Download as docx, pdf, or txt
Download as docx, pdf, or txt
You are on page 1of 2

MKATABA WA KUPANGISHA NYUMBA

Mkataba huu umefanyika tarehe…….....mwezi…………mwaka………….Bi SALMA MSUMI wa Dar es


salaam .Ambae ni mwenye nyumba na . …………………………………………………………………Ambae Kwenye
mkataba huu anaitwa mpangaji.

Mwenyenyumba(SALMA MSUMI)Ameamua akiwa na akili timamu bila ya shurutishoLolote


kukupangisha nyumba yake, iliyoPo Bunju mtaa wa mji mpya ( kwa mama munuo), Kwa kiasi cha
shilingi kwa mwezi( ) Kiasi hicho kitalipwa kwa fedha
taslim tu za Tanzania.Mkataba ni kati ya
tarehe……………………….hadi……………………………..

MASHARTI YA MKATABA

 Mpangaji ata husika na malipo yote ankala za Umeme na maji katika nyumba husika kwa kila
mwezi.

 Nyumba na mazingira yake lazima yawe katika hali ya usafi wakati wote na nyumba itatumika kwa
makazi tu, na si kwa aina yoyote ya biashara na mpangaji hana mamlaka ya kupangisha nyumba
husika kwa mtu mwengine iwapo atashindwa kuishi au kuamua kuhama.

 Mwenye nyumba atatoa notisi ya miezi mitatu kwa mpanagaji iwapo ataona kunamanufaa kufanya
hivyo ili kuufuta mkataba huu.

 Mwenyenyumba atakapo amua kuvunja mkataba kwa sababu zake binafsi itabidi kurudisha kodi
kwa mpanagaji.

 Iwapo mpanagaji atavunja mkataba huu kwa kuamua kuhama kabla ya kuisha kwa mkataba wake
pesa hazitorudshwa kwa mpanagaji kwani itakua yeye ndiye kavunja mkataba huu.

 Mwenyenyumba anaweza kuvunja mkataba wakati wowote na bila ya kumrudishia mapanagaji


gharama yoyote iwapo itabainika mbele ya mashahidi kuwa mpangaji anaitumia nyumba husika
kinyume na masharti ya hapo juu na kuhatarisha nyumba na mazingira yake .

 Mwisho wa makataba huu mpanagaji atakabidhi nyumba kwa mwenye nyumba ,mwenye nyumba
ataikagua,na kama itathibitika kuwa na uharibifu wowote mpangaji atatakiwa kulipa fidia ya
uhuribifu huo kabla hajahama.

MASHAHIDI

MASHAHIDI WA MWENYE NYUMBA

Jina la mwenye nyumba. SALMA MSUMI

Shahidi wa kwanza……………………………………………………. Sahihi……………………………

Shahidi wa pili…………………………………………………………… sahihi ……………………………


MASHAHIDI WA MPANGAJI

Jina la mpanagji

Shahidi wa kwanza ……………………………………………… sahihi …………………………….. Shahidi wa


pili………………………………………………………..sahihi …………………………….

You might also like