Professional Documents
Culture Documents
Fainali Za Mabingwa Umitashumta 2022 Zakaribia: Wizara Ya Utamaduni, Sanaa Na Michezo
Fainali Za Mabingwa Umitashumta 2022 Zakaribia: Wizara Ya Utamaduni, Sanaa Na Michezo
FAINALI ZA MABINGWA
UMITASHUMTA 2022 ZAKARIBIA
MICHEZO UMITASHUMTA YAELEKEA
KWENYE MICHUANO YA
FAINALI ZA MABINGWA
06 Agosti, 2022
WUSM UMISSETA x UMITASHUMTA 2022
01
WUSM UMISSETA x UMITASHUMTA 2022
Wanafunzi wenye mahitaji kumaliza mechi ya Nusu uelewa mzuri kuhusu Sensa
maalum ambao wanashiriki fainali, kwa upande wa Soka na wamehamasika vya kuto-
michezo ya shule za Msingi la Wavulana wa kundi hilo, sha na kupitia nafasi waliy-
(UMITASHUMTA) mwaka wameeleza kuwa wame- opata kuonesha vipaji vyao
2022, mkoani Tabora, hamasika sana na Kampeni ni jambo kubwa na wameli-
wameelezea kuwa wako ya SensaBika na wapo tayari furahia.
tayari kuhesabiwa katika kuhamasisha wenzao
Sensa ya Watu na Makazi wengine kushiriki zoezi hilo. Michezo ya UMITASHUM-
inayotarajiwa kufanyika TA mwaka huu, inaenda
Agosti 23, 2022. Naye Kocha wa Mkoa wa sambamba na Kampeni
Njombe katika kundi hilo, maarufu ya kuhamasisha
Wakizungumza katika Bw. Mwakibibi Joseph Sensa inayojulikana kama
wakati tofauti baada ya amesema vijana wana SensaBika.
03
Kapteni wa timu ya mkoa wa Njombe mpira wa miguu kundi maalum Isack Sanga akiSensaBika.
WUSM UMISSETA x UMITASHUMTA 2022
05
WUSM UMISSETA x UMITASHUMTA 2022
Mashindano ya Michezo Katika Muziki wa kizazi kipya namba moja, nafasi ya pili
kwa Shule za Msingi (UMI- Dodoma imeibuka kidedea ikienda Geita huku nafasi ya
TASHUMTA) mwaka 2022 ikifuatiwa na Pwani nafasi ya tatu ilichukuliwa na
upande wa Sanaa za mao- tatu ikienda kwa Kagera. Mwanza.
nesho umihitimishwa Agosti
06, 2022 kwa Dodoma, Upande wa Ngoma za Asili, Katika mashindano hayo,
Mwanza na Simiyu kuibuka Mkoa wa Simiyu umeibuka Mikoa kumi na mbili ya Mo-
kidedea. bingwa ukifuatiwa na Mkoa rogoro, Mbeya, Singida,
wa Tanga ambapo nafasi ya Njombe, Mara, Kigoma,
Katika fainali hizo zilizoju- tatu imechukuliwa na Geita, Mwanza, Shinyanga,
muisha muziki wa kizazi Mwanza. Tanga, Dar es Salaam, Pwani
kipya, ngoma za asili na na Dodoma imeshiriki.
kwaya zimeshuhidiwa vipaji Aidha, katika Kwaya Mkoa
vya aina yake. wa Kigoma umekamata
07
08
WUSM UMISSETA x UMITASHUMTA 2022
Kwa upande wa kurusha umbaliwa wa mita 29.39. Nassoro Ally kutoka kwa
Sahani upande wa wavula- wenyeji Tabora ailihakikishia
na, Mkoa wa Mara umeibu- Mkoa wa Mwanza ulishika ushindi mkoa wake baada
ka mshindi wa kwanza katika nafasi ya tatu baada ya tatu ya kurusha sahani kwa
fainali ya mchezo huo iliyo- baada ya Mabomo Juma umbali wa mita 22.89,
fanyika Agust 06, 2022 kurusha sahani kwa umali akifuatiwa na Martha
kwenye uwanya wa shule ya wa mita 28.28, hivyo kuhiti- Samuel mita 22.79.
sekindari wavulana Tabora. misha fainali ya mchezo huo
katika UMITASHUMTA 2022 Nyanzala Ndaki Ntandula
Mwita Mwenge Wambura ambapo timu zinge za Dar kutoka Tabora, alihakikisha
aliibuka mshindi baada ya es salaam, Manyara, Unguja kuwa mkoa wake unashika
kurusha sahani kwa umbali na Geita zilimaliza chini nafasi mbili za juu katika
wa mita 35.20, akifuatiwa na nafasi tatu za juu. mchezo huo, baada ya
Jackson Eliya kutoka mkoa kushika nafasi ya tatu kwa
wa Kigoma aliyerusha kwa Upande wa wasichana Shela kurusha mita 22.39.
09
10
WUSM UMISSETA x UMITASHUMTA 2022
Visiwa vya Unguja vimeubu- Mkoa wa Arusha ulishika umbali wa mita 4.72 akifua-
ka mabingwa wa wa mchezo nafasi ya pili baada ya mu- tiwa na Asma Omary kutoka
wa kuruka chini wavulana wakilishi wake Shemeji Visiwani Pemba aliyeruka
katika mashindano ya ya 26 Rodrick kuruka umbali wa umbaliwa wamita 4.60 huku
ya UMITASHUMTA Taifa mita 5.74 akifuatiwa na Subira Jonas wa Kigoma
Tabora 2022, kwenye fainali Julius Simon kutoka mkoa akishika nafasi ya tatu kwa
iliyofanyia Agusti 06, 2022 wa Arusha ambaye pia aliru- kuruka mita 4.60.
katika uwanja wa shule ya ka kwa mita 5.74.
wavulana Tabora. Mashindano ya UMI-
Mikoa mingine iliyoingia TASHUMTA yanayoendelea
Fainali hiyo ambayo ilihusi- fainali ambayo haikuweza Mkoani Tabora yameingia
sha mikoa sita, ilimaliziaka kushika nafasi tatu za juu ni katika hatua za nusu fainali
kwa bilal Rashid kutoka Singida, Geita na Kagera. na fainali, huku mikoa
Unguja kuibuka mshindi wa Kwa upande wa wasichana ikishindana vikali katika
jumla baada ya kuruka Siwema Ntelani kutoka michezo mbalimbali.
umbali wa mita 5.90. mkoa wa Geita, aliibuka
mshindi baada ya kuruka
11
UMITASHUMTA | UMISSETA
2022
www.michezo.go.tz