Professional Documents
Culture Documents
Mo Dewj Background
Mo Dewj Background
Mo Dewji ni nani?
Pia inahusika na huduma za simu, fedha, kilimo na pia ina kitengo cha
kontena kwenye Bandari ya Dar es Salaam.
METL ina shughuli zake katika nyingi barani Afrika na ina malengo ya
kujipanua zaidi katika maeneo zaidi.
Wakfu wa hisani
Dewji ni Mtanzania pekee aliyesaini mkataba mwaka 2016 wa kutoa
kwa wahitaji nusu ya mali yake.
Tuzo
Mwaka 2012, alitawazwa Kiongozi Mdogo Duniani kwa Kiingereza
Young Global Leader (YGL) wakati wa kufanyika kwa Mkutano Mkuu
wa uchumi Duniani (WEF).
Mara kwa mara, hutoa ushauri, na pia huwa hafichi upendo wake kwa
klabu ya Simba FC ambayo ndiye mdhamini wake mkuu.
1. Ijumaa wiki iliyopita, aliandika: "Kila jambo unaloogopa, Mungu ana mpango wake. Mungu ni mkuu
kuliko hofu uliyonayo. Ana mamlaka na maisha yako ya baadae. Kuwa na imani."
2. Kuhusu urafiki na mikopo, kauli yake hii: "Hamna kitu kinaua urafiki kama mikopo!"
3. Kuhusu utajiri na umaskini, aliweka nukuu hii aliyoitoa kwingine pengine kwenye Twitter majuzi: "Walio
fukara hujaribiwa kwa umaskini, sisi nao hujaribiwa kwa kupewa zaidi ya tunavyovihitaji."
4. Ana ushauri pia kuhusu kufanikiwa maishani: "Vitu vingi katika maisha vinaweza kujaribu kukuondoa
kwenye malengo yako lakini usipoteze mwelekeo. Mipango inaweza kubadilika lakini kamwe sio mwisho
wa safari!"
5. Kuhusu kuwezeshwa kwa wanawake: "Kwenye Uislamu, mwanamke hahitaji kuwezeshwa na mwanaume,
wameshawezeshwa na Mungu."
6. Kuhusu kuwa mfano bora kwa watoto: "Mtoto wako atafata mifano yako, sio ushauri wako. Hata
tunapofikiri hawatuoni, wanatuona. Hata tunapofikiri hatulei,