Semina Ya Watendakazi - Sda

You might also like

Download as pdf or txt
Download as pdf or txt
You are on page 1of 54

Semina ya maandii kwa Majukumu ya Watendakazi wa kanisa

SEMINA YA WATENDAKAZI WA KANISA

UTANGULIZI.

KIONGOZI WA KIROHO.
Kiongozi wa kiroho ni tofauti na kiongozi asiye wa kiroho kwa kuwa kiongozi wa kiroho ni
mtumishi anayewatumikia anaowaongoza wakati huyu kiongozi mwingine hutumikiwa na wale
anaowaongoza. Yesu ni mfano kamili wa kiongozi wa kiroho.
 (Marko 10:45) Kwa maana Mwana wa Adamu naye hakuja kutumikiwa, bali kutumika, na kutoa
nafsi yake iwe fidia ya wengi.
 (Yohana 13:4-5) aliondoka chakulani; akaweka kando mavazi yake, akatwaa kitambaa, akajifunga
kiunoni. Kisha akatia maji katika bakuli, akaanza kuwatawadha wanafunzi miguu, na kuifuta kwa
kile kitambaa alichojifunga
 (Marko 10:43) Lakini haitakuwa hivyo kwenu; bali mtu anayetaka kuwa mkubwa kwenu, atakuwa
mtumishi wenu. Na kwahiyo sifa kuu ya kiongozi wa kiroho ni kuwa mnyenyekevu na kuwa na
huruma.
 (Luka 7:12-13) Na alipolikaribia lango la mji, hapo palikuwa na maiti anachukuliwa nje, ni mwana
pekee wa mamaye ambaye ni mjane, na watu wa mjini wengi walikuwa pamoja naye. Bwana
alipomwona alimwonea huruma, akamwambia, Usilie.
Mzee wa kanisa ili atimize vyema wajibu wake ni lazima pia aijue taasisi anayoitwa kuiongoza.
Kanisa ni mali ya Mungu aliyoinunua kwa damu ya mwanae Yesu Kristo na kuiweka chini ya
usimamizi wa Roho Mtakatifu ili itumike hapa duniani kama chombo cha wokovu kwa wanadamu
wote. (Matendo ya Mitume 20:28) Jitunzeni nafsi zenu, na lile kundi lote nalo, ambalo Roho
Mtakatifu amewaweka ninyi kuwa waangalizi ndani yake, mpate kulilisha kanisa lake Mungu,
alilolinunua kwa damu yake mwenyewe.
Semina ya maandii kwa Majukumu ya Watendakazi wa kanisa

Kanisa ndicho kitu cha thamani sana hapa duniani kwani kilinunuliwa kwa damu ya thamani ya
Yesu. (Matendo ya Mitume 20:28) Jitunzeni nafsi zenu, na lile kundi lote nalo, ambalo Roho
Mtakatifu amewaweka ninyi kuwa waangalizi ndani yake, mpate kulilisha kanisa lake
Mungu, alilolinunua kwa damu yake mwenyewe. (Waefeso 5:25) Enyi waume, wapendeni wake
zenu, kama Kristo naye alivyolipenda Kanisa, akajitoa kwa ajili yake. Ingawa shetani kwa karne
nyingi amejaribu kuliharibu kanisa hili, Yesu ameendelea kutimiza ahadi yake ya kulilinda na
nguvu za kuzimu.(Mathayo 16:18) Nami nakuambia, Wewe ndiwe Petro, na juu ya mwamba huu
nitalijenga kanisa langu; wala milango ya kuzimu haitalishinda. Mwamba unaotajwa hapa si
Petro bali ni Yesu mwenyewe. (1 Wakorintho 10:4) Wote wakanywa kinywaji kile kile cha roho;
kwa maana waliunywea mwamba wa roho uliowafuata; na mwamba ule ulikuwa ni Kristo. Yeye
ndiye aliyekuwa katika kanisa jangwani pamoja na yule malaika aliyesema naye katika mlima wa
Sinai, tena pamoja na baba zetu; ndiye aliyepokea maneno ya uzima atupe sisi. (Matendo ya
Mitume 7:38). Kristo ndiye kichwa cha kanisa. (Waefeso 5:23) Kwa maana mume ni kichwa cha
mkewe, kama Kristo naye ni kichwa cha Kanisa; naye ni mwokozi wa mwili. Mzee wa kanisa
asiruhusu watu kugeuza kanisa kuwa mahali pa kupimania ubavu, ubabe na kutambiana juu ya nani
aliye bora kuliko mwingine. Wala asiruhusu kanisa kugawika kwa misingi ya watu wenye
ushawishi au ukabila kwa kuwa si Paulo wala Kefa aliyelinunua hili kanisa. (1 Wakorintho 1:12,
13) Basi, maana yangu ni hii, ya kwamba kila mtu wa kwenu kusema, Mimi ni wa Paulo, na, Mimi
ni wa Apolo, na, Mimi ni wa Kefa, na, Mimi ni wa Kristo. Je! Kristo amegawanyika? Je! Paulo
alisulibiwa kwa ajili yenu? Au je! Mlibatizwa kwa jina la Paulo?
Yesu alikuja duniani kuondoa ukuta uliokuwa umetugawa sisi tuliokuwa wamataifa na Wayahudi.
(Waefeso 3:6) Ya kwamba Mataifa ni warithi pamoja nasi wa urithi mmoja, na wa mwili mmoja,
na washiriki pamoja nasi wa ahadi yake iliyo katika Kristo Yesu kwa njia ya Injili. Ukuta huo
aliubomoa kwa kutoa kafara ya upatanisho iliyotuwezesha sisi tuliokuwa wamataifa pamoja na
wale waliokuwa warithi wa ahadi za kimwili zilizotolewa kwa Abrahamu kuhesabiwa haki ya
kuwa warithi wa Agano Jipya. Yesu anawathamini wale walioko nje ya zizi hili kama
anavyotuthamini sisi. Yeye huwaita wale walio kwenye zizi lile ni kondoo wake. (Yohana 10:16)
Na kondoo wengine ninao, ambao si wa zizi hili; na hao nao imenipasa kuwaleta; na sauti yangu
wataisikia; kisha kutakuwako kundi moja na mchungaji mmoja (Wagalatia 3:27-28). Hili
hututangazia kuwa sisi tulio kanisani hatupaswi kujigawa makundi makundi ya kubaguana. Kuta
hizo Yesu alikwisha kuzivunja. (Wagalatia 3:27 – 29) Maana ninyi nyote mliobatizwa katika Kristo
mmemvaa Kristo. Hapana Myahudi wala Myunani. Hapana mtumwa wala huru. Hapana mtu mume
wala mtu mke. Maana ninyi nyote mmekuwa mmoja katika Kristo Yesu. Moja ya wajibu mkubwa
wa kanisa leo ni kuifanya hekima hii ijulikane kwa ulimwengu wote.
Semina ya maandii kwa Majukumu ya Watendakazi wa kanisa

WAZEE WA KANISA/ CHURCH ELDERS


VIFAA: Biblia, Roho ya Unabii, Kanuni ya Kanisa, Mwongozo wa Wazee, Kitabu cha
Mafundisho ya Biblia, faili la wazee, Orodha ya watendakazi na namba zao za simu,
Miongozo ya Maidara na Budget ya kanisa.
SN KAZI/ WAJIBU/ WA WAZEE WA KANISA ANGALIZO MHIMU
01 Kutunza na kulilisha kundi la Bwana (hotuba Ndiye mhubiri mkuu, aandae hotuba na mafundisho
za sabato, mafundisho sabato mchana, mada, ya kutosha kulingana na hitaji la kanisa lake mahalia.
semina, ushauri,
02 Kusimamia idara zote kanisani, bila kuzibagua Ahakikishe kila idara ina miongozo, vitendeakazi,
na kupendelea. apate muda wa kushauriana, kutathmini na mkuu
wa idara (hapa wazee watagawana idaara mwanzoni
mwa mwaka)
03 Kukuza moyo wa uinjilisti kanisani. Kwa njia ya semina, mahubiri, maombi, na kuwa
mwinjilist mfano
04 Kuhimiza matoleo yote kanisani. Mzee ahimize utoaji wa zaka na sadaka kwa ajili
ya kuliwezesha kanisa kutimiza malengo yake ya
mwaka
05 Kuhakikisha taarifa zote za maidara zinatumwa Kitabu cha kuandalia taarifa kilichoko kanisani
ngazi za juu kwa usahihi na kwa muda kitumike kuandika taarifa za robo, kwa usahihi na
uliopangwa. zitumwe kwa mchungaji wa mtaa.
06 Kutayarisha na kutoa matangazo ya kanisa. Matangazo yote yaandal iwe k w a p am o j a siku
nyingine tofauti na sabato, ili kuwa huru na ibada.
Kumbuka matangazo ni Ibada kamili.
07 Kushirikiana na mkuu wa huduma kupanga Pawepo na ratiba ya robo nzima iliyoandaliwa na
wahubiri. kuwekwa katika mbao za matangazo, wahubiri
wasishtukizwe, watangazwe na kukumbushwa
katikati ya juma.
08 Kushirikiana na mkuu wa huduma kupanga Kanisa liamue ni idadi ngapi za effort za hadhara,
effort na za nyumba kwa nyumba, na kuendesha semina
kwa kanisa kuhusu uinjilisti
09 Ni mjumbe wa baraza la Mtaa/ Kanda Kuhudhuria vikao vya mtaa wa Njiro, kanda ya
Meru kama ratiba.
10 Ni mwenyekiti wa b a r a z a la kanisa ikiwa Agenda zote ni mhimu zipitiwe na mchungaji kabla ya
mchungaji hayupo. baraza.
11 Ni mshauri kwa kila kikao cha idara au kamati Wazee wagawane idara na yeye ndiye mshauri
mkuu wa idara katika vikao vyake, idara zisifanye
kikao bila uwepo wa mzee
12 Kuitisha baraza la kanisa la kila mwezi Kila mwezi ni lazima kufanya kikao cha tathmini
ya kanisa, mzee ndiye mwitishaji mkuu, kulingana
na ratiba ya mwaka mzima
13 Kuendesha huduma ya meza ya Bwana Huendesha huduma hii kwa kanisa na makundi
yake.
14 Kusoma na kutafsiri barua zote toka ngazi za Barua zote za ngazi za juu zipokelewe na karani
juu (MTAA, KANDA, S E C , TUM, ECD, na kujadiliwa na wazee wote wanapokutana kuandaa
GC), na atazipa kipaumbele barua zote za juu matangazo ya kanisa na ziwafikie wakuu wa idara
kwa kuzifanyia kazi kwa uzuri na kwa wakati husika ndipo ziwekwe kwenye mafaili husika
na kisha kuzifaili.
15 Kuendesha huduma ya mazishi Mzee awe wa kwanza kufika kwenye msiba wa
mshiriki,kuomba na wafiwa, kutia moyo, yeye
ndiye mwakilishi wa kanisa.
16 Kupanga ratiba ya kuwatembelea washiriki. Pawepo na ratiba na rabiba ya kuwatembelea
washiriki, wazee wote wakishirikiana na mchungaji,
wafahamu wapi wanakaa washiriki wao na kujua
Semina ya maandii kwa Majukumu ya Watendakazi wa kanisa

changamoto zao.
17 Kuwa na mpango wa kuwatembelea wagonjwa, Hili lifanyike kwa wagonjwa walioko hospitalini,
kuwafariji waliokata tamaa, wazee, nyumbani, wazee, waliopata ajali,wenye ulemavu,
waliofanyiwa upasuaji nk.. nk…
18 Kuitisha na kusimamia mikutano ya mashauri Kila robo panapaswa pawe na halimashauri ya
ya kanisa, kwa mawasiliano na mchungaji wa kanisa, kwa mwaka ni mara nne. Ni haki ya
mtaa. washiriki kujua kinachofanyika hasa taarifa ya
uinjilisti, mhazini, karani, mashemasi, na miradi ya
kanisa.
19 Ni miongoni mwa wahubiri. Kulilisha kanisa neno la Mungu.
20 Kubeba wajibu muhimu wa utawala na Mzee ni mtawala wa kanisa, omba sana hekima ya
uongozi. kuongoza, na kuunganisha kila idara kwa ajili ya
kulijenga kanisa la Mungu
21 Kuona program zote za kanisa zinajikita katika Mzee ni muhimizaji wa utume wa kanisa ambao
utume wa kanisa. umejegwa katika injili ya milele ya ufunuo 12:6
idara zote zilenge hapo
22 Kuwa kielelezo katika mambo yote ya kanisa, Mahudhurio ya ibada za jumatano, kufungua na
ibada, uwakili, nk.. kufunga sabato, kuwahi darasa la waalimu, sabato
mchana, maombi ya uamsho na matengenezo, nk.
23 Kusimamia umoja kanisani. Kuliongoza kanisa Kuondoa dhana yoyote
inayovunja umoja wa kanisa
24 Kupanga mipango ya mwaka mzima na program zake akiwa na maofisa wenzake, na kuziwakilisha
kwenye kamati ya mipango au baraza la kanisa mwanzoni mwa mwaka (yaani december mwanzoni)
zikiwa kwenye maandishi. Mipango ionyeshe nani atafanya nini, wapi, lini, namna gani, na
gharama, pamoja na tathmini.
25 Ni moja ya maofisa wa kanisa.
26 Kugundua na kugawa majukumu kulingana na taranta za washiriki wako.
27 Atafanya kazi kwa karibu sana na mhazini wakanisa na kuhakikisha kuwa fedha zote za kwenda juu
zinatumwa kwa muda na kwa usahihi, pia matumizi ya bajeti ya kanisa na fedha zingine za kanisa
mahalia zinatumika vizuri kulingana na sera ya kanisa.
28 Atafanya kazi na kwa ukaribu sana na karani wa kanisa kuhakikisha kuwa taarifa zote za robo
zimetumwa ngazi za juu kwa usahihi na kwa wakati huku minutes za vikao zimeandikwa vizuri na
kusainiwa na mwenyekiti.
29 Kukuza na kuhimiza utoaji wa zaka na sadaka kwa mafundisho na kwa vitendo.
30 Kushirikiana na maafisa wa conference na wakuu wa idara kwa kuhimiza utekelezaji wa mipango
na program zote za kanisa hasa uinjilisti na uamsho na matengenezo.
Semina ya maandii kwa Majukumu ya Watendakazi wa kanisa

MAKARANI WA KANISA/ CHURCH CLERKS


VIFAA: Biblia, Roho ya Unabii, Kanuni ya Kanisa, Kitabu cha Mafundisho ya Biblia, faili la wazee, faili
la barua za Conference, Mtaa, Kanda, Maidara, Ushirika (Kuingia, Kutoka) Orodha ya watendakazi na
namba zao za simu, kabati la kutunzia nyaraka, karatasi za Ream, karamu, stemp, bahasha, funguo za
posta, mhuri wa kanisa,Stepler, Puching Machine. Nk.
SN KAZI/ WAJIBU/ WA KARANI WA KANISA
01 Ni mwandishi na mtunzaji wa kumbukumbu katika mabaraza ya kanisa, halimashauri ya kanisa.Minutes
zichapwe, na kusainiwa na mwenyekiti na katibu. Pia Awe na daftari/Counter book la kuandikia minutes
kwa record za kudumu.
02 Anatunza maamuzi ya halimashauri ya kanisa.
03 Kupokea na kutunza barua na nyaraka za Kanisa, Pawepo na faili lake
04 Kupokea na kutunza barua za washiriki wanaohama.
05 Kuwaandikia na kuwatia moyo waliorudi nyuma.
06 Kutunza Kitabu cha majina ya washiriki.
07 Ni mjumbe wa baraza la kanisa. (katibu), Awahi kuandaa orodha ya mahudhurio, na muda wajumbe wamefika
08 Kupokea agenda za baraza la kanisa. Apokee mapema kutoka kwa wakuu wa idara
09 Kufunga taarifa ya mshiriki aliyehama, aliyeasi, aliyefariki.
10 Kuandika vyeti vya ubatizo na ushirika na kuwakabidhi wahusika.
11 Kuhakikisha kitabu cha ushirika kimeandikwa kwa utaratibu mzuri kama maagizo ya ngazi za juu
yanavyoshauri. Ifanyike sensa inayoonyesha idadi halisi ya washiriki waliopo kanisani na kuandika kitabu kipya
kufuata utaratibu wa juu
12 Kuhakikisha kuwa karatasi zote zipo zinazounda kitabu cha ushirika.
13 Kuhakikisha taarifa za walioshiriki meza ya Bwana inachukuliwa na kutunzwa. Zichapwe fomu maalumu za
mahudhurio ya washiriki katika meza ya Bwana.
14 Kuandika mapendekezo ya Baraza la kanisa kwa wakati bila kuchelewa kwa kufuata ACT/NO tangu
baraza la kwanza, na baada ya hapo mwenyekiti wa kikao atie saini yake na katibu.
15 Kufanya mawasiliano na washiriki waliohama, ili kuhamisha majina yao.
16 Kuingiza kwa namba majina matatu ya washiriki wapya waliobatizwa katika kitabu cha ushirika
mara tu baada ya ubatizo.
17 Kuwa mwaminifu na mtunza siri za vikao na kanisa.
18 Kufunga taarifa ya washiriki kila robo na kuituma kwa katibu wa Netco kupitia mchungaji wa mtaa.
19 Kuandika na kutunza taarifa za wageni waliozuru kanisa na kile walichokifanya.
20 Kuhamasisha washiriki wageni kuleta ushirika wao.
21 Ni moja ya maofisa wa kanisa.
22 Kuorodhesha na kutunza ORODHA ya mali za Kanisa
23 Kuandaa na kutoa taarifa ya washiriki kila robo kwa baraza na mkutano wa mashauri ya kanisa.
24 Kuandika Matangazo yote toka kwa Mzee/ Mchungaji na ku yawe ka kat i ka m bao za M at anga zo ,
Mt andaoni ,V i peper shi na Power Poi nt Scr een vyot e p a mo j a vi f a nyi ke siku nyingine tofauti na
sabato, ili kuwa huru na ibada. Kumbuka matangazo ni Ibada kamili.
25 Karani asikose Mafaili yafuatayo katika ofisi yake: 1)Hati miliki za viwanja na nakala za ramani,
2)Taarifa za washiriki(Statistic Report), 3)Makabidhiano ya wakuu wa idara,4) Taarifa za Wakuu wa Idara,
5)Kupokea na Kuhamisha washiriki, 6)Bajeti za Kanisa, 7)Wakuu wa idara wa kila Mwaka, 8)Mahudhurio
ya Meza ya Bwana, 9)Taarifa ya Wakaguzi kutoka Sec, 10)Minutes za vikao vya Kanisa, 11)Taarifa ya
matumizi ya fedha za kanisa,12)Nyaraka kutoka Sec kila idara kwa faili lake, 13)Nyaraka kutoka kwa
Mchungaji wa Mtaa, 14)Nyaraka toka Serikalini, 15)Orodha yote ya Mali za Kanisa. Nk…
26 Kupanga mipango ya mwaka mzima na program zake akiwa na wasaidizi wake, na kuziwakilisha kwenye
kamati ya mipango au baraza la kanisa mwanzoni mwa mwaka (yaani december mwanzoni) zikiwa kwenye
maandishi. Mipango ionyeshe nani atafanya nini, wapi, lini, namna gani, na gharama, pamoja na
tathmini.
Semina ya maandii kwa Majukumu ya Watendakazi wa kanisa

WAHAZINI WA KANISA/ CHURCH TRESSURERS


VIFAA: Biblia, Roho ya Unabii, Kanuni ya Kanisa, Bajeti ya kanisa, Jicho la kanisa, Kitabu cha risiti,
Analysis Book, Hati za malipo Cheque Book, Calculator, Magoli ya zaka na sadaka kutoka
Netco na Mtaa, Miongozo ya Uwakili, Bahasha za matoleo, Orodha ya watendakazi na namba zao za
simu, fomu za kuhesabia fedha tasilimu, rejesta ya ugavi, kabati la kutunzia nyaraka, sanduku la
kutunzia fedha (petty cash box) karatasi za leam, Stepler, Puching Machine.
SN KAZI/ WAJIBU/ WA MHAZINI WA KANISA
01 Kufundisha washiriki kuwa waaminifu katika mapato yao.
02 Mpokeaji na mtunzaji wa fedha za kanisa
03 Anapeleka pesa Benki kila jumatatu ya wiki.
04 Kufunga taarifa ya fedha kila mwezi na kuituma kwa mhazini wa Netco kupitia mchungaji wa Mtaa.
05 Kutunza fedha za dharura ikiwa ni lazima (Petty cash)
06 Kutoa taarifa ya fedha kwa Baraza la Kanisa kila mwezi, iliyoandaliwa kwa usahihi na uwazi.
07 Kutoa taarifa ya fedha kwa Halimashauri ya kanisa kila Robo
08 Kufanya malipo yaliyoruhusiwa na vikao husika.
09 Ni mjumbe wa baraza la kanisa.
10 Kuhakikisha kuwa kanisa lina bajeti ya mwaka.
11 Kushirikiana na mkuu wa uwakili kutayarisha taarifa ya Jicho la Kanisa kila Robo.
12 Kushirikiana na mkuu wa uwakili kutayarisha taarifa inayooenda kwa kila mshiriki kila robo kuonyesha
matoleo.
13 Kutoa risiti kila apokeapo fedha.
14 Kupeleka bank statement ya account ya kanisa kwa mchungaji kila inapotakiwa (robo) ambaye ndiye
mkaguzi wa kwanza.
`15 Ukaguzi ni mara moja kwa mwaka pia mkaguzi kutoka conference anaweza kuhitaji ukaguzi wa kanisa
wakati wowote, kama atatumwa na ofisi kulingana na sera za ukaguzi.
16 Mhazini anapaswa awe MKWELI, MWAMINIFU, MWADILIFU na MUWAZI (Total Transparency)
mashaka na gizagiza vinapunguza uaminifu.
17 FEDHA YOTE YA KANISA NI RAZIMA IWEKWE BENKI KABLA Haijatumika. Hivyo kila
jumatatu mhazini apeleke benki pesa yote ya NETCO na ile ya Kanisa mahalia. Tafadhali zingatia.
18 Akishirikiana na Shemasi mkuu, na mashemasi wengine, Mhazini asimamie zoezi la kuhesabu sadaka
inashauriwa watu wasiopungua watatu, wasiwe watu wa familia moja, au jinsia moja, na wabadilishwe kila
sabato kulingana na ratiba. Na wajaze fomu maalumu baada ya kuhesabu moja ibaki na mhazini, nyingine
iwekwe kwenye faili la shemasi mkuu. Kisha wapewe stakabadhi
19 Mhazini ahakikishe fedha za kigeni zote mf: dollar zinabadilishwa na uthibitisho wa ubadilishaji huo
uambatanishwe kwenye kumbukumbu (exchange rate form)
20 Kuhakikisha kwamba kanisa lina Bahasha za kutosha.
21 Kuhakikisha kuwa anavyo vitabu vyote vinavyotakiwa katika ofisi yake bila kusahau hati ya malipo.
22 Kukusanya vitabu na kuvituma kwa mkaguzi mara vinapotakiwa.
23 Ni mtunzaji wa fedha ZOTE za kanisa. Pamoja na zile za maidara na asasi saidizi za kanisa.
24 Kutembelea washiriki na kuwashukuru/kuwatia moyo kwa utoaji wao.
25 Kutunza siri za utoaji wa washiriki, mmojammoja.
26 Ni mjumbe wa kamati ya uwakili ya kanisa.
27 Ni moja ya maofisa wa kanisa.
28 Kupanga mipango ya mwaka mzima na program zake akiwa na wasaidizi wake, pamoja na mkuu wa uwakili
na kuziwakilisha kwenye kamati ya mipango au baraza la kanisa mwanzoni mwa mwaka (yaani december
mwanzoni) zikiwa kwenye maandishi. Mipango ionyeshe nani atafanya nini, wapi, lini, namna gani, na
gharama, pamoja na tathmini.
Ni mjumbe wa baraza la kanisa akiwawakilisha wahazini wengine
29 Kufundisha washiriki kuwa waaminifu katika mapato yao.
30 Kutoa elimu ya zaka na sadaka kwa washiriki kanisani.
31 Kusimamia utekelezaji wa mpango wa Mungu wa ukarimu wa kimpangilio au utoaji wa mpango yaani the
Systematic benoverance.
32 Kutekeleza binafsi kanuni za uwakili na kuwaongoza kwa kuonyesha mfano katika uwakili.
Semina ya maandii kwa Majukumu ya Watendakazi wa kanisa

33 Kuhakikisha kwamba kanisa lina Bahasha za kutosha kwa utoaji mzuri na zinatumika ipasavyo.
34 Kuweka malengo thabiti kwa ajili ya kuongeza idadi ya washiriki wanaorudisha zaka ya uaminifu na kutoa
sadaka ya hiari.
35 Kuelimishawashiriki wafuate kalenda ya waadventista wasabato ya siku ya sadaka maalumu.
36 Kuongoza utembeleaji wa washriki wapya na washiriki wengine wote kwa ujumla
37 Kutembelea washiriki na kuwashukuru/kuwatia moyo kwa utoaji wao.
38 Kutunza siri za utoaji wa washiriki, mmojammoja.
39 Kushirikiana na mchungaji, wazee wa kanisa na baraza la kanisa katika kupanga mwitikio wa kila mshiriki
kwa kila mwaka.
40 Kuhimiza na kukumbusha magoli ya zaka, sadaka na michango mbalimbali.
41 Kujua idadi ya wana wa shiriki wote kanisani tangu walio wadogo hadi wazee, mahali wanapoishi, na namba
zao za simu.
42 Kupanga mipango ya mwaka mzima na program zake akiwa na wasaidizi wake, pamoja na wajumbe
wake na kuziwakilisha kwenye kamati ya mipango au baraza la kanisa mwanzoni mwa mwaka (yaani
december mwanzoni) zikiwa kwenye maandishi. Mipango ionyeshe nani atafanya nini, wapi, lini, namna
gani, na gharama, pamoja na tathmini.
43 Kuwaandikia, kuwatembelea na kuwatia moyo washiriki waliorudi nyuma kiuwakili.
44 Kutunza orodha ya majina ya washiriki wote kanisani katika makundi haya, na kuwasaidia kulingana
na mahitaji yao: wanarudisha zaka tu, wanaotoa sadaka tu, wasio rudisha zaka na sadaka, na wanaorudisha zaka
na sadaka. Nk…
45 Kuandaa taarifa ya idara kila mwezi katika kitabu cha taarifa kilichopo kanisani na kuitu ma conference
kupitia mzee wa kanisa-mchungaji- mpaka Coferensi. (Andaa nakala 2 moja ubaki nayo kwenye faili lako la
idara kwa ajili ya kumbukumbu)
46 Amjue mzee wa kanisa anayeshauri idara yake, na amualike kuwa mshauri kwenye kila kikao cha idara cha
mwezi, asifanye kikao bila uwepo wa mzee wa kanisa wa idara yake.
47 Kupanga mikutano ya kiroho ya washiriki kanisani pamoja na, semina, warsha, camps, Retreats, Rally
zinazojikita katika UWAKILI wa kiadventista
48 Kubuni na kusimamia washiriki kufikia mpango wa kanisa wa Uamsho na Matengenezo
49 Ni mmoja wa wahubiri kanisani
50 Kuona kwamba Miradi iliyoanzishwa inkuwa na kuleta faida kwenye idara.
51 Awe mbunifu na mtekelezaji wa programu za uwakili kanisani.
52 Azifahamu changamoto kubwa zinazowakabili washiriki: yaani: ukosefu wa ajira, Umaskini, Maradhi, Elimu
duni, Kutojithamini. Na kuja na ushauri wa kiuwakili kwa makundi hayo.
53 Kutia changamoto kila mshiriki mwadventista kuchangia vipawa vyake ili kufanya kazi bega kwa bega katika
kupeleka mbele utume wa kanisa.
55 Aandae semina na washa kwa washiriki wote kanisani, hasa mada zifuatazo: Mungu ndiye muumbaji,
mmiliki, Ujasiriamali, kutumia muda, Mali tulizonazo, Bajeti katika mapato yetu, Taranta tulizonazo,
Stadi za Maisha,
56 Kujua idadi kamili ya makundi yafuatayo ya washriki kanisani, wenye ajira, wasio na ajira, vijana, wazee,
wajane, wagane, wakongwe, wahitaji, wanafunzi,
57 Kuhakikisha kuwa wajumbe wa kamati ya uwakili wanakutana kwa mwezi angalau mara mbili kwa ajili ya
mikutano yao ya mwezi kwa kutathmini, uwakili wa kanisa mahalia, nk…
Semina ya maandii kwa Majukumu ya Watendakazi wa kanisa

KIONGOZI WA UWAKILI/ STEWARDSHIP DIRECTOR


VIFAA: Biblia, Roho ya Unabii, Kanuni ya Kanisa, Muongozo wa idara, faili la idara, orodha ya wana
wa kike wote kanisani na namba zao za simu, kalenda ya mwaka ya idara, majina ya wasaidizi wa idara,
Bajeti ya idara mwaka
SN KAZI/ WAJIBU/ WA MKUU WA KIONGOZI WA UWAKILI
01 Ni mjumbe wa baraza la kanisa akiwakilisha kitengo cha uwakili kanisani
01 Kufundisha washiriki kuwa waaminifu katika mapato yao.
02 Kuendesha programu za ukuzaji wa siku ya uwakili ulimwenguni.
03 Kutoa elimu ya zaka na sadaka kwa washiriki kanisani.
04 Kufunga taarifa ya uwakili kila mwezi na kuituma kwa mkurugenzi wa uwakili wa Conference wa kupitia
mchungaji wa Mtaa.
05 Kufundisha dhana mpya za uwakili wakati wa huduma za sabato au kwa nyakati zingine.
06 Ni mjumbe wa kamati za uwakili na fedha kanisani.
07 Kwa kushirikiana na wazee wa kanisa Yeye ndiye anayependekeza mtu anayesoma somo la zaka na sadaka
wakati wa huduma ya ibada ya sabato
08 Kusimamia utekelezaji wa mpango wa Mungu wa ukarimu wa kimpangilio au utoaji wa mpango yaani the
Systematic benoverance.
09 Kutekeleza binafsi kanuni za uwakili na kuwaongoza kwa kuonyesha mfano katika uwakili.
10 Kuhakikisha kuwa kanisa lina bajeti ya mwaka.
11 Kushirikiana na mkuu wa mhazini wa kanisa kutayarisha taarifa ya Jicho la Kanisa kila Robo.
12 Kushirikiana na mkuu wa mhazini wa kanisa kutayarisha taarifa inayooenda kwa kila mshiriki kila robo
kuonyesha matoleo.
13 Kupanga na kuratibu juma au majuma ya mkazo wa uwakili kanisani.
14 Kuhakikisha kwamba kanisa lina Bahasha za kutosha kwa utoaji mzuri na zinatumika ipasavyo.
15 Kuweka malengo thabiti kwa ajili ya kuongeza idadi ya washiriki wanaorudisha zaka ya uaminifu na kutoa
sadaka ya hiari.
16 Kuelimishawashiriki wafuate kalenda ya waadventista wasabato ya siku ya sadaka maalumu.
17 Kuongoza utembeleaji wa washriki wapya na washiriki wengine wote kwa ujumla
18 Kutembelea washiriki na kuwashukuru/kuwatia moyo kwa utoaji wao.
19 Kutunza siri za utoaji wa washiriki, mmojammoja.
20 Ni mjumbe wa kamati ya uwakili ya kanisa.
21 Kushirikiana na mchungaji, wazee wa kanisa na baraza la kanisa katika kupanga mwitikio wa kila mshiriki
kwa kila mwaka.
22 Ni mtu wa kuweka mipango na kuelimisha washiriki.
23 Kuhimiza na kukumbusha magoli ya zaka, sadaka na michango mbalimbali.
24 Kujua idadi ya wana wa shiriki wote kanisani tangu walio wadogo hadi wazee, mahali wanapoishi, na namba
zao za simu..
25 Kupanga mipango ya mwaka mzima na program zake akiwa na wasaidizi wake, pamoja na wajumbe
wake na kuziwakilisha kwenye kamati ya mipango au baraza la kanisa mwanzoni mwa mwaka (yaani
december mwanzoni) zikiwa kwenye maandishi. Mipango ionyeshe nani atafanya nini, wapi, lini, namna
gani, na gharama, pamoja na tathmini.
26 Kama idara Kufanya efforti moja ya hadhara inayoendeshwa na wanaidara.
27 Kuwaandikia, kuwatembelea na kuwatia moyo washiriki waliorudi nyuma kiuwakili.
28 Kutunza orodha ya majina ya washiriki wote kanisani katika makundi haya, na kuwasaidia kulingana
na mahitaji yao: wanarudisha zaka tu, wanaotoa sadaka tu, wasio rudisha zaka na sadaka, na wanaorudisha zaka
na sadaka. Nk…
29 Ni mwenyekiti wa vikao vya uwakili kanisani wakikaa kama idara.
30 Kupokea agenda za kikao cha uwakili kila mwezi.
31 Kuandaa taarifa ya idara kila mwezi katika kitabu cha taarifa kilichopo kanisani na kuituma conference
kupitia mzee wa kanisa-mchungaji- Conference. (Andaa nakala 2 moja ubaki nayo kwenye faili lako la idara
kwa ajili ya kumbukumbu)
32 Amjue mzee wa kanisa anayeshauri idara yake, na amualike kuwa mshauri kwenye kila kikao cha idara cha
mwezi, asifanye kikao bila uwepo wa mzee wa kanisa wa idara yake.
Semina ya maandii kwa Majukumu ya Watendakazi wa kanisa

33 Kupanga mikutano ya kiroho ya washiriki kanisani pamoja na, semina, warsha, camps, Retreats, Rally
zinazojikita katika UWAKILI wa kiadventista
34 Kupokea masomo toka ngazi za juu, na kuyafundisha kanisani.ikiwa ni pamoja na mwezi mkuu wa uwakili
35 Kutayarisha Bajeti ya idara yake na kuipeleka kwa kamati ya mipango mapema december.
36 Kusaidia kutoa elimu ya utoaji kwa washiriki wasiojua uwakili kanisani.
37 Kuwa mwaminifu na mtunza siri za vikao na kanisa.
38 Ni mmoja wa wahubiri kanisani.
39 Kuhamasisha washiriki kusoma Biblia kwa mpango, kutoa kwa mpango, pamoja na usomaji wa vitabu vya
roho ya unabii.
40 Kubuni na kusimamia washiriki kufikia mpango wa kanisa wa Uamsho na Matengenezo
41 Kutoa semina kwa washiriki jinsi ya kutumia muda kwa kufaya uinjilisti na kumtumikia Mungu
42 Kutayarisha agenda za kiuwakili na kuzileta katika Baraza la kanisa.
43 Kuona kwamba katibu amefunga taarifa na kuituma ngazi za juu kila mwezi.
44 Kuona kwamba Miradi iliyoanzishwa inkuwa na kuleta faida kwenye idara.
45 Awe mbunifu na mtekelezaji wa programu za uwakili kanisani.
46 Azifahamu changamoto kubwa zinazowakabili washiriki: yaani : ukosefu wa ajira, Umaskini, Maradhi,
Elimu duni,Kutojitathamini. Na kuja na ushauri wa kiuwakili kwa makundi hayo.
47 Kuyajua malengo ya idara ya uwakili kanisani.
48 Alijue tamko la utume la idara ya uwakili.
49 Kutia changamoto kila mshiriki mwadventista kuchangia vipawa vyake ili kufanya kazi bega kwa bega katika
kupeleka mbele utume wa kanisa.
50 Apendekeze (kati ya washiriki kanisani) KAMATI YA UWAKILI pamoja na viongozi wasaidizi wa idara
kwenye baraza la kanisa mwanzoni mwa mwaka ili kumrahisishia utendaji kazi.
51 Aandae semina na washa kwa washiriki wote kanisani, hasa mada zifuatazo: Mungu ndiye muumbaji,
mmiliki, Ujasiriamali, kutumia muda, Mali tulizonazo, Bajeti katika mapato yetu, Taranta tulizonazo,
Stadi za Maisha,
52 Kuhimiza washiriki wa kanisani kushiriki kwa hali na mali katika effort za kanisa, mtaa, na conference
hasa kwa michango na wao wenyewe kuwa wanatimu.
53 Kujua idadi kamili ya makundi yafuatayo ya washriki kanisani, wenye ajira, wasio na ajira, vijana, wazee,
wajane, wagane, wakongwe, wahitaji, wanafunzi,
54 Kuhakikisha kuwa wajumbe wa kamati ya uwakili wanakutana kwa mwezi angalau mara mbili kwa ajili ya
mikutano yao ya mwezi kwa kutathmini, uwakili wa kanisa mahalia, nk…
55 Kubuni na kufundisha miradi mbalimbali kama: Ufumaji wa Vitambaa, Ufugaji wa Kuku,
Utengenezaji wa Bustani, Ushonaji wa nguo, biashara ndogondogo, ujasiriamali Nk…
56 Mkuu wa Uwakili asikose Mafaili yafuatayo katika ofisi yake: orodha ya watendakazi wa kanisa na namba
zao za simu, Majina ya wanakamati wa uwakili, Budgeti ya kanisa, budget ya idara, kopi ya jicho la kanisa,
fomu ya Makabidhiano na mkuu wa idara aliyepita, nakala ya Taarifa za idara inayoenda Conference.
Semina ya maandii kwa Majukumu ya Watendakazi wa kanisa

MKUU WA HUDUMA WA KANISA/ CHURCH LAY ACTIVITIES


VIFAA: Biblia, Roho ya Unabii, Kanuni ya Kanisa, Bajeti ya kanisa, Kitabu cha kufundishia
darasa la ubatizo,Magoli ya uongoaji roho kutoka Conferensi na Mtaa, Miongozo ya Huduma,
Orodha ya watendakazi na namba zao za simu, kabati la kutunzia nyaraka, masomo ya VOP,Ugunduzi.
SN KAZI/ WAJIBU/ WA MKUU WA HUDUMA WA KANISA
01 Idara ya huduma za washiriki hutoa nyenzo na kuwafunza washiriki wa kanisa kuunganisha juhudi zao pamoja
na za wachungaji na maofisa wa kanisa katika hitimisho la kutangaza injili ya wokovu katika Kristo.
02 “Washiriki wakiwa makini na waangalifu sana, kwa kuweka maombi yao; utajiri wao; nguvu zao;
na mali zao zote miguuni pake Yesu- Kazi ya Injili itashinda nao wataitwa Heri, hapa duniani na
mbinguni pia” 4T.475
03 Kusimamia mipango yote ya injili
04 Jua idadi ya washiriki wako na wapange kazini.
05 Kusimamia kama kanisa kufanya effort angalau 2 kwa mwaka
06 Kuhimiza effort kila idara kanisani.
07 Kuhakikisha taarifa ZOTE za maidara zimefungwa kwa wakati muafaka na kutumwa ngazi za juu.
08 Ni mwenyekiti wa Baraza la Huduma za washiriki
09 Ni mjumbe wa Baraza la Kanisa.
10 Ni mmoja wa wahubiri wakuu kanisani baada ya mchungaji na wazee wa kanisa.
11 Kushirikiana na mkuu wa sauti ya unabii kuandikisha wasomaji wapya na kuhitimisha wa zamani.
12 Kuweka magoli ya Ubatizo.
13 Kuweka malengo jinsi ya kusaidia jamii.
14 Kutunza na kufundisha jinsi ya kutumia kitabu cha fomu za taarifa za idara makanisani.
15 Ni mfundishaji wa semina za walei.
16 Kuagiza vitabu, magazeti,na vijizuu kwa ajili ya effort za kanisa.
17 Ofisi yake isikose masomo ya VOP, Ugunduzi na Biblia.
18 Kuhimiza utumiaji wa madishi na kutoa riporti.
19 Kutoa taarifa katika baraza la kanisa kila likaapo.
20 Kutoa taarifa katika mkutano wa halimashauri ya kanisa.
21 Kuwa tayari kwa ajili ya mahitaji na faraja kwa waliopatwa na maafa.
22 Kushirikiana na idara za shughuli za uinjilisti wa washiriki kama Shule ya sabato, Dorkas, Amo n.k
23 Kuunganisha idara zote zilizomo kanisani kwa kazi ya Injili.
24 Kuhakikisha kuwa kila mshiriki anashirikishwa katika kazi ya Mungu ya uongoaji Roho.
25 Kulilisha kanisa chakula cha kiroho/ mafundisho ya kiroho.
26 Kutia moyo washiriki, kuwatembelea na kuomba nao
27 Kuwawezesha washiriki wawe wasomaji wazuri wa maandiko
28 Kugawa maeneo na kila mshiriki awe na eneo lake la kumfanyia Mungu kazi/ kuanzisha matawi ya S.S
29 Kuandaaa, kutuma na Kutoa taarifa ya huduma kila robo na kupeleka Netco kupitia Mchungaji wa mtaa.
30 Kuhamasisha kila mshiriki atenge masaa mawili kwa wiki afanye kazi katika eneo alilopewa na atoe taarifa.
31 Kupanga mipango ya mwaka mzima ya uinjilisti/ effort/ na program zake akiwa na wasaidizi wake, pamoja na
wakuu wa idara na kuziwakilisha kwenye kamati ya mipango au baraza la kanisa mwanzoni mwa mwaka
(yaani december mwanzoni) zikiwa kwenye maandishi. Mipango ionyeshe nani atafanya nini, wapi, lini, namna
gani, na gharama, pamoja na tathmini.
32 Mkuu wa Huduma awe na Faili katika ofisi yake ambalo lina vitu vifuatavyo: Uongoaji roho,
Taarifa za washiriki (Statistic Report,) Bajeti za Kanisa. Nk…
Semina ya maandii kwa Majukumu ya Watendakazi wa kanisa

SHEMASI WAKUU WA KANISA/ HEAD DEACON & DEACONESES


VIFAA: Biblia, Roho ya Unabii, Kanuni ya Kanisa, idadi ya mitaa na mpango wa kutembelea, Orodha
ya Mashemasi wote na namba zao za simu, kabati la kutunzia vifaa, fomu ya kuhesabia sadaka, Vifaa vya
meza ya Bwana, Vifaa vya Ubatizo, faili la idara.
SN KAZI/ WAJIBU/ WA SHEMASI WAKUU NA MASHEMASI WA KIUME WA KANISA
01 Kuitisha kikao cha mashemasi wote wa kiume na wa kike kila mwezi mara moja
02 Ni mwenyekiti wa kikao cha mashemasi cha kila mwezi.
03 Ni mjumbe wa baraza la kanisa akiwawakilisha mashemasi
04 Yeye ndiye anayeshughulikia nidhamu ya washiriki.
05 Hutoa taarifa ya hali ya nidhamu ya kanisa kwa baraza la kanisa kila atakiwapo kufanya hivyo.
06 Hutoa taarifa ya hali ya nidhamu ya kanisa kwa Halimashauri ya kanisa.
07 Huongoza kuwagawa mashemasi katika timu za kutembelea washiriki katika nyumba zao.
08 Kutembelea washiriki wagonjwa, wazee, na washiriki wote kwa ujumla.
09 Kusimamia zoezi la ukusanyaji wa zaka na sadaka kanisani kila sabato.
10 Kusimamia zoezi la Kuhesabu zaka na sadaka kanisani kila sabato na kuandika taarifa fupi kwenye fomu
maalumu iliyoandaliwa.
11 Kudumisha utulivu na utukufu wa ibada kanisani
12 Kutunza vifaa vyote vya kanisa (kwa namba zake)
13 Kuhudumu wakati wa mazishi
14 Kuhudumu wakati wa meza ya Bwana.
15 Kuhudumu wakati wa Ubatizo.
16 Kushirikiana na shemasi mkuu wa kike kuandaa ratiba ya zamu za mashemasi, utembeleaji, nk.
17 Kupanga timu ya mashemasi kwa ajili ya kuwakaribisha wageni na washiriki kwa kuwaketisha.
18 Mpango wa kukusanya, kuhesabu, kuhakiki na kukabidhi sadaka kwa mhazini
19 Kuchagua Katibu wa mashemasi atakayekuwa mwandishi na mtekelezaji wa mapendekezo ya vikao.
20 Kusimamia usafi wa kanisani ndani na nje ya kanisa.
21 Kuweka mpango wa kukusanya sadaka.
22 Ni mmoja wa wahubiri kanisani.
23 Kupanga mapema mashemasi watakaoingia ndani ya maji kumsaidia mchungaji ktk ubatizo
24 Kuhakikisha kuwa kanisa lina vitu vifuatavyo: kisima cha ubatizo, miti ya kivuli, maua kuzunguka kanisa,
vyoo safi vya jinsia zote mbili, bomba la maji, kioo cha ukutani, tai za akiba, saa ya ukutani.
25 Kupanga mipango ya mwaka mzima na program zake akiwa na wasaidizi wake, pamoja na
Mashemasi na kuziwakilisha kwenye kamati ya mipango au baraza la kanisa mwanzoni mwa mwaka
(yaani december mwanzoni) zikiwa kwenye maandishi. Mipango ionyeshe nani atafanya nini, wapi, lini,
namna gani, na gharama, pamoja na tathmini.
Semina ya maandii kwa Majukumu ya Watendakazi wa kanisa

SHEMASI WAKUU NA MASHEMASI WA KIKE/ DEACONESES


SN KAZI/ WAJIBU/ WA SHEMASI WAKUU NA MASHEMASI WA KIKE WA KANISA
01 Kuitisha kikao cha mashemasi wote wa kiume na wa kike kila mwezi mara moja
02 Asipokuwepo shemasi mkuu wa kiume, basi shemasi mkuu wa kike atakuwa mwenyekiti wa kikao cha
mashemasi cha kila mwezi.
03 Ni mjumbe wa baraza la kanisa akiwawakilisha mashemasi
04 Yeye ndiye anayeshughulikia nidhamu ya washiriki.
05 Kupitia shemasi mkuu wa kiume Hutoa taarifa ya hali ya nidhamu ya kanisa kwa baraza la kanisa kila
atakiwapo kufanya hivyo.
06 Kupitia shemasi mkuu wa kiume Hutoa taarifa ya hali ya nidhamu ya kanisa kwa Halimashauri ya kanisa.
07 Huongoza kuwagawa mashemasi katika timu za kutembelea washiriki katika nyumba zao.
08 Kusimamia Kutembelea washiriki wagonjwa, wazee, na washiriki wote kwa ujumla.
09 Kusimamia zoezi la ukusanyaji wa zaka na sadaka kanisani kila sabato.
10 Kusimamia zoezi la Kuhesabu zaka na sadaka kanisani kila sabato na kuandika taarifa fupi kwenye fomu
maalumu iliyoandaliwa.
11 Kudumisha utulivu na utukufu wa ibada kanisani
12 Kutunza vifaa vyote vya kanisa (kwa namba zake)
13 Kuhudumu wakati wa mazishi
14 Kuhudumu wakati wa meza ya Bwana.
15 Kuhudumu wakati wa Ubatizo.
16 Kushirikiana na shemasi mkuu wa kike kuandaa ratiba ya zamu za mashemasi, utembeleaji, nk.
17 Kupanga timu ya mashemasi kwa ajili ya kuwakaribisha wageni na washiriki kwa kuwaketisha.
18 Mpango wa kukusanya, kuhesabu, kuhakiki na kukabidhi sadaka kwa mhazini
19 Kuchagua Katibu wa mashemasi atakayekuwa mwandishi na mtekelezaji wa mapendekezo ya vikao.
20 Kusimamia usafi wa kanisani ndani na nje ya kanisa.
21 Kuweka mpango wa kukusanya sadaka.
22 Ni mmoja wa wahubiri kanisani.
23 Kupanga mapema mashemasi watakaoingia ndani ya maji kumsaidia mchungaji ktk ubatizo
24 Kuhakikisha kuwa kanisa lina vitu vifuatavyo: kisima cha ubatizo, miti ya kivuli, maua kuzunguka kanisa,
vyoo safi vya jinsia zote mbili, bomba la maji, kioo cha ukutani, tai za akiba, saa ya ukutani.
25 Kutoa ushauri wa mavazi yafaanyo wakati wa ubatizo.
26 Kufanya usafi wa vifaa vyote vilivyotumika wakati wa ubatizo.
27 Kutayarisha pasaka, zabibu na mkate.
28 Kutayarisha maji ya kutawadha pale ambapo hakuna bomba.
29 Kutayarisha vitambaa, mabeseni, sabuni ndogondogo, na kila kifaa kinachotumika katika meza ya Bwana.
30 Kuviweka vifaa vyote vya kanisa katika hali ya usafi baada ya huduma husika.
31 Kuandaa meza ya Bwana mapema hata kabla ya shule ya sabato.
32 Kumzinga na kumtayarisha maiti wa kike.
33 Kuratibu mpango mzima wa utunzaji wa wagonjwa, maskini, wajane na wahitaji.
34 Ni mwenyekiti wa Baraza la Mashemasi wa kike na anapaswa aliitishe kila mwezi.
35 Kupangia mashemasi wengine zamu za kuhudumu kanisani.
36 Kushirikiana na shemasi wa kiume katika huduma zote za kishemasi kanisani.
37 Kwa utaratibu mzuri wa mashemasi wa kike vitambaa vya meza ya Bwana vitafungwa na
kufunuliwa pamoja na kuweka divai katika vikombe.
38 Kupanga mipango ya mwaka mzima na program zake akiwa na wasaidizi wake, pamoja na
mashemasi na kuziwakilisha kwenye kamati ya mipango au baraza la kanisa mwanzoni mwa mwaka
(yaani december mwanzoni) zikiwa kwenye maandishi. Mipango ionyeshe nani atafanya nini, wapi, lini,
namna gani, na gharama, pamoja na tathmini.
Semina ya maandii kwa Majukumu ya Watendakazi wa kanisa

MKURUGENZI WA IDARA YA HUDUMA ZA WANA WA KIKE/ ADVENTIST WOMEN


MINISTRIES DIRECTOR
VIFAA: Biblia, Roho ya Unabii, Kanuni ya Kanisa, Muongozo wa idara, faili la idara, orodha ya wana
wa kike wote kanisani na namba zao za simu, kalenda ya mwaka ya idara, majina ya wasaidizi wa idara,
Bajeti ya idara.
SN KAZI/ WAJIBU/ WA MKUU WA HUDUMA ZA WANA WA KIKE
01 Ni mjumbe wa baraza la kanisa akiwakilisha idara ya huduma za wana wa kike.
02 Kujua idadi ya wana wa kike wote kanisani tangu walio wadogo hadi wazee, mahali wanapoishi, na namba zao
za simu.
03 Kupanga mipango ya mwaka mzima na program zake akiwa na wasaidizi wake, pamoja na wanawake
na kuziwakilisha kwenye kamati ya mipango au baraza la kanisa mwanzoni mwa mwaka (yaani december
mwanzoni) zikiwa kwenye maandishi. Mipango ionyeshe nani atafanya nini, wapi, lini, namna gani, na
gharama, pamoja na tathmini.
04 Kama idara Kufanya efforti moja ya hadhara inayoendeshwa na wanaidara.
05 Kuwaandikia, kuwatembelea na kuwatia moyo wanawake waliorudi nyuma.
06 Kutunza orodha ya majina ya wanawake wote kanisani katika makundi haya: walioolewa, wajane, wasichana
ambao hawajaolewa, wasichana wadogo, wanawake wazee. Nk…
07 Ni mwenyekiti wa vikao vya wana wa kike wote kanisani wakikaa kama idara.
08 Kupokea agenda za kikao cha wanawake kila mwezi.
09 Kuandaa taarifa ya idara kila robo katika kitabu cha taarifa kilichopo kanisani na kuituma conference
kupitia mzee wa kanisa-mchungaji-Coferensi. (Andaa nakala 2 moja ubaki nayo kwenye faili lako la idara kwa
ajili ya kumbukumbu)
10 Amjue mzee wa kanisa anayeshauri idara yake, na amualike kuwa mshauri kwenye kila kikao cha idara cha
mwezi, asifanye kikao bila uwepo wa mzee wa kanisa wa idara yake.
11 Kutembelea na kuwatia moyo maskini, wajane, vikongwe na wenye mahitaji mbalimbali.
12 Kupanga mikutano ya kiroho ya wanawake kanisani pamoja na, camps, Retreats, Rally nk…
13 Kupokea masomo toka ngazi za juu, na kuyafundisha kanisani.
14 Ni mwenyekiti wa Baraza la idara ya huduma za wana wa kike.
15 Kutayarisha Bajeti ya idara yake na kuipeleka kwa kamati ya mipango mapema december.
16 Kusaidia kutoa elimu ya watu wazima kwa wanawake wasiojua kusoma na kuandika kanisani.
17 Kuwa mwaminifu na mtunza siri za vikao na kanisa.
18 Kutoa semina na mafundisho ya uadilifu kwa wasichana kanisani (anaweza kutafuta mkufunzi).
19 Ni mmoja wa wahubiri kanisani.
20 Kuhamasisha wanawake kusoma Biblia kwa mpango, pamoja na vitabu vya roho ya unabii.
21 Kubuni na kusimamia wanawake kufikia mpango wa kanisa wa Uamsho na Matengenezo
22 Kufundisha akina mama jinsi ya kuishi vyema na waume zao.
23 Kutoa semina kwa wanawake na wasichana jinsi ya kufaya effort na kumtumikia Mungu
24 Kutayarisha agenda na kuzileta katika Baraza la kanisa.
25 Kuona kwamba katibu amefunga taarifa na kuituma ngazi za juu kila robo.
26 Kuona kwamba Miradi iliyoanzishwa inkuwa na kuleta faida kwenye idara.
27 Awe mbunifu na mtekelezaji wa programu za wana wa kike kanisani.
28 Azifahamu changamoto kubwa 6 zinazowakabili wanawake: Yaani: Ujinga, Unyanyaswaji, Umaskini, Maradhi,
Kukosa Ajira, Elimu duni, Malezi ya Watoto, Kutojithamini.
29 Kuyajua malengo 4 ya idara ya wana wa kike.
30 Ayajue makundi ya wanawake wa kutia moyo, yaani: w/wake wakongwe,wasichana, w/wake walioolewa na
wasio waAdventista, w/ke wajane, w/ke waliogerezani, house girls, wasichana waliozaa kabla ya ndoa, w/ke
walemavu, w/ke walioasi, w/ke waliokawia kuolewa, w/ke wajane, w/ke walioachika, w/ke mzazi mmoja, w/ke
wahitaji, w/ke wasiojua kusoma na kuandika,
31 Alijue tamko la utume la idara ya huduma za wana wa kike.
32 Kutia changamoto kila mwanamke mwadventista kuchangia vipawa vyake ili kufanya kazi bega
kwa bega katika kupeleka mbele utume wa kanisa.
33 Apendekeze (kati ya wanawake kanisani) viongozi wasaidizi wa idara kwenye baraza la kanisa mwanzoni
mwa mwaka: yaani kiongozi wa: a) Kutia moyo, b)Uinjilisti, c)Huduma, d)Elimu, e)Usomaji, f)Maombi
Semina ya maandii kwa Majukumu ya Watendakazi wa kanisa

g)Kutembelea na kushuhudia, h) Uimbaji, j)Miradi, pamoja na katibu na mhazini wa idara.


34 Azijue tofauti zilizopo kati ya Women ministries na Dorkas.
35 Asimamie upangwaji wa kamati za idara mfano: kamati kuu, kamati ya Uinjilisti, kamati ya Maombi,
kamati ya Miradi na maendeleo, kamati ya Kutia Moyo, Kamati ya Uimbaji
36 Aandae semina na washa kwa wanawake wote kanisani, hasa mada zifuatazo: afya na kiasi,
magonjwa yanayowakabili wanawake, ujasiriamali, ndoa na mahusiano, Budget, Mwanamke na Mavazi,
Wasichana na kuchagua mchumba, Stadi za Maisha, Usomaji wa Biblia, Maombi ya kufunga,
37 Kuhimiza wanawake kanisani kushiriki kwa hali na mali katika effort za kanisa, mtaa, na conference
hasa kwa michango na wao wenyewe kuwa wanatimu.
38 Kujua idadi kamili ya makundi yafuatayo. w/ke wote kanisani, vijana, wajane, wakongwe, wasiojua kusoma na
kuandika, wahitaji, waliohai ktk idara,
39 Kuhakikisha kuwa wana wa kike wanakutana kwa juma angalau mara mbili kwa ajili ya mikutano yao ya wiki,
miradi, uimbaji, ujasiriamali, injili, semina nk…
40 Kubuni na kufundisha miradi mbalimbali kama: Ufumaji wa Vitambaa, Ufugaji wa Kuku, Utengenezaji
wa Bustani, Ushonaji wa nguo, biashara ndogondogo. Nk…
41 Kuwawezesha wanawake kukuza imani na uzoefu wa kukua kiroho na kufanyika upya.
42 Kuwalea wanawake vijana waAdventista na kuwatia moyo kujihusisha na kuandaa njia ambazo kwazo
watatumia uwezo wao kwa ajili ya Kristo.
43 SIKU MAALUMU ZA IDARA KIULIMWENGU: a) siku ya maombi ya wanawake kiulimwengu - Sabato ya
kwanza ya March. b) Siku ya msisitizo wa Idara ya wana wa kike- Sabato ya pili ya June, c) Siku ya kupinga
Unyanyasaji- Sabato ya nne ya August.
44 Mkuu wa idara ya Huduma za Wana wa Kike asikose Mafaili yafuatayo katika ofisi yake:
1)Majina ya wanawake wote kanisani, 2)Budgeti ya idara, 3)fomu ya Makabidhiano na mkuu wa
idara aliyepita ,4) nakala ya Taarifa za idara inayoenda Coferensi,
Semina ya maandii kwa Majukumu ya Watendakazi wa kanisa

KIONGOZI WA CHAMA CHA DORKASI


VIFAA: Biblia, Roho ya Unabii, Kanuni ya Kanisa, Muongozo wa idara, faili la chama, orodha
ya wanachama wote wa dorkasi kanisani na namba zao za simu, kalenda ya mwaka ya chama, Bajeti ya chama.
SN KAZI/ WAJIBU/ WA KIONGOZI WA DORKASI
Chama cha Dorkasi ni sehemu muhimu ya shughuli za utume wa kanisa, chama hiki hukusanya na kuandaa
mavazi, vyakula na mahitaji mengine kwa ajili ya maskini, wahitaji, na wenye shida. Asasi hii hutenda kazi kwa
ushirikiano wa karibu pamoja na mashemasi wa kiume na wa kike kwa kutoa huduma nje ya kanisa, uinjilisti na
wahitaji.ikilenga kuogoa roho.
01 Ni mjumbe wa baraza la kanisa akiwakilisha Dorkasi.
02 Kujua idadi ya wanadorkasi wote mahali wanapoishi, na namba zao za simu.
03 Kupanga mipango ya mwaka mzima na program zake akiwa na wasaidizi wake, pamoja na
Wachama na kuziwakilisha kwenye kamati ya mipango au baraza la kanisa mwanzoni mwa mwaka (yaani
december mwanzoni) zikiwa kwenye maandishi. Mipango ionyeshe nani atafanya nini, wapi, lini, namna gani,
na gharama, pamoja na tathmini.
04 Kama chama kanisani Kufanya efforti moja ya hadhara inayoendeshwa na wanadorkasi.
05 Kuwaandikia, kuwatembelea na kuwatia moyo wanawake waliorudi nyuma.
06 Kutunza orodha ya majina ya wanawake wote kanisani katika wanaojihusisha na dorkasi
07 Ni mwenyekiti wa vikao vya dorkasi kanisani.
08 Kupokea agenda za kikao cha dorkasi kila mwezi.
09 Kuandaa taarifa ya idara kila robo kanisani. (Andaa nakala 2 moja ubaki nayo kwenye faili lako la idara kwa
ajili ya kumbukumbu)
10 Amjue mzee wa kanisa anayeshauri dorkasi na amualike kuwa mshauri kwenye kila kikao cha chama cha
mwezi, asifanye kikao bila uwepo wa mzee wa kanisa wa idara yake.
11 Kutembelea na kuwatia moyo maskini, wajane, vikongwe na wenye mahitaji mbalimbali.
12 Kupanga mikutano ya kiroho ya wanadorkasi kanisani…
13 Kuwashauri wanawake kanisani wajiunge na chama cha dorkasi.
14 Ni mwenyekiti wa Baraza la chama cha dorkasi.
15 Kuomba kwa kanisa wanadorkas wakutane katikati ya juma.
16 Kuandaa bajeti ya dorkasi na kutituma kwa baraza la kanisa, au la huduma.
17 Kuwa mwaminifu na mtunza siri za vikao na kanisa.
18 Kuona kwamba wanachama wana moyo wa huruma na wa kusaidia.
19 Ni mmoja wa wahubiri kanisani.
20 Kuhamasisha wanawake kusoma Biblia kwa mpango, pamoja na vitabu vya roho ya unabii.
21 Kubuni na kusimamia wanadorkasi kufikia mpango wa kanisa wa Uamsho na Matengenezo
22 Kuwaongoza wanachama wawe na moyo wa kutoa walivyonavyo na kuwapa wahitaji.
23 Kutoa semina kwa wanawake jinsi ya kufaya effort na kumtumikia Mungu
24 Kutayarisha agenda na kuzileta katika Baraza la kanisa.
25 Kudumisha mtandao utakaoruhusu kupata taarifa za Maskini, Wajane, Vilema, Wazee na wenye mahitaji
mbalimbali nje na ndani ya kanisa.
26 Kutoa mafundisho ya maadili na nidhamu kwa wanachama na Kutoa elimu ya watu wazima
27 Kuongoza wanachama kuanzisha miradi mbalimbali ili kukiwezesha chama kimapato.
28 Kutunza orodha ya wahitaji wa kudumu.
29 Kwa ushirikiano na shemasi mkuu kuwa na mpango wa kuwatembelea wenye shida na kuwatia moyo.
30 Kukusanya mavazi, chakula, na misaada mbalimbali toka kwa waumini na kuwapa wahitaji.
31 Kuwa tayari na wepesi kuhudumia waliopata majanga na hatari.
32 Kupanga, kuratibu na kuendesha KAPU la Dorkasi kanisani.
33 Kushirikiana kwa karibu na mchungaji wa mtaa na mkrugenzi wa Conference.
34 Kutia changamoto kila mwanadorkasi kuchangia vipawa vyake ili kufanya kazi bega kwa bega katika
kupeleka mbele utume wa kanisa.
35 Azijue tofauti zilizopo kati ya Women ministries na Dorkas.
Semina ya maandii kwa Majukumu ya Watendakazi wa kanisa

KIONGOZI WA CHAMA CHA AMO (Adventist Men’s Organization)


VIFAA: Biblia, Roho ya Unabii, Kanuni ya Kanisa, Muongozo wa idara, faili la chama, orodha ya
wanachama wote wa AMO kanisani na namba zao za simu, kalenda ya mwaka ya chama Bajeti ya chama.
SN KAZI/ WAJIBU/ WA KIONGOZI WA AMO
Wanaume waAdventista ni kundi jingine la kusaidia ndani ya Idara ya shughuli za uinjilisti wa washiriki.
Programu kuu za utume zinazoendeshwa na kundi hili ni mahubiri ya washiriki, Huduma magerezani, na Huduma
za jamii.
Huduma za jamii kwa wanaume kwa kawaida hukazia vifaa vya nyumbani “samani” kukarabati nyumba za
wakongwe, wasiojiweza, wagane, wajane, misaada kwa maafa, kama vile uokoaji, kusafirisha misaada,
kushauri, shughuli za usafi na kuwapatia watu makazi.
01 Ni mjumbe wa baraza la kanisa akiwakilisha AMO.
02 Kujua idadi ya wanaAMO wote mahali wanapoishi, na namba zao za simu.
03 Kupanga mipango ya mwaka mzima na program zake akiwa na wasaidizi wake, pamoja na wachama na
kuziwakilisha kwenye kamati ya mipango au baraza la kanisa mwanzoni mwa mwaka (yaani december
mwanzoni) zikiwa kwenye maandishi. Mipango ionyeshe nani atafanya nini, wapi, lini, namna gani, na gharama,
pamoja na tathmini.
04 Kama chama kanisani Kufanya efforti moja ya hadhara inayoendeshwa na wanaAMO.
05 Kuwaandikia, kuwatembelea na kuwatia moyo wanaAMO waliorudi nyuma.
06 Kutunza orodha ya majina ya wanaume wote kanisani wanaojihusisha na AMO
07 Ni mwenyekiti wa vikao vya AMO kanisani.
08 Kupokea agenda za kikao cha AMO kila mwezi.
09 Kuandaa taarifa ya idara kila robo kanisani. (Andaa nakala 2 moja ubaki nayo kwenye faili lako la idara kwa
ajili ya kumbukumbu)
10 Amjue mzee wa kanisa anayeshauri AMO na amualike kuwa mshauri kwenye kila kikao cha chama cha mwezi,
asifanye kikao bila uwepo wa mzee wa kanisa wa idara yake.
11 Kutembelea na kuwatia moyo maskini, wajane, vikongwe na wenye mahitaji mbalimbali.
12 Kupanga mikutano ya kiroho ya wana AMO kanisani.
13 Kuwashauri wanaume kanisani wajiunge na chama cha AMO.
14 Ni mwenyekiti wa Baraza la chama cha AMO.
15 Kuomba kwa kanisa wanaAMO wakutane katikati ya juma.
16 Kuandaa bajeti ya AMO na kutituma kwa baraza la kanisa, au la huduma.
17 Kuwa mwaminifu na mtunza siri za vikao na kanisa.
18 Kuona kwamba wanachama wana moyo wa huruma na wa kusaidia.
19 Ni mmoja wa wahubiri kanisani.
20 Kuhamasisha wanaume kusoma Biblia kwa mpango, pamoja na vitabu vya roho ya unabii.
21 Kubuni na kusimamia wanaAMO kufikia mpango wa kanisa wa Uamsho na Matengenezo
22 Kuwaongoza wanachama wawe na moyo wa kutoa walivyonavyo na kuwapa wahitaji.
23 Kutoa semina kwa wanaume jinsi ya kufaya effort na kumtumikia Mungu
24 Kutayarisha agenda na kuzileta katika Baraza la kanisa.
25 Kudumisha mtandao utakaoruhusu kupata taarifa za Maskini, Wagane, Wajane, Vilema, Wazee na wenye
mahitaji mbalimbali nje na ndani ya kanisa.
26 Kutoa mafundisho ya maadili na nidhamu kwa wanachama.
27 Kuongoza wanachama kuanzisha miradi mbalimbali ili kukiwezesha chama kimapato.
28 Kutunza orodha ya wahitaji wa kudumu.
29 Kwa ushirikiano na shemasi mkuu kuwa na mpango wa kuwatembelea wenye shida na kuwatia moyo.
30 Ikiwa kanisa lake liko karibu na gereza, mpango uwepo kuwahudumia wafungwa.
31 Kutoa elimu ya watu wazima
32 Kuwa tayari na wepesi kuhudumia waliopata majanga na hatari.
33 Ajue kuwasaidia wakongwe kimwili na kiroho.
34 Kushirikiana kwa karibu na mchungaji wa mtaa na mkrugenzi wa Conference.
35 Kutia changamoto kila mwanaAMO kuchangia vipawa vyake ili kufanya kazi bega kwa bega katika kupeleka
mbele utume wa kanisa.
36 Ni mjumbe wa kamati ya shughuli za uinjilisti.
Semina ya maandii kwa Majukumu ya Watendakazi wa kanisa

37 Ni mshauri mfundishaji wa mwenendo wa tabia yenye mvuto kwa wanaume waAdventista.


38 Kuorodhesha walemavu wote na kwa kushirikiana na shirika la huduma za kikristo kwa wasioona
39 Kushirikiana na kanisa kuwapatia walemavu vifaa bandia kama magongo na magari ya kutembelea.
40 Aje na mpango mahususi wa kukarabati nyumba za wakongwe, wasiojiweza, wagane, wajane na maskini nk
41 Kushirikiana na chama cha Dorkasi katika kukamilisha majukumu ya vyama vyote viwili.
42 Kiongozi wa AMO kanisani asikose Mafaili yafuatayo katika ofisi yake: 1)Majina ya wanachama
wote kanisani, 2)Budgeti ya idara, 3)fomu ya Makabidhiano na mkuu wa idara aliyepita. 4) nakala ya
Taarifa za idara inayoenda Konferensi.
Semina ya maandii kwa Majukumu ya Watendakazi wa kanisa

MKURUGENZI WA ELIMU/ EDUCATION DIRECTOR


VIFAA: Biblia, Roho ya Unabii, Kanuni ya Kanisa, Muongozo wa idara, faili la idara, kalenda ya mwaka
ya idara, majina ya wasaidizi idara, Bajeti ya idara, Orodha ya waalimu wote walioko kanisani,
SN KAZI/ WAJIBU/ WA MKUU WA ELIMU KANISANI
01 Ni mjumbe wa baraza la kanisa akiwakilisha idara ya huduma za wana wa kike.
02 Kukuza na kusisitiza elimu ya kikisto kanisani.
03 Kuandaa semina, program za elimu kwa ushirikiano na mchungaji na wazee wa kanisa.
04 Kufanya mawasiliano na wanafunzi wanaotoka katika kanisa la nyumbani kwenda shule zisizo za kanisa ili
kujua maendeleo yake kiroho.
05 Yeye ni kiunganishi wa kanisa na vyama vya ASSA, THISDASO Akishirikiana na idara ya vijana.
06 Kuhakikisha wanafunzi waAdventista wamepata huduma katika vipindi vya dini mashuleni.
07 Kundumisha mawasiliano ya wanafunzi wa nyumbani walioenda katika shule za kiadventista.
08 Kuwasiliana na washiriki wenye watoto wa Umri wa kwenda shule na kuwatia moyo.
09 Kufanya mkakati wa watoto waAdventista wasio na uwezo wa karo wapate msaada kifedha.
10 Kudumisha sensa mpya kabisa ya watoto na vijana wote kanisani.
11 Kukutana na kamati ya elimu kanisani kila jumapili ya mwisho ya mwezi kulingana na ratiba ya ili kujadili
majukumu mazito ya kielimu kanisani.
12 Kuandaa programu nzuri za elimu kanisani kulingana na ratiba aliyopewa na mkuu wa huduma.
13 Kuwasaidia wasiojua kusoma na kuandika kanisani hasa panapotakiwa kusoma.
14 Kujua jumla ya vijana washiriki wasio na ajira na kuona jinsi ya kuwasaidia.
15 Kushirikiana na mkuu wa miradi kanisani ili kuwasaidia washiriki kufanya miradi ili kunyanyua hali yao
ya uchumi.
16 Kubuni mipango itakayowasaidia vijana yatima na wasiojiweza ili kupata safasi ya kupata elimu.
17 Kuwashirikisha washiriki wenye fani mbalimbali kama ufundi, kilimo, uchoraji, useremala, ufundi,
nakuwafundisha vijana kanisani kujiajiri wenyewe.
18 Kuhakikisha kwamba kanisa lina wahudumu wa kutoa masomo katika shule za msingi na sekondari na vyuo
zinazozunguka kanisa mahalia.
19 Kujua idadi ya shule za awali, msingi, sekondari, vyuo zinazozunguka kanisa mahalia.
20 Kuwa na silabi ya masomo toka kwa mkurugenzi wa Elimu wa conference.
21 Kuhakikisha kuwa taarifa inafungwa na kutumwa conference kila robo bila kukosa.
22 Kuwasiliana na conference kuhusu mikutano ya elimu na kukhudhuria.
23 Kukusanya wanafunzi wa shule za msingi na seskondari na vyuo wakati wa likizo kuwatia moyo na
kuwapatia maadili mbalimbali.
24 Kuanzisha na kusimamia MAKTABA ya kanisa ambapo washiriki watasoma vitabu mbalimbali vya roho ya
unabii, nk.
25 Kutia moyo washiriki kupeleka watoto wao katika shule zetu za kanisa na vyuo vyetu.
26 Kutia moyo kanisa kuanzisha shule ya chekechea.
27 Kuanzisha mfuko wa fendha wa elimu ya wasiojiweza kielimu.
28 Kuendesha juma la masomo ya elimu.
29 Kuchagua kitabu cha elimu cha kusomwa kwa mwaka.
30 Ujue vijana wasio na ajira wa kanisa lako.
31 Kukutanisha kamati ya elimu mara moja kila Robo.
32 Kupanga goli la mchango wa kanisa lako wa elimu.
33 Uwe na daftari la kuandika waliotoa mchango ili kuwatia moyo ambao hawajatoa mchango wa elimu.
34 Kuhimiza michango ya elimu kwa kila mshiriki kanisani.
35 Kushawishi kanisa mahalia kuendesha shule zake lenyewe kuanzia chekechea hadi chuo kikuu kwa kusudi la
kupitisha kwa watoto wake malengo yake lenyewe: imani, mitazamo, thamani, desturi na mazoea.
36 Shule za kidunia hutafuta raia wakereketwa na watiifu kwa sheria za nchi, wakati shule za
kiadventista zaidi ya hayo hutayarisha wanafunzi wake kimwili, kiroho, kwa ajili ya ufalme wa mbinguni.
37 Kama idara kufanya effort moja ya hadhara inayoendeshwa na wanaidara.
38 Kujua idadi ya waalimu wote kanisani tangu wa shule za awali, msingi, sekondari, vyuo. Nk. mahali
wanapoishi, shule wanazofundisha na namba zao za simu.
39 Kupanga mipango ya mwaka mzima na program zake akiwa na wasaidizi wake, na kuziwakilisha kwenye
Semina ya maandii kwa Majukumu ya Watendakazi wa kanisa

kamati ya mipango au baraza la kanisa mwanzoni mwa mwaka (yaani december mwanzoni) zikiwa kwenye
maandishi. Mipango ionyeshe nani atafanya nini, wapi, lini, namna gani, na gharama, pamoja na
tathmini.
40 Ni mwenyekiti wa vikao vya wana wa kike wote kanisani wakikaa kama idara.
41 Kupokea agenda za kikao cha mawasiliano kila mwezi.
42 Kuandaa taarifa ya idara kila robo katika kitabu cha taarifa kilichopo kanisani na kuituma
conference kupitia mzee wa kanisa-mchungaji- Konferensi. (Andaa nakala 2 moja ubaki nayo kwenye faili
lako la idara kwa ajili ya kumbukumbu)
43 Amjue mzee wa kanisa anayeshauri idara yake, na amualike kuwa mshauri kwenye kila kikao cha idara cha
mwezi, asifanye kikao bila uwepo wa mzee wa kanisa wa idara yake.
44 Kutembelea na kuwatia moyo maskini, wajane, vikongwe na wenye mahitaji mbalimbali.
45 Kupanga mikutano ya kiroho ya kielimu kanisani pamoja na, camps, Retreats, Rally nk…
46 Kupokea masomo toka ngazi za juu, na kuyafundisha kanisani.
47 Ni mmoja wa wahubiri kanisani.
48 Kutayarisha Bajeti ya idara yake na kuipeleka kwa kamati ya mipango mapema december.
49 Kusaidia kutoa elimu ya watu wazima kwa washiriki wasiojua kusoma na kuandika kanisani.
50 Kuwa mwaminifu na mtunza siri za vikao na kanisa.
51 Kutayarisha agenda na kuzileta katika Baraza la kanisa.
52 Kuona kwamba katibu amefunga taarifa na kuituma ngazi za juu kila robo.
53 Kuona kwamba Miradi iliyoanzishwa inkuwa na kuleta faida kwenye idara.
54 Awe mbunifu na mtekelezaji wa programu za elimu kanisani.
55 Kuhamasisha washiriki kusoma Biblia kwa mpango pamoja na vitabu vya roho ya unabii
56 Kuyajua malengo ya idara ya elimu.
57 Kubuni na kusimamia kanisa kielimu kufikia mpango wa kanisa wa Uamsho na
58 Alijue tamko la utume la idara ya elimu kanisani.
59 Kutia changamoto kila mwadventista kuchangia vipawa vyake ili kufanya kazi bega kwa bega katika
kupeleka mbele utume wa kanisa.
60 Apendekeze (kati ya washiriki kanisani) viongozi wasaidizi wa idara kwenye baraza la kanisa mwanzoni
mwa mwaka: pamoja na KAMATI YA ELIMU ya kanisa Mahalia.
61 Kujua idadi kamili ya makundi yafuatayo. w/ke wote kanisani, vijana, wajane, wakongwe, wasiojua kusoma
na kuandika, wahitaji, waliohai ktk idara,
62 Kubuni na kufundisha miradi mbalimbali kama: Ufumaji wa Vitambaa, Ufugaji wa Kuku
Utengenezaji wa Bustani, Ushonaji wa nguo, biashara ndogondogo. Nk…
63 Mkuu wa idara ya Elimu asikose Mafaili yafuatayo katika ofisi yake: 1)Majina ya waalimu wote
kanisani, 2)Budgeti ya idara, 3)fomu ya Makabidhiano na mkuu wa idara aliyepita ,4) nakala ya Taarifa za
idara inayoenda Konferensi,
Semina ya maandii kwa Majukumu ya Watendakazi wa kanisa

MKURUGENZI WA IDARA YA AFYA NA KIASI/ HEALTH AND TEMPERENCE


DIRECTOR
VIFAA: Biblia, Roho ya Unabii, Kanuni ya Kanisa, Muongozo wa idara, faili la idara, orodha
ya wanakamati wa afya na namba zao za simu, kalenda ya mwaka ya idara, majina ya wasaidizi wa idara,
Bajeti ya idara.
SN KAZI/ WAJIBU/ WA MKUU WA AFYA NA KIASI
Kanisa linakubali wajibu wake wa kumfanya Kristo ajulikane kwa ulimwengu na linaamini hili ni pamoja
na jukumu la maadili ili kuhifadhi heshima ya ubinadamu kwa kufikia viwango vya juu vya kimwili, kiakili
na afya ya kiroho
Zaidi ya kuwahudumia wale walio wagonjwa jukumu hili hupanuka hadi kufikia kinga ya maradhi kupitia
elimu dhidi ya afya na uongozi katika kuhimiza afya maridhawa, kut otumia tumbaku, vileo na madawa
mengine ya kulevya na vyakula vilivyo najisi.
01 Ni mjumbe wa baraza la kanisa akiwakilisha idara ya huduma za Afya na kiasi.
02 Kuhimiza kanisa kusoma vitabu pamoja na vitabu vya mama White vya afya
03 Kutoa pendekezo la kusoma na kumaliza angalau kitabu kimoja cha afya cha mama E.G.White.
04 Kufundisha ubaya wa tumbaku, vileo na madawa ya kulevya.
05 Kuendesha mijadala itakayofanya vijana kuelewa kutunza afya zao kimwili na kiakili.
06 Kufundisha na kuwa mfano bora katika kanuni zote za afya kama zinavyofundishwa na kanisa la
Waadventista wasabato.
07 Kupanga na kuandaa bajeti na programu za afya zinawakilisha malengo na falsafa ya kanisa la
waadventista wasabato.
08 Kupanga na kuandaa bajeti na programu za mwaka ambazo zitasisitiza afya na kiasi kwa ajili ya kanisa na
jamii.
09 Kukuza mahusiano mazuri baina ya kanisa na vyama vya jamii vinavyohusisha afya na kiasi.
10 Ni mwenyekiti wa Baraza la Huduma za afya.
11 Kupendekeza kwa baraza la kanisa muda wa kutoa mafundisho ya afya na kiasi mara moja kwa robo.
12 Kufanya mapendekezo kupata wataalamu wa kutoa elimu kwa kanisa ya magonjwa ya kisasa.
13 Kupanga mipango ya mwaka mzima na program zake akiwa na wasaidizi wake, na kuziwakilisha kwenye
kamati ya mipango au baraza la kanisa mwanzoni mwa mwaka (yaani december mwanzoni) zikiwa kwenye
maandishi. Mipango ionyeshe nani atafanya nini, wapi, lini, namna gani, na gharama, pamoja na tathmini.
14 Kama idara Kufanya efforti moja ya hadhara inayoendeshwa na wanaidara.
15 Kuwaandikia, kuwatembelea na kuwatia moyo waumini wenye matatizo ya kiafya, uzee nk. Ili kuwapa
ushauri wa kitaalamu.
16 Ni mwenyekiti wa vikao vya idara ya afya wakikaa kama idara.
17 Kupokea agenda za kikao cha idara kila mwezi.
18 Kuandaa taarifa ya idara kila robo. (Andaa nakala 2 moja ubaki nayo kwenye faili lako la idara kwa ajili ya
kumbukumbu)
19 Amjue mzee wa kanisa anayeshauri idara yake, na amualike kuwa mshauri kwenye kila kikao cha idara cha
mwezi, asifanye kikao bila uwepo wa mzee wa kanisa wa idara yake.
20 Kutembelea na kuwatia moyo maskini, wajane, vikongwe na wenye mahitaji mbalimbali.
21 Kupanga mikutano ya kiroho ya kiafya kanisani pamoja na, semina, warsha, makongamano nk…
22 Kupokea masomo toka ngazi za juu, na kuyafundisha kanisani.
23 Kuratibu masomo ya afya katika effort za hadhara mara effort zinapopangwa na kanisa.
24 Kutayarisha Bajeti ya idara yake na kuipeleka kwa kamati ya mipango mapema december.
25 Kubuni na kusimamia idara ya afya kufikia mpango wa kanisa wa Uamsho na Matengenezo
26 Kutayarisha agenda na kuzileta katika Baraza la kanisa.
27 Awe mbunifu na mtekelezaji wa programu za afya kanisani.
28 Azifahamu changamoto kubwa za kiafya zinazowakabili watu: yaani :Maradhi, madhara ya kukosa kanuni za
afya, magonjwa ya zinaa, madhara ya pombe, sigara, utoaji wa mimba, Malezi ya Watoto,
29 Kuyajua malengo ya idara ya afya.
30 Ni mmoja wa wahubiri kanisani
31 Alijue tamko la utume la idara ya huduma za afya na kiasi.
32 Kuwa mwaminifu na mtunza siri za vikao na kanisa.
Semina ya maandii kwa Majukumu ya Watendakazi wa kanisa

33 Apendekeze (kati ya washiriki kanisani) viongozi wasaidizi wa idara kwenye baraza la kanisa mwanzoni
mwa mwaka: pamoja na KAMATI YA AFYA NA KIASI ya kanisa.
34 Mkuu wa idara ya Huduma za afya na kiasi asikose Mafaili yafuatayo katika ofisi yake:
1),Budgeti ya idara, 2)fomu ya Makabidhiano na mkuu wa idara aliyepita ,3) nakala ya Taarifa za idara
inayoenda Konfwerensi,
Semina ya maandii kwa Majukumu ya Watendakazi wa kanisa

MKURUGENZI WA IDARA YA KAYA NA FAMILIA/ FAMILY MINISTRIES


DIRECTOR
VIFAA: Biblia, Roho ya Unabii, Kanuni ya Kanisa, Muongozo wa idara, faili la idara, kalenda
ya mwaka ya idara, majina ya wasaidizi wa idara, Bajeti ya idara.
SN KAZI/ WAJIBU/ WA MKUU WA KAYA NA FAMILIA
01 Ni mjumbe wa baraza la kanisa akiwakilisha idara ya Kaya na familia.
02 Kushiriki uenyekiti wa kamati ya huduma za familia.
03 Kuwakilisha mahitaji na masilahi ya familia kwa baraza la kanisa.
04 Kuhimiza utoaji wa fedha za msaada wa huduma kwa familia.
05 Kuwa na takwimu za familia za kanisa mahalia: idadi, eneo, changamoto,
06 Kujua idadi ya wajane, yatima, wazee, vilema, viwete, walemavu wa ngozi.
07 Kutoa elimu ya kifamilia ngumbaru na malezi bora.
08 Kutoa mafundisho ya matumizi ya muda, nishati, fedha na nyenzo nyingine zinazohitajika za kifamilia.
09 Kushirikiana na uongozi wa kanisa kupanga programu za kifamilia kuhusu malezi ya washiriki na utume wa
injili kwa jamii.
10 Kuhakikisha kwamba katibu amefunga taarifa kila mwezi na kuituma conference.
11 Kuelimisha wazazi kujua wajibu wao kwa watoto wao na watoto kwa wazazi wao.
12 Kuhakikisha usomaji wa neno la Mungu kwa kila familia.
13 Kuhakikisha mazingira bora na yenye mvuto kwa kila familia ya kikiristo.
14 Ni mshauri mkuu wa wanandoa, kanisani
15 Kupanga na kusimamia majuma ya kaya na familia makanisani yakilenga kuwatia moyo washiriki katika
makundi yao: wanandoa, wachumba, wajane, wagane, yatima, vikongwe, single parent, wakwe, mashemeji,
wakaza mwana Nk..
16 Kuwa mwaminifu na kutunza siri za vikao na za familia za watu kanisani.
17 Kujua idadi ya washiriki wote kanisani tangu walio wadogo hadi wazee, mahali wanapoishi, na namba zao
za simu.
18 Kupanga mipango ya mwaka mzima na program zake akiwa na wasaidizi wake, na kuiwakilisha kwenye
kamati ya mipango au baraza la kanisa mwanzoni mwa mwaka (yaani december mwanzoni) zikiwa kwenye
maandishi. Mipango ionyeshe nani atafanya nini, wapi, lini, namna gani, na gharama, pamoja na
tathmini.
19 Kama idara Kufanya efforti moja ya hadhara inayoendeshwa na wanaidara.
20 Kuwaandikia, kuwatembelea na kuwatia moyo wanandoa, vijana waliorudi nyuma.
21 Kutunza orodha ya majina ya wana kaya na familia wote kanisani katika makundi haya: walioolewa,
wajane, wasichana ambao hawajaolewa, wasichana wadogo, vijana wa kiume bado kuoa, wanawake wazee,
single parents, walioolewa/kuoa na wasio waumini Nk…
22 Ni mwenyekiti wa vikao vya kaya na familia kanisani wakikaa kama idara.
23 Kupokea agenda za kikao cha kaya na familia kila mwezi.
24 Kuandaa taarifa ya idara kila robo katika kitabu cha taarifa na kuituma conference kupitia mzee wa kanisa-
mchungaji- Konferensi. (Andaa nakala 2 moja ubaki nayo kwenye faili lako la idara kwa ajili
ya kumbukumbu)
25 Amjue mzee wa kanisa anayeshauri idara yake, na amualike kuwa mshauri kwenye kila kikao cha idara cha
mwezi, asifanye kikao bila uwepo wa mzee wa kanisa wa idara yake.
26 Kutembelea na kuwatia moyo maskini, wajane, vikongwe na wenye mahitaji mbalimbali.
27 Kupanga mikutano ya kiroho ya washiriki kanisani pamoja na, semina, warsha, camps, Retreats.
28 Kupokea masomo toka ngazi za juu, na kuyafundisha kanisani.
29 Ni mwenyekiti wa Baraza la idara ya huduma za kaya na familia.
30 Kutayarisha Bajeti ya idara yake na kuipeleka kwa kamati ya mipango mapema december.
31 Kutoa semina na mafundisho ya uadilifu kwa wasichana na wavulana kanisani (anaweza kutafuta mkufunzi).
32 Ni mmoja wa wahubiri kanisani.
33 Kuhamasisha wanafamilia kusoma Biblia kwa mpango, pamoja na vitabu vya roho ya unabii.
34 Kubuni na kusimamia wanafamilia kufikia mpango wa kanisa wa Uamsho na Matengenezo
35 Kufundisha akina mama/baba jinsi ya kuishi vyema na waume/wake zao.
Semina ya maandii kwa Majukumu ya Watendakazi wa kanisa

36 Kutoa semina kwa wanawake/wanaume na wasichana/wavulana jinsi ya kufaya effort na


kumtumikia Mungu
37 Kutayarisha agenda na kuzileta katika Baraza la kanisa.
38 Kuona kwamba katibu amefunga taarifa na kuituma ngazi za juu kila robo.
39 Kuona kwamba Miradi iliyoanzishwa inkuwa na kuleta faida kwenye idara.
40 Awe mbunifu na mtekelezaji wa programu za wanafamilia kanisani.
41 Azifahamu changamoto kubwa zinazowakabili ndoa nyingi na familia: yaani : Ujinga, Unyanyaswaji, Umaskini,
Maradhi, Kukosa Ajira, Elimu duni, Malezi ya Watoto, Kutojithamini.
42 Kuyajua malengo ya idara ya kaya na familia.
43 Alijue tamko la utume la idara ya huduma za kaya na familia.
44 Kutia changamoto kila mwanafamilia mwadventista kuchangia vipawa vyake ili kufanya kazi bega kwa bega
katika kupeleka mbele utume wa kanisa.
45 Apendekeze (kati ya washiriki kanisani) viongozi wasaidizi wa idara kwenye baraza la kanisa mwanzoni
mwa mwaka: pamoja na KAMATI YA KAYA NA FAMILIA. Kurahisisha utendaji
46 Aandae semina na washa kwa wanafamilia wote kanisani, hasa mada zifuatazo: kuchagua mchumba kikristo,
magonjwa yanayowakabili wanawake, ujasiriamali, ndoa na mahusiano, Budget, Malezi ya watoto, Wazazi
kukabiliana na matatizo ya watoto kama:pombe, sigara, madawa ya kulevya, Utandawazi, Stadi za Maisha,
Usomaji wa Biblia, Maombi,
47 Kubuni na kufundisha miradi mbalimbali kama: Ufumaji wa Vitambaa, Ufugaji wa Kuku, Utengenezaji wa
Bustani, Ushonaji wa nguo, biashara ndogondogo. Nk…ili kuzisaidia familia kimapato, wasiwe wategemezi.
48 Mkuu wa idara ya Huduma za kaya na familia asikose Mafaili yafuatayo katika ofisi yake:
1)Majina ya mitaa inayozunguka kanisa mahalia, 2)Budgeti ya idara, 3)fomu ya Makabidhiano na mkuu wa
idara aliyepita ,4) nakala ya Taarifa za idara inayoenda Konferensi,
Semina ya maandii kwa Majukumu ya Watendakazi wa kanisa

MKURUGENZI WA MAWASILIANO/ COMMUNICATION DIRECTOR


VIFAA: Biblia, Roho ya Unabii, Kanuni ya Kanisa, Muongozo wa idara, kamera, komputa, laptop, projector,
sanduku la posta, faili la idara, orodha ya watendakazi wote kanisani na namba zao za simu, kalenda ya mwaka
ya idara, majina ya kamati ya mawasiliano, Bajeti ya idara.
SN KAZI/ WAJIBU/ WA MKUU WA MAWASILIANO KANISANI
01 Mawasiliano ni namna ya kubadilishana habari katikati ya watu au kundi la watu, hujumuisha Radio,
Magazeti, Televisheni, Intaneti,
02 Idara ya mawasiliano huhimiza matumizi ya programu timamu ya mahusiano na umma na aina zote za ufundi
wa mawasiliano ya kisasa, tekinolojia endelevu na vyombo vya habari katika utangazaji rasmi wa injili ya
milele.
03 Ni mjumbe wa baraza la kanisa akiwakilisha idara ya mawasiliano.
04 Kuhakikisha kuwa kanisa lina sanduku la posta kwa mawasiliano ya kanisa.
05 Kuhakikisha kuwa kanisa lina kibao cha matangazo ya kanisa (Noticeboard) ili kuweka matangazo ya muda
mrefu kama ratiba za robo, mambo mtaa, conference, mikakati ya maidara nk…
06 Kuhakikisha kuwa kanisa lina kibao elekezi cha mahali kanisa lilipo (signboard) na ratiba za ibada, ili
kulitangaza kanisa kando ya barabara. Na kwenye makutano ya barabara.
07 Kuhakikisha kuwa kanisa lina vyombo maalumu vya mawasiliano kama: kamera, dishi, simu ya mezani,
computa, projector, nk…
08 Ni kiongozi wa mahusiano ya jamii kanisani hivyo ahakikishe washiriki wana mahusiano mazuri wao kwa
wao.
09 Kushirikiana na idara (kamati) ya majanga ya kanisa kusaidia wote waliopatwa na janga lolote kanisani.
10 Ni mwenyekiti wa kamati ya mawasiliano ya kanisa.
11 Kuhakikisha na kuhamasisha utoaji wa habari, matukio kwenda conference.
12 Kusaidia kanisa kimawasiliano kutatua matatizo yote ya kimawasiliano kama vile siku ya wageni, effort,
uwekaji wakfu, injili. Nk..
13 Kwa ushauri wa Baraza la kanisa kubuni miradi ya kuliiingizia kanisa kipato kama internet café.
14 Kufanya matamasha (workshops) za mambo ya uandishi wa habari, uhariri, kwa kushirikiana na conference
au union.
15 Kuhamasisha programu za mawasiliano kanisani.
16 Kubuni mambo yatakayosaidia waandikishwaji wapya wa masomo ya Biblia.
17 Kutuma picha za matukio ya habari za kuingizwa katika gazeti la mawasiliano la conference.
18 Kuhamasisha kanisa katika kutoa msaada wa huduma za kijamii.
19 Kuhamasisha redio ya masafa mafupi au marefu kwa ajili ya kueneza neno la Mungu.
20 Awe pia na ziada ya elimu ya jujuzi wa matumizi ya vifaa vya mawasiliano.
21 Kuhamasisha kanisa kutumia projector na kurusha nyimbo, kuchapa matangazo, computa ya karani, printer,
stationaries, photocopier, scanner.
22 Kuhimiza kanisa kuwa na email address (barua pepe), na website (tovuti) ya kanisa mahalia.
23 Kuwa na kamera ya kanisa kwa ajili ya kuchukua picha za matukio ya kanisa kama effort, ndoa, nk
24 Kutoa matangazo ya kanisa kwenye vyombo vya habari.
25 Kupanga na kuendesha maonyesho ya kanisa katika sikukuu za maonyesho ya uchumi
26 Kupanga matukio maalumu ya maashimisho ya kanisa.
27 Kusaidiana na viongozi wa V.O.P kuanzisha masomo ya shule ya Biblia kwa njia ya posta.
28 Kuhakikisha kuwa vituo vyetu vya kurushia matangazo vinafahamika na michango yake inatekelezwa.
29 Kuhakikisha kuwa katibu anaandaa taarifa na kuituma ngazi za juu kila robo.
30 Ni mwandikaji wa matukio mbalimbali yanpolipata kanisa kuarifu na kutunza kumbukumbu.
31 Kuendesha masomo ya mawasiliano toka ngazi za juu.
32 Kuwasiliana na mkurugenzi wa conference kama kuna masomo mapya yanayorushwa.
33 Kuhimiza kanisa kuwa na vifaa vya sauti. (P.A System) spika, maiki, amplifaya, nk.
34 Kuhimiza kanisa kuwa na vifaa vya satelite.
35 Kupatia maktaba na vituo vingine vya habari kuhusu kanisa la waAdventista wa sabato
36 Kujua idadi ya washiriki wote kanisani tangu walio wadogo hadi wazee, mahali wanapoishi, na namba zao
za simu.
37 Kupanga mipango ya mwaka mzima na program zake akiwa na wasaidizi wake, na kuziwakilisha kwenye
Semina ya maandii kwa Majukumu ya Watendakazi wa kanisa

kamati ya mipango au baraza la kanisa mwanzoni mwa mwaka (yaani december mwanzoni) zikiwa kwenye
maandishi. Mipango ionyeshe nani atafanya nini, wapi, lini, namna gani, na gharama, pamoja na tathmini.
38 Kama idara Kufanya efforti moja ya hadhara inayoendeshwa na wanaidara.
39 Kuratibu kwa mawasiliano na mashemasi au wana wa kike, kwa Kuwaandikia, kuwatembelea na kuwatia
moyo wanawake waliorudi nyuma.
40 Kuhakikisha kuwa kanisa lina sanduku la Posta kwa mawasiliano ya kanisa
41 Ni mwenyekiti wa vikao vya mawasiliano kanisani wakikaa kama idara.
42 Kupokea agenda za kikao cha mawasiliano kila mwezi.
43 Kuandaa taarifa ya idara kila robo katika kitabu cha taarifa kilichopo kanisani na kuituma conference
kupitia mzee wa kanisa-mchungaji- Koferensi. (Andaa nakala 2 moja ubaki nayo kwenye faili lako la idara
kwa ajili ya kumbukumbu)
44 Amjue mzee wa kanisa anayeshauri idara yake, na amualike kuwa mshauri kwenye kila kikao cha idara cha
mwezi, asifanye kikao bila uwepo wa mzee wa kanisa wa idara yake.
45 Kuwa mwaminifu na mtunza siri za vikao na kanisa.
46 Kupanga mikutano ya kiroho ya kimawasiliano kanisani pamoja na, semina, warsha nk…
47 Kupokea masomo toka ngazi za juu, na kuyafundisha kanisani.
48 Ni mwenyekiti wa Baraza la idara ya mawasiliano.
49 Kutayarisha Bajeti ya idara yake na kuipeleka kwa kamati ya mipango mapema december.
50 Kutayarisha agenda na kuzileta katika Baraza la kanisa.
51 Kuona kwamba katibu amefunga taarifa na kuituma ngazi za juu kila robo.
52 Kuona kwamba Miradi iliyoanzishwa inkuwa na kuleta faida kwenye idara.
53 Awe mbunifu na mtekelezaji wa programu za kimawasiliano kanisani.
54 Ni mmoja wa wahubiri kanisani
55 Kuyajua malengo ya idara ya mawasiliano.
56 Kubuni na kusimamia kanisa mahilia kufikia mpango wa kanisa wa Uamsho na Matengenezo
57 Alijue tamko la utume la idara ya mawasiliano.
58 Kutia changamoto kila mshiriki mwadventista kuchangia vipawa vyake ili kufanya kazi bega kwa bega
katika kupeleka mbele utume wa kanisa.
59 Apendekeze (kati ya wanashiriki kanisani) viongozi wasaidizi wa idara kwenye baraza la kanisa
mwanzoni mwa mwaka: ikiwa ni pamoja na KAMATI YA MAWASILIANO
60 Aandae semina na washa kwa washiriki wote kanisani.
61 Mkuu wa idara ya Mawasiliano asikose Mafaili yafuatayo katika ofisi yake: 1)Majina ya washiriki
wote kanisani, 2)Budgeti ya idara, 3)fomu ya Makabidhiano na mkuu wa idara aliyepita 4) nakala ya Taarifa
za idara inayoenda Konferensi.
Semina ya maandii kwa Majukumu ya Watendakazi wa kanisa

MKURUGENZI WA IDARA YA HUDUMA ZA JAMII NA UHURU WA DINI/ PUBLIC AFFAIRS


AND RELIGIOUS LIBERTY DIRECTOR
VIFAA: Biblia, Roho ya Unabii, Kanuni ya Kanisa, Muongozo wa idara, faili la idara, orodha ya wana
wa kike wote kanisani na namba zao za simu, kalenda ya mwaka ya idara, majina ya wasaidizi 5 wa idara
na bajeti ya kanisa.
SN KAZI/ WAJIBU/ WA MKUU WA HUDUMA ZA JAMII NA UHURU WA DINI
01 Kusimamia na kufafanua matukio duniani ambayo yanaweza kudhibitisha mambo ya unabii.
02 Kusimamia na kueleza pale inapotokea mvutano kati ya kanisa na serikali.
03 Kufundisha kanisa kile Yesu alicholisema “Basi mlipeni Kaisari yaliyo ya Kaisari na Mungu yaliyo ya Mungu”
04 Kuona kwamba mipaka ya kanisa inatambuliwa na serikali.
05 Kuona kwamba kuna uhuru wa kufanya mikutano ya kiroho.
06 Kuhudhuria mikutano ya serikali ikiwa in lazima ili kutoa sera za kanisa pale inaplazimika.
07 Kutetea washiriki kutojiingiza katika mateso yasiyo na sababu wakidai ufunuo 13.
08 Kutaka kujua kile kinachotekelezwa na chama cha kimataifa cha kutetea uhuru wa dini ulimwenguni.
09 Kufanya kazi akishirikiana ana Mchungaji au kiongozi wa mtaa.
10 Awe anapenda kujumuika na umma.
11 Kushughulikia mapendekezo yaliyotolewa kupitia njia sahihi ya kutaka uhuru wa waumini.
12 Kukuza usambazaji wa magazeti ya uhuru wa dini na vifaa vinginevyo vinavyotolewa na divisheni au
halimashauri kuu ya kanisa.
13 Kuendesha semina, programu na mikutano ya uhuru wa dini.
14 Kuielewa idara, jina, historia, falsafa, tamko la utume, makusudi ya idara kwa ujumla wake.
15 Kulielewa kanisa la Waadventista wasabato likoje, na tofauti yake na madhehebu mengine
16 Kuwasiliana na mkurungenzi wa mambo ya jamii na uhuru wa dini wa konference au union pale inapofaa na
kushughulikia mapendekezo yaliyoletwa kupitia njia sahihi.
17 Kutoa ushauri kuhusu mambo yanayogusa uhuru wa dini.
18 Kuanzisha na kuwezesha mikutano ya uhuru wa dini, semina, programu na shughuli kadri hali ya mazingira
itakavyoonyesha.
19 Kujishughulisha kujua na kutaarifu mwelekeo wa Katiba za nchi na sheria zake kuhusiana na kanisa na
serikali, juu ya uhuru wa dini wa mtu binafsi, wa taasisi za kanisa na wa kanisa kwa ujumla.
20 Kujishughulisha kujua na kutaarifu kuhusiana na vyombo vya kimataifa vya umoja wa mataifa na vinginevyo
vinavyoshughulika na Haki za binadamu na uhuru wa dini.
21 Kujishughulisha kujua na kutunza mawasiliano na mamlaka za kisiasa, kidini na kitaaluma ndani ya nchi.
22 Kujifunza kujua historia ya uhuru wa dini ndani ya union katika ujumla wa maelezo, hali kadhalika katika
ulimwengu.
23 Kuendesha programu ya sabato ya uhuru wa dini inayoendeshwa mara moja kila mwaka.
24 Kuandaa masomo ya kutumika sabato ya uhuru wa dini kwa kushirikiana na ngazi zingine kanisani.
25 Kuandika machapisho yanayotoa taarifa juu ya matukio yanayohudiana na uhuru wa dini. Aidha kuhimiza
kanuni za uhuru wa dini.
26 Kuelezea na kuhimiza uhuru wa dini kwa njia ya masomo ya semina mbalimbali ili kuliwezesha kanisa
kujua kinachoendelea ulimwenguni.
27 Kuendesha semina kwa watumishi walio ajiriwa na kanisa ili kujadili mada zenye umuhimu wa wakati
ulipo.
28 Pale atakapotakiwa, ataliwakilisha kanisa katika kukutana na mamlaka zilizo katika jamii (public authorities
in public affairs)
29 Kujadiliana na mamlaka za kiserikali juu ya maswala ya kiserikali yahusuyo uhusiano na kanisa la waadventista
wasabato ili kutatua matatizo ya uhuru wa dini yanayowakuta washiriki wa kanisa au taasisi za kanisa.
30 Kuandaa taarifa au maombi ya rufaa yahusianayo na uhuru wa dini. (Uliokiukwa kwa mujibu wa haki)
kuwasilisha ngazi zinazohusika na utekelezaji zaidi.
31 Kuandaa kongamano za uhuru wa dini za mtaa/ konference/ Unioni ili kujadili maswa ya uhuru wa dini,
ambayo wasio waadventista hualikwa kushiriki.
32 Kuendesha semina za mafunzo ya uhuru wa dini kwa kanisa mahalia.
33 Kuandaa vitendea kazi kwa ajili ya uhuru wa dini ili kuwa rejea kwa siku za usoni.
34 Kuandaa kila robo tarifa ya shughuli za idara ya uhuru wa dini, sambamba na kueleza maswala ya uhuru wa
Semina ya maandii kwa Majukumu ya Watendakazi wa kanisa

dini yaliyojitokeza ndani ya robo hiyo na kuituma kwa mkrugenzi wa konference.


35 Kufanya kazi kwa karibu na mchungaji wa mtaa hasa inapoonekana kuwepo kwa mwingiliano wa masuala ya
uhuru wa dini na maswala mengine, ili kudumisha umoja wa mipango iliyoamuriwa.
36 Kutuma ngazi za juu, nakala ya nyaraka zozote za kikatiba au maandishi ya kisheria yenye mguso wowote
unaoweza kuathiri uhuru wa dini. Nyaraka hizo ziwe pia na maamuzi ya mahakama endapo yalifanywa.
37 Kujua na kwenda sambamba na mijadala ya miswada inyaojadiliwa na hasa ile inayogusia uhuru wa dini na kwa
kadri inavyowezekana, kwa kutumia mchungaji wa mtaa au wanasheria walioidhinishwa, kushiriki kwenye mati
zinazojadili mswada kabla haujapelekwa bungeni.
38 Kupanga mipango ya mwaka mzima na program zake akiwa na wasaidizi wake, n a kuziwakilisha kwenye
kamati ya mipango au baraza la kanisa mwanzoni mwa mwaka (yaani december mwanzoni) zikiwa kwenye
maandishi. Mipango ionyeshe nani atafanya nini, wapi, lini, namna gani, na gharama, pamoja na tathmini.
39 Kuandaa taarifa ya idara kila robo katika kitabu cha taarifa kilichopo kanisani na kuituma Conference
kupitia mzee wa kanisa-mchungaji- Konferensi. (Andaa nakala 2 moja ubaki nayo kwenye faili lako la idara
kwa ajili ya kumbukumbu)
40 Amjue mzee wa kanisa anayeshauri idara yake, na amualike kuwa mshauri kwenye kila kikao cha idara cha
mwezi, asifanye kikao bila uwepo wa mzee wa kanisa wa idara yake.
41 Ni mmoja wa wahubiri kanisani.
42 Kuwa mwaminifu na mtunza siri za vikao na kanisa.
43 Kubuni na kusimamia washirki kufikia mpango wa kanisa wa Uamsho na Matengenezo
44 Kuyajua malengo ya idara ya jamii na uhuru wa dini.
45 Alijue tamko la utume la idara ya jamii na uhuru wa dini.
46 Mkuu wa idara ya mambo ya jamii na uhuru wa dini asikose mafaili yafuatayo katika ofisi yake:
1) Majina ya washiriki wenye changamoto za uhuru wa dini, 2)Budgeti ya idara, 3)fomu ya Makabidhiano
na mkuu wa idara aliyepita ,4) nakala ya Taarifa za idara inayoenda Konferensi.
Semina ya maandii kwa Majukumu ya Watendakazi wa kanisa

MKURUGENZI WA IDARA YA UCHAPAJI/ PUBLISHING DIRECTOR


VIFAA: Biblia, Roho ya Unabii, Kanuni ya Kanisa, Muongozo wa idara, faili la idara, kalenda ya mwaka
ya idara, majina ya wasaidizi wa idara, Bajeti ya idara.
SN KAZI/ WAJIBU/ WA MKUU WA IDARA YA UCHAPAJI
01 Idara ya huduma za uchapaji imeundwa ili kuratibu na kusaidia kukuza uinjilisti wa vitabu katika kanisa la
pale pale chini ya usimamizi wa Baraza la Huduma za uchapaji kwa eneo hilo.
02 Idara inasaidia kanisa la pale pale katika ukuzaji mauzo na usambazaji wa magazeti na vitabu vingine vya
utume katika kupanga njia za hatua kwa hatua za kuwashirikisha washiriki wa kanisa katika kuyatimiza
malengo hayo.
03 Kujua idadi ya wainjilisti wa vitabu wote kanisani tangu walio wadogo hadi wazee, mahali wanapoishi,
na namba zao za simu..
04 Kupanga mipango ya mwaka mzima na program zake akiwa na wasaidizi wake, pamoja na
wainjilisti wa vitabu na kuziwakilisha kwenye kamati ya mipango au baraza la kanisa mwanzoni mwa mwaka
(yaani december mwanzoni) zikiwa kwenye maandishi. Mipango ionyeshe nani atafanya nini, wapi, lini,
namna gani, na gharama, pamoja na tathmini.
05 Kama idara Kufanya efforti moja ya hadhara au ya nyumba kwa nyumba inayoendeshwa na wainjilisti
wenyewe, au kwa ujumbe wa kimya.
06 Kuwaandikia, kuwatembelea na kuwatia moyo wainjilisti wa vitabu waliorudi nyuma, na walio hai.
07 Kuandikisha watu katika idara ya vitabu
08 Ni mwenyekiti wa vikao vya idara ya uchapaji kanisani wakikaa kama idara.
09 Kupokea agenda za kikao cha wanawake kila mwezi.
10 Kuandaa taarifa ya idara kila robo na kuituma conference kupitia mzee wa kanisa-mchungaji- Konferensi.
(Andaa nakala 2 moja ubaki nayo kwenye faili lako la idara kwa ajili ya kumbukumbu)
11 Amjue mzee wa kanisa anayeshauri idara yake, na amualike kuwa mshauri kwenye kila kikao cha idara cha
mwezi, asifanye kikao bila uwepo wa mzee wa kanisa wa idara yake.
12 Kuagiza vitabu na magazeti kwa ajili ya washiriki.
13 Kupanga mikutano ya kiroho ya uchapaji kanisani pamoja na, warsha, makongamano nk…
14 Kupokea masomo toka ngazi za juu, na kuyafundisha kanisani.
15 Kushirikiana na mkuu wa elimu kuanziasha maktaba ya kanisa
16 Kutayarisha Bajeti ya idara yake na kuipeleka kwa kamati ya mipango mapema december.
17 Kusaidia kutoa elimu ya idara ya uchapaji kwa washiriki wote kanisani.
18 Kuhimiza washiriki kuwa na moyo wa kusoma vitabu vya roho ya unabii.
19 Kutoa semina na mafundisho ya uadilifu kwa wasichana kanisani (anaweza kutafuta mkufunzi).
20 Ni mmoja wa wahubiri kanisani.
21 Kuhamasisha washiriki kusoma Biblia kwa mpango, pamoja na vitabu vya roho ya unabii.
22 Kubuni na kusimamia washiriki kufikia mpango wa kanisa wa Uamsho na Matengenezo
23 Kuwasiliana mara kwa mara na mkurugenzi msaidizi wa vitabu APDD wa kanda.
24 Kutoa semina kwa wainjilisti wa vitabu na washirki jinsi ya kufaya effort na kumtumikia Mungu
25 Kuhimiza kuwa na kitabu cha mwaka na kukisoma.
26 Kuhimiza mwezi wa kanisa wa kusoma vitabu.
27 Kuwatambua wainjilisti wa vitabu wanaohudumu katika kanisa mahaliana Majina ya wainjilisti wote kanisani
28 Awe mbunifu na mtekelezaji wa programu za idara ya uchapaji kanisani.
29 Kuendesha semina za kukuza uelewa juu ya uinjilisti wa vitabu.
30 Kuyajua malengo ya idara ya uchapaji.
31 Alijue tamko la utume la idara ya uchapaji.
32 Kutia changamoto kila mshiriki mwadventista kuchangia vipawa vyake ili kufanya kazi bega kwa bega katika
kupeleka mbele utume wa kanisa.
33 Kufuatilia maamuzi ya Baraza la Huduma za uchapishaji na Kuhakikisha kwamba kanisa limeunda Baraza la
Huduma za Uchapishaji
34 Aandae semina na washa kwa washiriki wote kanisani, hasa mada zifuatazo: kazi ya uinjilisti wa vitabu.
35 Mkuu wa idara ya Huduma za uchapishaji asikose Mafaili yafuatayo katika ofisi yake:
Fomu ya Makabidhiano na mkuu wa idara aliyepita ,2) nakala ya Taarifa za idara inayoenda Konferensi.,
Semina ya maandii kwa Majukumu ya Watendakazi wa kanisa

MKURUGENZI WA IDARA YA HUDUMA ZA WATOTO/ CHILDREN MINISTRIES


DIRECTOR
VIFAA: Biblia, Roho ya Unabii, Kanuni ya Kanisa, Muongozo wa idara, faili la idara, orodha ya watoto
wote kanisani, kalenda ya mwaka ya idara, majina ya wasaidizi wa idara, Bajeti ya idara.
SN KAZI/ WAJIBU/ WA MKUU WA HUDUMA ZA WATOTO
Idara ya watoto ipo ili kukuza imani ya watoto toka kuzaliwa hadi umri wa miaka kumi na nne,
Kuwaongoza katika kujiunga na kanisa. Inakusudia kuanzisha huduma nyingi zitakazowavutia watoto
kwa Yesu na kuwafanya kuwa wanafunzi wake katika kazi zao za kila siku
01 Ni mjumbe wa baraza la kanisa akiwakilisha idara ya huduma za watoto.
02 Kujua i d a d i ya watoto wote k a n i s a n i t a n g u w a l i o w a d o g , wastani, na wakubwa, mahali
wanapoishi.
03 Kupanga mipango ya mwaka mzima na program zake akiwa na wasaidizi wake, pamoja na kamat i ya
huduma za watoto n a kuziwakilisha kwenye kamati ya mipango au baraza la kanisa mwanzoni mwa
mwaka (yaani december mwanzoni) zikiwa kwenye maandishi. Mipango ionyeshe nani atafanya
nini, wapi, lini, namna gani, na gharama, pamoja na tathmini.
04 Kama idara Kufanya efforti moja ya hadhara au nyumba kwa nyumba inayoendeshwa na wanaidara.
05 Kuwaandikia, kuwatembelea na kuwatia moyo watoto waliorudi nyuma.
06 Kutunza orodha ya majina ya watoto wote kanisani katika makundi haya: wadogo sana, wanaosoma
Chekechea, wanaosoma msingi, wanaosoma sekondari na kuendelea.
07 Ni mwenyekiti wa vikao vya idara ya huduma za watoto wote kanisani wakikaa kama idara, kila mwezi,
atapokea agenda na kuziwakilisha kwenye baraza la kanisa.
08 Kuhimiza shule za biblia wakati wa likizo.
09 Kuandaa taarifa ya idara kila robo katika kitabu cha taarifa kilichopo kanisani na kuituma
Conference kupitia mzee wa kanisa-mchungaji- Konferensi. (Andaa nakala 2 moja ubaki nayo kwenye faili
lako la idara kwa ajili ya kumbukumbu)
10 Amjue mzee wa kanisa anayeshauri idara yake, na amualike kuwa mshauri kwenye kila kikao cha idara cha
mwezi, asifanye kikao bila uwepo wa mzee wa kanisa wa idara yake.
11 Ajue waliohudhuria walio waAdventista na wasio waAdventista.
12 Kupanga mikutano ya kiroho ya watoto kanisani pamoja na, camps, Retreats, Rally nk…
13 Kupokea masomo toka ngazi za juu, na kuyafundisha kanisani.
14 Kusisitiza na kuona kuwa watoto wanaIBADA yao peke yao kuanzia shule ya sabato hadi ibada kuu
15 Kutayarisha Bajeti ya idara yake na kuipeleka kwa kamati ya mipango mapema december.
16 Kusisitiza kanisa kuwa na JENGO la kanisa la watoto kwa ajili ya kufanyia ibada zao.
17 Kuwa mwaminifu na mtunza siri za vikao na kanisa.
18 Kutoa semina na mafundisho ya uadilifu kwa watoto kanisani (anaweza kutafuta mkufunzi).
19 Ni mmoja wa wahubiri kanisani.
20 Kuhamasisha watoto kusoma Biblia kwa mpango, pamoja na vitabu vya roho ya unabii.
21 Kubuni na kusimamia watoto kufikia mpango wa kanisa wa Uamsho na Matengenezo
22 Kufundisha watoto jinsi ya kuishi vyema na waume zao.
23 Kutoa semina kwa watoto jinsi ya kufaya uinjilisti na kumtumikia Mungu
24 Kutayarisha agenda na kuzileta katika Baraza la kanisa.
25 Kuona kwamba katibu amefunga taarifa na kuituma ngazi za juu kila robo.
26 Kuona kuwa watoto wanatambuliwa, wanapendwa na wanapewa haki zao.
27 Awe mbunifu na mtekelezaji wa programu za watoto kanisani.
28 Kuhimiza kanisa kuwa na VIWANJA vya michezo na vifaa vya michezo ya watoto.
29 Kuyajua malengo ya idara ya watoto.
30 Ayajue makundi ya watoto wa kutia moyo, yaani: watoto yatima, wenye mzazi mmoja, wasio na uwezo
kwenda shule. Aombe nao na kuwatia moyo
31 Alijue tamko la utume la idara ya huduma za watoto.
32 Kutia changamoto kila mtoto mwadventista kuchangia vipawa vyake ili kufanya kazi bega kwa bega
katika kupeleka mbele utume wa kanisa.

33 Kuona kwamba kanisa linatoa kipaumbele katika kuwachagulia watoto waalimu bora na wala si bora
Semina ya maandii kwa Majukumu ya Watendakazi wa kanisa

waalimu.
34 Azijue tofauti zilizopo kati ya idara ya watoto/ shule ya sabato watoto, /PFC/AC nk..
35 Kujihusisha na kuona kwamba watoto wanapewa maeneo mazuri na matulivu ya kujifunzia.
36 Aandae semina na washa kwa watoto wote kanisani, hasa mada zifuatazo: Usomaji wa Biblia, Maombi,
uimbaji, ushuhudiaji.
37 Kushirikiana na mkrugenzi wa elimu, kaya na familia, shule ya sabato, na PFC. AC, kuleta mafanikio
makubwa katika kitengo hiki cha watoto.
38 Kuhakikisha kuwa watoto wanakutana kwa juma angalau mara mbili kwa ajili ya mikutano yao ya wiki,
kama mafundisho mbalimbali, uimbaji, injili, semina nk…
39 Mkuu wa idara ya Huduma za Watoto asikose Mafaili yafuatayo katika ofisi yake:
1)Majina ya watoto wote kanisani, 2)Budgeti ya idara, 3)fomu ya Makabidhiano na mkuu wa idara aliyepita
,4) nakala ya Taarifa za idara inayoenda Konferensi.
Semina ya maandii kwa Majukumu ya Watendakazi wa kanisa

MKUU WA MAJENGO/ CHURCH BUILDING DIRECTOR


VIFAA: Biblia, Roho ya Unabii, Kanuni ya Kanisa, Muongozo wa idara, faili la idara, kalenda ya mwaka
ya idara, majina ya wasaidizi wa idara, Bajeti ya idara.
SN KAZI/ WAJIBU/ WA MKUU WA MAJENGO
Lengo la idara ya majengo kanisani ni kuwa na majengo mazuri yanayomuinua Yesu na kuwavuta watu kuja
kumwabudu Mungu wao wa kweli
01 Ni mjumbe wa baraza la kanisa akiwakilisha idara ya majengo ya kanisa
02 Kujua idadi ya washiriki kama wateja wake wakuu watakaofanikisha mradi huu mkubwa.
03 Kupanga mipango ya mwaka mzima na program zake akiwa na wasaidizi wake, pamoja na kamati ya
majengo na kuziwakilisha kwenye kamati ya mipango au baraza la kanisa mwanzoni mwa mwaka (yaani
december mwanzoni) zikiwa kwenye maandishi. Mipango ionyeshe nani atafanya nini, wapi, lini, namna
gani, na gharama, pamoja na tathmini.
04 Ikiwa kanisa linajenga washiriki watiwe moyo kumaliza jengo la kanisa
05 Ikiwa kanisa linajenga majengo mengine kama nyumba ya mchungaji, shule, hospitali nk. Washiriki pia watiwe
moyo. Kumalizia majengo hayo.
06 Ikiwa kanisa limekwisha kujengwa washiriki watiwe moyo kuanza kujenga majengo mengine.
07 Ni mwenyekiti wa vikao vya majengo kanisani wakikaa kama idara.
08 Kuhakikisha kuwa kanisa au viwanja vyake vyote VIMEANDIKISHWA na kuwa na HATI.
09 Kuandaa taarifa ya idara kila robo katika kitabu cha taarifa kilichopo kanisani na kuituma conference
kupitia mzee wa kanisa-mchungaji- Konferensi. (Andaa nakala 2 moja ubaki nayo kwenye faili lako la idara
kwa ajili ya kumbukumbu)
10 Amjue mzee wa kanisa anayeshauri idara yake, na amualike kuwa mshauri kwenye kila kikao cha
idara cha mwezi, asifanye kikao bila uwepo wa mzee wa kanisa wa idara yake.
11 Kuwasiliana na mkuu wa majengo wa Conference kabla ya kuanza jengo lolote.
12 Kuona kwamba msingi wa kanisa unajengwa kwa mawe au matofali imara na wenye pima maji
13 Wheel plates na kenchi zifungwe kwa nondo 6mm.
14 Mabati ya kanisa yawe gage 26 au 28
15 Kutayarisha Bajeti ya idara yake na kuipeleka kwa kamati ya mipango mapema december.
16 .madirisha yawe makubwa kuruhusu hewa ya kutosha kuingia.
17 Kuwa mwaminifu na mtunza siri za vikao na kanisa.
18 Madirisha ya grill ni bora zaidi kuliko luver
19 Ni mmoja wa wahubiri kanisani.
20 Madirisha yawe na vioo kutunza usafi wa kanisa.
21 Kubuni na kusimamia idara kufikia mpango wa kanisa wa Uamsho na Matengenezo
22 Ni ushauri mzuri kanisa kuwa na canopy.
23 Kuhakikisha kuwa kanisa lina kisima cha ubatizo.
24 Kutayarisha agenda za majengo na kuzileta katika Baraza la kanisa.
25 Kuhakikisha kuwa kanisa lina vyoo safi vyote vya jinsia zote na vyoo vya wahudumu.
26 Kuona kwamba Miradi ya kimajengo iliyoanzishwa inkuwa na kuleta faida kwenye idara.
27 Awe mbunifu na mtekelezaji wa programu za majengo kanisani.
28 Inashauriwa kuwe na carpet katika msingi kuzuia mchwa na unyevu.
29 Kuhakikisha kuwa kanisa lina LEASE na uzio wa kudumu.
30 Kuhakikisha kuwa kanisa lina mpango endelevu wa kupata Viwanja zaidi.
31 Kuweka awamu za kujenga na washiriki watiwe moyo kumaliza michango yao katika awamu hiyo.
32 Kuweka magoli ya michango bila kusahau kila mtu atoe kwa kadri alivyobarikiwa.
33 Apendekeze (kati ya washiriki kanisani) viongozi wanakamati wa idara ya majengo kwenye baraza
la kanisa mwanzoni mwa mwaka:
34 Kutembelea washiriki na kutia moyo wa utoaji.
35 Kubuni mbinu na njia za kupata fedha za ujenzi.
36 Kuhakikisha kuwa sakafu ya kanisa, ceiling boards, viko katika hali nzuri kila wakati.
37 Kuhimiza washiriki kanisani kushiriki kwa hali na mali katika ujenzi na ukarabati wa majengo ya kanisa,
mtaa, na conference hasa kwa michango nk….
38 Kujua idadi kamili ya makundi yafuatayo kanisani. Wajenzi, mafundi paa, seremara, wote kanisani.
Semina ya maandii kwa Majukumu ya Watendakazi wa kanisa

39 Kuhakikisha kuwa kamati ya majengo wanakutana kwa mwezi angalau mara moja kwa ajili ya vikao na
tathimini ya majengo ya kanisa. nk…
40 Afahamu viwanja vya kanisa na mipaka yake na kuhakikisha kuwa kanisa lina nakala au vivuli vya nyaraka
sitahiri vya umiliki wa viwanja hivyo.
41 Awe na mikakati ya kutunza, kulinda na kuendeleza viwanja vya kanisa.
42 Ashirikiane na shemasi mkuu kuhakikisha kuwa viwanja vya kanisa vinalindwa na kutunzwa katika usafi stahili.
43 Awe na mkakati wa kukarabati na kudumisha ubora na usafi wa jengo la ibada ndani na nje.
44 Mkuu wa majengo asikose Mafaili yafuatayo katika ofisi yake: 1)Majina ya wajenzi wote kanisani,
2)Budgeti ya idara, 3)fomu ya Makabidhiano na mkuu wa idara aliyepita ,4) nakala ya Taarifa za idara
inayoenda Kofrensi,
Semina ya maandii kwa Majukumu ya Watendakazi wa kanisa

MRATIBU WA USIKIVU
VIFAA: Biblia, Roho ya Unabii, Kanuni ya Kanisa, Muongozo wa idara, faili la idara, orodha ya
wainjilisti walei wote kanisani na namba zao za simu, kalenda ya mwaka ya idara, Bajeti ya idara
SN KAZI/ WAJIBU/ WA MRATIBU WA USIKIVU
Ni mhimu kwamba wengi walio na shauku ya usikivu wa injili kutokana na juhudi za utume wa kanisa,
wahudumiwe mara moja kwa ajili hiyo.
01 Ni mjumbe wa baraza la kanisa.
02 Ni mjumbe wa kamati ya huduma za uinjilisti wa washiriki
03 Kupanga mipango ya mwaka mzima na program zake akiwa na wasaidizi wake, pamoja na wanawake
na kuziwakilisha kwenye kamati ya mipango au baraza la kanisa mwanzoni mwa mwaka (yaani december
mwanzoni) zikiwa kwenye maandishi. Mipango ionyeshe nani atafanya nini, wapi, lini, namna gani, na
gharama, pamoja na tathmini.
04 Hutenda kazi moja kwa moja na mkuu wa huduma, wazee na mchungaji.
05 Hushirikiana na mwenyekiti wa kamati ya uinjilisti
06 Huendesha program ya huduma za jamii.
07 Kuorodhesha wote wale walioonyesha moyo wa kutaka kutembelewa na wainjiliisti wetu walei.
08 Kujua wote walioguswa na masomo ya biblia yasema, sauti ya unabii na kuwatia moyo.
09 Kuorodhesha wale wote waliovutiwa na neno wakati wa mikutano ya effort za hadhara.
10 Kuwafahamu wote wanaopenda kusoma magazeti, vijizuu, na vitabu vyetu.
11 Wajulikane wale wote waliowahi kuhudhuria semina zetu na mikutano ya afya na kiasi, kaya na familia na
kuvutwa nayo.
12 Kuwa na orodha ya wote wanaosikiliza radio, Tv, na mahubiri ya satelite vipindi vinavyotayarishwa na kanisa
letu.
13 Kupokea masomo toka ngazi za juu, na kuyafundisha kanisani.
14 Kuwakilisha taarifa za namna hii kwa baraza la kanisa ili ifanyiwe kazi.
15 Kutayarisha Bajeti ya idara yake na kuipeleka kwa kamati ya mipango mapema december.
16 Wakati wa mikutano ya hadhara ya injili, mratibu wa usikivu ashirikiane kwa karibu na timu ya mahubiri,
wainjilisti ili kusaidia wote wanaoonyesha tamaa ya kukata shauri na orodha yao iletwe kwa wanatimu na
kuombewa.
17 Kuwa mwaminifu na mtunza siri za vikao na kanisa.
18 Mratibu wa usikivu ni muuongoaji roho, hivyo ashirikiane kwa karibu sana na mkuu wa huduma,
VOP, VBS, Shule ya Sabato, Dorkasi, AMO. Na vitengo vyote saidizi vya injili.
19 Ni mmoja wa wahubiri kanisani.
20 Kuhamasisha wanawake kusoma Biblia kwa mpango, pamoja na vitabu vya roho ya unabii.
21 Kubuni na kusimamia washiriki kufikia mpango wa kanisa wa Uamsho na Matengenezo
22 Kufundisha akina mama jinsi ya kuishi vyema na waume zao.
23 Kutoa semina kwa washiriki jinsi ya kufaya effort na kumtumikia Mungu
24 Kutayarisha agenda na kuzileta katika Baraza la kanisa.
25 Aandae semina na washa kwa washiriki wote kanisani,
26 Kuhimiza washiriki kanisani kushiriki kwa hali na mali katika effort za kanisa, mtaa, na conference hasa kwa
michango na wao wenyewe kuwa wanatimu.
27 Mratibu wa Usikivu asikose Mafaili yafuatayo katika ofisi yake: 1)Majina ya watu wote
wanaovutiwa na imani yetu, majina ya wainjilisti walei wote kanisani, 2)Budgeti ya idara, 3)fomu ya
Makabidhiano na mkuu wa idara aliyepita ,4) nakala ya Taarifa za idara inayoenda Konferensi.
Semina ya maandii kwa Majukumu ya Watendakazi wa kanisa

MKURUGENZI WA SHULE YA SABATO/ SABBATH SCHOOL SUPERETENDANT


VIFAA: Biblia, Roho ya Unabii, Kanuni ya Kanisa, Muongozo wa idara, faili la idara, orodha ya waalimu
wote wa S.S kanisani na namba zao za simu, kalenda ya mwaka ya idara, majina ya wasaidizi wa idara, Bajeti
ya idara.
SN KAZI/ WAJIBU/ WA MKUU WA SS
01 Shule ya Sabato ndiyo mfumo kimsingi wa Elimu ya Kidini ya Kanisa la Waadventista Wasabato na ina makusudi
yake manne 1) Kujifunza maandiko matakatifu, 2) Ushirika (kujumuika pamoja, urafiki- fellowship), 3) Utume
kwa jamii (kuhimiza juhudi za kuifikia jamii inayotuzunguka- community outreach), 4) Msisitizo waUtume
Ulimwenguni (world mission emphasis. Kama idara hii itaendeshwa kwa usahihi ni mojawapo ya njia kuu
za Mungu za kuleta roho kwenye maarifa ya kweli.
02 Yeye ndiye “Mkuu wa shule” ya Sabato
03 Anapaswa kuwahi asubuhi siku ya Sabato. Kumbuka uhai wa idara unatazamwa kupitia kwake.
04 Kuona kwamba wahudumu wote wamefika kwa muda kuanzia ratiba za kwanza.
05 Kuhimiza mipango ya kufungua matawi ya Shule ya Sabato.
06 Kuona ya kuwa siku ya wageni inaandaliwa kiuinjilisti.
07 Kuona kwamba Shule ya Sabato inaendeshwa katika vikosi na inaanza kwa wakati na kuisha kwa wakati
uliopangwa
08 Ni mhimizaji mkuu wa kanisa kwa kuagiza na kununua lesoni za watu wazima na za watoto.
09 Mara tu achaguliwapo mwezi Decemba anapaswaKuitisha Baraza la Shule ya Sabato ili kuchagua viongozi
wasiochaguliwa na kamati ya uchaguzi ya kanisa.
10 Kuhimiza utoaji wa sadaka ya utume.
11 Kuona kwamba majina ya washiriki wa SS yanapitishwa toka divisheni moja hadi nyingine.
12 Kufanya tathimini ya maendeleo ya Shule ya Sabato kila sabato inapokwisha.
13 Kusimamia uundwaji wa madarasa mapya.
14 Kujua kwamba matawi SS yanahudumiwa na kupelekewa vifaa kwa wakati kama lessoni nk..
15 Kuona kwamba kanisa mahalia lina shule ya sabato ya watoto
16 Kujua kuwa divisheni zimeundwa na zinapata vifaa.
17 Kujua idadi ya washiriki wa shule ya sabato
18 Kutoa semina za mara kwa mara za viongozi wa SS na waalimu.
19 Kushirikiana na mchungaji wa mtaa kuagiza vifaa kwa wakati toka ofisi za juu
20 Ni mjumbe wa baraza la kanisa akiwakilisha idara ya Shule ya sabato.
21 Kujua idadi ya washiriki wote wa shule sabato kanisani tangu walio wadogo hadi wazee, mahali wanapoishi.
22 Kupanga mipango ya mwaka mzima na program zake akiwa na wasaidizi wake, na kuziwakilisha kwenye
kamati ya mipango au baraza la kanisa mwanzoni mwa mwaka (yaani december mwanzoni) zikiwa kwenye
maandishi. Mipango ionyeshe nani atafanya nini, wapi, lini, namna gani, na gharama, pamoja na tathmini.
23 Kama idara Kufanya efforti moja ya hadhara inayoendeshwa na wanashule Sabato.
24 Ni mwenyekiti wa vikao vyote vya Shule ya Sabato vinavyokaa kila mwezi wakikaa kama idara.
25 Kuandaa taarifa ya idara kila robo katika kitabu cha taarifa kilichopo kanisani na kuituma Conference
kupitia mzee wa kanisa-mchungaji. (Andaa nakala 2 moja ubaki nayo kwenye faili lako la idara kwa ajili ya
kumbukumbu)
26 Amjue mzee wa kanisa anayeshauri idara yake, na amualike kuwa mshauri kwenye kila kikao cha idara cha
mwezi, asifanye kikao bila uwepo wa mzee wa kanisa wa idara yake.
27 Kupanga mikutano ya kiroho ya shule ya sabato kanisani pamoja na, camps, Retreats, Rally nk…
28 Kupokea masomo, semina toka ngazi za juu, na kufundisha kanisani.
29 Kutayarisha Bajeti ya idara yake na kuipeleka kwa kamati ya mipango mapema december.
30 Kuwa mwaminifu na mtunza siri za vikao na kanisa.
31 Ni mmoja wa wahubiri kanisani.
32 Kubuni na kusimamia wana Shule ya Sabato wote kufikia mpango wa kanisa wa Uamsho na
Matengenezo
33 Kutayarisha agenda na kuzileta katika Baraza la kanisa.
34 Kuona kwamba katibu amefunga taarifa na kuituma ngazi za juu kila robo.
35 Kuona kwamba Miradi iliyoanzishwa inakua na kuleta faida kwenye idara.
Semina ya maandii kwa Majukumu ya Watendakazi wa kanisa

36 Awe mbunifu na mtekelezaji wa programu za Shule ya Sabato kanisani.


37 Kuyajua malengo 4 ya idara ya Shule ya Sabato.
38 Alijue tamko la utume la idara ya Shule ya Sabato.
39 Kutia changamoto kila mshiriki wa Shule ya Sabato kuchangia vipawa vyake ili kufanya kazi bega
kwa bega katika kupeleka mbele utume wa kanisa.
40 Aandae semina na washa kwa washiriki wa S.S wote kanisani, hasa mada zifuatazo: Namna ya
kufundisha lessoni, namna ya kuendesha program za SS,
41 Kujua idadi kamili ya makundi yafuatayo ya washiriki wote kanisani, watoto,vijana, watu wazima, walemavu,
wazee, wenye lessoni, wasio na lessoni, nk…
42 Kuhakikisha kuwa waalimu wote wa madarasa wanakutana kwa juma angalau mara moja kwa ajili ya mikutano
yao ya kujifunza lesoni na semina nk…
43 KUPANGA SABATO MAALUMU ZA IDARA:Kupandisha madaraja,Ujirani mwema,Waliorudi nyuma n.k
44 Mkuu wa Shule ya Sabato asikose Mafaili yafuatayo katika ofisi yake: 1)Majina ya wasaidizi wake wote
kanisani na namba zao za simu, 2)Budgeti ya idara, 3)fomu ya Makabidhiano na mkuu wa idara aliyepita ,4)
nakala ya Taarifa za idara inayoenda Conference.

MSAIDIZI MKUU WA SHULE YA SABATO WASHIRIKI/ ASSISTANT SABBATH SCHOOL


MEMBERSHIP
VIFAA: Biblia, Roho ya Unabii, Kanuni ya Kanisa, Muongozo wa idara, faili la idara, orodha
ya waalimu wote wa S.S kanisani 2012 na namba zao za simu, kalenda ya mwaka ya idara, majina ya wasaidizi
wa idara, Bajeti ya idara.
SN KAZI/ WAJIBU/ WA MSAIDIZI MKUU WA SS WASHIRIKI
01 Shule ya Sabato ndiyo mfumo kimsingi wa Elimu ya Kidini ya Kanisa la Waadventista Wasabato na ina
makusudi yake manne 1) Kujifunza maandiko matakatifu, 2)Ushirika(kujumuika pamoja,urafiki- fellowship), 3)
Utume kwa jamii (kuhimiza juhudi za kuifikia jamii inayotuzunguka- community outreach), 4)Msisitizo wa
Utume Ulimwenguni(world mission emphasis. Kama idara hii itaendeshwa kwa usahihi ni mojawapo ya njia
kuu za Mungu za kuleta roho kwenye maarifa ya kweli.
02 Yeye ndiye “Msaidizi Mkuu wa shule” ya Sabato kitengo cha Washiriki.
03 Anapaswa kuwahi asubuhi siku ya Sabato. Kumbuka uhai wa idara unatazamwa kupitia kwake.
04 Ni mjumbe wa baraza la shule ya sabato linalokaa kila mwezi.
05 Kuchambua ushirika wa washiriki wa shule ya sabato kwa kukagua orodha ya shule ya sabato na ile ya
washiriki wa kanisa kutoka kwa karani wa kanisa. Ili kulinganisha.
06 Kudumisha orodha hai up-to-date list ya anuani, emails, na namba za simu za washiriki wa SS na washiriki
watarajiwa.
07 Kupanga utekelezaji wa mpango wa kuwaweka washiriki wanaolegea kiroho kwenye madarasa ili walelewe na
hayo madarasa kwa njia ya kutembelewa na kutiwa moyo.
08 Kuhimiza kutembelea washiriki ambao hukosa kuhudhuria shule ya sabato mara kwa mara.
09 Kusaidia kuwaingiza wale waliobatizwa karibuni na waliohamia kanisani kwenye program za shule ya
sabato.
10 Kuwa tayari kusaidia kuyafanya majukumu ya shule ya sabato asubuhi ya mkuu wa shule ya sabato kadri
itakavyohitajika.
11 Kuhudhuria Baraza la Shule ya Sabato na kutoa taarifa ya matendo na mipango ya kukuza ushirika wa shule ya
sabato.
12 Kupanga vikosi vya shule ya sabato vya watu 6-8, na kuhakikisha kuwa kila mshiriki wa SS ana darasa lake
la kudumu.
13 Kuona kwamba Shule ya Sabato inaendeshwa katika vikosi na inaanza kwa wakati na kuisha kwa
wakati uliopangwa
14 Ni mhimizaji mkuu wa kanisa kwa kuagiza na kununua lesoni za watu wazima na za watoto.
15 Kufanya tathimini ya maendeleo ya vikosi vya Shule ya Sabato kila sabato inapokwisha.
16 Kusimamia uundwaji wa madarasa mapya.
17 Kujua idadi ya washiriki wa shule ya sabato
Semina ya maandii kwa Majukumu ya Watendakazi wa kanisa

18 Kupanga mipango ya mwaka mzima na program zake akiwa na wasaidizi wake, na kuziwakilisha kwenye
baraza la Shule ya Sabato mwanzoni mwa mwaka (yaani december mwanzoni) zikiwa kwenye maandishi.
Mipango ionyeshe nani atafanya nini, wapi, lini, namna gani, na gharama, pamoja na tathmini.
19 Kubuni na kusimamia wana Shule ya Sabato wote kufikia mpango wa kanisa wa Uamsho na
Matengenezo
20 Kutayarisha agenda na kuzileta katika Baraza la shule ya sabato.
21 Awe mbunifu na mtekelezaji wa programu za Shule ya Sabato kanisani.
22 Kuyajua malengo 4 ya idara ya Shule ya Sabato.
23 Alijue tamko la utume la idara ya Shule ya Sabato.
24 Kutia changamoto kila mshiriki wa Shule ya Sabato kuchangia vipawa vyake ili kufanya kazi bega kwa bega
katika kupeleka mbele utume wa kanisa.
25 Aandae semina na washa kwa washiriki wa S.S wote kanisani, hasa mada zifuatazo: Namna ya
kufundisha lessoni, namna ya kuendesha program za SS,
26 Kujua idadi kamili ya makundi yafuatayo ya washiriki wote kanisani, watoto, vijana, watu wazima, walemavu,
wazee, wenye lessoni, wasio na lessoni, nk…
27 Kuhakikisha kuwa waalimu wote wa madarasa wanakutana kwa juma angalau mara moja kwa ajili ya
mikutano yao ya kujifunza lesoni na semina nk…
28 Kuhamasisha na kusimamia sabato maalumu za idara.kama kupanda daraja,sabato ya wageni n.k
29 Msaidizi Mkuu wa Shule ya Sabato washiriki asikose Mafaili yafuatayo katika ofisi yake:
1)Majina ya waalimu wa ss wote kanisani na namba zao za simu,
2)Budgeti ya idara,
3)fomu ya Makabidhiano na mkuu wa idara aliyepita ,
4) Kujaza nakala ya Taarifa za idara inayoenda Koferensi.

MSAIDIZI MKUU WA SHULE YA SABATO UINJILISTI/ASSISTANT SABBATH SCHOOL


EVANGELISM
VIFAA: Biblia, Roho ya Unabii, Kanuni ya Kanisa, Muongozo wa idara, faili la idara lenye bajeti orodha ya
waalimu wote wa S.S kanisani na namba zao za simu, kalenda ya mwaka na majiana ya wasaidizi wa idara.
SN KAZI/ WAJIBU/ WA MSAIDIZI MKUU WA SS UINJILISTI
01 Shule ya Sabato ndiyo mfumo kimsingi wa Elimu ya Kidini ya Kanisa la Waadventista Wasabato na ina makusudi
yake manne 1)Kujifunza maandiko matakatifu, 2)Ushirika(kujumuika pamoja,urafiki- fellowship), 3) Utume kwa
jamii (kuhimiza juhudi za kuifikia jamii inayotuzunguka- community outreach), 4)Msisitizo wa Utume
Ulimwenguni(world mission emphasis. Kama idara hii itaendeshwa kwa usahihi ni mojawapo ya njia kuu
za Mungu za kuleta roho kwenye maarifa ya kweli.
02 Yeye ndiye “Msaidizi Mkuu wa shule” ya Sabato kitengo cha Uinjilisti.
03 Anapaswa kuwahi asubuhi siku ya Sabato. Kumbuka uhai wa idara unatazamwa kupitia kwake.
04 Ni mjumbe wa baraza la shule ya sabato linalokaa kila mwezi.
05 Kuongoza shule ya sabato katika uinjilisti kwa jamii
06 Kupanga na uongozi wa division mbalimbali juu ya uinjilisti.
07 Kupanga juu ya siku ya wageni, na siku ya kukatisha shauri
08 Kufanya kazi pamoja na mkurugenzi wa shule ya Biblia wakati wa likizo VBS
09 Kusaidia kuwaingiza wale waliobatizwa karibuni na waliohamia kanisani kwenye programu za shule ya
sabato uinjilisti.
10 Kuwa tayari kusaidia kuyafanya majukumu ya shule ya sabato asubuhi ya mkuu wa shule ya sabato kadri
itakavyohitajika.
11 Kuhudhuria Baraza la Shule ya Sabato na kutoa taarifa ya matendo na mipango ya kukuza uinjilist wa shule ya
sabato.
12 Kupanga juu ya matawi ya shule ya sabato na kufungua mengine zaidi.
13 Kufanya mpango wa ufatiliaji wa wale wanopendezwa na imani yetu.
14 Kuandaa sabato za wageni kila robo
15 Kuhimiza uinjilisti kwa marafiki. (friendship evangelism)
Semina ya maandii kwa Majukumu ya Watendakazi wa kanisa

16 Kushirikiana na viongozi wa divisheni mbalimbali kupanga siku maalumu za kukata shauri.


17 Kuweka mpango mzuri wa kuwafatilia wageni wanaokuja wakati wa shule ya sabato na wale washirki wa
kanisa watarajiwa.
18 Kupanga mipango ya mwaka mzima na program zake akiwa na wasaidizi wake, na kuziwakilisha kwenye
baraza la Shule ya Sabato mwanzoni mwa mwaka (yaani decemba mwanzoni) zikiwa kwenye maandishi.
Mipango ionyeshe nani atafanya nini, wapi, lini, namna gani, na gharama, pamoja na tathmini.
19 Kubuni na kusimamia wana Shule ya Sabato wote kufikia mpango wa kanisa wa Uamsho na Matengenezo
20 Kutayarisha agenda na kuzileta katika Baraza la shule ya sabato.
21 Awe mbunifu na mtekelezaji wa programu za Shule ya Sabato kanisani.
22 Kuyajua malengo 4 ya idara ya Shule ya Sabato.
23 Alijue tamko la utume la idara ya Shule ya Sabato.
24 Kutia changamoto kila mshiriki wa Shule ya Sabato kuchangia vipawa vyake ili kufanya kazi bega kwa bega
katika kupeleka mbele utume wa kanisa.

MSAIDIZI MKUU WA SHULE YA SABATO UTUME ULIMWENGUNI/ASSISTANT


SABBATH SCHOOL WORLD MISSION
VIFAA: Biblia, Roho ya Unabii, Kanuni ya Kanisa, Muongozo wa idara, faili la idara lenye bajeti orodha ya
waalimu wote wa S.S kanisani na namba zao za simu, kalenda ya mwaka na majiana ya wasaidizi wa idara.
SN KAZI/ WAJIBU/ WA MSAIDIZI MKUU WA SS UTUME ULIMWENGUNI
01 Shule ya Sabato ndiyo mfumo kimsingi wa Elimu ya Kidini ya Kanisa la Waadventista Wasabato na ina makusudi
yake manne 1) Kujifunza maandiko matakatifu, 2)Ushirika(kujumuika pamoja,urafiki- fellowship), 3) Utume kwa
jamii (kuhimiza juhudi za kuifikia jamii inayotuzunguka- community outreach), 4)Msisitizo wa Utume
Ulimwenguni(world mission emphasis. Kama idara hii itaendeshwa kwa usahihi ni mojawapo ya njia kuu
za Mungu za kuleta roho kwenye maarifa ya kweli.
02 Yeye ndiye “Msaidizi Mkuu wa shule” ya Sabato kitengo cha Utume ulimwenguni.
03 Anapaswa kuwahi asubuhi siku ya Sabato. Kumbuka uhai wa idara unatazamwa kupitia kwake.
04 Ni mjumbe wa baraza la shule ya sabato linalokaa kila mwezi.
05 Kufanya kazi na viongozi wa divisheni kuhakikisha kuwa mikazo maalumu ya utume inatolewa kwenye
programu za shule ya sabato za kila juma.
06 Kuhakikisha kuwa kila divisheni ina somo la nchi za mbali la umri wao na linasimuliwa
07 Kufanya kazi na viongozi wa divisheni kusaidia kuongeza utoaji wa sadaka za utume kwa kusaidia kufanya vitu
kama kuhimiza magoli.
08 Kutafuta vielelezo vya somo la nchi za mbali kama Ramani, Picha, visa vinavyovutia, kanda za kaseti, DVD,
Vitabu, mikanda ya Video ya eneo linaloongelewa au kuweka maonyesho ya ubao wa matangazo (mission
illustrations)
09 Kutoa habari mara kwa mara kuhusu miradi, mahitaji, magoli, na sadaka maalumu kwa kutumia
programu, mbao za matangazo na majarida
10 Kuwa tayari kusaidia kuyafanya majukumu ya shule ya sabato asubuhi ya mkuu wa shule ya sabato kadri
itakavyohitajika.
11 Kuhudhuria Baraza la Shule ya Sabato na kutoa taarifa ya matendo na mipango ya kukuza uinjilist wa shule ya
sabato.
12 Kupanga matukio maalumu ya kuhimiza utume, matukio kama: makongamano ya utume (mission
conference), siku za wazo kuu la utume (mission theme days), makundi ya kujifunza habari za utume
(mission study groups), mzunguko wa maombi ya utume,(mission prayer circles), safari za kiutume (mission
treaps) na chakula cha kiutume (mission potlucks)
13 Ratiba ya sadaka ya kumi na tatu
14 Kupanga mipango ya mwaka mzima na program zake akiwa na wasaidizi wake, na kuziwakilisha kwenye
baraza la Shule ya Sabato mwanzoni mwa mwaka (yaani december mwanzoni) zikiwa kwenye maandishi.
Mipango ionyeshe nani atafanya nini, wapi, lini, namna gani, na gharama, pamoja na tathmini.
15 Kubuni na kusimamia wana Shule ya Sabato wote kufikia mpango wa kanisa wa Uamsho na
Matengenezo
16 Kutayarisha agenda na kuzileta katika Baraza la shule ya sabato.
Semina ya maandii kwa Majukumu ya Watendakazi wa kanisa

17 Awe mbunifu na mtekelezaji wa programu za Shule ya Sabato kanisani.


18 Kuyajua malengo 4 ya idara ya Shule ya Sabato.
19 Alijue tamko la utume la idara ya Shule ya Sabato.
20 Kutia changamoto kila mshiriki wa Shule ya Sabato kuchangia vipawa vyake ili kufanya kazi bega kwa bega
katika kupeleka mbele utume wa kanisa.

MSAIDIZI MKUU WA SHULE YA SABATO UKARIMU/ ASSISTANT SABBATH SCHOOL


HOSPITALITY
VIFAA: Biblia, Roho ya Unabii, Kanuni ya Kanisa, Muongozo wa idara, faili la idara, orodha ya
waalimu wote wa S.S kanisani na namba zao za simu, kalenda ya mwaka na bajeti ya idara.
SN KAZI/ WAJIBU/ WA MSAIDIZI MKUU WA SS UKARIMU
01 Shule ya Sabato ndiyo mfumo kimsingi wa Elimu ya Kidini ya Kanisa la Waadventista Wasabato na ina
makusudi yake manne 1) Kujifunza maandiko matakatifu, 2) Ushirika (kujumuika pamoja, urafiki- fellowship),
3) Utume kwa jamii (kuhimiza juhudi za kuifikia jamii inayotuzunguka- community outreach), 4) Msisitizo
wa Utume Ulimwenguni (world mission emphasis. Kama idara hii itaendeshwa kwa usahihi ni mojawapo
ya njia kuu za Mungu za kuleta roho kwenye maarifa ya kweli.
02 Yeye ndiye “Msaidizi Mkuu wa shule” ya Sabato kitengo cha Ukarimu.
03 Anapaswa kuwahi asubuhi siku ya Sabato. Kumbuka uhai wa idara unatazamwa kupitia kwake.
04 Ni mjumbe wa baraza la shule ya sabato linalokaa kila mwezi.
05 Kuongoza shule ya sabato katika uinjilisti kwa jamii
06 Kuandikisha, kuwafundisha, na kuwasimamia wakaribishaji watakaopokea na kukaribisha watu kila asubuhi
ya sabato.
07 Kuona kuwa wapo watu walioandaliwa kuwakaribisha wageni nyumbani au kanisani kwa chakula cha
pamoja.
08 Kuona kuwa kumbukumbu za majina yao na anuani zao na pia namba za simu za wageni imetunzwa vizuri.
09 Kufanya mpango wa kufatilia wageni waliohudhuria shule ya sabato, kwa njia ya kuwatembelea, uwapigia
simu, kuwaandikia barua au kuwatumia kadi.
10 Kufanya kazi na viongozi wa divisioni na waalimu, kupanga mipango ya ushirikiano (fellowship) kando ya
wakati wa shule ya sabato.
11 Kumsaidia mkuu wa shule ya sabato siku ya sabato asubuhi kwa kadri atakavyohitajika kusaidiwa.
12 Kutoa taarifa mbalimbali za ukarimu za shule ya sabato wakati wa baraza la shule ya sabato.
13 Kupanga, na kusimamia zoezi la ukaribishaji kwa wageni wote wa shule ya sabato wawe wa Imani yetu au
si wa imani yetu.
14 Anafanya kazi na mabawaba wa kanisa kila asubuhi. Ahakikishe kuwa kuna ratiba ya kila sabato ya
ukaribisha, kuketisha wageni na kuhakikisha wamepata mwenyeji baada ya ibada.
15 Anafanya kazi na waalimu wa madarasa maana ndio wanaopata wageni katika sabato.
16 Kuwa tayari kusaidia kuyafanya majukumu ya shule ya sabato asubuhi ya mkuu wa shule ya sabato kadri
itakavyohitajika.
17 Kuhudhuria Baraza la Shule ya Sabato na kutoa taarifa ya matendo na mipango ya kukuza uinjilist
wa shule ya sabato.
18 Kupanga mipango ya mwaka mzima na program zake akiwa na wasaidizi wake, na kuziwakilisha kwenye
baraza la Shule ya Sabato mwanzoni mwa mwaka (yaani december mwanzoni) zikiwa kwenye
maandishi. Mipango ionyeshe nani atafanya nini, wapi, lini, namna gani, na gharama, pamoja na
tathmini.
19 Kubuni na kusimamia wana Shule ya Sabato wote kufikia mpango wa kanisa wa Uamsho na
Matengenezo
20 Kutayarisha agenda na kuzileta katika Baraza la shule ya sabato.
21 Awe mbunifu na mtekelezaji wa programu za Shule ya Sabato kanisani.
22 Kuyajua malengo 4 ya idara ya Shule ya Sabato.
23 Alijue tamko la utume la idara ya Shule ya Sabato.
24 Kutia changamoto kila mshiriki wa Shule ya Sabato kuchangia vipawa vyake ili kufanya kazi bega kwa bega
katika kupeleka mbele utume wa kanisa.
Semina ya maandii kwa Majukumu ya Watendakazi wa kanisa

MSAIDIZI MKUU WA SHULE YA SABATO UTANDAAJI/ ASSISTANT SABBATH SCHOOL


EXTENSION
VIFAA: Biblia, Roho ya Unabii, Kanuni ya Kanisa, Muongozo wa idara, faili la idara, orodha ya
waalimu wote wa S.S kanisani na namba zao za simu, kalenda ya mwaka na bajeti ya idara.
SN KAZI/ WAJIBU/ WA MSAIDIZI MKUU WA SS UTANDAAJI
01 Shule ya Sabato ndiyo mfumo kimsingi wa Elimu ya Kidini ya Kanisa la Waadventista Wasabato na ina
makusudi yake manne 1) Kujifunza maandiko matakatifu, 2) Ushirika (kujumuika pamoja, urafiki-
fellowship), 3) Utume kwa jamii (kuhimiza juhudi za kuifikia jamii inayotuzunguka- community outreach),
4) Msisitizo wa Utume Ulimwenguni (world mission emphasis. Kama idara hii itaendeshwa kwa usahihi
ni mojawapo ya njia kuu za Mungu za kuleta roho kwenye maarifa ya kweli.
02 Yeye ndiye “Msaidizi Mkuu wa shule” ya Sabato kitengo cha Utandaaji.
03 Anapaswa kuwahi asubuhi siku ya Sabato. Kumbuka uhai wa idara unatazamwa kupitia kwake.
04 Ni mjumbe wa baraza la shule ya sabato linalokaa kila mwezi.
05 Hii ni divisheni inayowajali wale wasioweza kufika katika shule ya sabato mara kwa mara kwa sababu
maalumu kama vile Wagonjwa, Wakongwe, Waliojifungua, Wafungwa nk..
06 Kufanya mipango ya kuwafikia na kuwapatia Huduma ya Lessoni pale walipo inaweza kuwa
Hosipitalini, Gerezani, au Nyumbani.
07 Kuwa tayari kusaidia kuyafanya majukumu ya shule ya sabato asubuhi ya mkuu wa shule ya sabato kadri
itakavyohitajika.
08 Kuhudhuria Baraza la Shule ya Sabato na kutoa taarifa ya matendo na mipango ya kukuza uinjilist wa shule
ya sabato.
09 Kupanga mipango ya mwaka mzima na program zake akiwa na wasaidizi wake, na kuziwakilisha kwenye
baraza la Shule ya Sabato mwanzoni mwa mwaka (yaani december mwanzoni) zikiwa kwenye
m aandishi. Mipango ionyeshe nani atafanya nini, wapi, lini, namna gani, na gharama, pamoja na
tathmini.
10 Kubuni na kusimamia wana Shule ya Sabato wote kufikia mpango wa kanisa wa Uamsho na
Matengenezo
11 Kutayarisha agenda na kuzileta katika Baraza la shule ya sabato.
12 Awe mbunifu na mtekelezaji wa programu za Shule ya Sabato kanisani.
13 Kuyajua malengo 4 ya idara ya Shule ya Sabato.
14 Alijue tamko la utume la idara ya Shule ya Sabato.
15 Kutia changamoto kila mshiriki wa Shule ya Sabato kuchangia vipawa vyake ili kufanya kazi bega kwa
bega katika kupeleka mbele utume wa kanisa.

KARANI MKUU WA S.S/ SABBATH SCHOOL SECRETARY GENERAL


VIFAA: Biblia, Roho ya Unabii, Kanuni ya Kanisa, Muongozo wa idara, faili la idara, orodha ya
waalimu wote wa S.S kanisani na namba zao za simu, kalenda na bajeti ya mwaka ya idara, majina ya
wasaidizi.
SN KAZI/ WAJIBU/ WA KARANI WA SS
01 Shule ya Sabato ndiyo mfumo kimsingi wa Elimu ya Kidini ya Kanisa la Waadventista Wasabato na ina
makusudi yake manne 1)Kujifunza maandiko matakatifu, 2)Ushirika(kujumuika pamoja,urafiki- fellowship),
3) Utume kwa jamii (kuhimiza juhudi za kuifikia jamii inayotuzunguka- community outreach), 4)Msisitizo
wa Utume Ulimwenguni(world mission emphasis.Kama idara hii itaendeshwa kwa usahihi ni mojawapo
ya njia kuu za Mungu za kuleta roho kwenye maarifa ya kweli.
02 Anapaswa kuwahi asubuhi siku ya Sabato. Kumbuka uhai wa idara unatazamwa kupitia kwake.
03 Ni mjumbe wa baraza la shule ya sabato linalokaa kila mwezi.
04 Kutunza kumbukumbu ZOTE za Shule ya Sabato, kama Vifaa, Makadi, Vitabu vya Ukuziaji,
Masomo ya nchi za mbali.
05 Kuandaa mambo mbalimbali ya divisheni za shule ya sabato.
06 Kufanya mawasiliano kuhusu Baraza la Shule ya Sabato la kila mwezi.
07 Kuwajulisha wajumbe wote wa Baraza la shule ya sabato kuwa kikao kitakuwa wapi, lini, muda, na agenda
zitakazojadiliwa.
Semina ya maandii kwa Majukumu ya Watendakazi wa kanisa

08 Kutoa taarifa za semina au warsha zitakazoendeshwa na Conference.


09 Kuandaa na Kutuma Taarifa za Robo conference baada ya kupitishwa na Baraza la S.S. (Kumbuka taarifa ni
za idara ni utendaji wa idara si mtu binafsi) hivyo isomwe na kujadiliwa.
10 Kumsaidia mkuu wa shule ya sabato siku ya sabato asubuhi kwa kadri atakavyohitajika kusaidiwa.
11 Ndiye mwandishi wa vikao vyote vya mabaraza ya shule ya sabato.
12 Kutunza muda wakati wote wa shule ya sabato, (anakaa na kengele)
13 Kuratibu Darasa la Waalimu la kila sabato asubuhi, ahakikishe kuwa limefanyika, mazingira mazuri ya
darasa, viti, nk..
14 Kuwa tayari kusaidia kuyafanya majukumu ya shule ya sabato asubuhi ya mkuu wa shule ya sabato kadri
itakavyohitajika.
15 Kupanga mipango ya mwaka mzima na program zake akiwa na wasaidizi wake, na kuziwakilisha kwenye
baraza la Shule ya Sabato mwanzoni mwa mwaka (yaani december mwanzoni) zikiwa kwenye maandishi.
Mipango ionyeshe nani atafanya nini, wapi, lini, namna gani, na gharama, pamoja na tathmini.
16 Kubuni na kusimamia wana Shule ya Sabato wote kufikia mpango wa kanisa wa Uamsho na
Matengenezo
17 Kutayarisha agenda na kuzileta katika Baraza la shule ya sabato.
18 Awe mbunifu na mtekelezaji wa programu za Shule ya Sabato kanisani.
19 Kuyajua malengo 4 ya idara ya Shule ya Sabato.
20 Alijue tamko la utume la idara ya Shule ya Sabato.
21 Kutia changamoto kila mshiriki wa Shule ya Sabato kuchangia vipawa vyake ili kufanya kazi bega kwa
bega katika kupeleka mbele utume wa kanisa.

MKURUGENZI WA SHULE YA SABATO WATOTO/ CHILDEREN SABBATH


SCHOOL SUPERETENDANT
VIFAA: Biblia, Roho ya Unabii, Kanuni ya Kanisa, Muongozo wa idara, faili la idara, orodha ya
waalimu wote wa S.S Watoto kanisani na namba zao za simu, kalenda ya mwaka ya idara, majina ya
wasaidizi wa idara, Bajeti ya idara
SN KAZI/ WAJIBU/ WA MKUU WA SS WATOTO
01 Shule ya Sabato ndiyo mfumo kimsingi wa Elimu ya Kidini ya Kanisa la Waadventista Wasabato na ina
makusudi yake manne 1) Kujifunza maandiko matakatifu, 2)Ushirika(kujumuika pamoja,urafiki- fellowship),
3) Utume kwa jamii (kuhimiza juhudi za kuifikia jamii inayotuzunguka- community outreach), 4)Msisitizo
wa Utume Ulimwenguni(world mission emphasis. Kama idara hii itaendeshwa kwa usahihi ni
mojawapo ya njia kuu za Mungu za kuleta roho kwenye maarifa ya kweli.
02 Yeye ndiye “Mkuu wa shule” ya Sabato watoto
03 Anapaswa kuwahi asubuhi siku ya Sabato. Kumbuka uhai wa idara unatazamwa kupitia kwake.
04 Kuona kwamba wahudumu wote wa ss watoto wamefika kwa muda kuanzia ratiba za kwanza.
05 Kuona kwamba Shule ya Sabato ya watoto inaendeshwa katika divisheni zao na inaanza kwa wakati
na kuisha kwa wakati uliopangwa
06 Kuona kwamba majina ya watoto wa SS yanapitishwa toka divisheni moja hadi nyingine.
07 Kufanya tathimini ya maendeleo ya Shule ya Sabato watoto kila sabato inapokwisha.
08 Kusimamia uundwaji wa madarasa mapya.
09 Ni mhimizaji mkuu wa kanisa kwa kuagiza na kununua lesoni za watoto.
10 Kuona kwamba kanisa mahalia lina shule ya sabato ya watoto, jengo na programu nzuri
11 Kujua kuwa divisheni zimeundwa na zinapata vifaa.
12 Kujua idadi ya washiriki wa shule ya sabato watoto.
13 Kutoa semina za mara kwa mara za viongozi wa SS watoto, coordinators na waalimu wao.
14 Kushirikiana na mchungaji wa mtaa kuagiza vifaa kwa wakati toka ofisi za juu
15 Ni mjumbe wa baraza la shule ya sabatop akiwakilisha idara ya Shule ya sabato watoto.
16 Kupanga mipango ya mwaka mzima na program zake akiwa na wasaidizi wake, na kuziwakilisha kwenye
kamati ya mipango au baraza la shule ya sabato mwanzoni mwa mwaka (yaani december mwanzoni) zikiwa
kwenye maandishi. Mipango ionyeshe nani atafanya nini, wapi, lini, namna gani, na gharama, pamoja na
tathmini.
Semina ya maandii kwa Majukumu ya Watendakazi wa kanisa

17 Ni mwenyekiti wa vikao vyote vya Shule ya Sabato Watoto vinavyokaa kila mwezi wakikaa kama kitengo
kutathimini shule ya sabato watoto.
18 Kuandaa taarifa ya kitengo cha ss watoto kila robo katika kitabu cha taarifa kilichopo kanisani na kuituma
conference kupitia mkuu wa ss, mzee wa kanisa-mchungaji. (Andaa nakala 2 moja ubaki nayo kwenye
faili lako la idara kwa ajili ya kumbukumbu)
19 Amjue mzee wa kanisa anayeshauri idara yake, na amualike kuwa mshauri kwenye kila kikao cha idara cha
mwezi, asifanye kikao bila uwepo wa mzee wa kanisa wa idara yake.
20 Kupokea masomo, semina toka ngazi za juu, kuhusu ss watoto na kufundisha kanisani.
21 Kutayarisha Bajeti ya kitengo cha ss watoto na kuipeleka kwa idara ya ss mapema december.
22 Kubuni na kusimamia wana Shule ya Sabato watoto wote kufikia mpango wa kanisa wa Uamsho na
Matengenezo
23 Kutayarisha agenda na kuzileta katika Baraza la shule ya sabato.
24 Kuona kwamba Miradi iliyoanzishwa inakua na kuleta faida kwenye idara.
25 Awe mbunifu na mtekelezaji wa programu za Shule ya Sabato kanisani.
26 Kuhakikisha kuwa waalimu wote wa madarasa ya watoto wanakutana kwa juma angalau mara moja kwa ajili
ya mikutano yao ya kujifunza lesoni na semina nk
27 Alijue tamko la utume la idara ya Shule ya Sabato.na Kuyajua malengo 4 ya idara ya Shule ya Sabato
28 Kutia changamoto kila mshiriki wa Shule ya Sabato Watoto kuchangia vipawa vyake ili kufanya kazi bega
kwa bega katika kupeleka mbele utume wa kanisa.
29 Aandae semina na washa kwa washiriki wa S.S wote kanisani, hasa mada zifuatazo: Namna ya
kufundisha lessoni watoto, namna ya kuendesha program za SS watoto,
30 Kujua idadi kamili ya makundi yafuatayo ya washiriki wa ss watoto wote kanisani, watoto, wenye lessoni,
wasio na lessoni, nk…

MKAGUZI WA NDANI WA VITABU VYA KANISA/ INTERNAL AUDITOR


VIFAA: Biblia, Roho ya Unabii, Kanuni ya Kanisa, Muongozo wa idara, faili la idara, orodha ya wana
wa kike wote kanisani na namba zao za simu, kalenda ya mwaka ya idara, Bajeti ya idara
SN KAZI/ WAJIBU/ WA MKAGUZI WA KANISA
01 Kuhakikisha kuwa elimu hii ya utunzaji wa kumbukumbu za hesabu unaeleweka kwa wahazini.
02 Kuwafundisha na kuwaelekeza zaidi wahazini namna ya kutunza mahesabu ya kanisa.
03 Kuhakikisha kuwa taratibu za utunzaji wa vifaa na mali za kanisa zinafanywa na wahusika. Mfano mtunza
vifaa, shemasi, vyombo vya sauti, mabenchi, nk..
04 Kuona kwamba anasaidiana na Baraza la kanisa/ mchungaji katika kuona kuona utunzaji bora wa vifaa vya
kanisa la Mungu.
05 Kuendesha semina za wahazini wa kanisa juu ya hazina ya Bwana.
06 Kushirikiana na mkaguzi wa conference wakati atakapofika kwa ukaguzi wake wa kawaida.
07 Kuweka kumbukumbu zote za vitabu vya risiti zinazotumika.
08 Kupokea agenda za kikao cha wanawake kila mwezi.
09 Kuandaa taarifa ya ukaguzi kila robo na kuiwasilisha kwa Baraza la Kanisa ili ijadiliane. (Aandae nakala 2
moja abaki nayo kwenye faili lake la idara kwa ajili ya kumbukumbu) na pia mkaguzi wa conference
anapokuja ampe nakala moja kwa kila robo aliyokagua.
10 Kwa kawaida mkaguzi si mjumbe wa Baraza la kanisa maana moja ya kazi yake ni kulikagua baraza la kanisa
kama likaa kwa muda uliopangwa na kama utekelezaji unaendena na kilichoamuliwa.
11 Kuweka kumbukumbu zote za vitabu vya risiti vinavyotumika na kujua vinapowekwa, au kama
vimekwisha.
12 Kukagua miniti zote za mabaraza ya maidara na baraza la kanisa.
13 Kukagua minite zote za halimashauri ya kanisa
Semina ya maandii kwa Majukumu ya Watendakazi wa kanisa

KIONGOZI WA SAUTI YA UNABII / VOICE OF PROPHETS DIRECTOR


VIFAA: Biblia, Roho ya Unabii, Kanuni ya Kanisa, Muongozo wa idara, faili la idara, kalenda ya mwaka
ya idara, Bajeti ya idara

SN KAZI/ WAJIBU/ WA KIONGOZI WA SAUTI YA UNABII


01 Kufanya mhimizo mkubwa au shinikizo la uhamasishaji wa shule ya Biblia na kutoa semina
02 Kuendesha rally kwa ajili ya uandikishaji wa wanafunzi wa shule ya Biblia.
03 Kupanga mipango ya mwaka mzima na program na kuziwakilisha kwenye kamati ya mipango au baraza la
kanisa mwanzoni mwa mwaka (yaani december mwanzoni) zikiwa kwenye maandishi.
Mipango ionyeshe nani atafanya nini, wapi, lini, namna gani, na gharama, pamoja na tathmini.
04 Kama idara Kufanya efforti moja ya hadhara inayoendeshwa na wanaidara.
05 Kuendesha semina kanisani.
06 Kuagiza na kutunza masomo ya shule kwa kutengeneza Bajeti kwa kila mwaka na kupeleka kwenye Baraza
la mipango ya kanisa.
07 Kushirikiana na mchungaji kutoa mafunzo yanayohusika na sauti ya unabii.
08 Kuweka mikutano ya mara kwa mara, ili kupima maendeleo na mafanikio ya shule.
09 Kuandaa taarifa ya idara kila robo na kuituma conference kupitia mzee wa kanisa, mchungaji-
NETCO. (Andaa nakala 2 moja ubaki nayo kwenye faili lako la idara kwa ajili ya kumbukumbu)
10 Amjue mzee wa kanisa anayeshauri idara yake, na amualike kuwa mshauri kwenye kila kikao cha
idara cha mwezi, asifanye kikao bila uwepo wa mzee wa kanisa wa idara yake.
11 Kutunza rekodi zote za maendeleo ya wanafunzi.
12 Kuagiza vyeti vya kuhitimu na kufanya mahafali kwa wale waliohitimu tayari. Hii inafanyika kwa ushirikiano
na mkurugenzi wa conference.
13 Kupokea masomo toka ngazi za juu, na kuyafundisha kanisani.
14 Kuendesha shughuli ya masomo ya ugunduzi kabla ya efoti/ mahubiri ya hadhara kufanyika.
15 Ni mmoja wa wahubiri kanisani.
16 Kuhamasisha washiriki kusoma Biblia kwa mpango, pamoja na vitabu vya roho ya unabii.
17 Kubuni na kusimamia washiriki kufikia mpango wa kanisa wa Uamsho na Matengenezo
18 Kutoa semina kwa washiriki jinsi ya kufaya effort na kumtumikia Mungu kwa njia ya masomo ya sauti ya
unabii.

KIONGOZI WA WOSIA NA MIRATHI


VIFAA: Biblia, Roho ya Unabii, Kanuni ya Kanisa, Muongozo wa idara, faili la idara, kalendaya mwaka
ya idara, Bajeti ya idara.
SN KAZI/ WAJIBU/ WA KIONGOZI WA WOSIA NA MIRATHI
01 Kutoa semina na mafunzo kwa washiriki wa kanisa.
02 Kuwa mfano bora kwa kuunga mkono na kujihusisha katika idara zingine na sehemu zote za kanisa kwa ajili
ya ufanisi wa kazi ya Mungu kwa ujumla.
03 Kupanga mipango ya mwaka mzima na program zake akiwa na wasaidizi wake, na kuziwakilisha kwenye
kamati ya mipango au baraza la kanisa mwanzoni mwa mwaka (yaani december mwanzoni) zikiwa kwenye
maandishi. Mipango ionyeshe nani atafanya nini, wapi, lini, namna gani, na gharama, pamoja na
tathmini.
04 Kupokea miongozo na masomo kutoka conference na kuyafanyia kazi.
05 Kuwaandikia, kuwatembelea na kuwatia moyo wajane, wagane na yatima waliorudi nyuma.
06 Kutoa taarifa ya kazi kwa wakati kwa mkurugenzi wa conference.
07 Kuwaelimisha washiriki kuhusu sheria ya mirathi.
08 Kuwahusisha wataalamu wa sheria katika suala la mirathi.
09 Kuwafundisha washiriki juu ya umhimu wa kuandika mirathi kisheria ya familia zao na
kuwakumbusha kuwa wanapofanya hivyo wasisahau kutoa sehemu ya mali kwa Mungu na kanisa lake.
10 Kuwakumbusha washiriki mara zote juu ya wosia wa kikristo
11 Ni mmoja wa wahubiri kanisani.
12 Kubuni na kusimamia washiriki kufikia mpango wa kanisa wa Uamsho na Matengenezo
Semina ya maandii kwa Majukumu ya Watendakazi wa kanisa

KIONGOZI WA ATAP/ ASSOCIATION OF TANZANIA ADVENTIST


PROFESSIONALS COORDINATOR
VIFAA: Biblia, Roho ya Unabii, Kanuni ya Kanisa, Muongozo wa idara, faili la idara, kalenda ya mwaka
ya idara, Bajeti ya idara Orodha ya wanataaluma wote kanisani-elimu zao, wanapofanyia kazi.
SN KAZI/ WAJIBU/ WA KIONGOZI WA ATAP
01 Kutoa semina na mafunzo kwa washiriki wa kanisa, Kuhusu kumtumikia huku wakiwa na taaluma zao.
02 Kuwa mfano bora kwa kuunga mkono na kujihusisha katika idara zingine na sehemu zote za kanisa kwa ajili
ya ufanisi wa kazi ya Mungu kwa ujumla.
03 Kupanga mipango ya mwaka mzima na program zake akiwa na wasaidizi wake, na kuziwakilishakwenye
kamati ya mipango au baraza la kanisa mwanzoni mwa mwaka (yaani december mwanzoni) zikiwa kwenye
maandishi. Mipango ionyeshe nani atafanyanini, wapi, lini, namna gani, na gharama, pamoja na tathmini.
04 Kupokea miongozo na masomo kutoka conference na kuyafanyia kazi.
05 Kuwaandikia, kuwatembelea na kuwatia moyo wanataaluma waliorudi nyuma.
06 Kutoa taarifa ya kazi kwa wakati kwa mkurugenzi wa conference.
07 Kuwaunganisha w a t a a l u m a waliopo kanisani kuunganisha taaluma zao (proffessionals) kwa manufaa ya
kanisa na kazi yake kubwa ya injili.
08 Kuwatia changamoto wanataaluma kanisani kufanya effort moja ya hadhara huku wao wakiwa wahubiri
na wanatimu.
09 Kuratibu na kuandaa makongamano ya wanataaluma, na kuandaa wanataaluma kuhudhuria mikutano ya
mwaka ya ATAP inayofanyika chini ya Tanzania Union Mission
10 Kulisaidia kanisa pale linapokwama kwa mambo ya kitaalamu mfano: kisheria, kiufundi, kiteknolojia, nk..
11 Kubuni na kusimamia washiriki kufikia mpango wa kanisa wa Uamsho na Matengenezo
Semina ya maandii kwa Majukumu ya Watendakazi wa kanisa

VIONGOZI WA NYIMBO KANISANI- WAIMBISHAJI/ CHURCH CHOIRSTERS


VIFAA: Biblia, Roho ya Unabii, Kanuni ya Kanisa, kitabu cha wimbo, projector, Muongozo wa
uimbishaji, faili la idara, kalenda ya mwaka ya idara, Orodha ya waimbishaji wote.
SN KAZI/ WAJIBU/ WA WAIMBISHAJI WA KANISA
01 Kutoa semina na mafunzo kwa washiriki wa kanisa, namna ya kuimba nyimbo za kikristo.
02 Kuwa mfano bora kwa kuunga mkono na kujihusisha katika idara zingine na sehemu zote za kanisa kwa ajili
ya ufanisi wa kazi ya Mungu kwa ujumla.
03 Kupanga mipango ya mwaka mzima na program zake akiwa na wasaidizi wake, na kuziwakilisha kwenye
kamati ya mipango au baraza la kanisa mwanzoni mwa mwaka (yaani december mwanzoni) zikiwa kwenye
maandishi. Mipango ionyeshe nani atafanya nini, wapi, lini, namna gani, na gharama, pamoja na tathmini.
04 Ni mmoja wa wahudumu wa mhimu kanisani.
05 Uimbaji ni ibada, hivyo ahakikishe kuwa washiriki wametimiza ibada hii kama inavyotakiwa, kila siku za
ibada.
06 Kuongoza nyimbo katika mikutano yote ya kanisa ikiwepo, ibada ya sabato, vipindi vya sabato jioni, ibada
ya kufungua na kufunga sabato, ibada ya katikati ya juma, huduma za ndoa, mazishi, meza ya Bwana,
Ubatizo, Mashauri ya kanisa. Huduma zote hizi zinahitaji kiongozi wa nyimbo
07 Kuhakikisha kuwa panakuwepo na ratiba iliyoandaliwa kwa maandishi na imewekwa kwenye ubao wa
matangazo ikionyesha ratiba ya waimbishaji kwa siku na majina yao.
08 Waimbishaji ni wahudumu kama wengine, hivyo wanapaswa kutangazwa mapema na kujiandaa katika mavazi
na muonekano mbele ya watu wa Mungu.
09 Waimbishaji wanapaswa wafike mapema kanisani kabla ya vipindi havijaanza na hivyo kuchelewa kwa
kiongozi wa nyimbo ni kuruhusu waumini waanze minong’ono na kutafuna bigjii zinazoondoa usikivu na
utulivu wa ibada.
10 Kama kanisa lina projector na kinanda ni wajibu wa mwimbishaji kuwasiliana na mhusika ili kuandaa orodha
ya nyimbo na ziwe tayari zimeandaliwa na washiriki wafurahie uimbaji kwa kuona na kusoma, na kufatia
kwenye kinanda.
11 Kabla ya ibada haijaanza ni wajibu wa waimbishaji kuwasiliana na mhubiri au mwenyekiti wa huduma hiyo ili
kuwapa namba ya wimbo na mawasiliano yafanyike mapema kwa mpiga kinanda na mhusika wa projector.
12 Kuweka utaratibu maalumu wa namna wahudumu wa ibada wanaingia, kama ni wimbo wa kuwaingiza
au ni kwa kwaya nk…
13 Kuwahamasisha washiriki kuwa na vitabu vyao vya nyimbo siku zote za ibada na mikutano ya katikati ya juma.
Vitabu vizuri ni vile vikubwa vyenye ala ya mziki (attached cd)
14 Kufanya bidii kuelewa mfumo wa uimbaji wa Kiadventista na kujua utangulizi wa mapigo, staff notation, ili
kila wimbo uimbwe kama mtunzi alivyomaanisha.
15 Kuhakikisha kuwa kanisa lina ubao wa kuandikia namba ya nyimbo zinazotumika katika ibada ya siku hiyo.
Kwa kawaida ubao huo unawekwa mbele ya kanisa ili kila mshiriki aone mapema wimbo unaotumika, pia
inamrahisishia mpiga kinanda na mhusika wa mitambo kujiandaa.
16 Kuwafundisha washiriki nyimbo mpya ikiwezekana kila sabato na kuwa na malengo ya kila robo na nyimbo
kadhaa ili baada ya mwaka washiriki wawe wamefahamu nyimbo nyingi.
Semina ya maandii kwa Majukumu ya Watendakazi wa kanisa

MKURUGENZI WA VIJANA, AY, MABALOZI/ YOUTH, AY, AMBASSADOR


DIRECTOR
VIFAA: Biblia, Roho ya Unabii, Kanuni ya Kanisa, Muongozo wa idara, faili la idara, orodha ya Vijana
wote kanisani na namba zao za simu,kalenda ya mwaka na Bajeti ya idara, majina ya wasaidizi wa vyama
SN KAZI/ WAJIBU/ WA MKURUGENZI WA VIJANA, AY, MABALOZI
01 Ni mjumbe wa baraza la kanisa akiwakilisha idara ya Vijana/ AY au Mabalozi.
02 Kujua idadi ya vijana wote kanisani tangu walio wadogo hadi wakubwa, mahali wanapoishi, na namba
zao za simu. (kwa mabalozi awajue vijana wa lika la sekondari)
03 Kupanga mipango ya mwaka mzima na program zake akiwa na wasaidizi wake, pamoja na vijana na
kuziwakilisha kwenye kamati ya mipango au baraza la kanisa mwanzoni mwa mwaka (yaani december
mwanzoni) zikiwa kwenye maandishi. Mipango ionyeshe nani atafanya nini, wapi, lini, namna gani, na
gharama, pamoja na tathmini.
04 Kama idara Kufanya efforti moja ya hadhara inayoendeshwa na wanaidara.
05 Kuwaandikia, kuwatembelea na kuwatia moyo vijana waliorudi nyuma.
06 Kutunza orodha ya majina ya vijana wote kanisani katika makundi haya: vijana wanafunzi, wasio
wanafunzi, wenye familia na wasio, wajasirimali na wasio na kazi Nk…
07 Ni mwenyekiti wa vikao vya vyama kanisani wakikaa katika vikao vyao.
08 Kupokea agenda za kikao cha vijana kila mwezi.
09 Kuandaa taarifa ya idara kila robo katika kitabu cha taarifa kilichopo kanisani na kuituma
conference kupitia mzee wa kanisa-mchungaji-. (Andaa nakala 2 moja ubaki nayo kwenye faili lako la idara
kwa ajili ya kumbukumbu)
10 Amjue mzee wa kanisa anayeshauri idara yake, na amualike kuwa mshauri kwenye kila kikao cha idara cha
mwezi, asifanye kikao bila uwepo wa mzee wa kanisa wa idara yake.
11 Kutembelea na kuwatia moyo vijana, yatima, walemavu, wasiojiweza na wenye mahitaji mbalimbali.
12 Kupanga mikutano ya kiroho ya vijana kanisani pamoja na, camps, Retreats, Rally nk…
13 Kupokea masomo toka ngazi za juu, na kuyafundisha kanisani.
14 Kupanga madarasa ya vijana na kuona yanaendelea.
15 Kuitisha mkutano wa Master Guide wote kila mwezi.
16 Kutafuta vitendea kazi vinavyohitajika.
17 Kuwa mwaminifu na mtunza siri za vikao na kanisa.
18 Kupanga na kuendesha juma la maombi.
19 Ni mmoja wa wahubiri kanisani.
20 Kuhamasisha vijana kusoma Biblia kwa mpango, pamoja na vitabu vya roho ya unabii.
21 Kubuni na kusimamia vijana kufikia mpango wa kanisa wa Uamsho na Matengenezo
22 Kupanga shughuli za kila wiki za idara ya vijana.
23 Kutoa semina kwa vijana jinsi ya kufaya effort na kumtumikia Mungu
24 Kutayarisha agenda na kuzileta katika Baraza la kanisa.
25 Kuona kwamba katibu amefunga taarifa na kuituma ngazi za juu kila robo.
26 Kuona kwamba Miradi iliyoanzishwa inkuwa na kuleta faida kwenye idara.
27 Awe mbunifu na mtekelezaji wa programu za vijana kanisani.
28 Azifahamu changamoto kubwa zinazowakabili vijana:yaani : madawa ya kulevya, ngono kabla ya ndoa,
utandawazi, Umaskini, Maradhi, Kukosa Ajira, Elimu duni, Kutojitambua.
29 Kuyajua malengo ya idara ya vijana.
30 Kupanga mikutano ya kutathmini kila mwezi.
31 Alijue tamko la utume la idara ya vijana.
32 Kutia changamoto kila kijana mwadventista kuchangia vipawa vyake ili kufanya kazi bega kwa bega
katika kupeleka mbele utume wa kanisa.
33 Ni mshauri wa mchungaji na Baraza la kanisa juu ya vijana.
34 Kuwafunza vijana kutenda kazi kwa ajili ya vijana wenzao.
35 Kutia moyo vijana ili kuyapenda masomo yao.
36 Aadae semina na washa kwa vijana wote kanisani, hasa mada zifuatazo: afya na kiasi, magonjwa ya zinaa,
ujasiriamali, ndoa na mahusiano, kijana na Mavazi, Stadi za Maisha, Usomaji wa Biblia, Maombi ya
kufunga,
Semina ya maandii kwa Majukumu ya Watendakazi wa kanisa

37 Kuhimiza vijana kanisani kushiriki kwa hali na mali katika effort za kanisa, mtaa, na conference hasa kwa
michango na wao wenyewe kuwa wanatimu.
38 Kuwatia moyo vijana walio Master Guide mafunzoni kufikia MasterGuide
39 Kuhakikisha kuwa vijana wanakutana kwa juma angalau mara moja kwa ajili ya mikutano yao ya wiki,
miradi, uimbaji, ujasiriamali, injili, semina nk…
40 Kubuni na kufundisha miradi mbalimbali kama: Ufumaji wa Vitambaa, Ufugaji wa Kuku,
Utengenezaji wa Bustani, Ushonaji wa nguo, biashara ndogondogo. Nk…
41 Kuwatia moyo vijana kujiunga na idara na kuipenda.
42 Kupanga mikutano ya nje ya kanisa na kuileta mapema ipitishwe na Baraza la kanisa hasa katika mpango
wa kutembeleana na makanisa mengine ndani na nje ya conference
43 Kupanga kambi angalau moja kwa mwaka.
44 Kuhakikisha vijana wakimaliza course wanavishwa pini mara moja.
45 Kuhakikisha kuwa vijana wanasoma Biblia kwa mwaka.
46 Kuwatia moyo vijana wafunge ndoa takatifu kanisani.
47 Kuwahimiza vijana wawe uniform za chama.
48 Kuwa na siku moja au mbili ya kuomba na kupanga kazi.
49 Kutathmini kazi yake akiwa na viongozi wake wa juu na wa chini.
50 Kuwa mfano bora, kwa kuunga mkono na kushiriki kikamilifu katika idara zingine na sehemu zote za kanisa
kwa ajili ya ufanisi wa kazi ya Mungu kwa ujumla.
51 Kuona kuwa vijana wakubwa wanawasaidia vijana wadogo katika masomo yao.
52 Kupanga goli la kubatiza vijana.
53 Kujua vijana wanaosoma somo la kesha la asubuhi.
54 Kujua idadi ya vijana wanaosoma vitabu vya roho ya unabii.
55 Kushirikiana na mkuu wa uwakili kutoa semina za uwakili kwa vijana.
56 Kujua idadi ya waliopata masomo ya kujitegemea.
57 Kujua idadi ya vijana wajasiriamali kanisani.
58 Kujua idadi ya vijana wenye ujuzi taaluma maalumu.
59 Kujua idadi ya vijana wanaorudisha zaka.
60 Kuunda vikundi vya kusaidia wenye VVU
61 Kuendesha mikutano ya mradi wa Eliya.
62 Kuendesha programu za miguso kwa jamii.
63 Kupanga na kuendesha shule ya Biblia wakati wa likizo.
64 Mkuu wa idara ya vijana/ AY, Mabalozi asikose Mafaili yafuatayo katika ofisi yake: 1)Majina
ya vijana wote kanisani, 2)Budgeti ya idara, 3)fomu ya Makabidhiano na mkuu wa idara aliyepita
,4) nakala ya Taarifa za idara inayoenda conferensi.
Semina ya maandii kwa Majukumu ya Watendakazi wa kanisa

MKURUGENZI WA WATAFUTANJIA/ PATHFINDER (P.F.C) DIRECTOR


VIFAA: Biblia, Roho ya Unabii, Kanuni ya Kanisa, Muongozo wa idara, faili la idara, orodha ya
Watafutanjia wote kanisani na namba zao za simu, kalenda na bajeti ya mwaka ya idara, majina ya
wasaidizi wa vyama.
SN KAZI/ WAJIBU/ WA MKURUGENZI WA PFC
Chama cha watafutanjia ni programu iliyojengeka kikanisa ambayo hutoa nafasi ya kujenga roho ya ujasiri na
uvumbuzi inyopatikana katika kila kijana mdogo, hii ni pamoja na shughuli zilizotayarishwa kwa
makini katika kuishi nje, uvumbuzi wa viumbe vya asili, ukambikaji, sanaa nk
Vijana wa umri wa kutoka miaka 10-15 wanastahili kuwa wanachama wa chama cha watafutanjia kupitia
sherehe maalumu ya kuingia uanachama. Hivyo anapaswa awaandikishe kwa umri wao na kupata masomo
stahiki. 1.RAFIKI (Miaka 10), 2.MWENZI (Miaka 11), 3.MGUNDUZI (Miaka 12), 4.MSIMAMIZI (Miaka 13),
5.MSAFIRI (Miaka 15), 6.KIONGOZI (Miaka 15)
01 Ni mjumbe wa baraza la kanisa akiwakilisha chama cha Watafutanjia.
02 Kujua idadi ya vijana watafutanjia wote kanisani tangu walio wadogo hadi wakubwa, mahali wanapoishi.
(kwa wanafunzi ajue shule wanazosoma)
03 Kupanga mipango ya mwaka mzima na program zake akiwa na wasaidizi wake, pamoja na vijana watafutanjia
na kuziwakilisha kwenye kamati ya mipango au baraza la kanisa mwanzoni mwa mwaka (yaani december
mwanzoni) zikiwa kwenye maandishi. Mipango ionyeshe nani atafanya nini, wapi, lini, namna gani, na
gharama, pamoja na tathmini.
04 Akishirikiana na idaraya vijana kanisani Kama idara Kufanya efforti moja ya hadhara inayoendeshwa na
wanaidara.
05 Kuwaandikia, kuwatembelea na kuwatia moyo vijana watafutanjia waliorudi nyuma.
06 Kuorodhesha vijana wote wenye umri wa miaka kuanzia 10-15
07 Ni mwenyekiti wa chama cha watafutanjia kanisani wakikaa katika vikao vyao pamoja na PFC.
08 Kupanga waalimu wa kila darasa kutoka AY wakubwa.
09 Kuandaa taarifa ya idara kila robo katika kitabu cha taarifa kilichopo kanisani na kuitumaconference kupitia
mzee wa kanisa-mchungaji. (Andaa nakala 2 moja ubaki nayo kwenye faili lako la idara kwa ajili ya
kumbukumbu)
10 Amjue mzee wa kanisa anayeshauri idara yake, na amualike kuwa mshauri kwenye kila kikao cha idara cha
mwezi, asifanye kikao bila uwepo wa mzee wa kanisa wa idara yake.
11 Kutembelea na kuwatia moyo vijana watafutanjia, yatima, walemavu, wasiojiweza na wenye mahitaji
mbalimbali.
12 Kupanga mikutano ya kiroho ya PFC kanisani pamoja na, camps, Retreats, Rally nk…
13 Kupokea masomo toka ngazi za juu, na kuyafundisha kanisani.
14 Kupanga madarasa ya vijana na kuona yanaendelea.
15 Kuwasiliana na mkurugenzi wa vijana conference kuhusu uvishaji wa pini baada ya kumaliza.
16 Kutafuta vitendea kazi vinavyohitajika vya chama cha Watafutanjia, kama kuagiza makadi , pini, nishani,
miongozo toka conference.
17 Kuwa mwaminifu na mtunza siri za vikao na kanisa.
18 Kupanga na kuendesha juma la maombi la watafutanjia tu.
19 Ni mmoja wa wahubiri kanisani.
20 Kuhamasisha vijana wa PFC kusoma Biblia kwa mpango, pamoja na vitabu vya roho ya unabii.
21 Kubuni na kusimamia vijana Watafutanjia kufikia mpango wa kanisa wa Uamsho na Matengenezo
22 Kupanga shughuli za kila wiki za Watafutanjia kanisani na kuona zinafuatwa, pia aweza kupendekeza kwa kanisa
siku ya mafunzo katikati ya juma.
23 Kutoa semina kwa vijana Watafutanjia jinsi ya kufaya effort na kumtumikia Mungu
24 Kutayarisha agenda na kuzileta katika Baraza la kanisa.
25 Kuhakikisha kuwa ziara za nje ya kanisa zinapangwa mapema ili zikubaliwe na kupitishwa na kanisa
mapema.
26 Kuona kwamba Miradi iliyoanzishwa inkuwa na kuleta faida kwenye idara.
27 Awe mbunifu na mtekelezaji wa programu za vijana kanisani.
28 Azifahamu changamoto kubwa zinazowakabili vijana Watafutanjia.
29 Kuyajua malengo ya idara ya vijana.
30 Kupanga mikutano ya kutathmini kila mwezi.
Semina ya maandii kwa Majukumu ya Watendakazi wa kanisa

31 Alijue tamko la utume la idara ya vijana.


32 Kutia changamoto kila kijana wa PFC mwadventista kuchangia vipawa vyake ili kufanya kazi bega kwa bega
katika kupeleka mbele utume wa kanisa.
33 Ni mshauri wa mchungaji na Baraza la kanisa juu ya vijana Watafutanjia.
34 Kuwafunza vijana Watafutanjia kutenda kazi kwa ajili ya vijana wenzao.
35 Kutia moyo vijana wa PFC ili kuyapenda masomo yao.
36 Aadae semina na washa kwa vijana wote kanisani, hasa mada zifuatazo: afya na kiasi, magonjwa ya zinaa,
ujasiriamali, kijana na Mavazi, Stadi za Maisha, Usomaji wa Biblia, Maombi ya kufunga,
37 Kuhimiza vijana wa PFC kanisani kushiriki kwa hali na mali katika effort za kanisa, mtaa, na conference
hasa kwa michango na wao wenyewe kuwa wanatimu.
38 Kuhakikisha kuwa chama cha PFC kina bendera yake kanisani
39 Kuhakikisha kuwa vijana wa PFC wanakutana kwa juma angalau mara moja kwa ajili ya mikutano yao ya wiki,
miradi, uimbaji, ujasiriamali, injili, semina nk…
40 Kuwafundisha wana PFC Wimbo wa chama na Ahadi na Sheria.
41 Kupanga vikosi kufuatana na jinsia.
42 Kupanga mikutano ya nje ya kanisa na kuileta mapema ipitishwe na Baraza la kanisa hasa katika mpango wa
kutembeleana na makanisa mengine ndani na nje ya conference
43 Kupanga kambi angalau moja kwa mwaka.
44 Kuhakikisha Watafutanjia wakimaliza course wanavishwa pini mara moja.
45 Kuhakikisha kuwa watafutanjia wanasoma Biblia kwa mwaka.
46 Kujua watakaowatembelea kiroho kwa mwaka.
47 Kuwahimiza watafutanjia wote wawe uniform za chama.
48 Kuwa na siku moja au mbili ya kuomba na kupanga kazi.
49 Kutathmini kazi yake akiwa na viongozi wake wa juu na wa chini.
50 Kuwa mfano bora, kwa kuunga mkono na kushiriki kikamilifu katika idara zingine na sehemu zote
za kanisa kwa ajili ya ufanisi wa kazi ya Mungu kwa ujumla.
51 Kuona kuwa vijana wakubwa wanawasaidia vijana wadogo watafutanjia katika masomo yao.
52 Kuvusha vijana wadogo wa PFC kuingia masomo ya vijana wakubwa Mabalozi baada ya kutimiza
umri wa mabalozi.
53 Kujua PFC wanaosoma somo la kesha la asubuhi, na ibada ya kila usiku.
54 Kujua idadi ya wanaPFC wanaosoma vitabu vya roho ya unabii.
55 Kushirikiana na mkuu wa uwakili kutoa semina za uwakili kwa vijana Watafutanjia.
56 Kuanzisha club za wajasiriamali.
57 Kubuni na kuendesha makongamano ya vijana wa Pfc
58 Kuendesha semina katika mtindo wa maisha ya vijana.
59 Kujua idadi ya vijana wanaPFC wanaorudisha zaka.
60 Kuendesha semina za roho ya unabii, na kuhakikisha kuwa wanaPFC wanazama katika maandiko
matakatifu na kuakisi ukuaji chanya wa kiroho.
61 Kuendesha mikutano ya mradi wa Eliya.
62 Kuendesha programu za miguso kwa jamii.
63 Kupanga na kuendesha shule ya Biblia wakati wa likizo.
64 Mkuu wa idara ya Watafutanjia asikose Mafaili yafuatayo katika ofisi yake:
1)Majina ya watafutanjia wote kanisani, 2)Budgeti ya idara, 3)fomu ya Makabidhiano na mkuu wa
idara aliyepita ,4) nakala ya Taarifa za idara inayoenda conference.
Semina ya maandii kwa Majukumu ya Watendakazi wa kanisa

MKURUGENZI WA WAVUMBUZI/ ADVENTURER CLUB (A.C) DIRECTOR


VIFAA: Biblia, Roho ya Unabii, Kanuni ya Kanisa, Muongozo wa idara, faili la idara, orodha ya
Wavumbuzi wote kanisani na namba zao za simu, kalenda ya mwaka ya idara, majina ya wasaidizi wa
vyama, Bajeti ya idara.
SN KAZI/ WAJIBU/ WA MKURUGENZI WA WAVUMBUZI
Chama cha watafutanjia ni programu ambayo imejengwa kwa wazazi ambayo huwapatia wazazi zana ya
kuweza kutumika kwa watoto wao wenye umri wa miaka 6-9 na kimekusudiwa kuamsha udadisi wao
unaochomoza kuelekea ulimwengu unaowazunguka.
Vijana wa umri wa kutoka miaka 6-9 wanastahili kuwa wanachama wa chama cha wavumbuzi kupitia
sherehe maalumu ya kuingia uanachama. Hivyo anapaswa awaandikishe kwa umri wao na kupata masomo
stahiki. 1. NYUKI WA SHUGHULI (Miaka 6), 2.MWALI WA JUA (Miaka 7), 3.MJENZI (Miaka 8),
4.MKONO WA MSAADA (Miaka 9).
01 Ni mjumbe wa baraza la kanisa akiwakilisha chama cha Wavumbuzi.
02 Kujua idadi ya vijana wavumbuzi wote kanisani tangu walio wadogo wa miaka6 hadi wa miaka 9, mahali
wanapoishi. (kwa wanafunzi ajue shule wanazosoma)
03 Kupanga mipango ya mwaka mzima na program zake akiwa na wasaidizi wake, pamoja na vijana
wavumbuzi na kuziwakilisha kwenye kamati ya mipango au baraza la kanisa mwanzoni mwa mwaka
(yaani december mwanzoni) zikiwa kwenye maandishi. Mipango ionyeshe nani atafanya nini, wapi, lini,
namna gani, na gharama, pamoja na tathmini.
04 Akishirikiana na idara ya vijana kanisani Kama idara Kufanya efforti moja ya hadhara inayoendeshwa na
wanaidara.
05 Kuwaandikia, kuwatembelea na kuwatia moyo vijana wavumbuzi.
06 Kuorodhesha vijana wote wenye umri wa miaka kuanzia 6-9
07 Ni mwenyekiti wa chama cha wavumbuzi kanisani wakikaa katika vikao vyao pamoja na AC.
08 Kupanga waalimu wa kila darasa kutoka AY wakubwa.
09 Kuandaa taarifa ya idara kila robo katika kitabu cha taarifa kilichopo kanisani na kuituma
conference kupitia mzee wa kanisa-mchungaji. (Andaa nakala 2 moja ubaki nayo kwenye faili lako la idara
kwa ajili ya kumbukumbu)
10 Amjue mzee wa kanisa anayeshauri idara yake, na amualike kuwa mshauri kwenye kila kikao cha idara cha
mwezi, asifanye kikao bila uwepo wa mzee wa kanisa wa idara yake.
11 Kuwashauri wazazi waandikishe watoto wao katika chama cha wavumbuzi, na kuona kwamba wazazi
wanashirikishwa katika programu zote za wavumbuzi.
12 Kupanga mikutano ya kiroho ya Wavumbuzi kanisani pamoja na, camps, Retreats, Rally nk…
13 Kupokea masomo toka ngazi za juu, na kuyafundisha kanisani.
14 Kupanga madarasa ya vijana na kuona yanaendelea.
15 Kuwasiliana na mkurugenzi wa vijana conference kuhusu uvishaji wa pini baada ya kumaliza.
16 Kutafuta vitendea kazi vinavyohitajika vya chama cha Watafutanjia, kama kuagiza makadi , pini, nishani,
miongozo toka conference.
17 Kuwa mwaminifu na mtunza siri za vikao na kanisa.
18 Kupanga na kuendesha juma la maombi la wavumbuzi tu.
19 Ni mmoja wa wahubiri kanisani.
20 Kuhamasisha vijana wa A.C kusoma Biblia kwa mpango, pamoja na vitabu vya roho ya unabii.
21 Kubuni na kusimamia vijana Wavumbuzi kufikia mpango wa kanisa wa Uamsho na Matengenezo
22 Kupanga shughuli za kilawiki za Wavumbuzi kanisani na kuona zinafuatwa, pia aweza kupendekeza kwa
kanisa siku ya mafunzo katikati ya juma.
23 Kutoa semina kwa vijana Wavumbuzi jinsi ya kufaya effort na kumtumikia Mungu
24 Kutayarisha agenda na kuzileta katika Baraza la kanisa.
25 Kuhakikisha kuwa ziara za nje ya kanisa zinapangwa mapema ili zikubaliwe na kupitishwa na kanisa
mapema.
26 Kuona kwamba Miradi iliyoanzishwa inkuwa na kuleta faida kwenye idara.
27 Awe mbunifu na mtekelezaji wa programu za vijana kanisani.
28 Azifahamu changamoto kubwa zinazowakabili vijana Wavumbuzi.
29 Kuyajua malengo ya idara ya vijana.
Semina ya maandii kwa Majukumu ya Watendakazi wa kanisa

30 Kupanga mikutano ya kutathmini kila mwezi.


31 Alijue tamko la utume la idara ya vijana.
32 Kutia changamoto kila kijana wa AC mwadventista kuchangia vipawa vyake ili kufanya kazi bega kwa bega
katika kupeleka mbele utume wa kanisa.
33 Ni mshauri wa mchungaji na Baraza la kanisa juu ya vijana Wavumbuzi.
34 Kuwafunza vijana Wavumbuzi kutenda kazi kwa ajili ya vijana wenzao.
35 Kutia moyo vijana wa A.C ili kuyapenda masomo yao.
36 Aadae semina na washa kwa vijana wote kanisani, hasa mada zifuatazo: afya na kiasi, Stadi za
Maisha, Usomaji wa Biblia, Maombi ya kufunga,
37 Kuhimiza vijana wa A.C kanisani kushiriki kwa hali na mali katika effort za kanisa, mtaa, na
conference hasa kwa michango na wao wenyewe kuwa wanatimu.
38 Kuhakikisha kuwa chama cha A.C kina bendera yake kanisani
39 Kuhakikisha kuwa vijana wa A.C wanakutana kwa juma angalau mara moja kwa ajili ya mikutano yao ya
wiki, miradi, uimbaji, ujasiriamali, injili, semina nk…
40 Kuwafundisha wana A.C Wimbo wa chama na Ahadi na Sheria.
41 Kupanga vikosi kufuatana na jinsia.
42 Kupanga mikutano ya nje ya kanisa na kuileta mapema ipitishwe na Baraza la kanisa hasa katika mpango
wa kutembeleana na makanisa mengine ndani na nje ya conference
43 Kupanga kambi angalau moja kwa mwaka.
44 Kuhakikisha Wavumbuzi wakimaliza course wanavishwa pini mara moja.
45 Kuhakikisha kuwa wavumbuzi wanasoma Biblia kwa mwaka.
46 Kujua watakaowatembelea kiroho kwa mwaka.
47 Kuwahimiza wavumbuzi wote wawe uniform za chama.
48 Kuwa na siku moja au mbili ya kuomba na kupanga kazi.
49 Kutathmini kazi yake akiwa na viongozi wake wa juu na wa chini.
50 Kuwa mfano bora, kwa kuunga mkono na kushiriki kikamilifu katika idara zingine na sehemu zote za kanisa
kwa ajili ya ufanisi wa kazi ya Mungu kwa ujumla.
51 Kuona kuwa vijana wakubwa wanawasaidia vijana wadogo wavumbuzi katika masomo yao.
52 Kuvusha vijana wadogo wa A.C kuingia masomo ya P.F.C baada ya kutimiza umri.
53 Kujua A.C wanaosoma somo la kesha la asubuhi, na ibada ya kila usiku.
54 Kujua idadi ya wana A.C wanaosoma vitabu vya roho ya unabii.
55 Kushirikiana na mkuu wa uwakili kutoa semina za uwakili kwa vijana Wavumbuzi.
56 Kuona kwamba programu za chama hiki zinajikita katika maburudisho, sanaa rahisi na kufurahia uumbaji
wa Mungu.
57 Kubuni na kuendesha makongamano ya vijana wa A.C
58 Kuendesha semina katika mtindo wa maisha ya vijana.
59 Kujua idadi ya vijana wana A.C wanaorudisha zaka.
60 Kuendesha semina za roho ya unabii, na kuhakikisha kuwa wanaA.C wanazama katika maandiko
matakatifu na kuakisi ukuaji chanya wa kiroho.
61 Kuendesha mikutano ya mradi wa Eliya.
62 Kuendesha programu za miguso kwa jamii.
63 Kupanga na kuendesha shule ya Biblia wakati wa likizo.
64 Kuwaongoza watoto kujua visa mbalimbali vya Biblia
65 Kuhakikisha kuwa waalimu wanawaongoza watoto kujua tamasha la vipaji, kujifunza viumbe, na kazi za
Mikono.
66 Kuhakikisha kuwa chama kina Bendera, Nembo, Tepe za tunzo, Pini na Skafu.
67 Mkuu wa idara ya Wavumbuzi asikose Mafaili yafuatayo katika ofisi yake:
1)Majina ya wavumbuzi wote kanisani, 2)Budgeti ya idara, 3)fomu ya Makabidhiano na mkuu wa
idara aliyepita ,4) nakala ya Taarifa za idara inayoenda cofrensi.
Semina ya maandii kwa Majukumu ya Watendakazi wa kanisa

KIONGOZI WA MIPANGO NA MAENDELEO YA KANISA/ CHURCH PLANS AND


DEVELOPMENT COORDINATOR
VIFAA: Biblia, Roho ya Unabii, Kanuni ya Kanisa, Miongozo wa maidara, faili la idara, kalenda
ya mwaka ya idara, Bajeti ya idara Orodha ya wanakamati.

SN KAZI/ WAJIBU/ WA KIONGOZI WA MIPANGO NA MAENDELEO


01 Kutoa semina na mafunzo kwa washiriki wa kanisa, Kuhusu kupanga mipango na mikakati ya kila idara.
02 Kuwa mfano bora kwa kuunga mkono na kujihusisha katika idara zingine na sehemu zote za kanisa kwa ajili
ya ufanisi wa kazi ya Mungu kwa ujumla.
03 Kuhimiza, kupokea na Kupanga mipango ya mwaka mzima na program zake akiwa na wasaidizi wake, na
kuziwakilisha kwenye baraza la kanisa ili kujadiliwa kabla ya kuletwa kwenye Mashauri ya kanisa mwanzoni
mwa mwaka (yaani december mwanzoni) zikiwa kwenye maandishi. Mipango ionyeshe nani atafanya nini,
wapi, lini, namna gani, na gharama, pamoja na tathmini.
04 Kamati hii kwa kushirikiana na mkuu wa uwakili, mtunza hazina na wengine Kuandaa bajeti ya kanisa
(Church Operating Budget) inayoendana na mipango na mikakati ya maidara.
05 Kiongozi wa mipango na maendeleo akishirikiana na kamati yake atahakikisha kuwa kila idara ina mipango
ya mwaka mzima, na kwamba idara zinaenda sawasawa na kalenda ya mwakama zilivyopitishwa na
kanisa
06 Kupendekeza orodha ya mambo ya kufanyika kwa kuyawekea kipaumbele.
07 Kupendekeza magoli ya utendaji wa mwaka, nk..
08 Kupendekeza kalenda ya kazi za kanisa ikionyesha tarehe za kuanza na tarehe za kumaliza.
09 Kupendekeza matendo ya kufanywa na kanisa na gharama zote zitakiwazo kuyakamilisha na mahali pa kuzitoa.
10 Mipango yote, na maazimio yote ya kamati yanafikiwa kwa pamoja na hatimaye kanisa
linayapitisha kama maazimio yake. Baada ya hatua hii, hatua za utekelezaji zaweza kuendelea kwa kutumia
maidara au vikundi husika na programu
11 Kamati inapaswa kukutana pamoja angalau mara m o j a kwa mwezi. Vikao vya maendeleo vinakutana kila
baada ya muda mfupi ili kutekeleza uwajibikaji.
12 Kukaa kama kamati na kuona kuwa mipango iliyopangwa inaenda sawa sawa na bajeti iliyopangwa.

MWENYEKITI / KIONGOZI WA KWAYA YA KANISA/ CHURCH CHOIR LEADER


VIFAA: Biblia, Roho ya Unabii, Kanuni ya Kanisa, faili la Kwaya, kalenda ya mwaka ya kwaya, Bajeti
ya Kwaya Orodha ya wanakwaya.
SN KAZI/ WAJIBU/ WA KIONGOZI WA KWAYA YA KANISA
01 Awe mtu wa maombi sana pamoja na waimbaji wote wa kwaya ya kanisa.
02 Kuwa mfano bora kwa kuunga mkono na kujihusisha katika idara zingine na sehemu zote za kanisa kwa ajili
ya ufanisi wa kazi ya Mungu kwa ujumla.
03 Kuhimiza, kupokea na Kupanga mipango ya mwaka mzima na program zake akiwa na wasaidizi wake,na
waimbaji na kuziwakilisha kwenye kamati ya mipango mwanzoni mwa mwaka (yaani december
mwanzoni) zikiwa kwenye maandishi. Mipango ionyeshe nani atafanya nini, wapi, lini, namna gani, na
gharama, pamoja na tathmini.
04 Kuhakikisha kuwa waimbaji wanasajiliwa kwa utaratibu wa kanuni za kanisa yaani kupitishwa na
Baraza la Kanisa mwanzoni mwa mwaka.
05 Kuhakikisha kuwa kwaya ya kanisa inahudumu kwa uimbaji katika huduma mbalimbali za kanisa kama
mazishi, ndoa, efoti, ubatizo.
06 Kuhakikisha kuwa kwaya ya kanisa inatunga na kuimba nyimbo zinazolenga mafundisho makuu ya kanisa
letu.
07 Kuhakikisha kuwa kwaya ya kanisa ina ratiba maalumu ya maombi ya kufunga na kuomba kwa ajili ya
mikakati yao.
08 Kwa kuwa waimbaji ni wahubiri wa injili mwenyekiti ahakikishe kuwa waimbaji wanakuwa katika viwango
vya juu vya maisha ya kiroho katika mavazi, usemi, ulaji, na mwonekano wa nje ukiakisi mwonekano wa
ndani.
Semina ya maandii kwa Majukumu ya Watendakazi wa kanisa

09 Kuhakikisha kuwa kwaya inakutana mara moja au mara mbili kwa juma kwa ajili ya mazoezi ya uimbaji
na kuwa kabla ya kuanza mazoezi pawepo na ratiba ya kusoma neno la Mungu na maombi.
10 Kuhakikisha kuwa kwaya inapoalikwa nje ya kanisa, mtaa, Conference, Union, Division. Utaratibu
wa kanisa unafuatwa kwa maana ya kupitishwa na Vikao vya juu ikianzia na kikao cha Baraza la
Kanisa na mchungaji wa mtaa kama kanuni ya kanisa inavyoshauri.
11 Kuhakikisha kuwa waimbaji wote wanakuwa mfano kwa vitendo katika kazi za kanisa na uaminifu wa
kumtolea Mungu zaka na sadaka, uwakili kwa ujumla.
12 Kwamba kwaya ya kanisa inakuwepo na kutoa huduma kwenye mikutano ya ibada za kufungua na kufunga
sabato, vipindi vya sabato mchana, ibada ya sabato, shule ya sabato na maombi katikati ya juma yaani
jumatano.
03 Kupanga mipango ya kwaya kwa mwaka mzima na program zake akiwa na wasaidizi wake, pamoja na
waimbaji wote na kuziwakilisha kwenye kamati ya mipango au baraza la kanisa mwanzoni mwa mwaka
(yaani december mwanzoni) zikiwa kwenye maandishi. Mipango ionyeshe nani atafanya nini, wapi, lini,
namna gani, na gharama, pamoja na tathmini.
04 Kama kwaya Kufanya efforti moja ya hadhara inayoendeshwa na waimbaji wenyewe kama wahubiri,
wanatimu na waimbaji.
05 Kuwaandikia, kuwatembelea na kuwatia moyo waimbaji waliorudi nyuma, na kukata tamaa
kumwimbia Mungu.
06 Kuhakikisha kuwa mpango wote wa kurekodi na mauzo ya kaseti, cd, dvd yanawekwa wazi kwenye
Baraza la kanisa, na mchakato wote unapata baraka za baraza kabla ya kuanza. Na baada ya kumaliza
master zote za nyimbo zinatunzwa na kanisa kama kanuni zinavyoshauri.
07 Ni mwenyekiti wa vikao vya kwaya ya kanisa wakikaa kama waimbaji.
08 Kuona kwamba Miradi iliyoanzishwa inkuwa na kuleta faida kwenye kwaya.
09 Awe mbunifu na mtekelezaji wa programu za waimbaji kanisani.
10 Amjue mzee wa kanisa anayeshauri kwaya, na amualike kuwa mshauri kwenye kila kikao cha kwaya
cha mwezi, asifanye kikao bila uwepo wa mzee wa kanisa.
11 Ni mmoja wa wahubiri kanisani.
12 Kuhamasisha waimbaji kusoma Biblia kwa mpango, pamoja na vitabu vya roho ya unabii.
13 Kubuni na kusimamia waimbaji kufikia mpango wa kanisa wa Uamsho na Matengenezo
14 Kutia changamoto kila mwimbaji kuchangia vipawa vyake ili kufanya kazi bega kwa bega katika kupeleka
mbele utume wa kanisa.
15 Kutayarisha Bajeti ya kwaya ya kanisa na kuipeleka kwa kamati ya mipango mapema december.
16 Kutoa semina kwa waimbaji jinsi ya kufaya effort na kumtumikia Mungu
17 Kutayarisha agenda na kuzileta katika Baraza la kanisa.
18 Kuhimiza waimbaji wa kwaya ya kanisa kushiriki kwa hali na mali katika effort za kanisa, mtaa, na
conference hasa kwa michango na wao wenyewe kuwa wanatimu.
19 Waimbaji wanapaswa wafike mapema kanisani kabla ya vipindi havijaanza ili kutoa huduma ya uimbaji
kabla huduma hazijaanza na hivyo kuzuia waumini wasianze minong’ono na kutafuna bigjii zinazoondoa
usikivu na utulivu wa ibada.
32 Kuiongoza kwaya ya kanisa iwe Kwaya ya KIINJILISTI. Isiwe ya kuimba siku ya sabato tu kanisani,
mwenyekiti abuni mipango ya kuwafanya waimbaji wawe wakereketwa wa injili, wenye uwezo wa kuongoa
roho kwa nyimbo na kwa vitendo.
33 Kuiongoza kwaya ya kanisa kuhubiri nje ya mipaka kwa njia ya kurekodi nyimbo zao kwenye kaseti, cd,
dvd, nk…
Semina ya maandii kwa Majukumu ya Watendakazi wa kanisa

BARAZA LA KANISA/ CHURCH BOARD


VIFAA: Biblia, Roho ya Unabii, Kanuni ya Kanisa, Muongozo wa idara, faili la idara, orodha ya
wanabaraza wote kanisani na namba zao za simu, kalenda ya mwaka ya kanisa, Bajeti ya kanisa.
SN KAZI/ WAJIBU/ WA BARAZA LA KANISA
01 Baraza la kanisa linajumuisha maofisa na wakuu wa idara za kanisa, lina majukumu kadhaa mhimu lakini
jukumu lake kuu ni MALEZI ya kiroho ya kanisa na kazi ya kupanga na kukuza uinjilisti katika nyanja
zake zote. Pale ambapo baraza la kanisa litawapanga washiriki wake vizuri kwa uinjilisti, matatizo mengi ya
kanisa hupungua na kuzuilika
02 Kazi ya Baraza la kanisa ni mhimu kwa uhai, ustawi, na ukuaji wa kanisa, hivyo linahitaji kukutana
mara moja kila mwezi. Katika makanisa makubwa vikao vya mara kwa mara vinahitajika ili kukuza utendaji
na ufanisi wa kazi ya Mungu.
03 Malezi ya kiroho ya washiriki wa kanisa.
04 Uinjilisti kwa nyanja zake zote.
05 Kudumisha usafi wa mafundisho makuu ya kanisa la waadventista wasabato.
06 Kutetea kanuni za kikristo.
07 Kupendekeza mabadiliko katika ushirika wa kanisa.
08 Kusimamia fedha za kanisa.
09 Ulinzi na utunzaji wa mali za kanisa.
10 Uratibu wa idara zote za kanisa.
11 Kupanga shughuli za uinjilisti katika nyanja zake zote.
12 Kuratibu progrmu za utume za idara zote za kanisa.
13 Kuhamasisha na kuisaidia idara ya huduma za uinjilisti kuwashirikisha washiriki wote wa kanisa watoto,
vijana na wazee katika aina fulani ya huduma ya utume wa mtu binafsi.
14 Kushirikiana na mratibu wa usikivu wa kanisa kuhakikisha kuwa msikivu aliyetolewa taarifa kuonyesha
kuupenda ujumbe anaamsha ari kupitia njia yoyote na mara moja anafatiliwa binafsi na mshiriki aliye karibu.
15 Kuhamasisha kila idara kutoa taarifa kwa baraza la kanisa kila robo na kwa washiriki wa kanisa wakati wa
mikutano ya Mashauri ya kanisa au kwa mikutano ya kila sabato.
16 Kupitisha mapendekezo yoyote kabla ya kupelekwa kwa Mashauri ya kanisa.
17 Kupokea na kutathmini taarifa ya Mtunza Hazina wa kanisa.
18 Kuhakikisha kuwa kuna mpango wa kuwatembelea wagonjwa, waliokata tamaa, na mshiriki yoyote aliyerudi
nyuma.
19 Baraza la kanisa lisiruhusu shughuli nyinginezo kuingilia katika mipango ya Uinjilisti ambalo ndilo Jukumu
la msingi la Baraza la kanisa. Ikiwa shughuli nyingine zaonekana kuwa za mhimu mbali na uinjilisti Baraza
lichague kamati itakayoshughulikia jukumu hilo.
20 Uinjilisti ni agenda ya kwanza katika kila Baraza la kanisa.
21 Mwenyekiti wa mabaraza ya kanisa ni Mchungaji / Mzee wa kanisa (kama mchungaji hayupo). Wazee
wa kanisa wamjulishe mchungaji kuhusu agenda za baraza na kama hatakuwepo atoe ushauri na agizo
kwa mzee kuongoza kikao
22 Majadiliano ya agenda ni ya siri, mjumbe wa baraza hapaswi kutoa siri za baraza nje ya baraza.
23 Baraza la Kanisa linakutana kila mwezi mara moja ili kutathmini kazi za kanisa, ingawaje wanaweza kukutana
kwa mabaraza ya dharura kadri ya mahitaji ya kanisa.
24 Agenda zimfikiea mchungaji mapema na kabla ya kuletwa kwenye baraza la kanisa zinajadiliwa na Baraza
la Wazee, ambalo huongozwa na mchungaji, wazee wote wa kanisa, mhazini, na karani wa kanisa.
25 Karani aandae fomu maalumu za mahudhurio ya wajumbe wa baraza la kanisa.
26 Baada ya kikao cha baraza la kanisa minutes zote zipelekwe kwa mchungaji wa mtaa, (inawezakutumwa
kwa hardcopy au soft copy)
27 Mwenyekiti ahakikishe kuwa agenda zote zimeandaliwa vizuri kwenye mabaraza ya wazee wakanisa na
wakuu wa idara husika. Au kamati husika ili iwe rahisi kufanya maamuzi.
28 Kabla ya kuanza kwa kikao cha Baraza la kanisa inashauriwa kusoma TAMKO la UTUME LA KANISA
letu.
29 Mwenyekiti wa kikao apitie vizuri na kwa makini minutes za kikao cha nyuma ili asije akarudia maamuzi
yaliyopita.
30 Agenda zote zipitiea kwa karani wa kanisa.
Semina ya maandii kwa Majukumu ya Watendakazi wa kanisa

HALIMASHAURI YA KANISA/ CHURCH BUSINESS MEETING


VIFAA: Biblia, Roho ya Unabii, Kanuni ya Kanisa, Miongozo Na faili za idara, kalenda na Bajeti ya
mwaka ya kanisa.
SN KAZI/ WAJIBU/ WA HALIMASHAURI YA KANISA
Mkutano wa mashauri ya kanisa ndio mkutano wa ngazi ya juu kabisa ya kanisa mahalia, ambapo
hufanyika mara moja kwa kila robo (kila baada ya miezi 3) hivyo kwa mwaka mzima kanisa linapaswa
kuwa na mikutano 4 ya mashauri ya kanisa, wajumbe wa mkutano huu ni washiriki wote wa kanisa mahalia
walio na ushirika wa kanisa.
01 Kupanga shughuli za uinjilisti katika nyanja zake zote.
02 Kuratibu progrmu za utume za idara zote za kanisa.
03 Kuhamasisha na kuisaidia idara ya huduma za uinjilisti kuwashirikisha washiriki wote wa kanisa watoto,
vijana na wazee katika aina fulani ya huduma ya utume wa mtu binafsi.
04 Kila idara itoe taarifa yake ya utendaji pamoja na Mhazini, karani, Huduma za kanisa, Mashemasi, shule ya
sabato, nk.
05 Kupitisha bajeti ya kanisa kwa kila mwaka na usimamizi wa jumla wa fedha.
06 Kujadili na Kupitisha mapendekezo yote ya Baraza la kanisa.
07 Kupokea na kutathmini taarifa ya Mtunza Hazina wa kanisa.
08 Kupitisha mipango na mikakati yote ya mwaka unaoanza, kabla ya kuingia katika utendaji.
09 Kila robo inapokwisha mashauri ya kanisa itakaa na kutathmini utendaji wa kanisa mahalia na
kupendekeza maboresho kwa robo inayofuata.
10 Mara zote Halimashauri ya kanisa inapaswa itangazwe mapema na kuandaliwa huku agenda zote
zikihakikishwa na kuonekana zimeiva kwa kuletwa kwa washiriki wote.
11 Mwenyekiti wa Halimashauri ya kanisa ni Mchungaji / Mzee wa kanisa (kama mchungaji hayupo).
12 Hapa ndipo mahali washiriki wa kanisa mahalia wanao uhuru wa kutoa maoni yao kwa ajili ya ufanisi wa
kanisa, maoni na ushauri wao wa kujenga utazingatiwa na viongozi wa kanisa.
13 Katibu wa mashauri ya kanisa ni karani wa kanisa mahalia na yeye ndiye anayetunza minutes zote
zikiambatana na majina ya washiriki waliohudhuria mkutano huu.
14 Mkutano wa Mashauri ya Kanisa unakutana kila robo mara moja ili kutathmini kazi za kanisa, ingawaje
wanaweza kukutana kwa mabaraza ya dharura kadri ya mahitaji ya kanisa.
15 Agenda zote kabla ya kuletwa kwenye Halimashauri ya Kanisa zinajadiliwa na Baraza la kanisa.
16 Karani aandae fomu maalumu za mahudhurio ya washiriki wa halimashauri ya kanisa.

SEMINA HIII ZIMEKUSANYWA KUTOKA VITABU VIFUATAVYO.


1. Kanuni za kanisa toleo la17, sahihisho la 2005.Halimashauri kuu ya Waadventista
Wasabato.
2. Muongozo wa Wasimamizi wakuu wa Kazi Makanisani, Pr J.T.Izungo. North East
Tanzania Conference of SDA Church ukurasa wa 14-20.
3. Kioo: Msaada Kwa Kiongozi wa Kanisa, North East Tanzania Conference of SDA
Church.
4. Mwongozo kwa ajili ya Wakaguzi Makanisani, North East Tanzania Conference of SDA
Church.
5. Kusimamia Mali Binafsi na Mali za Kanisa, Divisheni ya Afrika Mashariki na Kati.
6. Tovuti www.adventist.org
7. Tovuti www.adventistsource.org
8. Tovuti www.stewardship.com
9. Ministers Handbook, General Conference of SDA Church.
10. Elders Handbook, General Conference of SDA Church.
11. Semina Za Watendakazi na Pr S.J Mnguruta.
12. Miongozo ya maidara

You might also like