Download as pdf or txt
Download as pdf or txt
You are on page 1of 6

MRADI WA KUELIMISHA

WANAWAKE KUJUA HAKI


ZAO ZA KUMILIKI ARDHI

YALIYOMO
HAKI YA MWANAMKE KUMILIKI ARDHI
 Maelezo kuhusu
shirika la ALPHA
A L P H A - V I S I B L E : T O L E L A 1 2 3 - 0 2 - 2 0 2 1
VISIBLE COM-
MUNITY DE-
VELOPMENT

 Shughuli za
Maendeleo ya
Changamoto, mkakati wa utatuzi, visamkasa, mafanikio, umiliki wa ardhi na hatua zinazofuata za mradi wa
Jamii ziliz-
otekelezwa na
kuelimisha wanawake kuhusu haki ya kumiliki mali, ardhi na kushiriki katika shughuli za maendeleo na uongozi
Shirika la ALPHA

 Haki ya mwanake
kumiliki Ardhi Katika jamii ya wakazi wa Wilaya
Wilaya ya Kilolo
ya Kilolo, upo utamaduni uli- yostaarabika ambayo iko katika
ozoeleka wa kumkosesha mwa- nchi yenye uchumi wa kati yenye
 Visamkasa,
mafanikio, namke haki ya kumiliki mali, ku- malengo endelevu katika kuleta
changamoto,
miliki ardhi na kumkosesha mwa- mabadiliko chanya katika jamii na
mkakati wa
namke asishiriki katika shughuli kufuta umasikini. Mradi wa
utatuzi
za maendeleo ikiwa ni pamoja na kuelimisha wanawake kujua haki
 Maoni na mapen-
haki yao ya kushika nyadhifa za zao za kumiliki mali na ardhi
ekezo
uongozi. Mitazamo hii ni mitaza- umeibua changamoto mbalimbali
 Hatua zinazofu- mo yenye madhara kwa mtu katika Wilaya ya Kilolo, Kata ya
ata
binafsi, kaya na jamii kwa ujumla. Mtitu na Vijiji vyake vitano am-
Mizizi ya changamoto hii imejikita bavyo ni Kilolo, Luhindo, Lulanzi,
kwenye mila na desturi kandamizi Mtitu na Luganga. Changamoto
KWA Wanawake wakishiriki ma-
katika jamii nyingi nchini Tanzania hizo ni pamoja na wanawake
UFUPI funzo wengi kutojuwa haki yao ya ku-
pamoja na Wilaya ya Kilolo am-
bazo zimepitwa na wakati. Kwa miliki mali na ardhi, mwamko
Mila na desturi 1
sheria mpya ya ardhi namba 4 & 5 na wanandugu katika ukoo fulani mdogo wa jamii katika kuibua na
kandamizi
ya mwaka 1999 mwanamke ambao wamekuwa waki- kusaidia mwanamke kupata haki
anahaki sawa na mwanamume wakosesha watoto wa kike au yake ya kurithi mali na ardhi, na
Jamii kutotam- 2 wanawake haki yao ya kurithi au wapi wanawake na wasichana
katika kukalia, kuendeleza, ku-
bua sheria ya ya kumiliki ardhi. Huu ni unyan- waende ili kudai haki yao ya ku-
miliki ardhi na mali pamoja na
ardhi yasaji mkubwa kwa jamii ili- miliki ardhi au kurithi pale inapo-
kushika nafasi za uongozi. Tofauti
Jukwaa la wana- na ilivyo sasa kumekuwepo na kosekana.
2
wake lawa wimbi kubwa la baadhi ya
kichocheo wanaume wakishirikiana pamoja
kikubwa kureje-

Kuhusu taasisi ya Alpha Visible Community Development


sha haki ya ardhi

Umuhimu wa 3
mafunzo ya haki ALPHA ni shirika lisilokuwa la hali ya maisha ya watu wake MALENGO Mahsusi:
ya ardhi Kiserikali lililoanzishwa kama imeimarika.  Kuwezesha jamii kiuchumi
taasisi ya Kijamii na hatimae MAONO: Kuboresha jamii kwa
Uhitaji wa Jamii 5 maeneo ya mjini na Vijijini
kusajiliwa rasmi kama NGO kuwezesha na kutoa msaada wa
kuelimishwa tarehe 17 SEPTEMBA 2019 na  Kuwezesha jamii kuondoa
zaidi kuhusu
kitaalam katika sekta ya Afya,
kupewa namba ya usajili Elimu, Jinsia, Mazingira , Maji na umasikini.
haki ya Ardhi OONGO/R/0620. Makao makuu
waongezeka
Shughuli za uzalishaji mali.  Kutoa elimu ya UKIMWI
na Ofisi za shirika yako mtaa wa
Titi, Ngangilonga mkabala na LENGO KUU: Kuhakikisha jamii  Kutoa elimu ya Jinsia
ghala la Taifa– Iringa mjini. Malen- imeelimishwa vya kutosha katika
masuala ya kijamii, kiuchumi na  Elimu ya uhifadhi na utunzaji
go ya shirika la ALPHA ni pamoja
kisiasa. wa mazingira.
na: DIRA: Kuwa na jamii ambayo
kipato chake kimeongezeka na
UK URA SA2

Mkakati wa utatuzi wa changamoto


Shirika la ALPHA limehusika Mkakati uliotumika ni pamoja VII. Sanaa mbalimbali za
mojakwamoja katika kutatua na: I.Ushirikishwaji wa mamlaka maonyesho ikijumuisha
baadhi ya changamoto zinazo- za serikali kwa ngazi ya Wilaya, Maigizo, Ngonjera, Sarakasi,
husiana na mwanamke kukosa Kata na Vijiji vitano-5; mashairi na ngoma kutoka
haki yake ya kumiliki mali na II.Fomu za utekelezaji wa mradi kikundi cha sanaa cha ADG.
ardhi. Utekelezaji wa mradi wa (Activity report form); Asasi hutumia sanaa hizo kutoa
kuhamasisha wanawake kuele- elimu na kufikia eneo kubwa la
wa haki zao za kumiliki mali, III. Maswali na majibu ya moja walengwa-hapa wananchi hu-
ardhi na kushiriki shughuli za kwa moja; pata elimu na burudani;
maendeleo na uongozi Wilaya IV. Washiriki kushiriki katika VIII.Ushirikishwaji wa ofisi za
ya Kilolo, unatekelezwa kwa kazi za vikundi wakati wa ma- watendaji na Wenyeviti wa
ufadhili wa Foundation for Civil funzo; Vijiji;
Society. Shirika la ALPHA V.Matumizi ya viandikio mba-
linatekeleza mradi kwa ku- IX. Uundaji wa majukwaa ya
Washiriki wa ma- limbali kama chati mgeuzo; wanawake wanaoelimisha na
shirikiana na kikundi chake cha
funzo wakiweka mi- Sanaa cha AVCD. Kikundi hiki VI.Ushiriki wa wataalamu kuto- kuibua changamoto zinazohusu
kakati ya kutatua kinasaidia kuwafikia walengwa ka Halimashauri ya Wilaya ya wanawake kutomilikishwa
changamoto wengi wa mradi kwa njia ya Kilolo kwa vitengo vya sheria, ardhi kwenye maeneo yao.
Sanaa kinazofanya. ardhi na maendeleo ya jamii;

Mafanikio ya mradi yaliyopatikana


Mpaka hivi sasa wananchi utatuzi wa migogoro pasipo
“ALPHA imewezesha ardhi imeripotiwa yenye
zaidi ya 750 wamefanikiwa kuingilia kamati za usuluhishi. wastani wa migogoro 67 na
wanawake kutam- kupata elimu ya utatuzi wa Wananchi wamepata msaada kati ya migogoro hii 57
migogoro ya ardhi na wa kisheria kutoka ALPHA, imeshatatuliwa tayari. Wana-
bua haki zao, elimu
wanaendelea kuripoti migo- ofisi ya mwanasheria wa Hal- wake wajane wanne
inahitajika Zaidi ili goro yao katika mabaraza ya mashauri ya Wilaya ya Kilolo, wamerejeshewa mali zao baada
ardhi ya Vijiji, na Kata. na HAKI ARDHI na wanawake ya kufanyiwa vitendo vya dhu-
wanawake waweze
Wanawake wameendelea wameshinda kesi na kurudishi- luma, kunyanyasika, ukatili wa
kurithishwa baada kushiriki katika shughuli za wa nyumba zao. Wananchi kijinsia vilivyofanywa na baadhi
uongozi na kumiliki mali, na wamekuwa wakipiga simu ya ya ndugu wa wanaume baada
ya waume zao kufa– ardhi. Wanawake 2 walitia bure namba 0800711555, ili ya vifo vya waume kutokea.
Ms Given Mbosa- nia ya kugombea uongozi kupata msaada wa kisheria
Majukwaa ya wanawake ya-
ngazi ya udiwani katika kutoka shirika la HAKI ARDHI
Kijiji cha Kilolo” meibua malalamiko 19 katika
uchaguzi mkuu wa mwaka ambalo ni shirika kiongozi kati-
kipindi cha Julai hadi Septemba
2020. Viongozi wa serikali ka kongani yetu. Mradi umega-
2020 na yote yamepatiwa sulu-
za Vijiji wameendelea ku- wa nakala za vipeperushi
hu bila gharama yoyote.
shirikiana na kamati za vyenye maswala ya haki ardhi
Wananchi zaidi ya 350
kwa takribani wananchi 1562
wamekwisha kupima maeneo

Dorice P
Visa Mikasa mpaka sasa ili kueneza elimu
zaidi kwa wahitaji. Migogoro ya
yao katika kijiji cha Luganga na
kupata hati.
Mbaluka Majukawaa ya
akiwa wanawake ya- na mali kwa kuwafuata kwenye jina la Bi. Dorice P. Mbaluka
kwenye meweza kuibua saluni, kwenye sehemu za ambae anaishi kitongoji cha Kihe-
nyumba visa na mikasa ya masoko, kwenye vilabu vya sa, kijiji cha Luhindo Kata ya
yake yenye wanawake wengi pombe na wakati mwingine Mtitu umbali wa kilomita 48
waliokuwa ha- kwa kuwatembelea baadhi ya kutokea Iringa mjijni alisaidiwa na
mgogoro
watambui haki wahanga majumbani mwao. mradi kupata stahiki zake za ku-
zao kuhusu Mfano mzuri ni wa kisa cha miliki nyumba, mali na ardhi vil-
umiliki wa ardhi, mama mjane anaejulikana kwa ivyokuwa vimechukuliwa na
ndugu wa marehemu mume wake
baada ya kuondokewa na
mumewe wa ndoa.
ALP HA-VISIBLE: TOLE LA 1 UK URA SA 3

Shughuli za maendeleo zilizotekelezwa na ALPHA


uongozi. Mradi huu  Mradi wa Mama na Mtoto kujikinga
Kikundi unatekelezwa kwa na UKIMWI uliofadhiliwa na Doc-
chetu cha ushirikiano kati ya tors with Africans Quam;
Sanaa ALPHA, HakiArdhi,
 Mradi wa mazingira kwa ufadhili wa
kikielimish Halmashauri ya
Wilaya ya Kilolo kwa Enterprise Works;
a jamii
ufadhili wa shirika la  Mradi wa kupambana na mabadiliko
Foundation for Civil ya tabia ya Nchi kwa ufadhili wa
Society . Mradi umenufaisha wakazi UNDP;
wa Kata ya Mtitu na Vijiji vyake
 Haki za wanawake na utawala bora
Hivi sasa shirika la ALPHA VISIBLE vitano kwa kipindi cha miaka 3
COMMUNITY DEVELOPMENT kuanzia Machi 1919 hadi Februari kwa kufadhiliwa na Halmashauri ya
linatekeleza mradi wa uelimishaji wa 2021. Kabla ya mradi huu kuja, Wilaya ya Iringa;
wanawake kuhusu kujuwa haki zao Taasisi ya ALPHA imekuwa  Kampeni ya kupambana na malaria
za kumiliki mali, ardhi na kushiriki ikitekeleza miradi mingine ikiwa ni ukifadhiliwa na Halmashauri ya
katika shughuli za maendelo na pamoja na: Wilaya ya Iringa. “kwetu ALPHA

t u n a s e m a
asiyejua kucheza

Umuhimu wa mafunzo ya haki ardhi hulaumu mdun-

Mafunzo kuhusu uelewa wa wana- wapi wapate msaada wa kisheria kuishughulikia kwa muda mfupi do wa ngoma”
wake kujua haki zao za kumiliki mali mara tu wanapokosa stahiki zao. umeimarishwa na hivyo migogoro
na, ardhi na ushiriki katika shughuli Mafunzo yamewafungua macho hiyo imeendelea kutatuliwa bila
za maendeleo na uongozi yameku- wananchi kupata uelewa kuhusu gharama kwa mlalamikaji. Kesi
wa na umuhimu mkubwa kwa maswala ya haki za kumiliki ardhi. nyingi zilizoripotiwa ni zile zi-
wanawake na jamii ya Kata ya Mtitu. Mafunzo yamewezesha kuwepo kwa nazoonekana kwa macho, ambapo
Kwanza yamewafanya wanajamii mawasiliano mazuri baina ya ushahidi ni jamii inayowazunguka.
watambue haki za mwanamke na viongozi wa Vijiji, viongozi wa Kata, Aina nyingine ya kesi zinahusu mau-
mtoto wa kike za kumiliki mali au ofisi ya ardhi Wilaya, ofisi ya mwa- ziano ya ardhi ambapo vibali, cheti
kurithi ardhi ziko sawa na zile za nasheria Wilaya pamoja na mabara- cha ndoa, hati n.k vinahitajika
mwanaume. Walengwa wa mradi za ya ardhi ngazi za Vijiji na Kata kuthibitisha umiliki. Mafunzo ya-
wametambua vyanzo mbalimbali wote kwa pamoja kuhakikisha mewajengea wajumbe wa mabaraza
vya migogoro ya ardhi na jinsi ya wanawake wanapata stahiki zao za ya ardhi kujiamini katika kutoa sulu-
kuishughulikia katika ngazi ya Vijiji kumiliki mali, ardhi na kushiriki hu na kuondoa ile dhana kuwa
kupitia mabaraza ya ardhi. Wanufai- katika shughuli za maendeleo na mabaraza ya ardhi yaliyokuwapo
ka wametumia mafunzo kujuwa uongozi. Kupitia mafunzo, mfumo awali yalikuwa hewa na yasiyotoa
wa kupokea migogoro ya ardhi na haki.

Mfiko
Tokeo Lengo Halisi % ya mafanikio Hatua

Mikutano ya hadhara 5 5 100 Uhamashishaji umefanyika

Majukwaa ya wanawake 5 5 100 Utoaji elimu unaendelea

Elimu kupinga mila na desturi mbaya 868 659 75 % kubwa ya walengwa imefikiwa

Nafasi za uongozi za wanawake 40 42 105 % ya wanawake serikali za Vijiji na udiwani

Upimaji ardhi 490 350 71.4 Upimaji unaendelea

Migogoro kuhusu fidia, ardhi,urithi, mirathi 93 67 72 Usuluhishi wa migogoro unaendelea

Ongezeko la wajumbe wanawake baraza la Kata 2 3 150 Idadi ya viongozi wanawake imeongezeka
UK URA SA 4

Changamoto zilizojitokeza
Mradi umepata mafanikio ma- tamaduni kandamizi;  Matumizi ya hati miliki
kubwa kutokana na jamii  Baadhi ya wanajamii kuto- katika kujinufaisha
kuupokea vizuri. Hata hivyo kiuchumi bado ni changa-
kuwa na uelewa wa
zipo changamoto ambazo zi- moto kwa watu wengi;
maswala ya haki za ku-
nahitaji utatuzi kwa kushiriki-
miliki ardhi;  Kutokujuwa sheria ya
sha wadau mabalimbali ndani
na nje ya Wilaya ya Kilolo.  Mfumo dume bado upo ardhi namba 4 na 5 ya
Baadhi ya changamoto zilizo- kwenye jamii elimu zaidi mwaka 19 9 9 kuna-
bainika ni pamoja na: inahitajika; sababisha migogoro mingi
kutokea kwenye jamii;
 Elimu itolewe kwa vijana  Mtazamo hasi kutoka kwa
 Matarajio makubwa kuto-
walioko mashuleni na wananchi kwa viongozi wa
vyuoni ili kuondoa mila na mabaraza ya usuluhishi; ka kwa wananchi wenye
desturi kandamizi; migogoro ya ardhi kuhitaji
Kikao cha baraza la  Wananchi wanamwamko wawezeshaji na
ardhi cha Kata ya  Mwanamke anahaki ya mdogo juu ya kujitokeza wasimamizi kutoka ADG
Mtitu kumiliki mali na ardhi na kuwasilisha malalamiko kuwa wasuluhishi wa mi-
mumewe akiwa hai, anap- yao kwenye vyombo gogoro yao papo kwa
ofariki hali inabadilika rasmi vya usuluhishi; papo.
ananyang’anywa sababu ya

“Ushirikiano Somo lililotokana na utekelezaji wa mradi


umeboreshwa kati i.Uwepo wa mkakati wa hali- zake na ndugu wa marehemu wapeleki migogoro yao ya
mashauri ya Wilaya ya Kilolo mumewe; ardhi katika mabaraza ya
ya mabaraza ya kubadilishwa na kuwa mamlaka usuluhishi ya Vijiji;
vi.Baadhi ya maeneo yana mi-
ya mji wa kilolo; gogoro ya ardhi inayotokana na xi. Wajumbe walibainisha
ardhi ya Vijiji na
ii.Uwepo wa kesi za migogoro kurithishwa kwa maeneo bila kuwa bado kuna uwepo wa
watendaji wa Vijiji ya ardhi katika Vijiji, mfano maandishi hasa katika kijiji cha mila na desturi zinaz-
uwepo wa migogoro mingi kati Lulanzi; omkandamiza mwanamke kati-
na Kata ya Mtitu” ya wananchi wa Kijiji cha Lu- ka maswala ya kumiliki ardhi,
vii. Tulijifunza kuna migogoro
Alipa Kidava- ganga na Halimashauri ya Wila- ya ardhi kati ya halimashauri ya mali na kushiriki katika shughuli
ya ya Kilolo; Wilaya ya Kilolo na baadhi ya za uongozi;
Lulanzi iii. Unyanyasaji wa wanawake wananchi wa Kijiji cha Luganga, xii. Kupitia fomu za tathimini za
katika kumiliki mali na ardhi; pia mgogoro wa ardhi kati ya kabla na baada ya mafunzo
iv. Wananchi hawaendi kuripo- serikali ya Kijiji na Koo tatu tulizozigawa kwa baadhi ya
ti migogoro yao ya ardhi katika kubwa za Kijiji cha Mtitu; wananchi, tulibaini idadi kubwa
mamlaka husika, mfano wen- viii. Uhitaji mkubwa wa msaada ya wananchi hawakuwa na
gine wanapeleka migogoro yao wa kisheria kwa wananchi uelewa juu ya maswala ya mifu-
ya ardhi mahakama za kawaida ndani ya Kata ya Mtitu juu ya mo ya utatuzi wa migogoro ya
ama ofisi ya mwanasheria wa utatuzi wa migogoro ya ardhi ardhi, umiliki wa mali na ardhi
Wilaya; katika maeneo yao; na kushiriki katika shughuli za
uongozi;
v. Kuna unyanyasaji wa wana- ix. Baraza la Kata ya Mtitu
wake kupokonywa mali zao na linatuhumiwa kwa kutokutenda xiii. Uwepo wa migogoro mingi
ndugu wa marehemu mfano, haki kwa baadhi ya migogoro ya ardhi hasa kwa Kijiji cha
Dorice P. Mbaluka aneishi iliyowasilishwa kwa ajili ya Lulanzi na Luhindo iliyotokana
katika kijiji cha Luhindo, ni kupata utatuzi. na mashamba na mali za ku-
mjane na amepokonywa mali rithi.
x. Wananchi wengi bado ha-
ALP HA-VISIBLE: TOLE LA 1 K URA SA 5

Somo tulilojifunza kutokana na mradi huu


Moja ya ardhi kati ya serikali tulibaini uwepo wa migogoro mingi
ya kijiji cha Mtitu na ya ardhi inayosababishwa na wanan-
igizo lililo-
koo kubwa tatu za chi kutokujua vizuri sheria na tarati-
tolewa na
kijiji hicho. bu za kufuata juu ya umiliki wa
kikundi ardhi, matumizi ya ardhi na hatua za
xv. Wananchi
chetu cha kufuata kupata usuluhishiwa migo-
wengi walikuwa
sanaa hawaelewi ni wapi goro ya ardhi.
wakapeleke migogo- xviii. Uwepo wa migogoro mingi ya
ro yao ya ardhi ili kupata usuluhishi. ardhi katika maeneo ya Vijiji vya
xiv. Uwepo wa mgogoro wa mradi na maeneo yasiyo ya mradi.
ardhi kati ya halimashauri ya Wilaya xvi. Ufuatiliaji wa karibu wa maba-
ya Kilolo na wananchi wa kijiji cha raza ya usuluhishi ya ardhi katika “Jamii imepokea
Luganga hasa katika upande wa fidia Vijiji.
mradi vizuri
kwa maeneo yaliyo twaliwa na Hali- xvii. Kupitia jumbe za simu na simu
mashauri ya Kilolo, na mgogoro wa zilizopigwa kutoka kwa wasikilizaji, elimu itolewe

kwa wazee wa

Mapendekezo
kimila kuondoa

mila na desturi

Kutokana na somo tulilojifunza iii. Elimu isambazwe kwa Wananchi kandamizi”


wakati wa utekelezaji wa mradi huu wengi kwa kuwa bado hawapeleki Gemi Mgovano-
bado kuna uhitaji mkubwa wa kuen- migogoro yao ya ardhi katika maba- zaidi mabaraza ya usuluhishi ya Vijiji
delea kuelimisha wananchi katika raza ya usuluhishi ya Vijiji; Kijiji cha
na baraza la ardhi la Kata ya Mtitu ili
Wilaya ya Kilolo na mkoa mzima wa kuhakikisha migogoro ya ardhi ina- Luhindo
iv.Kutokana na uhitaji wa elimu ya
Iringa kwakuwa kuna: kwisha.
maswala ya haki za ardhi kwa wana-
i.Uhitaji mkubwa wa msaada wa wake na maswala ya mifumo ya vi.Uongozi wa Halimashauri ya Kilo-
kisheria kwa wananchi ndani ya utatuzi wa migogoro ya ardhi mion- lo kwa kushirikiana na wananchi wa
Kata ya Mtitu juu ya utatuzi wa goni mwa wananchi ADG inapen- Kijiji cha Luganga kushughulikia
migogoro ya ardhi katika maeneo dekeza FSC kuendelea kutoa ufad- changamoto za mgogoro wa ardhi
yao; hili ili elimu itolewe zaidi katika kati ya Halimashauri na wananchi
ii.Elimu na ushauri wa karibu kwa maeneo ya Vijiji vya mradi na Vijiji wa Kijiji cha Luganga juu ya fidia za
Baraza la Kata ya Mtitu itolewe kila vya kando kando kwa sababu kuna maeneo.
baada ya miezi mitatu kwani mahusiano kati ya wananchi wa Kijiji
linatuhumiwa kwa kutokutenda haki kimoja na kingine;
kwa baadhi ya migogoro iliyowasi- v.Ufuatiliaji na tathimini ya karibu
lishwa kwa ajili ya kupata utatuzi; na kuendelea kuyajengea uwezo

Hitimisho
Shirika la ALPHA VISIBLE COM- kwa kuongoza maandalizi ya
kufanikisha kufikiwa kwa malengo
MUNITY DEVELOPMENT linapen- kufanya mahojiano na
ya utekelezaji wa mradi huu. Ni
da kutoa shukurani za dhati kwa wadau wa mradi na hatimae
matarajio yetu kuwa ushirikiano
wadau wote wa mradi, wanakijiji wa kuwasilisha taarifa hizo
huu utakuwa endelevu wakati wote
Vijiji 5 katika Kata ya Mtitu, Wilaya katika chapisho hili la mwezi
wa mradi na hata baada ya muda wa
ya Kilolo, viongozi wa Vijiji na Kata, wa 2/ 2021. Kupitia chap-
mradi kuisha kwa lengo la kumsaidia
mabaraza ya ardhi ya Vijiji na Kata isho hili wadau wa mradi
mwanamke mnyonge kupata elimu
ya Mtitu, viongozi wa Halmashauri watapata fursa ya kupata
ya uelewa juu ya haki zake za ku-
ya Wilaya ya Kilolo, washitiri wa taarifa zitakazoboresha
miliki mali, ardhi, na kushiriki katika
maendeleo wakiwemo HAKI upatikanaji wa haki za wana-
shughuli za maendelo na Uongozi.
ARDHI na wafadhili wetu wa mradi wake na wasichana katika
Kipekee ALPHA inatoa pongezi
Foundation for Civil Society katika Wilaya Kilolo.
kwa Mwezeshaji Yusufu Tumaini
ALPHA DANCING GROUP – (ADG) ni asasi isiyo ya
kiserikali iliyoanzishwa mwaka 1992 na kusajiliwa rasmi
MRADI WA KUELIMISHA WANAWAKE tarehe 2 JANUARY 2000 na kupewa cheti cha usajili namba
KUJUA HAKI ZAO ZA KUMILIKI ARDHI 107205- kama COMMUNITY BASED ORGANIZATION
(CBO) Manispaa ya Iringa, Na baada ya marekebisho ya
KWA MAWASILIANO sheria za asasi za kiraia ya Julai 2019, asasi chini ya sheria
Anuani ya Asasi
namba 24 ya 2002 pamoja na marekebisho yake, asasi ilisaji-
S.L.P 1002, Iringa.
Kata ya Gangironga, Mtaa wa Titi, Block 2. liwa rasmi tarehe 17 SEPTEMBA 2019 kama Non-
+255 754 051 797 / +255 755 222 751 Government Organization kwa jina la ALPHA VISIBLE

Email: smtitu_adg_tz@gmail.com, COMMUNITY DEVELOPMENT (AVCD) na kupewa namba


godwinkasaizi92@gmail.com ya usajili OONGO/R/0620.

“Asiyejua kucheza hulaumu mdundo wa ngoma”

You might also like