Professional Documents
Culture Documents
Mwongozo Wa Usahihishaji Kiswahili - 4
Mwongozo Wa Usahihishaji Kiswahili - 4
OFISI YA RAIS
OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
HALMASHAURI YA WILAYA YA NGARA
MTIHANI WA KUMALIZA NUSU MUHULA WA KWANZA KIDATO CHA NNE 2023
021 KISWAHILI
MUDA: SAA 3 MWAKA
2023
MWONGOZO WA USAHIHISHAJI
ii. LI-YA
Mfano: Tunda limeoza – Matunda yameoza
iii. I-ZI
Mfano: Nguo imearibika – Nguo zimearibika
iv. A-WA
1 kati ya 4
Mfano: Mtoto analia – Watoto wanalia
v. U-ZI
Mfano: Ufunguo umepotea- Fungua zimepotea
vi. KI-VI
Mfano: Kijiko kimevunjika – vijiko vimevunjika
5. (Alama 09)
2 kati ya 4
b) (Alama 05)
Mwanafunzi atunge tangazo lolote lisilokuwa na maandishi lenye kutoa ujumbe fulani
Mashairi ya CHEKACHEKA
-Uongozi mbaya.
-Uonevu unaotokana na uongozi mbaya.
-Uonevu dhidi ya wanawake.
Riwaya ya TAKADINI
-Wanaiasa jamii kuacha kuendekeza milapotofu.
-Wanaelimisha jamii kuusu athari za vita.
-Wanaonyesha umuhimu wa uvumilivu katika jamii.
-Wanaonyesha umuhimu wa ujasiri.
3 kati ya 4
11. UTANGULIZI ( Alama 02)
Tamthiliya ya ORODHA
_janga la ukimwi
-imani potofu
-mmomonyoko wa maadili
-kukosekana kwa maadili katika jamii
-makundi rika
-kukosekana kwa elimu ya jinsia
4 kati ya 4