Professional Documents
Culture Documents
ZEC - Kiswahili - 1068 Zakaria
ZEC - Kiswahili - 1068 Zakaria
Utangulizi
Zekaria alianza huduma yake mnamo mwezi wa nane wa mwaka wa pili wa Dario (520 K.K.), miezi miwili
baada ya ujumbe wa kwanza wa Hagai. Maana ya jina Zekaria ni “BWANA amekumbuka.” Haijulikani kwa
uhakika Zekaria aliendelea kufanya huduma hiyo kwa muda gani.Kwa kadiri ionekanavyo alikuwa kijana (2:4)
wakati alipoanza huduma yake. Ido, ambaye ni babu yake (Zek 1:1) alikuwa miongoni mwa wale waliorudi kutoka
uhamishoni mwaka 538 K.K.
Katika ujumbe wake wa kwanza (1:1-6) Zekaria anawaonya watu ambao ndio kwanza tu walikuwa
wameanza kujenga upya hekalu kwamba inawapasa kusikiliza ujumbe wa Mungu kupitia manabii na kudumisha
uhusiano wa muhimu na Mungu, wasije wakaharakisha hukumu ya Mungu. Mfululizo wa maono ya usiku (1:7-
6:8) yanatia moyo wajenzi ule wakati mgumu katika hatua ya kukata tamaa.Ule utaratibu wa ujenzi ulikuwa
umesababisha maafisa wa Kiajemi kufanya uchunguzi na kuandika taarifa ya malalamiko kwa Dario (Ezr 5-6).
Huenda Wayahudi walikuwa wakingojea hukumu ya Dario wakati Zekaria akitoa ujumbe wake uliowekewa msingi
katika haya maono ya usiku. Mtazamo wa jumla wa mfululizo wa maono haya manane yanawahakikishia wajenzi
kwamba Mungu anao mpango wa muda mrefu kwa ajili ya Israeli.
Miaka miwili baadaye, (518 K.K.) suala la kutia katika matendo kutii kufunga liliibuka (7:1-8:23). Zekaria kwa
mara nyingine anaangaliza watu kwamba njia ya kudumisha uhusiano sahihi na Mungu ni utii. Kule kufunga ili tu
kwamba mtu amefunga ni ubatili.Utaratibu wa kushika sheria kamwe hauwezi kutumika kama njia mbadala ya
kuonyesha upendo wa Mungu katika maisha ya kila siku. Sehemu ya mwisho ya ujumbe wa Zekaria (9-14)
haukuonyeshwa tarehe. Uwezekano mkubwa ni kwamba ulitolewa baadaye, huenda mnamo mwaka 480 K.K.
Hapa mkazo uko katika mpango wa maendeleo wa muda mrefu ukionyesha kusimamishwa kwa ufalme wa
mwisho. Mfalme anatambulishwa kama anayekuja kwa tabia ya unyenyekevu akileta wokovu lakini akikataliwa na
watu wake mwenyewe, yaani, Waisraeli, ambao baadaye wanaachwa kwenye hukumu ya mataifa. Mataifa
yatakapokusanyika kwa ajili ya vita dhidi ya Yerusalemu, Waisreli watamtambua Yeye “Yule waliomchoma mkuki”
(Zek.12:10) na wataibuka na ushindi. Ndipo mataifa yote yatakuja Yerusalemu kumwabudu Mfalme, Bwana wa
Majeshi.
Wazo Kuu
Zekaria anaonyesha kwamba Mungu ana mpango wa muda mrefu na Israeli, hivyo anaita mwito wa
utii.Anaonyesha jinsi ambavyo watu wanaweza kufanya mambo “ Si kwa nguvu wala kwa uwezo bali kwa Roho
Yangu ”asema.( 4:6).. Kuwapa watu wa Mungu matumaini kwa kuwajulisha watu mpango wa Mungu wa baadaye
wa ukombozi kupitia kwa Masiya.
.
Mambo Muhimu
Huu ujumbe wa mwanzoni unafuatiliwa na maono ambayo yaliwatia moyo wajenzi ambao Zekaria aliwatia
moyo kwa kuwaambia kwamba Mungu alikuwa na mpango mrefu kwa ajili ya Israeli.
Katika sura ya 7 na 8 Zekaria aliwataka watu wamtii Mungu, hii ikiwa ni njia ya kila mtu kumjali na kumhurumia
mwenzake. Mungu alitaka utii kwao katika kuhusiana naye.
Sura ya 9 mpaka 14 inazungumzia habari za miezi inayokuja, hukumu ya mwisho na kukua kwa muda mrefu
kwa ufalme wa mwisho.
Mwandishi
Zekaria
Mahali
Yerusalemu
Tarehe
520-470 K.K.
Wahusika
Hagai, Zerubabeli, Yoshua na waliorudi kutoka uhamishoni.
.
Mgawanyo
• Wito wa kuwa watiifu. (1:1-6)
• Maono. (1:7-6:15)
• Hukumu dhidi ya maadui wa Israeli. (9:1-8)
1
ZEKARIA
Wito Wa Kumrudia BWANA ndivyo BWANA Mwenye Nguvu asemavyo:
Katika mwezi wa nane wa mwaka wa pili ‘Geukeni, mziache njia zenu mbaya na matendo
1 wa utawala wa mfalme Dario, neno la yenu maovu.’ Lakini hawakunisikiliza wala
BWANA lilimjia nabii Zekaria mwana wa kufuata maelekezo yangu, asema BWANA.
Berekia, mwana wa Iddo, kusema: 5Wako wapi baba zako sasa? Nao manabii, je,
2“BWANA aliwakasirikia sana baba zako wa wanaishi milele? 6Je, maneno yangu na amri
zamani. 3Kwa hiyo waambie watu: Hivi ndivyo zangu nilizowaagiza manabii watumishi wangu,
BWANA Mwenye Nguvu asemavyo: ‘Nirudieni hayakuwapata baba zenu?’’
mimi,’ asema BWANA Mwenye Nguvu, ‘Nami “Kisha walitubu na kusema, ‘BWANA
nitawarudia ninyi,’ asema BWANA Mwenye Mwenye Nguvu ametutenda sawasawa na njia
Nguvu. 4Msiwe kama baba zenu, ambao zetu na matendo yetu yalivyostahili, kama
manabii waliotangulia waliwatangazia: Hivi alivyokusudia kufanya.’ ’’
‘Nitairudia Yerusalemu kwa rehema na huko
Maono Ya Kwanza: nyumba yangu itajengwa tena. Nayo kamba ya
Mtu Katikati Ya Miti Ya Mihadasi kupimia itanyooshwa Yerusalemu,’ asema
7Katika siku ya ishirini na nne ya mwezi wa BWANA Mwenye Nguvu.
kumi na moja,yaani mwezi uitwao Shebati, 17“Endelea kutangaza zaidi kwamba: Hivi
katika mwaka wa pili wa kutawala kwake mfalme ndivyo asemavyo BWANA Mwenye Nguvu: ‘Miji
Dario, neno la BWANA lilimjia nabii Zekaria yangu itafurika tena usitawi na BWANA
mwana wa Berekia mwana wa Iddo. atamfariji tena Sayuni na kumchagua
8Wakati wa usiku nilipata maono, mbele Yerusalemu.’ ’’
yangu alikuwepo mtu akiendesha farasi
mwekundu! Alikuwa amesimama katikati ya miti Maono Ya Pili:
ya mihadasi kwenye bonde. Nyuma yake Pembe Nne Na Mafundi Wanne
walikuwepo farasi wekundu, wa kikahawia na 18Kisha nikatazama juu, na pale mbele
yanayojisikia kuwa yako salama. Nilikuwa nami akaondoka, malaika mwingine akaja
nimewakasirikia Israeli kidogo tu, lakini mataifa kukutana naye 4na kumwambia: “Kimbia,
hayo yaliwazidishia maafa.’ umwambie yule kijana, ‘Yerusalemu utakuwa mji
16‘‘Kwa hiyo, hivi ndivyo asemavyo BWANA: usio na kuta kwa sababu ya wingi wa watu na
2
ZEKARIA
mifugo iliyomo. 5Mimi mwenyewe nitakuwa 6Malaika wa BWANA akamwamuru Yoshua:
ukuta wa moto kuuzunguka,’ asema BWANA, 7“Hivi ndivyo asemavyo BWANA Mwenye
‘nami nitakuwa utukufu wake ndani yake.’ Nguvu: ‘Ikiwa utakwenda katika njia zangu na
6“Njoni! Njoni! Kimbieni mtoke katika nchi ya kushika masharti yangu, basi utaitawala nyumba
kaskazini,’’ asema BWANA, “Kwa kuwa yangu na kuwa na amri juu ya nyua zangu, nami
nimewatawanya kwenye pande nne za mbingu,’’ nitakupa nafasi miongoni mwa hawa
asema BWANA. wasimamao hapa.
7“Njoo, Ee Sayuni! Kimbia, wewe uishiye 8‘‘ ‘Sikiliza, Ee Yoshua kuhani mkuu, pamoja
ndani ya Binti Babeli!’’ 8Kwa kuwa hivi ndivyo na wenzako walioketi mbele yako, ambao ni
asemavyo BWANA Mwenye Nguvu: “Baada ya watu ishara ya mambo yatakayokuja:
yeye kuniheshimu na kunituma mimi dhidi ya Ninakwenda kumleta mtumishi wangu, Tawi.
mataifa yaliyokuteka wewe nyara, kwa kuwa ye 9Tazama, jiwe nililoliweka mbele ya Yoshua!
yote awagusaye ninyi, anaigusa mboni ya jicho Kuna macho saba juu ya jiwe lile moja, nami
lake, 9hakika nitauinua mkono wangu dhidi yao nitachora maandishi juu yake,’ asema BWANA
ili watumwa wao wawateke nyara. Ndipo Mwenye Nguvu, ‘nami nitaiondoa dhambi ya
mtakapojua ya kwamba BWANA Mwenye nchi hii kwa siku moja.
Nguvu amenituma. 10“ ‘Katika siku hiyo kila mmoja wenu
10“Piga kelele na ufurahie, Ee Binti Sayuni, atamwalika jirani yake akae chini ya mzabibu
kwa maana ninakuja, nami nitaishi miongoni wake na mtini wake,’ asema BWANA Mwenye
mwenu,’’ asema BWANA. 11“Mataifa mengi Nguvu.’
yataunganishwa na BWANA siku hiyo, nao
watakuwa watu wangu. Nitaishi miongoni Maono Ya Tano:
mwenu nanyi mtajua kwamba BWANA Mwenye Kinara Cha Taa Cha Dhahabu Na Mizeituni
Nguvu amenituma kwenu. 12BWANA atairithi Miwili
Yuda kama fungu lake katika nchi takatifu na
atachagua tena Yerusalemu. 13Tulieni mbele za 4 Kisha malaika aliyezungumza nami
akarudi na kuniamsha, kama mtu
BWANA, enyi watu wote, kwa sababu ameinuka aamshwavyo kutoka katika usingizi wake.
kutoka makao yake matakatifu.” 2Akaniuliza, “Unaona nini?’’
kichwani mwake.’’ Kwa hiyo wakamvika kilemba ya Zerubabeli iliweka msingi wa hekalu hili,
safi kichwani na kumvika yale mavazi mengine, mikono yake pia italimalizia. Kisha mtajua ya
wakati malaika wa BWANA akiwa amesimama kuwa BWANA Mwenye Nguvu amenituma mimi
karibu. kwenu.
3
ZEKARIA
10‘‘Ninani anayeidharau siku ya mambo 9Kisha nikatazama juu na mbele yangu,
madogo? Watu watashangilia watakapoona walikuwepo wanawake wawili, wakiwa na upepo
timazi mkononi mwa Zerubabeli. katika mabawa yao! Walikuwa na mabawa kama
“(Hizi saba ni macho ya BWANA ambayo ya korongo, nao wakainua kile kikapu na kuruka
huzunguka duniani kote.)’’ nacho kati ya mbingu na nchi.
11Kisha nikamwuliza yule malaika, “Hii 10Nikamwuliza yule malaika aliyekuwa
mizeituni miwili iliyoko upande wa kuume na wa akizungumza nami, ‘‘Wanakipeleka wapi hicho
kushoto wa kinara cha taa ni nini?” kikapu?’’
12Tena nikamwuliza, “Haya matawi mawili 11Akanijibu, ‘‘Wanakipeleka katika nchi ya
ya mizeituni karibu na hiyo mirija miwili ya Babeli na kujenga nyumba kwa ajili yake.
dhahabu inayomimina mafuta ya dhahabu ni Itakapokuwa tayari, kikapu kitawekwa pale
nini?’’ mahali pake.’’
13Akajibu, “Hujui kuwa haya ni nini?’’
6
14Kwa hiyo akasema, “Hawa ni wawili Nikatazama juu tena, nikaona mbele yangu
ambao wamepakwa mafuta ili kumtumikia magari manne ya vita yakija kutoka kati ya
Bwana wa dunia yote.’’ milima miwili, milima ya shaba! 2Gari la kwanza
lilivutwa na farasi wekundu, la pili lilivutwa na
Maono Ya Sita: Gombo Linaloruka farasi weusi, 3la tatu lilivutwa na farasi weupe na
hiyo laana, nayo itaingia katika nyumba ya mwizi wakitoka, walikuwa wakijitahidi kwenda duniani
na nyumba ya huyo aapaye kwa uongo kwa jina kote. Akasema, ‘‘Nenda duniani kote!’’ kwa hiyo
langu. Itabaki katika nyumba yake na kuiharibu, wakaenda duniani kote.
pamoja na mbao zake na mawe yake.’ ’’ 8Kisha akaniita, “Tazama, wale
wanaokwenda kuelekea nchi ya kaskazini
Maono Ya Saba: Mwanamke Ndani Ya Kikapu wamepumzisha Roho yangu katika nchi ya
5Kisha yule malaika aliyekuwa akizungumza kaskazini.’’
nami akanijia na kuniambia, “Tazama juu uone
ni nini kile kinachojitokeza.’’ Taji Kwa Ajili Ya Yoshua.
6Nikamwuliza, “Ni kitu gani?’’ Akanijibu, ‘‘Ni 9Neno la BWANA likanijia kusema:
kikapu cha kupimia.’’ Kisha akaongeza kusema, 10‘‘Chukua fedha na dhahabu kutoka kwa watu
‘‘Huu ni uovu wa watu katika nchi nzima.’’ waliohamishwa yaani Heldai, Tobia na Yedaya
7Kisha kifuniko kilichotengenezwa kwa ambao wamefika kutoka Babeli. Siku iyo hiyo
madini ya risasi kilichokuwa kimefunika kile nenda nyumbani kwa Yosia mwana wa Sefania.
kikapu, kiliinuliwa na ndani ya kile kikapu 11Chukua fedha na dhahabu utengeneze taji,
alikuweko mwanamke ameketi! 8Akasema, ‘‘Huu nawe uiweke kichwani mwa kuhani mkuu
ni uovu,’’ akamsukumia ndani ya kikapu na Yoshua, mwana wa Yehosadiki. 12Umwambie,
kushindilia kifuniko juu ya mdomo wa kikapu. hili ndilo asemalo BWANA Mwenye Nguvu:
‘Huyu ndiye mtu ambaye jina lake ni Tawi, naye
atachipua kutoka mahali pake na kujenga
a2 ‘‘dhiraa ishirini’’ ni sawa na mita 9. hekalu la BWANA. 13Ni yeye atakayejenga
b2 ‘‘dhiraa kumi’’ ni sawa na mita 4.5 hekalu la BWANA, naye atavikwa utukufu na
4
ZEKARIA
ataketi kumiliki katika kiti cha enzi naye atakuwa walikuwa wageni. Nchi ikaachwa ukiwa nyuma
kuhani katika kiti chake cha enzi. Hapo yao kiasi kwamba hakuna aliyeweza kuingia au
patakuwa amani kati ya hao wawili.’ 14Taji kutoka. Hivi ndivyo walivyoifanya ile nchi
itatolewa kwa Heldai, Tobia, Yedaya na Heni iliyokuwa imependeza kuwa ukiwa.’ ’’
mwana wa Sefania kama kumbukumbu ndani ya
hekalu la BWANA. 15Wale walio mbali sana BWANA Anaahidi Kuibariki
watakuja na kusaidia kulijenga hekalu la Yerusalemu
BWANA, nanyi mtajua ya kwamba BWANA
Mwenye Nguvu amenituma kwenu. Hili litatokea 8 Neno la BWANA Mwenye Nguvu likanijia
tena. 2Hili ndilo asemalo BWANA Mwenye
ikiwa mtamtii BWANA, Mungu wenu kwa bidii.’’ Nguvu: “Nina wivu sana kwa ajili ya Sayuni,
ninawaka wivu kwa ajili yake.”
Haki Na Rehema, Sio Kufunga 3Hiii ndilo asemalo BWANA: “Nitarudi
kumsihi BWANA 3kwa kuwauliza makuhani wa “Kwa mara nyingine tena wazee wanaume kwa
nyumba ya BWANA Mwenye Nguvu na manabii, wanawake walioshiba umri wataketi katika
“Je, imempasa kuomboleza na kufunga katika barabara za Yerusalemu, kila mmoja akiwa na
mwezi wa tano, kama ambavyo nimekuwa mkongojo wake mkononi kwa sababu ya umri
nikifanya kwa miaka mingi?” wake. 5Barabara za mji zitajaa wavulana na
4Kisha neno la BWANA Mwenye Nguvu wasichana wanaocheza humo.’’
likanijia kusema: 5“Waulize watu wote wa nchi 6Hili ndilo asemalo BWANA Mwenye Nguvu:
haya sio maneno ya BWANA aliyosema kupitia “Nitawaokoa watu wangu kutoka nchi za
manabii waliotangulia, wakati Yerusalemu mashariki na magharibi. 8Nitawarudisha waje
pamoja na miji inayoizunguka ilipokuwa katika kuishi Yerusalemu, watakuwa watu wangu nami
hali ya utulivu na ya mafanikio, wakati Negebu nitakuwa mwaminifu na wa haki kwao kama
na Shefala zikiwa zimekaliwa na watu?’ ’’ Mungu wao.’’
8Neno la BWANA likamjia tena Zekaria: 9Hili ndilo asemalo BWANA Mwenye Nguvu:
9“Hivi ndivyo asemavyo BWANA Mwenye “Ninyi ambao sasa mnasikia maneno haya
Nguvu: ‘Fanyeni hukumu za haki, onyesheni yanayozungumzwa na manabii ambao
rehema na huruma ninyi kwa ninyi. walikuwepo wakati wa kuwekwa kwa msingi wa
10Msimwonee mjane wala yatima, mgeni wala nyumba ya BWANA Mwenye Nguvu, mikono
maskini. Msiwaziane mabaya mioyoni mwenu yenu na iwe na nguvu ili hekalu liweze
ninyi kwa ninyi.’ kujengwa. 10Kabla ya wakati huo, hapakuwepo
11“Lakini wakakataa kusikiliza, wakanipa na ujira kwa mtu wala mnyama. Hakuna mtu
kisogo kwa ukaidi na kuziba masikio yao. aliyeweza kufanya shughuli yake kwa usalama
12Wakaifanya mioyo yao migumu kama jiwe kwa sababu ya adui yake, kwa kuwa nilikuwa
gumu na hawakuisikiliza sheria au maneno nimemfanya kila mtu adui wa jirani yake.
ambayo BWANA Mwenye Nguvu aliyatuma kwa 11Lakini sasa sitawatendea mabaki ya watu
njia ya Roho wake kupitia manabii waliotangulia. hawa kama nilivyowatenda zamani,’’ asema
Kwa hiyo BWANA Mwenye Nguvu alikasirika BWANA Mwenye Nguvu.
sana. 12“Mbegu itakua vizuri, mzabibu utazaa
13‘Wakati nilipoita, hawakusikiliza, kwa hiyo matunda yake, ardhi itatoa mazao yake, na
walipoita, sikusikiliza,’ asema BWANA Mwenye mbingu zitadondosha umande wake. Vitu hivi
Nguvu. 14‘Niliwatawanya kwa upepo wa kisulisuli vyote nitawapa mabaki ya watu kama urithi wao.
miongoni mwa mataifa yote, mahali ambapo 13Jinsi mlivyokuwa kitu cha laana katikati ya
5
ZEKARIA
mataifa, Ee Yuda na Israeli, ndivyo naye atateketezwa kwa moto.
nitakavyowaokoa, nanyi mtakuwa baraka. 5Ashkeloni ataona hili na kuogopa,
Msiogope, bali iacheni mikono yenu iwe na Gaza atagaagaa kwa maumivu makali,
nguvu.’’ pia Ekroni, kwa sababu matumaini yake
14Hili ndilo asemalo BWANA Mwenye yatanyauka.
Nguvu: “Kama nilivyokuwa nimekusudia kuleta Gaza atampoteza mfalme wake na
maangamizi juu yenu, wakati baba zenu Ashkeloni
waliponikasirisha na sikuonyesha huruma,’’ ataachwa pweke.
asema BWANA Mwenye Nguvu, 15“Hivyo sasa 6Wageni watakalia mji wa Ashdodi,
nimeazimia kufanya mema tena kwa nami nitakatilia mbali kiburi cha Wafilisti.
Yerusalemu na Yuda. Msiogope. 16Haya ndiyo 7Nitaondoa damu vinywani mwao,
mtakayoyafanya: Semeni kweli kila mtu kwa chakula kile walichokatazwa kati ya meno
mwenzake, mtoe hukumu ya kweli na haki yao.
kwenye mahakama zenu, 17usipange mabaya Mabaki yao yatakuwa mali ya Mungu wetu,
dhidi ya jirani yako, msipende kuapa kwa uongo, nao watakuwa viongozi katika Yuda,
nayachukia yote haya,’’ asema BWANA. naye Ekroni atakuwa kama Wayebusi.
18Neno la BWANA Mwenye Nguvu likanijia 8Lakini nitailinda nyumba yangu dhidi ya majeshi
Nguvu: “Mataifa mengi na wakazi wa miji mingi Kuja Kwa Mfalme Wa Sayuni
watakuja, 21na wenyeji wa mji mmoja 9Shangilia sana, Ee Binti Sayuni!
watakwenda kwenye mji mwingine na kusema, Piga kelele, Binti Yerusalemu!
‘Twende mara moja na tukamsihi BWANA, na Tazama, mfalme wako anakuja kwako,
kumtafuta BWANA Mwenye Nguvu. Mimi ni mwenye haki naye ana wokovu,
mwenyewe ninakwenda.’ 22Pia watu wa kabila mpole naye amepanda punda,
nyingi na mataifa yenye nguvu yatakuja mwana punda, mtoto wa punda.
Yerusalemu kumtafuta BWANA Mwenye Nguvu 10Nitaondoa magari ya vita kutoka Efraimu na
6
ZEKARIA
BWANA Atatokea farasi.
14Kisha BWANA atawatokea,
watajaa kama bakuli linalotumika mioyo yao itafurahi kama kwamba ni kwa
kunyunyizia divai.
kwenye pembe za madhabahu. Watoto wao wataona na kushangilia,
16BWANA Mungu wao atawaokoa siku mioyo yao itafurahi katika BWANA.
hiyo kama kundi la watu wake. 8Nitawapa ishara na kuwakusanya ndani.
10
Mwombe BWANA mvua wakati Wao na watoto wao watasalimika
wa vuli, ni BWANA atengenezaye katika hatari nao watarudi.
mawingu ya tufani. 10Nitawarudisha kutoka Misri
7
ZEKARIA
Wachungaji Wawili Wa Kondoo jicho lake la kuume lipofuke kabisa!”
4Hili ndilo asemalo BWANA Mungu wangu:
kwa kuchinjwa, hasa kundi lililoonewa sana. yatakapokusanyika dhidi yake, nitaufanya
Kisha nikachukua fimbo mbili moja nikaiita Yerusalemu kuwa jabali lisilosogezwa kwa
Fadhili na nyingine Umoja, nami nikalilisha mataifa yote. Wote watakaojaribu kulisogeza
kundi. 8Katika mwezi mmoja nikawaondoa watajiumiza wenyewe. 4Katika siku hiyo
wachungaji watatu. nitampiga kila farasi kwa hofu ya ghafula, naye
Kundi la kondoo likanichukia, nami ampandaye kwa uenda wazimu,’’ asema
nikachoshwa nao 9nikasema, “Sitakuwa BWANA. 5Kisha viongozi wa Yuda watasema
mchungaji wenu. Waache wanaokufa wafe na mioyoni mwao, ‘Watu wa Yerusalemu wana
wanaoangamia waangamie. Wale waliobakia nguvu kwa sababu BWANA Mwenye Nguvu ni
kila mmoja na ale nyama ya mwenzake.’’ Mungu wao.’
10Kisha nikachukua fimbo yangu inayoitwa 6“Katika siku hiyo nitawafanya viongozi wa
Fadhili nikaivunja, kutangua agano nililofanya na Yuda kuwa kama kigae cha moto ndani ya lundo
mataifa yote. 11Likatanguka siku hiyo, kwa hiyo la kuni, kama mwenge uwakao kati ya miganda.
waliodhurika katika kundi waliokuwa Watateketeza kulia na kushoto mataifa yote
wakiniangalia wakajua kuwa hilo lilikuwa neno la yanayowazunguka, lakini Yerusalemu utabaki
BWANA. salama mahali pake.
12Nikawaambia, “Mkiona kuwa ni vema, 7“BWANA atayaokoa makao ya Yuda
nipeni ujira wangu, la sivyo, basi msinipe.’’ Kwa kwanza, ili heshima ya nyumba ya Daudi na
hiyo wakanilipa vipande thelathini vya fedha. wakazi wa Yerusalemu isiwe kubwa zaidi kuliko
13Naye BWANA akaniambia, “Mtupie ile ya Yuda. 8Katika siku hiyo, BWANA
mfinyanzi,’’ hiyo bei nzuri waliyonithaminia! Kwa atawakinga wale waishio Yerusalemu, ili
hiyo nikachukua hivyo vipande thelathini vya kwamba aliye dhaifu kupita wote miongoni
fedha na kumtupia huyo mfinyanzi katika mwao awe kama Daudi, nayo nyumba ya Daudi
nyumba ya BWANA. itakuwa kama Mungu, kama Malaika wa
14Kisha nikaivunja fimbo yangu ya pili BWANA akiwatangulia. Katika siku hiyo nitatoka
iitwayo Umoja, kuvunja udugu kati ya Yuda na kuangamiza mataifa yote yatakayoushambulia
Israeli! Yerusalemu.
15Kisha BWANA akaniambia, “Vitwae tena
vifaa vya mchungaji mpumbavu. 16Kwa maana Kumwombolezea Yule Aliyechomwa Mkuki
ninakwenda kumwinua mchungaji juu ya nchi 10“Nami nitamiminia roho ya neema na
ambaye hatamjali aliyepotea, wala kuwatafuta maombi juu ya nyumba ya Daudi na wakazi wa
wale wachanga au kuwaponya waliojeruhiwa, Yerusalemu. Watanitazama mimi, yule
wala kuwalisha wenye afya, lakini atakula waliyemchoma, nao watamwombolezea kama
nyama ya kondoo wanono na kuzirarua kwato mtu anayemwombolezea mwanawe wa pekee
zao. na kusikitika kwa uchungu kama anayemsikitikia
mzaliwa wake wa kwanza wa kiume. 11Katika
17“Olewa mchungaji asiyefaa, siku hiyo kilio kitakuwa kikubwa Yerusalemu,
anayeliacha kundi! kama kilio cha Hadadrimoni katika tambarare ya
Upanga na uupige mkono wake na jicho Megido. 12Nchi itaomboleza, kila ukoo peke
lake la kuume! yake, nao wake zao peke yao. Ukoo wa nyumba
Mkono wake na unyauke kabisa, ya Daudi na wake zao, ukoo wa nyumba ya
8
ZEKARIA
Nathani na wake zao, 13ukoo wa nyumba ya machoni penu.
Lawi na wake zao, ukoo wa Shimei na wake 2Nitayakusanya mataifa yote huko
zao, 14na koo zote zilizobaki na wake zao. Yerusalemu kupigana dhidi yake, mji utatekwa,
nyumba zitapekuliwa na wanawake
Kutakaswa Dhambi watanajisiwa. Nusu ya mji watakwenda
‘Mimi sio nabii. Mimi ni mkulima, ardhi imekuwa theluji. 7Itakuwa siku ya kipekee, isiyo na
kazi yangu tangu ujana wangu.’ 6Ikiwa mtu mchana wala usiku, siku ijulikanayo na BWANA.
atamwuliza, ‘Majeraha haya yaliyo mwilini Jioni inapofika nuru itakuwepo.
mwako ni ya nini?’ Atajibu, ‘Ni majeraha 8Siku hiyo, maji yaliyo hai yatatiririka kutoka
niliyoyapata katika nyumba ya rafiki zangu. Yerusalemu, nusu kwenda kwenye bahari ya
mashariki na nusu kwenda kwenye bahari ya
Mchungaji Apigwa, Kondoo Watawanyika. magharibi, wakati wa kiangazi na wakati wa
7“Amka, Ee upanga, dhidi ya mchungaji masika.
wangu, 9BWANA atakuwa mfalme juu ya dunia yote.
dhidi ya mtu aliye karibu nami!” Katika siku hiyo atakuwepo BWANA mmoja na
asema BWANA Mwenye Nguvu. jina lake litakuwa jina pekee.
“Mpige mchungaji, 10Nchi yote kuanzia Geba, kaskazini mwa
kuadhimisha Sikukuu ya Vibanda. 17Ikiwa taifa lo kitakuwa kitakatifu kwa BWANA Mwenye Nguvu
lote la dunia hawatakwenda Yerusalemu na wote wanaokuja kutoa dhabihu watachukua
kumwabudu Mfalme, BWANA Mwenye Nguvu, baadhi ya vyungu hivyo na kupikia. Katika siku
hawatapata mvua. 18Ikiwa watu wa Misri nao hiyo hatakuwepo tena mfanyibiashara katika
hawatakwenda kushiriki, hawatapata mvua. nyumba ya BWANA Mwenye Nguvu.
BWANA ataleta juu yao tauni ile ambayo
10