MKATABA

You might also like

Download as docx, pdf, or txt
Download as docx, pdf, or txt
You are on page 1of 2

MKATABA WA MAUZO YA KIWANJA

SHERIA YA ARDHI YA 1999


SURA YA 113 YA MAREJEO YA MWAKA 2002
ENEO:
MANISPAA YA
DAR ES SALAAM
UKUBWA:

MAKUBALIANO HAYA yamefanyika hapa Dar Es Salaam baina ya TWALUMANYILE MACHAL


CHENGULA wa S.L.P …….….…., Dar Es Salaam (ambaye ni MUUZAJI kwa upande mmoja),

Na

Ndugu FARAJI HAMIS WAPANDE wa S.L.P ………...., Dar Es Salaam (ambaye ni MNUNUZI kwa
upande mwingine).

KWA KUWA Muuzaji ndiye mmiliki pekee wa ardhi iliyotajwa hapo juu

NA KWA KUWA Muuzaji huyu kwa ridhaa yake mwenyewe akiwa na akili timamu bila
kulazimishwa na mtu yeyote yuko tayari kumuuzia mnunuzi ardhi husika;

NA KWA KUWA Mnunuzi yupo tayari kuinunua ardhi husika kutoka kwa Muuzaji chini ya
masharti na makubaliano yaliyoko kwenye mkataba huu;

BASI PANDE ZOTE MBILI ZINAKUBALIANA kama ifuatavyo:-

1. Muuzaji atauza na Mununuzi atanunua ardhi iliyotajwa hapo juu kwa bei jumla ya Tshs
6,500,000/= (Milioni sita na laki tano) tu ikiwa ndio bei ya mauzo.
2. Fedha hizo Tshs. 6,500,000/= zimelipwa zote.
3. Mipaka yake ni kama ifuatavyo;
Kaskazini…………………………………………………… Kusini …………….………………………………………….
Magharibi…………………………………………………. Mashariki ………………………………………………….
4. Baada ya kukamilisha malipo hayo ya Tshs. 6,500,000/= Muuzaji amemkabidhi Mnunuzi
eneo husika.
5. Makubaliano haya yana nguvu zote za kisheria na upande wowote utakao kiuka
utawajibika kisheria
6. Muuzaji amethibitisha kuwa kiwanja hicho ni mali yake binafsi na hakuna madai yoyote.
7. Muuzaji hajafanya jambo lolote lenye kuathiri uhamishaji wa miliki kwa Mnunuzi.

Makubaliano haya yamesainiwa na pande husika kama ifuatavyo:-

MUUZAJI: Jina: TWALUMANYILE MACHAL CHENGULA


Saini: …………………………………………………
Tarehe: …………………………………………….

MASHAHIDI WA MUUZAJI
JINA SAINI TAREHE
1. ………………………………………………… …………………………… …………..………………
2. ………………………………………………… …………………………… …………..………………

MNUNUZI: Jina: FARAJI HAMIS WAPANDE


Saini: ………………………………………………...
Tarehe: …………………………………………….

MASHAHIDI WA MNUNUZI
JINA SAINI TAREHE
1. ………………………………………………… …………………………… …………..………………
2. ………………………………………………… …………………………… …………..………………

MKATABA HUU umeshuhudiwa nami hivi leo tarehe ………………………… kwa pande zote mbili
kusaini makubaliano haya mbele yangu.
Jina:
Saini:
Cheo: WAKILI
Tarehe:

You might also like