Professional Documents
Culture Documents
Kisw 831
Kisw 831
CHUKA UNIVERSITY
UNIVERSITY EXAMINATIONS
MAAGIZO:
Jibu maswali yoyote matatu.
1. Utafiti ni sayansi. Thibitisha kauli hii kwa kutoa mifano katika taaluma ya Kiswahili.
(alama 20)
2. Pambanua umuhimu wa nadharia katika utafiti wa Kiswahili. (alama 20)
4. Usampulishaji ni wa aina nyingi. Jadili kauli hii kwa kurejelea tafiti za Kiswahili.
(alama 20)
5. Tathmini changamoto zinazokabili utafiti wa Kiswahili katika karne ya Ishirini na Moja.
(alama 20)
6. Bainisha vipengele muhimu ambavyo hupatikana katika tashifu. (alama 20)
---------------------------------------------------------------------------------------------------------------------
Page 1 of 1