Professional Documents
Culture Documents
Bembea Ya Maisha Maswali
Bembea Ya Maisha Maswali
2. Kwa kurejelea tamthilia hii eleza namna mila na desturi zinavyoweza kuzua migogoro katika jamii.
(alama 20)
"La! Kila mbegu ipandwayo haina budi kuzaa na izaapo mazao yake huvunwa. Mtu huitakasa sahani
"Kumbuka, mrina haogopi nyuki. Marehemu mamangu alizoea kutuambia kuwa nguvu hazimwishi
mwanadamu wala hazipotei bure — humalizwa tu na mabuu. Mwanangu, usifanye hofu. Nikujuavyo
mimi, hukuingia katika bahari si yako. Wala hakuna refu lisilokuwa na ncha. yote yana kikomo ati! Ipo
siku haya yote yatapita. Mkulima hodari libasi yake huwa imechakaa na kuchoka lakini moyoni anabaki
safl kama theluji kwa kutosheka na tija ya sulubu zake. Huwezi kumlinganisha na mkulima wa nguo safi
Eti alama! My foot! Eti ameshuka nafasi darasani lakini akapandisha alama...
“Ukilazwa tayari unakuwa umeonja seli,: Hata wahudumu wenyewe hawana mlahaka mwema. Amri na
vitisho kama askari. Unashindwa kama UUguze moyo ama ugonjwa. Katika wodi hewa iliyojaa harufu
ya dawa imezagaa, vitanda vimesalimu amri mpaka shiti zikagura. Yaani hali nzima haikupi matumaini
ya kutoka ukiwa bora. Matumaini yanadidimia. Tumaini lako unaliweka katika sala”.
b) Fafanua namna mandhari ya dondoo hili yalivyochangia usukaji wa tamthilia. (alama 10)
pamoja na matamanio ya wahusika binafsi. Baina yao kuna mitikiso inayotishia familia, ndoa na
mahusiano ya kijamii. Kuna shutma, shaka, tuhuma na mivutano. Lakini pia kuna hongera, imani,
ushirikiano, upendo, kutanabahi, na mshikamano. Katika huu mseto wa mambo ipo sauti imara.. ."
c) Fafanua mitikiso saba inayotishia mahusiano ya kijamii ya tamthilia hii. (alama 14)
"Mtu anaishi na wanawe ambao wiki nzima anawaona wakiwa usingizini; wamelala
fofofo.. .Nyumba ni
ya yaya."
‘Maisha yetu ni mfano wa mbegu iliyopandwa. Mbegu hiyo haina budi kuoza kwanza ndipo
ioteshe mche
upendezao. Mche huo wa asili ya mbegu iliyooza, hatimaye hutoa zao la mbegu nyingi ajabu.
Ukitazama
vizuri, mbegu ile haifi bali huchukua mkondo mwingine wa maisha. Huchukua umbo)ipya
lipendezalo
hasa ikiwa itakuwa imeangukia ardhi nzuri.. -Sasa rudini msaidie kuzalisha mbegu nyingi nzuri.
Nyinyi
Hakiki ukweli wa maneno haya kwa kurejelea Bunju,Neema na wahudumu hospitalini. (alama
20)
25. Bembea ya Maisha ni tamthilia inayohimiza mshikamano wa kijamii. Jadili. (alama 20)
27. Elimu ni mafundisho aali yatolewayo darasani au katika jamii. Jadili kwa kurejelea tamthilia
ya Bembea
28. “Imani na itikadi huthaminiwa sana na jamii ya watu”. Jadili ukweli wa kauli hii kwa
kurejelea tamthilia
29. Mwandishi wa tamthilia hii ameshughulia sana suala la Mabadiliko katika jamii. Fafanua
(alama 20)
30. Eleza jinsi mwandishi watamthilia ya Bembea ya maiisha alivyofanikiwa kutumia ishara
katika kazi (alama 20)