Maswali Na Majibu Kuhusu Sanamu Katika Kanisa Katoliki

You might also like

Download as pdf or txt
Download as pdf or txt
You are on page 1of 244

1

Maswali na Majibu kuhusu Sanamu katika Kanisa Katoliki


Mafundisho ya Katekisimu / Leave a Comment

Kwa nini wakatoliki wanaweka sanamu


Je sanamu zimekatazwa?

Sanamu hazijakatazwa, ila tunaziheshimu kwa Kanisani?

sababu zinatukumbusha Mungu na Watakatifu.


Tunaweka sanamu Kanisani kwa sababu
(Kut 25:18-22).
tunaheshimu anayewakilishwa na sanamu hiyo

18 Nawe fanya makerubi mawili ya dhahabu; kwa mfano Yesu Kristo, Mama Bikira Maria,

uyafanye ya kazi ya kufua, katika hiyo miisho ya Malaika na Watakatifu; na kamwe hatuziabudu.

kiti cha rehema, huku na huku. 19 Weka kerubi (Kutoka 25:18-22)

moja mwisho mmoja, na kerubi la pili mwisho wa


Hata Waisraeli kwenye hekalu lao walikua na
pili; fanya hayo makerubi ya kitu kimoja na kiti cha
sanamu kama tunavyosoma hapa;
rehema, mwisho huku na mwisho huku. 20 Na

hayo makerubi yatainua mabawa yao juu, na “18 Nawe fanya makerubi mawili ya dhahabu;

kukifunika hicho kiti cha rehema kwa mabawa yao, uyafanye ya kazi ya kufua, katika hiyo miisho ya

na nyuso zao zitaelekeana hili na hili; nyuso za kiti cha rehema, huku na huku. 19 Weka kerubi

hayo makerubi zitaelekea kiti cha rehema. 21 moja mwisho mmoja, na kerubi la pili mwisho wa

Weka kiti cha rehema juu ya hilo sanduku, kisha pili; fanya hayo makerubi ya kitu kimoja na kiti cha

utie huo ushuhuda nitakaokupa ndani ya sanduku. rehema, mwisho huku na mwisho huku.20 Na hayo

22 Nami nitaonana nawe hapo, na kuzungumza makerubi yatainua mabawa yao juu, na kukifunika

nawe pale nilipo juu ya kiti cha rehema, katikati ya hicho kiti cha rehema kwa mabawa yao, na nyuso

hayo makerubi mawili yaliyo juu ya sanduku la zao zitaelekeana hili na hili; nyuso za hayo

ushuhuda, katika mambo yote nitakayokuagiza makerubi zitaelekea kiti cha rehema. 21 Weka kiti

kwa ajili ya wana wa Israeli. Kutoka 25 :18-22. cha rehema juu ya hilo sanduku, kisha utie huo

Vile vile Mungu alishawahi kuwaagiza Waisraeli ushuhuda nitakaokupa ndani ya sanduku. 22 Nami

Wachonge sanamu ya nyoka na yeyote nitaonana nawe hapo, na kuzungumza nawe pale

atakayeumwa na nyoka akiiangalia atapona. nilipo juu ya kiti cha rehema, katikati ya hayo

makerubi mawili yaliyo juu ya sanduku la

ushuhuda, katika mambo yote nitakayokuagiza

kwa ajili ya wana wa Israeli. (Kutoka 25 :18-

22.)“
Mfano wa sanamu takatifu ni zipi?
Kwa hiyo kama Mungu mwenyewe aliagiza Sanamu
Sanamu ya Bikira Maria, Mtoto Yesu, Mt. Yosefu, za Malaika zichongwe na kusema atakua hapo na
Moyo wa Yesu na za Watakatifu. kuongea na watu wake. Je sio vyema zaidi kuwa

na sanamu na Picha ya Mwanae wa Pekee Yesu

Kristo na kuongea na Mungu mbele yake kama

alitaka ya malaika ambao sio Mungu?


Ni nini maana ya kuabudu sanamu?
Mfano mwingine ni pale Mungu alivyomwabia Musa
Kuabudu sanamu ni kukipa kiumbe chochote achonge Sanamu ya Nyoka wa shaba.
heshima au upendo anaostahili Mungu peke yake.
2

“BWANA akamwambia Mose, “Tengeneza nyoka wa sanamu ni nini? Je, kwenye Biblia

shaba na umweke juu ya mti, ye yote aliyeumwa kinachoheshimiwa ni karatasi au maana ya yale

na nyoka anaweza kumtazama na akaishi tena.‟‟ maneno kwenye karatasi. Pengine usingeheshimu

9Kwa hiyo Mose akatengeneza nyoka wa shaba na kama hujajua kuyasoma.

kumweka juu ya mti. Kisha wakati mtu ye yote


Kuna tofauti gani kati ya biblia yenye Maandishi na
alipoumwa na nyoka, naye akamtazama yule
msalaba wa kuchonga wenye kuonyesha kile
nyoka wa shaba, aliishi.” (Hesabu 21:8-9).
kinachosemwa na biblia? kama unaweza
Kwa Mfano huu Je tunaweza kusema kuwa sanamu
kuheshimu biblia yenye karatasi tena pale
ya nyoka ina nguvu ya uponyaji kuliko ya Yesu
unapoweza kuzisoma na pengine ungeizarau kama
aliye Mungu? Kumbuka hapa watu walioona
ni ya lugha tofauti na hujui kilichoandikwa? Je
sanamu hii ya nyoka hawakukoponywa na nguvu
Msalaba uliobeba maana ya kile kilichoandikwa
ya sanamu ya shaba bali kwa nguvu ya neema ya
kwenye Biblia unaona si kitu? Kama
Mungu kupitia Imani kwa Mungu. Kwa hiyo
Kinachoheshimiwa kwenye Biblia sio karatasi bali
unaposali mbele ya picha au sanamu hautegemei
maana maneno yaliyoandikwa vivyo hivyo
nguvu ya sanamu bali unategemea neema ya
kinachoheshimiwa kwenye picha au sanamu sio
Mungu kwa njia ya Imani yako kwa Mungu.
chuma yake au mti ukiochongwa bali ni maana ya

Kama vile Sanamu hii ya nyoka aliyoagiza Mungu hiyo sanamu.

iwekwe ilivyowekwa kwa nia ya uponyaji kwa yule


Hii ndio maana nasema kuna tofauti ya kuabudu
aitazamaye vivyo hivyo Sanamu na Picha za
na kuheshimu.
Kanisani zinawekwa kwa nia maalumu na kwa

neema maalumu. Ndiyo maana hazifanani. Na Kumbuka kuwa picha au sanamu yoyote ya

zinabarikiwa kwa kuombewa Baraka Ili zizae Kikatoliki lazima ibarikiwe kwanza ndio uweze

neema kwa wanaozitumia. Kusali mbele yake. Inapobarikiwa inaombewa

uwepo wa yule anayewakilishwa na picha/sanamu

hiyo uwe pale sanamu ilipo na anayesali pale sala


Sanamu au picha sio haramu bali maana ya hiyo
yake Ifike kwa mlengwa anayeonekana kwa ishara
sanamu au picha ndio inaiharamisha.
ya sanamu/picha. Kwa Mfano askofu au padri

Kuna tofauti kati ya kuabudu na kuheshimu. anapobariki sanamu ya Yesu anaomba

Wakatoliki wanaweka sanamu kwa heshima na sio kuwa “Yesu awepo pale kwenye sanamu na

kwa kuabudu, ndio maana unaposali mbele ya Neema zake”, kwa hiyo yeyote anayesali mbele

picha ya Yesu hausali ee sanamu nisaidie bali ya sanamu hiyo anaamini kuwa Yesu yuko pale na

unasema ee Yesu nisaidie. anasali Mbele yake. Kwa hiyo kinachopewa

heshima sio ile sanamu bali ni yule anayeonekana


Je tuseme tunamwabudu Raisi kwa kuheshimu
kwa ishara ya ile sanamu au picha.
picha yake kwa kuiinamia? Je tunaabudu bendera

kwa kuheshimu na kupigia saluti? Je taratibu

zabunge za kutoa heshima na taratibu za Tofauti ya Sanamu za Kikatoliki na za kipagani ni

mahakama ni kuabudu?. Je kuapa mbele ya picha


Kwamba,
ya Raisi ni kumuabudu Raisi? Je kuapa na Biblia ni

kuabudu Biblia? Je tunapobusu Biblia na kuitunza

kwa heshima tunaiabudu? Tofauti ya Biblia na


3

Sanamu za Kipagani: Sanamu hizi huchukuliwa uwepo wa Mungu na popote lilipokuwa waliamini

Mungu yupo.
kama Mungu na huabudiwa na kutolewa
Kwenye Agano jipya: Wakristu wanasali Mbele
Sadaka kama Mungu Mwenyewe.
ya Msalaba wa Yesu ambao unaonyesha kazi ya

Sanamu za Kikatoliki: Sanamu hizi huchukuliwa wokovu alioufanya Yesu kwa wanadamu ya

Kuwakomboa watu kwa kifo chake Msalabani. Na


kama ishara ya kile inachokiwakilisha,
Msalaba huo ni Ishara ya Ukombozi wa Agano jipya
haiabudiwi kamwe bali inaheshimiwa tuu.
na la Milele. Kama ilivyokuwa kwa Sanduku la

Daima Tumia Sanamu na Picha zilizobarikiwa Agano, Wakristu wanaheshimu msalaba ambao ni

kwani zimenuiwa uwepo wa yule inayemuwakilisha ishara ya wokovu wao na wanaamini kuwa Mungu

na utaongea naye hapo. Sisi tunaamini kwamba yupo kati ya Msalaba huo lakini Msalaba huo sio

kwenye Sanamu ya Yesu kuna uwepo wa Yesu. Mungu. Wakristu wanaona fahari juu ya msalaba

Kama vile Mungu anavyowaambia Waisraeli katika wa Yesu kwa kuwa ndio ishara ya wokovu wao.

(Kutoka 25 :22) baada ya kuwaagiza wachonge FUNZO:Kupitia Mfano wa Sanduku la Agano na

sanamu za Makerubi (Malaika) 22 Nami nitaonana Msalaba tunajifunza kuwa Vyote havikuwa Mungu

nawe hapo, na kuzungumza nawe pale nilipo juu ila vinaheshimiwa kwa Imani kuwa Mungu yupo

ya kiti cha rehema, katikati ya hayo makerubi pale. Vilevile, vyote ni ishara ya wazi ya Agano la

mawili yaliyo juu ya sanduku la ushuhuda, katika Mungu na Wanadamu.

mambo yote nitakayokuagiza kwa ajili ya wana wa

Israeli. (Kutoka 25 :22). Sanamu au picha ni


Kwa nini tunasali mbele ya Picha/Sanamu na
ishara wazi ya uwepo wa kile kisichoonekana.

Hasa kufanya Ishara ya msalaba?

Jifunze kupitia Sanduku la Agano na Msalaba Tunasali mbela ya sanamu kwa sababu tunaamini

sanamu inaakisi uwepo wa mhusika aliyechorwa au


wa Yesu
kuchongwa kwenye hiyo sanamu/picha. Ndio

Kwenye Agano la kale: Ndani ya hekalu la maana wakatoliki wanasali kwenye picha au

Waisraeli walikua na Sanduku la agano, sanduku sanamu iliyobarikiwa tuu kwa sababu Sanamu

hilo lilikua na vibao vya Amri za Mungu ambavyo ni inapobarikiwa inaombewa uwepo wayule

Ishara ya Agano lao na Mungu na ndani ya anayewakilishwa pale.

sanduku kulikuwepo pia Mfano wa Kiti ambacho


Tunafanya ishara ya msalaba kwenye sanamu
kimezugukwa na sanamu za viumbe kama malaika
kama sala ya utangulizi ambayo inathibitisha kuwa
nyuso zao zikielekea kiti hicho Kutoka 25:10-
hatuabudu kile kilichoko pale bali kile
22. Waisraeli walikua wanasali kuelekea sanduku
tunachokifanya tunakifanya huku tukikiri Umungu
la Agano wanapokuwa Hekaluni na hata wakiwa
na Heshima ya Utatu Mtakatifu (Mungu; Baba,
majumbani mwao walisali kuelekea upande lilipo
Mwana na Roho Mtakatifu.). Vile vile tunamtukuza
Hekalu. Waisraeli walisali kuelekea Sanduku la
Mungu katika Utatu Mtakatifu kwa sababu ya yule
Agano wakiamini kwamba Mungu yupo kati ya
anayewakilishwa na picha au sanamu.
sanduku lile. Lakini sanduku lile halikuwa Mungu.

Waisraeli waliona fahari juu ya Sanduku lile na

walilithamini na kuliheshimu kwa kuwa lilionyesha Kwa nini watu wanabusu picha na sanamu?
4

Hii ni ishara ya Upendo kwa yule anayewakilishwa Waraka unasema;

kwenye picha au sanamu husika. Hata katika 1. Makatekista ni Wafanyakazi maalimu

maisha ya kawaida watu hubusu picha za wazazi 2. Mashahidi wa moja kwa moja, Wainjilishaji

na wapendwa wao. Maana ni ile ile. wasio na mbadala

Mkusanyo Sheria Kanuni za Kanisa unaelezaje


Mungu akiwa Roho, viungo ambavyo pengine
kuhusu Makatekista?

anapewa vina maana gani?


Unaeleza kuwa – Makatekista ni Walei Wakristo

Mungu akiwa Roho, viungo ambavyo pengine ambao wamepewa malezi halisi na wanajitokeza

anapewa vinamaanisha tu sifa fulani: k.mf. macho vizuri katika maisha ya Ukristo wao.

ujuzi wake, mikono uwezo wake, mabawa ulinzi

wake, n.k. “Roho haina mwili na mifupa” (Lk

24:39).
Chini ya Uongozi wa Kanisa Katekista

anafanya Kazi gani?

1. Yeye ni Kiungo cha Mapadre na waamini wa

Je, ni halali kuheshimu sanamu? eneo lake

2. Kufikisha mafundisho ya Injili na kuhusika


Ndiyo, ni halali kuheshimu sanamu kama
kwenye kazi za Ibada za kiliturujia na kazi za
viwakilishi vya Yesu, Mama yake na watakatifu
Huruma
wake, ambao zinaleta sura zao.
3. Kuhubiri na kuwafundisha wakatekumeni

Kwa msingi huo walimsihi Yesu “waguse hata pindo 4. Kuelimisha vijana na watu wazima kkatika

la vazi lake tu. Na wote waliogusa wakaponywa maswala ya Imani

kabisa” (Math 14:36).


5. Kuongoza Sala za Jumuiya hasa kwenye Ibada
“Mimi, hasha, nisione fahari juu ya kitu chochote il
za Jumapili Ikiwa Padre hayupo
msalaba wa Bwana wetu Yesu Kristo” (Gal 6:14).
6. Kuwatembelea wagonjwa na kuwasaidia na
WhatsAppTwitterLinkedInEmail kuongoza Ibada za Mazishi
Maswali na majibu kuhusu Katekesi
7. Kufundisha dini mashuleni na kuwaandaa
Mafundisho ya Katekisimu / Leave a Comment
watoto katika kupokea Sakramenti mbalimbali
Katekista ni nani?
8. Kutembelea Jumuiya ndogondogo kuziendeleza
Katekista ni mlei aliyechaguliwa na Kanisa ili na kuziimarisha
kumfanya Kristo ajulikane, apendwe, na kufuatwa

na wale ambao hawajamfahamu na pia waamini WhatsAppTwitterLinkedInEmail


Maswali na Majibu kuhusu Mitume
Mafundisho ya Katekisimu / Leave a Comment

Waraka wa Baba Mtakatifu Unatafsiri vipi


Roho Mtakatifu aliwashukia Mitume siku
Makatekista?
gani?
5

Roho Mtakatifu aliwashukia Mitume siku ya “Ilinde ile amana nzuri kwa Roho Mtakatifu akaaye

Pentekoste, yaani siku ya hamsini toka Pasaka. ndani yetu… Mambo yale uliyoyasikia kwangu

(Mdo 2:1-4) mbele ya mashahidi wengi, hayo uwakabidhi watu

waaminifu watakaofaa kuwafundisha na wengine”

(2Tim 1:14; 2:2).

Tukikata huo mnyororo wa mapokeo, hata kama ni

Roho Mtakatifu aliwafanyia nini Mitume? kwa kisingizio cha kushikilia Biblia, tunaachana na

asili ya Kanisa.
Roho Mtakatifu aliwatia Mitume Mwanga wa nguvu

ili waweze kuhubiri Injili na kueneza Kanisa kote “Basi, ndugu, simameni imara, mkayashike

duniani mapokeo mliyofundishwa, ama kwa maneno, ama

kwa waraka wetu… Ndugu, twawaagiza katika jina

la Bwana Yesu Kristo, jitengeni nafsi zenu na kila

ndugu aendaye bila utaratibu, wala si kwa kufuata

Kanisa ni la Kitume maana yake ni nini? mapokeo mliyoyapokea kwetu” (2Thes 2:15; 3:6).

Kanisa ni la Kitume maana yake wakubwa wake

yaani Baba Mtakatifu na Maaskofu nimahalifa wa

Mitume Je, tukipata mafundisho ya Kanisa tunapaswa

kuyasadiki?

Ndiyo, tukipata mafundisho ya Kanisa tunapaswa

Yesu amemweka nani kuwa mkubwa wa kuyasadiki kwa moyo mmoja tupate uzima wa

milele, kwa kuwa Yesu aliwaambia Mitume,


Kanisa?
“Enendeni ulimwenguni mwote, mkaihubiri Injili
Yesu amemweka Mtume Petro kuwa Mkubwa wa
kwa kila kiumbe. Aaminiye na kubatizwa ataokoka;
Kanisa zima. (Mt 16:18-19). Halifa wa Mtume
asiyeamini, atahukumiwa” (Mk 16:16).
Petro ni Baba Mtakatifu.

Kanisa kuwa la Mitume maana yake nini?

Mapokeo ya Mitume ndiyo nini?


Kanisa kuwa la Mitume maana yake limejengwa

Mapokeo ya Mitume ndiyo yale yote ambayo Yesu juu ya Mitume 12 wa Yesu na kuongozwa na

aliwakabidhi Mitume wake, na kwa uwezo wa Roho waandamizi wao.

Mtakatifu yatadumu hata mwisho wa dunia katika


“Ukuta wa mji ulikuwa na misingi kumi na miwili,
mafundisho, liturujia na maisha ya Kanisa.
na katika ile misingi majina kumi na mawili ya

“Nawasifu, kwa sababu mmenikumbuka katika wale mitume kumi na wawili wa Mwanakondoo”

mambo yote, nanyi mmeyashika yale mapokeo (Ufu 21:14).

vilevile kama nilivyowatolea… Kwa maana “Mmejengwa juu ya msingi wa mitume na manabii,

naliwatolea ninyi hapo mwanzo yale niliyoyapokea naye Yesu Kristo mwenyewe ni jiwe kuu la

mimi mwenyewe” (1Kor 11:2; 15:3). pembeni. Katika yeye jengo lote linaungamanishwa
6

vema na kukua hata liwe hekalu takatifu katika Mungu, alilolinunua kwa damu yake mwenyewe”

Bwana. Katika yeye ninyi nanyi mnajengwa (Mdo 20:28).

pamoja kuwa maskani ya Mungu katika Roho” (Ef

2:20-22).

Pamoja na kuwekewa mikono na mwandamizi

wa Mitume, mtu anapewa kipaimara vipi?


Je, Yesu amejenga Kanisa lake imara juu ya

Pamoja na kuwekea mikono na mwandamizi wa


mwamba?
Mitume, mtu anapewa kipaimara kwa kupakwa

Ndiyo, Yesu amejenga Kanisa lake imara juu ya krisma kama mhuri wa kuwa mali ya Bwana. Ndiyo

Mtume Petro, alichunge lote kwa niaba yake. Papa inayotufanya tuitwe Wakristo nyuma ya Yesu

kama Askofu wa Roma ndiye mwandamizi wa Petro aliyeitwa Kristo.

na mkuu wa kundi zima la Maaskofu, waandamizi


“Kwa sababu huyo ndiye aliyetiwa muhuri na Baba,
wa Mitume.
yaani, Mungu” (Yoh 6:27).

“Wewe ndiwe Petro, na juu ya mwamba huu “Yeye atufanyaye imara pamoja nanyi katika

nitalijenga kanisa langu, wala milango ya kuzimu Kristo, na kututia mafuta, ni Mungu, naye ndiye

haitalishinda” (Math 16:18). aliyetutia muhuri akatupa arabuni ya Roho mioyoni

“Atafananishwa na mtu mwenye akili, aliyejenga mwetu” (2Kor 1:21-22).

nyumba yake juu ya mwamba. Mvua ikanyesha,

mafuriko yakaja, pepo zikavuma, zikaipiga nyumba

ile, isianguke; kwa maana misingi yake imewekwa


Je, wenye daraja wanaweza wakatenda
juu ya mwamba” (Math 7:24-25).

Historia ya miaka elfu mbili sasa imedhihirisha


dhambi?
ukweli wa maneno hayo.
Ndiyo, wenye daraja wanaweza wakatenda dhambi

kwa sababu ni binadamu kama sisi sote. Yesu

alionja ukosefu wa Mitume hasa wakati wa mateso.

Maaskofu wote wamerithi mamlaka gani? “Je, mimi sikuwachagua ninyi Thenashara, na

mmoja wenu ni shetani?” (Yoh 6:70).


Maaskofu wote wamerithi mamlaka ya Mitume kwa
“Tazama, saa yaja, naam, imekwisha kuja,
kufundisha, kutakasa na kuongoza Kanisa lote
ambapo mtatawanyika kila mmoja kwao, na
pamoja na Papa na chini yake.
kuniacha mimi peke yangu” (Yoh 16:32).
Wale waliokabidhiwa jimbo fulani ni msingi wa Paulo alionya mapadri, “Katika ninyi wenyewe
umoja kwa waamini wao na kati yao na Kanisa lote watainuka watu, wakisema mapotovu, wawavute
duniani. hao wanafunzi wawaandamie wao” (Mdo 20:30).

“Jitunzeni nafsi zenu, na lile kundi lote nalo,

ambalo Roho Mtakatifu amewaweka ninyi kuwa

waangalizi ndani yake, mpate kulilisha kanisa lake


Mwenye kuwaondolea watu dhambi ni nani?
7

Mwenyezi Mungu pekee yake aweza kuwaondolea


Je, Biblia ndicho kitabu pekee cha neno la
watu dhambi. Ndiye aliyewapa Mitume, Maaskofu

na Mapadri uwezo wa kuwaondolea watu dhambi Mungu?


(Yoh 20:21-23)
Hapana, Biblia sio kitabu pekee cha neno la Mungu

isipokua Biblia ni kitabu kilichoidhinishwa rasmi

kutumika Kama kitabu kikuu cha Wakristo. Hii ni

kwa sababu Biblia imeundwa na vitabu muhimu


Kabla ya Kupaa mbinguni Yesu aliwaahidi nini
tuu vilivyochaguliwa na wakristo wa kwanza

Mitume? vilivyoonekana vinafaa kwa kufundishia, Ibada na

kukuza Imani. Kwa hiyo basi vipo vitabu vingine


Kabla ya kupaa mbinguni Yesu aliwaahidia Mitume
ambavyo haikuwekwa Kwenye Biblia ambavyo ni
kuwapelekea Roho Mtakatifu; ndiye nafsi ya Tatu
Maneno ya Mungu.
ya Utatu Mtakatifu. (Yoh 16:7)

Hii ndiyo sababu kwa nini Wakatoliki wana vitabu

vingi kuliko madhehebu Mengine. Yaani sababu ni

kwamba madhehebu Mengine walivitoa vitabu

Biblia ni nini? Asili, Historia, waandishi na vingine vilivyounda Biblia. Na Wakatoliki waliweka

vitabu vingine vya dini Kwenye Biblia walivyoona


mipaka yake vinafaa pia kutumika.

Biblia ni mkusanyiko wa vitabu mbalimbali

vinavyohusu kazi ya Mungu ya kuwakomboa


Je nje ya Biblia hakuna Neno la Mungu au
mwanadamu kuanzia enzi za Mababu na manabii

Wa Waisraeli, Enzi za Yesu na za Mitume wa Yesu. Maandiko matakatifu?

Nje ya Biblia kuna Neno la Mungu na Maandiko

Je, Biblia ilipatikanaje? Nini chanzo na asili ya Matakatifu. Hii Inamaanisha kuwa Biblia sio kitabu

pekee cha neno la Mungu. Zipo nyaraka na Vipo


Biblia.
vitabu vingine vingi ambavyo viliandikwa na

Biblia iliundwa kwa kukusanya vitabu vya dini vya Manabii na Mitume ambavyo havikuwekwa kwenye

wakristo hapo awali na kuunda kitabu kimoja. Kwa Biblia lakini ni mafundisho ya Mungu. Biblia ni

maana hii, Biblia ni vitabu teule vya dini mkusanyiko wa vitabu vikuu vya Mungu.

vilivyoonekana vinafaa kutumika kwa waumini


Kumbuka kuwa sio nyaraka zote za Mitume
Wakristo ili kusaidia Imani yao. Hivyo basi, kama ziliandikwa Kwenye Biblia. Vile vile manabii
Biblia ni vitabu teule tuu vipo vitabu vingine vya walikuwa ni wengi kuliko waliowekwa Kwenye
dini ambavyo havikuwekwa Kwenye Biblia. Biblia.

Wakristo wa kwanza walichagua vitabu kadhaa na

kuviweka pamoja na kisha kuvita Biblia. Biblia ni


Je Biblia ndiyo mafundisho ya Mungu pekee?
mkusanyiko wa vitabu muhimu tuu vya dini mpaka
Hapana, Biblia sio mafundisho pekee ya Mungu. Hii
kufikia Enzi za Mitume.
ni kwa sababu sio mambo yote aliyofanya na

kusema Mungu yaliandikwa na vilevile Mitume


8

hawakua watu wa Mwisho kupokea Roho mtakatifu


Sababu ya Kanisa katoliki kutumia mapokeo
na kupokea neno la Mungu.

na Maandiko ya Watakatifu

Biblia inatuthibitishia yenyewe kuwa Kanisa katoliki linatumia mapokeo na Makala za

watakatifu kwa Imani kuwa Mungu yule yule


haijakamilika na Si mambo yote
aliyefanya kazi tangu zamani anafanya kazi na

yameandikwa Kwenye Biblia watu wake mpaka sasa na hivyo Maandiko ya watu

wa Mungu yanafaa kutumika kama yalivyotumika


Biblia inatuthibitishia kuwa haijakamilika
ya watu wa kale.
tunaposoma (Yohane 21:25)

Biblia inatuambia hivi…”Kuna mambo Mengine

mengi aliyofanya Yesu, ambayo Kama Yesu alituambia nini kuhusu Neno la Mungu

yangeandikwa yote, moja baada ya jingine,


na Mwendelezo wa kazi ya Mungu ya kusema
nadhani hata ulimwengu wenyewe usingetosha

kuviweka vitabu ambavyo vingeandikwa.”…Kwa na watu?


mstari huu Biblia inatuthibitishia kuwa
Yesu alituambia hivi katika (Yohane 16:12-
haikuandikwa vitu vyote.
15)..”Ninayo mengi ya kuwaambieni Ila kwa sasa

hamuwezi kuyastahimili. Lakini atakapokuja huyo


Je Biblia ni mwisho wa Maandiko ya Mungu? Roho wa Ukweli atawaongoza kwenye ukweli wote.

Maana hatasema kwa Mamlaka yake mwenyewe


Biblia sio mwisho wa Maandiko ya Kimungu.
bali atasema atakayoyasikia na kuwajulisheni
Biblia ni sehemu ya maneno ya Mungu mpaka
yatakayokuja. Yeye atanitukuza Mimi kwa kuwa
miaka ya Mitume
atawajulisheni Yale atakayoyapata kutoka kwangu

Hata sasa Mungu anafanya kazi na watu wake “…

kupitia Roho Mtakatifu na kwa kwa sababu hii Sasa basi,kama Roho Mtakatifu ni yuleyule na kazi

Biblia sio mwisho wa kazi ya Mungu ya kusema na zake ni Zile Zile za tangu Mitume, kwa nini

watu wake. hatukubali kuwa Anafanya kazi mpaka sasa kupitia

watu wa Mungu? Kwa nini tunakataa mafundisho


Mungu yu hai na anafanya kazi na watu wake
yao? Kwa nini tunashindwa kuelewa kuwa Biblia
mpaka sasa kwa kutumia vinywa vya watu Kama
haikuwa mwisho wa Neno la Mungu? Kwa nini
aliyofanya hapo awali.
tunakana Mapokeo ya Watakatifu? Kwa nini

Hata maneno unayohubiriwa sasa yanaweza kuwa hatuwaamini watumishi wake wa sasa?

ni kutoka kwa Mungu kwa maana hata waandishi

wa Biblia walitumiwa na Mungu Kama wahubiri wa

sasa. Mungu ni yule yule, Roho Mtakatifu ni

yuleyule na Neno ni lile lile. Nyaraka za Mitume katika Biblia ni zipi?

Kwa hiyo Biblia ni maneno yaliyochaguliwa mpaka Nyaraka za Mitume ni;

enzi za Mitume. Vitabu vilivyofwata Baada ya 1. Waroma

Mitume japokuwa viliandikwa kwa Roho Mtakatifu 2. 1 Wakorinto

havikuwekwa Kwenye Biblia.


9

3. 2 Wakorinto
Baba Mtakatifu wa kwanza ni nani?
4. Wagalatia

5. Waefeso Baba Mtakatifu wa Kwanza ni Mt. Petro

6. Wafilipi

7. Wakolosai

8. 1 Wathesalonike

Nani ni Mitume wa Mataifa?


9. 2 Wathesalonike

10. 1 Timotheo Mitume wa mataifa ni Paulo na Barnaba


11. 2 Timotheo

12. Tito WhatsAppTwitterLinkedInEmail


Mambo ya muhimu kujua kuhusu Sakramenti ya
13. Filemoni Kipaimara

14. Waebrania Mafundisho ya Katekisimu / Leave a Comment

15. Yakobo Roho Mtakatifu aliwashukia Mitume siku

16. 1 Petro gani?

17. 2 Petro
Roho Mtakatifu aliwashukia Mitume siku ya
18. 1 Yohane
Pentekoste, yaani siku ya hamsini toka Pasaka.
19. 2 Yohane
(Mdo 2:1-4)
20. 3 Yohane

21. Yuda

Sakramenti inayohusiana zaidi na ubatizo ni

ipi?

Mitume kumi na wawili wa Yesu Kristu ni Sakramenti inayohusiana zaidi na ubatizo ni

kipaimara, kinachoendeleza kazi yake.


wapi?

“Waliposikia haya wakabatizwa kwa jina la Bwana


Mitume wa yesu ni;
Yesu. Na Paulo, alipokwisha kuweka mikono yake
1. Simoni/Petro
juu yao, Roho Mtakatifu akaja juu yao” (Mdo 19:5-
2. Yakobo
6).
3. Yohane

4. Andrea Sakramenti hizo ni kama pande mbili za pesa

5. Filipo moja. Zinahusiana kama Pasaka na Pentekoste,

ambayo ni utimilifu wake, kwa kuwa siku


6. Barttholomayo
alipofufuka Yesu aliwapulizia Mitume Roho
7. Mathayo
Mtakatifu, ambaye siku hamsini baadaye akawajia
8. Thomaso
kama
9. Yakobo wa ALfayo

10. Thadayo (Yuda Thadey) “upepo wa nguvu ukienda kasi, ukaijaza nyumba

11. Simoni Mkanaani yote” (Mdo 2:2).

13. Yuda Iskarioti – Aliyemsaliti


10

Pamoja na kuwekewa mikono na mwandamizi “Pendo la Mungu limekwisha kumiminwa katika

wa Mitume, mtu anapewa kipaimara vipi? mioyo yetu na Roho Mtakatifu tuliyepewa sisi”

(Rom 5:5).
Pamoja na kuwekea mikono na mwandamizi wa

Mitume, mtu anapewa kipaimara kwa kupakwa Tena tunapokea vipaji vyake ambavyo Yesu

krisma kama mhuri wa kuwa mali ya Bwana. Ndiyo alikuwa navyo kikamilifu.

inayotufanya tuitwe Wakristo nyuma ya Yesu “Roho ya Bwana atakaa juu yake, roho ya hekima
aliyeitwa Kristo. na ufahamu, roho ya shauri na uweza, roho ya

“Kwa sababu huyo ndiye aliyetiwa muhuri na Baba, maarifa na ya kumcha Bwana. Na furaha yake

yaani, Mungu” (Yoh 6:27). itakuwa katika kumcha Bwana” (Isa 11:2-3).

“Yeye atufanyaye imara pamoja nanyi katika Mambo hayo, tofauti na karama, ni ya lazima kwa

Kristo, na kututia mafuta, ni Mungu, naye ndiye yeyote apate wokovu wa milele.

aliyetutia muhuri akatupa arabuni ya Roho mioyoni

mwetu” (2Kor 1:21-22).

Je, tunaweza kuhakikisha neema ya utakaso?

Hapana, hatuwezi kuhakikisha neema ya utakaso


Kumpokea Roho Mtakatifu maana yake nini?
kwa kuwa ni tukio ambalo linapita maumbile na

Kumpokea Roho Mtakatifu maana yake ni kuja kufanyika rohoni, hivyo halifikiwi na hisi zetu.

kuongozwa naye badala ya kutawaliwa na shetani. Pengine Mungu anatokeza dalili fulani za badiliko

hilo kama vile furaha ya ndani au karama ya nje,


“Kwa kuwa ninyi mmekuwa wana, Mungu
lakini hizo hazihitajiki wala hazitoshi kuthibitishia
alimtuma Roho wa Mwanae mioyoni mwetu, aliaye,
mtu amepata neema hiyo.
„Aba!‟ yaani, „Baba!‟ Kama ni hivyo, wewe si

mtumwa tena bali u mwana; na kama u mwana, “Wengi wataniambia siku ile: Bwana, Bwana,

basi, u mrithi kwa Mungu. Lakini wakati ule, kwa hatukufanya unabii kwa jina lako, na kwa jina lako

kuwa hamkumjua Mungu, mliwatumikia wao kutoa pepo, na kwa jina lako kufanya miujiza

ambao kwa asili si miungu… Tukiishi kwa Roho, na mingi? Ndipo nitawaambia dhahiri: Sikuwajua ninyi

tuenende kwa Roho” (Gal 4:6-8; 5:25). kamwe; ondokeni kwangu, ninyi mtendao maovu”

“Ikiwa Roho wa Mungu anakaa ndani yenu, ninyi (Math 7:22-23).

hamwufuati mwili; bali mwaifuata roho. Lakini mtu “Nijaposema kwa lugha za wanadamu na za

awaye yote asipokuwa na Roho wa Kristo, huyo si malaika, kama sina upendo, nimekuwa shaba iliayo

wake” (Rom 8:9). na upatu uvumao. Tena nijapokuwa na unabii, na

kujua siri zote na maarifa yote, nijapokuwa na

imani timilifu kiasi cha kuweza kuhamisha milima,

kama sina upendo, si kitu mimi. Tena nikitoa mali


Tukimpokea Roho Mtakatifu papo hapo
zangu zote kuwalisha maskini, tena nikijitoa mwili
tunapokea pia nini?
wangu niungue moto, kama sina upendo,
Tukimpokea Roho Mtakatifu papo hapo tunapokea hainifaidii kitu” (1Kor 13:1-3).
pia adili kuu la upendo:
11

Je, karama ni zile za kushangaza tu? Karama zinagawiwa vipi?

Hapana, karama si zile za kushangaza tu, tena zile Karama zinagawiwa na Roho Mtakatifu jinsi

muhimu zaidi si hizo, bali zile zinazojenga zaidi anavyotaka, si kwa sifa au faida ya binafsi, bali

Kanisa, kama zile za uongozi: kwa ustawi wa taifa la Mungu.

“Mungu ameweka wengine katika Kanisa, wa “Kazi hizi zote huzitenda Roho huyo mmoja, yeye

kwanza mitume, wa pili manabii, wa tatu waalimu, yule, akimgawia kila mtu peke yake kama

kisha miujiza, kisha karama za kuponya wagonjwa, apendavyo yeye… Je, wote ni mitume? Wote ni

na masaidiano, na maongozi, na aina za lugha” manabii? Wote ni waalimu? Wote wanatenda

(1Kor 12:28). miujiza? Wote wana karama za kuponya

“Basi kwa kuwa tuna karama zilizo mbalimbali, wagonjwa? Wote wanena kwa lugha? Wote

kwa kadiri ya neema tuliyopewa; ikiwa unabii, wafasiri?… Kwa kuwa mnatamani sana kuwa watu

tutoe unabii kwa kadiri ya imani; ikiwa huduma, wenye karama za roho, takeni kwamba mzidi sana

tuwemo katika huduma yetu; mwenye kufundisha, kuwa nazo ili kulijenga kanisa… Kwa maana Mungu

katika kufundisha kwake; mwenye kuonya, katika si Mungu wa machafuko, bali wa amani” (1Kor

kuonya kwake; mwenye kukirimu, kwa moyo 12:11,29-30; 14:12,33). Kwa ajili hiyo mitume

mweupe; mwenye kusimamia, kwa bidii; mwenye walipambanua na kuratibu karama katika ibada na

kurehemu, kwa furaha” (Rom 12:6-8). katika maisha ya jumuia zisije zikavuruga Kanisa.

Karama nyingine muhimu zinatuwezesha Karama za kushangaza zina hatari gani?

kufanya nini?
Karama za kushangaza zina hatari mbalimbali,

Karama nyingine muhimu zinatuwezesha kuishi hasa zikitiwa maanani mno. Hapo ni rahisi zilete

kwa useja kama Yesu na Paulo, au kwa ndoa: majivuno, kijicho na mafarakano.

“Nipendalo ni kwamba watu wote wawe kama mimi “Ikiwa kwenu kuna husuda na fitina, je, si watu wa

nilivyo; walakini kila mtu ana karama yake tabia ya mwili ninyi; tena mnaenenda kwa jinsi ya

mwenyewe itokayo kwa Mungu, huyu hivi, na huyu kibinadamu?… Mmekwisha kushiba, mmekwisha

hivi. Lakini nawaambia wale wasiooa bado, na kupata utajiri, mmemiliki pasipo sisi. Naam, laiti

wajane; ni heri wakae kama mimi nilivyo” (1Kor mngemiliki… Kwa hiyo anayejidhania kuwa

7:7-8). amesimama na aangalie asianguke” (1Kor 3:3;

“Si wote wawezao kulipokea neno hili, ila wale 4:8; 10:12).

waliojaliwa” (Math 19:11). Katika mambo yasiyothibitika ni rahisi

Tunavyoona katika historia ya watawa, mara kudanganyika kuwa yametoka kwa Mungu, kumbe

nyingi karama ya useja inaendana na nyingine sivyo. Kisha kudanganyika ni vigumu kuachana

katika maisha ya sala, ya kijumuia na ya kitume. nayo hata yakiwa na madhara kwa mhusika au

Hivyo Filipo “alikuwa na binti wanne, mabikira, kwa Kanisa.

waliokuwa wakitabiri” (Mdo 21:9). “Wapenzi, msiiamini kila roho, bali zijaribuni hizo

roho, kwamba zimetokana na Mungu; kwa sababu


12

manabii wa uongo wengi wametokea duniani” Sisi ambao tulishiriki kifumbo kifo na ufufuko wake

(1Yoh 4:1). tukapokea kwake paji la Roho Mtakatifu,

tunaalikwa kukaribia mara kwa mara meza

anapotulisha na kutunywesha Mwili na Damu yake

ili tushiriki uhai wake kwa dhati zaidi na zaidi.


Tunda la kuongozwa na Roho Mtakatifu ni

lipi? “Aulaye mwili wangu na kuinywa damu yangu

hukaa ndani yangu, nami hukaa ndani yake. Kama


Tunda la kuongozwa na Roho Mtakatifu ni umoja
vile Baba aliye hai alivyonituma mimi, nami ni hai
wa Kanisa unaotokana na ustawi wa upendo na
kwa Baba; kadhalika naye mwenye kunila atakuwa
vipaji ndani ya waamini.
hai kwa mimi” (Yoh 6:56-57).
“Wote walijaa Roho Mtakatifu, wakanena neno la
Ubatizo na kipaimara havirudiwi, vinadumu ndani
Mungu kwa ujasiri. Na jamii ya watu walioamini
mwetu kama mifupa ambayo ekaristi ya mara kwa
walikuwa na moyo mmoja na roho moja” (Mdo
mara inazidi kuitia mwili na damu.
4:31-32).

“Tunda la Roho ni upendo, furaha, amani,

uvumilivu, utu wema, fadhili, uaminifu, upole,

kiasi; juu ya mambo kama hayo hakuna sheria” Sakramenti ya Kipaimara ni nini?

(Gal 5:22-23). Ni Sakramenti yenye kumpa Mkristu Roho

“Lakini, mkiwa na wivu wenye uchungu na ugomvi Mtakatifu na ukamilifu wa mapaji yake saba,

mioyoni mwenu, msijisifu, wala msiseme uongo kumfanya mkristu mkamilifu na kumwandika

juu ya kweli. Hekima hiyo siyo ile ishukayo kutoka Askari hodari wa Yesu Kristo Mpaka Kufa

juu, bali ni ya dunia, ya tabia ya kibinadamu, na

Shetani. Maana hapo palipo wivu na ugomvi, ndipo

palipo machafuko, na kila tendo baya. Lakini


Nini maana ya Roho Mtakatifu?
hekima itokayo juu, kwanza ni safi; tena ni ya

amani, ya upole, tayari kusikiliza maneno ya watu, Roho Mtakatifu ni nafsi ya Tatu ya Utatu Mtakatifu,

imejaa rehema na matunda mema, haina fitina, ni Mungu Halisi sawa na Mungu Baba na Mwana.

haina unafiki” (Yak 3:14-17). (Yoh 14:16-17,26)

Madhehebu yanapozidi kufarakana ni lazima

tujiulize kama kweli ni kazi ya Roho Mtakatifu.

Roho Mtakatifu anawafanyia Waamini nini?

Roho Mtakatifu anawafanyia Waamini haya.


Sakramenti inayokamilisha ubatizo na
1. Anawatakasa
kipaimara ni ipi?
2. Anawaangaza na kuwavuta ili waende kwenye
Sakramenti inayokamilisha ubatizo na kipaimara ni uzima wa milele
ekaristi, iliyo kuu kuliko sakramenti zote kwa

sababu ndiyo Yesu mzima, Mungu-mtu, katika

maumbo ya mkate na divai.


13

Ni kwa namna gani Roho Mtakatifu Mapaji saba ya Roho Mtakatifu ni msaada wake wa

Anatutakasa? kuimarisha na kuzoesha akili na moyo wetu kwa

mambo ya utumishi wa Mungu


Roho Mtakatifu anatutakasa kwa njia ya

Sakramenti, Visakramenti, Fadhila za Kimungu na

vipaji vyake. (Yoh 16:8)

Mapaji saba ya Roho Mtakatifu ni yapi?

Mapaji Hayo ni;

Ni kwa namna gani Roho Mtakatifu anatenda 1. Hekima

kazi zake? 2. Akili

3. Shauuri
Roho Mtakatifu anatenda kazi zake kwa njia hizi;

1. Anatuangaza kwa Mwanga wake tupate kuelewa 4. Nguvu

mafundisho ya dini 5. Elimu

2. Anatupatia neema za msaada za kutusaidia 6. Ibada

kutunza utakatifu wetu 7. Uchaji wa Mungu (Isaya 11:2)

3. Anatuvuta kwa mapendo yake tuzitumie Neema

na kufika kwenye uzima wa milele.

4. Anatufariji katika shida zote. Ndio maana Roho Hekima ni nini?


Mtakatifu huitwa pia Mfariji
Ni upendaji wa Mambo ya Mungu na Machukio ya

Mambo ya Dunia

Kwa nini Sakramenti hii inaitwa Kipaimara?

Inaitwa Sakramenti ya Kipaimara kwa sababu Akili ni nini?


inaimarisha na kukamilisha neema ya Ubatizo
Ni mwangaza wa Roho Mtakatifu wa Kutusaidia

tumjue zaidi Mungu na Ukamilifu wake na kuwa na

Hakika kwamba Mungu peke yake aweza kutuliza

Roho Mtakatifu anakuja kufanya nini rohoni roho zetu

mwetu kwa Kipaimara?

Anakuja kufanya yafuatayo;

1. Anakuja kutuongezea Neema ya Utakaso Shauri ni nini?

2. Anatuletea pia ukamilifu wa mapaji yake saba Ni utaratibu wa Kuchagua Siku zote mambo yenye
na msaada wa kuungama imani yetu mbele za kufaa kwa sifs ya Mungu na kwa Wokovu wetu
watu

Nguvu ni nini?
Mapaji Saba ya Roho Mtakatifu ndio nini?
14

Ni moyo wa kushika sana Amri za Mungu na maneneo ya Sakramenti “Pokea Mhuri wa paji la

mambo ya utumishi wake tusiogope watu, Roho Mtakatifu” halafu anampiga kofi kidogo.

matukano, mateso wala kufa. (Rum 8:38-39)

Ishara wazi ya Sakramenti ya Kipaimara ni

Elimu ni nini? nini?

Ni maarifa ya kutambua werevu na udanganyifu Ishara wazi ya Sakramenti ya Kipaimara ni Askofu

wa shetani; anaposhawishi mwenyewe au kwa kumwekea Mkristo mikono na kumpaka Krisma

kutumia vitu au watu. (1Pet 5:8-9) Takatifu na Kusema maneneo, “Pokea muhuri wa

Paji la Roho Mtakatifu”

Ibada ni nini?

Ina maana gani kupaka mafuta ya Krisma


Ni roho ya kupenda utumishi wa Mungu na yote
katika panda la uso wakati wa Kipaimara?
yale yenye kumpa Mungu sifa na Heshima

Inamaana kuwekwa wakfu (Yh 17:16-17).

Inamaana kuwa aliyepokea Sakramenti ya

Uchaji wa Mungu ni nini? Kipaimara anapaswa kuwa tayari Kuteswa kwa

kuungama Imani yake na kuishi bila woga. (Mdo


Ni hofu ya kumchukiza Mungu kwa Dhambi kama
7:54-55).
vile mtoto mwema aogopavyo kumchukiza mzazi

au mlezi wake.

Kwa nini Askofu anampiga kofi kidogo

shavuni wakati akitoa Kipaimara?


Ni nani mhudumu rasmi wa Sakramenti ya

Kipaimara? Askofu anampiga kofi Kidogo Shavuni ili

kumkumbusha awe mvumilivu, imara na tayari


Ni Askofu halali wa Kanisa Katoliki au anaweza
kuteseka hata kama ni kifo kwa ajili ya Yesu
kumtuma Padre kutoa Sakramenti ya Kipaimara.
Kristo.

Katika hatari ya kufa kila padre anatoa Sakramenti

ya Kipaimara. (Mdo 8:1, 1Kor 12:1-11)

Mwenye kupokea Sakramenti ya kipaimara

Yampasa nini?

Askofu ampaje Mkristo Kipaimara?


Ajue mafundisho makuu ya dini na awe katika hali

Kwanza ananyoosha Mikono juu yake akimwombea ya neema

mapaji saba ya Roho Mtakatifu.

Anamwandika ishara ya msalaba katika panda la

uso kwa mafuta ya Krisma Takatifu akitaja


15

Mkristo Hupokea Sakramenti ya Kipaimara WhatsAppTwitterLinkedInEmail


Mara ngapi? Mambo ya Msingi kufahamu kuhusu Ndoa ya Kikatoliki
Mafundisho ya Katekisimu / 1 Comment
Mkristo Hupokea Sakramenti ya Kipaimara Mara
Daraja na ndoa ni tofauti na sakramenti
moja tuu, kwa sababu Kipaimara hupiga rohoni
nyingine kwa sababu gani?
chapa isiyofutika milele.
Daraja na ndoa ni tofauti na sakramenti nyingine

kwa sababu hazilengi hasa faida ya mtu

anayezipokea, bali huduma zake kwa ajili ya


Je, Baada ya kupokea Sakramenti ya Kanisa na jamii. Daraja inatia uwezo wa Kristo kwa
Kipaimara ni lazima kuendelea kujifunza ustawi wa Kanisa, Bibi arusi wake. Ndoa inatia
Dini? upendo wake mwaminifu kwa ustawi wa familia,

kanisa dogo la nyumbani.


Ndiyo, Baada ya kupokea Sakramenti ya Kipaimara

ni lazima kuendelea kujifunza Dini ili tuweze “Jitunzeni nafsi zenu, na lile kundi lote nalo,
kuelewa na kulinda Imani yetu na kutumia vema ambalo Roho Mtakatifu amewaweka ninyi kuwa
neema ya Kipaimara. waangalizi ndani yake, mpate kulilisha kanisa lake

Mungu, alilolinunua kwa damu yake mwenyewe”

(Mdo 20:28).

“Hakuna mtu anayeuchukia mwili wake popote;


Je, Ni lazima kila Mkristo kupokea Sakramenti

ya Kipaimara? bali huulisha na kuutunza, kama Kristo naye

anavyolitendea Kanisa. Kwa kuwa tu viungo vya


Ni lazima kila Mkristo kupokea Sakramenti ya
mwili wake. Kwa sababu hiyo mtu atamwacha
Kipaimara kwa sababu ni Ukamilisho wa
baba yake na mama yake, ataambatana na mkewe
Sakramenti ya Ubatizo. (Mdo 8:14-17)
na hao wawili watakuwa mwili mmoja. Siri hiyo ni

kubwa; ila mimi nanena habari ya Kristo na

Kanisa” (Ef 5:29-32).

Sakramenti ya Kipaimara inaleta manufaa

gani rohoni mwa Mbatizwa?

Kadiri ya mpango wa Muumba, ndoa halisi ina


Manufaa ya Kipaimara ni;
sifa ngapi?
1. Miminiko la pekee la Roho Mtakatifu, kama la

siku ya Pentekoste Kadiri ya mpango wa Muumba, ndoa halisi ina sifa


2. Inachapa rohoni alama isiyofutika milele tatu: umoja, uimara na utayari wa kuzaa.
3. Inakamilisha neema ya Ubatizo

4. Kufanya hali ya kuwa wana wa Mungu itie mizizi


“Hamkusoma ya kwamba yeye aliyewaumba
mirefu zaidi
mwanzo, aliwaumba mtu mume na mtu mke,
5. Inaunganisha zaidi na Kristo na Kanisa lake.
akasema, „Kwa sababu hiyo, mtu atamwacha
6. Inastawisha vipaji vya Roho Mtakatifu rohoni
babaye na mamaye, ataambatana na mkewe, na
7. Inatia nguvu ya pekee kwa kushuhudia Imani ya
hao wawili watakuwa mwili mmoja?‟ Hata
Kristo
wamekuwa si wawili tena, bali mwili mmoja. Basi
16

aliowaunganisha Mungu, mwanadamu “Njoo huku, nami nitakuonyesha yule Bibi arusi,

asiwatenganishe” (Math 19:4-6). mke wa Mwanakondoo” (Ufu 21:9).

“Mungu akawabarikia, Mungu akawaambia, „Zaeni, Wakiwa na ndoa halisi, mume na mke waliobatizwa

mkaongezeke, mkaijaze nchi, na kuitiisha‟” (Mwa ni ishara wazi ya hao wanaarusi wawili

1:28). wasioonekana.

Mitara, uzinifu, talaka, ushoga na kukataa uzazi ni “Kama vile Kanisa limtiivyo Kristo, vivyo hivyo

kinyume cha mpango huo. wake nao wawatii waume zao katika kila jambo.

Enyi waume, wapendeni wake zenu, kama Kristo

naye alivyolipenda Kanisa, akajitoa kwa ajili yake”

(Ef 5:24-25).

Yesu aliweka sakramenti ya ndoa kwa sababu

gani? Ndiyo sababu Mkatoliki hawezi kufunga ndoa bila

ya kuhusisha Kanisa na kufuata taratibu zake.

Yesu aliweka sakramenti ya ndoa kwa sababu ya

umuhimu wa familia kwa ustawi wa mume na mke,

watoto, jamii na ufalme wa Mungu, na kwa sababu

ya uzito wa majukumu yanayohusika. Ni zipi Sakramenti za Huduma ya ushirika na

utume?

“Siku ya tatu palikuwa na arusi huko Kana, mji wa

Galilaya; naye mama yake Yesu alikuwepo. Yesu Ni Sakramenti mbili ambazo ni Sakramenti ya

naye alikuwa amealikwa arusini pamoja na Daraja na Sakramenti ya Ndoa

wanafunzi wake” (Yoh 2:1-2), akaleta divai bora

ya ndoa sakramenti badala ya ndoa ya

kimaumbile.

Sakramenti ya ndoa ni nini?

Hivyo ametuandalia neema tuweze kushinda

“ugumu wa mioyo” (Math 19:8) unaohatarisha Sakramenti ya ndoa ndio yenye kuwaunganisha
daima uzuri wa mpango wa Mungu kuhusu upendo wakristo wawili mume namke waliopendana kwa
mwaminifu katika ndoa. “Mungu aliona kila kitu hiari bila shuruti au vitisho au kizuizi kwa kuwapa
alichokifanya, na tazama, ni chema sana” (Mwa neema ya kuishi pamoja kitakatifu wakiwalea
1:31). watoto wao katika utakatifu

Ndoa ya Wakristo ni sakramenti ya nani? Je, ndoa halali yaweza kuvunjwa?

Ndoa ya Wakristo ni sakramenti ya Yesu na Kanisa Sakramenti ya ndoa iliyofungwa kihalali hudumu
lake. milele kwani Yesu anafundisha kuwa
17

“Alichokiunganisha Mungu mwanadamu

asikitenganishe” (Mt 19:6)

Vizuizi vya ndoa ni vipi?

Vizuizi vya ndoa ni;

Ndoa imewekwa na nani? 1. Upungufu wa umri

2. Uhanithi

Ndoa imewekwa na Mungu mwenyewe na Yesu 3. Ndoa awali halali

Kristo ameeinua na kuifanya Sakramenti. (Mwz 4. Tofauti za dini au upagani

2:18; Mt 19:1-12)

5. Daraja Takatifu

6. Nadhiri

7. Utekaji au kutumia nguvu

Kabla ya kupokea Sakramenti ya Ndoa 8. Taksiri au Jinai au Mauaji ya mwenzi wa ndoa

hutakiwa nini? 9. Uhusiano wa damu

10. Uhusiano wa ndoa

Kabla ya kupokea Sakramenti ya Ndoa hutakiwa; 11. Ugoni au uhawara

1. Uhuru wa kila mmoja 12. Kuasili mtoto au Uhusiano wa kisheria

2. Matangazo ya ndoa

3. Wachumba wawe na nia ya kweli ya kuoana

4. Mafundisho na semina ya ndoa Ndoa mchanganyiko maana yake ni nini?

5. Wasiwe na kizuizi chochote cha ndoa

6. Wasikae suria na wapokee Sakramenti ya Ndoa mchanganyiko ni ndoa kati ya Mkristo

Kitubio Mkatoliki na Mkristo asiye Mkatoliki

Mtu aweza kupokea Sakramenti ya ndoa zaidi Ndoa ya utofauti wa Imani maana yake ni

ya mara moja? nini?

Ndiyo, mwenzi akifa yule aliyebaki yupo huru Ndoa ya utofauti wa Imani ni ndoa kati ya Mkristo

kufunga ndoa tena (1Kor 7:39) Mkatoliki na mtu ambaye hajabatizwa kwa mfano

Mpagani, Mwislamu, Yehova, Mlokole tangu

kuzaliwa n.k

Vizuizi vya ndoa ni kitu gani?

Vizuizi vya ndoa ni vile vinavyofanya ndoa isiwe

halali tangu mwanzo


18

Mkristo Mkatoliki awezaje kufunga ndoa Kama mmoja amedanganya basi ndoa hiyo ingawa

mchanganyiko au utofauti wa dini kwa imefungwa haitakuwa halali kabisa mpaka mwisho.

uhalali? Watadumu katika dhambi mpaka kufa au watubu.

Aweza kufunga ndoa hiyo kwa uhalali baada ya

kupata ruhusa maalumu ya Askofu kwa Barua.

Kanisa linatoa ushahuri gani kuhusu ndoa

halali au ya mseto?

Ili Askofu atoe ruhusa ya kufungisha ndoa ya Kanisa linatambua hatari kubwa kwa Imani

mchanganyiko au dini tofauti kuna Masharti linashauri watoto wake wawe na busara kubwa

gani? wanapoamua kupendana kwa lengo la kufunga

ndoa.

Ndiyo, Askofu atatoa ruhusa baada ya Mkristo

Mkatoliki kuahidi kwamba;

1. Atabaki Imani Katoliki mpaka kufa na isiwe Je, ndoa halali inaweza kuvunjwa?

amedanganya

2. Watoto wote watabatizwa na kulelewa katika Hapana, Hakuna yeyote anayeweza kuvunja ndoa
Kanisa Katoliki halali isipokuwa kifo. (Mt 19:4-6)
3. Huyo anayefunga naye ndoa akubali bila

masharti yoyote

Anayevunja ndoa na kuoa au kuolewa

anaweza kupokea Sakramenti?


Je, Mchumba Mkatoliki aweza kuiacha Imani

yake kwa sababu ya Ndoa? Hapana, Anayevunja maagano ya ndoa na kuoa au

kuolewa hawezi kupokea Sakramenti ya Ekaristi

Hapana, Kwa kuwa Kanisa Katoliki limeasisiwa na wala Kitubio hadi afanye toba na kurekebisha hali

Mungu kwa njia ya Yesu Kristo kama la lazima kwa hiyo. (Mk 10:11-12)
kupata wokovu, wanaokataa kuingia au kuhudumu

ndani yake hawawezi kuokolewa.

Ni nani wahudumu wa Sakramenti ya ndoa?

Kuna kosa gani kama mmoja wapo atakuwa Wahiudumu rasmi wa Sakramenti ya ndoa ni
amedanganya ili aruhusiwe kufunga ndoa wachumba wenyewe, Padri kama shahidi rasmi wa
mseto au mchanganyiko kanisa. Tena ni lazima ifungwe mbele ya mashahidi

wengine wawili.
19

pamoja na watu wako wote wa vita. Fanya hivi

kwa siku sita. 4Uwe na makuhani saba wakibeba

Watu wa jinsia moja waweza kuoana? mabaragumu ya pembe za kondoo waume mbele

ya sanduku. Siku ya saba, mzunguke mji mara

Hapana, watu wa Jinsia moja hawawezi kuoana na saba, nao makuhani wakipiga baragumu hizo.

wakifanya hinyo wanatenda dhambi kubwa 5Utakaposikia makuhani wamepaliza sauti kubwa

inayomlilia Mungu. (Wal 18:22) ya baragumu, watu wote wapige kelele kwa sauti

kuu, kisha ukuta wa mji utaanguka na watu

watakwea, kila mtu aingie ndani moja kwa moja


WhatsAppTwitterLinkedInEmail
kutokea pale alipo.‟‟ (Yoshua 6:2-5).

Maswali yanayoulizwa sana na Wakristu wa Madhehebu Naamani aliambiwa na Nabii Elisha aoge mara saba
wengine kuhusu Wakatoliki na Imani yao
kwenye mto Yordani ili apone.
Mafundisho ya Katekisimu / Leave a Comment

14Hivyo akashuka na kujizamisha ndani ya mto

Yordani mara saba, kama vile huyo mtu wa Mungu


Vyanzo vya sala za Kikristo
alivyokuwa amemwambia, nayo nyama ya mwili

Vyanzo vya sala za kikristo ni; wake ikapona na kutakasika kama ya mwili wa

mvulana mdogo. (2 Wafalme 5:14)


1. Neno la Mungu
Yesu alisali sala ya kurdia rudia kama
2. Litrujia ya kanisa
tunavyosoma,
3. Fadhila za Kimungu

4. Matukio ya kila siku 39Akaenda mbele kidogo, akaanguka kifudifudi

akaomba, akisema, “Baba yangu, kama

inawezekana, kikombe hiki na kiniepuke, lakini si

kama nitakavyo mimi bali kama utakavyo Wewe.‟‟

Je, ni sahihi kusali sala kwa kurudia rudia 40Kisha akarudi kwa wanafunzi wake na kuwakuta

wamelala. Akamwuliza Petro, “Je, hamkuweza


mfano Novena?
kukesha pamoja nami kwa saa moja? 41„„Kesheni

Ndiyo, Hii ni kwa sababu sala nyingi za kurudia ni na mwombe, msije mkaanguka majaribuni. Hakika

za Ahadi na zinasaliwa ili kutimiza ahadi ile. Mfano roho iko radhi lakini mwili ni dhaifu.‟‟ 42Akaenda

Novena husaliwa kwa siku 7 au 9 kwa nia ya tena mara ya pili na kuomba, “Baba yangu, kama

kupata kile kilichoahidiwa au kinachodhamiriwa. ikiwezekani kikombe hiki kiniepuke nisikinywe,

Mungu alishawahi kuwaagiza Waisraeli wafanye mapenzi yako yafanyike.‟‟ 43Aliporudi, akawakuta

Ibada maalumu kwa kurudiarudia mfano wakati tena wamelala kwa sababu macho yao yalikuwa

walipoangusha kuta za Yeriko walifanya Ibada mazito. 44Hivyo akawaacha akaenda zake tena

maalumu kwa siku 7 (Saba). mara ya tatu na kuomba akisema maneno yale

yale. (Mathayo 26:39-44)


“Waisraeli walipopita waliagizwa na Mungu

kuzunguka Mji wa Yeriko 2Kisha BWANA

akamwambia Yoshua,“Tazama, nimeitia Yeriko Je ni makosa kurudia sala maneno yale yale

mikononi mwako, pamoja na mfalme wake na


kwa Mfano Rozari?
watu wake wa vita. 3Zunguka mji mara moja
20

Hapana sio Makosa. Kwa Mfano Biblia inatuambia 40Kisha akarudi kwa wanafunzi wake na kuwakuta

kuwa Malaika humtukuza Mungu kwa maneno ya wamelala. Akamwuliza Petro, “Je, hamkuweza

kurudia rudia. kukesha pamoja nami kwa saa moja? 41„„Kesheni

na mwombe, msije mkaanguka majaribuni. Hakika


“8Kila mmoja wa hawa viumbe wenye uhai wanne,
roho iko radhi lakini mwili ni dhaifu.‟‟ 42Akaenda
alikuwa na mabawa sita na kujawa na macho
tena mara ya pili na kuomba, “Baba yangu, kama
pande zote, hadi chini ya mabawa. Usiku na
ikiwezekani kikombe hiki kiniepuke nisikinywe,
mchana hawakuacha kusema: „„Mtakatifu,
mapenzi yako yafanyike.‟‟ 43Aliporudi, akawakuta
Mtakatifu, Mtakatifu, ni Bwana Mungu Mwenyezi,
tena wamelala kwa sababu macho yao yalikuwa
aliyekuwako, aliyeko na atakayekuja.‟‟ (Ufunuo
mazito. 44Hivyo akawaacha akaenda zake tena
4:8).
mara ya tatu na kuomba akisema maneno yale
Vile vile tunasoma katika kitabu cha Isaya kuwa
yale. (Mathayo 26:39-44)
malaika walikua wakimsifu na kumtukuza Mungu

kwa sala/ maneno ya kurudiarudia. “Katika mwaka

ule mfalme Uzia alipokufa, nilimwona Bwana Sala kwa Mkatoliki ni nini hasa? Tunaposema

ameketi katika kiti cha enzi, kilicho juu na


sala tunamaanisha nini hasa?
kilichotukuzwa sana, nalo pindo la joho lake

likajaza hekalu. 2Juu yake walikuwepo maserafi, Sala ni kuongea na Mungu. Sala kwa Mkatoliki
kila mmoja alikuwa na mabawa sita: Kwa mabawa inajumuisha maombi, tafakari, ibada, taamuli,
mawili walifunika nyuso zao, kwa menngine mawili shukrani na sifa. Maana ya sala kwa Mkristo
walifunika miguu yao na kwa mawili walikuwa Mkatoliki sio kuomba tuu kama wanavyotafsiri
wakiruka. 3Nao walikuwa wakiitana kila mmoja na watu wasio wakatoliki. Wengi wa wasio Wakatoliki
mwenzake: “Mtakatifu, Mtakatifu, Mtakatifu ni wanaposema Sala wanamaanisha Maombi.
BWANA Mwenye Nguvu, Dunia yote imejaa utukufu
Kwa hiyo kwa Mkatoliki, Sala ni zaidi ya Maombi.
wake.”
Ndiyo maana kwa mkatoliki kuna sala za namna
Kama Malaika humtukuza Mungu kwa maneno ya mbalimbali kama vile za Tafakari, za Maombi za
kurudia rudia kwa nini sisi tukifanya hivyo tuwe Sifa na za kushukuru. Mfano sala ya Atukuzwe
tunakosea? Na sisi tunaweza kumuomba, kumsifu Baba sio maombi bali ni sala ya kumtukuza Mungu
na kumtukuza Mungu kwa sala au maneno ya kwa maana hiyo sio Maombi, ndiyo maana
kurudiarudia kama walivyofanya malaika. Kwa hiyo husaliwa baada ya sala au matukio fulani kama
sala za kurudia rudia sio makosa. ishara ya kumtukuza Mungu na kutambua ukuu wa

Mungu
Tukiangalia Zaburi ya 136 inarudia maneno “kwa

maana fadhili zake zadumu milele” mara 26 yaani

kwenye mistari yake yote. (Zaburi 136:1-26) Yesu alifundisha tusali vipi?
Yesu pia allimuomba Mungu Baba kwa kurudia
Kisha Yesu akawapa wanafunzi Wake mfano ili
maneno yale yale kama tunavyosoma,
kuwaonyesha kuwa yawapasa kuomba pasipo
39Akaenda mbele kidogo, akaanguka kifudifudi kukata tamaa.
akaomba, akisema, “Baba yangu, kama
2Akawaambia, “Katika mji mmoja alikuwapo
inawezekana, kikombe hiki na kiniepuke, lakini si
hakimu ambaye hakumwogopa Mungu wala
kama nitakavyo mimi bali kama utakavyo Wewe.‟‟
21

kumjali mtu. 3Katika mji huo alikuwako mjane moja kwa moja kwani Sala zote kwa Bikira Maria

mmoja ambaye alikuwa akija kwake mara kwa zinatolewa kwa kusema utuombee ikimaanisha

mara akimwomba, „Tafadhali nipatie haki kati kuwa utupelekee Maombi yetu kwa Mungu. Bikira

yangu na adui yangu.‟ Wa Mjane Asiyekata Tamaa Maria hatusaidii sisi moja kwa moja bali

4“Kwa muda mrefu yule hakimu alikataa. Lakini anatusaidia kwa kutuombea msaada kutoka kwa

hatimaye akasema moyoni mwake, „Japokuwa Mungu.

simwogopi Mungu wala simjali mwanadamu,

5lakini kwa kuwa huyu mjane Je ni halali au ni sawa kwa Bikira Maria kutuombea
ananisumbuasumbua, nitahakikisha amepata haki
kwa Jina la Yesu? Na Je tunajuaje kuwa Bikira
yake ili asiendelee kunichosha kwa kunijia mara

kwa mara!‟ ” 6Bwana akasema, “Sikilizeni Maria anaushirika na Yesu?

asemavyo huyu hakimu dhalimu. 7Je, Mungu


Ni halali na nisawa kabisa Bikira Maria kutuombea.
hatawatendea haki wateule Wake wanaomlilia
Tunajua kuwa Bikira Maria anaushirika na Yesu
mchana na usiku? Je, atakawia kuwasaidia?
kwa kuwa Yesu mwenyewe alituambia kuwa
8Ninawaambia, atawapatia haki upesi. Lakini je,
“asiyepingana na sisi yupo upande wetu”. Biblia
Mwana wa Adamu atakapokuja ataikuta imani
iintuambia…
duniani?” (Luka 18:1-8)
“Yohane akadakia na kusema “Umemwona Mtu

mmoja akifukuza pepo kwa kutumia jina lako, nasi

tukajaribu kumkataza kwa kuwa si mmoja wetu.”


Ni ipi sala bora kwa Bikira Maria? Kwa nini Lakini Yesu akawaambia, “Msimkataze kwani

asiyepingana nanyi yupo upande wenu” (Luka


Tunasali kwa Bikira Maria?
9:49-50).

Sala bora kwa Bikira Maria ni Rozari Takatifu Kwa hiyo Bikira Maria anapolitumia jina la Yesu bila

kupingana na sisi wala Yesu ni ishara tosha kuwa

Kwa nini watu wengi wanaomba kwa Bikira Maria? ni mshirika wa Mungu (Yesu)

Watu wengi wanaomba kupitia Bikira Maria kwa


Je ni kweli kwamba Bikira Maria ni Malkia wa
sababu wanashuhudia sala zao kujibiwa kirahisi

zaidi wanaposali kupitia Bikira Maria kwani Bikira Kipepo?

Maria anatuombea kile tunacho mwomba. Bikira


Sio kweli kwamba Bikira Maria ni Malkia wa
Maria anasimama Kama mwombezi wetu mbele ya
Kipepo/Kishetani
Mungu hasa pale tunaposhindwa kusali

Inavyotakiwa. Sababu hizi zifuatazo zinadhihirisha kuwa Bikira

Maria sio Malkia wa kipepo;

Bikira Maria anatuombea kwa jina na mamlaka ya 1) Kuomba kwa jina la Yesu: Angekua ni Malkia

wa Kipepo asingeomba kwa Jina la Yesu. Kama


nani?
ilivyoelezwa hapo juu. Biblia iintuambia
Bikira Maria anatuombea kwa jina la Yesu Kristu na
linapotamkwa Jina la Yesu mapepo hukimbia. Sasa
kwa mamlaka ya Yesu Kristu aliye mwanaye.
iweje yeye alitumie Jina hilo kutuombea Kama
Hakuna Sala yoyote inayotolewa kwa Bikira Maria
yeye ni pepo? (Luka 10:17)
22

2) Hafundishi uovu/dhambi: Mbali na kuomba 8) Anaongeza imani kwa Mungu: Kwa sala na

kwa jina la Yesu, vilevile Yesu alituambia Ibada za Bikira Maria waumini wanapata

tuzichunguze roho na tutazitambua roho hizo kwa kuongezewa Imani na Uchaji wao kwa Mungu.

matendo yake. Kwa lengo hili tukichunguza kuhusu Wengi wanabadili maisha yao ya dhambi na

Bikira Maria tutaona kuwa Bikira Maria ni Mtakatifu kuelekea Maisha mema ya utakatifu ya

aliye upande wa Mungu kwa sababu Mara zote Kumtumikia Mungu.

alipowatokea watu amekuwa akifundisha na


9) Sala Ibada yake inachanganyika na Ibada
kuelekeza watu kuishi maisha ya utakatifu na
nyingine za Kikristu: Hakuna
kumfuata Mungu kweli kwa kutii amri zake na
mgongano/ushindani wa Ibada kwa Bikira Maria na
kufuata mafundisho ya mwanae ambayo ni
Ibada nyingine za Kikristu. Kama angekua ni pepo
yakuelekea katika utakatifu. Hakuna hata Mara
kamwe Ibada yake isingechanganyika na Ibada
moja mafundisho ya Bikira Maria yalihusishwa na
Takatifu.
vitendo viovu au vya kuvunja Amri za Mungu.
10) Ibada kwa Bikira Maria
3) Mafundisho yake yanaendana na Neno la
Imedumu: Haikufifia wala kupotea bali ilizidi
Mungu (Biblia): Bikira Maria hajawaji hata mara
kuendelea vizazi hata vizazi. Hii inadhihirisha
moja kufundisha na kuelekeza vitu vilivyo nje ya
kwamba kuna Neema ya Mungu.
Mafundisho ya neno la Mungu (Biblia). Hakuna

hata Mara moja mafundisho ya Bikira Maria Kwa sababu hizi unaweza ukaona kwamba Bikira

yalikinzana na Mafundisho ya Neno la Mungu. Maria anaushirika na Mungu na ni Mtakatifu.

4) Anahubiri Wema, Unyenyekevu, Upole na

Utii: mambo ambayo ni alama ya kudhihirisha

Utakatifu.
Tuwaonaje Wakristo ambao sio Wakatoliki?
5) Anasisitiza Upendo kwa Binadamu
Ingawa wamejitenga katika ushirika kamili wa
wenzetu na kwa Mungu: Anahubiri Upendo hasa
Kanisa Katoliki, tunawatambua kuwa ndugu zetu
kwa Maadui zetu na wale wanaoipinga Imani ya
kutokana na ubatizo wao.
Kikristu na wanaomkataa Yesu Kristu. Anasisitiza

mara zote Tumpende Mungu na kumtii.

6) Anahubiri Amani: Anahubiri Injili ya Amani na

Mara zote anasisitiza tuombe amani ambapo amani Ni kwa nini Bikira Maria anaitwa Mama wa
ndio Ishara ya Utakatifu.
Mungu? Na kwa nini aheshimiwe?
7) Hajitukuzi mbele ya Mungu bali

anajinyenyekesha: Hajawahi kufundisha kwamba Bikira Maria anaitwa Mama wa Mungu kwa

tumtukuze yeye au tumuheshimu yeye. Mara zote sababu amemzaa Yesu na Yesu ni Mungu.

anahubiri tumheshimu Mungu pekee na kumtukuza


“Mwezi wa sita baada ya Elizabeti kupata mimba,
Mungu. Amekua akijishusha kwa unyenyekevu
Mungu alimtuma malaika Gabrieli aende Galilaya
huku akituelekeza tuige mfano wake wa
katika mji wa Nazareti, 27kwa mwanamwali bikira
unyenyekevu wa kumuelekea Mungu aliye Baba wa
aliyekuwa ameposwa na mtu mmoja jina lake
huruma na upendo.
Yosefu wa nyumba ya Daudi. Jina la huyu
23

mwanamwali bikira ni Maria. 28Naye malaika akaja “Baba yenu Abrahamu alishangilia kwamba

kwake akamwambia: “Salamu, wewe angaliiona siku Yangu, naye akaiona na akafurahi.‟‟

uliyebarikiwa, Bwana yu pamoja nawe!” 29Maria 57Wayahudi wakamwambia, “Wewe hujatimiza

akafadhaishwa sana na maneno haya, akajiuliza hata miaka hamsini, Wewe wasema umemwona

moyoni, “Salamu hii ni ya namna gani?” 30Ndipo Abrahamu?‟‟ 58Yesu akawaambia, „„Amin, amin,

malaika akamwambia, “Usiogope, Maria, umepata nawaambia, kabla Abrahamu hajakuwako, „Mimi

upendeleo kwa Mungu. 31Tazama, utachukua niko.‟‟‟ (Yohane 8:56-58)

mimba, nawe utamzaa mtoto mwanamume na Inamaana kuwa Yesu alikuwepo kabla ya Mama

utamwita jina lake Yesu. 32Yeye atakuwa mkuu, yake. Kwa sababu hiyo Umama wa Bikira Maria ni

naye ataitwa Mwana wa Aliye Juu. Bwana Mungu wa Kimwili tuu na sio Umungu. Bikira Maria

atampa kiti cha enzi cha Daudi baba yake. hajatangulia kuwepo kabla ya Yesu Bali Yesu ndiye

33Ataimiliki nyumba ya Yakobo milele na ufalme alikuwepo kabla na ni Mungu wake pia. Yesu kama

Wake hautakuwa na mwisho.” 34Maria akamwuliza Mungu alimuumba Bikira Maria na kumfanya Mama

huyo malaika, “Maadam mimi ni bikira, jambo hili yake wa kimwili.

litawezekanaje?” 35Malaika akamjibu, “Roho


“Usiogope, Maria, umepata upendeleo kwa Mungu.
Mtakatifu atakujilia juu yako, nazo nguvu Zake
31Tazama, utachukua mimba, nawe utamzaa
Yeye Aliye Juu zitakufunika kama kivuli, kwa hiyo
mtoto mwanamume na utamwita jina lake Yesu.
mtoto atakayezaliwa atakuwa mtakatifu, naye
32Yeye atakuwa mkuu, naye ataitwa Mwana wa
ataitwa Mwana wa Mungu. 36Tazama, jamaa yako
Aliye Juu. Bwana Mungu atampa kiti cha enzi cha
Elizabeti amechukua mimba katika uzee wake na
Daudi baba yake. 33Ataimiliki nyumba ya Yakobo
huu ni mwezi wake wa sita, yeye aliyeitwa tasa.
milele na ufalme Wake hautakuwa na
37Kwa maana kwa Mungu hakuna lisilowezekana.
mwisho.” (Luka 1:31-33)
38Maria akasema, “Tazama, mimi ni mtumisi wa
Bikira Maria alipewa nafasi ya kipekee na Mungu
Bwana na iwe kwangu kama ulivyosema.” Kisha
kuwa Mama yake na ingewezekana nafasi hii
malaika akaondoka akamwacha.”(Lk 1:26-38).
apewe mwanamke mwingine kama Bikira Maria
Yesu ni Mungu ndio maana Bikira Maria akaitwa
Asingekuwepo au asingekuwa tayari kupokea
Mama wa Mungu kwa sababu ndiye aliyemzaa
heshima hii. Ndiyo maana Bikira Maria katika
Yesu. Yaani Bikira Maria ni Mama wa Mungu tuu
unyonge wake alitambua kuwa ni nafasi ya
kwa sababu ya kumleta Yesu Duniani kama mzazi
upendeleo wa Mungu aliyopewa na hivyo
wa kimwili.
alimshukuru na kumtukuza Mungu kwa nafasi hii.

41Naye Elizabeti aliposikia salamu ya Maria, mtoto


Je, Bikira Maria kuitwa Mama wa Mungu maana
aliyekuwa tumboni mwake akaruka. Elizabeti
yake ni kwamba yeye ndiye chanzo cha Yesu na
akajazwa na Roho Mtakatifu, 42akapaza sauti kwa

Bila yeye Yesu asingekuwepo? nguvu akasema, “Umebarikiwa wewe miongoni

mwa wanawake, naye mtoto utakayemzaa


Hapana, haimaanishi kwamba Bikira Maria ni
amebarikiwa. 43Lakini ni kwa nini mimi nimepata
chanzo cha Yesu. Hii haimaanishi kwamba Bikira
upendeleo kiasi hiki, hata mama wa Bwana wangu
Maria ni Mama wa Yesu kabla ya Yesu kuja Duniani
afike kwangu? 44Mara tu niliposikia sauti ya
kwa maana Yesu Alikuawepo kabla ya kuzaliwa
salamu yako, mtoto aliyeko tumboni mwangu
kwake.
aliruka kwa furaha. 45Amebarikiwa yeye aliye
24

amini kwamba lile Bwana alilomwambia Tunamuheshemu Bikira Maria na Kumuomba

litatimizwa.” 46Naye Maria akasema: “Moyo wangu atuombee kwa Mungu mwanaye Yesu kwa sababu

wamwadhimisha Bwana, 47nayo roho yangu anayo nafasi ya kipekee mbele ya Mungu mwanaye

inamfurahia Mungu Mwokozi wangu, 48kwa kuwa Yesu kama Mama yake wa kumzaa Duniani na

ameangalia kwa fadhili unyonge wa mtumishi kama mlezi wake akiwa duniani tangu kuzaliwa

wake, hakika tangu sasa vizazi vyote vitaniita mpaka kufa Msalabani wakiwa pamoja.

mbarikiwa, 49kwa maana, Yeye Mwenye Nguvu,


Yesu mwenyewe alimtii na kumsikiliza Mama yake
amenitendea mambo ya ajabu, Mtakatifu ndilo
ndio maana muujiza wa kwanza aliofanya
Jjina Lake.” (Luka 1:41-49)
aliambiwa na mama yake. Bikira Maria ndiye

aliyemwomba Yesu Afanye muujiza wake wa


Je Bikira Maria anamwonaje Yesu? Bikira Maria kwanza.

Anamchukulia Yesu kama nani Kwake?


1 Na siku ya tatu palikuwa na arusi huko Kana, mji

Bikira maria anamwita Yesu Mwanae wa kumzaa wa Galilaya; naye mama yake Yesu alikuwapo.

kwa kuwa Bikira Maria ndiye aliyemzaa Yesu 2Yesu naye alikuwa amealikwa arusini pamoja na

Duniani na kumlea kama mtoto wake. Vilevile wanafunzi wake. 3Hata divai ilipowaishia,

Bikira Maria anamwita Yesu Bwana na Mungu wake mamaye Yesu akamwambia, Hawana divai. 4

kwa kuwa ni Mungu wake pia. Kwa sababu hivyo Yesu akamwambia, Mama, tuna nini mimi

Bikira Maria ni mdogo mbele ya (Yesu) Mungu nawe? Saa yangu haijawadia. 5Mamaye

kama kiumbe cha Mungu (Yesu). akawaambia watumishi, Lolote

atakalowaambia, fanyeni. 6 Basi kulikuwako

huko mabalasi sita ya mawe, nayo


Kwa nini Bikira Maria anapewa Heshima kubwa
yamewekwa huko kwa desturi ya Wayahudi
Tunamuheshimu Bikira Maria kwa sababu ya nafasi
ya kunawa, kila moja lapata kadiri ya nzio
yake ya kipekee ya upendeleo aliyopewa na Mungu mbili tatu. 7Yesu akawaambia, Jalizeni
ya Kuwa Mama wa Mungu. Tunapomuita Bikira mabalasi maji. Nao wakayajaliza mpaka juu.
Maria Mama wa Mungu tunaheshimu nafasi yake 8Akawaambia, Sasa tekeni, mkampelekee
ya kipekee ya kuizalia Dunia Yesu aliye Mungu na mkuu wa sherehe. Wakapeleka. 9Naye mkuu
Mkombozi wetu.
wa sherehe alipoyaonja yale maji yaliyopata

kuwa divai, (wala asijue ilikotoka, lakini

Je, Bikira Maria anastahili kuabudiwa? Je watumishi walijua, wale walioyateka yale maji),

yule mkuu wa sherehe alimwita bwana arusi,


Tunamwabudu Maria?
10akamwambia, Kila mtu kwanza huandaa divai
Hapana, Bikira Maria hastahili kuabudiwa na wala
iliyo njema; na watu wakiisha kunywa sana ndipo
hatumuabudu Maria. Kwa kuwa Bikira Maria ni huleta iliyo dhaifu; wewe umeiweka divai iliyo
kiumbe wa Mungu na ni Mdogo kuliko Mungu kwa
njema hata sasa. 11 Mwanzo huo wa ishara Yesu
hiyo hana Umungu wowote hivyo haabudiwi kama
aliufanya huko Kana ya Galilaya, akaudhihirisha
Mungu au pamoja na Mungu. utukufu wake, nao wanafunzi wake

wakamwamini. Yohana 2:1-11

Kwa nini tunamuheshimu Bikira maria na kusali

kwake?
25

na nyoka anaweza kumtazama na akaishi tena.‟‟


Kwa nini wakatoliki wanaweka sanamu
9Kwa hiyo Mose akatengeneza nyoka wa shaba na

Kanisani? kumweka juu ya mti. Kisha wakati mtu ye yote

alipoumwa na nyoka, naye akamtazama yule


Tunaweka sanamu Kanisani kwa sababu
nyoka wa shaba, aliishi.” (Hesabu 21:8-9).
tunaheshimu anayewakilishwa na sanamu hiyo
Kwa Mfano huu Je tunaweza kusema kuwa sanamu
kwa mfano Yesu Kristo, Mama Bikira Maria,
ya nyoka ina nguvu ya uponyaji kuliko ya Yesu
Malaika na Watakatifu; na kamwe hatuziabudu.
aliye Mungu? Kumbuka hapa watu walioona
(Kutoka 25:18-22)
sanamu hii ya nyoka hawakukoponywa na nguvu

Hata Waisraeli kwenye hekalu lao walikua na ya sanamu ya shaba bali kwa nguvu ya neema ya

sanamu kama tunavyosoma hapa; Mungu kupitia Imani kwa Mungu. Kwa hiyo

unaposali mbele ya picha au sanamu hautegemei


“18 Nawe fanya makerubi mawili ya dhahabu;
nguvu ya sanamu bali unategemea neema ya
uyafanye ya kazi ya kufua, katika hiyo miisho ya
Mungu kwa njia ya Imani yako kwa Mungu.
kiti cha rehema, huku na huku. 19 Weka kerubi

moja mwisho mmoja, na kerubi la pili mwisho wa Kama vile Sanamu hii ya nyoka aliyoagiza Mungu

pili; fanya hayo makerubi ya kitu kimoja na kiti cha iwekwe ilivyowekwa kwa nia ya uponyaji kwa yule

rehema, mwisho huku na mwisho huku.20 Na hayo aitazamaye vivyo hivyo Sanamu na Picha za

makerubi yatainua mabawa yao juu, na kukifunika Kanisani zinawekwa kwa nia maalumu na kwa

hicho kiti cha rehema kwa mabawa yao, na nyuso neema maalumu. Ndiyo maana hazifanani. Na

zao zitaelekeana hili na hili; nyuso za hayo zinabarikiwa kwa kuombewa Baraka Ili zizae

makerubi zitaelekea kiti cha rehema. 21 Weka kiti neema kwa wanaozitumia.

cha rehema juu ya hilo sanduku, kisha utie huo

ushuhuda nitakaokupa ndani ya sanduku. 22 Nami Sanamu au picha sio haramu bali maana ya hiyo
nitaonana nawe hapo, na kuzungumza nawe pale
sanamu au picha ndio inaiharamisha.
nilipo juu ya kiti cha rehema, katikati ya hayo

makerubi mawili yaliyo juu ya sanduku la Kuna tofauti kati ya kuabudu na kuheshimu.

ushuhuda, katika mambo yote nitakayokuagiza Wakatoliki wanaweka sanamu kwa heshima na sio

kwa ajili ya wana wa Israeli. (Kutoka 25 :18- kwa kuabudu, ndio maana unaposali mbele ya

22.)“ picha ya Yesu hausali ee sanamu nisaidie bali

Kwa hiyo kama Mungu mwenyewe aliagiza Sanamu unasema ee Yesu nisaidie.

za Malaika zichongwe na kusema atakua hapo na


Je tuseme tunamwabudu Raisi kwa kuheshimu
kuongea na watu wake. Je sio vyema zaidi kuwa
picha yake kwa kuiinamia? Je tunaabudu bendera
na sanamu na Picha ya Mwanae wa Pekee Yesu
kwa kuheshimu na kupigia saluti? Je taratibu
Kristo na kuongea na Mungu mbele yake kama
zabunge za kutoa heshima na taratibu za
alitaka ya malaika ambao sio Mungu?
mahakama ni kuabudu?. Je kuapa mbele ya picha

Mfano mwingine ni pale Mungu alivyomwabia Musa ya Raisi ni kumuabudu Raisi? Je kuapa na Biblia ni

achonge Sanamu ya Nyoka wa shaba. kuabudu Biblia? Je tunapobusu Biblia na kuitunza

kwa heshima tunaiabudu? Tofauti ya Biblia na


“BWANA akamwambia Mose, “Tengeneza nyoka wa
sanamu ni nini? Je, kwenye Biblia
shaba na umweke juu ya mti, ye yote aliyeumwa
kinachoheshimiwa ni karatasi au maana ya yale
26

maneno kwenye karatasi. Pengine usingeheshimu Sanamu za Kikatoliki: Sanamu hizi huchukuliwa
kama hujajua kuyasoma.
kama ishara ya kile inachokiwakilisha,

Kuna tofauti gani kati ya biblia yenye Maandishi na haiabudiwi kamwe bali inaheshimiwa tuu.
msalaba wa kuchonga wenye kuonyesha kile
Daima Tumia Sanamu na Picha zilizobarikiwa
kinachosemwa na biblia? kama unaweza
kwani zimenuiwa uwepo wa yule inayemuwakilisha
kuheshimu biblia yenye karatasi tena pale
na utaongea naye hapo. Sisi tunaamini kwamba
unapoweza kuzisoma na pengine ungeizarau kama
kwenye Sanamu ya Yesu kuna uwepo wa Yesu.
ni ya lugha tofauti na hujui kilichoandikwa? Je
Kama vile Mungu anavyowaambia Waisraeli katika
Msalaba uliobeba maana ya kile kilichoandikwa
(Kutoka 25 :22) baada ya kuwaagiza wachonge
kwenye Biblia unaona si kitu? Kama
sanamu za Makerubi (Malaika) 22 Nami nitaonana
Kinachoheshimiwa kwenye Biblia sio karatasi bali
nawe hapo, na kuzungumza nawe pale nilipo juu
maana maneno yaliyoandikwa vivyo hivyo
ya kiti cha rehema, katikati ya hayo makerubi
kinachoheshimiwa kwenye picha au sanamu sio
mawili yaliyo juu ya sanduku la ushuhuda, katika
chuma yake au mti ukiochongwa bali ni maana ya
mambo yote nitakayokuagiza kwa ajili ya wana wa
hiyo sanamu.
Israeli. (Kutoka 25 :22). Sanamu au picha ni
Hii ndio maana nasema kuna tofauti ya kuabudu ishara wazi ya uwepo wa kile kisichoonekana.
na kuheshimu.

Kumbuka kuwa picha au sanamu yoyote ya Jifunze kupitia Sanduku la Agano na Msalaba
Kikatoliki lazima ibarikiwe kwanza ndio uweze

Kusali mbele yake. Inapobarikiwa inaombewa wa Yesu

uwepo wa yule anayewakilishwa na picha/sanamu


Kwenye Agano la kale: Ndani ya hekalu la
hiyo uwe pale sanamu ilipo na anayesali pale sala
Waisraeli walikua na Sanduku la agano, sanduku
yake Ifike kwa mlengwa anayeonekana kwa ishara hilo lilikua na vibao vya Amri za Mungu ambavyo ni
ya sanamu/picha. Kwa Mfano askofu au padri
Ishara ya Agano lao na Mungu na ndani ya
anapobariki sanamu ya Yesu anaomba sanduku kulikuwepo pia Mfano wa Kiti ambacho
kuwa “Yesu awepo pale kwenye sanamu na
kimezugukwa na sanamu za viumbe kama malaika
Neema zake”, kwa hiyo yeyote anayesali mbele nyuso zao zikielekea kiti hicho Kutoka 25:10-
ya sanamu hiyo anaamini kuwa Yesu yuko pale na 22. Waisraeli walikua wanasali kuelekea sanduku
anasali Mbele yake. Kwa hiyo kinachopewa
la Agano wanapokuwa Hekaluni na hata wakiwa
heshima sio ile sanamu bali ni yule anayeonekana majumbani mwao walisali kuelekea upande lilipo
kwa ishara ya ile sanamu au picha.
Hekalu. Waisraeli walisali kuelekea Sanduku la

Agano wakiamini kwamba Mungu yupo kati ya

Tofauti ya Sanamu za Kikatoliki na za kipagani ni sanduku lile. Lakini sanduku lile halikuwa Mungu.

Waisraeli waliona fahari juu ya Sanduku lile na


Kwamba,
walilithamini na kuliheshimu kwa kuwa lilionyesha

Sanamu za Kipagani: Sanamu hizi huchukuliwa uwepo wa Mungu na popote lilipokuwa waliamini

Mungu yupo.
kama Mungu na huabudiwa na kutolewa
Kwenye Agano jipya: Wakristu wanasali Mbele
Sadaka kama Mungu Mwenyewe.
ya Msalaba wa Yesu ambao unaonyesha kazi ya
27

wokovu alioufanya Yesu kwa wanadamu ya

Kuwakomboa watu kwa kifo chake Msalabani. Na

Msalaba huo ni Ishara ya Ukombozi wa Agano jipya


Je, Biblia zote ni sawa?
na la Milele. Kama ilivyokuwa kwa Sanduku la

Agano, Wakristu wanaheshimu msalaba ambao ni Hapana, Biblia zote si sawa. Tujihadhari na
ishara ya wokovu wao na wanaamini kuwa Mungu matoleo mapungufu ambamo vimenyofolewa
yupo kati ya Msalaba huo lakini Msalaba huo sio vitabu 7 vizima na sehemu kadhaa za vitabu
Mungu. Wakristu wanaona fahari juu ya msalaba vingine vilivyotumiwa na Wakristo wa kwanza.
wa Yesu kwa kuwa ndio ishara ya wokovu wao.
“Amin, nawaambia, mpaka mbingu na nchi
FUNZO:Kupitia Mfano wa Sanduku la Agano na
zitakapoondoka, yodi moja wala nukta moja ya
Msalaba tunajifunza kuwa Vyote havikuwa Mungu
torati haitaondoka, hata yote yatimie” (Math
ila vinaheshimiwa kwa Imani kuwa Mungu yupo
5:18). “Na mtu yeyote akiondoa lolote katika
pale. Vilevile, vyote ni ishara ya wazi ya Agano la
maneno ya unabii wa kitabu hiki, Mungu
Mungu na Wanadamu.
atamwondolea sehemu yake katika ule mti wa

uzima, na katika ule mji mtakatifu, ambao habari


Kwa nini tunasali mbele ya Picha/Sanamu na zake zimeandikwa katika kitabu hiki” (Ufu 22:19).

Hasa kufanya Ishara ya msalaba?

Je wakristo Wakatoliki wanasoma Biblia


Tunasali mbela ya sanamu kwa sababu tunaamini

sanamu inaakisi uwepo wa mhusika aliyechorwa au kwenye Ibada ya Misa? Biblia inanukuliwa
kuchongwa kwenye hiyo sanamu/picha. Ndio
mara ngapi Kwenye Ibada ya misa ya
maana wakatoliki wanasali kwenye picha au

sanamu iliyobarikiwa tuu kwa sababu Sanamu


Wakatoliki?
inapobarikiwa inaombewa uwepo wayule
Ndiyo, Wakatoliki wanasoma Biblia kila siku
anayewakilishwa pale.
wanapoadhimisha Ibada ya Misa wakati wa
Tunafanya ishara ya msalaba kwenye sanamu
Liturujia ya Neno.
kama sala ya utangulizi ambayo inathibitisha kuwa
Wakatoliki wananukuu Biblia mara Tano kwenye
hatuabudu kile kilichoko pale bali kile
Ibada ya Misa. Wananukuu wanaposoma somo la
tunachokifanya tunakifanya huku tukikiri Umungu
Kwanzaa, Somo la pili, wimbo wa katikati,
na Heshima ya Utatu Mtakatifu (Mungu; Baba,
Shangilio na Injili.
Mwana na Roho Mtakatifu.). Vile vile tunamtukuza

Mungu katika Utatu Mtakatifu kwa sababu ya yule

anayewakilishwa na picha au sanamu.

Tunatambuaje Maandiko Matakatifu kati ya


Kwa nini watu wanabusu picha na sanamu?

maandishi yote ya binadamu?


Hii ni ishara ya Upendo kwa yule anayewakilishwa

kwenye picha au sanamu husika. Hata katika Tunatambua Maandiko Matakatifu kati ya

maisha ya kawaida watu hubusu picha za wazazi maandishi yote ya binadamu kwa njia ya Mapokeo,

na wapendwa wao. Maana ni ile ile.


28

yaani kwa sababu yametumiwa na Kanisa tangu tu. Hatimaye Biblia ikipotoshwa haipingi, kwa kuwa

mwanzo kwa kulisha kwa hakika imani yake. si mtu hai anayeweza kujitetea.

Tunahitaji Mapokeo kwa kuwa Maandiko yenyewe

hayataji orodha ya vitabu vyake vyote, Sanasana

Yesu alividokeza baadhi akisema yanamzungumzia


Je, inafaa tushike neno lolote la Agano la Kale
na kutimia ndani yake,

“Ni lazima yatimizwe yote niliyoandikiwa katika kama Wayahudi?

Torati ya Musa, na katika Manabii, na Zaburi” (Lk


Hapana, haifai tushike neno lolote la Agano la Kale
24:44).
kama Wayahudi wasiozingatia jinsi Yesu
Halafu Barua ya Pili ya Mtume Petro ikalinganisha
alivyolitimiliza kwa maneno na matendo hata
“na Maandiko mengine” nyaraka zote ambazo
wakamshutumu kutenda kinyume:
Paulo aliziandika “kwa hekima aliyopewa” (2Pet
“Mtu huyo hakutoka kwa Mungu, kwa sababu
3:15-16).
haishiki sabato” (Yoh 9:16).

Alipofafanua amri 10 za Mungu alikariri:

“Mmesikia watu wa kale walivyoambiwa… lakini

Sababu nyingine za Biblia kutojitosheleza ni mimi nawaambieni…” (Math 5:21,27,31,33,38,43).

Alipouliziwa unajisi wa vyakula kadhaa, alisisitiza,


zipi?
“‟Hivi hata ninyi hamna akili? Hamfahamu ya
Sababu nyingine za Biblia kutojitosheleza ni
kwamba kila kitu kilicho nje ya mtu, kikimwingia,
kwamba mambo mengi muhimu hayakuandikwa,
hakiwezi kumtia unajisi; kwa sababu hakimwingii

“Kuna mambo mengine mengi aliyoyafanya Yesu, moyoni, ila tumboni tu; kisha chatoka kwenda

ambayo yakiandikwa moja moja, nadhani hata chooni?‟ Kwa kusema hivi alivitakasa vyakula

ulimwengu usingetosha kwa vile vitabu vyote” (Mk 7:18- 19).

vitakavyoandikwa” (Yoh 21:25). “Basi, mtu asiwahukumu ninyi katika vyakula au

Tena barua ni nusu tu ya kuonana; hivyo Yesu vinywaji, au kwa sababu ya sikukuu au mwandamo

hakuandika lolote, nao Mitume hawakupenda wa mwezi, au sabato; mambo hayo ni kivuli cha

kuandika yote. mambo yajayo; bali mwili ni wa Kristo” (Kol 2:16-

17).
“Kwa kuwa ninayo mambo mengi, sitaki
Hakika, mwili ni mzito kuliko kivuli chake.
kuyaandika kwa karatasi na wino; lakini nataraji

kuja kwenu, na kusema nanyi mdomo kwa Vile vile katika Warumi 4:16. Tunasoma “Kwa

mdomo, ili furaha yetu iwe imetimizwa” (2Yoh 12). sababu hiyo, jambo hili lategemea imani, hivyo

“Nalikuwa na mambo mengi ya kukuandikia, lakini kwamba ahadi hiyo yatokana na neema ya Mungu,

sipendi kukuandikia kwa wino na kalamu. Lakini na kwamba ni hakika kuwa ahadi hiyo ni kwa ajili

nataraji kukuona karibu, nasi tutasema mdomo ya wote:si kwa wale tu wanaoishika sheria, bali

kwa mdomo” (3Yoh 13-14). kwa wale waishio kwa Imani kama Abrahamu.

Hasa ibada haziwezi kufanyika kwa barua; k.mf. Yeye ni Baba yetu sote.”

kuwekea mikono ili kumshirikisha Roho Mtakatifu. Wakristo wengine wanachanganywa na wale

Paji la namna hiyo halipitii Maandiko, bali Mapokeo wasioyajua maandiko na kuwataka washike sheria
29

na Torati,basi tukisema ni lazima kushika sheria Njia pekee ya kukwepa fujo hiyo ni kuelewa

tutakua tunakataa kua Abrahamu hakuwa mtu wa Maandiko ndani ya Kanisa, kadiri ya Mapokeo yake

Mungu maana kwa Abrahamu hatukuwa na Sheria hai.

wala Torati na alipata kibali machoni Pa Mungu tuu


“Lakini mtu yeyote akitaka kuleta fitina, sisi hatuna
kwa Imani. Kumbuka pia Abrahamu alitahiriwa
desturi kama hiyo, wala makanisa ya Mungu”
baada ya Kuwa tayari mtu wa Mungu kwa Imani
(1Kor 11:16).
yake na sio kwamba Kutahiriwa ndio kulifanya mtu
Biblia nje ya Kanisa ni kama samaki nje ya maji.
wa Mungu.

Tumekombolewa kwa Imani na sio kwa Sheria.

Wagalatia 5:18 “Lakini Mkiongozwa na Roho

hampo chini ya sheria” Je, ufunuo wa Mungu unaweza kufafanuliwa


Hatumtumikii Mungu ili tuwe watu wa Mungu bali
rasmi na kila mtu?
tukishakua watu wa Mungu ndio tunamtumikia

Mungu. Hapana, ufunuo wa Mungu unaweza kufafanuliwa

rasmi na umoja wa Maaskofu tu, kwa kuwa ndio

waandamizi wa Mitume 12 wa Yesu.

“Au je, neno la Mungu lilitoka kwenu? Au kuwafikia


Tueleweje Maandiko Matakatifu?
ninyi peke yenu?” (1Kor 14:36).

Tuelewe Maandiko Matakatifu kwa kuzingatia hasa “Hakuna unabii katika Maandiko upatao kufasiriwa

Mungu alitaka kusema nini kuhusu wokovu wetu kama apendavyo mtu fulani tu. Maana unabii

kupitia waandishi wengi aliowaongoza kuyatunga haukuletwa popote kwa mapenzi ya mwanadamu”

kwa lugha na mitindo mbalimbali. (2Pet 1:20-21).

Tunahitaji unyenyekevu wa Mwafrika ambaye


Lakini ebu, “Yamo mambo ambayo ni vigumu
shemasi Filipo alimsikia “anasoma chuo cha nabii
kuelewa nayo; na mambo hayo watu wasio na
Isaya; akanena, „Je, yamekuelea haya
elimu, wasio imara, huyapotoa, kama vile
unayosoma?‟ Akasema, ”Nitawezaje kuelewa, mtu
wayapotoavyo na Maandiko mengine, kwa uvunjifu
asiponiongoza?‟ Akamsihi Filipo apande na kuketi
wao wenyewe” (2Pet 3:16).
pamoja naye” (Mdo 8:30-31).
Utitiri wa madhehebu yanayoshindana yakidai

kushikilia Biblia tu unathibitisha uwekezano

mkubwa wa kuipotosha kwa namna moja au

nyingine.
Tupokeeje ufunuo wa Mungu?

“Utakuja wakati watakapoyakataa mafundisho


Tupokee ufunuo wa Mungu kwa kusadiki
yenye uzima; ila kwa kuzifuata nia zao wenyewe
mafundisho ya Kanisa lake, ili tuzidi kumjua na
watajipatia walimu makundi makundi, kwa kuwa
kuambatana naye bila ya kudanganyika. Yesu
wana masikio ya utafiti; nao watajiepusha
aliwaambia Mitume wake,
wasisikie yaliyo kweli, na kuzigeukia hadithi za
“Awasikilizaye ninyi anisikiliza mimi, naye
uongo” (2Tim 4:3-4).
awakataaye ninyi anikataa mimi; naye anikataaye

mimi amkataa yeye aliyenituma” (Lk 10:16).


30

“Sisi nasi twamsukuru Mungu bila kukoma, kwa Alipomshawishi Yesu alitumia hata maneno ya

kuwa, mlipopata lile neno la ujumbe la Mungu Biblia “akamwambia, „Ukiwa ndiwe Mwana wa

mlilolisikia kwetu, mlilipokea si kama neno la Mungu jitupe chini, kwa maana imeandikwa:

wanadamu, bali kama neno la Mungu; na ndivyo Atakuagizia malaika zake, na mikononi mwao

lilivyo kwelikweli, litendalo kazi pia ndani yenu watakuchukua, usije ukajikwaa mguu wako katika

ninyi mnaoamini” (1Thes 2:13). jiwe” (Math 4:6).

Tunaweza kusadiki vipi? Kanisa linahusika vipi na imani?

Tunaweza kusadiki kwa msaada wa Roho Mtakatifu Kanisa linahusika na imani kama mama wa

tu, anayetuelekeza kwa Mungu, akituangazia Neno waamini wote, kwa sababu imani yake inatangulia,

lake na kutuvuta tulikubali kwa moyo. inazaa, inategemeza na kulisha imani yetu:

lenyewe ni “nguzo na msingi wa kweli” (1Tim


“Mtu akipenda kuyatenda mapenzi yake, atajua
3:15).
habari ya yale mafunzo, kwamba yatoka kwa

Mungu” (Yoh 7:17). Tukiondoa nguzo na msingi, nyumba ya ukweli

“Nanyi mmepakwa mafuta na Yeye aliye Mtakatifu haiwezi kusimama.

kweli, nanyi mnajua nyote” (1Yoh 2:20).


“Kila atakayeliitia Jina la Bwana ataokoka. Basi
Kumbe, “Mwanadamu wa tabia ya asili hayapokei
wamwiteje yeye wasiyemwamini? Tena
mambo ya Roho wa Mungu; maana kwake huyo ni
wamwaminije yeye wasiyemsikia? Tena wamsikieje
upuzi, wala hawezi kuyafahamu, kwa kuwa
pasipo mhubiri? Tena wahubirije, wasipopelekwa?…
yatambulikana kwa jinsi ya rohoni” (1Kor 2:14).
Basi imani, chanzo chake ni kusikia” (Rom 10:13-

15,17).

Hivyo wokovu unategemea kupokea kwa imani

Je, miujiza inaweza kutusaidia tusadiki? maneno ya watu hai waliotumwa rasmi, sio Biblia

peke yake. Mitume waliandika tu kwa kutegemeza


Ndiyo, miujiza inaweza kutusaidia tusadiki, lakini
mahubiri yao:
inaweza kutudanganya pia.
“Sikuwaandikia ninyi kwa sababu hamwijui iliyo
“Wakati huo mtu akiwaambia, „Tazama, Kristo
kweli, bali kwa sababu mwaijua, tena kwamba
yupo hapa‟, au, „Yuko kule‟, msisadiki. Kwa maana
hapana uongo wowote utokao katika hiyo kweli”
watatokea makristo wa uongo, na manabii wa
(1Yoh 2:21).
uongo, nao watatoa ishara kubwa na maajabu,
“Nitakuwa tayari kuwakumbusha hayo sikuzote,
wapate kuwapoteza, kama yamkini, hata walio
ijapokuwa mnayajua na kuthibitishwa katika kweli
wateule” (Math 24:23- 24).
mliyo nayo” (2Pet 1:12).
“Maana watu kama hao ni mitume wa uongo,

watendao kazi kwa hila, wanaojigeuza wawe mfano

wa mitume wa Kristo. Wala si ajabu. Maana

Shetani mwenyewe hujigeuza awe mfano wa Je, tukipata mafundisho ya Kanisa tunapaswa

malaika wa nuru” (2Kor 11:13-14).


kuyasadiki?
31

Ndiyo, tukipata mafundisho ya Kanisa tunapaswa


Kwa nini Maria anastahili kuitwa “Mama wa
kuyasadiki kwa moyo mmoja tupate uzima wa

milele, kwa kuwa Yesu aliwaambia Mitume, Mungu”?

“Enendeni ulimwenguni mwote, mkaihubiri Injili Maria anastahili kuitwa “Mama wa Mungu” kwa
kwa kila kiumbe. Aaminiye na kubatizwa ataokoka; sababu Mwana wa milele wa Mungu, ambaye ni
asiyeamini, atahukumiwa” (Mk 16:16). Mungu sawa na Baba, alifanyika mtu toka kwake.

Akiwa mja mzito alishangiliwa: “Umebarikiwa

wewe katika wanawake, naye mzao wa

tumbo lako amebarikiwa. Limenitokeaje neno


Tunapaswa kusadiki hasa nini?
hili, hata mama wa Bwana wangu anijilie mimi?
Tunapaswa kusadiki hasa Utatu wa Mungu pekee,
” (Lk 1:42-43).
kwamba ni Baba, Mwana na Roho Mtakatifu. Milele

yote Baba kwa jinsi alivyo ndani mwake anamzaa

Mwana na kumvuvia Roho Mtakatifu, kama vile jua Je, Bikira Maria ni kama Bahasha au chombo

linavyotoa mwanga na joto lisitenganike navyo.


cha kumleta Yesu tuu Duniani au anayo
Mwana, ambaye “ni mng‟ao wa utukufu wake na
thamani zaidi?
chapa ya nafsi yake” (Eb 1:3), alisema: “Nimekuja

kutupa moto duniani” (Lk 12:49). Bikira Maria sio kama bahasha au chombo cha
Naye Roho aliwashukia wafuasi wake “kama ndimi kumleta Yesu tuu duniani. Yesu ametokana na
za moto uliowakalia kila mmoja wao. Wote Bikira Maria katika ubinadamu wake. Mwili wa Yesu
wakajazwa Roho Mtakatifu” (Mdo 2:3-4). wa kiubinadamu ni sehemu au uzao wa Bikira

Maria. Bikira Maria anayo uhusiano wa damu na

Yesu Kristu. Ndiyo maana Mungu alimtakasa Bikira

Maria Ili atakayezaliwa kutoka kwake awe na yeye


Je, Mungu amegawanyika sehemu tatu?
mtakatifu.
Hapana, Mungu hagawanyiki hata kidogo, bali
Mungu alimtakasa Bikira Maria kabla ya Kuamua
daima ni Umoja kamili.
kuzaliwa kupitia yeye kwa kuwa Mungu ni
“Bwana Mungu wetu ni Bwana mmoja” (Mk 12:29). Mtakatifu. Ubinadamu wa Yesu (MWILI – Nyama
Tumuabudu yeye peke yake katika nafsi tatu, na na Damu) asili yake ni Bikira Maria.
Utatu wa nafsi katika Umoja wa hali yake,

tusichanganye nafsi wala kugawa Umungu. Baba si

Mwana wala Roho Mtakatifu. Mwana si Baba wala

Roho Mtakatifu. Roho Mtakatifu si Baba wala Wokovu unapatikana wapi?


Mwana. Lakini milele yote nafsi hizo tatu ni Mungu
Wokovu unapatikana kwa Yesu tu, anayeishi katika
yuleyule pasipo tofauti ya kuzitenganisha: kila
Kanisa lake. Hata hivyo Roho Mtakatifu anaweza
moja imo ndani ya nyingine.
akaongoza mtu asiyewajua bila ya kosa lake
“Mimi na Baba tu umoja” (Yoh 10:30). aungane nao kiroho kwa kumlenga Mungu na

kujitahidi kumtii kwa moyo wote.


32

“Tunamtumaini Mungu aliye hai, aliye Mwokozi wa mimi kuishi ni Kristo, na kufa ni faida…

watu wote, hasa wa waaminio” (1Tim 4:10). ninatamani kwenda zangu nikae na Kristo, maana

“Hakika natambua ya kuwa Mungu hana ni vizuri zaidi sana” (Fil 1:21,23). “Nasi tunaona ni

upendeleo; bali katika kila taifa mtu amchaye na afadhali kutokuwamo katika mwili na kukaa

kutenda haki hukubaliwa na yeye… Twaamini pamoja na Bwana” (2Kor 5:8). Kwa kuwa kifo ni

kwamba tutaokoka kwa neema ya Bwana Yesu “mavumbi kuirudia nchi kama yalivyokuwa, nayo

vilevile kama wao” (Mdo 10:34-35; 15:11). roho kumrudia Mungu aliyeitoa” (Mhu 12:7). Siku

ya ufufuo roho na mwili vitaungana tena kwa ajili

ya uzima au moto wa milele. “Pumzi iliwaingia,

wakaishi, wakasimama kwa miguu yao, jeshi


Mtu akijua Kanisa ni la lazima kwa wokovu
kubwa mno” (Ez 37:10).

asiingie au ajitenge nalo, itakuwaje?

Je baada ya kufa ni hapo hapo roho inaenda


Mtu akijua Kanisa ni la lazima kwa wokovu asiingie

au ajitenge nalo hawezi kuingia mbinguni. motoni au mbinguni, Au ni mpaka Siku ya hukumu

Yesu Atakaporudi?
“Roho anena waziwazi ya kwamba nyakati za

mwisho wengine watajitenga na imani, wakisikiliza Ni siku ile ile Roho ya mtu aliyekufa inaenda
roho zidanganyazo, na mafundisho ya mashetani; Mbinguni, toharani au Motoni. Yesu alimwahidi yule
kwa unafiki wa watu wasemao uongo, wakichomwa mtu waliyesulubiwa pamoja kuwa watakuwa
moto dhamiri zao wenyewe” (1Tim 4:1-2). peponi pamoja siku hiyo hiyo na sio siku ya
“Watoto, ni wakati wa mwisho. Na kama vile hukumu.
mlivyosikia kwamba mpinga Kristo yuaja, hata
“Kisha akasema, “Ee Yesu! Unikumbuke wakati
sasa wapinga Kristo wengi wamekwisha kuwapo.
utakapoingia katika ufalme wako.” 43 Yesu
Kwa sababu hiyo twajua ya kuwa ni wakati wa
akamwambia, “Nakwambia kwa hakika, leo
mwisho. Walitoka kwetu, lakini hawakuwa wa
utakuwa pamoja nami peponi.” (Luka 23:42-
kwetu. Maana kama wangalikuwa wa kwetu,
43)
wangalikaa pamoja nasi. Lakini walitoka ili
Sauli aliweza kuongea na Samweli hata baada ya
wafunuliwe kwamba si wote walio wa kwetu” (1Yoh
kufa na Samweli alimbashiria mambo
2:18-19).
yatakayotokea kwa Sauli maanake ni kwamba

Japokuwa alikuwa amekufa bado anayomuungano

na Mungu ndio maana aliweza kumwambia Sauli

Tutakapofariki dunia itatutokea nini? mambo yatakayompata,

Tutakapofariki dunia roho yetu isiyokufa, mbali na “7Basi Sauli akawaambia watumishi wake,

mwili unaooza, itapewa tuzo au adhabu “Nitafutieni mwanamke mwenye pepo wa utambuzi

tuliyostahili kwa maisha yetu. “Ikawa yule maskini ili nimwendee nipate kuuliza kwake. Watumishi

alikufa, akachukuliwa na malaika mpaka kifuani wake wakamwambia, “Yuko mwanamke mmoja

kwa Ibrahimu. Yule tajiri naye akafa, akazikwa. huko Endori.” 8Hivyo Sauli akajigeuza kwa kuvaa

Basi, kule kuzimu aliyainua macho yake, alipokuwa mavazi mengine, naye usiku akiwa amefuatana na

katika mateso, akamwona Ibrahimu kwa mbali, na watu wawili wakaenda kwa huyo mwanamke.

Lazaro kifuani mwake” (Lk 16:22-23). “Kwangu Akamwambia, “Nibashirie na unipandishie huyo
33

nitakayekutajia,” 9Huyo mwanamke akamwambia, 19 Akasema, “Palikuwa na tajiri mmoja aliyevaa

“Wewe unajua lile alilofanya mfalme Sauli. nguo za rangi ya zambarau na kitani safi, nguo za

Amewakatilia mbali wapunga pepo, wapiga ramli gharama kubwa, kila siku. 20 Na maskini mmoja,

wote na wachawi katika nchi. Mbona umenitegea jina lake Lazaro, mwenye vidonda mwili mzima,

maisha yangu ili wapate kuniua?” 10Sauli alikuwa akiletwa mlangoni kwa huyo tajiri kila siku.

akamwapia huyo mwananmke kwa Jina la BWANA, 21 Lazaro alikuwa akitamani kula makombo

akasema, “Kwa hakika kama BWANA aishivyo, yaliyodondoka mezani kwa tajiri. Hata mbwa

hutaadhibiwa kwa ajili ya jambo hili.” 11Ndipo yule walikuwa wakiramba vidonda vyake. 22

mwanamke akauliza, “Je unataka nikupandishie “Hatimaye, yule maskini alikufa. Malaika

nani? Sauli akasema, “Nipandishie Samweli.” wakamchukua akakae pamoja na Ibrahimu

12Yule mwanamke alipomwona Samweli alipiga mbinguni. Yule tajiri naye pia akafa, akazikwa. 23

yowe kwa sauti kuu, naye akamwuliza Sauli, Alipokuwa kuzimuni ambapo alikuwa akiteseka,

“Mbona umenidanganya? Wewe ndiwe Sauli.” alita zama juu, akamwona Ibrahimu kwa mbali na

13Mfalme akamwambia, “Usiogope. Unaona nini? Lazaro karibu yake. 24 Akaita, „Baba Ibrahimu,

Yule mwanamke akasema, “Naona Mungu nionee huruma umtume Lazaro achovye japo ncha

anapanda kutoka ardhini.” 14Sauli akamwuliza, “Ni ya kidole chake katika maji aupoze ulimi wangu

mfano wa nini?” Yule mwanamke akasema, “Ni maana ninateseka kwenye moto huu.‟ 25 Lakini

mwanaume mzee amevaa joho anayepanda.” Ibrahimu akamjibu, „Mwa nangu, kumbuka

Ndipo Sauli akatambua kwamba ni Samweli. Sauli kwamba ulipokuwa hai ulipata kila kitu kizuri uli

akasujudu kifudifudi uso wake hadi ardhini. chotaka, ambapo Lazaro alipokea mabaya. Lakini

15Samweli akamwuliza Sauli, Kwa nini sasa anafarijika hapa na wewe unateseka. 26

unanitaabisha, kunipandisha juu?” Sauli akasema, Isitoshe, kati yetu na ninyi huko, kumewekwa

“Mimi ninasumbuka sana, kwa maana Wafilisti bonde kubwa lisilopitika ili wale wanaotaka kutoka

wanapigana vita dhidi yangu, naye Mungu huku kuja huko au kutoka huko kuja huku

ameniacha. Hanijibu tena wala kwa njia ya manabii wasiweze.‟ 27 Akasema, „Basi, baba, tafadhali

wala kwa ndoto. Kwa hiyo nimekuita wewe ili umtume Lazaro aende nyumbani kwa baba yangu,

unijulishe lakufanya.” 16Samweli akamwuliza, 28 awaonye ndugu zangu, wasije wao pia

“Kwa nini uniulize mimi, maadam BWANA wakaletwa mahali hapa pa mateso watakapokufa.‟

amekuacha na kuwa adui yako? 17BWANA 29 Ibrahimu akamjibu, „Ndugu zako wanazo sheria

ametenda lile alilotangulia kusema kwa kupitia za Musa na maandiko ya Manabii. Itawapasa watii

kwangu. BWANA ameurarua ufalme kutoka hayo.‟ Lakini yule tajiri akazidi kumsihi, 30 „Hapana

mikononi mwako, naye amempa mmoja wa jirani baba Ibrahimu, ndugu zangu hawatashawishiwa na

zako, yaani, Daudi. 18Kwa sababu wewe hukumtii hayo. Lakini mtu kutoka kuzimu akitumwa kwao

BWANA, wala hukumtimizia ghadhabu yake kali watatubu na kuziacha dhambi zao.‟ 31 “Ibrahimu

juu ya Waamaleki, BWANA amekutendea mambo akamwambia, „Wasiposikiliza na kutii sheria za

haya leo. 19Zaidi ya hayo, BWANA atawatia Israeli Musa na Maandiko ya manabii, hawatashawishika

pamoja na wewe mkononi mwa Wafilisti na kesho kutubu hata kama mtu akifufuka kutoka kuzimu.”‟

wewe na wanao mtakuwa pamoja nami. BWANA (Luka 16:19-31)

pia atalitia jeshi la Israeli mkononi mwa Wafilisti. Wakati Yesu anabadilika Sura walitokea Musa na

Mfano Wa Tajiri Na Maskini Lazaro Yesu alisimulia Eliya.

hivi
34

“Baada ya siku sita, Yesu aliwachukua Petro, wa Adamu amesimama upande wa kuume wa

Yakobo na Yohane nduguye, akaenda nao peke Mungu.‟‟ 57Lakini wao wakapiga kelele kwa sauti

yao juu ya mlima mrefu. 2 Huko, wakiwa kubwa, wakaziba masikio yao, wakamrukia kwa

wanamtazama, akageuka sura, uso wake ukang‟aa nia moja. 58Wakamtupa nje ya mji, wakampiga

kama jua na mavazi yake yakawa meupe kama kwa mawe. Nao mashahidi wakaweka nguo zao

nuru. 3 Mose na Eliya wakawatokea, wakawa miguuni mwa kijana mmoja aitwae Sauli.

wanazungumza naye. 4 Hapo Petro akamwambia 59Walipokuwa wakimpiga mawe, Stefano

Yesu, “Bwana, ni vizuri sana kwamba tupo hapa! aliomba, “Bwana Yesu, pokea roho

Ukipenda nitajenga vibanda vitatu: kimoja chako, yangu” 60Kisha akapiga magoti, akalia kwa sauti

kimoja cha Mose na kimoja cha Eliya.” (Mathayo kubwa akasema, “Bwana usiwahesabie dhambi

17:1-5) hii.‟‟ Baada ya kusema haya, akalala. (Mdo 7:55-

Yesu alituambia kuwa Mungu sio wa wafu bali wa 60)

walio hai ndio maana akaitwa Mungu wa Ibrahimu, Kwenye Ufunuo tunasoma (Ufunuo 6:9-10) “Na

Isaka na Yakobo kwa kuwa Wote wako hai kwake. alipoifungua muhuri ya tano, nikaona chini ya

madhabahu roho zao waliochinjwa kwa ajili ya


37Hata Mose alidhihirisha kuwa wafu wanafufuka,
neno la Mungu, na kwa ajili ya ushuhuda
kwa habari ya kile kichaka kilichokuwa kikiwaka
waliokuwa nao. Wakalia kwa sauti kuu, wakisema,
moto bila keteketea, alipomwita Bwana „Mungu wa
Ee Mola, Mtakatifu, Mwenye kweli, hata lini
Abrahamu, Mungu wa Isaki na Mungu wa
kutokuhukumu, wala kuipatia haki damu yetu kwa
Yakobo.‟ 38Yeye Mungu si Mungu wa wafu bali
hao wakaao juu ya nchi? Nao wakapewa kila
wa walio hai, kwa kuwa Kwake wote ni
mmoja nguo ndefu, nyeupe, wakaambiwa
hai.” (Luka 20:37-38)
wastarehe bado muda mchache, hata itakapotimia
Yesu alimwahidi yule mtu waliyesulubiwa pamoja
hesabu ya wajoli wao na ndugu zao, watakaouawa
kuwa watakuwa peponi pamoja siku hiyo hiyo na
vile vile kama wao.”
sio siku ya hukumu.
Kwa hiyo mtu akifa anaenda mbinguni au motoni
“Kisha akasema, “Ee Yesu! Unikumbuke wakati kulingana na alivyoishi.
utakapoingia katika ufalme wako.” 43 Yesu
“Nasi tunaona ni afadhali kutokuwamo katika mwili
akamwambia, “Nakwambia kwa hakika, leo
na kukaa pamoja na Bwana” (2Kor 5:8). Kwa kuwa
utakuwa pamoja nami peponi.” (Luka 23:42-
kifo ni “mavumbi kuirudia nchi kama yalivyokuwa,
43)
nayo roho kumrudia Mungu aliyeitoa” (Mhu 12:7).
Angalia pia wakati Stefano akipigwa Mawe
Siku ya ufufuo roho na mwili vitaungana tena kwa
aliikabidhi roho yake kwa Mungu baada ya kuona
ajili ya uzima au moto wa milele.
mbingu zimefunguka hii ni kama Yesu alivyokuwa

pale msalabani aliikabidhi Roho yake kwa Baba “Kwangu mimi kuishi ni Kristo, na kufa ni faida…

yake. ninatamani kwenda zangu nikae na Kristo, maana

ni vizuri zaidi sana” (Fil 1:21,23).


55Lakini yeye Stefano akiwa amejazwa Roho
Mtume Petro ameandika hivi…
Mtakatifu, alikaza macho mbinguni, akaona

utukufu wa Mungu, naye Yesu akiwa amesimama “18 Kwa maana Kristo naye aliteswa mara moja

mkono wa kuume wa Mungu. 56Akasema, kwa ajili ya dhambi, mwenye haki kwa ajili yao

“Tazameni! Naona mbingu zimefunguka na Mwana wasio haki, ili atulete kwa Mungu; mwili wake
35

akauawa, bali roho yake akahuishwa,19 ambayo


Mbona watoto wachanga hawawezi kuelewa
kwa hiyo aliwaendea roho waliokaa kifungoni,

akawahubiri; 20 watu wasiotii hapo zamani, kinachofanyika wakati wa ubatizo halafu


uvumilivu wa Mungu ulipokuwa ukingoja, siku za

Nuhu, safina ilipokuwa ikitengenezwa; ambamo wanabatizwa?

ndani yake wachache, yaani, watu wanane,


Ingawa watoto wachanga hawawezi kuelewa
waliokoka kwa maji.” (1Petro 3:18-20)
kinachofanyika, Mungu anaweza kuwamiminia

rohoni mwanga wa imani.

“Vinywani mwa watoto wachanga na wanyonyao

Je, watoto wachanga wanaweza kubatizwa? umeiweka misingi ya nguvu” (Zab 8:2).

“Elisabeti aliposikia kule kuamkia kwake


Ndiyo, watoto wachanga wanaweza kubatizwa kwa
Mariamu, kitoto kichanga kikaruka ndani ya
sababu hawakatai neema ya Mungu. Wanafunzi wa
tumbo lake… kwa shangwe” (Lk 1:41,44).
Yesu walipotaka kuwazuia wasiletwe
“Nakushukuru, Baba, Bwana wa mbingu na nchi,
kwake “alichukizwa sana, akawaambia, „Waacheni
kwa kuwa mambo haya uliwaficha wenye hekima
watoto wadogo waje kwangu, msiwazuie; kwa
na akili, ukawafunulia watoto wachanga. Naam,
maana watoto kama hawa ufalme wa Mungu ni
Baba, kwa kuwa ndivyo ilivyopendeza mbele zako”
wao. Amin, nawaambieni: Yeyote asiyeukubali
(Math 11:25-26).
ufalme wa Mungu kama mtoto mdogo hatauingia

kabisa” (Mk 10:14-15).

Yeremia aliambiwa,

“Kabla hujatoka tumboni, nalikutakasa; Je, imani ya watu wazima inaweza kufaidisha

nimekuweka kuwa nabii wa mataifa” (Yer 1:5).


watoto?
Yohane Mbatizaji alitabiriwa “atajazwa Roho

Mtakatifu hata tangu tumboni mwa mamaye” (Lk Ndiyo, imani ya watu wazima inaweza kufaidisha

1:15). watoto kama wengine pia.

Mitume walipokea katika Kanisa familia nzima, si


Walimletea Yesu “mtu mwenye kupooza,
wazazi tu.
anachukuliwa na watu wanne… Yesu, alipoiona

Walibatizwa “yeye na nyumba yake”, “yeye na imani yao, akamwambia yule mwenye kupooza,

watu wake wote” (Mdo 16:15,33); „Mwanangu, umesamehewa dhambi zako” (Mk

“watu wa nyumbani mwa Stefana” (1Kor 1:16). 2:5).

Kwa hiyo tunaona kuwa tangu wakati wa Mitume Yesu aliiona imani yao akamponya. Imani ya watu

sio watu wazima tuu waliokua wakibatizwa bali na wengine ndio ilivyopelekea kuponywa kwa huyu

watoto pia. mtu. Vivyo hivyo Imani ya Mzazi inaweza

kumsaidia mtoto.

Kwa ubatizo watoto wanaunganishwa naye na

kuanza kuponywa madonda ya dhambi ya asili.

“Tazama, mimi naliumbwa kati hali ya uovu, mama

yangu alinichukua mimba hatiani” (Zab 51:5).


36

“Ikiwa kwa kukosa mtu mmoja mauti ilitawala kwa yeye atakiri na kuahidi mwenyewe wakati wa

sababu ya yule mmoja, zaidi sana wao wapokeao Sakramenti ya Kipaimara.

wingi wa neema, na kile kipawa cha haki,

watatawala katika uzima kwa yule mmoja, Yesu

Kristo” (Rom 5:19).

Je, ubatizo tuu unatosha?

Hapana, ubatizo hautoshi, bali unahitaji

Ubatizo wa watoto wachanga unafanyika kukamilishwa na kipaimara na ekaristi, kama vile

baada ya kuzaliwa tunahitaji kukomaa na


tangu lini?
kudumisha uhai wetu kwa chakula.

Ubatizo wa watoto wachanga unafanyika tangu


Sakramenti hizo tatu kwa pamoja ni msingi wa
mwanzo, usipingwe na yeyote kwa miaka elfu na
maisha ya Wakristo wote, kumbe nyingine
zaidi. Ni kwamba Wayahudi walipokea watoto
zinahitajika tu katika hali na nafasi maalumu.
katika dini yao kwa kuwatahiri siku ya nane baada
Mitume waliwaendea Wasamaria
ya kuzaliwa.
“wakawaombea wampokee Roho Mtakatifu; kwa
“Hata zilipotimia siku nane za kumtahiri, aliitwa
maana bado hajawashukia hata mmoja wao, ila
jina lake Yesu” (Lk 2:21).
wamebatizwa tu kwa jina lake Bwana Yesu. Ndipo
Watu wa mataifa walipoongokea dini hiyo,
wakaweka mikono yao juu yao, nao wakampokea
walioshwa na kutahiriwa pamoja na watoto wao.
Roho Mtakatifu” (Mdo 8:15-16).
Mitume pia walipokea katika Kanisa familia nzima,
“Amin, amin, nawaambieni: Msipoula mwili wake
si wazazi tu. Walibatizwa “yeye na nyumba yake”,
Mwana wa Adamu na kuinywa damu yake, hamna
“yeye na watu wake wote” (Mdo 16:15,33); “watu
uzima ndaniyenu” (Yoh 6:53).
wa nyumbani mwa Stefana” (1Kor 1:16).

Kwa hiyo tunaona kuwa tangu wakati wa Mitume

sio watu wazima tuu waliokua wakibatizwa bali na

watoto pia. Ekaristi maana yake nini? Je ni kweli Yesu

Kwa Kanisa Katoliki, ubatizo sio ukamilifu wa kuwa yupo katika Maumbo ya Mkate na Divai?
Mkristo. Ubatizo ni Sakramenti ya kwanza ambayo
Ekaristi maana yake ni shukrani, iliyokuwa
inakamilishwa na Sakramenti ya Kipaimara
msimamo wa msingi wa Yesu kwa Baba maisha
ambayo humfanya Mkristo kuwa mkamilifu kwa
yake yote, hasa alipofikia wakati wa kutolewa awe
kukiri na kuahidi mwenyewe kuwa Mfuasi wa Yesu
kafara ya wokovu wetu.
Kristu kwa kumkataa Shetani na Mambo yake

yote. Kwa maana hiyo, watoto wanapobatizwa 23Maana mimi nilipokea kwa Bwana yale maagizo

wazazi wanamtoa au wanamwalika mtoto katika niliyowaachieni: Kwamba, usiku ule Bwana Yesu

Imani ya Kikristu wakiahidi kumtumza na alipotolewa, alitwaa mkate, 24akamshukuru

kumwelekeza katika njia ya Imani kwa Yesu Kristu Mungu, akaumega, akasema: “Huu ndio mwili

mpaka atakapokua mkubwa na kuwa na ufahamu wangu ulio kwa ajili yenu; fanyeni hivi kwa

na Elimu ya kutosha kuhusu Imani yake ndipo na kunikumbuka.” 25Vivyo hivyo, baada ya kula,

akatwaa kikombe cha divai, akasema: “Hiki ni


37

kikombe cha agano jipya linalothibitishwa kwa


Damu na Mwili aliotupa Yesu ni nini? Ekaristi
damu yangu. Fanyeni hivi, kila mnapokunywa, kwa

kunikumbuka.” ni nini hasa?


26Maana kila mnapokula mkate huu na kukinywa
Maana ya Damu na Mwili aliyoisemea Yesu
kikombe hiki, mwatangaza kifo cha Bwana, mpaka
tunaipata hapa;
atakapokuja. 27Kwa hiyo, kila aulaye mkate huo

au kunywa kikombe cha Bwana bila kustahili, “Walipokuwa wakila, Yesu akachukua mkate,
atakuwa na hatia dhidi ya mwili na damu ya akashukuru, akaumega na kuwapa wanafunzi
Bwana. (1Kor 11:23-27). Wake akisema, “Kuleni, huu ndio mwili

Wangu.’’ 23Kisha akachukua kikombe,

akashukuru, akawapa wanafunzi Wake, wote


Yesu alituambia nini kuhusu Mwili wake na
wakanywa kutoka humo. 24Akawaambia, “Hii

damu yake? ndiyo damu yangu ya agano, imwagikayo kwa ajili

ya wengi. 25Amin nawaambia, sitakunywa tena


Yesu alituambia hivi;
uzao wa mzabibu mpaka siku ile nitakapokunywa
“Baba zenu walikula mana jangwani, lakini wakafa. mpya katika Ufalme wa Mungu.‟‟ 26Walipokwisha
50Lakini hapa kuna mkate utokao mbinguni, kuimba wimbo, wakatoka wakaenda kwenye Mlima
ambao mtu ye yote akiula, hatakufa. 51Mimi ni wa Mizeituni. (Marko 14:22-26).
mkate wa uzima ule uliotoka mbinguni. Mtu ye Kwa hiyo Yesu alionyesha upi ni mwili wake na
yote akiula mkate huu, ataishi milele. Mkate huu ni damu yake
mwili wangu, ambao nitautoa kwa ajili ya uzima

wa ulimwengu.‟‟ 52Ndipo Wayahudi wakaanza


Fundisho hili la mwili na damu ya Yesu
kuhojiana vikali wao kwa wao wakisema, “Mtu

huyu awezaje kutupatia mwili wake tuule?‟‟ (Ekaristi) lilikua Agizo tunalopaswa kulitii
53Hivyo Yesu akawaambia, “Amin, amin,

nawaambia, msipoula mwili wa Mwana wa Adamu mpaka leo?

na kuinywa damu Yake, hamna uzima ndani yenu. Ndiyo, Yesu alisema tufanye hivyo kwa ukumbusho
54Mtu ye yote aulaye mwili wangu na kunywa
wake
damu yangu, anao uzima wa milele. Nami
“Kisha akachukua mkate, akashukuru, akaumega,
nitamfufua siku ya mwisho. 55Kwa maana mwili
akawapa akisema, “Huu ni mwili Wangu
wangu ni chakula cha kweli na damu yangu ni
unaotolewa kwa ajili yenu, fanyeni hivi kwa
kinywaji cha kweli. 56Ye yote alaye mwili wangu
ukumbusho Wangu.” (Luka 22: 19).
na kunywa damu yangu, atakaa ndani yangu nami
Kwa hiyo aliwaagiza Mitume wafanye hivyo pia.
nitakaa ndani yake. 57Kama vile Baba aliye hai

alivyonituma Mimi, na kama nami ninavyoishi kwa

sababu ya Baba, hivyo anilaye mimi ataishi kwa Mitume walitii Fundisho la Ekaristi na
sababu yangu. 58Huu ndio mkate ushukao kutoka

mbinguni, si kama ule mkate baba zenu waliokula waliliishi?

nao wakafa. Lakini yeye aulaye mkate huu ataishi Ndiyo, Kila walipokutana Walishiriki Meza ya
milele.‟‟ (Yoh 6:49-58) Bwana Kama tunavyosoma Kwenye vifungu

vifuatavyo;.
38

46Siku zote kwa moyo mmoja walikutana ndani ya Bwana? Je, sisi tuna nguvu kuliko Yeye? (1

ukumbi wa hekalu, wakimega mkate nyumba kwa Wakorinto 10:21-22)

nyumba, wakila chakula chao kwa furaha na moyo

mweupe, (Mdo 2:46).


Je ni lazima Kwa Mkristu kupokea Mwili na
7Siku ya kwanza ya juma tulikutana pamoja kwa

ajili ya kumega mkate. (Mdo 20:7) damu ya Yesu (Ekaristi)?

Yesu alisema hivi;

Je mkate na divai vilichukuliwa na Mitume


53Hivyo Yesu akawaambia, “Amin, amin,

kama nini hasa? walichukulia Ekaristi kama nawaambia, msipoula mwili wa Mwana wa Adamu

na kuinywa damu Yake, hamna uzima ndani yenu.


nini?
54Mtu ye yote aulaye mwili wangu na kunywa

Mitume walichukua Mkate na divai kama mwili na damu yangu, anao uzima wa milele. Nami

damu ya Yesu Kristu na walishiriki kiaminifu na nitamfufua siku ya mwisho. 55Kwa maana mwili

kwa usafi wa moyo. wangu ni chakula cha kweli na damu yangu ni

kinywaji cha kweli. 56Ye yote alaye mwili wangu


16Je, kikombe cha Baraka ambacho tunakibariki, si
na kunywa damu yangu, atakaa ndani yangu nami
ushirika katika damu ya Kristo? Mkate tuumegao,
nitakaa ndani yake. (Yohana 6:53–56)
si ushirika wa mwili wa Kristo? 17(Kwa kuwa

mkate ni mmoja, sisi tulio wengi tu mwili mmoja,

kwa kuwa wote twashiriki mkate mmoja) (1 Je ni kwa nini madhehebu mengine

Wakorinto 10:16)
hawakubali mafundisho haya ya Ekaristi
27Kwa hiyo, mtu ye yote alaye mkate huo au

kukinywea kikombe hicho cha Bwana isivyostahili, Takatifu, Je ni mara ya kwanza watu
atakuwa na hatia ya dhambi juu ya mwili na damu
kukataa?
ya Bwana. 28Inampasa mtu ajichunguze

mwenyewe, kabla ya kula mkate na kukinywea Hii ni sababu ya ugumu wa mioyo na kutokuelewa
kikombe. 29Kwa maana mtu ye yote alaye na maandiko ndio maana madhehebu mengine
kunywa pasipo kuutambua mwili wa Bwana, wanaukataa kwa dhati Mwili na Damu ya Yesu.
anajiletea hukumu juu yake mwenyewe. 30Hii Hata wakati Yesu akiyasema maneno haya Wafuasi
ndiyo sababu wengi miongoni mwenu ni wagonjwa Wengi Walimwacha kama Biblia inavyosema;
na dhaifu na wengine wenu hata wamekufa.
60Wengi wa wafuasi Wake waliposikia jambo hili
31Lakini kama tungejipambanua wenyewe
wakasema, “Mafundisho haya ni magumu. Ni nani
tusingehukumiwa. 32Tunapohukumiwa na Bwana,
awezaye kuyapokea?‟‟ (Yohana 6:60).
tunaadabishwa ili tusije tukahukumiwa pamoja na
Haishangazi hata leo weni hawaamini mafundisho
ulimwengu. (1Wakorinto 11:27-32)
haya japokua ndio msingi wa Imani ya Kikristo.
21Hamwezi kunywa katika kikombe cha Bwana na

cha mashetani pia. Hamwezi kuwa na sehemu

katika meza ya Bwana na katika meza ya Mitume walifundisha nini kuhusu Mwili na

mashetani. 22Je, tunataka kuamsha wivu wa


Damu ya Kristu (Ekaristi)?
39

23Kwa maana mimi nilipokea kutoka kwa Bwana amin, nawaambia, msipoula mwili wa Mwana wa

yale niliyowapa ninyi, kwamba Bwana Yesu, usiku Adamu na kuinywa damu Yake, hamna uzima

ule alipotolewa, alitwaa mkate, 24naye akiisha ndani yenu. 54Mtu ye yote aulaye mwili wangu na

kushukuru, akaumega, akasema “Huu ndio mwili kunywa damu yangu, anao uzima wa milele. Nami

Wangu, ambao ni kwa ajili yenu. Fanyeni hivi kwa nitamfufua siku ya mwisho. 55Kwa maana mwili

ukumbusho Wangu.” 25Vivi hivi baada ya kula, wangu ni chakula cha kweli na damu yangu ni

akakitwaa kikombe, akisema, “Kikombe hiki ni kinywaji cha kweli. 56Ye yote alaye mwili wangu

agano jipya katika damu Yangu. Fanyeni hivi kila na kunywa damu yangu, atakaa ndani yangu nami

mnywapo kwa ukumbusho Wangu.” 26Maana kila nitakaa ndani yake. 57Kama vile Baba aliye hai

mlapo mkate huu na kunywea kikombe hiki, alivyonituma Mimi, na kama nami ninavyoishi kwa

mnatangaza mauti ya Bwana mpaka ajapo. 27Kwa sababu ya Baba, hivyo anilaye mimi ataishi kwa

hiyo, mtu ye yote alaye mkate huo au kukinywea sababu yangu. (Yoh 6:51-57)

kikombe hicho cha Bwana isivyostahili, atakuwa na Mstari wa 51 Yesu alisema wazi Mkate huo ni Mwili

hatia ya dhambi juu ya mwili na damu ya Bwana. wake.

28Inampasa mtu ajichunguze mwenyewe, kabla ya


Thamani na Uwepo wa Yesu Mwenyewe
kula mkate na kukinywea kikombe. 29Kwa maana
unaonekana katika Mstari wa 53 na wa 56.
mtu ye yote alaye na kunywa pasipo kuutambua
Kumbuka hapa amesema “Mimi nitakaa ndani
mwili wa Bwana, anajiletea hukumu juu yake
yake” Hakusema Mwili wangu utakaa ndani yake.
mwenyewe. 30Hii ndiyo sababu wengi miongoni
Kwa maana nyingine ni kwamba Ekaristi ni Yesu
mwenu ni wagonjwa na dhaifu na wengine wenu
Mzima na Sio Mwili tuu.
hata wamekufa. (1 Wakorinto 11:23-30)

Kwa hiyo Mitume waliwaasa Wakristu wa kwanza 54Mtu ye yote aulaye mwili wangu na kunywa

Kushiriki Mwili na Damu ya Yesu kila mara na kwa damu yangu, anao uzima wa milele. Nami

Uaminifu. nitamfufua siku ya mwisho. 55Kwa maana mwili

wangu ni chakula cha kweli na damu yangu ni

kinywaji cha kweli. 56Ye yote alaye mwili wangu


Je Yesu Yupo Mzima katika Ekaristi Takatifu?
na kunywa damu yangu, atakaa ndani yangu nami

Na kwa nini Tunaabudu Ekaristi? nitakaa ndani yake.

Ndiyo. Ekaristi Takatifu inamuwakilisha Yesu Wale Wanaopinga fundisho la Ekaristi wanafikiri

Mwenyewe aliye Mungu na aliyeamua Mwenyewe Yesu alivyosema Mimi ni Chakula Kutoka Mbinguni

kuwepo katika Maumbo ya Mkate na Divai. hakumaanisha Mwili bali Maneno na Imani Kwake

lakini Tukisoma 51 Yesu alisema wazi kuwa Mwili


Ukisoma Yoh 6:51-57 inasema hivi;
wake ndio Mkate wenyewe.

51Mimi ni mkate wa uzima ule uliotoka mbinguni.


51Mimi ni mkate wa uzima ule uliotoka mbinguni.
Mtu ye yote akiula mkate huu, ataishi milele.
Mtu ye yote akiula mkate huu, ataishi
Mkate huu ni mwili wangu, ambao nitautoa kwa
milele. Mkate huu ni mwili wangu, ambao
ajili ya uzima wa ulimwengu.‟‟ 52Ndipo Wayahudi
nitautoa kwa ajili ya uzima wa ulimwengu.‟‟
wakaanza kuhojiana vikali wao kwa wao

wakisema, “Mtu huyu awezaje kutupatia mwili Mitume wa Yesu walielewa hivi fundisho hili ndio

wake tuule?‟‟ 53Hivyo Yesu akawaambia, “Amin, Maana walishiriki Meza ya Bwana kila walipokutana

na waliheshimu kama Mwili na Damu ya Kristo.


40

7Siku ya kwanza ya juma tulikutana pamoja kwa Tunaelewa kwamba Yesu alijitoa Msalabani Mwili

ajili ya kumega mkate. (Mdo 20:7) Wake na Damu yake na ndicho alichotupa ktk

Ili kujua kuwa Mitume waliheshimu Mwili na Damu Ekaristi. Na Mwili wake huo Ulikua umembeba yeye

ya Yesu Biblia inatuambia hivi; aliye Mungu ndiyo maana tunaabudu Ekaristi alipo

Yesu aliye Mungu.


23Kwa maana mimi nilipokea kutoka kwa Bwana

yale niliyowapa ninyi, kwamba Bwana Yesu, usiku Kwa kuwa Yesu ni Mungu Kama tunavyosoma

ule alipotolewa, alitwaa mkate, 24naye akiisha katika Yoh 1:1-12

kushukuru, akaumega, akasema “Huu ndio mwili


1 Hapo mwanzo, kabla ya kuwapo kitu kingine cho
Wangu, ambao ni kwa ajili yenu. Fanyeni hivi kwa
chote, aliku wapo Neno. Huyo Neno alikuwa
ukumbusho Wangu.” 25Vivi hivi baada ya kula,
pamoja na Mungu, naye alikuwa Mungu. 2 Tangu
akakitwaa kikombe, akisema, “Kikombe hiki ni
mwanzo Neno amekuwa na Mungu. 3 Vitu vyote
agano jipya katika damu Yangu. Fanyeni hivi kila
viliumbwa na yeye, wala hakuna cho chote
mnywapo kwa ukumbusho Wangu.” 26Maana kila
kilichoumbwa ambacho hakukiumba. 4 Uzima
mlapo mkate huu na kunywea kikombe hiki,
ulikuwa ndani yake na uzima huo ndio ulikuwa
mnatangaza mauti ya Bwana mpaka ajapo. 27Kwa
nuru ya watu……..14 Naye Neno alifanyika mwili,
hiyo, mtu ye yote alaye mkate huo au kukinywea
akakaa kwetu; nasi tukauona utukufu wake,
kikombe hicho cha Bwana isivyostahili, atakuwa na
utukufu kama wa Mwana pekee atokaye kwa Baba;
hatia ya dhambi juu ya mwili na damu ya Bwana.
amejaa neema na kweli. (Yoh 1:1-12)
28Inampasa mtu ajichunguze mwenyewe, kabla ya
Kwa hiyo Neno huyo huyo Ndiye aliyetukomboa
kula mkate na kukinywea kikombe. 29Kwa maana
kwa kuutoa mwili wake sadaka Msalabani na ndiye
mtu ye yote alaye na kunywa pasipo kuutambua
Aliyetupa Mwili Wake na Damu yake ktk Ekaristi na
mwili wa Bwana, anajiletea hukumu juu yake
anaabudiwa kwa kuwa yupo katika mwili huo.
mwenyewe. 30Hii ndiyo sababu wengi miongoni

mwenu ni wagonjwa na dhaifu na wengine wenu “Kisha akachukua mkate, akashukuru, akaumega,

hata wamekufa. (1 Wakorinto 11:23-30) akawapa akisema, “Huu ni mwili Wangu

Kwa hiyo Mitume walisisitiza kuhusu Mwili na unaotolewa kwa ajili yenu, fanyeni hivi kwa

Damu ya Kristu kuwa ni Mtakatifu. ukumbusho Wangu.” (Luka 22: 19).

Kwa hiyo basi kama tunavyosoma katika Yoh 6:51; Kwa namna hii alitupa mwili wake.

na
Alisema fanyeni kwa ukumbusho wangu na Sio wa

51Mimi ni mkate wa uzima ule uliotoka mbinguni. mwili wangu.

Mtu ye yote akiula mkate huu, ataishi milele.


Hivyo Ekaristi ni Yesu Mwenyewe aliye
Mkate huu ni mwili wangu, ambao nitautoa kwa
Mungu. Ndiyo sababu tunaabudu Ekaristi
ajili ya uzima wa ulimwengu.‟‟
Takatifu.

Yesu alisema Mimi ni Mkate wa Uzima ambao

alimaanisha upo katika Mwili wake. Mwili tuu

hauna uzima kama hauna Yesu ndani yake. Kwa

sababu Mwili ni Mzima na Unaye Yesu ndani yake Je, divai (pombe) ni halali?

ndiyo maana unaweza kuleta uzima kwa Wengine.


Ndiyo, divai ni halali, mradi itumike kwa kiasi isije

ikaleta madhara.
41

“Melkizedeki mfalme wa Salemu alileta mkate na karamu ya Pasaka, ambapo wote walikunywa divai

divai, naye alikuwa kuhani wa Mungu aliye juu mara nne, safari ya mwisho alikamilisha miujiza

sana” (Mwa 14:18), “amefananishwa na Mwana wa yake kwa kuigeuza iwe damu yake. “„Nimetamani

Mungu” (Eb 3:7). sana kuila Pasaka hii pamoja nanyi kabla ya

“Bwana wa majeshi atawafanyia mataifa yote kuteswa kwangu; kwa maana nawaambia ya

karamu ya vitu vinono, karamu ya divai iliyokaa kwamba siili tena hata itakapotimizwa katika

juu ya urojorojo wake, karamu ya vinono vilivyojaa ufalme wa Mungu‟. Akapokea kikombe,

mafuta, karamu ya divai iliyokaa juu ya urojorojo akashukuru, akasema, „Twaeni hiki, mgawanywe

wake, iliyochujwa sana” (Isa 25:6). ninyi kwa ninyi; maana nawaambia ya kwamba

“Njoo, ule mkate wangu, ukanywe divai tangu sasa sinywi mazao ya mzabibu hata ufalme

niliyoichanganya” (Mith 9:5-6). wa Mungu utakapokuja‟. Akatwaa mkate,

Yesu alishiriki karamu nyingi na katika mojawapo akashukuru, akaumega, akawapa, akisema, „Huu

ndipo alipoanza miujiza yake kwa kugeuza mapipa ndio mwili wangu unaotolewa kwa ajili yenu;

ya maji kuwa divai bora. fanyeni hivi kwa ukumbusho wangu‟. Kikombe

nacho vivyo hivyo baada ya kula, akisema,


“Kila mtu kwanza huandaa divai iliyo njema; hata
„Kikombe hiki ni agano jipya katika damu yangu,
watu wakiisha kunywa sana ndipo huleta iliyo
inayomwagika kwa ajili yenu‟” (Lk 22:15- 20).
dhaifu; wewe umeiweka divai iliyo njema hata
“Kikombe kile cha baraka tukibarikicho, je, si
sasa” (Yoh 2:10).
ushirika wa damu ya Kristo?” (1Kor 10:16).
Tujihadhari na hoja za kibinadamu zinazoelekea

kumlaumu kwa ajili hiyo, kama wengine

walivyofanya zamani zake:

“Mwana wa Adamu amekuja, anakula na kunywa, Je, ekaristi ni kafara (sadaka)?


nanyi mwasema, „Tazama, mlafi huyu, na mnywaji
Ndiyo, ekaristi ni kafara ambayo Yesu alimtolea
wa divai, rafiki wao watoza ushuru na wenye
Baba msalabani na anaendelea kumtolea kwa
dhambi” (Lk 7:34).
wokovu wetu.

“Yeye, kwa kuwa akaa milele, anao ukuhani wake

usioondoka. Naye, kwa sababu hii, aweza


Hatimaye Yesu alitumia divai kufanyia nini?
kuwaokoa kabisa wao wamjiao Mungu kwa yeye;

Kama alivyofanya Melkizedeck anayefananishwa na maana yu hai sikuzote ili awaombee… Kila kuhani

Yesu. “Melkizedeki mfalme wa Salemu alileta mkuu huwekwa ili atoe vipawa na dhabihu; kwa

mkate na divai, naye alikuwa kuhani wa Mungu hiyo lazima huyu naye awe na kitu cha kutoa” (Eb

aliye juu sana” (Mwa 14:18), “amefananishwa na 7:24-25; 8:3).

Mwana wa Mungu” (Eb 3:7). Alimtolea Mungu Katika ekaristi tunajiunga naye kwa kufanya

kama sadaka ukumbusho wa kifo na ufufuko wake, tukimtolea

tena Baba sadaka ya Mwili na Damu yake


Hatimaye Yesu alitumia divai kutuachia ishara ya
iliyolinganishwa na zile za Waisraeli na za
damu yake tuweze kushiriki mateso yake. “Je,
Wapagani:
mwaweza kunywea kikombe nitakachonywea

mimi?” (Math 20:22). Kisha kushiriki kila mwaka


42

“Waangalieni hao Waisraeli walivyokuwa kwa jinsi “Tuna hazina hii katika vyombo vya udongo, ili

ya mwili; wale wazilao dhabihu, je, hawana shirika adhama kuu ya uwezo iwe ya Mungu, wala si

na madhabahu? Basi niseme nini? Ya kwamba kile kutoka kwetu” (2Kor 4:7).

kilichotolewa sadaka kwa sanamu ni kitu? Au ya

kwamba sanamu ni kitu? Sivyo, lakini vitu vile

wavitoavyo sadaka wavitoa kwa mashetani, wala si


Je, sala inaweza kuwaendea Mama na
kwa Mungu; nami sipendi ninyi kushirikiana na

mashetani. Hamwezi kunywea kikombe cha Bwana


marafiki wa Yesu (Watakatifu)?
na kikombe cha mashetani. Hamwezi kushirikiana
Ndiyo, sala inaweza kuwaendea Mama na marafiki
katika meza ya Bwana na katika meza ya
wa Yesu, walioungana naye kuwa mwili mmoja,
mashetani” (1Kor 10:18-21).
wasiweze kutenganishwa na chochote.

“Kwa maana nimekwisha kujua hakika ya kwamba,

wala mauti, wala uzima, wala malaika, wala wenye


Je, padri akiwa mkosefu, anaweza
mamlaka, wala yaliyopo, wala yatakayokuwapo,

kutuondolea dhambi? wala wenye uwezo, wala yaliyo juu, wala yaliyo

chini, wala kiumbe kingine chochote hakitaweza


Ndiyo, padri akiwa mkosefu, anaweza kutuondolea
kututenga na upendo wa Mungu ulio katika Kristo
dhambi kwa niaba ya Mungu aliyempa mamlaka
Yesu Bwana wetu” (Rom 8:38-39).
hiyo. Hatusamehewi na utakatifu wa padri, bali na
“Kwangu mimi kuishi na Kristo, na kufa ni faida…
huruma ya Baba kwa njia yake.
Ninatamani kwenda zangu nikae na Kristo” (Fil

Yeye anamtumia padri yeyote ili kuturahisishia 1:21,23)

kazi, tusihitaji kuchunguza kwanza ubora wa .

maisha yake, wala kwenda mbali tukampate


Kwa kuwa hao wako na Kristo mbinguni,
mmoja asiye na dhambi. Tungefanyeje kuhakikisha
wanatuombea mfululizo pamoja naye.
ni mtakatifu, wakati hatuwezi kusoma moyo wake?

Ingekuwa hivi, tusingepata kamwe hakika ya “Niliona chini ya madhabahu roho zao waliochinjwa

kusamehewa. Kumbe inatutosha kujua ni padri, kwa ajili ya neno la Mungu, na kwa ajili ya

kwamba Mungu amempa mamlaka ya kusamehe ushuhuda waliokuwa nao. Wakalia kwa sauti kuu,

dhambi, kama Yesu alivyowapa Mitume siku tatu wakisema, „Ee Mwenyezi, Mtakatifu, Mwenye kweli,

baada ya kumkimbia na hata kumkana. Kila padri hata lini…‟” (Ufu 6:9-10).

anaweza kukiri, Tunawaomba wazidi kutuombea kwa Mungu, kama

tunavyowaomba wenzetu waliopo duniani.


“Ni neno la kuaminiwa, tena lastahili kukubalika

kabisa: ya kwamba Kristo Yesu alikuja “Mkikesha kwa jambo hilo na kudumu katika

ulimwenguni awaokoe wenye dhambi, ambao wa kuwaombea watakatifu wote; pia na kwa ajili

kwanza wao ni mimi” (1Tim 1:15). yangu mimi” (Ef 6:18-19).

Amri ya kusamehe dhambi wamepewa watu, si

malaika.
43

kukamua Zabibu.
Ni wakati gani katika Misa Mkate na Divai
Biblia inatuthibitishia kuwa Divai aliyotumia Yesu

vinageuka Mwili na Damu yake Kristo? na Mitume ilikua na kilevi kwa kusema kuwa

wengine walikuwa wakilewa katika Meza ya Bwana


Ni katikati ya Misa padri asemapo maneno
(Wakorinto 11:22).
Matakatifu aliyosema Yesu mwenyewe: “HUU NDIO

MWILI WANGU; HII NDIO DAMU YANGU” Biblia haituambii kuwa Yesu alitumia Divai isiyo na

kilevi. Wala Yesu hakuwahi kuonya kuhusu


26 Walipokuwa wanakula, Yesu akatwaa mkate,
kutumia Divai yenye Kilevi. Yesu katika Umungu
akamshukuru Mungu, akaumega, akawapa
wake angeweza kujua kuwa miaka ijayo Divai
wanafunzi wake akisema, “Twaeni mle; huu ni
ambayo ingetumika ingekuwa na Kilevi kwa hiyo
mwili wangu.” 27 Kisha akatwaa kikombe cha
angeonya Matumizi yake.
divai, akashukuru, akawapa akisema, “Kunyweni

nyote; 28 maana hii ni damu yangu inayothibitisha Divai iliyotumiwa na Yesu na Mitume ilikua na

agano, damu inayomwagwa kwa ajili ya watu Kilevi ndio maana Mitume waliwaonya wakristo wa

wengi ili kuwaondolea dhambi. 29 Nawaambieni, kwanza juu ya ya kushiriki vibaya Meza ya Bwana

sitakunywa tena divai ya zabibu mpaka siku ile mfano kulewa kama tunavyosoma kwenye mistari

nitakapoinywa mpya pamoja nanyi katika ufalme ifuatayo.

wa Baba yangu.”
17Basi katika maagizo yafuatayo, siwezi kuwasifu,
30 Baada ya kuimba wimbo, wakaondoka,
kwa sababu mkutanikapo si kwa ajili ya faida bali
wakaenda katika mlima wa Mizeituni. (Mat 26:26-
kwa hasara. 18Kwanza, mnapokutana kama
30)
kanisa, nasikia kwamba kuna mgawanyiko

miongoni mwenu, nami kwa kiasi fulani nasadiki

kuwa ndivyo ilivyo. 19Bila shaka lazima pawe na

tofauti miongoni mwenu ili kuonyesha ni nani


Je, Divai iliyotumiwa na Yesu ilikua na Kilevi
anayekubaliwa na Mungu. 20Mkutanikapo pamoja

(pombe)? si chakula cha Bwana mnachokula, 21kwa kuwa

mnapokula, kila mmoja wenu anakula bila


Ndiyo, Divai aliyoitumia Yesu kuigeuza kuwa damu
kuwangoja wengine, huyu hukaa njaa
yake ilikua na kilevi kwa sababu kwa kawaida
na mwingine analewa. 22Je, hamna nyumbani
kipindi cha Pasaka sio msimu wa kuvuna zabibu na
kwenu ambako mnaweza kula na kunywa? Au
hakukuwa na njia yoyote ya kufanya juisi yake
mnalidharau kanisa la Mungu na kuwadhalilisha
isiwe kilevi. Kwa hiyo hakukuwa na uwezekano wa
wale wasio na kitu? Niwaambie nini? Je, niwasifu
kupata juisi ya zabibu isipokua mvinyo wa zabibu
juu ya jambo hili? La, hasha! 23Kwa maana mimi
wenye kilevi. Vile vile Wayahudi walikua na desturi
nilipokea kutoka kwa Bwana yale niliyowapa ninyi,
ya kutumia Mvinyo wa zabibu kama kinywaji cha
kwamba Bwana Yesu, usiku ule alipotolewa,
sikukuu ya pasaka.
alitwaa mkate, 24naye akiisha kushukuru,
Hakuna sehemu kwenye Bilia tunaambiwa kwamba
akaumega, akasema “Huu ndio mwili Wangu,
ulifanyika Muujiza wa Kufanya Divai isiwe kilevi.
ambao ni kwa ajili yenu. Fanyeni hivi kwa
Biblia inatuambia kuwa Mitume kila walipokutana
ukumbusho Wangu.” 25Vivi hivi baada ya kula,
Walishiriki Meza ya Bwana. Haikutuambia
akakitwaa kikombe, akisema, “Kikombe hiki ni
walishiriki meza ya Bwana tuu Kipindi cha
44

agano jipya katika damu Yangu. Fanyeni hivi kila Biblia iliundwa kwa kukusanya vitabu vya dini vya

mnywapo kwa ukumbusho Wangu.” 26Maana kila wakristo hapo awali na kuunda kitabu kimoja. Kwa

mlapo mkate huu na kunywea kikombe hiki, maana hii, Biblia ni vitabu teule vya dini

mnatangaza mauti ya Bwana mpaka ajapo. 27Kwa vilivyoonekana vinafaa kutumika kwa waumini

hiyo, mtu ye yote alaye mkate huo au kukinywea Wakristo ili kusaidia Imani yao. Hivyo basi, kama

kikombe hicho cha Bwana isivyostahili, atakuwa na Biblia ni vitabu teule tuu vipo vitabu vingine vya

hatia ya dhambi juu ya mwili na damu ya Bwana. dini ambavyo havikuwekwa Kwenye Biblia.

28Inampasa mtu ajichunguze mwenyewe, kabla ya


Wakristo wa kwanza walichagua vitabu kadhaa na
kula mkate na kukinywea kikombe. 29Kwa maana
kuviweka pamoja na kisha kuvita Biblia. Biblia ni
mtu ye yote alaye na kunywa pasipo kuutambua
mkusanyiko wa vitabu muhimu tuu vya dini mpaka
mwili wa Bwana, anajiletea hukumu juu yake
kufikia Enzi za Mitume.
mwenyewe. 30Hii ndiyo sababu wengi miongoni

mwenu ni wagonjwa na dhaifu na wengine wenu

hata wamekufa. 31Lakini kama tungejipambanua Je, Biblia ndicho kitabu pekee cha neno la

wenyewe tusingehukumiwa. 32Tunapohukumiwa


Mungu?
na Bwana, tunaadabishwa ili tusije tukahukumiwa

pamoja na ulimwengu. 33Kwa hiyo, ndugu zangu, Hapana, Biblia sio kitabu pekee cha neno la Mungu

mkutanikapo pamoja ili kula, mngojane. 34Kama isipokua Biblia ni kitabu kilichoidhinishwa rasmi

mtu akiwa na njaa, ale nyumbani kwake ili kutumika Kama kitabu kikuu cha Wakristo. Hii ni

mkutanapo pamoja msije mkahukumiwa. Nami kwa sababu Biblia imeundwa na vitabu muhimu

nitakapokuja nitawapa maelekezo zaidi.(Wakorinto tuu vilivyochaguliwa na wakristo wa kwanza

11:17-29) vilivyoonekana vinafaa kwa kufundishia, Ibada na

Kwa hiyo hata Mitume na Wakristu wa kwanza kukuza Imani. Kwa hiyo basi vipo vitabu vingine

walitumia divai yenye kilevi kwenye Meza ya ambavyo haikuwekwa Kwenye Biblia ambavyo ni

Bwana (Ekaristi) ndio maana kuna waliolewa. Maneno ya Mungu.

Hii ndiyo sababu kwa nini Wakatoliki wana vitabu

vingi kuliko madhehebu Mengine. Yaani sababu ni

kwamba madhehebu Mengine walivitoa vitabu


Biblia ni nini? Asili, Historia, waandishi na
vingine vilivyounda Biblia. Na Wakatoliki waliweka

vitabu vingine vya dini Kwenye Biblia walivyoona


mipaka yake
vinafaa pia kutumika.
Biblia ni mkusanyiko wa vitabu mbalimbali

vinavyohusu kazi ya Mungu ya kuwakomboa


Je nje ya Biblia hakuna Neno la Mungu au
mwanadamu kuanzia enzi za Mababu na manabii

Wa Waisraeli, Enzi za Yesu na za Mitume wa Yesu.


Maandiko matakatifu?

Nje ya Biblia kuna Neno la Mungu na Maandiko


Je, Biblia ilipatikanaje? Nini chanzo na asili ya
Matakatifu. Hii Inamaanisha kuwa Biblia sio kitabu

pekee cha neno la Mungu. Zipo nyaraka na Vipo


Biblia.
vitabu vingine vingi ambavyo viliandikwa na

Manabii na Mitume ambavyo havikuwekwa kwenye


45

Biblia lakini ni mafundisho ya Mungu. Biblia ni Mungu yu hai na anafanya kazi na watu wake

mkusanyiko wa vitabu vikuu vya Mungu. mpaka sasa kwa kutumia vinywa vya watu Kama

aliyofanya hapo awali.


Kumbuka kuwa sio nyaraka zote za Mitume

ziliandikwa Kwenye Biblia. Vile vile manabii Hata maneno unayohubiriwa sasa yanaweza kuwa

walikuwa ni wengi kuliko waliowekwa Kwenye ni kutoka kwa Mungu kwa maana hata waandishi

Biblia. wa Biblia walitumiwa na Mungu Kama wahubiri wa

sasa. Mungu ni yule yule, Roho Mtakatifu ni

yuleyule na Neno ni lile lile.


Je Biblia ndiyo mafundisho ya Mungu pekee?

Kwa hiyo Biblia ni maneno yaliyochaguliwa mpaka


Hapana, Biblia sio mafundisho pekee ya Mungu. Hii
enzi za Mitume. Vitabu vilivyofwata Baada ya
ni kwa sababu sio mambo yote aliyofanya na
Mitume japokuwa viliandikwa kwa Roho Mtakatifu
kusema Mungu yaliandikwa na vilevile Mitume
havikuwekwa Kwenye Biblia.
hawakua watu wa Mwisho kupokea Roho mtakatifu

na kupokea neno la Mungu.

Sababu ya Kanisa katoliki kutumia mapokeo

Biblia inatuthibitishia yenyewe kuwa na Maandiko ya Watakatifu

haijakamilika na Si mambo yote Kanisa katoliki linatumia mapokeo na Makala za

watakatifu kwa Imani kuwa Mungu yule yule


yameandikwa Kwenye Biblia
aliyefanya kazi tangu zamani anafanya kazi na

Biblia inatuthibitishia kuwa haijakamilika watu wake mpaka sasa na hivyo Maandiko ya watu

tunaposoma (Yohane 21:25) wa Mungu yanafaa kutumika kama yalivyotumika

Biblia inatuambia hivi…”Kuna mambo Mengine ya watu wa kale.

mengi aliyofanya Yesu, ambayo Kama

yangeandikwa yote, moja baada ya jingine,


Yesu alituambia nini kuhusu Neno la Mungu
nadhani hata ulimwengu wenyewe usingetosha

kuviweka vitabu ambavyo vingeandikwa.”…Kwa na Mwendelezo wa kazi ya Mungu ya kusema

mstari huu Biblia inatuthibitishia kuwa


na watu?
haikuandikwa vitu vyote.

Yesu alituambia hivi katika (Yohane 16:12-

15)..”Ninayo mengi ya kuwaambieni Ila kwa sasa


Je Biblia ni mwisho wa Maandiko ya Mungu?
hamuwezi kuyastahimili. Lakini atakapokuja huyo
Biblia sio mwisho wa Maandiko ya Kimungu. Roho wa Ukweli atawaongoza kwenye ukweli wote.

Maana hatasema kwa Mamlaka yake mwenyewe


Biblia ni sehemu ya maneno ya Mungu mpaka
bali atasema atakayoyasikia na kuwajulisheni
miaka ya Mitume
yatakayokuja. Yeye atanitukuza Mimi kwa kuwa
Hata sasa Mungu anafanya kazi na watu wake atawajulisheni Yale atakayoyapata kutoka kwangu
kupitia Roho Mtakatifu na kwa kwa sababu hii “…
Biblia sio mwisho wa kazi ya Mungu ya kusema na Sasa basi,kama Roho Mtakatifu ni yuleyule na kazi
watu wake. zake ni Zile Zile za tangu Mitume, kwa nini
46

hatukubali kuwa Anafanya kazi mpaka sasa kupitia “Si wote wawezao kulipokea neno hili, ila wale

watu wa Mungu? Kwa nini tunakataa mafundisho waliojaliwa” (Math 19:11).

yao? Kwa nini tunashindwa kuelewa kuwa Biblia Tunavyoona katika historia ya watawa, mara
haikuwa mwisho wa Neno la Mungu? Kwa nini nyingi karama ya useja inaendana na nyingine
tunakana Mapokeo ya Watakatifu? Kwa nini katika maisha ya sala, ya kijumuia na ya kitume.
hatuwaamini watumishi wake wa sasa? Hivyo Filipo “alikuwa na binti wanne, mabikira,

waliokuwa wakitabiri” (Mdo 21:9).


WhatsAppTwitterLinkedInEmail
Maswali na Majibu kuhusu Karama
Mafundisho ya Katekisimu / Leave a Comment

Je, karama ni zile za kushangaza tu?


Karama zinagawiwa vipi?

Hapana, karama si zile za kushangaza tu, tena zile


Karama zinagawiwa na Roho Mtakatifu jinsi
muhimu zaidi si hizo, bali zile zinazojenga zaidi
anavyotaka, si kwa sifa au faida ya binafsi, bali
Kanisa, kama zile za uongozi:
kwa ustawi wa taifa la Mungu.

“Mungu ameweka wengine katika Kanisa, wa


“Kazi hizi zote huzitenda Roho huyo mmoja, yeye
kwanza mitume, wa pili manabii, wa tatu waalimu,
yule, akimgawia kila mtu peke yake kama
kisha miujiza, kisha karama za kuponya wagonjwa,
apendavyo yeye… Je, wote ni mitume? Wote ni
na masaidiano, na maongozi, na aina za lugha”
manabii? Wote ni waalimu? Wote wanatenda
(1Kor 12:28).
miujiza? Wote wana karama za kuponya
“Basi kwa kuwa tuna karama zilizo mbalimbali, wagonjwa? Wote wanena kwa lugha? Wote
kwa kadiri ya neema tuliyopewa; ikiwa unabii, wafasiri?… Kwa kuwa mnatamani sana kuwa watu
tutoe unabii kwa kadiri ya imani; ikiwa huduma, wenye karama za roho, takeni kwamba mzidi sana
tuwemo katika huduma yetu; mwenye kufundisha, kuwa nazo ili kulijenga kanisa… Kwa maana Mungu
katika kufundisha kwake; mwenye kuonya, katika si Mungu wa machafuko, bali wa amani” (1Kor
kuonya kwake; mwenye kukirimu, kwa moyo 12:11,29-30; 14:12,33). Kwa ajili hiyo mitume
mweupe; mwenye kusimamia, kwa bidii; mwenye walipambanua na kuratibu karama katika ibada na
kurehemu, kwa furaha” (Rom 12:6-8). katika maisha ya jumuia zisije zikavuruga Kanisa.

Karama nyingine muhimu zinatuwezesha


Karama za kushangaza zina hatari gani?
kufanya nini?
Karama za kushangaza zina hatari mbalimbali,
Karama nyingine muhimu zinatuwezesha kuishi
hasa zikitiwa maanani mno. Hapo ni rahisi zilete
kwa useja kama Yesu na Paulo, au kwa ndoa:
majivuno, kijicho na mafarakano.

“Nipendalo ni kwamba watu wote wawe kama mimi


“Ikiwa kwenu kuna husuda na fitina, je, si watu wa
nilivyo; walakini kila mtu ana karama yake
tabia ya mwili ninyi; tena mnaenenda kwa jinsi ya
mwenyewe itokayo kwa Mungu, huyu hivi, na huyu
kibinadamu?… Mmekwisha kushiba, mmekwisha
hivi. Lakini nawaambia wale wasiooa bado, na
kupata utajiri, mmemiliki pasipo sisi. Naam, laiti
wajane; ni heri wakae kama mimi nilivyo” (1Kor
mngemiliki… Kwa hiyo anayejidhania kuwa
7:7-8).
47

amesimama na aangalie asianguke” (1Kor 3:3; WhatsAppTwitterLinkedInEmail


4:8; 10:12). Mambo ya Muhimu kujua kuhusu dhambi
Mafundisho ya Katekisimu / Leave a Comment
Katika mambo yasiyothibitika ni rahisi
Dhambi ya asili ndio nini?
kudanganyika kuwa yametoka kwa Mungu, kumbe

sivyo. Kisha kudanganyika ni vigumu kuachana Dhambi ya asili ambayo binadamu wote

nayo hata yakiwa na madhara kwa mhusika au wanazaliwa nayo, ni hali ya kukosa utakatifu na

kwa Kanisa. hali ya asili ya urafiki na Mungu

“Wapenzi, msiiamini kila roho, bali zijaribuni hizo

roho, kwamba zimetokana na Mungu; kwa sababu

manabii wa uongo wengi wametokea duniani” Adhabu gani walipewa Adamu na Eva?

(1Yoh 4:1).
Adamu na Eva kwa ukubwa wa dhambi yao ya

kiburi na ya uasi:

1. Walipoteza neema ya utakaso


Tunda la kuongozwa na Roho Mtakatifu ni
2. Walifukuzwa paradisini
lipi?
3. Walipungukiwa akili na kushikwa na tamaa ya
Tunda la kuongozwa na Roho Mtakatifu ni umoja kutenda dhambi
wa Kanisa unaotokana na ustawi wa upendo na 4. Walipitia mahangaiko na taabu nyingi
vipaji ndani ya waamini. 5. Kupaswa kufa. (Mwa 3:16-20: 5:5)

“Wote walijaa Roho Mtakatifu, wakanena neno la

Mungu kwa ujasiri. Na jamii ya watu walioamini

walikuwa na moyo mmoja na roho moja” (Mdo


Kisha kosa la Adamu na Eva Mungu aliahidi
4:31-32).
nini?

“Tunda la Roho ni upendo, furaha, amani,


Kisha kosa la Adamu na Eva Mungu aliahidi
uvumilivu, utu wema, fadhili, uaminifu, upole,
kuwaletea Mkombozi. (Mwa 3:15)
kiasi; juu ya mambo kama hayo hakuna sheria”

(Gal 5:22-23).

“Lakini, mkiwa na wivu wenye uchungu na ugomvi

mioyoni mwenu, msijisifu, wala msiseme uongo Bikira Maria kukingiwa dhambi ya asili maana

juu ya kweli. Hekima hiyo siyo ile ishukayo kutoka yake ni nini?

juu, bali ni ya dunia, ya tabia ya kibinadamu, na


Bikira Maria kukingiwa dhambi ya asili maana yake
Shetani. Maana hapo palipo wivu na ugomvi, ndipo
hakuzaliwa na dhambi ya asili kama binadamu
palipo machafuko, na kila tendo baya. Lakini
wengine
hekima itokayo juu, kwanza ni safi; tena ni ya

amani, ya upole, tayari kusikiliza maneno ya watu,

imejaa rehema na matunda mema, haina fitina,

haina unafiki” (Yak 3:14-17). Mungu akiwa wema mkuu na mwenye uwezo

wote, mbona katika viumbe vyake kuna


Madhehebu yanapozidi kufarakana ni lazima
ubaya? Kwa nini Mungu anaruhusu mabaya
tujiulize kama kweli ni kazi ya Roho Mtakatifu.
na maovu?
48

Kwa nini dhambi zipo? “Hata ulipowadia utimilifu wa wakati, Mungu

alimtuma Mwanawe ambaye amezaliwa na


Mungu akiwa wema mkuu na mwenye uwezo wote,
mwanamke” (Gal 4:4).
hakuumba ubaya wowote. Tena kila anapovumilia

ule uliosababishwa na viumbe vyenye hiari

anaufanya uzae mema makubwa zaidi kwa njia

tusizoweza kuzifahamu vizuri hapa duniani. Je, dhambi zote zinahusiana?

“Mimi ni Yusufu, ndugu yenu, ambaye mliniuza Ndiyo, dhambi zote zinahusiana kwa sababu

kwenda Misri. Basi sasa, msihuzunike, wala dhambi zinazaa dhambi nyingine ndani mwetu na

msiudhike nafsi zenu, kwa kuniuza huku; maana katika mazingira yetu.

Mungu alinipeleka mbele yenu kuhifadhi maisha ya


“Hamjui kwamba chachu kidogo hulichachusha
watu… Nanyi kweli mlinikusudia mabaya, bali
donge zima? Basi, jisafisheni, mkatoe ile chachu ya
Mungu aliyakusudia kuwa mema, ili itokee kuokoa
kale, mpate kuwa donge jipya” (1Kor 5:6-7).
taifa kubwa, kama ilivyo leo” (Mwa 45:4-5;

50:20).

Dhambi zimetuathiri vipi tena?

Mungu angeweza kuzuia watu wasitende Dhambi zimetuathiri kwa ndani zaidi, zikitutia

dhambi? udhaifu katika mwili, ujinga katika akili na uovu

katika utashi; madonda hayo yanatufanya tuzidi


Ndiyo, Mungu angeweza kuzuia watu wasitende
kushindwa.
dhambi, lakini aliwaacha watende kwa hiari yao

awaonyeshe ukuu wa huruma yake. “Kwa kuwa ile nia ya mwili ni uadui juu ya Mungu,

kwa maana haitii sheria ya Mungu, wala haiwezi


“Maana Mungu amewafunga wote pamoja katika
kuitii” (Rom 8:7).
kuasi ili awarehemu wote” (Rom 11:32).

Katika unyonge wetu tutumainie nini?


Je, toka mwanzo sisi watu tunaasi mpango

wa Mungu peke yetu? Katika unyonge wetu tutumainie huruma ya Mungu

aliyetutumia Mkombozi hata “dhambi ilipozidi,


Hapana, toka mwanzo sisi watu tunaasi mpango
neema ikawa kubwa zaidi” (Rom 5:20).
wa Mungu kwa kuvutwa na mashetani, yaani

malaika waliokataa moja kwa moja kumtumikia; Ushindi wake juu ya dhambi umetupatia mema

baada ya dhambi ya asili hao wanatutumia sisi pia makubwa kuliko tuliyoyapoteza kwa dhambi.

tuangushane na wenzetu.
“Mungu, kwa kuwa ni mwingi wa rehema, kwa

Lakini Mungu aliwahi kumuambia Shetani: mapenzi yake makuu aliyotupenda; hata wakati

ule tulipokuwa wafu kwa ajili ya makosa yetu;


“Nitaweka uadui kati yako na huyo mwanamke, na
alituuhisha pamoja na Kristo; yaani, mmeokolewa
kati ya uzao wako, na uzao wake; huo utakuponda
kwa neema” (Ef 2:4-5).
kichwa, na wewe utamponda kisigino” (Mwa 3:15).
49

Yesu ni Mungu au mtu? ukamilifu wake, sisi sote tumepokea neema tele.

17 Musa alitule tea sheria kutoka kwa Mungu,


Yesu ni Mungu na mtu kwa pamoja, ndiyo sababu
lakini Yesu Kristo ametuletea neema na kweli. 18
ni mshenga pekee kati ya Mungu na watu. “Kwa
Hakuna mtu aliyemwona Mungu wakati wo wote.
sababu Mungu ni mmoja, na mpatanishi kati ya
Lakini Mwanae pekee, ambaye ana uhusiano wa
Mungu na wanadamu ni mmoja, mwanadamu
karibu sana na Baba yake, amemdhihirisha Mungu
Kristo Yesu” (1Tim 2:5). “Katika yeye unakaa
kwetu. Yohana 1:1-6:37
utimilifu wote wa Mungu, kwa jinsi ya kimwili” (Kol

2:9). Hivyo ni Mungu kweli na mtu kweli.

1 Hapo mwanzo, kabla ya kuwapo kitu kingine cho


5 Tomaso akamwuliza, “Bwana, hatujui
chote, aliku wapo Neno. Huyo Neno alikuwa
unakokwenda; tutaijuaje njia?” 6 Yesu akawaam
pamoja na Mungu, naye alikuwa Mungu. 2 Tangu
bia, “Mimi ndiye Njia na Kweli na Uzima; mtu
mwanzo Neno amekuwa na Mungu. 3 Vitu vyote
hawezi kufika kwa Baba bila kupitia kwangu. 7
viliumbwa na yeye, wala hakuna cho chote
Kama mngekuwa mnajua mimi ni nani,
kilichoumbwa ambacho hakukiumba. 4 Uzima
mngemfahamu na Baba yangu. Tangu sasa
ulikuwa ndani yake na uzima huo ndio ulikuwa
mnamfahamu Baba yangu na mmemwona.”
nuru ya watu. 5 Nuru hiyo huangaza gizani na giza

haliwezi kamwe kuizima. 8 Filipo akamwambia Yesu, “Bwana, tuonyeshe

Baba yako nasi tutaridhika.” 9 Yesu akamjibu,


6 Mtu mmoja aitwaye Yohana alitumwa na Mungu
“Filipo, imekuwaje hunifahamu baada ya mimi
7 awaambie watu kuhusu hiyo nuru, ili kwa
kuwa pamoja nanyi muda wote huu? Mtu ye yote
ushuhuda wake wapate kuamini. 8 Yohana
ambaye ameniona mimi, amemwona Baba. Sasa
mwenyewe hakuwa ile nuru. Yeye alitumwa
inakuwaje unasema, „Tuonyeshe Baba‟? 10 Je,
kuishuhudia hiyo nuru. 9 Nuru halisi ambayo
huamini ya kuwa mimi niko ndani ya Baba yangu,
inawaangazia watu wote ilikuwa inakuja ulim
na Baba yangu yuko ndani yangu? Mambo
wenguni. 10 Neno alikuwepo ulimwenguni, lakini
ninayowaambia siyasemi kwa mamlaka yangu
japokuwa aliumba ulimwengu, watu wa ulimwengu
mwenyewe, bali yanatoka kwa Baba yangu
hawakumtambua! 11 Alikuja nyumbani kwake,
ambaye anaishi ndani yangu, na ndiye anayetenda
lakini watu wake hawakumpokea! 12 Bali wote
haya yote. Yohane 14:5-10
waliompokea na kumwamini aliwapa haki ya

kufanywa watoto wa Mungu. 13 Hawa hawakuwa

watoto wa Mungu kwa kuzaliwa kwa njia ya asili,

wala kwa mapenzi au mipango ya watu bali


29 Baba yangu ambaye amenipa hawa ni mkuu
wamezaliwa na Mungu mwenyewe.
kuliko wote na hakuna awezaye kuwatoa hawa

14 Neno akawa mwanadamu akaishi kati yetu kutoka katika mikono yake. 30 Mimi na Baba

akiwa amejaa utu kufu na kweli. Tuliona utukufu yangu tu mmoja.”

wake, utukufu wa Mwana pekee wa Baba. 15


31 Kwa mara nyingine wale Wayahudi wakainua
Yohana alishuhudia habari zake, akatangaza:
mawe ili wampige nayo. 32 Yesu akawauliza,
“Huyu ndiye yule niliyewaambia kuwa, „Yeye ajaye
“Nimewaonyesha mambo mengi mazuri kutoka
baada yangu ni mkuu kuliko mimi kwa kuwa
kwa Baba yangu. Kati ya hayo ni lipi
alikuwapo kabla sijazaliwa.”‟ 16 Na kutokana na
linalosababisha mtake kunipiga mawe?” 33 Wao
50

wakamjibu, “Tunataka kukupiga mawe si kwa amani ilikuwa juu yake, na kwa kupigwa kwake sisi

sababu ya mambo mema uliyotenda bali ni kwa tumepona” (Isa 53:4-5).

kuwa umekufuru. Wewe ni mtu tu lakini unajiita Tangu mwanzo Wakristo wanakiri kwa ufupi
Mungu.” Yohane 10: 29-33 kwamba,

“Kristo alikufa kwa ajili ya dhambi zetu, kama

yanenavyo Maandiko” (1Kor 15:3).


Yesu anapatikana wapi? Yesu anakaa wapi?
“Alijitoa nafsi yake kwa ajili yetu, ili atukomboe na
Yesu Yupo wapi kwa sasa?
maasi yote, na kujisafishia watu wawe milki yake

Yesu kama Mungu yupo kila mahali, hakuna mahali mwenyewe, wale walio na juhudi katika matendo

asipokuwepo. Yesu kama mwanadamu yupo mema” (Tit 2:14).

Mbinguni kwa Baba na anakaa nasi duniani katika “Alijitoa mwenyewe kuwa ukombozi kwa ajili ya
Maumbo ya Mkate na Divai Katika Ekaristi. wote” (1Tim 2:6).

“Ili kwa njia ya mauti amharibu yeye aliyekuwa na

nguvu za mauti, yaani Ibilisi, awaache huru wale

ambao kwamba maisha yao yote kwa hofu ya


Kwa nini Yesu alishawishiwa/alijaribiwa na
mauti walikuwa katika hali ya utumwa” (Eb 2:14-
Shetani?
15).
Yesu alishawishiwa na Shetani kwa kuwa ni mtu

kweli, akamshinda kwa niaba ya watu wote,

akituonyesha namna ya kumtii Mungu moja kwa


Je, Kanisa linaweza kutuondolea dhambi
moja, “hata mauti, naam, mauti ya msalaba” (Fil
yoyote?
2:8).

Ndiyo, Kanisa linaweza kutuondolea dhambi yoyote


“Kwa sababu kama kwa kuasi kwake mtu mmoja
katika ubatizo na kitubio kwa kutumia mamlaka
watu wengi waliingizwa katika hali ya wenye
ambayo Yesu mfufuka aliwashirikisha Mitume wake
dhambi, kadhalika kwa kutii kwake mmoja watu
alipowavuvia akisema:
wengi wameingizwa katika hali ya wenye haki”

(Rom 5:19). “Pokeeni Roho Mtakatifu. Wowote

mtakaowaondolea dhambi, wameondolewa; na

wowote mtakaowafungia dhambi, wamefungiwa”

(Yoh 20:22-23).
Kwa nini Yesu aliteswa hadi kuuawa

msalabani? “Mlikuwa watu wa namna hii; lakini mlioshwa,

lakini mlitakaswa, lakini mlihesabiwa haki katika


Yesu aliteswa hadi kuuawa msalabani ili abebe kwa
jina la Bwana Yesu Kristo, na katika Roho wa
upendo na kufidia dhambi za watu wote,
Mungu wetu” (1Kor 6:11).
alivyotabiriwa:

“Tulimdhania ya kuwa amepigwa, amepigwa na

Mungu, na kuteswa. Bali alijeruhiwa kwa makosa


Yesu aliweka Kitubio na Mpako wa Wagonjwa
yetu, alichubuliwa kwa maovu yetu; adhabu ya
kwa sababu gani?
51

Yesu aliweka Kitubio na Mpako wa Wagonjwa kwa Mungu aliwapa watu amri ya kusamehe

sababu alijua udhaifu wa binadamu hauishi mara dhambi zipi?

anapopokea uzima wa Mungu kwa sakramenti tatu


Mungu aliwapa watu amri ya kusamehe dhambi
za kuingizwa katika Ukristo. Hivyo alipanga
zote, kwa sababu upendo mtiifu wa Mwanae
kusaidia mpaka mwisho wa dunia waamini wake
aliyejitoa kuwa sadaka ya wokovu wetu
watakaopatwa na dhambi na ugonjwa, kama
unampendeza kuliko dhambi zote
alivyowasaidia wengi aliokutana nao katika maisha
zinavyomchukiza. Ila hatuwezi kusamehewa
yake.
dhambi ya kukataa neema ambayo Roho Mtakatifu

“Yesu, alipoiona imani yao, alimwambia yule anatusukuma tuamini na kutubu, kwa sababu

mwenye kupooza, „Jipe moyo mkuu, mwanangu, pasipo imani na toba hapana msamaha.

umesamehewa dhambi zako‟… „Lakini mpate kujua


“Kila dhambi na kila neno la kufuru watasamehewa
ya kwamba Mwana wa Adamu anayo amri duniani
wanadamu, ila kwa kumkufuru Roho
ya kusamehe dhambi‟ – amwambia yule mwenye
hawatasamehewa” (Math 12:31).
kupooza – „Ondoka, ujitwike kitanda chako, uende
“Nasi tukitenda kazi pamoja naye twawasihi
nyumbani kwako‟. Akaondoka, akaenda zake
msiipokee neema ya Mungu bure” (2Kor 6:1).
nyumbani kwake. Makutano walipomwona,

walishikwa na hofu, wakamtukuza Mungu,

aliyewapa watu amri ya namna hii” (Math 9:2,6-8).

Mungu aliwapa watu amri ya kusamehe

dhambi kwa sababu gani?

Mungu aliwapa watu (mapadri) amri/uwezo Mungu aliwapa watu amri ya kusamehe dhambi
ya kusamehe dhambi kwa njia ya nani? Ni kwa sababu amependa washiriki katika kazi zake.
halali kuungama kwa padre? Ametuumba kwa njia ya wazazi na kutulea na

kutusaidia kwa njia ya wengine pia. Hasa


Mungu aliwapa watu amri ya kusamehe dhambi
ametuokoa kwa njia ya Yesu, ambaye yupo nasi
kwa njia ya Mwanae. Yesu mfufuka aliwaonyesha
sikuzote katika Mwili wake, yaani Kanisa, na katika
Mitume alama ya mateso mwilini
wale walioshirikishwa mamlaka ya Mitume.
mwake, “akawavuvia, akawaambia, „Pokeeni Roho

Mtakatifu. Wowote mtakaowaondolea dhambi, “Lakini vyote pia vyatokana na Mungu,


wameondolewa; na wowote mtakaowafungia aliyetupatanisha sisi na nafsi yake kwa Kristo,
dhambi, wamefungiwa” (Yoh 20:22-23). naye alitupa huduma ya upatanisho; yaani, Mungu

alikuwa ndani ya Kristo, akiupatanisha ulimwengu


Katika Kanisa tunafurahi kupewa msamaha wa
na nafsi yake, asiwahesabie makosa yao; naye
dhambi kila tunapohitaji, mradi tutubu. Kwa njia
ametia ndani yetu neno la upatanisho. Basi tu
ya mwandamizi wa Mitume, Yesu anatuambia,
wajumbe kwa ajili ya Kristo, kana kwamba Mungu
“Umesamehewa dhambi zako… Imani yako anasihi kwa vinywa vyetu; twawaomba ninyi kwa
imekuokoa, enenda zako kwa amani” (Lk 7:48,50). ajili ya Kristo: mpatanishwe na Mungu” (2Kor

Si dhana wala hisia tu, bali ni neno la hakika 5:18-20).

tunalolipokea kwa masikio yetu.


52

Je, tumuendee padri ili kuondolewa dhambi? Tukumbuke tulivyo viungo vya Mwili mmoja, hivi

kwamba dhambi zetu zimewadhuru wenzetu.


Ndiyo, tumuendee padri ili kuondolewa dhambi
“Ungameni dhambi zenu ninyi kwa ninyi na
tulizotenda baada ya ubatizo, kwa kuwa hatuwezi
kuombeana, mpate kuponywa” (Yak 5:16).
kupokea msamaha tukikataa masharti yake, na

Mungu ametupangia watu ambao watuondolee kwa Kutokuwa tayari kufanya hivyo walau sirini kwa

niaba yake. padri ni dalili ya kiburi na ya kutotubu.

“Watu wote na watoza ushuru waliposikia hayo,

waliikiri haki ya Mungu, kwa kuwa wamebatizwa

kwa ubatizo wa Yohane. Lakini, Mafarisayo na Je, padri akiwa mkosefu, anaweza

wanasheria walilipinga shauri la Mungu juu yao, kutuondolea dhambi?

kwa kuwa hawakubatizwa naye” (Lk 7:29-30).


Ndiyo, padri akiwa mkosefu, anaweza kutuondolea
Yesu mwenyewe alikubali kubatizwa na Yohane ili dhambi kwa niaba ya Mungu aliyempa mamlaka
atimize mpango wa Baba. hiyo. Hatusamehewi na utakatifu wa padri, bali na

huruma ya Baba kwa njia yake.


“Yohane alitaka kumzuia, akisema, „Mimi nahitaji

kubatizwa na wewe, nawe waja kwangu?‟ Yesu Yeye anamtumia padri yeyote ili kuturahisishia
akajibu akamwambia, „Kubali hivi sasa; kwa kuwa kazi, tusihitaji kuchunguza kwanza ubora wa
ndivyo itupasavyo kuitimiza haki yote” (Math 3:14- maisha yake, wala kwenda mbali tukampate
15). mmoja asiye na dhambi. Tungefanyeje kuhakikisha

Je, sisi tukatae kumkimbilia padri wa Mungu ili ni mtakatifu, wakati hatuwezi kusoma moyo wake?

kupokea huruma yake tunayoihitaji kuliko hewa? Ingekuwa hivi, tusingepata kamwe hakika ya

kusamehewa. Kumbe inatutosha kujua ni padri,

kwamba Mungu amempa mamlaka ya kusamehe

dhambi, kama Yesu alivyowapa Mitume siku tatu


Tumuungamie padri dhambi zetu kwa lengo
baada ya kumkimbia na hata kumkana. Kila padri
gani? Kwa nini Wakatoliki wanaungama kwa
anaweza kukiri,
padri?
“Ni neno la kuaminiwa, tena lastahili kukubalika
Tumuungamie padri dhambi zetu ili aweze
kabisa: ya kwamba Kristo Yesu alikuja
kutushauri na kuamua kama tuko tayari
ulimwenguni awaokoe wenye dhambi, ambao wa
kuondolewa. Tumweleze kwa unyofu makosa yote
kwanza wao ni mimi” (1Tim 1:15).
tuliyoyafanya na nia tuliyonayo ya kuyafidia na
Amri ya kusamehe dhambi wamepewa watu, si
kutoyarudia.
malaika.
“Tukisema kwamba hatuna dhambi, twajidanganya
“Tuna hazina hii katika vyombo vya udongo, ili
wenyewe, wala kweli haimo mwetu. Tukiziungama
adhama kuu ya uwezo iwe ya Mungu, wala si
dhambi zetu, Yeye ni mwaminifu na wa haki hata
kutoka kwetu” (2Kor 4:7).
atuondolee dhambi zetu, na kutusafisha na

udhalimu wote. Tukisema kwamba hatukutenda

dhambi, twamfanya Yeye kuwa mwongo, wala

neno lake halimo mwetu” (1Yoh 1:8-10). Je, nje ya kitubio tunaweza kuondolewa

dhambi tuliyotenda baada ya ubatizo?


53

Ndiyo, nje ya kitubio tunaweza kuondolewa dhambi Ndiyo, kuna dhambi za mawazo, maneno, matendi

tuliyotenda baada ya ubatizo, lakini ni vigumu na kutotimiza wajibu.

zaidi, kwa sababu hatupati msaada wa sakramenti

hiyo maalumu.

Pamoja na nia ya kumuungamia padri mapema Dhambi zinatofautianaje katika uzito?


tunahitaji neema ya kutubu kikamilifu, si kwa
Kuna:
kuhofia adhabu, bali kwa kumpenda Mungu
1. Dhambi ya Mauti (Dhambi kubwa) na
tuliyemchukiza.
2. Dhambi nyepesi (Dhambi ndogo)
“Amesamehewa dhambi zake ambazo ni nyingi,

kwa kuwa amependa sana” (Lk 7:47).

Dhambi ya mauti ni nini?

Dhambi za uchafu huleta hasara gani? Dhambi ya Mauti ni kosa la kuvunja Amri ya

Mungu au ya Kanisa, katika jambo kubwa, kwa


Huleta hasara hizi;
fahamu na kusudi. (1 Yoh 5:16)

1. Kuharibu usafi wa Moyo na Hekalu la Mungu

2. Huleta Magonjwa duniani na hasara ya baadae.

mf UKIMWI. (Efe 5:5)


Dhambi ya Mauti hutupotezea nini?
3. Huvunja amani ya familia

4. Kujijengea mazoea ya uchafu Dhambi ya Mauti hutupotezea;

1. Upendo ndani mwetu

2. Neema ya Utakaso

Mambo yanayomzuia mtu kuishi maisha

mema ni yapi?

Anayekufa akiwa na dhambi ya mauti huenda


Mambo hayo ni;
wapi?
1. Dhambi

2. Vilema Anayekufa akiwa na dhambi ya mauti hutupwa

3. Vishawishi motoni milele. (Mt 25:41)

Dhambi ni nini? Dhambi nyepesi ni nini?

Dhambi ni kosa la Mtu mwenye kuvunja Amri ya Dhambi nyepesi ni kosa la kuvunja Amri ya Mungu

Mungu au ya Kanisa kwa mawazo (tamaa), kwa au ya Kanisa katika jambo dogo, au jambo kubwa

maneno au kwa matendo kwa makusudi yasiyo kamili. (1 Yoh 5:17)

Je kuna aina tofauti ya dhambi? Dhambi nyepesi hutupotezea nini?


54

1. Hudhoofisha upendo ndani mwetu Lini na kwa maneno gani Yesu aliweka

2. Huzuia Maendeleo ya roho zetu kwa kuzuia Sakramenti ya Kitubio?

fadhila na kutenda mema.


Yesu aliweka Sakramenti ya Kitubio jioni ya

ufufuko wake alipowapulizia mitume na kuwaambia

maneno haya “Pokeeni Roho Mtakatifu.

Adhabu ya dhambi ndogo ni nini? Wowote mtakaowaondolea dhambi watakua

wameondolewa, wowote mtakaowafungia


Adhabu ya dhambi ndogo ni mateso duniani na
dhambi watakua wamefungiwa” (Yoh 20:22-
Toharani
23)

Je, Tunawajibika kwa dhambi zilizotendwa na


Mwenye kuwaondolea watu dhambi ni nani?
wengine?
Mwenyezi Mungu pekee yake aweza kuwaondolea
Ndiyo, Tunawajibika kwa dhambi zilizotendwa na
watu dhambi. Ndiye aliyewapa Mitume, Maaskofu
wengine iwapo tunazichangia kwa kutenda kosa
na Mapadri uwezo wa kuwaondolea watu dhambi
husika.
(Yoh 20:21-23)

Mfano Utoaji wa Mimba, anayetolewa, anayetoa,

anayeshauri na aliyejua lakini hakuzuia wote

wanatenda dhambi.
Nani yampasa kupokea Sakramenti ya

Kitubio?

Kila mkristo aliyetenda dhambi yampasa kupokea


Dhambi zinazomlilia Mungu ni zipi?
Sakramenti ya Kitubio

Dhambi zinazomlilia Mungu ni;

1. Kuua Binadamu, Mfano Kaini na Abeli

2. Ulawiti na ushoga. (Wag 5:18-21)


Mkristo akitaka kupokea Sakramenti ya
3. Kilio cha wanaogandamizwa
Kitubio yampasa nini?
4. Kilio cha mgeni, mjane, yatima na walemavu

5. Kukosea haki waajiriwa. Mkristo akitaka kupokea Sakramenti ya Kitubio

yampasa haya

1. Kutafuta dhambi moyoni (Yoh 3:20-21)

Sakramenti ya Kitubio ni nini? 2. Kujuta dhambi

3. Kukusudia kuacha dhambi


Sakramenti ya Kitubio ndiyo Sakramenti ya
4. Kuungama kwa padre
kuwaondolea watu dhambi walizotenda baada ya
5. Kutimiza malipizi
Ubatizo (Yoh 20:22-23)
6. Kumshukuru Mungu aliyemwondolea dhambi
55

Wakati wa Sakramenti ya Kitubio

Utamwomba Roho Mtakatifu kwa sala gani?

Kuna majuto ya namna ngapi?


Utamuomba Roho Mtakatifu kwa sala hii:

una majuto ya namna mbili,


Uje Roho Mtakatifu unisaidie nitambue dhambi
1. Majuto kamili/Majuto ya mapendo
zangu, nijute sana, niungame vema, nipate kutubu
2. Majuto yasiyokamili/majuto pungufu/majuto ya
kweli. Amina
hofu

Kutafuta dhambi maana yake ni nini?


Majuto kamili ni nini?
Kutafuta dhambi maana yake ni kujiuliza moyoni
Majuto kamili ni kujuta kwa sababu tumemchukiza
dhambi nilizotenda Tangu ungamo la mwisho (Ef
Mungu mwenyewe aliye mwema na mpendelevu
4:17-32)
kabisa

Utafuteje dhambi wakati wa kujiandaa


Majuto yasiyo kamili au majuto pungufu ni
kuungama?
nini?
Tafuta dhambi kwa njia hizi
Majuto yasiyokamili ni kujuta kwa sababu
1. Kwa kukumbuka uliyokosa kwa mawazo, kwa
tumepoteza furaha za Mbinguni na tunahofia
maneno na kwa vitendo
adhabu ya Mungu
2. Katika Amri za Mungu na za Kanisa

3. Katika vichwa vya dhambi

4. Katika kutimiza wajibu


Asiyejuta aweza kuondolewa dhambi?

Asiyejuta hawezi kuondolewa dhambi kabisa, na

anayeungama bila kujuta anatenda dhambi kubwa


Kutubu dhambi maana yake ni nini?
ya kufuru.
Kutubu dhambi maana yake ni kuona uchungu na

chuki moyoni juu ya dhambi tulizotenda na

kukusudia kutotenda dhambi tena (Yoh 8:11)


Kabla ya kuungama ni lazima kufanya nini?

Kabla ya kuungama ni lazima kukusudia kuacha

dhambi na kuepuka nafasi kubwa ya dhambi bila


Kwa nini tujute dhambi zetu?
kusahau kufuata hatua sita za kabla na baada ya
Tunajuta dhambi zetu kwa sababu tumeukosea
kupokea kupokea Sakramenti ya Kutubio ambazo
Utatu Mtakatifu na tunastahili adhabu yake, na pia
ni,
bila majuto hatuwezi kupata maondoleo ya
(1) kuwaza/kutafuta dhambi moyoni,
dhambi.
(2)kutubu/ kujuta,
56

(3)kukusudia kuacha dhambi, Padri anaondolea dhambi kwa maneno gani?

(4)kuungama kwa padri,


Padre anaondolea dhambi kwa maneno haya: Nami
(5)kutimiza kitubio,
“Nakuondolea dhambi zako zote kwa Jina la Baba,
(6)kumshukuru Mungu
na la Mwana na la Roho Mtakatifu”.

Anayetaka kweli kuacha dhambi afanye nini?


Kitubio tuwezacho kupewa na padre ni nini?

Anayetaka kuacha dhambi afanye nguvu


Kitubio tuwezacho kupewa na Padre ni kama sala,
kuvishinda vishawishi, asali/aombe na apokee
kufunga, kutoa sadaka kwa maskini, kusoma
Sakramenti Mara nyingi hasa Sakramenti ya
maandiko matakatifu, kuwatazama wagonjwa, n.k.
Kitubio na Ekaristi Takatifu.

Kitubio tupewacho na padre chatosha?


Kuungama ni kufanya nini?
Ni shida kutosha. Mara nyingi chataka malipizi ya
Kuungama ni kumwambia Padri wazi wazi dhambi
hapa duniani kama kufunga, magonjwa,
zako ulizotenda, zipi na ngapi ili upate maondoleo.
masumbuko, sala n.k mateso yasipotosha hapa

duniani yatakamilishwa toharani

Anayeficha kusudi dhambi ya mauti katika

ungamo anaondolewa?
Kutimiza malipizi maana yake ni ni nini?

Haondolewi, Bali anatenda dhambi kubwa ya


Kutimiza malipizi maana yake ni kutekeleza
kukufuru Sakramenti ya Kitubio. (Mt 7:21-23, Yoh
kiaminifu sala au matendo aliyotuagiza padre
20:23, Gal 6:7)
muungamishi ili kulipa adhabu za muda. (Rom

8:17)

Anayekufuru Sakramenti ya Kitubio yampasa

nini?
Kwa Sakramenti ya Kitubio tunapata neema

Yampasa kuziungama tena dhambi zake zote zipi?

alizotenda tangu ondoleo la mwisho


Kwa Sakramenti ya Kitubio tunapata neema hizi;

1. Maondoleo ya dhambi zote kubwa na adhabu ya

milele
Padri anaondolea dhambi mahali pa nani?
2. Maondoleo ya dhambi ndogo na adhabu

Padri anaondolea dhambi mahali pa Mungu nyingine za muda (Isa 6:5-7, Yoh 8:11)

3. Twarudishiwa na kuongezewa neema ya utakaso

4. Twasaidiwa kuepa dhambi na twapata nguvu ya

kutenda mema
57

5. Twarudishiwa tena mastahili tuliyopoteza kwa Baada ya kifo roho yake inafika mbele ya Mungu

dhambi zetu kwa hukumu ya mtu binafsi.

Mkristo akipokea Ekaristi Takatifu akiwa na


Matokeo ya hukumu hiyo ni nini?
dhambi rohoni anatenda dhambi gani?

Mkristo akipokea Ekaristi Takatifu akiwa na dhambi


Matokeo ya Hukumu hiyo ni roho kwenda
anatenda dhambi kubwa yaani kufuru Sakramenti.
Mbinguni, Toharani au Motoni. (Mt 25:34-46)

26 Maana kila mnapokula mkate huu na kukinywa

kikombe hiki, mwatangaza kifo cha Bwana, mpaka

atakapokuja. 27 Kwa hiyo, kila aulaye mkate huo

au kunywa kikombe cha Bwana bila kustahili, Mbinguni ni mahali pa namna gani?

atakuwa na hatia dhidi ya mwili na damu ya

Bwana. (1 Kor 11;26 – 27) Mbinguni ni makao mema ya heri na furaha (2Kor

28Basi, kila mtu ajichunguze mwenyewe kwanza, 5:1, Ufu, 2:17).

ndipo ale mkate huo na anywe kikombe hicho; 29

maana anayekula na kunywa bila kutambua maana Waendao mbinguni ni wale wanaokufa katika hali

ya mwili wa Bwana, anakula na kunywa hukumu ya neema ya utakaso na urafiki na Mungu na

yake yeye mwenyewe. 30 Ndiyo maana wengi kati waliotakaswa kikamilifu

yenu ni dhaifu na wagonjwa, na wengine kadhaa

wamekufa. 31 Kama tungejichunguza wenyewe

vizuri hatungeadhibiwa hivyo. 32Lakini

tunapohukumiwa na Bwana, tunafunzwa tuwe na Motoni ni nini?


nidhamu, ili tusije tukahukumiwa pamoja na

ulimwengu. (1 Kor 11;28 – 32) Motoni ni makao mabaya kwa Shetani walaaniwa

wakaapo mbali na Mungu wakiteswa milele. (Mt


WhatsAppTwitterLinkedInEmail
Maswali na Majibu kuhusu Hukumu ya Mwisho 25:41, Mik 9:42-43, 1Yoh 14:15)
Mafundisho ya Katekisimu / Leave a Comment

Ufufuko wa wafu maana yake nini?

Ufufuko wa wafu maana yake mwisho wa dunia

watu wote watafufuka na miili yao na kwenda nayo Uzima wa milele ni nini?

katika furaha ya milele au moto wa milele. (Ayu

19:25-26, Mt 22:30-32, Yh 28-29) Uzima wa milele ni maisha ya kukaa mbinguni na

Mungu yasiyokua na mwisho.

Baada ya kifo cha mtu nini hutokea?

Toharani ni mahali gani?


58

Toharani ni mahali pa mateso zinakosafishwa roho kadhalika na kiyama ya wafu ililetwa na mtu”

ambazo hazikutimiza kitubio vizuri baada ya (1Kor 15:20-21).

kuungama dhambi. (1Kor 3:15, 1Pet 1:7).

“Alitolewa kwa ajili ya makosa yetu, na kufufuka ili

tupate kuhesabiwa haki” (Rom 4:25).

Je, hatuwezi kupunguza mateso ya roho za

marehemu waliokwenda toharani?

Je, ni muhimu tujiandae kufa?

Ndiyo: twaweza kupunguza hata kuyamaliza kwa

kuwasalia na kuwapatia rehema na hasa kwa Ndiyo, ni muhimu tujiandae kufa wakati wowote na

kuadhimisha Misa kwa ajili yao. (2Mik 12:38-46) namna yoyote kwa kuishi kitakatifu sasa na kwa

kujiombea neema tutakazohitaji saa ya kufa

kwetu, tukijua tumewekewa “kufa mara moja, na

baada ya kufa hukumu” (Eb 9:27).

Mambo makuu manne ya mwisho ni yapi?


“Katika mambo yako yote uukumbuke mwisho

Mambo hayo ni; wako, hivyo hutakosa kamwe hata hatima” (YbS

7:36).

1. Kifo

2. Hukumu “Hamjui yatakayokuwako kesho! Uzima wenu ni

3. Jehanamu (Motoni) nini? Maana ninyi ni mvuke uonekanao kwa

4. Paradiso. (Toharani/Mbinguni) kitambo, kisha hutoweka” (Yak 4:14).

“Kesheni, mwombe, msije mkaingia majaribuni”

(Math 26:41).

Je, ufufuko wa Yesu ni muhimu kwetu pia?

Ndiyo, ufufuko wa Yesu ni muhimu kwetu pia, kwa

sababu kwa njia yake tu tunatiwa uzima: sasa Je, ina thamani machoni pa Bwana mauti ya

rohoni kwa kuondolewa dhambi, na siku ya mtu aliyemcha?

mwisho mwilini pia kwa kufufuliwa.

Ndiyo, “ina thamani machoni pa Bwana mauti ya

Mwenyewe alisema, “Mimi ndimi huo ufufuo, na wacha Mungu wake” (Zab 116:15).

uzima. Yeye aniaminiye mimi ajapokufa, atakuwa

anaishi; naye kila aishiye na kuniamini hatakufa Hasa utiifu wa Yesu msalabani umegeuza laana ya

kabisa hata milele” (Yoh 11:25- 26). kifo iwe baraka kwa waamini wake.

“Kristo amefufuka katika wafu, limbuko lao “Heri wafu wafao katika Bwana tangu sasa. Naam,

waliolala. Maana kwa kuwa mauti ililetwa na mtu, asema Roho, wapate kupumzika baada ya taabu
59

zao; kwa kuwa matendo yao yafuatana nao” (Ufu utakuwa pamoja nami peponi.” (Luka 23:42-

14:13). 43)

Sauli aliweza kuongea na Samweli hata baada ya

kufa na Samweli alimbashiria mambo

Tutakapofariki dunia itatutokea nini? yatakayotokea kwa Sauli maanake ni kwamba

Japokuwa alikuwa amekufa bado anayomuungano

Tutakapofariki dunia roho yetu isiyokufa, mbali na na Mungu ndio maana aliweza kumwambia Sauli

mwili unaooza, itapewa tuzo au adhabu mambo yatakayompata,

tuliyostahili kwa maisha yetu. “Ikawa yule maskini

alikufa, akachukuliwa na malaika mpaka kifuani “7Basi Sauli akawaambia watumishi wake,

kwa Ibrahimu. Yule tajiri naye akafa, akazikwa. “Nitafutieni mwanamke mwenye pepo wa utambuzi

Basi, kule kuzimu aliyainua macho yake, alipokuwa ili nimwendee nipate kuuliza kwake. Watumishi

katika mateso, akamwona Ibrahimu kwa mbali, na wake wakamwambia, “Yuko mwanamke mmoja

Lazaro kifuani mwake” (Lk 16:22-23). “Kwangu huko Endori.” 8Hivyo Sauli akajigeuza kwa kuvaa

mimi kuishi ni Kristo, na kufa ni faida… mavazi mengine, naye usiku akiwa amefuatana na

ninatamani kwenda zangu nikae na Kristo, maana watu wawili wakaenda kwa huyo mwanamke.

ni vizuri zaidi sana” (Fil 1:21,23). “Nasi tunaona ni Akamwambia, “Nibashirie na unipandishie huyo

afadhali kutokuwamo katika mwili na kukaa nitakayekutajia,” 9Huyo mwanamke akamwambia,

pamoja na Bwana” (2Kor 5:8). Kwa kuwa kifo ni “Wewe unajua lile alilofanya mfalme Sauli.

“mavumbi kuirudia nchi kama yalivyokuwa, nayo Amewakatilia mbali wapunga pepo, wapiga ramli

roho kumrudia Mungu aliyeitoa” (Mhu 12:7). Siku wote na wachawi katika nchi. Mbona umenitegea

ya ufufuo roho na mwili vitaungana tena kwa ajili maisha yangu ili wapate kuniua?” 10Sauli

ya uzima au moto wa milele. “Pumzi iliwaingia, akamwapia huyo mwananmke kwa Jina la BWANA,

wakaishi, wakasimama kwa miguu yao, jeshi akasema, “Kwa hakika kama BWANA aishivyo,

kubwa mno” (Ez 37:10). hutaadhibiwa kwa ajili ya jambo hili.” 11Ndipo yule

mwanamke akauliza, “Je unataka nikupandishie

Je baada ya kufa ni hapo hapo roho inaenda nani? Sauli akasema, “Nipandishie Samweli.”

motoni au mbinguni, Au ni mpaka Siku ya 12Yule mwanamke alipomwona Samweli alipiga

hukumu Yesu Atakaporudi? yowe kwa sauti kuu, naye akamwuliza Sauli,

“Mbona umenidanganya? Wewe ndiwe Sauli.”

13Mfalme akamwambia, “Usiogope. Unaona nini?


Ni siku ile ile Roho ya mtu aliyekufa inaenda
Yule mwanamke akasema, “Naona Mungu
Mbinguni, toharani au Motoni. Yesu alimwahidi yule
anapanda kutoka ardhini.” 14Sauli akamwuliza, “Ni
mtu waliyesulubiwa pamoja kuwa watakuwa
mfano wa nini?” Yule mwanamke akasema, “Ni
peponi pamoja siku hiyo hiyo na sio siku ya
mwanaume mzee amevaa joho anayepanda.”
hukumu.
Ndipo Sauli akatambua kwamba ni Samweli. Sauli

akasujudu kifudifudi uso wake hadi ardhini.


“Kisha akasema, “Ee Yesu! Unikumbuke wakati
15Samweli akamwuliza Sauli, Kwa nini
utakapoingia katika ufalme wako.” 43 Yesu
unanitaabisha, kunipandisha juu?” Sauli akasema,
akamwambia, “Nakwambia kwa hakika, leo
“Mimi ninasumbuka sana, kwa maana Wafilisti
60

wanapigana vita dhidi yangu, naye Mungu Isitoshe, kati yetu na ninyi huko, kumewekwa

ameniacha. Hanijibu tena wala kwa njia ya manabii bonde kubwa lisilopitika ili wale wanaotaka kutoka

wala kwa ndoto. Kwa hiyo nimekuita wewe ili huku kuja huko au kutoka huko kuja huku

unijulishe lakufanya.” 16Samweli akamwuliza, wasiweze.‟ 27 Akasema, „Basi, baba, tafadhali

“Kwa nini uniulize mimi, maadam BWANA umtume Lazaro aende nyumbani kwa baba yangu,

amekuacha na kuwa adui yako? 17BWANA 28 awaonye ndugu zangu, wasije wao pia

ametenda lile alilotangulia kusema kwa kupitia wakaletwa mahali hapa pa mateso watakapokufa.‟

kwangu. BWANA ameurarua ufalme kutoka 29 Ibrahimu akamjibu, „Ndugu zako wanazo sheria

mikononi mwako, naye amempa mmoja wa jirani za Musa na maandiko ya Manabii. Itawapasa watii

zako, yaani, Daudi. 18Kwa sababu wewe hukumtii hayo.‟ Lakini yule tajiri akazidi kumsihi, 30 „Hapana

BWANA, wala hukumtimizia ghadhabu yake kali baba Ibrahimu, ndugu zangu hawatashawishiwa na

juu ya Waamaleki, BWANA amekutendea mambo hayo. Lakini mtu kutoka kuzimu akitumwa kwao

haya leo. 19Zaidi ya hayo, BWANA atawatia Israeli watatubu na kuziacha dhambi zao.‟ 31 “Ibrahimu

pamoja na wewe mkononi mwa Wafilisti na kesho akamwambia, „Wasiposikiliza na kutii sheria za

wewe na wanao mtakuwa pamoja nami. BWANA Musa na Maandiko ya manabii, hawatashawishika

pia atalitia jeshi la Israeli mkononi mwa Wafilisti. kutubu hata kama mtu akifufuka kutoka kuzimu.”‟

(Luka 16:19-31)

Mfano Wa Tajiri Na Maskini Lazaro Yesu alisimulia

hivi Wakati Yesu anabadilika Sura walitokea Musa na

Eliya.

19 Akasema, “Palikuwa na tajiri mmoja aliyevaa

nguo za rangi ya zambarau na kitani safi, nguo za “Baada ya siku sita, Yesu aliwachukua Petro,

gharama kubwa, kila siku. 20 Na maskini mmoja, Yakobo na Yohane nduguye, akaenda nao peke

jina lake Lazaro, mwenye vidonda mwili mzima, yao juu ya mlima mrefu. 2 Huko, wakiwa

alikuwa akiletwa mlangoni kwa huyo tajiri kila siku. wanamtazama, akageuka sura, uso wake ukang‟aa

21 Lazaro alikuwa akitamani kula makombo kama jua na mavazi yake yakawa meupe kama

yaliyodondoka mezani kwa tajiri. Hata mbwa nuru. 3 Mose na Eliya wakawatokea, wakawa

walikuwa wakiramba vidonda vyake. 22 wanazungumza naye. 4 Hapo Petro akamwambia

“Hatimaye, yule maskini alikufa. Malaika Yesu, “Bwana, ni vizuri sana kwamba tupo hapa!

wakamchukua akakae pamoja na Ibrahimu Ukipenda nitajenga vibanda vitatu: kimoja chako,

mbinguni. Yule tajiri naye pia akafa, akazikwa. 23 kimoja cha Mose na kimoja cha Eliya.” (Mathayo

Alipokuwa kuzimuni ambapo alikuwa akiteseka, 17:1-5)

alita zama juu, akamwona Ibrahimu kwa mbali na

Lazaro karibu yake. 24 Akaita, „Baba Ibrahimu, Yesu alituambia kuwa Mungu sio wa wafu bali wa

nionee huruma umtume Lazaro achovye japo ncha walio hai ndio maana akaitwa Mungu wa Ibrahimu,
ya kidole chake katika maji aupoze ulimi wangu Isaka na Yakobo kwa kuwa Wote wako hai kwake.
maana ninateseka kwenye moto huu.‟ 25 Lakini

Ibrahimu akamjibu, „Mwa nangu, kumbuka 37Hata Mose alidhihirisha kuwa wafu wanafufuka,
kwamba ulipokuwa hai ulipata kila kitu kizuri uli kwa habari ya kile kichaka kilichokuwa kikiwaka
chotaka, ambapo Lazaro alipokea mabaya. Lakini moto bila keteketea, alipomwita Bwana „Mungu wa
sasa anafarijika hapa na wewe unateseka. 26 Abrahamu, Mungu wa Isaki na Mungu wa
61

Yakobo.‟ 38Yeye Mungu si Mungu wa wafu bali madhabahu roho zao waliochinjwa kwa ajili ya

wa walio hai, kwa kuwa Kwake wote ni neno la Mungu, na kwa ajili ya ushuhuda

hai.” (Luka 20:37-38) waliokuwa nao. Wakalia kwa sauti kuu, wakisema,

Ee Mola, Mtakatifu, Mwenye kweli, hata lini

Yesu alimwahidi yule mtu waliyesulubiwa pamoja kutokuhukumu, wala kuipatia haki damu yetu kwa

kuwa watakuwa peponi pamoja siku hiyo hiyo na hao wakaao juu ya nchi? Nao wakapewa kila

sio siku ya hukumu. mmoja nguo ndefu, nyeupe, wakaambiwa

wastarehe bado muda mchache, hata itakapotimia

“Kisha akasema, “Ee Yesu! Unikumbuke wakati hesabu ya wajoli wao na ndugu zao, watakaouawa

utakapoingia katika ufalme wako.” 43 Yesu vile vile kama wao.”

akamwambia, “Nakwambia kwa hakika, leo

utakuwa pamoja nami peponi.” (Luka 23:42- Kwa hiyo mtu akifa anaenda mbinguni au motoni

43) kulingana na alivyoishi.

Angalia pia wakati Stefano akipigwa Mawe “Nasi tunaona ni afadhali kutokuwamo katika mwili

aliikabidhi roho yake kwa Mungu baada ya kuona na kukaa pamoja na Bwana” (2Kor 5:8). Kwa kuwa

mbingu zimefunguka hii ni kama Yesu alivyokuwa kifo ni “mavumbi kuirudia nchi kama yalivyokuwa,

pale msalabani aliikabidhi Roho yake kwa Baba nayo roho kumrudia Mungu aliyeitoa” (Mhu 12:7).

yake.

Siku ya ufufuo roho na mwili vitaungana tena kwa

55Lakini yeye Stefano akiwa amejazwa Roho ajili ya uzima au moto wa milele.

Mtakatifu, alikaza macho mbinguni, akaona

utukufu wa Mungu, naye Yesu akiwa amesimama “Kwangu mimi kuishi ni Kristo, na kufa ni faida…

mkono wa kuume wa Mungu. 56Akasema, ninatamani kwenda zangu nikae na Kristo, maana

“Tazameni! Naona mbingu zimefunguka na Mwana ni vizuri zaidi sana” (Fil 1:21,23).

wa Adamu amesimama upande wa kuume wa

Mungu.‟‟ 57Lakini wao wakapiga kelele kwa sauti Mtume Petro ameandika hivi…
kubwa, wakaziba masikio yao, wakamrukia kwa

nia moja. 58Wakamtupa nje ya mji, wakampiga “18 Kwa maana Kristo naye aliteswa mara moja
kwa mawe. Nao mashahidi wakaweka nguo zao kwa ajili ya dhambi, mwenye haki kwa ajili yao
miguuni mwa kijana mmoja aitwae Sauli. wasio haki, ili atulete kwa Mungu; mwili wake
59Walipokuwa wakimpiga mawe, Stefano akauawa, bali roho yake akahuishwa,19 ambayo
aliomba, “Bwana Yesu, pokea roho kwa hiyo aliwaendea roho waliokaa kifungoni,
yangu” 60Kisha akapiga magoti, akalia kwa sauti akawahubiri; 20 watu wasiotii hapo zamani,
kubwa akasema, “Bwana usiwahesabie dhambi uvumilivu wa Mungu ulipokuwa ukingoja, siku za
hii.‟‟ Baada ya kusema haya, akalala. (Mdo 7:55- Nuhu, safina ilipokuwa ikitengenezwa; ambamo
60) ndani yake wachache, yaani, watu wanane,

waliokoka kwa maji.” (1Petro 3:18-20)

Kwenye Ufunuo tunasoma (Ufunuo 6:9-10) “Na

alipoifungua muhuri ya tano, nikaona chini ya


62

Je, sisi wanyonge tunaweza kushiriki uzima Aliyezungumzia moto wa milele ni hasa Yesu:

wa milele wa Mungu? akitufunulia ukuu wa upendo wa Mungu, aliye heri

yetu pekee, alituangalisha juu ya hatari ya

Ndiyo, sisi wanyonge tunaweza kushiriki uzima wa kutengana naye milele kwa dhambi. Mwenyewe

milele wa Mungu: hapa duniani katika mwanga atatoa hukumu hiyo:

hafifu wa imani, na kisha kufa katika uangavu wa

utukufu usiofifia kamwe. Kwa kuwa lengo la Baba “Ondokeni kwangu, mliolaaniwa, mwende katika

ni kwamba tuungane na Yesu Mwanae kwa uwezo moto wa milele, aliowekewa tayari Ibilisi na

wa Roho Mtakatifu ili tuwe na utukufu wake. malaika zake” (Math 25:41).

“Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, “Humo funza wao hafi, wala moto hauzimiki” (Mk

Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo 9:48).

uliyemtuma” (Yoh 17:3).

“Na moshi wa maumivu yao hupanda juu hata

“Kwa kuwa uweza wake wa Uungu umetukirimia milele na milele, wala hawana raha mchana wala

vitu vyote vipasavyo uzima na utauwa, kwa usiku” (Ufu 14:11).

kumjua yeye aliyetuita kwa utukufu wake na wema

wake mwenyewe. Tena kwa hayo ametukirimia

ahadi kubwa mno, za thamani, ili kwamba kwa

hizo mpate kuwa washirika wa tabia ya Uungu, Toharani maana yake nini?
mkiokolewa na uharibifu uliomo duniani kwa

sababu ya tamaa” (2Pet 1:3-4).


Toharani maana yake kuna hali ya muda ambayo

huruma ya Mungu inawatakasa marehemu


Sisi tuliobatizwa tunaitwa “wana wa Mungu; na waliofariki dunia katika urafiki naye lakini bila ya
ndivyo tulivyo!” (1Yoh. 3:1). usafi kamili unaotakiwa kwa kuingia mbinguni. Sisi

tunaweza kuharakisha utakaso wao kwa kumtolea


Kwa sababu tumesadiki kwamba “Mungu ni Mungu sala na sadaka, hasa ekaristi. Yuda
upendo” (1Yoh 4:8) na kwamba “hakuna Mmakabayo “alichanga fedha kwa kila mtu jumla
lisilowezekana kwa Bwana” (Lk 1:37). drakma elfu mbili, akazipeleka Yerusalemu kutoa

sadaka ya dhambi.

“Na kwa kuwa ninyi mmekuwa wana, Mungu

alimtuma Roho wa Mwanawe mioyoni mwetu, Kwa kufanya hivi alitenda vema na kwa haki, kwa
aliaye, „Aba!‟ yaani, „Baba!‟ Kama ni hivyo, wewe si kuwa aliukumbuka ufufuo wa wafu. Maana kama
mtumwa tena bali u mwana; na kama u mwana, asingalitumaini ya kuwa wale waliokufa
basi, u mrithi kwa Mungu” (Gal 4:6-7). watafufuka, ingalikuwa kazi bure isiyo na maana

kuwaombea wafu. Lakini kwa kuwa aliufikiri

utukufu wa thawabu waliowekewa wale wafao

katika utauwa, wazo lake lilikuwa takatifu na la

Aliyezungumzia moto wa milele ni nani? kicho. Ndiyo sababu alifanya upatanisho kwa wafu

ili wafunguliwe dhambi zao” (2Mak 12:43-46).


63

Imani hiyohiyo iliongoza Wakristo wa kwanza “Imetupasa sisi sote kudhihirishwa mbele ya kiti

kuwafanyia marehemu ibada ambayo haieleweki cha hukumu cha Kristo ili kila mtu apokee ijara ya

vizuri, lakini hailaumiwi na Mtume Paulo: “Kama mambo aliyotenda kwa mwili, kadiri alivyopenda,

wafu hawafufuliwi kamwe, kwa nini kubatizwa kwa kwamba ni mema au mabaya” (2Kor 5:10).

ajili yao?” (1Kor 15:29).

“Basi ninyi msihukumu neno kabla ya wakati wake,

hata ajapo Bwana; ambaye atayamulikisha

yaliyositirika ya giza, na kuyadhihirisha mashauri

Je, mwili utakaofufuliwa ni huuhuu tulionao ya mioyo; ndipo kila mtu atakapoipata sifa yake

sasa? kwa Mungu” (1Kor 4:5).

Ndiyo, mwili utakaofufuliwa ni huuhuu tulionao “Hapo atakapokuja Mwana wa Adamu katika

sasa, lakini katika hali tofauti: > “hupandwa katika utukufu wake, na malaika watakatifu wote pamoja

uharibifu; hufufuliwa katika kutokuharibika” naye, ndipo atakapoketi katika kiti cha utukufu

(1Kor 15:42). wake. Na mataifa yote watakusanyika mbele zake;

naye atawabagua kama vile mchungaji abaguavyo

Siku ya ufufuo “ndipo watakapomwona Mwana wa kondoo na mbuzi; atawaweka kondoo mkono wake

Adamu akija katika wingu pamoja na nguvu na wa kuume, na mbuzi mkono wake wa kushoto.

utukufu mwingi” (Lk 21:27). Kisha Mfalme atawaambia wale walioko mkono

wake wa kuume, „Njoni, mliobarikiwa na Baba

yangu, urithini ufalme mliowekewa tayari tangu


“Saa yaja ambayo watu wote waliomo makaburini
kuumbwa ulimwengu; kwa maana nalikuwa na
wataisikia sauti yake. Nao watatoka; wale
njaa, mkanipa chakula; nalikuwa na kiu,
waliofanya mema kwa ufufuko wa uzima, na
mkaninywesha; nalikuwa mgeni, mkanikaribisha;
waliotenda mabaya kwa ufufuo wa hukumu” (Yoh
nalikuwa uchi, mkanivika; nalikuwa mgonjwa,
5:28-29).
mkaja kunitazama; nalikuwa kifungoni, mkanijia…

Amin, nawaambia, kadiri mlivyomtendea


“Na hao watakwenda zao kuingia katika adhabu ya
mmojawapo wa hao ndugu zangu walio wadogo,
milele; bali wenye haki watakwenda katika uzima
mlinitendea mimi‟” (Math 25:31-36,40).
wa milele” (Math 25:46).

“Heri wenye rehema, maana hao watapata

rehema” (Math 5:7).

Siku ya ufufuo Kristo mfalme atatuhukumu

vipi?

Baada ya hukumu ya mwisho itakuwaje?


Siku ya ufufuo Kristo mfalme atatuhukumu kwa

kudhihirisha misimamo ya watu wote ambao, kwa


Baada ya hukumu ya mwisho, waadilifu
kupokea au kukataa upendo wa Mungu moyoni
watatukuzwa mwili na roho pamoja na Yesu, na
mwao, wametenda mema au la.
ulimwengu pia utageuzwa.
64

“Kama ilivyo ahadi yake, tunatazamia mbingu

mpya na nchi mpya, ambayo haki yakaa ndani


Kujinyima ni nini?
yake” (2Pet 3:13).
Kujinyima ni kujikatalia kitu ukipendacho mfano nyama,
pombe, sigara, muziki, safari, maongezi n.k.
“Na Roho na Bibi arusi wasema, „Njoo!‟ naye

asikiaye na aseme, „Njoo!‟… Yeye mwenye

kuyashuhudia haya asema, „Naam, naja upesi‟.

Amina. Na uje, Bwana Yesu! Neema ya Bwana Nani ana lazima ya kufunga?

Yesu na iwe pamoja nanyi nyote. Amina” (Ufu


Kila Mkristo aliyetimiza miaka 14 na zaidi anapaswa kufunga
22:17,20-21). kula nyama (Ijumaa kuu) na mwenye miaka zaidi ya 21 kufunga
chakula. (Jumatano ya Majivu)

WhatsAppTwitterLinkedInEmail
Amri za Kanisa: Mambo ya Muhimu kujua na Kuzingatia
Mafundisho ya Katekisimu / Leave a Comment
Siku za kufunga ni zipi? Na siku gani tumekatazwa kula
Amri za Kanisa ni zipi? nyama?

Amri za kanisa ni;


Siku za kufunga ni Jumatano ya majivu, siku za Kwaresima
1. Hudhuria Misa Takatifu Dominika na sikukuu zilizoamriwa. isipokuwa Dominika zake, na siku iliyokatazwa kula nyama ni
2. Funga siku ya Jumatano ya Majivu; usile nyama siku ya siku ya Ijumaa kuu.
Ijumaa Kuu
3.Ungama dhambi zako walau mara moja kila mwaka.
4. Pokea Ekaristi Takatifu hasa wakati wa Pasaka
5. Saidia Kanisa Katoliki kwa zaka
6. Shika sheria Katoliki za ndoa.

Katika Amri ya Tatu ya Kanisa tumeamriwa nini?

Katika Amri ya Tatu ya Kanisa tumeamriwa kuungama mara


kwa mara walau mara moja kila mwaka
Katika Amri ya kwanza ya Kanisa tumeamriwa nini?

Tumeamriwa tusikilize Misa kila siku ya Mungu na Sikukuu


zilizoamriwa.

Katika Amri ya Nne ya Kanisa tumeamriwa nini?

Katika Amri ya Nne ya Kanisa tumeamriwa tupokee Ekaristi


Takatifu walau mara moja kwa mwaka wakati wa pasaka.
Sikukuu zilizoamriwa ni zipi?

Ndizo:

1. Kuzaliwa kwa Yesu – Noeli tarehe 25/12 Katika Amri ya Tano ya Kanisa tumeamriwa nini?
2. Pasaka – Ufufuko wa Bwana Yesu
3. Kupaa Yesu —- Siku 40 baada ya Pasaka.
Katika Amri ya Tano ya Kanisa tumeamriwa kufahamu kuwa
4. Kupalizwa Mbinguni Bikira Maria 15/8
gharama za dini na za mapadre zatupasa. Yaanai wakristo
5. Sikukuu ya Watakatifu Wote 1/11
walitegemeze Kanisa na wahudumu wake na hasa katika kazi ya
kueneza injili.

Katika Amri ya Kwanza ya kanisa tumekatazwa nini?


Zaka ni nini?
Tumekatazwa;
1. Kukosa Misa
Zaka ni asilimia kumi (10%) ya pato la mtu kwa mwaka ambalo
2. Kufanya kazi nzito siku hizo
anapaswa kulitoa kwa Kanisa.
65

mwenyewe itokayo kwa Mungu, huyu hivi, na huyu

hivi. Lakini nawaambia wale wasiooa bado, na


Asiyelipa Zaka na michango mingine ya Kanisa ya lazima
wajane; ni heri wakae kama mimi nilivyo” (1Kor
atenda dhambi gani?
7:7-8).
Atenda dhambi kubwa: Yampasa kulipa na kuungama.
“Si wote wawezao kulipokea neno hili, ila wale

waliojaliwa” (Math 19:11).

Tunavyoona katika historia ya watawa, mara

Amri ya Sita ya Kanisa Inadai nini? nyingi karama ya useja inaendana na nyingine

katika maisha ya sala, ya kijumuia na ya kitume.


Inadai kushika Sheria Takatifu Za ndoa
Hivyo Filipo “alikuwa na binti wanne, mabikira,

waliokuwa wakitabiri” (Mdo 21:9).


WhatsAppTwitterLinkedInEmail
Maswali na Majibu kuhusu Karama
Mafundisho ya Katekisimu / Leave a Comment

Je, karama ni zile za kushangaza tu? Karama zinagawiwa vipi?

Hapana, karama si zile za kushangaza tu, tena zile Karama zinagawiwa na Roho Mtakatifu jinsi
muhimu zaidi si hizo, bali zile zinazojenga zaidi anavyotaka, si kwa sifa au faida ya binafsi, bali
Kanisa, kama zile za uongozi: kwa ustawi wa taifa la Mungu.

“Mungu ameweka wengine katika Kanisa, wa “Kazi hizi zote huzitenda Roho huyo mmoja, yeye
kwanza mitume, wa pili manabii, wa tatu waalimu, yule, akimgawia kila mtu peke yake kama
kisha miujiza, kisha karama za kuponya wagonjwa, apendavyo yeye… Je, wote ni mitume? Wote ni
na masaidiano, na maongozi, na aina za lugha” manabii? Wote ni waalimu? Wote wanatenda
(1Kor 12:28). miujiza? Wote wana karama za kuponya

“Basi kwa kuwa tuna karama zilizo mbalimbali, wagonjwa? Wote wanena kwa lugha? Wote

kwa kadiri ya neema tuliyopewa; ikiwa unabii, wafasiri?… Kwa kuwa mnatamani sana kuwa watu

tutoe unabii kwa kadiri ya imani; ikiwa huduma, wenye karama za roho, takeni kwamba mzidi sana

tuwemo katika huduma yetu; mwenye kufundisha, kuwa nazo ili kulijenga kanisa… Kwa maana Mungu

katika kufundisha kwake; mwenye kuonya, katika si Mungu wa machafuko, bali wa amani” (1Kor

kuonya kwake; mwenye kukirimu, kwa moyo 12:11,29-30; 14:12,33). Kwa ajili hiyo mitume

mweupe; mwenye kusimamia, kwa bidii; mwenye walipambanua na kuratibu karama katika ibada na

kurehemu, kwa furaha” (Rom 12:6-8). katika maisha ya jumuia zisije zikavuruga Kanisa.

Karama nyingine muhimu zinatuwezesha Karama za kushangaza zina hatari gani?


kufanya nini?
Karama za kushangaza zina hatari mbalimbali,
Karama nyingine muhimu zinatuwezesha kuishi hasa zikitiwa maanani mno. Hapo ni rahisi zilete
kwa useja kama Yesu na Paulo, au kwa ndoa: majivuno, kijicho na mafarakano.

“Nipendalo ni kwamba watu wote wawe kama mimi “Ikiwa kwenu kuna husuda na fitina, je, si watu wa
nilivyo; walakini kila mtu ana karama yake tabia ya mwili ninyi; tena mnaenenda kwa jinsi ya
66

kibinadamu?… Mmekwisha kushiba, mmekwisha imejaa rehema na matunda mema, haina fitina,

kupata utajiri, mmemiliki pasipo sisi. Naam, laiti haina unafiki” (Yak 3:14-17).

mngemiliki… Kwa hiyo anayejidhania kuwa Madhehebu yanapozidi kufarakana ni lazima


amesimama na aangalie asianguke” (1Kor 3:3; tujiulize kama kweli ni kazi ya Roho Mtakatifu.
4:8; 10:12).
WhatsAppTwitterLinkedInEmail
Katika mambo yasiyothibitika ni rahisi Kuhusu Ubatizo, Haya ndiyo mambo ya Msingi
kudanganyika kuwa yametoka kwa Mungu, kumbe unayotakiwa kufahamu
Mafundisho ya Katekisimu / Leave a Comment
sivyo. Kisha kudanganyika ni vigumu kuachana

nayo hata yakiwa na madhara kwa mhusika au

kwa Kanisa. Kwa nini ubatizo unafanyika kwa maji?

“Wapenzi, msiiamini kila roho, bali zijaribuni hizo Ubatizo unafanyika kwa maji kwa kuwa ndiyo
roho, kwamba zimetokana na Mungu; kwa sababu ishara ya usafi na ya uhai unaotupatia kwa uwezo
manabii wa uongo wengi wametokea duniani” wa Roho Mtakatifu.
(1Yoh 4:1).
“Nami nitawanyunyizia maji safi, nanyi mtakuwa

safi; nitawatakaseni na uchafu wenu wote, na

vinyago vyenu vyote. Nami nitawapa ninyi moyo


Tunda la kuongozwa na Roho Mtakatifu ni
mpya, nami nitatia roho mpya ndani yenu” (Ez
lipi?
36:26-27).

Tunda la kuongozwa na Roho Mtakatifu ni umoja “Kisha akanionyesha mto wa maji ya uzima, wenye

wa Kanisa unaotokana na ustawi wa upendo na kung‟aa kama bilauri, ukitoka katika kiti cha enzi

vipaji ndani ya waamini. cha Mungu, na cha Mwanakondoo” (Ufu 22:1).

“Wote walijaa Roho Mtakatifu, wakanena neno la

Mungu kwa ujasiri. Na jamii ya watu walioamini

walikuwa na moyo mmoja na roho moja” (Mdo Ubatizo unatolewa pia kwa maji machache

4:31-32).
tangu lini?
“Tunda la Roho ni upendo, furaha, amani,

uvumilivu, utu wema, fadhili, uaminifu, upole, Ubatizo unatolewa pia kwa maji machache tangu

kiasi; juu ya mambo kama hayo hakuna sheria” mwanzo. Kutokana na umuhimu wa sakramenti

(Gal 5:22-23). hiyo Yesu ametuagiza twende kubatiza watu

duniani kote.
“Lakini, mkiwa na wivu wenye uchungu na ugomvi

mioyoni mwenu, msijisifu, wala msiseme uongo Kitabu cha Matendo ya Mitume kinaonyesha
juu ya kweli. Hekima hiyo siyo ile ishukayo kutoka waamini walivyotekeleza agizo hilo katika
juu, bali ni ya dunia, ya tabia ya kibinadamu, na mazingira mbalimbali, sio tu yalipopatikana maji
Shetani. Maana hapo palipo wivu na ugomvi, ndipo mengi. Hivyo Paulo alipokuwa ndani ya nyumba

palipo machafuko, na kila tendo baya. Lakini “akasimama akabatizwa” (Mdo 9:18).

hekima itokayo juu, kwanza ni safi; tena ni ya


Kumbe Yohane Mbatizaji hakusogea mbali na mto
amani, ya upole, tayari kusikiliza maneno ya watu,
Yordani, akisubiri watu wamuendee kutoka

maeneo yote ya nchi ile kame.


67

“Alikuwa akibatiza huko Ainoni, karibu na Salimu, Maneno hayo ndiyo muhimu zaidi katika

kwa sababu huko kulikuwa na maji tele” (Yoh sakramenti hiyo. Maji peke yake, hasa yakiwa

3:23). mengi, yanaweza kuosha mwili, lakini si roho.

Kumbe ubatizo unaotuokoa

“siyo kuwekea mbali uchafu wa mwili, bali jibu la

Je, ubatizo uliotolewa na Yohane Mbatizaji dhamiri safi mbele za Mungu” (1Pet 3:21).

ulikuwa sakramenti?

Hapana, ubatizo uliotolewa na Yohan Mbatizaji


Je, watoto wachanga wanaweza kubatizwa?
haukuwa sakramenti, kwa sababu yeye alikuwa

mtangulizi tu wa Yesu, mwanzilishi wa sakramenti Ndiyo, watoto wachanga wanaweza kubatizwa kwa

zote. sababu hawakatai neema ya Mungu. Wanafunzi wa

Yesu walipotaka kuwazuia wasiletwe


“Kweli mimi nawabatiza kwa maji kwa ajili ya toba;
kwake “alichukizwa sana, akawaambia, „Waacheni
bali yeye ajaye nyuma yangu ana nguvu kuliko
watoto wadogo waje kwangu, msiwazuie; kwa
mimi, wala sistahili hata kuvichukua viatu vyake;
maana watoto kama hawa ufalme wa Mungu ni
yeye atawabatiza kwa Roho Mtakatifu na kwa
wao. Amin, nawaambieni: Yeyote asiyeukubali
moto” (Math 3:11).
ufalme wa Mungu kama mtoto mdogo hatauingia
Paulo aliuliza watu, “„Mlibatizwa kwa ubatizo gani?‟
kabisa” (Mk 10:14-15).
Wakasema, „Kwa ubatizo wa Yohane‟. Paulo
Yeremia aliambiwa,
akasema, „Yohane alibatiza kwa ubatizo wa toba,

akiwaambia watu wamwamini yeye atakayekuja “Kabla hujatoka tumboni, nalikutakasa;

nyuma yake, yaani, Yesu‟. Waliposikia haya nimekuweka kuwa nabii wa mataifa” (Yer 1:5).

wakabatizwa kwa jina la Bwana Yesu” (Mdo 19:3- Yohane Mbatizaji alitabiriwa “atajazwa Roho

5). Mtakatifu hata tangu tumboni mwa mamaye” (Lk

1:15).

Mitume walipokea katika Kanisa familia nzima, si

wazazi tu.
Tofauti kubwa kati ya ubatizo wa Yohane na
Walibatizwa “yeye na nyumba yake”, “yeye na

ule wa Yesu ni zipi? watu wake wote” (Mdo 16:15,33);

“watu wa nyumbani mwa Stefana” (1Kor 1:16).


Tofauti kubwa kati ya ubatizo wa Yohane na ule wa
Kwa hiyo tunaona kuwa tangu wakati wa Mitume
Yesu ni kwamba sakramenti inategemea imani kwa
sio watu wazima tuu waliokua wakibatizwa bali na
Kristo na kutushirikisha kifo na ufufuko wake.
watoto pia.
“Maana ninyi nyote mliobatizwa katika Kristo

mmemvaa Kristo” (Gal 3:27).

Ndivyo inavyoondolea dhambi zote na kuingiza

katika uzima wa Utatu Mtakatifu. Kwa sababu hiyo

Yesu aliagiza tubatize “kwa jina la Baba, na

Mwana, na Roho Mtakatifu” (Math 28:19).


68

Mbona watoto wachanga hawawezi kuelewa Je, imani ya watu wazima inaweza kufaidisha

kinachofanyika wakati wa ubatizo halafu watoto?

wanabatizwa? Ndiyo, imani ya watu wazima inaweza kufaidisha

watoto kama wengine pia.


Ingawa watoto wachanga hawawezi kuelewa

kinachofanyika, Mungu anaweza kuwamiminia Walimletea Yesu “mtu mwenye kupooza,

rohoni mwanga wa imani. anachukuliwa na watu wanne… Yesu, alipoiona

imani yao, akamwambia yule mwenye kupooza,


“Vinywani mwa watoto wachanga na wanyonyao
„Mwanangu, umesamehewa dhambi zako” (Mk
umeiweka misingi ya nguvu” (Zab 8:2).
2:5).
“Elisabeti aliposikia kule kuamkia kwake
Yesu aliiona imani yao akamponya. Imani ya watu
Mariamu, kitoto kichanga kikaruka ndani ya
wengine ndio ilivyopelekea kuponywa kwa huyu
tumbo lake… kwa shangwe” (Lk 1:41,44).
mtu. Vivyo hivyo Imani ya Mzazi inaweza
“Nakushukuru, Baba, Bwana wa mbingu na nchi,
kumsaidia mtoto.
kwa kuwa mambo haya uliwaficha wenye hekima

na akili, ukawafunulia watoto wachanga. Naam, Kwa ubatizo watoto wanaunganishwa naye na

Baba, kwa kuwa ndivyo ilivyopendeza mbele zako” kuanza kuponywa madonda ya dhambi ya asili.

(Math 11:25-26).
“Tazama, mimi naliumbwa kati hali ya uovu, mama

yangu alinichukua mimba hatiani” (Zab 51:5).

“Ikiwa kwa kukosa mtu mmoja mauti ilitawala kwa

sababu ya yule mmoja, zaidi sana wao wapokeao


Je, watu wazima wanaweza kuelewa
wingi wa neema, na kile kipawa cha haki,

sakramenti kwa dhati? watatawala katika uzima kwa yule mmoja, Yesu

Kristo” (Rom 5:19).


Hapana, watu wazima hawawezi kuelewa

sakramenti kwa dhati, kwa kuwa zote ni mafumbo

yanayotuzidi. Basi, kama Petro alipooshwa miguu,

tumuachie Bwana atufanyie kazi anavyojua yeye.


Ubatizo wa watoto wachanga unafanyika

“Nifanyalo wewe hujui sasa; lakini utalifahamu


tangu lini?
baadaye” (Yoh 13:7).

Kisha kuoshwa tuzidi kuchimba mafumbo hayo Ubatizo wa watoto wachanga unafanyika tangu

kwa mwanga wa Neno na wa Roho Mtakatifu. mwanzo, usipingwe na yeyote kwa miaka elfu na

zaidi. Ni kwamba Wayahudi walipokea watoto


“Je, mmeelewa na hayo niliyowatendea?… Kwa
katika dini yao kwa kuwatahiri siku ya nane baada
kuwa nimewapa kielelezo; ili kama mimi
ya kuzaliwa.
nilivyowatendea, nanyi mtende vivyo” (Yoh

13:12,15). “Hata zilipotimia siku nane za kumtahiri, aliitwa

jina lake Yesu” (Lk 2:21).

Watu wa mataifa walipoongokea dini hiyo,

walioshwa na kutahiriwa pamoja na watoto wao.

Mitume pia walipokea katika Kanisa familia nzima,


69

si wazazi tu. Walibatizwa “yeye na nyumba yake”, “Amin, amin, nawaambieni: Msipoula mwili wake

“yeye na watu wake wote” (Mdo 16:15,33); “watu Mwana wa Adamu na kuinywa damu yake, hamna

wa nyumbani mwa Stefana” (1Kor 1:16). uzima ndaniyenu” (Yoh 6:53).

Kwa hiyo tunaona kuwa tangu wakati wa Mitume

sio watu wazima tuu waliokua wakibatizwa bali na

watoto pia.
Sakramenti inayohusiana zaidi na ubatizo ni
Kwa Kanisa Katoliki, ubatizo sio ukamilifu wa kuwa

Mkristo. Ubatizo ni Sakramenti ya kwanza ambayo ipi?

inakamilishwa na Sakramenti ya Kipaimara


Sakramenti inayohusiana zaidi na ubatizo ni
ambayo humfanya Mkristo kuwa mkamilifu kwa
kipaimara, kinachoendeleza kazi yake.
kukiri na kuahidi mwenyewe kuwa Mfuasi wa Yesu
“Waliposikia haya wakabatizwa kwa jina la Bwana
Kristu kwa kumkataa Shetani na Mambo yake
Yesu. Na Paulo, alipokwisha kuweka mikono yake
yote. Kwa maana hiyo, watoto wanapobatizwa
juu yao, Roho Mtakatifu akaja juu yao” (Mdo 19:5-
wazazi wanamtoa au wanamwalika mtoto katika
6).
Imani ya Kikristu wakiahidi kumtumza na
Sakramenti hizo ni kama pande mbili za pesa
kumwelekeza katika njia ya Imani kwa Yesu Kristu
moja. Zinahusiana kama Pasaka na Pentekoste,
mpaka atakapokua mkubwa na kuwa na ufahamu
ambayo ni utimilifu wake, kwa kuwa siku
na Elimu ya kutosha kuhusu Imani yake ndipo na
alipofufuka Yesu aliwapulizia Mitume Roho
yeye atakiri na kuahidi mwenyewe wakati wa
Mtakatifu, ambaye siku hamsini baadaye akawajia
Sakramenti ya Kipaimara.
kama

“upepo wa nguvu ukienda kasi, ukaijaza nyumba

yote” (Mdo 2:2).

Je, ubatizo tuu unatosha?

Hapana, ubatizo hautoshi, bali unahitaji

kukamilishwa na kipaimara na ekaristi, kama vile


Sakramenti inayokamilisha ubatizo na
baada ya kuzaliwa tunahitaji kukomaa na

kudumisha uhai wetu kwa chakula. kipaimara ni ipi?

Sakramenti hizo tatu kwa pamoja ni msingi wa Sakramenti inayokamilisha ubatizo na kipaimara ni

maisha ya Wakristo wote, kumbe nyingine ekaristi, iliyo kuu kuliko sakramenti zote kwa

zinahitajika tu katika hali na nafasi maalumu. sababu ndiyo Yesu mzima, Mungu-mtu, katika

Mitume waliwaendea Wasamaria maumbo ya mkate na divai.

“wakawaombea wampokee Roho Mtakatifu; kwa Sisi ambao tulishiriki kifumbo kifo na ufufuko wake

maana bado hajawashukia hata mmoja wao, ila tukapokea kwake paji la Roho Mtakatifu,

wamebatizwa tu kwa jina lake Bwana Yesu. Ndipo tunaalikwa kukaribia mara kwa mara meza

wakaweka mikono yao juu yao, nao wakampokea anapotulisha na kutunywesha Mwili na Damu yake

Roho Mtakatifu” (Mdo 8:15-16). ili tushiriki uhai wake kwa dhati zaidi na zaidi.

“Aulaye mwili wangu na kuinywa damu yangu

hukaa ndani yangu, nami hukaa ndani yake. Kama


70

vile Baba aliye hai alivyonituma mimi, nami ni hai 2. Ubatizo wa tamaa – Mfano mtu akifa akiwa na

kwa Baba; kadhalika naye mwenye kunila atakuwa nia ya kubatizwa au akitamani kubatizwa

hai kwa mimi” (Yoh 6:56-57). 3. Ubatizo wa Damu – Mtu akiifia Imani japo

Ubatizo na kipaimara havirudiwi, vinadumu ndani hajabatizwa

mwetu kama mifupa ambayo ekaristi ya mara kwa

mara inazidi kuitia mwili na damu.

Nani aweza kubatiza?

Mwenye mamlaka ya kubatiza kwa kawaida ni yule


Sakramenti ya ubatizo ni nini?
mwenye dataja takatifu katika Kanisa, lakini katika

Sakramenti ya Ubatizo ni Sakramenti yenye hatari ya kufa kila mtu anaweza kubatiza.

kuondoa dhambi ya asili pamoja na dhambi

nyingine zote tulizotenda, kufufua roho zetu kwa

kututia uzima wa Mungu, Kutuandika Wakristu

Watoto wateule wa Mungu na wa Kanisa. Kwa nini Kanisa linabatiza watoto wadogo?

Kwa sababu wanazaliwa na dhambi ya asili hivyo

wanahitaji kuwekwa huru kutoka mamlaka ya yule

mwovu na kuingizwa katika ufalme wa uhuru wa


Ubatizo ni nini?
wana wa Mungu

Ubatizo ni Sakramenti inayotuwezesha kuzaliwa

mara ya pili kwa Maji na Roho Mtakatifu, ni mlango

(Kiingilio) kwa Sakramenti nyingine zote na ni

ufunguo wa uzima wa milele. (Yoh 3:3, Mt28:19) Je, Ubatizo ni lazima kwa wokovu?

Ndiyo, nilazima kwa wokovu kwa wale ambao

wametangaziwa injili na wanasifa ya kuomba

Sakramenti hiyo
Sakramenti ya Ubatizo yatuletea nini?

Sakramenti ya Ubatizo yatuletea;

1. Maondoleo ya dhambi ya asili

2. Maondoleo ya dhambi zote za binafsi na adhabu Anayebatizwa yampasa nini?


zake
Yampasa kuungama imani yake ama mwenyewe
3. Neema ya Utakaso kwa mara ya kwanza
akiwa mtu mzima ama kupitia wazazi kama akiwa
4. Yatutia alama isiyofutika (1Kor 6:11, 12:13)
mtoto mdogo

Kuna Ubatizo wa namna ngapi?


Alama wazi ya Sakramenti ya Ubatizo ni nini?
Kuna Ubatizo wa namna tatu;

1. Ubatizo wa maji – Ubatizo wa kawaida


71

Alama wazi ya Sakramenti ya Ubatizo ni kumwagia


Mbinguni ni mahali pa namna gani?
maji katika panda la uso na kutamka maneno

“Fulani (jina lake linatajwa) nakubatiza kwa Jina la Mbinguni ni makao mema ya heri na furaha (2Kor

Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu” (Mt 5:1, Ufu, 2:17).

28:19)
Waendao mbinguni ni wale wanaokufa katika hali

ya neema ya utakaso na urafiki na Mungu na

waliotakaswa kikamilifu

Msimamizi wa ubatizo ana wajibu gani?

Msimamizi wa ubatizo ana wajibu hizi;

Motoni ni nini?
1. Kutoa mfano mzuri wa maisha ya Kikristo

2. Kumuongoza mbatizwa katika maisha ya Ukristo Motoni ni makao mabaya kwa Shetani walaaniwa

3. Kumuombea mbatizwa wakaapo mbali na Mungu wakiteswa milele. (Mt

4. Kushirikiana na wazazi katika malezi 25:41, Mik 9:42-43, 1Yoh 14:15)

WhatsAppTwitterLinkedInEmail
Maswali na Majibu kuhusu Marehemu
Mafundisho ya Katekisimu / Leave a Comment

Uzima wa milele ni nini?

Ufufuko wa wafu maana yake nini? Uzima wa milele ni maisha ya kukaa mbinguni na

Mungu yasiyokua na mwisho.


Ufufuko wa wafu maana yake mwisho wa dunia

watu wote watafufuka na miili yao na kwenda nayo

katika furaha ya milele au moto wa milele. (Ayu

19:25-26, Mt 22:30-32, Yh 28-29)


Toharani ni mahali gani?

Toharani ni mahali pa mateso zinakosafishwa roho

ambazo hazikutimiza kitubio vizuri baada ya

Baada ya kifo cha mtu nini hutokea? kuungama dhambi. (1Kor 3:15, 1Pet 1:7).

Baada ya kifo roho yake inafika mbele ya Mungu

kwa hukumu ya mtu binafsi.

Je, hatuwezi kupunguza mateso ya roho za

marehemu waliokwenda toharani?


Matokeo ya hukumu hiyo ni nini?
Ndiyo: twaweza kupunguza hata kuyamaliza kwa
Matokeo ya Hukumu hiyo ni roho kwenda kuwasalia na kuwapatia rehema na hasa kwa
Mbinguni, Toharani au Motoni. (Mt 25:34-46) kuadhimisha Misa kwa ajili yao. (2Mik 12:38-46)
72

“Hamjui yatakayokuwako kesho! Uzima wenu ni


Mambo makuu manne ya mwisho ni yapi?
nini? Maana ninyi ni mvuke uonekanao kwa

Mambo hayo ni; kitambo, kisha hutoweka” (Yak 4:14).

“Kesheni, mwombe, msije mkaingia majaribuni”


1. Kifo
(Math 26:41).
2. Hukumu

3. Jehanamu (Motoni)

4. Paradiso. (Toharani/Mbinguni)

Je, ina thamani machoni pa Bwana mauti ya

mtu aliyemcha?

Je, ufufuko wa Yesu ni muhimu kwetu pia? Ndiyo, “ina thamani machoni pa Bwana mauti ya

wacha Mungu wake” (Zab 116:15).


Ndiyo, ufufuko wa Yesu ni muhimu kwetu pia, kwa

sababu kwa njia yake tu tunatiwa uzima: sasa Hasa utiifu wa Yesu msalabani umegeuza laana ya
rohoni kwa kuondolewa dhambi, na siku ya kifo iwe baraka kwa waamini wake.
mwisho mwilini pia kwa kufufuliwa.
“Heri wafu wafao katika Bwana tangu sasa. Naam,
Mwenyewe alisema, “Mimi ndimi huo ufufuo, na asema Roho, wapate kupumzika baada ya taabu
uzima. Yeye aniaminiye mimi ajapokufa, atakuwa zao; kwa kuwa matendo yao yafuatana nao” (Ufu
anaishi; naye kila aishiye na kuniamini hatakufa 14:13).
kabisa hata milele” (Yoh 11:25- 26).

“Kristo amefufuka katika wafu, limbuko lao

waliolala. Maana kwa kuwa mauti ililetwa na mtu,

kadhalika na kiyama ya wafu ililetwa na mtu” Tutakapofariki dunia itatutokea nini?

(1Kor 15:20-21). Tutakapofariki dunia roho yetu isiyokufa, mbali na


“Alitolewa kwa ajili ya makosa yetu, na kufufuka ili mwili unaooza, itapewa tuzo au adhabu
tupate kuhesabiwa haki” (Rom 4:25). tuliyostahili kwa maisha yetu. “Ikawa yule maskini

alikufa, akachukuliwa na malaika mpaka kifuani

kwa Ibrahimu. Yule tajiri naye akafa, akazikwa.

Basi, kule kuzimu aliyainua macho yake, alipokuwa


Je, ni muhimu tujiandae kufa?
katika mateso, akamwona Ibrahimu kwa mbali, na
Ndiyo, ni muhimu tujiandae kufa wakati wowote na Lazaro kifuani mwake” (Lk 16:22-23). “Kwangu
namna yoyote kwa kuishi kitakatifu sasa na kwa mimi kuishi ni Kristo, na kufa ni faida…
kujiombea neema tutakazohitaji saa ya kufa ninatamani kwenda zangu nikae na Kristo, maana
kwetu, tukijua tumewekewa “kufa mara moja, na ni vizuri zaidi sana” (Fil 1:21,23). “Nasi tunaona ni
baada ya kufa hukumu” (Eb 9:27). afadhali kutokuwamo katika mwili na kukaa

pamoja na Bwana” (2Kor 5:8). Kwa kuwa kifo ni


“Katika mambo yako yote uukumbuke mwisho
“mavumbi kuirudia nchi kama yalivyokuwa, nayo
wako, hivyo hutakosa kamwe hata hatima” (YbS
roho kumrudia Mungu aliyeitoa” (Mhu 12:7). Siku
7:36).
ya ufufuo roho na mwili vitaungana tena kwa ajili

ya uzima au moto wa milele. “Pumzi iliwaingia,


73

wakaishi, wakasimama kwa miguu yao, jeshi nani? Sauli akasema, “Nipandishie Samweli.”

kubwa mno” (Ez 37:10). 12Yule mwanamke alipomwona Samweli alipiga

yowe kwa sauti kuu, naye akamwuliza Sauli,

Je baada ya kufa ni hapo hapo roho inaenda “Mbona umenidanganya? Wewe ndiwe Sauli.”

13Mfalme akamwambia, “Usiogope. Unaona nini?


motoni au mbinguni, Au ni mpaka Siku ya hukumu
Yule mwanamke akasema, “Naona Mungu
Yesu Atakaporudi? anapanda kutoka ardhini.” 14Sauli akamwuliza, “Ni

mfano wa nini?” Yule mwanamke akasema, “Ni


Ni siku ile ile Roho ya mtu aliyekufa inaenda
mwanaume mzee amevaa joho anayepanda.”
Mbinguni, toharani au Motoni. Yesu alimwahidi yule
Ndipo Sauli akatambua kwamba ni Samweli. Sauli
mtu waliyesulubiwa pamoja kuwa watakuwa
akasujudu kifudifudi uso wake hadi ardhini.
peponi pamoja siku hiyo hiyo na sio siku ya
15Samweli akamwuliza Sauli, Kwa nini
hukumu.
unanitaabisha, kunipandisha juu?” Sauli akasema,
“Kisha akasema, “Ee Yesu! Unikumbuke wakati “Mimi ninasumbuka sana, kwa maana Wafilisti
utakapoingia katika ufalme wako.” 43 Yesu wanapigana vita dhidi yangu, naye Mungu
akamwambia, “Nakwambia kwa hakika, leo ameniacha. Hanijibu tena wala kwa njia ya manabii
utakuwa pamoja nami peponi.” (Luka 23:42-
wala kwa ndoto. Kwa hiyo nimekuita wewe ili
43) unijulishe lakufanya.” 16Samweli akamwuliza,
Sauli aliweza kuongea na Samweli hata baada ya “Kwa nini uniulize mimi, maadam BWANA
kufa na Samweli alimbashiria mambo amekuacha na kuwa adui yako? 17BWANA
yatakayotokea kwa Sauli maanake ni kwamba ametenda lile alilotangulia kusema kwa kupitia
Japokuwa alikuwa amekufa bado anayomuungano
kwangu. BWANA ameurarua ufalme kutoka
na Mungu ndio maana aliweza kumwambia Sauli mikononi mwako, naye amempa mmoja wa jirani
mambo yatakayompata,
zako, yaani, Daudi. 18Kwa sababu wewe hukumtii

“7Basi Sauli akawaambia watumishi wake, BWANA, wala hukumtimizia ghadhabu yake kali

“Nitafutieni mwanamke mwenye pepo wa utambuzi juu ya Waamaleki, BWANA amekutendea mambo

ili nimwendee nipate kuuliza kwake. Watumishi haya leo. 19Zaidi ya hayo, BWANA atawatia Israeli

wake wakamwambia, “Yuko mwanamke mmoja pamoja na wewe mkononi mwa Wafilisti na kesho

huko Endori.” 8Hivyo Sauli akajigeuza kwa kuvaa wewe na wanao mtakuwa pamoja nami. BWANA

mavazi mengine, naye usiku akiwa amefuatana na pia atalitia jeshi la Israeli mkononi mwa Wafilisti.

watu wawili wakaenda kwa huyo mwanamke. Mfano Wa Tajiri Na Maskini Lazaro Yesu alisimulia

Akamwambia, “Nibashirie na unipandishie huyo hivi

nitakayekutajia,” 9Huyo mwanamke akamwambia,


19 Akasema, “Palikuwa na tajiri mmoja aliyevaa
“Wewe unajua lile alilofanya mfalme Sauli. nguo za rangi ya zambarau na kitani safi, nguo za
Amewakatilia mbali wapunga pepo, wapiga ramli gharama kubwa, kila siku. 20 Na maskini mmoja,
wote na wachawi katika nchi. Mbona umenitegea jina lake Lazaro, mwenye vidonda mwili mzima,
maisha yangu ili wapate kuniua?” 10Sauli alikuwa akiletwa mlangoni kwa huyo tajiri kila siku.
akamwapia huyo mwananmke kwa Jina la BWANA,
21 Lazaro alikuwa akitamani kula makombo
akasema, “Kwa hakika kama BWANA aishivyo, yaliyodondoka mezani kwa tajiri. Hata mbwa
hutaadhibiwa kwa ajili ya jambo hili.” 11Ndipo yule walikuwa wakiramba vidonda vyake. 22
mwanamke akauliza, “Je unataka nikupandishie
74

“Hatimaye, yule maskini alikufa. Malaika Ukipenda nitajenga vibanda vitatu: kimoja chako,

wakamchukua akakae pamoja na Ibrahimu kimoja cha Mose na kimoja cha Eliya.” (Mathayo

mbinguni. Yule tajiri naye pia akafa, akazikwa. 23 17:1-5)

Alipokuwa kuzimuni ambapo alikuwa akiteseka, Yesu alituambia kuwa Mungu sio wa wafu bali wa

alita zama juu, akamwona Ibrahimu kwa mbali na walio hai ndio maana akaitwa Mungu wa Ibrahimu,

Lazaro karibu yake. 24 Akaita, „Baba Ibrahimu, Isaka na Yakobo kwa kuwa Wote wako hai kwake.

nionee huruma umtume Lazaro achovye japo ncha


37Hata Mose alidhihirisha kuwa wafu wanafufuka,
ya kidole chake katika maji aupoze ulimi wangu
kwa habari ya kile kichaka kilichokuwa kikiwaka
maana ninateseka kwenye moto huu.‟ 25 Lakini
moto bila keteketea, alipomwita Bwana „Mungu wa
Ibrahimu akamjibu, „Mwa nangu, kumbuka
Abrahamu, Mungu wa Isaki na Mungu wa
kwamba ulipokuwa hai ulipata kila kitu kizuri uli
Yakobo.‟ 38Yeye Mungu si Mungu wa wafu bali
chotaka, ambapo Lazaro alipokea mabaya. Lakini
wa walio hai, kwa kuwa Kwake wote ni
sasa anafarijika hapa na wewe unateseka. 26
hai.” (Luka 20:37-38)
Isitoshe, kati yetu na ninyi huko, kumewekwa
Yesu alimwahidi yule mtu waliyesulubiwa pamoja
bonde kubwa lisilopitika ili wale wanaotaka kutoka
kuwa watakuwa peponi pamoja siku hiyo hiyo na
huku kuja huko au kutoka huko kuja huku
sio siku ya hukumu.
wasiweze.‟ 27 Akasema, „Basi, baba, tafadhali

umtume Lazaro aende nyumbani kwa baba yangu, “Kisha akasema, “Ee Yesu! Unikumbuke wakati

28 awaonye ndugu zangu, wasije wao pia utakapoingia katika ufalme wako.” 43 Yesu

wakaletwa mahali hapa pa mateso watakapokufa.‟ akamwambia, “Nakwambia kwa hakika, leo

29 Ibrahimu akamjibu, „Ndugu zako wanazo sheria utakuwa pamoja nami peponi.” (Luka 23:42-

za Musa na maandiko ya Manabii. Itawapasa watii 43)

hayo.‟ Lakini yule tajiri akazidi kumsihi, 30 „Hapana Angalia pia wakati Stefano akipigwa Mawe

baba Ibrahimu, ndugu zangu hawatashawishiwa na aliikabidhi roho yake kwa Mungu baada ya kuona

hayo. Lakini mtu kutoka kuzimu akitumwa kwao mbingu zimefunguka hii ni kama Yesu alivyokuwa

watatubu na kuziacha dhambi zao.‟ 31 “Ibrahimu pale msalabani aliikabidhi Roho yake kwa Baba

akamwambia, „Wasiposikiliza na kutii sheria za yake.

Musa na Maandiko ya manabii, hawatashawishika


55Lakini yeye Stefano akiwa amejazwa Roho
kutubu hata kama mtu akifufuka kutoka kuzimu.”‟
Mtakatifu, alikaza macho mbinguni, akaona
(Luka 16:19-31)
utukufu wa Mungu, naye Yesu akiwa amesimama
Wakati Yesu anabadilika Sura walitokea Musa na
mkono wa kuume wa Mungu. 56Akasema,
Eliya.
“Tazameni! Naona mbingu zimefunguka na Mwana

“Baada ya siku sita, Yesu aliwachukua Petro, wa Adamu amesimama upande wa kuume wa

Yakobo na Yohane nduguye, akaenda nao peke Mungu.‟‟ 57Lakini wao wakapiga kelele kwa sauti

yao juu ya mlima mrefu. 2 Huko, wakiwa kubwa, wakaziba masikio yao, wakamrukia kwa

wanamtazama, akageuka sura, uso wake ukang‟aa nia moja. 58Wakamtupa nje ya mji, wakampiga

kama jua na mavazi yake yakawa meupe kama kwa mawe. Nao mashahidi wakaweka nguo zao

nuru. 3 Mose na Eliya wakawatokea, wakawa miguuni mwa kijana mmoja aitwae Sauli.

wanazungumza naye. 4 Hapo Petro akamwambia 59Walipokuwa wakimpiga mawe, Stefano

Yesu, “Bwana, ni vizuri sana kwamba tupo hapa! aliomba, “Bwana Yesu, pokea roho
75

yangu” 60Kisha akapiga magoti, akalia kwa sauti


Je, sisi wanyonge tunaweza kushiriki uzima
kubwa akasema, “Bwana usiwahesabie dhambi

hii.‟‟ Baada ya kusema haya, akalala. (Mdo 7:55- wa milele wa Mungu?


60)
Ndiyo, sisi wanyonge tunaweza kushiriki uzima wa
Kwenye Ufunuo tunasoma (Ufunuo 6:9-10) “Na
milele wa Mungu: hapa duniani katika mwanga
alipoifungua muhuri ya tano, nikaona chini ya
hafifu wa imani, na kisha kufa katika uangavu wa
madhabahu roho zao waliochinjwa kwa ajili ya
utukufu usiofifia kamwe. Kwa kuwa lengo la Baba
neno la Mungu, na kwa ajili ya ushuhuda
ni kwamba tuungane na Yesu Mwanae kwa uwezo
waliokuwa nao. Wakalia kwa sauti kuu, wakisema,
wa Roho Mtakatifu ili tuwe na utukufu wake.
Ee Mola, Mtakatifu, Mwenye kweli, hata lini

kutokuhukumu, wala kuipatia haki damu yetu kwa “Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe,
hao wakaao juu ya nchi? Nao wakapewa kila Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo
mmoja nguo ndefu, nyeupe, wakaambiwa uliyemtuma” (Yoh 17:3).
wastarehe bado muda mchache, hata itakapotimia “Kwa kuwa uweza wake wa Uungu umetukirimia
hesabu ya wajoli wao na ndugu zao, watakaouawa vitu vyote vipasavyo uzima na utauwa, kwa
vile vile kama wao.” kumjua yeye aliyetuita kwa utukufu wake na wema
Kwa hiyo mtu akifa anaenda mbinguni au motoni wake mwenyewe. Tena kwa hayo ametukirimia
kulingana na alivyoishi. ahadi kubwa mno, za thamani, ili kwamba kwa

hizo mpate kuwa washirika wa tabia ya Uungu,


“Nasi tunaona ni afadhali kutokuwamo katika mwili
mkiokolewa na uharibifu uliomo duniani kwa
na kukaa pamoja na Bwana” (2Kor 5:8). Kwa kuwa
sababu ya tamaa” (2Pet 1:3-4).
kifo ni “mavumbi kuirudia nchi kama yalivyokuwa,
Sisi tuliobatizwa tunaitwa “wana wa Mungu; na
nayo roho kumrudia Mungu aliyeitoa” (Mhu 12:7).
ndivyo tulivyo!” (1Yoh. 3:1).
Siku ya ufufuo roho na mwili vitaungana tena kwa

ajili ya uzima au moto wa milele. Kwa sababu tumesadiki kwamba “Mungu ni

upendo” (1Yoh 4:8) na kwamba “hakuna


“Kwangu mimi kuishi ni Kristo, na kufa ni faida…
lisilowezekana kwa Bwana” (Lk 1:37).
ninatamani kwenda zangu nikae na Kristo, maana

ni vizuri zaidi sana” (Fil 1:21,23). “Na kwa kuwa ninyi mmekuwa wana, Mungu
Mtume Petro ameandika hivi… alimtuma Roho wa Mwanawe mioyoni mwetu,

aliaye, „Aba!‟ yaani, „Baba!‟ Kama ni hivyo, wewe si


“18 Kwa maana Kristo naye aliteswa mara moja
mtumwa tena bali u mwana; na kama u mwana,
kwa ajili ya dhambi, mwenye haki kwa ajili yao
basi, u mrithi kwa Mungu” (Gal 4:6-7).
wasio haki, ili atulete kwa Mungu; mwili wake

akauawa, bali roho yake akahuishwa,19 ambayo

kwa hiyo aliwaendea roho waliokaa kifungoni,

akawahubiri; 20 watu wasiotii hapo zamani,


Aliyezungumzia moto wa milele ni nani?
uvumilivu wa Mungu ulipokuwa ukingoja, siku za
Aliyezungumzia moto wa milele ni hasa Yesu:
Nuhu, safina ilipokuwa ikitengenezwa; ambamo
akitufunulia ukuu wa upendo wa Mungu, aliye heri
ndani yake wachache, yaani, watu wanane,
yetu pekee, alituangalisha juu ya hatari ya
waliokoka kwa maji.” (1Petro 3:18-20)
kutengana naye milele kwa dhambi. Mwenyewe

atatoa hukumu hiyo:


76

“Ondokeni kwangu, mliolaaniwa, mwende katika Ndiyo, mwili utakaofufuliwa ni huuhuu tulionao

moto wa milele, aliowekewa tayari Ibilisi na sasa, lakini katika hali tofauti: > “hupandwa katika

malaika zake” (Math 25:41). uharibifu; hufufuliwa katika kutokuharibika”

“Humo funza wao hafi, wala moto hauzimiki” (Mk (1Kor 15:42).

9:48).
Siku ya ufufuo “ndipo watakapomwona Mwana wa
“Na moshi wa maumivu yao hupanda juu hata
Adamu akija katika wingu pamoja na nguvu na
milele na milele, wala hawana raha mchana wala
utukufu mwingi” (Lk 21:27).
usiku” (Ufu 14:11).
“Saa yaja ambayo watu wote waliomo makaburini

wataisikia sauti yake. Nao watatoka; wale

waliofanya mema kwa ufufuko wa uzima, na

Toharani maana yake nini? waliotenda mabaya kwa ufufuo wa hukumu” (Yoh

5:28-29).
Toharani maana yake kuna hali ya muda ambayo
“Na hao watakwenda zao kuingia katika adhabu ya
huruma ya Mungu inawatakasa marehemu
milele; bali wenye haki watakwenda katika uzima
waliofariki dunia katika urafiki naye lakini bila ya
wa milele” (Math 25:46).
usafi kamili unaotakiwa kwa kuingia mbinguni. Sisi

tunaweza kuharakisha utakaso wao kwa kumtolea

Mungu sala na sadaka, hasa ekaristi. Yuda

Mmakabayo “alichanga fedha kwa kila mtu jumla Siku ya ufufuo Kristo mfalme atatuhukumu

drakma elfu mbili, akazipeleka Yerusalemu kutoa


vipi?
sadaka ya dhambi.

Siku ya ufufuo Kristo mfalme atatuhukumu kwa


Kwa kufanya hivi alitenda vema na kwa haki, kwa
kudhihirisha misimamo ya watu wote ambao, kwa
kuwa aliukumbuka ufufuo wa wafu. Maana kama
kupokea au kukataa upendo wa Mungu moyoni
asingalitumaini ya kuwa wale waliokufa
mwao, wametenda mema au la.
watafufuka, ingalikuwa kazi bure isiyo na maana

kuwaombea wafu. Lakini kwa kuwa aliufikiri “Imetupasa sisi sote kudhihirishwa mbele ya kiti

utukufu wa thawabu waliowekewa wale wafao cha hukumu cha Kristo ili kila mtu apokee ijara ya

katika utauwa, wazo lake lilikuwa takatifu na la mambo aliyotenda kwa mwili, kadiri alivyopenda,

kicho. Ndiyo sababu alifanya upatanisho kwa wafu kwamba ni mema au mabaya” (2Kor 5:10).

ili wafunguliwe dhambi zao” (2Mak 12:43-46). “Basi ninyi msihukumu neno kabla ya wakati wake,

Imani hiyohiyo iliongoza Wakristo wa kwanza hata ajapo Bwana; ambaye atayamulikisha

kuwafanyia marehemu ibada ambayo haieleweki yaliyositirika ya giza, na kuyadhihirisha mashauri

vizuri, lakini hailaumiwi na Mtume Paulo: “Kama ya mioyo; ndipo kila mtu atakapoipata sifa yake

wafu hawafufuliwi kamwe, kwa nini kubatizwa kwa kwa Mungu” (1Kor 4:5).

ajili yao?” (1Kor 15:29). “Hapo atakapokuja Mwana wa Adamu katika

utukufu wake, na malaika watakatifu wote pamoja

naye, ndipo atakapoketi katika kiti cha utukufu

wake. Na mataifa yote watakusanyika mbele zake;

Je, mwili utakaofufuliwa ni huuhuu tulionao naye atawabagua kama vile mchungaji abaguavyo

kondoo na mbuzi; atawaweka kondoo mkono wake


sasa?
77

wa kuume, na mbuzi mkono wake wa kushoto. Yeye kama mfiadini, aliyefikia upeo wa upendo

Kisha Mfalme atawaambia wale walioko mkono kwa kutoa uhai wake, hakuhitaji kuombewa. Lakini

wake wa kuume, „Njoni, mliobarikiwa na Baba wafu wengine walitolewa sala na sadaka tangu

yangu, urithini ufalme mliowekewa tayari tangu Israeli ilipoanza kusadiki ufufuo.

kuumbwa ulimwengu; kwa maana nalikuwa na


“Kama asingalitumaini kuwa wale waliokufa
njaa, mkanipa chakula; nalikuwa na kiu,
watafufuka, ingalikuwa kazi bure isiyo na maana
mkaninywesha; nalikuwa mgeni, mkanikaribisha;
kuwaombea wafu. Lakini kwa kuwa aliufikiri
nalikuwa uchi, mkanivika; nalikuwa mgonjwa,
utukufu wa thawabu waliowekewa wale wafao
mkaja kunitazama; nalikuwa kifungoni, mkanijia…
katika utauwa, wazo lake lilikuwa takatifu na la
Amin, nawaambia, kadiri mlivyomtendea
kicho. Ndiyo sababu alifanya upatanisho kwa wafu
mmojawapo wa hao ndugu zangu walio wadogo,
ili wafunguliwe dhambi yao” (2Mak 12:44-46).
mlinitendea mimi‟” (Math 25:31-36,40).
“Kama wafu hawafufuliwi kamwe, kwa nini
“Heri wenye rehema, maana hao watapata
kubatizwa kwa ajili yao?” (1Kor 15:29).
rehema” (Math 5:7).
WhatsAppTwitterLinkedInEmail
Amri ya Kwanza ya Mungu: Mambo Muhimu ya
Kuzingatia
Mafundisho ya Katekisimu / Leave a Comment

Baada ya hukumu ya mwisho itakuwaje? Katika amri ya kwanza ya Mungu tumeamriwa nini?

Baada ya hukumu ya mwisho, waadilifu Tumeamriwa tusadiki kuwa Mungu ni mmoja, ndiye Baba yetu
na Mkubwa wetu: tumpende, tumwabudu yeye peke yake. (Mt
watatukuzwa mwili na roho pamoja na Yesu, na 10:33, Kumb 6:4-9)
ulimwengu pia utageuzwa.

“Kama ilivyo ahadi yake, tunatazamia mbingu

mpya na nchi mpya, ambayo haki yakaa ndani Wakatoliki tunamwabudu Mungu kwa namna gani?
yake” (2Pet 3:13).
Tunamwabudu Mungu kwa sala , sadaka na matendo mema
“Na Roho na Bibi arusi wasema, „Njoo!‟ naye

asikiaye na aseme, „Njoo!‟… Yeye mwenye

kuyashuhudia haya asema, „Naam, naja upesi‟.

Amina. Na uje, Bwana Yesu! Neema ya Bwana Katika amri ya kwanza ya Mungu tumekatazwa nini?
Yesu na iwe pamoja nanyi nyote. Amina” (Ufu
Tumekatazwa kumdharau Mungu na kuweka imani yetu katika
22:17,20-21). viumbe badala ya Mungu.

Kanisa linaheshimu marehemu kwa namna Je, kuna viumbe ambavyo tunaviheshimu kwa kumtukuza

Mungu?
gani?
Ndiyo twamuheshimu Bikira Maria, Malaika na Watakatifu.
Kanisa linaheshimu marehemu kwa kuwafanyia

mazishi huku likiwaombea kwa Mungu.

“Watu watauwa walimzika Stefano, wakamfanyia


Kwa nini yatupasa kuwaheshimu Watakatifu?
maombolezo makuu” (Mdo 8:2).
78

Kwa sababu hao ni washindi, rafiki wa Mungu na waombezi Mambo hayo ni;
wetu.

1. Kuabudu sanamu
2. Kufanya matambiko
3. Kwenda kwa waganga
4. Kupiga bao au ramli
5. Kuvaa hirizi
Je, tuna ruhusa ya kuwaabudu Watakatifu?
6. Kushiriki mambo ya kichawi n.k.

Hatuna ruhusa ya kuwaabudu Watakatifu tunawaheshimu tu.

Ni nini maana ya kuabudu sanamu?

Je sanamu zimekatazwa?
Kuabudu sanamu ni kukipa kiumbe chochote heshima au
upendo anaostahili Mungu peke yake.
Sanamu hazijakatazwa, ila tunaziheshimu kwa sababu
zinatukumbusha Mungu na Watakatifu. (Kut 25:18-22).

18 Nawe fanya makerubi mawili ya dhahabu; uyafanye ya kazi


ya kufua, katika hiyo miisho ya kiti cha rehema, huku na huku. Kutokumuabudu Mungu ni kwa namna gani?
19 Weka kerubi moja mwisho mmoja, na kerubi la pili mwisho
wa pili; fanya hayo makerubi ya kitu kimoja na kiti cha rehema,
mwisho huku na mwisho huku. 20 Na hayo makerubi yatainua Ni kuruhusu kitu chochote kimtawale mtu badala ya Mungu,
mabawa yao juu, na kukifunika hicho kiti cha rehema kwa mfano cheo, pombe, mali, shetani, tuisheni, kazi, na
mabawa yao, na nyuso zao zitaelekeana hili na hili; nyuso za kutoadhimisha Jumapili au kutoshiriki.
hayo makerubi zitaelekea kiti cha rehema. 21 Weka kiti cha
rehema juu ya hilo sanduku, kisha utie huo ushuhuda
nitakaokupa ndani ya sanduku. 22 Nami nitaonana nawe hapo,
na kuzungumza nawe pale nilipo juu ya kiti cha rehema, katikati
ya hayo makerubi mawili yaliyo juu ya sanduku la ushuhuda,
katika mambo yote nitakayokuagiza kwa ajili ya wana wa
Mkatoliki anaabuduje?
Israeli. Kutoka 25 :18-22.

Mkatoliki anaabudu kwa kupiga goti au magoti mawili na ni


Vile vile Mungu alishawahi kuwaagiza Waisraeli Wachonge mbele ya sakramenti ya Ekaristi Takatifu tuu hasa wakati wa
sanamu ya nyoka na yeyote atakayeumwa na nyoka akiiangalia kuingia na kutoka kanisani
atapona.

Je magoti yanayopigwa wakati mwingine tofauti na wakati


Mfano wa sanamu takatifu ni zipi?
wa kuabudu yana maana gani?
Sanamu ya Bikira Maria, Mtoto Yesu, Mt. Yosefu, Moyo wa
Yesu na za Watakatifu. Magoti yanayopigwa wakati wa sala mfano kanisani, nyumbani,
mbele ya sanamu, jumuiyani, shuleni yanaitwa Mkao wa sala

Ni nanai ana kosa kumuabudu Mungu?


Kwa nini wakatoliki wanaweka sanamu Kanisani?
Anayekosa kumuabudu Mungu ni yule;
Tunaweka sanamu Kanisani kwa sababu tunaheshimu
anayewakilishwa na sanamu hiyo kwa mfano Yesu Kristo,
1. Anayeacha kusali au anayesali hovyo Mama Bikira Maria, Malaika na Watakatifu; na kamwe
2. Anayemkufuru Mungu hatuziabudu. (Kutoka 25:18-22)
3. Anayeamini na kushika mambo ya kipagani

Hata Waisraeli kwenye hekalu lao walikua na sanamu kama


tunavyosoma hapa;

―18 Nawe fanya makerubi mawili ya dhahabu; uyafanye ya kazi


Mambo gani yanavunja amri ya kwanza ya Mungu?
ya kufua, katika hiyo miisho ya kiti cha rehema, huku na huku.
19 Weka kerubi moja mwisho mmoja, na kerubi la pili mwisho
79

wa pili; fanya hayo makerubi ya kitu kimoja na kiti cha rehema, hujui kilichoandikwa? Je Msalaba uliobeba maana ya kile
mwisho huku na mwisho huku.20 Na hayo makerubi yatainua kilichoandikwa kwenye Biblia unaona si kitu? Kama
mabawa yao juu, na kukifunika hicho kiti cha rehema kwa Kinachoheshimiwa kwenye Biblia sio karatasi bali maana
mabawa yao, na nyuso zao zitaelekeana hili na hili; nyuso za maneno yaliyoandikwa vivyo hivyo kinachoheshimiwa kwenye
hayo makerubi zitaelekea kiti cha rehema. 21 Weka kiti cha picha au sanamu sio chuma yake au mti ukiochongwa bali ni
rehema juu ya hilo sanduku, kisha utie huo ushuhuda maana ya hiyo sanamu.
nitakaokupa ndani ya sanduku. 22 Nami nitaonana nawe hapo,
na kuzungumza nawe pale nilipo juu ya kiti cha rehema, katikati
ya hayo makerubi mawili yaliyo juu ya sanduku la ushuhuda, Hii ndio maana nasema kuna tofauti ya kuabudu na kuheshimu.
katika mambo yote nitakayokuagiza kwa ajili ya wana wa
Israeli. (Kutoka 25 :18-22.)―
Kumbuka kuwa picha au sanamu yoyote ya Kikatoliki lazima
ibarikiwe kwanza ndio uweze Kusali mbele yake. Inapobarikiwa
Kwa hiyo kama Mungu mwenyewe aliagiza Sanamu za Malaika inaombewa uwepo wa yule anayewakilishwa na picha/sanamu
zichongwe na kusema atakua hapo na kuongea na watu wake. Je hiyo uwe pale sanamu ilipo na anayesali pale sala yake Ifike
sio vyema zaidi kuwa na sanamu na Picha ya Mwanae wa Pekee kwa mlengwa anayeonekana kwa ishara ya sanamu/picha. Kwa
Yesu Kristo na kuongea na Mungu mbele yake kama alitaka ya Mfano askofu au padri anapobariki sanamu ya Yesu anaomba
malaika ambao sio Mungu? kuwa “Yesu awepo pale kwenye sanamu na Neema zake”,
kwa hiyo yeyote anayesali mbele ya sanamu hiyo anaamini
kuwa Yesu yuko pale na anasali Mbele yake. Kwa hiyo
Mfano mwingine ni pale Mungu alivyomwabia Musa achonge kinachopewa heshima sio ile sanamu bali ni yule anayeonekana
Sanamu ya Nyoka wa shaba. kwa ishara ya ile sanamu au picha.

―BWANA akamwambia Mose, ―Tengeneza nyoka wa shaba na


umweke juu ya mti, ye yote aliyeumwa na nyoka anaweza Tofauti ya Sanamu za Kikatoliki na za kipagani ni Kwamba,
kumtazama na akaishi tena.’’ 9Kwa hiyo Mose akatengeneza
nyoka wa shaba na kumweka juu ya mti. Kisha wakati mtu ye
yote alipoumwa na nyoka, naye akamtazama yule nyoka wa Sanamu za Kipagani: Sanamu hizi huchukuliwa kama
shaba, aliishi.‖ (Hesabu 21:8-9). Mungu na huabudiwa na kutolewa Sadaka kama Mungu
Mwenyewe.
Kwa Mfano huu Je tunaweza kusema kuwa sanamu ya nyoka
ina nguvu ya uponyaji kuliko ya Yesu aliye Mungu? Kumbuka
hapa watu walioona sanamu hii ya nyoka hawakukoponywa na Sanamu za Kikatoliki: Sanamu hizi huchukuliwa kama
nguvu ya sanamu ya shaba bali kwa nguvu ya neema ya Mungu
kupitia Imani kwa Mungu. Kwa hiyo unaposali mbele ya picha ishara ya kile inachokiwakilisha, haiabudiwi kamwe bali
au sanamu hautegemei nguvu ya sanamu bali unategemea neema inaheshimiwa tuu.
ya Mungu kwa njia ya Imani yako kwa Mungu.

Daima Tumia Sanamu na Picha zilizobarikiwa kwani zimenuiwa


Kama vile Sanamu hii ya nyoka aliyoagiza Mungu iwekwe uwepo wa yule inayemuwakilisha na utaongea naye hapo. Sisi
ilivyowekwa kwa nia ya uponyaji kwa yule aitazamaye vivyo tunaamini kwamba kwenye Sanamu ya Yesu kuna uwepo wa
hivyo Sanamu na Picha za Kanisani zinawekwa kwa nia Yesu. Kama vile Mungu anavyowaambia Waisraeli katika
maalumu na kwa neema maalumu. Ndiyo maana hazifanani. Na (Kutoka 25 :22) baada ya kuwaagiza wachonge sanamu za
zinabarikiwa kwa kuombewa Baraka Ili zizae neema kwa Makerubi (Malaika) 22 Nami nitaonana nawe hapo, na
wanaozitumia. kuzungumza nawe pale nilipo juu ya kiti cha rehema, katikati ya
hayo makerubi mawili yaliyo juu ya sanduku la ushuhuda,
katika mambo yote nitakayokuagiza kwa ajili ya wana wa
Israeli. (Kutoka 25 :22). Sanamu au picha ni ishara wazi ya
Sanamu au picha sio haramu bali maana ya hiyo sanamu au uwepo wa kile kisichoonekana.
picha ndio inaiharamisha.

Kuna tofauti kati ya kuabudu na kuheshimu. Wakatoliki Jifunze kupitia Sanduku la Agano na Msalaba wa Yesu
wanaweka sanamu kwa heshima na sio kwa kuabudu, ndio
maana unaposali mbele ya picha ya Yesu hausali ee sanamu
Kwenye Agano la kale: Ndani ya hekalu la Waisraeli walikua
nisaidie bali unasema ee Yesu nisaidie. na Sanduku la agano, sanduku hilo lilikua na vibao vya Amri za
Mungu ambavyo ni Ishara ya Agano lao na Mungu na ndani ya
sanduku kulikuwepo pia Mfano wa Kiti ambacho kimezugukwa
Je tuseme tunamwabudu Raisi kwa kuheshimu picha yake kwa na sanamu za viumbe kama malaika nyuso zao zikielekea kiti
kuiinamia? Je tunaabudu bendera kwa kuheshimu na kupigia hicho Kutoka 25:10-22. Waisraeli walikua wanasali kuelekea
saluti? Je taratibu zabunge za kutoa heshima na taratibu za sanduku la Agano wanapokuwa Hekaluni na hata wakiwa
mahakama ni kuabudu?. Je kuapa mbele ya picha ya Raisi ni majumbani mwao walisali kuelekea upande lilipo Hekalu.
kumuabudu Raisi? Je kuapa na Biblia ni kuabudu Biblia? Je Waisraeli walisali kuelekea Sanduku la Agano wakiamini
tunapobusu Biblia na kuitunza kwa heshima tunaiabudu? kwamba Mungu yupo kati ya sanduku lile. Lakini sanduku lile
Tofauti ya Biblia na sanamu ni nini? Je, kwenye Biblia halikuwa Mungu. Waisraeli waliona fahari juu ya Sanduku lile
kinachoheshimiwa ni karatasi au maana ya yale maneno kwenye na walilithamini na kuliheshimu kwa kuwa lilionyesha uwepo
karatasi. Pengine usingeheshimu kama hujajua kuyasoma. wa Mungu na popote lilipokuwa waliamini Mungu yupo.

Kuna tofauti gani kati ya biblia yenye Maandishi na msalaba wa Kwenye Agano jipya: Wakristu wanasali Mbele ya Msalaba wa
kuchonga wenye kuonyesha kile kinachosemwa na biblia? kama Yesu ambao unaonyesha kazi ya wokovu alioufanya Yesu kwa
unaweza kuheshimu biblia yenye karatasi tena pale unapoweza wanadamu ya Kuwakomboa watu kwa kifo chake Msalabani.
kuzisoma na pengine ungeizarau kama ni ya lugha tofauti na Na Msalaba huo ni Ishara ya Ukombozi wa Agano jipya na la
80

Milele. Kama ilivyokuwa kwa Sanduku la Agano, Wakristu


wanaheshimu msalaba ambao ni ishara ya wokovu wao na na masaidiano, na maongozi, na aina za lugha”
wanaamini kuwa Mungu yupo kati ya Msalaba huo lakini
Msalaba huo sio Mungu. Wakristu wanaona fahari juu ya (1Kor 12:28).
msalaba wa Yesu kwa kuwa ndio ishara ya wokovu wao.
“Basi kwa kuwa tuna karama zilizo mbalimbali,

FUNZO:Kupitia Mfano wa Sanduku la Agano na Msalaba kwa kadiri ya neema tuliyopewa; ikiwa unabii,
tunajifunza kuwa Vyote havikuwa Mungu ila vinaheshimiwa
tutoe unabii kwa kadiri ya imani; ikiwa huduma,
kwa Imani kuwa Mungu yupo pale. Vilevile, vyote ni ishara ya
wazi ya Agano la Mungu na Wanadamu. tuwemo katika huduma yetu; mwenye kufundisha,

katika kufundisha kwake; mwenye kuonya, katika

Kwa nini tunasali mbele ya Picha/Sanamu na Hasa kufanya kuonya kwake; mwenye kukirimu, kwa moyo
Ishara ya msalaba? mweupe; mwenye kusimamia, kwa bidii; mwenye

kurehemu, kwa furaha” (Rom 12:6-8).


Tunasali mbela ya sanamu kwa sababu tunaamini sanamu
inaakisi uwepo wa mhusika aliyechorwa au kuchongwa kwenye
hiyo sanamu/picha. Ndio maana wakatoliki wanasali kwenye
picha au sanamu iliyobarikiwa tuu kwa sababu Sanamu
inapobarikiwa inaombewa uwepo wayule anayewakilishwa pale.
Karama nyingine muhimu zinatuwezesha
Tunafanya ishara ya msalaba kwenye sanamu kama sala ya kufanya nini?
utangulizi ambayo inathibitisha kuwa hatuabudu kile kilichoko
pale bali kile tunachokifanya tunakifanya huku tukikiri Umungu
na Heshima ya Utatu Mtakatifu (Mungu; Baba, Mwana na Roho Karama nyingine muhimu zinatuwezesha kuishi
Mtakatifu.). Vile vile tunamtukuza Mungu katika Utatu
Mtakatifu kwa sababu ya yule anayewakilishwa na picha au kwa useja kama Yesu na Paulo, au kwa ndoa:
sanamu.
“Nipendalo ni kwamba watu wote wawe kama mimi

nilivyo; walakini kila mtu ana karama yake


Kwa nini watu wanabusu picha na sanamu?
mwenyewe itokayo kwa Mungu, huyu hivi, na huyu
Hii ni ishara ya Upendo kwa yule anayewakilishwa kwenye hivi. Lakini nawaambia wale wasiooa bado, na
picha au sanamu husika. Hata katika maisha ya kawaida watu
hubusu picha za wazazi na wapendwa wao. Maana ni ile ile. wajane; ni heri wakae kama mimi nilivyo” (1Kor

7:7-8).

“Si wote wawezao kulipokea neno hili, ila wale

waliojaliwa” (Math 19:11).


Tunawaheshimu Watakatifu namna gani?

Tunavyoona katika historia ya watawa, mara


Tunawaheshimu kwa kuadhimisha sikukuu zao, kwa kuomba
maombezi yao, kufuata mifano yao na kuheshimu masalia na nyingi karama ya useja inaendana na nyingine
sanamu zao, kwa kuinama kichwa kidogo tunapopita mbele
yake katika maisha ya sala, ya kijumuia na ya kitume.

Hivyo Filipo “alikuwa na binti wanne, mabikira,

waliokuwa wakitabiri” (Mdo 21:9).


WhatsAppTwitterLinkedInEmail
Maswali na Majibu kuhusu Karama
Mafundisho ya Katekisimu / Leave a Comment

Je, karama ni zile za kushangaza tu?


Karama zinagawiwa vipi?

Hapana, karama si zile za kushangaza tu, tena zile


Karama zinagawiwa na Roho Mtakatifu jinsi
muhimu zaidi si hizo, bali zile zinazojenga zaidi
anavyotaka, si kwa sifa au faida ya binafsi, bali
Kanisa, kama zile za uongozi:
kwa ustawi wa taifa la Mungu.

“Mungu ameweka wengine katika Kanisa, wa


“Kazi hizi zote huzitenda Roho huyo mmoja, yeye
kwanza mitume, wa pili manabii, wa tatu waalimu,
yule, akimgawia kila mtu peke yake kama
kisha miujiza, kisha karama za kuponya wagonjwa,
apendavyo yeye… Je, wote ni mitume? Wote ni
81

manabii? Wote ni waalimu? Wote wanatenda Tunda la kuongozwa na Roho Mtakatifu ni umoja

miujiza? Wote wana karama za kuponya wa Kanisa unaotokana na ustawi wa upendo na

wagonjwa? Wote wanena kwa lugha? Wote vipaji ndani ya waamini.

wafasiri?… Kwa kuwa mnatamani sana kuwa watu


“Wote walijaa Roho Mtakatifu, wakanena neno la
wenye karama za roho, takeni kwamba mzidi sana
Mungu kwa ujasiri. Na jamii ya watu walioamini
kuwa nazo ili kulijenga kanisa… Kwa maana Mungu
walikuwa na moyo mmoja na roho moja” (Mdo
si Mungu wa machafuko, bali wa amani” (1Kor
4:31-32).
12:11,29-30; 14:12,33). Kwa ajili hiyo mitume
“Tunda la Roho ni upendo, furaha, amani,
walipambanua na kuratibu karama katika ibada na
uvumilivu, utu wema, fadhili, uaminifu, upole,
katika maisha ya jumuia zisije zikavuruga Kanisa.
kiasi; juu ya mambo kama hayo hakuna sheria”

(Gal 5:22-23).

“Lakini, mkiwa na wivu wenye uchungu na ugomvi


Karama za kushangaza zina hatari gani?
mioyoni mwenu, msijisifu, wala msiseme uongo

Karama za kushangaza zina hatari mbalimbali, juu ya kweli. Hekima hiyo siyo ile ishukayo kutoka

hasa zikitiwa maanani mno. Hapo ni rahisi zilete juu, bali ni ya dunia, ya tabia ya kibinadamu, na

majivuno, kijicho na mafarakano. Shetani. Maana hapo palipo wivu na ugomvi, ndipo

palipo machafuko, na kila tendo baya. Lakini


“Ikiwa kwenu kuna husuda na fitina, je, si watu wa
hekima itokayo juu, kwanza ni safi; tena ni ya
tabia ya mwili ninyi; tena mnaenenda kwa jinsi ya
amani, ya upole, tayari kusikiliza maneno ya watu,
kibinadamu?… Mmekwisha kushiba, mmekwisha
imejaa rehema na matunda mema, haina fitina,
kupata utajiri, mmemiliki pasipo sisi. Naam, laiti
haina unafiki” (Yak 3:14-17).
mngemiliki… Kwa hiyo anayejidhania kuwa
Madhehebu yanapozidi kufarakana ni lazima
amesimama na aangalie asianguke” (1Kor 3:3;
tujiulize kama kweli ni kazi ya Roho Mtakatifu.
4:8; 10:12).

Katika mambo yasiyothibitika ni rahisi WhatsAppTwitterLinkedInEmail


Amri za Kanisa: Mambo ya Muhimu kujua na Kuzingatia
kudanganyika kuwa yametoka kwa Mungu, kumbe
Mafundisho ya Katekisimu / Leave a Comment
sivyo. Kisha kudanganyika ni vigumu kuachana
Amri za Kanisa ni zipi?
nayo hata yakiwa na madhara kwa mhusika au

kwa Kanisa. Amri za kanisa ni;


1. Hudhuria Misa Takatifu Dominika na sikukuu zilizoamriwa.
2. Funga siku ya Jumatano ya Majivu; usile nyama siku ya
“Wapenzi, msiiamini kila roho, bali zijaribuni hizo Ijumaa Kuu
3.Ungama dhambi zako walau mara moja kila mwaka.
roho, kwamba zimetokana na Mungu; kwa sababu
4. Pokea Ekaristi Takatifu hasa wakati wa Pasaka
manabii wa uongo wengi wametokea duniani” 5. Saidia Kanisa Katoliki kwa zaka
6. Shika sheria Katoliki za ndoa.
(1Yoh 4:1).

Katika Amri ya kwanza ya Kanisa tumeamriwa nini?


Tunda la kuongozwa na Roho Mtakatifu ni

lipi? Tumeamriwa tusikilize Misa kila siku ya Mungu na Sikukuu


zilizoamriwa.
82

Katika Amri ya Nne ya Kanisa tumeamriwa tupokee Ekaristi


Sikukuu zilizoamriwa ni zipi? Takatifu walau mara moja kwa mwaka wakati wa pasaka.

Ndizo:

1. Kuzaliwa kwa Yesu – Noeli tarehe 25/12


2. Pasaka – Ufufuko wa Bwana Yesu Katika Amri ya Tano ya Kanisa tumeamriwa nini?
3. Kupaa Yesu —- Siku 40 baada ya Pasaka.
4. Kupalizwa Mbinguni Bikira Maria 15/8
5. Sikukuu ya Watakatifu Wote 1/11 Katika Amri ya Tano ya Kanisa tumeamriwa kufahamu kuwa
gharama za dini na za mapadre zatupasa. Yaanai wakristo
walitegemeze Kanisa na wahudumu wake na hasa katika kazi ya
kueneza injili.

Katika Amri ya Kwanza ya kanisa tumekatazwa nini?

Tumekatazwa; Zaka ni nini?


1. Kukosa Misa
2. Kufanya kazi nzito siku hizo
Zaka ni asilimia kumi (10%) ya pato la mtu kwa mwaka ambalo
anapaswa kulitoa kwa Kanisa.

Kujinyima ni nini?
Asiyelipa Zaka na michango mingine ya Kanisa ya lazima
Kujinyima ni kujikatalia kitu ukipendacho mfano nyama,
pombe, sigara, muziki, safari, maongezi n.k. atenda dhambi gani?

Atenda dhambi kubwa: Yampasa kulipa na kuungama.

Nani ana lazima ya kufunga?

Kila Mkristo aliyetimiza miaka 14 na zaidi anapaswa kufunga Amri ya Sita ya Kanisa Inadai nini?
kula nyama (Ijumaa kuu) na mwenye miaka zaidi ya 21 kufunga
chakula. (Jumatano ya Majivu)
Inadai kushika Sheria Takatifu Za ndoa

WhatsAppTwitterLinkedInEmail
Mambo ya Msingi unayopaswa kufahamu kuhusu Ekaristi
Siku za kufunga ni zipi? Na siku gani tumekatazwa kula
Mafundisho ya Katekisimu / 1 Comment
nyama?
Sakramenti inayokamilisha ubatizo na
Siku za kufunga ni Jumatano ya majivu, siku za Kwaresima kipaimara ni ipi?
isipokuwa Dominika zake, na siku iliyokatazwa kula nyama ni
siku ya Ijumaa kuu.
Sakramenti inayokamilisha ubatizo na kipaimara ni

ekaristi, iliyo kuu kuliko sakramenti zote kwa

sababu ndiyo Yesu mzima, Mungu-mtu, katika

Katika Amri ya Tatu ya Kanisa tumeamriwa nini? maumbo ya mkate na divai.

Katika Amri ya Tatu ya Kanisa tumeamriwa kuungama mara Sisi ambao tulishiriki kifumbo kifo na ufufuko wake
kwa mara walau mara moja kila mwaka
tukapokea kwake paji la Roho Mtakatifu,

tunaalikwa kukaribia mara kwa mara meza

anapotulisha na kutunywesha Mwili na Damu yake

Katika Amri ya Nne ya Kanisa tumeamriwa nini? ili tushiriki uhai wake kwa dhati zaidi na zaidi.
83

“Aulaye mwili wangu na kuinywa damu yangu “Baba zenu walikula mana jangwani, lakini wakafa.

hukaa ndani yangu, nami hukaa ndani yake. Kama 50Lakini hapa kuna mkate utokao mbinguni,

vile Baba aliye hai alivyonituma mimi, nami ni hai ambao mtu ye yote akiula, hatakufa. 51Mimi ni

kwa Baba; kadhalika naye mwenye kunila atakuwa mkate wa uzima ule uliotoka mbinguni. Mtu ye

hai kwa mimi” (Yoh 6:56-57). yote akiula mkate huu, ataishi milele. Mkate huu ni

Ubatizo na kipaimara havirudiwi, vinadumu ndani mwili wangu, ambao nitautoa kwa ajili ya uzima

mwetu kama mifupa ambayo ekaristi ya mara kwa wa ulimwengu.‟‟ 52Ndipo Wayahudi wakaanza

mara inazidi kuitia mwili na damu. kuhojiana vikali wao kwa wao wakisema, “Mtu

huyu awezaje kutupatia mwili wake tuule?‟‟

53Hivyo Yesu akawaambia, “Amin, amin,

nawaambia, msipoula mwili wa Mwana wa Adamu


Ekaristi maana yake nini? Je ni kweli Yesu
na kuinywa damu Yake, hamna uzima ndani yenu.
yupo katika Maumbo ya Mkate na Divai?
54Mtu ye yote aulaye mwili wangu na kunywa

damu yangu, anao uzima wa milele. Nami


Ekaristi maana yake ni shukrani, iliyokuwa nitamfufua siku ya mwisho. 55Kwa maana mwili
msimamo wa msingi wa Yesu kwa Baba maisha wangu ni chakula cha kweli na damu yangu ni
yake yote, hasa alipofikia wakati wa kutolewa awe kinywaji cha kweli. 56Ye yote alaye mwili wangu
kafara ya wokovu wetu. na kunywa damu yangu, atakaa ndani yangu nami

nitakaa ndani yake. 57Kama vile Baba aliye hai


23Maana mimi nilipokea kwa Bwana yale maagizo alivyonituma Mimi, na kama nami ninavyoishi kwa
niliyowaachieni: Kwamba, usiku ule Bwana Yesu sababu ya Baba, hivyo anilaye mimi ataishi kwa
alipotolewa, alitwaa mkate, 24akamshukuru sababu yangu. 58Huu ndio mkate ushukao kutoka
Mungu, akaumega, akasema: “Huu ndio mwili mbinguni, si kama ule mkate baba zenu waliokula
wangu ulio kwa ajili yenu; fanyeni hivi kwa nao wakafa. Lakini yeye aulaye mkate huu ataishi
kunikumbuka.” 25Vivyo hivyo, baada ya kula, milele.‟‟ (Yoh 6:49-58)
akatwaa kikombe cha divai, akasema: “Hiki ni

kikombe cha agano jipya linalothibitishwa kwa Damu na Mwili aliotupa Yesu ni nini? Ekaristi
damu yangu. Fanyeni hivi, kila mnapokunywa, kwa ni nini hasa?
kunikumbuka.”

26Maana kila mnapokula mkate huu na kukinywa


Maana ya Damu na Mwili aliyoisemea Yesu
kikombe hiki, mwatangaza kifo cha Bwana, mpaka
tunaipata hapa;
atakapokuja. 27Kwa hiyo, kila aulaye mkate huo

au kunywa kikombe cha Bwana bila kustahili,


“Walipokuwa wakila, Yesu akachukua mkate,
atakuwa na hatia dhidi ya mwili na damu ya
akashukuru, akaumega na kuwapa wanafunzi
Bwana. (1Kor 11:23-27).
Wake akisema, “Kuleni, huu ndio mwili

Wangu.’’ 23Kisha akachukua kikombe,


Yesu alituambia nini kuhusu Mwili wake na
akashukuru, akawapa wanafunzi Wake, wote
damu yake?
wakanywa kutoka humo. 24Akawaambia, “Hii

ndiyo damu yangu ya agano, imwagikayo kwa ajili


Yesu alituambia hivi; ya wengi. 25Amin nawaambia, sitakunywa tena

uzao wa mzabibu mpaka siku ile nitakapokunywa


84

mpya katika Ufalme wa Mungu.‟‟ 26Walipokwisha Mitume walichukua Mkate na divai kama mwili na

kuimba wimbo, wakatoka wakaenda kwenye Mlima damu ya Yesu Kristu na walishiriki kiaminifu na

wa Mizeituni. (Marko 14:22-26). kwa usafi wa moyo.

Kwa hiyo Yesu alionyesha upi ni mwili wake na 16Je, kikombe cha Baraka ambacho tunakibariki, si

damu yake ushirika katika damu ya Kristo? Mkate tuumegao,

si ushirika wa mwili wa Kristo? 17(Kwa kuwa

Fundisho hili la mwili na damu ya Yesu mkate ni mmoja, sisi tulio wengi tu mwili mmoja,

(Ekaristi) lilikua Agizo tunalopaswa kulitii kwa kuwa wote twashiriki mkate mmoja) (1

mpaka leo? Wakorinto 10:16)

Ndiyo, Yesu alisema tufanye hivyo kwa ukumbusho 27Kwa hiyo, mtu ye yote alaye mkate huo au

wake kukinywea kikombe hicho cha Bwana isivyostahili,

atakuwa na hatia ya dhambi juu ya mwili na damu

“Kisha akachukua mkate, akashukuru, akaumega, ya Bwana. 28Inampasa mtu ajichunguze

akawapa akisema, “Huu ni mwili Wangu mwenyewe, kabla ya kula mkate na kukinywea

unaotolewa kwa ajili yenu, fanyeni hivi kwa kikombe. 29Kwa maana mtu ye yote alaye na

ukumbusho Wangu.” (Luka 22: 19). kunywa pasipo kuutambua mwili wa Bwana,

anajiletea hukumu juu yake mwenyewe. 30Hii

Kwa hiyo aliwaagiza Mitume wafanye hivyo pia. ndiyo sababu wengi miongoni mwenu ni wagonjwa

na dhaifu na wengine wenu hata wamekufa.

31Lakini kama tungejipambanua wenyewe


Mitume walitii Fundisho la Ekaristi na
tusingehukumiwa. 32Tunapohukumiwa na Bwana,
waliliishi?
tunaadabishwa ili tusije tukahukumiwa pamoja na

ulimwengu. (1Wakorinto 11:27-32)


Ndiyo, Kila walipokutana Walishiriki Meza ya

Bwana Kama tunavyosoma Kwenye vifungu


21Hamwezi kunywa katika kikombe cha Bwana na
vifuatavyo;.
cha mashetani pia. Hamwezi kuwa na sehemu

katika meza ya Bwana na katika meza ya


46Siku zote kwa moyo mmoja walikutana ndani ya
mashetani. 22Je, tunataka kuamsha wivu wa
ukumbi wa hekalu, wakimega mkate nyumba kwa
Bwana? Je, sisi tuna nguvu kuliko Yeye? (1
nyumba, wakila chakula chao kwa furaha na moyo
Wakorinto 10:21-22)
mweupe, (Mdo 2:46).

Je ni lazima Kwa Mkristu kupokea Mwili na


7Siku ya kwanza ya juma tulikutana pamoja kwa
damu ya Yesu (Ekaristi)?
ajili ya kumega mkate. (Mdo 20:7)

Yesu alisema hivi;


Je mkate na divai vilichukuliwa na Mitume

kama nini hasa? walichukulia Ekaristi kama


53Hivyo Yesu akawaambia, “Amin, amin,
nini?
nawaambia, msipoula mwili wa Mwana wa Adamu
85

na kuinywa damu Yake, hamna uzima ndani yenu. mnatangaza mauti ya Bwana mpaka ajapo. 27Kwa

54Mtu ye yote aulaye mwili wangu na kunywa hiyo, mtu ye yote alaye mkate huo au kukinywea

damu yangu, anao uzima wa milele. Nami kikombe hicho cha Bwana isivyostahili, atakuwa na

nitamfufua siku ya mwisho. 55Kwa maana mwili hatia ya dhambi juu ya mwili na damu ya Bwana.

wangu ni chakula cha kweli na damu yangu ni 28Inampasa mtu ajichunguze mwenyewe, kabla ya

kinywaji cha kweli. 56Ye yote alaye mwili wangu kula mkate na kukinywea kikombe. 29Kwa maana

na kunywa damu yangu, atakaa ndani yangu nami mtu ye yote alaye na kunywa pasipo kuutambua

nitakaa ndani yake. (Yohana 6:53–56) mwili wa Bwana, anajiletea hukumu juu yake

mwenyewe. 30Hii ndiyo sababu wengi miongoni

Je ni kwa nini madhehebu mengine mwenu ni wagonjwa na dhaifu na wengine wenu

hawakubali mafundisho haya ya Ekaristi hata wamekufa. (1 Wakorinto 11:23-30)

Takatifu, Je ni mara ya kwanza watu

kukataa? Kwa hiyo Mitume waliwaasa Wakristu wa kwanza

Kushiriki Mwili na Damu ya Yesu kila mara na kwa

Hii ni sababu ya ugumu wa mioyo na kutokuelewa Uaminifu.

maandiko ndio maana madhehebu mengine

wanaukataa kwa dhati Mwili na Damu ya Yesu. Je Yesu Yupo Mzima katika Ekaristi Takatifu?

Hata wakati Yesu akiyasema maneno haya Wafuasi Na kwa nini Tunaabudu Ekaristi?

Wengi Walimwacha kama Biblia inavyosema;

Ndiyo. Ekaristi Takatifu inamuwakilisha Yesu

60Wengi wa wafuasi Wake waliposikia jambo hili Mwenyewe aliye Mungu na aliyeamua Mwenyewe

wakasema, “Mafundisho haya ni magumu. Ni nani kuwepo katika Maumbo ya Mkate na Divai.

awezaye kuyapokea?‟‟ (Yohana 6:60).

Ukisoma Yoh 6:51-57 inasema hivi;

Haishangazi hata leo weni hawaamini mafundisho

haya japokua ndio msingi wa Imani ya Kikristo. 51Mimi ni mkate wa uzima ule uliotoka mbinguni.

Mtu ye yote akiula mkate huu, ataishi milele.

Mitume walifundisha nini kuhusu Mwili na Mkate huu ni mwili wangu, ambao nitautoa kwa

Damu ya Kristu (Ekaristi)? ajili ya uzima wa ulimwengu.‟‟ 52Ndipo Wayahudi

wakaanza kuhojiana vikali wao kwa wao

23Kwa maana mimi nilipokea kutoka kwa Bwana wakisema, “Mtu huyu awezaje kutupatia mwili

yale niliyowapa ninyi, kwamba Bwana Yesu, usiku wake tuule?‟‟ 53Hivyo Yesu akawaambia, “Amin,

ule alipotolewa, alitwaa mkate, 24naye akiisha amin, nawaambia, msipoula mwili wa Mwana wa

kushukuru, akaumega, akasema “Huu ndio mwili Adamu na kuinywa damu Yake, hamna uzima

Wangu, ambao ni kwa ajili yenu. Fanyeni hivi kwa ndani yenu. 54Mtu ye yote aulaye mwili wangu na

ukumbusho Wangu.” 25Vivi hivi baada ya kula, kunywa damu yangu, anao uzima wa milele. Nami

akakitwaa kikombe, akisema, “Kikombe hiki ni nitamfufua siku ya mwisho. 55Kwa maana mwili

agano jipya katika damu Yangu. Fanyeni hivi kila wangu ni chakula cha kweli na damu yangu ni

mnywapo kwa ukumbusho Wangu.” 26Maana kila kinywaji cha kweli. 56Ye yote alaye mwili wangu

mlapo mkate huu na kunywea kikombe hiki, na kunywa damu yangu, atakaa ndani yangu nami
86

nitakaa ndani yake. 57Kama vile Baba aliye hai Ili kujua kuwa Mitume waliheshimu Mwili na Damu

alivyonituma Mimi, na kama nami ninavyoishi kwa ya Yesu Biblia inatuambia hivi;

sababu ya Baba, hivyo anilaye mimi ataishi kwa

sababu yangu. (Yoh 6:51-57) 23Kwa maana mimi nilipokea kutoka kwa Bwana

yale niliyowapa ninyi, kwamba Bwana Yesu, usiku

Mstari wa 51 Yesu alisema wazi Mkate huo ni Mwili ule alipotolewa, alitwaa mkate, 24naye akiisha

wake. kushukuru, akaumega, akasema “Huu ndio mwili

Wangu, ambao ni kwa ajili yenu. Fanyeni hivi kwa

Thamani na Uwepo wa Yesu Mwenyewe ukumbusho Wangu.” 25Vivi hivi baada ya kula,

unaonekana katika Mstari wa 53 na wa 56. akakitwaa kikombe, akisema, “Kikombe hiki ni

Kumbuka hapa amesema “Mimi nitakaa ndani agano jipya katika damu Yangu. Fanyeni hivi kila

yake” Hakusema Mwili wangu utakaa ndani yake. mnywapo kwa ukumbusho Wangu.” 26Maana kila

Kwa maana nyingine ni kwamba Ekaristi ni Yesu mlapo mkate huu na kunywea kikombe hiki,

Mzima na Sio Mwili tuu. mnatangaza mauti ya Bwana mpaka ajapo. 27Kwa

hiyo, mtu ye yote alaye mkate huo au kukinywea

54Mtu ye yote aulaye mwili wangu na kunywa kikombe hicho cha Bwana isivyostahili, atakuwa na

damu yangu, anao uzima wa milele. Nami hatia ya dhambi juu ya mwili na damu ya Bwana.

nitamfufua siku ya mwisho. 55Kwa maana mwili 28Inampasa mtu ajichunguze mwenyewe, kabla ya

wangu ni chakula cha kweli na damu yangu ni kula mkate na kukinywea kikombe. 29Kwa maana

kinywaji cha kweli. 56Ye yote alaye mwili wangu mtu ye yote alaye na kunywa pasipo kuutambua

na kunywa damu yangu, atakaa ndani yangu nami mwili wa Bwana, anajiletea hukumu juu yake

nitakaa ndani yake. mwenyewe. 30Hii ndiyo sababu wengi miongoni

mwenu ni wagonjwa na dhaifu na wengine wenu

Wale Wanaopinga fundisho la Ekaristi wanafikiri hata wamekufa. (1 Wakorinto 11:23-30)

Yesu alivyosema Mimi ni Chakula Kutoka Mbinguni

hakumaanisha Mwili bali Maneno na Imani Kwake Kwa hiyo Mitume walisisitiza kuhusu Mwili na

lakini Tukisoma 51 Yesu alisema wazi kuwa Mwili Damu ya Kristu kuwa ni Mtakatifu.

wake ndio Mkate wenyewe. Kwa hiyo basi kama tunavyosoma katika Yoh 6:51;

na

51Mimi ni mkate wa uzima ule uliotoka mbinguni.

Mtu ye yote akiula mkate huu, ataishi 51Mimi ni mkate wa uzima ule uliotoka mbinguni.

milele. Mkate huu ni mwili wangu, ambao Mtu ye yote akiula mkate huu, ataishi milele.

nitautoa kwa ajili ya uzima wa ulimwengu.‟‟ Mkate huu ni mwili wangu, ambao nitautoa kwa

ajili ya uzima wa ulimwengu.‟‟

Mitume wa Yesu walielewa hivi fundisho hili ndio

Maana walishiriki Meza ya Bwana kila walipokutana Yesu alisema Mimi ni Mkate wa Uzima ambao

na waliheshimu kama Mwili na Damu ya Kristo. alimaanisha upo katika Mwili wake. Mwili tuu

hauna uzima kama hauna Yesu ndani yake. Kwa

7Siku ya kwanza ya juma tulikutana pamoja kwa sababu Mwili ni Mzima na Unaye Yesu ndani yake

ajili ya kumega mkate. (Mdo 20:7) ndiyo maana unaweza kuleta uzima kwa Wengine.
87

Tunaelewa kwamba Yesu alijitoa Msalabani Mwili

Wake na Damu yake na ndicho alichotupa ktk

Ekaristi. Na Mwili wake huo Ulikua umembeba yeye Yesu alitumia mkate na divai kwa sababu

aliye Mungu ndiyo maana tunaabudu Ekaristi alipo gani?


Yesu aliye Mungu.

Yesu alitumia mkate na divai kwa sababu vilikuwa


Kwa kuwa Yesu ni Mungu Kama tunavyosoma vya maana sana katika utamaduni wake na katika
katika Yoh 1:1-12 Agano la Kale.

1 Hapo mwanzo, kabla ya kuwapo kitu kingine cho Vilikuwa chakula cha kawaida na kinywaji cha
chote, aliku wapo Neno. Huyo Neno alikuwa karamu.
pamoja na Mungu, naye alikuwa Mungu. 2 Tangu

mwanzo Neno amekuwa na Mungu. 3 Vitu vyote “Divai imfurahishe mtu moyo wake… na mkate
viliumbwa na yeye, wala hakuna cho chote umburudishe mtu moyo wake” (Zab 104:15).
kilichoumbwa ambacho hakukiumba. 4 Uzima

ulikuwa ndani yake na uzima huo ndio ulikuwa Vilitokana na chembe za ngano na matunda ya
nuru ya watu……..14 Naye Neno alifanyika mwili, mzabibu ambavyo Yesu alijifananisha navyo.
akakaa kwetu; nasi tukauona utukufu wake,

utukufu kama wa Mwana pekee atokaye kwa Baba;


“Amin, amin, nawaambia: Chembe ya ngano
amejaa neema na kweli. (Yoh 1:1-12)
isipoanguka katika nchi, ikafa, hukaa hali iyo hiyo

peke yake; bali ikifa, hutoa mazao mengi” (Yoh


Kwa hiyo Neno huyo huyo Ndiye aliyetukomboa 12:24).
kwa kuutoa mwili wake sadaka Msalabani na ndiye

Aliyetupa Mwili Wake na Damu yake ktk Ekaristi na


“Mimi ni mzabibu, ninyi ni matawi; akaaye ndani
anaabudiwa kwa kuwa yupo katika mwili huo.
yangu nami ndani yake, huyo huzaa sana; maana

pasipo mimi ninyi hamwezi kufanya neno lolote”


“Kisha akachukua mkate, akashukuru, akaumega, (Yoh 15:5).
akawapa akisema, “Huu ni mwili Wangu

unaotolewa kwa ajili yenu, fanyeni hivi kwa


Baada ya kulimwa, vilihitaji kusagwa au
ukumbusho Wangu.” (Luka 22: 19).
kushinikizwa, matendo yanayodokeza tena mateso

yake pamoja na kazi ya binadamu. Pia wingi wa


Kwa namna hii alitupa mwili wake. chembe na wa zabibu zinazoungana ziwe mkate na

divai unamaanisha umoja wa waamini ndani ya


Alisema fanyeni kwa ukumbusho wangu na Sio wa Kristo. Kwa hiyo ni lazima tutumie daima mkate na
mwili wangu. divai, si vitu vingine.

Hivyo Ekaristi ni Yesu Mwenyewe aliye Ikumbukwe pia “Melkizedeki mfalme wa Salemu
Mungu. Ndiyo sababu tunaabudu Ekaristi alileta mkate na divai, naye alikuwa kuhani wa
Takatifu. Mungu aliye juu sana” (Mwa
88

14:18), “amefananishwa na Mwana wa Mungu” (Eb Hakuna nyama isiyokua na damu, damu hutoka

3:7). Alimtolea Mungu kama sadaka kwenye nyama na sio nyama kwenye damu. Ukila

nyama umekula na damu pia

Mara nyingi waamini wanapokea umbo la

mkate tu kwa lengo gani?, Kwa nini Je, divai (pombe) ni halali?

hatupokei mwili na damu, tunapokea mwili

tuu? Ndiyo, divai ni halali, mradi itumike kwa kiasi isije

ikaleta madhara.

Mara nyingi waamini wanapokea umbo la mkate tu

kwa lengo la kukwepa umwagaji wa Damu ya “Melkizedeki mfalme wa Salemu alileta mkate na
Kristo na kurahisisha ibada, hasa kama washiriki ni divai, naye alikuwa kuhani wa Mungu aliye juu

umati (hata milioni 4 katika misa moja). sana” (Mwa 14:18), “amefananishwa na Mwana wa

Mungu” (Eb 3:7).

Yesu mwenyewe alizungumzia mkate kuliko divai,

kwa sababu chakula ni muhimu kuliko kileo. “Bwana wa majeshi atawafanyia mataifa yote

karamu ya vitu vinono, karamu ya divai iliyokaa

“Mimi ndimi chakula chenye uzima kilichoshuka juu ya urojorojo wake, karamu ya vinono vilivyojaa

kutoka mbinguni; mtu akila chakula hiki, ataishi mafuta, karamu ya divai iliyokaa juu ya urojorojo

milele. Na chakula nitakachotoa mimi ni mwili wake, iliyochujwa sana” (Isa 25:6).

wangu, kwa ajili ya uzima wa ulimwengu” (Yoh

6:51). “Njoo, ule mkate wangu, ukanywe divai

niliyoichanganya” (Mith 9:5-6).

Kwa maana hiyo hiyo, Mitume nao walizungumzia

Mkate kuliko Divai. Yesu alishiriki karamu nyingi na katika mojawapo

ndipo alipoanza miujiza yake kwa kugeuza mapipa

“Kwa kuwa mkate ni mmoja, sisi tulio wengi tu ya maji kuwa divai bora.

mwili mmoja; kwa maana sisi sote twapokea

sehemu ya ule mkate mmoja” (1Kor 10:17). “Kila mtu kwanza huandaa divai iliyo njema; hata

watu wakiisha kunywa sana ndipo huleta iliyo

Mkate ni mwili na Divai ni Damu. Unaposema mwili dhaifu; wewe umeiweka divai iliyo njema hata

umeshahusisha na Damu tayari. sasa” (Yoh 2:10).

Anayekula umbo la mkate hapokei sehemu tu ya Tujihadhari na hoja za kibinadamu zinazoelekea

Yesu, bali anampokea mzima, Mwili, Damu, Roho kumlaumu kwa ajili hiyo, kama wengine

na Umungu. Pamoja na hayo, daima ni lazima walivyofanya zamani zake:

walau padri anywe umbo la divai.

“Mwana wa Adamu amekuja, anakula na kunywa,

nanyi mwasema, „Tazama, mlafi huyu, na mnywaji


89

wa divai, rafiki wao watoza ushuru na wenye Katika karamu ya Bwana tunakula na kunywa

dhambi” (Lk 7:34). nini?

Katika karamu ya Bwana tunakula na kunywa Mwili

wa Damu ya Kristo. Katika sala kuu ya ekaristi

Hatimaye Yesu alitumia divai kufanyia nini? padri anaporudia maneno ya Yesu juu ya mkate na

divai, Roho Mtakatifu anavigeuza kwa dhati: mkate

Kama alivyofanya Melkizedeck anayefananishwa na si tena mkate, wala divai si tena divai, ingawa

Yesu. “Melkizedeki mfalme wa Salemu alileta maumbo yanabaki yaleyale kwa hisi zetu.

mkate na divai, naye alikuwa kuhani wa Mungu

aliye juu sana” (Mwa 14:18), “amefananishwa na “Aulaye mwili wangu na kuinywa damu yangu anao

Mwana wa Mungu” (Eb 3:7). Alimtolea Mungu uzima wa milele; nami nitamfufua siku ya mwisho.

kama sadaka Kwa maana mwili wangu ni chakula cha kweli, na

damu yangu ni kinywaji cha kweli” (Yoh 6:54-55).

Hatimaye Yesu alitumia divai kutuachia ishara ya

damu yake tuweze kushiriki mateso yake. “Je, “Basi kila aulaye mkate huo, au kukinywea

mwaweza kunywea kikombe nitakachonywea kikombe hicho cha Bwana isivyostahili, atakuwa

mimi?” (Math 20:22). Kisha kushiriki kila mwaka amejipatia hatia ya mwili na damu ya Bwana”

karamu ya Pasaka, ambapo wote walikunywa divai (1Kor 11:27).

mara nne, safari ya mwisho alikamilisha miujiza

yake kwa kuigeuza iwe damu yake. “„Nimetamani

sana kuila Pasaka hii pamoja nanyi kabla ya

kuteswa kwangu; kwa maana nawaambia ya Baada ya mageuzo Yesu anabaki katika

kwamba siili tena hata itakapotimizwa katika ekaristi mpaka lini?


ufalme wa Mungu‟. Akapokea kikombe,

akashukuru, akasema, „Twaeni hiki, mgawanywe Baada ya mageuzo Yesu anabaki katika ekaristi
ninyi kwa ninyi; maana nawaambia ya kwamba moja kwa moja. Maumbo ya mkate na divai
tangu sasa sinywi mazao ya mzabibu hata ufalme yanazidi kudokeza uwepo wake kama chakula na
wa Mungu utakapokuja‟. Akatwaa mkate, kinywaji chetu, hata kwa faida ya wagonjwa na
akashukuru, akaumega, akawapa, akisema, „Huu wengineo wasiohudhuria.
ndio mwili wangu unaotolewa kwa ajili yenu; Ndiyo sababu tunazidi kumuabudu katika ekaristi,
fanyeni hivi kwa ukumbusho wangu‟. Kikombe ingawa hatumuoni.
nacho vivyo hivyo baada ya kula, akisema,

„Kikombe hiki ni agano jipya katika damu yangu, “Tomaso alijibu, akamwambia, „Bwana wangu na
inayomwagika kwa ajili yenu‟” (Lk 22:15- 20). Mungu wangu!‟ Yesu akamwambia, „Wewe, kwa
“Kikombe kile cha baraka tukibarikicho, je, si kuwa umeniona, umesadiki; wa heri wale
ushirika wa damu ya Kristo?” (1Kor 10:16). wasioona, wakasadiki” (Yoh 20:28-29).
90

Je, ekaristi ni kafara (sadaka)? ambao siku hiyo Yesu “ali amewapenda watu wake

katika ulimwengu, aliwapenda upeo” (Yoh 13:1).

Ndiyo, ekaristi ni kafara ambayo Yesu alimtolea

Baba msalabani na anaendelea kumtolea kwa Hivyo tunawezeshwa kutekeleza amri mpya

wokovu wetu. aliyotuachia pamoja na ekaristi.

“Yeye, kwa kuwa akaa milele, anao ukuhani wake “Amri mpya nawapa: Mpendane. Kama vile

usioondoka. Naye, kwa sababu hii, aweza nilivyowapenda ninyi, nanyi mpendane vivyo

kuwaokoa kabisa wao wamjiao Mungu kwa yeye; hivyo” (Yoh 13:34).

maana yu hai sikuzote ili awaombee… Kila kuhani

mkuu huwekwa ili atoe vipawa na dhabihu; kwa Ni sharti tujitoe kama Yesu, tukijiunga na sadaka
hiyo lazima huyu naye awe na kitu cha kutoa” (Eb yake katika ibada na katika maisha.
7:24-25; 8:3).

“Katika hili tumelifahamu pendo: kwa kuwa yeye


Katika ekaristi tunajiunga naye kwa kufanya aliutoa uhai wake kwa ajili yetu; imetupasa na sisi

ukumbusho wa kifo na ufufuko wake, tukimtolea kuutoa uhai wetu kwa ajili ya hao ndugu. Lakini
tena Baba sadaka ya Mwili na Damu yake mtu akiwa na riziki ya dunia, kisha akamwona
iliyolinganishwa na zile za Waisraeli na za ndugu yake ni mhitaji, akamzuilia huruma yake,

Wapagani: je, upendo wa Mungu wakaaje ndani yake huyo?

Watoto wadogo, tusipende kwa neno, wala kwa

“Waangalieni hao Waisraeli walivyokuwa kwa jinsi ulimi, bali kwa tendo na kweli” (1Yoh 3:16-18).

ya mwili; wale wazilao dhabihu, je, hawana shirika

na madhabahu? Basi niseme nini? Ya kwamba kile

kilichotolewa sadaka kwa sanamu ni kitu? Au ya

kwamba sanamu ni kitu? Sivyo, lakini vitu vile Ekaristi inaadhimishwa kwa mpangilio gani?
wavitoavyo sadaka wavitoa kwa mashetani, wala si

kwa Mungu; nami sipendi ninyi kushirikiana na Ekaristi inaadhimishwa kwa mpangilio wa
mashetani. Hamwezi kunywea kikombe cha Bwana kupanda: tunalishwa Neno la Mungu katika
na kikombe cha mashetani. Hamwezi kushirikiana mimbari, halafu Mwili na Damu ya Kristo katika
katika meza ya Bwana na katika meza ya altare. Vilevile sehemu ya kwanza (liturujia ya
mashetani” (1Kor 10:18-21). Neno) inatuletea masomo yakiwa na kilele katika

Injili. Halafu katika sehemu ya pili (liturujia ya

ekaristi) padri anafuata alichofanya Yesu katika

karamu ya mwisho: anatwaa mkate na divai


Kwa nini ekaristi inaitwa sakramenti ya (kuandaa dhabihu zetu), anashukuru juu yake

upendo? (sala kuu ya ekaristi inayogeuza dhabihu) na

kuwapa waamini (komunyo, kilele cha yote,

Ekaristi inaitwa sakramenti ya upendo kwa sababu inayotugeuza ndani ya Kristo).

kila tunapofanya ukumbusho wa sadaka hiyo

pekee tunazidi kujifunza na kupokea upendo


91

Yesu mfufuka “aliwaeleza katika Maandiko yote ufalme wa Mungu.”

mambo yaliyomhusu yeye mwenyewe… Ikawa 17 Kisha akatwaa kikombe cha divai, akashukuru,

alipokuwa ameketi nao chakulani, alitwaa mkate, akasema, “Pokeeni, mgawane. 18Kwa maana

akaubariki, akaumega, akawapa. Yakafumbuliwa nawaambieni, sitakunywa tena divai ya zabibu

macho yao, wakamtambua” (Lk 24:27,30-31). mpaka ufalme wa Mungu utakapokuja.”

19 Halafu akatwaa mkate, akashukuru, akaumega,

“Wakawa wakidumu katika fundisho la mitume, na akawapa akisema, “Huu ni mwili wangu

katika ushirika, na katika kuumega mkate, na unaotolewa kwa ajili yenu. Fanyeni hivi kwa

katika kusali” (Mdo 2:42). kunikumbuka.” 20 Akafanya vivyo hivyo na

kikombe cha divai baada ya chakula, akisema,

“Siku ya kwanza ya juma, tulipokuwa tumekutana “Kikombe hiki ni agano jipya linalothibitishwa kwa

ili kumega mkate, Paulo akawahutubu… akamega damu yangu inayomwagika kwa ajili yenu (Lk

mkate, akala” (Mdo 20:7,11). 22:14-20)

Tusipofuata vizuri hatua za awali, hatutafaidika Mitume nao walilipokea Agizo la Ekaristi na

kweli na sakramenti: ndiyo sababu ni muhimu kulifuata kwa Heshima huku wakiamini wanashiriki

tuwahi ibada. Mwili na Damu ya Yesu Kristu

23 Maana mimi nilipokea kwa Bwana yale maagizo

niliyowaachieni: Kwamba, usiku ule Bwana Yesu

Sakramenti ya Ekaristi ni nini? alipotolewa, alitwaa mkate, 24 akamshukuru

Mungu, akaumega, akasema: “Huu ndio mwili

wangu ulio kwa ajili yenu; fanyeni hivi kwa


Sakramenti ya Ekaristi ni Sakramenti ya Mwili na
kunikumbuka.” 25 Vivyo hivyo, baada ya kula,
Damu ya Yesu Kristo, aliye kweli katika Maumbo
akatwaa kikombe cha divai, akasema: “Hiki ni
ya Mkate na Divai. (Yoh 6:1-17, Mt 26:26-28)
kikombe cha agano jipya linalothibitishwa kwa

damu yangu. Fanyeni hivi, kila mnapokunywa, kwa

kunikumbuka.” 26 Maana kila mnapokula mkate

huu na kukinywa kikombe hiki, mwatangaza kifo


Yesu Kristo alianzisha lini Sakramenti ya
cha Bwana, mpaka atakapokuja. 27 Kwa hiyo, kila
Ekaristi?
aulaye mkate huo au kunywa kikombe cha Bwana

bila kustahili, atakuwa na hatia dhidi ya Mwili na


Yesu Kristo alianzisha Sakramenti ya Ekaristi
Damu ya Bwana. (1Kor 11:23-27)
Takatifu jioni ya Alhamisi kuu yaani usiku ule kabla

ya kukutwaliwa kwenye mateso na msalaba.

14 Saa ilipotimia, Yesu akakaa kula chakula


Yesu Kristo alianzishaje Ekaristi Takatifu?
pamoja na mitume wake. 15 Akawaambia,

“Nimetamani sana kula Pasaka hii pamoja nanyi


Yesu alitwaa mkate mikononi mwake, akashukuru,
kabla ya kuteswa kwangu. 16 Maana nawaambieni,
akaumega, akawapa mitume wake akisema:
sitaila tena hadi hapo itakapokamilika katika
92

“TWAENI MLE WOTE: HUU NDIO MWILI WANGU 26 Walipokuwa wanakula, Yesu akatwaa mkate,

UTAKAOTOLEWA KWA AJILI YENU” akamshukuru Mungu, akaumega, akawapa

wanafunzi wake akisema, “Twaeni mle; huu ni

Kisha akatwaa kikombe cha Divai mikononi mwake mwili wangu.” 27 Kisha akatwaa kikombe cha

akawaambia: “TWAENI MNYWE WOTE HIKI NI divai, akashukuru, akawapa akisema, “Kunyweni

KIKOMBE CHA DAMU YANGU: DAMU YA AGANO nyote; 28 maana hii ni damu yangu inayothibitisha

JIPYA NA LA MILELE ITAKAYOMWAGIKA KWA AJILI agano, damu inayomwagwa kwa ajili ya watu

YENU NA KWA AJILI YA WENGI KWA MAONDOLEO wengi ili kuwaondolea dhambi. 29 Nawaambieni,

YA DHAMBI: FANYENI HIVI KWA UKUMBUSHO sitakunywa tena divai ya zabibu mpaka siku ile

WANGU” (Mt 26:26, 1Kor 11:23-35) nitakapoinywa mpya pamoja nanyi katika ufalme

wa Baba yangu.”

30 Baada ya kuimba wimbo, wakaondoka,

wakaenda katika mlima wa Mizeituni. (Mat 26:26-

Ni kwa nini ni Kweli Yesu Kristo yuko chini ya 30)

maumbo ya Mkate na Divai?

Nikweli Yesu Kristo yuko chini ya maumbo ya

Mkate na Divai kwa sababu Je Sakramenti ya Ekaristi hujulikana kwa

majina yapi?

1. Kwa kuwa hakuna kisichowezekana kwa Mungu

(Lk 1:37) Majina haya;

2. Kwa kuwa Yesu aliahidi kutupatia chakula

kutoka Mbinguni yaani Mwili na Damu yake 1. Ekaristi Takatifu

Takatifu. (Yoh 6:41) 2. Karamu ya Bwana

3. Kwa kuwa Yesu ni Mungu na akaita mkate ni 3. Misa Takatifu

mwili wake na divai ni damu yake basi lazima viwe 4. Sakramenti Takatifu ya Altare

hivyo. (Mt 26:26-27, Lk 22:14-20, Mk 14:22-26) 5. Komunyo Takatifu

4. Kwa kuwa ni lazima anayetaka kuwa na uzima 6. Sadaka Takatifu

wa milele aule, hata leo katika maneno ya Padri 7. Kumega Mkate

Yesu huwa katika Maumbo hayo. (Yoh 6:53-56).

Baada ya Mitume kufa ni nani wanafanya

Ni wakati gani katika Misa Mkate na Divai Sakramenti ya Ekaristi

vinageuka Mwili na Damu yake Kristo?

Badaa ya Mitume kufa Maaskofu na Mapadri

Ni katikati ya Misa padri asemapo maneno wanaendelea kuadhimisha Sakramenti ya Ekaristi

Matakatifu aliyosema Yesu mwenyewe: “HUU NDIO Takatifu

MWILI WANGU; HII NDIO DAMU YANGU”


93

Ni lini Yesu Kristo aliwapa Maaskofu na ambayo ingetumika ingekuwa na Kilevi kwa hiyo

Mapadri Uwezo wa kugeuza mkate na divai angeonya Matumizi yake.

kuwa Mwili na Damu yake?

Divai iliyotumiwa na Yesu na Mitume ilikua na

Yesu Kristo aliwapa Maaskofu na Mapadri Uwezo Kilevi ndio maana Mitume waliwaonya wakristo wa

wa kugeuza mkate na divai kuwa Mwili na Damu kwanza juu ya ya kushiriki vibaya Meza ya Bwana

yake alipowafanya Mitume kuwa Mapadri katika mfano kulewa kama tunavyosoma kwenye mistari

karamu ya mwisho aliposema “FANYENI HIVI KWA ifuatayo.

UKUMBUSHO WANGU” (Lk 22:14-20)

17Basi katika maagizo yafuatayo, siwezi kuwasifu,

kwa sababu mkutanikapo si kwa ajili ya faida bali

kwa hasara. 18Kwanza, mnapokutana kama

Je, Divai iliyotumiwa na Yesu ilikua na Kilevi kanisa, nasikia kwamba kuna mgawanyiko

(pombe)? miongoni mwenu, nami kwa kiasi fulani nasadiki

kuwa ndivyo ilivyo. 19Bila shaka lazima pawe na

Ndiyo, Divai aliyoitumia Yesu kuigeuza kuwa damu tofauti miongoni mwenu ili kuonyesha ni nani

yake ilikua na kilevi kwa sababu kwa kawaida anayekubaliwa na Mungu. 20Mkutanikapo pamoja

kipindi cha Pasaka sio msimu wa kuvuna zabibu na si chakula cha Bwana mnachokula, 21kwa kuwa

hakukuwa na njia yoyote ya kufanya juisi yake mnapokula, kila mmoja wenu anakula bila

isiwe kilevi. Kwa hiyo hakukuwa na uwezekano wa kuwangoja wengine, huyu hukaa njaa

kupata juisi ya zabibu isipokua mvinyo wa zabibu na mwingine analewa. 22Je, hamna nyumbani

wenye kilevi. Vile vile Wayahudi walikua na desturi kwenu ambako mnaweza kula na kunywa? Au

ya kutumia Mvinyo wa zabibu kama kinywaji cha mnalidharau kanisa la Mungu na kuwadhalilisha

sikukuu ya pasaka. wale wasio na kitu? Niwaambie nini? Je, niwasifu

Hakuna sehemu kwenye Bilia tunaambiwa kwamba juu ya jambo hili? La, hasha! 23Kwa maana mimi

ulifanyika Muujiza wa Kufanya Divai isiwe kilevi. nilipokea kutoka kwa Bwana yale niliyowapa ninyi,

Biblia inatuambia kuwa Mitume kila walipokutana kwamba Bwana Yesu, usiku ule alipotolewa,

Walishiriki Meza ya Bwana. Haikutuambia alitwaa mkate, 24naye akiisha kushukuru,

walishiriki meza ya Bwana tuu Kipindi cha akaumega, akasema “Huu ndio mwili Wangu,

kukamua Zabibu. ambao ni kwa ajili yenu. Fanyeni hivi kwa

Biblia inatuthibitishia kuwa Divai aliyotumia Yesu ukumbusho Wangu.” 25Vivi hivi baada ya kula,

na Mitume ilikua na kilevi kwa kusema kuwa akakitwaa kikombe, akisema, “Kikombe hiki ni

wengine walikuwa wakilewa katika Meza ya Bwana agano jipya katika damu Yangu. Fanyeni hivi kila

(Wakorinto 11:22). mnywapo kwa ukumbusho Wangu.” 26Maana kila

mlapo mkate huu na kunywea kikombe hiki,

Biblia haituambii kuwa Yesu alitumia Divai isiyo na mnatangaza mauti ya Bwana mpaka ajapo. 27Kwa

kilevi. Wala Yesu hakuwahi kuonya kuhusu hiyo, mtu ye yote alaye mkate huo au kukinywea

kutumia Divai yenye Kilevi. Yesu katika Umungu kikombe hicho cha Bwana isivyostahili, atakuwa na

wake angeweza kujua kuwa miaka ijayo Divai hatia ya dhambi juu ya mwili na damu ya Bwana.

28Inampasa mtu ajichunguze mwenyewe, kabla ya

kula mkate na kukinywea kikombe. 29Kwa maana


94

mtu ye yote alaye na kunywa pasipo kuutambua Kabla ya Kupokea Ekaristi Takatifu Tunasali

mwili wa Bwana, anajiletea hukumu juu yake sala gani?

mwenyewe. 30Hii ndiyo sababu wengi miongoni

mwenu ni wagonjwa na dhaifu na wengine wenu Tunasali “Ee Bwana sistahili uingie kwangu lakini
hata wamekufa. 31Lakini kama tungejipambanua sema neno tu na roho yangu itapona”
wenyewe tusingehukumiwa. 32Tunapohukumiwa

na Bwana, tunaadabishwa ili tusije tukahukumiwa

pamoja na ulimwengu. 33Kwa hiyo, ndugu zangu,

mkutanikapo pamoja ili kula, mngojane. 34Kama Katika Ekaristi Takatifu Tunampokea nani?
mtu akiwa na njaa, ale nyumbani kwake ili

mkutanapo pamoja msije mkahukumiwa. Nami


Katika Ekaristi Takatifu Tunampokea Yesu Kristo
nitakapokuja nitawapa maelekezo zaidi.(Wakorinto
Katika Maumbo ya Mkate na Divai na tunaungana
11:17-29)
naye (Yoh 6:57)

Kwa hiyo hata Mitume na Wakristu wa kwanza

walitumia divai yenye kilevi kwenye Meza ya

Bwana (Ekaristi) ndio maana kuna waliolewa.


Mkristo awe katika hali gani kabla ya

kupokea Ekaristi Takatifu?

1. Awe na Neema ya Utakaso yaani asiwe na


Litrujia ya Ekaristi ina sehemu kuu ngapi?
dhambi ya mauti.

2. Awe na Imani, Ibada na Kumtamani Yesu.


Litrujia ya Ekaristi ina sehemu kuu tatu

3. Afunge chakula Muda wa saa Moja na Kileo zaidi


1. Matayarisho ya vipaji ya masaa matatu.
2. Sala ya Ekaristi 4. Awe safi kimwili.
3. Ibada ya Komunyo 5. Awe na adabu na heshima.

Ni vitu gani vya msingi na vya lazima katika Komunyo Takatifu Hutuletea neema gani?
kuadhimisha Ekaristi Takatifu?

1. Hulinda na kuongeza neema ya Utakaso iliyo


Vitu vya lazima katika kuadhimisha Ekaristi uzima wa roho zetu.
Takatifu ni 2. Hutuondolea dhambi ndogo na kupunguza hatari

ya kutenda dhambio kubwa.


1. Mkate wa Ngano

2. Divai ya mzabibu 3. Hututia bidii na nguvu ya kutenda mema kwa

kutuongezea Imani, Matumaini na Mapendo.


95

4. Huleta Umoja katika Kanisa, sio sisi na Kristo Nani Mhudumu wa adhimisho la Ekaristi

tuu bali sisi kwa sisi. Takatifu?

Mhudumu wa adhimisho la Ekaristi Takatifu ni

Askofu na Padre

Mkristo akipokea Ekaristi Takatifu akiwa na

dhambi rohoni anatenda dhambi gani?

Mkristo akipokea Ekaristi Takatifu akiwa na dhambi Je, Mkristo akipokea kipande cha Hostia

anatenda dhambi kubwa yaani kufuru Sakramenti. amempokea Yesu Mzima?

26 Maana kila mnapokula mkate huu na kukinywa Ndiyo, Amempokea Yesu Mzima kabisa, Hata

kikombe hiki, mwatangaza kifo cha Bwana, mpaka akipewa zaidi ya hostia moja amempokea Yesu

atakapokuja. 27 Kwa hiyo, kila aulaye mkate huo Mzima

au kunywa kikombe cha Bwana bila kustahili,

atakuwa na hatia dhidi ya mwili na damu ya

Bwana. (1 Kor 11;26 – 27)

Sakramenti ya Ekaristi Takatifu Huifadhiwa


28Basi, kila mtu ajichunguze mwenyewe kwanza, wapi?
ndipo ale mkate huo na anywe kikombe hicho; 29

maana anayekula na kunywa bila kutambua maana Sakramenti ya Ekaristi Takatifu Huifadhiwa kwenye
ya mwili wa Bwana, anakula na kunywa hukumu Tabernakulo
yake yeye mwenyewe. 30 Ndiyo maana wengi kati

yenu ni dhaifu na wagonjwa, na wengine kadhaa

wamekufa. 31 Kama tungejichunguza wenyewe

vizuri hatungeadhibiwa hivyo. 32Lakini


Tabernakulo ni nini?
tunapohukumiwa na Bwana, tunafunzwa tuwe na

nidhamu, ili tusije tukahukumiwa pamoja na


Tabernakulo ni mahali Patakatifu anapokaa Yesu
ulimwengu. (1 Kor 11;28 – 32)
wa Ekaristi siku zote

Je, Kanisa linahimiza waamini wapokee


Sakramenti ya Ekaristi Takatifu hukaa
Ekaristi wakati gani?
Tabernakulo kwa sababu gani

Kanisa linahimiza waamini wapokee Komunyo


Sakramenti ya Ekaristi Takatifu hukaa Tabernakulo
Takatifu kila siku wanaposhiriki Misa
kwa ajili ya watu wote hasa wagonjwa
96

Ishara wazi ya Sakramenti ya Ekaristi Nini maana ya neno “Fumbo”?

Takatifu ni nini?
Fumbo ni ukweli ambao hatuwezi kuelewa

kikamilifu, lakini tunasadiki kwa kuwa Mungu


Ishara wazi ya Sakramenti ya Ekaristi Takatifu ni
hutufumbulia. (Math 11:27)
maumbo ya mkate na divai, na maneneo ya

mageuzo ya Yesu mwenyewe Padri akiyatamka.

Katika dini yetu yapo mafumbo hasa

mangapi?

Baada ya kumpokea Yesu wa Ekaristi tufanye


Mafumbo matatu
nini?
1. Fumbo la Utatu Mtakatifu

2. Fumbo la Mungu Kujifanya mtu


Baada ya kumpokea Yesu wa Ekaristi:
3. Fumbo la Ukombazi wetu
Tumwabudu,tumshukuru, tumwombe kwani yeye

ni Mwenyezi. (Mt 2:11, Lk 17:11)


WhatsAppTwitterLinkedInEmail
Amri ya Kumi ya Mungu: Makatazo na Amri
Mafundisho ya Katekisimu / Leave a Comment

Amri ya Kumi ya Mungu inakataza nini?

Komunyo pamba ndio nini? Inakataza;

1. Uroho
Komunyo pamba ndio Ekaristi inayopokelewa na 2. Uchu wa mali
3. Kijicho
wale wanaokaribia kuaga maisha ya duniani na
4. Tamaa mbaya ya kujipatia mali
wanaojiandaa kuvukia uzima wa milele

WhatsAppTwitterLinkedInEmail
Amri ya Kumi ya Mungu inaamuru nini

Maswali na Majibu kuhusu Mafumbo ndani ya Kanisa


Katoliki Amri ya Kumi ya Mungu inaamuru kuheshimu mali ya wengine
na kumpenda Mungu kupita vitu vyote. (Mk 28:30).
Mafundisho ya Katekisimu / Leave a Comment

Neno hili kuwa nafsi tatu kwa Mungu mmoja

laitwaje? WhatsAppTwitterLinkedInEmail
Mafundisho kuhusu Binadamu, Mtu na Utu

Laitwa fumbo la Utatu Mtakatifu. (Lk, 3:21-22) Mafundisho ya Katekisimu / 1 Comment

Mungu alisema nini alipotaka kumuumba

Kanisa linafafanuaje fumbo la umwilisho?


mtu?

Linatamka kuwa Yesu Kristo ni Mungu kweli na Mtu


Mungu alipotaka kumwumba mtu alisema;
kweli. (Ebr 4:15)
“Tumfanye mtu kwa mfano wetu na kwa sura yetu”

(Mwa 1:26-27)
97

Mungu ametuumba tumjue, tumpende, tumtumikie


Mtu ni nani?
tulipo wazima hapa duniani, hata mwisho tukisha

Mtu ni kiumbe chenye mwili na roho kilichoumbwa kufa tuende kwake Mbinguni katika katika makao

kwa sura na mfano wa Mungu. (Mwa 1:26) ya raha milele. (Mwa 2:7; Mt. 19:17; Yoh 14:1-3

na Yoh 17:24)

Tumeumbwa kwa sura na mfano wa Mungu

Ni kipi cha kutunza kwa makini zaidi kati ya


maana yake ni nini?

mwili na roho yako?


Tumeumbwa kwa mfano na sura ya Mungu maana

yake tuna roho zenye akili na utashi yaani uwezo Yatupasa kutunza roho zetu zaidi kwni Yesu

wa kutofautisha mema namabaya, na zitakazoishi mwenyewe alisema:

milele.
“Itamfaa nini mtu ikiwa ataupata ulimwengu wote

na kuupoteza ufalme wa Mungu.” (Mk 8:38)

Watu wa kwanza kuumbwa na Mungu ni

Mungu aliwapa watu wa kwanza mapaji gani?


akina nani?
Mungu aliwapa watu wa kwanza neema ya utakaso
Watu wa kwanza kuumbwa na Mungu ni Adamu na
na neema nyingine nyingi, na kukaa paradisini
Hawa (Eva). (Mwa 1:27)
wenye heri bila kufa. (Mwa 28-30; 3:7)

Mungu alimwumbaje Adamu?


Mungu aliwaamuru nini watu wa kwanza?

Mungu aliufanya mwili wa Adamu kwa udongo,


Mungu aliwaamuru watu wa kwanza wasile
akaupulizia roho yenye uhai. (Mwa 2:7)
matunda ya mti wa ujuzi wa mema na mabaya

wasije wakafa. (Mw 2:16-17)

Mungu alimwumbaje Eva (Hawa)?

Mungu alimwumba Eva kwa mfupa wa ubavu Je, Adamu na Eva walimtii Mungu?

kutoka kwa Adamu, akamtia roho. (Mwa 2:21-24)


Hapana, Adamu na Eva walitenda dhambi ya

kutotii, wakataka kuwa kama Mungu lakini bila

Mungu na pasipo kufuata maagizo ya Mungu. (Mwa

3:1-16)
Kwa nini Mungu alituumba? Kwa nini Mungu

aliumba mtu?
98

Dhambi ya asili ndio nini?

Dhambi ya asili ambayo binadamu wote


Mungu alinena na nani?
wanazaliwa nayo, ni hali ya kukosa utakatifu na

hali ya asili ya urafiki na Mungu Alinena na;

1. Adamu na Mababu

2. Musa na Manabii

3. Mwishowe Mungu alimleta mwanawe


Adhabu gani walipewa Adamu na Eva?
atufumbulie kabisa dini. (Waebr 1:14-45)

Adamu na Eva kwa ukubwa wa dhambi yao ya

kiburi na ya uasi:

1. Walipoteza neema ya utakaso


Baada ya kifo cha mtu nini hutokea?
2. Walifukuzwa paradisini

3. Walipungukiwa akili na kushikwa na tamaa ya Baada ya kifo roho yake inafika mbele ya Mungu
kutenda dhambi kwa hukumu ya mtu binafsi.
4. Walipitia mahangaiko na taabu nyingi

5. Kupaswa kufa. (Mwa 3:16-20: 5:5)

Matokeo ya hukumu hiyo ni nini?

Matokeo ya Hukumu hiyo ni roho kwenda


Kisha kosa la Adamu na Eva Mungu aliahidi
Mbinguni, Toharani au Motoni. (Mt 25:34-46)

nini?

Kisha kosa la Adamu na Eva Mungu aliahidi

kuwaletea Mkombozi. (Mwa 3:15)


Ikiwa Mungu anatushughulikia, tunapaswa

kufanya nini?

Ikiwa Mungu anatushughulikia, tunapaswa


Alipokwisha umba watu Mungu aliwafundisha
kujiachilia mikononi mwake kwa moyo wa kitoto,

nini? tukiwajibika bila ya mahangaiko yanayowapata

watu wasiomjua.
Alipokwisha umba watu Mungu aliwafundisha Dini

(Mwa 2:15-17) “Waangalieni ndege wa angani, ya kwamba

hawapandi, wala hawavuni, wala hawakusanyi

ghalani; na Baba yenu wa mbinguni huwalisha

hao. Ninyi je, si bora kupita hao?” (Math 6:26).

Dini ni nini? “Nawe una nini usichokipokea?” (1Kor 4:7).

“Nimrudishie Bwana nini kwa ukarimu wake wote


Dini ndio mambo yatupasayo kwa Mungu Bwana
alionitendea?” (Zab 116:12).
wetu na Baba yetu. (Mk 16:15-16)
99

“Siwaiti tena watumwa; kwa maana mtumwa hajui


Kwa kuwa tumetoka kwa Mungu na tutarudi
atendalo bwana wake; lakini ninyi nimewaita rafiki,

kwake, tunapaswa kuishi vipi? kwa kuwa yote niliyoyasikia kwa Baba yangu

nimewaarifu” (Yoh 15:15).


Kwa kuwa tumetoka kwa Mungu na tutarudi

kwake, tunapaswa kuishi kulingana na hakika hiyo,

kwa kumpa daima nafasi ya kwanza katika

mawazo na mapendo yetu, tusijali kiumbe Mungu ametufunulia nini?

chochote kuliko yeye wala badala yake.


Mungu ametufunulia pia ukweli juu yetu wenyewe

“Bwana, Mungu wetu, Bwana ndiye mmoja. Nawe akijibu kabisa maswali yanayotusumbua kuhusu

mpende Bwana, Mungu wako, kwa moyo wako maana na lengo la maisha yetu.

wote, na kwa roho yako yote, na kwa nguvu zako


Amefanya hivyo kwa maneno na matendo
zote” (Kumb 6:4-5).
yanayoshikamana sana kwa kuwa maneno
Tusipoitikia upendo wake na kuambatana naye,
yanafafanua matendo, nayo matendo
basi, tumeshindikana kabisa.
yanathibitisha maneno.

“Mungu hutaka watu wote waokolewe, na kupata

kujua yaliyo kweli” (1Tim 2:4).

Tunaanzaje kumjua Mungu? “Mungu si mtu, aseme uongo” (Hes 23:19).

Yeye hadanganyiki wala hadanganyi.


Tunaanza kumjua Mungu kwa kuzingatia viumbe

vyake, hasa dhamiri yetu.

“Kwa sababu mambo yake yasiyoonekana tangu

kuumbwa ulimwengu yanaonekana, na kufahamika Mungu akiwa wema mkuu na mwenye uwezo

kwa kazi zake; yaani, uweza wake wa milele na


wote, mbona katika viumbe vyake kuna
Uungu wake” (Rom 1:20).

ubaya? Kwa nini Mungu anaruhusu mabaya

na maovu?
Je, Mungu amewasiliana nasi?

Ndiyo, Mungu amewasiliana nasi, akijitambulisha Kwa nini dhambi zipo?


na kujitoa kwetu, tuweze kuishi katika urafiki naye
Mungu akiwa wema mkuu na mwenye uwezo wote,
na hatimaye tushiriki heri yake.
hakuumba ubaya wowote. Tena kila anapovumilia
“Nikiziangalia mbingu zako, kazi ya vidole vyako, ule uliosababishwa na viumbe vyenye hiari
mwezi na nyota ulizoziratibisha; mtu ni kitu gani anaufanya uzae mema makubwa zaidi kwa njia
hata umkumbuke, na binadamu hata umwangalie? tusizoweza kuzifahamu vizuri hapa duniani.
Umemfanya mdogo punde kuliko Mungu;
“Mimi ni Yusufu, ndugu yenu, ambaye mliniuza
umemvika taji ya utukufu na heshima” (Zab 8:3-
kwenda Misri. Basi sasa, msihuzunike, wala
5).
msiudhike nafsi zenu, kwa kuniuza huku; maana

Mungu alinipeleka mbele yenu kuhifadhi maisha ya


100

watu… Nanyi kweli mlinikusudia mabaya, bali


Sisi binadamu tukoje?
Mungu aliyakusudia kuwa mema, ili itokee kuokoa

taifa kubwa, kama ilivyo leo” (Mwa 45:4-5; Sisi binadamu ni umoja wa mambo mawili: roho

50:20). iliyoumbwa na Mungu moja kwa moja, na mwili

ulioumbwa naye kwa njia ya wazazi.

Maumbile hayo yanatakiwa kukamilika kwa

Viumbe vyenye hiari ni vipi? kupokea na kutimiza upendo wa Mungu aliyesema,

Malaika na watu ndio viumbe pekee vyenye hiari “‟Na tufanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu;

ya kuchagua wenyewe wachangie mpango wa wakatawale samaki wa baharini, na ndege wa

Mungu au la. angani, na wanyama, na nchi yote pia, na kila

chenye kutambaa kitambaacho juu ya nchi‟. Mungu


“Nazishuhudiza mbingu na nchi juu yenu hivi leo,
akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa
kuwa nimekuwekea mbele yako uzima na mauti,
Mungu alimwumba, mwanamume na mwanamke
baraka na laana; basi, chagua uzima, ili uwe hai,
aliwaumba” (Mwa 1:26-27).
wewe na uzao wako; kumpenda Bwana, Mungu

wako, kuitii sauti yake, na kushikamana naye;

kwani hiyo ndiyo uzima wako” (Kumb 30:19-20).

Je, mwili wetu ni muhimu?

Ndiyo, mwili wetu ni muhimu, kwa sababu

Malaika na watu wanaweza kuchagua hata umeumbwa na Mungu, umetwaliwa na Mwanae ili

atuokoe, umehuishwa na Roho Mtakatifu


nini? atakayeutukuza siku ya ufufuo kwa mfano wa

Malaika na watu wanaweza kuchagua hata wawe Yesu.

wema au wabaya milele. “Mwili si kwa zinaa, bali ni kwa Bwana, naye

“Kulikuwa na vita mbinguni: Mikaeli na malaika Bwana ni kwa mwili. Naye Mungu alimfufua Bwana,

zake wakapigana na yule joka, yule joka naye na tena atatufufua sisi kwa uweza wake. Je,

akapigana nao pamoja na malaika zake; nao hamjui ya kuwa miili yenu ni viungo vya Kristo?

hawakushinda, wala mahali pao hapakuonekana Basi nivitwae viungo vya Kristo na kuvifanya

tena mbinguni” (Ufu 12:7-8). viungo vya kahaba? Hasha! Au hamjui ya kuwa

Chaguo letu binadamu linafanyika siku kwa siku yeye aliyeungwa na kahaba ni mwili mmoja

kwa kuchukua misimamo mizuri au mipotovu naye?… Au hamjui ya kuwa mwili wenu ni hekalu la

kuhusu dini na maadili. Roho Mtakatifu aliye ndani yenu, mliyepewa na

Mungu?” (1Kor 6:13-16,19).


“Mwayachunguza Maandiko, kwa sababu mnadhani

kwamba ninyi mna uzima wa milele ndani yake; na

hayo ndiyo yanayonishuhudia. Wala hamtaki kuja

kwangu mpate kuwa na uzima” (Yoh 5:39-40). Mungu aliwahi kujifunua kwa watu gani?

Mungu aliwahi kujifunua kwa wazazi wetu wa

kwanza, akaendelea hasa kwa taifa la Israeli, hadi


101

alipomtuma Mwanae ajifanye mtu wa taifa hilo


Je, toka mwanzo sisi watu tunaasi mpango
teule.

wa Mungu peke yetu?


“Mungu, ambaye alisema zamani na baba zetu

katika manabii kwa sehemu nyingi na kwa njia Hapana, toka mwanzo sisi watu tunaasi mpango
nyingi, mwisho wa siku hizi amesema na sisi katika wa Mungu kwa kuvutwa na mashetani, yaani
Mwana” (Eb 1:1-2). malaika waliokataa moja kwa moja kumtumikia;

baada ya dhambi ya asili hao wanatutumia sisi pia

tuangushane na wenzetu.

Je, Mungu aliumba watu wa kwanza katika Lakini Mungu aliwahi kumuambia Shetani:

hali ya mateso na mauti tuliyonayo sasa? “Nitaweka uadui kati yako na huyo mwanamke, na

kati ya uzao wako, na uzao wake; huo utakuponda


Hapana, Mungu aliumba watu wa kwanza katika
kichwa, na wewe utamponda kisigino” (Mwa 3:15).
hali ya heri, wakiwa na upendo wake, utakatifu na
“Hata ulipowadia utimilifu wa wakati, Mungu
uadilifu.
alimtuma Mwanawe ambaye amezaliwa na

Mateso na mauti yametokana na uasi wetu ambao mwanamke” (Gal 4:4).

tangu mzazi wetu wa kwanza tunajaribu kuboresha

maisha yetu mbali na Mungu.

“Mungu hakuifanyiza mauti, wala haimpendezi Dhambi zimetuathiri vipi tena?


walio hai wakipotea… Ila ulimwengu uliingiwa na
Dhambi zimetuathiri kwa ndani zaidi, zikitutia
mauti kwa husuda yake Shetani” (Hek 1:13;
udhaifu katika mwili, ujinga katika akili na uovu
2:24).
katika utashi; madonda hayo yanatufanya tuzidi
“Dhambi iliingia ulimwenguni kwa mtu mmoja, na
kushindwa.
kwa dhambi hiyo mauti; na hivyo mauti ikawafikia

watu wote kwa sababu wote wamefanya dhambi” “Kwa kuwa ile nia ya mwili ni uadui juu ya Mungu,

(Rom 5:12). kwa maana haitii sheria ya Mungu, wala haiwezi

kuitii” (Rom 8:7).

Mungu angeweza kuzuia watu wasitende

Katika unyonge wetu tutumainie nini?


dhambi?
Katika unyonge wetu tutumainie huruma ya Mungu
Ndiyo, Mungu angeweza kuzuia watu wasitende
aliyetutumia Mkombozi hata “dhambi ilipozidi,
dhambi, lakini aliwaacha watende kwa hiari yao
neema ikawa kubwa zaidi” (Rom 5:20).
awaonyeshe ukuu wa huruma yake.
Ushindi wake juu ya dhambi umetupatia mema
“Maana Mungu amewafunga wote pamoja katika
makubwa kuliko tuliyoyapoteza kwa dhambi.
kuasi ili awarehemu wote” (Rom 11:32).
“Mungu, kwa kuwa ni mwingi wa rehema, kwa

mapenzi yake makuu aliyotupenda; hata wakati

ule tulipokuwa wafu kwa ajili ya makosa yetu;


102

alituuhisha pamoja na Kristo; yaani, mmeokolewa wala kwa mapenzi au mipango ya watu bali

kwa neema” (Ef 2:4-5). wamezaliwa na Mungu mwenyewe.

14 Neno akawa mwanadamu akaishi kati yetu

akiwa amejaa utu kufu na kweli. Tuliona utukufu

Yesu ni Mungu au mtu? wake, utukufu wa Mwana pekee wa Baba. 15

Yohana alishuhudia habari zake, akatangaza:

“Huyu ndiye yule niliyewaambia kuwa, „Yeye ajaye


Yesu ni Mungu na mtu kwa pamoja, ndiyo
baada yangu ni mkuu kuliko mimi kwa kuwa
sababu ni mshenga pekee kati ya Mungu na
alikuwapo kabla sijazaliwa.”‟ 16 Na kutokana na

watu. “Kwa sababu Mungu ni mmoja, na ukamilifu wake, sisi sote tumepokea neema tele.

17 Musa alitule tea sheria kutoka kwa Mungu,


mpatanishi kati ya Mungu na wanadamu ni
lakini Yesu Kristo ametuletea neema na kweli. 18
mmoja, mwanadamu Kristo Yesu” (1Tim 2:5).
Hakuna mtu aliyemwona Mungu wakati wo wote.

“Katika yeye unakaa utimilifu wote wa Lakini Mwanae pekee, ambaye ana uhusiano wa

karibu sana na Baba yake, amemdhihirisha Mungu


Mungu, kwa jinsi ya kimwili” (Kol 2:9). Hivyo
kwetu. Yohana 1:1-6:37
ni Mungu kweli na mtu kweli.

1 Hapo mwanzo, kabla ya kuwapo kitu kingine cho

chote, aliku wapo Neno. Huyo Neno alikuwa


5 Tomaso akamwuliza, “Bwana, hatujui
pamoja na Mungu, naye alikuwa Mungu. 2 Tangu
unakokwenda; tutaijuaje njia?” 6 Yesu akawaam
mwanzo Neno amekuwa na Mungu. 3 Vitu vyote
bia, “Mimi ndiye Njia na Kweli na Uzima; mtu
viliumbwa na yeye, wala hakuna cho chote
hawezi kufika kwa Baba bila kupitia kwangu. 7
kilichoumbwa ambacho hakukiumba. 4 Uzima
Kama mngekuwa mnajua mimi ni nani,
ulikuwa ndani yake na uzima huo ndio ulikuwa
mngemfahamu na Baba yangu. Tangu sasa
nuru ya watu. 5 Nuru hiyo huangaza gizani na giza
mnamfahamu Baba yangu na mmemwona.”
haliwezi kamwe kuizima.
8 Filipo akamwambia Yesu, “Bwana, tuonyeshe
6 Mtu mmoja aitwaye Yohana alitumwa na Mungu
Baba yako nasi tutaridhika.” 9 Yesu akamjibu,
7 awaambie watu kuhusu hiyo nuru, ili kwa
“Filipo, imekuwaje hunifahamu baada ya mimi
ushuhuda wake wapate kuamini. 8 Yohana
kuwa pamoja nanyi muda wote huu? Mtu ye yote
mwenyewe hakuwa ile nuru. Yeye alitumwa
ambaye ameniona mimi, amemwona Baba. Sasa
kuishuhudia hiyo nuru. 9 Nuru halisi ambayo
inakuwaje unasema, „Tuonyeshe Baba‟? 10 Je,
inawaangazia watu wote ilikuwa inakuja ulim
huamini ya kuwa mimi niko ndani ya Baba yangu,
wenguni. 10 Neno alikuwepo ulimwenguni, lakini
na Baba yangu yuko ndani yangu? Mambo
japokuwa aliumba ulimwengu, watu wa ulimwengu
ninayowaambia siyasemi kwa mamlaka yangu
hawakumtambua! 11 Alikuja nyumbani kwake,
mwenyewe, bali yanatoka kwa Baba yangu
lakini watu wake hawakumpokea! 12 Bali wote
ambaye anaishi ndani yangu, na ndiye anayetenda
waliompokea na kumwamini aliwapa haki ya
haya yote. Yohane 14:5-10
kufanywa watoto wa Mungu. 13 Hawa hawakuwa

watoto wa Mungu kwa kuzaliwa kwa njia ya asili,


103

29 Baba yangu ambaye amenipa hawa ni mkuu

kuliko wote na hakuna awezaye kuwatoa hawa

kutoka katika mikono yake. 30 Mimi na Baba


Je, Mwana wa Mungu tangu atwae mwili ni
yangu tu mmoja.”

31 Kwa mara nyingine wale Wayahudi wakainua mtu kamili mwenye akili na utashi wa

mawe ili wampige nayo. 32 Yesu akawauliza,


kibinadamu?
“Nimewaonyesha mambo mengi mazuri kutoka

kwa Baba yangu. Kati ya hayo ni lipi Ndiyo, Mwana wa Mungu tangu atwae mwili ni mtu

linalosababisha mtake kunipiga mawe?” 33 Wao kamili mwenye akili na utashi wa kibinadamu.

wakamjibu, “Tunataka kukupiga mawe si kwa Katika umoja wa nafsi yake vipawa hivyo

sababu ya mambo mema uliyotenda bali ni kwa vinatenda kulingana na Umungu anaouchanga na

kuwa umekufuru. Wewe ni mtu tu lakini unajiita Baba na Roho Mtakatifu milele.

Mungu.” Yohane 10: 29-33


“Hayo maneno niwaambiayo mimi siyasemi kwa

shauri langu; lakini Baba akaaye ndani yangu

huzifanya kazi zake” (Yoh 14:10).

Yesu anapatikana wapi? Yesu anakaa wapi?

Yesu Yupo wapi kwa sasa?


Kwa nini Yesu alishawishiwa/alijaribiwa na

Shetani?
Yesu kama Mungu yupo kila mahali, hakuna

Yesu alishawishiwa na Shetani kwa kuwa ni mtu


mahali asipokuwepo. Yesu kama mwanadamu
kweli, akamshinda kwa niaba ya watu wote,
yupo Mbinguni kwa Baba na anakaa nasi
akituonyesha namna ya kumtii Mungu moja kwa
duniani katika Maumbo ya Mkate na Divai moja, “hata mauti, naam, mauti ya msalaba” (Fil

2:8).
Katika Ekaristi.

“Kwa sababu kama kwa kuasi kwake mtu mmoja

watu wengi waliingizwa katika hali ya wenye

dhambi, kadhalika kwa kutii kwake mmoja watu


Je, Umungu na utu wa Yesu wengi wameingizwa katika hali ya wenye haki”

(Rom 5:19).
vinachanganyikana?

Hapana, Umungu na utu wa Yesu vimeunganika

katika nafsi moja visichanganyikane, kwa kuwa


Tutakapofariki dunia itatutokea nini?
ndani yake hali hizo mbili zinatenda kila moja ya

kwake. Tutakapofariki dunia roho yetu isiyokufa, mbali na

mwili unaooza, itapewa tuzo au adhabu


“Basi yule akida, aliyesimama hapo akimwelekea,
tuliyostahili kwa maisha yetu. “Ikawa yule maskini
alipoona ya kuwa alikata roho jinsi hii, akasema,
alikufa, akachukuliwa na malaika mpaka kifuani
„Hakika mtu huyu alikuwa Mwana wa Mungu‟” (Mk
kwa Ibrahimu. Yule tajiri naye akafa, akazikwa.
15:39).
104

Basi, kule kuzimu aliyainua macho yake, alipokuwa mavazi mengine, naye usiku akiwa amefuatana na

katika mateso, akamwona Ibrahimu kwa mbali, na watu wawili wakaenda kwa huyo mwanamke.

Lazaro kifuani mwake” (Lk 16:22-23). “Kwangu Akamwambia, “Nibashirie na unipandishie huyo

mimi kuishi ni Kristo, na kufa ni faida… nitakayekutajia,” 9Huyo mwanamke akamwambia,

ninatamani kwenda zangu nikae na Kristo, maana “Wewe unajua lile alilofanya mfalme Sauli.

ni vizuri zaidi sana” (Fil 1:21,23). “Nasi tunaona ni Amewakatilia mbali wapunga pepo, wapiga ramli

afadhali kutokuwamo katika mwili na kukaa wote na wachawi katika nchi. Mbona umenitegea

pamoja na Bwana” (2Kor 5:8). Kwa kuwa kifo ni maisha yangu ili wapate kuniua?” 10Sauli

“mavumbi kuirudia nchi kama yalivyokuwa, nayo akamwapia huyo mwananmke kwa Jina la BWANA,

roho kumrudia Mungu aliyeitoa” (Mhu 12:7). Siku akasema, “Kwa hakika kama BWANA aishivyo,

ya ufufuo roho na mwili vitaungana tena kwa ajili hutaadhibiwa kwa ajili ya jambo hili.” 11Ndipo yule

ya uzima au moto wa milele. “Pumzi iliwaingia, mwanamke akauliza, “Je unataka nikupandishie

wakaishi, wakasimama kwa miguu yao, jeshi nani? Sauli akasema, “Nipandishie Samweli.”

kubwa mno” (Ez 37:10). 12Yule mwanamke alipomwona Samweli alipiga

yowe kwa sauti kuu, naye akamwuliza Sauli,

Je baada ya kufa ni hapo hapo roho inaenda “Mbona umenidanganya? Wewe ndiwe Sauli.”

13Mfalme akamwambia, “Usiogope. Unaona nini?


motoni au mbinguni, Au ni mpaka Siku ya hukumu
Yule mwanamke akasema, “Naona Mungu
Yesu Atakaporudi? anapanda kutoka ardhini.” 14Sauli akamwuliza, “Ni

mfano wa nini?” Yule mwanamke akasema, “Ni


Ni siku ile ile Roho ya mtu aliyekufa inaenda
mwanaume mzee amevaa joho anayepanda.”
Mbinguni, toharani au Motoni. Yesu alimwahidi yule
Ndipo Sauli akatambua kwamba ni Samweli. Sauli
mtu waliyesulubiwa pamoja kuwa watakuwa
akasujudu kifudifudi uso wake hadi ardhini.
peponi pamoja siku hiyo hiyo na sio siku ya
15Samweli akamwuliza Sauli, Kwa nini
hukumu.
unanitaabisha, kunipandisha juu?” Sauli akasema,
“Kisha akasema, “Ee Yesu! Unikumbuke wakati “Mimi ninasumbuka sana, kwa maana Wafilisti
utakapoingia katika ufalme wako.” 43 Yesu wanapigana vita dhidi yangu, naye Mungu
akamwambia, “Nakwambia kwa hakika, leo ameniacha. Hanijibu tena wala kwa njia ya manabii
utakuwa pamoja nami peponi.” (Luka 23:42-
wala kwa ndoto. Kwa hiyo nimekuita wewe ili
43) unijulishe lakufanya.” 16Samweli akamwuliza,
Sauli aliweza kuongea na Samweli hata baada ya “Kwa nini uniulize mimi, maadam BWANA
kufa na Samweli alimbashiria mambo amekuacha na kuwa adui yako? 17BWANA
yatakayotokea kwa Sauli maanake ni kwamba ametenda lile alilotangulia kusema kwa kupitia
Japokuwa alikuwa amekufa bado anayomuungano
kwangu. BWANA ameurarua ufalme kutoka
na Mungu ndio maana aliweza kumwambia Sauli mikononi mwako, naye amempa mmoja wa jirani
mambo yatakayompata,
zako, yaani, Daudi. 18Kwa sababu wewe hukumtii

“7Basi Sauli akawaambia watumishi wake, BWANA, wala hukumtimizia ghadhabu yake kali

“Nitafutieni mwanamke mwenye pepo wa utambuzi juu ya Waamaleki, BWANA amekutendea mambo

ili nimwendee nipate kuuliza kwake. Watumishi haya leo. 19Zaidi ya hayo, BWANA atawatia Israeli

wake wakamwambia, “Yuko mwanamke mmoja pamoja na wewe mkononi mwa Wafilisti na kesho

huko Endori.” 8Hivyo Sauli akajigeuza kwa kuvaa


105

wewe na wanao mtakuwa pamoja nami. BWANA kutubu hata kama mtu akifufuka kutoka kuzimu.”‟

pia atalitia jeshi la Israeli mkononi mwa Wafilisti. (Luka 16:19-31)

Mfano Wa Tajiri Na Maskini Lazaro Yesu alisimulia Wakati Yesu anabadilika Sura walitokea Musa na

hivi Eliya.

19 Akasema, “Palikuwa na tajiri mmoja aliyevaa “Baada ya siku sita, Yesu aliwachukua Petro,

nguo za rangi ya zambarau na kitani safi, nguo za Yakobo na Yohane nduguye, akaenda nao peke

gharama kubwa, kila siku. 20 Na maskini mmoja, yao juu ya mlima mrefu. 2 Huko, wakiwa

jina lake Lazaro, mwenye vidonda mwili mzima, wanamtazama, akageuka sura, uso wake ukang‟aa

alikuwa akiletwa mlangoni kwa huyo tajiri kila siku. kama jua na mavazi yake yakawa meupe kama

21 Lazaro alikuwa akitamani kula makombo nuru. 3 Mose na Eliya wakawatokea, wakawa

yaliyodondoka mezani kwa tajiri. Hata mbwa wanazungumza naye. 4 Hapo Petro akamwambia

walikuwa wakiramba vidonda vyake. 22 Yesu, “Bwana, ni vizuri sana kwamba tupo hapa!

“Hatimaye, yule maskini alikufa. Malaika Ukipenda nitajenga vibanda vitatu: kimoja chako,

wakamchukua akakae pamoja na Ibrahimu kimoja cha Mose na kimoja cha Eliya.” (Mathayo

mbinguni. Yule tajiri naye pia akafa, akazikwa. 23 17:1-5)

Alipokuwa kuzimuni ambapo alikuwa akiteseka, Yesu alituambia kuwa Mungu sio wa wafu bali wa

alita zama juu, akamwona Ibrahimu kwa mbali na walio hai ndio maana akaitwa Mungu wa Ibrahimu,

Lazaro karibu yake. 24 Akaita, „Baba Ibrahimu, Isaka na Yakobo kwa kuwa Wote wako hai kwake.

nionee huruma umtume Lazaro achovye japo ncha


37Hata Mose alidhihirisha kuwa wafu wanafufuka,
ya kidole chake katika maji aupoze ulimi wangu
kwa habari ya kile kichaka kilichokuwa kikiwaka
maana ninateseka kwenye moto huu.‟ 25 Lakini
moto bila keteketea, alipomwita Bwana „Mungu wa
Ibrahimu akamjibu, „Mwa nangu, kumbuka
Abrahamu, Mungu wa Isaki na Mungu wa
kwamba ulipokuwa hai ulipata kila kitu kizuri uli
Yakobo.‟ 38Yeye Mungu si Mungu wa wafu bali
chotaka, ambapo Lazaro alipokea mabaya. Lakini
wa walio hai, kwa kuwa Kwake wote ni
sasa anafarijika hapa na wewe unateseka. 26
hai.” (Luka 20:37-38)
Isitoshe, kati yetu na ninyi huko, kumewekwa
Yesu alimwahidi yule mtu waliyesulubiwa pamoja
bonde kubwa lisilopitika ili wale wanaotaka kutoka
kuwa watakuwa peponi pamoja siku hiyo hiyo na
huku kuja huko au kutoka huko kuja huku
sio siku ya hukumu.
wasiweze.‟ 27 Akasema, „Basi, baba, tafadhali

umtume Lazaro aende nyumbani kwa baba yangu, “Kisha akasema, “Ee Yesu! Unikumbuke wakati

28 awaonye ndugu zangu, wasije wao pia utakapoingia katika ufalme wako.” 43 Yesu

wakaletwa mahali hapa pa mateso watakapokufa.‟ akamwambia, “Nakwambia kwa hakika, leo

29 Ibrahimu akamjibu, „Ndugu zako wanazo sheria utakuwa pamoja nami peponi.” (Luka 23:42-

za Musa na maandiko ya Manabii. Itawapasa watii 43)

hayo.‟ Lakini yule tajiri akazidi kumsihi, 30 „Hapana Angalia pia wakati Stefano akipigwa Mawe

baba Ibrahimu, ndugu zangu hawatashawishiwa na aliikabidhi roho yake kwa Mungu baada ya kuona

hayo. Lakini mtu kutoka kuzimu akitumwa kwao mbingu zimefunguka hii ni kama Yesu alivyokuwa

watatubu na kuziacha dhambi zao.‟ 31 “Ibrahimu pale msalabani aliikabidhi Roho yake kwa Baba

akamwambia, „Wasiposikiliza na kutii sheria za yake.

Musa na Maandiko ya manabii, hawatashawishika


106

55Lakini yeye Stefano akiwa amejazwa Roho Mtume Petro ameandika hivi…

Mtakatifu, alikaza macho mbinguni, akaona


“18 Kwa maana Kristo naye aliteswa mara moja
utukufu wa Mungu, naye Yesu akiwa amesimama
kwa ajili ya dhambi, mwenye haki kwa ajili yao
mkono wa kuume wa Mungu. 56Akasema,
wasio haki, ili atulete kwa Mungu; mwili wake
“Tazameni! Naona mbingu zimefunguka na Mwana
akauawa, bali roho yake akahuishwa,19 ambayo
wa Adamu amesimama upande wa kuume wa
kwa hiyo aliwaendea roho waliokaa kifungoni,
Mungu.‟‟ 57Lakini wao wakapiga kelele kwa sauti
akawahubiri; 20 watu wasiotii hapo zamani,
kubwa, wakaziba masikio yao, wakamrukia kwa
uvumilivu wa Mungu ulipokuwa ukingoja, siku za
nia moja. 58Wakamtupa nje ya mji, wakampiga
Nuhu, safina ilipokuwa ikitengenezwa; ambamo
kwa mawe. Nao mashahidi wakaweka nguo zao
ndani yake wachache, yaani, watu wanane,
miguuni mwa kijana mmoja aitwae Sauli.
waliokoka kwa maji.” (1Petro 3:18-20)
59Walipokuwa wakimpiga mawe, Stefano

aliomba, “Bwana Yesu, pokea roho

yangu” 60Kisha akapiga magoti, akalia kwa sauti

kubwa akasema, “Bwana usiwahesabie dhambi Je, mwili utakaofufuliwa ni huuhuu tulionao
hii.‟‟ Baada ya kusema haya, akalala. (Mdo 7:55-
sasa?
60)

Kwenye Ufunuo tunasoma (Ufunuo 6:9-10) “Na Ndiyo, mwili utakaofufuliwa ni huuhuu tulionao
alipoifungua muhuri ya tano, nikaona chini ya sasa, lakini katika hali tofauti: > “hupandwa katika
madhabahu roho zao waliochinjwa kwa ajili ya uharibifu; hufufuliwa katika kutokuharibika”
neno la Mungu, na kwa ajili ya ushuhuda (1Kor 15:42).
waliokuwa nao. Wakalia kwa sauti kuu, wakisema,
Siku ya ufufuo “ndipo watakapomwona Mwana wa
Ee Mola, Mtakatifu, Mwenye kweli, hata lini
Adamu akija katika wingu pamoja na nguvu na
kutokuhukumu, wala kuipatia haki damu yetu kwa
utukufu mwingi” (Lk 21:27).
hao wakaao juu ya nchi? Nao wakapewa kila
“Saa yaja ambayo watu wote waliomo makaburini
mmoja nguo ndefu, nyeupe, wakaambiwa
wataisikia sauti yake. Nao watatoka; wale
wastarehe bado muda mchache, hata itakapotimia
waliofanya mema kwa ufufuko wa uzima, na
hesabu ya wajoli wao na ndugu zao, watakaouawa
waliotenda mabaya kwa ufufuo wa hukumu” (Yoh
vile vile kama wao.”
5:28-29).
Kwa hiyo mtu akifa anaenda mbinguni au motoni
“Na hao watakwenda zao kuingia katika adhabu ya
kulingana na alivyoishi.
milele; bali wenye haki watakwenda katika uzima
“Nasi tunaona ni afadhali kutokuwamo katika mwili wa milele” (Math 25:46).
na kukaa pamoja na Bwana” (2Kor 5:8). Kwa kuwa

kifo ni “mavumbi kuirudia nchi kama yalivyokuwa,

nayo roho kumrudia Mungu aliyeitoa” (Mhu 12:7).

Siku ya ufufuo roho na mwili vitaungana tena kwa Haki gani ya Binadamu ni ya msingi kupita

ajili ya uzima au moto wa milele.


zote?

“Kwangu mimi kuishi ni Kristo, na kufa ni faida…


Haki ya binadamu iliyo ya msingi kupita zote ni
ninatamani kwenda zangu nikae na Kristo, maana
uhai wake ambao ni lazima uheshimiwe na
ni vizuri zaidi sana” (Fil 1:21,23).
kulindwa tangu siku ya kutungwa mimba
107

Je ni halali au ni sawa kwa Bikira Maria

kutuombea kwa Jina la Yesu? Na Je tunajuaje

Hamu kuu ya binadamu ni ipi?


kuwa Bikira Maria anaushirika na Yesu?

Hamu kuu ya binadamu ni kumwona Mungu


Ni halali na nisawa kabisa Bikira Maria kutuombea.

Tunajua kuwa Bikira Maria anaushirika na Yesu


WhatsAppTwitterLinkedInEmail
Maswali yanayoulizwa sana Kumhusu Bikira Maria kwa kuwa Yesu mwenyewe alituambia kuwa
Mafundisho ya Katekisimu / Leave a Comment “asiyepingana na sisi yupo upande wetu”. Biblia

iintuambia…

Ni ipi sala bora kwa Bikira Maria? Kwa nini “Yohane akadakia na kusema “Umemwona Mtu

mmoja akifukuza pepo kwa kutumia jina lako, nasi


Tunasali kwa Bikira Maria?
tukajaribu kumkataza kwa kuwa si mmoja wetu.”
Sala bora kwa Bikira Maria ni Rozari Takatifu Lakini Yesu akawaambia, “Msimkataze kwani

asiyepingana nanyi yupo upande wenu” (Luka

Kwa nini watu wengi wanaomba kwa Bikira 9:49-50).

Kwa hiyo Bikira Maria anapolitumia jina la Yesu bila


Maria?
kupingana na sisi wala Yesu ni ishara tosha kuwa
Watu wengi wanaomba kupitia Bikira Maria kwa ni mshirika wa Mungu (Yesu)
sababu wanashuhudia sala zao kujibiwa kirahisi

zaidi wanaposali kupitia Bikira Maria kwani Bikira


Je ni kweli kwamba Bikira Maria ni Malkia wa
Maria anatuombea kile tunacho mwomba. Bikira
Kipepo?
Maria anasimama Kama mwombezi wetu mbele ya

Mungu hasa pale tunaposhindwa kusali Sio kweli kwamba Bikira Maria ni Malkia wa
Inavyotakiwa. Kipepo/Kishetani

Sababu hizi zifuatazo zinadhihirisha kuwa Bikira


Bikira Maria anatuombea kwa jina na
Maria sio Malkia wa kipepo;

mamlaka ya nani?
1) Kuomba kwa jina la Yesu: Angekua ni Malkia

Bikira Maria anatuombea kwa jina la Yesu Kristu na wa Kipepo asingeomba kwa Jina la Yesu. Kama

kwa mamlaka ya Yesu Kristu aliye mwanaye. ilivyoelezwa hapo juu. Biblia iintuambia

Hakuna Sala yoyote inayotolewa kwa Bikira Maria linapotamkwa Jina la Yesu mapepo hukimbia. Sasa

moja kwa moja kwani Sala zote kwa Bikira Maria iweje yeye alitumie Jina hilo kutuombea Kama

zinatolewa kwa kusema utuombee ikimaanisha yeye ni pepo? (Luka 10:17)

kuwa utupelekee Maombi yetu kwa Mungu. Bikira


2) Hafundishi uovu/dhambi: Mbali na kuomba
Maria hatusaidii sisi moja kwa moja bali
kwa jina la Yesu, vilevile Yesu alituambia
anatusaidia kwa kutuombea msaada kutoka kwa
tuzichunguze roho na tutazitambua roho hizo kwa
Mungu.
matendo yake. Kwa lengo hili tukichunguza kuhusu

Bikira Maria tutaona kuwa Bikira Maria ni Mtakatifu

aliye upande wa Mungu kwa sababu Mara zote

alipowatokea watu amekuwa akifundisha na


108

kuelekeza watu kuishi maisha ya utakatifu na 9) Sala Ibada yake inachanganyika na Ibada

kumfuata Mungu kweli kwa kutii amri zake na nyingine za Kikristu: Hakuna

kufuata mafundisho ya mwanae ambayo ni mgongano/ushindani wa Ibada kwa Bikira Maria na

yakuelekea katika utakatifu. Hakuna hata Mara Ibada nyingine za Kikristu. Kama angekua ni pepo

moja mafundisho ya Bikira Maria yalihusishwa na kamwe Ibada yake isingechanganyika na Ibada

vitendo viovu au vya kuvunja Amri za Mungu. Takatifu.

3) Mafundisho yake yanaendana na Neno la 10) Ibada kwa Bikira Maria

Mungu (Biblia): Bikira Maria hajawaji hata mara Imedumu: Haikufifia wala kupotea bali ilizidi

moja kufundisha na kuelekeza vitu vilivyo nje ya kuendelea vizazi hata vizazi. Hii inadhihirisha

Mafundisho ya neno la Mungu (Biblia). Hakuna kwamba kuna Neema ya Mungu.

hata Mara moja mafundisho ya Bikira Maria


Kwa sababu hizi unaweza ukaona kwamba Bikira
yalikinzana na Mafundisho ya Neno la Mungu.
Maria anaushirika na Mungu na ni Mtakatifu.

4) Anahubiri Wema, Unyenyekevu, Upole na

Utii: mambo ambayo ni alama ya kudhihirisha

Utakatifu.

Bikira Maria kukingiwa dhambi ya asili maana


5) Anasisitiza Upendo kwa Binadamu

wenzetu na kwa Mungu: Anahubiri Upendo hasa


yake ni nini?
kwa Maadui zetu na wale wanaoipinga Imani ya
Bikira Maria kukingiwa dhambi ya asili maana yake
Kikristu na wanaomkataa Yesu Kristu. Anasisitiza
hakuzaliwa na dhambi ya asili kama binadamu
mara zote Tumpende Mungu na kumtii.
wengine
6) Anahubiri Amani: Anahubiri Injili ya Amani na

Mara zote anasisitiza tuombe amani ambapo amani

ndio Ishara ya Utakatifu.

7) Hajitukuzi mbele ya Mungu bali Mama wa Yesu ni nani?

anajinyenyekesha: Hajawahi kufundisha kwamba


Mama wa Yesu Kristo ni Bikira Maria.
tumtukuze yeye au tumuheshimu yeye. Mara zote

anahubiri tumheshimu Mungu pekee na kumtukuza “Mwezi wa sita baada ya Elizabeti kupata mimba,

Mungu. Amekua akijishusha kwa unyenyekevu Mungu alimtuma malaika Gabrieli aende Galilaya

huku akituelekeza tuige mfano wake wa katika mji wa Nazareti, 27kwa mwanamwali bikira

unyenyekevu wa kumuelekea Mungu aliye Baba wa aliyekuwa ameposwa na mtu mmoja jina lake

huruma na upendo. Yosefu wa nyumba ya Daudi. Jina la huyu

mwanamwali bikira ni Maria. 28Naye malaika akaja


8) Anaongeza imani kwa Mungu: Kwa sala na
kwake akamwambia: “Salamu, wewe
Ibada za Bikira Maria waumini wanapata
uliyebarikiwa, Bwana yu pamoja nawe!” 29Maria
kuongezewa Imani na Uchaji wao kwa Mungu.
akafadhaishwa sana na maneno haya, akajiuliza
Wengi wanabadili maisha yao ya dhambi na
moyoni, “Salamu hii ni ya namna gani?” 30Ndipo
kuelekea Maisha mema ya utakatifu ya
malaika akamwambia, “Usiogope, Maria, umepata
Kumtumikia Mungu.
upendeleo kwa Mungu. 31Tazama, utachukua

mimba, nawe utamzaa mtoto mwanamume na


109

utamwita jina lake Yesu. 32Yeye atakuwa mkuu, kuwa ni Mungu wake pia na hivyo ni mdogo mbele

naye ataitwa Mwana wa Aliye Juu. Bwana Mungu ya Yesu. Sisi tunapomuita Bikira Maria Mama wa

atampa kiti cha enzi cha Daudi baba yake. Mungu tunaheshimu nafasi yake ya kipekee ya

33Ataimiliki nyumba ya Yakobo milele na ufalme kuizalia Dunia Yesu aliye Mungu. Kwa kuwa Bikira

Wake hautakuwa na mwisho.” 34Maria akamwuliza Maria ni Mdogo kuliko Mungu na Hana Umungu

huyo malaika, “Maadam mimi ni bikira, jambo hili wowote hivyo haabudiwi kama Mungu au pamoja

litawezekanaje?” 35Malaika akamjibu, “Roho na Mungu.

Mtakatifu atakujilia juu yako, nazo nguvu Zake


Tunamuheshemu tuu Bikira Maria na Kumuomba
Yeye Aliye Juu zitakufunika kama kivuli, kwa hiyo
atuombee kwa Mungu mwanaye Yesu kwa sababu
mtoto atakayezaliwa atakuwa mtakatifu, naye
anayo nafasi ya kipekee mbele ya Mungu mwanaye
ataitwa Mwana wa Mungu. 36Tazama, jamaa yako
Yesu kama Mama yake wa kumzaa Duniani na
Elizabeti amechukua mimba katika uzee wake na
kama mlezi wake akiwa duniani tangu kuzaliwa
huu ni mwezi wake wa sita, yeye aliyeitwa tasa.
mpaka kufa Msalabani wakiwa pamoja.
37Kwa maana kwa Mungu hakuna

lisilowezekana.”(Lk 1:26-37).

Yesu ni Mungu ndio maana Bikira Maria akaitwa

Mama wa Mungu kwa sababu ndiye aliyemzaa


Bikira Maria alimzaa Yesu Kristo kwa uwezo
Yesu. Yaani Bikira Maria ni Mama wa Mungu tuu

kwa sababu ya kumleta Yesu Duniani kama mzazi gani?


wa kimwili.
Bikira Maria alimzaa Yesu Kristo kwa uwezo wa
Hii haimaanishi kwamba Bikira Maria ni Mama wa Roho Mtakatifu. (Lk 1:35)
Yesu kabla ya Yesu kuja Duniani kwa maana Yesu

Alikuawepo kabla ya kuzaliwa kwake.

“Baba yenu Abrahamu alishangilia kwamba

angaliiona siku Yangu, naye akaiona na akafurahi.‟‟ Ni kwa nini Bikira Maria anaitwa Mama wa

57Wayahudi wakamwambia, “Wewe hujatimiza


Mungu? Na kwa nini aheshimiwe?
hata miaka hamsini, Wewe wasema umemwona

Abrahamu?‟‟ 58Yesu akawaambia, „„Amin, amin, Bikira Maria anaitwa Mama wa Mungu kwa

nawaambia, kabla Abrahamu hajakuwako, „Mimi sababu amemzaa Yesu na Yesu ni Mungu.

niko.‟‟‟ (Yohane 8:56-58)


“Mwezi wa sita baada ya Elizabeti kupata mimba,
Inamaana kuwa Yesu alikuwepo kabla ya Mama
Mungu alimtuma malaika Gabrieli aende Galilaya
yake mbinguni. Kwa sababu hiyo Umama wa Bikira
katika mji wa Nazareti, 27kwa mwanamwali bikira
Maria ni wa Kimwili tuu na sio Umungu. Bikira
aliyekuwa ameposwa na mtu mmoja jina lake
Maria hajatangulia kuwepo kabla ya Yesu Bali Yesu
Yosefu wa nyumba ya Daudi. Jina la huyu
ndiye alikuwepo kabla na ni Mungu wake pia. Yesu
mwanamwali bikira ni Maria. 28Naye malaika akaja
kama Mungu alimuumba Bikira Maria na kumfanya
kwake akamwambia: “Salamu, wewe
Mama yake wa kimwili.
uliyebarikiwa, Bwana yu pamoja nawe!” 29Maria

Bikira maria anamwita Yesu Mwanae wa kumzaa akafadhaishwa sana na maneno haya, akajiuliza

na vilevile anamwita Bwana na Mungu wake kwa moyoni, “Salamu hii ni ya namna gani?” 30Ndipo

malaika akamwambia, “Usiogope, Maria, umepata


110

upendeleo kwa Mungu. 31Tazama, utachukua nawaambia, kabla Abrahamu hajakuwako, „Mimi

mimba, nawe utamzaa mtoto mwanamume na niko.‟‟‟ (Yohane 8:56-58)

utamwita jina lake Yesu. 32Yeye atakuwa mkuu, Inamaana kuwa Yesu alikuwepo kabla ya Mama

naye ataitwa Mwana wa Aliye Juu. Bwana Mungu yake. Kwa sababu hiyo Umama wa Bikira Maria ni

atampa kiti cha enzi cha Daudi baba yake. wa Kimwili tuu na sio Umungu. Bikira Maria

33Ataimiliki nyumba ya Yakobo milele na ufalme hajatangulia kuwepo kabla ya Yesu Bali Yesu ndiye

Wake hautakuwa na mwisho.” 34Maria akamwuliza alikuwepo kabla na ni Mungu wake pia. Yesu kama

huyo malaika, “Maadam mimi ni bikira, jambo hili Mungu alimuumba Bikira Maria na kumfanya Mama

litawezekanaje?” 35Malaika akamjibu, “Roho yake wa kimwili.

Mtakatifu atakujilia juu yako, nazo nguvu Zake


“Usiogope, Maria, umepata upendeleo kwa Mungu.
Yeye Aliye Juu zitakufunika kama kivuli, kwa hiyo
31Tazama, utachukua mimba, nawe utamzaa
mtoto atakayezaliwa atakuwa mtakatifu, naye
mtoto mwanamume na utamwita jina lake Yesu.
ataitwa Mwana wa Mungu. 36Tazama, jamaa yako
32Yeye atakuwa mkuu, naye ataitwa Mwana wa
Elizabeti amechukua mimba katika uzee wake na
Aliye Juu. Bwana Mungu atampa kiti cha enzi cha
huu ni mwezi wake wa sita, yeye aliyeitwa tasa.
Daudi baba yake. 33Ataimiliki nyumba ya Yakobo
37Kwa maana kwa Mungu hakuna lisilowezekana.
milele na ufalme Wake hautakuwa na
38Maria akasema, “Tazama, mimi ni mtumisi wa
mwisho.” (Luka 1:31-33)
Bwana na iwe kwangu kama ulivyosema.” Kisha
Bikira Maria alipewa nafasi ya kipekee na Mungu
malaika akaondoka akamwacha.”(Lk 1:26-38).
kuwa Mama yake na ingewezekana nafasi hii
Yesu ni Mungu ndio maana Bikira Maria akaitwa
apewe mwanamke mwingine kama Bikira Maria
Mama wa Mungu kwa sababu ndiye aliyemzaa
Asingekuwepo au asingekuwa tayari kupokea
Yesu. Yaani Bikira Maria ni Mama wa Mungu tuu
heshima hii. Ndiyo maana Bikira Maria katika
kwa sababu ya kumleta Yesu Duniani kama mzazi
unyonge wake alitambua kuwa ni nafasi ya
wa kimwili.
upendeleo wa Mungu aliyopewa na hivyo

alimshukuru na kumtukuza Mungu kwa nafasi hii.


Je, Bikira Maria kuitwa Mama wa Mungu
41Naye Elizabeti aliposikia salamu ya Maria, mtoto
maana yake ni kwamba yeye ndiye chanzo
aliyekuwa tumboni mwake akaruka. Elizabeti

cha Yesu na Bila yeye Yesu asingekuwepo? akajazwa na Roho Mtakatifu, 42akapaza sauti kwa

nguvu akasema, “Umebarikiwa wewe miongoni


Hapana, haimaanishi kwamba Bikira Maria ni
mwa wanawake, naye mtoto utakayemzaa
chanzo cha Yesu. Hii haimaanishi kwamba Bikira
amebarikiwa. 43Lakini ni kwa nini mimi nimepata
Maria ni Mama wa Yesu kabla ya Yesu kuja Duniani
upendeleo kiasi hiki, hata mama wa Bwana wangu
kwa maana Yesu Alikuawepo kabla ya kuzaliwa
afike kwangu? 44Mara tu niliposikia sauti ya
kwake.
salamu yako, mtoto aliyeko tumboni mwangu
“Baba yenu Abrahamu alishangilia kwamba aliruka kwa furaha. 45Amebarikiwa yeye aliye
angaliiona siku Yangu, naye akaiona na akafurahi.‟‟ amini kwamba lile Bwana alilomwambia
57Wayahudi wakamwambia, “Wewe hujatimiza litatimizwa.” 46Naye Maria akasema: “Moyo wangu
hata miaka hamsini, Wewe wasema umemwona wamwadhimisha Bwana, 47nayo roho yangu
Abrahamu?‟‟ 58Yesu akawaambia, „„Amin, amin, inamfurahia Mungu Mwokozi wangu, 48kwa kuwa

ameangalia kwa fadhili unyonge wa mtumishi


111

wake, hakika tangu sasa vizazi vyote vitaniita Yesu kama Mama yake wa kumzaa Duniani na

mbarikiwa, 49kwa maana, Yeye Mwenye Nguvu, kama mlezi wake akiwa duniani tangu kuzaliwa

amenitendea mambo ya ajabu, Mtakatifu ndilo mpaka kufa Msalabani wakiwa pamoja.

Jjina Lake.” (Luka 1:41-49)


Yesu mwenyewe alimtii na kumsikiliza Mama yake

ndio maana muujiza wa kwanza aliofanya


Je Bikira Maria anamwonaje Yesu? Bikira aliambiwa na mama yake. Bikira Maria ndiye

Maria Anamchukulia Yesu kama nani Kwake? aliyemwomba Yesu Afanye muujiza wake wa

kwanza.
Bikira maria anamwita Yesu Mwanae wa kumzaa

kwa kuwa Bikira Maria ndiye aliyemzaa Yesu 1 Na siku ya tatu palikuwa na arusi huko Kana, mji

Duniani na kumlea kama mtoto wake. Vilevile wa Galilaya; naye mama yake Yesu alikuwapo.

Bikira Maria anamwita Yesu Bwana na Mungu wake 2Yesu naye alikuwa amealikwa arusini pamoja na

kwa kuwa ni Mungu wake pia. Kwa sababu hivyo wanafunzi wake. 3Hata divai ilipowaishia,

Bikira Maria ni mdogo mbele ya (Yesu) Mungu mamaye Yesu akamwambia, Hawana divai. 4

kama kiumbe cha Mungu (Yesu). Yesu akamwambia, Mama, tuna nini mimi

nawe? Saa yangu haijawadia. 5Mamaye

akawaambia watumishi, Lolote


Kwa nini Bikira Maria anapewa Heshima
atakalowaambia, fanyeni. 6 Basi kulikuwako
kubwa
huko mabalasi sita ya mawe, nayo

Tunamuheshimu Bikira Maria kwa sababu ya nafasi yamewekwa huko kwa desturi ya Wayahudi

yake ya kipekee ya upendeleo aliyopewa na Mungu ya kunawa, kila moja lapata kadiri ya nzio

ya Kuwa Mama wa Mungu. Tunapomuita Bikira mbili tatu. 7Yesu akawaambia, Jalizeni

Maria Mama wa Mungu tunaheshimu nafasi yake mabalasi maji. Nao wakayajaliza mpaka juu.

ya kipekee ya kuizalia Dunia Yesu aliye Mungu na 8Akawaambia, Sasa tekeni, mkampelekee

Mkombozi wetu. mkuu wa sherehe. Wakapeleka. 9Naye mkuu

wa sherehe alipoyaonja yale maji yaliyopata

kuwa divai, (wala asijue ilikotoka, lakini


Je, Bikira Maria anastahili kuabudiwa? Je
watumishi walijua, wale walioyateka yale maji),
Tunamwabudu Maria?
yule mkuu wa sherehe alimwita bwana arusi,

Hapana, Bikira Maria hastahili kuabudiwa na wala 10akamwambia, Kila mtu kwanza huandaa divai

hatumuabudu Maria. Kwa kuwa Bikira Maria ni iliyo njema; na watu wakiisha kunywa sana ndipo

kiumbe wa Mungu na ni Mdogo kuliko Mungu kwa huleta iliyo dhaifu; wewe umeiweka divai iliyo

hiyo hana Umungu wowote hivyo haabudiwi kama njema hata sasa. 11 Mwanzo huo wa ishara Yesu

Mungu au pamoja na Mungu. aliufanya huko Kana ya Galilaya, akaudhihirisha

utukufu wake, nao wanafunzi wake

wakamwamini. Yohana 2:1-11


Kwa nini tunamuheshimu Bikira maria na

kusali kwake?

Tunamuheshemu Bikira Maria na Kumuomba


Ni kwa nini Bikira Maria anaitwa Mama wa
atuombee kwa Mungu mwanaye Yesu kwa sababu

anayo nafasi ya kipekee mbele ya Mungu mwanaye Kanisa?


112

Bikira Maria anaitwa Mama wa Kanisa kwa sababu nitaonana nawe hapo, na kuzungumza nawe pale

ni yeye aliyemzaa Yesu Kristo ambaye nilipo juu ya kiti cha rehema, katikati ya hayo

amelianzisha Kanisa. makerubi mawili yaliyo juu ya sanduku la

ushuhuda, katika mambo yote nitakayokuagiza

kwa ajili ya wana wa Israeli. (Kutoka 25 :18-

22.)“

Bikira Maria anafaida yeyote kwa Kanisa? Kwa hiyo kama Mungu mwenyewe aliagiza Sanamu

za Malaika zichongwe na kusema atakua hapo na


Ndiyo. Bikira Maria ni mwombezi Mkuu wa Kanisa.
kuongea na watu wake. Je sio vyema zaidi kuwa

na sanamu na Picha ya Mwanae wa Pekee Yesu

Kristo na kuongea na Mungu mbele yake kama

alitaka ya malaika ambao sio Mungu?


Nafasi ya Heshima kwa Bikira Maria ni ipi?
Mfano mwingine ni pale Mungu alivyomwabia Musa
Nafasi ya Heshima kwa Bikira Maria inafuata baada
achonge Sanamu ya Nyoka wa shaba.
ya Heshima kwa Utatu Mtakatifu
“BWANA akamwambia Mose, “Tengeneza nyoka wa

shaba na umweke juu ya mti, ye yote aliyeumwa

na nyoka anaweza kumtazama na akaishi tena.‟‟

9Kwa hiyo Mose akatengeneza nyoka wa shaba na


Kwa nini wakatoliki wanaweka sanamu
kumweka juu ya mti. Kisha wakati mtu ye yote
Kanisani? alipoumwa na nyoka, naye akamtazama yule

nyoka wa shaba, aliishi.” (Hesabu 21:8-9).


Tunaweka sanamu Kanisani kwa sababu
Kwa Mfano huu Je tunaweza kusema kuwa sanamu
tunaheshimu anayewakilishwa na sanamu hiyo
ya nyoka ina nguvu ya uponyaji kuliko ya Yesu
kwa mfano Yesu Kristo, Mama Bikira Maria,
aliye Mungu? Kumbuka hapa watu walioona
Malaika na Watakatifu; na kamwe hatuziabudu.
sanamu hii ya nyoka hawakukoponywa na nguvu
(Kutoka 25:18-22)
ya sanamu ya shaba bali kwa nguvu ya neema ya
Hata Waisraeli kwenye hekalu lao walikua na Mungu kupitia Imani kwa Mungu. Kwa hiyo
sanamu kama tunavyosoma hapa; unaposali mbele ya picha au sanamu hautegemei

nguvu ya sanamu bali unategemea neema ya


“18 Nawe fanya makerubi mawili ya dhahabu;
Mungu kwa njia ya Imani yako kwa Mungu.
uyafanye ya kazi ya kufua, katika hiyo miisho ya

kiti cha rehema, huku na huku. 19 Weka kerubi Kama vile Sanamu hii ya nyoka aliyoagiza Mungu
moja mwisho mmoja, na kerubi la pili mwisho wa iwekwe ilivyowekwa kwa nia ya uponyaji kwa yule
pili; fanya hayo makerubi ya kitu kimoja na kiti cha aitazamaye vivyo hivyo Sanamu na Picha za
rehema, mwisho huku na mwisho huku.20 Na hayo Kanisani zinawekwa kwa nia maalumu na kwa
makerubi yatainua mabawa yao juu, na kukifunika neema maalumu. Ndiyo maana hazifanani. Na
hicho kiti cha rehema kwa mabawa yao, na nyuso zinabarikiwa kwa kuombewa Baraka Ili zizae
zao zitaelekeana hili na hili; nyuso za hayo neema kwa wanaozitumia.
makerubi zitaelekea kiti cha rehema. 21 Weka kiti

cha rehema juu ya hilo sanduku, kisha utie huo

ushuhuda nitakaokupa ndani ya sanduku. 22 Nami


113

hiyo uwe pale sanamu ilipo na anayesali pale sala


Sanamu au picha sio haramu bali maana ya
yake Ifike kwa mlengwa anayeonekana kwa ishara
hiyo sanamu au picha ndio inaiharamisha.
ya sanamu/picha. Kwa Mfano askofu au padri

Kuna tofauti kati ya kuabudu na kuheshimu. anapobariki sanamu ya Yesu anaomba

Wakatoliki wanaweka sanamu kwa heshima na sio kuwa “Yesu awepo pale kwenye sanamu na

kwa kuabudu, ndio maana unaposali mbele ya Neema zake”, kwa hiyo yeyote anayesali mbele

picha ya Yesu hausali ee sanamu nisaidie bali ya sanamu hiyo anaamini kuwa Yesu yuko pale na

unasema ee Yesu nisaidie. anasali Mbele yake. Kwa hiyo kinachopewa

heshima sio ile sanamu bali ni yule anayeonekana


Je tuseme tunamwabudu Raisi kwa kuheshimu
kwa ishara ya ile sanamu au picha.
picha yake kwa kuiinamia? Je tunaabudu bendera

kwa kuheshimu na kupigia saluti? Je taratibu

zabunge za kutoa heshima na taratibu za Tofauti ya Sanamu za Kikatoliki na za

mahakama ni kuabudu?. Je kuapa mbele ya picha


kipagani ni Kwamba,
ya Raisi ni kumuabudu Raisi? Je kuapa na Biblia ni

kuabudu Biblia? Je tunapobusu Biblia na kuitunza Sanamu za Kipagani: Sanamu hizi huchukuliwa

kwa heshima tunaiabudu? Tofauti ya Biblia na kama Mungu na huabudiwa na kutolewa


sanamu ni nini? Je, kwenye Biblia
Sadaka kama Mungu Mwenyewe.
kinachoheshimiwa ni karatasi au maana ya yale

maneno kwenye karatasi. Pengine usingeheshimu Sanamu za Kikatoliki: Sanamu hizi huchukuliwa

kama hujajua kuyasoma. kama ishara ya kile inachokiwakilisha,

Kuna tofauti gani kati ya biblia yenye Maandishi na haiabudiwi kamwe bali inaheshimiwa tuu.

msalaba wa kuchonga wenye kuonyesha kile


Daima Tumia Sanamu na Picha zilizobarikiwa
kinachosemwa na biblia? kama unaweza
kwani zimenuiwa uwepo wa yule inayemuwakilisha
kuheshimu biblia yenye karatasi tena pale
na utaongea naye hapo. Sisi tunaamini kwamba
unapoweza kuzisoma na pengine ungeizarau kama
kwenye Sanamu ya Yesu kuna uwepo wa Yesu.
ni ya lugha tofauti na hujui kilichoandikwa? Je
Kama vile Mungu anavyowaambia Waisraeli katika
Msalaba uliobeba maana ya kile kilichoandikwa
(Kutoka 25 :22) baada ya kuwaagiza wachonge
kwenye Biblia unaona si kitu? Kama
sanamu za Makerubi (Malaika) 22 Nami nitaonana
Kinachoheshimiwa kwenye Biblia sio karatasi bali
nawe hapo, na kuzungumza nawe pale nilipo juu
maana maneno yaliyoandikwa vivyo hivyo
ya kiti cha rehema, katikati ya hayo makerubi
kinachoheshimiwa kwenye picha au sanamu sio
mawili yaliyo juu ya sanduku la ushuhuda, katika
chuma yake au mti ukiochongwa bali ni maana ya
mambo yote nitakayokuagiza kwa ajili ya wana wa
hiyo sanamu.
Israeli. (Kutoka 25 :22). Sanamu au picha ni

Hii ndio maana nasema kuna tofauti ya kuabudu ishara wazi ya uwepo wa kile kisichoonekana.

na kuheshimu.

Kumbuka kuwa picha au sanamu yoyote ya Jifunze kupitia Sanduku la Agano na Msalaba

Kikatoliki lazima ibarikiwe kwanza ndio uweze


wa Yesu
Kusali mbele yake. Inapobarikiwa inaombewa

uwepo wa yule anayewakilishwa na picha/sanamu


114

Kwenye Agano la kale: Ndani ya hekalu la maana wakatoliki wanasali kwenye picha au

Waisraeli walikua na Sanduku la agano, sanduku sanamu iliyobarikiwa tuu kwa sababu Sanamu

hilo lilikua na vibao vya Amri za Mungu ambavyo ni inapobarikiwa inaombewa uwepo wayule

Ishara ya Agano lao na Mungu na ndani ya anayewakilishwa pale.

sanduku kulikuwepo pia Mfano wa Kiti ambacho


Tunafanya ishara ya msalaba kwenye sanamu
kimezugukwa na sanamu za viumbe kama malaika
kama sala ya utangulizi ambayo inathibitisha kuwa
nyuso zao zikielekea kiti hicho Kutoka 25:10-
hatuabudu kile kilichoko pale bali kile
22. Waisraeli walikua wanasali kuelekea sanduku
tunachokifanya tunakifanya huku tukikiri Umungu
la Agano wanapokuwa Hekaluni na hata wakiwa
na Heshima ya Utatu Mtakatifu (Mungu; Baba,
majumbani mwao walisali kuelekea upande lilipo
Mwana na Roho Mtakatifu.). Vile vile tunamtukuza
Hekalu. Waisraeli walisali kuelekea Sanduku la
Mungu katika Utatu Mtakatifu kwa sababu ya yule
Agano wakiamini kwamba Mungu yupo kati ya
anayewakilishwa na picha au sanamu.
sanduku lile. Lakini sanduku lile halikuwa Mungu.

Waisraeli waliona fahari juu ya Sanduku lile na

walilithamini na kuliheshimu kwa kuwa lilionyesha Kwa nini watu wanabusu picha na sanamu?

uwepo wa Mungu na popote lilipokuwa waliamini


Hii ni ishara ya Upendo kwa yule anayewakilishwa
Mungu yupo.
kwenye picha au sanamu husika. Hata katika
Kwenye Agano jipya: Wakristu wanasali Mbele
maisha ya kawaida watu hubusu picha za wazazi
ya Msalaba wa Yesu ambao unaonyesha kazi ya
na wapendwa wao. Maana ni ile ile.
wokovu alioufanya Yesu kwa wanadamu ya

Kuwakomboa watu kwa kifo chake Msalabani. Na

Msalaba huo ni Ishara ya Ukombozi wa Agano jipya

na la Milele. Kama ilivyokuwa kwa Sanduku la


Hapa duniani Yesu alizaliwa na nani?
Agano, Wakristu wanaheshimu msalaba ambao ni

ishara ya wokovu wao na wanaamini kuwa Mungu Hapa duniani Yesu alizaliwa na Bikira Maria kama

yupo kati ya Msalaba huo lakini Msalaba huo sio malaika alivyomuambia:

Mungu. Wakristu wanaona fahari juu ya msalaba


“Roho Mtakatifu atakujilia juu yako, na nguvu zake
wa Yesu kwa kuwa ndio ishara ya wokovu wao.
Aliye juu zitakufunika kama kivuli; kwa sababu
FUNZO:Kupitia Mfano wa Sanduku la Agano na
hiyo, hicho kitakachozaliwa kitaitwa kitakatifu,
Msalaba tunajifunza kuwa Vyote havikuwa Mungu
Mwana wa Mungu” (Lk 1:35).
ila vinaheshimiwa kwa Imani kuwa Mungu yupo

pale. Vilevile, vyote ni ishara ya wazi ya Agano la

Mungu na Wanadamu.

Malaika alimsalimia Maria “umejaa neema”:

Kwa nini tunasali mbele ya Picha/Sanamu na maana yake nini?

Hasa kufanya Ishara ya msalaba? Malaika alimsalimia Maria “umejaa neema” (Lk

1:28) maana ndiye tunda bora la ukombozi


Tunasali mbela ya sanamu kwa sababu tunaamini
ulioletwa na Yesu.
sanamu inaakisi uwepo wa mhusika aliyechorwa au

kuchongwa kwenye hiyo sanamu/picha. Ndio


115

Kwa stahili za Mwanae alikingiwa asirithi kwa Ndiyo, Maria amechangia wokovu wetu kwa

wazazi dhambi ya asili na madonda yanayotokana kukubali mpango wote wa Mungu aliyetaka amzae

nayo, wala asitende dhambi maisha yake yote. Mwanae, amlee na kumfuata kiaminifu hadi

msalabani, aliposhiriki kumtoa kama sadaka ya

kutuokoa.

Msimamo wake ulikuwa mmoja tu:


Kwa nini Maria anastahili kuitwa “Mama wa
“Tazama, mimi ni mjakazi wa Bwana; na iwe
Mungu”? kwangu kama ulivyosema” (Lk 1:38).

Maria anastahili kuitwa “Mama wa Mungu” kwa

sababu Mwana wa milele wa Mungu, ambaye ni

Mungu sawa na Baba, alifanyika mtu toka kwake.


Je, Maria ni mama yetu pia?
Akiwa mja mzito alishangiliwa: “Umebarikiwa

wewe katika wanawake, naye mzao wa Ndiyo, Maria ni mama yetu pia: kwa kushiriki kazi

tumbo lako amebarikiwa. Limenitokeaje neno yote ya Mwanae, Adamu mpya, amekuwa Eva

hili, hata mama wa Bwana wangu anijilie mimi? mpya, mama wa wale wote aliowakomboa

msalabani.
” (Lk 1:42-43).
“Yesu alipomwona mama yake, na yule

mwanafunzi aliyempenda amesimama karibu,


Je, Bikira Maria ni kama Bahasha au chombo
alimwambia mama yake, „Mama, tazama mwanao‟.

Kisha akamwambia yule mwanafunzi, „Tazama,


cha kumleta Yesu tuu Duniani au anayo
mama yako‟” (Yoh 19:26-27).
thamani zaidi? Kisha kushirikishwa ufufuko wake, anazidi

kutushughulikia kimama tufike salama mbinguni


Bikira Maria sio kama bahasha au chombo cha
alikotangulia kupalizwa mwili na roho.
kumleta Yesu tuu duniani. Yesu ametokana na

Bikira Maria katika ubinadamu wake. Mwili wa Yesu

wa kiubinadamu ni sehemu au uzao wa Bikira

Maria. Bikira Maria anayo uhusiano wa damu na

Yesu Kristu. Ndiyo maana Mungu alimtakasa Bikira Je, ni vizuri kumsifu Maria?

Maria Ili atakayezaliwa kutoka kwake awe na yeye


Ndiyo, ni vizuri kumsifu Maria kwa imani yake
mtakatifu.
kama alivyosifiwa na alivyotabiri mwenyewe:

Mungu alimtakasa Bikira Maria kabla ya Kuamua


“„Heri aliyesadiki; kwa maana yatatimizwa
kuzaliwa kupitia yeye kwa kuwa Mungu ni
aliyoambiwa na Bwana‟… „Tazama, tokea
Mtakatifu. Ubinadamu wa Yesu (MWILI – Nyama
sasa vizazi vyote wataniita mbarikiwa‟” (Lk
na Damu) asili yake ni Bikira Maria.
1:45,48).

Ni lazima tulitimize hilo neno la Mungu katika

kizazi chetu kama kilivyotimizwa na vizazi

vilivyotangulia.
Je, Maria amechangia wokovu wetu?
116

Jibu fupi ni kwamba Bikira Maria hakuzaa watoto


Je, sala inaweza kuwaendea Mama na
wengine na hakuwa na watoto wengine zaidi ya

marafiki wa Yesu (Watakatifu)? Yesu

Ndiyo, sala inaweza kuwaendea Mama na marafiki Hapo zamani hakuna mkristu au dehebu lolote

wa Yesu, walioungana naye kuwa mwili mmoja, lililokuwa linapinga kuwa Bikira Maria sio Bikira

wasiweze kutenganishwa na chochote. Daima hata Waprotestanti/walokole waliamini

Bikira Maria ni Bikira Hata Baada ya Kumzaa Yesu.


“Kwa maana nimekwisha kujua hakika ya kwamba,
Kwenye Miaka ya 1400-1600 Watu wote wakwanza
wala mauti, wala uzima, wala malaika, wala wenye
waliopinga Kanisa Katoliki walikubali kuwa Bikira
mamlaka, wala yaliyopo, wala yatakayokuwapo,
Maria ni Bikira daima wakiwemo Martin Lutha
wala wenye uwezo, wala yaliyo juu, wala yaliyo
aliyeanzisha kanisa la Lutheran, John Calvin
chini, wala kiumbe kingine chochote hakitaweza
aliyeanzisha Ulokole/Protestanti, Mchungaji Ulrich
kututenga na upendo wa Mungu ulio katika Kristo
Zwingli, Heinrich Bullinger, and Thomas Cranmer.
Yesu Bwana wetu” (Rom 8:38-39).
Kwa miaka zaidi ya 350 Waprotestant/walokole
“Kwangu mimi kuishi na Kristo, na kufa ni faida…
waliendelea kuamini kuwa Bikira Maria ni Bikira
Ninatamani kwenda zangu nikae na Kristo” (Fil
Daima.
1:21,23)

. Lakini baadae wakristo wengi walianza kupinga

kuwa Bikira Maria ni Bikira Daima.


Kwa kuwa hao wako na Kristo mbinguni,

wanatuombea mfululizo pamoja naye.


Tunaweza kuthibitisha kuwa Bikira Maria
“Niliona chini ya madhabahu roho zao waliochinjwa
hakuzaa watoto wengine kwa kunukuu Biblia
kwa ajili ya neno la Mungu, na kwa ajili ya

ushuhuda waliokuwa nao. Wakalia kwa sauti kuu, Kama ifuatavyo;


wakisema, „Ee Mwenyezi, Mtakatifu, Mwenye kweli,

hata lini…‟” (Ufu 6:9-10).


1. Bikira Maria Alikuwa Bikira Kabla ya
Tunawaomba wazidi kutuombea kwa Mungu, kama
kumzaa Yesu
tunavyowaomba wenzetu waliopo duniani.

Biblia inatuambia wazi kwamba Bikira Maria


“Mkikesha kwa jambo hilo na kudumu katika
alikuwa Bikira Kabla ya kumzaa Yesu Kama
kuwaombea watakatifu wote; pia na kwa ajili
tunavyosoma katika Luka 1:26-35
yangu mimi” (Ef 6:18-19).

26 Mnamo mwezi wa sita, malaika Gabrieli

alitumwa na Mungu aende kwenye mji uitwao

Nazareti huko Galilaya, 27 kwa msichana mmoja


Je, Bikira Maria alikua na watoto wengine
aitwaye Maria, mchumba wa mtu mmoja jina lake

Mbali na Yesu? Yosefu, wa ukoo wa Daudi. 28 Malaika

akamwendea, akamwambia, “Salamu Maria!

Umejaliwa neema nyingi! Bwana yu pamoja nawe.”


Je, Bikira Maria ni Bikira Daima au alizaa
29 Maria aliposikia maneno hayo alifadhaika sana,

watoto wengine? akawaza: maneno haya yanamaanisha nini? 30


117

Malaika akamwambia, “Usiogope Maria, kwa Wakati wa Maria, Yoseph na Yesu walipoenda

maana Mungu amekujalia neema. 31 Utachukua Yerusalemu Yesu akiwa na miaka 12 Biblia

mimba, utamzaa mtoto wa kiume na utampa jina haituambii kuwa Yesu alikuwa na wadogo zake na

Yesu. 32 Yeye atakuwa mkuu na ataitwa Mwana walikuwa wapi. Kumbuka walikuwa na Desturi ya

wa Mungu Mkuu. Bwana Mungu atampa kiti cha kwenda Yerusalemu kila mwaka kwa ajili ya

mfalme Daudi, babu yake. 33 Kwa hivyo Pasaka familia nzima kama familia. Je hao watoto

atautawala ukoo wa Yakobo milele, na ufalme wengine walikuwa wapi. Kwa nini walikuwa na

wake hautakuwa na mwisho.” 34 Maria akamjibu, Yesu Mwenyewe? Maana yake ni kwamba Yesu

“Yatawezekanaje hayo, hali mimi ni bikira?” 35 hakuwa na Wadogo zake.

Malaika akamjibu, “Roho Mtakatifu atakushukia, na


41 Wazazi wa Yesu walikuwa na desturi ya kwenda
uwezo wake Mungu Mkuu utakujia kama kivuli;
Yerusalemu kila mwaka wakati wa sikukuu ya
kwa sababu hiyo, mtoto atakayezaliwa ataitwa
Pasaka. 42 Mtoto alipokuwa na umri wa miaka
Mtakatifu, Mwana wa Mungu. (Luka 1:26-35)
kumi na miwili, wote walikwenda kwenye sikukuu

hiyo kama ilivyokuwa desturi. 43 Baada ya


2. Biblia Haiwataji ndugu wa Yesu wakati sikukuu, walianza safari ya kurudi makwao, lakini

Yosefu na Maria walipokimbilia Misri Yesu alibaki Yerusalemu bila wazazi wake kuwa na

habari. 44 Walidhani alikuwa pamoja na kundi la


kumficha Yesu na wakati waliporudi
wasafiri, wakaenda mwendo wa kutwa, halafu
19 Baada ya kifo cha Herode, malaika wa Bwana wakaanza kumtafuta miongoni mwa jamaa na
alimtokea Yosefu katika ndoto kule Misri, 20 marafiki. 45 Kwa kuwa hawakumwona, walirudi
akamwambia, “Amka! Mchukue mtoto pamoja na Yerusalemu wakimtafuta. 46 Siku ya tatu
mama yake, urudi tena katika nchi ya Israeli, walimkuta Hekaluni kati ya walimu, akiwasikiliza
maana wale waliotaka kumwua mtoto huyo na kuwauliza maswali. 47 Wote waliosikia maneno
wamekwisha kufa.” 21 Basi, Yosefu aliamka, yake walistaajabia akili yake na majibu yake ya
akamchukua mtoto pamoja na mama yake, hekima. 48 Wazazi wake walipomwona
akarejea katika nchi ya Israeli. 22 Lakini Yosefu walishangaa. Maria, mama yake, akamwuliza,
aliposikia kwamba Arkelao mwanawe Herode “Mwanangu, kwa nini umetutenda hivyo? Baba
alikuwa mfalme wa Yudea mahali pa baba yake, yako na mimi tumekuwa tukikutafuta kwa huzuni.”
aliogopa kwenda huko. Naye baada ya kuonywa 49 Yeye akawajibu, “Kwa nini mlinitafuta?
katika ndoto, alikwenda katika mkoa wa Galilaya, Hamkujua kwamba inanipasa kuwa katika nyumba
23 akahamia katika mji uitwao Nazareti. Ndivyo ya Baba yangu?” 50 Lakini wazazi wake
yalivyotimia maneno yaliyonenwa kwa njia ya hawakuelewa maana ya maneno aliyowaambia. 51
manabii: “Ataitwa Mnazare.” Matayo 2:19-23 Basi, akarudi pamoja nao hadi Nazareti, akawa
Kama wangekuwepo wadogo zake Yesu Biblia anawatii. Mama yake akaweka mambo hayo yote
ingetuambia kwamba walikuwa wapi wakati huo na moyoni mwake. 52 Naye Yesu akaendelea kukua
walikuwa na Yesu au la. katika hekima na kimo; akazidi kupendwa na

Mungu na watu. (Luka 2:41-52).

3. Biblia haituambii kuwa Yesu alikua na Kwa hiyo Biblia haionyeshi kuwa Yesu alikuwa na

kaka na dada wakati akiwa na miaka 12. Kama


wadogo zake alipokuwa na miaka 12
wangekuwepo wangetajwa hapa kuwa walikuwa
118

pamoja na Wazazi wao kama Yesu au walikuwa na KISWAHILI 6 Kisha aliwatokea ndugu zaidi ya

Yesu wakati anapotea. Biblia haituambii chochote mia tano kwa mara moja; wengi wao wanaishi

kwa hiyo wakati huo hapakuwa na wadogo zake bado, lakini baadhi yao wamekwisha kufa.

Yesu.
ENGLISH 6 After that, he appeared to more than

five hundred of the brothers and sisters at the


4. Kukosekana kwa neneo “Binamu” kwenye same time, most of whom are still living, though

lugha ya Yesu some have fallen asleep.

Wakristu wa kwanza pamoja na Yesu aliongea Kwa hiyo hapa neno kaka dada na ndugu

Kiaramaiki au Kiebrania. Katika lugha zote hizo linaonekana wazi halikumaanisha ndugu au kaka

hakuna neno “Binamu” kwa hiyo mabinamu wa damu.

walijulikana kama dada na kaka wa mtu. Kwenye

Agano jipya Neno kaka na Dada lilitumika pia 6. Undugu wa Yakobo, Simoni, Yosefu na
kuwakilisha binamu.
Yuda kwa Yesu Sio wa mtu na kaka zake

Biblia inapotuambia kuwa Kaka na dada zake Yesu


Wasemao kuwa Bikira maria alikuwa na wana zaidi
haimaanishi kaka wa kuzaliwa bali ndugu au
ya Yesu wananukuu kifungu hiki;
Binamu
55 Je, huyu si yule mwana wa seremala? Je, mama
55 Je, huyu si yule mwana wa seremala? Je, mama
yake si anaitwa Maria, na ndugu zake si kina
yake si anaitwa Maria, na ndugu zake si kina
Yakobo, Yosefu, Simoni na Yuda? 56 Na dada zake
Yakobo, Yosefu, Simoni na Yuda? 56 Na dada zake
je, si wote wako hapa pamoja nasi? Basi amepata
je, si wote wako hapa pamoja nasi? Basi amepata
wapi haya yote?” (Mathayo 13:55-56)
wapi haya yote?” (Mathayo 13:55-56)
Kumbuka kulikuwa na Yakobo wawili wakati wa
Kwa hiyo wanaotajwa hapa ni ndugu wa Yesu kwa
Yesu, Vifungu vifuatavyo yunaweza kuona kuwa
maana maneno kama; ndugu, kaka au dada
kulikuwa na yakobo wawili ambao walikuwa ndugu
lilitumika badala ya Binamu yaani mtoto wa
za Yesu lakini sio kaka wa kuzaliwa kwa mama.
shangazi au mjomba. Hapa juu Yosefu ametajwa

kama kaka yake Yesu lakini tunajua kuwa Yosefu 35 Yakobo na Yohane, wana wa Zebedayo,

ni Baba yake Yesu. Baba na mwana hawawezi walimwendea Yesu wakamwambia, “Mwalimu,

kuwa na jina sawa. tunataka utufanyie kitu tutakachokuomba.” (Marko

10:35)

55 Mahali hapo walikuwapo wanawake wengi


5. Biblia haitumii neno Ndugu, kaka au dada
wakitazama kwa mbali. Hao ndio wale waliomfuata
ikimaanisha ndugu wa kuzaliwa mama mmoja
Yesu kutoka Galilaya wakimtumikia. 56 Miongoni

na baba mmoja mwao walikuwa Maria Magdalene, Maria mama yao

Yakobo na Yosefu, pamoja na mama yao wana wa


Sio mara zote Biblia imetumia neno Ndugu
Zebedayo. (Matayo 27:55-56)
kumaanisha ndugu (Dada na Kaka) wa kuzaliwa
Tunaweza kuona Undugu huu na Yesu kwa
yaani kaka na dada kwa mfano
kusoma;
Kwa kuangalia lugha ya Kiswahili na Kiingereza 1
19 Lakini sikuwaona mitume wengine isipokuwa
Wakorintho 15:6 tunaona tafsiri tofauti.
Yakobo, ndugu yake Bwana. (Wagalatia 1:19)
119

Lakini Yuda anasema;


7. Yesu alimwacha Mama yake kwa Yohane

1 Mimi Yuda, mtumishi wa Yesu Kristo, ndugu yake kwa kuwa hakuwa na Kaka na dada
Yakobo, nawaandikia ninyi mlioitwa na Mungu na
wakumwachia mamaye
ambao mnaishi katika upendo wa Mungu Baba, na

katika ulinzi wa Yesu Kristo. (Yuda 1:1) 26 Yesu alipomwona mama yake, na karibu naye

Kwa hiyo Yakobo na Yohane walikuwa watoto wa amesimama yule mwanafunzi aliyempenda,

Mama mwingine ambao baba yao ni Zebedayo. Na akamwambia mama yake: “Mama! Tazama, huyo

Yakobo na Yosefu walikuwa watoto wa Maria ndiye mwanao.” 27 Halafu akamwambia yule

Mwingine. Kwa hiyo ni Yakobo wa wili wa Mama mwanafunzi: “Tazama, huyo ndiye mama yako.”

wengine Tofauti na Maria. Yuda alikuwa ni ndugu Na tangu saa ile huyo mwanafunzi alimchukua

yake Yakobo. Yakobo vilevile alikuwa ndugu yake akae nyumbani kwake.

Yesu. Ndiyo maana Bikira Maria tangu siku ile alihamia

kwa Yohani kwa kuwa hakuwa na watoto wengine.


Kuthibitisha kuwa Hawa kina Mama ndio waliokuwa

Mama zao kina Yakobo wote hao wawili na

wengine tunaweza kusoma;

25 Karibu na msalaba wake Yesu walikuwa Wazazi wa Bikira Maria ni nani?


wamesimama mama yake, na dada ya mama
Wazazi wa Bikira Maria ni Yoakimu na Anna
yake, Maria mke wa Kleopa, na Maria Magdalene.

(Yohana 19:25)
WhatsAppTwitterLinkedInEmail
Kwa hiyo kwenye (Yohana 19:25) tunaona Kuwa ni Amri ya Tano ya Mungu: Kutunza uhai wetu na wa watu
wengine
kwenye Msalaba wa Yesu alikuwepo Mama yake
Mafundisho ya Katekisimu / Leave a Comment
Yesu (Bikira Maria), Dada yake Bikira Maria, Mke
Katika Amri ya Tano ya Mungu tumeamriwa nini?
wa Cleopa na Maria Magdalena. Na kwenye
Tumeamriwa tutunze uhai wetu na wa watu wengine tangu
(Matayo 27:55-56) wamwtajwa ni Mama za kina
mwanzo hadi mwisho. (Mwa 4:10-11)
nani kama inavyoonekana kwenye kifungu

kifuatachi;.

55 Mahali hapo walikuwapo wanawake wengi


Kwa nini ni lazima kutunza uhai wetu na wa wenzetu?
wakitazama kwa mbali. Hao ndio wale waliomfuata

Yesu kutoka Galilaya wakimtumikia. 56 Miongoni Kwa sababu uhai wa watu wote umetoka kwa Mungu

mwao walikuwa Maria Magdalene, Maria mama yao

Yakobo na Yosefu, pamoja na mama yao wana wa

Zebedayo. (Matayo 27:55-56).


Haki gani ya Binadamu ni ya msingi kupita zote?
Kwa hiyo hii ina maanisha kulikua na wanawake

watatu wenye majina sawa ya Maria waliokuwa Haki ya binadamu iliyo ya msingi kupita zote ni uhai wake
ambao ni lazima uheshimiwe na kulindwa tangu siku ya
chini ya Msalaba. Yakobo na Yuda walikuwa watoto kutungwa mimba

wa Maria Mke wa Cleofasi, na sio Mama wa Yesu,

na hivyo sio kaka za Yesu.

Nani anatenda dhambi dhidi ya amri ya tano ya Mungu?

Mambo yanayovunja Amri ya Tano ya Mungu


120

Anayetemda dhambi dhidi ya amri ya tano ya Mungu ni yule;-


Tudumu katika sala daima kwa sababu njia ya sala

1. Anayemuua mtu au anayejiua mwenyewe ndipo tunaweza kusema yale tunayotaka mbele ya
2. Anayemdhuru mwingine kwa namna yoyote ile
Mungu na kusikia yale anayotaka Mungu.
3. Anayeua Mimba na kuharibu nguvu za uzazi
4. Anayesaidia kuua, kumdhuru mtu au anayesaidia
kutoa/kuharibu mimba
5. Anayeharibu mazingira yaliyomuhimu kwa uhai
6. Anayetetea au kuendeleza mifumo ya ya dhuluma, uhasama
na vita.

Kwa nini tunasali?

WhatsAppTwitterLinkedInEmail Tunasali ili kudumisha mahusiano yetu na Mungu


Maswali na Majibu kuhusu Sala
na ili kutimiza wajibu wetu Mbele ya Mungu.
Mafundisho ya Katekisimu / Leave a Comment
Sababu kuu za kusali ni;

1. Kumwabudu Mungu,
Sala ni nini?
2. Kumshukuru Mungu,
Sala ni kuinua mioyo yetu kwa Mungu na kuongea 3. Kuomba neema na baraka kwa ajili yetu
nae. Kuongea maana yake ni kusema na Kusikiliza. na wenzetu,
Sala sio kuongea tuu, sala ni kuongea na 4. Kuomba msamaha,
kusikiliza. Mungu anatualika tuongee nae kwa 5. Kumsifu na kumtukuza Mungu
kusema na kusikiliza. Kwenye Biblia tunasoma

Hivi;
1. Kumwabudu Mungu

“Niite, nami nitakujibu na kukuambia mambo


Tunasali ili kumwabudu Mungu, yaani kumpa
makubwa yaliyofichika ambayo hujapata
heshima ya mwisho juu ya kila kitu. Kuonyesha
kuyajua”.(Yeremia 33:3)
kuwa ni mkuu na wa kipekee kuliko mtu au kitu
Vile tunavyokuwa na juhudi ya kusali kwa kusema
chochote.
mbele ya Mungu ndivyo hivyo hivyo tunatakiwa

tuwe na juhudi ya kumsikiliza Mungu kile


2. Kumshukuru Mungu
anachotuambia.

Tunasali ili kumshukuru Mungu kwa yale yote


Tunaweza kumsikiliza Mungu ndani kabisa ya
aliyokwisha kuyatenda, anayoyatenda na yale
Mioyo yetu, mara nyingine kwa kupitia dhamira
atakayoyatenda. Tunamshukuru Mungu kwa yote
zetu, kupitia watu wengine na kupitia neno lake
kwa kuwa yote anayoyafanya anayafanya kwa
(Biblia). Tuombe neema ya kutambua sauti yake
Mapenzi/ Matakwa yake Matakatifu. Nia ya Mungu
anaposema nasi ili tuweze kumsikiliza na
ni njema daima ndio maana tunapoona ameruhusu
kutengeneza mahusiano mazuri kati yetu na yeye.
mambo ambayo kwa akili zetu tunayaona ni
Mungu ni Baba yetu, anatupenda sana na yupo magumu na sio mema tunapaswa kushukuru kwa
tayari kutusikiliza wakati wote ndio maana Mungu sababu ameyafanya kwa makusudi mema.
anatualika kwa kutuambia;
Biblia inatuambia hivi;
“Haya, njoni, tusemezane, asema BWANA. Dhambi
16 Furahini siku zote; 17ombeni bila kukoma;
zenu zijapokuwa nyekundu sana, zitakuwa nyeupe
18shukuruni kwa kila jambo; maana hayo ni
kama theluji; zijapokuwa nyekundu kama bendera,
mapenzi ya Mungu kwenu katika Kristo Yesu. (1
zitakuwa kama sufu”. (Isaya 1:18)
Wathesalonike 5:16-18)
121

Tunatakiwa kumshukuru Mungu kwa Kila jambo na Tunasali ili kusifu na kumtukuza Mungu. Mungu

kumshukuru huku ni kwa njia ya sala. anapenda kusifiwa na kutukuzwa. Kwa njia ya sifa

tunapokea neema na baraka hata ambazo

3. Kuomba neema na baraka kwa ajili yetu na hatujaziomba.

wenzetu 1Mfanyieni BWANA shangwe, dunia yote;

2Mtumikieni BWANA kwa furaha;


Tunasali kwa kuomaba neema na baraka kwa ajili
Njoni mbele zake kwa kuimba;
yetu sisi wenyewe na kwa ajili ya wenzetu.
3 Jueni kwamba BWANA ndiye Mungu;
Tunamuomba Mungu baraka na Mkono wake katika
Ndiye aliyetuumba na sisi tu watu wake;
yale tunayoyafanya na kwa yale wanayoyafanya
Tu watu wake, na kondoo wa malisho yake.
wengine.
4Ingieni malangoni mwake kwa kushukuru;

Maombi yetu ili ykubalike mbele ya Mungu ni Nyuani mwake kwa kusifu;

lazima yawe katika mapenzi yake na yawe na nia Mshukuruni, lihimidini jina lake;

njema. Tunafundishwa hivi katika biblia; 5 Kwa kuwa BWANA ndiye mwema;

Rehema zake ni za milele;


3Tena, mnapoomba hampati kwa sababu
Na uaminifu wake vizazi na vizazi. (Zaburi 100:1-
mnaomba kwa nia mbaya; mnaomba ili mpate
4)
kutosheleza tamaa zenu. (Yakobo 4:3)

Tunatakiwa tusali kwa kuomba mema na kwa nia

njema ili tuweze kupata yale tunayoyaomba kwa

Mungu. Nani anapaswa kusali?

Watu wote wanapaswa kusali, wema na wabaya.


4. Kuomba Msamaha
Sala ndiyo njia pekee ya kumuunganisha

Tunasali ili kuomba msamaha mbele ya Mungu Mwanadamu na Mungu. Tunapaswa kusali Katika

kwa yote mabaya tuliyoyafanya. Mungu ni hali yoyote. Tunapokuwa katika hali ya neema

mwaminifu hasa kwenye kutusamehe na tunapaswa kusali vivyo hivyo tunapokuwa katika

kutuondolea dhambi zetu. hali ya dhambi tunapaswa kusali.

9Tukiziungama dhambi zetu, Yeye ni mwaminifu Tunapokuwa katika hali ya neema tunapaswa

na wa haki hata atuondolee dhambi zetu, na kusali. Tunasali ili tuweze kudumu katika hali ya

kutusafisha na udhalimu wote. (1 Yohana 1:9) neema. Hatupaswi kuacha kusali kama tunajiona

Vilevile Tunatakiwa kusali katika mapungufu yetu hali yetu ya kiroho ipo vizuri. Hatupaswi kuacha

na kuwa na matumaini. kusali kama tumepata neema ya kusimama vyema

mbele ya Mungu.
9Naye akaniambia, Neema yangu yakutosha;

maana uweza wangu hutimilika katika udhaifu. Tunapokuwa katika hali ya dhambi tunapaswa

Basi nitajisifia udhaifu wangu kwa furaha nyingi, ili kusali. Tunasali ili tuweze kurudi katika hali ya

uweza wa Kristo ukae juu yangu. (2 Wakorinto neema. Hatupaswi kuacha kusali kama tunajiona

12:9) tupo katika hali ya dhambi. Kwa njia ya sala ndipo

tutakapoweza kutoka katika hali ya dhambi.

6. Kumsifu na kumtukuza Mungu


122

Mungu yupo tayari kusikiliza ukiwa katika hali ya


Yatupasa kusali lini?
neema au kama ukiwa katika hali ya dhambi. Ndio

maana tunapaswa kumwelekea Mungu katika hali Yatupasa kusali kila siku bila kukata tamaa (Lk

yoyote tulio nayo. 18:1) Sala ndiyo njia pekee ya kutuunganisha na

Mungu.
14Na huu ndio ujasiri tulio nao kwake, ya kuwa,

tukiomba kitu sawasawa na mapenzi yake, Tunatakiwa tusali daima Kama Yesu alivyotuhimiza

atusikia. 15Na kama tukijua kwamba atusikia, kwa mfano huu;

tuombacho chote, twajua kwamba tunazo zile haja


1 Akawaambia mfano, ya kwamba imewapasa
tulizomwomba. (1 Yohane 5:15)
kumwomba Mungu sikuzote, wala wasikate tamaa.
Tena Mungu anasubiri tumuombe ili furaha yetu
2 Akasema, Palikuwa na kadhi katika mji fulani,
itimilike.
hamchi Mungu, wala hajali watu.

24Hata sasa hamkuomba neno kwa jina 3 Na katika mji huo palikuwa na mwanamke

langu; ombeni, nanyi mtapata; furaha yenu iwe mjane, aliyekuwa akimwendea-endea, akisema,

timilifu. (Yohane 16:24) Nipatie haki na adui wangu.

Hata kama tuna dhambi Mungu yupo tayari 4 Naye kwa muda alikataa; halafu akasema

kutupokea na kutusikiliza. moyoni mwake, Ijapokuwa simchi Mungu wala

sijali watu,
“Haya, njoni, tusemezane, asema BWANA. Dhambi
5 lakini, kwa kuwa mjane huyu ananiudhi,
zenu zijapokuwa nyekundu sana, zitakuwa nyeupe
nitampatia haki yake, asije akanichosha kwa
kama theluji; zijapokuwa nyekundu kama bendera,
kunijia daima.
zitakuwa kama sufu”. (Isaya 1:18)
6 Bwana akasema, Sikilizeni asemavyo yule kadhi
Mungu yupo tayari kutusikiliza hata tunapokuwa
dhalimu.
wadhambi kwa kuwa haziweki dhambi zetu na
7 Na Mungu, je! Hatawapatia haki wateule wake
makosa yetu mbele yetu. Huruma yake ni kubwa
wanaomlilia mchana na usiku, naye ni mvumilivu
kushinda dhambi zetu.
kwao?
12 Kama mashariki ilivyo mbali na magharibi, 8 Nawaambia, atawapatia haki upesi; walakini,
Ndivyo alivyoweka dhambi zetu mbali nasi. atakapokuja Mwana wa Adamu, je! Ataiona imani
13 Kama vile baba awahurumiavyo watoto wake, duniani? (Lk 18:1-8)
Ndivyo BWANA anavyowahurumia wamchao. Kwa hiyo basi, Tusali daima kila siku, kila saa na
(Zaburi 103:12-13) katika hali yoyote. Tusichoke kusali hata kama
Mungu anatuwazia mema daima ndio maana maombi Yetu hayajajibiwa. Mungu ni mwenye
tunapaswa kusali kwake Hekima na anajua lini hasa akujibu kile

unachokiomba kwa manufaa yako wewe.


11Maana nayajua mawazo ninayowawazia ninyi,
Usipopewa Leo kile ukiombacho unaweza kukipata
asema BWANA, ni mawazo ya amani wala si ya
kwa wakati ufaao tena bila ya Kukiomba.
mabaya, kuwapa ninyi tumaini siku zenu za

mwisho. 12Nanyi mtaniita, mtakwenda na

kuniomba, nami nitawasikiliza. 13Nanyi Sala ni Hazina

mtanitafuta na kuniona, mtakaponitafuta kwa

moyo wenu wote. (Yeremia 29:11-13)


123

Sala ni hazina. Kusali ni kujiwekea hazina. Sala lakini tusisahau kuwa Tunahitaji kuwa na Muda wa

unayosali leo inaweza kukunufaisha wakati Kusali.

usioutarajia.
Tusali daima, Kila wakati na Maisha yetu yawe ni

Maisha ya Sala.
Maana ya Sala kwa Mkristo Mkatoliki
Mungu Akubariki sana, Azijibu sala zako na
Maana ya sala kwa Mristu Mkatoliki sio kuomba Akujalie Neema ya Kuwa Mtu wa Sala.
tuu. Sala kwa Mkatoliki ni zaidi ya kuomba. Kwa

Mkatoliki sala inamaanisha kufanya haya;

1. Tunasali kushukuru,
Yatupasa kusali namna gani?
2. Tunasali kuomba,

3. Tunasali kusifu na Kutukuza, Yatupasa kusali kwa Unyenyekevu, Ibada,

4. Tunasali kumshirikisha Mungu Furaha zetu Matumaini na kwa Saburi. Yesu alitufundisha

na huzuni zetu, kuhusu kusali kwa kutumia mfano huu;

5. Tunasali kuomba Toba na Msamaha,


9 Akawaambia mfano huu watu waliojikinai ya
6. Tunasali kumshirikisha Mungu Juhudi zetu
kuwa wao ni wenye haki, wakiwadharau wengine
na Mipango yetu,
wote.
7. Tunasali kumshirikisha Mungu
10 Watu wawili walipanda kwenda hekaluni kusali,
changamoto zetu.
mmoja Farisayo, wa pili mtoza ushuru.
Tuna kila sababu ya Kusali kila Siku na Kila saa.
11 Yule Farisayo akasimama akiomba hivi moyoni
Maisha yetu yote yanatakiwa yawe Maisha ya Sala.
mwake; Ee Mungu, nakushukuru kwa kuwa mimi si
Usifikiri kwamba Wakati wote unaposali lazima
kama watu wengine, wanyang‟anyi, wadhalimu,
utamke maneno Mengi sana ili uwe umesali, Sala
wazinzi, wala kama huyu mtoza ushuru.
haipimwi kwa Maneno. Sala inapimwa kwa nia
12 Mimi nafunga mara mbili kwa juma; hutoa zaka
yake na Kujiweka wazi mbele ya Mungu.
katika mapato yangu yote.

Kila Usalipo Jijengee Tabia ya kunuia, kuwa wazi 13 Lakini yule mtoza ushuru alisimama mbali, wala

na kusali kwa ukweli wa Moyo wako. Hata kama ni hakuthubutu hata kuinua macho yake mbinguni,

sentesi Moja fupi Kabisa itamke kwa Upendo na bali alijipiga-piga kifua akisema, Ee Mungu, uniwie

Imani. Kwa Mfano, kuna wakati inatosha kabisa radhi mimi mwenye dhambi.

kusema Ee Mungu wangu ninakushukuru kwa 14 Nawaambia, huyu alishuka kwenda nyumbani

hili, hii inaweza kuwa sala Yenye nguvu Kama kwake amehesabiwa haki kuliko yule; kwa maana

imetamkwa kwa Imani, Shukrani na Mapendo ya kila ajikwezaye atadhiliwa, naye ajidhiliye

Kweli. Maneno machache yanayotamkwa kwa atakwezwa. Luka 18:9-14

Imani na Mapendo yanaweza kuzidi Mkesha wa Tunatakiwa tusali kwa nia njema na kwa kufuata

Kusali Usiku Mzima huku unasinzia. Mapenzi ya Mungu ili sala zetu zipate kibali mbele

za Mungu. Tunapoomba kwa nia mbaya ya tamaa


Pamoja na kwamba sala fupi ni nzuri na inafaa
na majivuno hatuwezi kupata kile tukiombacho.
sana, kuna haja pia ya kujitengea Muda wa

Kutosha Kusali na Kutafakari Huku tukiungana na 3Tena, mnapoomba hampati kwa sababu

Mungu. Kila siku tunanye mambo yote mengine mnaomba kwa nia mbaya; mnaomba ili mpate

kutosheleza tamaa zenu. Yakobo 4:3


124

Mungu anajibu sala zetu kulingana na nia ya kile

tunachokiomba. Watu wote waliofanikiwa Katika

sala zao walifanikiwa kwa sababu ya nia ya kile


Sala ya sauti ni nini?
walichokiomba.

Sala ya sauti ni sala asaliyo mtu au kundi kwa


Sala sio kutamka manano tuu, sala ni kutamka
kutamka maneno
maneno kwa kunuia. Tena tusalipo yatupasa kujua

kuwa tunaongea na Mungu na sio tuu kwamba

tunatamka maneno. Tusisahau nia kuu ya kusali

ambayo ni mawasiliano Yetu na Mungu.


Sala ya fikara ni nini?
Tunaposali Tunapaswa Kukumbuka na kuzingatia
Sala ya fikra ni sala asaliyo mtu peke yake au
haya;
akiwa na wengine kimya kimya akimuwaza Mungu
1. Nia na Imani (Kuamini na Kuwa na

Uhakika na Unachokifanya)

2. Unyenyekevu wa Kweli

3. Ibada na Uchaji
Sala ya kanisa ni nini?
4. Upendo na Uwazi (Honest)

5. Matumaini na Saburi (Subira) Sala ya kanisa ni sala maalumu wasaliyo Maklero,

Kila unaposali jiulize unasali kwa kwa sababu gani? Watawa, na Walei kwa ajili ya Kanisa zima

Kila ubapoomba, jiulize unamuomba Mungu ili nini?

Sababu yako ndio kibali cha sala yako.

Mungu Akubariki kwa Kukujalia Imani,


Ni nyakati gani zafaa kwa sala?
Unyenyekevu, Ibada, Uwazi na Matumaini Usalipo.

Uwe na Amani. Nyakati zote zafaa kwa sala hasa:

1. Asubuhi na jioni

2. Kabla na baada ya kula

3. Kila Dominika
Sala zipo za namna ngapi?
4. Sikukuu za amri
Sala zipo za namna tatu,
5. Kabla na baada ya kazi

1. Sala ya sauti 6. Katika kishawishi

2. Sala ya fikara

3. Sala ya taamuli

Yesu alitufundisha sala gani?

Yesu alitufundisha sala ya Baba Yetu (Mt. 6:9-13)


Sala ya Taamuli ni nini?

Sala ya taamuli ni sala ya kumtazama tuu Mungu

kwa upendo mkubwa moyoni

Je, yatupasa kuombea wengine?


125

Ndiyo. Yatupasa kuwaombea watu wote hasa watakwea, kila mtu aingie ndani moja kwa moja

wenye shida, wakosefu na hata maadui zetu. kutokea pale alipo.‟‟ (Yoshua 6:2-5).

Naamani aliambiwa na Nabii Elisha aoge mara saba

kwenye mto Yordani ili apone.

14Hivyo akashuka na kujizamisha ndani ya mto


Vyanzo vya sala za Kikristo
Yordani mara saba, kama vile huyo mtu wa Mungu

Vyanzo vya sala za kikristo ni; alivyokuwa amemwambia, nayo nyama ya mwili

wake ikapona na kutakasika kama ya mwili wa


1. Neno la Mungu
mvulana mdogo. (2 Wafalme 5:14)
2. Litrujia ya kanisa
Yesu alisali sala ya kurdia rudia kama
3. Fadhila za Kimungu
tunavyosoma,
4. Matukio ya kila siku
39Akaenda mbele kidogo, akaanguka kifudifudi

akaomba, akisema, “Baba yangu, kama

inawezekana, kikombe hiki na kiniepuke, lakini si

Je, ni sahihi kusali sala kwa kurudia rudia kama nitakavyo mimi bali kama utakavyo Wewe.‟‟

40Kisha akarudi kwa wanafunzi wake na kuwakuta


mfano Novena? wamelala. Akamwuliza Petro, “Je, hamkuweza

kukesha pamoja nami kwa saa moja? 41„„Kesheni


Ndiyo, Hii ni kwa sababu sala nyingi za kurudia ni
na mwombe, msije mkaanguka majaribuni. Hakika
za Ahadi na zinasaliwa ili kutimiza ahadi ile. Mfano
roho iko radhi lakini mwili ni dhaifu.‟‟ 42Akaenda
Novena husaliwa kwa siku 7 au 9 kwa nia ya
tena mara ya pili na kuomba, “Baba yangu, kama
kupata kile kilichoahidiwa au kinachodhamiriwa.
ikiwezekani kikombe hiki kiniepuke nisikinywe,
Mungu alishawahi kuwaagiza Waisraeli wafanye
mapenzi yako yafanyike.‟‟ 43Aliporudi, akawakuta
Ibada maalumu kwa kurudiarudia mfano wakati
tena wamelala kwa sababu macho yao yalikuwa
walipoangusha kuta za Yeriko walifanya Ibada
mazito. 44Hivyo akawaacha akaenda zake tena
maalumu kwa siku 7 (Saba).
mara ya tatu na kuomba akisema maneno yale
“Waisraeli walipopita waliagizwa na Mungu
yale. (Mathayo 26:39-44)
kuzunguka Mji wa Yeriko 2Kisha BWANA

akamwambia Yoshua,“Tazama, nimeitia Yeriko

mikononi mwako, pamoja na mfalme wake na Je ni makosa kurudia sala maneno yale yale

watu wake wa vita. 3Zunguka mji mara moja


kwa Mfano Rozari?
pamoja na watu wako wote wa vita. Fanya hivi

kwa siku sita. 4Uwe na makuhani saba wakibeba Hapana sio Makosa. Kwa Mfano Biblia inatuambia

mabaragumu ya pembe za kondoo waume mbele kuwa Malaika humtukuza Mungu kwa maneno ya

ya sanduku. Siku ya saba, mzunguke mji mara kurudia rudia.

saba, nao makuhani wakipiga baragumu hizo.


“8Kila mmoja wa hawa viumbe wenye uhai wanne,
5Utakaposikia makuhani wamepaliza sauti kubwa
alikuwa na mabawa sita na kujawa na macho
ya baragumu, watu wote wapige kelele kwa sauti
pande zote, hadi chini ya mabawa. Usiku na
kuu, kisha ukuta wa mji utaanguka na watu
mchana hawakuacha kusema: „„Mtakatifu,

Mtakatifu, Mtakatifu, ni Bwana Mungu Mwenyezi,


126

aliyekuwako, aliyeko na atakayekuja.‟‟ (Ufunuo tena wamelala kwa sababu macho yao yalikuwa

4:8). mazito. 44Hivyo akawaacha akaenda zake tena

Vile vile tunasoma katika kitabu cha Isaya kuwa mara ya tatu na kuomba akisema maneno yale

malaika walikua wakimsifu na kumtukuza Mungu yale. (Mathayo 26:39-44)

kwa sala/ maneno ya kurudiarudia. “Katika mwaka

ule mfalme Uzia alipokufa, nilimwona Bwana


Sala kwa Mkatoliki ni nini hasa? Tunaposema
ameketi katika kiti cha enzi, kilicho juu na

kilichotukuzwa sana, nalo pindo la joho lake sala tunamaanisha nini hasa?
likajaza hekalu. 2Juu yake walikuwepo maserafi,
Sala ni kuongea na Mungu. Sala kwa Mkatoliki
kila mmoja alikuwa na mabawa sita: Kwa mabawa
inajumuisha maombi, tafakari, ibada, taamuli,
mawili walifunika nyuso zao, kwa menngine mawili
shukrani na sifa. Maana ya sala kwa Mkristo
walifunika miguu yao na kwa mawili walikuwa
Mkatoliki sio kuomba tuu kama wanavyotafsiri
wakiruka. 3Nao walikuwa wakiitana kila mmoja na
watu wasio wakatoliki. Wengi wa wasio Wakatoliki
mwenzake: “Mtakatifu, Mtakatifu, Mtakatifu ni
wanaposema Sala wanamaanisha Maombi.
BWANA Mwenye Nguvu, Dunia yote imejaa utukufu

wake.” Kwa hiyo kwa Mkatoliki, Sala ni zaidi ya Maombi.

Ndiyo maana kwa mkatoliki kuna sala za namna


Kama Malaika humtukuza Mungu kwa maneno ya
mbalimbali kama vile za Tafakari, za Maombi za
kurudia rudia kwa nini sisi tukifanya hivyo tuwe
Sifa na za kushukuru. Mfano sala ya Atukuzwe
tunakosea? Na sisi tunaweza kumuomba, kumsifu
Baba sio maombi bali ni sala ya kumtukuza Mungu
na kumtukuza Mungu kwa sala au maneno ya
kwa maana hiyo sio Maombi, ndiyo maana
kurudiarudia kama walivyofanya malaika. Kwa hiyo
husaliwa baada ya sala au matukio fulani kama
sala za kurudia rudia sio makosa.
ishara ya kumtukuza Mungu na kutambua ukuu wa
Tukiangalia Zaburi ya 136 inarudia maneno “kwa Mungu
maana fadhili zake zadumu milele” mara 26 yaani

kwenye mistari yake yote. (Zaburi 136:1-26)


Yesu alifundisha tusali vipi?
Yesu pia allimuomba Mungu Baba kwa kurudia

maneno yale yale kama tunavyosoma, Kisha Yesu akawapa wanafunzi Wake mfano ili

kuwaonyesha kuwa yawapasa kuomba pasipo


39Akaenda mbele kidogo, akaanguka kifudifudi
kukata tamaa.
akaomba, akisema, “Baba yangu, kama

inawezekana, kikombe hiki na kiniepuke, lakini si 2Akawaambia, “Katika mji mmoja alikuwapo

kama nitakavyo mimi bali kama utakavyo Wewe.‟‟ hakimu ambaye hakumwogopa Mungu wala

40Kisha akarudi kwa wanafunzi wake na kuwakuta kumjali mtu. 3Katika mji huo alikuwako mjane

wamelala. Akamwuliza Petro, “Je, hamkuweza mmoja ambaye alikuwa akija kwake mara kwa

kukesha pamoja nami kwa saa moja? 41„„Kesheni mara akimwomba, „Tafadhali nipatie haki kati

na mwombe, msije mkaanguka majaribuni. Hakika yangu na adui yangu.‟ Wa Mjane Asiyekata Tamaa

roho iko radhi lakini mwili ni dhaifu.‟‟ 42Akaenda 4“Kwa muda mrefu yule hakimu alikataa. Lakini

tena mara ya pili na kuomba, “Baba yangu, kama hatimaye akasema moyoni mwake, „Japokuwa

ikiwezekani kikombe hiki kiniepuke nisikinywe, simwogopi Mungu wala simjali mwanadamu,

mapenzi yako yafanyike.‟‟ 43Aliporudi, akawakuta 5lakini kwa kuwa huyu mjane
127

ananisumbuasumbua, nitahakikisha amepata haki Bikira Maria anatuombea kwa jina la Yesu Kristu na

yake ili asiendelee kunichosha kwa kunijia mara kwa mamlaka ya Yesu Kristu aliye mwanaye.

kwa mara!‟ ” 6Bwana akasema, “Sikilizeni Hakuna Sala yoyote inayotolewa kwa Bikira Maria

asemavyo huyu hakimu dhalimu. 7Je, Mungu moja kwa moja kwani Sala zote kwa Bikira Maria

hatawatendea haki wateule Wake wanaomlilia zinatolewa kwa kusema utuombee ikimaanisha

mchana na usiku? Je, atakawia kuwasaidia? kuwa utupelekee Maombi yetu kwa Mungu. Bikira

8Ninawaambia, atawapatia haki upesi. Lakini je, Maria hatusaidii sisi moja kwa moja bali

Mwana wa Adamu atakapokuja ataikuta imani anatusaidia kwa kutuombea msaada kutoka kwa

duniani?” (Luka 18:1-8) Mungu.

Je ni halali au ni sawa kwa Bikira Maria kutuombea

Roho Mtakatifu ana nafasi gani katika sala? kwa Jina la Yesu? Na Je tunajuaje kuwa Bikira

Roho Mtakatifu ndiye Mlezi wa ndani wa sala ya Maria anaushirika na Yesu?

Kikristo Ni halali na nisawa kabisa Bikira Maria kutuombea.

Tunajua kuwa Bikira Maria anaushirika na Yesu

kwa kuwa Yesu mwenyewe alituambia kuwa

“asiyepingana na sisi yupo upande wetu”. Biblia


Ni ipi sala kubwa ya Kanisa? iintuambia…

Sala kubwa ya Kanisa ni Misa Takatifu “Yohane akadakia na kusema “Umemwona Mtu

mmoja akifukuza pepo kwa kutumia jina lako, nasi

tukajaribu kumkataza kwa kuwa si mmoja wetu.”

Lakini Yesu akawaambia, “Msimkataze kwani

Ni ipi sala bora kwa Bikira Maria? Kwa nini asiyepingana nanyi yupo upande wenu” (Luka

9:49-50).
Tunasali kwa Bikira Maria?
Kwa hiyo Bikira Maria anapolitumia jina la Yesu bila

Sala bora kwa Bikira Maria ni Rozari Takatifu kupingana na sisi wala Yesu ni ishara tosha kuwa

ni mshirika wa Mungu (Yesu)

Kwa nini watu wengi wanaomba kwa Bikira Maria?

Je ni kweli kwamba Bikira Maria ni Malkia wa


Watu wengi wanaomba kupitia Bikira Maria kwa

sababu wanashuhudia sala zao kujibiwa kirahisi Kipepo?

zaidi wanaposali kupitia Bikira Maria kwani Bikira


Sio kweli kwamba Bikira Maria ni Malkia wa
Maria anatuombea kile tunacho mwomba. Bikira
Kipepo/Kishetani
Maria anasimama Kama mwombezi wetu mbele ya
Sababu hizi zifuatazo zinadhihirisha kuwa Bikira
Mungu hasa pale tunaposhindwa kusali
Maria sio Malkia wa kipepo;
Inavyotakiwa.

1) Kuomba kwa jina la Yesu: Angekua ni Malkia

Bikira Maria anatuombea kwa jina na mamlaka ya wa Kipepo asingeomba kwa Jina la Yesu. Kama

ilivyoelezwa hapo juu. Biblia iintuambia


nani?
128

linapotamkwa Jina la Yesu mapepo hukimbia. Sasa huku akituelekeza tuige mfano wake wa

iweje yeye alitumie Jina hilo kutuombea Kama unyenyekevu wa kumuelekea Mungu aliye Baba wa

yeye ni pepo? (Luka 10:17) huruma na upendo.

2) Hafundishi uovu/dhambi: Mbali na kuomba 8) Anaongeza imani kwa Mungu: Kwa sala na

kwa jina la Yesu, vilevile Yesu alituambia Ibada za Bikira Maria waumini wanapata

tuzichunguze roho na tutazitambua roho hizo kwa kuongezewa Imani na Uchaji wao kwa Mungu.

matendo yake. Kwa lengo hili tukichunguza kuhusu Wengi wanabadili maisha yao ya dhambi na

Bikira Maria tutaona kuwa Bikira Maria ni Mtakatifu kuelekea Maisha mema ya utakatifu ya

aliye upande wa Mungu kwa sababu Mara zote Kumtumikia Mungu.

alipowatokea watu amekuwa akifundisha na


9) Sala Ibada yake inachanganyika na Ibada
kuelekeza watu kuishi maisha ya utakatifu na
nyingine za Kikristu: Hakuna
kumfuata Mungu kweli kwa kutii amri zake na
mgongano/ushindani wa Ibada kwa Bikira Maria na
kufuata mafundisho ya mwanae ambayo ni
Ibada nyingine za Kikristu. Kama angekua ni pepo
yakuelekea katika utakatifu. Hakuna hata Mara
kamwe Ibada yake isingechanganyika na Ibada
moja mafundisho ya Bikira Maria yalihusishwa na
Takatifu.
vitendo viovu au vya kuvunja Amri za Mungu.
10) Ibada kwa Bikira Maria
3) Mafundisho yake yanaendana na Neno la
Imedumu: Haikufifia wala kupotea bali ilizidi
Mungu (Biblia): Bikira Maria hajawaji hata mara
kuendelea vizazi hata vizazi. Hii inadhihirisha
moja kufundisha na kuelekeza vitu vilivyo nje ya
kwamba kuna Neema ya Mungu.
Mafundisho ya neno la Mungu (Biblia). Hakuna

hata Mara moja mafundisho ya Bikira Maria Kwa sababu hizi unaweza ukaona kwamba Bikira

yalikinzana na Mafundisho ya Neno la Mungu. Maria anaushirika na Mungu na ni Mtakatifu.

4) Anahubiri Wema, Unyenyekevu, Upole na

Utii: mambo ambayo ni alama ya kudhihirisha

Utakatifu.
Ni zipi sala Muhimu kwa Mkristo?
5) Anasisitiza Upendo kwa Binadamu
Sala muhimu kwa Mkristo ni;
wenzetu na kwa Mungu: Anahubiri Upendo hasa

kwa Maadui zetu na wale wanaoipinga Imani ya 1. Misa Takatifu

Kikristu na wanaomkataa Yesu Kristu. Anasisitiza 2. Baraka ya Sakramenti Kuu

mara zote Tumpende Mungu na kumtii. 3. Litania Takatifu

4. Njia ya Msalaba
6) Anahubiri Amani: Anahubiri Injili ya Amani na
5. Rozari Takatifu
Mara zote anasisitiza tuombe amani ambapo amani
6.Novena
ndio Ishara ya Utakatifu.

7) Hajitukuzi mbele ya Mungu bali

anajinyenyekesha: Hajawahi kufundisha kwamba

tumtukuze yeye au tumuheshimu yeye. Mara zote Ipi ni shule ya kwanza ya sala?
anahubiri tumheshimu Mungu pekee na kumtukuza
Familia ni shule ya kwanza ya sala
Mungu. Amekua akijishusha kwa unyenyekevu
129

na kutamka “Kwa jina la Baba, na la Mwana na la

Roho Mtakatifu, Amina”

Mahali gani panafaa kwa sala?

Mtu anaweza kusali mahali popote lakini Kanisani

ndipo mahali Rasmi pa sala Kwa kugusa paji la uso tuna maana gani?

Kwa kugusa paji la uso tuna maana ya kukubali

kwa akili

Mwenye kusali anakutana na majaribu gani?

Anakutana na Majaribu haya;

Kwa kugusa kifua tuna maana gani?


1. Mtawanyiko wa Mawazo

2.Ukavu wa moyo Kwa kugusa kifua maana yake ni kuupokea na

3. Uvivu na Uregevu kuukubali msalaba moyoni.

Ndiyo maana kwa Wakatoliki sala nyingi

zimeandikwa ili kutuongoza hasa tunapokuwa

majaribuni katika sala.


Kwa kugusa mabega tuna maana gani?

Kwa kugusa mabega maana yake ni kuwa tayari

kuubeba msalaba kwa nguvu zetu zote

Neno “Amina” katika sala lina maana gani?

Neno “Amina” katika sala lina maanisha “Na iwe

Hivyo” (Hesabu 5:22)


Kwa nini tunafanya Ishara ya Msalaba?

Tunafanya Ishara ya Msalaba kwa nia ya kumkiri

Mungu mmoja katika Nafsi Tatu. Pia msalaba ni

“Aleluya” katika sala, hasa zaburi ina maana Ishara ya Ukombozi wetu

gani?

“Aleluya” katika sala, hasa zaburi ina maanisha

“Msifuni Mungu” Ishara ndogo ya Msalaba juu ya panda la uso,

mdomo, na kifua kabla ya Injili ina maana

gani?
Ishara ya msalaba ni nini?
Maana yake ni kama Ahadi kuwa, Niko tayari
Ishara ya Msalaba ni tendo la mtu kugusa panda la kulifahamu Neno la Mungu kwa akili yangu,
uso, kifua na mabega kwa kutumia mkono wa kulia Nitalitangaza kishujaa kwa Midomo yangu,

Nitalipenda na kulishika kwa Moyo wangu wote.


130

“Nakutafakari Wewe makesha yote ya usiku” (Zab

63:6).

“Sheria yako naipenda mno ajabu, ndiyo kutafakari


Sala zina faida gani? Kwa nini watu tunasali?
kwangu mchana kutwa” (Zab 119:97).

Sala zina faida hizi; “Maneno yako yalionekana, nami nikayala; na

maneno yako yalikuwa ni furaha kwangu, na


1. Zinaleta neema nyingi
shangwe ya moyo wangu” (Yer 15:16).
2. Zinatuimarisha ili kushinda vishawishi na

dhambi

3. Zinatuunganisha na Mungu

4. Zinatudumisha katika kutenda mema Kielelezo cha sala yetu ni nani?

Kielelezo cha sala yetu ni Yesu Kristo.

“Ikawa alipokuwa mahali fulani akiomba,

Mazinguo ndiyo nini? alipokwisha, mmoja katika wanafunzi wake

alimwambia, „Bwana, tufundishe sisi kusali” (Lk


Mazinguo ni sala za kupungia mashetani ili
11:1).
kuepusha watu na balaa au madhara, hasa kama
Yeye kama binadamu alichota humo uaminifu kwa
wamepagawa nao.
wito wake wa pekee.

“Ewe pepo mchafu, mtoke mtu huyu” (Mk 5:8).


“Baba, saa imekwisha kufika. Mtukuze Mwanao, ili
“Ewe pepo bubu na kiziwi, mimi nakuamuru,
Mwana wako naye akutukuze wewe” (Yoh 17:1).
mtoke huyu, wala usimwingie tena!” (Mk 9:25).
“Aba, Baba, yote yawezekana kwako; uniondolee
Yesu ameliachia Kanisa mamlaka yake juu yao.
kikombe hiki; walakini, si kama nitakavyo mimi,

“Aliwaita wale Thenashara, akaanza kuwatuma bali utakavyo wewe” (Mk 14:36).

wawili wawili, akawapa amri juu ya pepo wachafu”

(Mk 6:7).

“Paulo alisikitika, akageuka akamwambia yule


Kama binadamu Yesu alijifunza kusali kwa
pepo, „Nakuamuru kwa jina la Yesu Kristo, mtoke

huyu‟. Akamtoka saa ileile” (Mdo 16:18).


nani?

Kama binadamu Yesu alijifunza kusali kwa Mama

yake na kwa mapokeo yote ya Israeli,

Ikiwa sala ni maongezi ya Mungu na mtu, yaliyojitokeza hasa katika Zaburi.

kwanza tufanye nini? “Wazee wake huenda Yerusalemu kila mwaka,

wakati wa sikukuu ya Pasaka. Na alipopata umri


Ikiwa sala ni maongezi ya Mungu na mtu, kwanza
wake miaka kumi na miwili, walipanda kama
tumsikilize kwa makini na kutafakari alichosema ili
ilivyokuwa desturi ya sikukuu” (Lk 2:41-42).
tukifanyie kazi. Tukisema peke yetu si sala, kwa
“Saa tisa Yesu alipaza sauti yake kwa nguvu, „Eloi,
kuwa ukisema upande mmoja tu si maongezi.
Eloi, lama sabakthani?‟” (Mk 15:34).

“Nena, Bwana, kwa kuwa mtumishi wako anasikia” “Ee Baba, mikononi mwako naiweka roho yangu”

(1Sam 3:10). (Lk 23:46).


131

“Wewe usalipo, ingia katika chumba chako cha

ndani, na ukiisha kufunga mlango wako, usali

mbele za Baba yako aliye sirini” (Math 6:6).


Je, sala ya Yesu inatokana na utu wake tu?
Tusipojua kuongea na Baba moyo kwa moyo,

Hapana, sala ya Yesu haitokani na utu wake tu, tutawezaje kuongea naye kati ya umati?

bali katika huo Mwana wa milele ndiye

anayemuelekezea Baba yake sala kamili ya kitoto.

“Saa ileile alishangilia kwa Roho Mtakatifu,


Yesu ametufundisha kusali vipi?
akasema, „Nakushukuru, Baba, Bwana wa mbingu

na nchi, kwa kuwa mambo haya umewaficha Yesu ametufundisha kusali akitueleza misimamo

wenye hekima na akili, umewafunulia watoto ambayo tuwe nayo.

wachanga. Naam, Baba, kwa kuwa ndivyo


“Upatane kwanza na ndugu yako, kisha urudi uitoe
ilivyokupendeza” (Lk 10:21).
sadaka yako… Waombeeni wanaowaudhi… Msalipo,
“Baba, nakushukuru kwa kuwa umenisikia. Nami
msiwe kama wanafiki; kwa maana wao wapenda
nalijua ya kuwa wewe wanisikia sikuzote” (Yoh
kusali hali wamesimama katika masinagogi na
11:41- 42).
katika pembe za njia, ili waonekane na watu”
“Baba, uwasamehe, kwa kuwa hawajui watendalo”
(Math 5:24,44; 6:5).
(Lk 23:34).
“Mtoza ushuru alisimama mbali, wala hakuthubutu

hata kuinua macho yake mbinguni, bali

alijipigapiga kifua akisema, „Ee Mungu, uniwie

Yesu alisali vipi? radhi mimi mwenye dhambi‟. Nawaambia, huyu

alishuka kwenda nyumbani kwake amehesabiwa


Yesu alisali kila mahali na kila wakati, akidumisha
haki” (Lk 18:13-14).
ushirika wa upendo kati yake na Baba katika Roho
Hasa ametutia Roho Mtakatifu atuongoze kama
Mtakatifu.
alivyomfanyia yeye.

“Saa inakuja, nayo sasa ipo, ambayo waabuduo

halisi watamwabudu Baba katika roho na kweli.

Kwa maana Baba awatafuta watu kama hao

wamwabudu” (Yoh 4:23). Je, Yesu ametufundisha maneno ya sala pia?

Pamoja na kushiriki kiaminifu ibada za taifa lake,


Ndiyo, Yesu ametufundisha maneno ya sala ya
mara nyingi alijitafutia mahali pa faragha.
„Baba Yetu‟, kamili kuliko zote. Maombi yake saba

“Aliongozwa na Roho muda wa siku arobaini yanategemea utangulizi ambao tunamuendea

nyikani” (Lk 4:1). Mungu kwa ujasiri na furaha kama watoto wake,

“Alikuwa akijiepua, akaenda mahali pasipokuwa na ndugu kati yetu.

watu, akaomba” (Lk 5:16).


Maombi matatu ya kwanza yanalenga atukuzwe,
“Aliondoka akaenda mlimani ili kuomba, akakesha
atawale, apate ushirikiano wetu. Maombi manne ya
usiku kucha katika kumwomba Mungu” (Lk 6:12).
mwisho yanalenga tupate chakula cha roho na cha
Ndiyo sababu ametuambia,
mwili, msamaha wa dhambi, ushindi katika

vishawishi, usalama dhidi ya yule Mwovu.


132

“Baba yenu anajua mnayohitaji kabla ninyi Lakini Baba, kwa ujuzi na upendo usio na mipaka,

hamjamwomba. Basi ninyi salini hivi…” (Math 6:8- anaweza akatupatia mambo tofauti na yale

9). tuliyomuomba.

“Kama ungaliijua karama ya Mungu, naye ni nani

akuambiaye, „Nipe maji ninywe‟, ungalimwomba

Je, sala inategemea maneno? yeye, naye angalikupa maji yaliyo hai” (Yoh 4:10).

“Ikiwa ninyi mlio waovu mnajua kuwapa watoto


Hapana, sala haitegemei maneno mengi mazuri,
wenu vipawa vyema, je, Baba aliye mbinguni
bali kujijenga
hatazidi sana kuwapa Roho Mtakatifu hao

“juu ya imani… na kuomba katika Roho Mtakatifu” wamwombao?” (Lk 11:13).

(Yud 20). Imani yetu ikubali kwamba aliyotupatia ni bora

“Mkiwa katika kusali, msipayukepayuke, kama zaidi.

watu wa mataifa; maana hao hudhani ya kuwa

watasikiwa kwa sababu ya maneno yao kuwa

mengi” (Math 6:7).

Hii haituzuii tusirudie maneno yetu kwa dhati zaidi Je, sala inaweza kumuendea Yesu?

na zaidi.
Ndiyo, sala inaweza kumuendea Yesu, Bwana wetu

Yesu “alikwenda, akaomba mara ya tatu, akisema na kaka yetu, aliye hai mbinguni, kama

maneno yaleyale” (Math 26:44). ilivyomuendea na kusikilizwa alipokuwa duniani.

Tunaweza kusali kimoyomoyo pia.


Mhalifu alisema,

“Hana alikuwa akinena moyoni mwake, midomo


“„Ee Yesu, nikumbuke utakapoingia katika ufalme
yake tu ilionekana kama anena, sauti yake
wako‟. Yesu akamwambia, „Amin, nakuambia, leo
isisikiwe… „Nimeimimina roho yangu mbele za
hivi utakuwa pamoja nami peponi” (Lk 23:42-43).
Bwana‟” (1Sam 1:13,15).
Stefano aliomba,
“Maneno ya kinywa changu, na mawazo ya moyo

wangu, yapate kibali mbele zako, Ee Bwana” (Zab “„Bwana Yesu, pokea roho yangu‟. Akapiga magoti,

19:14). akalia kwa sauti kuu, „Bwana, usiwahesabie

dhambi hii‟” (Mdo 7:59-60).

“Roho na Bibi arusi wasema, „Njoo!‟. Naye asikiaye

na aseme, „Njoo!‟… Na uje, Bwana Yesu!” (Ufu


Je, sala yetu inasikilizwa daima? 22:17,20).

Ndiyo, sala yetu inasikilizwa daima kwa kuwa

imeunganika kwa imani na ile ya Yesu, njia pekee

ya kumuendea Baba.
Roho Mtakatifu anatusaidiaje kusali?

“Hata sasa hamkuomba neno kwa jina langu;


Roho Mtakatifu anatusaidia tusali kama Yesu,
ombeni, nanyi mtapata, furaha yenu iwe timilifu”
akiwa mlezi wa ndani na kutumia vipaji vyake
(Yoh 16:24).
saba.
133

“Mungu alimtuma Roho wa Mwanawe mioyoni Ndiyo, sala inaweza kuwaendea Mama na marafiki

mwetu, aliaye, „Aba!‟ yaani, „Baba!‟” (Gal 4:6). wa Yesu, walioungana naye kuwa mwili mmoja,

“Roho naye hutusaidia udhaifu wetu, kwa maana wasiweze kutenganishwa na chochote.

hatujui kuomba jinsi itupasavyo; lakini Roho


“Kwa maana nimekwisha kujua hakika ya kwamba,
mwenyewe hutuombea kwa kuugua kusikoweza
wala mauti, wala uzima, wala malaika, wala wenye
kutamkwa… huwaombea watakatifu kama
mamlaka, wala yaliyopo, wala yatakayokuwapo,
apendavyo Mungu” (Rom 8:26-27).
wala wenye uwezo, wala yaliyo juu, wala yaliyo
Ndiyo sababu Kanisa linatuhimiza tumtamani na
chini, wala kiumbe kingine chochote hakitaweza
kumualika kila mara, „Njoo, Roho Mtakatifu!‟ yaani
kututenga na upendo wa Mungu ulio katika Kristo
kumuomba Baba kwa njia ya Mwana amtume zaidi
Yesu Bwana wetu” (Rom 8:38-39).
na zaidi ndani mwetu.
“Kwangu mimi kuishi na Kristo, na kufa ni faida…

Ninatamani kwenda zangu nikae na Kristo” (Fil

1:21,23)

.
Roho Mtakatifu anaweza kutufikisha hadi
Kwa kuwa hao wako na Kristo mbinguni,
wapi? wanatuombea mfululizo pamoja naye.

Roho Mtakatifu anaweza kutufikisha hadi “Niliona chini ya madhabahu roho zao waliochinjwa
muungano wa dhati na Mungu. kwa ajili ya neno la Mungu, na kwa ajili ya

ushuhuda waliokuwa nao. Wakalia kwa sauti kuu,


“Yeye awajalieni, kwa kadiri ya utajiri wa utukufu
wakisema, „Ee Mwenyezi, Mtakatifu, Mwenye kweli,
wake, kufanywa imara kwa nguvu, kwa kazi ya
hata lini…‟” (Ufu 6:9-10).
Roho wake, katika utu wa ndani. Kristo akae
Tunawaomba wazidi kutuombea kwa Mungu, kama
mioyoni mwenu kwa imani mkiwa na shina na
tunavyowaomba wenzetu waliopo duniani.
msingi katika upendo; ili mpate kufahamu pamoja

na watakatifu wote jinsi ulivyo upana, na urefu, na “Mkikesha kwa jambo hilo na kudumu katika
kimo, na kina; na kuujua upendo wake Kristo, kuwaombea watakatifu wote; pia na kwa ajili
upitao ufahamu kwa jinsi ulivyo mwingi, mpate yangu mimi” (Ef 6:18-19).
kutimilika kwa utimilifu wote wa Mungu” (Ef 3:16-

19).

“Huyo Roho wa kweli, atawaongoza awatie kwenye

kweli yote” (Yoh 16:13). Je, Yatupasa kumwomba Roho Mtakatifu?

Safari hiyo inategemea sana sala isiyoishia katika


Ndiyo, kwani twataka kwake maonyo na msaada.
maneno bali inalenga kupenya mafumbo kwa imani
Tusipokuwa na neema yake hatuwezi kutenda
na upendo.
jambo jema la kufaa kutuokoa. (Yoh 16:13)

WhatsAppTwitterLinkedInEmail
Amri ya Saba ya Mungu: Usiibe – Tambua mali ya mtu na
kuheshimu

Je, sala inaweza kuwaendea Mama na Mafundisho ya Katekisimu / Leave a Comment

Je, Amri ya Saba ya Mungu inafundisha nini?


marafiki wa Yesu (Watakatifu)?
134

Amri ya saba ya Mungu inafundisha kuitambua mali ya mtu na


kuiheshimu.

Je yatupasa kufanya kazi?

Ndiyo, kwa sababu:


Mali ya mtu ni ipi?
1. Kazi inampa mwanadamu heshima
Mali ya mtu ni ile aliyoipata kwa njia halali yaani kwa haki. 2. Kufanya kazi ni wajibu wa haki. (Mwa 1:28)

Lengo la mali ya binafsi ni lipi? Je ni lazima kuwasaidia masikini na fukara?

Kutosheleza mahitaji yake mtu binafsi, ya familia, ya wenye Ndiyo, Kuwatendea Masikini mema ni kumtendea Yesu
shida na ya kanisa. mwenyewe. (Mt 25:40)

WhatsAppTwitterLinkedInEmail
Maswali na Majibu kuhusu Hukumu ya Mwisho
Mtu awatendeje wanyama?
Mafundisho ya Katekisimu / Leave a Comment

Mtu anatakiwa kuwatendea wanyama kwa wema kama viumbe Ufufuko wa wafu maana yake nini?
wa Mungu
Ufufuko wa wafu maana yake mwisho wa dunia

watu wote watafufuka na miili yao na kwenda nayo

katika furaha ya milele au moto wa milele. (Ayu


Amri ya saba ya Mungu inakataza nini? 19:25-26, Mt 22:30-32, Yh 28-29)

Inakataza haya;

1. Wizi
2. Kulangua Baada ya kifo cha mtu nini hutokea?
3. Kutapeli
4. Kughushi
5. Kufuja mali
6. Kutoa au kupokea rushwa Baada ya kifo roho yake inafika mbele ya Mungu
7. Ufisadi
8. Kuharibu mali ya mtu au jamii kwa hukumu ya mtu binafsi.

Anayejipatia mali kwa njia isiyo ya halali yampasa kufanya


Matokeo ya hukumu hiyo ni nini?
nini?

Anayejipatia mali kwa njia isiyo ya halali yampasa kurudisha Matokeo ya Hukumu hiyo ni roho kwenda
gharama yake kwa mwenye mali
Mbinguni, Toharani au Motoni. (Mt 25:34-46)

Anayeharibu mali ya mwingine lazima afanye nini?

Anayeharibu mali ya mwingine lazima alipe hasara Mbinguni ni mahali pa namna gani?
aliyosababisha. (Lk 19:8)
135

Mbinguni ni makao mema ya heri na furaha (2Kor Mambo makuu manne ya mwisho ni yapi?

5:1, Ufu, 2:17).

Mambo hayo ni;

Waendao mbinguni ni wale wanaokufa katika hali

ya neema ya utakaso na urafiki na Mungu na 1. Kifo


waliotakaswa kikamilifu 2. Hukumu

3. Jehanamu (Motoni)

4. Paradiso. (Toharani/Mbinguni)

Motoni ni nini?

Motoni ni makao mabaya kwa Shetani walaaniwa Je, ufufuko wa Yesu ni muhimu kwetu pia?

wakaapo mbali na Mungu wakiteswa milele. (Mt

25:41, Mik 9:42-43, 1Yoh 14:15) Ndiyo, ufufuko wa Yesu ni muhimu kwetu pia, kwa

sababu kwa njia yake tu tunatiwa uzima: sasa

rohoni kwa kuondolewa dhambi, na siku ya

mwisho mwilini pia kwa kufufuliwa.

Uzima wa milele ni nini?

Mwenyewe alisema, “Mimi ndimi huo ufufuo, na

Uzima wa milele ni maisha ya kukaa mbinguni na uzima. Yeye aniaminiye mimi ajapokufa, atakuwa

Mungu yasiyokua na mwisho. anaishi; naye kila aishiye na kuniamini hatakufa

kabisa hata milele” (Yoh 11:25- 26).

“Kristo amefufuka katika wafu, limbuko lao

waliolala. Maana kwa kuwa mauti ililetwa na mtu,


Toharani ni mahali gani?
kadhalika na kiyama ya wafu ililetwa na mtu”

(1Kor 15:20-21).
Toharani ni mahali pa mateso zinakosafishwa roho

ambazo hazikutimiza kitubio vizuri baada ya


“Alitolewa kwa ajili ya makosa yetu, na kufufuka ili
kuungama dhambi. (1Kor 3:15, 1Pet 1:7).
tupate kuhesabiwa haki” (Rom 4:25).

Je, hatuwezi kupunguza mateso ya roho za


Je, ni muhimu tujiandae kufa?
marehemu waliokwenda toharani?

Ndiyo, ni muhimu tujiandae kufa wakati wowote na


Ndiyo: twaweza kupunguza hata kuyamaliza kwa
namna yoyote kwa kuishi kitakatifu sasa na kwa
kuwasalia na kuwapatia rehema na hasa kwa
kujiombea neema tutakazohitaji saa ya kufa
kuadhimisha Misa kwa ajili yao. (2Mik 12:38-46)
kwetu, tukijua tumewekewa “kufa mara moja, na

baada ya kufa hukumu” (Eb 9:27).


136

“Katika mambo yako yote uukumbuke mwisho ninatamani kwenda zangu nikae na Kristo, maana

wako, hivyo hutakosa kamwe hata hatima” (YbS ni vizuri zaidi sana” (Fil 1:21,23). “Nasi tunaona ni

7:36). afadhali kutokuwamo katika mwili na kukaa

pamoja na Bwana” (2Kor 5:8). Kwa kuwa kifo ni

“Hamjui yatakayokuwako kesho! Uzima wenu ni “mavumbi kuirudia nchi kama yalivyokuwa, nayo

nini? Maana ninyi ni mvuke uonekanao kwa roho kumrudia Mungu aliyeitoa” (Mhu 12:7). Siku

kitambo, kisha hutoweka” (Yak 4:14). ya ufufuo roho na mwili vitaungana tena kwa ajili

ya uzima au moto wa milele. “Pumzi iliwaingia,

“Kesheni, mwombe, msije mkaingia majaribuni” wakaishi, wakasimama kwa miguu yao, jeshi

(Math 26:41). kubwa mno” (Ez 37:10).

Je baada ya kufa ni hapo hapo roho inaenda

motoni au mbinguni, Au ni mpaka Siku ya

hukumu Yesu Atakaporudi?


Je, ina thamani machoni pa Bwana mauti ya

mtu aliyemcha?
Ni siku ile ile Roho ya mtu aliyekufa inaenda

Mbinguni, toharani au Motoni. Yesu alimwahidi yule


Ndiyo, “ina thamani machoni pa Bwana mauti ya
mtu waliyesulubiwa pamoja kuwa watakuwa
wacha Mungu wake” (Zab 116:15).
peponi pamoja siku hiyo hiyo na sio siku ya

hukumu.
Hasa utiifu wa Yesu msalabani umegeuza laana ya

kifo iwe baraka kwa waamini wake.


“Kisha akasema, “Ee Yesu! Unikumbuke wakati

utakapoingia katika ufalme wako.” 43 Yesu


“Heri wafu wafao katika Bwana tangu sasa. Naam,
akamwambia, “Nakwambia kwa hakika, leo
asema Roho, wapate kupumzika baada ya taabu
utakuwa pamoja nami peponi.” (Luka 23:42-
zao; kwa kuwa matendo yao yafuatana nao” (Ufu
43)
14:13).

Sauli aliweza kuongea na Samweli hata baada ya

kufa na Samweli alimbashiria mambo

yatakayotokea kwa Sauli maanake ni kwamba


Tutakapofariki dunia itatutokea nini?
Japokuwa alikuwa amekufa bado anayomuungano

na Mungu ndio maana aliweza kumwambia Sauli


Tutakapofariki dunia roho yetu isiyokufa, mbali na
mambo yatakayompata,
mwili unaooza, itapewa tuzo au adhabu

tuliyostahili kwa maisha yetu. “Ikawa yule maskini


“7Basi Sauli akawaambia watumishi wake,
alikufa, akachukuliwa na malaika mpaka kifuani
“Nitafutieni mwanamke mwenye pepo wa utambuzi
kwa Ibrahimu. Yule tajiri naye akafa, akazikwa.
ili nimwendee nipate kuuliza kwake. Watumishi
Basi, kule kuzimu aliyainua macho yake, alipokuwa
wake wakamwambia, “Yuko mwanamke mmoja
katika mateso, akamwona Ibrahimu kwa mbali, na
huko Endori.” 8Hivyo Sauli akajigeuza kwa kuvaa
Lazaro kifuani mwake” (Lk 16:22-23). “Kwangu
mavazi mengine, naye usiku akiwa amefuatana na
mimi kuishi ni Kristo, na kufa ni faida…
137

watu wawili wakaenda kwa huyo mwanamke. Mfano Wa Tajiri Na Maskini Lazaro Yesu alisimulia

Akamwambia, “Nibashirie na unipandishie huyo hivi

nitakayekutajia,” 9Huyo mwanamke akamwambia,

“Wewe unajua lile alilofanya mfalme Sauli. 19 Akasema, “Palikuwa na tajiri mmoja aliyevaa
Amewakatilia mbali wapunga pepo, wapiga ramli nguo za rangi ya zambarau na kitani safi, nguo za
wote na wachawi katika nchi. Mbona umenitegea gharama kubwa, kila siku. 20 Na maskini mmoja,
maisha yangu ili wapate kuniua?” 10Sauli jina lake Lazaro, mwenye vidonda mwili mzima,

akamwapia huyo mwananmke kwa Jina la BWANA, alikuwa akiletwa mlangoni kwa huyo tajiri kila siku.

akasema, “Kwa hakika kama BWANA aishivyo, 21 Lazaro alikuwa akitamani kula makombo
hutaadhibiwa kwa ajili ya jambo hili.” 11Ndipo yule yaliyodondoka mezani kwa tajiri. Hata mbwa
mwanamke akauliza, “Je unataka nikupandishie walikuwa wakiramba vidonda vyake. 22

nani? Sauli akasema, “Nipandishie Samweli.” “Hatimaye, yule maskini alikufa. Malaika

12Yule mwanamke alipomwona Samweli alipiga wakamchukua akakae pamoja na Ibrahimu


yowe kwa sauti kuu, naye akamwuliza Sauli, mbinguni. Yule tajiri naye pia akafa, akazikwa. 23

“Mbona umenidanganya? Wewe ndiwe Sauli.” Alipokuwa kuzimuni ambapo alikuwa akiteseka,

13Mfalme akamwambia, “Usiogope. Unaona nini? alita zama juu, akamwona Ibrahimu kwa mbali na

Yule mwanamke akasema, “Naona Mungu Lazaro karibu yake. 24 Akaita, „Baba Ibrahimu,

anapanda kutoka ardhini.” 14Sauli akamwuliza, “Ni nionee huruma umtume Lazaro achovye japo ncha
mfano wa nini?” Yule mwanamke akasema, “Ni ya kidole chake katika maji aupoze ulimi wangu
mwanaume mzee amevaa joho anayepanda.” maana ninateseka kwenye moto huu.‟ 25 Lakini

Ndipo Sauli akatambua kwamba ni Samweli. Sauli Ibrahimu akamjibu, „Mwa nangu, kumbuka

akasujudu kifudifudi uso wake hadi ardhini. kwamba ulipokuwa hai ulipata kila kitu kizuri uli

15Samweli akamwuliza Sauli, Kwa nini chotaka, ambapo Lazaro alipokea mabaya. Lakini

unanitaabisha, kunipandisha juu?” Sauli akasema, sasa anafarijika hapa na wewe unateseka. 26
“Mimi ninasumbuka sana, kwa maana Wafilisti Isitoshe, kati yetu na ninyi huko, kumewekwa
wanapigana vita dhidi yangu, naye Mungu bonde kubwa lisilopitika ili wale wanaotaka kutoka

ameniacha. Hanijibu tena wala kwa njia ya manabii huku kuja huko au kutoka huko kuja huku

wala kwa ndoto. Kwa hiyo nimekuita wewe ili wasiweze.‟ 27 Akasema, „Basi, baba, tafadhali

unijulishe lakufanya.” 16Samweli akamwuliza, umtume Lazaro aende nyumbani kwa baba yangu,
“Kwa nini uniulize mimi, maadam BWANA 28 awaonye ndugu zangu, wasije wao pia
amekuacha na kuwa adui yako? 17BWANA wakaletwa mahali hapa pa mateso watakapokufa.‟

ametenda lile alilotangulia kusema kwa kupitia 29 Ibrahimu akamjibu, „Ndugu zako wanazo sheria

kwangu. BWANA ameurarua ufalme kutoka za Musa na maandiko ya Manabii. Itawapasa watii

mikononi mwako, naye amempa mmoja wa jirani hayo.‟ Lakini yule tajiri akazidi kumsihi, 30 „Hapana
zako, yaani, Daudi. 18Kwa sababu wewe hukumtii baba Ibrahimu, ndugu zangu hawatashawishiwa na

BWANA, wala hukumtimizia ghadhabu yake kali hayo. Lakini mtu kutoka kuzimu akitumwa kwao

juu ya Waamaleki, BWANA amekutendea mambo watatubu na kuziacha dhambi zao.‟ 31 “Ibrahimu
haya leo. 19Zaidi ya hayo, BWANA atawatia Israeli akamwambia, „Wasiposikiliza na kutii sheria za

pamoja na wewe mkononi mwa Wafilisti na kesho Musa na Maandiko ya manabii, hawatashawishika
wewe na wanao mtakuwa pamoja nami. BWANA kutubu hata kama mtu akifufuka kutoka kuzimu.”‟

pia atalitia jeshi la Israeli mkononi mwa Wafilisti. (Luka 16:19-31)


138

Wakati Yesu anabadilika Sura walitokea Musa na pale msalabani aliikabidhi Roho yake kwa Baba

Eliya. yake.

“Baada ya siku sita, Yesu aliwachukua Petro, 55Lakini yeye Stefano akiwa amejazwa Roho

Yakobo na Yohane nduguye, akaenda nao peke Mtakatifu, alikaza macho mbinguni, akaona

yao juu ya mlima mrefu. 2 Huko, wakiwa utukufu wa Mungu, naye Yesu akiwa amesimama

wanamtazama, akageuka sura, uso wake ukang‟aa mkono wa kuume wa Mungu. 56Akasema,

kama jua na mavazi yake yakawa meupe kama “Tazameni! Naona mbingu zimefunguka na Mwana

nuru. 3 Mose na Eliya wakawatokea, wakawa wa Adamu amesimama upande wa kuume wa

wanazungumza naye. 4 Hapo Petro akamwambia Mungu.‟‟ 57Lakini wao wakapiga kelele kwa sauti

Yesu, “Bwana, ni vizuri sana kwamba tupo hapa! kubwa, wakaziba masikio yao, wakamrukia kwa

Ukipenda nitajenga vibanda vitatu: kimoja chako, nia moja. 58Wakamtupa nje ya mji, wakampiga

kimoja cha Mose na kimoja cha Eliya.” (Mathayo kwa mawe. Nao mashahidi wakaweka nguo zao

17:1-5) miguuni mwa kijana mmoja aitwae Sauli.

59Walipokuwa wakimpiga mawe, Stefano

Yesu alituambia kuwa Mungu sio wa wafu bali wa aliomba, “Bwana Yesu, pokea roho

walio hai ndio maana akaitwa Mungu wa Ibrahimu, yangu” 60Kisha akapiga magoti, akalia kwa sauti

Isaka na Yakobo kwa kuwa Wote wako hai kwake. kubwa akasema, “Bwana usiwahesabie dhambi

hii.‟‟ Baada ya kusema haya, akalala. (Mdo 7:55-

37Hata Mose alidhihirisha kuwa wafu wanafufuka, 60)

kwa habari ya kile kichaka kilichokuwa kikiwaka

moto bila keteketea, alipomwita Bwana „Mungu wa Kwenye Ufunuo tunasoma (Ufunuo 6:9-10) “Na

Abrahamu, Mungu wa Isaki na Mungu wa alipoifungua muhuri ya tano, nikaona chini ya

Yakobo.‟ 38Yeye Mungu si Mungu wa wafu bali madhabahu roho zao waliochinjwa kwa ajili ya

wa walio hai, kwa kuwa Kwake wote ni neno la Mungu, na kwa ajili ya ushuhuda

hai.” (Luka 20:37-38) waliokuwa nao. Wakalia kwa sauti kuu, wakisema,

Ee Mola, Mtakatifu, Mwenye kweli, hata lini

Yesu alimwahidi yule mtu waliyesulubiwa pamoja kutokuhukumu, wala kuipatia haki damu yetu kwa

kuwa watakuwa peponi pamoja siku hiyo hiyo na hao wakaao juu ya nchi? Nao wakapewa kila

sio siku ya hukumu. mmoja nguo ndefu, nyeupe, wakaambiwa

wastarehe bado muda mchache, hata itakapotimia

“Kisha akasema, “Ee Yesu! Unikumbuke wakati hesabu ya wajoli wao na ndugu zao, watakaouawa

utakapoingia katika ufalme wako.” 43 Yesu vile vile kama wao.”

akamwambia, “Nakwambia kwa hakika, leo

utakuwa pamoja nami peponi.” (Luka 23:42- Kwa hiyo mtu akifa anaenda mbinguni au motoni

43) kulingana na alivyoishi.

Angalia pia wakati Stefano akipigwa Mawe “Nasi tunaona ni afadhali kutokuwamo katika mwili

aliikabidhi roho yake kwa Mungu baada ya kuona na kukaa pamoja na Bwana” (2Kor 5:8). Kwa kuwa

mbingu zimefunguka hii ni kama Yesu alivyokuwa kifo ni “mavumbi kuirudia nchi kama yalivyokuwa,

nayo roho kumrudia Mungu aliyeitoa” (Mhu 12:7).


139

Siku ya ufufuo roho na mwili vitaungana tena kwa ahadi kubwa mno, za thamani, ili kwamba kwa

ajili ya uzima au moto wa milele. hizo mpate kuwa washirika wa tabia ya Uungu,

mkiokolewa na uharibifu uliomo duniani kwa

“Kwangu mimi kuishi ni Kristo, na kufa ni faida… sababu ya tamaa” (2Pet 1:3-4).

ninatamani kwenda zangu nikae na Kristo, maana

ni vizuri zaidi sana” (Fil 1:21,23). Sisi tuliobatizwa tunaitwa “wana wa Mungu; na

ndivyo tulivyo!” (1Yoh. 3:1).

Mtume Petro ameandika hivi…

Kwa sababu tumesadiki kwamba “Mungu ni

“18 Kwa maana Kristo naye aliteswa mara moja upendo” (1Yoh 4:8) na kwamba “hakuna

kwa ajili ya dhambi, mwenye haki kwa ajili yao lisilowezekana kwa Bwana” (Lk 1:37).

wasio haki, ili atulete kwa Mungu; mwili wake

akauawa, bali roho yake akahuishwa,19 ambayo “Na kwa kuwa ninyi mmekuwa wana, Mungu

kwa hiyo aliwaendea roho waliokaa kifungoni, alimtuma Roho wa Mwanawe mioyoni mwetu,

akawahubiri; 20 watu wasiotii hapo zamani, aliaye, „Aba!‟ yaani, „Baba!‟ Kama ni hivyo, wewe si

uvumilivu wa Mungu ulipokuwa ukingoja, siku za mtumwa tena bali u mwana; na kama u mwana,

Nuhu, safina ilipokuwa ikitengenezwa; ambamo basi, u mrithi kwa Mungu” (Gal 4:6-7).

ndani yake wachache, yaani, watu wanane,

waliokoka kwa maji.” (1Petro 3:18-20)

Aliyezungumzia moto wa milele ni nani?

Je, sisi wanyonge tunaweza kushiriki uzima Aliyezungumzia moto wa milele ni hasa Yesu:

wa milele wa Mungu? akitufunulia ukuu wa upendo wa Mungu, aliye heri

yetu pekee, alituangalisha juu ya hatari ya

Ndiyo, sisi wanyonge tunaweza kushiriki uzima wa kutengana naye milele kwa dhambi. Mwenyewe

milele wa Mungu: hapa duniani katika mwanga atatoa hukumu hiyo:

hafifu wa imani, na kisha kufa katika uangavu wa

utukufu usiofifia kamwe. Kwa kuwa lengo la Baba “Ondokeni kwangu, mliolaaniwa, mwende katika
ni kwamba tuungane na Yesu Mwanae kwa uwezo moto wa milele, aliowekewa tayari Ibilisi na
wa Roho Mtakatifu ili tuwe na utukufu wake. malaika zake” (Math 25:41).

“Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, “Humo funza wao hafi, wala moto hauzimiki” (Mk
Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo 9:48).

uliyemtuma” (Yoh 17:3).

“Na moshi wa maumivu yao hupanda juu hata


“Kwa kuwa uweza wake wa Uungu umetukirimia milele na milele, wala hawana raha mchana wala
vitu vyote vipasavyo uzima na utauwa, kwa usiku” (Ufu 14:11).

kumjua yeye aliyetuita kwa utukufu wake na wema

wake mwenyewe. Tena kwa hayo ametukirimia


140

Toharani maana yake nini? “Saa yaja ambayo watu wote waliomo makaburini

wataisikia sauti yake. Nao watatoka; wale

Toharani maana yake kuna hali ya muda ambayo waliofanya mema kwa ufufuko wa uzima, na

huruma ya Mungu inawatakasa marehemu waliotenda mabaya kwa ufufuo wa hukumu” (Yoh

waliofariki dunia katika urafiki naye lakini bila ya 5:28-29).

usafi kamili unaotakiwa kwa kuingia mbinguni. Sisi

tunaweza kuharakisha utakaso wao kwa kumtolea “Na hao watakwenda zao kuingia katika adhabu ya

Mungu sala na sadaka, hasa ekaristi. Yuda milele; bali wenye haki watakwenda katika uzima

Mmakabayo “alichanga fedha kwa kila mtu jumla wa milele” (Math 25:46).

drakma elfu mbili, akazipeleka Yerusalemu kutoa

sadaka ya dhambi.

Kwa kufanya hivi alitenda vema na kwa haki, kwa Siku ya ufufuo Kristo mfalme atatuhukumu
kuwa aliukumbuka ufufuo wa wafu. Maana kama vipi?
asingalitumaini ya kuwa wale waliokufa

watafufuka, ingalikuwa kazi bure isiyo na maana Siku ya ufufuo Kristo mfalme atatuhukumu kwa
kuwaombea wafu. Lakini kwa kuwa aliufikiri kudhihirisha misimamo ya watu wote ambao, kwa
utukufu wa thawabu waliowekewa wale wafao kupokea au kukataa upendo wa Mungu moyoni
katika utauwa, wazo lake lilikuwa takatifu na la mwao, wametenda mema au la.
kicho. Ndiyo sababu alifanya upatanisho kwa wafu

ili wafunguliwe dhambi zao” (2Mak 12:43-46).


“Imetupasa sisi sote kudhihirishwa mbele ya kiti
Imani hiyohiyo iliongoza Wakristo wa kwanza
cha hukumu cha Kristo ili kila mtu apokee ijara ya
kuwafanyia marehemu ibada ambayo haieleweki
mambo aliyotenda kwa mwili, kadiri alivyopenda,
vizuri, lakini hailaumiwi na Mtume Paulo: “Kama
kwamba ni mema au mabaya” (2Kor 5:10).
wafu hawafufuliwi kamwe, kwa nini kubatizwa kwa

ajili yao?” (1Kor 15:29).


“Basi ninyi msihukumu neno kabla ya wakati wake,

hata ajapo Bwana; ambaye atayamulikisha

yaliyositirika ya giza, na kuyadhihirisha mashauri

ya mioyo; ndipo kila mtu atakapoipata sifa yake


Je, mwili utakaofufuliwa ni huuhuu tulionao kwa Mungu” (1Kor 4:5).
sasa?

“Hapo atakapokuja Mwana wa Adamu katika


Ndiyo, mwili utakaofufuliwa ni huuhuu tulionao utukufu wake, na malaika watakatifu wote pamoja
sasa, lakini katika hali tofauti: > “hupandwa katika naye, ndipo atakapoketi katika kiti cha utukufu
uharibifu; hufufuliwa katika kutokuharibika” wake. Na mataifa yote watakusanyika mbele zake;
(1Kor 15:42). naye atawabagua kama vile mchungaji abaguavyo

kondoo na mbuzi; atawaweka kondoo mkono wake


Siku ya ufufuo “ndipo watakapomwona Mwana wa wa kuume, na mbuzi mkono wake wa kushoto.

Adamu akija katika wingu pamoja na nguvu na Kisha Mfalme atawaambia wale walioko mkono
utukufu mwingi” (Lk 21:27). wake wa kuume, „Njoni, mliobarikiwa na Baba
141

yangu, urithini ufalme mliowekewa tayari tangu Roho Mtakatifu aliwashukia Mitume siku ya

kuumbwa ulimwengu; kwa maana nalikuwa na Pentekoste, yaani siku ya hamsini toka Pasaka.

njaa, mkanipa chakula; nalikuwa na kiu, (Mdo 2:1-4)

mkaninywesha; nalikuwa mgeni, mkanikaribisha;

nalikuwa uchi, mkanivika; nalikuwa mgonjwa,

mkaja kunitazama; nalikuwa kifungoni, mkanijia…

Amin, nawaambia, kadiri mlivyomtendea Roho Mtakatifu aliwafanyia nini Mitume?


mmojawapo wa hao ndugu zangu walio wadogo,
Roho Mtakatifu aliwatia Mitume Mwanga wa nguvu
mlinitendea mimi‟” (Math 25:31-36,40).
ili waweze kuhubiri Injili na kueneza Kanisa kote

duniani
“Heri wenye rehema, maana hao watapata

rehema” (Math 5:7).

Kanisa ni la Kitume maana yake ni nini?

Baada ya hukumu ya mwisho itakuwaje? Kanisa ni la Kitume maana yake wakubwa wake

yaani Baba Mtakatifu na Maaskofu nimahalifa wa

Baada ya hukumu ya mwisho, waadilifu Mitume

watatukuzwa mwili na roho pamoja na Yesu, na

ulimwengu pia utageuzwa.

“Kama ilivyo ahadi yake, tunatazamia mbingu Yesu amemweka nani kuwa mkubwa wa

mpya na nchi mpya, ambayo haki yakaa ndani


Kanisa?
yake” (2Pet 3:13).
Yesu amemweka Mtume Petro kuwa Mkubwa wa

“Na Roho na Bibi arusi wasema, „Njoo!‟ naye Kanisa zima. (Mt 16:18-19). Halifa wa Mtume

asikiaye na aseme, „Njoo!‟… Yeye mwenye Petro ni Baba Mtakatifu.

kuyashuhudia haya asema, „Naam, naja upesi‟.

Amina. Na uje, Bwana Yesu! Neema ya Bwana

Yesu na iwe pamoja nanyi nyote. Amina” (Ufu

22:17,20-21). Mapokeo ya Mitume ndiyo nini?

Mapokeo ya Mitume ndiyo yale yote ambayo Yesu

WhatsAppTwitterLinkedInEmail aliwakabidhi Mitume wake, na kwa uwezo wa Roho


Maswali na Majibu kuhusu Mitume
Mtakatifu yatadumu hata mwisho wa dunia katika
Mafundisho ya Katekisimu / Leave a Comment
mafundisho, liturujia na maisha ya Kanisa.

“Nawasifu, kwa sababu mmenikumbuka katika


Roho Mtakatifu aliwashukia Mitume siku
mambo yote, nanyi mmeyashika yale mapokeo

gani? vilevile kama nilivyowatolea… Kwa maana

naliwatolea ninyi hapo mwanzo yale niliyoyapokea

mimi mwenyewe” (1Kor 11:2; 15:3).


142

“Ilinde ile amana nzuri kwa Roho Mtakatifu akaaye vema na kukua hata liwe hekalu takatifu katika

ndani yetu… Mambo yale uliyoyasikia kwangu Bwana. Katika yeye ninyi nanyi mnajengwa

mbele ya mashahidi wengi, hayo uwakabidhi watu pamoja kuwa maskani ya Mungu katika Roho” (Ef

waaminifu watakaofaa kuwafundisha na wengine” 2:20-22).

(2Tim 1:14; 2:2).

Tukikata huo mnyororo wa mapokeo, hata kama ni

kwa kisingizio cha kushikilia Biblia, tunaachana na


Je, Yesu amejenga Kanisa lake imara juu ya
asili ya Kanisa.

“Basi, ndugu, simameni imara, mkayashike mwamba?

mapokeo mliyofundishwa, ama kwa maneno, ama


Ndiyo, Yesu amejenga Kanisa lake imara juu ya
kwa waraka wetu… Ndugu, twawaagiza katika jina
Mtume Petro, alichunge lote kwa niaba yake. Papa
la Bwana Yesu Kristo, jitengeni nafsi zenu na kila
kama Askofu wa Roma ndiye mwandamizi wa Petro
ndugu aendaye bila utaratibu, wala si kwa kufuata
na mkuu wa kundi zima la Maaskofu, waandamizi
mapokeo mliyoyapokea kwetu” (2Thes 2:15; 3:6).
wa Mitume.

“Wewe ndiwe Petro, na juu ya mwamba huu

nitalijenga kanisa langu, wala milango ya kuzimu

Je, tukipata mafundisho ya Kanisa tunapaswa haitalishinda” (Math 16:18).

“Atafananishwa na mtu mwenye akili, aliyejenga


kuyasadiki?
nyumba yake juu ya mwamba. Mvua ikanyesha,

Ndiyo, tukipata mafundisho ya Kanisa tunapaswa mafuriko yakaja, pepo zikavuma, zikaipiga nyumba

kuyasadiki kwa moyo mmoja tupate uzima wa ile, isianguke; kwa maana misingi yake imewekwa

milele, kwa kuwa Yesu aliwaambia Mitume, juu ya mwamba” (Math 7:24-25).

Historia ya miaka elfu mbili sasa imedhihirisha


“Enendeni ulimwenguni mwote, mkaihubiri Injili
ukweli wa maneno hayo.
kwa kila kiumbe. Aaminiye na kubatizwa ataokoka;

asiyeamini, atahukumiwa” (Mk 16:16).

Maaskofu wote wamerithi mamlaka gani?

Kanisa kuwa la Mitume maana yake nini?


Maaskofu wote wamerithi mamlaka ya Mitume kwa

Kanisa kuwa la Mitume maana yake limejengwa kufundisha, kutakasa na kuongoza Kanisa lote

juu ya Mitume 12 wa Yesu na kuongozwa na pamoja na Papa na chini yake.

waandamizi wao.
Wale waliokabidhiwa jimbo fulani ni msingi wa

“Ukuta wa mji ulikuwa na misingi kumi na miwili, umoja kwa waamini wao na kati yao na Kanisa lote

na katika ile misingi majina kumi na mawili ya duniani.

wale mitume kumi na wawili wa Mwanakondoo”


“Jitunzeni nafsi zenu, na lile kundi lote nalo,
(Ufu 21:14).
ambalo Roho Mtakatifu amewaweka ninyi kuwa
“Mmejengwa juu ya msingi wa mitume na manabii,
waangalizi ndani yake, mpate kulilisha kanisa lake
naye Yesu Kristo mwenyewe ni jiwe kuu la

pembeni. Katika yeye jengo lote linaungamanishwa


143

Mungu, alilolinunua kwa damu yake mwenyewe” Mwenyezi Mungu pekee yake aweza kuwaondolea

(Mdo 20:28). watu dhambi. Ndiye aliyewapa Mitume, Maaskofu

na Mapadri uwezo wa kuwaondolea watu dhambi

(Yoh 20:21-23)

Pamoja na kuwekewa mikono na mwandamizi

wa Mitume, mtu anapewa kipaimara vipi?


Kabla ya Kupaa mbinguni Yesu aliwaahidi nini
Pamoja na kuwekea mikono na mwandamizi wa

Mitume, mtu anapewa kipaimara kwa kupakwa Mitume?

krisma kama mhuri wa kuwa mali ya Bwana. Ndiyo


Kabla ya kupaa mbinguni Yesu aliwaahidia Mitume
inayotufanya tuitwe Wakristo nyuma ya Yesu
kuwapelekea Roho Mtakatifu; ndiye nafsi ya Tatu
aliyeitwa Kristo.
ya Utatu Mtakatifu. (Yoh 16:7)

“Kwa sababu huyo ndiye aliyetiwa muhuri na Baba,

yaani, Mungu” (Yoh 6:27).

“Yeye atufanyaye imara pamoja nanyi katika

Kristo, na kututia mafuta, ni Mungu, naye ndiye Biblia ni nini? Asili, Historia, waandishi na
aliyetutia muhuri akatupa arabuni ya Roho mioyoni
mipaka yake
mwetu” (2Kor 1:21-22).

Biblia ni mkusanyiko wa vitabu mbalimbali

vinavyohusu kazi ya Mungu ya kuwakomboa

mwanadamu kuanzia enzi za Mababu na manabii


Je, wenye daraja wanaweza wakatenda
Wa Waisraeli, Enzi za Yesu na za Mitume wa Yesu.

dhambi?

Ndiyo, wenye daraja wanaweza wakatenda dhambi Je, Biblia ilipatikanaje? Nini chanzo na asili ya

kwa sababu ni binadamu kama sisi sote. Yesu


Biblia.
alionja ukosefu wa Mitume hasa wakati wa mateso.

Biblia iliundwa kwa kukusanya vitabu vya dini vya


“Je, mimi sikuwachagua ninyi Thenashara, na
wakristo hapo awali na kuunda kitabu kimoja. Kwa
mmoja wenu ni shetani?” (Yoh 6:70).
maana hii, Biblia ni vitabu teule vya dini
“Tazama, saa yaja, naam, imekwisha kuja,
vilivyoonekana vinafaa kutumika kwa waumini
ambapo mtatawanyika kila mmoja kwao, na
Wakristo ili kusaidia Imani yao. Hivyo basi, kama
kuniacha mimi peke yangu” (Yoh 16:32).
Biblia ni vitabu teule tuu vipo vitabu vingine vya
Paulo alionya mapadri, “Katika ninyi wenyewe
dini ambavyo havikuwekwa Kwenye Biblia.
watainuka watu, wakisema mapotovu, wawavute

hao wanafunzi wawaandamie wao” (Mdo 20:30). Wakristo wa kwanza walichagua vitabu kadhaa na

kuviweka pamoja na kisha kuvita Biblia. Biblia ni

mkusanyiko wa vitabu muhimu tuu vya dini mpaka

kufikia Enzi za Mitume.


Mwenye kuwaondolea watu dhambi ni nani?
144

hawakua watu wa Mwisho kupokea Roho mtakatifu


Je, Biblia ndicho kitabu pekee cha neno la
na kupokea neno la Mungu.

Mungu?

Hapana, Biblia sio kitabu pekee cha neno la Mungu Biblia inatuthibitishia yenyewe kuwa

isipokua Biblia ni kitabu kilichoidhinishwa rasmi


haijakamilika na Si mambo yote
kutumika Kama kitabu kikuu cha Wakristo. Hii ni

kwa sababu Biblia imeundwa na vitabu muhimu yameandikwa Kwenye Biblia

tuu vilivyochaguliwa na wakristo wa kwanza


Biblia inatuthibitishia kuwa haijakamilika
vilivyoonekana vinafaa kwa kufundishia, Ibada na
tunaposoma (Yohane 21:25)
kukuza Imani. Kwa hiyo basi vipo vitabu vingine
Biblia inatuambia hivi…”Kuna mambo Mengine
ambavyo haikuwekwa Kwenye Biblia ambavyo ni
mengi aliyofanya Yesu, ambayo Kama
Maneno ya Mungu.
yangeandikwa yote, moja baada ya jingine,

Hii ndiyo sababu kwa nini Wakatoliki wana vitabu nadhani hata ulimwengu wenyewe usingetosha

vingi kuliko madhehebu Mengine. Yaani sababu ni kuviweka vitabu ambavyo vingeandikwa.”…Kwa

kwamba madhehebu Mengine walivitoa vitabu mstari huu Biblia inatuthibitishia kuwa

vingine vilivyounda Biblia. Na Wakatoliki waliweka haikuandikwa vitu vyote.

vitabu vingine vya dini Kwenye Biblia walivyoona

vinafaa pia kutumika.


Je Biblia ni mwisho wa Maandiko ya Mungu?

Biblia sio mwisho wa Maandiko ya Kimungu.


Je nje ya Biblia hakuna Neno la Mungu au

Biblia ni sehemu ya maneno ya Mungu mpaka


Maandiko matakatifu?
miaka ya Mitume

Nje ya Biblia kuna Neno la Mungu na Maandiko


Hata sasa Mungu anafanya kazi na watu wake
Matakatifu. Hii Inamaanisha kuwa Biblia sio kitabu
kupitia Roho Mtakatifu na kwa kwa sababu hii
pekee cha neno la Mungu. Zipo nyaraka na Vipo
Biblia sio mwisho wa kazi ya Mungu ya kusema na
vitabu vingine vingi ambavyo viliandikwa na
watu wake.
Manabii na Mitume ambavyo havikuwekwa kwenye

Biblia lakini ni mafundisho ya Mungu. Biblia ni Mungu yu hai na anafanya kazi na watu wake

mkusanyiko wa vitabu vikuu vya Mungu. mpaka sasa kwa kutumia vinywa vya watu Kama

aliyofanya hapo awali.


Kumbuka kuwa sio nyaraka zote za Mitume

ziliandikwa Kwenye Biblia. Vile vile manabii Hata maneno unayohubiriwa sasa yanaweza kuwa

walikuwa ni wengi kuliko waliowekwa Kwenye ni kutoka kwa Mungu kwa maana hata waandishi

Biblia. wa Biblia walitumiwa na Mungu Kama wahubiri wa

sasa. Mungu ni yule yule, Roho Mtakatifu ni

yuleyule na Neno ni lile lile.


Je Biblia ndiyo mafundisho ya Mungu pekee?
Kwa hiyo Biblia ni maneno yaliyochaguliwa mpaka
Hapana, Biblia sio mafundisho pekee ya Mungu. Hii
enzi za Mitume. Vitabu vilivyofwata Baada ya
ni kwa sababu sio mambo yote aliyofanya na
Mitume japokuwa viliandikwa kwa Roho Mtakatifu
kusema Mungu yaliandikwa na vilevile Mitume
havikuwekwa Kwenye Biblia.
145

3. 2 Wakorinto
Sababu ya Kanisa katoliki kutumia mapokeo
4. Wagalatia

na Maandiko ya Watakatifu 5. Waefeso

6. Wafilipi
Kanisa katoliki linatumia mapokeo na Makala za
7. Wakolosai
watakatifu kwa Imani kuwa Mungu yule yule
8. 1 Wathesalonike
aliyefanya kazi tangu zamani anafanya kazi na

watu wake mpaka sasa na hivyo Maandiko ya watu 9. 2 Wathesalonike

wa Mungu yanafaa kutumika kama yalivyotumika 10. 1 Timotheo

ya watu wa kale. 11. 2 Timotheo

12. Tito

13. Filemoni
Yesu alituambia nini kuhusu Neno la Mungu
14. Waebrania

15. Yakobo
na Mwendelezo wa kazi ya Mungu ya kusema
16. 1 Petro
na watu? 17. 2 Petro

18. 1 Yohane
Yesu alituambia hivi katika (Yohane 16:12-
19. 2 Yohane
15)..”Ninayo mengi ya kuwaambieni Ila kwa sasa
20. 3 Yohane
hamuwezi kuyastahimili. Lakini atakapokuja huyo
21. Yuda
Roho wa Ukweli atawaongoza kwenye ukweli wote.

Maana hatasema kwa Mamlaka yake mwenyewe

bali atasema atakayoyasikia na kuwajulisheni

yatakayokuja. Yeye atanitukuza Mimi kwa kuwa

atawajulisheni Yale atakayoyapata kutoka kwangu Mitume kumi na wawili wa Yesu Kristu ni

“…
wapi?
Sasa basi,kama Roho Mtakatifu ni yuleyule na kazi

zake ni Zile Zile za tangu Mitume, kwa nini Mitume wa yesu ni;

hatukubali kuwa Anafanya kazi mpaka sasa kupitia 1. Simoni/Petro

watu wa Mungu? Kwa nini tunakataa mafundisho 2. Yakobo

yao? Kwa nini tunashindwa kuelewa kuwa Biblia 3. Yohane

haikuwa mwisho wa Neno la Mungu? Kwa nini 4. Andrea

tunakana Mapokeo ya Watakatifu? Kwa nini 5. Filipo

hatuwaamini watumishi wake wa sasa?


6. Barttholomayo

7. Mathayo

8. Thomaso

9. Yakobo wa ALfayo
Nyaraka za Mitume katika Biblia ni zipi? 10. Thadayo (Yuda Thadey)

11. Simoni Mkanaani


Nyaraka za Mitume ni;
13. Yuda Iskarioti – Aliyemsaliti
1. Waroma

2. 1 Wakorinto
146

kama theluji; zijapokuwa nyekundu kama bendera,


Baba Mtakatifu wa kwanza ni nani?
zitakuwa kama sufu”. (Isaya 1:18)

Baba Mtakatifu wa Kwanza ni Mt. Petro Tudumu katika sala daima kwa sababu njia ya sala

ndipo tunaweza kusema yale tunayotaka mbele ya

Mungu na kusikia yale anayotaka Mungu.

Nani ni Mitume wa Mataifa?

Mitume wa mataifa ni Paulo na Barnaba


Kwa nini tunasali?

WhatsAppTwitterLinkedInEmail
Tunasali ili kudumisha mahusiano yetu na Mungu
Maswali na Majibu kuhusu Sala
Mafundisho ya Katekisimu / Leave a Comment na ili kutimiza wajibu wetu Mbele ya Mungu.

Sababu kuu za kusali ni;

Sala ni nini? 1. Kumwabudu Mungu,

2. Kumshukuru Mungu,
Sala ni kuinua mioyo yetu kwa Mungu na kuongea
3. Kuomba neema na baraka kwa ajili yetu
nae. Kuongea maana yake ni kusema na Kusikiliza.
na wenzetu,
Sala sio kuongea tuu, sala ni kuongea na
4. Kuomba msamaha,
kusikiliza. Mungu anatualika tuongee nae kwa
5. Kumsifu na kumtukuza Mungu
kusema na kusikiliza. Kwenye Biblia tunasoma

Hivi;
1. Kumwabudu Mungu
“Niite, nami nitakujibu na kukuambia mambo
Tunasali ili kumwabudu Mungu, yaani kumpa
makubwa yaliyofichika ambayo hujapata
heshima ya mwisho juu ya kila kitu. Kuonyesha
kuyajua”.(Yeremia 33:3)
kuwa ni mkuu na wa kipekee kuliko mtu au kitu
Vile tunavyokuwa na juhudi ya kusali kwa kusema
chochote.
mbele ya Mungu ndivyo hivyo hivyo tunatakiwa

tuwe na juhudi ya kumsikiliza Mungu kile

anachotuambia. 2. Kumshukuru Mungu

Tunaweza kumsikiliza Mungu ndani kabisa ya Tunasali ili kumshukuru Mungu kwa yale yote

Mioyo yetu, mara nyingine kwa kupitia dhamira aliyokwisha kuyatenda, anayoyatenda na yale

zetu, kupitia watu wengine na kupitia neno lake atakayoyatenda. Tunamshukuru Mungu kwa yote

(Biblia). Tuombe neema ya kutambua sauti yake kwa kuwa yote anayoyafanya anayafanya kwa

anaposema nasi ili tuweze kumsikiliza na Mapenzi/ Matakwa yake Matakatifu. Nia ya Mungu

kutengeneza mahusiano mazuri kati yetu na yeye. ni njema daima ndio maana tunapoona ameruhusu

mambo ambayo kwa akili zetu tunayaona ni


Mungu ni Baba yetu, anatupenda sana na yupo
magumu na sio mema tunapaswa kushukuru kwa
tayari kutusikiliza wakati wote ndio maana Mungu
sababu ameyafanya kwa makusudi mema.
anatualika kwa kutuambia;
Biblia inatuambia hivi;
“Haya, njoni, tusemezane, asema BWANA. Dhambi

zenu zijapokuwa nyekundu sana, zitakuwa nyeupe 16 Furahini siku zote; 17ombeni bila kukoma;

18shukuruni kwa kila jambo; maana hayo ni


147

mapenzi ya Mungu kwenu katika Kristo Yesu. (1


6. Kumsifu na kumtukuza Mungu
Wathesalonike 5:16-18)

Tunatakiwa kumshukuru Mungu kwa Kila jambo na Tunasali ili kusifu na kumtukuza Mungu. Mungu

kumshukuru huku ni kwa njia ya sala. anapenda kusifiwa na kutukuzwa. Kwa njia ya sifa

tunapokea neema na baraka hata ambazo

hatujaziomba.
3. Kuomba neema na baraka kwa ajili yetu na

1Mfanyieni BWANA shangwe, dunia yote;


wenzetu
2Mtumikieni BWANA kwa furaha;
Tunasali kwa kuomaba neema na baraka kwa ajili Njoni mbele zake kwa kuimba;
yetu sisi wenyewe na kwa ajili ya wenzetu. 3 Jueni kwamba BWANA ndiye Mungu;
Tunamuomba Mungu baraka na Mkono wake katika Ndiye aliyetuumba na sisi tu watu wake;
yale tunayoyafanya na kwa yale wanayoyafanya Tu watu wake, na kondoo wa malisho yake.
wengine. 4Ingieni malangoni mwake kwa kushukuru;

Maombi yetu ili ykubalike mbele ya Mungu ni Nyuani mwake kwa kusifu;

lazima yawe katika mapenzi yake na yawe na nia Mshukuruni, lihimidini jina lake;

njema. Tunafundishwa hivi katika biblia; 5 Kwa kuwa BWANA ndiye mwema;

Rehema zake ni za milele;


3Tena, mnapoomba hampati kwa sababu
Na uaminifu wake vizazi na vizazi. (Zaburi 100:1-
mnaomba kwa nia mbaya; mnaomba ili mpate
4)
kutosheleza tamaa zenu. (Yakobo 4:3)

Tunatakiwa tusali kwa kuomba mema na kwa nia

njema ili tuweze kupata yale tunayoyaomba kwa

Mungu. Nani anapaswa kusali?

Watu wote wanapaswa kusali, wema na wabaya.


4. Kuomba Msamaha Sala ndiyo njia pekee ya kumuunganisha

Tunasali ili kuomba msamaha mbele ya Mungu Mwanadamu na Mungu. Tunapaswa kusali Katika

kwa yote mabaya tuliyoyafanya. Mungu ni hali yoyote. Tunapokuwa katika hali ya neema

mwaminifu hasa kwenye kutusamehe na tunapaswa kusali vivyo hivyo tunapokuwa katika

kutuondolea dhambi zetu. hali ya dhambi tunapaswa kusali.

9Tukiziungama dhambi zetu, Yeye ni mwaminifu Tunapokuwa katika hali ya neema tunapaswa

na wa haki hata atuondolee dhambi zetu, na kusali. Tunasali ili tuweze kudumu katika hali ya

kutusafisha na udhalimu wote. (1 Yohana 1:9) neema. Hatupaswi kuacha kusali kama tunajiona

Vilevile Tunatakiwa kusali katika mapungufu yetu hali yetu ya kiroho ipo vizuri. Hatupaswi kuacha

na kuwa na matumaini. kusali kama tumepata neema ya kusimama vyema

mbele ya Mungu.
9Naye akaniambia, Neema yangu yakutosha;

maana uweza wangu hutimilika katika udhaifu. Tunapokuwa katika hali ya dhambi tunapaswa

Basi nitajisifia udhaifu wangu kwa furaha nyingi, ili kusali. Tunasali ili tuweze kurudi katika hali ya

uweza wa Kristo ukae juu yangu. (2 Wakorinto neema. Hatupaswi kuacha kusali kama tunajiona

12:9) tupo katika hali ya dhambi. Kwa njia ya sala ndipo

tutakapoweza kutoka katika hali ya dhambi.


148

Mungu yupo tayari kusikiliza ukiwa katika hali ya


Yatupasa kusali lini?
neema au kama ukiwa katika hali ya dhambi. Ndio

maana tunapaswa kumwelekea Mungu katika hali Yatupasa kusali kila siku bila kukata tamaa (Lk

yoyote tulio nayo. 18:1) Sala ndiyo njia pekee ya kutuunganisha na

Mungu.
14Na huu ndio ujasiri tulio nao kwake, ya kuwa,

tukiomba kitu sawasawa na mapenzi yake, Tunatakiwa tusali daima Kama Yesu alivyotuhimiza

atusikia. 15Na kama tukijua kwamba atusikia, kwa mfano huu;

tuombacho chote, twajua kwamba tunazo zile haja


1 Akawaambia mfano, ya kwamba imewapasa
tulizomwomba. (1 Yohane 5:15)
kumwomba Mungu sikuzote, wala wasikate tamaa.
Tena Mungu anasubiri tumuombe ili furaha yetu
2 Akasema, Palikuwa na kadhi katika mji fulani,
itimilike.
hamchi Mungu, wala hajali watu.

24Hata sasa hamkuomba neno kwa jina 3 Na katika mji huo palikuwa na mwanamke

langu; ombeni, nanyi mtapata; furaha yenu iwe mjane, aliyekuwa akimwendea-endea, akisema,

timilifu. (Yohane 16:24) Nipatie haki na adui wangu.

Hata kama tuna dhambi Mungu yupo tayari 4 Naye kwa muda alikataa; halafu akasema

kutupokea na kutusikiliza. moyoni mwake, Ijapokuwa simchi Mungu wala

sijali watu,
“Haya, njoni, tusemezane, asema BWANA. Dhambi
5 lakini, kwa kuwa mjane huyu ananiudhi,
zenu zijapokuwa nyekundu sana, zitakuwa nyeupe
nitampatia haki yake, asije akanichosha kwa
kama theluji; zijapokuwa nyekundu kama bendera,
kunijia daima.
zitakuwa kama sufu”. (Isaya 1:18)
6 Bwana akasema, Sikilizeni asemavyo yule kadhi
Mungu yupo tayari kutusikiliza hata tunapokuwa
dhalimu.
wadhambi kwa kuwa haziweki dhambi zetu na
7 Na Mungu, je! Hatawapatia haki wateule wake
makosa yetu mbele yetu. Huruma yake ni kubwa
wanaomlilia mchana na usiku, naye ni mvumilivu
kushinda dhambi zetu.
kwao?
12 Kama mashariki ilivyo mbali na magharibi, 8 Nawaambia, atawapatia haki upesi; walakini,
Ndivyo alivyoweka dhambi zetu mbali nasi. atakapokuja Mwana wa Adamu, je! Ataiona imani
13 Kama vile baba awahurumiavyo watoto wake, duniani? (Lk 18:1-8)
Ndivyo BWANA anavyowahurumia wamchao. Kwa hiyo basi, Tusali daima kila siku, kila saa na
(Zaburi 103:12-13) katika hali yoyote. Tusichoke kusali hata kama
Mungu anatuwazia mema daima ndio maana maombi Yetu hayajajibiwa. Mungu ni mwenye
tunapaswa kusali kwake Hekima na anajua lini hasa akujibu kile

unachokiomba kwa manufaa yako wewe.


11Maana nayajua mawazo ninayowawazia ninyi,
Usipopewa Leo kile ukiombacho unaweza kukipata
asema BWANA, ni mawazo ya amani wala si ya
kwa wakati ufaao tena bila ya Kukiomba.
mabaya, kuwapa ninyi tumaini siku zenu za

mwisho. 12Nanyi mtaniita, mtakwenda na

kuniomba, nami nitawasikiliza. 13Nanyi Sala ni Hazina

mtanitafuta na kuniona, mtakaponitafuta kwa

moyo wenu wote. (Yeremia 29:11-13)


149

Sala ni hazina. Kusali ni kujiwekea hazina. Sala lakini tusisahau kuwa Tunahitaji kuwa na Muda wa

unayosali leo inaweza kukunufaisha wakati Kusali.

usioutarajia.
Tusali daima, Kila wakati na Maisha yetu yawe ni

Maisha ya Sala.
Maana ya Sala kwa Mkristo Mkatoliki
Mungu Akubariki sana, Azijibu sala zako na
Maana ya sala kwa Mristu Mkatoliki sio kuomba Akujalie Neema ya Kuwa Mtu wa Sala.
tuu. Sala kwa Mkatoliki ni zaidi ya kuomba. Kwa

Mkatoliki sala inamaanisha kufanya haya;

1. Tunasali kushukuru,
Yatupasa kusali namna gani?
2. Tunasali kuomba,

3. Tunasali kusifu na Kutukuza, Yatupasa kusali kwa Unyenyekevu, Ibada,

4. Tunasali kumshirikisha Mungu Furaha zetu Matumaini na kwa Saburi. Yesu alitufundisha

na huzuni zetu, kuhusu kusali kwa kutumia mfano huu;

5. Tunasali kuomba Toba na Msamaha,


9 Akawaambia mfano huu watu waliojikinai ya
6. Tunasali kumshirikisha Mungu Juhudi zetu
kuwa wao ni wenye haki, wakiwadharau wengine
na Mipango yetu,
wote.
7. Tunasali kumshirikisha Mungu
10 Watu wawili walipanda kwenda hekaluni kusali,
changamoto zetu.
mmoja Farisayo, wa pili mtoza ushuru.
Tuna kila sababu ya Kusali kila Siku na Kila saa.
11 Yule Farisayo akasimama akiomba hivi moyoni
Maisha yetu yote yanatakiwa yawe Maisha ya Sala.
mwake; Ee Mungu, nakushukuru kwa kuwa mimi si
Usifikiri kwamba Wakati wote unaposali lazima
kama watu wengine, wanyang‟anyi, wadhalimu,
utamke maneno Mengi sana ili uwe umesali, Sala
wazinzi, wala kama huyu mtoza ushuru.
haipimwi kwa Maneno. Sala inapimwa kwa nia
12 Mimi nafunga mara mbili kwa juma; hutoa zaka
yake na Kujiweka wazi mbele ya Mungu.
katika mapato yangu yote.

Kila Usalipo Jijengee Tabia ya kunuia, kuwa wazi 13 Lakini yule mtoza ushuru alisimama mbali, wala

na kusali kwa ukweli wa Moyo wako. Hata kama ni hakuthubutu hata kuinua macho yake mbinguni,

sentesi Moja fupi Kabisa itamke kwa Upendo na bali alijipiga-piga kifua akisema, Ee Mungu, uniwie

Imani. Kwa Mfano, kuna wakati inatosha kabisa radhi mimi mwenye dhambi.

kusema Ee Mungu wangu ninakushukuru kwa 14 Nawaambia, huyu alishuka kwenda nyumbani

hili, hii inaweza kuwa sala Yenye nguvu Kama kwake amehesabiwa haki kuliko yule; kwa maana

imetamkwa kwa Imani, Shukrani na Mapendo ya kila ajikwezaye atadhiliwa, naye ajidhiliye

Kweli. Maneno machache yanayotamkwa kwa atakwezwa. Luka 18:9-14

Imani na Mapendo yanaweza kuzidi Mkesha wa Tunatakiwa tusali kwa nia njema na kwa kufuata

Kusali Usiku Mzima huku unasinzia. Mapenzi ya Mungu ili sala zetu zipate kibali mbele

za Mungu. Tunapoomba kwa nia mbaya ya tamaa


Pamoja na kwamba sala fupi ni nzuri na inafaa
na majivuno hatuwezi kupata kile tukiombacho.
sana, kuna haja pia ya kujitengea Muda wa

Kutosha Kusali na Kutafakari Huku tukiungana na 3Tena, mnapoomba hampati kwa sababu

Mungu. Kila siku tunanye mambo yote mengine mnaomba kwa nia mbaya; mnaomba ili mpate

kutosheleza tamaa zenu. Yakobo 4:3


150

Mungu anajibu sala zetu kulingana na nia ya kile

tunachokiomba. Watu wote waliofanikiwa Katika

sala zao walifanikiwa kwa sababu ya nia ya kile


Sala ya sauti ni nini?
walichokiomba.

Sala ya sauti ni sala asaliyo mtu au kundi kwa


Sala sio kutamka manano tuu, sala ni kutamka
kutamka maneno
maneno kwa kunuia. Tena tusalipo yatupasa kujua

kuwa tunaongea na Mungu na sio tuu kwamba

tunatamka maneno. Tusisahau nia kuu ya kusali

ambayo ni mawasiliano Yetu na Mungu.


Sala ya fikara ni nini?
Tunaposali Tunapaswa Kukumbuka na kuzingatia
Sala ya fikra ni sala asaliyo mtu peke yake au
haya;
akiwa na wengine kimya kimya akimuwaza Mungu
1. Nia na Imani (Kuamini na Kuwa na

Uhakika na Unachokifanya)

2. Unyenyekevu wa Kweli

3. Ibada na Uchaji
Sala ya kanisa ni nini?
4. Upendo na Uwazi (Honest)

5. Matumaini na Saburi (Subira) Sala ya kanisa ni sala maalumu wasaliyo Maklero,

Kila unaposali jiulize unasali kwa kwa sababu gani? Watawa, na Walei kwa ajili ya Kanisa zima

Kila ubapoomba, jiulize unamuomba Mungu ili nini?

Sababu yako ndio kibali cha sala yako.

Mungu Akubariki kwa Kukujalia Imani,


Ni nyakati gani zafaa kwa sala?
Unyenyekevu, Ibada, Uwazi na Matumaini Usalipo.

Uwe na Amani. Nyakati zote zafaa kwa sala hasa:

1. Asubuhi na jioni

2. Kabla na baada ya kula

3. Kila Dominika
Sala zipo za namna ngapi?
4. Sikukuu za amri
Sala zipo za namna tatu,
5. Kabla na baada ya kazi

1. Sala ya sauti 6. Katika kishawishi

2. Sala ya fikara

3. Sala ya taamuli

Yesu alitufundisha sala gani?

Yesu alitufundisha sala ya Baba Yetu (Mt. 6:9-13)


Sala ya Taamuli ni nini?

Sala ya taamuli ni sala ya kumtazama tuu Mungu

kwa upendo mkubwa moyoni

Je, yatupasa kuombea wengine?


151

Ndiyo. Yatupasa kuwaombea watu wote hasa watakwea, kila mtu aingie ndani moja kwa moja

wenye shida, wakosefu na hata maadui zetu. kutokea pale alipo.‟‟ (Yoshua 6:2-5).

Naamani aliambiwa na Nabii Elisha aoge mara saba

kwenye mto Yordani ili apone.

14Hivyo akashuka na kujizamisha ndani ya mto


Vyanzo vya sala za Kikristo
Yordani mara saba, kama vile huyo mtu wa Mungu

Vyanzo vya sala za kikristo ni; alivyokuwa amemwambia, nayo nyama ya mwili

wake ikapona na kutakasika kama ya mwili wa


1. Neno la Mungu
mvulana mdogo. (2 Wafalme 5:14)
2. Litrujia ya kanisa
Yesu alisali sala ya kurdia rudia kama
3. Fadhila za Kimungu
tunavyosoma,
4. Matukio ya kila siku
39Akaenda mbele kidogo, akaanguka kifudifudi

akaomba, akisema, “Baba yangu, kama

inawezekana, kikombe hiki na kiniepuke, lakini si

Je, ni sahihi kusali sala kwa kurudia rudia kama nitakavyo mimi bali kama utakavyo Wewe.‟‟

40Kisha akarudi kwa wanafunzi wake na kuwakuta


mfano Novena? wamelala. Akamwuliza Petro, “Je, hamkuweza

kukesha pamoja nami kwa saa moja? 41„„Kesheni


Ndiyo, Hii ni kwa sababu sala nyingi za kurudia ni
na mwombe, msije mkaanguka majaribuni. Hakika
za Ahadi na zinasaliwa ili kutimiza ahadi ile. Mfano
roho iko radhi lakini mwili ni dhaifu.‟‟ 42Akaenda
Novena husaliwa kwa siku 7 au 9 kwa nia ya
tena mara ya pili na kuomba, “Baba yangu, kama
kupata kile kilichoahidiwa au kinachodhamiriwa.
ikiwezekani kikombe hiki kiniepuke nisikinywe,
Mungu alishawahi kuwaagiza Waisraeli wafanye
mapenzi yako yafanyike.‟‟ 43Aliporudi, akawakuta
Ibada maalumu kwa kurudiarudia mfano wakati
tena wamelala kwa sababu macho yao yalikuwa
walipoangusha kuta za Yeriko walifanya Ibada
mazito. 44Hivyo akawaacha akaenda zake tena
maalumu kwa siku 7 (Saba).
mara ya tatu na kuomba akisema maneno yale
“Waisraeli walipopita waliagizwa na Mungu
yale. (Mathayo 26:39-44)
kuzunguka Mji wa Yeriko 2Kisha BWANA

akamwambia Yoshua,“Tazama, nimeitia Yeriko

mikononi mwako, pamoja na mfalme wake na Je ni makosa kurudia sala maneno yale yale

watu wake wa vita. 3Zunguka mji mara moja


kwa Mfano Rozari?
pamoja na watu wako wote wa vita. Fanya hivi

kwa siku sita. 4Uwe na makuhani saba wakibeba Hapana sio Makosa. Kwa Mfano Biblia inatuambia

mabaragumu ya pembe za kondoo waume mbele kuwa Malaika humtukuza Mungu kwa maneno ya

ya sanduku. Siku ya saba, mzunguke mji mara kurudia rudia.

saba, nao makuhani wakipiga baragumu hizo.


“8Kila mmoja wa hawa viumbe wenye uhai wanne,
5Utakaposikia makuhani wamepaliza sauti kubwa
alikuwa na mabawa sita na kujawa na macho
ya baragumu, watu wote wapige kelele kwa sauti
pande zote, hadi chini ya mabawa. Usiku na
kuu, kisha ukuta wa mji utaanguka na watu
mchana hawakuacha kusema: „„Mtakatifu,

Mtakatifu, Mtakatifu, ni Bwana Mungu Mwenyezi,


152

aliyekuwako, aliyeko na atakayekuja.‟‟ (Ufunuo tena wamelala kwa sababu macho yao yalikuwa

4:8). mazito. 44Hivyo akawaacha akaenda zake tena

Vile vile tunasoma katika kitabu cha Isaya kuwa mara ya tatu na kuomba akisema maneno yale

malaika walikua wakimsifu na kumtukuza Mungu yale. (Mathayo 26:39-44)

kwa sala/ maneno ya kurudiarudia. “Katika mwaka

ule mfalme Uzia alipokufa, nilimwona Bwana


Sala kwa Mkatoliki ni nini hasa? Tunaposema
ameketi katika kiti cha enzi, kilicho juu na

kilichotukuzwa sana, nalo pindo la joho lake sala tunamaanisha nini hasa?
likajaza hekalu. 2Juu yake walikuwepo maserafi,
Sala ni kuongea na Mungu. Sala kwa Mkatoliki
kila mmoja alikuwa na mabawa sita: Kwa mabawa
inajumuisha maombi, tafakari, ibada, taamuli,
mawili walifunika nyuso zao, kwa menngine mawili
shukrani na sifa. Maana ya sala kwa Mkristo
walifunika miguu yao na kwa mawili walikuwa
Mkatoliki sio kuomba tuu kama wanavyotafsiri
wakiruka. 3Nao walikuwa wakiitana kila mmoja na
watu wasio wakatoliki. Wengi wa wasio Wakatoliki
mwenzake: “Mtakatifu, Mtakatifu, Mtakatifu ni
wanaposema Sala wanamaanisha Maombi.
BWANA Mwenye Nguvu, Dunia yote imejaa utukufu

wake.” Kwa hiyo kwa Mkatoliki, Sala ni zaidi ya Maombi.

Ndiyo maana kwa mkatoliki kuna sala za namna


Kama Malaika humtukuza Mungu kwa maneno ya
mbalimbali kama vile za Tafakari, za Maombi za
kurudia rudia kwa nini sisi tukifanya hivyo tuwe
Sifa na za kushukuru. Mfano sala ya Atukuzwe
tunakosea? Na sisi tunaweza kumuomba, kumsifu
Baba sio maombi bali ni sala ya kumtukuza Mungu
na kumtukuza Mungu kwa sala au maneno ya
kwa maana hiyo sio Maombi, ndiyo maana
kurudiarudia kama walivyofanya malaika. Kwa hiyo
husaliwa baada ya sala au matukio fulani kama
sala za kurudia rudia sio makosa.
ishara ya kumtukuza Mungu na kutambua ukuu wa
Tukiangalia Zaburi ya 136 inarudia maneno “kwa Mungu
maana fadhili zake zadumu milele” mara 26 yaani

kwenye mistari yake yote. (Zaburi 136:1-26)


Yesu alifundisha tusali vipi?
Yesu pia allimuomba Mungu Baba kwa kurudia

maneno yale yale kama tunavyosoma, Kisha Yesu akawapa wanafunzi Wake mfano ili

kuwaonyesha kuwa yawapasa kuomba pasipo


39Akaenda mbele kidogo, akaanguka kifudifudi
kukata tamaa.
akaomba, akisema, “Baba yangu, kama

inawezekana, kikombe hiki na kiniepuke, lakini si 2Akawaambia, “Katika mji mmoja alikuwapo

kama nitakavyo mimi bali kama utakavyo Wewe.‟‟ hakimu ambaye hakumwogopa Mungu wala

40Kisha akarudi kwa wanafunzi wake na kuwakuta kumjali mtu. 3Katika mji huo alikuwako mjane

wamelala. Akamwuliza Petro, “Je, hamkuweza mmoja ambaye alikuwa akija kwake mara kwa

kukesha pamoja nami kwa saa moja? 41„„Kesheni mara akimwomba, „Tafadhali nipatie haki kati

na mwombe, msije mkaanguka majaribuni. Hakika yangu na adui yangu.‟ Wa Mjane Asiyekata Tamaa

roho iko radhi lakini mwili ni dhaifu.‟‟ 42Akaenda 4“Kwa muda mrefu yule hakimu alikataa. Lakini

tena mara ya pili na kuomba, “Baba yangu, kama hatimaye akasema moyoni mwake, „Japokuwa

ikiwezekani kikombe hiki kiniepuke nisikinywe, simwogopi Mungu wala simjali mwanadamu,

mapenzi yako yafanyike.‟‟ 43Aliporudi, akawakuta 5lakini kwa kuwa huyu mjane
153

ananisumbuasumbua, nitahakikisha amepata haki Bikira Maria anatuombea kwa jina la Yesu Kristu na

yake ili asiendelee kunichosha kwa kunijia mara kwa mamlaka ya Yesu Kristu aliye mwanaye.

kwa mara!‟ ” 6Bwana akasema, “Sikilizeni Hakuna Sala yoyote inayotolewa kwa Bikira Maria

asemavyo huyu hakimu dhalimu. 7Je, Mungu moja kwa moja kwani Sala zote kwa Bikira Maria

hatawatendea haki wateule Wake wanaomlilia zinatolewa kwa kusema utuombee ikimaanisha

mchana na usiku? Je, atakawia kuwasaidia? kuwa utupelekee Maombi yetu kwa Mungu. Bikira

8Ninawaambia, atawapatia haki upesi. Lakini je, Maria hatusaidii sisi moja kwa moja bali

Mwana wa Adamu atakapokuja ataikuta imani anatusaidia kwa kutuombea msaada kutoka kwa

duniani?” (Luka 18:1-8) Mungu.

Je ni halali au ni sawa kwa Bikira Maria kutuombea

Roho Mtakatifu ana nafasi gani katika sala? kwa Jina la Yesu? Na Je tunajuaje kuwa Bikira

Roho Mtakatifu ndiye Mlezi wa ndani wa sala ya Maria anaushirika na Yesu?

Kikristo Ni halali na nisawa kabisa Bikira Maria kutuombea.

Tunajua kuwa Bikira Maria anaushirika na Yesu

kwa kuwa Yesu mwenyewe alituambia kuwa

“asiyepingana na sisi yupo upande wetu”. Biblia


Ni ipi sala kubwa ya Kanisa? iintuambia…

Sala kubwa ya Kanisa ni Misa Takatifu “Yohane akadakia na kusema “Umemwona Mtu

mmoja akifukuza pepo kwa kutumia jina lako, nasi

tukajaribu kumkataza kwa kuwa si mmoja wetu.”

Lakini Yesu akawaambia, “Msimkataze kwani

Ni ipi sala bora kwa Bikira Maria? Kwa nini asiyepingana nanyi yupo upande wenu” (Luka

9:49-50).
Tunasali kwa Bikira Maria?
Kwa hiyo Bikira Maria anapolitumia jina la Yesu bila

Sala bora kwa Bikira Maria ni Rozari Takatifu kupingana na sisi wala Yesu ni ishara tosha kuwa

ni mshirika wa Mungu (Yesu)

Kwa nini watu wengi wanaomba kwa Bikira Maria?

Je ni kweli kwamba Bikira Maria ni Malkia wa


Watu wengi wanaomba kupitia Bikira Maria kwa

sababu wanashuhudia sala zao kujibiwa kirahisi Kipepo?

zaidi wanaposali kupitia Bikira Maria kwani Bikira


Sio kweli kwamba Bikira Maria ni Malkia wa
Maria anatuombea kile tunacho mwomba. Bikira
Kipepo/Kishetani
Maria anasimama Kama mwombezi wetu mbele ya
Sababu hizi zifuatazo zinadhihirisha kuwa Bikira
Mungu hasa pale tunaposhindwa kusali
Maria sio Malkia wa kipepo;
Inavyotakiwa.

1) Kuomba kwa jina la Yesu: Angekua ni Malkia

Bikira Maria anatuombea kwa jina na mamlaka ya wa Kipepo asingeomba kwa Jina la Yesu. Kama

ilivyoelezwa hapo juu. Biblia iintuambia


nani?
154

linapotamkwa Jina la Yesu mapepo hukimbia. Sasa huku akituelekeza tuige mfano wake wa

iweje yeye alitumie Jina hilo kutuombea Kama unyenyekevu wa kumuelekea Mungu aliye Baba wa

yeye ni pepo? (Luka 10:17) huruma na upendo.

2) Hafundishi uovu/dhambi: Mbali na kuomba 8) Anaongeza imani kwa Mungu: Kwa sala na

kwa jina la Yesu, vilevile Yesu alituambia Ibada za Bikira Maria waumini wanapata

tuzichunguze roho na tutazitambua roho hizo kwa kuongezewa Imani na Uchaji wao kwa Mungu.

matendo yake. Kwa lengo hili tukichunguza kuhusu Wengi wanabadili maisha yao ya dhambi na

Bikira Maria tutaona kuwa Bikira Maria ni Mtakatifu kuelekea Maisha mema ya utakatifu ya

aliye upande wa Mungu kwa sababu Mara zote Kumtumikia Mungu.

alipowatokea watu amekuwa akifundisha na


9) Sala Ibada yake inachanganyika na Ibada
kuelekeza watu kuishi maisha ya utakatifu na
nyingine za Kikristu: Hakuna
kumfuata Mungu kweli kwa kutii amri zake na
mgongano/ushindani wa Ibada kwa Bikira Maria na
kufuata mafundisho ya mwanae ambayo ni
Ibada nyingine za Kikristu. Kama angekua ni pepo
yakuelekea katika utakatifu. Hakuna hata Mara
kamwe Ibada yake isingechanganyika na Ibada
moja mafundisho ya Bikira Maria yalihusishwa na
Takatifu.
vitendo viovu au vya kuvunja Amri za Mungu.
10) Ibada kwa Bikira Maria
3) Mafundisho yake yanaendana na Neno la
Imedumu: Haikufifia wala kupotea bali ilizidi
Mungu (Biblia): Bikira Maria hajawaji hata mara
kuendelea vizazi hata vizazi. Hii inadhihirisha
moja kufundisha na kuelekeza vitu vilivyo nje ya
kwamba kuna Neema ya Mungu.
Mafundisho ya neno la Mungu (Biblia). Hakuna

hata Mara moja mafundisho ya Bikira Maria Kwa sababu hizi unaweza ukaona kwamba Bikira

yalikinzana na Mafundisho ya Neno la Mungu. Maria anaushirika na Mungu na ni Mtakatifu.

4) Anahubiri Wema, Unyenyekevu, Upole na

Utii: mambo ambayo ni alama ya kudhihirisha

Utakatifu.
Ni zipi sala Muhimu kwa Mkristo?
5) Anasisitiza Upendo kwa Binadamu
Sala muhimu kwa Mkristo ni;
wenzetu na kwa Mungu: Anahubiri Upendo hasa

kwa Maadui zetu na wale wanaoipinga Imani ya 1. Misa Takatifu

Kikristu na wanaomkataa Yesu Kristu. Anasisitiza 2. Baraka ya Sakramenti Kuu

mara zote Tumpende Mungu na kumtii. 3. Litania Takatifu

4. Njia ya Msalaba
6) Anahubiri Amani: Anahubiri Injili ya Amani na
5. Rozari Takatifu
Mara zote anasisitiza tuombe amani ambapo amani
6.Novena
ndio Ishara ya Utakatifu.

7) Hajitukuzi mbele ya Mungu bali

anajinyenyekesha: Hajawahi kufundisha kwamba

tumtukuze yeye au tumuheshimu yeye. Mara zote Ipi ni shule ya kwanza ya sala?
anahubiri tumheshimu Mungu pekee na kumtukuza
Familia ni shule ya kwanza ya sala
Mungu. Amekua akijishusha kwa unyenyekevu
155

na kutamka “Kwa jina la Baba, na la Mwana na la

Roho Mtakatifu, Amina”

Mahali gani panafaa kwa sala?

Mtu anaweza kusali mahali popote lakini Kanisani

ndipo mahali Rasmi pa sala Kwa kugusa paji la uso tuna maana gani?

Kwa kugusa paji la uso tuna maana ya kukubali

kwa akili

Mwenye kusali anakutana na majaribu gani?

Anakutana na Majaribu haya;

Kwa kugusa kifua tuna maana gani?


1. Mtawanyiko wa Mawazo

2.Ukavu wa moyo Kwa kugusa kifua maana yake ni kuupokea na

3. Uvivu na Uregevu kuukubali msalaba moyoni.

Ndiyo maana kwa Wakatoliki sala nyingi

zimeandikwa ili kutuongoza hasa tunapokuwa

majaribuni katika sala.


Kwa kugusa mabega tuna maana gani?

Kwa kugusa mabega maana yake ni kuwa tayari

kuubeba msalaba kwa nguvu zetu zote

Neno “Amina” katika sala lina maana gani?

Neno “Amina” katika sala lina maanisha “Na iwe

Hivyo” (Hesabu 5:22)


Kwa nini tunafanya Ishara ya Msalaba?

Tunafanya Ishara ya Msalaba kwa nia ya kumkiri

Mungu mmoja katika Nafsi Tatu. Pia msalaba ni

“Aleluya” katika sala, hasa zaburi ina maana Ishara ya Ukombozi wetu

gani?

“Aleluya” katika sala, hasa zaburi ina maanisha

“Msifuni Mungu” Ishara ndogo ya Msalaba juu ya panda la uso,

mdomo, na kifua kabla ya Injili ina maana

gani?
Ishara ya msalaba ni nini?
Maana yake ni kama Ahadi kuwa, Niko tayari
Ishara ya Msalaba ni tendo la mtu kugusa panda la kulifahamu Neno la Mungu kwa akili yangu,
uso, kifua na mabega kwa kutumia mkono wa kulia Nitalitangaza kishujaa kwa Midomo yangu,

Nitalipenda na kulishika kwa Moyo wangu wote.


156

“Nakutafakari Wewe makesha yote ya usiku” (Zab

63:6).

“Sheria yako naipenda mno ajabu, ndiyo kutafakari


Sala zina faida gani? Kwa nini watu tunasali?
kwangu mchana kutwa” (Zab 119:97).

Sala zina faida hizi; “Maneno yako yalionekana, nami nikayala; na

maneno yako yalikuwa ni furaha kwangu, na


1. Zinaleta neema nyingi
shangwe ya moyo wangu” (Yer 15:16).
2. Zinatuimarisha ili kushinda vishawishi na

dhambi

3. Zinatuunganisha na Mungu

4. Zinatudumisha katika kutenda mema Kielelezo cha sala yetu ni nani?

Kielelezo cha sala yetu ni Yesu Kristo.

“Ikawa alipokuwa mahali fulani akiomba,

Mazinguo ndiyo nini? alipokwisha, mmoja katika wanafunzi wake

alimwambia, „Bwana, tufundishe sisi kusali” (Lk


Mazinguo ni sala za kupungia mashetani ili
11:1).
kuepusha watu na balaa au madhara, hasa kama
Yeye kama binadamu alichota humo uaminifu kwa
wamepagawa nao.
wito wake wa pekee.

“Ewe pepo mchafu, mtoke mtu huyu” (Mk 5:8).


“Baba, saa imekwisha kufika. Mtukuze Mwanao, ili
“Ewe pepo bubu na kiziwi, mimi nakuamuru,
Mwana wako naye akutukuze wewe” (Yoh 17:1).
mtoke huyu, wala usimwingie tena!” (Mk 9:25).
“Aba, Baba, yote yawezekana kwako; uniondolee
Yesu ameliachia Kanisa mamlaka yake juu yao.
kikombe hiki; walakini, si kama nitakavyo mimi,

“Aliwaita wale Thenashara, akaanza kuwatuma bali utakavyo wewe” (Mk 14:36).

wawili wawili, akawapa amri juu ya pepo wachafu”

(Mk 6:7).

“Paulo alisikitika, akageuka akamwambia yule


Kama binadamu Yesu alijifunza kusali kwa
pepo, „Nakuamuru kwa jina la Yesu Kristo, mtoke

huyu‟. Akamtoka saa ileile” (Mdo 16:18).


nani?

Kama binadamu Yesu alijifunza kusali kwa Mama

yake na kwa mapokeo yote ya Israeli,

Ikiwa sala ni maongezi ya Mungu na mtu, yaliyojitokeza hasa katika Zaburi.

kwanza tufanye nini? “Wazee wake huenda Yerusalemu kila mwaka,

wakati wa sikukuu ya Pasaka. Na alipopata umri


Ikiwa sala ni maongezi ya Mungu na mtu, kwanza
wake miaka kumi na miwili, walipanda kama
tumsikilize kwa makini na kutafakari alichosema ili
ilivyokuwa desturi ya sikukuu” (Lk 2:41-42).
tukifanyie kazi. Tukisema peke yetu si sala, kwa
“Saa tisa Yesu alipaza sauti yake kwa nguvu, „Eloi,
kuwa ukisema upande mmoja tu si maongezi.
Eloi, lama sabakthani?‟” (Mk 15:34).

“Nena, Bwana, kwa kuwa mtumishi wako anasikia” “Ee Baba, mikononi mwako naiweka roho yangu”

(1Sam 3:10). (Lk 23:46).


157

“Wewe usalipo, ingia katika chumba chako cha

ndani, na ukiisha kufunga mlango wako, usali

mbele za Baba yako aliye sirini” (Math 6:6).


Je, sala ya Yesu inatokana na utu wake tu?
Tusipojua kuongea na Baba moyo kwa moyo,

Hapana, sala ya Yesu haitokani na utu wake tu, tutawezaje kuongea naye kati ya umati?

bali katika huo Mwana wa milele ndiye

anayemuelekezea Baba yake sala kamili ya kitoto.

“Saa ileile alishangilia kwa Roho Mtakatifu,


Yesu ametufundisha kusali vipi?
akasema, „Nakushukuru, Baba, Bwana wa mbingu

na nchi, kwa kuwa mambo haya umewaficha Yesu ametufundisha kusali akitueleza misimamo

wenye hekima na akili, umewafunulia watoto ambayo tuwe nayo.

wachanga. Naam, Baba, kwa kuwa ndivyo


“Upatane kwanza na ndugu yako, kisha urudi uitoe
ilivyokupendeza” (Lk 10:21).
sadaka yako… Waombeeni wanaowaudhi… Msalipo,
“Baba, nakushukuru kwa kuwa umenisikia. Nami
msiwe kama wanafiki; kwa maana wao wapenda
nalijua ya kuwa wewe wanisikia sikuzote” (Yoh
kusali hali wamesimama katika masinagogi na
11:41- 42).
katika pembe za njia, ili waonekane na watu”
“Baba, uwasamehe, kwa kuwa hawajui watendalo”
(Math 5:24,44; 6:5).
(Lk 23:34).
“Mtoza ushuru alisimama mbali, wala hakuthubutu

hata kuinua macho yake mbinguni, bali

alijipigapiga kifua akisema, „Ee Mungu, uniwie

Yesu alisali vipi? radhi mimi mwenye dhambi‟. Nawaambia, huyu

alishuka kwenda nyumbani kwake amehesabiwa


Yesu alisali kila mahali na kila wakati, akidumisha
haki” (Lk 18:13-14).
ushirika wa upendo kati yake na Baba katika Roho
Hasa ametutia Roho Mtakatifu atuongoze kama
Mtakatifu.
alivyomfanyia yeye.

“Saa inakuja, nayo sasa ipo, ambayo waabuduo

halisi watamwabudu Baba katika roho na kweli.

Kwa maana Baba awatafuta watu kama hao

wamwabudu” (Yoh 4:23). Je, Yesu ametufundisha maneno ya sala pia?

Pamoja na kushiriki kiaminifu ibada za taifa lake,


Ndiyo, Yesu ametufundisha maneno ya sala ya
mara nyingi alijitafutia mahali pa faragha.
„Baba Yetu‟, kamili kuliko zote. Maombi yake saba

“Aliongozwa na Roho muda wa siku arobaini yanategemea utangulizi ambao tunamuendea

nyikani” (Lk 4:1). Mungu kwa ujasiri na furaha kama watoto wake,

“Alikuwa akijiepua, akaenda mahali pasipokuwa na ndugu kati yetu.

watu, akaomba” (Lk 5:16).


Maombi matatu ya kwanza yanalenga atukuzwe,
“Aliondoka akaenda mlimani ili kuomba, akakesha
atawale, apate ushirikiano wetu. Maombi manne ya
usiku kucha katika kumwomba Mungu” (Lk 6:12).
mwisho yanalenga tupate chakula cha roho na cha
Ndiyo sababu ametuambia,
mwili, msamaha wa dhambi, ushindi katika

vishawishi, usalama dhidi ya yule Mwovu.


158

“Baba yenu anajua mnayohitaji kabla ninyi Lakini Baba, kwa ujuzi na upendo usio na mipaka,

hamjamwomba. Basi ninyi salini hivi…” (Math 6:8- anaweza akatupatia mambo tofauti na yale

9). tuliyomuomba.

“Kama ungaliijua karama ya Mungu, naye ni nani

akuambiaye, „Nipe maji ninywe‟, ungalimwomba

Je, sala inategemea maneno? yeye, naye angalikupa maji yaliyo hai” (Yoh 4:10).

“Ikiwa ninyi mlio waovu mnajua kuwapa watoto


Hapana, sala haitegemei maneno mengi mazuri,
wenu vipawa vyema, je, Baba aliye mbinguni
bali kujijenga
hatazidi sana kuwapa Roho Mtakatifu hao

“juu ya imani… na kuomba katika Roho Mtakatifu” wamwombao?” (Lk 11:13).

(Yud 20). Imani yetu ikubali kwamba aliyotupatia ni bora

“Mkiwa katika kusali, msipayukepayuke, kama zaidi.

watu wa mataifa; maana hao hudhani ya kuwa

watasikiwa kwa sababu ya maneno yao kuwa

mengi” (Math 6:7).

Hii haituzuii tusirudie maneno yetu kwa dhati zaidi Je, sala inaweza kumuendea Yesu?

na zaidi.
Ndiyo, sala inaweza kumuendea Yesu, Bwana wetu

Yesu “alikwenda, akaomba mara ya tatu, akisema na kaka yetu, aliye hai mbinguni, kama

maneno yaleyale” (Math 26:44). ilivyomuendea na kusikilizwa alipokuwa duniani.

Tunaweza kusali kimoyomoyo pia.


Mhalifu alisema,

“Hana alikuwa akinena moyoni mwake, midomo


“„Ee Yesu, nikumbuke utakapoingia katika ufalme
yake tu ilionekana kama anena, sauti yake
wako‟. Yesu akamwambia, „Amin, nakuambia, leo
isisikiwe… „Nimeimimina roho yangu mbele za
hivi utakuwa pamoja nami peponi” (Lk 23:42-43).
Bwana‟” (1Sam 1:13,15).
Stefano aliomba,
“Maneno ya kinywa changu, na mawazo ya moyo

wangu, yapate kibali mbele zako, Ee Bwana” (Zab “„Bwana Yesu, pokea roho yangu‟. Akapiga magoti,

19:14). akalia kwa sauti kuu, „Bwana, usiwahesabie

dhambi hii‟” (Mdo 7:59-60).

“Roho na Bibi arusi wasema, „Njoo!‟. Naye asikiaye

na aseme, „Njoo!‟… Na uje, Bwana Yesu!” (Ufu


Je, sala yetu inasikilizwa daima? 22:17,20).

Ndiyo, sala yetu inasikilizwa daima kwa kuwa

imeunganika kwa imani na ile ya Yesu, njia pekee

ya kumuendea Baba.
Roho Mtakatifu anatusaidiaje kusali?

“Hata sasa hamkuomba neno kwa jina langu;


Roho Mtakatifu anatusaidia tusali kama Yesu,
ombeni, nanyi mtapata, furaha yenu iwe timilifu”
akiwa mlezi wa ndani na kutumia vipaji vyake
(Yoh 16:24).
saba.
159

“Mungu alimtuma Roho wa Mwanawe mioyoni Ndiyo, sala inaweza kuwaendea Mama na marafiki

mwetu, aliaye, „Aba!‟ yaani, „Baba!‟” (Gal 4:6). wa Yesu, walioungana naye kuwa mwili mmoja,

“Roho naye hutusaidia udhaifu wetu, kwa maana wasiweze kutenganishwa na chochote.

hatujui kuomba jinsi itupasavyo; lakini Roho


“Kwa maana nimekwisha kujua hakika ya kwamba,
mwenyewe hutuombea kwa kuugua kusikoweza
wala mauti, wala uzima, wala malaika, wala wenye
kutamkwa… huwaombea watakatifu kama
mamlaka, wala yaliyopo, wala yatakayokuwapo,
apendavyo Mungu” (Rom 8:26-27).
wala wenye uwezo, wala yaliyo juu, wala yaliyo
Ndiyo sababu Kanisa linatuhimiza tumtamani na
chini, wala kiumbe kingine chochote hakitaweza
kumualika kila mara, „Njoo, Roho Mtakatifu!‟ yaani
kututenga na upendo wa Mungu ulio katika Kristo
kumuomba Baba kwa njia ya Mwana amtume zaidi
Yesu Bwana wetu” (Rom 8:38-39).
na zaidi ndani mwetu.
“Kwangu mimi kuishi na Kristo, na kufa ni faida…

Ninatamani kwenda zangu nikae na Kristo” (Fil

1:21,23)

.
Roho Mtakatifu anaweza kutufikisha hadi
Kwa kuwa hao wako na Kristo mbinguni,
wapi? wanatuombea mfululizo pamoja naye.

Roho Mtakatifu anaweza kutufikisha hadi “Niliona chini ya madhabahu roho zao waliochinjwa
muungano wa dhati na Mungu. kwa ajili ya neno la Mungu, na kwa ajili ya

ushuhuda waliokuwa nao. Wakalia kwa sauti kuu,


“Yeye awajalieni, kwa kadiri ya utajiri wa utukufu
wakisema, „Ee Mwenyezi, Mtakatifu, Mwenye kweli,
wake, kufanywa imara kwa nguvu, kwa kazi ya
hata lini…‟” (Ufu 6:9-10).
Roho wake, katika utu wa ndani. Kristo akae
Tunawaomba wazidi kutuombea kwa Mungu, kama
mioyoni mwenu kwa imani mkiwa na shina na
tunavyowaomba wenzetu waliopo duniani.
msingi katika upendo; ili mpate kufahamu pamoja

na watakatifu wote jinsi ulivyo upana, na urefu, na “Mkikesha kwa jambo hilo na kudumu katika
kimo, na kina; na kuujua upendo wake Kristo, kuwaombea watakatifu wote; pia na kwa ajili
upitao ufahamu kwa jinsi ulivyo mwingi, mpate yangu mimi” (Ef 6:18-19).
kutimilika kwa utimilifu wote wa Mungu” (Ef 3:16-

19).

“Huyo Roho wa kweli, atawaongoza awatie kwenye

kweli yote” (Yoh 16:13). Je, Yatupasa kumwomba Roho Mtakatifu?

Safari hiyo inategemea sana sala isiyoishia katika


Ndiyo, kwani twataka kwake maonyo na msaada.
maneno bali inalenga kupenya mafumbo kwa imani
Tusipokuwa na neema yake hatuwezi kutenda
na upendo.
jambo jema la kufaa kutuokoa. (Yoh 16:13)

WhatsAppTwitterLinkedInEmail
Amri ya Kumi ya Mungu: Makatazo na Amri
Mafundisho ya Katekisimu / Leave a Comment
Je, sala inaweza kuwaendea Mama na
Amri ya Kumi ya Mungu inakataza nini?

marafiki wa Yesu (Watakatifu)? Inakataza;


160

1. Uroho
2. Uchu wa mali
3. Kijicho
4. Tamaa mbaya ya kujipatia mali

Kwa nini Mungu ameumba Malaika?

Mungu ameumba Malaika ili wamtukuze, wafurahi


Amri ya Kumi ya Mungu inaamuru nini
naye Mbinguni, na wawe matarishi wake kwa

Amri ya Kumi ya Mungu inaamuru kuheshimu mali ya wengine wanadamu. (Tob 12:12, Lk 16:22)
na kumpenda Mungu kupita vitu vyote. (Mk 28:30).

WhatsAppTwitterLinkedInEmail
Maswali na Majibu kuhusu Malaika
Malaika wema kazi yao ni nini?
Mafundisho ya Katekisimu / Leave a Comment

Malaika wema kazi yao ni kutuombea, kutumwa na

Mungu kwetu, na wanatulinda kama Malaika wetu


Kwanza Mungu aliumba nini?
Walinzi. (Ebr 13:2)
Kwanza Mungu aliumba Malaika (Kol 1:16)

Kila Mwanadamu anaye Malaika wake wa


Malaika ni viumbe gani?
kumlinda?
Malaika ni viumbe vya Mungu vilivyo roho tu

wenye akili na utashi. (Zab 91:11, Ebr 1:7, Ufu Ndiyo, Kila Mwanadamu anaye Malaika wake wa

12:7-9) kumlinda ndiye Malaika Mlinzi. (Mt. 18:10)

Mungu aliumba Malaika katika hali gani? Malaika Walinzi wanatutendea nini?

Mungu aliumba Malaika katika hali njema na heri Malaika walinzi hutupenda, hutuongoza, na

kubwa. kutulinda roho na mwilini (Zab 90:11)

Malaika wote walidumu katika hali njema na Je Malaika wote ni sawa?

Hapana. Malaika wote sio sawa, maana kuna;


ya heri?

1. Malaika wakuu
Siyo, Malaika wengine walikosa kwa kumkaidi
2. Malaika wanaomtumikia Mungu Mbinguni yaani
Mungu, Wakatupwa Motoni.
Makerubi na Maserafi
Ndio Mashetani ambao Mkubwa wao ni Lusiferi. 3. Malaika Walinzi
(Yoh 8:44, Uf 12:7-9)
161

“Kulikuwa na vita mbinguni: Mikaeli na malaika


Malaika wakuu wako watatu ambao ni?
zake wakapigana na yule joka, yule joka naye

Malaika wakuu wako watatu: Mikaeli, Raphaeli na akapigana nao pamoja na malaika zake; nao

Gabrieli (Dn 10:13, Tobiti 12:15, Lk 1:26) hawakushinda, wala mahali pao hapakuonekana

tena mbinguni” (Ufu 12:7-8).

Chaguo letu binadamu linafanyika siku kwa siku

kwa kuchukua misimamo mizuri au mipotovu

Makao ya shetani ni wapi na anatamani nini? kuhusu dini na maadili.

1. Mashetani kazi yao ni kuteswa Motoni “Mwayachunguza Maandiko, kwa sababu mnadhani

2. Hutaka kutudhuru roho na mwili na kutupoteza kwamba ninyi mna uzima wa milele ndani yake; na

milele (1 Petro 5:8, Yoh 8:44) hayo ndiyo yanayonishuhudia. Wala hamtaki kuja

kwangu mpate kuwa na uzima” (Yoh 5:39-40).

Kisha kuumba Malaika Mungu aliumba nini?


Malaika wakoje?

Kisha kuumba Malaika Mungu aliumba Mbingu na


Malaika ni roho tupu walioumbwa na Mungu ili
dunia, na viumbe vingine vingi vyenye kuonekana
wamtukuze milele, wamlinde kila mtu na
mimea na watu. (Mwanzo 1;31)
kumtumikia Bwana Yesu katika kutuokoa.

“Angalieni, msidharau mmojawapo wadogo hawa,

kwa maana nawaambia ya kwamba malaika zao

mbinguni sikuzote huutazama uso wa Baba yangu


Viumbe vyenye hiari ni vipi?
aliye mbinguni” (Math 18:10).
Malaika na watu ndio viumbe pekee vyenye hiari

ya kuchagua wenyewe wachangie mpango wa

Mungu au la.

Je, toka mwanzo sisi watu tunaasi mpango


“Nazishuhudiza mbingu na nchi juu yenu hivi leo,

kuwa nimekuwekea mbele yako uzima na mauti, wa Mungu peke yetu?


baraka na laana; basi, chagua uzima, ili uwe hai,
Hapana, toka mwanzo sisi watu tunaasi mpango
wewe na uzao wako; kumpenda Bwana, Mungu
wa Mungu kwa kuvutwa na mashetani, yaani
wako, kuitii sauti yake, na kushikamana naye;
malaika waliokataa moja kwa moja kumtumikia;
kwani hiyo ndiyo uzima wako” (Kumb 30:19-20).
baada ya dhambi ya asili hao wanatutumia sisi pia

tuangushane na wenzetu.

Lakini Mungu aliwahi kumuambia Shetani:


Malaika na watu wanaweza kuchagua hata
“Nitaweka uadui kati yako na huyo mwanamke, na
nini? kati ya uzao wako, na uzao wake; huo utakuponda

kichwa, na wewe utamponda kisigino” (Mwa 3:15).


Malaika na watu wanaweza kuchagua hata wawe

wema au wabaya milele.


162

“Hata ulipowadia utimilifu wa wakati, Mungu wangu ulio kwa ajili yenu; fanyeni hivi kwa

alimtuma Mwanawe ambaye amezaliwa na kunikumbuka.” 25Vivyo hivyo, baada ya kula,

mwanamke” (Gal 4:4). akatwaa kikombe cha divai, akasema: “Hiki ni

WhatsAppTwitterLinkedInEmail kikombe cha agano jipya linalothibitishwa kwa


Mambo ya Msingi unayopaswa kufahamu kuhusu Ekaristi damu yangu. Fanyeni hivi, kila mnapokunywa, kwa
Mafundisho ya Katekisimu / 1 Comment
kunikumbuka.”
Sakramenti inayokamilisha ubatizo na
26Maana kila mnapokula mkate huu na kukinywa
kipaimara ni ipi?
kikombe hiki, mwatangaza kifo cha Bwana, mpaka

Sakramenti inayokamilisha ubatizo na kipaimara ni atakapokuja. 27Kwa hiyo, kila aulaye mkate huo

ekaristi, iliyo kuu kuliko sakramenti zote kwa au kunywa kikombe cha Bwana bila kustahili,

sababu ndiyo Yesu mzima, Mungu-mtu, katika atakuwa na hatia dhidi ya mwili na damu ya

maumbo ya mkate na divai. Bwana. (1Kor 11:23-27).

Sisi ambao tulishiriki kifumbo kifo na ufufuko wake


Yesu alituambia nini kuhusu Mwili wake na
tukapokea kwake paji la Roho Mtakatifu,
damu yake?
tunaalikwa kukaribia mara kwa mara meza

anapotulisha na kutunywesha Mwili na Damu yake


Yesu alituambia hivi;
ili tushiriki uhai wake kwa dhati zaidi na zaidi.

“Aulaye mwili wangu na kuinywa damu yangu “Baba zenu walikula mana jangwani, lakini wakafa.
hukaa ndani yangu, nami hukaa ndani yake. Kama 50Lakini hapa kuna mkate utokao mbinguni,
vile Baba aliye hai alivyonituma mimi, nami ni hai ambao mtu ye yote akiula, hatakufa. 51Mimi ni
kwa Baba; kadhalika naye mwenye kunila atakuwa mkate wa uzima ule uliotoka mbinguni. Mtu ye
hai kwa mimi” (Yoh 6:56-57). yote akiula mkate huu, ataishi milele. Mkate huu ni

Ubatizo na kipaimara havirudiwi, vinadumu ndani mwili wangu, ambao nitautoa kwa ajili ya uzima

mwetu kama mifupa ambayo ekaristi ya mara kwa wa ulimwengu.‟‟ 52Ndipo Wayahudi wakaanza

mara inazidi kuitia mwili na damu. kuhojiana vikali wao kwa wao wakisema, “Mtu

huyu awezaje kutupatia mwili wake tuule?‟‟

53Hivyo Yesu akawaambia, “Amin, amin,

nawaambia, msipoula mwili wa Mwana wa Adamu


Ekaristi maana yake nini? Je ni kweli Yesu
na kuinywa damu Yake, hamna uzima ndani yenu.
yupo katika Maumbo ya Mkate na Divai?
54Mtu ye yote aulaye mwili wangu na kunywa

damu yangu, anao uzima wa milele. Nami


Ekaristi maana yake ni shukrani, iliyokuwa
nitamfufua siku ya mwisho. 55Kwa maana mwili
msimamo wa msingi wa Yesu kwa Baba maisha
wangu ni chakula cha kweli na damu yangu ni
yake yote, hasa alipofikia wakati wa kutolewa awe
kinywaji cha kweli. 56Ye yote alaye mwili wangu
kafara ya wokovu wetu.
na kunywa damu yangu, atakaa ndani yangu nami

nitakaa ndani yake. 57Kama vile Baba aliye hai


23Maana mimi nilipokea kwa Bwana yale maagizo
alivyonituma Mimi, na kama nami ninavyoishi kwa
niliyowaachieni: Kwamba, usiku ule Bwana Yesu
sababu ya Baba, hivyo anilaye mimi ataishi kwa
alipotolewa, alitwaa mkate, 24akamshukuru
sababu yangu. 58Huu ndio mkate ushukao kutoka
Mungu, akaumega, akasema: “Huu ndio mwili
mbinguni, si kama ule mkate baba zenu waliokula
163

nao wakafa. Lakini yeye aulaye mkate huu ataishi Mitume walitii Fundisho la Ekaristi na

milele.‟‟ (Yoh 6:49-58) waliliishi?

Damu na Mwili aliotupa Yesu ni nini? Ekaristi Ndiyo, Kila walipokutana Walishiriki Meza ya

ni nini hasa? Bwana Kama tunavyosoma Kwenye vifungu

vifuatavyo;.

Maana ya Damu na Mwili aliyoisemea Yesu

tunaipata hapa; 46Siku zote kwa moyo mmoja walikutana ndani ya

ukumbi wa hekalu, wakimega mkate nyumba kwa

“Walipokuwa wakila, Yesu akachukua mkate, nyumba, wakila chakula chao kwa furaha na moyo

akashukuru, akaumega na kuwapa wanafunzi mweupe, (Mdo 2:46).

Wake akisema, “Kuleni, huu ndio mwili

Wangu.’’ 23Kisha akachukua kikombe, 7Siku ya kwanza ya juma tulikutana pamoja kwa

akashukuru, akawapa wanafunzi Wake, wote ajili ya kumega mkate. (Mdo 20:7)

wakanywa kutoka humo. 24Akawaambia, “Hii

ndiyo damu yangu ya agano, imwagikayo kwa ajili Je mkate na divai vilichukuliwa na Mitume
ya wengi. 25Amin nawaambia, sitakunywa tena kama nini hasa? walichukulia Ekaristi kama
uzao wa mzabibu mpaka siku ile nitakapokunywa nini?

mpya katika Ufalme wa Mungu.‟‟ 26Walipokwisha

kuimba wimbo, wakatoka wakaenda kwenye Mlima Mitume walichukua Mkate na divai kama mwili na
wa Mizeituni. (Marko 14:22-26). damu ya Yesu Kristu na walishiriki kiaminifu na

kwa usafi wa moyo.


Kwa hiyo Yesu alionyesha upi ni mwili wake na

damu yake 16Je, kikombe cha Baraka ambacho tunakibariki, si

ushirika katika damu ya Kristo? Mkate tuumegao,


Fundisho hili la mwili na damu ya Yesu si ushirika wa mwili wa Kristo? 17(Kwa kuwa

(Ekaristi) lilikua Agizo tunalopaswa kulitii mkate ni mmoja, sisi tulio wengi tu mwili mmoja,

mpaka leo? kwa kuwa wote twashiriki mkate mmoja) (1

Wakorinto 10:16)

Ndiyo, Yesu alisema tufanye hivyo kwa ukumbusho

wake 27Kwa hiyo, mtu ye yote alaye mkate huo au

kukinywea kikombe hicho cha Bwana isivyostahili,

“Kisha akachukua mkate, akashukuru, akaumega, atakuwa na hatia ya dhambi juu ya mwili na damu

akawapa akisema, “Huu ni mwili Wangu ya Bwana. 28Inampasa mtu ajichunguze

unaotolewa kwa ajili yenu, fanyeni hivi kwa mwenyewe, kabla ya kula mkate na kukinywea

ukumbusho Wangu.” (Luka 22: 19). kikombe. 29Kwa maana mtu ye yote alaye na

kunywa pasipo kuutambua mwili wa Bwana,

Kwa hiyo aliwaagiza Mitume wafanye hivyo pia. anajiletea hukumu juu yake mwenyewe. 30Hii

ndiyo sababu wengi miongoni mwenu ni wagonjwa

na dhaifu na wengine wenu hata wamekufa.


164

31Lakini kama tungejipambanua wenyewe 60Wengi wa wafuasi Wake waliposikia jambo hili

tusingehukumiwa. 32Tunapohukumiwa na Bwana, wakasema, “Mafundisho haya ni magumu. Ni nani

tunaadabishwa ili tusije tukahukumiwa pamoja na awezaye kuyapokea?‟‟ (Yohana 6:60).

ulimwengu. (1Wakorinto 11:27-32)

Haishangazi hata leo weni hawaamini mafundisho

21Hamwezi kunywa katika kikombe cha Bwana na haya japokua ndio msingi wa Imani ya Kikristo.

cha mashetani pia. Hamwezi kuwa na sehemu

katika meza ya Bwana na katika meza ya Mitume walifundisha nini kuhusu Mwili na

mashetani. 22Je, tunataka kuamsha wivu wa Damu ya Kristu (Ekaristi)?


Bwana? Je, sisi tuna nguvu kuliko Yeye? (1

Wakorinto 10:21-22) 23Kwa maana mimi nilipokea kutoka kwa Bwana

yale niliyowapa ninyi, kwamba Bwana Yesu, usiku


Je ni lazima Kwa Mkristu kupokea Mwili na ule alipotolewa, alitwaa mkate, 24naye akiisha

damu ya Yesu (Ekaristi)? kushukuru, akaumega, akasema “Huu ndio mwili

Wangu, ambao ni kwa ajili yenu. Fanyeni hivi kwa

Yesu alisema hivi; ukumbusho Wangu.” 25Vivi hivi baada ya kula,

akakitwaa kikombe, akisema, “Kikombe hiki ni

53Hivyo Yesu akawaambia, “Amin, amin, agano jipya katika damu Yangu. Fanyeni hivi kila

nawaambia, msipoula mwili wa Mwana wa Adamu mnywapo kwa ukumbusho Wangu.” 26Maana kila

na kuinywa damu Yake, hamna uzima ndani yenu. mlapo mkate huu na kunywea kikombe hiki,

54Mtu ye yote aulaye mwili wangu na kunywa mnatangaza mauti ya Bwana mpaka ajapo. 27Kwa

damu yangu, anao uzima wa milele. Nami hiyo, mtu ye yote alaye mkate huo au kukinywea

nitamfufua siku ya mwisho. 55Kwa maana mwili kikombe hicho cha Bwana isivyostahili, atakuwa na

wangu ni chakula cha kweli na damu yangu ni hatia ya dhambi juu ya mwili na damu ya Bwana.

kinywaji cha kweli. 56Ye yote alaye mwili wangu 28Inampasa mtu ajichunguze mwenyewe, kabla ya

na kunywa damu yangu, atakaa ndani yangu nami kula mkate na kukinywea kikombe. 29Kwa maana

nitakaa ndani yake. (Yohana 6:53–56) mtu ye yote alaye na kunywa pasipo kuutambua

mwili wa Bwana, anajiletea hukumu juu yake

Je ni kwa nini madhehebu mengine mwenyewe. 30Hii ndiyo sababu wengi miongoni

hawakubali mafundisho haya ya Ekaristi mwenu ni wagonjwa na dhaifu na wengine wenu

Takatifu, Je ni mara ya kwanza watu hata wamekufa. (1 Wakorinto 11:23-30)

kukataa?
Kwa hiyo Mitume waliwaasa Wakristu wa kwanza

Hii ni sababu ya ugumu wa mioyo na kutokuelewa Kushiriki Mwili na Damu ya Yesu kila mara na kwa

maandiko ndio maana madhehebu mengine Uaminifu.

wanaukataa kwa dhati Mwili na Damu ya Yesu.

Hata wakati Yesu akiyasema maneno haya Wafuasi Je Yesu Yupo Mzima katika Ekaristi Takatifu?

Wengi Walimwacha kama Biblia inavyosema; Na kwa nini Tunaabudu Ekaristi?


165

Ndiyo. Ekaristi Takatifu inamuwakilisha Yesu kinywaji cha kweli. 56Ye yote alaye mwili wangu

Mwenyewe aliye Mungu na aliyeamua Mwenyewe na kunywa damu yangu, atakaa ndani yangu nami

kuwepo katika Maumbo ya Mkate na Divai. nitakaa ndani yake.

Ukisoma Yoh 6:51-57 inasema hivi; Wale Wanaopinga fundisho la Ekaristi wanafikiri

Yesu alivyosema Mimi ni Chakula Kutoka Mbinguni

51Mimi ni mkate wa uzima ule uliotoka mbinguni. hakumaanisha Mwili bali Maneno na Imani Kwake

Mtu ye yote akiula mkate huu, ataishi milele. lakini Tukisoma 51 Yesu alisema wazi kuwa Mwili

Mkate huu ni mwili wangu, ambao nitautoa kwa wake ndio Mkate wenyewe.

ajili ya uzima wa ulimwengu.‟‟ 52Ndipo Wayahudi

wakaanza kuhojiana vikali wao kwa wao 51Mimi ni mkate wa uzima ule uliotoka mbinguni.

wakisema, “Mtu huyu awezaje kutupatia mwili Mtu ye yote akiula mkate huu, ataishi

wake tuule?‟‟ 53Hivyo Yesu akawaambia, “Amin, milele. Mkate huu ni mwili wangu, ambao

amin, nawaambia, msipoula mwili wa Mwana wa nitautoa kwa ajili ya uzima wa ulimwengu.‟‟

Adamu na kuinywa damu Yake, hamna uzima

ndani yenu. 54Mtu ye yote aulaye mwili wangu na Mitume wa Yesu walielewa hivi fundisho hili ndio
kunywa damu yangu, anao uzima wa milele. Nami Maana walishiriki Meza ya Bwana kila walipokutana

nitamfufua siku ya mwisho. 55Kwa maana mwili na waliheshimu kama Mwili na Damu ya Kristo.

wangu ni chakula cha kweli na damu yangu ni

kinywaji cha kweli. 56Ye yote alaye mwili wangu 7Siku ya kwanza ya juma tulikutana pamoja kwa
na kunywa damu yangu, atakaa ndani yangu nami ajili ya kumega mkate. (Mdo 20:7)
nitakaa ndani yake. 57Kama vile Baba aliye hai

alivyonituma Mimi, na kama nami ninavyoishi kwa Ili kujua kuwa Mitume waliheshimu Mwili na Damu
sababu ya Baba, hivyo anilaye mimi ataishi kwa ya Yesu Biblia inatuambia hivi;
sababu yangu. (Yoh 6:51-57)

23Kwa maana mimi nilipokea kutoka kwa Bwana


Mstari wa 51 Yesu alisema wazi Mkate huo ni Mwili yale niliyowapa ninyi, kwamba Bwana Yesu, usiku
wake. ule alipotolewa, alitwaa mkate, 24naye akiisha

kushukuru, akaumega, akasema “Huu ndio mwili


Thamani na Uwepo wa Yesu Mwenyewe Wangu, ambao ni kwa ajili yenu. Fanyeni hivi kwa
unaonekana katika Mstari wa 53 na wa 56. ukumbusho Wangu.” 25Vivi hivi baada ya kula,
Kumbuka hapa amesema “Mimi nitakaa ndani akakitwaa kikombe, akisema, “Kikombe hiki ni
yake” Hakusema Mwili wangu utakaa ndani yake. agano jipya katika damu Yangu. Fanyeni hivi kila
Kwa maana nyingine ni kwamba Ekaristi ni Yesu mnywapo kwa ukumbusho Wangu.” 26Maana kila
Mzima na Sio Mwili tuu. mlapo mkate huu na kunywea kikombe hiki,

mnatangaza mauti ya Bwana mpaka ajapo. 27Kwa

54Mtu ye yote aulaye mwili wangu na kunywa hiyo, mtu ye yote alaye mkate huo au kukinywea

damu yangu, anao uzima wa milele. Nami kikombe hicho cha Bwana isivyostahili, atakuwa na

nitamfufua siku ya mwisho. 55Kwa maana mwili hatia ya dhambi juu ya mwili na damu ya Bwana.
wangu ni chakula cha kweli na damu yangu ni 28Inampasa mtu ajichunguze mwenyewe, kabla ya
166

kula mkate na kukinywea kikombe. 29Kwa maana akakaa kwetu; nasi tukauona utukufu wake,

mtu ye yote alaye na kunywa pasipo kuutambua utukufu kama wa Mwana pekee atokaye kwa Baba;

mwili wa Bwana, anajiletea hukumu juu yake amejaa neema na kweli. (Yoh 1:1-12)

mwenyewe. 30Hii ndiyo sababu wengi miongoni

mwenu ni wagonjwa na dhaifu na wengine wenu Kwa hiyo Neno huyo huyo Ndiye aliyetukomboa
hata wamekufa. (1 Wakorinto 11:23-30) kwa kuutoa mwili wake sadaka Msalabani na ndiye

Aliyetupa Mwili Wake na Damu yake ktk Ekaristi na

Kwa hiyo Mitume walisisitiza kuhusu Mwili na anaabudiwa kwa kuwa yupo katika mwili huo.

Damu ya Kristu kuwa ni Mtakatifu.

Kwa hiyo basi kama tunavyosoma katika Yoh 6:51; “Kisha akachukua mkate, akashukuru, akaumega,
na akawapa akisema, “Huu ni mwili Wangu

unaotolewa kwa ajili yenu, fanyeni hivi kwa

51Mimi ni mkate wa uzima ule uliotoka mbinguni. ukumbusho Wangu.” (Luka 22: 19).

Mtu ye yote akiula mkate huu, ataishi milele.

Mkate huu ni mwili wangu, ambao nitautoa kwa Kwa namna hii alitupa mwili wake.
ajili ya uzima wa ulimwengu.‟‟

Alisema fanyeni kwa ukumbusho wangu na Sio wa


Yesu alisema Mimi ni Mkate wa Uzima ambao mwili wangu.

alimaanisha upo katika Mwili wake. Mwili tuu

hauna uzima kama hauna Yesu ndani yake. Kwa Hivyo Ekaristi ni Yesu Mwenyewe aliye
sababu Mwili ni Mzima na Unaye Yesu ndani yake Mungu. Ndiyo sababu tunaabudu Ekaristi
ndiyo maana unaweza kuleta uzima kwa Wengine. Takatifu.

Tunaelewa kwamba Yesu alijitoa Msalabani Mwili

Wake na Damu yake na ndicho alichotupa ktk

Ekaristi. Na Mwili wake huo Ulikua umembeba yeye Yesu alitumia mkate na divai kwa sababu
aliye Mungu ndiyo maana tunaabudu Ekaristi alipo gani?
Yesu aliye Mungu.

Yesu alitumia mkate na divai kwa sababu vilikuwa


Kwa kuwa Yesu ni Mungu Kama tunavyosoma vya maana sana katika utamaduni wake na katika
katika Yoh 1:1-12 Agano la Kale.

1 Hapo mwanzo, kabla ya kuwapo kitu kingine cho Vilikuwa chakula cha kawaida na kinywaji cha
chote, aliku wapo Neno. Huyo Neno alikuwa karamu.
pamoja na Mungu, naye alikuwa Mungu. 2 Tangu

mwanzo Neno amekuwa na Mungu. 3 Vitu vyote


“Divai imfurahishe mtu moyo wake… na mkate
viliumbwa na yeye, wala hakuna cho chote
umburudishe mtu moyo wake” (Zab 104:15).
kilichoumbwa ambacho hakukiumba. 4 Uzima

ulikuwa ndani yake na uzima huo ndio ulikuwa


Vilitokana na chembe za ngano na matunda ya
nuru ya watu……..14 Naye Neno alifanyika mwili,
mzabibu ambavyo Yesu alijifananisha navyo.
167

“Amin, amin, nawaambia: Chembe ya ngano “Mimi ndimi chakula chenye uzima kilichoshuka

isipoanguka katika nchi, ikafa, hukaa hali iyo hiyo kutoka mbinguni; mtu akila chakula hiki, ataishi

peke yake; bali ikifa, hutoa mazao mengi” (Yoh milele. Na chakula nitakachotoa mimi ni mwili

12:24). wangu, kwa ajili ya uzima wa ulimwengu” (Yoh

6:51).

“Mimi ni mzabibu, ninyi ni matawi; akaaye ndani

yangu nami ndani yake, huyo huzaa sana; maana Kwa maana hiyo hiyo, Mitume nao walizungumzia

pasipo mimi ninyi hamwezi kufanya neno lolote” Mkate kuliko Divai.

(Yoh 15:5).

“Kwa kuwa mkate ni mmoja, sisi tulio wengi tu

Baada ya kulimwa, vilihitaji kusagwa au mwili mmoja; kwa maana sisi sote twapokea

kushinikizwa, matendo yanayodokeza tena mateso sehemu ya ule mkate mmoja” (1Kor 10:17).

yake pamoja na kazi ya binadamu. Pia wingi wa

chembe na wa zabibu zinazoungana ziwe mkate na Mkate ni mwili na Divai ni Damu. Unaposema mwili

divai unamaanisha umoja wa waamini ndani ya umeshahusisha na Damu tayari.


Kristo. Kwa hiyo ni lazima tutumie daima mkate na

divai, si vitu vingine. Anayekula umbo la mkate hapokei sehemu tu ya

Yesu, bali anampokea mzima, Mwili, Damu, Roho

Ikumbukwe pia “Melkizedeki mfalme wa Salemu na Umungu. Pamoja na hayo, daima ni lazima

alileta mkate na divai, naye alikuwa kuhani wa walau padri anywe umbo la divai.

Mungu aliye juu sana” (Mwa

14:18), “amefananishwa na Mwana wa Mungu” (Eb Hakuna nyama isiyokua na damu, damu hutoka
3:7). Alimtolea Mungu kama sadaka kwenye nyama na sio nyama kwenye damu. Ukila

nyama umekula na damu pia

Mara nyingi waamini wanapokea umbo la

mkate tu kwa lengo gani?, Kwa nini Je, divai (pombe) ni halali?
hatupokei mwili na damu, tunapokea mwili

tuu? Ndiyo, divai ni halali, mradi itumike kwa kiasi isije

ikaleta madhara.
Mara nyingi waamini wanapokea umbo la mkate tu

kwa lengo la kukwepa umwagaji wa Damu ya “Melkizedeki mfalme wa Salemu alileta mkate na
Kristo na kurahisisha ibada, hasa kama washiriki ni divai, naye alikuwa kuhani wa Mungu aliye juu
umati (hata milioni 4 katika misa moja). sana” (Mwa 14:18), “amefananishwa na Mwana wa

Mungu” (Eb 3:7).


Yesu mwenyewe alizungumzia mkate kuliko divai,

kwa sababu chakula ni muhimu kuliko kileo. “Bwana wa majeshi atawafanyia mataifa yote

karamu ya vitu vinono, karamu ya divai iliyokaa

juu ya urojorojo wake, karamu ya vinono vilivyojaa


168

mafuta, karamu ya divai iliyokaa juu ya urojorojo mara nne, safari ya mwisho alikamilisha miujiza

wake, iliyochujwa sana” (Isa 25:6). yake kwa kuigeuza iwe damu yake. “„Nimetamani

sana kuila Pasaka hii pamoja nanyi kabla ya

“Njoo, ule mkate wangu, ukanywe divai kuteswa kwangu; kwa maana nawaambia ya

niliyoichanganya” (Mith 9:5-6). kwamba siili tena hata itakapotimizwa katika

ufalme wa Mungu‟. Akapokea kikombe,

Yesu alishiriki karamu nyingi na katika mojawapo akashukuru, akasema, „Twaeni hiki, mgawanywe

ndipo alipoanza miujiza yake kwa kugeuza mapipa ninyi kwa ninyi; maana nawaambia ya kwamba

ya maji kuwa divai bora. tangu sasa sinywi mazao ya mzabibu hata ufalme

wa Mungu utakapokuja‟. Akatwaa mkate,

“Kila mtu kwanza huandaa divai iliyo njema; hata akashukuru, akaumega, akawapa, akisema, „Huu

watu wakiisha kunywa sana ndipo huleta iliyo ndio mwili wangu unaotolewa kwa ajili yenu;

dhaifu; wewe umeiweka divai iliyo njema hata fanyeni hivi kwa ukumbusho wangu‟. Kikombe

sasa” (Yoh 2:10). nacho vivyo hivyo baada ya kula, akisema,

„Kikombe hiki ni agano jipya katika damu yangu,

inayomwagika kwa ajili yenu‟” (Lk 22:15- 20).


Tujihadhari na hoja za kibinadamu zinazoelekea
“Kikombe kile cha baraka tukibarikicho, je, si
kumlaumu kwa ajili hiyo, kama wengine
ushirika wa damu ya Kristo?” (1Kor 10:16).
walivyofanya zamani zake:

“Mwana wa Adamu amekuja, anakula na kunywa,

nanyi mwasema, „Tazama, mlafi huyu, na mnywaji

wa divai, rafiki wao watoza ushuru na wenye Katika karamu ya Bwana tunakula na kunywa

dhambi” (Lk 7:34). nini?

Katika karamu ya Bwana tunakula na kunywa Mwili

wa Damu ya Kristo. Katika sala kuu ya ekaristi

padri anaporudia maneno ya Yesu juu ya mkate na


Hatimaye Yesu alitumia divai kufanyia nini?
divai, Roho Mtakatifu anavigeuza kwa dhati: mkate

si tena mkate, wala divai si tena divai, ingawa


Kama alivyofanya Melkizedeck anayefananishwa na
maumbo yanabaki yaleyale kwa hisi zetu.
Yesu. “Melkizedeki mfalme wa Salemu alileta

mkate na divai, naye alikuwa kuhani wa Mungu


“Aulaye mwili wangu na kuinywa damu yangu anao
aliye juu sana” (Mwa 14:18), “amefananishwa na
uzima wa milele; nami nitamfufua siku ya mwisho.
Mwana wa Mungu” (Eb 3:7). Alimtolea Mungu
Kwa maana mwili wangu ni chakula cha kweli, na
kama sadaka
damu yangu ni kinywaji cha kweli” (Yoh 6:54-55).

Hatimaye Yesu alitumia divai kutuachia ishara ya


“Basi kila aulaye mkate huo, au kukinywea
damu yake tuweze kushiriki mateso yake. “Je,
kikombe hicho cha Bwana isivyostahili, atakuwa
mwaweza kunywea kikombe nitakachonywea
amejipatia hatia ya mwili na damu ya Bwana”
mimi?” (Math 20:22). Kisha kushiriki kila mwaka
(1Kor 11:27).
karamu ya Pasaka, ambapo wote walikunywa divai
169

“Waangalieni hao Waisraeli walivyokuwa kwa jinsi

ya mwili; wale wazilao dhabihu, je, hawana shirika

Baada ya mageuzo Yesu anabaki katika na madhabahu? Basi niseme nini? Ya kwamba kile

ekaristi mpaka lini? kilichotolewa sadaka kwa sanamu ni kitu? Au ya

kwamba sanamu ni kitu? Sivyo, lakini vitu vile

Baada ya mageuzo Yesu anabaki katika ekaristi wavitoavyo sadaka wavitoa kwa mashetani, wala si

moja kwa moja. Maumbo ya mkate na divai kwa Mungu; nami sipendi ninyi kushirikiana na

yanazidi kudokeza uwepo wake kama chakula na mashetani. Hamwezi kunywea kikombe cha Bwana

kinywaji chetu, hata kwa faida ya wagonjwa na na kikombe cha mashetani. Hamwezi kushirikiana

wengineo wasiohudhuria. katika meza ya Bwana na katika meza ya

Ndiyo sababu tunazidi kumuabudu katika ekaristi, mashetani” (1Kor 10:18-21).

ingawa hatumuoni.

“Tomaso alijibu, akamwambia, „Bwana wangu na

Mungu wangu!‟ Yesu akamwambia, „Wewe, kwa Kwa nini ekaristi inaitwa sakramenti ya

kuwa umeniona, umesadiki; wa heri wale upendo?

wasioona, wakasadiki” (Yoh 20:28-29).

Ekaristi inaitwa sakramenti ya upendo kwa sababu

kila tunapofanya ukumbusho wa sadaka hiyo

pekee tunazidi kujifunza na kupokea upendo

Je, ekaristi ni kafara (sadaka)? ambao siku hiyo Yesu “ali amewapenda watu wake

katika ulimwengu, aliwapenda upeo” (Yoh 13:1).

Ndiyo, ekaristi ni kafara ambayo Yesu alimtolea

Baba msalabani na anaendelea kumtolea kwa Hivyo tunawezeshwa kutekeleza amri mpya

wokovu wetu. aliyotuachia pamoja na ekaristi.

“Yeye, kwa kuwa akaa milele, anao ukuhani wake “Amri mpya nawapa: Mpendane. Kama vile

usioondoka. Naye, kwa sababu hii, aweza nilivyowapenda ninyi, nanyi mpendane vivyo

kuwaokoa kabisa wao wamjiao Mungu kwa yeye; hivyo” (Yoh 13:34).

maana yu hai sikuzote ili awaombee… Kila kuhani

mkuu huwekwa ili atoe vipawa na dhabihu; kwa Ni sharti tujitoe kama Yesu, tukijiunga na sadaka

hiyo lazima huyu naye awe na kitu cha kutoa” (Eb yake katika ibada na katika maisha.

7:24-25; 8:3).

“Katika hili tumelifahamu pendo: kwa kuwa yeye

Katika ekaristi tunajiunga naye kwa kufanya aliutoa uhai wake kwa ajili yetu; imetupasa na sisi

ukumbusho wa kifo na ufufuko wake, tukimtolea kuutoa uhai wetu kwa ajili ya hao ndugu. Lakini

tena Baba sadaka ya Mwili na Damu yake mtu akiwa na riziki ya dunia, kisha akamwona

iliyolinganishwa na zile za Waisraeli na za ndugu yake ni mhitaji, akamzuilia huruma yake,

Wapagani: je, upendo wa Mungu wakaaje ndani yake huyo?


170

Watoto wadogo, tusipende kwa neno, wala kwa Sakramenti ya Ekaristi ni nini?

ulimi, bali kwa tendo na kweli” (1Yoh 3:16-18).

Sakramenti ya Ekaristi ni Sakramenti ya Mwili na

Damu ya Yesu Kristo, aliye kweli katika Maumbo

ya Mkate na Divai. (Yoh 6:1-17, Mt 26:26-28)

Ekaristi inaadhimishwa kwa mpangilio gani?

Ekaristi inaadhimishwa kwa mpangilio wa

kupanda: tunalishwa Neno la Mungu katika Yesu Kristo alianzisha lini Sakramenti ya

mimbari, halafu Mwili na Damu ya Kristo katika Ekaristi?

altare. Vilevile sehemu ya kwanza (liturujia ya

Neno) inatuletea masomo yakiwa na kilele katika Yesu Kristo alianzisha Sakramenti ya Ekaristi
Injili. Halafu katika sehemu ya pili (liturujia ya Takatifu jioni ya Alhamisi kuu yaani usiku ule kabla

ekaristi) padri anafuata alichofanya Yesu katika ya kukutwaliwa kwenye mateso na msalaba.
karamu ya mwisho: anatwaa mkate na divai

(kuandaa dhabihu zetu), anashukuru juu yake 14 Saa ilipotimia, Yesu akakaa kula chakula
(sala kuu ya ekaristi inayogeuza dhabihu) na pamoja na mitume wake. 15 Akawaambia,
kuwapa waamini (komunyo, kilele cha yote, “Nimetamani sana kula Pasaka hii pamoja nanyi
inayotugeuza ndani ya Kristo). kabla ya kuteswa kwangu. 16 Maana nawaambieni,

sitaila tena hadi hapo itakapokamilika katika

Yesu mfufuka “aliwaeleza katika Maandiko yote ufalme wa Mungu.”

mambo yaliyomhusu yeye mwenyewe… Ikawa 17 Kisha akatwaa kikombe cha divai, akashukuru,
alipokuwa ameketi nao chakulani, alitwaa mkate, akasema, “Pokeeni, mgawane. 18Kwa maana

akaubariki, akaumega, akawapa. Yakafumbuliwa nawaambieni, sitakunywa tena divai ya zabibu


macho yao, wakamtambua” (Lk 24:27,30-31). mpaka ufalme wa Mungu utakapokuja.”

19 Halafu akatwaa mkate, akashukuru, akaumega,

“Wakawa wakidumu katika fundisho la mitume, na akawapa akisema, “Huu ni mwili wangu

katika ushirika, na katika kuumega mkate, na unaotolewa kwa ajili yenu. Fanyeni hivi kwa

katika kusali” (Mdo 2:42). kunikumbuka.” 20 Akafanya vivyo hivyo na

kikombe cha divai baada ya chakula, akisema,

“Siku ya kwanza ya juma, tulipokuwa tumekutana “Kikombe hiki ni agano jipya linalothibitishwa kwa

ili kumega mkate, Paulo akawahutubu… akamega damu yangu inayomwagika kwa ajili yenu (Lk

mkate, akala” (Mdo 20:7,11). 22:14-20)

Tusipofuata vizuri hatua za awali, hatutafaidika Mitume nao walilipokea Agizo la Ekaristi na

kweli na sakramenti: ndiyo sababu ni muhimu kulifuata kwa Heshima huku wakiamini wanashiriki

tuwahi ibada. Mwili na Damu ya Yesu Kristu

23 Maana mimi nilipokea kwa Bwana yale maagizo

niliyowaachieni: Kwamba, usiku ule Bwana Yesu


171

alipotolewa, alitwaa mkate, 24 akamshukuru 1. Kwa kuwa hakuna kisichowezekana kwa Mungu

Mungu, akaumega, akasema: “Huu ndio mwili (Lk 1:37)

wangu ulio kwa ajili yenu; fanyeni hivi kwa 2. Kwa kuwa Yesu aliahidi kutupatia chakula

kunikumbuka.” 25 Vivyo hivyo, baada ya kula, kutoka Mbinguni yaani Mwili na Damu yake

akatwaa kikombe cha divai, akasema: “Hiki ni Takatifu. (Yoh 6:41)

kikombe cha agano jipya linalothibitishwa kwa 3. Kwa kuwa Yesu ni Mungu na akaita mkate ni

damu yangu. Fanyeni hivi, kila mnapokunywa, kwa mwili wake na divai ni damu yake basi lazima viwe

kunikumbuka.” 26 Maana kila mnapokula mkate hivyo. (Mt 26:26-27, Lk 22:14-20, Mk 14:22-26)

huu na kukinywa kikombe hiki, mwatangaza kifo 4. Kwa kuwa ni lazima anayetaka kuwa na uzima

cha Bwana, mpaka atakapokuja. 27 Kwa hiyo, kila wa milele aule, hata leo katika maneno ya Padri

aulaye mkate huo au kunywa kikombe cha Bwana Yesu huwa katika Maumbo hayo. (Yoh 6:53-56).

bila kustahili, atakuwa na hatia dhidi ya Mwili na

Damu ya Bwana. (1Kor 11:23-27)

Ni wakati gani katika Misa Mkate na Divai

vinageuka Mwili na Damu yake Kristo?

Yesu Kristo alianzishaje Ekaristi Takatifu?

Ni katikati ya Misa padri asemapo maneno

Yesu alitwaa mkate mikononi mwake, akashukuru, Matakatifu aliyosema Yesu mwenyewe: “HUU NDIO

akaumega, akawapa mitume wake akisema: MWILI WANGU; HII NDIO DAMU YANGU”

“TWAENI MLE WOTE: HUU NDIO MWILI WANGU

UTAKAOTOLEWA KWA AJILI YENU” 26 Walipokuwa wanakula, Yesu akatwaa mkate,

akamshukuru Mungu, akaumega, akawapa

Kisha akatwaa kikombe cha Divai mikononi mwake wanafunzi wake akisema, “Twaeni mle; huu ni

akawaambia: “TWAENI MNYWE WOTE HIKI NI mwili wangu.” 27 Kisha akatwaa kikombe cha

KIKOMBE CHA DAMU YANGU: DAMU YA AGANO divai, akashukuru, akawapa akisema, “Kunyweni

JIPYA NA LA MILELE ITAKAYOMWAGIKA KWA AJILI nyote; 28 maana hii ni damu yangu inayothibitisha

YENU NA KWA AJILI YA WENGI KWA MAONDOLEO agano, damu inayomwagwa kwa ajili ya watu

YA DHAMBI: FANYENI HIVI KWA UKUMBUSHO wengi ili kuwaondolea dhambi. 29 Nawaambieni,

WANGU” (Mt 26:26, 1Kor 11:23-35) sitakunywa tena divai ya zabibu mpaka siku ile

nitakapoinywa mpya pamoja nanyi katika ufalme

wa Baba yangu.”

30 Baada ya kuimba wimbo, wakaondoka,

Ni kwa nini ni Kweli Yesu Kristo yuko chini ya wakaenda katika mlima wa Mizeituni. (Mat 26:26-

maumbo ya Mkate na Divai? 30)

Nikweli Yesu Kristo yuko chini ya maumbo ya

Mkate na Divai kwa sababu

Je Sakramenti ya Ekaristi hujulikana kwa

majina yapi?
172

Majina haya; isiwe kilevi. Kwa hiyo hakukuwa na uwezekano wa

kupata juisi ya zabibu isipokua mvinyo wa zabibu

1. Ekaristi Takatifu wenye kilevi. Vile vile Wayahudi walikua na desturi

2. Karamu ya Bwana ya kutumia Mvinyo wa zabibu kama kinywaji cha

3. Misa Takatifu sikukuu ya pasaka.

4. Sakramenti Takatifu ya Altare Hakuna sehemu kwenye Bilia tunaambiwa kwamba

5. Komunyo Takatifu ulifanyika Muujiza wa Kufanya Divai isiwe kilevi.

6. Sadaka Takatifu Biblia inatuambia kuwa Mitume kila walipokutana

7. Kumega Mkate Walishiriki Meza ya Bwana. Haikutuambia

walishiriki meza ya Bwana tuu Kipindi cha

kukamua Zabibu.

Biblia inatuthibitishia kuwa Divai aliyotumia Yesu

Baada ya Mitume kufa ni nani wanafanya na Mitume ilikua na kilevi kwa kusema kuwa

Sakramenti ya Ekaristi wengine walikuwa wakilewa katika Meza ya Bwana

(Wakorinto 11:22).

Badaa ya Mitume kufa Maaskofu na Mapadri

wanaendelea kuadhimisha Sakramenti ya Ekaristi Biblia haituambii kuwa Yesu alitumia Divai isiyo na

Takatifu kilevi. Wala Yesu hakuwahi kuonya kuhusu

kutumia Divai yenye Kilevi. Yesu katika Umungu

wake angeweza kujua kuwa miaka ijayo Divai

ambayo ingetumika ingekuwa na Kilevi kwa hiyo

angeonya Matumizi yake.


Ni lini Yesu Kristo aliwapa Maaskofu na

Mapadri Uwezo wa kugeuza mkate na divai


Divai iliyotumiwa na Yesu na Mitume ilikua na
kuwa Mwili na Damu yake?
Kilevi ndio maana Mitume waliwaonya wakristo wa

kwanza juu ya ya kushiriki vibaya Meza ya Bwana


Yesu Kristo aliwapa Maaskofu na Mapadri Uwezo
mfano kulewa kama tunavyosoma kwenye mistari
wa kugeuza mkate na divai kuwa Mwili na Damu
ifuatayo.
yake alipowafanya Mitume kuwa Mapadri katika

karamu ya mwisho aliposema “FANYENI HIVI KWA


17Basi katika maagizo yafuatayo, siwezi kuwasifu,
UKUMBUSHO WANGU” (Lk 22:14-20)
kwa sababu mkutanikapo si kwa ajili ya faida bali

kwa hasara. 18Kwanza, mnapokutana kama

kanisa, nasikia kwamba kuna mgawanyiko

miongoni mwenu, nami kwa kiasi fulani nasadiki


Je, Divai iliyotumiwa na Yesu ilikua na Kilevi
kuwa ndivyo ilivyo. 19Bila shaka lazima pawe na
(pombe)?
tofauti miongoni mwenu ili kuonyesha ni nani

anayekubaliwa na Mungu. 20Mkutanikapo pamoja


Ndiyo, Divai aliyoitumia Yesu kuigeuza kuwa damu
si chakula cha Bwana mnachokula, 21kwa kuwa
yake ilikua na kilevi kwa sababu kwa kawaida
mnapokula, kila mmoja wenu anakula bila
kipindi cha Pasaka sio msimu wa kuvuna zabibu na
kuwangoja wengine, huyu hukaa njaa
hakukuwa na njia yoyote ya kufanya juisi yake
na mwingine analewa. 22Je, hamna nyumbani
173

kwenu ambako mnaweza kula na kunywa? Au Litrujia ya Ekaristi ina sehemu kuu tatu

mnalidharau kanisa la Mungu na kuwadhalilisha

wale wasio na kitu? Niwaambie nini? Je, niwasifu 1. Matayarisho ya vipaji

juu ya jambo hili? La, hasha! 23Kwa maana mimi 2. Sala ya Ekaristi
nilipokea kutoka kwa Bwana yale niliyowapa ninyi, 3. Ibada ya Komunyo
kwamba Bwana Yesu, usiku ule alipotolewa,

alitwaa mkate, 24naye akiisha kushukuru,

akaumega, akasema “Huu ndio mwili Wangu,

ambao ni kwa ajili yenu. Fanyeni hivi kwa Ni vitu gani vya msingi na vya lazima katika
ukumbusho Wangu.” 25Vivi hivi baada ya kula, kuadhimisha Ekaristi Takatifu?
akakitwaa kikombe, akisema, “Kikombe hiki ni

agano jipya katika damu Yangu. Fanyeni hivi kila


Vitu vya lazima katika kuadhimisha Ekaristi
mnywapo kwa ukumbusho Wangu.” 26Maana kila
Takatifu ni
mlapo mkate huu na kunywea kikombe hiki,

mnatangaza mauti ya Bwana mpaka ajapo. 27Kwa


1. Mkate wa Ngano
hiyo, mtu ye yote alaye mkate huo au kukinywea
2. Divai ya mzabibu
kikombe hicho cha Bwana isivyostahili, atakuwa na

hatia ya dhambi juu ya mwili na damu ya Bwana.

28Inampasa mtu ajichunguze mwenyewe, kabla ya

kula mkate na kukinywea kikombe. 29Kwa maana


Kabla ya Kupokea Ekaristi Takatifu Tunasali
mtu ye yote alaye na kunywa pasipo kuutambua
sala gani?
mwili wa Bwana, anajiletea hukumu juu yake

mwenyewe. 30Hii ndiyo sababu wengi miongoni


Tunasali “Ee Bwana sistahili uingie kwangu lakini
mwenu ni wagonjwa na dhaifu na wengine wenu
sema neno tu na roho yangu itapona”
hata wamekufa. 31Lakini kama tungejipambanua

wenyewe tusingehukumiwa. 32Tunapohukumiwa

na Bwana, tunaadabishwa ili tusije tukahukumiwa

pamoja na ulimwengu. 33Kwa hiyo, ndugu zangu,


Katika Ekaristi Takatifu Tunampokea nani?
mkutanikapo pamoja ili kula, mngojane. 34Kama

mtu akiwa na njaa, ale nyumbani kwake ili


Katika Ekaristi Takatifu Tunampokea Yesu Kristo
mkutanapo pamoja msije mkahukumiwa. Nami
Katika Maumbo ya Mkate na Divai na tunaungana
nitakapokuja nitawapa maelekezo zaidi.(Wakorinto
naye (Yoh 6:57)
11:17-29)

Kwa hiyo hata Mitume na Wakristu wa kwanza

walitumia divai yenye kilevi kwenye Meza ya

Bwana (Ekaristi) ndio maana kuna waliolewa. Mkristo awe katika hali gani kabla ya

kupokea Ekaristi Takatifu?

Litrujia ya Ekaristi ina sehemu kuu ngapi?


174

1. Awe na Neema ya Utakaso yaani asiwe na maana anayekula na kunywa bila kutambua maana

dhambi ya mauti. ya mwili wa Bwana, anakula na kunywa hukumu

2. Awe na Imani, Ibada na Kumtamani Yesu. yake yeye mwenyewe. 30 Ndiyo maana wengi kati

yenu ni dhaifu na wagonjwa, na wengine kadhaa

3. Afunge chakula Muda wa saa Moja na Kileo zaidi wamekufa. 31 Kama tungejichunguza wenyewe

ya masaa matatu. vizuri hatungeadhibiwa hivyo. 32Lakini

4. Awe safi kimwili. tunapohukumiwa na Bwana, tunafunzwa tuwe na

5. Awe na adabu na heshima. nidhamu, ili tusije tukahukumiwa pamoja na

ulimwengu. (1 Kor 11;28 – 32)

Komunyo Takatifu Hutuletea neema gani?


Je, Kanisa linahimiza waamini wapokee

1. Hulinda na kuongeza neema ya Utakaso iliyo Ekaristi wakati gani?

uzima wa roho zetu.

2. Hutuondolea dhambi ndogo na kupunguza hatari Kanisa linahimiza waamini wapokee Komunyo

ya kutenda dhambio kubwa. Takatifu kila siku wanaposhiriki Misa

3. Hututia bidii na nguvu ya kutenda mema kwa

kutuongezea Imani, Matumaini na Mapendo.

4. Huleta Umoja katika Kanisa, sio sisi na Kristo Nani Mhudumu wa adhimisho la Ekaristi

tuu bali sisi kwa sisi. Takatifu?

Mhudumu wa adhimisho la Ekaristi Takatifu ni

Askofu na Padre

Mkristo akipokea Ekaristi Takatifu akiwa na

dhambi rohoni anatenda dhambi gani?

Mkristo akipokea Ekaristi Takatifu akiwa na dhambi Je, Mkristo akipokea kipande cha Hostia

anatenda dhambi kubwa yaani kufuru Sakramenti. amempokea Yesu Mzima?

26 Maana kila mnapokula mkate huu na kukinywa Ndiyo, Amempokea Yesu Mzima kabisa, Hata

kikombe hiki, mwatangaza kifo cha Bwana, mpaka akipewa zaidi ya hostia moja amempokea Yesu

atakapokuja. 27 Kwa hiyo, kila aulaye mkate huo Mzima

au kunywa kikombe cha Bwana bila kustahili,

atakuwa na hatia dhidi ya mwili na damu ya

Bwana. (1 Kor 11;26 – 27)

Sakramenti ya Ekaristi Takatifu Huifadhiwa

28Basi, kila mtu ajichunguze mwenyewe kwanza, wapi?


ndipo ale mkate huo na anywe kikombe hicho; 29
175

Sakramenti ya Ekaristi Takatifu Huifadhiwa kwenye Komunyo pamba ndio Ekaristi inayopokelewa na

Tabernakulo wale wanaokaribia kuaga maisha ya duniani na

wanaojiandaa kuvukia uzima wa milele

WhatsAppTwitterLinkedInEmail
Tabernakulo ni nini?
Maswali na Majibu kuhusu Hukumu ya Mwisho
Mafundisho ya Katekisimu / Leave a Comment
Tabernakulo ni mahali Patakatifu anapokaa Yesu
Ufufuko wa wafu maana yake nini?
wa Ekaristi siku zote

Ufufuko wa wafu maana yake mwisho wa dunia

watu wote watafufuka na miili yao na kwenda nayo

katika furaha ya milele au moto wa milele. (Ayu

Sakramenti ya Ekaristi Takatifu hukaa 19:25-26, Mt 22:30-32, Yh 28-29)

Tabernakulo kwa sababu gani

Sakramenti ya Ekaristi Takatifu hukaa Tabernakulo


Baada ya kifo cha mtu nini hutokea?
kwa ajili ya watu wote hasa wagonjwa

Baada ya kifo roho yake inafika mbele ya Mungu

kwa hukumu ya mtu binafsi.

Ishara wazi ya Sakramenti ya Ekaristi

Takatifu ni nini?

Matokeo ya hukumu hiyo ni nini?


Ishara wazi ya Sakramenti ya Ekaristi Takatifu ni

maumbo ya mkate na divai, na maneneo ya


Matokeo ya Hukumu hiyo ni roho kwenda
mageuzo ya Yesu mwenyewe Padri akiyatamka.
Mbinguni, Toharani au Motoni. (Mt 25:34-46)

Baada ya kumpokea Yesu wa Ekaristi tufanye


Mbinguni ni mahali pa namna gani?
nini?

Mbinguni ni makao mema ya heri na furaha (2Kor


Baada ya kumpokea Yesu wa Ekaristi:
5:1, Ufu, 2:17).
Tumwabudu,tumshukuru, tumwombe kwani yeye

ni Mwenyezi. (Mt 2:11, Lk 17:11)


Waendao mbinguni ni wale wanaokufa katika hali

ya neema ya utakaso na urafiki na Mungu na

waliotakaswa kikamilifu

Komunyo pamba ndio nini?


176

Motoni ni nini?

Motoni ni makao mabaya kwa Shetani walaaniwa Je, ufufuko wa Yesu ni muhimu kwetu pia?

wakaapo mbali na Mungu wakiteswa milele. (Mt

25:41, Mik 9:42-43, 1Yoh 14:15) Ndiyo, ufufuko wa Yesu ni muhimu kwetu pia, kwa

sababu kwa njia yake tu tunatiwa uzima: sasa

rohoni kwa kuondolewa dhambi, na siku ya

mwisho mwilini pia kwa kufufuliwa.

Uzima wa milele ni nini?

Mwenyewe alisema, “Mimi ndimi huo ufufuo, na

Uzima wa milele ni maisha ya kukaa mbinguni na uzima. Yeye aniaminiye mimi ajapokufa, atakuwa

Mungu yasiyokua na mwisho. anaishi; naye kila aishiye na kuniamini hatakufa

kabisa hata milele” (Yoh 11:25- 26).

“Kristo amefufuka katika wafu, limbuko lao

Toharani ni mahali gani? waliolala. Maana kwa kuwa mauti ililetwa na mtu,

kadhalika na kiyama ya wafu ililetwa na mtu”

(1Kor 15:20-21).
Toharani ni mahali pa mateso zinakosafishwa roho

ambazo hazikutimiza kitubio vizuri baada ya

kuungama dhambi. (1Kor 3:15, 1Pet 1:7). “Alitolewa kwa ajili ya makosa yetu, na kufufuka ili

tupate kuhesabiwa haki” (Rom 4:25).

Je, hatuwezi kupunguza mateso ya roho za

marehemu waliokwenda toharani? Je, ni muhimu tujiandae kufa?

Ndiyo: twaweza kupunguza hata kuyamaliza kwa Ndiyo, ni muhimu tujiandae kufa wakati wowote na

kuwasalia na kuwapatia rehema na hasa kwa namna yoyote kwa kuishi kitakatifu sasa na kwa

kuadhimisha Misa kwa ajili yao. (2Mik 12:38-46) kujiombea neema tutakazohitaji saa ya kufa

kwetu, tukijua tumewekewa “kufa mara moja, na

baada ya kufa hukumu” (Eb 9:27).

“Katika mambo yako yote uukumbuke mwisho


Mambo makuu manne ya mwisho ni yapi?
wako, hivyo hutakosa kamwe hata hatima” (YbS

7:36).
Mambo hayo ni;

“Hamjui yatakayokuwako kesho! Uzima wenu ni


1. Kifo
nini? Maana ninyi ni mvuke uonekanao kwa
2. Hukumu
kitambo, kisha hutoweka” (Yak 4:14).
3. Jehanamu (Motoni)

4. Paradiso. (Toharani/Mbinguni)
177

“Kesheni, mwombe, msije mkaingia majaribuni” wakaishi, wakasimama kwa miguu yao, jeshi

(Math 26:41). kubwa mno” (Ez 37:10).

Je baada ya kufa ni hapo hapo roho inaenda

motoni au mbinguni, Au ni mpaka Siku ya

Je, ina thamani machoni pa Bwana mauti ya hukumu Yesu Atakaporudi?

mtu aliyemcha?
Ni siku ile ile Roho ya mtu aliyekufa inaenda

Ndiyo, “ina thamani machoni pa Bwana mauti ya Mbinguni, toharani au Motoni. Yesu alimwahidi yule

wacha Mungu wake” (Zab 116:15). mtu waliyesulubiwa pamoja kuwa watakuwa

peponi pamoja siku hiyo hiyo na sio siku ya

Hasa utiifu wa Yesu msalabani umegeuza laana ya hukumu.

kifo iwe baraka kwa waamini wake.


“Kisha akasema, “Ee Yesu! Unikumbuke wakati

“Heri wafu wafao katika Bwana tangu sasa. Naam, utakapoingia katika ufalme wako.” 43 Yesu

asema Roho, wapate kupumzika baada ya taabu akamwambia, “Nakwambia kwa hakika, leo

zao; kwa kuwa matendo yao yafuatana nao” (Ufu utakuwa pamoja nami peponi.” (Luka 23:42-

14:13). 43)

Sauli aliweza kuongea na Samweli hata baada ya

kufa na Samweli alimbashiria mambo

yatakayotokea kwa Sauli maanake ni kwamba


Tutakapofariki dunia itatutokea nini?
Japokuwa alikuwa amekufa bado anayomuungano

na Mungu ndio maana aliweza kumwambia Sauli


Tutakapofariki dunia roho yetu isiyokufa, mbali na
mambo yatakayompata,
mwili unaooza, itapewa tuzo au adhabu

tuliyostahili kwa maisha yetu. “Ikawa yule maskini


“7Basi Sauli akawaambia watumishi wake,
alikufa, akachukuliwa na malaika mpaka kifuani
“Nitafutieni mwanamke mwenye pepo wa utambuzi
kwa Ibrahimu. Yule tajiri naye akafa, akazikwa.
ili nimwendee nipate kuuliza kwake. Watumishi
Basi, kule kuzimu aliyainua macho yake, alipokuwa
wake wakamwambia, “Yuko mwanamke mmoja
katika mateso, akamwona Ibrahimu kwa mbali, na
huko Endori.” 8Hivyo Sauli akajigeuza kwa kuvaa
Lazaro kifuani mwake” (Lk 16:22-23). “Kwangu
mavazi mengine, naye usiku akiwa amefuatana na
mimi kuishi ni Kristo, na kufa ni faida…
watu wawili wakaenda kwa huyo mwanamke.
ninatamani kwenda zangu nikae na Kristo, maana
Akamwambia, “Nibashirie na unipandishie huyo
ni vizuri zaidi sana” (Fil 1:21,23). “Nasi tunaona ni
nitakayekutajia,” 9Huyo mwanamke akamwambia,
afadhali kutokuwamo katika mwili na kukaa
“Wewe unajua lile alilofanya mfalme Sauli.
pamoja na Bwana” (2Kor 5:8). Kwa kuwa kifo ni
Amewakatilia mbali wapunga pepo, wapiga ramli
“mavumbi kuirudia nchi kama yalivyokuwa, nayo
wote na wachawi katika nchi. Mbona umenitegea
roho kumrudia Mungu aliyeitoa” (Mhu 12:7). Siku
maisha yangu ili wapate kuniua?” 10Sauli
ya ufufuo roho na mwili vitaungana tena kwa ajili
akamwapia huyo mwananmke kwa Jina la BWANA,
ya uzima au moto wa milele. “Pumzi iliwaingia,
178

akasema, “Kwa hakika kama BWANA aishivyo, alikuwa akiletwa mlangoni kwa huyo tajiri kila siku.

hutaadhibiwa kwa ajili ya jambo hili.” 11Ndipo yule 21 Lazaro alikuwa akitamani kula makombo

mwanamke akauliza, “Je unataka nikupandishie yaliyodondoka mezani kwa tajiri. Hata mbwa

nani? Sauli akasema, “Nipandishie Samweli.” walikuwa wakiramba vidonda vyake. 22

12Yule mwanamke alipomwona Samweli alipiga “Hatimaye, yule maskini alikufa. Malaika

yowe kwa sauti kuu, naye akamwuliza Sauli, wakamchukua akakae pamoja na Ibrahimu

“Mbona umenidanganya? Wewe ndiwe Sauli.” mbinguni. Yule tajiri naye pia akafa, akazikwa. 23

13Mfalme akamwambia, “Usiogope. Unaona nini? Alipokuwa kuzimuni ambapo alikuwa akiteseka,

Yule mwanamke akasema, “Naona Mungu alita zama juu, akamwona Ibrahimu kwa mbali na

anapanda kutoka ardhini.” 14Sauli akamwuliza, “Ni Lazaro karibu yake. 24 Akaita, „Baba Ibrahimu,

mfano wa nini?” Yule mwanamke akasema, “Ni nionee huruma umtume Lazaro achovye japo ncha

mwanaume mzee amevaa joho anayepanda.” ya kidole chake katika maji aupoze ulimi wangu

Ndipo Sauli akatambua kwamba ni Samweli. Sauli maana ninateseka kwenye moto huu.‟ 25 Lakini

akasujudu kifudifudi uso wake hadi ardhini. Ibrahimu akamjibu, „Mwa nangu, kumbuka

15Samweli akamwuliza Sauli, Kwa nini kwamba ulipokuwa hai ulipata kila kitu kizuri uli

unanitaabisha, kunipandisha juu?” Sauli akasema, chotaka, ambapo Lazaro alipokea mabaya. Lakini

“Mimi ninasumbuka sana, kwa maana Wafilisti sasa anafarijika hapa na wewe unateseka. 26

wanapigana vita dhidi yangu, naye Mungu Isitoshe, kati yetu na ninyi huko, kumewekwa

ameniacha. Hanijibu tena wala kwa njia ya manabii bonde kubwa lisilopitika ili wale wanaotaka kutoka

wala kwa ndoto. Kwa hiyo nimekuita wewe ili huku kuja huko au kutoka huko kuja huku

unijulishe lakufanya.” 16Samweli akamwuliza, wasiweze.‟ 27 Akasema, „Basi, baba, tafadhali

“Kwa nini uniulize mimi, maadam BWANA umtume Lazaro aende nyumbani kwa baba yangu,

amekuacha na kuwa adui yako? 17BWANA 28 awaonye ndugu zangu, wasije wao pia

ametenda lile alilotangulia kusema kwa kupitia wakaletwa mahali hapa pa mateso watakapokufa.‟

kwangu. BWANA ameurarua ufalme kutoka 29 Ibrahimu akamjibu, „Ndugu zako wanazo sheria

mikononi mwako, naye amempa mmoja wa jirani za Musa na maandiko ya Manabii. Itawapasa watii

zako, yaani, Daudi. 18Kwa sababu wewe hukumtii hayo.‟ Lakini yule tajiri akazidi kumsihi, 30 „Hapana

BWANA, wala hukumtimizia ghadhabu yake kali baba Ibrahimu, ndugu zangu hawatashawishiwa na

juu ya Waamaleki, BWANA amekutendea mambo hayo. Lakini mtu kutoka kuzimu akitumwa kwao

haya leo. 19Zaidi ya hayo, BWANA atawatia Israeli watatubu na kuziacha dhambi zao.‟ 31 “Ibrahimu

pamoja na wewe mkononi mwa Wafilisti na kesho akamwambia, „Wasiposikiliza na kutii sheria za

wewe na wanao mtakuwa pamoja nami. BWANA Musa na Maandiko ya manabii, hawatashawishika

pia atalitia jeshi la Israeli mkononi mwa Wafilisti. kutubu hata kama mtu akifufuka kutoka kuzimu.”‟

(Luka 16:19-31)

Mfano Wa Tajiri Na Maskini Lazaro Yesu alisimulia

hivi Wakati Yesu anabadilika Sura walitokea Musa na

Eliya.

19 Akasema, “Palikuwa na tajiri mmoja aliyevaa

nguo za rangi ya zambarau na kitani safi, nguo za “Baada ya siku sita, Yesu aliwachukua Petro,

gharama kubwa, kila siku. 20 Na maskini mmoja, Yakobo na Yohane nduguye, akaenda nao peke

jina lake Lazaro, mwenye vidonda mwili mzima, yao juu ya mlima mrefu. 2 Huko, wakiwa
179

wanamtazama, akageuka sura, uso wake ukang‟aa mkono wa kuume wa Mungu. 56Akasema,

kama jua na mavazi yake yakawa meupe kama “Tazameni! Naona mbingu zimefunguka na Mwana

nuru. 3 Mose na Eliya wakawatokea, wakawa wa Adamu amesimama upande wa kuume wa

wanazungumza naye. 4 Hapo Petro akamwambia Mungu.‟‟ 57Lakini wao wakapiga kelele kwa sauti

Yesu, “Bwana, ni vizuri sana kwamba tupo hapa! kubwa, wakaziba masikio yao, wakamrukia kwa

Ukipenda nitajenga vibanda vitatu: kimoja chako, nia moja. 58Wakamtupa nje ya mji, wakampiga

kimoja cha Mose na kimoja cha Eliya.” (Mathayo kwa mawe. Nao mashahidi wakaweka nguo zao

17:1-5) miguuni mwa kijana mmoja aitwae Sauli.

59Walipokuwa wakimpiga mawe, Stefano

Yesu alituambia kuwa Mungu sio wa wafu bali wa aliomba, “Bwana Yesu, pokea roho

walio hai ndio maana akaitwa Mungu wa Ibrahimu, yangu” 60Kisha akapiga magoti, akalia kwa sauti

Isaka na Yakobo kwa kuwa Wote wako hai kwake. kubwa akasema, “Bwana usiwahesabie dhambi

hii.‟‟ Baada ya kusema haya, akalala. (Mdo 7:55-

37Hata Mose alidhihirisha kuwa wafu wanafufuka, 60)

kwa habari ya kile kichaka kilichokuwa kikiwaka

moto bila keteketea, alipomwita Bwana „Mungu wa Kwenye Ufunuo tunasoma (Ufunuo 6:9-10) “Na

Abrahamu, Mungu wa Isaki na Mungu wa alipoifungua muhuri ya tano, nikaona chini ya

Yakobo.‟ 38Yeye Mungu si Mungu wa wafu bali madhabahu roho zao waliochinjwa kwa ajili ya

wa walio hai, kwa kuwa Kwake wote ni neno la Mungu, na kwa ajili ya ushuhuda

hai.” (Luka 20:37-38) waliokuwa nao. Wakalia kwa sauti kuu, wakisema,

Ee Mola, Mtakatifu, Mwenye kweli, hata lini

Yesu alimwahidi yule mtu waliyesulubiwa pamoja kutokuhukumu, wala kuipatia haki damu yetu kwa

kuwa watakuwa peponi pamoja siku hiyo hiyo na hao wakaao juu ya nchi? Nao wakapewa kila

sio siku ya hukumu. mmoja nguo ndefu, nyeupe, wakaambiwa

wastarehe bado muda mchache, hata itakapotimia

“Kisha akasema, “Ee Yesu! Unikumbuke wakati hesabu ya wajoli wao na ndugu zao, watakaouawa

utakapoingia katika ufalme wako.” 43 Yesu vile vile kama wao.”

akamwambia, “Nakwambia kwa hakika, leo

utakuwa pamoja nami peponi.” (Luka 23:42- Kwa hiyo mtu akifa anaenda mbinguni au motoni

43) kulingana na alivyoishi.

Angalia pia wakati Stefano akipigwa Mawe “Nasi tunaona ni afadhali kutokuwamo katika mwili

aliikabidhi roho yake kwa Mungu baada ya kuona na kukaa pamoja na Bwana” (2Kor 5:8). Kwa kuwa

mbingu zimefunguka hii ni kama Yesu alivyokuwa kifo ni “mavumbi kuirudia nchi kama yalivyokuwa,

pale msalabani aliikabidhi Roho yake kwa Baba nayo roho kumrudia Mungu aliyeitoa” (Mhu 12:7).

yake.

Siku ya ufufuo roho na mwili vitaungana tena kwa

55Lakini yeye Stefano akiwa amejazwa Roho ajili ya uzima au moto wa milele.

Mtakatifu, alikaza macho mbinguni, akaona

utukufu wa Mungu, naye Yesu akiwa amesimama


180

“Kwangu mimi kuishi ni Kristo, na kufa ni faida… mkiokolewa na uharibifu uliomo duniani kwa

ninatamani kwenda zangu nikae na Kristo, maana sababu ya tamaa” (2Pet 1:3-4).

ni vizuri zaidi sana” (Fil 1:21,23).

Sisi tuliobatizwa tunaitwa “wana wa Mungu; na

Mtume Petro ameandika hivi… ndivyo tulivyo!” (1Yoh. 3:1).

“18 Kwa maana Kristo naye aliteswa mara moja Kwa sababu tumesadiki kwamba “Mungu ni

kwa ajili ya dhambi, mwenye haki kwa ajili yao upendo” (1Yoh 4:8) na kwamba “hakuna

wasio haki, ili atulete kwa Mungu; mwili wake lisilowezekana kwa Bwana” (Lk 1:37).

akauawa, bali roho yake akahuishwa,19 ambayo

kwa hiyo aliwaendea roho waliokaa kifungoni, “Na kwa kuwa ninyi mmekuwa wana, Mungu
akawahubiri; 20 watu wasiotii hapo zamani, alimtuma Roho wa Mwanawe mioyoni mwetu,
uvumilivu wa Mungu ulipokuwa ukingoja, siku za aliaye, „Aba!‟ yaani, „Baba!‟ Kama ni hivyo, wewe si

Nuhu, safina ilipokuwa ikitengenezwa; ambamo mtumwa tena bali u mwana; na kama u mwana,

ndani yake wachache, yaani, watu wanane, basi, u mrithi kwa Mungu” (Gal 4:6-7).
waliokoka kwa maji.” (1Petro 3:18-20)

Aliyezungumzia moto wa milele ni nani?


Je, sisi wanyonge tunaweza kushiriki uzima

wa milele wa Mungu? Aliyezungumzia moto wa milele ni hasa Yesu:

akitufunulia ukuu wa upendo wa Mungu, aliye heri

Ndiyo, sisi wanyonge tunaweza kushiriki uzima wa yetu pekee, alituangalisha juu ya hatari ya

milele wa Mungu: hapa duniani katika mwanga kutengana naye milele kwa dhambi. Mwenyewe
hafifu wa imani, na kisha kufa katika uangavu wa atatoa hukumu hiyo:
utukufu usiofifia kamwe. Kwa kuwa lengo la Baba

ni kwamba tuungane na Yesu Mwanae kwa uwezo “Ondokeni kwangu, mliolaaniwa, mwende katika
wa Roho Mtakatifu ili tuwe na utukufu wake. moto wa milele, aliowekewa tayari Ibilisi na

malaika zake” (Math 25:41).


“Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe,

Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo “Humo funza wao hafi, wala moto hauzimiki” (Mk
uliyemtuma” (Yoh 17:3). 9:48).

“Kwa kuwa uweza wake wa Uungu umetukirimia “Na moshi wa maumivu yao hupanda juu hata
vitu vyote vipasavyo uzima na utauwa, kwa milele na milele, wala hawana raha mchana wala
kumjua yeye aliyetuita kwa utukufu wake na wema usiku” (Ufu 14:11).
wake mwenyewe. Tena kwa hayo ametukirimia

ahadi kubwa mno, za thamani, ili kwamba kwa

hizo mpate kuwa washirika wa tabia ya Uungu,

Toharani maana yake nini?


181

Toharani maana yake kuna hali ya muda ambayo “Saa yaja ambayo watu wote waliomo makaburini

huruma ya Mungu inawatakasa marehemu wataisikia sauti yake. Nao watatoka; wale

waliofariki dunia katika urafiki naye lakini bila ya waliofanya mema kwa ufufuko wa uzima, na

usafi kamili unaotakiwa kwa kuingia mbinguni. Sisi waliotenda mabaya kwa ufufuo wa hukumu” (Yoh

tunaweza kuharakisha utakaso wao kwa kumtolea 5:28-29).

Mungu sala na sadaka, hasa ekaristi. Yuda

Mmakabayo “alichanga fedha kwa kila mtu jumla “Na hao watakwenda zao kuingia katika adhabu ya

drakma elfu mbili, akazipeleka Yerusalemu kutoa milele; bali wenye haki watakwenda katika uzima

sadaka ya dhambi. wa milele” (Math 25:46).

Kwa kufanya hivi alitenda vema na kwa haki, kwa

kuwa aliukumbuka ufufuo wa wafu. Maana kama

asingalitumaini ya kuwa wale waliokufa Siku ya ufufuo Kristo mfalme atatuhukumu


watafufuka, ingalikuwa kazi bure isiyo na maana vipi?
kuwaombea wafu. Lakini kwa kuwa aliufikiri

utukufu wa thawabu waliowekewa wale wafao


Siku ya ufufuo Kristo mfalme atatuhukumu kwa
katika utauwa, wazo lake lilikuwa takatifu na la
kudhihirisha misimamo ya watu wote ambao, kwa
kicho. Ndiyo sababu alifanya upatanisho kwa wafu
kupokea au kukataa upendo wa Mungu moyoni
ili wafunguliwe dhambi zao” (2Mak 12:43-46).
mwao, wametenda mema au la.
Imani hiyohiyo iliongoza Wakristo wa kwanza

kuwafanyia marehemu ibada ambayo haieleweki


“Imetupasa sisi sote kudhihirishwa mbele ya kiti
vizuri, lakini hailaumiwi na Mtume Paulo: “Kama
cha hukumu cha Kristo ili kila mtu apokee ijara ya
wafu hawafufuliwi kamwe, kwa nini kubatizwa kwa
mambo aliyotenda kwa mwili, kadiri alivyopenda,
ajili yao?” (1Kor 15:29).
kwamba ni mema au mabaya” (2Kor 5:10).

“Basi ninyi msihukumu neno kabla ya wakati wake,

hata ajapo Bwana; ambaye atayamulikisha


Je, mwili utakaofufuliwa ni huuhuu tulionao yaliyositirika ya giza, na kuyadhihirisha mashauri
sasa? ya mioyo; ndipo kila mtu atakapoipata sifa yake

kwa Mungu” (1Kor 4:5).


Ndiyo, mwili utakaofufuliwa ni huuhuu tulionao

sasa, lakini katika hali tofauti: > “hupandwa katika “Hapo atakapokuja Mwana wa Adamu katika
uharibifu; hufufuliwa katika kutokuharibika” utukufu wake, na malaika watakatifu wote pamoja
(1Kor 15:42). naye, ndipo atakapoketi katika kiti cha utukufu

wake. Na mataifa yote watakusanyika mbele zake;


Siku ya ufufuo “ndipo watakapomwona Mwana wa naye atawabagua kama vile mchungaji abaguavyo
Adamu akija katika wingu pamoja na nguvu na kondoo na mbuzi; atawaweka kondoo mkono wake
utukufu mwingi” (Lk 21:27). wa kuume, na mbuzi mkono wake wa kushoto.

Kisha Mfalme atawaambia wale walioko mkono

wake wa kuume, „Njoni, mliobarikiwa na Baba


182

yangu, urithini ufalme mliowekewa tayari tangu Kwa nini ni lazima kutunza uhai wetu na wa wenzetu?

kuumbwa ulimwengu; kwa maana nalikuwa na


Kwa sababu uhai wa watu wote umetoka kwa Mungu
njaa, mkanipa chakula; nalikuwa na kiu,

mkaninywesha; nalikuwa mgeni, mkanikaribisha;

nalikuwa uchi, mkanivika; nalikuwa mgonjwa,

mkaja kunitazama; nalikuwa kifungoni, mkanijia… Haki gani ya Binadamu ni ya msingi kupita zote?

Amin, nawaambia, kadiri mlivyomtendea


Haki ya binadamu iliyo ya msingi kupita zote ni uhai wake
mmojawapo wa hao ndugu zangu walio wadogo, ambao ni lazima uheshimiwe na kulindwa tangu siku ya
kutungwa mimba
mlinitendea mimi‟” (Math 25:31-36,40).

“Heri wenye rehema, maana hao watapata

rehema” (Math 5:7). Nani anatenda dhambi dhidi ya amri ya tano ya Mungu?

Mambo yanayovunja Amri ya Tano ya Mungu

Anayetemda dhambi dhidi ya amri ya tano ya Mungu ni yule;-

Baada ya hukumu ya mwisho itakuwaje? 1. Anayemuua mtu au anayejiua mwenyewe


2. Anayemdhuru mwingine kwa namna yoyote ile
3. Anayeua Mimba na kuharibu nguvu za uzazi
4. Anayesaidia kuua, kumdhuru mtu au anayesaidia
Baada ya hukumu ya mwisho, waadilifu kutoa/kuharibu mimba
5. Anayeharibu mazingira yaliyomuhimu kwa uhai
watatukuzwa mwili na roho pamoja na Yesu, na 6. Anayetetea au kuendeleza mifumo ya ya dhuluma, uhasama
na vita.
ulimwengu pia utageuzwa.

“Kama ilivyo ahadi yake, tunatazamia mbingu WhatsAppTwitterLinkedInEmail


Maswali na Majibu kuhusu Karama
mpya na nchi mpya, ambayo haki yakaa ndani
Mafundisho ya Katekisimu / Leave a Comment
yake” (2Pet 3:13).
Je, karama ni zile za kushangaza tu?

“Na Roho na Bibi arusi wasema, „Njoo!‟ naye Hapana, karama si zile za kushangaza tu, tena zile

asikiaye na aseme, „Njoo!‟… Yeye mwenye muhimu zaidi si hizo, bali zile zinazojenga zaidi

kuyashuhudia haya asema, „Naam, naja upesi‟. Kanisa, kama zile za uongozi:

Amina. Na uje, Bwana Yesu! Neema ya Bwana


“Mungu ameweka wengine katika Kanisa, wa
Yesu na iwe pamoja nanyi nyote. Amina” (Ufu
kwanza mitume, wa pili manabii, wa tatu waalimu,
22:17,20-21).
kisha miujiza, kisha karama za kuponya wagonjwa,

na masaidiano, na maongozi, na aina za lugha”

WhatsAppTwitterLinkedInEmail (1Kor 12:28).


Amri ya Tano ya Mungu: Kutunza uhai wetu na wa watu
wengine “Basi kwa kuwa tuna karama zilizo mbalimbali,
Mafundisho ya Katekisimu / Leave a Comment kwa kadiri ya neema tuliyopewa; ikiwa unabii,
Katika Amri ya Tano ya Mungu tumeamriwa nini? tutoe unabii kwa kadiri ya imani; ikiwa huduma,

tuwemo katika huduma yetu; mwenye kufundisha,


Tumeamriwa tutunze uhai wetu na wa watu wengine tangu
mwanzo hadi mwisho. (Mwa 4:10-11) katika kufundisha kwake; mwenye kuonya, katika

kuonya kwake; mwenye kukirimu, kwa moyo


183

mweupe; mwenye kusimamia, kwa bidii; mwenye walipambanua na kuratibu karama katika ibada na

kurehemu, kwa furaha” (Rom 12:6-8). katika maisha ya jumuia zisije zikavuruga Kanisa.

Karama nyingine muhimu zinatuwezesha Karama za kushangaza zina hatari gani?


kufanya nini?
Karama za kushangaza zina hatari mbalimbali,
Karama nyingine muhimu zinatuwezesha kuishi hasa zikitiwa maanani mno. Hapo ni rahisi zilete
kwa useja kama Yesu na Paulo, au kwa ndoa: majivuno, kijicho na mafarakano.

“Nipendalo ni kwamba watu wote wawe kama mimi “Ikiwa kwenu kuna husuda na fitina, je, si watu wa
nilivyo; walakini kila mtu ana karama yake tabia ya mwili ninyi; tena mnaenenda kwa jinsi ya
mwenyewe itokayo kwa Mungu, huyu hivi, na huyu kibinadamu?… Mmekwisha kushiba, mmekwisha
hivi. Lakini nawaambia wale wasiooa bado, na kupata utajiri, mmemiliki pasipo sisi. Naam, laiti
wajane; ni heri wakae kama mimi nilivyo” (1Kor mngemiliki… Kwa hiyo anayejidhania kuwa
7:7-8). amesimama na aangalie asianguke” (1Kor 3:3;

“Si wote wawezao kulipokea neno hili, ila wale 4:8; 10:12).

waliojaliwa” (Math 19:11). Katika mambo yasiyothibitika ni rahisi

Tunavyoona katika historia ya watawa, mara kudanganyika kuwa yametoka kwa Mungu, kumbe

nyingi karama ya useja inaendana na nyingine sivyo. Kisha kudanganyika ni vigumu kuachana

katika maisha ya sala, ya kijumuia na ya kitume. nayo hata yakiwa na madhara kwa mhusika au

Hivyo Filipo “alikuwa na binti wanne, mabikira, kwa Kanisa.

waliokuwa wakitabiri” (Mdo 21:9).


“Wapenzi, msiiamini kila roho, bali zijaribuni hizo

roho, kwamba zimetokana na Mungu; kwa sababu

manabii wa uongo wengi wametokea duniani”


Karama zinagawiwa vipi? (1Yoh 4:1).

Karama zinagawiwa na Roho Mtakatifu jinsi

anavyotaka, si kwa sifa au faida ya binafsi, bali

kwa ustawi wa taifa la Mungu. Tunda la kuongozwa na Roho Mtakatifu ni

lipi?
“Kazi hizi zote huzitenda Roho huyo mmoja, yeye

yule, akimgawia kila mtu peke yake kama Tunda la kuongozwa na Roho Mtakatifu ni umoja

apendavyo yeye… Je, wote ni mitume? Wote ni wa Kanisa unaotokana na ustawi wa upendo na

manabii? Wote ni waalimu? Wote wanatenda vipaji ndani ya waamini.

miujiza? Wote wana karama za kuponya


“Wote walijaa Roho Mtakatifu, wakanena neno la
wagonjwa? Wote wanena kwa lugha? Wote
Mungu kwa ujasiri. Na jamii ya watu walioamini
wafasiri?… Kwa kuwa mnatamani sana kuwa watu
walikuwa na moyo mmoja na roho moja” (Mdo
wenye karama za roho, takeni kwamba mzidi sana
4:31-32).
kuwa nazo ili kulijenga kanisa… Kwa maana Mungu
“Tunda la Roho ni upendo, furaha, amani,
si Mungu wa machafuko, bali wa amani” (1Kor
uvumilivu, utu wema, fadhili, uaminifu, upole,
12:11,29-30; 14:12,33). Kwa ajili hiyo mitume
184

kiasi; juu ya mambo kama hayo hakuna sheria” Katika amri ya kwanza ya Mungu tumeamriwa nini?

(Gal 5:22-23).
Tumeamriwa tusadiki kuwa Mungu ni mmoja, ndiye Baba yetu
na Mkubwa wetu: tumpende, tumwabudu yeye peke yake. (Mt
“Lakini, mkiwa na wivu wenye uchungu na ugomvi
10:33, Kumb 6:4-9)
mioyoni mwenu, msijisifu, wala msiseme uongo

juu ya kweli. Hekima hiyo siyo ile ishukayo kutoka

juu, bali ni ya dunia, ya tabia ya kibinadamu, na

Shetani. Maana hapo palipo wivu na ugomvi, ndipo Wakatoliki tunamwabudu Mungu kwa namna gani?

palipo machafuko, na kila tendo baya. Lakini


Tunamwabudu Mungu kwa sala , sadaka na matendo mema
hekima itokayo juu, kwanza ni safi; tena ni ya

amani, ya upole, tayari kusikiliza maneno ya watu,

imejaa rehema na matunda mema, haina fitina,

haina unafiki” (Yak 3:14-17). Katika amri ya kwanza ya Mungu tumekatazwa nini?

Madhehebu yanapozidi kufarakana ni lazima Tumekatazwa kumdharau Mungu na kuweka imani yetu katika
viumbe badala ya Mungu.
tujiulize kama kweli ni kazi ya Roho Mtakatifu.

WhatsAppTwitterLinkedInEmail
Amri Kumi za Mungu: Mambo ya Msingi unayopaswa
kufahamu
Je, kuna viumbe ambavyo tunaviheshimu kwa kumtukuza
Mafundisho ya Katekisimu / Leave a Comment
Mungu?
Amri kumi za Mungu ni zipi?
Ndiyo twamuheshimu Bikira Maria, Malaika na Watakatifu.
1. Ndimi Bwana, Mungu wako usiabudu miungu wengine.
2. Usiape bure kwa jina la Mungu wako.
3. Fanya siku ya Mungu

4. Waheshimu Baba na Mama, upate miaka mingi na heri


Kwa nini yatupasa kuwaheshimu Watakatifu?
duniani.
5. Usiue
6. Usizini Kwa sababu hao ni washindi, rafiki wa Mungu na waombezi
7. Usiibe wetu.
8. Usiseme uongo
9. Usitamani mwanamke asiye mke wako.
10. Usitamani mali ya watu.

Je, tuna ruhusa ya kuwaabudu Watakatifu?

Je, ni lazima kila mtu ashike Amri kumi za Mungu? Hatuna ruhusa ya kuwaabudu Watakatifu tunawaheshimu tu.

Ndiyo. Ni lazima kila mtu ashike Amri kumi za Mungu hata


kama si Mkristo kwa sababu Mungu ni mkubwa wa watu wote.
(Kut 20:1-17, Kumb 5:1-21)
Je sanamu zimekatazwa?

Sanamu hazijakatazwa, ila tunaziheshimu kwa sababu


zinatukumbusha Mungu na Watakatifu. (Kut 25:18-22).
Kwa nini Mungu alitupa Amri kumi?

18 Nawe fanya makerubi mawili ya dhahabu; uyafanye ya kazi


Mungu alitupa amri kumi ili kutufudisha mambo yatupasayo ya kufua, katika hiyo miisho ya kiti cha rehema, huku na huku.
kwa Mungu, kwa watu na kwetu sisi wenyewe 19 Weka kerubi moja mwisho mmoja, na kerubi la pili mwisho
wa pili; fanya hayo makerubi ya kitu kimoja na kiti cha rehema,
mwisho huku na mwisho huku. 20 Na hayo makerubi yatainua
mabawa yao juu, na kukifunika hicho kiti cha rehema kwa
mabawa yao, na nyuso zao zitaelekeana hili na hili; nyuso za
185

hayo makerubi zitaelekea kiti cha rehema. 21 Weka kiti cha


rehema juu ya hilo sanduku, kisha utie huo ushuhuda Hapana, karama si zile za kushangaza tu, tena zile
nitakaokupa ndani ya sanduku. 22 Nami nitaonana nawe hapo,
na kuzungumza nawe pale nilipo juu ya kiti cha rehema, katikati muhimu zaidi si hizo, bali zile zinazojenga zaidi
ya hayo makerubi mawili yaliyo juu ya sanduku la ushuhuda,
Kanisa, kama zile za uongozi:
katika mambo yote nitakayokuagiza kwa ajili ya wana wa
Israeli. Kutoka 25 :18-22.
“Mungu ameweka wengine katika Kanisa, wa

Vile vile Mungu alishawahi kuwaagiza Waisraeli Wachonge kwanza mitume, wa pili manabii, wa tatu waalimu,
sanamu ya nyoka na yeyote atakayeumwa na nyoka akiiangalia
atapona. kisha miujiza, kisha karama za kuponya wagonjwa,

na masaidiano, na maongozi, na aina za lugha”

(1Kor 12:28).

“Basi kwa kuwa tuna karama zilizo mbalimbali,


Mfano wa sanamu takatifu ni zipi?
kwa kadiri ya neema tuliyopewa; ikiwa unabii,
Sanamu ya Bikira Maria, Mtoto Yesu, Mt. Yosefu, Moyo wa tutoe unabii kwa kadiri ya imani; ikiwa huduma,
Yesu na za Watakatifu.
tuwemo katika huduma yetu; mwenye kufundisha,

katika kufundisha kwake; mwenye kuonya, katika

kuonya kwake; mwenye kukirimu, kwa moyo

Ni nanai ana kosa kumuabudu Mungu? mweupe; mwenye kusimamia, kwa bidii; mwenye

kurehemu, kwa furaha” (Rom 12:6-8).


Anayekosa kumuabudu Mungu ni yule;

1. Anayeacha kusali au anayesali hovyo


2. Anayemkufuru Mungu
3. Anayeamini na kushika mambo ya kipagani Karama nyingine muhimu zinatuwezesha

kufanya nini?

Karama nyingine muhimu zinatuwezesha kuishi

Mambo gani yanavunja amri ya kwanza ya Mungu? kwa useja kama Yesu na Paulo, au kwa ndoa:

Mambo hayo ni; “Nipendalo ni kwamba watu wote wawe kama mimi

nilivyo; walakini kila mtu ana karama yake


1. Kuabudu sanamu
2. Kufanya matambiko mwenyewe itokayo kwa Mungu, huyu hivi, na huyu
3. Kwenda kwa waganga
hivi. Lakini nawaambia wale wasiooa bado, na
4. Kupiga bao au ramli
5. Kuvaa hirizi wajane; ni heri wakae kama mimi nilivyo” (1Kor
6. Kushiriki mambo ya kichawi n.k.
7:7-8).

“Si wote wawezao kulipokea neno hili, ila wale

waliojaliwa” (Math 19:11).


Ni nini maana ya kuabudu sanamu?
Tunavyoona katika historia ya watawa, mara
Kuabudu sanamu ni kukipa kiumbe chochote heshima au nyingi karama ya useja inaendana na nyingine
upendo anaostahili Mungu peke yake.
katika maisha ya sala, ya kijumuia na ya kitume.

Hivyo Filipo “alikuwa na binti wanne, mabikira,


WhatsAppTwitterLinkedInEmail waliokuwa wakitabiri” (Mdo 21:9).
Maswali na Majibu kuhusu Karama
Mafundisho ya Katekisimu / Leave a Comment

Je, karama ni zile za kushangaza tu?

Karama zinagawiwa vipi?


186

Karama zinagawiwa na Roho Mtakatifu jinsi

anavyotaka, si kwa sifa au faida ya binafsi, bali

kwa ustawi wa taifa la Mungu. Tunda la kuongozwa na Roho Mtakatifu ni

lipi?
“Kazi hizi zote huzitenda Roho huyo mmoja, yeye

yule, akimgawia kila mtu peke yake kama Tunda la kuongozwa na Roho Mtakatifu ni umoja
apendavyo yeye… Je, wote ni mitume? Wote ni wa Kanisa unaotokana na ustawi wa upendo na
manabii? Wote ni waalimu? Wote wanatenda vipaji ndani ya waamini.
miujiza? Wote wana karama za kuponya
“Wote walijaa Roho Mtakatifu, wakanena neno la
wagonjwa? Wote wanena kwa lugha? Wote
Mungu kwa ujasiri. Na jamii ya watu walioamini
wafasiri?… Kwa kuwa mnatamani sana kuwa watu
walikuwa na moyo mmoja na roho moja” (Mdo
wenye karama za roho, takeni kwamba mzidi sana
4:31-32).
kuwa nazo ili kulijenga kanisa… Kwa maana Mungu

si Mungu wa machafuko, bali wa amani” (1Kor “Tunda la Roho ni upendo, furaha, amani,

12:11,29-30; 14:12,33). Kwa ajili hiyo mitume uvumilivu, utu wema, fadhili, uaminifu, upole,

walipambanua na kuratibu karama katika ibada na kiasi; juu ya mambo kama hayo hakuna sheria”

katika maisha ya jumuia zisije zikavuruga Kanisa. (Gal 5:22-23).

“Lakini, mkiwa na wivu wenye uchungu na ugomvi

mioyoni mwenu, msijisifu, wala msiseme uongo

juu ya kweli. Hekima hiyo siyo ile ishukayo kutoka


Karama za kushangaza zina hatari gani?
juu, bali ni ya dunia, ya tabia ya kibinadamu, na

Karama za kushangaza zina hatari mbalimbali, Shetani. Maana hapo palipo wivu na ugomvi, ndipo

hasa zikitiwa maanani mno. Hapo ni rahisi zilete palipo machafuko, na kila tendo baya. Lakini

majivuno, kijicho na mafarakano. hekima itokayo juu, kwanza ni safi; tena ni ya

amani, ya upole, tayari kusikiliza maneno ya watu,


“Ikiwa kwenu kuna husuda na fitina, je, si watu wa
imejaa rehema na matunda mema, haina fitina,
tabia ya mwili ninyi; tena mnaenenda kwa jinsi ya
haina unafiki” (Yak 3:14-17).
kibinadamu?… Mmekwisha kushiba, mmekwisha

kupata utajiri, mmemiliki pasipo sisi. Naam, laiti Madhehebu yanapozidi kufarakana ni lazima

mngemiliki… Kwa hiyo anayejidhania kuwa tujiulize kama kweli ni kazi ya Roho Mtakatifu.

amesimama na aangalie asianguke” (1Kor 3:3;


WhatsAppTwitterLinkedInEmail
4:8; 10:12). Maswali na Majibu kuhusu Ibada ya Misa
Mafundisho ya Katekisimu / Leave a Comment
Katika mambo yasiyothibitika ni rahisi

kudanganyika kuwa yametoka kwa Mungu, kumbe

sivyo. Kisha kudanganyika ni vigumu kuachana Ishara ndogo ya Msalaba juu ya panda la uso,
nayo hata yakiwa na madhara kwa mhusika au
mdomo, na kifua kabla ya Injili ina maana
kwa Kanisa.

“Wapenzi, msiiamini kila roho, bali zijaribuni hizo gani?

roho, kwamba zimetokana na Mungu; kwa sababu


Maana yake ni kama Ahadi kuwa, Niko tayari
manabii wa uongo wengi wametokea duniani”
kulifahamu Neno la Mungu kwa akili yangu,
(1Yoh 4:1).
187

Nitalitangaza kishujaa kwa Midomo yangu,

Nitalipenda na kulishika kwa Moyo wangu wote.

Je Sakramenti ya Ekaristi hujulikana kwa

majina yapi?
Je ni dhambi kukosa Misa Jumapili?
Majina haya;
NDIYO. Ni dhambi kubwa kukosa Misa kwa
1. Ekaristi Takatifu
Makusudi siku ya Jumapili/Dominika na Sikukuu
2. Karamu ya Bwana
zilizoamriwa.
3. Misa Takatifu

4. Sakramenti Takatifu ya Altare

5. Komunyo Takatifu

6. Sadaka Takatifu
Sakramenti ya Ekaristi ni nini?
7. Kumega Mkate

Sakramenti ya Ekaristi ni Sakramenti ya Mwili na

Damu ya Yesu Kristo, aliye kweli katika Maumbo

ya Mkate na Divai. (Yoh 6:1-17, Mt 26:26-28)

Baada ya Mitume kufa ni nani wanafanya

Sakramenti ya Ekaristi

Ni wakati gani katika Misa Mkate na Divai Badaa ya Mitume kufa Maaskofu na Mapadri

wanaendelea kuadhimisha Sakramenti ya Ekaristi


vinageuka Mwili na Damu yake Kristo?
Takatifu

Ni katikati ya Misa padri asemapo maneno

Matakatifu aliyosema Yesu mwenyewe: “HUU NDIO

MWILI WANGU; HII NDIO DAMU YANGU”

Ni lini Yesu Kristo aliwapa Maaskofu na


26 Walipokuwa wanakula, Yesu akatwaa mkate,

akamshukuru Mungu, akaumega, akawapa


Mapadri Uwezo wa kugeuza mkate na divai
wanafunzi wake akisema, “Twaeni mle; huu ni

mwili wangu.” 27 Kisha akatwaa kikombe cha kuwa Mwili na Damu yake?

divai, akashukuru, akawapa akisema, “Kunyweni


Yesu Kristo aliwapa Maaskofu na Mapadri Uwezo
nyote; 28 maana hii ni damu yangu inayothibitisha
wa kugeuza mkate na divai kuwa Mwili na Damu
agano, damu inayomwagwa kwa ajili ya watu
yake alipowafanya Mitume kuwa Mapadri katika
wengi ili kuwaondolea dhambi. 29 Nawaambieni,
karamu ya mwisho aliposema “FANYENI HIVI KWA
sitakunywa tena divai ya zabibu mpaka siku ile
UKUMBUSHO WANGU” (Lk 22:14-20)
nitakapoinywa mpya pamoja nanyi katika ufalme

wa Baba yangu.”

30 Baada ya kuimba wimbo, wakaondoka,

wakaenda katika mlima wa Mizeituni. (Mat 26:26-


Misa ni nini?
30)
188

Misa ni sadaka safi ya Wakristo kwa Mungu, ndiyo 3. Azilishe roho kwa neema za sadaka hiyo. (Ebr

sadaka ya Agano Jipya ambayo 5:1-10, 7:27).

Kristo kwa njia ya Padri anamtolea Mungu Baba

mwili na damu yake katika umbo la mkate na divai

kama alivyojitolea mwenyewe juu ya msalaba.

Sadaka ya Misa Takatifu yatolewa kwa nia

gani?

Sadaka ya Msalaba ni nini? Sadaka ya Misa Takatifu yatolewa kwa nia ya

kumwabudu Mungu, kumshukuru, kujipatanisha


Sadaka ya Msalaba ni tendo la mateso na kifo cha
nae na kumwomba. (Ebr 9:14)
Bwana wetu Yesu Kristojuu ya Msalaba pale Kalvari

Misa Takatifu hutolewa kwa ajili ya nani?


Ni kwa nini Sadaka ya Misa Takatifu ni

Misa Takatifu hutolewa kwa ajili ya kanisa nzima


Sadaka ile ile ya Msalaba?
yaani kwa ajili ya watu wote wazima na wafu. (Ebr

Sadaka ya Misa Takatifu ni ile ile ya Msalaba kwa 9:14. Rum 1:9)

sababu ni sadaka moja tu, kuhani na kafara ni yule

yule.

Tofauti ni namna tu yankuitoa hiyo sadaka. (1Kor


Kutolea Misa kwa Marehemu maana yake ni
11:26, Ebr 9:14,25-28)

Pale msalabani damu ilimwagika lakini katika


nini?
Ekaristi damu haimwagiki tena
Kutolea Misa kwa Marehemu ni kutolea Misa kwa

ajili ya roho zilizoko toharani ili ziweze kuingia

mbinguni

Misa Takatifu hutolewa kwa nani?

Misa Takatifu hutolewa kwa Mungu Baba Mwenyezi

(Ebr 5:1-10, Law 9:7).


Misa Takatifu ina sehemu kuu ngapi?

Misa Takatifu ina sehemu kuu mbili

1. Litrujia ya Neno

Yesu aliweka sadaka ya Misa Takatifu kwa 2. Liturujia ya Ekaristi

makusudi gani?

Yesu aliweka sadaka ya Misa Takatifu ili;

Litrujia ya Ekaristi ina sehemu kuu ngapi?


1. Amtolee Baba sadaka bora siku zote

2. Atujalie mastahili yake Msalabani


189

Litrujia ya Ekaristi ina sehemu kuu tatu 3. Afunge chakula Muda wa saa Moja na Kileo zaidi

ya masaa matatu.
1. Matayarisho ya vipaji
4. Awe safi kimwili.
2. Sala ya Ekaristi
5. Awe na adabu na heshima.
3. Ibada ya Komunyo

Komunyo Takatifu Hutuletea neema gani?


Ni vitu gani vya msingi na vya lazima katika

1. Hulinda na kuongeza neema ya Utakaso iliyo


kuadhimisha Ekaristi Takatifu?
uzima wa roho zetu.

Vitu vya lazima katika kuadhimisha Ekaristi 2. Hutuondolea dhambi ndogo na kupunguza hatari

Takatifu ni ya kutenda dhambio kubwa.

1. Mkate wa Ngano 3. Hututia bidii na nguvu ya kutenda mema kwa

2. Divai ya mzabibu kutuongezea Imani, Matumaini na Mapendo.

4. Huleta Umoja katika Kanisa, sio sisi na Kristo

tuu bali sisi kwa sisi.

Kabla ya Kupokea Ekaristi Takatifu Tunasali

sala gani?
Mkristo akipokea Ekaristi Takatifu akiwa na

Tunasali “Ee Bwana sistahili uingie kwangu lakini


dhambi rohoni anatenda dhambi gani?
sema neno tu na roho yangu itapona”

Mkristo akipokea Ekaristi Takatifu akiwa na dhambi

anatenda dhambi kubwa yaani kufuru Sakramenti.

26 Maana kila mnapokula mkate huu na kukinywa


Katika Ekaristi Takatifu Tunampokea nani?
kikombe hiki, mwatangaza kifo cha Bwana, mpaka

Katika Ekaristi Takatifu Tunampokea Yesu Kristo atakapokuja. 27 Kwa hiyo, kila aulaye mkate huo

Katika Maumbo ya Mkate na Divai na tunaungana au kunywa kikombe cha Bwana bila kustahili,

naye (Yoh 6:57) atakuwa na hatia dhidi ya mwili na damu ya

Bwana. (1 Kor 11;26 – 27)

28Basi, kila mtu ajichunguze mwenyewe kwanza,

ndipo ale mkate huo na anywe kikombe hicho; 29

maana anayekula na kunywa bila kutambua maana


Mkristo awe katika hali gani kabla ya
ya mwili wa Bwana, anakula na kunywa hukumu
kupokea Ekaristi Takatifu? yake yeye mwenyewe. 30 Ndiyo maana wengi kati

yenu ni dhaifu na wagonjwa, na wengine kadhaa


1. Awe na Neema ya Utakaso yaani asiwe na
wamekufa. 31 Kama tungejichunguza wenyewe
dhambi ya mauti.
vizuri hatungeadhibiwa hivyo. 32Lakini
2. Awe na Imani, Ibada na Kumtamani Yesu.
tunapohukumiwa na Bwana, tunafunzwa tuwe na
190

nidhamu, ili tusije tukahukumiwa pamoja na Tabernakulo ni mahali Patakatifu anapokaa Yesu

ulimwengu. (1 Kor 11;28 – 32) wa Ekaristi siku zote

Je, Kanisa linahimiza waamini wapokee


Sakramenti ya Ekaristi Takatifu hukaa

Ekaristi wakati gani?


Tabernakulo kwa sababu gani

Kanisa linahimiza waamini wapokee Komunyo


Sakramenti ya Ekaristi Takatifu hukaa Tabernakulo
Takatifu kila siku wanaposhiriki Misa
kwa ajili ya watu wote hasa wagonjwa

Nani Mhudumu wa adhimisho la Ekaristi


Ishara wazi ya Sakramenti ya Ekaristi

Takatifu?
Takatifu ni nini?

Mhudumu wa adhimisho la Ekaristi Takatifu ni


Ishara wazi ya Sakramenti ya Ekaristi Takatifu ni
Askofu na Padre
maumbo ya mkate na divai, na maneneo ya

mageuzo ya Yesu mwenyewe Padri akiyatamka.

Je, Mkristo akipokea kipande cha Hostia

amempokea Yesu Mzima? Baada ya kumpokea Yesu wa Ekaristi tufanye

Ndiyo, Amempokea Yesu Mzima kabisa, Hata nini?

akipewa zaidi ya hostia moja amempokea Yesu


Baada ya kumpokea Yesu wa Ekaristi:
Mzima
Tumwabudu,tumshukuru, tumwombe kwani yeye

ni Mwenyezi. (Mt 2:11, Lk 17:11)

WhatsAppTwitterLinkedInEmail
Amri ya Tisa ya Mungu: Mambo inayokataza na
Sakramenti ya Ekaristi Takatifu Huifadhiwa inayoamuru
Mafundisho ya Katekisimu / Leave a Comment
wapi?
Katika Amri ya Sita na Tisa Mungu ametuamuru nini?

Sakramenti ya Ekaristi Takatifu Huifadhiwa kwenye


Mungu ametuamuru kutunza usafi wa moyo na kuwa waaminifu
Tabernakulo katika ndoa.

WhatsAppTwitterLinkedInEmail
Amri ya Nane ya Mungu: Makatazo na Amri
Mafundisho ya Katekisimu / Leave a Comment
Tabernakulo ni nini?
Amri ya Nane ya Mungu inatukataza nini?
191

Inakataza haya:
Mapokeo ya Mitume ndiyo yale yote ambayo Yesu

1. Ushahidi wa uongo, kiapo cha uongo na uongo wowote. aliwakabidhi Mitume wake, na kwa uwezo wa Roho
2. Hukumu isiyo ya haki, usengenyaji, uchafuzi wa jina na
Mtakatifu yatadumu hata mwisho wa dunia katika
usingiziaji.
3. Kusifu watu uongo, kujisifu mwenyewe au ulaghai. mafundisho, liturujia na maisha ya Kanisa.

“Nawasifu, kwa sababu mmenikumbuka katika

mambo yote, nanyi mmeyashika yale mapokeo


Katika Amri ya Nane Mungu anaamuru nini?
vilevile kama nilivyowatolea… Kwa maana
Katika Amri ya Nane Mungu anaamuru tuseme ukweli na naliwatolea ninyi hapo mwanzo yale niliyoyapokea
tulinde heshima ya wengine. (Mt 5:37, Yak 5:12).
mimi mwenyewe” (1Kor 11:2; 15:3).

“Ilinde ile amana nzuri kwa Roho Mtakatifu akaaye


Twaharibu heshima ya wengine kwa namna gani? ndani yetu… Mambo yale uliyoyasikia kwangu

mbele ya mashahidi wengi, hayo uwakabidhi watu


Twaharibu Kwa
waaminifu watakaofaa kuwafundisha na wengine”
1. Kuwadhania vibaya (2Tim 1:14; 2:2).
2. Kuwasengenya (Mith 12:22)
3. Kuwasingizia na kuleta uzushi. (Mdo 5:1-11; Law 19:11)

Tukikata huo mnyororo wa mapokeo, hata kama ni

kwa kisingizio cha kushikilia Biblia, tunaachana na

asili ya Kanisa.
Aliyeharibu heshima ya mwingine yampasa afanye nini?

Aliyeharibu heshima ya mwingine yampasa kuirudisha kadiri “Basi, ndugu, simameni imara, mkayashike
awezavyo.
mapokeo mliyofundishwa, ama kwa maneno, ama

kwa waraka wetu… Ndugu, twawaagiza katika jina

la Bwana Yesu Kristo, jitengeni nafsi zenu na kila

Tunalinda heshima ya wengine kwa namna gani? ndugu aendaye bila utaratibu, wala si kwa kufuata

mapokeo mliyoyapokea kwetu” (2Thes 2:15; 3:6).


Tunalinda heshima ya wengine kwa kuwaza na kusema mema
juu yao. (1Kor 13:6)

WhatsAppTwitterLinkedInEmail
Maswali na Majibu kuhusu Biblia Maandiko Matakatifu ndiyo nini?
Mafundisho ya Katekisimu / Leave a Comment

Neno Bwana lina maana gani katika Biblia?


Maandiko Matakatifu ndiyo vitabu vyote 73

Neno Bwana Katika Biblia linamaanisha “Mungu ambavyo viliandikwa na watu kwa uvuvio wa Roho

Mtawala” Mtakatifu vikakusanywa na Kanisa kwa jina la

“Biblia”, yaani “Vitabu”.

Hao “wanadamu walinena yaliyotoka kwa Mungu,


Mapokeo ya Mitume ndiyo nini?
wakiongozwa na Roho Mtakatifu” (2Pet 1:21).
192

yaani kwa sababu yametumiwa na Kanisa tangu

mwanzo kwa kulisha kwa hakika imani yake.

Je, Biblia zote ni sawa?

Tunahitaji Mapokeo kwa kuwa Maandiko yenyewe

Hapana, Biblia zote si sawa. Tujihadhari na hayataji orodha ya vitabu vyake vyote, Sanasana

matoleo mapungufu ambamo vimenyofolewa Yesu alividokeza baadhi akisema yanamzungumzia

vitabu 7 vizima na sehemu kadhaa za vitabu na kutimia ndani yake,

vingine vilivyotumiwa na Wakristo wa kwanza.

“Ni lazima yatimizwe yote niliyoandikiwa katika

“Amin, nawaambia, mpaka mbingu na nchi Torati ya Musa, na katika Manabii, na Zaburi” (Lk

zitakapoondoka, yodi moja wala nukta moja ya 24:44).

torati haitaondoka, hata yote yatimie” (Math

5:18). “Na mtu yeyote akiondoa lolote katika Halafu Barua ya Pili ya Mtume Petro ikalinganisha

maneno ya unabii wa kitabu hiki, Mungu “na Maandiko mengine” nyaraka zote ambazo

atamwondolea sehemu yake katika ule mti wa Paulo aliziandika “kwa hekima aliyopewa” (2Pet

uzima, na katika ule mji mtakatifu, ambao habari 3:15-16).

zake zimeandikwa katika kitabu hiki” (Ufu 22:19).

Je wakristo Wakatoliki wanasoma Biblia

kwenye Ibada ya Misa? Biblia inanukuliwa Sababu nyingine za Biblia kutojitosheleza ni

mara ngapi Kwenye Ibada ya misa ya zipi?

Wakatoliki?

Sababu nyingine za Biblia kutojitosheleza ni


Ndiyo, Wakatoliki wanasoma Biblia kila siku kwamba mambo mengi muhimu hayakuandikwa,
wanapoadhimisha Ibada ya Misa wakati wa

Liturujia ya Neno. “Kuna mambo mengine mengi aliyoyafanya Yesu,

ambayo yakiandikwa moja moja, nadhani hata

Wakatoliki wananukuu Biblia mara Tano kwenye ulimwengu usingetosha kwa vile vitabu

Ibada ya Misa. Wananukuu wanaposoma somo la vitakavyoandikwa” (Yoh 21:25).


Kwanzaa, Somo la pili, wimbo wa katikati,

Shangilio na Injili. Tena barua ni nusu tu ya kuonana; hivyo Yesu

hakuandika lolote, nao Mitume hawakupenda

kuandika yote.

Tunatambuaje Maandiko Matakatifu kati ya “Kwa kuwa ninayo mambo mengi, sitaki
maandishi yote ya binadamu? kuyaandika kwa karatasi na wino; lakini nataraji

kuja kwenu, na kusema nanyi mdomo kwa

Tunatambua Maandiko Matakatifu kati ya mdomo, ili furaha yetu iwe imetimizwa” (2Yoh 12).

maandishi yote ya binadamu kwa njia ya Mapokeo,


193

“Nalikuwa na mambo mengi ya kukuandikia, lakini vilivyoandikwa kabla ya Yesu vinaitwa Agano la

sipendi kukuandikia kwa wino na kalamu. Lakini Kale na 27 vilivyomfuata vinaitwa Agano Jipya.

nataraji kukuona karibu, nasi tutasema mdomo

kwa mdomo” (3Yoh 13-14). “Kwa kule kusema, Agano jipya, amelifanya lile la

kwanza kuwa kuukuu. Lakini kitu kianzacho kuwa

Hasa ibada haziwezi kufanyika kwa barua; k.mf. kikuukuu na kuchakaa ki karibu na kutoweka” (Eb

kuwekea mikono ili kumshirikisha Roho Mtakatifu. 8:13).

Paji la namna hiyo halipitii Maandiko, bali Mapokeo

tu. Hatimaye Biblia ikipotoshwa haipingi, kwa kuwa Mungu “ndiye aliyetutosheleza kuwa wahudumu
si mtu hai anayeweza kujitetea. wa agano jipya; si wa andiko, bali wa roho; kwa

maana andiko huua, bali roho huhuisha” (2Kor

3:6).

Biblia iliandikwa kwa kusudi gani?

Biblia iliandikwa kusudi tupate “kuamini ya Je, vitabu vyote vya Biblia vinahusiana?

kwamba Yesu ndiye Kristo, Mwana wa Mungu; na

kwa kuamini” tuwe “na uzima wa milele” (Yoh Ndiyo, vitabu vyote vya Biblia vinahusiana kwa

20:31). kuwa vinaangaziana na kuunda kitabu kimoja

ambacho ni Neno la Mungu yuleyule, ingawa katika

“Tangu utoto umeyajua Maandiko Matakatifu, hatua tofauti: Agano la Kale ndiyo maandalizi na

ambayo yaweza kukuhekimisha hata upate wokovu Agano Jipya ndio utimilifu wake.

kwa imani iliyo katika Kristo Yesu. Kila Andiko,

lenye pumzi ya Mungu, lafaa kwa mafundisho, na Yesu alisema, “Msidhani ya kuwa nalikuja
kwa kuwaonya watu makosa yao, na kwa kuitangua Torati au Manabii; la, sikuja kutangua,
kuwaongoza, na kwa kuwaadibisha katika haki” bali kutimiliza” (Math 5:17).

(2Tim 3:15-16).

Tunahitaji Agano la Kale ili tuelewe vizuri Agano

Si lengo lake kutufundisha historia, jiografia wala Jipya katika maandalizi yake, na tunahitaji Agano
sayansi: kuhusu elimu hizo na kuhusu ufasaha wa Jipya ili tuelewe Agano la Kale lilivyotimilizwa na

lugha Biblia ilitegemea ujuzi na vipawa vya watu Yesu.


walioiandika.

Je, inafaa tushike neno lolote la Agano la Kale


Je, vitabu vya Biblia vinatofautiana? kama Wayahudi?

Ndiyo, vitabu vya Biblia vinatofautiana kwa kuwa Hapana, haifai tushike neno lolote la Agano la Kale

Mungu alijifunua hatua kwa hatua; hivyo vitabu 46 kama Wayahudi wasiozingatia jinsi Yesu
194

alivyolitimiliza kwa maneno na matendo hata Mungu maana kwa Abrahamu hatukuwa na Sheria

wakamshutumu kutenda kinyume: wala Torati na alipata kibali machoni Pa Mungu tuu

kwa Imani. Kumbuka pia Abrahamu alitahiriwa

“Mtu huyo hakutoka kwa Mungu, kwa sababu baada ya Kuwa tayari mtu wa Mungu kwa Imani

haishiki sabato” (Yoh 9:16). yake na sio kwamba Kutahiriwa ndio kulifanya mtu

wa Mungu.

Alipofafanua amri 10 za Mungu alikariri:


Tumekombolewa kwa Imani na sio kwa Sheria.

“Mmesikia watu wa kale walivyoambiwa… lakini Wagalatia 5:18 “Lakini Mkiongozwa na Roho

mimi nawaambieni…” (Math 5:21,27,31,33,38,43). hampo chini ya sheria”

Alipouliziwa unajisi wa vyakula kadhaa, alisisitiza, Hatumtumikii Mungu ili tuwe watu wa Mungu bali

tukishakua watu wa Mungu ndio tunamtumikia

“‟Hivi hata ninyi hamna akili? Hamfahamu ya Mungu.

kwamba kila kitu kilicho nje ya mtu, kikimwingia,

hakiwezi kumtia unajisi; kwa sababu hakimwingii

moyoni, ila tumboni tu; kisha chatoka kwenda

chooni?‟ Kwa kusema hivi alivitakasa vyakula Yesu alitimiliza Agano la Kale kwa namna

vyote” (Mk 7:18- 19). isiyotarajiwa hasa lini?

“Basi, mtu asiwahukumu ninyi katika vyakula au Yesu alitimiliza Agano la Kale kwa namna

vinywaji, au kwa sababu ya sikukuu au mwandamo isiyotarajiwa hasa aliposulubiwa, akionekana na

wa mwezi, au sabato; mambo hayo ni kivuli cha Wayahudi wenzake kama kwamba amelaaniwa:

mambo yajayo; bali mwili ni wa Kristo” (Kol 2:16-

17). “Kristo alitukomboa katika laana ya torati, kwa

kuwa alifanywa laana kwa ajili yetu; maana

Hakika, mwili ni mzito kuliko kivuli chake. imeandikwa: „Amelaaniwa kila mtu aangikwaye juu

ya mti‟; ili kwamba baraka ya Ibrahimu iwafikilie

Vile vile katika Warumi 4:16. Tunasoma “Kwa Mataifa katika Yesu Kristo, tupate kupokea ahadi

sababu hiyo, jambo hili lategemea imani, hivyo ya Roho kwa njia ya imani” (Gal 3:13-14).

kwamba ahadi hiyo yatokana na neema ya Mungu,

na kwamba ni hakika kuwa ahadi hiyo ni kwa ajili

ya wote:si kwa wale tu wanaoishika sheria, bali

kwa wale waishio kwa Imani kama Abrahamu. Kati ya vitabu vya Biblia, vilivyo bora ni vipi?

Yeye ni Baba yetu sote.”

Kati ya vitabu vya Biblia, vilivyo bora ni Injili 4

Wakristo wengine wanachanganywa na wale zilizoandikwa na Mathayo, Marko, Luka na Yohane.

wasioyajua maandiko na kuwataka washike sheria

na Torati,basi tukisema ni lazima kushika sheria

tutakua tunakataa kua Abrahamu hakuwa mtu wa


195

Ndio moyo wa Maandiko Matakatifu yote, kwa “Lakini mtu yeyote akitaka kuleta fitina, sisi hatuna

kuwa ndizo shuhuda kuu juu ya maisha na desturi kama hiyo, wala makanisa ya Mungu”

mafundisho ya Yesu. (1Kor 11:16).

Yeye “amepata huduma iliyo bora zaidi, kwa kadiri Biblia nje ya Kanisa ni kama samaki nje ya maji.

alivyo mjumbe wa agano lililo bora, lililoamriwa juu

ya ahadi zilizo bora. Maana kama lile la kwanza

lingalikuwa halina upungufu, nafasi isingalitafutwa

kwa lile la pili” (Eb 8:6-7). Tupokeeje ufunuo wa Mungu?

Tupokee ufunuo wa Mungu kwa kusadiki

mafundisho ya Kanisa lake, ili tuzidi kumjua na


Tueleweje Maandiko Matakatifu? kuambatana naye bila ya kudanganyika. Yesu

aliwaambia Mitume wake,

Tuelewe Maandiko Matakatifu kwa kuzingatia hasa

Mungu alitaka kusema nini kuhusu wokovu wetu “Awasikilizaye ninyi anisikiliza mimi, naye

kupitia waandishi wengi aliowaongoza kuyatunga awakataaye ninyi anikataa mimi; naye anikataaye
kwa lugha na mitindo mbalimbali. mimi amkataa yeye aliyenituma” (Lk 10:16).

Lakini ebu, “Yamo mambo ambayo ni vigumu “Sisi nasi twamsukuru Mungu bila kukoma, kwa
kuelewa nayo; na mambo hayo watu wasio na kuwa, mlipopata lile neno la ujumbe la Mungu

elimu, wasio imara, huyapotoa, kama vile mlilolisikia kwetu, mlilipokea si kama neno la

wayapotoavyo na Maandiko mengine, kwa uvunjifu wanadamu, bali kama neno la Mungu; na ndivyo
wao wenyewe” (2Pet 3:16). lilivyo kwelikweli, litendalo kazi pia ndani yenu

ninyi mnaoamini” (1Thes 2:13).

Utitiri wa madhehebu yanayoshindana yakidai

kushikilia Biblia tu unathibitisha uwekezano

mkubwa wa kuipotosha kwa namna moja au

nyingine. Neno “BIBLIA” maana yake ni nini?

“Utakuja wakati watakapoyakataa mafundisho Neno “BIBLIA” ni neno linalotokana na neno la


yenye uzima; ila kwa kuzifuata nia zao wenyewe Kigiriki “Biblion” lenye maana ya vitabu.
watajipatia walimu makundi makundi, kwa kuwa

wana masikio ya utafiti; nao watajiepusha Biblia ni Mkusanyiko wa vitabu mbalimbali vya dini
wasisikie yaliyo kweli, na kuzigeukia hadithi za vilivyochaguliwa na kuidhinishwa kua vyafaa
uongo” (2Tim 4:3-4). kutumika.

Njia pekee ya kukwepa fujo hiyo ni kuelewa

Maandiko ndani ya Kanisa, kadiri ya Mapokeo yake

hai.
196

Biblia ni nini? Asili, Historia, waandishi na vingine vilivyounda Biblia. Na Wakatoliki waliweka

mipaka yake vitabu vingine vya dini Kwenye Biblia walivyoona

vinafaa pia kutumika.

Biblia ni mkusanyiko wa vitabu mbalimbali

vinavyohusu kazi ya Mungu ya kuwakomboa Je nje ya Biblia hakuna Neno la Mungu au

mwanadamu kuanzia enzi za Mababu na manabii Maandiko matakatifu?

Wa Waisraeli, Enzi za Yesu na za Mitume wa Yesu.

Nje ya Biblia kuna Neno la Mungu na Maandiko

Je, Biblia ilipatikanaje? Nini chanzo na asili ya Matakatifu. Hii Inamaanisha kuwa Biblia sio kitabu

Biblia. pekee cha neno la Mungu. Zipo nyaraka na Vipo

vitabu vingine vingi ambavyo viliandikwa na

Biblia iliundwa kwa kukusanya vitabu vya dini vya Manabii na Mitume ambavyo havikuwekwa kwenye

wakristo hapo awali na kuunda kitabu kimoja. Kwa Biblia lakini ni mafundisho ya Mungu. Biblia ni

maana hii, Biblia ni vitabu teule vya dini mkusanyiko wa vitabu vikuu vya Mungu.

vilivyoonekana vinafaa kutumika kwa waumini

Wakristo ili kusaidia Imani yao. Hivyo basi, kama Kumbuka kuwa sio nyaraka zote za Mitume

Biblia ni vitabu teule tuu vipo vitabu vingine vya ziliandikwa Kwenye Biblia. Vile vile manabii

dini ambavyo havikuwekwa Kwenye Biblia. walikuwa ni wengi kuliko waliowekwa Kwenye

Biblia.

Wakristo wa kwanza walichagua vitabu kadhaa na

kuviweka pamoja na kisha kuvita Biblia. Biblia ni Je Biblia ndiyo mafundisho ya Mungu pekee?

mkusanyiko wa vitabu muhimu tuu vya dini mpaka

kufikia Enzi za Mitume. Hapana, Biblia sio mafundisho pekee ya Mungu. Hii

ni kwa sababu sio mambo yote aliyofanya na

Je, Biblia ndicho kitabu pekee cha neno la kusema Mungu yaliandikwa na vilevile Mitume

Mungu? hawakua watu wa Mwisho kupokea Roho mtakatifu

na kupokea neno la Mungu.

Hapana, Biblia sio kitabu pekee cha neno la Mungu

isipokua Biblia ni kitabu kilichoidhinishwa rasmi Biblia inatuthibitishia yenyewe kuwa

kutumika Kama kitabu kikuu cha Wakristo. Hii ni haijakamilika na Si mambo yote

kwa sababu Biblia imeundwa na vitabu muhimu yameandikwa Kwenye Biblia

tuu vilivyochaguliwa na wakristo wa kwanza

vilivyoonekana vinafaa kwa kufundishia, Ibada na Biblia inatuthibitishia kuwa haijakamilika

kukuza Imani. Kwa hiyo basi vipo vitabu vingine tunaposoma (Yohane 21:25)
ambavyo haikuwekwa Kwenye Biblia ambavyo ni Biblia inatuambia hivi…”Kuna mambo Mengine

Maneno ya Mungu. mengi aliyofanya Yesu, ambayo Kama

yangeandikwa yote, moja baada ya jingine,

Hii ndiyo sababu kwa nini Wakatoliki wana vitabu nadhani hata ulimwengu wenyewe usingetosha

vingi kuliko madhehebu Mengine. Yaani sababu ni kuviweka vitabu ambavyo vingeandikwa.”…Kwa

kwamba madhehebu Mengine walivitoa vitabu


197

mstari huu Biblia inatuthibitishia kuwa Yesu alituambia nini kuhusu Neno la Mungu

haikuandikwa vitu vyote. na Mwendelezo wa kazi ya Mungu ya kusema

na watu?

Je Biblia ni mwisho wa Maandiko ya Mungu?

Yesu alituambia hivi katika (Yohane 16:12-

Biblia sio mwisho wa Maandiko ya Kimungu. 15)..”Ninayo mengi ya kuwaambieni Ila kwa sasa

hamuwezi kuyastahimili. Lakini atakapokuja huyo

Biblia ni sehemu ya maneno ya Mungu mpaka Roho wa Ukweli atawaongoza kwenye ukweli wote.

miaka ya Mitume Maana hatasema kwa Mamlaka yake mwenyewe

bali atasema atakayoyasikia na kuwajulisheni

Hata sasa Mungu anafanya kazi na watu wake yatakayokuja. Yeye atanitukuza Mimi kwa kuwa

kupitia Roho Mtakatifu na kwa kwa sababu hii atawajulisheni Yale atakayoyapata kutoka kwangu

Biblia sio mwisho wa kazi ya Mungu ya kusema na “…

watu wake.
Sasa basi,kama Roho Mtakatifu ni yuleyule na kazi

Mungu yu hai na anafanya kazi na watu wake zake ni Zile Zile za tangu Mitume, kwa nini

mpaka sasa kwa kutumia vinywa vya watu Kama hatukubali kuwa Anafanya kazi mpaka sasa kupitia

aliyofanya hapo awali. watu wa Mungu? Kwa nini tunakataa mafundisho

yao? Kwa nini tunashindwa kuelewa kuwa Biblia

haikuwa mwisho wa Neno la Mungu? Kwa nini


Hata maneno unayohubiriwa sasa yanaweza kuwa
tunakana Mapokeo ya Watakatifu? Kwa nini
ni kutoka kwa Mungu kwa maana hata waandishi
hatuwaamini watumishi wake wa sasa?
wa Biblia walitumiwa na Mungu Kama wahubiri wa

sasa. Mungu ni yule yule, Roho Mtakatifu ni

yuleyule na Neno ni lile lile.

Kwa hiyo Biblia ni maneno yaliyochaguliwa mpaka Biblia ina sehemu kuu ngapi?

enzi za Mitume. Vitabu vilivyofwata Baada ya

Mitume japokuwa viliandikwa kwa Roho Mtakatifu Biblia ina sehemu kuu 2 (mbili) ambazo ni

havikuwekwa Kwenye Biblia.


1. Agano la Kale (A.K)

Sababu ya Kanisa katoliki kutumia mapokeo 2. Agano Jipya (A.J)

na Maandiko ya Watakatifu

Kanisa katoliki linatumia mapokeo na Makala za

watakatifu kwa Imani kuwa Mungu yule yule Agano la Kale lina vitabu vingapi?

aliyefanya kazi tangu zamani anafanya kazi na

watu wake mpaka sasa na hivyo Maandiko ya watu Agano la Kale lina vitabu 46

wa Mungu yanafaa kutumika kama yalivyotumika

ya watu wa kale.
198

Agano Jipya lina vitabu vingapi? Vitabu vya Musa ni

1. Mwanzo

Agano Jipya lina vitabu 27 2. Kutoka

3. Walawi

4. Hesabu

Biblia nzima ina vitabu vingapi? 5. Kumbukumbu la Torati

Biblia nzima ina vitabu 73

Wainjili wanne Katika Agano Jipya ni wakina

nani?

Vitabu vya Agano la Kale vimegawanywa

katika sehemu ngapi? Wainjili wanne Katika Agano Jipya ni

1. Mathayo

Vitabu vya Agano la Kale vimegawanywa katika 2. Marko

sehemu 4 nazo ni

1. Vitabu vya Musa (5) 3. Luka

2. Vitabu vya Historia (16) 4. Yohane

3. Vitabu vya Hekima (7)

4. Vitabu vya Manabii (18)


Kitabu cha kwanza na cha mwisho katika

Agano la Kale ni vipi?

Vitabu vya Agano Jipya Vimegawanywa Kitabu cha kwanza na cha mwisho katika Agano la

katika sehemu ngapi? Kale ni

Vitabu vya Agano Jipya Vimegawanywa katika 1. Cha kwanza ni Kitabu cha Mwanzo

sehemu 4 nazo ni 2. Cha mwisho ni Kitabu cha Malaki

1. Injili (4)

2. Kitabu cha Matendo ya Mitume

3. Nyaraka mbalimbali (21) Kitabu cha kwanza na cha mwisho katika

4. Kitabu cha Ufunuo Agano Jipya ni vipi?

Kitabu cha kwanza na cha mwisho katika Agano

Jipya ni

Vitabu vya Musa ni vipi?


199

1. Kitabu cha kwanza ni Injili ya Mathayo 6. Naftali

2. Kitabu cha mwisho ni Kitabu cha Ufunuo 7. Gadi

8. Asheri

9. Isakari

10. Zabuloni

Injili ni nini? 11. Yosefu

12. Benjamini

Injili ni Habari njema ya wokovu iliyoletwa na Yesu

Kristo

Nani aliwatoa Waisraeli MIsri na Kuwaongoza

Katika nchi ya Ahadi?

Watoto wawili wa Adamu na Eva walkikuwa

wepi? Musa ndiye aliwatoa Waisraeli MIsri na

Kuwaongoza Katika nchi ya Ahadi

Walikuwa ni Kaini na Abeli

Mungu alimpa Musa Amri Kumi wapi?

Watoto wa Nuhu ni wepi?


Mungu alimpa Musa Amri Kumi katika mlima wa

Watoto wa Nuhu ni Shemu, Hamu na Nefteli Sinai

Mababu watatu wa Imani Katika Biblia ni Vitabu vya Historia katika Biblia ni vipi?

wakina nani?
Vitabu vya Historia katika Biblia ni

Mababu wa Imani ni Ibrahimu, Isaka na Yakobo 1. Yoshua

2. Waamuzi

3. Ruthu

4. 1 Samweli

5. 2 Samweli
Watoto wa Yakobo ni Wepi?
6. 1 Wafalme

Watoto wa Yakobo ni
7. 2 Wafalme
1. Reubeni
8. 1 Mambo ya Nyakati
2. Simeoni
9. 2 Mambo ya Nyakati
3. Lawi
10. Nehemia
4.Yuda
11. Ezra
5. Dani
200

12. Tobiti 4. Mhubiri

13. Yudith 5. Wimbo ulio Bora

14. Esta 6. Hekima ya Solomoni

15. 1 Wamakabayo 7. Yoshua Bin Sira

16. 2 Wamakabayo

Nyaraka za Mitume katika Biblia ni zipi?

Vitabu vya manabii katika Biblia ni vipi?

Nyaraka za Mitume ni;

Vitabu vya Manabii ni 1. Waroma

1. Isaya 2. 1 Wakorinto

2. Yeremia 3. 2 Wakorinto

3. Maombolezo 4. Wagalatia

4. Baruku 5. Waefeso

5. Eekieli 6. Wafilipi

6. Danieli 7. Wakolosai

8. 1 Wathesalonike

7. Hosea

8. Yoeli 9. 2 Wathesalonike

9. Amosi 10. 1 Timotheo

10. Obadia 11. 2 Timotheo

11. Yona 12. Tito

12. Mika 13. Filemoni

13. Nahumu 14. Waebrania

14. Habakuki 15. Yakobo

15. Sefania 16. 1 Petro

16. Hagai 17. 2 Petro

17. Zekaria 18. 1 Yohane

18. Malaki 19. 2 Yohane

20. 3 Yohane

21. Yuda

Vitabu vya Hekima Katika Biblia ni Vipi?

Vitabu vya Hekima ni Je, Bikira Maria alikua na watoto wengine

1. Yobu Mbali na Yesu?

2. Zaburi

3. Mithali Je, Bikira Maria ni Bikira Daima au alizaa

watoto wengine?
201

Jibu fupi ni kwamba Bikira Maria hakuzaa watoto akawaza: maneno haya yanamaanisha nini? 30

wengine na hakuwa na watoto wengine zaidi ya Malaika akamwambia, “Usiogope Maria, kwa

Yesu maana Mungu amekujalia neema. 31 Utachukua

mimba, utamzaa mtoto wa kiume na utampa jina

Hapo zamani hakuna mkristu au dehebu lolote Yesu. 32 Yeye atakuwa mkuu na ataitwa Mwana

lililokuwa linapinga kuwa Bikira Maria sio Bikira wa Mungu Mkuu. Bwana Mungu atampa kiti cha

Daima hata Waprotestanti/walokole waliamini mfalme Daudi, babu yake. 33 Kwa hivyo

Bikira Maria ni Bikira Hata Baada ya Kumzaa Yesu. atautawala ukoo wa Yakobo milele, na ufalme

Kwenye Miaka ya 1400-1600 Watu wote wakwanza wake hautakuwa na mwisho.” 34 Maria akamjibu,

waliopinga Kanisa Katoliki walikubali kuwa Bikira “Yatawezekanaje hayo, hali mimi ni bikira?” 35

Maria ni Bikira daima wakiwemo Martin Lutha Malaika akamjibu, “Roho Mtakatifu atakushukia, na

aliyeanzisha kanisa la Lutheran, John Calvin uwezo wake Mungu Mkuu utakujia kama kivuli;

aliyeanzisha Ulokole/Protestanti, Mchungaji Ulrich kwa sababu hiyo, mtoto atakayezaliwa ataitwa

Zwingli, Heinrich Bullinger, and Thomas Cranmer. Mtakatifu, Mwana wa Mungu. (Luka 1:26-35)

Kwa miaka zaidi ya 350 Waprotestant/walokole

waliendelea kuamini kuwa Bikira Maria ni Bikira 2. Biblia Haiwataji ndugu wa Yesu wakati

Daima. Yosefu na Maria walipokimbilia Misri

kumficha Yesu na wakati waliporudi

Lakini baadae wakristo wengi walianza kupinga

kuwa Bikira Maria ni Bikira Daima. 19 Baada ya kifo cha Herode, malaika wa Bwana

alimtokea Yosefu katika ndoto kule Misri, 20

Tunaweza kuthibitisha kuwa Bikira Maria akamwambia, “Amka! Mchukue mtoto pamoja na

hakuzaa watoto wengine kwa kunukuu Biblia mama yake, urudi tena katika nchi ya Israeli,

Kama ifuatavyo; maana wale waliotaka kumwua mtoto huyo

wamekwisha kufa.” 21 Basi, Yosefu aliamka,

1. Bikira Maria Alikuwa Bikira Kabla ya akamchukua mtoto pamoja na mama yake,

kumzaa Yesu akarejea katika nchi ya Israeli. 22 Lakini Yosefu

aliposikia kwamba Arkelao mwanawe Herode

Biblia inatuambia wazi kwamba Bikira Maria alikuwa mfalme wa Yudea mahali pa baba yake,

alikuwa Bikira Kabla ya kumzaa Yesu Kama aliogopa kwenda huko. Naye baada ya kuonywa

tunavyosoma katika Luka 1:26-35 katika ndoto, alikwenda katika mkoa wa Galilaya,

23 akahamia katika mji uitwao Nazareti. Ndivyo

yalivyotimia maneno yaliyonenwa kwa njia ya


26 Mnamo mwezi wa sita, malaika Gabrieli
manabii: “Ataitwa Mnazare.” Matayo 2:19-23
alitumwa na Mungu aende kwenye mji uitwao

Nazareti huko Galilaya, 27 kwa msichana mmoja

aitwaye Maria, mchumba wa mtu mmoja jina lake Kama wangekuwepo wadogo zake Yesu Biblia

Yosefu, wa ukoo wa Daudi. 28 Malaika ingetuambia kwamba walikuwa wapi wakati huo na

akamwendea, akamwambia, “Salamu Maria! walikuwa na Yesu au la.

Umejaliwa neema nyingi! Bwana yu pamoja nawe.”

29 Maria aliposikia maneno hayo alifadhaika sana, 3. Biblia haituambii kuwa Yesu alikua na

wadogo zake alipokuwa na miaka 12


202

Wakati wa Maria, Yoseph na Yesu walipoenda wangekuwepo wangetajwa hapa kuwa walikuwa

Yerusalemu Yesu akiwa na miaka 12 Biblia pamoja na Wazazi wao kama Yesu au walikuwa na

haituambii kuwa Yesu alikuwa na wadogo zake na Yesu wakati anapotea. Biblia haituambii chochote

walikuwa wapi. Kumbuka walikuwa na Desturi ya kwa hiyo wakati huo hapakuwa na wadogo zake

kwenda Yerusalemu kila mwaka kwa ajili ya Yesu.

Pasaka familia nzima kama familia. Je hao watoto

wengine walikuwa wapi. Kwa nini walikuwa na 4. Kukosekana kwa neneo “Binamu” kwenye

Yesu Mwenyewe? Maana yake ni kwamba Yesu lugha ya Yesu

hakuwa na Wadogo zake.

Wakristu wa kwanza pamoja na Yesu aliongea


41 Wazazi wa Yesu walikuwa na desturi ya kwenda Kiaramaiki au Kiebrania. Katika lugha zote hizo
Yerusalemu kila mwaka wakati wa sikukuu ya hakuna neno “Binamu” kwa hiyo mabinamu

Pasaka. 42 Mtoto alipokuwa na umri wa miaka walijulikana kama dada na kaka wa mtu. Kwenye

kumi na miwili, wote walikwenda kwenye sikukuu Agano jipya Neno kaka na Dada lilitumika pia
hiyo kama ilivyokuwa desturi. 43 Baada ya kuwakilisha binamu.
sikukuu, walianza safari ya kurudi makwao, lakini

Yesu alibaki Yerusalemu bila wazazi wake kuwa na Biblia inapotuambia kuwa Kaka na dada zake Yesu
habari. 44 Walidhani alikuwa pamoja na kundi la haimaanishi kaka wa kuzaliwa bali ndugu au
wasafiri, wakaenda mwendo wa kutwa, halafu Binamu
wakaanza kumtafuta miongoni mwa jamaa na

marafiki. 45 Kwa kuwa hawakumwona, walirudi 55 Je, huyu si yule mwana wa seremala? Je, mama
Yerusalemu wakimtafuta. 46 Siku ya tatu yake si anaitwa Maria, na ndugu zake si kina
walimkuta Hekaluni kati ya walimu, akiwasikiliza Yakobo, Yosefu, Simoni na Yuda? 56 Na dada zake
na kuwauliza maswali. 47 Wote waliosikia maneno je, si wote wako hapa pamoja nasi? Basi amepata
yake walistaajabia akili yake na majibu yake ya wapi haya yote?” (Mathayo 13:55-56)
hekima. 48 Wazazi wake walipomwona

walishangaa. Maria, mama yake, akamwuliza,


Kwa hiyo wanaotajwa hapa ni ndugu wa Yesu kwa
“Mwanangu, kwa nini umetutenda hivyo? Baba
maana maneno kama; ndugu, kaka au dada
yako na mimi tumekuwa tukikutafuta kwa huzuni.”
lilitumika badala ya Binamu yaani mtoto wa
49 Yeye akawajibu, “Kwa nini mlinitafuta?
shangazi au mjomba. Hapa juu Yosefu ametajwa
Hamkujua kwamba inanipasa kuwa katika nyumba
kama kaka yake Yesu lakini tunajua kuwa Yosefu
ya Baba yangu?” 50 Lakini wazazi wake
ni Baba yake Yesu. Baba na mwana hawawezi
hawakuelewa maana ya maneno aliyowaambia. 51
kuwa na jina sawa.
Basi, akarudi pamoja nao hadi Nazareti, akawa

anawatii. Mama yake akaweka mambo hayo yote


5. Biblia haitumii neno Ndugu, kaka au dada
moyoni mwake. 52 Naye Yesu akaendelea kukua
ikimaanisha ndugu wa kuzaliwa mama mmoja
katika hekima na kimo; akazidi kupendwa na
na baba mmoja
Mungu na watu. (Luka 2:41-52).

Kwa hiyo Biblia haionyeshi kuwa Yesu alikuwa na

kaka na dada wakati akiwa na miaka 12. Kama


203

Sio mara zote Biblia imetumia neno Ndugu tunataka utufanyie kitu tutakachokuomba.” (Marko

kumaanisha ndugu (Dada na Kaka) wa kuzaliwa 10:35)

yaani kaka na dada kwa mfano

55 Mahali hapo walikuwapo wanawake wengi

Kwa kuangalia lugha ya Kiswahili na Kiingereza 1 wakitazama kwa mbali. Hao ndio wale waliomfuata

Wakorintho 15:6 tunaona tafsiri tofauti. Yesu kutoka Galilaya wakimtumikia. 56 Miongoni

mwao walikuwa Maria Magdalene, Maria mama yao

KISWAHILI 6 Kisha aliwatokea ndugu zaidi ya Yakobo na Yosefu, pamoja na mama yao wana wa

mia tano kwa mara moja; wengi wao wanaishi Zebedayo. (Matayo 27:55-56)

bado, lakini baadhi yao wamekwisha kufa.

Tunaweza kuona Undugu huu na Yesu kwa

ENGLISH 6 After that, he appeared to more than kusoma;

five hundred of the brothers and sisters at the

same time, most of whom are still living, though 19 Lakini sikuwaona mitume wengine isipokuwa

some have fallen asleep. Yakobo, ndugu yake Bwana. (Wagalatia 1:19)

Kwa hiyo hapa neno kaka dada na ndugu Lakini Yuda anasema;

linaonekana wazi halikumaanisha ndugu au kaka

wa damu. 1 Mimi Yuda, mtumishi wa Yesu Kristo, ndugu yake

Yakobo, nawaandikia ninyi mlioitwa na Mungu na

6. Undugu wa Yakobo, Simoni, Yosefu na ambao mnaishi katika upendo wa Mungu Baba, na

Yuda kwa Yesu Sio wa mtu na kaka zake katika ulinzi wa Yesu Kristo. (Yuda 1:1)

Wasemao kuwa Bikira maria alikuwa na wana zaidi Kwa hiyo Yakobo na Yohane walikuwa watoto wa

ya Yesu wananukuu kifungu hiki; Mama mwingine ambao baba yao ni Zebedayo. Na

Yakobo na Yosefu walikuwa watoto wa Maria

55 Je, huyu si yule mwana wa seremala? Je, mama Mwingine. Kwa hiyo ni Yakobo wa wili wa Mama

yake si anaitwa Maria, na ndugu zake si kina wengine Tofauti na Maria. Yuda alikuwa ni ndugu

Yakobo, Yosefu, Simoni na Yuda? 56 Na dada zake yake Yakobo. Yakobo vilevile alikuwa ndugu yake

je, si wote wako hapa pamoja nasi? Basi amepata Yesu.

wapi haya yote?” (Mathayo 13:55-56)

Kuthibitisha kuwa Hawa kina Mama ndio waliokuwa

Kumbuka kulikuwa na Yakobo wawili wakati wa Mama zao kina Yakobo wote hao wawili na

Yesu, Vifungu vifuatavyo yunaweza kuona kuwa wengine tunaweza kusoma;

kulikuwa na yakobo wawili ambao walikuwa ndugu

za Yesu lakini sio kaka wa kuzaliwa kwa mama. 25 Karibu na msalaba wake Yesu walikuwa

wamesimama mama yake, na dada ya mama

35 Yakobo na Yohane, wana wa Zebedayo, yake, Maria mke wa Kleopa, na Maria Magdalene.

walimwendea Yesu wakamwambia, “Mwalimu, (Yohana 19:25)


204

Kwa hiyo kwenye (Yohana 19:25) tunaona Kuwa ni Baba wa Yesu Kristo ni Mungu Mwenyewe

kwenye Msalaba wa Yesu alikuwepo Mama yake

Yesu (Bikira Maria), Dada yake Bikira Maria, Mke

wa Cleopa na Maria Magdalena. Na kwenye

(Matayo 27:55-56) wamwtajwa ni Mama za kina Baba Mlishi wa Yesu Kristu ni nani?
nani kama inavyoonekana kwenye kifungu

kifuatachi;. Baba mlishi wa Yesu Kristo ni Yosefu Mtakatifu (Mt

1:18-20)
55 Mahali hapo walikuwapo wanawake wengi

wakitazama kwa mbali. Hao ndio wale waliomfuata

Yesu kutoka Galilaya wakimtumikia. 56 Miongoni

mwao walikuwa Maria Magdalene, Maria mama yao


Yesu Kristu alizaliwa wapi?
Yakobo na Yosefu, pamoja na mama yao wana wa

Zebedayo. (Matayo 27:55-56).


Yesu Kristu alizaliwa Bethlehemu pangoni (Lk 2:4-

7)
Kwa hiyo hii ina maanisha kulikua na wanawake

watatu wenye majina sawa ya Maria waliokuwa

chini ya Msalaba. Yakobo na Yuda walikuwa watoto

wa Maria Mke wa Cleofasi, na sio Mama wa Yesu,


Nini maana ya Jina Bethlehemu?
na hivyo sio kaka za Yesu.

Bethlehemu maana yake ni


7. Yesu alimwacha Mama yake kwa Yohane

kwa kuwa hakuwa na Kaka na dada


Nyumba ya mkate
wakumwachia mamaye

26 Yesu alipomwona mama yake, na karibu naye

amesimama yule mwanafunzi aliyempenda,


Yesu Kristu aliishi wapi kabala ya kuanza kazi
akamwambia mama yake: “Mama! Tazama, huyo
yake?
ndiye mwanao.” 27 Halafu akamwambia yule

mwanafunzi: “Tazama, huyo ndiye mama yako.”


Yesu Kristu Aliishi Nazareti kabla ya kuanza kazi
Na tangu saa ile huyo mwanafunzi alimchukua
yake
akae nyumbani kwake.

Ndiyo maana Bikira Maria tangu siku ile alihamia

kwa Yohani kwa kuwa hakuwa na watoto wengine.


Mtangulizi wa Yesu Kristu ni nan?

Mtangulizi wa Yesu Kristu ni Yohani Mbatizaji

Baba wa Yesu Kristo ni nani?


205

Wazazi wa Yohani Mbatizaji ni nani? Mitume wa mataifa ni Paulo na Barnaba

Wazazi wa Yohani Mbatizaji ni Zakaria na Eizabeti

Nani ni shahidi wa kwanza katika Agano

Jipya?

Wazazi wa Bikira Maria ni nani?

Shahidi wa Kwanza ni Mt Stefano

Wazazi wa Bikira Maria ni Yoakimu na Anna

Yesu Alianza kuhubiri injili kwa maneno gani?

Mitume kumi na wawili wa Yesu Kristu ni

wapi? “Wakati umetimia na ufalme wa Mungu

umekaribia, tubuni na kuiamini Injili” (Mk 1:15)

Mitume wa yesu ni;

1. Simoni/Petro

2. Yakobo

3. Yohane Yesu alitukomboa kwa hatua zipi?


4. Andrea

5. Filipo Yesu alitukomboa kwa Hatua Mbili (2) ambazo ni;

6. Barttholomayo 1. Mafundisho yake


7. Mathayo 2. Mateso, Kifo na Ufufuko wake
8. Thomaso

9. Yakobo wa ALfayo

10. Thadayo (Yuda Thadey)

11. Simoni Mkanaani


Sentesi saba za Yesu msalabani ni zipi?
13. Yuda Iskarioti – Aliyemsaliti

Sentesi saba za Yesu Msalabani ni;

1. Baba uwasamehe kwa maana hawajui

wanalofanya (Lk 23:34)


Baba Mtakatifu wa kwanza ni nani? 2. Nakuambia Hakika leo utakuwa pamojanami

Mbinguni (Lk 23:43)


Baba Mtakatifu wa Kwanza ni Mt. Petro 3. Mama huyu ndiye mwanao (Yoh 19:26)

4. Tazama huyu ndiye Mama yako (Yoh 19:27)

5. Eloi, Eloi, lema Sabakthani (Mk. 15:34) Mungu


Nani ni Mitume wa Mataifa? wangu, Mungu wangu mbona umeniacha?
206

6. Naona kiu (Yoh 19:28) Ishara ndogo ya Msalaba juu ya panda la uso,

7. Yametimia (Yoh 19:30) mdomo, na kifua kabla ya Injili ina maana

gani?

WhatsAppTwitterLinkedInEmail Maana yake ni kama Ahadi kuwa, Niko tayari

kulifahamu Neno la Mungu kwa akili yangu,


Mambo ya Muhimu kufahamu kuhusu Ishara ya Msalaba
Nitalitangaza kishujaa kwa Midomo yangu,
Mafundisho ya Katekisimu / Leave a Comment
Nitalipenda na kulishika kwa Moyo wangu wote.
Ishara ya msalaba ni nini?

Ishara ya Msalaba ni tendo la mtu kugusa panda la WhatsAppTwitterLinkedInEmail


Mafundisho kuhusu Neema
uso, kifua na mabega kwa kutumia mkono wa kulia
Mafundisho ya Katekisimu / Leave a Comment
na kutamka “Kwa jina la Baba, na la Mwana na la
Je, tunaweza kuhakikisha neema ya utakaso?
Roho Mtakatifu, Amina”
Hapana, hatuwezi kuhakikisha neema ya utakaso

kwa kuwa ni tukio ambalo linapita maumbile na

kufanyika rohoni, hivyo halifikiwi na hisi zetu.


Kwa kugusa paji la uso tuna maana gani? Pengine Mungu anatokeza dalili fulani za badiliko

hilo kama vile furaha ya ndani au karama ya nje,


Kwa kugusa paji la uso tuna maana ya kukubali
lakini hizo hazihitajiki wala hazitoshi kuthibitishia
kwa akili
mtu amepata neema hiyo.

“Wengi wataniambia siku ile: Bwana, Bwana,

hatukufanya unabii kwa jina lako, na kwa jina lako


Kwa kugusa kifua tuna maana gani?
kutoa pepo, na kwa jina lako kufanya miujiza
Kwa kugusa kifua maana yake ni kuupokea na mingi? Ndipo nitawaambia dhahiri: Sikuwajua ninyi
kuukubali msalaba moyoni. kamwe; ondokeni kwangu, ninyi mtendao maovu”

(Math 7:22-23).

“Nijaposema kwa lugha za wanadamu na za

Kwa kugusa mabega tuna maana gani? malaika, kama sina upendo, nimekuwa shaba iliayo

na upatu uvumao. Tena nijapokuwa na unabii, na


Kwa kugusa mabega maana yake ni kuwa tayari
kujua siri zote na maarifa yote, nijapokuwa na
kuubeba msalaba kwa nguvu zetu zote
imani timilifu kiasi cha kuweza kuhamisha milima,

kama sina upendo, si kitu mimi. Tena nikitoa mali

zangu zote kuwalisha maskini, tena nikijitoa mwili

Kwa nini tunafanya Ishara ya Msalaba? wangu niungue moto, kama sina upendo,

hainifaidii kitu” (1Kor 13:1-3).


Tunafanya Ishara ya Msalaba kwa nia ya kumkiri

Mungu mmoja katika Nafsi Tatu. Pia msalaba ni

Ishara ya Ukombozi wetu


Neema ni nini?

Neema ni kipaji cha roho kinachopita nguvu za

viumbe vyote; ndicho kipaji tupewacho na Roho


207

Mtakatifu ili tupate uzima wa milele. (Lk 1:30, Rum

5:2)

Kuna Faida ya kuwa na Neema ya Utakaso?

Faida ya kuwa na Neema ya Utakaso ni;-

Kuna aina ngapi za neema?

1. Kupendwa na Mungu hapa duniani

Kuna aina mbili za neema 2. Na kupokelewa kwake mbinguni baada ya kufa

1. Neema ya utakaso

2. Neema ya msaada

Neema ya Msaada ni nini?

Neema ya Msaada ni msaada tupatao kwa Roho

Neema ya Utakaso ni nini? Mtakatifu kutuongezea nguvu Rohoni tutende

mambo mema na tuepuke Mabaya

Neema ya Utakaso ni uzima wa Kimungu

unaomiminwa na Roho Mtakatifu mioyoni mwetu.

(Yoh 1:16, Yoh 3:3-5)

Neema ya Msaada yapatikanaje?

Neema ya Msaada yapatikana kwa kupokea

Neema ya Utakaso yapatikanaje? Sakramenti, kusali, na kutenda mambo ya Ibada

(Yoh 15:5, 1Tim 2:4)

Neema ya Utakaso yapatikana kwa;

1. Kwanza kwa Sakramenti ya Ubatizo WhatsAppTwitterLinkedInEmail


2. Sakramenti ya Kitubio

3. Kwa majuto kamili (majuto ya mapendo) Mambo ya muhimu kujua kuhusu Sakramenti ya
Kipaimara
Mafundisho ya Katekisimu / Leave a Comment
4. Yaongezwa kwa kupokea Sakramenti nyingine
Roho Mtakatifu aliwashukia Mitume siku
5. Kwa Sala gani?
6. Kwa Ibada Takatifu
Roho Mtakatifu aliwashukia Mitume siku ya
7. Kwa matendo mema
Pentekoste, yaani siku ya hamsini toka Pasaka.

(Mdo 2:1-4)

Neema ya Utakaso yapoteaje?

Sakramenti inayohusiana zaidi na ubatizo ni

Neema ya Utakaso yapotea kwa kutenda dhambi ipi?

kubwa (dhambi ya mauti)


208

Sakramenti inayohusiana zaidi na ubatizo ni mtumwa tena bali u mwana; na kama u mwana,

kipaimara, kinachoendeleza kazi yake. basi, u mrithi kwa Mungu. Lakini wakati ule, kwa

kuwa hamkumjua Mungu, mliwatumikia wao


“Waliposikia haya wakabatizwa kwa jina la Bwana
ambao kwa asili si miungu… Tukiishi kwa Roho, na
Yesu. Na Paulo, alipokwisha kuweka mikono yake
tuenende kwa Roho” (Gal 4:6-8; 5:25).
juu yao, Roho Mtakatifu akaja juu yao” (Mdo 19:5-

6). “Ikiwa Roho wa Mungu anakaa ndani yenu, ninyi

hamwufuati mwili; bali mwaifuata roho. Lakini mtu


Sakramenti hizo ni kama pande mbili za pesa
awaye yote asipokuwa na Roho wa Kristo, huyo si
moja. Zinahusiana kama Pasaka na Pentekoste,
wake” (Rom 8:9).
ambayo ni utimilifu wake, kwa kuwa siku

alipofufuka Yesu aliwapulizia Mitume Roho

Mtakatifu, ambaye siku hamsini baadaye akawajia

kama Tukimpokea Roho Mtakatifu papo hapo

tunapokea pia nini?


“upepo wa nguvu ukienda kasi, ukaijaza nyumba

yote” (Mdo 2:2). Tukimpokea Roho Mtakatifu papo hapo tunapokea

pia adili kuu la upendo:

“Pendo la Mungu limekwisha kumiminwa katika

Pamoja na kuwekewa mikono na mwandamizi mioyo yetu na Roho Mtakatifu tuliyepewa sisi”

wa Mitume, mtu anapewa kipaimara vipi? (Rom 5:5).

Pamoja na kuwekea mikono na mwandamizi wa Tena tunapokea vipaji vyake ambavyo Yesu

Mitume, mtu anapewa kipaimara kwa kupakwa alikuwa navyo kikamilifu.

krisma kama mhuri wa kuwa mali ya Bwana. Ndiyo “Roho ya Bwana atakaa juu yake, roho ya hekima
inayotufanya tuitwe Wakristo nyuma ya Yesu na ufahamu, roho ya shauri na uweza, roho ya
aliyeitwa Kristo. maarifa na ya kumcha Bwana. Na furaha yake

“Kwa sababu huyo ndiye aliyetiwa muhuri na Baba, itakuwa katika kumcha Bwana” (Isa 11:2-3).

yaani, Mungu” (Yoh 6:27). Mambo hayo, tofauti na karama, ni ya lazima kwa

“Yeye atufanyaye imara pamoja nanyi katika yeyote apate wokovu wa milele.

Kristo, na kututia mafuta, ni Mungu, naye ndiye

aliyetutia muhuri akatupa arabuni ya Roho mioyoni

mwetu” (2Kor 1:21-22).


Je, tunaweza kuhakikisha neema ya utakaso?

Hapana, hatuwezi kuhakikisha neema ya utakaso

kwa kuwa ni tukio ambalo linapita maumbile na


Kumpokea Roho Mtakatifu maana yake nini?
kufanyika rohoni, hivyo halifikiwi na hisi zetu.

Kumpokea Roho Mtakatifu maana yake ni kuja Pengine Mungu anatokeza dalili fulani za badiliko

kuongozwa naye badala ya kutawaliwa na shetani. hilo kama vile furaha ya ndani au karama ya nje,

lakini hizo hazihitajiki wala hazitoshi kuthibitishia


“Kwa kuwa ninyi mmekuwa wana, Mungu
mtu amepata neema hiyo.
alimtuma Roho wa Mwanae mioyoni mwetu, aliaye,

„Aba!‟ yaani, „Baba!‟ Kama ni hivyo, wewe si


209

“Wengi wataniambia siku ile: Bwana, Bwana, Karama nyingine muhimu zinatuwezesha kuishi

hatukufanya unabii kwa jina lako, na kwa jina lako kwa useja kama Yesu na Paulo, au kwa ndoa:

kutoa pepo, na kwa jina lako kufanya miujiza


“Nipendalo ni kwamba watu wote wawe kama mimi
mingi? Ndipo nitawaambia dhahiri: Sikuwajua ninyi
nilivyo; walakini kila mtu ana karama yake
kamwe; ondokeni kwangu, ninyi mtendao maovu”
mwenyewe itokayo kwa Mungu, huyu hivi, na huyu
(Math 7:22-23).
hivi. Lakini nawaambia wale wasiooa bado, na
“Nijaposema kwa lugha za wanadamu na za wajane; ni heri wakae kama mimi nilivyo” (1Kor
malaika, kama sina upendo, nimekuwa shaba iliayo 7:7-8).
na upatu uvumao. Tena nijapokuwa na unabii, na
“Si wote wawezao kulipokea neno hili, ila wale
kujua siri zote na maarifa yote, nijapokuwa na
waliojaliwa” (Math 19:11).
imani timilifu kiasi cha kuweza kuhamisha milima,
Tunavyoona katika historia ya watawa, mara
kama sina upendo, si kitu mimi. Tena nikitoa mali
nyingi karama ya useja inaendana na nyingine
zangu zote kuwalisha maskini, tena nikijitoa mwili
katika maisha ya sala, ya kijumuia na ya kitume.
wangu niungue moto, kama sina upendo,
Hivyo Filipo “alikuwa na binti wanne, mabikira,
hainifaidii kitu” (1Kor 13:1-3).
waliokuwa wakitabiri” (Mdo 21:9).

Je, karama ni zile za kushangaza tu?


Karama zinagawiwa vipi?
Hapana, karama si zile za kushangaza tu, tena zile
Karama zinagawiwa na Roho Mtakatifu jinsi
muhimu zaidi si hizo, bali zile zinazojenga zaidi
anavyotaka, si kwa sifa au faida ya binafsi, bali
Kanisa, kama zile za uongozi:
kwa ustawi wa taifa la Mungu.
“Mungu ameweka wengine katika Kanisa, wa
“Kazi hizi zote huzitenda Roho huyo mmoja, yeye
kwanza mitume, wa pili manabii, wa tatu waalimu,
yule, akimgawia kila mtu peke yake kama
kisha miujiza, kisha karama za kuponya wagonjwa,
apendavyo yeye… Je, wote ni mitume? Wote ni
na masaidiano, na maongozi, na aina za lugha”
manabii? Wote ni waalimu? Wote wanatenda
(1Kor 12:28).
miujiza? Wote wana karama za kuponya
“Basi kwa kuwa tuna karama zilizo mbalimbali,
wagonjwa? Wote wanena kwa lugha? Wote
kwa kadiri ya neema tuliyopewa; ikiwa unabii,
wafasiri?… Kwa kuwa mnatamani sana kuwa watu
tutoe unabii kwa kadiri ya imani; ikiwa huduma,
wenye karama za roho, takeni kwamba mzidi sana
tuwemo katika huduma yetu; mwenye kufundisha,
kuwa nazo ili kulijenga kanisa… Kwa maana Mungu
katika kufundisha kwake; mwenye kuonya, katika
si Mungu wa machafuko, bali wa amani” (1Kor
kuonya kwake; mwenye kukirimu, kwa moyo
12:11,29-30; 14:12,33). Kwa ajili hiyo mitume
mweupe; mwenye kusimamia, kwa bidii; mwenye
walipambanua na kuratibu karama katika ibada na
kurehemu, kwa furaha” (Rom 12:6-8).
katika maisha ya jumuia zisije zikavuruga Kanisa.

Karama nyingine muhimu zinatuwezesha


Karama za kushangaza zina hatari gani?
kufanya nini?
210

Karama za kushangaza zina hatari mbalimbali, Shetani. Maana hapo palipo wivu na ugomvi, ndipo

hasa zikitiwa maanani mno. Hapo ni rahisi zilete palipo machafuko, na kila tendo baya. Lakini

majivuno, kijicho na mafarakano. hekima itokayo juu, kwanza ni safi; tena ni ya

amani, ya upole, tayari kusikiliza maneno ya watu,


“Ikiwa kwenu kuna husuda na fitina, je, si watu wa
imejaa rehema na matunda mema, haina fitina,
tabia ya mwili ninyi; tena mnaenenda kwa jinsi ya
haina unafiki” (Yak 3:14-17).
kibinadamu?… Mmekwisha kushiba, mmekwisha

kupata utajiri, mmemiliki pasipo sisi. Naam, laiti Madhehebu yanapozidi kufarakana ni lazima

mngemiliki… Kwa hiyo anayejidhania kuwa tujiulize kama kweli ni kazi ya Roho Mtakatifu.

amesimama na aangalie asianguke” (1Kor 3:3;

4:8; 10:12).

Katika mambo yasiyothibitika ni rahisi Sakramenti inayokamilisha ubatizo na


kudanganyika kuwa yametoka kwa Mungu, kumbe kipaimara ni ipi?
sivyo. Kisha kudanganyika ni vigumu kuachana
Sakramenti inayokamilisha ubatizo na kipaimara ni
nayo hata yakiwa na madhara kwa mhusika au
ekaristi, iliyo kuu kuliko sakramenti zote kwa
kwa Kanisa.
sababu ndiyo Yesu mzima, Mungu-mtu, katika
“Wapenzi, msiiamini kila roho, bali zijaribuni hizo maumbo ya mkate na divai.
roho, kwamba zimetokana na Mungu; kwa sababu
Sisi ambao tulishiriki kifumbo kifo na ufufuko wake
manabii wa uongo wengi wametokea duniani”
tukapokea kwake paji la Roho Mtakatifu,
(1Yoh 4:1).
tunaalikwa kukaribia mara kwa mara meza

anapotulisha na kutunywesha Mwili na Damu yake

ili tushiriki uhai wake kwa dhati zaidi na zaidi.


Tunda la kuongozwa na Roho Mtakatifu ni
“Aulaye mwili wangu na kuinywa damu yangu
lipi?
hukaa ndani yangu, nami hukaa ndani yake. Kama
Tunda la kuongozwa na Roho Mtakatifu ni umoja vile Baba aliye hai alivyonituma mimi, nami ni hai
wa Kanisa unaotokana na ustawi wa upendo na kwa Baba; kadhalika naye mwenye kunila atakuwa
vipaji ndani ya waamini. hai kwa mimi” (Yoh 6:56-57).

“Wote walijaa Roho Mtakatifu, wakanena neno la Ubatizo na kipaimara havirudiwi, vinadumu ndani

Mungu kwa ujasiri. Na jamii ya watu walioamini mwetu kama mifupa ambayo ekaristi ya mara kwa

walikuwa na moyo mmoja na roho moja” (Mdo mara inazidi kuitia mwili na damu.

4:31-32).

“Tunda la Roho ni upendo, furaha, amani,

uvumilivu, utu wema, fadhili, uaminifu, upole,


Sakramenti ya Kipaimara ni nini?
kiasi; juu ya mambo kama hayo hakuna sheria”

(Gal 5:22-23). Ni Sakramenti yenye kumpa Mkristu Roho

Mtakatifu na ukamilifu wa mapaji yake saba,


“Lakini, mkiwa na wivu wenye uchungu na ugomvi
kumfanya mkristu mkamilifu na kumwandika
mioyoni mwenu, msijisifu, wala msiseme uongo
Askari hodari wa Yesu Kristo Mpaka Kufa
juu ya kweli. Hekima hiyo siyo ile ishukayo kutoka

juu, bali ni ya dunia, ya tabia ya kibinadamu, na


211

Nini maana ya Roho Mtakatifu? Inaitwa Sakramenti ya Kipaimara kwa sababu

inaimarisha na kukamilisha neema ya Ubatizo


Roho Mtakatifu ni nafsi ya Tatu ya Utatu Mtakatifu,

ni Mungu Halisi sawa na Mungu Baba na Mwana.

(Yoh 14:16-17,26)

Roho Mtakatifu anakuja kufanya nini rohoni

mwetu kwa Kipaimara?

Roho Mtakatifu anawafanyia Waamini nini? Anakuja kufanya yafuatayo;

1. Anakuja kutuongezea Neema ya Utakaso


Roho Mtakatifu anawafanyia Waamini haya.

1. Anawatakasa 2. Anatuletea pia ukamilifu wa mapaji yake saba

na msaada wa kuungama imani yetu mbele za


2. Anawaangaza na kuwavuta ili waende kwenye
watu
uzima wa milele

Mapaji Saba ya Roho Mtakatifu ndio nini?


Ni kwa namna gani Roho Mtakatifu

Anatutakasa? Mapaji saba ya Roho Mtakatifu ni msaada wake wa

kuimarisha na kuzoesha akili na moyo wetu kwa


Roho Mtakatifu anatutakasa kwa njia ya
mambo ya utumishi wa Mungu
Sakramenti, Visakramenti, Fadhila za Kimungu na

vipaji vyake. (Yoh 16:8)

Mapaji saba ya Roho Mtakatifu ni yapi?

Ni kwa namna gani Roho Mtakatifu anatenda Mapaji Hayo ni;

kazi zake? 1. Hekima

2. Akili
Roho Mtakatifu anatenda kazi zake kwa njia hizi;
3. Shauuri
1. Anatuangaza kwa Mwanga wake tupate kuelewa

mafundisho ya dini 4. Nguvu

2. Anatupatia neema za msaada za kutusaidia 5. Elimu

kutunza utakatifu wetu 6. Ibada

7. Uchaji wa Mungu (Isaya 11:2)


3. Anatuvuta kwa mapendo yake tuzitumie Neema

na kufika kwenye uzima wa milele.

4. Anatufariji katika shida zote. Ndio maana Roho

Mtakatifu huitwa pia Mfariji Hekima ni nini?

Ni upendaji wa Mambo ya Mungu na Machukio ya

Mambo ya Dunia

Kwa nini Sakramenti hii inaitwa Kipaimara?


212

Akili ni nini? Ni nani mhudumu rasmi wa Sakramenti ya

Kipaimara?
Ni mwangaza wa Roho Mtakatifu wa Kutusaidia

tumjue zaidi Mungu na Ukamilifu wake na kuwa na Ni Askofu halali wa Kanisa Katoliki au anaweza

Hakika kwamba Mungu peke yake aweza kutuliza kumtuma Padre kutoa Sakramenti ya Kipaimara.

roho zetu
Katika hatari ya kufa kila padre anatoa Sakramenti

ya Kipaimara. (Mdo 8:1, 1Kor 12:1-11)

Shauri ni nini?

Ni utaratibu wa Kuchagua Siku zote mambo yenye Askofu ampaje Mkristo Kipaimara?

kufaa kwa sifs ya Mungu na kwa Wokovu wetu


Kwanza ananyoosha Mikono juu yake akimwombea

mapaji saba ya Roho Mtakatifu.

Anamwandika ishara ya msalaba katika panda la


Nguvu ni nini?
uso kwa mafuta ya Krisma Takatifu akitaja

Ni moyo wa kushika sana Amri za Mungu na maneneo ya Sakramenti “Pokea Mhuri wa paji la

mambo ya utumishi wake tusiogope watu, Roho Mtakatifu” halafu anampiga kofi kidogo.

matukano, mateso wala kufa. (Rum 8:38-39)

Ishara wazi ya Sakramenti ya Kipaimara ni

Elimu ni nini? nini?

Ni maarifa ya kutambua werevu na udanganyifu Ishara wazi ya Sakramenti ya Kipaimara ni Askofu

wa shetani; anaposhawishi mwenyewe au kwa kumwekea Mkristo mikono na kumpaka Krisma

kutumia vitu au watu. (1Pet 5:8-9) Takatifu na Kusema maneneo, “Pokea muhuri wa

Paji la Roho Mtakatifu”

Ibada ni nini?
Ina maana gani kupaka mafuta ya Krisma
Ni roho ya kupenda utumishi wa Mungu na yote
katika panda la uso wakati wa Kipaimara?
yale yenye kumpa Mungu sifa na Heshima
Inamaana kuwekwa wakfu (Yh 17:16-17).

Inamaana kuwa aliyepokea Sakramenti ya

Kipaimara anapaswa kuwa tayari Kuteswa kwa


Uchaji wa Mungu ni nini?
kuungama Imani yake na kuishi bila woga. (Mdo
Ni hofu ya kumchukiza Mungu kwa Dhambi kama
7:54-55).
vile mtoto mwema aogopavyo kumchukiza mzazi

au mlezi wake.
213

Kwa nini Askofu anampiga kofi kidogo Sakramenti ya Kipaimara inaleta manufaa

shavuni wakati akitoa Kipaimara? gani rohoni mwa Mbatizwa?

Askofu anampiga kofi Kidogo Shavuni ili Manufaa ya Kipaimara ni;

kumkumbusha awe mvumilivu, imara na tayari


1. Miminiko la pekee la Roho Mtakatifu, kama la
kuteseka hata kama ni kifo kwa ajili ya Yesu
siku ya Pentekoste
Kristo.
2. Inachapa rohoni alama isiyofutika milele

3. Inakamilisha neema ya Ubatizo

4. Kufanya hali ya kuwa wana wa Mungu itie mizizi

Mwenye kupokea Sakramenti ya kipaimara mirefu zaidi

Yampasa nini? 5. Inaunganisha zaidi na Kristo na Kanisa lake.

6. Inastawisha vipaji vya Roho Mtakatifu rohoni


Ajue mafundisho makuu ya dini na awe katika hali
7. Inatia nguvu ya pekee kwa kushuhudia Imani ya
ya neema
Kristo

WhatsAppTwitterLinkedInEmail
Maswali na Majibu kuhusu Kuabudu kwa Wakatoliki
Mkristo Hupokea Sakramenti ya Kipaimara Mafundisho ya Katekisimu / Leave a Comment

Mara ngapi?

Mkristo Hupokea Sakramenti ya Kipaimara Mara Wakatoliki tunamwabudu Mungu kwa namna

moja tuu, kwa sababu Kipaimara hupiga rohoni


gani?
chapa isiyofutika milele.

Tunamwabudu Mungu kwa sala , sadaka na

matendo mema

Je, Baada ya kupokea Sakramenti ya

Kipaimara ni lazima kuendelea kujifunza

Dini?
Je, tuna ruhusa ya kuwaabudu Watakatifu?
Ndiyo, Baada ya kupokea Sakramenti ya Kipaimara
Hatuna ruhusa ya kuwaabudu Watakatifu
ni lazima kuendelea kujifunza Dini ili tuweze
tunawaheshimu tu.
kuelewa na kulinda Imani yetu na kutumia vema

neema ya Kipaimara.

Je sanamu zimekatazwa?
Je, Ni lazima kila Mkristo kupokea Sakramenti
Sanamu hazijakatazwa, ila tunaziheshimu kwa
ya Kipaimara?
sababu zinatukumbusha Mungu na Watakatifu.
Ni lazima kila Mkristo kupokea Sakramenti ya (Kut 25:18-22).
Kipaimara kwa sababu ni Ukamilisho wa
18 Nawe fanya makerubi mawili ya dhahabu;
Sakramenti ya Ubatizo. (Mdo 8:14-17)
uyafanye ya kazi ya kufua, katika hiyo miisho ya

kiti cha rehema, huku na huku. 19 Weka kerubi


214

moja mwisho mmoja, na kerubi la pili mwisho wa


Kutokumuabudu Mungu ni kwa namna gani?
pili; fanya hayo makerubi ya kitu kimoja na kiti cha

rehema, mwisho huku na mwisho huku. 20 Na Ni kuruhusu kitu chochote kimtawale mtu badala

hayo makerubi yatainua mabawa yao juu, na ya Mungu, mfano cheo, pombe, mali, shetani,

kukifunika hicho kiti cha rehema kwa mabawa yao, tuisheni, kazi, na kutoadhimisha Jumapili au

na nyuso zao zitaelekeana hili na hili; nyuso za kutoshiriki.

hayo makerubi zitaelekea kiti cha rehema. 21

Weka kiti cha rehema juu ya hilo sanduku, kisha

utie huo ushuhuda nitakaokupa ndani ya sanduku.

22 Nami nitaonana nawe hapo, na kuzungumza Mkatoliki anaabuduje?


nawe pale nilipo juu ya kiti cha rehema, katikati ya
Mkatoliki anaabudu kwa kupiga goti au magoti
hayo makerubi mawili yaliyo juu ya sanduku la
mawili na ni mbele ya sakramenti ya Ekaristi
ushuhuda, katika mambo yote nitakayokuagiza
Takatifu tuu hasa wakati wa kuingia na kutoka
kwa ajili ya wana wa Israeli. Kutoka 25 :18-22.
kanisani
Vile vile Mungu alishawahi kuwaagiza Waisraeli

Wachonge sanamu ya nyoka na yeyote

atakayeumwa na nyoka akiiangalia atapona.

Je magoti yanayopigwa wakati mwingine

tofauti na wakati wa kuabudu yana maana


Mfano wa sanamu takatifu ni zipi?
gani?
Sanamu ya Bikira Maria, Mtoto Yesu, Mt. Yosefu,

Moyo wa Yesu na za Watakatifu. Magoti yanayopigwa wakati wa sala mfano

kanisani, nyumbani, mbele ya sanamu, jumuiyani,

shuleni yanaitwa Mkao wa sala

Ni nanai ana kosa kumuabudu Mungu?

Anayekosa kumuabudu Mungu ni yule;


Kwa nini wakatoliki wanaweka sanamu

1. Anayeacha kusali au anayesali hovyo


Kanisani?
2. Anayemkufuru Mungu

3. Anayeamini na kushika mambo ya kipagani Tunaweka sanamu Kanisani kwa sababu

tunaheshimu anayewakilishwa na sanamu hiyo

kwa mfano Yesu Kristo, Mama Bikira Maria,

Malaika na Watakatifu; na kamwe hatuziabudu.

Ni nini maana ya kuabudu sanamu? (Kutoka 25:18-22)

Kuabudu sanamu ni kukipa kiumbe chochote Hata Waisraeli kwenye hekalu lao walikua na

heshima au upendo anaostahili Mungu peke yake. sanamu kama tunavyosoma hapa;
215

“18 Nawe fanya makerubi mawili ya dhahabu; nguvu ya sanamu bali unategemea neema ya

uyafanye ya kazi ya kufua, katika hiyo miisho ya Mungu kwa njia ya Imani yako kwa Mungu.

kiti cha rehema, huku na huku. 19 Weka kerubi


Kama vile Sanamu hii ya nyoka aliyoagiza Mungu
moja mwisho mmoja, na kerubi la pili mwisho wa
iwekwe ilivyowekwa kwa nia ya uponyaji kwa yule
pili; fanya hayo makerubi ya kitu kimoja na kiti cha
aitazamaye vivyo hivyo Sanamu na Picha za
rehema, mwisho huku na mwisho huku.20 Na hayo
Kanisani zinawekwa kwa nia maalumu na kwa
makerubi yatainua mabawa yao juu, na kukifunika
neema maalumu. Ndiyo maana hazifanani. Na
hicho kiti cha rehema kwa mabawa yao, na nyuso
zinabarikiwa kwa kuombewa Baraka Ili zizae
zao zitaelekeana hili na hili; nyuso za hayo
neema kwa wanaozitumia.
makerubi zitaelekea kiti cha rehema. 21 Weka kiti

cha rehema juu ya hilo sanduku, kisha utie huo


Sanamu au picha sio haramu bali maana ya hiyo
ushuhuda nitakaokupa ndani ya sanduku. 22 Nami

nitaonana nawe hapo, na kuzungumza nawe pale sanamu au picha ndio inaiharamisha.

nilipo juu ya kiti cha rehema, katikati ya hayo


Kuna tofauti kati ya kuabudu na kuheshimu.
makerubi mawili yaliyo juu ya sanduku la
Wakatoliki wanaweka sanamu kwa heshima na sio
ushuhuda, katika mambo yote nitakayokuagiza
kwa kuabudu, ndio maana unaposali mbele ya
kwa ajili ya wana wa Israeli. (Kutoka 25 :18-
picha ya Yesu hausali ee sanamu nisaidie bali
22.)“
unasema ee Yesu nisaidie.
Kwa hiyo kama Mungu mwenyewe aliagiza Sanamu

za Malaika zichongwe na kusema atakua hapo na Je tuseme tunamwabudu Raisi kwa kuheshimu

kuongea na watu wake. Je sio vyema zaidi kuwa picha yake kwa kuiinamia? Je tunaabudu bendera

na sanamu na Picha ya Mwanae wa Pekee Yesu kwa kuheshimu na kupigia saluti? Je taratibu

Kristo na kuongea na Mungu mbele yake kama zabunge za kutoa heshima na taratibu za

alitaka ya malaika ambao sio Mungu? mahakama ni kuabudu?. Je kuapa mbele ya picha

ya Raisi ni kumuabudu Raisi? Je kuapa na Biblia ni


Mfano mwingine ni pale Mungu alivyomwabia Musa
kuabudu Biblia? Je tunapobusu Biblia na kuitunza
achonge Sanamu ya Nyoka wa shaba.
kwa heshima tunaiabudu? Tofauti ya Biblia na

“BWANA akamwambia Mose, “Tengeneza nyoka wa sanamu ni nini? Je, kwenye Biblia

shaba na umweke juu ya mti, ye yote aliyeumwa kinachoheshimiwa ni karatasi au maana ya yale

na nyoka anaweza kumtazama na akaishi tena.‟‟ maneno kwenye karatasi. Pengine usingeheshimu

9Kwa hiyo Mose akatengeneza nyoka wa shaba na kama hujajua kuyasoma.

kumweka juu ya mti. Kisha wakati mtu ye yote


Kuna tofauti gani kati ya biblia yenye Maandishi na
alipoumwa na nyoka, naye akamtazama yule
msalaba wa kuchonga wenye kuonyesha kile
nyoka wa shaba, aliishi.” (Hesabu 21:8-9).
kinachosemwa na biblia? kama unaweza
Kwa Mfano huu Je tunaweza kusema kuwa sanamu
kuheshimu biblia yenye karatasi tena pale
ya nyoka ina nguvu ya uponyaji kuliko ya Yesu
unapoweza kuzisoma na pengine ungeizarau kama
aliye Mungu? Kumbuka hapa watu walioona
ni ya lugha tofauti na hujui kilichoandikwa? Je
sanamu hii ya nyoka hawakukoponywa na nguvu
Msalaba uliobeba maana ya kile kilichoandikwa
ya sanamu ya shaba bali kwa nguvu ya neema ya
kwenye Biblia unaona si kitu? Kama
Mungu kupitia Imani kwa Mungu. Kwa hiyo
Kinachoheshimiwa kwenye Biblia sio karatasi bali
unaposali mbele ya picha au sanamu hautegemei
216

maana maneno yaliyoandikwa vivyo hivyo ya kiti cha rehema, katikati ya hayo makerubi

kinachoheshimiwa kwenye picha au sanamu sio mawili yaliyo juu ya sanduku la ushuhuda, katika

chuma yake au mti ukiochongwa bali ni maana ya mambo yote nitakayokuagiza kwa ajili ya wana wa

hiyo sanamu. Israeli. (Kutoka 25 :22). Sanamu au picha ni

ishara wazi ya uwepo wa kile kisichoonekana.


Hii ndio maana nasema kuna tofauti ya kuabudu

na kuheshimu.

Jifunze kupitia Sanduku la Agano na Msalaba


Kumbuka kuwa picha au sanamu yoyote ya

Kikatoliki lazima ibarikiwe kwanza ndio uweze wa Yesu


Kusali mbele yake. Inapobarikiwa inaombewa
Kwenye Agano la kale: Ndani ya hekalu la
uwepo wa yule anayewakilishwa na picha/sanamu
Waisraeli walikua na Sanduku la agano, sanduku
hiyo uwe pale sanamu ilipo na anayesali pale sala
hilo lilikua na vibao vya Amri za Mungu ambavyo ni
yake Ifike kwa mlengwa anayeonekana kwa ishara
Ishara ya Agano lao na Mungu na ndani ya
ya sanamu/picha. Kwa Mfano askofu au padri
sanduku kulikuwepo pia Mfano wa Kiti ambacho
anapobariki sanamu ya Yesu anaomba
kimezugukwa na sanamu za viumbe kama malaika
kuwa “Yesu awepo pale kwenye sanamu na
nyuso zao zikielekea kiti hicho Kutoka 25:10-
Neema zake”, kwa hiyo yeyote anayesali mbele
22. Waisraeli walikua wanasali kuelekea sanduku
ya sanamu hiyo anaamini kuwa Yesu yuko pale na
la Agano wanapokuwa Hekaluni na hata wakiwa
anasali Mbele yake. Kwa hiyo kinachopewa
majumbani mwao walisali kuelekea upande lilipo
heshima sio ile sanamu bali ni yule anayeonekana
Hekalu. Waisraeli walisali kuelekea Sanduku la
kwa ishara ya ile sanamu au picha.
Agano wakiamini kwamba Mungu yupo kati ya

sanduku lile. Lakini sanduku lile halikuwa Mungu.


Tofauti ya Sanamu za Kikatoliki na za kipagani ni
Waisraeli waliona fahari juu ya Sanduku lile na

Kwamba, walilithamini na kuliheshimu kwa kuwa lilionyesha

uwepo wa Mungu na popote lilipokuwa waliamini


Sanamu za Kipagani: Sanamu hizi huchukuliwa Mungu yupo.

kama Mungu na huabudiwa na kutolewa Kwenye Agano jipya: Wakristu wanasali Mbele

Sadaka kama Mungu Mwenyewe. ya Msalaba wa Yesu ambao unaonyesha kazi ya

wokovu alioufanya Yesu kwa wanadamu ya


Sanamu za Kikatoliki: Sanamu hizi huchukuliwa Kuwakomboa watu kwa kifo chake Msalabani. Na

kama ishara ya kile inachokiwakilisha, Msalaba huo ni Ishara ya Ukombozi wa Agano jipya

na la Milele. Kama ilivyokuwa kwa Sanduku la


haiabudiwi kamwe bali inaheshimiwa tuu.
Agano, Wakristu wanaheshimu msalaba ambao ni
Daima Tumia Sanamu na Picha zilizobarikiwa
ishara ya wokovu wao na wanaamini kuwa Mungu
kwani zimenuiwa uwepo wa yule inayemuwakilisha
yupo kati ya Msalaba huo lakini Msalaba huo sio
na utaongea naye hapo. Sisi tunaamini kwamba
Mungu. Wakristu wanaona fahari juu ya msalaba
kwenye Sanamu ya Yesu kuna uwepo wa Yesu.
wa Yesu kwa kuwa ndio ishara ya wokovu wao.
Kama vile Mungu anavyowaambia Waisraeli katika
FUNZO:Kupitia Mfano wa Sanduku la Agano na
(Kutoka 25 :22) baada ya kuwaagiza wachonge
Msalaba tunajifunza kuwa Vyote havikuwa Mungu
sanamu za Makerubi (Malaika) 22 Nami nitaonana
ila vinaheshimiwa kwa Imani kuwa Mungu yupo
nawe hapo, na kuzungumza nawe pale nilipo juu
217

pale. Vilevile, vyote ni ishara ya wazi ya Agano la

Mungu na Wanadamu.

Je, ni halali kuheshimu sanamu?


Kwa nini tunasali mbele ya Picha/Sanamu na
Ndiyo, ni halali kuheshimu sanamu kama

Hasa kufanya Ishara ya msalaba? viwakilishi vya Yesu, Mama yake na watakatifu

wake, ambao zinaleta sura zao.


Tunasali mbela ya sanamu kwa sababu tunaamini

sanamu inaakisi uwepo wa mhusika aliyechorwa au Kwa msingi huo walimsihi Yesu “waguse hata pindo

kuchongwa kwenye hiyo sanamu/picha. Ndio la vazi lake tu. Na wote waliogusa wakaponywa

maana wakatoliki wanasali kwenye picha au kabisa” (Math 14:36).

sanamu iliyobarikiwa tuu kwa sababu Sanamu “Mimi, hasha, nisione fahari juu ya kitu chochote il

inapobarikiwa inaombewa uwepo wayule msalaba wa Bwana wetu Yesu Kristo” (Gal 6:14).

anayewakilishwa pale.
WhatsAppTwitterLinkedInEmail
Maswali na Majibu kuhusu Kifo
Tunafanya ishara ya msalaba kwenye sanamu
Mafundisho ya Katekisimu / Leave a Comment
kama sala ya utangulizi ambayo inathibitisha kuwa

hatuabudu kile kilichoko pale bali kile


Motoni ni nini?
tunachokifanya tunakifanya huku tukikiri Umungu

na Heshima ya Utatu Mtakatifu (Mungu; Baba, Motoni ni makao mabaya kwa Shetani walaaniwa
Mwana na Roho Mtakatifu.). Vile vile tunamtukuza wakaapo mbali na Mungu wakiteswa milele. (Mt
Mungu katika Utatu Mtakatifu kwa sababu ya yule 25:41, Mik 9:42-43, 1Yoh 14:15)
anayewakilishwa na picha au sanamu.

Kwa nini watu wanabusu picha na sanamu?


Uzima wa milele ni nini?
Hii ni ishara ya Upendo kwa yule anayewakilishwa

kwenye picha au sanamu husika. Hata katika Uzima wa milele ni maisha ya kukaa mbinguni na

maisha ya kawaida watu hubusu picha za wazazi Mungu yasiyokua na mwisho.

na wapendwa wao. Maana ni ile ile.

Mambo makuu manne ya mwisho ni yapi?

Mungu akiwa Roho, viungo ambavyo pengine


Mambo hayo ni;

anapewa vina maana gani? 1. Kifo

2. Hukumu
Mungu akiwa Roho, viungo ambavyo pengine
3. Jehanamu (Motoni)
anapewa vinamaanisha tu sifa fulani: k.mf. macho
4. Paradiso. (Toharani/Mbinguni)
ujuzi wake, mikono uwezo wake, mabawa ulinzi

wake, n.k. “Roho haina mwili na mifupa” (Lk

24:39).
218

Lazaro kifuani mwake” (Lk 16:22-23). “Kwangu


Je, ni muhimu tujiandae kufa?
mimi kuishi ni Kristo, na kufa ni faida…

Ndiyo, ni muhimu tujiandae kufa wakati wowote na ninatamani kwenda zangu nikae na Kristo, maana

namna yoyote kwa kuishi kitakatifu sasa na kwa ni vizuri zaidi sana” (Fil 1:21,23). “Nasi tunaona ni

kujiombea neema tutakazohitaji saa ya kufa afadhali kutokuwamo katika mwili na kukaa

kwetu, tukijua tumewekewa “kufa mara moja, na pamoja na Bwana” (2Kor 5:8). Kwa kuwa kifo ni

baada ya kufa hukumu” (Eb 9:27). “mavumbi kuirudia nchi kama yalivyokuwa, nayo

roho kumrudia Mungu aliyeitoa” (Mhu 12:7). Siku


“Katika mambo yako yote uukumbuke mwisho
ya ufufuo roho na mwili vitaungana tena kwa ajili
wako, hivyo hutakosa kamwe hata hatima” (YbS
ya uzima au moto wa milele. “Pumzi iliwaingia,
7:36).
wakaishi, wakasimama kwa miguu yao, jeshi
“Hamjui yatakayokuwako kesho! Uzima wenu ni
kubwa mno” (Ez 37:10).
nini? Maana ninyi ni mvuke uonekanao kwa

kitambo, kisha hutoweka” (Yak 4:14).


Je baada ya kufa ni hapo hapo roho inaenda
“Kesheni, mwombe, msije mkaingia majaribuni”

(Math 26:41). motoni au mbinguni, Au ni mpaka Siku ya hukumu

Yesu Atakaporudi?

Ni siku ile ile Roho ya mtu aliyekufa inaenda


Je, ina thamani machoni pa Bwana mauti ya Mbinguni, toharani au Motoni. Yesu alimwahidi yule

mtu waliyesulubiwa pamoja kuwa watakuwa


mtu aliyemcha?
peponi pamoja siku hiyo hiyo na sio siku ya
Ndiyo, “ina thamani machoni pa Bwana mauti ya hukumu.
wacha Mungu wake” (Zab 116:15).
“Kisha akasema, “Ee Yesu! Unikumbuke wakati
Hasa utiifu wa Yesu msalabani umegeuza laana ya utakapoingia katika ufalme wako.” 43 Yesu
kifo iwe baraka kwa waamini wake. akamwambia, “Nakwambia kwa hakika, leo

utakuwa pamoja nami peponi.” (Luka 23:42-


“Heri wafu wafao katika Bwana tangu sasa. Naam,
43)
asema Roho, wapate kupumzika baada ya taabu
Sauli aliweza kuongea na Samweli hata baada ya
zao; kwa kuwa matendo yao yafuatana nao” (Ufu
kufa na Samweli alimbashiria mambo
14:13).
yatakayotokea kwa Sauli maanake ni kwamba

Japokuwa alikuwa amekufa bado anayomuungano

na Mungu ndio maana aliweza kumwambia Sauli

Tutakapofariki dunia itatutokea nini? mambo yatakayompata,

Tutakapofariki dunia roho yetu isiyokufa, mbali na “7Basi Sauli akawaambia watumishi wake,

mwili unaooza, itapewa tuzo au adhabu “Nitafutieni mwanamke mwenye pepo wa utambuzi

tuliyostahili kwa maisha yetu. “Ikawa yule maskini ili nimwendee nipate kuuliza kwake. Watumishi

alikufa, akachukuliwa na malaika mpaka kifuani wake wakamwambia, “Yuko mwanamke mmoja

kwa Ibrahimu. Yule tajiri naye akafa, akazikwa. huko Endori.” 8Hivyo Sauli akajigeuza kwa kuvaa

Basi, kule kuzimu aliyainua macho yake, alipokuwa mavazi mengine, naye usiku akiwa amefuatana na

katika mateso, akamwona Ibrahimu kwa mbali, na watu wawili wakaenda kwa huyo mwanamke.
219

Akamwambia, “Nibashirie na unipandishie huyo Mfano Wa Tajiri Na Maskini Lazaro Yesu alisimulia

nitakayekutajia,” 9Huyo mwanamke akamwambia, hivi

“Wewe unajua lile alilofanya mfalme Sauli.


19 Akasema, “Palikuwa na tajiri mmoja aliyevaa
Amewakatilia mbali wapunga pepo, wapiga ramli
nguo za rangi ya zambarau na kitani safi, nguo za
wote na wachawi katika nchi. Mbona umenitegea
gharama kubwa, kila siku. 20 Na maskini mmoja,
maisha yangu ili wapate kuniua?” 10Sauli
jina lake Lazaro, mwenye vidonda mwili mzima,
akamwapia huyo mwananmke kwa Jina la BWANA,
alikuwa akiletwa mlangoni kwa huyo tajiri kila siku.
akasema, “Kwa hakika kama BWANA aishivyo,
21 Lazaro alikuwa akitamani kula makombo
hutaadhibiwa kwa ajili ya jambo hili.” 11Ndipo yule
yaliyodondoka mezani kwa tajiri. Hata mbwa
mwanamke akauliza, “Je unataka nikupandishie
walikuwa wakiramba vidonda vyake. 22
nani? Sauli akasema, “Nipandishie Samweli.”
“Hatimaye, yule maskini alikufa. Malaika
12Yule mwanamke alipomwona Samweli alipiga
wakamchukua akakae pamoja na Ibrahimu
yowe kwa sauti kuu, naye akamwuliza Sauli,
mbinguni. Yule tajiri naye pia akafa, akazikwa. 23
“Mbona umenidanganya? Wewe ndiwe Sauli.”
Alipokuwa kuzimuni ambapo alikuwa akiteseka,
13Mfalme akamwambia, “Usiogope. Unaona nini?
alita zama juu, akamwona Ibrahimu kwa mbali na
Yule mwanamke akasema, “Naona Mungu
Lazaro karibu yake. 24 Akaita, „Baba Ibrahimu,
anapanda kutoka ardhini.” 14Sauli akamwuliza, “Ni
nionee huruma umtume Lazaro achovye japo ncha
mfano wa nini?” Yule mwanamke akasema, “Ni
ya kidole chake katika maji aupoze ulimi wangu
mwanaume mzee amevaa joho anayepanda.”
maana ninateseka kwenye moto huu.‟ 25 Lakini
Ndipo Sauli akatambua kwamba ni Samweli. Sauli
Ibrahimu akamjibu, „Mwa nangu, kumbuka
akasujudu kifudifudi uso wake hadi ardhini.
kwamba ulipokuwa hai ulipata kila kitu kizuri uli
15Samweli akamwuliza Sauli, Kwa nini
chotaka, ambapo Lazaro alipokea mabaya. Lakini
unanitaabisha, kunipandisha juu?” Sauli akasema,
sasa anafarijika hapa na wewe unateseka. 26
“Mimi ninasumbuka sana, kwa maana Wafilisti
Isitoshe, kati yetu na ninyi huko, kumewekwa
wanapigana vita dhidi yangu, naye Mungu
bonde kubwa lisilopitika ili wale wanaotaka kutoka
ameniacha. Hanijibu tena wala kwa njia ya manabii
huku kuja huko au kutoka huko kuja huku
wala kwa ndoto. Kwa hiyo nimekuita wewe ili
wasiweze.‟ 27 Akasema, „Basi, baba, tafadhali
unijulishe lakufanya.” 16Samweli akamwuliza,
umtume Lazaro aende nyumbani kwa baba yangu,
“Kwa nini uniulize mimi, maadam BWANA
28 awaonye ndugu zangu, wasije wao pia
amekuacha na kuwa adui yako? 17BWANA
wakaletwa mahali hapa pa mateso watakapokufa.‟
ametenda lile alilotangulia kusema kwa kupitia
29 Ibrahimu akamjibu, „Ndugu zako wanazo sheria
kwangu. BWANA ameurarua ufalme kutoka
za Musa na maandiko ya Manabii. Itawapasa watii
mikononi mwako, naye amempa mmoja wa jirani
hayo.‟ Lakini yule tajiri akazidi kumsihi, 30 „Hapana
zako, yaani, Daudi. 18Kwa sababu wewe hukumtii
baba Ibrahimu, ndugu zangu hawatashawishiwa na
BWANA, wala hukumtimizia ghadhabu yake kali
hayo. Lakini mtu kutoka kuzimu akitumwa kwao
juu ya Waamaleki, BWANA amekutendea mambo
watatubu na kuziacha dhambi zao.‟ 31 “Ibrahimu
haya leo. 19Zaidi ya hayo, BWANA atawatia Israeli
akamwambia, „Wasiposikiliza na kutii sheria za
pamoja na wewe mkononi mwa Wafilisti na kesho
Musa na Maandiko ya manabii, hawatashawishika
wewe na wanao mtakuwa pamoja nami. BWANA
kutubu hata kama mtu akifufuka kutoka kuzimu.”‟
pia atalitia jeshi la Israeli mkononi mwa Wafilisti.
(Luka 16:19-31)
220

Wakati Yesu anabadilika Sura walitokea Musa na mkono wa kuume wa Mungu. 56Akasema,

Eliya. “Tazameni! Naona mbingu zimefunguka na Mwana

wa Adamu amesimama upande wa kuume wa


“Baada ya siku sita, Yesu aliwachukua Petro,
Mungu.‟‟ 57Lakini wao wakapiga kelele kwa sauti
Yakobo na Yohane nduguye, akaenda nao peke
kubwa, wakaziba masikio yao, wakamrukia kwa
yao juu ya mlima mrefu. 2 Huko, wakiwa
nia moja. 58Wakamtupa nje ya mji, wakampiga
wanamtazama, akageuka sura, uso wake ukang‟aa
kwa mawe. Nao mashahidi wakaweka nguo zao
kama jua na mavazi yake yakawa meupe kama
miguuni mwa kijana mmoja aitwae Sauli.
nuru. 3 Mose na Eliya wakawatokea, wakawa
59Walipokuwa wakimpiga mawe, Stefano
wanazungumza naye. 4 Hapo Petro akamwambia
aliomba, “Bwana Yesu, pokea roho
Yesu, “Bwana, ni vizuri sana kwamba tupo hapa!
yangu” 60Kisha akapiga magoti, akalia kwa sauti
Ukipenda nitajenga vibanda vitatu: kimoja chako,
kubwa akasema, “Bwana usiwahesabie dhambi
kimoja cha Mose na kimoja cha Eliya.” (Mathayo
hii.‟‟ Baada ya kusema haya, akalala. (Mdo 7:55-
17:1-5)
60)
Yesu alituambia kuwa Mungu sio wa wafu bali wa
Kwenye Ufunuo tunasoma (Ufunuo 6:9-10) “Na
walio hai ndio maana akaitwa Mungu wa Ibrahimu,
alipoifungua muhuri ya tano, nikaona chini ya
Isaka na Yakobo kwa kuwa Wote wako hai kwake.
madhabahu roho zao waliochinjwa kwa ajili ya
37Hata Mose alidhihirisha kuwa wafu wanafufuka, neno la Mungu, na kwa ajili ya ushuhuda
kwa habari ya kile kichaka kilichokuwa kikiwaka waliokuwa nao. Wakalia kwa sauti kuu, wakisema,
moto bila keteketea, alipomwita Bwana „Mungu wa Ee Mola, Mtakatifu, Mwenye kweli, hata lini
Abrahamu, Mungu wa Isaki na Mungu wa kutokuhukumu, wala kuipatia haki damu yetu kwa
Yakobo.‟ 38Yeye Mungu si Mungu wa wafu bali hao wakaao juu ya nchi? Nao wakapewa kila
wa walio hai, kwa kuwa Kwake wote ni mmoja nguo ndefu, nyeupe, wakaambiwa
hai.” (Luka 20:37-38) wastarehe bado muda mchache, hata itakapotimia
Yesu alimwahidi yule mtu waliyesulubiwa pamoja hesabu ya wajoli wao na ndugu zao, watakaouawa
kuwa watakuwa peponi pamoja siku hiyo hiyo na vile vile kama wao.”
sio siku ya hukumu. Kwa hiyo mtu akifa anaenda mbinguni au motoni

kulingana na alivyoishi.
“Kisha akasema, “Ee Yesu! Unikumbuke wakati

utakapoingia katika ufalme wako.” 43 Yesu “Nasi tunaona ni afadhali kutokuwamo katika mwili
akamwambia, “Nakwambia kwa hakika, leo na kukaa pamoja na Bwana” (2Kor 5:8). Kwa kuwa
utakuwa pamoja nami peponi.” (Luka 23:42- kifo ni “mavumbi kuirudia nchi kama yalivyokuwa,
43) nayo roho kumrudia Mungu aliyeitoa” (Mhu 12:7).
Angalia pia wakati Stefano akipigwa Mawe Siku ya ufufuo roho na mwili vitaungana tena kwa
aliikabidhi roho yake kwa Mungu baada ya kuona ajili ya uzima au moto wa milele.
mbingu zimefunguka hii ni kama Yesu alivyokuwa
“Kwangu mimi kuishi ni Kristo, na kufa ni faida…
pale msalabani aliikabidhi Roho yake kwa Baba
ninatamani kwenda zangu nikae na Kristo, maana
yake.
ni vizuri zaidi sana” (Fil 1:21,23).
55Lakini yeye Stefano akiwa amejazwa Roho Mtume Petro ameandika hivi…
Mtakatifu, alikaza macho mbinguni, akaona

utukufu wa Mungu, naye Yesu akiwa amesimama


221

“18 Kwa maana Kristo naye aliteswa mara moja aliaye, „Aba!‟ yaani, „Baba!‟ Kama ni hivyo, wewe si

kwa ajili ya dhambi, mwenye haki kwa ajili yao mtumwa tena bali u mwana; na kama u mwana,

wasio haki, ili atulete kwa Mungu; mwili wake basi, u mrithi kwa Mungu” (Gal 4:6-7).

akauawa, bali roho yake akahuishwa,19 ambayo

kwa hiyo aliwaendea roho waliokaa kifungoni,

akawahubiri; 20 watu wasiotii hapo zamani,


Aliyezungumzia moto wa milele ni nani?
uvumilivu wa Mungu ulipokuwa ukingoja, siku za

Nuhu, safina ilipokuwa ikitengenezwa; ambamo Aliyezungumzia moto wa milele ni hasa Yesu:
ndani yake wachache, yaani, watu wanane, akitufunulia ukuu wa upendo wa Mungu, aliye heri
waliokoka kwa maji.” (1Petro 3:18-20) yetu pekee, alituangalisha juu ya hatari ya

kutengana naye milele kwa dhambi. Mwenyewe

atatoa hukumu hiyo:

Je, sisi wanyonge tunaweza kushiriki uzima “Ondokeni kwangu, mliolaaniwa, mwende katika

moto wa milele, aliowekewa tayari Ibilisi na


wa milele wa Mungu?
malaika zake” (Math 25:41).

Ndiyo, sisi wanyonge tunaweza kushiriki uzima wa “Humo funza wao hafi, wala moto hauzimiki” (Mk

milele wa Mungu: hapa duniani katika mwanga 9:48).

hafifu wa imani, na kisha kufa katika uangavu wa “Na moshi wa maumivu yao hupanda juu hata

utukufu usiofifia kamwe. Kwa kuwa lengo la Baba milele na milele, wala hawana raha mchana wala

ni kwamba tuungane na Yesu Mwanae kwa uwezo usiku” (Ufu 14:11).

wa Roho Mtakatifu ili tuwe na utukufu wake.

“Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe,

Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo Toharani maana yake nini?


uliyemtuma” (Yoh 17:3).
Toharani maana yake kuna hali ya muda ambayo
“Kwa kuwa uweza wake wa Uungu umetukirimia
huruma ya Mungu inawatakasa marehemu
vitu vyote vipasavyo uzima na utauwa, kwa
waliofariki dunia katika urafiki naye lakini bila ya
kumjua yeye aliyetuita kwa utukufu wake na wema
usafi kamili unaotakiwa kwa kuingia mbinguni. Sisi
wake mwenyewe. Tena kwa hayo ametukirimia
tunaweza kuharakisha utakaso wao kwa kumtolea
ahadi kubwa mno, za thamani, ili kwamba kwa
Mungu sala na sadaka, hasa ekaristi. Yuda
hizo mpate kuwa washirika wa tabia ya Uungu,
Mmakabayo “alichanga fedha kwa kila mtu jumla
mkiokolewa na uharibifu uliomo duniani kwa
drakma elfu mbili, akazipeleka Yerusalemu kutoa
sababu ya tamaa” (2Pet 1:3-4).
sadaka ya dhambi.
Sisi tuliobatizwa tunaitwa “wana wa Mungu; na

ndivyo tulivyo!” (1Yoh. 3:1). Kwa kufanya hivi alitenda vema na kwa haki, kwa

kuwa aliukumbuka ufufuo wa wafu. Maana kama


Kwa sababu tumesadiki kwamba “Mungu ni
asingalitumaini ya kuwa wale waliokufa
upendo” (1Yoh 4:8) na kwamba “hakuna
watafufuka, ingalikuwa kazi bure isiyo na maana
lisilowezekana kwa Bwana” (Lk 1:37).
kuwaombea wafu. Lakini kwa kuwa aliufikiri
“Na kwa kuwa ninyi mmekuwa wana, Mungu utukufu wa thawabu waliowekewa wale wafao

alimtuma Roho wa Mwanawe mioyoni mwetu, katika utauwa, wazo lake lilikuwa takatifu na la
222

kicho. Ndiyo sababu alifanya upatanisho kwa wafu mambo aliyotenda kwa mwili, kadiri alivyopenda,

ili wafunguliwe dhambi zao” (2Mak 12:43-46). kwamba ni mema au mabaya” (2Kor 5:10).

Imani hiyohiyo iliongoza Wakristo wa kwanza “Basi ninyi msihukumu neno kabla ya wakati wake,

kuwafanyia marehemu ibada ambayo haieleweki hata ajapo Bwana; ambaye atayamulikisha

vizuri, lakini hailaumiwi na Mtume Paulo: “Kama yaliyositirika ya giza, na kuyadhihirisha mashauri

wafu hawafufuliwi kamwe, kwa nini kubatizwa kwa ya mioyo; ndipo kila mtu atakapoipata sifa yake

ajili yao?” (1Kor 15:29). kwa Mungu” (1Kor 4:5).

“Hapo atakapokuja Mwana wa Adamu katika

utukufu wake, na malaika watakatifu wote pamoja

naye, ndipo atakapoketi katika kiti cha utukufu

Je, mwili utakaofufuliwa ni huuhuu tulionao wake. Na mataifa yote watakusanyika mbele zake;

naye atawabagua kama vile mchungaji abaguavyo


sasa?
kondoo na mbuzi; atawaweka kondoo mkono wake

Ndiyo, mwili utakaofufuliwa ni huuhuu tulionao wa kuume, na mbuzi mkono wake wa kushoto.

sasa, lakini katika hali tofauti: > “hupandwa katika Kisha Mfalme atawaambia wale walioko mkono

uharibifu; hufufuliwa katika kutokuharibika” wake wa kuume, „Njoni, mliobarikiwa na Baba

(1Kor 15:42). yangu, urithini ufalme mliowekewa tayari tangu

kuumbwa ulimwengu; kwa maana nalikuwa na


Siku ya ufufuo “ndipo watakapomwona Mwana wa
njaa, mkanipa chakula; nalikuwa na kiu,
Adamu akija katika wingu pamoja na nguvu na
mkaninywesha; nalikuwa mgeni, mkanikaribisha;
utukufu mwingi” (Lk 21:27).
nalikuwa uchi, mkanivika; nalikuwa mgonjwa,
“Saa yaja ambayo watu wote waliomo makaburini
mkaja kunitazama; nalikuwa kifungoni, mkanijia…
wataisikia sauti yake. Nao watatoka; wale
Amin, nawaambia, kadiri mlivyomtendea
waliofanya mema kwa ufufuko wa uzima, na
mmojawapo wa hao ndugu zangu walio wadogo,
waliotenda mabaya kwa ufufuo wa hukumu” (Yoh
mlinitendea mimi‟” (Math 25:31-36,40).
5:28-29).
“Heri wenye rehema, maana hao watapata
“Na hao watakwenda zao kuingia katika adhabu ya
rehema” (Math 5:7).
milele; bali wenye haki watakwenda katika uzima

wa milele” (Math 25:46).

Baada ya hukumu ya mwisho itakuwaje?

Siku ya ufufuo Kristo mfalme atatuhukumu Baada ya hukumu ya mwisho, waadilifu

watatukuzwa mwili na roho pamoja na Yesu, na


vipi?
ulimwengu pia utageuzwa.

Siku ya ufufuo Kristo mfalme atatuhukumu kwa


“Kama ilivyo ahadi yake, tunatazamia mbingu
kudhihirisha misimamo ya watu wote ambao, kwa
mpya na nchi mpya, ambayo haki yakaa ndani
kupokea au kukataa upendo wa Mungu moyoni
yake” (2Pet 3:13).
mwao, wametenda mema au la.
“Na Roho na Bibi arusi wasema, „Njoo!‟ naye

“Imetupasa sisi sote kudhihirishwa mbele ya kiti asikiaye na aseme, „Njoo!‟… Yeye mwenye

cha hukumu cha Kristo ili kila mtu apokee ijara ya kuyashuhudia haya asema, „Naam, naja upesi‟.
223

Amina. Na uje, Bwana Yesu! Neema ya Bwana

Yesu na iwe pamoja nanyi nyote. Amina” (Ufu

22:17,20-21).
Mungu ni nini?
WhatsAppTwitterLinkedInEmail
Mambo ya Muhimu kufahamu kuhusu Mungu
Mungu ni Roho kamili na ukamilifu wake hauna
Mafundisho ya Katekisimu / Leave a Comment
mipaka. (Yoh. 4:24, Kut.3:13-15, Zb. 144:3)

Je, Yatupasa kumtolea Mungu shukrani?

Ndiyo, Yatupasa kumtolea Mungu shukrani kila


Mungu ni Roho maana yake ni nini?
wakati hasa kwa kuadhimisha Ekaristi Takatifu

Mungu ni Roho maana yake haonekani wala

hashikiki. (Lk: 24:39)

Nani ameumba vitu vyote?

Mungu ameumba vitu vyote


Mungu ni mweza wa yote maana yake ni nini?

Mungu ni mweza wa yote maana yake kila atakalo

hufanya. (Zab 135:6)

Mungu ni nani?

Mungu ndiye muumba wa kila kitu katika uwingu

na nchi, Mkubwa wa ulimwengu mwenye kuwatuza


Mungu ni wa Milele maana yake ni nini?
watu wema na kuwaadhibu watu wabaya.

Mungu ni wa Milele maana yake hana mwanzo


“8Msiwe kama wao, kwa sababu Baba yenu anajua
wala mwisho, amekuwapo kabla ya nyakati, yupo
kile mnachohitaji kabla hamjamwomba.‟‟ 9„„Hivi
na atakuwapo baada ya nyakati, yupo daima.
basi, ndivyo iwapasavyo kuomba : “Baba yetu
(1Tim, 1:17)
uliye mbinguni, Jina lako litukuzwe.(Mt. 6:8-9).

17Yesu akamwambia, „„Usinishike, kwa maana

sijapaa kwenda kwa Baba. Lakini nenda kwa ndugu

zangu ukawaambie, „Ninapaa kwenda kwa Baba


Mungu ni mwema maana yake ni nini?
yangu ambaye ni Baba yenu, kwa Mungu wangu

ambaye ni Mungu wenu.‟ ‟‟ (Yoh 20:17) Mungu ni mwema maana yake apenda na

kuvitunza viumbe vyake vyote hasa wanadamu na

anawatakia mema tu. (Zab, 25:8-10)

Mungu ni Muumba vyote maana yake ni nini?

Mungu ni Muumba vyote Maana yake amefanya

vitu vyote kwa kutaka tu pasipo kutumia chochote. Mungu ni Mwenye haki maana yake ni nini?
(2Wamakabayo 7:28, Yoh 1:3)
224

Mungu ni Mwenye haki maana yake kila mtu


Katika Mungu mmoja kuna nafsi ngapi?
hupata kwa Mungu haki yake kadiri anavyostahili

Katika Mungu mmoja kuna nafsi tatu nazo ni Baba,

Mwana na Roho Mtakatifu; nafsi zote ni sawa.

Mungu aenea pote maaana yake ni nini?

Mungu aenea pote maaana yake yupo kila mahali


Neno hili kuwa nafsi tatu kwa Mungu mmoja
mbinguni na duniani wala hakuna mahali

asipokuwepo?. (Zab, 139:7-12) laitwaje?

Laitwa fumbo la Utatu Mtakatifu. (Lk, 3:21-22)

Mungu ajua yote maana yake nini?

Mungu ajua yote maana yake ajua ya sasa, ya Kwa ajili gani Mwana wa Mungu (Yesu)
zamani na ya wakati ujao hata mawazo yetu
alijifanya mtu?

Mwana wa Mungu (Yesu) alijifanya mtu kwa ajili

yetu wanadamu na wokovu wetu ili atupatanishe


Mungu ni mwenye huruma maana yake nini? na Mungu na kutushirikisha tabia ya umungu.

(2Pet, 1:4)
Mungu ni mwenye huruma maana yake

anawasamehe watu dhambi zao wakitubu.

Nafasi ya Heshima kwa Bikira Maria ni ipi?

Mungu ni mwenye subira maana yake ni nini? Nafasi ya Heshima kwa Bikira Maria inafuata baada

ya Heshima kwa Utatu Mtakatifu


Mungu ni mwenye subira maana yake mara nyingi

akawia kuwaadhibu wakosefu maana ataka

kuwapa nafasi ya kuongoka. (Eze, 33:11, Zb,

102;1-5)
Tunaanzaje kumjua Mungu?

Tunaanza kumjua Mungu kwa kuzingatia viumbe

vyake, hasa dhamiri yetu.


Mungu wako wangapi?
“Kwa sababu mambo yake yasiyoonekana tangu
Mungu yupo mmoja tuu Mkubwa wa wote na Baba kuumbwa ulimwengu yanaonekana, na kufahamika
wa wote. (Is: 44:6) kwa kazi zake; yaani, uweza wake wa milele na

Uungu wake” (Rom 1:20).


225

Ndiyo, Mungu amewasiliana nasi, akijitambulisha


Je, tunaweza kusema juu ya Mungu?
na kujitoa kwetu, tuweze kuishi katika urafiki naye

Ndiyo, tunaweza kusema juu ya Mungu kuanzia na hatimaye tushiriki heri yake.

wema, ukweli na uzuri wa viumbe vyake na


“Nikiziangalia mbingu zako, kazi ya vidole vyako,
kumsifu kiasi chetu kwamba ndiye wema, ukweli
mwezi na nyota ulizoziratibisha; mtu ni kitu gani
na uzuri wenyewe.
hata umkumbuke, na binadamu hata umwangalie?

Lakini tukiri pia kuwa maneno yetu duni hayawezi Umemfanya mdogo punde kuliko Mungu;

kutosha kamwe kufafanua fumbo lake. umemvika taji ya utukufu na heshima” (Zab 8:3-

5).
“Kwa maana, nimesema maneno nisiyoyafahamu,
“Siwaiti tena watumwa; kwa maana mtumwa hajui
mambo ya ajabu ya kunishinda mimi, nisiyoyajua”
atendalo bwana wake; lakini ninyi nimewaita rafiki,
(Ayu 42:3).
kwa kuwa yote niliyoyasikia kwa Baba yangu
Tungemuelewa, asingekuwa Mungu.
nimewaarifu” (Yoh 15:15).

Mwenyezi Mungu yukoje basi? Hasa Mungu amejifunua kuwa nani?

Mwenyezi Mungu ni ukamilifu mtupu usio na Hasa Mungu amejifunua kuwa upendo wenyewe.
mipaka kwa milele yote.
“Bwana, Bwana, Mungu mwingi wa huruma,

“Tazama, Mungu ni mkuu, nasi hatumjui; hesabu mwenye fadhili, si mwepesi wa hasira, mwingi wa
ya miaka yake haitafutiki” (Ayu 36:26). rehema na kweli” (Kut 34:6).
“Mungu ni Roho, nao wamwabuduo yeye “Mungu ni upendo, naye akaaye katika pendo,
imewapasa kumwabudu katika roho na kweli” (Yoh hukaa ndani ya Mungu, na Mungu hukaa ndani

4:24). yake” (1Yoh 4:16).

“Yeye asiyependa, hakumjua Mungu, kwa maana

Mungu ni upendo” (1Yoh 4:8).

Mungu akiwa Roho, viungo ambavyo pengine

anapewa vina maana gani?


Je, Mungu amejitambulisha pia kwa jina?

Mungu akiwa Roho, viungo ambavyo pengine


Ndiyo, Mungu amejitambulisha pia kwa majina
anapewa vinamaanisha tu sifa fulani: k.mf. macho
mbalimbali. Katika Agano la Kale jina muhimu
ujuzi wake, mikono uwezo wake, mabawa ulinzi
kuliko yote liliandikwa “YHWH” yaani, “Mimi
wake, n.k. “Roho haina mwili na mifupa” (Lk
Ndimi”. Tangu zamani Wayahudi hawalitamki,
24:39).
hivyo wakilifikia wanasoma kwa kutafsiri, “Bwana”.

Ndiyo sababu katika Agano Jipya halitumiki

kamwe, isipokuwa Yesu alifunua Umungu wake

Je, Mungu amewasiliana nasi? kwa kujisemea, “Mimi Ndimi” na kwa kukubali

kuitwa, “Bwana”. Pamoja na hayo, alisali na


226

kufundisha kusali kwa kumuelekea “ABA” yaani, Mungu akiwa wema mkuu na mwenye uwezo wote,

“Baba”. Ndilo jina ambalo linampendeza zaidi na hakuumba ubaya wowote. Tena kila anapovumilia

kutuingiza katika fumbo lake kama wana ndani ya ule uliosababishwa na viumbe vyenye hiari

Mwana pekee ambaye “Mungu alimwadhimisha anaufanya uzae mema makubwa zaidi kwa njia

mno, akamkirimia Jina lile lipitalo kila jina; ili kwa tusizoweza kuzifahamu vizuri hapa duniani.

jina la Yesu kila goti lipigwe, la vitu vya mbinguni,


“Mimi ni Yusufu, ndugu yenu, ambaye mliniuza
na vya duniani, na vya chini ya nchi; na kila ulimi
kwenda Misri. Basi sasa, msihuzunike, wala
ukiri ya kuwa Yesu Kristo ni Bwana, kwa utukufu
msiudhike nafsi zenu, kwa kuniuza huku; maana
wa Mungu Baba” (Fil 2:9-11).
Mungu alinipeleka mbele yenu kuhifadhi maisha ya

“Msalipo, semeni, „Baba, jina lako litakaswe‟” (Lk watu… Nanyi kweli mlinikusudia mabaya, bali

11:2). Mungu aliyakusudia kuwa mema, ili itokee kuokoa

“Mlipokea roho ya kufanywa wana, ambayo kwa taifa kubwa, kama ilivyo leo” (Mwa 45:4-5;

hiyo twalia, „Aba!‟ yaani, „Baba!‟” (Rom 8:15). 50:20).

Mungu ametufunulia nini? Mungu aliwahi kujifunua kwa watu gani?

Mungu ametufunulia pia ukweli juu yetu wenyewe Mungu aliwahi kujifunua kwa wazazi wetu wa

akijibu kabisa maswali yanayotusumbua kuhusu kwanza, akaendelea hasa kwa taifa la Israeli, hadi

maana na lengo la maisha yetu. alipomtuma Mwanae ajifanye mtu wa taifa hilo

teule.
Amefanya hivyo kwa maneno na matendo

yanayoshikamana sana kwa kuwa maneno “Mungu, ambaye alisema zamani na baba zetu

yanafafanua matendo, nayo matendo katika manabii kwa sehemu nyingi na kwa njia

yanathibitisha maneno. nyingi, mwisho wa siku hizi amesema na sisi katika

Mwana” (Eb 1:1-2).


“Mungu hutaka watu wote waokolewe, na kupata

kujua yaliyo kweli” (1Tim 2:4).

“Mungu si mtu, aseme uongo” (Hes 23:19).

Yeye hadanganyiki wala hadanganyi. Je, ufunuo wa Mungu unaendelea hata leo?

Hapana, ufunuo wa Mungu hauendelei, kwa sababu

alikwisha kuukamilisha kwa kumtuma duniani

Neno wake wa milele.


Mungu akiwa wema mkuu na mwenye uwezo

“Kwa kuwa torati ilitolewa kwa mkono wa Musa;


wote, mbona katika viumbe vyake kuna
neema na kweli zilikuja kwa mkono wa Yesu

ubaya? Kwa nini Mungu anaruhusu mabaya Kristo. Hakuna mtu aliyemwona Mungu wakati

wowote; Mungu Mwana pekee aliye katika kifua


na maovu? cha Baba, huyu ndiye aliyemfunua” (Yoh 1:17-18).

Baada yake hauwezekani ufunuo mpya. Hatutakiwi

kumuamini yeyote akidai eti, ametumwa


Kwa nini dhambi zipo?
227

kukamilisha kazi ya Yesu; kwa kuwa mwenyewe Mwana. Lakini milele yote nafsi hizo tatu ni Mungu

alisema, yuleyule pasipo tofauti ya kuzitenganisha: kila

moja imo ndani ya nyingine.


“Mbingu na nchi zitapita, lakini maneno yangu

hayatapita kamwe” (Math 24:35). “Mimi na Baba tu umoja” (Yoh 10:30).

“Ijapokuwa sisi au malaika wa mbinguni

atawahubiri ninyi injili yoyote isipokuwa hiyo

tuliyowahubiri, na alaaniwe! Kama tulivyotangulia


Tumejuaje kuwa Mungu ni Umoja wa nafsi
kusema, na sasa nasema tena, mtu awaye yote

akiwahubiri ninyi injili yoyote isipokuwa hiyo


tatu?
mliyoipokea, na alaaniwe!” (Gal 1:8-9).
Tumejua kuwa Mungu ni Umoja wa nafsi tatu kwa

sababu Baba aliwatuma kwetu Mwanae na Roho

Mtakatifu.

Ufunuo wa Mungu unatufikiaje miaka elfu


“Yesu alipokwisha kubatizwa mara akapanda

mbili baada ya Kristo? kutoka majini; na tazama, mbingu zikamfunukia,

akamwona Roho wa Mungu akishuka kama hua,


Ufunuo wa Mungu unatufikia kupitia Kanisa lake,
akija juu yake. Na tazama, sauti kutoka mbinguni
lililokabidhiwa Mapokeo ya Mitume na
ikisema, „Huyu ni Mwanangu, mpendwa wangu,
linaloongozwa na Roho Mtakatifu hadi ukweli wote.
ninayependezwa naye‟” (Math 3:16-17).

Yesu aliahidi kwamba, Naye akaagiza, “Basi, enendeni, mkawafanye

mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa


“Yeye atakapokuja, huyo Roho wa kweli,
jina la Baba, na Mwana na Roho Mtakatifu” (Math
atawaongoza awatie kwenye kweli yote; kwa
28:19).
maana hatanena kwa shauri lake mwenyewe,
Ni nafsi tatu zenye jina moja, yaani Umungu
lakini yote atakayoyasikia atayanena, na mambo
mmoja tu.
yajayo atawapasha habari yake” (Yoh 16:13).

“Maana Roho huchunguza yote hata mafumbo ya

Mungu” (1Kor 2:10).

Umoja wa Mungu unategemea nini?

Umoja wa Mungu unategemea hasa kwamba


Je, Mungu amegawanyika sehemu tatu?
Mwana na Roho Mtakatifu wanachanga Umungu wa

Hapana, Mungu hagawanyiki hata kidogo, bali Baba, ambaye wanatokana naye pasipo utengano

daima ni Umoja kamili. wowote. Baba anajifahamu na kujipenda: wazo

analojifahamu ndiye Mwana, upendo anaojipenda


“Bwana Mungu wetu ni Bwana mmoja” (Mk 12:29).
katika wazo hilo ndiye Roho Mtakatifu.
Tumuabudu yeye peke yake katika nafsi tatu, na

Utatu wa nafsi katika Umoja wa hali yake, “Baba, hao ulionipa nataka wawe pamoja nami

tusichanganye nafsi wala kugawa Umungu. Baba si popote nilipo, wapate na kuutazama utukufu

Mwana wala Roho Mtakatifu. Mwana si Baba wala wangu ulionipa; kwa maana ulinipenda kabla ya

Roho Mtakatifu. Roho Mtakatifu si Baba wala kuwekwa msingi ulimwengu” (Yoh 17:24).
228

mpatanishi kati ya Mungu na wanadamu ni

mmoja, mwanadamu Kristo Yesu” (1Tim 2:5).

Je, nafsi tatu za Mungu zina Umoja hata


“Katika yeye unakaa utimilifu wote wa

katika utendaji? Mungu, kwa jinsi ya kimwili” (Kol 2:9). Hivyo

Ndiyo, nafsi tatu za Mungu zina Umoja hata katika ni Mungu kweli na mtu kweli.

utendaji, kila nafsi akiuchangia kulingana na sifa


1 Hapo mwanzo, kabla ya kuwapo kitu kingine cho
yake maalumu ndani ya Utatu. Baba Mwenyezi sifa
chote, aliku wapo Neno. Huyo Neno alikuwa
yake ni Uwezo. Mwana kama Neno la Baba sifa
pamoja na Mungu, naye alikuwa Mungu. 2 Tangu
yake ni Hekima. Roho kama Pumzi ya uhai ya Baba
mwanzo Neno amekuwa na Mungu. 3 Vitu vyote
sifa yake ni Upendo.
viliumbwa na yeye, wala hakuna cho chote

Katika Uwezo wake Baba anafanya yote kwa kilichoumbwa ambacho hakukiumba. 4 Uzima

Hekima na Upendo, hasa katika utume wa Mwana ulikuwa ndani yake na uzima huo ndio ulikuwa

aliyefanyika mtu na katika utume wa Roho kama nuru ya watu. 5 Nuru hiyo huangaza gizani na giza

paji. haliwezi kamwe kuizima.

“Amin, amin, nawaambia: Mwana hawezi kutenda 6 Mtu mmoja aitwaye Yohana alitumwa na Mungu

neno mwenyewe ila lile ambalo amwona Baba 7 awaambie watu kuhusu hiyo nuru, ili kwa

analitenda; kwa maana yote ayatendayo yeye, ushuhuda wake wapate kuamini. 8 Yohana

ndiyo ayatendayo Mwana vilevile” (Yoh 5:19). mwenyewe hakuwa ile nuru. Yeye alitumwa

kuishuhudia hiyo nuru. 9 Nuru halisi ambayo

inawaangazia watu wote ilikuwa inakuja ulim

wenguni. 10 Neno alikuwepo ulimwenguni, lakini


Mungu angeweza kuzuia watu wasitende
japokuwa aliumba ulimwengu, watu wa ulimwengu

hawakumtambua! 11 Alikuja nyumbani kwake,


dhambi?
lakini watu wake hawakumpokea! 12 Bali wote
Ndiyo, Mungu angeweza kuzuia watu wasitende
waliompokea na kumwamini aliwapa haki ya
dhambi, lakini aliwaacha watende kwa hiari yao
kufanywa watoto wa Mungu. 13 Hawa hawakuwa
awaonyeshe ukuu wa huruma yake.
watoto wa Mungu kwa kuzaliwa kwa njia ya asili,

“Maana Mungu amewafunga wote pamoja katika wala kwa mapenzi au mipango ya watu bali

kuasi ili awarehemu wote” (Rom 11:32). wamezaliwa na Mungu mwenyewe.

14 Neno akawa mwanadamu akaishi kati yetu

akiwa amejaa utu kufu na kweli. Tuliona utukufu

wake, utukufu wa Mwana pekee wa Baba. 15


Yesu ni Mungu au mtu?
Yohana alishuhudia habari zake, akatangaza:

“Huyu ndiye yule niliyewaambia kuwa, „Yeye ajaye


Yesu ni Mungu na mtu kwa pamoja, ndiyo
baada yangu ni mkuu kuliko mimi kwa kuwa

sababu ni mshenga pekee kati ya Mungu na alikuwapo kabla sijazaliwa.”‟ 16 Na kutokana na

ukamilifu wake, sisi sote tumepokea neema tele.


watu. “Kwa sababu Mungu ni mmoja, na
17 Musa alitule tea sheria kutoka kwa Mungu,
229

lakini Yesu Kristo ametuletea neema na kweli. 18 wakamjibu, “Tunataka kukupiga mawe si kwa

Hakuna mtu aliyemwona Mungu wakati wo wote. sababu ya mambo mema uliyotenda bali ni kwa

Lakini Mwanae pekee, ambaye ana uhusiano wa kuwa umekufuru. Wewe ni mtu tu lakini unajiita

karibu sana na Baba yake, amemdhihirisha Mungu Mungu.” Yohane 10: 29-33

kwetu. Yohana 1:1-6:37

5 Tomaso akamwuliza, “Bwana, hatujui Yesu anapatikana wapi? Yesu anakaa wapi?
unakokwenda; tutaijuaje njia?” 6 Yesu akawaam

bia, “Mimi ndiye Njia na Kweli na Uzima; mtu Yesu Yupo wapi kwa sasa?

hawezi kufika kwa Baba bila kupitia kwangu. 7

Kama mngekuwa mnajua mimi ni nani, Yesu kama Mungu yupo kila mahali, hakuna

mngemfahamu na Baba yangu. Tangu sasa


mahali asipokuwepo. Yesu kama mwanadamu
mnamfahamu Baba yangu na mmemwona.”
yupo Mbinguni kwa Baba na anakaa nasi

8 Filipo akamwambia Yesu, “Bwana, tuonyeshe duniani katika Maumbo ya Mkate na Divai

Baba yako nasi tutaridhika.” 9 Yesu akamjibu,


Katika Ekaristi.
“Filipo, imekuwaje hunifahamu baada ya mimi

kuwa pamoja nanyi muda wote huu? Mtu ye yote

ambaye ameniona mimi, amemwona Baba. Sasa

inakuwaje unasema, „Tuonyeshe Baba‟? 10 Je,


Je, Umungu na utu wa Yesu
huamini ya kuwa mimi niko ndani ya Baba yangu,

na Baba yangu yuko ndani yangu? Mambo vinachanganyikana?

ninayowaambia siyasemi kwa mamlaka yangu


Hapana, Umungu na utu wa Yesu vimeunganika
mwenyewe, bali yanatoka kwa Baba yangu
katika nafsi moja visichanganyikane, kwa kuwa
ambaye anaishi ndani yangu, na ndiye anayetenda
ndani yake hali hizo mbili zinatenda kila moja ya
haya yote. Yohane 14:5-10
kwake.

“Basi yule akida, aliyesimama hapo akimwelekea,

alipoona ya kuwa alikata roho jinsi hii, akasema,

„Hakika mtu huyu alikuwa Mwana wa Mungu‟” (Mk


29 Baba yangu ambaye amenipa hawa ni mkuu
15:39).
kuliko wote na hakuna awezaye kuwatoa hawa

kutoka katika mikono yake. 30 Mimi na Baba

yangu tu mmoja.”

Je, Mwana wa Mungu tangu atwae mwili ni


31 Kwa mara nyingine wale Wayahudi wakainua

mawe ili wampige nayo. 32 Yesu akawauliza, mtu kamili mwenye akili na utashi wa

“Nimewaonyesha mambo mengi mazuri kutoka


kibinadamu?
kwa Baba yangu. Kati ya hayo ni lipi

linalosababisha mtake kunipiga mawe?” 33 Wao


230

Ndiyo, Mwana wa Mungu tangu atwae mwili ni mtu

kamili mwenye akili na utashi wa kibinadamu.

Katika umoja wa nafsi yake vipawa hivyo


Kwa nini Yesu alishawishiwa/alijaribiwa na
vinatenda kulingana na Umungu anaouchanga na

Baba na Roho Mtakatifu milele.


Shetani?

“Hayo maneno niwaambiayo mimi siyasemi kwa


Yesu alishawishiwa na Shetani kwa kuwa ni mtu
shauri langu; lakini Baba akaaye ndani yangu
kweli, akamshinda kwa niaba ya watu wote,
huzifanya kazi zake” (Yoh 14:10).
akituonyesha namna ya kumtii Mungu moja kwa

moja, “hata mauti, naam, mauti ya msalaba” (Fil

2:8).

Kwa nini Maria anastahili kuitwa “Mama wa “Kwa sababu kama kwa kuasi kwake mtu mmoja

watu wengi waliingizwa katika hali ya wenye


Mungu”?
dhambi, kadhalika kwa kutii kwake mmoja watu

Maria anastahili kuitwa “Mama wa Mungu” kwa wengi wameingizwa katika hali ya wenye haki”

sababu Mwana wa milele wa Mungu, ambaye ni (Rom 5:19).

Mungu sawa na Baba, alifanyika mtu toka kwake.

Akiwa mja mzito alishangiliwa: “Umebarikiwa

wewe katika wanawake, naye mzao wa


Je, Mungu Baba alihusika na sadaka ya
tumbo lako amebarikiwa. Limenitokeaje neno

hili, hata mama wa Bwana wangu anijilie mimi?


Mwanae?

” (Lk 1:42-43).
Ndiyo, Mungu Baba alihusika sana na sadaka ya

Mwanae, kwa sababu;

Je, Bikira Maria ni kama Bahasha au chombo “Mungu alikuwa ndani ya Kristo, akiupatanisha

ulimwengu na nafsi yake… Yeye asiyejua dhambi


cha kumleta Yesu tuu Duniani au anayo
alimfanya kuwa dhambi kwa ajili yetu, ili sisi

thamani zaidi? tupate kuwa haki ya Mungu katika yeye” (2Kor

5:19,21).
Bikira Maria sio kama bahasha au chombo cha

kumleta Yesu tuu duniani. Yesu ametokana na

Bikira Maria katika ubinadamu wake. Mwili wa Yesu

wa kiubinadamu ni sehemu au uzao wa Bikira


Roho Mtakatifu ni nani?
Maria. Bikira Maria anayo uhusiano wa damu na
Roho Mtakatifu ni upendo wa Mungu, nafsi ya tatu
Yesu Kristu. Ndiyo maana Mungu alimtakasa Bikira
ya Utatu Mtakatifu, mwenye Umungu mmoja na
Maria Ili atakayezaliwa kutoka kwake awe na yeye
Baba na Mwana.
mtakatifu.

“Pendo la Mungu limekwisha kumiminwa katika


Mungu alimtakasa Bikira Maria kabla ya Kuamua
mioyo yetu na Roho Mtakatifu tuliyepewa sisi”
kuzaliwa kupitia yeye kwa kuwa Mungu ni
(Rom 5:5).
Mtakatifu. Ubinadamu wa Yesu (MWILI – Nyama

na Damu) asili yake ni Bikira Maria.


231

Ametumwa kwetu atufanyie kazi pasipo WhatsAppTwitterLinkedInEmail


kuonekana. Maswali na Majibu kuhusu Mafumbo ndani ya Kanisa
Katoliki

“Upepo huvuma upendako, na sauti yake waisikia, Mafundisho ya Katekisimu / Leave a Comment

lakini hujui unakotoka wala unakokwenda; Neno hili kuwa nafsi tatu kwa Mungu mmoja

kadhalika na hali yake kila mtu aliyezaliwa kwa laitwaje?

Roho” (Yoh 3:8).


Laitwa fumbo la Utatu Mtakatifu. (Lk, 3:21-22)
“Wote wanaoongozwa na Roho wa Mungu, hao

ndio wana wa Mungu” (Rom 8:14).

Kanisa linafafanuaje fumbo la umwilisho?

Linatamka kuwa Yesu Kristo ni Mungu kweli na Mtu


Je, tumuadhimishe Mungu katika Nafsi zake
kweli. (Ebr 4:15)

tatu pia?

Ndiyo, tumuadhimishe Mungu katika Nafsi zake

tatu pia: Baba kama asili ya umungu na ya uhai Nini maana ya neno “Fumbo”?
wote, Mwana kama Neno wake aliyejifanya mtu
Fumbo ni ukweli ambao hatuwezi kuelewa
atukomboe, tena Roho Mtakatifu kama Upendo
kikamilifu, lakini tunasadiki kwa kuwa Mungu
wao ambao unawaunganisha na kututakasa.
hutufumbulia. (Math 11:27)
Pamoja na viumbe vyote tuwaimbie usiku na

mchana, “Mtakatifu, Mtakatifu, Mtakatifu, Bwana

Mungu Mwenyezi, aliyekuwako na aliyeko na


Katika dini yetu yapo mafumbo hasa
atakayekuja!” (Ufu 4:8).
mangapi?
“Mungu ni Roho, nao wamwabuduo yeye
Mafumbo matatu
imewapasa kumwabudu katika roho na kweli” (Yoh

4:24). 1. Fumbo la Utatu Mtakatifu

2. Fumbo la Mungu Kujifanya mtu

3. Fumbo la Ukombazi wetu

Hamu kuu ya binadamu ni ipi? WhatsAppTwitterLinkedInEmail


Amri ya Kumi ya Mungu: Makatazo na Amri
Hamu kuu ya binadamu ni kumwona Mungu Mafundisho ya Katekisimu / Leave a Comment

Amri ya Kumi ya Mungu inakataza nini?

Inakataza;

Je, Yatupasa kumwomba Roho Mtakatifu? 1. Uroho


2. Uchu wa mali
Ndiyo, kwani twataka kwake maonyo na msaada. 3. Kijicho
4. Tamaa mbaya ya kujipatia mali
Tusipokuwa na neema yake hatuwezi kutenda

jambo jema la kufaa kutuokoa. (Yoh 16:13)


232

Amri ya Kumi ya Mungu inaamuru nini Ni halali na nisawa kabisa Bikira Maria kutuombea.

Tunajua kuwa Bikira Maria anaushirika na Yesu


Amri ya Kumi ya Mungu inaamuru kuheshimu mali ya wengine
na kumpenda Mungu kupita vitu vyote. (Mk 28:30). kwa kuwa Yesu mwenyewe alituambia kuwa

“asiyepingana na sisi yupo upande wetu”. Biblia

iintuambia…
WhatsAppTwitterLinkedInEmail
Maswali yanayoulizwa sana Kumhusu Bikira Maria
“Yohane akadakia na kusema “Umemwona Mtu
Mafundisho ya Katekisimu / Leave a Comment
mmoja akifukuza pepo kwa kutumia jina lako, nasi

tukajaribu kumkataza kwa kuwa si mmoja wetu.”


Ni ipi sala bora kwa Bikira Maria? Kwa nini Lakini Yesu akawaambia, “Msimkataze kwani

asiyepingana nanyi yupo upande wenu” (Luka


Tunasali kwa Bikira Maria?
9:49-50).
Sala bora kwa Bikira Maria ni Rozari Takatifu Kwa hiyo Bikira Maria anapolitumia jina la Yesu bila

kupingana na sisi wala Yesu ni ishara tosha kuwa

Kwa nini watu wengi wanaomba kwa Bikira ni mshirika wa Mungu (Yesu)

Maria?
Je ni kweli kwamba Bikira Maria ni Malkia wa
Watu wengi wanaomba kupitia Bikira Maria kwa
Kipepo?
sababu wanashuhudia sala zao kujibiwa kirahisi

zaidi wanaposali kupitia Bikira Maria kwani Bikira Sio kweli kwamba Bikira Maria ni Malkia wa
Maria anatuombea kile tunacho mwomba. Bikira Kipepo/Kishetani
Maria anasimama Kama mwombezi wetu mbele ya
Sababu hizi zifuatazo zinadhihirisha kuwa Bikira
Mungu hasa pale tunaposhindwa kusali
Maria sio Malkia wa kipepo;
Inavyotakiwa.

1) Kuomba kwa jina la Yesu: Angekua ni Malkia

Bikira Maria anatuombea kwa jina na wa Kipepo asingeomba kwa Jina la Yesu. Kama

ilivyoelezwa hapo juu. Biblia iintuambia


mamlaka ya nani?
linapotamkwa Jina la Yesu mapepo hukimbia. Sasa

Bikira Maria anatuombea kwa jina la Yesu Kristu na iweje yeye alitumie Jina hilo kutuombea Kama

kwa mamlaka ya Yesu Kristu aliye mwanaye. yeye ni pepo? (Luka 10:17)

Hakuna Sala yoyote inayotolewa kwa Bikira Maria


2) Hafundishi uovu/dhambi: Mbali na kuomba
moja kwa moja kwani Sala zote kwa Bikira Maria
kwa jina la Yesu, vilevile Yesu alituambia
zinatolewa kwa kusema utuombee ikimaanisha
tuzichunguze roho na tutazitambua roho hizo kwa
kuwa utupelekee Maombi yetu kwa Mungu. Bikira
matendo yake. Kwa lengo hili tukichunguza kuhusu
Maria hatusaidii sisi moja kwa moja bali
Bikira Maria tutaona kuwa Bikira Maria ni Mtakatifu
anatusaidia kwa kutuombea msaada kutoka kwa
aliye upande wa Mungu kwa sababu Mara zote
Mungu.
alipowatokea watu amekuwa akifundisha na

kuelekeza watu kuishi maisha ya utakatifu na


Je ni halali au ni sawa kwa Bikira Maria
kumfuata Mungu kweli kwa kutii amri zake na

kutuombea kwa Jina la Yesu? Na Je tunajuaje kufuata mafundisho ya mwanae ambayo ni

yakuelekea katika utakatifu. Hakuna hata Mara


kuwa Bikira Maria anaushirika na Yesu?
233

moja mafundisho ya Bikira Maria yalihusishwa na kamwe Ibada yake isingechanganyika na Ibada

vitendo viovu au vya kuvunja Amri za Mungu. Takatifu.

3) Mafundisho yake yanaendana na Neno la 10) Ibada kwa Bikira Maria

Mungu (Biblia): Bikira Maria hajawaji hata mara Imedumu: Haikufifia wala kupotea bali ilizidi

moja kufundisha na kuelekeza vitu vilivyo nje ya kuendelea vizazi hata vizazi. Hii inadhihirisha

Mafundisho ya neno la Mungu (Biblia). Hakuna kwamba kuna Neema ya Mungu.

hata Mara moja mafundisho ya Bikira Maria


Kwa sababu hizi unaweza ukaona kwamba Bikira
yalikinzana na Mafundisho ya Neno la Mungu.
Maria anaushirika na Mungu na ni Mtakatifu.

4) Anahubiri Wema, Unyenyekevu, Upole na

Utii: mambo ambayo ni alama ya kudhihirisha

Utakatifu.

Bikira Maria kukingiwa dhambi ya asili maana


5) Anasisitiza Upendo kwa Binadamu

wenzetu na kwa Mungu: Anahubiri Upendo hasa


yake ni nini?
kwa Maadui zetu na wale wanaoipinga Imani ya
Bikira Maria kukingiwa dhambi ya asili maana yake
Kikristu na wanaomkataa Yesu Kristu. Anasisitiza
hakuzaliwa na dhambi ya asili kama binadamu
mara zote Tumpende Mungu na kumtii.
wengine
6) Anahubiri Amani: Anahubiri Injili ya Amani na

Mara zote anasisitiza tuombe amani ambapo amani

ndio Ishara ya Utakatifu.

7) Hajitukuzi mbele ya Mungu bali Mama wa Yesu ni nani?

anajinyenyekesha: Hajawahi kufundisha kwamba


Mama wa Yesu Kristo ni Bikira Maria.
tumtukuze yeye au tumuheshimu yeye. Mara zote

anahubiri tumheshimu Mungu pekee na kumtukuza “Mwezi wa sita baada ya Elizabeti kupata mimba,

Mungu. Amekua akijishusha kwa unyenyekevu Mungu alimtuma malaika Gabrieli aende Galilaya

huku akituelekeza tuige mfano wake wa katika mji wa Nazareti, 27kwa mwanamwali bikira

unyenyekevu wa kumuelekea Mungu aliye Baba wa aliyekuwa ameposwa na mtu mmoja jina lake

huruma na upendo. Yosefu wa nyumba ya Daudi. Jina la huyu

mwanamwali bikira ni Maria. 28Naye malaika akaja


8) Anaongeza imani kwa Mungu: Kwa sala na
kwake akamwambia: “Salamu, wewe
Ibada za Bikira Maria waumini wanapata
uliyebarikiwa, Bwana yu pamoja nawe!” 29Maria
kuongezewa Imani na Uchaji wao kwa Mungu.
akafadhaishwa sana na maneno haya, akajiuliza
Wengi wanabadili maisha yao ya dhambi na
moyoni, “Salamu hii ni ya namna gani?” 30Ndipo
kuelekea Maisha mema ya utakatifu ya
malaika akamwambia, “Usiogope, Maria, umepata
Kumtumikia Mungu.
upendeleo kwa Mungu. 31Tazama, utachukua

9) Sala Ibada yake inachanganyika na Ibada mimba, nawe utamzaa mtoto mwanamume na

nyingine za Kikristu: Hakuna utamwita jina lake Yesu. 32Yeye atakuwa mkuu,

mgongano/ushindani wa Ibada kwa Bikira Maria na naye ataitwa Mwana wa Aliye Juu. Bwana Mungu

Ibada nyingine za Kikristu. Kama angekua ni pepo atampa kiti cha enzi cha Daudi baba yake.

33Ataimiliki nyumba ya Yakobo milele na ufalme


234

Wake hautakuwa na mwisho.” 34Maria akamwuliza Maria ni Mdogo kuliko Mungu na Hana Umungu

huyo malaika, “Maadam mimi ni bikira, jambo hili wowote hivyo haabudiwi kama Mungu au pamoja

litawezekanaje?” 35Malaika akamjibu, “Roho na Mungu.

Mtakatifu atakujilia juu yako, nazo nguvu Zake


Tunamuheshemu tuu Bikira Maria na Kumuomba
Yeye Aliye Juu zitakufunika kama kivuli, kwa hiyo
atuombee kwa Mungu mwanaye Yesu kwa sababu
mtoto atakayezaliwa atakuwa mtakatifu, naye
anayo nafasi ya kipekee mbele ya Mungu mwanaye
ataitwa Mwana wa Mungu. 36Tazama, jamaa yako
Yesu kama Mama yake wa kumzaa Duniani na
Elizabeti amechukua mimba katika uzee wake na
kama mlezi wake akiwa duniani tangu kuzaliwa
huu ni mwezi wake wa sita, yeye aliyeitwa tasa.
mpaka kufa Msalabani wakiwa pamoja.
37Kwa maana kwa Mungu hakuna

lisilowezekana.”(Lk 1:26-37).

Yesu ni Mungu ndio maana Bikira Maria akaitwa

Mama wa Mungu kwa sababu ndiye aliyemzaa


Bikira Maria alimzaa Yesu Kristo kwa uwezo
Yesu. Yaani Bikira Maria ni Mama wa Mungu tuu

kwa sababu ya kumleta Yesu Duniani kama mzazi gani?


wa kimwili.
Bikira Maria alimzaa Yesu Kristo kwa uwezo wa
Hii haimaanishi kwamba Bikira Maria ni Mama wa Roho Mtakatifu. (Lk 1:35)
Yesu kabla ya Yesu kuja Duniani kwa maana Yesu

Alikuawepo kabla ya kuzaliwa kwake.

“Baba yenu Abrahamu alishangilia kwamba

angaliiona siku Yangu, naye akaiona na akafurahi.‟‟ Ni kwa nini Bikira Maria anaitwa Mama wa

57Wayahudi wakamwambia, “Wewe hujatimiza


Mungu? Na kwa nini aheshimiwe?
hata miaka hamsini, Wewe wasema umemwona

Abrahamu?‟‟ 58Yesu akawaambia, „„Amin, amin, Bikira Maria anaitwa Mama wa Mungu kwa

nawaambia, kabla Abrahamu hajakuwako, „Mimi sababu amemzaa Yesu na Yesu ni Mungu.

niko.‟‟‟ (Yohane 8:56-58)


“Mwezi wa sita baada ya Elizabeti kupata mimba,
Inamaana kuwa Yesu alikuwepo kabla ya Mama
Mungu alimtuma malaika Gabrieli aende Galilaya
yake mbinguni. Kwa sababu hiyo Umama wa Bikira
katika mji wa Nazareti, 27kwa mwanamwali bikira
Maria ni wa Kimwili tuu na sio Umungu. Bikira
aliyekuwa ameposwa na mtu mmoja jina lake
Maria hajatangulia kuwepo kabla ya Yesu Bali Yesu
Yosefu wa nyumba ya Daudi. Jina la huyu
ndiye alikuwepo kabla na ni Mungu wake pia. Yesu
mwanamwali bikira ni Maria. 28Naye malaika akaja
kama Mungu alimuumba Bikira Maria na kumfanya
kwake akamwambia: “Salamu, wewe
Mama yake wa kimwili.
uliyebarikiwa, Bwana yu pamoja nawe!” 29Maria

Bikira maria anamwita Yesu Mwanae wa kumzaa akafadhaishwa sana na maneno haya, akajiuliza

na vilevile anamwita Bwana na Mungu wake kwa moyoni, “Salamu hii ni ya namna gani?” 30Ndipo

kuwa ni Mungu wake pia na hivyo ni mdogo mbele malaika akamwambia, “Usiogope, Maria, umepata

ya Yesu. Sisi tunapomuita Bikira Maria Mama wa upendeleo kwa Mungu. 31Tazama, utachukua

Mungu tunaheshimu nafasi yake ya kipekee ya mimba, nawe utamzaa mtoto mwanamume na

kuizalia Dunia Yesu aliye Mungu. Kwa kuwa Bikira utamwita jina lake Yesu. 32Yeye atakuwa mkuu,

naye ataitwa Mwana wa Aliye Juu. Bwana Mungu


235

atampa kiti cha enzi cha Daudi baba yake. hajatangulia kuwepo kabla ya Yesu Bali Yesu ndiye

33Ataimiliki nyumba ya Yakobo milele na ufalme alikuwepo kabla na ni Mungu wake pia. Yesu kama

Wake hautakuwa na mwisho.” 34Maria akamwuliza Mungu alimuumba Bikira Maria na kumfanya Mama

huyo malaika, “Maadam mimi ni bikira, jambo hili yake wa kimwili.

litawezekanaje?” 35Malaika akamjibu, “Roho


“Usiogope, Maria, umepata upendeleo kwa Mungu.
Mtakatifu atakujilia juu yako, nazo nguvu Zake
31Tazama, utachukua mimba, nawe utamzaa
Yeye Aliye Juu zitakufunika kama kivuli, kwa hiyo
mtoto mwanamume na utamwita jina lake Yesu.
mtoto atakayezaliwa atakuwa mtakatifu, naye
32Yeye atakuwa mkuu, naye ataitwa Mwana wa
ataitwa Mwana wa Mungu. 36Tazama, jamaa yako
Aliye Juu. Bwana Mungu atampa kiti cha enzi cha
Elizabeti amechukua mimba katika uzee wake na
Daudi baba yake. 33Ataimiliki nyumba ya Yakobo
huu ni mwezi wake wa sita, yeye aliyeitwa tasa.
milele na ufalme Wake hautakuwa na
37Kwa maana kwa Mungu hakuna lisilowezekana.
mwisho.” (Luka 1:31-33)
38Maria akasema, “Tazama, mimi ni mtumisi wa
Bikira Maria alipewa nafasi ya kipekee na Mungu
Bwana na iwe kwangu kama ulivyosema.” Kisha
kuwa Mama yake na ingewezekana nafasi hii
malaika akaondoka akamwacha.”(Lk 1:26-38).
apewe mwanamke mwingine kama Bikira Maria
Yesu ni Mungu ndio maana Bikira Maria akaitwa
Asingekuwepo au asingekuwa tayari kupokea
Mama wa Mungu kwa sababu ndiye aliyemzaa
heshima hii. Ndiyo maana Bikira Maria katika
Yesu. Yaani Bikira Maria ni Mama wa Mungu tuu
unyonge wake alitambua kuwa ni nafasi ya
kwa sababu ya kumleta Yesu Duniani kama mzazi
upendeleo wa Mungu aliyopewa na hivyo
wa kimwili.
alimshukuru na kumtukuza Mungu kwa nafasi hii.

41Naye Elizabeti aliposikia salamu ya Maria, mtoto


Je, Bikira Maria kuitwa Mama wa Mungu
aliyekuwa tumboni mwake akaruka. Elizabeti
maana yake ni kwamba yeye ndiye chanzo
akajazwa na Roho Mtakatifu, 42akapaza sauti kwa

cha Yesu na Bila yeye Yesu asingekuwepo? nguvu akasema, “Umebarikiwa wewe miongoni

mwa wanawake, naye mtoto utakayemzaa


Hapana, haimaanishi kwamba Bikira Maria ni
amebarikiwa. 43Lakini ni kwa nini mimi nimepata
chanzo cha Yesu. Hii haimaanishi kwamba Bikira
upendeleo kiasi hiki, hata mama wa Bwana wangu
Maria ni Mama wa Yesu kabla ya Yesu kuja Duniani
afike kwangu? 44Mara tu niliposikia sauti ya
kwa maana Yesu Alikuawepo kabla ya kuzaliwa
salamu yako, mtoto aliyeko tumboni mwangu
kwake.
aliruka kwa furaha. 45Amebarikiwa yeye aliye
“Baba yenu Abrahamu alishangilia kwamba amini kwamba lile Bwana alilomwambia
angaliiona siku Yangu, naye akaiona na akafurahi.‟‟ litatimizwa.” 46Naye Maria akasema: “Moyo wangu
57Wayahudi wakamwambia, “Wewe hujatimiza wamwadhimisha Bwana, 47nayo roho yangu
hata miaka hamsini, Wewe wasema umemwona inamfurahia Mungu Mwokozi wangu, 48kwa kuwa
Abrahamu?‟‟ 58Yesu akawaambia, „„Amin, amin, ameangalia kwa fadhili unyonge wa mtumishi
nawaambia, kabla Abrahamu hajakuwako, „Mimi wake, hakika tangu sasa vizazi vyote vitaniita
niko.‟‟‟ (Yohane 8:56-58) mbarikiwa, 49kwa maana, Yeye Mwenye Nguvu,
Inamaana kuwa Yesu alikuwepo kabla ya Mama amenitendea mambo ya ajabu, Mtakatifu ndilo
yake. Kwa sababu hiyo Umama wa Bikira Maria ni Jjina Lake.” (Luka 1:41-49)
wa Kimwili tuu na sio Umungu. Bikira Maria
236

Yesu mwenyewe alimtii na kumsikiliza Mama yake


Je Bikira Maria anamwonaje Yesu? Bikira
ndio maana muujiza wa kwanza aliofanya
Maria Anamchukulia Yesu kama nani Kwake?
aliambiwa na mama yake. Bikira Maria ndiye

Bikira maria anamwita Yesu Mwanae wa kumzaa aliyemwomba Yesu Afanye muujiza wake wa

kwa kuwa Bikira Maria ndiye aliyemzaa Yesu kwanza.

Duniani na kumlea kama mtoto wake. Vilevile


1 Na siku ya tatu palikuwa na arusi huko Kana, mji
Bikira Maria anamwita Yesu Bwana na Mungu wake
wa Galilaya; naye mama yake Yesu alikuwapo.
kwa kuwa ni Mungu wake pia. Kwa sababu hivyo
2Yesu naye alikuwa amealikwa arusini pamoja na
Bikira Maria ni mdogo mbele ya (Yesu) Mungu
wanafunzi wake. 3Hata divai ilipowaishia,
kama kiumbe cha Mungu (Yesu).
mamaye Yesu akamwambia, Hawana divai. 4

Yesu akamwambia, Mama, tuna nini mimi


Kwa nini Bikira Maria anapewa Heshima nawe? Saa yangu haijawadia. 5Mamaye

kubwa akawaambia watumishi, Lolote

atakalowaambia, fanyeni. 6 Basi kulikuwako


Tunamuheshimu Bikira Maria kwa sababu ya nafasi
huko mabalasi sita ya mawe, nayo
yake ya kipekee ya upendeleo aliyopewa na Mungu
yamewekwa huko kwa desturi ya Wayahudi
ya Kuwa Mama wa Mungu. Tunapomuita Bikira
ya kunawa, kila moja lapata kadiri ya nzio
Maria Mama wa Mungu tunaheshimu nafasi yake
mbili tatu. 7Yesu akawaambia, Jalizeni
ya kipekee ya kuizalia Dunia Yesu aliye Mungu na
mabalasi maji. Nao wakayajaliza mpaka juu.
Mkombozi wetu.
8Akawaambia, Sasa tekeni, mkampelekee

mkuu wa sherehe. Wakapeleka. 9Naye mkuu


Je, Bikira Maria anastahili kuabudiwa? Je wa sherehe alipoyaonja yale maji yaliyopata

Tunamwabudu Maria? kuwa divai, (wala asijue ilikotoka, lakini

watumishi walijua, wale walioyateka yale maji),


Hapana, Bikira Maria hastahili kuabudiwa na wala
yule mkuu wa sherehe alimwita bwana arusi,
hatumuabudu Maria. Kwa kuwa Bikira Maria ni
10akamwambia, Kila mtu kwanza huandaa divai
kiumbe wa Mungu na ni Mdogo kuliko Mungu kwa
iliyo njema; na watu wakiisha kunywa sana ndipo
hiyo hana Umungu wowote hivyo haabudiwi kama
huleta iliyo dhaifu; wewe umeiweka divai iliyo
Mungu au pamoja na Mungu.
njema hata sasa. 11 Mwanzo huo wa ishara Yesu

aliufanya huko Kana ya Galilaya, akaudhihirisha


Kwa nini tunamuheshimu Bikira maria na utukufu wake, nao wanafunzi wake

kusali kwake? wakamwamini. Yohana 2:1-11

Tunamuheshemu Bikira Maria na Kumuomba

atuombee kwa Mungu mwanaye Yesu kwa sababu

anayo nafasi ya kipekee mbele ya Mungu mwanaye Ni kwa nini Bikira Maria anaitwa Mama wa

Yesu kama Mama yake wa kumzaa Duniani na


Kanisa?
kama mlezi wake akiwa duniani tangu kuzaliwa

mpaka kufa Msalabani wakiwa pamoja. Bikira Maria anaitwa Mama wa Kanisa kwa sababu

ni yeye aliyemzaa Yesu Kristo ambaye

amelianzisha Kanisa.
237

ushuhuda, katika mambo yote nitakayokuagiza

kwa ajili ya wana wa Israeli. (Kutoka 25 :18-

22.)“
Bikira Maria anafaida yeyote kwa Kanisa?
Kwa hiyo kama Mungu mwenyewe aliagiza Sanamu

Ndiyo. Bikira Maria ni mwombezi Mkuu wa Kanisa. za Malaika zichongwe na kusema atakua hapo na

kuongea na watu wake. Je sio vyema zaidi kuwa

na sanamu na Picha ya Mwanae wa Pekee Yesu

Kristo na kuongea na Mungu mbele yake kama

Nafasi ya Heshima kwa Bikira Maria ni ipi? alitaka ya malaika ambao sio Mungu?

Nafasi ya Heshima kwa Bikira Maria inafuata baada Mfano mwingine ni pale Mungu alivyomwabia Musa

ya Heshima kwa Utatu Mtakatifu achonge Sanamu ya Nyoka wa shaba.

“BWANA akamwambia Mose, “Tengeneza nyoka wa

shaba na umweke juu ya mti, ye yote aliyeumwa

na nyoka anaweza kumtazama na akaishi tena.‟‟


Kwa nini wakatoliki wanaweka sanamu 9Kwa hiyo Mose akatengeneza nyoka wa shaba na

kumweka juu ya mti. Kisha wakati mtu ye yote


Kanisani?
alipoumwa na nyoka, naye akamtazama yule
Tunaweka sanamu Kanisani kwa sababu nyoka wa shaba, aliishi.” (Hesabu 21:8-9).
tunaheshimu anayewakilishwa na sanamu hiyo Kwa Mfano huu Je tunaweza kusema kuwa sanamu
kwa mfano Yesu Kristo, Mama Bikira Maria, ya nyoka ina nguvu ya uponyaji kuliko ya Yesu
Malaika na Watakatifu; na kamwe hatuziabudu. aliye Mungu? Kumbuka hapa watu walioona
(Kutoka 25:18-22) sanamu hii ya nyoka hawakukoponywa na nguvu

ya sanamu ya shaba bali kwa nguvu ya neema ya


Hata Waisraeli kwenye hekalu lao walikua na
Mungu kupitia Imani kwa Mungu. Kwa hiyo
sanamu kama tunavyosoma hapa;
unaposali mbele ya picha au sanamu hautegemei
“18 Nawe fanya makerubi mawili ya dhahabu; nguvu ya sanamu bali unategemea neema ya
uyafanye ya kazi ya kufua, katika hiyo miisho ya Mungu kwa njia ya Imani yako kwa Mungu.
kiti cha rehema, huku na huku. 19 Weka kerubi
Kama vile Sanamu hii ya nyoka aliyoagiza Mungu
moja mwisho mmoja, na kerubi la pili mwisho wa
iwekwe ilivyowekwa kwa nia ya uponyaji kwa yule
pili; fanya hayo makerubi ya kitu kimoja na kiti cha
aitazamaye vivyo hivyo Sanamu na Picha za
rehema, mwisho huku na mwisho huku.20 Na hayo
Kanisani zinawekwa kwa nia maalumu na kwa
makerubi yatainua mabawa yao juu, na kukifunika
neema maalumu. Ndiyo maana hazifanani. Na
hicho kiti cha rehema kwa mabawa yao, na nyuso
zinabarikiwa kwa kuombewa Baraka Ili zizae
zao zitaelekeana hili na hili; nyuso za hayo
neema kwa wanaozitumia.
makerubi zitaelekea kiti cha rehema. 21 Weka kiti

cha rehema juu ya hilo sanduku, kisha utie huo

ushuhuda nitakaokupa ndani ya sanduku. 22 Nami Sanamu au picha sio haramu bali maana ya

nitaonana nawe hapo, na kuzungumza nawe pale hiyo sanamu au picha ndio inaiharamisha.
nilipo juu ya kiti cha rehema, katikati ya hayo

makerubi mawili yaliyo juu ya sanduku la


238

Kuna tofauti kati ya kuabudu na kuheshimu. anapobariki sanamu ya Yesu anaomba

Wakatoliki wanaweka sanamu kwa heshima na sio kuwa “Yesu awepo pale kwenye sanamu na

kwa kuabudu, ndio maana unaposali mbele ya Neema zake”, kwa hiyo yeyote anayesali mbele

picha ya Yesu hausali ee sanamu nisaidie bali ya sanamu hiyo anaamini kuwa Yesu yuko pale na

unasema ee Yesu nisaidie. anasali Mbele yake. Kwa hiyo kinachopewa

heshima sio ile sanamu bali ni yule anayeonekana


Je tuseme tunamwabudu Raisi kwa kuheshimu
kwa ishara ya ile sanamu au picha.
picha yake kwa kuiinamia? Je tunaabudu bendera

kwa kuheshimu na kupigia saluti? Je taratibu

zabunge za kutoa heshima na taratibu za Tofauti ya Sanamu za Kikatoliki na za

mahakama ni kuabudu?. Je kuapa mbele ya picha


kipagani ni Kwamba,
ya Raisi ni kumuabudu Raisi? Je kuapa na Biblia ni

kuabudu Biblia? Je tunapobusu Biblia na kuitunza Sanamu za Kipagani: Sanamu hizi huchukuliwa

kwa heshima tunaiabudu? Tofauti ya Biblia na kama Mungu na huabudiwa na kutolewa


sanamu ni nini? Je, kwenye Biblia
Sadaka kama Mungu Mwenyewe.
kinachoheshimiwa ni karatasi au maana ya yale

maneno kwenye karatasi. Pengine usingeheshimu Sanamu za Kikatoliki: Sanamu hizi huchukuliwa

kama hujajua kuyasoma.


kama ishara ya kile inachokiwakilisha,

Kuna tofauti gani kati ya biblia yenye Maandishi na haiabudiwi kamwe bali inaheshimiwa tuu.

msalaba wa kuchonga wenye kuonyesha kile


Daima Tumia Sanamu na Picha zilizobarikiwa
kinachosemwa na biblia? kama unaweza
kwani zimenuiwa uwepo wa yule inayemuwakilisha
kuheshimu biblia yenye karatasi tena pale
na utaongea naye hapo. Sisi tunaamini kwamba
unapoweza kuzisoma na pengine ungeizarau kama
kwenye Sanamu ya Yesu kuna uwepo wa Yesu.
ni ya lugha tofauti na hujui kilichoandikwa? Je
Kama vile Mungu anavyowaambia Waisraeli katika
Msalaba uliobeba maana ya kile kilichoandikwa
(Kutoka 25 :22) baada ya kuwaagiza wachonge
kwenye Biblia unaona si kitu? Kama
sanamu za Makerubi (Malaika) 22 Nami nitaonana
Kinachoheshimiwa kwenye Biblia sio karatasi bali
nawe hapo, na kuzungumza nawe pale nilipo juu
maana maneno yaliyoandikwa vivyo hivyo
ya kiti cha rehema, katikati ya hayo makerubi
kinachoheshimiwa kwenye picha au sanamu sio
mawili yaliyo juu ya sanduku la ushuhuda, katika
chuma yake au mti ukiochongwa bali ni maana ya
mambo yote nitakayokuagiza kwa ajili ya wana wa
hiyo sanamu.
Israeli. (Kutoka 25 :22). Sanamu au picha ni

Hii ndio maana nasema kuna tofauti ya kuabudu ishara wazi ya uwepo wa kile kisichoonekana.

na kuheshimu.

Kumbuka kuwa picha au sanamu yoyote ya Jifunze kupitia Sanduku la Agano na Msalaba

Kikatoliki lazima ibarikiwe kwanza ndio uweze


wa Yesu
Kusali mbele yake. Inapobarikiwa inaombewa

uwepo wa yule anayewakilishwa na picha/sanamu Kwenye Agano la kale: Ndani ya hekalu la


hiyo uwe pale sanamu ilipo na anayesali pale sala Waisraeli walikua na Sanduku la agano, sanduku
yake Ifike kwa mlengwa anayeonekana kwa ishara hilo lilikua na vibao vya Amri za Mungu ambavyo ni
ya sanamu/picha. Kwa Mfano askofu au padri Ishara ya Agano lao na Mungu na ndani ya
239

sanduku kulikuwepo pia Mfano wa Kiti ambacho Tunafanya ishara ya msalaba kwenye sanamu

kimezugukwa na sanamu za viumbe kama malaika kama sala ya utangulizi ambayo inathibitisha kuwa

nyuso zao zikielekea kiti hicho Kutoka 25:10- hatuabudu kile kilichoko pale bali kile

22. Waisraeli walikua wanasali kuelekea sanduku tunachokifanya tunakifanya huku tukikiri Umungu

la Agano wanapokuwa Hekaluni na hata wakiwa na Heshima ya Utatu Mtakatifu (Mungu; Baba,

majumbani mwao walisali kuelekea upande lilipo Mwana na Roho Mtakatifu.). Vile vile tunamtukuza

Hekalu. Waisraeli walisali kuelekea Sanduku la Mungu katika Utatu Mtakatifu kwa sababu ya yule

Agano wakiamini kwamba Mungu yupo kati ya anayewakilishwa na picha au sanamu.

sanduku lile. Lakini sanduku lile halikuwa Mungu.

Waisraeli waliona fahari juu ya Sanduku lile na


Kwa nini watu wanabusu picha na sanamu?
walilithamini na kuliheshimu kwa kuwa lilionyesha

uwepo wa Mungu na popote lilipokuwa waliamini Hii ni ishara ya Upendo kwa yule anayewakilishwa

Mungu yupo. kwenye picha au sanamu husika. Hata katika

Kwenye Agano jipya: Wakristu wanasali Mbele maisha ya kawaida watu hubusu picha za wazazi

ya Msalaba wa Yesu ambao unaonyesha kazi ya na wapendwa wao. Maana ni ile ile.

wokovu alioufanya Yesu kwa wanadamu ya

Kuwakomboa watu kwa kifo chake Msalabani. Na

Msalaba huo ni Ishara ya Ukombozi wa Agano jipya

na la Milele. Kama ilivyokuwa kwa Sanduku la Hapa duniani Yesu alizaliwa na nani?

Agano, Wakristu wanaheshimu msalaba ambao ni


Hapa duniani Yesu alizaliwa na Bikira Maria kama
ishara ya wokovu wao na wanaamini kuwa Mungu
malaika alivyomuambia:
yupo kati ya Msalaba huo lakini Msalaba huo sio

Mungu. Wakristu wanaona fahari juu ya msalaba “Roho Mtakatifu atakujilia juu yako, na nguvu zake

wa Yesu kwa kuwa ndio ishara ya wokovu wao. Aliye juu zitakufunika kama kivuli; kwa sababu

FUNZO:Kupitia Mfano wa Sanduku la Agano na hiyo, hicho kitakachozaliwa kitaitwa kitakatifu,

Msalaba tunajifunza kuwa Vyote havikuwa Mungu Mwana wa Mungu” (Lk 1:35).

ila vinaheshimiwa kwa Imani kuwa Mungu yupo

pale. Vilevile, vyote ni ishara ya wazi ya Agano la

Mungu na Wanadamu.
Malaika alimsalimia Maria “umejaa neema”:

maana yake nini?


Kwa nini tunasali mbele ya Picha/Sanamu na

Malaika alimsalimia Maria “umejaa neema” (Lk


Hasa kufanya Ishara ya msalaba?
1:28) maana ndiye tunda bora la ukombozi
Tunasali mbela ya sanamu kwa sababu tunaamini ulioletwa na Yesu.
sanamu inaakisi uwepo wa mhusika aliyechorwa au
Kwa stahili za Mwanae alikingiwa asirithi kwa
kuchongwa kwenye hiyo sanamu/picha. Ndio
wazazi dhambi ya asili na madonda yanayotokana
maana wakatoliki wanasali kwenye picha au
nayo, wala asitende dhambi maisha yake yote.
sanamu iliyobarikiwa tuu kwa sababu Sanamu

inapobarikiwa inaombewa uwepo wayule

anayewakilishwa pale.
240

Msimamo wake ulikuwa mmoja tu:


Kwa nini Maria anastahili kuitwa “Mama wa
“Tazama, mimi ni mjakazi wa Bwana; na iwe
Mungu”?
kwangu kama ulivyosema” (Lk 1:38).

Maria anastahili kuitwa “Mama wa Mungu” kwa

sababu Mwana wa milele wa Mungu, ambaye ni

Mungu sawa na Baba, alifanyika mtu toka kwake.


Je, Maria ni mama yetu pia?
Akiwa mja mzito alishangiliwa: “Umebarikiwa

wewe katika wanawake, naye mzao wa Ndiyo, Maria ni mama yetu pia: kwa kushiriki kazi

tumbo lako amebarikiwa. Limenitokeaje neno yote ya Mwanae, Adamu mpya, amekuwa Eva

hili, hata mama wa Bwana wangu anijilie mimi? mpya, mama wa wale wote aliowakomboa

msalabani.
” (Lk 1:42-43).
“Yesu alipomwona mama yake, na yule

mwanafunzi aliyempenda amesimama karibu,


Je, Bikira Maria ni kama Bahasha au chombo
alimwambia mama yake, „Mama, tazama mwanao‟.

cha kumleta Yesu tuu Duniani au anayo Kisha akamwambia yule mwanafunzi, „Tazama,

mama yako‟” (Yoh 19:26-27).


thamani zaidi?
Kisha kushirikishwa ufufuko wake, anazidi

Bikira Maria sio kama bahasha au chombo cha kutushughulikia kimama tufike salama mbinguni

kumleta Yesu tuu duniani. Yesu ametokana na alikotangulia kupalizwa mwili na roho.

Bikira Maria katika ubinadamu wake. Mwili wa Yesu

wa kiubinadamu ni sehemu au uzao wa Bikira

Maria. Bikira Maria anayo uhusiano wa damu na

Yesu Kristu. Ndiyo maana Mungu alimtakasa Bikira Je, ni vizuri kumsifu Maria?

Maria Ili atakayezaliwa kutoka kwake awe na yeye


Ndiyo, ni vizuri kumsifu Maria kwa imani yake
mtakatifu.
kama alivyosifiwa na alivyotabiri mwenyewe:

Mungu alimtakasa Bikira Maria kabla ya Kuamua


“„Heri aliyesadiki; kwa maana yatatimizwa
kuzaliwa kupitia yeye kwa kuwa Mungu ni
aliyoambiwa na Bwana‟… „Tazama, tokea
Mtakatifu. Ubinadamu wa Yesu (MWILI – Nyama
sasa vizazi vyote wataniita mbarikiwa‟” (Lk
na Damu) asili yake ni Bikira Maria.
1:45,48).

Ni lazima tulitimize hilo neno la Mungu katika

kizazi chetu kama kilivyotimizwa na vizazi

vilivyotangulia.
Je, Maria amechangia wokovu wetu?

Ndiyo, Maria amechangia wokovu wetu kwa

kukubali mpango wote wa Mungu aliyetaka amzae

Mwanae, amlee na kumfuata kiaminifu hadi Je, sala inaweza kuwaendea Mama na

msalabani, aliposhiriki kumtoa kama sadaka ya


marafiki wa Yesu (Watakatifu)?
kutuokoa.
241

Ndiyo, sala inaweza kuwaendea Mama na marafiki Hapo zamani hakuna mkristu au dehebu lolote

wa Yesu, walioungana naye kuwa mwili mmoja, lililokuwa linapinga kuwa Bikira Maria sio Bikira

wasiweze kutenganishwa na chochote. Daima hata Waprotestanti/walokole waliamini

Bikira Maria ni Bikira Hata Baada ya Kumzaa Yesu.


“Kwa maana nimekwisha kujua hakika ya kwamba,
Kwenye Miaka ya 1400-1600 Watu wote wakwanza
wala mauti, wala uzima, wala malaika, wala wenye
waliopinga Kanisa Katoliki walikubali kuwa Bikira
mamlaka, wala yaliyopo, wala yatakayokuwapo,
Maria ni Bikira daima wakiwemo Martin Lutha
wala wenye uwezo, wala yaliyo juu, wala yaliyo
aliyeanzisha kanisa la Lutheran, John Calvin
chini, wala kiumbe kingine chochote hakitaweza
aliyeanzisha Ulokole/Protestanti, Mchungaji Ulrich
kututenga na upendo wa Mungu ulio katika Kristo
Zwingli, Heinrich Bullinger, and Thomas Cranmer.
Yesu Bwana wetu” (Rom 8:38-39).
Kwa miaka zaidi ya 350 Waprotestant/walokole
“Kwangu mimi kuishi na Kristo, na kufa ni faida…
waliendelea kuamini kuwa Bikira Maria ni Bikira
Ninatamani kwenda zangu nikae na Kristo” (Fil
Daima.
1:21,23)

. Lakini baadae wakristo wengi walianza kupinga

kuwa Bikira Maria ni Bikira Daima.


Kwa kuwa hao wako na Kristo mbinguni,

wanatuombea mfululizo pamoja naye.


Tunaweza kuthibitisha kuwa Bikira Maria
“Niliona chini ya madhabahu roho zao waliochinjwa

kwa ajili ya neno la Mungu, na kwa ajili ya hakuzaa watoto wengine kwa kunukuu Biblia

ushuhuda waliokuwa nao. Wakalia kwa sauti kuu,


Kama ifuatavyo;
wakisema, „Ee Mwenyezi, Mtakatifu, Mwenye kweli,

hata lini…‟” (Ufu 6:9-10).


1. Bikira Maria Alikuwa Bikira Kabla ya
Tunawaomba wazidi kutuombea kwa Mungu, kama

tunavyowaomba wenzetu waliopo duniani. kumzaa Yesu

“Mkikesha kwa jambo hilo na kudumu katika Biblia inatuambia wazi kwamba Bikira Maria

kuwaombea watakatifu wote; pia na kwa ajili alikuwa Bikira Kabla ya kumzaa Yesu Kama

yangu mimi” (Ef 6:18-19). tunavyosoma katika Luka 1:26-35

26 Mnamo mwezi wa sita, malaika Gabrieli

alitumwa na Mungu aende kwenye mji uitwao

Nazareti huko Galilaya, 27 kwa msichana mmoja


Je, Bikira Maria alikua na watoto wengine
aitwaye Maria, mchumba wa mtu mmoja jina lake
Mbali na Yesu? Yosefu, wa ukoo wa Daudi. 28 Malaika

akamwendea, akamwambia, “Salamu Maria!

Umejaliwa neema nyingi! Bwana yu pamoja nawe.”


Je, Bikira Maria ni Bikira Daima au alizaa
29 Maria aliposikia maneno hayo alifadhaika sana,

watoto wengine? akawaza: maneno haya yanamaanisha nini? 30

Malaika akamwambia, “Usiogope Maria, kwa


Jibu fupi ni kwamba Bikira Maria hakuzaa watoto
maana Mungu amekujalia neema. 31 Utachukua
wengine na hakuwa na watoto wengine zaidi ya
mimba, utamzaa mtoto wa kiume na utampa jina
Yesu
Yesu. 32 Yeye atakuwa mkuu na ataitwa Mwana
242

wa Mungu Mkuu. Bwana Mungu atampa kiti cha kwenda Yerusalemu kila mwaka kwa ajili ya

mfalme Daudi, babu yake. 33 Kwa hivyo Pasaka familia nzima kama familia. Je hao watoto

atautawala ukoo wa Yakobo milele, na ufalme wengine walikuwa wapi. Kwa nini walikuwa na

wake hautakuwa na mwisho.” 34 Maria akamjibu, Yesu Mwenyewe? Maana yake ni kwamba Yesu

“Yatawezekanaje hayo, hali mimi ni bikira?” 35 hakuwa na Wadogo zake.

Malaika akamjibu, “Roho Mtakatifu atakushukia, na


41 Wazazi wa Yesu walikuwa na desturi ya kwenda
uwezo wake Mungu Mkuu utakujia kama kivuli;
Yerusalemu kila mwaka wakati wa sikukuu ya
kwa sababu hiyo, mtoto atakayezaliwa ataitwa
Pasaka. 42 Mtoto alipokuwa na umri wa miaka
Mtakatifu, Mwana wa Mungu. (Luka 1:26-35)
kumi na miwili, wote walikwenda kwenye sikukuu

hiyo kama ilivyokuwa desturi. 43 Baada ya


2. Biblia Haiwataji ndugu wa Yesu wakati sikukuu, walianza safari ya kurudi makwao, lakini

Yosefu na Maria walipokimbilia Misri Yesu alibaki Yerusalemu bila wazazi wake kuwa na

habari. 44 Walidhani alikuwa pamoja na kundi la


kumficha Yesu na wakati waliporudi
wasafiri, wakaenda mwendo wa kutwa, halafu
19 Baada ya kifo cha Herode, malaika wa Bwana wakaanza kumtafuta miongoni mwa jamaa na
alimtokea Yosefu katika ndoto kule Misri, 20 marafiki. 45 Kwa kuwa hawakumwona, walirudi
akamwambia, “Amka! Mchukue mtoto pamoja na Yerusalemu wakimtafuta. 46 Siku ya tatu
mama yake, urudi tena katika nchi ya Israeli, walimkuta Hekaluni kati ya walimu, akiwasikiliza
maana wale waliotaka kumwua mtoto huyo na kuwauliza maswali. 47 Wote waliosikia maneno
wamekwisha kufa.” 21 Basi, Yosefu aliamka, yake walistaajabia akili yake na majibu yake ya
akamchukua mtoto pamoja na mama yake, hekima. 48 Wazazi wake walipomwona
akarejea katika nchi ya Israeli. 22 Lakini Yosefu walishangaa. Maria, mama yake, akamwuliza,
aliposikia kwamba Arkelao mwanawe Herode “Mwanangu, kwa nini umetutenda hivyo? Baba
alikuwa mfalme wa Yudea mahali pa baba yake, yako na mimi tumekuwa tukikutafuta kwa huzuni.”
aliogopa kwenda huko. Naye baada ya kuonywa 49 Yeye akawajibu, “Kwa nini mlinitafuta?
katika ndoto, alikwenda katika mkoa wa Galilaya, Hamkujua kwamba inanipasa kuwa katika nyumba
23 akahamia katika mji uitwao Nazareti. Ndivyo ya Baba yangu?” 50 Lakini wazazi wake
yalivyotimia maneno yaliyonenwa kwa njia ya hawakuelewa maana ya maneno aliyowaambia. 51
manabii: “Ataitwa Mnazare.” Matayo 2:19-23 Basi, akarudi pamoja nao hadi Nazareti, akawa
Kama wangekuwepo wadogo zake Yesu Biblia anawatii. Mama yake akaweka mambo hayo yote
ingetuambia kwamba walikuwa wapi wakati huo na moyoni mwake. 52 Naye Yesu akaendelea kukua
walikuwa na Yesu au la. katika hekima na kimo; akazidi kupendwa na

Mungu na watu. (Luka 2:41-52).

3. Biblia haituambii kuwa Yesu alikua na Kwa hiyo Biblia haionyeshi kuwa Yesu alikuwa na

kaka na dada wakati akiwa na miaka 12. Kama


wadogo zake alipokuwa na miaka 12
wangekuwepo wangetajwa hapa kuwa walikuwa
Wakati wa Maria, Yoseph na Yesu walipoenda pamoja na Wazazi wao kama Yesu au walikuwa na
Yerusalemu Yesu akiwa na miaka 12 Biblia Yesu wakati anapotea. Biblia haituambii chochote
haituambii kuwa Yesu alikuwa na wadogo zake na kwa hiyo wakati huo hapakuwa na wadogo zake
walikuwa wapi. Kumbuka walikuwa na Desturi ya Yesu.
243

ENGLISH 6 After that, he appeared to more than


4. Kukosekana kwa neneo “Binamu” kwenye
five hundred of the brothers and sisters at the
lugha ya Yesu
same time, most of whom are still living, though

Wakristu wa kwanza pamoja na Yesu aliongea some have fallen asleep.

Kiaramaiki au Kiebrania. Katika lugha zote hizo


Kwa hiyo hapa neno kaka dada na ndugu
hakuna neno “Binamu” kwa hiyo mabinamu
linaonekana wazi halikumaanisha ndugu au kaka
walijulikana kama dada na kaka wa mtu. Kwenye
wa damu.
Agano jipya Neno kaka na Dada lilitumika pia

kuwakilisha binamu.
6. Undugu wa Yakobo, Simoni, Yosefu na
Biblia inapotuambia kuwa Kaka na dada zake Yesu
Yuda kwa Yesu Sio wa mtu na kaka zake
haimaanishi kaka wa kuzaliwa bali ndugu au

Binamu Wasemao kuwa Bikira maria alikuwa na wana zaidi

ya Yesu wananukuu kifungu hiki;


55 Je, huyu si yule mwana wa seremala? Je, mama

yake si anaitwa Maria, na ndugu zake si kina 55 Je, huyu si yule mwana wa seremala? Je, mama

Yakobo, Yosefu, Simoni na Yuda? 56 Na dada zake yake si anaitwa Maria, na ndugu zake si kina

je, si wote wako hapa pamoja nasi? Basi amepata Yakobo, Yosefu, Simoni na Yuda? 56 Na dada zake

wapi haya yote?” (Mathayo 13:55-56) je, si wote wako hapa pamoja nasi? Basi amepata

Kwa hiyo wanaotajwa hapa ni ndugu wa Yesu kwa wapi haya yote?” (Mathayo 13:55-56)

maana maneno kama; ndugu, kaka au dada Kumbuka kulikuwa na Yakobo wawili wakati wa

lilitumika badala ya Binamu yaani mtoto wa Yesu, Vifungu vifuatavyo yunaweza kuona kuwa

shangazi au mjomba. Hapa juu Yosefu ametajwa kulikuwa na yakobo wawili ambao walikuwa ndugu

kama kaka yake Yesu lakini tunajua kuwa Yosefu za Yesu lakini sio kaka wa kuzaliwa kwa mama.

ni Baba yake Yesu. Baba na mwana hawawezi


35 Yakobo na Yohane, wana wa Zebedayo,
kuwa na jina sawa.
walimwendea Yesu wakamwambia, “Mwalimu,

tunataka utufanyie kitu tutakachokuomba.” (Marko


5. Biblia haitumii neno Ndugu, kaka au dada 10:35)

ikimaanisha ndugu wa kuzaliwa mama mmoja 55 Mahali hapo walikuwapo wanawake wengi

wakitazama kwa mbali. Hao ndio wale waliomfuata


na baba mmoja
Yesu kutoka Galilaya wakimtumikia. 56 Miongoni

Sio mara zote Biblia imetumia neno Ndugu mwao walikuwa Maria Magdalene, Maria mama yao

kumaanisha ndugu (Dada na Kaka) wa kuzaliwa Yakobo na Yosefu, pamoja na mama yao wana wa

yaani kaka na dada kwa mfano Zebedayo. (Matayo 27:55-56)

Tunaweza kuona Undugu huu na Yesu kwa


Kwa kuangalia lugha ya Kiswahili na Kiingereza 1
kusoma;
Wakorintho 15:6 tunaona tafsiri tofauti.

19 Lakini sikuwaona mitume wengine isipokuwa


KISWAHILI 6 Kisha aliwatokea ndugu zaidi ya
Yakobo, ndugu yake Bwana. (Wagalatia 1:19)
mia tano kwa mara moja; wengi wao wanaishi
Lakini Yuda anasema;
bado, lakini baadhi yao wamekwisha kufa.

1 Mimi Yuda, mtumishi wa Yesu Kristo, ndugu yake

Yakobo, nawaandikia ninyi mlioitwa na Mungu na


244

ambao mnaishi katika upendo wa Mungu Baba, na 26 Yesu alipomwona mama yake, na karibu naye

katika ulinzi wa Yesu Kristo. (Yuda 1:1) amesimama yule mwanafunzi aliyempenda,

Kwa hiyo Yakobo na Yohane walikuwa watoto wa akamwambia mama yake: “Mama! Tazama, huyo

Mama mwingine ambao baba yao ni Zebedayo. Na ndiye mwanao.” 27 Halafu akamwambia yule

Yakobo na Yosefu walikuwa watoto wa Maria mwanafunzi: “Tazama, huyo ndiye mama yako.”

Mwingine. Kwa hiyo ni Yakobo wa wili wa Mama Na tangu saa ile huyo mwanafunzi alimchukua

wengine Tofauti na Maria. Yuda alikuwa ni ndugu akae nyumbani kwake.

yake Yakobo. Yakobo vilevile alikuwa ndugu yake Ndiyo maana Bikira Maria tangu siku ile alihamia

Yesu. kwa Yohani kwa kuwa hakuwa na watoto wengine.

Kuthibitisha kuwa Hawa kina Mama ndio waliokuwa

Mama zao kina Yakobo wote hao wawili na

wengine tunaweza kusoma;


Wazazi wa Bikira Maria ni nani?
25 Karibu na msalaba wake Yesu walikuwa
Wazazi wa Bikira Maria ni Yoakimu na Anna
wamesimama mama yake, na dada ya mama

yake, Maria mke wa Kleopa, na Maria Magdalene.


WhatsAppTwitterLinkedInEmail
(Yohana 19:25)

Kwa hiyo kwenye (Yohana 19:25) tunaona Kuwa ni

kwenye Msalaba wa Yesu alikuwepo Mama yake

Yesu (Bikira Maria), Dada yake Bikira Maria, Mke

wa Cleopa na Maria Magdalena. Na kwenye

(Matayo 27:55-56) wamwtajwa ni Mama za kina

nani kama inavyoonekana kwenye kifungu

kifuatachi;.

55 Mahali hapo walikuwapo wanawake wengi

wakitazama kwa mbali. Hao ndio wale waliomfuata

Yesu kutoka Galilaya wakimtumikia. 56 Miongoni

mwao walikuwa Maria Magdalene, Maria mama yao

Yakobo na Yosefu, pamoja na mama yao wana wa

Zebedayo. (Matayo 27:55-56).

Kwa hiyo hii ina maanisha kulikua na wanawake

watatu wenye majina sawa ya Maria waliokuwa

chini ya Msalaba. Yakobo na Yuda walikuwa watoto

wa Maria Mke wa Cleofasi, na sio Mama wa Yesu,

na hivyo sio kaka za Yesu.

7. Yesu alimwacha Mama yake kwa Yohane

kwa kuwa hakuwa na Kaka na dada

wakumwachia mamaye

You might also like