Professional Documents
Culture Documents
Dawa Za Jadii
Dawa Za Jadii
Dawa Za Jadii
MAFUTA YAKUJIPAKA
Bismillah rahman rahm ndugu zangu kwa sadaka ya ramadhan kila alijaaliwa
atafute
Mafuta ya zaituni
Mafuta ya mkunazi
Mafuta ya ndimu
Mafuta ya karafuu
Mafuta ya kituu saumu
Mafuta ya halmit
Mafuta ya ubani
Kisha ayachanganye kwa pamoja na baada ya hapo …………………………………
SIKU SAA NA KAZI ZAKE
1. JUMA TATU.
1. SAA MOJA NI SAA YA MAPENZI.
2. SAA MBILI NI SAA YA WATU AU ADUI AU KUVUNJA NDOA YA MTU.
3. SAA TATU NI SAA YA MAPENZI.
4. SAA NNE NI SAA YA VITA NA ADUI.
5. SAA TANIO NI SAA YA VITA NA UADUI.
6. SAA SITA NI SAA YA KUTOA MAJINI.
7. SAA SABA NI SAA YA KUFUNGA HIRIZI.
8. SAA NANE NI SAA YA KUFUNGA NDOA .
9. SAA TISA NI SAA YA KUFANYA KAZI YOYOTE UTAFANIKIWA.
10. SAA KUMI NI SAA YA KUUZA NA KUNUNUA.
11. SAA KUMI NA MOJA NI SAA YA KUTENGANISHA WATU AU WANANDOA.
12. SAA KUMI NA MBILI NI SAA YA KUINGIA KWA WAKUBWA AU KWENDA
KUOMBA KAZI SEHEMU.
2.JUMA NNE.
1.SAA MOJA NISAA YA KUTENGANISHA AU NI SAA YA KUROGEA AU KUTUMA
MAJINI.
2.SAA MBILI NI SAA YA KUINGIA KWA WAKUBWA AU KWENDA KUOMBA
KAZI.
3. SAA TATU NI SAA YA MAHABA.
4.SAA NNE NI SAA YA KUTENGANISHA NA NI SAA YA UCHAWI.
5.SAA TANO NI SAA YA MAPENZI AU KUOGA DAWA ZA MAPENZI AU
KUFANYA DAWA YOYOTE YA MAPENZI.
6.SAA SITA NI SAA YA VITA AU KUMPIGA ADUI
7.SAA SABA NI SAA YA KUINGIA KWA WAKUBWA.
8.SAA NANE NI SAA YA KUTENGANISHA PIA NI SAA YA UCHAWI.
9.SAA TISA NI SAA YA KWA WAKUBWA .
10.SAA KUMI NI SAA YA MAPENZI NA KUOSHA DAWA.
11. SAA KUMI NA MOJA NI SAA YA KUTENGANISHA NA KUROGA.
12.SAA KUMI NA MBILI NI SAA YA MAPENZI NA KUOSHA DAWA YA
MAPENZI.
3.JUMA TANO
1.SAA MOJA NI SAA YA MAPENZI.
2.SAA MBILI NI SAA YA MAPENZI.
3.SAA TATU NI SAA YA KUANZA JAMBO LOLOTE UTAFANIKIWA.
4.SAA NNE NI SAA YA MAZINDIKO.
5. SAA TANO NI SAA YA KUKUABILIANA NA VIONGOZI AU MAFARAKNO YA
NDOA.
6. SAA SITA NI SAA YA KUHARIBIKA KWA NDOA AU MAFARAKANO YA NDOA.
7.SAA SABA NI SAA YA KUPENDA WANAWAKE.
8.SAA NANE NI SAA YA KUKOSA KILA KITU CHOCHOTE KILE
UTAKACHOKIFANYA UTAKOSA.
9.SAA TISA NI SAA YA KUANDAA VITA AU KUKUSANYA SILAHA.
10.SAA KUMI NI SAA YA MAPENZI .
11. SAA KUMI NA MOJA NI SAA YA KUNYWA DAWA.
12.SAA KUMI NA MBILI NI SAA YA KUTIMIZIWA HAJA.
4.ALHAMISI.
1.SAA MOJA NI SAA YA KUANDIKA MAKOMBE YA MAHABA.
2.SAA MBILI NI SAA YA WASIWASI.
3.SAA TATU NI SAA YA KUANZA SAFARI UTAFANIKIWA.
4.SAA NNE NI SAA YA KUINGIA KWA WAKUBWA.
5.SAA TANO NI SAA YA KUVUNJA NDOA AU KUFARAKANISHA.
6.SAA SITA NI SAA YA MAPENZI .
7.SAA SABA NI SAA YA KUFUKUZA AU KUMWANGAMIZA JINI.
8.SAA NANE NI SAA YA MAPENZI.
9.SAA TISA NI SAA YA KUTENGANISHA AU KUFARAKANISHA.
10.SAA KUMI NI SAA YA KUVUNJA NDOA .
11.SAA KUMI NA MOJA NI SAA YA MAPENZI.
12.SAA KUMI NA MBILI NI SAA YA MAPENZI.
5.IJUMAA.
1. SAA MOJA NI SAA YA MAPENZI .
2.SAA MBILI NI SAA YA KUBAINI AU KUFICHUA UCHAWI.
3.SAA TATU NI SAA YA MAPENZI NA KUOSHA DAWA AU KUOGA DAWA.
4.SAA NNE NI SAAYA KUTENGANISHA AU KUFARAKANISHA.
5.SAA TANO NI SAA YA KUWAONA VIONGOZI AU KUOMBA KAZI.
6.SAA SITA NI SAA YA KUFUNGA NDOA.
7.SAA SABA NI SAA YA KUWAONA VIONGOZI AU KUOMBA KAZI.
8.SAA NANE NI SAA YA MAPENZI.
9.SAA TISA NI SAA YA KUANZA SAFARI.
10.SAA KUMI NI SAA YA MAPENZI.
11.SAA KUMI NA MOJA NI SAA YA KUOMBA JAMBO LOLOTE NA
UTAFANIKIWA LIWE LA KHERI AU L SHARI.
12.SAA KUMI NA MBILI NI SAA YA MAPENZI.
6.JUMAMOSI.
1.SAA MOJA NI SAA YA KUTENGANISHA AU KUFARAKANISHA.
2.SAA MBILI NI SAA YA MAPENZI.
3.SAA TATU NI SAA YA KUTENGANISHA AU KUFARAKANISHA.
4.SAA NNE NI SAA YA KAZI ZOTE NZURI UKIFANYA UTAFANIKIWA.
5.SAA TANO NI SAA YA KUFUNGA NDOA .
6.SAA SITA NI SAA YA MAPENZI .
7.SAA SABA NI SAA YA KUINGIA KWA WAKUBWA.
8.SAA NANE NI SAA YA KUFUKUZA MAJINI.
9.SAA TISA NI SAA YA KUWAPELEKA WATOTO KWA WALIMU.
10.SAA KUMI NI SAA YA KUVUNJA NDOA AU KUFARAKANISHA .
11.SAA KUMI NA MOJA NI SAA YA KUFICHUA UCHAWI.
12.SAA KUMI NA MBILI NI SAA YA MAPENZI.
7.JUMA PILI
1. SAA MOJA NI SAA YA KULIPA MADENI.
2.SAA MBILI NI SAA YA KUTAFUTA MCHUMBA.
3.SAA TATU NI SAA YA KUFUATILIA UTAKALO NA UTAFANIKIWA.
4.SAA NNE NI SAA YA KUFANYA MAMBO YOTE MAZURI.
5. SAA TANO NI SAA YA NUKSI AU KUFARAKANISHA.
6.SAA SITA NI SAA YA KUFANYA BIASHARA.
7.SAA SABA NI SAA YA VITA.
8.SAA NANE NI SAA YA KINGA.
9.SAA KUMI NI SAA YA MAPENZI NA KUOGA DAWA
10 SAA KUMI NI SAA YA MAPENZI.
11.SAA KUMI NAMOJA NI SAA YA KUTAFUTA MCHUMBA.
12.SAA KUMI NA MBILI NI SAA YA KUFANYA DAWA ZA MITI NA
UTAFANIKIWA
AINA YA MAJINI NA NAMNA YA KUWADHIBITI
Jinn ni jina waliyopewa majini wasiokuwa na sifa
yoyote. Kuna habari nyingi zinazotafautiana
kuhusu vyeo vya majini kutokana na nguvu zao.
Lakini watu wote wanaamini kwamba daraja zao
zinaendana kutokana na nguvu zao na umri wao.
Ili kufahamu zaidi hii ni orodha ya baadhi ya
Majini na uwezo wao.
AINA YA MAJINI
Kuna aina tatu za majini:
(1) majini ambao huruka angani
(2) Majini ambao maumbo yao ni kama majoka
na mbwa.
(3) majini ambao huishi sehemu moja na kuhama
hama.
MAKUNDI YA MAJINI
Kuna makundi mengi ya majini:-
(a) Majini ambao huishi na binadamu huitwa
‘Amir.
(b)Majini ambao hushambulia watoto wa kiume
huitwa Ruh (arwaah).
(c) Majini ambao wenye nia mbaya na wenye
kiburi huitwa shaytwan.
(d) Majini wenye nguvu kuliko mashetani
wanaitwa Marid.
(e) Majini wenye nguvu kuliko marid wanaitwa
Ifrit.”
JINNI JANN
1. Jann ni majini wadogo, wenye hadhi ya chini
na wasiokuwa na nguvu.
2. Umbo lao ni kama binadamu na huonekana
warefu ila macho yao huwa yanawaka waka na
kutoa mwanga wa ajabu.
PETE YA KUMDHIBITI JINNI HUYU
Pete yenyewe ni ya jiwe la turqoise na katikati ya
pete hiyo ndiyo kuna nguvu za kumdhibiti jini
huyu.
Pete yenye imezungukwa na mawe manne
madogo ambayo kazi zake ni:-
(1) Jiwe la kwanza ni la kukuletea utajiri, heshima
na utukufu.
(2) jiwe la pili linakupa mvuto wa kimapenzi na
uzuri
(3) Jiwe la tatu linakuletea bahati na kukuondolea
matatizo.
(4) jiwe la nne linakupa uwezo wa kumrubuni mtu
yeyote unaye ongea nae.
JINNI DJINN
Djinn majini hawa wana urefu mara mbili zaidi ya
mwanadamu ingawa sehemu yake ya chini huwa
kama moshi na upepo
majini hawa ni wengi lakini baadhi yao hawana
nguvu, kazi yao ni kutisha watu kwa raha zao
wenyewe.
PETE YA KUMDHIBITI JINNI HUYU
Pete ya kumdhibiti jini huyu ni ya shaba yenye
kito cha sapphire ya njano, kazi yake kubwa ni
kukuwezesha kushinda michezo kama vile kamari,
bahati nasibu na kukushauri sehemu ya kuwekeza
kibiashara.
JINNI SHAITAN
Shaitan (Jini huyu anafanana na binadamu mrefu
mwenye ngozi ya jiwe lilo suguliwa na macho
yanayong’aa ya Agate.
Wanajua aina saba au nane ya uchawi. Mara tu
Jini anapofikia hadhi ya Shaitan hukabidhiwa
binadamu.
Wao huwacha utundu wao na hutumia muda wao
mwingi kumshawishi mwanadamu kufanya
maovu. Ili kuweka mambo sawa malaika pia
hukabidhiwa mwanadamu huyo huyo.
PETE YA KUMDHIBITI JINNI HUYU
Pete hii ni kifungo cha jini huyu Shaitan ambaye
ana waamuru majini wasaidizi wake 3213 wake
kwa waume ambao hutimiza matakwa ya
mkubwa wao. Jini huyu Mfalme Shaitan hukupa
furaha, mali, ushindi, ulinzi, raha ya ngono,
mapenzi ushindi wa kamari nk.
JINNI AFRIT
Afrit Minal jini ni Majini wanaojulikana kwa nguvu
zao na ujanja. Jini huyu mwenye umbo la kiume
ana ngozi nyororo macho yanayo fuka moshi na
pembe ndogo nyeusi. Hutokwa na moshi wa
mviringo kutoka mwilini mwake.
PETE YA KUMDHIBITI JINNI HUYU
Pete ya kumdhibiti jinni huyu ni ya shaba na kito
cha rangi ya blue, Pete hiyo itakusaidia katika
Michezo ya bahati nasibu, kukuletea bahati,
utajiri, mafanikio katika kazi na biashara zako
pamoja na katika masuala ya mapenzi.
JINNI MARIDA
Jini Huyu ana sura ya kufanana na Jitu kubwa
lenye nguvu, ngozi yake ya mwili ina rangi ya
bluu na kijani.
Majini haya ya Marida ni yenye nguvu na uwezo
mkubwa sana na huwa wanatumiwa kwalinda na
kuwasaidia Wafalme, Matajiri wakubwa, marais
na Viongozi wakubwa serekalini. Majini hawa
huishi kati ya miaka 2000 na 2500)
PETE YA KUMDHIBITI JINNI HUYU
Pete hii ya shaba na kito cha quartz itakusaidia
kudhibiti watu, kuheshimiwa, watu kukuogopa,
kuwa na mvuto katika jamii, kujua mambo yako
ya mbele, kinga na kukusaidia katika mambo
mengi ya kiutawala.
MAJINI WABAYA
JINNI AAMIR
Jini huyu Aamir huishi ndani ya nyumba za watu.
Jini huyu Aamir anapokuwa kwenye nyumba huwa
anaonekana katika umbo la Nyoka Mweusi.
JINNI ROOH (SPIRITS)
Majini hawa ni wale ambao huwa wanashirikiana
na watoto mara nyingi.
Kama ukimsikia mtoto akisema kuwa ameona
kitu au anacheza au kucheka peke yake basi ujue
kuwa ametokewa na hawa Majini wa jamii ya
ROOH.
JINNI GHOUL – SI’LAH (JINN MAGICIANS)
Majini haya yanayoitwa Ghoul huwa wanaishi
katika Majangwa au katika visiwa ambavyo
havikaliwi na watu.
Majini hawa huwatokea watu katika maumbo
mbalimbali mfano umbo la Paka au kama
utamuona Paka mwenye ulimi uliokatika kama
uma
JINNI AL-NASNAS – SHIQQ
Jini huyu ni mwenye umbo la kipekee kwani huwa
anatokea kama Binadamu ambae amegawanyika
katika sehemu mbili.
Watu ambao hukutana na Jini huyu huwa
hawaishi kwani Jini huyu huwashambulia mpaka
kupoteza maisha.
JINNI QAREEN
Jini huyu ndie huongozana na binadamu toka
tumboni mwa mama yake mpaka mtu
anapozaliwa na anakua nae katika maisha yake
yote ya hapa duniani mpaka atakapofariki dunia.
JINI MAHABA NA
NDOTO ZA KAWAIDA
JINNI MAIMUNA
KILA JINI WA KIKE WATU APANDAPO KWA MTU WATU UMUITA MAIMUNA
NA HALI ILIO KWA SASA KWA WALE WENYE MAJINI MTU AKIJUA ANAJINI
AITWAE SHARIFU SUBIANI JABARI MAKATA SIJUI ROHANI WENGI UJIONA
KAMA WANA MAJINI WAKUBWA WENGI WA MAJINI UTUMIA MAJINA HAYA
KWA KIGEZO CHA KUJIFANYA WEMA NA WATUKUFU KWA WATU HALI YA
KUA NI WAOVU WA UONGO JARIBU KUMUULIZA JINI WAKO JINA LAKE
HALISI ANAITWA NANI MFANO KAMA NI SHARIFU ATAKWAMBIA AITWA
JUMA KAMA NI ROHANI ATAKWAMBIA AITWA ASUMANI KAMA NI
MAIMUNA ATAKWAMBIA AITWA AITWA PILI NA WAKIKWAMBIA NDIO
MAJINA YAO HAYO WAULIZE JE NINI TAFSIRI YA MAJINA YAO NA KAZI ZAO
JIBU WATALO KUPA NIJULISHE KWA KUPITIA NAMBA YANGU 0717375080
ILA ZAIDI WATAKWAMBIA TUTA KWAMBIA SIKU NYINGINE APO KWAKO
UJUE UNAFANYIWA ZULMA
SUBIANI MARA NYINGI UPENDA KUA KATIKA MAVAZI MEUSI ILA KATIKA
UMBILE LA UANADAM UA NA NURU YA MOTO WA BLUE HIVYO UPELEKEA
KUA HATARI KATIKA MWILI WA MWANA ADAM HIVYO KAMA ATAKUA NA
HALI HII BLNDANI YA MWILI WA MWANA ADAM HIVYO UPELEKEA
MGONJWA KUKAUKA DAM NA MAJI KILA MUDA AU KILA SIKU
AONGEZEWAPO MAJI YEYE UKAUSHA NA KUPELEKEA MTU KUFA
YAWEZEKANA ASIWE AMENYONYA DAM ILA KUTOKANA KUA KATIKA
UMBILE LAKE HIVYO USABABISHA MTU KUFA NA PIA VIFO VINAVYO TOKEA
GHAFLA MTU KAFA BILA KUTOKWA NA DAM AU CHOCHOTE NDANI YA
MWILI WAKE MAJINI HAWA UCHANGIA HIZI NDIZO SIFA KUU ZA JINI HUYU
TUZIDI FATILIA ZAIDI ILI TUPATE KUWATAMBUA MAJINI NA TABIA ZAO
Leo tuangalie kuhusu jini cheketu jini wawanga jini huyu anatupa tabu saana
jini huyu niwakichawi ambae hutumiwa nawanga kwania yakukupa mambo
yako yawemagumu nakwaajili wakukutoa usiku iliwakuwangishe
(5)kifuwa kubana
(6 )mbavu kuuma
Hizo nibaadhi ya dalili kuwa najini wawanga zipo nyingi saana
(3)Hapo juwa kama wanga wamekupiga chale ambazo huwa nimuuli kokote
unapo kwenda utajulikana mwanga
(6)sembe Makata
(2)Surat nnasi7
(3)surat faraki 7
CHUKUA KARATASI JEUPE TUPU CHORA KWA PENI NYEUSI ZIWE MBILI MTI
NA NYOKA PEMBENI YAKE KISHA PASUA KIMTI CHENYE UREFU WA
KARATASI KATI KATI KISHA IPACHIKE ISIMAMISHE UKUTANI NA YAPILI
ILAZE CHINI JUU YAKE WEKA UNGA IWE KICHUGUU CHOMEKA UDI NA YA
PILI WEKA YAI WASHA UDI KISHA PIGA MLUZI MARA TATU LALA ATAKUJA
NYOKA NA KULA LILE YAI JAPO NI KWA NDOTO KISHA ATAKUPA MAELEZO
AMBAYO ATA KUAMBIA NJIA YA KUKUPA MALI ALIO NAYO
DAWA
CHUKUA MAFUTA YA ZAITUNI UCHANGANYE NA HALTITI NA KARAFUU
MAITI KIPIMO CHUKUA OLIVE OIL ML 100 CHUKUA HALTITI KIJIKO KIMOJA
CHA CHAKULIA CHAKULA NA UCHUKUE KARAFUU MAITI SLESS MBILI
ZIVUNGUE KISHA CHANGANYA PAMOJA MUDA WA KULALA KUA UNAJIPAKA
KAMA NI MWANAMKE WEKA KWA BIBI KAMA NI MWANAUME WEKA
KWENYE MSUMARI AKIKISHA WOTE UWE NA MAFUTA DUM PAKA TAPO
KWISHA KISHA LETA MAJIBU
AWAJUE KAMA DAWA HII INA NGUVU AU ISHA PUNGUA KWA UFIPI KAMA
DAWA HAIJA CHUMWA KWA MASHART AU KUEKSPAYA KWA KUKAA MUDA
MREFU HIVYO USABABISHA DAWA KU PUNGUA NGUVU JE UTA JUAJE KAMA
DAWA UNAYO TAKA KUTUMIA INA NGUVU YA KUFANYA KAZI AU APANA
UNAPO NUNUA KAMA NI YA UNGA YA KUJI PAKA KUOGA AU KUJIFUSHA
KAMA NI YA MZIZI SHINA AU MAJANI UKA ONA IPO KATIKA HALI YA
MADONGE MADONGE KAMA MABUJA YA UGALI JUA HAIFAI NA KAMA NI YA
KUOGA UNAPO ITIA NDANI YA MAJI YATAKIWA DAWA HIYO ISAMBAE
NDANI YA MAJI NA UKI ONA IME JIKUSAJA JUA HAINA NGUVU UKI OGA
SAWA USIPO OGA SAWA JUA AIWEZI FANYA KAZI HIVYO
DAWA
DAWA
BASI CHUKUA MTI WA MUHARAKA NA UCHOME UWE MKAA NA UUSAGE
UPATE USEMBE KISHA UCHANGANYE NA ASALI UWE UNA KULA KIJIKO
KIMOJA KUTWA MARA MBILI ASUBUI NA JIONI NDANI YA SIKU 3 PAKA 7
DAWA kuuwa sumu ya kichawi inayo fanya miguu kuuma kuwaka moto
kupasua nk.
Kama mtu haishiwi na was was kila anachotaka kufanya anakuwa na wonga
wakat mwingine hata jambo lakusafir aweza akhirisha safar nk km unatatizo
hili tumia dawa hii chukuwa
KUUMWA NA KICHWA
CHUKUA KIFUU CHA NAZI WEKA YAI LAKO LA KUKU WA KIENYEJI NDIO
BORA HASWA KATIKA TIBA KISHA WEKA KICHWANI NA UFUNGE NA NGUO
YA AINA YOYOTE LISIJE PASUKA KAA NALO MUDA WA DAKIKA KUMI PAKA
ISHIRINI KICHWA KITAKWISHA KABISA ILA TIBA HII NI KWA WATU WANAO
UMWA KICHWA CHA MUDA KIREFU ASANTENI
WALIO NYOLEWA NA WACHAWI NYAKATI ZA USIKU NA NYWELE ZAO
AZIJAOTA
DAWA
TIBA NA DAWA ACHUKUE NYWELE ZAKE MTU UYO ALIO ROGWA AWE
ANAJIFUSHA KWA SIKU 14 PAKA 21 UKU AKINYWA KOMBE LA FAHAM
NDANI YA SIKU IZO IZO
iwe mume ama mke yani anashindwa kutulia na ww kama mke au mume na
anakwenda kukutafutia malazi nje ya ndoa sasa utamfunga mumeo au mkeo
kwa
DAWA
mti unao itwa mgalagalapaka pamoja na mtopetope poli pamoja na duwa ya
kanji laalishi kuna maneno mule unayachukua. ukimtengenezea mume au mke
ato toka nnje mpaka ww ufe au muachane sasa dawa
3.chkua na kitambaa cheupe kipya kilicho kua hakijatumika hata kidogo kiwe
saizi ya kufungia vile vitu vyako tu ulivo viandaa mwanzo
HATUA ZINAZOFUATA BAAD MAANDALIZI
chukua kile kitambaa ulicho kiandaa kwaajili ilo kitandike chini
kisha chukua ule mchanga wa mguu wa yule muhusika utie katika kitambaa
hicho hatua ya tatu chukua na ule mchanga wa mguu wako uchanganye pia
ktk kitambaa
na hatua ya nne chukua ule mzizi ulio uchimba wa muhina uchanganye
pamoja
ila kumbuka kila unacho kitia pale ukitie kwa nia na kwa kukisemeza jinsi ya
kunuia nitaelezea mwisho
baada ya hapo kifunge kile kitambaa chenye mchangano wa vile vitu ukifunge
kwa uzi wa hariri mweupe au mwekundu usiwe mweusi
HAYA YOTE YAFANIKE SIKU YA JUMA TANO KATI YA SAA 1 AU 8 MCHN
baada ya hapo subiri jumatano nyengine ni vizuri ikiwa ya mwanzo wa mwezi
saamoja asubuhi kamili ifukize kwa
ubani mashtaka
ubani mweupe
udi na uvumba
baada ya hapo nenda kaizike kati kati ya jiko ifukie atakua chini yako na
tatakupenda sana
manuizi yapale pindi napochanganya useme hivi
unapochukua ile nyayo yake usemi hivi
wewe sio mchanga bali ni fulani mzaliwa na fulani
unapo changanya ule muhina useme hivi
wewe ndio muhimiza mpanzi ya fulani bint fula kwangu mimi fulani
na unapofunga kile kitambaa cheupe sema ivi
wewe sio kitambaa bali ni naufunga moyo wa fulani bint fulani
yaani hilineno fulani kwako wewe unatakiwa kutaja jina
JINSI YA KUMPATA MPENZI ASIE KUTAKA HATA KUKUONA BASI
UKIFANYA HIVI ATAKUA CHINI YAKO
dawa ya mapenzi kwa mwanamke au mwanaume anaekusumbua chukua jani
la mti wa mkungu jani hili liwe la kwanza juu katika tawi la ncha ya mti huo.
jani hilo huchumwa siku ya ijumaa kabla ya watu kusali au usiku wa siku ya
jumanne
Piga hodi mara tatu katika mti huo hatua chache kabla haujafika ukiwa
unaurushia unga wa dona ukikosa dona urushie sembe, utasema hivi -hood
wakazi wa mti huu mimi nimekuja kwenu kuchukua dawa itakayonisaidia
katika shida yangu fulani (itaje) wala sikuja kwenu kuchukua sumu ya
kumdhuru mtu
zunguka mti huo mara moja kulia kwenda kushoto. Panda na uchume jani
shuka nalo bila kuliangusha chini ukiliangusha jani hili hautoweza kufanikiwa
jambo lako
likaushe juani kisha litwange na liwe unga laini. changanya unga huo na
chumvi ya mawe kisha utakua unachoma mchanganyiko huo katika kitezo hali
ya kua unajifukiza ukiwa mtupu (uchi)
Siku ya kwanza kuchoma iwe ni siku ya ijumaa baada ya watu kumaliza kusali
au usiku wa siku ya jumanne utaendelea kwa muda wa waku 14 mpaka 21.
utakua unatia nia ya kumwita kimapenzi unaemkusudia.
Hakika atakujilia huyo ulie mkusudia hali ya kua ni mwenye bahaba makubwa
kwako, mwambie jambo lako lolote atakubali na hato kupinga wewe kwa
lolote.
Kitu chenye nguvu kabisa katika mwili wa binadamu ni nguvu inayoitwa "Will
Powers" ambayo kila binadamu, anazaliwa nayo, ila wengine wanabahatika
kwa nguvu hizo kujionyesha bayana, huku wengine wengi wakiwa nazo bila
kujijua kuwa wanazo nguvu hizo!.
Kwa vile nguvu hizi kila mtu anazo, hata hao wanaofanya miujiza ya uponyaji,
wanachofanya ni kufungua tuu milango, ili nguvu zilizo ndani yako, ziweze
kutenda hiyo miujiza, na ukipona, kilichokuponya sio huyo mponyaji, wala lile
jina la Yesu, au jina Mungu, bali ni nguvu zilizo ndani yako!, "the powers from
within!".
Hatua ya kwanza ya kufungua nguvu hizi ni "imani" kuamini kuwa "you have
the powers" and that "you can do anything!", or "you can be anybody".
Kuamini Mungu, Yesu, Mtume, Allah, Roho Mtakatifu, Bikira Maria,
Watakatifu, Wachungaji, Wahubiri, Baba Mtakatifu, Sangoma, Sheriffu,
Mlingotini, Chini ya Mti, Chini ya Mbuyu, Mlimani, Pangoni, Kisimani, Mtoni,
Ziwani, Kwa Mganga, Vitabu Vitakatifu etc, ni njia rahisi ya kuanzia kufungua
milango ya "higher power" to open up your doors for powers from within!" to
act on you for you!.
an object.[1]
Aura reading - Perception of the energy fields surrounding people,
Hii ni fursa kwa wewe kujitambua, kuzitumia powers ulizo nazo, kubadili
maisha yako!.