ya nchi kavu.’’ waliowaona wakaingiwa na hofu kuu. 12Kisha
9Basi nikamwendea nikamwomba yule wale manabii wawili wakasikia sauti kuu kutoka
malaika anipe kile kitabu kidogo. Akaniambia, mbinguni ikiwaambia, ‘‘Njoni huku juu!’’ Nao
‘‘Chukua na ukile. Kitakuwa kichungu tumboni wakapaa mbinguni katika wingu, wakati adui
mwako, lakini kinywani mwako kitakuwa kitamu zao wakiwa wanawatazama.
kama asali.’’ 10Hivyo nikakichukua kile kitabu 13Saa iyo hiyo, kukatokea tetemeko kubwa
kidogo kutoka mkononi mwa yule malaika la nchi na sehemu moja ya kumi ya mji
9
Ufunuo wa Yohana
ikaanguka. Watu elfu saba wakauawa katika saba na pembe kumi na taji saba katika vichwa
tetemeko hilo, nao walionusurika wakaogopa vyake. 4Mkia wake ukakokota theluthi ya nyota
sana, wakamtukuza Mungu wa mbinguni. zote angani na kuziangusha katika nchi. Ndipo
14Ole ya pili imekwisha kupita, tazama ole lile joka likasimama mbele ya yule mwanamke
ya tatu inakuja upesi. aliyekuwa karibu kuzaa ili lipate kumla huyo
mtoto mara tu atakapozaliwa. 5Yule mwanamke
Tarumbeta Ya Saba akazaa mtoto mwanamume, atakayeyatawala
15 Yule malaika wa saba akaipiga mataifa yote kwa fimbo yake ya utawala ya
tarumbeta yake, pakawa na sauti kubwa chuma. Lakini huyo mtoto akanyakuliwa na
mbinguni iliyosema : kupelekwa kwa Mungu kwenye kiti Chake cha
enzi. 6Yule mwanamke akakimbilia nyikani,
‘‘Ufalme wa ulimwengu umekuwa ambako Mungu alikuwa amemtayarishia mahali
ufalme wa Bwana wetu na wa ili apate kutunzwa huko kwa muda wa siku
Kristo wake, 1,260.
naye atatawala milele na milele.’’
Malaika Mikaeli Amshinda Yule Joka
16Nao wale wazee ishirini na wanne, waliokuwa 7 Basi palikuwa na vita mbinguni: Mikaeli na
wameketi mbele za Mungu, kwenye viti vyao malaika zake wakapigana na hilo joka, nalo joka
vya enzi wakaanguka kifudifudi wakamwabudu pamoja na malaika zake likapigana nao. 8Lakini
Mungu, 17wakisema, joka na malaika zake wakashindwa na
hapakuwa tena na nafasi kwa ajili yao mbinguni.
‘‘Tunakushukuru, Bwana Mungu Mwenyezi, 9Lile joka kuu likatupwa chini, yule nyoka wa
uliyeko na uliyekuwako, zamani aitwaye Ibilisi au Shetani, aupotoshaye
kwa kuwa umetwaa uweza Wako mkuu ulimwenguni wote. Akatupwa chini duniani, yeye
na ukaanza kutawala. pamoja na malaika zake.
18Mataifa walikasirika
kwa kuwa wakati wa ghadhabu Yako Ushindi Mbinguni Watangazwa
umewadia. 10Kisha nikasikia sauti kuu mbinguni
Wakati umewadia wa kuwahukumu ikisema,
waliokufa na kuwapa thawabu “Sasa Wokovu na uweza na Ufalme wa
watumishi Mungu wetu umekuja na mamlaka ya
wako manabii na watakatifu wako Kristo wake.
pamoja Kwa kuwa ametupwa chini mshtaki wa
na wale wote wanaoliheshimu Jina Lako, ndugu zetu,
wakubwa kwa wadogo na anayewashtaki mbele za Mungu
kuwaangamiza usiku na mchana.
wale wanaoiangamiza dunia.’’ 11 Nao wakamshinda
kwa damu ya Mwana-Kondoo
19Ndipo Hekalu la Mungu lililoko mbinguni na kwa neno la ushuhuda wao.
likafunguliwa na sanduku la agano lake Wala wao hawakuyapenda maisha
likaonekana humo ndani. Kukatokea mianga ya yao hata kufa.
umeme wa radi, ngurumo, sauti za radi, 12Kwa hiyo, furahini ninyi mbingu na
tetemeko la nchi na mvua kubwa ya mawe. wote wakaao humo!
Lakini ole wenu nchi na bahari,
Mwanamke Na Joka kwa maana huyo Shetani
12 Kukaonekana ishara kuu mbinguni: Palikuwa
akiwa amejaa
ameshuka kwenu,
ghadhabu, kwa sababu
na mwanamke aliyevikwa jua na mwezi ukiwa chini ya
miguu yake na taji ya anajua ya kuwa muda wake ni mfupi!’
nyota kumi na mbili ilikuwa kichwani mwake.
2Alikuwa na mimba naye akilia kwa uchungu 13Lile joka lilipoona kuwa limetupwa chini

kwa kuwa alikuwa anakaribia kuzaa. 3Kisha duniani, lilimfuatilia yule mwanamke aliyekuwa
ishara nyingine ikaonekana mbinguni: amezaa mtoto mwanamume. 14Lakini huyo
Likaonekana joka kubwa jekundu lenye vichwa mwanamke akapewa mabawa mawili ya tai
10
Ufunuo wa Yohana
mkubwa, kusudi aweze kuruka mpaka mahali kwenye kitabu cha uzima cha Mwana-Kondoo
palipotayarishwa kwa ajili yake huko nyikani, aliyechinjwa tangu kuumbwa kwa ulimwengu.
ambako atatunzwa kwa wakati na nyakati na 9“Yeye aliye na sikio na asikie.
nusu wakati a ambako yule joka hawezi kufika.
15Ndipo lile joka likamwaga maji kama mto 10Ikiwa mtu ni wa kuchukuliwa mateka,
kutoka kinywani mwake, ili kumfikia huyo atachukuliwa mateka.
mwanamke na kumkumba kama mafuriko. Ikiwa mtu ni wa kuuawa kwa
16Lakini nchi ikamsaidia huyo mwanamke kwa upanga, atauawa kwa upanga.
kufungua kinywa na kuumeza huo mto ambao
huyo joka alikuwa ameutoa kinywani mwake. Hapa ndipo penye wito kwa ajili ya saburi na
17Kisha lile joka likapatwa na hasira kali kwa ajili imani ya watakatifu.
ya huyo mwanamke, likaondoka ili kupigana vita
na watoto waliosalia wa huyo mwanamke, Mnyama Kutoka Katika Dunia
yaani, wale wanaozitii amri za Mungu na 11Kisha nikamwona mnyama mwingine,
kuushika ushuhuda wa Yesu Kristo. Lile joka akipanda juu kutoka katika dunia. Alikuwa na
likasimama kwenye mchanga wa bahari. 18Yule pembe mbili kama mwana-kondoo, lakini
joka akajikita katika mchanga ulioko ufuoni mwa akanena kama joka. 12Akatumia mamlaka yote
bahari. ya yule mnyama wa kwanza kwa niaba yake,
naye akawafanya wote wakaao duniani
Mnyama Kutoka Baharini kumwabudu yule mnyama wa kwanza, ambaye
13 Nami nikamwona mnyama akitoka ndani
ya bahari. Mnyama huyo alikuwa na pembe kumi
jeraha lake la mauti lilipona. 13Huyu mnyama
wa pili akafanya ishara kuu na za ajabu, hata
na vichwa saba, akiwa na taji kusababisha moto kushuka toka mbinguni kuja
kumi kwenye hizo pembe zake na juu ya kila duniani watu wakiona waziwazi. 14Kwa sababu
2
kichwa kulikuwa na jina la kukufuru. Mnyama ya zile ishara alizokuwa amepewa uwezo wa
yule niliyemwona alikuwa kama chui, miguu kufanya kwa niaba ya yule mnyama wa kwanza,
yake ilikuwa kama ya dubu na kichwa chake akawadanganya wakaao duniani. Akawaamuru
kama cha simba. Lile joka likampa huyo wasimamishe sanamu kwa heshima ya yule
mnyama nguvu zake, kiti chake cha enzi na mnyama aliyekuwa amejeruhiwa kwa upanga
3
mamlaka makubwa. Kimojawapo ya vichwa lakini akaishi. 15 Akapewa uwezo wa kuipa
vya huyo mnyama kilikuwa kama kilichokwisha pumzi ile sanamu ya yule mnyama wa kwanza,
kupata jeraha la mauti, lakini jeraha hilo la mauti ili iweze kusema na kuwasababisha wale wote
likapona. Ulimwengu wote ukashangaa waliokataa kuiabudu hiyo sanamu kuuawa.
4 16Pia alimlazimisha kila mmoja, mdogo na
ukamfuata huyo mnyama. Watu wakaliabudu
lile joka kwa sababu lilikuwa limempa huyo mkubwa, tajiri na maskini, mtu huru na mtumwa,
mnyama mamlaka yake, pia wakamwabudu atiwe chapa kwenye mkono wake wa kuume au
huyo mnyama na kuuliza, “Ni nani aliye kama kwenye kipaji chake cha uso, 17ili kwamba mtu
huyu mnyama? Ni nani awezaye kupigana vita ye yote asiweze kununua wala kuuza isipokuwa
naye?’’ amekuwa na hiyo chapa, ambayo ni jina la huyo
5Huyo mnyama akapewa kusema maneno mnyama au tarakimu za jina lake.
ya kujisifu na kukufuru na kutumia mamlaka 18Hapa ndipo penye hekima. Yeye aliye na
yake kwa muda wa miezi arobaini na miwili. akili na ahesabu tarakimu za huyo mnyama,
6Akafungua kinywa chake ili kumkukufuru kwa maana ni tarakimu za kibinadamu.
Mungu, akilitukana Jina lake na mahali aishipo Tarakimu zake ni 666.
7
na wale wakaao mbinguni. Pia akaruhusiwa
kufanya vita na watakatifu na kuwashinda. Mwana-Kondoo Na Wale 144,000
Akapewa uwezo juu ya watu wa kila kabila,
jamaa, lugha na taifa. 8Nao watu wote waishio
14 Kisha nikatazama na hapo mbele yangu
alikuwepo Mwana-Kondoo, akiwa amesimama
duniani watamwabudu huyo mnyama, yaani, juu ya Mlima Sayuni. Pamoja
wale wote ambao majina yao hayakuandikwa naye walikuwa wale watu 144,000 wenye Jina
la Mwana-Kondoo na Jina la Baba Yake likiwa
limeandikwa kwenye vipaji vya nyuso zao.
a14 “Wakati na nyakati na nusu wakati” hapa maana yake ni 2Nami nikasikia sauti kutoka mbinguni kama
miaka mitatu na nusu.
11
Ufunuo wa Yohana
sauti ya maji mengi yaendayo kasi na sauti katika taabu zao, kwa kuwa matendo yao
kama ngurumo ya radi. Sauti hiyo niliyoisikia yatawafuata.’’
ilikuwa kama sauti ya wapiga vinubi wakipiga
vinubi vyao. 3Nao wakaimba wimbo mpya mbele Kuvuna Mavuno Ya Dunia
ya hicho kiti cha enzi na mbele ya wale viumbe 14Nikatazama, hapo mbele yangu palikuwa
wenye uhai wanne na wale wazee ishirini na na wingu jeupe na aliyekuwa ameketi juu ya hilo
wanne. Hakuna mtu ye yote aliyeweza kujifunza wingu alikuwa kama Mwana wa Adamu,
wimbo huo isipokuwa hao watu 144,000 mwenye taji ya dhahabu kichwani mwake na
waliokuwa wamekombolewa kutoka duniani. mundu mkali mkononi mwake. 15Kisha malaika
4Hawa ndio wale ambao hawakujitia unajisi kwa
mwingine akaja kutoka Hekaluni naye akamwita
wanawake, kwa kuwa wao ni mabikira. Wao kwa sauti kubwa yule aliyekuwa ameketi juu ya
humfuata Mwana -Kondoo kila aendako. Hawa lile wingu akasema, “Chukua mundu wako
wamekombolewa kutoka miongoni mwa ukavune kwa kuwa wakati wa mavuno
wanadamu wakawa malimbuko kwa Mungu na umewadia, kwa maana mavuno ya dunia
kwa Mwana-Kondoo. 5 Vinywani mwao yamekomaa.’’ 16Hivyo yule aliyekuwa ameketi
hapakuonekana uongo, wala hawakuwa na juu ya lile wingu akauzungusha mundu wake
hatia yo yote. duniani, nayo dunia ikavunwa.
17Malaika mwingine akatoka katika Hekalu
Malaika Watatu lililoko mbinguni, naye pia alikuwa na mundu
6Kisha nikamwona malaika mwingine mkali.
akiruka juu angani, naye alikuwa na Injili ya 18Kisha malaika mwingine, aliyekuwa na
milele ya kuwatangazia wale waishio duniani, mamlaka juu ya moto, akatoka kwenye
yaani, kwa kila taifa, kabila, lugha na jamaa. madhabahu, naye akamwita yule malaika
7Akasema kwa sauti kubwa, ‘‘Mcheni Mungu na mwenye mundu mkali kwa sauti kubwa,
kumtukuza, kwa maana saa ya hukumu yake akisema, “Chukua mundu wako mkali
imewadia. Mwabuduni Yeye aliyeziumba ukakusanye vichala vya mizabibu ya dunia,
mbingu, dunia, bahari na chemchemi za maji.’’ maana zabibu zake zimeiva.’’ 19Hivyo yule
8Malaika wa pili akafuata akisema, malaika akauzungusha mundu wake duniani na
“Ameanguka! Ameanguka Babeli aliye mkuu, kukusanya vichala vya zabibu za dunia na
yeye aliyeyafanya mataifa yote kulewa kwa kuzitupa kwenye shinikizo kubwa la ghadhabu
mvinyo wa ghadhabu ya uasherati wake.’’ ya Mungu. 20Lile shinikizo likakanyagwa nje ya
9Malaika wa tatu akawafuata hao wawili
mji, nayo damu ikatiririka kama mafuriko kutoka
akisema kwa sauti kubwa, “Kama mtu ye yote katika hilo shinikizo kufikia kimo cha hatamu za
anamwabudu huyo mnyama na sanamu yake farasia, kwa umbali wa maili mia mbili.b
na kutiwa chapa yake kwenye kipaji chake cha
uso au kwenye mkono wake, 10 yeye naye, Malaika Saba Na Mapigo Saba
atakunywa mvinyo wa hasira kali ya Mungu Ndipo nikaona ishara nyingine kubwa
ambayo imemiminwa katika kikombe cha 15 ya ajabu mbinguni, malaika saba
ghadhabu yake pasipo kuchanganywa na maji. wenye yale mapigo saba ya mwisho, kwa
Naye atateswa kwa moto uwakao na kiberiti sababu kwa mapigo hayo ghadhabu ya Mungu
mbele ya malaika watakatifu na mbele za ilikuwa imekamilika. 2Nikaona kile
11
Mwana-Kondoo. Nao Moshi wa mateso yao kilichoonekana kama bahari ya kioo
hupanda juu milele na milele. Hakuna iliyochanganyikana na moto. Kando ya hiyo
mapumziko, mchana wala usiku, kwa wale bahari, walikuwa wamesimama wale watu
wamwabuduo huyo mnyama na sanamu yake, waliomshinda yule mnyama na sanamu yake
au kwa ye yote anayepokea chapa ya jina lake.’’ pamoja na tarakimu ya jina lake. Mikononi
12Hapa ndipo penye subira na uvumilivu wa mwao walikuwa wameshika vinubi walivyopewa
watakatifu, yaani, wale wanaozishika amri za na Mungu. 3Nao wakaimba wimbo wa Mose,
Mungu na kudumu kuwa waaminifu kwa Yesu. mtumishi wa Mungu na wimbo wa Mwana-
13Kisha nikasikia sauti kutoka mbinguni Kondoo wakisema:
ikisema, “Andika: Wamebarikiwa wale wafao
katika Bwana tangu sasa.” a20 Kimo cha hatamu za farasi hapa ni kama mita moja na
“Naam,’’ asema Roho, “watapumzika kutoka nusu (1.5m)
b20 Maili 200 hapa ni sawa na kilomita 320
12
Ufunuo wa Yohana
“Bwana Mungu Mwenyezi, matendo Yako ni 6kwa kuwa walimwaga damu ya watakatifu
makuu na ya ajabu Mfalme wa zamani Wako na manabii Wako,
zote, nawe umewapa damu wanywe
njia Zako Wewe ni za haki na za kweli! kama walivyostahili.’’
4Ni nani ambaye hatakuogopa Wewe Bwana na 7Nikasikia madhabahu ikiitikia,
kulitukuza Jina Lako?
Kwa kuwa Wewe peke yako ndiwe “Naam, Bwana Mungu Mwenyezi,
mtakatifu. hukumu Zako ni kweli na haki.”
Mataifa yote yatakuja na kuabudu mbele
zako, 8Malaika wa nne akamimina bakuli lake
kwa kuwa matendo yako ya haki kwenye jua, nalo likapewa nguvu za
yamedhihirishwa.’’ kuwaunguza watu kwa moto. 9Watu
wakaunguzwa na hilo joto kali, lakini wakalaani
5Baada ya haya nikatazama, nalo hekalu la Jina la Mungu, aliyekuwa na uwezo juu ya
hema la ushuhuda lilikuwa limefunguliwa mapigo haya, wala hawakutubu na kumtukuza
6
mbinguni, ndani ya lile hekalu wakatoka Mungu.
malaika saba wakiwa na mapigo saba. 10Malaika wa tano akamimina bakuli lake
Walikuwa wamevaa nguo safi za kitani ing’aayo kwenye kiti cha enzi cha yule mnyama, nao
na kufungwa mikanda ya dhahabu vifuani ufalme wake ukagubikwa na giza. Watu
7
mwao. Ndipo mmoja wa wale wenye uhai wakatafuna ndimi zao kwa ajili ya maumivu
11wakamlaani Mungu wa mbinguni kwa sababu
wanne akawapa wale malaika saba mabakuli
saba ya dhahabu yaliyojaa ghadhabu ya Mungu, ya maumivu na majeraha yao, wala hawakutubu
Yeye aishiye milele na milele. 8 Nalo lile hekalu kwa ajili ya matendo yao maovu.
12Malaika wa sita akamimina bakuli lake
lilijawa na moshi uliotokana na utukufu wa
Mungu na uweza wake, wala hakuna ye yote kwenye mto mkubwa Eufrati, maji yake
aliyeweza kuingia mle hekaluni mpaka yale yakakauka ili kutayarisha njia kwa ajili ya
mapigo saba ya wale malaika saba wafalme watokao mashariki. 13Kisha nikaona
yalipomalizika. roho wachafu watatu waliofanana na vyura
wakitoka katika kinywa cha lile joka na katika
Mabakuli Saba Ya Ghadhabu Ya Mungu kinywa cha yule mnyama na katika kinywa cha
16 Kisha nikasikia sauti kubwa kutoka mle hekaluni yule nabii wa uongo. 14Hizo ndizo roho za pepo
wachafu zitendazo miujiza. Nazo huwaendea
ikiwaambia wale malaika saba, “Nendeni,
mkayamwage duniani hayo wafalme wa ulimwengu wote na kuwakusanya
mabakuli saba ya ghadhabu ya Mungu.’’ tayari kwa ajili ya vita katika siku ile kuu ya
2Malaika wa kwanza akaenda akalimwaga Mungu Mwenyezi.
hilo bakuli lake juu ya nchi. Majipu mabaya 15“Tazama, naja kama mwivi! Amebarikiwa
yenye maumivu makali yakawapata wale watu yeye akeshaye na kuziweka tayari nguo zake ili
wote waliokuwa na chapa ya yule mnyama na asiende uchi na kuoenekana aibu yake”.
kuiabudu sanamu yake. 16Ndipo wakawakusanya wafalme pamoja
3Malaika wa pili akalimwaga bakuli lake mahali paitwapo “Armagedoni’’a kwa Kiebrania.
baharini, nayo ikabadilika kuwa damu kama ya 17Malaika wa saba akamimina bakuli lake
mtu aliyekufa na kila kiumbe hai kilichokuwa angani na sauti kubwa ikatoka mle hekaluni
ndani ya bahari kikafa. katika kile kiti cha enzi, ikisema, ‘‘Imekwisha
4Malaika wa tatu akalimwaga bakuli lake
kuwa!’’ 18Kukawa na mianga ya umeme wa
katika mito na chemchemi za maji, nazo zikawa radi, ngurumo, radi na tetemeko kubwa la ardhi.
damu. 5Ndipo nikamsikia malaika msimamizi wa Hapajawa kamwe na tetemeko la ardhi kama
maji akisema, hilo tangu mwanadamu awepo duniani, hivyo
lilikuwa tetemeko kubwa ajabu. 19Ule mji
“Wewe una haki katika hukumu hizi mkubwa ukagawanyika katika sehemu tatu,
ulizotoa, nayo miji ya mataifa ikaanguka. Mungu
wewe uliyeko, uliyekuwako, uliye
Mtakatifu, a16 Armagedoni au Har-magedoni hapa ina maana mlima
kwa sababu umehukumu hivyo, Magido mahali pa kinabii ambapo wafalme wote wa dunia
watakusanyika kwa vita katika siku ya Mungu Mwenyezi.
13
Ufunuo wa Yohana
akaukumbuka Babeli ule uliokuwa mkuu na ulimwengu watastaajabu kumwona huyo
kuupa kikombe cha hasira na ghadhabu Yake. mnyama, kwa maana alikuwepo, wakati fulani
20Kila kisiwa kikatoweka wala milima na sasa hayupo, lakini atakuja.
21
haikuonekana. Mvua kubwa ya mawe, mawe 9‘‘Hapa ndipo penye akili pamoja na

yenye uzito wa talanta mojab yakaanguka hekima. Vile vichwa saba ni vilima saba
kutoka mbinguni, yakawaangukia wanadamu. ambavyo huyo mwanamke amevikalia. 10Pia
Nao wanadamu wakamlaani Mungu kwa ajili ya hivyo vichwa saba ni wafalme saba ambao
hayo mapigo ya mvua ya mawe, kwa sababu miongoni mwao watano wamekwisha kuanguka,
pigo hilo lilikuwa la kutisha. mwingine hajaja bado, lakini atakapokuja,
atalazimika kukaa kwa muda mfupi. 11Yule
Kahaba Mkuu Na Mnyama mnyama aliyekuwepo wakati fulani na ambaye
17 Mmoja wa wale malaika saba waliokuwa
sasa hayupo, yeye ni mfalme wa nane. Ni
miongoni mwa wale saba, naye anakwenda
na yale mabakuli saba akaja akaniambia, ‘‘Njoo,
nitakuonyesha adhabu ya yule kahaba mkuu, kwenye maangamizi.
2 12‘‘Zile pembe kumi ulizoziona ni wafalme
aketiye juu ya maji mengi. Yule ambaye wafalme
wa dunia walizini naye na watu wakaao duniani kumi ambao bado hawajapokea ufalme, lakini
walilewa kwa mvinyo ambao watapokea mamlaka kuwa wafalme kwa
wa uzinzi wake.’’ wakati mmoja pamoja na yule mnyama. 13Hawa
3Kisha yule malaika akanichukua katika wana nia moja, nao watamwachia yule mnyama
Roho akanipeleka nyikani. Huko nikamwona nguvu zao na mamlaka yao. 14Watafanya vita
mwanamke mmoja ameketi juu ya mnyama na Mwana-Kondoo, lakini Mwana-Kondoo
mwekundu aliyejaa majina ya kumkufuru Mungu atawashinda kwa sababu Yeye ni Bwana wa
mwili mzima. Mnyama huyo alikuwa na vichwa mabwana na Mfalme wa wafalme. Yeye
saba na pembe kumi. Huyo mwanamke4 atakuwa pamoja na watu wake walioitwa ambao
alikuwa amevaa mavazi ya rangi ya zambarau ni wateule wake na wafuasi wake waaminifu.’’
na nyekundu, akimetameta kwa dhahabu, vito 15Kisha yule malaika akaniambia, ‘‘Yale
vya thamani na lulu. Mkononi mwake alikuwa maji uliyoyaona, yule kahaba akiwa ameketi juu
ameshika kikombe cha dhahabu kilichojaa yake ni jamaa za watu, makutano, mataifa na
mambo ya machukizo na uchafu wa uzinzi lugha. 16Zile pembe kumi ulizoziona, pamoja na
5
wake. Kwenye kipaji chake cha uso palikuwa huyo mnyama, watamchukia huyo kahaba,
pameandikwa jina: watamfilisi na kumwacha uchi, watamla nyama
yake na kumteketeza kwa moto. 17Kwa maana
“SIRI, Mungu ataweka mioyoni mwao kutimiza kusudi
BABELI MKUU, lake kwa kukubali kumpa yule mnyama
MAMA WA MAKAHABA mamlaka yao ya utawala mpaka maneno ya
NA MACHUKIZO YA DUNIA.’’ Mungu yatakapotimia. 18Yule mwanamke
uliyemwona ni ule mji mkubwa unaotawala juu
6Nikaona kuwa huyo mwanamke alikuwa ya wafalme wa dunia.’’
amelewa kwa damu ya watakatifu, yaani, damu
ya wale watu waliouawa kwa ushuhuda wa Kuanguka Kwa Babeli
Yesu.
Nilipomwona huyo mwanamke, nilistaajabu
18 Baada ya haya nikaona malaika mwingine
akishuka kutoka mbinguni, akiwa na mamlaka
sana. 7Ndipo yule malaika akaniambia, ‘‘Kwa makuu na dunia ikamulikiwa
nini unastaajabu? Nitakufafanulia siri ya huyo na mng’ao wake. 2Naye akalia kwa nguvu kwa
mwanamke na huyo mnyama aliyempanda, sauti kubwa, akisema:
mwenye vichwa saba na pembe kumi. Huyo 8
mnyama, ambaye ulimwona, wakati fulani ‘‘Umeanguka! Umeanguka Babeli
alikuwepo, lakini sasa hayupo, naye atapanda ulio mkuu!
kutoka katika lile shimo lisilo na mwisho na Umekuwa makao ya mashetani
kwenda kwenye maangamizo. Watu waishio na makazi ya kila pepo mchafu,
duniani ambao majina yao hayakuandikwa makazi ya kila ndege na kila
kwenye kitabu cha uzima tangu kuumbwa kwa mnyama achukizaye.
3Kwa maana mataifa yote yamekunywa mvinyo
b21 Talanta moja ni kama kilo 34
14
Ufunuo wa Yohana
wa uasherati wake, uvumba, manemane, uvumba wenye harufu
nao wafalme wa dunia wamefanya uzinzi nzuri, divai, mafuta ya zeituni, unga mzuri na
naye, ngano, ng'ombe na kondoo, farasi na magari,
nao wafanyi biashara wa watumwa, pia na roho za wanadamu.
dunia wametajirika 14‘‘Watasema, ‘Yale matunda ambayo roho
kutokana na wingi wa utajiri wake.’’ yako iliyatamani yamekoma. Utajiri wako wote
na fahari yako vimetoweka, wala haviwezi
4Kisha nikasikia sauti nyingine kutoka 15Wale
kupatikana tena kamwe!’
mbinguni ikisema: wafanyibiashara wauzao bidhaa hizo na kupata
utajiri wao kutoka kwake watasimama mbali
“Tokeni katikati yake, enyi watu wangu, naye kwa hofu ya mateso yanayompata.
ili msije mkashiriki dhambi zake, Watalia na kuomboleza wakipiga kelele
ili usije ukapatwa na pigo lake lo lote, wakisema:
5kwa kuwa dhambi zake zimelundikana hadi
mbinguni, 16‘‘ ‘Ole! Ole, Ee, mji mkubwa,
naye Mungu ameukumbuka uhalifu wake. uliyekuwa umevikwa mavazi ya
6Mtendee kama yeye alivyotenda, kitani safi, ya rangi ya zambarau na
umlipe mara mbili kwa ajili ya yale nyekundu,
aliyotenda. ukimetameta kwa dhahabu, vito
Katika kikombe chake mchanganyie mara vya thamani na lulu!
mbili ya kile alichochanganya. 17 Katika muda wa saa moja utajiri wote
7Mpatie mateso na huzuni nyingi sawa mkubwa kama huu umeangamia!’
na utukufu na anasa alizojipatia.
Kwa kuwa moyoni mwake hujivuna ‘‘Kila nahodha, mabaharia wote wasafirio
akisema, baharini na wote wafanyao kazi melini
‘Mimi ninatawala kama malkia, watasimama mbali naye. 18Watakapoona moshi
mimi si mjane wala sitaona huzuni wa kuungua kwake watalia wakisema, ‘Je,
kamwe.’ ulipata kuwako mji mkuu kama huu?’ 19Nao
8Kwa hiyo mapigo yatampata kwa siku watajirushia mavumbi vichwani mwao huku
moja: mauti, maombolezo na njaa. wakilia na kuomboleza wakisema:
Naye atateketezwa kwa moto, kwa maana
amhukumuye ni Bwana Mungu ‘‘ ‘Ole, Ole, Ee mji mkubwa,
Mwenyezi. mji ambao wote wenye meli baharini
walitajirika kwa kupitia mali zako!
9“Wafalme wa dunia waliozini naye na Katika saa moja tu umeangamizwa!
kushiriki anasa zake watakapoona moshi wa 20Furahia uharibifu wake, Ee mbingu!
kuungua kwake, watamlilia na kumwombolezea. Furahini ninyi watakatifu na mitume na
10Watasimama mbali na kulia kwa hofu manabii!
kutokana na mateso yake na kusema: Kwa kuwa Mungu ameutendea kama
vile ulivyowatendea ninyi.’ ’’
“ ‘Ole! Ole Ee mji mkuu,
Ee Babeli mji wenye nguvu! 21Kisha malaika mmoja mwenye nguvu
Hukumu yako imekuja katika saa moja!’ akainua jiwe kubwa kama la kusagia akalitupa
baharini akisema:
11“Na wafanyi biashara wa duniani wanalia
na kuomboleza kwa sababu hakuna anunuaye “Hivyo ndivyo mji mkubwa Babeli
utakavyotupwa chini
bidhaa zao tena. 12Bidhaa za dhahabu, za
kwa nguvu wala hautaonekana tena.
fedha, za vito vya thamani na vya lulu, kitani 22Nyimbo za wapiga vinubi na waimbaji, wapiga
safi, nguo za rangi ya zambarau, hariri, nguo
nyekundu, aina zote za miti ya manukato, vifaa filimbi na sauti za wapiga
vyote vya pembe za ndovu, vifaa vyote vya miti tarumbeta hazitasikika ndani yako tena.
yenye thamani kuliko yote, shaba nyeusi, chuma Ndani yako kamwe hataonekana fundi
mwenye ujuzi wa aina yo yote.
na marmar, 13mdalasini, vikolezi,
15
Ufunuo wa Yohana
Wala sauti ya jiwe la kusagia mkubwa wa watu, kama sauti ya maji mengi
kamwe haitaisikika. yaendayo kasi na kama ngurumo kubwa ya radi
23Mwanga wa taa
ikisema:
hautaangaza tena ndani yako.
Wala sauti ya bwana arusi na bibi arusi ‘‘Haleluya!
kamwe haitasikiwa ndani yako. Kwa maana Bwana Mungu
Kwa kuwa wafanyi biashara wako walikuwa wetu Mwenyezi anamiliki.
watu maarufu wa dunia 7Tufurahi, tushangilie
na mataifa yote yalidanganyika kwa na kumpa utukufu!
uchawi wako. Kwa maana arusi ya Mwana-
24Ndani yako ilionekana damu ya manabii na Kondoo Imewadia,
ya watakatifu na bibi arusi wake amejiweka tayari.
na watu wote waliouawa duniani.’’ 8Akapewa kitani safi, nyeupe inayong'aa
ili avae.’’
Shangwe Huko Mbinguni
19 Baada ya haya nikasikia sauti kama sauti (Hiyo kitani safi inawakilisha matendo ya haki ya
ya umati mkubwa wa watu watakatifu.)
mbinguni ikisema kwa nguvu :
9Ndipo yule malaika akaniambia, “Andika
“Haleluya! haya: ‘Wamebarikiwa wale walioalikwa kwenye
Wokovu na utukufu na uweza karamu ya arusi ya Mwana-Kondoo !’ ’’ Naye
ni vya Mungu wetu, akaongeza kusema, “Haya ndiyo maneno ya
2kwa maana hukumu Zake ni za kweli na kweli ya Mungu.’’
za haki. 10Ndipo nikaanguka kifudifudi miguuni pake
Amemhukumu yule kahaba mkuu ili kumwabudu, lakini yeye akaniambia,
aliyeuharibu ulimwengu kwa uzinzi “Usifanye hivyo! Mimi pia ni mtumishi
wake. mwenzako pamoja na ndugu zako walio na
Mungu amemlipiza kisasi kwa ajili ya damu ushuhuda wa Yesu. Mwabudu Mungu! Maana
ya watumishi wake.’’ ushuhuda wa Yesu ndio roho ya unabii.’’

3Wakasema tena kwa nguvu: Aliyepanda Farasi Mweupe


11Kisha nikaona mbingu imefunguka na hapo
“Haleluya! mbele yangu akiwepo farasi mweupe, ambaye
Moshi wake huyo kahaba unapanda juu Yeye aliyempanda huyo farasi aliitwa Mwaminifu
milele na milele.’’ na wa Kweli. Yeye ahukumu kwa haki na
kupigana vita. 12Macho yake ni kama miali ya
4 Wale wazee ishirini na wanne pamoja na moto na juu ya kichwa Chake kuna taji nyingi.
wale viumbe wenye uhai wanne wakaanguka Alikuwa na jina lililoandikwa ambalo hakuna mtu
kifudifudi, wakamwabudu Mungu, aliyekuwa ye yote anayelijua isipokuwa Yeye mwenyewe. 13
ameketi kwenye kile kiti cha enzi. Wakasema Alikuwa amevaa vazi lililochovywa kwenye damu
kwa sauti kuu: na Jina lake ni ‘‘Neno la Mungu.’’ 14Majeshi ya
mbinguni walikuwa wakimfuata, wakiwa
‘‘Amen! Haleluya!’’ wamepanda farasi weupe, hali wamevaa mavazi
ya kitani nzuri, nyeupe safi. 15Kinywani mwake
5Kisha sauti ikatoka katika kile kiti cha enzi, mlitoka upanga mkali ambao kwa huo
ikisema: atayaangusha mataifa. Atayatawala kwa ‘‘fimbo
yake ya utawala ya chuma.’’ Atalikanyaga
‘‘Msifuni Mungu wetu, shinikizo la mvinyo wa ghadhabu ya Mungu
ninyi watumishi wake wote, Mwenyezi. 16Kwenye vazi lake na paja lake
ninyi nyote mnaomcha, liliandikwa jina hili:
wadogo kwa wakubwa!’’
MFALME WA WAFALME NA BWANA WA
6Kisha nikasikia sauti kama sauti ya umati MABWANA.
16
Ufunuo wa Yohana
juu yao, bali watakuwa makuhani wa Mungu na
Mnyama Na Majeshi Yake Yashindwa wa Kristo, nao watatawala pamoja naye kwa
17 Nami nikamwona malaika amesimama muda wa miaka 1,000.
ndani kwenye jua, akaita ndege wote warukao
angani kwa sauti kuu, ‘‘Njoni, kusanyikeni kwa Kuhukumiwa Kwa Shetani
ajili ya karamu kubwa ya Mungu, 18ili mpate 7Hiyo miaka 1,000 itakapotimia, Shetani
kula nyama ya wafalme na ya majemadari, ya atafunguliwa kutoka kifungoni mwake, 8naye
mashujaa, ya farasi na ya wapanda farasi, atatoka ili kuyadanganya mataifa yaliyopo katika
nyama ya wanadamu wote walio huru na pembe nne za dunia, yaani, Gogu na Magogu
watumwa, wadogo na wakubwa.’’ apate kuwakusanya tayari kwa vita. Idadi yao ni
19Kisha nikamwona yule mnyama na
kama mchanga ulioko Pwani. 9Nao walitembea
wafalme wa dunia pamoja na majeshi yao katika eneo lote la dunia, wakaizunguka kambi
wakiwa wamekusanyika pamoja ili kupigana vita ya watakatifu na ule mji uliopendwa. Lakini moto
dhidi ya yulealiyempanda huyo farasi mweupe ukashuka kutoka mbinguni na kuwateketeza.
20
pamoja na jeshi Lake. Lakini yule mnyama 10Naye Ibilisi aliyewadanganya akatupwa katika
akakamatwa pamoja na huyo nabii wa uongo ziwa la moto na kiberiti alipo yule mnyama na
ambaye alikuwa amefanya ishara kwa niaba ya yule nabii wa uongo. Nao wakateswa huko
huyo mnyama, ambaye kwa ishara hizi mchana na usiku, milele na milele.
aliwadanganya wale waliopokea chapa ya huyo
mnyama na kuiabudu sanamu yake. Hawa Wafu Wanahukumiwa
wawili wakatupwa wakiwa hai ndani ya ziwa la 11Kisha nikaona kiti kikubwa cha enzi
moto liwakalo kwa kiberiti. 21Wale waliosalia cheupe, dunia na mbingu zikaukimbia uso wake
waliuawa kwa upanga uliotoka kinywani mwa Yeye aliyeketi juu yake, wala mahali pao
yule aliyekuwa amempanda huyo farasi hapakuonekana. 12Nami nikawaona wafu
mweupe, nao ndege wote wakajishibisha kwa wakubwa na wadogo, wakiwa wamesimama
nyama yao. mbele ya hicho kiti cha enzi na vitabu
vikafunguliwa. Pia kitabu kingine kikafunguliwa
Utawala Wa Miaka Elfu Moja ambacho ni cha uzima. Hao wafu
20 Kisha nikaona malaika akishuka kutoka mbinguni,
wakahukumiwa sawasawa na matendo yao
kama yaliyoandikwa ndani ya hivyo vitabu.
akiwa ameshika ufunguo wa lile shimo lisilo na mwisho na
mnyororo mkubwa 13Bahari ikawatoa wafu waliokuwamo ndani

mkononi mwake. 2 Akalishika lile joka, yule yake, nayo mauti na kuzimu zikawatoa wafu
nyoka wa zamani, ambaye ndiye Ibilisi na waliokuwamo ndani yake. Kila mtu
Shetani, naye akamfunga kwa muda wa miaka akahukumiwa kulingana na yale aliyotenda.
14Kisha Mauti na Kuzimu zikatupwa katika ziwa
1,000. 3 Akamtupa katika lile shimo lisilo na
mwisho, akamfunga humo na kulitia lakiri, ili la moto. Hii ndio Mauti ya pili, yaani, hilo ziwa la
kumzuia asiendelee kudanganya mataifa mpaka moto. 15Iwapo mtu jina lake halikuonekana
hiyo miaka 1,000 itimie. Baada ya hayo katika kile kitabu cha uzima, alitupwa ndani ya
atafunguliwa kwa muda mfupi. lile ziwa la moto.
4Kisha nikaona viti vya enzi vilivyokuwa
vimekaliwa na hao waliopewa mamlaka ya Mbingu Mpya Na Nchi Mpya
kuhukumu. Nami nikaona roho za wale
waliokatwa vichwa kwa sababu ya ushuhuda wa
21 Kisha nikaona mbingu mpya na nchi mpya,
maana mbingu za kwanza na nchi ya kwanza
Yesu na kwa sababu ya neno la Mungu. zimekwisha kupita, wala
Hawakuwa wamemsujudia huyo mnyama wala hapakuwepo na bahari tena. 2Nikaona Mji
sanamu yake wala hawakupokea ile chapa yake Mtakatifu, Yerusalemu mpya, ukishuka kutoka
kwenye vipaji vya nyuso zao au kwenye mikono mbinguni kwa Mungu, ukiwa umeandaliwa kama
yao. Wakawa hai na kutawala pamoja na Kristo bibi arusi aliyepambwa kwa ajili ya mumewe.
miaka 1,000. 5(Wafu waliosalia hawakufufuka 3Nami nikasikia sauti kubwa kutoka katika kile kiti
mpaka ilipotimia hiyo miaka 1,000.) Huu ndio cha enzi ikisema, ‘‘Tazama, makao ya Mungu ni
ufufuo wa kwanza. 6Wamebarikiwa tena ni pamoja na wanadamu, naye atakaa pamoja nao.
watakatifu wale walio na sehemu katika huo Yeye atakuwa Mungu wao nao watakuwa watu
ufufuo wa kwanza.Hao mauti ya pili haina nguvu wake, naye Mungu mwenyewe

17
Ufunuo wa Yohana
atakuwa pamoja nao. 4Atafuta kila chozi, kutoka kwa kipimo cha kibinadamu ambacho huyo
katika macho yao. Mauti haitakuwepo tena, wala malaika alikuwa akikitumia. 18Ukuta huo
maombolezo, wala kilio, wala maumivu, kwa ulijengwa kwa yaspi hali mji wenyewe ulijengwa
maana mambo ya kwanza yamekwisha kupita.’’ kwa dhahabu safi, iking'aa kama kioo. 19Misingi
ya mji huo ilipambwa kwa kila aina ya kito cha
5Naye yule aliyeketi juu ya kile kiti cha enzi thamani. Msingi wa kwanza ulikuwa wa yaspi,
akasema, ‘‘Tazama, nayafanya mambo yote wa pili yakuti samawi, wa tatu kalkedoni, wa nne
kuwa mapya.’’ Pia akasema, “Andika haya, zamaridi, 20wa tano sardoniki, wa sita akiki, wa
maana maneno haya ni ya kuaminika tena ni saba krisolitho, wa nane zabarajadi, wa tisa
kweli.’’ yakuti manjano, wa kumi krisopraso, wa kumi
6Akaniambia, “Imekwisha kuwa. Mimi ni Alfa na moja hiakintho, wa kumi na mbili amethisto.
na Omega, Mwanzo na Mwisho. Yeye aonaye 21Yale malango kumi na mbili yalikuwa ni lulu
kiu nitampa kunywa kutoka katika chemchemi kumi na mbili, kila lango lilikuwa
ya maji ya uzima bila gharama yo yote. 7Yeye limetengenezwa kwa lulu moja. Barabara za mji
atakayeshinda atayarithi haya yote, Nami huo zilikuwa za dhahabu safi ing'aayo kama
nitakuwa Mungu wake, naye atakuwa kioo.
22Sikuona Hekalu ndani ya huo mji kwa
mwanangu. 8Lakini waoga, wasioamini,
wachafu, wauaji, wazinzi, wachawi, waabudu sababu Bwana Mungu Mwenyezi na Mwana-
sanamu, pamoja na waongo wote, mahali pao ni Kondoo ndio Hekalu lake. 23Ule mji hauhitaji jua
katika lile ziwa liwakalo moto na kiberiti. Hii wala mwezi kuuangazia kwa sababu utukufu wa
ndiyo mauti ya pili.’’ Mungu ndio nuru yake na Mwana-Kondoo ndiye
9Kisha mmoja wa wale malaika saba taa yake. 24Mataifa yatatembea yakiangaziwa
waliokuwa na yale mabakuli saba ya hayo na nuru yake na wafalme wa duniani wataleta
mapigo saba ya mwisho akaja akaniambia, fahari yao ndani yake. 25Malango yake
‘‘Njoo, nami nitakuonyesha bibi arusi, yaani, hayatafungwa kamwe mchana, kwa maana
mke wa Mwana-Kondoo.’’ 10Naye akanichukua hakutakuwa na usiku humo. 26 Utukufu na
katika Roho hadi kwenye mlima mkubwa na heshima za mataifa zitaletwa humo. 27Lakini
mrefu, akanionyesha ule Mji Mtakatifu, kitu kichafu hakitaingia humo kamwe, wala mtu
Yerusalemu, ukishuka kutoka mbinguni kwa ye yote atendaye mambo ya aibu au ya
Mungu. 11Ulikuwa uking'aa kwa utukufu wa udanganyifu. Bali watakaoingia humo ni wale tu
Mungu kama kito chenye thamani sana, kama ambao majina yao yameandikwa katika kitabu
yaspi, safi kama kioo. 12Ulikuwa na ukuta cha uzima cha Mwana-Kondoo.
mkubwa, mrefu wenye malango kumi na mawili,
pakiwa na malaika kumi na wawili kwenye hayo Mto Wa Maji Ya Uzima
malango. Kwenye malango hayo yaliandikwa
majina ya yale makabila kumi na mawili ya
22 Kisha yule malaika akanionyesha mto wa
maji ya uzima, maangavu kama kioo yakitiririka
Israeli. 13Kulikuwa na malango matatu upande kutoka kwenye kile kiti cha enzi
wa mashariki, matatu upande wa kaskazini, cha Mungu na cha Mwana-Kondoo, 2kupitia
matatu upande wa kusini na matatu upande wa katikati ya barabara kuu ya huo mji. Kwenye kila
14
magharibi. Ukuta wa huo mji ulikuwa na upande wa huo mto kulikuwa na mti wa uzima
misingi kumi na miwili na juu yake yaliandikwa utoao matunda ya aina kumi na mbili, ukizaa
majina ya wale mitume kumi na wawili wa matunda yake kila mwezi. Nayo majani ya mti
Mwana-Kondoo. huo ni kwa ajili ya uponyaji wa mataifa. 3Katika
15Huyo malaika aliyesema nami alikuwa na mji huo hakutakuwa tena na kitu cho chote
ufito wa dhahabu wa kupimia huo mji, malango kilicholaaniwa, bali kiti cha enzi cha Mungu na
yake na kuta zake. 16Mji huo ulikuwa mraba, cha Mwana-Kondoo kitakuwamo humo na
urefu wake ulikuwa sawa na upana. Akaupima watumishi wake watamtumikia, 4nao
huo mji kwa huo ufito akaukuta una kama watamwona uso Wake na Jina lake litakuwa
a
kilometa 2,400 urefu wake na upana wake na kwenye vipaji vya nyuso zao. 5Usiku
kwenda juu kwake vilikuwa sawa. 17Akaupima hautakuwako tena, wala hawatahitaji mwanga
ukuta wake, ulikuwa na unene wa dhiraa 144b wa taa au wa jua, kwa maana Bwana Mungu
atakuwa nuru yao, nao watatawala milele na
a16 Kilomita 2,400 hapa ni sawa na maili 1,500 milele.
b17 Dhiraa 144 ni sawa na mita 64.8 yaani karibu Km. 65.
18
Ufunuo wa Yohana
6 Kisha yule malaika akaniambia, “Maneno ule mji mtakatifu, ambao habari zake
haya ni ya kuaminika na kweli. Bwana, Mungu zimeandikwa katika kitabu hiki.
wa roho za manabii, amemtuma malaika wake 20Yeye anayeshuhudia mambo haya
kuwaonyesha watumishi wake yale ambayo asema, “Naam, naja upesi!’’
hayana budi kutukia upesi. Amen. Njoo Bwana Yesu.
21Neema ya Bwana Yesu iwe na watakatifu
Bwana Yesu Anakuja wote. Amen.
7‘‘Tazama, naja upesi! Amebarikiwa yeye
ayashikaye maneno ya unabii wa kitabu hiki.’’
8Mimi Yohana, ndiye niliyesikia na kuyaona
mambo haya. Nami nilipokwisha kuyasikia na
kuyaona, nilianguka chini nikasujudu miguuni pa
yule malaika aliyekuwa akinionyesha mambo
hayo. 9Lakini yeye akaniambia, “Usifanye hivyo!
Mimi ni mtumishi pamoja nawe na ndugu zako
manabii na wote wanaoyashika maneno ya
kitabu hiki. Msujudie Mungu!’’
10Kisha akaniambia, “Usiyafunge maneno
ya unabii yaliyomo katika kitabu hiki, kwa
sababu wakati umekaribia. 11Atendaye mabaya
na aendelee kutenda mabaya, aliye mchafu na
aendelee kuwa mchafu, yeye atendaye haki na
aendelee kutenda haki na yeye aliye mtakatifu
na aendelee kuwa mtakatifu.’’
12“Tazama, naja upesi! nikiwa na mshahara
wangu, nami nitamlipa kila mtu sawasawa na
alivyotenda. 13Mimi ni Alfa na Omega, wa
Kwanza na wa Mwisho, Mwanzo na Mwisho.
14“Wamebarikiwa wale wafuao nguo zao, ili
wapate haki ya kuuendea huo mti wa uzima na
kuuingia huo mji kwa kupitia kwenye malango
yake. 15Huko nje wako mbwa, wachawi,
wazinzi, wauaji, waabuduo sanamu na kila mtu
apendaye udanganyifu na kuufanya.
16“Mimi Yesu, nimemtuma malaika wangu
kushuhudia mambo haya kwa ajili ya makanisa.
Mimi ndimi niliye Shina na Mzao wa Daudi, ile
Nyota ya asubuhi ing'aayo.’’
17 Roho na bibi arusi wanasema, “Njoo!’’
Naye asikiaye na aseme, “Njoo!’’ Ye yote
mwenye kiu na aje na kila anayetaka na anywe
maji ya uzima bure.
18Namwonya kila mtu asikiaye maneno ya
unabii wa kitabu hiki: Mtu ye yote akiongeza cho
chote, Mungu atamwongezea mapigo
19
yaliyoandikwa katika kitabu hiki. Kama mtu ye
yote akipunguza cho chote katika maneno ya
unabii wa kitabu hiki, Mungu atamwondolea
sehemu yake katika ule mti wa uzima na katika
19
Ufunuo wa Yohana

20

You might also like