Professional Documents
Culture Documents
Baada Ya Kupokea. Kumiliki
Baada Ya Kupokea. Kumiliki
1. NENO UJUMBE:
ØUnaweza kupokea wakati wowote.
ØKabla ya kuomba, wakati wa maombi, Baada ya
maombi
2. MAOMBI
pamoja na maombi ya watakatifu, kutoka mkononi mwa malaika. ' Ufunuo 8:3-4 .
o mtu mtauwa, mchaji wa Mungu, yeye na nyumba yake yote, naye alikuwa akiwapa watu sadaka
nyingi, na kumwomba Mungu daima. Akamtazama sana, akaogopa akasema, Kuna nini,
Bwana? Akamwambia, Sala zako na sadaka zako zimefika juu na kuwa ukumbusho mbele za
Mungu. ' Mdo 10:2,4
4. MAWASILIANO – KUTAMKA
ØKama nilivyoanza kuelezea hapo juu, hatua hii
inasumbua, hasa pale ambapo mazingira
yanapingana na ombi lako.
ØKwa mfano unamuomba Mungu uponyaji lakini
bado hali iko Vilevile.
Ø Tamka kile ulichokiomba waza kile
ulichokiomba.
ØChunga sana maneno ya namna gani
unayotamka baada ya kusema amina.
ØLabda unamuombea mume / mke mlevi ili aache
ulevi, halafu siku moja anarudi amelewa zaidi
ØMawasiliano pia ni kuwaambia wenzako juu ya
jambo unalolitarajia kutoka kwa Mungu. Liseme
kwa wahusika au wale walio karibu nawe.
ØJiambie hata wewe mwenyewe.
ØKama ni ahadi iliyoambatana na Neno lake
litamke kila wakati lisome na uliandike halafu
ulibandike kila mahali unapoweza kuliona,
jikoni, chumbani, ofisini, kwenye gari, n.k.
Jikumbushe na wakumbushe wahusika ili
waendelee kutarajia.
ØPale unapotamka mara kwa mara pia
kunaifanya imani yako ikue,
Ø na Mungu pia analiumba lile ulilotamka kwa
kuwa amesema
Ø"Mimi nayaumba matunda ya midomo; Amani,
amani, kwake yeye aliye mbali, na kwake yeye
aliye karibu; asema BWANA; nami nitamponya.
Taz ISA. 57:19
ØHatua hii inaambatana na kuwaza, kwa hiyo
yawaze yale uliyoyaomba ndipo
utakapoyatamka kwa kuwa "ajionavyo
(ajiwazavyo) mtu nafsini mwake ndivyo alivyo".
ØKumbuka tatizo si tatizo ulilonalo bali tatizo ni
mawazo uliyonayo juu ya tatizo ulilonalo.
5. KUTENDA
"Ndugu zangu, yafaa nini, mtu akisema ya kwamba
anayo imani, lakini hana matendo? Je! Ile imani
yaweza kumwokoa? Lakini mtu atasema, Wewe
unayo imani, nami ninayo matendo. Nionyeshe
imani yako pasipo matendo, nami nitakuonyesha
imani yangu kwa njia ya matendo yangu. Wewe
waamini ya kuwa Mungu ni mmoja; watenda vema.
Mashetani nao waamini na kutetemeka. Lakini
wataka kujua, wewe mwanadamu usiye kitu,
kwamba imani pasipo matendo haizai? Je! Baba
yetu Ibrahimu hakuhesabiwa kuwa ana haki kwa
matendo, hapo alipomtoa Isaka mwanawe juu ya
madhabahu? Waona kwamba imani ilitenda kazi
pamoja na matendo yake, na ya kwamba imani ile
ilikamilishwa kwa njia ya matendo yale. Taz YAK.
2:14, 18-22