Professional Documents
Culture Documents
Uhamisho Wa Kituo Cha Kazi Serikalini
Uhamisho Wa Kituo Cha Kazi Serikalini
DEVOTHA M.AGUSTINO,
S.L.P 284,
BUKOBA
02/10/2020.
Mimi ni Muhudumu wa Afya-Muuguzi ngazi ya cheti katika Kituo cha Afya cha Zamzam
Halmashauri ya Manispaa ya Bukoba ambaye nina Check No.112067546.
Naomba nafasi ya kuhamia katika Halmashauri ya Manispaa ya Dodoma ili niwe karibu na mume
wangu ambaye ni Mchungaji katika Halmashauri ya Manispaa ya Dodoma.
Ni matumaini kuwa ombi langu litafikiriwa ili niweze kutekeleza majukumu ya ujenzi wa taifa.
…………………………….
DEVOTHA M.AGUSTINO
Muhudumu wa Afya-Muuguzi
Mimi ni Mwalimu wa shahada ambaye ninafundisha shule ya msingi Mwitongo iliyopo kata ya
Bukongo katika Halmashauri ya wilaya ya Ukerewe mkoa wa Mwanza ambaye nina Check
No.10352478 na TSD No.W.2253.
Naomba nafasi ya kuhamia katika Halmashauri ya Wilaya ya Ubungo ili niwe karibu na wazazi
wangu ambao ni wagonjwa sana na pia ni wazee wanaohitaji msaada wangu wa karibu
kuwahudumia.
Ni matumaini kuwa ombi langu litakubaliwa ili niweze kutekeleza majukumu ya ujenzi wa taifa.
AGNES L. WILLIAM
WINFRIDA KASUBI MATHEW
S/M MWITONGO
S.L.P 74,
UKEREWE,
30/09/2017.
Mimi ni Mwalimu wa cheti daraja IIIA ambaye ninafundisha shule ya msingi Mwitongo iliyopo
kata ya Bukongo katika Halmashauri ya wilaya ya Ukerewe mkoa wa Mwanza ambaye nina Check
No.111267893 na TSD No M- 129064.
Naomba nafasi ya kuhamia katika Halmashauri ya mji Nzega Tabora ili niweze kuwa karibu na
wazazi wangu kwa kubadilishana na mwalimu tajwa hapo juu mwenye check No 12134524 na TSD
No.T-7484.
Ni matumaini kuwa ombi langu litakubaliwa ili niweze kutekeleza majukumu ya ujenzi wa taifa.
WINFRIDA K MATHEW.
GAUDENSIA KARABI BENARD,
S/M MWITONGO
S.L.P 74,
UKEREWE,
03/10/2017
Mkurugenzi Mtendaji ( W),
S.L.P 41
UKEREWE/NANSIO.
k.k.
Afisa Elimu (W),
S.L.P 41,
UKEREWE.
K.K.
M/ MKUU,
S/MSINGI MWITONGO,
UKEREWE.
Tafadhali ninaomba kuwekwa kwenye mpango wa kwenda masoni kwa mwaka wa masomo tajwa
hapo juu
Asante.