PA00KH6S

You might also like

Download as pdf or txt
Download as pdf or txt
You are on page 1of 279

MUONGOZO WA UFUNDISHAJI

KUSOMA KISWAHILI
Toleo la Kiswahili
Darasa la 1

21st Century Basic Education Program (TZ21)


MUONGOZO WA UFUNDISHAJI
KUSOMA KISWAHILI

Darasa la Kwanza

Zanzibar

Januari 2013
Kanusho
Muongozo huu wa kufundisha usomaji kwa darasa la kwanza umechapishwa na
(Jina la mchapishaji) kwa msaada wa Marekani kupitia shirika la msaada la Marekani
(USAID) na kuwezeshwa na Creative Associates International. Yaliyomo katika kitini
hiki yanatokana na mwandishi na mchapishaji wake na hayawakilishi maoni na
msimamo wa USAID wala Serikali ya Marekani.

ii Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


Shukrani
Mpango wa Elimu wa TZ21 unapenda kutoa shukrani za dhati kwa watu wote
kwa kutoa msaada wa kiufundi, kitaaluma na kifedha ambao umesaidia katika
maendeleo, tafsiri, kuhariri na kuchapisha kitini hiki cha kumfundisha mwalimu.
Shukurani za pekee zinaelekezwa kwa WEMA Zanzibar;Taasisi ya Elimu Zanzibar,
Taasisi ya Elimu Tanzania, Vyuo vya Ualimu, Dkt Diane Prout na Lynn Evans (),
Msimamizi Mkuu wa Programu (Renuka Pillay) kwaajili ya mpango wa Elimu na
walimu wa Skuli za Msingi.

Katika hali halisi si rahisi kuutaja kila mchango uliotolewa kufanikisha kazi hii.
Walimu wengi wenye moyo wa kujitolea na wataalamu mbalimbali walishiriki
katika kazi hii. Tunapenda kuwataja baadhi yao.
 Maryam Abdullah Yusuf – Kamishna wa Elimu kutoka WEMA (Zanzibar)
 Yahya I A’wakr – Mkaguzi Mkuu wa Elimu kutoka WEMA
(Zanzibar)
 Sichan H. Foum – Mkurugenzi wa Shirika la Huduma za Maktaba
kutoka WEMA (Zanzibar)
 Uleid Juma Weldi – Mkurugenzi wa Elimu ya Maandalizi na Msingi
kutoka WEMA

 Ameir S.H Njeketu – Mkurugenzi wa Baraza la Mitihani kutoka WEMA


(Zanzibar)
 Suleimab Y. Ame – Mkurugenzi wa Taasisi ya Elimu kutoka WEMA
(Zanzibar)

 Omar Said Ali – Mkurugenzi wa Teknolojia ya Habari na


Mawasiliano kutoka WEMA (Zanzibar)

 Charles Nonga – Msimamizi Msaidizi wa Programu TZ 21


(Zanzibar)
 Mohamed Ali Mohamed – Mkuza Mitaala Mkuu wa Taasisi ya Elimu kutoka
WEMA (Zanzibar)

 Said S. Al – Abry – Mkuu wa Divisheni wa Kituo cha Taifa cha


Walimu (NTRC) kutoka WEMA (Zanzibar)
 Ame J. Khatib – Afisa wa Elimu ya Msingi kutoka WEMA
(Zanzibar)

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza iii


 Hassan Khamis Juma – Mkuu wa Utayarishaji wa Vitabu kutoka Maktaba
Kuu (Zanzibar)

 Hamad P. Simai – Mkuu wa Divisheni ya Usanifu wa Vifaa vya


Kufundishia na Kujifunzia

 Othman Sharif – Mtaalamu wa Utafiti na Kumbukumbu kutoka


TZ 21 (Zanzibar)
 Lawrence Kunambi – Mratibu wa Mitaala wa Taasisi ya Elimu Tanzania
kutoka WEMA (Tanzania)

 Brandina Milumba – Mkaguzi wa Skuli kutoka Manispaa ya Mtwara

 Zahor Mwalim Muhidin – Mkufunzi kutoka Chuo cha Kiislamu

 Ali Mwalimu Rashid – Mtalamu wa lugha kutoka Chuo Kikuu cha Taifa
cha Zanzibar

 Hamisi Mwaya – Mkufunzi kutoka chuo cha Ualimu Kitangili

 Zainabu Ngwende – Chuo cha Ualimu Mtwara

 Maulid Lipagati – Chuo cha Ualimu Mtwara

 Veronica Macha – Mwalimu kutoka Skuli ya Msingi Chang’ombe


Dar es Salaam
 Mary Simumba – Mwalimu kutoka Skuli ya Msingi Mbuyuni Dar
es Salaam
 Royce Nyoni – Mwalimu kutoka Skuli ya Msingi Mbuyuni Dar
es Salaam
 Subira Iddi Khamis – Mwalimu kutoka Skuli ya Msingi Mkunazini
Zanzibar

 Fatuma Karande – Mwalimu kutoka Skuli ya Msingi Kibasila


Mtwara
 Aristarick Lyimo – Mratibu wa Mradi kutoka Mradi wa vitabu vya
watoto

 Justin Machela – Mpango wa Elimu ya Msingi kutoka TZ21


Mtwara
 Joseph Mbasha – Mratibu wa Mafunzo kutoka ofisi za TZ21 Dar
es Salaam

 Asha M Mohamed – Mtalaamu wa Elimu kutokaTZ21 Zanzibar

iv Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


 Mashauri Heriel – Kutoka ofisi ya Manunuzi na Afisa Ugavi/
TEHAMA kutoka TZ21 Dar es Salaam

 Daud Kweba – Afisa Usimamizi na Tathmini kutoka TZ21 Dar es


Salaam

 Douglas Bell – Mkurugenzi kutoka IYF

 Hassan Libingai – Mratibu Msaidizi wa Mradi wa Vitabu vya Watoto

 Dkt Rest Lasway – Mshauri wa Sera kutoka TZ21 Dar es Salaam

 Andrew Muya – Mratibu Msaidizi wa Mradi kutoka Mradi wa


vitabu vya watoto - Mtwara
 Cresencia Ngasoma – Mwalimu kutoka Manispaa ya Ilala

 Saada S Rashid – Mratibu Kituo cha Walimu Bububu kutoka


Zanzibar

 Adrehem Kayombo – Mtalaam wa Mitaala ya Elimu kutoka TZ21/IYF


Ofisi Dar es salaam

 Vincent Katabalo – Meneja wa Mafunzo ya Walimu TZ 21 Ofisi ya


Dar es salaam

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza v


Yaliyomo
Kanusho.................................................................................................................................... ii
Shukrani................................................................................................................................... iii
Mawanda na Mtiririko wa ufundishaji kusoma Kiswahili......................................... viii
Mtiririko wa somo.................................................................................................................. 1
1.0 Kufundisha herufi mM na aA ............................................................................... 1
2.0 Kufundisha sauti mM na aA.................................................................................. 7
3.0 Kufundisha sauti M, a............................................................................................. 13
4.0 Kufundisha sauti A, m.............................................................................................. 19
5.0 Marudio ya herufi kubwa na ndogo................................................................... 25
6.0 Kufundisha sauti k..................................................................................................... 30
7.0 Kufundisha sauti K.................................................................................................... 35
8.0 Kufundisha sauti i...................................................................................................... 42
9.0 Kufundisha sauti I...................................................................................................... 48
10.0 Marudi (herufi kubwa na ndogo)........................................................................ 54
11.0 Kufundisha sauti s..................................................................................................... 59
12.0 Kufundisha sauti S.................................................................................................... 65
13.0 Kufundisha sauti o.................................................................................................... 71
14.0 Kufundisha sauti O.................................................................................................... 76
15.0 Marudio ya herufi kubwa na ndogo................................................................... 82
16.0 Marudio na kutilia mkazo (Chagua herufi kutoka siku tofauti)................ 87
17.0 Marudio na kukazia (chagua herufi kutoka siku tofauti): .......................... 92
18.0 Marudio na kukazia maarifa (chagua herufi kutoka siku tofauti)............ 96
19.0 Marudio na kukazia maarifa (chagua herufi kutoka siku tofauti)............ 101
20.0 Kufundisha sauti t .................................................................................................... 106
21.0 Kufundisha sauti T.................................................................................................... 112
22.0 Kufundisha sauti u.................................................................................................... 118
23.0 Kufundisha sauti U.................................................................................................... 124
24.0 Rudia herufi kubwa na ndogo.............................................................................. 130
25.0 Kufundisha sauti p ................................................................................................... 134
26.0 Kufundisha sauti P.................................................................................................... 140
27.0 Kufundisha sauti e ................................................................................................... 146
28.0 Kufundisha sauti E.................................................................................................... 152
29.0 Rudia herufi kubwa na ndogo ............................................................................. 158

vi Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


30.0 Kufundisha sauti b.................................................................................................... 162
31.0 Kufundisha sauti B ................................................................................................... 168
32.0 Kufundisha sauti j .................................................................................................... 174
33.0 Kufundisha sauti J .................................................................................................... 180
34.0 Rudia herufi kubwa na ndogo ............................................................................. 186
35.0 Marudio na kukazia (chagua herufi kutoka siku tofauti)............................ 191
36.0 Marudio na kukazia (chagua herufi kutoka siku tofauti)............................ 196
36.0 Marudio na kukazia (chagua herufi kutoka siku tofauti)............................ 201
37.0 Marudio na kukazia (chagua herufi kutoka siku tofauti)............................ 206
39.0 Kufundisha sauti F..................................................................................................... 216
40.0 Kufundisha sauti d ................................................................................................... 222
41.0 Kufundisha herufi D................................................................................................. 228
42.0 Marudio (herufi kubwa na ndogo)...................................................................... 234
43.0 Kufundisha sauti n ................................................................................................... 239
44.0 Kufundisha sauti N ................................................................................................... 245
45.0 Kufundisha herufi l ................................................................................................. 251
46.0 Kufundisha herufi L ................................................................................................. 257
47.0 Rudia herufi kubwa na ndogo ............................................................................. 263

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza vii


Mawanda na Mtiririko wa ufundishaji kusoma Kiswahili
Katika muongozo huu istillahi mpya, shughuli za kufanya, na vifupi vya maneno
vimefafanuliwa. Hata hivyo baadhi yake zinahitaji ufafanuzi wa ziada ili kueleweka
vizuri kwa mwalimu.

Namna ya kwafundisha wanafunzi kuandika herufiMwalimu: Shika kadi ya


herufi au iandike ubaoni
• Mwalimu: Fuatisha umbo la herufi na kisha useme:
• Nitazame: Tazama maandishi
• Chunguza herufi – Mwalimu aonesha uandishi wa herufi. (Unapoandika
herufi upana wake unatakiwa ulingane na upana wa mkono wako. Nafasi
kati ya herufi na herufi lazima iwe unene wa kidole cha kati na shahada
vilivyoungana
• Mwalimu anasema:[sauti ya herufi]]
• Angalia ninayoandika [sauti ya herufi]
• [Hatua ya 1, 2, 3, nk. ya kuandika herufi].
• Rudia sauti ya herufi kila unapofuatisha umbo la herufi

• Mwalimu: Shika kadi ya herufi au iandike ubaoni


• Mwalimu: Fuatisha umbo la herufi na kisha useme:
• Nitazame: Tazama maandishi
• Chunguza herufi – Mwalimu aonesha uandishi wa herufi. (Unapoandika
herufi upana wake unatakiwa ulingane na upana wa mkono wako. Nafasi
kati ya herufi na herufi lazima iwe unene wa kidole cha kati na shahada
vilivyoungana
• Mwalimu anasema: [sauti ya herufi]]
• Angalia ninayoandika [sauti ya herufi]
• [Hatua ya 1, 2, 3, nk. ya kuandika herufi].
• Rudia sauti ya herufi kila unapofuatisha umbo la herufi

Mfano:
• Niangalie. Tazama maandishi.
• /b/
Chunguza umbo
• Anzia juu
• Chora mstari kushuka chini
• Chora duara
viii Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza
Mfano:
• Niangalie. Tazama maandishi.
• /b/
Chunguza umbo
• Anzia juu
• Chora mstari kushuka chini
• Chora duara
• Maneno yaliyokolezwa na kulalia upande huashiria maneno ya mwalimu.
• Maneno yaliyo katika mabano – kwa mfano: (wakati wa kuonesha kila
herufi) – Hueleza matendo ya mwalimu wakati anapotamka maneno
yaliyokolezwa na kulalia upande.
• Maneno yaliyokolezwa na kulalia upande yakiwa katika mabano
au vitenganishi /Sauti ya herufi/, [neno], [Jina la mwanafunzi],
Hufafanua maneno yanayotamkwa na mwalimu.
• Maneno yaliyo kawaida katika mabano– [neno], /sauti ya herufi], –
Huelezea maneno yanayotamkwa na mwanafunzi
inamaanisha “ndiyo”
inamaanisha “hapana”
inamaanisha “toa msaada”
Inamaanisha mwalimu aseme “sikiliza”

Hatua saba zilizo katika Muongozo wa Mwalimu


1. Mapitio ya herufi 
a. somo lililopita
Sauti
Umbo
b. Mchanganyiko – Sauti tatu zilizofundishwa mara ya mwisho katika
utaratibu uliochanganywa
2. Utambuzi wa Sauti 
a. Maneno mchanganyiko – kutoka kwenye masomo yaliyotangulia
b. Herufi mpya iliyo katika neno – sauti ya herufi mpya ya mwanzo

3. Herufi mpya 
a. sauti
b. Umbo

4. Unganisha na kutenganisha silabi 


a. Herufi mpya – Unganisha silabi na herufi mpya

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza ix


b. Machanganyiko – Unganisha mchanganyiko wa silabi mbili

5. UNGANISHA NA TENGANISHA MANENO 


a. Mchanganyiko wa maneno-

6. Andika 
a. Herufi Mpya –
b. Herufi tatu zilizofundishwa kabla –

7. Andika SENTENSI, hadithi au nyimbo

x Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


Mtiririko wa somo
Weka alama ya vyema baada ya kufundisha
1.0 Kufundisha herufi mM na aA
Wiki ya 1: Siku ya 1

Tarehe: _____________________
Muongozo wa ufundishaji: Tumia
jina la herufi/sauti ya herufi katika
muongozo huu ili kufundisha majina
na sauti za herufi husika Zana:
Malengo: • Kadi za herufi m, a
• Mwanafunzi aweze kutamka • Kadi za herufi kwa ajili ya marudio
sauti na jina la herufi sauti • Kadi za maneno
na jina la herufi m, a kwa • Andika neno [mama] ubaoni
kutumia muongozo ufuatao • Kadi za sentensi
• Mwanafunzi aweze kufanya • Hadithi au Nyimbo
mazoezi ya kusoma kwa • Kitini cha mazoezi kwa
kutumia kadi za herufi, mwanafunzi
maneno na sentensi
• Mwanafunzi aweze kusoma
sentensi rahisi
• Mwanafunzi aweze kujibu
maswali ya ufahamu

Muongozo wa kufundisha utambuzi wa sauti (Dakika 5)


Marudio:
• Waulize wanafunzi maneno ambayo huyasikia nyumbani
• Tenganisha hayo maneno katika silabi

Fundisha sauti m, a kwa kutumia muongozo ufuatao:

Ujuzi Mwalimu Mwalimu na Mazoezi ya mwanafuzi


“Ninatenda” mwanafunzi “unatenda”
“tunatenda”
Rudia sauti zote na
maneno

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 1


Utambuzi Sauti mwanzo Sasa, tuseme sauti Mwalimu aulize: Ni
wa wa neno ya mwanzo katika sauti gani ya mwanzo
Sauti [mama] ni? /m/ neno [mama] mnayoisikia kwenye
Sikiliza, /mmm/ Kilammoja, sauti ya neno [mama/maji/ana/
mwanzo ya neno ali] ?
[mama] ni /mmm/ • Mistari mitatu ya
(USIANDIKE) nyuma, sauti
Onesha ishara kwa ipi?
mkono kuashiria Wanafunzi watasema:
wanafunzi wajibu • Mistari mitatu ya
pamoja nawe. mbele, sauti ipi?
(sote tuseme) / Wanafunzi watasema:
Sasa, sauti ya mmm/ • Wasichana nyote,
mwanzo ya neno sauti ipi?
[maji] ni? /a/ Sasa, fundisha Wanafunzi watasema:
Sikiliza, /mmm/ sauti ya mwanzo ya • Wavulana nyote,
neno [maji] kama sauti ipi?
Sauti mwanzo ulivyofanya kwa Wanafunzi
ya neno [ana] [mama] watasema:
ni? /a/ Sikiliza, / • Upande wangu
aaa/ Sasa, tuseme sauti wa kulia, sauti ipi?
ya mwanzo neno (mwalimu aelekeze
[ana] mkono upande wa kulia)
Kilammoja, sauti ya Wanafunzi watasema:
mwanzo ya neno • Upande wangu
[ana] ni /aaa/ wa kushoto, sauti ipi?
(mwalimu aelekeze
mkono upande wa
Onesha ishara kwa kushoto)
mkono kuashiria Wanafunzi watasema:
wanafunzi wajibu • Nyote kwa pamoja,
Sasa, sauti ya pamoja nawe. sauti ipi?
mwanzo ya (sote tuseme) / Wanafunzi
neno [ali] ni? /a/ aaa/ watasema:
Sikiliza, /aaa/
Sasa, fundisha
sauti ya mwanzo
ya neno [ali] kama
ulivyofanya kwa
[ana]

2 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


Mazoezi ya utambuzi wa sauti
Mchezo wa sauti:
• Waambie wanafunzi wainamishe vichwa vyao juu ya deski wakati wa
mchezo huu wa sauti.
• Waambie wanafunzi waoneshe dole gumba juu wanaposikia sauti /m/
na dole gumba chini wasipoisikia sauti hiyo mwanzoni mwa maneno
yafuatayo: (USIYAANDIKE) [mama, ana, maji, mawe, saa, ali, ama]
Fanya hivyo pia kwa sauti /a/ watakapoisikia mwanzoni mwa neno.
Maana yake “Ndiyo” Maana yake “hapana”
• Ita mwanafunzi mmoja mmoja aseme neno linaloanza na sauti /m/.
• Ita mwanafunzi mmoja mmoja aseme neno linaloanza na sauti /a/.
• Sahihisha makosa

Maelekezo ya kufundisha utambuzi wa sauti ya herufi (Dakika 3-4)

Marudio:
• Andika herufi ubaoni au tumia kadi za herufi. Waambie: TIZAMA
MAANDISHI.
• Waoneshe wanafunzi kadi za herufi m kisha waulize hizo ni herufi gani
• Fanya hivyo kwa herufi a
• Waulize wanafunzi kadhaa kuhakikisha kila mmoja amefahamu majina ya
herufi.
Fundisha majina ya herufi m, a kutumia muongozo ufuatao:

Mwanafunzi:
“Unatenda”
Sasa zamu yenu.
Darasa hii ni herufi?
(Onesha herufi ‘a, m’)
• Mistari
mitatu ya
nyuma, sauti
ipi?
Wanafunzi
watasema:
• Mistari
mitatu ya
mbele, sauti
ipi?

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 3


Wanafunzi watasema:
• Wasichana
nyote, sauti
Herufi m inaunda sauti ipi? Wanafunzi
gani, sote kwa pamoja? watasema:
Onesha ishara kwa • Wavulana
mkono kuashiria nyote, sauti ipi?
Hii ni herufi m. wanafunzi wajibu Wanafunzi watasema:
Onesha wanafunzi pamoja nawe. (sote • Upande wangu
Msingi wa
herufi m. Herufi tuseme) /mmm/ wa kulia, sauti
kialfabeti
m inaunda sauti / ipi? (mwalimu
mmm/. Sasa, kilammoja: Hii aelekeze mkono
Uhusiano wa
ni herufi a. (Onesha upande wa kulia)
Sauti na herufi
Onesha wanafunzi wanafunzi herufi a). Wanafunzi watasema:
a. Herufi a inaunda Herufi a inaunda sauti • Upande wangu
(ANDIKA)
sauti /aaa/. gani, sote kwa pamoja? wa kushoto,
Onesha ishara kwa sauti ipi?
mkono kuashiria (mwalimu
wanafunzi wajibu aelekeze mkono
pamoja nawe. (sote upande wa
tuseme) /aaa/ kushoto)
Wanafunzi watasema:
• Nyote kwa
pamoja, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:

 Mazoezi ya sauti ya herufi na ufasaha (4-5 dakika): MAZOEZI


• Chukua kadi zenye herufi: m, a (AU andika herufi hizo ubaoni).
• Wakumbushe wanafunzi jina la kila herufi kisha onesha moja baada ya
nyingine huku ukiwataka wanyooshe mkono kama wanajua majina ya
herufi hizo.
(Tumia sekunde 30 au zaidi kwa kazi hii)
• Tamka sauti ya herufi m
• Waambie wanafunzi wanyooshe mkono kama wanaweza kutaja jina la
herufi linalounda sauti hiyo. Fanya hivyo kwa herufi a.
• Waulize wanafunzi kama wanaweza kusoma neno kwa kulitamka.
Onesha neno; [mama, maji, ana, ali] ubaoni kisha sema “Tizama
maandishi”.
• Waoneshe namna ya kutamka neno sauti katika neno mama na ama
(Ninatenda, Tunatenda, Unatenda). /m/ / a/ /m//a/, /a/ /m/ /a/

4 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


•  nganisha sauti kisha sema neno [mama]. Fanya hivyo kwa neno
U
[ama]
• Waambie wanafunzi wanyooshe mkono kama wanaweza kusema sauti
zilizopo katika neno [mama, ama], kisha watamke neno lote [mama,
ama]
• Chagua wanafunzi kadhaa kutamka neno hilo.
• Sahihisha makosa.
• Onesha neno kisha tamka sauti zinazounda neno hilo
• Onesha neno kisha waambie wanafunzi walitamke. (Mnatenda).
• Onesha kila herufi kisha tamka pamoja na wanafunzi. Sauti ya mwanzo
katika neno [mama] ni /mmm/, inayofuata /aaa/, inayofuata /mmm/,
ya mwisho /aaa/. Neno gani hilo? [mama]. Neno hilo ni [mama].
• Sasa zamu yenu. Ni neno gani? [mama]
• Waambie wanafunzi waandike herufi mpya, silabi na maneno
ambayo yamefundishwa katika kipindi hiki. (Ninatenda, Tunatenda,
Unatenda)

Sentensi rahisi:
Mama anapika.
• Waoneshe wanafunzi kila herufi za sauti na utamke [Mama anapika].
• Waambie wanafunzi wasome sentensi kwa sauti

Msamiati: (Dakika 4-5)


RUDIA MANENO; [mama]

Rejea neno la hakiba:


• Andika neno [mama] ubaoni.
• Wakumbushe wanafunzi kuwa neno hili limekwisha fundishwa. Waambie
walitumie katika sentensi kwa usahihi
Neno jipya [anapika]:
• Waambie wanafunzi kuwa neno jipya lililotumiwa sana ni anapika
• Waoneshe kadi ya neno au liandike ubaoni.
• Waambie wanafunzi wasome neno pamoja na wewe.

Mchezo wa kujenga ufasaha kutumia maneno; [mama, ama, maa, amaa]


• Waeleze wanafunzi wanyooshe mkono wanapoona neno
wanalolitambua katika kadi utakayoonesha (au onesha maneno hayo
ubaoni)
Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 5
•  aambie kuwa utaonesha kila kadi (au utaonesha ubaoni) kwa haraka,
W
kwa hiyo waharakishe kunyoosha mkono pindi wanapoona neno
wanalolitambua
• Chagua mwanafunzi aliyenyoosha mkono asome neno husika.

Ufahamu wa kusikiliza (Dakika 10):


Wasomee hadithi ifuatayo.
ANGALIZO: Msamiati na maneno rejea yamekozeshwa na yamepigiwa mstari.
Yaandike maneno ubaoni. Unapofikia msamiati wakati wa Mwanafunzi aweze
kujibu maswali ya ufahamu , tulia kwa muda kisha onesha msamiati huo ubaoni

Ufahamu
Mama yangu anaitwa Ana. Anapenda kupika wali. Sisi tunapenda wali.

Maswali ya Ufahamu:
• Mama anaitwa nani?
• Mama anapenda kupika nini?
• Kwa nini watoto wanapenda wali?

Mazoezi:
Waambie wanafunzi watafute maneno yanayoanza na sauti /m/ na /a/

6 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


Weka alama ya vyema baada ya kufundisha
2.0 Kufundisha sauti mM na aA
Wiki ya 1: Siku ya 2

Tarehe: _____________________
Muongozo wa ufundishaji: Tumia
jina la herufi/sauti ya herufi katika
muongozo huu ili kufundisha majina
na sauti za herufi husika
Malengo: Zana:
• Mwanafunzi aweze kutamka • Kadi za herufi a, m
sauti na jina la herufi sauti na • Kadi za herufi kwa ajili ya marudio
jina la herufi a, m kwa kutumia • Kadi za maneno
muongozo ufuatao • Andika neno [mama] ubaoni
• Kufanya mazoezi ya kusoma • Kadi za sentensi
kwa kutumia kadi za herufi, • Hadithi au Nyimbo
kadi za maneno na kadi za • Kitini cha mazoezi kwa mwanafunzi
sentensi
• Mwanafunzi aweze kusoma
sentensi rahisi
• Mwanafunzi aweze kujibu
maswali ya ufahamu

Muongozo wa kufundisha utambuzi wa sauti (Dakika 5)

Marudio:
• Rudia sauti zilizofundishwa katika wiki hiyo: /m/,/a/
• Waulize wanafunzi sauti ipi wanayoisikia mwanzoni mwa kila neno
lililofundishwa katika somo lililopo ita (Usiandike Maneno). [maa, ama,
mama]

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 7


Fundisha sauti a, m kwa kutumia muongozo ufuatao:

Ujuzi Mwalimu Mwalimu na Mazoezi ya


“Ninatenda” Mwanafunzi mwanafuzi
“tunatenda” “unatenda”
Sauti mwanzo ya Rudia sauti zote na
neno [apa] ni? /a/ maneno Mwalimu aulize:
Sikiliza, /aaa/ Ni sauti gani ya
Sasa, tuseme sauti mwanzo mnayoisikia
ya mwanzo ya neno kwenye neno [apa/
Sasa, sauti ya [apa] aga/mawe/mate]?
mwanzo ya neno Kilammoja, sauti ya
[aga] ni? /a/ Sikiliza, / mwanzo ya neno • Mistari
aaa/ [apa] ni /aaa/ mitatu ya
Onesha ishara kwa nyuma, sauti
mkono kuashiria ipi?
Sauti mwanzo ya wanafunzi wajibu Wanafunzi
neno [mawe] ni? /m/ pamoja nawe. (sote watasema:
Sikiliza, /mm/ tuseme) /aaa/ • Mistari
mitatu ya
Sasa, fundisha mbele, sauti
sauti ya mwanzo ya ipi?
neno [aga] kama Wanafunzi
ulivyofanya kwa watasema:
[apa] Wasichana nyote,
sauti ipi?
Sasa, tuseme sauti Wanafunzi
ya mwanzo ya neno watasema:
[mawe] Wavulana nyote,
Kilammoja, sauti ya sauti ipi?
mwanzo ya neno Wanafunzi
[mawe] ni /mmm/ watasema:
• Upande
Onesha ishara kwa wangu
mkono kuashiria wa kulia,
wanafunzi wajibu sauti ipi?
pamoja nawe. (sote (mwalimu
tuseme) /mmm/ aelekeze
mkono
upande wa
kulia)
Wanafunzi
watasema:

8 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


Utambuzi wa Sasa, sauti ya • Upande
Sauti mwanzo ya neno wangu wa
[mate] ni? /m/ Sasa, fundisha kushoto,
Sikiliza, /mmm/ sauti ya mwanzo ya sauti ipi?
neno [mate] kama (mwalimu
(USIANDIKE) ulivyofanya kwa aelekeze
[mawe] mkono
upande wa
kushoto)
Wanafunzi
watasema:
• Nyote kwa
pamoja,
sauti ipi?
Wanafunzi
watasema:

Mazoezi ya utambuzi wa sauti

Mchezo wa sauti:
• Waambie wanafunzi wainamishe vichwa vyao juu ya deski wakati wa
mchezo huu wa sauti.
• Waambie wanafunzi waoneshe dole gumba juu wanaposikia sauti /m/
na dole gumba chini wasipoisikia sauti hiyo mwanzoni mwa maneno
yafuatayo: (USIYAANDIKE) [mama, asante, maji, mawe, saa, ana, ama].
Fanya hivyo pia kwa sauti /a/ watakapoisikia mwanzo mwa neno.
• Ita mwanafunzi mmoja mmoja aseme neno linaloanza na sauti /m/.
• Ita mwanafunzi mmoja mmoja aseme neno linaloanza na sauti /a/.
• Sahihisha makosa

Maelekezo ya kufundisha utambuzi wa sauti ya herufi (Dakika 3-4)

Marudio:
• Andika herufi ubaoni au tumia kadi za herufi. Waambie: TIZAMA
MAANDISHI.
• Waoneshe wanafunzi kadi ya herufi m kisha waulize hiyo ni herufi gani
• Fanya hivyo kwa herufi a
• Waulize wanafunzi kadhaa kuhakikisha kila mmoja amefahamu majina ya
herufi.

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 9


Fundisha majina ya herufi a, m kwa kutumia muongozo ufuatao.

Msingi wa Mwalimu: Mwalimu na Mwanafunzi


kialfabeti “Ninatenda” mwanafunzi: “Unatenda”
TIZAMA “Tunatenda” Sasa zamu yenu.
Uhusiano wa MAANDISHI. Darasa hii ni herufi?
Sauti na herufi TIZAMA (Onesha herufi ‘a,
Hii ni herufi a. MAANDISHI. m’)
(ANDIKA) Onesha wanafunzi Sasa, kila mmoja: • Mistari
herufi a. Herufi Hii ni herufi mitatu ya
a inaunda sauti / a. (Onesha nyuma,
aaa/. wanafunzi sauti ipi?
herufi a) Herufi Wanafunzi
a inaunda sauti watasema:
Onesha wanafunzi gani? sote kwa • Mistari
m. Herufi m pamoja. mitatu ya
inaunda sauti / Onesha ishara mbele,
mmm/. kwa mkono sauti ipi?
kuashiria Wanafunzi
wanafunzi wajibu watasema:
pamoja nawe. • Wasichana
(sote tuseme) / nyote,
aaa/ sauti ipi?
Wanafunzi
watasema:
Sasa, kilammoja: • Wavulana
Hii ni herufi nyote,
m. (Onesha sauti ipi?
wanafunzi herufi Wanafunzi
m). Herufi m watasema:
inaunda sauti • Upande
gani, sote kwa wangu
pamoja? wa kulia,
Onesha ishara sauti ipi?
kwa mkono (mwalimu
kuashiria aelekeze
wanafunzi wajibu mkono
pamoja nawe. upande wa
(sote tuseme) / kulia)
mmm/

10 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


Wanafunzi
watasema:
• Upande
wangu wa
kushoto,
sauti ipi?
(mwalimu
aelekeze
mkono
upande wa
kushoto)
Wanafunzi
watasema:
• Nyote kwa
pamoja,
sauti ipi?
Wanafunzi
watasema:

 Mazoezi ya sauti ya herufi na ufasaha (4-5 dakika): MAZOEZI


• Chukua kadi zenye herufi: m, a, (AU andika herufi hizo ubaoni).
• Wakumbushe wanafunzi jina la kila herufi kisha onesha moja baada ya
nyingine huku ukiwataka wanyooshe mkono kama wanajua majina ya
herufi hizo.
(Tumia sekunde 30 au zaidi kwa kazi hii)
• Tamka sauti ya herufi a
• Waambie wanafunzi wanyooshe mkono ” kama wanaweza kutaja
jina la herufi linalounda sauti hiyo. Fanya hivyo kwa herufi m.
• Waulize wanafunzi kama wanaweza kusoma neno kwa kulitamka.
Onesha maneno; [ama, mama] ubaoni kisha sema “Tizama
maandishi”.
• Waoneshe namna ya kutamka neno (Ninatenda, Tunatenda,
Mnatenda). /a/ /m/ /a/, /m/ /a/ /m/ /a/.
• Unganisha sauti kisha sema neno [ama].
• Waambie wanafunzi wanyooshe mkono kama wanaweza kusema
sauti zilizopo katika neno [ama], kisha watamke neno lote.
• Chagua wanafunzi kadhaa kutamka neno hilo.
• Sahihisha makosa.
• Onesha neno kisha tamka sauti zinazounda neno

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 11


• Onesha neno kisha waambie wanafunzi walitamke. (Mnatenda).
• Onesha kila herufi kisha tamka pamoja na wanafunzi. Sauti ya mwanzo
katika neno [ama] ni /aaa/, inayofuata /m/, ya mwisho /aaa/. Neno
gani hilo? [ama]. Neno hilo ni [ama].
• Sasa zamu yenu. Ni neno gani? [ama]
• Waambie wanafunzi waandike herufi mpya, silabi na maneno
ambayo yamefundishwa katika kipindi hiki. (Ninatenda, Tunatenda,
Unatenda)

Sentensi rahisi:
Mama anapika.
• Waoneshe wanafunzi kila herufi za sauti na utamke [Mama anapika].
• Waambie wanafunzi wasome sentensi kwa sauti

Msamiati: (Dakika 4-5)


RUDIA NENO; [ama]

Rejea neno la hakiba:


• Andika neno [mama] ubaoni.
• Wakumbushe wanafunzi kuwa neno hili limekwisha fundishwa.
Waambie walitumie katika sentensi kwa usahihi

Neno jipya [anapika]:


• Waambie wanafunzi kuwa neno jipya lililotumiwa sana ni anapika
• Waoneshe kadi ya neno au liandike ubaoni.
• Waambie wanafunzi wasome neno pamoja na wewe.

Mchezo wa kujenga ufasaha kutumia maneno; [mama, ama, maa, amaa]


• Waeleze wanafunzi wanyooshe mkono wanapoona neno
wanalolitambua katika kadi utakayoonesha (au onesha maneno hayo
ubaoni)
• Waambie kuwa utaonesha kila kadi (au utaonesha ubaoni) kwa
haraka, kwa hiyo waharakishe kunyoosha mkono pindi wanapoona
neno wanalolitambua
• Chagua mwanafunzi aliyenyoosha mkono asome neno husika.

Ufahamu wa kusikiliza (Dakika 10):


Wasomee hadithi ifuatayo. ANGALIZO: Msamiati na maneno rejea yamekozeshwa

12 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


na yamepigiwa mstari.Yaandike maneno ubaoni. Unapofikia msamiati wakati wa
Mwanafunzi aweze kujibu maswali ya ufahamu, tulia kwa muda kisha onesha
msamiati huo ubaoni.

Ufahamu:
Mama yangu anaitwa Ama
Anapenda kupika wali
Sisi tunapenda wali

Maswali ya Ufahamu:
• Mama anaitwa nani?
• Mama anapenda kupika nini?
• Kwa nini watoto wanapenda wali?

Weka alama ya vyema baada ya kufundisha


3.0 Kufundisha sauti M, a
Wiki ya 1: Siku ya 3

Tarehe: _____________________
Muongozo wa ufundishaji: Tumia jina la
herufi/sauti ya herufi katika muongozo
huu ili kufundisha majina na sauti za herufi
Zana:
husika
• Kadi za herufi M, a
Malengo:
• Kadi za herufi kwa ajili ya
• Mwanafunzi aweze kutamka sauti
marudio
na jina la herufi sauti na jina la
• Kadi za maneno
herufi M, a kwa kutumia muongozo
• Andika neno [mama] ubaoni
ufuatao
• Kadi za sentensi
• Mwanafunzi aweze kufanya
• Hadithi au Nyimbo
mazoezi ya kusoma kwa kutumia
• Kitini cha mazoezi kwa
kadi za herufi, maneno na sentensi
mwanafunzi
• Mwanafunzi aweze kusoma
sentensi rahisi
• Mwanafunzi aweze kujibu maswali
ya ufahamu

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 13


Muongozo wa kufundisha utambuzi wa sauti (Dakika 5)

Marudio:
• Rudia sauti zilizofundishwa katika wiki hiyo: /a/,/m/
• Waulize wanafunzi sauti ipi wanayoisikia mwanzoni mwa kila neno
lililofundishwa katika somo lililopita (Usiandike Maneno). [ma, mama,
mama]

Fundisha sauti M, a kwa kutumia muongozo ufuatao:

Ujuzi Mwalimu Mwalimu na Mazoezi ya mwanafuzi


“Ninatenda” Mwanafunzi “unatenda”
“tunatenda”
Rudia sauti zote na
maneno
Sauti mwanzo Mwalimu aulize: Ni sauti
ya neno [mama] Sasa, tuseme sauti gani ya mwanzo mnayoisikia
Utambuzi ni? /m/ Sikiliza, / ya mwanzo neno kwenye neno [mama/maji/
wa mmm/ [mama] ana/ ali]?
Sauti • Mistari mitatu ya
Kila mmoja, sauti nyuma, sauti ipi?
(USIANDIKE) ya mwanzo ya neno Wanafunzi watasema:
[mama] ni /mmm/ • Mistari mitatu ya
mbele, sauti ipi?
Onesha ishara kwa Wanafunzi watasema:
mkono kuashiria • Wasichana nyote,
wanafunzi wajibu sauti ipi?
pamoja nawe. (sote
tuseme) /mmm/ Wanafunzi watasema:
• Wavulana nyote, sauti
Sasa, fundisha ipi?
sauti ya mwanzo ya
neno [maji] kama Wanafunzi watasema:
ulivyofanya kwa • Upande wangu
[mama] wa kulia, sauti ipi?
Sasa, tuseme sauti (mwalimu aelekeze
ya mwanzo neno mkono upande wa
[ana] kulia)

Kilammoja, sauti ya
mwanzo ya neno
[ana] ni /aaa/

14 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


Sasa, sauti ya Onesha ishara kwa Wanafunzi watasema:
mwanzo ya neno mkono kuashiria • Upande wangu wa
[maji] ni? /m/ wanafunzi wajibu kushoto, sauti ipi?
Sikiliza, /mmm/ pamoja nawe. (sote (mwalimu aelekeze
tuseme) /aaa/ mkono upande wa
Sauti mwanzo kushoto)
ya neno [ana] Sasa, fundisha
ni? /n/ Sikiliza, / sauti ya mwanzo Wanafunzi watasema:
aaa/ ya neno [ali] kama • Nyote kwa pamoja,
ulivyofanya kwa sauti ipi?
Sasa, sauti ya [ana]
mwanzo ya Wanafunzi watasema:
neno [ali] ni? /a/
Sikiliza, /aaa/

Mazoezi ya utambuzi wa sauti


Mchezo wa sauti:
• Waambie wanafunzi wainamishe vichwa vyao juu ya deski wakati wa
mchezo huu wa sauti.
• Waambie wanafunzi waoneshe dole gumba juu wanaposikia sauti /m/
na dole gumba chini wasipoisikia sauti hiyo mwanzoni mwa maneno
yafuatayo: (USIYAANDIKE) [mama, mama, ali, maji, mawe, saa, aga, ama].
• Fanya hivyo pia kwa sauti /a/ watakapoisikia mwanzoni mwa neno.
Maana yake “Ndiyo” Maana yake “hapana”
• Ita mwanafunzi mmoja mmoja aseme neno linaloanza na sauti /m/.
• Ita mwanafunzi mmoja mmoja aseme neno linaloanza na sauti /a/.
• Sahihisha makosa

Maelekezo ya kufundisha utambuzi wa sauti ya herufi (Dakika 3-4)


Marudio:
• Rudia herufi ulizofundisha: m, a
• Andika herufi ubaoni au tumia kadi za herufi. Waambie: TIZAMA
MAANDISHI.
• Waoneshe wanafunzi kadi ya herufi m kisha waulize hiyo ni herufi gani
• Fanya hivyo kwa herufi a
• Waulize wanafunzi kadhaa kuhakikisha kila mmoja amefahamu majina ya
herufi.

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 15


Fundisha majina ya herufi M, a kutumia muongozo ufuatao

Msingi wa Mwalimu: Mwalimu na Mwanafunzi


kialfabeti “Ninatenda” mwanafunzi: “Unatenda”
TIZAMA “Tunatenda” Sasa zamu yenu.
Uhusiano wa MAANDISHI. Darasa hii ni herufi?
Sauti na herufi TIZAMA (Onesha herufi ‘M, a’)
Hii ni herufi MAANDISHI. • Mistari mitatu
(ANDIKA) M. Onesha Sasa, kila mmoja: Hii ya nyuma,
wanafunzi ni herufi M. (Onesha sauti ipi?
herufi M. Herufi wanafunzi herufi M) Wanafunzi watasema:
M inaunda sauti Herufi M inaunda • Mistari mitatu
/mmm/. sauti gani, sote kwa ya mbele,
pamoja? sauti ipi?
Onesha ishara kwa Wanafunzi watasema:
Onesha mkono kuashiria • Wasichana
wanafunzi wanafunzi wajibu nyote, sauti
a. Herufi a pamoja nawe. (sote ipi? Wanafunzi
inaunda sauti / tuseme) /mmm/ watasema:
aaa/. • Wavulana
nyote, sauti
Sasa, kilammoja: Hii ipi?
ni herufi a. (Onesha Wanafunzi watasema:
wanafunzi herufi • Upande
a). Herufi a inaunda wangu wa
sauti gani, sote kwa kulia, sauti
pamoja? ipi? (mwalimu
Onesha ishara kwa aelekeze
mkono kuashiria mkono upande
wanafunzi wajibu wa kulia)
pamoja nawe. (sote Wanafunzi watasema:
tuseme) /aaa/ • Upande wangu wa
kushoto, sauti
ipi? (mwalimu
aelekeze
mkono upande
wa kushoto)
Wanafunzi watasema:
• Nyote kwa
pamoja, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:

Mazoezi ya sauti ya herufi na ufasaha (4-5 dakika): MAZOEZI


16 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza
• Chukua kadi zenye herufi: M, a, (AU andika herufi hizo ubaoni).
• Wakumbushe wanafunzi jina la kila herufi kisha onesha moja baada ya
nyingine huku ukiwataka wanyooshe mkono kama wanajua majina ya
herufi hizo.
(Tumia sekunde 30 au zaidi kwa kazi hii)
• Tamka sauti ya herufi M, a
• Waambie wanafunzi wanyooshe mkono ” kama wanaweza kutaja jina la
herufi linalounda sauti hiyo. Fanya hivyo kwa herufi a.
• Waulize wanafunzi kama wanaweza kusoma neno kwa kulitamka. Onesha
maneno; [ama, Mama, Maa] ubaoni kisha sema “Tizama maandishi”.
• Waoneshe namna ya kutamka neno (Ninatenda, Tunatenda, Mnatenda).
/m/ /a/ /m/ /a/,
• Unganisha sauti kisha sema neno [Mama, ama, Maa].
• Waambie wanafunzi wanyooshe mkono kama wanaweza kusema sauti
zilizopo katika neno [mama] , kisha watamke neno lote.
• Chagua wanafunzi kadhaa kutamka neno hilo.
• Sahihisha makosa.
• Onesha neno kisha tamka sauti zinazounda neno
• Onesha neno kisha waambie wanafunzi walitamke. (Mnatenda).
• Onesha kila herufi kisha tamka pamoja na wanafunzi. Sauti ya mwanzo
katika neno [mama] ni /mmm/, inayofuata /aaa/, inayofuata /mmm/, ya
mwisho /aaa/. Neno gani hilo? [mama]. Neno hilo ni [mama].
• Sasa zamu yenu. Ni neno gani? [mama]
• Waambie wanafunzi waandike herufi mpya, silabi na maneno ambayo
yamefundishwa katika kipindi hiki. (Ninatenda, Tunatenda, Unatenda)

Sentensi rahisi:
• Mama anapika.
• Waoneshe wanafunzi kila herufi za sauti na utamke [Mama anapika].
• Waambie wanafunzi wasome sentensi kwa sauti

Msamiati: (Dakika 4-5)


RUDIA NENO; [ama]

Rejea neno la hakiba:


• Andika neno [Mama] ubaoni.
• Wakumbushe wanafunzi kuwa neno hili limekwisha fundishwa.
• Waambie walitumie katika sentensi kwa usahihi

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 17


Neno jipya [anapika]:
• Waambie wanafunzi kuwa neno jipya lililotumiwa sana ni anapika
• Waoneshe kadi ya neno au liandike ubaoni.
• Waambie wanafunzi wasome neno pamoja na wewe.

Mchezo wa kujenga ufasaha kutumia maneno; [Mama, ama, Maa, amaa]


• Waeleze wanafunzi wanyooshe mkono wanapoona neno wanalolitambua
katika kadi utakayoonesha (au onesha maneno hayo ubaoni)
• Waambie kuwa utaonesha kila kadi (au utaonesha ubaoni) kwa haraka,
kwa hiyo waharakishe kunyoosha mkono pindi wanapoona neno
wanalolitambua
• Chagua mwanafunzi aliyenyoosha mkono asome neno husika.

Ufahamu wa kusikiliza (Dakika 10):


Wasomee hadithi ifuatayo. ANGALIZO: Msamiati na maneno rejea yamekozeshwa
na yamepigiwa mstari.Yaandike maneno ubaoni. Unapofikia msamiati wakati wa
Mwanafunzi aweze kujibu maswali ya ufahamu , tulia kwa muda kisha onesha
msamiati huo ubaoni.

Ufahamu
Mama yangu anaitwa Ana
• Anapenda kupika wali
• Sisi tunapenda wali

Maswali ya Ufahamu:
• Mama anaitwa nani?
• Mama anapenda kupika nini?
• Kwa nini watoto wanapenda wali?

18 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


Weka alama ya vyema baada ya kufundisha
4.0 Kufundisha sauti A, m
Wiki ya 1: Siku ya 4

Tarehe: _____________________
Muongozo wa ufundishaji: Tumia jina la
herufi/sauti ya herufi katika muongozo
huu ili kufundisha majina na sauti za herufi
Zana:
husika
• Kadi za herufi A, m
Malengo:
• Kadi za herufi kwa ajili ya
• Mwanafunzi aweze kutamka sauti
marudio
na jina la herufi sauti na jina la
• Kadi za maneno
herufi A, m kwa kutumia muongozo
• Andika neno [Apa] ubaoni
ufuatao
• Kadi za sentensi
• Mwanafunzi aweze kufanya
• Hadithi au Nyimbo
mazoezi ya kusoma kwa kutumia
• Kitini cha mazoezi kwa
kadi za herufi, maneno na sentensi
mwanafunzi
• Mwanafunzi aweze kusoma
sentensi rahisi
• Mwanafunzi aweze kujibu maswali
ya ufahamu

Muongozo wa kufundisha utambuzi wa sauti (Dakika 5)

Marudio:
• Rudia sauti zilizofundishwa katika wiki hiyo: /m/,/a/
• Waulize wanafunzi sauti ipi wanayoisikia mwanzoni mwa kila neno
lililofundishwa katika somo lililopita (Usiandike Maneno). [mawe, aga,
maji, maam, apa]

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 19


Fundisha sauti A kwa kutumia muongozo ufuatao:

Ujuzi Mwalimu Mwalimu na Mazoezi ya


“Ninatenda” Mwanafunzi mwanafuzi
“tunatenda” “unatenda”

Rudia sauti zote na Mwalimu aulize: Ni


Sauti mwanzo ya maneno sauti gani ya mwanzo
neno [ana] ni? /a/ mnayoisikia kwenye
Sikiliza, /aaa/ Sasa, tuseme sauti neno [ana/ama/
ya mwanzo neno mama/maji]?
[ana]
Sasa, sauti ya Kilammoja, sauti ya • Mistari mitatu
mwanzo ya neno mwanzo ya neno ya nyuma,
[ama] ni? /a/ [ana] ni /aaa/ sauti ipi?
Sikiliza, /aaa/ Onesha ishara kwa Wanafunzi watasema:
mkono kuashiria • Mistari mitatu
wanafunzi wajibu ya mbele,
pamoja nawe (Haya sauti ipi?
sote tuseme) /aaa/ Wanafunzi watasema:
• Wasichana nyote,
Sasa, tuseme sauti sauti ipi?
ya mwanzo ya neno Wanafunzi watasema:
[ama] Kilammoja, • Wavulana nyote,
sauti ya mwanzo ya sauti ipi?
neno [ama] ni / Wanafunzi watasema:
• Upande
aaaa/ Onesha wangu wa
ishara kwa mkono kulia, sauti
kuashiria wanafunzi ipi? (mwalimu
wajibu aelekeze
mkono upande
wa kulia)
Wanafunzi watasema:

20 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


Utambuzi Sauti ya mwanzo pamoja nawe. (Haya • Upande
wa ya neno [mama] sote tuseme) / wangu wa
Sauti ni? /m/ Sikiliza, / aaaa/ kushoto, sauti
mmm/ ipi? (mwalimu
Sasa, tuseme sauti aelekeze
ya mwanzo neno mkono upande
(USIANDIKE) [mama] wa kushoto)
Wanafunzi watasema:
Kila mmoja, sauti • Nyote kwa
ya mwanzo ya neno pamoja, sauti
Sasa, sauti ya [mama] ni /m/ ipi?
mwanzo ya neno Onesha ishara kwa Wanafunzi watasema:
[maji] ni? /a/ mkono kuashiria
Sikiliza, /aaa/ wanafunzi wajibu
pamoja nawe (Haya
sote tuseme) /
mmm/
Sasa, fundisha
sauti ya mwanzo ya
neno [maji] kama
ulivyofanya kwa
[mama]

Mazoezi ya utambuzi wa sauti


Mchezo wa sauti:
• Waambie wanafunzi wainamishe vichwa vyao juu ya deski wakati wa
mchezo huu wa sauti.
• Waambie wanafunzi waoneshe dole gumba juu wanaposikia sauti /m/
na dole gumba chini wasipoisikia sauti hiyo mwanzoni mwa maneno
yafuatayo: (USIYAANDIKE) [aga, mama, apa, maji, mawe, saa, ana, ama]
Fanya hivyo pia kwa sauti /a/ watakapoisikia mwanzoni mwa neno.
Maana yake “Ndiyo” Maana yake “hapana”
• Ita mwanafunzi mmoja mmoja aseme neno linaloanza na sauti /m/.
• Ita mwanafunzi mmoja mmoja aseme neno linaloanza na sauti /a/.
• Sahihisha makosa

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 21


Maelekezo ya kufundisha utambuzi wa sauti ya herufi (Dakika 3-4)
Marudio:
• Rudia herufi ulizofundisha: M, a
• Andika herufi ubaoni au tumia kadi za herufi. Waambie: TIZAMA
MAANDISHI.
• Waoneshe wanafunzi kadi ya herufi M kisha waulize hiyo ni herufi gani
• Fanya hivyo kwa herufi a
• Waulize wanafunzi kadhaa kuhakikisha kila mmoja amefahamu majina ya
herufi.

Fundisha majina ya herufi A, m kutumia muongozo ufuatao:

Msingi wa Mwalimu: Mwalimu na Mwanafunzi


kialfabeti “Ninatenda” mwanafunzi: “Unatenda”
TIZAMA “Tunatenda”
Uhusiano MAANDISHI. Sasa zamu yenu.
wa Sauti na TIZAMA Darasa hii ni herufi?
herufi Hii ni herufi A. MAANDISHI. (Onesha herufi A, m)
Onesha wanafunzi Sasa, kila mmoja: • Mistari
(ANDIKA) herufi A. Herufi Hii ni herufi mitatu ya
A inaunda sauti / A. (Onesha nyuma, sauti
aaa/. wanafunzi herufi ipi?
A) Herufi A
Hii ni herufi m. inaunda sauti gani, Wanafunzi watasema:
Onesha wanafunzi sote kwa pamoja? • Mistari
herufi m. Herufi Onesha ishara kwa mitatu ya
minaunda sauti / mkono kuashiria mbele, sauti
mmm/. wanafunzi wajibu ipi?
pamoja nawe.
(sote tuseme) / Wanafunzi watasema:
aaa/ • Wasichana
Sasa, kila mmoja: nyote, sauti
Hii ni herufi ipi?
m. (Onesha Wanafunzi watasema:
wanafunzi herufi • Wavulana
m) nyote, sauti
Herufi m inaunda ipi?
sauti gani, sote kwa
pamoja?

22 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


Onesha ishara kwa Wanafunzi watasema:
mkono kuashiria • Upande
wanafunzi wajibu wangu wa
pamoja nawe. kulia, sauti
(sote tuseme) / ipi? (mwalimu
mmm/ aelekeze
mkono upande
wa kulia)
Wanafunzi watasema:
• Upande
wangu wa
kushoto, sauti
ipi? (mwalimu
aelekeze
mkono upande
wa kushoto)
Wanafunzi watasema:
• Nyote kwa
pamoja, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:

Mazoezi ya sauti ya herufi na ufasaha (4-5 dakika): MAZOEZI


• Chukua kadi zenye herufi: A, m, (AU andika herufi hizo ubaoni).
• Wakumbushe wanafunzi jina la kila herufi kisha onesha moja baada ya
nyingine huku ukiwataka wanyooshe mkono kama wanajua majina ya
herufi hizo.
(Tumia sekunde 30 au zaidi kwa kazi hii)
• Tamka sauti ya herufi A
• Waambie wanafunzi wanyooshe mkono ” kama wanaweza kutaja jina la
herufi linalounda sauti hiyo. Fanya hivyo kwa herufi m
• Waulize wanafunzi kama wanaweza kusoma neno kwa kulitamka. Onesha
neno [Ama, mama] ubaoni kisha sema “Tizama maandishi”.
• Waoneshe namna ya kutamka neno (Ninatenda, Tunatenda, Unatenda).
/a/ /m/ /a/
• Unganisha sauti kisha sema neno [ama].
• Waambie wanafunzi wanyooshe mkono kama wanaweza kusema sauti
zilizopo katika neno [ama], kisha tamka neno lote
• Chagua wanafunzi kadhaa kutamka neno hilo.
• Sahihisha makosa.
Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 23
• Onesha neno kisha tamka sauti zinazounda neno
• Onesha neno kisha waambie wanafunzi walitamke. (Mnatenda).
• Onesha kila herufi kisha watamke pamoja na wanafunzi. Sauti ya mwanzo
katika neno [Ama] ni /aaa/, inayofuata /mmm/, ya mwisho /aaa/. Neno
gani hilo? [Ama]. Neno hilo ni [Ama].
• Sasa zamu yenu. Ni neno gani? [Ama]
• Waambie wanafunzi waandike herufi mpya, silabi na maneno ambayo
yamefundishwa katika kipindi hiki. (Ninatenda, Tunatenda, Unatenda)

Sentensi rahisi:
Mama anaitwa Ama.
• Waoneshe wanafunzi kila herufi za sauti na utamke [Mama anaitwa Ama.]
• Waambie wanafunzi wasome sentensi kwa sauti

Msamiati: (Dakika 4-5)


RUDIA MANENO; [Ama]

Rejea neno la hakiba:


• Andika neno [mama] ubaoni.
• Wakumbushe wanafunzi kuwa neno hili limekwisha fundishwa.
• Waambie walitumie katika sentensi kwa usahihi

Neno jipya [anaitwa]:


• Waambie wanafunzi kuwa neno jipya lililotumiwa sana ni anaitwa
• Waoneshe kadi ya neno au liandike ubaoni.
• Waambie wanafunzi wasome neno pamoja na wewe.
Mchezo wa kujenga ufasaha kutumia maneno; [mama, Ama, maa, Ana]
• Waeleze wanafunzi wanyooshe mkono wanapoona neno wanalolitambua
katika kadi utakayoonesha (au onesha maneno hayo ubaoni)
• Waambie kuwa utaonesha kila kadi (au utaonesha ubaoni) kwa haraka
, kwa hiyo waharakishe kunyoosha mkono pindi wanapoona neno
wanalolitambua
• Chagua mwanafunzi aliyenyoosha mkono asome neno husika

Ufahamu wa kusikiliza (Dakika 10):


Wasomee hadithi ifuatayo. ANGALIZO: Msamiati na maneno rejea yamekozeshwa
na yamepigiwa mstari.Yaandike maneno ubaoni. Unapofikia msamiati wakati wa
Mwanafunzi aweze kujibu maswali ya ufahamu , tulia kwa muda kisha onesha
msamiati huo ubaoni.
24 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza
Ufahamu:
Mama yangu anaitwa Ama
Anapenda kupika wali
sisi tunapenda wali

Maswali ya Ufahamu:
• Mama anaitwa nani?
• Mama anapenda kupika nini?
• Kwa nini watoto wanapenda wali?

Weka alama vyema baada ya kufundisha


5.0 Marudio ya herufi kubwa na ndogo
Wiki ya 1: Siku ya 5

Tarehe: _____________________
Muongozo wa ufundishaji: Tumia
Zana:
jina la herufi/sauti ya herufi katika
• Kadi za herufi mM, aA
muongozo huu ili kufundisha herufi na
• Kadi za herufi kwa ajili ya
sauti za herufi husika
marudio
• Kadi za maneno
Malengo:
• Andika neno [mama] ubaoni
• Rudia sauti ya herufi na jina la
• Kadi za sentensi
mM, aA Kutumia maelekezo ya
• Hadithi au Nyimbo
hapo chini
• Kitini cha mazoezi kwa
• Fanya mazoezi kwa kutumia
wanafunzi
kadi za herufi
• Soma sentensi zilizorahisi
• Soma hadithi

Muongozo wa kufundisha Utambuzi wa Sauti (Dakika 5)

 Marudio:
• Rudia sauti zilizofundishwa katika wiki hiyo: /m/, /a/
• Waulize wanafunzi sauti ipi wanayoisikia mwanzoni mwa kila neno
lililofundishwa katika somo lililopita (Usiandike Maneno).

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 25


Rudia sauti kwa kutumia muongozo ufuatao.

Ujuzi Mwalimu na Mazoezi ya


Mwalimu mwanafunzi mwanafunzi
“Ninatenda” “Tunatenda” “Unatenda”
Utambuzi wa Rudia sauti zote za
Sauti Mwalimu aongoze maneno Mwalimu anasema:
kutambua sauti Ni sauti ipi ya mwanzo
za mwanzo za Sasa, Tuseme sauti mnayosikia (Rejea
maneno tofauti ya mwanzo kutoka maneno ya masomo
(USIANDIKE) kutoka masomo katika maneno tofauti yaliyopita)
yaliyotangulia. tuliyojifunza somo
/m/, /a/ lililopita. /m/, /a/ • Mistari mitatu
ya nyuma, ni
sauti ipi?
Wanafunzi watasema:
• Mistari mitatu
ya mbele, ni
sauti ipi?
Wanafunzi watasema:
• Wasichana
nyote, ni sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:
• Wavulana
nyote, ni sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:
• Upande
wangu wa
kulia, sauti
ipi? (Mwalimu
aelekeze mkono
upande wa
kulia)
Wanafunzi watasema
• Upande
wangu wa
kushoto, sauti
ipi? (Mwalimu
aelekeze mkono
wa kushoto)

26 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


Wanafunzi watasema:
• Nyote kwa
pamoja, sauti
ipi?
Wanafunzi
watasema:

Mazoezi ya Utambuzi wa Sauti

Mchezo wa Sauti:
• Waambie wanafunzi wasimame wanaposikia sauti ya mwanzo ya maneno
waliyojifunza (USIYAANDIKE)
• Sahihisha makosa

Maelekezo ya kufundisha utambuzi wa sauti ya herufi (Dakika 3-4)


Marudio:
• Rudia herufi ulizofundishwa ambazo ni mM, aA
• Andika herufi ubaoni au tumia kadi za herufi. Waambie: TIZAMA MAANDISHI.
• Waulize wanafunzi ni herufi gani na waioneshe mM, aA,
• Waulize wanafunzi kadhaa kuhakikisha kila mmoja amefahamu majina ya
herufi.
• Chagua herufi kutoka katika masomo yaliyopita ili wanafunzi wayafanyie
mazoezi

Rudia majina ya herufi mM, aA kutumia muongozo ufuatao.

Msingi wa Mwalimu: Mwalimu na Mwanafunzi:


kialfabeti “Ninatenda” mwanafunzi: “Unatenda”
“Tunatenda”
Uhusiano wa Sauti TIZAMA Mwalimu
na herufi MAANDISHI. TIZAMA wagawie
Hii ni herufi mM. MAANDISHI. wanafunzi
(ANDIKA) Onesha wanafunzi Kila mmoja: Hii ni kadi za
mM. Herufi mM sauti mM. (Onesha maneno katika
inatoa sauti /mmm/. wanafunzi mM.) makundi na
Sauti mM inatoa sauti waambie
Hii ni herufi aA. gani, kila mmoja? wachague
(Onesha wanafunzi Onesha ishara kwa herufi
aA.)Herufi aA inatoa mkono kuashiria zinaashiria
sauti /aaa/. wanafunzi wajibu sauti
pamoja nawe. (sote zilizotamkwa
tuseme) /mmm/

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 27


Sasa Kila mmoja: Hii
ni herufi aA. (Onesha
wanafunzi herufi aA.)
Herufi ‘aA’ inaunda
sauti gani, kila
mmoja?
Onesha ishara kwa
mkono kuashiria
wanafunzi wajibu
pamoja nawe. (sote
tuseme) /aaa/

Mazoezi ya Sauti ya herufi na Ufasaha (Dakika 4-5): MAZOEZI


• Chukua kadi zenye herufi mM, aA (AU andika herufi hizo ubaoni).
• Wakumbushe wanafunzi jina la kila herufi kisha onesha moja baada ya
nyingine huku ukiwataka wanyooshe mkono kama wanajua majina ya
herufi hizo.
(Tumia sekunde 30 au zinazokaribiana kwa zoezi hili)
• Sema sauti ya herufi mM
• Waambie wanafunzi wanyooshe mkono kama wanaweza kusema jina la
herufi linalounda sauti hiyo. Fanya hivyo kwa Aa.
• Waulize wanafunzi kama wanaweza kusoma neno kwa kulitamka. Onesha
neno; [Mama, Ama, Maa] kwenye ubao na useme “Tizama Maandishi”.
• Waoneshe namna ya kutamka neno (Ninatenda, Tunatenda, Unatenda)
/m/ /a/ /m/ /a/, /a/ /m/ /a/
• Unganisha sauti kisha sema neno [mama].
• Waambie wanafunzi wanyooshe mkono kama wanaweza kusema sauti
zilizomo katika neno [mama], na kisha tamka neno lote
• Chagua wanafunzi kadhaa kutamka neno hilo.
• Sahihisha makosa.
• Onesha neno kisha tamka sauti zinazounda neno
• Onesha neno kisha waambie wanafunzi walitamke. [Mnatenda].
• Onesha kila herufi kasha tamka pamoja na wanafunzi. Sauti ya mwanzo
katika neno [mama] ni /mmm/, inayofuata /aaa/ inayofuata /mmm/, ya
mwisho /aaa/. Ni neno gani hilo? [mama]. Neno ni [mama].
• Sasa zamu yenu. Neno gani? [mama]
• Waambie wanafunzi waandike herufi mpya, silabi na maneno ambayo
yamefundishwa katika kipindi hicho (Ninatenda, Tunatenda, Unatenda)

28 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


Mchezo wa kujenga ufasaha kutumia maneno [mama, ama, aama, maa]
• Waeleze wanafunzi wanyooshe mkono wanpoona neno wanalolitambua
katika kadi utakayoonyesha (au onesha maneno hayo ubaoni).
• Waambie kuwa utaonesha kila kadi (au utaonesha ubaoni) kwa haraka,
kwa hiyo waharakishe kunyoosha mkono pindi wanapoona neno
wanalolitambua
• Chagua mwanafunzi aliyenyoosha mkono asome neno husika.

Msamiati: (Dakika 4-5)


Rudia neno [mama]

Ufahamu wa Kusikiliza (Dakika 10):


Wasomee hadithi ifuatayo. ANGALIZO: Msamiati na maneno rejea yamekozeshwa
na yamepigiwa mstari. Yaandike maneno ubaoni. Unapofikia msamiati wakati wa
Mwanafunzi aweze kujibu maswali ya ufahamu , tulia kwa muda kisha onesha
msamiati huo ubaoni.

Hadithi ya Kusoma kwa Sauti [Hadithi kutoka kwenye kitabu kutoka kwenye
kitabu]
• Andika hadithi kutoka kwenye kitabu ubaoni.
• Andika jina la mwandishi wa hadithi ubaoni
• Andika jina la msanifu wa michoro ubaoni.

Rejea neno la hakiba:


• Andika neno [mama] ubaoni.
• Wakumbushe wanafunzi kuwa neno hili limeshafundishwa. Waambie
walitumie katika sentensi kwa usahihi

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 29


Weka alama ya vyema baada ya kufundisha
6.0 Kufundisha sauti k
Wiki ya 2: Siku ya 1

Tarehe: _____________________
Muongozo wa ufundishaji: Tumia jina la
herufi/sauti ya herufi katika muongozo
huu ili kufundisha majina na sauti za herufi
Zana:
husika
• Kadi za herufi k
Malengo:
• Kadi za herufi kwa ajili ya
• Mwanafunzi aweze kutamka sauti
marudio
na jina la herufi sauti na jina la
• Kadi za maneno
herufi k kwa kutumia muongozo
• Andika neno [kiti] ubaoni
ufuatao
• Kadi za sentensi
• Mwanafunzi aweze kufanya
• Hadithi au nyimbo
mazoezi ya kusoma kwa kutumia
• Kitini cha mazoezi kwa
kadi za herufi, maneno na sentensi
mwanafunzi
• Mwanafunzi aweze kusoma
sentensi rahisi
• Mwanafunzi aweze kujibu maswali
ya ufahamu

Muongozo wa kufundisha utambuzi wa sauti (Dakika 5)

Marudio:
• Rudia sauti zilizofundishwa katika wiki hiyo: /a/,/m/
• Waulize wanafunzi sauti ipi wanayoisikia mwanzoni mwa kila neno
lililofundishwa katika somo lililopita (Usiandike Maneno). [maka, kama,
ama,aka, kaa, amka]

Fundisha sauti k kwa kutumia muongozo ufuatao:

Ujuzi Mwalimu Mwalimu na Mazoezi ya mwanafuzi


“Ninatenda” Mwanafunzi “unatenda”
“tunatenda”
Rudia sauti zote Mwalimu aulize: Ni
na maneno sauti gani ya mwanzo
mnayoisikia kwenye
neno [kaa, kama]?

30 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


Utambuzi Sauti mwanzo ya Sasa, tuseme sauti • Mistari mitatu ya
wa neno [kaa] ni? /k/ ya mwanzo neno nyuma, sauti ipi?
Sauti Sikiliza, /k/ [kaa] Wanafunzi watasema:
Kilammoja, sauti • Mistari mitatu ya
ya mwanzo ya mbele, sauti ipi?
neno [kaa] ni /k/ Wanafunzi watasema:
(USIANDIKE) Onesha ishara • Wasichana
kwa mkono nyote, sauti ipi?
kuashiria Wanafunzi watasema:
Sasa, sauti ya wanafunzi • Wavulana nyote,
mwanzo ya neno wajibu pamoja sauti ipi?
[kama] ni? /k/ nawe (Haya sote Wanafunzi watasema:
Sikiliza, /k/ tuseme) /k/ • Upande wangu
wa kulia, sauti
Sasa, fundisha ipi? (mwalimu
sauti za mwanzo aelekeze mkono
za neno [kama] upande wa kulia)
kama ulivyofanya Wanafunzi watasema:
kwa [kaa] • Upande wangu
wa kushoto,
sauti ipi?
(mwalimu
aelekeze mkono
upande wa
kushoto)
Wanafunzi watasema:
• Nyote kwa
pamoja, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:

Mazoezi ya utambuzi wa sauti


Mchezo wa sauti:
• Waambie wanafunzi wainamishe vichwa vyao juu ya deski wakati wa
mchezo huu wa sauti.
• Waambie wanafunzi waoneshe dole gumba juu wanaposikia sauti /k/
na dole gumba chini wasipoisikia sauti hiyo mwanzoni mwa maneno
yafuatayo: (USIYAANDIKE) [kaa, kama, amka, aka]
Maana yake “Ndiyo” Maana yake “hapana”
• Ita mwanafunzi mmoja mmoja aseme neno linaloanza na sauti /k/.
• Sahihisha makosa

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 31


Maelekezo ya kufundisha utambuzi wa sauti ya herufi (Dakika 3-4)
Marudio:
• Rudia herufi ulizofundisha: a, m, k
• Andika herufi ubaoni au tumia kadi za herufi. Waambie: TIZAMA
MAANDISHI.
• Waoneshe wanafunzi kadi ya herufi k kisha waulize hiyo ni herufi gani?
• Fanya hivyo kwa herufi zilizosalia
• Waulize wanafunzi kadhaa kuhakikisha kila mmoja amefahamu majina ya
herufi.

Fundisha majina ya herufi k kutumia muongozo ufuatao.

Msingi wa Mwalimu: Mwalimu na Mwanafunzi


kialfabeti “Ninatenda” mwanafunzi: “Unatenda”
TIZAMA “Tunatenda”
Uhusiano wa MAANDISHI. Sasa zamu yenu. Darasa
Sauti na herufi TIZAMA hii ni herufi? (Onesha
Hii ni herufi k. MAANDISHI. herufi k)
(ANDIKA) Onesha wanafunzi Sasa, kila mmoja: • Mistari mitatu
herufi k. Herufi k Hii ni herufi ya nyuma, sauti
inaunda sauti /k/. k. (Onesha ipi?
wanafunzi Wanafunzi watasema:
herufi k) Herufi • Mistari mitatu
k inaunda sauti ya mbele, sauti
gani, sote kwa ipi?
pamoja? Wanafunzi watasema:
Onesha ishara
kwa mkono • Wasichana
kuashiria nyote, sauti
wanafunzi wajibu ipi? Wanafunzi
pamoja nawe. watasema:
(sote tuseme) /k/ • Wavulana nyote,
sauti ipi?
Wanafunzi watasema:

• Upande wangu
wa kulia, sauti
ipi? (mwalimu
aelekeze mkono
upande wa kulia)

32 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


Wanafunzi watasema:
• Upande wangu
wa kushoto,
sauti ipi?
(mwalimu
aelekeze mkono
upande wa
kushoto)

Wanafunzi watasema:
• Nyote kwa
pamoja, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:

 Mazoezi ya sauti ya herufi na ufasaha (4-5 dakika): MAZOEZI


• Chukua kadi yenye herufi: k (AU andika herufi hiyo ubaoni).
• Wakumbushe wanafunzi jina la herufi kisha ioneshe huku ukiwataka
wanyooshe mkono kama wanajua jina la herufi hiyo.
(Tumia sekunde 30 au zaidi kwa kazi hii)
• Tamka sauti ya herufi k
• Waambie wanafunzi wanyooshe mkono ” kama wanaweza kutaja jina
la herufi linalounda sauti hiyo.
• Waulize wanafunzi kama wanaweza kusoma neno kwa kulitamka.
Onesha neno [kaa] ubaoni kisha sema “Tizama maandishi”.
• Waoneshe namna ya kutamka neno (Ninatenda, Tunatenda,
Unatenda). /k/ /a/ /a/,
• Unganisha sauti kisha sema neno [kaa].
• Waambie wanafunzi wanyooshe mkono kama wanaweza kusema
sauti zilizopo katika neno [kaa], kisha watamke neno lote
• Chagua wanafunzi kadhaa kutamka neno hilo.
• Sahihisha makosa.
• Onesha neno kisha tamka sauti zinazounda neno
• Onesha neno kisha waambie wanafunzi walitamke. (Mnatenda). •
Onesha kila herufi kisha tamka pamoja na wanafunzi. Sauti ya mwanzo
katika neno [kaa] ni /k/, inayofuata /aaa/, ya mwisho /aaa/. Neno gani
hilo? [kaa]. Neno hilo ni [kaa].
• Sasa zamu yenu. Ni neno gani? [kaa]
• Waambie wanafunzi waandike herufi mpya, silabi na maneno

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 33


ambayo yamefundishwa katika kipindi hiki. (Ninatenda, Tunatenda,
Unatenda)

Sentensi rahisi:
Mama amekaa.

Mazoezi ya Kusoma Sentensi


• Waoneshe wanafunzi kila herufi za sauti na utamke [Mama amekaa].
• Waambie wanafunzi wasome sentensi kwa sauti

Nyimbo
Kambuzi meme kamlilia mama ye
Kambuzi meme kamlilia mamaye
Kamwambia kwea kwea mlima una mawe
Kamwambia kwea kwea mlima una mawe

Msamiati: (Dakika 4-5)


RUDIA MANENO; [amka, kaa, amekaa]

Rejea neno la hakiba:


• Andika neno [kiti] ubaoni.
• Wakumbushe wanafunzi kuwa neno hili limekwisha fundishwa.
• Waambie walitumie katika sentensi kwa usahihi

Neno jipya [amekaa]:


• Waambie wanafunzi kuwa neno jipya lililotumiwa sana ni amekaa
• Waoneshe kadi ya neno au liandike ubaoni.
• Waambie wanafunzi wasome neno pamoja na wewe.

Mchezo wa kujenga ufasaha kutumia maneno; [kaa, amka, kama, amaka,


akama]
• Waeleze wanafunzi wanyooshe mkono wanapoona neno
wanalolitambua katika kadi utakayoonesha (au onesha maneno hayo
ubaoni)
• Waambie kuwa utaonesha kila kadi (au utaonesha ubaoni) kwa haraka,
kwa hiyo waharakishe kunyoosha mkono pindi wanapoona neno
wanalolitambua
• Chagua mwanafunzi aliyenyoosha mkono asome neno husika.

34 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


Ufahamu wa kusikiliza (Dakika 10):
Wasomee hadithi ifuatayo. ANGALIZO: Msamiati na maneno rejea yamekozeshwa
na yamepigiwa mstari.Yaandike maneno ubaoni. Unapofikia msamiati wakati wa
Mwanafunzi aweze kujibu maswali ya ufahamu , tulia kwa muda kisha onesha
msamiati huo ubaoni.

Ufahamu
Mwalimu wetu anaimba.
Nyimbo yake ni nzuri.
Watoto wote tumefurahi.
Wote tunaimba na kucheza.

Maswali ya Ufahamu:
• Mwalimu anafanya nini?
• Kwa nini watoto wamefurahi?
• Nani atakuja kuimba na kucheza?
Mazoezi:
Waambie wanafunzi watafute maneno yanayoanza na sauti /k/

Weka alama ya vyema baada ya kufundisha


7.0 Kufundisha sauti K
Wiki ya 2: Siku ya 2

Tarehe: _____________________
Muongozo wa ufundishaji: Tumia jina la
herufi/sauti ya herufi katika muongozo
huu ili kufundisha majina na sauti za herufi
Zana:
husika
• Kadi za herufi K
Malengo:
• Kadi za herufi kwa ajili ya
• Mwanafunzi aweze kutamka sauti
marudio
na jina la herufi sauti na jina la
• Kadi za maneno
herufi K kwa kutumia muongozo
• Andika neno [Kiti] ubaoni
ufuatao
• Kadi za sentensi
• Mwanafunzi aweze kufanya
• Hadithi au Nyimbo
mazoezi ya kusoma kwa kutumia
• Kitini cha mazoezi kwa
kadi za herufi, maneno na sentensi
mwanafunzi
• Mwanafunzi aweze kusoma
sentensi rahisi
• Mwanafunzi aweze kujibu maswali
ya ufahamu

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 35


Muongozo wa kufundisha utambuzi wa sauti (Dakika 5)
Marudio:
• Rudia sauti zilizofundishwa katika wiki hiyo: /a/,/m/
• Waulize wanafunzi sauti ipi wanayoisikia mwanzoni mwa kila neno
lililofundishwa katika somo lililopita (Usiandike Maneno). [maka, kama,
ama,aka, kaa, amka]

Fundisha sauti K kwa kutumia muongozo ufuatao:


Ujuzi Mwalimu Mwalimu na Mazoezi ya
“Ninatenda” Mwanafunzi mwanafuzi
“tunatenda” “unatenda”
Utambuzi wa Sauti mwanzo ya Rudia sauti zote
Sauti neno [Kaa] ni? na maneno Mwalimu aulize: Ni
/k/ Sikiliza, /k/ sauti gani ya mwanzo
Sasa, tuseme sauti mnayoisikia kwenye
Sasa, sauti ya ya mwanzo neno neno [Kaa/Kama]?
(USIANDIKE) mwanzo ya neno [Kaa] • Mistari mitatu
[Kama] ni? /k/ Kilammoja, sauti ya nyuma,
Sikiliza, /k/ ya mwanzo ya sauti ipi?
neno [Kaa] ni /k/ Wanafunzi watasema:
Onesha ishara • Mistari mitatu
kwa mkono ya mbele,
kuashiria sauti ipi?
wanafunzi Wanafunzi watasema:
wajibu pamoja • Wasichana
nawe (Haya sote nyote, sauti
tuseme) /k/ ipi?
Wanafunzi watasema:
• Wavulana
nyote, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:
• Upande
wangu wa
kulia, sauti
ipi? (mwalimu
aelekeze
mkono upande
wa kulia)

36 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


Sasa, fundisha Wanafunzi watasema:
sauti ya mwanzo • Upande
za neno [Kama] wangu wa
kama ulivyofanya kushoto, sauti
kwa [Kaa] ipi? (mwalimu
aelekeze
mkono upande
wa kushoto)
Wanafunzi watasema:
• Nyote kwa
pamoja, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:

Mazoezi ya utambuzi wa sauti


Mchezo wa sauti:
• Waambie wanafunzi wainamishe vichwa vyao juu ya deski wakati wa
mchezo huu wa sauti.
• Waambie wanafunzi waoneshe dole gumba juu wanaposikia sauti /k/
na dole gumba chini wasipoisikia sauti hiyo mwanzoni mwa maneno
yafuatayo: (USIYAANDIKE) [kaa, kama, amka, aka]
Maana yake “Ndiyo” Maana yake “hapana”
• Ita mwanafunzi mmoja mmoja aseme neno linaloanza na sauti /k/.
• Sahihisha makosa

Maelekezo ya kufundisha utambuzi wa sauti ya herufi (Dakika 3-4)

Marudio:
• Rudia herufi ulizofundisha: a, m, k
• Andika herufi ubaoni au tumia kadi za herufi. Waambie: TIZAMA
MAANDISHI.
• Waoneshe wanafunzi kadi ya herufi k kisha waulize hiyo ni herufi gani
• Fanya hivyo kwa herufi zilizosalia
• Waulize wanafunzi kuhakikisha kila mmoja amefahamu majina ya herufi.

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 37


Fundisha majina ya herufi K kutumia muongozo ufuatao.

Msingi wa Mwalimu: Mwalimu na Mwanafunzi


kialfabeti “Ninatenda” mwanafunzi: “Unatenda”
TIZAMA “Tunatenda”
Uhusiano wa MAANDISHI. Sasa zamu yenu.
Sauti na herufi TIZAMA Darasa hii ni herufi?
Hii ni herufi K. MAANDISHI. (Onesha herufi K)
(ANDIKA) Onesha wanafunzi Sasa, kila mmoja: Hii • Mistari
herufi K. Herufi K ni herufi K. (Onesha mitatu ya
inaunda sauti /k/. wanafunzi herufi K) nyuma, sauti
ipi?
Herufi K inaunda Wanafunzi watasema:
sauti gani, sote kwa • Mistari
pamoja? mitatu ya
Onesha ishara kwa mbele, sauti
mkono kuashiria ipi?
wanafunzi wajibu Wanafunzi watasema:
pamoja nawe. (sote • Wasichana
tuseme) /k/ nyote,
sauti ipi?
Wanafunzi
watasema:
• Wavulana
nyote, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:

• Upande
wangu wa
kulia, sauti
ipi? (mwalimu
aelekeze
mkono
upande wa
kulia)
Wanafunzi
watasema:

38 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


• Upande
wangu wa
kushoto,
sauti ipi?
(mwalimu
aelekeze
mkono
upande wa
kushoto)
Wanafunzi watasema:
• Nyote kwa
pamoja, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:

 Mazoezi ya sauti ya herufi na ufasaha (4-5 dakika): MAZOEZI


• Chukua kadi yenye herufi: K (AU andika herufi hiyo ubaoni).
• Wakumbushe wanafunzi jina la herufi kisha ioneshe huku ukiwataka
wanyooshe mkono kama wanajua jina la herufi hiyo.
(Tumia sekunde 30 au zaidi kwa kazi hii)
• Tamka sauti ya herufi K
• Waambie wanafunzi wanyooshe mkono ” kama wanaweza kutaja jina
la herufi linalounda sauti hiyo.
• Waulize wanafunzi kama wanaweza kusoma neno kwa kulitamka.
Onesha neno [Kaa] ubaoni kisha sema “Tizama maandishi”.
• Waoneshe namna ya kutamka neno (Ninatenda, Tunatenda,
Unatenda). /k/ /a/ /a/,
• Unganisha sauti kisha sema neno [Kaa].
• Waambie wanafunzi wanyooshe mkono kama wanaweza kusema
sauti zilizopo katika neno [Kaa], kisha watamke neno lote
• Chagua wanafunzi kadhaa kutamka maneno hilo.
• Sahihisha makosa.
• Onesha neno kisha tamka sauti zinazounda neno
• Onesha neno kisha waambie wanafunzi walitamke. (Mnatenda).
• Onesha kila herufi kisha tamka pamoja na wanafunzi. Sauti ya mwanzo
katika neno [kaa] ni /k/, inayofuata /aaa/, ya mwisho /aaa/. Neno gani
hilo? [kaa]. Neno hilo ni [kaa].
• Sasa zamu yenu. Ni neno gani? [kaa]
Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 39
•  aambie wanafunzi waandike herufi mpya, silabi na maneno ambayo
W
yamefundishwa katika kipindi hiki. (Ninatenda, Tunatenda, Unatenda)

Sentensi rahisi:
Mama amekaa.
• Waoneshe wanafunzi kila herufi za sauti na utamke [Mama amekaa].
• Waambie wanafunzi wasome sentensi kwa sauti

Nyimbo
Kambuzi meme kamlilia mamaye
Kambuzi meme kamlilia mamaye
Kamwambia kwea kwea mlima una mawe
Kamwambia kwea kwea mlima na mawe

Msamiati: (Dakika 4-5)


RUDIA MANENO; [amka, kaa amekaa]

Rejea neno la hakiba:


• Andika neno [Kiti] ubaoni.
• Wakumbushe wanafunzi kuwa neno hili limekwisha fundishwa.
• Waambie walitumie katika sentensi kwa usahihi

Neno jipya [amekaa]:


• Waambie wanafunzi kuwa neno jipya lililotumiwa sana ni amekaa
• Waoneshe kadi ya neno au liandike ubaoni.
• Waambie wanafunzi wasome neno pamoja na wewe.

Mchezo wa kujenga ufasaha kutumia maneno; [Kaa, amka, Kama, amaka,


akama]
• Waambie wanafunzi wanyooshe mkono wanapoona neno
wanalolitambua katika kadi utakayoonesha (au onesha maneno hayo
ubaoni)
• Waambie kuwa utaonesha kila kadi (au utaonesha ubaoni) kwa haraka,
kwa hiyo waharakishe kunyoosha mkono pindi wanapoona neno
wanalolitambua
• Chagua mwanafunzi aliyenyoosha mkono asome neno husika.

40 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


Ufahamu wa kusikiliza (Dakika 10):
Wasomee hadithi ifuatayo. ANGALIZO: Msamiati na maneno rejea yamekozeshwa
na yamepigiwa mstari.Yaandike maneno ubaoni. Unapofikia msamiati wakati wa
Mwanafunzi aweze kujibu maswali ya ufahamu , tulia kwa muda kisha onesha
msamiati huo ubaoni.

Ufahamu
Mwalimu wetu anaimba
Nyimbo yake ni mzuri
Watoto wote tumefurahi
Sote tunaimba na kucheza

Maswali ya Ufahamu:
• Mwalimu anafanya nini?
• Kwa nini watoto wamefurahi?
• Nani anaweza kuimba na kucheza?

Mazoezi:
Waambie wanafunzi watafute maneno yanayoanza na sauti /k/

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 41


Weka alama ya vyema baada ya kufundisha
8.0 Kufundisha sauti i
Wiki ya 2: Siku ya 3

Tarehe: _____________________
Muongozo wa ufundishaji: Tumia jina la
herufi/sauti ya herufi katika muongozo
huu ili kufundisha majina na sauti za herufi
Zana:
husika
• Kadi za herufi i
Malengo:
• Kadi za herufi kwa ajili ya
• Mwanafunzi aweze kutamka sauti
marudio
na jina la herufi sauti na jina la
• Kadi za maneno
herufi i kwa kutumia muongozo
• Andika neno [ita] ubaoni
ufuatao
• Kadi za sentensi
• Mwanafunzi aweze kufanya
• Hadithi au Nyimbo
mazoezi ya kusoma kwa kutumia
• Kitini cha mazoezi kwa
kadi za herufi, maneno na sentensi
mwanafunzi
• Mwanafunzi aweze kusoma
sentensi rahisi
• Mwanafunzi aweze kujibu maswali
ya ufahamu

Muongozo wa kufundisha utambuzi wa sauti (Dakika 5)

Marudio:
• Rudia sauti zilizofundishwa katika wiki hiyo: /a/,/m/,/k/
• Waulize wanafunzi sauti ipi wanayoisikia mwanzoni mwa kila neno
lililofundishwa katika somo lililopita (Usiandike Maneno). [maka, kaka
kama, ama,aka, kaa, amka]

Fundisha sauti i kwa kutumia muongozo ufuatao:

Ujuzi Mwalimu Mwalimu na Mazoezi ya


“Ninatenda” Mwanafunzi mwanafuzi
“tunatenda” “unatenda”
Rudia sauti zote na
maneno Mwalimu aulize: Ni
sauti gani ya mwanzo
mnayoisikia kwenye
neno [ita/ ima]?

42 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


Utambuzi Sauti mwanzo ya Sasa, tuseme sauti ya • Mistari mitatu
wa neno [ita] ni? /i/ mwanzo neno [ita] ya nyuma,
Sauti Sikiliza, /iii/ Kilammoja, sauti ya sauti ipi?
mwanzo ya neno [ita] Wanafunzi watasema:
ni /iii/ • Mistari mitatu
Onesha ishara kwa ya mbele, sauti
(USIANDIKE) mkono kuashiria ipi?
wanafunzi wajibu Wanafunzi watasema:
pamoja nawe (Haya • Wasichana
sote tuseme) /iii/ nyote, sauti ipi?
Sasa, sauti ya Wanafunzi watasema:
mwanzo ya neno Sasa, fundisha • Wavulana
[ima] ni? /i/ sauti za mwanzo za nyote, sauti ipi?
Sikiliza, /iii/ neno [ima] kama Wanafunzi watasema:
ulivyofanya kwa [ita] • Upande wangu
wa kulia, sauti
ipi? (mwalimu
aelekeze mkono
upande wa
kulia)
Wanafunzi watasema:
• Upande wangu
wa kushoto,
sauti ipi?
(mwalimu
aelekeze mkono
upande wa
kushoto)
Wanafunzi watasema:
• Nyote kwa
pamoja, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:

Mazoezi ya utambuzi wa sauti

Mchezo wa sauti:
• Waambie wanafunzi wainamishe vichwa vyao juu ya deski wakati wa
mchezo huu wa sauti.
• Waambie wanafunzi waoneshe dole gumba juu wanaposikia sauti /i/ na
dole gumba chini wasipoisikia sauti hiyo mwanzoni mwa maneno yafuatayo:
(USIYAANDIKE) [[ita, ikama, ima, imaka, miki, maka, imba amaka]
Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 43
Maana yake “Ndiyo” Maana yake “hapana”
• Ita mwanafunzi mmoja mmoja aseme neno linaloanza na sauti /i/.
• Sahihisha makosa

Maelekezo ya kufundisha utambuzi wa sauti ya herufi (Dakika 3-4)


Marudio:
• Rudia herufi ulizofundisha: a, m, k, i
• Andika herufi ubaoni au tumia kadi za herufi. Waambie: TIZAMA
MAANDISHI.
• Waoneshe wanafunzi kadi ya herufi i kisha waulize hiyo ni herufi gani
• Fanya hivyo kwa herufi a, m, k
• Waulize wanafunzi kadhaa kuhakikisha kila mmoja amefahamu majina ya
herufi.

Fundisha majina ya herufi i kutumia muongozo ufuatao.

Msingi wa Mwalimu: Mwalimu na Mwanafunzi


kialfabeti “Ninatenda” mwanafunzi: “Unatenda”
TIZAMA “Tunatenda”
Uhusiano MAANDISHI. Sasa zamu yenu.
wa Sauti na TIZAMA Darasa hii ni herufi?
herufi Hii ni herufi i. MAANDISHI. (Onesha herufi i)
Onesha wanafunzi Sasa, kila mmoja: Hii • Mistari mitatu
(ANDIKA) herufi i. Herufi i ni herufi i. (Onesha ya nyuma,
inaunda sauti /iii/. wanafunzi herufi sauti ipi?
i) Herufi i inaunda
sauti gani, sote kwa Wanafunzi watasema:
pamoja? • Mistari mitatu
Onesha ishara kwa ya mbele,
mkono kuashiria sauti ipi?
wanafunzi wajibu
pamoja nawe. (sote Wanafunzi watasema:
tuseme) /iii/ • Wasichana
nyote, sauti
ipi? Wanafunzi
watasema:
• Wavulana
nyote, sauti
ipi?

44 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


Wanafunzi watasema:
• Upande
wangu wa
kulia, sauti
ipi? (mwalimu
aelekeze
mkono upande
wa kulia)
Wanafunzi watasema:
• Upande
wangu wa
kushoto, sauti
ipi? (mwalimu
aelekeze
mkono upande
wa kushoto)
Wanafunzi watasema:
• Nyote kwa
pamoja, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:

 Mazoezi ya sauti ya herufi na ufasaha (4-5 dakika): MAZOEZI


• Chukua kadi yenye herufi: i (AU andika herufi hiyo ubaoni).
• Wakumbushe wanafunzi jina la herufi kisha ioneshe huku ukiwataka
wanyooshe mkono kama wanajua jina la herufi hiyo.

(Tumia sekunde 30 au zaidi kwa kazi hii)


• Tamka sauti ya herufi i
• Waambie wanafunzi wanyooshe mkono ” kama wanaweza kutaja jina la
herufi linalounda sauti hiyo.
• Waulize wanafunzi kama wanaweza kusoma neno kwa kulitamka.
• Onesha neno [ita] ubaoni kisha sema “Tizama maandishi”.
• Waoneshe namna ya kutamka neno (Ninatenda, Tunatenda,
Unatenda). /i/ /t/ /a/
• Unganisha sauti kisha sema neno [ita].
• Waambie wanafunzi wanyooshe mkono kama wanaweza kusema sauti
zilizopo katika neno [ita], kisha watamke neno lote.
• Chagua wanafunzi kadhaa kutamka neno hilo.
• Sahihisha makosa.
Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 45
• Onesha neno kisha tamka sauti zinazounda neno
• Onesha neno kisha waambie wanafunzi walitamke. (Mnatenda).
• Onesha kila herufi kisha tamka pamoja na wanafunzi. Sauti ya mwanzo
katika neno [ita] ni /iii/, inayofuata /t/, ya mwisho /aaa/. Neno gani hilo?
[ita]. Neno hilo ni [ita].
• Sasa zamu yenu. Ni neno gani? [ita]
• Onesha tena neno hilo kisha waambie wanafunzi walitamke kwa usahihi.
• Waambie wanafunzi waandike herufi mpya, silabi na maneno ambayo
yamefundishwa katika kipindi hiki. (Ninatenda, Tunatenda, Unatenda)

Sentensi rahisi:
Mama anawaita watoto.

Mazoezi ya Kusoma Sentensi


• Waoneshe wanafunzi kila herufi za sauti na utamke [Mama anawaita
watoto].
• Waambie wanafunzi wasome sentensi kwa sauti

Nyimbo
Asiyependa kusoma ni mjinga kabisa
Asiyependa kusoma ni mjinga kabisa
Barua ikija aitembeza kutwa
Barua ikija aitembeza kutwa

Msamiati: (Dakika 4-5)


RUDIA MANENO; [ita, ima, aika, kima, kama, mika]

Rejea neno la hakiba:


• Andika neno [ita] ubaoni.
• Wakumbushe wanafunzi kuwa neno hili limekwisha fundishwa.
Waambie walitumie katika sentensi kwa usahihi

Neno jipya [anaita]:


• Waambie wanafunzi kuwa neno jipya lililotumiwa sana ni anaita
• Waoneshe kadi ya neno au liandike ubaoni.
• Waambie wanafunzi wasome neno pamoja na wewe.

46 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


Mchezo wa kujenga ufasaha kutumia maneno; [ita, ima, aika, kima, kama,
mika]
• Waeleze wanafunzi wanyooshe mkono wanapoona neno
wanalolitambua katika kadi utakayoonesha (au onesha maneno hayo
ubaoni)
• Waambie kuwa utaonesha kila kadi (au utaonesha ubaoni) kwa haraka,
kwa hiyo waharakishe kunyoosha mkono pindi wanapoona neno
wanalolitambua
• Chagua mwanafunzi aliyenyoosha mkono asome neno husika.

Ufahamu wa kusikiliza (Dakika 10):


Wasomee hadithi ifuatayo. ANGALIZO: Msamiati na maneno rejea yamekozeshwa.
Yaandike maneno ubaoni. Unapofikia msamiati wakati wa Mwanafunzi aweze
kujibu maswali ya ufahamu , tulia kwa muda kisha onesha msamiati huo ubaoni.

Ufahamu
Siku moja kinyonga na fisi walikwenda kwenye mashindano ya kukimbia.
Kinyonga akamwambia fisi tangulia halafu mimi nitafuata. Fisi alipoanza
kukimbia, kinyonga akaurukia mkia wa fisi. Fisi alipofika mwisho akageuka
nyuma kumuangalia kinyonga. Kinyoga akaruka kutoka kwenye mkia wa fisi
na kushangilia kuwa ameshinda. Fisi akakasirika akampiga teke kinyonga na
kumvunja miguu. Ndiyo maana mpaka leo kinyonga anatembea polepole.

Maswali ya Ufahamu:
• Hadithi inamhusu nani na nani?
• Kwa nini kinyonga alimwambia fisi atangulie wakati wa kukimbia?
• Kwa nini fisi alimpiga teke kinyonga?

Mazoezi:
Waambie wanafunzi watafute maneno yanayoanza na sauti /i/

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 47


Weka alama ya vyema baada ya kufundisha
9.0 Kufundisha sauti I
Wiki ya 2: Siku ya 4

Tarehe: _____________________
Muongozo wa ufundishaji: Tumia jina la
herufi/sauti ya herufi katika muongozo
huu ili kufundisha majina na sauti za herufi
Zana:
husika
• Kadi za herufi I
Malengo:
• Kadi za herufi kwa ajili ya
• Mwanafunzi aweze kutamka sauti
marudio
na jina la herufi sauti na jina la
• Kadi za maneno
herufi I kwa kutumia muongozo
• Andika neno [Ita] ubaoni
ufuatao
• Kadi za sentensi
• Mwanafunzi aweze kufanya
• Hadithi au Nyimbo
mazoezi ya kusoma kwa kutumia
• Kitini cha mazoezi kwa
kadi za herufi, maneno na sentensi
mwanafunzi
• Mwanafunzi aweze kusoma
sentensi rahisi
• Mwanafunzi aweze kujibu maswali
ya ufahamu

Muongozo wa kufundisha utambuzi wa sauti (Dakika 5)


Marudio:
• Rudia sauti zilizofundishwa katika wiki hiyo: /a/,/m/,/k/
• Waulize wanafunzi sauti ipi wanayoisikia mwanzoni mwa kila neno
lililofundishwa katika somo lililopita (Usiandike Maneno). [maka, kama,
ama,aka, kaa, amka]

Fundisha sauti I kwa kutumia muongozo ufuatao:


Ujuzi Mwalimu Mwalimu na Mazoezi ya
“Ninatenda” Mwanafunzi mwanafuzi
“tunatenda” “unatenda”
Rudia sauti zote na
Sauti mwanzo ya maneno Mwalimu aulize: Ni
neno [ita] ni? /i/ Sasa, tuseme sauti ya sauti gani ya mwanzo
Sikiliza, /iii/ mwanzo neno [ita] mnayoisikia kwenye
Kilammoja, sauti ya neno [Ima/ Ita]?
mwanzo ya neno
[ita] ni /iii/

48 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


Utambuzi Onesha ishara kwa • Mistari mitatu
wa mkono kuashiria ya nyuma,
Sauti wanafunzi wajibu sauti ipi?
pamoja nawe (Haya Wanafunzi watasema:
sote tuseme) /iii/ • Mistari mitatu
ya mbele, sauti
(USIANDIKE) Sasa, fundisha ipi?
Sasa, sauti ya sauti za mwanzo za Wanafunzi watasema:
mwanzo ya neno neno [ima] kama • Wasichana
[ima] ni? /iii/ ulivyofanya kwa [ita] nyote, sauti
Sikiliza, /iii/ ipi?
Wanafunzi watasema:
• Wavulana
nyote, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:
• Upande wangu
wa kulia, sauti
ipi? (mwalimu
aelekeze mkono
upande wa
kulia)
Wanafunzi watasema:
• Upande wangu
wa kushoto,
sauti ipi?
(mwalimu
aelekeze mkono
upande wa
kushoto)
Wanafunzi watasema:
• Nyote kwa
pamoja, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:

Mazoezi ya utambuzi wa sauti

Mchezo wa sauti:
• Waambie wanafunzi wainamishe vichwa vyao juu ya deski wakati wa
mchezo huu wa sauti.
• Waambie wanafunzi waoneshe dole gumba juu wanaposikia sauti /i/ na
Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 49
dole gumba chini wasipoisikia sauti hiyo mwanzoni mwa maneno yafuatayo:
(USIYAANDIKE) [ita, ikama, imaka, miki, maka, amaka]
Maana yake “Ndiyo” Maana yake “hapana”
• Ita mwanafunzi mmoja mmoja aseme neno linaloanza na sauti /i/.
• Sahihisha makosa

Maelekezo ya kufundisha utambuzi wa sauti ya herufi (Dakika 3-4)


Marudio:
• Rudia herufi ulizofundisha: a, m, k, i
• Andika herufi ubaoni au tumia kadi za herufi. Waambie: TIZAMA
MAANDISHI.
• Waoneshe wanafunzi kadi ya herufi i kisha waulize hiyo ni herufi gani
• Fanya hivyo kwa herufi m, a, k
• Waulize wanafunzi kadhaa kuhakikisha kila mmoja amefahamu majina ya
herufi.

Fundisha majina ya herufi I kutumia muongozo ufuatao.

Msingi wa Mwalimu: Mwalimu na Mwanafunzi


kialfabeti “Ninatenda” mwanafunzi: “Unatenda”
TIZAMA “Tunatenda”
Uhusiano wa MAANDISHI. Sasa zamu yenu.
Sauti na herufi TIZAMA Darasa hii ni herufi?
Hii ni herufi MAANDISHI. (Onesha herufi I)
(ANDIKA) I. Onesha Sasa, kila mmoja: Hii • Mistari mitatu
wanafunzi herufi ni herufi I. (Onesha ya nyuma,
I. Herufi I inaunda wanafunzi herufi sauti ipi?
sauti /iii/. I) Herufi I inaunda Wanafunzi watasema:
sauti gani, sote kwa • Mistari mitatu
pamoja? ya mbele, sauti
Onesha ishara kwa ipi?
mkono kuashiria Wanafunzi watasema:
wanafunzi wajibu • Wasichana
pamoja nawe. (sote nyote, sauti
tuseme) /iii/ ipi? Wanafunzi
watasema:
• Wavulana
nyote, sauti
ipi?

50 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


Wanafunzi watasema:
• Upande wangu
wa kulia, sauti
ipi? (mwalimu
aelekeze mkono
upande wa
kulia)
Wanafunzi watasema:
• Upande
wangu wa
kushoto, sauti
ipi? (mwalimu
aelekeze mkono
upande wa
kushoto)
Wanafunzi watasema:
• Nyote kwa
pamoja, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:

Mazoezi ya sauti ya herufi na ufasaha (4-5 dakika): MAZOEZI

• Chukua kadi yenye herufi: I (AU andika herufi hiyo ubaoni).


• Wakumbushe wanafunzi jina la herufi kisha ioneshe huku ukiwataka
wanyooshe mkono kama wanajua jina la herufi hiyo.
(Tumia sekunde 30 au zaidi kwa kazi hii)
• Tamka sauti ya herufi I
• Waambie wanafunzi wanyooshe mkono ” kama wanaweza kutaja jina
la herufi linalounda sauti hiyo.
• Waulize wanafunzi kama wanaweza kusoma neno kwa kulitamka.
• Onesha neno [Ita] ubaoni kisha sema “Tizama maandishi”.
• Waoneshe namna ya kutamka neno (Ninatenda, Tunatenda,
Unatenda). /i/ /t/ /a/
• Unganisha sauti kisha sema neno [Ita].
• Waambie wanafunzi wanyooshe mkono kama wanaweza kusema sauti
zilizopo katika neno [Ita], kisha watamke neno lote [Ita]
• Chagua wanafunzi kadhaa kutamka neno hilo.
• Sahihisha makosa.
• Onesha neno kisha tamka sauti zinazounda neno

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 51


• Onesha neno kisha waambie wanafunzi walitamke. (Mnatenda).
• Onesha kila herufi kisha tamka pamoja na wanafunzi. Sauti ya mwanzo
katika neno [Ita] ni /iii/, inayofuata /t/, ya mwisho /aaa/. Neno gani hilo?
[Ita]. Neno hilo ni [Ita].
• Sasa zamu yenu. Ni neno gani? [Ita]
• Waambie wanafunzi waandike herufi mpya, silabi na maneno ambayo
yamefundishwa katika kipindi hiki. (Ninatenda, Tunatenda, Unatenda)

Sentensi rahisi:
Mama anaita watoto.

Mazoezi ya Kusoma Sentensi


• Waoneshe wanafunzi kila herufi za sauti na utamke [Mama anaita
watoto].
• Waambie wanafunzi wasome sentensi kwa sauti

Nyimbo
Asiyependa kusoma ni mjinga kabisa
Asiyependa kusoma ni mjinga kabisa
Barua ikija aitembeza kutwa
Barua ikija aitembeza kutwa

Msamiati: (Dakika 4-5)


RUDIA MANENO; [Ita, Ima, Aika, Kima, Kama, Mika]
Rejea neno la hakiba:
• Andika neno [Ita] ubaoni.
• Wakumbushe wanafunzi kuwa neno hili limekwisha fundishwa.
Waambie walitumie katika sentensi kwa usahihi
Neno jipya [anaita]:
• Waambie wanafunzi kuwa neno jipya lililotumiwa sana ni anaita
• Waoneshe kadi ya neno au liandike ubaoni.
• Waambie wanafunzi wasome neno pamoja na wewe.

Mchezo wa kujenga ufasaha kutumia maneno; [ita, ima, aika, kima, kama,
mika]
• Waeleze wanafunzi wanyooshe mkono wanapoona neno
wanalolitambua katika kadi utakayoonesha (au onesha maneno hayo
ubaoni)
52 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza
•  aambie kuwa utaonesha kila kadi (au utaonesha ubaoni) kwa haraka,
W
kwa hiyo waharakishe kunyoosha mkono pindi wanapoona neno
wanalolitambua
• Chagua mwanafunzi aliyenyoosha mkono asome neno husika.

Ufahamu wa kusikiliza (Dakika 10):


Wasomee hadithi ifuatayo. ANGALIZO: Msamiati na maneno rejea yamekozeshwa
na yamepigiwa mstari.Yaandike maneno ubaoni. Unapofikia msamiati wakati wa
Mwanafunzi aweze kujibu maswali ya ufahamu , tulia kwa muda kisha onesha
msamiati huo ubaoni.

Ufahamu:

Siku moja kinyonga na fisi walikwenda kwenye mashindano ya kukimbia. Kinyonga


akamwambia fisi tanguli halafu mimi nitafuata. Fisi alipoanza kukimbia, kinyonga
akaurukia mkia wa fisi. Fisi alipofika mwisho akageuka nyuma kumuangalia
kinyonga. Kinyoga akaruka kutoka kwenye mkia wa fisi na kushangilia kuwa
ameshinda. Fisi akakasirika akampiga teke kinyonga na kumvunja miguu. Ndiyo
maana mpaka leo kinyonga anatembea polepole.

Maswali ya Ufahamu:
• Hadithi inamhusu nani na nani?
• Kwa nini kinyonga alimwambia fisi atangulie wakati wa kukimbia?
• Kwa nini fisi alimpiga teke kinyonga?

Mazoezi:
Waambie wanafunzi watafute maneno yanayoanza na sauti /i/

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 53


Weka alama vyema baada ya kufundisha
10.0 Marudi (herufi kubwa na ndogo)
Wiki ya 2: Siku ya 5

Tarehe: _____________________
Muongozo wa ufundishaji: Tumia
Zana:
jina la herufi/sauti ya herufi katika
• Kadi za herufi mM, aA, kK, iI
muongozo huu ili kufundisha herufi na
• Kadi za herufi kwa ajili ya
sauti za herufi husika
marudio
• Kadi za maneno
Malengo:
• Andika neno [itika] ubaoni
• Rudia sauti ya herufi na jina
• Kadi za sentensi
la mM, aA, kK, iI Kutumia
• Hadithi au Nyimbo
maelekezo ya hapo chini
• Kitini cha mazoezi kwa
• Fanya mazoezi kwa kutumia
wanafunzi
kadi za herufi
• Soma sentensi zilizorahisi
• Soma hadithi

Muongozo wa kufundisha Utambuzi wa Sauti (Dakika 5)


 Marudio:
• Rudia sauti zilizofundishwa katika wiki hiyo: /m/, /a/, /k/ , /i/
• Waulize wanafunzi sauti ipi wanayoisikia mwanzoni mwa kila neno
lililofundishwa katika somo lililopita (Usiandike Maneno).

Rudia sauti kwa kutumia muongozo ufuatao.

Ujuzi Mwalimu Mwalimu na Mazoezi ya


“Ninatenda” mwanafunzi mwanafunzi
“Tunatenda” “Unatenda”
Rudia sauti zote za
maneno Mwalimu anasema:
Ni sauti ipi ya
mwanzo mnayosikia
(Rejea maneno ya
masomo yaliyopita)
• Mistari mitatu
ya nyuma, ni
sauti ipi?

54 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


Utambuzi wa Mwalimu aongoze Sasa, Tuseme sauti Wanafunzi watasema:
Sauti kutambua sauti ya mwanzo kutoka • Mistari mitatu
za mwanzo za katika maneno ya mbele, ni
maneno tofauti tofauti tuliyojifunza sauti ipi?
kutoka masomo somo lililopita. Wanafunzi watasema:
(USIANDIKE) yaliyotangulia. /m/ /a/ /k/ /i/ • Wasichana
/m/ /a/ /k/ /i/ nyote, ni sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:
• Wavulana
nyote, ni sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:
• Upande
wangu wa
kulia, sauti
ipi? (Mwalimu
aelekeze
mkono upande
wa kulia)
Wanafunzi watasema
• Upande
wangu wa
kushoto, sauti
ipi? (Mwalimu
aelekeze
mkono wa
kushoto)
Wanafunzi watasema:
• Nyote kwa
pamoja, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:

Mazoezi ya Utambuzi wa Sauti

Mchezo wa Sauti:
• Waambie wanafunzi wasimame wanaposikia sauti ya mwanzo ya maneno
waliyojifunza (USIYAANDIKE)
• Sahihisha makosa

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 55


Maelekezo ya kufundisha utambuzi wa sauti ya herufi (Dakika 3-4)

Marudio:
• Rudia herufi ulizofundishwa ambazo ni mM, aA, kK, iI,
• Andika herufi ubaoni au tumia kadi za herufi. Waambie: TIZAMA
MAANDISHI.
• Waulize wanafunzi ni herufi gani na waioneshe mM, aA, kK, iI,
• Waulize wanafunzi kadhaa kuhakikisha kila mmoja amefahamu majina ya
herufi.
• Chagua herufi kutoka katika masomo yaliyopita ili wanafunzi wayafanyie
mazoezi

Rudia majina ya herufi mM, aA, kK, Ii kutumia muongozo ufuatao.

Msingi wa Mwalimu: Mwalimu na Mwanafunzi:


kialfabeti “Ninatenda” mwanafunzi: “Unatenda”
“Tunatenda”
Uhusiano TIZAMA Mwalimu wagawie
wa Sauti na MAANDISHI. TIZAMA wanafunzi kadi
herufi Hii ni herufi mM,. MAANDISHI. za maneno katika
Onesha wanafunzi Kila mmoja: Hii ni makundi na
(ANDIKA) mM. Herufi mM sauti mM. (Onesha waambie wachague
inatoa sauti /mmm/. wanafunzi mM.) herufi zinaashiria
Sauti mM inatoa sauti zilizotamkwa
Hii ni herufi aA. sauti gani,..kila
(Onesha wanafunzi mmoja?
aA.)Herufi sS inatoa Nyoosha mkono
sauti /aaa/. kuashiria wanafunzi
wajibu pamoja na
Hii ni herufi kK wewe. (darasa zima)
(Onesha wanafunzi /mmm/
kK.) Herufi kK inatoa
sauti /k/.

Hii ni herufi iI
(Onesha wanafunzi
iI.) Herufi iI inatoa
sauti /iii/.

56 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


Sasa Kila mmoja:
Hii ni herufi aA.
(Onesha wanafunzi
herufi aA.) Herufi
aA inaunda sauti
gani, kila mmoja?
Nyoosha mkono
kuashiria wanafunzi
wajibu pamoja
na wewe. (Darasa
zima) /aaa/

Sasa, kila mmoja:


hii ni herufi kK.
(Onesha wanafunzi
kK.) Herufi kK
inaunda sauti gani?
Nyoosha mkono
kuashiria wanafunzi
wajibu pamoja na
wewe. (darasa zima)
/k/

Sasa, kila mmoja: hii


ni herufi iI. (Onesha
wanafunzi iI.) Herufi
iI inaunda sauti
gani?
Nyoosha mkono
kuashiria wanafunzi
wajibu pamoja na
wewe. (darasa zima)
/i/

Mazoezi ya Sauti ya herufi na Ufasaha (Dakika 4-5): MAZOEZI


• Chukua kadi zenye herufi mM, aA, kK, iI (AU andika herufi hizo ubaoni).
• Wakumbushe wanafunzi jina la kila herufi kisha onesha moja baada ya
nyingine huku ukiwataka wanyooshe mkono kama wanajua majina ya
herufi hizo.
(Tumia sekunde 30 au zinazokaribiana kwa zoezi hili)
• Sema sauti ya herufi mM
• Waeleze wanafunzi wanyooshe mkono kama wanaweza kusema jina
Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 57
la herufi linalounda sauti hiyo. Fanya hivyo kwa aA, kK, iI
• Waulize wanafunzi kama wanaweza kusoma neno kwa kulitamka.
Onesha neno; [Kaa, Ima] kwenye ubao na useme “Tizama Maandishi”.
• Waoneshe namna ya kutamka neno (Ninatenda, Tunatenda,
Unatenda) /k/ /a/ /a/.
• Unganisha sauti kisha sema neno [kaa, ima].
• Waambie wanafunzi wanyooshe mkono kama wanaweza kusema sauti
zilizomo katika neno [kaa, ima], kisha watamke neno lote
• Chagua wanafunzi kadhaa kutamka neno hilo.
• Sahihisha makosa.
• Onesha neno kisha tamka sauti zinazounda neno
• Onesha neno kisha waambie wanafunzi walitamke. [Mnatenda].
• Onesha kila herufi kasha tamka pamoja na wanafunzi. auti ya mwanzo
katika neno [kaa] ni /k/, inayofuata /aaa/, ya mwisho /aaa/. Ni neno
gani hilo? [kaa]. Neno ni [mama].
• Sasa zamu yenu. Neno gani? [kaa]
• Waambie wanafunzi waandike herufi mpya, silabi na maneno ambayo
yamefundishwa katika kipindi hicho (Ninatenda, Tunatenda,
Unatenda)

Mchezo wa kujenga ufasaha kutumia maneno [Kaa, Kama, Kima, Ita, Mama,
Maka]
• Waeleze wanafunzi wanyooshe mkono wanpoona neno wanalolitambua
katika kadi utakayoonyesha (au onesha maneno hayo ubaoni).
• Waambie kuwa utaonesha kila kadi (au utaonesha ubaoni) kwa haraka,
kwa hiyo waharakishe kunyoosha mkono pindi wanapoona neno
wanalolitambua
• Chagua mwanafunzi aliyenyoosha mkono asome neno husika.

Msamiati: (Dakika 4-5)


Rudia maneno [mama]

Ufahamu wa Kusikiliza (Dakika 10):


Wasomee hadithi ifuatayo. ANGALIZO: Msamiati na maneno rejea yamekozeshwa
na yamepigiwa mstari.Yaandike maneno ubaoni. Unapofikia msamiati wakati wa
Mwanafunzi aweze kujibu maswali ya ufahamu , tulia kwa muda kisha onesha
msamiati huo ubaoni.

58 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


Hadithi ya Kusoma kwa Sauti [Hadithi kutoka kwenye kitabu]
• Andika hadithi kutoka kwenye kitabu ubaoni.
• Andika jina la mwandishi wa hadithi ubaoni
• Andika jina la msanifu wa michoro ubaoni.

Rejea neno la hakiba:


• Andika neno [mama] ubaoni.
• Wakumbushe wanafunzi kuwa neno hili limekwisha fundishwa.
Waambie walitumie katika sentensi kwa usahihi

11.0 Kufundisha sauti s


Wiki ya 3: Siku ya 1

Tarehe: _____________________
Muongozo wa ufundishaji: Tumia
jina la herufi/sauti ya herufi katika
muongozo huu ili kufundisha majina na
sauti za herufi husika Zana:
Malengo: • Kadi za herufi s
• Mwanafunzi aweze kutamka • Kadi za herufi kwa ajili ya
sauti na jina la herufi sauti na marudio
jina la herufi s kwa kutumia • Kadi za maneno
muongozo ufuatao • Andika neno [saa] ubaoni
• Mwanafunzi aweze kufanya • Kadi za sentensi
mazoezi ya kusoma kwa • Hadithi au Nyimbo
kutumia kadi za herufi, maneno • Kitini cha mazoezi kwa
na sentensi mwanafunzi
• Mwanafunzi aweze kusoma
sentensi rahisi
• Mwanafunzi aweze kujibu
maswali ya ufahamu

Muongozo wa kufundisha utambuzi wa sauti (Dakika 5)


Marudio:
• Rudia sauti zilizofundishwa katika wiki hiyo: /a/, /m/ , /k /, /i/
• Waulize wanafunzi sauti ipi wanayoisikia mwanzoni mwa kila neno
lililofundishwa katika somo lililopita (Usiandike Maneno). [maka, kima,
ima, ama]

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 59


Fundisha sauti s kwa kutumia muongozo ufuatao:

Ujuzi Mwalimu Mwalimu na Mazoezi ya


“Ninatenda” Mwanafunzi mwanafuzi
Utambuzi “tunatenda” “unatenda”
wa Sauti mwanzo ya Rudia sauti zote na
Sauti neno [saa] ni? /s/ maneno Mwalimu aulize: Ni
Sikiliza, /sss/ sauti gani ya mwanzo
Sasa, tuseme sauti mnayoisikia kwenye
Sasa, sauti ya ya mwanzo neno neno [saa/siki]?
(USIANDIKE) mwanzo ya neno [saa] • Mistari
[siki] ni? /s/ Kilammoja, sauti ya mitatu ya
Sikiliza, /sss/ mwanzo ya neno nyuma, sauti
[saa] ni /sss/ ipi?
Onesha ishara kwa Wanafunzi watasema:
mkono kuashiria • Mistari
wanafunzi wajibu mitatu ya
pamoja nawe (Haya mbele, sauti
sote tuseme) /sss/ ipi?
Wanafunzi watasema:
Sasa, fundisha • Wasichana
sauti za mwanzo za nyote, sauti
neno [siki] kama ipi?
ulivyofanya kwa Wanafunzi watasema:
[saa] • Wavulana
nyote, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:
• Upande
wangu wa
kulia, sauti
ipi? (mwalimu
aelekeze
mkono
upande wa
kulia)
Wanafunzi watasema:
• Upande
wangu wa
kushoto,
sauti ipi?

60 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


(mwalimu aelekeze
mkono
upande wa
kushoto)
Wanafunzi watasema:
• Nyote kwa
pamoja, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:

Mazoezi ya utambuzi wa sauti


Mchezo wa sauti:
• Waambie wanafunzi wainamishe vichwa vyao juu ya deski wakati wa
mchezo huu wa sauti.
• Waambie wanafunzi waoneshe dole gumba juu wanaposikia sauti /s/
na dole gumba chini wasiposikia sauti hiyo mwanzoni mwa maneno
yafuatayo: (USIYAANDIKE) [saa, siki, sasa, saki, masa, kisa, masi, saka,
sima]
Maana yake “Ndiyo” Maana yake “hapana”
• Ita mwanafunzi mmoja mmoja aseme neno linaloanza na sauti /s/.
• Sahihisha makosa

Maelekezo ya kufundisha utambuzi wa sauti ya herufi (Dakika 3-4)

Marudio:
• Rudia herufi ulizofundisha: a, m, k, i, s
• Andika herufi ubaoni au tumia kadi za herufi. Waambie: TIZAMA
MAANDISHI.
• Waoneshe wanafunzi kadi ya herufi s kisha waulize hiyo ni herufi gani
• Waulize wanafunzi kadhaa kuhakikisha kila mmoja amefahamu majina
ya herufi.

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 61


Fundisha majina ya herufi s kutumia muongozo ufuatao.

Msingi wa Mwalimu: Mwalimu na Mwalimu:


kialfabeti “Ninatenda” mwanafunzi: Sasa zamu yenu.
TIZAMA “Tunatenda” Darasa hii ni herufi?
Uhusiano MAANDISHI. (Onesha herufi s)
wa Sauti na TIZAMA • Mistari mitatu
herufi Hii ni herufi s. MAANDISHI. ya nyuma,
Onesha wanafunzi Sasa, kila mmoja: Hii sauti ipi?
(ANDIKA) herufi s. Herufi s ni herufi s. (Onesha Wanafunzi watasema:
inaunda sauti / wanafunzi herufi • Mistari mitatu
sss/. s) Herufi s inaunda ya mbele, sauti
sauti gani, sote kwa ipi?
pamoja? Wanafunzi watasema:
Onesha ishara kwa • Wasichana
mkono kuashiria nyote, sauti
wanafunzi wajibu ipi? Wanafunzi
pamoja nawe. (sote watasema:
tuseme) /sss/ • Wavulana
nyote, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:
• Upande
wangu wa
kulia, sauti
ipi? (mwalimu
aelekeze mkono
upande wa
kulia)
Wanafunzi watasema:
• Upande
wangu wa
kushoto, sauti
ipi? (mwalimu
aelekeze mkono
upande wa
kushoto)
Wanafunzi watasema:
• Nyote kwa
pamoja, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:

62 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


 Mazoezi ya sauti ya herufi na ufasaha (4-5 dakika): MAZOEZI
• Chukua kadi yenye herufi: s (AU andika herufi hiyo ubaoni).
• Wakumbushe wanafunzi jina la herufi kisha ioneshe huku ukiwataka
wanyooshe mkono kama wanajua jina la herufi hiyo.
(Tumia sekunde 30 au zaidi kwa kazi hii)
• Tamka sauti ya herufi s
• Waambie wanafunzi wanyooshe mkono ” kama wanaweza kutaja jina
la herufi linalounda sauti hiyo.
• Waulize wanafunzi kama wanaweza kusoma neno kwa kulitamka.
Onesha neno [sima] ubaoni kisha sema “Tizama maandishi”.
• Waoneshe namna ya kutamka neno (Ninatenda, Tunatenda,
Unatenda). /s/ /i/ /m/ /a/
• Unganisha sauti kisha sema neno [sima].
• Waambie wanafunzi wanyooshe mkono kama wanaweza kusema sauti
zilizopo katika neno [sima], kisha watamke neno lote
• Chagua wanafunzi kadhaa kutamka neno hilo.
• Sahihisha makosa.
• Onesha neno kisha tamka sauti zinazounda neno
• Onesha neno kisha waambie wanafunzi walitamke. (Mnatenda).
• Onesha kila herufi kisha tamka pamoja na wanafunzi. Sauti ya mwanzo
katika neno [sima] ni /sss/, inayofuata /iii/, inayofuata /mmm/, ya
mwisho /aaa/. Neno gani hilo? [sima]. Neno hilo ni [sima].
• Sasa zamu yenu. Ni neno gani? [sima]
• Waambie wanafunzi waandike herufi mpya, silabi na maneno ambayo
yamefundishwa katika kipindi hiki. (Ninatenda, Tunatenda, Unatenda)

Sentensi rahisi:
Mama ana saa.

Mazoezi ya Kusoma Sentensi


• Waoneshe wanafunzi kila herufi za sauti na utamke [Mama ana saa.]
• Waambie wanafunzi wasome sentensi kwa sauti

Msamiati: (Dakika 4-5)


RUDIA MANENO; [siki, saa, sasa, sisi,ana, saka]

Rejea neno la hakiba:


• Andika neno [saa] ubaoni.
• Wakumbushe wanafunzi kuwa neno hili limekwisha fundishwa.
Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 63
Waambie walitumie katika sentensi kwa usahihi

Neno jipya [ana]:


• Waambie wanafunzi kuwa neno jipya lililotumiwa sana ni ana
• Waoneshe kadi ya neno au liandike ubaoni.
• Waambie wanafunzi wasome neno pamoja na wewe.

Mchezo wa kujenga ufasaha kutumia maneno; [saka, siki, sasa, sisi, ana]
• Waeleze wanafunzi wanyooshe mkono wanapoona neno
wanalolitambua katika kadi utakayoonesha (au onesha maneno hayo
ubaoni)
• Waambie kuwa utaonesha kila kadi (au utaonesha ubaoni) kwa haraka,
kwa hiyo waharakishe kunyoosha mkono pindi wanapoona neno
wanalolitambua
• Chagua mwanafunzi aliyenyoosha mkono asome neno husika.

Ufahamu wa kusikiliza (Dakika 10):


Wasomee hadithi ifuatayo. ANGALIZO: Msamiati na maneno rejea yamekozeshwa.
Yaandike maneno ubaoni. Unapofikia msamiati wakati wa Mwanafunzi aweze
kujibu maswali ya ufahamu , tulia kwa muda kisha onesha msamiati huo ubaoni.

Ufahamu
Sisi hapa ni watoto wadogo
Twajifunza kusoma na kuhesabu
Mwalimu wetu atufundisha adabu
Na heshima mbele ya wazazi wetu

Maswali ya Ufahamu:
• Watoto wadogo wanajifunza nini?
• Kwa nini tunajifunza kusoma na kuhesabu?
• Ni tabia gani nyengine njema mtoto anatakiwa kujifunza?

Mazoezi:
Waambie wanafunzi watafute maneno yanayoanza na sauti /s/

64 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


Weka alama ya vyema baada ya kufundisha
12.0 Kufundisha sauti S
Wiki ya 3: Siku ya 2

Tarehe: _____________________
Muongozo wa ufundishaji: Tumia
jina la herufi/sauti ya herufi katika
muongozo huu ili kufundisha majina na
sauti za herufi husika Zana:
Malengo: • Kadi za herufi S
• Mwanafunzi aweze kutamka • Kadi za herufi kwa ajili ya
sauti na jina la herufi sauti na marudio
jina la herufi S kwa kutumia • Kadi za maneno
muongozo ufuatao • Andika neno [Saa] ubaoni
• Mwanafunzi aweze kufanya • Kadi za sentensi
mazoezi ya kusoma kwa • Hadithi au nyimbo
kutumia kadi za herufi, maneno • Kitini cha mazoezi kwa
na sentensi mwanafunzi
• Mwanafunzi aweze kusoma
sentensi rahisi
• Mwanafunzi aweze kujibu
maswali ya ufahamu

Muongozo wa kufundisha utambuzi wa sauti (Dakika 5)


Marudio:
• Rudia sauti zilizofundishwa katika wiki hiyo: /a/, /m/ , /k /, /i/
• Waulize wanafunzi sauti ipi wanayoisikia mwanzoni mwa kila neno
lililofundishwa katika somo lililopita (Usiandike Maneno). [Maka, Kima,
Ima, Ama]

Fundisha sauti S kwa kutumia muongozo ufuatao:

Ujuzi Mwalimu Mwalimu na Mazoezi ya


“Ninatenda” Mwanafunzi mwanafuzi
“tunatenda” “unatenda”
Sauti mwanzo ya Rudia sauti zote na Mwalimu aulize: Ni
neno [Saa] ni? /s/ maneno sauti gani ya mwanzo
Sikiliza, /s/ mnayoisikia kwenye
Sasa, tuseme sauti neno [Saa/Siki]?
ya mwanzo neno
[Saa]

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 65


Utambuzi Sasa, sauti ya Kila mmoja, sauti • Mistari mitatu
wa mwanzo ya neno ya mwanzo ya neno ya nyuma,
Sauti [Siki] ni? /s/ [Saa] ni /sss/ sauti ipi?
Sikiliza, /sss/ Onesha ishara kwa Wanafunzi watasema:
mkono kuashiria • Mistari mitatu
wanafunzi wajibu ya mbele,
(USIANDIKE) pamoja nawe (Haya sauti ipi?
sote tuseme) /sss/ Wanafunzi watasema:
• Wasichana
Sasa, fundisha nyote, sauti
sauti za mwanzo za ipi?
neno [Siki] kama Wanafunzi watasema:
ulivyofanya kwa • Wavulana
[Saa] nyote, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:
• Upande
wangu wa
kulia, sauti
ipi? (mwalimu
aelekeze
mkono upande
wa kulia)
Wanafunzi watasema:
• Upande
wangu wa
kushoto, sauti
ipi? (mwalimu
aelekeze
mkono upande
wa kushoto)
Wanafunzi watasema:
• Nyote kwa
pamoja, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:

Mazoezi ya utambuzi wa sauti

Mchezo wa sauti:
• Waambie wanafunzi wainamishe vichwa vyao juu ya deski wakati wa
mchezo huu wa sauti.

66 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


•  aambie wanafunzi waoneshe dole gumba juu wanaposikia sauti /s/ na
W
dole gumba chini wasiposikia sauti hiyo mwanzoni mwa maneno yafuatayo:
(USIYAANDIKE) [saa, siki, sasa, saki, masa, kisa, masi, saka, sima]
Maana yake “Ndiyo” Maana yake “hapana”
• Ita mwanafunzi mmoja mmoja aseme neno linaloanza na sauti /s/.
• Sahihisha makosa

Maelekezo ya kufundisha utambuzi wa sauti ya herufi (Dakika 3-4)

Marudio:
• Rudia herufi ulizofundisha: A, M, K, I
• Andika herufi ubaoni au tumia kadi za herufi. Waambie: TIZAMA
MAANDISHI.
• Waoneshe wanafunzi kadi ya herufi M kisha waulize hiyo ni herufi gani
• Fanya hivyo kwa herufi A, K, I
• Waulize wanafunzi kadhaa kuhakikisha kila mmoja amefahamu majina ya
herufi.

Fundisha majina ya herufi S kutumia muongozo ufuatao

Msingi wa Mwalimu: Mwalimu na Mwalimu:


kialfabeti “Ninatenda” mwanafunzi: Sasa zamu yenu. Darasa
TIZAMA “Tunatenda” hii ni herufi? (Onesha
Uhusiano MAANDISHI. herufi S)
wa Sauti na TIZAMA • Mistari mitatu ya
herufi Hii ni herufi MAANDISHI. nyuma, sauti ipi?
S. Onesha Sasa, kila mmoja: Wanafunzi
(ANDIKA) wanafunzi Hii ni herufi watasema:
herufi S. Herufi S. (Onesha • Mistari mitatu ya
S inaunda sauti wanafunzi herufi mbele, sauti ipi?
/sss/. S) Herufi S inaunda
sauti gani, sote kwa
pamoja?
Onesha ishara kwa
mkono kuashiria
wanafunzi wajibu
pamoja nawe.
(sote tuseme) /
sss/

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 67


Wanafunziwatasema:
• Wasichana
nyote, sauti
ipi? Wanafunzi
watasema:
• Wavulana nyote,
sauti ipi?
Wanafunzi watasema:
• Upande wangu
wa kulia, sauti
ipi? (mwalimu
aelekeze mkono
upande wa kulia)
Wanafunzi
watasema:
• Upande wangu
wa kushoto,
sauti ipi?
(mwalimu
aelekeze mkono
upande wa
kushoto)
Wanafunzi watasema:
• Nyote kwa
pamoja, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:

Mazoezi ya sauti ya herufi na ufasaha (4-5 dakika): MAZOEZI


• Chukua kadi yenye herufi: S (AU andika herufi hiyo ubaoni).
• Wakumbushe wanafunzi jina la herufi kisha ioneshe huku ukiwataka
wanyooshe mkono kama wanajua jina la herufi hiyo.

(Tumia sekunde 30 au zaidi kwa kazi hii)


• Tamka sauti ya herufi S
• Waambie wanafunzi wanyooshe mkono ” kama wanaweza kutaja jina
la herufi linalounda sauti hiyo.
• Waulize wanafunzi kama wanaweza kusoma neno kwa kulitamka.
Onesha neno [sima] ubaoni kisha sema “Tizama maandishi”.
• Waoneshe namna ya kutamka neno (Ninatenda, Tunatenda,
Unatenda). /s/ /i/ /m/ /a/

68 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


• Unganisha sauti kisha sema neno [Sima].
• Waambie wanafunzi wanyooshe mkono kama wanaweza kusema sauti
zilizopo katika neno [Sima], kisha watamke neno lote.
• Chagua wanafunzi kadhaa kutamka neno hilo.
• Sahihisha makosa.
• Onesha neno kisha tamka sauti zinazounda neno
• Onesha neno kisha tamka sauti zinazounda neno
• Onesha neno kisha waambie wanafunzi walitamke. (Mnatenda).
• Onesha kila herufi kisha tamka pamoja na wanafunzi. Sauti ya mwanzo
katika neno [Sima] ni /sss/, inayofuata /iii/, inayofuata /mmm/, ya
mwisho /aaa/. Neno gani hilo? [sima]. Neno hilo ni [Sima].
• Waambie wanafunzi waandike herufi mpya, silabi na maneno ambayo
yamefundishwa katika kipindi hiki. (Ninatenda, Tunatenda, Unatenda)

Sentensi rahisi:
Mama ana saa.
Mazoezi ya Kusoma Sentensi
• Waoneshe wanafunzi kila herufi za sauti na utamke [Mama ana saa.]
• Waambie wanafunzi wasome sentensi kwa sauti

Msamiati: (Dakika 4-5)

RUDIA MANENO; [Siki, Saa, Sasa, Sisi, Ana, Saka]

Rejea neno la hakiba:


• Andika neno [Saa] ubaoni.
• Wakumbushe wanafunzi kuwa neno hili limekwisha fundishwa.
Waambie walitumie katika sentensi kwa usahihi
Neno jipya [ana]:
• Waambie wanafunzi kuwa neno jipya lililotumiwa sana ni ana
• Waoneshe kadi ya neno au liandike ubaoni.
• Waambie wanafunzi wasome neno pamoja na wewe.

Mchezo wa kujenga ufasaha kutumia maneno; [Saka, Siki, Sasa, Sisi, ana]
• Waeleze wanafunzi wanyooshe mkono wanapoona neno
wanalolitambua katika kadi utakayoonesha (au onesha maneno hayo
ubaoni)
• Waambie kuwa utaonesha kila kadi (au utaonesha ubaoni) kwa haraka,

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 69


kwa hiyo waharakishe kunyoosha mkono pindi wanapoona neno
wanalolitambua
• Chagua mwanafunzi aliyenyoosha mkono asome neno husika.

Ufahamu wa kusikiliza (Dakika 10):


Wasomee hadithi ifuatayo. ANGALIZO: Msamiati na maneno rejea yamekozeshwa
na yamepigiwa mstari.Yaandike maneno ubaoni. Unapofikia msamiati wakati wa
Mwanafunzi aweze kujibu maswali ya ufahamu , tulia kwa muda kisha onesha
msamiati huo ubaoni.

Ufahamu:
Sisi hapa ni watoto wadogo
Twajifunza kusoma na kuhesabu
Mwalimu wetu atufundisha adabu
Na heshima mbele ya wazazi wetu

Maswali ya Ufahamu:
• Watoto wadogo wanajifunza nini?
• Kwa nini tunajifunza kusoma na kuhesabu?
• Ni tabia gani nyengine njema mtoto anatakiwa kujifunza?

Mazoezi: Waambie wanafunzi watafute maneno yanayoanza na sauti /s/

70 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


Weka alama ya vyema baada ya kufundisha
13.0 Kufundisha sauti o
Wiki ya 3: Siku ya 3

Tarehe: _____________________
Muongozo wa ufundishaji: Tumia
jina la herufi/sauti ya herufi katika
muongozo huu ili kufundisha majina na
sauti za herufi husika Zana:
Malengo: • Kadi za herufi o
• Mwanafunzi aweze kutamka • Kadi za herufi kwa ajili ya
sauti na jina la herufi sauti na marudio
jina la herufi o kwa kutumia • Kadi za maneno
muongozo ufuatao • Andika neno [omo] ubaoni
• Mwanafunzi aweze kufanya • Kadi za sentensi
mazoezi ya kusoma kwa • Hadithi au nyimbo
kutumia kadi za herufi, maneno • Kitini cha mazoezi kwa
na sentensi mwanafunzi
• Mwanafunzi aweze kusoma
sentensi rahisi
• Mwanafunzi aweze kujibu
maswali ya ufahamu

Muongozo wa kufundisha utambuzi wa sauti (Dakika 5)

Marudio:
• Rudia sauti zilizofundishwa katika wiki hiyo: /a/, /m/ , /k/, /i/, /s/
• Waulize wanafunzi sauti ipi wanayoisikia mwanzoni mwa kila neno
lililofundishwa katika somo lililopita (Usiandike Maneno). [maka, kima,
ima, ama, siki, saa, kisa]

Fundisha sauti o kwa kutumia muongozo ufuatao:

Ujuzi Mwalimu Mwalimu na Mazoezi ya


“Ninatenda” Mwanafunzi mwanafuzi
“tunatenda” “unatenda”
Rudia sauti zote na
maneno

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 71


Utambuzi wa Sauti mwanzo ya Sasa, tuseme sauti Mwalimu aulize: Ni
Sauti neno [oa] ni? /o/ ya mwanzo neno sauti gani ya mwanzo
Sikiliza, /ooo/ [oa] mnayoisikia kwenye
Kilammoja, sauti ya neno [oa/omo]?
mwanzo ya neno • Mistari
(USIANDIKE) [oa] ni /ooo/ mitatu ya
Onesha ishara kwa nyuma, sauti
mkono kuashiria ipi?
wanafunzi wajibu Wanafunzi watasema:
Sasa, sauti ya pamoja nawe (Haya • Mistari
mwanzo ya neno sote tuseme) /ooo/ mitatu ya
[omo] ni? /o/ mbele, sauti
Sikiliza, /ooo/ Sasa, fundisha ipi?
sauti za mwanzo za Wanafunzi watasema:
neno [omo] kama • Wasichana
ulivyofanya kwa nyote, sauti
[oa] ipi?
Wanafunzi watasema:
• Wavulana
nyote, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:
• Upande
wangu wa
kulia, sauti
ipi? (mwalimu
aelekeze
mkono upande
wa kulia)
Wanafunzi watasema:
• Upande
wangu wa
kushoto, sauti
ipi? (mwalimu
aelekeze
mkono upande
wa kushoto)
Wanafunzi watasema:
• Nyote kwa
pamoja, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:

72 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


Mazoezi ya utambuzi wa sauti

Mchezo wa sauti:
• Waambie wanafunzi wainamishe vichwa vyao juu ya deski wakati wa
mchezo huu wa sauti.
• Waambie wanafunzi waoneshe dole gumba juu wanaposikia sauti /o/
na dole gumba chini wasipoisikia sauti hiyo mwanzoni mwa maneno
yafuatayo: (USIYAANDIKE) [oa, omo, oka, soma, somo, kimo, simo, ona]
Maana yake “Ndiyo” Maana yake “hapana”
• Ita mwanafunzi mmoja mmoja aseme neno linaloanza na sauti /o/.
• Sahihisha makosa

Maelekezo ya kufundisha utambuzi wa sauti ya herufi (Dakika 3-4)

Marudio:
• Rudia herufi ulizofundisha: a, m, k, i, s, o
• Andika herufi ubaoni au tumia kadi za herufi. Waambie: TIZAMA
MAANDISHI.
• Waoneshe wanafunzi kadi ya herufi o kisha waulize hiyo ni herufi gani
• Fanya hivyo kwa herufi a, m, i, s, k
• Waulize wanafunzi kadhaa kuhakikisha kila mmoja amefahamu majina ya
herufi.

Fundisha majina ya herufi o kutumia muongozo ufuatao

Msingi wa Mwalimu: Mwalimu na Mwalimu:


kialfabeti “Ninatenda” mwanafunzi: Sasa zamu yenu.
TIZAMA “Tunatenda” Darasa hii ni herufi?
Uhusiano wa MAANDISHI. (Onesha herufi o)
Sauti na herufi TIZAMA • Mistari mitatu
Hii ni herufi MAANDISHI. ya nyuma,
(ANDIKA) o. Onesha Sasa, kila mmoja: sauti ipi?
wanafunzi Hii ni herufi Wanafunzi watasema:
herufi o. Herufi o. (Onesha • Mistari mitatu
o inaunda sauti / wanafunzi ya mbele,
ooo/. herufi o) Herufi sauti ipi?
o inaunda sauti Wanafunzi watasema:
gani, sote kwa • Wasichana
pamoja? nyote, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 73


Onesha ishara • Wavulana
kwa mkono nyote, sauti
kuashiria ipi?
wanafunzi Wanafunzi watasema:
wajibu pamoja • Upande
nawe. (sote wangu wa
tuseme) /ooo/ kulia, sauti
ipi? (mwalimu
aelekeze
mkono upande
wa kulia)
Wanafunzi watasema:
• Upande
wangu wa
kushoto, sauti
ipi? (mwalimu
aelekeze
mkono upande
wa kushoto)
Wanafunzi watasema:
• Nyote kwa
pamoja, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:

Mazoezi ya sauti ya herufi na ufasaha (4-5 dakika): MAZOEZI


• Chukua kadi zenye herufi: o (AU andika herufi hiyo ubaoni).
• Wakumbushe wanafunzi jina la herufi kisha ioneshe huku ukiwataka
wanyooshe mkono kama wanajua jina la herufi hiyo.

(Tumia sekunde 30 au zaidi kwa kazi hii)


• Tamka sauti ya herufi o
• Waambie wanafunzi wanyooshe mkono kama wanaweza kutaja jina la
herufi linalounda sauti hiyo.
• Waulize wanafunzi kama wanaweza kusoma neno kwa kulitamka.
Onesha neno [omo] ubaoni kisha sema “Tizama maandishi”.

•  aoneshe namna ya kutamka neno (Ninatenda, Tunatenda, Unatenda).


W
/o/ /m/ /o/
• Unganisha sauti kisha sema neno [omo].
• Waambie wanafunzi wanyooshe mkono kama wanaweza kusema sauti
74 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza
zilizopo katika neno [omo], kisha watamke neno lote
• Chagua wanafunzi kadhaa kutamka neno hilo.
• Sahihisha makosa.
• Onesha neno kisha tamka sauti zinazounda neno
• Onesha neno kisha waambie wanafunzi walitamke. (Mnatenda).
• Onesha kila herufi kisha tamka pamoja na wanafunzi. Sauti ya mwanzo
katika neno [omo] ni /ooo/, inayofuata /mmm/, ya mwisho /ooo/. Neno
gani hilo? [omo]. Neno hilo ni [omo].
• Sasa zamu yenu. Ni neno gani? [omo]
• Waambie wanafunzi waandike herufi mpya, silabi na maneno ambayo
yamefundishwa katika kipindi hiki. (Ninatenda, Tunatenda, Unatenda)

Sentensi rahisi:
Mama ana omo
• Waoneshe wanafunzi kila herufi za sauti na utamke [mama ana omo]
• Waambie wanafunzi wasome sentensi kwa sauti

Msamiati: (Dakika 4-5)

RUDIA MANENO;

Rejea neno la hakiba:


• Andika neno [omo] ubaoni.
• Wakumbushe wanafunzi kuwa neno hili limekwisha fundishwa. Waambie
walitumie katika sentensi kwa usahihi
Neno jipya: [ana]
• Waambie wanafunzi kuwa neno jipya lililotumiwa sana ni
• Waoneshe kadi ya neno au liandike ubaoni.
• Waambie wanafunzi wasome neno pamoja na wewe.

Mchezo wa kujenga ufasaha kutumia maneno; [oa, omo, oka, oga, ona, ota]
• Waeleze wanafunzi wanyooshe mkono wanapoona neno wanalolitambua
katika kadi utakayoonesha (au onesha maneno hayo ubaoni)
• Waambie kuwa utaonesha kila kadi (au utaonesha ubaoni) kwa haraka,
kwa hiyo waharakishe kunyoosha mkono pindi wanapoona neno
wanalolitambua
• Chagua mwanafunzi aliyenyoosha mkono asome neno husika.

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 75


Ufahamu wa kusikiliza (Dakika 10):
Wasomee hadithi ifuatayo. ANGALIZO: Msamiati na maneno rejea yamekozeshwa
na yamepigiwa mstari.Yaandike maneno ubaoni. Unapofikia msamiati wakati wa
Mwanafunzi aweze kujibu maswali ya ufahamu , tulia kwa muda kisha onesha
msamiati huo ubaoni.

Ufahamu:
Siku moja mama alikwenda sokoni kununua sabuni omo afulie nguo. Aliipenda
sana maana inafanya nguo ziwe safi. Omo ni nzuri kwa kufulia. Sabuni ya Omo
inaondoa madoa yote ya uchafu katika nguo. Ukitumia omo huwezi kuona uchafu
tena katika nguo.

Mazoezi:
Waambie wanafunzi watafute maneno yanayoanza na sauti /o/

Weka alama ya vyema baada ya kufundisha


14.0 Kufundisha sauti O
Wiki ya 3: Siku ya 4

Tarehe: _____________________
Muongozo wa ufundishaji: Tumia
jina la herufi/sauti ya herufi katika
muongozo huu ili kufundisha majina na
sauti za herufi husika Zana:
Malengo: • Kadi za herufi O
• Mwanafunzi aweze kutamka • Kadi za herufi kwa ajili ya
sauti na jina la herufi sauti na marudio
jina la herufi O kwa kutumia • Kadi za maneno
muongozo ufuatao • Andika neno [Omo] ubaoni
• Mwanafunzi aweze kufanya • Kadi za sentensi
mazoezi ya kusoma kwa • Hadithi au nyimbo
kutumia kadi za herufi, maneno • Kitini cha mazoezi kwa
na sentensi mwanafunzi
• Mwanafunzi aweze kusoma
sentensi rahisi
• Mwanafunzi aweze kujibu
maswali ya ufahamu

76 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


Muongozo wa kufundisha utambuzi wa sauti (Dakika 5)

Marudio:
• Rudia sauti zilizofundishwa katika wiki hiyo: /a/, /m/ , /k/, /i/, /s/
• Waulize wanafunzi sauti ipi wanayoisikia mwanzoni mwa kila neno
lililofundishwa katika somo lililopita (Usiandike Maneno). [maka, kima,
ima, ama, siki, saa, kisa]

Fundisha sauti O kwa kutumia muongozo ufuatao:

Ujuzi Mwalimu Mwalimu na Mazoezi ya mwanafuzi


“Ninatenda” Mwanafunzi “unatenda”
“tunatenda”
Sauti mwanzo ya Rudia sauti zote na Mwalimu aulize: Ni
neno [Oa] ni? /o/ maneno sauti gani ya mwanzo
Utambuzi Sikiliza, /ooo/ mnayoisikia kwenye
wa Sasa, tuseme sauti neno [Oa/Omo]?
Sauti ya mwanzo neno • Mistari mitatu
[Oa] ya nyuma, sauti
Kilammoja, sauti ya ipi?
Sasa, sauti ya mwanzo ya neno Wanafunzi watasema:
(USIANDIKE) mwanzo ya neno [Oa] ni /ooo/ • Mistari mitatu
[Omo] ni? /o/ Onesha ishara kwa ya mbele, sauti
Sikiliza, /ooo/ mkono kuashiria ipi?
wanafunzi wajibu Wanafunzi watasema:
pamoja nawe (Haya • Wasichana
sote tuseme) /ooo/ nyote, sauti ipi?
Wanafunzi watasema:
Sasa, fundisha • Wavulana
sauti za mwanzo za nyote, sauti ipi?
neno [Omo] kama Wanafunzi watasema:
ulivyofanya kwa
[Oa] • Upande wangu
wa kulia, sauti
ipi? (mwalimu
aelekeze mkono
upande wa
kulia)

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 77


Wanafunzi watasema:
• Upande wangu
wa kushoto,
sauti ipi?
(mwalimu
aelekeze mkono
upande wa
kushoto)
Wanafunzi watasema:
• Nyote kwa
pamoja, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:

Mazoezi ya utambuzi wa sauti

Mchezo wa sauti:
• Waambie wanafunzi wainamishe vichwa vyao juu ya deski wakati wa
mchezo huu wa sauti.
• Waambie wanafunzi waoneshe dole gumba juu wanaposikia sauti /o/
na dole gumba chini wasipoisikia sauti hiyo mwanzoni mwa maneno
yafuatayo: (USIYAANDIKE) [Aa, Omo, Oka, Soma, Somo, Kimo, Simo, Ona]
Maana yake “Ndiyo” Maana yake “hapana”
• Ita mwanafunzi mmoja mmoja aseme neno linaloanza na sauti /o/.
• Sahihisha makosa

Maelekezo ya kufundisha utambuzi wa sauti ya herufi (Dakika 3-4)

Marudio:
• Rudia herufi ulizofundisha: A, M, K, I, S, O
• Andika herufi ubaoni au tumia kadi za herufi. Waambie: TIZAMA
MAANDISHI.
• Waoneshe wanafunzi kadi ya herufi K kisha waulize hiyo ni herufi gani
• Fanya hivyo kwa herufi A, M, I, S, O
• Waulize wanafunzi kadhaa kuhakikisha kila mmoja amefahamu majina ya
herufi.

78 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


Fundisha majina ya herufi O kutumia muongozo ufuatao

Msingi wa Mwalimu: Mwalimu na Mwalimu:


kialfabeti “Ninatenda” mwanafunzi: Sasa zamu yenu. Darasa
TIZAMA “Tunatenda” hii ni herufi? (Onesha
Uhusiano wa MAANDISHI. herufi O)
Sauti na herufi TIZAMA
Hii ni herufi MAANDISHI. • Mistari mitatu
(ANDIKA) O. Onesha Sasa, kila mmoja: ya nyuma, sauti
wanafunzi herufi Hii ni herufi ipi?
O. Herufi O O. (Onesha Wanafunzi watasema:
inaunda sauti / wanafunzi herufi • Mistari mitatu
ooo/. O) Herufi O ya mbele, sauti
inaunda sauti ipi?
gani, sote kwa Wanafunzi watasema:
pamoja? • Wasichana
Onesha ishara nyote, sauti
kwa mkono ipi? Wanafunzi
kuashiria watasema:
wanafunzi • Wavulana
wajibu pamoja nyote, sauti ipi?
nawe. (sote Wanafunzi watasema:
tuseme) /ooo/ • Upande wangu
wa kulia, sauti
ipi? (mwalimu
aelekeze mkono
upande wa
kulia)
Wanafunzi watasema:
• Upande wangu
wa kushoto,
sauti ipi?
(mwalimu
aelekeze mkono
upande wa
kushoto)
Wanafunzi watasema:
• Nyote kwa
pamoja, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 79


Mazoezi ya sauti ya herufi na ufasaha (4-5 dakika): MAZOEZI
• Chukua kadi yenye herufi: O (AU andika herufi hiyo ubaoni).
• Wakumbushe wanafunzi jina la herufi kisha ioneshe huku ukiwataka
wanyooshe mkono kama wanajua jina la herufi hilo.

(Tumia sekunde 30 au zaidi kwa kazi hii)


• Tamka sauti ya herufi O
• Waambie wanafunzi wanyooshe mkono kama wanaweza kutaja jina la
herufi linalounda sauti hiyo.
• Waulize wanafunzi kama wanaweza kusoma neno kwa kulitamka. Onesha
neno [Omo] ubaoni kisha sema “Tizama maandishi”.
• Waoneshe namna ya kutamka neno (Ninatenda, Tunatenda, Unatenda).
/o/ /m/ /o/
• Unganisha sauti kisha sema neno [Omo].
• Waambie wanafunzi wanyooshe mkono kama wanaweza kusema sauti
zilizopo katika neno [Omo], kisha watamke neno lote.
• Chagua wanafunzi kadhaa kutamka neno hilo.
• Sahihisha makosa.
• Onesha neno kisha tamka sauti zinazounda neno
• Onesha neno kisha waambie wanafunzi walitamke. (Mnatenda).
• Onesha kila herufi kisha tamka pamoja na wanafunzi. Sauti ya mwanzo
katika neno [Omo] ni /ooo/, inayofuata /mmm/, ya mwisho /ooo/. Neno
gani hilo? [Omo]. Neno hilo ni [Omo].
• Sasa zamu yenu. Ni neno gani? [Omo]
• Waambie wanafunzi waandike herufi mpya, silabi na maneno ambayo
yamefundishwa katika kipindi hiki. (Ninatenda, Tunatenda, Unatenda)

Sentensi rahisi:
Mama ana omo

Mazoezi ya Kusoma Sentensi


• Waoneshe wanafunzi kila herufi za sauti na utamke [Mama ana omo]
• Waambie wanafunzi wasome sentensi kwa sauti

80 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


Msamiati: (Dakika 4-5)
RUDIA MANENO;

Rejea neno la hakiba:


• Andika neno [Omo] ubaoni.
• Wakumbushe wanafunzi kuwa neno hili limekwisha fundishwa. Waambie
walitumie katika sentensi kwa usahihi

Neno jipya:
• Waambie wanafunzi kuwa neno jipya lililotumiwa sana ni
• Waoneshe kadi ya neno au liandike ubaoni.
• Waambie wanafunzi wasome neno pamoja na wewe.

Mchezo wa kujenga ufasaha kutumia maneno; [Oa, Ona, Omo, Kosa, Soma,
Soka, Kimo, Mosi]
• Waeleze wanafunzi wanyooshe mkono wanapoona neno wanalolitambua
katika kadi utakayoonesha (au onesha maneno hayo ubaoni)
• Waambie kuwa utaonesha kila kadi (au utaonesha ubaoni) kwa haraka,
kwa hiyo waharakishe kunyoosha mkono pindi wanapoona neno
wanalolitambua
• Chagua mwanafunzi aliyenyoosha mkono asome neno husika.

Ufahamu wa kusikiliza (Dakika 10):


Wasomee hadithi ifuatayo. ANGALIZO: Msamiati na maneno rejea yamekozeshwa
na yamepigiwa mstari.Yaandike maneno ubaoni. Unapofikia msamiati wakati wa
Mwanafunzi aweze kujibu maswali ya ufahamu , tulia kwa muda kisha onesha
msamiati huo ubaoni.

Ufahamu:
Siku moja mama alikwenda sokoni kununua sabuni ya omo afulie nguo. Aliipenda
sana maana inafanya nguo ziwe safi. Omo ni nzuri kwa kufulia. Omo inaondoa
madoa yote ya uchafu katika nguo. Ukitumia omo huwezi kuona uchafu tena
katika nguo.

Maswali ya ufahamu:
• Mama alikwenda wapi?
• Omo hutusaidia kufanya nini?
• Nyumbani mnatumia sabuni gani kufulia?

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 81


Mazoezi:
Waambie wanafunzi watafute maneno yanayoanza na sauti /o/

Weka alama ya vyema baada ya kufundisha


15.0 Marudio ya herufi kubwa na ndogo
Wiki ya 3: Siku ya 5

Tarehe: _____________________
Muongozo wa ufundishaji: Tumia
jina la herufi/sauti ya herufi katika
muongozo huu ili kufundisha herufi na Zana:
sauti za herufi husika • Kadi za herufi sS, oO
• Kadi za herufi kwa ajili ya marudio
Malengo: • Kadi za maneno
• Rudia sauti ya herufi na jina la • Andika neno [sima] ubaoni
sS, oO • Kadi za sentensi
• Kutumia maelekezo ya hapo • Hadithi au Nyimbo
chini • Kitini cha mazoezi kwa wanafunzi
• Fanya mazoezi kwa kutumia
kadi za herufi
• Soma sentensi zilizorahisi
• Soma hadithi

Muongozo wa kufundisha Utambuzi wa Sauti (Dakika 5)


 Marudio:
• Rudia sauti zilizofundishwa katika wiki hiyo: /s/, /o/
• Waulize wanafunzi sauti ipi wanayoisikia mwanzoni mwa kila neno
lililofundishwa katika somo lililopita (Usiandike Maneno).

Rudia sauti kwa kutumia muongozo ufuatao.

Ujuzi Mwalimu na Mazoezi ya


Mwalimu mwanafunzi mwanafunzi
“Ninatenda” “Tunatenda” “Unatenda”
Rudia sauti zote za
maneno

82 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


Utambuzi wa Mwalimu Sasa, Tuseme sauti Mwalimu anasema:
Sauti aongoze ya mwanzo kutoka Ni sauti ipi ya mwanzo
kutambua sauti katika maneno mnayosikia (Rejea
za mwanzo za tofauti tuliyojifunza maneno ya masomo
maneno tofauti somo lililopita. yaliyopita)
(USIANDIKE) kutoka masomo • Mistari mitatu
yaliyotangulia. ya nyuma, ni
sauti ipi?
Wanafunzi watasema:
• Mistari mitatu
ya mbele, ni
sauti ipi?
Wanafunzi watasema:
• Wasichana
nyote, ni sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:
• Wavulana
nyote, ni sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:
• Upande wangu
wa kulia, sauti
ipi? (Mwalimu
aelekeze mkono
upande wa
kulia)
Wanafunzi watasema
• Upande
wangu wa
kushoto, sauti
ipi? (Mwalimu
aelekeze mkono
wa kushoto)
Wanafunzi watasema:
• Nyote kwa
pamoja, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 83


Mazoezi ya Utambuzi wa Sauti
Mchezo wa Sauti:
• Waambie wanafunzi wasimame wanaposikia sauti ya mwanzo ya maneno
waliyojifunza (USIYAANDIKE)
• Sahihisha makosa

Maelekezo ya kufundisha utambuzi wa sauti ya herufi (Dakika 3-4)

Marudio:
• Rudia herufi ulizofundishwa ambazo ni sS, oO
• Andika herufi ubaoni au tumia kadi za herufi. Waambie: TIZAMA
MAANDISHI.
• Waulize wanafunzi ni herufi gani na waioneshe sS, oO
• Waulize wanafunzi kadhaa kuhakikisha kila mmoja amefahamu majina ya
herufi.
• Chagua herufi kutoka katika masomo yaliyopita ili wanafunzi wayafanyie
mazoezi

Rudia majina ya herufi sS, oO kutumia muongozo ufuatao.

Msingi wa Mwalimu: Mwalimu na Mwanafunzi:


kialfabeti “Ninatenda” mwanafunzi: “Unatenda”
“Tunatenda”
Uhusiano wa TIZAMA Mwalimu wagawie
Sauti na herufi MAANDISHI. TIZAMA wanafunzi kadi
Hii ni herufi sS. MAANDISHI. za maneno katika
(ANDIKA) Onesha wanafunzi Kila mmoja: Hii ni makundi na
sS. Herufi sS inatoa sauti sS. (Onesha waambie wachague
sauti /sss/. wanafunzi sS). herufi zinaashiria
Sauti sS inatoa sauti zilizotamkwa
Hii ni herufi oO. sauti gani, kila
(Onesha wanafunzi mmoja?
oO). Herufi oO Nyoosha mkono
inatoa sauti /ooo/. kuashiria
wanafunzi wajibu
pamoja na wewe.
(darasa zima) /
sss/

84 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


Sasa Kila mmoja:
Hii ni herufi
oO. (Onesha
wanafunzi herufi
oO) Herufi oO
inaunda sauti
gani, kila mmoja?
Nyoosha mkono
kuashiria
wanafunzi wajibu
pamoja na wewe.
(Darasa zima) /
ooo/

Mazoezi ya Sauti ya herufi na Ufasaha (Dakika 4-5): MAZOEZI


• Chukua kadi zenye herufi sS, oO (AU andika herufi hizo ubaoni).
• Wakumbushe wanafunzi jina la kila herufi kisha onesha moja baada ya
nyingine huku ukiwataka wanyooshe mkono kama wanajua majina ya
herufi hizo.

(Tumia sekunde 30 au zinazokaribiana kwa zoezi hili)


• Sema sauti ya herufi sS
• Waambie wanafunzi wanyooshe mkono kama wanaweza kusema jina
la herufi linalounda sauti hiyo. Fanya hivyo kwa oO.
• Waulize wanafunzi kama wanaweza kusoma neno kwa kulitamka.
Onesha neno; [takata, utamu, peleka] kwenye ubao na useme “Tizama
Maandishi”.
• Waoneshe namna ya kutamka neno (Ninatenda, Tunatenda,
Unatenda) /s/ /i/ /m/ /a/
• Unganisha sauti kisha sema neno [sima]. Fanya hivyo kwa neno [omo]
• Waambie wanafunzi wanyooshe mkono kama wanaweza kusema sauti
zilizomo katika neno [Sima] , na kisha watamke neno lote [Sima]
• Chagua wanafunzi kadhaa kutamka neno hiyo.
• Sahihisha makosa.
• Onesha neno kisha tamka sauti zinazounda neno
• Onesha neno kisha waambie wanafunzi walitamke. [Mnatenda].

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 85


•  nesha kila herufi kasha tamka pamoja na wanafunzi. auti ya mwanzo
O
katika neno [sima] ni /sss/, inayofuata /iii/ inayofuata /mmm/,ya mwisho
/aaaa/. Ni neno gani hilo? [sima]. Neno ni [sima].
• Sasa zamu yenu. Neno gani? [sima]
• Waambie wanafunzi waandike herufi mpya, silabi na maneno ambayo
yamefundishwa katika kipindi hicho (Ninatenda, Tunatenda,
Unatenda)

Mchezo wa kujenga ufasaha kutumia maneno [saa, sima, saka, oa, omo, ona]
• Waeleze wanafunzi wanyooshe mkono wanpoona neno wanalolitambua
katika kadi utakayoonyesha (au onesha maneno hayo ubaoni).
• Waambie kuwa utaonesha kila kadi (au utaonesha ubaoni) kwa haraka,
kwa hiyo waharakishe kunyoosha mkono pindi wanapoona neno
wanalolitambua
• Chagua mwanafunzi aliyenyoosha mkono asome neno husika.

Msamiati: (Dakika 4-5)


Rudia maneno [saa, sima, saka, oa, omo, ona]

Ufahamu wa Kusikiliza (Dakika 10):


Wasomee hadithi ifuatayo. ANGALIZO: Msamiati na maneno rejea yamekozeshwa
na yamepigiwa mstari.Yaandike maneno ubaoni. Unapofikia msamiati wakati wa
Mwanafunzi aweze kujibu maswali ya ufahamu , tulia kwa muda kisha onesha
msamiati huo ubaoni.

Hadithi ya Kusoma kwa Sauti [Hadithi kutoka kwenye kitabu]


• Andika hadithi kutoka kwenye kitabu ubaoni.
• Andika jina la mwandishi wa hadithi ubaoni
• Andika jina la msanifu wa michoro ubaoni.

Rejea neno la hakiba:


• Andika neno [sima] ubaoni.
• Wakumbushe wanafunzi kuwa neno hili limekwisha fundishwa.
• Waambie walitumie katika sentensi kwa usahihi

86 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


Weka alama ya vyema baada ya kufundisha
16.0 Marudio na kutilia mkazo (Chagua herufi kutoka siku tofauti)
Wiki ya 4: Siku ya 1

Tarehe: _____________________
Muongozo wa ufundishaji: Tumia
jina la herufi/sauti ya herufi katika
muongozo huu ili kufundisha majina na
Zana:
sauti za herufi husika
• Kadi za herufi m, i
Malengo:
• Kadi za herufi kwa ajili ya
• Mwanafunzi aweze kutamka
marudio
sauti na jina la herufi sauti na
• Kadi za maneno
jina la herufi m, i kwa kutumia
• Andika neno [mama] ubaoni
muongozo ufuatao
• Kadi za sentensi
• Mwanafunzi aweze kufanya
• Hadithi au nyimbo
mazoezi ya kusoma kwa
• Kitini cha mazoezi kwa
kutumia kadi za herufi, maneno
wanafunzi
na sentensi
• Mwanafunzi aweze kusoma
sentensi rahisi
• Mwanafunzi aweze kujibu
maswali ya ufahamu

Muongozo wa kufundisha utambuzi wa sauti (Dakika 5)

Marudio:
• Rudia sauti zilizofundishwa mwezi huu: /m/, /i/
• Waulize wanafunzi sauti ipi wanaisikia mwanzoni mwa kila neno
lililofundishwa katika somo lililopita (USIANDIKE maneno).

Rudia sauti kwa kutumia muongozo ufuatao:

Ujuzi Mwalimu Mwalimu na Mazoezi ya


“Ninatenda” mwanafunzi mwanafunzi
“tunatenda” “unatenda”
Rudia sauti zote na
maneno

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 87


Utambuzi Mwalimu aongoze Sasa, tuseme Mwalimu aulize: Ni
wa wanafunzi sauti ya mwanzo sauti gani ya mwanzo
Sauti kutambua sauti kutoka katika mnayoisikia ? (Rejea
za mwanzo za maneno tofauti maneno ya masomo
maneno tofauti tuliyojifunza somo yaliyopita)
kutoka masomo lililopita • Mistari mitatu
(USIANDIKE) yaliyotangulia ya nyuma,
sauti ipi?
Wanafunzi watasema:
• Mistari mitatu
ya mbele,
sauti ipi?
Wanafunzi watasema:
• Wasichana
nyote, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:
• Wavulana
nyote, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:
• Upande
wangu wa
kulia, sauti
ipi? (mwalimu
aelekeze
mkono upande
wa kulia)
Wanafunzi watasema:
• Upande
wangu wa
kushoto, sauti
ipi? (mwalimu
aelekeze
mkono upande
wa kushoto)
Wanafunzi watasema:
• Nyote kwa
pamoja, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:

88 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


Mazoezi ya utambuzi wa sauti

Mchezo wa sauti:
• Waambie wanafunzi wasimame wanaposikia sauti ya mwanzo ya maneno
waliyojifunza (USIYAANDIKE)
• Sahihisha makosa

Maelekezo ya kufundisha utambuzi wa sauti ya herufi (Dakika 3-4)

Marudio:
• Rudia herufi zilizokwisha fundishwa ambazo ni: m, i
• Andika herufi ubaoni au tumia kadi za herufi. Waambie: TIZAMA
MAANDISHI.
• Waoneshe wanafunzi kadi za herufi m, i kisha waulize hizo ni herufi gani
• Waulize wanafunzi kadhaa kuhakikisha kila mmoja amefahamu majina ya
herufi.

Rudia majina ya herufi m, i kutumia muongozo ufuatao

Msingi wa Mwalimu: Mwalimu na Mwanafunzi:


kialfabeti “Ninatenda” mwanafunzi: “unatenda”
TIZAMA “Tunatenda”
Uhusiano wa MAANDISHI. Mwalimu
Sauti na herufi TIZAMA wagawie
Hii ni herufi m. MAANDISHI. wanafunzi
(ANDIKA) Onesha wanafunzi Sasa, kilammoja: kadi za herufi
m. Herufi m inaunda Hii ni herufi m. katika makundi
sauti /mmm/. (Onesha wanafunzi na waambie
herufi m). Herufi m wachague herufi
inaunda sauti gani, zinazoendana
sote kwa pamoja? na sauti
Onesha wanafunzi Onesha ishara kwa zilizotamkwa
herufi i. Herufi i mkono kuashiria
inaunda sauti /iii/. wanafunzi wajibu
pamoja nawe. (sote
tuseme) /mmm/

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 89


Sasa, kila mmoja: Hii
ni herufi i. (Onesha
wanafunzi herufi
i) Herufi i inaunda
sauti gani, sote kwa
pamoja?
Onesha ishara kwa
mkono kuashiria
wanafunzi wajibu
pamoja nawe. (sote
tuseme) /iii/

★★ Mazoezi ya sauti ya herufi na ufasaha (4-5 dakika): MAZOEZI

• Chukua kadi zenye herufi: m, i (AU andika herufi hizo ubaoni).


• Wakumbushe wanafunzi jina la kila herufi kisha onesha moja baada ya
nyingine huku ukiwataka wanyooshe mkono kama wanajua majina ya
herufi hizo.

(Tumia sekunde 30 au zaidi kwa kazi hii)


• Tamka sauti ya herufi m
• Waambie wanafunzi wanyooshe mkono ” kama wanaweza kutaja jina la
herufi linalounda sauti hiyo. Fanya hivyo kwa herufi i.
• Waulize wanafunzi kama wanaweza kusoma neno kwa kulitamka.
Onesha neno; [mama, maji, ita, ima] ubaoni kisha sema “Tizama
maandishi”.
• Waoneshe namna ya kutamka neno (Ninatenda, Tunatenda,
Unatenda). /m/ /a/ /m/ /a/,
• Unganisha sauti kisha sema neno [mama]. Fanya hivyo kwa neno [maji,
ita, ima]
• Waambie wanafunzi wanyooshe mkono kama wanaweza kusema sauti
zilizopo katika neno [mama], kisha watamke neno lote.
• Chagua wanafunzi kadhaa kutamka neno hilo.
• Sahihisha makosa.
• Onesha neno kisha tamka sauti zinazounda neno
• Onesha neno kisha waambie wanafunzi walitamke. (Mnatenda).
• Onesha kila herufi kisha tamka pamoja na wanafunzi. Sauti ya mwanzo

90 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


katika neno [mama] ni /mmm/, inayofuata /aaa/, inayofuata /mmm/, ya
mwisho /aaaa/. Neno gani hilo? [mama]. Neno hilo ni [mama].
• Sasa zamu yenu. Ni neno gani? [mama]
• Waambie wanafunzi waandike herufi mpya, silabi na maneno ambayo
yamefundishwa katika kipindi hiki. (Ninatenda, Tunatenda, Unatenda)
Mchezo wa kujenga ufasaha kutumia maneno; [mama, maji, ita, ima]
• Waeleze wanafunzi wanyooshe mkono wanapoona neno
wanalolitambua katika kadi utakayoonesha (au onesha maneno hayo
ubaoni)
• Waambie kuwa utaonesha kila kadi (au utaonesha ubaoni) kwa haraka,
kwa hiyo waharakishe kunyoosha mkono pindi wanapoona neno
wanalolitambua
• Chagua mwanafunzi aliyenyoosha mkono asome neno husika.

Msamiati: (Dakika 4-5)

RUDIA MANENO; [mama, maji, ita, ima]

Ufahamu wa kusikiliza (Dakika 10):


Wasomee hadithi ifuatayo. ANGALIZO: Msamiati na maneno rejea yamekozeshwa
na yamepigiwa mstari.Yaandike maneno ubaoni. Unapofikia msamiati wakati wa
Mwanafunzi aweze kujibu maswali ya ufahamu , tulia kwa muda kisha onesha
msamiati huo ubaoni.

Hadithi ya kusoma kwa sauti [Hadithi kutoka kwenye kitabu]


• Andika hadithi kutoka kwenye kitabu ubaoni.
• Andika jina la mwandishi wa hadithi.
• Andika jina msanifu wa michoro.

Rejea ya neno la hakiba:


• Andika neno [mama] ubaoni.
• Wakumbushe wanafunzi kuwa neno hili limekwisha fundishwa. Waeleze
walitumie katika sentensi kwa usahihi.

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 91


Weka alama ya vyema baada ya kufundisha
17.0 Marudio na kukazia (chagua herufi kutoka siku tofauti):
Wiki ya 4: Siku ya 2

Tarehe: _____________________
Muongozo wa ufundishaji: Tumia
jina la herufi/sauti ya herufi katika
muongozo huu ili kufundisha majina na
Zana:
sauti za herufi husika
• Kadi za herufi k, o
Malengo:
• Kadi za herufi kwa ajili ya
• Mwanafunzi aweze kutamka
marudio
sauti na jina la herufi sauti na
• Kadi za maneno
jina la herufi k, o kwa kutumia
• Andika neno [kaa] ubaoni
muongozo ufuatao
• Kadi za sentensi
• Mwanafunzi aweze kufanya
• Hadithi au Nyimbo
mazoezi ya kusoma kwa
• Kitini cha mazoezi kwa
kutumia kadi za herufi, maneno
wanafunzi
na sentensi
• Mwanafunzi aweze kusoma
sentensi rahisi
• Mwanafunzi aweze kujibu
maswali ya ufahamu

Muongozo wa kufundisha utambuzi wa sauti (Dakika 5)

Marudio:
• Rudia sauti zilizofundishwa mwezi huu: /k/, /o/
• Waulize wanafunzi sauti ipi wanaisikia mwanzoni mwa kila neno
lililofundishwa katika somo lililopita (USIANDIKE maneno).

Rudia sauti kwa kutumia muongozo ufuatao:

Ujuzi Mwalimu Mwalimu na Mazoezi ya mwanafunzi


“Ninatenda” mwanafunzi “unatenda”
“tunatenda” Mwalimu aulize: Ni
Rudia sauti zote sauti gani ya mwanzo
na maneno mnayoisikia ? (Rejea
maneno ya masomo
yaliyopita)

92 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


Utambuzi wa Mwalimu Sasa, tuseme • Mistari mitatu ya
Sauti aongoze sauti ya nyuma, sauti ipi?
wanafunzi mwanzo Wanafunzi watasema:
kutambua sauti kutoka katika • Mistari mitatu ya
za mwanzo maneno tofauti mbele, sauti ipi?
(USIANDIKE) za maneno tuliyojifunza Wanafunzi watasema:
tofauti kutoka somo lililopita • Wasichana nyote,
masomo sauti ipi?
yaliyotangulia Wanafunzi watasema:
• Wavulana nyote,
sauti ipi?
Wanafunzi watasema:
• Upande wangu
wa kulia, sauti ipi?
(mwalimu aelekeze
mkono upande wa
kulia)
Wanafunzi watasema:
• Upande wangu wa
kushoto, sauti ipi?
(mwalimu aelekeze
mkono upande wa
kushoto)
Wanafunzi watasema:
• Nyote kwa
pamoja, sauti ipi?
Wanafunzi watasema:

Mazoezi ya utambuzi wa sauti

Mchezo wa sauti:
• Waambie wanafunzi wasimame wanaposikia sauti ya mwanzo ya maneno
waliyojifunza (USIYAANDIKE)
• Sahihisha makosa

Maelekezo ya kufundisha utambuzi wa sauti ya herufi (Dakika 3-4)

Marudio:
• Rudia herufi zilizokwisha fundishwa ambazo ni: k, o
• Andika herufi ubaoni au tumia kadi za herufi. Waambie: TIZAMA
Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 93
MAANDISHI.
• Waoneshe wanafunzi kadi za herufi k, o kisha waulize hizo ni herufi gani
• Waulize wanafunzi kadhaa kuhakikisha kila mmoja amefahamu majina ya
herufi.

Rudia majina ya herufi k, o kutumia muongozo ufuatao.

Msingi wa Mwalimu: Mwalimu na Mwanafunzi:


kialfabeti “Ninatenda” mwanafunzi: “unatenda”
TIZAMA “Tunatenda”
Uhusiano wa MAANDISHI. Mwalimu wagawie
Sauti na herufi TIZAMA wanafunzi
Hii ni herufi MAANDISHI. kadi za herufi
(ANDIKA) k. Onesha Sasa, kila mmoja: Hii katika makundi
wanafunzi ni herufi k. (Onesha na waambie
herufi k. Herufi k wanafunzi herufi wachague herufi
inaunda sauti /k/. k) Herufi k inaunda zinazoendana na
sauti gani, sote kwa sauti zilizotamkwa
Onesha pamoja?
wanafunzi o. Onesha ishara kwa
Herufi o inaunda mkono kuashiria
sauti /ooo/. wanafunzi wajibu
pamoja nawe. (sote
tuseme) /k/

Sasa, kilammoja: Hii


ni herufi o. (Onesha
wanafunzi herufi
o). Herufi o inaunda
sauti gani, sote kwa
pamoja?
Onesha ishara kwa
mkono kuashiria
wanafunzi wajibu
pamoja nawe. (sote
tuseme) /ooo/

94 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


Mazoezi ya sauti ya herufi na ufasaha (4-5 dakika): MAZOEZI

• Chukua kadi zenye herufi: k, o (AU andika herufi hizo ubaoni).


• Wakumbushe wanafunzi jina la kila herufi kisha onesha moja baada ya
nyingine huku ukiwataka wanyooshe mkono kama wanajua majina ya
herufi hizo.

(Tumia sekunde 30 au zaidi kwa kazi hii)


• Tamka sauti ya herufi k
• Waambie wanafunzi wanyooshe mkono kama wanaweza kutaja jina la
herufi linalounda sauti hiyo. Fanya hivyo kwa herufi o.
• Waulize wanafunzi kama wanaweza kusoma neno kwa kulitamka.
Onesha neno; [kaa] ubaoni kisha sema “Tizama maandishi”.
• Waoneshe namna ya kutamka neno (Ninatenda, Tunatenda,
Unatenda). /k/ /a/ /a/
• Unganisha sauti kisha sema neno [kaa]. Fanya hivyo kwa neno [kosa,
ona, kimo, oa, ona, ota]
• Waambie wanafunzi wanyooshe mkono kama wanaweza kusema sauti
zilizopo katika neno [kaa], kisha watamke neno lote.
• Chagua wanafunzi kadhaa kutamka neno hilo.
• Sahihisha makosa.
• Onesha neno kisha tamka sauti zinazounda neno
• Onesha neno kisha waambie wanafunzi walitamke. (Mnatenda).
• Onesha kila herufi kisha tamka pamoja na wanafunzi. Sauti ya mwanzo
katika neno [kaa] ni /k/, inayofuata /aaa/, ya mwisho /aaa/. Neno gani
hilo? [kaa]. Neno hilo ni [kaa].
• Sasa zamu yenu. Ni neno gani? [kaa]
• Waambie wanafunzi waandike herufi mpya, silabi na maneno ambayo
yamefundishwa katika kipindi hiki. (Ninatenda, Tunatenda, Unatenda)

Mchezo wa kujenga ufasaha kutumia maneno; [kaa, kosa, kimo, oa, ona, ota]
• Waeleze wanafunzi wanyooshe mkono wanapoona neno
wanalolitambua katika kadi utakayoonesha (au onesha maneno hayo
ubaoni)
• Waambie kuwa utaonesha kila kadi (au utaonesha ubaoni) kwa haraka
, kwa hiyo waharakishe kunyoosha mkono pindi wanapoona neno
wanalolitambua
• Chagua mwanafunzi aliyenyoosha mkono asome neno husika.

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 95


Msamiati: (Dakika 4-5)

RUDIA MANENO; [kaa, kosa, kimo, oa, ona, ota]

Ufahamu wa kusikiliza (Dakika 10):


Wasomee hadithi ifuatayo. ANGALIZO: Msamiati na maneno rejea yamekozeshwa
na yamepigiwa mstari.Yaandike maneno ubaoni. Unapofikia msamiati wakati wa
Mwanafunzi aweze kujibu maswali ya ufahamu , tulia kwa muda kisha onesha
msamiati huo ubaoni.

Hadithi ya kusoma kwa sauti [Hadithi kutoka kwenye kitabu]


• Andika hadithi kutoka kwenye kitabu ubaoni.
• Andika jina la mwandishi wa hadithi.
• Andika jina msanifu wa michoro.

Rejea ya neno la hakiba:


• Andika neno [kaa] ubaoni.
• Wakumbushe wanafunzi kuwa neno hili limekwisha fundishwa. Waeleze
walitumie katika sentensi kwa usahihi.

Weka alama ya vyema baada ya kufundisha


18.0 Marudio na kukazia maarifa (chagua herufi kutoka siku tofauti)
Wiki ya 4: Siku ya 4

Tarehe: _____________________
Muongozo wa ufundishaji: Tumia jina la
herufi/sauti ya herufi katika muongozo
huu ili kufundisha majina na sauti za herufi Zana:
husika • Kadi za herufi s, i
Malengo: • Kadi za herufi kwa ajili ya
• Mwanafunzi aweze kutamka sauti marudio
na jina la herufi sauti na jina la • Kadi za maneno
herufi s, i kwa kutumia muongozo • Andika neno [saa] ubaoni
ufuatao • Kadi za sentensi
• Mwanafunzi aweze kufanya • Hadithi au Nyimbo
mazoezi ya kusoma kwa kutumia • Kitini cha mazoezi kwa
kadi za herufi, maneno na sentensi wanafunzi
• Mwanafunzi aweze kusoma
sentensi rahisi
• Mwanafunzi aweze kujibu maswali
ya ufahamu

96 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


Muongozo wa kufundisha utambuzi wa sauti (Dakika 5)
 Marudio:
• Rudia sauti zilizofundishwa mwezi huu: /s/, /i/
• Waulize wanafunzi sauti ipi wanaisikia mwanzoni mwa kila neno
lililofundishwa katika somo lililopita (USIANDIKE maneno).

Rudia sauti kwa kutumia muongozo ufuatao:

Ujuzi Mwalimu Mwalimu na Mazoezi ya


“Ninatenda” mwanafunzi mwanafunzi
Utambuzi “tunatenda” “unatenda”
wa Mwalimu aongoze Rudia sauti zote
Sauti wanafunzi na maneno Mwalimu aulize: Ni
kutambua sauti sauti gani ya mwanzo
za mwanzo za Sasa, tuseme mnayoisikia ? (Rejea
maneno tofauti sauti ya mwanzo maneno ya masomo
(USIANDIKE) kutoka masomo kutoka katika yaliyopita)
yaliyotangulia maneno tofauti • Mistari mitatu
tuliyojifunza somo ya nyuma,
lililopita sauti ipi?
Wanafunzi watasema:
• Mistari mitatu
ya mbele, sauti
ipi?

Wanafunzi watasema:
• Wasichana
nyote, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:
• Wavulana
nyote, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:
• Upande wangu
wa kulia, sauti
ipi? (mwalimu
aelekeze mkono
upande wa
kulia)

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 97


Wanafunzi watasema:
• Upande
wangu wa
kushoto, sauti
ipi? (mwalimu
aelekeze mkono
upande wa
kushoto)
Wanafunzi watasema:
• Nyote kwa
pamoja, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:

Mazoezi ya utambuzi wa sauti

Mchezo wa sauti:
• Waambie wanafunzi wasimame wanaposikia sauti ya mwanzo ya maneno
waliyojifunza (USIYAANDIKE)
• Sahihisha makosa

Maelekezo ya kufundisha utambuzi wa sauti ya herufi (Dakika 3-4)

Marudio:
• Rudia herufi zilizokwisha fundishwa ambazo ni: s, i
• Andika herufi ubaoni au tumia kadi za herufi. Waambie: TIZAMA
MAANDISHI.
• Waoneshe wanafunzi kadi za herufi s, i kisha waulize hizo ni herufi gani
• Waulize wanafunzi kadhaa kuhakikisha kila mmoja amefahamu majina ya
herufi.

Rudia majina ya herufi s, i kutumia muongozo ufuatao.

Msingi wa Mwalimu: Mwalimu na Mwanafunzi:


kialfabeti “Ninatenda” mwanafunzi: “unatenda”
TIZAMA “Tunatenda”
MAANDISHI.

98 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


Uhusiano wa Sauti Hii ni herufi TIZAMA Mwalimu wagawie
na herufi s. Onesha MAANDISHI. wanafunzi
wanafunzi Sasa, kila mmoja: kadi za herufi
(ANDIKA) herufi s. Herufi s Hii ni herufi katika makundi
inaunda sauti / s. (Onesha na waambie
sss/. wanafunzi wachague herufi
herufi s) Herufi zinazoendana na
Onesha s inaunda sauti sauti zilizotamkwa
wanafunzi i. gani, sote kwa
Herufi i inaunda pamoja?
sauti /iii/. Onesha ishara
kwa mkono
kuashiria
wanafunzi wajibu
pamoja nawe.
(sote tuseme) /s/

Sasa, kilammoja:
Hii ni herufi
i. (Onesha
wanafunzi herufi
i). Herufi i inaunda
sauti gani, sote
kwa pamoja?
Onesha ishara
kwa mkono
kuashiria
wanafunzi wajibu
pamoja nawe.
(sote tuseme) /iii/

Mazoezi ya sauti ya herufi na ufasaha (4-5 dakika): MAZOEZI

• Chukua kadi zenye herufi: s, i (AU andika herufi hizo ubaoni).


• Wakumbushe wanafunzi jina la kila herufi kisha onesha moja baada ya
nyingine huku ukiwataka wanyooshe mkono kama wanajua majina ya
herufi hizo.

(Tumia sekunde 30 au zaidi kwa kazi hii)


• Tamka sauti ya herufi s
Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 99
•  aambie wanafunzi wanyooshe mkono ” kama wanaweza kutaja jina la
W
herufi linalounda sauti hiyo. Fanya hivyo kwa herufi i.
• Waulize wanafunzi kama wanaweza kusoma neno kwa kulitamka. Onesha
neno; [soka] ubaoni kisha sema “Tizama maandishi”.
• Waoneshe namna ya kutamka neno (Ninatenda, Tunatenda, Unatenda)
/s/ /o/ /k/ /a/
• Unganisha sauti kisha sema neno [soka]. Fanya hivyo kwa neno [saa,
sima, ita, ima]
• Waambie wanafunzi wanyooshe mkono kama wanaweza kusema sauti
zilizopo katika neno [soka], kisha watamke neno lote.
• Chagua wanafunzi kadhaa kutamka neno hilo.
• Sahihisha makosa.
• Onesha neno kisha tamka sauti zinazounda neno
• Onesha neno kisha waambie wanafunzi walitamke. (Mnatenda).
• Onesha kila herufi kisha tamka pamoja na wanafunzi. Sauti ya mwanzo
katika neno [sss] ni /ooo/, inayofuata /k/, ya mwisho /aaa/. Neno gani
hilo? [soka]. Neno hilo ni [soka].
• Sasa zamu yenu. Ni neno gani? [soka]
• Waambie wanafunzi waandike herufi mpya, silabi na maneno ambayo
yamefundishwa katika kipindi hiki. (Ninatenda, Tunatenda, Unatenda)
Mchezo wa kujenga ufasaha kutumia maneno; [saa, sima, soka, ita,
ima, iba]
• Waeleze wanafunzi wanyooshe mkono wanapoona neno wanalolitambua
katika kadi utakayoonesha (au onesha maneno hayo ubaoni)
• Waambie kuwa utaonesha kila kadi (au utaonesha ubaoni) kwa haraka,
kwa hiyo waharakishe kunyoosha mkono pindi wanapoona neno
wanalolitambua
• Chagua mwanafunzi aliyenyoosha mkono asome neno husika.

Msamiati: (Dakika 4-5)

RUDIA MANENO; [saa, sima, soka, ita, ima, iba]

Ufahamu wa kusikiliza (Dakika 10):


Wasomee hadithi ifuatayo. ANGALIZO: Msamiati na maneno rejea yamekozeshwa
na yamepigiwa mstari.Yaandike maneno ubaoni. Unapofikia msamiati wakati wa
Mwanafunzi aweze kujibu maswali ya ufahamu , tulia kwa muda kisha onesha
msamiati huo ubaoni.

100 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


Hadithi ya kusoma kwa sauti [Hadithi kutoka kwenye kitabu]
• Andika hadithi kutoka kwenye kitabu ubaoni.
• Andika jina la mwandishi wa hadithi.
• Andika jina msanifu wa michoro.

Rejea ya neno la hakiba:


• Andika neno [soka] ubaoni.
• Wakumbushe wanafunzi kuwa neno hili limekwisha fundishwa. Waeleze
walitumie katika sentensi kwa usahihi.

Weka alama ya vyema baada ya kufundisha


19.0 Marudio na kukazia maarifa (chagua herufi kutoka siku tofauti)
Wiki ya 4: Siku ya 5

Tarehe: _____________________
Muongozo wa ufundishaji: Tumia
jina la herufi/sauti ya herufi katika
muongozo huu ili kufundisha majina na
Zana:
sauti za herufi husika
• Kadi za herufi m, a
Malengo:
• Kadi za herufi kwa ajili ya
• Mwanafunzi aweze kutamka
marudio
sauti na jina la herufi sauti na
• Kadi za maneno
jina la herufi m, a kwa kutumia
• Andika neno [mama] ubaoni
muongozo ufuatao
• Kadi za sentensi
• Mwanafunzi aweze kufanya
• Hadithi au Nyimbo
mazoezi ya kusoma kwa
• Kitini cha mazoezi kwa
kutumia kadi za herufi, maneno
mwanafunzi
na sentensi
• Mwanafunzi aweze kusoma
sentensi rahisi
• Mwanafunzi aweze kujibu
maswali ya ufahamu

Muongozo wa kufundisha utambuzi wa sauti (Dakika 5)


Marudio:
• Rudia sauti zilizofundishwa mwezi huu: /m/, /a/
• Waulize wanafunzi sauti ipi wanaisikia mwanzoni mwa kila neno
lililofundishwa katika somo lililopita (USIANDIKE maneno).

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 101


Rudia sauti kwa kutumia muongozo ufuatao:
Ujuzi Mwalimu Mwalimu na Mazoezi ya
“Ninatenda” mwanafunzi mwanafuzi
Utambuzi “tunatenda” “unatenda”
wa Mwalimu aongoze Rudia sauti zote
Sauti wanafunzi na maneno Mwalimu aulize: Ni
kutambua sauti sauti gani ya mwanzo
za mwanzo za Sasa, tuseme mnayoisikia ? (Rejea
maneno tofauti sauti ya mwanzo maneno ya masomo
(USIANDIKE) kutoka masomo kutoka katika yaliyopita)
yaliyotangulia maneno tofauti • Mistari mitatu
tuliyojifunza ya nyuma,
somo lililopita sauti ipi?
Wanafunzi watasema:
• Mistari mitatu
ya mbele, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:
• Wasichana
nyote, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:
• Wavulana
nyote, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:
• Upande
wangu wa
kulia, sauti
ipi? (mwalimu
aelekeze mkono
upande wa
kulia)
Wanafunzi watasema:
• Upande
wangu wa
kushoto, sauti
ipi? (mwalimu
aelekeze mkono
upande wa
kushoto)

102 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


Wanafunzi watasema:
• Nyote kwa
pamoja, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:

Mazoezi ya utambuzi wa sauti

Mchezo wa sauti:
• Waambie wanafunzi wasimame wanaposikia sauti ya mwanzo ya maneno
waliyojifunza (USIYAANDIKE)
• Sahihisha makosa
Maelekezo ya kufundisha utambuzi wa sauti ya herufi (Dakika 3-4)

Marudio:
• Rudia herufi zilizokwisha fundishwa ambazo ni: m, a
• Andika herufi ubaoni au tumia kadi za herufi. Waambie: TIZAMA
MAANDISHI.
• Waoneshe wanafunzi kadi za herufi m, a kisha waulize hizo ni herufi gani
• Waulize wanafunzi kadhaa kuhakikisha kila mmoja amefahamu majina ya
herufi.

Rudia majina ya herufi m, a kutumia muongozo ufuatao:

Msingi wa Mwalimu: Mwalimu na Mwanafunzi:


kialfabeti “Ninatenda” mwanafunzi: “unatenda”
TIZAMA “Tunatenda”
Uhusiano MAANDISHI. Mwalimu wagawie
wa Sauti na TIZAMA wanafunzi
herufi Hii ni herufi m. MAANDISHI. kadi za herufi
Onesha wanafunzi Sasa, kila mmoja: Hii katika makundi
(ANDIKA) herufi m. Herufi ni herufi m. (Onesha na waambie
m inaunda sauti / wanafunzi herufi m) wachague herufi
mmm/. Herufi m inaunda zinazoendana na
sauti gani, sote kwa sauti zilizotamkwa
Onesha wanafunzi pamoja?
a. Herufi a inaunda
sauti /aaa/.

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 103


Onesha ishara kwa
mkono kuashiria
wanafunzi wajibu
pamoja nawe. (sote
tuseme) /mmm/
Sasa, kilammoja: Hii
ni herufi a. (Onesha
wanafunzi herufi
a). Herufi a inaunda
sauti gani, sote kwa
pamoja?
Onesha ishara kwa
mkono kuashiria
wanafunzi wajibu
pamoja nawe. (sote
tuseme) /aaa/

Mazoezi ya sauti ya herufi na ufasaha (4-5 dakika): MAZOEZI


• Chukua kadi zenye herufi: m, a (AU andika herufi hizo ubaoni).
• Wakumbushe wanafunzi jina la kila herufi kisha onesha moja baada ya
nyingine huku ukiwataka wanyooshe mkono kama wanajua majina ya
herufi hizo.

(Tumia sekunde 30 au zaidi kwa kazi hii)


• Tamka sauti ya herufi m
• Waambie wanafunzi wanyooshe mkono kama wanaweza kutaja jina la
herufi linalounda sauti hiyo. Fanya hivyo kwa herufi a.
• Waulize wanafunzi kama wanaweza kusoma neno kwa kulitamka. Onesha
neno; [mama, maji, ana, ali] ubaoni kisha sema “Tizama maandishi”.
• Waoneshe namna ya kutamka neno (Ninatenda, Tunatenda, Unatenda).
/m/ / a/ /m//a/, /a/ /m/ /a/
• Unganisha sauti kisha sema neno [mama]. Fanya hivyo kwa neno [ama]
• Waambie wanafunzi wanyooshe mkono kama wanaweza kusema sauti
zilizopo katika neno [mama, ama], kisha watamke neno lote.
• Chagua wanafunzi kadhaa kutamka neno hilo.
• Sahihisha makosa.
• Onesha neno kisha tamka sauti zinazounda neno
• Onesha neno kisha waambie wanafunzi walitamke. (Mnatenda).
• Onesha kila herufi kisha tamka pamoja na wanafunzi. Sauti ya mwanzo

104 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


katika neno [mama] ni /mmm/, inayofuata /aaa/, inayofuata /mmm/, ya
mwisho /aaa/. Neno gani hilo? [mama]. Neno hilo ni [mama].
• Sasa zamu yenu. Ni neno gani? [mama]
• Waambie wanafunzi waandike herufi mpya, silabi na maneno ambayo
yamefundishwa katika kipindi hiki. (Ninatenda, Tunatenda, Unatenda)

Mchezo wa kujenga ufasaha kutumia maneno; [mama, ama, maa,


amaa]
• Waeleze wanafunzi wanyooshe mkono wanapoona neno wanalolitambua
katika kadi utakayoonesha (au onesha maneno hayo ubaoni)
• Waambie kuwa utaonesha kila kadi (au utaonesha ubaoni) kwa haraka,
kwa hiyo waharakishe kunyoosha mkono pindi wanapoona neno
wanalolitambua
• Chagua mwanafunzi aliyenyoosha mkono asome neno husika.

Msamiati: (Dakika 4-5)

RUDIA MANENO; [mama, ama, maa, amaa]

Ufahamu wa kusikiliza (Dakika 10):


Wasomee hadithi ifuatayo. ANGALIZO: Msamiati na maneno rejea . Yaandike
maneno ubaoni. Unapofikia msamiati wakati wa Mwanafunzi aweze kujibu
maswali ya ufahamu , tulia kwa muda kisha onesha msamiati huo ubaoni

Hadithi ya kusoma kwa sauti [Hadithi kutoka kwenye kitabu]


• Andika hadithi kutoka kwenye kitabu ubaoni.
• Andika jina la mwandishi wa hadithi.
• Andika jina msanifu wa michoro.

Rejea ya neno la hakiba:


• Andika neno [mama] ubaoni.
• Wakumbushe wanafunzi kuwa neno hili limeshafundishwa. Waeleze
walitumie katika sentensi kwa usahihi.

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 105


Weka alama ya vyema baada ya kufundisha
20.0 Kufundisha sauti t
Wiki ya 5: Siku ya 1

Tarehe: _____________________
Muongozo wa ufundishaji: Tumia
jina la herufi/sauti ya herufi katika
muongozo huu ili kufundisha majina na
Zana:
sauti za herufi husika
• Kadi za herufi t
Malengo:
• Kadi za herufi kwa ajili ya
• Mwanafunzi aweze kutamka
marudio
sauti na jina la herufi sauti na
• Kadi za maneno
jina la herufi t kwa kutumia
• Andika neno [taa] ubaoni
muongozo ufuatao
• Kadi za sentensi
• Mwanafunzi aweze kufanya
• Hadithi au Nyimbo
mazoezi ya kusoma kwa
• Kitini cha mazoezi kwa
kutumia kadi za herufi, maneno
mwanafunzi
na sentensi
• Mwanafunzi aweze kusoma
sentensi rahisi
• Mwanafunzi aweze kujibu
maswali ya ufahamu

Muongozo wa kufundisha utambuzi wa sauti (Dakika 5)

Marudio:
• Rudia sauti zilizofundishwa katika wiki hiyo: /k/, /i/, /s/, /o/
• Waulize wanafunzi sauti ipi wanayoisikia mwanzoni mwa kila neno
lililofundishwa katika somo lililopita (Usiandike Maneno). [kima, siki,
ona, omo, soko]

Fundisha sauti t kutumia muongozo ufuatao.

Mwalimu na
Mazoezi ya
Mwakimu Mwanafunzi
Ujuzi Mwanafunzi
“Natenda” “Tunatenda”
“Unatenda”
Rudia sauti zote na
maneno

106 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


Mwalimu aulize: Ni
sauti gani ya mwanzo
mnayoisikia kwenye
neno [taa/taka]?
• Mistari mitatu
ya nyuma,
sauti ipi?
Wanafunzi watasema:
• Mistari mitatu
ya mbele,
sauti ipi?
Sasa, tuseme sauti
Wanafunzi watasema:
ya mwanzo ya neno
• Wasichana
[taa]
nyote, sauti
Kilammoja, sauti ya
ipi?
mwanzo ya neno
Wanafunzi watasema:
[taa] ni /t/
• Wavulana
Sauti ya mwanzo nyote, sauti
Onesha ishara kwa
Utambuzi ya neno [taa] ni ipi?
mkono kuashiria
wa sauti /t/ sikiliza, /t/. Wanafunzi watasema:
wanafunzi wajibu
• Upande
pamoja nawe (sote
(USIANDIKE) Sasa, sauti ya wangu wa
tuseme) /t/
mwanzo ya neno kulia, sauti
[taka] ni /t/. ipi? (mwalimu
Sasa, fundisha
aelekeze
sauti za mwanzo za
mkono upande
neno [taka] kama
wa kulia)
ulivyofanya kwa
Wanafunzi watasema:
[taa]
• Upande
wangu wa
kushoto, sauti
ipi? (mwalimu
aelekeze
mkono upande
wa kushoto)
Wanafunzi watasema:
• Nyote kwa
pamoja, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 107


Mazoezi ya Utambuzi wa Sauti

Mchezo wa sauti:

•  aambie wanafunzi wainamishe vichwa vyao juu ya deski wakati wa


W
mchezo huu wa sauti.
• Waambie wanafunzi waoneshe dole gumba juu wanaposikia sauti /t/
na dole gumba chini wasipoisikia sauti hiyo mwanzoni mwa maneno
yafuatayo: (USIYAANDIKE) [taa, taka, kiti, sita, siti, sota, toka]
Maana yake “Ndiyo” Maana yake “hapana”
• Ita mwanafunzi mmoja mmoja aseme neno linaloanza na sauti /t/.
• Sahihisha makosa

Maelekezo ya kufundisha utambuzi wa sauti ya herufi (Dakika 3-4)

Marudio:
• Rudia herufi zilizokwisha fundishwa: k, i, s, o
• Andika herufi ubaoni au tumia kadi za herufi. Waambie: TIZAMA
MAANDISHI.
• Waoneshe wanafunzi kadi ya herufi k kisha waulize hiyo ni herufi gani
• Fanya hivyo kwa herufi , i, s, o
• Waulize wanafunzi kadhaa kuhakikisha kila mmoja amefahamu majina ya
herufi.

Fundisha majina ya herufi t kutumia muongozo ufuatao.


Msingi wa Mwalimu: Mwalimu na Mwanafunzi:
kialfabeti “Ninatenda” mwanafunzi: “Unatenda”
TIZAMA “Tunatenda” Mwalimu:
MAANDISHI TIZAMA Sasa zamu yenu.
MAANDISHI Darasa hii ni herufi?
(Onesha herufi t )
• Mistari mitatu
ya nyuma,
sauti ipi?
Wanafunzi watasema:

108 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


Uhusiano wa Hii ni herufi t. Sasa, kila • Mistari mitatu
sauti na herufi Onesha wanafunzi mmoja: hii ni ya mbele,
herufi t. Herufi t herufi t. (onesha sauti ipi?
(ANDIKA) inaunda sauti /t/. wanafunzi t) Wanafunzi watasema:
herufi t inaunda • Wasichana
sauti gani sote nyote, sauti
kwa pamoja? ipi?
Onesha ishara Wanafunzi watasema:
kwa mkono • Wavulana
kuashiria nyote, sauti
wanafunzi ipi?
wajibu pamoja Wanafunzi watasema:
nawe. (sote • Upande
tuseme) wangu wa
/t/ kulia, sauti
ipi? (mwalimu
aelekeze
mkono upande
wa kulia)
Wanafunzi watasema:
• Upande
wangu wa
kushoto, sauti
ipi? (mwalimu
aelekeze
mkono upande
wa kushoto)
Wanafunzi watasema:
• Nyote kwa
pamoja, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:

Mazoezi ya Sauti ya herufi na ufasaha (Dakika 4-5): MAZOEZI


• Chukua kadi yenye herufi: t (AU andika herufi hiyo ubaoni).
• Wakumbushe wanafunzi jina la herufi kisha ioneshe huku ukiwataka
wanyooshe mkono kama wanajua jina la herufi hiyo.
(Tumia sekunde 30 au zaidi kwa kazi hii)
• Tamka sauti ya herufi t
• Waambie wanafunzi wanyooshe mkono ” kama wanaweza kutaja jina la
herufi linalounda sauti hiyo.
• Waulize wanafunzi kama wanaweza kusoma neno kwa kulitamka. Onesha
Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 109
neno; [taa] ubaoni kisha sema “Tizama maandishi”.
• Waoneshe namna ya kutamka neno (Ninatenda, Tunatenda, Unatenda).
/t/ / a/ /a/ .
• Unganisha sauti kisha sema neno [taa].
• Waambie wanafunzi wanyooshe mkono kama wanaweza kusema sauti
zilizopo katika neno [taa], kisha watamke neno lote.
• Chagua wanafunzi kadhaa kutamka neno hilo.
• Sahihisha makosa.
• Onesha neno kisha tamka sauti zinazounda neno.
• Onesha neno kisha waambie wanafunzi walitamke. (Mnatenda).
• Onesha kila herufi kisha tamka pamoja na wanafunzi. Sauti ya mwanzo
katika neno [taa] ni /t/, inayofuata /aaa/, ya mwisho /aaa/. Neno gani
hilo? [taa]. Neno hilo ni [taa].
• Sasa zamu yenu. Ni neno gani? [taa]
• Waambie wanafunzi waandike herufi mpya, silabi na maneno ambayo
yamefundishwa katika kipindi hiki. (Ninatenda, Tunatenda, Unatenda)

Sentensi rahisi:
Tatu na Tuma wana taa.

Mazoezi ya Kusoma Sentensi:


• Waoneshe wanafunzi kila herufi za sauti na utamke [Tatu na Tuma wana
taa].
• Waambie wanafunzi wasome sentensi kwa sauti

Msamiati: (Dakika 4-5)

Rudia maneno [taa, taka, toka]

Neno la hakiba:
• Andika neno [taa] ubaoni.
• Wakumbushe wanafunzi kuwa hili ni neno la wiki.
• Waambie wanafunzi walitumie neno hilo kwa usahihi katika sentensi.

Neno Jipya [na]:


• Waambie wanafunzi kuwa neno jipya ni [na].
• Onesha kadi au liandike ubaoni.
• Someno neno hilo pamoja na wanafunzi.

110 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


Mchezo wa ufahamu kwa kutumia maneno [taa, taka, toka] with pupils
• Waeleze wanafunzi wanyooshe mkono wanapoona neno wanalolitambua
katika kadi utakayoonyesha (au onesha maneno hayo ubaoni)
• Waambie kuwa utaonesha kila kadi (au utaonesha ubaoni) kwa haraka
kwa hiyo waharakishe kunyoosha mkono pindi wanapoona neno
wanalolitambua
• Chagua wanafunzi walionyoosha mikono na wasio nyoosha kuhakikisha
kama wameelewa.

Ufahamu wa kusikiliza (Dakika 10):


Wasomee hadithi ifuatayo. ANGALIZO: Msamiati na maneno rejea yamekozeshwa
na yamepigiwa mstari.

Yaandike maneno ubaoni. Unapofikia msamiati wa Mwanafunzi aweze kujibu


maswali ya ufahamu , tulia kwa muda na onesha msamiati huo ubaoni.

Ufahamu
Afya bora, afya bora
Shime tuitunze, shime tuitunze, shime tuitunze
Tuleni matunda, maziwa tunyweni
Samaki na mboga vyote tuleni
Hima tuleni hima tuleni

Maswali ya ufahamu:
• Taja vyakula ulivyovisikia kwenye nyimbo
• Nyimbo inatuhimiza nini?
• Kwa nini tunakula chakula bora?
• Taja njia nyingine za kutunza afya zetu?

Mazoezi.
• Waambie wanafunzi watafute maneno mengine yanayoanza na /t/

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 111


Weka alama ya vyema baada ya kufundisha
21.0 Kufundisha sauti T
Wiki ya 5: Siku ya 2

Tarehe: _____________________
Muongozo wa ufundishaji: Tumia
jina la herufi/sauti ya herufi katika
muongozo huu ili kufundisha majina
Zana:
na sauti za herufi husika
• Kadi za herufi T
Malengo:
• Kadi za herufi kwa ajili ya
• Mwanafunzi aweze kutamka
marudio
sauti na jina la herufi sauti na
• Kadi za maneno
jina la herufi T kwa kutumia
• Andika neno [Taa] ubaoni
muongozo ufuatao
• Kadi za sentensi
• Mwanafunzi aweze kufanya
• Hadithi au Nyimbo
mazoezi ya kusoma kwa
• Kitini cha mazoezi kwa
kutumia kadi za herufi, maneno
mwanafunzi
na sentensi
• Mwanafunzi aweze kusoma
sentensi rahisi
• Mwanafunzi aweze kujibu
maswali ya ufahamu

Muongozo wa kufundisha utambuzi wa sauti (Dakika 5)

Marudio:
• Rudia sauti zilizofundishwa katika wiki hiyo: /k/, /i/, /s/, /o/
• Waulize wanafunzi sauti ipi wanayoisikia mwanzoni mwa kila neno
lililofundishwa katika somo lililopita (Usiandike Maneno). [kima, siki,
ona, omo, soko]

Fundisha sauti T kutumia muongozo ufuatao.

Ujuzi Mwakimu Mwalimu na Mazoezi ya


“Natenda” Mwanafunzi Mwanafunzi
Utambuzi wa “Tunatenda” “Unatenda”
sauti Sauti ya mwanzo Rudia sauti zote na
ya neno [taa] ni maneno Mwalimu aulize: Ni
/t/ sikiliza, /t/. Sasa, tuseme sauti sauti gani ya mwanzo
ya mwanzo ya neno mnayoisikia kwenye
[taa] neno [taa/taka]?

112 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


(USIANDIKE) Sasa, sauti ya Kilammoja, sauti ya • Mistari
mwanzo ya neno mwanzo ya neno mitatu ya
[taka] ni /t/. [taa] ni /t/ nyuma, sauti
ipi?
Onesha ishara kwa Wanafunzi watasema:
mkono kuashiria • Mistari
wanafunzi wajibu mitatu ya
pamoja nawe (sote mbele, sauti
tuseme) /t/ ipi?
Wanafunzi watasema:
Sasa, fundisha • Wasichana
sauti za mwanzo za nyote, sauti
neno [taka] kama ipi?
ulivyofanya kwa Wanafunzi watasema:
[taa] • Wavulana
nyote, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:
• Upande
wangu wa
kulia, sauti
ipi? (mwalimu
aelekeze
mkono
upande wa
kulia)
Wanafunzi watasema:
• Upande
wangu wa
kushoto,
sauti ipi?
(mwalimu
aelekeze
mkono
upande wa
kushoto)
Wanafunzi watasema:
• Nyote kwa
pamoja, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 113


Mazoezi ya Utambuzi wa Sauti
Mchezo wa sauti:
• Waambie wanafunzi wainamishe vichwa vyao juu ya deski wakati wa
mchezo huu wa sauti.
• Waambie wanafunzi waoneshe dole gumba juu wanaposikia sauti /t/
na dole gumba chini wasipoisikia sauti hiyo mwanzoni mwa maneno
yafuatayo: (USIYAANDIKE) [taa, taka, kiti, sita, siti, sota, toka]
Maana yake “Ndiyo” Maana yake “hapana”
• Ita mwanafunzi mmoja mmoja aseme neno linaloanza na sauti /t/.
• Sahihisha makosa

Maelekezo ya kufundisha utambuzi wa sauti ya herufi (Dakika 3-4)


Marudio:
• Rudia herufi zilizokwisha fundishwa: K, I, S, O
• Andika herufi ubaoni au tumia kadi za herufi. Waambie: TIZAMA
MAANDISHI.
• Waoneshe wanafunzi kadi ya herufi K kisha waulize hiyo ni herufi gani
• Fanya hivyo kwa herufi I, S, O
• Waulize wanafunzi kadhaa kuhakikisha kila mmoja amefahamu majina ya
herufi.

Fundisha majina ya herufi T kutumia muongozo ufuatao.


Msingi wa Mwalimu: Mwalimu na Mwanafunzi:
kialfabeti “Ninatenda” mwanafunzi: “Unatenda”
TIZAMA “Tunatenda” Mwalimu:
Uhusiano wa MAANDISHI TIZAMA Sasa zamu yenu.
sauti na herufi MAANDISHI Darasa hii ni herufi?
Hii ni herufi (Onesha herufi T)
(ANDIKA) T. Onesha Sasa, kila mmoja: • Mistari mitatu
wanafunzi hii ni herufi T. ya nyuma,
herufi T. Herufi T (onesha wanafunzi sauti ipi?
inaunda sauti /t/. T) herufi T inaunda Wanafunzi watasema:
sauti gani sote kwa • Mistari mitatu
pamoja? ya mbele,
Onesha ishara kwa sauti ipi?
mkono kuashiria Wanafunzi watasema:
wanafunzi wajibu • Wasichana
pamoja nawe. nyote, sauti
(sote tuseme) ipi?
/t/ Wanafunzi watasema:

114 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


• Wavulana
nyote, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:
• Upande
wangu wa
kulia, sauti
ipi? (mwalimu
aelekeze
mkono upande
wa kulia)
Wanafunzi watasema:
• Upande
wangu wa
kushoto, sauti
ipi? (mwalimu
aelekeze
mkono upande
wa kushoto)
Wanafunzi watasema:
• Nyote kwa
pamoja, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:

★★ Mazoezi ya Sauti ya herufi na ufasaha (Dakika 4-5): MAZOEZI


• Chukua kadi yenye herufi: T (AU andika herufi hiyo ubaoni).
• Wakumbushe wanafunzi jina la herufi kisha ioneshe huku ukiwataka
wanyooshe mkono kama wanajua jina la herufi hiyo.
(Tumia sekunde 30 au zaidi kwa kazi hii)
• Tamka sauti ya herufi T
• Waambie wanafunzi wanyooshe mkono ” kama wanaweza kutaja jina
la herufi linalounda sauti hiyo.
• Waulize wanafunzi kama wanaweza kusoma neno kwa kulitamka.
Onesha neno; [Taa] ubaoni kisha sema “Tizama maandishi”.
• Waoneshe namna ya kutamka neno (Ninatenda, Tunatenda,
Unatenda). /t/ / a/ /a/.
• Unganisha sauti kisha sema neno [Taa].
• Waambie wanafunzi wanyooshe mkono kama wanaweza kusema
sauti zilizopo katika neno [Taa], kisha watamke neno lote.
• Chagua wanafunzi kadhaa kutamka neno hilo.
Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 115
• Sahihisha makosa.
• Onesha neno kisha tamka sauti zinazounda neno.
• Onesha neno kisha waambie wanafunzi walitamke. (Mnatenda).
• Onesha kila herufi kisha tamka pamoja na wanafunzi. Sauti ya mwanzo
katika neno [Taa] ni /t/, inayofuata /aaa/, ya mwisho /aaa/. Neno gani
hilo? [Taa]. Neno hilo ni [Taa].
• Sasa zamu yenu. Ni neno gani? [Taa]
• Waambie wanafunzi waandike herufi mpya, silabi na maneno
ambayo yamefundishwa katika kipindi hiki. (Ninatenda, Tunatenda,
Unatenda)

Sentensi rahisi:
Tatu na Tuma wana taa.

Mazoezi ya Kusoma Sentensi:


• Waoneshe wanafunzi kila herufi za sauti na utamke [Tatu na Tuma
wana taa].
• Waambie wanafunzi wasome sentensi kwa sauti

Msamiati: (Dakika 4-5)

Rudia maneno [Taa, Taka, Toka]

Neno la hakiba:
• Andika neno [taa] ubaoni.
• Wakumbushe wanafunzi kuwa hili ni neno la wiki.
• Waambie wanafunzi walitumie neno hilo kwa usahihi katika sentensi.

Neno Jipya [na]:


• Waambie wanafunzi kuwa neno jipya ni [na].
• Onesha kadi au liandike ubaoni.
• Someno neno hilo pamoja na wanafunzi.

Mchezo wa ufahamu kwa kutumia maneno [Taa, Taka, Toka] with pupils

•  aeleze wanafunzi wanyooshe mkono wanapoona neno wanalolitambua


W
katika kadi utakayoonyesha (au onesha maneno hayo ubaoni)
• Waambie kuwa utaonesha kila kadi (au utaonesha ubaoni) kwa haraka

116 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


kwa hiyo waharakishe kunyoosha mkono pindi wanapoona neno
wanalolitambua
• Chagua wanafunzi walionyoosha mikono na wasio nyoosha kuhakikisha
kama wameelewa.

Ufahamu wa kusikiliza (Dakika 10):


Wasomee hadithi ifuatayo. ANGALIZO: Msamiati na maneno rejea yamekozeshwa
na yamepigiwa mstari.
Yaandike maneno ubaoni. Unapofikia msamiati wa Mwanafunzi aweze kujibu
maswali ya ufahamu , tulia kwa muda na onesha msamiati huo ubaoni.

Ufahamu
Afya bora, afya bora
Shime tuitunze, shime tuitunze, shime tuitunze
Tuleni matunda, maziwa tunyweni
Samaki na mboga vyote tuleni
Hima tuleni hima tuleni

Maswali ya ufahamu:
• Taja vyakula ulivyovisikia kwenye nyimbo
• Nyimbo unatuhimiza nini?
• Kwa nini tunakula chakula bora?
• Taja njia nyingine za kutunza afya zetu?

Mazoezi.
• Waambie wanafunzi watafute maneno mengine yanayoanza na /t/

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 117


Weka alama ya vyema baada ya kufundisha
22.0 Kufundisha sauti u
Wiki ya 5: Siku ya 3

Tarehe: _____________________
Muongozo wa ufundishaji: Tumia
jina la herufi/sauti ya herufi katika
muongozo huu ili kufundisha majina
Zana:
na sauti za herufi husika
• Kadi za herufi u
Malengo:
• Kadi za herufi kwa ajili ya
• Mwanafunzi aweze kutamka
marudio
sauti na jina la herufi sauti na
• Kadi za maneno
jina la herufi u kwa kutumia
• Andika neno [ua] ubaoni
muongozo ufuatao
• Kadi za sentensi
• Mwanafunzi aweze kufanya
• Hadithi au Nyimbo
mazoezi ya kusoma kwa
• Kitini cha mazoezi kwa
kutumia kadi za herufi, maneno
mwanafunzi
na sentensi
• Mwanafunzi aweze kusoma
sentensi rahisi
• Mwanafunzi aweze kujibu
maswali ya ufahamu

Muongozo wa kufundisha utambuzi wa sauti (Dakika 5)

Marudio:
• Rudia sauti zilizofundishwa katika wiki hiyo: /m/ , /i/, /s/, /o/, /t/
• Waulize wanafunzi sauti ipi wanayoisikia mwanzoni mwa kila neno
lililofundishwa katika somo lililopita (Usiandike Maneno). [toka, taka,
mama, siki, ona, ita, soko]

Fundisha sauti u kutumia muongozo ufuatao.

Ujuzi Mwakimu Mwalimu na Mazoezi ya


“Natenda” Mwanafunzi Mwanafunzi
“Tunatenda” “Unatenda”
Rudia sauti zote na
maneno

118 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


Utambuzi wa Sauti ya mwanzo Sasa, tuseme sauti Mwalimu aulize: Ni
sauti ya neno [ua] ya mwanzo ya neno sauti gani ya mwanzo
ni /u/ sikiliza, / [ua] mnayoisikia kwenye
(USIANDIKE) uuu/. Kilammoja, sauti ya neno [ua/uso]?
mwanzo ya neno • Mistari mitatu
Sasa, sauti ya [ua] ni /uuu/ ya nyuma,
mwanzo ya neno sauti ipi?
[uso] ni /uuu/. Onesha ishara kwa Wanafunzi watasema:
mkono kuashiria • Mistari mitatu
wanafunzi wajibu ya mbele, sauti
pamoja nawe (sote ipi?
tuseme) /uuu/ Wanafunzi watasema:
• Wasichana
Sasa, fundisha nyote, sauti
sauti za mwanzo za ipi?
neno [uso] kama Wanafunzi watasema:
ulivyofanya kwa • Wavulana
[ua] nyote, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:
• Upande wangu
wa kulia, sauti
ipi? (mwalimu
aelekeze mkono
upande wa
kulia)
Wanafunzi watasema:
• Upande wangu
wa kushoto,
sauti ipi?
(mwalimu
aelekeze mkono
upande wa
kushoto)
Wanafunzi watasema:
• Nyote kwa
pamoja, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 119


Mazoezi ya Utambuzi wa Sauti

Mchezo wa sauti:

• Waambie wanafunzi wainamishe vichwa vyao juu ya deski wakati wa


mchezo huu wa sauti.
• Waambie wanafunzi waoneshe dole gumba juu wanaposikia sauti /u/
na dole gumba chini wasipoisikia sauti hiyo mwanzoni mwa maneno
yafuatayo: (USIYAANDIKE) [ua, una, utu, uso, mua, suka, kitu, utu,tuma,
uma]
Maana yake “Ndiyo” Maana yake “hapana”
• Ita mwanafunzi mmoja mmoja aseme neno linaloanza na sauti /u/.
• Sahihisha makosa

Maelekezo ya kufundisha utambuzi wa sauti ya herufi (Dakika 3-4)

Marudio:
• Rudia herufi zilizokwisha fundishwa: m, i, s, o, t
• Andika herufi ubaoni au tumia kadi za herufi. Waambie: TIZAMA
MAANDISHI.
• Waoneshe wanafunzi kadi ya herufi s kisha waulize hiyo ni herufi gani
• Fanya hivyo kwa herufi m, i, s, o, t
• Waulize wanafunzi kadhaa kuhakikisha kila mmoja amefahamu majina ya
herufi.

Fundisha majina ya herufi u kutumia muongozo ufuatao.


Msingi wa Mwalimu: Mwalimu na Mwanafunzi:
kialfabeti “Ninatenda” mwanafunzi: “Unatenda”
TIZAMA “Tunatenda” Mwalimu:
Uhusiano wa MAANDISHI TIZAMA Sasa zamu yenu.
sauti na herufi MAANDISHI Darasa hii ni herufi?
Hii ni herufi (Onesha herufi u)
(ANDIKA) u. Onesha Sasa, kila mmoja: • Mistari mitatu
wanafunzi hii ni herufi ya nyuma,
herufi u. Herufi u. (onesha sauti ipi?
u inaunda sauti / wanafunzi u) Wanafunzi
uuu/. herufi u inaunda watasema:
sauti gani sote
kwa pamoja?

120 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


Onesha ishara • Mistari mitatu
kwa mkono ya mbele, sauti
kuashiria ipi?
wanafunzi Wanafunzi watasema:
wajibu pamoja • Wasichana
nawe. (sote nyote, sauti
tuseme) ipi?
/uuu/ Wanafunzi watasema:
• Wavulana
nyote, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:
• Upande wangu
wa kulia, sauti
ipi? (mwalimu
aelekeze mkono
upande wa
kulia)
Wanafunzi watasema:
• Upande wangu
wa kushoto,
sauti ipi?
(mwalimu
aelekeze mkono
upande wa
kushoto)
Wanafunzi watasema:
• Nyote kwa
pamoja, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:

Mazoezi ya Sauti ya herufi na ufasaha (Dakika 4-5): MAZOEZI


• Chukua kadi yenye herufi: u (AU andika herufi hiyo ubaoni).
• Wakumbushe wanafunzi jina la herufi kisha ioneshe huku ukiwataka
wanyooshe mkono kama wanajua jina la herufi hiyo.

(Tumia sekunde 30 au zaidi kwa kazi hii)


• Tamka sauti ya herufi u
• Waambie wanafunzi wanyooshe mkono ” kama wanaweza kutaja jina
la herufi linalounda sauti hiyo.
• Waulize wanafunzi kama wanaweza kusoma neno kwa kulitamka.
Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 121
Onesha neno; [ua] ubaoni kisha sema “Tizama maandishi”.
• Waoneshe namna ya kutamka neno (Ninatenda, Tunatenda,
Unatenda). / u/ /a/.
• Unganisha sauti kisha sema neno [ua].
• Waambie wanafunzi wanyooshe mkono kama wanaweza kusema
sauti zilizopo katika neno [ua], kisha watamke neno lote.
• Chagua wanafunzi kadhaa kutamka neno hilo.
• Sahihisha makosa.
• Onesha neno kisha waambie wanafunzi walitamke.
• Onesha neno kisha waambie wanafunzi walitamke. (Mnatenda).
• Onesha kila herufi kisha tamka pamoja na wanafunzi. Sauti ya mwanzo
katika neno [ua] ni /uuu/, ya mwisho /aaa/. Neno gani hilo? [ua]. Neno
hilo ni [ua].
• Sasa zamu yenu. Ni neno gani? [ua]
• Waambie wanafunzi waandike herufi mpya, silabi na maneno ambayo
yamefundishwa katika kipindi hiki. (Ninatenda, Tunatenda, Unatenda)

Sentensi rahisi:
Ua la waridi ni zuri sana.

Mazoezi ya Kusoma Sentensi:


• Waoneshe wanafunzi kila herufi za sauti na utamke [Ua la waridi ni zuri
sana].
• Waambie wanafunzi wasome sentensi kwa sauti

Msamiati: (Dakika 4-5)

Rudia maneno [ua, una, utu, uso, utu, uma]

Neno la hakiba:
• Andika neno [ua] ubaoni.
• Wakumbushe wanafunzi kuwa hili ni neno la wiki.
• Waambie wanafunzi walitumie neno hilo kwa usahihi katika sentensi.

Neno Jipya [ni]:


• Waambie wanafunzi kuwa neno jipya ni [ni].
• Onesha kadi au liandike ubaoni.
• Someno neno hilo pamoja na wanafunzi.

122 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


Mchezo wa ufahamu kwa kutumia maneno [ua, una, utu, uso, utu, uma] with
pupils
• Waeleze wanafunzi wanyooshe mkono wanapoona neno
wanalolitambua katika kadi utakayoonyesha (au onesha maneno hayo
ubaoni)
• Waambie kuwa utaonesha kila kadi (au utaonesha ubaoni) kwa haraka
kwa hiyo waharakishe kunyoosha mkono pindi wanapoona neno
wanalolitambua
• Chagua wanafunzi walionyoosha mikono na wasio nyoosha kuhakikisha
kama wameelewa.

Ufahamu wa kusikiliza (Dakika 10):


Wasomee hadithi ifuatayo. ANGALIZO: Msamiati na maneno rejea yamekozeshwa
na yamepigiwa mstari.
Yaandike maneno ubaoni. Unapofikia msamiati wa Mwanafunzi aweze kujibu
maswali ya ufahamu , tulia kwa muda na onesha msamiati huo ubaoni.

Ufahamu
Maua mazuri ya pendeza x2
Ukiyatizama yanakushangaza
Hakuna lizuri lisilo pendeza
Zum Zum Zum emama nyuki lia weee
Unakwenda kutafuta ua zuri la chanua
Zum Zum Zum emama nyuki lia weee

Maswali ya ufahamu
1. Nani amewahi kumuona Nyuki?
2. Nyuki analiaje?
3. Kwa nini nyuki anapenda maua yaliyochanua?

Mazoezi: Waambie wanafunzi watafute maneno mengine yanayoanza na /u/

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 123


Weka alama ya vyema baada ya kufundisha
23.0 Kufundisha sauti U
Wiki ya 5: Siku ya 4
Tarehe: _____________________
Muongozo wa ufundishaji: Tumia
jina la herufi/sauti ya herufi katika
muongozo huu ili kufundisha majina
Zana:
na sauti za herufi husika
• Kadi za herufi U
Malengo:
• Kadi za herufi kwa ajili ya
• Mwanafunzi aweze kutamka
marudio
sauti na jina la herufi sauti na
• Kadi za maneno
jina la herufi U kwa kutumia
• Andika neno [Ua] ubaoni
muongozo ufuatao
• Kadi za sentensi
• Mwanafunzi aweze kufanya
• Hadithi au Nyimbo
mazoezi ya kusoma kwa
• Kitini cha mazoezi kwa
kutumia kadi za herufi, maneno
mwanafunzi
na sentensi
• Mwanafunzi aweze kusoma
sentensi rahisi
• Mwanafunzi aweze kujibu
maswali ya ufahamu

Muongozo wa kufundisha utambuzi wa sauti (Dakika 5)

Marudio:
• Rudia sauti zilizofundishwa katika wiki hiyo: /m/ , /i/, /s/, /o/, /t/
• Waulize wanafunzi sauti ipi wanayoisikia mwanzoni mwa kila neno
lililofundishwa katika somo lililopita (Usiandike Maneno). [toka, taka,
mama, siki, ona, ita, soko]

Fundisha sauti u kutumia muongozo ufuatao.

Ujuzi Mwakimu Mwalimu na Mazoezi ya


“Natenda” Mwanafunzi Mwanafunzi
“Tunatenda” “Unatenda”
Rudia sauti zote na
maneno

124 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


Utambuzi wa Sauti ya Sasa, tuseme sauti ya Mwalimu aulize: Ni
sauti mwanzo ya mwanzo ya neno [ua] sauti gani ya mwanzo
neno [ua] ni /u/ Kilammoja, sauti ya mnayoisikia kwenye
(USIANDIKE) sikiliza, /uuu/. mwanzo ya neno [ua] neno [Ua/Uso]?
ni /uuu/ • Mistari mitatu
Sasa, sauti ya ya nyuma,
mwanzo ya Onesha ishara kwa sauti ipi?
neno [uso] ni / mkono kuashiria Wanafunzi watasema:
uuu/. wanafunzi wajibu • Mistari mitatu
pamoja nawe (sote ya mbele, sauti
tuseme) /uuu/ ipi?
Wanafunzi watasema:
Sasa, fundisha • Wasichana
sauti za mwanzo za nyote, sauti
neno [uso] kama ipi?
ulivyofanya kwa [ua] Wanafunzi watasema:
• Wavulana
nyote, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:
• Upande
wangu wa
kulia, sauti
ipi? (mwalimu
aelekeze mkono
upande wa
kulia)
Wanafunzi watasema:
• Upande
wangu wa
kushoto, sauti
ipi? (mwalimu
aelekeze mkono
upande wa
kushoto)
Wanafunzi watasema:
• Nyote kwa
pamoja, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 125


Mazoezi ya Utambuzi wa Sauti

Mchezo wa sauti:

• Waambie wanafunzi wainamishe vichwa vyao juu ya deski wakati wa


mchezo huu wa sauti.
• Waambie wanafunzi waoneshe dole gumba juu wanaposikia sauti /u/
na dole gumba chini wasipoisikia sauti hiyo mwanzoni mwa maneno
yafuatayo: (USIYAANDIKE) [ua, una, utu, uso, mua, suka, kitu, utu,tuma,
uma]
Maana yake “Ndiyo” Maana yake “hapana”
• Ita mwanafunzi mmoja mmoja aseme neno linaloanza na sauti /u/.
• Sahihisha makosa
Maelekezo ya kufundisha utambuzi wa sauti ya herufi (Dakika 3-4)

Marudio:
• Rudia herufi zilizokwisha fundishwa: M, I, S, O, T
• Andika herufi ubaoni au tumia kadi za herufi. Waambie: TIZAMA
MAANDISHI.
• Waoneshe wanafunzi kadi ya herufi M kisha waulize hiyo ni herufi gani
• Fanya hivyo kwa herufi I, S, O, T
• Waulize wanafunzi kadhaa kuhakikisha kila mmoja amefahamu majina ya
herufi.

Fundisha majina ya herufi U kutumia muongozo ufuatao.


Msingi wa Mwalimu: Mwalimu na Mwanafunzi:
kialfabeti “Ninatenda” mwanafunzi: “Unatenda”
TIZAMA “Tunatenda” Mwalimu:
Uhusiano wa MAANDISHI TIZAMA Sasa zamu yenu.
sauti na herufi MAANDISHI Darasa hii ni herufi?
Hii ni herufi (Onesha herufi U)
(ANDIKA) U. Onesha Sasa, kila mmoja: • Mistari mitatu
wanafunzi herufi hii ni herufi ya nyuma,
U. Herufi U U. (onesha sauti ipi?
inaunda sauti / wanafunzi U) Wanafunzi watasema:
uuu/. herufi U inaunda • Mistari mitatu
sauti gani sote ya mbele, sauti
kwa pamoja? ipi?

126 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


Onesha ishara Wanafunzi watasema:
kwa mkono • Wasichana
kuashiria nyote, sauti
wanafunzi ipi?
wajibu pamoja Wanafunzi watasema:
nawe. (sote • Wavulana
tuseme) nyote, sauti
/uuu/ ipi?
Wanafunzi watasema:
• Upande wangu
wa kulia, sauti
ipi? (mwalimu
aelekeze mkono
upande wa
kulia)
Wanafunzi watasema:
• Upande
wangu wa
kushoto, sauti
ipi? (mwalimu
aelekeze mkono
upande wa
kushoto)
Wanafunzi watasema:
• Nyote kwa
pamoja, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:

 Mazoezi ya Sauti ya herufi na ufasaha (Dakika 4-5): MAZOEZI


• Chukua kadi yenye herufi: U (AU andika herufi hiyo ubaoni).
• Wakumbushe wanafunzi jina la herufi kisha ioneshe huku ukiwataka
wanyooshe mkono kama wanajua jina la herufi hiyo.
(Tumia sekunde 30 au zaidi kwa kazi hii)
• Tamka sauti ya herufi U
• Waambie wanafunzi wanyooshe mkono ” kama wanaweza kutaja jina
la herufi linalounda sauti hiyo.
• Waulize wanafunzi kama wanaweza kusoma neno kwa kulitamka.
Onesha neno; [Ua] ubaoni kisha sema “Tizama maandishi”.
• Waoneshe namna ya kutamka neno (Ninatenda, Tunatenda,
Unatenda). / u/ /a/.

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 127


• Unganisha sauti kisha sema neno [Ua].
• Waambie wanafunzi wanyooshe mkono kama wanaweza kusema sauti
zilizopo katika neno [Ua], kisha watamke neno lote.
• Chagua wanafunzi kadhaa kutamka neno hilo.
• Sahihisha makosa.
• Onesha neno kisha tamka sauti zinazounda neno.
• Onesha neno kisha waambie wanafunzi walitamke. (Mnatenda).
• Onesha kila herufi kisha tamka pamoja na wanafunzi. Sauti ya mwanzo
katika neno [Ua] ni /uuu/, ya mwisho /aaa/. Neno gani hilo? [Ua]. Neno
hilo ni [Ua].
• Sasa zamu yenu. Ni neno gani? [Ua]
• Waambie wanafunzi waandike herufi mpya, silabi na maneno ambayo
yamefundishwa katika kipindi hiki. (Ninatenda, Tunatenda, Unatenda)

Sentensi rahisi:
Ua la waridi ni zuri sana.

Mazoezi ya Kusoma Sentensi:


• Waoneshe wanafunzi kila herufi za sauti na utamke [Ua la waridi ni zuri
sana].
• Waambie wanafunzi wasome sentensi kwa sauti

Msamiati: (Dakika 4-5)


Rudia maneno [Ua, Una, Utu, Uso, Utu, Uma]

Neno la hakiba:
• Andika neno [Ua] ubaoni.
• Wakumbushe wanafunzi kuwa hili ni neno la wiki.
• Waambie wanafunzi walitumie neno hilo kwa usahihi katika sentensi.

Neno Jipya [ni]:


• Waambie wanafunzi kuwa neno jipya ni [ni].
• Onesha kadi au liandike ubaoni.
• Someno neno hilo pamoja na wanafunzi.

Mchezo wa ufahamu kwa kutumia maneno [Ua, Una, Utu, Uso, Utu, Uma, Ni]
with pupils
• Waeleze wanafunzi wanyooshe mkono wanapoona neno
wanalolitambua katika kadi utakayoonyesha (au onesha maneno hayo
ubaoni)
128 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza
•  aambie kuwa utaonesha kila kadi (au utaonesha ubaoni) kwa haraka
W
kwa hiyo waharakishe kunyoosha mkono pindi wanapoona neno
wanalolitambua
• Chagua wanafunzi walionyoosha mikono na wasio nyoosha kuhakikisha
kama wameelewa.

Ufahamu wa kusikiliza (Dakika 10):


Wasomee hadithi ifuatayo. ANGALIZO: Msamiati na maneno rejea yamekozeshwa
na yamepigiwa mstari.
Yaandike maneno ubaoni. Unapofikia msamiati wa Mwanafunzi aweze kujibu
maswali ya ufahamu , tulia kwa muda na onesha msamiati huo ubaoni.

Ufahamu
Maua mazuri ya pendeza x2
Ukiyatizama yanakushangaza
Hakuna lizuri lisilo pendeza
Zum Zum Zum emama nyuki lia weee
Unakwenda kutafuta ua zuri la chanua
Zum Zum Zum emama nyuki lia weee

Maswali ya ufahamu
1. Nani amewahi kumuona Nyuki?
2. Nyuki analiaje?
3. Kwa nini nyuki anapenda maua yaliyochanua?

Mazoezi.
• Waambie wanafunzi watafute maneno mengine yanayoanza na /u/

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 129


Weka alama vyema baada ya kufundisha
24.0 Rudia herufi kubwa na ndogo
Wiki ya 5: Siku ya 5

Tarehe: _____________________
Muongozo wa ufundishaji: Tumia
Zana:
jina la herufi/sauti ya herufi katika
• Kadi za herufi tT, uU,
muongozo huu ili kufundisha herufi na
• Kadi za herufi kwa ajili ya
sauti za herufi husika
marudio
• Kadi za maneno
Malengo:
• Andika neno [uso] ubaoni
• Rudia sauti ya herufi na jina la
• Kadi za sentensi
tT, uU, Kutumia maelekezo ya
• Hadithi au Nyimbo
hapo chini
• Kitini cha mazoezi kwa
• Fanya mazoezi kwa kutumia
wanafunzi
kadi za herufi
• Soma sentensi zilizorahisi
• Soma hadithi

Muongozo wa kufundisha Utambuzi wa Sauti (Dakika 5)

 Marudio:
• Rudia sauti zilizofundishwa katika wiki hiyo: /t/ /u/
• Waulize wanafunzi sauti ipi wanayoisikia mwanzoni mwa kila neno
lililofundishwa katika somo lililopita (Usiandike Maneno).

Rudia sauti kwa kutumia muongozo ufuatao.

Ujuzi Mwalimu Mwalimu na Mazoezi ya


“Ninatenda” mwanafunzi mwanafunzi
Utambuzi wa “Tunatenda” “Unatenda”
Sauti Mwalimu Rudia sauti zote za
aongoze maneno Mwalimu anasema:
kutambua Ni sauti ipi ya mwanzo
sauti za Sasa, Tuseme sauti mnayosikia (Rejea
mwanzo ya mwanzo kutoka maneno ya masomo
za maneno katika maneno yaliyopita)
tofauti kutoka tofauti tuliyojifunza
masomo somo lililopita.
yaliyotangulia.

130 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


(USIANDIKE) • Mistari mitatu
ya nyuma, ni
sauti ipi?
Wanafunzi watasema:
• Mistari mitatu
ya mbele, ni
sauti ipi?
Wanafunzi watasema:
• Wasichana
nyote, ni sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:
• Wavulana
nyote, ni sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:
• Upande wangu
wa kulia, sauti
ipi? (Mwalimu
aelekeze mkono
upande wa
kulia)
Wanafunzi watasema
• Upande
wangu wa
kushoto, sauti
ipi? (Mwalimu
aelekeze mkono
wa kushoto)
Wanafunzi watasema:
• Nyote kwa
pamoja, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:

Mazoezi ya Utambuzi wa Sauti

Mchezo wa Sauti:
• Waambie wanafunzi wasimame wanaposikia sauti ya mwanzo ya maneno
waliyojifunza (USIYAANDIKE)
• Sahihisha makosa

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 131


Maelekezo ya kufundisha utambuzi wa sauti ya herufi (Dakika 3-4)

Marudio:
• Rudia herufi zilizokwisha fundishwa: tT, uU
• Andika herufi ubaoni au tumia kadi za herufi. Waambie: TIZAMA
MAANDISHI.
• Waoneshe wanafunzi kadi ya herufi tT kisha waulize hiyo ni herufi gani
• Fanya hivyo kwa herufi uU
• Waulize wanafunzi kadhaa kuhakikisha kila mmoja amefahamu majina ya
herufi.

Rudia majina ya herufi tT, uU kutumia muongozo ufuatao.


Msingi wa Mwalimu: Mwalimu na Mwanafunzi:
kialfabeti “Ninatenda” mwanafunzi: “Unatenda”
“Tunatenda”
Uhusiano wa TIZAMA Mwalimu wagawie
Sauti na herufi MAANDISHI. TIZAMA wanafunzi kadi
Hii ni herufi tT. MAANDISHI. za maneno katika
(ANDIKA) Onesha wanafunzi Kila mmoja: Hii ni makundi na waambie
tT. Herufi tT inatoa sauti tT. (Onesha wachague herufi
sauti /t/. wanafunzi tT.) zinaashiria sauti
Sauti tT inatoa sauti zilizotamkwa
Hii ni herufi uU. gani,..kila mmoja?
(Onesha wanafunzi Nyoosha mkono
uU.)Herufi uU kuashiria wanafunzi
inatoa sauti /uuu/. wajibu pamoja
na wewe. (darasa
zima) /t/

Sasa Kila mmoja:


Hii ni herufi uU.
(Onesha wanafunzi
herufi uU.) Herufi
uU inaunda sauti
gani, kila mmoja?
Nyoosha mkono
kuashiria wanafunzi
wajibu pamoja
na wewe. (Darasa
zima) /uuu/

132 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


 Mazoezi ya Sauti ya herufi na Ufasaha (Dakika 4-5): MAZOEZI
• Chukua kadi zenye herufi tT, uU (AU andika herufi hizo ubaoni).
• Wakumbushe wanafunzi jina la kila herufi kisha onesha moja baada ya
nyingine huku ukiwataka wanyooshe mkono kama wanajua majina ya
herufi hizo.
(Tumia sekunde 30 au zinazokaribiana kwa zoezi hili)
• Sema sauti ya herufi tT
• Waambie wanafunzi wanyooshe mkono kama wanaweza kusema jina la
herufi linalounda sauti hiyo. Fanya hivyo kwa uU.
• Waulize wanafunzi kama wanaweza kusoma neno kwa kulitamka.
Onesha neno; [ua, uso, utu, toa, tuma] kwenye ubao na useme “Tizama
Maandishi”.
• Waoneshe namna ya kutamka neno (Ninatenda, Tunatenda, Unatenda)
/u/ /s/ /o/
• Unganisha sauti kisha sema neno [uso]. Fanya hivyo kwa neno [ua,utu,
toa, tuma].
• Waambie wanafunzi wanyooshe mkono kama wanaweza kusema sauti
zilizomo katika neno [uso], kisha watamke neno lote.
• Chagua wanafunzi kadhaa kutamka neno hiyo.
• Sahihisha makosa.
• Onesha neno kisha tamka sauti zinazounda neno.
• Onesha neno kisha waambie wanafunzi walitamke. [Mnatenda].
• Onesha kila herufi kasha tamka pamoja na wanafunzi. auti ya mwanzo
katika neno [uso] ni /uuu/, inayofuata /s/ ya mwisho /ooo/. Ni neno gani
hilo? [uso]. Neno hilo ni [uso].
• Sasa zamu yenu. Neno gani? [uso]
• Waambie wanafunzi waandike herufi mpya, silabi na maneno ambayo
yamefundishwa katika kipindi hicho (Ninatenda, Tunatenda, Unatenda)

Mchezo wa kujenga ufasaha kutumia maneno [ua, uso, kuta, suka,


utu, kiti, sota, siti, toa, tuma]
• Waeleze wanafunzi wanyooshe mkono wanpoona neno wanalolitambua
katika kadi utakayoonyesha (au onesha maneno hayo ubaoni).
• Waambie kuwa utaonesha kila kadi (au utaonesha ubaoni) kwa haraka,
kwa hiyo waharakishe kunyoosha mkono pindi wanapoona neno
wanalolitambua
• Chagua mwanafunzi aliyenyoosha mkono asome neno husika.

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 133


Msamiati: (Dakika 4-5)
Rudia neno [uso]

Ufahamu wa Kusikiliza (Dakika 10):


• Wasomee wanafunzi hadithi ifuatayo. ANGALIZO: Msamiati na maneno
yamekozeshwa na yamepigiwa mstari
• Yaandike maneno ubaoni. Tulia kwa muda kasha waoneshe
unapoyatamka.

Hadithi ya Kusoma kwa Sauti [Hadithi kutoka kwenye kitabu]


• Andika hadithi kutoka kwenye kitabu ubaoni.
• Andika jina la mwandishi wa hadithi ubaoni
• Andika jina la msanifu wa michoro ubaoni.

Rejea neno la hakiba:


• Andika neno [uso] ubaoni.
• Wakumbushe wanafunzi kuwa neno hili limekwisha fundishwa. Waambie
walitumie katika sentensi kwa usahihi

Weka alama ya vyema baada ya kufundisha


25.0 Kufundisha sauti p
Wiki ya 6: Siku ya 1
Tarehe: _____________________
Muongozo wa ufundishaji: Tumia
jina la herufi/sauti ya herufi katika
muongozo huu ili kufundisha majina na
Zana:
sauti za herufi husika
• Kadi za herufi p
Malengo:
• Kadi za herufi kwa ajili ya
• Mwanafunzi aweze kutamka
marudio
sauti na jina la herufi sauti na
• Kadi za maneno
jina la herufi p kwa kutumia
• Andika neno [popo] ubaoni
muongozo ufuatao
• Kadi za sentensi
• Mwanafunzi aweze kufanya
• Hadithi au Nyimbo
mazoezi ya kusoma kwa
• Kitini cha mazoezi kwa
kutumia kadi za herufi, maneno
mwanafunzi
na sentensi
• Mwanafunzi aweze kusoma
sentensi rahisi
• Mwanafunzi aweze kujibu
maswali ya ufahamu

134 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


Muongozo wa kufundisha utambuzi wa sauti (Dakika 5)

Marudio:
• Rudia sauti zilizofundishwa katika wiki hiyo: /t/, /u/, /o/, /i/, /s/, /k/
• Waulize wanafunzi sauti ipi wanayoisikia mwanzoni mwa kila neno
lililofundishwa katika somo lililopita (Usiandike Maneno). [taa, toa, kima,
soko, ua, omo,siki, ita, suka]

Fundisha sauti p kutumia muongozo ufuatao.

Ujuzi Mwalimu Mwalimu na Mazoezi ya


“Natenda” Mwanafunzi Mwanafunzi
“Tunatenda” “Unatenda”
Sauti ya mwanzo Rudia sauti zote Mwalimu aulize:
Utambuzi wa ya neno [popo] ni na maneno Ni sauti gani ya
sauti /p/ sikiliza, /p/. Sasa, tuseme sauti mwanzo mnayoisikia
ya mwanzo ya kwenye neno [popo/
(USIANDIKE) Sasa, sauti ya neno [popo] paa]?
mwanzo ya neno Kilammoja, sauti • Mistari
[paa] ni /p/. ya mwanzo ya mitatu ya
neno [popo] ni nyuma, sauti
/p/ ipi?
Wanafunzi
Onesha ishara watasema:
kwa mkono • Mistari
kuashiria mitatu ya
wanafunzi wajibu mbele, sauti
pamoja nawe ipi?
(sote tuseme) /p/ Wanafunzi
watasema:
Sasa, fundisha • Wasichana
sauti za mwanzo nyote, sauti
za neno [paa] ipi?
kama ulivyofanya Wanafunzi
kwa [popo] watasema:

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 135


• Wavulana
nyote, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:
• Upande
wangu wa
kulia, sauti
ipi? (mwalimu
aelekeze
mkono
upande wa
kulia)
Wanafunzi watasema:
• Upande
wangu wa
kushoto,
sauti ipi?
(mwalimu
aelekeze
mkono
upande wa
kushoto)
Wanafunzi watasema:
• Nyote kwa
pamoja,
sauti ipi?
Wanafunzi watasema:

Mazoezi ya Utambuzi wa Sauti

Mchezo wa sauti:
• Waambie wanafunzi wainamishe vichwa vyao juu ya deski wakati wa
mchezo huu wa sauti.
• Waambie wanafunzi waoneshe dole gumba juu wanaposikia sauti /p/
na dole gumba chini wasipoisikia sauti hiyo mwanzoni mwa maneno
yafuatayo: (USIYAANDIKE) [popo, paa, utu, paka, pata, kapa, mopu, pipa,
kipa, tapa, pua]

136 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


Maana yake “Ndiyo” Maana yake “hapana”
• Ita mwanafunzi mmoja mmoja aseme neno linaloanza na sauti /p/.
• Sahihisha makosa

Maelekezo ya kufundisha utambuzi wa sauti ya herufi (Dakika 3-4)

Marudio:
• Rudia herufi zilizokwisha fundishwa: t, o, u, i, s, k
• Andika herufi ubaoni au tumia kadi za herufi. Waambie: TIZAMA
MAANDISHI.
• Waoneshe wanafunzi kadi ya herufi t kisha waulize hiyo ni herufi gani
• Fanya hivyo kwa herufi u, o, i, s, k
• Waulize wanafunzi kadhaa kuhakikisha kila mmoja amefahamu majina ya
herufi.

Fundisha majina ya herufi p kutumia muongozo ufuatao.

Msingi wa Mwalimu: Mwalimu na Mwanafunzi:


kialfabeti “Ninatenda” mwanafunzi: “Unatenda”
TIZAMA “Tunatenda” Mwalimu:
Uhusiano wa MAANDISHI TIZAMA Sasa zamu yenu.
sauti na herufi MAANDISHI Darasa hii ni herufi?
Hii ni herufi (Onesha herufi p)
(ANDIKA) p. Onesha Sasa, kila mmoja: • Mistari mitatu
wanafunzi hii ni herufi ya nyuma,
herufi p. Herufi p p. (onesha sauti ipi?
inaunda sauti /p/. wanafunzi p) Wanafunzi watasema:
herufi p inaunda • Mistari mitatu
sauti gani sote ya mbele,
kwa pamoja? sauti ipi?
Onesha ishara Wanafunzi watasema:
kwa mkono • Wasichana
kuashiria nyote, sauti
wanafunzi wajibu ipi?
pamoja nawe. Wanafunzi watasema:
(sote tuseme) • Wavulana
/p/ nyote, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 137


• Upande
wangu wa
kulia, sauti
ipi? (mwalimu
aelekeze
mkono upande
wa kulia)
Wanafunzi watasema:
• Upande
wangu wa
kushoto, sauti
ipi? (mwalimu
aelekeze
mkono upande
wa kushoto)
Wanafunzi watasema:
• Nyote kwa
pamoja, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:

 Mazoezi ya Sauti ya herufi na ufasaha (Dakika 4-5): MAZOEZI


• Chukua kadi yenye herufi: p (AU andika herufi hiyo ubaoni).
• Wakumbushe wanafunzi jina la herufi kisha ioneshe huku ukiwataka
wanyooshe mkono kama wanajua jina la herufi hiyo.
(Tumia sekunde 30 au zaidi kwa kazi hii)
• Tamka sauti ya herufi p
• Waambie wanafunzi wanyooshe mkono ” kama wanaweza kutaja jina
la herufi linalounda sauti hiyo.
• Waulize wanafunzi kama wanaweza kusoma neno kwa kulitamka.
• Onesha neno; [popo] ubaoni kisha sema “Tizama maandishi”.
• Waoneshe namna ya kutamka neno (Ninatenda, Tunatenda,
Unatenda). /p/ / o/ /p/ /o/
• Unganisha sauti kisha sema neno [popo].
• Waambie wanafunzi wanyooshe mkono kama wanaweza kusema sauti
zilizopo katika neno [popo], kisha watamke neno lote.
• Chagua wanafunzi kadhaa kutamka neno hilo.
• Sahihisha makosa.
• Onesha neno kisha tamka sauti zinazounda neno.
• Onesha neno kisha waambie wanafunzi walitamke. (Mnatenda).
138 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza
•  nesha kila herufi kisha tamka pamoja na wanafunzi. Sauti ya mwanzo
O
katika neno [popo] ni /p/, inayofuata /ooo/, inayofuata /p/, ya mwisho /
ooo/. Neno gani hilo? [popo]. Neno hilo ni [popo].
• Sasa zamu yenu. Ni neno gani? [popo]
• Waambie wanafunzi waandike herufi mpya, silabi na maneno ambayo
yamefundishwa katika kipindi hiki. (Ninatenda, Tunatenda, Unatenda)

Sentensi rahisi:
Huyu ni popo

Mazoezi ya Kusoma Sentensi:


• Waoneshe wanafunzi kila herufi za sauti na utamke [Huyu ni popo].
• Waambie wanafunzi wasome sentensi kwa sauti

Msamiati: (Dakika 4-5)

Rudia maneno [popo, paa, paka, pata, pipa, pua]

Neno la hakiba:
• Andika neno [popo] ubaoni.
• Wakumbushe wanafunzi kuwa hili ni neno la wiki.
• Waambie wanafunzi walitumie neno hilo kwa usahihi katika sentensi.

Neno Jipya [huyu]:


• Waambie wanafunzi kuwa neno jipya ni [huyu].
• Onesha kadi au liandike ubaoni.
• Someno neno hilo pamoja na wanafunzi.

Mchezo wa ufahamu kwa kutumia maneno [popo, paa, paka, pata, pipa, pua]
with pupils
• Waeleze wanafunzi wanyooshe mkono wanapoona neno
wanalolitambua katika kadi utakayoonyesha (au onesha maneno hayo
ubaoni)
• Waambie kuwa utaonesha kila kadi (au utaonesha ubaoni) kwa haraka
kwa hiyo waharakishe kunyoosha mkono pindi wanapoona neno
wanalolitambua
• Chagua wanafunzi walionyoosha mikono na wasio nyoosha kuhakikisha
kama wameelewa.

Ufahamu wa kusikiliza (Dakika 10):


Wasomee hadithi ifuatayo. ANGALIZO: Msamiati na maneno rejea yamekozeshwa
na yamepigiwa mstari.
Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 139
Yaandike maneno ubaoni. Unapofikia msamiati wa Mwanafunzi aweze kujibu
maswali ya ufahamu , tulia kwa muda na onesha msamiati huo ubaoni.

Ufahamu
Jana mama alipika wali na samaki. Alipomaliza kupika alifunika chungu vizuri.
Paka mmoja mroho aliingia jikoni, akafunua chungu na kula samaki wote. Punde
mama akatokea, akampiga pu pu pu pu. Yule paka akawa analia nyau, nyau, nyau.
Mama akamwaga ule wali kwa sababu paka aliuchafua kwa mate yake. Baadae
mama akapika pilau ya nyama.

Maswali ya ufahamu:
• Kwa nini mama alimpiga paka?
• Utafanya nini ili paka wasiibe samaki jikoni?
• Je ungekuwa wewe ungemfanya nini paka?

Mazoezi.
• Waambie wanafunzi watafute maneno mengine yanayoanza na /p/

Weka alama ya vyema baada ya kufundisha


26.0 Kufundisha sauti P
Wiki ya 6: Siku ya 2

Tarehe: _____________________
Muongozo wa ufundishaji: Tumia
jina la herufi/sauti ya herufi katika
muongozo huu ili kufundisha majina na
Zana:
sauti za herufi husika
• Kadi za herufi P
Malengo:
• Kadi za herufi kwa ajili ya
• Mwanafunzi aweze kutamka
marudio
sauti na jina la herufi sauti na
• Kadi za maneno
jina la herufi P kwa kutumia
• Andika neno [Popo] ubaoni
muongozo ufuatao
• Kadi za sentensi
• Mwanafunzi aweze kufanya
• Hadithi au Nyimbo
mazoezi ya kusoma kwa
• Kitini cha mazoezi kwa
kutumia kadi za herufi, maneno
mwanafunzi
na sentensi
• Mwanafunzi aweze kusoma
sentensi rahisi
• Mwanafunzi aweze kujibu
maswali ya ufahamu

140 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


Muongozo wa kufundisha utambuzi wa sauti (Dakika 5)

Marudio:
• Rudia sauti zilizofundishwa katika wiki hiyo: /t/, /u/, /o/, /i/, /s/, /k/
• Waulize wanafunzi sauti ipi wanayoisikia mwanzoni mwa kila neno
lililofundishwa katika somo lililopita (Usiandike Maneno). [taa, toa, kima,
soko, ua, omo,siki, ita, suka]

Fundisha sauti P kutumia muongozo ufuatao.

Ujuzi Mwalimu Mwalimu na Mazoezi ya


“Natenda” Mwanafunzi Mwanafunzi
Utambuzi wa “Tunatenda” “Unatenda”
sauti Sauti ya mwanzo Rudia sauti zote na
ya neno [popo] maneno Mwalimu aulize: Ni
(USIANDIKE) ni /p/ sikiliza, /p/. sauti gani ya mwanzo
Sasa, tuseme sauti mnayoisikia kwenye
Sasa, sauti ya ya mwanzo ya neno neno [Popo/Paa]?
mwanzo ya neno [popo] • Mistari mitatu
[paa] ni /p/. Kilammoja, sauti ya ya nyuma,
mwanzo ya neno sauti ipi?
[popo] ni /p/ Wanafunzi watasema:
• Mistari mitatu
Onesha ishara kwa ya mbele, sauti
mkono kuashiria ipi?
wanafunzi wajibu Wanafunzi watasema:
pamoja nawe (sote • Wasichana
tuseme) /p/ nyote, sauti
ipi?
Sasa, fundisha Wanafunzi watasema:
sauti za mwanzo za • Wavulana
neno [paa] kama nyote, sauti
ulivyofanya kwa ipi?
[popo] Wanafunzi watasema:
• Upande
wangu wa
kulia, sauti
ipi? (mwalimu
aelekeze mkono
upande wa
kulia)

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 141


Wanafunzi watasema:
• Upande
wangu wa
kushoto, sauti
ipi? (mwalimu
aelekeze mkono
upande wa
kushoto)
Wanafunzi watasema:
• Nyote kwa
pamoja, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:

Mazoezi ya Utambuzi wa Sauti

Mchezo wa sauti:
• Waambie wanafunzi wainamishe vichwa vyao juu ya deski wakati wa
mchezo huu wa sauti.
• Waambie wanafunzi waoneshe dole gumba juu wanaposikia sauti /p/
na dole gumba chini wasipoisikia sauti hiyo mwanzoni mwa maneno
yafuatayo: (USIYAANDIKE) [popo, paa, utu, paka, pata, kapa, mopu, pipa,
kipa, tapa, pua]
Maana yake “Ndiyo” Maana yake “hapana”
• Ita mwanafunzi mmoja mmoja aseme neno linaloanza na sauti /p/.
• Sahihisha makosa

Maelekezo ya kufundisha utambuzi wa sauti ya herufi (Dakika 3-4)

Marudio:
• Rudia herufi zilizokwisha fundishwa: T, U, O, I, S, K, p
• Andika herufi ubaoni au tumia kadi za herufi. Waambie: TIZAMA
MAANDISHI.
• Waoneshe wanafunzi kadi ya herufi T kisha waulize hiyo ni herufi gani
• Fanya hivyo kwa herufi U, O, I, S, K, p
• Waulize wanafunzi kadhaa kuhakikisha kila mmoja amefahamu majina ya
herufi.

142 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


Fundisha majina ya herufi P kutumia muongozo ufuatao.
Msingi wa Mwalimu: Mwalimu na Mwanafunzi:
kialfabeti “Ninatenda” mwanafunzi: “Unatenda”
TIZAMA “Tunatenda” Mwalimu:
Uhusiano MAANDISHI TIZAMA Sasa zamu yenu.
wa sauti na MAANDISHI Darasa hii ni herufi?
herufi Hii ni herufi (Onesha herufi P)
P. Onesha Sasa, kila • Mistari mitatu
(ANDIKA) wanafunzi mmoja: hii ni ya nyuma,
herufi P. Herufi P herufi P. (onesha sauti ipi?
inaunda sauti /p/. wanafunzi P) Wanafunzi watasema:
herufi P inaunda • Mistari mitatu
sauti gani sote ya mbele, sauti
kwa pamoja? ipi?
Onesha ishara Wanafunzi watasema:
kwa mkono • Wasichana
kuashiria nyote, sauti
wanafunzi ipi?
wajibu pamoja Wanafunzi watasema:
nawe. (sote • Wavulana
tuseme) nyote, sauti
/p/ ipi?
Wanafunzi watasema:
• Upande wangu
wa kulia, sauti
ipi? (mwalimu
aelekeze mkono
upande wa
kulia)
Wanafunzi watasema:

• Upande wangu
wa kushoto,
sauti ipi?
(mwalimu
aelekeze mkono
upande wa
kushoto)

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 143


Wanafunzi watasema:
• Nyote kwa
pamoja, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:

 Mazoezi ya Sauti ya herufi na ufasaha (Dakika 4-5): MAZOEZI


• Chukua kadi yenye herufi: P (AU andika herufi hiyo ubaoni).
• Wakumbushe wanafunzi jina la herufi kisha ioneshe huku ukiwataka
wanyooshe mkono kama wanajua jina la herufi hiyo.
(Tumia sekunde 30 au zaidi kwa kazi hii)
• Tamka sauti ya herufi P
• Waambie wanafunzi wanyooshe mkono ” kama wanaweza kutaja jina la
herufi linalounda sauti hiyo.
• Waulize wanafunzi kama wanaweza kusoma neno kwa kulitamka.
Onesha neno; [Popo] ubaoni kisha sema “Tizama maandishi”.
• Waoneshe namna ya kutamka neno (Ninatenda, Tunatenda,
Unatenda). /p/ / o/ /p//o/
• Unganisha sauti kisha sema neno [Popo].
• Waambie wanafunzi wanyooshe mkono kama wanaweza kusema sauti
zilizopo katika neno [Popo], kisha watamke neno lote.
• Chagua wanafunzi kadhaa kutamka neno hilo.
• Sahihisha makosa.
• Onesha neno kisha tamka sauti zinazounda neno.
• Onesha neno kisha waambie wanafunzi walitamke. (Mnatenda).
• Onesha kila herufi kisha tamka pamoja na wanafunzi. Sauti ya mwanzo
katika neno [Popo] ni /p/, inayofuata /ooo/, inayofuata /p/, ya mwisho /
ooo/. Neno gani hilo? [Popo]. Neno hilo ni [Popo].
• Sasa zamu yenu. Ni neno gani? [Popo]
• Waambie wanafunzi waandike herufi mpya, silabi na maneno ambayo
yamefundishwa katika kipindi hiki. (Ninatenda, Tunatenda, Unatenda)

Sentensi rahisi:
Huyu ni popo

Mazoezi ya Kusoma Sentensi:


• Waoneshe wanafunzi kila herufi za sauti na utamke [Huyu ni popo].
• Waambie wanafunzi wasome sentensi kwa sauti
144 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza
Msamiati: (Dakika 4-5)

Rudia maneno [Popo, Paa, Paka, Pata, Pipa, Pua]

Neno la hakiba:
• Andika neno [Popo] ubaoni.
• Wakumbushe wanafunzi kuwa hili ni neno la wiki.
• Waambie wanafunzi walitumie neno hilo kwa usahihi katika sentensi.

Neno Jipya [huyu]:


• Waambie wanafunzi kuwa neno jipya ni [huyu].
• Onesha kadi au liandike ubaoni.
• Someno neno hilo pamoja na wanafunzi.

Mchezo wa ufahamu kwa kutumia maneno [Popo, Paa, Paka, Pata, Pipa, Pua]
with pupils
• Waeleze wanafunzi wanyooshe mkono wanapoona neno
wanalolitambua katika kadi utakayoonyesha (au onesha maneno hayo
ubaoni)
• Waambie kuwa utaonesha kila kadi (au utaonesha ubaoni) kwa haraka
kwa hiyo waharakishe kunyoosha mkono pindi wanapoona neno
wanalolitambua
• Chagua wanafunzi walionyoosha mikono na wasio nyoosha kuhakikisha
kama wameelewa.

Ufahamu wa kusikiliza (Dakika 10):


Wasomee hadithi ifuatayo. ANGALIZO: Msamiati na maneno rejea yamekozeshwa
na yamepigiwa mstari.
Yaandike maneno ubaoni. Unapofikia msamiati wa Mwanafunzi aweze kujibu
maswali ya ufahamu , tulia kwa muda na onesha msamiati huo ubaoni.

Ufahamu
Jana mama alipika wali na samaki. Wakati anapika alifunika chungu vizuri . Paka
mmoja mroho aliingia jikoni, akafunua chungu na kula samaki wote. Punde
mama akatokea, akampiga pu pu pu pu. Yule paka akawa analia nyau, nyau, nyau.
Mama akamwaga ule wali kwa sababu paka aliuchafua kwa mate yake. Baadae
mama akapika pilao na nyama.

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 145


Maswali ya ufahamu:
• Kwa nini mama alimpiga paka?
• Utafanya nini ili paka wasiibe samaki jikoni?
• Je ingekuwa wewe ni mama ungemfanya nini paka?

Mazoezi: Waambie wanafunzi watafute maneno mengine yanayoanza na /p/

Weka alama ya vyema baada ya kufundisha


27.0 Kufundisha sauti e
Wiki ya 6: Siku ya 3
Tarehe: _____________________
Muongozo wa ufundishaji: Tumia
jina la herufi/sauti ya herufi katika
muongozo huu ili kufundisha majina
Zana:
na sauti za herufi husika
• Kadi za herufi e
Malengo:
• Kadi za herufi kwa ajili ya
• Mwanafunzi aweze kutamka
marudio
sauti na jina la herufi sauti na
• Kadi za maneno
jina la herufi e kwa kutumia
• Andika neno [eka] ubaoni
muongozo ufuatao
• Kadi za sentensi
• Mwanafunzi aweze kufanya
• Hadithi au Nyimbo
mazoezi ya kusoma kwa
• Kitini cha mazoezi kwa
kutumia kadi za herufi, maneno
mwanafunzi
na sentensi
• Mwanafunzi aweze kusoma
sentensi rahisi
• Mwanafunzi aweze kujibu
maswali ya ufahamu

Muongozo wa kufundisha utambuzi wa sauti (Dakika 5)


Marudio:
• Rudia sauti zilizofundishwa katika wiki hiyo: /u/, /s/, /i/, /k/, /p/
• Waulize wanafunzi sauti ipi wanayoisikia mwanzoni mwa kila neno
lililofundishwa katika somo lililopita (Usiandike Maneno). [ua, supu, ita,
kuku, pipi]

146 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


Fundisha sauti e kutumia muongozo ufuatao.
Ujuzi Mwalimu Mwalimu na Mazoezi ya Mwanafunzi
“Natenda” Mwanafunzi “Unatenda”
“Tunatenda”
Utambuzi wa Sauti ya Rudia sauti zote na Mwalimu aulize: Ni
sauti mwanzo ya maneno sauti gani ya mwanzo
neno [eka] ni mnayoisikia kwenye
(USIANDIKE) /e/ sikiliza, / Sasa, tuseme sauti neno [eka/ema]?
eee/. ya mwanzo ya neno • Mistari mitatu ya
[eka] nyuma, sauti ipi?
Sasa, sauti ya Kilammoja, sauti ya Wanafunzi watasema:
mwanzo ya mwanzo ya neno • Mistari mitatu ya
neno [ema] ni [eka] ni /eee/ mbele, sauti ipi?
/eee/. Wanafunzi watasema:
Onesha ishara kwa • Wasichana
mkono kuashiria nyote, sauti ipi?
wanafunzi wajibu Wanafunzi watasema:
pamoja nawe (sote • Wavulana nyote,
tuseme) /eee/ sauti ipi?
Wanafunzi watasema:
Sasa, fundisha • Upande wangu
sauti ya mwanzo ya wa kulia, sauti
neno [ema] kama ipi? (mwalimu
ulivyofanya kwa aelekeze mkono
[eka] upande wa kulia)
Wanafunzi watasema:
• Upande wangu
wa kushoto,
sauti ipi?
(mwalimu
aelekeze mkono
upande wa
kushoto)
Wanafunzi watasema:
• Nyote kwa
pamoja, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 147


Mazoezi ya Utambuzi wa Sauti

Mchezo wa sauti:
• Waambie wanafunzi wainamishe vichwa vyao juu ya deski wakati wa
mchezo huu wa sauti.
• Waambie wanafunzi waoneshe dole gumba juu wanaposikia sauti /e/
na dole gumba chini wasipoisikia sauti hiyo mwanzoni mwa maneno
yafuatayo: (USIYAANDIKE) [pete, eka, kete, ema, pesa, mate, embe, sote]
Maana yake “Ndiyo” Maana yake “hapana”
• Ita mwanafunzi mmoja mmoja aseme neno linaloanza na sauti /e/.
• Sahihisha makosa

Maelekezo ya kufundisha utambuzi wa sauti ya herufi (Dakika 3-4)

Marudio:
• Rudia herufi ulizofundisha: u, s, i, k, p
• Andika herufi ubaoni au tumia kadi za herufi. Waambie: TIZAMA
MAANDISHI.
• Waoneshe wanafunzi kadi ya herufi u kisha waulize hiyo ni herufi gani
• Fanya hivyo kwa herufi s, i, k, p
• Waulize wanafunzi kadhaa kuhakikisha kila mmoja amefahamu majina ya
herufi.

Fundisha majina ya herufi e kutumia muongozo ufuatao.

Msingi wa Mwalimu: Mwalimu na Mwanafunzi:


kialfabeti “Ninatenda” mwanafunzi: “Unatenda”
TIZAMA “Tunatenda” Mwalimu:
Uhusiano wa MAANDISHI TIZAMA Sasa zamu yenu. Darasa
sauti na herufi MAANDISHI hii ni herufi? (Onesha
Hii ni herufi herufi e)
(ANDIKA) e. Onesha Sasa, kila • Mistari mitatu
wanafunzi mmoja: hii ni ya nyuma, sauti
herufi e. Herufi herufi e. (onesha ipi?
e inaunda sauti / wanafunzi e) Wanafunzi watasema:
eee/. herufi einaunda • Mistari mitatu
sauti gani sote ya mbele, sauti
kwa pamoja? ipi?
Wanafunzi watasema:

148 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


Onesha ishara • Wasichana
kwa mkono nyote, sauti ipi?
kuashiria Wanafunzi watasema:
wanafunzi • Wavulana
wajibu pamoja nyote, sauti ipi?
nawe. (sote Wanafunzi watasema:
tuseme) • Upande wangu
/eee/ wa kulia, sauti
ipi? (mwalimu
aelekeze mkono
upande wa
kulia)
Wanafunzi watasema:
• Upande wangu
wa kushoto,
sauti ipi?
(mwalimu
aelekeze mkono
upande wa
kushoto)
Wanafunzi watasema:
• Nyote kwa
pamoja, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:

 Mazoezi ya Sauti ya herufi na ufasaha (Dakika 4-5): MAZOEZI


• Chukua kadi yenye herufi: e (AU andika herufi hiyo ubaoni).
• Wakumbushe wanafunzi jina la herufi kisha ioneshe huku ukiwataka
wanyooshe mkono kama wanajua jina la herufi hiyo.
(Tumia sekunde 30 au zaidi kwa kazi hii)
• Tamka sauti ya herufi e
• Waambie wanafunzi wanyooshe mkono ” kama wanaweza kutaja jina
la herufi linalounda sauti hiyo.
• Waulize wanafunzi kama wanaweza kusoma neno kwa kulitamka.
Onesha neno; [eka] ubaoni kisha sema “Tizama maandishi”.
• Waoneshe namna ya kutamka neno (Ninatenda, Tunatenda,
Unatenda). / e/ /k/ /a/.
• Unganisha sauti kisha sema neno [eka].
• Waambie wanafunzi wanyooshe mkono kama wanaweza kusema sauti

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 149


zilizopo katika neno [eka], kisha watamke neno lote.
• Chagua wanafunzi kadhaa kutamka neno hilo.
• Sahihisha makosa.
• Onesha neno kisha tamka sauti zinazounda neno.
• Onesha neno kisha waambie wanafunzi walitamke. (Mnatenda).
• Onesha kila herufi kisha tamka pamoja na wanafunzi. Sauti ya mwanzo
katika neno [eka] ni /eee/, inayofuata /k/, ya mwisho /aaa/. Neno gani
hilo? [eka]. Neno hilo ni [eka].
• Sasa zamu yenu. Ni neno gani? [eka]
• Waambie wanafunzi waandike herufi mpya, silabi na maneno ambayo
yamefundishwa katika kipindi hiki. (Ninatenda, Tunatenda, Unatenda)

Sentensi rahisi:
shamba letu lina eka moja.

Mazoezi ya Kusoma Sentense.


• Waoneshe wanafunzi kila herufi za sauti na utamke [shamba letu lina
eka moja].
• Waambie wanafunzi wasome sentensi kwa sauti

Msamiati: (Dakika 4-5)


Rudia maneno [eka, epa, epua]

Neno la hakiba:
• Andika neno [eka] ubaoni.
• Wakumbushe wanafunzi kuwa hili ni neno la wiki.
• Waambie wanafunzi walitumie neno hilo kwa usahihi katika sentensi.

Neno Jipya [lina]:


• Waambie wanafunzi kuwa neno jipya ni [lina].
• Onesha kadi au liandike ubaoni.
• Someno neno hilo pamoja na wanafunzi.

Mchezo wa ufahamu kwa kutumia maneno [eka, epa, epua] with pupils
• Waeleze wanafunzi wanyooshe mkono wanapoona neno
wanalolitambua katika kadi utakayoonyesha (au onesha maneno hayo
ubaoni)
• Waambie kuwa utaonesha kila kadi (au utaonesha ubaoni) kwa haraka

150 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


kwa hiyo waharakishe kunyoosha mkono pindi wanapoona neno
wanalolitambua
• Chagua wanafunzi walionyoosha mikono na wasio nyoosha kuhakikisha
kama wameelewa.

Ufahamu wa kusikiliza (Dakika 10):


Wasomee hadithi ifuatayo. ANGALIZO: Msamiati na maneno rejea yamekozeshwa
na yamepigiwa mstari.
Yaandike maneno ubaoni. Unapofikia msamiati wa Mwanafunzi aweze kujibu
maswali ya ufahamu , tulia kwa muda na onesha msamiati huo ubaoni.

Ufahamu
Baba na mama wamekwenda shambani kuchuma embe. Shamba letu liko karibu
na eneo la skuli. Lina ukubwa wa eka moja na nusu. Kila Jumamosi mimi na Salum
huwa tunakwenda shamba kuchuma embe. Mama alituambia tukila embe mara
kwa mara tutakuwa na afya bora.

Maswali ya ufahamu
• Baba na mama huenda shambani kufanya nini?
• Je, nyumbani kwenu kuna matunda ya aina gani?
• Embe inafaida gani mwilini?

Mazoezi.
• Waambie wanafunzi watafute maneno mengine yanayoanza na /e/

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 151


Weka alama ya vyema baada ya kufundisha
28.0 Kufundisha sauti E
Wiki ya 6: Siku ya 4

Tarehe: _____________________
Muongozo wa ufundishaji: Tumia
jina la herufi/sauti ya herufi katika
muongozo huu ili kufundisha majina
Zana:
na sauti za herufi husika
• Kadi za herufi E
Malengo:
• Kadi za herufi kwa ajili ya
• Mwanafunzi aweze kutamka
marudio
sauti na jina la herufi sauti na
• Kadi za maneno
jina la herufi E kwa kutumia
• Andika neno [Eka] ubaoni
muongozo ufuatao
• Kadi za sentensi
• Mwanafunzi aweze kufanya
• Hadithi au Nyimbo
mazoezi ya kusoma kwa
• Kitini cha mazoezi kwa
kutumia kadi za herufi, maneno
mwanafunzi
na sentensi
• Mwanafunzi aweze kusoma
sentensi rahisi
• Mwanafunzi aweze kujibu
maswali ya ufahamu

Muongozo wa kufundisha utambuzi wa sauti (Dakika 5)


Marudio:
• Rudia sauti zilizofundishwa katika wiki hiyo: /u/, /s/, /i/, /k/, /p/
• Waulize wanafunzi sauti ipi wanayoisikia mwanzoni mwa kila neno
lililofundishwa katika somo lililopita (Usiandike Maneno). [ua, supu, ita,
kuku, pipi]

Fundisha sauti e kutumia muongozo ufuatao.

Ujuzi Mwalimu Mwalimu na Mazoezi ya


“Natenda” Mwanafunzi Mwanafunzi
Utambuzi wa Sauti ya “Tunatenda” “Unatenda”
sauti mwanzo ya Rudia sauti zote na Mwalimu aulize: Ni
neno [eka] ni maneno sauti gani ya mwanzo
(USIANDIKE) /e/ sikiliza, / Sasa, tuseme sauti mnayoisikia kwenye
eee/. ya mwanzo ya neno neno [Eka/Ema]?
[eka]

152 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


Sasa, sauti ya Kilammoja, sauti ya • Mistari mitatu
mwanzo ya mwanzo ya neno ya nyuma,
neno [ema] ni / [eka] ni /eee/ sauti ipi?
eee/. Wanafunzi watasema:
Onesha ishara kwa • Mistari mitatu
mkono kuashiria ya mbele,
wanafunzi wajibu sauti ipi?
pamoja nawe (sote Wanafunzi watasema:
tuseme) /eee/ • Wasichana
nyote, sauti
Sasa, fundisha ipi?
sauti ya mwanzo ya Wanafunzi watasema:
neno [ema] kama • Wavulana
ulivyofanya kwa nyote, sauti
[eka] ipi?
Wanafunzi watasema:
• Upande
wangu wa
kulia, sauti
ipi? (mwalimu
aelekeze
mkono upande
wa kulia)
Wanafunzi watasema:
• Upande
wangu wa
kushoto, sauti
ipi? (mwalimu
aelekeze
mkono upande
wa kushoto)
Wanafunzi watasema:
• Nyote kwa
pamoja, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 153


Mazoezi ya Utambuzi wa Sauti

Mchezo wa sauti:
• Waambie wanafunzi wainamishe vichwa vyao juu ya deski wakati wa
mchezo huu wa sauti.
• Waambie wanafunzi waoneshe dole gumba juu wanaposikia sauti /e/
na dole gumba chini wasipoisikia sauti hiyo mwanzoni mwa maneno
yafuatayo: (USIYAANDIKE) [pete, eka, kete, ema, pesa, mate, embe, sote]
Maana yake “Ndiyo” Maana yake “hapana”
• Ita mwanafunzi mmoja mmoja aseme neno linaloanza na sauti /e/.
• Sahihisha makosa

Maelekezo ya kufundisha utambuzi wa sauti ya herufi (Dakika 3-4)

Marudio:
• Rudia herufi ulizofundisha: U, S, I, K, P
• Andika herufi ubaoni au tumia kadi za herufi. Waambie: TIZAMA
MAANDISHI.
• Waoneshe wanafunzi kadi ya herufi U kisha waulize hiyo ni herufi gani
• Fanya hivyo kwa herufi S, I, K, P
• Waulize wanafunzi kadhaa kuhakikisha kila mmoja amefahamu majina ya
herufi.

Fundisha majina ya herufi E kutumia muongozo ufuatao

Msingi wa Mwalimu: Mwalimu na Mwanafunzi:


kialfabeti “Ninatenda” mwanafunzi: “Unatenda”
TIZAMA “Tunatenda” Mwalimu:
Uhusiano wa MAANDISHI TIZAMA Sasa zamu yenu.
sauti na herufi MAANDISHI Darasa hii ni herufi?
Hii ni herufi (Onesha herufi E)
(ANDIKA) E. Onesha Sasa, kila mmoja: • Mistari mitatu
wanafunzi hii ni herufi ya nyuma,
herufi E. Herufi E. (onesha sauti ipi?
E inaunda sauti wanafunzi E) Wanafunzi watasema:
/eee/. herufi Einaunda • Mistari mitatu
sauti gani sote kwa ya mbele, sauti
pamoja? ipi?
Wanafunzi watasema:

154 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


Onesha ishara • Wasichana
kwa mkono nyote, sauti
kuashiria ipi?
wanafunzi wajibu Wanafunzi watasema:
pamoja nawe. • Wavulana
(sote tuseme) nyote, sauti
/eee/ ipi?
Wanafunzi watasema:
• Upande wangu
wa kulia, sauti
ipi? (mwalimu
aelekeze mkono
upande wa
kulia)
Wanafunzi watasema:
• Upande
wangu wa
kushoto, sauti
ipi? (mwalimu
aelekeze mkono
upande wa
kushoto)
Wanafunzi watasema:
• Nyote kwa
pamoja, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:

 Mazoezi ya Sauti ya herufi na ufasaha (Dakika 4-5): MAZOEZI


• Chukua kadi yenye herufi: E (AU andika herufi hiyo ubaoni).
• Wakumbushe wanafunzi jina la herufi kisha ioneshe huku ukiwataka
wanyooshe mkono kama wanajua jina la herufi hiyo.
(Tumia sekunde 30 au zaidi kwa kazi hii)
• Tamka sauti ya herufi E
• Waambie wanafunzi wanyooshe mkono ” kama wanaweza kutaja jina
la herufi linalounda sauti hiyo.
• Waulize wanafunzi kama wanaweza kusoma neno kwa kulitamka.
Onesha neno; [Eka] ubaoni kisha sema “Tizama maandishi”.
• Waoneshe namna ya kutamka neno (Ninatenda, Tunatenda,
Unatenda). / e/ /k/ /a/.
• Unganisha sauti kisha sema neno [Eka].
Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 155
•  aambie wanafunzi wanyooshe mkono kama wanaweza kusema
W
sauti zilizopo katika neno [Eka], kisha watamke neno lote.
• Chagua wanafunzi kadhaa kutamka neno hilo.
• Sahihisha makosa.
• Onesha neno kisha tamka sauti zinazounda neno.
• Onesha neno kisha waambie wanafunzi walitamke. (Mnatenda).
• Onesha kila herufi kisha tamka pamoja na wanafunzi. Sauti ya mwanzo
katika neno [Eka] ni /eee/, inayofuata /k/, ya mwisho /aaa/. Neno gani
hilo? [Eka]. Neno hilo ni [Eka].
• Sasa zamu yenu. Ni neno gani? [Eka]
• Waambie wanafunzi waandike herufi mpya, silabi na maneno
ambayo yamefundishwa katika kipindi hiki. (Ninatenda, Tunatenda,
Unatenda)

Sentensi rahisi:
Shamba letu lina eka moja.

Mazoezi ya Kusoma Sentense.


• Waoneshe wanafunzi kila herufi za sauti na utamke [shamba letu lina
eka moja].
• Waambie wanafunzi wasome sentensi kwa sauti

Msamiati: (Dakika 4-5)


Rudia maneno [Eka, Epa, Epua]

Neno la hakiba:
• Andika neno [Eka] ubaoni.
• Wakumbushe wanafunzi kuwa hili ni neno la wiki.
• Waambie wanafunzi walitumie neno hilo kwa usahihi katika sentensi.

Neno Jipya [lina]:


• Waambie wanafunzi kuwa neno jipya ni [lina].
• Onesha kadi au liandike ubaoni.
• Someno neno hilo pamoja na wanafunzi.

Mchezo wa ufahamu kwa kutumia maneno [Eka, Epa, Epua] with pupils
• Waeleze wanafunzi wanyooshe mkono wanapoona neno
wanalolitambua katika kadi utakayoonyesha (au onesha maneno hayo
ubaoni)
156 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza
•  aambie kuwa utaonesha kila kadi (au utaonesha ubaoni) kwa haraka
W
kwa hiyo waharakishe kunyoosha mkono pindi wanapoona neno
wanalolitambua
• Chagua wanafunzi walionyoosha mikono na wasio nyoosha kuhakikisha
kama wameelewa.

Ufahamu wa kusikiliza (Dakika 10):


Wasomee hadithi ifuatayo. ANGALIZO: Msamiati na maneno rejea yamekozeshwa
na yamepigiwa mstari.
Yaandike maneno ubaoni. Unapofikia msamiati wa Mwanafunzi aweze kujibu
maswali ya ufahamu , tulia kwa muda na onesha msamiati huo ubaoni.

Ufahamu
Baba na mama wamekwenda shambani kuchuma embe. Shamba letu liko karibu
na eneo la skuli. Lina ukubwa wa eka moja na nusu. Kila Jumamosi mimi na Ema
huwa tunakweanda shamba kuchuma embe. Mama alituambia tukila embe mara
kwa mara tutakuwa na afya bora.

Maswali ya ufahamu
• Baba na mama huenda shambani kufanya nini?
• Je, nyumbani kwenu kuna matunda ya aina gani?
• Embe linafaida gani mwilini?

Mazoezi.
• Waambie wanafunzi watafute maneno mengine yanayoanza na /e/

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 157


Weka alama () baada ya kufundisha
29.0 Rudia herufi kubwa na ndogo
Wiki ya 6: Siku ya 5

Tarehe: _____________________
Muongozo wa ufundishaji: Tumia
Zana:
jina la herufi/sauti ya herufi katika
• Kadi za herufi pP, eE
muongozo huu ili kufundisha herufi na
• Kadi za herufi kwa ajili ya
sauti za herufi husika
marudio
• Kadi za maneno
Malengo:
• Andika neno [Pete] ubaoni
• Rudia sauti ya herufi na jina la
• Kadi za sentensi
pP, eE Kutumia maelekezo ya
• Hadithi au Nyimbo
hapo chini
• Kitini cha mazoezi kwa
• Fanya mazoezi kwa kutumia
wanafunzi
kadi za herufi
• Soma sentensi zilizorahisi
• Soma hadithi

Muongozo wa kufundisha Utambuzi wa Sauti (Dakika 5)

 Marudio:
• Rudia sauti zilizofundishwa katika wiki hiyo: /p/ /e/
• Waulize wanafunzi sauti ipi wanayoisikia mwanzoni mwa kila neno
lililofundishwa katika somo lililopita (Usiandike Maneno).

Rudia sauti kwa kutumia muongozo ufuatao.

Ujuzi Mwalimu Mwalimu na Mazoezi ya


“Ninatenda” mwanafunzi mwanafunzi
Utambuzi wa “Tunatenda” “Unatenda”
Sauti Mwalimu Rudia sauti zote za
aongoze maneno Mwalimu anasema:
kutambua Ni sauti ipi ya mwanzo
sauti za Sasa, Tuseme sauti mnayosikia (Rejea
(USIANDIKE) mwanzo ya mwanzo kutoka maneno ya masomo
za maneno katika maneno yaliyopita)
tofauti kutoka tofauti tuliyojifunza • Mistari mitatu
masomo somo lililopita. ya nyuma, ni
yaliyotangulia. sauti ipi?

158 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


Wanafunzi watasema:
• Mistari mitatu
ya mbele, ni
sauti ipi?
Wanafunzi watasema:
• Wasichana
nyote, ni sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:
• Wavulana
nyote, ni sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:
• Upande
wangu wa
kulia, sauti
ipi? (Mwalimu
aelekeze
mkono upande
wa kulia)
Wanafunzi watasema
• Upande
wangu wa
kushoto, sauti
ipi? (Mwalimu
aelekeze
mkono wa
kushoto)
Wanafunzi watasema:
• Nyote kwa
pamoja, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:

Mazoezi ya Utambuzi wa Sauti

Mchezo wa Sauti:
• Waambie wanafunzi wasimame wanaposikia sauti ya mwanzo ya maneno
waliyojifunza (USIYAANDIKE)
• Sahihisha makosa

Maelekezo ya kufundisha utambuzi wa sauti ya herufi (Dakika 3-4)


Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 159
Marudio:
• Rudia herufi zilizokwisha fundishwa: pP ,eE
• Andika herufi ubaoni au tumia kadi za herufi. Waambie: TIZAMA
MAANDISHI.
• Waoneshe wanafunzi kadi ya herufi pP kisha waulize hiyo ni herufi gani
• Fanya hivyo kwa herufi eE
• Waulize wanafunzi kadhaa kuhakikisha kila mmoja amefahamu majina ya
herufi.

Rudia majina ya herufi pP, eE kutumia muongozo ufuatao.

Msingi wa Mwalimu: Mwalimu na Mwanafunzi:


kialfabeti “Ninatenda” mwanafunzi: “Unatenda”
“Tunatenda”
Uhusiano wa TIZAMA Mwalimu wagawie
Sauti na herufi MAANDISHI. TIZAMA wanafunzi kadi
Hii ni herufi MAANDISHI. za maneno katika
(ANDIKA) pP. (Onesha makundi na
wanafunzi pP.) Sasa Kila mmoja: waambie wachague
Herufi pP inatoa Hii ni herufi pP. herufi zinaashiria
sauti /p/. (Onesha wanafunzi sauti zilizotamkwa
herufi pP.) Herufi pP
inaunda sauti gani,
Hii ni herufi kila mmoja?
eE. (Onesha Nyoosha mkono
wanafunzi eE.) kuashiria wanafunzi
Herufi eE inatoa wajibu pamoja
sauti /eee/. na wewe. (Darasa
zima) /p/

Sasa Kila mmoja:


Hii ni herufi eE.
(Onesha wanafunzi
herufi eE.) Herufi eE
inaunda sauti gani,
kila mmoja?
Nyoosha mkono
kuashiria wanafunzi
wajibu pamoja
na wewe. (Darasa
zima) /eee/

160 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


 Mazoezi ya Sauti ya herufi na Ufasaha (Dakika 4-5): MAZOEZI
• Chukua kadi zenye herufi pP, eE (AU andika herufi hizo ubaoni).
• Wakumbushe wanafunzi jina la kila herufi kisha onesha moja baada ya
nyingine huku ukiwataka wanyooshe mkono kama wanajua majina ya
herufi hizo.
(Tumia sekunde 30 au zinazokaribiana kwa zoezi hili)
• Sema sauti ya herufi eE
• Waambie wanafunzi wanyooshe mkono kama wanaweza kusema jina
la herufi linalounda sauti hiyo. Fanya hivyo kwa pP
• Waulize wanafunzi kama wanaweza kusoma neno kwa kulitamka.
Onesha neno; [pete, pipa, eka, ema] kwenye ubao na useme “Tizama
Maandishi”.
• Waoneshe namna ya kutamka neno (Ninatenda, Tunatenda,
Unatenda) /p/ /e/ /t/ /e/
• Unganisha sauti kisha sema neno [pete]. Fanya hivyo kwa neno [ pipa,
eka, ema, ].
• Waambie wanafunzi wanyooshe mkono kama wanaweza kusema sauti
zilizomo katika neno [pete], na kisha watamke neno lote.
• Chagua wanafunzi kadhaa kutamka neno hiyo.
• Sahihisha makosa.
• Onesha neno kisha tamka sauti zinazounda neno.
• Onesha neno kisha waambie wanafunzi walitamke. [Mnatenda]. •
Onesha kila herufi kasha tamka pamoja na wanafunzi. auti ya mwanzo
katika neno [pete] ni /p/, inayofuata /eee/, inayofuata /t/, ya mwisho /
eee/. Ni neno gani hilo? [pete]. Neno hilo ni [pete].
• Sasa zamu yenu. Neno gani? [pete]
• Waambie wanafunzi waandike herufi mpya, silabi na maneno ambayo
yamefundishwa katika kipindi hicho (Ninatenda, Tunatenda,
Unatenda)

Mchezo wa kujenga ufasaha kutumia maneno [pete, pipa, eka, ema]


• Waeleze wanafunzi wanyooshe mkono wanpoona neno
wanalolitambua katika kadi utakayoonyesha (au onesha maneno hayo
ubaoni).
• Waambie kuwa utaonesha kila kadi (au utaonesha ubaoni) kwa haraka,
kwa hiyo waharakishe kunyoosha mkono pindi wanapoona neno
wanalolitambua
• Chagua mwanafunzi aliyenyoosha mkono asome neno husika.

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 161


Msamiati: (Dakika 4-5)
Rudia neno [pete, pipa]

Ufahamu wa Kusikiliza (Dakika 10):


• Wasomee wanafunzi hadithi ifuatayo. ANGALIZO: Msamiati na maneno
yamekozeshwa na yamepigiwa mstari
• Yaandike maneno ubaoni. Tulia kwa muda kasha waoneshe
unapoyatamka.

Hadithi ya Kusoma kwa Sauti [Hadithi kutoka kwenye kitabu]


• Andika hadithi kutoka kwenye kitabu ubaoni.
• Andika jina la mwandishi wa hadithi ubaoni
• Andika jina la msanifu wa michoro ubaoni.

Rejea neno la hakiba:


• Andika neno [pete] ubaoni.
• Wakumbushe wanafunzi kuwa neno hili limekwisha fundishwa.
Waambie walitumie katika sentensi kwa usahihi

Weka alama ya vyema baada ya kufundisha


30.0 Kufundisha sauti b
Wiki ya 7: Siku ya 1

Tarehe: _____________________
Muongozo wa ufundishaji: Tumia jina la
herufi/sauti ya herufi katika muongozo
huu ili kufundisha majina na sauti za herufi
Zana:
husika
• Kadi za herufi b
Malengo:
• Kadi za herufi kwa ajili ya
• Mwanafunzi aweze kutamka sauti
marudio
na jina la herufi sauti na jina la
• Kadi za maneno
herufi b kwa kutumia muongozo
• Andika neno [bata] ubaoni
ufuatao
• Kadi za sentensi
• Mwanafunzi aweze kufanya
• Hadithi au Nyimbo
mazoezi ya kusoma kwa kutumia
• Kitini cha mazoezi kwa
kadi za herufi, maneno na sentensi
mwanafunzi
• Mwanafunzi aweze kusoma
sentensi rahisi
• Mwanafunzi aweze kujibu maswali
ya ufahamu

162 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


Muongozo wa kufundisha utambuzi wa sauti (Dakika 5)

Marudio:
• Rudia sauti zilizofundishwa katika wiki hiyo: /t/,/k/,/e/, /s/
• Waulize wanafunzi sauti ipi wanayoisikia mwanzoni mwa kila neno
lililofundishwa katika somo lililopita (Usiandike Maneno). [kuku, kaka,
sita, eka, ema, tatu,tete]

Fundisha sauti b kwa kutumia muongozo ufuatao:

Ujuzi Mwalimu Mwalimu na Mazoezi ya


“Ninatenda” Mwanafunzi mwanafuzi
“tunatenda” “unatenda”
Utambuzi Sauti mwanzo Rudia sauti zote na
wa ya neno [bata] maneno Mwalimu aulize: Ni
Sauti ni? /b/ Sikiliza, Sasa, tuseme sauti ya sauti gani ya mwanzo
/b/ mwanzo neno [bata] mnayoisikia kwenye
Kilammoja, sauti ya neno [bata/baba]?
Sasa, sauti ya mwanzo ya neno • Mistari mitatu
(USIANDIKE) mwanzo ya [bata] ni /b/ ya nyuma,
neno [baba] Onesha ishara kwa sauti ipi?
ni? /b/ Sikiliza, mkono kuashiria Wanafunzi watasema:
/b/ wanafunzi wajibu • Mistari mitatu
pamoja nawe (sote ya mbele,
tuseme) /b/ sauti ipi?
Wanafunzi watasema:
Sasa, fundisha • Wasichana
sauti za mwanzo za nyote, sauti
neno [baba] kama ipi?
ulivyofanya kwa Wanafunzi watasema:
[bata] • Wavulana
nyote, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:
• Upande
wangu wa
kulia, sauti
ipi? (mwalimu
aelekeze
mkono upande
wa kulia)

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 163


Wanafunzi watasema:
• Upande
wangu wa
kushoto, sauti
ipi? (mwalimu
aelekeze
mkono upande
wa kushoto)
Wanafunzi watasema:
• Nyote kwa
pamoja, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:

Mazoezi ya utambuzi wa sauti

Mchezo wa sauti:
• Waambie wanafunzi wainamishe vichwa vyao juu ya deski wakati wa
mchezo huu wa sauti.
• Waambie wanafunzi waoneshe dole gumba juu wanaposikia sauti /b/
na dole gumba chini wasipoisikia sauti hiyo mwanzoni mwa maneno
yafuatayo: (USIYAANDIKE) [baba, kaa, bata, kama, buti, bibi, amka, babu,
aka, amaka, beba]
Maana yake “Ndiyo” Maana yake “hapana”
• Ita mwanafunzi mmoja mmoja aseme neno linaloanza na sauti /b/.
• Sahihisha makosa
Maelekezo ya kufundisha utambuzi wa sauti ya herufi (Dakika 3-4)

Marudio:
• Rudia herufi zilizokwisha fundishwa: t, k, e, s
• Andika herufi ubaoni au tumia kadi za herufi. Waambie: TIZAMA
MAANDISHI.
• Waoneshe wanafunzi kadi ya herufi t kisha waulize hiyo ni herufi gani
• Fanya hivyo kwa herufi k, e,s
• Waulize wanafunzi kadhaa kuhakikisha kila mmoja amefahamu majina ya
herufi.

164 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


Fundisha majina ya herufi b kutumia muongozo ufuatao.

Msingi wa Mwalimu: Mwalimu na Mwanafunzi


kialfabeti “Ninatenda” mwanafunzi: “Unatenda”
TIZAMA “Tunatenda”
Uhusiano wa MAANDISHI. Sasa zamu yenu.
Sauti na herufi TIZAMA Darasa hii ni herufi?
Hii ni herufi MAANDISHI. (Onesha herufi b)
(ANDIKA) b. Onesha Sasa, kila mmoja: • Mistari
wanafunzi Hii ni herufi mitatu ya
herufi b. Herufi b b. (Onesha nyuma, sauti
inaunda sauti /b/. wanafunzi ipi?
herufi b) Herufi Wanafunzi watasema:
b inaunda sauti • Mistari
gani, sote kwa mitatu ya
pamoja? mbele, sauti
Onesha ishara ipi?
kwa mkono Wanafunzi watasema:
kuashiria • Wasichana
wanafunzi wajibu nyote,
pamoja nawe. sauti ipi?
(sote tuseme) /b/ Wanafunzi
watasema:
• Wavulana
nyote, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:
• Upande
wangu wa
kulia, sauti
ipi? (mwalimu
aelekeze
mkono
upande wa
kulia)
Wanafunzi watasema:
• Upande
wangu wa
kushoto,
sauti ipi?

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 165


(mwalimu aelekeze
mkono
upande wa
kushoto)
Wanafunzi watasema:
• Nyote kwa
pamoja, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:

 Mazoezi ya sauti ya herufi na ufasaha (4-5 dakika): MAZOEZI


• Chukua kadi yenye herufi: b (AU andika herufi hiyo ubaoni).
• Wakumbushe wanafunzi jina la herufi kisha ioneshe huku ukiwataka
wanyooshe mkono kama wanajua jina la herufi hiyo.
(Tumia sekunde 30 au zaidi kwa kazi hii)
• Tamka sauti ya herufi b
• Waambie wanafunzi wanyooshe mkono ” kama wanaweza kutaja jina la
herufi linalounda sauti hiyo.
• Waulize wanafunzi kama wanaweza kusoma neno kwa kulitamka.
Onesha neno [bata] ubaoni kisha sema “Tizama maandishi”.
• Waoneshe namna ya kutamka neno (Ninatenda, Tunatenda, Unatenda).
/b/ /a//t/ /a/.
• Unganisha sauti kisha sema neno [bata].
• Waambie wanafunzi wanyooshe mkono kama wanaweza kusema sauti
zilizopo katika neno [bata], kisha watamke neno lote.
• Chagua wanafunzi kadhaa kutamka neno hilo.
• Sahihisha makosa.
• Onesha neno kisha tamka sauti zinazounda neno.
• Onesha neno kisha waambie wanafunzi walitamke. (Mnatenda).
• Onesha kila herufi kisha tamka pamoja na wanafunzi. Sauti ya mwanzo
katika neno [bata] ni /b/, inayofuata /aaa/, inayofuta /t/, ya mwisho /
aaa/. Neno gani hilo? [bata]. Neno hilo ni [bata].
• Sasa zamu yenu. Ni neno gani? [bata]
• Waambie wanafunzi waandike herufi mpya, silabi na maneno ambayo
yamefundishwa katika kipindi hiki. (Ninatenda, Tunatenda, Unatenda)

Sentensi rahisi:
Baba anafuga bata.

166 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


Mazoezi ya Kusoma Sentensi:
• Waoneshe wanafunzi kila herufi za sauti na utamke [Baba anafuga
bata].
• Waambie wanafunzi wasome sentensi kwa sauti

Nyimbo
Mabata wadogo dogo wanaogelea wanaogelea
Katika shamba zuri la bustani x2
Wanapenda kutembea bila viatu, bila viatu
Katika shamba zuri la bustani
Wanalia kwa kwa kwa kwa katika shamba zuri la bustani

Msamiati: (Dakika 4-5)


RUDIA MANENO; [baba, babu, bibo, beba, bata]

Rejea neno la hakiba:


• Andika neno [bata] ubaoni.
• Wakumbushe wanafunzi kuwa neno hili limekwisha fundishwa. Waambie
walitumie katika sentensi kwa usahihi

Neno jipya [anafuga]:


• Waambie wanafunzi kuwa neno jipya lililotumiwa sana ni anafuga
• Waoneshe kadi ya neno au liandike ubaoni.
• Waambie wanafunzi wasome neno pamoja na wewe.

Mchezo wa kujenga ufasaha kutumia maneno; [baba, babu, bibo, beba, bata]
• Waeleze wanafunzi wanyooshe mkono wanapoona neno wanalolitambua
katika kadi utakayoonesha (au onesha maneno hayo ubaoni)
• Waambie kuwa utaonesha kila kadi (au utaonesha ubaoni) kwa haraka,
kwa hiyo waharakishe kunyoosha mkono pindi wanapoona neno
wanalolitambua
• Chagua mwanafunzi aliyenyoosha mkono asome neno husika.

Ufahamu wa kusikiliza (Dakika 10):


Wasomee hadithi ifuatayo. ANGALIZO: Msamiati na maneno rejea yamekozeshwa
na yamepigiwa mstari.
Yaandike maneno ubaoni. Unapofikia msamiati wa Mwanafunzi aweze kujibu
maswali ya ufahamu , tulia kwa muda na onesha msamiati huo ubaoni.

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 167


Ufahamu
Bibi anafuga bata wawili.
Bata hawa ni weupe.
Wanacheza katika bustani.
Sisi sote tunapenda bata.

Maswali ya Ufahamu:
• Bibi anafuga bata wangapi?
• Bata wa bibi wana rangi gani?
• Je, ni kwa nini watu wanapenda kufuga bata?

Mazoezi:
Waambie wanafunzi watafute maneno yanayoanza na sauti /b/

Weka alama ya vyema baada ya kufundisha


31.0 Kufundisha sauti B
Wiki ya 7: Siku ya 2

Tarehe: _____________________
Muongozo wa ufundishaji: Tumia
jina la herufi/sauti ya herufi katika
muongozo huu ili kufundisha majina
na sauti za herufi husika Zana:
Malengo: • Kadi za herufi B
• Mwanafunzi aweze kutamka • Kadi za herufi kwa ajili ya
sauti na jina la herufi sauti na marudio
jina la herufi B kwa kutumia • Kadi za maneno
muongozo ufuatao • Andika neno [Bata] ubaoni
• Mwanafunzi aweze kufanya • Kadi za sentensi
mazoezi ya kusoma kwa • Hadithi au Nyimbo
kutumia kadi za herufi, maneno • Kitini cha mazoezi kwa
na sentensi mwanafunzi
• Mwanafunzi aweze kusoma
sentensi rahisi
• Mwanafunzi aweze kujibu
maswali ya ufahamu

168 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


Muongozo wa kufundisha utambuzi wa sauti (Dakika 5)

Marudio:
• Rudia sauti zilizofundishwa katika wiki hiyo: /t/,/k/,/e/, /s/
• Waulize wanafunzi sauti ipi wanayoisikia mwanzoni mwa kila neno
lililofundishwa katika somo lililopita (Usiandike Maneno). [kuku, kaka,
sita, eka, ema, tatu,tete]

Fundisha sauti b kwa kutumia muongozo ufuatao:

Ujuzi Mwalimu Mwalimu na Mazoezi ya mwanafuzi


“Ninatenda” Mwanafunzi “unatenda”
“tunatenda”
Rudia sauti zote na
maneno
Utambuzi wa Sauti mwanzo Sasa, tuseme sauti Mwalimu aulize: Ni
Sauti ya neno ya mwanzo neno sauti gani ya mwanzo
[bata] ni? /b/ [bata] mnayoisikia?
Sikiliza, /b/ Kilammoja, sauti ya • Mistari mitatu
mwanzo ya neno ya nyuma, sauti
(USIANDIKE) Sasa, sauti ya [bata] ni /b/ ipi?
mwanzo ya Onesha ishara kwa Wanafunzi watasema:
neno [baba] mkono kuashiria • Mistari mitatu
ni? /b/ Sikiliza, wanafunzi wajibu ya mbele, sauti
/b/ pamoja nawe (sote ipi?
tuseme) /b/ Wanafunzi watasema:
• Wasichana
Sasa, fundisha nyote, sauti ipi?
sauti za mwanzo za Wanafunzi
neno [baba] kama watasema:
ulivyofanya kwa • Wavulana
[bata] nyote, sauti ipi?
Wanafunzi watasema:
• Upande wangu
wa kulia, sauti
ipi? (mwalimu
aelekeze mkono
upande wa kulia)
Wanafunzi watasema:

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 169


• Upande wangu
wa kushoto,
sauti ipi?
(mwalimu
aelekeze mkono
upande wa
kushoto)
Wanafunzi watasema:
• Nyote kwa
pamoja, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:

Mazoezi ya utambuzi wa sauti

Mchezo wa sauti:
• Waambie wanafunzi wainamishe vichwa vyao juu ya deski wakati wa
mchezo huu wa sauti.
• Waambie wanafunzi waoneshe dole gumba juu wanaposikia sauti /b/
na dole gumba chini wasipoisikia sauti hiyo mwanzoni mwa maneno
yafuatayo: (USIYAANDIKE) [baba, kaa, bata, kama, buti, bibi, amka,
babu, aka, amaka, beba]
Maana yake “Ndiyo” Maana yake “hapana”
• Ita mwanafunzi mmoja mmoja aseme neno linaloanza na sauti /b/.
• Sahihisha makosa

Maelekezo ya kufundisha utambuzi wa sauti ya herufi (Dakika 3-4)

Marudio:
• Rudia herufi zilizokwisha fundishwa: T, K, E, S
• Andika herufi ubaoni au tumia kadi za herufi. Waambie: TIZAMA
MAANDISHI.
• Waoneshe wanafunzi kadi ya herufi T kisha waulize hiyo ni herufi gani
• Fanya hivyo kwa herufi K, E,S
• Waulize wanafunzi kadhaa kuhakikisha kila mmoja amefahamu majina
ya herufi.

170 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


Fundisha majina ya herufi B kutumia muongozo ufuatao.
Msingi wa Mwalimu: Mwalimu na Mwanafunzi
kialfabeti “Ninatenda” mwanafunzi: “Unatenda”
TIZAMA “Tunatenda”
Uhusiano MAANDISHI. Sasa zamu yenu.
wa Sauti na TIZAMA Darasa hii ni herufi?
herufi Hii ni herufi MAANDISHI. (Onesha herufi B)
B. Onesha Sasa, kila mmoja: • Mistari mitatu
(ANDIKA) wanafunzi Hii ni herufi ya nyuma,
herufi B. Herufi B B. (Onesha sauti ipi?
inaunda sauti /b/. wanafunzi Wanafunzi watasema:
herufi B) Herufi • Mistari mitatu
B inaunda sauti ya mbele,
gani, sote kwa sauti ipi?
pamoja? Wanafunzi watasema:
Onesha ishara • Wasichana
kwa mkono nyote, sauti
kuashiria ipi?
wanafunzi wajibu Wanafunzi watasema:
pamoja nawe. • Wavulana
(sote tuseme) /b/ nyote, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:
• Upande
wangu wa
kulia, sauti
ipi? (mwalimu
aelekeze
mkono upande
wa kulia)
Wanafunzi watasema:
• Upande
wangu wa
kushoto, sauti
ipi? (mwalimu
aelekeze
mkono upande
wa kushoto)
Wanafunzi watasema:
• Nyote kwa
pamoja, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 171


 Mazoezi ya sauti ya herufi na ufasaha (4-5 dakika): MAZOEZI
• Chukua kadi yenye herufi: B (AU andika herufi hiyo ubaoni).
• Wakumbushe wanafunzi jina la herufi kisha ioneshe huku ukiwataka
wanyooshe mkono kama wanajua jina la herufi hiyo.
(Tumia sekunde 30 au zaidi kwa kazi hii)
• Tamka sauti ya herufi B
• Waambie wanafunzi wanyooshe mkono ” kama wanaweza kutaja jina la
herufi linalounda sauti hiyo.
• Waulize wanafunzi kama wanaweza kusoma neno kwa kulitamka.
Onesha neno [Bata] ubaoni kisha sema “Tizama maandishi”.
• Waoneshe namna ya kutamka neno (Ninatenda, Tunatenda,
Unatenda). /b/ /a//t/ /a/.
• Unganisha sauti kisha sema neno [Bata].
• Waambie wanafunzi wanyooshe mkono kama wanaweza kusema sauti
zilizopo katika neno [Bata], kisha watamke neno lote.
• Chagua wanafunzi kadhaa kutamka neno hilo.
• Sahihisha makosa.
• Onesha neno kisha tamka sauti zinazounda neno.
• Onesha neno kisha waambie wanafunzi walitamke. (Mnatenda).
• Onesha kila herufi kisha tamka pamoja na wanafunzi. Sauti ya mwanzo
katika neno [Bata] ni /b/, inayofuata /aaa/, inayofuta /t/, ya mwisho /
aaa/. Neno gani hilo? [Bata]. Neno hilo ni [Bata].
• Sasa zamu yenu. Ni neno gani? [Bata]
• Waambie wanafunzi waandike herufi mpya, silabi na maneno ambayo
yamefundishwa katika kipindi hiki. (Ninatenda, Tunatenda, Unatenda)
Sentensi rahisi:
Baba anafuga bata.

Mazoezi ya Kusoma Sentensi:


• Waoneshe wanafunzi kila herufi za sauti na utamke [Baba anafuga
bata].
• Waambie wanafunzi wasome sentensi kwa sauti

Nyimbo
Mabata wadogo dogo wanaogelea wanaogelea
Katika shamba zuri la bustani x2
Wanapenda kutembea bila viatu, bila viatu
Katika shamba zuri la bustani
Wanalia kwa kwa kwa kwa katika shamba zuri la bustani
172 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza
Msamiati: (Dakika 4-5)
RUDIA MANENO; [baba, babu, bibo, beba, bata]

Rejea neno la hakiba:


• Andika neno [bata] ubaoni.
• Wakumbushe wanafunzi kuwa neno hili limekwisha fundishwa.
Waambie walitumie katika sentensi kwa usahihi

Neno jipya [anafuga]:


• Waambie wanafunzi kuwa neno jipya lililotumiwa sana ni anafuga
• Waoneshe kadi ya neno au liandike ubaoni.
• Waambie wanafunzi wasome neno pamoja na wewe.

Mchezo wa kujenga ufasaha kutumia maneno; [baba, babu, bibo, beba, bata]
• Waeleze wanafunzi wanyooshe mkono wanapoona neno
wanalolitambua katika kadi utakayoonesha (au onesha maneno hayo
ubaoni)
• Waambie kuwa utaonesha kila kadi (au utaonesha ubaoni) kwa haraka,
kwa hiyo waharakishe kunyoosha mkono pindi wanapoona neno
wanalolitambua
• Chagua mwanafunzi aliyenyoosha mkono asome neno husika.

Ufahamu wa kusikiliza (Dakika 10):


Wasomee hadithi ifuatayo. ANGALIZO: Msamiati na maneno rejea yamekozeshwa
na yamepigiwa mstari.
Yaandike maneno ubaoni. Unapofikia msamiati wa Mwanafunzi aweze kujibu
maswali ya ufahamu , tulia kwa muda na onesha msamiati huo ubaoni.

Ufahamu
Bibi ana bata wawili.
Bata hawa ni weupe.
Wanacheza katika bustani.
Sisi sote tunapenda bata.

Maswali ya Ufahamu:
• Bibi ana bata wangapi?
• Bata wa bibi wana rangi gani?
• Je , ni kwa nini watu wanapenda kufuga bata?

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 173


Mazoezi: Waambie wanafunzi watafute maneno yanayoanza na sauti /b/

Weka alama ya vyema baada ya kufundisha


32.0 Kufundisha sauti j
Wiki ya 7: Siku ya 3

Tarehe: _____________________
Muongozo wa ufundishaji: Tumia
jina la herufi/sauti ya herufi katika
muongozo huu ili kufundisha majina na
sauti za herufi husika Zana:
Malengo: • Kadi za herufi j
• Mwanafunzi aweze kutamka • Kadi za herufi kwa ajili ya
sauti na jina la herufi sauti na marudio
jina la herufi j kwa kutumia • Kadi za maneno
muongozo ufuatao • Andika neno [jua] ubaoni
• Mwanafunzi aweze kufanya • Kadi za sentensi
mazoezi ya kusoma kwa • Hadithi au Nyimbo
kutumia kadi za herufi, maneno • Kitini cha mazoezi kwa
na sentensi mwanafunzi
• Mwanafunzi aweze kusoma
sentensi rahisi
• Mwanafunzi aweze kujibu
maswali ya ufahamu

Muongozo wa kufundisha utambuzi wa sauti (Dakika 5)


Marudio:
• Rudia sauti zilizofundishwa katika wiki hiyo: / s/ /o/ / t/ / u/ / p/ /b/
• Waulize wanafunzi sauti ipi wanayoisikia mwanzoni mwa kila neno
lililofundishwa katika somo lililopita (Usiandike Maneno). [ua, tabu, sota
, pipa, bata ]

Fundisha sauti j kwa kutumia muongozo ufuatao:

Ujuzi Mwalimu Mwalimu na Mazoezi ya


“Ninatenda” Mwanafunzi mwanafuzi
“tunatenda” “unatenda”
Rudia sauti zote na
maneno

174 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


Utambuzi wa Sauti mwanzo Sasa, tuseme sauti Mwalimu aulize: Ni
Sauti ya neno [jua] ya mwanzo neno sauti gani ya mwanzo
ni? /j/ Sikiliza, [jua] mnayoisikia kwenye
/j/ Kilammoja, sauti ya neno [jua/juma]?
mwanzo ya neno • Mistari mitatu
(USIANDIKE) Sasa, sauti ya [jua] ni /j/ ya nyuma,
mwanzo ya Onesha ishara kwa sauti ipi?
neno [juma] mkono kuashiria Wanafunzi watasema:
ni? /j/ Sikiliza, wanafunzi wajibu • Mistari mitatu
/j/ pamoja nawe (sote ya mbele, sauti
tuseme) /j/ ipi?
Wanafunzi watasema:
Sasa, fundisha • Wasichana
sauti za mwanzo za nyote, sauti
neno [juma] kama ipi?
ulivyofanya kwa Wanafunzi watasema:
[jua] • Wavulana
nyote, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:
• Upande wangu
wa kulia, sauti
ipi? (mwalimu
aelekeze mkono
upande wa
kulia)
Wanafunzi watasema:
• Upande wangu
wa kushoto,
sauti ipi?
(mwalimu
aelekeze mkono
upande wa
kushoto)
Wanafunzi watasema:
• Nyote kwa
pamoja, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 175


Mazoezi ya utambuzi wa sauti

Mchezo wa sauti:
• Waambie wanafunzi wainamishe vichwa vyao juu ya deski wakati wa
mchezo huu wa sauti.
• Waambie wanafunzi waoneshe dole gumba juu wanaposikia sauti /j/
na dole gumba chini wasipoisikia sauti hiyo mwanzoni mwa maneno
yafuatayo: (USIYAANDIKE) [jua, juma, maji, jana, jibu, bata, kima, tiba,
soma]
Maana yake “Ndiyo” Maana yake “hapana”
• Ita mwanafunzi mmoja mmoja aseme neno linaloanza na sauti /j/.
• Sahihisha makosa

Maelekezo ya kufundisha utambuzi wa sauti ya herufi (Dakika 3-4)

Marudio:
• Rudia herufi ulizofundisha: s, o, t, u, p, b
• Andika herufi ubaoni au tumia kadi za herufi. Waambie: TIZAMA
MAANDISHI.
• Waoneshe wanafunzi kadi ya herufi s kisha waulize hiyo ni herufi gani
• Fanya hivyo kwa herufi o, t, u, p, b
• Waulize wanafunzi kadhaa kuhakikisha kila mmoja amefahamu majina ya
herufi.

Fundisha majina ya herufi j kutumia muongozo ufuatao.

Msingi wa Mwalimu: Mwalimu na Mwanafunzi


kialfabeti “Ninatenda” mwanafunzi: “Unatenda”
TIZAMA “Tunatenda”
Uhusiano MAANDISHI. Sasa zamu yenu.
wa Sauti na TIZAMA Darasa hii ni herufi?
herufi Hii ni herufi MAANDISHI. (Onesha herufi j)
j. Onesha Sasa, kila mmoja: Hii • Mistari mitatu
(ANDIKA) wanafunzi herufi ni herufi j. (Onesha ya nyuma,
j. Herufi j inaunda wanafunzi herufi sauti ipi?
sauti /j/. j) Herufi j inaunda Wanafunzi watasema:
sauti gani, sote kwa • Mistari mitatu
pamoja? ya mbele,
sauti ipi?
Wanafunzi watasema:

176 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


Onesha ishara kwa • Wasichana
mkono kuashiria nyote, sauti
wanafunzi wajibu ipi? Wanafunzi
pamoja nawe. (sote watasema:
tuseme) /j/ • Wavulana
nyote, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:
• Upande
wangu wa
kulia, sauti
ipi? (mwalimu
aelekeze
mkono upande
wa kulia)
Wanafunzi watasema:
• Upande
wangu wa
kushoto, sauti
ipi? (mwalimu
aelekeze
mkono upande
wa kushoto)
Wanafunzi watasema:
• Nyote kwa
pamoja, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:

 Mazoezi ya sauti ya herufi na ufasaha (4-5 dakika): MAZOEZI


• Chukua kadi yenye herufi: j (AU andika herufi hiyo ubaoni).
• Wakumbushe wanafunzi jina la herufi kisha ioneshe huku ukiwataka
wanyooshe mkono kama wanajua jina la herufi hiyo.
(Tumia sekunde 30 au zaidi kwa kazi hii)
• Tamka sauti ya herufi j
• Waambie wanafunzi wanyooshe mkono ” kama wanaweza kutaja jina
la herufi linalounda sauti hiyo.
• Waulize wanafunzi kama wanaweza kusoma neno kwa kulitamka.
Onesha neno [jua] ubaoni kisha sema “Tizama maandishi”.
• Waoneshe namna ya kutamka neno (Ninatenda, Tunatenda,
Unatenda). /j/ /u//a/.
Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 177
• Unganisha sauti kisha sema neno [jua].
• Waambie wanafunzi wanyooshe mkono kama wanaweza kusema sauti
zilizopo katika neno [jua], kisha watamke neno lote.
• Chagua wanafunzi kadhaa kutamka neno hilo.
• Sahihisha makosa.
• Onesha neno kisha tamka sauti zinazounda neno.
• Onesha neno kisha waambie wanafunzi walitamke. (Mnatenda).
• Onesha kila herufi kisha tamka pamoja na wanafunzi. Sauti ya mwanzo
katika neno [jua] ni /j/, inayofuata /uuu/, ya mwisho /aaa/. Neno gani
hilo? [jua]. Neno hilo ni [jua].
• Sasa zamu yenu. Ni neno gani? [jua]
• Waambie wanafunzi waandike herufi mpya, silabi na maneno ambayo
yamefundishwa katika kipindi hiki. (Ninatenda, Tunatenda, Unatenda)

Sentensi rahisi:
Jua ni kali sana leo.

Mazoezi ya Kusoma Sentensi.


• Waoneshe wanafunzi kila herufi za sauti na utamke [Jua ni kali sana
leo].
• Waambie wanafunzi wasome sentensi kwa sauti

Msamiati: (Dakika 4-5)


RUDIA MANENO; [jua, juma, jana, jibu]

Rejea neno la hakiba:


• Andika neno [jua] ubaoni.
• Wakumbushe wanafunzi kuwa neno hili limekwisha fundishwa.
Waambie walitumie katika sentensi kwa usahihi

Neno jipya [kali]:


• Waambie wanafunzi kuwa neno jipya lililotumiwa sana ni kali
• Waoneshe kadi ya neno au liandike ubaoni.
• Waambie wanafunzi wasome neno pamoja na wewe.

Mchezo wa kujenga ufasaha kutumia maneno; [jua, juma, jana, jibu]


• Waeleze wanafunzi wanyooshe mkono wanapoona neno
wanalolitambua katika kadi utakayoonesha (au onesha maneno hayo
ubaoni)
178 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza
•  aambie kuwa utaonesha kila kadi (au utaonesha ubaoni) kwa haraka,
W
kwa hiyo waharakishe kunyoosha mkono pindi wanapoona neno
wanalolitambua
• Chagua mwanafunzi aliyenyoosha mkono asome neno husika.

Ufahamu wa kusikiliza (Dakika 10):


Wasomee hadithi ifuatayo. ANGALIZO: Msamiati na maneno rejea yamekozeshwa
na yamepigiwa mstari.
Yaandike maneno ubaoni. Unapofikia msamiati wa Mwanafunzi aweze kujibu
maswali ya ufahamu , tulia kwa muda na onesha msamiati huo ubaoni.

Ufahamu
Mama yake Juma ana shamba la mahindi. Mahindi yanapopea mama yake Juma
huyavuna. Kabla ya kupeleka katika mashine ya kusaga, huyaanika juani. Baadae
hutengeneza unga wa ugali.

Maswali ya ufahamu
• Mama yake juma ana shamba la nini?
• Kwa nini mahindi yanaanikwa juani?
• Unga wa sembe unatumika kufanyia nini?

Mazoezi: Waambie wanafunzi watafute maneno yanayoanza na sauti /j/

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 179


Weka alama ya vyema baada ya kufundisha
33.0 Kufundisha sauti J
Wiki ya 7: Siku ya 4

Tarehe: _____________________
Muongozo wa ufundishaji: Tumia
jina la herufi/sauti ya herufi katika
muongozo huu ili kufundisha majina
na sauti za herufi husika Zana:
Malengo: • Kadi za herufi J
• Mwanafunzi aweze kutamka • Kadi za herufi kwa ajili ya
sauti na jina la herufi sauti na marudio
jina la herufi J kwa kutumia • Kadi za maneno
muongozo ufuatao • Andika neno [Jua] ubaoni
• Mwanafunzi aweze kufanya • Kadi za sentensi
mazoezi ya kusoma kwa • Hadithi au Nyimbo
kutumia kadi za herufi, maneno • Kitini cha mazoezi kwa
na sentensi mwanafunzi
• Mwanafunzi aweze kusoma
sentensi rahisi
• Mwanafunzi aweze kujibu
maswali ya ufahamu

Muongozo wa kufundisha utambuzi wa sauti (Dakika 5)

Marudio:
• Rudia sauti zilizofundishwa katika wiki hiyo: / s/ /o/ / t/ / u/ / p/ /b/
• Waulize wanafunzi sauti ipi wanayoisikia mwanzoni mwa kila neno
lililofundishwa katika somo lililopita (Usiandike Maneno). [ua, tabu, sota,
pipa, bata ]

Fundisha sauti j kwa kutumia muongozo ufuatao:

Ujuzi Mwalimu Mwalimu na Mazoezi ya


“Ninatenda” Mwanafunzi mwanafuzi
“tunatenda” “unatenda”
Rudia sauti zote na
maneno

180 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


Utambuzi wa Sauti mwanzo Sasa, tuseme sauti Mwalimu aulize: Ni
Sauti ya neno [jua] ni? ya mwanzo neno sauti gani ya mwanzo
/j/ Sikiliza, /j/ [jua] mnayoisikia kwenye
Kilammoja, sauti ya neno [Jua/ Juma]?
Sasa, sauti ya mwanzo ya neno • Mistari
(USIANDIKE) mwanzo ya [jua] ni /j/ mitatu ya
neno [juma] ni? Onesha ishara kwa nyuma, sauti
/j/ Sikiliza, /j/ mkono kuashiria ipi?
wanafunzi wajibu Wanafunzi watasema:
pamoja nawe (sote • Mistari
tuseme) /j/ mitatu ya
mbele, sauti
Sasa, fundisha ipi?
sauti za mwanzo za Wanafunzi watasema:
neno [juma] kama • Wasichana
ulivyofanya kwa nyote, sauti
[jua] ipi?
Wanafunzi watasema:
• Wavulana
nyote, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:
• Upande
wangu wa
kulia, sauti
ipi? (mwalimu
aelekeze
mkono
upande wa
kulia)
Wanafunzi watasema:
• Upande
wangu wa
kushoto,
sauti ipi?
(mwalimu
aelekeze
mkono
upande wa
kushoto)
Wanafunzi watasema:

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 181


• Nyote kwa
pamoja,
sauti ipi?
Wanafunzi watasema:

Mazoezi ya utambuzi wa sauti

Mchezo wa sauti:
• Waambie wanafunzi wainamishe vichwa vyao juu ya deski wakati wa
mchezo huu wa sauti.
• Waambie wanafunzi waoneshe dole gumba juu wanaposikia sauti /j/
na dole gumba chini wasipoisikia sauti hiyo mwanzoni mwa maneno
yafuatayo: (USIYAANDIKE) [jua, juma, maji, jana, jibu, bata, kima, tiba,
soma]
Maana yake “Ndiyo” Maana yake “hapana”
• Ita mwanafunzi mmoja mmoja aseme neno linaloanza na sauti /j/.
• Sahihisha makosa

Maelekezo ya kufundisha utambuzi wa sauti ya herufi (Dakika 3-4)

Marudio:
• Rudia herufi ulizofundisha: S, O, T, U, P, B
• Andika herufi ubaoni au tumia kadi za herufi. Waambie: TIZAMA
MAANDISHI.
• Waoneshe wanafunzi kadi ya herufi s kisha waulize hiyo ni herufi gani
• Fanya hivyo kwa herufi O, T, U, P, B
• Waulize wanafunzi kadhaa kuhakikisha kila mmoja amefahamu majina ya
herufi.

182 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


Fundisha majina ya herufi J kutumia muongozo ufuatao.
Msingi wa Mwalimu: Mwalimu na Mwanafunzi
kialfabeti “Ninatenda” mwanafunzi: “Unatenda”
TIZAMA “Tunatenda”
Uhusiano wa MAANDISHI. Sasa zamu yenu.
Sauti na herufi TIZAMA Darasa hii ni herufi?
Hii ni herufi MAANDISHI. (Onesha herufi J)
(ANDIKA) J. Onesha Sasa, kila • Mistari
wanafunzi herufi mmoja: Hii ni mitatu ya
J. Herufi J inaunda herufi J. (Onesha nyuma, sauti
sauti /j/. wanafunzi ipi?
herufi J) Herufi Wanafunzi watasema:
J inaunda sauti • Mistari
gani, sote kwa mitatu ya
pamoja? mbele, sauti
Onesha ishara ipi?
kwa mkono Wanafunzi watasema:
kuashiria • Wasichana
wanafunzi wajibu nyote, sauti
pamoja nawe. ipi? Wanafunzi
(sote tuseme) /j/ watasema:
• Wavulana
nyote, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:
• Upande
wangu wa
kulia, sauti
ipi? (mwalimu
aelekeze
mkono upande
wa kulia)
Wanafunzi watasema:
• Upande
wangu wa
kushoto, sauti
ipi? (mwalimu
aelekeze
mkono upande
wa kushoto)
Wanafunzi watasema:

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 183


• Nyote kwa
pamoja, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:

 Mazoezi ya sauti ya herufi na ufasaha (4-5 dakika): MAZOEZI


• Chukua kadi yenye herufi: J (AU andika herufi hiyo ubaoni).
• Wakumbushe wanafunzi jina la herufi kisha ioneshe huku ukiwataka
wanyooshe mkono kama wanajua jina la herufi hiyo.
(Tumia sekunde 30 au zaidi kwa kazi hii)
• Tamka sauti ya herufi J
• Waambie wanafunzi wanyooshe mkono ” kama wanaweza kutaja jina la
herufi linalounda sauti hiyo.
• Waulize wanafunzi kama wanaweza kusoma neno kwa kulitamka.
Onesha neno [Jua] ubaoni kisha sema “Tizama maandishi”.
• Waoneshe namna ya kutamka neno (Ninatenda, Tunatenda,
Unatenda). /j/ /u//a/.
• Unganisha sauti kisha sema neno [Jua].
• Waambie wanafunzi wanyooshe mkono kama wanaweza kusema sauti
zilizopo katika neno [Jua], kisha watamke neno lote.
• Chagua wanafunzi kadhaa kutamka neno hilo.
• Sahihisha makosa.
• Onesha neno kisha tamka sauti zinazounda neno.
• Onesha neno kisha waambie wanafunzi walitamke. (Mnatenda).
• Onesha kila herufi kisha tamka pamoja na wanafunzi. Sauti ya mwanzo
katika neno [Jua] ni /j/, inayofuata /uuu/, ya mwisho /aaa/. Neno gani
hilo? [Jua]. Neno hilo ni [Jua].
• Sasa zamu yenu. Ni neno gani? [Jua]
• Waambie wanafunzi waandike herufi mpya, silabi na maneno ambayo
yamefundishwa katika kipindi hiki. (Ninatenda, Tunatenda, Unatenda)

Sentensi rahisi:
Jua ni kali sana leo.

Mazoezi ya Kusoma Sentensi.


• Waoneshe wanafunzi kila herufi za sauti na utamke [Jua ni kali sana
leo].
• Waambie wanafunzi wasome sentensi kwa sauti

184 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


Msamiati: (Dakika 4-5)
RUDIA MANENO; [Jua, Juma, Jana, Jibu]

Rejea neno la hakiba:


• Andika neno [Jua] ubaoni.
• Wakumbushe wanafunzi kuwa neno hili limekwisha fundishwa.
Waambie walitumie katika sentensi kwa usahihi
Neno jipya [kali]:
• Waambie wanafunzi kuwa neno jipya lililotumiwa sana ni kali
• Waoneshe kadi ya neno au liandike ubaoni.
• Waambie wanafunzi wasome neno pamoja na wewe.

Mchezo wa kujenga ufasaha kutumia maneno; [Jua, Juma, Jana, Jibu]


• Waeleze wanafunzi wanyooshe mkono wanapoona neno
wanalolitambua katika kadi utakayoonesha (au onesha maneno hayo
ubaoni)
• Waambie kuwa utaonesha kila kadi (au utaonesha ubaoni) kwa haraka
, kwa hiyo waharakishe kunyoosha mkono pindi wanapoona neno
wanalolitambua
• Chagua mwanafunzi aliyenyoosha mkono asome neno husika.
Ufahamu wa kusikiliza (Dakika 10):
Wasomee hadithi ifuatayo. ANGALIZO: Msamiati na maneno rejea yamekozeshwa
na yamepigiwa mstari.
Yaandike maneno ubaoni. Unapofikia msamiati wa Mwanafunzi aweze kujibu
maswali ya ufahamu , tulia kwa muda na onesha msamiati huo ubaoni.

Ufahamu
Mama yake Juma anashamba la mahindi. Mahindi yanapokomaa mama yake
Juma huenda shambani kuvuna kwa ajili ya kutengeneza unga wa ugali. Kabla ya
kupeleka katika mashine ya kusaga, huyaanika juani.

Maswali ya ufahamu
• Mama yake juma ana shamba la nini?
• Kwa nini mahindi yanaanikwa juani?
• Ni kwa nini mama yake Juma anasaga mahindi?

Mazoezi:
Waambie wanafunzi watafute maneno yanayoanza na sauti /j/
Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 185
Weka alama ya vyema baada ya kufundisha
34.0 Rudia herufi kubwa na ndogo
Wiki ya 7: Siku ya 5

Tarehe: _____________________
Muongozo wa ufundishaji: Tumia
Zana:
jina la herufi/sauti ya herufi katika
• Kadi za herufi [bB, jJ]
muongozo huu ili kufundisha herufi na
• Kadi za herufi kwa ajili ya
sauti za herufi husika
marudio
• Kadi za maneno
Malengo:
• Andika neno [Baba] ubaoni
• Rudia sauti ya herufi na jina la
• Kadi za sentensi
[bB, jJ] Kutumia maelekezo ya
• Hadithi au Nyimbo
hapo chini
• Kitini cha mazoezi kwa
• Fanya mazoezi kwa kutumia
wanafunzi
kadi za herufi
• Soma sentensi zilizorahisi
• Soma hadithi

Muongozo wa kufundisha Utambuzi wa Sauti (Dakika 5)


 Marudio:
• Rudia sauti zilizofundishwa katika wiki hiyo: /b/, /j/
• Waulize wanafunzi sauti ipi wanayoisikia mwanzoni mwa kila neno
lililofundishwa katika somo lililopita (Usiandike Maneno).

Rudia sauti kwa kutumia muongozo ufuatao.

Ujuzi Mwalimu Mwalimu na Mazoezi ya


“Ninatenda” mwanafunzi mwanafunzi
Utambuzi wa “Tunatenda” “Unatenda”
Sauti Mwalimu Rudia sauti zote za
aongoze maneno Mwalimu anasema:
kutambua Ni sauti ipi ya
sauti za Sasa, Tuseme sauti mwanzo mnayosikia
(USIANDIKE) mwanzo ya mwanzo kutoka (Rejea maneno ya
za maneno katika maneno masomo yaliyopita)
tofauti kutoka tofauti tuliyojifunza
masomo somo lililopita.
yaliyotangulia. /b/ /j/
/b/ /j/

186 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


• Mistari
mitatu ya
nyuma, ni
sauti ipi?
Wanafunzi watasema:
• Mistari
mitatu ya
mbele, ni
sauti ipi?
Wanafunzi watasema:
• Wasichana
nyote, ni sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:
• Wavulana
nyote, ni sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:
• Upande
wangu wa
kulia, sauti
ipi? (Mwalimu
aelekeze
mkono upande
wa kulia)
Wanafunzi watasema
• Upande
wangu wa
kushoto, sauti
ipi? (Mwalimu
aelekeze
mkono wa
kushoto)
Wanafunzi watasema:
• Nyote kwa
pamoja, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 187


Mazoezi ya Utambuzi wa Sauti

Mchezo wa Sauti:
• Waambie wanafunzi wasimame wanaposikia sauti ya mwanzo ya maneno
waliyojifunza (USIYAANDIKE)
• Sahihisha makosa

Maelekezo ya kufundisha utambuzi wa sauti ya herufi (Dakika 3-4)

Marudio:
• Rudia herufi ulizofundishwa ambazo ni bB, jJ
• Andika herufi ubaoni au tumia kadi za herufi. Waambie: TIZAMA
MAANDISHI.
• Waulize wanafunzi ni herufi gani na waioneshe bB, jJ
• Waulize wanafunzi kadhaa kuhakikisha kila mmoja amefahamu majina ya
herufi.
• Chagua herufi kutoka katika masomo yaliyopita ili wanafunzi wayafanyie
mazoezi

Rudia majina ya herufi bB, jJ kutumia muongozo ufuatao.

Msingi wa Mwalimu: Mwalimu na Mwanafunzi:


kialfabeti “Ninatenda” mwanafunzi: “Unatenda”
“Tunatenda”
Uhusiano wa TIZAMA Mwalimu wagawie
Sauti na herufi MAANDISHI. TIZAMA wanafunzi kadi
Hii ni herufi bB,. MAANDISHI. za maneno
(ANDIKA) Onesha wanafunzi Kila mmoja: Hii ni katika makundi
bB. Herufi bB inatoa sauti bB. (Onesha na waambie
sauti /bbb/. wanafunzi bB.) wachague herufi
Sauti bB inatoa zinaashiria sauti
Hii ni herufi jJ. sauti gani,..kila zilizotamkwa
(Onesha wanafunzi mmoja?
jJ.)Herufi jJ inatoa Nyoosha mkono
sauti /j/. kuashiria
wanafunzi wajibu
pamoja na wewe.
(darasa zima) /b/

188 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


Sasa Kila mmoja:
Hii ni herufi jJ.
(Onesha wanafunzi
herufi jJ.) Herufi jJ
inaunda sauti gani,
kila mmoja?
Nyoosha mkono
kuashiria wanafunzi
wajibu pamoja
na wewe. (Darasa
zima) /j/

 Mazoezi ya Sauti ya herufi na Ufasaha (Dakika 4-5): MAZOEZI

• Chukua kadi zenye herufi bB, jJ (AU andika herufi hizo ubaoni).
• Wakumbushe wanafunzi jina la kila herufi kisha onesha moja baada ya
nyingine huku ukiwataka wanyooshe mkono kama wanajua majina ya
herufi hizo.
(Tumia sekunde 30 au zinazokaribiana kwa zoezi hili)
• Sema sauti ya herufi bB
• Waambie wanafunzi wanyooshe mkono kama wanaweza kusema jina
la herufi linalounda sauti hiyo. Fanya hivyo kwa jJ
• Waulize wanafunzi kama wanaweza kusoma neno kwa kulitamka.
Onesha neno; [Baba, jua] kwenye ubao na useme “Tizama Maandishi”.
• Waoneshe namna ya kutamka neno (Ninatenda, Tunatenda, Unatenda)
Kwa mfano /b/ /a/ /b/ /a/.
• Unganisha sauti kisha sema neno [Baba]. Fanya hivyo kwa neno [jua]
• Waambie wanafunzi wanyooshe mkono kama wanaweza kusema sauti
zilizomo katika neno [Baba] , na kisha watamke neno lote.
• Chagua wanafunzi kadhaa kutamka neno hilo.
• Sahihisha makosa.
• Onesha neno kisha tamka sauti zinazounda neno.
• Onesha neno kisha waambie wanafunzi walitamke. [Mnatenda].
• Onesha kila herufi kasha tamka pamoja na wanafunzi. auti ya mwanzo
katika neno [Baba] ni /b/, inayofuata /aaa/ inayofuata /b/, ya mwisho /
aaa/. Ni neno gani hilo? [Baba]. Neno ni [Baba].
• Sasa zamu yenu. Neno gani? [Baba]
Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 189
• Onesha tena neno hilo kisha waambie wanafunzi walitamke usahihi.
• Waambie wanafunzi waandike herufi mpya, silabi na maneno ambayo
yamefundishwa katika kipindi hicho (Ninatenda, Tunatenda,
Unatenda)

Mchezo wa kujenga ufasaha kutumia maneno [Baba,Juma Babu, Jua, Bibi


Joto]
• Waeleze wanafunzi wanyooshe mkono wanpoona neno wanalolitambua
katika kadi utakayoonyesha (au onesha maneno hayo ubaoni).
• Waambie kuwa utaonesha kila kadi (au utaonesha ubaoni) kwa haraka,
kwa hiyo waharakishe kunyoosha mkono pindi wanapoona neno
wanalolitambua
• Chagua mwanafunzi aliyenyoosha mkono asome neno husika.

Msamiati: (Dakika 4-5)

Rudia maneno [Jua, Baba, Jua, Babu Juma, Joto]

Rejea neno la hakiba:


• Andika neno [Baba] ubaoni.
• Wakumbushe wanafunzi kuwa neno hili limekwisha fundishwa. Waambie
walitumie katika sentensi kwa usahihi

Ufahamu wa Kusikiliza (Dakika 10):


• Wasomee wanafunzi hadithi ifuatayo. ANGALIZO: Msamiati na maneno
yamekozeshwa na yamepigiwa mstari
• Yaandike maneno ubaoni. Tulia kwa muda kasha waoneshe
unapoyatamka.

Hadithi ya Kusoma kwa Sauti [Hadithi kutoka kwenye kitabu]


• Andika hadithi kutoka kwenye kitabu ubaoni.
• Andika jina la mwandishi wa hadithi ubaoni
• Andika jina la msanifu wa michoro ubaoni.

190 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


Weka alama ya vyema baada ya kufundisha
35.0 Marudio na kukazia (chagua herufi kutoka siku tofauti)
Wiki ya 8: Siku ya 1

Tarehe: _____________________
Muongozo wa ufundishaji: Tumia
jina la herufi/sauti ya herufi katika
muongozo huu ili kufundisha majina
na sauti za herufi husika Zana:
Malengo: • Kadi za herufi b,u
• Mwanafunzi aweze kutamka • Kadi za maneno
sauti na jina la herufi sauti na • Kadi za sentensi
jina la herufi b, u kwa kutumia • Hadithi au Nyimbo
muongozo ufuatao • Kitini cha mazoezi kwa
• Mwanafunzi aweze kufanya wanafunzi
mazoezi ya kusoma kwa
kutumia kadi za herufi, maneno
na sentensi
• Mwanafunzi aweze kusoma
sentensi rahisi
• Mwanafunzi aweze kujibu
maswali ya ufahamu

Muongozo wa kufundisha utambuzi wa sauti (Dakika 5)


 Marudio:
• Rudia sauti zilizofundishwa mwezi huu: /b/,/u/
• Waulize wanafunzi sauti ipi wanaisikia mwanzoni mwa kila neno
lililofundishwa katika somo lililopita (USIANDIKE maneno).

Rudia sauti kwa kutumia muongozo ufuatao:

Ujuzi Mwalimu Mwalimu na Mazoezi ya


“Ninatenda” mwanafunzi mwanafunzi
Utambuzi Mwalimu aongoze “Tunatenda” “Unatenda”
wa wanafunzi Rudia sauti zote na
Sauti kutambua sauti maneno Mwalimu aulize: Ni
za mwanzo za Sasa, tuseme sauti sauti gani ya mwanzo
maneno tofauti ya mwanzo kutoka mnayoisikia? (Rejea
(USIANDIKE) kutoka masomo katika maneno maneno ya masomo
yaliyotangulia tofauti tuliyojifunza yaliyopita)
somo lililopita

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 191


• Mistari mitatu
ya nyuma,
sauti ipi?
Wanafunzi watasema:
• Mistari mitatu
ya mbele,
sauti ipi?
Wanafunzi watasema:
• Wasichana
nyote, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:
• Wavulana
nyote, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:
• Upande
wangu wa
kulia, sauti
ipi? (mwalimu
aelekeze
mkono upande
wa kulia)
Wanafunzi watasema:
• Upande
wangu wa
kushoto, sauti
ipi? (mwalimu
aelekeze
mkono upande
wa kushoto)
Wanafunzi watasema:
• Nyote kwa
pamoja, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:

Mazoezi ya utambuzi wa sauti


Mchezo wa sauti:
• Waambie wanafunzi wasimame wanaposikia sauti ya mwanzo ya maneno
waliyojifunza (USIYAANDIKE)
• Sahihisha makosa
192 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza
Maelekezo ya kufundisha utambuzi wa sauti ya herufi (Dakika 3-4)

Marudio:
• Rudia herufi zilizokwisha fundishwa ambazo ni: b, u
• Andika herufi ubaoni au tumia kadi za herufi. Waambie: TIZAMA
MAANDISHI.
• Waoneshe wanafunzi kadi za herufi b, ukisha waulize hizo ni herufi gani
• Waulize wanafunzi kadhaa kuhakikisha kila mmoja amefahamu majina ya
herufi.
• Chagua herufi kutoka katika masomo matatu yaliyopita ili wanafunzi
wayafanyie mazoezi

Rudia majina ya herufi b, u kutumia muongozo ufuatao.

Msingi wa Mwalimu: Mwalimu na Mwanafunzi:


kialfabeti “Ninatenda” mwanafunzi: “Unatenda”
TIZAMA “Tunatenda”
Uhusiano wa MAANDISHI. TIZAMA Mwalimu
Sauti na herufi Hii ni herufi b. MAANDISHI. wagawie
Onesha wanafunzi Sasa, kila mmoja: wanafunzi
(ANDIKA) herufi b. Herufi b Hii ni herufi b. kadi za herufi
inaunda sauti /b/. (Onesha wanafunzi katika makundi
herufi b) Herufi b na waambie
Onesha wanafunzi inaunda sauti gani, wachague herufi
u. Herufi u inaunda sote kwa pamoja? zinazoendana
sauti /u/. Onesha ishara kwa na sauti
mkono kuashiria zilizotamkwa
wanafunzi wajibu
pamoja nawe.
(sote tuseme) /b/

Sasa, kilammoja:
Hii ni herufi u.
(Onesha wanafunzi
herufi u). Herufi u
inaunda sauti gani,
sote kwa pamoja?

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 193


Onesha ishara kwa
mkono kuashiria
wanafunzi wajibu
pamoja nawe.
(sote tuseme) /u/

 Mazoezi ya sauti ya herufi na ufasaha (4-5 dakika): MAZOEZI


• Chukua kadi zenye herufi: b, u (AU andika herufi hizo ubaoni).
• Wakumbushe wanafunzi jina la kila herufi kisha onesha moja baada ya
nyingine huku ukiwataka wanyooshe mkono kama wanajua majina ya
herufi hizo.
(Tumia sekunde 30 au zaidi kwa kazi hii)
• Tamka sauti ya herufi b
• Waambie wanafunzi wanyooshe mkono kama wanaweza kutaja jina la
herufi linalounda sauti hiyo. Fanya hivyo kwa herufi u
• Waulize wanafunzi kama wanaweza kusoma neno kwa kulitamka. Onesha
neno; [bata, baba, ua, uji] ubaoni kisha sema “Tizama maandishi”.
• Waoneshe namna ya kutamka neno (Ninatenda, Tunatenda, Unatenda).
/b/ /a/ /t/ /a/.
• Unganisha sauti kisha sema neno [bata]. Fanya hivyo kwa neno [baba,
ua, uji]
• Waambie wanafunzi wanyooshe mkono kama wanaweza kusema sauti
zilizopo katika neno [bata], kisha watamke neno lote.
• Chagua wanafunzi kadhaa kutamka neno hilo.
• Sahihisha makosa.
• Onesha neno kisha tamka sauti zinazounda neno.
• Onesha neno kisha waambie wanafunzi walitamke. (Mnatenda).
• Onesha kila herufi kisha tamka pamoja na wanafunzi. Sauti ya mwanzo
katika neno [bata] ni /b/, inayofuata /aaa/, inayofuata /t/, ya mwisho /
aaa/. Neno gani hilo? [bata]. Neno hilo ni [bata].
• Sasa zamu yenu. Ni neno gani? [bata]
• Waambie wanafunzi waandike herufi mpya, silabi na maneno ambayo
yamefundishwa katika kipindi hiki. (Ninatenda, Tunatenda, Unatenda)

Mchezo wa kujenga ufasaha kutumia maneno; [bata, baba, ua, uji]


• Waeleze wanafunzi wanyooshe mkono wanapoona neno wanalolitambua
katika kadi utakayoonesha (au onesha maneno hayo ubaoni)

194 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


•  aambie kuwa utaonesha kila kadi (au utaonesha ubaoni) kwa haraka,
W
kwa hiyo waharakishe kunyoosha mkono pindi wanapoona neno
wanalolitambua
• Chagua mwanafunzi aliyenyoosha mkono asome neno husika.

Msamiati: (Dakika 4-5)


RUDIA MANENO; [ua, uji]

Ufahamu wa kusikiliza (Dakika 10):


• Wasomee hadithi ifuatayo. ANGALIZO: Msamiati na maneno rejea
yamekozeshwa. Yaandike maneno ubaoni. Tulia kwa muda kisha
waoneshe unapoyatamka.

Hadithi ya kusoma kwa sauti [Hadithi kutoka kwenye kitabu]


• Andika hadithi kutoka kwenye kitabu ubaoni.
• Andika jina la mwandishi wa hadithi.
• Andika jina msanifu wa michoro.

Ufahamu
Nyoka na Kenge walikuwa marafiki wakubwa. Siku moja nyoka akamtuma kenge
akamnunulie mayai ya kuku. Kenge akatoka kwenda kununua mayai, baada
ya kununua akafanya tamaa na kuanza kula mayai yote. Nyoka alipomuuliza
mayai yako wapi, kenge akadanganya kuwa mayai yamevunjika njiani. Nyoka
akamwambia twende ukanioneshe, kenge akataka kukimbia lakini Nyoka akawahi
kumdona na kumuingiza sumu. Kenge alipata uchungu mkali sana na mwili wake
ukabadilika kwa kuwa na mabaka mabaka. Tangu siku hiyo Nyoka na Kenge ni
maadui wakubwa.

Maswali ya ufahamu
• Nyoka na Kenge walikuwa na mahusiano gani?
• Nyoka alimtuma Kenge akamnunulie nini?
• Kwa nini Kenge alikula mayai aliyotumwa na Nyoka?
• Tunajifunza nini katika hadithi hii?

Rejea ya neno la hakiba:


• Andika neno [bata] ubaoni.
• Wakumbushe wanafunzi kuwa neno hili limekwisha fundishwa. Waeleze
walitumie katika sentensi kwa usahihi.

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 195


Weka alama ya vyema baada ya kufundisha
36.0 Marudio na kukazia (chagua herufi kutoka siku tofauti)
Wiki ya 8: Siku ya 2

Tarehe: _____________________
Muongozo wa ufundishaji: Tumia
jina la herufi/sauti ya herufi katika
muongozo huu ili kufundisha majina
na sauti za herufi husika Zana:
Malengo: • Kadi za herufi j, e
• Mwanafunzi aweze kutamka • Kadi za maneno
sauti na jina la herufi sauti na • Kadi za sentensi
jina la herufi j, e kwa kutumia • Hadithi au Nyimbo
muongozo ufuatao • Kitini cha mazoezi kwa
• Mwanafunzi aweze kufanya wanafunzi
mazoezi ya kusoma kwa
kutumia kadi za herufi, maneno
na sentensi
• Mwanafunzi aweze kusoma
sentensi rahisi
• Mwanafunzi aweze kujibu
maswali ya ufahamu

Muongozo wa kufundisha utambuzi wa sauti (Dakika 5)


 Marudio:
• Rudia sauti zilizofundishwa mwezi huu: /j/,/e/
• Waulize wanafunzi sauti ipi wanaisikia mwanzoni mwa kila neno
lililofundishwa katika somo lililopita (USIANDIKE maneno).

Rudia sauti kwa kutumia muongozo ufuatao:

Ujuzi Mwalimu Mwalimu na Mazoezi ya


“Ninatenda” mwanafunzi mwanafunzi
Utambuzi “tunatenda” “unatenda”
wa Mwalimu Rudia sauti zote na
Sauti aongoze maneno Mwalimu aulize: Ni
wanafunzi sauti gani ya mwanzo
kutambua sauti mnayoisikia? (Rejea
maneno ya masomo
yaliyopita)

196 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


za mwanzo za Sasa, tuseme sauti • Mistari mitatu
maneno tofauti ya mwanzo kutoka ya nyuma, sauti
(USIANDIKE) kutoka masomo katika maneno ipi?
yaliyotangulia tofauti tuliyojifunza Wanafunzi watasema:
somo lililopita • Mistari mitatu
ya mbele, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:
• Wasichana
nyote, sauti ipi?
Wanafunzi
watasema:
• Wavulana
nyote, sauti ipi?
Wanafunzi watasema:
• Upande wangu
wa kulia, sauti
ipi? (mwalimu
aelekeze mkono
upande wa
kulia)
Wanafunzi watasema:
• Upande wangu
wa kushoto,
sauti ipi?
(mwalimu
aelekeze mkono
upande wa
kushoto)
Wanafunzi watasema:
• Nyote kwa
pamoja, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 197


Mazoezi ya utambuzi wa sauti

Mchezo wa sauti:
• Waambie wanafunzi wasimame wanaposikia sauti ya mwanzo ya maneno
waliyojifunza (USIYAANDIKE)
• Sahihisha makosa

Maelekezo ya kufundisha utambuzi wa sauti ya herufi (Dakika 3-4)

Marudio:
• Rudia herufi zilizokwisha fundishwa ambazo ni: j, e
• Andika herufi ubaoni au tumia kadi za herufi. Waambie: TIZAMA
MAANDISHI.
• Waoneshe wanafunzi kadi za herufi j, e kisha waulize hizo ni herufi gani
• Waulize wanafunzi kadhaa kuhakikisha kila mmoja amefahamu majina ya
herufi.
• Chagua herufi kutoka katika masomo matatu yaliyopita ili wanafunzi
wayafanyie mazoezi

Rudia majina ya herufi j, e kutumia muongozo ufuatao.

198 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


Msingi wa Mwalimu: Mwalimu na Mwanafunzi:
kialfabeti “Ninatenda” mwanafunzi: “unatenda”
TIZAMA “Tunatenda”
Uhusiano wa MAANDISHI. TIZAMA Mwalimu wagawie
Sauti na herufi Hii ni herufi j. MAANDISHI. wanafunzi
Onesha wanafunzi Sasa, kila mmoja: kadi za herufi
(ANDIKA) herufi j. Herufi j Hii ni herufi j. katika makundi
inaunda sauti /j/. (Onesha wanafunzi na waambie
herufi j) Herufi j wachague herufi
Onesha wanafunzi inaunda sauti gani, zinazoendana na
e. Herufi e inaunda sote kwa pamoja? sauti zilizotamkwa
sauti /e/. Onesha ishara kwa
mkono kuashiria
wanafunzi wajibu
pamoja nawe.
(sote tuseme) /j/

Sasa, kilammoja: Hii


ni herufi e. (Onesha
wanafunzi herufi
e). Herufi e inaunda
sauti gani, sote kwa
pamoja?
Onesha ishara kwa
mkono kuashiria
wanafunzi wajibu
pamoja nawe.
(sote tuseme) /e/

 Mazoezi ya sauti ya herufi na ufasaha (4-5 dakika): MAZOEZI


• Chukua kadi zenye herufi: j, e (AU andika herufi hizo ubaoni).
• Wakumbushe wanafunzi jina la kila herufi kisha onesha moja baada ya
nyingine huku ukiwataka wanyooshe mkono kama wanajua majina ya
herufi hizo.
(Tumia sekunde 30 au zaidi kwa kazi hii)
• Tamka sauti ya herufi j
• Waambie wanafunzi wanyooshe mkono kama wanaweza kutaja jina la
herufi linalounda sauti hiyo. Fanya hivyo kwa herufi e
• Waulize wanafunzi kama wanaweza kusoma neno kwa kulitamka.
Onesha neno; [jua, jiko, eka, ema] ubaoni kisha sema “Tizama
maandishi”.

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 199


•  aoneshe namna ya kutamka neno (Ninatenda, Tunatenda,
W
Unatenda). /j/ /u/ /a/.
• Unganisha sauti kisha sema neno [jua]. Fanya hivyo kwa neno [jiko,
eka, ema]
• Waambie wanafunzi wanyooshe mkono kama wanaweza kusema sauti
zilizopo katika neno [jua], kisha watamke neno lote.
• Chagua wanafunzi kadhaa kutamka neno hilo.
• Sahihisha makosa.
• Onesha neno kisha tamka sauti zinazounda neno.
• Onesha neno kisha waambie wanafunzi walitamke. (Mnatenda).
• Onesha kila herufi kisha tamka pamoja na wanafunzi. Sauti ya mwanzo
katika neno [jua] ni /j/, inayofuata /uuu/, ya mwisho /aaa/. Neno gani
hilo? [jua]. Neno hilo ni [jua].
• Sasa zamu yenu. Ni neno gani? [jua]
• Onesha tena neno hilo kisha waambie wanafunzi walitamke kwa
usahihi.
• Waambie wanafunzi waandike herufi mpya, silabi na maneno ambayo
yamefundishwa katika kipindi hiki. (Ninatenda, Tunatenda, Unatenda)

Mchezo wa kujenga ufasaha kutumia maneno; [jiko, eka, ema]


• Waeleze wanafunzi wanyooshe mkono wanapoona neno
wanalolitambua katika kadi utakayoonesha (au onesha maneno hayo
ubaoni)
• Waambie kuwa utaonesha kila kadi (au utaonesha ubaoni) kwa haraka
, kwa hiyo waharakishe kunyoosha mkono pindi wanapoona neno
wanalolitambua
• Chagua mwanafunzi aliyenyoosha mkono asome neno husika.

Msamiati: (Dakika 4-5)


RUDIA MANENO; [jiko, eka]

Ufahamu wa kusikiliza (Dakika 10):


•  asomee hadithi ifuatayo. ANGALIZO: Msamiati na maneno rejea
W
yamekozeshwa na yamepigiwa mstari
• Yaandike maneno ubaoni. Tulia kwa muda kisha waoneshe
unapoyatamka.

200 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


Hadithi ya kusoma kwa sauti [Hadithi kutoka kwenye kitabu]
• Andika hadithi kutoka kwenye kitabu ubaoni.
• Andika jina la mwandishi wa hadithi.
• Andika jina msanifu wa michoro.

Rejea ya neno la hakiba:


• Andika neno [jua] ubaoni.
• Wakumbushe wanafunzi kuwa neno hili limekwisha fundishwa. Waeleze
walitumie katika sentensi kwa usahihi.

Weka alama ya vyema baada ya kufundisha


36.0 Marudio na kukazia (chagua herufi kutoka siku tofauti)
Wiki ya 8: Siku ya 4

Tarehe: _____________________
Muongozo wa ufundishaji: Tumia
jina la herufi/sauti ya herufi katika
muongozo huu ili kufundisha majina
na sauti za herufi husika Zana:
Malengo: • Kadi za herufi p, a
• Mwanafunzi aweze kutamka • Kadi za maneno
sauti na jina la herufi sauti na • Kadi za sentensi
jina la herufi p, a kwa kutumia • Hadithi au Nyimbo
muongozo ufuatao • Kitini cha mazoezi kwa
• Mwanafunzi aweze kufanya wanafunzi
mazoezi ya kusoma kwa
kutumia kadi za herufi, maneno
na sentensi
• Mwanafunzi aweze kusoma
sentensi rahisi
• Mwanafunzi aweze kujibu
maswali ya ufahamu

Muongozo wa kufundisha utambuzi wa sauti (Dakika 5)


 Marudio:
• Rudia sauti zilizofundishwa mwezi huu: /p/,/a/
• Waulize wanafunzi sauti ipi wanaisikia mwanzoni mwa kila neno
lililofundishwa katika somo lililopita (USIANDIKE maneno).

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 201


Rudia sauti kwa kutumia muongozo ufuatao:

Ujuzi Mwalimu Mwalimu na Mazoezi ya


“Ninatenda” mwanafunzi mwanafunzi
Utambuzi Mwalimu “tunatenda” “unatenda”
wa aongoze Rudia sauti zote na
Sauti wanafunzi maneno Mwalimu aulize: Ni
kutambua sauti sauti gani ya mwanzo
za mwanzo Sasa, tuseme sauti mnayoisikia? (Rejea
za maneno ya mwanzo kutoka maneno ya masomo
(USIANDIKE) tofauti kutoka katika maneno yaliyopita)
masomo tofauti tuliyojifunza • Mistari mitatu
yaliyotangulia somo lililopita ya nyuma,
sauti ipi?
Wanafunzi watasema:
• Mistari mitatu
ya mbele, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:
• Wasichana
nyote, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:
• Wavulana
nyote, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:
• Upande wangu
wa kulia, sauti
ipi?
(mwalimu aelekeze
mkono upande
wa kulia)
Wanafunzi watasema:
• Upande wangu
wa kushoto,
sauti ipi?
(mwalimu aelekeze
mkono upande
wa kushoto)

202 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


Wanafunzi watasema:
• Nyote kwa
pamoja, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:

Mazoezi ya utambuzi wa sauti


Mchezo wa sauti:
• Waambie wanafunzi wasimame wanaposikia sauti ya mwanzo ya maneno
waliyojifunza (USIYAANDIKE)
• Sahihisha makosa

Maelekezo ya kufundisha utambuzi wa sauti ya herufi (Dakika 3-4)

Marudio:
• Rudia herufi zilizokwisha fundishwa ambazo ni: p, a
• Andika herufi ubaoni au tumia kadi za herufi. Waambie: TIZAMA
MAANDISHI.
• Waoneshe wanafunzi kadi za herufi p, a kisha waulize hizo ni herufi gani
• Waulize wanafunzi kadhaa kuhakikisha kila mmoja amefahamu majina ya
herufi.
• Chagua herufi kutoka katika masomo matatu yaliyopita ili wanafunzi
wayafanyie mazoezi

Rudia majina ya herufi p, a kutumia muongozo ufuatao

Msingi wa Mwalimu: Mwalimu na Mwanafunzi:


kialfabeti “Ninatenda” mwanafunzi: “unatenda”
“Tunatenda”
Uhusiano wa TIZAMA Mwalimu wagawie
Sauti na herufi MAANDISHI. TIZAMA wanafunzi
Hii ni herufi p. MAANDISHI. kadi za herufi
(ANDIKA) Onesha wanafunzi Sasa, kila mmoja: Hii katika makundi
herufi p. Herufi p ni herufi p. (Onesha na waambie
inaunda sauti /p/. wanafunzi herufi wachague herufi
p) Herufi p inaunda zinazoendana na
Onesha wanafunzi sauti gani, sote kwa sauti zilizotamkwa
a. Herufi a inaunda pamoja?
sauti /a/.

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 203


Onesha ishara kwa
mkono kuashiria
wanafunzi wajibu
pamoja nawe. (sote
tuseme) /p/

Sasa, kilammoja: Hii


ni herufi a. (Onesha
wanafunzi herufi
a). Herufi a inaunda
sauti gani, sote kwa
pamoja?
Onesha ishara kwa
mkono kuashiria
wanafunzi wajibu
pamoja nawe. (sote
tuseme) /a/

 Mazoezi ya sauti ya herufi na ufasaha (4-5 dakika): MAZOEZI


• Chukua kadi zenye herufi: p, a (AU andika herufi hizo ubaoni).
• Wakumbushe wanafunzi jina la kila herufi kisha onesha moja baada ya
nyingine huku ukiwataka wanyooshe mkono kama wanajua majina ya
herufi hizo.
(Tumia sekunde 30 au zaidi kwa kazi hii)
• Tamka sauti ya herufi p
• Waambie wanafunzi wanyooshe mkono kama wanaweza kutaja jina la
herufi linalounda sauti hiyo. Fanya hivyo kwa herufi a
• Waulize wanafunzi kama wanaweza kusoma neno kwa kulitamka. Onesha
neno; [pipi, pipa, ama, ala] ubaoni kisha sema “Tizama maandishi”.
• Waoneshe namna ya kutamka neno (Ninatenda, Tunatenda, Unatenda).
/p//i/ /p//i/.
• Unganisha sauti kisha sema neno [pipi]. Fanya hivyo kwa neno [pipa,
ama, ala]
• Waambie wanafunzi wanyooshe mkono kama wanaweza kusema sauti
zilizopo katika neno [pipi], kisha watamke neno lote.
• Chagua wanafunzi kadhaa kutamka neno hilo.
• Sahihisha makosa.
• Onesha neno kisha tamka sauti inayounda neno.
• Onesha neno kisha waambie wanafunzi walitamke. (Mnatenda).

204 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


•  nesha kila herufi kisha tamka pamoja na wanafunzi. Sauti ya mwanzo
O
katika neno [pipi] ni /p/, inayofuata /iii/, inayofuata /p/, ya mwisho /iii/.
Neno gani hilo? [pipi]. Neno hilo ni [pipi].
• Sasa zamu yenu. Ni neno gani? [pipi]
• Waambie wanafunzi waandike herufi mpya, silabi na maneno ambayo
yamefundishwa katika kipindi hiki. (Ninatenda, Tunatenda, Unatenda)

Mchezo wa kujenga ufasaha kutumia maneno; [pipi, pipa, ama, ala]


• Waeleze wanafunzi wanyooshe mkono wanapoona neno wanalolitambua
katika kadi utakayoonesha (au onesha maneno hayo ubaoni)
• Waambie kuwa utaonesha kila kadi (au utaonesha ubaoni) kwa haraka,
kwa hiyo waharakishe kunyoosha mkono pindi wanapoona neno
wanalolitambua
• Chagua mwanafunzi aliyenyoosha mkono asome neno husika.

Msamiati: (Dakika 4-5)


RUDIA MANENO; [pima, ala]

Ufahamu wa kusikiliza (Dakika 10):


• Wasomee hadithi ifuatayo. ANGALIZO: Msamiati na maneno rejea
yamekozeshwa na yamepigiwa mstari
• Yaandike maneno ubaoni. Tulia kwa muda kisha waoneshe unapoyatamka.

Hadithi ya kusoma kwa sauti [Hadithi kutoka kwenye kitabu]


• Andika hadithi kutoka kwenye kitabu ubaoni.
• Andika jina la mwandishi wa hadithi.
• Andika jina msanifu wa michoro.

Rejea ya neno la hakiba:


• Andika neno [pipi] ubaoni.
• Wakumbushe wanafunzi kuwa neno hili limekwisha fundishwa. Waeleze
walitumie katika sentensi kwa usahihi.

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 205


Weka alama ya vyema baada ya kufundisha
37.0 Marudio na kukazia (chagua herufi kutoka siku tofauti)
Wiki ya 8: Siku ya 5

Tarehe: _____________________
Muongozo wa ufundishaji: Tumia
jina la herufi/sauti ya herufi katika
muongozo huu ili kufundisha majina na
sauti za herufi husika Zana:
Malengo: • Kadi za herufi t, i
• Mwanafunzi aweze kutamka • Kadi za maneno
sauti na jina la herufi sauti na • Kadi za sentensi
jina la herufi t, i kwa kutumia • Hadithi au Nyimbo
muongozo ufuatao • Kitini cha mazoezi kwa
• Mwanafunzi aweze kufanya wanafunzi
mazoezi ya kusoma kwa
kutumia kadi za herufi, maneno
na sentensi
• Mwanafunzi aweze kusoma
sentensi rahisi
• Mwanafunzi aweze kujibu
maswali ya ufahamu

Muongozo wa kufundisha utambuzi wa sauti (Dakika 5)


 Marudio:
• Rudia sauti zilizofundishwa mwezi huu: /t/,/i/
• Waulize wanafunzi sauti ipi wanaisikia mwanzoni mwa kila neno
lililofundishwa katika somo lililopita (USIANDIKE maneno).

Rudia sauti kwa kutumia muongozo ufuatao:

Ujuzi Mwalimu Mwalimu na Mazoezi ya


“Ninatenda” mwanafunzi mwanafunzi
“tunatenda” “unatenda”
Rudia sauti zote
na maneno

206 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


Utambuzi Mwalimu Sasa, tuseme Mwalimu aulize: Ni
wa aongoze sauti ya mwanzo sauti gani ya mwanzo
Sauti wanafunzi kutoka katika mnayoisikia? (Rejea
kutambua sauti maneno tofauti maneno ya masomo
za mwanzo za tuliyojifunza somo yaliyopita)
maneno tofauti lililopita • Mistari mitatu
(USIANDIKE) kutoka masomo ya nyuma, sauti
yaliyotangulia ipi?
Wanafunzi watasema:
• Mistari mitatu
ya mbele, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:
• Wasichana
nyote, sauti ipi?
Wanafunzi watasema:
• Wavulana
nyote, sauti ipi?
Wanafunzi watasema:
• Upande wangu
wa kulia, sauti
ipi? (mwalimu
aelekeze mkono
upande wa kulia)
Wanafunzi watasema:
• Upande wangu
wa kushoto,
sauti ipi?
(mwalimu
aelekeze mkono
upande wa
kushoto)
Wanafunzi watasema:
• Nyote kwa
pamoja, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 207


Mazoezi ya utambuzi wa sauti
Mchezo wa sauti:
• Waambie wanafunzi wasimame wanaposikia sauti ya mwanzo ya maneno
waliyojifunza (USIYAANDIKE)
• Sahihisha makosa

Maelekezo ya kufundisha utambuzi wa sauti ya herufi (Dakika 3-4)

Marudio:
• Rudia herufi zilizokwisha fundishwa ambazo ni: t, i
• Andika herufi ubaoni au tumia kadi za herufi. Waambie: TIZAMA
MAANDISHI.
• Waoneshe wanafunzi kadi za herufi t, i kisha waulize hizo ni herufi gani
• Waulize wanafunzi kadhaa kuhakikisha kila mmoja amefahamu majina ya
herufi.
• Chagua herufi kutoka katika masomo matatu yaliyopita ili wanafunzi
wayafanyie mazoezi

Rudia majina ya herufi t, i kutumia muongozo ufuatao:

Msingi wa Mwalimu: Mwalimu na Mwanafunzi:


kialfabeti “Ninatenda” mwanafunzi: “unatenda”
“Tunatenda”
Uhusiano wa TIZAMA Mwalimu wagawie
Sauti na herufi MAANDISHI. TIZAMA wanafunzi
Hii ni herufi t. MAANDISHI. kadi za herufi
(ANDIKA) Onesha wanafunzi Sasa, kila mmoja: Hii katika makundi
herufi t. Herufi t ni herufi t. (Onesha na waambie
inaunda sauti /t/. wanafunzi herufi wachague herufi
t) Herufi t inaunda zinazoendana na
Onesha wanafunzi sauti gani, sote kwa sauti zilizotamkwa
i. Herufi i inaunda pamoja?
sauti /iii/. Onesha ishara kwa
mkono kuashiria
wanafunzi wajibu
pamoja nawe. (sote
tuseme) /t/

Sasa, kilammoja: Hii


ni herufi i. (Onesha
wanafunzi herufi i).

208 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


Herufi i inaunda
sauti gani, sote kwa
pamoja?
Onesha ishara kwa
mkono kuashiria
wanafunzi wajibu
pamoja nawe. (sote
tuseme) /iii/

 Mazoezi ya sauti ya herufi na ufasaha (4-5 dakika): MAZOEZI


• Chukua kadi zenye herufi: t, i (AU andika herufi hizo ubaoni).
• Wakumbushe wanafunzi jina la kila herufi kisha onesha moja baada ya
nyingine huku ukiwataka wanyooshe mkono kama wanajua majina ya
herufi hizo.
(Tumia sekunde 30 au zaidi kwa kazi hii)
• Tamka sauti ya herufi t
• Waambie wanafunzi wanyooshe mkono kama wanaweza kutaja jina la
herufi linalounda sauti hiyo. Fanya hivyo kwa herufi i
• Waulize wanafunzi kama wanaweza kusoma neno kwa kulitamka. Onesha
neno; [taa, timu, ita, ima] ubaoni kisha sema “Tizama maandishi”.
• Waoneshe namna ya kutamka neno (Ninatenda, Tunatenda, Unatenda).
/t//a/ /a/.
• Unganisha sauti kisha sema neno [taa]. Fanya hivyo kwa neno [timu, ita,
ima]
• Waambie wanafunzi wanyooshe mkono kama wanaweza kusema sauti
zilizopo katika neno [taa], kisha watamke neno lote.
• Chagua wanafunzi kadhaa kutamka neno hilo.
• Sahihisha makosa.
• Onesha neno kisha tamka sauti inayounda neno.
• Onesha neno kisha waambie wanafunzi walitamke. (Mnatenda).
• Onesha kila herufi kisha tamka pamoja na wanafunzi. Sauti ya mwanzo
katika neno [taa] ni /t/, inayofuata /aaa/, ya mwisho /aaa/. Neno gani
hilo? [taa]. Neno hilo ni [taa].
• Sasa zamu yenu. Ni neno gani? [taa]
• Waambie wanafunzi waandike herufi mpya, silabi na maneno ambayo
yamefundishwa katika kipindi hiki. (Ninatenda, Tunatenda, Unatenda)

Mchezo wa kujenga ufasaha kutumia maneno; [taa, timu, ita, ima]


• Waeleze wanafunzi wanyooshe mkono wanapoona neno wanalolitambua
katika kadi utakayoonesha (au onesha maneno hayo ubaoni)
Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 209
•  aambie kuwa utaonesha kila kadi (au utaonesha ubaoni) kwa haraka,
W
kwa hiyo waharakishe kunyoosha mkono pindi wanapoona neno
wanalolitambua
• Chagua mwanafunzi aliyenyoosha mkono asome neno husika.

Msamiati: (Dakika 4-5)


RUDIA MANENO; [taa, ita]

Ufahamu wa kusikiliza (Dakika 10):


• Wasomee hadithi ifuatayo. ANGALIZO: Msamiati na maneno rejea
yamekozeshwa na yamepigiwa mstari
• Yaandike maneno ubaoni. Tulia kwa muda kisha waoneshe unapoyatamka.

Hadithi ya kusoma kwa sauti [Hadithi kutoka kwenye kitabu]


• Andika hadithi kutoka kwenye kitabu ubaoni.
• Andika jina la mwandishi wa hadithi.
• Andika jina msanifu wa michoro.

Weka alama ya vyema baada ya kufundisha


38.0 Kufundisha sauti f
Wiki ya 9: Siku ya 1

Tarehe: _____________________
Muongozo wa ufundishaji: Tumia
jina la herufi/sauti ya herufi katika
muongozo huu ili kufundisha majina
na sauti za herufi husika Zana:
Malengo: • Kadi za herufi f
• Mwanafunzi aweze kutamka • Kadi za herufi kwa ajili ya
sauti na jina la herufi sauti na marudio
jina la herufi f kwa kutumia • Kadi za maneno
muongozo ufuatao • Andika neno [fisi] ubaoni
• Mwanafunzi aweze kufanya • Kadi za sentensi
mazoezi ya kusoma kwa • Hadithi au Nyimbo
kutumia kadi za herufi, maneno • Kitini cha mazoezi kwa
na sentensi mwanafunzi
• Mwanafunzi aweze kusoma
sentensi rahisi
• Mwanafunzi aweze kujibu
maswali ya ufahamu

210 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


Muongozo wa kufundisha utambuzi wa sauti (Dakika 5)

Marudio:
• Rudia sauti zilizofundishwa katika wiki hiyo: /b/,/j/
• Waulize wanafunzi sauti ipi wanayoisikia mwanzoni mwa kila neno
lililofundishwa katika somo lililopita (Usiandike Maneno). [bata, baba,
jua, jiko]

Fundisha sauti f kwa kutumia muongozo ufuatao:

Ujuzi Mwalimu Mwalimu na Mazoezi ya


“Ninatenda” Mwanafunzi mwanafuzi
Utambuzi “tunatenda” “unatenda”
wa Sauti mwanzo ya Rudia sauti zote na
Sauti neno [fisi] ni? /f/ maneno Mwalimu aulize: Ni
Sikiliza, /fff/ sauti gani ya mwanzo
Sasa, tuseme sauti mnayoisikia kwenye
ya mwanzo neno neno [fisi, fuma]?
(USIANDIKE) [fisi] • Mistari mitatu
Kilammoja, sauti ya ya nyuma, sauti
mwanzo ya neno ipi?
[fisi] ni /f/ Wanafunzi watasema:
Sasa, sauti ya Onesha ishara kwa • Mistari mitatu
mwanzo ya neno mkono kuashiria ya mbele, sauti
[fuma] ni? /f/ wanafunzi wajibu ipi?
Sikiliza, /fff/ pamoja nawe (Haya Wanafunzi watasema:
sote tuseme) /fff/ • Wasichana
nyote, sauti ipi?
Sasa, fundisha Wanafunzi watasema:
sauti ya mwanzo ya • Wavulana
neno [fuma] kama nyote, sauti ipi?
ulivyofanya kwa Wanafunzi watasema:
[fisi] • Upande wangu
wa kulia, sauti
ipi?
(mwalimu aelekeze
mkono upande
wa kulia)
Wanafunzi watasema:

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 211


• Upande wangu
wa kushoto,
sauti ipi?
(mwalimu
aelekeze mkono
upande wa
kushoto)
Wanafunzi watasema:
• Nyote kwa
pamoja, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:

Mazoezi ya utambuzi wa sauti


Mchezo wa sauti:
• Waambie wanafunzi wainamishe vichwa vyao juu ya deski wakati wa
mchezo huu wa sauti.
• Waambie wanafunzi waoneshe dole gumba juu wanaposikia sauti /f/
na dole gumba chini wasipoisikia sauti hiyo mwanzoni mwa maneno
yafuatayo: (USIYAANDIKE) [faa, tufe, taka, jofu, petu, feni, bata]
Maana yake “Ndiyo” Maana yake “hapana”
• Ita mwanafunzi mmoja mmoja aseme neno linaloanza na sauti /f/.
• Sahihisha makosa

Maelekezo ya kufundisha utambuzi wa sauti ya herufi (Dakika 3-4)

Marudio:
• Rudia herufi ulizofundisha: b, j, f
• Andika herufi ubaoni au tumia kadi za herufi. Waambie: TIZAMA
MAANDISHI.
• Waoneshe wanafunzi kadi ya herufi f kisha waulize hiyo ni herufi gani
• Fanya hivyo kwa herufi zilizosalia
• Waulize wanafunzi kadhaa kuhakikisha kila mmoja amefahamu majina ya
herufi.

212 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


Fundisha majina ya herufi f kutumia muongozo ufuatao

Msingi wa Mwalimu: Mwalimu na Mwanafunzi


kialfabeti “Ninatenda” mwanafunzi: “Unatenda”
TIZAMA “Tunatenda”
Uhusiano MAANDISHI. Sasa zamu yenu.
wa Sauti na TIZAMA Darasa hii ni herufi?
herufi Hii ni herufi MAANDISHI. (Onesha herufi f)
f. Onesha Sasa, kila • Mistari mitatu
(ANDIKA) wanafunzi herufi mmoja: Hii ni ya nyuma,
f. Herufi f inaunda herufi f. (Onesha sauti ipi?
sauti /fff/. wanafunzi herufi Wanafunzi watasema:
f) Herufi f inaunda • Mistari mitatu
sauti gani, sote ya mbele,
kwa pamoja? sauti ipi?
Onesha ishara Wanafunzi watasema:
kwa mkono • Wasichana
kuashiria nyote, sauti
wanafunzi wajibu ipi?
pamoja nawe. Wanafunzi watasema:
(sote tuseme) / • Wavulana
fff/ nyote, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:
• Upande
wangu wa
kulia, sauti
ipi? (mwalimu
aelekeze
mkono upande
wa kulia)
Wanafunzi watasema:
• Upande
wangu wa
kushoto, sauti
ipi? (mwalimu
aelekeze
mkono upande
wa kushoto)
Wanafunzi watasema:

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 213


• Nyote kwa
pamoja, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:

 Mazoezi ya sauti ya herufi na ufasaha (4-5 dakika): MAZOEZI


• Chukua kadi yenye herufi: f (AU andika herufi hizo ubaoni).
• Wakumbushe wanafunzi jina la herufi kisha ioneshe herufi hiyo huku
ukiwataka wanyooshe mkono kama wanajua jina la herufi hiyo.
(Tumia sekunde 30 au zaidi kwa kazi hii)
• Tamka sauti ya herufi f
• Waambie wanafunzi wanyooshe mkono ” kama wanaweza kutaja jina
la herufi linalounda sauti hiyo.
• Waulize wanafunzi kama wanaweza kusoma neno kwa kulitamka.
Onesha neno [fisi] ubaoni kisha sema “Tizama maandishi”.
• Waoneshe namna ya kutamka neno (Ninatenda, Tunatenda,
Unatenda). /f/ /i/ /s/ /i/
• Unganisha sauti kisha sema neno [fisi].
• Waambie wanafunzi wanyooshe mkono kama wanaweza kusema sauti
zilizopo katika neno [fisi], kisha watamke neno lote
• Chagua wanafunzi kadhaa kutamka neno hilo.
• Sahihisha makosa.
• Onesha neno kisha tamka sauti zinazounda neno
• Onesha neno kisha waambie wanafunzi walitamke. (Mnatenda).
• Onesha kila herufi kisha tamka pamoja na wanafunzi. Sauti ya mwanzo
katika neno [fisi] ni /f/, inayofuata /iii/, inayofuata /s/, ya mwisho /iii/.
Neno gani hilo? [fisi]. Neno hilo ni [fisi].
• Sasa zamu yenu. Ni neno gani? [fisi]
• Waambie wanafunzi waandike herufi mpya, silabi na maneno ambayo
yamefundishwa katika kipindi hiki. (Ninatenda, Tunatenda, Unatenda)

Sentensi rahisi:
• Fisi amekufa
• Mama anafuma kitambaa.

Mazoezi ya Kusoma Sentensi


• Waoneshe wanafunzi kila herufi za sauti na utamke [Fisi amekufa].
• Waambie wanafunzi wasome sentensi kwa sauti
214 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza
Msamiati: (Dakika 4-5)
RUDIA MANENO; [fisi, fuma, fuu, fuo, futa, fito]

Rejea neno la hakiba:


• Andika neno [fisi] ubaoni.
• Wakumbushe wanafunzi kuwa neno hili limekwisha fundishwa. Waambie
walitumie katika sentensi kwa usahihi

Neno jipya [ghafla]:


• Waambie wanafunzi kuwa neno jipya lililotumiwa sana ni ghafla
• Waoneshe kadi ya neno au liandike ubaoni.
• Waambie wanafunzi wasome neno pamoja na wewe.

Mchezo wa kujenga ufasaha kutumia maneno; [fisi, fuma, fuu, fuo, futa, fito]
• Waeleze wanafunzi wanyooshe mkono wanapoona neno wanalolitambua
katika kadi utakayoonesha (au onesha maneno hayo ubaoni)
• Waambie kuwa utaonesha kila kadi (au utaonesha ubaoni) kwa haraka,
kwa hiyo waharakishe kunyoosha mkono pindi wanapoona neno
wanalolitambua
• Chagua mwanafunzi aliyenyoosha mkono asome neno husika.

Ufahamu wa kusikiliza (Dakika 10):


Wasomee hadithi ifuatayo. ANGALIZO: Msamiati na maneno rejea yamekozeshwa.
Yaandike maneno ubaoni. Unapofikia msamiati wakati wa Mwanafunzi aweze
kujibu maswali ya ufahamu , tulia kwa muda kisha onesha msamiati huo ubaoni.

Ufahamu
Baraka na Sofia ni marafiki. Wote wanasoma darasa la kwanza. Siku moja
walikwenda porini kutafuta matunda na walipata matunda mengi mazuri na
mabivu. Wakati wanarudi nyumbani, ghafla alitokea fisi. Walipomuona waliyatupa
matunda na kukimbia huku wakihema na kupiga mayowe. Mara akatokea msasi
na mbwa wake wakaanza kufukuza fisi na kukimbilia vichakani.

Mazoezi:
Waambie wanafunzi watafute maneno yanayoanza na sauti /f/

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 215


Weka alama ya vyema baada ya kufundisha
39.0 Kufundisha sauti F
Wiki ya 9: Siku ya 2

Tarehe: _____________________
Muongozo wa ufundishaji: Tumia
jina la herufi/sauti ya herufi katika
muongozo huu ili kufundisha majina
na sauti za herufi husika Zana:
Malengo: • Kadi za herufi F
• Mwanafunzi aweze kutamka • Kadi za herufi kwa ajili ya
sauti na jina la herufi sauti na marudio
jina la herufi F kwa kutumia • Kadi za maneno
muongozo ufuatao • Andika neno [Fisi] ubaoni
• Mwanafunzi aweze kufanya • Kadi za sentensi
mazoezi ya kusoma kwa • Hadithi au Nyimbo
kutumia kadi za herufi, maneno • Kitini cha mazoezi kwa
na sentensi mwanafunzi
• Mwanafunzi aweze kusoma
sentensi rahisi
• Mwanafunzi aweze kujibu
maswali ya ufahamu

Muongozo wa kufundisha utambuzi wa sauti (Dakika 5)

Marudio:
• Rudia sauti zilizofundishwa katika wiki hiyo: /b/,/j//p/ /e/
• Waulize wanafunzi sauti ipi wanayoisikia mwanzoni mwa kila neno
lililofundishwa katika somo lililopita (Usiandike Maneno). [Bata, Baba,
Jua, Jiko, Pete, eka]

Fundisha sauti F kwa kutumia muongozo ufuatao:

Ujuzi Mwalimu Mwalimu na Mazoezi ya


“Ninatenda” Mwanafunzi mwanafuzi
“tunatenda” “unatenda”
Rudia sauti zote na Mwalimu aulize: Ni
maneno sauti gani ya mwanzo
mnayoisikia kwenye
neno [Fisi, Fuma]?

216 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


Utambuzi wa Sauti mwanzo Sasa, tuseme sauti • Mistari mitatu
Sauti ya neno [Fisi] ya mwanzo neno ya nyuma,
ni? /f/ Sikiliza, [Fisi] sauti ipi?
/fff/ Kilammoja, sauti ya Wanafunzi watasema:
mwanzo ya neno • Mistari mitatu
(USIANDIKE) [Fisi] ni /f/ ya mbele, sauti
Onesha ishara kwa ipi?
mkono kuashiria Wanafunzi watasema:
wanafunzi wajibu • Wasichana
pamoja nawe (Haya nyote, sauti
Sasa, sauti ya sote tuseme) /fff/ ipi?
mwanzo ya Wanafunzi watasema:
neno [Fuma] Sasa, fundisha • Wavulana
ni? /f/ Sikiliza, sauti ya mwanzo ya nyote, sauti
/fff/ neno [Fuma] kama ipi?
ulivyofanya kwa Wanafunzi watasema:
[Fisi] • Upande wangu
wa kulia, sauti
ipi? (mwalimu
aelekeze mkono
upande wa
kulia)
Wanafunzi watasema:
• Upande wangu
wa kushoto,
sauti ipi?
(mwalimu
aelekeze mkono
upande wa
kushoto)
Wanafunzi watasema:
• Nyote kwa
pamoja, sauti
ipi?
Wanafunzi
watasema:

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 217


Mazoezi ya utambuzi wa sauti
Mchezo wa sauti:
• Waambie wanafunzi wainamishe vichwa vyao juu ya deski wakati wa
mchezo huu wa sauti.
• Waambie wanafunzi waoneshe dole gumba juu wanaposikia sauti /f/
na dole gumba chini wasipoisikia sauti hiyo mwanzoni mwa maneno
yafuatayo: (USIYAANDIKE) [faa, tufe, taka, jofu, petu, feni, bata]
Maana yake “Ndiyo” Maana yake “hapana”
• Ita mwanafunzi mmoja mmoja aseme neno linaloanza na sauti /f/.
• Sahihisha makosa

Maelekezo ya kufundisha utambuzi wa sauti ya herufi (Dakika 3-4)

Marudio:
• Rudia herufi ulizofundisha: b, j, f
• Andika herufi ubaoni au tumia kadi za herufi. Waambie: TIZAMA
MAANDISHI.
• Waoneshe wanafunzi kadi ya herufi f kisha waulize hiyo ni herufi gani
• Fanya hivyo kwa herufi zilizosalia
• Waulize wanafunzi kadhaa kuhakikisha kila mmoja amefahamu majina ya
herufi.

Fundisha majina ya herufi F kutumia muongozo ufuatao

Msingi wa Mwalimu: Mwalimu na Mwanafunzi


kialfabeti “Ninatenda” mwanafunzi: “Unatenda”
TIZAMA “Tunatenda”
Uhusiano wa MAANDISHI. Sasa zamu yenu.
Sauti na herufi TIZAMA Darasa hii ni herufi?
Hii ni herufi MAANDISHI. (Onesha herufi F)
(ANDIKA) F. Onesha Sasa, kila mmoja: • Mistari
wanafunzi Hii ni herufi mitatu ya
herufi F. Herufi F F. (Onesha nyuma, sauti
inaunda sauti / wanafunzi ipi?
fff/. herufi F) Herufi Wanafunzi watasema:
F inaunda sauti • Mistari
gani, sote kwa mitatu ya
pamoja? mbele, sauti
ipi?

218 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


Onesha ishara Wanafunzi watasema:
kwa mkono • Wasichana
kuashiria nyote, sauti ipi?
wanafunzi wajibu Wanafunzi watasema:
pamoja nawe. • Wavulana
(sote tuseme) / nyote, sauti
fff/ ipi?
Wanafunzi watasema:
• Upande
wangu wa
kulia, sauti
ipi? (mwalimu
aelekeze
mkono
upande wa
kulia)
Wanafunzi watasema:
• Upande
wangu wa
kushoto,
sauti ipi?
(mwalimu
aelekeze
mkono
upande wa
kushoto)
Wanafunzi watasema:
• Nyote kwa
pamoja, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:

 Mazoezi ya sauti ya herufi na ufasaha (4-5 dakika): MAZOEZI


• Chukua kadi yenye herufi: F (AU andika herufi hiyo ubaoni).
• Wakumbushe wanafunzi jina la herufi kisha ioneshe herufi hiyo huku
ukiwataka wanyooshe mkono kama wanajua jina la herufi hiyo.
(Tumia sekunde 30 au zaidi kwa kazi hii)
• Tamka sauti ya herufi F
• Waambie wanafunzi wanyooshe mkono kama wanaweza kutaja jina la
herufi linalounda sauti hiyo.

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 219


•  aulize wanafunzi kama wanaweza kusoma neno kwa kulitamka.
W
Onesha neno [Fisi] ubaoni kisha sema “Tizama maandishi”.
• Waoneshe namna ya kutamka neno (Ninatenda, Tunatenda, Unatenda).
/f/ /i/ /s/ /i/
• Unganisha sauti kisha sema neno [Fisi].
• Waambie wanafunzi wanyooshe mkono kama wanaweza kusema sauti
zilizopo katika neno [Fisi], kisha watamke neno lote
• Chagua wanafunzi kadhaa kutamka neno hilo.
• Sahihisha makosa.
• Onesha neno kisha tamka sauti zinazounda neno
• Onesha neno kisha waambie wanafunzi walitamke. (Mnatenda).
• Onesha kila herufi kisha tamka pamoja na wanafunzi. Sauti ya mwanzo
katika neno [Fisi] ni /f/, inayofuata /iii/, inayofuata /s/, ya mwisho /iii/.
Neno gani hilo? [Fisi]. Neno hilo ni [Fisi].
• Sasa zamu yenu. Ni neno gani? [Fisi]
• Waambie wanafunzi waandike herufi mpya, silabi na maneno ambayo
yamefundishwa katika kipindi hiki. (Ninatenda, Tunatenda, Unatenda)

Sentensi rahisi:
• Fisi amekufa
• Mama anafuma kitambaa.

Mazoezi ya Kusoma Sentensi


• Waoneshe wanafunzi kila herufi za sauti na utamke [Fisi amekufa].
• Waambie wanafunzi wasome sentensi kwa sauti

Msamiati: (Dakika 4-5)


RUDIA MANENO; [Fisi, Fuma, Fuu, Fuo, Futa, Fito]

Rejea neno la hakiba:


• Andika neno [Fisi] ubaoni.
• Wakumbushe wanafunzi kuwa neno hili limekwisha fundishwa. Waambie
walitumie katika sentensi kwa usahihi

Neno jipya [ghafla]:


• Waambie wanafunzi kuwa neno jipya lililotumiwa sana ni ghafla
• Waoneshe kadi ya neno au liandike ubaoni.
• Waambie wanafunzi wasome neno pamoja na wewe.

220 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


Mchezo wa kujenga ufasaha kutumia maneno; [Fisi, Fuma, Fuu, Fuo, Futa, Fito]
• Waeleze wanafunzi wanyooshe mkono wanapoona neno wanalolitambua
katika kadi utakayoonesha (au onesha maneno hayo ubaoni)
• Waambie kuwa utaonesha kila kadi (au utaonesha ubaoni) kwa haraka,
kwa hiyo waharakishe kunyoosha mkono pindi wanapoona neno
wanalolitambua
• Chagua mwanafunzi aliyenyoosha mkono asome neno husika.

Ufahamu wa kusikiliza (Dakika 10):


Wasomee hadithi ifuatayo. ANGALIZO: Msamiati na maneno rejea yamekozeshwa
na yamepigiwa mstari.Yaandike maneno ubaoni. Unapofikia msamiati wakati wa
Mwanafunzi aweze kujibu maswali ya ufahamu , tulia kwa muda kisha onesha
msamiati huo ubaoni.

Ufahamu
Baraka na Sofia ni marafiki. Wote wanasoma darasa la kwanza. Siku moja
walikwenda porini kutafuta matunda. Ghafla alitokea fisi , walipomuona
walikimbia haraka na kurudi nyumbani huku wakipiga mayowe.

Maswali ya Ufahamu
• Baraka na sofia walikwenda wapi?
• Kwa nini Baraka na Sofia walikimbia?
• Kuna hatari gani watoto kwenda porini?

Mazoezi:
Waambie wanafunzi watafute maneno yanayoanza na sauti /f/

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 221


Weka alama ya vyema baada ya kufundisha
40.0 Kufundisha sauti d
Wiki ya 9: Siku ya 3

Tarehe: _____________________
Muongozo wa ufundishaji: Tumia
jina la herufi/sauti ya herufi katika
muongozo huu ili kufundisha majina
na sauti za herufi husika Zana:
Malengo: • Kadi za herufi d
• Mwanafunzi aweze kutamka • Kadi za herufi kwa ajili ya
sauti na jina la herufi sauti na marudio
jina la herufi d kwa kutumia • Kadi za maneno
muongozo ufuatao • Andika neno [duka] ubaoni
• Mwanafunzi aweze kufanya • Kadi za sentensi
mazoezi ya kusoma kwa • Hadithi au Nyimbo
kutumia kadi za herufi, maneno • Kitini cha mazoezi kwa
na sentensi mwanafunzi
• Mwanafunzi aweze kusoma
sentensi rahisi
• Mwanafunzi aweze kujibu
maswali ya ufahamu

Muongozo wa kufundisha utambuzi wa sauti (Dakika 5)

Marudio:
• Rudia sauti zilizofundishwa katika wiki hiyo: /f/, /b/,/j/, /p/, /e/
• Waulize wanafunzi sauti ipi wanayoisikia mwanzoni mwa kila neno
lililofundishwa katika somo lililopita (Usiandike Maneno). [fisi, fua, bata,
baba, jua, jiko, pete, ema]

Fundisha sauti d kwa kutumia muongozo ufuatao:

Ujuzi Mwalimu Mwalimu na Mazoezi ya


“Ninatenda” Mwanafunzi mwanafuzi
“tunatenda” “unatenda”
Rudia sauti zote na
maneno

222 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


Utambuzi Sauti mwanzo ya Sasa, tuseme sauti Mwalimu aulize: Ni
wa neno [duka] ni? ya mwanzo neno sauti gani ya mwanzo
Sauti /d/ Sikiliza, /d/ [duka] mnayoisikia kwenye
Kilammoja, sauti neno [duka, dudu]?
ya mwanzo ya • Mistari mitatu
neno [duka] ni /d/ ya nyuma,
(USIANDIKE) Onesha ishara kwa sauti ipi?
mkono kuashiria Wanafunzi watasema:
wanafunzi • Mistari mitatu
Sasa, sauti ya wajibu pamoja ya mbele, sauti
mwanzo ya neno nawe (Haya sote ipi?
[dudu] ni? /d/ tuseme) /d/ Wanafunzi watasema:
Sikiliza, /d/ • Wasichana
Sasa, fundisha nyote, sauti
sauti ya mwanzo ipi?
ya neno [dudu] Wanafunzi watasema:
kama ulivyofanya • Wavulana
kwa [duka] nyote, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:
• Upande wangu
wa kulia, sauti
ipi? (mwalimu
aelekeze mkono
upande wa
kulia)
Wanafunzi watasema:
• Upande wangu
wa kushoto,
sauti ipi?
(mwalimu
aelekeze mkono
upande wa
kushoto)
Wanafunzi watasema:
• Nyote kwa
pamoja, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 223


Mazoezi ya utambuzi wa sauti
Mchezo wa sauti:
• Waambie wanafunzi wainamishe vichwa vyao juu ya deski wakati wa
mchezo huu wa sauti.
• Waambie wanafunzi waoneshe dole gumba juu wanaposikia sauti /d/
na dole gumba chini wasipoisikia sauti hiyo mwanzoni mwa maneno
yafuatayo: (USIYAANDIKE) [faa,deni, jadi, tufe, duka, taka, daji, petu,
dudu, bata, dabo]
Maana yake “Ndiyo” Maana yake “hapana”
• Ita mwanafunzi mmoja mmoja aseme neno linaloanza na sauti /d/.
• Sahihisha makosa

Maelekezo ya kufundisha utambuzi wa sauti ya herufi (Dakika 3-4)

Marudio:
• Rudia herufi ulizofundisha: b, j, f, p, e, d
• Andika herufi ubaoni au tumia kadi za herufi. Waambie: TIZAMA
MAANDISHI.
• Waoneshe wanafunzi kadi ya herufi d kisha waulize hiyo ni herufi gani
• Fanya hivyo kwa herufi zilizosalia
• Waulize wanafunzi kadhaa kuhakikisha kila mmoja amefahamu majina ya
herufi.

Fundisha majina ya herufi d kutumia muongozo ufuatao


Msingi wa Mwalimu: Mwalimu na Mwanafunzi
kialfabeti “Ninatenda” mwanafunzi: “Unatenda”
TIZAMA “Tunatenda”
Uhusiano wa MAANDISHI. Sasa zamu yenu.
Sauti na herufi TIZAMA Darasa hii ni herufi?
Hii ni herufi MAANDISHI. (Onesha herufi d)
(ANDIKA) d. Onesha Sasa, kila mmoja: • Mistari mitatu
wanafunzi Hii ni herufi ya nyuma,
herufi d. Herufi d d. (Onesha sauti ipi?
inaunda sauti /d/. wanafunzi Wanafunzi watasema:
herufi d) Herufi • Mistari mitatu
d inaunda sauti ya mbele,
gani, sote kwa sauti ipi?
pamoja? Wanafunzi watasema:

224 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


Onesha ishara • Wasichana
kwa mkono nyote, sauti
kuashiria ipi? Wanafunzi
wanafunzi wajibu watasema:
pamoja nawe. • Wavulana
(sote tuseme) /d/ nyote, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:
• Upande
wangu wa
kulia, sauti
ipi? (mwalimu
aelekeze
mkono upande
wa kulia)
Wanafunzi watasema:
• Upande
wangu wa
kushoto, sauti
ipi? (mwalimu
aelekeze
mkono upande
wa kushoto)
Wanafunzi watasema:
• Nyote kwa
pamoja, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:

 Mazoezi ya sauti ya herufi na ufasaha (4-5 dakika): MAZOEZI


• Chukua kadi yenye herufi: d (AU andika herufi hiyo ubaoni).
• Wakumbushe wanafunzi jina la herufi kisha ioneshe herufi hiyo huku
ukiwataka wanyooshe mkono kama wanajua jina la herufi hiyo.
(Tumia sekunde 30 au zaidi kwa kazi hii)
• Tamka sauti ya herufi d
• Waambie wanafunzi wanyooshe mkono ” kama wanaweza kutaja jina la
herufi linalounda sauti hiyo.
• Waulize wanafunzi kama wanaweza kusoma neno kwa kulitamka. Onesha
neno [duka] ubaoni kisha sema “Tizama maandishi”.

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 225


•  aoneshe namna ya kutamka neno (Ninatenda, Tunatenda, Unatenda).
W
/d/ /u/ /k/ /a/
• Unganisha sauti kisha sema neno [duka].
• Waambie wanafunzi wanyooshe mkono kama wanaweza kusema sauti
zilizopo katika neno [duka], kisha watamke neno lote
• Chagua wanafunzi kadhaa kutamka neno hilo.
• Sahihisha makosa.
• Onesha neno kisha tamka sauti zinazounda neno
• Onesha neno kisha waambie wanafunzi walitamke. (Mnatenda).
• Onesha kila herufi kisha tamka pamoja na wanafunzi. Sauti ya mwanzo
katika neno [duka] ni /d/, inayofuata /uuu/, inayofuata /k/, ya mwisho /
aaa/. Neno gani hilo? [duka]. Neno hilo ni [duka].
• Sasa zamu yenu. Ni neno gani? [duka]
• Waambie wanafunzi waandike herufi mpya, silabi na maneno ambayo
yamefundishwa katika kipindi hiki. (Ninatenda, Tunatenda, Unatenda)

Sentensi rahisi:
• Duka la dada ni dogo.
• Nani anauza duka?

Mazoezi ya Kusoma Sentensi


• Waoneshe wanafunzi kila herufi za sauti na utamke [duka la dada ni
dogo].
• Waambie wanafunzi wasome sentensi kwa sauti

Msamiati: (Dakika 4-5)


RUDIA MANENO; [duka, damu, dada, dudu, dau, dadi]

Rejea neno la hakiba:


• Andika neno [duka] ubaoni.
• Wakumbushe wanafunzi kuwa neno hili limekwisha fundishwa. Waambie
walitumie katika sentensi kwa usahihi

Neno jipya [ghafla]:


• Waambie wanafunzi kuwa neno jipya lililotumiwa sana ni ghafla
• Waoneshe kadi ya neno au liandike ubaoni.
• Waambie wanafunzi wasome neno pamoja na wewe.

226 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


Mchezo wa kujenga ufasaha kutumia maneno; [duka, damu, dada, dudu, dau,
dadi]
• Waeleze wanafunzi wanyooshe mkono wanapoona neno wanalolitambua
katika kadi utakayoonesha (au onesha maneno hayo ubaoni)
• Waambie kuwa utaonesha kila kadi (au utaonesha ubaoni) kwa haraka,
kwa hiyo waharakishe kunyoosha mkono pindi wanapoona neno
wanalolitambua
• Chagua mwanafunzi aliyenyoosha mkono asome neno husika.

Ufahamu wa kusikiliza (Dakika 10):


Wasomee hadithi ifuatayo. ANGALIZO: Msamiati na maneno rejea yamekozeshwa
na yamepigiwa mstari.Yaandike maneno ubaoni. Unapofikia msamiati wakati wa
Mwanafunzi aweze kujibu maswali ya ufahamu , tulia kwa muda kisha onesha
msamiati huo ubaoni.

Ufahamu
Baraka na Sofia ni marafiki ni wanafunzi wa darasa la pili katika skuli ya msingi
darajani. Siku moja walipokuwa wakicheza uwanjani, waliliona debe karibu na
uwanja. Baraka alilisogelea lile debe ilia one kilchopo ndani. Alipochungulia
ghafla nyuki wengi walitoka kwenye debe. Baraka na Sofia waliogopa sana

Mazoezi: Waambie wanafunzi watafute maneno yanayoanza na sauti /d/

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 227


Weka alama ya vyema baada ya kufundisha
41.0 Kufundisha herufi D
Wiki ya 9: Siku ya 4

Tarehe: _____________________
Muongozo wa ufundishaji: Tumia
jina la herufi/sauti ya herufi katika
muongozo huu ili kufundisha majina
na sauti za herufi husika Zana:
Malengo: • Kadi za herufi D
• Mwanafunzi aweze kutamka • Kadi za herufi kwa ajili ya
sauti na jina la herufi sauti na marudio
jina la herufi D kwa kutumia • Kadi za maneno
muongozo ufuatao • Andika neno [Duka] ubaoni
• Mwanafunzi aweze kufanya • Kadi za sentensi
mazoezi ya kusoma kwa • Hadithi au Nyimbo
kutumia kadi za herufi, maneno • Kitini cha mazoezi kwa
na sentensi mwanafunzi
• Mwanafunzi aweze kusoma
sentensi rahisi
• Mwanafunzi aweze kujibu
maswali ya ufahamu

Muongozo wa kufundisha utambuzi wa sauti (Dakika 5)

Marudio:
• Rudia sauti zilizofundishwa katika wiki hiyo: /f/, /b/,/j/, /p/, /e/
• Waulize wanafunzi sauti ipi wanayoisikia mwanzoni mwa kila neno
lililofundishwa katika somo lililopita (Usiandike Maneno). [Fisi, Fua, Bata,
Baba, Jua, Jiko, Pete, Ema]

Fundisha sauti D kwa kutumia muongozo ufuatao:

Ujuzi Mwalimu Mwalimu na Mazoezi ya


“Ninatenda” Mwanafunzi mwanafuzi
“tunatenda” “unatenda”
Rudia sauti zote na
maneno

228 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


Utambuzi Sauti mwanzo Sasa, tuseme sauti Mwalimu aulize: Ni
wa ya neno [Duka] ya mwanzo neno sauti gani ya mwanzo
Sauti ni? /d/ Sikiliza, [Duka] mnayoisikia kwenye
/d/ Kilammoja, sauti ya neno [Duka, Dudu]?
mwanzo ya neno • Mistari mitatu
[Duka] ni /d/ ya nyuma,
(USIANDIKE) Onesha ishara kwa sauti ipi?
mkono kuashiria Wanafunzi watasema:
wanafunzi wajibu • Mistari mitatu
pamoja nawe (Haya ya mbele, sauti
Sasa, sauti ya sote tuseme) /d/ ipi?
mwanzo ya Wanafunzi watasema:
neno [Dudu] ni? Sasa, fundisha • Wasichana
/d/ Sikiliza, /d/ sauti ya mwanzo ya nyote, sauti
neno [Dudu] kama ipi?
ulivyofanya kwa Wanafunzi watasema:
[Duka] • Wavulana
nyote, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:
• Upande
wangu wa
kulia, sauti
ipi? (mwalimu
aelekeze mkono
upande wa
kulia)
Wanafunzi watasema:
• Upande
wangu wa
kushoto, sauti
ipi? (mwalimu
aelekeze mkono
upande wa
kushoto)
Wanafunzi watasema:

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 229


• Nyote kwa
pamoja, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:

Mazoezi ya utambuzi wa sauti


Mchezo wa sauti:
• Waambie wanafunzi wainamishe vichwa vyao juu ya deski wakati wa
mchezo huu wa sauti.
• Waambie wanafunzi waoneshe dole gumba juu wanaposikia sauti /d/
na dole gumba chini wasipoisikia sauti hiyo mwanzoni mwa maneno
yafuatayo: (USIYAANDIKE) [Faa, Jadi, Tufe, Duka, Taka, Daji, Petu, Dudu,
Bata, Dabo]
Maana yake “Ndiyo” Maana yake “hapana”
• Ita mwanafunzi mmoja mmoja aseme neno linaloanza na sauti /d/.
• Sahihisha makosa

Maelekezo ya kufundisha utambuzi wa sauti ya herufi (Dakika 3-4)


Marudio:
• Rudia herufi ulizofundisha: b, j, f, p, e, d
• Andika herufi ubaoni au tumia kadi za herufi. Waambie: TIZAMA
MAANDISHI.
• Waoneshe wanafunzi kadi ya herufi D kisha waulize hiyo ni herufi gani
• Fanya hivyo kwa herufi zilizosalia
• Waulize wanafunzi kadhaa kuhakikisha kila mmoja amefahamu majina ya
herufi.

Fundisha majina ya herufi D kutumia muongozo ufuatao

Msingi wa Mwalimu: Mwalimu na Mwanafunzi


kialfabeti “Ninatenda” mwanafunzi: “Unatenda”
TIZAMA “Tunatenda”
Uhusiano wa MAANDISHI. Sasa zamu yenu.
Sauti na herufi TIZAMA Darasa hii ni herufi?
MAANDISHI. (Onesha herufi D)

230 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


(ANDIKA) Hii ni herufi D. Sasa, kila mmoja: • Mistari
Onesha wanafunzi Hii ni herufi mitatu ya
herufi D. Herufi D D. (Onesha nyuma, sauti
inaunda sauti /d/. wanafunzi herufi ipi?
D) Herufi D Wanafunzi watasema:
inaunda sauti • Mistari
gani, sote kwa mitatu ya
pamoja? mbele, sauti
Onesha ishara ipi?
kwa mkono Wanafunzi watasema:
kuashiria • Wasichana
wanafunzi nyote,
wajibu pamoja sauti ipi?
nawe. (sote Wanafunzi
tuseme) /d/ watasema:
• Wavulana
nyote, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:
• Upande
wangu wa
kulia, sauti
ipi? (mwalimu
aelekeze
mkono
upande wa
kulia)
Wanafunzi watasema:
• Upande
wangu wa
kushoto,
sauti ipi?
(mwalimu
aelekeze
mkono
upande wa
kushoto)
Wanafunzi watasema:

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 231


• Nyote kwa
pamoja, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:

Mazoezi ya sauti ya herufi na ufasaha (4-5 dakika): MAZOEZI


• Chukua kadi yenye herufi: D (AU andika herufi hiyo ubaoni).
• Wakumbushe wanafunzi jina la herufi kisha ioneshe herufi hiyo huku
ukiwataka wanyooshe mkono kama wanajua jina la herufi hiyo.
(Tumia sekunde 30 au zaidi kwa kazi hii)
• Tamka sauti ya herufi D
• Waambie wanafunzi wanyooshe mkono ” kama wanaweza kutaja jina
la herufi linalounda sauti hiyo.
• Waulize wanafunzi kama wanaweza kusoma neno kwa kulitamka.
Onesha neno [Duka] ubaoni kisha sema “Tizama maandishi”.
• Waoneshe namna ya kutamka neno (Ninatenda, Tunatenda,
Unatenda). /d/ /u/ /k/ /a/
• Unganisha sauti kisha sema neno [Duka].
• Waambie wanafunzi wanyooshe mkono kama wanaweza kusema sauti
zilizopo katika neno [Duka], kisha watamke neno lote
• Chagua wanafunzi kadhaa kutamka neno hilo.
• Sahihisha makosa.
• Onesha neno kisha tamka sauti zinazounda neno
• Onesha neno kisha waambie wanafunzi walitamke. (Mnatenda).
• Onesha kila herufi kisha tamka pamoja na wanafunzi. Sauti ya mwanzo
katika neno [Duka] ni /d/, inayofuata /uuu/, inayofuata /k/, ya mwisho /
aaa/. Neno gani hilo? [Duka]. Neno hilo ni [Duka].
• Sasa zamu yenu. Ni neno gani? [Duka]
• Waambie wanafunzi waandike herufi mpya, silabi na maneno ambayo
yamefundishwa katika kipindi hiki. (Ninatenda, Tunatenda, Unatenda)

Sentensi rahisi:
• Duka la dada ni dogo.
• Nani anauza duka?
Mazoezi ya Kusoma Sentensi
• Waoneshe wanafunzi kila herufi za sauti na utamke [Duka la dada ni
dogo].
232 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza
• Waambie wanafunzi wasome sentensi kwa sauti

Msamiati: (Dakika 4-5)


RUDIA MANENO; [Duka, Damu, Dada, Dudu, Dau, Dadi]

Rejea neno la hakiba:


• Andika neno [Duka] ubaoni.
• Wakumbushe wanafunzi kuwa neno hili limekwisha fundishwa.
Waambie walitumie katika sentensi kwa usahihi

Neno jipya [ghafla]:


• Waambie wanafunzi kuwa neno jipya lililotumiwa sana ni ghafla
• Waoneshe kadi ya neno au liandike ubaoni.
• Waambie wanafunzi wasome neno pamoja na wewe.

Mchezo wa kujenga ufasaha kutumia maneno; [Duka, Damu, Dada, Dudu,


Dau, Dadi]
• Waeleze wanafunzi wanyooshe mkono wanapoona neno
wanalolitambua katika kadi utakayoonesha (au onesha maneno hayo
ubaoni)
• Waambie kuwa utaonesha kila kadi (au utaonesha ubaoni) kwa haraka,
kwa hiyo waharakishe kunyoosha mkono pindi wanapoona neno
wanalolitambua
• Chagua mwanafunzi aliyenyoosha mkono asome neno husika.

Ufahamu wa kusikiliza (Dakika 10):


Wasomee hadithi ifuatayo. ANGALIZO: Msamiati na maneno rejea yamekozeshwa
na yamepigiwa mstari.Yaandike maneno ubaoni. Unapofikia msamiati wakati wa
Mwanafunzi aweze kujibu maswali ya ufahamu , tulia kwa muda kisha onesha
msamiati huo ubaoni.

Ufahamu
Baraka na Sofia ni marafiki ni wanafunzi wa darasa la pili katika skuli ya msingi
darajani. Siku moja walipokuwa wakicheza uwanjani, waliliona debe karibu na
uwanja. Baraka alilisogelea lile debe ilia one kilchopo ndani. Alipochungulia
ghafla nyuki wengi walitoka kwenye debe. Baraka na Sofia waliogopa sana.

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 233


Maswali ya Ufahamu.
• Baraka na Sofia waliona nini uwanjani?
• Kwa nini Baraka na Sofia waliogopa sana?
• Kwa nini watoto wanakatazwa kuchezea vitu vilivyotupwa?

Mazoezi:
Waambie wanafunzi watafute maneno yanayoanza na sauti /d/

Weka alama ya vyema baada ya kufundisha


42.0 Marudio (herufi kubwa na ndogo)
Wiki ya 9: Siku ya 5

Tarehe: _____________________
Muongozo wa ufundishaji: Tumia
Zana:
jina la herufi/sauti ya herufi katika
• Kadi za herufi fF, dD
muongozo huu ili kufundisha herufi na
• Kadi za herufi kwa ajili ya
sauti za herufi husika
marudio
• Kadi za maneno
Malengo:
• Andika neno [fuma] ubaoni
• Rudia sauti ya herufi na jina la
• Kadi za sentensi
fF, dD Kutumia maelekezo ya
• Hadithi au Nyimbo
hapo chini
• Kitini cha mazoezi kwa
• Fanya mazoezi kwa kutumia
wanafunzi
kadi za herufi
• Soma sentensi zilizorahisi
• Soma hadithi

Muongozo wa kufundisha Utambuzi wa Sauti (Dakika 5)


 Marudio:
• Rudia sauti zilizofundishwa katika wiki hiyo: /f/, /d/
• Waulize wanafunzi sauti ipi wanayoisikia mwanzoni mwa kila neno
lililofundishwa katika somo lililopita (Usiandike Maneno).

234 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


Rudia sauti kwa kutumia muongozo ufuatao.

Ujuzi Mwalimu Mwalimu na Mazoezi ya


“Ninatenda” mwanafunzi mwanafunzi
Utambuzi wa “Tunatenda” “Unatenda”
Sauti Mwalimu Rudia sauti zote za
aongoze maneno Mwalimu anasema:
kutambua sauti Ni sauti ipi ya
za mwanzo za Sasa, Tuseme mwanzo mnayosikia
(USIANDIKE) maneno tofauti sauti ya mwanzo (Rejea maneno ya
kutoka masomo kutoka katika masomo yaliyopita)
yaliyotangulia. maneno tofauti • Mistari
tuliyojifunza somo mitatu ya
lililopita. nyuma, ni
sauti ipi?
Wanafunzi watasema:
• Mistari
mitatu ya
mbele, ni
sauti ipi?
Wanafunzi watasema:
• Wasichana
nyote, ni
sauti ipi?
Wanafunzi watasema:
• Wavulana
nyote, ni
sauti ipi?
Wanafunzi watasema:
• Upande
wangu wa
kulia, sauti
ipi? (Mwalimu
aelekeze
mkono
upande wa
kulia)
Wanafunzi watasema

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 235


• Upande
wangu wa
kushoto,
sauti ipi?
(Mwalimu
aelekeze
mkono wa
kushoto)
Wanafunzi watasema:
• Nyote kwa
pamoja, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:

Mazoezi ya Utambuzi wa Sauti

Mchezo wa Sauti:
• Waambie wanafunzi wasimame wanaposikia sauti ya mwanzo ya maneno
waliyojifunza (USIYAANDIKE)
• Sahihisha makosa

Maelekezo ya kufundisha utambuzi wa sauti ya herufi (Dakika 3-4)

Marudio:
• Rudia herufi ulizofundishwa ambazo ni fF, dD
• Andika herufi ubaoni au tumia kadi za herufi. Waambie: TIZAMA
MAANDISHI.
• Waulize wanafunzi ni herufi gani na waioneshe fF,dD
• Waulize wanafunzi kadhaa kuhakikisha kila mmoja amefahamu majina ya
herufi.

236 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


Rudia majina ya herufi fF, dD kwa kutumia muongozo ufuatao.

Msingi wa Mwalimu: Mwalimu na Mwanafunzi:


kialfabeti “Ninatenda” mwanafunzi: “Unatenda”
“Tunatenda”
Uhusiano wa TIZAMA Mwalimu wagawie
Sauti na herufi MAANDISHI. TIZAMA wanafunzi kadi
Hii ni herufi MAANDISHI. za maneno katika
(ANDIKA) fF Onesha Kila mmoja: Hii ni makundi na
wanafunzi fF. sauti fF. (Onesha waambie wachague
Herufi fF inatoa wanafunzi fF) Sauti herufi zinaashiria
sauti /fff/. fF inatoa sauti gani, sauti zilizotamkwa
kila mmoja?
Hii ni herufi Nyoosha mkono
dD. (Onesha kuashiria wanafunzi
wanafunzi dD). wajibu pamoja na
Herufi sS inatoa wewe. (darasa zima)
sauti /d/. /fff/

Sasa Kila mmoja:


Hii ni herufi dD.
(Onesha wanafunzi
herufi dD). Herufi
dD inaunda sauti
gani, kila mmoja?
Nyoosha mkono
kuashiria wanafunzi
wajibu pamoja
na wewe. (Darasa
zima) /d/

 Mazoezi ya Sauti ya herufi na Ufasaha (Dakika 4-5): MAZOEZI


• Chukua kadi zenye herufi fF, dD (AU andika herufi hizo ubaoni).
• Wakumbushe wanafunzi jina la kila herufi kisha onesha moja baada ya
nyingine huku ukiwataka wanyooshe mkono kama wanajua majina ya
herufi hizo.
(Tumia sekunde 30 au zinazokaribiana kwa zoezi hili)
• Sema sauti ya herufi fF
• Waambie wanafunzi wanyooshe mkono kama wanaweza kusema jina la
herufi linalounda sauti hiyo. Fanya hivyo kwa dD

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 237


•  aulize wanafunzi kama wanaweza kusoma neno kwa kulitamka.
W
Onesha neno; [fisi, duka] kwenye ubao na useme “Tizama Maandishi”.
• Waoneshe namna ya kutamka neno (Ninatenda, Tunatenda, Unatenda)
• /f/ /i/ /s/ /i/
• Unganisha sauti kisha sema neno [fisi].
• Waambie wanafunzi wanyooshe mkono kama wanaweza kusema sauti
zilizomo katika neno [fisi] na kisha watamke neno lote
• Chagua wanafunzi kadhaa kutamka neno hilo.
• Sahihisha makosa.
• Onesha neno kisha tamka sauti zinazounda neno
• Onesha neno kisha waambie wanafunzi walitamke. [Mnatenda].
• Onesha kila herufi kasha tamka pamoja na wanafunzi. auti ya mwanzo
katika neno [fisi] ni /f/, inayofuata /iii/, inayofuata /s/, ya mwisho /iii/. Ni
neno gani hilo? [fisi]. Neno hilo ni [fisi].
• Sasa zamu yenu. Neno gani? [fisi]
• Waambie wanafunzi waandike herufi mpya, silabi na maneno ambayo
yamefundishwa katika kipindi hicho (Ninatenda, Tunatenda, Unatenda)

Mchezo wa kujenga ufasaha kutumia maneno [fuma, futa, fisi, duka, dudu,
dada]
• Waeleze wanafunzi wanyooshe mkono wanpoona neno wanalolitambua
katika kadi utakayoonyesha (au onesha maneno hayo ubaoni).
• Waambie kuwa utaonesha kila kadi (au utaonesha ubaoni) kwa haraka,
kwa hiyo waharakishe kunyoosha mkono pindi wanapoona neno
wanalolitambua
• Chagua mwanafunzi aliyenyoosha mkono asome neno husika.

Msamiati: (Dakika 4-5)


Rudia maneno [[fuma, futa, fisi, duka, dudu, dada]

Ufahamu wa Kusikiliza (Dakika 10):


Wasomee hadithi ifuatayo. ANGALIZO: Msamiati na maneno rejea yamekozeshwa
na yamepigiwa mstari.Yaandike maneno ubaoni. Unapofikia msamiati wakati wa
Mwanafunzi aweze kujibu maswali ya ufahamu , tulia kwa muda kisha onesha
msamiati huo ubaoni.

Hadithi ya Kusoma kwa Sauti [Hadithi kutoka kwenye kitabu]


• Andika hadithi kutoka kwenye kitabu ubaoni.

238 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


• Andika jina la mwandishi wa hadithi ubaoni
• Andika jina la msanifu wa michoro ubaoni.
Rejea neno la hakiba:
• Andika neno [fisi] ubaoni.
• Wakumbushe wanafunzi kuwa neno hili limekwisha fundishwa. Waambie
walitumie katika sentensi kwa usahihi

Weka alama ya vyema baada ya kufundisha


43.0 Kufundisha sauti n
Wiki ya 10: Siku ya 1

Tarehe: _____________________
Muongozo wa ufundishaji: Tumia
jina la herufi/sauti ya herufi katika
muongozo huu ili kufundisha majina
na sauti za herufi husika Zana:
Malengo: • Kadi za herufi n
• Mwanafunzi aweze kutamka • Kadi za herufi kwa ajili ya
sauti na jina la herufi sauti na marudio
jina la herufi n kwa kutumia • Kadi za maneno
muongozo ufuatao • Andika neno [nepi] ubaoni
• Mwanafunzi aweze kufanya • Kadi za sentensi
mazoezi ya kusoma kwa • Hadithi au Nyimbo
kutumia kadi za herufi, maneno • Kitini cha mazoezi kwa
na sentensi mwanafunzi
• Mwanafunzi aweze kusoma
sentensi rahisi
• Mwanafunzi aweze kujibu
maswali ya ufahamu

Muongozo wa kufundisha utambuzi wa sauti (Dakika 5)

Marudio:
• Rudia sauti zilizofundishwa katika wiki hiyo: /f/,/d/,/j/, /a/
• Waulize wanafunzi sauti ipi wanayoisikia mwanzoni mwa kila neno
lililofundishwa katika somo lililopita (Usiandike Maneno). [futa, foka,
dada, debe, jua, jiko, ana]

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 239


Fundisha sauti n kwa kutumia muongozo ufuatao:

Ujuzi Mwalimu Mwalimu na Mazoezi ya


“Ninatenda” Mwanafunzi mwanafuzi
“tunatenda” “unatenda”
Rudia sauti zote na
maneno
Utambuzi wa Sauti mwanzo Sasa, tuseme sauti Mwalimu aulize: Ni
Sauti ya neno [nepi] ya mwanzo neno sauti gani ya mwanzo
ni? /n/ Sikiliza, [nepi] mnayoisikia katika
/n/ Kilammoja, sauti ya neno [nepi, nane]?
mwanzo ya neno • Mistari mitatu
(USIANDIKE) Sasa, sauti ya [nepi] ni /n/ ya nyuma,
mwanzo ya Onesha ishara kwa sauti ipi?
neno [nane] ni? mkono kuashiria Wanafunzi watasema:
/n/ Sikiliza, /n/ wanafunzi wajibu • Mistari mitatu
pamoja nawe (Sote ya mbele,
tuseme) /n/ sauti ipi?
Wanafunzi watasema:
Sasa, fundisha • Wasichana
sauti za mwanzo za nyote, sauti
neno [nane] kama ipi?
ulivyofanya kwa Wanafunzi watasema:
[nepi] • Wavulana
nyote, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:
• Upande
wangu wa
kulia, sauti
ipi? (mwalimu
aelekeze mkono
upande wa
kulia)
Wanafunzi watasema:
• Upande
wangu wa
kushoto, sauti
ipi?
(mwalimu aelekeze
mkono upande
wa kushoto)

240 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


Wanafunzi watasema:
• Nyote kwa
pamoja, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:

Mazoezi ya utambuzi wa sauti


Mchezo wa sauti:
• Waambie wanafunzi wainamishe vichwa vyao juu ya deski wakati wa
mchezo huu wa sauti.
• Waambie wanafunzi waoneshe dole gumba juu wanaposikia sauti /n/
na dole gumba chini wasipoisikia sauti hiyo mwanzoni mwa maneno
yafuatayo: (USIYAANDIKE) [kaa, nene, kama, nona, nane, amka, nepi,
aka, noti, amaka]
Maana yake “Ndiyo” Maana yake “hapana”
• Ita mwanafunzi mmoja mmoja aseme neno linaloanza na sauti /n/.
• Sahihisha makosa

Maelekezo ya kufundisha utambuzi wa sauti ya herufi (Dakika 3-4)

Marudio:
• Rudia herufi zilizokwisha fundishwa: f, d, j, a
• Andika herufi ubaoni au tumia kadi za herufi. Waambie: TIZAMA
MAANDISHI.
• Waoneshe wanafunzi kadi ya herufi n kisha waulize hiyo ni herufi gani
• Fanya hivyo kwa herufi d, j, f
• Waulize wanafunzi kadhaa kuhakikisha kila mmoja amefahamu majina ya
herufi.

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 241


Fundisha majina ya herufi n kutumia muongozo ufuatao.

Msingi wa Mwalimu: Mwalimu na Mwanafunzi


kialfabeti “Ninatenda” mwanafunzi: “Unatenda”
TIZAMA “Tunatenda”
Uhusiano wa MAANDISHI. Sasa zamu yenu. Darasa
Sauti na herufi TIZAMA hii ni herufi? (Onesha
Hii ni herufi MAANDISHI. herufi n)
(ANDIKA) n. Onesha Sasa, kila mmoja: • Mistari mitatu
wanafunzi Hii ni herufi ya nyuma,
herufi n. Herufi n. (Onesha sauti ipi?
n inaunda sauti wanafunzi herufi Wanafunzi watasema:
/n/. n) Herufi n • Mistari mitatu
inaunda sauti gani, ya mbele, sauti
sote kwa pamoja? ipi?
Onesha ishara kwa Wanafunzi watasema:
mkono kuashiria • Wasichana
wanafunzi wajibu nyote, sauti ipi?
pamoja nawe. Wanafunzi watasema:
(sote tuseme) /n/ • Wavulana
nyote, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:
• Upande wangu
wa kulia, sauti
ipi? (mwalimu
aelekeze mkono
upande wa
kulia)
Wanafunzi watasema:
• Upande wangu
wa kushoto,
sauti ipi?
(mwalimu
aelekeze mkono
upande wa
kushoto)
Wanafunzi watasema:
• Nyote kwa
pamoja, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:

242 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


 Mazoezi ya sauti ya herufi na ufasaha (4-5 dakika): MAZOEZI
• Chukua kadi yenye herufi: n (AU andika herufi hiyo ubaoni).
• Wakumbushe wanafunzi jina la herufi kisha ioneshe huku ukiwataka
wanyooshe mkono kama wanajua jina la herufi hiyo.
(Tumia sekunde 30 au zaidi kwa kazi hii)
• Tamka sauti ya herufi n
• Waambie wanafunzi wanyooshe mkono ” kama wanaweza kutaja jina la
herufi linalounda sauti hiyo.
• Waulize wanafunzi kama wanaweza kusoma neno kwa kulitamka.
Onesha neno [nepi] ubaoni kisha sema “Tizama maandishi”.
• Waoneshe namna ya kutamka neno (Ninatenda, Tunatenda,
Unatenda). /n/ /e//p/ /i/.
• Unganisha sauti kisha sema neno [nepi].
• Waambie wanafunzi wanyooshe mkono kama wanaweza kusema sauti
zilizopo katika neno [nepi], kisha watamke neno lote.
• Chagua wanafunzi kadhaa kutamka neno hilo.
• Sahihisha makosa.
• Onesha neno kisha tamka sauti zinazounda neno.
• Onesha neno kisha waambie wanafunzi walitamke. (Mnatenda).
• Onesha kila herufi kisha tamka pamoja na wanafunzi. Sauti ya mwanzo
katika neno [nepi] ni /n/, inayofuata /eee/, inayofuta /p/, ya mwisho /iii/.
Neno gani hilo? [nepi]. Neno hilo ni [nepi].
• Sasa zamu yenu. Ni neno gani? [nepi]
• Waambie wanafunzi waandike herufi mpya, silabi na maneno ambayo
yamefundishwa katika kipindi hiki. (Ninatenda, Tunatenda, Unatenda)

Sentensi rahisi:
Mama anafua nepi

Mazoezi ya Kusoma Sentensi:


• Waoneshe wanafunzi kila herufi za sauti na utamke [Mama anafua
nepi].
• Waambie wanafunzi wasome sentensi kwa sauti

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 243


Msamiati: (Dakika 4-5)
RUDIA MANENO; [nepi, nona, nane]

Rejea neno la hakiba:


• Andika neno [nepi] ubaoni.
• Wakumbushe wanafunzi kuwa neno hili limekwisha fundishwa.
Waambie walitumie katika sentensi kwa usahihi

Neno jipya [anafuga]:


• Waambie wanafunzi kuwa neno jipya lililotumiwa sana ni [anafuga]
• Waoneshe kadi ya neno au liandike ubaoni.
• Waambie wanafunzi wasome neno pamoja na wewe.

Mchezo wa kujenga ufasaha kutumia maneno; [nene, nona, nane, noti, nepi]
• Waeleze wanafunzi wanyooshe mkono wanapoona neno
wanalolitambua katika kadi utakayoonesha (au onesha maneno hayo
ubaoni)
• Waambie kuwa utaonesha kila kadi (au utaonesha ubaoni) kwa haraka,
kwa hiyo waharakishe kunyoosha mkono pindi wanapoona neno
wanalolitambua
• Chagua mwanafunzi aliyenyoosha mkono asome neno husika.

Ufahamu wa kusikiliza (Dakika 10):


Wasomee hadithi ifuatayo. ANGALIZO: Msamiati na maneno rejea yamekozeshwa
na yamepigiwa mstari.
Yaandike maneno ubaoni. Unapofikia msamiati wa Mwanafunzi aweze kujibu
maswali ya ufahamu , tulia kwa muda na onesha msamiati huo ubaoni.

Ufahamu
Mtoto wetu amevaa nepi.
Nepi hiyo ina maua mazuri.
Mama amenunua nepi nyingi.

Maswali ya ufahamu
• Mtoto wetu amevaa nini?
• Kwa nini nepi in maua?
• Kwa nini watoto huvaa nepi?

244 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


Mazoezi:
Waambie wanafunzi watafute maneno yanayoanza na sauti /n/

Weka alama ya vyema baada ya kufundisha


44.0 Kufundisha sauti N
Wiki ya 10: Siku ya 2

Tarehe: _____________________
Muongozo wa ufundishaji: Tumia
jina la herufi/sauti ya herufi katika
muongozo huu ili kufundisha majina
na sauti za herufi husika Zana:
Malengo: • Kadi za herufi N
• Mwanafunzi aweze kutamka • Kadi za herufi kwa ajili ya
sauti na jina la herufi sauti na marudio
jina la herufi N kwa kutumia • Kadi za maneno
muongozo ufuatao • Andika neno [Nepi] ubaoni
• Mwanafunzi aweze kufanya • Kadi za sentensi
mazoezi ya kusoma kwa • Hadithi au Nyimbo
kutumia kadi za herufi, maneno • Kitini cha mazoezi kwa
na sentensi mwanafunzi
• Mwanafunzi aweze kusoma
sentensi rahisi
• Mwanafunzi aweze kujibu
maswali ya ufahamu

Muongozo wa kufundisha utambuzi wa sauti (Dakika 5)


Marudio:
• Rudia sauti zilizofundishwa katika wiki hiyo: /f/,/d/,/j/, /a/
• Waulize wanafunzi sauti ipi wanayoisikia mwanzoni mwa kila neno
lililofundishwa katika somo lililopita (Usiandike Maneno). [futa, foka,
dada, debe, jua, jiko, ana]

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 245


Fundisha sauti nN kwa kutumia muongozo ufuatao:

Ujuzi Mwalimu Mwalimu na Mazoezi ya


“Ninatenda” Mwanafunzi mwanafuzi
Utambuzi wa “tunatenda” “unatenda”
Sauti Sauti mwanzo Rudia sauti zote na
ya neno [Nepi] maneno Mwalimu aulize: Ni
ni? /n/ Sikiliza, sauti gani ya mwanzo
/n/ Sasa, tuseme sauti mnayoisikia katika
(USIANDIKE) ya mwanzo neno neno [nepi, nane]?
Sasa, sauti ya [Nepi] • Mistari
mwanzo ya Kilammoja, sauti mitatu ya
neno [Nane] ya mwanzo ya nyuma, sauti
ni? /n/ Sikiliza, neno [Nepi] ni /n/ ipi?
/n/ Onesha ishara kwa Wanafunzi watasema:
mkono kuashiria • Mistari
wanafunzi wajibu mitatu ya
pamoja nawe mbele, sauti
(Sote tuseme) /n/ ipi?
Wanafunzi watasema:
Sasa, fundisha • Wasichana
sauti za mwanzo nyote, sauti
za neno [Nane] ipi?
kama ulivyofanya Wanafunzi watasema:
kwa [Nepi] • Wavulana
nyote, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:
• Upande
wangu wa
kulia, sauti
ipi? (mwalimu
aelekeze
mkono
upande wa
kulia)

Wanafunzi watasema:
• Upande
wangu wa
kushoto,
sauti ipi?

246 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


(mwalimu aelekeze
mkono
upande wa
kushoto)
Wanafunzi watasema:
• Nyote kwa
pamoja,
sauti ipi?
Wanafunzi watasema:

Mazoezi ya utambuzi wa sauti

Mchezo wa sauti:
• Waambie wanafunzi wainamishe vichwa vyao juu ya deski wakati wa
mchezo huu wa sauti.
• Waambie wanafunzi waoneshe dole gumba juu wanaposikia sauti /n/
na dole gumba chini wasipoisikia sauti hiyo mwanzoni mwa maneno
yafuatayo: (USIYAANDIKE) [kaa, nene, kama, nona, nane, amka, nepi,
aka, noti, amaka]
Maana yake “Ndiyo” Maana yake “hapana”
• Ita mwanafunzi mmoja mmoja aseme neno linaloanza na sauti /n/.
• Sahihisha makosa

Maelekezo ya kufundisha utambuzi wa sauti ya herufi (Dakika 3-4)

Marudio:
• Rudia herufi zilizokwisha fundishwa: F, D, J, A
• Andika herufi ubaoni au tumia kadi za herufi. Waambie: TIZAMA
MAANDISHI.
• Waoneshe wanafunzi kadi ya herufi F kisha waulize hiyo ni herufi gani
• Fanya hivyo kwa herufi D, J, A
• Waulize wanafunzi kadhaa kuhakikisha kila mmoja amefahamu majina ya
herufi.

Fundisha majina ya herufi nN kutumia muongozo ufuatao.

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 247


Msingi wa Mwalimu: Mwalimu na Mwanafunzi
kialfabeti “Ninatenda” mwanafunzi: “Unatenda”
TIZAMA “Tunatenda” Sasa zamu yenu. Darasa
Uhusiano wa MAANDISHI. hii ni herufi? (Onesha
Sauti na herufi TIZAMA herufi N)
Hii ni herufi MAANDISHI. • Mistari mitatu
(ANDIKA) N. Onesha Sasa, kila mmoja: ya nyuma, sauti
wanafunzi Hii ni herufi ipi?
herufi N. Herufi N. (Onesha Wanafunzi watasema:
N inaunda sauti wanafunzi herufi • Mistari mitatu
/n/. N) Herufi N ya mbele, sauti
inaunda sauti ipi?
gani, sote kwa Wanafunzi watasema:
pamoja? • Wasichana
Onesha ishara nyote, sauti
kwa mkono ipi? Wanafunzi
kuashiria watasema:
wanafunzi wajibu • Wavulana nyote,
pamoja nawe. sauti ipi?
(sote tuseme) /n/ Wanafunzi watasema:
• Upande wangu
wa kulia, sauti
ipi? (mwalimu
aelekeze mkono
upande wa kulia)
Wanafunzi watasema:
• Upande wangu
wa kushoto,
sauti ipi?
(mwalimu
aelekeze mkono
upande wa
kushoto)
Wanafunzi watasema:
• Nyote kwa
pamoja, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:

248 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


 Mazoezi ya sauti ya herufi na ufasaha (4-5 dakika): MAZOEZI
• Chukua kadi yenye herufi: N (AU andika herufi hiyo ubaoni).
• Wakumbushe wanafunzi jina la herufi kisha ioneshe huku ukiwataka
wanyooshe mkono kama wanajua jina la herufi hiyo.
(Tumia sekunde 30 au zaidi kwa kazi hii)
• Tamka sauti ya herufi N
• Waambie wanafunzi wanyooshe mkono ” kama wanaweza kutaja jina la
herufi linalounda sauti hiyo.
• Waulize wanafunzi kama wanaweza kusoma neno kwa kulitamka. Onesha
neno [Nepi] ubaoni kisha sema “Tizama maandishi”.
• Waoneshe namna ya kutamka neno (Ninatenda, Tunatenda, Unatenda).
/N/ /e//p/ /i/.
• Unganisha sauti kisha sema neno [Nepi].
• Waambie wanafunzi wanyooshe mkono kama wanaweza kusema sauti
zilizopo katika neno [Nepi], kisha watamke neno lote.
• Chagua wanafunzi kadhaa kutamka neno hilo.
• Sahihisha makosa.
• Onesha neno kisha tamka sauti zinazounda neno.
• Onesha neno kisha waambie wanafunzi walitamke. (Mnatenda).
• Onesha kila herufi kisha tamka pamoja na wanafunzi. Sauti ya mwanzo
katika neno [Nepi] ni /n/, inayofuata /eee/, inayofuta /p/, ya mwisho /iii/.
Neno gani hilo? [Nepi]. Neno hilo ni [Nepi].
• Sasa zamu yenu. Ni neno gani? [Nepi]
• Waambie wanafunzi waandike herufi mpya, silabi na maneno ambayo
yamefundishwa katika kipindi hiki. (Ninatenda, Tunatenda, Unatenda)

Sentensi rahisi:
Mama anafua nepi

Mazoezi ya Kusoma Sentensi:


• Waoneshe wanafunzi kila herufi za sauti na utamke [Mama anafua nepi].
• Waambie wanafunzi wasome sentensi kwa sauti

Msamiati: (Dakika 4-5)


RUDIA MANENO; [Nepi, Nona, Nane]

Rejea neno la hakiba:


• Andika neno [Nepi] ubaoni.

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 249


•  akumbushe wanafunzi kuwa neno hili limekwisha fundishwa. Waambie
W
walitumie katika sentensi kwa usahihi

Neno jipya [anafuga]:


• Waambie wanafunzi kuwa neno jipya lililotumiwa sana ni [anafuga]
• Waoneshe kadi ya neno au liandike ubaoni.
• Waambie wanafunzi wasome neno pamoja na wewe.

Mchezo wa kujenga ufasaha kutumia maneno; [Nene, Nona, Nane, Noti, Nepi]
• Waeleze wanafunzi wanyooshe mkono wanapoona neno wanalolitambua
katika kadi utakayoonesha (au onesha maneno hayo ubaoni)
• Waambie kuwa utaonesha kila kadi (au utaonesha ubaoni) kwa haraka,
kwa hiyo waharakishe kunyoosha mkono pindi wanapoona neno
wanalolitambua
• Chagua mwanafunzi aliyenyoosha mkono asome neno husika.

Ufahamu wa kusikiliza (Dakika 10):


Wasomee hadithi ifuatayo. ANGALIZO: Msamiati na maneno rejea yamekozeshwa
na yamepigiwa mstari.
Yaandike maneno ubaoni. Unapofikia msamiati wa Mwanafunzi aweze kujibu
maswali ya ufahamu , tulia kwa muda na onesha msamiati huo ubaoni.

Ufahamu
Mtoto wetu amevaa nepi.
Nepi hiyo ina maua mazuri.
Mama amenunua nepi nyingi.

Maswali ya ufahamu
• Mtoto wetu amevaa nini?
• Kwa nini nepi in maua?
• Kwa nini watoto huvaa nepi?

Mazoezi: Waambie wanafunzi watafute maneno yanayoanza na sauti /n/

250 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


Weka alama ya vyema baada ya kufundisha
45.0 Kufundisha herufi l
Wiki ya 10: Siku ya 3

Tarehe: _____________________
Muongozo wa ufundishaji: Tumia
jina la herufi/sauti ya herufi katika
muongozo huu ili kufundisha majina
na sauti za herufi husika Zana:
Malengo: • Kadi za herufi l
• Mwanafunzi aweze kutamka • Kadi za herufi kwa ajili ya
sauti na jina la herufi sauti na marudio
jina la herufi I kwa kutumia • Kadi za maneno
muongozo ufuatao • Andika neno [lima] ubaoni
• Mwanafunzi aweze kufanya • Kadi za sentensi
mazoezi ya kusoma kwa • Hadithi au Nyimbo
kutumia kadi za herufi, maneno • Kitini cha mazoezi kwa
na sentensi mwanafunzi
• Mwanafunzi aweze kusoma
sentensi rahisi
• Mwanafunzi aweze kujibu
maswali ya ufahamu

Muongozo wa kufundisha utambuzi wa sauti (Dakika 5)


Marudio:
• Rudia sauti zilizofundishwa katika wiki hiyo: / n/ /e/ / t/ / p/
• Waulize wanafunzi sauti ipi wanayoisikia mwanzoni mwa kila neno
lililofundishwa katika somo lililopita (Usiandike Maneno). [nane, nepi,
ema, eka, tatu, time, pete, pipi]

Fundisha sauti l kwa kutumia muongozo ufuatao:

Ujuzi Mwalimu Mwalimu na Mazoezi ya mwanafuzi


“Ninatenda” Mwanafunzi “unatenda”
“tunatenda”
Rudia sauti zote na
maneno

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 251


Utambuzi Sauti mwanzo Sasa, tuseme sauti Mwalimu aulize: Ni
wa ya neno ya mwanzo neno sauti gani ya mwanzo
Sauti [lima] ni? /l/ [lima] mnayoisikia katika neno
Sikiliza, /l/ Kilammoja, sauti ya [lima, lita]?
mwanzo ya neno • Mistari mitatu ya
Sasa, sauti ya [lima] ni /l/ nyuma, sauti ipi?
(USIANDIKE) mwanzo ya Onesha ishara kwa Wanafunzi watasema:
neno [lita] ni? mkono kuashiria • Mistari mitatu ya
/l/ Sikiliza, /l/ wanafunzi wajibu mbele, sauti ipi?
pamoja nawe (Sote Wanafunzi watasema:
tuseme) /l/ • Wasichana
nyote, sauti ipi?
Sasa, fundisha Wanafunzi watasema:
sauti za mwanzo za • Wavulana nyote,
neno [lita] kama sauti ipi?
ulivyofanya kwa Wanafunzi watasema:
[lima] • Upande wangu
wa kulia, sauti
ipi? (mwalimu
aelekeze mkono
upande wa kulia)
Wanafunzi watasema:
• Upande wangu
wa kushoto,
sauti ipi?
(mwalimu
aelekeze mkono
upande wa
kushoto)
Wanafunzi watasema:
• Nyote kwa
pamoja, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:

Mazoezi ya utambuzi wa sauti


Mchezo wa sauti:
• Waambie wanafunzi wainamishe vichwa vyao juu ya deski wakati wa
mchezo huu wa sauti.
• Waambie wanafunzi waoneshe dole gumba juu wanaposikia sauti /l/

252 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


na dole gumba chini wasipoisikia sauti hiyo mwanzoni mwa maneno
yafuatayo: (USIYAANDIKE) [ppip, pipa, lima, kaka, lita, lete, babu, lipa]
Maana yake “Ndiyo” Maana yake “hapana”
• Ita mwanafunzi mmoja mmoja aseme neno linaloanza na sauti /l/.
• Sahihisha makosa

Maelekezo ya kufundisha utambuzi wa sauti ya herufi (Dakika 3-4)


Marudio:
• Rudia herufi ulizofundisha: n, e, t, p
• Andika herufi ubaoni au tumia kadi za herufi. Waambie: TIZAMA
MAANDISHI.
• Waoneshe wanafunzi kadi ya herufi p kisha waulize hiyo ni herufi gani
• Fanya hivyo kwa herufi n, e, t
• Waulize wanafunzi kadhaa kuhakikisha kila mmoja amefahamu majina ya
herufi.

Fundisha majina ya herufi l kutumia muongozo ufuatao.


Msingi wa Mwalimu: Mwalimu na Mwanafunzi
kialfabeti “Ninatenda” mwanafunzi: “Unatenda”
TIZAMA “Tunatenda”
Uhusiano wa MAANDISHI. Sasa zamu yenu.
Sauti na herufi TIZAMA Darasa hii ni herufi?
Hii ni herufi MAANDISHI. (Onesha herufi l)
(ANDIKA) l. Onesha Sasa, kila mmoja: Hii • Mistari
wanafunzi ni herufi l. (Onesha mitatu ya
herufi l. Herufi l wanafunzi herufi nyuma, sauti
inaunda sauti /l/. l) Herufi l inaunda ipi?
sauti gani, sote kwa Wanafunzi watasema:
pamoja? • Mistari
Onesha ishara kwa mitatu ya
mkono kuashiria mbele, sauti
wanafunzi wajibu ipi?
pamoja nawe. (sote Wanafunzi watasema:
tuseme) /l/ • Wasichana
nyote,
sauti ipi?
Wanafunzi
watasema:

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 253


• Wavulana
nyote, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:
• Upande
wangu wa
kulia, sauti
ipi? (mwalimu
aelekeze
mkono
upande wa
kulia)
Wanafunzi watasema:
• Upande
wangu wa
kushoto,
sauti ipi?
(mwalimu
aelekeze
mkono
upande wa
kushoto)
Wanafunzi watasema:
• Nyote kwa
pamoja, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:

 Mazoezi ya sauti ya herufi na ufasaha (4-5 dakika): MAZOEZI


• Chukua kadi yenye herufi: l (AU andika herufi hiyo ubaoni).
• Wakumbushe wanafunzi jina la herufi kisha ioneshe huku ukiwataka
wanyooshe mkono kama wanajua jina la herufi hiyo.
(Tumia sekunde 30 au zaidi kwa kazi hii)
• Tamka sauti ya herufi l
• Waambie wanafunzi wanyooshe mkono ” kama wanaweza kutaja jina la
herufi linalounda sauti hiyo.
• Waulize wanafunzi kama wanaweza kusoma neno kwa kulitamka. Onesha
neno [lima] ubaoni kisha sema “Tizama maandishi”.
• Waoneshe namna ya kutamka neno (Ninatenda, Tunatenda, Unatenda).
/l/ /i/ /m/ /a/.
254 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza
• Unganisha sauti kisha sema neno [lima].
• Waambie wanafunzi wanyooshe mkono kama wanaweza kusema sauti
zilizopo katika neno [lima], kisha watamke neno lote.
• Chagua wanafunzi kadhaa kutamka neno hilo.
• Sahihisha makosa.
• Onesha neno kisha tamka sauti zinazounda neno.
• Onesha neno kisha waambie wanafunzi walitamke. (Mnatenda).
• Onesha kila herufi kisha tamka pamoja na wanafunzi. Sauti ya mwanzo
katika neno [lima] ni /l/, inayofuata /iii/, inyafuata /m/ ya mwisho /aaa/.
Neno gani hilo? [lima]. Neno hilo ni [lima].
• Sasa zamu yenu. Ni neno gani? [lima]
• Waambie wanafunzi waandike herufi mpya, silabi na maneno ambayo
yamefundishwa katika kipindi hiki. (Ninatenda, Tunatenda, Unatenda)

Sentensi rahisi:
Kaka analima shamba.

Mazoezi ya Kusoma Sentensi.


• Waoneshe wanafunzi kila herufi za sauti na utamke [Kaka analima
shamba].
• Waambie wanafunzi wasome sentensi kwa sauti

Msamiati: (Dakika 4-5)


RUDIA MANENO; [lima, lipa, lita]

Rejea neno la hakiba:


• Andika neno [lima] ubaoni.
• Wakumbushe wanafunzi kuwa neno hili limekwisha fundishwa. Waambie
walitumie katika sentensi kwa usahihi

Neno jipya [ana]:


• Waambie wanafunzi kuwa neno jipya lililotumiwa sana ni ana
• Waoneshe kadi ya neno au liandike ubaoni.
• Waambie wanafunzi wasome neno pamoja na wewe.

Mchezo wa kujenga ufasaha kutumia maneno; [lima, lita, lete, lipa]


• Waeleze wanafunzi wanyooshe mkono wanapoona neno wanalolitambua
katika kadi utakayoonesha (au onesha maneno hayo ubaoni)

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 255


•  aambie kuwa utaonesha kila kadi (au utaonesha ubaoni) kwa haraka,
W
kwa hiyo waharakishe kunyoosha mkono pindi wanapoona neno
wanalolitambua
• Chagua mwanafunzi aliyenyoosha mkono asome neno husika.

Ufahamu wa kusikiliza (Dakika 10):


Wasomee hadithi ifuatayo. ANGALIZO: Msamiati na maneno rejea yamekozeshwa
na yamepigiwa mstari.
Yaandike maneno ubaoni. Unapofikia msamiati wa Mwanafunzi aweze kujibu
maswali ya ufahamu , tulia kwa muda na onesha msamiati huo ubaoni.

Ufahamu
Juma na Asha wana shamba kubwa. Shambani wamepanda mahindi na mchicha.
Baba yao hupenda sana kwenda shambani kulima. Juma na Asha humsaidia baba
yao aendapo shambani.

Maswali ya ufahamu
• Shambani kwa Juma na Asha wamepanda nini?
• Kwa nini baba yao hupenda sana kwenda shambani?
• Je wewe unapenda kulima?

Mazoezi:
Waambie wanafunzi watafute maneno yanayoanza na sauti /l/

256 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


Weka alama ya vyema baada ya kufundisha
46.0 Kufundisha herufi L
Wiki ya 10: Siku ya 4

Tarehe: _____________________
Muongozo wa ufundishaji: Tumia
jina la herufi/sauti ya herufi katika
muongozo huu ili kufundisha majina
na sauti za herufi husika Zana:
Malengo: • Kadi za herufi L
• Mwanafunzi aweze kutamka • Kadi za herufi kwa ajili ya
sauti na jina la herufi sauti na marudio
jina la herufi L kwa kutumia • Kadi za maneno
muongozo ufuatao • Andika neno [Lima] ubaoni
• Mwanafunzi aweze kufanya • Kadi za sentensi
mazoezi ya kusoma kwa • Hadithi au Nyimbo
kutumia kadi za herufi, maneno • Kitini cha mazoezi kwa
na sentensi mwanafunzi
• Mwanafunzi aweze kusoma
sentensi rahisi
• Mwanafunzi aweze kujibu
maswali ya ufahamu

Muongozo wa kufundisha utambuzi wa sauti (Dakika 5)

Marudio:
• Rudia sauti zilizofundishwa katika wiki hiyo: / n/ /e/ / t/ / p/
• Waulize wanafunzi sauti ipi wanayoisikia mwanzoni mwa kila neno
lililofundishwa katika somo lililopita (Usiandike Maneno). [nane, nepi,
ema, eka, tatu, time, pete, pipi]

Fundisha sauti /l/ kwa kutumia muongozo ufuatao:

Ujuzi Mwalimu Mwalimu na Mazoezi ya mwanafuzi


“Ninatenda” Mwanafunzi “unatenda”
“tunatenda”
Rudia sauti zote na
maneno

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 257


Utambuzi Sauti mwanzo Sasa, tuseme sauti Mwalimu aulize: Ni
wa ya neno [lima] ya mwanzo neno sauti gani ya mwanzo
Sauti ni? /l/ Sikiliza, [lima] mnayoisikia katika neno
/l/ Kilammoja, sauti ya [lima, lita]?
mwanzo ya neno • Mistari mitatu
Sasa, sauti ya [lima] ni /l/ ya nyuma, sauti
(USIANDIKE) mwanzo ya Onesha ishara kwa ipi?
neno [lita] ni? mkono kuashiria Wanafunzi watasema:
/l/ Sikiliza, /l/ wanafunzi wajibu • Mistari mitatu
pamoja nawe (Sote ya mbele, sauti
tuseme) /l/ ipi?
Wanafunzi watasema:
Sasa, fundisha • Wasichana
sauti za mwanzo za nyote, sauti ipi?
neno [lita] kama Wanafunzi watasema:
ulivyofanya kwa • Wavulana nyote,
[lima] sauti ipi?
Wanafunzi watasema:
• Upande wangu
wa kulia, sauti
ipi? (mwalimu
aelekeze mkono
upande wa kulia)
Wanafunzi watasema:
• Upande wangu
wa kushoto,
sauti ipi?
(mwalimu
aelekeze mkono
upande wa
kushoto)
Wanafunzi watasema:
• Nyote kwa
pamoja, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:

258 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


Mazoezi ya utambuzi wa sauti

Mchezo wa sauti:
• Waambie wanafunzi wainamishe vichwa vyao juu ya deski wakati wa
mchezo huu wa sauti.
• Waambie wanafunzi waoneshe dole gumba juu wanaposikia sauti /l/
na dole gumba chini wasipoisikia sauti hiyo mwanzoni mwa maneno
yafuatayo: (USIYAANDIKE) [ppip, pipa, lima, kaka, lita, lete, babu, lipa]
Maana yake “Ndiyo” Maana yake “hapana”
• Ita mwanafunzi mmoja mmoja aseme neno linaloanza na sauti /l/.
• Sahihisha makosa

Maelekezo ya kufundisha utambuzi wa sauti ya herufi (Dakika 3-4)


Marudio:
• Rudia herufi ulizofundisha: N, E, T, P
• Andika herufi ubaoni au tumia kadi za herufi. Waambie: TIZAMA
MAANDISHI.
• Waoneshe wanafunzi kadi ya herufi P kisha waulize hiyo ni herufi gani
• Fanya hivyo kwa herufi N, E, T
• Waulize wanafunzi kadhaa kuhakikisha kila mmoja amefahamu majina ya
herufi.

Fundisha majina ya herufi L kutumia muongozo ufuatao.

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 259


Msingi wa Mwalimu: Mwalimu na Mwanafunzi
kialfabeti “Ninatenda” mwanafunzi: “Unatenda”
TIZAMA “Tunatenda”
Uhusiano MAANDISHI. Sasa zamu yenu. Darasa
wa Sauti na TIZAMA hii ni herufi? (Onesha
herufi Hii ni herufi MAANDISHI. herufi L)
L. Onesha Sasa, kila mmoja: • Mistari mitatu
(ANDIKA) wanafunzi Hii ni herufi ya nyuma,
herufi L. Herufi L L. (Onesha sauti ipi?
inaunda sauti /l/. wanafunzi Wanafunzi watasema:
herufi L) Herufi • Mistari mitatu
L inaunda sauti ya mbele, sauti
gani, sote kwa ipi?
pamoja? Wanafunzi watasema:
Onesha ishara • Wasichana
kwa mkono nyote, sauti
kuashiria ipi? Wanafunzi
wanafunzi wajibu watasema:
pamoja nawe. • Wavulana
(sote tuseme) /l/ nyote, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:
• Upande wangu
wa kulia, sauti
ipi? (mwalimu
aelekeze mkono
upande wa
kulia)
Wanafunzi watasema:
• Upande wangu
wa kushoto,
sauti ipi?
(mwalimu
aelekeze mkono
upande wa
kushoto)
Wanafunzi watasema:
• Nyote kwa
pamoja, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:

260 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


 Mazoezi ya sauti ya herufi na ufasaha (4-5 dakika): MAZOEZI
• Chukua kadi yenye herufi: L (AU andika herufi hiyo ubaoni).
• Wakumbushe wanafunzi jina la herufi kisha ioneshe huku ukiwataka
wanyooshe mkono kama wanajua jina ya herufi hiyo.
(Tumia sekunde 30 au zaidi kwa kazi hii)
• Tamka sauti ya herufi L
• Waambie wanafunzi wanyooshe mkono ” kama wanaweza kutaja jina la
herufi linalounda sauti hiyo.
• Waulize wanafunzi kama wanaweza kusoma neno kwa kulitamka. Onesha
neno [Lima] ubaoni kisha sema “Tizama maandishi”.
• Waoneshe namna ya kutamka neno (Ninatenda, Tunatenda, Unatenda).
/l/ /i/ /m/ /a/.
• Unganisha sauti kisha sema neno [Lima].
• Waambie wanafunzi wanyooshe mkono kama wanaweza kusema sauti
zilizopo katika neno [Lima], kisha watamke neno lote.
• Chagua wanafunzi kadhaa kutamka neno hilo.
• Sahihisha makosa.
• Onesha neno kisha tamka sauti zinazounda neno.
• Onesha neno kisha waambie wanafunzi walitamke. (Mnatenda).
• Onesha kila herufi kisha tamka pamoja na wanafunzi. Sauti ya mwanzo
katika neno [Lima] ni /l/, inayofuata /iii/, inyafuata /m/ ya mwisho /aaa/.
Neno gani hilo? [Lima]. Neno hilo ni [Lima].
• Sasa zamu yenu. Ni neno gani? [Lima]
• Waambie wanafunzi waandike herufi mpya, silabi na maneno ambayo
yamefundishwa katika kipindi hiki. (Ninatenda, Tunatenda, Unatenda)

Sentensi rahisi:
Kaka analima shamba.

Mazoezi ya Kusoma Sentensi.


• Waoneshe wanafunzi kila herufi za sauti na utamke [Kaka analima
shamba].
• Waambie wanafunzi wasome sentensi kwa sauti

Msamiati: (Dakika 4-5)


RUDIA MANENO; [Lima, Lipa, Lita]

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 261


Rejea neno la hakiba:
• Andika neno [Lima] ubaoni.
• Wakumbushe wanafunzi kuwa neno hili limekwisha fundishwa. Waambie
walitumie katika sentensi kwa usahihi

Neno jipya [ana]:


• Waambie wanafunzi kuwa neno jipya lililotumiwa sana ni ana
• Waoneshe kadi ya neno au liandike ubaoni.
• Waambie wanafunzi wasome neno pamoja na wewe.

Mchezo wa kujenga ufasaha kutumia maneno; [lima, lita, lete, lipa]


• Waeleze wanafunzi wanyooshe mkono wanapoona neno wanalolitambua
katika kadi utakayoonesha (au onesha maneno hayo ubaoni)
• Waambie kuwa utaonesha kila kadi (au utaonesha ubaoni) kwa haraka,
kwa hiyo waharakishe kunyoosha mkono pindi wanapoona neno
wanalolitambua
• Chagua mwanafunzi aliyenyoosha mkono asome neno husika.

Ufahamu wa kusikiliza (Dakika 10):


Wasomee hadithi ifuatayo. ANGALIZO: Msamiati na maneno rejea yamekozeshwa
na yamepigiwa mstari.
Yaandike maneno ubaoni. Unapofikia msamiati wa Mwanafunzi aweze kujibu
maswali ya ufahamu , tulia kwa muda na onesha msamiati huo ubaoni.

Ufahamu
Juma na Asha wana shamba kubwa. Shambani wamepanda mahindi na mchicha.
Baba yao hupenda sana kwenda shambani kulima. Juma na Asha humsaidia baba
yao aendapo shambani.

Maswali ya ufahamu
• Shambani kwa Juma na Asha wamepanda nini?
• Kwa nini baba yao hupenda sana kwenda shambani?
• Je wewe unapenda kulima?

Mazoezi:
Waambie wanafunzi watafute maneno yanayoanza na sauti /l/

262 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


Weka alama vyema baada ya kufundisha
47.0 Rudia herufi kubwa na ndogo
Wiki ya 10: Siku ya 5

Tarehe: _____________________
Muongozo wa ufundishaji: Tumia
Zana:
jina la herufi/sauti ya herufi katika
• Kadi za herufi [nN, LI]
muongozo huu ili kufundisha herufi na
• Kadi za herufi kwa ajili ya
sauti za herufi husika
marudio
• Kadi za maneno
Malengo:
• Andika neno [Bata] ubaoni
• Rudia sauti ya herufi na jina la
• Kadi za sentensi
[nN, nN] Kutumia maelekezo ya
• Hadithi au Nyimbo
hapo chini
• Kitini cha mazoezi kwa
• Fanya mazoezi kwa kutumia
wanafunzi
kadi za herufi
• Soma sentensi zilizorahisi
• Soma hadithi

Muongozo wa kufundisha Utambuzi wa Sauti (Dakika 5)


 Marudio:
• Rudia sauti zilizofundishwa katika wiki hiyo: /n/, /l/
• Waulize wanafunzi sauti ipi wanayoisikia mwanzoni mwa kila neno
lililofundishwa katika somo lililopita (Usiandike Maneno).

Rudia sauti kwa kutumia muongozo ufuatao.


Ujuzi Mwalimu Mwalimu na Mazoezi ya
“Ninatenda” mwanafunzi mwanafunzi
“Tunatenda” “Unatenda”
Rudia sauti zote za
maneno Mwalimu anasema:
Ni sauti ipi ya mwanzo
mnayosikia (Rejea
maneno ya masomo
yaliyopita)

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 263


Utambuzi wa Mwalimu Sasa, Tuseme sauti • Mistari mitatu
Sauti aongoze ya mwanzo kutoka ya nyuma, ni
kutambua sauti katika maneno sauti ipi?
za mwanzo za tofauti tuliyojifunza Wanafunzi watasema:
maneno tofauti somo lililopita. • Mistari mitatu
(USIANDIKE) kutoka masomo /n/ /l/ ya mbele, ni
yaliyotangulia. sauti ipi?
/n/ /l/ Wanafunzi watasema:
• Wasichana
nyote, ni sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:
• Wavulana
nyote, ni sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:
• Upande wangu
wa kulia, sauti
ipi? (Mwalimu
aelekeze mkono
upande wa
kulia)
Wanafunzi watasema
• Upande
wangu wa
kushoto, sauti
ipi? (Mwalimu
aelekeze mkono
wa kushoto)
Wanafunzi watasema:
• Nyote kwa
pamoja, sauti
ipi?
Wanafunzi watasema:

Mazoezi ya Utambuzi wa Sauti


Mchezo wa Sauti:
• Waambie wanafunzi wasimame wanaposikia sauti ya mwanzo ya maneno
waliyojifunza (USIYAANDIKE)
• Sahihisha makosa

264 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


Maelekezo ya kufundisha utambuzi wa sauti ya herufi (Dakika 3-4)

Marudio:
• Rudia herufi ulizofundishwa ambazo ni nN, lL
• Andika herufi ubaoni au tumia kadi za herufi. Waambie: TIZAMA
MAANDISHI.
• Waulize wanafunzi ni herufi gani na waioneshe nN, lL
• Waulize wanafunzi kadhaa kuhakikisha kila mmoja amefahamu majina ya
herufi.
• Chagua herufi kutoka katika masomo yaliyopita ili wanafunzi wayafanyie
mazoezi

Rudia majina ya herufi bB, jJ, eE, kutumia muongozo ufuatao.

Msingi wa Mwalimu: Mwalimu na Mwanafunzi:


kialfabeti “Ninatenda” mwanafunzi: “Unatenda”
“Tunatenda”
Uhusiano wa TIZAMA Mwalimu wagawie
Sauti na herufi MAANDISHI. TIZAMA wanafunzi kadi
Hii ni herufi MAANDISHI. za maneno katika
(ANDIKA) nN,. Onesha Kila mmoja: Hii ni makundi na
wanafunzi nN. sauti nN. (Onesha waambie wachague
Herufi nN inatoa wanafunzi nN.) herufi zinaashiria
sauti /n/. Sauti nN inatoa sauti zilizotamkwa
sauti gani,..kila
Hii ni herufi mmoja?
lL. (Onesha Nyoosha mkono
wanafunzi lL.) kuashiria wanafunzi
Herufi nL inatoa wajibu pamoja na
sauti /l/. wewe. (darasa zima)
/n/

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 265


Sasa Kila mmoja:
Hii ni herufi lL.
(Onesha wanafunzi
herufi lL.) Herufi jJ
inaunda sauti gani,
kila mmoja?
Nyoosha mkono
kuashiria wanafunzi
wajibu pamoja
na wewe. (Darasa
zima) /l/

 Mazoezi ya Sauti ya herufi na Ufasaha (Dakika 4-5): MAZOEZI


• Chukua kadi zenye herufi nN, lL (AU andika herufi hizo ubaoni).
• Wakumbushe wanafunzi jina la kila herufi kisha onesha moja baada ya
nyingine huku ukiwataka wanyooshe mkono kama wanajua majina ya
herufi hizo.
• Sema sauti ya herufi nN
• Waambie wanafunzi wanyooshe mkono kama wanaweza kusema jina la
herufi linalounda sauti hiyo. Fanya hivyo kwa lL
• Waulize wanafunzi kama wanaweza kusoma neno kwa kulitamka. Onesha
neno; [Lima, Nepi] kwenye ubao na useme “Tizama Maandishi”.
• Waoneshe namna ya kutamka neno (Ninatenda, Tunatenda, Unatenda)
Kwa mfano
• /l/ /i/ /m/ /a/.
• Unganisha sauti kisha sema neno [Lima]. Fanya hivyo kwa neno [Nepi]
• Waambie wanafunzi wanyooshe mkono kama wanaweza kusema sauti
zilizomo katika neno [Nepi] na kisha tamka neno lote [Nepi]
• Chagua wanafunzi kadhaa kutamka neno hilo.
• Sahihisha makosa.
• Onesha neno kisha tamka sauti zinazounda neno.
• Onesha neno kisha waambie wanafunzi walitamke. [Mnatenda].
• Onesha kila herufi kasha tamka pamoja na wanafunzi. auti ya mwanzo
katika neno [Nepi] ni /n/, inayofuata /eee/ inayofuata /p/, ya mwisho /iii/.
Ni neno gani hilo? [Nepi]. Neno ni [Nepi].
• Sasa zamu yenu. Neno gani? [Nepi]
• Waambie wanafunzi waandike herufi mpya, silabi na maneno ambayo
yamefundishwa katika kipindi hicho (Ninatenda, Tunatenda, Unatenda)

266 Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza


Mchezo wa kujenga ufasaha kutumia maneno [Nepi, Lima, Lita, neon, nipe,
lipa]
• Waeleze wanafunzi wanyooshe mkono wanpoona neno wanalolitambua
katika kadi utakayoonyesha (au onesha maneno hayo ubaoni).
• Waambie kuwa utaonesha kila kadi (au utaonesha ubaoni) kwa haraka,
kwa hiyo waharakishe kunyoosha mkono pindi wanapoona neno
wanalolitambua
• Chagua mwanafunzi aliyenyoosha mkono asome neno husika.

Msamiati: (Dakika 4-5)


Rudia maneno [Lima, Lipa, Nepi, Nane]

Rejea neno la hakiba:


• Andika neno [bata] ubaoni.
• Wakumbushe wanafunzi kuwa neno hili limekwisha fundishwa. Waambie
walitumie katika sentensi kwa usahihi

Ufahamu wa Kusikiliza (Dakika 10):


• Wasomee wanafunzi hadithi ifuatayo. ANGALIZO: Msamiati na maneno
yamekozeshwa na yamepigiwa mstari
• Yaandike maneno ubaoni. Tulia kwa muda kasha waoneshe
unapoyatamka.

Hadithi ya Kusoma kwa Sauti [Hadithi kutoka kwenye kitabu]


• Andika hadithi kutoka kwenye kitabu ubaoni.
• Andika jina la mwandishi wa hadithi ubaoni
• Andika jina la msanifu wa michoro ubaoni.

Muongozo wa Ufundishaji Kusoma Kiswahili - Darasa la Kwanza 267

You might also like