Professional Documents
Culture Documents
MKM September 2017red
MKM September 2017red
Picha: IN
Wadudu na madhara yake 8
Mpendwa mkulima
Katika kila eneo mtu alipo kuna fursa
ya kufanya kazi za uzalishaji mali na
hatimae kujiletea maendeleo. Jambo
kubwa linahitajika ni kufahamu kuwa
uchukue fursa ipi, na uitekeleze katika hali
Picha: MkM
Picha: IN
inayokubalika.
Kumekuwa na malalamiko mengi
kutoka kwa wakulima, wafugaji na wadau
wengine kuwa hakuna fursa kwa ajili
ya kuendeleza maisha ya kila siku, au
shughuli ambazo wameanzisha.
Shida iliyopo hapa si kweli kuwa
hakuna fursa, ila hujatambua kuwa ushike
lipi na uache lipi. Kwa lugha nyingine
uchukue fursa ipi na ni ipi uache. Na
Mara nyingi wakulima wamekuwa inayoweza kutumika kutengeneza hapa shida kubwa inayokabili wengi ni
wakiamini na kutumia madawa dawa, au kutumia kama ilivyo na kuleta kutaka kufanya kila jambo linalofanywa na
yaliyotengenezwa viwandani, bila ufanisi mkubwa katika kukabiliana na wengine. Abadan maisha hayawezi kuwa
kufahamu madhara yake kwa afya wadudu waharifu. na mafanikio kwa njia hiyo.
Jambo muhimu katika yote ni kufanya
zao, mazingira na hata wanyama Katika toleo hili utaweza kujifunza
kazi katika fursa ambayo itakupa ufanisi,
wanaowafuga. baadhi ya mimea na aina za wadudu kwanza ujitafakari mwenyewe kuwa ni
Hali hii imetokana na uelewa mdogo inayoweza kudhibiti. jambo lipi kati ya fursa zinazokuzunguka
walio nao kuhusiana na baadhi ya ambalo, linaugusa moyo wako mara kwa
mimea iliyopo kwenye mazingira yao Zaidi soma Uk 3 mara. Ni lipi ambalo linazunguka sana
kichwani mwako na kutamani kulifanya
Matunzo thabiti ni muhimu kwa mbuzi kila wakati.
Hivi sasa nchini Tanzania, Jambo hilo linaweza kuwa ni katika
Mbuzi ni moja ya wanyama ambao nyanja ya kilimo, ufugaji, usindikaji, au
wanajipatia umaarufu miongoni mwa aina nyingine yoyote ya kilimobiashara na
Picha: MkM
MkM, S.L.P 14402, Arusha, Simu 0717 266 007, 0785 133 005 Barua pepe info@mkulimambunifu.org, www.mkulimambunifu.org
Toleo la 60, Septemba 2017
Fahamu ugonjwa wa homa ya mapafu kwa mbuzi
Mimi naitwa Eliudi Raymond, mbuzi
wangu wawili wamekufa mara tu
Picha: MkM
baada ya kuanza kutoka makamasi kwa
siku 2 mfululizo, je, unaweza kuwa
ni ugonjwa niliosikia kwa wenzangu
wakisema ni homa ya mapafu? Je, huu
ugonjwa ukoje na natibuje?
Patrick Jonathan
Ugonjwa wa homa ya mapafu ya
mbuzi (HMM) ni ugonjwa hatari wa
mbuzi unaosababishwa na bakteria
wajulikanao kama mycoplasma
capricolum subspecies capripneumoniae
(MCCP).
Dalili za ugonjwa huu
Ugonjwa huu unajidhihirisha kwa; Mbuzi mwenye homa ya mapafu huonekana mchovu na mwenye usingizi
• Kupumua kwa shida Wanyama wanaopata HMM kikohozi kuwa kizito), kupumua
• Homa kali (nyuzi 41-43 za Mbuzi ndio wanyama wa kwanza kwa shida ndani ya siku 2 hadi 3.
sentigredi). kupata ugonjwa huu na kondoo • Katika hatua za mwisho mbuzi
• Kukohoa. wanaweza kuupata pia hasa wakiwa hushindwa kutembea au
• Kutiririsha mafua. wanaishi na mbuzi. kusimama huku miguu yake
• Usambaaji wa haraka wa vifo Usambaaji wa HMM ya mbele akiwa amepanua na
vingi kwa mbuzi wa umri wowote, Ugonjwa huu huenea haraka sana shingo yake ikiwa imenyooka na
toka mnyama mmoja kwenda kwa kukakamaa.
pamoja na kutupa mimba kwa
mwingine kwa njia ya kugusana. • Mate yanaweza kuwa yanatoka
mbuzi wenye mimba.
Wadudu wa ugonjwa huu huwa kwa mfululizo mdomoni na mbuzi
Ugonjwa uligundulika lini? anaweza kuwa anakoroma au
kwenye maji maji ya mfumo wa
Ugonjwa huu ulithibitika kuwepo kulia kwa maumivu makali.
upumuaji/hewa.
nchini Tanzania mnamo mwaka 1998 • Mwisho mapovu puani na mate
Dalili za HMM huchukua muda gani
na tangu hapo umeonekana kusambaa mdomoni yanaweza kuonekana.
kudhihirika?
katika maeneo mbalimbali ya nchi, • Mbuzi mwenye mimba, inaweza
Ugonjwa huu huanza kuonesha
huku jitihada kidogo zikiwekwa kutoka.
dalili kuanzia siku 2 hadi ya 28 tangu
kuhusiana na kupambana na ugonjwa • Wanyama wenye ugonjwa
maambukizi yatokee na wastani ni siku
huu. hufikia asilimia 100 (wote huwa
10. Afya ya mbuzi huanza kudhoofu
Kwa Tanzania, ugonjwa huu wagonjwa) na vifo hufikia kati ya
na mwisho kusababisha kifo ndani ya
uliripotiwa kuwepo katika maeneo asilimia 60 hadi 100.
siku 7 tangu kuanza kwa ugonjwa huu.
ya Arusha, Morogoro, Dar es Salaam, • Mbuzi walioathirika sana
Matokeo wanaweza kufa ndani ya siku 7
Pwani, Tanga na Mtwara lakini pia
• Mbuzi walioathirika na HMM hadi 10 tangu waoneshe dalili.
kuna maeneo mengine mengi, ambayo wanaweza kufa ndani ya siku 1 hadi • Kuna baadhi ya mbuzi wanaoweza
dalili kwa mbuzi zimehisiwa kuwa ni 3 bila kuonesha dalili au wakiwa kuendelea kukohoa na kwa
za ugonjwa huu. na dalili chache sana zisizoweza muda mrefu huku wakitiririsha
Tatizo lililopo ni ugumu wa kuutambulisha ugonjwa. makamasi na kuendelea
kuthibitisha ugonjwa huu hasa kwa • Dalili za mwanzo ni homa kali kusambaza ugonjwa kwa muda
njia ya kuotesha wadudu lakini (nyuzi joto 41-43), kuchoka/ mrefu.
uwepo wa teknolojia mpya kama PCR kudhoofika, mwenye usingizi na
utawezesha kuutambua ugonjwa huu kukosa hamu ya kula, kukohoa
Inaendelea Uk. 7
kwa haraka zaidi. mara kwa mara (kwa nguvu na
Mkulima Mbunifu ni jarida huru kwa jamii ya wakulima zwa na Biovision (www.biovision.ch) kwa Mpangilio Ibrahim Isack, +255 676 293 261
Afrika Mashariki. Jarida ushirikiano na Sustainable Agriculture Tan- Zenith Media Ltd
Mhariri Msaidizi Flora Laanyuni
hili linaeneza habari za zania (SAT), (www.kilimo.org), Morogoro. Mhariri Ayubu S. Nnko
kilimo hai na kuruhusu Jarida hili linasambazwa kwa wakulima Mhariri Mkuu Venter Mwongera
majadiliano katika nyanja bila malipo. Anuani Mkulima Mbunifu
zote za kilimo endel- Mkulima Mbunifu linafadhiliwa na Biovision - www. Sakina, Majengo road, (Elerai Construction
biovision. block) S.L.P 14402, Arusha, Tanzania
evu. Jarida hili linatayar- Ujumbe Mfupi Pekee: 0785 496 036, 0766
Wachapishaji African Insect Science for Food and 841 366
ishwa kila mwezi na Mkulima Mbunifu,
Health (icipe), S.L.P 30772 - 00100 Nairobi, KENYA,
Arusha, ni moja wapo ya mradi wa Piga Simu 0717 266 007, 0785 133 005
Simu +254 20 863 2000, icipe@icipe.org, www.icipe.
mawasiliano ya wakulima unaotekele- Barua pepe info@mkulimambunifu.org,
org
www.mkulimambunifu.org
Toleo la 60, Septemba 2017
Mimea hii inaweza kutumika kama dawa za asili
Ni muhimu kwa wakulima kujifunza Wadudu wanaolengwa TAHADHARI: Kuwa makini na
aina mbalimbali za mimea inayoweza Mmea huu huweza kuwadhuru ujihadhari sana sumu hii isiingie
kutumika kutengeneza dawa za asili. na kuangamiza wadudu machoni kwani inaweza kusababisha
mafuta(kimamba), vithiripi, mbu, maumivu makali sana, hasa wakati
Ayubu Nnko viwavi, na wadudu wengineo kwa wa kutwanga, vumbi vumbi linaweza
ujumla. kuingia machoni.
Moja ya kanuni muhimu katika kilimo Mnanaa
Namna ya kutengeneza na kutumia
hai ni kutumia njia za asili ikiwemo Mnanaa hujulikana kitaalamu kama
mimea mbalimbali inayopatika katika • Twanga kiasi cha gramu 50-100
za majani ya utupa (hayo ni kama Datura stramonium. Mmea huu ni moja
mazingira yako, kukabiliana na ya mimea yenye sumu na hupatikana
wadudu waharibifu katika mazao. majani 50).
kwa wingi shambani, ambapo
Mashona nguo • Loweka kwenye lita moja ya maji husababisha wadudu kushindwa kula
safi. na ina viuadudu na pia ina asili ya viua
Mmea huu kitaalamu unajulikana
kama Bidens pilosa na wakulima wengi • Vundika kwa siku moja(acha ukungu.
huchukulia kama ni gugu. Mbegu zake kwenye maji usiku mmoja).
zinaweza kutumika kutayarisha dawa • Chuja kwa kichujio safi au pamba,
Picha: MkM
za kuulia wadudu waharibifu kwenye au nguo ya pamba tayari kwa
mazao. kunyunyiza.
Mmea huu una uwezo wa kuathiri TAHADHARI: Utupa ni sumu kwa
wadudu wa aina zote. Wadudu samaki, hivyo haishauriwi sana
huathiriwa wanapogusa kwa tumbo. kutumika nchini Tanzania. Pia mmea
huu usipotumika vizuri, unaweza
kuua wadudu rafiki katika mazingira.
Picha: MkM
Picha: IN
• Unaweza kuponda mmea wote wa mimea.
shona nguo na kuufikicha kwenye
maji mpaka utoe juisi. Ongeza
Picha: MkM
Picha: MkM
kuhifadhi joto na hutenganishwa na
sehemu ya kuzungukia. Chakula na
maji safi huwekwa kwenye sehemu ya
kuzungukia wakati wote wa mchana.
Wiki ya kwanza vifaranga hutolewa
kwenye sehemu ya kuhifadhi
joto (wanapolala vifaranga) na
kuwekwa sehemu ya kuzungukia
(wanaposhinda vifaranga) kwa ajili
ya kupewa chakula
na maji.
Baada ya wiki ya kwanza milango
ya vifaranga ifunguliwe wakati wa
mchana na vifaranga waruhusiwe
kuzunguka sehemu ya kushindia.
Mkombozi ihamishwe mara kwa
mara kuruhusu vifaranga kupata
majani mabichi, wadudu na rasili
mali nyingine za vyakula.
Wiki ya kwanza Mkombozi huweza
kuhifadhi nyuzi joto kati ya 34C na
39C. Hata hivyo kiwango cha joto
hupunguzwa kwa nyuzi joto 3C kila
wiki kwa kupunguza majani makavu
mfugaji atapata faida na kufikia malengo katikati ya kiota na kuta za Mkombozi
kwenye mfuniko.
Namna ya kutengeneza Mkombozi Bruda
Muundo wa Mkombozi umejumuisha 30 na unene wa sentimita 3. Upana wa sehemu ya kuzungukia hutegemea
sehemu ya kuhifadhi joto na sehemu na urefu wa sehemu ya kuhifadhi idadi ya vifaranga wanaotarajiwa
ambayo huruhusu vifaranga joto hutegemea idadi ya vifaranga kulelewa.
kuzunguka. wanaotarajiwa kulelewa.
Sehemu ya kuhifadhi joto na ambapo Sehemu ya kuzunguka hutengenezwa
vifaranga hulala hutengenezwa kwa kwa vipande vinne vya mbao, vipande
vipande vinne vya mbao. hivyo vina upana wa sentimita 30 na
Vipande hivyo, vina upana wa sentimita unene wa sentimita 3. Upana na urefu
30 26 26 30 56 56
30 30 37 37 30 80 80
40 30 45 45 30 98 98
50 30 52 52 30 113 113
60 30 63 63 30 139 139
70 30 68 68 30 150 150
Toleo la 60, Septemba 2017
Okoa upotevu wa ufuta kwa kusindika ili kupata mafuta
Ufuta husindikwa ili kupata bidhaa
ya mafuta ambayo hutumika katika
Picha: IN
mapishi mbalimbali. Mafuta ya ufuta
hukamuliiwa kwa kutumia njia za asili
au kwa kutumia mashine.
Flora Laanyuni
Picha: IN
Matibabu
muda mrefu, mapafu yao huwa
Kwa kutumia dawa za antibayotiki
yameshikamana na kuta za mbavu
pamoja na uvimbe kwenye mapafu aina ya tylosin (kwa kuchoma 10mg/
(majipu) wenye kapsuli imara. kg kwa siku tatu mfululizo), imekuwa
ikitumika na inaonekana kufaa katika
Magonjwa yanayofanana na HMM
Sotoka ya mbuzi: (Peste des petits Pafu lililo athiriwa na ugonjwa wa HMM hatua za mwanzo wa ugonjwa.
ruminants, PPR) Ugonjwa huu kondoo Kukinga na kupambana na HMM Ukichelewa mbuzi huonekana
pia hupata sawa na mbuzi kwa usawa. • Kuepuka kuingiza mbuzi wenye kama wamepona lakini huendelea
Pasteurellosis: Ugonjwa huu ugonjwa au toka nchi zenye kusambaza ugonjwa kwa mbuzi
hushambulia mapafu yote wakati ugonjwa. wengine.
HMM hushambulia upande mmoja tu. • Chanjo pia ikitumika kwa Aidha, Oxytetracycline (OTC) katika
MAKEPS: (Mastitis, Arthritis, utaratibu mzuri kuchanja mbuzi dozi ya 15mg kwa kila kg 1 ya uzito
Keratitis, Pneumonia na Septicaemia wote itasaidia kuondoa ugonjwa, wa mbuzi (15mg/kg), Erythromycin
syndrome) huathiri viungo vingine nje baadhi ya nchi zimefanikiwa.
na Streptomycin zinaweza kutumika
ya mapafu. • Kama kuna mlipuko, mbuzi
mapema ugonjwa unapogunduliwa.
Utambuzi wa HMM wazuiwe kutembea hovyo na
kuchangamana na wale wenye Kwa maelezo zaidi, unaweza
Kwa mfugaji, dalili zilizotajwa
hapo juu zitautambulisha ugonjwa wa ugonjwa, kuchinja mbuzi wote kuwasiliana na mtaalamu wa
pamoja na matokeo baada ya kumchinja walio athirika na kumwagia dawa mifugo kutoka SUA Augustino
na jinsi ugonjwa unavyosambaa kwa (Sodium Hypochlorite) sehemu Chengula kwa namba +255 767 605
mbuzi wengine. waliyokuwa wanalala. 098