Tapatalk-Download91803468Njama Za Vatican Kwa Dunia

You might also like

Download as pdf or txt
Download as pdf or txt
You are on page 1of 80

NJAMA

Za Vatican kwa Dunia

Kimetafsiriwa
1 na

Barry Mapolu
Tunahangaika
Kwasababu
Hatu Ujui
Ukweli.

Tutapata
Tabu Sana
2
SEHEMU YA KWANZA:
Tuiangushe Marekani, kisha tuiangushe Dunia.
Marekani ya leo inakutana na adui ambaye ni hatari, adui ambaye hana
mfano wake. Huyu sio adui anaekuja kijeshi tu lakini hili ni kundi ambalo
liko vizuri kwenye upelelezi na uwezo wa hali ya juu katika kushambulia
bila mlengwa kutambua, na haya yote yanafanyika katika ardhi ya
Marekani yenyewe. Ingawa lengo ni dunia nzima, ila sharti, Marekani
kwanza. Watu hawa wana uonekano wa kawaida kitu ambacho ni
vigumu kung’amua mambo wanayo yaendesha nyuma ya pazia. Ama
kwa hakika, hivi sasa, adui huyu anafanya kazi kwa siri kubwa
kuziangamiza sera ambazo zimeifanya Marekani nchi mashuhuri
ulimwenguni. Adui huyu amejichomeka mpaka ngazi za juu katika idara
zote za serikali ya Marekani na hii inafanya adui huyu kumiriki hatari
kubwa.

Hebu tuangalie historia fupi ili tuelewe njia ambazo adui huyu
amezitumia tokea mwanzo na vile ambavyo hizo mbinu zinafanya kazi
sasa. Mwisho wa siku ulaya ilikuwa imetulia. Mashindano ya kila nchi ya
ulaya yaliyokuwa yamedumu kwa takribani miaka ishirini, ya kutaka
kuwa juu ya nchi zingine kwa wakati huo yalikuwa yamekwisha. Mauaji
ya kutisha yaliyokuwa yametokea kwa kipindi chote hicho yaliwafanya
watulie. Hivyo basi, mataifa ya ulaya yalitengeneza baraza na baraza hili
lilifanya mkutano katika jiji la Vienna, nchini Austria mwaka 1814, na
baraza hili lilikuja kujulikana kama kongamano la Vienna (Congress of
Vienna), na kongamano hili liliendelea na mikakati yake mpaka mwaka
1815. Lakini kongamano hili la Vienna lilikuwa na njama nyeusi dhidi ya
nchi zilizokuwa zinajiwala, na kiongozi wa kongamano hilo akaamua
kutengenezwe kitu kinachoitwa ‘muungano mtakatifu’ (Holy alliance).
Lakini muungano huu ulikuwa ni mwamvuli wa uongo waliotumia
kuwahadaa watu.
Kongamano hilo lilikubaliana kwamba wataibariki kwa nguvu zote
sehemu ya sita ya makubaliano ya vienna yaliyosema kwamba: kuwepo
3
na ahadi ya dhati kutoka kwa washirika wote kwamba pasiwe na mkakati
wowote au hila ya kuziangusha serikali zinazojiwala popote
zinapopatikana duniani na kurudisha utawala wa kifalme au marikia
kwenye maeneo au nchi ambazo watawala wake waliondolewa. Lakini
mataifa yaliyohusika sana na kuweka sahihi kwenye mkataba huo
yalikuwa ni Urusi, Ujerumani, Austria na Papa Pius VII, mfalme wa nchi
zilizokuwa chini ya papa. (Rejea kitabu cha “ukweli uliozimishwa kuhusu
kifo cha rais wa marekani Abraham Lincoln (The Suppressed Truth About
the Assassination of Abraham Lincoln) kilicho chapishwa na Arya Varta
ukurasa wa 1924.

Nyuma ya mkataba huo wa Vienna muungano huo mtakatifu


uliotengenezwa ulikuwa na malengo ya kuangusha serikali zote za kiraia.
Ilikuwa tarehe 25, april 1916 pale ambapo seneta Robert L Owen alitaka
jambo hili liwe kwenye kumbukumbu za marekani kwamba lengo la
muungano mtakatifu uliotengenezwa kwenye kongamano la Vienna
ilikuwa ni kutangaza vita dhidi ya Marekani (USA). Muungano huu
mtakatifu ulikuwa umesha ziharibu serikali za italia pamoja hispania na
malengo yao yalikuwa kuiangusha Marekani, pamoja na nchi zilizokuwa
makoloni ya Marekani, zile nchi sana ambazo Marekani alizisaidia kupata
uhuru wake kutoka kwenye mikono ya wahispania na wareno kwenye
bara zima la Marekani ya kati na kusini. Mtu wa uingereza aliyeitwa
Canning, aliielewa mapema njama hii ya muungano mtakatifu iliyokuwa
na lengo la kuziangusha serikali huru za ulaya pamoja Marekani, hivyo
akafikisha ujumbe kwenye serikali ya marekani.
Seneta Owens alielewa kwamba kongamano la Vienna lilitafuta
kuziangusha serikali huru za ulaya pamoja na Marekani pamoja na uhuru
ambao waliupata kwa damu nyingi sana kumwagika. Sio tu seneta Owen
aliyeyajua kuhusu njama hii ya kuiharibu Marekani na katiba yake
ambayo raia wake hufurahia uhuru walionao. Mwaka 1894, R.W.
Thomson, katibu wa jeshi, aliandika, watu hawa wa muungano mtakatifu
wametengeneza jeshi kubwa, na muda si mrefu watalitumia jeshi hilo
kuzima vuguvugu la uhuru katika nchi yetu. Na Papa Pius VII ameamua
kulitumia jeshi la wafuasi wa yesu (Shirika la yesu) litakalo kuwa na
msaada wake kutimiza kusudio hilo. Wakati huo yeye kama yeye papa
4
Pius VII alikuwa na jeshi lake la Shirika la yesu (wafuasi wa yesu) na alijua
vile jeshi lake hilo litakavyo fanya hiyo kazi kwa uaminifu mkubwa na
kwasababu walikuwa wakipokea ushauri moja kwa moja kutoka kwake
na wakati huo huo jeshi hilo lilikubalika sana na raia wengi duniani na
siku zote halikuwahi kufeli kwa kazi yeyote iliyokuwa inawekwa mbele
yake. Thompson aliwataja moja kwa moja watu watakao tumika na nchi
za ulaya zilizokuwa zimeungana na papa Pius VII kuiangusha serikali ya
Marekani ambao ni jeshi la wafuasi wa yesu la roma (the Shirika la yesu
of Rome).
Tokea mwaka 1815 kumekuwepo na majaribio ya mala kwa mala ya
kuziharibu haki za kikatiba za Marekani na hawa watu wa Shirika la yesu.
Mtu aliyekuwa anaisaidia roma kutekeleza mpango huu kwa mapana
yake alikuwa ni mwana wa mfalme wa Austria, hata kama alijua kuna
ugumu katika kufanikiwa katika hili ila imani ilikuwepo kwa jesho la
Shirika la yesu lililokuwa likitekeleza hayo.

Tokea mwaka 1815 njama hii iekuwepo na mpaka sasa imejiimarisha


katika nchi ya Marekani kiasi kwamba utekelezaji wake umesababisha
matatizo makubwa na Marekani ya leo na dunia kwa ujumla wake
inaelekea kupoteza uhuru wake.

Watu wengi hawawajui au wanawajua kwa kiasi kidogo wafuasi au jeshi


la papa liitwalo Shirika la yesu au wafuasi wa yesu. Sababu ni kwamba
jeshi hili ni jamii ya siri sana. Ili kuwaelewa wanajamii hawa wa Shirika la
yesu hebu tafadhari iweke nukuu ifuatayo kwenye akili yako.

“Katika kipindi chote cha dunia ya kikristo, waasi wa kanisa la roma


(protestantism) wamekuwa wakiandamwa na madui wa hatari. Pindi
uasi huu ulipotokea, roma ikatangaza vita na jeshi likaundwa kuwa
angamiza”. Ni katika kipindi hicho Jeshi la Shirika la yesu liliundwa. Ni
jeshi lenye nguvu na ukatili usio na huruma na hutekeleza mambo yake
kwa baraka za papa. Jeshi hili linachokijua ni kuua mtu yeyote aliye na
mafungamano na dunia au mafungamano na walio asi (protestants) na
watu hawa watakauwa wakifa kwa njia nyingi: kama kifo kinacho
onekana ni cha kawaida, sumu au kifo cha kinyama. Jeshi hili halisikilizi
5
amri nyingine yeyote kutoka kwa mtu yeyote isipokuwa amri kuu kutoka
makao makuu ya roma. Lengo kubwa ni kukuza utawala wa papa duniani
kote.
Injili ya kristo iliwawezesha wengi kukutana na hatari zisizoelezeka kama
mateso makuu ya kuwekwa kwenye majokofu, kushindishwa njaa,
kufilisiwa, kutumbukizwa kwenye mafuta yanayochemka na kuwekwa
jela bila kesi. Ili kushindana na vuguvugu la waasi wa kanisa katoliki, jeshi
hili la Shirika la yesu lilifundishwa kuvumilia mateso yeyote yanayoweza
kujitokeza pale watakapo kamatwa na kutumia kila siraha ya uongo
kuuzima ukweli kuhusu injili. Kama ilivyo kwa uislam wa siasa kali wa leo,
hakuna dhambi kumuua mtu asiye mkatoliki. Hakuna uvunjifu wa sheria
ulio mkuu kwa watu hawa wa Shirika la yesu kuufanya, wala hakuna
uongo usiokubalika, wala hakuja kujibadirisha na kuwa na uonekano
ambao utakuwa wa kuwahadaa watu lakini nyuma yake ni kutimiza
lengo la papa. Tunapo ongelea kanisa katoliki katika kitabu hiki, waumini
wa kawaida wasiojua chochote kinachopangwa na Vatikan hawahusiki.
Kwa utafiti waliokuwa wameufanya miaka hiyo ya 1815, kama kutakuwa
na njaa kuu ya kudumu pamoja na mazingira mabaya ya kuishi wakati
huo wao wakijitafutia utajiri basi wataweza kuwa juu ya waasi wa kanisa
la katoliki na watu wote watarudisha heshima kwa papa na kanisa
katoliki litatawala dunia.

Jeshi la Shirika la yesu lilipoanza kujitambulisha kwenye jamii


mbalimbali, walikuwa wakivaa mavazi ya utakatifu, huku wakitembelea
magereza na mahospitali, wakitangaza habari za yesu kwa wagonjwa na
masikini huku wakisisitiza dunia kujielekeza kwenye matendo mema.
Lakini katika pazia hilo hilo la utakatifu walikuwa wakitekeleza malengo
yenye mwisho mbaya, kwasababu mala kwa mala maovu yalikuwa
yakisikika miongoni mwao. Sera yao kubwa ilikuwa ni mwisho wa jambo
wanalolitekeleza ndio muhimu kuliko matukio ya kila siku (the end
justifies the means). Kwa neno hili la siri, kudanganya, kuiba, kujeruhi,
kuua yalikuwa ni mambo yanayokubalika na yanabarikiwa kwababu
yalikuwa yanafanyika ili kanisa litimize malengo yake.
Kwakutumia kila mbinu waliyokuwa nayo, jamii hii ya Shirika la yesu
wakafanikiwa kujichomeka kwenye kila ngazi za serikali nyingi duniani na
6
wakawa watunga sera katika mataifa mengi ya dunia. Wakawa
wanafanya kazi kama wapelelezi wa kulipwa kwa ajili ya viongozi wao.
Walianzisha vyuo kwa ajili ya watoto wa watawala na viongozi na shule
kwa ajili ya raia wa kawaida na wazazi wa watoto wa waasi wa katoliki
wakavutiwa kupeleka watoto wao kusoma katika shule hizo ambazo
mitaala yake iliandaliwa kuwafanya wanadamu wamtii papa. Hivyo basi
gharama waliyo ingia katika kuutafuta uhuru na kiapo walichokuwa
wamejiwekea waasi wa kanisa katoliki (protestants) kuendeleza injili
duniani kilianza kusalitiwa na watoto wao wa kuwazaa. Kwa kasi kubwa
Shirika la yesu wakakua na kusambaa kwa kasi katika ulaya yote,
Marekani na popote walipokwenda: hapo ndipo papa alipoanza
kutukuzwa. Shirika la yesu wanamuwakilisha papa kwa usiri wa hali ya
juu na kufanya kazi kama polisi wa dunia. Hawamuambii mtu kwamba ni
wafuasi wa yesu wa papa (Shirika la yesu). Kwa uonekano wa nje ni watu
wa kawaida.

Hawa ndio wanaojiita wafuasi wa yesu (Shirika la yesu). Jamii hii


imekuwa na uwepo wake wa nguvu kwa zaidi ya miaka miambili na
wamekuwa maadui wakubwa na wakutisha wa dunia hii, wakibadilisha
kila utaratibu wa asili wa mwanadamu. Ilifikia wakati walitisha mpaka
papa ambaye ndiye wanafanya kazi kwa niaba yake akasukumwa
kuwatuliza kidogo kwenye miaka ya 1773. Hata hivyo hawakuzimwa na
kwa miaka hamsini iliyofuata wakapewa kibarua cha kuzima mwenge wa
uhuru wa kidemokrasia ndipo kwenye miaka ya 1815 papa Pius VII
akaamuru jeshi hilo au jamii hiyo ya muungano mtakatifu utumie nguvu
zake kikamilifu.
Na je watu wa dunia ya leo wanahitaji kuambiwa Shirika la yesu ni watu
gani? Ni watu wa jamii ya siri (secret society) wanaofuata amri za free
mason lakini kwa sasa wamepewa nguvu na meno zaidi na kuwafanya
kuwa watu wa hatari zaidi.
Sio tu kwamba ni watu wa kanisani kwamba ni mapadri au maaskofu:
wako kila mahali kwenye biashara, sheria, utunzi wa vitabu, uandishi wa
habari na watu wa kila fani na huwezi kuwakuta na mavazi yenye alama
za kuwaonyesha wao ni akina nani. Wanavaa uhalisia wowote iwe
malaika wa nuru au mjumbe wa giza ili kutimiza jambo lao…. Wote ni
7
watu walio elimika lakini wamekula kiapo cha kufanya watakacho
amrishwa wakifanye wakati wowote na katika uelekeo wowote, na kwa
huduma yeyote. Kwa amri waliyopewa, hawatakiwi kuwa na familia,
wala kuwa na mahusiano ya karibu na jamii yeyote au nchi, kwasababu
mafunangamano yao yako kwenye kiapo cha maisha kutimiza
kinachotakiwa na wakuu wa Roma.
Ignatius Loyola ndiye aliyeanzisha jeshi la Shirika la yesu kwenye miaka
ya 1540. Nafasi ya Shirika la yesu iliimarika kwenye kanisa la roman
katoliki pale lilipotengenezwa baraza la trent ambalo ndilo lililo endesha
roma kati ya mwaka 1546 mpaka mwaka 1563. Baraza la trent lilifanya
mkutano kwa lengo moja kuu: Namna ya kuzuia uasi utakao fanya watu
waanzishe imani zingine nje ya katoliki. Na sana sana ni waprotestant au
watu wanao hubiri injiri.
Injiri ilianza kusambaa mwaka 1517 pale Martin Luther, mjerumani
asiyeogopa kitu, alipoweka miongozo 95 ya namna ya kusali kwenye
mlango wa kanisa lake lililokuwa wittenburg. Miongozo hii ilikuwa ni
kitanzi miongoni mwa mafundisho ya wakatoliki ya wakati huo kwamba
ambayo yalikuwa yakisema mwanadamu aweza kujiokoa iwapo
angekuwa anatoa sadaka nyingi kwenye kanisa la roman katoliki.
Fundisho kuu la Luther ilikuwa ni: Biblia ndio ina mwongozo wa
mafundisho yote na taratibu za kufuata na mwanadamu anapimwa
mbele za Mungu kupitia imani katika Yesu kristo tu. Hili lilikuwa fundisho
lililo pokelewa na maelfu ya watu ulaya yote na likawa muiba kwenye
majengo ya Vatikan. Na ndio maana baraza la trent likakaa na kuangalia
namna ya kuzimisha mwamko huo, na makubaliano yaliyokuwepo
ilikuwa ni Shirika la yesu wangetumika vilivyo kuharibu kila kila sehemu
iliyokuwa na waprotestanti (watu wote wasio waumini wa kanisa la
katoliki). Marekani ilikuwa ni nchi iliyopata uhuru na kuongozwa na
imani za protestanti hivyo moja kwa moja uadui ukawa upo kati ya
Vatikani na Washington. Moja ya maneno makuu yanayopatikana
kwenye katiba ya Marekani ni: “kila raia anao uhuru wa kuamini na
kwenda kwenye imani anayoitaka ili mradi asivunje sheria”. Maneno
haya kwa watu wa Vatikani ni uasi, na ni maneno ya kishetani.

Sehemu ya kiapo cha wanajamii wa Shirika la yesu wanacho apa ni:


8
“Nina ahidi na kukiri kwamba, sitakuwa na nia au wazo langu mwenyewe
au vitu nitakavyo vitunza akilini wakati wowote iwe niko hai au
nimekufa, lakini bila kusita nita tii bila kusita kila amri ambayo nitapokea
kutoka kwa viongozi wangu walio katika jeshi la papa…. Na zaidi ya hayo
nina ahidi na kueleza kwamba wakati wowote nitaanzisha vita na kuingia
vitani kwa siri au kwa uwazi dhidi ya wapagani (heretics), wa protestant
na watu wanao dai uhuru au wanaosema wako huru kama nitakavyo
amrishwa kuharibu na kuua wote kutoka kwenye uso wa dunia; na
sitaangalia umri, jinsia wala hali itakayokuwepo nitanyonga,
nitawachoma moto, nitawayeyusha, nitawachemsha, au kuwazika
wakiwa hai watu hawa wapagani, kuwararua matumbo yao na matumbo
ya wanawake wao na kubamiza vichwa vya watoto wao kwenye kuta ili
kutokomeza jamii hiyo mbaya milele. Kwamba kama hayo hayawezi
kufanyika kwa uwazi, basi kwa siri nitatumia kinywaji cha sumu, au
kitanzi cha kifo, au kipigio cha chuma, au risasi, na hii haita jarisha cheo
cha mhusika au heshima yake kwenye jamii, au mamraka aliyonayo, kwa
hali zozote walizo nazo katika maisha iwe ni watumishi wa serikali au wa
uma au dini au imani yeyote, kwa muda wowote nitakao ambiwa
kufanya hivyo na mjumbe yeyote wa papa au watu wakubwa kwenye
kundi letu la ndugu wa imani takatifu wa jamii ya yesu”.

Viapo vingi vinapatikana kwenye kitabu cha Edwin A. Sherman, Kampuni


za wahandisi wa kuzimu (The Engineers Corps of Hell)

Kudhani kwamba unaweza kuiteka dunia kwasababu tu umekula kiapo


cha kifedhuri kilicho na sababu ya hila, miongoni mwetu tunaweza
kujiuliza kwanini tuwe na viapo vya aina hiyo. Neno upagani (heretic)
lililotumika hapo ni kwa mtu yeyote anaye enda kinyume na papa. Katika
barua iliyoandikwa na John Adams kwenda kwa raisi wa Marekani
Thomas Jefferson kuhusu watu wa jamii ya Shirika la yesu tunasoma, Je
watu hawa warumi (waroma) hawapo miongoni mwetu, tena ni wengi
wakiwa kwenye sura za wapaka rangi, waandishi wa vitabu, waandishi
wa habari na wakuu wa mashule mbalimbali lakini ni wafuasi wa papa?

9
Kama kuna kundi la watu wanaostahili kulaaniwa milele duniani na
kuzimu ni kundi la jamii ya watu wa Shirika la yesu.

Napoleon Bonaparte, alikuwa mfalme wa ufaransa katika enzi hizo


aliandika haya:
Jamii ya Shirika la yesu ni kundi la kijeshi, na sio kundi la kidini. Mkuu
wao ni generali wa majeshi, na sio baba wa kawaida kama mfalme
mmojawapo katika nchi za ulaya. Na lengo la kundi hili ni KUTAWALA.
Utawala na katika kutawala kwa mabavu. Mamlaka kamili ya kuiweka
dunia yote chini ya mtawala mmoja. Jamii hii ya jesuit ni jamii
inayoamini katika utawala wa mabavu, na wakati huo huo ndio jamii
inayo ongoza kwa maasi makubwa. Mkuu wao husisitiza wao na yeye
mwenyewe ndio ndio viongozi wa dunia, na yeye kama papa ni kiongozi
wa viongozi katika dunia. Popote Shirika la yesu watakapo ruhusiwa
kuingia, basi huchukua hatamu za uongozi, na gharama za kuwaruhusu
huwa ni kubwa. Kwa asili wao ni madikteta hivyo huwa maadui wa
mfumo wowote ulio wa katiba yenye demokrasia. Kila kitendo, haijarishi
cha kinyama kiasi gani, kama kimefanyika kwa ajili ya kuimarisha
ukatoliki au ni amri ya generali mwenyewe basi kinakuwa na baraka
zote.

Palikuwa hamna sura ambayo hawawezi kuivaa, hivyo kulikuwa hakuna


eneo ambalo hawawezi kujipenyeza. Waliweza kuingia bila kusikika
katika makasri ya wafalme na malkia pamoja na mabaraza yao, na
waliketi katika makongamano na kujichanganya katika hoja mbali mbali
ikiwemo hoja za mstakabali wa nchi husika. Kulikuwa hakuna lugha
wanayo shindwa kuiongea, wala yajayo wasiyoweza kutabiri, na hivyo
kulikuwa hakuna watu wasioweza kushindana nao kwa hoja na hakuna
kanisa ambalo walishindwa kujichanganya na hakuna kazi ya utumishi
waliyoshindwa kuitekeleza. Waliweza kuelezea uma vile papa
anavyolichukia kanisa la rutherani na viapo walivyo navyo vya
kuwaangamiza wote wasio amini katika katoliki.

Katika mwanga wa haya matamko, maswali mengi yanaamka.


Kwasababu Shirika la yesu walianzisha mapambano duniani kote tokea
10
miaka ya 1815 na hakuna kilichozuia mambo yao yasifanyike, kama ndio
hivyo je, sera nyingi zinazotumiwa na nchi mbali mbali sana sana
Marekani ziliundwa na warumi au waroma pale Vatikani?. Je kuuawa
kwa maraisi wa Marekani kama, Abraham Lincoln, William McKinley,
James Garfield na William Henry Harrison kulitekelezwa na Papa? Je
majanga kama ya Waco, oklahoma na uharibifu wa majengo ya world
trade center ya Marekani yalitekelezwa na vatikani? Na vipi kuhusu
katiba ya Marekani na mswaada wa haki za binadamu ambavyo
vimekuwa vikiandamwa na kubadirishwa kwenye siku za hivi karibuni? Je
haya ndiyo matokeo ya kuruhusu wafuasi wa papa (Shirika la yesu)
kujipenyeza na kuanza kuharibu kila kitu hata vitu vilivyo patikana kwa
gharama kubwa?

Sehemu zifuatazo zita ainisha baadhi ya maswali yanayo sikitisha.

Kana kwamba kongamano la vienna halikuweka mwongozo wa kutosha


juu ya malengo ya kutozigusa nchi zenye utawala katika dunia hii,
kulikuwa na mikutano mingine miwili iliyofanyika. Moja ya hii mikutano
ilifanyika verona mwaka 1822. Katika mkutano huu, iliamriwa kwamba
nguvu zote zielekezwe kwenye kuiangusha Marekani kwa kutumia jeshi
lenye utii mkubwa kwa papa, yaani Shirika la yesu, na kwamba marekani
kwa gharama yeyote ni lazima iharibiwe. Kila kipengere katika katika
katiba ya Marekani ilikuwa ni lazima kichanganywe na mawazo ya kipapa
ili kwamba uongozi wa papa uchukue mkondo katika Marekani.

Mkutano mwingie ulifanyika kwenye mji wa Chieri, Italia mwaka 1825.


Hivi ndivyo ilivyo amriwa katika mkutano huo. Mwaka 1825, kama miaka
kumi na moja baada ya jeshi la wafuasi wa papa (Shirika la yesu)
kuhuishwa, mkutano wa siri wa viongozi wa Shirika la yesu ulifanyika
katika chuo chao cha Chieri karibu na Turin, kaskazini mwa Italia. Katika
mkutano huo mipango ilipangwa ya namna ya kukuza nguvu za papa
duniani kote, kwa ajili ya kupunguza nguvu za serikali zote zilizokuwa ni
zenye upinzani kwa papa na namna ya kuangamiza upinzani wowote
unaoanzishwa na Shirika la yesu. Viongozi wao walitamka haya: “Lengo
letu ni kuitawala dunia. Tunatakiwa kuwaelimisha watu wakuu wa dunia
11
hii kwamba chanzo cha maovu, na mbegu mbaya vitaendelea kuwepo
duniani kama hawa waasi wa katoliki yaani warutheli au walokole
(protestants) wataendelea kuwepo, hivyo basi kwa gharama yeyote ni
lazima waangamizwe kabisa. Kuangamiza waasi na wapagani ni jambo
ambalo tumepewa kibali cha kutekeleza. Hivyo basi mnyama aliye
elezewa katika biblia kwamba ananyanyua kichwa na ana macho yenye
mwanga mkali na anatutisha na sumu yake huku akiwa anatembea
ardhini, atabadirishwa na kuwa fimbo ya chuma pale tutakapo weza
kumkamata”. Haya yapo katika Kitabu cha Historia ya Shirika la yesu
(Shirika la yesu history) kilicho chapishwa mwaka 1997.

Malengo ya mkutano wa Chieri yako wazi; angamiza waprotestanti kwa


gharama yeyote na rudisha nguvu ya mamlaka ya papa duniani kote.

Kama tulivyokuwa tukimtazama John Paul II akitembelea mataifa mengi


duniani na akikubalika kama “mtu wa amani” tunaweza kuona ni namna
gani kwa akili nyingi mipango ya wafuasi wa papa (Shirika la yesu) inavyo
fanya kazi.

Mikutano hii mitatu ya Vienna, Verona, na Chieri, ilifanyika kwa usiri


mkubwa kadili ilivyo wezekana. Hata hivyo, kuna mtu mmoja alihudhuria
mikutano miwili ya kwanza na ilikuwa vigumu kumnyamazisha. Huyu
alikuwa ni waziri wa mambo ya nje wa uingereza, George Canning,
ambaye alipeleka ujumbe kwenye serikali ya Marekani kuonya kwamba
mataifa ya kifalme ya ulaya yalikuwa na mpango kuziharibu taasisi nyingi
zilizokuwa zinafanya kazi nchini Marekani. Ilikuwa ni njama hii ya ulaya
dhidi ya Marekani iliyomfanya muingereza Canning kuwashtua
wamarekani. Kwa kipindi hicho Thomas Jefferson ndiye aliyekuwa raisi
wa marekani na rais huyo hakusita kuhakikisha rais aliye fuata badala
yake Raisi Monroe alilijua hilo. Raisi Monroe katika kuhutubia uma wa
wamarekani alisema: Marekani inachukulia kitendo hicho kama ni
uvamizi na kitendo kisicho cha kirafiki, kama muungano huo wa nchi
zinazo ongozwa na papa wangeanzisha mamlaka zozote katika ardhi ya
Marekani.

12
Hotuba ya Rais Monroe ilikuwa ni majibu dhidi ya Shirika la yesu na
mikakati waliyokuwa wameipanga kwenye kongamano la Vienna na
Verona. Marekani ilichukulia kama ni kitendo cha vita iwapo taifa lolote
la ulaya lilikusudia kutanua wigo wa ukoloni katika upande wa magharibi
wa dunia. Lakini Shirika la yesu wameweza kuivamia Marekani na
kuzama kila mahali ili kukamilisha mipango waliyoiweka siku nyingi dhidi
ya Taifa la Marekani kwa usiri mkubwa bila kujulikana kwa kutumia
kivuri cha kanisa katoliki.

Katika barua aliyomwandikia Rais Monroe, Thomas Jefferson aliyaona


mambo yafuatayo:

“Swala linalo amka kutokana na barua uliyoniandikia ni, hili litakuwa


jambo jingine ambalo utakuwa umeniachia ili nilifanyie kazi baada ya lile
kubwa la kuhakikisha taifa letu linaendelea kuwa huru, kitu
kilichotufanya tuwe taifa, na kwa swala hili la uvamizi wa ulaya katika
taifa letu, hii itakuwa bahari nyingine kubwa ambayo sisi tutakuwa ndani
yake. Kikubwa ni sisi kujitengenezea uelekeo mpya. Na hatuwezi
kukipanda chombo kitakachotuweka katika bahari kwa mazingira yeyote
kama mbele yetu hakuna tumaini jipya. Usemi wa kwanza utakao kuwa
ndio nguzo yetu ni “kamwe hatuta nasa kwenye mitego ya moto ya
ulaya”. Na wapili utakuwa “hatuwezi kuruhusu ulaya ituingingilie katika
mambo ya bahari ya atlantic. Marekani, kaskazini na kusini wana vitu
wanavyovipendelea ambavyo ni tofauti na vile vya ulaya. Hivyo basi
Marekani itakuwa na mfumo wake wenyewe tofauti na ule wa ulaya. Na
jambo la mwisho likiwa ni ulaya kuifanya Marekani kuwa makao makuu
ya utumwa, sisi tutaendelea kuhakikisha Marekani inabaki kuwa kisiwa
cha uhuru. Ni lazima tutangaze upinzani dhidi ya mfumo unaotibua haki
za mataifa, kwa taifa lolote linalotaka kuingilia mfumo wa taifa jingine,
kwakuwa mambo haya yalianzishwa na bonaparte na sasa
yanaendelezwa na kundi lenye mwongozo ule ule usio heshimu sheria,
kundi linalojiita takatifu… tutapinga kwa namna yeyote. Kwasasa swala
tunalo lipendekeza linahusisha mikakati ya muda mrefu, na matokeo
yatakayosababishwa na maamuzi magumu juu ya hatima yetu ya baadae
katika kuhuisha mikakati ya faida ambayo tutakuwa tukiiweka kuhusiana
13
na tishio hilo, na vile mtakavyo nitia moyo katika juhudi zangu za kila
kitakachokuwa na tija kwenye nchi yangu. Maneno haya yametunzwa
katika chuo cha Mount Holyoke (Mount Holyoke College)

Jefferson aliona hili kama ni janga kubwa kwenye taifa ambalo ndio
kwanza lilikuwa na historia changa kwasababu ya nia ovu ambayo Shirika
la yesu walikuwa wamepewa amri ya kuitekeleza katika kuiharibu
Marekani. Msimamo huu wa Monroe ukawa kikwazo kwa ulaya kwenye
mikakati yake ya kuitawala Marekani. Hata hivyo Monroe hakujua
kwamba Shirika la yesu, mwanzoni mwa mapambano yao walikuwa
hawatumii siraha kukamilisha malengo yao. Walikuwa watu wa kunyata
na waliokuwa wanaendesha mambo yao kwa siri kubwa. Walikuwa ni
watu wa kujishusha sana. Walikuwa wakipandikiza ma ajenti wao katika
nafasi mbalimbali kuanzia kwenye utajiri, watu wenye nguvu serikalini
na kisha watu hao watatumia ushawishi wao kutimiza malengo yao….
Kwamba watu hao walete uasi na waharibu kanuni nyingi za
kiprotestanti au kilokole zilizojazwa kwenye katiba ya Marekani.

14
SEHEMU YA PILI: RAIS ANDREW JACKSON
Andrew Jackson alichaguliwa kwenye nafasi ya urais mwaka 1828.
Ushujaa wake na ujuzi wa kijeshi katika kuwashinda waingereza kwenye
vita ya mwaka 1812 unafahamika sana. Katika vita yeye mwenyewe
alikuwa mstari wa mbele na zana za vita, lakini sasa alikuwa
anakumbana na adui tofauti kabisa. Adui huyu alikuwa akidai na yeye ni
mmarekani kama yeye Andrew Jackson, na alikuwa kwenye ngazi za juu
za uongozi kama yeye mwenyewe. Shirika la yesu walikusudia kuiharibu
Marekani kama vile walivyokuwa wamepanga nia yao ovu katika
mabaraza yao ya Vienna, Verona na Chieri, na haya yalikuwa
yakitekelezwa kwa mapana na marefu yake katika kipindi cha uraisi wa
Andrew Jackson. Shirika la yesu walikuwa miongoni mwa wamarekani na
walionekana kama wamarekani. Kwa hakika walikuwa ni raia wa
Marekani isipokuwa utii wao ulikuwa kwa papa wa Roma (zamani
ilikujulikana kama Rumi). Malengo yao yalikuwa ni yale ya kipapa. Watu
hawa walikuwa ni wasaliti na hatari kubwa kwa ustawi wa muungano wa
majimbo ya Marekani (USA). Taifa linaweza kustahimili kama litakuwa na
wajinga wajinga na wale wenye tamaa. Lakini taifa haliwezi kusimama
kama litakuwa na wasaliti, na usaliti ukawa unatokea ndani.

Walipokuwa wakipanga njama hizi, kiongozi bingwa wa kusuka njama,


Marcus Cicero, alitamka haya kwenye mkutano mbele ya akina Kaisari,
Crassus, Pompey na baraza la waroma (Roman Senate).
“Adui aliyepo kwenye malango ya kuingia kwako hana utisho sana
kwasababu anafahamika na vile alivyojipanga kushambulia mji
inafahamika. Lakini msaliti hutembea miongoni mwa watu kwa uhuru,
huku akinyata anakuwa amepita njia zote za mji, na anakuwa anasikika
kwenye majengo ya serikali yenu wenyewe. Kwasababu anakuwa ni
msaliti katika uonekano wa kutokuwa msaliti; anakuwa akiongea kwa
lugha kama ya mawindo yake, na anavaa sura zao na mavazi yao na
anafanya mambo au biashara ambazo zinagusa mioyo ya watu wote.
Anaozesha mioyo ya watu wote; anafanya kazi zake kwa usiri na

15
pasipokujulikana anadhoofisha nguzo za zinazoushikiria mji; anauathiri
mfumo wa siasa kiasi kwamba wanasiasa wanakuwa hawampingi tena”.

Miongoni mwa wasaliti hao walikuwa ni John C. Calhoun na Nicholas


Biddle. Andrew Jackson alishinda urais kwa kishindo mwaka 1828.
Makamu wake wa rais akawa John C. Calhoun wa Carolina ya kusini.
Calhoun alijua kwamba wamarekani wengi kutoka kwenye mioyo yao
walipenda sana uhuru. Kwa kipindi hicho biashara ya utumwa ndio
kwanza ilianza kupingwa kwa nguvu na majimbo yote yaliyokuwa
yamenunuliwa kutoka kwa wafaransa na wahispania yakawa huru.
Colhoun alikuwa miongoni mwa watu wanaotaka biashara ya utumwa
iendelee, lakini dhana ya uhuru iliyokuwepo miongoni mwa wamarekani
wengi ilikuwa ikimeza biashara ya utumwa. Ili kuwafanya wamarekani
wasiiondoe dhana ya kuwa na biashara ya watumwa katika Marekani,
Colhoun alianzisha gazeti jijini Washington lililoitwa upashanaji wa
habari katika majimbo ya Marekani (United States Telegraph). Katika
gazeti hili akaanza kupanda mbegu ya haki za kila jimbo. Mbegu hii
mbaya ya haki za majimbo ingepelekea kila jimbo kutaka haki zake na
huo ndio ungekuwa mwanzo wa marekani kumeguka vipande kama sio
kusambaratika. Ilikuwa ikielezewa kwamba kila jimbo lilikuwa na haki
zake za asili za kufanya mambo yake bila kuingiliwa na majimbo mengine
katika muungano. Na katika kanuni za haki za kijimbo, kila jimbo
lingeweza kujitenga kutoka kwenye muungano wa Marekani (USA).
Colhoun kashikilia mbinu hiyo chafu na kutaka kuitumia kuyafanya
majombo ya kusini yajitenge kutoka kwenye muungano wa Marekani.
Mbinu hii chafu ikapelekea kodi kuwa kubwa kwa bidhaa zinazoingia
kwenye majimbo ya kusini kutoka nchi za ulaya, na hii ikapelekea bidhaa
za ulaya kuuzwa kwa bei ya juu. Kwakuwa ulaya ilinunua vitu vingi
kutoka kwenye majimbo ya kusini mwa Marekani kama pamba na vitu
vingine, hii ilipelekea wakulima na wafanya biashara wa majimbo ya
kusini kutengeneza pesa kidogo au kupata faida kidogo kwa bidhaa
walizokuwa wakizisafirisha kwenda ulaya. Lakini makusanyo ya kodi yote
yakawa yanapelekwa kwenye majimbo ya kaskazini na maendeleo
yakawa kwenye majombo ya kaskazini, hii ikapelekea majombo ya kusini
yaanze kufuata bidhaa kwenye majimbo ya kaskazini. Colhoun akaanza
16
kuyashawishi majimbo ya kusini kwamba mpango huu haukuwa mzuri
hivyo majombo ya kusini yalikuwa na kila sababu ya kijitenga kwa ajili ya
jambo hili. Majimbo ya kusini ambayo kwa asili ni wakulima,
walishawishiwa kwamba kodi iliyo ongezwa kwa bidhaa zilizokuwa
zinaingia iliwaumiza, vitu kama zana za kilimo kama vingepatikana kwa
bei ya juu ingeshindikana kuwa na kilimo cha faida. Baadae huyu huyu
Colhoun aliwaelezea watu wa majimbo ya kusini kwamba ongezeko hilo
la kodi liliwekwa kwenye sheria ya manunuzi ili kulinda bidhaa za ndani.
Hivyo akawaambia watu wa amjimbo ya kusini, mmeongezewa kodi ili
msaidie kukuza uzalishaji wa majimbo ya kaskazini. Na ilikuwa ni katika
mzozo huu akawa amefanikiwa kupnda mbegu ya kusini kutaka
kujitenga….. Mwanaharamu huyu kwa jina la demokrasia alitaka
mpasuko wa taifa iwe kwa njia ya mani au shari. Haya yapo kwenye
kitabu cha shimo la nyoka ukurasa wa 22. (The Adder’s Den, p. 22).

Siku chache baada ya Colhoun kuanzisha gazeti hilo, kulikuwa na


mkutano wa kumbukumbu ya kumuenzi Rais Thomas Jefferson. Katika
mkutano huu Rais Andrew Jackson aliombwa kuongea. Alisimama na
kusema, “Muungano wetu kwa gharama yeyote, ni lazima udumishwe.”
Baada ya kusema hayo, Rais Jackson alikaa chini. Colhoun akasimama na
kuanza kusema, “Umoja unaopatikana katika uhuru, hebu wote
tukumbuke kwamba umoja huu unaweza kudumu tu iwapo haki za kila
jimbo zitaheshimika, na kugawanya kwa usawa faida na hasara ambazo
taifa linapata”. Colhoun akawa ameweka muungano kitu cha pili baada
ya uhuru. Umoja na katiba ndivyo vitu vinavyo zaa uhuru. Kama umoja
utachanganywa, kila jimbo litakuwa kwenye koo la mwenzake kama
ilivyo kwa mataifa ya ulaya ambayo miaka yote yamekuwa kwenye
migogoro. Rasilimali za kila jimbo zingekuwa zinatumika, wakati wote
kununulia siraha za vita kwa ajili ya kupambana na jimbo lingine. Haya
ndiyo yaliyokuwa malengo ya kipapa tokea mwanzo na yaliyokuwa
yanatakiwa kutekelezwa na Colhoun. Lengo ni kuiharibu USA. Colhoun
alitumia mfumo wa kodi kuleta misuguano kati ya majimbo kaskazini na
kusini. Bunge la Marekani (congress) lingeweza kubadirisha sheria ya
kodi ili kwamba hiyo isiwe sababu ya taifa kusimama. Watu wengi

17
walikuwa wakimshangaa Colhoun kama makamu wa raisi kwa
kusimamia swala hili kwa kiwango cha chini.
Daniel Webster alisema: Itakuwa vigumu kwa dunia kuamini kwamba
Marekani kuna mgogoro wa karolina ya kusini na mjombo yote na
kwamba kila jitihada zimefeli kukoa jambo hili, ila ifahamike kwamba
Dunia haita ikubali sababu tutakayo itoa zaidi ya kujua wewe una ajenda
ya siri ambayo hata mambo ya kodi yakirekebishwa bado mgogoro huu
utaendelea kuwepo. Daniel Webster alijua kwamba jambo hili lilikuwa
limezama zaidi ya vilindi vya kodi. Na hata mambo ya kodi yangekuwa
yamemalizika bado mgogoro ungedumu. Colhoun lilikuwa ni pandikizi la
Jesuit lililotumika kuigawa Marekani katika pande mbili. Daniel alikiuwa
sawa kwa kile alichokuwa akikiona. Swala la kodi likaisha lakini wimbi la
kuigawa marekani likawa bado lipo. Damu ya vita ya wenyewe kwa
wenyewe (Civil War) inarudi na kumkuta mwanzilishi John C. Colhoun.

Mchungaji Phelan aliwahi kusema: “kwanini, kama seriakli ya marekani


ilikuwa katika vita vita na kanisa, tungesema hii serikali iende kuzimu. Na
kama kanisa lingekuwa na vita na serikali zote za dunia basi tungesema,
serikali zote za dunia ziende kuzimu. Kwanini basi papa ana nguvu
kubwa kiasi hiki? Kwanini papa ni mtawala wa dunia. Wakuu wote,
wafalme, wana wa wafalme na ma rais wote wamekuwa kama
wavulana hawa waliopo hapa kwenye madhabahu yangu.” Mchungaji
Phelan June 27, 1912.

John C. Calhoun alikuwa ni miongoni mwa vijana wanaohudumia


kwenye madhabahu ya papa (Altar boys) na alikuwa akifanya kile
anachoelekezwa kufanya na papa mwenyewe. Mwaka 1832, ujumbe wa
rais Andrew Jackson kwenye baraza la congress nchini Marekani alisema:
Haki ya watu wa taifa moja kuamua kujiweka huru kwa utashi wao na
bila msaada wa kimawazo wa mataifa mengine, ni kitu ambacho
kinaonewa wivu na mataifa mengine. Rais Jackson alijua njama za
Calhoun za kutaka kuiharibu Marekani na uhuru wa kikatiba uliokuwepo,
na hii kwake ilikuwa haikubariki. Lakini kitendo cha kutokubali kwa rais
Jackson ilikuwa ni kupingana na mikutano ya wabunge waliokaa kwenye

18
mikutano ya Vienna, Verona na Chieri, hivyo basi wanajamii wa Shirika la
yesu walikuwa na kila sababu ya kupambana nae.

Nicholas Biddle, wakala (ajent) wao mwingine wa Shirika la yesu alipewa


majukumu ya kukamilisha sehemu ya pili ya njama hiyo. Biddle alikuwa
ni mtu mmoja mwenye akili sana kwenye upande wa mambo ya fedha
(financier), kwa jinsi alivyokuwa na akili nyingi, alimaliza elimu ya chuo
kikuu cha pennsylvania akiwa na miaka kumi na tatu tu. Alikuwa ni
mtaalam wa sayansi ya pesa. Wakati Jackson anachaguliwa mwaka 1828
Biddle alikuwa tayari mkuu wa benki kuu ya umoja wa Marekani (federal
Government’s central Bank). Hii haikuwa kwa mala ya kwanza kwa benki
hiyo kuanzishwa. Mala mbili kabla, mwanzo iliwahi kuanzishwa wakati
wa Rais Robert Morris na mala ya pili wakati wa Alexander Hamilton.
Mala mbili wakati wa kuanzishwa kwake ilikuwa ikifeli kwasababu ya
rushwa iliyowahusisha watu waliokuwa wakiiendesha. Baada ya vita vya
mwaka 1812, benki kuu ikaanzishwa tena, na ilikuwa katika jaribio hili la
tatu la kuanzishwa kwake ndipo ikawa inaongozwa na bwana Biddle.
Nani alikuwa nyuma ya Biddle na jaribio la kuanzishwa kwa mala ya
tatu? Ukweli ulio wazi ni benki kubwa ya raia wa Israel, Rothschild
(mtoto wa rutu) waliokuwa na benki iliyokuwa inawala ulaya yote kwa
miaka hiyo ndiyo iliyopelekea kuundwa kwa benki kuu ya Marekani
(Bank of the United States).

Kwa miaka mingi bwana Nathan M. Rothschild, raia wa Israel aliyekuwa


akiishi jijini Manchester, Uingereza, alikuwa na mradi mkubwa wa
kutengeneza vigae (textile). Pamoja na hayo alikuwa akinunua pamba
kutoka kwenye majimbo ya kusini mwa Marekani. Nathan alikopesha
nchi nyingi barani ulaya, wakati huo huo akawa ni mtu anayefahamika
kiserikali kwamba ndiye anayeikopesha serikali ya Marekani na baada ya
hayo akawa ndiye anayesaidia kuanzishwa kwa benki kuu ya Marekani.
Kwa miaka mingi matajiri hawa wa ukoo wa rothschild ndio walikokuwa
wakitengeneza sheria za fedha kwa ajili ya benki kuu ya Marekani.
Viongozi waliokuwa nyuma ya Biddle katika juhudi za kuanzishwa kwa
benki kuu ya Marekani walikuwa ni wana ukoo wa Rothschid. Lakini
familia hii ya wanaukoo wa Rothschild walifanya kazi kwa ajili ya nani?
19
Kwa miaka hiyo papa alikuwa na jeshi imala kwa ulinzi wake mwenyewe
na ulinzi wa Vatikani. Wanaukoo wa Rothschild waliielewa dunia vilivyo
na kwakuwa walikuwa na pesa nyingi, yaani yaani mabilionea wa wakati
huo, walijua sehemu pekee ya kuhifadhia pesa yao katika dunia hii
itakuwa ni vatikan kwa papa. Hii ikapelekea waweke uhusiano mzuri na
papa na zaidi ya hayo vatikan iwe inawatunzia pesa yao. Pesa ilikuwa
nyingi kiasi kwamba hata vatikan ingetaka kutumia sehemu ya pesa hiyo
bado ingewabakia wana ukoo hao kuliko kuiweka sehemu nyingine
yeyote hapa duniani na wakati wa vita pesa yote ikateketea. Mwisho wa
siku wanaukoo wa rothschild wakaanza kujiita walinzi wa hazina
(treasury) ya Vatikan na hii ikapelekea vatikan kuwa na pesa nyingi sana.
Je nani angejua siri ya utajiri wa kanisa katoriki la roma?

Wanaukoo wa Rothschild waliungana na Shirika la yesu na walikuwa


hawana shida na papa kutekeleza mipango yake ili mradi pesa yao
ilikuwa mahala salama. Hivyo Shirika la yesu wakifanya kazi kwa msaada
wa wana ukoo wa Rothschild na Biddle wakawa na mamlaka makubwa
katika benki kuu ya Marekani. Swala zima la benk kuu na jinsi
inavyoendeshwa ilikuwa haimfurahishi Andrew Jackson. Wakati biddle
akiandaa mkataba mwingine wa kibenki mwka 1832, rais Jackson
alikuwa kwenye kampeni za muhura wa pili na akatumia kura yake ya
turufu (veto) dhidinya bunge la la Marekani lililotaka kuongeza muda wa
mkataba wa benki kuu. Alikataa kwa sababu kuu tatu. Benki hiyo ilikuwa
ya kinyonyaji. Ilikuwa haiendani na katiba ya Marekani na ilikuwa na
uhatari wa kaburi (grave danger) kwa nchi kwasababu wengi wa
wanahisa walikuwa ni watu wa ulaya.
Alisema:
Hivi sio hatari kwa uhuru wetu kama tuna benki ambayo haimilikiwi na
wamarekani?, je hii haitakuwa sababu ya uchaguzi kutokuwa huru na
haki iwapo vipo vita tunavyo pambana navyo? Hii benki inashikilia pesa
yetu, pesa ya wananchi wetu na kudhani kwamba maelfu ya wananchi
wetu wako huru itakuwa ni jambo la hatari kuliko hata jeshi lililo jipanga
nje ya mipaka yetu ili lipigane nasi. Haya yamo kwenye kitabu cha
historia ya benki na fedha Marekani ukurasa 26 na 27 (Documentary

20
History of Banking and Currency in the United States, Chelsea House, pp.
26, 27).
Maoni haya ya Rais Jackson hayakuwa mageni kuyasikia. Wengi wao
walijua nguvu iliyokuwa imejificha nyuma ya walikokuwa wakiendesha
benki hiyo. Mayer Rothschild alisema; mimi natoa na kudhibiti pesa ya
taifa na sijari sana nani anaandika sheria. Kwa upande wao wana ukoo
wa rothschild waliongozwa na sera ya ‘aliye na dhahabu ndiye huweka
sheria!’. Wana ukoo wa rothschild walikuwa wameiteka dunia vizuri
zaidi, kwa mbinu ya kunyata pasipo kujulikana zaidi na watadumu kwa
muda mrefu kuliko akina kaisari waliopita au akina hitler watakao fuata.

Shirika la yesu walimtumia Biddle na Rothschild kuwa na sauti ya juu


kwenye benki ya Marekani kwasababu walijua kwa kufanya hivyo
wataweza kuwadhibiti watu na kushawishi katiba ya Marekani iandikwe
kwa kuendana na vile papa anavyotaka iandikwe. Rais Jackson alikuwa
akijaribu kuwazuia.

Hebu tuiangalie benki hii inayoitwa benki kuu ya Marekani (central Bank)
ili tujue ni namna gani ilivyo ya hatari. Watu wengi hudhani benk kuu ya
Marekani inamilikiwa na serikali ya Marekani kitu ambacho ni tofauti.
Hapa kuna ufafanuzi ambao unaelezea moja ya vile benki hii inavyo
fanya kazi. Benki kuu ya Marekani (The central bank, the Federal Reserve
Bank), ni benki inayomilikiwa na mabilionea flani ambao wana nguvu
katika dunia hii. Benki kuu ya Marekani ina mahusiano tu na matajiri
hawa. Kabla ya hapo kulikuwa na benki katika taifa ambazo zilikuwa
zikishindana, hivyo wateja wote, ambao ni wanachi walikuwa na wigo
wa kuchagua waende benki gani. Lakini kwa sasa mambo hayako hivyo
tena. Wote tunajua kwamba serikali ya Marekani hukopa pesa ya
matumizi hivyo deni la taifa limekuwa kubwa sana. Lakini kwanini
imekuwa hivi?. Hebu tazama mfano huu. Chukulia serikali ya Marekani
inataka kukopa trilioni saba. Serikali inaweka dhamana kwa ajili ya
mkopo huu, kama ambavyo kampuni ya maji inayotaka kuweka bomba
jipya la maji au bwawa. Serikali hii hii ya Marekani inaweka dhamana ya
trilioni saba kwenye benki kuu. Serikali hii hii ya Marekani kwa kutumia
dhamana hiyo inaiagiza idara ya kuchapisha pesa kuchapa noti na sarafu
21
zenye thamani ya trilioni saba. Baada ya wiki mbili au tatu, baada ya
pesa kuwa zimechapishwa au kuchapwa (printed), idara ya uchapishaji
pesa inapeleka pesa hiyo kwenye benki kuu, na baada ya hapo benki kuu
inaandika cheki ya kama milioni hamsini kuilipa idara ya kuchapisha pesa
hiyo ya trilioni saba. Hapo sasa benki kuu ya marekani ndipo itakapo
chukua hizo trilioni saba na kuikopesha serikali ya Marekani, na watu wa
Marekani ndio watakao lipa riba ya trilioni saba inayokuwa kila mwaka.
Faida huenda kwa wamiliki wa benki kuu ya Marekani ambao
hawajaweka hata senti tano ili kustahili faida hiyo.

Je tunaona, kwamba pale ambapo serikali ya Marekani itakapokuwa na


deni la dola moja, dola hiyo pamoja na riba inaenda kwenye mifuko ya
wamiliki wa benki kuu. Huu ni uizi mkubwa katika nyizi zilizotokea
kwenye historia ya mwanadamu, isipokuwa ni uizi unaofanyika kwa akili
kubwa, namna ya kujificha na namna ya kuchanganya inayopikwa vizuri
na vyombo vya habari na wanaoumia hata hawaelewi ni namna gani
wanaumizwa. Hii ndio sababu kwanini Shirika la yesu wanataka kazi hii
ya uwizi iendelee. Kwasababu wanavuna pale wasipopanda, na mavuno
ni mazuri na umasikini ni hadithi za zamani.

Katiba ya Marekani inairuhusu serikali kuchapisha na kutengeneza pesa.


Kama bunge la marekani lingeidhinisha pesa ichapishwe kama katiba
inavyotaka, wala watu wasingekuwa na madeni ya kutisha kiasi hiki
kwasababu pesa ambayo serikali imejitengenezea isingekuwa na riba
itakayo pelekea kuwa na deni la kutisha. Biddle akajibu mashambulizi ya
Rais Jackson ya kupingana na kuiruhusu benki kuu ya marekani
kuendelea kuwepo kwa kubana mzunguko wa pesa. Alifanya hivi kwa
kukataa kutoa mikopo. Kwakufanya hivyo, akawa anayumbisha uchumi
na pesa ikapotea. Kukatokea ukosefu wa ajira, kampuni nyingi zikafirisika
kwasababu hazikuweza kulipa madeni yao. Taifa likaingia katika
mtikisiko wa uchumi. Biddle alidhani kwa njia hii Jackson angeruhusu
benki kuu iendelee. Alikuwa na jeuri kiasi kwamba alijigamba hadharani
kwamba alisababisha vilio vya kiuchumi Marekani. Kutokana na kuburi
cha upunguani, wengi walikuja na kuungana na sera za rais Jackson na
benki kuu ikafa. Ilikufa mpaka ilipokuja kufufuliwa tena mwaka 1913.
22
Watu wale wale, Shirika la yesu wa papa wa katoliki waliifufua benki yao
kwa makusudi yale yale ya kuipigisha magoti Marekani na kuurejeza
utawala wa papa.

Mpango wa kuwa na benki iliyo yao kwa jina la benki kuu ulizuiwa kwa
muda na rais Andrew Jackson. Rais huyu huyu alizuia haki za kila jimbo
na kazuia mikakati ya biddle kuiendeleza benk hiyo. Kama mipango yote
itafeli basi huwa inakubarika kuua mtu anatakaye simama mbele ya
mipango ya Shirika la yesu. Raisi alikuwa anazichukia njama hizi
wanasayansi kwenye mambo ya fedha zilizokuwa zinatengenezwa ndani
na nje ya Marekani. Shirika la yesu wakawa na hasira. Haikushangaza,
kwamba mnamo Hanuari 30, 1835, jaribio la kutaka kumuua lilifanyika.
Kwa miujiza, bastola zote mbili za muuaji zilishindwa kutoa risasi na
hivyo hatima yake iliyotaka aendelee kuishi ikambeba. Hilo lilikuwa
jaribio la kwanza la kutaka kumuua rais wa marekani. Mtu aliyetaka
kumuua rais aliitwa Richard Lawrence ambaye inawezekana kweli
alilukwa na akili au alijifanya kana kwamba akili zili mluka ili kuepuka
adhabu. kwa mfumo uliokuwepo, taifa limevamiwa na watu wa papa,
lawrence hakupatikana na hatia mahakamani. Baadae ilikuja kujulikana
kwamba alikuwa akijitapa kwa rafiki zake kwamba alikuwa akisaidiwa na
watu wenye nguvu ulaya hivyo hata angepatikana na hatia
wangemsaidia.

Marais wengine waliofuata walikuwa kwenye mawindo ya vatikan,


Roma. Wengi wao wameuawa, na baadhi yao waliponea kwenye tundu
la sindano. Sehem inayofuata inawaelezea marais William Henry
Harrison, Zachary Taylor na James Buchanan jinsi walivyokutana na
misukosuko.

23
SEHEMU YA TATU:
RAIS HARRISON, TAYLOR, NA RAIS BUCHANAN
William Henry Harrison alichaguliwa kwenye nafasi ya urais wa Marekani
mwaka 1841. Alikuwa na afya nzuri akiwa na miaka 67, miaka ambayo
alianzia urais. Wote walio mfahamu walijua hakutakuwa na tatizo kwa
rais huyo kumaliza kipindi chake cha miaka minne. Hata hivyo, ni baada
ya siku therathini na tano (35) tokea achukue kiapo cha kuongoza taifa
hilo alifariki mnamo april 4, 1841. Zaidi ya yote, ukitafuta habari za rais
huyo kwenye vitabu vya kumbukumbu vya encyclopedia utaambiwa
alifariki kwa niumonia (ugonjwa unaopelekea mapafu kujaa maji eitha
kwasababu ya baridi au athari za bakteria), kwenye baridi kali ya
washington D.C., lakini hiyo si kweli. Niumonia haikusababisha kifo
chake.
Wakati Harrison alipokuwa anachukua urais kulikuwa na hali nzito katika
nchi. Kulikuwa na matatizo ya malumbano kati ya majimbo ya kaskazini
na kusini kuhusiana na swala la biashara ya watumwa. Kulitakiwa
kufanyika marekebisho katika makubariano ya texas kwamba je biashara
ya watumwa iendelee au ikome. Kulikuwa na jaribio la kutaka kumuua
rais Jackson miaka sita iliyopita. Harrison akawa amechukua urais miaka
ishirini (20) kabla ya vita vya wenyewe kwa wenyewe (civil War) nchini
Marekani. Wingu la Shirika la yesu lilikuwa limeifunika Marekani kwa
uzito.

Andrew Jackson alikutana uso kwa uso na John C Colhoun kwenye


upande wa siasa na Nichorus Biddle kwenye upande wa uchumi katika
masuala ya fedha. William Henry Harrison alikataa kufuata kile Shirika la
yesu walichokuwa wakitaka kifanyike. Katika hotuba yake kwa taifa
kwenye siku ya kuapishwa kwake alisema:
Hatuwezi kwa na serikali nyingi nyingi katika nchi moja kwasababu katika
serikali ipo nguvu, na ijulikane kuwa waanzilishi wa taifa letu
hawakutaka yawepo haya miongoni mwetu; kwamba watu wote katika
nchi hii haijarishi wanatoka sehemu gani, wote wako sawa hivyo basi
serikali ni moja na miongozo yote itatoka kwenye ikulu yetu. Kwa kauli
24
hiyo Rais Harison akawa amejikuzia hasira ya Shirika la yesu. Kwa
maneno haya ambayo yalikuwa hayajakosewa, Rais Harisson akataka
ifahamike wazi msimamo wake uko wapi; akaonyesha kiburi mbele ya
adui wa taifa ambaye ni papa mkatoliki. Lakini pamoja na hayo, kwa
msimamo huo huo Rais Harrison alikuwa amejisainia hati ya kifo. Ni
mwezi mmoja na siku tano baada ya kuweka msimamo wake bayana,
Rais Harrison alifariki katika ikulu ya Marekani (white House). Aliuawa
kwa sumu iliyokuwa imetengenezwa na Shirika la yesu.

Kwa miaka karibu elfu moja, mapapa wa roman katoliki wamekuwa


wakihisi kwamba wamepewa haki kutoka kwenye kiti cha enzi, kwamba
wanadamu wote waungane chini ya mamlaka yao na udhibiti wao. Kama
kiongozi hatajiweka chini yao pamoja na nchi anayo iongoza basi
kiongozi huyo alikuwa hastairi kuongoza. Alikuwa sio tu Rais Harrison
aliyekataa kuwa chini ya mamlaka ya roma, kwasababu yeye alisimamia
kile ambacho katiba ya Marekani ilitaka kifanywe na kila aliyekuwa
anachukua kiti cha urais. Nchi ya Marekani ilikataa kuwa chini ya udhibiti
wa papa pamoja na jeshi lake analoliita jeshi takatifu la Shirika la yesu.
Pale ambapo taifa , kanisa au mtu yeyote atakataa kuwa chini ya katoliki
basi huo ndio utakuwa mwisho wake, ni mpaka pale Mungu atakapo
ingilia kati; vinginevyo kutakuwa na maangamizi makubwa. Ubabe wa
aina hii ni mgeni kusikika miongoni mwa watu ambao huishi katika nchi
huru kama Marekani. Uhuru wa kuwa na imani ya kuamini kitu
chochote, mungu yeyote au dini yeyote ili mradi usivunje sheria na kuwa
na Rais wala sio mfalme ndio nguzo katika katiba ya Marekani.

Mtawala mwingine ambaye alikataa miongozo ya ya papa alikuwa ni


Malkia Elizabeti (Queen Elizabeth). Malikia alikuwa ni binti wa mfalme
Henry wa nane aliyetawala uingereza kati ya mwaka 1558 mpaka 1603.
Elizabeth alichukua nafasi ya umalikia baada ya mtangulizi wake Maria
(Mary) aliyetawala kati ya mwaka 1553 mpaka mwaka 1558. Mary
alikuwa ni mkatoliki lakini Elizabeti alikuwa mlokole (protestant). Baada
ya kuchukua nafasi ya umalikia, Elizabeti alimuandikia Richard Crane,
aliyekuwa balozi wa uingereza Roma, kumfahamisha kwamba sasa yeye
ndio malikia. Lakini alijibiwa na papa kwamba uingereza ilikuwa ni
25
mtumwa wa papa, hivyo elizabeti alikuwa hana haki ya kuvaa taji ya
umalikia pasipo kibali cha papa, na ukichukulia kwamba Elizabeti alikuwa
amezaliwa kutoka kwa mke mdogo wa Henry, hivyo aliambiwa hiyo tu
haimpi sifa ya kuwa Malikia; vinginevyo awe tayari kuiweka uingereza
chini ya papa, yamkini angeukubali umalikia wake. Lakini kama
angekataa ushauri wake, basi asingeachwa kuongoza. Elizabeti alikaa
ushauri huo, hapo ndipo hasira za papa Pius na mapapa wote
waliomfuata zikawekwa bayana dhidi ya uingereza. Kwa kitendo cha
kukataa haki takatifu ya kuwa chini ya papa kulitokea majaribio kama
matano ya kutaka kumuua. Majaribio hayo yote yalifeli kwasababu
Elizabeti alikuwa na majasusi wazuri hivyo hakuuawa. Papa alipoona
majaribio yote matano ya kumuangamiza elizabeti yameshindwa
akamtumia mtoto wao, mkatoliki aliyekuwa mfalme wa hispania, Philip
wa pili (Phillip the second)
Mwaka 1580 papa na hispania wakapanga kuivamia uingereza kijeshi.
Alikuwa ni papa Sixtus wa kumi (Pope Sixtus X) aliyemuahidi Philip wa
hispania makombora milioni moja ili aangushe utawala wa uingereza na
ahadi aliyotoa kwa mfalme wa hispania ni kwamba Philip atatawala
hispania na uingereza na wakati huo huo uingereza itarudi kuwa chini ya
kanisa katoliki. Meli kubwa iliyokuwa maalufu nchini hispania ikatumika
katika vita dhidi ya uingereza kwasababu Elizabeti aikataa kiti chake cha
enzi pamoja na utawala wake usiwe chini ya papa. Kwa miaka therathini,
Shirika la yesu walijaribu kumuua elizabeti bila mafanikio. Mwisho
wakapanga na Philip wa pili wa hispania kumuondoa kwa nguvu kivita
kwa kutumia meli kubwa ya kivita iliyokuwa imesheheni makombora.
Lawama zitakuwa zikienda kwa mapapa waliofuata ambao kwa miaka
mingi waliwinda maisha ya Elizabeti lengo ikiwa ni kumuangamiza na
kuangamiza utawala wake ili tu Uingereza iwe chini ya utawala wa
waovu, utawala unaofanya nchi na watu kuwa watumwa, utawala
unajiita kanisa la roman katoliki.

Kama Elizabeti, Rais William Henry Harrison alipokuwa anaapa kuwa rais
wa Marekani, Shirika la yesu waliona anapingana nao wazi wazi. Bahati
mbaya siku therathi na tano tu katika kipindi chake cha kwanza cha
utawala akauawa kwa sumu akiwa ikulu. Generali Harrison hakufa kwa
26
kifo cha asili, wala sio kwamba afya yake ilikuwa na matatizo – isipokuwa
ilikuwa ni kitu cha kufisha haraka. Hii ndio sumu kubwa inayotumika
katika kuua kwenye dunia ya tabibu (medical). Zipo sumu za asidi mbali
mbali ambazo htumika kumuua mtu ndani ya dakika chache na hazimpi
mtakiwa muda wa kuepuka kifo. Hivyo basi, sumu iliyotumika kumuua
rais ilikuwa sio ya kutoa kifo cha ghafra, bali ya kuua taratibu. Aliishi
kama siku sita baada ya kupewa sumu. Rais William Henry Harrison
alikuwa rais wa kwanza kuuawa na Shirika la yesu, katika juhudi zao za
kutaka kuiweka Marekani na katiba yake chini ya papa. Hali hiyo
ingeendelea kwa rais yeyote ambaye angekuwa akipingana na Shirika la
yesu. Rais aliyefuata, Zachary Taylor, na yeye pia alikataa, hivyo akawa
kwenye orodha ya wanaotakiwa kuondolewa.

Jeshini, Taylor alifahamika kama mtu mkuu katika vita. Rafiki zake
walimuita ‘mtu aliye tayari wakati wote’. Aliingia ikulu ya Marekani
mwaka 1848, na baada ya miezi kumi na sita akawa amefariki.

Walitumia uvamizi wa Cuba (kyuba) kama mtihani kwa rais Taylor, na


mipango yao ilikuwa kuingiza mfumo wao mchafu mwanzoni mwa
utawala wa Taylor, lakini tokea mwanzo mipango hiyo iligundulika hivyo
hawakufanikiwa. Kile ambacho kingetokea iwapo Taylor na Marekani
wangeivamia Cuba, kulikuwa na wakatoliki wa Austria, hispania,
ufaransa na Uingereza ambao walikuwa tayari kuivamia Marekani kama
ingethubutu kupigana na cuba. Ingekuwa vigumu kwa Marekani
kusimama katika vita hivyo ambavyo ingekuwa ni dhidi ya muungano wa
wakatoliki wote wa ulaya. Papa aliyataka matokeo hayo na ndio maana
Shirika la yesu walimshawishi sana rais Taylor aivamie cuba. Je
kwakutokuivamia Cuba, alikuwa amefanya kosa jinginge dhidi ya Roma?
Aliongea kwa upendo ni namna gani umoja wa Marekani ulitakiwa
kuenziwa. Shirika la yesu walikuwa wakijaribu kwa nguvu zote kuigawa
marekani, Taylor kwa upande wa pili alikuwa akitumia nguvu zote
kuulinda muungano. Jesuit John C.Colhoun alimtembelea Taylor ikulu na
kumsihi sana asiongelee tena mambo ya muungano, katika hotuba yake
iliyokuwa inafuata, lakini Colhoun alikuwa hayupo kwenye ngazi ya
kumshawishi Taylor nini afanye na nini asifanye, kwasababu baada ya
27
hayo ujumbe wa muungano ndio ukatiliwa msisitizo katika hotuba ya
rais kwamba; Muungano ni jambo la kupigiwa upatu kwa kila mmarekani
kwasababu kwa zaidi ya miaka hamsini ambapo mataifa na nchi nyingi
zilizoungana zimesambaratika, muungano wetu umedumu pasipo
kutikisika…. Katika mtazamo wangu kugawanyika kwetu kutaleta
majanga ya kutisha, na hivyo basi kuepuka hayo muungano uwe ni
wimbo wa kila Mmarekani. Kutunzwa kwa muungano huu ni furaha
kwetu na vizazi vingi vitakavyo fuata baada ya sisi. Hatari yeyote
itakayoibuka dhidi ya muungano wetu, nitasimama mstari wa mbele na
kuulinda kwa nguvu zangu zote na nitatumia mamlaka niliyopewa
kikatiba kuhakikisha mabaya hayatokei.

Kulikuwa hakuna kumung’unya maneno katika hili. Viongozi waliokuwa


wakipenda biashara ya utumwa na watumwa walikuwa hawana bao kwa
Taylor, hivyo njama za kumuangamiza zikaanza kupangwa….

Wapanga njama walijua kila mtu atawanyoshea kidole iwapo


wangemuua Rais Taylor mapema, kama ilivyokuwa kwa rais Harrison,
hivyo wakamruhusu Taylor aongoze kwa mwaka mmoja na miezi minne,
hivyo July nne, sumu ikawekwa katika kinywaji chake siku ya sherehe
jijini washington na ilikuwa ni siku hiyo Rais alialikwa kuhutubia taifa.

Alikuwa na fya nzuri tu asubuhi ya siku hiyo na akawa mgonjwa


mahututi siku hiyo hiyo mchana mida ya saa kumi na moja jioni na
akawa amefariki jumatatu iliyofuata, kwa kuumwa kwa idadi ya siku zile
zile na kwa dariri zilezile ambazo zilionekana kwa mtangulizi wake Rais
Harrison.
Nguvu hii ya utumwa au Shirika la yesu ilielewa kwamba kwa namna
yeyote msimamo wa Rais Taylor ilikuwa ni vigumu kuugeuza hivyo
wakatumia mwanya wa sherehe ya tarehe nne July na kisha wakampatia
sumu ya kifo.
Miaka sita iliyofuata James Buchanan mtu wa Pennsylvania kutoka
chama cha Democrat, alichaguliwa kuwa rais. Rais Buchanan alikuwa na
maoni hasi mala kwa mala kuhusiana na majimbo ya kusini, na
ilionekana kama anaweza kutimiza ndoto za Shirika la yesu na papa. Rais
28
huyu aliuhakikishia uma kwamba maamuzi yake alikuwa anayajua
mwenyewe. Ingawa alikuwa mtu wa kaskazini, aliwaambiwa viongozi wa
kusini kwamba haijarishi alichukuliwa vipi ila yeye alikuwa ni rais wa
kaskazini na kusini na alikuwa na upendo wa dhati kutoka katika moyo
wake na nafsi yake na viongozi wa kusini. Hapa akawa amewapiga
chenga ya wazi Shirika la yesu. Uzoefu ulimfanya Buchanan ajue Shirika
la yesu watakachomfanya kwa msimamo wake kwasababu walisaidia
katika yeye kufanyika rais wa Marekani. Kwenye sherehe za siku ya
uhuru wa Marekani, Buchanan akasisitiza msimamo wake kuhusu
muungano na siku iliyofuata akawekewa sumu. Mkakati ulikuwa
mkubwa na ulifanyika kwa akili nyingi. Rais Buchanan kama ilivyokuwa
desturi yake kwenye hoteli moja jijini washington, meza iliwekwa kwa
ajili yake na rafiki zake katika sehemu ya mahafali (dining room). Rais
alijulikana sana kwa kupenda kunywa chai; hata hivyo ni utamaduni wa
watu wa majimbo ya kaskazini kunywa chai nyakati za jioni. Watu wa
majimbo ya kusini wao ni kahawa sana. Hivyo kuhakikisha kwamba
mipango inafanikiwa dhidi ya buchanan sumu ikawa imewekwa kwenye
birika lililokuwa na chai na kwenye sukari na vikawekwa tayari kwa ajili
yao. Sumu haikuwekwa kwenye sukari iliyokuwa kwenye bakuri
zilizokuwa kwenye meza zingine ambazo zilikuwa na kahawa. Hakuna
mtu miongoni mwa watu wa kusini, watu wa kahawa aliyeathirika. Kati
ya watu hamsini mpaka sitini walikula katika jioni hiyo na idadi ya
waliopoteza maisha ilifika therathini na nane (38). Rais Buchanan
alipewa sumu ila kwa msaada wa madaktari maisha yake
yalikombolewa. Wakati wa matibabu yeye Rais ndiye aliyekuwa
anawaambia madaktari nini cha kufanya kwasababu alijua kilichokuwa
chanzo cha ugonjwa wake, na aliijua picha yote. Tokea tukio hilo litokee,
habari ilienea sana kiasi kwamba hakuna mtu ambaye amethubutu
kuingia katika hoteli hiyo. Je kazi ya kuweka sumu ilifanyika na
wahudumu au wapishi wa hoteli?, ilikuwa kwa namna gani chakula chao
kilitofautishwa na chakula cha wageni wa rais. Kutoka mwaka 1841
mpaka mwaka 1857 tumeona marais watatu waliathirika na vita ya
Shirika la yesu kama ilivyokuwa imepangwa kwenye mabunge ya Vienna,
Verona na Chieri. Wawili walifariki na mmoja kuponea kwenye undu la
sindano.
29
Hawaruhusu kitu chochote kusimama mbele ya kile wanachopanga
katika mpango wao wa kuiweka Marekani chini ya miguu yao pamoja na
mpango wa kuiharibu katiba. Vile wanavyo itazama Marekani, makasisi
wa roma wamesema, tumekusudia kuichukua Marekani; lakini ni lazima
tuendelee na mpango huu kwa usiri wa hali ya juu. Kimya kimya na kwa
uvumilivu, lazima tujaze wakatoliki katika majiji yote Marekani,
kwasababu kwa mfumo walionao wamarekani wa kuchagua viongozi
kwa kupiga kura, hivyo basi kura ya mtu masikini kabisa anayevaa nguo
zilizo chanika inauzito sawa na milionea yeyote, hivyo basi kama
tutakuwa na kura za masikini wawili, milionea atakuwa kama konokono
katika kushindwa. Hivyo basi tufanye kuongeza wingi wa kura zetu;
tuwaite wakatoliki wengi kutoka kwenye kila kona ya dunia hii, na
tuwajaze katika miji ya Washington, New York, Boston, Chicago, Buffalo,
Albany, Troy Cincinnati na maeneo mengine. Kwenye kivuri cha miji hiyo
mikubwa, wamarekani hujiona kama ni watu walio wazuri katika
mashindano. Watakuwa wakiwaajiri wakatoliki hawa waliongia kwenye
nchi yao kama watu wa kuchimba mitaro, kufagia mitaa na bara bara zao
na kuwafanyia kazi za ndani. Asithubutu mtu kuwaamsha simba hawa
walio lala kwa sasa. Tumuombe mungu kwamba waendelee kulala kwa
miaka mingi inayokuja, na pale watakapo shituka, tutakuwa tumejaa
katika nchi, na katika kushiriki kwetu kwenye sanduku la kura tutapata
watu kila pahala na katika kila nafasi ya heshima, mamlaka na faida!....
Je watu hao ambao hudhani ya kuwa ni wakuu, watawaza nini wakati ule
ambapo wabunge wao (senetors) au wajumbe wa baraza la congress
hawatachaguliwa isipokuwa baba yetu mtakatifu papa atakapokuwa
ameidhinisha? Hatutachagua rais tu, isipokuwa tutajizatiti na kuwa
viongozi wa kila jeshi, na kushika funguo za hazina ya nchi!....

Baada ya hapo, ndio! Tutaitawala marekani na kuwaweka watu wake


chini ya muwakirishi wa yesu kristo duniani, papa, ili kwamba amalize
mfumo wao wa elimu na sheria za uhuru wa kila raia, ambazo ni matusi
kwa mungu wetu na mwanadamu.

30
SEHEMU YA NNE: RAIS ABRAHAM LINCOLN
Mwaka 1856, mtumwa mmoja kwa jina la Dred Scott alitakiwa kupata
uhuru wake katika jimbo huru la Kansas. Kesi hiyo ilikuwa ni muhimu
sana kwamba ilienda mpaka mahaka kuu. Hukumu ya kesi ya mtu asiye
maalufu Dred Sott, ilikuwa ikiamriwa na jaji muumini wa kanisa katoliki
mwenye siasa kali za kikatoliki jaji Taney, aliyekuwa jaji mkuu wa
marekani kwa kipindi hicho. Uamuzi wa Jaji Taney, ulikuwa ni katika
mtizamo anaoujua mwenyewe kwamba mtu mweusi alikuwa hana haki
yeyote ambayo ilitakiwa kuheshimika na mzungu (white man). Hii moja
kwa moja ilitafsiriwa kwamba mtu mweusi alikuwa wa daraja la pili
(inferior) kutoka kwa mzungu hivyo alikuwa hana haki.

Alipokuwa mtoto, Abraham Lincoln alikuwa akiona jinsi vijana wa kiume


na kike wa kiafrika walivyokuwa wakiuzwa kama bidhaa kwenye mji
mdogo wa Illinois. Kuna siku alikuwa na rafiki yake na walikuwa
wakitembea maeneo ya mnada wa hadhara wa watumwa, lincoln
akamuambia rafiki yake kwa hasira, “ipo siku nitakuja kuikomesha
biashara hii!”.
Novemba ya mwaka 1855, Charles Chinikui (Charles Chiniquy), askofu wa
jimbo la katoliki la kankekee, Illinios, alikuwa akishutumu maamuzi
mengi yaliyokuwa yakiamriwa na askofu wa dayosisi ya chicago. Askofu
Chinikui alikuwa akisisitiza mala kwa mala katika somo la kuwa na kiasi
katika maamuzi yanayotolewa na viongozi wa kikatoliki. Kwakuwa
viongozi wengi wa kanisa katoliki walikuwa ni walevi na waumini wa
kawaida walikuwa ni rafiki wa pombe, upinzani mwingi wa pombe wa
chinikui haukukubarika. Chinikui muda wote alitumia vifungu vya biblia
kama sehemu yake ya kusimamia. Hii ikamfanya askofu wa kanisa
katoliki wa chicago kuwa na kinyongo na chinikui. Zengwe liliundwa, na
sister (mtawa wa kike) mmoja aliyekuwa akifanya kazi na Askofu chinikui
akamfungulia kesi ya unyanyasaji wa kijinsia. Vyombo vya habari vyote
viliandika sana kuhusu habari hiyo kiasi kwamba hata wanasheria
wakawa wakisita kusimamia kesi yake. Wanasheria wengi walikuja
kung’amua kwamba kitendo cha kuismamia kesi hiyo ilikuwa ni

31
kushindana na kanisa lote la katoliki duniani. Charles Chinikui alijua
kwamba kuna mwanasheria mmoja, Abe (Abraham) Lincoln, katika
illinois ambaye alikuwa ana msimamo dhabiti. Chinikui alimuomba
Lincoln kama mwanasheria asimame upande wake wa utetezi, jibu
likawa ni “ndiyo, nitafanya hivyo katika kulinda heshima yako kwenye
tarehe iliyopangwa ya kesi yako”.

Wakati Charles, Chinikui alipokuwa akitetewa na Abraham Lincoln,


tunasoma, tunaambiwa, Mwanasheria Lincoln akaanza kwa kuelezea sifa
za askofu Chinikui, na jinsi gani haki ambavyo haikutendeka katika
kumfikisha mbele ya mahakama, na katika kuhitimisha Lincoln,
“akasema, kwakua Mungu amenipa moyo wa kutafakari, ubongo wa
kutumia kufikiri au mikono ya kutekelezea nia zangu, nitavitumia vitu
hivi dhidi ya nguvu inayotumia miundombinu ya mahakama ili
kudidimiza haki na utu wa raia wa Marekani”. Lincoln alijua kwamba
mahakama haikutenda haki katika kumhukumu Chinikui. Siku moja
kabla ya chinikui kuhukumiwa kifungo kwa makosa ambayo
hakuyafanya, kuna shahidi mmoja wa kuona (eye witness), ambaye
aliona mpango mzima ulivyokuwa umesukwa wa namna ya kumuweka
Chinikui kifungoni kwa ushahidi wa uongo, alijitokeza mahakamani na
kueleza ukweli wote, hivyo Chinikui akawa ameokolewa.
Mwanasheria Abraham Chinikui alitengeneza maadui wengi baada ya
ushindi wa kesi ya chinikui. Walivyokuwa wakitoka mahakamani Charles
Chinikui alikuwa akilia. Lincoln alipomuuliza sababu ya kulia, chinikui
akajibu, “furaha niliyonayo katika ushindi huu inazongwa na hofu
niliyonayo juu ya usalama wako. Moja ya watu waliohudhuria kwenye
kesi hii kusikiliza hukumu yangu leo, ni wazi walijua nitawekwa jela, ni
Shirika la yesu zaidi ya kumi akiwemo mtakatifu Louis wa Chicago, na
kinachofadhaisha nafsi yangu kwa sasa na kufanya machozi yanidondoke
ni hukumu ya kifo ambayo imetangazwa na macho yao ya kifedhuri. Je ni
watu wangapi walio tunu ya taifa hili ambao wamesha anguka chini ya
miguu yao!”
Kwenye miaka ya 1855 na 1856, Abraham Lincoln alikuwa ni mtu
asiyehitajika kuwa hai na Vatikan. Miaka minne baadae, yaani mwaka
1860, Abraham Lincoln alichaguliwa kuwa rais wa Marekani. Alipokuwa
32
akielekea Washington D.C. kutoka illinois, alipita katika jiji la Baltimore.
Baadae akamuambia Charles chinikui, “ninafuraha ya kuonana na wewe
tena……. Si unaona, rafiki zako wa Shirika la yesu hawajaniua. Naamini
wangefanya hivyo kwakuwa nimepita katika jiji ambalo wamejazana kwa
wingi, jiji la Baltmore. Hata hivyo naona wangefanya hivyo kama
nisingejibadirisha, kwasababu walitegemea kuniona ila hawajaniona.
Habari za kijasusi tulizonazo ni kwamba lipo kundi la watu linalo
ongozwa na padri Byrne, wa roman katoliki, ambao waliandaliwa
kuniua; ni kundi la wakatoliki watupu; zaidi ya hayo kulikuwa na makasisi
wawili waliokuwa wakiwakumbusha na kuwatia moyo katika viapo
vyao…. Nilimuona Profesa Morse, ambaye ni kiongozi katika teknolojia
ya mawasiliano ya maandishi: Aliniambia kwamba muda si mrefu
alikuwa Vatikan, Roma na amepata ushahidi wa njama za hatari dhidi ya
nchi yetu na vitivo (institutions) vyake vyote. Kuna ushahidi wa kutosha
kwamba tunayo vita dhahiri na njama zinazopikwa na papa na kama
hatutakuwa makini vita ya wenyewe kwa wenyewe haiwezi kuepukika.
Hata hivyo profesor Morse aliondoka roma kabla ya kujua zaidi mipango
ya siri ya Shirika la yesu dhidi ya uhuru wetu na vile vitu vilivyoifanya
nchi yetu idumu hata mpaka leo.

Waliajiriwa watu ishirini katika jiji la Baltimore kutekeleza mauaji ya rais


Lincoln pale atakapokuwa akielekea Washington. Kiongozi wa kundi hili
alikuwa ni mkimbizi kutoka Italia, ambaye alikuwa ni kinyozi na
alifahamika sana katika jiji la Baltimore. Waliweka mpango wao namna
hii: Pale Rais Lincoln atakapo wasili Baltimore, wauaji walitakiwa
wajichanganye na watu kadiri watakavyoweza mpaka watakapokuwa
karibu nae kabisa, na wamuangamize kwa bastola. Na kama atakuwa
kwenye gari la kibanda, basi makombola ya mikononi yalikuwa
yameandaliwa, yalisheheni milipuko ya kutosha kama ilie iliyotumika
kwenye jaribio la kumuua Louis Napolion. Haya yalikuwa yanarushwa
kwenye gari kwa wingi na risasi za bastola zingetumika kuishambulia gari
ya Rais kwa wakati huo huo. Baada ya kazi hiyo, boti ilikuwa
imeandaliwa ufukweni kwa ajili ya kuwatorosha wauaji. Kinyozi mkatoliki
aliyekuwa akifahamika sana, alipewa jukumu la kumkaribia rais na
kumchoma kisu.
33
Bahati nzuri, jaribio la kwanza la mauaji ya Rais Lincoln yakashindikana,
kwasababu lengo ilikuwa ni kumuua kabla hata hajaenda kuapishwa
kwenye ikulu ya Marekani!
Lakini siku kadhaa kabla John Wilkes Booth akiwa kwenye treni,
alidondosha barua aliyokuwa ameandikiwa na Charles Selby. Barua hiyo
ilipo okotwa ilipelekwa moja kwa moja kwa rais Lincoln, ambaye mala tu
baada ya kuisoma akaandika juu ya bahasha hiyo “Njama za kuniua” na
akaiweka kwenye mafaili ya ikulu, ambapo barua hiyo ilikuja kupatikana
baada ya Lincoln kufariki, na ikatumika kama ushahidi mahakamani.

Haya ndiyo yaliyokuwa yameandikwa katika barua hiyo:


Abe (Abraham) lazima afe, na afe sasa. Mnaweza kuchagua siraha zenu,
kama sumu kwenye kikombe au glasi ya kinywaji, kisu, risasi. Kwa
upande wa sumu kwenye chakula, tuliwahi kushindwa na tunaweza
kushindwa tena…. Mnajua kule mnakoweza kuwapata rafiki zenu. Vile
mnavyokuwa miongoni mwao pasipo kujulikana ni kitu kizuri sana…..
piga kwa ajili ya kwenu; piga kwa ajili ya nchi yako; tumia muda wako
kutafakari vile utakavyo fanya, lakini ama kwa hakika piga.
Barua hii ilitumika kwenye hukumu dhidi ya mwana mama Mary E.
Surratt na wengine wote waliohusika dhidi ya mauaji ya Rais Lincoln.
Walitaka kumchoma kisu. Kama hiyo ingeshindikana, wangempiga risasi,
na kumlipua. Yote hayo yalishindikana hivyo wakataka kumuua kwa
sumu. Walikuwa ni wale wale watu wa papa, Shirika la yesu. John Smith
Dye, aliyeona kwa macho siku haya yanatokea anatuambia,
Ilikuwa ni siku nyeusi katika historia ya nchi yetu pale ambapo watu
wenye siraha nzito walipo izunguka hoteli aliyokuwa amekodiwa kwa
muda rais Lincoln na jaji mkuu kuepusha kifo chake. Na mnamo march 4,
1861, siku ya kuapishwa kwake, alipitishwa katika mitaro ya chini ya
ardhi ili afike ikulu kuapishwa. Miaka hiyo haikuwa mizuri kwa marekani.
Majaribio kadha wa kadha ya kutaka kumuua, na baadaye walifanikiwa
kumuua Lincoln, yanakueleza nini kuhusu kanisa la katoliki? Hii
inaonyesha kwamba ni kuwadanganya watu kwamba wao ni kanisa,
lakini ukweli ni kwamba hapo hamna kanisa isipokuwa wanavaa sura ya
kanisa ili wasishitukiwe na waendelee kuwahadaa watu duniani kote.
Lengo la vatikan ni kutawala dunia kupitia kanisa lao la katoliki.
34
Wakiweza kufanya hivyo siku zote wataamua nani atawale wapi na
baraza lake la mawaziri liweje na katiba ya nchi itungwe vipi ili mwisho
wa siku taifa zima liitazame vatikani katika miongozo. Siraha yao kubwa
katika kutekeleza haya ni neno ‘demokrasia”. Wanajua kupitia
demokrasia ndipo wataweza kuteka nchi yeyote kupitia sanduku la kura,
kwakua kabla ya hapo shirika la yesu watakuwa walitangulia kuwarubuni
watu kupitia kanisa la katoliki, na panapokuwa na waumini wengi wa
kanisa katoliki, nchi hiyo itamirikiwa na papa. Vatikan haijakurupuka
katika kuhakikisha mipango yake inafanya kazi. Wako vizuri katika kile
wanacho fanya. Kwa miaka hii ya 2010 na kuja juu wameshindwa kuingia
china, na urusi tu.

Abraham Lincoln alisema,


Majaribio na mipango mingi imefanyika ya kutaka kuniua. Lakini ni
miujiza kwamba wamekuwa wakifeli mpaka sasa, lakini tuweke akilini
kwamba wengi katika wauaji hawa ni watu walioiva baada ya kupikwa
vizuri na wauaji wa kanisa katoliki la roma, ambao ni Shirika la yesu.
Lakini, Je, tutegemee eti mungu atafanikiwa katika kuwazuia wasiniue?
Siamini hivyo. Shirika la yesu ni wataalam katika matendo ya kumwaga
damu kwamba hata Henry IV (mfalme wa uingereza) alisema ni vigumu
kuwakwepa hawa, ingawa alifanya kila alichoweza kukifanya ili
wasimpate. Lakini kama vile Bwana alivyomuambia Musa kwamba
hatavuka mto jodan isipokuwa itabidi afe kwa ajili ya dhambi za
waisraeli, hivyo nadhani na mimi itakuwa hivyo, kwamba nakufa kwa ajili
ya taifa langu, Marekani. Kuna mambo mawili tu ninayo muomba Bwana
Yesu: moja nife kwa ajili ya kuipigania nchi yangu na kwamba ifahamike
kwamba mimi ni mpigania haki ya uhuru wa nchi yangu. Pili, kwamba
mtoto wangu Robert, pale nitakapokuwa nimefariki, awe ni mmoja wa
watu nyanyua bendera ya uhuru itakayofunika kaburi langu, na
ataichukua kwa heshima na uchungu mpaka mwisho wa maisha yake
kama baba yake nilivyo fanya, akiwa amezungukwa na mamilioni ya wale
ambao wako tayari kupigana na kufa kwa ajili ya heshima ya nchi yetu.

Abraham Lincoln alielewa kwamba muda wake ulikuwa umekaribia.

35
Katikati ya mafanikio ambayo yalikuwa yanaendelea huku kengere za
nchi zikipiga kwa furaha, mabaya yalianguka na yalipelekea nchi
kuzidiwa katika hofu na vilio. Ijumaa ya Aprili 14, Rais Lincoln
alitembelea maonyesho ya gari za Ford jijini Washington. Akiwa amekaa
kwenye eneo la maonyesho, kuna mtu alitokea kwa nyuma akatoa
bastola kutoka mfukoni na kumpiga kwa risasi kichwani. Rais alipokuwa
akianguka, huku mke wake aliyekuwa amekaa pembeni yake akipiga
kelele kwa nguvu, muuaji akaruka kutoka jukwaani huku akisema ‘Sic
siemper tyrannus! (kiratini – ‘ndivyo tutakavyo fanya kwa kiongozi
yeyote mbaya’) na kupotelea nyuma ya jukwaa.

Mkuu Abraham, kutoka kwa wazazi wenye malezi mema, muaminifu


katika mambo yote, mpole alivyokuwa mtoto mwenye roho ya upendo,
ambaye hakuthubutu hata kuwajeruhi maadui zake waliokuwa
wanaonekana wazi wanasumu: ila sasa ameuawa kwa risasi ya muuaji.
Lakini muuaji alikuwa nani?. Booth alikuwa si kitu zaidi ya kuwa kifaa cha
Shirika la yesu. Ilikuwa ni Vatikan walioelekeza mkono wake baada ya
kuupa rushwa moyo wake na kuponda ponda nafsi yake.

Katika kitabu cha kumbukumbu kilichotumika kama ushahidi kwenye


hukumu ya wote walihusika na kifo cha Abraham Lincoln, ilionekana
wazi kwamba mipango ya mauaji ya rais ilikuwa ikikamirishwa au
kusukwa katika nyumba ya Mary Surratt, nyumba namba 561, mtaa wa
H, jijini Washington D.C. (D.C. - Distric Columbus). Wote waliokula viapo
kutoa ushahidi wa ukweli walisema hilo ndiyo eneo ambalo mala kwa
mala makasisi wa kanisa katoliki walikuwa wakikutana. Ni kitu gani
ambacho kinaonyeshwa duniani na uwepo wa makasisi na maaskofu
katika nyumba hiyo? Hakutakuwa na mtu mwenye akili timamu anaye
wajua wakatoliki vizuri anaweza kutilia shaka kwamba viongozi hao
ndiyo waliokuwa waratibu na washauri wa mpango huo mchafu.
Ilijukana kwamba makasisi hao ni watu ambao wako tayari hata kujitoa
mhanga kwa ajili ya papa, lakini sana walijitoa kutekeleza kila agizo
kutoka Vatikan. Ilikuwa ni katika kipindi hicho ambacho papa alikuwa
akimuita kiongozi wa majimbo ya kusini, Jefferson Davis (Jeff Davis)
mtoto wake, na ni kipindi hicho ambacho magazeti na vyombo vya
36
habari vya majimbo ya kusini vikachapisha habari kwamba papa Pius IX
(papa Pius wa tisa) ni mtu anayeubariki muungano wa majimbo ya kusini
na anakusudia kumfanya Jeff Davis kuwa kiongozi wa kwanza. Hiki
kilikuwa ni kipindi cha vita ya wenyewe kwa wenyewe, kwasababu
ingawa waliokuwa wakitangazwa kwamba wamefariki walikuwa ni watu
mashuhuri na viongozi lakini raia wa kawaida wengi walipoteza maisha
eidha kwa kupoteza ushahidi au kumuua yule asiyetakiwa kuongoza.
Kiongozi mkuu wa waasi, Jeff Davis, alitoa pesa; lakini Shirika la yesu
wenyewe walikuwa wakichagua na kuwapa mafunzo wauaji, na
kuwaonyesha mataji ya utukufu watakayo vishwa wakifika mbinguni
iwapo watakufa kwa ajili ya kumpigania papa. Kwasababu Marekani
walikuwa wakiukataa ukatoliki, walikuwa ni watu wanao pingana na
kanisa katoliki ambalo limeachwa na Yesu mwenyewe kwa kumuambia
petro “juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu ambalo; wala
milango ya kuzimu haitalishinda”– Mathayo 16:18. Hivyo waprotestanti
(wote wasio wakatoliki) ni waasi na maadui wakubwa wa yesu. Papa tu
ndiye makamu wa pili wa yesu, na kanisa katoliki ndio njia pekee, na nje
ya hapo ni uasi. Na waasi hawatakiwi kuishi. Swali ni Je, huyo petro na
wafuasi wake, walitakiwa kuwaua wasiomfuata yesu, au kuwashawishi
kwa kuwahubiria habari njema ili wamfuate huyo Yesu?
Nani haelewi mafundisho yaliyokuwa yakitolewa kwa Booth na Shirika la
yesu katika nyumba ya Mary Surratt, alipokuwa akisoma mistari ya
iliyoandikwa na Booth kabla ya kifo chake : “siwezi kutubu kamwe.
Mungu alinifanya mimi kuwa chombo chake cha adhabu dhidi ya waasi”.
Fananisha maneno haya na mafundisho na kanuni zinazofundishwa na
mabaraza, na kiapo cha papa, na sheria takatifu za kujichunguza (laws of
holy Inquisition) zilizomo kwenye vitabu vya wakatoliki, utaona kwamba
kila aloichotekeleza Booth kilimiminika kutoka kwenye mafundisho hayo
kama mto unavyo tiririka kutoka kwenye chanzo chake. Na kwamba
mtumwa wa papa, mama Surratt, ambaye siku ya pili baada ya kifo cha
Rais Abraham Lincoln, bila hata uoga alisema: “kifo cha Rais Abraham
Lincoln hakina tofauti kwa thamani na kifo cha mtu yeyote mweusi
ambaye tutamchanganya na wanajeshi wetu katika vita.” Huyu mama
aliitoa wapi mithali hii kama sio kutoka kwenye kanisa lake? Ambalo siku
zote wao huamini hivyo, na ndio maana siku ya kesi ya Dred Scott, Jaji
37
wa kanisa la roman katoliki, Jaji Taney, alisema watu weusi hawana haki
itakayotakiwa kuheshimika na mtu mweupe. Hivyo Rais Abraham
akafananishwa na mtu mweusi.
Mala tu baada ya kifo cha Rais Lincoln, John Surratt, aliyekuwa miongoni
mwa walio panga njama za mauaji ya Rais, alichukua ndege na kwenda
hadi jiji la Montreal. Kutoka Montreal, akachukua ndege hadi Liverpool,
Uingereza na baada ya hapo akapanda tena ndege hadi Vatikan, Roma.
Ofisa mmoja wa marekani alimuona John Surratt pamoja na jopo la
makamanda wanaomlinda papa. Njama ya kifo cha Rais Abraham Lincoln
ilipangwa na papa mwenyewe!

Watu wanne walifikishwa mahakamani, wakashtakiwa na kuhukumiwa


kunyongwa kwasababu ya kuhusika katika kifo cha Abraham Lincoln.
Majina yao yalikuwa ni Davy Harold, Lewis Payne, George Atzerodt na
Mary E Surratt. Wote walikuwa wote walikuwa ni waumini wa kanisa
katoliki. Walipokuwa wakimuua Abraham lincoln, jaribio lingine la
mauaji lilifanyika dhidi ya William Seward, katibu mtendaji wa Marekani.
Vilevile kulikuwa na jaribio la mauaji dhidi ya Ulyssws S Grant, ila kwa
bahati nzuri, Grant akawa amechukua likizo ya haraka kwa ajili ya
kuwepo kwenye matibabu ya ndugu yake aliyekuwa mahututi jijini New
Jersey. Andrew Johnson, Makamu wa rais alitakiwa auawe katika kipindi
hicho. Lakini mtu aliyetumwa kumuua akawa ana hofu hivyo huyo
muuaji akiwa na farasi wake aliamua kukimbilia polini bila kutekeleza
sehemu ya mipango yao. Lewis Payne aliyefahamika kama kijana wa
Florida, kijana aliyekuwa amejengeka kimwili na alikuwa na mwili
mkubwa, vile vile alikuwa amejiunga kwenye njama za mauaji, alikwenda
mpaka kwenye makazi ya katibu mtendaji, William Seward. William
Seward alikuwa anaumwa kwa kipindi cha wiki tatu, alikuwa akiuguza
taya, aliloumia wakati wa mazoezi na timu yake hivyo alikuwa chini ya
uangalizi wa manesi wa kiume. Payne alipiga kengere ya mlangoni na
mtu mmoja jamii ya afrika alienda kuangalia aliyekuwa mlangoni. Payne
akamuambia mlizi huyo kwamba alikuwa na dawa alizokuwa nazo
ambazo aliagizwa kumpelekea mgonjwa. Mlinzi akamkatalia kuingia kwa
kusema hakupata maelekezo yeyote kuhusu dawa zitakazoletwa kwa
ajili ya mgonjwa na zaidi aliambiwa hakutakiwa kumruhusu mtu yeyote
38
kuingia. Alichofanya Lewis Payne ni kumshambulia mlinzi kisha akapanda
ngazi mpaka kwenye chumba cha mgonjwa. Humo aliwakuta watoto
wawili wa katibu mtendaji wakiwa na baba yao, alifanikiwa kuwaua na
kisha akamfikia mgonjwa na kumchoma visu mala tatu. Baada ya mauaji
hayo, Payne akatoka kwenye jengo hilo huku akipiga kele kwa sauti
kubwa, “nina kichaa! Nina kichaa,!” na kuna uwezekano alikuwa na
kichaa. Kwasababu alikuwa amesha changanywa na mafundisho maovu
ya Shirika la yesu wa papa. Ilikuwa ni muendelezo wa njama kwamba
Michael O’Laughlin mmoja wa wana njama kutoka Baltimore alitakiwa
kumuua Generali wa jeshi la Marekani, Grant usiku ule. Hii
haikuwezekana kwasababu kila muda mipango ya ulinzi hubadirika na
generali akawa na mipango mingine sehemu nyingine. Atzerodt alipewa
jukumu la kumuua Makamu wa rais, Johnson, lakini akawa na hofu kuu,
hivyo akapoteza muda mwingi akizunguka na farasi polini….. na baada ya
siku kadhaa alipatikana na ndugu zake jijini Washington. Alikiri
kimaandishi kabla ya kunyongwa kitu kilichopelekea ijulikane kwamba
John Surrati alihusika vilivyo kwenye njama za mauaji ya rais. Mpango
ilikuwa sio tu kumuua Rais, isipokuwa kuua wengi wa viongozi wa
serikali na kuiweka serikali ya marekani katika mkanganyiko wa kutisha.
Katika haya, mbegu ya mgawanyiko kati ya majimbo ya kaskazini na
kusini ilishakuwa imepandwa katika taifa la Marekani swala kubwa ikiwa
ni watu wa majimbo ya kusini walitaka biashara ya utumwa iendelee na
kaskazini wakiigomea. Mgawanyiko huu ulikuwa ndio nafai pekee ya
dhahabu aliyokuwa nayo papa, kwamba aharibu kipande kimoja baada
ya kingine ili achukue utawala kamili baada ya watu hawa kuuana sana.
Na katika kipindi hicho papa alijua saa ya kushangilia ushindi mkuu
iliwadia, hivyo akawa amemuandaa mtawala wa ufaransa aliyekuwa
mkatoliki kwamba aweke jeshi lake mexico kwa ajili ya kuwasaidia
wanajeshi wa majimbo ya kusini ya Marekani dhidi ya kaskazini na
akawaomba wakatoliki duniani kote, kwa jina la watumwa wa papa,
kujiunga na jeshi la wafaransa nchini mexico.

Abraham Lincoln alimuambia hivi Charles Chinikui:


Daima nitakushukuru kwa vile ulivyo niasa dhidi ya hatari inayo nikabiri
kutoka Vatinakan, Roma. Najua hii siyo hatari ya kusadikika. Kama
39
ningekuwa na vita dhidi ya wakristo wa kiprotestanti wa majimbo ya
kusini, wakiwa kama taifa, kusingekuwa na hatari dhidi ya maisha yangu
binafsi. Mataifa ya watu wanaosoma biblia hupambana kijasiri kwenye
uwanja wa vita, na wala hawawaui maadui zao kwa njama. Papa na
Shirika la yesu, wenye hila ovu, ndio kundi peke yake duniani ambao
hutumia mbinu tofauti na ile ya kupambana na adui kwenye uwanja wa
vita isipokuwa wanakuja nasura ya kirafiki, wanajichanganya na watu
wenu na kuanza kuua wakiwa miongoni mwenu, na hufanya haya kwa
wale wote ambao wameshindwa kuwashawishi kwanjia ya kujieleza
kuingia katika imani au dini yao, au kwamba wamewashinda katika vita
ili walioshindwa wakubali utumwa. Bahati mbaya, vita vyangu sio dhidi
ya wamarekani wa majimbo ya kusini, isipokuwa ni dhidi ya papa wa
Roma na jeshi lake la Shirika la yesu na wamarekani wengine waliokubali
ukatoliki, na wanajiita watumwa wa papa. Kama lengo lao ni kuteka
majimbo ya kaskazini, basi wasingetaka sana maisha yangu; lakini siku
tutakapo pambana na ndugu zetu wa kusini na tukayapiga majeshi yao
yote na kuwafanya waitii serikali kuu, basi ni matumaini yangu kwamba
Shirika la yesu, ambao ndio kwasasa wanaushawishi kwenye majimbo ya
kusini, watafanya kile kile ambacho miaka yote wamekuwa wakikifanya.
Kisu au bastola itafanya kazi ambayo askari wenye nguvu wameshindwa
kuifanikisha. Kwa watu wasio na macho watadhani hii ni vita ya kisiasa,
lakini hii ni njia tu ya kufanikisha malengo yao. Hii ni zaidi ya vita ya kidini
kuliko vita ya wenyewe kwa wenyewe. Ni Roma ambao wanataka
kutawala na kuishusha kaskazini, kama ambavyo amefanikiwa kushusha
majimbo ya kusini, tokea siku mipango hii ilipo gundulika. Kuna viongozi
wachache sana ambao jeshi hili la papa (Shirika la yesu) halijawarubuni
kupitia wake zao, wanafamilia au marafiki. Ndugu na rafiki wengi wa Jeff
Davis ni waumini wa kanisa la katoliki…..
Lakini hii inajulikana kwamba kama watu wa taifa hili la Marekani
wangejifunza na kujua kile ninachokijua kuhusu chuki kubwa waliyonayo
papa na watu wake dhidi ya vitivo vyetu (institutions), shule zetu, haki
zetu za msingi za kila raia, uhuru wetu basi hata sasa wangekuwa tayari
kuwaondoa wakatoliki na Shirika la yesu miongoni mwao au
wangewapiga risasi kama wasaliti. Lakini ni wewe tu ambaye ninakupa
siri hii kwasababu najua wewe uliyajua haya kabla yangu. Historia ya
40
miaka elfu moja iliyopita inaonyesha wazi kwamba kanisa katoliki la
roma kama hakiwi kisu cha kuralua mema ya taifa basi huwa jiwe
shingoni mwa taifa wanalo liwinda, ili kulifanya taifa hilo lisisonge mbele
kimaendeleo, kiustaarabu, ujuzi, furaha na uhuru. Vita tulivyonavyo
visingetokea kama mbegu mbaya ya Shirika la yesu isingepandwa
miongoni mwa watu wetu. Kweli papa anadaiwa damu zisizo na hatia
zilizomwagwa na watu wake na kuifanya nchi yetu inuke damu….
Nawaonea huuma Makasisi, maaskofu na mapadri wa kanisa katoliki na
waumini waliongia kwenye imani ya kikatoliki, kwasababu ipo siku watu
walio wengi watauelewa usaliti wao na watajua kwamba wao ndio
chanzo cha damu iliyomwagika katika nchi yetu. Ulikuwa sawa kwenye
wazo lako la kuwaondoa wakatoliki wote katika majeshi na askari wetu,
kwasababu kwasasa watu tuliowafundisha wenyewe kupambana na
maadui wetu wametugeuka na kuanza kutuua wenyewe…. Wamekuwa
wasaliti.

Julai 1 mpaka 3, 1863, kulikuwa na vita kali ya wenyewe kwa wenyewe


katika mji wa Gettysburg, Pennsylvania kati ya majesji ya muungano
yaliyo ongozwa na generali George Maede na Generali Robert E Lee aliye
ongoza majeshi ya muungano wa majimbo ya kusini. Idadi ya watu
waliopoteza maisha katika vita hiyo ilikuwa ni kubwa sana.

Hivyo Rais Lincoln akaendelea kusema; vile vile ni kweli Maede bado
amebaki na sisi, akiwa amesha pambana vitani. Lakini ilikuaje
wakashindwa katika vita hivyo ikiwa alikuwa na wasaidizi mahili kama
Howard, Reynolds, Buford, Wadsworth, Cutler, Slocum, Sickles, Hancock,
Barnes, na kadharika. Lakini kuna ushahidi kwamba ukatoliki wake
uliuzidi nguvu uzalendo (patriotism) baada ya vita. Mbona alimuacha Lee
na jeshi lake wakimbie wakati walishawekwa chini ya ulinzi na
ukichukulia jeshi la Lee liliua zaidi ya nusu ya wanajeshi walio mtii katika
hizo siku tatu za maangamizi makubwa (carnage).
Maede alipotoa amri ya kulifuata Jeshi la Lee, ghafla kuna mtu akaja
makao makuu ya Jeshi kumuona Maede, na baada ya maongezi ya kama
dakika kumi na huyo mtu, Jeshi la Lee halikufuatiliwa isipokuwa Maede
akatoa taarifa kwamba Jeshi lake halikufanikiwa kawakamata!
41
Rais akaendelea kusema,
Watu wa kawaida wanapoona makelele ya gari za kivita husema hao ni
mala Jeff Davis, mala Lee au Toombs na Semmes na kadharika na kweli
wao hudhani hawa ndio wanao ichafua Marekani na ni chanzo cha
matatizo tuliyonayo. Lakini hili ni kosa. Kwasababu wanaoendesha
mambo haya kwa siri wamejificha kwenye kuta za Vatikan, kwenye vyuo
na mashule ya wakatoliki, mala mtakatifu Clement au chuo cha
mtakatifu Augustine (st. Augustine) na ma sista na mapadri wote wanao
amini raisi wa dunia ni papa.

42
SEHEMU YA TANO: KUZAMA KWA MELI YA
TAITANIK (TITANIC)
Tunapokuwa tukiyakumbuka matukio yaliyo tingisha historia katika
miaka mia moja mpaka mia mbili iliyopita, kuna mengine yenyewe tu
yanaonekana yalikuwa sio ya kawaida kwakuwa yalitisha, yalishitusha na
yalileta huzuni. Miongoni mwa ambayo huja akilini, yaliyokuwa ya
kutisha zaidi ni kuangushwa kwa majengo ya kituo cha biashara cha
dunia (World Trade Center) katika jiji la New York na kuzama kwa meli
ya taitanik. Huwezi amini kwamba matukio haya makubwa yaliyotokea
ndani ya miaka miambili hii yalikuwa yamesukwa na Vatikan. Sasa
utaonyeshwa Shirika la yesu walipanga na kutekeleza kuzama kwa meli
na kwanini walifanya hivyo. Tokea miaka ya 1830, Marekani haikuwa na
benki kuu. Shirika la yesu walitaka sana kuwa na benki katika Marekani
ili kwamba wapate kisima cha kuchota pesa kwa ajili ya vita mbali mbali
walizokuwa wanazianzisha pamoja na mipango yao michafu na ya siri
waliyokuwa nayo duniani kote. Mwaka 1910, watu saba walionana
kwenye kisiwa cha Jekyll umbali mdogo kutoka pwani ya Georgia ili
kuanzisha benki kuu, ambayo waliipa jina la Benki kuu ya taifa (Federal
Reserve Bank). Majina ya watu hao ni Nelson Aldrich na Frank Vanderlip,
hawa wawili waliwakirisha ngome ya benki ya mamilionea wa
rockefeller, Henry Davison, Charles Norton na Benjamin Strong, hawa
waliiwakirisha benki ya J.P. Morgan; na Paul Warburg, myahudi
aliyewakirisha benki ya matajiri wa dunia hii walioko ulaya, utawala wa
benki ya mtoto wa Rutu - Ulaya (Rothschild banking dynasty of Europe).
Tumesha ona kwamba familia ya Rothschilds walikuwa ni wakala wa
Shirika la yesu, wakitekeleza mambo yaliyokuwa yakipangwa na papa, na
hawa ndio wanashikilia ufunguo wa utajiri wa kanisa katoliki kwenye jiji
la Vatikan. Washindani wa kibishara wa benki ya Morgan, walikuwa
karibu na wamiriki wa benki ya rothschild. Miaka ya 1857, benki ya
Morgan, ambayo imejikita uingereza, ilianguka vibaya kiuchumi na
ikasaidiwa na benki kuu ya uingereza kwa msaada zaidi wa Rothschils.
Baada ya hapo benki ya morgan ikaanza kufanya kazi zaidi kama wakala

43
wa fedha wa Rothschild, ingawa benki ya morgan ikatanuka zaidi na
kuonekana kama ni benki ya Marekani…..
wamiriki wa rockefeller walipoingia sokoni kwa ajili ya biashara za
kibenki, hawakukaribishwa na wana benki wa morgan, na hivyo
ikapelekea waanze kuwekeana zengwe wao kwa wao katika ushindani.
Mwisho wa siku waliamua kupunguza mashindano kisha wakaungana.
Na walipoungana wakatengeneza benki ya kigaidi, waliyoipa jina la Benki
Kuu ya Marekani.

Muungano wa kifedha wa matajiri hawa, yaani Rothschilds, Morgans na


Rockerfellers, wote huchukua zabuni au kushindanishwa kwenye
mipango ya Shirika la yesu kwasababu wote wana ukaribu na papa.
Mfano, ikiwa papa amekuja na malengo yake ya miaka miamoja ya
kutaka ukatoliki uingie katika nchi flani, basi papa na Shirika la yesu
watapanga, kitu gani kifanyike kwanza, rais yupi atumike na kwa jeshi
gani. Wamiriki wa benki hizi wanacho angalia ni baada ya vita papa
ataanzisha umisionari, watu watakuwa wakatoliki, nao wao (wamiriki wa
mabenki) wataweka wakala wao wanaojua kuvuna raslimari za nchi
husika. Hivyo, kwa mavuno ya rasrimali, wanafamila wa wamiriki wa
benki hizi tatu kuu duniani, hupata faida isiyoweza kuhesabika na
vikokotozi (calculators) vya kawaida. Watu hawa WANA HELA. Utajiri
wao haufikiwi na watu ambao pesa yao inahesabika kama akina bill
gates. Bill Gate, mbele ya wanafamilia wa benki hizi ni masikini tu.

Lakini, wanafamilia wa hizi benki tatu zilizoikamata dunia wanafaidika


vipi katika muungano wao na papa?
Msingi wa kanisa katoliki ni ‘wanadamu wote ni watumwa wa yesu. Na
muwakilishi wa yesu duniani ni papa. Hivyo, wanadamu wote
wanatakiwa kumtukuza papa na maagizo yake’. Wakala wa benki za
wanafamila hawa ndio wamiriki wa kampuni kubwa zinazotoa ajira
duniani. Mfumo umetengenezwa na wanafamilia wa benki hizi kwamba
wanadamu wote ni lazima waajiriwe na wawafanyie kazi. Kwenye enzi za
biashara ya utumwa, vijana wote wenye nguvu waliajiriwa, na
walipokuwa wakizeeka, eidha waliuawa au kuachwa wahangaike.
Kwenye mfumo mpya wa utumwa, mwanadamu ata ajiriwa na
44
kutumikishwa katika ujana wake wote, utafika muda atatakiwa
kustaafishwa kama hatataka kustaafu, na atapewa mafao. Yamtoshe au
yasimtoshe hiyo haiwahusu wanafamilia hawa. Ni mifumo waliyo ipanda
katika serikari zote na mashirika yote duniani. Mifumo hii hukamilika
kwa kutoa elimu ambayo muda mwingi itamfanya mhitimu kuwaza
kuajiriwa tu. Na ndio maana ni vigumu kuwakuta watu waliosoma shule
na vyuo vile vya akina saint augustine au vinavyofanana na hivyo, zaidi
sana kwa wanaojiita wasomi wa vyuo vikuu, kukuta wakijiajiri.
Wanafamilia wa benki hizi kuu za dunia wameweka mifumo hiyo
makusudi ili wapate wafanyakazi. Kama una akiri, vizuri UKISHITUKA.

Wanafamilia wa benki hizi hufanya kila njia kuharibu mifumo ya nchi


inayoshabikia demokrasia na katiba inayolenga watu wa nchi husika
kuwaweka watu wake huru. Uhuru wa kufanya chochote, kuamini
chochote il mradi huvunji sheria. Na kwakua demokrasia inaongozwa na
marekani, basi, Marekani ni lazima ianguke, ili iwe rahisi kuiangusha
dunia.

Ujenzi wa Taitanik ulianza mwaka 1919 kwenye eneo la kutengenezea


meli la Belfast, ulio mji mkuu Ireland ya Kaskazini, Uingereza. Belfast
ulikuwa mji wa watu wasio wakatoliki, yaani waprotestanti (watu wote
wasio wakatoliki) na Shirika la yesu waliichukia sana mji huo. Vita ya
kwanza ya dunia ikaanza baada ya mika michache iliyofuata. Taitanik
ilikuwa moja ya meli zilizomirikiwa na kampuni ya white star line,
ambayo ni kampuni ya usafirishaji wa majini. Wanafamilia wa benki ya
Morgan walikuwa na maeneo mengine ambayo wangependa kuwekeza
zaidi ya benki. Kwakuwa benki ya morgan ilifadhiri ujenzi wa reli katika
nchi ya ireland ya kaskazini, hivyo ikaamimiwa na kapuni za usafirishaji
wa majini katika ujerumani na kampuni ya white star line ya Uingereza.
Katika kipindi hicho kulikuwa na watu tajiri na wenye nguvu kifedha
walioweka bayana kwamba hawakuwa wakivutiwa kuwekeza katika
benki kuu inayotakiwa kuanzishwa Marekani. Shirika la yesu wakaongea
na benki ya J.P. Morgani kufadhiri ujenzi wa taitanik. Mpango ulikuwa ni
kuitumia meli hii isiyoweza kuzama, kuwa angamiza wote wanao kataa
benki kuu ya Marekani isianzishwe. Matajiri hawa wa ulaya wangeweza
45
kuzuia mpango wa kuanzishwa kwa benki Marekani, hivyo nguvu na mali
zao ilitakiwa zipokonywe kutoka kwenye mikono yao. Walitakiwa
wapotezwe kwa namna ambayo isingeweza kuaminika hata
ukiaminishwa vipi na kwamba asiwepo mtu yeyote atakaye hisiwa
kuhusika na mauaji, na hakuna ambaye angedhani Shirika la yesu
walikuwa na mkono wao. Waliitumia meli ya taitanik kutekeleza maovu
hayo. Papa na Shirika la yesu walijiwekea kinga zaidi dhidi ya kushukiwa
kwa kuijaza meli hiyo na watu wa Airish (Irish), na wakatoliki wengi
kutoka italia waliokuwa wanataka kuhamia Marekani. Thamani ya watu
waliokuwemo ilikubalika kufishwa. Watu wasio wakatoliki waliokuwa na
kiu ya kuhamia Marekani walikaribishwa kwenye meli pia. Matajiri wengi
na watu wenye nguvu wa ulaya wote walikaribishwa katika meli hiyo
iliyokuwa kubwa na ya kifahari, iliyokuwa kwenye ngazi ya kifalme (king
size). Hata kama hawakupanga kusafiri, walikaribishwa sana kwenye
uzinduzi. Miongoni mwa matajiri muhimu watatu waliokuwa
wanatakiwa ni Benjamin Guggenheim, Isador Strauss, na John Jacob
Astor aliyekuwa tajiri namba moja duniani. Thamani kamili ya utajiri wa
hao matajiri watatu ilikuwa ni dola bilioni kumi na moja $11,000,000,000
(pesa ya tanzania Trillioni ishirini na mbili - 22,000,000,000,000).

Watu hawa watatu walikaribishwa sana kwenye meli kwasababu Shirika


la yesu walijua wakifa hao, watautumia utajiri wao katika shughuri zao
na kuwazimisha wapinzani wa benki Marekani pamoja na kuwa na pesa
ya kuendesha vita nyingi walizokuwa wamezipanga.

Edward Smith alikuwa ni kapten au dereva mkuu wa meli ya taitanik.


Alikuwa na uzoefu wa miaka ishirini na sita kwenye bahari ya atlantik ya
kaskazini na kulikuwa hakuna mzoefu kama yeye katika bahari hiyo.
Alikuwa mkatoliki, Jesuit na mwajiriwa wa J.P. morgani kwa miaka mingi.

Siku Taitanik ilipokuwa inaondoka kutoka kusini mwa uingereza april 10,
1912, Francis Browne, aliyekuwa kiongozi wa kiroho wa kapten Edward
Smith alipanda meli hiyo. Francis Browne alikuwa ni kasisi mkuu na mtu
mwenye nguvu katika ulaya na alikuwa anaripoti moja kwa moja kwa
papa, Vatikan. Siku iliyofuata, Taitanik ilisimama kwenye bandari ya
46
queenstown, Ireland. Hapa abiria wengi waliokuwa wanatafuta uhamiaji
Marekani wakaingia kwa wingi, na ni hapo baba kasisi Browne akashuka
baada ya kumkumbusha kapten Edward ni nini papa alikitaka kutoka
kwake, akamalizia na kupiga picha ya pamoja na mamia ya abiria walio
ingia katika meli hiyo.

Edward Smith aliamini kwamba papa ndiye mungu wa jamii ya Shirika la


yesu, na hakuna kingine isipokuwa nguvu ya umeme iliyopo mikononi
mwake inaweza kumfanya maiti akapata uhai tena. Edward Smith
alipewa kazi ya kuizamisha meli ya taitanik, NA ALIFANYA HIVYO, kwa
amri ya mungu, muwakilishi wa yesu duniani, kwakuwa inaruhusiwa
kuua hata mtu asiye na makosa, kuiba na kufanya kitu chochote,
kwasababu papa ni bwana wa uhai, na kifo, na wa kila kitu; hivyo basi
kukamilisha maagizo yake ni wajibu wetu. Hakuna kumbukumbu katika
historia ya kundi lolote ambalo limedumu pamoja bila mabadiriko kwa
miaka zaidi ya mia tatu, bila uasi au kubadi mfumo wake wa uendeshaji
katika watu na wakati, na kundi ambalo muda wote limeendelea
kujizolea wafuasi katika hatima ya wanadamu… ‘siku zote mwisho wa
kila kinachofanyika ndio muhimu kwetu (the end justifies the means)’,
huo ndio usemi anaoupendelea sana mkuu wa vatikan;
Jesuit ni askari wa papa, na moja ya viapo wanavyokula mbele ya
wawakirishi wa papa ni:
Ni lazima nijichukulie kama mtu aliyekufa, asiye na utashi wala akili, mtu
anayekubari kusurubiwa kwa mapenzi ya yule anaye mmriki. Mimi ni
kama mkono wa mungu wetu, hivyo atautumia mkono wake vile anavyo
taka na muda ule anaotaka yeye. Mtu anapochukua kiapo, atakuwa
anadaiwa kiapo hicho mpaka siku anayokufa. Edward Smith, Kapten wa
Taitanik, alijua wajibu wake. Ilikuwa ni lazima kutekeleza kiapo.

Meli iliundwa makusudi kwa ajiri ya maadui wa Shirika la yesu. Ikiwa siku
ya tatu meli iko majini, na pea moja tu ya kioo kwa ajili ya daraja,
Edward Smith akaongeza spidi ya meli mara dufu, spidi ya nots ishirini na
mbili, ni giza na ni usiku huku aki elekeza meli kwenye bonge la barafu
lililokuwa na ukubwa wa kilomita saba kwa mapana na kilomita saba
kwa malefu. Meli ilikuwa na mfumo wa kuonya iwapo spidi itakuwa
47
kubwa, hata hivyo maonyo nane ya meli kwamba spidi ilikuwa imzidi
kupita kiasi, yalipuuziwa na Edward Smith. Bahari na njia aliyokuwa
akipita alikuwa na uzoefu nayo kwa miaka ishirini na sita, na alijua
kwenye hilo eneo barafu kubwa ilikuwepo. Lakini angefanya nini? Ikiwa
kiapo ilikuwa ni kuizamisha Taitanik. Hata meli ilipogonga barafu, mmoja
wa wasaidizi wake alimkumbusha kushusha boti za dharula, Edward
Smith aligoma.
Mkea wa tajiri John Jacob Astor aliingia kwenye boti ya uokoaji,
akaokoka wakati mme wake ana angamia kwenye maji ya bahari ya
atlantik ya kaskazini. Kulikuwa hakuna boti za uokoaji za kutosha, na
hata zilizokuwepo hazikujaa isipokuwa zilikuwa na wanawake na watoto.
Kunapokuwa na majanga baharini, meli huwasha taa nyekundu za
kuwakawaka ili kuomba msaada kwa meli na ndege au helkopta zilizo
maeneo ya karibu, ila Edward Smith aliwasha taa nyeupe kuonyesha
meli yake haikuwa na shida yeyote.
Hili ni moja ya janga lililotokea kwenye karne ya ishirini, kuzama kwa
meli ya taitanik, kwa amri ya Vatikan. Meli ambayo ujenzi wake
haukuiweka kwenye zile zinazoweza kuzama kirahisi, au makazi ya
kifalme yanayo elea, kumbe ilibuniwa kuwa kaburi la matajiri, matajiri
waliokuwa wanapinga benki kuu kuanzishwa Marekani. April 1912,
wapinzani wote wakawa wameteketea, na December ya 1913, benki kuu
ya Marekani ikawa imeanzishwa na inafanya kazi nchini Marekani. Na
baada ya miezi nane punde benki kuu ilipo anzishwa, Shirika la yesu
wakawa na pesa ya kutosha iliyo wawezesha kuanzisha vita ya kwanza
ya dunia.

48
SEHEMU YA TANO: VITA YA KWANZA YA DUNIA
Aliye rithi kiti cha kifalme kwenye nchi za Austria na hungary Archduke
Francis Ferdinand na mke wake, walikuwa katika mji wa Sarajevo july 26,
1014. Wakiwa katika gari ya wazi, walikuwa wakipita katika mitaa yenye
mikusanyiko mikubwa ya watu, risasi zikamiminika kwao, na wote wawili
wakapoteza maisha. Watu wa Sarajevo walikuwa ni wasebia halisi. Na
dini yao katika kuamini ilikuwa ni orthodox (wakristo wanao amini kila
neno katika biblia bila kupunguza wala kuongeza). Tokea mwaka 1054,
kumekuwepo na vita ya mala kwa mala kati ya waumini wa kanisa
katoliki na wakristo wa orthodox. Miaka hamsini kabla ya kifo ha
ferdinand na mke wake, wakrotia, ambao wengi ni wakatoliki, walikuwa
wakionyesha chuki yao dhahiri dhidi ya watu wa serbia, hivyo basi watu
wa nchi ya crotia walikuwa wanakusudia kuwa angamiza wasebia wote.
Papa Pius wa kumi (Pius X), katika chuki yake dhidi ya wakristo wa
orthodox, alikuwa akimhimiza mfalme mtangulizi wa Ferdinand, Fransis
Joseph kuhakikisha anawamaliza wasebia. Baada ya tukio la sarajevo,
july 26, 1914, Baron ritter, muwakirishi wa ujerumani katika jimbo la
Bavarian, aliandika ujumbe huu kwenda kwenye serikali yake: “Papa
amekubali Austria iendelee kkuwakatilia mbali wasebia. Hajatoa
ufafanuzi kuhusu majeshi ya Urusi na Ufaransa iwapo Ujerumani
itapambana nao. Katibu wa papa Vatikan, hajui ni lini Austria itaamua
kupigana ikiwa sio kwa wakati huu…”
Hapo, rangi halisi za papa zikaonekana, papa ambaye ni muwakirishi wa
yesu duniani, mtume wa amani, baba mtakatifu ambaye watumwa wake
husema yeye huugua sana anapo ona wanadamu wanakuwa katika vita.

Hivyo tunaona , papa alielewa kwamba ikiwa Austria na hungary


zitaivamia sebia, basi ndugu wa wakristo wa orthox waliopo Urusi
watakuja kuwasaidia wasebia katika mapambano. Halafu, Ujerumani,
Ufaransa nazo zitajitumbukiza katika vita hivi, basi hapo umeshakuwa na
vita ya kwanza ya dunia. Papa alifurahia kuwaona Urusi wakijitumbukiza
katika mgogoro huu. Raia wengi wa urusi walikuwa ni wakristo wa

49
orthodox, na lengo la papa ni kuona wa orthodox wengi wana angamia
kadiri inavyo wezekana.
Urusi ikaingia katika mgogoro. Huu ulikuwa ni wakati wa papa kulipa
kisasi. Kwakuwa miaka kama mia moja kabla ya vita ya kwanza ya dunia
kuanza, Alekzanda wa kwanza (Alexander I) mtawala wa urusi,
aliwafukuza Shirika la yesu (jeshi takatifu la papa) wote urusi. Alekzanda
alitoa amri mwaka 1816 kwamba Shirika la yesu wote waondoke kwenye
majiji ya Petersburg na Moscow. Kwakua amri ya wakati huo
haikufanikiwa, akatoa amri nyingine mwaka 1820, na wakati huu
aliwataka wasionekane kabisa katika Urusi yote, au hakukutakiwa kuwa
na kanisa katoliki kwenye himaya ya Urusi. Miaka mitano baadae,
Alekzanda liuawa kwa sumu. Wanafamilia wote wa Alekzanda wakawa
kwenye mashambulizi ya Shirika la yesu.

Alekzanda wa pili (alexander II) akavunja mahisiano yote ya kidiplomasia


na roma mwaka 1877 na akapendekeza katiba itungwe. Alekzanda wa
pili aliendelea vizuri katika kuweka mabadiriko na akaweka sahihi
kwenye katiba iliyo chaguliwa na Urusi. Siku iliyofuata bomu lilirushwa
kwenye gari ya wazi aliyokuwa amepanda, na walinzi wake wengi
wakawa wamepoteza maisha pamoja na kujeruhiwa. Kwa huruma,
Alekzanda wa pili akawa ameshuka kumuangalia mmoja wa watu wake
aliyekuwa anafariki, ndiyo hapo bomu lapili likalipuka na kumsambaza.

Mwishoni sasa ndio yakawa mauaji ya mwaka 1917 dhidi ya wanafamilia


wa akina alekzanda. Haikutakiwa kuona mwanafamilia yeyote wa
alekzanda anabaki hai kuiongoza Urusi, kwasababu akina alekzanda ndio
waliokuwa wakiwachukia wakatoliki, na ndio waliokuwa wakiwalinda
wakristo wa orthodox. Saa ya kulipa kisasi dhidi ya taifa lililokuwa
likiwafukuza wakatoliki kutoka Urusi ilikuwa imewadia.

Ni nani aliwasaidia kifedha wanamapinduzi walio ichukua Urusi kwa


wakati huo? Nani alikuwa kiburi cha Lenin, Trotsky na Stalin, kwasababu
walianzisha mapinduzi yaliyo leta umwagaji wa kutisha wa damu katika
Urusi yote? Watu hawa walikuwa ni Shirika la yesu, watu waliojiita
wapinzani wa kanisa la Orthodox. Mpaka vita ya kwanza ya dunia ina
50
anza kulikuwa na Shirika la yesu wengi sana kataka Urusi. Katika watu
zaidi ya milioni moja na laki saba (1,766,188) – idadi iliyopatikana kutoka
kwenye kumbukumbu za vitabu vya urusi, karibu watu elfu tano
walikuwa ni viongozi, waalimu na watawa wa kanisa la Orthodox….
Karibia watu laki moja walikuwa ni waumini wa kanisa la kiluteri…. Vijiji
vyote vilichomwa moto….. maelfu ya makanisa yalichomwa moto…. Na
zoezi hilo linaendelea hadi leo. Hapo ujifunze papa anatawala moscow.
Na Shirika la yesu wakubwa walio fadhili vita ya kwanza ya dunia
walikuwa marekani. William Franklin Sands, mkurugenzi mkuu wa benki
ya Marekani alichangia pesa nyingi pamoja na Anthony Sutton,
mkurugenzi wa wall street (wall street ya New York ni uwekezaji
mkubwa wa majengo ya biashara, ambapo taasisi zote za fedha kwa
marekani hupatikana hapo). Jacob Schiff alikuwa kiongozi katika kundi la
Shirika la yesu aliyepewa jukumu la kuanzisha benki kuu ya marekani,
benki itakayokuwa juu ya benki zote Marekani. Aliingia marekani
kwenye miaka ya 1800 kwa maagizo ya Rothschild kudhibiti mfumo wote
wa kibenki wa Marekani. Mpaka mwaka 1900, Schiff akawa na udhibiti
kamili wa kundi la ndugu wote walioshikilia mfumo wa fedha katika Wall
Street. Schiff, ni mmoja wa wasaliti wa marekani, aliyekuwa anaishi
marekani, mtu aliyekuwa akiupigia ubepari upatu na wakati huo huo
alikuwa akifadhili serikali ya mapinduzi ya kisovieti iliyokuwa chini ya
papa.
Mataifa yote makuu, ikijumuishwa na Marekani, yalikuwa
yamechakazwa kwa vita, yamechanganyikiwa, na huku yakiomboleza
kwa ajili ya walio kufa. Amani ilikuwa ni kiu ya dunia nzima. Hivyo,
Woodrow Wilson alipopendekeza kuwepo na Shirikisho la Mataifa
(league of Nations) ili amani iwepo; mataifa yote yakakurupukia
mkataba huo bila kusoma kwa undani sera hizo zilihakikishaje amani
hiyo. Baada a vita ya kwanza ya dunia, jaribio lilifanyika kutaka iwepo
serikali moja ya dunia (one world government), na Shirikisho la Mataifa
ilianzishwa. Lengo la Vatikan kuwa na serikali moja ya dunia ni kuwa na
uwezo wa kuamua, yule tu atakaye piga magoti kwa papa ndiye apewe
kibali cha kuongoza nchi yeyote. Seneta (mbunge) Cabot Lodge, ali izuia
marekani isiungane na Shirikisho la Mataifa. Hiyo ilipelekea, Shirika la
yesu washindwe kutengeneza serikali moja ya dunia, hata hivyo
51
walisimamisha mipango hiyo kwa muda. Sehemu hii ya mpango wa
Shirika la yesu ilibidi isubiri miaka mingine ishirini na saba ili mzunguko
ule ule uje ujirudie, na ndipo vita vya pili vya dunia vingepelekea
kuanzishwa kwa umoja wa mataifa (United Nations).
Kabla ya kuijadiri sababu ya pili ya papa kufurahia katika vita ya kwanza,
hebu tumuangalie kwa kifupi Rais Woodrow Wilson. Ingawa Rais wilson
alikuwa rais, lakini alikuwa akidhibitiwa na kufuata ushauri wa Edward
Mandell House.
Wilson alisema: Bwana House ni mtu wangu wa pili wa karibu. Mawazo
yake na yangu ni kitu kimoja.
Kwa miaka saba bwana House, kama mshauri wa Rais Wilson, ndiye aliye
amua kabineti iweje, akatengeneza sera za utawala na akawa anashauri
namna gani wizara ya mambo ya nje iendeshwe. Ni katika kipindi hicho
kulikuwa na marais wawili Marekani. Aliongea na kiongozi yeyote
duniani kuanzia wafalme mpaka marais kama rais Wilson. Wakati rais
akiwa akiwa kwenye kampeni za kuchaguliwa mhura wa pili, yeye bwana
house akawa anafanya mapatano na uingereza na ufaransa kwa niaba ya
rais kwamba mala baada ya uchaguzi ni lazima marekani iingie vitani.
House alikuwa karibu sana na taasisi za fedha upande wa marekani na
alikuwa karibu na viongozi wenye nguvu upande wa ulaya. House
alikuwa wakala wa papa nchini Marekani. Sababu nyingine ya vita ya
kwanza ya dunia ilikuwa ni kulipiza kisasi kwenye taifa la ujerumani kwa
ajili ya upinzani wa kidini uliofanyika kati ya mwaka 1860 na 1870.
Ujerumani ilikuwa ni nchi ambayo waluteri (Lutherans) ndipo
walipotokea, wale adui wakubwa wa vatikan. Mala mbili katika kipindi
hicho, kansela Otto Von Bismarck aliiongoza Ujerumani kushinda vita
dhidi ya jeshi la papa, Shirika la yesu, katika nchi ya Austria mwaka 1866
na ufaransa mwaka 1870. Bismarck vile vile aliifutilia mbali sheria ya
vatikan ya Kulturkampf ya mwaka 1872. Kwa makosa haya, wajerumani
walilipa vile inavyotakiwa kwa kuuawa vibaya katika vita ya kwanza ya
dunia. Baada ya vita hiyo Ujerumani iliathirika kuliko nchi nyingi. Mataifa
ya ulaya yaliyoshinda katika vita hiyo ya kwanza ya dunia yalitumia
mkataba wa Versailles kuitoza faini ujerumani. Mkataba wa versailles
ulikuwa mapatano ya kimataifa ya kumaliza vita kuu ya kwanza ya dunia
upande wa ujerumani. Mkataba huo ulikuwa sio wa haki na uliifanya
52
ujerumani kubeba mzigo mkubwa, kiasi kwamba kiongozi wa ufaransa,
Clemenceau, alipoulizwa mkataba huo utakuwa na faida gani kwa dunia,
alisema, “kwa mkataba huu lazima vita nyingine ya dunia itokee baada
ya miaka ishirini.” Ujerumani ilikubari kwa shingo upande kukubariana
na mkataba huo kwasababu ilikuwa dhaifu na ilikuwa imeshindwa katika
vita, lakini walikusanya nguvu haraka na walijaribu kulipiza kisasi kwa
ajiri ya deni walilo wekewa na maadui zao baada ya vita ya kwanza ya
dunia.

Kisasi chao kilikuwa ni VITA YA PILI YA DUNIA.


Baada ya vita ya pili ya dunia kumalizika, shirika la yesu (jesuits)
hawakufanikiwa kupata matokeo waliyo yataka. Woodrow Wilson na
Edward Mandel waliweza kuanzisha shirikisho la Mataifa, lakini
ilishindikana kwasababu Marekani (USA – United States of America)
ilikataa kujiunga. Kwahiyo kulikuwa na ulazima wa kuwepo na vita, vita
itakayoleta hofu na maangamizi makubwa ili kwamba mataifa yote
yalilie kuwepo na umoja wa mataifa. Hii ilikuwa moja ya malengo ya vita
ya pili ya dunia.

53
SEHEMU YA SITA: VITA YA PILI YA DUNIA
Vita ya pili ya dunia ilikuwa ni vita kubwa na yenye uharibifu mkuu katika
vita zilizowahi kutokea duniani. Maelfu ya watu walipoteza maisha
katika vita hii. Watu wengi hawajui kwanini vita hii ilipiganwa na nini
kilikuwa chanzo. Si kweli kwamba vita hutokea tu. Vita hupangwa na
kutekelezwa viongozi wa serikali kwa maslahi yao wenyewe. Rais wa
Marekani, Franklin D. Roosevelt alisema, “katika siasa, hakuna
kinachotokea kwa bahati mbaya. Kama ikitokea jua hivyo ndivyo
ilivyopangwa”
Papa na mawakala wa shirika la yesu siku zote wamekuwa na huwa ndio
wanaoanzisha vita, na pale panapokuwa na vilio duniani kwa sababu ya
vita, Sherehe hufanyika Vatikan. Kwa karne nyingi, kila vita iliyotokea
ukaya ilikuwa na msukumo wa vatikan. Papa, kama ilivyokuwa kwa
dikteta wa mkatoliki Mussolini, Hitler na yeye anahusika kwa mauaji ya
wayahudi milioni sita. Kulikuwa na mkutano kipindi kifupi kilichopita
kwenye mji wa Assisi, Italia, ambapo papa john paulo wa pili (Pope John
Paul II) alinukuliwa akisema, “Machafuko yanatakiwa yakomeshwe! Vita
vinatakiwa vikomeshwe! Ugaidi unatakiwa ukomeshwe!” ni kweli kila
vita huanzishwa na wao na ndio maana ni wao tu ndio wenye jeuri ya
kutamka kauli hiyo. Ikiwa Marekani kwa sasa inaendesha vita dhidi ya
ugaidi duniani kote, kauli hiyo inaonyesha vita dhidi ya ugaidi
inaendeshwa na Vatikan na wala sio Marekani. Marekani inatumika tu.
Septemba 17, 2001, Rais George Bush alitangaza kwamba utawala wake
una andaa jeshi la wokovu (crusade) kupambana na ugaidi. Lakini katika
kauli yake, Rais Bush alitumia neno ‘Crusade’, neno ambalo lilitumika na
jeshi la shirika la yesu (jesuits) kati ya karne ya 11 na 12 kupigana dhidi
ya waislam waliokuwa wanakaa Jerusalem na hatimaye wakafanikiwa
kuukomboa mji huo. Je, hii ilikuwa ni Bushi kuieleza dunia kwamba vita
dhidi ya ugaidi ilikuwa ni kutekeleza maagizo ya papa?
Adolf Hitler alikuwa na hatia kwa mambo yote mabaya yaliyo
sababishwa na vita ya pili ya dunia. Je ni kweli Adolf ndiye aliyepanga
kuyafanya yote ambayo yalifanyika, au ndio kwanza alikuwa akitekeleza
amri ya wakubwa? Iwekwe akilini nani aliyekuwa akitoa maagizo kwa

54
hitler wa Ujerumani. Katika Ujerumani, alikuwepo Franz Von Papen,
aliye kuwa akimuwakilisha papa jijini Berlin, alishawishi sana kuwepo
muungano kati ya ujerumani na Roma, na wakati huo Franz na Vatikan
wakawa na lengo la kuiangisha serikali ya kikomunisti ya Jamhuri ya
Ujerumani (Weimar kwa wakati huo). Wajerumani wengi waliokuwa
wakatoliki hawakuwa na nguvu dhidi ya jeshi la wanazi, lakini
walifahamishwa baadae kwamba papa mwenyewe alikuwa bega kwa
bega na hitler. Hivyo basi wakatoliki ambao walikuwa wengi, kuanzia
waumini mpaka wawakirishi wa wananchi wakampigia kura kwa wingi
Adolf Hitler kwenye uchaguzi wa January 30, 1933. Vatikan walimsaidia
Hitler kuwa na nguvu na hatimaye akawa na mamraka makubwa katika
ujerumani yote. Na haya yote yalifanyika kwa kuwashauri wakatoliki
wote wawapigie kura wagombea wa upande wa wanazi. Hivyo Hitler na
wabunge wengi wa kinazi wakawa na nguvu na serikali ya kijamaa
(communist) ikaangushwa kisheria mwaka januari ya 1933. June ya
mwaka huo huo Hitler na Vatikan wakaweka makubariano yenye
masharti kwamba waumini wote wa kanisa katoliki watatii maagizo ya
utawala wa kinazi….. na haukupita muda mrefu, kiongozi wa pili baada
ya hitler, Franz von Papen, akaweka wazi moja ya masharti
yaliyokuwepo kati ya Vatikan na Hitler na kusema: “Ulimwengu wa tatu,
ni nguvu ya kwanza kwamba sio tu inamtambua papa ispokuwa itafanya
kile anacho agiza papa.”

Baada ya hapo, kiasi kikubwa cha pesa kutoka Marekani kikaanza


kupelekwa ujerumani bila utaratibu maalum. April 27, 1932, benk kuu ya
Marekani ilipeleka dhahabu yenye thamani ya dola laki saba na nusu
ujerumani, baada ya hapo ikapelekwa tena dhahabu yenye thamani ya
dola laki tatu, na mwezi mei mwaka huo wa 1932, dhahabu yenye
thamani ya dola milioni kumi na mbili ikasafirishwa kwenda kwa hitler.
Ilikuwa kila wiki kulikuwa na dhahabu inasafirishwa kwenda ujerumani.
Ikumbukwe kwamba Papa na shirika la yesu (Jesuits) kwa nguvu zote
walianzisha benk kuu ya Marekani, hivyo wakatengeneza pesa nyingi
kupitia wamarekani na sasa pesa ya kazi ilikuwepo ya kutosha.

55
Tukitoka Ujerumani ambako nchi ilikuwa chini ya papa kwa mkono wa
Hitler, hebu tuitazame hispania na kiongozi wake Francisco Franco.
Hispania ilipitia katika kipindi kigumu mpaka mwaka 1800 ulipokuwa
unaisha. Ilikuwa ikienda mbele na kurudi nyuma katika kujinasua kutoka
Vatikan kwa viongozi waliokuwa wanapachikwa na papa huku ikitaka
kujitawala bila papa kuwa na nguvu. Mwisho wake kwenye miaka ya
1930 miili mingi ya watoto walio fariki ilikuwa ikipatikana kwenye
makanisa ya kikatoliki nchini hispania. Madaktari waligundua kwamba
watoto wengi walikuwa wakiuawa kwa kuzibwa mdomo na pua. Utaona
kwamba masista na mapadri walikuwa wakizaa watoto, lakini watoto
waliokuwa wakizaliwa waliuawa mala baada ya kuzaliwa. Wakatoliki
wengi wa hispania walipokuja kuyaelewa maovu hayo, walikasirishwa na
baada ya hapo sheria nyingi za kikatoliki zilizuiliwa kufanya kazi Hispania.
Kwa kitendo hicho cha hispania, Vatikan ilihisi imetendewa kosa hivyo
kwenye miaka ya 1936, papa alimwaga pesa nyingi kwenye nchi za
kiislam ili ziivamie Hispania. Mambo yote ya uvamizi yalitengenezwa
vizuri huku yakisukwa na wakatoliki pamoja na shirika la yesu ndani ya
hispania na hatimaye kundi la kiislam la bahari takatifu (holy sea),
likafanya mashambulizi makuu kiasi kwamba nchi ya hispania iliharibiwa
vya kutosha. Magaidi walipomaliza kuishambulia hispania, hapo Vatikan
ikamuweka mkatoliki, dikteta Generali Franco kuwa kiongozi wa
Hispania, baada ya kuiangusha serikali ya kiprotestanti (wakristo wasio
wakatoliki). Serikali ya generali Franco ilitambuliwa rasmi na Vatikan
August 03, 1937, miezi ishirini kabla ya vita ya wenyewe kwa wenyewe
kumalizika.

Benito Mussolini, alikuwa ni waziri mkuu na aliheshimika sana na shirika


la yesu la Roma (Rome). Alikuwa ni kimbilio la wakatoliki, ambaye katika
kipindi chake miaka ya 1929 aliamuru Vatikan iwe na jeshi lake, polisi
wake, stesheni ya reli, na kila ambacho serikali ilistahili kuwa nacho. Ni
katika kipindi hicho iliamriwa rasmi kwamba kanisa katoliki litafungisha
ndoa zote katika nchi, kutukana hadharani, vilabu vya pombe na
wanawake kukaa nyumbani na kuwaacha waume zao ndio wafanye kazi
zilikuwa ni sheria zilizokuwa zimepitishwa kwenye kipindi cha Mussolini.
Chama chake kilikuwa cha kifashisti lakini ilikuwa na nguvu alifuata
56
sheria zote za katoliki na kuzifanya kama sera za chama mwaka 1922 ili
kukubarika miongoni mwa watu wa Italia. Mpaka miaka ya 1990, bado
Vatikan ilikuwa inajaribu kuangamiza kizazi cha wakristo wasio
wakatoliki ambao ni orthodox wa sebia (Serbia). Papa aliitumia Marekani
kuilipua sana kwa mabomu nchi ya sebia. Mwagaji mkubwa wa damu
akiwa papa huku amejificha ndani ya Slobodan Milosevic. Bila shaka
watakutumia, ukisha tumika, wanaku kaanga. Slobodan Milosevic,
alifunguliwa mashtaka kwenye mahakama ya makosa ya kivita ya the
Hegue.
Lengo la pili la vita ya pili ya dunia ilikuwa ni kuwatengenezea mazingira
mabaya wayahudi waliokuwa wametawanyika duniani kote ili wairudie
nchi yao ya palestina. Vita ya pili ya dunia ilipokuwa inamalizika,
mkataba wa Balfour ulisainiwa ulio wawezesha wayahudi waanze kurudi
Israel ili wakatambulike kama taifa. Haya yalitakiwa yawe makazi ya
wayahudi ya muda wote. Hata hivyo, wayahudi wengi wakawa
wamefanikiwa kimaisha katika nchi zote walizohamia, hivyo hawakuta
kurejea kwenye nchi yao. Katika vita ya pili ya dunia iliyolenga
kuwaangamiza wayahudi na imani zote za kikristo zisizofungamana na
kanisa katoliki, wayahudi zaidi ya milioni sita waliuawa duniani kote,
pasipo kuhesabu mamilioni ya wakristo wa orthodox, na mateso
yalikuwa yakiendeshwa dhidi ya wayahudi katika kambi zote au
magereza waliyokuwa wamewekwa, wengi miongoni mwa wayahudi
wakawa na kiu ya kurudi nyumbani, na mnamo mwaka 1948, Israel
ikajitangazia kuwa taifa huru. Punde baada ya Israel kujitangazia taifa,
Kadinari mkuu wa marekani, Francis Spellman akabariki mpango huo.
Swali ni kwanini shirika la yesu (jesuits) walimtumia hitler kuwaangamiza
wayahudi wengi kiasi hicho, na wakati huo kadinari wao anaunga mkono
kuanzishwa kwa taifa la israel. TAZAMA KWA MAKINI.

Kwa miaka mingi, vatikan imetamani kutawala dunia milele. Lakini


wasomi wa vatikan wamesoma vitabu vya kila dini, na dini inayowatisha
kuliko zote ni dini ya sayuni (zionist), wayahudi wanao amini ipo siku
atakuja mkombozi wao, na chini ya kiongozi wao, wataitawala dunia
yote milele, na kiongozi wao atakuwa yehova, na wala sio Yesu. Kanisa
katoliki limeiogopa dhana hiyo kwa miaka mingi na mpaka leo dhana
57
hiyo ni hofu kuu katika Vatikan, kwasababu ikiwa hayo yatatokea huo
utakuwa mwisho wa mafundisho yao, na itakuwa ndio mwisho wa
kanisa katoliki….. KWA GHARAMA YEYOTE VATIKAN ITAPAMBANA
KUWEKA VIZUIZI.

Kwa picha ya haraka utaona kama ni fulsa kuu kwa wayahudi kurudi
katika nchi yao na kujitangazia tena taifa lao la Israel. Hata hivyo, nini
matokeo ya wayahudi kurudi katika Israel? Tokea watambuliwe kama
taifa mwaka 1948, wayahudi wamekuwa na vita visivyoisha kati yao na
waarabu. Wayahudi wengi wamepoteza maisha, kama ambavyo shirika
la yesu walivyokuwa wamekusudia, na ndivyo ambavyo imetokea. Lengo
la shirika la yesu, jeshi takatifu la papa, ilikuwa ni kuleta machafuko ya
kutisha katika nchi ya Israel, kiasi kwamba mpaka dunia iwe na kiu kuu
ya amani, na pale itakapotokea kwamba amani inatafutwa kwa kila hali,
basi mtu aliyejitambulisha, na anajulikana kama mtaalamu katika kuleta
amani, apigiwe magoti, na watu wamsihi aende israel, akalete amani. Na
huyo mtu angekuwa nani kama sio Papa? Lengo hapa ilikuwa ni
kumfanya papa na kanisa katoliki kuiongoza Israel, kama ilivyo duniani
kote. Hayo yamekuwa malengo, na ndoto za Vatikan, kwamba ikiwa
wayahudi wameweza kuwaambia watu wengi habari za injiri, basi ije
kutokea wayahudi hao hao, watengue kauli, wamtangaze papa kama
kiongozi wa ukweli.

Jeshi hili la papa mwenyewe, shirika la yesu (jesuits), walishindwa


kuweka serikali moja ya dunia, baada ya vita ya kwanza ya dunia.
Walifanikiwa katika lengo hilo ovu baada ya vita ya pili ya dunia kwa
kuleta umoja wa mataifa, lakini tokea umoja wa mataifa uundwe mwaka
1945, umoja huu ambao ulipewa jukumu la kuhakikisha amani
inakuwepo duniani, imekuwa ni kinyume kwasababu amani sio lengo lao
isipokuwa neno amani ni kinyago (mask) tu katika mikakati yao. Moja ya
malengo yao ni kama kuanzisha mahakama ya umoja wa mataifa, na
kupitia mahakama hiyo, wataweza kufadhili vikundi vya fujo katika nchi
flani inayo lengwa, na rais wa nchi inayotafutwa iwapo atatumia nguvu
kuzima uasi, basi kosa litakuwa kuzima uasi, na mahakama ya umoja wa

58
mataifa itaamua hatima ya raisi mtafutwa. MIKAKATI YAO NI RAIS
(PAPA) MMOJA, NA IMANI (KANISA KATOLIKI) MOJA DUNIANI KOTE.
Sababu nyingine ya vita ya pili ya dunia ilikuwa ni kuhakikisha wajapani
wana adhibiwa. Miaka ya 1500, wajapani waliwakaribisha watu wote
kutoka kokote duniani waliokuwa wanataka kufanya nao biashara.
Wamisionari, kwa vinyago (mask) vya shirika la yesu (Jesuits),
walikaribishwa pia. Baada ya muda, wamisionari wa katoliki wakawa
hawawezi kuvumilia imani zote tofauti na ile ya kanisa katoliki. Mauaji ya
viongozi na waumini wa hizo imani zingine yaliendeshwa na shirika la
yesu, na japani ikawa na mito ya damu kwa miaka mingi.
Hatimae, mnamo mwaka 1639, wajapani wakapitisha uamuzi. Uamuzi
wao ulikuwa ni: kuanzia sasa na miaka ijayo, kwasababu jua ndiyo
laangaza duniani, na ndiyo hilo linaiangazia Japani, hivyo basi asitokee
mtu atakaye pingana na imani ya kulipinga jua kama dini yetu, hata
mabalozi wa nchi zote waliopo Japani, na zaidi, sisi wajapani, tulisimamie
hili hata kwa mateso au maumivu yanayoweza kupelekea kifo. Kwa
miaka karibu miambili, wamisionari wote wa kikatoliki walizuiliwa
kuingia Japan, nchi ambayo papa wa wakati huo aliwahi kujitapa
kwamba ilikuwa chini ya himaya yao. Kupitia mipango iliyosukwa na
vatikan kupitia vita ya pili ya dunia, nguvu kubwa ya kijeshi ilitumika
katika kisiwa cha Japani, na mabomu yaliyo angushwa kwenye miji ya
hiroshima na Nagasaki yaliipigisha magoti Japani milele. Vatikani
inaongoza kwa mipango ya miaka mingi. Mikakati (plans) yao yao ya
chini ni miaka mia tano, na ile ya juu ni miaka mia nane mpaka elfu
moja.

59
SEHEMU YA SABA: RAIS JOHN F. KENNEDY
Akiwa kwenye gari ya wazi, rais kennedy alipigwa risasi mchana kweupe
kwenye mitaa ya Dealy plaza, Ijumaa, november 22, 1963 saa sita na
nusu (12:30). Wananchi wengi walijitokeza barabarani kumshangilia.
Ilionekana wazi wanachi walikuwa na furaha pale rais alipokuwa akipita
kwenye barabara hiyo akielekea kwenye jiji la Dallas. Katika maelfu wote
waliokuwa wakitabasamu na kupunga mikono, wote tungesema Rais
alikubarika. Lakini katika hali hiyo hiyo, risasi zilisikika, na rais kennedy,
baada ya muda mfupi alifariki kwenye hospitali ya Memorial Parkland.
Kisa hiki kimewachanganya watu kwa takribani miaka zaidi ya arobaini
iliyopita, na ni moja ya maajabu ambayo hayajapatiwa ufumbuzi,
miongoni mwa maajabu makubwa ambayo yametokea katika miaka mia
moja iliyopita. Tume ya Warren iliyoundwa kuchunguza chanzo cha
mauaji hayo, ilihitimisha kwa kusema ni mtu mmoja ambaye hakuwa na
mahusiano na kundi lolote, ndiye aliye mpiga risasi rais. Mtu huyo ni, Lee
Harvey Osward. Tume ilisema Osward alimpiga risasi rais Kennedy akiwa
nyuma ya gari yake kutoka kwenye jengo mojawapo katika mitaa ya
Dallas. Lakini sasa kunakuwepo na ushahidi unaosisimua kwavile
haukubaliani na taarifa ya tume hiyo, na ushahidi huu unaituhumu tume
hiyo kwa kuficha vitu vingi na njama zilizopelekea kifo cha Rais. Siku
mbili baada ya kifo cha rais Kennedy, Jack Ruby alimuua Osward.
Kwanini? Je, ilikuwa ni kumfukia Osward na kile kilichopelekea amuue
Rais?
Kulikuwa na sababu kuu mbili ambazo zilipelekea kuuawa kwa Rais
kennedy. Sababu hizi zinamahusiano na vita ya Vietnam, na Benki kuu ya
Marekani. Rais kennedy alituma wasaidizi wake wawili kwenda Vietnam,
ambao ni McNamara na Taylor, ambao walikusanya habari za
kiintelijensia na kuamua kwamba marekani ilipaswa kujiondoa katika
vita ya Vietnam. Taarifa yao kwa rais ilipewa kichwa cha habari cha;
Taarifa ya McNamara-Taylor mpango wa Kusini mwa Vietnam. Kwa
taarifa hii kuwa mikononi mwake, rais kennedy alipata kile alichokuwa
amekikusudia. Taarifa iliendana na maamuzi ambayo alikuwa akilenga
kuyachukua. Alitakiwa achaguliwe kwa muhula wa pili ili amalize kazi

60
ambayo alikuta imesha wekwa kwenye mstari wake; alitakiwa aliondoe
jeshi la marekani kutoka Vietnam. November 22, 1963, serikali ya
marekani ilikuwa inaongozwa na genge lenye nguvu ambalo lilitaka sana
kuwe na vita ya miaka na vizazi vingi kuanzia Vietnam na China yote. Vile
ambavyo Rais Kennedy alivyokuwa akipanga kuondoa jeshi la marekani
kusini Mashariki mwa bara la asia, kundi hili likiawa linapanga kumuua.
Katika malengo yao, kwa kifo cha Kennedy, Marekani ingeendelea
kubaki Vietnam kwa miaka mingi iliyokuwa inafuata. Kindi hili walikuwa
ni akina nani? Nani alitaka marekani iendelee kuwepo kusini mwa
Vietnam na kwanini?
Iwe kisiasa au kijeshi, hakuna anaye elezea chanzo halisi cha vita ya
Vietnam. Hakuna ambaye anaelezea chanzo halisi kilichopelea vita kali
iwepo eneo hilo, chanzo ambacho ni dini, na katika hili ni kujua kanisa
katoliki lilikuwa na mchango gani, na upande wa pili kule Vietnam
kulikuwa na nini kimetokea. Kuhusika kwa kanisa katoliki sio sababu za
kusadikika. Ni ukweli wa kihistoria, kama ambavyo inajulikana kwamba
ni kweli taifa la marekani lipo. Tokea mwanzo, msukumo wa dini
ulipelekea mambo yaanze kutembea katika kusababisha machafuko
kwenye bara la asia mpaka kwenye mabara ya Marekani. Gharama ya
iliyolipwa ni kubwa: mabilioni ya dola; watu kukimbia makazi;
machafuko ya kisiasa; nguvu za kupindukia za kijeshi; aibu katika dunia
ya ustaarabu; maelfu ya watu wa asia na marekani waliopoteza maisha.

Vita katika nchi ya vietnam ilipiganwa kwasababu vatikan ilitaka japo


nchi moja wapo kutoka kusini mwa asia iwe na ukatoliki na baada ya
hapo ukatoliki huo uenee bara zima la asia. Ho Chi Minh alianza kabla ya
vita ya pili ya dunia kuiingiza Vietnam katika ukomunisti. Alipata misaada
kutoka marekani kwa ajili ya vita iliyokuwepo kati yake na Japan, lakini
aliitumia misaada hiyo kuji imarisha kwenye nchi ya milima ya Tonkin.
Agost, 1945, yeye na jeshi lake waliingia mpaka Hanoi kwenye mji mkuu
wa vietnam na kujitangazia serikali ya kidemokrasia ya jamhuri ya
vietnam. Alitumia muda kujipanga, kwasababu kabla ya hapo alisha
hakikisha kulikuwa na waumini zaidi ya milioni moja waliohamishiwa
vietnam ya kusini kutoka kaskazini…. Baada ya uchaguzi wa papa john
wa 23 (pope John 23), mwaka 1958 na kukawa na makubariano ya siri
61
kati ya papa na Ho Chi Minh yaliyopelekea kuwepo na udhibiti wa
Vietnam ya kaskanini. Rais Ngo Dihn Diem wa Vietnam ya kusini alikuwa
ni mtu ambaye aliitawala Vietnam ya kusini kwa ngumi ya chuma.
Aliamini katika sheria za kanisa katoliki ambazo alikuwa akikusudia
kuzifanya ziwe sheria za nchi. Alikuwa ni rais aliyepandikizwa na kadinari
Spellman na papa Pius wa 12. (Pius XII). Aliufanya urais wake kuwa wa
kikatoliki zaidi kwa kuongoza kwa mabavu, huku akizidharau imani za
kibudha ambazo ndizo wananchi wengi wa bara hindi na asia yote ya
kusini wamekuwa nazo pamoja na kuwakandamiza wapinzani kwa nguvu
nyingi. Katika kupingana naye, wabudha wengi walikuwa walikuwa
wakijinyonga na wengine kujichoma moto. Ukandamizaji wa kidini ulileta
mpasuko mpaka jeshini. Na hii ikapelekea marekani iingilie kati kwenye
vita vya wenyewe kwa wenyewe katika vietnam ya kusini. Aliyekuwa
anayasuka mambo yote hayo alikuwa ni kadinari Francis Spellman,
kadinari wa New York. Vatikan ilikuwa ikicheza pande zote mbili kwenye
vita ya wa vietnam. Ilikuwa ikimsaidia Diem upande wa kusini wakati
huo huo Ho chi Minh wa kaskazini alikuwa akifadhiriwa. Hivyo kwa
matokeo yeyote ya vita, vatikan ingeibuka kuwa mtawala wa Vietnam.

Mida ya saa mbili na nusu asubuhi, Jumamosi ya Novemba 23, 1963, gari
ya limosin iliyokuwa imembeba mkurugenzi wa CIA, John Makone (John
McCone) ili ingia kwenye viwanja vya ikuru ya Marekani….. kuna
shughuri nyingine ilimleta, kabla ya kuhusika na vitu vingine vilivyo
husiana na makabidhiano kati ya rais anaye ondoka na rais anaye ingia
madarakani; uwekaji sahihi katika waraka namba 278, waraka wa
usalama wa taifa, nyaraka ambayo ilikuwa ni ya siri, iliyo batirisha
uamuzi wa Rais Kennedy kuyaondoa majeshi ya marekani kutoka
Vietnam ya kusini. Matokeo ya waraka 278 ungeipa idara ya ujasusi ya
Marekani (Central Intelligency Agency – CIA) kuendelea na vita kwa
kuongeza jeshi zaidi Vietnam ya kusini…… na kwa sahihi ya John Makone
ya kutengua waraka wa siri namba 278, baadaye tarehe hiyo hiyo ya
November 23, 1963, mashariki ya mbali ingeifanya Cuba kuwa mwiba
kwa upande wa Marekani. Siku Rais Kennedy alipo uawa, uamuzi wa
kusimamisha vita nchini Vietnam ulitenguliwa na mpango wa Vatikan
ukaendelea. Sababu nyingine ya shirika la yesu na papa kutaka vita ya
62
Vietnam iendelee ilikuwa ni mabilioni ya dola waliyokuwa
wakiyatengeneza kutokana na biashara ya madawa ya kulevya. Kwa
miaka mia nne ambayo ilikuwa imepita kabla ya vita ya vietnam, shirika
la yesu walijihusisha vilivyo na biashara ya madawa ya kulevya, hivyo hii
ilikuwa ni nafasi ambayo rais kennedy asingeweza kuruhusiwa kusimama
mbele yao, hata kama maisha ya watu milioni nyingi yangeteketea!
Tokea shirika la yesu walivyo ingia Beijing mwaka 1960, jamii hii ya yesu
au shirika la yesu (Jesuits), walikamata ufunguo wa mashariki ya mbali
ikijumuisha na biashara ya madawa ya kulevya. Shirika la yesu
waliwadhibiti wanasiasa wa Washington, Marekani, na walitaka vita
iendelee Vietnam. Walikuwa wanataka kutengeneza ngome nyingine ya
kanisa katoliki katika asia ya kusini mashariki, na walitaka kuendelea na
biashara ya madawa ya kulevya, biashara waliyokuwa wameifanya kwa
miaka mia nne mashariki ya mbali.

Sababu nyingine ya kuuawa kwa Rais Kennedy ilikuwa ni nia yake ya


kuiondoa benki kuu ya Marekani. Wakati Rais Kennedy alipotangaza
kwamba ni lazima Marekani iwe na pesa yake yenyewe katika thamani
ya dhahabu, na benki kuu ya Marekani iondolewe, alitaka kusiwe na deni
pale pesa ya Marekani inapochapishwa; na pale alipokuwa anajaribu
kutumia mamraka aliyopewa kwa katiba ya Marekani… Rais Kennedy
alijiandalia hati ya kifo chake mwenyewe. Rais Kennedy alikuwa
anajaribu kuvuruga mifumo ambayo ilitengenezwa na vatikan yenyewe
na shirika la yesu. Katiba ya Marekani inaweka wazi kwamba pesa ya
marekani ni lazima itengenezwe na wamarekani wenyewe, lakini kila
Rais aliyejaribu kukitumia kipengere hicho cha katiba, mabaya yalimkuta.
Pamoja na kwamba Rais Kennedy alikuwa ndiye mkatoliki wa kwanza
kuchaguliwa kama Rais wa Marekani, lakini hakuwa miongoni mwa wale
wa shirika la yesu na aliweka maslahi ya taifa mbele badara ya yale ya
papa.
Haya ni moja ya maelezo ya siri yanayopatikana katika mwongozo wa
muasisi wa shirika la yesu (jesuits), Ignatius Loyola: ‘mwisho wa yote ni
lazima tuwe na wale wenye vipaji maalum ambao wataweza kujipenyeza
mpaka katika ngazi za wafalme na marikia, watu maalufu, wafanya
biashara maarufu, watu wanaoheshimika, marais, wakuu wa mahakama,
63
ambao watakuwa tayari kila tutakapo puliza filimbi, na watatakiwa
wawe tayari hata kuwaua ndugu zao wa karibu na wale rafiki zao pale
itakapo kuwa ni lazima kufanya hivyo kwa ajiri ya mazuri kwenye upande
wetu’ hapa tunaona kwamba kama amri ya shirika la yesu ni kutaka mtu
frani auawe, basi haijarishi kama ni rafiki yako, baba yako, mama yako
au dada au kaka yako; ni lazima umuue. Ni jinsi gani mfumo huu wa
vatikan usivyo na heshima, ulivyo wa ukatili na uovu. Kama umekuwa
ukidhani kanisa katoliki hawana nguvu ile inayosikika, basi anza kufikiri
upya. Kanisa katoliki limejikita katika Marekani. Kipesa, hakuna shirika
wala kampuni iliyo na pesa kuzidi kanisa, na wamejipenyeza katika vyeo
mbalimbali kwenye uongozi kuanzia ngazi ya chini mpaka ngazi ya ikulu,
wapo katika vyombo vyote vya maamuzi, ni wabunge, ni maseneta, ni
mawaziri, wana vyeo kwenye jeshi katika pentagon, ni viongozi wa ngazi
za juu katika mashirika ya ujasusi katika FBI na CIA.

Shahidi mwingine, Johnson, aliyeshuhudia kifo cha Rais kennedy alikuwa


ni afisa wa polisi aliyekuwa anatakiwa kueskot msafara wa rais kwa
pikipiki. Anasema wakati rais alipokuwa uwanjani mala baada ya ndege
kutua, alianza kusalimiana na wengi wa waliokuwa wanamtakia kila
raheli katika kazi yake mpya ya urais. Lakini wakati hayo yanaendelea,
ilitoka amri kutoka juu, kwamba barabara aliyokuwa amepangiwa rais
kupita imebadirishwa na badala ya barabara ya Dealy Plaza, rais atapita
barabara ya Houston. Iliwabidi johnson na wenzake wahamie kwenye
mtaa wa houston na zaid ya hayo amri ilikuja kutoka juu tena kwamba
ule mfumo wa kawaida wa pikipiki kumzunguka rais hautatumika
isipokuwa pikipiki zitatakiwa kuwa nyuma ya gari ya rais, ili watu
wamuone rais kwa urahisi. Waendesha pikipiki walipelekwa barabara
nyingine, na rais akapita barabara ile ile kama ilivyokuwa imepangwa.
Kwa yeyote aliyetaka watu wamuone rais kwa urahisi, basi, MUUAJI
ALIMUONA RAIS KWA URAHISI. Risasi zilitoka kwa muuaji aliyekuwa
amejificha kwenye uzio wa mbao.

Mkatoliki Lee Lacocca ndiye aliyepewa jukumu la kuichukua gari


iliyokuwa na matobo mengi ya risasi, baada ya kifo cha Rais Kennedy, na
kuirudisha kwenye kiwanda cha gari cha FORD. Amri aliyopewa kwa kazi
64
hiyo ni kufumba mdomo wake. Baada ya hapo akapewa kuwa meneja
wa tawi la kiwanda cha gari za FORD katika mji wa Dearborn. Hata
kampuni ya FORD ilipofirisika Lacocca aliomba msaada wa kifedha
kutoka kwenye serikali ya marekani. Aliyekuwa spika wa bunge la
Marekani kwa kipindi hicho alikuwa ni mkatoliki Thomas O’Neil, ambaye
alitumia mamraka yake ya kikatiba kumpatia bwana Lacocca fedha aliyo
hitaji ili kuiendeleza kampuni ya gari ya FORD motors. Watu wengi
waliokuwa wanajua kifo cha Rais kennedy kilivyotokea walifa katika
mazingira ya ajabu. Kulikuwa na juhudi kubwa za kuhakikisha habari
hazijurikani. Hata johnson anasema kulikuwa na majaribio mengi ya
kutaka kuuawa yeye na familia yake. Katika miaka mitatu baada ya kifo
cha Rais Kennedy na Lee Harvey Osward, watu kumi na nane waliokuwa
na ushahidi wa kuona walikufa. Watu sita kwa risasi, watatu kwa ajari za
gari, wawili kwa kujinyonga, mmoja alikatwa shingo, mmoja alipatiwa
pigo la kareti kwenye shingo, na watano vifo vilivyo onekana kama ni vya
kawaida…. Mtaalamu wa hesabu aliyekuwa amekodiwa na shirika la
habari la Sunday Times la London februari 1976 alihitimisha kwa
kusema, “uwezekano wa kuwa mfu, kwa kujua tu vile Rais Kennedy
alivyo uawa ilikuwa ni trilioni laki moja kwa moja, kwamba hamna jinsi
ungebaki hai kwasababu zaidi ya watu 115 walifariki kati ya mwaka
Novemba 22, 1963 mpaka Agosti 1993.

Watu wengi hukutana na ukweli wa mambo mengi, lakini baadae


wanajipa matumaini na kuendelea na maisha kana kwamba hakuna
kilicho tokea. Kwa sasa ukweli unafahamika kuhusiana na moja ya vitu
vilivyokuwa na utata katika nchi ya Marekani, kifo cha rais Kennedy.
Swali ni, je, utajipa matumaini tena kana kwamba hakuna kilicho tokea
au utaanza kuichanganua historia na mambo yanavyoendelea kwenye
dunia ya leo katika mwanga mpya?

65
SEHEMU YA NANE: MAUAJI YA HALAIKI YA WACO
(THE WACO MASSACRE)
Kundi moja la kidini lililojulikana kama tawi la wafuasi wa Daudi
(Davidians Branch), waliishi katika eneo la uzio waliloliita mlima karmeli
(Mt. Carmel) nje kidogo ya mji wa waco, Texas. April 19, 1993, wakala
wa serikali ya marekani walivamia eneo hilo na kuua wanawake na
watoto ambao hawakuwa katika hali ya kusaidiwa na vifaru vya kivita,
virusha mioto kwa ajiri ya kuunguza na kuteketeza pamoja na gas ya
sumu. Karibia watu wasio na hatia 100, walipoteza maisha baada ya
uvamizi huo wa serikali. Kitu kinacho fanya tukio hili kuwa la hatari na la
kipekee ni kwamba wafuasi wa Daudi hawakufanya chochote
kilichokuwa kinahatarisha uvunjifu wa amani kiasi cha kuuawa na
majeshi ya serikali. Watu hawa wa imani ya kikristo walikuwa na
mahusiano mema kabisa na jamii yote iliyokuwa inawazunguka.
Walikuwa na imani flani inayotofautiana na imani zingine za kikristo,
lakini hata hivyo, madhehebu mengi ya kikristo hutofautiana kimtazamo.
Tofauti hiyo isingekuwa sababu ya waumini hao kuharibiwa nyumba zao
na maisha yao, sana sana bila kufikishwa kwenye vyombo vya sheria.
Marekebisho ya kwanza ya katiba ilikuwa ni mtu kusali kwa Mungu
kutokana na vile anavyo amini yeye, lakini serikali ilipuuza haki hii ya
msingi katika mauaji ya halaiki ya waco. Na baada ya mauaji hayo,
serikali na vyombo vya habari vyote viliongea uongo kuhusu watu wa
imani hiyo.

Asubuhi moja kabla ya pasaka mwaka huo, Shirley Burton, msemaji wa


kanisa la wasabato, alisema alipokea simu yenye ujumbe wa kutisha.
Katika simu hiyo alikuwa ni afisa mmoja wa kanisa nchini Australia,
aliyekuwa anatoa habari kwamba kungekuwa na wimbi la machafuko
kwenye mji wa waco, Texas, na watu ambao wangehusika walikuwa ni
wasabato. Mtoa habari alisema alipata habari hizo kutoka kwa waumini
wenzake. Kwa habari zilizokuwepo ni kwamba waumini wa kanisa moja
Texas, watajiua kwa ajili ya imani yao. Baada ya kupokea ujumbe huo
burton akakumbuka kisa kimojawapo cha kiongozi mmoja wa kanisa, jina
66
Jim Jones, kwamba mwaka 1978, aliua waumini wake mia tisa na kisha
akajiua mwenyewe. Ingawa ujumbe huo ulifikishwa kwa wafuasi wa
Daudi, waliupuuzia, na pasaka ikapita bila matatizo. Siku viongozi wa
kanisa la wasabato walipo pata habari kwamba walikusudia kujiua, ndiyo
siku serikali intelijensia ya serikali nayo eti ilipata habari kutoka Australia
kwamba watu wa imani hiyo ya kisabato walikuwa wakikusanya siraha
kwa ajiri ya kujiua kwa pamoja. Kitengo cha ki-intelijensia kikapeleka
ujumbe kwa ofisi ya vilevi, Tumbaku na siraha (Bureau of Alcohol,
Tobacco, and Firearms - BATF). Daudi Koresh, kiongozi wa wafuasi wa
Dausi, alipata habari kwamba BATF, walitaka kupata habari zote
kuhusiana na shughuri zake juni 1992. Koresh aliwakaribisha BATF
kwenye eneo la mlima karmeli ili watazame na kuona chochote
walichokuwa wanahitaji kukiona. Cha ajabu, BATF walikataa kwenda
kuipekua kambi hiyo wala kutaka habari yeyote kwa koresh. Uvamizi wa
majeshi ya serikali kwenye eneo la wafuasi wa daudi ulianza Februali
28,1993. Hawakugonga mlango wa mbele, bali maofisa hao 100 wali
ingia kwa fujo kwenye eneo hilo ili wamkamate Daudi Koresh. Koresh
kila jioni alikuwa akifanya mazoezi ya kukimbia na ingekuwa rahisi
kumkamata, lakini, lengo halikuwa kumkamata yeye. Pamoja na kwamba
Maofisa wa BATF na FBI walijua kwamba kwenye eneo hilo kulikuwa na
wanawake na watoto, hata hivyo siraha zilifanywa kutoa
risasi,makombola na gesi kwa wote waliokuwa mo ndani. Daudi Koresh
ni mmoja wa watu waliopinga mfumo wa elimu wa kikatoliki uliokuwa
unatwala Marekani. Katika eneo lake, alianzisha shule za msingi pamoja
na sekondari. Kila mtu alikiri kwamba watu wote waliosoma katika shule
za Daudi walikuwa ni watu wenye maadiri mazuri. Wakati wa mauaji
hayo, maofisa wanne wa BATF walifariki. Maofisa hao wanne waliokufa
Februali 28, walikuwa ni walinzi wa Rais Bill Clinton. Wamarekani pasipo
kujua, walimfanya Bill Clinton kuwa rais wao pasipokujua kwamba
alikuwa ni miongoni mwa watu wa shirika la yesu (Jesuits). Kuanzia
utotoni, Maofisa hao wanne ndio peke yao walikufa siku serikali
inavamia eneo la waco. Lakini kuna kamera zilizokuwepo eneo hilo
zinazo onyesha kwamba maofisa hao hawakuuawa na waumini wa
Korsh, isipokuwa pale baadhi ya ya maofisa wa BATF walipokuwa
wameingia ndani, afisa mwingine alikuwa juu ya paa, na akaanza
67
kuwashambulia waliokuwa wameingia ndani, hivyo walinzi wa Rais
Clinton wakawa wamefariki. Baadhi ya watu waliokuwa jirani na neneo
latukio walipiga simu ya dharula 911, na kuelezea tukio lililotokea,
ingawa simu hiyo ilijibiwa, polisi hawakufika eneo la tukio. Ingawa simu
zote za dharula hurekodiwa, kumekuwa na utata wa simu liliyorekodiwa
siku ya tukio na kuiweka wazi kwenye vyombo vya habari. Bill Clinton,
mkatoliki, aliamriwa na wakubwa wake kuwateketeza waprotestanti wa
kisabato. ALITEKELEZA.
Wiki mbili baada ya mauaji kwenye mji wa waco, John Chafee, seneta wa
kisiwa cha Rhode, alipendekeza kwamba kuwe na sheria itakayo kuwa ya
nchi nzima, sheria itakayo piga marufuku watu binafsi kumiriki siraha.
Sheria hiyo ingezuia siraha kuuzwa, kumirikiwa na watu binafsi, kuingiza
au kutoa nje ya nchi siraha za kujilindia kama bastola. Kama sheria hiyo
ingepitishwa, ingekuwa ikipingana na kipengere cha pili cha katiba ya
Marekani kinachosema, “Haki ya kila raia ya kutunza na kumiriki siraha
kwa ajili ya kujilinda haitakiwi kubugudhiwa.” Kila sheria ambayo bunge
la Marekani linapitisha kuhusiana na umiriki wa siraha unakiuka haki ya
msingi ya kila raia iliyomo kwenye katiba. Ni nani anataka
kuwanyang’anya wamarekani siraha? Hakuna mtu anayetaka kuwa
dikteta wa taifa lenye watu zaidi ya milioni miambili wenye siraha milioni
mia mbili miongoni mwao. Kama kila mmoja ataruhusiwa kuwa na
siraha, kama haki ya kuwa na siraha haitaingiliwa, uhalifu utakuwa kwa
kiwango cha chini. Kwenye nchi ya Uswisi (Switzerland), sheria inataka
kila mtu awe na siraha kwa ajili ya kujilinda, hata raifo. Na uhalifu nchini
Uswisi haupo. Katika Marekani, kwenye majimbo ambayo yameruhusu
watu kuwa na siraha kwa ulinzi wao binafsi, uharifu haupo na hata kama
upo basi ni kidogo. Wakati wa vita vya pili vya dunia, Hitler alitaka
kuivamia Uswisi. Watu wa Uswisi walimuambia, pindi majeshi yake
yatakapo vuka mpaka na kuingia kwenye nchi yao, hakuna hata
mwanajeshi mmoja wa hitler atabaki hai. Hitler alikuwa akitoa amri ya
kuivamia uswisi lakini maofisa wa ngazi za juu katika jeshi lake walikuwa
hawatekelezi agizo hilo. Hivyo ni taifa la Uswisi tu ambalo vita haikuingia
katika nchi yake wakati wote wa vita. Siku zote Vatikan imekuwa iki
ichukia katiba ya marekani, na shirika la yesu hufanya kila njia ili sheria
ipitishwe ya watu kutomiriki siraha. Matukio ya mharifu mmoja akifanya
68
maovu hutangazwa sana ili watu wapige kura ya kuondoa siraha kwa
watu. Wamarekani halisi wanajua wametoka wapi, na hivyo wako tayari
sheria ya watu kumiriki siraha ije ipitishwe labda siku wote
watakapokuwa maiti. Kumbuka taifa la Marekani sio taifa lile ulilolijua
miaka yote. Taifa la sasa la Marekani lipo chini ya papa, kwahiyo shirika
la yesu (Jesuits) au fri-masoni ndio wanao iendesha dunia. Yamkini Rais
Donald Trump atalichukua taifa lao tena kutoka kwenye mikono ya
Vatikan.

69
SEHEMU YA TISA: MILIPUKO KATIKA JIJI LA
OKLAHOMA
Milipuko iliangusha jengo la Alfred E Murrah, jengo lililokuwa la serikali
katika jiji la Oklahoma Aprili 19, 1995. Watu 168 walifariki ikijumuishwa
na watoto waliokuwa chekechea katika jengo hilo. Serikali imekuwa na
bado inasema jengo hilo liliangushwa na bomu lililokuwa ndani ya gari
ambayo iliegeshwa mbele ya jengo hilo. Tumeona katika sura zilizopita
kwamba ripoti za serikali kuhusiana na kilichotokea huwa ni vituko.
Benton K Partin, askari mstaafu na mtaalamu wa milipuko, alihusishwa
kwenye uchunguzi wa jengo la oklahoma, na katika ripoti yake alisema,
hakuna bomu kama bomu la aina yeyote lingeweza kuleta uharibifu wa
kiasi kile katika jengo hilo. Hii ina maana kwamba haijarishi hata kama
kweli gari iliyokuwa na bomu ilihusika, lakini milipuko ya kushusha jengo
(demolition) ilikuwa imepandwa katika jengo hilo. Wakati wa mahojiano
ya moja kwa moja na kituo kimojawapo cha luning (television), msaidizi
wa kitengo cha kupambana na majanga alisema, wataalamu wa
mabomu walikuwepo kwenye jengo hilo kuanzia asubuhi sana ya siku
hiyo hata kabla ofisi hazijafunguliwa. Swali ni walikuwa wanafanya nini?
Muda mfupi baada ya milipuko kwenye jengo, Meya na Gavana Frank
Keating, na vyombo vingine vya habari wote walikiri kwamba mabaki ya
milipuko yalikuwa yametolewa kutoka kwenye jengo hilo. Kitu
kinachothibitisha kwamba milipuko iliwekwa hata kabla ya gari yenye
bomu haija egeshwa katika jengo hilo. Watumishi wa taasisi zote za
serikali zilizokuwa na ofisi katika jengo hilo siku hiyo hawakuingia kazini.
Moja ya vyumba vya jengo hilo ilitumika kama chule ya chekechea, lakini
siku ya tukio watoto wote wa watumishi na viongozi wa serilaki
hawakufika shule. Kama ilivyokuwa kwenye kesi nyingi za wakatoliki,
walioishika serikali ya Marekani, vile walivyo wanaangamiza watu wasio
wataka, ndivyo walivyo waangamiza watu wasio wataka kwenye jengo la
Oklahoma. Sababu ya Jengo la Oklahoma kuangushwa na shirika la yesu
ilikuwepo, lakini ni ipi hiyo? Siku zote, mkuu aliyeiteka nyara serikali ya
Marekani, Papa, alikusudia kuondoa kitu kinachoitwa uhuru wa
kidemokrasia. Akiwa na kusudi la kueneza ukatoliki kwa nguvu zote,
70
alijua atakuwa anaua wapinzani ambao ni waprotestanti, yaani waumini
wa imani ya kikristo wasio wakatoliki. Lakini ili malengo hayo yatimie
ilipaswa kuwa na sheria ambayo mtu akiona tukio lolote, hatatakiwa
kulitangaza wala kulieneza. Wakati huo huo, watu wanaoitwa magaidi
watakuwa ni waprotestanti, na hivyo kila watakapo kuwa wakiuawa,
basi ni lazima shahidi wa kuona akae kimya. Mfumo wanao tumia watu
wa shirika la yesu kuitawala dunia ni: kwanza, sababisha tukio la kutisha
lenye mauaji makuu, na watu watakapokuwa na hofu huku wakihitaji
sana namna ya kutatua tatizo (solution), basi hapo pendekeza ufumbuzi
wa tatizo, na ufumbuzi huo utakubarika haraka sana.

Lengo la kuangusha na kuua watu wengi katika jengo la Oklahoma


ilikuwa ni kuwafanya wabunge wa Marekani (congress) wapitishe sheria
ya kupambana na ugaidi pasipo kujadiriwa. Kama kungekuwa na
mijadara bungeni basi, basi maseneta au wawakirishi wa wananchi wa
Marekani wangetaka kuona kama katiba inataka kuguswa. Watu wa
shirika la yesu walio jificha katika bunge la Marekani walitaka kwamba,
afisa wa FBI au CIA au askari polisi yeyote, afanaye kazi sehemu yeyote
katika nchi ili mradi ana kitambulisho. Kama una kitambulisho, onyesha,
ila hakuna kuulizwa na mtu yeyote kwamba ni kwanini upo eneo husika.
Mbili ilikuwa ni kuminya uhuru wa kujieleza. Lengo la kupitisha sheria
hizo ilikuwa ni, Jesuits (shirika la yesu) wapange shambulio sehemu
yeyote, na wakati wowote, na shahidi wakuona wasirugusiwe kusema
wameona nini. Baada ya Jengo hilo kubwa na watu wengi kufariki, sheria
hizo zilipitishwa bila kupingwa. Sheria ilipitishwa kwamba, kutakuwa na
kifungo cha miaka mitano kwa raia yeyote atakaye eneza uvumi wa
njama ambazo hazijathibitishwa, iwe kwa luninga (television), redio, au
mitandao ya kijamii. Hivyo basi, nguvu zinazoendesha serikali ya
Marekani zikaondoa zikashusha hofu kwenye jamii, kitu kinacho
pokonya uhuru wa watu. Miaka iliyopita, watu wa dunia walikuwa
wakitamani kwenda Marekani, pamoja na kutamani kutembelewa na
watu wa Marekani. Lakini haiko hivyo miaka ya leo. Nguvu hizi
zinazoitawala serikali ya Marekani, hazina mbinu mpya pale zinapotaka
sheria zibadirishwe. Walitumia mbinu hizo hizo kwenye mauaji ya Waco,
Jiji la Oklahoma, na kituo cha biashara cha dunia (World Trade Center).
71
Vijana wa Marekani wanaelewa usanii wote, na kuthibitisha hayo
wameyafanyia maigizo hasa kwenye tamthiria za 24 (Jack Bauer).
Vatikan siku zote wamekuwa waki ilaani katiba ya Marekani na kusema
ni katiba ya kishetani, hivyo kwa gharama yeyote ni lazima iandikwe
upya ili ikiri kwamba, Mungu ni mmoja, na yesu ni mtoto wake, na
muwakirishi wa yesu duniani ni papa, na kanisa la mungu ni katoliki.

72
SEHEMU YA KUMI: NDEGE ZINABOMOA KITUO
CHA BIASHARA CHA DUNIA (WORLD TRADE
CENTER)
Hadithi ya majengo ya kituo cha biashara cha dunia siku ya septemba 11,
2001, haikuanzia siku ya tukio hilo. Mipango ilianza kusukwa punde
baada ya vita ya kwanza ya dunia. Baada ya vita, Miongoni mwa watu wa
shirika la yesu, Edward Mandell House and Woodrow Wilson
walitengeneza shirikisho la mataifa. Siku kiongozi mmoja wapo wa
wawakirishi wa wananchi au mbunge (senetor) Henry Cabot Lodge alipo
washauri wamarekani wasijiunge na shirikisho hilo, wanachama wa
shirika la yesu walikuwa na hasira za matokeo ya Marekani kutokujiunga.
Walijiuliza sana kwamba ni wapi walikosea mpaka akaibuka mtu
aliyeharibu mipango yao, kwamba kwanini hawakuliwazia hilo na
kuwafisha watu ambao wangezuia mipango yao kukamilika. Waliapa
kurudia tena, na safari iliyokuwa inafuata makosa yalikuwa hayatakiwi
kujiruidia. Hivyo basi, mwaka 1921, watu shirika la yesu wakatumia
ushawishi wao kwenye bunge la Marekani kuleta mswaada wa kuwa na
baraza la mahusiano ya kigeni (Council on Foreign Relations - CFR).
Baraza hili liliwavutia watu wenye nguvu, matajiri na watu wenye
ushawishi. Lengo ilikuwa kuwapata wanasiasa, watu wa vyombo vya
habari, wafanya biashara wakubwa. Lengo kuu la CFR ilikuwa ni kuvunja
mipaka ya nchi na kutengeneza mfumo wa serikali moja. Na katika
baraza la CFR, viongozi ni wale wale na sera ni zile zile haijarishi
mtabadirisha marais wangapi. Watu hawa wa shirika la yesu, ni hatari
sana kwa ustawi wa jamhuri ya watu wa Marekani. Watu wote walio
ziona nia zao ovu hawakuruhusiwa kuishi. Miongoni mwa watu ambao
wamekuwa wanachama wa CFR na vile vile wakiwa upande wa shirika la
yesu ni, Dwight D. Eisenhower, Richard Nixon, Adlai Stevenson, Hubert
Humphrey, na George McGovern. Wanachama wa sasa wa CFR, yupo
mwenyekiti wa benki kuu ya Marekani (Federal Reserve Bank chairman)
Alan Greenspan, Mbunge (congressman) Newt Gingrich na Richard
Gephardt, marais wote wawili, George Herbert Walker Bush na mtoto
wake, George Walker Bush, makamu wa rais Dick Cheney, aliyekuwa
73
katibu wa nchi, Colin Powell, Kiongozi wa mahakama kuu, Sandra Day
O’Connor, Joseph Lieberman, na John Chafee. (Chafee ndiye aliye
anzisha sheria ya watu kutokumiriki siraha baada ya mauaji ya Waco,
kumbuka?) na Bill Clinton.
Makampuni yaliyo chini ya shirika la yesu au CFR miongoni mwao ni
kampuni ya gari ya FORD, Kampuni ya kutengeneza ndege ya Boeing,
kamuni ya soda za pepsi, kampuni ya Heinz, Lockheed-Martin, kampuni
ya filamu ya Time Warner, na Chevron. Vyombo vyao vya habari ni, NBC,
CBS, N.Y. Times, Washington Post, Newsweek, na Time. Kazi za mashirika
haya ni kutangaza sana shughuri zote za shirika la yesu pamoja na papa
kiongozi wao, papa. Kama papa atatembelea sehemu yeyote, basi
vyombo hivi vya habari vitamtangaza sana. John Swinton, mwanahabari
na meneja rasrimali watu katika gazeti la kila siku lililo anzishwa mwaka
1851, mtu anaye heshimika katika tathnia ya habari, alionge haya
mwaka 1953:
Hakuna kitu kama hicho, kwenye ulimwengu wa sasa katika historia,
kwamba hapa Marekani eti kutakuwa na uhuru wa vyombo vya habari.
Sisi wote tunajua hili. Hakuna miongoni mwa waandishi wa habari
atakaye andika ukweli, kwasababu akifanya hivyo, mnajua kabisa habari
hizo hazitaonekana katika maandishi. Mimi nalipwa kila wiki kwasababu
ya kutoandika ukweli katika magazeti ambayo ndiyo ajira yangu. Na nyie
wengine wote mnafanya kama mimi kwasababu siku gazeti likiandika
ukweli, mwandishi anayehusika atakuwa mitaani siku inayofuata
akitafuta kazi nyingine. Kazi ya mwanahabari ni kuharibu ukweli;
kudanganya; kuzzuia ukweli usi ifikie hadhira; kupooza ukali wa habari
husika; kunyenyekea kwa wakubwa; na kuuza nchi yake na watu wake
kwa ajiri ya mkate wa kila siku. Hayo mnayajua na mimi nayajua sasa
huu upuuzi (folly) gani wa kusherekea uhuru wa vyombo vya habari? Sisi
ni vitendea kazi na vifaa vya matajiri wanaojificha nyuma ya mapazia.
Swainton alielezea kwamba vyombo vya habari viko chini ua udhibiti wa
matajiri. Matajiri wengi Marekani eidha ni watu wa, au wako chini ya
udhibiti wa shirika la yesu. Na kupitia vyombo vya habari wao ndiyo
huamua habari gani imfikie mwananchi. Na jitihada yao kubwa ni
kuwafanya watu waamini kwamba papa ndiye mtu mkuu wa amani, na
zaidi ya hayo, wanafanya kila jitihada kumfanya papa awe kiongozi na
74
dikteta wa dunia, kama ilivyokuwa zama zile za miaka ya giza. Na
watakapo fanikiwa katika kuwafanya papa kuwa viongozi wa dunia,
mateso ya miaka ile ya giza yatarudi. Kwasasa tuna wanyoshea vidole
magaidi kuhusiana na vita vinavyo endelea sehemu nyingi duniani; kama
alkaida, Isis, na vikundi vingi vya kigaidi vinavyo anzishwa kila inapoitwa
leo. Lakini makundi haya ya magaidi yamekuwa na huwa yanaanzishwa
na watu wa shirika la yesu au fri-mason walio chini ya Vatikan. Na katika
matukio haya huwezi kudhani mhusika mkuu ni papa.

Hebu sasa tugeukie kwenye uharibifu wa majengo ya kituo cha biashara


cha dunia uliotokea septemba 11, 2001. Sio tu kwamba yalianguka
majengo, lakini maelfu ya watu walikufa. Kwa kuanguka majengo hayo,
uchumi wa Marekani umeyumba sana na biashara nyingi zimekufa. Ili
kuzuia matukio kama hili la jamengo kuangushwa na ndege zilizo
endeshwa na magaidi, Serikali ya Marekani ikaja na jaribio dhaifu la
kwenda kumtafuta aliye sababisha maafa hayo nchini Afghanistan. Lakini
ugaidi ni njia ya kupita ili wafikie malengo ya kuiteka Marekani na dunia.
Sheria nyingi zilizopitishwa Marekani baada ya shambulio la huo, ugaidi
zime iathiri dunia yote. Mipango yote ya shambulio la kigaidi katika kituo
cha biashara cha dunia ilifanyika kwenye ikulu ya Marekani, idara ya
haki, bunge na vyombo vya habari. Tokea mwanzo wa utawala wake,
George Bush alikuwa akitimiza malengo ya shirika la yesu. Miezi miwili
baada ya kuchaguliwa kuwa rais, akiwa amezungukwa na makadinari wa
Roma, rais Bush aliagiza kuwe na kituo cha utamaduni wa kikatoliki
katika jiji la Washington, D.C. aliyafanya hayo kwa adui namba moja na
mbaya ambaye Marekani haijawahi kuwa na adui muuaji kama huyo.
Bushi alitamka kwamba atashurutisha maneno na mafundisho ya papa
katika taifa la Marekani. Alisema; “njia nzuri ya kumuenzi papa John wa
pili, mtu ambaye kwa hakika ni mkuu, ni kuchukua mafundisho yake na
maneno yake na kuyafanyia kazi kwa vitendo hapa Marekani. Maneno
ya papa John wa pili ni kuangamiza dini za watu wote wasio wakatoliki,
kuiharibu katiba ya Marekani ambayo ni katiba mama ya dunia, na
kumfanya papa kuwa mfalme wa wafalme katika dunia hii. Bush alikuwa
akitekeleza yale yale ambayo ni maono ya watu wa shirika la yesu.
Mwaka 1960 Rais John Kennedy alisafiri kutoka Washington mpaka
75
Texas na kuwa ahidi wakristo wa Marekani kwamba hata mtii papa.
Mwaka 2001, George Bushi, akatoka Texas kwenda Washington na
kuwaambia ma askofu wa katoliki kwamba yeye atakuwa akimtii papa.
Linapokuja swala la kifo hakuna mwanadamu asiye ogopa. Wabunge wa
Marekani ni watu wanao ipenda sana katiba yao inayo angazia kwa
mapana na marefu kwenye mambo ya uhuru wa watu. Kwa kuwa
walishindwa kutimiza lengo hilo katika tukio la oklahoma, Lengo la
kubomoa kwa kutumia ndege majengo ya kituo cha biashara cha dunia,
safari hii vifo vilikuwa vingi zaidi, ili kuingiza hofu katika jamii ya
wamarekani, na wakisha kuwa na hofu basi bunge lao li idhinishe sheria
ya kufuatilia miennendo ya kila raia katika taifa. Na ndio maana baada ya
tukio la septemba 11, 2001, sheria zenye jina la kupambana na ugaidi
zilipitishwa kwamba kuwe na kamera katika nchi yote ya Marekani, na
kila raia afuatiliwe mienendo yake. Raia watafuatiliwa kuanzia
nyumbani, kwenye simu wanazo piga, mitandaoni pamoja na kuwa na
vitambulisho maalum. Ikiwa hivyo hapo uhuru wa raia unapokonywa
kwa mabavu. Watu wa shirika la yesu wanajua kwamba wao ndio wakuu
kwenye serikali ya Marekani, wamejipenyeza kwenye kila cheo, sekta,
idara na kwa raia wa kawaida. Kwa kuwa lengo ni kuangamiza dini na
imani zisizo za kikatoliki, kwa kufuatilia mienendo ya watu watapata
urahisi wa kuwa angamiza wale wanaotakiwa wafe katika orodha yao.
Maneno kama uhuru na demokrasia katika Marekani, imekuwa historia.
Raia yeyote anaye ongelea uhuru au demokrasia katika Marekani ya leo
huonekana na kutangazwa kama adui mkubwa, kwasababu walio shikilia
vyombo vya habari wengi ni watu wa jamii ya shirika la yesu. September
11, 2001, kukawa na tukio la mauaji katika majengo ya biashara. Mwezi
Oktoba tarehe 26, 2001, Rais George Bush akaidhinisha muswada
ambao hata haukupita kujadiriwa na bunge kuwa sheria. Sheria hiyo
ambayo hata haikuwa na jina, isipokuwa ikajulikana kwa jina la sheria ya
uzalendo (patriotic Act) ya 2001. Hii ilistaajabisha. Haijapata kutokea
kwamba muswada uliandaliwa, ukaandikwa, ukajadiriwa na kupasishwa
kuwa sheria haraka kiasi hicho, eti katika wiki sita! Hivyo basi utaona
watu wa shirika la yesu au watu wa papa au Fri-mason walikuwa
wamefanya maandalizi ya kila kitu kabla ya tukio la septemba 11. Kwa
George Bush, kuwa haihadaa dunia, alisema ni muhimu kupitisha sheria
76
hiyo ili kupambana na ugaidi. Sheria hiyo inawawezesha watu wa
mamraka kusikiliza simu, kupeana habari za ki intelijensia, kufuatilia
mienendo ya matumizi ya intanet, barua pepe (e-mails) na ulinzi wa
mipaka.

Kila mtu awe na hekima ya kutofautisha mambo haya kuhusu


demokrasia na uhuru:
1. Kanuni namba moja iliyotukuka kwenye katiba (constitution) ya
Marekani ni kwamba watu wote wako sawa mbele ya sheria. Lakini
kanuni ya msingi (fundamental principle) katika imani ya wakatoliki
ni; haiwezekani wanadamu wote wawe sawa.

2. Uhuru wa ujuzi wa mema na mabaya. Kwamba kwenye katiba ya


Marekani, raia yeyote atafanya chochote ili mradi asivunje sheria. Hii
ni kanuni takatifu inayotakiwa kujurikana na kila raia, na itatakiwa
kupiganiwa hata kwa kumwaga damu. Mapapa wote wamesema
kanuni hii ni ya kidharimu na isiyo takatifu na inatakiwa iondolewe
kwenye vichwa vya watu, na wakatoliki wote ni lazima waipinge kwa
gharama yeyote.

3. Katiba ya Marekani inamhakikishia raia anayekuwa katika imani


yeyote, kwamba pamoja na imani yake, bado ana uhuru ambao
hautakiwi kuingiliwa na viongozi wake wa imani. Lakini kanisa
katoliki husema uhuru huo ni dhambi kubwa na uasi mbele za
mungu.

4. Katiba ya Marekani inamuacha kila raia amtumikie Mungu kulingana


na vile anavyo amini; kanisa katoliki husema hakuna mwanadamu
mwenye haki ya aina hiyo, na papa peke yake ndiye anaye jua
kwamba mwanadamu anatakiwa aamini kitu gani na afanye nini.

5. Katiba ya Marekani hukataa mtu yeyote kumuadhibu mtu mwingine


kwa sababu ya kutofautiana ki dini; kanisa katoliki husema, kanisa
lina haki ya kuadhibu, kupokonya mali na kutoa hukumu ya kifo kwa
wote wanao tofautiana na imani ya papa.
77
6. Marekani imeanzisha shule kila mahali katika nchi, na huwakaribisha
watu wote kupeleka watoto wao katika shule hizo, ili kwamba
watoto wachimbe katika maarifa yao na wawe raia wa faida kwao
wenyewe na taifa kwa ujumla; Kanisa katoliki lime laani shule hizo
na kuwakataza watoto wao kuhudhuria katika shule hizo, kisha waka
anzisha shule zao sehemu nyingi duniani ili kwamba watoto watakao
kuwa watu wazima baadae wajazwe na ufahamu kidogo, habari za
kanisa na papa tu.

7. Katiba ya Marekani imejikita kwenye kanuni inayosema, watu ndio


chimbuko la Mamraka katika nchi. Lakini zaidi ya mala elfu moja
kanisa katoliki limepinga hadharani kwamba kuamini hivyo ni
dhambi na uasi. Kanisa husema mamraka ya kanisa ni lazima yawe
chini ya imani ya kikatoliki; na papa peke yake ndiye mteule na mtu
sahihi wa kutafsiri sheria.
Hivyo basi haiwezi kushangaza pale ambapo mtu kama rais Bush,
aliyesoma katika shule na vyo vya kikatoliki angepingana na papa. Moja
kwa moja alisema nitakuwa na nitalifanya taifa limtii papa. Na matokeo
zaidi ni uvunjifu wa katiba ya nchi yake. Na pale kanisa katoliki
litakapokuwa na waumini wengi zaidi, basi huo ndiyo utakuwa mwisho
wa uhuru wa dini.
Hebu tumtazame Osama bin Laden. Bin Laden alisaidiwa na Marekani
kwenye mgogoro wa Afghanistani na Urusi miaka ya 1980, na alisaidiana
na na marekani pia kwenye mgogoro (conflict) wa Balkan uliohusisha
nchi Slovenia, Crotia, Bosni, herzegovina, Serbia, Macedonia, Kosovo,
miaka ya 1990. Habari zaidi zinaonyesha jinsi bin Laden alivyokuwa na
mafungamano ya kibiashara na familia ya akina Bush na amekuwa na
mawasiliano ya na CIA mpaka Julai, 2000. Osama bin Laden ni pando au
pandikizi kama wengine wanao tumiwa na watu wa shirika la yesu.
Osama ametumika kuhamisha lawama ziende mbali na sehemu zinako
mirikiwa – Vatikan na watu wa shirika la yesu. Milt Bearden, afisa wa CIA
aliyekuwa mkuu wa kitengo cha ki intelijensia na mshauri wa Osama bin
Laden, alipo ambiwa septemba 12, 2001, kwamba auambie uma wa
Marekani na dunia kwamba kweli Osama alihusika na mashambulizi ya
78
majengo ya biashara ya dunia, Bearden alisema, “kama wasingekuwa na
Osama bin Laden, wangetengeneza mtu mwingine wa kuigiza (act) katika
cheo hicho.”
Hivi karibuni, Rick Wiles, msemaji wa gazeti la Freedom News la
Marekani, alikuwa akimhoji Doctor Koryagina, mshauri wa uchumi wa
Rais Vladmir Putin wa Urusi. Katika mahojiano hayo, Doctor koryagina
alieleza kwamba, makundi ya siri (secret societies) kama fri-mason,
makundi ya kimagendo kama Mafia, na makundi ya kidini kwasasa ndiyo
yanayo dhibiti (control) dunia. Na vile vile doctor alisema kuna serikali
iliyopo kivulini (shadow government) inayotaka kuiangusha Marekani na
kuiweka dunia chini ya serikali moja ya dunia. Ilikuwa Julai, 2001, urusi
walisha pata habari za ki intelijensia kwamba marekani itavamiwa, na
kweli september 11, ya mwaka huo wa 2001, ndege zilishambulia
majengo ya biashara ya dunia jijini new York. Ukombozi wa dunia,
yamkini ukatoka Urusi. Urusi wameumizwa sana na Vatikan, na
kwakuwa vyombo vyote vya habari katika dunia ya leo viko chini ya
shirika la yesu ambao wameshamiri ulaya na Marekani, nani atakubari
kuambiwa Urusi ni rafiki wa dunia? China wanamjua sana papa na mbinu
zake. Serikali ya China huwafundisha sana watoto wake kumfahamu adui
wao. Wamekataa kanisa katoliki kuwepo nchini mwao. Watu wa Vatikan,
Roma, Italia, huwa hawana mbinu mpya. Ni watu wa Malengo. Huanza
kwa umisionari, hujenga makanisa. Huanzisha shule. Huanzisha vyuo.
Baada ya miaka hamsini mpaka mia moja, huteka taifa, kwa maana
waumini wao hujipenyeza kwenye kila kundi la watu. Wafanya biashara,
wasomi, watu maarufu, waumini wa kawaida, watu wa vyeo katika
majeshi, wizara na taasisi za juu za nchi. Nguvu yao iko kwenye sanduku
la kura. Watakapo kuwa wengi, watajipigia kura, watateka nchi. Ikiwa
watu wataamka katika usingizi, na kama wamebahatika kupata viongozi
wazarendo, wawaache viongozi hao wazidi kuwaongoza. China ya leo,
imeamua, rais atawale mpaka atakapo choka. Urusi wameamua, Vladmir
ni wao mpaka atakaposema basi.hakuna taifa litafanikiwa kwa viongozi
wa kutawala miaka minne minne au mitano mitano. Katiba inayomtaka
kiongozi wako atawale miaka minne au mitano ni mawazo ya Vatikan.
Katiba inayotaka umchague mtu kisa kasoma, ni mawazo ya Vatikan –
kwasababu wamejiandaa na kusomesha wengi; walikuwepo akina Bush
79
na Clinton kama mfano. Usikubari kuona chama kilichopigania uhuru wa
nchi yako kinatoka madarakani – Hiyo ni mipango ya Vatikan. Usione
ajabu leo hii kuona viongozi wanajihusisha na biashara za magendo na
madawa ya kulevya. Makundi haya ni kitu kimoja: Mafia, Fri-mason na
Vatikan.

-------Mungu Akubariki-------

80

You might also like