Work Kiswahili

You might also like

Download as docx, pdf, or txt
Download as docx, pdf, or txt
You are on page 1of 5

NAMES … ………………………………………………………

SUBJECT KISWAHILI

CLASS BTEC 1

Deadline 15/6/2022

JARIBIO LA KISWAHILI 

HABARI 

SAA, MAJIRA NA UELEKEO WA DUNIA 

Saa, majira au msimu na uelekeo wa dunia ni mambo matatu muhimu sana katika maisha
yetu. Saa ni  muda unaochukua dakika sitini ama ni sehemu moja ya ishirini na nne
zinazokamilisha siku. Hali  kadhalika, saa ni chombo cha kupima wakati. Lakini kipindi ni
muda mrefu ambapo jambo Fulani  hutokea. Nao uelekeo wa dunia wa dunia ni pande za
dunia. Pande hizo zaweza kuwa nne, nane, kumi  na sita, thelathini nambili, sitini na nne na
kadhalika. Hata hivyo asili ya pande hizo ni moja tu. 

 Tayari sasa unaweza kutaja ni saa ngapi kwa kuingilia tu saa yenyewe. Lakini litakuwa jukumu
lako  kuifunza hiyo saa kwa wanafunzi wako wasioielewa. Nayo hiyo ndiyo kazi kwa sababu
saa ya Kiswahili  ina asili ya mpangilio wa kizungu. Mathalani, unaposema, “Sasa ni saa moja”,
ile kumi na saba na mbili  huwa hazina maana katika Kiswahili. Hivyo basi, ni lazima uisome ile
saa na halafu uitafsiri kwa Kiswahili. 

 Hata hivyo, yapo maneno kadhaa yanayohusu Kiswahili. Maneno hayo ni kama vile kasoro,
kasorobo,  robo, dakika, nukta, nusu, tia funguo, akrabu, uso, rekebisha. Saa moja ina dakika
sitini nayo dakika moja  ina nukta sitini. Nazo saa ishirini na nne huwa ni siku moja. 

 Robo ya saa ni dakika kumi na tano na kasoro ni “baki dakika” fufani. Hivyo unaweza
kusema, “sasa ni  saa mbili kasoro dakika mbili.” Lakini kasorobo ni baki dakika kumi na
tano. 

 Nako kutia funguo saa ni tofauti na kuirekebisha saa hiyo. Ukitia funguo huwa unaiongezea
nguvu za  kuenda lakini ukiirekebisha huwa unasawazisha. Vivi hivi, akrabu ni tofauti na uso
wa saa. Akrabu ni  mikono ya saa. Kuna akrabu fupi na akrabu ndefu. Nazo nambari
huandikwa kwenye uso wa saa. 

 Kwa upande mwingine, majira yako tofauti kidogo. Ipo misimu mikuu mitatu mine hapa
petu.  Kwanza kabisa, upo msimu wa masika. Wakati huu huwa wa mvua nyingi. Mnamo
wakati wa msimu huu  huwepo kipupwe. Kipupwe ni msimu wa baridi. Hiki kipupwe hapa
petu huwepo mnamo miezi ya Juni,  Julai na hata Agosti. 

 Baada ya msimu wa masika, hufika ule wa kiangazi. Huu nao ni wakati wa jua kali lenye joto
jingi. Hali  hii hutokea kwa kuwa hapana mvua inyeshayo. 
 Kati ya misimu hii miwili, huweza kuwepo msimu wa vuli. Wakati huu huwa wa kati kwa kati,
yaani,  huweza kuwepo mvua kidogo na jua kiasi. 

 Mbali na misimu hii, upo uelekeo wa dunia. Huu uelekeo wa dunia pia waweza kuitwa pande
za  dunia. Kiasili upo upande mmoja tu wa dunia, yaani Kaskazini. Kutokana na asili hii
zinaweza kupatikana  nyingine chungu nzima. Pande hizi zote zina lengo la kutuwezesha kujua
tuliko na pia ziliko sehemu  nyinginezo. Unaweza kupata pande kumi na sita peke yake.
Unaweza kuendelea na ukapata pande  thelathini na mbili, sitini na nne na kadhalika.
 Kumbuka hapa kuwa pande hizi hufunzwa julingana na uwezo wa kufahamu walio nao
wanafunzi  wanaofunzwa. Kwa mfano, huwezi kufunza pande thelathini na mbili katika
darasa la nne, la. Maongezi  zaidi kuhusu jambo hili huweza kupatikana katika silibasi
ihusikanayo. 

1. Zichore pande nne na uziandikie majina sahihi. Maksi 2 

2. Ni shughuli zipi zipitishwazo wakati wa masika? Maksi 2 .

3. Pana tofauti gani kati ya msumu wa kipupwe na ule wa vuli? Maksi 2 

4. Eleza maana ya neno “akrabu.” Maksi 2 

5. Tofautisha maneno yafwatayo: Maksi 2 

A) saa:… ……………………………………………………………………………………

b) uelekeo: …….………………………………………………………………………………

MATUMIZI YA LUGHA 

6. Andika tungo zifwatazo katika hali kanushi. Maksi 5

a) Mimi ninapenda pombe…… sipendi pombe…………………………

b) Wao wanalima shamba…… Hawakukua shamba ………………………

c) Sisi tunasoma vitabu… Hatusomi vitabu …………………………

D) Tumeenda sokoni … Hatukuenda sokoni ……………………………

e)Nyie mlitembea mjini … Nyie hamukutembea mjini …………………………………


7. Andika kwa tarakimu. Maksi 5

A) Mia tatu elfu ……300,000……………………………………………

b) Mia tano, hamsini na tano ……555……………

c) Laki moja……100,000…………………

d) Laki tisa na nusu……9500………………………

e) robo tatu……3/4……………………

8. Taja rangi za vitu vifuatavyo. Maksi 5

a) damu: … nyekundu ………………

b) machungwa: …machungwa………………

c) maziwa: …nyeupe…………………………………………

d) makaa: …nyeusi…………………

e) majani: ……kijani……………………………

9. Sasa ni saa ngapi? (What time is it in Kiwahili?) Maksi 5

10:15 am: …Saa nne na robo …………

01:30 am: …saa saba na nusu …………

08:30 am: …saa nane na nusu…………

9:40 pm: …Tisa arobaini jioni………… 

12: 00 am: …Saa sita usiku …………


3 | P a g e 

10. Jaza jeduali lifuatalo Maksi 5 


Umoja wingi

mwanafunzi Wanafunzi

kitabu vitabu

mwanaume Wanaume

kidole Bidole

fisi fisi

11. Geuza kwa wingi maneno yakiyopigiwa msitari kasha ukosoe makosa. Maksi 5

Yeye anafika hapa. 

… Yeye anafika hapa.…………………………

Mwanafunzi ameandika ubaoni. 

… Mwanafunzi ameandika kwenye bodi.…………………………………………….

Msichana anafagia nyumba. 

… Msichana anafagia nyumba………………………………

Baba atafika kesho. 

… Baba atafika kesho………………………………


Mbuzi amekinjwa. 

… Mbuzi amekinjwa…………………

12. Kosoa makosa yaliyomo katika sentensi zifuatazo. Maksi 5 

a) Mtoto linakimbia…mtoto anakimbia………………………………


b) Mama tunafundisha Kiswahili……mama anatufundisha kiswahili…………………………
c) Mbwa inabweka …imbwa inabweka…………………………………………………………………
d) Wanafunzi banasema kwa sauti kubwa………wanafunzi wanasema kwa sauti
kubwa……………
e) Fundi inajenga nyumba …fundi anajenga nyumba……………………………………

4 | P a g e 

You might also like