Professional Documents
Culture Documents
Ibada Ya Sabato
Ibada Ya Sabato
E-mail: www.sollydaddy92@gmail.com
www.frolidahilali5@gmail.com
Contact: +255 (0)769 567 263 / +255 (0)753 907 403
Solly & Flory Corporation
ATAPE - KIHONDA NET EVENT-Morogoro
Nyayo Za Matumaini
IBADA SIKU YA SABATO LEO Tarehe 20 Mei, 2023
UJUMBE LANGONI
By Pastor Paul Semba
Fungu kuu: Luka 16:27-31
“27Akasema, Basi, baba, nakuomba, umtume nyumbani kwa baba yangu, 28kwa
kuwa ninao ndugu watano, ili awashuhudie, wasije wao pia wakafika mahali hapa
pa mateso. 29Ibrahimu akasema, Wanao Musa na manabii; na wawasikilize wao.
30
Akasema, La, baba Ibrahimu, lakini kama akiwaendea mtu atokaye kwa wafu,
watatubu. 31Akamwambia, Wasipowasikia Musa na manabii, hawatashawishwa
hata mtu akifufuka katika wafu”
Ezekiel 16:49
Kiburi
Kushiba chakula
Mafanikio
2 Petro 2:6-7
“Na malaika wasioilinda enzi yao wenyewe, lakini wakayaacha makao yao
yaliyowahusu, amewaweka katika vifungo vya milele chini ya giza kwa hukumu ya
siku ile kuu. 7Kama vile Sodoma na Gomora na miji iliyokuwa kando-kando,
waliofuata uasherati kwa jinsi moja na hawa, wakaenda kufuata mambo ya mwili
yasoyo ya asili, imewekwa kuwa dalili, wakiadhibiwa katika moto wa milele.
Sodoma na Gomora
Mwanzo 19:1- Mkewe Lutu pamoja na Lutu waliwakarimu wale wageni
(Malaika)
“Basi wale malaika wawili wakaja Sodoma jioni; na Lutu alikuwa amekaa
mlangoni pa Sodoma. Lutu akawaona akaondoka akaenda kuwalaki, akainama
kifudifudi.
Mara zote Lutu alikuwa akilalamika na kuzuia uovu uliokuwa ukiendelea katika
mji ule.
Mungu alishuka katika mji wa Sodoma ili aone kama iko njia ya kuwaokoa watu
wake.
Mwanzo 19:15
Mwanzo 19:17
“17.....Jiponye nafsi yako usitazame nyuma, wala usisimame katika hilo bonde po
pote; ujiponye mlimani, usije ukapotea”. Huu ulikuwa ujumbe wa Yesu, LAKINI
MKEWE LUTU ALIGEUKA
Kauli za Yesu
Lutu alitoka nje ya Sodoma si kwa sababu ya miguu yake wala juhudi zake
bali ni kwa sababu ya maombi ya Ibrahimu.
“Kuna nguvu katika maombi, tunapofanya maombi yetu binafsi tususahau
kuwaombea ndugu zetu, jamaa zetu, rafiki zetu bila kuwasahau wazazi wetu”
©2023