Professional Documents
Culture Documents
Muongozo Wa Utunzaji Gari
Muongozo Wa Utunzaji Gari
1. OIL 2. HYDRAULIC
a. Tank la mafuta
b. Mirija ya mafuta
c. Chujio la mafuta
d. Pump ya mafuta
e. Carburettor /Injector pump
a. Hakikisha unajua aina ya mafuta gari lako linatumia kama
ni diesel au petrol na ujue tank lako linabeba mafuta kiasi
gani.
b. Zima gari lako unapokuwa unaweka mafuta kwenye kituo.
c. Jitahidi kujaza mafuta kwenye kituo kimoja ili ikitokea
umejaza mafuta machafu ujue tatizo liko wapi na epuka
mafuta ya kununua tu mitaani au vibaba.
d. Usitembelee mafuta ya ziada (kijagi) na usiache gari lako
liishiwe mafuta kabisa.
e. Kama kuna shida yoyote irekebishe mapema, fanya
matengenezo kwa wakati na tunza kumbukumbu za ujazaji
mafuta.
DALILI TATIZO
1 Gari kunuka harufu ya mafuta. -Tank la mafuta linavuja
-Injection ya mafuta, mpira
Au filter inavuja