Kiswahili Kwa Wageni New 2020

You might also like

Download as pdf or txt
Download as pdf or txt
You are on page 1of 1

OPEN UNIVERSITY UTANGULIZI

Warsha ya mafunzo ya stadi na mbinu za ufundishaji wa Ili kujiandikisha Bofya kiunga


Wawezeshaji
CONSULTANCY BUREAU lugha na utamaduni wa Kiswahili kwa wageni ni warsha
ambayo imeandaliwa kwa lengo la kukuza na kujenga i.
hiki
Wahadhiri wabobevu na wazoefu katika
uwezo wa maarifa, ujuzi, na stadi za nadharia na mbinu za ufundishaji wa Kiswahili na utamaduni kwa
wageni kitaifa na kimataifa.
ufundishaji wa lugha ya Kiswahili kwa wageni. Kwa
ii.
https://goo.gl/forms/24kQby
Wataalamu wa TEHAMA na ufundishaji lugha kwa
kutambua kwamba soko na fursa za ajira ya walimu wa
njia ya elimu masafa.
Kiswahili zimeendelea kupanuka si tu kwenye mabara ya Mpz3imEj3L2
Amerika, Ulaya, na Asia, bali kwa sasa Afrika, hii ni fursa
kwa walimu wa Kiswahili na wasio wa Kiswahili wanaotaka
kujiimarisha katika eneo hili la ufundishaji wa lugha kwa
Muda wa Kozi:
wageni. Kozi hii inalenga kuwasaidia watu, hususani vijana A. Wiki 2: Tar. 4-1 8 April 2020 (Kwa
wanaotaka kujiajiri au kuajiriwa kupitia ufundishaji wa
Kiswahili kwa wageni. Kozi hii pia inalenga kuongeza ajira na
walimu wa Kiswahili ngazi zote).
kukuza uchumi wa vijana kupitia lugha, utamaduni na utalii. B. Miezi 3: Tar. 4 April - 4 July 2020 (
Matokeo ya Mafunzo
mtu yeyote anayetaka kupata
Baada ya mafunzo haya, mshiriki ataweza: stadi na maarifa)
 Kuwa mwalimu bora mwenye weledi, maarifa, na stadi
za kufundisha Kiswahili na utamaduni kwa wageni. Vituo:
 Kutumia nadharia na mbinu za kisasa katika kufundisha
WARSHA YA STADI NA MBINU ZA
lugha ya pili kwa wageni.
Dar es Salaam HQ (Kwa sasa)
KUFUNDISHA LUGHA YA KISWAHILI  Kutumia mbinu za ufundishaji wa lugha kwa kutumia Mbeya, Arusha, Mtwara, Lindi
NA UTAMADUNI KWA WAGENI teknlojia ya ufundishaji na ujifunzaji kwa elimu masafa
 Kujiajiri kupitia ufundishaji wa lugha ya Kiswahili kwa Mwanza, Geita, Dodoma na Iringa
wageni (Utaratibu utapangwa)
 Kutumia lugha na utamaduni wa Kiswahili kama bidhaa
ya utalii
LUGHA YAKO, MTAJI WAKO: JIAJIRI Ada ya ushiriki
SASA KATIKA TANZANIA YA Walengwa Kundi A: 100,000TSH
 Wataalamu wa Kiswahili
VIWANDA  Wahitimu wa Kiswahili katika ngazi zote za elimu Kundi B: 200,000 TSH kwa mwezi
yaani: astashahada, stashahada, na shahada Malipo yote yafanyike kupitia:
Mawasiliano  Wanafunzi wanaosoma nje ya nchi katika ngazi
zote za elimu Benki: National Bank of Commerce
Dkt. Hadija Jilala (PhD)  Wanafunzi wa vyuo vikuu katika nyuga Jina la Akaunti: Open University
Baruapepe: Hadija.Jilala@out.ac.tz au mbalimbali Consultancy Bureau
 Walimu wanaofundisha katika shule za msingi
dijaah@yahoo.com sekondari, na vyuo TSH: AC No: 011103033713
Simu: Learning outcome:
+255712569555  Mtu yeyote anayetaka kutumia fursa ya kujiajiri USD: AC No: 011105015143
kupitia lugha ya Kiswahili
Dkt. Emmanuel Mallya (PhD) “Cheti Kitatolewa”
Barua pepe: Emmanuel.mallya@out.ac.tz
Simu: 0784 447697

Emmanuel Msangi: 0714519226

You might also like