Professional Documents
Culture Documents
Dua Mlango Wa Arafah, Umrah, Hijja
Dua Mlango Wa Arafah, Umrah, Hijja
Dua Mlango Wa Arafah, Umrah, Hijja
Labbayka-Allaahumma Labbayk. Labbayka laa shariyka Laka Labbayk. Innal-Hamda, wan-ni’-matah, Laka
wal-Mulk. Laa shariyka Lak.
MAANA YAKE;
Nimekuitika Ee Allaah nimekuitika. Nimekuitika Huna mshirika, nimekuitika. Hakika Himdi na Neema na
Ufalme ni Vyako. Huna mshirika.
KIARABU;
َ َك ل
ك ُ ْ مل
َ ال شَ رِي،ك ُ ْ ك وَال
َ َ ل، ة
َ م
َ ْ وَالنِّع،َمد َ ْ ن ال
ْ ح َ ْ ك لَبَّي
َّ إ،ك َ َك ل َ ْ لَبَّي،ك
َ ك ال شَ رِي َ ْ م لَبَّي
َّ ُك اللَّه
َ ْ لَبَّي
Rasuli wa Allaah ( )صلى هللا عليه وسلمalitufu kuzunguka Al-Ka’bah juu ya ngamia. Kila alipofika katika rukn
(Hajarul-Aswad) alikuwa anaashiria kwa kitu na kusema:
Allaahu Akbar
MAANA YAKE;
Allaah ni Mkubwa.
KIARABU;
هللاُ أ ْكبَر
Rabb wetu Tupe katika dunia mazuri na katika Aakhirah (pia Tupe) mazuri na Tukinge na adhabu ya Moto
KIARABU;
MAANA YAKE;
KIARABU;
MAANA YAKE;
KIARABU;
… kisha utasema yafuatayo mara tatu ukiomba du’aa (yoyote apendayo) baada ya kila mara:
Laa ilaaha illa Allaahu Wahdahu laa shariyka Lah. Lahu mulku walahul Hamdu wa Huwa ’alaa kulli
shay-in Qadiyr. Laa ilaaha illa Allaahu Wahdahu, Anjaza wa’dahu, Wa naswara ’abdahu, wa hazzamal
ahzaaba Wahdah
MAANA YAKE;
Hapana mwabudiwa wa haki ila Allaah, hali ya kuwa Peke Yake, wala hana mshirika. Ni wake ufalme na ni
Zake Himdi, Naye juu ya kila kitu ni Muweza, hapana mwabudiwa wa haki ila Allaah hali ya kuwa Peke
Yake, Ametekeleza ahadi Yake, na Amemnusuru mja Wake, na Amevishinda vikosi Peke Yake.
KIARABU;
ُص َر َع ْب َدهَ َ َون،ُ ال ِإلَهَ إال هللاُ َو ْح َدهُ َأ ْن َجزَ َو ْع َده،الح ْم ُد و ُه َو عَلى ُك ِّل شَي ٍء قَدي ٌر
َ ُ لَهُ ال ُم ْل ُك َولَه،ُش ِري َك لَه
َ ال ِإلهَ إالَّ هللاُ َو ْح َدهُ ال
ُاب َو ْح َده َ ََو َه َز َم اَأل ْحز
Rasuli wa Allaah ( )صلى هللا عليه وسلمamesema: Du’aa bora kabisa ni du’aa ya siku ya ’Arafah. Na bora ya
niliyoyasema mimi na Manabii kabla yangu ni
Laa ilaaha illa Allaahu Wahdahu laa shariyka Lah. Lahul Mulku walahul Hamdu wa Huwa ’alaa kulli shay-in
Qadiyr.
MAANA YAKE;
Hapana mwabudiwa wa haki ila Allaah hali ya kuwa Peke Yake hana mshirika. Ni Wake Ufalme na ni Zake
Himdi, Naye juu ya kila kitu ni Muweza.
KIARABU;
Hadiyth ya Jaabir ( )رضي هللا عنهkwamba: ”Rasuli wa Allaah ( )صلى هللا عليه وسلمalimpanda Al-Qaswa (jina
la ngamia wake) mpaka alipofika Mash’arul Haraam (Muzdalifah), kisha akaelekea Qiblah akamuomba
Du’aa kwa Allaah, akaleta takbiyr (akamtukuza - Allaahu Akbar), akaleta Tahliyl (akampwekesha – laa
ilaaha illa Allaah) akamkanusha kuweko mwabudiwa mwengine na akampwekesha. Hakuacha kusimama
mpaka kulipopambazuka ndipo alipoondoka kabla ya kutoka jua”
Faida: Sehemu hiyo ya Muzdalifah Haajj anapaswa kumdhukuru Allaah ( )ع ّز وج ّلkwa kila aina ya
Adhkaar, kuswali Jamaa’ah, na kuomba Du’aa, kuomba maghfirah, kumshukuru na kumsifu Allaah ( ع ّز
)وج ّلna kadhaalika.
Allaahu Akbar
MAANA YAKE;
Allaah ni Mkubwa
KIARABU;
”Rasuli wa Allaah ( )صلى هللا عليه وسلمAlikuwa kila aliporusha kijiwe katika Jamarah (nguzo) tatu alisema: "
Allaahu Akbar" ...kisha akisogea na kusimama akielekea Qiblah akiomba du’aa huku akiinua mikono yake.
Akifanya hivyo aliporusha vijiwe katika Jamarah ya kwanza na ya pili. Ama Jamarah ya tatu (Al-’Aqabah)
alirusha na akamtukuza Allaah (Allaahu Akbar) kwa kila kijiwe kisha alikuwa hasimami bali akimaliza
anaondoka”