Professional Documents
Culture Documents
Na Miongoni Mwa Watu Yuko Anayemwabudu Allaah Ukingoni
Na Miongoni Mwa Watu Yuko Anayemwabudu Allaah Ukingoni
ۖ
ﱠﺎس َﻣﻦ يَـ ۡﻌﺒُ ُد ٱ ﱠَ َعلَ ٰى َح ۡرف
ِ َوِﻣ َﻦ ٱﻟﻨ
Na miongoni mwa watu yuko anayemwabudu Allaah ukingoni. [Al-Hajj:
10]
ۡ
ْذُ ّﻛُِروا ِّﳑﱠﺎ َحﻈّﺎ َْوﻧَ ُﺴﻮا اﺿﻌِ ِﻪۦ
ِ ﱠﻣﻮ
َ َعﻦ ٱﻟ َﻜلِ َﻢ ُﳛَ ِّﺮﻓُﻮ َن
ۚﺑِِﻪۦ
Wanageuza maneno (ya Allaah) kutoka mahali pake na wakasahu sehemu
ya yale waliyokumbushwa. [Al-Maaidah: 13]
www.alhidaaya.com
au neno hilo kwa jinsi ya Aliy bin Abiy-Twaalib ( )رﺿ ـ ـ ـ ـ ـ ــﻲ ﷲ عﻨـﻪalivyosoma
Aayah hiyo au alivyotamka neno hilo.
1) Kubadilika neno.
Mfano:
ِعﺒَﺎد
Imeandikwa kwa alif muhaqqaq (halisi) isipokuwa katika Suwrah Az-
Zukhruf:
ۚ ِٰ ۡ ِ ۡ ِ ِٰٓ ۡ
ِ ٰ ٰ
يﻦ ُﻫﻢ ﻋﺒَ ُﺪ ٱﻟﱠرﲪَﻦ إﻧَﺜًﺎ ﱠ
َ َو َﺟ َﻌلُﻮاْ ٱﻟ َﻤلَﺌ َﻜﺔَ ٱﻟﺬ
Viraa-a vinginevyo vya Naafi’, Ibn ‘Aamir, ibn Kathiyr, Abuu Ja’far
wanasoma:
ِعْﻨ َد
www.alhidaaya.com
2) Tofauti ya neno au herufi.
ِ وٰﻗَﺘـلُﻮاْ وﻗُﺘِلُﻮاْ َﻷُ َﻛ ِّﻔر ﱠن ع ۡﻨـﻬ ۡﻢ َٔﺳﻴِﺎ ِِ ۡﻢ وَﻷ ُۡد ِﺧلَﻨـﱠﻬ ۡﻢ ﺟ ٰﻨﱠﺖ َ ۡﲡ ِري ِﻣﻦ َ ۡﲢﺘِﻬﺎ ۡٱﻷَ ۡ َٰر ثـَﻮا ِﻣ ۡﻦ ِع
ﻨد ّ َ ُ َ َ ُ َ َّ ُ َ َ َ ََ
ِ ﻨدﻩُۥ ح ۡﺴﻦ ٱﻟﺜـﱠﻮ
اب َ ِ ٱ ﱠ ِۚ وٱ ﱠ
ع
َ ُ ُ ُ َ
Wakapigana na wakauliwa; bila shaka Nitawafutia makosa yao na bila
shaka Nitawaingiza Jannaat zipitazo chini yake mito, ni thawabu kutoka
kwa Allaah. Na kwa Allaah kuna thawabu nzuri kabisa. [Aal-‘Imraan: 195]
َْوﻗُﺘِلُﻮاْ َوٰﻗَﺘَـلُﻮا
Wakauliwa na wakapigana.
Mfano kauli ya Allaah ( )ﺳﺒﺤﺎﻧﻪ وﺗﻌﺎﱃambayo Qiraa-a chetu cha Hafsw ‘an
www.alhidaaya.com
ۡ
ﻮﻫﻢ ِِ ۡح َٰﺴ ـ ـﻦ ﱠر ِﺿ ـ ـ َﻲ ٱ ﱠُ َعﻨـ ُﻬ ۡﻢ ﻌ ـ ﺒ ﱠ
ـ ﺗٱ يﻦ ِ وٱﻟ ٰﱠﺴ ـ ـﺒِ ُﻘﻮ َن ۡٱﻷَﱠوﻟُﻮ َن ِﻣﻦ ۡٱﻟﻤ ٰﻬ ِﺠ ِريﻦ و ۡٱﻷَﻧﺼ ـ ـﺎ ِر وٱﻟﱠ
ﺬ
ُ َُ َ َ َ َ َ َُ َ َ
ۡ ۡ ۚ ۡ ۡ ۡ
ِ ورﺿﻮاْ عﻨﻪ وأَع ﱠد َﳍ ۡﻢ ﺟ ٰﻨﱠﺖ َ ۡﲡ ِري َﲢﺘـﻬﺎ ٱﻷَ َٰر ٰﺧلِ ِد ۡ
ﻚ ٱﻟ َﻔ ۡﻮُز ٱﻟ َﻌ ِﻈ ُﻴﻢ ِ
َ يﻦ ﻓ َﻴﻬﺎٓ أَﺑَدا َٰذﻟ َ َ ُ ََ َ ُ َ َ ُ َ ُ ََ
Na wale waliotangulia awali (katika Uislamu) miongoni mwa Muhajirina na
Answaar na wale waliowafuata kwa ihsaan; Allaah Ameridhika nao, nao
wameridhika Naye. Na Amewaandalia Jannaat zipitazo chini yake mito, ni
wenye kudumu humo abadi. Huko ndiko kufuzu adhimu. [At-Tawbah: 100]
Mfano:
اﺟﺎ ِ
ً ﺳر
Kuna sehemu imeandikwa kwa alif muhaqqaq isipokuwa Suwrah Al-
Furqaan imeandikwa kwa alif ndogo
ِﺳ َٰرﺟﺎ
Riwaayah nyengine inasomwa kwa muundo wa wingi:
ًُﺳ ُرﺟﺎ
6) Muundo wa tamko kubadilika.
Mfano:
ﺼلّ ۖى ﻣ ﻢ ِۧ ٱﲣ ُﺬواْ ِﻣﻦ ﱠﻣ َﻘ ِﺎم إِ ۡﺑـ ٰر
ﻫ ِﱠﺎس وأ َۡﻣﻨﺎ و ﱠ
ِ ﻨ لِّوإِ ۡذ ﺟﻌ ۡلﻨﺎ ۡٱﻟﺒـ ۡﻴﺖ ﻣﺜﺎﺑﺔ ﻟ
ََُ َ َ َ َ ََ َ َ َ َ َ َ
Neno hilo hapo la:
ِو ﱠ
ْٱﲣ ُﺬوا َ
www.alhidaaya.com
ni amrisho, lakini Imaam Naafi’ na Ibn ‘Aamir wanasoma kwa kitenzi cha
wakati uliopita:
َو ﱠاﲣَ ُﺬوا
7) Tofauti ya kutamka.
www.alhidaaya.com
ِﻮل ا ﱠ ُ ﺎن َعلَى َﻏ ِْﲑ َﻣﺎ أَﻗْـ َرُؤَﻫﺎ َوَﻛﺎ َن َر ُﺳ ِ ََِﲰﻌﺖ ِﻫ َﺸﺎم ﺑﻦ ح ِﻜﻴ ِﻢ ﺑ ِﻦ ِحﺰٍام يـ ْﻘرأُ ﺳﻮرَة اﻟْ ُﻔرﻗ
ْ َ ُ َ َ َ ْ َ َْ َ ُ ْ
ِ ِ ِ ِ
ُ ﰒُﱠ ﻟَﺒﱠـْﺒـﺘُﻪ,ف َ ﺼَرَ ْت أَ ْن أ َْع َﺠ َﻞ َعلَْﻴﻪ ﰒُﱠ أ َْﻣ َﻬلْﺘُﻪُ َح ﱠﱴ اﻧ ُ َوﻛ ْد,ﺻلﱠى ا ﱠُ َعلَْﻴﻪ َو َﺳلﱠ َﻢ أَﻗْـَرأَﻧ َﻴﻬﺎ َ
ِ ِ ِ َ ﺑِ ِردائِِﻪ ﻓَ ِﺠْﺌﺖ ﺑِِﻪ رﺳ
ﺖ َﻫ َﺬا يَـ ْﻘَرأُ َعلَى َﻏ ِْﲑ َﻣﺎ ُ إِِّﱐ َﲰ ْﻌ:ﺖ ُ ﺻلﱠى ا ﱠُ َعلَْﻴﻪ َو َﺳلﱠ َﻢ ﻓَـ ُﻘ ْلَ ﻮل ا ﱠ َُ ُ َ
:ﺎل ِﱄ َ َﺖ(( ﰒُﱠ ﻗ ْ َ))ﻫ َﻜ َﺬا أُﻧْ ِﺰﻟ
َ :ﺎل َ َ ))اﻗْـَرأْ(( ﻓَـ َﻘَرأَ ﻗ:ُﺎل ﻟَﻪَ َ ))أ َْرِﺳلْﻪُ(( ﰒُﱠ ﻗ:ﺎل ِﱄ َ ﻓَـ َﻘ.أَﻗْـَرأْﺗَﻨِ َﻴﻬﺎ
ِ ٍ إِ ﱠن اﻟْ ُﻘرآ َن أُﻧْ ِﺰَل علَى ﺳﺒـﻌ ِﺔ أ, ))ﻫ َﻜ َﺬا أُﻧْ ِﺰﻟَﺖ:ﺎل
َُح ُرف ﻓَﺎﻗْـَرءُوا ﻣْﻨﻪ ْ َ َْ َ ْ ْ َ َ ﻓَـ َﻘ,ت ُ ْ))اﻗْـَرأْ(( ﻓَـ َﻘَرأ
((َﻣﺎ ﺗَـﻴَ ﱠﺴَر
www.alhidaaya.com
Lahaja iliyotumika kuandika Qur-aan ni ile ya ki-Quraysh na Mswahafu
ukajulikana kuwa ni ‘Mswahafu wa ‘Uthmaan’. Nakala hizo zilisambazwa
miji mikuu ya Waislamu zikiwa kama nuskhah (kopi) rasmi. Na nuskhah ya
asili ikabakishwa kwa Mama wa Waumini Hafswah ()رﺿﻲ ﷲ عﻨﻬﺎ. Alimwacha
Zayd bin Thaabit Madiynah, ‘Abdullaah bin Swaa’ib alitumwa Makkah,
Mughiyrah bin Shu’bah alitumwa Syria, Abuu ‘Abdir-Rahmaan As-Sulamy
alitumwa Kuwfah, ‘Aamir bin ‘Abdil-Qays alitumwa Baswrah.
Kwa hiyo Mswahafu ulioko hivi sasa kwa Waislamu ni ule ulioandikwa na
kusomwa kwa lahaja ya Quraysh na Viraa-a vyote vinatokana na mfumo
huo wa Mswahafu. Hii ni rai ya gurupu la ‘Ulamaa. Wengineo wameona
kwamba baadhi ya lahaja zimehifadhiwa katika Viraa-a tofauti lakini ni zile
tu zinazokubaliana na Mswahafu wa ‘Uthmaan. Wamesema Maswahaba
waliuandika Mswahafu wa ‘Uthmaan (kwa kuondoa vidoto na i’raab) ili
kuzipa fursa Ahruf (aina) nyenginezo zilolingana kusomeka. Rai hii
imetiliwa nguvu na As-Suyuwtwiy, Ibn Hajar, ibn Al-Jazariyy na ‘Ulamaa
wengineo.
www.alhidaaya.com
Kuwekwa Vidoto Na I’raab katika Mswahafu:
Kuisoma Qur-aan katika hali hiyo haikuwa ngumu kwa Waarabu wasomi
walioielewa vyema lugha yao. Lakini baada ya watu wa kigeni kuingia
katika Uislamu, walitatizwa kuifahamu na makosa yakadhihirika. Tatizo hili
lilidhihirika zaidi Iraq. Abul-Aswad Ad-Duwaly (aliyefariki 69 H), alimsikia
mtu akisoma Aayah ifuatayo kwa kutamka ‘Rasuwlihi’ (kwa kasrah) badala
ya ‘Raswuluhu’ (kwa dhwammah) jambo linalopeleka kuharibu na
kupotosha kabisa maana ilokusudiwa:
www.alhidaaya.com
Abul-Aswad Ad-Duwaly alipoombwa kwanza kurekebisha Mswahafu kwa
kuweka i’raab n.k alikhofia kuzusha jambo katika Dini. Lakini kwa vile kosa
kama hilo ni kubwa mno linalopotoa maana iliyokusudiwa, lilimshtua hadi
akaamua kuifanyia kazi, ndipo alipoanza hatua ya kwanza kuweka i’raab.
www.alhidaaya.com