Introduction To Criminology

You might also like

Download as pdf or txt
Download as pdf or txt
You are on page 1of 4

UTANGULIZI

TAFSIRI YA CRIMINOLOGY

Jana niliwauliza swali kwamba kwa nini wewe si polisi wala mtumishi wa idara
inayojihusisha na Law enforcement lakini ukataka kujua juu ya Criminology.

Je? Ni kweli kwamba taaluma hii ni kwa ajili tu ya hao niliowataja?

Katika kujaribu kujibu swali hili inatulazimu wote kujua Criminology ni nini?

Criminology ni neno lililotokana na maneno mawili moja la kilatini crimen


likimaanisha tuhuma (accusations) na jingine la lugha ya kigiriki Logia
lilimaanisha mantiki (reasoning)

Yaani Kiufupi Criminology ni taaluma ya sayansi jinai.

Daktari mmoja wa chuo kikuu cha Havard (Dr. Abrahamsen ) aliweka formula
ifuatayo juu ya Criminology

C = (T + S) / R

C ikisimama kama Crime (jinai)

T kama Antisocial Tendencies ( takwimu ya matukio yasiyotakiwa na jamii


(Deviant behavior)

S ikisimama kama setting yaani eneo ambapo matukio haya yanatokea

R ikisimama kama Response (mapokeo ya jamii kwenye matukio ya jinai).

Somo hili linachunguza tabia zinazosababisha uvunjifu wa sheria (deviant


behavior), mbinu atumiazo mhalifu , historia ya mhalifu na rekodi ya karibuni ya
mhalifu kutenda uhalifu.

Baada ya kujua mambo hayo juu ya mhalifu na sababu za uhalifu inaweza


kumsaidia mtaamu wa jinai (Criminologist) kutatua mafumbo ya uhalifu na hata
kuzuia uhalifu usitokee.

Somo hili linaenda pia sambamba na jinsi jinsi jamii inavyoitikia matukio ya jinai
ambayo kitaalamu huitwa hakijinai (criminal justice)

Yaani mlolongo mzima wa Upelelezi wa wa jinai, sheria za kuzingatia na haki za


mhalifu tangu tuhuma, mashtaka na hata akiwa kifungoni.
Nisiwachoshe!

Kwa ufupi ukisikia mtu anaitwa Criminologist basi jua sio lazima awe Askari.

Mtu yeyote anaweza kuwa criminologist kwa sababu taaluma hii ni


Multidisciplinary kwani huusisha wabobezi wa taaluma nyingine nyingi tu.

Mtu yeyote aliyesomea chochote anaweza siku moja bila kujua akajikuta
anafanya kazi kama criminologist.

Jiulize swali hili,

Labda wewe umesomea mambo ya lugha.

Kuna siku unaweza ukajikuta umesaidia polisi kama mkalimani kumhoji shaidi
asiyejua lugha atumiayo polisi.

Au labda ukaenda mahakamani kama mkalimani kumsaidia mshitakiwa au


Jamuhuri.

Hapa tayari unakuwa umefanya kazi kama Criminologist.

Mfano mwingine,

Wewe ni Mtaalamu wa Afya, lakini ukajikuta kuna siku unafanya uchunguzi wa


maiti iliyotokana na kifo tata Basi automatically wewe ni criminologist.

Kama wewe ni Mtaalamu wa IT lakini ukajikuta unaitwa ukachambue CCTV


footage basi wewe ni Criminologist tayari.

Kama wewe ni Engineer lakini ukaitwa mahakamani ukatoe Expert opinion juu
ya kesi ya jengo lililoanguka na kuua, jua wewe ni Criminologist tayari.

Criminology is nothing but a science of crime, cause of crime, patterns of a


criminal, criminal law and criminal justice.

A criminologist is simply an analyst. Yaani ni mchakata data.

Yaani wewe unayetaka kusoma taaluma hii jijue wewe ni mchakata data.
Taaluma hii itakusaidia ujue
1. Mbinu za kukusanya data

2. Jinsi ya kuzichambua data ulizokusanya


3. Kuweza kutabiri yajayo baada ya kusoma trends ya data ulizochambua
hivyo kuweza kusaidia kuepusha hatari dhidi yako, taasisi au hata majirani
zako.

A criminologist is simply a Researcher

Baada ya taaluma hii unaweza kujua mbinu mbalimbali za kufanya tafiti

A Criminologist is simply a Consultant

Unaweza ukawa mshauri juu ya ulinzi wa kwenye taasisi za law enforcement au


hata makampuni binasfi.

Kwa nini utayajua yote haya?

Ni kwa sababu hapa utakuwa tayari umekuwa mbobevu wa mambo yafuatayo

1. Crime scene Investigation yaani Upelelezi a eneo la tukio la jinai

2. Interrogation (Kuhoji mashuuda au wahalifu)

3. Criminal Profiling (Mbinu za kubuni nani hasa wanaweza kuwa wahusika


wa tukio hadi kuishia kumfikia mhisika halisi)

Kwa ufupi somo hili linaweza kusomwa na yeyote kuanzia wanasaikolojia,


madaktari wa magonjwa ya akili, wahandisi, madaktari, wachumi, wahasibu nk

Huwezi jua, labda kuna siku unaweza ukatumwa uipeleleze kampuni shindani ni
kwa nini inauza kuliko yenu (their competitive edge)

Mbinu utakazotumia lazima zitakuwa ni za kikachero

Katika somo hili tutacover mada zifuatazo

1. History of Criminology
2. Crime anatomy and analysis
3. Personal traits and their contribution to criminal behavior
4. Criminal mind
5. Juvenile Delinquency
6. Police and Society
7. Crime scene investigation
8. Criminal profiling
9. Victimology
10. Crime prediction and Prevention
11. Media in Criminology
12. Forensic Psychology
13. Feminist Criminology
14. Experimental Criminology
15. Corporate Crimes (Ruling class Crimes)
16. Criminology Research Manual
17. Hate Crime
18. Criminal Procedure
19. Evidence Act
20. Assessment

Nimejipanga kesho tuanze hima

Namba za malipo ni

Mpesa 0758434141

AirtelMoney 0788916060

Majina FORTUNATUS BUYOBE

CRDB account

015 273 09 63 600

FORTUNATUS BUYOBE

MPESA LIPA NAMBA 5749399

Buyobe’s Digest

Ukilipa tuma ujumbe kwenye Dm yangu ya telegram niweke sawa taarifa zako

Hongera kwa ambao wamelipia nashauri wengine tufanye hivi ili twende pamoja.

You might also like