umilikaji......................... 2. Darasani kwa wanafunzi kuna baridi kuonyesha sababu....kuonyesha..sababu......................... 3. Kwa nini mnasoma kwa bidii?.katika kuuliza swali....kuuliza swali.............................. 4. Tuligawana nusu kwa nusu baada ya kuonyesha sehemu ya kitu....sehemu ya kitu.................. 5. Utatuzwa kwa bidii yako..kuonyesha kusudi..kusudi…................. 6. Wanakwaya wale waliimba kwa furaha...kuonyesha namna...namna...................... 7. Mkutano ulijaa wake kwa waume kuonyesha nis.................................... 8. Nenda kwa mwalimu Mwanazi....hutumika kwa kuunganisha nomino................................... 9. Tunaandika kwa kalamu....huonyesha kifaa kinachotumika kufanya jambo..ya kifaa.......................... 10. Wana wale wanafanana shilingi kwa ya pili.hali ya kufananisha......ya kufananisha............................