Download as docx, pdf, or txt
Download as docx, pdf, or txt
You are on page 1of 4

UNIVERSITY OF EASTERN AFRICA, BARATON

SCHOOL OF EDUCATION, HUMANITIES AND SOCIAL SCIENCES.

DEPARTMENT OF HUMANITIES AND SOCIAL SCIENCES.

ASSIGNMENT DONE IN PARTIAL FULFILLMENT OF THE


REQUIREMENTS OF THE COURSE; KISW111, HISTORICAL AND
MODERN DEVELOPMENT OF KISWAHILI.

SUBMITTED BY:

CHELELGO JEPSERGON SHEILA- SCHEJE2311

BABYLINE JERONO- SJERBA2311

KIBET HILLARY- SKIBHI2312

VICOTY CHEPKURUI- SCHEVI2312

IMMACULATE JERUTO -SJERIM2311

DENNIS KIPKOECH-SKIPDA 2313

VICTOR KIPNGETICH-

INSTRUCTOR: DR. DAVID RONO

Huku ukitolea mifano mwafaka jadili vipi Kiswahili ni muhimu katika:

*KITAIFA NA KIMATAIFA*
Hoja zifuatazo zijadiliwe

(i) Hifadhi ya amani utamaduni na utaarabu wa taifa

Lazima lugha hiyo iweze kujitokeza kama lugha unganishi katika mambo yanayohusu ubadilishanaji wa
kiutamaduni baina ya jamii.Nao utamaduni unahusu mambo mengi kama vile vifaa vya ujenzi, vya
upishi, vya muziki na kadhalika.Utamaduni pia waweza kuwa wa kimazingira, kijamii, kidini, kisiasa, au
kiutawala.

(ii) Hifadhi ya kumbukumbu za kihistoria

(iii) Kitambulishi cha utaifa

Mtu anapozungumza lugha ya kiswahili hudhihirisha kua ni mzalendo kwani kiswahili kimefanya ku lugha
rasmi katika taifa mbalimbli

(iv) Ugwe wa kuunganisha watu au kiunganishi cha taifa

Ni lugha inayotumika kuendeshea mikutano na shughuli rasmi zakimataifa.Kiswahili ni moja kati ya lugha
zinazotumiwa kama lugha rasmi katika mikutano ya Umoja wa Afrika.

(v) Huwapa watu hadhi na staha

Kutokana na hadhi mpya, Kiswahili kinatarajiwa kuanza kutumiwa kufundishia masomo mengine katika
viwango mbalimbali vya elimu nchini. Maandalizi yatahusu utayarishaji wa mitalaa mipya ya elimu katika
viwango mbalimbali. Aidha, vitabu vitakavyohitajika ili kufundishia masomo katika viwango anuwai vya
elimu sharti viandikwe kwa Kiswahili. Mafunzo kwa walimu vyuoni yanatarajiwa kufanywa kwa Kiswahili
kama njia ya kuwaandaa wahusika kufundisha katika taasisi za elimu nchini.

(vii) Hutumika katika biashara

Tunafurahi lugha hii ni ya ulimwengu mzima na itatusaidia katika kufanya biashara hapa kwetu barani
Afrika kwa kuwa watu wameitambua si tu kama lugha rasmi bali lugha ya kutumika katika
biashara.”Amesema lugha hii itasaidia pakubwa hasa kwenye ukuaji wa jumuiya na kuelewana kwa
mambo tofuati “wananchi wanaweza kuwasiliana baina ya nchi na nchi, wataweza kufanya biashara na
kukubaliana kwa kutumia lugha ya Kiswahili.”

(viii) Siasa

Katika ngazi ya kitaifa, lugha ya Kiswahili ilitumika kama lugha ya kuwaunganisha Wakenya katika
mchakato wa kupiga kura.Lugha ya Kiswahili ina mchango mkubwa katika kufanikisha sera, ajenda na
manifesto ya kisiasa nchini Kenya. Ingawa manifesto ya vyama vya kisiasa ziliandikwa kwa Kiingereza,
walitumia Kiswahili katika kusisitiza masuala yenye umuhimu ili kuwashawishi wapiga kura. Kwa mfano,
majina ya vyama miungano ya vyama ina majina kwa Kiswahili. Kwa mfano, Azimio la Umoja, Kenya
Kwanza, Agano.
(ix) Elimu

Kutokana na hadhi mpya, Kiswahili kinatarajiwa kuanza kutumiwa kufundishia masomo mengine katika
viwango mbalimbali vya elimu nchini. Maandalizi yatahusu utayarishaji wa mitalaa mipya ya elimu katika
viwango mbalimbali. Aidha, vitabu vitakavyohitajika ili kufundishia masomo katika viwango anuwai vya
elimu pia inayotumika kuendeshea mikutano na shughuli rasmi zakimataifa.

Kiswahili ni moja kati ya lugha zinazotumiwa kama lugha rasmi katika mikutano ya Umoja wa
Afrika.sharti viandikwe kwa Kiswahili. Mafunzo kwa walimu vyuoni yanatarajiwa kufanywa kwa Kiswahili
kama njia ya kuwaandaa wahusika kufundisha katika taasisi za elimu nchini. Maafisa wa elimu katika
ngazi tofautitofauti watahitajika kujifunza Kiswahili ili kujitayarisha kwa jukumu la kuelekeza mipango ya
elimu katika maeneo yao. Hali hii inatarajiwa kudhihirika katika taasisi za elimu ya juu kama vile vyuo
vikuu ambavyo vitatakiwa kuweka mikakati imara ya kuziwezesha kuimarisha mawasiliano kwa Kiswahili
miongoni mwa wataalamu wa masomo mbalimbali. Hii inamaanisha kuwa lugha ya Kiswahili
imestawishwa sambamba na Kiingereza kuitayarisha kukidhi mahitaji ya kufundishia masomo
mbalimbali.

x]Bunge

Katiba mpya inakitambua Kiswahili kama lugha rasmi sambamba na Kiingereza. Ni wazi kuwa hali hii
mpya itachangia pakubwa katika kutimizwa kwa ndoto ya wasomi wa Kiswahili na hata viongozi wa
kisiasa barani Afrika ambao wamekuwa wakipendekeza kuwa Kiswahili kiwe lugha inayotumiwa katika
shughuli rasmi kote barani Afrika.

(xi) Hutumika katika utafiti

. Sayansi na teknolojia huenezwa kwa lugha rasmi. Maendeleo katika uwanja huu ni muhimu kwa nchi
yoyote ulimwenguni. Maarifa katika sekta hiyo ni kichocheo kikuu cha ustawi wa jamii, hususani
kiuchumi. Ili lugha ya Kiswahili iweze kutumika katika shughuli za kisayansi na kiteknolojia, istilahi za
kurejelea masuala mbalimbali husika zitahitaji kubuniwa na kusanifishwa. Ni kupitia juhudi hizi ambapo
lugha hii itakuwa na uwezo wa kutumika katika sekta hii huku ikikumbukwa kuwa dhana husika ni ngeni
na zimekuwa zikirejelewa kwa Kiingereza kwa miaka

(xii)Sheria

Kiswahili Hutumika katika kutunga Sheria za nchi mifano ni nchini Tanzania kiswahili inatumika kutunga
sheria

(xiii) Kuelezea sera za serikali

Wanasiasa wanapotangaza sera zao hua wanatumia lugha ya kiswahili. Pia rais anapotangaza sera za
serikali hutumia lugha ya kiswahili

(xv) Ni chombo cha mawasiliano


Lugha ya Kiswahili ndiyo inayotumika katika mawasiliano mabana katika jamii. Hivyo, masilahi ya jamii
kama vile kilimo, malezi n.k hushughulikiwa na kufikiwa vyema kupitia matumizi ya lugha ya Kiswahili.

(xvi) Ni chombo cha ajira

Kwa sasa Kiswahili ndiyo lugha rasmi ya Jumuiya ya Afrika Mashariki na imependekezwa kama lugha
mojawapo ya Muungano wa Afrika. Isitoshe, Kiswahili ni lingua franca katika eneo zima la Afrika
Mashariki na hata Kati. Hivyo, kuifahamu lugha hii kwa ufasaha utaleta manufaa si haba ikiwemo
ajira.Kama vile ualimu na utangazaji katika maredio

(xviii) Katika uandishi

Kuwezesha uandishi wa vitabu, majarida, habari, utangazaji, magazeti, blogu na mengine mengi ya
kuleta mapato.

(xix) Hukuza michezo

Wanaoigiza michezo ya jukwaani wanatumia lugha ya kiswahili kuonyesha matendo mbalimbali


yanayoakisi jamii kupitia Sanaa hio ya maigizo

(xx) Kujenga uzalendo

Lugha ya kiswahili ni lugha rasmi unapoizunguza unaendeleza uzalendo

(xxi) Katika sherehe za kitaifa

ha inayotumika kuendeshea mikutano na shughuli rasmi zakimataifa kiiswahili ni moja kati ya lugha
zinazotumiwa kama lugha rasmi katika mikutano ya Umoja wa Afrika.

You might also like