Professional Documents
Culture Documents
Huduma Kwa Wateja
Huduma Kwa Wateja
Baraza la Mitihani la Tanzania linawajulisha watu wote kuwa, huduma kwa wateja
zinatolewa kwa njia ya simu na baruapepe ili kuongeza ufanisi. Hivyo Wateja wote
wanashauriwa kuwasilisha hoja zao kwa kupiga simu kwenye namba za simu
zilizoorodheshwa kwenye jedwali lifuatalo ili wapatiwe huduma stahiki;
Aidha, kwa Wateja wanaoweza kuwasilisha hoja kwa njia ya baruapepe, watumie
anuani zifuatazo; pshea@necta.go.tz na esnecta@necta.go.tz
Imetolewa na
Afisa Habari na Uhusiano
Baraza la Mitihani la Tanzania