Download as pdf or txt
Download as pdf or txt
You are on page 1of 83

Date Printed: 02/05/2009

JTS Box Number: 1FES 49

Tab Number: 46

Document Title: KATIBA YA ZANZIBAR YA 1984

Document Date: 1995

Document Country: TAN

Document Language: SWA

1FES 10: EL00727


KATIBA VA ZANZIBAR
VA 1984

Toleo la 1995

(Toleo hili la Katiba ya zanzibar


linajumuisha marekebisho vote ya Katiba
Zanzibar ya 1984 tokea ilipoanza kutumika
tarehe 12 Januari, 1985 hadi tarehe 17 .JUllal,
1995 kwa madhumuni ya kurahisisha
marejeo ya Katiba.)

Zanzibar, IDI PANDU HASSAN


1 Oktoba, 1995 Mwanasheria Mkuu.

Imeplgwa Chapa na Idara ya UchapaJI Zanzlhar·lm

F Clifton White Resource Celller ~ \/


International Foundation for Election Syst~ms -)
KATIBA VA ZANZIBAR
VA 1984

Toleo la 1995

(Toleo hili la Katiba ya Zanzibar linajumuisha marekebisho


yote ya Katiba ya Zanzibar ya 19M tokea ilipoanza kutumika
tarehe 12 Januari. 19~5 hadi tarehe 17 Julai. 1995 kwa
madhumuni ya kurahisisha marejeo )'a Katiba.l

Zanzibar, 101 PANDU HASSAN


I Okloha. 1995 I\Iwanasheria Mkuu.
KATIIlA Y A ZANZIIlAR
SURA YA KWANZA

Zanzihar na Watu
Sehemu ya Kwanza
.Zanzibar

I. ~-AUlzihaf. .' .
2. Enco la Zanzihar na mipaka ya Mikml. Wilaya n.k.
~. Muhuri wa Sl:likali.
4. Kaliha ya 7..anzihar.
5. Zanzihar kufuata mfumo wa vymna vingi

Sehemu ya Pili
Watu

6. Mzanzihari.
7. lIaki ya kupiga kura.

SURA Y A PILI
Malengu na Maamuru muhimu ya Sera ya Serikali ya
Mapindu1.i ya Zanzihar:

8. \Vajihu mkuhwa wa Scrikali.


9. SCI;kali na Waru
10. (1) Malengo ya kisiasa.
0) Malcngo ya kiuchumi.
(5) Malengo yajamii.
(6) Malcngo ya kiafya. kiclimu na ulamaduni.
(7) Maicngo ya kufanya kazi.

SURA YA TATU
Kinga ya "aki 1.3 Lazimo oa Uhuru wa Mtu ninar.~i~,

11. Usawa wa hinaawunu.


12. lIsawa mhele ya sheria.
13. Haki ya kuwa hai.
14. lIaki na Uhuru wa mlu hinafsi.
15. Haki ya faragha ya mlu lla usalama wake.
ii
16. Kinga ya uhum wa kwenda.
17. Kinga ya kUlOkana na kudhulumiwa mali.
18. Uhum wa maonL
19. Uburu wa1mni kuamini dini atakayo.
20. King~ k~a uhuru wa kujikusanya na'kujiunga .
. 21. Uhuru wa kushiriki shughuli ,", umma. haki ya
kufanya kazi na kupala. ujira.
22. Wajihu wa kushiriki kazini.
23. W;~jihu wa kutii sheria Z<I Ilehi, kulinua mali ya
umma na ulinzi wa Taira.
24. Mipaka kwa haki na uhum . na hifauhi kwa haki na
wajihu wake.
25. Haki 111lazima na uhuru wa hinafsi.

SURA VA NNE

S~ .. ikali
S~h~mu ya Kwanza
Rais
26. onsi ya Rais na sira za kuehaguliwa kuwa Rais.
27. Udwguzi wa Rais.
28. Muua wa kuende1ea na lIrais.
29. Kuongczwa kwa kipinui ella miaka 5.
30. Kutofaa kuwa R,ris.
31. Kiapo eha Rills.
32. Kuachishwa lIrais kwa ugonjwa.
33. Nafa~i katika kiti eha Urais.
34. Mpango wa uehaguzi iwapo kiti eha Rais kiwazi.
35. Mshahara na malipo menginc ya Rais.
36. Rais hal~L~ht:tkiwa akiwa k:lzini.
37. I3araza la Wawakilishi lawcza kumshlaki Rais
38. Hadhi ya Rais alicpita.

S~h~mu ya Pili
/
Waziri Kinngozi .

39. Waziri Kiollgozi wa Zanzihar.


40. Kuwa Wazi kwa Olisi ya Waziri Kitmgozi.
41. H(~ia ya kum ya kUlOkuwa na Im;Uli.
iii
Sehornu ya Tatu
Mawaziri, Manaihu Mawaziri na Dara7.3 la Mapinduzi:

42. Wizara za Scrikali ya Mapinuuzi ya Zanzihar.


43. Barilla la Mapinuuzi.
44. Ugaw,~ii wa Wizara kwa MawHziri.
4.5. Mikulano ya Dm·aza.
~. Viapo vya uHminii"u.
47. Naihu Mawaziri.
48. Nafmd ya Waziri. MemO:I wa I3araz.C1 la Mnpinduzi
kuwa wazi. '
49. Katibu wa I3w'aza la Mapinduzi.
SO. Malmlihu Wakuu.

St!ht!mu ya Nnt!
Madaraka ya ~rikali:

51. Madaraka ya Scrikali ya Zanzihar.


.''i2. KUlobzimik" kwa Rais kufuHla w.;)muri wa mlu.
53. l lanzishaji wa Ansi na wadhamini wa Ansi hiztl.
54. Muda wa kuran),a kazi katika Scrikali ya
M<lpilllJuzi )'<1 Zanzihar.
55. Mwanashcria Mkuu.
56. Kazi za MwanHshcria Mkuu.
57. Kiapo eha umninifu.
58. \Vashauri Maalum.
59. l Iwczo wa kUloa msamaha.
60. Kam:lli ya lIshaUl; katika uwczo wa kuloa msamaha.
01. Mkllll wa Mkoa na MklllJ wa Wilaya.
62. Kal'j 1.:1 Mkllll wa Mko:l lIa Mkuu wa Wilaya.

SlJKA YA TA1'OO

Hanna la \Vawakili . . hi
S~hcmu ya K wanZ8.
l\luundo wa Hanl1.a la \\'awakilishi:

63. Uara/:! la Kutunga Shc);a.


04. Ku;ull'bhwa kWiI Daraza la Wawakilishi.
05. l h:h:l1!uzi wa \V:\iumnc \\':1 kuch:lguliwa.
iv

00. Wajtll1lhc wa kUlculiw:J.


07. WajulIlhc \Vall:lwakc kalika Baril":!.
6X. Sira i'<I Kllch;lt!uliw<l.
6<).Kutofaa kllclJa~lIliwa.
70. Kiapo eha M.illlllhcMwakilishi.
71. Mllda wa W:ljllll1hc kushika madaraka yao,
72. (lallluzi '\'<1 ~lIala kama mtu ni mjulIlhc
Mwakilishi ;1111" shl,
n. Spika.
7-t. Naihu spika. .
75. Tilratihll/il u('h;t~lIzi wa Spika na Naihu Spika.
76, Kalihu Wil I3~lral.a la Waw.\kilishi.
77. Alisi ya Banl/.a la Wawa~iJishi.

Sehemu ~'a Pili


Slu.'ria na T:lratihu Katika Uara:t.:t la \Vawakilishi.
!
7S. N~IJ\'II /.<1 kllllJlI~aShl'ria.
7(). t itaratihu wa KUlllnga Sheria.
1')(l. Kuhadilisha K:lliha.
XI. I iOIl,;!tl/j wa kikao d1<l Daraza la \Vawakilishi.
X2. Viii \'ili\'yo wa/.i kalika Daraza la \Vawakilishi
11;1 IIlar:nihu Wi! kucluJcsha shughuli za Daraza.
X3. t Ipigaji 1\111';1 killika DaTaza 1<1 Wawakilishi.
S..L Madaraka yil Rai . . katika l3araza la Wawakilishi.
S). Kalililli 1<1 U;lr;11<1 la Wa\vakilishi.
X6. 0'11';11.<1 KlIllIlIg;1 Shcria.
X7. 1.. 1It!ha rasmi.
XX. K:lzi za Darotza 1:.1 Wawakilishi.

S~h~mu pi Tatu
Kuiti.... ha Ila Kuvunja naruza la \Vawakilishi:

X<J. Kuilisha kikao ella Damza la Wawakilishi.


90. I Jchagllzi Mkuu na Mkulano wa mwanzo.
<J I. Kuilisha lIiI kuvunja Bamza la Wawakilishi.
1)2. Maisha ya 13amza la \Vilwakilishi.
v

SURA YASITA

Sheria
Sehemu ya Kwanza
Mahkama Kuu

93. Kuundwa kwa Mahkama Kuu.


94. Uteuzi wa majaji wa Mahkama Kuu.
95. Muda wa kushika madaraka ya Ujaji.
96. Viapo kwa Maj~ji wa Mahkama Kuu.
97. Uanachama katika vyama vya sia~a.

Sehemu ya Pili
Mahkama }'a Rufaa

98. Kut.:'Unbuliwa kwa Mahkama ya Rufaa.


YY. Kazi na uweZl) wa Mahkmna ya Rufaa.

Sehemu ya Tatu
Mahkama NyenAinezu

100. Kuanzishwa kwa Mahkmna nycnginc.

Sehemu ya Nne
Ularatihu wa Kupeleka "ati na Kutekeleza 1\1aagizo
Yaliyomo Katika Hati Zilizotolewa na Mahkama:

101. lllckdczaji wa maagizo ya Mahkama


utafanywa nchini Tanzania kOlc.

Sehemu ya Tanu
Tume ya Kuajiri ya Mahkama

102. Tume ya kuajiri ya Mahkruna.


103. Uteuzi wa Alisa wa Mahkmna.
vi
SURA YA SABA

Sehemu ya Kwanza
Fedha
Masharti ya Fedha Yahusuyo Serikali ya
Mapinduzi ya Zanzihar:

104. Mfuko Mkuu wa hazina na fe<iha nyengine za Serikali


ya Mapinduzi ya Zanzibar.
105. Makadirio.
106. Ruhusa ya matumizi ya mfuko mkuu wa hazina kwa
sheria ya matumizi ya fedha.
107. Ma1ipo ni kwa idhini ya hati maalum.
108. Mfuko wa matwnizi ya dharura.
109. Matumizi ya fedha kabia ya sheria kuanza.
110. Deni la Serikaii ya Mapinduzi ya Zanzibar.
111. Maiipo ya baadhi ya maalisa.
112. Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa hcsabu za Serikaii.
113. Kumuondoa kazini Mdhihiti na Mkaguzi
Mkuu wa hesabu ..

Sehemu ya Pili
Masharti ya Fedha Yahusuyo Mambo ya Muungano:

114. Mch~UlgO wa Muungano.


115. Uwezo wa kUlumia kasma.

SURA YANANE
Tume ya Utumishi Serikalini:

116. Tume ya Utumishi.


117. Uteuzi na kum,~izika kwa ujumhe wa mjumhe.
118. Uleuzi wa Wafanyakazi wa Serikalini.
vii

SURA YA TIS A
Turne ya Ucha~uzi

II 'J. TUII1" )'a lIchaguzi


120. Majimho.

SURA YA KUMI
Idara Maalurn
121. Idara Maalum.
122. Tume ya uajiri ya hlaca maalum.
123. lIwezo wa Rais katika Id:u-a M,.i1l11n.

SURA Y A KUMI NA MO,IA


Mamlaka ya Umulhi ~'a Vyumho vya l\luun~ano:

124. Mahkama ya Katiha. 'I'ume ya Kulilllllll ya llchullguzi.


Tume ya Taira ya llchagul.i.
Kutumika Z,Ulzihar

SURA Y A KUMI NA M8ILl


Vynmhn Vyengine vya Serikali ya l\1apinduzi ya
Zanzihar:
Sehemu ya Kwanza
Tume ya Mipango:

125. Tumc ya Mipango.


126. Wajumhe wa Tume.
127. Katihu wa Tume ya Mipango.

Sehemu ya l'iIi
Serikali za Mitaa
128. Serikali za mitaa.
viii

SURA VA KUMI NA TATU


Mambo ya Jumla

129. Kujiuzulu.
130. Uteuzi mpya na kuarifiwa kwa kuachishwa kazi.
131. Maelezo kuhusu utaratihu wa kukahidhrmadaraka ya
kazi katika Utumishi wa Serikali.
132. Sheria za MUllngano.
133. Masharti ya kutoa kodi.
134. Ufnfanuzi.
135 . .Tina la Katiha na tarche ya kllanza klltumika.
KATIRA YA ZANZIRAR

Utangulizi

AZIMIO LA BARAZA LA WA W AKILISHI KUWEKA


KA TIRA Y A ZANZIRAR.

KW A KUW A mkutano wa Baraza la Wawakili.,hi wa tarehe 9


Oktoba, 1984 kwa Iliaba ya wananchi wa Zanzibar uliclcwa oa kukubaJi
kwrunbajukumu lelU katika hisloriaya Walu wa Zanzihar ni kuimarisha
Umqja, kuendeleza Mapinduzi ya Kijamaa kalika Zan1.ihar oa kusukuma
Mapambano ya Ukomhozi na harakati za Mapinuuzi nchini. kalika Afrika
na duniani kOlc:

NA KW A KUW A IUnauunbua kwamha Umoja wa Wananchi wa


Z111zibar unatokrum na ushirikiano wa miaka mingi tangu wakati wa
maprunbrulo ya kupigania Uhuru haui kufikia daraja hii ya mafanikio. na
unatokana U3 siasa yetu ya Ujmnaa na Kujitegemea;

Na KW A KUW A lunazingalia nakulhamini kazi nzuri ya Kimapinduzi


iliyofanywa na Viongozi wa Mapinduzi. wakiongozwa oa Mwasisi wa
Chama cha ASP na Mapinuuzi ya Zanzihar ya 1964. Marehemu Mzee
Abcid Amani Karume. mnhae I1kra zake zitacndelezwa na kudumishwa
daima, kizazi haada ya kizazi kalika kupmnnana na Ukoloni, lIbepari,
llnyongc, lJonevlI na Dharau, na hadala yake kudumisha (fhuru na
Umoja, Haki na Usawa. Hcshima na lItu;

NA KW A KUW A lunat.:'Unhua kwrunha mafuruJisho na mawazo ya


Kimapinduli yalaJindwa. yalaendelezwa na kudumishwa kwa misingi ya
Kidcmokrasi;

NA KW A KUW A IUnauunhua kuwa mapamoano Y" kujcnga Ujamaa


kalika Zanzihar na kushiriki kwCIU kikamilifu kalika harnkali za
Mapinduzi ya Z,nziharkunahilaji SHERIA mauhuhuli ilakayowaongoza
walu Ki-Katiha, kUlOkmm Ila fikra za Wafanyakazi na Wakulima;

NA KW 1\ KIIWA SIST. W::Ulanchi wa Zanzihar tumeamua rasmi na


kWH dhati klljcnga katika nchi yetujmnii inay()zingmia misingi ya uhuru.
haki udugu na mnani.
2

NA KWA KUWA misingi hiyo yaweza lu kUlckclczwa klllikajamii


yenye demokrasi amhayo Scrikali yake husimamiwa na Ban~za la
Wawakilishi len ye wajwnhc waJiochaguliwa na linalowakilisha wananchi,
na pia yenye Mahkama huru zinazOiekclcza wajibu wa kulOa haki bila
woga wala upenueleo wo WOlC, na hivyo kuhakikisha kwamba haki zole
za binadamu zinadumbihwa na kulindwa na wajihu wa kila mtu
unatekelc7.wa kwa ukamilifu.

KWAHIYO,BASI KATIBA HIlIMETUNGWANABARAZALA


WAWAKILISHI KATIKA KIKAOCHAKEchalarehe90kloba, 1984
kwa niahn ya Wananchi, kwa matlhumuni ya kujenga jamii kama hi yo.
Ita pia kwa aj iii ya kuhakikisha kwamha Zanzihar inaongozwa na Serikali
yenye kufuata misingi ya dCITInkrmd na ya kijamaa.
3
SURA YA KWANZA
ZANZIRAR

Sthemu ya Kwanza
Zanzihar.

1. Zanzibar ni sehemu ya .frunhuri ya Muungano wa Tanzania. Zanzibar.

2.-( I) Ellen In Zanzibar ni cneo lote la Yisiwa vya Unguja na Pemba Eneo I.
na visiwa viuogo viuogo vilivyovizunguka na hah.:'lfi yake amhayo kahla Zanzibar DB
va
.
MUIIIl!.!an{)
~
ikiilwa .lamhuri )'a Walu wa I.. anzihar. Mipaka
Mikoa
ya
Wilaya D.k.
(2) Kwa ajili ya ulckclezaji bora wa shughuli za Serikali. Rills wa
lamhuri ya Muungano akishauriana na Rais aweza kuigawa Zanzibar
kalika Mikoa, Wilaya na macnco mcngincyo kwa kufuaL-'l utaratibu
uliowckwa.

J.-(\) KUlakuwa na Muhuri wa Serikali ya Mapimluzi ya Zanzibar Muhuri wa


amhaoalmna yake itakuwakama itavyokuhaliwa na sheria iliyo!ungwa na Serikall D.
Alama
Baraza la Wawakilishi.
Nyenginezo.

(2) Serika.li ya Mapil1lluzi ya Zanzibar itakuwa na uwezo wa


kuwt.:ka kilu dlOCholc kiladlOkuwa kiclclczo eha Serikali kama
itavyokuhaliwa na sheria iliolungwa na Baraza la Wawakilishi.

4. Kaliha hii ni Katiha ya Z1l1zihar na i~'lkuwa na nguvu za kisheria Katiba ya


nchini kOle na isipokuwa kUlokm", na kifungu 80 ikiwa sheria yo YOle Zanzibar.
inalofaUlimm na Kaliha hii. hasi Kaliha hii ndiyo itayokuwa na nguvu na
sheria hiyo ilc'1kuwa batili kwa kiwango kile mnbacho kinahitilafiana.

5. Zanzihar itafuata mfumo wa KidemokrIDiia wa Vyama vingi vya Zanzibar


siasa wenyc kuheshimu sheria, haki za hinmuJamu. usawa, amani. haki kufuata
tnfumowa
na uadilifu.
vyama vingi.

St:ht:mu ya l'i1i

Watu

6. Mlu yeyote amhaye ni Mzall7.ihari kwa mujihu wa Sheria Mza.l.ibari.


iliotungwa na Baraza la Wawakilishi, alawajihika kupa~1 hald zote
zinazohusika kwa mujihu wa sheria zilizowekwa.
4
Haki ya 7.-(1) Mzanzibari yeyOie aliyclimia umri wa miaka 18 na ambaye
Kupiga Kura. hakuzuiliwa na sheria yoyOic ilc kupiga kura, at,ikuwa na hald ya lrupiga
kurn kaUka uehaguzi wowolc ule uliopo Zanzibar.

(2) Baraza la Wawakilishi linaweza kutunga Sheria inayohusu


uchaguzi wa Rais, Wajumbe wa Bara?a la Wawakilishi na Madiwani wa
Serikali za Milaa.

0) Bunge la Jmnhuri ya Muungano linawe72 kutunga sheria


iuayohusu uchaguzi wa Rais wa lamhuri ya Muungano na Wabung~ na
Sheria hiyo italumika 7~1nzihar kwa kulingana na masharti yakifungu ella
131 eha KaUha hii.

SURA VA PILI

Malengo na Maamuru Muhimu ya Sera ya Serikali ya


Mapinduzi ya Zanzihar

Wajibu 8. (Ilikuwa ni wajibu wa vyomho vyote vya Serikali pamoja na


Mkubwa wa vyomoo vycngine vyenyc uwezo pan1(~ja na walu wenye kutunga sheria
Serikali.
kiutawala au uwezo wa kimahkama kuruala misingi ya uhum, hald Da
;umUli.

Serikali un 9.-( I) Zanzihar itakuwa ni nehi ya killcmokr.,ia na haki za Kijamii.


Walu.
(2) Kwa hivyo hapa inaelezwa rasmi kwarnba:-

(a) Marnlaka ya kuenllesha nehi ni ya wananchi wenyewe


arnhapo nguvu na uwew wOle wa Serikali kufuatana na
Katiba utatoka kwa wammchi wenyewe;
(h) lisaimna na hali nzuri kwa wananehi itakuwa ndiyo lengo
kubwa la Serikali;
(c) KaliN. hii i~1hakikisha kwarnba wananchi wanashiriki
katika Scrikali yao,

(3) Muunllo wa Serikaii ya Mapinduzi ya Zanzibar pamoja na


utendl\ii wa kazi zake utafanywa katika utaratibu utakaohakikisha
kuendelezwa kwa umoja nehini na lengo la kufikia demokrasia.

Malengo ya 10.- Kwa madhumuni ya kuendeleza umoja kalika nehi italruwa ni


Kisia.<;a. wajibu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar:-
(1) KUloabudwnazakulosha kwaajili yakuendeleza watu katika
njia za mlu kuwa bwu kweoda atakapo na uloaji huduma kwa watu wote
na kutoa baki rote za kuisbi kwa Mzanzibari sebemu ZOle za Zanzibar.

(2) KIIOIIdosba kabisa vilendo vya rushwa na ulumiaji mbaya wa


cbeo.

(3) lIadbibiti uchmni wa nchi kufuatana na misingi na madhumuni Mllengo ya


yaliyoelezwa oa Katiba bii. pia kalika utaratihu ulakaohakikisha huduma kiudtunu.
bora kabis&, 011 iladbibiti na kuendesha sekta muhimu za uchumi.

(4) IIaI08 mwoogozo wake katika Katiha kuhakikisha maendeleo ya


uchumi yenyc unri oa yaliyopangika na kwamba mfumo wa kiucbmni
bautafanyika kadta utaratibu utakaopelekea kulimhikiza kwa utajiri na
njia za kuzalisba mali kwa walu wacbache au kikundi fulani.

(5) Katika kutekeleza sia'WI biyo. tuhakiki.<ha kwamba kila raia Mllengo
atakuwa Ilahaki sawa. majukumu nafursasawa kwa mujihu washeria. utu ya jamii.
wa mlu u~lhesbimiwa oa besbima ya mIU itaenziwa na kucndelezwa na
kwamba uhwu. IaJlOpendelea na uaminifu wa Mahkama pamoja na
kupata fursa twa urabisi ya kwenda kalika Mahkama hizo kUl3patikana
no kuhesbimiwa.

(6) ltalenga sIasa yake katika kubakikisha kwamba zipo hudwna za MaJeago ya
kUlosha zakiafyakwa wahl wote. zipofursasawana za kUloshaza kielimu kiafya,
katika madaraka yote na kwamba utamadun; wa Zanzibar unalindwa. kielimu na
utanllldurU.
unairnarisbwa na UJIIIeIllleJezwa.

(7) Kwamba kiIa mlU mwenye uwezo wa kufanyakazi anafanya Maleaao ya


kazi. na kazi maana yake ni sbugbuli ye yote ya baJali inayompatia mIU kuf'uya
riziki yake. na kWlllllba msaada unatolewa kwa wale w;!.'lit)jiweza wazee. kazi.
wagonjwa. watoto l1li walemavu. .

SVRA YATATV

K1. . yallald m uzlma na Vbu.u wa Mtlll Dlnarsl:

11.-(1) Blnadamu wote buzaliwa buru. \l3 wole ni sawa. Usaw. wa


Binudamu
(2) 1OJamlllllll3stabili heshima ya kutambuliwa na kuthaminiwa
uIU wake.
UlOawa 12.-(1) Walu wOle ni sawa mbele ya sheria. na wanayo hald, bila
hlhde ya ya u!>.1guzi wn wnle. kulindwa na kupala haki sawa mhclc ya sheria .
.~heria.

(2) Hakuna sheria ilakaynkuwa na kifungu chnchOlc ambachn ni


dl.:'1 uhaguzi wa moja kwa m(~ja au kwa L-'1aLhira yakc.

0) Haki za rnia. wajibu wa maslahi ya kila mlU yalalindwa na


kuamuliwa lIa mahakmna pcunoja na vyomho vya nchi na vinginevyo
vilivy()wckcwa na sheria.

(4) Hakuna mlU alakayebaguliwa na mlu yeyote anayefanya kazi


chini ya sheria yeyole au kalika ulekcle;z.1ji wa kazi ya ofisi yoyole ya
Scrikali au uongozi mwenginc wa chruna chochoh! na vyomho vyake.

(5) Katika kifungu hiki ncnn "kubagua" maana yake ni kulimiza


haja kwa walu m!>'1li mbali kwa kUlegemea ulaifa wao, kabila. pahala
walipolokea. muclekeo"tV3o kisiasa. rangi au dini ambapo walu wa aina
fulani wanaonekana kuwa oi dhaifu na duni au wawekcwe vikwazo na
pingamizi amhavyo wale walu wa aina nyenginc hawawekeani au
wanaf""o=wa fursa au failla :.unnayo hawaf""o=wi waru wa aina nyengine.

(6) Kwa madhumuni ya kuhakikisha usawa mbele ya sheria


Serikali itaweka laratihu zinazofaa na Zilakazolingatia misingi kwamha:-

(a) wakali haki na wajibu wa mlu ycynlc vinahill\ii kufanyiwa


uamuzi wa mahakam a au chombo kinginecho
kinachohusika ba,i mlu huyo alalmwa na haki ya kupewa
fursa ya kusikilizwa na pia hald ya kukala rufaani au ya
kUPaia kilulizo kinginccho cha kisheria kutolcana na
mamnuzi ya mahakruna au chomOc.) hicho kinginecho
kinach'ohusika:

(h) mill aliycshtakiwa kwa kosa la jinai hatalendcwa kam., mlu


mwenye kosa hilo mpaka ilakapolhibitika kuwa anayo
halia ya kUlenda kosa hilo;

(c) ni marufuku kwa mlu kuadhihiwa kwa sababu ya kilendo


cho chole ambacho alipokilenda hakikuwa ni kosa chini
ya sheria, na p;a ilakuwa ni marufuku kwa adhabu
kUlolewa ambayo ni kubwa kuliko adhahu iliyokuwapo
wakati kosa linalohusika lilipolendwa; na
7

(d) kwa ajili ya kuhifadhi haki ya usawa wa binadamu katika


shughuli zoic l.inazohusu upclclczi na uendeshaji wa
mamixl yajinai. katika 'hughuli nyinginezo ambapo mtu
anakuwa ehini ya ulinzi hila ya uhuru. na katika
kuilakiki,ha utckclezaji wa adhahu. he shima ya utu wa
Intu icalunzwa.

13.-( I) Kila mtu anayo haki ya kuwa na hifadhi ya maisha yake. Haki ya
kuwa hai.
(2) KiL1 mtu anayo haki ya kuishi. na kupata kutoka kwa jamii
hifadhi ya maisha yake kwa mujihu wa sheria.

14.-( I) Kila mtu anayo haki ya kuwa huru na kuishi kama mtu hurn. Halei ya
uhuru wa
mtu biDafsi.
(2) K wa madhumulli ya kuhiti,dhi haki ya mtu kuwa huru na
kuishi kwa uhurn, itakuwa ni marufuku kwa mlu ye yote kukamatwa.
kufullgwa. kufungiwa. kuwckwa kizuizini. kuhmnishwa kwa nguvu au
kunyang' anywa uhuru wake vinrincvyo isipokuwa IU:-

(a) katika hali na kwa kuruata u~lfatihu uliowekwa na sheria:


au

(b) kalika kUlekc1cza hukumu. ;unri au adhabu iliyotolewa na


mahkama kutokana 1m shauri au na kosa lajinai ambalo
mtll amekutwa na hnlia ya kulitcmla.

15.-( I) Kila mtu ana,~1hili kuhe,himiwa na kUpala hifadhi kwa nafsi Haiti ya
yake: maisha yake hinafsi na ya nyumhani kwake, na pia heshima na faraglla ya
mlu DB
hifadhi ya ma",kani Yake na mawasilimu) yake. usaJama
wake.
(2) Kwa madhumuni ya kuhiradhi haki ya mtu kwa mujibu wa
kifungu hiki. Mamlaka ya Nehi itaweka utaratibu wa sheria kuhusu hali.
namna ya kiasi ambaeho haki yamlu na faraghana usalama wa nafsi yake.
mali yake na maskani yake. yaweza kuingiliwa bila ya kuathiri kifungu
hiki eha Katiba hii.

16.-(1) Hakuna mtu atakayenyimwa uhuru wake wa kwenda. na kwa KiDaa ya


madhumuni ya kifungu hiki uhum ul,otajwa humu maana yake ni haki ya uhwuwa
kweoda.
kwenda po pote katika Zanzibar. haki ya kuishi katika schemu yo yote ya
8
Zanzibar, hald ya kuingia 1'IIl/.inar, haki ya kuondoka 7..anzihar na ki~ga
ya kutofuleuzwa Zanzinar.

(2) Kizuizi cha kutokulcmhca kwa mlu yc yote kutokana na


kuwekwa ndani kwakc kisheria. haitochukuliwa kuwa inapingana au oi
kinyume na kifungu hiki.

KiD,. 17. Hakuna mali ya mlu yc yote itayochukuliwa kwa nguyu na


kulokaoa na hakunama,lahi au hald yoyolc inayolokana ria mali hiyo itayochukuliwa
kudhulumiwa
mali. kwa nguyu isipokuwa ",,1e ,unnapo masharti yafualayo yarnetimizwa,
yaani:-

(a) kumilikiw~ au huchuleuliwa kwa mali hiyo ni muhitnu


s..1.na kwa ~iilj ya ulinzi. usalmna wa wananchi. mazingira
ya afya kuimarisha maendeleo ya upangaji wa mji pamoja
na kucndclclll mmnho mnhayo yataleta faida kwa
wananchi twa lIjumla:

(h) umuhimu wa kuchukuliwa kitu hieho ni mkubwa sanahata


kwarnha unahalalisha uchukuaji wake hata karna utampa
ugwnu na mat.:'ltizo mwenye mali hiyo; na

(c) sheria imcwckwa kuhusiana na umilikaji au uchulruaji huo


kwa kutoa fidia inayolingana.

Uhwuwa 18.-(1) Bila ya kuathiri shetia za nchi. kila mtu yuleo huru kuwa na
maooi. maoni yoyote na kutoa njc mawazo yake, na kutafuta kupokea na kutoa
babari na dhana kupitia chomho cho chote, hila ya kujali mipaka ya nchi,
na pia ana uhuru wa mawasiliano yake kUloingiliwa kati

(2) Kila raia anayo hald ya kupewa taarifa wakati wote kuhusu
matukio mbali mbali nchini na duniani kme arnbayo ni muhitnu kwa
maisba na sbughuli za wananchi. na pia juu ya masuala muhitnu kwa
jamii.

Uhuru wa -19.-(1) Kila mtl>ana,tabili kuwa na uhuru wa mawazo. wa imani na


mIU kuamioi wa uchaguii katika marnbo ya dini. p~ja na uburu wa kuhadilisba dini
dini atakayO.
au imani yake.
9

(2) Bila ya kuathiri sheri a zinazohusika za Jrunhuri ya Muungano


kaz ya kutangaz,,'l dini. kufanya ihada na kuenc7.a· dini itakuwa huru na
jamho lahiari yamtu hinafsi: nashughuli naucndeshaji wajumuiya zadini
zitakuwa njc ya shughuli za Mamlaka ya Nehi.

(3) Kila palipol~iwa neno "dini" katika~kifllngu hiki ifahamike


kwamha maana yake ni pamoja na madhchchu ya dini, na maneno
mengineyo yanayof~U1ana au kuamhal..ana nn nello hilo nayo yal.atafsiriwa
kwa maana hiyo.

20.-( I) Isipokuwa kwa hiari yakc, hakulla mlu alrtkayczuiwa kufurahia Kinga kwa
uhuru wa
uhuru wake wa kuchanganyika au kujiunga, yaani haki yake ya
kujikwanya
kuchanganyika na kujihusisha atakavyo na watu wenginc na hasa kuunda na kujiunga.
au kuwa mwanacluuna wa vyama vya wafcinyakazi au vymna vyengine
kwa faida yakc na mnhClvy() vimekuhaliwa kishcria.

(2) Hakuna ehoehotc kilichomo ndani ya au kufanywa chini ya


shena yo yote kitakachohesahiwa kuwa hakilingani au oi kinyume na
kifungu hiki (katika kiwango mnhacho shcria mama inacleza):-
(a) marntxl yanayolakiwa kwa faida ya ulinzi, usalmna wa
raia, mazingira ya afya na jamii:

(h) mamho yanayotakiwa kwa madhumuni ya kulinda haki oa


uhum wa wahl wenginc;

(c) mambo yanayotakiwa kuwcka makatazo futani kwa


lIl:Jofisa wa Scrikali, WalU~icshi au waru wanofanya kazi
waliochaguliwa kwa hiari.

21.-(1) Kila Mzmlzihari allayo haki ya kushiriki katika shughuli za Uhuru wa


ulawala wa nehi. mna m(~ia kwa Im~ia au kwa kupitia Wawakilishi kushiriki
sbughuli za
waliochaguliwa kwa hiari. ummabaki
ya kufanya
(2) Kila Mzallzihari ,mayo haki lIa uhurn wa kushiriki kwa kazi DB
ukmnilifu katika kuflkia umnuzi .iuu ya mmnho ymlayomhusu yeye; kupataUjirL
maisha yake au yanayolihusu Taifa.

(3) Kila Mzrul7.ihari rulayo haki ya kufrulya kazi na anastabili


fursa nn haJd sawa, kwa masharti ya usawa, ya kushika nafasi yo yote ya
kazi na shughuli yo YOle iliyoko chini ya Mmnlaka ya Zanzibar
10

(4) Kila mtll. hila ya kuwal'o uhaguzi wa aina yo YOle. anayo haki
ya kupata uj ira unaolingana na kazi yake na watu wote wafanyao kazi
kulingana na uwezo wan watapata malipo kulingana na kiasi ya sifa ia
kazi wcUlay()if,mya.

Wajlhu wa 22.-(1) Kazi pekee ndiyo huzaa utajiri wa mali katika jamii. ndilo
Im"hiriki chimhuko la ustawi wa wananchi na kipimocha utll, kila mtll anao wajibu
kaZJlli.
wa :-

(a) Kushiriki kwa kujituma na kwa uaminifu katika kazi


halali na ya uzalishaji mali; na

(h) KlItimi,.1 nidhamu ya kazi na kujitahidi kufikia malengo


ya uzalishaji ya hinafsi na ya pamoja yanayolakiwa au
yaliyowekwa 11<1 shena.

(2) !lila ya kuathiri masharti ya kijifungu moja. hakutakuwepo na


kazi ya shuruti katika Z'Ulzihar.

Wa,phu wa 23.-( I) Kila mlu 'lila wajibu wa kufuatana kutii Katibahii na sheriaza
\Wl II !lheria Zanzihar. kuchukua halua 1.3 kisheria kama ljlivyowekwa, kuhakikisha
1-a neh.i, hifmlhi ya Kalina na sheria Z3 nehi.
!.:ulmd .. mall
ya lJIIUlIa nil
ullfll.i wa (2) Kita mill ana wajihu wa kulincJa maliasili ya Zanzibar, mali
T.• lf:l, ya Nchi na mali yute inayomilikiwa kw~ pamoja oa wananchi. na pia
kuihcshimll Illali ya mtu mwingioe.

0) Watu wote watatakiwa na sheria kulinda vizuri mali ya


Zanzihar na kwa pamoja kupiga vita aina zote za uharihifu na uhadhirifu
na kllemJ.esha llchllmi wa Zanzihar kwa makini kama watu ambao ndio
waamuzi wa hali ya haadae ya Taifa Jao.

(4) Kila Mzanzihari ana wajihu wa kulinda. kuhifadhi klldumisha


uhuru. mamlaka. ardhi na umoja wa Zanzihar.

(5) !lanml la Wawakilishi laweza kutunga sheria zinazofaa kwa


ajili ya kuwawczesha wananchi kutumikia katikamajeshi oa kutika ulinzi
wa Taira.
11
24.-( 1) Haki na uhuru wa binaadamu ambavyo misingi yake Mipaka kwa
imcorodheshwa na Kaliha hii havitatumiwa na mtll mmoja kwa namna haki na
uhuru. na
mnhayo itasabahisha kuingHiwa kati au kukatizwa kwa haki na uhurn wa hifadIU k,!",a
walu wengine au masilalti ya ununa. hili na
wajibu.
(2) lfahamike kwmnba masharti yaliynmo katika sehemu hii ya
Sura hii ya Kaliba hii, yanaynfafanua misingi yoyote ya haiti, uhurn na
wajihu wa binaadmu hayabalilishi sheria yo yore yabaki, uburu na wajibu
wa hinaaumnu, hayahitilishi sheri a yo yote iliyotungwa wala kuzuia
sheria yoyote kutungwa au jamho lolote halali kufanywa kwa mujibu wa
sheria hiyo kwa ajili ya:-

(a) kuhakikisha kwamba haki na uburn wa watu wengine au


maslahi ya wnma haviathiriwi vibaya na matumizi ya
uhuru n:l haki 1..:'1 watu hinafsi:

(b) kuhakisha ulinzi, usalmna wa jamii, amani katika jamii,


maadili yajamii, afya yajamii, mipango yamaendeleo ya
miji na vijiji, ukuzaji na malumizi ya ,madini. au ukuzaji
Ila uendelez~ii wa mali au maslahi mengineyo yo yote kwa
n,iia na kukuZH manufaa ya umma;

(e) kuhakikisha ulekelezaji wa hukumu au amri ya ffiahkama


iliyotolewa katika shauri lolote la madai au lajinai;

(d) kulinda sifa, haki no uhuru wa watu wengine au maisha


hinafsi ya walu wanaohusika katika mashauri
mahakmn~U1i; kuzuia kutoa habari zinazopatikana kwa siri,
kutunza heshima, mrunlaka oa uhuru wa mahkama;

(e) kuweka vizuizi kusimamia oa kudhibiti uaozishaji,


ucndeshaji na shughuli za vyama na mashirika ya watu
binafsi nchini; au

(0 ku~,ilishwa mali yoyote kufualana na maagizo ya hukumu


au amri ya mahkama. au kwa lazima namanufaa ya umma.
na

(g) kuwezesha jambo jingine lolote ambalo lina..;tawisha au


kuhifadhi maslahi ya Taifa kwajumla.
12

(3) MIU ye yote anayedai kuwa sharti lolote katika sehemu bit ya
Sura hii au katika sheria yoyote inayohusu haki yake au wajibu wake
limevunjwa, linavujwa au inae1ekea lilllvunjwa na mlu yeyote zanzibar,
anaweza kufungua shauri katika Mahkama Kuu.

(4) Bila ya kuathiri ma,harti mengineyo yaJiyomo katika Katiba


hii, Mahkama Kuu illlkuwa na mamlaka ya kusikiliza kwa mara ya
kW<.Ulza shauri lololc Iililolclwa mhele yake kwa kufuata kifungu boo; na
Mamlaka ya Nehi yawcl',a kuwcka sheria kWH ajiJj ya:-

(a) kusimmnia utamlitm wa kufungua mashauri kwa mujibu


wa kifungu hiki:

(h) kufafallua uwczo wa MahklUna Kuu katika kusikiliza


mashauri yaliyofunguliwa c.:hini ya kifungu hiki;

(c) kuhakikisha 1I1ckclczaji hora wa rnadaraka ya Mahkama


Kuu. hiradhi nH kulilia nguvu haki, uhuru nn wajibu kwa
lOujihu wa Katiha hii.

(5) Mhali lIa rnasharti ya kifungu eha 24(2) ella Kaliba hii sheria
yo yote iliyolullgwa na llarazil la Wawakilishi hakilakuwa hatili kwa
sababu tu kWillnha inawczcsha hatua kuchukuliwa wakati wa hali ya
hawri, au wakati wa hali ya kawaida kwa watu wanoaminika kuwa
wanafanya vitcndo vin<lvyohal:lrisha au kudhuru usaJama wa Zanzibar
amhavyo vinakiukflll1asharti ya kifungu eha 13 ntl J4 eha Katiba hii:

Haki za (amnn 25. IIivyokuwa kila IIllu wa I'.anziharanawajihika kupala haki zake za
na uhuru wa
hinaf~l.
lazima na uhuru wa kihinafsi hila ya kujaJi kahila, pahaJi aliJX)toka au
mask,mi au mahusiano mcnginc yo yote yaJc, mtazmno wa kisiasa
alionan. rangi. dini :I11,jinsLlakini mrmJi iwe uhuru wake unaheshimu haki
na uhum wa wcnginc lIa iwc kwa laid... ya jamii, hasi arakuwa na hald
kupata kwa kila kimoja kwa V)'OIC vya hivi vifuawvyo;-

(a) lIlaisha yake. uhuru wake, usalanw wake na kulindwa na


sheri;!:

(h) uhurtl wa kufikiri. wa kijiclczH. wa mkusanyiko na


IIIch:lIIganyik(): 11;1
(e) haki ya kuweza kuka.1 faragha katika vyumha yake na
kulindwa kwa mali yake pmnoja na kUIOkuchukuliwa mali
hiyo hila kupewa !Iui" ipas"vyo:

maelezo ya Sura hii yatakuwa Ila madhumuni ya kuwczcsha kulinda haki


hizo na uhuru kulingana na mipaka maalumu ya haki hizo na uhum 19una
ilivyoelezwa katika vifungu vinavyohusika kwa mipaka i1iyowckwa iii
kuhakikisha kwamha kutumika kwa haki hiz() na ulluru hun wa mill
binafsi hakuathiri haki na uhuru wa wcnginc au maslahi ya Taira kwa
ujumla.

SURA YA NNE

Serikali
Sehemu ya Kwanla
Rai....

26.-0) Kut.:'lkuwa na Rais wa i'. anzihar amhayc lH..liyc alakackuwa Ofisi ya Rais
Kiongozi wa Zrulzihar na Mwcnyckiti wa E3araza la Mapinduzi. na sifa za
kuchaguli wa
kuwa Rais.
(2) Mill yeyote ,Ulawcza kufaa kuchaguliwa kuwa Rais ikiwa:.

(a) ni M7..unzihari wakUl.aliwa: na


(b) ameshatimia umri wa miaka 40: 11:1
(c) anaz()sifa 1..a kllll1l1wczcsh:lkllch;,guliw" kllwa InjumOc wa
Baraz.'11a Wawakilishi; na
(d) ni mwanaehama na mgomhca aliycpcndckczwa na chama
eha sialill kilichosajiliwa rasmi kwa mujihll Wit sheri a ya
vyama vya si::L'\a ya }cJCJ2.

27.-(1) Raisataehaguliwa kurual"n" na Kaliha hii "" kwa mujihu wa Uchagu1j


waRak
sheria yo yOle itakayotungwa na Darai'.:II:1 Waw:lkilishi kuhusu uchaguzi
wa Rais na Mwenyekiti wa Daraza la Mapinduzi.

(2) Uchaguzi wa Rais utanlllyikH katiktt tarchc il:lyowckwa na


Tume ya Uchaguzi.

(3) Uchaguzi wa Rais utafmlyika si c..:hilli ya siku lhalalhini na si


zaidi ya siku sitini kabla ya kwisha muda wa Rclis aliyctangulia.

(4) IQwa madhumuni ya uehaguzi hun. Zanzihar ilahesahika


tuwa ni iimhn moia. Mtn vevote aliveiiandikishaku"i~a kura kalika
14

kumehagua mjumbe wa Baraza la Wawakilishi alakuwa na uwezo wa


kupiga kura katika uehaguzi wa Rais.

Muda wa 28.-(1) Kufuatana na Katiba hii mtu ataendelea kuwa Rais mpaka:-
kuendelea na
Urais.
(a) Rais anayefuata ale kiapo eha kuwa Rais;
(b) afariki wakati akiwa Rais:
(e) hapo atapojiuzulu na kukuhalika:
(d) iwapo amechaguliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa TanZc:1.nia;
(el pale Baraza la Wawakilishi linapovunjwa; au

(0 kwa sababu yoyo!e nyengine amewaeha kuwa Kiongozi


kwa mujibu wa vifungu vyengine vya Katiba bii.

(2) Kufuatana na maelezo ya kijifungu (I) eha kifungu boo, Rais


ataaeha madaraka yake baada ya kumalizika miaka mitano kuanzia
larehe, amhapo;-

(a) kama yeye ni mtu ambaye ndiye mara ya kwanza


amechaguliwa kuwa Rais ehini ya Katiba hii aJipokula
kiapo cha uaminifu oa kiapo cha kuwa Rais oa

(b) kwa sababu nyenginezo mtu wa mwisho kushikamadaraka


hayo kwa mujibu wa Katiba hii aJipokula kiapo eha
uaminifu oa kiapo cha kuwa Rais, au pasingelikuwa na,
sababu ya kifo ehake, basi angalikula kiapo hicho.

(3) Bila ya kuathiri ehochote kiliehomo katika kifungu boo eha


Katibahii hakutakua namlu yeyme ataechaguliwakuwa Rais waZanzibar
kwa zaidi ya vipindi viwili mfululizo vya miaka mitano kila kimoja.

Kuongezwa 29. Ikiwa Tanzania iroo katika vil<1 mnharxl Zanzibar pia inahusika oa
kwa kipindi ikiwa Rais anaona kuwa ni muhimu kuzuia uchaguzi. Baraza la
eha miaka~.
Wawakilishi, lin.aweza kwa kupitisha azimio, kuzidisha muda wa miaka
mitano uliotajwa kwenye kijifungu (2) eha kifungu eha 28 katika kipindi
hadi kipindi lakini hakuta kuwa oa kipinoi kitakachozidi miezi sita
mfululizo.
15
30.-(1) Mlu halofaa kuehaguliwa kuwa Rais ikiwa:- KutoCaa
tuwa Rais.
(a) amefanya kilendo ehochole; au hitilafu yoyole ambapo
kama angekuwa ni mjumbe wa Baraza la Wawakilishi
kungemfanya asite kuwa Mjumbe wa Baraza hilo;

(b) amechaguJiwa kusbikamadarakahayo katika vipindi viwili


mfululizo vilivyokwisIla.

lsipokuwa kwamba kijifungu ljiki kisilafsirike kuwa kinamzuia mlu


huyo kuehaguliwa kriwa Rais wa-Jamburi ya Muungano wa Tanzania.

(2) Kalika muda wake wi! Urais, Rais halashika madaraka yo yote
mengine yenye mapalo isipokuwa yale ya Urais.

31.-( I) MIU anayechukujl madaraka ya Urais, kabla ya kuanza wadbifa Kiopo dill
huo, atakula kiapo eha uaminifu nakiapo eha kazi kama kitavyowekwa na Rm.
Baraza la Wawakilishi lakini kwa hali yoyote itabidi ashike madaraka
hayo kabla ya kupita siku saba baada ya kuehaguliwa.

(2) Viapo hivyo viJivyotajwa vilaendeshwa na Jaji Mkuu wa


Zanzihar au iwapo hayupo, vitaemleshwa na mtu anayeshikilia nafasi
hiyo.

32.-( I) Suala 10 10le la kwamba Rais au mlu ye YOle anayefanya lrnzi ~w.

au kutakakufanya kazi za Rais, hawezi kwa sababu ya maradhi yakimwiJi Urail kwa
USOOjWL
au kiakili, imamuliwa kwa mujibu wa kifungu hiki.

(2) Iwapo suala ni kwamba Rais hawezi kufanya kazi zake kwa
maradbi ya kimwili au kiakiJi na ikiwa Jaji Mkuu ameombwa na Baraza
la Mapinduzi, kushughulikia suala hilo, hapo:-

(a) Jaji Mkuu alaleua Kamati ambayo itakuwa na watu si chini


ya watano ambao kati yao ni madaktari. na watu wawili
wanofaa kuwa Majaji wa Mahkama Kuu;

(b) Kamati hiyo itafanya utafiti kuhusiana na hali ya Rais na


baadaye ilapeleka ripoti yake kwa Jaji Mkuu ikieleza
maoni yake iwapo Rais huyo kwa maradhi aJiyonayo ya
kimwili au akili, kama hawezi kufanya kazi za Urais; na
16
(c) Jaji Mkuu at.1thihilisha Iewa kadiri aonavyo baada ya
kuitafakari ripoti ya kamali naatapeleka bali ya uthibilisho
kwamha Rllishawezi kumudu kufanyakazi zakekulokana
namaradhi yakimwili au kiakili kwaSpika waBarazala
Wawakilishi runhaye awiw3,ilisha mhe\e ya Barazakwa
la..-uifa.

Safa.q kalJka 33.-( I) Iwapo kili eha I Jmis na Mwenyekili wa B:mll.a la Mapinduzi
1..11 •• h.1 I""u"
kiwazi:-

(a) kwa sahahu ya kufariki: au


(h) kwa sabahu ya kujiuzulu kwa Rais huyo: au
(e) kwa sahahu ya marm..lhi:

walu wafualan. kwa mujihu wa mpangilio, watashika nafasi hiyo:-

(i) Waziri Kiongo:r.i. au ikiwa hayupo:


(ii) Spika wa B:mlZa la Wawakilishi na yeye akiwabayupo;
(iii) Jaji Mkuu wa Z~U1zihar.

(2) Iwapo kili ella lIrais:-

(a) kwa sahahu Rnis analaka kuondoka Tanzania au


(h) kwa sahahu nyengine yoyole ile, Rais anaweza kwa
maandishi na kufualana na masharti atakayoainisba
akayaloa madamka yake kwa ml.jibu wa mpangailio,
kwa:-

(i) Waziri Kiongol.i au nayc ikiwa hayupo;

(ii) Mjumbe lIunoja wa Baraza la 'Mapinduzi ambae ni


Waziri IllI mnbac ana uwefu mkubwa kalika shughuli
hizo kulingima na wcnginc.

(3) I wapo mlu yeymc anafanya shughuli za Rais chini ya vijifuiigu


(I) na (2) vya kifungu hiki, ataendelea kufanya shughuli hizo mpaka
ataporejea mmnja ya Walu walinmtangulia kalika kijifungu eba (I), eba
kifungu hiki mpaka hapo aWpochaguliwa Rais mwengine au kwa shughuli
za kijifungu cha (2) hadi hapo Rais ataporejea nchini au atapobatiIisha
uwezo hun alionao.
17
34.-(1) Endapo kiti cha Rais kiwazi kwa sahahu ya kufariki au Mpangowa
kujiuzulu au kwa maradhi chini ya kifungu ella 33 cha Katiha hii. nafasi uchaguzi
iwapo kiti cha
hiyo it,UazwH kmna ifualavyo:-
Rais kiwazi.

(i) Iwapo Rais aliyckuwapo arnetwnikia kwa muda wa


chini ya miaka minnc hasi mtu anayemfuatia kwa
mallaraka alachukua mauaraka ya Urais kwa muun na
lIchaguzi utaitishwa ndani ya siku mia moja na ishirini ..
lUI uchaguzi hut) ulaclHlcshwa kwa utaratihu ulioclezwa
katika vijifullgu vya (2) hadi (7) vya kifungu hiki.

(ji) Iwapo Rais :lliyckuwcp() amctumikia lJrais kwamiaka


rnillllc :llI 'I:lidi. h:lsi IIlIl! ,ulaycmfuatia kwa mauaraka
alachuklla In;td;lr:I~;1 Yill Jr:lis naatacllllclca na madaraka
hayo kwa kipindi kilkhohaki eha muda wa l'rais.

(iii) Mill awycchukua madaraka hayo ya I Jrais :lIakuwa 11:1


madaraka YOIC ya Rais, kwa lIlujihll wa Kaliha, II;!
atalL'II:1 \V;l/iri Ki(lll~()i'i. fiara/:1 iii Maw:r/.iri i1a
Vi<III~(li'.i WI:II1!iIlL' k:lllri :tl:I\'Y()(lII:1 in'lr:I:I.

(:::!) I .i I( Il\l:ap() j:lIllh() 1I,1i< HI: Iiii I( )laj w: I kat ik: I Ka liha na k ul:r/.i III u Sheri:!
IIl'ha~IIZi wa Rais kU!:lIlyika. kila chama rha siasa kinadlOpt:nlia kushiriki :\alll.9)0.
kalika lIl'ha~lI/.i wa R,lis kil:tW<lSilisha kwa ·rllmc.: ya llchaguzi ya
Z:lIvihar. kwa Iflujihu \\'a Shc.:ria. jina la lIl\vantlch:una wake mlJH~ia
kinayctaka asilOarnc kama mg(lIllhc3. kalika IIchagllzi wa Rais waZanzihar.

0) Mapcml<:kezo ya majina ya wagolllhca katika uchaguzi wa


Ibis y:lI:twasilishwa kwa Tume ya l Jl'ha~lI/,i ya Zanzihar kalika siku Ita
saa il;lkayolajw<i kwa IIllijihu W:I ~hcria iliyotungwa na Baraza la
'Va\\'a" 'tIi . . lli, 11:1 fIllII hatlk U\\':t :IIIlL'Pl'lIdckc /wa k wa halali isipokuwa ttl
kalila kllJll.:lldl.:kczwa kwake kllmcllll~wa IlIkOIlO 11:1 wananchi wapiga
kura kwa idadi na kwa Il;\lllll:l it:tkayotajw:t 11:\ sheria iliyotungwa na
O;tr,Ii';1 Ia \Vawakilishi.

(4) EIIliapo inaporika .,iku 1I:t saa iliyol(~iwa kwa ajili ya


kuw;!silisha lllapellliL'kci'o Yilll1:tjin:l ya wa~{)l1lhea. ni mgomhca nllno.i~1
III :ul1hae :ullependckc/w:\ kWiI 11(11ali. '('UIllC ya Uclwguzi ya :t. . anzihar.
it:tw;tsilishajin:t iakL' kwa wan:ull.'hi. II:I() wtll:lpiga kura ya kumkuhali au
ktllnkat:!:!. kwa Illujihu \\'a lIla~harti ya kifullSII hiki na ya Kmioa.
18

(5) lICh.1guzi wa Rais wa Z,mzibar utafanywa silm itakayoteuliwa.


na Tume ya lIchaguzi ya Z,mzibar kwa mujibu wa Sheria i1iyotungwa na
Baraza la Wawakilishi.

(6) Mrunbo mcngine yotc yahu,uyo utaralibu wa uchaguzi wa


Rais yaulkuwa kama itakavyoli,fanuliwa katika Sheria i1iyotungwa na
Baraza la Wawakilishi kwa ajili hiyo.

(7) Iwapo mgnmbea arncuIDgazwa na Tume ya. Uchaguzi ya


Zanzibar kwrunha amcchaguliwa kuwa Rais kwa mujibu wa kifungu hiki,
basi hakuna mahkama yoyote ilakayokuwa JL.1. mamlaka ya kuchunguza
kuchaguliwa kwakc."

Mshahara 35.-(1) Rai, mapnkea mshahara na posho. na anapostaafu atapata


na malipo malipo ya uzeeni. kiinua mgongo au pnsho. kama itakavyoamuliwa na
mengine ya
Rais.
Baraza la Wawakilishi.

(2) Mshahara na posh"la Rais hautnpunguz.wa wak.1ti akiwa bado


ni Rais.

(3) Pesa zote zilizoainishwa na kifungu hiki zitatoka kwenye


Mfuko Mkuu wa Hazina.

Roi. 36.-(1) Hakuna mashtaka yoyote ya jinai yatakayofunguliwa au


hata.'liJnak.iwa kuendelezwa dhidi ya Rais wakati akiwa kazini. au dhidi ya mtu ye yote
alciwa karini.
ambae anafanya kazi ya Urais. kwa mujibu wa kifungu cha 33 chaKatiba
bii.

(2) Hakun. mashtaka y. kihukukia arnbapo kuna madai kuhusiana


naltilU cho chote kilichotendwa au kuachwa kutendwa yatakayoanzishwa
na kuendelezwa dhidi ya Rais wak.1ti akiwa kazini. au dhidi ya yeyote
anayefanya kazi za Urai,.

(3) Iwapo kuoa sheria imewekwa arnbayo inaweka muda maaIum


ambapo mashtaka ya aina yo yote yanaweza kuanzishwa dhidi ya mIU ye
yote mnda WOIe ambapo mtu anakuwa Rais au kufanyakazi za Rais
hautahesabiwa kuwa ni mnda maalum kuhusiana na sheria hiyo iwapo
mashtaka yo yote yaaioa kruna yaliyotajwa katika kijifuogu cba (1) au (2)
oi dhidi ya mtu buyo.
19

37.-(1) Bila yatujali masharti ya kifungu cha 36cha Kaliba bii, Baraza aaraza la
Wawakilsihi
laWawakilisbilinawezatupitishaazimiolakumuondoaRaismadaratani
Jaweza
eudapo iIaIolewa boja ya kumshtak.i Rais na ikapitisbwa kwa lIIujibu wa kumshtak.i
ma.sharti ya tifungu biti. his.

(2) Bila ya kuathiri masharti mengineyo ya kifungu hiki, boja


yoyole ya kumsbtati Rais hailotolewa isipokuwa 1\1 tama inadaiwa
twamba Rais ameleDda viteDdo vinavyovriDja Katiba au amekuwa na
mwenendo unaodbaIilisha Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, na
baitalolewa boja ya Damna hiyo Ddani ya miezi kumi na mbili tangu boja
tama hiyo illpo1Olewa Da ikakataliwa na Baraza la Wawakilishi.

(3) Baraza Ia Wawakilishi halitapitisha hoja ya kumshtaki Rais


IaIpokuwa hi tama:·

(a) taarifa ya maandishi. iliyoliwa sahihi na kuuDgwa mkol1o


na Wajumhl: wa Baraza la Wawakilishi wasiopungua nusu
ya Wajumbe wote wa Barazala Wawakilishi italolewakwa
Spika siku thalathini kahla ya kuwasilishwa kalika Baraza
la Wawakilishi ikifafanua makosa aliyoyateDda Rais, na
ikipendekeza kuwa Kamati Maalum ya UChUDguzi iundwe
iii isikilize shauri la kushtak.iwa kwa Rais;

(b) wakati wowote baada ya Spika kupokea laarifa iliyotiwa


sahibi Da Wajumbewa Baraza la Wawakilishi na kujiridhisha
kuwamasharti yakuleta hoja yarnelimizwa. Spikaatalitaka
Baraza la Wawakilishi, hila ya majadiliano,lipige kurnjuu
ya hoja ya kuunda Kamati Maalum ya UChuDguzi na kama
ikiungwa mkono na W~iumhe wa Baraza 13 Wawakilishi
wasiopungua lhululhi mbili ya Wajumbe wote wa Baraza
la Wawakilishi, atatangaza majina ya wajumbe wa Kamati
Ma:t1um ya Uchunguzi.

(c) KamatiMaaium ya Uchunguzi, kwamadhumuni yakifungu


hiki, itakuwa na wajumbe wafuatao, yaani:-

(i) Jaji Mkuu wa Zanzibar. ambaye ndiye atak.uwa


Mwenyekiti wa Krunati;
(ii) Jaji wa Mahkama ya Rufaa ya Tanzania;
(iii) Jaji kutnka nchi yoynte ya Jumuiya ya Madola.
20

(i\') Wajumhc wanne wa Kamali ya Kaliha na Sheria ya


Ilaraza la Wawakilishi akiwcmo Mwenyekiti.

(u) nuani ya siku saha h'.1da ya Kamati Maalum ya Uchunguzi


kuunuwa. itakaa. ichunguze na kuehamhua mashlaka dhidi
ya Rais nn kisha mapcma iwezekm13vyo itatoa taarifa kwa
nara7~1 la Wawakilishi kama kwa maoni yake mashtaka
dhidi ya Rais yana msingi au hayana;

(e) Rais alakuwa na haki ya kujitelca na kuwakilishwa mhele


ya Kamal i Maalulll ya Uchunguzi:

(4) Enuap<l Kamati Maalum ya Uehunguzi iL110a taarifa kwa


Baraza la Wawakilishi kwmnha jcunbo lolote kalika masht.:1ka dhidi ya
Rais halina msingi. basi Baraza la Wawakilishi halitaendelea
kuishughulikia zaidi hoja ya kumshitaki Rais kuhusiana najamho hilo.

(5) Enuap<l K;unali Ma,uum ya Uehunguzi iUlIml taarifa kwa


Baraza la Wawakilishi kwarnha mashlaka dhidi .ya Rais yana msingi.
suala la kushtakiwa Rab:. Iitawasilishwa mhelc ya Baraza la Wawakilishi
zima. na IJaraza la Wawakilishi laweza. baa(1a ya mjadala, kwa kurn za
Wajumhc wa Ilaraza la Wawakilishi wasiopungua UteluUti mhili za
Wajumbc w()lc W,I O;lraz<I lei Waw;lkili5hi kupitishaazimiokuwamashtaka
<lhi<li ya Rais yamclhihilika nn kwamba hastahili kuen<lelea kushika kiti
ella Rais; na hapo Rais atawajihika kujiuzulu kahla ya kwisha kwa siku
tatu tangu Baraza la Wawakilishi lilipopitisha azimio hilo.

(6) Spika wa Baraza la Wawakilishi alawasilisha rasmi azimio


hilo kwa Rais pamnja na Mwenyckili wa Tume ya l1ehaguzi ya Zanzihar.

(7) lIakuna shughuli zozole kwa mujihu wa kifungu hiki


zitakazomlzishwa au zitakazocnddezwa wakati wo wOle mnbapo Baraza
la Wawakilishi litakuwa Iimcahirishwa.

(8) Enuap<l Rais aweh" kushika kiti cha Rais kUlnka na mashlaka
dhiui yakc kuOlihilika, hasi.

(i) hatakuwa na haki ya kupaw malipo yeyole ya pencheni


wala kupata hald au nafuu nyengiIiezo alizonazo kwa
mujihu wa Kaliba au sheri a yoyOle iliyotungwa na
Baraza la Wawakilishi; na
21
(ii) halaweZa kugllmhl'a lena nafasi ya (Irais au (Iwakilishi
kwa 1Il1lda wa lIliaka milano tokea siku aliyoachishwa
I irai.,.

Isip<)kllW:i pindi Rais hup) akiwa ameshatllmikia kipindi cha miaka


milano ya awali na akakutwa na mash taka katika kjpilldi cha pili hasi
atapata 1I11Sll ya haki nH narllll nyenginc alizonazo kwa lIlujihu wa Kaliha
all Sheria yoyote aliyolungwa na Ilaraza I:. \Vawakilishi.

3M. lIakuwa IIi jukuITIlI la SClikali kulinda hadhi ya IIltll yeyole Iladh.i ya
atakaewacha kili ella tJrais kwa sahahu ya kUlochagllliwa lena. muda Rai.~

wake kllmalizika. kujiuzulu au kWH sahahll nycnginc ),(lY()(C iliy()chini ya aliyepila.

ITIisillgi ya Katiha hii kama ilavyokuhaliwa 11:1 Sheri" iliyolllllgwa lIa


Baraza la Wawakilishi.

Seht'nlU ya Pili

\"aziri Kiongozi

39.-( 1) Kutakuwa na Waziri Kiongozi waZanziharamhayc alalcuiiwa Waziri


na Rais. Kiongozi wa
'1..an7.ibar.

(2) Rais atcuntcua Wa7.iri Kiongozi klltoka miongoni mwa


wajuITIhc wa I3anLZa la Wawakilishi kwa kuzingalia kW<lmha hakuna
utcuzi wa Waziti Kiol1gozi utakaofanyika kalika wakali wo\\,olc amhapo
kazi za Rais zinafanywa na mill mwcnginc zaiui ya ycyc mwcnycwe.

0) Waziri Kiongozi alakuwa nuiyc Mshauri Mkuu wa Rais kalika


utckelcz'~ii wa kazi zake na pia alakuwa na mauaraka jllU ya udhihiti.
usimamizi lIa utekelez.aji wa siku hala siku wa kazi na shughuli za Serikali
ya Mapinduzi ya Z1.I1zihar na pia alakuwa Kiongozi wa shughuli za
Scrikali ya Mapinuuzi ya Zanzihar katika Daraza la Wawakilishi.

(4) Waziri Kiongozi hatoanza kazi zake mpaka ale kiapo eha
muninifu na kiapo ehenginc katika utenuaji wa kazi zakc kama
kitakavyowekwa na Baraza la Wawakilishi.

Kuwa wazi
40.-( I) Emlapo nafasi ya Waziri Kiongo7.i iwazi:-
kwa ofi~i ya
Waziri
(a) kwa sabahu ya kufariki au kujiuzulu: Kiongozi.
(h) ikiwa Rais mneamuru hivyo:
22
(c) ikiwa mshika wadhifa hun runcacha kuwa ni mjumbe wa
Daraza 101 Wawakilishi kwa sahahu nycnginc zaidi ya
kuvunjwa kwa Baraza hilo;

(u) marakahlaya Raismpya haja.,hika mauaraka; Rais atamleua


Waziri Kiongozi.

Hoja ya kura 41..(1) Bila ya kujali masharli ya Kaliha hii, BanlZa la Wawakilishi
ya kt.llokuwa
na illlani linaweza kupitisha azimio la kUfa ya kUlokuwa na imani na Waziri
Kiongnzi endapo itatolcwa hoja kupcnuekcza lla ikapitishwa kwa mujibu
wa mashani ya kifungu hiki.

(2) DBa ya kuathiri maslwni mcngincyo ya kifungu hiki. hoja


yo yotc ya kUlaka kupitisha kUfa ya kUIOkuw:t lIa imani na Waziri
Kiongozi haitalOlewa katika DmazH la Wawakilishi cndap():·

(a) haijapila miczi sita tangu Waziri Kiongozi kuteuliwa na


Rais;

(h) haijapila miczi lisa tangu h(*1 ya luunna hiy() ilipololewa


katika Daraza la Wawakilishi n<i Danl7.a la Wawakilishi
iikakalaa kuipitisha,

0) Hoja ya kura ya kUlOkuwa Ila imani lIa Waziri Kiongozi


hailapilishwa ntl Bm'aza 1a Wawakilishi isipokuwa lu k<una:-

(a) laarit~1 ya ma.alldishi. iliyo(iwa sahihi n.a kuungwa mkono


na Wajuml1c wa Daraza Ja Wawakilishi wasiop~ngua nusu
ya W~~iumhc wolc wa Dataza la Wawakilishi ilatolewakwa
Spika siku angalau kumi na nne kahla yasiku inapokusudiwa
kUW'l,iJishwa kalika Daraza la Wawakilishi:

(h) h""d" Y" Spik:i kuridhik" kw;unha Ularifa hiyo ya hoja


. inatimiza masharti )'()tc ya Kaliha hii na imefafanuasababu
za kUlokuwa lIa imani. hasi itawasilishwa katika Baraza la
\Vawakilishi.

(4) Enliapo Spika iltaridhika na aka.<ulll.ia kuwa hoja iwasilishwe'


kalika Daral,II:1 \Vaw:lkili~lli. hasi IH~ia itawasilishwa na kuamuliw,a na
Damza 1<1 Wawakilishi lima mapcma iwczckanavyo na kwa mujibu wa
Kanuni za I3araza la Wawakili;.;hi.
23
(5) Azimio
- la hoja
. ya kura ya ku(okuwa oa imaoi oa Waziri
Kiongozi lilapilishwa na Baraza la Wawakilishi endapo hoja inaungwa
mkono na Wajumbe wa Baraza'la Wawakilishi wasiopungua Ihelulhi
mbili ya Wajumbe' wole wa Bara7.a la Wawakilishi.

(6) Mapema iwezekanavyo, na kwa vyo vyole vile ndani ya siku


mbili tangu Baraza la Wawakilishi liIipopitisha azimio la hoja ya kura ya
kutokuwa na imani na Waziri Kiongozi, Spika atawa.ilisha azimio hilo
kwa Rais, Waziri Kioogozi atatakiwa kujiuzulu oa Rais atmnteuamjumbe
mwiogioe wa Baraza la Wawakilishi kuwa Waziri Kiongozi."

(7) Endapo Waziri Kiongozi al::mcha kushika wadhifa wake huo


kUllIkana na Azimio la h(~ja ya kura ya kutokuwa na imalli;.

(i) halakuwa na haki ya kupa~1 malipo yoyOlc ya pencheni


wala kupaUl haki au nafuu nycoginezo, kwa mujihu wa
Katiha au Sheria yoyotc iliyotungwa na Daraza; oa

Oi) atabaki kuwa Mwakilishi lakini hataweza kutculiwa


ICna kuwa Waziri Kinngozi, Waziri. Naihu Waziri au
Mkuu wa Mkoa kwa kipindi chote eha uhai wa Baraza
hilo.

Sehemu ya Tatu

l\1awaziri, Naihu Mawaliri na 8araza 101 Mapinduzi

42.-( I) KUI~kuwa na Wizara 7.1 Scrikali ya Mapinduzi Zanzibar kama Wizara za


zilakavymmzishwa na Rais. Serikali ya
Mapinduzi
Zanzibar.
(2) Rills kwa kushirikiana oa Waziri Kiongozi alalcua Mawaziri
kutoka miongoni mwa Wajumbc wa Baraza la Wawakilishi.

Isi[K)kuwa tu, kama ipo haja ya uleuzi wa Waziri y()yote katikakipiodi


mnhacho I3araza la Wawakilishi limevujwa, mtu mnhaye alikuwa oi
mjumhe wa I3araza hilo mara kabla ya kuvujwa anaweza kuchaguliwa
kusl1ika wadhifa huo.

43.-( 1) Kutakuwa na I3araza In Mapinl1uzi mnhat() litajumuisha Rais, Baraza la


Waziri Kiongozi, Mawaziri pam(~ia na Wajumhe weogioc kama Rais Mapinduzi.
alakavY<X>l1a il11l;-\,1.
24

(2) Wajumbe wa Daraza la Mapinduzi wataleuliwa na Rais kuloka


miongoni mwa wajumhe wa Baraza Ia Wawakilishi.

(3) Mwanasheria mkuu wa Serikali alahudhuria MikulanO yOle ya


Daraza la Mapinduzi na alakuwa na haki zote za mjumbe wa Baraza bilo.

(4) Kazi ,., Baraza la Mapinduzi zilakuwa:-

(a) kumsaidia na kumshauri Rais Imtika ma,uala ya Serikali ya


Mapinduzi Z,nzibar;

(b) kUfalibu shughuli za Rais, Waziri Kiongozi na Wizara Za


Scrikali ya Mapinduzi Zanzibar katika ulekelezaji wa
majukuJOu yao;

(5) Baraza la Mapinduzi kwa pamoja litawajibika kwa Baraza la


Wawakilishi p.unoja na watu kwa ujumla kuhusiana ua mambo yate
yaliyotenowa na au kwa amri ya Rais au Waziri Kiongozi au Waziri
mwengine kalika ulekelezaji wa shughuli zake za kazi.

(6) Maelezo ya kijifungu cha (4) na (5) hayatalumika kuhusiana


na :-

(n) kUleuliwa na kuachishwa kazi kwa Waziri Kiongozi,


Mawaziri, Wajumbe wa Baraza la Mapinduzi na Naibu
Mawaziri cbini ya kifungu 39, 42 na 47 au kupewa
dhamana kwa Waziri ye yOIe chini ya kifungu cha 44;

(b) kuvunjwa kwa Baraza la Wawakilishi; au

(c) kuhusiana na mambo yaliyotajwa katika kifungu cha 59


(yanayohusiana na uwezo wa kUlOa msamaha).

Ugawaji wa 44. -( 1) Maj ukumu kwashugholi zole za Serikali ya Mapinduzi Zauzibar


Wizara kwa ikiwa ni parnoja na Ulaw3Ia wa Jdara yo yote ya Serikali yanaweza
Mawaziri.
kuwekwa kwa Waziri Kiongozi na Mawaziri wengine kama Rais
au'vyuidhinisha kwa maandishi.

(2) WajUl:nbe wa Barazala Majlinduzi ambao bawana Mawizara


watakuwa Mawaziri wasio na Wizara maalwn.
25
45.·(1) Rais akiwa ni Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ataongoza Miltutuo ya
mikutano yote na ikiwa hayupo, Waziri Kiongozi alakuwa Mwenyekiti Boraza.
waMuda.

(2) Iwapo Waziri Kiongozi naye hayupo Zallzibar basi mikutano


itasirnamiwa na mtu anayeshikilia madaraka ya Urais.

(3) Kiwango cha kufanyika mkutallO wa Baraza Ia Mapinduzi


itakuwa ni thuluthi mbili ya wajumbe wole.

46. Mjumoc. wa Darai'1J la Mapimluzi hataanza kufanyakazi 7ake. Viapo vya


mpaka ale kiapo cha uaminifu lIa kiapo cha ulekclczaji wa kazi zake kama uaminifu.
viWvyowekwa na Baraza la Wawakilishi.

47. Rais anaweza kwa kushawiana na Waziri Kiollgozi kuteua Naibu Naibu
Mawaziri kutoka miongoni mwa Wajumbe wa Baraza la WawakiIishi iIi Mawuiri.
kumsaidia Rais, Waziri Kiongozi na Mawaziri katika ulekeIezaji wa kazi
zao na hawatoanza kazi zao mpaka kwanza wale kiapo eha uaminifu na
kiapo ella utekelezaji wa kazi zao kruna vitavyowekwa na Baraza la
Wawakilishi.

48. Nafasi ya Waziri, Mjumbe wa Baraza la Mapinduzi na Naibu Natui ya


Waziri itakuwa wazi:· Waziri,
Membawa
Baraza Ia
(a) endapo Rais atamwondosha kwenye madaraka hayo kwa Mapinduzi
. hati yenye muhuri wa Scrikali; au kuwa wazi.
(b) iwapo mjumbe ameacha kuwa mjumbe wa Baraza Ia
Wawakilishi kwa sababu nyengine zaidi ya kuvunjika kwa
Baraza hilo; au
(e) endapo Rais aL1kubaIi ombi la kujiuzulu kwa mshika
wadbifa huo; au
(d) mara kabla ya Rais kuanza kazi zake.

49.·(1) KUlakuwa na Kalibu wa Baraza la Mapinduzi ataeteuliwa na Katibu wa


Rais lIa :,ulloaYI: nuiyc atakayckuwa mdhamana wa otisi ya Baraza hilo na Daraza I.
mdhamana kwa muj ibu wa maciekezo alakayopewa na Rais, kwa kupanga MapindIai
shughuli za mikutano pamoja na kuweka kumbukumbu ya mikutano hiyo,
na kupeleka maarnuzi yanayohusika kwa waiU au vyombo vinavyohusika
na alafanya kazi nyengine aL1kazopewa na Rais mara kwa mara.
26

(2) Katibu wa Baraza la Mapinduzi atakuwa ndiye IGongozi wa


Watumishi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar.

Katihu 50 •• (1) Pale Waziri Kiongozi au Waziri ye yote mwengine anapokuwa


Mkuu. na dharnana ya Wizara yo yote ya Serikali, atakuwa ndiye msimamizi na
dhamana Mkuu na bila ya kuathiri masharti yo yote ya usimamizi, Wizara
ya Serikali itakuwa chini ya usimarnizi wa Katibu Mkuu ambaye ofisi
yake itakuwa ni utumishi wa Serikali.

(2) Kutakuwa na Katibu Mkuu katika Afisi ya Rais na Katibu


Mkuu katika Afisi ya Waziri Kiongozi.

(3) Makatibu Wakuu wote watateuliwa na Rais.

(4) Katibu wa Baraza la Mapinduzi parnoja na Katibu Mkuu na


Naibu Katibu Mkuu ye yote hatoanza kazi yake mpaka kwanza ale kiapo
cha uarninifu na kiapochengine cho chote cha utendaji wakazi zake kama
kitavyowekwa na Baraza la Wawakilishi.

Sehernu ya Nne

Madaraka ya Serikali

Malengo ya 51. Madaraka ya Serikali ya Zanzihar yatakuwamikononi mwa Rais,


Serikali ya na kwa mujihu wa Katiha hii, anaweza kuyatekeleza yeye mwenyewe
Zanzibar.
mojakwa mojaau kuwapa viongozi waliochini yake kutekelezamadaraka
hayo.

Ifallarnikc kwarnba ma,harti yaliyomo katika kifungu biki bayazuii


sheria kukabidhi madaraka ya kutekeleza kazi kwachombo"ho cbotecha
umma kwa mtu mwengine ye yote amhaye si Rais wa Zaniibar.

KutoiazillUka 52. Rais wa Z,mzihar halazimiki kufuata ushauri atakaopewa na mtu


kwa Ral.!i yeyme katika ulekelezaji wa shughuli zake, isipokuwa kama sheria
kufuata
ushauri wa inaagiza vingine\;'yo.
mtu.
Uanzishwaji 53, K wa mujibu wa Katiba hii na bila ya kualhiri masharti ya Sura ya
Wa Afisi na Nane au sheria nyengine yo yote iliyopitishwa oa Baraza la Wawaltilisbi
wadhamini
marnlaka:-
wa Afisi
hiro
(a) ya kuanzisha au kufuta ofisi katika Zanzibar, na
27

(b) ya ku(cua Wakuu waofisi hiz(), na ya kupmHJishachcokwa


muua wa utumishi. kufukuzwa Ita kushughulikia na hatua
za kiniuham kwa watu waliolculiwa kushika uhamana l.a
ofisi hizo, yamo mikolloni mwa Rais.

54.-(l} Isipokuwa launa imcclczwa vyenginevyo na Katiba hii au Muda wa


sheria yo yote nycngine kila mlu anacfanya kazi katika ofisi ya Serikali kufanya kari
kaJika
ya :t.anzibar alashika uhmnana hiyo haui hafXl Rais atakavyomnua
Serikali ya
vycligincvy(). Mapinduzi
Zanrihar .
(2) Katika kifungu hiki "otisi ya Serilaili ya Mapinduzi ya
Zanzihar" maana yakc ni olisi ya Scrikali, Kikosi Maalum eha Kuzuwia
Magenuo, Chuu elm Mafullzo au Jcshi la Kujcnga lIehumi au shughuli
nycnginc yoyotc ilioanzh;hwa na Scrikali ya Mapinduzi Zanzihar kwa
mujiou wa Kaliha hii na im~illmuisha pia ofisi katika mashirika yoyote ya
Serikali.

55.-( 1) Kutakuwa n:l Mw:ulashcriil Mkuu wa Zallzihar amhae ni Mwana~heria


mzanzihari na mnhayc atalculiwa na Rais. Mkuu

(2) Mill hatafaa kuchaguliwil kuwa Mwanashcria Mkuu au


kunUlyakazi La Mwallashcria Mkuu IIlpaka awe na sifa za kUlIlwczcsha
kuwa Mwanasheria kalika Zanzihar na illnhayc ana Sinl hizo kwa muUa
usiopungua miaka saha.

(3) MW<uuL... hcriaMkull aWkuwamjumhc wa Daraza la Wawakilishi


kUlokana na wauhifa wake na alashika lIjumhc hun mpaka ulellzi wake
utakapofutwa lIa Rais au m(U"a lu kaola ya Rais miculc kllshika madar.aka
ya Rais.

56.-0) Mwanashcria Mkuu ndiyc atakayckuwa Mshauri Mkuu wa Kari 7..a


kishcria kwa Scrikali ya Mapinduzi Zallzihar. na alillckcJc:.r.a shughuli M wana.~heria
nycnginc 1.0 zoiC za kisheria zilazopclckwa kwakc au alakazoagi:.r.wa n3 Mkuu
Rais all kwa mujihu wa Kaliha hii au Sheria nycnginczo Z() zoic.

(2) Mwanashcria Mkuu alakuwa na uwczo wa kufanya haya


yafu:lt,IY() ikiwa atanna ni muhimu kuf;:lIIY,I:-

(a) kufungua oa kushughulikia Illw.;htaka y{)y()IC yajinai uhidi


ya mtu yeyole mhck ya mahkmna YOYOIC (isipokuwa ya
kijeshi) kuhusiana na kosa lololc mnhalo mill huyo
:ln~I ... llI:lkiwa milo:
28
(b) lrucbukua na kuendeleza IIUWJtaka yoyote )'lijlnai aDibayo
mwanzoni yalifunguliwa na mtu au cbombo cbengiDe;~

(c) kusimamia masbtaka yoyote yajlnai ambayo yaJianzisbwa


na mlu yeyole au chombo cbo cbote. .

(3) Mwanasberia Mlruu anaweza lrumtaka Kamishna wa Polisi


kufanya ucbunguzi juu ya jambo lolote ambaJo Mwanasberia Mkuu
anaona kuwa linabusiana na kosa lolote au Iinalodaiwa kuwa limetendwa
au kosa linaJotubumiwa kuwa limetendeka, na Kamisbna buyo atatimiza
matakwa hayo na baadaye ataripoti kwa Mwanasberia Mkuu lrubusu
ucbunguzi wake.

(4) Mamlaka ya utekelezaji wa kazi zakecbini ya kijifungu (2)(a)


na (3) yanaweza kutekelezwa na Mwanasberia Mlruu mwenyewe au na
watu wengine walio chini yake kwa maagizo au amri maaJum kUlokakwa
M wanasberia Mkuu.

(S) Mamlaka ya Mwanasheria Mkuu cbini ya kifungu (b) na (c)


ya kijifungu (2) yatakuwa mikononi mwake na hayataingiliwa namw ye
yote au chomOO chochote. Kwa kuzingatia kwamba pale ambapo mw
mwengine au chomOO chengine kimefungua masbtaka ya jinai, basi
bakuna cho chote katika kijifungu boo kitakacbozuia kufutwa kwa
mashtakahayo namlu au cOOmOO kilicOOshtaki nakwaidbini yamabkam a

.(6) Kwa madbumuni ya kifungu boo, rufaani yoyate kutokana


na bukumu kalika kesi ya jinai yoyole kwenye, mabkama yoyote, au suaJa
lolote Ia kisberia lililowachwa kwa ajili ya masbtaka hayo lrufilcisbwa
kwenye mahkama nyengine, itahesabiwa kuwa ni sehemu ya masbtaka
hayo. Kwa kuzingatia kwamba yale mamlaka ya Mwanasberia Mkuu
ehini ya kijifungu (2) (e) hayatalekelezwa kubusiana na rufaa yo yote ya
mlu ambaye amehukumiwa katika kosa la jinai 10 late au kubuslana oa
suala lolole Ia kisheria lililowekwa makusudi kwa ajiJi ya mw huyo.

(7) Kalika kUlumia uwezo wake chini ya kijifungu bicbi,


M wanasberia Mkuu atatilia maanani umubimu wa Taifa kwa. kutaka
kuona haiti inalekelezwa na nia yake ya kuzuia utuDlil\ii mbaya wa
vyomOO vya kisheria.
29
57. Mwanashcria Mkuu haloanza kazi yakc rnpaka all' kiapo eha Kiapocha
umninifu 11;1 kiapo ChCIl~illl' l'ha ulckl'loaji wa kazi zake kama Paminifu
itak:l\'yt\\\'ckw:1 na Oaral.:! !;, \\'awakilishi.

SX.-( I) Rais anawcza kUliltClI:I mill yo ),olC kama IIi Mshauri wake \\'asllaun
~ballllll iii klllllsaidia kalika lItcndaji wa kazi zakc. ~a.alulll

t:!) l !lclIl'i wo wole chini ya kifungu hiki utafanyika kama


apclli.l;,I\'YO H.ais 11:1 hautacndch:a leila iwapo mill mwcn~illc atashika
m:ular;tb yal leds.
\:""'t.'7.0W1\
SlJ. Rab allaWL'l.a:- kUlo,1
tll.~alllaha

(:,) kUI()a los,unah:l hila ya masharti au kwa rnashani kwamlu


yc YOle aliychukumiwa kwa kosa 10 lOll':

(h) kUlna uahirisho ama wa muda au wa mqia kwa m(~iakatika


utckclczaji wa auhahu yo YOle iliyotolewa na mahkama
kwa mill huyo kuhusiana na kosa aJilotenda;

(c) kuhadili :ulhahu aliyopewa mlu kUlOkana na kosa 10 tOle


na kuifanya iwc IHJOgO zaidi:

(tI) kums:unche kahisa au kwa kia~i fulani mtu ye yote


a1iyepcwa adllahu kwakosa 10 lote au adhabu ya utaifishaii
iliyotolewa na Serikali dhidi yake.

60.-( 1) Kutakuwa na Kmnati ya ushauri kwa Rais katika uweZD wa Kamati ya


kUloa msamaha ambayo itakuwa na'wajumhe wafuatao:- ushauri katika
uweznwa
kutoa
(a) Mwanasheria Mkuu akiwa ndiye Mwenyekiti; msamaha

(b) si chilli ya wajumhe watatu na si zaidi ya wajumbc watano


walakaoteuliwa na Rais, ambapo kali yao angalau mmoja
atakuwa ni Waziri na angalau mmoja atakuwa ni Intu
mwenye sifa za kuwa Daktari katika 'Zanzihar.

(2) Mjumhc wa k;unali aliyctculiwa kwa mujihu wa kijifungu


(I )(b) ataendelea na dhamanll'yake kwa kipindi kilichoainishwa kwenye
amri iliyomteua, '
30
Kwa kuzingatia kwamba kiti chake kitakuwa wazi:·

(i) ikiwa mtu buyo a1ipocbaguliwa oi Waziri, pale


atakapoacbisbwa uwaziri;

(ii) ikiwa Rais ataamuru bivyokwa maandisbi.

(3) Biia ya kutegemea kasoro katika jumla ya wajumbe WOle,


. kamati biyo inaweza kufanyakazi na sbugbuli lake bazitaathirika kwa
kuwepu au kutokuwepo kwa mtu ye yoie ambaye bawajibiki kuwepo au
kushiriki katika Kamati hiyo,

(4) Kamati hiyo itapanga utaratibu wake wenyewe.

Mkuu wa 61.·(1) Kutakuwa na Mkuu wa Mkoa katika kiJa Mkoa wa Zanzibar


Mkoa na ataeteuliwa na Rais kwa kusbauriana na Rais wa JamhlDi ya Muungano.
Mlruu wa
Wilaya. (2) Kutakuwa na Mkuu wa WiJaya katika kiJa Wilaya ya Zanzibar
ataeteuliwa na Rais. '

(3) Mkuu wa Mkoa au Mkuu wa WiJaya a1iyeteuliwa, kwa


mpangilio chini ya kijifungu (I) na (2) cha kifungu bicbi bataanza kazi
zake badi kwanza ale kiapo cha uaminifu na kiapo cba utendaji wake wa
kazi lake.
Kaziza 62 .•(1) Mkuu wa Mkoa au Mkuu wa Wilaya atakuwa odiye Mtendaji
Mlruu wa
Mkoa na Mkuu. kwa kadiri itavyokuwa wa Mkoa ule au Wilaya ile.
Mkuu wa
Wilaya. (2) Mkuu wa Mkoa na Mkuu wa Wilaya anaweza. akipenda na
bila kuathiri masbarti yo yote katika Katiba bii au Sberia nyengine yo yOle,
kutoa madaraka yake kwa shugbuli zo zote za Serikali ya Mkoa boo 8U ya
WiJaya hiyo, kwa kadiri itavyokuwa kwa mW ye yote anyaehisi 8IIIIfaa,
isipokuwa tu madaraka ya kuteuliwa Kaimu Mkuu wa Mkoa au Wilaya
yalakuwa mikononi mwa Rais.
31
SURA.YA TANO

Baraza Ia WawakiUst,l

Sebemu ya Kwanza
Muundo wa BarBza la Wawakilishl

63.-(1) Kutakuwa na Baraza Ia Kutunga Sheria iitakalokm,u na Barn.a la


sehemu mhili, Rais wa ~anzibar kwa upalllie mmoja na Baraza Ia Kutuoaa
Sheri••
Wawaltilishi kwa upande wa pili.
I
(2) Iwapo, kwa mujibu wa mashani ya Katiba hii au rna.bani ya
sheria nyengine, jamho lolote linabitaji kuamuliwa au kute~:elezwa na
scbemu zote mllili za Baraza la Wawakilishi. basi jambo hilo halitakuwa
IIl\ nguvu za kisheria mpaka Iiwe iimeamuliwa au Iimetektlezwa na
Wajumhe wa Baraza Ia Wawakilishi na vile vile na Rais.

64. Kutakuwa na Baraza la Wawakilishi mnbalo. bila ya kuathiri Ku"nzishwa


kwa na
mashani . mengine yo yore yaliyomo karika Kariba hii IiL'L\:uwa na MWJldowa
Waiumhe wafuatao:- Baram I.
Wawakilishi.
(a) Wajumhe wa kuehaguliwa kurokana na kifungll eha 65
eba Katiha hii:

(b) Wajumhe wa kuteuliwa kutokana na kifungu eh,\ 66 eha


Katiba hii; ~\
(e) Wajumhe wanawake wa Baraza la Wawakiiishi kritbkana
I· \
na kifungu cha 67 eba Katiba hii; "

(d) Wakuu wore wa Mikoa waliOleuliwa karika Mlkoa'ya


Zanzibar kwa mujibu wa kifungu eha 61 eha Katiba h'\i.

(e) Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar kutokana na kifungu 5:;


(3) eba Katiba hii.

65.-(1) Zanzibar itagawanywa katika majimbo ya uchaguzi kutokana Uchaguzi w.


na kifungu eba 120 eha Katiba nakilajimbo moja la uehaguzi iiraehagua \V.jumbe wa
mtu mmoja kuwa Mjumbe wa Baraza la Wawakilishi kwa njia ambayo k, IChagu!;wL
itaelezwa na Katiba au chini ya sheria nyingine yo yore.
\

,\
32
(2) Kila mtu ambaye amejiandikisba katikajimbo la ucbaguzi kama
iii mpigalcura wakumchagua mjumbe, isipokuwa awe amewekwa kizuizini
kwa njia y'abalali au bafai kutokana na sheria kupiga kura katika ucbaguzi
buo kwa njia ambayo amekutikana na kosa lenye kuhusiana na ucbaguzi ,
au kwa njia ambayo imeripotiwa kuwa amepatikana na kosa hilo katika
mahkama au kujaribu kubatilisha uchaguzi, ata,tahiki kupiga kura katika
jimbo la ucbaguzi hila kwa mujibu wa sheria iliyowekwa. •
(3) Uandikishaji wa kupiga kura wa wajumbe wa kuchaguliwa na
uendesbaji wa ucbaguzi huo utaongozwa na kusim¥"iwa na Tume,ya
Ucbaguzi.

Wajumbewa 66. Kutakuwa na wajumbe kumi wa kuteuliwa wa Baraza .Ia


kuteuliwa
Wawakilishi ambao watateuliwa na Rais kutoka miongoni mwa watu
ambao akiteuliwa ataraa kuwa mjumbe wa Baraza la Wawakilishi.

Wajumbe 67.-(1) Kutakuwa na wajumbe wanawake wasiozidi kumi wa Baraza


wanawake
katika Baraza
la Wawakilishi ambao ni Wazanzibari na ambao watapendekezwa na
vyama vya .siasa vilivyosajiliwa rasmi.

(2) Kila chama cba siasa kitachoshinda zaidi ya asilimia kumi


(10%) ya viti vya majimbo katika Baraza, kitapendekeza idadi ya wanawake
walioelezwa katika kijifungu (I) na kupeleka majina na sifa zao kwa
Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar kufuatana na taratibu za uwakilishi
miongoni mwa vyama vya siasa vilivyoshinda katika uchaguzi.

(3) Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar, baada ya kuridhika kuwa


mwanamke a1iyependekezwa anasifa za kuwa mjumbe katika Baraza la
Wawakilishi kufuatana na mas6ani ya kifungu cha 68 cha Katiba,
itamtangaza mara moja mwanarnke huyo kuwa ni mjumbe wa Baraza.

Sifa za 68. Mtu ataraa kucbaguli wa kama Mjumbe wa Baraza la Wawakilishi


klll:haguliwa ikiwa, na hatofaa kucbaguliwa mpaka, siku ya kuchaguliwa kwake katika
ucbaguzi:-

(a) awe' iii Mzanzibari a1iyetimia umri wa miaka ishirini na


moja;

(b) awe amejiandikisha au ana sifa za kujiandikisba katika


jimbo la uchaguzi kama mpiga kura katika uchaguzi wa
Baraza la Wawakilishi.
33

(c) awe ariaweza kusoma na isipoku\va hana uwezo wa kuona


au magonjwa mengine ·ya kiwiliwili, anasema lugha ya
Kiswahili;

(d) awe ni mwanachama na mgomhca aliyependekezwa na


ch:.una eha siasa kilichosajiliwa ra"imi kwa mujibu wa
sheria ya vyama vya siasa ya 1992.

(e) awe ni mlu ambaye hakuzuiliwa kugombea uchaguzi kwa


mujibu wa masharti ya kifungu hiki au kwa mujibu wa
sheria i1iyolungwa na Baraza la Wawakilishi Ia Zanzibar
ama Bunge la Iamhuri ya Muungano.

69, -(1) Hakuna mtu alakaechaguliwa kuwa mjumhc wa Baraza la Kutof..


Wawakilishi. . kuchaguliwa

(a) ikiwa mto huyo ana uraia wa nchi nyingine yo yote;

(b) ikiwa kwa mujibu wa sheria iliyotungwa na Baraza la


Wawakilishi au Bunge la lamhuri ya Muungapo
imetllihithihwa rasmi kwrunha mill huyo ana ugonjwa
wa akili:
(c) ikiwa:·

(i) mlu huyo amehukumiwa na Mahkama yo yote


Zanzib,lfau katikalamburi yaMuungano na kupewa
adha!>u~ya kifo au kufungwa Chuo cha Mafunzo au
Gereznni. kwu muda wa miezi sita; au

(ii) mtu huyo amewekwa kizuizini kwa mujibu wa


Sheria ya Kuwekwa kiwizini ya Iamhuri ya
Muungano' au Sheria ya Zanzibar na amekaa
kizuizini kwa muji!>u wa amri hiyo kwa muda
unaozioi miezi sita; au -

(iii) mlu huyo amesafirishwa kwa lazima kisheria kwa


mujihu wa arnri i1iyololewa kwa mujibu wa masharti
yasberiaya Usafirishaji wa lazima na iwapoamekaa
huko aJikopelekwa kwa muda unaozidi meizi sitana
mpaka wakati huo arnri hi yo baoo haijabatilishwa;
l
34
(d) ikiwa mID buyo ana masilabi yo yote katika mkataba wa
Serikali wa aina yo yute i1iyowekwa miiko maalum kwa
mujibu wa sberia i1iyolDogwa na Baraza \a Wawakilisbi
na iwapo amekiuka miiko biyo;

(e) ikiwa kwa mujibu wa sheria i1iyOlUDgwa na Baraza la


Wawakilisbi mtu buyu amezuiliwa kuwa mjumbe katika
Baraza la Wawakilisbi kwa sababu kwamba amesbika
madaraka katika utumisbi wa Serikali ya Zanzibar oa
sheria biyo imetamka wazi kuwa ni mwiko kwa mID buyo
kuwa Mjumbe katika Baraza la Wawakilishi;

(0 ikiwa kwa mujibu wa sberia i1iyotungwa oa Baraza la


Wawakilisbi inayosbughulikia makosa yanayohusika na
uwakilishi wa aina yoyote mtu buyo amezuiliwa kuwa
M wakilisbi;

(2)MlDbawezikugombeakuwaMjumbewaBarazalaWawakilishi
ikiwa wakati huo yeye oi Mweoyekitiwa Baraza la Mapioduzi.

(3) Baraza la Wawakilishi linaweza kutuoga sberia kwa ajiJi ya


kuweka masbarti yatakayomzuia mtu kuwa Mjumbe wa Baraza la
Wawakilisbi muda wo wote utakaotajwa na Baraza \a Wawakilisbi (iii
mradi muda boo usizidi miaka milanO) ikiwa mID buyo atapatikana na
hatiambeleyamahkamakwaajiliyaainayoyoteyamakosayatakayotajwa
katika sberiabiyo yanayoliusikana Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi.

(4)Kwa madhumuni ya kutoa fursa yakukata rufaakwamujibu


wa sberia kwa mID yeyote aliyetbibitishwa oa kupewa adhabu ya kifo au
yakufuogwaCbuochaMafunZoauGerezanialiepatikapanahatiayakosa
lolote lililotajwa katika sheria kwa mujibu wa kifuogu (3) cba kifuogu
hiki, Baraza la W~wakilishi linaweza kutuoga sheria kwaajili yakuweka
masharti yatakayoeleza kwamba hiyo hukumu inayopiogwa oamtu huyo
haitakuwa na oguvu kwa ajili ya utekelezaji wa masharti ya kijifuogu (1)
au (3) ya kifuogu hiki mpaka upitie kwanza muda utakaotajwa katika
sberia biyo.

(5) Kaouoi zifuatazo zitatumika kwa ajili ya ufafanuzi wa aya


ya (e) ya kijifuogu (1) ya kifungu hiki, yaani:-
35

(a) ikiwa mlU mncpata adllahu rnhili au zaidi kufungwa muua


wa mfululizo, ha"j allhahu hizt) zitahisahi wa kuwa ni aUhahu
moali mhali iwapo muda uliotajwa kalika moja ya auhahu
hizt) hallzjui miczi sila.lakini iwap() muda uliowjwa kalika
adhanu yoyotc kali ya adhahu hizo unai'.itii miczi sita hmd
mJhahu hizo zolc zilahc~ahiwa kalll:! IIi adhahu rnoja;

(h) ikiwa mIll amcpcwa :Idhahu )':1 kufullgW:lchU{)cha Mafunzo


au Gcrczani akifahamika kuwa adhahu hiyo ya kufungwa
imci<)lcwa hac.J.aln yaadhnou ya kUI(IZW" 1:lini(lu imclolewa
kwa sahahu mill huyo amcshindwa kulipa faini
aliyo<unrishwa kulira. hasi muda wa kufngo elm llaInlla
hiy<) haul.ahcsahiwa .

(0) Katika aya ya (d) ya ki,iilllll~U (1) ya kifullgu hiki mkataha wa


Serikali meum yakc Ili mapalano yo)'olc ya mkalaha wnhayn mmnja wapo
wa walioshiriki ni Scrikali ya M:lpinliuzi ya i'. anzihar all Idara ynyole ya
Serikali au mlumishi Y()Y(IIC wa Scrikali aliycshiriki kwa niaha ya Serikali.

(7) Kwa ~~ijli ya ufafalluzi wa mac!czo kuhusu sifa l.a uchaguzi


yaJiyomokatika vifungu vifuHlavy(). kila ilakaptltajwa chini ya Katibahii
kwamba ulekelczaji wajamho lolole sira za uongol'.i. hasi ila 'loa uongozi
au mlu ambayc hakupotcza si fa Z:l U()lIgozi. hasi i la iwapo maelezo
yanahitajia vingincvyo, irahamike kuwa sira zinHzohusika ni zile
zinazomwezesha mill kuchaguliwa kuwa Mjurnhe Mwakilishi au Baraza
la M3pinduzi kmna viongozi kalika Serikali ya Mapinduzi ya Zanzihar
kama iI~vy()clezwa katika vifllll,E1I IIlhali mhali vya Kaliha hii miongoni
mwao ikiwa:-

(a) ni mwik() kwa ki(mg(l/j kUlurnia rnadaraka aliyopewa kwa


ajili ya manufaa yake hinafsi. au kwa upcndcleo au kwa
namnayo YOlemnhayo ni kinyurnc na lengo lililokusudiwa
mallaraka haytI;

(b) ni mwiko kwa kiongozi kupokea kipato eha kificho, au


rushwa au kushiriki katika rn;unho yo YOlc ya mugendo; na

(c) kiongozi aUyeachishwa uongozi halakuwa na haki ya


kuomba leila lIafa~i ya uOllgozi mpaka ipite miaka mitano
tangu alipoachishwa uongozi huo.
36
iGapodla 70. Kila Mjumbe Mwakilishi atalakiwa kuapishwa. kalika Baraza la
Mju.me Wawakilishi. kiapo eha uaminifu kama kitavyowekwa ua Baraza la
Mwakilishi
Wawakilishi; lakini Mjurnhc M wakilishi anaweza kushiriki katika uehaguzi
wa Spika. hata kabla hajaapishwa.

Muda wa 71.-( I) Mjumbe Mwakilishi amaeha kuwa Mjumbe Mwakilishi na


wajumbe alaaCha kiti ehake katika Bataza la Wawakilishi lilokeapo lolote kati ya
ku.c;hika
madaraka yan mrunho yafuatHYo:-

(a) ikiwa litalokea jarnbo 10 lme arnbalo. kama asingekuwa


Mj urn be Mwakilishi ingemfanya mlu asiwc nasifa za kuwa
Mjurnbe Mwakilishi au apoteze sifa za lIongozi;

(b) ikiwa Mjumhc Mwakilishi huyn alachaguliwa kuwa Rajs


wa Zani1ibar;

(c) kwa Mjurnbe Mwakilishi asiye Mkuu wa Mkoa. ikiwa


alakosa kuhudhuria vikao vya mikutano ya Baraza la
Wawakilishi vitalu mfululizo bila ya ruhusa ya Spika; .

(d) baada ya Baraza la Wawakilishi kuvunjwa;

(i) iwapn Mahkama Kuu ilaamuru Mjumbe apoteze kiti


chake kwa mujibu wa kifungu cha 72 eha katiba hii;

(ii) ikiwa Mjumbe. kwa rnaandishi yake na ayalume kwa


Spika atajiuzulu kuwa Mjumhe wa Baraza la
Wawakilishi;

(e) Mjumbe akijiondoa uanaebama katika chama ehake


kilichompendekeza kuwa mgombea

(2) Baraza la Wawakilishi linaweza kUlunga sheria kwa ajili ya


kuweka masharti yatayomwezesha Mjumhe Mwakilishi kukata rufaa
kwa mujibu wa Sheria kupinga hukumu ya kUlhibilishwa kwake kuwa ni
mlu mwenye ugnnjwa wa akili au kupinga aillIabu ya kifoau ya kufungwa
chuo eha Mafunzo au Gerezani. na Sheria hiyo inaweza kueleza kwamba
biyo bukumu iaayopingwa na huyo Mjurnhe Mwakilishi baitatiliwa
nguvu kisheria mpaka umalizike kwanl.a muda Ulakaotajwa katika Sberia
hiyu.
37
72.-( 1) M;lhk:lma Kuu 1':1 Z:ulzihar ndio pekee yellYc In:unlaka na llamuzi wa
suala kama
uwezowakusikilil.:l na kucunua mashauri yote yanayohusiana na uchaguzi
mlU ni
wa Zanzibar _ mjumbe
Mwakilishi
(2) Wakali wa kusikiliza shallri lolote chini ya kifungll hiki. Jaji am3 sio.
anaweza kuteua washauri wawi Ii wa Mahkama kwa kumsaidia wawe
miongoni mwa walll wcnye u/oefu .

73.·(1) KUlak"",a na Spika "'a Baraza la Wawakilishi ;unbaye Sp;b.


atachaguliwa l1a \Vajumhc wa Daraza 11.1 Wawakilishi kutoka miongoni
mwa walu amh:ltl IIi W:ljulnhc w:, Daraza l.a Wawakilishi au Inwenye sifa
za kuchaguliw:I kuwa Mjumhc wa [Jaraza la Wawakilishi.

(2) Melllha wa Oar<ll.<I la Mapinduzi. Waziri Kiongozi. Waziri,


Naibu Waziri. i\lkuu wa Mkua au mtu mwenye madaraka ya aina
nyingine yo YUlc yalayolajwa na sheri a iliyotungwa na Baraza la
Wawakilishi kwa lIIadhumuni ya kifungu hild, hal3We7.3 kudmguliwa
kuwa Spika.

(3) Spika a"",,,ha kuwa Spika na aUlaeha kili eha Spika


litakapolokea 10 lote kali ya mmnho yafuatayo:-

(a) iwapo mlu huyo alichaguliwa kutoka miollgolli mwa


Waiumtx: wa Daraza la Wawakilishi hasi ikiwa at.aacha
ku\\":t Mjlllllhc :v1wakilishi kwa sahahu yo yote mnhayo
haHlIIsiki na kunmjw:l Damza la Wawakilishi; au

(b) ikiwa klllatokca jmnho In lote runhalo, kama asingckuwa


Srika Iillgeml"anya mlu huyo a~iwe na sifa 7.3 kllwa
Mjllmhc Mwakilishi au apoleze sifa za uchaguzi wa Spika:
au

(c) ikiwa mILl huyo alaolldolcwa kwenye madaraka ya Spika


kwo' ;,zimi() la Daraza 141 Wawakilishi lililoungwa mkoll()lla
Wajllllltx: wa D:U-:lza la Wawakilishi mnbao idadi yao
haipllll!!ui thclulhi mhili ya Wajumhc wa Baraza la
\Va\\;.kili."hi wole: all

(4) lIaklilla shllghuli ilakayolekclc7.wa kalika Baraza la


Wawakilishi (isipl)kIIWa uchaguzi wa Spika) wakali wo wOle runhat) kili
38
('

eha Spika kiU!kuwa wazi, lakini kijifungu hiki, hakitozuwia Kamati Za


Baraza la Wawakilishi kufanya shughuli 7.aO.

(5) Mtu ye yote ambae si Mjuinbc Mwakilishi. at"ycchaguliwa


kuwa Spika , atatakiwa, kabla ya kuanza kutekeleza madaraka yake.
kuapishwa katika Baraza la Wawakilishi kiapo eha uaminifu.

Naibu Spika. 74.-(1) Kutakuwa na Naibu Spika wa Bara7"I" Wawakilishi amhayc


atachaguliwa l1a B,wdza la Wawakili~hi kUlOkana na K,muni za Daral':t
ambaye atakuwa ni Mjumhe Mwakilishi ambaye hatokuwa W",.iri
Kiongozi. Waziri. Naibu Waziri, Mkuu wa Mkoa au Mjumhe wa Baraza
la Mapinduzi.

(2) Baraza la Wawakilishi litachagua Naibu Spika:-

(a) chini yamasharti ya kifungucha 73(4) katika mkutano wake


wa mwanzo haada ya kuvunjwa Baraza: na

(h) litakapokutana Baraza kwa mara ya mwanzo wakati kiti cha


N... nu Spika kiwazi kwanjiamnhayo sin sahatm ya kuvunjwa
kwa Baraza. au kwa haraka iwezelmnavyo.

(3) Kiti eha Naihu Spika kitakuwa wazi:-

(a) ikiwa· Bara1.3 la Wawakilishi ni mara yake ya mwanzO


kukutana tolm kuvunjwa kwa Bara1.3 liIilopita:

(b) ikiwa ameehaguliwa kuwa Rais au Waziri Kiongozi. au


Waziri, au Mkuu ;.va Mkoa au Mjumhe wa Baraza la
Mapinduzi;

(c) ikiwaamesita kuwa Mjumhe wa Baraza la Wawakilishi kwa


njia amhayo sio kwa kuvunjwa Baraza; au

(d) ikiwa Baraza la Wawakilishi lirneamuakwa uamuzi wakura


l.isizopungua thuluthi mhili 1.3 Wajumhe wOle kuwa Naibu
Spika huyo aondolewe katika kiti hieho.
Taratibu l.B
udlaguzi wa 75. Katika Uehaguzi wo WOle wa Spika au Naibu Spika kura za
spiu. Wajumhe wa Baraza zitakuwa 1.3 siri.
Naibu Spika.
39
76.-(1) Kutlkuwa IIa Kmihu waBarazala Wawakilishi atakayeleuliwa KaLihu wa
Baraza Ja
na Rais. Wawakilishi.

(2) Arisi ya Kalihu wa Bara7.a la Wawakilishi na Afisi za


wafanyakazi wake !.ilakuwa ni Afisi kmika huduma ya Serilcali.

(3) Kalihu wa Baraza la Wawakilishi halOanza kazi yake ila


kwanzaalekiap()cha uaminifu na kiapo chenginecho chote ltitachowekwa
nn sheria.

77.·( 1) KIJlaKUW;I na Afisi ya Banaa la Wawakilishi itayoongozwa Afi~i ya


na Katibu wa Baraza la Wawakilishi na itakuwa na nafasi za matlaraka Baraza Ja
kama itavyoidhinishwa Ila Tume ya Utumishi wa Baraza la Wawakilishi. Wawakilishi.

(2)Kulakuwa na Tume ya Ulumishi wa Baraza la Wawakilishi·


amoayo itakuwa na uwez{) wa kuajiri maafisa. na watumishi wole wa
Baraza, kuwapall(lisha vyeo, kuwachukulia halua za kinidhrunu na
kufanyakazi nycnginc zozotc zitaznelezwa na Sheria kuhusu Utumishi
katika Afisa )'<1 Daraza. isipokuwa kwamba Katibu wa Baraza la
WaWakilishi aialeliliwa na Rais kwa mujibu wa kifungu eha 76 eha
Katiha.

en Mlilludo na taratihu I.a Tume ya Utumishi wa Banaa utakuwa


kama itavyoelczwa na Sheria ilayolUngwa kwa madhumuni hayo.

(4) Bara!.a la Wawakilishi laweza kulunga Sheria ya kuweka


mfumo wa utawala na ucndeshaji na mamhomengine yanyohusu Afisi ya
Baraza la Wawakilishi.

Sehemu ya Pili
Slu. .-i .. na Taratihu Katika Raraza la Wawakilishi

78.-(1) Nglll'u t.a kUlunga sheria kwa mambo yOle ya,iyokuwa ya ~guvu za
Muungano kalika Zallzihar yatakuwa mikononi mwa Baraza la KUlunga
.~h~rla.
Wawakilishi.

(2) Bila ya kllalhiri masharti mengine ya Katiba hii. nguvu za


kulunga sheri a kalika llara7.1 la Wawakilishi ilakuwa kwa kupilishwa
Miswada katik;1 Dilfilz;lla Wawakilishi.
40
(3) Wakati Muswada umepitishwa na Baraza la Wawakilishi
utapelekwa kwa Rais kwa kupata kibali ehake.

(4 )Iwapo Muswadaambao umepitishwa na Baraza la Wawakilishi


umepelekwa kwa Rais wa Zanzihar kwa kupata kibali bieho•. utakuwa
sheria na hivyo utaehapishwa katika Gazeti Rasmi.

(5) Baraza la Wawakilishi linaweza kuahirisha kuanza kutumika


kwa sheria iliyOlungwa na bila kuatlliri masharti ya kifungu eha 12 eha
Kalina hii linaweza kufrulya shena kuanzia siku 14 nyuma.

(6) Sheria illayotongwa na Baraza la Wawakilishi itajulikana


kuwa IIi "Sheria ya Baraza. Ia Wawakilishi" na jina la utunzi litakuwa
"Imetungwa na Baraza la Wawakilishi la Zanzibar".

Ularalibu wa 79.·( I) Baada yaMuswadakuwasilishwakwa Raiskwaajili yakupata


KUlunga kihali chake. Rais anaweza ama kukubali au kakataa kuukubali. lIa iwapo
Sheria
alakataa kUllkubali Muswada. hasi ataurudisha kwenye Baraza la
Wawakilishi prunoja na maelezo ya sababu zake za kukataa kuukubali
Muswad'l hun.

(2) [laaua ya Muswada kuruuishwa Baraza la Wawakilishi kwa


mujibu wa Masharti ya kifungu hiki. hauwezi kupelekwa tena kwa ajili ya
kupata kihali chake kabla ya kumaliza muda wa miezi sita tangu
uliporudishwa. isipokuwa kama katika batua yake ya mwisho kwenye
Baraza la Wawakilishi kahla haujapelekwa tena kwa Rais Muswada huo
ulIleungwa mkono na Wajumbe wa Baraza Ia Wawakilishi ambao idadi
yao haipungui thelutlli mbili ya Wajumbe waBaraza la Wawakilishi wote.

(3) I wapn Muswada umerudishwa kwenye Baraza Ia Wawakilishi


na Rais halafu ukaungwa mkono kwenye Baraza la Wawakilishi na
Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi ambao idadi yao haipungui tllelutlli
mbili ya Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi wote kama ilivyoelezwa
kalika kijifullgu eha (2) na kupelekwa kwa Rais. kwaajili ya kupa~1 kibali
chake kwa mara ya pili kabla baujamalizika muda wa miezi sita tangu
uliporudishwa. hasi atatakiwakuukubali Muswada hoo kabla yakumalizika
muda wa siku ishirini na moja tangu Muswada boo ulipowasilishwa
kwake la sivyo hasi itabidi a1ivunje Baraza Ia Wawakilishi.
41

(4) Masharli yaliyomo kalika kijifungu hiki au kalika kifungu eha


79(1 )chaKatiba hii hayalalizuia Baraza la Wawakilishi kulungashcria ya
kuwekamasharli amhayo yanawezakukahidhi kwa Inlu ycyolc kwa Illml
yo yote ya Serikali madamka ya kuweka kHnuni zcnyc nguvu za kishcria
au kuzipa nguvu za kisheria kanuni zo zoic zilizowckwa na mtll yc YUle
au (darn yo yOle ya Scrikali.

80.-(1) Kwa ma... harti ya kifungu hiki Daraz;II,1 Wawakilishi linawcza Kuhadili.~ha
kuhadilisha kifungu dHl chole kalika Kaliha hii. Kalina

(2) Muswada wa Baraza la Wawakilishi wa kuhadilisha Katiha hii


hautopitishwa na Baraza isipokuwa uwe umeungwa mkono kWH mara ya
kwanza na mara ya pili kalika kusomw3 kwa kunl si chilli ya thclulhi mhili
ya kurn zote za Wajumhe wa B;:lraza la Wawakilishi.

(3) Kmika kifullgu hiki:-

(a) marcjco kUlika Kaliha hii IIi man.:jl:o kalika Kaliha kama
il.akavyorckchishwa mara kwa mara:

(b) marejc() ya kuhatlilisha Kaliha hii ni lllan..:jco ya kufanya


marekchisho, masahihislH) all kUllInga ikiwa na madahilik()
au m::L....lhihisho kalika kifungu rho chole eha Kalina hii,
kusimamisha au kufula kifungu hirho l1a ulungaji wa
kifungu tofauli katika mahala pa kifungu cha zmmmi.

81. Kila Kikao dm Daraza la Wawakilishi kilaollgozwa nn:. Uongozi wa


Kikao eha
Baraza la
(a) Spika: au Wawakili...tu.

(b) ikiwa hayupo Naihu Spika, au

(c) ikiwa Spika, hayupo na Naihu Spika. hayupo, Mjumhc


mwinginc wa Daraza la Wawakilishi (asiyekuwa Waziri
Kiongozi. Wazili, Naihu Waziri. Mjullltx! wa Baraza la
Mapintluzi au Mkuu wa Mkc)a) kama Wajumhc wa Bara . . .a
la Wawakilishi watakacmchagua kwa ;~iili hiyo.
42
Viti viliv)'o 82.·(1) Baraza la Wawakilishi linaweza kuendesha shughuli bila ya
wazi k:l.Iika
kujali kuweko kwa kiti wazi kuhusu Mjumbe kubusiana na kiti arnbaebo
Baral.a 101
Wawakili.~hi
hakikujazwa wakati Baraza ndio kwanza liilisbwe au kuundwa kwa mara
na utaratihu ya kwanza na shughuli him zitaendelea bila ya kujali kuweko kwa mlu
wa kuclldc.~ha asiyehusika kuwepo au kupiga kura katika Baraza au kuwepo kalika
.~hughulll.a
shughuli zinazoendele.:'1.
Baraz.,.

(2) Bila ya kuathiri masharti yaliyomo katika kifungu eha 80 eha


Kaliha hii idadi ya Wajumbe kufanya mkutano itakuwa nusu ya Wajumbe
wo(e wa Baraza la Wawakilishi.

lIpigaji kura 83.-( I) Isipokuwa kama imeelezwa vingine katika Katiba hii suala
katika lolole au uamuzi katika Baraza la W~wakilishi litaarnuliwa kutokana na
Baraza 101
idadi kuhwa ya Wajumbe waliohudhuria kwenye kikao na kupiga kura.
Wawak.ilil'hL

(2) Jamho lolOle lilakalopelekwa kwa uarnuzi katika Baraza la


Wi.. lakilishi, mtu atakayekuwa anaongoza kikao eha Baraza la
Wawakilishi:-

(a) ikiwa ni Spika. atakuwa na kura ya uamuzi na siyo kura ya


asili;

(b) ikiwa siye Spika at..'lkuwa na kura ya uamuzi pamoja na


kura ya asili;

(3) Kanuni za Banaa la Wawakilishi zinaweza kuweka vifungu


amhavyo Mjumbe ambaye anapiga kura na huku akiwa na maslahi fulani
yajmnoo linalopigiwa kura aliiwe na kura.

Madaraka ya 84. Rai, atahu,ika kalika mamlaka ya 'hughuli zake kama Rais wa
Rai!> kali k.a Serikali ya Mapinduzi ya Zanzihar kuhulubia Baraza la Wawakilishi
Bara7.., 1;1
Wawakjlj.~lti
wakati atakoona unafaa kufanya hivyo.

Kamati za 85.-(1) Kutakuwa na Kamati za Kudumu za Baraza Ia Wawakilishi


Baraza 101 zitazoundwa kwa mujibu wa Kanuni za Bara7a la Wawakilishi.
Wawakili.c:hL

(2) Kwa madhumuni ya kifungu hiKi eha Katiba hii kazi na


shughuli za Kamati za Baraza la Wawakilishi zitakuwa kama
zitakavyoainishwa katika KrulUni 7..a Banl7111a Wawakilishi.
43
(3) Baraza linaweza likaanzisha ··Kamati zo lote inazohisi
zinafaa.

86.-( I) Baraza la Wawakilishi linaweza. kwa ajili ya ufanisi mzuri wa Baraza la


kazi zake. kUlunga sheriakuhusiana na haki za Wajumhe, nguvu zao, fursa Kutunga
na kinga zao pamoja na Kamali zao kwa misingi inayokubalika. Sheria.

(2) Bila ya kuathiri masharli mengine ya Katiba hii, Baraza la


Wawakilishi Iinaweza kufanya Kanuni za kudumu za Baraza hilo zikitilia
maanani amri za kuendesha mikutano. oa kwa kutilia maanani sheria
zilazotungwa kwa mujibu wa kijifungu (I) ebakifungu biki kUloka katika
kmluni hizo haki za Wajumhe, nguvu zao, fursa nakinga za wajumhe wa
K,unali zao.

(3) Waj umhe wa Baraza la Wawakilisbi kalika kulekeleza jukumu


lao B:uaz<Uli au kwcngine kokote:~

(i) walltkuwa na kinga kwa mashtaka yo YOle ya jinai au


hukukia.
(ii) watakuwa na kinga ya maelezo wanayoyazungumza;
na
(iii) hawmokmnatwa wakati wakiwa kalika shuglluli hizo.

117.-(1) Bila ya kuatlliri kifungu hiki, lugha rasmi ya Baraza la Lughar.. mi


Wawakilishi itakuwa oi Kiswahili.

(2) KilaMuswada (pmnojana vijalizo vilivyofualana naMswada),


kila :-;hcria inayotungwa na Daraza. kila sheria ya msingi au sheria
inayopenuekezwa chini ya chombo eha sheria oa Baraza, maaflkiano yote
ya kifcdha na nyaraka zenye kuhusiana oa kila sheria halisi au
inay{)pcntickezwa. kusahihishwa au inayoendelea itaandikwa kwa lugha
ya Kisw'~lili na ikihilajika kwa lugha ya Kingereza.

118.-(1) Baraza la Wawakilishi pmnoja na kuongoza shughuli zake Kazi za


kUlokana na vifungu vya Katiba hii,litafanya kazi kwa mambo yafuatayo Baraza 1&
Wawakilisru.
ya ulekelezaji:-

(a) kUlunga sheria pale amoapo ulekelezaji wajambo unahitaji


kuwepo kwa ~hcria hiyo:

(0) kuiadili shughuli 7"" kila Wizara wakali wa kikao eha


mwaka elm Bajcli kalika Daraza la Wawakilishi.
44
(c) kuuliza masuala mhali mhali kwn Serikali ya Mapinduzi
l',anzihar Imlika Baraza In Wawakilishi; .

(d) kuidhinisha nn kusimmnia mipango ya maendeleo ya


Scrikali kalikn njia ilc ile amhayo Bajeti ya mwaka
illaiuhinishwa.

Sehemu ~'a Tatu

Kuitisha na Kuvun.ia Bara1.3 la \Vawakilishi

Kuiti ...ll:l 119.·(1) Bila ya kualhiri kifungu hiki kiln kikao eha Baram kiiakutaua
Kibo ella
schcITIu yo Yiltc kalika Zanzihar na kitafanyika wakati w() wote afl\bapo
[LI! aZa 1;1
Wawakili~hj. R:lis ata,ulluru.

(2) KUlakuwa na kikao 'ella Darnza la Wawakilishi angalau mara


moja kila mWlIka na kipimJi ella miczi kumi na mhili hakitopita baina ya
kikao kimoja na chcnginc.

Uchagu:tj 90.-( I) Wakali Oaraza litakapuvunjwa, uchaguzi mkuu wa Wajumbe


;"'H..-UlIll:l wa B,lraza 1:1 Wawakilishi u1.afanywa na kikaoclm Barazajipyakitafanywa
;"'1kulalill wa si zaidi ya siku lisini IOka kuvunjwa kwa Baraza.
IllwaUZll.

(2) Bib kU<lthiri rnashm·ti ya kifungu hiki; kikao eha Baraza la


Wawakilishi kalikn rnkulano wowolc wa Baraza kilafmlyika wakati wO
wote na siku yo yote kama ilakavyoclezwa kulingana na Kanuni za
Baraza.

Kuitisha n<l 91.·( I) Rais wakali w()wolc anawcza kuitisha Baraz.'1la Wawakilishi
kuvunja
kuendclca na shughuli zake.
Bara7.<lla
Wawakilishi,
(2) Rais halakuwa na uwezo wakati wowote wa kulivunja Baraza
la Wawakilishi isipokuwa Ill:

(a) Kama Daraza la Wawakilishi Iimcmaliza uhai wake kwa


mlljihu wa kiflillgU ella 92 eha Katiba: au

(h) Anawcza kulivunja wakati wow()te mlanf ya miezi kumi na


mhili ya mwisho ya uhai wa Barnza la Wawakilishi kwa
madhumuni ya kuitisha Uchaguzi mapema kidogo; au
45
(c) Kruna Baraza la Wawakilishi limekalaa kupilisha Bajeti
inayopendekezwa na Scrikali: au

(<I) Kama 8=.,1" Wawakilishi limcka~1a kupilisha Mswada


wa Sheria kwa mujihu wa kifungu cha 79 cha Kaliha; au

(e) Kmna Baraza la Wflwakilishi limckalaakupilishahnjaamb~yo


ni ya msingi kalika sera za Scrikali na R.:'lis anaona kwamba
njia muafaka ya kulinda mm;lahi ya Taifa si kuvunja Baraza la
Mawaziri au kulcua Waziri Kiongozi mpya hali ni kuitisha
Uchaguzi Mkuu; au

(1) Enuapn. kutokana na u.wiano wa uwakilishi wa Vyama vya


Simm kalika BarllZa la Wawakilishi, Rais anahisi kwarnba
hakuna uhalali kwa Serika.li iliyopo kucndelea kuwapo na
wala haiwezekani kuunda Serikali mpya.

Isipokuwa kwrunha halaweza kulivunja Baraza chini ya masltarli


ya vijifungu (h) (e) (e) na (f) kruna Spika amcpokea laarifa
ra.~mi inayopendekeza kuundwa kwa K,unmi Maalum ya
Uchunguzi kwa madhumuni ya kumunndoa Rais madarakruli
kwa mujihu wa kifungu elm 37 eha Kaliha.

(3) Dila ya kualhiri IIlw;harti yoyote ya Kaliha. Spika anawel. a wakati


Wllwote kuliitisha Baraza 13 Wawakilishi kwajamho la dharura haalla ya
kUp..1ta ombi Ia Mjumbc wa Barnza un Spikaakaridhika kwamha sababu
zilizoelezwa katika omhi hill) ni za msillgi na ina faa Baraza In Wawakilishi
kuilishwa .

92.-(1) Maisha ya Baraza la Wawakilishi yatacndclea kwa muda. wa Maisha ya


miaka milano Hmgu t..'lfche ile ulipoitishwa Mkut..1110 wake wa kwanza Baraza la
WawakHishi
baada ya kuunowa. ila IU pale iwa[X) Bamza la Wawakilishi limcvunjwa
mapcma kutokana na sahahu mhali mhali zilizoelczwa katika Kaliha hii.

(2) Wakati wowotc Tmlz,mia ilaka[X)kuwa iko kwcnyc vita,


Bawl. a 1<1 \V~lwakilishi lawcla mara kwa mara kuollgcza kipim1i elm
mia.k.a mitan() iliyoelezwakatika kijifungu (I )cha Kifungu hiki nasi zaidi
yet miezi sit;] kWH wakati mmoja.

SURA YASITA

Sheria

Sehemu ya Kwanza-Mahkama Kuu

Kuundwa 93.-(1) Kutakuwa na Mahkruna Kuu ya Zanzihar arnbayo itakuwa


kwa
ndio Mahkarna ya kumbukwnhu na kuwa na marnlaka yote ya Kesi za
Mahkama
Kuu
Jioai na Hukukiya oa oguvu nyengine zitazopcwa kwa mujihu wa Katiba
hii au Sheria nyeogine yoyote.

(2) Majaji wa Mahkmoa Kuu watakuwa .fuji Mkuu oa Majaji


wengioe, wasiopungua wawili wataojulikana kama M~iaji wa Mahkama
Kuu.

(3) Mahkarna Kuu itakuwa imekarnilika kisheria lieha ya kuwa


oa oafa"ii wazi ya kiti eha Jaji wa Mahkama hiyo.

(4) Kazi ya .faji haita.lutwa wakati yupn mtu aliyehusika na


maradara ya kiti cha .1 aj i.

(5) Mallkmna Kuu itakm' pahala popntc ,unhapn Jaji Mkuu


aUllcapoteua kwa ajililhiyn.

Uleu"Li wa 94.-( 1) Jaji Mkuu aUllculiwa na Rais.


rnajaji wa
Mahkama
Kuu
(2) Majaji wa Mahkama Kuu watateuliwa na Rais baada ya
kushauriana Ila Tume ya m~jiri ya Mahkmna.

(3) Mlu hatoweza kuteuliwa kuwa Jaji wa Mahkmna Kuu IJlpaka:

(a) awe na shah ada ya Sheria ya Chuu Kikuu kinachotamhuliwa


au Chun eha aina hiyo: na

(h) (i) awe au mnewahi kuwa .Iaji wa Mahkama zilizofaoana oa


hii kwa Kcsi zoic I':a .linai na JIukukia katika TcUlZeUlia au
sehemu yoyotc ya Jumuiya ya Madola au Mahkama yenye
Ill<unh,ka ya RulflCl kUlOka Mahkama hizo, au

(ii) awc ni Mwanashcria wa Zmlzihar au Tanzania kwa


kipindi kiskhopungua miaka saha: au

(iii) awc na uzocfu. wa (i) na (ii) kwa prunoja usiopungua


miaku saha.
47
(4) I1Citokea kwamha kili cha Jaji kilakuwa wazi au kwamha .laji
Mkuu atashirl"d)\'a kutekelcza kazi zak~ kwa sahahu yoyolc. nasi kazi hil':o
zitatekelezwa .{a.- ~aji mmoja wapo atakayctculiwa na Rais wa Z,Ulzihar
kwa ajili hiyo kamfL-Kaimu Jaji Mkuu nn Jaji huyo alalckclcza kazi hizo
mpaka atakapoteuliwa Jaji Mkuu mwengine nn kushika madaraka ya kili
eha Jaji Mkuu au mpaka .Iaji Mkuu mwcnyewc amhac alikuwa hmnuuu
kazi zake atakaporejea knzini.

(5) Ik~wa J,!ii Wei Mahkama Kuu mllclculiwa kuwa Kaimu J~ii
Mkuu au kwa sahaou nycngine yoyotc 'ile hawczi kuf::Ulya kazi zake za
Uj~ii au ikiwa Jaji Mkuu atamshauri Rais kwamha kwa hali ilivyo
Mahkama Kuu inahitajia Jaji mwenginc. Rais akishaurhUla nn Tume ya
u~iiri yaMahkmna, anawczakumtcua mIll YCYOIC kllwa.l;~ii wa Mahkama
Kuu bila ya kujali nmri ulioclezewa kalika kifungu t)'i( I) ella Kaliha hii.

(6) Mlu yeyole :~iyeleuliwa chini ya ki.jii"ullgu ella ('i) kushikilia


nafasi ya Jaji wa Mahkama Kuu. atacndclca hila kuathiri malakwa ya
vijifungu (4) na (6) vya kifungu <)5, kushika wadhifa hun haui hapo utcuzi
wake utapofutwa na Rais kUlokmm na ushauri wa Tume ya tJajiri ya
Mahkama na ataendelea kushikilia wadhifa huo kwa Inulla ulaokuwa
muafaka kwa kUloa hukcunu au kufanya killl chcnginc chochotc
kutokana na mambo amhayi) ymnefanyika mhclc yake.

95 .. (1) Bila ya kuatlliri rnasharli ya kifungu hiki .laji wa Mahkmna Kuu Mud. wa
k\l<;hika
ataendelea kushika wadhif:a wake hatH kufikia lJlnri wa miaka sitini na madaraka ya
lano. Ujaji

(2) Licha ya kuwa Jaji mnefika umri ulioainishwa katika kijifungu


(1) hapojuu, Jaji wa Mahkama Kuu ataendelea kalika wadhifa wake hun
hala baada ya kufikia umri huo mPllka pale alapnm:~iza shughuli zOIC
ambazo zilimftkia yeye kahla ya kutimiza umri huo.

(3) Jaji wa Mahk::una Kuu ya Zanzihar awcza III kuom.lolewa


katika madaraka yakazi ya .laji kwa sabahu ya kushindwa kUlckeleza kazi
zake (ama kutokana na sababu nyengine YOyoIC) au kwa sHbahu ya lahia
mbaya, na hataweza kuonuolewa kazini ila kwa mujibu wa ma!"harti ya
kifungu hiki.
-IX

(4) Jaji wa Mahkamll Kuu :11;UlIldlllcwa kazilli na Rllis ikiwa suala


la kuollliolewa kwakc limcpcickwa kwa TUIIl!.: iliyounuwa kwa
madhumuni haytI chilli ya kijifullgU eha (5) eha kifull!!lI hiki na 'I'ume hiyn
imcpcmlckeza kwa Rai . . kwmnha .I:lji huyo ana faa kuolltiolcwa kUlnkana
Ita kutomuuu kazi 'lake au kutokana Ila lahia 'lake mhaya.

(5) Iwapo Rais anaona kwamha suala la kUllillonlioa Jaji Mkuu


kazini Iinahitaji kuchunguzwa, au iWlIpo .laji Mkuu alapch:kwH kwa Rais
bV:llnha suaJa la kUlIluonuoa .I;lji Iinahilaji klll•.'hLlII~L1zwa:-

(a) Rais alall!lIa Mwcnyckiti II:! WajulIlhc wawili amhao ni


M:~i:~ii au watu waliopala kuwa Majaji wa Mahkarna Kuu
ya 'I.i.lIlzihar ,Ill Y:I.lamhllri y:l MUUlI!!.11U1 ;11I Mahkam:t ya
Rufaa ya kesi za Mahk;una hizo.

(h) Tume hi yo iiachunguzil shauri lolc halalli itatoa taarira


kwa Kais wa Zanzihar kuhllSII maL'ic/o ya shauri 101t: na
it;unshauri Rais wa 1':IIl/.ih:u· kama huyoJaji anaychusika
aomJolewL' kazini kW;1 lIlujihu wa ma"harti ya kirllll~lI
hiki kwa :-.ahahu ya ku.,liilldwil kufanya ka/.i kUlokana IIti
maratlhi au sah:lhu lIyell~ill\,.' yoyolt: all k\va sahahu ya
tahia mhaya.

(0) Ikiwa ... uala Iii kunl\\'(llld~);I.l:tii kal.illi limqx:h:kw:t kwenye


TUlTlc kwa ajili ya lIchungll/.i kwa IIII11ihll \\';1 m:l.,h:lni y:1 kifllllgu hiki
Rais akishaudana na TUlTle ya u:~iiri ~:I ;'bhk:lIllil kwa suala la .I'lji W<I
Mahkalll:l Kllll. all kwa pcmlckC/o lakL' III\\'L'II)'CWC k\\':1 suala la .Ia.ii
Mkuu, anawcza kumsilll:llni.... ha k:l/i Jaji hllYo :tll:lehusika na
kusim.unishwa kazi huko kUllaWl'/:1 \\'ak:ili \\"{) wote klll~llgllliwa kW(I
mpango ole uk ulioclczw:1 wakali \\';1 kusilll;tmi:-.hw:t ka/.i lIa kwa \'yc
"yulc "ill: U:IIIlU/.i huo Wil klisilll:lIlIi"l!\\'a "ka/i lJlakuwa hauna nguvu yc
yOIl.' pall.' TUlIlc itapopclIdckl.'l.<I kw;uilha Jaji huyo asingcslahili
kU()IHi<lJcW;t kal.ini.

"lapp k\\.1
l)(i. Jaji wa Mahk.:llna Kuu haloanl.a kal.i zakc mpaka kwanza alt
\lapllI \\..1
kiap<~dla u:uniniru lIa kiap() chcngilll'l'h() dUltl' kitHl'h()wl'kwa na Sherif
\bld'::III1,'
KUII. kwa ;~iili hiyo.
tn. ltakuwa ni marufuku kwa Jaji wa Mahkam:l KilL! (pamoja na Jaji !'anadl:llll,l
Mkuu). Mahakimu wa ngazi ZOIC. Mrajis. Kaimu Mraji~. l\:;liou Mrajis katika Vyal11a
\'ya Si;..~a
na Msaidizi Mrajis na Makadhi wotc (pmTIoja na Kadhi Mkuu ) kujiunga
11;, ('hmna chochotc ella Si,l,a isipokuwa tu kwmnoa alakuwa na haki ya
kllpiga kura iliyotajwa katika kifugu cha 7 cha Katiha hii.

Sehemu ya Pili

Mahkama ~'a U.uf.m

9K. Kutakuwa na Mahkama ya Ruf;m kwa 'I'anzania amh:IY() ifakuw;1 Killalllhuhwa


j\1;lhkama ya kumhukumhu ya kcsi zoIc zinazopclckwa mhclc yakc kwa k ..... a
ya
ajili ya rufa,,'! na ilakuwa na mamlaka na uwczo kWH kcsi hizo kuling:m:l \1aJlkal11a
Rufaa.
na masharti yo YOIC yatakayoclczwa katika shcria iliyotungwa na Daraz:!
[;1 \Vawakilishi.

99.-( I) Ulcuzi wa Ma.iaji wa Mahkarna ya ({lIraa. muda wa kllshika Kat.l l1a


!11:ldaraka yao.nguvu. mmnlaka na kazi zan zilakuwa kama zitavyoanishwa
\1altkallla
I\:lIika Sh~ria zinazohusiana na Mahkama ya RlIraa ya T'lfl"ltillia. ya Rufaa.

(2) Mahkama ya Rufaa hailakuwa na uwezo wa kusikiliza kcsi


I.o/.ote zinazohusiana l1a:-

(a) Tafsiri ya Katiha hii.

(h) mamh() ya Kiislamu mnhay() y:uncanzia katika M:lhkama


za kadhi.

(c) m:unho mengine yo yotc yaliyoainishwa kalika Kaliha hii


au shcria nycngine yo YUle iliyolungwa Ita [Jaral.a 1<1
Wawakilishi.

Sehemu ya Tatu
Mahkama Nyenginelo

lHO.-( I) Damza la Wawakilishi IinawczakuanzishaMahkamanyenginc KU.lnli~hwa


kwa
l.i1iz() chini ya Mahkama Kuu na hila kuathiri m;:L"iharti ya Kalina hii.
~ahkalll,L
Mahkmna hizo zilizoainishwa zitakuwa na uwczo na madaraka )'a aina lly<·I1t!Lll<·.
illllhilyO yalaainishwa kalika Shcria.
50
(2) Mahkama Kuu itakuwa na mamlaka ya kuchunguza kesi ya
aina ye yote ile, ama ya Jinai au Hukukia kutoka Mahkama za chini, na
inaweza kutoa arrui au maelekezo ya aina yo yote imyoona yanafaa kwa
madhumuni ya kuona kwamba haki inafanyika ipasavyo.

Sehemu ya Nne

Ularalihu wa Kupeleka Hali na Kulekeleza Maagizo Yaliyomo


Katika Dati zilizotolewa na Mahkama

Utekelezaji 101.-( 1) Hati zenye maagizo yaliyotolewa na Mahkama za Tanzania


wa maagizo Bara na Mahkmna za Zanzihar katika mashauri ya madai ya aina lOte na
ya Mahkama
mashauri yajinai ya aina zotc (pamo.ja na hali za kuamuru kukamatwa
utafanywa
nchini watu) zaweza kupelekwa mahali po pote nchini Tanzania oa maagizo
Tanzania hayn yaweza kutekelezwa mahali po pote Behini Tanzania kwa kufuata
kate. masharti yafuatayo:-

(a) iwapo Mahkama imetoa hati yenye maagizo


yatakay()tekelezwa mahali mnbapo Mahkmna hiyohaina
mmnlaka: ba~i hali hiyo itapclckwa huko na maagizo
yaliyomo katik.:'1 hati hi yo yatalckelezwa kwa mujihu wa
ut.ruoatihu ul1()oatumika huko kwa ,~iili ya kupeleka ~ati au
kutekeleza maagizo yaliyomo katika hati iliyotolewa na
Mahkmna yenye mmnlaka huko ilikope1ekwa hati: na

(h) iwarx) sheria illayotumika huko ilikopclekwa hati imeweka


mm;harti kwrunha hati zilizotolcwa na Mahkama ya mah.:'lIi
penginc ni lazima ithihitishwe kwrulza na Mahkama
yenye mrunlaka mahali hapo inapotumika Sheria hi yo
hmd kila hati iliyotolewa na Mahkruna ya mahali pengine
itabidi ithihitishwc kwanza kwa mujibu wa Sheria hi yo
kahla maagizo yaJiYOIDl) katika hali hi y() hay:~iatekelezwa.

(2) Iwapo mlU amckmnatwa mahali po pOle nchini Tanzania


kwa mujihu wa hati ya kumnuru kukmnatwa kwake i1iyotolcwa na
Mahkama runhayo haina mamlaka mahali hapo aJipokrunatwa mtll huyo,
basi mtu aL:'lhesabiwa kuwa yuko chilli ya ulillzi halali na anaweza
kuftkishwa mhele ya Mahkama iliyotoa hati hiyo, lakini masharti haya
yaliyomo katika kifungu hiki itahidi yatumiwc hila kuathir~ masharti ya
Serikali inayotumika hap() mahali alip()kamatwa mIll huy().
51
(3) Masharti yaliyomo katika kifungu hiki hayalaZuia Sberia
kuweka utaratibu kwa ajili ya kupeleka nje ya Tanzania bati zilizotolewa
na Mabkama za Tanzania Bara au Mabkama za Zanzibar.

Sehemu ya Tano

Tume ,ya kuajiri ya Mahkama


"-
102.-(1) Kutakuwa na.l;ume ya kuajiri ya Mabkamaambayo i!alcuwa Tumey.
na Wajumbe wafuatao:- kuajiri ya
Mahkama.
(a) Jaji Mkuu kama Mwenyekiti;

(b) Mwanasheria Mkuu akiwa ni Makamo Mwenyekiti;

(c) Watu wawili ambao kwa wakati huo ni miongoni mwa


Majaji wa Mabkama Kuu au Majaji wa Mabkama yo
yOIe ya Rufaa na yenye mamlaka yake Zanzibar;

(0) Mwenyekili wa Tume ya Utumishi Serikalini; na

(e) Mlu mwengine ye yOIe ambaye Rais ataona anafaa.


\~:I \ .
(2) Katika kUlekeleza wajibu wake chini ya Katiba hii, Tume
haitolazimika kuchukua amri au maelezo kwa mtu mwengine ye YOIe.

(3) Tume inaweza kufanya shughuli zake bila ya kujali narasi


iliyo wazi ya Mjumbe au kUlOhudhuria kwa Mjumbe ye YOIe, na shugbuli
zake hazilobatilika kwa Mjumbe ye YOIe, na shughuli zake hazitobatilika·
kwa sababu lu ya kuwepo au kujiingiza kikamilifu katika mjadala kwa
mtu,ambaye habusiki.

lla ijulikane lu kwamba uamuzi wo wole wa Tume hauna budi


papatikane wingi wa kura za Wajumbe WOle.

103.-(1) Uwezo wa kuwaleuwa walu kushika nyadhifa ambazo Uteuzi wa


kifungu hiki kinabusika (pamojana uwezo wa kuwabakikisha uleuzi wao, Afua wa
Mahkama.
uwezo wa kuchukuwa halua za kinidhamu kwa watu wanaoshikilia
nyadhifa hizo zitakuwa mikononi mwa Tume ya Uajiri ya Mabkama

(2) Tume ya Uajiri ya Mabkama inaweza kwa maandishi,


kumuagiza mlu ye YOle aHyomo katika Tume hiyo au Jaji wa Mabkama
Kuu au mtll ye yote anayeshikilia dhamana zilizomo chini ya kifungu hiki
52
kufanya sbughuli zake zilizopo katika kijifungu (I) cba kifungu hOO kwa
mashani kama yatavyowekwa na Tume.

lla IU pale ambapo sbugbuJi bizo zinatakiwa ujuzi wa Kisheria


ljazitotekelezwa na mtu mwengine ila mmoja au zaidi ya Wajumbe wa
Tume ya Uajiri ya Mabkama.

(3) Aftsi ambazo kijifungu biki kinabusika ni:-

(a) Afisi ya Mrajis au Naibu Mrajis wa MabkamaKuu;

(b) Afisi ya Hakimu na Hakimu wa Wilay".

(c) Afisi ya Hakimu wa Mabkama ye yote ya cbini yenye


mamlaka ya kesi za jinai; .

(d) Alisi ya kadbi;

(e) Afisi nyengine zo zote za Mjumbe wa Mabkama au


zinazobusiana na Mabkama kama itavyoainisbwa na
Baraza la Wawakilisbi.

SURA YASABA

Sehemu ya Kwanza
Fedha

Masharti ya Fedha yahusuyo Serikali ya Mapinduzl Zanzibar

Mfuko Mbm
104.-(1) KutakuwanaMfliko Mkuu wabazina yaSerikali yaMapinduzi
wa Harina na
fedha' ya Zanzibar ambao bila ya kuathiri sberia nyengine yoyote inayotumika,
nyengioe za zitawekwa fedba zote zitakazopatikana kutokana na njia mbali mbali kwa
Serikali ya ajili ya matumizi ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kwa:-
Mapind.w ya
Zanzibar.
(a) kulipwa Imtikamfuko wa Serikali (mbali na ule mfuko wa
Hazina) na arnbao utawekwa kwa_shugbuli maalum, au

(b) kwa kuwekwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar


katika Mabenki mbali mbali ndani na nje ya nchi kwa
madhumuni ya kulipa matumizi yo yote ya Serikali ya
Mapino"zi ya Zanzibar.
53

11.1 ijulikane lu kwamba fedha hizo hazilolOlewa kUloka mfuko huo


mpaka iwe ulolewaji wa fedha hizo umekubaliwanaSerikaii ya Mapinduzi
ya Zanzihar au kwa sheria iliopitishwa nn Baraza la Wawakilishi kwa
madhwnuni hayo.

105.-(1) Waziri anaehusika na fedha alatayarisha makadirio ya Mokadirio,


malumizi kwa ajili ya Serikali kwa mwaka unanfualia na amyapeleka
Baraza la Wawakilishi.

(2) Makm.lirio ya matumizi yalaonesha matumizi mhali mbali


yanayohitajika kisheria (kama yalivyoL1fsiriwa kalika kijifungu (3) eha
kifungu 106 na matumizi mengine ya kawaida ambayo yanahilajika
kUlolewa katika Mfuko wa Hazina,

106,-( II Waziri ,mayehusika na mmnho ya fedha aL1peleka Baraza la Ruhusa ya


Wawakilishi mapema iwezekanavyo, kila IJIwaka wa fcdha unapoanza malurruzi ya
Mfuko Mkuu
Muswada kwa ajili ya kuidhinisha matumizi ya Serikali ukiwa na kasrna wa Hazina
zinazohusika kwa shughuli rnbali mbali zinazohitaiika pamoja najumla kwa Sheria ya
ya fcdha zotc zinazoombewa kwa matumizi hayo mhali na malumizi matumizi ya
yrumyohilajika kisheria kwa mwaka hun wa fcoha. fedha.

(2) lnapolokea:-

(a) kwamba fcdha zilizotumika au zinazolaka kutumika


katika mwaka WowolC wa fcuha kwa madhumuni fulani
ni zaidi ya fedha zilizoruhusiwa na Sheria ya Matumizi
ya mwaka ule: au

(b) kwamba fedha zilizolumika au zinazotaka kutumika


(mbali yarnalumizi yanayohilaiika kisheria) kwa mwaka
wo wole ule wa fedba kwa rnadhumuni yo Yl~e yale na
ambayo fedha hazikuidhinishwa katika Sheri a ya
Matumizi ya mwaka ule:

Maelezo ya malumizi ya ziada, au, kadri itavyokuwa Makadirio


ya malumizi ya nyongeza yaL1wasilishwa kwenye Baraza la Wawakilishi
kuyakuhali hayo Makadirio ya Malumizi ya Nyongeza au Maelezo ya
Matumizi ya Ziada, kutawasilishwa kwenye Baraza la Wawakilishi
Muswaua wa Sheria ya Malumizi ya Fcdha za Serikali kwa ajili ya
54

kuidhinishwa matumizi ya fedha kUlOka Mfuko Mkuu wa Hazina ya


Scrikali. na fcuha hizo zitatumiwa kulipia gharama za shughuli
zinazohusika na Makadirio au Maelezo hayo.

(3) Kwa madhumuni ya kifungu hiki na vifungu vitavyofuata


"Malumizi yanayohilajika kisheria " maana yake ni:-

(a) matumizi yanayotoka kalika Mfuko Mkuu wa Hazina au


katika Mapato ya Taifa kwa masharti ya vifungu vya
sheria nyengine yo yote inayotumika;

(b) ribajuu ya deni la Taifa, fedha zinazowekwa akiba kwa


ajili ya kulipa d,eni, na gharama zote ambazozinaambatana
na usim.::unizi wa tlcni hilo.

Malipolli 107.-(1) Hakuna malipo yalayofanywa kUloka Mfuko Mkuu wa


kwa idhini Hazina ila kwa idhini ya Waziri anaehusika na fedha kwa kuloa waraka
ya hali
maalurn.
ma.-l.lum kUhu'su matumizi haYD.

(2) Bua ya kuatbiri masharli ya kifungu 108 hakuna idhini


itayotolewa ila kwa malumizi yaliyokubaliwa na Sheria ya Malumizi ya
mwaka unaohusika au kwa maelezo ya ziada au kwa kadri itavyokuwa
matwnizi ya nyongeza yaliyoidhinishwa na Daraza la Wawakilishi kwa
mujibu wa kifungu 106 (2) au kwa shughuli ambazo kisheria zinalipwa
tuka katika Mfuko Mkuu wa Hazill3.

Matum.izi ya 108.-0) Baraza la Wawakilishi linawezakutungasheriakwakuanzisha


Mfukowa
mfuko wa Matumizi ya Dlmrura na kwakumruhusu Waziri anaeshughulikia
dharura.
mambo ya fedha, ikiwa ataridhika kwamba kumekuwa na jambo la
dharura na m!l"imu linalohilaji malumizi na ambalo hakuna njia nyengine
ya kisheria ya kupata malumizi hayo, kuloa fedba katika Mfuko huo kwa
ajili hiyo,

(2) Pale ambapo fedha zimelolewa katika Mfuko huo, Malumizi


ya Nyongeza yalapelekwa Baraza la Wawakilishi kwa haraka
inavyowezekana kwa madhumuni ya kuzirejesha fcdha hizo zilizotumika.

Matulll..i:t.i ya \tJ9.·(l) Iwapo mwaka wa fedha wa Serikali umeanza na Sheria ya


fedha kabla ya Malumizi ya Fedha ya Serikali inayohusika na mwaka huo baijaanza
sheria kuanza.
kutumika basi Rais wa Zanzibar anaweza kuidhinisha fedha itolewe
kllloka Mfllko Mkuu wa Hazina ya Serikali kwa aiili ya kulipa gbarama
55
za lazima za shughuli za Serikali. na fcoha hizo zitalumika kwa kipindi
kisichozioi miezi mitalu langu rnwanzo wa mwaka wa fcoha au mpaka
Sheria yaMatumizi yaFeOha7..aSerikaJi ilnkapoanl.akulumika. Kutegcmea
ni Ii pi kati ya mamho hayo litakalOlokca marcma zaidi.

(2) Kwa sharti ya kwamba uidhinishaji huo kwa kipindi


hicho haUlOzidi mho ya fcdha ambazo ziliombwa kutoka Mfuko Mkuu
wa Hazina kama zilivyoidhinishwa na Oaral.a la Wawakilishi kwa kipindi
';ha mwaka wa fctlha uliom(~izika; lakini na vile vile kwa sharti ya
kwamha fcdha hizo kwa paJm~ia zitaingizwakmika vifungu vinavyohusika
katika Sheria ya Matumizi ya Fedha inayofuala.

1111.·( I) Ikni la Scrik;di yaMapinduzi yaZanzibar litadhaminiwa no Deni ta


Mfuko Mkuu wa Bazina ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar. Smkali ya
Mapinduzi
ya Zanzibar.
(2) Kwa madhumuni ya ufafanuzi wa kifungu hiki, deni la
SerikaJi ya Mapinduzi ya Zanzihar maana yakc ni deni lenyewe na pia
faida inayolipwa juu ya ucni hilo, [cuha zinazowekwa akiha kwa ajili ya
kulipa deni pole pole na ghanuna zile zinazoamhatana na usimamizi wa
dcni hilo.

111.·( I) Watumishi wa Scrikali wanaohusika na ma,harti ya kifungu MaJipo ya


hiki watalipwa mshahara na posho kmna ilavyoelezwa na Sheria baadhi ya
maafisa.
iliyotungwa na Oaraza la Wawakilishi.

(2) Mishahara na marupurupu kwa watu wanaoshika nyadhifa


zin3Z0husiana na kifungu hiki pamoja na maJipo ya uzeeni na kiinua
mgongo italipwa kUloka Mfuko Mkuu wa Hazina.

(3) Mishahara inaynlipwa kwa watu wa aina hii (mbali na posho


::unhalo linazingatiwa kalika pcncheni) haulohadilishwa kwa madhwnuni
ya kumk::mdmniza haada ya kUleuliwa kwake.

(4) Inapokuwa mshahara wa mtu au ma,harti mengine ya


ulumishi ymlHlegemea na kuchagua kwake. mshaharaau mashani ambayo
kwa madhumuni ya kijifungu eha 0) yatajaaJiwa ni kwa manufaa yake
zaidi kuiik(mi m~hahara au masharti mengine aliyoyawacha.

(5) Kifungu hiki kinawahusu Waziri Kiongozi, Jaji Mkuu


Majaji wa Mallkruna Kuu, Majaji w. Mahkama ya Rufaa, Wajurnbe wa
Tume ya Utumishi Serik;~ini. Mwana,heria Mkuu n. Mdhibiti na
Mkaguzi Mkuu wa Hesahu za Serikali.
56
Mdhihiti n, 112.-(1) KUlakuwa na Mdhihiti na Mkaguzi wa Besahu za SerikaJi
Mkaguzi ya Mapim.luzi ya Zanzihar atakaeleuliw3 na Rais.
Mkuu wa
Hesabu za
S"ikali. (2) Mlu hatoweza kuehaguliwa kuwa Mdhihiti na Mkaguzi
Mkuu wa Hesabu za SerikaJi mpaka awe na sifa zifuaL:'lzo:-

(a) Shahada ya Chun Kikuu inayotamhulika inayohusiana


na mamho ya Uehunguzi wa Besanu; au

(h) Shahada nyenginczo za diploma za uchunguzi wa


hcsahu: na

(c) Mafunzo yanayohusiana l1a mambo hayo ambayo


yrunepatikana baada ya Kupata mqja kati ya shahada yo
yote iii ynainishwa !GIli ka kijifungu eha (2) (a) eha kifungu
hiki na kw"mha ,unefanya kazi katika 5hughuli hizo kwa
muda usiopungua miaka mik111O.

0) Mdhihiti na Mkaguzi Mkuu wa lle",hu atumwa na jukumu


juu ya mambo yafuatayo:-

(a) kuhakikisha kwrunha feuha zoiC zinazokusuuiwa kutolewa


kUloktl MfukoMkuu wa hazinaya SerikaJi ya Mapinduzi
ya Zanzihar malLJlllizi yake yamcidhinishwa kisheria na
iwapo atatoshcka kw::unha ma,harti hayo yatatekelezwa
ipasavyo, hw-li alaidhinisha feuha hizo zitolcwe;

(h) kuhakikisha kw:unha fedha zotc :unhazo matumizi yake


ymneiuhinishwa yamllokana lill feuha zilizomo kalika
Mfuko Mkuu wa Hazina ya Serikali ya Mapinduzi au
feuha mnhazo matumizi yake yameiuhinishwa na Sheria
iliyolUngwa na l3araza In Wawakilbhi, na amhazo
zimelUmika kwa;~iiJi yashughuli zilizohusika na matLUnizi
ya fcuha hizo na kw.unha matumizi haYD yamefanywa
kwa kufuala iuhini i1iyolOlcwa kuhusu matumizi hayo:
na

(c) angalau mara moja kila mwakakufallya ukaguzi nakulOa


taarifajuu ya ukaguzi wa hesabu za Scrikali yaMapinuuzi
yaZanzihar. hcsahu 'l.inazosimamiwana watumishi wotc
wa Scrikali ya Mapinliuzi ya Zanzibar. hesabu za
57
Mahkama zoic za Zrulzioar, hcsahu za Tume au vyombo
vyengine vilivyoainishwa na Kaliha hii na hcsahu zozote
zinazohusika n,( r Baraza Ia Wawakilishi.

(4) Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hcsahu na kila mlUmishi


wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzihar aliyeruhusiwa na Mdhihiti na
Mkaguzi Mkuu wa Hesahu atakuwa na haki ya kuchunguza vitahu
kumhukwnbu, hali zamaclczo. taarifa na rulti nycnOginezozotezinazohusika
nahesahu 1...:1 aina yo yotc iliyolajwa katika kijifungu 0) elta Kifungu hiki.

(S) Mdhihili 11<1 Mkaguzi Mkuu wa IIcsahu alawiL..;i1isha kwa


Rais kila taarifa alakayotoa kWH mujihu wa mashmti ya kifungu en (c) ya
kifungu hiki. Baada ya kupokea tamifa hiyo Rais atawaagiza watu
wanaohusika wawasilishc taarifa hiyo kwenye kikao eha kwanza eha
Baraza la \Vawakilishi kitachofanyika haada ya Rais kupokca taarifa hiyo
na itabidi iW;:L'\ilishwe katika kik:l() hielu) kahla y:1 ~lIpila siku sa: .! langu
siku He kilipom17:a kikao hicho.lwa(1() Rais halaelllikua hatua za kuwa:.;ilisha
li1L'l1ifa hiyo kwcnyc Daraza Ia \Vawakilishi. hasi Mdhihili na Mkaguzi
Mkuu wa I-Icsahu alawmdlisha taarifa hiyo kwa Spika wa Baraza la
Wawakilishi au Naihu Spik:! :lmha!.: al:lw:\silisha taarifa hiyo kwcnyc
[3araza la \Vawakilishi.

(6) Mdhihili na Mka~lIzi wa I h:sahll alakuwa pia Ita jukumu la


kutekelcza kazi za shughuli Ilyin~in!.:. na alakllwa 11:1 madaraka menginc
ya Hamlla mhali mhalL kama itaka\'yoelczwa 11:1 shcl:ia; kuhusu hcsapu za
Serikali ya Mapinuuzi y,l 'l.'<IIlZih'\f au hes,lhu Y;I Mi\shirik:r'll<\ M;lkan~rlUlli
ya Umma ya Zanzihar.

(7) Katika kUlckclcza madaraka )'akc hva Illujihu wa m:L,\harti


ya kijifllllgll 0). (4) na (5) )''' kifllll~u hiki. Mdhihili II" Mkaguzi Mkuu
wa hcsahu halalal".imika kuruata amri au maagizo ya mlu Jnwenginc yc
yote au Idara yo YOlc ya Scrikali. lakini maclczo haya ya kifullgu hiki
hayalaizuia Mahkama nayo kutlllllia lIladaraka yake kwa ajili ya
kuchllll~lIza kama Mdhihiti na Mka~t1zi Mkull wa Ilcsahli amctckelcza
mauaraka yakc kwa lIlujihll wa masharti ya Kalina hii au siyo.

(X) Mdhihiti na Mkagu/i Mkull wa Ilesahuza Serikali haloanza


kazi yake ila kwanza ale Kiap\) eha { Jamillifllll:J kiapo dlcnginc ellO chote
kilachowckwa lIa I3araza la \Va\\'akilishi kwa ajili ya utenuaji wake wa
kazi.
KUl1l1hlll(h.:\ \13.-(1) Mdhihili lIa Mkagllzi Mkllu wa lIesahu allaweza IU
kazini
kuomlolewa katika maumaka ya kazi yakc kwa sahahu ya kushinuwa
~1dhihill lin
~1kaguzl kUlckclcza kazi zake (am a kutokana na rnarauhi au sahahu nyengine
:..1kl.llJ wa yoyolc) au kwa sahahu ya tahia mhaya. na hatawcza kuol1uolcwa kazini
Ile.~:\hll. iJa kwa Inujihu wa mash:U1i ya kijifungu 0) eha kifungu hiki. vinginevyo
alaenuc!ca na kazi hiyo haui kUlimiza umri wa kuacha kazi kwa mujihu
\"'<1 shena iliyolUlIgwa na Baraza la Wawakilishi.

(2) iwapo suaJa 1<1 kUlllwondo<l kazini Mdhihili nH Mkaguzi


'\lkllll wa 11c . . . ;lhu kwa lIl11jihu wa mashani ya kifllngu hiki linahilaji
kuchullguzwa. h<l.,i UI:u·aliou UfUala() IH.lit) utaka{)lumika:·

(a) Rais atalcua TUlllc maalum amhayo iiakuwa na


Mwcnyckiti na Wa.illmhcwcngil1l~ wasi{)rI11l9U~ wawili;

(h) Tume hiyo ilachunguza slwUJ' lotc halafu itatlra tamifa


kw; Rais kuhllSll maclczo ya shauri IOlc pamoja , . na
lI~hauri wan kama huyo Mdhihiti na Mkaguzi Mkuu wa
\
I k~ahu aOlldoil:wc kazini kwa mujibu wa masharli ya
kirllll~lI hiki kwa sahahu ya kushindwa kufa.ny~ kazi
kUltlkana 11<1 Illaradhi all sahahu nyenginc yo yotc au kwa
.':111;11111 ya t<lhia IIlhaya.

en Ikiwa TUlllc iiiyoiculiwa kwa mujihu wa masharti ya


kijifungu (2) il;unshaun Rais kwamha huyo Mullibili na Mkaguzi Mkuu
wa IIcsahu aondokwc kazini kwa sahahu ya kushindwa kufanya kazi
klilokana na maradhi au sahahu nycnginc yo yow au kwa saba.bu ya ta~ia
mhaya, hw-;i Rais alamuonuoa kazini.

(4) lwapo Tume ilamshaUli Rais kWlUnha huyo Mdhibiti na


Mkaguzi Mkuu wa Ilcsahuasitllld()icwckazini hasi Rais;:mawezakukubali
au kukalaa map~l}(jckcz() hayo na hapo Rais atatumia husara zake.

(5) MIU amhay" IIi Mdhihili lIa Mkaguzi Mkuu wa Hesabu


au aliyepat11 kuwa Muhihili lIa Mkaguzi Mkuu wa Hesabu hawezi
kuteuliwa kushika au kushikiliamauaraka ya kazi nycngine yoyote katika
utumishi wa Scrikali ya Mapintluzi ya Zanzihar.
59
Sehemu ya Pili

Masharti ya Fedha yahusuyo Mambo ya Muungano

114. Fedha lOte ambazo ni sehemu ya mehango wa Muungano na


ambazo Serikali ya Mapinduzi Zanzibar zinawajibika kulipa zitakuwa na
gharama itakayotoka Mfuko Mkuu wa Hazina.

115. Hakuna fedha itayotumiwa katika sehemu hii hadi:- Uwezo


wakutumia
(a) Tume ya pamoja ya fedha inayohusu mambo ya Muungano kuma.
kama ilivyoanzishwa na Katiba ya Muungano imechambua
'mapato na matumizi ya shughuli za Muungano na kutoa
mapendekezo yake kwa vyombo vinavyohusika juu ya
mgawanyo wa matumizi hayo; na

(b) Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kuyakuhali mapendekezo


hayo na mgawanyo wake.

SURA YANANE

Tume ya Utumishi Serikalini

116.-(1) Kutakuwa na Tume ya Utumishi ya Serikali yaMapinduzi ya Tume ya


Utumistti.
lanzibar itayokuwa na Mwenyekiti. Makamo Mwenyekiti na wajumbe
wengine watano.

(2) Mwenyekiti na Wajumbe wa Tume watateuliwa na Rais.

Uteuzi na
117 .-(l)MtuhatowezakuwaMjumbewa TumeyaUtumishi Serikalini kwnaIizika
kiwa:- kwa
ujumbe'Wa
(a) IIi Waziri au IIi Mjumbe wa Baraza la Mapinduzi; mjumbc.
(b) IIi Naihu Waziri; au
(e) ni Mjumhe wa Baraza la Wawakilishi
(d) ni mfanyakazi Serikalini.

(2) Kifi eha Mjumbe wa Tume kitakuwa wazi:-

(a) baada ya kumalizika miaka mitatu kuanzia siku


alioteuliwa; au
60
r' 1'1 (b) ikiwa kumetokea jambo 10 lote ambalo kama mill
anashikilia kiti kimoja wapo si Mjumbe basi asingelifaa
kuwa Mjumbe wa Tume.

I1a ijulikane kwamba 'Mjumbe huyo anaweza kuteuliwa tena kwa


kipindi chengine cha miaka mitatu na si zaidi.

(3) Mjwnbe wa Tume ana",eza kuondolewa katika kiti dlake


kutokana na kutokumudu kwake kazi a1izokabidhiwa (ama kwa ajili ya
maradhi ya mwili au akili au kwa sababu nyengine yo yote i1e) au kwa
utovu wa nidhamu, na hatoweza kuondolewa ila kwa kufuata ma<harti ya
kifungu hiki.

(4) Mjumbe wa Tume ataondolewa kwenye madaraka yake na


Rais ikiwa suala Ia kuondolewa kwake kwenye madaraka limepelekwa
kwa Tume hiyo imependekeza kwa Rais kwamba mjumbe huyo angefaa
aondolewe kutokana na kutomudu kazi zake kama ilivyoelezwabapojuu.

(5) Ikiwa Rais .tallisi kwamba suala la kumuondoa Mjumbe wa


Tume lingefaa kuchunguzwa basi:-

(a) Rais atateua Tume Maalum itayokuwanaMwenyekiti na


Wajumbe wasiopungua wawili kutokana na watu
wanaoshikilia au waliowalli kushika wadhifa wa Jaji wa
Mahkama zenye mamlaka kusikiliza keSi za aina zOie
Tanzania, au J~i wa Mallkama ya Rufaa yenye mamIaka
ya rufaa kutoka Mahkama hizo; nl\

(b) Tume ilachunguza suala hila na itapendekeza kwa Rais


kama mjumbe huyo anafaa aondolewe au la.

(6) Ikiwa SUilia Ia kumwondoa mjumbe limepelekwa kwa


"[ume Maalum kwa kuchunguzwa , Rais anaweza kumsimamisba kazi
Mjumbe huyo na kusimamishwa huko kunaweza wakati wo wote
kukatenguliwa na Rais, na kwa hali yoyote hakullikuwa na taathira yo yote
ikiwa Tume hiyo imependekeza kwamba mjumbe huyo asiondolewe
kwenye madaraka yake.

(7) Ikiwa kiti cha Mwenyekiti wa Tume kiwazi, au iwapo


Mwenyekiti, kutokan. na sabahu yo yote ile hawezi kutekeleza kazi
61

zake, basi hadi hapo mlu atakacleuliwa kushika Ilj kuwa amesbaanza
kushika kazi za Mwenyekiti, au hadi hapo Mwenyekiti atapomudu
kufanyakazi zake kwa kadri ilavyokuwa, Naibu Mwenyekili, ~u ikiwakiti
eha Naibu Mwenyekiti kiwazi, au ikiwa Naibu Mwenyekiti kwa sababu
ZOZOle zile hawezi kUlckclc". kazi za Mwcnyekiti, Mjumbemwengine yo
yotc atayeteuliwa na ~lis; atashikilia madaraka ya Mwenyekiti. na Naibu
Mwenyekili au mjumbe mwcngine awendelea kushikilia madaraka hayo
bila ya kualhiri masharli ya vi.jifungu vya (2), (4) na (5), kwa kadri
iWvyokuwa, hadi hapn Mwcnyckili alapor~jea katika kazi zake hizo.

(8) Ikiwa kiti elm Mjumbe waTumcmbaii nakileeha Mwenyekiti


kiwazi, au ikiwa Mjumbe huyolUlashikiliinafa,i ya Mwcnyekiti ehini ya
kijifungu eha (7) au kwa sababu nyenginc yo YOlc hawezi kumudu kazi
zake, Rais anaweza kurnteua mtu anaefaa kushikilia nafasi ya Mjumbe
huyo na mlU huyn aliyeleuliwa alacmlclca na kazi hiyo bila ya kuathiri
masharti ya vijifungu (2), (4) na (5) hadi hapo Mjumhe mwenyewe
ataporejea kalika kazi z.ake.

(9) Bila ya kuathiri mashani ya Kaliba hii, Tume katika


kutekeleza majukumu yake hailnw~iihika kuchukua amri au maelczo ya
mlu ye YOle yule.

(10) Tume, kwa kuzingalia kanuni zake, inaweza kufanya kazi


licha ya kUlOkuhudhuria au kuwepo wazi kwa kiti eha mjumbe, na
shughuli zake hazilobatilishwa kwa sahabu ya kuwepo mlu mwengine
asiyehusika.

lsipokuwa kwamba urunuzi wowOlC ule wa Tume itabidi upate wingi


wa kura zisizopungua theluthi mbili ya w~~iumbe wole.

118.-( 1) Bita ya kuathiri masharti ya Kalina hii, uwezowakuteua watu Uteuzi wa


kushika nafasi za kazi Serikalini (prunoja nn uwezo wa kuwahakikisha Wafanyakazi
wa Serikali
kazini mwao), uwezo wa kUloa adhahu kwa walOvu wa nidhamu katika
nyadhifa hizo na uwezo wa kuwaondoa katika madaraka hayo utakuwa
katika Tume ya U~iiri ya Znnzihar.

(2) Bila ya kuathiri m'L,harti ya kifungu hieho pantoja na


kijitimgu eha (9) eha kifungu 117 sheria inaweza kutungwa na Barn7.,la
Wawakilishi kuweka uraratihu wa kufanya kazi za Tume chini y~kifungu
na mamho mengine yore yanayohusiana na shughuli hizo.
62

(3) Hakuna mill alayeleuliwa ehini ya kifungu hiki kwakufanya


kazi yo yotekatik" Alisi ya Rais hila ya kupata kibali eha Alisi zifuatazo:-

(a) Alisi ya Wawaki.lishi Wakuu wa Zanzihar katika nehi


nyengillt: yo yule. nn

(h) Alisi yo yOle k"uka shughuli za Serikalini ambazo uteuzi


wake umceJezcwa kisheria.

SURA VA TISA

Tume ya Uchaguzi

Tume ya 119.·(1) KlIlakuwa na Tume ya Uehaguzi ya Zanzibar ambayo


Uchaguzi. ilclkuwa na wajumhe wafualao watakOleuliwa oa Rais:-

(a) Mwenyekili amhae alakuwa na sifa za kuehaguliwa


katika nanlsi hiyo kmna Rais atavyoona inafaa.

(h) ,/ajumhe wengine wa~1kaotajwa na sheria


iL:'1yolUngwa na Baraza la Wawakilishi.

(2) Tume italeuwa Makamo Mwenyekili kuloka miongoni mwa


Wajumbe wake.

(3) Watu wafuatao hawalaweza kUleuliwa kuwa waium,be wa


Tume ya Uchaguzi yaani:-

(a) Wazili au Naibu Waziri:

(h) Mjumbe wa Bara711la Wawakilishi au ikiwa ni miongoni


mwa majeshi ya Tanzania au ana wadhifa wowOle ambao
kishcria haruhusiki kuwa mjumhc wa Tume;

(c) Mhunge au mlu mwengine mwenye madaraka ya aina


yoyote yaJiyotajwa na sheria iliyolUogwa na Bunge kwa
mujibu wa masharli·ya aya ya (9) ya ibara ndogo ya (2)
ya kirungu eha 67 eha Kaliba ya MUllngano;

(d) Kiongozi wa el1mna eho ehole eha Siasa.


63
(4) Hila ya kuathiri masharli mcnginc ya kifungu hiki. mjumbe
wa Tume ya Uchaguzi atasila kuwa mjumhc litokeapo lolole kati ya
mambo yafua~1Yo:-

(a) Ukimnlizika muda wa miaka milano tangu aJipoteuliwa;


au
(h) ikiwa lil.alOkca jamho JOkllC mnh:lio, k:lIl1<1 asingekuwa
mjumhc wa TUlllc.lillgciimr:U1yaasiwl'l'.l' kUlculiwakuwa
mjumhc wa "("ume ya lkhaguzi.

(5) Rais anawCZH III kUJntHIIlU(Ja kalika m:ldnraka Mjumhc wa


Tume ya lJchaguzi kwa sahahu y .. klJ.... hilldwa klllckclLza kazi zake, aIna
kutokana na maradhi au sahaon nyinginc yo yule. au kwa ~ahahu ya tahia
mhaya au kupotcza sira za kllwa milllnhc.

(6) Mjumhc wa TUlIle al:tolluoil:wa kwcnyc lIIad;lraka yakc na


Rais ikiwa suala la kU()lllioicwa kwake kwenye lTlatla!"aka limcpclckwa
kwa Tume Maalum iliyoundwa bva ajili hiyo chilli yO! kijifllngu dm 7 na
Tume hiyo imcpcnuckcza kwa Rais kw:unha m,iulIloc hllyt) angel'aa
aomloiewc kutokana na ~lIh)lJIl1dll kazi z:lkc kama i Iiv)'1 )ciczwa hapI)j uu.

(7) Ikiwa Rais atahisi kwamha suala Iii kumuolH..ioa MjumOc


wa Tume'lingcfaa kuchungli/wil. hasi:-

(a) Rais atatcuwa TlIlI1e MaallilO itayokllwa na Mwenyckili


na Wajumhe 'j",asiopungua wawili kutokana na watu
w<lnal)shikilia '\1I wali()wahi kushika wadhifa wa .Iaji wa
Mahktlllw 1.l..'IIYi.: 1Il<1l1llakil)'a kw,ikili'l:t ke.,i la aina zote
T.lllzani:l. ,Ill .Iaji \\';1 M'Illkama y,\ Rul:l<t yellYc mamlaka
ya rufaa kutoka Mahk:una I~z(): , na
(0) TlIIllC itachullguza suala hilo na itapcndckcza kwa Rais
kama m.iumoe huyo angefaa aondoiewe au la.

(8) Ikiwa suaJa la kUlllllondoa Mjumhc Iimepclckwa kWH Tume


Maalum kwa kuchungul'.wa. Rais :mawcl.(\ kum.\im:uni... ha kazi Injumhe
hUYI) na kumsimamisha hukl) kUllawcza wak:lti W()WI)tc kukatcnguHwa
ua Rais. na kWH hali Y() Yllte h:lkul()kuwa na taathira )'() y()te ikiwa Tume
hiyo imepcnuckcza kwamha mjumhe huyo asionlil)lcwc kwcn)'c madaraka
yakc.
64

(9) Kwa madhumuni ya utekelezaji bora wa majukumu yake,


Tume ya Uchaguzi itakuwa ni ldara inayojitegemea na mtenwji mkuu
wake alakuwa ni Mkurugenzi wa uehaguzi ambaye atateuliwa na kufanya
kazi kwa mujibu wa masharti ya sheria iliyotungwa na Baraza la
Wawakili'hi.

(10) Tume ya Uehaguzi inaweza kutekeleza shughuli zake bila


kujali kwmnb~ kuna nafasi miongoni mwa viti vya wajumbe au kwamba
Mjwnbc mmoja wap<> hayup<>, lakini kita uamuzi wa Tume ni lazima
uungwe mkonona wajumbc waliowengi kati ya wajumbe wote wa Tume.

(II) Baraza Ia Wawakilishi Iinaweza kutunga ,heria kwa ajili ya


kuwcka masharti ya kuweka utaratihu wa kuwateuwa wajumbe wa
kusimamia uchaguzi wa Rais, Wajumhe wa Baraza la Wawakilishi na
M:IlJiw;uli Iia hila j'a kU(lriliri Inasharli ya sheria kama hiyo au maagizo ya
Tumc ya lJchaguzi, macJaraka ya .Tume ya Uchaguzi ya kusimamia
uchaguzi yanawcza kutekelezwa na Wajumbe haD.

(12) Katika kutekclcza madaraka yake kwa mujibu wa masharti


ya Katiba hii, Tume ya Uehaguzi haitalazimika kufuata amri au maagizo
ya mlu yo yolc au Idara yoyote ya SerikaJi, au maoni ya chama eha siasa.

(I J) lIakuna Mahkama yoyote ilakayokuwa na mamlaka ya


kuchunguza j,unho lolole lililotendwa na Tume ya Uchaguzi katilm
kutekeleza madaraka yake kwa mujibu wa masharti ya katiba hii.

(14) Kalika ulckclc7.aji wa madaraka yake kwa mujihu wa Katih.:'l


hii, TuUlc ya l khagllli ya Zallzihar itashauriana mara kwa mara na Tume
ya l1chaguzi ya ;Iamhllri ya Muungano.

Majirnbo - 120.-(1) Bila ya kuathiri masharti ya kifungu hiki, Zanzibar inaweza


kugaiwa katika, l,l1.,jimoo ya uchaguzi yenye majina na mipaka kama
yatakavyoclezwa n"Tume.

(2) Daraza la Wawakilishi linaweza kuweka kisheria. idadi


ndogo kahisa ya maji'mtx)\ ya uchagtzi yasiopungua 40 na idadi kubwa
kahisa ya majimho yasiozidi 55.

(3) Majimoo yote yatakuwa karibuni na wakazi sawa sawa


kama ilakavyoollckana Ila Tume. lakini TWTIe inaweza kuiepuka shuruti
hii kwa kiwango kilc kinadwlikiria kuwa inafaa kwaajili ya kuzingatia:-
,
1\\".

65

(a) Idadi ya walu na zaidi katika kuhaJ{ikisha uwakilishi


unaofaa katika miji mikubwa na miji ya mashamba yenye
ict.,di ndogo ya walu;

(b) ukuaji wa idadi ya walu;

(c) njia za usaliri;

(d) rnipaka ya sehernu ya utawala. na kwa rnadhurnuni ya


kifungu hiki idadi ya wakaazi wa sehernu yo yOle ya
Zanzihar itahakikishwa na rirnc,til ya kUhesahu walu ya
karihuni sana arnhayo irnefanyw!ikvl~lnujihu wa Sheria.

(4) Kalika kipindi eha rniaka 8 hadi 10 au wakali wo WOle


Baral..(l Ii) Wawakilishi lilakapoamuru kuhmywa hivyo Tume itachunguza
idatli ya mipaka na majina ya majimho hayn kwa kiwango kile amhacho
inahisi ni wajihu kuangaliwa upya; na inaweza kwa kUloa t:ugazo,
kU~'ldili idadi. mipaka na majina ya majimho hayn.

(5) Iwapo hesahu ya idadi ya walu irncshafanywa kwa rnujibu


wa sheria. au iwapo mahadilikn ymnefanywa kalika rnipaka ya sehernu yo
yote ya ulawala, Tume inawcza ikachunguza suaia hilo na kuweka
rnahadiliko hayo katika kiwango kile arnhachn Turne inaweza ikachunguza
suala hilo na kuweka mahadilikn hayn katika kiwango kile arnhacho
Tume inahisi ingefaa kufanyiwa mahacJiliko hayo.

(6) Amri yo YUle iliyot~lIlywa na Tume chini ya kifungu hiki


itatangazwa katika Gazeti na ilaanza kUIUlnika tarehc amb.:1Yo itaainishwa
Imlika Gazeti hiln.

SURA YA KUMI

Idar. M.alum

12 \.-(1) Kutakuwa na Idara Maalurn za Serikali ya Mapinduzi ya ld."


Zanzihar ambazo kazi zake na shughuli zake zitakuwa kama Maalum
zitavY(lainishwa katika sheria zinazohusika.

(2) Ict."a Maalum zilizoaini,hwa Imlika kijifungu (1) hapa juu

(a) .Ieshi Ia Kujenga lIehumi (kwa ufupi J.K.U);


66
(h) Kikosi MaaJulll ella Kuzuia Mage",lo (kwa kifupi KMKM)

(0) ehuo eha Mafunzo (eha wahalifu)

(3) Rais wa Zanzihar anaweza. iki~a alaona inafaa kuanzisha


Idarn nyengine yo yote kuwa Idara Ma,~ulll.

(4) Mtu ycyotc '~iye katika ·utumishi wa vikosi vya SMZ


haruhusiwi kujishughulisha na mmnho ya siasa: Isipokuwa kupiga kura
kalika uchaguzi w0V!0le kulingana na mashani ya kifungu cha 7 eha
Katiha.

lUlllc' Y;1 122. Kutakuwa na Tume ya lIajiri ya Idafa M::.t.alum ambayo uweZD
uaJlri )'01 Idara wake. nguvu zake, kazi zake na Kanuni za mwenendo wake zitakuwa
Ma.1IulIl.
kama zilavyoainishwa katika Sheria itakaYOIungwa na Baraza la
Wawnkilishi kwa ajili hiyo.

(lwczu wa 123.-( I) Rais alakuwa KamamJa Mkuu wa l<lara Maalum na atakuwa


Rai.~katika
na uwezo wa kuranya rho chole kile <U1achohisi; kwa maslahi ya Taifa,
Idara Maalum
kina faa.

(2) Uwczo wa Rais chilli kijifungu (1) ullaingiza uwezo wa kutoa


mnari ya kufanya shughuli yo YOlc inayohusi::ma na Idara hiyo kwa
manUnla ya Taifa,

SURA YA KUMI NA MOJA

Mamlaka ya Raadhi ya Vynmho vya Muungano

Mahkallla ya 124.-( I) Vyornho vilivyoaillishwa chilli ya kijifullgu (2), cha kifungu


Kalina, TUllIe
hichi na kama vilivyoanzishwa kwa mujihu wa vifungu vya Katiba ya
ya KudulIlu ya
Uchuguzi, na _Muungano. vitakuwa na mmnlaka ya kUlekcleza shughuli zake Zanzibar
Tume ya Tai,fa /kwa Inujihu wa ularalihu uliowekwa katika Katiba ya Muungano na
ya lIc1~aguzl Sheria yo yotc nycnginc iliyounuwa na runa Bunge au Baraza la
KulUlluka
IAllli'.lhat,
W k'I' I' k "I· 1 .
awa"1 IS 11 ~\\':!:!JI I 11)'0,
.

(2) Vyornho vyenyewe vilivyotajwa katika kijifungu (l)ni:-


67

(a) Mahkama ya Kaliba ya lamhuri ya Muungan,,;


(b) Tume ya Kudumu ya Uchunguzi;
(c) Tume ya Taifa ya Uehaguzi ya lamhuri ya Muungano.

(3) Kwa madhumuni ya kifungu hiki, vyomho vilivyoaini.hwa


kalika kijifungu eha (2) vitahesabika kama ni vyomho vya Serikali ya
Mapinduzi katika shughuli zake hapa Zanzibar.

SURA Y A KUMI NA MOIU

Vyumhn Vyengine vya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzihar

Sehemu ya Kwanza

Turno ya Mlpango

125.-( I ) Kutakuwa na Tume ya Mipango ya Serikali ya Mapinduzi ya Tume ya


Zanzibar ambayo ndio ehomho eha juu ehenye uwezo wa kupanga na Mipanao.
kusitnamia ulekelezaji wa maendeleo ya kiuehumi na mipango ya huduma
zajarnii katika Zanzibar.

(2) Taratibu za ulekelezaji wa kazi na majukumu yaTume


ya Mipllnpo pamnja na wajumhe wa Tume utakuwa kama itavyoelezwa
kalika sheria itayotungwa na Baraza la Wawakilishi.

126. Wajumbe wa Tume ya Mipango na utaratihu wa Mikutano Wajumbe


utakuwa kwa mujibu wasberia itakayolungwa na Baraza Ia Wawakilishi waTume.

la Zanzibar.

127. Kutakuwa na Kalibu waTume ya Mipango ambae ataleuliwa na Katibu wa


Rais. Tuft ya
Mipango.

Sehornu ya Piti

Serikali za Milaa

128.-(1) Kutakuwa na Serikali za Mitaa kwa kila Mkoa. Wilaya na Scribli u


Eneo kwa ajili ya Mkoa huo au WiJaya hiyo au Eneo hilo kwa kadiri mitu.
iravyokuw3. .-
68
(2) UtcLlzi wa Wajlllnhl' mauaraka na kazi za kita Scrikali ya
Mlaa zilakuwa kmna l.il.<lvyoaini:-.hwa n:t sheria i1iolungwa na Daraza la
Wawakilishi.

SURA Y A KU~II NA TATU


I

Mamho )'a Jumla


'j
Kujiuzulu. 129.-(1) Bila ya kualhiri masharti ya kifungu hiki. mlu ye yole amllae
mnelajwa. amcchaguliwa au amclculiwa kushika wadhil~l wo wOle L1le
ulioainishwa na Kalina hii. anawGtI kujiuzulu kuu)ka kl:llika wauhifahuo
kwa maandishi ya mkono wake akiyapclcka kwa mlu aliyemlaja.
aJiyemchagua au alimtcua.

(2) Mill aliyclOa laarinl ya kujiuzulu kwa mujihu wa


masharti ya kijifungu kiuogo ( I) eha k~fungu hiki. alahesabiwa kuwa
amejiuzulu tangu siku ilc amhayo taarifa yake ya kujiu7.ulu
itakapopokelewa na mill YC YOle aliycruhusiwa kupokea taarifa hiyo oa
mIll anaehusika na kikao kinachohusika. lakini kama taarifa hiyo ya
kujiuzulu imcclcza kw;unha alajiu:t'.ulu siku za baadac mtll huyo
atahesabiwa kuwa amcjillzulu lall!!lI siku hiyo nyinginc ya hamlae.

(3) T'mrifa ya kujiuzulu kwa Rais ilapclckwa kwa Jaji Mkuu


ambayeataiwcLI\ilishakwa Mwcnyckili wa Tume ya Uchagllzi yaZanzibar.

(4) Taarifa ya kujiuzulu kwa Waziri Kiongozi itapelekwa kwa


Rais.

(5) Taarifa ya kujiuzulu kwa Spika. au Naillu Spika. wa Baraza


la Wawakilishi ilapclckwa kwa Dara".:! la Wawakilishi.

(6) Tmlfifa ya kujiuzulu kwa Mjumhe wa Baraza la Wawakilishi


au kUloka kwa Mw~dyckili lIa Mjumhe wa Kamati ya Baraza la
Wawakilishi iu,pclckwa kwa Spik:! wa lJ'lfa7a la Wawakilishi.

Illt'uzi mpya 130.-(1) (wapn mlu yc YOlc IIlwcllye dhamana ya kazi ye yOIe
u,a I.:uarifiwa iliyoanzishwa na Kaliha hii amcjiuzulll, ba"ii ikiwa anazo sifa zate
kwa
kuadUlll1vB zioazohitajika oa kwa kila hali anastahili, anaweza kutellliwa au
1-:;1/1 kuchaguliwa leila kushika madaraka ya kazi hiyokwa mujillu wamashani
ya Katiha hii.
(2) lwapo mtu ameachishwa kazi au amesimarnishwa kazi
itahidi chombo bicboau mtu buyo a1iemuachisha au a1iemsimarnishakazi
moueleze kwa maandishi kwamba amemuachisha au amemsimamisha
kazi.

131.-(1) Kwa madhumuni ya ufafanuzi wa masharti ya Katiba bii Maelezo


kuhusu utaratibu wa kukabidbi madaraka ya kazi katika utumishi wa kuh"",
utaraLibu wa
Scrikali ya Mapinduzi ya Zanzihar. ifahrunike kuwa mtu ye yote mwenye kukabidhi
mamlaka kwa mujihu wa Katiha hii. ya kumtcua au kumchagua mtll madaraka ya
mwingine kushika madaraka ya kazi [uLani allal) pia uwczo wa kumteua kaz.i icalika
au kumchagua Naibu au mtll amhaye atashika kwa muda na kutekeleza tltumishi wa
Serikali.
madantka ya kazi hiyo.

132.-( I) Hakunasheria yoyole itakayopilishwa na Bunge la Muungano Sheria za


mnhayo itatumika Zanziharmpakal-\hcria hiyo iwc oi kwa i~iili yamambo Muuogano.
ya MuungrulO tu na ipitishwe kulingima na maclckezo yaliyo chini ya
vifungu vya Katiba ya J~unhuri ya Muungano.

(2) Sheria kama hi yo lazima ipelckwc mock ya Baraza la


Waw;l~ilishi na Waziri mmychusika.

(3) Pale s.hcria ndogn inapounuwa kwa mujihu wa uwew


ulillwckwa chilli ya kifungu eha (I) na (2) cha sheria hii il..atumika tu pale
itakapOl.imiza shuruti zol.e zilizowekwa kwa matumizi ya Sheria Mama
kama ilivyoainishwa katika kifungu hiki.

LU.-( I) Hakuna kodi ya aina yo yale i~1kayolozwa isipokuwa kwa Masharti


lnujihu wa sheria iliyotungwa na Baraza la Wawakilishi au kwa utaratibu ya kutoza
uliowekwa kishcria na uliotiliwa nguvu ya kisheria iliyotungwa na Baraza kodi.
la Wawakilishi.

(2) Masharti yaliyomo Imlika kijifungu (\) cha kifungu hichi


haY,lt;llizuia I3ungc kUlumiamamlakayakc ya kUloza kodi ya aina yo yOle
inayohusiana na mrunbo ya Muungano kwa mujihu wa madaraka ya
Bunge hilo: Kwa kujua kwrunha mashauriann haina ya Serikali ya
Mapinouzi ya 7.tIlzihar na Serikali ya Jamhuri ya Muungatt" yamefanywa
na kukuhalika schelnu lote mhili kabla kupitishwa sheria.
70
Ufafanuzi 134.-(1) Katika Kaliha hii, ila iwapomaelezo yanahilaji vyenginevyo.

"Baraza la Mapinouzi" Iinajwnuisha na Baraza 13 Mawaziri;


"Chama" ina maana ya chama cha Siasa kilichosajiliwa rasmi
chini ya sheri a ya vyama vya siasa ya 1992;
"Kiapo" kinajumukisha na uthibitisho;

"Ki;lfX) clUI munillifu' Ina maana ya kiapo chochote cha uaminifu


k;una kil'lvy()ainishwa na Baraz3 13 Wawakilishi;

"Mnlnyakazi wa ScrikaJi ya Mapinduzi ya 7....a.nzibar·· maana yake


IIi mlU anacfanyakazi au anaeshikilia wadhifa wa kazi katika
utumishi wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar pamoja na
mashirika yakc:

"Mwaka wa fcoha" maana yakc ni kipinoi cha miezi 12


kinadlOmalizikia larchc 30 .Iuni ya mwaka wowote au kwa
siku nyinginc yoyOIC kama Damza 101 Wawakilishi litavyoainisha
k wcnye shelia:

"Rais" ilia ma.ana ya Rais wa ZClll/jhar liB Mwenyckiti wa Baraza


la Mapinduzi:

"Waziri" maana yake ni Mjumtx: wa Daraza 13 Wawakilishi na


Mcmha wa Dantza la Marinouzi aJiyekahiuhiwa wauhifa ~(l
kazi ya Wazili kalika Scrikali ya Marinuuzi ya ZmlZibar:

(2) lIa iwaro madczo yalahilaji vycngincvyo, uwczo wo wole


uliorcw<I Daraza la \\lawakilishi n:! Kaliha hii kwa kUCUlzisha. au kuclczca
jamho 10 IOle hasi ulafanywa kwa ku.uHlikwa Sheria.

(3) KW;llIladhullluni )''' K,lIina hii. mill halahcsahiwa kuwa ana


madar:tkil Y'I kazi kalika lIlumishi W;I ScrikaJi ya Mapinuuzi ya Z'lnzihar
kwa sahnhuill kwamha anapokca rll;tiir(»),<1 tlzeeni <Ill malipomenginc ya
aina hiyo kwa ajili ya 1I1umishi W;tkl' wa zamani.

(4) Kalika Katiha hii. il;1 iwarn maciezo yahitaji vinginc. kila
anap()I;ljw<I Inlu 1l1wcllye dhaln,tll,[ y:1 k;I';:i (ulani kwa kUI'lj'llnauaraka ya
kazi yakc. ifahamikc kuwa mlu allaychusika kuwa ni p:lI11oja na mlu ye
71
yOie ambaye ni Kaimu ao aJiyeteuliwa kwa njia ya halali kushikilia
dhamana ya kazi biyo.

(5) Iwapo Katiba inaloa uwezo au nguvu fu!;mi, basi uwew huo
au nguvu biro zinaweza kutekelezwa wakati wo wotc inapohitajika.

(6) Katika Katiba hii, kila yalipotajwa mamI:lka ya kumwondoa


mtukatika madaraka ya kazi katika utumishi wa Serikali ya Mapinduzi ya
Zanzibar, ifahamike kuwamamlaka yanayohusika ni p:unoja na maml'lka
yaliyotolewakwamujibu wa masharli ya sheria Y(l Y(lt!.: yanayomtaka mlu
huyo au yanayomruhusu mtu huyo kustaafu.

(7) Iwap omtu ameteuliwa, kwa mujihu wa masharti ya Katiba


hii, kuwa Naibu au kushikilia mauarak:1 ya kazi fulani wakati mlu maalum
aliyeteuliwa kashika madaraka ya kazi hiyo alla~hindwa kUlckcleza
shughulizinazohusika nakazi hiy(). hasi haitaruhusiwa kufanya uChunguzi
WO wole kutoa hoja yo YOlc juu ya llicuzi wa huyo Naihu eli kwa sahabu
kwamba huyo mtu maalum aliyctculiwa kushika lIlauaraka ya kazi hiyn
hakushindwa kutekcleza SIHI~hllli i'.inHzohusika 11,1 kazi hiyo,

(8) Katika kifungu chochote eha Katiha hii kinachoscma kwmnha


hakuna mtu au chomho fulani kilarhoingilia na mlu au rhomoo rho chole
katika kutekeleza kazi zake hasi hakilOkllwa n<l maana ya kwmnha
Mahkama zitazuilika katik:l m:unlaka yakc katika suala I()lotc hata kama
mtu huyo au chomho hicho kimclckelcza wajihll wake kwa mujihu wa
Katiba hii au sheria nycnginc yo YOle.

(9) Katika Katiha hii. kila ilipotajwa sheria ambayo inahadilisha


au kufuta sheria uyingine, it~lh,unike kuwa shcria in;ly()husika ni pmnoja
na sheria amhayo in.'1fckehisha sheri:1 hiYl) nyengillc :111 am 1'13 y() illHcndeleza
kutumika kwa hiyo sheri a n),cnginc :una hila ya mahadilik:o au haada ya
kubadilishwa au kurckchishwa. au sheri a amhayo inaweka masharti
mapya katika sheria nyellginc.

135.-(1) Jina la Katiha hii litakuwa "Katiha ya Zanzibar ya 1984" Jina la


Katiba na
tarehe ya
(2) Katiba hii ilaanza klliumika kuanzia larchc 12 .Iallllari, 1985. kuann
kUlumika.

You might also like