Download as pdf or txt
Download as pdf or txt
You are on page 1of 65

Faida na hatari ya mali kwa muislamu

Mwandishi:
Abuu Mussa Kisra bin Ibrahimu Daarussalaamiy

(Juzuu ya kwanza)
Published in 1444 Hijri corresponds to 2023 Gregorian
Yaliyomo (i)

Utangulizi wa mwandishi………………………………………………………………………….1
Maana ya neno: mustahabu…………….……………………………………………………….1
Maana ya maneno: inajuzu, haijuzu………………………………………………………….2

Fasili ya kwanza:
Maamrisho ya kuwa na ikhlaaswi kwenye matendo……….……………………….3
Maana ya ikhlaaswi……………………………………………………………………………………3
Maana ya ibada………………………………………………………………………………………….4
Masharti ya kukubaliwa ibada……………………………………………………………………4

Fasili ya Pili:
Ubora wa kutafuta elimu, kuifanyia kazi na kuieneza……………………………...5
Mambo manne ni wajibu kwa kila muislamu kujifunza………………………………6
Uwajibu wa kusoma elimu ya dini………………………………………………………………6
Hukumu ya kubobea moja ya fani za elimu ya secular……………………………….6
Ubora wa kutafuta elimu……………………………………………………………………………7
Njia mbalimbali za kusoma elimu ya dini……………………………………………………7
Elimu ni dini angalia unaichukua dini yako kutoka kwa nani……………………….7
Ubora wa kueneza elimu yenye manufaa……………………………………………………7
Shauku waliyokuwa nayo wanawake maswahaba juu ya kupata elimu………8
Tanbihi muhimu kwa mabinti wanaojichelewesha kuolewa
kwa sababu ya kusoma……………………………………………………………………………….9
Ukumbusho kwa mashekhe juu ya kuheshimiana na kutohusudiana………..10

Fasili ya tatu:
Uharamu wa kuzifanyia kazi kauli za makuhani na wapiga ramli
kuhusu jinsi ya kupata utajiri kwa mujibu wa nyota ya mtu……………………11
Maana ya mambo ya ghaibu…………………………………………………………………….13
Maana ya kuhani………………………………………………………………………………………13
Maana ya kufanya tashaaumu na hukumu yake……………………………………….14
Sifa za waumini watakaoingia peponi bila hesabu wala adhabu……………….14
Uharamu wa kuwaendea makuhani na mfano wao………………………………….15
Ubatili wa kauli za watazamia nyota kuhusu siku nzuri na siku mbaya………15
Majibu ya kielimu juu ya shubuha ya mashekhe wapiga ramli………………….16
Uharamu wa mali anayolipwa kuhani kwa kazi yake hiyo…………………………17
Uharamu wa kula chakula cha kuhani………………………………………………………17
Yaliyomo (ii)

Fasili ya nne:
Sababu za mja kukunjuliwa riziki na Allaah…………………………………………….18

Fasili ya tano:
Dunia ni ya watu sampuli nne………………………………………………………………...19

Fasili ya sita:
Mambo manne ni katika furaha duniani…………………………………………………20
Mambo manne ukiwa nayo ni katika furaha hapa duniani……………………....20
Starehe bora zaidi hapa duniani……………………………………………………………...20

Fasili ya saba:
Sifa nne za mke bora zaidi……………………………………………………………………….24
Ubainifu wa sifa nne za mke bora zaidi…………………………………………………….25

Fasili ya nane:
Ubora wa muislamu tajiri aliechuma mali kwa njia ya halali
mwenye kutoa sehemu ya mali yake katika njia ya Allaah…………………….26

Fasili ya tisa:
Namna mtume wetu alivyokuwa anaipa mgongo dunia…………………………27

Fasili ya kumi:
Kipimo cha waumini wasomi juu ya mbora katika watu, na
kipimo cha wasiokuwa wasomi juu ya mbora katika watu…………………….29

Fasili ya kumi na moja:


Hukumu ya kumwozesha binti kwa mwanaume fukara………………………….33
Hukumu ya kuisikiliza sauti ya mwanamke ajinabiya………………………………..33
Makabila na nasaba havizingatiwi kwenye kuoana…………………………………..34

Fasili ya kumi na mbili:


Kumwozesha binti kwa mwanaume mwenye maisha magumu……………..35
Hukumu ya mwanamke kujitokeza kwa mwanaume
kumhiarisha amuoe………………………………………………………………………………….36
Yaliyomo (iii)

Hukumu ya mwanamke kutoka amejipamba mposaji


akitaka kumtazama…………………………………………………………………………………37
Aina za mahari na mifano yake……………………………………………………………….38
Je, mahari ni haki ya mwanamke anaeolewa au ni
haki ya walii wake?.....................................................................................38
Hukumu ya kumwozesha binti bila idhini ya walii wake…………………………..39

Fasili ya kumi na tatu:


Kuwa na subira unapopatwa na mtihani wa maisha magumu……………….41

Fasili ya kumi na nne:


Makatazo ya kuwaomba watu mali bila ya dharura ya kisheria…………….42
Hali atakayofufuliwa nayo mwenye tabia ya kuwaomba watu mali…………43
Watu sampuli tatu wanaoruhusiwa kuwaomba watu mali………………………44

Fasili ya kumi na tano:


Uharamu wa kuchukua mali za watu kwa batili…………………………………….45
Mambo manne ni haramu kwa kila muislamu juu ya
muislamu mwenzie…………………………………………………………………………………46

Fasili ya kumi na sita:


Uharamu wa kucheza kamari…………………………………………………………………47
Maana ya kamari kiistilahi………………………………………………………………………47
Ubainifu wa mambo kumi yanayojulisha uharamu wa
kucheza kamari………………………………………………………………………………………48
Uharamu wa kuwashawishi watu kucheza kamari………………………………….49

Fasili ya kumi na saba:


Tofauti kati ya zawadi na rushwa………………………………………………………….50
Maana ya zawadi kiistilahi……………………………………………………………………..50
Hukumu ya kupeana zawadi………………………………………………………………….50
Faida za kupeana zawadi……………………………………………………………………….51
Vizuizi vya kuipokea zawadi……………………………………………………………………51
Zawadi aina tatu ni wajibu kuzipokea…………………………………………………….52
Maana ya rushwa kiistilahi…………………………………………………………………….52
Yaliyomo (iv)

Madhara ya kutoa na kupokea rushwa…………………………………………………..52


Hukumu ya mwalimu kupokea zawadi kutoka kwa mwanafunzi…………….53

Fasili ya kumi na nane:


Hatari ya kuhodhi mali kwa hila kupitia mambo ya dini……………………….54

Fasili ya kumi na tisa:


Namna ya kutubia dhambi ya wizi na utapeli………………………………………..55
Tofauti kati ya toba na istighfaari……………………………………………………………56
Masharti ya toba ya maasi yasiyofungamana na haki ya mtu………………….57
Masharti ya toba ya maasi yanayofungamana na haki ya mtu………………..57

Fasili ya ishirini:
Ubora wa mtu kula kutokana na kazi ya mkono wake…………………………..58

Fasili ya ishirini na moja:


Makatazo ya kufuja mali na kuipoteza kwa anasa………………………………...59
Ubora wa kuifanyia kazi elimu…………………………………………………………………59

Mwisho wa juzuu ya kwanza ya kitabu hiki……………………………………………59


Faida na hatari ya mali kwa muislamu

Mwandishi:
Abuu Mussa Kisra bin Ibrahimu Daarussalaamiy

(Juzuu ya kwanza)
Published in 1444 Hijri corresponds to 2023 Gregorian
Utangulizi [1]

Utangulizi wa mwandishi:

َّ‫ت‬
َّ‫اَّو هَّمنََّّسَّهَّيَّئا ه‬
َّ ‫سن‬ َّ‫َّوَّنَّعَّوذََّّهَّباللهََّّ هَّمنََّّشَّرَّ ه‬،َّ‫حمَّدَّهََّّ َّونسَّتَّ هَّع َّين َّهَّوَّنسَّتَّغهَّفرَّه‬
َّ‫ورَّ َّأنفَّ ه‬ َّ َّ‫َّن‬،َّ‫حمَّدََّّلله‬
َّ ‫إنََّّال‬
َّ‫َّللا‬
َّ َّ‫َّ َّوأشَّهَّدََّّأنََّّلََّّإلهَّإل‬،‫َّوَّمَّنَََّّّيضَّهَّللََّّفَّلََّّهَّا هَّديََّّلَّ َّه‬،‫ضلََّّلَّ َّه‬ َّ‫للاَّفَّلََّّمَّ ه‬ َّ َّ‫أعَّمَّاهَّلنا؛َّمَّنََّّيَّهَّ هَّدهَّه‬
.‫َّ َّوأشَّهَّدََّّأنََّّمَّحَّمَّدَّاَّعََّّبدَّهََّّ َّورَّسَّولَّ َّه‬،‫حدَّهََّّلََّّشَّ هَّريكََّّلَّ َّه‬ َّ ‫َّو‬
١٠٢َّ:‫آلَّعمران‬
َّ َّ‫ﭐﱡﭐﱔﱕﱖﱗﱘﱙﱚﱛﱜﱝﱞﱟﱠ‬

‫ﱑﱓ ﱔﱕ‬
‫ﱒ‬ ‫ﭐﱡﭐﱁﱂﱃﱄﱅﱆﱇﱈﱉﱊﱋﱌﱍﱎﱏﱐ‬
١َّ:‫ﱘﱚﱛﱜﱝﱞﱠَّالنساء‬
‫ﱙ‬ ‫ﱖﱗ‬

‫ﲣﲥ ﲦﲧ‬
‫ﲤ‬ ‫ﱡ ﭐ ﲕ ﲖ ﲗ ﲘ ﲙﲚ ﲛ ﲜ ﲝ ﲞ ﲟ ﲠ ﲡ ﲢ‬

٧١َّ-َّ٧٠َّ:‫ﲨ ﲩﲪﲫﲬﱠَّاألحزاب‬

َّ:َّ‫أماَّبعَّد‬
Huu ni mukhtasari wa aaya na hadithi kuhusu mali na yanayofungamana
na mali, na masuala mengineyo kadhaa kwenye dini yetu ya uislamu.
Nimeukusanya mukhtasari huu na kuuandika kwa mpangilio mzuri na kwa
lugha fasaha ili kuwanufaisha kielimu ndugu zangu katika imani ambao
hawajajaaliwa kusoma na kuzifahamu hukumu na adabu mbalimbali
kwenye dini yetu ya uislamu.

Allaah (‫ )تعالى‬amesema:
٢َّ:‫ﲿﱠَّالمائدة‬
‫ﳀ‬ ‫ﭐﱡﭐﲻﲼﲽﲾ‬
{Na saidianeni juu ya wema na uchamungu} [Al-Maaida:2]
Na mtume (‫ )صلىَّللاَّعليهَّوسلم‬amesema:
)َّ ١893(َّ‫ع هل هَّه))َّأخرجهَّمسلم‬
‫َّمثلَّأج هرَّفا ه‬
‫((منَّدَّلَّعلىَّخي ٍرَّفله ه‬
((Atakaejulisha kheri atapata mfano wa thawabu za mwenye kuitenda)).

Basi kwa aaya na hadithi hizi na mfano wake, nimehamasika kuukusanya


na kuuandika mukhtasari huu biidhinillaah.

Ninaposema: [ni mustahabu kufanya jambo fulani], maana yake: jambo


hilo ni zuri linapendekezwa kulifanya, atakaelifanya kwa kutimiza masharti
ya kukubaliwa ibada atapata thawabu, na atakaeliacha hapati dhambi.
[2]

Na ninaposema: [inajuzu kufanya jambo fulani], maana yake: jambo hilo ni


halali kulifanya.
Na ninaposema: [haijuzu kufanya jambo fulani], maana yake: jambo hilo ni
haramu kulifanya.

Kitabu changu hiki nimekiita: {Faida na hatari ya mali kwa muislamu},


namuomba Allaah atunufaishe nacho, na wale wenye kukifikisha kwa
walengwa, na wale watakaojaaliwa kukisoma, na wale watakaopendelea
kukitumia kuwafundisha ndugu zao.

Na ninamuomba muislamu yeyote atakaenufaika kwa chochote kutokana


na kitabu hiki: aniombee dua yoyote ya kheri mimi na wazazi wangu, na
familia yangu, na mashekhe zangu, na waislamu wote kwa ujumla.

Namuomba Allaah atuwafikishe sote katika anayoyapenda na kuyaridhia,


na kuyaepuka yanayomchukiza, na atufishe pamoja na waja wema.

Ameandika:
Abuu Mussa Kisra bin Ibrahimu,
5 Rajab 1444 / 27 January 2023,
Wakati alipokuwa Madinah, Saudi Arabia.
Email: kisra30@gmail.com
Fasili ya 1: [3]

Fasili ya kwanza:
Maamrisho ya kuwa na ikhlaaswi kwenye matendo.

Allaah (‫ )تعالى‬amesema:
١٦٢َّ:‫ﱡﭐﲢﲣﲤﲥﲦﲧﲨ ﲩﲪﱠَّاألنعام‬
{Sema: hakika swalaa zangu, kuchinja kwangu, uhai wangu na kufa
kwangu ni kwa ajili ya Allaah mlezi wa viumbe wote} [Al-An’aam:162]

Pia Allaah (‫ )تعالى‬amesema:


٥َّ:‫ﱡﭐﲬﲭﲮﲯﲰﲱ ﲲﲳﱠَّالبينة‬
{Na hawakuamrishwa ispokuwa kumuabudu Allaah hali ya kuwa ni
wenye ikhlaaswi katika ibada zao zote} [Al-Bayyina:5]

Hadithi:
َّ)‫َّسَّ هَّمعتَّرَّسولَّللاهَّ(صلىَّللاَّعليههَّوسلم‬:‫بَّ(رضيَّللاَّعنه)َّقال‬ ‫َّبنَّالخطا ه‬ ‫صَّعمَّر ه‬ ٍ ‫يَّحف‬ َّ ‫عنَّأهَّب‬
‫َّفَّمَّنَّكَّانتَّ ههَّجرتهَّإهلىَّ َّه‬،َّ‫ئَّماَّنوى‬
َّ‫للا‬ ٍ ‫َّوإهنماَّ هلك هلَّامَّ هَّر‬،‫ت‬ َّ‫النيا ه‬
‫َّ((إنمَّاَّاألعَّمَّالَّهَّب ه‬:‫َّيقول‬
ََّّ‫َّأوَّامَّرأةٍَّين هكَّحهَّا‬،‫صيبهَّا‬ َّ‫جرتهََّّإلَّىَّ ه‬
َّ‫َّ َّومَّنَّكَّانتََّّ ههَّجرتهََّّهَّلدنياَّي ه‬،‫للاَّ َّورَّسو هل هَّه‬ َّ َّ‫َّورسو هل ههَّفَّ هه‬
.)١9٠٧(َّ‫َّوَّمسلم‬،)١(َّ‫َّالبخاري‬:‫َّمَّتفقَّعليه‬.))‫هجرتهَّإهلَّىَّماَّهاجرََّّإلي هَّه‬ َّ‫فَّ ه‬
Abuu Hafsw, Umar bin Al-Khattwaab (‫ )رضيَّللاَّعنه‬amesimulia:
Nilimsikia mtume (‫َّ)صلىَّللاَّعليهَّوسلم‬anasema: ((hakika matendo (hufanywa)
kwa niya, na kila mtu atalipwa kwa alilonuia, basi ambae hijra yake ni
kwa ajili ya Allaah na mtume wake, (atalipwa malipo ya ambae) hijra yake
ni kwa ajili ya Allaah na mtume wake, na ambae hijra yake ni kwa ajili ya
dunia ili aipate au kwa ajili ya mwanamke ili amuoe, hijra yake (atalipwa)
kwa lile aliloliendea)). [Ameipokea imamu Bukhaariy na Muslim]
Hijra: ni kuhama kutoka mji/nchi ya kikafiri kuhamia mji/nchi ya kiislamu.

Faida za kielimu zinazofungamana na aaya na hadithi hizi:


Faida ya kwanza:
Maana ya ikhlaaswi:
ikhlaaswi ni mja kufanya jambo kwa makusudio ya kupata radhi za Allaah
na thawabu zake, siyo kwaَّlengo lingine kama vile kujionesha, au kutaka
kusifiwa na watu, au kupata masilahi fulani ya kidunia kwa jambo hilo.
Fasili ya 1: [4]

Faida ya Pili:
Maana ya ibada:
ibada: ni jina lenye kukusanya kila ambalo Allaah analipenda na kuliridhia
katika maneno na matendo; yaliyokuwa dhahirii na yaliyofichika.

Faida ya tatu:
Masharti ya kukubaliwa ibada:
Tendo lolote analotenda muislamu linazingatiwa ni ibada na anaandikiwa
thawabu kwa tendo hilo yakitimia masharti mawili yafuatayo:
1.tendo lake hilo alifanye kwa ikhlaaswi, yaani: akusudie kupata radhi za
Allaah kwa tendo lake hilo, isiwe niya yake kutaka kusifiwa na watu, n.k.

2.tendo lake hilo liwafikiane na mafundisho ya uislamu, yaani:


(i)ikiwa tendo hilo ni katika ibada kama vile; swalaa, au swaumu, au ibada
nyingine yoyote ya kujikurubisha kwa Allaah: inatakiwa ibada hiyo iwe ina
dalili ima kutoka kwenye Quraan au sunnah, na zile ibada ambazo sheria
imeziwekea utaratibu maalumu au idadi maalumu au wakati maalumu wa
kuzifanya, inatakiwa ibada hizo azifanye kama sheria ilivyoelekeza.

(ii)ikiwa tendo hilo ni katika miamala baina ya watu kama vile; biashara au
mikopo, au ikiwa tendo hilo ni katika mambo ambayo sheria haijaamrisha
watu wayafanye lakini imeruhusu wayafanye wakitaka: inatakiwa tendo
hilo lisipingane na mafundisho ya dini yetu ya uislamu, yaani, liwe ndani ya
mipaka ya Allaah na mtume wake, kwa mfano: kama ni kazi au biashara
isiwe ya haramu au kwa njia ya haramu, kama vile; kuuza pombe, kutapeli,
kucheza kamari, au kukopeshana mkopo wenye riba, na mfano wa hayo.

Kwa mfano: mja kutoka kwenda kutafuta riziki kwa ajili ya familia yake au
wazazi wake, tendo lake hilo la kutafuta riziki linazingatiwa ni ibada na
anaandikiwa thawabu kwa tendo hilo yakitimia masharti mawili hayo.

Ama ikiwa mathahani anatafuta riziki kwa kucheza kamari, au kutapeli:


utafutaji riziki huo hauzingatiwi ni ibada, bali anaandikiwa madhambi.

.‫َّتعالىَّأعلم‬
َّ ‫وللا‬
Fasili ya 2: [5]

Fasili ya Pili:
Ubora wa kutafuta elimu, kuifanyia kazi na kuieneza.
Allaah (‫ )تعالى‬amesema:
9َّ:‫ﳈﱠَّالزمر‬
‫ﳉ‬ ‫ﱡﭐ ﳀ ﳁ ﳂ ﳃ ﳄ ﳅ ﳆ ﳇ‬
{Sema: je, wanalingana ambao wanajua na ambao hawajui?} [Az-Zumar:9]

Pia Allaah (‫ )تعالى‬amesema:


‫ﱡﭐ ﱯ ﱰ ﱱ ﱲ ﱳ ﱴ ﱵ ﱶ ﱷ ﱸ ﱹ ﱺ ﱻ ﱼ ﱽ ﱾ ﱿ ﲀ ﲁ ﲂ‬

٦٦َّ-َّ٦٥َّ:‫ﲃﲄﲅﲆﱠَّالكهف‬
{(Nabii Mussa na kijana wake walipofika mahali ambapo zinakutana bahari
mbili) wakamkuta mja miongoni mwa waja wetu ambae tumempa rahma
zitokazo kwetu, na tumemfundisha elimu itokayo kwetu (65) (Nabii) Mussa
akasema kumwambia mja huyo: je, nikufuate ili unifundishe katika yale
uliyofundishwa ya uongofu?} [Al-Kahf:65 - 66]

Hadithi ya kwanza:
َّ‫َّقالََّّرَّسولََّّ ه‬:َّ‫عَّنَّأهَّبيَّهرَّيرََّّةَّ(رضيََّّللاَّعنه)َّقال‬
ََّّ‫َّ((منَّسَّلكََّّطَّ هريقَّا‬:)‫َّللاَّ(صلىَّللاَّعليههَّوسلم‬
َّ ٢٦99(َّ‫َّرواهَّمسلهم‬.))‫ََّّللاَّلهَّ هب ههَّط هريقَّاَّ هإلىَّالجن هَّة‬
َّ.) َّ ‫َّسَّهل‬،‫يلت همسَّ هفي ههَّ هعلمَّا‬
Abuu Hurayra, Abdulrahmaan bin Swakhr (‫ )رضيَّللاَّعنه‬amesimulia:
Mtume (َّ‫ )صلىَّللاَّعليهَّوسلم‬amesema: ((atakaefuata njia anatafuta elimu,
Allaah atamfanyia wepesi kwa hilo njia ya kuelekea peponi)).
[Ameipokea imamu Muslim]

Hadithi ya Pili:
ََّّ‫َّ((إهذاَّمَّاتَّاإلنسان‬:)‫ََّّللاَّ(صلىَّللاَّعليههَّوسلم‬ َّ‫َّقالَّرسول ه‬:‫عَّنَّأهَّبيَّهرَّيرََّّةَّ(رضيََّّللاَّعنه)َّقال‬
َّ‫ح‬
ٍ ‫َّأوَّولَّدٍَّصَّاهَّل‬،‫َّأوَّ هع ٍلمَّينتفعَّ هب هَّه‬،‫َّمنََّّصدَّقةٍَّجاري ٍَّة‬
‫َّإل ه‬:‫َّمنَّثلََّّث ٍَّة‬
‫انقطعََّّعنهَّعمَّلهَّإل ه‬
.)١٦3١(َّ‫َّرواهَّمسلهم‬.))َّ‫َّيدعوَّله‬
Abuu Hurayra (‫ )رضيَّللاَّعنه‬amesimulia:
Mtume (َّ‫ )صلىَّللاَّعليهَّوسلم‬amesema: ((mwanaadamu akifa matendo yake
hukatika ispokuwa katika vitatu: sadaka yenye kuendelea, au elimu yenye
kunufaisha, au mtoto mwema anaemuombea dua)).
[Ameipokea imamu Muslim]
Fasili ya 2: [6]

Faida za kielimu zinazofungamana na aaya na hadithi hizi:


Faida ya kwanza:
Mambo manne ni wajibu kwa kila muislamu kujifunza:
Fahamu kuwa inatupasa sote kujifunza mambo manne yafuatayo:
1.Elimu ya kisheria, nayo ni: maarifa ya Allaah (‫)تباركَّوتعالى‬, maarifa ya
mtume wetu (‫ )صلىَّللاَّعليهَّوسلم‬na maarifa ya dini ya uislamu kwa Dalili.
2.Kuifanyia kazi hiyo elimu kwa muktadha wake.
3.Kuwalingania watu uislamu.
4.Kuwa na subira kwenye kuwalingania watu.

Na dalili juu ya hilo ni kauli yake Allaah (‫ )تعالى‬aliposema:


‫ﱡﭐ ﱁ ﱂ ﱃ ﱄ ﱅ ﱆ ﱇ ﱈ ﱉ ﱊ ﱋ ﱌ ﱍ ﱎ ﱏ‬

3َّ-َّ١َّ:‫العصر‬
َّ َّ‫ﱐ ﱠ‬
{Naapa kwa zama (1) hakika mwanaadamu yupo kwenye hasara (2) ila
ambao wameamini na wakatenda mema na wakausiana haki na
wakausiana subira} [Al-Asr:1 - 3]

Faida ya Pili:
Uwajibu wa kutafuta elimu:
1.Ni wajibu kwa kila muislamu mukallafu kutafuta elimu ya kisheria, na
elimu ya kisheria inayokusudiwa hapa ni ile elimu ambayo kujifunza elimu
hiyo ni faradhi aini, nayo ni kila elimu anayoihitaji muislamu katika
mambo ya dini yake, kama vile; misingi ya imani, sheria za uislamu,
miamala mbalimbali, mambo yaliyoharamishwa, na mfano wa hayo. Kila
ambalo wajibu hautimii ila kwa hilo, kuwa na elimu ya hilo ni wajibu.

2.Ama zile elimu ambazo kujifunza ni faradhi kifaya, kama vile; elimu ya
udaktari, au agriculture, au uhandisi, au elimu ya balagha au nahau au
swarfu, au misingi ya fiqhi, maarifa ya ikhtilafu, munaakasha wa dalili, na
mfano wa hayo, elimu hizo siyo wajibu kwa kila muislamu kuzisoma,
wakipatikana baadhi ya waislamu wanaosimama kwenye elimu hizo katika
wasomi inakuwa ni sunnah kwa wengine kuzisoma elimu hizo.

Faida ya tatu: [kwenye ukurasa unaofuata baada ya huu]


Fasili ya 2: [7]

Faida ya tatu:
Ubora wa kutafuta elimu:
Aaya na hadithi hizi ni dalili juu ya ubora wa kutafuta elimu inapokuwa mja
anatafuta elimu kwa makusudio ya kupata radhi za Allaah, kunufaika nayo
na kuifanyia kazi kwa muktadha wake, na kwamba: mja kutafuta elimu ni
sababu ya mja huyo kufanyiwa wepesi na Allaah njia ya kuelekea peponi.

Faida ya nne:
Njia mbalimbali za kusoma elimu ya dini:
Kwenye kauli yake mtume (‫ )صلىَّللاَّعليهَّوسلم‬aliposema:
َّ.))َّ‫ََّّللاَّلهَّ هب ههَّط هريقَّاَّ هإلىَّالجن هة‬
َّ ‫َّسَّهل‬،‫((منَّسَّلكََّّطَّ هريقَّاَّيلت همسَّفهي ههَّ هعلمَّا‬
((Atakaefuata njia anatafuta elimu, Allaah atamfanyia wepesi kwa hilo
njia ya kuelekea peponi)).

Wanaingia kwenye hadithi hii waislamu hawa wafuatao:


1.Anaehudhuria darasa za mashekhe misikitini au kwinginepo katika vituo
vya elimu.
2.Anaefuatilia darasa za mashekhe zinazoendeshwa mitandaoni, kama vile;
kwenye Telegram au Whatsapp groups, au kwenye idhaa ya redio fulani, na
mfano wa hayo.
3.Anaesoma vitabu vilivyofafanuliwa na wenye elimu, na ikitokea kipengele
fulani hajakielewa vizuri anawauliza waliomzidi elimu wamfafanulie zaidi.

Faida ya tano:
Elimu ni dini angalia unaichukua dini yako kutoka kwa nani:
Taabiina Muhammad bin Siyriyn (‫ )رحمهَّللا‬amesema:
َّ‫َّأخرجهَّم ه‬.))‫انظرواَّعمنَّتأخذونَّدهينكم‬
.َّ)١4/١(َّ))‫سلمَّفيَّ((مقدمةَّصحيحه‬ َّ ‫َّف‬،َّ‫((إنَّهذاَّال هعلمَّدهين‬
{Hakika hii elimu ni dini angalieni mnaichukua kutoka kwa nani dini yenu}

Faida ya sita:
Ubora wa kueneza elimu yenye kunufaisha:
Tendo jema la mja ambalo athari yake inabakia baada ya mja huyo kufariki
thawabu zake ni zenye kudumu, miongoni mwa matendo mema ambayo
athari yake ni yenye kubakia na thawabu zake ni zenye kudumu baada ya
mja kufariki ni kufundisha elimu na kuandika vitabu vyenye kunufaisha.
Fasili ya 2: [8]

Faida ya saba:
Shauku waliyokuwa nayo wanawake maswahaba juu ya kupata elimu:
Miongoni mwa dalili zinazojulisha shauku waliyokuwa nayo wanawake
maswahaba juu ya kupata elimu ni hizi zifuatazo:
1.Hadithi hii ifuatayo:
َّ)‫للاَّ(صلىَّللاَّعليهَّوسلم‬ َّ‫َّجاءَّتهَّامرَّأةَّإهلىَّرَّسَّو هلَّ ه‬:‫الخدَّ ٍَّريََّّ(َّرضيَّللاَّعنه)َّقال‬
َّ َّ‫عَّنََّّأهَّبيَّسَّ هعَّي ٍَّد‬
ََّّ‫اَّمنَّنف هسكَّيوماَّنأ هتيكَّ هفي ههَّتع هلمنا‬ ‫َّفاجعلَّلن ه‬،َّ‫َّالرجالَّ هبحدهيهَّثك‬
‫َّذهَّب ه‬،‫للا‬ َّ‫َّياَّرَّسَّولَّ ه‬:‫فقالت‬
َّ)‫َّفأتاهنََّّالن هبيََّّ(صلىَّللاَّعليهَّوسلم‬،َّ‫َّفاجتمعن‬،))‫َّ((اجت همعنَّيومَّكذاَّوكذا‬:‫َّقال‬،‫َّللا‬ َّ ‫همماَّعلمك‬
ََّّ‫َّمنَّالولدهَّإهلََّّكانواَّلها‬ ‫َّم هنَّامرأةٍَّتقدهمََّّثلثة ه‬
‫اَّمنكن ه‬
‫َّ((م ه‬:‫َّثمَّقال‬،‫َّللا‬ َّ ‫َّمماَّعلمه‬ ‫فعلمهن ه‬
َّ.))‫ن‬ َّ‫َّ((واثني ه‬:)‫للاَّ(صلىَّللاَّعليهَّوسلم‬ َّ‫ين؟َّفقالَّرَّسَّولَّ ه‬
‫َّواثن ه‬:
َّ ‫َّفَّقَّالَّتهَّامرأة‬،))‫ار‬ َّ‫اَّمنَّالن ه‬ ‫هحجاب ه‬
.)
َّ ٢٦33(َّ‫َّومسلهم‬،)١٠١(َّ‫َّالبخاري‬:‫متفقَّعليه‬
Abuu Sa’iyd Al-Khudriy (‫ )رضيَّللاَّعنه‬amesimulia:
Mwanamke mmoja alikuja kwa mtume (‫ )صلىَّللاَّعليهَّوسلم‬akasema: ‘’Ewe
mjumbe wa Allaah! wanaume wanapokea hadithi zako, na sisi tutengee
siku tunakujia siku hiyo utufundishe katika yale aliyokufundisha Allaah,
mtume (َّ‫ )صلىَّللاَّعليهَّوسلم‬akamwambia: ((kusanyikeni siku fulani)),
wakakusanyika, mtume (‫ )صلىَّللاَّعليهَّوسلم‬akawaendea na akawafundisha
katika yale aliyofundishwa na Allaah, kisha akawaambia: ((mwanamke
yeyote miongoni mwenu akifiwa na watoto watatu (ambao hawajafikia
umri wa balehe) watoto hao watakuwa ni kinga yake dhidi ya moto)),
mwanamke mmoja akauliza: ‘’na (akifiwa na watoto) wawili?
Mtume (َّ‫ )صلىَّللاَّعليهَّوسلم‬akajibu: ((na (pia akifiwa na watoto) wawili)).
[Ameipokea imamu Bukhaariy na Muslim]

2.Kauli yake bi Aaishah (‫ )رضيَّللاَّعنها‬aliposema:


.)33٢(َّ‫َّرواهَّمسلم‬.]‫هين‬
‫َّلمَّيكنَّيمنعهنَّالحياءَّأنَّيتفقهنَّفهيَّالد ه‬،‫ار‬
َّ‫َّالنساءَّ هنساءَّاألنص ه‬
‫[ هنعم ه‬
{Bora ya wanawake wanawake wa kianswaar, hayaa haikuwazuia
kusoma hukumu za dini}. [Ameipokea imamu Muslim]

Faida ya nane:
Tanbihi kwa mabinti wanaojichelewesha kuolewa kwa sababu ya kusoma:
[Kwenye ukurasa unaofuata baada ya huu]
Fasili ya 2: [9]

Faida ya nane:
Tanbihi kwa mabinti wanaojichelewesha kuolewa kwa sababu ya kusoma:
1.Amesema mwana wa chuoni huyu anaeitwa:
َّ:)‫زيزَّالجب هرين‬
‫ه‬ ‫(العلمةَّعبدَّللاهَّبنَّعبدَّالع‬
{Lililokuwa bora kwa mwanamke: akiposwa na mwanaume mwenye sifa
zinazokubalika akubali kuolewa nae, hata kama atakuwa bado anasoma
thanawiya (secondary) au chuo kikuu, asifanye kama wanavyofanya
baadhi ya wanawake kwenye zama hizi kuchelewesha kuolewa mpaka
wamalize masomo yao ya chuo kikuu; kwa sababu hili mara nyingi
linasababisha mwanamke kukosa mwanaume mwenye sifa zinazokubalika,
na linapelekea mwanamke kufikia umri mkubwa hali ya kuwa hajaolewa.
Wengi katika wanawake walioacha kuolewa kwa sababu ya masomo ya
chuo kikuu, baadae wakaja kujuta kwa hilo, kwa sababu wanawake hao
walipokuwa na umri mkubwa vijana wakawa wanawakwepa, na wao hao
wanawake hawapendi kuolewa na wanaume wenye umri mkubwa, mpaka
kwa sababu ya hilo baadhi yao wakabaki bila kuolewa, wakajuta kwa
kitendo chao cha kukataa kuolewa na wanaume waliojitokeza kwenye umri
wao wa kuolewa mapema, wakafa na umri mkubwa bila kuolewa}.
.َّ)33٥َّ-َّ َّ334/١١(َّ))‫َّ((تسهيلَّالفقه‬:‫ينظر‬

2.Binti mmoja amesema kwenye programu inayoitwa:


َّ)٥٥َّ،٥4/٢٠(َّ))‫((فتاوىَّنورَّعلىَّالدربَّلشيخَّعبدَّالعزبزَّبنَّباز‬
{Mimi ni mwanafunzi wa thanawiya, nimeolewa alhamdulillaah na umri
wangu ni miaka kumi na nane, na ni mwenye furaha mno pamoja na
mume wangu., na dada yangu mkubwa umri wake ni miaka thelathini na
hajaolewa mpaka sasa, kwa sababu yeye alitanguliza masomo juu ya
kuolewa, hakuna kijana yeyote anaetaka kumuoa; kwa kuwa umri wake
umevuka umri wa vijana, vijana hawataki kumuoa, na yeye hataki
kuolewa na wanaume wenye umri mkubwa, kwa sasa anajuta kwa
kuzembea kwake kuolewa wakati wa ujana wake. Kwa sasa amesimama
pamoja na mimi, na anawausia wanafunzi wa kike wa vyuo vikuu au
thanawiya, anawaambia: msiache masomo, lakini kubalini kuolewa hali ya
kuwa mnasoma ili msije mkaja kujuta ujana wenu utakapowapita}.
.َّ)33٥/١١(َّ))‫َّ((تسهيلَّالفقه‬:‫ينظر‬
Faida ya tisa:
[Kwenye ukurasa unaofuata baada ya huu]
Fasili ya 2: [10]

Faida ya tisa:
Ukumbusho kwa mashekhe juu ya kuheshimiana na kutohusudiana:
Allaah (‫ )تعالى‬amesema:
‫ﱡ ﱣ ﱤ ﱥ ﱦﱧ ﱨ ﱩ ﱪ‬
‫ﱢ‬ ‫ﱡﭐ ﱙﱚﱛﱜﱝﱞﱟﱠ‬

٥4َّ:‫النساء‬
َّ َّ‫ﱫ ﱠ‬
{Je, wanakuwa mahasidi kwa watu juu yale waliyopewa na Allaah katika
fadhila zake, hakika tuliwapa watu wa (nabii) Ibrahim kitabu na hekima,
na tuliwapa ufalme mkubwa} [An-Nisaa:54]

Hadithi ya kwanza:
َّ:‫َّفقالت‬،‫حَّعلىَّالخفي هن‬ ‫ََّّسألتَّعا هئشةَّ(رضيَّللاَّعنها)َّع هنَّالمس ه‬:‫ئَّقال‬ ٍَّ ‫حَّبنَّها هن‬
‫عنَّشري ه‬
َّ‫(صلىَّللاَّعليه‬
َّ َّ‫َّفإنهََّّكانَّيسافهرَّمعَّرسو هلَّ ه‬،َّ‫سلَّع هليًّاَّ(رضيَّللاَّعنه)َّفإنهَّأعلمََّّهَّبذ هلكََّّ هم هني‬
َّ‫للا‬
.)٢٧٦(َّ‫َّرواهَّمسلم‬.‫َّوذكرَّالحدهيث‬،‫َّفسألته‬،)‫وسلم‬
Shurayh bin Haanii (‫ )رحمهَّللا‬amesimulia:
Nilimuuliza Aaishah (‫ )رضيَّللاَّعنها‬hukumu za kupangusa juu ya khuffu mbili,
akasema: ‘’Kamuulize Aliy (‫)رضيَّللاَّعنه‬, hakika yeye ana elimu zaidi juu ya
hilo kuliko mimi, yeye alikuwa anasafiri pamoja na mtume (‫)صلىَّللاَّعليهَّوسلم‬.
Nikamuuliza Aliy (‫)رضيَّللاَّعنه‬, akaitaja hadithi. [Ameipokea imamu Muslim]

Hadithi ya Pili:
َّ‫َّفسألتهَّعنَّ هوت هرَّرسو هلَّ ه‬،)‫اسَّ(رضيَّللاَّعنهما‬
َّ‫للاَّ(صلى‬ ٍ ‫َّأتيتَّابنَّعب‬:‫امَّقال‬
ٍَّ ‫عنَّسعدهَّبنَّ ههش‬
َّ‫؟‬
َّ )‫ضَّ هب هوت هرَّرسو هلَّللاهََّّ(صلىَّللاَّعليهَّوسلم‬‫َّألَّأدلكَّعلىَّأعل همَّأه هلَّاألر ه‬:‫َّفقال‬،)‫للاَّعليهَّوسلم‬
َّ،َّ‫َّفأخ هبر هنيَّهَّبردههاَّعليك‬،‫َّثمَّائ هت هني‬،‫َّفاسألها‬،‫َّفأ هتها‬،)‫َّعا هئشةَّ(رضيَّللاَّعنه‬:‫َّمن؟َّقال‬:‫قلت‬
.)٧4٦(َّ‫َّرواهَّمسلم‬.‫َّوذكرَّالحدهيث‬،‫َّفسألناها‬،)‫فانطلقناَّإلىَّعا هئشةَّ(رضيَّللاَّعنها‬
Sa’ad bin Hishaam (‫ )رحمهَّللا‬amesimulia:
Nilimwendea ibnu Abbaas (‫ )رضيَّللاَّعنهما‬nikamuuliza kuhusu swalaa ya witri
ya mtume (‫)صلىَّللاَّعليهَّوسلم‬, akasema: ‘’Je, nikujulishe mwenye elimu zaidi
juu ya swalaa ya witri ya mtume (‫ )صلىَّللاَّعليهَّوسلم‬katika watu wa ardhi?’’
Nikasema: ‘’nani?’’ Akasema: ‘’Aaishah (‫)رضيَّللاَّعنها‬, mwendee kisha
muulize, kisha uje uniambie jibu lake kwako.’’ Tukamwendea Aaishah
(‫)رضيَّللاَّعنها‬, tukamuuliza, akaitaja hadithi. [Ameipokea imamu Muslim]

.‫َّتعالىَّأعلم‬
َّ ‫وللا‬
Fasili ya 3: [11]

Fasili ya tatu:
Uharamu wa kuzifanyia kazi kauli za makuhani na wapiga ramli
kuhusu jinsi ya kupata utajiri kwa mujibu wa nyota ya mtu.

Allaah (‫ )تعالى‬amesema:
٦٥َّ:‫ﱠﱠَّالنمل‬
‫ﱡﭐ ﱗ ﱘ ﱙ ﱚ ﱛ ﱜ ﱝ ﱞ ﱟ ﱡ‬
{Sema (ewe nabii Muhammad): hakuna anaejua mambo ya ghaibu katika
waliomo mbinguni na ardhini ispokuwa Allaah} [An-Naml:65]

Pia Allaah (‫ )تعالى‬amesema:


‫ﱡ ﭐ ﲸ ﲹ ﲺ ﲻ ﲼ ﲽﲾ ﲿ ﳀ ﳁ ﳂ ﳃ ﳄ ﳅ ﳆ ﳇ ﳈ ﳉ ﳊ ﳋ ﳌ ﳍ ﳎ‬
٢٧َّ–َّ٢٥َّ:‫الجن‬
َّ َّ‫ﳏﳐﳑ ﳒﳓﳔﳕﳖﳗﳘﱠ‬
{Sema (ewe nabii Muhammad): mimi sijui je, yapo karibu (kutokea) hayo
mnayoahidiwa au mola wangu mlezi atayawekea muda mrefu (25) (yeye
Allaah ndie) mwenye kujua mambo ya ghaibu, hayadhihirishi mambo
yake ya ghaibu kwa yeyote (26) ispokuwa kwa aliemridhia (kumdhihirishia
baadhi ya mambo ya ghaibu) katika (aliemchagua kuwa) mtume, hakika
yeye (Allaah) humuwekea (mtume wake) walinzi (katika malaika) mbele
yake na nyuma yake} [Al-Jinn:25 - 27]

Pia Allaah (‫ )تعالى‬amesema:


‫ﲣﲥﲦ‬ ‫ﱡﭐ ﲎ ﲏ ﲐ ﲑ ﲒ ﲓ ﲔ ﲕ ﲖ ﲗ ﲘ ﲙ ﲚ ﲛ ﲝ‬
‫ﲜ ﲞ ﲟ ﲠﲡ ﲢ ﲤ‬

٥٠َّ:‫ﲩ ﲫﲬﱠَّاألنعام‬
‫ﲪ‬ ‫ﲧﲨ‬
{Sema (ewe nabii Muhammad): mimi sisemi kuwa ninazo hazina (funguo
za riziki) za Allaah, na sijui mambo ya ghaibu, na siwaambieni kuwa mimi
ni malaika, sifuati ispokuwa wahyi ulioteremshwa kwangu. Waambie: je,
wanalingana asieona na anaeona, je, hamtafakari?} [Al-An’aam:50]

Pia Allaah (‫ )تعالى‬amesema:


١٧9َّ:‫آلَّعمران‬
َّ َّ‫ﲹﱠ‬
‫ﲺ‬ ‫ﱡﭐ ﲨ ﲩ ﲪ ﲫ ﲬ ﲭ ﲮ ﲯ ﲰ ﲱ ﲲ ﲳ ﲴ ﲶ‬
‫ﲵﲷ ﲸ‬
{Na haiwi kwa Allaah kukujulisheni mambo ya ghaibu} [Al-Imraan:179]
Fasili ya 3: [12]

Hadithi ya kwanza:
ٍََّّ‫يَّح هَّديثَّعهد‬ َّ‫َّياَّرَّسولَّ ه‬:
َّ ‫َّ هإن‬،‫للا‬ َّ ‫َّقَّلَّت‬:َّ‫َّبنَّالحك هَّمَّالسل هميََّّ(رضيَّللاَّعنه)َّقال‬
‫عَّنََّّمعَّا هوية ه‬
ََّّ:‫َّقلت‬،))َّ‫َّ((فلَّتأ هت ههم‬:َّ‫جالَّيأتونَّالكهان؟َّقَّال‬ َّ ‫اَّر‬
‫َّمن ه‬
‫َّ َّوإن ه‬،‫َّوقدَّجاءَّللاَّهَّباإلسل هَّم‬،‫الجا ههلي هَّة‬
َّ ‫هَّب‬
ََّّ:‫َّقلت‬،))َّ‫َّفلَّيصدَّنَّهم‬،َّ‫ور ههم‬‫َّ((ذَّاكَّشيءَّي هجدونهَّفهيَّصد ه‬:‫اَّرجالَّيتطيرون؟َّقال‬ ‫و همن ه‬
َّ.))َّ‫َّفذاك‬،َّ‫َّفمنَّوافقَّخطه‬،‫اءَّيخط‬ ‫َّمنَّاألن هبي ه‬
‫ي ه‬ٌّ ‫َّ((كانَّن هب‬:‫اَّرجالَّيخطون؟َّقال‬ ‫و همن ه‬
.َّ)٥3٧(َّ‫رواهَّمسلم‬
Mu’awiya bin Al-Hakam Al-Aslamiy (‫ )رضيَّللاَّعنه‬amesimulia:
Nilisema: ‘’Ewe mjumbe wa Allaah! hakika mimi nimetoka kwenye jaahiliya
hivi karibuni, na Allaah ametuletea uislamu, hakika miongoni mwetu kuna
watu wanawaendea makuhani?’’ Mtume (‫ )صلىَّللاَّعليهَّوسلم‬akanijibu:
((usiwaendee [makuhani])), nikasema: ‘’na miongoni mwetu kuna watu
wanafanya tashaaumu?’’ akanijibu: ((hicho ni kitu kinawatokea ndani ya
nafsi zao, kisiwazuie [kufanya jambo])), nikasema: ‘’na miongoni mwetu
kuna watu wanapiga khatwu (wanaagua)?’’ akanijibu: ((alikuwepo nabii
miongoni mwa manabii anapiga khatwu (anaagua), atakaewafikiana na
khatwu yake basi ni hiyo)). [Ameipokea imamu Muslim]

Hadithi ya Pili:
َّ:َّ‫ي هَّ(صلىَّللاَّعليهَّوسلم)ََّّقال‬
َّ ‫نَّالنهَّب‬
َّ‫َّعَّ ه‬،)‫َّور هضيَّللاَّعنها‬،‫ي هَّ(َّصلىَّللاَّعليهَّوسلم‬
َّ ‫اجَّالنهَّب‬
‫ضَّأزَّ َّو ه‬
َّ ‫عَّنَََّّّبعَّ ه‬
َّ ٢٢3٠(َّ‫َّرواهَّمسلم‬.))‫َّلمَّتقبلَّلهَّصلةَّأرب هعينَّيوما‬، ٍ‫َّعنَّشيء‬
.) َّ ‫((منَّأتىَّعرافاَّفسأله‬
bi Hafswa binti Umar (‫ )رضيَّللاَّعنهما‬amesimulia:
Mtume (َّ‫ )صلىَّللاَّعليهَّوسلم‬amesema: ((atakaemwendea arraaf na akamuuliza
kuhusu kitu chochote, huyo hatokubaliwa swalaa zake siku arobaini)).
[Ameipokea imamu Muslim]

Hadithi ya tatu:
َّ‫َّ((مَّنََّّأتَّىَّكَّا هَّهَّناَّفَّصَّدَّقَّ َّه‬:َّ‫ي هَّ(صلىَّللاَّعليهَّوسلم)َّقَّال‬
َّ ‫النهَّب‬
َّ َّ‫ن‬
َّ‫َّعَّ ه‬،)‫عَّنََّّأهَّبيَّهَّرَّيرََّّةَّ(رضيَّللاَّعنه‬
.َّ)39٠4(َّ‫َّرواهَّأبوَّداود‬.))]‫زلََّّعَّلَّىَّمَّحَّمَّ ٍَّدَّ[صلىَّللاَّعليهَّوسلم‬ َّ‫َّفَّقَّدََّّكَّفَّرََّّهَّبمَّاَّأنَّ ه‬،َّ‫اَّيقَّول‬
َّ َّ‫هَّبم‬
Abuu Hurayra (َّ‫ )رضيَّللاَّعنه‬amesimulia:
Mtume (َّ‫ )صلىَّللاَّعليهَّوسلم‬amesema: ((atakaemwendea kuhani na akayasadiki
ayasemayo, hakika huyo amekufuru yale aliyoteremshiwa Muhammad)).
[Ameipokea imamu Abuu Dawud]

Faida za kielimu zinazofungamana na aaya na hadithi hizi:


Fasili ya 3: [13]

Faida ya kwanza:
Maana ya mambo ya ghaibu:
Mambo ya ghaibu ni yale ambayo yamefichika kwa waja katika ambayo
anayajua Allaah pekee, au amemjulisha aliemtaka katika viumbe wake.

Na miomgoni mwa sifa za waumini ni kuamini mambo ya ghaibu ambayo


Allaah na mtume wake wametuhabarisha kuhusu Allaah, malaika wake,
vitabu vyake, mitume wake, Qadari zake na siku ya Qiyama, na moja ya
dalili juu hilo ni kauli yake Allaah (‫ )تعالى‬aliposema:
3َّ-َّ٢َّ:‫ﱈﱊﱋﱌﱍﱎﱏﱐﱑ ﱒﱓﱔﱠَّالبقرة‬ ‫ﱡﭐ ﱃ ﱄ ﱅ ﱇ‬
‫ﱆ ﱉ‬
{Hicho ni kitabu hakuna shaka ndani yake, ni muongozo wa wachamungu
(2) ambao wanaamini mambo ya ghaibu na wanasimamisha swalaa na
wanatoa katika vile tulivyowaruzuku} [Al-Baqara:2 - 3]

Faida ya Pili:
Maana ya kuhani (‫ )كاههن‬na arraaf (‫)عراف‬:
Wamesema ulamaa ya kwamba:
1.Kuhani ni yule anaetoa habari ya jambo litakalotokea wakati ujao katika
mambo ya ghaibu, na asili ya habari hiyo anayoitoa huyo kuhani ni neno
ambalo shetani wa kijini amelinyakua kutoka mbinguni kwa kuwasikiliza
malaika wanapokuwa wanaambizana, kisha analipeleka neno hilo kwa
huyo kuhani, na huyo kuhani analichanganya neno hilo na uongo tele.
2.Arraaf ni jina linalojumuisha makuhani, wapiga ramli, watazamia nyota,
na mfano wao katika wanaodai kujua mambo ya ghaibu kwa njia fulani.
.َّ)٥3٢َّ-َّ٥3١/١(َّ))‫َّ((القولَّالمفيد‬:‫ينظر‬
Faida ya tatu:
Je, watabiri wa hali ya hewa wanaingia kwenye hukumu ya makuhani:
Wamesema ulamaa ya kwamba:
Siyo ukuhani; wanaotoa habari ya mambo yanayodirikiwa kwa hesabu,
kwa mfano kutoa habari ya kwamba: jua litachomoza kesho saa fulani na
litazama saa fulani, au mvua itanyesha kesho kuanzia muda fulani, hayo
yanadirikiwa kwa hesabu, hayo siyo katika elimu ya mambo ya ghaibu,
hivyo, kila ambacho kinadirikiwa kwa hesabu kukitolea habari kitu hicho
hata kama kitatokea wakati ujao haizingatiwi kuwa ni katika ukuhani.
.)٥3١/١(َّ))‫َّ((القولَّالمفيد‬:‫ينظر‬
Fasili ya 3: [14]

Faida ya nne:
Maana ya kufanya tashaaumu na hukumu yake:
Kufanya tashaaumu ni mtu kuitakidi kwenye vitu fulani vinavyoonekana au
vinavyosikika au vinavyojulikana (kuitakidi) ya kwamba mtu anapatwa na
shari fulani kutokana na vitu hivyo, baadhi ya mifano yake ni hii ifuatayo:
(i)Mfano wa kufanya tashaaumu kwenye vitu vinavyoonekana:
mtu kuitakidi ya kwamba akitoka kuelekea mahali fulani, njiani akikutana
na mzee mwenye macho mekundu, hiyo ni ishara kuwa huko anapoelekea
kuna shari fulani, hivyo, anavunja safari yake hiyo anarudi alipotoka.
(ii)Mfano wa kufanya tashaaumu kwenye vitu vinavyosikika:
mtu kuitakidi ya kwamba ikisikika sauti ya bundi analia usiku juu ya paa ya
nyumba ya mtu fulani, hiyo ni ishara kuwa atakufa mtu hivi karibuni.
(iii)Mfano wa kufanya tashaaumu kwenye vitu vinavyojulikana:
mtu kuitakidi ya kwamba akipeleka mzigo wa biashara yake ndani ya siku
fulani hapati faida, na mfano wa hayo.
(iv)Walikuwa waarabu zama za jaahiliya mtu akitaka kusafiri anamchukua
ndege anamrusha juu, ndege huyo akielekea upande wa kulia, mtu huyo
anaitakidi kuwa safari hiyo ina kheri anasafiri, na ndege huyo akielekea
upande wa kushoto anaitakidi kuwa safari hiyo ina shari anavunja safari.

Na mtume (‫ )صلىَّللاَّعليهَّوسلم‬amekataza kuifanyia kazi tashaaumu, na moja ya


dalili ya hilo ni hadithi ya Mu’awiya bin Al-Hakam (‫ )رضيَّللاَّعنه‬aliposema:
َّ.))َّ‫َّفلَّيصدََّّنهم‬،َّ‫ور ههم‬
‫َّ((ذَّاكَّشيءَّي هجدونهَّ هفيَّصد ه‬:‫اَّرجالَّيتطيرون؟َّقال‬
‫َّو همن ه‬:‫قلت‬
Nikasema: ‘’Ewe mjumbe wa Allaah! na miongoni mwetu kuna watu
wanafanya tashaaumu?’’ akanijibu: ((hicho ni kitu kinawatokea ndani ya
nafsi zao, kisiwazuie [kufanya jambo])). [Ameipokea imamu Muslim]

Na kuacha kufanya tashaaumu ni katika sifa za waumini zaidi ya bilioni 4.9


watakaoingia peponi bila hesabu wala adhabu, na moja ya dalili juu ya hilo
ni kauli yake mtume (‫ )صلىَّللاَّعليهَّوسلم‬aliposema:
َّ‫َّول‬،َّ‫َّهَّمَّالذهينَّلَّيسترقون‬:‫ب‬
ٍَّ ‫بَّولَّعذا‬
ٍ ‫َّحسا‬
‫َّمنَّأم هتيَّسبعونَّألفاَّ هبغي هر ه‬ ‫((يدخلَّالجنة ه‬
.)٢٢٠(َّ‫َّومسلهم‬،)٦4٧٢(َّ‫َّالبخاري‬:‫ََّّمتفقَّعليه‬.))‫َّوعلىَّر هب ههمََّّيتوكلون‬،َّ‫يتطيوون‬
((Sabini elfu katika (watu wa) umati wangu wataingia peponi bila hesabu
wala adhabu: hao ni wale ambao hawaombi kusomewa rukiya, na
hawafanyi tashaaumu, na wanamtegemea mola wao mlezi)).
Fasili ya 3: [15]

Faida ya tano:
Uharamu wa kuwaendea makuhani na mfano wao:
Aaya na hadithi hizi zinajulisha ya kwamba:
1.Ni haramu kumwendea kuhani na mfano wake, na hilo ni kwa sababu
wao wanaongelea mambo ya ghaibu ambayo hakuna anaejua elimu ya
mambo hayo ispokuwa Allaah.
2.Atakaemwendea kuhani kumuuliza kitu, huyo swalaa zake hazikubaliwi
kwa muda wa siku arobaini.
3.Atakaemwendea kuhani kumuuliza kitu kisha akayasadiki anayosema
kuhani huyo, hakika huyo anakuwa amekufuru yale aliyoteremshiwa nabii
Muhammad (‫)صلىَّللاَّعليهَّوسلم‬, yaani, anakuwa ameikufuru Quraani, kwa
sababu ndani ya Quraani Allaah (‫ )تعالى‬amesema:
٦٥َّ:‫ﱠﱠَّالنمل‬
‫ﱡﭐ ﱗ ﱘ ﱙ ﱚ ﱛ ﱜ ﱝ ﱞ ﱟ ﱡ‬
{Sema (ewe nabii Muhammad): hakuna anaejua mambo ya ghaibu katika
waliomo mbinguni na ardhini ispokuwa Allaah} [An-Naml:65]

Faida ya sita:
Ubatili wa kauli za watazamia nyota kuhusu siku nzuri na siku mbaya:
Zimeenea mitandaoni na kwenye kurasa za magazeti kauli za wanaodai
kuwa na elimu ya nyota za watu, moja ya kauli zao wanazozitoa ni hii:
[Kuna nyota 12 za watu, katika kila nyota kuna siku nzuri na siku mbaya
kwa mtu wa nyota fulani, kwa mfano: watu wa nyota fulani siku yao nzuri
ni siku fulani, wakipeleka mathalani mzigo wa biashara ndani ya siku hiyo
wanapata faida nyingi, na siku yao mbaya ni siku fulani, kama watapeleka
mzigo wa biashara ndani ya siku hiyo hawapati faida ndani ya siku hiyo].

Moja ya dalili zinazojulisha ubatili wa kauli yao hiyo ni hadithi hii:


َّ‫َّأنَّرَّسَّولَّ ه‬:)‫هي هَّ(رضيَّللاَّعنه‬
َّ‫َّ((اللهم‬:‫للاَّ(صلىَّللاَّعليهَّوسلم)َّقال‬ َّ ‫امد‬
‫خ هَّرََّّبنَّودَّاعةَّالغَّ ه‬
َّ َّ‫عَّنَّص‬
َّ،‫َّوكانَّيبعثَّ هتجارتهَّأولَّالنهار‬،‫اجرا‬ ‫َّوكانَّصخرََّّرجلََّّت ه‬.))‫ورها‬ ‫اركَّألم هتيَّفهَّيَّبك ه‬ ‫ب ه‬
.َّ)١٢١٢(َّ‫َّوالترمذي‬،)٢٦٠٦(َّ‫َّرواهَّأبوَّداود‬.َّ‫فأثرىَّوكثرَّماله‬
Swakhr bin Wada’a (‫ )رضيَّللاَّعنه‬amesema: mtume (َّ‫ )صلىَّللاَّعليهَّوسلم‬aliomba:
((Allahumma! ubarika umati wangu mwanzo wa mchana wake)). Swakhr
alikuwa mfanya biashara, na alikuwa anapeleka biashara yake mwanzo wa
mchana (baada ya alfajir), akawa anapata faida na mali yake ikawa nyingi.
Fasili ya 3: [16]

Faida ya saba:
Majibu ya kielimu juu ya shubuha ya mashekhe wapiga ramli:
Mashekhe wapiga ramli wanaitolea dalili juu ya kuhalalisha kupiga ramli
hadithi ya Mu’awiya Al-Hakam (‫)رضيَّللاَّعنه‬: hadithi ya kwanza mwanzoni
mwa fasili hii, na wajihi wa dalili yao ya kuhalalisha kupiga ramli ni pale
Mu’awiya Al-Hakam (‫ )رضيَّللاَّعنه‬aliposema:
َّ.))َّ‫َّفذاك‬،َّ‫َّفمنَّوافقَّخطه‬،‫اءَّيخط‬
‫َّمنَّاألن هبي ه‬
‫ي ه‬ ٌّ ‫َّ((َّكانَّن هب‬:‫اَّرجالَّيخطون؟َّقال‬
‫َّو همن ه‬:‫قلت‬
Nikasema: ‘’Ewe mjumbe wa Allaah! na miongoni mwetu kuna watu
wanapiga khatwu (wanaagua)?’’ Akanijibu: ((alikuwepo nabii miongoni
mwa manabii anapiga khatwu (anaagua), atakaewafikiana na khatwu
yake basi ni hiyo)). [Ameipokea imamu Muslim]

Majibu ya kielimu juu ya hoja yao hiyo waliyoitoa ni kama ifuatavyo:


Amesema nguli wa madh’habu ya Shaafi’iya anaeitwa:
َّ:)َّ‫حيىَّبنَّشرفَّالنو هوي‬
َّ ‫(اإلمامَّالحافهظَّالمحدهثَّالف هقيهَّمحَّهَّييَّالدهينَّي‬
Kauli yake mtume (‫ )صلىَّللاَّعليهَّوسلم‬aliposema:
َّ.))َّ‫َّفذاك‬،َّ‫َّفمنَّوافقَّخطه‬،‫اءَّيخط‬ ‫َّمنَّاألن هبي ه‬ ‫ي ه‬
ٌّ ‫((كانَّن هب‬
((Alikuwepo nabii miongoni mwa manabii anapiga khatwu (anaagua),
atakaewafikiana na khatwu yake basi ni hiyo)).
َّ‫َّول هكنَّل‬،َّ‫َّمنَّوافقَّخطهَّفهوَّمباحَّله‬:‫َّفالص هحيحَّأنَّمعناه‬،َّ‫[اختلفَّالعلماءَّفهيَّمعناه‬
َّ‫َّ هألنهَّلَّيباحَّإل‬،َّ‫َّوالمقصودَّأنهَّحرام‬،‫ط هريقَّلناَّإلىَّال هعل همَّالي هقي هنيهَّ هبالموافق هةَّفلَّيباح‬
َّ.‫َّوليسَّلناََّّي هقينَّ هبها‬،‫ينَّالموافق هَّة‬
‫هبي هف ه‬
َّ‫َّ هبغي هر‬،َّ‫َّهوَّحرام‬:‫َّولمَّيقل‬،))‫َّ((فمنََّّوافقَّخطهَّفذاك‬:)‫وإنماَّقالَّالن هبيََّّ(صلىَّللاَّعليهَّوسلم‬
َّ‫َّ هلئلَّيتوهمََّّمتو ههمَّأنَّهذاَّالنهيَّيدخلَّفهي ههَّذاكَّالن هبيَّالذهيَّكان‬،‫قَّعلىَّالموافق هَّة‬ ٍ ‫تع هلي‬
َّ،‫انَّالحك همَّفهيَّح هقنا‬ ‫َّفحافظَّالن هبيَّ(صلىَّللاَّعليهَّوسلم)َّعلىَّحرم هةَّذاكَّالن هبيهَّمعَّبي ه‬،َّ‫يخط‬
َّ.‫َّول هكنَّلَّ هعلمَّلكمَّ هبها‬،َّ‫َّوكذاَّلوَّع هلمتمَّموافقته‬،‫فالمعنىَّأنَّذاكَّالن هبيَّلَّمنعَّفهيَّح هق هَّه‬
َّ.]‫اءَّفهي ههَّاإلتفَّاقَّعلىَّالنهيهَّعنهَّاآلن‬
‫َّمنَّمجموعهَّكل همَّالعلم ه‬
‫وحصل ه‬
{Wameikhtilafiana ulamaa kwenye maana yake, iliyo sahihi maana yake ni:
atakaewafikiana na khatwu yake, huyo anaruhusiwa hilo, lakini hatuna njia
ya elimu ya yakini juu ya kuwafikiana, hivyo, hairuhusiwi, makusudio hapo
hakika jambo hilo ni haramu, kwa sababu hairuhusiwi kulifanya ila kwa
yakini ya kuwaafikiana, na sisi hatuna yakini kwa hilo.
Na katika mjumuisho wa maneno ya ulamaa kuhusu jambo hilo imetokea
itifaki juu ya makatazo ya kulifanya jambo hili kwa sasa}.
.)٥3٧(َّ‫َّشرحَّالحدهيثَّرقم‬،))‫َّ((المه نهاج‬:‫ينظر‬
Fasili ya 3: [17]

Faida ya nane:
Uharamu wa mali anayolipwa kuhani kwa kazi yake hiyo:
Pesa au mali anayolipwa kuhani kwa kufanya ukuhani ni chumo la haramu,
na akikupa kitu katika mali yake aliyoipata kwa kufanya ukuhani haijuzu
kuipokea mali yake hiyo, na dalili juu ya hilo ni hadithi hii ifuatayo:
َّ‫َّأنَّرَّسولَّللاهَّ(صلىَّللاَّعليهَّوسلم)َّنهىَّعنَّثم هن‬:)‫ٍَّالبدَّ هرَّيهَّ(َّرضيَّللاَّعنه‬
َّ ‫عَّنَّأهَّبيَّمسَّعَّود‬
.َّ)َّ ١٥٦٧(َّ‫َّومسلم‬،)٢٢3٧(َّ‫َّالبخاري‬:‫َّمتفقَّعليه‬.‫ن‬
َّ‫انَّالكا هه ه‬
‫َّوحلو ه‬،‫َّومه هرَّالب هغيَّ ه‬،‫ب‬
َّ‫الكل ه‬
Abuu Mas’uud Al-badriy (‫ )رضيَّللاَّعنه‬amesema:
Mtume (َّ‫ )صلىَّللاَّعليهَّوسلم‬amekataza malipo (anayolipwa mtu) kwa kumuuza
mbwa, na malipo anayolipwa mwanamke kahaba (kwa kufanya zinaa), na
malipo anayolipwa kuhani (kwa kufanya ukuhani).

Faida ya tisa:
Uharamu wa muislamu kula chakula cha kuhani:
Haijuzu muislamu kula chakula cha kuhani ikiwa amejua kuwa chakula
hicho kimetokana na pesa aliyoipata kwa kufanya ukuhani, na moja ya
dalili juu ya hilo ni athari hii ifuatayo:
َّ‫قَّ(رضيَّللاَّعنه)َّغلمَّيخ هرجَّله‬ٍَّ ‫الص هَّدَّي‬
َّ‫َّكانَّألهَّهَّبيَّبكَّ ٍَّرَّ ه‬:‫عَّنََّّعَّاهَّئشَّةََّّ(رضيَّللاَّعنها)ََّّقَّالَّت‬
َّ‫َّفقالَّله‬،‫َّمنهَّأبوَّبك ٍَّر‬
‫َّفأكل ه‬،‫يء‬
ٍَّ ‫َّفجاءَّيوماَّ هبش‬،‫اج هَّه‬ ‫َّمنَّخر ه‬ ‫َّوكانَّأبوَّبك ٍرَّيأكل ه‬،َّ‫الخراج‬
ََّّ‫انَّفيَّالجا هه هلَّي هةَّوما‬
ٍ ‫َّكنتَّتكهنتَّإلنس‬:‫َّوماَّهو؟َّقال‬:‫َّتد هريَّماَّهذا؟َّفقالَّأبوَّبكر‬:‫الغلم‬
ََّّ‫َّفأدخلَّأبو‬،‫َّمنه‬ ‫َّفأعطا هنيََّّهَّبذَّ هلكََّّهذاَّالذهيَّأكلت ه‬،‫َّفل هقي هني‬،‫َّ هإلَّأهَّنيَّخدعَّته‬،‫أح هسنَّالكهانة‬
َّ 384٢(َّ‫َّرواهَّالبخاري‬.‫بك ٍرَّيدهَّفقاءَّكلَّشيءٍ َّفهيَّبط هن هَّه‬
.)
Ummu Abdillaah, Aaishah (‫ )رضيَّللاَّعنها‬amesimulia:
Abuubakr Swiddiyq (‫ )رضيَّللاَّعنه‬alikuwa ana mtumwa, na mtumwa huyo
alikuwa anamletea Abuubakr mali anazozipata, na Abuubakr alikuwa
anakula katika mali hizo, siku moja alikuja na kitu, Abuubakr akala kitu
hicho, mtumwa huyo akamuuliza Abuubakr: ‘’unajua ni nini hiki?’’
Abuubakr nae akamuuliza: ‘’ni nini?’’ Akajibu: nilikuwa nimemfanyia
ukuhani mtu fulani zama za jaahiliya, na nilikuwa sijui ukuhani ispokuwa
nilimhadaa tu, basi mtu huyo akakutana na mimi, akanipa kwa hilo hiki
ambacho umekila.’’ Abuubakr akaingiza mkono wake mdomoni akatapika
kila kitu kilichokuwa tumboni mwake}. [Ameipokea imamu Bukhaariy]

.‫لىَّأعلم‬
َّ ‫وللاَّتع‬
Fasili ya 4: [18]

Fasili ya nne:
Sababu za mja kukunjuliwa riziki na Allaah.

Allaah (‫ )تعلى‬amesema:
3-٢َّ:‫ﲜﱠَّالطلق‬
‫ﲝ‬ ‫ﲕ ﲗ ﲘ ﲙ ﲚﲛ‬
‫ﲖ‬ ‫ﱡﭐ ﲉ ﲊ ﲋ ﲌ ﲍ ﲎ ﲏ ﲐ ﲑ ﲒ ﲓ ﲔ‬
{Na anaemcha Allaah anamjaalia njia ya kutokea (katika kila dhiki) (2) na
anampa riziki kwa namna asiyoitarajia, na anaemtegemea Allaah basi
yeye (Allaah) ni toshelezo lake} [At-Twalaaq:2 - 3]

Pia Allaah (‫ )تعالى‬amesema:


‫ﳜ‬
‫ﳖ ﳘﳙ ﳚ ﳛ ﳝ‬
‫ﳐﳒ ﳓ ﳔ ﳕ ﳗ‬ ‫ﱡﭐ ﳆ ﳈ‬
‫ﳇ ﳉ ﳊﳋ ﳌ ﳍ ﳎﳏ ﳑ‬

3٧َّ:‫ﳞﳟﳠﳡﳢﳣﳤ ﱠَّآلَّعمران‬
{Na (Allaah) akajaalia (Maryam binti Imraan) kuwa chini ya usimamizi wa
(nabii) Zakariyya, kila alipoingia (nabii) Zakariyya sehemu ya ibada alipo
(Maryam) anakuta pembeni yake kuna riziki (ya vyakula), akasema: Ewe
Maryam! unaipata wapi (riziki) hii? (Maryam) akasema: hii inatoka kwa
Allaah, hakika Allaah anampa riziki amtakae bila hesabu} [Al-Imraan:37]

Pia Allaah (‫ )تعالى‬amesema:


‫ﱡﭐ ﳃ ﳄ ﳅ ﳆ ﳇ ﳈ ﳉ ﱁ ﱂ ﱃ ﱄ ﱅ ﱆ ﱇ ﱈ ﱉ ﱊ ﱋ‬

١٢َّ-َّ١٠َّ:‫ﱌﱍﱎﱠَّنوح‬
{[Nabii Nuuh akasema: rabbiy!] kisha mimi nikawaambia (watu wangu):
muombeni msamaha mola wenu mlezi, hakika yeye ni mwingi wa
kusamehe (10) atakuteremshieni mvua endelevu (11) na atakupeni mali na
watoto na atakujaalieni mabustani na atakujaalieni mito} [Nuuh:10 - 12]

Faida za kielimu zinazofungamana na aaya hizi:


Ufafanuzi wa aaya hizi na faida za kielimu zinazofungamana na aaya hizi
utazipata na kuelewa vizuri biidhinillaahi ukizisoma fasili zote zinazofuata
baada ya fasili hii, nimeacha kufafanua hapa kuepusha kurefusha kitabu.

.‫َّتعالىَّأعلم‬
َّ ‫وللا‬
Fasili ya 5: [19]

Fasili ya tano:
Dunia ni ya watu sampuli nne.

Hadithi:
َّ)‫َّس همعتََّّرَّسَّولََّّللاَّ(صلىَّللاَّعليهَّوسلم‬:‫عَّنََّّأَّهَّبيَّكََّّبشَّةََّّعَّمَّرََّّبنَّسَّعَّ ٍَّدَّ(رضيَّللاَّعنه)َّقال‬
َّ‫َّعبدٍَّرزقهَّللاَّمال‬:‫َّ((إنماَّالدنياَّألربع هةَّنف ٍر‬:‫ََّّفقال‬،))َّ‫َّ((أحدهثكَّمَّحديثاَّفاحفظوه‬:‫يقول‬
ََّّ.‫از هل‬ ‫َّفهَّذَّاَّهَّبأفض هلَّالمن ه‬،‫َّويعلمَّللهَّفهي ههَّحقًّا‬،َّ‫صلَّفهي ههَّر هحمه‬
‫َّوي ه‬،َّ‫َّفهوَّيت هقيَّفهي ههَّربه‬،‫و هعلَّما‬
َّ‫َّلوَّأنَّهَّليَّمالَّلع هملَّت‬:‫َّيقول‬،‫َّالني هَّة‬ ‫َّفهوَّصادهق ه‬،َّ‫َّولمَّيرزقهَّمال‬،‫وعبدٍَّرزقَّهَّللاَّ هعلما‬
َّ‫َّفهوَّيخَّهَّبط‬،‫َّولمَّيرزقهَّ هعلما‬،َّ‫َّوعبدٍَّرزقهَّللاَّمال‬.‫َّفأجرهماَّسواء‬،َّ‫َّفهوَّبني هت هه‬،‫لن‬ ٍَّ ‫هبعم هلَّف‬
َّ‫َّفهَّذا‬،‫َّولَّيعلمَّللهَّفهي ههَّحقًّا‬،َّ‫صلَّفهي ههَّر هحمه‬ ‫َّولَّي ه‬،َّ‫َّلَّيت هقيَّفهي ههَّربه‬،‫يرَّ هعل ٍَّم‬
‫فهَّيَّما هل ههَّهَّبغ ه‬
َّ‫َّلوَّأنَّ هليَّمالَّلع هملتَّفهي هَّه‬:‫َّفهوَّيقول‬،‫َّوعبدٍَّلمَّيرزقهَّللاَّمالَّولَّ هعلما‬.‫از هل‬ ‫هَّبأخبثهَّالمن ه‬
.‫َّوغيرهما‬،)٢3١/َّ4(َّ‫َّوأحمد‬،)٢3٢٥(َّ‫َّرواهَّالترمذي‬.))َّ‫َّف هوزرهماَّسَّواء‬،َّ‫َّفهوَّب هني هت هه‬،‫ن‬ ٍَّ ‫هَّبعم هلَّفل‬
Abuu Kabsha, Umar bin Sa’ad (‫ )رضيَّللاَّعنه‬amesimulia:
Nilimsikia mtume (‫ )صلىَّللاَّعليهَّوسلم‬anasema: ((nakuhadithieni hadithi basi
ihifadhini)), akasema: ((hakika dunia ni ya watu (sampuli) nne:
1.Mja ambae Allaah amemruzuku mali na elimu, yeye anamcha mola
wake mlezi kwenye (mali) hiyo, na anawaunga ndugu zake kwenye (mali)
hiyo, na anajua kuwa Allaah ana haki kwenye (mali) hiyo, huyu yupo
kwenye nafasi bora zaidi.
2.Na mja ambae Allaah amemruzuku elimu na hajamruzuku mali, yeye
hali ya kuwa ni mkweli wa niya, anasema: lau ningekuwa na mali
ningefanya (kheri) kama anavyofanya fulani, basi yeye (atalipwa) kwa
niya yake, na thawabu zao wawili hao ni sawa.
3.Na mja ambae Allaah amemruzuku mali na hajamruzuku elimu, yeye
anafanya anasa kwenye mali yake bila elimu, hamchi mola wake mlezi
kwenye (mali) hiyo, na hawaungi ndugu zake kwenye (mali) hiyo, na hajui
kuwa Allaah ana haki kwenye (mali) hiyo, huyu yupo kwenye nafasi
mbaya zaidi.
4.Na mja ambae Allaah hajamruzuku mali na hajamruzuku elimu, yeye
anasema: lau ningekuwa na mali ningefanya (anasa) kama anavyofanya
fulani, basi yeye (atalipwa) kwa niya yake, na madhambi yao wawili hao
ni sawa)). [Ameipokea imamu Tirmidhiy, Ahmad na wengineo]

.‫َّتعالىَّأعلم‬
َّ ‫وللا‬
Fasili ya 6: [20]

Fasili ya sita:
Mambo manne ni katika furaha duniani.

Hadithi ya kwanza:
َّ‫َّمن‬
‫َّ((أربع ه‬:)‫َّقالَّرسولَّللاهَّ(صلىَّللاَّعليهَّوسلم‬:َّ‫اصَّ(رضيَّللاَّعنه)َّقال‬
ٍ َّ‫عنََّّسعدهَّبنَّأ هبيَّوق‬
َّ.))‫َّوالمركبَّاله هنيء‬،َّ‫َّوالجارَّالصا هلح‬،َّ‫َّوالمسكنَّالوا هسع‬،َّ‫َّالمرأةَّالصا هلحة‬:‫السعادةه‬
.َّ)١9١4(َّ‫َّوصححهَّاأللبانهيَّفيَّ((صحيحَّالترغيبَّوالترهيب))َّبهرقم‬،)4٠3٢(َّ))‫رواهَّابنَّحه بَّانَّفهيَّ((صحيحه‬
Sa’ad bin Abiy Waqaasw (َّ‫ )رضيَّللاَّعنه‬amesimulia:
Mtume (َّ‫ )صلىَّللاَّعليهَّوسلم‬amesema: ((mambo manne ni katika furaha: mke
mwema, nyumba yenye nafasi kubwa, jirani mwema na kipando kizuri)).
[Ameipokea imamu ibnu Hibbaah]

Hadithi ya Pili:
ََّّ‫َّ((أربعَّإذا‬:‫ال‬
َّ ‫َّأنَّرسولَّللاهَّ(صلىَّللاَّعليهَّوسلم)َّق‬:)‫عنَّعبدهَّللاهَّبنَّعم ٍَّريَّ(رضيَّللاَّعنه‬
ََّّ‫َّو هعفةَّفهي‬،‫ق‬ٍَّ ‫َّوحسنَّخل‬،َّ‫ث‬ ٍ ‫صدَّقَّحدهي‬
‫ََّّو ه‬،َّ‫َّ هحفَّظَّأمان ٍة‬:‫َّمنَّالدنيا‬
‫كنَّفهيكَّفماَّعليكَّماَّفاتك ه‬
.َّ)88٦(َّ‫َّ((صحيحَّالجامعَّالصغيرَّلأللباني))َّبرقم‬:‫َّوينظر‬،)١٧٧/٢(َّ))‫ََّّرواهَّأحمدَّفيَّ((مسنده‬.))‫طعَّم ٍَّة‬
Abdullaah bin Amru (‫ )رضيَّللاَّعنه‬amesimulia:
Mtume (‫ )صلىَّللاَّعليهَّوسلم‬amesema: ((sifa nne ukiwa nazo hakuna (huzuni)
juu yako kwa uliyoyakosa katika dunia: kuhifadhi amana, kusema ukweli,
tabia nzuri, kujiepusha na chakula kilichotokana na chumo la haramu)).
[Ameipokea imamu Ahmad]

Faida za kielimu zinazofungamana na hadithi hizi:


Faida ya kwanza:
Mambo manne ukiwa nayo ni katika furaha hapa duniani:
1.Mke mwema.
2.Nyumba yenye nafasi ya kutosha.
3.Jirani mwema.
4.Kipando kizuri kwa ajili ya safari mbalimbali.
Na mtume (‫ )صلىَّللاَّعليهَّوسلم‬amesema kuhusu mke mwema:
َّ ١4٦٧(َّ‫َّرواهَّمسلهم‬.))‫َّوخيرَّمتاعهَّالدنياَّالمرأةَّالصا هلحة‬،‫((الدَّنياَّمتاع‬
.)
((Dunia ni starehe, na bora ya starehe ya dunia ni mke mwema)).

Na ubainifu wa sifa za mke bora zaidi unakuja kwenye fasili baada ya hii.
Fasili ya 6: [21]

Faida ya Pili:
Sifa nne ukiwa nazo hakuna huzuni kwako kwa uliyoyakosa duniani katika
majumba, magari na mali nyinginezo:
1.Ukiwa ni mwenye kuhifadhi amana za Allaah na amana za waja wake.
2.Ukiwa na tabia ya ukweli kwenye mazungumzo yako.
3.Ukiwa na tabia nzuri unaamiliana na watu kwa tabia nzuri.
4.Ukiwa ni mwenye kujiepusha kutafuta riziki kwa njia za haramu.

Faida ya tatu:
Ubora wa kuhifadhi amana za Allaah na amana za waja wake:
Allaah (‫ )تعالى‬alipoileta amana kwa viumbe wake, wote wakakataa kuibeba,
ispokuwa mwanaadamu kwa udhalimu na ujinga wake akakubali kuibeba,
na dalili juu ya hilo ni kauli yake Allaah (‫ )تعالى‬aliposema:
‫ﲻﲽ ﲾ‬
‫ﲼ‬ ‫ﱡﭐﲮﲯﲰﲱﲲﲳﲴﲵﲶﲷﲸﲹﲺ‬

٧٢َّ:‫ﲿﳀﱠَّاألحزاب‬
{Hakika sisi tuliiweka amana juu ya mbingu na ardhi na milima, vikakataa
kuibeba, na vikaogopa (kuwatokea hiana) kwa (kuibeba) hiyo (amana),
akaibeba mwanaadamu, hakika yeye amekuwa dhalimu (wa nafsi yake
kwa alichokibeba) mwenye ujinga (kwa hilo)} [Al-Ahzaab:72]

Na Allaah (‫ )تعالى‬ametuamrisha kuzifikisha amana za watu kwa wahusika,


na dalili juu ya hilo ni kauli yake Allaah (‫ )تعالى‬aliposema:
٥8َّ:‫ﲶﱠَّالنساء‬
‫ﲷ‬ ‫ﱡﭐﲨﲩﲪﲫﲬﲭﲮﲯﲰﲱﲲﲳﲴﲵ‬
{Hakika Allaah anakuamrisheni kuzifikisha amana kwa wahusika wake,
na mnapohukumu baina ya watu mhukumu kwa uadilifu} [An-Nisaa:58]

1.Ewe ndugu muislamu! ikiwa unamuamini Allaah na siku ya mwisho:


Ukipewa mathalani milioni tano kwa ajili ya mayatima, wafikishie pesa hiyo
yote, usiwafikishie nusu ya pesa hiyo, nusu nyingine unaichukua wewe.

2.Ewe ndugu muislamu! ikiwa unamuamini Allaah na siku ya mwisho:


Ukipewa mathalani milioni hamsini kwa ajili ya kujenga msikiti, kajenge
msikiti wa pesa hiyo yote, usijenge msikiti wa nusu ya pesa hiyo, halafu
nusu nyingine unaichukua wewe unaenda kutumia na familia yako.
Fasili ya 6: [22]

Faida ya nne:
Ubora wa kuwa na tabia ya ukweli:
Moja ya dalili zinazojulisha ubora wa mja kuwa na tabia ya ukweli ni kauli
yake mtume (‫ )صلىَّللاَّعليهَّوسلم‬aliposema:
َّ‫َّوإنَّالرجلَّليصَّدقَّحتىَّيكتب‬،‫َّوإنَّالهَّبرََّّيهَّدهيَّ هإلىَّالجن هَّة‬،‫َّالصدَّقَّيهدهيَّ هإلىَّالهَّب هَّر‬
‫((إن ه‬
َّ‫َّو هإنَّالرجل‬،‫ار‬
َّ‫َّو هإنَّالفجورَّيهَّدهيَّ هإلىَّالن ه‬،‫ور‬
َّ‫َّو هإنَّالكذهبَّيهدهيَّ هإلىَّالفج ه‬،‫هَّصدهيقا‬ ‫هعندَّللا ه‬
.َّ)٢٦٠٧(َّ‫َّومَّسلهم‬،)٦٠94(َّ‫َّالبخاري‬:‫َّمتفقَّعليه‬.))‫عندَّللاَّكذابا‬ ‫ليكذهبَّحتىَّيكتبَّ ه‬
((Hakika ukweli unaongoza kwenye wema, na hakika wema unaongoza
kuelekea peponi, na hakika mtu anasema ukweli hadi anaandikwa kwa
Allaah kuwa yeye ni mkweli.
Na hakika uongo unaongoza kwenye uovu, na hakika uovu unaongoza
kuelekea motoni, na mtu anasema uongo hadi anaandikwa kwa Allaah
kuwa yeye ni muongo)). [Ameipokea imamu Bukhaariy na Muslim]

Faida ya tano:
Ubora wa kuwa na tabia nzuri na kuamiliana na watu kwa tabia nzuri:
Mtume (َّ‫ )صلىَّللاَّعليهَّوسلم‬ametuusia kuamiliana na watu kwa tabia nzuri, na
moja ya dalili juu ya hilo ni kauli yake aliposema:
.َّ)١98٧(‫َّت‬.))‫ن‬
ٍَّ ‫قَّحس‬
ٍ ‫قَّالناسَّ هبخل‬
‫ََّّوخا هل ه‬،‫َّللاَّحيثماَّكنتَّوأتهَّب هعَّالس هيئةَّالحسنةَّتمحها‬
َّ ‫ق‬ ‫((ات ه‬
((Mche Allaah popote ulipo, na (ukifanya) baya fuatishia jema litalifuta,
na amiliana na watu kwa tabia nzuri)). [Ameipokea imamu Tirmidhiy]

Na kuwa na tabia nzuri ni alama ya ukamilifu zaidi wa imani, kwa dalili ya


kauli yake mtume (‫ )صلىَّللاَّعليهَّوسلم‬aliposema:
.)١١٦٢(َّ‫َّوالترمذي‬،)4٦8٢(َّ‫َّرواهَّأبوَّداود‬.))‫((أكملَّالمؤ هم هنينَّإيماناَّأحسنهمَّخلقا‬
((Muumini mkamilifu zaidi wa imani ni yule aliewazidi kwa tabia nzuri)).

Na kuwa na tabia nzuri ni katika mambo yanayoingiza zaidi watu peponi,


kwa dalili ya kauli yake mtume (‫ )صلىَّللاَّعليهَّوسلم‬aliposema:
.ََّّ‫َّوغيره‬،)٢٠٠4(َّ‫ََّّرواهَّالترمذي‬.))‫ق‬
َّ‫((أكثرَّماَّيد هخلَّالجنةَّتقوىََّّللاهَّوحسنَّالخل ه‬
((Yanayoingiza zaidi (watu) peponi ni: kumcha Allaah na tabia nzuri)).

Faida ya sita:
Ubora wa kujiepusha kutafuta riziki kwa njia za haramu:
[Kwenye ukurasa unaofuata baada ya huu]
Fasili ya 6: [23]

Faida ya sita:
Ubora wa kujiepusha kutafuta riziki kwa njia za haramu:
Moja ya dalili zinazojulisha ubora wa kujiepusha kutafuta riziki kwa njia za
haramu ni hadithi hii ifuatayo:
َّ‫َّ هإنََّّللا‬،َّ‫َّ((أيهاََّّالناس‬:)َّ‫َّقالَّرسولََّّللاهََّّ(صلىََّّللاَّعليههَّوسلم‬:‫عنَّأ هبيَّهريرةَّ(ر هضيََّّللاَّعنه)َّقال‬
‫َّﱡﭐ ﲑ‬:‫َّفقالَّتَّعَّالَّى‬،َّ‫َّو هإنََّّللاَّأمرَّالمؤ هم هنينَّ هبماَّأمرَّ هب ههَّالمرس هلين‬،‫ط هيبَّلَّيقبلَّ هإلَّط هيبا‬

‫ ﱡﭐﱭﱮﱯﱰﱱﱲ‬:َّ‫َّوقال‬،)٥١َّ:‫ﲒﲓﲔﲕﲖﲗﲘ ﱠَّ(المؤمنون‬

‫َّيمدَّيدي ههَّ هإلىَّالسم ه‬،َّ‫َّثمَّذكَّرَّالرجلَّي هطيلَّالسفرََّّأشعثَّأغبر‬،)َّ ١٧٢َّ:‫ﱳﱴ ﱠَّ(البقرة‬


َّ:‫اء‬
َّ‫َّفأنى‬،‫ام‬
َّ‫َّوغذهيَّ هبالحر ه‬،َّ‫َّوملبسهَّحرام‬،َّ‫َّومشربهَّحرام‬،َّ‫َّومطعمهَّحرام‬،‫ب‬ َّ‫بَّياَّر ه‬
‫ياَّر ه‬
.َّ)١٠١٥(َّ‫َّرواهَّمسلهم‬.))‫يستجابَّ هلذ هلك؟‬
Abuu Hurayra (‫ )رضيَّللاَّعنه‬amesimulia:
Mtume (َّ‫ )صلىَّللاَّعليهَّوسلم‬amesema: ((Enyi watu! hakika Allaah ni mzuri
hakubali ispokuwa kizuri, na hakika Allaah amewaamrisha mitume yale
aliyowaamrisha waumini, Allaah (‫ )تعالى‬amesema: {Enyi mitume! kuleni
katika vizuri na tendeni mema} [Al-Muuminuun:51], na amesema: {Enyi
mlioamini! kuleni katika vizuri tulivyowaruzuku} [Al-Baqara:172].
Kisha akamtaja mtu anaesafiri safari ndefu, mwenye nywele matimtimu
mwenye vumbi nguoni (kutokana na safari hiyo), ananyanyua mikono
yake kuelekea mbinguni (anaomba): Yaa rabbiy! Yaa rabbiy! na hali ya
kuwa chakula chake (amekipata kwa njia ya) haramu, na kinywaji chake
haramu, na nguo zake haramu, na amekuzwa kwa lishe ya haramu, basi
vipi atajibiwa (dua yake) kwa (hali) hiyo)). [Ameipokea imamu Muslim]

.‫َّتعالىَّأعلم‬
َّ ‫وللا‬
Fasili ya 7: [24]

Fasili ya saba:
Sifa nne za mke bora zaidi.

Allaah (َّ‫ )تعالى‬amesema:


‫ﱡﭐ ﱁ ﱂ ﱃ ﱄ ﱅ ﱆ ﱇ ﱈ ﱉ ﱊ ﱋ ﱌ ﱍ ﱎ ﱏ ﱐ ﱑ ﱒ ﱓ ﱔ‬
‫ﱢﱤﱥ‬
‫ﱕ ﱖ ﱗ ﱘ ﱙﱚ ﱛﱜ ﱝﱞ ﱟﱠ ﱡ ﱣ‬
١٢َّ:‫ﱦﱧ ﱠَّالممتحنة‬
{Ewe nabii! watakapokujia wanawake waumini (waliotoka kwenye ukafiri
wameingia kwenye uislamu) wanakupa ahadi ya utii juu ya kwamba:
hawatomshirikisha Allaah kwa chochote, na hawatoiba, na hawatozini,
na hawatoua watoto wao (baada ya kuwazaa au kwa kutoa mimba), na
hawatoleta uzushi wa kuwabambikia waume zao watoto wasiokuwa
wao, na hawatokuasi kwenye mambo mema (unayowaamrisha), basi
pokea ahadi yao ya utii na waombee msamaha kwa Allaah, hakika Allaah
ni mwingi wa kusamehe mwenye kurehemu} [Al-Mumtahina:12]

Hadithi:
َّ‫َّ((َّخيرَّ هنسا هئكم‬:‫َّأنَّرسولَّللاهَّ(صلىَّللاَّعليهَّوسلم)َّقال‬:)‫عنَّأ هبيَّأذينةََّّالصدفهيَّ(رضيَّللاَّعنه‬
َّ 8٢/٧(َّ))‫َّأخرجهَّالبيهقهيَّفيَّ((سننَّالكبَّرى‬.))َّ‫سيةَّ؛َّإذاَّاتقينَّللا‬
َّ،) َّ‫َّالموا ه‬،َّ‫َّالموا هتية‬،َّ‫الودودَّالولود‬
.)١849(َّ‫وصحَّحهَّاأللبانيَّفيَّ((سلسلةَّاألحاديثَّالصحيحة))َّبرقم‬
Abuu Udhayna As-Swadafiy (‫ )رضيَّللاَّعنه‬amesimulia:
Mtume (َّ‫ )صلىَّللاَّعليهَّوسلم‬amesema: ((wabora zaidi katika wake zenu ni [wale
wenye sifa hizi])):
1.Al-waduud (wenye kujipendezesha kwa waume zao),
2.Al-waluud (wenye kuzaa watoto wengi),
3.Al-muwaatiya (wenye kuwasikiliza na kuwatii waume zao kwenye
mambo yasiyokuwa ya haramu),
4.Al-muwaasiya (wenye kuwasaidia waume zao mambo ya kheri); ikiwa
(wanawake hao) wanamcha Allaah)). [Ameipokea imamu Bayhaqiy]

Faida za kielimu zinazofungamana na aaya na hadithi hizi:


Ubainifu wa sifa nne za mke bora zaidi:
[Kwenye ukurasa unaofuata baada ya huu]
Fasili ya 7: [25]

Faida za kielimu zinazofungamana na aaya na hadithi hizi:


Ubainifu wa sifa nne za mke mbora zaidi:
1.Al-waduud (mwenye kujipendezesha kwa mumewe):
Mke kujipendezesha kwa mumewe kupo kwa namna nyingi, ikiwemo:
(i)Kujiweka maridadi kwa mapambo yasiyokuwa ya haramu, nguo nadhifu,
kujiepusha na harufu mbaya, na mfano wa hayo.
(ii)Kumpa mumewe maneno mazuri na kuongea nae kwa adabu na hekima.
(iii)Kujitahidi kwa kadiri ya uwezo kumfanyia mumewe mambo mbalimbali
yasiyokuwa ya haramu yanayopelekea mumewe ampenda zaidi.

2.Al-waluud (mwenye kuzaa watoto wengi):


Pia anaingia kwenye sifa hii mwanamke ambae Allaah ampe mtihani wa
kushindwa kushika mimba au akishika mimba haifiki mwisho inaharibika,
ikiwa mwanamke huyo ana niya ya kwamba lau kama Allaah asingempa
mtihani huo basi na yeye angezaa watoto wengi.
Na moja ya dalili juu ya hilo ni kauli yake mtume (َّ‫ )صلىَّللاَّعليهَّوسلم‬aliposema
kuwaambia maswahaba zake walipoenda kupigana jihadi huko Tabuuk:
َّ،َّ‫َّإلَّكانواَّمعكَّمَّحبسهمَّالمرض‬،‫َّولَّقطعتمَّوادهيا‬،‫((إهنَّهَّبالمَّدهين هةَّل هرجالَّمَّاَّ هسرتمَّم هسيرا‬
َّ ١9١١(َّ‫َّومسلم‬،)٢839(َّ‫َّالبخاري‬:‫َّمتفقَّعليه‬.))‫ر‬
.) َّ‫ش هَّركوكمَّفهَّيَّاألج ه‬
((Hakika huko Madinah kuna watu wamebaki, nyinyi hamjaenda mwendo
wowote na hamjavuka bonde lolote ispokuwa walikuwa pamoja na nyinyi
wamezuiwa na maradhi, wamepata thawabu kama mlizopata nyinyi)).
[Ameipokea imamu Bukhaariy na Muslim]

Ama yule mwanamke ambae Allaah amemjaalia uwezo wa kushika mimba


lakini anajizuia kuzaa kwa kufuata fikra na sera ya kimagharibi ya kuwa na
mtoto mmoja au watoto wawili, mwanamke huyo haingii kwenye sifa hii.

3.Al-muwaatiya (mwenye kumsikiliza na kumtii mumewe kwenye mambo


yasiyokuwa ya haramu anayomwamrisha au anayomwelekeza ayafanye).

4.Al-muwaasiya (mwenye kumsaidia mumewe mambo mbalimbli ya kheri):


Mfano: kumshauri au kumhimiza mumewe afanye jambo fulani la kheri.

.‫َّتعالىَّأعلم‬
َّ ‫وللا‬
Fasisli ya 8: [26]

Fasili ya nane:
Ubora wa muislamu tajiri aliechuma mali kwa njia ya halali
mwenye kutoa sehemu ya mali yake katika njia ya Allaah.

Hadithi:
َّ‫اج هرَّينَّأتواَّرَّسَّولََّّ ه‬
َّ)‫للاَّ(صلىَّللاَّعليهَّوسلم‬ ‫َّأنَّفقرَّاءَّالمه ه‬:)‫عَّنََّّأهَّبيَّهَّرَّيرََّّةَّ(رضيَّللاَّعنه‬
ََّّ:‫َّ((َّوماَّذاك؟))َّفقالَّوا‬:‫َّفقال‬،‫يم‬ َّ‫َّوالن هع هيمََّّالمهَّق ه‬،‫ورَّ هبالدرجاتهَّالعلى‬ ‫َّذهبَّأهلَّالدث ه‬:‫فقالوا‬
َّ‫َّويع هتقونَّول‬،َّ‫َّويتصدقونَّولَّنتصدق‬،َّ‫َّويصومونَّكماَّنصوم‬،‫يصلونَّكماَّنص هلي‬
َّ،َّ‫َّ((أفلََّّأع هلمكمَّشيئاَّتد هركونَّ هب ههَّمنَّسبقكم‬:)‫للاَّ(َّصلىَّللاَّعليهَّوسلم‬ َّ‫َّفقالَّرَّسَّولََّّ ه‬،َّ‫نع هتق‬
َّ،))‫َّمثلَّماَّصنعتم؟‬ ‫َّمنكمَّإهلَّمنَّصنع ه‬ ‫َّولَّيكونَّأحدَّأفضل ه‬،َّ‫وتس هبقونَّ هب ههَّمنَّبعدكم‬
ََّّ‫َّ((تس هبحونََّّوتحمَّدونََّّوتك هبرونَّدبرَّك هلَّصلةٍَّثلثا‬:‫َّقال‬،‫للا‬ َّ‫َّبلىَّياَّرَّسَّولََّّ ه‬:‫قالَّوا‬
َّ‫َّس همع‬:‫للاَّ(صلىَّللاَّعليهَّوسلم)َّفَّقَّالَّوا‬ َّ‫لَّ ه‬َّ‫اج هرينَّإهلَّىَّرَّسَّو ه‬
‫َّفرجعَّفقراءََّّالمه ه‬.))َّ‫وثل هثينَّمرة‬
َّ‫َّ((ذ هلك‬:)‫للاَّ(صلىَّللاَّعليهَّوسلم‬ َّ‫واَّمَّثله؟َّفقالَّرَّسَّولََّّ ه‬ ‫َّففعل ه‬،‫إخوانناَّأهلَّاألم َّوا هلَّ هبماَّفعلنا‬
.َّ)َّ ٥9٥(َّ‫َّومسلهم‬،)٦3٢9(َّ‫َّالبخاري‬:‫َّمتفقَّعليه‬.))َّ‫فضلَّللاهَّيؤ هتي ههَّمنَّيشاء‬
Abuu Hurayra (َّ‫ )رضيَّللاَّعنه‬amesimulia:
Mafukara muhajirina walimwendea mtume (‫ )صلىَّللاَّعليهَّوسلم‬wakamwambia:
‘’Wenye mali nyingi wamepata daraja za juu na neema za milele.’’ Akauliza:
((kivipi hilo?)) Wakajibu: ‘’wanaswali kama tunavyoswali, na wanafunga
kama tunavyofunga, na wanatoa sadaka hatutoi sadaka, na wanaacha
huru watumwa hatuachi huru watumwa.’’ Mtume (‫ )صلىَّللاَّعليهَّوسلم‬akasema:
((je, nikufundisheni kitu mtamdiriki kwa (kitu) hicho aliewatangulia, na
mtamtangulia kwa (kitu) hicho alie baada yenu, na hawi mbora kuliko
nyinyi yeyote ila aliefanya kama mlivyofanya?)) Wakajibu: ‘’tujulishe ewe
mjumbe wa Allaah!’’ Akasema: ((muwe mnasabihi (mnasema subhaana
Allaah) na mnahimidi (mnasema alhamdulillaah) na mnakabiri (mnasema
Allaahu akbar) baada ya kumaliza kila swalaa mara thelathini na tatu)).
Mafukara muhajirina wakarudi kwa mtume (‫ )صلىَّللاَّعليهَّوسلم‬wakamwambia:
‘’ndugu zetu wenye mali wamesikia tulichofanya na wao wamefanya vile
vile.’’ Mtume (‫ )صلىَّللاَّعليهَّوسلم‬akawaambia: ((hiyo ni fadhila ya Allaah
humpa amtakae)). [Ameipokea imamu Bukhaariy na Muslim]

.‫َّتعالىَّأعلم‬
َّ ‫وللا‬
Fasili ya 9: [27]

Fasili ya tisa:
Namna mtume wetu alivyokuwa anaipa mgongo dunia.

Hadithi ya kwanza:
َّ،‫ي هَّ(صلىَّللاَّعليهَّوسلم)َّفهَّيَّحرةٍَّ هبالمدهين هَّة‬ َّ ‫َّكنتَّأم هشيَّمعَّالنهَّب‬:َّ‫عَّنََّّأهَّبيَّذَّ ٍَّرَّ(رضيَّللاَّعنه)ََّّقال‬
ََّّ‫َّ((ماَّيسر هنيَّأنَّ هعندهي‬:َّ‫َّفَّقَّال‬،‫للا‬ َّ‫َّلبيكَّياَّرَّسَّولَّ ه‬:َّ‫َّ((َّياَّأباَّذ ٍَّر))َّقَّلَّت‬:َّ‫َّفَّقَّال‬،َّ‫فاستقبلناَّأحد‬
ََّّ‫َّ هإل‬،‫ن‬
ٍَّ ‫َّ هإلَّشَّيءَّأرصدهَّ هلدي‬،َّ‫هيَّمنهَّدهينار‬ ‫ضيَّعليَّثلثةَّأي ٍامَّو هعند ه‬ َّ‫همثلَّأحدٍَّهذاَّذهباَّتم ه‬
َّ‫َّثمَّمشى‬،‫َّوعَّنََّّ هشما هل ههَّو همنَّخل هف هَّه‬ َّ‫أنَّأقولَّ هب ههَّفهَّيَّ هعبادهَّ ه‬
َّ ‫للاَّهَّكَّذَّاَّوهكذاَّوهَّكذا))َّعَّنََّّي همي هن هه‬
ََّّ‫َّ((إنَّاألكث هَّرينَّهمَّاألقلونَّيومَّال هقيام هةَّإهلَّمنَّقالَّبالما هلَّهَّكذاَّوهَّكذاَّوهَّكذا))َّعَّن‬:َّ‫فقال‬
.)3٢(َّ‫َّومسلم‬،)٦444(َّ‫َّالبخاري‬:‫ََّّمتفقَّعليه‬.َّ))َّ‫َّ((َّوق هليلَّماَّهم‬،‫منَّخل هف هَّه‬
َّ‫َّوعَّنََّّ هشما هل ههَّوَّ ه‬
َّ ‫َّي همَّي هن هه‬
Abuu Dharr Al-Ghufaariy (‫ )رضيَّللاَّعنه‬amesimulia:
Nilikuwa natembea pamoja na mtume (‫ )صلىَّللاَّعليهَّوسلم‬kwenye ardhi yenye
mawe meusi Madinah, mlima wa Uhud ukawa umetuelekea, akasema:
((Ewe Abuu Dharr!)) Nikamwitikia: ‘’Labaika ewe mjumbe wa Allaah!’’
Akasema: ((Sipendelei niwe na dhahabu mfano wa mlima wa Uhud huu
nipitiwe na siku tatu hali ya kuwa kwangu kuna dinari moja katika (mali)
hiyo, ispokuwa kitu nakihifadhi kwa ajili ya (kulipa) deni, ispokuwa niwe
naitoa (mali) hiyo kwa waja wa Allaah hivi na hivi na hivi)), akaashiria
kulia kwake na kushoto kwake na nyuma yake, kisha akatembea halafu
akasema: ((hakika wenye mali nyingi zaidi (hapa duniani) hao ndio
watakaokuwa wenye thawabu chache zaidi siku ya Qiyama, ispokuwa
atakaetoa mali hivi na hivi na hivi)), akaashiria kulia kwake na kushoto
kwake na nyuma yake, ((na ni wachache hao)).
[Ameipokea imamu Bukhaariy na Muslim]

Hadithi ya Pili:
َّ‫َّ((ليسَّال هغنىَّعنََّّكَّثر هة‬:‫ي هَّ(صلىَّللاَّعليهَّوسلم)َّقال‬
َّ ‫النهَّب‬
َّ َّ‫ن‬
َّ‫َّعَّ ه‬،)‫عَّنََّّأهَّبيَّهَّرََّّيرََّّةَّ(رضيَّللاَّعنه‬
َّ ١٠٥١(َّ‫َّومسلم‬،)٦44٦(َّ‫َّالبخاري‬:‫َّمتفقَّعليه‬.))‫س‬
.) َّ ‫َّولَّ هكنَّال هغنىَّ هغنىَّالنف ه‬،‫ض‬ َّ ‫العر ه‬
Abuu Hurayra (َّ‫ )رضيَّللاَّعنه‬amesimulia:
Mtume (َّ‫ )صلىَّللاَّعليهَّوسلم‬amesema: ((utajiri siyo kuwa na assets (mali) nyingi,
lakini utajiri ni utajiri wa nafsi)). [Ameipokea imamu Bukhaariy na Muslim]

Hadithi ya tatu:
[Kwenye ukurasa unaofuata baada ya huu]
Fasili ya 9: [28]

Hadithi ya tatu:
َّ‫َّفإذ َّا‬،)‫َّدخلتَّعلىَّرسولَّللاهَّ(صلىَّللاَّعليهَّوسلم‬:‫بَّ(رضيَّللاَّعنه)َّقال‬ ‫عنََّّعمرَّبنَّالخطا ه‬
َّ،َّ‫َّفجلست‬،‫َّالرمالَّ هبجن هب هَّه‬
‫َّقدَّأثر ه‬،َّ‫يرَّليسَّبينهَّوبينهَّفهراش‬ ٍ ‫ص‬
‫ىَّرما هلَّح ه‬ ‫هوَّمضط هجعَّعل ه‬
ََّّ‫َّيا‬:‫َّفقلت‬،‫ث‬ ٍَّ ‫َّفوللاهَّماَّرأيتَّفهي ههَّشيئاَّيردََّّالبصرَّغيرَّأهبةٍَّثل‬،‫ثمَّرفعتَّبص هريَّفهيَّبي هت هَّه‬
َّ،‫ارسَّوالرومَّو هسعَّعلي ههمَّوأعطواَّالدنيا‬ ‫َّفإنَّف ه‬،َّ‫َّادعَّللاَّفليو هسعََّّعلىَّأم هتك‬:‫رسولَّللاه‬
َّ‫ب؟َّأول هئكَّقومَّع هجلت‬ ‫َّ((أوفهيَّش ٍكَّياَّابنَّالخطا ه‬:‫َّوكانَّمت هكئاَّفقال‬،‫َّللا‬ َّ ‫وهمَّلَّيعبدون‬
.)
َّ ١4٧9(َّ‫َّومسلم‬،)٢4٦8(َّ‫خاري‬
َّ ‫َّالب‬:‫َّمتفقَّعليه‬.))‫لهمَّط هيطاتَّممَّفهيَّالحياةهَّالدنيا‬
Abuu Hafsw, Umar bin Al-Khattwaab (‫ )رضيَّللاَّعنه‬amesimulia:
Niliingia kwa mtume (‫ )صلىَّللاَّعليهَّوسلم‬nikamkuta amejilaza juu ya jamvi
lililosukwa kwa ukindu wa mitende na hakukuwa na godoro baina yake
na jamvi hilo, likaacha athari jamvi hilo ubavuni mwake, nikaketi, kisha
nikainua macho yangu ndani ya nyumba yake, basi wallaahi sijaona ndani
kwake kitu chochote cha kuyafanya macho yarudie kutazama, nikasema:
‘’Ewe mjumbe wa Allaah! muombe Allaah aukunjulie mali umati wako,
hakika wafarisi na warumi wamekunjuliwa mali na wamepewa dunia, na
wao hawamuabudu Allaah.’’ Alikuwa ameegemea, akasema: ((una shaka
ewe mwana wa Al-Khattwaab? hao ni watu walioharakishiwa vizuri vyao
kwenye maisha ya dunia)). [Ameipokea imamu Bukhaariy na Muslim]

Hadithi ya nne:
َّ،َّ‫ير‬
ٍ ‫ص‬ َّ‫َّنامَّرَّسَّولََّّ ه‬:‫للاَّبنَّمَّسَّعَّو ٍَّدَّ(َّرضيَّللاَّعنه)َّقال‬
َّ‫للاَّ(صلىَّللاَّعليهَّوسلم)َّعلىَّح ه‬ َّ‫عَّنََّّعََّّب هَّدَّ ه‬
َّ‫َّما‬،‫َّ((ماَّ هليَّو هللدنيا‬:‫َّفقال‬،َّ‫َّلوَّاتخذناَّلكَّ هوطاء‬،‫للا‬ َّ‫َّياَّرسولَّ ه‬:‫َّقلنا‬،‫فقامَّوقدَّأثرَّفيَّجن هب هَّه‬
.‫َّوغيره‬،)٢3٧٧(َّ‫َّرواهَّالترمذي‬.))‫بَّاستظلَّتحتَّشجرةٍَّثمَّراحَّوتركها‬
ٍ ‫أناَّفهَّيَّالدنياَّ هإلََّّكرا هك‬
Abdullaah bin Mas’uud (َّ‫ )رضيَّللاَّعنه‬amesimulia:
Mtume (َّ‫َّ)صلىَّللاَّعليهَّوسلم‬alilala juu ya jamvi, akainuka likaacha athari ubavuni
mwake, tukasema: ‘’Ewe mjumbe wa Allaah! lau tungekutengenezea
godoro (unakuwa unajipumzisha juu ya godoro hilo ingekuwa vizuri zaidi).’’
Akasema: ((mimi sina mshikamano na dunia na dunia haina mshikamano
na mimi, mimi sipo kwenye dunia ispokuwa kama msafiri aliefuata kivuli
chini ya mti kisha anaondoka zake na anauacha mti huo)).
[Ameipokea imamu Tirmidhiy, ibnu Maajah, Ahmad na wengineo]

.‫َّتعالىَّأعلم‬
َّ ‫وللا‬
Fasili ya 10: [29]

Fasili ya kumi:
Kipimo cha waumini wasomi juu ya mbora katika watu, na
kipimo cha wasiokuwa wasomi juu ya mbora katika watu.

Allaah (‫ )تعالى‬amesema:
١3:‫ﱵﱠَّالحجرات‬
‫ﱶ‬ ‫ﱯ ﱱﱲ ﱳ ﱴ‬
‫ﱰ‬ ‫ﱡﭐ ﱥ ﱦ ﱧ ﱨ ﱩ ﱪ ﱫ ﱬ ﱭ ﱮ‬
{Enyi mlioamini! hakika sisi tumekuumbeni kutokana na mwanaume na
mwanamke, na tumekujaalieni mataifa na makabila ili mjuane, hakika
mbora zaidi kwa Allaah kati yenu ni aliemchamungu zaidi} [49:13]

Pia Allaah (‫ )تعالى‬amesema:


٢8َّ:‫ﲲ ﲴﲵﲶﲷﱠَّفاطر‬
‫ﲳ‬ ‫ﱡﭐ ﲬ ﲭ ﲮ ﲯ ﲰ ﲱ‬
{Hakika wanaomwogopa Allaah katika waja wake wenye elimu} [35:28]

Pia Allaah (‫ )تعالى‬amesema:


٧٧َّ:‫ﱡﭐﱛﱜﱝﱞﱟﱠﱡﱢﱣﱤﱥﱠَّالكهف‬
{Kisha (nabii Mussa na mja mwema) wakaondoka hadi wakawafikia watu
wa mji, wawili hao wakaomba chakula kwa watu wa mji huo, (watu wa
mji huo) wakakataa kuwapokea ugeni wawili hao} [18:77]

Pia Allaah (‫ )تعالى‬amesema:


‫ﲅ ﲇ ﲈ ﲉ ﲊﲋﲌ‬
‫ﲆ‬ ‫ﱡﭐ ﱼ ﱽ ﱾ ﱿ ﲀ ﲁ ﲂ ﲃ ﲄ‬

‫ﲕﲗ ﲘ ﲙ ﲚ ﲛ ﲜ ﲝ‬
‫ﲖ‬ ‫ﲍ ﲎ ﲏ ﲐﲑ ﲒ ﲓ ﲔ‬

٢4٧َّ:‫ﲦﲨﲩﲪﱠَّالبقرة‬
‫ﲧ‬ ‫ﲠﲢ ﲣ ﲤ ﲥ‬
‫ﲡ‬ ‫ﲞﲟ‬
{Na nabii wao (aliekuja baada ya nabii Mussa) akawaambia: hakika Allaah
amekuteulieni Twaaluuta kuwa mfalme, wakasema: kivipi anakuwa na
ufalme juu yetu hali ya kuwa sisi tuna haki zaidi ya kupata ufalme kuliko
yeye, na hali ya kuwa yeye hajakunjuliwa mali? Akasema: hakika Allaah
amemchagua juu yenu na amemzidishia ziada kwenye elimu na mwili, na
Allaah anampa ufalme wake amtakae, na Allaah ni mwingi wa ukarimu
mwenye kujua} [2:247]
Fasili ya 10: [30]

Hadithi ya kwanza:
ََّّ‫َّ((لمَّيتكلمَّفهَّيَّالمهدهَّإل‬:‫ي هَّ(صلىَّللاَّعليهَّوسلم)َّقال‬ َّ ‫نَّالنهَّب‬
َّ‫َّعَّ ه‬،)‫عَّنََّّأهَّبيَّهَّرََّّيرََّّةَّ(رضيَّللاَّعنه‬
َّ‫َّمنَّأ هم ههَّفمرَّرجلَّرا هكب‬ َّ‫يَّيرضع ه‬ ٌّ ‫َّوبيناَّص هب‬،َّ‫ج‬
ٍ ‫احبَّجري‬ ‫َّوص ه‬،َّ‫َّ هعيسىَّابنَّمريم‬:‫ثلثة‬
َّ‫َّفتركَّالثديَّوأقبل‬،‫يَّمثلَّهذا‬ ‫لَّاب هن ه‬
َّ‫َّاللهمَّاجع ه‬:‫َّفقالتَّأمه‬،‫ارهةٍَّوشارةٍَّحسن ٍَّة‬ ‫علىَّدابةٍَّف ه‬
ََّّ‫َّومروا‬،َّ‫ضع‬ ‫َّثمَّأقبلَّعلىَّثديهَّفجعلَّيرت ه‬،َّ‫يَّمثله‬ ‫َّاللهمَّلَّتجعل هن ه‬:‫َّفقال‬،‫هإلي هَّهَّفنظرَّ هإلي هَّه‬
َّ،َّ‫َّحس هبيَّللاَّو هنعمَّالو هكيل‬:‫َّو ههيَّتقول‬،‫ت‬ َّ‫َّزنيتهَّسرق ه‬:‫َّويقولون‬،‫اريةٍَّوهمََّّيض هربونها‬ ‫هبج ه‬
ََّّ‫َّاللهمَّاجعل هني‬:‫َّفقال‬،‫َّفترَّكَّالرضاعَّونظرَّإهليها‬،‫يَّمثلها‬ ‫َّاللهمَّلَّتجع هلََّّاب هن ه‬:َّ‫فقالتَّأمه‬
ََّّ‫لَّاب هني‬
َّ‫َّاللهمَّاجع ه‬:‫َّفقلت‬،‫َّمرَّرجلَّحسنَّالهيئ هَّة‬:‫َّفقالت‬،َّ‫َّفهناكَّتراجعاَّالحديث‬،‫مثلها‬
ََّّ‫َّزنيته‬:‫َّومرواَّبه هذههَّاألم هةَّوهمَّيض هربونهاَّويقولون‬،َّ‫يَّمثله‬ ‫َّاللهمَّلَّتجعل هن ه‬:‫َّفقلت‬،َّ‫همثله‬
ََّّ‫َّإنَّذَّاكََّّالرجل‬:‫َّقال‬،‫يَّمثلها‬ ‫َّاللهمَّاجعل هن ه‬:‫َّفقلت‬،‫يَّمثلها‬ ‫َّاللهمَّلَّتجع هلَّاب هن ه‬:‫َّفقلت‬،‫ت‬ َّ‫سرق ه‬
َّ‫َّولم‬،‫ت‬ َّ‫َّولمَّتز هنَّوسرَّق ه‬،‫ت‬َّ‫َّزني ه‬:‫َّوإنَّه هذههَّيقولون‬،َّ‫يَّمثله‬ ‫َّاللهمَّلَّتجعل هن ه‬:‫َّفقلت‬،‫كانَّجبارا‬
َّ ٢٥٥٠(َّ‫َّومسلم‬،)343٦(َّ‫َّالبخاري‬:‫َّمتفقَّعليه‬.))‫يَّمثلها‬
.) ‫َّاللهمَّاجعل هن ه‬:‫َّفقلت‬،َّ‫تس هرق‬
Abuu Hurayra (‫ )رضيَّللاَّعنه‬amesimulia:
Mtume (َّ‫ )صلىَّللاَّعليهَّوسلم‬amesema: ((hawakuzungumza hali ya kuwa ni
watoto wachanga ispokuwa watatu:
1.Nabii Issa bin Maryam (‫)عليهَّالسلم‬,
2.Mtoto mchanga aliemtolea ushahidi mwanaume mfanya ibada
anaeitwa Jurayj kuwa hajazini: watu wake walipomtuhumu kuwa amezini
na kumbebesha mimba mwanamke kahaba wa Baniy Israaiyl.
3.Na (mtoto wa tatu kisa chake ni hiki:) pindi mtoto alipokuwa ananyonya
kwa mama yake, akapita mwanaume aliempanda mnyama madhubuti
alievaa mavazi mazuri, mama yake akasema: Allaahumma! mjaalie
mwanangu awe kama mwanaume huyu, mtoto akaacha ziwa, akageuka
akamtazama mwanaume huyo kisha akasema: Allaahumma! usinijaalie
kuwa kama huyu, kisha akalielekea ziwa akaendelea kunyonya.
Wakapita watu na mwanamke mjakazi, wanampiga mwanamke huyo na
wanasema: umezini umeiba, na yeye (mwanamke huyo) anasema:
Hasbiya-llaahu wani’ima-lwakiyl. Mama yake akasema: Allaahumma!
usimjaalie mwanangu kuwa kama mwanamke huyu, mtoto akaacha
kunyonya akamtazama mwanamke huyo kisha akasema: Allaahumma!
nijaalie niwe kama huyu. Hapo wawili hao wakaanza kujadiliana, mama
akasema: amepita mwanaume mwenye mwonekano mzuri, nikasema:
Allaahumma! mjaalie mwanangu awe kama mwanaume huyu, wewe
ukasema: Allaahumma! usinijaalie kuwa kama huyu, na wamepita na
Fasili ya 10: [31]

huyu mwanamke mjakazi wanampiga na wanasema: umezini umeiba,


nikasema: Allaahumma! usimjaalie mwanangu kuwa kama mwanamke
huyu, wewe ukasema: Allaahumma! nijaalie niwe kama huyu?!
Mtoto akasema: hakika yule mwanaume alikuwa fedhuli (mwenye kibri
na kujiona), nikasema: Allaahumma! usinijaalie kuwa kama mwanaume
huyo. Na hakika huyu mwanamke wanaemwambia: umezini umeiba,
hajazini na hajaiba, nikasema: Allaahumma! nijaalie niwe (mwenye
kusalimika na madhambi) kama (alivyosalimika) mwanamke huyu.
[Ameipokea imamu Bukhaariy na Muslim]

Hadithi ya Pili:
َّ‫َّمرَّرجلََّّعلىَّرسو هلَّ ه‬:َّ‫لَّبنَّسَّعَّ ٍَّدَّالسَّا هعدهيهَّ(رضيَّللاَّعنه)َّقال‬
َّ‫للا‬ َّ‫اسَّسَّهَّ ه‬
َّ ٍ ‫عَّنََّّأ هبيَّالعب‬
َّ‫َّمن‬
‫َّرجل ه‬:‫َّفقال‬،))‫ََّّ((َّماَّرأيكَّفهَّيَّهذا؟‬:‫َّفقالَّهَّلرج ٍلَّ هعندهَّجا هلس‬،)‫(صلىَّللاَّعليهَّوسلم‬
َّ‫َّفسكتَّرَّسَّولَّ ه‬،َّ‫َّيشفع‬
َّ‫للا‬ َّ ‫َّوإنَّشفعَّأن‬،َّ‫يَّإنَّخطبَّأنَّينكح‬ ٌّ ‫اَّوللاهَّح هر‬
َّ ‫َّهذ‬،‫اس‬ َّ ‫افَّالن ه‬
‫أشر ه‬
ََّّ‫َّ((ماَّرأيكَّفهَّي‬:)‫للاَّ(صلىَّللاَّعليهَّوسلم‬ َّ‫َّفقالَّلهَّرَّسَّولَّ ه‬،َّ‫َّثمَّمرَّرجلَّآَّخر‬،)‫(صلىَّللاَّعليهَّوسلم‬
ََّّ‫يَّإنَّخطبَّأنَّل‬ ٌّ ‫َّهذاَّح هر‬،َّ‫اءَّالمس هل همين‬ ‫َّمنَّفقرَّ ه‬
‫َّهذاَّرجل ه‬،‫للا‬ َّ‫َّياَّرسولَّ ه‬:‫َّفقال‬،))‫هذا؟‬
َّ‫صلىَّللاَّعليه‬
َّ َّ‫َّفقالَّرسولََّّ ه‬،‫َّوإنَّقالَّأنَّلَّيسمعَّهَّلقو هل هَّه‬،َّ‫َّوإنَّشفعَّأنَّلََّّيشفع‬،َّ‫ينكح‬
َّ(َّ‫للا‬
َّ ٦44٧(َّ‫َّرواهَّالبخاري‬.))‫َّمثلَّهذا‬
.) ‫ض ه‬ ‫َّملَّ هءَّاألر ه‬ ‫َّمن ه‬ ‫َّ((هذاَّخير ه‬:)‫وسلم‬
Abul-Abbaas, Sahl ni Sa’ad (‫ )رضيَّللاَّعنه‬amesimulia:
Alipita mwanaume kwa mtume (‫)صلىَّللاَّعليهَّوسلم‬, akamuuliza mwanaume
aliekuwa ameketi pamoja nae: ((nini maoni yako kuhusu huyu?)), akajibu:
‘’Huyu ni mwanaume katika watu watukufu, huyu wallaahi anastahiki
akiposa aozeshwe, na akiombea akubaliwe.’’ Mtume (‫)صلىَّللاَّعليهَّوسلم‬
akanyamaza. Kisha akapita mwanaume mwingine, mtume (‫)صلىَّللاَّعليهَّوسلم‬
akamuuliza tena: ((nini maoni yako kuhusu mtu huyu?)), akajibu: ‘’Ewe
mjumbe wa Allaah! huyu ni mwanaume katika mafukara waislamu, huyu
anastahiki akiposa asiozeshwe, na akiombea asikubaliwe, na akisema kauli
yake isisikilizwe.’’ Mtume (‫ )صلىَّللاَّعليهَّوسلم‬akasema: ((huyu (wa pili) ni bora
kuliko ujazo wa ardhi mfano wa huyu)). [Ameipokea imamu Bukhaariy]

Faida za kielimu zinazofungamana na aaya na hadithi hizi:


Faida ya kwanza:
Kipimo cha waumini wasomi juu ya mbora katika watu:
[Kwenye ukurasa unaofuata baada ya huu]
Fasili ya 10: [32]

Faida ya kwanza:
Kipimo cha waumini wasomi juu ya mbora katika watu:
Kipimo cha waumini wasomi juu ya mbora katika watu ni mambo mawili:
1.Uchamungu: mja anaejitahidi zaidi kutekeleza maamrisho ya Allaah na
kujiepusha na makatazo yake, mwenye istiqama juu ya kumtii Allaah, na
mkweli kwenye kauli zake, mwenye ikhlaaswi kwenye matendo yake, bila
shaka mja huyo ni mbora zaidi.
2.Kuwa na elimu ya dini na kuifanyia kazi elimu kwa muktadha wake.

Na dalili juu ya hilo ni hizo aaya na hadithi nilizozitanguliza mwanzoni mwa


fasili hii, na dalili nyingine iliyojumuisha yote hayo niliyoyataja hapo juu ni
hadithi hii ifuatayo:
َّ،))َّ‫َّ((أتقاهم‬:‫اسَّ؟َّقال‬ َّ‫َّياَّرَّسَّولَّ ه‬:‫َّقهيل‬:‫عَّنََّّأهَّبيَّهَّرََّّيرَّةَّ(رضيَّللاَّعنه)َّقال‬
‫َّمنَّأكَّرَّمَّالن ه‬،‫للا‬
َّ‫َّخهَّلَّي هل‬
َّ ‫هَّابن‬
‫هَّابنَّنبيهَّللا ه‬
‫َّ((فيوسفَّن هبيَّللاهَّابنَّن هبيهَّللا ه‬:‫َّقال‬،َّ‫َّليسَّعَّنََّّهذاَّنسَّألك‬:‫قَّالَّوا‬
َّ‫ي؟َّخيارهمَّفهَّي‬
‫ه‬ ‫بَّتسألَّوهَّن‬
‫َّ((فعنَّمعاد ههنَّالعر ه‬:‫َّقال‬،َّ‫َّليسَّعَّنََّّهذاَّنسَّألك‬:‫َّقالوا‬،))‫للا‬ َّ‫ه‬
َّ ٢3٧8(َّ‫َّومسلم‬،)33٥3(َّ‫َّالبخاري‬:‫َّمتفقَّعليه‬.))‫يَّاإلسلَّ همَّ هإذاَّفَّقهوا‬
.) ‫َّخيارهمَّهَّف ه‬
‫الجا ههلي هة ه‬
Abuu Hurayra (‫ )رضيَّللاَّعنه‬amesimulia:
Maswahaba waliuliza: ‘’Ewe mjumbe wa Allaah! ni nani mbora wa watu?’’
Mtume (َّ‫ )صلىَّللاَّعليهَّوسلم‬akasema: ((alie mchamungu zaidi kati yao)).
Wakasema: hatukuulizi kuhusu hili.’’ Akasema: ((basi ni Yusuph nabii wa
Allaah mtoto wa nabii wa Allaah [Yaqub] mtoto wa nabii wa Allaah
[Isihaq] mtoto wa rafiki cha Allaah [Ibrahim])). Wakasema: ‘’hatukuulizi
kuhusu hili.’’ Akasema: ((mnaniuliza kuhusu koo na nasaba za warabu?
waliokuwa wabora wao zama za jaahiliya ndio wabora wao kwenye
uislamu watakapokuwa wamesoma na kuzifahamu hukumu za dini)).

Faida ya Pili:
Kipimo cha wasiokuwa wasomi juu ya mbora katika watu:
Kipimo cha wasiokuwa wasomi juu ya mbora katika watu ni mali nyingi:
Mja mwenye mali nyingi huyo ni katika watu bora, hata kama mali hiyo
ameipata kwa njia ya haramu, na hata kama mja huyo dini yake dhaifu.
Na dalili juu ya hilo ni hizo aaya na hadithi nilizozitanguliza mwanzoni mwa
fasili hii, na dalili nyingine ni kadhia tunazozishuhudia kwenye jamii zetu.

.‫َّتعالىَّأعلم‬
َّ ‫وللا‬
Fasili ya 11: [33]

Fasili ya kumi na moja:


Hukumu ya kumwozesha binti kwa mwanaume fukara.

Allaah (‫ )تعالى‬amesema:
‫ﱏ ﱑﱒ‬
‫ﱐ‬ ‫ﱇ ﱉ ﱊﱋﱌ ﱍﱎ‬
‫ﱈ‬ ‫ﱡﭐ ﱁ ﱂ ﱃ ﱄ ﱅ ﱆ‬

3٢َّ:‫ﱓ ﱠَّالنور‬
{Na waozesheni wanawake wasiokuwa na waume katika nyinyi, na waja
wema katika watumwa wenu wanaume na wajakazi wenu, wakiwa ni
mafukara Allaah atawakunjulia riziki katika fadhila zake, na Allaah ni
mwingi wa ukarimu mwenye kujua} [An-Nuur:32]

Hadithi:
َّ‫َّإنَّأب َّا‬:‫َّأتَّيتََّّرسولَّللاهَّ(صلىَّللاَّعليهَّوسلم)َّفَّقَّلَّت‬: َّ َّ‫اطمَّةََّّهَّبَّنتهَّقَّيَّ ٍسَّ(ر هضيَّللاَّعنها)َّقَّالَّت‬
َّ‫عَّنََّّفَّ ه‬
َّ‫َّفصعلوكَّل‬،َّ‫َّ((أماَّمعا هوية‬:)‫للاَّ(صلىَّللاَّعليهَّوسلم‬ َّ‫خطبا هني؟َّفقالَّرَّسولَّ ه‬ َّ ََّّ‫الجه هَّمَّومعا هوية‬
َّ،َّ‫َّفك هرهته‬،))َّ‫َّان هك هحيَّأسامةَّبنَّزي ٍد‬،‫ََّّفلَّيضعَّالعصاَّعنَّعا هت هق هَّه‬،‫َّ َّوأماَّأبوَّالجه هَّم‬،َّ‫مالَّله‬
َّ.)١48٠(َّ‫َّرواهَّمسلم‬.‫َّواغتبطتََّّ هب هه‬،‫َّفجعلَّللاَّفهي ههَّخيرا‬،َّ‫َّفنكحته‬،))‫َّ((ان هك هحيَّأسامة‬:‫ثمَّقال‬
.))‫اء‬ َّ‫َّ((وأماَّأبوَّالجه همَّفضرابَّ هل هلنسَّ ه‬:‫يَّروَّايَّةَّهَّلمَّسلم‬ َّ‫وَّهَّف ه‬
Faatwima binti Qais (‫ )رضيَّللاَّعنها‬amesimulia:
Nilimwendea mtume (‫ )صلىَّللاَّعليهَّوسلم‬nikamwambia: ‘’hakika Abuu Jahmi na
Mu’awiya wote wawili wameniposa?’’ Akaniambia: ((ama Mu’awiya ni
fukara hana mali, na ama Abuu Jahmi anawapiga sana wanawake, olewa
na Usama bin Zayd)), nikachukia kuolewa na Usama bin Zayd (kwa kuwa ni
mtumwa alieachwa huru, na kwa kuwa ni mweusi mno), kisha akaniambia:
((olewa na Usama)), nikaolewa na Usama bin Zayd, Allaah akajaalia kheri
ndani yake, na nikatamaniwa (na wanawake wenzangu) kwa sababu yake
(wakatamani lau wangekuwa wao wameolewa na Usama bin Zayd).
[Ameipokea imamu Muslim]

Faida za kielimu zinazofungamana na aaya na hadithi hizi:


Faida ya kwanza:
Hukumu ya kuisikiliza sauti ya mwanamke ajinabiya:
inajuzu kuisikiliza sauti ya mwanamke ajinabiya kwenye kutaka ushauri,
kuuliza swali, na mfano wa hayo katika mazungumzo yenye masilahi.
Fasili ya 11: [34]

Faida ya Pili:
Kuwataka ushauri watu wa kheri khususani wenye elimu:
Ni mustahabu mtu kuwataka ushauri watu wa kheri katika mambo yake.

Faida ya tatu:
Hukumu ya kumposa mwanamke ambae ameshaposwa:
inajuzu kumposa mwanamke ambae ameshaposwa ikiwa huyo mwanaume
alietangulia kumposa bado hajarudishiwa majibu ya posa yake hiyo.

Faida ya nne:
Hukumu ya kumwozesha binti kwa mwanaume fukara:
Mwanaume kuwa na sifa ya ufukara ni dosari, hivyo, inajuzu kuikataa posa
yake kwa kuwa ni fukara, lakini mwanamke mposwa akiridhia kuolewa na
mwanaume fukara hapo hakuna kizuizi cha kumuozesha, anaozeshwa.

Faida ya tano:
Hukumu ya kumwozesha binti kwa mwanaume anaepiga sana wanawake:
Mwanaume kuwa na sifa ya kupiga sana wanawake ni dosari, hivyo inajuzu
kuikataa posa yake kwa kuwa anapiga sana wanawake, lakini mwanamke
mposwa akiridhia kuolewa na mwanaume mwenye sifa hiyo anaozeshwa.

Faida ya sita:
Makabila na nasaba za watu havizingatiwi kwenye kuoana:
Hadithi hiyo ni miongoni mwa dalili juu ya kwamba: makabila na nasaba za
watu havizingatiwi kwenye kuoana; kwa sababu Faatwima binti Qais, Abuu
Jahmi na Mu’awiya wote hao ni waqurayshi, lakini mtume (‫)صلىَّللاَّعليهَّوسلم‬
amemuelekeza Faatwima binti Qais aolewe na Usama bin Zayd, na Usama
bin Zayd siyo mkurayshi, bali ni katika watumwa walioachwa huru.

Faida ya saba:
Kumshauri mtu aoane na mtu mwenye kheri nyingi zaidi:
inajuzu kwa alietakwa ushauri na mtu juu ya kuoana na fulani kumuelekeza
mtu huyo aoane na mtu mwingine ikiwa huyo mwingine ana kheri zaidi.

.‫َّتعالىَّأعلم‬
َّ ‫وللا‬
‫‪Fasili ya 12:‬‬ ‫]‪[35‬‬

‫‪Fasili ya kumi na mbili:‬‬


‫‪Kumwozesha binti kwa mwanaume mwenye maisha magumu.‬‬

‫‪Hadithi:‬‬
‫صلىَّللاَّعليهَّ‬
‫َّ‬ ‫عنَّسه هلَّبنَّسع ٍَّدَّالسا هعدهيََّّ(رضيََّّللاَّعنهما)َّقال‪َّ:‬جاءتهَّامرأةَّ هإلىَّرسو ه‬
‫لََّّللاهَّ(‬
‫صلىَّللاَّعليهَّ‬
‫َّ‬ ‫سي‪َّ،‬فنظرَّ هإليهاَّرسولََّّللاهََّّ(‬ ‫وسلم)َّفقالت‪َّ:‬ياَّرسول هَّ‬
‫ََّّللا‪ َّ،‬هجئتَّأهبَّلكَّنف ه‬
‫وسلم)‪َّ،‬فصعدَّالنظرَّ هفيها‪ََّّ،‬وصوبهَّ‪َّ،‬ثمَّطأطأََّّرسول هَّ‬
‫ََّّللاَّ(صلىَّللاَّعليهَّوسلم)َّرأسهَّ‪َّ،‬فلم َّاَّ‬
‫َّمنَّأصحا هب هَّه‪َّ،‬فقال‪َّ:‬ياَّرسول هَّ‬
‫ََّّللا‪َّ،‬‬ ‫ضَّفهيهاَّشيئاَّجلستَّ‪َّ،‬فقامَّرجل ه‬ ‫رأتهَّالمرأةَّأنهَّلمََّّيق ه‬
‫َّمنَّشي ٍَّء؟َّ))َّفقال‪َّ:‬لَّوَّللاهَّياَّ‬
‫إهنَّلمَّيكنَّلكَّ هبهاَّحاجةَّفز هوج هنيها‪َّ،‬قال‪((َّ:‬فهلَّ هعندَّك ه‬
‫ََّّللا‪َّ،‬فقال‪((َّ:‬اذهبَّ هإلىَّأه هلكَّ‪َّ،‬فانظرَّهلَّت هجدَّشيئا؟َّ))َّفذهبَّ‪َّ،‬ثمَّرجعَّ‪َّ،‬فقال‪َّ:‬لَّ‬ ‫رسول هَّ‬
‫اَّمنَّحدهي ٍَّد))‪َّ،‬‬ ‫َّللا‪َّ،‬ماَّوجدتَّشيئا‪َّ،‬فقالَّرسولََّّللاهََّّ(صلىَّللاَّعليهَّوسلم)‪((َّ:‬انظرَّولوَّخاتم ه‬ ‫و هَّ‬
‫اَّمنََّّحدهي ٍَّد‪َّ،‬ول هكنَّهذاَّ هإز هاري‪َّ،‬‬ ‫فذهبَّ‪َّ،‬ثمَّرجعَّ‪َّ،‬فقال‪َّ:‬لَّوَّللاهَّياَّرسول هَّ‬
‫ََّّللا‪َّ،‬ولَّخاتم ه‬
‫اَّمنهَّ‬
‫فقالَّرسولََّّللاهَّ(صلىَّللاَّعليهَّوسلم)‪((َّ:‬ماَّتصنعَّ هبإهز هاركَّ؟َّ هإنَّل هبستهَّلمََّّيكنَّعليه ه‬
‫شيءَّ‪َّ،‬وإهنَّل هبستهَّلمَّيكنَّعليكََّّ همنهَّشيءَّ))‪َّ،‬فجلسَّالرجلَّ‪َّ،‬حتىَّإهذاَّطالَّمج هلسهَّقامَّ‪َّ،‬‬
‫فرآهَّرسولََّّللاهَّ(صلىَّللاَّعليهَّوسلم)َّمو هليا‪َّ،‬فأمرَّ هب هَّه‪ََّّ،‬فد هعيَّلهَّ‪َّ،‬فلماَّجاءَّ‪َّ،‬قال‪((َّ:‬ماذاَّمعكَّ‬
‫آن؟))‪َّ،‬قال‪َّ:‬م هعيَّسورةَّكذا‪َّ،‬وسورةَّكذا‪ََّّ،‬عددها‪َّ،‬فقال‪((َّ:‬تقرؤهنَّعنَّظه هرَّ‬ ‫همنَّالقر هَّ‬
‫آن))‪َّ.‬‬
‫اَّمنَّالقر هَّ‬
‫قل هبكَّ؟))َّ‪َّ،‬قال‪َّ:‬نعمَّ‪َّ،‬قال‪((ََّّ:‬انط هلقَّ‪َّ،‬فقدَّزوجتكها‪َّ،‬فع هلمه ه‬
‫)‪.‬‬
‫متفقَّعليه‪َّ:‬البخاريَّ(‪َّ،)٥٠3٠‬ومسلمَّ(‪َّ ١4٢٥‬‬
‫‪) amesimulia:‬رضيَّللاَّعنهما( ‪Sahl bin Sa’ad As-Saa’idiy‬‬
‫‪), akasema: ‘’Ewe mjumbe wa‬صلىَّللاَّعليهَّوسلم( ‪Alikuja mwanamke kwa mtume‬‬
‫’’‪Allaah! nimekuja naitoa hiba nafsi yangu kwako (nioe bila kunipa mahari).‬‬
‫‪) akamtazama mwanamke huyo, akamtazama kwa‬صلىَّللاَّعليهَّوسلمَّ( ‪Mtume‬‬
‫‪makini kuanzia juu mpaka chini, kisha akainamisha kichwa chake chini,‬‬
‫‪) hajajibu kitu akaketi.‬صلىَّللاَّعليهَّوسلم( ‪huyo mwanamke alipoona mtume‬‬
‫‪Akasimama mwanaume katika maswahaba zake, akasema: ‘’Ewe mjumbe‬‬
‫’’‪wa Allaah! ikiwa hauna haja nae mwanamke huyu niozeshe mimi.‬‬
‫وسلم( ‪Mtume‬‬
‫‪) akasema: ((je, una kitu chochote (cha kumpa mahari‬صلىَّللاَّعليهَّ َّ‬
‫‪) akasema:‬صلىَّللاَّعليهَّوسلمَّ( ‪mwanamke huyu)?)). Akajibu: ‘’hapana.’’ Mtume‬‬
‫‪((nenda kwa watu wako katazame kama utapata kitu)). Akaenda, kisha‬‬
‫‪akarudi, akasema: ‘’hakuna wallaahi, ewe mjumbe wa Allaah sijapata‬‬
‫‪) akasema: ((katafute japo pete ya chuma)).‬صلىَّللاَّعليهَّوسلم( ‪kitu.’’ Mtume‬‬
‫‪Akaenda, kisha akarudi, akasema: ‘’hakuna wallaahi, ewe mjumbe wa‬‬
‫’’‪Allaah, sijapata hata pete ya chuma, lakini hiki kikoi changu.‬‬
‫َّ‪) akasema: ((atakifanyia nini kikoi chako? ukikivaa‬صلىَّللاَّعليهَّوسلمَّ( ‪Mtume‬‬
Fasili ya 12: [36]

wewe yeye anabaki hana kitu katika kikoi hicho, na akikivaa yeye wewe
unabaki hauna kitu)). Mwanaume huyo akaketi, akakaa kitambo kirefu,
kisha akasimama. Mtume (‫ )صلىَّللاَّعليهَّوسلم‬akamuona anaondoka zake,
akaamrisha aitwe, akaitwa, alipokuja akamuuliza: ((una nini katika
Quraan?)). Akajibu: ‘’nazijua sura kadhaa’’ akataja idadi ya sura hizo.
Akamuuliza tena: ((je, umezihifadhi sura hizo?)). Akajibu: ‘’naam.’’
Mtume (َّ‫ )صلىَّللاَّعليهَّوسلم‬akasema: ((nenda, nimekuozesha mwanamke huyu
kamfundishe katika Quraan)). [Ameipokea imamu Bukhaariy na Muslim]

Faida za kielimu zinazofungamana na hadithi hii:


Faida ya kwanza:
Hukumu ya mwanamke kujitokeza kwa mwanaume kumhiarisha amuoe:
Hadithi hii ni dalii: inajuzu mwanamke kujitokeza kwa mwanaume mwema
kumhiarisha amuoe; ikiwa mwanamke huyo anatarajia kupata kheri na
furaha kutoka kwa mwanaume huyo iwapo atamuoa.
Na inajuzu kumhiarisha amuoe ima kwa kumtumia ujumbe kwa njia fulani,
au kwa kumwendea yeye mwenyewe na kuonana nae ana kwa ana kwa
sharti achunge mipaka ya kisheria kama vile; kujiepusha kukaa faragha
wawili peke yao, na mipaka mingineyo kwenye dini yetu ya uislamu.

Faida ya Pili:
Hukumu ya mposaji kumtazama mwanamke mposwa kabla ya kumposa:
Hadithi hii ni moja ya dalili: inajuzu bali ni mustahabu mwanaume mposaji
kumtazama mwanamke mposwa kabla ya kumposa.
Na inajuzu mwanaume mposaji kutazama kwa makini mwonekano wa nje
wa mwanamke mposwa kuanzia juu mpaka chini kwa kadiri ya haja, kwa
dalili ya kauli yake aliposema:
َّ‫َّثمَّطأطأََّّرسول‬،َّ‫َّوصوبه‬،‫َّفصعدَّالنظرَّ هفيها‬،)‫((فنظرَّ هإليهاَّرسولََّّللاهَّ(َّصلىَّللاَّعليهَّوسلم‬
.‫َّمتفقَّعليه‬.))َّ‫َّللاهَّ(صلىَّللاَّعليهَّوسلم)َّرأسه‬
((Mtume (‫ )صلىَّللاَّعليهَّوسلم‬akamtazama mwanamke huyo, akamtazama kwa
makini kuanzia juu mpaka chini, kisha akainamisha kichwa chake chini)).

Na sehemu za mwili wa mwanamke mposwa ambazo mwanaume mposaji


anaruhusiwa kuzitazama wakati wa kumtazama ni uso wake na viganja
vyake, na mwonekano wa nje wa mwili wake kuanzia juu mpaka chini.
Fasili ya 12: [37]

Faida ya tatu:
Hukumu ya mwanamke kutoka amejipamba mposaji akitaka kumtazama:
Na inajuzu mwanamke mposwa kujipamba uso wake na viganja vyake viwili
na kuvaa mavazi mazuri anapotaka kutazamwa na mwanaume mposaji,
kwa sharti yasiwe mapambo ya udanganyifu kama vile; kujibandika kope za
bandia, au kutengeneza mwanya baina ya meno, kujipamba hivi ni haramu.

Na dalili juu ya kwamba inajuzu mwanamke mposwa kujipamba anapotaka


kutazamwa na mwanaume mposwa ni hadithi hii ifuatayo:
َّ:)‫ثَّاألسل همي هةَّ(رضيَّللاَّعنها‬ َّ‫ار ه‬
‫َّأخبرت هنيَّسبيعةََّّ هبنتهَّالح ه‬:َّ‫ي هَّقال‬ َّ ‫عنََّّعمرَّبنَّعبدهَّللاهَّالزه هر‬
ََّّ‫َّفتو هفيَّعنهاَّ هفي‬،‫َّممنَّش ههدَّبدرَّا‬‫َّوكان ه‬،)‫((أنهاَّكانتَّتحتَّسعدهَّب هنَّخولةَّ(رضيَّللاَّعنه‬
ََّّ‫َّمنَّ هنفا هسها‬
‫َّفلماَّتعلت ه‬،‫امل؛َّفلمَّتنشبَّأنَّوضعتَّحملهاَّبعدَّوفا هت هَّه‬ ‫حج هةَّالوداعهَّو ههيَّح ه‬
َّ‫اك‬
‫َّماَّ هليَّأر ه‬:‫َّفقالَّلها‬،)‫َّفدخلَّعليهاَّأبوَّالسنا هب هلَّابنَّبعككٍ َّ(رضيَّللاَّعنه‬،‫ب‬ َّ‫تجملتَّ هللخطا ه‬
َّ،َّ‫حَّحتىَّتمرَّعلي هكَّأربعةَّأشه ٍرَّوعشر‬ ٍ ‫النكاحَّ!َّوَّللاهَّماَّأنتهَّ هبنا هك‬
‫متج هملة؟َّلعل هكَّتر هجينََّّ ه‬
َّ‫صلىَّللاَّعليه‬
َّ (ََّّ‫َّفأتيتَّالن هبي‬،َّ‫يَّحينَّأمسيت‬ ‫َّفَّلماَّقالَّ هليَّذ هلكَّجمعتَّعليَّ هثيا هب ه‬:‫قالتَّسبيعة‬
َّ‫يجَّ هإن‬ ‫َّوأمر هنيَّ هبالتز هو ه‬،َّ‫َّحينَّوضعتَّحم هلي‬ ‫وسلم)َّفسألتهَّعنَّذ هلك؛َّفأفتا هنيَّ هبأ هنيَّقدَّحللت ه‬
َّ ١484(َّ‫َّومسلم‬،)399١(َّ‫َّالبَّخاري‬:‫َّمتفقَّعليه‬.‫بداَّ هلي‬
.)
Umar bin Abdillaah Az-Zuhriy (‫ )رحمهَّللا‬amesimulia:
Subai’a binti Al-Haarth (‫ )رضيَّللاَّعنها‬amenisimulia ya kwamba yeye alikuwa
mke wa Sa’ad bin Khaula (‫)رضيَّللاَّعنه‬, na (Sa’ad) alikuwa miongoni mwa
waliohudhuria vita vya Badri, akafariki ndani ya hijja ya kuaga hali ya
kuwa mkewe (Subai’a) mjamzito, basi haikuchukua muda akajifungua
baada ya mumewe kufariki, alipotwaharika nifasi yake akajipamba kwa
ajili ya wanaume waposaji. Abuu Sanaabil akaingia kwa Subai’a, kisha
akasema: ‘’Mbona nakuona umejipamba? huenda unatarajia kuolewa!
Wallaahi, hauruhusiwi kuolewa hadi upitishe miezi minne na siku kumi.’’
Subai’a amesema: ‘’Basi aliponiambia hivyo, nikajisitiri kwa nguo zangu
ilipoingia jioni, kisha nikamwendea mtume (‫)صلىَّللاَّعليهَّوسلم‬, nikamuuliza
kuhusu hilo (alilosema Abuu Sanaabil), mtume (‫ )صلىَّللاَّعليهَّوسلم‬akanitolea
fatwaa kuwa nimeshamaliza eda tangu nilipojifungua mimba yangu, na
akaniruhusu kuolewa nikitaka. [Ameipokea imamu Bukhaariy na Muslim]

Faida ya nne:
Maana ya mahari kiistiahi:
(Kwenye ukurasa unaofuata baada ya huu)
Fasili ya 12: [3 8]

Faida ya nne:
Maana: ya mahari kiistilahi:
Mahari: ni kile anachokitoa mume kumpa mke ima mali au kinachosimama
nafasi ya mali (ambapo hicho alichompa ni) badala ya kufunga nae ndoa.

Faida ya tano:
Aina za mahari na mifano yake:
Hadithi hiyo ni dalili kuwa inajuzu kujaalia mahari ya mwanamke iwe:
1.Mali, kama vile; pesa tasilimu, au mbuzi, au shamba, au mazao, au nguo,
au pete, na mfano wake.
2.Manufaa, kama vile; kumfundisha Quraan, au kumfundisha fani fulani, au
kumlimia shamba lake, au kumchungia mifugo yake, na mfano wa hayo.

Faida ya sita:
Hukumu ya mume kumpa mke mahari yake:
Ni wajibu kumpa mke mahari yake, kwa dalili ndani ya Quraan na sunnah.
Na inajuzu kutoa kiasi chote cha mahari kabla ya kufunga ndoa, au kutoa
kiasi fulani kabla ya kufunga ndoa kisha kiasi kilichobaki anamalizia siku
zijazo baada ya kufunga, au kutoa kiasi chote baada ya kufunga ndoa.

Faida ya saba:
Je, mahari ni haki ya mwanamke anaeolewa au ni haki ya walii wake?
Amesema mwana wa chuoni huyu anaeitwa:
َّ‫(العلَّمةَّعَّبدََّّ ه‬
:)‫للاَّبنَّصا هلحَّالفوزان‬
Miongoni mwa mambo ambayo inatakikana yafahamike: mahari ni haki ya
mwanamke anaeolewa, mtu mwingine hana haki kwenye mahari hiyo, na
mwanamke ana haki ya kuitumia mahari yake matumizi yoyote yanayojuzu
kisheria, ni kinyume vile wanavyofanya baadhi ya mawalii katika kuitumia
mahari ya mwanamke, wanaitumia kwenye walima na mengineyo, bali
kuna mabinti kwenye baadhi ya familia binti anaolewa hali ya kuwa hajui
mahari yake imetolewa kiasi gani, imetumika vipi na imetumiwa kwenye
jambo gani, na Allaah (‫ )تعالى‬amesema:
4َّ:‫ﲖﱠَّالنساء‬
‫ﱡﭐ ﲓ ﲔ ﲕ ﲗ‬
{Na wapeni wanawake mahari zao (ni) hadia wanayostahiki kupewa} [4:4]
.)3٧١/٧(َّ))‫َّ((مه نحةَّالعلم‬:‫ينظر‬
Fasili ya 12: [39]

Faida ya nane:
Hukumu ya kufunga ndoa na mwanamke bila kumpa mahari:
Wamesema ulamaa ya kwamba:
Miongoni mwa mambo ambayo ni makhususi kwa mtume (‫صلىَّللاَّعليهَّوسلم‬ َّ )
pekee ni: kuruhusiwa kumuoa mwanamke bila kumpa mahari mwanamke
akiamua kuitoa hiba nafsi yake kwa mtume (‫ )صلىَّللاَّعليهَّوسلم‬ikiwa atataka
kumuoa, kwa dalili ya kauli yake Allaah (‫ )تعالى‬aliposema:
َّ‫ﲳﱠ‬
‫ﲴ‬ ‫ﱡﭐ ﲤ ﲥ ﲦ ﲧ ﲨ ﲩ ﲪ ﲫ ﲬ ﲭ ﲮ ﲯ ﲰ ﲱ ﲲ‬
٥٠َّ:‫األحزاب‬
{Na (pia tumekuhalalalishia ewe nabii Muhammad) mwanamke muumini
akiitoa hiba nafsi yake kwa nabii akitaka nabii kumuoa (mwanamke
huyo), ni makhususi kwako pekee, siyo na waumini} [Al-Ahzaab:50]

Ama asiekuwa nabii hapana budi atoe mahari kumpa mwanamke akitaka
kumuoa, ima mahari iliyoainishwa au mahari ya wanawake mfano wake.
.)٢٦٥/3(َّ))‫َّ((موردَّاألفهام‬:‫ينظر‬

Faida ya tisa:
Hukumu ya kumwozesha mwanamke bila idhini ya walii wake:
Wamesema ulamaa ya kwamba:
Miongoni mwa mambo ambayo ni makhususi kwa mtume (‫)صلىَّللاَّعليهَّوسلم‬
peke yake: mtume (‫ )صلىَّللاَّعليهَّوسلم‬alikuwa ana mamlaka ya kumwozesha
mwanamke hata kama mwanamke huyo ana mawalii wake, kwa dalili ya
kuenea kauli yake Allaah (‫ )تعالى‬aliposema:
٦َّ:‫ﲮ ﱠَّاألحزاب‬
‫ﲯ‬ ‫ﲫﲭ‬
‫ﲬ‬ ‫ﱡﭐ ﲧ ﲨ ﲩ ﲪ‬
{Nabii (Muhammad) ana haki zaidi kwa waumini kuliko nafsi zao, na
wake zake ni mama zao} [Al-Ahzaab:6]

Ama kadhi au shekhe hana mamlaka ya kumwozesha mwanamke mwenye


walii bila idhini ya walii wa mwanamke huyo, ispokuwa ikiwa hana walii au
ikiwa ana walii lakini anakataa kumwozesha kwa sababu zisizokubalika.
.)٢٦٥/3(َّ))‫َّ((موردَّاألفهام‬:‫ينظر‬

Faida ya kumi:
[Kwenye ukurasa unaofuata baada ya huu]
Fasili ya 12: [4 0]

Faida ya kumi:
Hukumu ya kumwozesha mwanamke kwa mwanaume fukara:
Hadithi hiyo ni dalili juu ya kwamba: inajuzu kumwozesha mwanamke kwa
mwanaume fukara ikiwa mwanamke mwenyewe ameridhia kuolewa nae,
na huo ndio muktadha wa kauli yake Allaah (‫ )تعالى‬aliposema:
3٢َّ:‫ﱏ ﱠَّالنور‬
‫ﱐ‬ ‫ﱇ ﱉ ﱊﱋﱌ ﱍﱎ‬
‫ﱈ‬ ‫ﱡﭐ ﱁ ﱂ ﱃ ﱄ ﱅ ﱆ‬
{Na waozesheni wanawake wasiokuwa na waume katika nyinyi, na waja
wema katika watumwa wenu wanaume na wajakazi wenu, wakiwa ni
mafukara Allaah atawakunjulia riziki katika fadhila zake} [An-Nuur:32]

Faida ya kumi na moja:


Hukumu ya kutanguliza Qabuul kabla ya iijaabu kwenye kufungisha ndoa:
Kwanza nini maana ya iijaabu na Qabuul?
1.iijaabu: ni yale maneno anayosema walii wa mwanamke au muwakilishi
wa walii kumwambia bwana harusi, mfano wake ni huu:
َّ)‫َّونحوَّذ هلك‬،‫(زوجتكَّأوَّأنكحتكَّفلنةَّ هبنتهَّفلن‬
[Nimekuozesha fulani binti fulani, mfano: nimekuozesha Amina binti Yahya]
2.Qabuul: ni yale maneno anayosema bwana harusi kumjibu walii wa
mwanamke au muwakilishi wake, mfano wake ni huu:
َّ)‫َّونحوَّذ هلك‬،‫يجهاَّأوَّق هبلتَّهذاَّتز هويج‬
‫(ق هبلتَّتز هو ه‬
[Nimekubali kumuoa fulani binti fulani, mfano: nimekubali kumuoa Amina]

Hadithi hiyo ni dalili kuwa ikitangulia Qabuul kisha ikafuatia iijaabu ndoa
inakuwa imefungika, kwa mfano:
Bwana harusi akisema kumwambia walii: ‘’Niozeshe binti yako fulani.’’
Kisha walii akamwambia bwana harusi: ‘’Nimekuozesha binti yangu fulani.’’

Faida ya kumi na mbili:


Ubora wa muislamu aliejifunza Quraan na akaweza kuifundisha:
Hadithi hiyo ni moja ya dalili juu ya ubora wa muislamu aliejifunza Quraan
na akaweza kuifundisha, na pia mtume (‫ )صلىَّللاَّعليهَّوسلم‬amesema:
َّ ٥٠٢٧(َّ‫َّرواهَّالبخاري‬.))َّ‫((خيركمَّمنَّتعلمَّالقرآنَّوعلمه‬
.)
((Mbora wenu ni yule aliejifunza Quraan kisha na yeye akaifundisha)).

.‫َّتعالىَّأعلم‬
َّ ‫وللا‬
Fasili ya 13: [41]

Fasili ya kumi na tatu:


Kuwa na subira unapopatwa na mtihani wa maisha magumu.

Allaah (‫ )تعالى‬amesema:
١٥٥َّ:‫ﱙﱛﱜ ﱠَّالبقرة‬
‫ﱚ‬ ‫ﱡﭐ ﱐ ﱑ ﱒ ﱓ ﱔ ﱕ ﱖ ﱗ ﱘ‬
{Na tutakujaribuni kwa kitu katika hofu na njaa na upungufu wa mali na
nafsi (kwa kufiwa na watu wenu na kwa maradhi mbalimbali) na matunda;
na wape bishara njema wale wenye kuwa na subira} [Al-Baqara:155]

Hadithi ya kwanza:
َّ‫َّقالَّرسولَّ ه‬:‫عَّنََّّأهَّبيَّهَّرََّّيرََّّةَّ(رضيَّللاَّعنه)َّقال‬
َّ‫َّ((منَّي هردهَّللاَّ هب هه‬:)‫للاَّ(صلىَّللاَّعليهَّوسلم‬
َّ ٥٦4٥(َّ‫َّرواهَّالبخاري‬.َّ))َّ‫َّمنه‬
.) ‫صب ه‬ ‫خيراَّي ه‬
Abuu Hurayra (‫َّ)رضيَّللاَّعنه‬amesimulia:
Mtume (َّ‫ )صلىَّللاَّعليهَّوسلم‬amesema: ((Allaah akimtakia kheri mja fulani
humpa mitihani)). [Ameipokea imamu Bukhaariy]

Hadithi ya Pili:
َّ‫َّإنَّكناَّننظر‬،‫َّياَّابنَّأخ هتي‬،‫للا‬ َّ‫َّو ه‬:َّ‫َّعَّنََّّعَّاهَّئشَّةََّّ(َّرضيَّللاَّعنها)َّ َّأنهَّاَّكانتَّتَّقَّول‬،‫عَّنََّّعَّرَّ َّوَّة‬
َّ‫لَّ ه‬
َّ‫للا‬ َّ‫َّوماَّأ َّوقهدَّفهَّيَّأبياتهَّرَّسَّو ه‬،َّ‫َّثلثةََّّأ هَّهلةٍَّفهَّيَّشهري هن‬:‫َّثمَّال ههل هل‬،َّ‫َّثمَّال ههلَّ هل‬،‫ل‬ َّ‫هإلىَّال ههل ه‬
ََّّ‫َّإهل‬،َّ‫انَّالتمرَّوالماء‬ ‫َّاألسود ه‬:َّ‫َّفماَّكانَّي هعيشكم؟َّقَّالَّت‬،َّ‫َّياَّخالة‬:‫َّقلت‬.َّ‫(صلىَّللاَّعليهَّوسلم)َّنار‬
ََّّ‫َّ َّوكانتَّلهمَّمنا هئحَّوكانوا‬،‫ار‬ َّ‫َّمنَّاألنص ه‬ ‫للاَّ(َّصلىَّللاَّعليهَّوسلم)َّ هجَّيران ه‬ َّ‫لَّ ه‬ َّ‫أنهَّقدَّكانَّهَّلرَّسَّو ه‬
.)
َّ ٢9٧٢(‫َّم‬،) َّ‫لَّ ه‬
َّ ٢٥٦٧(‫َّخ‬:‫َّمتفقَّعليه‬.‫للاَّ(َّصلىَّللاَّعليهَّوسلم)َّ همنَّألبا هنهاَّفيس هقينا‬ َّ‫ير هسلونَّ هإلىَّرَّسَّو ه‬
Urwa bin Zubayr (‫ )رضيَّللاَّعنه‬amesimulia:
bi Aaishah (‫ )رضيَّللاَّعنها‬alikuwa anasema: ((Wallaahi, ewe mtoto wa dada
yangu! tulikuwa tunautazama mwezi mwandamo, kisha mwandamo
mwingine, kisha mwandamo mwingine: miandamo mitatu ndani ya miezi
miwili, ndani ya nyumba za mtume (‫ )صلىَّللاَّعليهَّوسلم‬hakujawashwa moto)).
Nikamuuliza: ‘’Ewe mama mdogo! mlikuwa mkiishi vipi?’’ Akanijibu: ((kwa
vyeusi viwili: tende na maji, ispokuwa mtume (‫ )صلىَّللاَّعليهَّوسلم‬alikuwa ana
majirani katika Answaar, na walikuwa wana ngamia wanaotoa maziwa,
na walikuwa wanampelekea mtume (‫ )صلىَّللاَّعليهَّوسلم‬maziwa yao, kisha
anatunywesha sisi)). [Ameipokea imamu Bukhaariy na Muslim]
َّ
.‫َّتعالىَّأعلم‬
َّ ‫وللا‬
Fasili ya 14: [42]

Fasili ya kumi na nne:


Makatazo ya kuwaomba watu mali bila ya dharura ya kisheria.

Hadithi ya kwanza:
َّ‫َّ((منَّسألَّالناس‬:)‫َّقالَّرسولََّّللاهََّّ(صلىَّللاَّعليهَّوسلم‬:‫عنَّأ هبيَّهريرةَّ(رضيَّللاَّعنه)َّقال‬
.)١٠4١(َّ‫َّرواهَّمسلم‬.))َّ‫َّفليست هقلَّأوَّ هليستك هثر‬،‫َّفإهنماَّيسألَّجمرا‬،‫أموالهمَّتكثرا‬
Abuu Hurayra (‫ )رضيَّللاَّعنه‬amesimulia:
Mtume (‫وسلم‬
َّ َّ‫ )صلىَّللاَّعليه‬amesema: ((atakaewaomba watu mali zao kwa ajili
ya kujizidishia (mali), hakika anaomba kaa la moto (wa Jahannam), basi
apunguze (kuwaomba watu) au azidishe)). [Ameipokea imamu Muslim]

Hadithi ya Pili:
َّ‫صلىَّللاَّعليه‬
َّ (َّ‫َّقالَّرسولََّّللاه‬:‫قَّال ههل هليََّّ(رضيَّللاَّعنه)َّقال‬
ٍَّ ‫ار‬
‫عنََّّأ هبيَّ هبش ٍَّرَّق هبَّيصةَّبنَّمخ ه‬
ََّّ‫َّفحلتَّلهَّالمسألةَّحتى‬،َّ‫َّرجلَّتحملَّحمالة‬:ٍ‫َّألحدهَّثلثة‬ ‫َّ(( هإنَّالمسألةَّلَّت هحلَّ هإل ه‬:)‫وسلم‬
َّ‫صيب‬ ‫َّفحلتَّلهَّالمسألةَّحتىَّي ه‬،َّ‫َّاجتاحتَّماله‬،َّ‫َّورجلَّأصابتهَّجاَّ هئحة‬،َّ‫َّثمَّيم هسك‬،‫صيبها‬ ‫ي ه‬
َّ‫َّلقد‬:‫وم هه‬
‫اَّمنَّق ه‬
‫َّمنَّذ هويَّال هحج ه‬
‫َّحتىَّيقومَّثلثة ه‬،َّ‫َّورجلَّأصابتهَّفاقة‬،‫ش‬ َّ ٍ ‫اَّمنَّعي‬
‫قهوام ه‬
َّ‫َّمن‬
‫َّفماَّ هسواهن ه‬،‫ش‬َّ ٍ ‫اَّمنَّعي‬
‫صيبَّقهوام ه‬ ‫أصابتَّفلناَّفاقة;َّفحلتَّلهَّالمسألةَّحتىَّي ه‬
َّ ١٠44(َّ‫ََّّروَّاهَّمسلم‬.))‫احبهاَّسحتا‬
.) ‫المسأل هةَّياَّق هبيصةَّسحتَّيأكلهاَّص ه‬
Abuu Bishr, Qabiyswa bin Mukhaaliq (‫ )رضيَّللاَّعنه‬amesimulia:
Mtume (َّ‫ )صلىَّللاَّعليهَّوسلم‬amesema: ((hakika kuomba (watu mali) haiwi halali
ispokuwa kwa mmoja katika watatu: mtu aliejibebesha deni kwa ajili ya
kusuluhisha baina ya makundi mawili, hapo inakuwa halali kwake
kuomba hadi aipate (mali ya kulipa deni hilo), kisha anaacha kuomba, na
mtu aliepatwa na janga, likaharibu mali yake, hapo inakuwa halali kwake
kuomba hadi apate kinachomtosheleza haja zake, na mtu aliepatwa na
ufakiri, hadi wanasimama (watu) watatu wenye akili katika watu wake
(wanatoa ushahidi wanasema): hakika fulani amepatwa na ufakiri, hapo
inakuwa halali kwake kuomba hadi apate kinachomtosheleza haja zake,
kuomba watu mali kinyume na sababu hizo ewe Qabiyswa ni haramu,
mwenye kuomba watu mali kinyume na sababu hizo anakula haramu)).
[Ameipokea imamu Muslim]

Hadithi ya tatu:
[Kwenye ukurasa unaofuata baada ya huu]
Fasili ya 14: [43]

Hadithi ya tatu:
َّ‫َّقالَّرسول ه‬:‫بَّ(رضيَّللاَّعنه)َّقال‬
ََّّ‫َّ((إنَّالمسألة‬:)‫ََّّللاَّ(صلىَّللاَّعليهَّوسلم‬ ٍ ‫عنَّسمرةَّبنَّجند‬
َّ.))َّ‫َّمنه‬
‫َّأوَّفهيَّأم ٍرَّلَّبد ه‬،‫َّ هإلَّأنَّيسألَّالرجلَّسلطانا‬،َّ‫كدٌَّّيكدََّّ هبهاَّالرجلَّوجهه‬
.)١٠/٥(َّ‫َّوأحمد‬،)
َّ ١٠٠/٥(َّ‫َّوالنسائي‬،)٦8١(َّ‫َّوالترمذي‬،)١٦39(َّ‫رواهَّأبوَّداود‬
Samura bin Jundub (‫ )رضيَّللاَّعنه‬amesimulia:
Mtume (‫للاَّعليهَّوسلم‬
َّ َّ‫ )صلى‬amesema: ((hakika kuomba (watu mali): mkwanguo
mtu anajikwangua uso wake kwa hilo, ispokuwa mtu kumuomba (mali)
Sultani (kiongozi mkuu wa waislamu), au (kuomba mali) kwenye jambo
(ambalo) hapana budi (kuomba mali) kwa sababu ya (jambo) hilo)).
[Ameipokea imamu Abuu Dawud, Tirmidhiy, Nasaaiy na Ahmad]

Hadithi ya nne:
َّ‫َّأسأل؟‬:)‫عنَّابنَّال هفرا هسيَّأنََّّال هفرا هسيَّ(رضيَّللاَّعنه)َّقالَّ هلرسو هلَّللاهَّ(صلىَّللاَّعليهَّوسلم‬
َّ.))‫ََّّفاسأ هلَّالصا هل هحين‬،َّ‫َّوإنَّكنتَّسا هئلَّلَّبد‬،َّ‫َّ((ل‬:)‫فقالََّّالن هبيَّ(صلىَّللاَّعليهَّوسلم‬
]‫عناهَّالصحيح‬
َّ ‫َّل هكنَّم‬،‫َّ[وفهيَّإسنا هدههَّمقال‬.)٢٧٥/3١(َّ‫َّوأحمد‬،)٢٥88(َّ‫َّوالنسائي‬،)١٦4٦(َّ‫رواهَّأبوَّداود‬
Al-Firaasiy (‫ )رضيَّللاَّعنه‬amesimulia:
Nilimuuliza mtume (‫)صلىَّللاَّعليهَّوسلم‬: ‘’Ewe mjumbe wa Allaah! niombe (watu
mali)?’’ Akanijibu: ((hapana, na ukilazimika kuwa mwenye kuomba (watu
mali), basi waombe waja wema)). [Ameipokea imamu Abuu Dawud]

Faida za kielimu zinazofungamana na hadithi hizi:


Faida ya kwanza:
Hukumu ya kuwaomba watu mali bila ya dharura ya kisheria:
Hadithi hizo ni dalili juu ya kwamba: kuwaomba watu mali bila ya dharura
ya kisheria ni jambo la haramu na ni miongoni mwa madhambi makubwa.

Faida ya Pili:
Hali atakayofufuliwa nayo mja mwenye tabia ya kuwaomba watu mali:
Mja mwenye tabia ya kuwaomba watu mali atakuja siku ya Qiyama hali ya
kuwa uso wake hauna nyama, na miongoni mwa dalili juu ya hilo ni kauli
yake mtume (‫ )صلىَّللاَّعليهَّوسلم‬aliposema:
َّ.))‫((ماَّيزالَّالرجلَّيسألَّالناسَّحتىَّيأ هتيَّيومَّال هقيام هةَّليسَّ هفيَّوج هه ههَّمزعةَّلح ٍَّم‬
.)
َّ ١٠4٠(َّ‫َّومسلم‬،)١4٧4(َّ‫َّالبخاري‬:‫متفقَّعليه‬
((Mtu anaendelea kuomba watu (mali zao) hadi anakuja siku ya Qiyama
(hali ya kuwa) kwenye uso wake hakuna kipande chochote cha nyama)).
Fasili ya 14: [44]

Faida ya tatu:
Watu sampuli tatu wanaoruhusiwa kuwaomba watu mali:
Hiyo hadithi ya pili ni dalili juu ya kwamba inajuzu kwa watu sampuli tatu
wafuatao kuwaomba watu mali:
1.Mtu aliejibebesha deni (kwa kukopa mali kwa mtu au watu fulani) kwa
ajili ya kusuluhisha makundi mawili yaliyopigana au yaliyogombana:
Mathalani ikitokea vita baina ya miji miwili au vikundi viwili au makabila
mawili, ukatokea uharibu wa mali au kujeruhiwa watu katika mahasimu
wawili hao, ukajitokeza wewe unataka kuwasuluhisha mahasimu hao,
ukaenda kukopa mali kwa mtu au watu fulani kwa ajili ya kulipa fidia ya
uharibu wa mali au majeruhi katika mahasimu hao ili ipatikane suluhu
baina ya mahasimu hao, hapo inajuzu kuwaomba watu mali hadi upate
kiasi sawa na deni ulilokopa kwa ajili ya kuwasuluhisha mahasimu hao.

2.Mtu aliepatwa na janga fulani (mfano mafuriko au tetemeko la ardhi),


likaharibu mali yake: hapo inajuzu mtu huyo kuwaomba watu mali hadi
apate kiasi kinachomtosheleza haja zake, kisha anajizuia kuomba.

3.Mtu aliepatwa na ufakiri, hadi watu watatu wenye akili katika watu
wake wanasimama kutoa ushahidi juu ya hilo, wanasema: hakika fulani
amepatwa na ufakiri, hapo inajuzu mtu huyo kuwaomba watu mali hadi
apate kiasi kinachomtosheleza haja zake, kisha anajizuia kuomba.

Faida ya nne:
Hukumu ya kwenda kumuomba mali kiongozi mkuu wa waislamu:
Hiyo hadithi ya tatu ni dalili juu ya kwamba: ikiwa mtu mathalani ni fakiri,
au masikini, au anadaiwa deni ameshindwa kulipa, au amekatikiwa na njia
safarini, inajuzu kwa mtu huyo kumuendea kiongozi mkuu wa waislamu au
naibu wake kumuomba kiasi cha mali kinachotosheleza dharura yake hiyo,
na hapo mtu huyo hazingatiwi kuwa anaomba watu mali, bali anazingatiwa
kuwa ameifata haki yake, kwa sababu kiongozi mkuu wa waislamu ni wakili
wa mali ya zaka inayokusanywa na kuhifadhiwa kwenye nyumba ya mali,
na yeye ni katika watu sampuli nane wenye haki ya kupewa mali ya zaka.

.‫َّتعالىَّأعلم‬
َّ ‫وللا‬
Fasili ya 15: [45]

Fasili ya kumi na tano:


Uharamu wa kuchukua mali za watu kwa batili.

Allaah (‫ )تعالى‬amesema:
‫ﱡ ﭐ ﲋ ﲌ ﲍ ﲎ ﲏ ﲐ ﲑ ﲒ ﲓﲔ ﲕ ﲖ ﲗ ﲘ‬

١88َّ:‫ﲙﲚﲛﱠَّالبقرة‬
{Na msiliane mali zenu kwa batili, na mnazipeleka (kesi) kwa mahakimu
(kisha mnawapa rushwa) ili baadhi ya watu wapate kula katika mali za
watu kwa dhambi na hali ya kuwa nyinyi mnajua} [Al-Baqara:188]

Pia Allaah (‫ )تعالى‬amesema:


َّ‫ﱧﱠ‬
‫ﱨ‬ ‫ﱡﭐﱙﱚﱛﱜﱝﱞﱟﱠﱡﱢﱣﱤﱥﱦ‬
٢9َّ:‫النساء‬
{Enyi mlioamini! msiliane mali zenu kwa batili, ispokuwa iwe biashara
(mnauziana vitu) kwa maridhiano baina yenu} [An-Nisaa:29]

Pia Allaah (‫ )تعالى‬amesema:


‫ﱡﭐ ﱶ ﱷ ﱸ ﱹ ﱺ ﱻ ﱼ ﱽ ﱾ ﱿ ﲀ ﲁ ﲂ‬

8٥َّ:‫األعراف‬
َّ َّ‫ﲃﲅﲆﲇﲈﲉﲊ ﱠ‬
‫ﲄ‬
{Basi timizeni vipimo na mizani (mnapouziana), na msiwapunje watu vitu
vyao, na msifanye uharibifu katika ardhi baada ya kuwa imetengemaa,
hilo ni kheri kwenu ikiwa nyinyi ni waumini} [Al-A’araaf:85]

Pia Allaah (‫ )تعالى‬amesema:


‫ﱡﭐ ﲥ ﲦ ﲧ ﲨ ﲩ ﲪ ﲫ ﲬ ﲭ ﲮ ﲯ ﲰ ﲱ ﲲ ﲳ ﲴ ﲵ ﲶ ﲷ ﲸ‬

٦َّ-َّ١َّ:‫ﲹﲺﱁﱂﱃﱄﱅﱆﱇﱈﱠَّالمطففين‬
{Ole wao wenye kupunja! (1) Ambao wanapotaka kupimiwa (bidhaa) na
watu hudai watimiziwe (2) Na wao wanapopima kwa vipimo au mizani
wanapunja (3) Hivi hawadhani hao hakika wao ni wenye kufufuliwa? (4)
Kwa ajili ya siku adhwimu (5) Siku ambayo watu watasimama kwa mola
mlezi wa viumbe wote} [Al-Mutwaffifiyn:1 - 6]
Fasili ya 15: [46]

Hadithi ya kwanza:
َّ،‫ام‬ َّ‫َّأنَّرَّسَّولََّّ ه‬:)‫عَّنَّأهَّبيَّهَّرَّيرََّّةَّ(رضيَّللاَّعنه‬
ٍَّ ‫للاَّ(صلىَّللاَّعليهَّوسلم)َّمرَّعلىَّصبرةهَّطع‬
َّ‫َّأصابَّته‬:‫احبَّالطَّع هام؟))ََّّقال‬
‫َّ((ماَّهَّذاَّياَّص ه‬:‫َّفقال‬،َّ‫َّفنالتَّأصَّا هبعهَّبلل‬،‫فأدخلَّيدهَّفهيها‬
َّ‫ام؛َّكيََّّيراهَّالناس!َّمنَّغشََّّفليس‬ َّ‫َّ((أفلَّجعلتهَّفوَّقَّالطع ه‬:‫ََّّقال‬،‫للا‬ َّ‫السماءَّياَّرَّسَّولََّّ ه‬
َّ ١٠٢(َّ‫َّرواهَّمسلم‬.))‫همهَّني‬
.)
Abuu Hurayra (‫ )رضيَّللاَّعنه‬amesimulia:
Mtume (َّ‫ )صلىَّللاَّعليهَّوسلم‬alipitia mrundo wa chakula (nafaka), kisha akaingiza
mkono wake ndani yake, vidole vyake vikapata umajimaji, akauliza: ((Nini
hii ewe mwenye chakula?)) Akajibu: ‘’Kimenyeshewa na mvua ewe mjumbe
wa Allaah.’’ Akasema: ((Kwa nini haujakiweka juu ya chakula ili watu
wapate kukiona! mwenye kughushi hayupo katika mwenendo wangu)).
[Ameipokea imamu Muslim]

Hadithi ya Pili:
َّ:‫َّ((المس هلمَّأخوَّالمسهَّل هَّم‬:‫َّأنَّرسولَّللاهَّ(صلىَّللاَّعليهَّوسلم)َّقال‬:)‫عنَّأ هبيَّهريرةَّ(رضيَّللاَّعنه‬
ٍَّ ‫شيرََّّ هإلىَّصَّدَّ هَّرهَّهََّّثلَّثََّّمَّرَّا‬
َّ-َّ‫ت‬ َّ‫َّوََّّي ه‬-ََّّ))‫َّالتقوىَّهَّاهنا‬،َّ‫َّولَّيخذله‬،َّ‫َّولَّيح هقره‬،َّ‫لَّيظ هلمه‬
َّ،َّ‫َّكلَّالمسهَّل هَّمَّعلىَّالمسهَّل هَّمَّحرامََّّدمه‬،َّ‫ح هقرَّأخاهَّالمس هلم‬ َّ ‫َّمنَّالش هرَّأنَّي‬
‫بَّام هَّرىءٍ ه‬
َّ‫((هَّبحس ه‬
َّ ٢٥٦4(َّ‫َّرواهَّمسلم‬.))َّ‫عَّرضه‬
.) ‫َّ َّو ه‬،َّ‫َّوماله‬
Abuu Hurayra (‫ )رضيَّللاَّعنه‬amesimulia:
Mtume (َّ‫ )صلىَّللاَّعليهَّوسلم‬amesema: ((muislamu ni ndugu wa muislamu:
hamdhulumu, na hamdharau, na haachi kumsaidia anapohitaji msaada,
uchamungu upo hapa)) - na akawa anaashiria kifuani kwake mara tatu -
((inatosha mtu kuwa amefanya shari kumdharau ndugu yake muislamu,
kila muislamu juu ya muislamu mwenzie ni haramu damu yake, na mali
yake na heshima yake)). [Ameipokea imamu Muslim]

Faida za kielimu zinazofungamana na aaya na hadithi hizi:


Mambo manne ni haramu kwa kila muislamu juu ya muislamu mwenzie:
Ni haramu kwa kila muislamu juu ya muislamu mwenzie mambo yafuatayo:
1.Kumdharau: ni haramu muislamu kumdharau muislamu mwenzio.
2.Damu yake: ni haramu kumuua muislamu mwenzio bila ya haki.
3.Mali yake: ni haramu kuichukua mali ya muislamu bila ya haki.
4.Heshima yake: ni haramu kuivunja heshima ya muislamu bila ya haki.

.‫َّتعالىَّأعلم‬
َّ ‫وللا‬
Fasili ya 16: [47]

Fasili ya kumi na sita:


Uharamu wa kucheza kamari.

Allaah (‫ )تعالى‬amesema:
‫ﱡﭐﲾﲿﳀﳁﳂﳃﳄﳅﳆﳇﳈﳉﳊﳋ‬

‫ﳌﳍﱁﱂﱃﱄﱅﱆﱇﱈﱉﱊﱋﱌﱍ‬
9١َّ-َّ9٠َّ:‫ﱑﱓﱔﱕﱠَّالمائدة‬
‫ﱒ‬ ‫ﱎ ﱏﱐ‬
{Enyi mlioamini! hakika pombe na kamari na kuabudu masanamu na
kupiga ramli ni najisi ni katika kazi ya shetani, basi jiepusheni nayo ili
mpate kufaulu (90) Hakika shetani anataka kuweka baina yenu uadui na
chuki kupitia pombe na kamari na akuzuieni kumkumbuka Allaah na
akuzuieni na swalaa, basi je, nyinyi ni wenye kukoma?} [Al-Maaida:90 - 91]

Hadithi:
ََّّ‫َّ((منَّحلفََّّ همنكم‬:)‫َّقالَّرسولَّللاهََّّ(صلىَّللاَّعليهَّوسلم‬:‫عَّنَّأهَّبيَّهَّرَّيرََّّةَّ(رضيَّللاَّعنه)َّقال‬
َّ‫امرَّك‬ ‫َّتعالَّأق ه‬:‫احهَّب هه‬
‫َّومنَّقالَّ هلص ه‬،‫للا‬
َّ ََّّ‫َّلَّإلهَّإل‬:‫َّفليقل‬،‫َّ هباللَّتهَّوالعزى‬:‫فقالَّفهَّيَّحلَّ هف هه‬
َّ ١٦4٧(َّ‫َّومسلم‬،)48٦٠(َّ‫َّالبخاري‬:‫َّمتفقَّعليه‬.))َّ‫فليتصدق‬
.)
Abuu Hurayra (‫ )رضيَّللاَّعنه‬amesimulia:
Mtume (َّ‫ )صلىَّللاَّعليهَّوسلم‬amesema: ((yeyote atakaeapa miongoni mwenu
akasema kwenye kiapo chake: Naapa kwa (sanamu la) Laata na ‘Uzza,
aseme: Laa-ilaaha-illa-llaahu, na atakaemwambia swahibu yake: Njoo
tucheze kamari, atoe sadaka)). [Ameipokea imamu Bukhaariy na Muslim]

Faida za kielimu zinazofungamana na aaya na hadithi hizi:


Faida ya kwanza:
Maana ya kamari kiistilahi:
Kamari: ni mchezo unaochezwa kwa kuweka dau la mali kiasi fulani kutoka
kwa washindani ambapo mshindi anachukua mali yote inayoshindaniwa.
Na miongoni mwa kamari ni:
1.Mtu kuweka dau: ukinishinda ni juu yangu kukupa wewe mali kiasi fulani,
na nikikushinda ni juu yako kunipa mimi mali kiasi fulani.
2.Mtu kuweka dau: akishinda A ni juu yangu kukupa wewe mali kiasi fulani,
na akishinda B ni juu yako kunipa mimi mali kiasi fulani.
Fasili ya 16: [48]

Faida ya Pili:
Ubainifu wa mambo kumi yanayojulisha uharamu wa kucheza kamari.
Mambo kumi kutoka kwenye hizo aaya mbili nilizozitanguliza yanajulisha
uharamu wa kucheza kamari:
1.Kuambatishwa kamari na pombe, kuabudu masanamu na kupiga ramli:
Hatuna shaka juu ya uharamu wa hivi vitatu vilivyoambatishwa na kamari.

2.Kujumuishwa kamari kuwa ni miongoni mwa najisi (najisi ya kimaana):


Na Allaah (‫ )تعالى‬kwenye aaya nyingine ameiita ibada ya masanamu kuwa ni
najisi na ametuamrisha tujiepushe nayo, pale aliposema:
3٠َّ:‫ﱡﭐﲹﲺﲻﲼﲽﲾﲿ ﱠَّالحج‬
{Basi jiepusheni na najisi ya masanamu (wanaofanywa kuwa waabudiwa
pamoja na Allah) na jiepusheni na kauli za uongo} [Al-Hajj-30]

3.Kutajwa kamari kuwa ni miongoni mwa kazi ya shetani (ibilisi):


Na Allaah (‫ )تعالى‬kwenye aaya nyingine ametutahadharisha kuwa shetani ni
adui yetu na ametutaka tumfanye adui, pale aliposema:
٦َّ:‫ﱣﱥﱦﱧﱨﱩﱪﱫﱠَّفاطر‬
‫ﱤ‬ ‫ﱡﭐ ﱞ ﱟ ﱠ ﱡ ﱢ‬
{Hakika shetani ni adui yenu, basi mfanyeni kuwa ni adui, hakika (shetani)
analiita kundi lake wawe ni miongoni mwa watu wa motoni} [Faatwir:6]

4.Allaah (‫ )تعالى‬kuamrisha waumini wajiepushe na hivyo vitu vinne: kamari,


na pombe, na kuabudu masanamu na kutazamia kwa kupiga ramli.

5.Kujulishwa kuwa kujiepusha na kamari ni katika sababu za mja kufaulu:


Hakika kwenye kamari kuna maovu yanayowajibisha adhabu huko akhera.

6.Kuwa kamari ni miongoni mwa sababu za kutokea uadui baina ya watu:


Na Allaah (‫ )نهالى‬ametuamrisha tujiepushe na kila lenye kusababisha kutokea
uadui baina ya watu, na moja ya dalili juu ya hilo ni pale aliposema:
َّ‫ﳈﳊﳋﳌﳍ ﱠ‬
‫ﳅﳇ ﳉ‬
‫ﳆ‬ ‫ﲿﳁﳂﳃﳄ‬
‫ﳀ‬ ‫ﱡﭐ ﲼ ﲽ ﲾ‬
٢َّ:‫المائدة‬
{Na saidianeni juu ya wema na uchamungu, na msisaidiane juu ya dhambi
na uadui, na mcheni Allaah, hakika Allaah ni mkali wa kuadhibu} [5:2]
Fasili ya 16: [ 49]

7.Kuwa kamari ni miongoni mwa sababu za kutokea chuki baina ya watu:


Hakika upendo baina ya waja ni miongoni mwa neema za Allaah kwa waja
wake, inatupasa kuitunza neema hiyo, na namna mojawapo ya kuitunza
neema hiyo ni kujiepusha na kila linalopelekea kuondoka neema hiyo, na
moja ya dalili juu ya hayo ni kauli yake Allaah (‫ )تعالى‬aliposema:
١٠3:‫ﱡﭐﱧ ﱨﱩﱪﱫﱬﱭﱮﱯﱰﱱ ﱲﱳﱴﱠَّآلَّعمران‬

{Na kumbukeni neema ya Allaah juu yenu pindi mlipokuwa maadui Allaah
akazipatanisha nyoyo zenu, kisha kwa neema yake mkawa ndugu} [3:103]

8.Kuwa kamari ni miongoni mwa vizuizi kwa mja kumkumbuka Allaah.

9.Kuwa kamari ni moja ya vizuizi kwa mja kutekeleza ibada ya swalaa:


Hakika wacheza kamari huwa wanatumia muda mwingi kwenye kamari.

10.Maamrisho ya kuacha kamari na kutubia kwa wanaocheza kamari.

Faida ya tatu:
Uharamu wa kuwashawishi watu kucheza kamari na kafara ya jambo hilo:
Wamesema ulamaa ya kwamba:
Kauli yake mtume (‫ )صلىَّللاَّعليهَّوسلم‬aliposema:
.‫َّمتفقَّعليه‬.))َّ‫امرَّكَّفليتصدق‬
‫َّتعالَّأق ه‬:‫احهَّب هه‬
‫((ومنَّقالَّ هلص ه‬
((Na atakaemwambia swahibu yake: Njoo tucheze kamari, atoe sadaka)).

Hadithi hii ni dalili juu ya kwamba: atakaemshawishi mtu mwingine acheze


nae kamari, ni wajibu juu yake atoe sadaka kiasi chochote katika mali yake,
na hiyo inakuwa kafara ya kauli yake aliyoitoa ya kumwita mwenzie kwenye
jambo la haramu la kucheza kamari, na kutoa sadaka hiyo ni wajibu.
.)
َّ 338/3(َّ))‫َّ((روضةَّاألفهام‬:‫ينظر‬

.‫َّتعالىَّأعلم‬
َّ ‫وللا‬
Fasili ya 17: [50]

Fasili ya kumi na saba:


Tofauti kati ya zawadi na rushwa.

Hadithi ya kwanza:
َّ‫َّوي هثيب‬،َّ‫َّكانَّرسولََّّللاهََّّ(َّصلىَّللاَّعليهَّوسلم)َّيقبلَّالهدهية‬:‫رضيََّّللاَّعنها)ََّّقَّالت‬
‫عنَّعا هئشةَّ( ه‬
.)٢٥8٥(َّ‫َّرواهَّالبخاري‬.‫عليها‬
Ummu Abdillaah, Aaishah (‫ )رضيَّللاَّعنها‬amesimulia:
Mtume (َّ‫ )صلىَّللاَّعليهَّوسلم‬alikuwa anapokea zawadi (anapopewa) na analipa
juu yake (anampa kitu aliempa zawadi). [Ameipokea imamu Bukhaariy]

Hadithi ya Pili:
َّ.))‫َّ((تهادواَّتحابوا‬:‫َّع هنَّالن هبي هَّ(صلىَّللاَّعليهَّوسلم)َّقال‬،)‫عنَّأ هبيَّهريرةَّ(رضيَّللاَّعنه‬
.َّ)١٦9/٦(َّ‫َّوالبيهقي‬،)٦١48(َّ‫َّوأبوَّيعلى‬،)٥94(َّ))‫خاريَّفيَّ((األدبَّالمفرد‬
َّ ‫رواهَّالب‬
Abuu Hurayra (‫ )رضيَّللاَّعنه‬amesimulia:
Mtume (َّ‫ )صلىَّللاَّعليهَّوسلم‬amesema: ((Peaneni zawadi (mkipeana zawadi)
mtapendana)). [Ameipokea imamu Bukhaariy na wengineo]

Hadithi ya tatu:
َّ‫صلىَّللاَّعليهَّوسلم)َّالرا هشي‬
َّ (َّ‫َّلعنَّرسولََّّللاه‬:‫عنَّعبدهََّّللاهَّبنََّّعم ٍروَّ(رضيََّّللاَّعنهمَّا)َّقال‬
َّ ١33٧(َّ‫َّوالترمذي‬،)3٥8٠(َّ‫َّرواهَّأبوَّداود‬.َّ‫شي‬
.) ‫والمرت ه‬
Abdullaah bin Amru (‫ )رضيَّللاَّعنهما‬amesimulia:
Mtume (َّ‫ )صلىَّللاَّعليهَّوسلم‬amemlaani mwenye kutoa rushwa na mwenye
kupokea rushwa. [Ameipokea imamu Abuu Dawud na Tirmidhiy]

Faida za kielimu zinazofungamana na hadithi hizi:


Faida ya kwanza:
Maana ya zawadi kiistilahi:
Zawadi: ni mali au manufaa unayompa mtu kwa niya ya kumkirimu, au
kumlipizia wema fulani aliokufanyia, au iwe sababu ya kupendana nae.

Faida ya Pili:
Hukumu ya kupeana zawadi:
Hadithi hizo ni dalili juu ya kwamba: ni mustahabu watu kupeana zawadi,
na zawadi haina kiasi na kiwango maalumu, chochote tu mtu alichojaaliwa.
Fasili ya 17: [51]

Faida ya tatu:
Faida za kupeana zawadi:
Miongoni mwa faida za kupeana zawadi ni hizi zifuatazo:
1.Kupeana zawadi ni katika wema, na Allaah anapenda kufanyiana wema.

2.Kupeana zawadi ni moja ya sababu za watu kupendana, kwa sababu nafsi


ya mwanaadamu inampenda na kumthamini mwenye kuifanyia ukarimu.

3.Zawadi inaingiza furaha kwenye nafsi; inapatikana furaha kwa aliepewa


zawadi, na huenda zawadi aliyopewa imewafikiana na shida yake, mfano
zawadi ya chakula, huenda siku hiyo alikuwa hajajaaliwa kupata chakula.

4.Zawadi inaondoa uadui na chuki baina ya mahasimu wawili, na badala


yake unapatikana upendo na mahaba kwenye nafsi ya aliepewa zawadi.

Faida ya nne:
Vizuizi vya kuipokea zawadi:
Haijuzu muislamu kupokea zawadi anayopewa ikiwa:
1.Zawadi hiyo ni kitu cha haramu au chenye madhara, mfano: pombe, au
sigara, au kitabu chenye kuharibu tabia na maadili, na mfano wa hayo.

2.Zawadi hiyo ni haki ya mtu mwingine, mfano: mali ya wizi au utapeli, na


(i)ikiwa anaepewa zawadi anajua kuwa kitu hicho ni haki ya mwingine, ni
haramu kwake kuipokea zawadi hiyo, na akiipokea anaandikiwa madhambi
mfano wa madhambi ya alieiba au kutapeli mali hiyo.
(ii)ikiwa anaepewa zawadi hajui kuwa kitu hicho ni haki ya mwingine,
hapo madhambi ya dhuluma hiyo anayabeba alietoa zawadi peke yake.
(iii)ikiwa aliepewa zawadi amejua baadae kitu hicho ni haki ya mwingine,
ikiwa kitu hicho bado kipo ima chote au baadhi yake, ni wajibu kukirudisha
kilichobaki, ama ikiwa amekitumia kimeisha, hapo hakuna kitu juu yake.

3.Huyo anaepewa zawadi hiyo ana udhuru fulani wa kisheria unaomzuia


kuipokea zawadi hiyo kwa wakati huo, kwa mfano:
(i)akipewa zawadi na fulani hali ya kuwa yeye ni hakimu wa mahakama.
(ii)akipewa zawadi ya kiwindwa hali ya kuwa amehirimia ibada ya hijja.
Fasili ya 17: [ 52]

Faida ya tano:
Zawadi aina tatu ni wajibu kuzipokea:
Ni wajibu kupokea zawadi aina tatu zifuatazo ukipewa na mtu fulani:
1.Mto: (unaotumiwa kuegemezea kichwa).
2.Manukato: (kama vile; uturi na mfano wake).
3.Maziwa: (kama vile; maziwa ya ngamia na mfano wake).

Na dalili juu ya hayo ni kauli yake mtume (‫ )صلىَّللاَّعليهَّوسلم‬aliposema:


َّ ‫َّوغير‬،)٢٧9٠(َّ‫َّرواهَّالترمذي‬.))َّ‫َّواللَّبن‬،َّ‫ََّّوالدهن‬،َّ‫َّالوسا هئد‬:‫((ثلثَّلَّترد‬
.‫ه‬
((Vitatu (katika zawadi) havirudishwi: mito, na manukato, na maziwa)).

Faida ya sita:
Maana ya rushwa kiistilahi:
Rushwa: ni mali au manufaa unayompa mtu au watu ili upate au ufanyiwe
ambalo siyo halali kwako kulipata au haustahiki kulipata kwa wakati huo.

Faida ya saba:
Hukumu ya kutoa na kupokea rushwa:
Ni haramu kutoa na kupokea rushwa, kwa dalili kutoka ndani ya Quraan na
Sunnah, na hakuna ikhtilaafu kwa waislamu juu ya uharamu wa rushwa.

Faida ya nane:
Madhara ya kutoa na kupokea rushwa:
Miongoni mwa madhara ya kutoa na kupokea rushwa ni haya yafuatayo:
1.Rushwa ni miongoni mwa madhambi makubwa, na ni katika sababu za
mja kutojibiwa dua zake, na ni katika sababu za mja kulaaniwa na Allaah.

2.Rushwa inapelekea kupoteza haki za watu na kusaidiana juu ya batili,


na kumtanguliza asiestahiki na kumchelewesha anaestahiki kutangulizwa.

3.Rushwa ni dhuluma ya nafsi: mwenye kutoa rushwa anaidhulumu nafsi


yake kwa kutumia mali yake kuchukua haki isiyokuwa yake, na mwenye
kupokea rushwa anaidhulumu nafsi yake kwa kuchukua mali kwa batili.

Faida ya tisa: [Kwenye ukurasa unaofuata baada ya huu]


Fasili ya 17: [53]

Faida ya tisa:
Hukumu ya mwalimu kupokea zawadi kutoka kwa mwanafunzi:
Wamesema ulamaa ya kwamba:
1.Haifai kwa mwalimu kwenye shule za nidhwamiya mathalani thanawiya
(secondary) au jaamiya (university) kupokea zawadi kutokaَّkwa mmoja wa
wanafunzi wake anaowafundisha kwa sasa au ambae inatarajiwa atakuwa
mwalimu wake wa somo fulani muda ujao; kwa sababu zawadi hiyo hata
kama mwanafunzi huyo anampa mwalimu wake kwa kuwa anampenda,
haitakikani mwalimu huyo kuipokea zawadi hiyo kwa ajili ya kufunga
mlango wa kuingia kwenye haramu: kwa sababu nafsi ya mwanaadamu
asili yake inampenda anaeifanyia ukarimu, na huwenda ikawa kuikubali
kwake zawadi hiyo ikapelekea kufanya mambo yaliyokatazwa kwa kuwa
anampenda mwanafunzi huyo, na kumsaidia katika mitihani kwa kumpa
majibu, au kumtajia maswali yatakayotoka, au kumuongezea maksi.

2.Ama mwanafunzi kumpa zawadi mwalimu kwa sababu anampenda, au


kwa kusudio la kuwa karibu nae kutokana na elimu yake na uchamungu
wake, hakuna ubaya mwalimu kupokea zawadi kutoka kwa mwanafuzi
kwa sharti isiwe mwalimu huyo anamfundisha mwanafunzi huyo somo
fulani kwa sasa au atamfundisha wakati ujao; mathalani akimpa zawadi
baada ya kuvuka somo analofundisha, au ikiwa amehamishwa shule
nyingine, au ikiwa mwalimu huyo ameshastaafu, na mfano wa hayo.
.َّ)١١٥(َّ‫َّ((التحفةَّالمرضية))َّص‬:‫ينظر‬

.‫َّتعالىَّأعلم‬
َّ ‫وللا‬
Fasili ya 18: [54]

Fasili ya kumi na nane:


Hatari ya kuhodhi mali kwa hila kupitia mambo ya kidini.

Allaah (‫ )تعالى‬amesema:
38:‫ﱸ ﱺﱻﱼﱽﱾﱿﲀﲁ ﱠَّالتوبة‬
‫ﱹ‬ ‫ﱡﭐ ﱳ ﱴ ﱵ ﱶ ﱷ‬
{Je, mmeridhia maisha ya dunia badala ya akhera? basi starehe za maisha
ya dunia ukilinganisha na akhera ni kidogo} [At-Tawba:38]

Hadithi ya kwanza:
َّ‫اسَّزمان‬
‫َّ((ليأ هتينََّّعلىَّالن ه‬:‫عنَّأ هبيَّهريرةَّ(رضيَّللاَّعنه)َّعنَّالن هبيَّ(صلىَّللاَّعليهَّوسلم)َّقال‬
َّ ٢٠83(َّ‫َّرواهَّالبخاري‬.))‫ام‬
.) َّ‫َّأمَّمنَّالحر ه‬
‫َّأمنَّالحل هل ه‬، ‫لَّيبا هليَّالمرءَّ هبماَّأخذَّالمال ه‬
Abuu Hurayra (َّ‫ )رضيَّللاَّعنه‬amesimulia:
Mtume (َّ‫ )صلىَّللاَّعليهَّوسلم‬amesema: ((hakika zitawajia watu zama mtu hajali
ni kwa lipi ameichukua mali, je, (mali aliyoichukua) ni katika (chumo la)
halali au ni katika (chumo la) haramu?)). [Ameipokea imamu Bukhaariy]

Hadithi ya Pili:
َّ‫ََّّ((إن‬:َّ‫َّسَّ هَّمعَّتََّّالن هبيََّّ(صلىَّللاَّعليهَّوسلم)ََّّيقَّول‬:‫ارَّي هَّةَّ(رضيَّللاَّعنها)َّقالت‬َّ‫عَّنَّخَّ َّولَّةََّّاألنصَّ ه‬
َّ 3١١8(َّ‫َّرواهَّالبخاري‬.))‫َّفلهمَّالنارَّيومَّال هقيام هَّة‬،َّ‫ق‬
.) ٍ ‫يرَّح‬ َّ‫هرجالَّيتخوضونَّفهَّيَّما هلَّ ه‬
‫للاَّهَّبغ ه‬
Ummu Muhammad, Khawla binti Qais (‫ )رضيَّللاَّعنها‬amesimulia:
Nilimsikia mtume (َّ‫ )صلىَّللاَّعليهَّوسلم‬anasema: ((hakika watu wanaozitumia
mali za Allaah (mali za waislamu) bila ya haki, watapata (adhabu ya) moto
(wa Jahannam) siku ya Qiyama)). [Ameipokea imamu Bukhaariy]

Hadithi ya tatu:
َّ‫َّأنَّرسولََّّ ه‬:)‫عَّنَّأهَّبيَّأمَّامَّةََّّ(رضيَّللاَّعنه‬
َّ‫َّ((م هنََّّاقتطعَّحق‬:‫للاَّ(صلىَّللاَّعليهَّوسلم)َّقال‬
.َّ)١3٧َّ(َّ‫َّرواهَّمسلم‬.))َّ‫َّوحرمَّعلي ههَّالجنة‬،َّ‫ََّّفقدَّأوجبَّللاَّلهَّالنار‬،‫ئَّمس هل ٍَّمَّهَّبي هميهَّن هَّه‬
ٍَّ ‫ام هر‬
Abuu Umama Al-Haarithiy (‫ )رضيَّللاَّعنه‬amesimulia:
Mtume (َّ‫ )صلىَّللاَّعليهَّوسلم‬amesema: ((atakaeichukua haki ya muislamu kwa
kiapo chake, hakika Allaah amewajibisha mtu huyo kuingia motoni, na
ameharamisha mtu huyo kuingia peponi)). [Ameipokea imamu Muslim]

.‫َّتعالىَّأعلم‬
َّ ‫وللا‬
Fasili ya 19: [55]

Fasili ya kumi na tisa:


Namna ya kutubia dhambi ya wizi na utapeli.

Allaah (‫ )تعالى‬amesema:
‫ﲤﲦﲧ‬
‫ﲥ‬ ‫ﱡﭐ ﲔ ﲕ ﲖ ﲗ ﲘ ﲙ ﲚ ﲛ ﲜ ﲝ ﲟ‬
‫ﲞ ﲠ ﲡﲢ ﲣ‬
٥3َّ:‫ﲨﲩ ﱠَّالزمر‬
{Sema (ewe nabii Muhammad waambie umati wako Allaah anasema): enyi
waja wangu ambao wamepindukia mipaka juu ya nafsi zao! msikate
tamaa na rehma za Allaah, hakika Allaah anasamehe madhambi yote,
hakika yeye ni mwingi wa kusamehe mwenye kurehemu} [Az-Zumar:53]

Pia Allaah (‫ )تعالى‬amesema:


١١٠َّ:‫النساء‬
َّ َّ‫ﱡﭐﲄﲅﲆﲇﲈﲉﲊﲋﲌﲍﲎﲏﲐﱠ‬
{Na atakaetenda jambo ovu au akaidhulumu nafsi yake (kwa maasi) kisha
akamuomba msamaha Allaah, atamkuta Allaah mwingi wa kusamehe
mwenye kurehemu} [An-Nisaa:110]

Hadithi:
َّ‫َّقالَّرسولَّ ه‬:‫عَّنَّأهَّبيَّهَّرَّيرََّّةَّ(رضيَّللاَّعنه)َّقال‬
َّ‫َّ((منَّكانتَّ هعنده‬:)‫للاَّ(صلىَّللاَّعليهَّوسلم‬
ََّّ‫َّمنهَّاليومَّقبلَّأنَّلَّيكونَّدهينارَّولَّدهرهم؛‬ ‫َّفليتحلَّله ه‬،‫ض ههَّأوَّشي ٍَّء‬‫مظلَّمةََّّ هألحدٍَّ همنَّ هعرَّ ه‬
َّ‫َّمنَّس هيئاته‬
‫َّوإنَّلمَّيكنَّلهَّحسناتَّأ هخذ ه‬،َّ‫َّمنهَّ هبقد هرَّمظلَّم هت هه‬
‫إنَّكانَّلهَّعملَّصا هلحَّأ هخذ ه‬
.َّ)٢449(َّ‫َّرواهَّالبخاري‬.))َّ‫اح هب ههَّفح هملَّعلي هه‬ ‫ص ه‬
Abuu Hurayra (‫ )رضيَّللاَّعنه‬amesimulia:
Mtume (َّ‫ )صلىَّللاَّعليهَّوسلم‬amesema: ((ambae amemfanyia dhuluma yeyote
katika heshima yake au kitu chochote, amuombe amhalalishie leo kabla
(haijafika siku ambayo) hakutakuwa na dinari wala dirhamu; ikiwa ana
matendo mema yatachukuliwa katika (mema yake) hayo kwa kadiri ya
alichodhulumu, na ikiwa hana matendo mema yatachukuliwa maovu ya
aliemdhulumu anabebeshwa yeye)). [Ameipokea imamu Bukhaariy]

Faida za kielimu zinazofungamana na aaya na hadithi hizi:


Faida ya kwanza:
[Kwenye ukurasa unaofuata baada ya huu]
Fasili ya 19: [56]

Faida ya kwanza:
Tofauti kati ya toba na istighfaari:
Wametaja ulamaa tofauti kati ya toba na istighaari, baadhi yake ni hizi:
1.Maana yake:
Toba: ni mja kurejea kwa Allaah kwa kujitoa katika maasi aliyoyafanya, na
kujutia juu ya kitendo chake, na kuazimia kutorudia tena, sawa sawa yawe
maasi ya kufanya jambo la haramu, kama vile; wizi, au ulevi, au zinaa, n.k,
au maasi ya kuacha jambo la wajibu, kama vile; kuacha swalaa tano, au
kuacha kuvaa hijabu ya kisheria, n.k.
Ama istighfaari: mja kumuomba msamaha Allaah kwa ulimi wake, mfano
kusema: astaghfiru-llaah, au rabbi-ghfirliy, na istighfaari ni moja ya dua.

2.Ukomo wake kwenye kujifanyia na kumfanyia mtu mwingine:


Toba, kila mtu anajifanyia toba mwenyewe, haiswihi mtu kufanyiwa toba
na mtu mwingine, haiswihi mathalani mtu kumfanyia toba mzazi wake au
ndugu yake.
Ama istighfaari, inaswihi mtu kujiombea maghfira mwenyewe na inaswihi
kumuombea maghfira mtu mwingine, inaswihi mathalani mtu kumuombea
maghfira mzazi wake au ndugu yake, na moja ya dalili juu ya hilo ni dua ya
nabii Nuuh (‫ )عليهَّالسلم‬ndani ya Quraan, aliposema:
٢8َّ:‫ﳙﱠَّنوح‬
‫ﳚ‬ ‫ﱡﭐ ﳐ ﳑ ﳒ ﳓ ﳔ ﳕ ﳖ ﳗ ﳘ‬
{Rabbi! nisamehe mimi, na wazazi wangu wawili, na alieingia nyumbani
kwangu muumini, na waumini wanaume na waumini wanawake} [Nuuh:28]

3.Mwisho wa muda wake wa kukubaliwa:


Toba, mwisho wa muda wa kukubaliwa toba ya mja ni kabla hajafa kabla
roho haijafika kooni, na moja ya dalili juu ya hilo ni kauli yake Allaah (‫)تعالى‬
ndani ya Quraan, aliposema:
َّ‫ﱡﭐﲀﲁﲂ ﲃﲄ ﲅﲆ ﲇﲈﲉ ﲊﲋ ﲌﲍﱠ‬
١8َّ:‫النساء‬
{Na hakuna toba kwa ambao wanafanya maovu hadi mmoja wao mauti
yanapomkaribia anasema: hakika mimi nimetubia sasa} [An-Nisaa:18]
Ama istighfaari, inaswihi kumuombea mtu maghfira hata baada kufariki,
inaswihi mathalani mtu kuwaombea maghfira wazazi wake waliofariki.
Fasili ya 19: [57]

Faida ya Pili:
Masharti ya kuswihi toba ya mwenye kutubia:
Masharti ya toba ya maasi yasiyofungamana na haki ya mja mwenzie:
Ni wajibu mja kutubia kila dhambi, ikiwa ni maasi baina ya mja na Allaah,
hayafungamani na haki ya mja mwenzie, mathalani maasi ya kunywa au
kuuza pombe, toba ya maasi hayo ina masharti matatu yafuatayo:
1.Ajitoe kwenye maasi hayo:
Mathalani ikiwa mja fulani anafanya biashara ya kuuza pombe, anapotaka
kutubia maasi hayo anatakiwa kwanza aiache biashara hiyo.
2.Ajute juu ya kufanya maasi hayo:
Yaani; asikitike, isiwe kwake kufanya maasi hayo na kutofanya ni hali moja.
3.Aazimie kutorudia kufanya maasi hayo:
Na kwenye hili inadhihirika ubatili wa toba ya baadhi ya waislamu:
(i)wenye vimada, ambapo ukikaribia mwezi wa Ramadhani wanatengana
kwa niya kurudiana baada ya kuisha Ramadhani.
(ii)wanaoacha kucheza kamari ndani ya mwezi wa Ramadhani kwa niya ya
kuendelea kucheza kamari baada ya kuisha Ramadhani, na mfano wa hao.
Mja akitubia maasi yake kwa kutimiza masharti hayo toba yake inaswihi.
Na ikitokea mja huyo amerudia kufanya maasi hayo, toba yake ya mwanzo
haibatiliki ikiwa hakuazimia kurudia maasi hayo, anatakiwa atubie tena.

Masharti ya toba ya maasi yanayofungamana na haki ya mja mwenzie:


Ama ikiwa ni maasi yanayofungamana na haki ya mja mwenzie, masharti
ya toba ya maasi hayo ni manne; hayo masharti matatu yaliyotangulia, na
4.Airudishe haki kwa mwenyewe au amuombe amsamehe, kwa mfano:
(i)ikiwa alimuibia au alimtapeli mtu mali, anatakiwa airudishe mali hiyo
kwa aliemuibia au aliemtapeli, na siyo sharti ajitaje kuwa yeye ndie alieiba
au alietapeli, bali inajuzu kumrudishia mali yake kwa namna ambayo asijue
imetoka kwa nani, na ikiwa mwenye mali hiyo ameshakufa au hajui alipo
akawape warithi wake, na ikiwa hamjui hata mmoja katika warithi wake
aitoe sadaka mali hiyo kwa niya thawabu zimuendee mwenye mali hiyo.
(ii)ikiwa mali aliyoiba ameitumia au ameiuza na hana uwezo wa kuipata,
amuendee mwenye mali amuombe msamaha au ampe muda hadi akiipata.

.‫َّتعالىَّأعلم‬
َّ ‫وللا‬
Fasili ya 20: [58]

Fasili ya ishirini:
Ubora wa mtu kula kutokana na kazi ya mkono wake.

Allaah (‫ )تعالى‬amesema:
١٠َّ:‫ﱡﭐﱘﱙﱚﱛﱜﱝ ﱞﱟﱠﱡﱠَّالجمعة‬
{Kisha swalaa inapomalizika tawanyikeni katika ardhi na mtafute katika
fadhila za Allaah} [Al-Jumaa:10]

Hadithi ya kwanza:
ََّّ‫َّ((ما‬:‫النهَّبيََّّ(صلىَّللاَّعليهَّوسلم)َّقال‬
َّ َّ‫ن‬
َّ‫َّعَّ ه‬،)‫بنَّمع هَّديَّك هربَّال هكندهيَّ(رضيَّللاَّعنه‬ ‫امَّ ه‬
َّ‫نَّالمقَّدَّ ه‬
َّ‫ه‬ َّ‫ع‬
‫َّوإنَّنبيَّ َّه‬،‫َّمنَّعم هلَّي هدهَّه‬
َّ‫للاَّداودَّ(عليهَّالسلم)َّكان‬ ‫اَّمنَّأنَّيأكل ه‬
‫أكلَّأحدَّطعاماَّقطَّخير ه‬
.َّ)٢٠٧٢(َّ‫َّرواهَّالبخاري‬.))‫َّمنَّعم هلَّي هدهَّه‬ ‫يأكل ه‬
Miqdaam bin Ma’ad Karib Al-Kindiy (‫ )رضيَّللاَّعنه‬amesimulia:
Mtume (َّ‫ )صلىَّللاَّعليهَّوسلم‬amesema: ((hajala yeyote chakula bora zaidi katu
kuliko anachokula kutokana na kazi ya mkono wake, na hakika nabii wa
Allaah Dawud (‫ )عليهَّالسلم‬alikuwa anakula (chakula) kilichotokana na kazi
ya mkono wake)). [Ameipokea imamu Bukhaariy]

Hadithi ya Pili:
َّ‫َّأنََّّرَّسَّولََّّ ه‬:)‫امدهيََّّ(رضيَّللاَّعنه‬
َّ‫َّ((اللَّهم‬:‫للاَّ(صلىَّللاَّعليهَّوسلم)َّقال‬ ‫خ هَّرَّبنَّودَّاعةَّالغَّ ه‬
َّ َّ‫عَّنَّص‬
َّ،‫ار‬َّ‫َّوكانَّيبعثَّ هتجارتهَّأولَّالنه ه‬،‫اجرا‬ ‫َّوكانَّصخرََّّرجلََّّت ه‬.))‫ورها‬ ‫اركَّألم هتيَّفهَّيَّبك ه‬ ‫ب ه‬
.َّ‫َّوغيرهما‬،)١٢١٢(َّ‫َّوالترمذي‬،)٢٦٠٦(َّ‫َّرواهََّّأبوَّداود‬.‫فأثرىَّوكثرَّمالَّ َّه‬
Swakhr bin Wada’a Al-Ghaamidiy (‫ )رضيَّللاَّعنه‬amesimulia:
Mtume (َّ‫ )صلىَّللاَّعليهَّوسلم‬aliomba hivi: ((Allaahumma! ubariki umati wangu
mwanzo wa mchana wake)). Swakhr alikuwa mfanya biashara, alikuwa
anapeleka biashara yake mwanzo wa mchana (kuanzia baada ya swalaa
ya alfajir), akawa anapata faida kubwa na mali yake ikawa nyingi.
[Ameipokea imamu Abuu Dawud, Tirmidhiy na wengineo]

.‫َّتعالىَّأعلم‬
َّ ‫وللا‬
Fasili ya 21: [59]

Fasili ya ishirini na moja:


Makatazo ya kufuja mali na kuipoteza kwa anasa.

Allaah (‫ )تعالى‬amesema:
٢٧َّ:‫ﳌﳎﳏﳐﳑ ﱠَّاإلسراء‬
‫ﳍ‬ ‫ﱡﭐ ﳈ ﳉ ﳊ ﳋ‬
{Hakika wabadhirifu wamekuwa ndugu wa mashetani, na shetani
amekuwa mwingi wa kukufuru kwa mola wake mlezi} [17:27]

Pia Allaah (‫ )تعالى‬amesema:


8َّ-َّ٦َّ:‫ﱡﭐﲩﲪﲫﲬﲭ ﲮﲯﲰﲱ ﲲﲳﲴﲵﱠَّالتكاثر‬

{Hakika mtauona moto wa Jahimu (6) Kisha hakika mtauona vile ulivyo
kwa yakini (7) Kisha hakika mtaulizwa siku hiyo kuhusu neema} [102:6 - 8]

Hadithi ya kwanza:
َّ‫َّللاَّتعالى‬
َّ ‫َّ((إن‬:‫للاَّ(صلىَّللاَّعليهَّوسلم)َّقال‬ َّ‫َّأنََّّرسولَّ ه‬:)‫عَّنَّالمَّ هَّغيرَّةهََّّبنَّشَّعََّّبةََّّ(رضيَّللاَّعنه‬
َّ ٥93(َّ‫َّم‬،)٥9٧٥(َّ‫َّخ‬:‫َّمتفقَّعليه‬.))‫ل‬
.) َّ‫َّوإضاع هَّةَّالما ه‬،‫ل‬َّ‫َّوكثرةهََّّالسؤا ه‬،َّ‫َّقهيلَّوقال‬:ٍ‫نهىَّعنَّثلث‬
Mughiyra bin Shu’uba (‫ )رضيَّللاَّعنه‬amesimulia:
َّ َّ‫ )صلىَّللاَّعليه‬amesema: ((hakika Allaah (َّ‫ )تعالى‬amekataza mambo
Mtume (‫وسلم‬
matatu: maneno na mijadala isiyo na maana, na kukithirisha kuuliza, na
kupoteza mali)). [Ameipokea imamu Bukhaariy na Muslim]

Hadithi ya Pili:
َّ‫َّ((َّلَّتزول‬:)‫صلىَّللاَّعليهَّوسلم‬
َّ َّ‫َّقالَّرسولَّ ه‬:‫يَّبرَّ َّزَّةَّاألسَّلَّ هَّميََّّ(َّرضيَّللاَّعنه)َّقال‬
(َّ‫للا‬ َّ ‫عَّنَّأهَّب‬
َّ‫َّمن‬
‫ََّّوعنَّما هل هه ه‬،َّ‫َّوعنَّ هع هلم ههَّفهيمَّفعل‬،َّ‫قدماَّعبدٍَّيومَّال هقيام هةَّحتىَّيسألَّعنَّعم هرههَّفهيمَّأفناه‬
.ََّّ‫َّوغيره‬،)٢4١٧(َّ‫َّرواهَّالترمذي‬.))َّ‫َّجس هم ههَّفهيمَّأَّبلَّه‬
‫َّوعن ه‬،َّ‫أينَّاكتسبهَّوفهيمَّأنفقه‬
Abuu Barza Al-Aslamiy (‫ )رضيَّللاَّعنه‬amesimulia:
Mtume (َّ‫ )صلىَّللاَّعليهَّوسلم‬amesema: ((nyayo za mja hazitaondoka (kwenye
uwanja wa hesabu) mpaka aulizwe juu ya umri wake aliumaliza vipi, na
juu ya elimu yake aliifanyia kazi vipi, na juu ya mali yake aliichuma wapi
(katika halali au katika haramu) na aliitumia kwenye nini, na juu ya mwili
wake aliutumia vipi)). [Ameipokea imamu Tirmidhiy na wengineo]

Mwisho wa juzuu ya kwanza ya kitabu hiki, inafuatia juzuu ya pili.

You might also like